add intro.md files from WA-Training

This commit is contained in:
Larry Versaw 2021-09-10 13:12:24 -06:00
parent 6ffa9eb792
commit 03f2f3dad2
286 changed files with 26642 additions and 6 deletions

40
1co/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,40 @@
# 1 Wakorintho 01 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Aya tatu za kwanza ni salamu. Katika inchi za kale za Mashariki ya Karibu, hii ilikuwa njia ya kawaida ya kuanzisha barua.
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB hufanya hivi kwa maneno ya mstari wa 19, ambayo yanayotoka Agano la Kale.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Mgongano
Katika sura hii, Paulo anakaripia kanisa kwa kugawanyika na kwa kufuata mitume tofauti. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/apostle)
#### Vipaji vya kiroho
Vipaji vya kiroho ni uwezo usio wa kawaida wa kusaidia kanisa. Roho Mtakatifu anatoa vipaji hivi kwa Wakristo baada ya kumwamini Yesu. Paulo anaorodhesha vipaji vya kiroho katika Sura ya 12. Wasomi wengine wanaamini kwamba Roho Mtakatifu alitoa baadhi ya vipaji hivi katika kanisa la kwanza tu ili kusaidia kuanzisha kanisa. Wasomi wengine wanaamini kwamba vipaji vyote vya Roho bado vinapatikana ili kuwasaidia Wakristo wote katika historia ya kanisa. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/faith)
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
#### Misemo
Katika sura hii, Paulo anaelezea kurudi kwa Kristo kwa kutumia maneno mawili tofauti: "ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo" na "siku ya Bwana wetu Yesu Kristo." (See: rc://en/ta/man/translate/figs-idiom)
#### Maswali ya uhuishaji
Paulo hutumia maswali ya uhuishaji ili kuwakaripia Wakorintho kwa kugawanyika katika vikundi na kwa kutegemea hekima ya kibinadamu. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Kikwazo
Kikwazo ni mwamba ambamo watu wanajikwaa. Hapa ina maana kwamba Wayahudi wanaona vigumu kuamini kuwa Mungu alimruhusu Masihi wake kusulubiwa. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
## Links:
* __[1 Corinthians 01:01 Notes](./01.md)__
* __[1 Corinthians intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

17
1co/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 1 Wakorintho 02 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB hufanya hivi kwa maneno ya mistari ya 9 na 16, ambayo yanatoka Agano la Kale.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Hekima
Paulo anaendeleza majadiliano kutoka sura ya kwanza ambayo yanalinganisha hekima ya binadamu na hekima ya Mungu. Kwa Paulo, hekima inaweza kuwa rahisi na mawazo ya kibinadamu kuwa pumbavu. Alisema hekima kutoka kwa Roho Mtakatifu ndiyo hekima pekee ya kweli. Paulo anatumia neno "hekima iliyofichwa" wakati anapozungumzia ukweli uliojulikana hapo awali. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/wise]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/foolish)
## Links:
* __[1 Corinthians 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

23
1co/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Wakorintho 03 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Baadhi ya tafsiri huweka nukuu kutoka kwa Agano la Kale upande wa kulia zaidi kwenye ukurasa ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa maneno yaliyotajwa kwenye mistari ya 19 na 20.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Watu wa kimwili
Waumini wa Korintho walikuwa hawajakomaa kwa sababu ya vitendo vyao vibaya. Anawaita "wa kimwili," maana matendo yao ni kama ya wasioamini. Neno hili linatumika kwa kinyume na wale ambao ni wa "kiroho." Wakristo wanaofuata "mwili" wao wanatenda upumbavu. Wao wanafuata hekima ya ulimwengu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous]], [[rc://en/tw/dict/bible/kt/flesh]], [[rc://en/tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/foolish]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/wise)
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
#### Mifano
Kuna mifano nyingi katika sura hii. Paulo anatumia "watoto" na "maziwa" ili kuonyesha kutokomaa kwa kiroho. Anatumia mifano nyingi na kumwagilia maji ili kuelezea majukumu yake na Apolo katika kukuza kanisa la Korintho. Paulo anatumia mifano mingine katika kusaidia kufundisha ukweli wa kiroho kwa Wakorintho na kuwasaidia kuelewa mafundisho yake. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
## Links:
* __[1 Corinthians 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__

27
1co/04/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 1 Wakorintho 04 Maelezo ya Jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kiburi
Paulo analinganisha Wakorintho walio na kiburi na mitume walio wanyenyekevu. Waumini wa Korintho hawakuwa na sababu ya kuwa na kiburi. Yote waliyokuwa nayo, na waliyokuwa; yalikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/apostle)
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
#### Mifano
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii. Anaelezea mitume kama watumishi. Paulo anazungumza juu ya gwaride la ushindi ambapo mitume watakuwa ni wafungwa ambao watauawa. Anatumia fimbo ili kumaanisha adhabu. Anajiita baba yao kwa sababu yeye ni "baba yao wa kiroho." (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/spirit)
#### Kinaya
Paulo anatumia kinaya kuwaaibisha Wakorintho kwa kuwa na kiburi. Waumini wa Korintho wanatawala lakini mitume wanateseka. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-irony)
#### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali kadhaa ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza neno muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
## Links:
* __[1 Corinthians 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__

25
1co/05/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,25 @@
# 1 Wakorintho 05 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Baadhi ya tafsiri huweka nukuu kutoka kwa Agano la Kale upande wa kulia zaidi kwenye ukurasa ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa maneno yaliyotajwa kwenye mstari wa 13.
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
#### Maneno ya badla ya kupunguza uzito
Paulo anatumia maneno ya rahisi ya kupunguza uzito kuelezea mada nyeti. Sura hii inahusika na uasherati wa kijinsia wa mwanachama mmoja wa kanisa. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-euphemism]] and [[rc://en/tw/dict/bible/other/fornication)
#### Mfano
Paulo anatumia ulinganisho uliopanuliwa kwa kutumia sitiari nyingi. Chachu inawakilisha uovu. Mkate labda inawakilisha kanisa nzima. Mikate isiyotiwa chachu inawakilisha kuishi kwa utakatifu. Basi kifungu hiki kina maana: Je, hujui kwamba uovu mdogo utaathiri kanisa lote? Hivyo basi uondoe uovu huu ili uweze kuishi kwa utakatifu. Kristo ametolewa kama sadaka kwa ajili yetu. Kwa hiyo tuwe waaminifu na wa kweli na sio waovu na wanaofanya mabaya. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor]], [[rc://en/tw/dict/bible/kt/evil]], [[rc://en/tw/dict/bible/kt/unleavenedbread]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/purify]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/passover)
#### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia ili kusisitiza maneno muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
## Links:
* __[1 Corinthians 05:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__

23
1co/06/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Wakorintho 06 Maelezo ya Jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Mashtaka
Paulo anafundisha kwamba Mkristo hapaswi kuchukua Mkristo mwingine kwa mahakamani mbele ya hakimu asiye Mkristo. Ni bora zaidi kudanganywa. Wakristo watawahukumu malaika. Kwa hiyo wanapaswa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo kati yao wenyewe. Ni mbaya sana kutumia mahakama kumdanganya mwamini mwingine. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/judge)
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
#### Mfano
Hekalu la Roho Mtakatifu ni mfano muhimu. Inaelezea mahali ambapo Roho Mtakatifu anakaa na kuabudiwa. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
#### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali kadhaa ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza manen muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
## Links:
* __[1 Corinthians 06:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../05/intro.md) | [>>](../07/intro.md)__

23
1co/07/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Wakorintho 07 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Paulo anaanza kujibu mfululizo wa maswali ambayo Wakorintho wanaweza kumwuliza. Swali la kwanza ni kuhusu ndoa. Swali la pili ni kuhusu mtumwa akijaribu kuwa huru, asiye Myahudi kuwa Myahudi, au Myahudi kuwa asiye Myahudi.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Talaka
Paulo anasema Wakristo walio katika ndoa hawapaswi kutaliki. Mkristo aliyeolewa na asiyeamini hapaswi kuacha mume au mke wake. Ikiwa mume au mke asiyeamini anaondoka, hii sio dhambi. Paulo anashauri kwamba, kwa sababu ya nyakati ngumu na kuwa muda ambapo Yesu atarudi umekaribia, inakubalika kutoolewa. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/believe]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/sin)
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
#### Maneno ya rahisi ya kupunguza uzito
Paulo anatumia maneno ya rahisi ya kupunguza uzito kwa busara kutaja mahusiano ya ngono. Hii mara nyingi hii ni mada nyeti. Tamaduni nyingi hazitaki kuzungumza waziwazi kuhusu mambo haya. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-euphemism)
## Links:
* __[1 Corinthians 07:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../06/intro.md) | [>>](../08/intro.md)__

17
1co/08/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 1 Wakorintho 08 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Katika Sura ya 8-10, Paulo anajibu swali hili: "Je, inakubalika kula nyama ambayo imetolewa dhabihu kwa sanamu?"
### Dhana maalum katika sura hii
#### Nyama iliyotolewa dhabihu kwa sanamu
Paulo anajibu swali hili kwa kusema kwamba sanamu ni miungu ambayo haipo. Kwa hiyo hakuna ubaya wowote kwa hiyo nyama. Wakristo wana uhuru wa kula. Hata hivyo, mtu asiyeelewa hii anaweza kuona Mkristo akila. Wanaweza kisha kuhimizwa kula nyama kama kitendo cha ibada kwa sanamu.
## Links:
* __[1 Corinthians 08:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__

33
1co/09/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,33 @@
# 1 Wakorintho 09 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Paulo anajitetea katika sura hii. Watu wengine walidai kwamba alikuwa anajaribu kupata fedha kutoka kanisani.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kupata pesa kutoka kanisani
Watu walimshtaki Paulo kwa kutaka fedha tu kutoka kanisani. Paulo alijibu kwamba angeweza kupata fedha kutoka kanisa kwa njia ya haki. Agano la Kale lilifundisha kwamba wale waliofanya kazi wanapaswa kukilisha kutoka kwa kazi zao. Yeye na Barnaba hawakutumia kamwe haki hii kimakusudi ili kujikimu maisha yao wenyewe.
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
#### Mifano
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii. Sitiari hizi hifundisho maneno ya ukweli ngumu. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Muktadha
Kifungu hiki ni muhimu kwa sababu Paulo "anaweka katika muktadha" kuhubiri kwa injili kwa watu mbalimbali. Hii ina maana kwamba Paulo hujiweka mwenyewe pamoja na Injili kueleweka, bila matendo yake kuzuia injili. Mtafsiri anapaswa kuchukua huduma ya ziada kuhifadhi nyanja za "kuwekwa katika muktadha" hii ikiwa inawezekana. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/goodnews)
#### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza maneno mbalimbali anapofundisha Wakorintho.(See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
## Links:
* __[1 Corinthians 09:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../08/intro.md) | [>>](../10/intro.md)__

27
1co/10/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 1 Wakorintho 10 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Sura za 8-10 pamoja zinajibu swali: "Je, inakubalika kula nyama ambayo imetolewa dhabihu kwa sanamu?"
Katika sura hii, Paulo anatumia kutoka kuwaonya watu kutotenda dhambi. Kisha, anarudi kujadili nyama inayotolewa kwa sanamu. Anatumia Mlo wa Bwana kama mfano. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/sin)
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kutoka
Paulo anatumia uzoefu wa Israeli kutoka Misri na kutembea jangwani kama onyo kwa waumini. Ingawa Waisraeli walimfuata Musa, wote walikufa njiani. Hakuna hata mmoja aliyefikia Nchi ya Ahadi. Wengine waliabudu sanamu, wengine walimjaribu Mungu, na wengine walinung'unika. Paulo anawaonya Wakristo wasitende dhambi. Tunaweza kushinda majaribu kwa sababu Mungu hutoa njia ya kuepuka. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/promisedland)
#### Kula nyama iliyotolewa dhabihu kwa sanamu
Paulo anazungumzia nyama iliyotolewa kwa sanamu. Wakristo wanaruhusiwa kula, lakini inaweza kuumiza wengine. Kwa hiyo wakati wa kununua nyama au kukula na rafiki, usiulize ikiwa imetolewa kwa sanamu. Lakini ikiwa mtu anakuambia kuwa imetolewa kwa sanamu, usiile kwa ajili ya mtu huyo. Usimkosee mtu yeyote. Jaribu kuwaokoa badala yake. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
#### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza maneno mmbalimbali anapofundisha Wakorintho.(See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
## Links:
* __[1 Corinthians 10:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../09/intro.md) | [>>](../11/intro.md)__

34
1co/11/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,34 @@
# 1 Wakorintho 11 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Huu ni mwanzo wa sehemu mpya wa barua (Sura za 11-14). Paulo sasa anazungumza kuhusu huduma nzuri za kanisa. Katika sura hii, anahusisha matatizo mawili tofauti: wanawake katika huduma za kanisa (mistari ya 1-16) na Meza ya Bwana (mistari ya 17-34).
### Dhana maalum katika sura hii
#### Mazoezi mema katika huduma ya kanisa
#### Wanawake wasio na adabu
Maagizo ya Paulo hapa yanajadiliwa na wasomi. Labda kulikuwa wanawake ambao walikuwa wakitumia uhuru wao wa Kikristo vibaya a kuleta fujo ndani ya kanisa sababu hawakukuwa na adabu ya kawaida. Fujo kutokana na vitendo vyao vilimfanya awe na wasiwasi.
#### Meza ya Bwana
Kulikuwa na matatizo katika Wakorintho kwa jinsi walikula Meza ya Bwana. Hawakutenda kwa umoja. katika Wakorintho kwa jinsi walikula Meza ya Bwana, baadhi yao walikula chakula chao wenyewe bila kushirikiana. Baadhi yao walilewa wakati watu masikini walipokuwa na njaa. Paulo alifundisha kwamba waumini wanadharau kifo cha Kristo kama wanakula Meza ya Bwana na kufanya dhambi au wakati
wanavunja ushirika na wenzao. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/reconcile)
### Mifanyo ya muhimu za matamshi katika sura hii
#### Maswali ya uhuishaji
Paulo hutumia maswali ya uhuishaji ili kuwakaripia watu kwa kutofuata kwao sheria za ibada aliyopendekeza. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
#### Kichwa
Paulo anatumia "kichwa" kama kielelezo cha mamlaka katika mstari wa 3 na pia kutaja kichwa halisi cha mtu katika mstari wa 4 na kuendelea. Kwa kuwa hayo ni ya karibu sana, inawezekana kwamba Paulo alitumia "kichwa" kwa makusudi kwa njia hii. Hii inaonyesha kwamba mawazo katika aya hizi ziliunganishwa. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metonymy)
## Links:
* __[1 Corinthians 11:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../10/intro.md) | [>>](../12/intro.md)__

25
1co/12/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,25 @@
# 1 Wakorintho 12 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
#### Vipaji vya Roho Mtakatifu
Sura hii inaanza sehemu mpya. Sura za 12-14 zinajadili vipaji vya kiroho ndani ya kanisa.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kanisa, mwili wa Kristo
Hii ni mfano muhimu katika Maandiko. Kanisa lina sehemu nyingi. Kila sehemu ina kazi tofauti. Zinakusanywa kuunda kanisa moja. Sehemu zote tofauti ni muhimu. Kila sehemu inapaswa kujali sehemu nyingine zote, hata zile zinazoonekana kutokuwa muhimu. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### "Hakuna mtu anayeweza kusema, 'Yesu ni Bwana,' isipokuwa kwa Roho Mtakatifu."
Katika kusoma Agano la Kale, Wayahudi wangeweza kubadilisha neno "Bwana" kwa neno "Yahweh." Sentensi hii ina maana kwamba hakuna mtu anayeweza kusema kuwa Yesu ndiye Bwana, Mungu katika mwili, bila uwezo wa Roho Mtakatifu kuwavuta kukubali ukweli huu. Ikiwa neno hili limetafsiriwa vibaya, linaweza kuwa na madhara ya kitheolojia yasiyotarajiwa.
## Links:
* __[1 Corinthians 12:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../11/intro.md) | [>>](../13/intro.md)__

23
1co/13/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Wakorintho 13 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Paulo anaonekana kuacha mafundisho yake kuhusu vipaji vya kiroho. Hata hivyo, labda sura hii hutumika pakubwa katika mafundisho yake.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Upendo
Upendo ni sifa muhimu zaidi ya mwamini. Sura hii inaeleza kikamilifu kuhusu upendo. Paulo anaeleza kwa nini upendo ni muhimu zaidi kuliko vipaji vya Roho. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/love)
### mifano mhimu ya matamshi katika sura hii
#### Mifano
Paulo anatumia mifano nyingi tofauti katika sura hii. Anatumia sitiari hizi kuwafundisha Wakorintho, hasa katika mada ngumu. Wasomaji mara nyingi wanahitaji ufahamu wa kiroho kuelewa mafundisho haya. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
## Links:
* __[1 Corinthians 13:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../12/intro.md) | [>>](../14/intro.md)__

23
1co/14/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Wakorintho 14 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Katika sura hii, Paulo anaandika tena kuhusu vipaji vya kiroho.
Baadhi ya tafsiri huweka kile kinanukuliwa kutoka kwenye Agano la Kale kwa upande wa kulia zaidi kwenye ukurasa; zaidi ya maandiko yote. ULB inafanya hivyo kwa maneno ya mstari wa 21.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Ndimi
Wasomi hawakubaliani juu ya maana halisi ya kipaji cha ndimi. Paulo anaelezea kipaji cha ndimi kama ishara kwa wasioamini. Haitumiki kwa kanisa lote, isipokuwa mtu akielezea kile kinachosemwa. Ni muhimu sana kwamba kanisa linatumia kipaji hiki vizuri.
#### Unabii
Wasomi hawakubaliani juu ya maana halisi ya unabii kama kipaji cha kiroho. Paulo anasema manabii wanaweza kujenga kanisa lote. Anaelezea unabii kama kipaji kwa waumini. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/prophet)
## Links:
* __[1 Corinthians 14:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../13/intro.md) | [>>](../15/intro.md)__

23
1co/15/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Wakorintho 15 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
#### Ufufuo
Sura hii inajumuisha mafundisho muhimu kuhusu ufufuo wa Yesu. Watu wa Kigiriki hawakuamini kwamba mtu anaweza kuishi baada ya kufa. Paulo anatetea ufufuo wa Yesu. Anafundisha kwa nini ni muhimu kwa waumini wote. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/resurrection]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
### Dhana maalum katika sura hii
#### Ufufuo
Paulo anaonyesha ufufuo kama ushahidi wa mwisho kwamba Yesu ni Mungu. Kristo ni wa kwanza kati ya wengi ambao Mungu atawafufua. Ufufuo ni muhimu kwa Injili. Mafundisho machache tu ni ya muhimu kama haya.(See: rc://en/tw/dict/bible/kt/goodnews]] and [[rc://en/tw/dict/bible/other/raise)
### Mifano muhimu za matamshi katika sura hii
Paulo anatumia mifano nyingi za matamshi katika sura hii. Anazitumia kueleza mafundisho magumu ya kitheolojia kwa namna ambayo watu wanaweza kuelewa.
## Links:
* __[1 Corinthians 15:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../14/intro.md) | [>>](../16/intro.md)__

17
1co/16/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 1 Wakorintho 16 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Paulo anaeleza kwa kifupi mada nyingi katika sura hii. Ilikuwa ni kawaida katika inchi za kale za Mashariki ya Karibu kwa sehemu ya mwisho ya barua kuwa na salamu za kibinafsi.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Maandalizi ya kuja kwake
Paulo alitoa maelekezo ili kusaidia kanisa la Korintho kujitayarisha kwa Paulo kuwatembelea. Aliwaambia waanze kukusanya fedha kila Jumapili kwa ajili ya waumini huko Yerusalemu. Alikuwa na matumaini ya kuja na kukaa pamoja nao wakati wa msimu wa baridi. Aliwaambia wamsaidie Timotheo atakapofika. Alikuwa na matumaini kuwa Apollo angewatembelea, lakini Apolo hadhani kwamba ilikuwa wakati mzuri. Paulo pia aliwaambia wamtii Stephanus. Kwa mwisho, alituma salamu kwa kila mtu.
## Links:
* __[1 Corinthians 16:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../15/intro.md) | __

