key word in heading 1

This commit is contained in:
Larry Versaw 2018-09-25 17:19:20 -06:00
parent 8d0f608840
commit 82e94cd4a7
82 changed files with 651 additions and 471 deletions

View File

@ -1,11 +1,14 @@
# Katika Agano Jipya, maneno "batiza" na "ubatizo" kwa kawaida utaratibu wa kuoshwa kwa Mkiristo kwa kutumia maji kuonesha kwamba ameoshwa kutoka katika dhambi na ameungana na Kristo.
# Batiza, ubatizo
## Ufafanuzi
Mbali na ubatizo wa maji, Biblia inazungumzia "kubatizwa kwa Roho Mtakatifu" na "kubatizwa kwa moto."
Neno "ubatizo" katika Biblia limetumika pia kuonesha hali ya kupitia matiso makubwa.
Katika Agano Jipya, maneno "batiza" na "ubatizo" kwa kawaida utaratibu wa kuoshwa kwa Mkiristo kwa kutumia maji kuonesha kwamba ameoshwa kutoka katika dhambi na ameungana na Kristo.
Maono ya Kutafasiri
Wakristo wanamaoni tofauti jinsi mtu anavyopaswa kubatizwa kwa maji. Pengine inafaa zaidi kutafasiri neno hili kwa njia ya jumla inayoruhusu njia mbalimbali ya kutumia maji.
Kwa kutegemea mazingira, neno "batiza" laweza kutafasiriwa kama "kutakasa," "kumimina juu, "kuzamisha"
* Mbali na ubatizo wa maji, Biblia inazungumzia "kubatizwa kwa Roho Mtakatifu" na "kubatizwa kwa moto."
* Neno "ubatizo" katika Biblia limetumika pia kuonesha hali ya kupitia matiso makubwa.
## Maono ya Kutafasiri
* Wakristo wanamaoni tofauti jinsi mtu anavyopaswa kubatizwa kwa maji. Pengine inafaa zaidi kutafasiri neno hili kwa njia ya jumla inayoruhusu njia mbalimbali ya kutumia maji.
* Kwa kutegemea mazingira, neno "batiza" laweza kutafasiriwa kama "kutakasa," "kumimina juu, "kuzamisha"

View File

@ -1,8 +1,11 @@
# Neno "kuamini" na "kuamini katika" yanahusiana kwa karibu, lakini yana maana tofauti:
# Kuamini, kuamini katika
## Ufafanuzi
Maoni ya Kutafasiri
"Kuamini" laweza kutafasiriwa kama "kujua kuwa ni kweli" au "Jua kuwa sawa."
"Kuwa na imani" laweza kufasiriwa kama "kuamini kikamilifu" au "kuamini na Kutii" au "kutegemea kwa ukamilifu na kufuata."
# Neno "kuamini" na "kuamini katika" yanahusiana kwa karibu, lakini yana maana tofauti:
## Maoni ya Kutafasiri
* "Kuamini" laweza kutafasiriwa kama "kujua kuwa ni kweli" au "Jua kuwa sawa."
* "Kuwa na imani" laweza kufasiriwa kama "kuamini kikamilifu" au "kuamini na Kutii" au "kutegemea kwa ukamilifu na kufuata."

View File

@ -1,13 +1,16 @@
# Neno "mpendwa" ni kifungu cha kitabia kinachomweleza mtu anayependa na mwingine.
# mpendwa
## Ufafanuzi
Neno "aliyependwa" kwa kawaida limanaanisha "kupendwa" au "anayependwa".
Mungu anamtaja Yesu kama "Mwanawe mpedwa".
Katika barua zao kwa makanisa ya Kikristo, mitume mara kwa mara waliwataja waumini wenzao kama "wapendwa."
Neno "mpendwa" ni kifungu cha kitabia kinachomweleza mtu anayependa na mwingine.
Maoni ya Ufasiri
Neno hili pia laweza kufasiriwa kama "mpendwa" au "apendwaye" au "anayependwa sana" au "mpenzi."
Katika mazingira ya kuzungumzia rafiki wa karibu, yaweza kutafasiriwa kama "rafiki yangu mpenzi" au "rafiki yangu wa karibu." Katika Kiingereza ni kawaida tu kusema, "rafiki yangu mpenzi, Paulo" au Paulo, ambaye ni rafiki yangu mpenzi." Lugha nyingine zaweza kuwa na njia nyingine ya kueleza hali hii.
Angalia kwamba neno "mpendwa" linatokana na neno la upendo wa Mungu, ambao hauna masharti, ubinafsi, na wa kujitoa.
* Neno "aliyependwa" kwa kawaida limanaanisha "kupendwa" au "anayependwa".
* Mungu anamtaja Yesu kama "Mwanawe mpedwa".
* Katika barua zao kwa makanisa ya Kikristo, mitume mara kwa mara waliwataja waumini wenzao kama "wapendwa."
## Maoni ya Ufasiri
* Neno hili pia laweza kufasiriwa kama "mpendwa" au "apendwaye" au "anayependwa sana" au "mpenzi."
* Katika mazingira ya kuzungumzia rafiki wa karibu, yaweza kutafasiriwa kama "rafiki yangu mpenzi" au "rafiki yangu wa karibu." Katika Kiingereza ni kawaida tu kusema, "rafiki yangu mpenzi, Paulo" au Paulo, ambaye ni rafiki yangu mpenzi." Lugha nyingine zaweza kuwa na njia nyingine ya kueleza hali hii.
* Angalia kwamba neno "mpendwa" linatokana na neno la upendo wa Mungu, ambao hauna masharti, ubinafsi, na wa kujitoa.

View File

@ -1,12 +1,15 @@
# Neno "haki ya uzaliwa" inamaanisha heshima katika Biblia, jina la familia, na mali iliyokuwa ikitolewa kwa mzaliwa wa kwanza katika familia.
# Haki ya uzaliwa
## Ufafanuzi
Haki ya mzaliwa wa kwanza ilijumuisha mara mbili katika urithi wa baba.
Mwana wa kwanza wa mfalme kwa kawaida alipewa haki ya uzaliwa ya kurithi baada ya kifo cha baba yake.
Esau aliuza haki ya uzaliwa kwa Yakobo mdogo wake, kwa sababu hii, Yakobo alirithi baraka ya mzaliwa wa kwanza badala ya Esau.
Haki ya kuzaliwa pia ilihusisha kuhesabiwa kwa vizazi vya familia kupitia mzaliwa wa kwanza.
# Neno "haki ya uzaliwa" inamaanisha heshima katika Biblia, jina la familia, na mali iliyokuwa ikitolewa kwa mzaliwa wa kwanza katika familia.
Maoni ya Kutafasiri.
Njia iwezekanayo kutafasiri "haki ya kuzaliwa" ni pamoja na "haki na utajiri wa mzaliwa wa kwanza" au "heshima ya familia" au "faida na urithi wa mzaliwa wa kwanza."
* Haki ya mzaliwa wa kwanza ilijumuisha mara mbili katika urithi wa baba.
* Mwana wa kwanza wa mfalme kwa kawaida alipewa haki ya uzaliwa ya kurithi baada ya kifo cha baba yake.
* Esau aliuza haki ya uzaliwa kwa Yakobo mdogo wake, kwa sababu hii, Yakobo alirithi baraka ya mzaliwa wa kwanza badala ya Esau.
* Haki ya kuzaliwa pia ilihusisha kuhesabiwa kwa vizazi vya familia kupitia mzaliwa wa kwanza.
## Maoni ya Kutafasiri.
* Njia iwezekanayo kutafasiri "haki ya kuzaliwa" ni pamoja na "haki na utajiri wa mzaliwa wa kwanza" au "heshima ya familia" au "faida na urithi wa mzaliwa wa kwanza."

View File

@ -1,11 +1,14 @@
# Neno "bila mawaa" kwa kawaida linamaanisha "bila lawama". Linatumika kumtaja mtu anayemtii Mungu kwa moyo wake wote, lakini haimaanisha kwamba hana dhambi.
# Bila mawaa
## Ufafanuzi
Ibrahimu na Nuhu walihesabiwa kutokuwa na lawama mbele za Mungu.
Mtu mwenye heshima ya kuwa "bila lawama" anaenenda kwa namna inayomweshimu Mungu.
Kwa mjibu wa msitari mmoja, mtu asiye na lawama ni "yule anayemcha Mungu na kujiepusha na uovu."
Neno "bila mawaa" kwa kawaida linamaanisha "bila lawama". Linatumika kumtaja mtu anayemtii Mungu kwa moyo wake wote, lakini haimaanisha kwamba hana dhambi.
Maoni ya Ufasiri
Hii pia yaweza kutafasiriwa kama, "asiye na kasoro katika mwenendo wake" au "mwenye kumtii Mungu kikamilifu" au "kujiepusha na dhambi" au "kujilinda na uovu.
* Ibrahimu na Nuhu walihesabiwa kutokuwa na lawama mbele za Mungu.
* Mtu mwenye heshima ya kuwa "bila lawama" anaenenda kwa namna inayomweshimu Mungu.
* Kwa mjibu wa msitari mmoja, mtu asiye na lawama ni "yule anayemcha Mungu na kujiepusha na uovu."
## Maoni ya Ufasiri
* Hii pia yaweza kutafasiriwa kama, "asiye na kasoro katika mwenendo wake" au "mwenye kumtii Mungu kikamilifu" au "kujiepusha na dhambi" au "kujilinda na uovu.

View File

@ -1,12 +1,15 @@
# Katika Biblia, neno "kufuru" inamaanisha kuzungumza kwa njia ambayo inaonesha dharau kubwa kwa Mungu au watu. "Kumkufuru" mtu ni kuongea kinyume cha mtu huyo ili watu wafikiri vibaya juu ya mtu huyo.
# Kumkufuru
## Ufafanuzi
Mara nyingi, kumkufuru Mungu humaanisha kumtukana kwa kusema mambo ambayo siyo kweli kuhusu yeye au kwa kuenenda kwa njia isiyo na maadili hata kumvunjia heshima.
Ni kufuru kwa mwanadamu kudai kuwa Mungu au kudai kwamba kuna Mungu mwingine zaidi ya Mungu wa kweli.
Baadhi ya matoleo mengine yanatafasiri neno hili kama "kumtukana" linaporejerea kuwakufuru watu.
Katika Biblia, neno "kufuru" inamaanisha kuzungumza kwa njia ambayo inaonesha dharau kubwa kwa Mungu au watu. "Kumkufuru" mtu ni kuongea kinyume cha mtu huyo ili watu wafikiri vibaya juu ya mtu huyo.
Maoni ya Tafasiri
"Kukufuru" kwaweza kutafasiriwa kama, "kusema vibaya dhidi ya" au "kumdharau Mungu" au "kumtukana".
Jinsi ya kutafasiri "kufuru" ni pamoja na. "kusema vibaya kuhusu wengine" au "kutukana" au "kusambaza tetesi za uongo."
* Mara nyingi, kumkufuru Mungu humaanisha kumtukana kwa kusema mambo ambayo siyo kweli kuhusu yeye au kwa kuenenda kwa njia isiyo na maadili hata kumvunjia heshima.
* Ni kufuru kwa mwanadamu kudai kuwa Mungu au kudai kwamba kuna Mungu mwingine zaidi ya Mungu wa kweli.
* Baadhi ya matoleo mengine yanatafasiri neno hili kama "kumtukana" linaporejerea kuwakufuru watu.
## Maoni ya Tafasiri
* "Kukufuru" kwaweza kutafasiriwa kama, "kusema vibaya dhidi ya" au "kumdharau Mungu" au "kumtukana".
* Jinsi ya kutafasiri "kufuru" ni pamoja na. "kusema vibaya kuhusu wengine" au "kutukana" au "kusambaza tetesi za uongo."

View File

@ -1,19 +1,22 @@
# "kubariki" mtu au kitu maana yake ni kusababisha mema na mambo ya manufaa kufanyika kwa mtu au kitu kinachobarikiwa.
# Kubariki
## Ufafanuzi
Kumbariki mtu pia inamaanisha kuonesha nia chanya na vitu vyenye manufaa kumpata mtu huyo.
Katika nyakati za Biblia, kwa kawaida baba alitamka baraka maalumu kwa wanawe.
Watu "wanapombariki" Mungu au kuonesha hamu ya kuwa Mungu abarikiwe, inamaanisha wanamwinua.
Neno "baraka" wakati mwingine linatumika kwa kukitakasa chakula kabla hakijaliwa, au kwa kumshukuru na kumsifu Mungu kwa ajili ya chakula.
"kubariki" mtu au kitu maana yake ni kusababisha mema na mambo ya manufaa kufanyika kwa mtu au kitu kinachobarikiwa.
* Kumbariki mtu pia inamaanisha kuonesha nia chanya na vitu vyenye manufaa kumpata mtu huyo.
* Katika nyakati za Biblia, kwa kawaida baba alitamka baraka maalumu kwa wanawe.
* Watu "wanapombariki" Mungu au kuonesha hamu ya kuwa Mungu abarikiwe, inamaanisha wanamwinua.
* Neno "baraka" wakati mwingine linatumika kwa kukitakasa chakula kabla hakijaliwa, au kwa kumshukuru na kumsifu Mungu kwa ajili ya chakula.
//kutokana na maoni hapa chini: Ni mhimu kutoa maana, lengo, au kuzingatia matumizi ya mzizi wa neno "bariki" ambalo kimsingi linapendekea kustawi au kuwa na wingi wa vitu au utajiri. Kwa kuzingatia wingi wa mafundisho ya kimaandiko juu ya upendo wa Mungu, rehema na neema ambayo siyo ya kale tu bali hata sasa. Kwa kuzingatia uangalizi, ulinzi, na uwepo wa Roho wa Mungu. Na kwa ajili yetu kumbariki Mungu, kwa kutoa shukurani, kuthamini, na kuelewa kama tunavyojifunza na kumfuata(kumtii)//
Maoni ya Kutafasiri
"Kubariki" kwaweza kutafasiriwa kama "kuandaa kwa wingi" au "kuwa mwema ."
"Mungu ameleta baraka kuu" ifasiriwe kama "Mungu ametoa mambo mengi mema kwa" au "Mungu ametoa kwa wingi kwa ajiri" au "Mungu amesababisha Mambo mema kutokea kwa".
"Amebarikiwa" ifasiriwe kama "atanufaika sana" au "atapitia mambo mema" au "Mungu atamfanya kustawi".
"Amebarikiwa mtu yule" yaweza kutafasiriwa kama "Ni vema kiasi gani kwa mtu ambaye".
Vioneshi kama vile, "abarikiwe Bwana" yaweza kutafasiriwa kama, "na asifiwe Bwana" au "Bwana asifiwe" au "Ninamtukuza Bwana".
Katika mazingira ya kubariki chakula, hii yaweza kutafasiriwa kama, "alimshukuru Mungu kwa ajili ya chakula" au "alimshukuru Mungu kwa kuwapa chakula" au "alikitakasa chakula kwa kumsifu Mungu.
## Maoni ya Kutafasiri
* "Kubariki" kwaweza kutafasiriwa kama "kuandaa kwa wingi" au "kuwa mwema ."
* "Mungu ameleta baraka kuu" ifasiriwe kama "Mungu ametoa mambo mengi mema kwa" au "Mungu ametoa kwa wingi kwa ajiri" au "Mungu amesababisha Mambo mema kutokea kwa".
* "Amebarikiwa" ifasiriwe kama "atanufaika sana" au "atapitia mambo mema" au "Mungu atamfanya kustawi".
* "Amebarikiwa mtu yule" yaweza kutafasiriwa kama "Ni vema kiasi gani kwa mtu ambaye".
* Vioneshi kama vile, "abarikiwe Bwana" yaweza kutafasiriwa kama, "na asifiwe Bwana" au "Bwana asifiwe" au "Ninamtukuza Bwana".
* Katika mazingira ya kubariki chakula, hii yaweza kutafasiriwa kama, "alimshukuru Mungu kwa ajili ya chakula" au "alimshukuru Mungu kwa kuwapa chakula" au "alikitakasa chakula kwa kumsifu Mungu.

View File

@ -1,16 +1,19 @@
# Neno "damu" linamaanisha kimiminika chekundu kinachotoka katika ngozi ya mtu panapokuwa na jeraha au kidonda. Damu inaleta viini lishe vya uhai katika mwili wote wa mtu.
# damu
## Ufafanuzi
Damu inaashiria uhai na inapomwagwa, inaashiria kifo.
Watu walipotoa sadaka kwa Mungu, walimwua mnyama na kumimina damu yake juu ya madhabahu. Hii inaashiria kutolewa kwa uhai wa mnyama kulipa dhambi za watu.
Kupitia kifo chake msalabani, Damu ya Yesu hutakasa watu kutokana na dhambi zao na kulipa kwa ajili ya adhabu wanayostahili kwa ajili ya dhambi zao.
Kifungu "mwili na damu" kinarejerea wanadamu.
Kifungu "mwili wake na damu yake" inarejerea kwa watu wanaohusiana kibaolojia.
Neno "damu" linamaanisha kimiminika chekundu kinachotoka katika ngozi ya mtu panapokuwa na jeraha au kidonda. Damu inaleta viini lishe vya uhai katika mwili wote wa mtu.
Maoni ya Kutafasiri
Neno hili litumika kwa kulingana na neno lifaalo katika lugha lengwa.
Kielezi "mwili na damu" chaweza kutafasiriwa kama "watu" au "wanadamu".
Kwa kutegemea mazingira, kifungu "mwili wangu na damu yangu mwenyewe" yaweza kutafasiriwa kama "familia yangu" au "ndugu zangu" au "watu wangu."
Ikiwa kuna kionyeshi katika lugha lengwa kinachotumika kwa maana hii, kifungu hicho kitumike kutafasiri "mwili na damu"
* Damu inaashiria uhai na inapomwagwa, inaashiria kifo.
* Watu walipotoa sadaka kwa Mungu, walimwua mnyama na kumimina damu yake juu ya madhabahu. Hii inaashiria kutolewa kwa uhai wa mnyama kulipa dhambi za watu.
* Kupitia kifo chake msalabani, Damu ya Yesu hutakasa watu kutokana na dhambi zao na kulipa kwa ajili ya adhabu wanayostahili kwa ajili ya dhambi zao.
* Kifungu "mwili na damu" kinarejerea wanadamu.
* Kifungu "mwili wake na damu yake" inarejerea kwa watu wanaohusiana kibaolojia.
## Maoni ya Kutafasiri
* Neno hili litumika kwa kulingana na neno lifaalo katika lugha lengwa.
* Kielezi "mwili na damu" chaweza kutafasiriwa kama "watu" au "wanadamu".
* Kwa kutegemea mazingira, kifungu "mwili wangu na damu yangu mwenyewe" yaweza kutafasiriwa kama "familia yangu" au "ndugu zangu" au "watu wangu."
* Ikiwa kuna kionyeshi katika lugha lengwa kinachotumika kwa maana hii, kifungu hicho kitumike kutafasiri "mwili na damu"

View File

@ -1,16 +1,19 @@
# Neno "kujivuna" humaaanisha kuongea kwa kiburi kuhusu mtu au kitu. Mara kwa mara inamaanisha kujivuna mwenyewe.
# Kujivuna
## Ufafanuzi
Mtu "mwenye majivuno" anajiongelea kwa njia ya kiburi.
Mungu aliwakemea Waisraeli kwa "kujivunia" sanamu zao. Kwa ujinga waliabudu miungu badala ya Mungu wa kweli.
Biblia inazungumzia pia watu wajivunao utajiri wao, nguvu, mashamba yenye rutuba, na sharia zao. Hii inamaanisha kwamba walijivunia vitu hivi hata awakumtambua Mungu awapaye vitu hivyo.
Mungu aliwaamru badala yake "wajivune" kwa sababu wanamfahamu yeye.
Mtume Paulo, pia alizungumzia kuhusu kujivuna katika Bwana, kumaanisha kufurahi na kumshukuru Mungu kwa yote aliyowafanyia.
Neno "kujivuna" humaaanisha kuongea kwa kiburi kuhusu mtu au kitu. Mara kwa mara inamaanisha kujivuna mwenyewe.
Maoni ya Tafasiri
Njia nyingine ya kutafasiri "majivuno" inahusisha "kuongea kwa kiburi" au kuwa na kiburi."
Neno "enye kujivuna" yaweza kutafasiriwa kwa kifungu kimaanishacho, "mwenye kujazwa na maneno ya kiburi" au "enye kiburi" au "kuongea kwa kiburi kuhusu mwenyewe."
Katika mazingira ya kujivuna katika au kuhusu Mungu, yaweza kufasiriwa kama "kujivunia" au "kujisifu katika" au kuwa na furaha kuhusu" au "kumshukuru Mungu kwa ajili ya".
Baadhi ya lugha zina maneno mawili kwa ajili ya "kiburi": moja ni hasi lenye maana mbaya, na lingine lenye maana nzuri, lenye maana ya kujivunia kazi , familia, au nchi.
* Mtu "mwenye majivuno" anajiongelea kwa njia ya kiburi.
* Mungu aliwakemea Waisraeli kwa "kujivunia" sanamu zao. Kwa ujinga waliabudu miungu badala ya Mungu wa kweli.
* Biblia inazungumzia pia watu wajivunao utajiri wao, nguvu, mashamba yenye rutuba, na sharia zao. Hii inamaanisha kwamba walijivunia vitu hivi hata awakumtambua Mungu awapaye vitu hivyo.
* Mungu aliwaamru badala yake "wajivune" kwa sababu wanamfahamu yeye.
* Mtume Paulo, pia alizungumzia kuhusu kujivuna katika Bwana, kumaanisha kufurahi na kumshukuru Mungu kwa yote aliyowafanyia.
## Maoni ya Tafasiri
* Njia nyingine ya kutafasiri "majivuno" inahusisha "kuongea kwa kiburi" au kuwa na kiburi."
* Neno "enye kujivuna" yaweza kutafasiriwa kwa kifungu kimaanishacho, "mwenye kujazwa na maneno ya kiburi" au "enye kiburi" au "kuongea kwa kiburi kuhusu mwenyewe."
* Katika mazingira ya kujivuna katika au kuhusu Mungu, yaweza kufasiriwa kama "kujivunia" au "kujisifu katika" au kuwa na furaha kuhusu" au "kumshukuru Mungu kwa ajili ya".
* Baadhi ya lugha zina maneno mawili kwa ajili ya "kiburi": moja ni hasi lenye maana mbaya, na lingine lenye maana nzuri, lenye maana ya kujivunia kazi , familia, au nchi.

