markdown lists syntax

This commit is contained in:
Larry Versaw 2018-09-25 15:34:32 -06:00
parent bbac5fdea4
commit 8d0f608840
257 changed files with 14 additions and 676 deletions

View File

@ -10,11 +10,11 @@ Yesu alionesha aina hii ya upendo kwa kujitolea maisha yake kama sadak ili kutuo
Watu wanapowapenda wengine na aina hii ya upendo, inahusisha matendo yanayoonesha kuwa mtu anafikiria yale yatakomsaidia mtu mwingine kufanikiwa. Aina hii ya upendo inahusisha zaidi kusamehe wengine.
Katika ULB, neno "upendo" linamaanisha aina hiiya upendo wa kujitoa, isipokuwa noti ya tafsiri iashirie maana tofauti.
2.Neno jingine katika Agano Jipya linamaanisha upendo wa kindugu au upendo kwa ajili ya rafiki au mwana familia.
1. Neno jingine katika Agano Jipya linamaanisha upendo wa kindugu au upendo kwa ajili ya rafiki au mwana familia.
Neno hili linamaanisha upendo wa asili wa binadamu kati ya marafiki na ndugu.
Inawezekana kutumika katika mazingira kama, "Wanapenda kukaa kwenye viti muhimu katika sherehe." Hii inamaanisha "wanatamani sana" kufanya hivyo.
3. Neno "upendo" linaweza pia kumaanisha upendo wa kimapenzi kati ya mwanamme na mwanamke.
4. Katika hali ya kimithali, "Yakobo nimempenda, lakini Esau nimemchukia", neno "mpenda" linamaanisha Mungu kumchagua Yakobo kuwa katika mahusiano ya maagano na yeye. Hii inaweza pia kutafsiriwa kama "kuchaguliwa." Ingawa Esau alibarikiwa pia na Mungu, hakupewa heshima ya kuwa katika maagano. Neno "kuchukia" linatumika kimithali hapa kumaanisha "kukataliwa" au "kutokuchaguliwa."
1. Neno "upendo" linaweza pia kumaanisha upendo wa kimapenzi kati ya mwanamme na mwanamke.
1. Katika hali ya kimithali, "Yakobo nimempenda, lakini Esau nimemchukia", neno "mpenda" linamaanisha Mungu kumchagua Yakobo kuwa katika mahusiano ya maagano na yeye. Hii inaweza pia kutafsiriwa kama "kuchaguliwa." Ingawa Esau alibarikiwa pia na Mungu, hakupewa heshima ya kuwa katika maagano. Neno "kuchukia" linatumika kimithali hapa kumaanisha "kukataliwa" au "kutokuchaguliwa."

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Neno "mtukufu" la husu ukubwa na utukufu, mara nying katika sifa za mfalme.
* Katika Biblia, "mtukufu" mara nyingi la husu ukuu wa Mungu, ambaye ndiye mtawala wa ulimwengu.
* "mtukufu" ni namna ya kumwita mfalme katika mazungumzo.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Manna ili kuwa nyeupe, aina ya chakula cha unga ambacho Mungu alikitoa kwa ajili ya Waisraeli kula kipindi cha miaka 40 waliyo ishi nyikani baada ya kutoka Misri.
* Manna ilikuwa kama theluji iliyo tokea kila asubui katika ardhi chini ya umande. Ladha yake ilikuwa tamu, kama asali.
* Waisraeli walikusanya theluji za manna kila siku kasoro Sabato.
* Katika siku kabla ya Sabato, Mungu aliwambia Waisraeli kukusanya mara mbili kiasi cha manna ili wasikusanye siku yao ya mapumziko.
* Neno "manna" lina maana ya "nini hiki?"
* Katika Biblia, manna pia ya tajwa kama "mkate kutoka mbinguni"

View File

@ -5,13 +5,8 @@
Neno "rehema" lina husu kusaidia mtu waliyo na shida, hususani wanapo kuwa chini au hali ngumu.
* Neno "rehema" linaweza maanisha maana yakuto adhibu watu kitu walicho kosea.
* Mtu mwenye nguvu kama mfalme anaelezwa kama mwenye "rehema" anapo tendea watu wema badala ya kuwaua.
* Kuwa mwenye Rehema ina maana ya kusamehe mtu aliye kukosea.
* Tuna onyesha rehema tunapo saidia watu mwenye shida kubwa.
* Mungu ni wa rehema kwetu, na anataka tuwe na rehema kwa wengine.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Katika Biblia, maneno "muhudumu" na "huduma" ya husu kutumikia wengine kwa mafundisho kuhusu Mungu na kujali mahitaji yao ya kiroho. Neno "muhudumu" pia laweza eleza mtu anaye tumikia watu kwa namna hii.
* Katika Agano la Kale, makuhani "walitumika" kwa Mungu ndani ya hekalu kwa kutoa sadaka za dhabihu kwake.
* "Huduma" zao pia ilihusisha kuhudumia hekalu na kutoa maombi kwa Mungu kwa niaba ya watu.
* Katika Agano Jipya, "muhudumu" wa injili alikuwa mtu aliye fundisha watu wengine ujumbe wa wokovu kupitia imani ya Yesu. Wakati mwingine muhudumu anatwa "mtumishi"
* Kazi ya kuhudumu kwa watu yaweza maanisha kuwatumikia kiroho kwa kuwa fundisha kuhusu Mungu.

View File

@ -5,16 +5,10 @@
"Muujiza" ni kitu kinacho shangaza ambacho hakiwezekani pasipo Mungu kusababisha kitokee.
* Mifano ya miujiza Yesu aliyo fanya ni kutuliza dhoruba na kumponya kipofu.
* Miujiza wakati mwingine inaitwa "maajabu" kwasababu ina sababisha watu kujawa na mshangao au kustaajabika.
* Neno "ajabu" pia laweza kwa ujumla kueleza nguvu za Mungu, kama alivyo umba mbingu na nchi.
* Miujiza pia ya weza itwa "ishara" kwasababu inatumika kama kiashiria au ushaidi kwamba Mungu ni mwenye nguvu kamilifu juu ya ulimwengu.
* Miujiza mingine ilikuwa matendo ya urejesho wa Mungu, kama vile alipo waokoa Waisraeli kutoka utumwani Misri na alipo mlinda Danieli kuto umizwa na simba.
* Maajabu mengine yalikuwa matendo ya hukumu ya Mungu, kama alivyo tuma garika ulimwenguni kote kipindi cha Nuhu na alipo leta mapigo katika nchi ya Misri kipindi cha Musa.
* Miujiza mingi ya Mungu ilikuwa uponyaji wa mwili wa wagonjwa au kuleta wafu kuwa hai.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Neno "Aliye Juu" ni cheo cha Mungu. kina husu ukuu wake au mamlaka.
* Maana ya hili neno ni sawa na "Ukuu"
* Neno "juu" katika hichi cheo halihusu urefu wa kimwili au umbali. Lina husu ukuu.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Manemane ni mafuta au manukato yanayo tengenezwa kwa majani ya manemane yanayo ota Africa na Asia.
* Manemane utumika kutengeneza uvumba, marashi, na dawa, na kuanda miili kwa maazishi.
* Manemane ni baadhi ya wasomi waliyo mpa Yesu alipo zaliwa.
* Yesu alipewa mvinyo iliyo changanywa na manemane ili kupunguza maumivu alipo sulubiwa.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Katika Biblia, neno "jina" linatumika kwa mifano kadhaa.
* Katika muktadha kadhaa, "jina" la weza eleza tabia ya mtu, kama, "tujifanyie jina letu"
* Neno "jina" pia laweza husu kumbukumbu ya kitu. Kwa mfano, "katilia majina ya sanamu" ina maana kuharibu hizo sanamu ili zisikumbukwe au kuabudiwa.
* Kuzungumza "katika jina la Mungu" ina maana ya kuongea kwa nguvu zake na mamlaka, au kama mwakilishi.
* "Jina" la mtu laweza husu mtu wote, kama "hakuna jina lingine chini ya jua ambalo twapaswa kuokolewa."

