forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
722 B
Markdown
20 lines
722 B
Markdown
|
# 2 Timotheo 01 Maelezo kwa jumla
|
||
|
|
||
|
### Dhana muhimu katika sura hii
|
||
|
|
||
|
#### Watoto wa kiroho
|
||
|
|
||
|
Paulo alimfundisha Timotheo kuwa Mkristo na kiongozi wa kanisa. Kuna uwezekano kwamba Paulo pia alimuongoza kumwamini Kristo. Kwa maana hiyo Paulo anamwita Timotheo (Mwanangu mpendwa" (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/disciple and rc://en/tw/dict/bible/kt/spirit)
|
||
|
|
||
|
### Maswala mengine ya utata katika kutafsiri sura hii
|
||
|
|
||
|
#### Mateso makali
|
||
|
|
||
|
Paulo alikuwa gerezani wakati akiandika barua hii. Paulo anamhimiza Timotheo kuwa tayari kuteseka kwa sababu ya injili. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
|
||
|
|
||
|
## Links:
|
||
|
|
||
|
* __[2 Timothy 01:01 Notes](./01.md)__
|
||
|
* __[2 Timothy intro](../front/intro.md)__
|
||
|
|
||
|
__| [>>](../02/intro.md)__
|