sw_tw/bible/other/bearanimal.md

507 B

Dubu

Ufafanuzi

Dubu ni mnyama mkali mkubwa mwenye miguu minne na ana manyoa meusi, meno na makucha makali. Dubu walikuwa wamezoeleka katika Israeli nyakati za Biblia.

  • Wanyama hawa wanaishi misituni na katika maeneo ya milimani; wanakula samaki, wadudu, na mimea.
  • Katika Agano la Kale, dubu hutumika kama alama ya nguvu.
  • Wakati akichucha kondoo, Daudi kama mchungaji alipambana na dubu na kumshinda.
  • Dubu wawili walitoka msituni na kulishambulia kundi la vijana waliomdhihaki nabii Elisha.