sw_tw/bible/names/bethany.md

415 B

Mji wa Bethani

Ufafanuzi

Mji wa Bethani ulikuwa katika bonde la mteremko wa Mlima wa Mizeituni, kama maili mbili mashariki ya Yerusalemu,

  • Bethani ulikuwa karibu na njia iliyokwenda kati ya Yerusalemu na Yeriko.
  • Yesu alitembelea Bethani mara kwa mara walipokuwa wakiishi Lazaro, Matha na Mariamu, rafiki zake wa karibu.
  • Bethani unajulikana maalumu kama sehemu Yesu alipomfufua Lazaro kutoka kwa wafu.