View File

@ -1,17 +1,20 @@
# Neno "mwili" kwa kawaida linamaanisha mwili wa binadamu au mnyama. Nene hili hutumika pia kitamathari kurejerea kitu au jumla ya kundi lenye wajumbe.
# mwili
## Ufafanuzi
Mara kwa mara neno "mwili" linarejerea mtu au mnyama aliyekufa. Wakati mwingine linarejerewa kama "mfu" au "maiti."
Yesu alipoongea na wanafunzi wake katika mlo wake wa mwisho wa Pasaka. "Huu(mkate) ni mwili wangu," alikuwa anamaanisha mwili wake ambao uawa ili kulipa dhambi zao.
Katika Biblia, Wakristo kama kundi wanatajwa kama "mwili wa Kristo."
Kama mwili ulivyo na viungo vingi, "mwili wa Kristo" unawaumini wengi.
Kila muumini mmoja mmoja ana kazi maalumu katika mwili wa Kristo kuliwezesha kundi lote kufanya kazi pamoja ili kumtumikia Mungu na kumpa utukufu.
Yesu anatajwa kama "kichwa" (kiongozi) wa "mwili" wa waumini. Kama ambavyo kichwa cha mtu kinavyouambia mwili cha kufanya, hivyo Yesu ndiye anayewaongoza Wakristo kama wajumbe wa "mwili" wake.
Neno "mwili" kwa kawaida linamaanisha mwili wa binadamu au mnyama. Nene hili hutumika pia kitamathari kurejerea kitu au jumla ya kundi lenye wajumbe.
Maoni ya Tafasiri
Njia nzuri ya kutafasiri neno hili lingekuwa ni neno ambalo linatumika sana kuonesha mwili katika lugha lengwa. Hakikisha kwamba neno linalotumika halileti chukizo.
Linaporejerea jumla ya waumini, kwa baadhi ya lugha yaweza kawaida kusema, "mwili wa kiroho wa Kristo."
Yesu anaposema, "Huu ni mwili wangu" ni vizuri kutafasiri hii kihalisia, na maelezo kama yanatakiwa.
Baadhi ya lugha zaweza kuwa na neno tofauti la kutaja mfu, kama vile "maiti" kwa mtu au "mzoga" kwa mnyama. Hakikisha neno litumikalo kutafasiri linaleta maana na linakubariwa katika mazingira yale.
* Mara kwa mara neno "mwili" linarejerea mtu au mnyama aliyekufa. Wakati mwingine linarejerewa kama "mfu" au "maiti."
* Yesu alipoongea na wanafunzi wake katika mlo wake wa mwisho wa Pasaka. "Huu(mkate) ni mwili wangu," alikuwa anamaanisha mwili wake ambao uawa ili kulipa dhambi zao.
* Katika Biblia, Wakristo kama kundi wanatajwa kama "mwili wa Kristo."
* Kama mwili ulivyo na viungo vingi, "mwili wa Kristo" unawaumini wengi.
* Kila muumini mmoja mmoja ana kazi maalumu katika mwili wa Kristo kuliwezesha kundi lote kufanya kazi pamoja ili kumtumikia Mungu na kumpa utukufu.
* Yesu anatajwa kama "kichwa" (kiongozi) wa "mwili" wa waumini. Kama ambavyo kichwa cha mtu kinavyouambia mwili cha kufanya, hivyo Yesu ndiye anayewaongoza Wakristo kama wajumbe wa "mwili" wake.
## Maoni ya Tafasiri
* Njia nzuri ya kutafasiri neno hili lingekuwa ni neno ambalo linatumika sana kuonesha mwili katika lugha lengwa. Hakikisha kwamba neno linalotumika halileti chukizo.
* Linaporejerea jumla ya waumini, kwa baadhi ya lugha yaweza kawaida kusema, "mwili wa kiroho wa Kristo."
* Yesu anaposema, "Huu ni mwili wangu" ni vizuri kutafasiri hii kihalisia, na maelezo kama yanatakiwa.
* Baadhi ya lugha zaweza kuwa na neno tofauti la kutaja mfu, kama vile "maiti" kwa mtu au "mzoga" kwa mnyama. Hakikisha neno litumikalo kutafasiri linaleta maana na linakubariwa katika mazingira yale.

View File

@ -1,17 +1,20 @@
# Neno "funga" linamaanisha kukaza kitu kwa usalama. Kitu kilichofungwa au kuunganishwa pamoja kinaitwa "muungano". Neno "kufunga" ni sehemu ya neno hili katika wakati uliopita.
# funga
## Ufafanuzi
"Kufungwa" inamaanisha kufunga au kuzonga katika kitu kingine.
Katika hali ya tamathari, mtu anaweza "kufungwa" katika nadhiri, kumaanisha "analazimika kutimiza" alichokiahidi.
Neno "vifungo" linamaanisha chochote kinachofunga, "weka pamoja, au kumweka mtu gerezani. Kwa kawaida inamaanisha vifungo vya kimwili, pingu au kamba zinazomfanya mtu asiwe huru kuondoka alipo.
Katika nyakati za Biblia, vifungo kama vile kamba au minyororo ilitumika kumfunga mfungwa katika ukuta au chini ya jiwe la gereza.
Neno "funga" laweza pia kutumika kuzungumzia kufunga kidonda kwa kitambaa ili kukisaidia kupona.
Mfu aweza "kuzongwa" kwa sanda katika maandalio ya mazishi.
Neno "kifungo" hutumika kitamathari kurejerea kitu fulani, kama vile dhambi, inayomwongoza au kumfanya mtumwa.
Kifungu chaweza kuwa uhusiano wa karibu kati ya watu ambao wanasaidiana kihisia, kiroho na kimwili. Hii inatumika katika kifungo cha ndoa.
Kwa mfano, mwanamke na mwanamme "wamefunwa" au "kuunganishwa. Ni kifungo ambacho Mungu hapendi kivunjike.
Neno "funga" linamaanisha kukaza kitu kwa usalama. Kitu kilichofungwa au kuunganishwa pamoja kinaitwa "muungano". Neno "kufunga" ni sehemu ya neno hili katika wakati uliopita.
* "Kufungwa" inamaanisha kufunga au kuzonga katika kitu kingine.
* Katika hali ya tamathari, mtu anaweza "kufungwa" katika nadhiri, kumaanisha "analazimika kutimiza" alichokiahidi.
* Neno "vifungo" linamaanisha chochote kinachofunga, "weka pamoja, au kumweka mtu gerezani. Kwa kawaida inamaanisha vifungo vya kimwili, pingu au kamba zinazomfanya mtu asiwe huru kuondoka alipo.
* Katika nyakati za Biblia, vifungo kama vile kamba au minyororo ilitumika kumfunga mfungwa katika ukuta au chini ya jiwe la gereza.
* Neno "funga" laweza pia kutumika kuzungumzia kufunga kidonda kwa kitambaa ili kukisaidia kupona.
* Mfu aweza "kuzongwa" kwa sanda katika maandalio ya mazishi.
* Neno "kifungo" hutumika kitamathari kurejerea kitu fulani, kama vile dhambi, inayomwongoza au kumfanya mtumwa.
* Kifungu chaweza kuwa uhusiano wa karibu kati ya watu ambao wanasaidiana kihisia, kiroho na kimwili. Hii inatumika katika kifungo cha ndoa.
* Kwa mfano, mwanamke na mwanamme "wamefunwa" au "kuunganishwa. Ni kifungo ambacho Mungu hapendi kivunjike.
## Maoni ya Tafasiri
Maoni ya Tafasiri
Neno "funga" laweza pia kutafasiriwa kama "kaza" au "zungushia"

View File

@ -1,15 +1,18 @@
# Neno "kuzaliwa upya" lilitumiwa mara ya kwanza na Yesu kuelezea maana ya Mungu kumbadilisha mtu kutoka kuwa mfu kiroho na kuwa hai kiroho. Neno "kuzaliwa na Mungu" na "kuzaliwa kwa roho" pia hurejerea hali ya mtu kupewa uzima mpya kiroho.
# Kuzaliwa upya, kuzaliwa na Mungu, kuzaliwa kwa roho
## Ufafanuzi
Watu wote wanazaliwa wafu kiroho na wanapewa "kuzaliwa upya" wanapomwamini Yesu Kristo kama mwokozi wao.
Katika wakati wa kuzaliwa upya kiroho, Roho wa Mungu uanza kuishi ndani ya muumini mpya na kumtia nguvu ili azae matunda mema ya kiroho katika maisha yake.
Ni kazi ya Mungu kumfanya mtu kuzaliwa upya na kuwa mwana wake.
Neno "kuzaliwa upya" lilitumiwa mara ya kwanza na Yesu kuelezea maana ya Mungu kumbadilisha mtu kutoka kuwa mfu kiroho na kuwa hai kiroho. Neno "kuzaliwa na Mungu" na "kuzaliwa kwa roho" pia hurejerea hali ya mtu kupewa uzima mpya kiroho.
Maoni ya Tafasiri
Njia nyingine ya kutafasiri "kuzaliwa tena" inahusisha, "kuzaliwa upya" au "kuzaliwa kiroho."
Ni vizuri kutafasiri neno hili katika maana ya kawaida na kutumia neno la kawaida katika lugha litumikalo kwa kuzaliwa.
Neno "uzao mpya" laweza kutafasiriwa kama "kuzaliwa kiroho."
Kirai "liyezaliwa na Mungu" laweza kutafasiriwa kama "kufanywa na Mungu kuwa na uzima mpya kama mtoto aliyezaliwa upya au "kupewa uzima mpya na Mungu."
Kwa njia ileile, "amewezeshwa na Roho Mtakatifu kuwa mtoto wa Mungu" au "kufanywa na Roho kuwa na uzima mpya kama mtoto mchanga."
* Watu wote wanazaliwa wafu kiroho na wanapewa "kuzaliwa upya" wanapomwamini Yesu Kristo kama mwokozi wao.
* Katika wakati wa kuzaliwa upya kiroho, Roho wa Mungu uanza kuishi ndani ya muumini mpya na kumtia nguvu ili azae matunda mema ya kiroho katika maisha yake.
* Ni kazi ya Mungu kumfanya mtu kuzaliwa upya na kuwa mwana wake.
## Maoni ya Tafasiri
* Njia nyingine ya kutafasiri "kuzaliwa tena" inahusisha, "kuzaliwa upya" au "kuzaliwa kiroho."
* Ni vizuri kutafasiri neno hili katika maana ya kawaida na kutumia neno la kawaida katika lugha litumikalo kwa kuzaliwa.
* Neno "uzao mpya" laweza kutafasiriwa kama "kuzaliwa kiroho."
* Kirai "liyezaliwa na Mungu" laweza kutafasiriwa kama "kufanywa na Mungu kuwa na uzima mpya kama mtoto aliyezaliwa upya au "kupewa uzima mpya na Mungu."
* Kwa njia ileile, "amewezeshwa na Roho Mtakatifu kuwa mtoto wa Mungu" au "kufanywa na Roho kuwa na uzima mpya kama mtoto mchanga."

View File

@ -1,16 +1,19 @@
# Neno "ndugu" kwa kawaida linamaanisha ndugu wa kiume ambaye wanaunganishwa angalau na mzazi mmoja.
# ndugu
## Ufafanuzi
Katika Agano la Kale, neno "ndugu" lilitumika kama neno la taarifa ya jumla kwa ndugu, kama vile watu wa kabila moja, ukoo, au kikundi.
Katika Agano Jipya, mitume kwa kawaida walitumia "ndugu" kuwalejerea Wakristo wenzao, wakiwemo wa kike na wa kiume, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washirika wa familia moja ya kiroho, wakiwa na Mungu kuwa Baba yao wa mbinguni.
Mara chache katika Agano Jipya, mitume kutumia neno "dada" wanaporejerea hasa kwa Mkristo mwenza aliyekuwa mwanamke, au katika kusisitiza kwamba wote wanaume na wanawake wanajumuishwa. Kwa mfano, Yakobo alisisitiza kwamba anazungumzia waumini wote anaporejerea "ndugu au dada aliye na mahitaji ya chakula au nguo."
Neno "ndugu" kwa kawaida linamaanisha ndugu wa kiume ambaye wanaunganishwa angalau na mzazi mmoja.
Maoni ya Kutafasiri
Ni vema zaidi kutafasiri neno hili kwa neno halisi litumikalo katika lugha lengwa kurejerea kwa ndugu wa kibayolojia, isipokuwa neno hili linatoa maana potofu.
Katika Agano la Kale hasa, neno"ndugu" linapotumika kwa ujumla sana kurejerea watu wa familia moja, ukoo, au kikundi, maana pendekezwa ni pamoja na "ndugu" au "wanaukoo" au "Waisraeli wenzao."
Katika mazingira ya kurejerea kwa washiriki wenzao katika Kristo, neno hili liliweza kutafasiriwa kama, "ngugu katika Kristo" au "ndugu wa kiroho."
Ikiwa wote, wanaume na wanawake wametajwa na "ndugu" lingetoa maana potofu, hivyo neno la jumla zaidi la kindugu lingetumika ili kuwahusishawa wote wanaume na wanawake.
Njia nyingine ya kutafasiri neno hili ili kuwahusisha waumini wote wa kiume na wa kike lingekuwa, "waumini wenzao" au "Wakristo wa kike na wa kiume."
Hakikisha unaangalia mazingira kuamua kwamba ni wanaume pekee wametajwa, au kwamba wote wamehusishwa.
* Katika Agano la Kale, neno "ndugu" lilitumika kama neno la taarifa ya jumla kwa ndugu, kama vile watu wa kabila moja, ukoo, au kikundi.
* Katika Agano Jipya, mitume kwa kawaida walitumia "ndugu" kuwalejerea Wakristo wenzao, wakiwemo wa kike na wa kiume, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washirika wa familia moja ya kiroho, wakiwa na Mungu kuwa Baba yao wa mbinguni.
* Mara chache katika Agano Jipya, mitume kutumia neno "dada" wanaporejerea hasa kwa Mkristo mwenza aliyekuwa mwanamke, au katika kusisitiza kwamba wote wanaume na wanawake wanajumuishwa. Kwa mfano, Yakobo alisisitiza kwamba anazungumzia waumini wote anaporejerea "ndugu au dada aliye na mahitaji ya chakula au nguo."
## Maoni ya Kutafasiri
* Ni vema zaidi kutafasiri neno hili kwa neno halisi litumikalo katika lugha lengwa kurejerea kwa ndugu wa kibayolojia, isipokuwa neno hili linatoa maana potofu.
* Katika Agano la Kale hasa, neno"ndugu" linapotumika kwa ujumla sana kurejerea watu wa familia moja, ukoo, au kikundi, maana pendekezwa ni pamoja na "ndugu" au "wanaukoo" au "Waisraeli wenzao."
* Katika mazingira ya kurejerea kwa washiriki wenzao katika Kristo, neno hili liliweza kutafasiriwa kama, "ngugu katika Kristo" au "ndugu wa kiroho."
* Ikiwa wote, wanaume na wanawake wametajwa na "ndugu" lingetoa maana potofu, hivyo neno la jumla zaidi la kindugu lingetumika ili kuwahusishawa wote wanaume na wanawake.
* Njia nyingine ya kutafasiri neno hili ili kuwahusisha waumini wote wa kiume na wa kike lingekuwa, "waumini wenzao" au "Wakristo wa kike na wa kiume."
* Hakikisha unaangalia mazingira kuamua kwamba ni wanaume pekee wametajwa, au kwamba wote wamehusishwa.

View File

@ -1,13 +1,16 @@
# Maneno "kicho " na " uchaji " yanamaanisha kujitoa kwa nguvu zote kumuunga mkono mtu au wazo.
# kicho, uchaji
## Ufafanuzi
Kicho inahusisha tamaa kubwa na matendo yanayoimiza jambo jema. Mara kwa mara inatumika kumwelezea mtu ambaye kwa uaminifu anamtii Mungu na kuwafundisha wengine kufanya hivyo pia.
Uchaji unahusisha kuweka bidii kubwa katika kufanya jambo na kuendelea katika bidii hiyo.
"Kicho cha Bwana" au "kicho cha Yahwe" yarejerea matendo ya Mungu yenye nguvu na endelevu katika kuwabariki watu wake au kuona haki ikitendeka.
# Maneno "kicho" na "uchaji" yanamaanisha kujitoa kwa nguvu zote kumuunga mkono mtu au wazo.
Maoni ya Ufasiri
Kuwa "mchaji" yaweza pia kufasiriwa, "kuwa na bidii kubwa" au kufanya jitihada "zaidi."
Neno "kicho" laweza pia kufasiriwa kama "uchaji wa ndani" au "maamuzi ya kina" au "hamu ya haki."
Kirai, "kicho cha nyumba yako" yaweza kufasiriwa, "kuliheshimu sana hekalu lako" au "tamaa ya kuitunza nyumba yako."
* Kicho inahusisha tamaa kubwa na matendo yanayoimiza jambo jema. Mara kwa mara inatumika kumwelezea mtu ambaye kwa uaminifu anamtii Mungu na kuwafundisha wengine kufanya hivyo pia.
* Uchaji unahusisha kuweka bidii kubwa katika kufanya jambo na kuendelea katika bidii hiyo.
* "Kicho cha Bwana" au "kicho cha Yahwe" yarejerea matendo ya Mungu yenye nguvu na endelevu katika kuwabariki watu wake au kuona haki ikitendeka.
## Maoni ya Ufasiri
* Kuwa "mchaji" yaweza pia kufasiriwa, "kuwa na bidii kubwa" au kufanya jitihada "zaidi."
* Neno "kicho" laweza pia kufasiriwa kama "uchaji wa ndani" au "maamuzi ya kina" au "hamu ya haki."
* Kirai, "kicho cha nyumba yako" yaweza kufasiriwa, "kuliheshimu sana hekalu lako" au "tamaa ya kuitunza nyumba yako."

