forked from WA-Catalog/sw_tn
23 lines
607 B
Markdown
23 lines
607 B
Markdown
# 1 Timotheo 02 Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
### Dhana muhimu katika sura hii
|
|
|
|
#### Amani
|
|
|
|
Paulo anawasihi Wakristo kuwaombea kila mtu. Wanastahili kuwaombea viongozi ili Wakristo waishi kwa amani kwa njia ya kimungu na ya kiheshima
|
|
|
|
#### Wanawake katika kanisa
|
|
|
|
Watafsiri wawe makini zaidi ili watafsiri kikamilifi mistari hii.
|
|
|
|
### Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
|
|
|
|
#### "Sala" , "kuombeana" na "shukrani"
|
|
|
|
Maneno haya yanafanana katika maana yao. Siyo muhimu kuyatazama kama yanayohitilafiana.
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[1 Timothy 02:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__ |