76
1co/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,76 @@
# Utangulizi wa 1 Wakorintho
## Sehemu ya 1: Utangulizi wa Ujumla
### Maelezo ya Kitabu cha 1 Wakorintho
1. Mgawanyiko katika kanisa (1:10-4:21)
1. Dhambi na makosa (5:1-13)
1. Wakristo kuwapeleka Wakristo wengine mahakamani (6:1-20)
1. Ndoa na mambo yanayohusiana nayo (7:1-40)
1. Uovu wa uhuru wa Kikristo; chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu, kukimbia ibada ya sanamu; kufunika kwa vichwa vya wanawake (8:1-13; 10:1-11:16)
1. Haki za Paulo kama mtume (9:1-27)
1. Meza ya Bwana (11:17-34)
1. Vipaji vya Roho Mtakatifu (12:1-31)
1. pendo (13:1-13)
1. Vipaji vya Roho Mtakatifu: unabii na lugha (14:1-40)
1. Ufufuo wa waumini na ufufuo wa Kristo (15:1-58)
1. Kufunga: mchango wa Wakristo huko Yerusalemu, maombi, na salamu za kibinafsi (16:1-24)
### Nani aliandika Kitabu cha 1 Wakorintho?
Paulo aliandika 1 Wakorintho. Paulo alitoka mji wa Tarso. Alikuwa anajulikana kama Sauli katika maisha yake ya awali. Kabla ya kuwa Mkristo, Paulo alikuwa Mfarisayo. Aliwatesa Wakristo. Baada ya kuwa Mkristo, alisafiri mara kadhaa katika Ufalme wa Roma akiwaambia watu kuhusu Yesu.
Paulo alianzisha kanisa lililokutana huko Korintho. Alikuwa akiishi katika mji wa Efeso wakati aliandika barua hii.
### Je, kitabu cha 1 Wakorintho kinahusu nini?
1 Wakorintho ni barua ambayo Paulo aliwaandikia waumini waliokuwa katika mji wa Korintho. Paulo alikuwa amesikia kwamba kuna matatizo kati ya waumini huko. Walikuwa wakigombana. Baadhi yao hawakuelewa baadhi ya mafundisho ya Kikristo. Na baadhi yao walikuwa na tabia mbaya. Katika barua hii, Paulo aliwajibu na kuwahimiza kuishi kwa njia iliyopendeza Mungu.
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wakorintho wa Kwanza." Au wanaweza kuchagua kichwa wazi, kama "Barua ya kwanza ya Paulo kwa Kanisa la Korintho." (See: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
### Mji wa Korintho ulikuwaje?
Korintho ilikuwa mji mkuu katika Ugiriki wa kale. Kwa sababu ulikuwa karibu na Bahari ya Mediterane, wasafiri wengi na wafanyabiashara walikuja kununua na kuuza bidhaa huko. Hii ilisababisha mji kuwa na watu kutoka tamaduni nyingi tofauti. Mji huo ulijulikana kwa kuwa na watu waliokuwa wameishi katika njia za uasherati. Watu waliabudu Afrodito, mungu wa kike wa Kigiriki wa upendo. Kama sehemu ya sherehe za kuheshimu Afrodito, waabudu wake walifanya ngono na makahaba wa hekalu.
### Tatizo lilikuwa nini kwa nyama iliyotolewa kwa sanamu?
Wanyama wengi waliuawa na kutolewa dhabihu kwa miungu ya uongo huko Korintho. Wakuhani na waabudu walishika sehemu ya nyama hizo. Sehemu kubwa ya nyama hizo ilikuwa ikiuzwa katika masoko. Wakristo wengi hawakukubaliana iwapo ilikuwa ni sawa kula nyama hii, kwa sababu ilikuwa imetolewa kwa mungu wa uwongo. Paulo anaandika juu ya shida hii katika 1 Wakorintho.
## Sehemu ya 3: Masuala muhimu ya Tafsiri
### Je, mawazo ya "takatifu" na "kutakasa" yamewakilishwa vipi katika 1 Wakorintho kwenye ULB?
Maandiko hutumia maneno kama haya ili kuonyesha moja kati ya mawazo mbalimbali. Kwa sababu hii, mara nyingi ni vigumu kwa watafsiri kuyawakilisha vizuri katika tafsiri zao. Katika kutafsiri kwa Kiingereza, 1 Wakorintho kwenye ULB hutumia kanuni zifuatazo:
* Wakati mwingine maana katika kifungu inaashiria utakatifu wa maadili. Hasa muhimu kuelewa katika injili kuwa ni ukweli kwamba Mungu anawaona Wakristo kuwa wasio na dhambi kwa sababu wameungana na Yesu Kristo. Ukweli mwingine unaohusiana na haya ni kwamba Mungu ni mkamilifu na hana hatia. Ukweli wa tatu ni kwamba Wakristo wanapaswa kujiendesha kwa njia isio na hatia na isiyo na hatia katika maisha. Katika hali hizi, ULB inatumia "takatifu," "Mungu mtakatifu," "watakatifu," au "watu watakatifu." (Angalia: 1:2; 3:17)
* Wakati mwingine maana katika kifungu inaonyesha rejeo rahisi kwa Wakristo bila kuashiria jukumu fulani wanayopaswa kufanya. Katika nyakati hizi, ULB hutumia "mwamini" au "waumini." (Angalia: 6:1, 2, 14:33; 16:1,15)
* Wakati mwingine maana katika kifungu hiki inaashiria mtu au kitu kilichowekewa Mungu peke yake. Katika matukio haya, ULB inatumia "kuwekwa kando," "kujitolea," "iliyohifadhiwa," au "kutakaswa." (Angalia: 1:2; 6:11; 7:14,34)
UDB mara nyingi husaidia ikiwa wafasiri wanafikiria juu ya jinsi ya kuwakilisha mawazo haya katika tafsiri zao wenyewe.
### Nini maana ya "mwili"?
Paulo mara nyingi alitumia maneno "mwili" au "kimwili" kwa kutaja Wakristo ambao walifanya mambo ya dhambi. Hata hivyo, sio ulimwengu wa kimwili ambao ni mbaya. Paulo pia alielezea Wakristo ambao waliishi kwa njia ya haki kama "kiroho." Hii ni kwa sababu walifanya kile Roho Mtakatifu aliwafundisha kufanya. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/flesh]], [[rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/spirit)
### Paulo alimaanisha nini kwa maneno "katika Kristo," "katika Bwana," na kadhalika?
Maneno haya hutokea katika 1:2, 30, 31; 3:1; 4:10, 15, 17; 6:11, 19; 7:22; 9:1, 2; 11:11, 25; 12: 3, 9, 13, 18, 25; 14:16; 15:18, 19, 22, 31, 58; 16:19, 24. Paulo alijaribu kueleza wazo la muungano wa karibu kati ya Kristo na waumini. Wakati huo huo, mara nyingi alitaka kuelezea maana nyingine pia. Ona, kwa mfano, "wale ambao wamejitolea katika Kristo Yesu" (1:2), ambako Paulo alimaanisha hasa kwamba waumini Wakristo wamejitolea kwa Kristo.
Tafadhali angalia utangulizi wa Kitabu cha Warumi kwa maelezo zaidi juu ya maneno haya.
### Je, ni masuala gani muhimu katika Kitabu cha 1 Wakorintho?
Kwa aya zifuatazo, matoleo ya kisasa ya Biblia yanatofautiana na matoleo ya zamani. Watafsiri wanashauriwa kufuata matoleo ya kisasa ya Biblia. Hata hivyo, ikiwa katika wilaya ya watafsiri kuna Biblia ambazo zinasomwa kulingana na matoleo ya kale ya Biblia, watafsiri wanaweza kufuata hayo. Ikiwa ni hivyo, mistari hii inapaswa kuwekwa ndani ya mabano ya mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda asili yao sio 1 Wakorintho.
* "Basi, tukuzeni Mungu kwa miili yenu." Baadhi ya matoleo ya zamani husema "Kwa hiyo, tukuzeni Mungu kwa miili yenu na katika roho zenu, ambayo ni ya Mungu." (6:20)
* "Nilifanya hivyo ingawa mimi sikuwa chini ya sheria." (9:20) Baadhi ya matoleo ya zamani hayana kifungu hiki.
* "kwa ajili ya dhamiri - dhamiri ya mtu mwingine." Baadhi ya matoleo ya zamani husoma "kwa sababu ya dhamiri: kwa maana dunia na kila kitu kilicho ndani yake ni ya Bwana: dhamiri ya mtu mwingine." (10:28)
* "na kwamba mimi hutoa mwili wangu kuchomwa moto." (13: 3) Baadhi ya matoleo ya zamani yanasema, "na kwamba ninatoa mwili wangu ili nipate kujivunia."
* "Lakini kama mtu hajui jambo hili, asitambuliwe." (14:38) Baadhi ya matoleo ya zamani husema, "Lakini ikiwa kuna mtu yeyote asiyejua jambo hilo, basi asijue."
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

26
1jn/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,26 @@
# 1 Yohana 01 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Hii ni barua ambayo Yohana aliwaandikia Wakristo.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Wakristo na dhambi
Katika sura hii Yohana anafundisha kwamba Wakristo wote bado ni wenye dhambi. Lakini Mungu anaendelea kusamehe dhambi za Mkristo. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/forgive)
### Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Mifano
Katika sura hii Yohana anaandika kwamba Mungu ni mwanga. Mwanga ni mfano ya ufahamu na uadilifu. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous)
Yohana pia anaandika kuhusu watu wanaotembea katika nuru au katika giza. Kutembea ni mfano ya tabia au kuishi. Watu wanaotembea katika mwanga huelewa kilicho haki na kukifanya. Watu wanaotembea katika giza hawawezi kuelewa yaliyo sawa, na wanatenda dhambi.
## Links:
* __[1 John 01:01 Notes](./01.md)__
* __[1 John intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

27
1jn/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 1 Yohana 02 Maelezo ya Jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Mpinga Kristo
Katika sura hii Yohana anaandika juu ya mpinga Kristo maalum na wapinga Kristo wengi. Neno "mpinga Kristo" linamaanisha "anayepinga Kristo." Mpinga Kristo ni mtu atakayekuja siku za mwisho na kuiga kazi ya Yesu, lakini ataifanya kwa uovu. Kabla ya mtu huyu kuja, kutakuwa na watu wengi wanaofanya kazi dhidi ya Kristo; wao pia huitwa "wapinga Kristo." (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/antichrist]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/lastday]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/evil)
### Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Mfano
Kuna makundi kadhaa ya ya mifano yenye kufanana ambao yanatumiwa katika sura hii.
Kuwa ndani ya Mungu ni mfano ya kuwa na ushirika pamoja na Mungu, pia neno la Mungu na ukweli kuwa ndani ya watu ni mfano ya watu kujua na kutii neno la Mungu.
Kutembea ni mfano ya tabia, kutojua ambapo mtu anaenda ni mfano ya kutojua jinsi ya kuishi, na kujikwaa ni mfano ya dhambi.
Nuru ni mfano wa kujua na kufanya kile kilicho sahihi, na giza na upofu ni mfano ya kutojua kilicho sahihi na kutenda mabaya.
Watu wanaopotosha wengine ni mfano ya kufundisha watu mambo yasiyo ya kweli. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
## Links:
* __[1 John 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

27
1jn/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 1 Yohana 03 Maelezo ya Jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Watoto wa Mungu
Mungu aliumba watu wote, lakini watu wanaweza tu kuwa watoto wa Mungu kwa kumwamini Yesu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
#### Kaini
Kaini alikuwa mwana wa mtu wa kwanza, Adamu, na mwanamke wa kwanza, Hawa. Alimwonea wivu ndugu yake na kumwua. Wasomaji hawawezi kujua Kaini ni nani ikiwa hawajasoma kitabo cha Mwanzo. Wanaweza kusaidiwa ikiwa unawaelezea hivi.
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### "Kujua"
Kujua" ni neno la kitenzi kinachotumika kwa njia mbili tofauti katika sura hii. Wakati mwingine hutumiwa kuhusu kujua ukweli, kama katika 3:2, 3:5, na 3:19. Wakati mwingine inamaanisha uzoefu na kuelewa mtu au kitu, kama katika 3:1, 3:6, 3:16, na 3:20. Lugha zingine zina maneno tofauti kwa maana hizi tofauti.
#### "Yeye anayezingatia amri za Mungu anakaa ndani yake, na Mungu anakaa ndani yake"
Wasomi wengi wanaamini kama hii inamaanisha kubaki katika mapenzi ya Mungu wala sio kumaanisha kuokolewa. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/eternity]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
## Links:
* __[1 John 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__

19
1jn/04/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,19 @@
# 1 Yohana 04 Maelezo ya Jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Roho
Neno hili "roho" linatumiwa kwa njia tofauti katika sura hii. Wakati mwingine neno "roho" linamaanisha viumbe wa kiroho. Wakati mwingine inahusu tabia ya kitu fulani. Kwa mfano "roho ya mpinga Kristo," "roho ya kweli," na "roho ya hitilafu" inamaanisha kile ambacho ni mfano wa mpinga Kristo, ukweli, na kosa. "Roho" (iliyoandikwa na herufi kubwa "R") na "Roho wa Mungu" inamaanisha Mungu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/antichrist)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Kupenda Mungu
Ikiwa watu wanampenda Mungu, wanapaswa kuonyesha katika njia wanayoishi na jinsi wanavyowatendea watu wengine. Kufanya hivyo kunaweza kutuhakikishia kuwa Mungu ametuokoa na kwamba sisi ni wake, lakini kupenda wengine haituokoi. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
## Links:
* __[1 John 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__

27
1jn/05/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 1 Yohana 05 Maelezo ya Jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Watoto waliozaliwa kutoka kwa Mungu
Watu wanapoamini Yesu, Mungu huwafanya watoto wake na kuwapa uzima wa milele. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
#### Kuishi Kikristo
Watu wanaomwamini Yesu wanapaswa kutii amri za Mungu na kupenda watoto wake.
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Kifo
Wakati Yohana anaandika juu ya kifo katika sura hii, anaelezea kifo cha kimwili. (See: rc://en/tw/dict/bible/other/death)
#### "Ulimwengu wote upo katika uwezo wa mwovu"
Maneno "yule mwovu" yanamaanisha Shetani. Mungu amemruhusu aongoze ulimwengu, lakini hatimaye Mungu ana mamlaka juu ya kila kitu. Mungu anawaweka watoto wake salama mbali na mwovu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/satan)
## Links:
* __[1 John 05:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../04/intro.md) | __

51
1jn/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,51 @@
# Utangulizi wa 1 Yohana
## Sehemu ya 1: Utangulizi wa Ujumla
### Maelezo ya Kitabu cha 1 Yohana
1. Utangulizi (1:1-4)
1. Kuishi Kikristo (1:5-3:10)
1. Amri ya kupendana (3:11-5:12)
1. Hitimisho (5:13-21)
### Nani aliandika Kitabu cha 1 Yohana?
Kitabu hiki hakitaji mwandishi. Hata hivyo, tangu wakati wa Kikristo wa kwanza, Wakristo wengi wamefikiri kwamba Mtume Yohana ndiye aliyekuwa mwandishi. Yeye pia aliandika Injili ya Yohana.
### Je, kitabu cha 1 Yohana kinahusu nini?
Yohana aliandika barua hii kwa Wakristo wakati ambapo walimu wa uongo walikuwa wakiwasumbua. Yohana aliandika barua hii kwa sababu alitaka kuzuia waumini wasitende dhambi. Alitaka kuwalinda waumini dhidi ya mafundisho ya uongo. Na alitaka kuwahakikishia waumini kwamba walikuwa wameokolewa.
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "1 Yohana" au "Yohana wa Kwanza." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Kwanza Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Kwanza Aliyoandika Yohana." (See: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
### Ni watu wapi ambao Yohana alizungumza dhidi yao?
Watu ambao Yohana alizungumza dhidi yao inawezekana kwamba walikuwa wale ambao wangejulikana kama Wagnostiki. Watu hawa waliamini kwamba dunia ni uovu. Kwa kuwa waliamini kwamba Yesu alikuwa wa kiungu, walikanusha kwamba alikuwa mwanadamu kweli. Hii ni kwa sababu walidhani Mungu hawezi kuwa mwanadamu kwa sababu mwili ni uovu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/evil)
## Sehemu ya 3: Masuala muhimu ya Tafsiri
### Maneno "kubaki" na "kuishi" na "kukaa" yana maana gani katika 1 Yohana?
Yohana mara nyingi alitumia maneno "kubaki," "kuishi," na "kukaa" kama sitiari. Yohana alizungumzia muumini kuwa mwaminifu zaidi kwa Yesu na kumjua Yesu vizuri ikiwa neno la Yesu "lilibaki" ndani ya muumini huyo. Pia, Yohana alizungumzia mtu aliyejiunga kiroho na mtu mwingine kana kwamba mtu "aliyebaki" katika mtu mwingine. Wakristo wanasema "kubaki" katika Kristo na kwa Mungu. Baba anasemekana "kubaki" ndani ya Mwana, na Mwana anasemekana"kubaki" ndani ya Baba. Mwana anasemekana "kubaki" katika waumini. Roho Mtakatifu pia anasemekana "kubaki" ndani ya waumini.
Watafsiri wengi wataona kuwa ni vigumu kuwakilisha mawazo haya katika lugha zao kwa njia hiyo hiyo. Kwa mfano, Yohana alitaka kueleza wazo la Mkristo kuwa pamoja na Mungu kiroho wakati alisema, "Yeye asemaye anakaa katika Mungu" (1 Yohana 2: 6). UDB inasema, "Ikiwa tunasema kuwa sisi tuna umoja na Mungu," lakini watafsiri mara nyingi wanapaswa kutumia maneno mengine ambayo yanawasilisha mawazo haya vizuri.
Katika kifungu hicho, "neno la Mungu linakaa ndani yenu" (1 Yohana 2:13), UDB inaelezea wazo hili kama, "unaendelea kutii kile ambacho Mungu anaamuru." Watafsiri wengi wataona kuwa inawezekana kutumia tafsiri hii kama mwongozo.
### Je, ni masuala gani muhimu katika Kitabu cha 1 Yohana?
Yafuatayo ni masuala muhimu zaidi ya maandishi katika 1 Yohana:
* "Na tunawaandikia mambo haya ili furaha yetu iwe kamili." (1:4) ULB, UDB, na matoleo ya kisasa zaidi husoma hivi. Baadhi ya matoleo ya zamani yana, "Na tunawaandikia mambo haya ili furaha yenu iwe kamili."
* "Na ninyi nyote mnajua ukweli." (2:20) ULB, UDB, na matoleo ya kisasa zaidi yasoma hivi au ifuatavyo: "Na ninyi nyote mna ujuzi." Baadhi ya matoleo ya zamani yana, "na mnajua vitu vyote."
* "na hivi ndivyo tulivyo!" (3:1). ULB, UDB, na matoleo ya kisasa zaidi kusoma hivi. Baadhi ya maandishi ya zamani yameacha maneno haya.
* "na kila roho isiyokubali Yesu haitoki kwa Mungu." (4:3) ULB, UDB, na matoleo ya kisasa zaidi yana somo hili. Baadhi ya maandishi ya kale yanasoma, "na kila roho isiyokubali kwamba Yesu amekuja katika mwili sio ya Mungu."
* "Kwa maana kuna watatu wanaoshuhudia mbinguni: Baba, Neno, na Roho Mtakatifu, na hawa watatu ni mmoja.Nao kuna watatu ambao wanashuhudia duniani: Roho, maji, na damu; na hawa tatu ni kama moja." (5:7-8). ULB, UDB, na matoleo mengine mengi hayasomi hivi. Watafsiri wanashauriwa kutafsiri hii kama ULB inavyofanya. Hata hivyo, ikiwa katika eneo la watafsiri, kuna matoleo ya zamani ya Biblia ambayo yanajumuisha kifungu hiki, watafsiri wanaweza kukijumuisha. Ikiwa imejumuishwa, inapaswa kuwekwa ndani ya mabano ya mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda haipo katika toleo la awali la 1 Yohana. (See: rc://en/ta/man/translate/translate-textvariants)
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

32
1pe/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,32 @@
# 1 Petero 01 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Watafsiri wengine wametenga mistari ya ushairi mbele zaidi kuelekea kulia kuliko maandishi mengine ili yasomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi na ushairi ambao umenukuliwa kutoka Agano la kale katika 1:24-25.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kile Mungu anafunua
Yesu atakaporudi tena, kila mtu ataona jinsi watu wa Mungu walikuwa wawe na imani kwa Yesu. Halafu watu wa Mungu wataona jinsi Mungu amekuwa wa neema kwao na watu wote watamsifu Mungu na watu wake.
#### Utakatifu
Mungu anataka watu wake wawe watakatifu kwa sababu Mungu ni Mtakatifu. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/holy)
#### Milele
Petero anawaambia watu kuishi kwa ajili ya vitu vya kudumu milele na kuacha kuishi kwa ajili ya vitu vya dunia hii ambavyo vitaisha. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/eternity)
### Maswala mengine ya utata katika sura hii
#### Ukweli kinza
Ukweli kinza ni kauli ya ukweli ambayo inaonekana kuelezea kitu kisichowezekana. Petero anaandika kwamba wasomaji wake wanafurahi na kuhuzunika kwa wakati mmoja (1 Petero 1:6). Anaweza kusema hivi kwa sababu wanahuzuni kwa sababu wanateseka lakini wanafurahi kwa sababu wanafahamu kwamba Mungu atawaokoa nyakati za mwisho" (1 Peter 1:5)
## Links:
* __[1 Peter 01:01 Notes](./01.md)__
* __[1 Peter intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