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Hapo awali, neno "Sayuni" au "Mlima Sayuni" lilimaanisha ngome ambayo Mfalme Daudi aliiteka kutoka kwa Wayebusi. Majina haya yakawa njia nyingine ya kuitaja Yerusalemu.
# Sayuni, Mlima Sayuni
## Ufafanuzi
Mlima Sayuni na Mlima Moria ilikuwa milima miwili mji wa Yerusalemu ulipojengwa juu yake. Baadaye, "Sayuni" na "Mlima Sayuni" ikawa ikitumika kama maneno ya jumla kuitaja milima yote na mji wa Yerusalemu. Wakati mwingine pia yalitumika kutaja hekalu lililokuwako Yerualemu. (Tazama: [aina hii ya maana] (https://git.door43.org/Door43/en-ta-translate-vol2/src/master/content/figs_metonymy.md))
Daudi aliita Sayuni, au Yerusalemu, kama "Mji wa Daudi." Hii ni tofauti na mji wa alikozaliwa Daudi, Bethlehemu, ambao pia uliitwa Mji wa Daudi.
Neno "Sayuni" limetumika katika njia nyingine za tamathali za semi, kuitaja Israeli au Ufalme wa kiroho wa Mungu au katika mji mpya wa Yerusalemu atakaouanzisha Mungu.
Hapo awali, neno "Sayuni" au "Mlima Sayuni" lilimaanisha ngome ambayo Mfalme Daudi aliiteka kutoka kwa Wayebusi. Majina haya yakawa njia nyingine ya kuitaja Yerusalemu.
* Mlima Sayuni na Mlima Moria ilikuwa milima miwili mji wa Yerusalemu ulipojengwa juu yake. Baadaye, "Sayuni" na "Mlima Sayuni" ikawa ikitumika kama maneno ya jumla kuitaja milima yote na mji wa Yerusalemu. Wakati mwingine pia yalitumika kutaja hekalu lililokuwako Yerualemu. (Tazama: [aina hii ya maana] (https://git.door43.org/Door43/en-ta-translate-vol2/src/master/content/figs_metonymy.md))
* Daudi aliita Sayuni, au Yerusalemu, kama "Mji wa Daudi." Hii ni tofauti na mji wa alikozaliwa Daudi, Bethlehemu, ambao pia uliitwa Mji wa Daudi.
* Neno "Sayuni" limetumika katika njia nyingine za tamathali za semi, kuitaja Israeli au Ufalme wa kiroho wa Mungu au katika mji mpya wa Yerusalemu atakaouanzisha Mungu.

View File

@ -1,10 +1,12 @@
# "Baali" maana yake "bwana" lilikuwa jina la mungu wa kwanza wa uongo aliyekuwa akiabudiwa na Wakanaani.
# Baali
## Ufafanuzi
Pia kulikuwa na miungu mingine ya uongo yenye jina "Baali, kama vile "Baali wa Peori." Wakati mwingine miungu hii kwa pamoja inarejerewa kama "Mabaali."
Baadhi ya watu walikuwa na majina yenye jina "Baali" ndani yake.
Ibada ya Baali ilihusisha matendo maovu kama vile kutoa watoto kama sadaka na ukahaba.
Kwa nyakati tofauti katika historia, Waisraeli pia walijiingiza katika ibada ya Baali, kwa kufuata mfano wa mataifa ya kipagani yaliyowazunguka.
Wakati wa utawala wa Mfalme Ahabu, Eliya nabii wa Mungu aliweka jaribio la kuwathibitishia watu kwamba Baali si mungu wa kweli na kwamba Yahwe pekee ndiye aliyekuwa Mungu wa kweli. Matokeo yake, manabii wa Baali waliangamizwa na watu wakaanza kumwabudu Yahwe tena.
"Baali" maana yake "bwana" lilikuwa jina la mungu wa kwanza wa uongo aliyekuwa akiabudiwa na Wakanaani.
* Pia kulikuwa na miungu mingine ya uongo yenye jina "Baali, kama vile "Baali wa Peori." Wakati mwingine miungu hii kwa pamoja inarejerewa kama "Mabaali."
* Baadhi ya watu walikuwa na majina yenye jina "Baali" ndani yake.
* Ibada ya Baali ilihusisha matendo maovu kama vile kutoa watoto kama sadaka na ukahaba.
* Kwa nyakati tofauti katika historia, Waisraeli pia walijiingiza katika ibada ya Baali, kwa kufuata mfano wa mataifa ya kipagani yaliyowazunguka.
* Wakati wa utawala wa Mfalme Ahabu, Eliya nabii wa Mungu aliweka jaribio la kuwathibitishia watu kwamba Baali si mungu wa kweli na kwamba Yahwe pekee ndiye aliyekuwa Mungu wa kweli. Matokeo yake, manabii wa Baali waliangamizwa na watu wakaanza kumwabudu Yahwe tena.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Baasha alikuwa miongoni mwa wafalme waovu wa Israeli,waliowashawishi Waisraeli kuabudu vinyago.
# Baasha
## Ufafanuzi
Baasha alikuwa mfalme wa tatu wa Israeli na alimiliki kwa miaka ishirini na minne, wakati Asa akiwa mfalme wa Yuda.
Alikuwa jemedari wa jeshi aliyejifanya mfalme baada ya kumwua mfalme Nadabu, mtangulizi wake.
Kulikuwa na mapigano mengi wakati wa utawala wa Baasha kati ya ufalme wa Israeli na Yuda, hasa na Asa mfalme wa Yuda.
Dhambi nyingi alizozitenda Baasha hatimaye zilimfanya Mungu kumwondoa katika nafasi yake kwa kifo.
Baasha alikuwa miongoni mwa wafalme waovu wa Israeli,waliowashawishi Waisraeli kuabudu vinyago.
* Baasha alikuwa mfalme wa tatu wa Israeli na alimiliki kwa miaka ishirini na minne, wakati Asa akiwa mfalme wa Yuda.
* Alikuwa jemedari wa jeshi aliyejifanya mfalme baada ya kumwua mfalme Nadabu, mtangulizi wake.
* Kulikuwa na mapigano mengi wakati wa utawala wa Baasha kati ya ufalme wa Israeli na Yuda, hasa na Asa mfalme wa Yuda.
* Dhambi nyingi alizozitenda Baasha hatimaye zilimfanya Mungu kumwondoa katika nafasi yake kwa kifo.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Babeli ulikuwa mji mkuu katika eneo lililoitwa Shinari kusini mwa Mesopotamia. Shinari ulikuja baadaye kuitwa Babiloni.
# Babeli
## Ufafanuzi
Mji wa Babeli ulianzishwa na Nimrodi, mjukuu wa Hamu, aliyemiliki eneo la Shinari.
Watu wa Shinari hatimaye wakawa na kiburi kwa kuamua kujenga mnara mrefu wa kuweza kufika mbinguni. Baada ulijulikana kama "Mnara wa Babeli."
Kwa kuwa kwa kujenga mnara watu walikataa kutawanyika kama Mungu alivyokuwa ameagiza, yeye alichanganya lugha zao ili wasielewane. Hii iliwalazimisha kuondoka na kwenda kuishi maeneo mbalimbali ya dunia.
Kiini cha maana ya neno "Babeli" ni "machafuko," likitokana na wakati Mungu alipochanganya lugha ya watu.
Babeli ulikuwa mji mkuu katika eneo lililoitwa Shinari kusini mwa Mesopotamia. Shinari ulikuja baadaye kuitwa Babiloni.
* Mji wa Babeli ulianzishwa na Nimrodi, mjukuu wa Hamu, aliyemiliki eneo la Shinari.
* Watu wa Shinari hatimaye wakawa na kiburi kwa kuamua kujenga mnara mrefu wa kuweza kufika mbinguni. Baada ulijulikana kama "Mnara wa Babeli."
* Kwa kuwa kwa kujenga mnara watu walikataa kutawanyika kama Mungu alivyokuwa ameagiza, yeye alichanganya lugha zao ili wasielewane. Hii iliwalazimisha kuondoka na kwenda kuishi maeneo mbalimbali ya dunia.
* Kiini cha maana ya neno "Babeli" ni "machafuko," likitokana na wakati Mungu alipochanganya lugha ya watu.

View File

@ -1,11 +1,13 @@
# Mji wa Babeli ulikuwa makao makuu wa jimbo la Babeli ya kale, ambao pia ulikuwa sehemu ya Himaya ya Babeli.
# Mji wa Babeli
## Ufafanuzi
Babeli ulikuwa kandokando ya Mto Frati, katika eneo ambalo mnara wa Bebeli ulikuwa umejengwa mamia ya miaka iliyokuwa imepeita.
Wakati mwingine jina "Babeli" linarejerea Himaya yote ya Babeli. Kwa mfano, "mfalme wa Babeli alitawala himaya yote ya Babeli, siyo mji tu.
Watu wa Babeli walikuwa wenye nguvu walioishambuli Yuda na kuwapeleka watu katika uhamisho huko Babeli kwa miaka 70.
Sehemu yake iliitwa "Ukalidayo" na watu walioishi pale waliitwa "Wakalidayo." Matokeo yake neno "Ukalidayo mara kwa mara lilitumika kurejerea Babeli.
Katika Agano Jipya, neno "Babeli" wakati mwingine linatumika kama sitiari kurejerea maeneo, watu, na vitu vya kufikirika viusianishwavyo na ibada ya sanamu na tabia nyingine za dhambi.
Kirai "Babeli Mkuu" au "Babeli mji mkuu" kisitiari inarejerea kwa mji au taifa kubwa, tajiri, na lenye dhambi, kama ulivyokuwa mji wa kale wa Babeli.
Mji wa Babeli ulikuwa makao makuu wa jimbo la Babeli ya kale, ambao pia ulikuwa sehemu ya Himaya ya Babeli.
* Babeli ulikuwa kandokando ya Mto Frati, katika eneo ambalo mnara wa Bebeli ulikuwa umejengwa mamia ya miaka iliyokuwa imepeita.
* Wakati mwingine jina "Babeli" linarejerea Himaya yote ya Babeli. Kwa mfano, "mfalme wa Babeli alitawala himaya yote ya Babeli, siyo mji tu.
* Watu wa Babeli walikuwa wenye nguvu walioishambuli Yuda na kuwapeleka watu katika uhamisho huko Babeli kwa miaka 70.
* Sehemu yake iliitwa "Ukalidayo" na watu walioishi pale waliitwa "Wakalidayo." Matokeo yake neno "Ukalidayo mara kwa mara lilitumika kurejerea Babeli.
* Katika Agano Jipya, neno "Babeli" wakati mwingine linatumika kama sitiari kurejerea maeneo, watu, na vitu vya kufikirika viusianishwavyo na ibada ya sanamu na tabia nyingine za dhambi.
* Kirai "Babeli Mkuu" au "Babeli mji mkuu" kisitiari inarejerea kwa mji au taifa kubwa, tajiri, na lenye dhambi, kama ulivyokuwa mji wa kale wa Babeli.

View File

@ -1,10 +1,12 @@
# Balaamu alikuwa nabii wa kipagani aliyeajiriwa na Mfalme Balaki kuwalaani Israeli walipokuwa wamepiga kambi katika Mto Yordan kaskazini mwa Moabu, wakijiandaa kuingia nchi ya Kanaani.
# Balaamu
## Ufafanuzi
Balaamu alikuwa akitoka katika mji wa Pethori, ulikuwa katika eneo karibu na Mto Frati, umbali wa maili 400 kutoka katika nchi ya Moabu.
Balaki, mfalme wa Wamidiani, alitishwa na nguvu na idadi ya Waisraeli, hivyo akamwajiri Balaamu kuwalaani.
Kadiri Balaamu alivyosafiri kuwaelekea Israeli, malaika wa Mungu alisimama katika njia yake hivyo punda wa Balaamu alipomwona alisimama. Mungu akampa punda uweza wa kuongea na Balaamu.
Mungu hakumuruhusu Balaamu kuwalaani Israeli badala yake alimwagiza kuwabariki.
Baadaye, Balaamu bado alilete uovu juu ya Israeli alipowafuta kuabudu mungu wa Baar- peori.
Balaamu alikuwa nabii wa kipagani aliyeajiriwa na Mfalme Balaki kuwalaani Israeli walipokuwa wamepiga kambi katika Mto Yordan kaskazini mwa Moabu, wakijiandaa kuingia nchi ya Kanaani.
* Balaamu alikuwa akitoka katika mji wa Pethori, ulikuwa katika eneo karibu na Mto Frati, umbali wa maili 400 kutoka katika nchi ya Moabu.
* Balaki, mfalme wa Wamidiani, alitishwa na nguvu na idadi ya Waisraeli, hivyo akamwajiri Balaamu kuwalaani.
* Kadiri Balaamu alivyosafiri kuwaelekea Israeli, malaika wa Mungu alisimama katika njia yake hivyo punda wa Balaamu alipomwona alisimama. Mungu akampa punda uweza wa kuongea na Balaamu.
* Mungu hakumuruhusu Balaamu kuwalaani Israeli badala yake alimwagiza kuwabariki.
* Baadaye, Balaamu bado alilete uovu juu ya Israeli alipowafuta kuabudu mungu wa Baar- peori.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Baraba alikuwa mfungwa huko Yerusalemu wakati Yesu anakamatwa.
# Baraba
## Ufafanuzi
Baraba alikuwa mwalifu aliyekuwa ametenda makosa ya kuuwa na uasi dhidi ya serikali ya Kirumi.
Pontio Pilato alipotoa msamaha wa kumfungua kati ya Baraba au Yesu, watu walimchagua Baraba.
Hivyo Pilato alimwacha huru Baraba, lakini akamhukumu Yesu auawe.
Baraba alikuwa mfungwa huko Yerusalemu wakati Yesu anakamatwa.
* Baraba alikuwa mwalifu aliyekuwa ametenda makosa ya kuuwa na uasi dhidi ya serikali ya Kirumi.
* Pontio Pilato alipotoa msamaha wa kumfungua kati ya Baraba au Yesu, watu walimchagua Baraba.
* Hivyo Pilato alimwacha huru Baraba, lakini akamhukumu Yesu auawe.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Barnaba ni miongoni mwa wakristo wa mwanzo aliyeishi wakati wa mitume.
# Barnaba
## Ufafanuzi
Barnaba alikuwa wa kabila ya Lawi na alikuwa mwenyeji wa kisiwa cha Mileto.
Wakati Sauli (Paulo) anakuwa mkristo, Barnaba aliwasihi waamini wangine kumpokea kama mwamini mwenzao.
Barnaba na Paulo walisafiri kwa pamoja katika miji mbalimbali ili kuhubiri injili.
Jina lake lilikuwa Yusufu, lakini aliitwa "Barnaba," jina linalomaanisha "mwana wa faraja."
Barnaba ni miongoni mwa wakristo wa mwanzo aliyeishi wakati wa mitume.
* Barnaba alikuwa wa kabila ya Lawi na alikuwa mwenyeji wa kisiwa cha Mileto.
* Wakati Sauli (Paulo) anakuwa mkristo, Barnaba aliwasihi waamini wangine kumpokea kama mwamini mwenzao.
* Barnaba na Paulo walisafiri kwa pamoja katika miji mbalimbali ili kuhubiri injili.
* Jina lake lilikuwa Yusufu, lakini aliitwa "Barnaba," jina linalomaanisha "mwana wa faraja."

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Batholomayo alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi kumi na mbili wa Yesu.
# Batholomayo
## Ufafanuzi
Batholomayo alitumwa pamoja na wale mitume wengini kuhubiri injili na kufanya miujiza kwa jina la Yesu.
Alikuwa miongoni mwa wale waliomwona Yesu akienda mbinguni.
Majuma kadhaa baada ya hayo, alikuwa pamoja na mitume wengine huko Yerusalemu siku ya Pentekoste wakati Roho Mtakatifu alipowashukia.
Batholomayo alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi kumi na mbili wa Yesu.
* Batholomayo alitumwa pamoja na wale mitume wengini kuhubiri injili na kufanya miujiza kwa jina la Yesu.
* Alikuwa miongoni mwa wale waliomwona Yesu akienda mbinguni.
* Majuma kadhaa baada ya hayo, alikuwa pamoja na mitume wengine huko Yerusalemu siku ya Pentekoste wakati Roho Mtakatifu alipowashukia.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Baruku ni jina la watu kadhaa katika Agano la Kale.
# Baruku
## Ufafanuzi
Baruku wa kwanza (mwana wa Zabeli) alifanya kazi ya Nehemia kujenga upya kuta za Yerusalemu.
Lakini pia katika nyakati za Nehemia, Baruku mwingine (mwana wa Kol-Hoze) alikuwa miongoni mwa viongozi walioishi Yerusalemu baada ya kuta zake kujengwa.
Baruku mwingine (mwana wa Neria) alikuwa mhudumu wa nabii Yeremia, kwa kumsaidia kazi mbalimbali kama vile kuandika jumbe Mungu alizompa Yeremia na kisha kuwasomea watu.
Baruku ni jina la watu kadhaa katika Agano la Kale.
* Baruku wa kwanza (mwana wa Zabeli) alifanya kazi ya Nehemia kujenga upya kuta za Yerusalemu.
* Lakini pia katika nyakati za Nehemia, Baruku mwingine (mwana wa Kol-Hoze) alikuwa miongoni mwa viongozi walioishi Yerusalemu baada ya kuta zake kujengwa.
* Baruku mwingine (mwana wa Neria) alikuwa mhudumu wa nabii Yeremia, kwa kumsaidia kazi mbalimbali kama vile kuandika jumbe Mungu alizompa Yeremia na kisha kuwasomea watu.

View File

@ -1,10 +1,12 @@
# Bashani lilikuwa ni enea mashariki mwa Bahari ya Galilaya. Ilihusisha eneo ambalo kwa sasa ni sehemu ya Syria na milima ya Golani.
# Bashani
## Ufafanuzi
Mji wa makimbilio katika Agano la Kale ulioitwa "Golani" ulikuwa katika eneo la Bashani.
Bashani lilikuwa eneo lenye rutuba sana likijulikana kwa miti yake ya mitende na malisho ya wanyama.
Mwanzo 14 inataarifu kuwa Bashani ilikuwa eneo la vita kati ya wafalme kadhaa na mataifa yao.
Wakati Waisraeli wakitangatanga jangwani baada ya kutoka Misri, walichukua sehemu ya eneo la Bashani.
Miaka kadhaa baadaye, mfalme Sulemani alipokea mahitaji kutoka katika eneo hilo.
Bashani lilikuwa ni enea mashariki mwa Bahari ya Galilaya. Ilihusisha eneo ambalo kwa sasa ni sehemu ya Syria na milima ya Golani.
* Mji wa makimbilio katika Agano la Kale ulioitwa "Golani" ulikuwa katika eneo la Bashani.
* Bashani lilikuwa eneo lenye rutuba sana likijulikana kwa miti yake ya mitende na malisho ya wanyama.
* Mwanzo 14 inataarifu kuwa Bashani ilikuwa eneo la vita kati ya wafalme kadhaa na mataifa yao.
* Wakati Waisraeli wakitangatanga jangwani baada ya kutoka Misri, walichukua sehemu ya eneo la Bashani.
* Miaka kadhaa baadaye, mfalme Sulemani alipokea mahitaji kutoka katika eneo hilo.