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Neno "Mnaziri" ni mtu aliye toa kiapo cha "Naziri." Sana wanaume wana toa hichi kiapo, pia wanawake waliweza kutoa.
* Mtu aliye toa kiapo cha Naziri alikubali kuto kula chakula au kunywa kinywaji cha mizabibu kwa siku, wiki, au miezi ili kutimiza kiapo. Pia kipindi hicho hakukata nywele na hakukaribia maiti.
* Baada ya muda kupita na kutimiza kiapo, Mnaziri alienda kwa kuhani na kutoa sadaka. Hii ilikuwa ni kukata na kuchoma nywele zake. Pia vizuizi vyote viliondolewa.
* Samsoni ni maarufu katika Agano la Kale aliye kuwa chini ya kiapo cha Naziri.
* Malaika aliye tangaza kuzaliwa kwa Yohana mbatizaji alimwambia Zekaria mwanae hatakunywa kinywaji kikali, iliyo ashiria kuwa Yohana alikuwa chini ya kiapo cha Naziri.
* Mtume Paulo pia kwa wakati moja alichukuwa hichi kiapop, kulingana na kurasa moja katika Matendo.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Neno "Sabato" la husu siku ya saba ya wiki, ambayo Mungu aliwaamuru Waisraeli waitenge kama siku ya kupumzika na kutofanya kazi.
* Baada ya Mungu kumaliza kuumba dunia kwa siku sita, alipumzika siku ya saba. Kwa namna hiyo hiyo, Mungu aliwaamuru Waisraeli kutenga siku ya saba kama siku maalumu ya kupumzika na kumuabudu.
* Amri "kutakasa Sabato" ni moja ya amri kumi Mungu alizo andika katika jiwe alilo mpa Musa kwa ajili ya Waisraeli.
* Kwa kufuata kanuni ya Wayahudi ya kuhesabu siku, Sabato ya anza Ijumaa jua linapo zama na kudumu hadi Juma Mosi jua linapo zama.
* Wakati mwingine katika Biblia Sabato yaitwa "siku ya Sabato" kuliko tu Sabato.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Masadukayo walikuwa kikundi cha makuhani wa Kiyahudi kipindi cha Yesu Kristo waliyo unga mkono utawala wa Warumi na ambao hawakuamini ufufuo.
* Masadukayo wengi walikuwa matajiri, Wayahudi wa daraja la juu waliyo shika vyeo vikubwa kama vile chifu kuhani na kuhani mkuu.
* Majukumu ya Masadukayo yali husisha kutunza hekalu na kazi za kikuhani kama kutoa dhabihu.
* Masadukayo na Mafarisayo walishawishi viongozi wa Kirumi kumsulubisha Yesu.
* Yesu alizungumza kuhusu haya makundi mawili ya kidini kwasababu ya ubinafsi na unafiki wao.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Neno "watakatifu" lina maana ya halisi ya "waliyo wasafi" na kueleza waamini wa Yesu.
* Baadae katika historia ya Biblia, mtu aliye julikana kwa kazi yake njema alipewa cheo "mtakatifu," lakini sivyo jinsi hili neno lilitumika katika Agano Jipya.
* Waamini katika Yesu ni watakatifu au waliyo wasafi, sio kwasababu kwa walicho fanya, lakini bali kupitia imani katika kazi ya kuokoa ya Yesu Kristo. Yeye ndiye anao wafanya kuwa wasafi.

View File

@ -4,9 +4,7 @@
Kutakasa ni kutenga kando au kufanya takatifu. Utakaso ni hatua ya kufanya takatifu.
Katika Agano la Kale, baadhi ya watu na vitu vilitakaswa, au kutengwa kando, kwa hudumu ya Mungu.
* Katika Agano la Kale, baadhi ya watu na vitu vilitakaswa, au kutengwa kando, kwa hudumu ya Mungu.
* Agano Jipya lina fundisha kuwa Mungu anatakasa watu wanao mwamini Yesu. Hiyo ni kwamba, anawafanya watakatifu na kuwatenga kumtumikia.
* Waamini katika Yesu wanaamriwa kujitakasa kwa Mungu, kuwa watakatifu katika kila kitu wanacho fanya.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Neno "mahali takatifu" ya husu sehemu ambayo Mungu amefanya takatifu. Inaweza maanisha eneo linalo toa ulinzi na usalama.
* Katika Agano la Kale, neno "mahali takatifu" mara nyingi lilitumika kueleza maskani au hekalu ambapo "patakatifu" na "patakatifu pa patakafitu" kulikuwepo.
* Mungu alitaja mahali takatifu kama sehemu aliyo ishi miongoni mwa watu wake, Waisraeli.
* Pia alijiita "mahali takatifu" au sehemu salama watu wake wanaweza pata ulinzi.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Neno "okoa" la husu kumzuia mtu kutopitia kitu kibaya au cha hatari. Kuwa "salama" ya maanisha kulindwa na hatari au majanga.
* Kwa hali ya kawaida, watu wanaweza okolewa au kombolewa kutoka kwenye hatari, au kifo.
* Katika hali ya kiroho, kama mtu ameokolewa ina maana kupitia kifo cha Yesu msalabani, Mungu amemsamehe na kumkomboa kutoadhibiwa jehanamu kwa dhambi zake.
* Watu wanaweza okoa au kukomboa watu na hatari, lakini Mungu tu anaweza okoa watu kutoadhibiwa milele kwa dhambi zao.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Neno "Mwokozi" lina husu mtu anaye okoa au komboa wengine na hatari. Pia yaweza maanisha mtu anaye wapa wengine uwezo au waitaji yao.
* Katika Agano la Kale, Mungu anatajwa kama Mwokozi wa Waisraeli kwasababu mara nyingi aliwaokoa na maadui zao, akawapa uwezo, na kuwapa maitaji yao.
* Katika Agano Jipya, "Mwokozi" linatumika kama elezo au cheo cha Yesu Kristo kwasababu anaokoa watu kutoadhibiwa milele kwa dhambi zao. Pia ana waokoa na kutawaliwa na dhambi zao.

View File

@ -5,14 +5,9 @@
Waandishi walikuwa wasimamizi waliyo wajibika katika kuandika au kunakili nyaraka muhimu za serikali au za kidini kwa mkono. Jina lingine la mwandishi wa Kiyahudi ni "mtaalamu katika sheria ya Kiyahudi."
* Waandishi waliwajibika kunakili na kutunza vitabu vya Agano la Kale.
* Pia walinakili, hifadhi, na kutafsiri maoni ya kidini na maelezo katika sheria ya Mungu.
* Wakati mwingine, waandishi walikuwa wasimamizi muhimu wa serikali.
* Waandishi muhimu katika Biblia walikuwa Baruku na Ezra.
* Katika Agano Jipya, neno "waandishi" lina tafsiriwa pia kama "waalimu wa sheria"
* Katika Agano Jipya, waandishi walikuwa sehemu ya makundi ya kidini yaliyo itwa "Mafarisayo" na makundi haya mawili mara nyingi utajwa pamoja.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Neno "kutenga" lina maana ya kutengwa kutoka kwenye kitu kutimiza aina ya kusudi.
* Waisraeli walitengwa kwa huduma ya Mungu.
* Roho Mtakatifu aliamuru Wakristo wa Antioki kumtenga Paulo na Barnabas kwa kazi Mungu aliyo taka wafanye.
* Muamini aliye "tengwa" kwa kazi ya Mungu "ametolewa kutimiza" kazi ya Mungu.
* Maana moja ya neno "takatifu" ni kutenga kama kuwa wa Mungu na kutengwa na dhambi za dunia.

View File

@ -5,20 +5,12 @@
Ishara ni kitu, tukio, au kitendo kinacho wasilisha maana maalumu.
* Ishara zinaweza kuwa kumbusho cha kitu kilicho ahaidiwa.
* Upinde wa mvua Mungu aliyo uumba kwenye anga ulikuwa ni ishara ya kuwa kumbusha watu kwamba hataharibu maisha ya watu kwa gharika.
* Mungu aliamuru Waisraeli kutairi wana wao kama ishara ya agano lake kwao.
* Ishara zinaweza dhihirisha au kuelekeza kwa kitu.
* Malaika aliwambia wachungaji ishara itakayo wasaidia wao mtoto yupi Bethilehemu ndiye mzaliwa Mesiya mpaya.
* Yuda alimbusu Yesu kama ishara kwa viongozi wa kidini kwamba Yesu ndiye wamkamate.
* Ishara yaweza thibitisha kwamba kitu ni kweli.
* Miujiza iliyo fanywa na manabii na mitume ilikuwa ishara iliyo thibitisha walikuwa wanazungumza ujumbe wa Mungu.
* Miujiza Yesu aliyo tenda ilikuwa ishara kuwa yeye ndiye Mesiya.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Neno "dhambi" la husu matendo, mawazo, na maneno yaliyo kinyume dhidi ya mapenzi ya Mungu na Sheria. Dhambi yaweza maanisha kutofanya kitu Mungu alicho tuambia tufanye.
* Dhambi ya jumuisha chochote tunacho fanya kisicho mtii au mpendeza Mungu, ata vitu watu wasivyo vijua.
* Mawazo na matendo yanayo kosea mapenzi ya Mungu yanaitwa "yenye dhambi"
* Kwasababu Adamu alitenda dhambi, wanadamu wote wanazaliwa na hasili ya dhambi inayo watawala.
* "mwenye dhambi" ni mtu anaye tenda dhambi, hivyo kila mwanadamu ni mwenye dhambi.
Wakati mwingine neno "mwenye dhambi" lilitumika na watu wa dini kama Mafarisayo kueleza watu wasio shika sheria.
* Wakati mwingine neno "mwenye dhambi" lilitumika na watu wa dini kama Mafarisayo kueleza watu wasio shika sheria.

