forked from WA-Catalog/sw_tn
622 B
622 B
Matendo 24 Maelezo kwa jumla
Muundo na Mpangilio
Paulo alimwambia mkuu wa mkoa kwamba hakutenda tukio aliloshtakiwa na Wayahudi na kwa hivyo asimwadhibu kwa asilotenda.
Dhana maalum katika sura hii
Heshima
Viongozi wote Wayahudi (Matendo 24:2-4) na Paulo walianza kutoa hotuba zao wakitumia maneno yakudhihirisha heshima kwa mkuu wa mkoa.
Matatizo mengine katika hii tafsiri
Viongozi wa Kiserikali
Maneno "mkuu wa mkoa", Kamanda," na "akida" yanaweza kuwa magumu kutafsiri katika lugha nyingine.