sw_tw/bible/names/jesse.md

352 B

Yese

Ufafanuzi

Yese Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi, na mjukuu wa Ruthu na Boazi.

  • Yese alikuwa kutoka kabila la Yuda.
  • Alikuwa "Muefrathi," inayomaanisha alikuwa kutoka mji wa Efrathi (Bethlehemu).
  • Nabii Isaya alitabiri kuhusu "tawi" ambalo litatoka katika "mzizi wa Yese" na kuzaa matunda. Hii inamaanisha Yesu aliyekuwa uzao wa Yese.