forked from WA-Catalog/sw_tn
764 B
764 B
2 Timotheo 02 Maelezo kwa Ujumla
Muundo na mpangilio
Matoleo mengine yanaweka maneno kulia kwa ukurasa kuliko maandishi mengine. ULB hufanya hivi na aya za 11-13 kuliko aya zingine. Huenda Paulo ananukuu shairi ama wimbo katika mistari hii.
Dhana muhimu katika sura hii
"Tutatawala naye
Wakristo waaminifu watatawala pamoja na Kristo siku zijazo. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/faithful)
Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
Mifano
Katika sura hii, Paulo anatumia mifano nyingi kufundisha maisha ya kikristo. Anatumia mifano ya mwanajeshi, mwanariadha na mkulima. Baadaye anatumia mifano ya aina nyingi ya vyombo vya nyumbani.