sw_tn/act/24/01.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Paulo sasa yuko kwenye misukosuko. Tertulo anawasilisha mashitaka kwa Liwali Feliki dhidi ya Paul.

Baada ya siku tano

"Siku tano baada ya askari wa Kirumi kumchukua Paul kwenda Kaisaria"

Anania

Angalia jinsi gani unaweza kulitafasiri katika 23:1

msemaji

"mwanasheria." Tertulo alikuwa mtaalam wa sheria ya Kirumi. Alikuwa huko kumshtaki Paul mahakamani.

Tertulo

Hili ni jina la mtu mwanamume.

walikwenda huko

"alienda Kaisaria ambako Paulo alikuwa"

alisimama mbele ya Gavana

"mbele ya Gavana ambaye alikuwa jaji wa mahakama"

akaanza kumshtaki

"alianza kuleta ukiukwaji wa sheria ya Kirumi dhidi yake"

tuna amani kubwa

"sisi, raia tulio chini ya utawala wa Felix tuna amani kubwa"

na kwa maono yako yanaleta mageuzi mazuri katika taifa letu

"na kupitia mipango yako mizuri imeleta mabadiliko makubwa katika taifa letu"

Feliki

Angalia jinsi gani unaweza kuitafasili katika

na mtizamo wako huleta mageuzi nzuri kwa taifa letu

"na mipango yako imeboresha sana taifa letu"

Mweshimiwa Felix

Angalia jinsi gani unaweza kuitafasili katika 23:25