sw_tw/bible/other/basket.md

624 B

kikapu

Ufafanuzi

Neno "kikapu" linamaanisha chombo kilichotengenezwa kwa kusukwa.

  • Nyakati za Biblia, vikapu pengine vilitengenezwa kwa mimea, kama vile kutoka katika matawi ya miti au magome.
  • Kikapu kiliweza kuwekewa vitu vya kuzuia maji ili kiweze kuelea.
  • Musa alipokuwa mtoto, mama yake alitengeneza kikapu kisichopenyeza maji kwa kumweka humo na kukieleza katika mafunjo katika Mto Nile.
  • Neno lililotafasiriwa kama "kikapu" katika habari hiyo ni sawa na neno "safina" kurejerea mtumbwi alioutengeneza Musa. Maana ya kawaida ya matumizi yake katika mazingira mawili hayo yaweza kuwa' "chombo kieleacho."