sw_tw/bible/kt/birthright.md

774 B

Haki ya uzaliwa

Ufafanuzi

Neno "haki ya uzaliwa" inamaanisha heshima katika Biblia, jina la familia, na mali iliyokuwa ikitolewa kwa mzaliwa wa kwanza katika familia.

  • Haki ya mzaliwa wa kwanza ilijumuisha mara mbili katika urithi wa baba.
  • Mwana wa kwanza wa mfalme kwa kawaida alipewa haki ya uzaliwa ya kurithi baada ya kifo cha baba yake.
  • Esau aliuza haki ya uzaliwa kwa Yakobo mdogo wake, kwa sababu hii, Yakobo alirithi baraka ya mzaliwa wa kwanza badala ya Esau.
  • Haki ya kuzaliwa pia ilihusisha kuhesabiwa kwa vizazi vya familia kupitia mzaliwa wa kwanza.

Maoni ya Kutafasiri.

  • Njia iwezekanayo kutafasiri "haki ya kuzaliwa" ni pamoja na "haki na utajiri wa mzaliwa wa kwanza" au "heshima ya familia" au "faida na urithi wa mzaliwa wa kwanza."