23
1pe/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Petero 02 Maelezo kwa jumla
### Muundo na mpangilio
Watafsiri wengine wametenga mistari ya ushairi mbele zaidi kuelekea kulia kuliko maandishi mengine ili yasomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi na ushairi ambao umenukuliwa kutoka Agano la kale katika 2:6, 7, 8 na 22.
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Mawe
Bibilia inatumia jengo lililojengwa kwa mawe makubwa kama mfano wa kanisa. Yesu ni jiwe kuu la pembeni, jiwe la muhimu. Mitume na manabii ndio msingi, sehemu ya jengo hili ambamo mawe mengine yanasimamia. Katika sura hii Wakristo ni mawe ambayo yanatengeneza kuta za jengo. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://en/tw/dict/bible/kt/cornerstone and rc://en/tw/dict/bible/other/foundation)
### Mifano muhimu za usemi katika sura hii
#### Maziwa na watoto
Wakati Petero anawaambia wasomaji wake kwamba "watamani maziwa halisi ya kiroho", anatumia mfano ya mtoto mchanga ambaye hawezi kula chakula kigumu. Anataka kuwaelezea wasomaji wake kwamba wanaweza tu kuelewa vitu rahisi kuhusu maisha ya kumfurahisha Mungu. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
## Links:
* __[1 Peter 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

27
1pe/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 1 Petero 03 Maelezo kwa jumla
### Muundo na mpangilio
Watafsiri wengine wametenga mistari ya ushairi mbele zaidi kuelekea kulia kuliko maandishi mengine ili yasomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi na ushairi ambao umenukuliwa kutoka Agano la kale katika 3:10-12
### Dhana muhimu katika sura hii
#### "Mapambo ya nje"
Watu wengi wanataka kuonekana wazuri ili watu wawapende na kufikiri ni watu wazuri. Wanawake huwa makini sana kuonekana wazuri kwa kuvalia nguo nzuri na mapambo. Petero anasema kwamba kile mtu anafikiri na kusema na kutenda ni muhimu kwa Mungu kuliko jinsi anavyoonekana.
#### Umoja
Petero alitaka wasomaji wake kukubaliana na kila mmoja wao. Muhimu zaidi aliwataka wapendane na kuvumiliana.
### Mifano muhimu za usemi katika sura hii
#### Mfano
Petero ananukuu Zaburi ambayo inamfafanua Mungu kama mtu aliye na macho, masikio na uso. Hata hivyo Mungu ni roho na kwa hivyo hawezi kuwa na macho, masikio ama uso wa kibinadamu. Lakini yeye anafahamu wafanyacho watu na huwadhibu watu waovu. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
## Links:
* __[1 Peter 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__

27
1pe/04/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 1 Petero 04 Maelezo kwa jumla
### Muundo na mpangilio
Tafsiri zingine zimetenga mistari ya ushairi mbele zaidi kuelekea kulia kuliko maandishi mengine ili yasomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi na ushairi ambao umenukuliwa kutoka Agano la kale katika 4:18
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Watu wa mataifa wasiomcha Mungu.
Aya hii inatumia neno "Watu wa mataifa" kumaanisha watu wote wasiomcha Mungu na siyo Wayahudi. Haiwajumuishi Watu wa mataifa ambao wameisha kuwa Wakristo. Zambi za tamaa na ulevi na kuabudu sanamu zilikua tabia ya wasiomcha Mungu.
#### Kifo cha kishahidi
Ni wazi kwamba Petero anawazungumzia Wakristo wengi ambao wanapitia mateso mengi na wanakaribia kufa kwa ajili ya imani yao.
### Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
#### "Na iwe" na "Hata mmoja asi" na "Mwache" na "Wacha hao"
Petero anatumia vifungu hivi vya maneno kuwaeleza wasomaji wake anachotaka wafanye. Ni kama maagizo ya kiamri kwa sababu anataka wasomaje wake wayatii. Lakini ni kama anamwambia mtu mmoja anachotaka na watu wengine wanaambiwa cha kufanya.
## Links:
* __[1 Peter 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__

27
1pe/05/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 1 Petero 05 Maelezo kwa jumla
### Muundo na mpangilio
Watu wengi wa kale katika Mashariki ya karibu wangemalizia barua jinsi Petero anavyoimalizia hii.
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Mataji
Taji ambalo mchungaji Mkuu atapeana ni tuzo, kitu ambacho watu hupokea wakitenda mema. (Tazama: //en/tw/dict/bible/other/reward)
### Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
#### Simba
Wanyama wote wanawaogopa simba kwa sababu ya kasi na nguvu zao na pia wanakula karibu kila aina za wanyama. Pia wanakula binadamu. Shetani anataka kuwafanya watu wa Mungu kuwa waoga na kwa hivyo Petero anatumia mfano ya simba kufundisha wasomaji wake kwamba Shetani anaweza kudhuru miili yao. Lakini wakimwamini Mungu na kumtii, watakuwa watu wa Mungu na Mungu atawahudumia, (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-simile)
#### Babuloni
"Babuloni ilikuwa taifa ovu katika Agano la Kale. Taifa hilo liliharibu jiji la Yerusalemu na likawateka Wayahudi kutoka maboma yao na wakawatawala. Petero anatumia Babuloni kama mfano ya taifa ambalo lilikuwa linawatesa Wakristo aliokuwa anawaandikia. Huenda aliamaanisha Yerusalemu kwa sababu Wayahudi walikuwa wanawatesa sana Wakristo ama aliashiria Roma kwa sababu Warumi walikuwa wanawatesa Wakristo. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/evil and rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
## Links:
* __[1 Peter 05:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../04/intro.md) | __

44
1pe/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,44 @@
# Utangulizi wa 1 Petero
## Sehemu ya 1 Utangulizi wa jumla
### Muhtasari wa 1 Petero
1. Utangulizi (1:1-2)
1. Shukrani kwa ukombozi wa Mungu kwa waumini (1:3-2:10)
1. Maisha ya Kikristo (2:11-4:11)
1. Utiaji wa moyo kuvumila wakati wa mateso (4:12-5:11)
1. Kufunga (5:12-14)
### Nani aliandika kitabu cha 1 Petero?
Kitabu cha 1 Petero kilandikwa na mtume Petero. Aliwaandikia Wakristo Wayahudi waliotawanyika katika Asia Ndogo
### kitabu cha 1Petero kinahusu nini?
Petero alibainisha kwamba aliandika barua hii kwa ajili ya "kukutia moyo na kushahidia kwamba hii ndiyo neema ya kweli ya Mungu" (5:12). Aliwahimiza Wakristo kuendelea kumtii Mungu hata wakiwa kwenye mateso. Aliwaambia wafanye hivi kwa sababu Yesu angerudi karibuni.Petero pia alitoa maelezo kuhusu kuheshimu watu walio na mamlaka.
### Kichwa cha kitabu hiki kitafsiriwe namna gani?
Watafsiri wanweza kuamua kukiita kitabo hiki na jina lake la kiasili, 1 Petero", ama "Petero wa Kwanza" ama wanaweza kuchagua kichwa kinachoeleweka zaidi kama "Barua ya kwanza kutoka kwa Petero" ama "Barua ya kwanza alioandika Petero."(Tazama: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na Kitamaduni
### Wakristo walitendewa kivipi Roma?
Kuna uwezekano Petero alikuwa Roma akiandika barua hii. Aliupa mji wa Roma jina la mfano ya "Babeli" (5:13). Inaonekana wakati Petero anaandika barua hii, Warumi walikuwa wanawatesa vibaya sana Wakristo.
## Sehemu ya 3: Maswala muhimu ya tafsiri
### Umoja na wingi wa "wewe" na "nyinyi"
Katika kitabu hiki "Mimi" inaashiria Petero isipokuwa kwa sehemu mbili: 1 Petero:1:6 na 1 Petero 2:6. Neno "nyinyi" limetumika kwa wingi kuashiria hadhira ya Petero. (Tazama: : rc://en/ta/man/translate/figs-you)
### Ni maswala gani muhimu katika maandishi ya kitabu cha 1 Petero?
* "Mlizitakasa roho zenu kwa kutii ukweli.Hii ilikuwa ni kwa sababu ya upendo bila unafiki wa kindugu. Kwa hivyo mpendaneni kabisa kutoka moyoni." (1:22). ULB, UDB na matoleo mengine ya kisasa yanasema hivi. Matoleo mengine ya kale yanasoma, "Mlifanya roho zenu safi kwa utiifu wa ukweli kupitia Roho kwa ajili ya upendo bila unafiki wa kindugu, kwa hivyo mpendaneni bila unafiki kutoka rohoni."
Iwapo tafsiri ya Bibilia ipo katika eneo kwa jumla, watafsiri wanafaa kuzingatia kutumia masomo yanayopatikana katika matoleo hayo. Kama sivyo watafsiri wanashauriwa kufuata masomo ya kisasa.
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

18
1th/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,18 @@
# 1 Wathesalonike 01 Maelezo kwa jumla
### Muundo na mpangilio
Mstari wa kwanza unatanguliza barua hii kirasmi. Barua za kale katika Mashariki ya Karibu yalikuwa na utangulizi wa aina hii.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Ugumu
Watu wengine waliwatesa sana Wakristo wa Thesalonike. Lakini Wakristo hao waliyachukulia mateso hayo kwa njia nzuri. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
## Links:
* __[1 Thessalonians 01:01 Notes](./01.md)__
* __[1 Thessalonians intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

18
1th/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,18 @@
# 1 Wathesalonike 02 Maelezo kwa ujumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Shahidi ya Mkristo
Paulo anathamini "Shahidi yake ya Kikristo" kama dhihirisho kwamba injili ni ya ukweli. Paulo anasema kwamba kuwa mtakatifu ama kuishi uungu unashuhudia wasio Wakristo. Paulo anatetea tabia yake ili shahidi wake isiathiriwe. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/testimony and rc://en/tw/dict/bible/kt/godly and rc://en/tw/dict/bible/kt/holy)
#### Kuishi Kikristo
Sheria ya Musa ilihitaji watu kutoa dhabihu ya wanyama au ya nafaka ndani ya hekalu. Mungu hahitaji dhabihu nyakati hizi. Mungu anahitaji watu waishi kama sadaka.Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
## Links:
* __[1 Thessalonians 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

13
1th/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,13 @@
# 1 Wathesalonike 03 Maelezo kwa ujumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Kusimama
Katika sura hii Paulo anatumia "simama imara" kuonyesha kuwa imara. Hii ni njia ya kawaida ya kuelezea kuwa imara ama mwaminifu. Paulo anatumia "Kutingizwa" kama kinyume cha kuwa imara. Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/faithful)
## Links:
* __[1 Thessalonians 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__

21
1th/04/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,21 @@
# 1 Wathesalonike 04 Maelezo kwa ujumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Uzinzi
Mila mbalimbali zina vipimo tofauti vya uzinzi na kwa hivyo itakuwa vigumu kutafsiri fungu hili.Watafsiri pia ni lazima wafahamu miiko ya kitamaduni. Maneno haya ni maneno yasiofaa kwa adabu sahihi.
#### Kufa kabla ya kurudi kwa Kristo
Katika kanisa la mwanzo, watu walijiuliza chenye kingefanyika iwapo mtu angekufa kabla ya kurudi kwake Yesu Kristo. Kuna uwezekano kwamba walikuwa na wasiwasi kama waliokufa kabla ya kurudi kwake Kristo wangejumuishwa kwenye ufalme wake. Paulo anajibu swali hilo.
#### "Kunyakuliwa mawinguni tumlaki Bwana hewani"
Kifungu hiki kinaashiria wakati Yesu atakapowaita wale waliomwamini. Wasomi wanatofautiana iwapo hii inaashiria kurudi kwake Yesu kwa mara ya mwisho kwa utukufu ama hapana. (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
## Links:
* __[1 Thessalonians 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__

21
1th/05/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,21 @@
# 1 Wathesalonike 05 Maelezo kwa ujumla
### Muundo na Mpangilio
Paulo anamalizia barua yake kama barua za kawaida nyakati za kale kule Mashariki Ya Karibu.
### Dhana Muhimu katika sura hii
#### Siku ya bwana
Wakati kamili wa ujio wa siku ya Bwana itakuwa ni kwa ghafla pasipotarajiwa. Hii ndiyo maana ya "kama mwizi usiku". Kwa sababu hii, Wakristo waishi wakijiandaaa kurudi kwa Bwana. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/dayofthelord and rc://en/ta/man/translate/figs-simile)
#### "Kukata kiu ya Kiroho"
Hii ina maana ya kutojali ama kufanya kinyume na mwongozo na kazi ya Roho Mtakatifu.
## Links:
* __[1 Thessalonians 05:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../04/intro.md) | __

60
1th/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,60 @@
# Utangulizi wa Wathesalonike 1
## Sehemu 1: Utangulizi wa Jumla
### Muhtasari wa kitabu cha Wathesalonike 1
1. Salamu (1:1)
1. Sala ya Paulo ya shukrani kwa Wakristo wa Thesalonike (1:2-10).
1. Huduma wa Paulo Thesalonike (2:1-16).
1. Paulo anashughulikia ukuaji wao wa kiroho
- Kama mama (2:7)
- Kama baba (2:11)
1. Paulo anamtuma Timotheo kwa Wathesalonike na Timotheo anaripoti kwa Paulo kuhusu huduma huo.
1. Mshauri yanayotekelezeka
- Maisha ya kumfurahisha Mungu (4:1-12).
- Starehe ya waliokufa (4:12-18)
- Kurudi kwa Kristu ni motisha ya maisha ya umungu (5:1-11)
1. Baraka za mwisho, shukrani na sala.
### Nani aliandika Wathesalonike 1
Paulo aliandika Wathesalonike 1. Hapo awali alijulikana kama Saulo. Alitokea mji wa Tarso. Kabla ya kuwa Mkristo alikuwa Mfarisayo na alikuwa akiwatesa sana Wakristo. Baada ya kuwa Mkristo, alisafiri mara nyingi katika ufalme nzima ya Warumi akiwahubiria watu kumhusu Yesu.
Paulo aliandika barua hii akiwa bado anakaa katika mji wa Korinto. Wasomi wengi wanaamini ya kwamba hii ndiyo ilyokuwa barua ya kwanza ya Paulo miongoni mwa barua alizoziandika nyingi.
### Kitabu cha Wathesalonike 1 kinahusu nini?
Paulo aliwaandikia barua hii Waumini katika jiji la Thesalonike. Aliandika barua hii baada ya kulazimishwa na Wayahudi kuondoka jiji hilo. Katika barua hii anasema anachukulia ziara yake jijini humu kama iliyozaa matunda ingawa alilazimishwa kuondoka.
Paulo anajibu kwa habari iliyoletwa na Timoteo kuhusu waumini wa Thesalonike.Waumini wa huko walikuwa wanateswa sana. Paulo aliwahimiza kuendelea kuishi maisha yaliyompendeza Mungu. Pia aliwapa moyo kwa kuwaambia kinachofanyika watu wakufapo kabla ya Kristo kurudi.
### Kichwa cha kitabu hiki kitafsiriwe vipi?
Watafsiri wanaweza chagua kichwa cha asili kama "Wathesalonike 1" ama "Wathesalonike wa kwanza". Wanaweza pia kuchagua kichwa cha kueleweka zaidi kama "Barua ya Kwanza ya Paulo kwa Wakristo waThesalonike," ama "Barua ya Kwanza kwa Wakristo wa Thesalonike." Tazama: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
### Nini maana ya "kuja kwa pili kwa Kristo?"
Paulo ameandika mengi kuhusu ujio wa pili wa Kristo duniani. Kristo atakaporudi atawahukumu watu wote duniani. Atatawala vyumbe vyote na kutakuwa na amani kila mahali.
### Nini huwafanyikia wanaokufa kabla ya kurudi kwa Kristo?
Paulo aliweka wazi kwamba wote wanaokufa kabla ya kurudi kwa Kristo watafufuka na kuwa na Yesu.Hawatakuwa wafu milele.Paulo aliandika haya kutia moyo Wathesalonike. Hii ni kwa sababu wengi wao walikuwa na wasiwasi kwamba waliokufa wangeachwa nyuma siku kuu ya kurudi kwa Yesu.
## Sehemu ya 3: Maswala muhimu ya tafsiri
### Paulo alimaanisha nini na matamshi "ndani ya Kristo" na "ndani ya Bwana?"
Paulo alitaka kuelezea dhana ya Mkristo kuwa karibu na Kristo. Tazama utangulizi katika kitabu cha Warumi kwa maelezo zaidi kuhusu swala hili.
### Ni maswala gani muhimu katika maandishi ya kitabu cha Wathesalonike 1?
Katika mistari ifuatayo, matoleo ya kale yanatofoautiana na ya kisasa. Toleo la ULB lina masomo ya kisasa na limeweka ya zamani katika maelezo ya chini. Ikiwa kuna utafsiri wa Bibilia katika eneo jumla, watafsiri wanafaa watumie masomo kwenye tafsiri hizo.Kama siyo hivyo Watafsiri wanaombwa kufuata masomo ya kisasa.
* "Neema na amani viwe nanyi."Matoleo mengine ya zamani husema, "Neema na amani kutoka kwa Baba Mungu wetu na Bwana wetu Yesu Kristo viwe nanyi."1:1
* "Badala yake tulikuwa wapole miongoni mwenu kama mama anavyowafariji watoto wake." (2:7).Matoleo mengine ya kisasa na ya zamani yanasoma,"Tulikuwa kama watoto wachanga miongoni mwenu, jinsi mama hufariji watoto wake."
* "Timotheo ndugu yetu na mfanyikazi mwenzetu wa Mungu" (3:2)Matoleo mengine husema, "Timotheo, ndugu na mtumishi wa Mungu."
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

24
1ti/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# I Timotheo 01 Maelezo kwa jumla
### Dhana kuu katika sura hii
#### Watoto wa Kiroho
Katika sura hii, Paulo anamwita Timotheo "Mwanawe wa Kiume" na "mwanawe"..Paulo alimfanya Timotheo kuwa Mkristo na kiongozi wa kanisa. Kuna uwezekano Paulo pia alimwongoza kumwamini Kristo. Kwa maana hiyo Paulo akamwita Timotheo "mwanangu katika Kristo".
#### Orodha ya ukoo
Orodha ya ukoo ni orodha ya rekodi ya mababu na wazawa wa mtu. Wayahudi walitumia orodha ya ukoo kuwachagua watu kuwa wafalme. Walifanya hivi kwa sababu ni mtoto tu wa kiume wa mfalme ambaye alistahili kuwa mfalme.Walionyesha pia kabila na familia familia yao. Kwa mfano makuhani walitoka kwa ukoo wa Walawi na wana wa Aruni. Maarufu wengi walikuwa na rekodi za ukoo yao.
### Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
#### Maneno yanayohusu jambo moja
Kauli "Sheria ni nzuri mtu akiitumia kisheria" ni maneno yanayoashiria kitu kimoja. Maneno "sheria" na "kisheria" yana usemi sawa katika lugha ya awali.
## Links:
* __[1 Timothy 01:01 Notes](./01.md)__
* __[1 Timothy intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

23
1ti/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Timotheo 02 Maelezo kwa ujumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Amani
Paulo anawasihi Wakristo kuwaombea kila mtu. Wanastahili kuwaombea viongozi ili Wakristo waishi kwa amani kwa njia ya kimungu na ya kiheshima
#### Wanawake katika kanisa
Watafsiri wawe makini zaidi ili watafsiri kikamilifi mistari hii.
### Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
#### "Sala" , "kuombeana" na "shukrani"
Maneno haya yanafanana katika maana yao. Siyo muhimu kuyatazama kama yanayohitilafiana.
## Links:
* __[1 Timothy 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

23
1ti/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 1 Timotheo 03 Maelezo kwa ujumla
### Muundo na Mpangilio
1 Timotheo 3:16 huenda ni wimbo, shairi ama kanuni ya imani kanisa la mwanzo "lililotumia kuorodhesha mafundisho muhimu waumini wote walishiriki.
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Waangalizi na Mashemasi
Kanisa lilitumia vyeo tofauti vya viongozi wa kanisa. Vyeo vingine vilijumuisha, mzee, mchungaji na askofu. Neno "Mwaangalizi linaashiria maana ya luga ya awali katika misitari ya 1-2. Paulo anaandika kuhusu "Mashemasi" katika misitari ya 8 na 12 kama aina nyingine ya uongozi wa kanisa.
### Maswala mengine ya matata katika tafsiri ya sura hii
#### Sifa za tabia
Sura hii inaorodhesha sifa chache ambazo lazima mwanaume anayetaka kuwa mwangalizi ama shemasi katika kanisa awe nazo. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-abstractnouns)
## Links:
* __[1 Timothy 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__

