1.3 KiB
1.3 KiB
funga
Ufafanuzi
Neno "funga" linamaanisha kukaza kitu kwa usalama. Kitu kilichofungwa au kuunganishwa pamoja kinaitwa "muungano". Neno "kufunga" ni sehemu ya neno hili katika wakati uliopita.
- "Kufungwa" inamaanisha kufunga au kuzonga katika kitu kingine.
- Katika hali ya tamathari, mtu anaweza "kufungwa" katika nadhiri, kumaanisha "analazimika kutimiza" alichokiahidi.
- Neno "vifungo" linamaanisha chochote kinachofunga, "weka pamoja, au kumweka mtu gerezani. Kwa kawaida inamaanisha vifungo vya kimwili, pingu au kamba zinazomfanya mtu asiwe huru kuondoka alipo.
- Katika nyakati za Biblia, vifungo kama vile kamba au minyororo ilitumika kumfunga mfungwa katika ukuta au chini ya jiwe la gereza.
- Neno "funga" laweza pia kutumika kuzungumzia kufunga kidonda kwa kitambaa ili kukisaidia kupona.
- Mfu aweza "kuzongwa" kwa sanda katika maandalio ya mazishi.
- Neno "kifungo" hutumika kitamathari kurejerea kitu fulani, kama vile dhambi, inayomwongoza au kumfanya mtumwa.
- Kifungu chaweza kuwa uhusiano wa karibu kati ya watu ambao wanasaidiana kihisia, kiroho na kimwili. Hii inatumika katika kifungo cha ndoa.
- Kwa mfano, mwanamke na mwanamme "wamefunwa" au "kuunganishwa. Ni kifungo ambacho Mungu hapendi kivunjike.
Maoni ya Tafasiri
Neno "funga" laweza pia kutafasiriwa kama "kaza" au "zungushia"