View File

@ -5,14 +5,9 @@
Neno "mwana" la husu mvulana au mwanaume na wazazi wake. La weza eleza mzao wa kiume wa mwanaume au mwana aliye pangwa.
* "Mwana" ni linatumika sana kifumbo katika Biblia kueleza mzao wa kiume, kama mjukuu au kitukuu.
* Neno "mwana" pia la weza kama rasmi ya kumtaja mvulana au mwanaume aliye mdogo.
* Wakati mwingine "wana wa Mungu" lina tumika katika Agano Jipya kueleza waamini wa Yesu.
* Mungu anamuita Israeli "mwana wake wa kwanza." Hii yaeleza Mungu kuchagua taifa la Israeli kuwa watu wake maalumu. Ni kupitia wao kuwa ujumbe wa Mungu wa wokovu ulikuja, kwa matokeo kwamba wengi wamekuwa wana wake wa kiroho.
* Maneno "mwana wa" mara nyingi ina maana ya kimafumbo, "kuwa na tabia ya."
* Maneno "mwana wa" pia linatumika kueleza baba wa mtu. Hili neno linatumika katika vizazi na sehemu nyingine.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Neno "Mwana wa Mungu la husu Yesu, Neno la Mungu aliye kuja duniani kama binadamu. Anajulikana kama "Mwana."
* Mwana wa Mungu ana tabia moja na Mungu Baba, na ni Mungu timilifu.
* Mungu Baba, Mungu Mwana, na Mungu Roho Mtakatifu yote ni maana moja.
* Tofauti na wana wa binadamu, Mwana wa Mungu alikuwepo siku zote.
* Mwanzo, Mwana wa Mungu alikuwepo katika uumbaji wa ulimwengu, pamoja na Baba na Roho Mtakatifu.
* Kwasababu Yesu ni Mwana wa Mungu, na penda na kumtii Baba yake, na Baba yake anampenda.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Jina, "Mwana wa Adamu" lilitumika na Yesu akijieleza. Mara nyingi alitumia hili jina badala ya kusema "mimi."
* Katika Biblia, mwana wa adamu" ina weza kuwa ya kumueleza mtu au kumtaja mtu. Yaweza pia maanisha "binadamu."
* Katika Agano la Kale la kitabu cha Ezekieli, Mungu mara nyingi anamtaja Ezekieli kama "mwana wa adamu." Kwa mfano anasema, "Wewe, mwana wa adamu, utabiri."
* Nabii Danieli aliona maono ya "mwana wa adamu" akija na mawingu, ambayo ni mfano wa kuja kwa Mesiya.
* Yesu pia alisema Mwana wa Adamu atarudi siku moja na mawingu.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Jina, "wana wa Mungu" ni msemo wa mfano wenye maana kadhaa.
* Katika Agano Jipya, maneno "wana wa Mungu" ya husu waamini katika Yesu na mara nyingi utafsiriwa kama "watoto wa Mungu" maana ina jumuisha wakiume na wakike.
* Haya matumizi ya jina la zungumzia mahusiano na Mungu ambayo ni kama mahusiano kati ya mwana na baba.
* Katika Mwanzo 6, baadhi ya watu wanatafsiri "wana wa Mungu" kama malaika waliyo hasi, yani, roho chafu au mapepo. Wengine wanadhani inaweza maanisha viongozi wenye nguvu wa kisiasa au wazao wa Sethi.
* Katika Agano la Kale, neno "wana wa Mungu" la husu waamini wote wa Yesu na mara nyingi utafsiriwa kama "watoto wa Mungu."
* Jina, "Mwana wa Mungu" ni neno tofauti, linalo mtaja Yesu, ambaye ni Mwana wa Mungu

View File

@ -4,9 +4,7 @@
Nafsi ni sehemu ya ndani, isiyo onekana ya mtu. Ya husu sehemu isiyo ya kimwili ya mtu.
Maneno "nafsi" na "roho" yanaweza kuwa mitazamo miwili tofauti, au inaweza kuwa maneno mawili yanayo eleza mtazamo mmoja.
* Maneno "nafsi" na "roho" yanaweza kuwa mitazamo miwili tofauti, au inaweza kuwa maneno mawili yanayo eleza mtazamo mmoja.
* Mtu anapo kufa, nafsi yake ya acha mwili.
* Neno "nafsi" wakati mwingine utumika kimafumbo kueleza mtu kamilifu. Kwa mfano, "nafsi inayo fanya dhambi" ina maana, "mtu anaye fanya dhambi" na "nafsi yangu imechoka," ina maana "nimechoka"

View File

@ -5,18 +5,11 @@
Neno "roho" la eleza sehemu isiyo ya kimwili ya watu isiyo onekana. Mtu anapo kufa, roho yake inaacha mwili wake. "Roho" inaweza eleza tabia au hali ya kihisia ya mtu.
* Neno "roho" la eleza kiumbe kisicho kuwa na mwili, hususani roho chafu.
* Roho ya mtu ni sehemu yake inayo weza mjua Mungu na kumuamini.
* Kwa ujumla, neno "kiroho" la eleza chochote kisicho katika dunia ya mwili.
* Katika Biblia, sana ueleza chochote kinacho muhusu Mungu, sana Roho Mtakatifu.
* Mungu ni roho na ameumba roho za viumbe wengine wasiyo na miili.
* Malaika ni roho, pamoja na hao waliyo hasi dhidi ya Mungu na kuwa roho chafu.
* Neno "roho ya" la weza maanisha "kuwa na tabia za," kama vile, "roho ya hekima" au "katika roho ya Eliya."
* Mifano ya "roho" kama tabia au hisia itahusisha "roho ya hofu" au "roho ya wivu"

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Jiwe ni mwamba mdogo. Neno "kupiga jiwe" la husu kurusha mawe na majabali makubwa kwa mtu kuweza kumuua.
* Wakati wa Kale, kupiga mawe ilikuwa namna iliyo zoeleka ya kuua watu kama adhabu kwa makosa waliyo fanya.
* Mungu aliamuru viongozi wa Israeli kupiga mawe watu kwa dhambi kadhaa, kama uasherati.
* Agano Jipya ina eleza wakati Yesu alipo samehe mwanamke aliya kamatwa katika uasherati na kuzuia watu kumtupia mawe.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Sinagogi ni jengo la watu wa Kiyahudi wanapo kutania pamoja kumuabudu Mungu.
* Tangu zama za kale, huduma za sinagogi zimekuwa na maombi, kusoma maandiko, na kufundisha kuhusu maandiko.
* Wayahudi walianza jenga masinagogi kama sehemu za kuomba na kumuabudu Mungu katika miji yao, kwasababu wengi waliishi mbali na hekalu lililo Yerusalemu.
* Yesu alifundisha katika masinagogi na kuponya watu.
* Neno "sinagogi" linaweza tumika kifumbo kueleza kundi la watu waliyo kusanyika hapo.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Maskani ilikuwa hema muhimu Waisraeli walimuabudu Mungu kipindi cha miaka 40 walipo zunguka jangwani.
* Mungu aliwapa Waisraeli maelekezo ya kujenga hema kubwa, iliyo kuwa na vyumba viwili na ilizungukwa na ua ya ndani.
* Kila mara Waisraeli walipo enda sehemu tofauti jangwani kuishi, makuhani alitengua maskani na kuibeba kwenye kambi yao ifauatayo.
* Maskani ilijengwa na mbao iliyo kuwa na mapazia na vitambaa, nywele za mbuzi, na ngozi za wanyama.
* Sehemu mbili za maskani zilikuwa Pa Takatifu (ambapo madhabahu ya kufukiza uvumba ilikuwa) na Pa Takatifu Pa Patakatifu (ambapo sanduku la agano lilihifadhiwa.)
* Uani ya maskani ilikuwa na madhabahu ya kuteketeza dhabihu za wanyama na beseni maalumu la kusafishia kimila.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Hekalu lilikuwa ni jengo lililo zungukwa na kuta za nyuani ambapo Waisraeli walikuja kuombaa na kutoa dhabihu kwa Mungu. Lilikuwa Mlima Moria katika mji wa Yerusalemu.
* Mara nyingi neno "hekalu" lina husu jengo zima, pamoja na nyuani iliyo zunguka jengo lote. Wakati mwingine lina husu tu jengo.
Jengo la hekalu lilikuwa na vyumba viwili, Pa Takatifu na Pa Takatifu pa Pa Takatifu.
* Jengo la hekalu lilikuwa na vyumba viwili, Pa Takatifu na Pa Takatifu pa Pa Takatifu.
* Mungu alitaja hekalu kama sehemu yake ya kuishi.
* Wakati wa utawala wa Mfalme Sulemani alijenga Hekalu, ambalo lilikuwa sehemu ya kudumu ya kuabudu Yerusalemu.
* Katika Agano Jipya, neno "hakalu la Roho Mtakatifu" linatumika kuelezea waamini wa Yeu, kwasababu ya Roho Mtakatifu kuishi ndani yao.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Kumjaribu mtu ni kufanya huyo mtu kufanya kitu kibaya.
* Jaribu ni kitu kinacho sababisha mtu kutaka kufanya kitu kibaya.
* Watu wanajaribiwa kwa dhambi zao na kwa watu wengine.
* Shetani pia anajaribu watu kutomtii Mungu na kufanya dhambi dhidi ya Mungu na kwa kufanya vitu vibaya.
* Shetani alimjaribu Yesu na kumtaka afanye kitu kibaya, lakini Yesu alizuia majaribu yote ya Shetani na hakutenda dhambi.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Neno "tahini" yaeleza hali ngumu au inayo umiza yenye kudhihirisha uweza na udhahifu wa mtu.
* Mungu pima watu, lakini hawa jaribu. Shetani, vinginevyo ana jaribu watu kufanya dhambi.
* Wakati mwingine Mungu anatumia tahini kuweka wazi dhambi za watu. Kipimo kina msaidia mtu kutogeukia dhambi na kwenda kwa karibu na Mungu.
* Dhahabu na vyuma vinapimwa kwenye moto kugundua usafi na uimara wake. Hii ni picha ya jinsi Mungu anavyo tumia mazingira magumu kujaribu watu.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Maneno, "ushuhuda" na "shuhudia" yanaeleza kutamka tamko kuhusu kitu ambacho mtu anajua kuwa ni kweli.
* Mara nyingi mtu anaye "shuhudia" kuhusu kitu alicho nacho amepitia moja kwa moja.
* Shahidi anaye toa "ushahidi wa uongo" hasemi ukweli kuhusu kilicho tokea.
* Wakati mwingine neno "ushuhuda" wa husu unabii ambao nabii amesema.
* Katika Agano la Kale, hili neno linatumika mara kadhaa kueleza jinsi wafuasi wa Yesu wana shuhudia kuhusu matukio ya maisha ya Yesu, kifo, na ufufuo.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Neno "liwali" la eleza afisa wa serikali aliye tawala sehemu ya Serikali ya Rumi. Kila liwali alikuwa chini ya mamlaka ya mfalme mkuu wa Kirumi.
* Cheo "liwali" lina maana "mmoja wa watawala wa nne waliyo ungana."
* Kwa kuanza na Mfalme Mkuu Diokletia, kulikuwa na migawanyiko minne ya Serikali ya Kirumi na kila liwali alitawala mmoja.
* Ufalme wa Herode "Mkuu", aliye kuwa mfalme wa kipindi cha kuzaliwa kwa Yesu.
* Kila mgawanyiko ulikuwa na moja au zaidi ya "mikoa" midogo, kama Galilaya au Samaria.
* "Herode liwali" anatajwa mara kadhaa katika Agano Jipya. Pia ujulikana kama "Herode Antipasi."