17
1ti/04/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 1 Timotheo 04 Maelezo kwa jumla
### Muundo na mpangilio
1 Timotheo 4:1-3 ni unabii Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/prophet)
### Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
#### Siku za baadaye
Hii ni njia nyingine ya kuashiria siku za mwisho( Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/lastday)
## Links:
* __[1 Timothy 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__

17
1ti/05/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 1 Timotheo 05 Maelezo kwa ujumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Heshima na adabu
Paulo anawahimiza Wakristo wachanga kuwaheshimu na kuwaonyesha adabu Wakristo wazee. Mila huwaheshimu na kuwaonyesha adabu watu wazee kwa njia tofauti.
#### Wajane
Nyakati za zamani katika Mashariki ya Karibu, ilikuwa ni muhimu kuwasaidia wajane kwa vile hawakuwa na uwezo wa kujipatia chakula.
## Links:
* __[1 Timothy 05:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__

13
1ti/06/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,13 @@
# 1 Timotheo 06 maelezo kwa jumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### tumwa
Paulo hasemi katika sura hii iwapo utumwa ni mzuri ama ni mbaya. Paulo anaandika kuhusu kuwaheshimu na kuwatumikia kikamilifu mabwana zao. Paulo anawafunza waumini wote kuwa na uungu na kutosheka katika kila jambo.
## Links:
* __[1 Timothy 06:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../05/intro.md) | __

59
1ti/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,59 @@
# Utangulizi wa 1 Timotheo
## Sehemu ya 1 Utangulizi kwa ujumla
### Muhtasari wa kitabu cha 1 Timotheo
1. Salamu (1:1,2)
1. Paulo na Timotheo
- Onyo kuhusu walimu wa uongo (1:3-11)
- Paulo anashukuru kwa kile Kristo amemfanyia katika utume wake (1:12-17).
- Anamuomba Timotheo kupigania katika vita hivi vya kiroho (1:18-20).
1. Sala kwa wote (2:1-8)
1. Wajibu na majukumu kanisani (2:9-6:2)
1. Maonyo
- Onyo la pili kuhusu walimu wa uongo (6:3-5)
- Pesa (6:6-10).
1. Maelezo kuhusu mtu wa Mungu (6:11-16)
1. Maelezo kwa Matajiri (6:17-19)
1. Maneno yakufunga kwa Timotheo (6:20-21)
### Nani aliandika kitabu cha 1 Timotheo?
Paulo alikiandika kitabu cha 1 Timotheo. Hapo awali alijulikana kama Saulo. Alitokea mji wa Tarso. Kabla ya kuwa Mkristo alikuwa Mfarisayo na alikuwa akiwatesa sana Wakristo. Baada ya kuwa Mkristo, alisafiri mara nyingi katika himaya nzima ya Warumi akiwahubiria watu kumhusu Yesu.
Kitabo hiki ni barua ya kwanza ya Paulo kwa Timotheo. Timotheo alikuwa mwanafunzi wake na rafiki wake wa karibu. Kuna uwezekano kama Paulo aliandika barua hii akikaribia kufa.
### Kitabu cha 1 Timotheo kinahusu nini?
Paulo alikuwa amemwacha Timotheo katika jiji la Efeso kuwasaidia waumini wa huko. Paulo aliandika barua hii kumshauri Timotheo kuhusu maswala mengi. Kati ya maswala aliyoangazia ni swala la kuabudu katika kanisa, na masherti ya waongozi wa kanisa na maonyo kuhusu
walimu wa wongo. Barua hii inaonyesha namuna Paulo alifundisha Timotheo kuwa
mwongozi wa makanisa.
### Kichwa cha kitabu hiki kitafsiriwe namna gani?
Watafsiri wanaweza amua kukiita kitabu hiki kutumia jina lake la kiasili, "1 Timotheo" ama "Timotheo wa Kwanza" ama wanaezatumia kichwa kinachoeleweka zaidi kama "Barua ya Kwanza kwa Timotheo" (Tazama: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
### Uanafunzi ni nini?
Uanafunzi ni hali ya kuwafanya watu wawe wanafunzi wa Kristo. Lengo kuu la uanafunzi ni kuwafanya Wakristo kuwa kama Kristo. Barua hii inatoa mwelekeo jinsi kiongozi anatakiwa kumfunza Mkristo ambaye hajakomaa. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/disciple)
## Sehemu ya 3: Maswala muhimu ya tafsiri
#### Wingi na umoja wa "wewe"
Neno "mimi" katika kitabu hiki linaashiria Paulo. "Wewe" inamaanisha Timotheo. Tofauti ya haya ni 6:21 (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-exclusive and rc://en/ta/man/translate/figs-you)
### Paulo alimaanisha nini na maelezo "ndani ya Kristo" na "ndani ya Bwana" na kadhalika?
Paulo alitaka kuelezea wazo la kuwa na ushirika wa karibu sana kati ya muumini na Kristo. Tafadhali tazama utangulizi wa kitabu cha Warumi kwa maelezo zaidi kuhusu kauli hii.
### Ni maswala gani kuu ya kimaandishi katika kitabu cha 1 Timotheo?
Katika aya ifuatayo,matoleo ya kisasa yanatofautiana na matoleo ya kale. Toleo la ULB lina masomo ya kisasa na imeweka masomo ya zamani kwenye tiniwayo(maelezo ya chini). Iwapo tafsiri ya Bibilia inapatikana eneo kwa ujumla, watafsiri wanashauriwa kuzingatia matumizi ya masomo yaliyoko katika matoleo hayo. Kama sivyo, watafsiri wanashauriwa kutumia masomo ya kisasa.
* "Utauwa ndiyo njia ya kupata pesa zaidi" Matoleo mengine ya kale yanasoma, "Utauwa ni njia ya kupata pesa zaidi. Jiepushe na vitu hivyo." (6:5).
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

38
2co/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,38 @@
# 2 Wakorintho 01 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Kifungu cha kwanza kinaonyesha njia ya kawaida ya kuanzisha barua katika inchi ya kale ya Mashariki ya Karibu.
### Dhana maalum
#### Uadilifu wa Paulo
Watu walikuwa wanamkosoa Paulo na kusema kuwa yeye hakuwa wa dhati. Anawakemea kwa kuelezea nia zake kwa kile alichokifanya.
#### Faraja
Faraja ni neno kuu ya sura hii. Roho Mtakatifu huwafariji Wakristo. Pengine Wakorintho walikuwa wanasumbuliwa na walihitaji kufarijiwa.
### Mifano muhimu za matamshi katika sura hii
#### Swali la uhuishaji
Paulo anatumia maswali mawili ya uhuishaji ili kujitetea dhidi ya madai yasiyokuwa ya kweli. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Sisi
Paulo anatumia neno "sisi". Hii inawezekana kuwakilisha Timotheo na yeye mwenyewe. Inaweza pia kuwajumuisha watu wengine.
#### Dhamana
Paulo anasema kuwa Roho Mtakatifu ni dhamana, ambayo ina maana ya ahadi au malipo ya kwanza, ya maisha ya Milele ya Mkristo. Wakristo wanaokolewa salama. Lakini hawatapata ahadi zote za Mungu mpaka baada ya kufa. Roho Mtakatifu ni dhamana ya kibinafsi kwamba haya yatafanyika. Wazo hili linatoka kwa tamko la biashara. Mtu hutoa kitu cha bei kubwa kwa mtu mwingine kama "dhamana" kwamba watalipa pesa zote baadaye. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/eternity]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
## Links:
* __[2 Corinthians 01:01 Notes](./01.md)__
* __[2 Corinthians intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

19
2co/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,19 @@
# 2 Wakorintho 02 Maelezo ya Jumla
### Dhana maalum
#### Uandishi wa hasira
Katika sura hii, Paulo anaelezea barua aliyowaandikia Wakorintho hapo awali. Barua hiyo ilikuwa na sauti kali na ya kurekebisha. Paulo labda aliandika barua hiyo baada ya barua inayojulikana kama Wakorintho wa Kwanza na kabla ya barua hii. Anasema kuwa kanisa lilipaswa kumkemea mwanachama mkosaji. Paulo sasa anawahimiza kuwa na neema kwa mtu huyo. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/grace]] and [[rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Harufu
Harufu nzuri inapendeza. Maandiko mara nyingi hueleza mambo ambayo yanampendeza Mungu kama kuwa na harufu nzuri.
## Links:
* __[2 Corinthians 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

29
2co/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,29 @@
# 2 Wakorintho 03 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Paulo anaendelea kujitetea. Paulo anaona Wakristo wa Korintho kama ushahidi wa kazi yake.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Sheria ya Musa
Paulo anakumbuka wakati Mungu alitoa amri kumi juu ya vibao vya mawe. Hii inawakilisha sheria ya Musa. Sheria ilikuwa nzuri kwa sababu ilitoka kwa Mungu. Lakini Mungu aliwaadhibu Waisraeli kwa sababu hawakuitii. Sura hii inaweza kuwa vigumu kwa watafsiri kuelewa ikiwa Agano la Kale bado halijatafsiriwa. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/covenant]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/reveal)
### Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Mifano
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii kuelezea kweli ngumu za kirorho. Haijulikani kama hii inafanya mafundisho ya Paulo rahisi au vigumu zaidi kuelewa. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### "Hili ni agano sio la andiko bali la Roho."
Paulo anatofautisha agano la kale na agano jipya. Agano jipya sio mfumo wa sheria na kanuni. Hapa "Roho" labda inamaanisha Roho Mtakatifu. Inaweza pia kuelezea asili ya agano jipya kuwa ya kiroho.(See: rc://en/tw/dict/bible/kt/spirit)
## Links:
* __[2 Corinthians 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__

33
2co/04/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,33 @@
# 2 Wakorintho 04 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Sura hii inaanza na neno "kwa hiyo." Neno hili linaunganisha na neno lililofundishwa katika sura ya awali. Jinsi sura hizi zinagawanyika inaweza kumchanganya msomaji.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Huduma
Paulo anawahudumia watu kwa kuwaambia kuhusu Kristo. Yeye hajaribu kuwadanganya watu kuamini. Ikiwa hawaelewi injili, ni kwa sababu tatizo ni la kiroho. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/spirit)
### Mifanu muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Mwanga na giza
Biblia mara nyingi inazungumza juu ya watu wasio na haki, watu ambao hawana fadhili za Mungu, kama wanaozunguka gizani. Inazungumzia mwanga ni kama inawawezesha watu wenye dhambi kuwa waadilifu, kuelewa kile wanachokosea na kuanza kumtii Mungu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous)
#### Maisha na kifo
Paulo hataji hapa maisha ya kimwili na kifo ya kimwili. Maisha inawakilisha maisha mapya Mkristo aliyo nayo katika Yesu. Kifo kinawakilisha njia ya zamani ya kuishi kabla ya kumwamini Yesu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/life]] and [[rc://en/tw/dict/bible/other/death]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/faith)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Matumaini
Paulo anarudia katika mawazo kwa namuna ya kimakusudi. Anatoa taarifa. Kisha anatoa maneno yanayoonekana kuwa kukataa au kupinga au kutoa utofauti. Haya yote pamoja yanampa msomaji tumaini katika hali ngumu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/hope)
## Links:
* __[2 Corinthians 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__

29
2co/05/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,29 @@
# 2 Wakorintho 05 Maelezo ya Jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Miili mipya mbinguni
Paulo anajua kwamba atakapokufa atapata mwili bora zaidi. Kwa sababu hii, yeye haogopi kuuawa kwa ajili ya kuhubiri injili. Kwa hiyo anawaambia wengine kwamba wao pia wanaweza kuunganishwa na Mungu. Kristo ataondoa dhambi zao na kuwapa haki yake. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/goodnews]], [[rc://en/tw/dict/bible/kt/reconcile]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous)
#### Uumbaji mpya
Uumbaji wa zamani na uumbaji mpya unaelezea jinsi Paulo anavyoonyesha Uumbaji wa zamani na uumbaji mpya. Dhana hizi pia ni sawa na mtu wa zamani na mtu mpya. Neno "zamani" labda halielezei asili ya dhambi ambayo mtu anazaliwa nayo. Inamaanisha njia ya zamani ya kuishi au Mkristo aliyekuwa amefungwa katika dhambi. "Uumbaji mpya" ni asili mpya au maisha mapya ambayo Mungu humpa mtu baada ya kumwamini Kristo. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/faith)
### Mfano muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Nyumbani
Nyumbani mwa Wakristo haipo tena ulimwenguni. Nyumbani halisi mwa Mkristo iko mbinguni. Kwa kutumia mfano huu, Paulo anasisitiza kuwa mazingira ya Kikristo katika ulimwengu huu ni ya muda mfupi. Inatoa tumaini kwa wale wanaosumbuliwa. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/heaven]] and [[rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/hope)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### "Ujumbe wa upatanisho"
Hii inahusu injili. Paulo anawaita watu ambao wana chuki kwa Mungu kutubu na kuunganishwa naye. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/repent]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/reconcile)
## Links:
* __[2 Corinthians 05:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__

37
2co/06/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,37 @@
# 2 Wakorintho 06 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivi kwa mistari 2 na 16-18, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Watumishi
Paulo anawakilisha Wakristo kama watumishi wa Mungu. Mungu anawaita Wakristo kumtumikia katika hali zote. Paulo anaelezea baadhi ya hali ngumu ambako yeye na wenzake walimtumikia Mungu.
### Mfano muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Maneno ya tofauti
Paulo anatumia jozi nne za utofauti: haki dhidi ya uasi, mwanga dhidi ya giza, Kristo dhidi ya Shetani, na hekalu la Mungu dhidi ya sanamu. Tofauti hizi zinaonyesha tofauti kati ya Wakristo na wasio Wakristo. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://en/tw/dict/bible/other/light]] and [[rc://en/tw/dict/bible/other/darkness)
#### Mwanga na giza
Biblia mara nyingi inazungumzia watu wasio na haki, watu ambao hawampendezi Mungu, kama kwamba walikuwa wakizunguka gizani. Inazungumza juu ya mwanga ni kama inawawezesha watu wenye dhambi kuwa waadilifu, na kuelewa kile wanachokosea na kuanza kumtii Mungu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous)
#### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali ya uhuishaji mfululizo kwa kufundisha wasomaji wake. Maswali haya yote yana maana sawa sawa: Wakristo hawapaswi kushirikiana na wale wanaoishi katika dhambi. Paulo anarudia katika maswali haya kwa msisitizo. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/sin)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Sisi
Labda Paulo anatumia neno "sisi" kuwakilisha Timotheo na yeye mwenyewe. Au labda anawajumuisha watu wengine pia.
## Links:
* __[2 Corinthians 6:1](./01.md)__
__[<<](../05/intro.md) | [>>](../07/intro.md)__

31
2co/07/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,31 @@
# 2 Wakorintho 07 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Katika mistari ya 2-4, Paulo anamaliza kujitetea kwake. Halafu anaandika juu ya kurudi kwa Tito na faraja iliyoletwa.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Usafi na uchafu
Wakristo ni "wasafi" kwa maana kwamba Mungu amewatakasa kutoka kwa dhambi. Hawakuhitaji ya kuwa na wasiwasi ya kuwa safi kulingana na sheria ya Musa. Kuishi kwa ukafiri huweza kumfanya Mkristo kutokuwa msafi. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/clean]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
#### Huzuni na masikitiko
Maneno "huzuni" na "masikitiko" katika sura hii yanaonyesha kwamba Wakorintho walikuwa wamesononeka kiasi cha kutubu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/repent)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Sisi
Labda Paulo anatumia neno "sisi" kuwakilisha Timotheo na yeye mwenyewe. Au labda anawajumuisha watu wengine pia.
#### Hali ya awali
Sura hii inazungumzia kwa kina hali nyingine ya awali. Tunaweza kufikiria mambo fulani ya hali hii kutokana na taarifa katika sura hii. Lakini ni bora kutoingiza aina hii ya habari kamili katika tafsiri. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
## Links:
* __[2 Corinthians 07:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../06/intro.md) | [>>](../08/intro.md)__

29
2co/08/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,29 @@
# 2 Wakorintho 08 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Sura za 8 na 9 zinaanza sehemu mpya. Paulo anaandika kuhusu jinsi makanisa ya Ugiriki yalivyowasaidia waumini maskini huko Yerusalemu.
Baadhi ya tafsiri huweka nukuu kutoka kwenye Agano la Kale kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandishi yote. ULB inafanya hivi kwa maneno yaliyotajwa kwenye mstari wa 15.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Zawadi kwa kanisa huko Yerusalemu
Kanisa la Korintho lilianza kutayarisha kutoa fedha kwa waumini maskini huko Yerusalemu. Makanisa ya Makedonia pia yalitoa kwa ukarimu. Paulo anatuma Tito na waumini wengine wawili huko Korintho ili kuwahimiza Wakorintho kutoa kwa ukarimu. Paulo na wengine watapeleka fedha huko Yerusalemu. Wanataka watu kujua kuwa inafanyika kwa uaminifu.
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Sisi
Inawezekana kwamba Paulo anatumia neno "sisi" kuwakilisha Timotheo na yeye mwenyewe. Inaweza pia kuwajumuisha watu wengine.
#### Kitendawili
"Kitendawili" ni tamko la kweli ambalo linaonekana kuelezea jambo lisilowezekana. Maneno haya katika mstari wa 2 ni kitendawili: "uwingi wa furaha yao na mwisho wa umaskini wao umezalisha utajiri mkubwa wa ukarimu." Katika mstari wa 3 Paulo anaelezea jinsi umaskini wao ulivyozalisha utajiri. Paulo pia hutumia utajiri na umasikini katika vitendawili vingine. (2 Wakorintho 8:2)
## Links:
* __[2 Corinthians 08:01 Notes](./02.md)__
__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__

17
2co/09/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 2 Wakorintho 09 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivi kwa mstari wa 9, ambayo umechukuliwa kutoka Agano la Kale.
### Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Mifano
Paulo anatumia mifano mitatu ya kilimo. Anazitumia kufundisha kuhusu kutoa kwa waumini maskini. Mifano humsaidia Paulo kueleza kwamba Mungu atawapa thawabu wale wanaotoa kwa ukarimu. Paulo hakusema ni lini au vipi Mungu atakavyowapa tuzo hilo. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://en/tw/dict/bible/other/reward)
## Links:
* __[2 Corinthians 09:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../08/intro.md) | [>>](../10/intro.md)__

31
2co/10/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,31 @@
# 2 Wakorintho 10 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Baadhi ya tafsiri huweka nukuu kutoka kwenye Agano la Kale kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandishi yote. ULB inafanya hivyo kwa maneno yaliyotajwa kwenye mstari wa 17.
Katika sura hii, Paulo anarudi kutetea mamlaka yake. Pia analinganisha jinsi anavyozungumza na jinsi anavyoandika.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kujivuna
"Kujivuna" mara nyingi hufikiriwa kama kujisifu, ambayo si nzuri. Lakini katika barua hii "kujivuna" ina maana ya kujivuna kwa shukrani au kujivuna kwa furaha.
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
#### Mifano
Katika mistari ya 3-6, Paulo anatumia mifano nyingi ya vita. Huenda anayatumia kama sehemu ya mfano kubwa juu ya Wakristo kuwa katika vita vya kiroho. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Mwili
"Labda mwili ni mfano wa asili ya dhambi. Paulo hafundishi kwamba miili yetu ni ya dhambi. Labda Paulo anafundisha kwamba wakati wote Wakristo tunapoishi ("katika mwili"), tutaendelea kutenda dhambi. Lakini asili yetu mpya itapigana dhidi ya asili yetu ya zamani. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/flesh)
## Links:
* __[2 Corinthians 10:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../09/intro.md) | [>>](../11/intro.md)__