View File

@ -1,10 +1,12 @@
# Bathsheba alikuwa mke wa Uria, askari katika jeshi la Daudi. Baada ya kifo cha Uria, akawa mke wa Daudi, na mama wa Sulemani.
# Bathsheba
## Ufafanuzi
Daudi alizini na Bethsheba akiwa mke wa Uria.
Bathsheba alipokuwa mjamzito kwa Daudi, Daudi alisababisha Uria kuuawa vitani.
Kisha Daudi alimwoa Bethsheba na akazaa mwana.
Mungu alimwadhibu Daudi kwa dhambi yake kwa kufanya mtoto afe siku chache baada ya kuzaliwa.
Baadaye, Bethsheba alizaa mwana mwingine, Sulemani, aliyekuja kuwa mfalme baada ya Daudi.
Bathsheba alikuwa mke wa Uria, askari katika jeshi la Daudi. Baada ya kifo cha Uria, akawa mke wa Daudi, na mama wa Sulemani.
* Daudi alizini na Bethsheba akiwa mke wa Uria.
* Bathsheba alipokuwa mjamzito kwa Daudi, Daudi alisababisha Uria kuuawa vitani.
* Kisha Daudi alimwoa Bethsheba na akazaa mwana.
* Mungu alimwadhibu Daudi kwa dhambi yake kwa kufanya mtoto afe siku chache baada ya kuzaliwa.
* Baadaye, Bethsheba alizaa mwana mwingine, Sulemani, aliyekuja kuwa mfalme baada ya Daudi.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Beelzebuli ni jina lingine kwa Shetani, au mwasi. Wakati mwingine linaandikwa "Beelzebubu."
# Beelzebuli
## Ufafanuzi
Jina hili kwa kawaida linamaanisha "bwana wa nzi" kumaanisha, mtawala wa mapepe." Lakini ni vizuri zaidi kutafasiri neno karibu na herufi zake za asili kuliko kutafasiri maana.
Ingeweza pia kutafasiriwa kama "Beelzebubu mwovu" kuweka wazi anayetajwa.
Jina hili linahusiana na jina la Baal-Zebubu mungu wa Ekroni.
Beelzebuli ni jina lingine kwa Shetani, au mwasi. Wakati mwingine linaandikwa "Beelzebubu."
* Jina hili kwa kawaida linamaanisha "bwana wa nzi" kumaanisha, mtawala wa mapepe." Lakini ni vizuri zaidi kutafasiri neno karibu na herufi zake za asili kuliko kutafasiri maana.
* Ingeweza pia kutafasiriwa kama "Beelzebubu mwovu" kuweka wazi anayetajwa.
* Jina hili linahusiana na jina la Baal-Zebubu mungu wa Ekroni.

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Katika nyakati za Agano la Kale, Beersheba ulikuwa mji uliokuwa umbali wa maili 45 kusini magharibi mwa Yerusalemu katika eneo la jangwa ambalo kwa sasa linaitwa Negevu.
# Beersheba
## Ufafanuzi
Jangwa lililouzunguka Beersheba lilikuwa ni eneo la nyika ambapo Hajiri na Ishmaeli walipotelea baada ya Ibrahimu kuwafukuza kutoka katika hema zake.
Jina la mji linamaanisha "kisima cha nadhiri." Ulipewa jina hili Ibrahimu walipoapa kwa kiapo kutokuwaadhibu watu wa Mfalme Abimeleki kwa kukatalia mojawapo ya visima vya Ibrahimu.
Katika nyakati za Agano la Kale, Beersheba ulikuwa mji uliokuwa umbali wa maili 45 kusini magharibi mwa Yerusalemu katika eneo la jangwa ambalo kwa sasa linaitwa Negevu.
* Jangwa lililouzunguka Beersheba lilikuwa ni eneo la nyika ambapo Hajiri na Ishmaeli walipotelea baada ya Ibrahimu kuwafukuza kutoka katika hema zake.
* Jina la mji linamaanisha "kisima cha nadhiri." Ulipewa jina hili Ibrahimu walipoapa kwa kiapo kutokuwaadhibu watu wa Mfalme Abimeleki kwa kukatalia mojawapo ya visima vya Ibrahimu.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Benaya lilikuwa jina la watu kadhaa katika Agano la Kale.
# Benaya
## Ufafanuzi
Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa miongoni mwa mashujaa wa Daudi. Alikuwa shujaa mwenye ujuzi na aliwekwa kuwa mlinzi wa Daudi.
Sulemani alipotawazwa kuwa mfalme, Benaya alimsaidia kuwaaribu adui zake, hatimaye akawa jemedari wa jeshi la Israeli.
Watu wengine wenye jina Benaya katika Agano la Kale ni pamoja na Walawi watatu: kuhani, mwimbaji, na mwana wa Asafu.
Benaya lilikuwa jina la watu kadhaa katika Agano la Kale.
* Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa miongoni mwa mashujaa wa Daudi. Alikuwa shujaa mwenye ujuzi na aliwekwa kuwa mlinzi wa Daudi.
* Sulemani alipotawazwa kuwa mfalme, Benaya alimsaidia kuwaaribu adui zake, hatimaye akawa jemedari wa jeshi la Israeli.
* Watu wengine wenye jina Benaya katika Agano la Kale ni pamoja na Walawi watatu: kuhani, mwimbaji, na mwana wa Asafu.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Benjamini alikuwa mwana wa mwisho wa Yakobo aliyezaliwa na Raheli mkewe. Jina lake linamaanisha mwana wa "mkono wangu wa kulia."
# Benjamini
## Ufafanuzi
Yeye na Yusufu, nduguye mkubwa walikuwa wana pekee wa Raheli, aliyekufa baada ya kuzaliwa kwa Benjamini.
Wana wa Benjamini walikuwa mojawapo ya makabila ya Israeli.
Mfalme Sauli alikuwa akitokea katika kabila la Benjamini.
Mtume Paulo pia alikuwa wa kutoka katika kabila la Benjamini.
Benjamini alikuwa mwana wa mwisho wa Yakobo aliyezaliwa na Raheli mkewe. Jina lake linamaanisha mwana wa "mkono wangu wa kulia."
* Yeye na Yusufu, nduguye mkubwa walikuwa wana pekee wa Raheli, aliyekufa baada ya kuzaliwa kwa Benjamini.
* Wana wa Benjamini walikuwa mojawapo ya makabila ya Israeli.
* Mfalme Sauli alikuwa akitokea katika kabila la Benjamini.
* Mtume Paulo pia alikuwa wa kutoka katika kabila la Benjamini.

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Katika nyakati za Agano Jipya, Berea(Beroya) ulikuwa mji wa Kigriki wenye mafanikio kusini mashariki mwa Masedonia, umbali wa kilometa 80 kusini mwa Thesalonike.
# Berea (Beroya)
## Ufafanuzi
Paulo walikimbilia katika mji wa Berea baada ya Wakristo wenzao kuwasaidi kutoroka kutoka kwa Wayahudu kadhaa waliowasababishia shida huko Thesalonike.
Watu waliokuwa wakiishi Berea walipomsikia Paulo akihubiri, waliyachunguza maandiko kuthibitisha ikiwa alichokuwa akiwambia kilikuwa kweli.
Katika nyakati za Agano Jipya, Berea(Beroya) ulikuwa mji wa Kigriki wenye mafanikio kusini mashariki mwa Masedonia, umbali wa kilometa 80 kusini mwa Thesalonike.
* Paulo walikimbilia katika mji wa Berea baada ya Wakristo wenzao kuwasaidi kutoroka kutoka kwa Wayahudu kadhaa waliowasababishia shida huko Thesalonike.
* Watu waliokuwa wakiishi Berea walipomsikia Paulo akihubiri, waliyachunguza maandiko kuthibitisha ikiwa alichokuwa akiwambia kilikuwa kweli.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Mji wa Bethani ulikuwa katika bonde la mteremko wa Mlima wa Mizeituni, kama maili mbili mashariki ya Yerusalemu,
# Mji wa Bethani
## Ufafanuzi
Bethani ulikuwa karibu na njia iliyokwenda kati ya Yerusalemu na Yeriko.
Yesu alitembelea Bethani mara kwa mara walipokuwa wakiishi Lazaro, Matha na Mariamu, rafiki zake wa karibu.
Bethani unajulikana maalumu kama sehemu Yesu alipomfufua Lazaro kutoka kwa wafu.
Mji wa Bethani ulikuwa katika bonde la mteremko wa Mlima wa Mizeituni, kama maili mbili mashariki ya Yerusalemu,
* Bethani ulikuwa karibu na njia iliyokwenda kati ya Yerusalemu na Yeriko.
* Yesu alitembelea Bethani mara kwa mara walipokuwa wakiishi Lazaro, Matha na Mariamu, rafiki zake wa karibu.
* Bethani unajulikana maalumu kama sehemu Yesu alipomfufua Lazaro kutoka kwa wafu.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Betheli ulikuwa mji uliokuwa kaskazini mwa Yerusalemu katika nchi ya Kanaani. Hapo mwanzo uliitwa "Luzu."
# Betheli
## Ufafanuzi
Baada ya kupokea ahadi za Mungu kwa mara ya kwanza, Ibrahimu alimjengea Mungu madhabahu karibu na Betheli. Jina lake wakati huo halikuwa Betheli, lakini kwa kawaida ulirejerea kama "Betheli" uliokuwa unatambuliwa sana.
Wakati akikimbia kutoka kwa Esau nduguye, Yakobo alikaa usiku kucha karibu na mji huu na akalala pale nje juu ya ardhi. Alipokuwa amelala, aliota ndoto malaika wakipanda na kushuka mbinguni juu ya ngazi.
Mji huu haukuwa na jina hilo mpaka Yakobo alipouita hivyo. Kwa kuwa wazi zaidi, baadhi ya tafasiri zaweza kuiita Luzu "(baadaye ukaitwa Betheli)" katika kifungu kuhusu Ibrahimu, vilevile wakati Yakobo anafika pale kwa mara ya kwanza (kabla hajabadili jina lake).
Betheli imetajwa mara kwa mara katika Agano la Kale na ilikuwa sehemu ambapo matukio mengi mhimu yalitokea.
Betheli ulikuwa mji uliokuwa kaskazini mwa Yerusalemu katika nchi ya Kanaani. Hapo mwanzo uliitwa "Luzu."
* Baada ya kupokea ahadi za Mungu kwa mara ya kwanza, Ibrahimu alimjengea Mungu madhabahu karibu na Betheli. Jina lake wakati huo halikuwa Betheli, lakini kwa kawaida ulirejerea kama "Betheli" uliokuwa unatambuliwa sana.
* Wakati akikimbia kutoka kwa Esau nduguye, Yakobo alikaa usiku kucha karibu na mji huu na akalala pale nje juu ya ardhi. Alipokuwa amelala, aliota ndoto malaika wakipanda na kushuka mbinguni juu ya ngazi.
* Mji huu haukuwa na jina hilo mpaka Yakobo alipouita hivyo. Kwa kuwa wazi zaidi, baadhi ya tafasiri zaweza kuiita Luzu "(baadaye ukaitwa Betheli)" katika kifungu kuhusu Ibrahimu, vilevile wakati Yakobo anafika pale kwa mara ya kwanza (kabla hajabadili jina lake).
* Betheli imetajwa mara kwa mara katika Agano la Kale na ilikuwa sehemu ambapo matukio mengi mhimu yalitokea.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Bethlehemu ulikuwa mji mdogo katika nchi ya Israeli, karibu na mji wa Yerusalemu. Ulijulikana pia kama "Efratha," ambalo pengine ndilo jina lake la awali.
# Bethlehemu
## Ufafanuzi
Bethlehemu umekuwa ukiitwa mji wa "Daudi," kwa kuwa Daudi alizaliwa pale.
Nabii Mika alitabiri kuwa Masiya angekuja kutokea katika "Bethlehemu ya Efratha."
Ili kutimiza unabii huo, Yesu alizaliwa Bethlehemu, miaka mingi baadaye.
Jina "Bethlehemu" maana yake ni "nyumba ya mikate" au "nyumba ya chakula."
Bethlehemu ulikuwa mji mdogo katika nchi ya Israeli, karibu na mji wa Yerusalemu. Ulijulikana pia kama "Efratha," ambalo pengine ndilo jina lake la awali.
* Bethlehemu umekuwa ukiitwa mji wa "Daudi," kwa kuwa Daudi alizaliwa pale.
* Nabii Mika alitabiri kuwa Masiya angekuja kutokea katika "Bethlehemu ya Efratha."
* Ili kutimiza unabii huo, Yesu alizaliwa Bethlehemu, miaka mingi baadaye.
* Jina "Bethlehemu" maana yake ni "nyumba ya mikate" au "nyumba ya chakula."

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Beth Shemeshi lilikuwa jina la mji wa Kikanaani kama kilometa 30 magharibi ya Yerusalemu.
# Beth Shemeshi
## Ufafanuzi
Waisraeli waliuteka mji wa Beth Shemeshi wakati wa uongozi wa Yoshua.
Beth Shemeshi ulikuwa mji uliokuwa umetengwa kama sehemu ya makuhani Walawi kuishi.
Wafilisiti walipokuwa wakilirudisha Yerusalemu sanduku la agano walilokuwa wameliteka, Beth Shemeshi ni mji wa kwanza waliposimama pamoja nalo.
Beth Shemeshi lilikuwa jina la mji wa Kikanaani kama kilometa 30 magharibi ya Yerusalemu.
* Waisraeli waliuteka mji wa Beth Shemeshi wakati wa uongozi wa Yoshua.
* Beth Shemeshi ulikuwa mji uliokuwa umetengwa kama sehemu ya makuhani Walawi kuishi.
* Wafilisiti walipokuwa wakilirudisha Yerusalemu sanduku la agano walilokuwa wameliteka, Beth Shemeshi ni mji wa kwanza waliposimama pamoja nalo.

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Bethueli alikuwa mwana wa Nahori ndiguye Ibrahimu.
# Bethueli
## Ufafanuzi
Bethueli alikuwa baba wa Rebeka na Labani.
Pia kulikuwa na mji uliokuwa ikiitwa Bethueli, ambao yawezekana ulikuwa kusini mwa Yuda, siyo mbali kutoka mji wa Beersheba.
Bethueli alikuwa mwana wa Nahori ndiguye Ibrahimu.
* Bethueli alikuwa baba wa Rebeka na Labani.
* Pia kulikuwa na mji uliokuwa ikiitwa Bethueli, ambao yawezekana ulikuwa kusini mwa Yuda, siyo mbali kutoka mji wa Beersheba.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Boazi alikuwa mwisraeli aliyekuwa amemwoa Ruthi, babu wa mfalme Daudi, na babu wa Yesu Kristo.
# Boazi
## Ufafanuzi
Boazi aliishi nyakati za Waamzi katika Israeli.
Alikuwa ndugu wa Naomi mwanamke wa Kiisraeli aliyekuwa amerudi kutoka Moabu baada ya mmewe na wanawe kufariki.
Boazi "alimkomboa" Ruthi mkwewe Naomi, kwa kumwoa Ruthi na kumpa hatima njema, mme na watoto.
Yeye ni taswira ya jinsi Yesu alivyotuokoa na kutukomboa kutoka dhambini.
Boazi alikuwa mwisraeli aliyekuwa amemwoa Ruthi, babu wa mfalme Daudi, na babu wa Yesu Kristo.
* Boazi aliishi nyakati za Waamzi katika Israeli.
* Alikuwa ndugu wa Naomi mwanamke wa Kiisraeli aliyekuwa amerudi kutoka Moabu baada ya mmewe na wanawe kufariki.
* Boazi "alimkomboa" Ruthi mkwewe Naomi, kwa kumwoa Ruthi na kumpa hatima njema, mme na watoto.
* Yeye ni taswira ya jinsi Yesu alivyotuokoa na kutukomboa kutoka dhambini.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Yese Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi, na mjukuu wa Ruthu na Boazi.
# Yese
## Ufafanuzi
Yese alikuwa kutoka kabila la Yuda.
Alikuwa "Muefrathi," inayomaanisha alikuwa kutoka mji wa Efrathi (Bethlehemu).
Nabii Isaya alitabiri kuhusu "tawi" ambalo litatoka katika "mzizi wa Yese" na kuzaa matunda. Hii inamaanisha Yesu aliyekuwa uzao wa Yese.
Yese Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi, na mjukuu wa Ruthu na Boazi.
* Yese alikuwa kutoka kabila la Yuda.
* Alikuwa "Muefrathi," inayomaanisha alikuwa kutoka mji wa Efrathi (Bethlehemu).
* Nabii Isaya alitabiri kuhusu "tawi" ambalo litatoka katika "mzizi wa Yese" na kuzaa matunda. Hii inamaanisha Yesu aliyekuwa uzao wa Yese.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Zakayo alikuwa mtoza ushuru katika mji wa Yeriko aliyepanda katika mti ili aweze kumwona Yesu aliyekuwa amezungukwa na kundi kubwa la watu.
# Zakayo
## Ufafanuzi
Zakayo alibadilishwa kabisa alipomwamini Yesu.
Alitubu dhambi yake ya kuwaibia watu na kuahidi kuwapa masikini nusu ya mali yake.
Aliahidi pia kwamba angewarudishia mara nne watu aliokuwa amewatoza zaidi.
Zakayo alikuwa mtoza ushuru katika mji wa Yeriko aliyepanda katika mti ili aweze kumwona Yesu aliyekuwa amezungukwa na kundi kubwa la watu.
* Zakayo alibadilishwa kabisa alipomwamini Yesu.
* Alitubu dhambi yake ya kuwaibia watu na kuahidi kuwapa masikini nusu ya mali yake.
* Aliahidi pia kwamba angewarudishia mara nne watu aliokuwa amewatoza zaidi.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Sadoki lilikuwa ni jina la kuhani mkuu aliyekuwa mtu mhimu katika Israeli wakati wa utawala wa Mfalme Daudi.
# Sadoki
## Ufafanuzi
Wakati Absalomu aliasi dhidi ya Mfalme Daudi, Sadoki alimsaidia Daudi na alisaidia kwa kulirudisha Yerusalemu sanduku la agano.
Miaka kadhaa baadaye, alihusika katika sherehe ya kumtia mafuta Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme.
Watu wawili tofauti wenye jina Sadoki walihusika katika kujenga kuta za Yerusalemu nyakati za Nehemia.
Sadoki pia lilikuwa ni jina la babu yake Mfalme Yothamu.
Sadoki lilikuwa ni jina la kuhani mkuu aliyekuwa mtu mhimu katika Israeli wakati wa utawala wa Mfalme Daudi.
* Wakati Absalomu aliasi dhidi ya Mfalme Daudi, Sadoki alimsaidia Daudi na alisaidia kwa kulirudisha Yerusalemu sanduku la agano.
* Miaka kadhaa baadaye, alihusika katika sherehe ya kumtia mafuta Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme.
* Watu wawili tofauti wenye jina Sadoki walihusika katika kujenga kuta za Yerusalemu nyakati za Nehemia.
* Sadoki pia lilikuwa ni jina la babu yake Mfalme Yothamu.

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Zebedayo alikuwa mvuvi kutoka Galilaya anayejulikana kwa sababu ya wanawe, Yakobo na Yohana, waliokuwa wanafunzi wa Yesu. Hawa wamekuwa wakitajwa katika Agano Jipya kama "wana wa Zebedayo."
# Zebedayo
## Ufafanuzi
Wana wa Zebedayo walikuwa wavuvi pia na walifanya naye kazi ya kuvua samaki.
Yakobo na Yohana waliacha kazi yao ya kuvua na Zebedayo baba yao na wakamfuata Yesu.
Zebedayo alikuwa mvuvi kutoka Galilaya anayejulikana kwa sababu ya wanawe, Yakobo na Yohana, waliokuwa wanafunzi wa Yesu. Hawa wamekuwa wakitajwa katika Agano Jipya kama "wana wa Zebedayo."
* Wana wa Zebedayo walikuwa wavuvi pia na walifanya naye kazi ya kuvua samaki.
* Yakobo na Yohana waliacha kazi yao ya kuvua na Zebedayo baba yao na wakamfuata Yesu.