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Neno "wale kumi na mbili" la husu wanaume kumi na mbili Yesu aliyo wachagua kuwa wanafunzi wake wa karibu. Baada ya Yuda kujiua, waliitwa "wale kumi na moja."
* Yesu alikuwa na wanafunzi wengi, lakini jina "wale kumi na mbili" liliwa tofautisha waliyo mfuata kipindi chote cha miaka mitatu ya huduma.
* Majina ya hawa kumi na mbili yameorodheshwa katika Mathayo 10, Marko 3, na Luka 6.
* Wakati mwingine baada ya Yesu kurudi mbinguni, "wale kumi na moja" walimchagua wanafunzi jina lake Mathiasi kuchukuwa nafasi ya Yuda. Kisha wakaitwa "wale kumi na mbili" tena.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Maneno "vuka mpaka" na "kosa" ina eleza kuvunja amri, sheria.
* Kifumbo, "vunja mpaka" yaweza elezwa kama "vuka mstari," yani, kwenda zaidi ya kiwango, kilicho wekwa kwa wema wa huyo mtu na wengine.
* Maneno "vuka mpaka," "dhambi" "kosa," yote ina maana ya kutenda dhidi ya mapenzi ya Mungu na kutotii amri zake.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
"Ingia bila ruhusa" ina maana ya kuvunja sheria au kukosea haki za mtu mwingine.
* Ingia bila ruhusa ni kosa la kijamii au la kisheria au dhambi iliyo tendwa dhidi ya mwingine.
* Huu msemo una maana ya "dhambi," haswa kwa kumkosea Mungu.
* Dhambi zote ni kosa kwa Mungu

View File

@ -5,14 +5,9 @@
Maneno "kweli" na "ukweli" yana eleza mambo ambyo ni halisi, matukio yaliyo tukia, na maneno yaliyo semwa.
* Vitu vya kweli ni halisi, thabiti, uhakika, sawasawa, halali.
* Ukweli ni ufahamu, uamini, uhalisia, au maneno yaliyo kweli.
* Msemo kuwa "kuwa kweli" au "kuja kuwa kweli" ni msemo unao maanisha kuwa unabii ulitokea hakika kama iliyo tabirika kuwa itakuwa.
* Ukweli una jumuisha maelezo ya kutenda kwa namna iliyo tegemevu na aminifu.
* Yesu alidhihirisha ukweli wa Mungu katika maneno aliyo zungumza.
* Neno la Mungu ni kweli. Lina eleza vitu vilivyo tokea na kufundisha yaliyo kweli kuhusu Mungu na kuhusu kila kitu alicho fanya.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Neno "imani" la eleza kuamini kwamba kitu au mtu ni wa kweli au tegemeo. Mtu "mwaminifu" na weza kuwa tegemevu kufanya kitu na kusema kilicho sawa na kweli.
* Imani ni ina maana ya karibu na imani ya Mungu. Kama tuna mwamini mtu, tuna imani kwamba mtu huyo atafanya alicho ahidi.
* Kuwa na imani kwa mtu pia ina maana ya kumtegemea huyo mtu.
* Kumuamini Yesu ina maana ya kukubali kuwa yeye ni Mungu na kwamba alikufa kwenye msalaba kulipa dhambi zetu, na kumtegemea kutuokoa.
* "msemo aminifu" ni kitu kilicho semwa na kinaweza hesabiwa kuwa kweli.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Neno "mkate usiyotiwa chachu" una lina maana mkate unatengenezwa pasipo hamira. Aina huu wa mkate ni bapa kwasababu hauna hamira kuufanya uumuke.
* Mungu alipo wachia Waisraeli kutoka utumwani Misri, aliwaambia wakimbie Misri haraka pasipo kusubiri mkate wao uumuke. Hivyo walikula mkate usiyotiwa chachu na vyakula vyao. Tangu hapo mkate usiyotiwa chachu unatumika kwenye Pasaka zao za mwaka kuwa kumbusha hicho kipindi.
* Maana chachu wakati mwingine utumika kama picha ya dhambi, "mkate usiyotiwa chachu" una wakilisha ondoleo la dhambi kwenye maisha ya mtu ilikuweza ishi namna inayo mpendeza Mungu.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Maaka alikuwa mmoja wa wana wa kaka yake Ibrahimu Nahori. Watu wengine katika Agano la kale walikuwa na jina hili.
* Mji wa Maaka au Bethi Maaka ulikuwa upande wa mbali wa kaskazini mwa Israeli, eneo lililo tawaliwa na kabila la Naftali.
* Ulikuwa mji muhimu na ulishambuliwa na maadui mara kadhaa.
* Maaka lilikuwa jina la baadhi ya wanawake, akiwepo mama yake na mwana wa Daudi Absalomu.
* Mfalme Asa alimuondoa bibi yake Maaka kutoka kuwa malikia kwasababu alipenda kuabudu Ashera.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Katika Agano jipya, eneo lililo upande wa kaskazini wa Ugiriki.
* Miji Muhimu ilikuwa Berea, Filipi, na Thesalonika.
* Katika maono, Mungu alimwambia Paulo kuhubiri injili kwa watu wa Makedonia.
* Paulo na wafanya kazi wake walienda Makedonia na kuwa fundisha watu kuhusu Yesu na kuwasaidia kukua kiimani.
* Katika Biblia kuna barua ambazo Paulo aliandika kwa waaminin wa Makedonia katika miji ya Filipi na Thesalonike.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Kwa ujmla, "muumbaji" ni mtu anaye tengeneza au kufanya vitu.
* Katika Biblia, neno "Muumbaji" mara nyingine linatumika kama jina au cheo cha Yahweh, kwasababu ameumba kila kitu.
Mara kwa mara hili neno lina ambatana na "wake" au "wangu" au "wako"
* Mara kwa mara hili neno lina ambatana na "wake" au "wangu" au "wako"

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Malaki alikuwa mmoja wa manabii wa Mungu kwa ufalme wa Yuda. Aliishi katika ya miaka 500 kabla Kristo kuwa ulimwenguni.
* Malaki alitabiri kipindi ambacho hekalu la Israeli lilikuwa likijengwa baada ya kurudi kutoka matekani ya Babiloni.
* Ezra na Nehemia waliishi kipindi kimoja na Malaki.
* Kitabu cha Malaki ni kitabu cha mwisho cha Agano la Kale.
* Kama manabii wa Agano la Kale, Malaki alisisitiza watu kutubu dhambi zao na kumrudia kumuabudu Yahweh.

View File

@ -5,20 +5,12 @@
Hawa walikuw wanaume watano kwa jina Manase katika Agano la Kale:
* Manase lilikuwa jina la mzaliwa wa kwanza wa Yusufu.
* Manase na mdogo wake Efraimu walichukuliwa na baba Yusufu, Yakobo walipe nafasi ya kuwa miongoni mwa makabila kumi na mbili ya Israeli.
* Uzao wa Manase uliunda kabila moja la Israeli.
* Kabila la Manase lilikuwa mara nyingi la itwa "kabila nusu la Manase" kwasababu nusu tu ya kabila ili ishi Kanani, kwa upande wa magharibi wa Mto Yordani. Sehemu nyingine ili ishi upande wa mashariki wa Yordani.
* Mmoja wa wafalme wa Yuda aliitwa pia Manase.
* Mfalme Manase alikuwa muovu aliye toa dhabihu za watoto wake kama sadaka za kuteketeza kwa miungu ya uongo.
* Mungu alimuadhibu Mfalme Manase kwa kuruhusu akamatwe na jeshi la adui. Manase alimgeukia Mungu na kuharibu madhabahu sanamu zilipo kuwa zikiabudiwa.
* Wanaume wawili waliyo itwa Manase waliishi kipindi cha Ezra. Hawa wanaume walitakiwa kuwapa talaka wake zao wa kipagani, waliyo washawishi kuabudu miungu ya uongo.
* Manase mwingine alikuwa babu wa Wadani waliyo kuwa makuhani wa miungu ya uongo.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Martha alikuwa mwanamke kutoka Bethania alimfuta Yesu.
* Martha alikuwa na dada aliye itwa Mariamu na kaka jina la Lazaro, aliye mfuata Yesu.
* Wakati mmoja Yesu alikwenda watembelea nyumbani, Martha alisumbuliwa na maandalizi ya chakula wakati dada yake Mariamu kaketi na kumsikiliza Yesu akifundisha
* Lazaro alipo kufa, Martha alimwambia Yesu kuwa ana amini Yesu ni Kristo, mwana wa Mungu.

