sw_tw/bible/other/bribe.md

688 B

rushwa

Ufafanuzi

Neno "rushwa" inamaanisha kumpa mtu kitu cha thamani, kama pesa, kumshawishi afanye jambo bila uaminifu.

  • Askari waliolilinda kaburi wazi la Yesu walipewa rushwa ya pesa wakasema uongo juu ya kilichotokea.
  • Wakati mwingine maofisa wa serikali wanapewa rushwa ili wasilione kosa au kupiga kura kwa njia nyingine.
  • Biblia inazuia kutoa au kupokea rushwa.
  • Neno, "rushwa" laweza kutafasiriwa kama "malipo yasiyo harali" au "malipo ya uongo" au "thamani ya kuvunja sheria".
  • "Kufanya ongo" kwaweza kutafasiriwa kwa neno au kifungu kinachomaanisha, "kulipa ili kushawishi (mtu)" au "kulipa ili upendeleo usio halari ufanyike" au "kulipa kwa ajili ya upendeleo."