sw_tw/bible/names/bartholomew.md

405 B

Batholomayo

Ufafanuzi

Batholomayo alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi kumi na mbili wa Yesu.

  • Batholomayo alitumwa pamoja na wale mitume wengini kuhubiri injili na kufanya miujiza kwa jina la Yesu.
  • Alikuwa miongoni mwa wale waliomwona Yesu akienda mbinguni.
  • Majuma kadhaa baada ya hayo, alikuwa pamoja na mitume wengine huko Yerusalemu siku ya Pentekoste wakati Roho Mtakatifu alipowashukia.