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Zabuloni alikuwa mwana wa mwisho wa Yakobo na Lea na ni jina la mojawapo wa makabila kumi na mbili ya Israeli
# Zabuloni
## Ufafanuzi
Waisraeli wa kabila la Zabuloni walikuwa wamepewa nchi magharibi ya Bahari ya Chumvi.
Wakati mwingine jina "Zabuloni" limetumika pia kurejerea nchi hii ambayo kabila hili la Waisraeli liliishi.
Zabuloni alikuwa mwana wa mwisho wa Yakobo na Lea na ni jina la mojawapo wa makabila kumi na mbili ya Israeli
* Waisraeli wa kabila la Zabuloni walikuwa wamepewa nchi magharibi ya Bahari ya Chumvi.
* Wakati mwingine jina "Zabuloni" limetumika pia kurejerea nchi hii ambayo kabila hili la Waisraeli liliishi.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Katika Agano Jipya, Zakaria alikuwa kuhani wa kiyahudi aliyekuja kumzaa Yohana Mbatizaji.
# Zakaria (Agano Jipya)
## Ufafanuzi
Zakari alimpenda Mungu na kumtii.
Zakari na Elsabethi mkewe waliomba miaka mingi kwa uaminifu ili wapate mtoto lakini hawakupata. Lakini Mungu alijibu maombi yao wakiwa wazee, kwa kuwapa mtoto.
Zakaria alitabiri kuwa Yohana mwanawe angekuwa nabii ambaye angetangaza na kuandaa njia ya Masiya.
Katika Agano Jipya, Zakaria alikuwa kuhani wa kiyahudi aliyekuja kumzaa Yohana Mbatizaji.
* Zakari alimpenda Mungu na kumtii.
* Zakari na Elsabethi mkewe waliomba miaka mingi kwa uaminifu ili wapate mtoto lakini hawakupata. Lakini Mungu alijibu maombi yao wakiwa wazee, kwa kuwapa mtoto.
* Zakaria alitabiri kuwa Yohana mwanawe angekuwa nabii ambaye angetangaza na kuandaa njia ya Masiya.

View File

@ -1,10 +1,12 @@
# Zakaria alikuwa nabii aliyetabiri wakati wa utawala wa Mfalme Dario I wa Uajemi. Kitabu cha Zakari katika Agano la Kale kina unabii wake, ambacho kinawasihi mateka waliorudi kulijenga tena hekalu.
# Zakaria
## Ufafanuzi
Nabii Zakaria aliishi wakati mmoja na Ezra, Nehemia, Zerubabeli na Hagai. Alitajwa na Yesu kama nabii wa mwisho kati ya wale waliouawa katika nyakati za Agano la Kale.
Mtu mwingine mwenye jina la Zakaria alikuwa bawabu katika hekalu wakati wa Daudi.
Mmoja wa wana wa Mfalme Yehoshafati aliyeitwa Zakaria aliuliwa na Yehoramu nduguye.
Zakaria alikuwa kuhani aliyeuawa kwa kupigwa mawe na watu wa Israeli alipowakemea kwa ibada yao ya sanamu.
Mfalme Zakaria alikuwa mwana wa Yeroboamu na alimiliki juu ya Israeli kwa miezi sita tu kable ya kuuawa.
Zakaria alikuwa nabii aliyetabiri wakati wa utawala wa Mfalme Dario I wa Uajemi. Kitabu cha Zakari katika Agano la Kale kina unabii wake, ambacho kinawasihi mateka waliorudi kulijenga tena hekalu.
* Nabii Zakaria aliishi wakati mmoja na Ezra, Nehemia, Zerubabeli na Hagai. Alitajwa na Yesu kama nabii wa mwisho kati ya wale waliouawa katika nyakati za Agano la Kale.
* Mtu mwingine mwenye jina la Zakaria alikuwa bawabu katika hekalu wakati wa Daudi.
* Mmoja wa wana wa Mfalme Yehoshafati aliyeitwa Zakaria aliuliwa na Yehoramu nduguye.
* Zakaria alikuwa kuhani aliyeuawa kwa kupigwa mawe na watu wa Israeli alipowakemea kwa ibada yao ya sanamu.
* Mfalme Zakaria alikuwa mwana wa Yeroboamu na alimiliki juu ya Israeli kwa miezi sita tu kable ya kuuawa.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Sedekia, mwana wa Yosia, alikuwa mfalme wa mwisho wa Yuda (597- 587 KK). Lakini pia kuna watu kadhaa katika Agano la Kale wenye jina Sedekia.
# Sedekia
## Ufafanuzi
Mfalme Nebukadneza alimtawaza Sedekia kuwa mfalme wa Yuda baada ya kumteka Mfalme Yehoyakini na kwenda naye huko Babeli. Baadaye Sedekia aliasi jambo lililomfanya Nebukadneza kumkamata na kuuangamiza Yerusalemu.
Sedekia, mwana wa Kenaana, alikuwa nabii wa uongo wakati wa Mfalme Ahabu wa Israeli.
Mtu aliyeitwa Sedekia alikuwa mmojawapo wa wale waliosaini mkataba kwa Bwana nyakati za Nehemia.
Sedekia, mwana wa Yosia, alikuwa mfalme wa mwisho wa Yuda (597- 587 KK). Lakini pia kuna watu kadhaa katika Agano la Kale wenye jina Sedekia.
* Mfalme Nebukadneza alimtawaza Sedekia kuwa mfalme wa Yuda baada ya kumteka Mfalme Yehoyakini na kwenda naye huko Babeli. Baadaye Sedekia aliasi jambo lililomfanya Nebukadneza kumkamata na kuuangamiza Yerusalemu.
* Sedekia, mwana wa Kenaana, alikuwa nabii wa uongo wakati wa Mfalme Ahabu wa Israeli.
* Mtu aliyeitwa Sedekia alikuwa mmojawapo wa wale waliosaini mkataba kwa Bwana nyakati za Nehemia.

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Zefania, mwana wa Kushu, alikuwa nabii aliyeishi Yerusalemu na kutabiri wakati wa utawala wa Mfalme Yosia. Aliishi wakati mmoja na Yeremia.
# Zefania
## Ufafanuzi
Aliwakemea watu wa Yuda kwa kuabudu miungu ya uongo. Unabii wake umeandikwa katika kitabu cha Zefania katika Agano la Kale.
Kulikuwa na watu kadhaa katika Agano la Kale wenye jina Zefania, wengi wao wakiwa makuhani.
Zefania, mwana wa Kushu, alikuwa nabii aliyeishi Yerusalemu na kutabiri wakati wa utawala wa Mfalme Yosia. Aliishi wakati mmoja na Yeremia.
* Aliwakemea watu wa Yuda kwa kuabudu miungu ya uongo. Unabii wake umeandikwa katika kitabu cha Zefania katika Agano la Kale.
* Kulikuwa na watu kadhaa katika Agano la Kale wenye jina Zefania, wengi wao wakiwa makuhani.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Zerubabeli lilikuwa jina la Waisraeli wawili katika Agano la Kale.
# Zerubabeli
## Ufafanuzi
Mmoja wao alikuwa mzao wa Yehoyakimu na Sedakia.
Zerubabeli mwingine, mwana wa Shealitieli, alikuwa kiongozi wa kabila la Yuda wakati wa Ezra na Nehemia, Koreshi mfalme wa Uajemi alipowaacha huru Waisraeli kutoka katika utumwa wao huko Babeli.
Zerubabeli na Yoshua kuhani mkuu walikuwa miongoni mwa waliohusika kujenga upya hekalu na madhabahu ya Mungu.
Zerubabeli lilikuwa jina la Waisraeli wawili katika Agano la Kale.
* Mmoja wao alikuwa mzao wa Yehoyakimu na Sedakia.
* Zerubabeli mwingine, mwana wa Shealitieli, alikuwa kiongozi wa kabila la Yuda wakati wa Ezra na Nehemia, Koreshi mfalme wa Uajemi alipowaacha huru Waisraeli kutoka katika utumwa wao huko Babeli.
* Zerubabeli na Yoshua kuhani mkuu walikuwa miongoni mwa waliohusika kujenga upya hekalu na madhabahu ya Mungu.

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Soari ulikuwa mji mdogo Alipokimbilia Lutu wakati Mungu alipoiaribu Sodoma na Gomora.
# Soari
## Ufafanuzi
Hapo mwanzo ilikuwa inajulikana kama "Bela" lakini baadaye yake uliitwa "Soari" wakati Lutu alipomwomba Mungu kuuifadhi mji huu "mdogo".
Soari unaaminiwa kuwa ulikuwa katika tambarare za Mto Yordani au katika mpaka wa kusini wa Bahari ya Chumvi.
Soari ulikuwa mji mdogo Alipokimbilia Lutu wakati Mungu alipoiaribu Sodoma na Gomora.
* Hapo mwanzo ilikuwa inajulikana kama "Bela" lakini baadaye yake uliitwa "Soari" wakati Lutu alipomwomba Mungu kuuifadhi mji huu "mdogo".
* Soari unaaminiwa kuwa ulikuwa katika tambarare za Mto Yordani au katika mpaka wa kusini wa Bahari ya Chumvi.

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Dhifa ni sherehe maalumu ya mlo ambayo kwa kawaida inahusisha aina tofauti ya vyakula.
# Dhifa
## Ufafanuzi
Katika nyakati za kale, wafalme mara kwa mara waliandaa dhifa kuwaburudisha viongozi wa kisiasa na wageni wengine mhimu.
Hii yaweza pia kutafasiriwa kama, "mlo maalumu" au "sherehe mhimu" au "mlo wa mchanganyiko"
Dhifa ni sherehe maalumu ya mlo ambayo kwa kawaida inahusisha aina tofauti ya vyakula.
* Katika nyakati za kale, wafalme mara kwa mara waliandaa dhifa kuwaburudisha viongozi wa kisiasa na wageni wengine mhimu.
* Hii yaweza pia kutafasiriwa kama, "mlo maalumu" au "sherehe mhimu" au "mlo wa mchanganyiko"

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Neno "shayiri" limamaanisha aina ya nafaka iliyokuwa ikitumika kutengeneza mkate.
# shayiri
## Ufafanuzi
Mche wa shayiri una bua refu lenye suke juu yake ambamo ndani yake punje au nafaka inakua.
Shayiri hustawi wakati wa joto hivyo kwa kawaida inavunwa wakati wa kiangazi.
Wakati shayiri inapopurwa, mbegu ya kuliwa inatenganishwa na makapi.
Nafaka ya shayiri inasagwa na kuwa unga, ambao hatimaye unachanganywa na maji na mafuta ili kutengeneza mkate.
Neno "shayiri" limamaanisha aina ya nafaka iliyokuwa ikitumika kutengeneza mkate.
* Mche wa shayiri una bua refu lenye suke juu yake ambamo ndani yake punje au nafaka inakua.
* Shayiri hustawi wakati wa joto hivyo kwa kawaida inavunwa wakati wa kiangazi.
* Wakati shayiri inapopurwa, mbegu ya kuliwa inatenganishwa na makapi.
* Nafaka ya shayiri inasagwa na kuwa unga, ambao hatimaye unachanganywa na maji na mafuta ili kutengeneza mkate.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Neno "kikapu" linamaanisha chombo kilichotengenezwa kwa kusukwa.
# kikapu
## Ufafanuzi
Nyakati za Biblia, vikapu pengine vilitengenezwa kwa mimea, kama vile kutoka katika matawi ya miti au magome.
Kikapu kiliweza kuwekewa vitu vya kuzuia maji ili kiweze kuelea.
Musa alipokuwa mtoto, mama yake alitengeneza kikapu kisichopenyeza maji kwa kumweka humo na kukieleza katika mafunjo katika Mto Nile.
Neno lililotafasiriwa kama "kikapu" katika habari hiyo ni sawa na neno "safina" kurejerea mtumbwi alioutengeneza Musa. Maana ya kawaida ya matumizi yake katika mazingira mawili hayo yaweza kuwa' "chombo kieleacho."
Neno "kikapu" linamaanisha chombo kilichotengenezwa kwa kusukwa.
* Nyakati za Biblia, vikapu pengine vilitengenezwa kwa mimea, kama vile kutoka katika matawi ya miti au magome.
* Kikapu kiliweza kuwekewa vitu vya kuzuia maji ili kiweze kuelea.
* Musa alipokuwa mtoto, mama yake alitengeneza kikapu kisichopenyeza maji kwa kumweka humo na kukieleza katika mafunjo katika Mto Nile.
* Neno lililotafasiriwa kama "kikapu" katika habari hiyo ni sawa na neno "safina" kurejerea mtumbwi alioutengeneza Musa. Maana ya kawaida ya matumizi yake katika mazingira mawili hayo yaweza kuwa' "chombo kieleacho."

View File

@ -1,11 +1,13 @@
# Neno "kubeba" linamaanisha "kubeba" kitu fulani. Lakini pia kuna kuna matumizi ya tamathari mbalimbali ya neno hili.
# kubeba
## Ufafanuzi
Unapoongelea mwanamke atakayebeba mtoto, inamaanisha, "kuzaa" mtoto.
"kubeba mzigo" inamaanisha "kupitia magumu." Magumu haya yaweza kuwa ya kimwili au ya kihisia.
Matumizi yake yaliyozoeleka katika Biblia ni "kuzaa matunda" inayomaanisha, " "kuzalisha matunda" au "kuwa na matunda."
Kifungu "kubeba ushahidi" inamaanisha "kushuhudia" au "kutoa taarifa ya kile ulichokiona au kukipitia."
Taarifa ya "mwana hatabeba uovu wa mzazi" inamaanisha "hatawajibika kwa ajili ya" au "hataadhibiwa kwa ajili ya "dhambi za baba yake".
Kwa ujumla, neno laweza kutafasiriwa kama, "kubeba" au "kuwajibika kwa" au "kuzaa" au "kuwa na" au "kustaimili," kutegemeana na mazingira.
Neno "kubeba" linamaanisha "kubeba" kitu fulani. Lakini pia kuna kuna matumizi ya tamathari mbalimbali ya neno hili.
* Unapoongelea mwanamke atakayebeba mtoto, inamaanisha, "kuzaa" mtoto.
* "kubeba mzigo" inamaanisha "kupitia magumu." Magumu haya yaweza kuwa ya kimwili au ya kihisia.
* Matumizi yake yaliyozoeleka katika Biblia ni "kuzaa matunda" inayomaanisha, " "kuzalisha matunda" au "kuwa na matunda."
* Kifungu "kubeba ushahidi" inamaanisha "kushuhudia" au "kutoa taarifa ya kile ulichokiona au kukipitia."
* Taarifa ya "mwana hatabeba uovu wa mzazi" inamaanisha "hatawajibika kwa ajili ya" au "hataadhibiwa kwa ajili ya "dhambi za baba yake".
* Kwa ujumla, neno laweza kutafasiriwa kama, "kubeba" au "kuwajibika kwa" au "kuzaa" au "kuwa na" au "kustaimili," kutegemeana na mazingira.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Dubu ni mnyama mkali mkubwa mwenye miguu minne na ana manyoa meusi, meno na makucha makali. Dubu walikuwa wamezoeleka katika Israeli nyakati za Biblia.
# Dubu
## Ufafanuzi
Wanyama hawa wanaishi misituni na katika maeneo ya milimani; wanakula samaki, wadudu, na mimea.
Katika Agano la Kale, dubu hutumika kama alama ya nguvu.
Wakati akichucha kondoo, Daudi kama mchungaji alipambana na dubu na kumshinda.
Dubu wawili walitoka msituni na kulishambulia kundi la vijana waliomdhihaki nabii Elisha.
Dubu ni mnyama mkali mkubwa mwenye miguu minne na ana manyoa meusi, meno na makucha makali. Dubu walikuwa wamezoeleka katika Israeli nyakati za Biblia.
* Wanyama hawa wanaishi misituni na katika maeneo ya milimani; wanakula samaki, wadudu, na mimea.
* Katika Agano la Kale, dubu hutumika kama alama ya nguvu.
* Wakati akichucha kondoo, Daudi kama mchungaji alipambana na dubu na kumshinda.
* Dubu wawili walitoka msituni na kulishambulia kundi la vijana waliomdhihaki nabii Elisha.

View File

@ -1,10 +1,12 @@
# Katika Biblia, neno "mnyama" ni njia nyingine ya kusema "mnyama".
# mnyama
## Ufafanuzi
Mnyama wa porini ni aina ya mnyama anayeishi huru msituni au kondeni na hayawai kufundishwa na watu.
Mnyama wa kufugwa anaishi na watu na anatunzwa kwa mboga au kufanya kazi, kama vile kulima shamba. Mara kwa mara neno "mifugo" linatumika kurejerea aina hii ya wanyama.
Kitabu cha Danieli katika Agano la Kale na kitabu cha Ufunuo katika Agano Jipya vinaeleza maono yenye wanyama wanaowakilisha nguvu au mamlaka ya uovu inayompinga Mungu.
Baadhi ya wanyama hawa wanaelezwa wakiwa na tabia tofauti, kama vile vichwa kadhaa na pembe nyingi. Mara kwa mara wanakuwa na nguvu na mamlaka, kuonesha kwamba waweza kuwakilisha nchi, taifa au mamlaka nyingine ya kisiasa.
Njia ya kutafasiri hii yaweza kuhusisha, "kiumbe" au "kitu kilichoumbwa" au "mnyama" au "mnyama wa porini," kutegemea mazingira.
Katika Biblia, neno "mnyama" ni njia nyingine ya kusema "mnyama".
* Mnyama wa porini ni aina ya mnyama anayeishi huru msituni au kondeni na hayawai kufundishwa na watu.
* Mnyama wa kufugwa anaishi na watu na anatunzwa kwa mboga au kufanya kazi, kama vile kulima shamba. Mara kwa mara neno "mifugo" linatumika kurejerea aina hii ya wanyama.
* Kitabu cha Danieli katika Agano la Kale na kitabu cha Ufunuo katika Agano Jipya vinaeleza maono yenye wanyama wanaowakilisha nguvu au mamlaka ya uovu inayompinga Mungu.
* Baadhi ya wanyama hawa wanaelezwa wakiwa na tabia tofauti, kama vile vichwa kadhaa na pembe nyingi. Mara kwa mara wanakuwa na nguvu na mamlaka, kuonesha kwamba waweza kuwakilisha nchi, taifa au mamlaka nyingine ya kisiasa.
* Njia ya kutafasiri hii yaweza kuhusisha, "kiumbe" au "kitu kilichoumbwa" au "mnyama" au "mnyama wa porini," kutegemea mazingira.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Neno "kuomba" lamaanisha kumwomba mtu kitu fulani kwa umuhimu. Mara kwa mara inamaanisha kuomba pesa, lakini pia limetumika kuonesha kuombeleza jambo fulani.
# kuomba
## Ufafanuzi
Mara kwa mara watu wanaomba wakati wanapoitaji jambo fulani kwa uzito, lakini wasijue kwamba kuna mtu atawapa waombacho.
"Mwombaji" ni mtu ambaye mara kwa mara hukaa au kusimama katika maeneo ya wazi kuomba pesa kwa watu.
Kwa kutegemea mazingira, neno hili lingetafsiriwa kama "kusihi" "omba kwa uzito" "kudai pesa" au "kuomba pesa mara kwa mara."
Neno "kuomba" lamaanisha kumwomba mtu kitu fulani kwa umuhimu. Mara kwa mara inamaanisha kuomba pesa, lakini pia limetumika kuonesha kuombeleza jambo fulani.
* Mara kwa mara watu wanaomba wakati wanapoitaji jambo fulani kwa uzito, lakini wasijue kwamba kuna mtu atawapa waombacho.
* "Mwombaji" ni mtu ambaye mara kwa mara hukaa au kusimama katika maeneo ya wazi kuomba pesa kwa watu.
* Kwa kutegemea mazingira, neno hili lingetafsiriwa kama "kusihi" "omba kwa uzito" "kudai pesa" au "kuomba pesa mara kwa mara."

