initial conversion

This commit is contained in:
Larry Versaw 2018-04-11 19:01:04 -06:00
parent 5ecc0303df
commit 9ff25ec862
3257 changed files with 69808 additions and 0 deletions

28
1co/01/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# sentesi unganishi
Paulo na Sosthenes wanato salamu za kwa waumini wa kanisa la Korintho
# Maelezo ya Jumla
Maneno kama vile "ninyi" and "yanu" yanahusiana na wale ambao paulo aliwaandikia na alitumia kiwakilisha cha wingi.
# Paulo...kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho
Hii ilikuwa ni namna ya mwandishi wa barua kujitambulisha kwa wasomaji wake : " mimi, Paulo niliwaandikia barua hii ninyi munaomwamini Mungu mlioko Korintho"
# Sosthene ndugu yetu
Hii inaonesha kuwa Paulo na Wakorintho wanamfahamu vema Sosthene:" Sosthene ndugu yetu ambaye mimi na ninyi tunamfahamu"
# wale ambao wamewekwa wakfu katika Yesu Kristo
Neno "kuwekwa wakfu" linamaana ya watu ambao Mungu amewapa kibali cha kumtukuza yeye. " hii ni kwa wale ambao Yesu Kristo amaewatenga kwa ajili ya Mungu" au " watu ambao Mungu amaewachukua na kuwatenga kwa ajili yake mwenyewe kwa wanamwamini Yesu Kristo"
# ambao wameitwa kuwa watu watakatifu
Hii inaweza kuelezewa kwa kitenzi tendaji: " ambao Mungu amewaita kuwa watu watakatifu" kuna maana mbili zinazokubalika. 1) " wale ambao Mungu amewatenga kwa ajili yake mwenyewe" 2) wale ambao Mungu amewaita kujitenga na dhambi" au ambao Mungu amewaita wajitenge na matendo ya dhambi"
# Bwana wao na wetu
Yesu ni Bwana kwa Paul na kwa Wakorintho na ni Bwana kwa makanisa yote na watu wote

29
1co/01/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,29 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anaelezea mwenendo na ushirika wa waumini katika Krito wanaposubiri kurudi kwake mara ya pili
# kwa sababu ya neema ya Mungu ambayo Kristo Yesu aliwapa
Paulo anazungumzia neema kana kwamba ni kitu chenye umbo ambacho Yesu amewapa wakristo kama zawadi. " hii ni kwa sababu Yesu amefanya iwezekane kwa Mungu kuwa mwema kwako"
# Amewafanya kuwa matajiri
Yawezekana maana ni 1)"Kristo amekufanya
wewe tajiri" au 2) "Mungu amekufanya wewe tajiri."
# Amewafanya kuwa matajiri katika kila njia
inatumia lugha ya makazo kumaanisha" aliwafanya matajiri wenye baraka nyingi za rohoni"
# katika usemi
Mungu amekupa uwezo wa kuwaambia na kuwashirikiwe wengine kuhusu ujumbe kwa namna mbalimbali.
# pamoja maarifa yote.
Mungu amekuwezesha kuelewa ujumbe wake kwa namna mbalimbali.
# ushuhuda kuhusu Kristo ya kwamba amethibitishwa kuwa kweli miongoni mwenu.
maneno haya yanaweza kumaanisha: 1) ninyi wenyewe mliona tulichokise kwenu kuhusu Kristo ilikuwa ni kweli 2) watu wengine walijifunza kwa kuona ninyi na sisi tunavyoishi katika Kristo.

24
1co/01/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Kwa hiyo
"Kama matokeo"
# hampungukiwi karama za kiroho
"kuwa na kila uwezo wa rohoni"
# Ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo
Yawezekana maana ni 1)Wakati Mungu atakapo mfunua Bwana Yesu Kristo" au 2)"Wakati Bwana wetu Yesu Kristo atakapojidhihirisha yeye mwenyewe."
# msilaumiwe
Kusiwepo sababu yoyote ya kulaumiwa na Mungu
# Mungu ni mwaminifu
Mungu atatimiza jambo lolote ambalo ameahidi kufanya.
# mwana wake
Ni cheo cha Yesu Kristo, yaani "Mwana wa Mungu"