View File

@ -5,14 +5,9 @@
Mariamu alikuwa mwanamke mdogo aliye ishi katika mji wa Nazarethi aliye poswa kuolewa na Yusufu. Mungu alimchagua Mariamu kuwa mama wa Yesu Mesia, Mwana wa Mungu.
* Roho Mtakatifu kimiujiza alisababisha Mariamu kuwa na mimba wakati akiwa bikra
* Malaika alimwambia Mariamu kuwa mtoto atakaye zaliwa ni Mwana wa Mungu na kuwa amwite Yesu.
* Mariamu alimpenda Mungu na akamsifu kwa kuwa na neema kwake.
* Yusufu alimuoa Mariamu , lakini alibaki bikra mpaka mtoto kuzaliwa.
* Mariamu alidhani kwa undani kuhusu vitu vya ajabu wachungaji na mamajusi alivyo visema kuhusu Yesu.
* Mariamu na Yusufu walimchukuwa mtoto Yesu kuwekwa wakfu hekaluni. Baadae wakamchukuwa Misri kutoroka njama ya Farao kuuwa watoto. Hatimae wakarudi Nazarethi.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Mariamu Magdalena alikuwa miongoni mwa wanawake waliyo muamini Yesu na kumfuata katika huduma yake. Alijulikana kama kama Yesu aliye mponya kutoka kwa mapepo saba waliyo mtawala.
* Mariamu Magdalena na wanawake wengine walimsaidia Yesu na mitume kwa kutoa kwa.
* Pia anatajwa kama mmoja wa wanawake waliyo muona Yesu alipoo fufuka.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Mariamu alikuwa mwanamke kutoka Bethania aliye mfuata Yesu.
* Mariamu alikuwa na dada jina la Martha na kaka jina Lazaro aliye mfuata Yesu.
* Siku moja Yesu alisema kwamba Mariamu alichagua kilicho bora alipo chagua kumsikiliza akifundisha kuliko kuwa na wasiwasi kuhusu kuandaa chakula kama Mariamu alivyo kuwa.
* Yesu alimleta kaka yake Lazaro na kumpa uzima.
* Baada ya hapo, Yesu alipo kuwa anakula nyumbani kwa mtu Bethania, Mariamu alimmiminia mafuta ya gharama miguuni ili kumuabudu.
* Yesu alimsifu kwa kufanya hili na kusema anaanda mwili wake kwa kuzikwa.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Mathayo alikuwa mmoja wa wanaume kumi na mbili Yesu aliyo wachagua kuwa mitume wake. Alijulikana kama pia kama Lawi, mwana wa Alfayo.
* Lawi (Mathayo) alikuwa mtoza ushuru kutoka Kapernaumu kabla kukutana na Yesu.
* Mathayo aliandika injili iliyo beba jina lake.
* Kuna wanaume wengine kadhaa waitwao Lawi kwenye Bibli.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Media ulikuwa mji wa zamani uliyo kuwa mashariki mwa Asiria na Babilonia, na kaskazini mwa Elamu na Persia. Watu waliyo ishi katika utawala wa Media walitwa "Wamede."
* Utawala wa Media ulikuwa maeneo yote ya Uturuki, Irani, Syria, Iraq na Afghanistani.
* Wamede walikuwa karibu na Waajemi na tawala hizi mbili ziliungana kuwashinda Wababilonia.
* Babilonia ilivamiwa na Darius Mmede kipindi cha nabii Danieli kuishi huko.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Katika Biblia, "Bahari Kuu" au " bahari ya magharibi" inaelezea ile ambayo sasa ujulikana "Bahari ya Medeterenia," ambayo ilikuwa ni eneo la maji lilokulikana na watu wa Biblia.
* Bahari ya Medeterenia ina pakana: Israeli (mashariki), Ulaya (kaskazini na magharibi), na Africa (kusini)
* Bahari ilikuwa muhimu kipindi cha kale kwa ajili ya biashara na kusafiri maana ili pakana na nchi zingine. Miji na makundi ya watu yaliyo pwani ya hii bahari yalifanikiwa sana kwasababu ya urahisi wa kupata bidha nchi zingine kwa meli.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Kipindi cha Abramu akiishi, Melkizedeki alikuwa mfalme wa mji wa Salemu (baadae, "Yerusalelmu")
* Jina la Melkizedeki lina maana ya, "mfalme wa haki" na cheo chake "mfalme wa Salemu" ina maana ya, "mfalme wa amani"
* Pia aliitwa "kuhani wa Mungu wa Juu Sana"
* Melkizedeki anatajwa katika Biblia alipo mtumikia Abramu kwa mkate na mvinyo baada ya Abramu kumuokoa binamu yake Lutu kutoka kwa wafalme wenye nguvu. Abramu alimpa Melkizedeki moja ya kumi ya mali alizo chukuwa kwenye pambano.
* Katika Agano la Kale, Melkizedeki anaelezwa kama mtu asiye na baba na mama. Aliitwa kuhani na mfalme atakaye tawala milele.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Memfisi ilikuwa mji mkuu wa Misri wa zamani, pembeni mwa Mto Nile.
* Memfisi ili kuwa upande wa chini mwa Misri, kusini mwa Mto Nile, ambapo udogo ulikuwa wenye rotuba na mazao mengi.
* Ardhi yake ya rotuba na eneo lake muhimu katika ya Misri ya Juu na ya Chini ili sababisha Memfisi kuwa mji mkuu wa biashara.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Mesheki ni jina la wanaume wawili katika Agano la Kale.
* Mesheki mmoja alikuwa mwana wa Yafeti.
* Mwingine alikuwa mjukuu wa Shemu.
* Mesheki pia lilikuwa jina la eneo la nchi, ambalo labda lilipewa jina baada ya hawa wanaume.
* Eneo la Mesheki liliweza kuwa upande wa kule ambapo sasa ni nchi ya Uturuki.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Mesopotamia ni sehemu ya nchi katika ya Tigrisi na Mto Frati. Sasa ipo katika nchi inayo julikana kama Iraqi.
* Katika Agano la Kale, hili eneo liliitwa "Aramu Naharaimu."
* Neno "Mesopotamia" lina maana "katika ya mito." Maneno "Aramu Naharaimu" yana maana "Aramu ya mito miwili"
* Ibrahimu aliishi katika miji ya Mesopotamia Uri na Harani kabla ya kuamia nchi ya Kanani.
* Babiloni ilikuwa mji mwingine muhimu katika Mesopotamia.
* Eneo linalo itwa "Kaldea" ili kuwa sehemu ya Mesopotamia.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Mika alikuwa nabii wa Yuda katika ya miaka 700 kabla ya Yesu, wakati nabii Isaya alipo kuwa ana hudumu Yuda. Mwanaume mwingine aliye itwa Mika aliishi kipindi cha waamuzi.
* Kitabu cha Mika ni karibu na mwisho wa Agano la Kale.
* Mika alitabiri uharibifu wa Samaria kwa Waasiria.
* Mika aliwakemea watu wa Yuda kwa kuto mtii Mungu na kuwaonya kuwa maadui wao watawashambulia.
* Unabii unaisha na ujumbe wa matumaini kwa Mungu, aliye mwaminifu na kuokoa watu wake.
* Katika kitabu cha waamuzi, adithi ya mtu aitwaye Mika anaye ishi Efraimu aliye tengeneza sanamu kwa fedha ya simuliwa. Kijana wa kikuhani aliye kuja kuishi naye akiiba sanamu huyo na vitu vingine, na kuondoka na kundi la Wadani. Hatimaye Wadani na kuhani huyo wakaishi mji wa Laishi na wakaweka sanamu huyo huyo wa kumuabudu.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Mikaeli ni mkuu wa malaika wa tiiifu na watakatifu. Yeye ni malaika pekee anaye tajwa kama "malaika mkuu" wa Mungu.
* Neno "malaika mkuu" lina maana "malaika kiongozi."
* Mikaeli ni shujaa anaye pigana dhidi maadui wa Mungu na kulinda watu wa Mungu.
* Aliongoza Waisraeli kupigana dhidi ya jeshi la Wajemii. Katika siku za mwisho ataongoza jeshi la Israeli katika pambano la mwisho dhidi ya majeshi maovu, kama alivyo tabiri Danieli.
* Pia kuna baadhi ya wanaume katika Biblia wenye jina Mikaeli. Baadhi ya wanaume wana tajwa kama "wana wa Mikaeli"

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Midiani alikuwa mwana wa Ibrahimu na mkewe Ketura. Pia ni jina la kundi la watu na eneo upande wa kaskazini mwa Jangwa la Kiarabu sehemu ya kusini mwa nchi ya Kanani. Kundi la watu liliitwa "Wamidiani."
* Musa alipo ondoka Misri, alienda eneo la Midiani alipo kutana na binti wa Yethro na kuwasaidia kunyeshwa maji mifugo yao. Baadae Musa alimuoa mmoja wa binti wa Yethro.
* Yusufu alichukuliwa Misri na kundi la wanfanya biashara ya watumwa Wamidiani.
* Miaka mingi baadae Wamidiani alishambulia na kuvamia Waisraeli katika nchi ya Kanani. Gidioni aliongoza Waisraeli katika ushindi wao.
* Waarabu wengi wa leo ni wa kabila la uzao wa hili kundi.