View File

@ -1,13 +1,16 @@
# Katika Biblia, neno "mwamini" larejerea mtu anayeamini na kumtegemea Yesu Kristo kama Mwokozi.
# mwamini
## Ufafanuzi
Neno "mwamini" kwa maana halisi linamaanisha "mtu anayeamini."
Neno "Mkristo" lilikuja hatimaye kuwa jina la waamini kwa sababu linaonesha kwamba wanamwamini Kristo na kutii mafundisho yake.
Katika Biblia, neno "mwamini" larejerea mtu anayeamini na kumtegemea Yesu Kristo kama Mwokozi.
Maoni ya Kutafasiri.
Baadhi ya tafasiri zaweza kupendelea kusema, "mwamini wa Yesu" au "anayemwamini Kristo."
Neno hili pia laweza kufasiriwa kwa neno au kirai kinachomaanisha, "mtu anaye mwamini Yesu" au "mtu anayemfahamu Yesu na kuishi kwa ajili yake."
Njia nyingine ya kutafasiri "mwamini" laweza kuwa, "mfuasi wa Yesu" au "Mtu anayemjua na kumtii Yesu."
Neno "mwamini" ni neno la jumla kwa kila anayemwamini Kristo, wakati "mfuasi" na "mtume" yalitumika maalumu kwa watu waliomfahamu Yesu alipokuwa hai. Ni vema kutafasiri maneno haya kwa njia tofauti, ili kuyatofautisha.
* Neno "mwamini" kwa maana halisi linamaanisha "mtu anayeamini."
* Neno "Mkristo" lilikuja hatimaye kuwa jina la waamini kwa sababu linaonesha kwamba wanamwamini Kristo na kutii mafundisho yake.
## Maoni ya Kutafasiri.
* Baadhi ya tafasiri zaweza kupendelea kusema, "mwamini wa Yesu" au "anayemwamini Kristo."
* Neno hili pia laweza kufasiriwa kwa neno au kirai kinachomaanisha, "mtu anaye mwamini Yesu" au "mtu anayemfahamu Yesu na kuishi kwa ajili yake."
* Njia nyingine ya kutafasiri "mwamini" laweza kuwa, "mfuasi wa Yesu" au "Mtu anayemjua na kumtii Yesu."
* Neno "mwamini" ni neno la jumla kwa kila anayemwamini Kristo, wakati "mfuasi" na "mtume" yalitumika maalumu kwa watu waliomfahamu Yesu alipokuwa hai. Ni vema kutafasiri maneno haya kwa njia tofauti, ili kuyatofautisha.

View File

@ -1,11 +1,14 @@
# Neno "kusaliti" lamaanisha tendo la kumdanganya na kumdhuru mwingine. "Msaliti" ni mtu amsalitiye rafiki yake mwenye kumwamini.
# kusaliti
## Ufafanuzi
Yuda alikuwa "msaliti" kwa sababu aliwaeleza viongozi wa Kiyahudi jinsi ya kumkamata Yesu.
Tendo la Yesu kuwalitiwa na Yuda ulikuwa uovu kwa sababu alikuwa mwanafunzi wake aliyepokea pesa kama malipo juu ya habari aliyowapa ya kumkamata Yesu kwa kifo kisicho cha haki.
Neno "kusaliti" lamaanisha tendo la kumdanganya na kumdhuru mwingine. "Msaliti" ni mtu amsalitiye rafiki yake mwenye kumwamini.
Maoni ya Tafasiri
Kwa kutegemea mazingira, neno "kusaliti" laweza kutafasiriwa kama "kudanganya na kusababisha madhara" au "kumsaidia adui" au "kufanya uhaini."
Neno "msaliti" laweza kutafasiriwa kama "mtu asalitiye" au "mfanya biashara mbili" au "msaliti."
* Yuda alikuwa "msaliti" kwa sababu aliwaeleza viongozi wa Kiyahudi jinsi ya kumkamata Yesu.
* Tendo la Yesu kuwalitiwa na Yuda ulikuwa uovu kwa sababu alikuwa mwanafunzi wake aliyepokea pesa kama malipo juu ya habari aliyowapa ya kumkamata Yesu kwa kifo kisicho cha haki.
## Maoni ya Tafasiri
* Kwa kutegemea mazingira, neno "kusaliti" laweza kutafasiriwa kama "kudanganya na kusababisha madhara" au "kumsaidia adui" au "kufanya uhaini."
* Neno "msaliti" laweza kutafasiriwa kama "mtu asalitiye" au "mfanya biashara mbili" au "msaliti."

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Neno "siku" kwa kawaida lamaanisha kipindi cha masaa 24 kuanzia kuzama kwa jua. Linatumika pia kitamathari.
# siku
## Ufafanuzi
Kwa Waisraeli na Wayahudi, siku ilianza wakati wa jua kuzama na kuishia wakati wa kuzama kwa jua siku iliyofuata.
Wakati mwingine neno "siku" latumika kitamathari kurejerea wakati mrefu, kama vile "siku ya Yahwe" au "siku za mwisho."
Baadhi ya lugha hutumia taarifa nyingine kutafasiri matumizi ya tamathari hili au zitatafasiri "siku" bila tamathari.
Tafasiri nyingine za "siku" zaweza kuhusisha, "wakati" au "majira" au "tukio" kutegemea na mazingira.
Neno "siku" kwa kawaida lamaanisha kipindi cha masaa 24 kuanzia kuzama kwa jua. Linatumika pia kitamathari.
* Kwa Waisraeli na Wayahudi, siku ilianza wakati wa jua kuzama na kuishia wakati wa kuzama kwa jua siku iliyofuata.
* Wakati mwingine neno "siku" latumika kitamathari kurejerea wakati mrefu, kama vile "siku ya Yahwe" au "siku za mwisho."
* Baadhi ya lugha hutumia taarifa nyingine kutafasiri matumizi ya tamathari hili au zitatafasiri "siku" bila tamathari.
* Tafasiri nyingine za "siku" zaweza kuhusisha, "wakati" au "majira" au "tukio" kutegemea na mazingira.

View File

@ -1,11 +1,13 @@
# Neno "saa" linatumika mara kwa mara katika Biblia kuonesha muda wa siku jambo fulani lilipotendeka. Pia linatumia tamathari kumaanisha "wakati" au "kitambo"
# saa
## Ufafanuzi
Wayahudi walihesabu masaa ya kutwa kuanzia mawio ya jua (kama saa 12:00 asubuhi). Kwa mfano, "saa tisa" alasiri.
Masaa ya usiku yalihesabiwa kuanzia machweo (kama saa 12: 00 jioni). Kwa mfano, "saa tatu ya usiku" kumaanisha karibia saa tisa za usiku" katika mfumo wetu wa siku hizi.
Kwa kuwa kumbukumbu za muda katika Biblia hazitalingana kamili na mfumu wa siku hizi, vifungu kama vile "karibia saa tisa" au "kama saa sita kamili" yaweza kutumika.
Baadhi ya tafasiri zaweza kuonesha vifungu kama vile "wakati wa jioni" au "wakati wa asubuhi" au "wakati wa mchana" kuweka wazi ni muda upi wa siku unaozungumzwa.
Kirai, "wakati uo" chaweza kutafasiriwa kama "katika wakati ule" au "katika kitambo hicho".
Kwa kumtaja Yesu, kifungu "wakati wake umefika" yaweza kutafasiriwa kama, "muda wake wa kufanya" au "muda uliowekwa kwa ajili yake ulikuwa umefika."
Neno "saa" linatumika mara kwa mara katika Biblia kuonesha muda wa siku jambo fulani lilipotendeka. Pia linatumia tamathari kumaanisha "wakati" au "kitambo"
* Wayahudi walihesabu masaa ya kutwa kuanzia mawio ya jua (kama saa 12:00 asubuhi). Kwa mfano, "saa tisa" alasiri.
* Masaa ya usiku yalihesabiwa kuanzia machweo (kama saa 12: 00 jioni). Kwa mfano, "saa tatu ya usiku" kumaanisha karibia saa tisa za usiku" katika mfumo wetu wa siku hizi.
* Kwa kuwa kumbukumbu za muda katika Biblia hazitalingana kamili na mfumu wa siku hizi, vifungu kama vile "karibia saa tisa" au "kama saa sita kamili" yaweza kutumika.
* Baadhi ya tafasiri zaweza kuonesha vifungu kama vile "wakati wa jioni" au "wakati wa asubuhi" au "wakati wa mchana" kuweka wazi ni muda upi wa siku unaozungumzwa.
* Kirai, "wakati uo" chaweza kutafasiriwa kama "katika wakati ule" au "katika kitambo hicho".
* Kwa kumtaja Yesu, kifungu "wakati wake umefika" yaweza kutafasiriwa kama, "muda wake wa kufanya" au "muda uliowekwa kwa ajili yake ulikuwa umefika."

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Neno "mwezi" linataja kipindi cha kuishia karibia majuma manne. Idadi ya majuma katika kila mwezi yalitofautiana kulingana na matumizi ya kalenda iliyotumika kwamba ilikumia jua au mwezi.
# mwezi
## Ufafanuzi
Katika kalenda ya mwezi, urefu wa mwezi unategemea kiwango cha muda mwezi unaotumia kuizunguka dunia, kama siku 29. Katika utaratibu huu kuna miezi 12 au 13 katika mwaka. Pamoja na mwaka kuwa na miezi 12 au 13, mwezi wa kwanza unaitwa kwa jina lilelile hata kama ni majira tofauti.
"Mwezi mpya," kuanza kwa awamu ya mwezi pamoja na nuru yake, unaashiria kuanza kwa kila mwezi katika kalenda ya mwezi.
Majina yote ya miezi yaliyotajwa katika Biblia yanatumia kalenda ya mwezi kwa kuwa ndio mfumo uliokuwa unatumiwa na Waisraeli. Wayahudu wa sasa bado wanatumia mfumo huu katika shughuri na makusudi ya kidini.
Kalenda ya siku hizi inayotumia jua imejengwa juu ya muda unaoichukua dunia kulizunguka jua (kama siku 365). Katika mfumo huu, mwaka kwa kawaida umegawanywa katika miezi 12, mwezi ukichukua kati ya siku 28-31.
Neno "mwezi" linataja kipindi cha kuishia karibia majuma manne. Idadi ya majuma katika kila mwezi yalitofautiana kulingana na matumizi ya kalenda iliyotumika kwamba ilikumia jua au mwezi.
* Katika kalenda ya mwezi, urefu wa mwezi unategemea kiwango cha muda mwezi unaotumia kuizunguka dunia, kama siku 29. Katika utaratibu huu kuna miezi 12 au 13 katika mwaka. Pamoja na mwaka kuwa na miezi 12 au 13, mwezi wa kwanza unaitwa kwa jina lilelile hata kama ni majira tofauti.
* "Mwezi mpya," kuanza kwa awamu ya mwezi pamoja na nuru yake, unaashiria kuanza kwa kila mwezi katika kalenda ya mwezi.
* Majina yote ya miezi yaliyotajwa katika Biblia yanatumia kalenda ya mwezi kwa kuwa ndio mfumo uliokuwa unatumiwa na Waisraeli. Wayahudu wa sasa bado wanatumia mfumo huu katika shughuri na makusudi ya kidini.
* Kalenda ya siku hizi inayotumia jua imejengwa juu ya muda unaoichukua dunia kulizunguka jua (kama siku 365). Katika mfumo huu, mwaka kwa kawaida umegawanywa katika miezi 12, mwezi ukichukua kati ya siku 28-31.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Katika nyakati za Biblia, "kukesha" ulikuwa wakati wa usiku ambao katika huo mlinzi au mwangalizi wa mji alikuwa kazini akiangalia hatari yoyote kutoka kwa maadui.
# kukesha
## Ufafanuzi
Katika Agano la Kale, Waisraeli walikuwa na zamu tatu zikiitwa "mwanzo"( machweo hadi saa 4:00 usiku), "katikati" (saa 4:00 usiku hadi saa 8:00 usiku), na "asubuhi" (saa 8:00 hadi mawio).
Katika Agano Jipya, Wayahudi walifuata mfumo wa Kirumi na walikuwa na zamu nne, zikiitwa "ya kwanza" (machweo hadi saa 3 usiku) "pili" (3 usiku hadi saa 6 usiku), "tatu" (6 usiku hadi 9 usiku), na ya "nne" (saa 9 hadi mawio).
Hizi pia zaweza kutafasiriwa kwa vifungu vya jumla kama vile "jioni" au "katikati ya usiku" au "alfajiri," kutegemea na zamu inayotajwa.
Katika nyakati za Biblia, "kukesha" ulikuwa wakati wa usiku ambao katika huo mlinzi au mwangalizi wa mji alikuwa kazini akiangalia hatari yoyote kutoka kwa maadui.
* Katika Agano la Kale, Waisraeli walikuwa na zamu tatu zikiitwa "mwanzo"( machweo hadi saa 4:00 usiku), "katikati" (saa 4:00 usiku hadi saa 8:00 usiku), na "asubuhi" (saa 8:00 hadi mawio).
* Katika Agano Jipya, Wayahudi walifuata mfumo wa Kirumi na walikuwa na zamu nne, zikiitwa "ya kwanza" (machweo hadi saa 3 usiku) "pili" (3 usiku hadi saa 6 usiku), "tatu" (6 usiku hadi 9 usiku), na ya "nne" (saa 9 hadi mawio).
* Hizi pia zaweza kutafasiriwa kwa vifungu vya jumla kama vile "jioni" au "katikati ya usiku" au "alfajiri," kutegemea na zamu inayotajwa.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Neno "juma" kwa kawaida lamaanisha kipindi cha kuishia siku saba.
# juma
## Ufafanuzi
Katika mfumo wa mahesabu ya Kiyahudi, juma huanza wakati wa jua kuzama Jumamosi na kuishia wakati wa jua kuzama Jumamosi inayofuata.
Katika Biblia, neno "juma" wakati mwingine linatumika kitamathari kurejerea kundi la uniti saba za wakati, kama vile miaka saba.
"Sikukuu ya majiuma" ni sherehe ya mavuno inayofanyika majuma saba baada ya Pasaka. Inajulikana kama Pentecoste.
Neno "juma" kwa kawaida lamaanisha kipindi cha kuishia siku saba.
* Katika mfumo wa mahesabu ya Kiyahudi, juma huanza wakati wa jua kuzama Jumamosi na kuishia wakati wa jua kuzama Jumamosi inayofuata.
* Katika Biblia, neno "juma" wakati mwingine linatumika kitamathari kurejerea kundi la uniti saba za wakati, kama vile miaka saba.
* "Sikukuu ya majiuma" ni sherehe ya mavuno inayofanyika majuma saba baada ya Pasaka. Inajulikana kama Pentecoste.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Neno "mwaka linapotumika, kwa hali ya kawaida katika Biblia linamaanisha kipindi cha muda wa siku 354. Hii ni kulingana na kalenda inayotumia mfumo wa mwezi unaochukua kuizunguka dunia.
# mwaka linapotumika
## Ufafanuzi
Mwaka katika siku hizi unakamilisha siku 365 kwa kugawanywa katika miezi 12, kutegemea siku ambazo dunia inatumia kulizunguka jua.
Katika mifumo yote miwili mwaka una miezi 12. Lakini wakati mwingine ziada ya mwezi wa 13 unaongezwa katika mwaka unaotumia kalenda ya mwezi kwa kuzingatia kuwa kalenda ya mwezi ina siku 11 pungufu ya ule wa jua. Hii inasaidia kuzilinganisha kalenda zote mbili.
Katika Biblia, neno "mwaka" pia limetumika kwa tamathari kuonesha muda wa jumla tukio maalumu linapotokea. Mfano wake ni "mwaka wa Yahwe" au "katika mwaka wa kianganzi" au "mwaka wa Bwana uliokubarika." Katika mazingira haya, "mwaka" waweza kutafasiriwa kama "wakati" au "majira" au "kipindi cha wakati".
Neno "mwaka linapotumika, kwa hali ya kawaida katika Biblia linamaanisha kipindi cha muda wa siku 354. Hii ni kulingana na kalenda inayotumia mfumo wa mwezi unaochukua kuizunguka dunia.
* Mwaka katika siku hizi unakamilisha siku 365 kwa kugawanywa katika miezi 12, kutegemea siku ambazo dunia inatumia kulizunguka jua.
* Katika mifumo yote miwili mwaka una miezi 12. Lakini wakati mwingine ziada ya mwezi wa 13 unaongezwa katika mwaka unaotumia kalenda ya mwezi kwa kuzingatia kuwa kalenda ya mwezi ina siku 11 pungufu ya ule wa jua. Hii inasaidia kuzilinganisha kalenda zote mbili.
* Katika Biblia, neno "mwaka" pia limetumika kwa tamathari kuonesha muda wa jumla tukio maalumu linapotokea. Mfano wake ni "mwaka wa Yahwe" au "katika mwaka wa kianganzi" au "mwaka wa Bwana uliokubarika." Katika mazingira haya, "mwaka" waweza kutafasiriwa kama "wakati" au "majira" au "kipindi cha wakati".

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Neno "mawaa" humaanisha kasoro juu ya mtu au mnyama. Yaweza pia kumaanisha upungufu wa kiroho kwa mtu.
# mawaa
## Ufafanuzi
Kwa baadhi ya sadaka, Mungu aliwaagiza Waisraeli watoe mnyama asiye na kasoro au kosa.
Hii ni taswira ya jinsi Yesu Kristo alivyokuwa sadaka kamilifu, bila dhambi yoyote.
Waamini katika Kristo wamesafishwa kutokana na dhambi zao kwa damu yake na wanahesabiwa hawana makosa.
Njia ya kutafasiri neno hili laweza kujumuisha, "kasoro" au "upungufu" au "dhambi," kwa kutegemea mazingira.
Neno "mawaa" humaanisha kasoro juu ya mtu au mnyama. Yaweza pia kumaanisha upungufu wa kiroho kwa mtu.
* Kwa baadhi ya sadaka, Mungu aliwaagiza Waisraeli watoe mnyama asiye na kasoro au kosa.
* Hii ni taswira ya jinsi Yesu Kristo alivyokuwa sadaka kamilifu, bila dhambi yoyote.
* Waamini katika Kristo wamesafishwa kutokana na dhambi zao kwa damu yake na wanahesabiwa hawana makosa.
* Njia ya kutafasiri neno hili laweza kujumuisha, "kasoro" au "upungufu" au "dhambi," kwa kutegemea mazingira.

