sw_tw/bible/names/zephaniah.md

389 B

Zefania

Ufafanuzi

Zefania, mwana wa Kushu, alikuwa nabii aliyeishi Yerusalemu na kutabiri wakati wa utawala wa Mfalme Yosia. Aliishi wakati mmoja na Yeremia.

  • Aliwakemea watu wa Yuda kwa kuabudu miungu ya uongo. Unabii wake umeandikwa katika kitabu cha Zefania katika Agano la Kale.
  • Kulikuwa na watu kadhaa katika Agano la Kale wenye jina Zefania, wengi wao wakiwa makuhani.