View File

@ -2,11 +2,9 @@
## Ufafanuzi
- Alipo kuwa mdogo, Miriamu aliongozwa na mama yake kumlinda mdogo wake Musa aliye kuwa katika kikapu miongoni mwa Mto Nile.
Alipo kuwa mdogo, Miriamu aliongozwa na mama yake kumlinda mdogo wake Musa aliye kuwa katika kikapu miongoni mwa Mto Nile.
* Miriamu aliwaongoza Waisraeli katika kucheza kwa furaha na shukurani baada ya kutoroka kwa Wamisri kwa kuvuka Bahari ya Shamu.
* Miaka mingi baadae Waisraeli walipo kuwa wana tanga jangwani, Miriamu na Aruni walianza kunena vibaya kuhusu Musa kwasababu alimuoa mwanamke wa Kikushi.
* Kwasababu ya uasi wake wakuongea viabya dhidi ya Musa, Mungu alimsababishi ukoma. Lakini baadae Mungu alimponya Musa alipo muombea.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Mishaeli ni jina la wanaume wa tatu katika Agano la Kale.
* Mwanaume mmoja anaye itwa Mishaeli alikuwa binamu wa Aruni. Wana wawili wa Aruni walipo uliwa na Mungu baada ya kufukiza uvumba kwa namna ambayo haikumpendeza Mungu, Mishaeli na kaka yake walipewa jukumu la kubeba maiti nje ya kambi ya Waisraeli.
* Mwanaume mwingne aitwaye Mishaeli alisimama kando ya Ezra alipo soma hadharani sheria aliyo ikuta.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Mizpa ni jina la baadhi ya miji inayo tajwa katika Agano la Kale. Ina maana, "mnara wa doria"
* Daudi alipo kuwa anakimbizwa na Sauli, aliwaacha wazazi wake Mizpa, chini ya ulinzi wa mfalme Moabu.
* Mji moja unaoitwa Mizpa ulikuwa mpakani katika ya falme za Yuda na Israeli. Ilikuwa sehemu kubwa ya kijeshi.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Moabu alikuwa mwana wa kwanza wa binti wa Lutu. Pia likawa jina la nchi ambapo yeye na familia yake waliishi. Neno "Moabu" la husu mtu wa uzao wa Moabu au anaishi katika nchi ya Moabu.
* Nchi ya Moabu ilikuwa mashariki mwa Bahari ya chumvi.
* Moabu ilikuwa kusini mashariki kutoka mji wa Bethelehemu ambapo Naomi na familia yake waliishi.
* Watu wa Bethelehemu wallimuita Ruthi "Mwanamke Mmoabu" kwasababu alikuwa mwanamke wa nchi ya Moabu.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Moleki lilkuwa jina la miungu wa uongo ambao Wakanani waliabudu.
* Watu waliyo abudu Moleki alitoa dhabihu watoto wao kwake kwa moto.
* Waisraeli wengine pia waliabudu Moleki badala ya Mungu wa kweli, Yahweh. Walifuata matendo maovu ya waabudu Moleki, pamoja na kutoa dhabihu watoto wao

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Modekai alikuwa mwanaume wa Kiyahudi katika nchi ya Jemi. Alikuwa mlinzi wa binamu wake Esta, ambaye baadae alikuwa mke wa mfalme wa Kijemi, Ahasuerusi
* Wakati akifanya kazi hikulu, Modekai alisikia watu wakipanga njama kumuua mfalme Ahasuerusi. Alitoa taarifa na maisha ya mfalme yakapona.
* Wakati mwengine, Modekai aligundua mbinu ya kuua Wayahudi wote katika ufalme wa Kijemi. Alimshauri Esta kumuomba mfalme kuokoa watu wake.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Musa alikuwa nabii na kiongozi wa watu wa Israeli kwa miaka 40.
* Musa alipo kuwa mtoto, wazazi wa Musa walimueka kwenye kikapu Mto Nile kumficha na Farao wa Misri. Dada wa Miriamu alimwangalia hapo. Maisha ya Musa yalinusurika binti wa Farao alipo mkuta na kumchukuwa kama mwanae.
* Mungu alimchagau Musa kuwa toa Waisraeli utumwani Misri na kuwaongoza Nchi ya Ahadi.
* Baada ya Waisraeli kutoka Misri na walipo kuwa jangwani wakitanga, Mungu alipa Musa mawe mawili ya mbao yenye Amri Kumi.
* Mwisho wa maisha yake, Musa aliona Nchi ya Ahadi, lakini hakuishi sababu hakumtii Mungu.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Mlima Hermoni ni jina la mlima mrefu wa Israeli chini ya Lebanoni.
* Upo kaskazini mwa Bahari ya Galilaya, kaskazini mwa mpaka wa Israeli na Syria.
* Majina mengine yaliyo pewa Mlima Hermoni na watu wengine ni "Mlima Sirioni"
* Mlima Hermoni una vilele vitatu. Kikubwa ni karibu mita 2,800 kwenda juu.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Mlima wa Mizeituni ni mlima au kilima kikubwa karibu na mashariki mwa mji wa Yerusalemu. Una mita787 kwenda juu.
* Katika Agano la Kale, huu mlima unatajwa kama "mlima mashariki mwa Yerusalemu."
* Nakala za Agano Jipya zataja maeneo ambayo Yesu na wanafunzi wake walienda Mlima wa Mizeituni kuomba na kupumzika.
* Yesu alikamatwa Bustani ya Gethsemane, uliyo upande wa Mlima wa Mizeituni.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Katika Agano la Kale, Naamani alikuwa mkuu wa jeshi wa mfalme Aramu.
* Naamani alikuwa na ungonjwa mbaya wa ngozi uitwao ukoma usiyo tibika.
* Myahudi mtumwa katika nyumba ya Naamani alimwambia aende kwa nabii Elisha apone.
* Elisha alimwambia Naamani ajisafishe mara saba katika Mto Yordani. Naamani alipo tii, Mungu akamponya ugonjwa wake.
* Baada ya matokeo, Naamani alikuja kuamini kuwa Mungu ndiye wa kweli, Yahweh.
* Wanaume wengine wawili waliitwa Naamani walikuwa uzao wa mjukuu wa Yakobo Benjamini.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Nahori lilikuwa jina la ndugu wawili wa Ibrahimu: babu yake na kaka.
* Kaka yake Ibrahimu Nahori alikuwa babu wa mke wa Isaka Rebeka.
* Maneno "mji wa Nahori" ulimaanisha, "mji uliyo itwa Nahori" au "mji ambao Nahori aliishi" au " Mji wa Nahori"

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Nahumu alikuwa nabii aliye ubiri kipindi ambacho mfalme mouvu Manase alitawala Yuda.
* Nahumu alitoka mji wa Elkoshi, maili 20 kutoka Yerusalemu.
* Agano la Kale kitabu cha Nahumu kimeandika unabii wake kuhusu uharibifu wa mji wa Ninewi.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Naftali alikuwa mwana wa sita wa Yakobo. Uzao wake uliunda kabila la Naftali, ambalo lilikuwa moja ya kabila la Israeli.
* Wakati mwingine jina Nafatali linatumika kueleza nchi kabila lipo ishi.
* Nchi ya Naftali ilikuwa upande wa kaskazini mwa Israeli, karibu na kabila la Dani na Asheri. Pia lilikuwa mpaka wa magharibi wa Bahari ya Chinerethi.
* Hili ni kabila lilotajwa katika Agano la Kale na Jipya katika Biblia.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Nathani alikuwa nabii mwaminifu wa Mungu aliye ishi kipindi cha Daudi akiwa mfalme wa Israeli.
* Mungu alimtuma Nathani kumuona Daudi alipo tenda dhambi dhidi ya Uria.
* Nathani alimkemea Daudi, japo kuwa Daudi alikuwa mfalme.
* Daudi alitubu dhambi yake baada ya Nathani kumfuata.