53
2co/11/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,53 @@
# 2 Wakorintho 11 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Katika sura hii, Paulo anaendelea kutetea mamlaka yake.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Mafundisho ya uwongo
Wakorintho walikuwa haraka kukubali walimu wa uongo. Walifundisha mambo kuhusu Yesu na injili ambayo yalikuwa tofauti na yasiyo ya kweli. Kinyume na walimu wa uongo, Paulo aliwatumikia Wakorintho kwa moyo wake wote. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/goodnews)
#### Mwanga
Mwanga hutumiwa kawaida katika Agano Jipya kama mfano. Paulo hapa anatumia nuru ili kuonyesha ufunuo wa Mungu na haki yake. Giza linamaanisha dhambi. Dhambi inatafuta kubaki kufichwa kutoka kwa Mungu. (See: rc://en/tw/dict/bible/other/light]], [[rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://en/tw/dict/bible/other/darkness]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/sin)
### Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Mifano
Paulo anaanza sura hii kwa mfano iliyopanuliwa. Anajilinganisha na baba wa bibi harusi ambaye anampa bintiye bikira kwa bwana harusi. Tamaduni za harusi hubadilika kulingana na historia ya kitamaduni. Lakini wazo la kumwonyesha mtu kama mtoto mzima na mtakatifu linaonyeshwa wazi katika kifungu hiki. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/holy]] and [[rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
#### Kinaya
Sura hii imejaa kinaya. Paulo ana matumaini ya kuwaaibisha waumini wa Korintho kwa kinaya chake.
"Nyinyi huvumilia mambo haya kabisa!" Paulo anadhani kwamba hawapaswi kuvumilia jinsi mitume wa uwongo walivyowafanya. Paulo hafikiri kuwa wao ni mitume hata kidogo.
Taarifa hii, "Kwa maana mnavumilia kwa furaha wapumbavu, ninyi wenyewe ni wenye busara!" ina maana kwamba waumini wa Korintho wanadhani kama walikuwa wenye busara sana lakini Paulo hakubaliani nao.
"Nitasema kwa aibu yetu kwamba tulikuwa dhaifu sana kufanya hivyo." Paulo anazungumza kuhusu tabia anayodhani ni mbaya sana ili kuepuka. Anazungumza kana kwamba anafikiri yeye anafanya makosa kwa kutofanya hivyo. Anatumia swali la uhuishaji pia kama kinaya. "Je, nilikosa kwa kujinyenyekeza ili uweze kuinuliwa?" (See: rc://en/ta/man/translate/figs-irony]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/apostle]] and [[rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
#### Maswali ya uhuishaji
Kwa kukataa mitume wa uongo wanaodai kuwa wakuu, Paulo anatumia mfululizo wa maswali ya uhuishaji. Kila swali linahusiana na jibu: "Je, wao ni Waebrania? Nami pia. Wao ni Waisraeli? Nami pia. Wao ni wazao wa Abrahamu? Nami pia. Wao ni watumishi wa Mungu? (Nazungumza kama nimepoteza ufahamu wangu.) Mimi ni zaidi."
Pia hutumia mfululizo wa maswali ya uhuishaji ili atambue shida za waumini wake wapya: "Ni nani aliye dhaifu, na mimi si dhaifu? Ni nani aliyemfanya mwingine kupotea katika dhambi, na mimi sisikiye uchungu?"
#### "Je, wao ni watumishi wa Kristo?"
Maneno haya ni kejeli, aina maalum ya kinaya inayotumiwa kuchokesha au kutusi. Paulo haamini kuwa walimu hawa wa uongo wanamtumikia Kristo kweli, lakini wanajifanya vile.
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Kitendawili
"Kitendawili" ni tamko la kweli ambalo linaonekana kuelezea jambo lisilowezekana. Sentensi hii katika mstari wa 30 ni kitendawili: "Ikiwa ni lazima nijisifu, nitajisifu juu ya kile kinachoonyesha udhaifu wangu." Paulo haelezei kwa nini angeweza kujivunia katika udhaifu wake hadi 2 Wakorintho 12:9. (2 Wakorintho 11:30)
## Links:
* __[2 Corinthians 11:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../10/intro.md) | [>>](../12/intro.md)__

40
2co/12/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,40 @@
# 2 Wakorintho 12 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Paulo anaendelea kutetea mamlaka yake katika sura hii.
Wakati Paulo alikuwa pamoja na Wakorintho, alijitokeza kuwa mtume kwa matendo yake yenye nguvu. Yeye hakuwahi kuchukua chochote kutoka kwao. Sasa kwa vile anakuja kwa mara ya tatu, bado hatachukua chochote. Anatarajia kwamba atakapowatembelea, hatahitaji kuwa mkali kwao. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/apostle)
### Dhana maalum katika sura hii
#### Maono ya Paulo
Paulo sasa anatetea mamlaka yake kwa kusema juu ya maono mazuri ya mbinguni. Ingawa anazungumza kama mtu wa tatu katika mistari ya 2-5, mstari wa 7 unaonyesha kwamba alikuwa mtu aliyepata maono. Ilikuwa kubwa sana kiasi cha Mungu kumpa ulemavu ili kumfanya awe mnyenyekevu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/heaven)
#### Mbingu ya tatu
Wasomi wengi wanaamini kuwa mbingu "ya tatu" ndiyo makao ya Mungu. Hii ni kwa sababu Maandiko pia hutumia "mbingu kutaja anga (mbingu ya kwanza) na ulimwengu kutaja
mbingu ya pili").
### Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
#### Maswali ya hekima
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji anapojitetea dhidi ya maadui zake ambao walimshtaki: "Kwa nini mlikuwa wa hadhi ya chini zaidi kuliko makanisa yote, isipokuwa kwamba sikuwa mzigo kwenu?" "Je, Tito aliwatoza kitu? Je, hatukutembea kwa njia ile ile? Je, hatukuenda kwa hatua moja?" na "Je, unadhani wakati huu wote tumejitetea kwako?" (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
#### Kejeli
Paulo anatumia kejeli, aina ya kinaya, wakati anapowakumbusha jinsi alivyowasaidia bila gharama. Anasema, "Nisamehe kwa makosa haya!" Pia hutumia kinaya ya kawaida wakati anasema: "Lakini, kwa kuwa mimi ni mwangalifu, mimi ndiye niliyekukuta kwa udanganyifu." Anaitumia kuanzisha utetezi wake dhidi ya mashtaka haya kwa kuonyesha jinsi ambavyo haingewezekana kuwa kweli. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-irony)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Kitendawili
"Kitendawili" ni tamko la kweli ambalo linaonekana kuelezea jambo lisilowezekana. Sentensi hii katika mstari wa 5 ni kitendawili "Sitajisifu, ila juu ya udhaifu wangu." Watu wengi hawajisifu kuhusu kuwa dhaifu. Sentensi hii katika mstari wa 10 pia ni kitendawili: "Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo na nguvu." Katika mstari wa 9, Paulo anaeleza kwa nini maneno haya yote ni ya kweli. (2 Wakorintho 12: 5)
## Links:
* __[2 Corinthians 12:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../11/intro.md) | [>>](../13/intro.md)__

27
2co/13/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# 2 Wakorintho 13 Maelezo ya Jumla
### Muundo na upangiliaji
Katika sura hii, Paulo anamaliza kutetea mamlaka yake. Kisha anahitimisha barua hii kwa salamu ya mwisho na baraka.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Maandalizi
Paulo anawaeleza Wakorintho anapojitayarisha kuwatembelea. Anatumaini kuepuka tatizo ya kumwadhibu yeyote kanisani ili aweze kuwatembelea kwa furaha. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/disciple)
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
#### Nguvu na udhaifu
Paulo kila mara anatumia maneno tofauti "nguvu" na "udhaifu" katika sura hii. Mtafsiri anapaswa kutumia maneno mawili ya tofauti kabisa.
#### "Jichunguzeni na muone kama mko katika imani. Mjijaribu wenyewe."
Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Wasomi wengine wanasema kwamba Wakristo wanapaswa kujijaribu wenyewe ili kuona kama matendo yao yanahusiana na imani yao ya Kikristo. Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Wasomi wengine wanasema kwamba Wakristo wanapaswa kujijaribu wenyewe ili kuona kama matendo yao yanahusiana na imani yao ya Kikristo. Muktadha unapendeza ufahamu huu. Wengine wanasema maneno haya yanamaanisha kuwa Wakristo wanapaswa kuangalia matendo yao na kuuliza kama wameokolewa kwa kweli. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save). Wengine wanasema maneno haya yanamaanisha kuwa Wakristo wanapaswa kuangalia matendo yao na kuuliza kama wameokolewa kwa kweli. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
## Links:
* __[2 Corinthians 13:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../12/intro.md) | __

72
2co/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,72 @@
# Utangulizi wa 2 Wakorintho
## Sehemu ya 1: Utangulizi wa Ujumla
### Maelezo ya Kitabu cha 2 Wakorintho
1. Paulo anashukuru Mungu kwa Wakristo wa Korintho (1:1-11)
1. Paulo anaelezea mwenendo wake na huduma yake (1:12-7:16)
1.Paulo anaongea kuhusu kuchangia fedha kwa kanisa la Yerusalemu (8:1-9:15)
1. Paulo anatetea mamlaka yake kama mtume (10:1-13:10)
1. Paulo anatoa salamu za mwisho na himizo (13:11-14)
### Nani aliandika Kitabu cha 2 Wakorintho?
Paulo aliandika 1 Wakorintho. Paulo alitoka mji wa Tarso. Alikuwa anajulikana kama Sauli katika maisha yake ya awali. Kabla ya kuwa Mkristo, Paulo alikuwa Mfarisayo. Aliwatesa Wakristo. Baada ya kuwa Mkristo, alisafiri mara kadhaa katika Ufalme wa Roma akiwaambia watu kuhusu Yesu.
Paulo alianzisha kanisa lililokutana huko Korintho. Alikuwa akiishi katika mji wa Efeso wakati aliandika barua hii.
### Je, kitabu cha 2 Wakorintho kinahusu nini?
Katika 2 Wakorintho, Paulo aliendelea kuandika juu ya migogoro kati ya Wakristo katika jiji la Korintho. Ni wazi katika barua hii kwamba Wakorintho walikuwa wametii maelekezo yake ya awali kwao. Katika 2 Wakorintho, Paulo aliwahimiza kuishi kwa njia ambayo ingeweza kumpendeza Mungu.
Paulo pia aliwaandikia kuwahakikishia kwamba Yesu Kristo alimtuma awe mtume kuhubiri Injili. Paulo alitaka waelewe jambo hilo, kwa sababu kundi la Wakristo wa Kiyahudi walipinga kile alichokifanya. Walisema Paulo hakutumwa na Mungu na alikuwa akifundisha ujumbe wa uwongo. Kundi hili la Wakristo Wayahudi walitaka Wakristo wasio Wayahudi kutii sheria ya Musa.
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wakorintho wa Pili." Au wanaweza kuchagua kichwa wazi, kama "Barua ya pili ya Paulo kwa Kanisa la Korintho." (See: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
### Mji wa Korintho ulikuwaje?
Korintho ilikuwa mji mkuu katika Ugiriki wa kale. Kwa sababu ulikuwa karibu na Bahari ya Mediterane, wasafiri wengi na wafanyabiashara walikuja kununua na kuuza bidhaa huko. Hii ilisababisha mji kuwa na watu kutoka tamaduni nyingi tofauti. Mji huo ulijulikana kwa kuwa na watu waliokuwa wameishi katika njia za uasherati. Watu waliabudu Afrodito, mungu wa kike wa upendo wa Kigirik. Kama sehemu ya sherehe za kuheshimu Afrodito, waabudu wake walifanya ngono na makahaba wa hekalu.
### Paulo alimaanisha nini kwa "mitume wa uongo" (11:13)?
Hawa walikuwa Wakristo wa Wayahudi. Walifundisha kwamba Wakristo wa Mataifa walipaswa kutii sheria ya Musa ili kufuata Kristo. Waongozi wa Kikristo walikutana huko Yerusalemu na kuamua juu ya jambo hilo (Angalia: Matendo 15). Lakini, ni wazi kwamba kulikuwa tena makundi kadhaa ambayo
walikataa kile kilichoamuriwa na waongozi wa Yerusalemu.
## Sehemu ya 3: Masuala muhimu ya Tafsiri
### "Umoja na wingi wa neno "you"
Katika kitabu hiki, neno "mimi" linamaanisha Paulo. Pia, neno "nyinyi" ni karibu kila mara kwa wingi na linamaanisha waumini huko Korintho. Lakini, kuna tofauti mbili kati ya misitari ya 6:2 na 12:9. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-exclusive]] and [[rc://en/ta/man/translate/figs-you)
### Je, mawazo ya "takatifu" na "kutakasa" yanawakilishwaje katika 2 Wakorintho kwenye ULB?
Maandiko hutumia maneno kama hayo ili kuonyesha moja ya mawazo mbalimbali. Kwa sababu hii, mara nyingi ni vigumu kwa watafsiri kuyawakilisha vizuri katika tafsiri zao. Katika kutafsiri kwa Kiingereza, ULB inatumia kanuni zifuatazo:
* Mara na mara maana ya kifungu inaashiria utakatifu wa maadili. Hasa ni muhimu kuelewa injili kuwa ni kweli kwamba Mungu anawaona Wakristo kuwa wasio na dhambi kwa sababu wameungana na Yesu Kristo. Ukweli mwingine unaohusiana na haya ni kwamba Mungu ni mkamilifu na hana hatia. Ukweli wa tatu ni kwamba Wakristo wanapaswa kujiendesha kwa njia isiyo na hatia katika maisha yao. Katika hali hizi, ULB inatumia "takatifu," "Mungu mtakatifu," "watakatifu," au "watu watakatifu."
* Mara nyingi katika kitabo cha 2 Wakorinto,maana ya maneno ni umbukumbu rahisi ya Wakristo bila kutaja jukumu yao fulani. Katika nyakati hizi, ULB inatumia "mwamini" au "waumini." (Angalia: 1:1, 8:4; 9:1, 12; 13:13)
* Wakati mwingine maana katika kifungu hiki inaashiria mtu au kitu kilichowekewa Mungu peke yake. Katika matukio haya, ULB inatumia "kuwekwa kando," "kujitolea," "iliyohifadhiwa," au "kutakaswa."
Mara nyingi UDB husaidia watafsiri kufikiri juu ya jinsi ya kuwakilisha mawazo haya katika tafsiri zao wenyewe.
### Paulo alimaanisha nini kwa maneno "katika Kristo" na "katika Bwana"?
Maneno haya hutokea katika 1:19, 20; 2:12, 17; 3:14; 5:17, 19, 21; 10:17; 12:2, 19; na 13:4. Paulo alijaribu kueleza wazo la muungano wa karibu kati ya Kristo na waumini. Lakini, mara nyingi alitaka kuelezea maan nyingine pia kwa wakati huo huo. Kwa mfano, angalia, "Mlango ulifunguliwa kwangu katika Bwana," (2:12) ambako Paulo alinamaanisha kuwa mlango ulifunguliwa kwa Paulo naye Bwana.
Tafadhali angalia utangulizi wa Kitabu cha Warumi kwa maelezo zaidi juu ya aina hii ya kujieleza.
### "Kuwa kiumbe kipya" katika Kristo" kuna maana gani (5:17)
Ujumbe wa Paulo ni kwamba Mungu hufanya Wakristo kuwa sehemu ya "ulimwengu mpya" wakati mtu anaamini Kristo. Mungu anatoa ulimwengu mpya wa utakatifu, amani, na furaha. Katika ulimwengu huu mpya, waumini wana asili mpya ambayo wamepewa na Roho Mtakatifu. Watafsiri wangejaribu kuelezea wazo hili.
### Je, kuna masuala gani muhimu katika Kitabu cha 2 Wakorintho?
* "na katika upendo wenu kwetu" (8:7). Matoleo mengi, na ULB na UDB pia, husoma namuna hii. Hata hivyo, matoleo mengine mengi yanasoma, "na katika upendo wetu kwa ajili yenu." Kuna ushahidi wenye nguvu kwamba kila somo ni la asili. Watafsiri wanapaswa kufuata somo iliyopendekezwa na matoleo mengine katika eneo lao.
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

32
2jn/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,32 @@
# Utangulizi wa 2 Yohana
## Sehemu ya 1: Utangulizi wa Ujumla
### Maelezo ya Kitabu cha 2 Yohana
1. Salamu (1:1-3)
1. Kutia moyo na amri kubwa (1:4-6)
1. Onyo kuhusu walimu wa uongo (1:7-11)
1. Salamu kutoka kwa waumini wenzake (1:12-13)
### Nani aliandika Kitabu cha 2 Yohana?
Barua haina jina la mwandishi. Mwandishi alijitambulisha mwenyewe kama "mzee." Barua hii pengine ilikuwa imeandikwa na Mtume Yohana alipokaribia kuaga dunia. Maudhui ya 2 Yohana inafanana na yale yaliyo katika Injili ya Yohana.
### Je, kitabu cha 2 Yohana kinahusu nini?
Yohana aliandika barua hii kwa mtu aliyemwita "mwanamke aliyechaguliwa" na "watoto wake" (1:1). Hii inaweza kutaja rafiki maalum na watoto wake. Au inaweza kutaja kundi fulani la waumini au waumini kwa ujumla. Kusudi la Yohana la kuandika barua hii lilikuwa kuwaonya wasikilizaji wake kuhusu walimu wa uongo. Yohana hakutaka waumini wawasaidie au watoe fedha kwa walimu wa uongo. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "2 Yohana" au "Yohana wa Pili." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Pili Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Pili Aliyoandika Yohana." (See: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
### Je, ukarimu ni nini?
Ukarimu ulikuwa dhana muhimu katika Mashariki ya Karibu ya kale. Ilikuwa muhimu kuwa na urafiki kwa wageni au watu wasio wa eneo hilo na kutoa msaada kwao ikiwa wangehitaji. Yohana alitaka waumini kuonyesha ukarimu kwa wageni. Hata hivyo, hakutaka waumini kuwa wakarimu kwa walimu wa uongo.
### Je, ni watu gani ambao Yohana alizungumza dhidi yao?
Watu ambao Yohana alizungumza dhidi yao huenda walikuwa wale ambao watajulikana kama Wagnostiki. Watu hawa waliamini kwamba dunia ilikuwa mbaya. Kwa kuwa waliamini kwamba Yesu alikuwa wa kiungu, walikanusha kwamba alikuwa mwanadamu kweli. Hii ni kwa sababu walidhani kuwa Mungu hangeweza kuwa mwanadamu kwa sababu mwili ni mbaya. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/evil)

24
2pe/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# 2 Petero 01 Maelezo kwa jumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Kumjua Mungu
Kumjua Mungu inamaanisha kumilikiwa naye ama kuwa na uhusiano naye. Hapa "ujuzi" ni zaidi ya kumjua Mungu na akili. Ni ujuzu unaomfanya Mungu kumuokoa mtu na kumpa neema na amani. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/other/know)
#### Kuishi maisha ya ya kumcha Mungu
Petero anafundisha kwamba Mungu amewapa waumini yote wanayohitaji kuishi maisha ya kumcha Mungu. Kwa hivyo waumini wafanye kila waezalo kumtii Mungu zaidi. Waumini wakiendelea kufanya hivyo watakuwa imara na wenye manufaa kupitia uhusiano wao na Yesu. Lakini waumini wasipoendelea kuishi maisha ya kumcha Mungu, watakuwa ni kama wamesahau walichofanyiwa na Mungu kupitia kwa Kristo kuwaokoa. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/godly and rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
### Maswala mengine ya utata ya kutafsiri katika sura hii
#### Ukweli wa Maandiko
Petero anafundisha kwamba unabii wa maandiko haukutolewa na binadamu. Roho Mtakatifu alifunua ujumbe wa Mungu kwa watu waliouandika kwa kitabu. Petero pia na Mitume wengine hawakubuni hadithi walizowapa watu kuhusu Yesu. Walishuhudia chenye Yesu alifanya na wakamsikia Mungu akimwita Yesu mwanawe.
## Links:
* __[2 Peter 01:01 Notes](./01.md)__
* __[2 Peter intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

17
2pe/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 2 Peter 02 Maelezo kwa ujumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Nyama
"Nyama" ni mfano ya asili ya dhambi ya mtu. Siyo sehemu ya kimwili ya binadamu iliyo na dhambi. "Nyama" inawakilisha asili ya binadamu inayokataa vitu vyote vya uungu na kutamani vitu vya kidhambi. Hii ndiyo hali ya binadamu wote kabla ya kumpokea Roho Mtakatifu kwa njia ya kumwamini Yesu Krsito. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/flesh)
#### Mafundisho fiche
Kuna ulinganifu katika 2:4-8 ambao ni mgumu kuelewa iwapo Agano la kale halijatafsiriwa. Maelezo zaidi ni muhimu. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
## Links:
* __[2 Peter 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

17
2pe/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 2 Petero 03 Maelezo kwa jumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Moto
Watu hutumia moto mara nyingi kuharibu vitu ama kukifanya kitu kiwe safi kwa kuondoa uchafu na vitu visivyofaa. Kwa hivyo Mungu anapowadhibu waovu ama kuwatakaza watu wake, huwa inalinganishwa na moto. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/other/fire)
#### Siku ya Bwana
Wakati kamili wa kurudi kwa Bwana itakuwa mshangao kwa wengi. Hii ndiyo maana ya tashbihi "kama mwizi wa usiku". Kwa sababu ya haya Wakristo wanafaa wajiandae kwa ajili ya kurudi kwake Bwana. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/dayofthelord and rc://en/ta/man/translate/figs-simile)
## Links:
* __[2 Peter 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | __

50
2pe/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,50 @@
# Utangulizi wa 2 Petero
## Sehemu ya 1: Maelezo kwa jumla
### Muhtasari wa kitabu cha 2 Petero
1. Utangulizi (1:1-2)
1. Kukumbusha kuishi maisha mema kwa sababu Mungu ametuwezesha (1:3-21)
1. Onyo kuhusu walimu wa uongo (2:1-22)
1. Kutia moyo kujiandaa kwa ujio wa pili wa Yesu (3:1-17)
### Nani aliandika kitabu cha 2 Petero?
Mwandishi anajitambulisha kama Simoni Petero. Petero alikuwa mtume. Pia aliandika 1 Petero. Kuna uwezekano Petero aliandika barua hii akiwa gerezani Roma muda mfupi kabla ya kifo chake. Petero aliita barua hii kama barua ya pili na kwa sababu hiyo tunaiorodhesha baada ya 1 Petero. Aliandikia barua hii kwa hadhira moja ya barua yake ya kwanza. Kuna uwezekano hadhira hii ilikuwa ni Wakristo waliotawanyika katika inchi za Asia Ndogo.
### Kitabu cha 2 Petero kinahusu nini?
Petero aliandika barua hii kuwapa moyo waumini waishi maisha mema. Aliwaonya kuhusu walimu waongo waliosema Yesu alikuwa anachukua muda mrefu kurudi. Aliwaambia Yesu hakuchelewa kurudi ila ni Mungu alikuwa anawapatia watu muda wa kutubu ili waokolewe.
### Kichwa cha kitabu hiki kinastahili kutafsiriwa namna gani?
Watafsiri wanaweza kukiita kitabu hiki kutumia jina lake la kitamaduni, "2 Petero" ama "Petero wa Pili" ama wanawezatumia kichwa kinachoeleweka zaidi kama, "Barua ya Pili kutoka kwa Petero" ama "Barua ya pili aliyoandika Petero" (Tazama: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
### Ni watu gani Petero aliwakemea?
Labda watu Petero aliwakemea ni watu waliojulikana kwa jina la Wagnostiki. Walimu hawa waliharibu mafundisho ya maandiko matakatifu kwa manufaa yao wenyewe. Waliishi maisha maovu na wakafundisha watu kuishi hivyo .
### Nini maana ya kwamba Mungu aliongoza maandiko?
Mafundisho ya Maandiko ni muhimu sana. 2 Petero inawasaidia wasomaji kuelewa kwamba ingawa kila mwandishi wa maandiko ana njia yake ya kipekee ya kuandika, Mungu ndiye mwandishi wa kipekee wa maandiko. (1:20-12)
## Sehemu ya 3: Maswala muhimu ya tafsiri
#### Umoja na wingi wa "Wewe" na "Nyinyi"
Katika kitabu hiki, neno "mimi" linaashiria Petero. Pia neno "Nyinyi" linaashiria hadhira ya Petero. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-exclusive and rc://en/ta/man/translate/figs-you)
### Ni maswala gani muhimu katika maandiko ya kitabu cha 2 Petero?
Katika mistari ifuatayo, matoleo ya kisasa ya Bibilia yanatofautiana na matoleo ya kale. Toleo la ULB lina masomo ya kisasa na linaweka masomo ya zamani kama maelezo ya chini. Kama tafsiri ya Bibilia iko katika eneo kwa ujumla, watafsiri wanapaswa kuzingatia masomo ya matoleo hayo. Kama si hivyo, wanapaswa kufuata masomo ya kisasa.
* "Kuwekwa katika minyororo ya giza la chini hadi hukumu" (2:4) Matoleo mengine ya kisasa na ya zamani yana, "Kuwekwa katika mashimo ya giza la chini mpaka hukumu".
* "Wanafurahia matendo ya uongo wakati wakiwa katika karamu na nyinyi" (2:13) Matoleo mengine yana, "Wanafurahia matendo yao wakati wanasherehekea nanyi katika karamu za upendo."
* "Beori"(2:15) matoleo mengine yanasoma, "Bosori".
* "Vitu vya asili vitachomwa kwa moto na ardhi na matendo yao yatatambulishwa" (3;10). Matoleo mengine yana, "Vitu vya asili vitachomwa kwa moto na ardhi na matendo yaliyomo vitachomeka."
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

17
2th/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 2 Wathesalonike 01 Maelezo kwa jumla
### Muundo na mpangilio
Mistari 1-2 huanzisha kirasmi barua hii. Barua za kale katika Mashariki ya Karibu zilikuwa na utangulizi wa aina hii.
### Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
#### Kitendawili
Kitendawili ni kauli ya ukweli ambayo inaonekana kufafanua kitu kisichoezekana. Kitendawili untaokea katika mistari 4-5: "Tunazungumzia uvumilivu wenu na imani yenu katika mateso yenu yote.Tunazungumzia mateso mnayostahimili.Hii ni ishara ya hukumu ya kweli ya Mungu." Watu kila mara hawangefikiria kwamba kumuamini Mungu wakati wa kuteswa ni ishara ya hukumu ya kweli ya Mungu.Lakini katika mistari ya 5-10, Paulo anaelezea jinsi Mungu atawapatia tuzo wale ambao wanamwamini na jinsi atakavyuwahukumu wanaowatesa. (2 Wathesalonike 1:4-5)
## Links:
* __[2 Thessalonians 01:01 Notes](./01.md)__
* __[2 Thessalonians intro](../front/intro.md) | [>>](../02/intro.md)__

21
2th/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,21 @@
# 2 Wathesalonike 02 Maelezo kwa jumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### "Kukusanyika pamoja "ili tukae naye"
Kifungu hiki kinaashiria wakati ambapo Yesu anawaita wale wanaomwamini. Wasomi wanatofautiana iwapo hii inaashiria kurudi kwa Yesu kwa mwisho kwa utukufu ama kama si hivyo.(Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
#### Mtu muasi
Hii ni sawa na "mwana wa uharibifu" na "yule muasi" katika sura hii.Paulo anamhusisha na Shetani ambaye anafanya kazi kwa bidii duniani. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/antichrist)
#### Anakaa ndani ya hekalu la Mungu
Huenda Paulo anarejelea hekalu la Yerusalemu ambalo liliharibiwa na Warumi miaka chache baada ya kuandika hii barua. Ama anarejelea kwa hekalu lijalo la ukweli, ama kanisa kama hekalu la kiroho la Mungu.(Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
## Links:
* __[2 Thessalonians 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

17
2th/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# 2 Wathesalonike 03 Maelezo kwa jumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### watu wasiofanya kazi na wavivu
atika mji wa Thesalonike, inaonekana kulikuwa na shida ya watu katika kanisa ambao walikuwa na uwezo wa kufanya kazi lakini wakakataa kufanya hivyo. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
#### Utafanya nini ndugu yako akitenda dhambi?
Katika sura hii Paulo anawafundisha Wakristo kwamba wanastahili kuishi kwa njia inayomheshimu Mungu. Wakristo pia wanastahili kuhimizana na kuajibikiana wanachotenda.Kanisa pia lina wajibu wa kuwahimiza waumini kutubu wakati wanatenda dhambi. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/repent and rc://en/tw/dict/bible/kt/sin)
## Links:
* __[2 Thessalonians 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | __

54
2th/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,54 @@
# Utangulizi wa 2 Wathesalonike
## Sehemu 1: Utangulizi wa jumla
### Muhtasari wa kitabu cha 2 Wathesalonike
1. Salamu na kushukuru (1:1-3)
1. WaKristo wanaoumia kwa mateso
- Wanastahili ufalme wa mbinguni na ahadi yake ya msaada kutoka kwa majaribio (1:4-7)
- Mungu atawahukumu wale wanaowatesa Wakristo (1:8-12)
1. Kutoelewa kwa waumini wengine kuhusu kuja kwa Kristo kwa mara ya pili
- Kurudi wa Kristo haujatokea 2:1-2)
- Maelekezo kuhusu matukio yatakayotangulia kurudi kwake Kristo (2:3-12)
1. Imani ya Paulo kwamba Mungu atawaokoa Wakristo Wathesalonike
- Mwito wake "kusimama imara" (2:13-15)
- Maombi yake kwamba Mungu atawafariji (2:16-17)
1. Paulo anatoa ombi la kuombewa na waumini Wathesalonike (3:1-5)
1. Paulo anatoa amri kuhusu waumini wasiofanya kazi (3:6-15)
1. Kumalizia (3:16-17)
### Nani aliandika 2 Wathesalonike?
Paulo aliandika Wathesalonike 2. Hapo awali alijulikana kama Saulo. Alitokea mji wa Tarso. Kabla ya kuwa Mkristo alikuwa Mfarisayo na alikuwa akiwatesa sana Wakristo. Baada ya kuwa Mkristo, alisafiri mara nyingi katika ufalme nzima ya Warumi akiwahubiria watu kumhusu Yesu.
Paulo aliandika barua hii akiwa anaishi katika mji wa Korintho.
### Kitabu cha 2 Wathesalonike kinahusu nini?
Paulo aliandika barua hii kwa waumini katika mji wa Thesalonike. Aliwatia moyo waumini hawa kwa sababu walikuwa wanateswa.Aliwaambia kuendelea kuishi kwa njia inayompendeza Mungu. Alitaka kuwafundisha tena kuhusu kurudi kwa Kristo.
### Kichwa cha Kitabu hiki kinastahili kutafsiriwa namna gani?
Watafsiri wanaweza amuru kukiita kitabu hiki kutumia kichwa chake cha kitamaduni, "2 Wathesalonike" ama " Wathesalonike wa pili." ama wanaweza chagua kichwa kinachoeleweka zaidi kama, "Barua ya pili kwa kanisa la Thesalonike," ama "Barua ya pili kwa Wakristo wa Thesalonike," (Tazama: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
### Nini maana ya "ujio wa pili wa Yesu"?
Paulo aliandika maswala mengi katika barui hii kuhusu kurudi kwake Yesu Kristo duniani.Yesu akirudi, atawahukumu wanadamu wote. Pia atahukumu viumbe wote. Atasababisha kuwepo kwa amani duniani. Paulo pia alieleza kwamba "mwanaume mhalifu" atakuja kabla ya kurudi kwa Kristo.Mtu huyu atamtii Shetani na kufanya watu wengi kumuasi Mungu.Lakini Yesu atamuangamizi huyu mtu atakaporudi.
## Sehemu 3: Maswala muhimu ya tafsiri
### Paulo alimaanisha na maelezo "ndani ya Bwana," na "ndani ya Kristo,' na kadhalika?
Paulo alitaka kuasilisha swala la muungano wa karibu kati ya Kristo na waumini. Tazama utangulizi wa kitabu cha Warumi kwa maelezo zaidi kuhusu aina hii ya maelezo.
### Ni maswala gani makuu ya maandishi ya kitabu cha 2 Wathesalonike?
Katika mistari ifuatayo, matoleo ya kisasa yanatofautiana na matoleo ya kale.ULB ina masomo ya kisasa na huyaweka masomo ya awali kama maelezo ya chini.Iwapo kuna tafsiri ya Bibilia katika eneo jumla, watafsiri wazingatie kutumia masomo yanayopatikana katika hayo matoleo. Kama sivyo, watafsiri wanashauriwa kufuata masomo ya kisasa.
* "Na yule mtu wa kuasi anatambulishwa" (2:3). ULB na UDB na matoleo mengi ya kisasa husoma hivi.Matoleo ya awali yanasoma, "na yule mtu wa dhambi anatambulishwa."
* "Kwa maana Mungu aliwachagua kama matunda ya kwanza ya wokovu" (2:13) ULB, UDB, na matoleo mengine husoma hivi. Matoleo mengine yanasoma, "Kwa vile Mungu aliwachagua "kutoka mwanzo kwa ajili ya wokovu."
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

20
2ti/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# 2 Timotheo 01 Maelezo kwa jumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Watoto wa kiroho
Paulo alimfundisha Timotheo kuwa Mkristo na kiongozi wa kanisa. Kuna uwezekano kwamba Paulo pia alimuongoza kumwamini Kristo. Kwa maana hiyo Paulo anamwita Timotheo (Mwanangu mpendwa" (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/disciple and rc://en/tw/dict/bible/kt/spirit)
### Maswala mengine ya utata katika kutafsiri sura hii
#### Mateso makali
Paulo alikuwa gerezani wakati akiandika barua hii. Paulo anamhimiza Timotheo kuwa tayari kuteseka kwa sababu ya injili. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
## Links:
* __[2 Timothy 01:01 Notes](./01.md)__
* __[2 Timothy intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

23
2ti/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# 2 Timotheo 02 Maelezo kwa Ujumla
### Muundo na mpangilio
Matoleo mengine yanaweka maneno kulia kwa ukurasa kuliko maandishi mengine. ULB hufanya hivi na aya za 11-13 kuliko aya zingine. Huenda Paulo ananukuu shairi ama wimbo katika mistari hii.
### Dhana muhimu katika sura hii
#### "Tutatawala naye
Wakristo waaminifu watatawala pamoja na Kristo siku zijazo. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/faithful)
### Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
#### Mifano
Katika sura hii, Paulo anatumia mifano nyingi kufundisha maisha ya kikristo. Anatumia mifano ya mwanajeshi, mwanariadha na mkulima. Baadaye anatumia mifano ya aina nyingi ya vyombo vya nyumbani.
## Links:
* __[2 Timothy 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

11
2ti/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,11 @@
# 2 Timotheo 03 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
"Siku za mwisho" inaweza kuwa na maana ya hapo mbeleni kabla ya Kristo kurudi. Kwa hivyo Paulo anatabiri katika mistari 1-9 na 13 kuhusu siku hizo. "Siku za mwisho" pia inaeza maanisha kipindi cha Ukristo (pamoja na wakati wa Paulo).Kwa hivyo anayofundisha Paulo kuhusu mateso yanahusu Wakristo wote. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/prophet and rc://en/tw/dict/bible/kt/lastday)
## Links:
* __[2 Timothy 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__

19
2ti/04/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,19 @@
# 2 Timotheo 04 Maelezo kwa jumla
### Muundo na mpangilio
#### "Napeana amri hii ya dhati"
Paulo anapeana mashauri ya kibinafsi kwa Timotheo
### Dhana Muhimu katika Sura hii
#### Taji
Maandiko matakatifu yanatumia aina nyingi ya mataji kama mfano wa vitu vingi. Inaonekana Kristo atawatuza waumini wake kama taji la kuishi maisha mazuri
## Links:
* __[2 Timothy 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | __

53
2ti/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,53 @@
# Utangulizi wa 2 Timotheo
## Sehemu ya 1 Utangulizi wa jumla
### Muhtasari wa Kitabu cha 2 Timotheo
1. Paulo anamsalimia Timotheo na kumshauri kuvumilia mateso anapomtumkia Mungu (1:1-2:13).
1. Paulo anampa Timotheo maelekezo ya kibinafsi (2:14-26)
1. Paulo anamuonya Timotheo kuhusu matukio yajayo na anamshauri jinsi ya kutekeleza kazi yake kwa Mungu (3:1-4:8)
1. Paulo anatoa matamshi ya kibinafsi
### Nani aliandika kitabu cha 2 Timotheo?
Paulo aliandika kitabu cha 2 Timotheo akiwa gerezani Roma. Hapo awali alijulikana kama Saulo. Alitokea mji wa Tarso. Kabla ya kuwa Mkristo alikuwa Mfarisayo na alikuwa akiwatesa sana Wakristo. Baada ya kuwa Mkristo, alisafiri mara nyingi katika himaya nzima ya Warumi akiwahubiria watu kumhusu Yesu.
Hii ni barua ya pili ya Paulo kwa Timotheo. Timotheo alikuwa mwanafunzi wake na rafiki wake wa karibu. Paulo aliandika barua hii akiwa gerezani Roma.Paulo alikuwa karibu kufa.
### Kitabu cha 2 Timotheo kinahusu nini?
Paulo alikuwa amemwacha Timotheo katika mji wa Efeso ili awasaidie waumini huko. Paulo aliandika barua hii kushauri Timotheo kuhusu maswala kadhaa. Maswala aliyozungumzia katika barua hii yalikuwa: onyo kuhusu walimu wa uwongo na kuvumilia katika nyakati za matatizo. Barua hii inaonyesha jinsi Paulo alikuwa anamuandaa Timotheo kuwa kiongozi wa makanisa.
### Kichwa cha kitabu hiki kitafsiriwe namna gani?
Watafsiri wanaweza amua kukiita kitabu hiki kutumia jina la asili "2Timotheo" ama wanaweza tumia kichwa cha kueleweka zaidi kama "Barua ya Pili ya Paulo kwa Timotheo", ama "Barua ya Pili Kwa Timotheo."(Tazama: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2 Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
### Ni taswira gani ya mwanajeshi katika 2 Timotheo?
Paulo aliposubiri gerezani akiwa anafahamu kuwa angekufa muda si mrefu, alizungumzia mara nyingi kumhusu mwenyewe kama mwanajeshi wa Kristo. Wanajeshi huwajibika kwa amiri yao jinsi Wakristo wajibikao kwa Kristo. Kama "wanajeshi" wa Kristo, waumini wanapaswa kuheshimu amiri zake hata kama kufanya hivyo kutapelekea hao kufa.
### Nini maana ya maandiko kuwa pumzi ya Mungu?
Mungu ndiye mwandishi halisi wa maandiko. Aliwaongoza waandishi binadamu. Hii ina maana kwamba kwa namna moja Mungu alisababisha uandishi wa maandiko na watu. Hii ndiyo maana maandiko yanajulikana pia kama neno la Mungu.Hii inamaanisha vitu vingi kuhusu Bibilia. Kwanza ni kwamba Bibilia haina kasoro na inaweza kuaminiwa. Pili, tunaweza kumtegemea Mungu kulinda maandiko kutokana na wale wanaotaka kuyaharibu. Tatu, neno la Mungu linafaa litafsiriwe katika lugha zote za dunia.
## Sehemu ya 3: Maswala muhimu ya tafsiri
### Umoja na wingi wa "wewe/nyinyi"
Neno "mimi" katika kitabu hiki linaashiria Paulo. "Wewe" inamaanisha Timotheo. Tofauti ya haya ni 4:22 (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-exclusive and rc://en/ta/man/translate/figs-you)
### Paulo alimaanisha nini na maelezo "ndani ya Kristo" na "ndani ya Bwana" na kadhalika?
Paulo alitaka kuelezea wazo la kuwa na ushirika wa karibu sana kati ya muumini na Kristo. Tafadhali tazama utangulizi wa kitabu cha Warumi kwa maelezo zaidi kuhusu kauli hii.
### Ni maswala gani kuu ya kimaandishi katika kitabu cha 2 Timotheo?
Katika aya zifuatazo,matoleo ya kisasa yanatofautiana na matoleo ya kale. Toleo la ULB lina masomo ya kisasa na imeweka masomo ya zamani kwenye tiniwayo(maelezo ya chini). Iwapo tafsiri ya Bibilia inapatikana eneo kwa ujumla, watafsiri wanashauriwa kuzingatia matumizi ya masomo yaliyoko katika matoleo hayo. Kama sivyo, watafsiri wanashauriwa kutumia masomo ya kisasa.
* "Kwa sababu hii niliteuliwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu."(1:11) Matoleo mengine yanasoma, "Kwa sababu hii,niliteuliwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu wa watu wa Mataifa."
* "Waonye mbele za Mungu" (2:14). Matoleo mengine ya zamani yanasoma, "Waonye mbele za Bwana."
(See: [[rc://en/ta/man/jit/translate-textvariants]])

36
3jn/front/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,36 @@
# Utangulizi wa 3 Yohana
## Sehemu ya 1: Utangulizi wa Ujumla
### Maelezo ya Kitabu cha 3 Yohana
1. Utangulizi (1:1)
1. Kutia moyo na maelekezo ya kuonyesha ukarimu (1:2-8)
1. Diotrefe na Demetrio (1:9-12)
1. Hitimisho (1:13-14)
### Nani aliandika Kitabu cha 3 Yohana?
Barua haina jina la mwandishi. Mwandishi alijitambulisha mwenyewe kama "mzee" (1:1). Barua hii pengine ilikuwa imeandikwa na Mtume Yohana alipokaribia kuaga dunia.
### Je, kitabu cha 3 Yohana kinahusu nini?
Yohana aliandika barua hii kwa muumini mmoja aitwaye Gayo. Alimwambia Gayo awe na ukarimu kwa waumini wenzake ambao walikuwa wakisafiri kupitia eneo lake.
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "3 Yohana" au "Yohana wa Tatu." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Tatu Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Tatu Aliyoandika Yohana." (See: rc://en/ta/man/translate/translate-names)
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
### Je, ukarimu ni nini?
Ukarimu ulikuwa dhana muhimu katika Mashariki ya Karibu ya kale. Ilikuwa muhimu kuwa na urafiki kwa wageni au watu wasio wa eneo hilo na kutoa msaada kwao ikiwa wangehitaji. Katika 2 Yohana, Yohana aliwakataza Wakristo kutowaonyesha ukarimu walimu wa uongo. Katika Yohana 3, Yohana aliwahimiza Wakristo kuonyesha ukarimu wageni waaminifu.
## Sehemu ya 3: Masuala muhimu ya Tafsiri
### Je! Mwandishi hutumuia namuna gani uhusiano wa familia katika barua yake?
Mwandishi alitumia maneno "ndugu" na "watoto" kwa namna ambayo inaweza "inaweza kuleta tatizo. Maandiko mara nyingi hutumia neno "ndugu" kutaja Wayahudi. Lakini katika barua hii, Yohana alitumia neno kuelezea Wakristo. Pia, Yohana aliwaita waumini wengine "watoto" wake. Hawa ni waumini aliowafundisha kumtii Kristo.
Yohana pia alitumia neno "Myunani" kwa njia ambayo inaweza inaweza kuleta tatizo. Maandiko mara nyingi hutumia neno "Myunani" kuwataja watu ambao si Wayahudi. Lakini katika barua hii, Yohana alitumia neno kutaja wale ambao hawakuamini Yesu.

