sw_tn/act/24/intro.md

622 B

Matendo 24 Maelezo kwa jumla

Muundo na Mpangilio

Paulo alimwambia mkuu wa mkoa kwamba hakutenda tukio aliloshtakiwa na Wayahudi na kwa hivyo asimwadhibu kwa asilotenda.

Dhana maalum katika sura hii

Heshima

Viongozi wote Wayahudi (Matendo 24:2-4) na Paulo walianza kutoa hotuba zao wakitumia maneno yakudhihirisha heshima kwa mkuu wa mkoa.

Matatizo mengine katika hii tafsiri

Viongozi wa Kiserikali

Maneno "mkuu wa mkoa", Kamanda," na "akida" yanaweza kuwa magumu kutafsiri katika lugha nyingine.

<< | >>