View File

@ -1,15 +1,18 @@
# Neno "kumwaga damu" linamaanisha kifo cha mwanadamu kwa sababu ya mauaji, vita, au sababu nyingine ya kikatiri.
# kumwaga damu
## Ufafanuzi
Neno hili "kumwaga damu," kwa kawaida linamaanisha wakati damu inapotoka katika jeraha katika mwili wa mtu.
Neno "kumwaga damu" linatumika mara kwa mara kurejerea mauaji ya watu yaliyoenea.
Lakini pia linatumika kama kumbukumbu ya jumla kwa dhambi ya kuuwa.
Neno "kumwaga damu" linamaanisha kifo cha mwanadamu kwa sababu ya mauaji, vita, au sababu nyingine ya kikatiri.
Maoni ya Kutafasiri
"Kumwaga damu" kwaweza kutafasiriwa kama, "mauaji ya watu" au "watu wengi waliouawa".
"Kupitia umwagaji wa damu" yaweza pia kutafasiriwa kama, "kwa kuuwa watu."
"Kumwaga damu ya wasio na hatia" yaweza kutafasiriwa kama "kuuwa watu wasio na hatia".
"Kumwaga damu kunafuata kumwaga damu" kwaweza kutafasiriwa kama, "wanaendelea kuuwa watu" au "kuuawa kwa watu kunaendelea" au "wameua watu wengi na wanaendelea kufanya hivyo" au "watu wanaendelea kuuwa wengine."
Matumizi mengine ya tamathari, "kumwaga damu kutakufuata" kwaweza kutafasiriwa kama "watu wako wataendelea kushuudia mauaji" au "watu wako wataendelea kuuawa" au "watu wako wataendelea kuwa katika vita na mataifa mengine na watu wataendelea kufa.
* Neno hili "kumwaga damu," kwa kawaida linamaanisha wakati damu inapotoka katika jeraha katika mwili wa mtu.
* Neno "kumwaga damu" linatumika mara kwa mara kurejerea mauaji ya watu yaliyoenea.
* Lakini pia linatumika kama kumbukumbu ya jumla kwa dhambi ya kuuwa.
## Maoni ya Kutafasiri
* "Kumwaga damu" kwaweza kutafasiriwa kama, "mauaji ya watu" au "watu wengi waliouawa".
* "Kupitia umwagaji wa damu" yaweza pia kutafasiriwa kama, "kwa kuuwa watu."
* "Kumwaga damu ya wasio na hatia" yaweza kutafasiriwa kama "kuuwa watu wasio na hatia".
* "Kumwaga damu kunafuata kumwaga damu" kwaweza kutafasiriwa kama, "wanaendelea kuuwa watu" au "kuuawa kwa watu kunaendelea" au "wameua watu wengi na wanaendelea kufanya hivyo" au "watu wanaendelea kuuwa wengine."
* Matumizi mengine ya tamathari, "kumwaga damu kutakufuata" kwaweza kutafasiriwa kama "watu wako wataendelea kushuudia mauaji" au "watu wako wataendelea kuuawa" au "watu wako wataendelea kuwa katika vita na mataifa mengine na watu wataendelea kufa.

View File

@ -1,12 +1,15 @@
# Maneno "kufuta" au "kuondoa" ni vifungu vinavyomaanisha kuondoa kabisa au kuangamisa kitu au mtu.
# kufuta
## Ufafanuzi
Vifungu hivi vyaweza kutumika katika maana chanya, kama ambavyo Mungu "hufuta" dhambi kwa kusamehe na kuchagua kutokukumbuka tena.
Lakini pia yaweza kutumika katika maana mbaya, kama ambavyo Mungu "hufuta" au "kuondoa" kundi la watu, kuwaharibu kwa sababu ya dhambi.
Biblia inazungumzia juu ya jina la mtu "kufutwa" au "kuondolewa" katika kitabu cha Mungu, kumaanisha mtu hatapokea uzima wa milele.
Maneno "kufuta" au "kuondoa" ni vifungu vinavyomaanisha kuondoa kabisa au kuangamisa kitu au mtu.
Maone ya Kutafasiri
Kwa kutegemea mazingira, vifungu hivi vyaweza kutafasiriwa kama "kuondoa" au "kutoa" au " kuharibu kabisa" au "kuondoa kabisa."
Kwa kurejerea kufuta jina la mtu katika Kitabu cha Uzima, yaweza kutafasiriwa kama "kuondoa kutoka" au "iliyofutwa."
* Vifungu hivi vyaweza kutumika katika maana chanya, kama ambavyo Mungu "hufuta" dhambi kwa kusamehe na kuchagua kutokukumbuka tena.
* Lakini pia yaweza kutumika katika maana mbaya, kama ambavyo Mungu "hufuta" au "kuondoa" kundi la watu, kuwaharibu kwa sababu ya dhambi.
* Biblia inazungumzia juu ya jina la mtu "kufutwa" au "kuondolewa" katika kitabu cha Mungu, kumaanisha mtu hatapokea uzima wa milele.
## Maone ya Kutafasiri
* Kwa kutegemea mazingira, vifungu hivi vyaweza kutafasiriwa kama "kuondoa" au "kutoa" au " kuharibu kabisa" au "kuondoa kabisa."
* Kwa kurejerea kufuta jina la mtu katika Kitabu cha Uzima, yaweza kutafasiriwa kama "kuondoa kutoka" au "iliyofutwa."

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Maneno yote haya yanamaanisha kuwa na ujasiri na ushujaa kwa kuongea ukweli kuhusu jambo halali hata kama ni vigumu na hatari.
# jasiri, ujasiri, ushujaa
## Ufafanuzi
Mtu "jasiri" haogopi kusema jambo jema na la haki, ikiwa ni pamoja na kuwatetea watu wanaonyanyaswa. Hii yaweza kufasiriwa kama "ujasiri" au "bila hofu".
Katika Agano Jipya, wanafunzi waliendelea kuhubiri kwa "ujasiri" kuhusu Kristo hadharani, bila kujari hatari ya kufungwa au kuuawa. Hii inatafasiriwa kama "ujasiri" au "ushujaa" au "kwa ujasiri."
"Ujasiri" wa wanafunzi hawa wa mwanzo katika kuhubiri habari njema ya kifo kiokoacho cha Kristo msalabani kilisababisha injili kuenea katika Israeli yote na nchi za jirani na hatimaye, katika dunia yote. "Ujasiri" waweza pia kutafasiriwa kama "ushujaa."
Maneno yote haya yanamaanisha kuwa na ujasiri na ushujaa kwa kuongea ukweli kuhusu jambo halali hata kama ni vigumu na hatari.
* Mtu "jasiri" haogopi kusema jambo jema na la haki, ikiwa ni pamoja na kuwatetea watu wanaonyanyaswa. Hii yaweza kufasiriwa kama "ujasiri" au "bila hofu".
* Katika Agano Jipya, wanafunzi waliendelea kuhubiri kwa "ujasiri" kuhusu Kristo hadharani, bila kujari hatari ya kufungwa au kuuawa. Hii inatafasiriwa kama "ujasiri" au "ushujaa" au "kwa ujasiri."
* "Ujasiri" wa wanafunzi hawa wa mwanzo katika kuhubiri habari njema ya kifo kiokoacho cha Kristo msalabani kilisababisha injili kuenea katika Israeli yote na nchi za jirani na hatimaye, katika dunia yote. "Ujasiri" waweza pia kutafasiriwa kama "ushujaa."

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Neno "Kitabu cha uzima" linatumika kumaanisha Mungu alipoandika majina ya watu aliowakomboa na kuwapa uzima wa milele.
# Kitabu cha uzima
## Ufafanuzi
Kitabu cha ufunuo kinarejerea kitabu hiki kama "Kitabu cha Uzima cha Mwanakondoo." Ingeweza kutafasiriwa kama "kitabu cha Yesu cha uzima, Mwanakondoo wa Mungu." Sadaka ya Yesu msalabani ililipa adhabu ya dhambi za watu ili waweze kuwa na uzima wa milele kwa njia ya kumwamini.
Neno kwa "kitabu" laweza pia kumaanisha, "gombo" au "andiko" "kitabu cha sheria." Inaweza kuwa na maana halisia au ya kimafumbo.
Neno "Kitabu cha uzima" linatumika kumaanisha Mungu alipoandika majina ya watu aliowakomboa na kuwapa uzima wa milele.
* Kitabu cha ufunuo kinarejerea kitabu hiki kama "Kitabu cha Uzima cha Mwanakondoo." Ingeweza kutafasiriwa kama "kitabu cha Yesu cha uzima, Mwanakondoo wa Mungu." Sadaka ya Yesu msalabani ililipa adhabu ya dhambi za watu ili waweze kuwa na uzima wa milele kwa njia ya kumwamini.
* Neno kwa "kitabu" laweza pia kumaanisha, "gombo" au "andiko" "kitabu cha sheria." Inaweza kuwa na maana halisia au ya kimafumbo.

View File

@ -1,16 +1,19 @@
# Kuinama maana yake kujikunja kwa unyenyekevu kuonesha heshima kwa mtu. "Kuinama chini" inamaanisha kupiga magoti chini sana, kwa kawaida uso na mikono ikielekea ardhini.
# Kuinama chini
## Ufafanuzi
Viashiria vingine ni pamoja na "kupiga goti" na "kuinamisha kichwa"( maana yake ni kuinamisha kichwa mbele kwa heshima ya unyenyekevu au katika huzuni).
Kuinama chini pia kwaweza kuwa ishara ya mfadhaiko au maombolezo. Mtu "anayeinamishwa chini" amewekwa katika kiwango cha chini sana cha unyenyekevu.
Kwa kawaida mtu atainama mbele ya mtu mwenye heshima ya juu kuliko yake au mwenye umuhimu mkubwa, kama wafalme na viongozi wengine.
Kuinama mbele ya Mungu ni ishara ya kumwabudu.
Katika Biblia, watu walimwinamia Yesu walipotambua kutokana na miujiza yake na mafundisho yake kwamba alikuwa ametoka kwa Mungu.
Biblia inasema kwamba Yesu atakaporudi, kila mtu atapiga goti kumwabudu.
# Kuinama maana yake kujikunja kwa unyenyekevu kuonesha heshima kwa mtu. "Kuinama chini" inamaanisha kupiga magoti chini sana, kwa kawaida uso na mikono ikielekea ardhini.
Maoni ya Kutafasiri
Kwa kutegemea na mazingira, neno hili laweza kutafasiriwa kwa neno au kifungu kinachomaanisha, "kuinamia" au "kuinamisha kichwa" au "piga goti".
Neno "inama chini" laweza kutafasiriwa kama "Piga magoti" au "jinyenyekesha".
Baadhi ya lugha zitakuwa na njia zaidi ya moja ya kutafasiri neno hili, kutegemea na mazingira.
* Viashiria vingine ni pamoja na "kupiga goti" na "kuinamisha kichwa"( maana yake ni kuinamisha kichwa mbele kwa heshima ya unyenyekevu au katika huzuni).
* Kuinama chini pia kwaweza kuwa ishara ya mfadhaiko au maombolezo. Mtu "anayeinamishwa chini" amewekwa katika kiwango cha chini sana cha unyenyekevu.
* Kwa kawaida mtu atainama mbele ya mtu mwenye heshima ya juu kuliko yake au mwenye umuhimu mkubwa, kama wafalme na viongozi wengine.
* Kuinama mbele ya Mungu ni ishara ya kumwabudu.
* Katika Biblia, watu walimwinamia Yesu walipotambua kutokana na miujiza yake na mafundisho yake kwamba alikuwa ametoka kwa Mungu.
* Biblia inasema kwamba Yesu atakaporudi, kila mtu atapiga goti kumwabudu.
## Maoni ya Kutafasiri
* Kwa kutegemea na mazingira, neno hili laweza kutafasiriwa kwa neno au kifungu kinachomaanisha, "kuinamia" au "kuinamisha kichwa" au "piga goti".
* Neno "inama chini" laweza kutafasiriwa kama "Piga magoti" au "jinyenyekesha".
* Baadhi ya lugha zitakuwa na njia zaidi ya moja ya kutafasiri neno hili, kutegemea na mazingira.

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Aina hii ya silaha ambayo inajumuisha mishale ya kurusha kutoka katika upinde. Katika nyakati za Biblia ilitumika kupigana na maadui na kuwindia.
# upinde
## Ufafanuzi
Upinde unatengenezwa kwa mti, mfupa au chuma au vitu vingine vigumu, kama vile jino la dubu. Imepinda na kufungwa kwa kamba.
Mshale ni kitu chembamba chenye ncha kali, upande mmojawapo. Nyakati za kale, mshale ulitengenezwa kwa kutumia vitu mbalimbali kama vile mtu, mfupa, jiwe, au chuma.
Pinde na mishale kwa kawaida inatumiwa na wawindaji au maaskari.
Neno "mshale" wakati mwingine linatumika kitamathari katika Biblia kurejerea shambulio la adui au hukumu ya ki- Mungu.
Aina hii ya silaha ambayo inajumuisha mishale ya kurusha kutoka katika upinde. Katika nyakati za Biblia ilitumika kupigana na maadui na kuwindia.
* Upinde unatengenezwa kwa mti, mfupa au chuma au vitu vingine vigumu, kama vile jino la dubu. Imepinda na kufungwa kwa kamba.
* Mshale ni kitu chembamba chenye ncha kali, upande mmojawapo. Nyakati za kale, mshale ulitengenezwa kwa kutumia vitu mbalimbali kama vile mtu, mfupa, jiwe, au chuma.
* Pinde na mishale kwa kawaida inatumiwa na wawindaji au maaskari.
* Neno "mshale" wakati mwingine linatumika kitamathari katika Biblia kurejerea shambulio la adui au hukumu ya ki- Mungu.

View File

@ -1,14 +1,16 @@
# Mkate ni chakula kitengenezwacho kutokana na unga uliochanganywa na maji na matuta ili kutengeneza donge. Kisha donge linatengenezwa katika hali ya vipande na kuokwa.
# Mkate
## Ufafanuzi
Neno "boflo" linapotokea peke yake, linamaanisha, "kipande cha mkate."
Donge la mkate kwa kawaida linatengenezwa kwa kiti kinachofanya liumuke, kama vile amira.
Lakini pia mkate waweza kutengenezwa bila amira hivyo hauwezi kuumuka. Katika Biblia huu unaitwa "mkate usiotiwa chachu" na ulitumiwa na Wayahudi wakati wa mlo wa Pasaka.
Kwa vile mkate ulikuwa chakula kikuu kwa watu wengi katika nyakati za Biblia, hivyo neno hili linatumika katika Biblia pia kurejerea chakula kwa ujumla.
Neno "mkate wa wonyesho" linataja vipande kumi na mbili vya mkate vilivyokuwa vikiwekwa katika meza ya dhahabu katika hema ya kukutania au hekaluni kama sadaka kwa Mungu. Mikate hii inawakilisha makabila kumi na mbili ya Israeli na ililiwa na makuhani tu. Hii inatafasiri kama "mkate uoneshao kwamba Mungu aliishi kati yao."
Neno la kitamathari, "mkate kutoka mbinguni" linarejerea chakula maalumu cheupe kilichoitwa 'mana" alichokitoa Mungu kwa Waisraeli walipokuwa wakitangatanga jangwani.
Yesu alijiita "mkate ulioshuka kutoka mbinguni" na "mkate wa uzima."
Wakati Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wanaila Pasaka kabla ya kifo chake, alilinganisha, mkate usiotiwa chachu wa Pasaka na mwili wake ambao ungejeruhiwa na kufishwa msalabani.
Mara nyingi neno "mkate" laweza kutafasiriwa kwa ujumla kama "chakula."
Mkate ni chakula kitengenezwacho kutokana na unga uliochanganywa na maji na matuta ili kutengeneza donge. Kisha donge linatengenezwa katika hali ya vipande na kuokwa.
* Neno "boflo" linapotokea peke yake, linamaanisha, "kipande cha mkate."
* Donge la mkate kwa kawaida linatengenezwa kwa kiti kinachofanya liumuke, kama vile amira.
* Lakini pia mkate waweza kutengenezwa bila amira hivyo hauwezi kuumuka. Katika Biblia huu unaitwa "mkate usiotiwa chachu" na ulitumiwa na Wayahudi wakati wa mlo wa Pasaka.
* Kwa vile mkate ulikuwa chakula kikuu kwa watu wengi katika nyakati za Biblia, hivyo neno hili linatumika katika Biblia pia kurejerea chakula kwa ujumla.
* Neno "mkate wa wonyesho" linataja vipande kumi na mbili vya mkate vilivyokuwa vikiwekwa katika meza ya dhahabu katika hema ya kukutania au hekaluni kama sadaka kwa Mungu. Mikate hii inawakilisha makabila kumi na mbili ya Israeli na ililiwa na makuhani tu. Hii inatafasiri kama "mkate uoneshao kwamba Mungu aliishi kati yao."
* Neno la kitamathari, "mkate kutoka mbinguni" linarejerea chakula maalumu cheupe kilichoitwa 'mana" alichokitoa Mungu kwa Waisraeli walipokuwa wakitangatanga jangwani.
* Yesu alijiita "mkate ulioshuka kutoka mbinguni" na "mkate wa uzima."
* Wakati Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wanaila Pasaka kabla ya kifo chake, alilinganisha, mkate usiotiwa chachu wa Pasaka na mwili wake ambao ungejeruhiwa na kufishwa msalabani.
* Mara nyingi neno "mkate" laweza kutafasiriwa kwa ujumla kama "chakula."

View File

@ -1,9 +1,11 @@
# Neno "dirii" ni kipande cha silaha kinachofunika kifua kumlinda askari wakati wa vita. Neno "kifuko cha kifuani" linamaanisha kipande maalumu cha nguo ambacho kuhani mkuu wa Kiisraeli alivaa katika sehemu yake ya mbele kifuani.
# kifuko cha kifuani
## Ufafanuzi
"Dirii" iliyotumiwa na askari ilitengenezwa kwa miti, chuma au ngozi ya mnyama. Ilikuwa imetengenezwa kuzuia mishale, mikuke, na upanga katika kuchoma kifua cha askari.
"Kifuniko" kilichovaliwa na kuhani mkuu kilikuwa kimetengenezwa kwa nguo na kilikuwa kitu kilichounganiswa nacho. Kuhani alikivaa alipokuwa katika majukumu yake ya kumtumikia Mungu hekaluni.
Njia nyingine ya kutafasiri "dirii" ni pamoja na, "kifaa cha chuma cha kufunika kifua" au delaya ya kulinda kifua."
Neno "kifuniko" litafasiriwe kwa neno limaanishalo, vazi la kikuhani lifunikalo kifua" au "kipande cha vazi la kikuhani" au "kipande cha mbele cha vazi la kuhani."
Neno "dirii" ni kipande cha silaha kinachofunika kifua kumlinda askari wakati wa vita. Neno "kifuko cha kifuani" linamaanisha kipande maalumu cha nguo ambacho kuhani mkuu wa Kiisraeli alivaa katika sehemu yake ya mbele kifuani.
* "Dirii" iliyotumiwa na askari ilitengenezwa kwa miti, chuma au ngozi ya mnyama. Ilikuwa imetengenezwa kuzuia mishale, mikuke, na upanga katika kuchoma kifua cha askari.
* "Kifuniko" kilichovaliwa na kuhani mkuu kilikuwa kimetengenezwa kwa nguo na kilikuwa kitu kilichounganiswa nacho. Kuhani alikivaa alipokuwa katika majukumu yake ya kumtumikia Mungu hekaluni.
* Njia nyingine ya kutafasiri "dirii" ni pamoja na, "kifaa cha chuma cha kufunika kifua" au delaya ya kulinda kifua."
* Neno "kifuniko" litafasiriwe kwa neno limaanishalo, vazi la kikuhani lifunikalo kifua" au "kipande cha vazi la kikuhani" au "kipande cha mbele cha vazi la kuhani."