View File

@ -1,7 +1 @@
# Swahili translation Notes
STR https://git.door43.org/Door43/SourceTextRequestForm/issues/173 (NT)
STR https://git.door43.org/unfoldingWord/SourceTextRequestForm/issues/305 (OT)
Mirror broken 20-May-2021

50
act/01/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,50 @@
# Matendo 01 Maelezo ya Jumla
### Muundo na mpangilio
Sura hii inarekodi tukio,kawaida linajulikana kama "kupaa", wakati Yesu alirudi mbinguni baada ya ufufuko wake. Hatarudi tena mpaka "Ujio wake wa pili." (rejelea: rc://en/tw/dict/bible/kt/heaven and rc://en/tw/dict/bible/kt/resurrection).
Toleo la UDB limeweka maneno "Kwa mpendwa Theofila" kando na maneno mengine. Hii ni kwa sabau Waiingereza huanza kuandika barua namna hivi. Unaeza anza kitabu hiki jinzi watu huanza kuandika waraka katika mila yako.
Tafsiri zingine zinanukuu kutoka Agano la Kale kwenye kulia kwa ukurasa kuliko maandiko yote kwa jumla. ULB hufanya hivi kupitia nukuu mbili kutoka Zaburi 1:20
### DHANA MAALUM KATIKA SURA HII
#### BATIZA
Neno "batiza" lina maana mbili katika sura huu. Inaashiria ubatizo wa Yohana na ubatizo wa Roho Mtakatifu (Matendo 1:5). (Tazama: : rc://en/tw/dict/bible/kt/baptize)
#### "Alizungumza kuhusu ufalme wa Mungu"
Wasomi wengine huamini kuwa wakati Yesu "alipozungumzuia kuhusu ufalme wa Mungu," aliwaeleza wanafunzi wake ni kwa nini ufalme wa Mungu haukuja kabla ya kifo chake. Wengine huamini kwamba ufalme wa Mungu ulianza wakati Yesu alikuwa hai na ya kwamba hapa Yesu alikuwa anafafanua kwamba huu ulikuwa mwanzo kwa umbo jipya.
### Matatizo mengine ya tafsiri katika sura hii.
#### wanafunzi kumi na wawili
yafuatayo ni majina ya wanafunzi kumi na wawili
Katika Injili ya Matayo
Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye; Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo;Simoni Mkananayo, na Yuda Iskariote
Katika injili ya Marko
Simoni (Petro),Andrea,na Yakobo, mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye Yakobo, akawapa jina la Boanerge, maana yake, wana wa ngurumo; na Filipo, na Bartholomayo, na Mathayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thadayo, na Simoni Mkananayo, na Yuda Iskariote.
Katika injili ya Luka
Simoni(Petero),Andrea,Yakobo,Yohana,Filipo,Bartholomayo,Matayo,Tomaso,Yakobo wa Alfayo,Simoni Mkananayo,Yuda wa Yakobo na Yuda Iskariote.
Kuna uwezekano ya kwamba Thadayo na Yuda wa Yakobo ni mtu mmoja
#### Akeldama
Hili ni neno la Kihebrania au Kiaramaiki. Luka alitumia maneno ya Kigiriki ili wasomaji wake wajue lilivyotamkua,kisha akawaeleza maana yake. Unatakikana kulitamka jinsi linalatamkwa kwa lugha yako kisha ukaeleza maana yake.(Tazama: rc://en/ta/man/translate/translate-transliterate)
## Links:
* __[Acts 01:01 Notes](./01.md)__
* __[Acts intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__

37
act/02/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,37 @@
# Matendo 02: Maelezo ya Jumla
### Muundo na mpangilio
Tafsiri zingine zimesongeza kila mstari wa ushairi mbali kulia kuliko maandiko mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi kutumia ushairi ulionukuliwa kutoka Agano La Kale katika 2:17-21,25-28 na 34-35.
Tafsiri zingine zimenukuu kutoka Agano la Kale katika mkono wa kulia wa ukurasa mbali na maandishi mengine. ULB hufanya hivi kutumia nukuu ya 2:31
Matukio yanayofafanuliwa katika sura hii huitwa "Pentekoste." Watu wengi huamini kwamba kanisa lilianza wakati Roho Mtakatifu alikuja kuishi ndani ya waumini katika sura hii.
### HANA MAALUM KATIKA SURA HII
#### NDIMI
Neno "ndimi" lina maana mbili katika sura hii. Luka anaelezea kilichoshuka kutoka mbinguni (Matendo 2:3) kama kilichofanana na ndimi za moto. Hii ni tofauti na "ulimi wa mwale," ambao ni moto unaofanana na ulimi. Luka pia anatumia neno "ndimi" kuelezea lugha walizozungumza watu baadaya kujazwa na Roho Mtakatifu (Matendo 2:4-6).
#### SIKU ZA MWISHO
Hakuna ajuaye wakati "Siku za mwisho" (Matendo 2:17) zilipoanza. Tafsiri yako lazima isielezee zaidi ya ULB inavyoeleza. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/lastday)
#### Batiza
Neno "batiza" katika sura hii linaashiria ubatizo wa Wakristo (Matendo 2:38-41). Ingawa tukio lililotajwa katika Matendo 2:1-11 ni ubatizo wa Roho Mtakatiu ambao Yesu aliahidi katika Matendo (1:5, neno "batiza" hapa halikuashiria hilo tukio (tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/baptize).
#### Unabii wa Yoeli
Utabiri mwingi wa Yoeli ulitimilika katika siku ya Pentekoste (Matendo 2:17-18), lakini vitu vingine alivyosema Yoeli havikutendeka (Matendo 2:19-20). (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/prophet)
#### Maajabu na ishara
Haya maneno yanaashiria mambo ambayo Mungu pekee yake angeyatenda kuonyesha kwamba Yesu ndiye yule wanafunzi wake walinena juu yake.
## Links:
* __[Acts 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__

19
act/03/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,19 @@
# Matendo 03 Maelezo kwa jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Agano Mungu aliagana na Abrahamu
Sura hii inaeleza kwamba Yesu alikuja kwa Wayahudi kwa sababu Mungu alikuwa akitimiza sehemu yake ya agano lake na Abrahamu. Petero alifikiri kwamba Wayahudi ndio waliokuwa na hatia ya kumuua Yesu.
### Tafsiri zingine za utata katika sura hii
#### "Mliyemtia mikononi mwa wakuu"
Warumi ndio waliomuua Yesu, lakini walimuua kwa sababu Wayahudi walimkamata, wakamleta kwa Warumi, wakawaambia wamuue. Kwa sababu hii, Petero alifikiri kwamba hao ndio waliokuwa na hatia ya kumuua Yesu. Lakini anawaeleza yakwamba hao ndio wa kwanza ambao Mwenyezi Mungu ametuma wafuasi wa Yesu kuwakaribisha watubu (Luka 3:26). (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/repent)
## Links:
* __[Acts 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__

33
act/04/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,33 @@
# Matendo 04 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Tafsiri zingine zimetenga kila mstari wa ushairi kulia zaidi kuliko maandishi mengine ili isomeke vyema.ULB hufanya hivi na ushairi ulionukuliwa kutoka Agano la kale 4:25-26
### DHANA MAALUM KATIKA SURA HII
#### umoja
Wakristo wa kwanza walitamani sana kuwa na umoja, Walitaka kuamini mambo sawa na kusaidiana kwa kila kitu walichokimiliki huku wakisaidia pia waliohitaji.
#### "Ishara na Maajabu"
Maneno haya yanaashiria vitu ambavyo vinaeza kufanywa tu na Mungu. Wakristo walitaka Mungu afanye yale tu ambayo angeweza kuyafanya ili watu waamini kwamba waliyoyanena kumhusu Yesu yalikuwa ya ukweli.
### Mifano muhimu kwenye hii sura
#### Jiwe la pembeni
Jiwe la pembeni lilikuwa kipande cha jiwe kilichowekwa chini wakati wa ujenzi wa jengo. Neno hili limetumika kumaanisha sehemu muhimu ya kitu,ile sehemu tegemeo. Kusema ya kwamba Yesu ni jiwe kuu la pembeni la kanisa ni kusema kwamba hakuna kitu ndani ya kanisa kilicho na umuhimu kuliko Yesu na ya kwamba kila kitu ndani ya kanisa kinamtegemea, (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://en/tw/dict/bible/kt/faith)
### Sehemu zingine zenye utata katika tafsiri ya sura hii.
#### Jina
"Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo" (Matendo 4:12). Kwa maneno haya Petro alimaanisha kwamba hamna mtu yeyote ambaye amewahi kuwa duniani ama atakayekuja duniani kuwaokoa watu.
## Links:
* __[Acts 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__

19
act/05/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,19 @@
# Matendo 5 Maelezo kwa jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### "Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu"
Hakuna anayejua kwa ukamilifu iwapo Anania na Safira walikuwa Wakristo wa ukweli walipoamua kudangaya kuhusu kipande cha ardhi walichokiuza (Matendo 5:1-10), kwa maana Luka hataji swala hili. Anasema tu kwamba walikuwa "miongoni mwa walioamini" (Luke 4:32).Hata hivyo, Petero alifahamu kwamba walidanganya waumini, na alijua kwamba walikuwa wamsikiliza na kumtii shetani.
Walipowadanganya waumini, pia walimdanganya Roho Mtakatifu kwa sababu anaishi ndani ya Waumini.
#### Gereza
"Gereza ya uma" ambamo Baraza la Wayahudi walimueka ndani Petero (Matendo 5:18) huenda lilikuwa gereza.
## Links:
* __[Acts 05:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__

19
act/06/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,19 @@
# Matendo 06 Maelezo kwa jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Mgao kwa wajane
Waumini wa Yerusalemu waliwapa wajane chakula kila siku. Wote walikuzwa kama Wayahudi ingawa wengine wao walikua wameishi Yudea na walizungumza Kihebrania, na wengine walikuwa wameishi kwa Mataifa na walizungumza Kigiriki. Waliogawa chakula walikigawa kwa wajane waliozungumza Kihebrania na kuwaacha wale ambao hawakukizungumza. Kumfurahisha Mungu, viongozi wa kanisa waliwateua wanaume waliokifahamu Kigiriki kwa kugawa sehemu ya chakula kwa wajane waliokifahamu Kigiriki Mmoja wa" hao wanaume alikuwa Stefano.
### Utata mwingine katika tafsiri ya sura hii
#### "Uso wake ulikuwa kama wa malaika"
Hakuna ajuaye vile uso wa Stefano ulivyokuwa kama uso wa malaika kwa maana Luka hatuambii hilo. Ni vema tafsiri hii kusema tu kuhusu kinachosema ULB kuhusu haya.
## Links:
* __[Acts 06:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../05/intro.md) | [>>](../07/intro.md)__

43
act/07/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,43 @@
# Matendo 07 Maelezo kwa Jumla
### Muundo na Mpangilio
Tafsiri zingine zimeweka kila mstari wa ushairi mbele ya kulia kuliko maandishi mengine ili kurahisisha kusoma. ULB hufanya hivi na ushairi ambao umenukuliwa kutoka Agano la Kale 7:42-43 na 49-50.
Inaonekana kwamba 8:1 ni sehemu ya utungo wa sura hii.
### Dhana maalum katika sura hii
#### "Stefano alisema"
Stefano alihadithia historia ya Israeli kwa ufupi. Alisisitiza ule muda Wana wa Israeli walikuwa wamewakataa watu Mungu alikuwa amechagua kuwaongoza. Mwisho wa habari, alisema viongozi wa Wayahudi aliokuwa akiwazungumzia walikuwa wamemkataa Yesu jinsi Waisraeli watenda dhambi walikuwa wakiwakataa viongozi walioteuliwa na Mungu.
#### "Jazwa na Roho Mtakatifu"
Roho Mtakatifu alimwongoza Stefano kana kwamba alisema tu kile Mungu alitaka aseme.
#### Kuashiria yajayo
Mwandishi anapolizungumzia jambo ambalo si muhimu kwa wakati huo lakini litakuja kuwa muhimu baadaye katoka hadithi hiyo, hii huitwa kuashiria yajayo. Luka anamtaja Saulo, aliyejulikana kama Paulo kwa hii hadithi ingawa si mhusika wa maana kwenye habari hii. Hii ni kwa maana Paulo ni mtu muhimu katika sehemu zilizobaki kwenye hiki kitabu cha Matendo ya Mitume.
### Mifano muhimu za usemi katika Sura hii
#### Mawasiliano yaliyolengwa
Stefano alikuwa akizungumza na Wayahudi walizifahamu vyema sheria za Musa na kwa hivyo hakufafanua vitu ambavyo wasikilizaji wake walikuwa wanajua mbele. Lakini utahitajika kueleza baadhi ya vitu hivi ili wasomi wako waweze kuelewa alichokuwa anasema Stefano. Kwa mfano labda utaeleza vizuri kwamba wakati ndugu zake Yusufu "walimuuza Misri" (Matendo 7:9), Yosufu alikuwa anaenda kuwa mtumwa Misri, (tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metonymy)
#### Metonymy
Stefano alizungumzia Yusufu kuongoza "Juu ya Misri" na juu ya nyumba ya Farao. Hapa alimaanisha ya kwamba Yusufu aliongoza watu wa Misri na watu na mali yote iliyokuwa ndani ya nyumba ya Farao (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metonymy).
### Matatizo mengine ya tafsiri katika sura hii
#### Maelezo ya awali
Viongozi wa Wayahudi ambao Stefano aliwazungumzuia walikuwa wanafahamu mbele matukio aliyokuwa akiwazungumzuia. Walifahamu kwamba Musa aliandika Kitabu cha Mwanzo. Kama kitabu cha mwanzo hakikutafsiriwa katika lugha yako, itakuwa vigumu kwa wasomaji wako kuelewa alichosema Stefano.
## Links:
* __[Acts 07:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../06/intro.md) | [>>](../08/intro.md)__

23
act/08/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# Matendo 08 Maelezo ya jumla
### Muundo na Mpangilio
Tafsiri zingine zimeweka kila mstari wa ushairi mbele ya kulia kuliko maandishi mengine ili kurahisisha kusoma. ULB hufanya hivi na ushairi ambao umenukuliwa kutoka Agano la Kale 8:32-33
Sentensi ya Kwanza ya mstari wa 1 inaishia na maelezo ya matukio ya sura ya 7: Luka anaanza sehemu mpya ya historia yake na maneno "Hapo ikaanza".
### Dhana maalum katika sura hii.
#### upokea Roho Mtakatifu
Katika sura hii, Luka anawazungumzia kwa mara ya kwanza juu ya watu wanaopokea Roho Mtakatifu (Matendo 8:15-19).Roho Mtakatifu alikuwa mbele amewawezesha waumini kunena kwa lugha, kuwaponya wagonjwa na kuishi kama jumuia na alikuwa amemjaza Stefano pia. Lakini wakati Wayahudi walipoanza kuwafunga waumini katika gereza waumini walioweza kutoroka Yerusalemu walitoroka na walipokuwa wakiondoka waliwahubiria watu kumhusu Yesu. Wakati watu waliosikia ujumbe kuhusu Yesu walipokea Roho Mtakatifu, viongozi wa kanisa walijua kwamba watu hao walikuwa waumini wa ukweli.
#### Ilitangazwa
Sura hii inazungumzia waumini wakitangaza neno, habari njema na kumtangaza Yesu kwamba ndiye Kristu kuliko sura zingine za kitabo cha Matendo. Neno "tangaza" ni tafsiri ya neno la Kigiriki linalomaanisha kusema habari njema kuhusu jambo ama kitu.
## Links:
* __[Acts 08:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__

23
act/09/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# Matendo 09 Maelezo kwa jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### "Njia"
Hakuna anayefahamu aliyeanza kuwaita Waumini wafuasi wa Njia. Labda Waumini walijiita hivyo kwa vile Bibilia kwa mara nyingi humzungumzia mtu anayeishi maishi yake kama mtu atambeaye njiani. Kama huu ni ukweli, Waumini walikuwa "Wakifuata njia ya Bwana" kwa kuishi kwa njia inayompendeza Mungu.
#### "Barua kwa Masinagogi ya Dameski"
Kuna uwezekano "Barua" alizoomba Paulo zilikuwa nyaraka za Kisheria zilizoruhusu kuwafunga gerezani. Viongozi wa masinagogi wa Dameski waliiheshimu hiyo barua kwa vile iliandikwa na kuhani mkuu.Iwapo Warumi wangekuwa wameiona hiyo barua, wangemruhusu pia Saulo kuwatesa Wakristo kwa vile waliwaruhusu Wayahudi kuwafanyia watakavyo wale walovunja sheria zao za kidini.
### Matatizo mengine ya tafsiri katika sura hii
#### Alichoona Saulo alipokutana na Yesu
Ni wazi kwamba Saulo aliuona mwanga na kwamba hii ni kwa sababu ya huu mwanga "alianguka chini" Watu wengine hufikiri kwamba Saulo alifahamu ni Bwana alikuwa akimzungumzia bila kuona kiwili cha binadamu kwa vile Biblia huzungumzia kila mara Mungu kama mwanga na kwamba huishi ndani ya Mwanga. Watu wengine hufikiri kwamba baadaye katika maisha yake aliweza kusema,"Nimemuona Bwana Yesu" kwa vile ni umbo la binadamu aliona hapo.
## Links:
* __[Acts 09:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../08/intro.md) | [>>](../10/intro.md)__

17
act/10/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# Matendo 10 Maelezo kwa Jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Chafu(Najisi)
Wayahudi waliamini kwamba waliamini walitembelea ama kula na watu wa mataifa. Hii ni kwa sababu Wafarisayowalikuwa wameunda sheria kinyume nayo kwa vile walitaka watu wasikule chakula ambacho sheria Musa ilisema ni najisi. Sheria ya Musa ilisema kwamba chakula kingine kilikuwa najisi lakini haikusema kwamba watu hawakustahili kutembelea ama kula na watu wa mataifa. (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/clean and rc://en/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
#### Ubatizo na Roho Mtakatifu
Roho Mtakatifu aliwakujia waliokuwa wakimsikiza Petero. Hii inaonyesha Waumini Wayahudi kwamba watu wa Mataifa wangepokea neno la Mungu na kupokea Roho Mtakatifu vile waumini Wayahudi walivyopokea. Baada ya hiyo,Watu wa Mataifa walibatizwa.
## Links:
* __[Acts 10:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../09/intro.md) | [>>](../11/intro.md)__

13
act/11/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,13 @@
# Matendo 11 Maelezo kwa Ujumla
### Dhana Maalum katika sura hii
#### "Watu wa mataifa pia walipokea neno la Mungu"
Karibu waumini wote wa kwanza walikuwa Wayahudi. Luka anaandika katika sura hii kwamba watu wengi wa mataifa walianza kumwamini Yesu. Waliamini kwamba habari ya Yesu ilikuwa habari ya kweli, vile wakaanza "kulippokea neno la Yesu." Baadhi ya waumini katika Yerusalemu hawakuamini kwamba watu wa Mataifa pia wangekuwa wafuasi halisi wa Yesu. Kwa hivyo Petero alienda akawaambia kilichokuwa kimemtendekea na jinsi alivyowaona watu wa mataifa wakilipokea neno la mungu na kupokea Roho Mtakatifu.
## Links:
* __[Acts 11:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../10/intro.md) | [>>](../12/intro.md)__

17
act/12/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# Matendo 12 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Sura ya 12 inatuelezea kilichomtendekea mfalme Herode wakati Barnabas alikuwa anamrudisha Saulo kutoka Tarshishi na wakipeleka pesa kutoka Antiokia kwa watu wa Yerusalemu (11:25-30). Aliwaua viongozi wengi akamfunga Petero gerezani. Baada ya Mungu kumsaidia Petero kutoroka gerezani, Herode aliwaua walinzi wa gereza kisha naye akauwawa na Mungu. Luka anatuelezea katika mstari wa mwisho wa sura hii jinsi Barnaba na Saulo waliyorudi kutoka Antiokia.
### Mifani ya usemi muhimu katika hii sura
#### Kuwa na mfano wa kibinadamu
"Neno la Mungu" linazungumziwa kana kwamba ni kiumbe kinachoweza kumea na kuzaana. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/wordofgod and rc://en/ta/man/translate/figs-personification)
## Links:
* __[Acts 12:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../11/intro.md) | [>>](../13/intro.md)__

