forked from WA-Catalog/sw_tn
607 B
607 B
1 Timotheo 02 Maelezo kwa ujumla
Dhana muhimu katika sura hii
Amani
Paulo anawasihi Wakristo kuwaombea kila mtu. Wanastahili kuwaombea viongozi ili Wakristo waishi kwa amani kwa njia ya kimungu na ya kiheshima
Wanawake katika kanisa
Watafsiri wawe makini zaidi ili watafsiri kikamilifi mistari hii.
Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
"Sala" , "kuombeana" na "shukrani"
Maneno haya yanafanana katika maana yao. Siyo muhimu kuyatazama kama yanayohitilafiana.