View File

@ -1,19 +1,22 @@
# Katika Biblia, neno "kupumua" na "pumzi" yanatumika mara kwa mara kitamathari kumaanisha kutoa uhai au kuwa na uhai.
# kupumua, pumzi
## Ufafanuzi
Biblia inafundisha kwamba Mungu "alimpulizia" Adamu pumzi ya uhai. Ikawa Adamu akawa kiumbe hai.
Wakati Yesu alipowapulizia wanafunzi na kuwaambia "pokeeni Roho," pengine kiualisia alipulizia hewa kwao kumaanisha "Roho Mtakatifu kuja kwao.
Wakati mwingine neno "kupumua" na "kupumua nje" yanamaanisha kuongea.
Kifungu cha kitamathali "pumzi ya Mungu" au "pumzi ya Yahwe" mara kwa mara inarejerea gadhabu ya Mungu ikimiminwa kwa uasi au mataifa yasiyomcha Mungu. Inaonesha nguvu yake.
Katika Biblia, neno "kupumua" na "pumzi" yanatumika mara kwa mara kitamathari kumaanisha kutoa uhai au kuwa na uhai.
Maoni ya Kutafasiri
Kifungu "alipumua mara ya mwisho" inamaanisha kusema "alikufa." Inaweza pia ikatafasiriwa kama, "alichukua pumzi yake ya mwisho" au "aliacha kupumua na akafa" au "alivuta pumzi mara ya mwisho."
Kuelezea Maandiko kama "Pumze ya Mungu" inamaanisha Mungu alisema au aliyatia nguvu maneno ya Maandiko ambayo baadaye wanadamu waliandika. Pengine inafaa zaidi, ikiwa inawezekana, kutafasiri "enye kupuliziwa na Mungu" kwa kawaida kwa kuwa ni vigumu kuwasilisha maana yake halisi.
Ikiwa tafasiri ya moja kwa moja ya "enye pumzi ya Mungu" haikubaliki, njia nyingine yaweza kutumika, "kuongozwa na Mungu" au "kuandikwa na Mungu" au "kusemwa na Mungu." Yaweza pia kusemwa kwamba "Mungu alipuliza neno la Maandiko."
Kifungu "kuweka pumzi ndani" au kupulizia uhai ndani ya" au "kutoa uhai kwa" yaweza kutafisiriwa kama, "kusababisha kupumua" au "kufufua" au "kuwawezesha kuishi na kupumua" au "kumpa uzima."
Ikiwa inawezekana, ni vema kutafasiri "pumzi ya Mungu" kwa neno halisi litumikalo kwa "pumzi" katika lugha. Ikiwa Mungu hasemwi kuwa na "pumzi" hii itafasiriwe kama "nguvu ya Mungu" au "sauti ya Mungu."
Kifungu "shika pumzi yangu" au "pata uzima wangu" itafasiriwe kama, "tulia ili upumua taratibu" au "acha kukimbia ili upumue kawaida.
Kifungu "ni pumzi tu" chamaanisha "inaishia kitambo kidogo".
Vilevile kifungu "mtu ni pumzi moja" chamaanisha "watu huishi muda mfupi sana" au "maisha ya wanadamu ni mafupi sana, kama pumzi moja" au "kwa kulinganisha na Mungu, maisha ya mtu yaonekana mafupi sana kama inavyochukua kuvuta pumzi mara moja."
* Biblia inafundisha kwamba Mungu "alimpulizia" Adamu pumzi ya uhai. Ikawa Adamu akawa kiumbe hai.
* Wakati Yesu alipowapulizia wanafunzi na kuwaambia "pokeeni Roho," pengine kiualisia alipulizia hewa kwao kumaanisha "Roho Mtakatifu kuja kwao.
* Wakati mwingine neno "kupumua" na "kupumua nje" yanamaanisha kuongea.
* Kifungu cha kitamathali "pumzi ya Mungu" au "pumzi ya Yahwe" mara kwa mara inarejerea gadhabu ya Mungu ikimiminwa kwa uasi au mataifa yasiyomcha Mungu. Inaonesha nguvu yake.
## Maoni ya Kutafasiri
* Kifungu "alipumua mara ya mwisho" inamaanisha kusema "alikufa." Inaweza pia ikatafasiriwa kama, "alichukua pumzi yake ya mwisho" au "aliacha kupumua na akafa" au "alivuta pumzi mara ya mwisho."
* Kuelezea Maandiko kama "Pumze ya Mungu" inamaanisha Mungu alisema au aliyatia nguvu maneno ya Maandiko ambayo baadaye wanadamu waliandika. Pengine inafaa zaidi, ikiwa inawezekana, kutafasiri "enye kupuliziwa na Mungu" kwa kawaida kwa kuwa ni vigumu kuwasilisha maana yake halisi.
* Ikiwa tafasiri ya moja kwa moja ya "enye pumzi ya Mungu" haikubaliki, njia nyingine yaweza kutumika, "kuongozwa na Mungu" au "kuandikwa na Mungu" au "kusemwa na Mungu." Yaweza pia kusemwa kwamba "Mungu alipuliza neno la Maandiko."
* Kifungu "kuweka pumzi ndani" au kupulizia uhai ndani ya" au "kutoa uhai kwa" yaweza kutafisiriwa kama, "kusababisha kupumua" au "kufufua" au "kuwawezesha kuishi na kupumua" au "kumpa uzima."
* Ikiwa inawezekana, ni vema kutafasiri "pumzi ya Mungu" kwa neno halisi litumikalo kwa "pumzi" katika lugha. Ikiwa Mungu hasemwi kuwa na "pumzi" hii itafasiriwe kama "nguvu ya Mungu" au "sauti ya Mungu."
* Kifungu "shika pumzi yangu" au "pata uzima wangu" itafasiriwe kama, "tulia ili upumua taratibu" au "acha kukimbia ili upumue kawaida.
* Kifungu "ni pumzi tu" chamaanisha "inaishia kitambo kidogo".
* Vilevile kifungu "mtu ni pumzi moja" chamaanisha "watu huishi muda mfupi sana" au "maisha ya wanadamu ni mafupi sana, kama pumzi moja" au "kwa kulinganisha na Mungu, maisha ya mtu yaonekana mafupi sana kama inavyochukua kuvuta pumzi mara moja."

View File

@ -1,10 +1,12 @@
# Neno "rushwa" inamaanisha kumpa mtu kitu cha thamani, kama pesa, kumshawishi afanye jambo bila uaminifu.
# rushwa
## Ufafanuzi
Askari waliolilinda kaburi wazi la Yesu walipewa rushwa ya pesa wakasema uongo juu ya kilichotokea.
Wakati mwingine maofisa wa serikali wanapewa rushwa ili wasilione kosa au kupiga kura kwa njia nyingine.
Biblia inazuia kutoa au kupokea rushwa.
Neno, "rushwa" laweza kutafasiriwa kama "malipo yasiyo harali" au "malipo ya uongo" au "thamani ya kuvunja sheria".
"Kufanya ongo" kwaweza kutafasiriwa kwa neno au kifungu kinachomaanisha, "kulipa ili kushawishi (mtu)" au "kulipa ili upendeleo usio halari ufanyike" au "kulipa kwa ajili ya upendeleo."
Neno "rushwa" inamaanisha kumpa mtu kitu cha thamani, kama pesa, kumshawishi afanye jambo bila uaminifu.
* Askari waliolilinda kaburi wazi la Yesu walipewa rushwa ya pesa wakasema uongo juu ya kilichotokea.
* Wakati mwingine maofisa wa serikali wanapewa rushwa ili wasilione kosa au kupiga kura kwa njia nyingine.
* Biblia inazuia kutoa au kupokea rushwa.
* Neno, "rushwa" laweza kutafasiriwa kama "malipo yasiyo harali" au "malipo ya uongo" au "thamani ya kuvunja sheria".
* "Kufanya ongo" kwaweza kutafasiriwa kwa neno au kifungu kinachomaanisha, "kulipa ili kushawishi (mtu)" au "kulipa ili upendeleo usio halari ufanyike" au "kulipa kwa ajili ya upendeleo."

View File

@ -1,7 +1,9 @@
# Bibi harusi ni mwanamke ambaye katika sherehe ya harusi anaolewa kwa mmewe, ambaye ni bwana harusi.
# Bibi harusi
## Ufafanuzi
Neno "bibi harusi" linatumika kama sitiari kwa wanaomwanini Yesu, Kanisa.
Kwa sitiari Yesu anaitwa "bwana harusi" kwa ajili ya Kanisa.
Bibi harusi ni mwanamke ambaye katika sherehe ya harusi anaolewa kwa mmewe, ambaye ni bwana harusi.
* Neno "bibi harusi" linatumika kama sitiari kwa wanaomwanini Yesu, Kanisa.
* Kwa sitiari Yesu anaitwa "bwana harusi" kwa ajili ya Kanisa.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# Bwana harusi ni mtu anayemwoa bibi arusi katika sherehe ya harusi.
# Bwana harusi
## Ufafanuzi
Katika utamaduni wa Kiyahudi nyakati za Biblia, sherehe iliwekwa siku ambayo bwana arusi alikuja kumchukua bibi harusi wake.
Katika Biblia, kwa kutumia tamathari ya semi, Yesu anaitwa "Bwana harusi" atakayetuijia siku moja "Bibi harusi wake," kanisa.
Yesu aliwafananisha thenashara na rafiki za Bwana harusi wanaosherehekea bwana harusi anapokuwa pamoja nao, lakini wanahuzunika anapoondoka.
Bwana harusi ni mtu anayemwoa bibi arusi katika sherehe ya harusi.
* Katika utamaduni wa Kiyahudi nyakati za Biblia, sherehe iliwekwa siku ambayo bwana arusi alikuja kumchukua bibi harusi wake.
* Katika Biblia, kwa kutumia tamathari ya semi, Yesu anaitwa "Bwana harusi" atakayetuijia siku moja "Bibi harusi wake," kanisa.
* Yesu aliwafananisha thenashara na rafiki za Bwana harusi wanaosherehekea bwana harusi anapokuwa pamoja nao, lakini wanahuzunika anapoondoka.

View File

@ -1,10 +1,12 @@
# Neno "shaba" linamaanisha aina ya madini yatengenezwayo kwa kuyeyusha kwa pamoja metali, shaba nyekundu na bati. Ina rangi nyeusi inayoelekea njano, nyekundu kiasi.
# shaba
## Ufafanuzi
Shaba huzuia kutu na kipitisho kizuri cha joto
Hapo kale, shaba ilitumika kutengeneza dhana, silaha, madhabahu, vyungu, silaha za askari na vitu vingine.
Vifaa vingi vya kujengea hema la kukutania na hekalu vilikuwa vimetengenezwa kwa shaba.
Kwa kawaida vinyago vya miungu ya uongo vilitengenezwa kwa madini ya shaba.
Dhana za shaba zilitengenezwa baada ya kuyeyusha madini ya shaba na kisha kuyamimina katika chombo cha kutengenezea. Mchakato huu uliitwa "kutupa."
Neno "shaba" linamaanisha aina ya madini yatengenezwayo kwa kuyeyusha kwa pamoja metali, shaba nyekundu na bati. Ina rangi nyeusi inayoelekea njano, nyekundu kiasi.
* Shaba huzuia kutu na kipitisho kizuri cha joto
* Hapo kale, shaba ilitumika kutengeneza dhana, silaha, madhabahu, vyungu, silaha za askari na vitu vingine.
* Vifaa vingi vya kujengea hema la kukutania na hekalu vilikuwa vimetengenezwa kwa shaba.
* Kwa kawaida vinyago vya miungu ya uongo vilitengenezwa kwa madini ya shaba.
* Dhana za shaba zilitengenezwa baada ya kuyeyusha madini ya shaba na kisha kuyamimina katika chombo cha kutengenezea. Mchakato huu uliitwa "kutupa."

View File

@ -1,11 +1,13 @@
# Mzigo ni kitu kizito. Kwa uhalisia inamaanisha uzito wa kitu ambacho mnyama wa kazi angeweza kubeba. Neno "mzigo" pia linamaana kadhaa za kimafumbo:
# mzigo
## Ufafanuzi
Mzigo waweza kumaanisha kazi ngumu au wajibu wa mhimu ambao mtu anapaswa kuufanya. Anaswemwa "kuuchukua" au "kuubeba" "mzigo mzito."
Kiongozi katili aweza kuweka mizigo mizito kwa watu anaowaongoza, mfano kwa kuwalazimisha kulipa kiwango kikubwa cha ushuru.
Mtu asiyependa kuwa mzigo kwa mtu mwingine hapendi kumsababishia mtu huyo shida yoyote.
Hatia ya dhambi za mtu ni mzigo kwake.
"Mzigo wa Bwana" ni tamathari ya usemi kumaanisha "ujumbe kutoka kwa Mungu" ambao nabii anapaswa kuutoa kwa watu wa Mungu.
Neno "mzigo" laweza kufasiriwa kuwa "wajibu" au "jukumu" au "mzigo mzito" au"ujumbe," kutegemeana na mazingira.
Mzigo ni kitu kizito. Kwa uhalisia inamaanisha uzito wa kitu ambacho mnyama wa kazi angeweza kubeba. Neno "mzigo" pia linamaana kadhaa za kimafumbo:
* Mzigo waweza kumaanisha kazi ngumu au wajibu wa mhimu ambao mtu anapaswa kuufanya. Anaswemwa "kuuchukua" au "kuubeba" "mzigo mzito."
* Kiongozi katili aweza kuweka mizigo mizito kwa watu anaowaongoza, mfano kwa kuwalazimisha kulipa kiwango kikubwa cha ushuru.
* Mtu asiyependa kuwa mzigo kwa mtu mwingine hapendi kumsababishia mtu huyo shida yoyote.
* Hatia ya dhambi za mtu ni mzigo kwake.
* "Mzigo wa Bwana" ni tamathari ya usemi kumaanisha "ujumbe kutoka kwa Mungu" ambao nabii anapaswa kuutoa kwa watu wa Mungu.
* Neno "mzigo" laweza kufasiriwa kuwa "wajibu" au "jukumu" au "mzigo mzito" au"ujumbe," kutegemeana na mazingira.

View File

@ -1,8 +1,10 @@
# "Sadaka ya kuteketezwa" ilikuwa ni aina ya sadaka iliyotolewa kwa Mungu kwa njia ya moto juu ya madhabahu. Ilitolewa ili kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu. Hii pia ilikuwa ikiitwa "toleo kwa njia ya moto."
# Sadaka ya kuteketezwa
## Ufafanuzi
Wanyama waliotolewa kwa njia hii kwa kawaida walikuwa kondoo na mbuzi, lakini ng'ombe na ndege pia walikuwa wakitolewa.
Nyama yote ya mnyama iliteketezwa kwa njia hii, isipokuwa ngozi. Ngozi alipewa kuhani.
Mungu aliwaagiza Wayahudi kutoa sadaka ya kuteketezwa mara mbili kwa siku.
"Sadaka ya kuteketezwa" ilikuwa ni aina ya sadaka iliyotolewa kwa Mungu kwa njia ya moto juu ya madhabahu. Ilitolewa ili kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu. Hii pia ilikuwa ikiitwa "toleo kwa njia ya moto."
* Wanyama waliotolewa kwa njia hii kwa kawaida walikuwa kondoo na mbuzi, lakini ng'ombe na ndege pia walikuwa wakitolewa.
* Nyama yote ya mnyama iliteketezwa kwa njia hii, isipokuwa ngozi. Ngozi alipewa kuhani.
* Mungu aliwaagiza Wayahudi kutoa sadaka ya kuteketezwa mara mbili kwa siku.

View File

@ -1,12 +1,14 @@
# Neno "zika" kwa kawaida linamaanisha kuweka kaburini mwili wa mtu aliyekufa. Neno "kuzika" ni kitendo cha kuzika kitu au linaweza kutumika kueleza sehemu itumikayo kuzikia.
# kuzika, zika
## Ufafanuzi
Mara kwa mara watu uzika maiti kwa kuweka katika kaburi ardhini na kufukia kwa udongo
Wakati mwingine mwili huwekwa katika kitu chenye muundo wa boksi, kama vile jeneza kabla ya kuzika.
Nyakati za Biblia, mara kwa mara wafu walizikwa katika pango au eneo linalofanana na hilo. Baada ya Yesu kufa, mwili wake ulifunikwa kwa sanda na kuwekwa katika kaburi mwambani lililowekwa mhuri mkubwa.
Maneno "makaburini" au "chumba cha kuzikia" au "sehemu ya kuzikia" au "pango la kuzikia" yote kwa ujumla yanamaanisha mahali wafu wanapozikwa.
Vitu vingine pia vyaweza kuzikwa, kwa mfano Akani alifukia fedha na vitu vingine alivyokuwa ameviiba huko Yeriko.
Kirai "alifunika uso wake" kwa kawaida humaanisha, "kufunika uso kwa kutumia mikono."
Wakati mwingine neno "ficha" laweza kumaanisha "fukia" kama Akani alivyoficha ardhini vitu alivyokuwa ameviiba kutoka Yeriko. Hii inamaanisha alivifukia ardhini.
# Neno "zika" kwa kawaida linamaanisha kuweka kaburini mwili wa mtu aliyekufa. Neno "kuzika" ni kitendo cha kuzika kitu au linaweza kutumika kueleza sehemu itumikayo kuzikia.
* Mara kwa mara watu uzika maiti kwa kuweka katika kaburi ardhini na kufukia kwa udongo
* Wakati mwingine mwili huwekwa katika kitu chenye muundo wa boksi, kama vile jeneza kabla ya kuzika.
* Nyakati za Biblia, mara kwa mara wafu walizikwa katika pango au eneo linalofanana na hilo. Baada ya Yesu kufa, mwili wake ulifunikwa kwa sanda na kuwekwa katika kaburi mwambani lililowekwa mhuri mkubwa.
* Maneno "makaburini" au "chumba cha kuzikia" au "sehemu ya kuzikia" au "pango la kuzikia" yote kwa ujumla yanamaanisha mahali wafu wanapozikwa.
* Vitu vingine pia vyaweza kuzikwa, kwa mfano Akani alifukia fedha na vitu vingine alivyokuwa ameviiba huko Yeriko.
* Kirai "alifunika uso wake" kwa kawaida humaanisha, "kufunika uso kwa kutumia mikono."
* Wakati mwingine neno "ficha" laweza kumaanisha "fukia" kama Akani alivyoficha ardhini vitu alivyokuwa ameviiba kutoka Yeriko. Hii inamaanisha alivifukia ardhini.

View File

@ -4,10 +4,10 @@
Usemi "viongozi wa Kiyahudi" au "mamlaka ya Kiyahudi" inamaanisha viongozi wa dini kama makuhani na walimu wa sheria za Mungu. Walikuwa na mamlaka yakufanya maamuzi ya mambo yasiyo yakidini pia.
Viongozi wa Kiyahudi walikuwa ndio makuhani wakuu, waandishi (walimu wa sheria za Mungu).
Makundi mawili makuu ya viongozi wa Kiyahudi walikuwa Mafarisayo na Masadukayo.
Viongozi sabini wa Kiyahudi walikutana pamoja katika Baraza la Wayahudi Yerusalemu kufanya maamuzi kuhusiana na mambo ya sheria.
Viongozi wengi wa Kiyahudi walikuwa na majivuno na walidhani ni watakatifu. Walimuonea wivu Yesu na walitaka kumdhuru. Walidai kumjua Mungu ila hawakumtii.
Mara nyingi usemi "Wayahudi" inamaanisha viongozi wa Kiyahudi, hasa katika mazingira walipokuwa na hasira na Yesu na walipojaribu kumtega au kumdhuru.
Maneno haya yanaweza pia kutafsiriwa kama "viongozi wa Kiyahudi" au "watu waliotawala juu watu wa Kiyahudi" au "Viongozi wa dini wa Kiyahudi."
* Viongozi wa Kiyahudi walikuwa ndio makuhani wakuu, waandishi (walimu wa sheria za Mungu).
* Makundi mawili makuu ya viongozi wa Kiyahudi walikuwa Mafarisayo na Masadukayo.
* Viongozi sabini wa Kiyahudi walikutana pamoja katika Baraza la Wayahudi Yerusalemu kufanya maamuzi kuhusiana na mambo ya sheria.
* Viongozi wengi wa Kiyahudi walikuwa na majivuno na walidhani ni watakatifu. Walimuonea wivu Yesu na walitaka kumdhuru. Walidai kumjua Mungu ila hawakumtii.
* Mara nyingi usemi "Wayahudi" inamaanisha viongozi wa Kiyahudi, hasa katika mazingira walipokuwa na hasira na Yesu na walipojaribu kumtega au kumdhuru.
* Maneno haya yanaweza pia kutafsiriwa kama "viongozi wa Kiyahudi" au "watu waliotawala juu watu wa Kiyahudi" au "Viongozi wa dini wa Kiyahudi."

View File

@ -42,7 +42,7 @@ dublin_core:
subject: 'Translation Words'
title: 'translationWords'
type: 'dict'
version: '7.2'
version: '7.3'
checking:
checking_entity: