sw_tn/2ti/02/01.md

817 B

Kuunganisha Maelezo

Paulo alipigapicha maisha ya Kikristo ya Timotheo kama maisha ya askari, kama maisha ya wakulima, kama maisha ya mwanamichezo

kuimarishwa katika neema iliyo katika Kristo Yesu

Maana inawezekana ni 1) 'basi Mungu kutumia neema akawapa kwenu katika Kristo Yesu kuwafanya kuwa imara (UDB) au 2) 'kuhamasisha mwenyewe, wakijua kwamba Mungu amewapa ninyi neema ambayo huja tu kwa njia ya Kristo Yesu

kati ya mashahidi wengi

"na mashahidi wengi kuna kukubaliana kwamba maneno yangu ni kweli"

mwaminifu

"kuaminika"

mwanangu

Paulo anamuona Timotheo kama mtoto wake kwa kuwa alimfundisha Timotheo kumwamini Kristo. "aliye kama mtoto wangu"

uyakabidhi kwa watu waaminifu

Paulo anatoa maelekezo kwa Timotheo kuwa ayakabidhi kwa watu waaminifu ili wayatumie kwa usahihi. "wafundishe"