View File

@ -5,14 +5,7 @@
Nazarethi ni mji katika mji wa Galilaya kusini mwa Israeli. Ilikuwa kama kilomita 100 kaskazini mwa Yerusalemu, iliyo chukuwa kam siku tatu hadi tano kufika kwa miguu.
* Yusufu na Maria walitoka Nazarethi, na hapo ndipo walipo mlelea Yesu.
Ndio maana Yesu alijulikana kama "Mnazarini"
* Ndio maana Yesu alijulikana kama "Mnazarini"
* Wayahudi wengi wanao ishi Nazarethi hawaku muheshimu Yesu na mafundisho yake, kwasababu alikulia miongoni mwao na wakadhani alikuwa mtu tu wa kawaida.
* Wakati Yesu alipo kuwa anafundisha sinagogi la Nazarethi, Wayahudi walijaribu kumuua kwasababu alidai kuwa Mesia na akawakemea kwa kumkataa.
*

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Nebukadneza alikuwa mfalme wa Utawala wa Babiloni ambaye jeshi lake kuu liliwashinda makundi ya watu na mataifa.
* Chini ya uongozi wa Nebukadneza, jeshi la Wababiloni walishambulia na kuishinda Yuda, na kuchukuwa watu wa Yuda kwenda Babiloni. Hii ndio "Mateka ya Babiloni" kwa miaka 70.
* Mmoja wa mateka, Danieli, alitafsiri ndoto ambazo Nebukadneza alikuwa nazo.
* Waisraeli wengine wa tatu, Hanania, Meshaeli, na Azaria, walitupwa katika tanuru kali walipo kataa kuinama kwa sanamu kubwa Nebukadneza alilo tengeneza.
* Mfalme Nebukadneza alikuwa na kiburi na kuabudu miungu ya uongo. Alipo shinda Yuda, aliiba dhahabu nyingi na fedha kutoka hekaluni Yerusalemu.
* Kwasababu Nebukadneza alikuwa na kiburi na kukataa kugeuka pembeni asiabudu miungu ya uongo, Yahweh alimsababisha kuwa na uwitaji kwa miaka saba, akiishi kama mnyama. Baada ya miaka saba Mungu alimrejesha Nebukadneza alipo jinyenyekesha na kumuabudu Mungu wa kweli, Yahweh.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Negevi ni jangwa kusini mwa Israeli, kusini magharibi wa Bahari ya Chumvi.
* Neno halisi lina maana "Kusini."
* Ina wezekana kuwa hili eneo la kusini sio eneo la leo la Jangwa la Negevi.
* Ibrahimu alipo ishi nchi ya Kadeshi, alikuwa Negevi au kusini.
* Isaka alikuwa anaishi Negevi Rebeka alipo safiri kukutana naye na kuwa mke wake.
* Makabila ya Yuda na Simeoni yaliishi Kusini mwa eneo.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Nehemia alikuwa Muisraeli aliye ishi Babiloni wakati watu wa Israeli na Yuda walip chukuliwa mateka na Wababiloni.
* Alipo kuwa mbeba kikombe wa mfalme wa Jemi, Artaxerxesi, Nehemia aliomba ruhusu kwa mfalme kurudi Yerusalemu.
* Nehemia waliwaongoza Waisraeli kujenga kuta za Yerusalemu iliyo haribiwa na Wababiloni.
* Kwa miaka kumi na mbili Nehemia alikuwa mkuu wa Yerusalemu kabla ya kurudi kwa nyumba ya mfalme.
* Kitabu cha Agano la Kale cha Nehemia kinaeleza habari ya Nehemian kazi yake kwa kujenga kuta na kuongoza watu wa Yerusalemu.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Nili ni mto mrefu na mpana katika kaskazini mashariki mwa Africa. Unajulikana kama mto rasmi wa Misri.
* Mto Nili unapita kaskazini kupita Misri na kwenda Bahari ya Medetarenia.
* Mimea ina kua kwenye nchi ya rotuba pande zote mbili za Mto Nili.
* Wamisri wengi wanaishi karibu na Mto Nili maan ni muhimu kwa maji na mazao ya chakula.
* Waisraeli waliishi nchi ya Gosheni iliyo kuwa na rotuba kwababu ilikuwa upande wa Mto Nile

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Ninawi ilikuwa mji mkuu wa Asyria. Mninawi alikuwa mtu aliye ishi Ninawi.
* Mungu alimtuma nabii Yona kuwaonya Waninawi kugeuka kutoka njia zao mbaya. Watu walitubu na Mungu hakuwa haribu.
* Waasyria baadae waliacha kumtumikia Mungu. Walishinda ufalme wa Israeli na kubeba watu kwenda Ninawi.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Nuhu alikuwa mwanaume aliye ishi miaka 4,000 iliyo pita, kipindi ambacho Mungu alipotuma garika duniani kuharibu watu waovu. Mungu alimwambia Nuhu ajenge meli kubwa ambayo yeye na familia yake waliweza kuishi wakati mafuriko yalipo funika dunia.
* Nuhu alikuwa mwenye haki aliye mtii Mungu kwa kila kitu.
* Wakati Mungu alipo mwambia Nuhu kujenga meli kubwa, Nuhu alijenga kama Mungu alivyo mweleza.
* Ndani ya hiyo meli, Nuhu na familia yake walihifadhiwa salama na baadae watoto wao na wajukuu wao walijaza dunia na watu tena.
* Kila mtu aliye zaliwa kipindi cha garika ni mzao wa Nuhu.

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Obadia alikuwa nabii wa Agano la Kale aliye tabiri dhidi ya watu wa Edomu, waliyo kuwa wazao wa Esau. Pia palikuwa na wanaume wengine waliyo itwa Obadia katika Agano la Kale.
* Kitabu cha Obadia ni kifupi katika Agano la Kale na kinaeleza unabii Obadia aliyo upokea kupitia maono kutoka kwa Mungu.
* Sio wazi sana lini Obadia aliishi na kutabiri. Inawezekana kipindi cha utawala wa Yehoramu, Ahazia, Yoashi, na Athalia, mfalme wa Yuda. Nabii Danieli, Ezekieli, na Yeremia walikuwa wakitabiri kipindi hichi.
* Obadia pia ina wezekana aliishi kipindi cha mwisho cha muda huu, wakati wa utawala wa Mfalme Zedekia na mateka ya Babiloni.
* Wanaume wengine wa wenye jina Obadia ni mzao wa Sauli, Mgadi aliye kuwa mmoja wa wanaume wa Daudi; mtumishi wa hikulu wa Mfalme Ahabu; afisa wa Mfalme Yehoshafati; Mlawi aliye kuwa mlinzi wa lango kipindi cha Nehemia.
* Ina weza kuwa mwandishi wa kitabu cha Obadia alikuwa mmoja wapo.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Omri alikuwa mkuu wajeshi aliye kuwa mfalme wa sita wa Israeli.
* Mfalme Omri alitawala miaka 12 katika mji wa Tirza.
* Kama wafalme wote wa Israeli kabla yake, Omri alikuwa muovu aliye ongoza watu wa Israeli kuabudu sanamu.
* Omri pia alikuwa baba wa mfalme Ahabu.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Bahari ya Chumvi( inayo itwa pia Bahari iliyo Kufa) ilikuwa kati ya kusini mwa Israeli upande wa magharibi na Moabu upande wa mashariki.
* Mto Yordani una shuka kusini kwenye Bahari ya Chumvi.
* Kwasababu ni ndogo kuliko bahari nyingine, hii yaweza itwa "Ziwa la Chumvi."
* Hii bahari ina idadi kubwa ya madini (au "chumvi) inayo maanisha kwamba hakuna kinacho weza kuishi ndani ya maji yake. Hapo ndipo jina "Bahari iliyo Kufa" limetoka.
* Kati Agano la Kale, hii bahari inaitwa pia "Bahari ya Araba" na "Bahari ya Negevi" kwasababu ya maeneo yake karibu na pande za Araba na Negevi.

View File

@ -5,14 +5,9 @@
Samaria ilikuwa jina la mji na maeneo yake jirani kaskazini mwa Israeli. Eneo hili lilikuwa katikati ya Milima ya Sharoni magharibi na Mto Yordani mashariki.
* Katika Agano la Kale, Samaria ulikuwa mji mkuu wa ufalme wa kaskazini wa Israeli. Baadae eneo lililo kuwa jirani liliitwa Samaria.
* Wakati Waassiria walipo chukuwa ufalme wa kaskazini wa Israeli, waliteka mji wa Samaria na kuwa lazimisha Waisraeli wa kaskazini kuondoka eneo hilo na kuwa hamisha maeneo tofauti katika miji ya Assiria.
* Waassiria pia walileta wageni wengi katika eneo la Samaria kuwaweka katika maeneo Waisraeli waliyo ondolewa.
* Baadhi ya Waisraeli waliyo baki eneo hilo walioa wageni waliyo hamia, na wazao wao waliitwa Wasamaria.
* Wayahudi waliwadharau Wasamaria kwasababu walikuwa nusu Wayahudi na kwasababu mababu zao waliabudu miungu ya wapagani.
* Katika kipindi cha Agano Jipya, eneo la Samaria lilipakana na Galilaya upande wa kaskazini na eneo la Yudea upande wa kusini.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Samsoni alikuwa mmoja wa waamuzi, au mkombozi, wa Israeli. Alitoka kabila la Dani.
* Mungu alimpa Samsoni uwezo mkubwa wa kibanadamu aliyo tumia kupigana na maadui wa Israeli, Wafilisti.
* Samsoni aliwekwa chini ya kiapo kutonyoa nywele na kutokunywa mvinyo au kinywaji chochote kilicho chachwa. Kadri alivyo shika hichi kiapo, Mungu aliendelea kumpa uwezo.
* Hatimaye alivunja kiapo chake na kuruhusu nywele zake kunyolewa, ambao ili ruhusu Wafilisti kumkamata.
* Wakati Samsoni alipo kuwa matekani, Mungu alimruhusu kupata tena uwezo wake na kumpa nafasi ya kuharibu hekalu la mungu wa uongo Dagoni, pamoja na Wafilisti wengi.

