sw_tn/1ti/02/intro.md

607 B

1 Timotheo 02 Maelezo kwa ujumla

Dhana muhimu katika sura hii

Amani

Paulo anawasihi Wakristo kuwaombea kila mtu. Wanastahili kuwaombea viongozi ili Wakristo waishi kwa amani kwa njia ya kimungu na ya kiheshima

Wanawake katika kanisa

Watafsiri wawe makini zaidi ili watafsiri kikamilifi mistari hii.

Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii

"Sala" , "kuombeana" na "shukrani"

Maneno haya yanafanana katika maana yao. Siyo muhimu kuyatazama kama yanayohitilafiana.

<< | >>