sw_tn/mat/26/55.md

477 B

Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kama mnyang'anyi?

"Mnajua kwamba mimi siyo mnyang'anyi, hivyo ni makosa yenu kuniijia mkiwa na mapanga na marungu.

Marungu.

Vipande vikubwa vya miti migumu kwa ajili ya kupigia watu.hekaluni

hekaluni

Inaoneshakuwa Yesu hakuwa hekaluni. alikuwa kwenye korido la hekalu

ili maandiko ya manabii yatimie

"napenda kutimiza kile ambacho manabii waliandika kwenye maandiko"

Kumuacha.

Kujitenga naye au walijitenga naye.