View File

@ -5,10 +5,7 @@
Samweli alikuwa nabii na muamuzi wa mwisho wa Israeli. Alimpaka mafuta Sauli na Daudi kama wafalme juu ya Israeli.
* Samweli alizaliwa kwa Elikana na Hanna katika mji wa Rama.
* Hanna alikuwa tasa, hivyo aliomba kwa shauku kwamba Mungu ampe mtoto. Samweli alikuwa jibu la hilo ombi.
* Samweli alivyo kuwa mvulana mdogo, Hanna alimtuma kumsaidia Eli kuhani katika hekalu kutimiza ahadi yake kwa Mungu.
* Mungu alimuinua Samweli kuwa nabii mkuu wake.

View File

@ -2,9 +2,8 @@
## Ufafanuzi
- Sara alikuwa mke wa Ibrahimu.
Sara alikuwa mke wa Ibrahimu.
* Jina lake awali lilikuwa "Sarai," lakini Mungu akalibadilisha kuwa "Sara"
* Sara alimza mwana Mungu alilye muahidi kumpa yeye na Ibrahimu.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Sauli alikuwa mwanaume wa Kiisraeli ambaye Mungu alimchagua kuwa mfalme wa kwanza wa Israeli.
* Sauli alikuwa mrefu na mtanashati, na mwanajeshi mwenye nguvu. Alikuwa aina ya mwanaume Waisraeli walitaka awe mfalme wao.
* Japo kuwa alimtumikia Mungu mwanzoni, Sauli baadae alikuwa na kiburi na hakumtii Mung. Matokeo yake, Mungu alimteua Daudi kuchukuwa nafasi ya mfalme na kumruhusu Sauli kuuawa katika pambano.
* Katika Agano Jipya, kulikuwa na Myahudi aliye itwa Sauli ambaye pia alijulikana kama Paulo na akawa mtume wa Yesu Kristo.

View File

@ -5,14 +5,7 @@
"Bahari ya Galilaya" ni jina la ziwa mashariki mwa Israeli. Katika Agano la Kale liliitwa "Bahari ya Shinerethi."
* Maji ya hii bahari yana shuka kusini kupitia Mto Yordani kwenda Bahari ya Chumvi.
* Kapernaumu, Bethsaida, Genezareti, na Tiberia zilikuwa baadhi ya miji ambayo ilikuwa upande wa Bahari ya Galilaya kipindi cha Agano Jipya.
* Matukio mengi ya maisha ya Yesu yalitokea karibu na Bahari ya Galilaya.
* Bahari ya Galilaya ili tajwa pia kama "Bahari ya Tiberia" na "Ziwa la Genezareti."
*

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Senakeribu alikuwa mfalme mkubwa wa Assiria aliye sababisha Ninawi kuwa tajiri, na mji wa muhimu.
* Mfalme Senakeribu anajulikana kwa vita vyake dhidi ya Babiloni na ufalme wa Yuda.
* Alikuwa mfalme mwenye kiburi na kumdhihaki Yahweh.
* Senakeribu alishambulia Yerusalemu kipindi cha Mfalme Hezekia.
* Yahweh alisababisha jeshi la Senakeribu kuharibiwa.
* Vitabu vya Agano la Kale vya Wafalme na Nyakati vina adisia baadhi ya matukio ya Senakeribu na utawala wake.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Katika kitabu cha Mwanzo, Sethi alikuwa mwana wa tatu wa Adamu na Hawa.
* Hawa alisema kwamba Sethi alipewa kwake kwa sehemu ya mwanae Abeli, aliye uawa na kaka yake Kaini.
* Nuhu alikuwa mzao wa Sethi, hivyo kila mtu aliye ishi tangu kipindi cha gharika ni mzao wa Sethi.
* Sethi na familia yake walikuwa watu wa kwanza "kuliita jina la Bwana."

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Sharoni lilikuwa jina la ardhi ya rotuba pembeni ya Bahari ya Mediterenia, kusini mwa Mlima Karmeli. Unajulikana pia kama "Mlima wa Sharoni."
* Miji kadhaa iliyo tajwa kwenye Biblia ilikuwa karibu na Mlima wa Sharoni, pamoja na Jopa, Lidia, na Kaesarea.
* Hii yaweza tafsiriwa kama "mlima unao itwa Sharoni" au "Mlima Sharoni."
* Watu waliyo ishi maeneo haya ya Sharoni waliitwa "Washaroni."

View File

@ -5,12 +5,8 @@
Wakati wa zamani, Sheba ulikuwa mji wa zamani wa kisasa au eneo la nchi lililo kuwa karibu na kusini mwa Arabia.
* Nchi ya Sheba au eneo lilikuwa karibu na nchi inayo julikana sasa kama Yemeni au Ethiopia.
* Wakazi wake walikuwa wazao wa Hamu.
* Malikia wa Sheba alienda mtembelea Mfalme Sulemani alipo sikia umaarufu wa utajiri wake na hekima.
* Pia kuna baadhi ya wanaume wanao itwa "Sheba" waliyo tajwa kwenye kizazi cha Agano la Kale. Yawezekana jina la eneo lilitokana na mmoja wa hawa watu.
* Mji wa Beersheba umefupishwa kwa Sheba mara moja katika Agano la Kale.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Shekemi ni mji uliyopo maili 40 kaskazini mwa Yerusalemu. Shekemi ni jina pia la mwanaume katika Agano la Kale.
* Mji wa Shekemi ndipo Yakobo alipo ishi baada ya kupatana na kaka yake Esau.
* Yakobo alinunua ardhi kutoka kwa wana wa Hamori na Wahivi huko Shekemi, ambao baadae wakawa makaburi ya familia yake na sehemu wana wa Yakobo walipo zikwa.
* Mwana wa Hamori Shekemi alimbaka binti wa Yakobo Dina, ambao ilileta wana wa Yakobo kuuwa wanaume wote wa mji wa Shekemi.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Shemu alikuwa mmoja wa wana wa Nuhu aliye enda nae kwenye safina kipindi cha gharika ya ulimwengu inayo elezwa katika kitabu cha Mwanzo.
* Shemu alikuwa babu wa Ibrahimu na wazao wake.
* Wazao wa Shemu wanajulikana kama "Wasemi" wanao zungumza lugha za "Kisemi" kama vile Kiebrania na Kiarabu.
* Biblia ina kumbukumbu ya maisha ya Shemu kuwa takribani miaka 600.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Shilo ulikuwa mji wa ukuta wa Kikanani uliyo shindwa na Waisraeli chini ya uongozi wa Yoshua.
* Mji wa Shilo ulikuwa magharibi mwa Mto Yordani na kaskazini mashariki mwa mji wa Betheli.
* Kipindi Yoshua alipo waongoza Israeli, mji wa Shilo ulikuwa sehemu ya kukutana watu wa Israeli.
* Makabila kumi na mbili ya Israeli yalikutana pamoja Shilo kusikia Yoshua akiwaambia kiasi gani cha nchi ya Kanani ilipangiwa kila mmoja.

View File

@ -5,6 +5,5 @@
Shimei ni jina la wanaume kadhaa wa Agano la Kale.
* Shimei mwana wa Gera, alikuwa Mbenjamini aliye mlaani Mfalme Daudi na kutupa mawe kwake alipo kuwa akikimbia Yerusalemu kutoroka asiuliwe na mwanaye Absalomu.
* Pia kulikuwa na makuhani wa Kilawi katika Agano la Kale waliyo itwa Shimei.

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Shinari ina maana ya "nchi ya mito miwili" na lilikuwa jina la mlima au eneo kusini mwa Mesopotamia.
* Shinari baadae ilijulikana kama "Kaldea" na baadae, "Babilonia."
* Watu wa kale waliyo ishi mji wa Babeli katika Mlima wa Shinari walijenga mnara mrefu kujaribu kujifanya wakuu.
* Vizazi baadae, mababa wa Kiyahudi Ibrahimu aliishi katika mji wa Uri katika hili eneo, ambalo liliitwa "Kaldeo."

View File

@ -5,8 +5,6 @@
Sidoni alikuwa mwana wa kwanza wa Kanani. Pia kuna mji wa Kikanani unao itwa Sidoni, labda uliitwa baada ya mwana wa Kanani.
* Mji wa Sidoni ulikuwa upanda wa kaskazini mgharibi pwani ya Bahari ya Mediterenia eneo lililo sasa Lebanoni.
* "Wasidoni" wa kundi la Foenisi waliyo ishi Sidoni na maeneo yanayo zunguka.
* Katika Biblia, Sidoni ipo karibu na mji wa Tairi, na miji yote miwili ilijulikana kwa utajiri na uhuni wa tabia za watu wao.

Some files were not shown because too many files have changed in this diff Show More