28
1co/01/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# sentensi unganishi
Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kwamba wanapaswa kuishi katika umoja na katika ujumbe wa msalaba wa Kristo, siyo ubatizo wa watu unaoleta wokovu.
# kaka na dada zangu
Hii inamaana washirika wote wakristo, ikijumuisha wote wanawake na wanaume.
# kwamba wote mkubali
" kuishi katika hali ya upatanifu na ushirikiano"
# kwamba kusiwe na migawanyiko miongoni mwenu
" kusiwe na migawanyiko ya makundi makundi miongoni mwenu"
# kwamba muungane pamoja katika nia moja na katika kusudi
" muishi katika hali ya umoja"
# watu wa nyumba ya Kloe
Hii inahusu wanafamilia, wafanyakazi, na watu wengine ambao ni sehemu ya kaya ambayo Chloe ni mwanamke kiongozi.
# kuna mgawanyiko unaoendelea miongoni mwenu
" kuna makundi yenye migogoro na kugombana kati yenu"

16
1co/01/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Kila mmoja wenu husema
Paulo anaelezea kwa ujumla tabia ya mgawanyiko
# Je! Kristo amegawanyika?
Paulo ataka kuweka makazo kuhusu ukweli kwamba Kristo hajagawanyika lakini ni mmoja. "Haiwezekani kumgawanya Kristo katika namna mnayofanya."
# Je! Paulo alisulubiwa kwa ajili yenu?
Paulo anapenda kuweka mkazo kwamba alikuwa Kristo aliyesulubiwa wala si Paulo au Apolo. " ni ni ukweli uliowazi kuwa hawakumuua Paulo pale msalabani kwa ajili ya wokovu wenu."
# Mlibatizwa kwa jina la Paulo?
Paulo anaweka mkazo kwamba wote tunabatizwa katika jina la Kristo. " Na Watu hawakuwabatiza ninyi katika jina la Paulo."

24
1co/01/14.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Namshukuru Mungu
Paulo anafurahia kuwa hakuwabatiza watu wengi wa pale Korintho
# sikumbatiza yeyote isipokuwa
"pekee"
# Krispo
Alikuwa kiongozi wa sinagogi ambaye alibadilika kuwa Mkristo.
# Gayo
Alisafiri pamoja na Mtume Paulo
# Hii ilikuwa hivyo kwamba hakuna hata mmoja angesema kwamba mlibatizwa katika jina langu.
"Nilijizua katika kubatiza watu zaidi kwasababu niliogopa kwamba wange jivuna baadaye kwamba nimekwisha kuwabatiza wao."
# Nyumba nzima ya Stephania
Hii inahusu wanafamilia na watumwa katika nyumba(kaya) mahali Stephania, mwanaume, na kiongozi wa kaya.

8
1co/01/17.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Kristo hakunituma mimi kubatiza
Hii inamaanisha kwamba ubatizo halikuwa lengo la msingi la Paulo katika huduma yake.
# maneno ya hekima ya kibinadamu...msalaba wa Kristo usionekane kuwa kitu kisichokuwa na nguvu
Paulo anazungumza kwa " maneno ya hekima ya kibinadamu" ni kama vile walikuwa watu, na msalaba ulikuwa kama chombo, ambacho Yesu aliweka nguvu yake ndani ya chombo hicho. Hii ilimaanisha kuwa " maneno yanayotokana na hekima ya kibinadamu ... yasije kuondoa nguvu ya msalaba wa Kristo" au " maneno ya hekima ya kibinadamu... yasiwafanye watu washindwe kuamini ujumbe kuhusu Yesu na kuanza kujidhania kuwa wao ni wamuhimu zaidi kuliko Yesu.

24
1co/01/18.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Sentensi Unganishi
Paul anasisitiza Hekima ya Mungu dhidi ya hekima ya kibidamu
# ujumbe wa msalaba
"Mahubiri kuhusu kusulubiwa"au "ujumbe kuhusu kufa kwa Kristo msalabani."
# ni upuuzi
"haina maana" au "ni upumbavu"
# Kwa wale wanaokufa
Hapa "kufa" inamaanisha hatua ya kifo cha kiroho.
# ni nguvu ya Mungu
" Mungu anafanya kazi katika utu wetu wa ndani"
# Nitaiharibu hekima ya wenye busara
" nitaharibu busara za watu" au " nitaifanya mipango ya watu wenye busara isifanikiwe kabisa"

