sw_tw/bible/names/zoar.md

362 B

Soari

Ufafanuzi

Soari ulikuwa mji mdogo Alipokimbilia Lutu wakati Mungu alipoiaribu Sodoma na Gomora.

  • Hapo mwanzo ilikuwa inajulikana kama "Bela" lakini baadaye yake uliitwa "Soari" wakati Lutu alipomwomba Mungu kuuifadhi mji huu "mdogo".
  • Soari unaaminiwa kuwa ulikuwa katika tambarare za Mto Yordani au katika mpaka wa kusini wa Bahari ya Chumvi.