497 B
497 B
Bwana harusi
Ufafanuzi
Bwana harusi ni mtu anayemwoa bibi arusi katika sherehe ya harusi.
- Katika utamaduni wa Kiyahudi nyakati za Biblia, sherehe iliwekwa siku ambayo bwana arusi alikuja kumchukua bibi harusi wake.
- Katika Biblia, kwa kutumia tamathari ya semi, Yesu anaitwa "Bwana harusi" atakayetuijia siku moja "Bibi harusi wake," kanisa.
- Yesu aliwafananisha thenashara na rafiki za Bwana harusi wanaosherehekea bwana harusi anapokuwa pamoja nao, lakini wanahuzunika anapoondoka.