forked from WA-Catalog/sw_tn
722 B
722 B
2 Timotheo 01 Maelezo kwa jumla
Dhana muhimu katika sura hii
Watoto wa kiroho
Paulo alimfundisha Timotheo kuwa Mkristo na kiongozi wa kanisa. Kuna uwezekano kwamba Paulo pia alimuongoza kumwamini Kristo. Kwa maana hiyo Paulo anamwita Timotheo (Mwanangu mpendwa" (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/disciple and rc://en/tw/dict/bible/kt/spirit)
Maswala mengine ya utata katika kutafsiri sura hii
Mateso makali
Paulo alikuwa gerezani wakati akiandika barua hii. Paulo anamhimiza Timotheo kuwa tayari kuteseka kwa sababu ya injili. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
Links:
| >>