21
act/13/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,21 @@
# Matendo 13 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Tafsiri zingine zimeweka nukuu kutoka Agano La Kale kwenye mkono wa kulia mbali na maandiko mengine. ULB hufanya hivi kwa kutumia nukuu tatu kutoka Zaburi 13:33-35
Tafsiri zingine zimeweka kila mstari wa ushairi mbele ya kulia kuliko maandishi mengine ili kurahisisha kusoma. ULB hufanya hiv na ushairi ambao umenukuliwa kutoka Agano la Kale 13:41
Nusu ya pili ya kitabu cha Matendo inaanzia katika sura hii. Luka anaandika zaidi kumhusu Paulo kuliko Petero, na inelezea jinsi watu wa mataifa, na siyo Wayahudi, wanafunuliwa habari ya Yesu na waumini.
### Dhana Maalum katika sura hii.
#### Mwanga kwa watu wa mataifa
Mara nyingi Biblia huzungumzia watu wasio wanyoofu, watu wasiotenda yanayomfurahisha Mungu,kana kwamba ni watu watembeayo kwa giza. Inazungumzia mwanga kana kwamba ndio unaweazesha wenye dhambi kubadilika ili wafahamu kwamba wanachotenda ni kibaya na waanze kumtii Mungu. Wayahudi waliwachukulia watu wote wa mataifa kama watembeao kwa giza lakini Paulo na Barnaba wakazungumzia watu wa mataifa kumhusu Yesu kama watakaoenda kuwaletea mwanga wa kawaida. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous)Jesus as if they were going to bring them physical light. (See: [[rc://en/ta/man/jit/figs-metaphor]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous]])
## Links:
* __[Acts 13:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../12/intro.md) | [>>](../14/intro.md)__

23
act/14/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# Matendo 14 Maelezo kwa jumla
### Dhana Maalum katika sura hii
#### "Ujumbe wa neema yake"
Ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa Mungu ambao huwapa neema wanaomuamini Yesu. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/grace and rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
#### Zeu na Herme
Watu wa mataifa katika himaya ya Warumi waliabudu miungu wengi ambao hawakuwepo. Paulo na Barnaba waliaambia kuamini katika "Mungu aliye hai" Yahwe. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/falsegod)
### Maswala mengine tata kwenye tafsiri ya sura hii.
#### "Lazima tuingie kwenye ufalme wa Mungu kupitia mateso mengi"
Yesu aliwaambia wafuasi wake kabla hajafa kwamba kila anayemfuata angepata mateso. Paulo anayarudia maneno hayo kupitia maneno tofauti na hayo.
## Links:
* __[Acts 14:1](../../act/14/01.md)__
__[<<](../13/intro.md) | [>>](../15/intro.md)__

27
act/15/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,27 @@
# Matendo 15 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Tafsiri zingine zimeweka kila mstari wa ushairi mbele ya kulia kuliko maandishi mengine ili kurahisisha kusoma. ULB hufanya hivi na ushairi ambao umenukuliwa kutoka Agano la Kale 15:16-17
Mkutano unaoelezwa na Luka katika sura hii huitwa "Baraza la Yerusalemu." Huu ulikuwa nimuda ambapo viongozi wengi wa kanisa walikuja pamoja kuamua iwapo waumini walihitaji kufuata sheria zote za Musa.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Ndugu
Katika sura hii, Luka anaanza kwa kutumia neno "ndugu" kumaanisha Wakristo wenzake badala ya Wayahudi wenzake.
#### Kutii sheria za Musa
Waumini wengine walitaka watu wa mataifa watahiriwe kwanza kwa vile Mungu alimuambia Abarahamu kwamba yeyote aliyetaka kuwa wake lazima angepashwa tohara na hii sheria ingedumu. Kwa upande mwingine Paulo na Barnaba walikuwa wameshuhudia Mungu akiwapa watu wa Mataifa kipaji cha Roho Mtakatifu na kwa hivyo hawakusisitiza watu wa mataifa watahiriwe. Makundi yote mawili yalienda Yerusalemu kwa uamuzi wa viongozi wa kanisa kuhusu swala hilo.
#### "Mjiepushe na vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, na nyama zilizosongolewa, na uasherati."
Kuna uwezekano ya kwamba viongozi wa kanisa walitoa uamuzi kwa hizi sheria ili Wayahudi pamoja na watu wa Mataifa waweze kuishi pamoja na kula chakula kimoja pamoja.
## Links:
* __[Acts 15:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../14/intro.md) | [>>](../16/intro.md)__

17
act/16/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# Matendo 16 Maelezo kwa jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kutahiriwa kwa Timotheo
Paulo alimtahiri Timotheo kwa vile walikuwa wanahubiri ujumbe wa Yesu kwa Wayahudi na watu wa Mataifa. Paulo alitaka Wayahudi wajue kwamba aliheshimu sheria za Musa ingawa viongozi wa kanisa Yerusalemu walikuwa wameamua kwamba Wakristo hawana haja ya tohara.
#### Mwanamke aliyekuwa na pepo wa uaguzi
Watu wengi hupenda sana kujua yanayojiri siku za usoni, lakini sheria za Musa zilisema kwamba ni dhambi kuongea na roho za wafu ili kujua yajayo. Inaonekana huyu mwanamke alijua kutabiri yajayo vyema.Alikuwa mtumwa aliyetumiwa na wenyeji wake kujitajirisha kutokana na kazi hii yake. Paulo alitaka aache kutenda dhambi, na kwa hivyo aliamuru huyo pepo amtoke. Luka hatuelezi iwapo alianza kumfuata Yesu ama hata jambo lingine kumhusu.
## Links:
* __[Acts 16:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../15/intro.md) | [>>](../17/intro.md)__

19
act/17/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,19 @@
# Matendo 17 Maelezo kwa jumla
### Dhana Maalum katika sura hii
#### Kutoelewana kuhusu Maasiya
Wayahudi walimtarajia Kristo ama Maasiya awe mfalme mwenye nguvu kwa vile Agano la Kale limesema hivyo mara nyingi. Agano hilo pia lizungumzia wakati ambapo Maasiya angeteseka na hayo ndio Paulo alikuwa akiwaambia Wayahudi. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/christ)
#### Dini ya Athene
Paulo alisema kwamba watu wa Athene walikuwa watu wa "Kidini" lakini hawakumuabudu Yahweh. Waliiabudu miungu wengi wasio kweli. Hapo awali waliwaleta watu wengi chini ya utawala wao na baadaye wakaanza kuabudu miungu zao. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/falsegod)
Katika sura hii Luka anafafanua kwa mara ya kwanza jinsi Paulo alivyo waambia ujumbe wa Kristo kwa wale hawakufahamu lololete kuhusiana na agano la kale.
## Links:
* __[Acts 17:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../16/intro.md) | [>>](../18/intro.md)__

13
act/18/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,13 @@
# Matendo 18 Maelezo kwa ujumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Ubatizo wa Yohana
Wayahudi wengine walioishi mbali kutoka Yerusalemu na Judea walisikia kumhusu Yohane Mbatizaji na wakafuata mafundisho yake. Walikuwa bado kusikia habari za Yesu. Mmoja wa hao aliitwa Apollo. Alimfuata Yohane Mbatizaji lakini hakufahamu kwamba Maasiya alikuwa aliisha kuja. Yohane aliwabatiza watu kuonyesha ya kwamba walitubu dhambi zao na lakini ubatizo huu ulikuwa tofauti na ubatizo wa Kikristo. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/faithful and rc://en/tw/dict/bible/kt/christ and rc://en/tw/dict/bible/kt/repent)
## Links:
* __[Acts 18:1](../../act/18/01.md)__
__[<<](../17/intro.md) | [>>](../19/intro.md)__

17
act/19/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# Matendo 19 Maelezo kwa ujumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Ubatizo
Yohane aliwabatiza watu kuwashiria kwamba walikuwa wanatubu dhambi zao. Wafuasi wa Yesu waliwabatiza watu waliotaka kumfuata Yesu.
#### Hekalu la Diana
Hekalu la Diana lilikuwa na umuhimu kubwa katika jiji la Efeso. Watu wengi walienda Efeso kuliona hili hekalu, na wakanunua sanamu za Diana, mungu we kike, wakati walipokuwa pale. Watu waliouza sanamu hizi za Diana walihofia kwamba watu wasingeamini kwamba Diana ni mungu wa ukweli, wangeacha kununua sanamu kutoka kwa wauzaji.
## Links:
* __[Acts 19:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../18/intro.md) | [>>](../20/intro.md)__

21
act/20/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,21 @@
# Matendo 20 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Katika sura hii Luka anafafanua safari ya mwisho ya Paulo kwa waumini walioko katika mikoa ya Makedonia na Asia kabla ya Paulo kurudi Yerusalemu.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Kupiga mbio
Paulo alifananisha maisha ndani ya Yesu kan kwamba alikuwa kwa mashindano ya kupiga mbio. Alimaanisha kwamba alihitaji kuendelea kufanya bidii sana hata kama mambo hayakumwendea vyema mpaka akataka kuachia njiani. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://en/tw/dict/bible/kt/discipline)
#### "Kulazimishwa na Roho"
Paulo alifikiri kwamba Roho Mtakatifu alimhitaji aende Yerusalemu hata kama yeye hakutaka. Huyo Roho Mtakatifu pia aliwaambia watu wengine kwamba Paulo atakapofika Yerusalemu watu watajaribu kumdhuru.
## Links:
* __[Acts 20:1](../../act/20/01.md)__
__[<<](../19/intro.md) | [>>](../21/intro.md)__

31
act/21/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,31 @@
# Matendo 21 Maelezo kwa Jumla
### Muundo na Mpangilio
Matendo 21:1-19 Inaelezea safari ya Paulo kwenda Yerusalemu. Baada ya kuasili Yerusalemu,Waumini walimuambia kwamba Wayahudi walitaka kumdhuru .Walimwelezea pia alichopaswa kufanya ili wasimdhuru (Mistari 20-26). Ingawa Paulo alikifanya alichoambiwa na waumini,Wayahudi walijaribu kumuua. Warumi walimuokoa na wakampa nafasi ya kuwaongelesha Wayahudi.
stari wa Mwisho wa sura hii unaishia na sentensi isiyokamilifu kimaana. Tafsiri nyingi huwacha hiyo sentensi kama haijakamilika kama vile ULB hufanya.
### Dhana maalum katika sura hii
#### "Wote wamejitahidi kuilinda sheria"
Wayahudi wa Yerusalemu walifuata sheria za Musa. Hata wale waliomfuata Yesu bado walizizingatia. Makundi yote yalifikiri kwamba Paulo alikuwa akiwaambia Wayahudi walio Uyunani wasifuate hizo sheria. Lakini watu wa Mataifa ndio Paulo alikuwa akiwahutubia.
#### Nadhiri za kuwafunga wanaume
Nadhiri ambazo Paulo na marafiki wake watatu walichukua ilikuwa ni kama ya Wanaume wa kujifunga kwa Nadhiri kwa vile walinyoa nywele zao (Matendo 21:32)
#### Watu wa Mataifa kwa hekalu
Wayahudi walimlaumu Paulo kwa kumleta mtu wa Mataifa katika sehemu maalum ya hekalu ambamo Mungu aliwaruhusu Wayahudi pekee kuingia. Wakafikiri kwamba Mungu alitaka wamuadhibu Paulo kwa kumuua. (Tazama: //en/tw/dict/bible/kt/holy)
#### Uraia wa Urumi
Warumi walidhani kwamba ni Warumi pekee yao waliostahili kuhudumiwa kwa haki. Wangewatenda watakavyo wale ambao hawakuwa raia wa Urumi lakini kwa Warumi waliwatendea kufuata sheria. Watu wamoja walizaliwa raia wa Roma na wengine wakaipa pesa serikali ya Warumi ili wawe raia.
## Links:
* __[Acts 21:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../20/intro.md) | [>>](../22/intro.md)__

25
act/22/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,25 @@
# Matendo 22 Maelezo kwa Jumla
### Muundo na Mpangilio
Hii ndio mara ya pili kusema habari ya Kubadilishwa kwa Paulo kuwa Mkristo katika kitabu cha Matendo.Kwa sababu hili ni tukio muhimu katika kanisa la awali, "kuna mara tatu ya kusema habari ya kubadilishwa kwa Paulo kuwa Mkristo. (Tazama: Matendo 9 na Matendo 26).
### Dhana maalum katika sura hii
#### Katika lugha ya Kihebrania
Wakati huu Wayahudi wengi walizungumza Kiaramea na Kiyunani. Wengi wa waliozungumza Kihebrania walikuwa Wayahudi watu wa elimu. Hii ndio maana watu walimsikiliza Paulo kwa makini alipoanza kuzungumza kwa Kihebrania.
#### "The Way"
Hakuna anayefahamu aliyeanza kuwaita Waumini wafuasi wa Njia. Labda Waumini walijiita hivyo kwa vile Bibilia kwa mara nyingi humzungumzia mtu anayeishi maishi yake kama mtu atembeaye njiani. Kama huu ni ukweli, Waumini walikuwa "Wakifuata njia ya Bwana" kwa kuishi kwa njia inayompendeza Mungu.
#### Uraia wa Urumi
Warumi walidhani Kwmaba ni Warumi pekee yao waliostahili kuhudumiwa kwa haki. Wangewatenda watakavyo wale ambao hawakuwa raia wa Urumi lakini kwa Warumi waliwatendea kufuata sheria. Watu wamoja walizaliwa raia wa Roma na wengine wakalipa pesa serikali ya Warumi ili wawe raia. "Kiranja Mkuu" angeadhibiwa kwa kuwatendea raia wa Urumi sawa wale wasiokuwa raia.
## Links:
* __[Acts 22:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../21/intro.md) | [>>](../23/intro.md)__

31
act/23/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,31 @@
# Matendo 23 Maelezo kwa Jumla
### Muundo na Mpangilio
Tafsiri zingine zinanukuu kutoka Agano la Kale kwenye kulia kwa ukurasa kuliko maandiko yote kwa jumla. ULB hufanya hivi kupitia kilichonukuliwa katika 23:5
### Dhana maalum katika sura hii
#### Ufufuko wa wafu
Wafarisayo waliamini kwamba baada ya watu kufa, wangefufuka tena na Mungu awazawadie ama awaadhibu. Wasadukayo waliamini kwamba pindi watu wanapokufa,hawangefufuka. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/other/raise and rc://en/tw/dict/bible/other/reward)
#### "Waliita laana"
Wayahudi wengine waliahidi Mungu kutokula ama kunywa mpaka Paulo auliwe na wakamuomba Mungu awaadhibu kama hawangetekeleza ahadi yao.
#### Uraia wa Urumi
Warumi walidhani Kwmaba ni Warumi pekee yao waliostahili kuhudumiwa kwa haki. Wangewatenda watakavyo wale ambao hawakuwa raia wa Urumi lakini kwa Warumi waliwatendea kufuata sheria. Watu wamojf walizaliwa raia wa Roma na wengine wakalipa pesa serikali ya Warumi ili wawe raia. "Kiranja Mkuu" angeadhibiwa kwa kuwatendea raia wa Urumi sawa wale wasiokuwa raia.
### Mifano ya usemi muhimu katika sura hii
#### Chokaa
Hii ni mfano ya kawaida katika Maandiko matakatifu inayoonyesha mtu kuwa mzuri au kitu kuwa kizuri na safi ama mwenye haki lakini yule mtu ni mwovu ama amejinajisi ama si wa haki.
## Links:
* __[Acts 23:1](../../act/23/01.md)__
__[<<](../22/intro.md) | [>>](../24/intro.md)__

23
act/24/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# Matendo 24 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Paulo alimwambia mkuu wa mkoa kwamba hakutenda tukio aliloshtakiwa na Wayahudi na kwa hivyo asimwadhibu kwa asilotenda.
### Dhana maalum katika sura hii
#### Heshima
Viongozi wote Wayahudi (Matendo 24:2-4) na Paulo walianza kutoa hotuba zao wakitumia maneno yakudhihirisha heshima kwa mkuu wa mkoa.
### Matatizo mengine katika hii tafsiri
#### Viongozi wa Kiserikali
Maneno "mkuu wa mkoa", Kamanda," na "akida" yanaweza kuwa magumu kutafsiri katika lugha nyingine.
## Links:
* __[Acts 24:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../23/intro.md) | [>>](../25/intro.md)__

17
act/25/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,17 @@
# Matendo 25 Maelezo kwa jumla
### Dhana maalum katika sura hii
#### Neema/Msaada maalum
Neno hili limetumika kwa njia mbili katika sura hii. Wakati viongozi Wa Wayahudi walipomwomba Festus neema, walikuwa wanamuomba kuwafanyia kitu maalum ambacho hajazoea kukifanya. Wakati Festus "alitaka kupata neema ya Wayahudi", alitaka wakuwe kama yeye na wakuwe" tayari kumtii miezi na miaka inayokuja. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/favor)
#### Uraia wa Urumi
Warumi walidhani kwamba ni Warumi pekee yao waliostahili kuhudumiwa kwa haki. Wangewatenda watakavyo wale ambao hawakuwa raia wa Urumi lakini kwa Warumi waliwatendea kufuata sheria. Watu wamoja walizaliwa raia wa Roma na wengine wakalipa pesa serikali ya Warumi ili wawe raia. Wafanyakazi wa serikali wangeadhibiwa kwa kuwatendea raia wa Urumi sawa na wale wasiokuwa raia.
## Links:
* __[Acts 25:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../24/intro.md) | [>>](../26/intro.md)__

19
act/26/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,19 @@
# Matendo 26 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Hii ni mara ya tatu kwa kusema habari ya kubadilishwa kwa Paulo. Hii ni kwa sababu hili ni tukio muhimu kwenye Kanisa la awali. Kuna mara tatu ya kusema kubadilishwa kwa Paulo. (Tazama: Matendo 9 na 22)
Paulo alimwelezea Mfalme Agripa kwa nini alikitenda alichokitenda na ya kwamba mkuu wa mkoa asimuadhibu kwa hicho.
### Dhana Maalum katika sura hii
#### Mwanga na giza
Kila mara Biblia huzungumzia watu wasiokuwa waadilifu, watu wasiotenda yanayompendeza Mungu kana kwamba wanatembea gizani. Inazungumzia mwanga kama kinachowawezesha wenye dhambi kuwa waadilifu baada ya kugundua kwamba wanachofanya si kizuri na kumheshimu Mungu. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/righteous)
## Links:
* __[Acts 26:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../25/intro.md) | [>>](../27/intro.md)__

23
act/27/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,23 @@
# Matendo 27 Maelezo ya jumla
### Dhana muhimu katika sura hii
#### Kusafiri Majini
Watu walioishi karibu na bahari walisafiri kutumia boti zilizosukumwa na upepo. Wakati wa kipindi fulani mwakani, upepo ungeelekea mwelekeo usiyofaa hadi ikawa vigumu sana kusafiri majini.
#### Uaminifu
Paulo alimwamini Mungu kama atamwezesha kusafiri kwa usalam hadi atakapofika inchi kavu. Aliwaambia mabaharia na wanajeshi kuamini pia kwamba Mungu atachunga maisha yao. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/trust)
#### Paulo anaumega mkate
Luka anatumia maneno karibu kuwa sawa na yale aliyotumia kueleza habari ya karama
mwisho wa Yesu pamoja na wanafunzi wake. Alichukua mkate, akashukuru
Mungu na kuumega na kula. Hata hivyo tafsiri yako isimfanye msomaji kufikiria kwamba Paulo alikuwa anaongoza sherehe ya kidini.
## Links:
* __[Acts 27:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../26/intro.md) | [>>](../28/intro.md)__

25
act/28/intro.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,25 @@
# Matendo 28 Maelezo kwa jumla
### Muundo na Mpangilio
Hakuna anayefahamu ni kwa nini Luka anamaliza habari hii bila kuwaambia watu kilichomtendekea Paulo baada ya yeye kuwa Roma kwa miaka miwili.
### Dhana maalum katika sura hii
#### "Barua" na "Ndugu"
Viongozi wa Wayahudi walishangaa kwamba Paulo alitaka kuzungumza nao kwa vile hawakuwa wamepokea barua kutoka kwa kuhani mkuu Yerusalemu kusema kwamba Paulo alikuwa anakuja.
Wakati viongozi wa Wayahudi walipozungumza kuhusu "ndugu" walimaanisha Wayahudi wenzao na sio Wakristo.
### Matatizo mengine ya utafsiri katika sura hii.
#### " Alikua mungu"
Wenyeji waliamini ya kwamba Paulo alikuwa mungu, lakini hawakuamini kwamba alikuwa Mungu wa kweli. Hatujui ni kwa nini Paulo hakuwaambia wenyeji kwamba hakuwa Mungu.
## Links:
* __[Acts 28:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../27/intro.md) | __

Some files were not shown because too many files have changed in this diff Show More