forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
477 B
Markdown
20 lines
477 B
Markdown
|
# Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kama mnyang'anyi?
|
||
|
|
||
|
"Mnajua kwamba mimi siyo mnyang'anyi, hivyo ni makosa yenu kuniijia mkiwa na mapanga na marungu.
|
||
|
|
||
|
# Marungu.
|
||
|
|
||
|
Vipande vikubwa vya miti migumu kwa ajili ya kupigia watu.hekaluni
|
||
|
|
||
|
# hekaluni
|
||
|
|
||
|
Inaoneshakuwa Yesu hakuwa hekaluni. alikuwa kwenye korido la hekalu
|
||
|
|
||
|
# ili maandiko ya manabii yatimie
|
||
|
|
||
|
"napenda kutimiza kile ambacho manabii waliandika kwenye maandiko"
|
||
|
|
||
|
# Kumuacha.
|
||
|
|
||
|
Kujitenga naye au walijitenga naye.
|