457 B
457 B
Zerubabeli
Ufafanuzi
Zerubabeli lilikuwa jina la Waisraeli wawili katika Agano la Kale.
- Mmoja wao alikuwa mzao wa Yehoyakimu na Sedakia.
- Zerubabeli mwingine, mwana wa Shealitieli, alikuwa kiongozi wa kabila la Yuda wakati wa Ezra na Nehemia, Koreshi mfalme wa Uajemi alipowaacha huru Waisraeli kutoka katika utumwa wao huko Babeli.
- Zerubabeli na Yoshua kuhani mkuu walikuwa miongoni mwa waliohusika kujenga upya hekalu na madhabahu ya Mungu.