sw_tw/bible/names/zacchaeus.md

377 B

Zakayo

Ufafanuzi

Zakayo alikuwa mtoza ushuru katika mji wa Yeriko aliyepanda katika mti ili aweze kumwona Yesu aliyekuwa amezungukwa na kundi kubwa la watu.

  • Zakayo alibadilishwa kabisa alipomwamini Yesu.
  • Alitubu dhambi yake ya kuwaibia watu na kuahidi kuwapa masikini nusu ya mali yake.
  • Aliahidi pia kwamba angewarudishia mara nne watu aliokuwa amewatoza zaidi.