forked from WA-Catalog/sw_tn
23 lines
622 B
Markdown
23 lines
622 B
Markdown
|
# Matendo 24 Maelezo kwa jumla
|
||
|
|
||
|
### Muundo na Mpangilio
|
||
|
|
||
|
Paulo alimwambia mkuu wa mkoa kwamba hakutenda tukio aliloshtakiwa na Wayahudi na kwa hivyo asimwadhibu kwa asilotenda.
|
||
|
|
||
|
### Dhana maalum katika sura hii
|
||
|
|
||
|
#### Heshima
|
||
|
|
||
|
Viongozi wote Wayahudi (Matendo 24:2-4) na Paulo walianza kutoa hotuba zao wakitumia maneno yakudhihirisha heshima kwa mkuu wa mkoa.
|
||
|
|
||
|
### Matatizo mengine katika hii tafsiri
|
||
|
|
||
|
#### Viongozi wa Kiserikali
|
||
|
|
||
|
Maneno "mkuu wa mkoa", Kamanda," na "akida" yanaweza kuwa magumu kutafsiri katika lugha nyingine.
|
||
|
|
||
|
## Links:
|
||
|
|
||
|
* __[Acts 24:01 Notes](./01.md)__
|
||
|
|
||
|
__[<<](../23/intro.md) | [>>](../25/intro.md)__
|