sw_tw/bible/kt/baptize.md

715 B

Batiza, ubatizo

Ufafanuzi

Katika Agano Jipya, maneno "batiza" na "ubatizo" kwa kawaida utaratibu wa kuoshwa kwa Mkiristo kwa kutumia maji kuonesha kwamba ameoshwa kutoka katika dhambi na ameungana na Kristo.

  • Mbali na ubatizo wa maji, Biblia inazungumzia "kubatizwa kwa Roho Mtakatifu" na "kubatizwa kwa moto."
  • Neno "ubatizo" katika Biblia limetumika pia kuonesha hali ya kupitia matiso makubwa.

Maono ya Kutafasiri

  • Wakristo wanamaoni tofauti jinsi mtu anavyopaswa kubatizwa kwa maji. Pengine inafaa zaidi kutafasiri neno hili kwa njia ya jumla inayoruhusu njia mbalimbali ya kutumia maji.
  • Kwa kutegemea mazingira, neno "batiza" laweza kutafasiriwa kama "kutakasa," "kumimina juu, "kuzamisha"