20
1co/01/20.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Yuko wapi mtu mwenye busara?Yukowapi msomi? Yuko wapi mpingaji wa dunia hii?
Paulo anafafanua kwamba watu wenye busara ya kweli hawatapatikana popote. " ukiwalinganisha na busara inayopatikana kupitia Injili , hakuna watu wenye busara, hakuna wasomi, hakuna waleta hoja!"
# Msomi
Ni mtu aliyefahamika kuwa na mafunzo ya hali ya juu.
# Mpingaji
Ni mtu anayeleta hoja ya kupinga kulingana na anachojua au ni mtu mweye ujuzi wa kufanya mabishano mbalimbali
# Mungu hakuigeuza hekima ya dunia hii kuwa ujinga?
Paulo anatumia swali hili kufafanua kile Mungu amefanya kinyume na hekima ya dunia hii. "Mungu ameonesha kuwa kila kitu kilichokuwa ni hekima kwa watu kilikuwa ni upumbavu kabisa"
# wale wanaoamini
Inaweza kumaanisha: 1)Wote wanaoamini ujumbe wa Injili" au 2)wote wanaoamini katika Kristo."

12
1co/01/22.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Maelezo kwa Ujumla
Hapa neno "sisi" linawakilisha Paulo na walimu wengine wa Biblia.
# Kristo aliyesulubiwa
"Kuhusu Kristo, ambaye alikufa msalabani."
# Kikwazo
Ni kama mtu anaweza kujikwaa juu yakizuizi barabarani, vile vile ujumbe wa wokovu kupitia kusulubiwa kwa Kristo ulikuwa kikwazo kwa Wayahudi wasiweze kuamini katika Yesu. "Kutopokelewa" au "Kikwazo sana"

24
1co/01/24.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# kwa wale ambao waliitwa na Mungu
"Kwa watu walioitwa na Mungu"
# Tunamhubiri Kristo
"Tuna fundisha kuhusu Kristo" au "Tunawaambia watu wote kuhusu habari za Kristo."
# Kristo kama nguvu na hekima ya Mungu
Inaweza kumaanisha: 1) "Mungu alitenda kwa uweza na hekima kwa kumtuma Kristo kufa kwa ajili yetu" au 2) kupitia Kristo Mungu amethihilisha jinsi alivyo na nguvu na hekima.
# nguvu...ya Mungu
Maana nyingine ni kwamba Kristo ni mwenye nguvu na kupitia Kristo, Mungu anatuokoa.
# hekima ya Mungu
Maana nyingine ni kuwa Mungu aweka wazi hekima yake kupitia kwa Kristo
# ujinga wa Mungu una hekima wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.
"kile ambacho watu huita upumbavu wa Mungu ni hekima ya kweli kuliko busara ya wanadamu, na kile watu huita udhaifu wa Mungu ni nguvu iliyo imara zaidi ya nguvu ya wanadamu"

24
1co/01/26.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Sentensi unganishi
paulo anasisitiza nafasi ya waumini Mbele za Mungu
# Si wengi wenu
"Wachache tu kati yenu."
# hekima katika viwango vya kibinadamu
"jambo linalokubalika kwa watu wengi kuwa ni busara"
# mlizaliwa katika ukuu
"maalum kwa sababu familia yako ni muhimu" au '"kifalme"
# Mungu alichagua vitu vijinga vya dunia ili kuviaibisha vyenye hekima
Mungu alichagua kutumia watu wanyenyekevu ambao viongozi wa Kiyahudi waliamini kuwa si muhimu kuthibitisha kwamba hawa viongozihawakuwa wa muhimu zaidikuliko wengine kwa Mungu.
# Mungu alichagua kilicho dhaifu katika dunia kukiaibisha chenye nguvu
"Mungu aliwachagua wale ambao ulimwengu hufikiri ni dhaifu ili awaaibishe wale ambao ulimwengu hufikiri wapo imara"

16
1co/01/28.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# hali ya chini na kilichodharauliwa
watu ambao dunia imewakataa."Watu ambao ni wanyenyekevu na kukataliwa."
# Vitu ambavyo vimehesabiwa kuwa hakuna kitu
"Vile ambavyo watu kawaida huhesabiwa havithaminiwi"
# vitu vilivyo na thamani
"Vitu ambavyo watu kwa kawaida huvithamini"au "Vitu ambavyo watu hudhani vina thamani au vinathaminiwa."
# Alifanya hivi
"Mungu alifanya hivi"

16
1co/01/30.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Kwa sababu kile Mungu alichofanya
Hii inaonyesha kazi ya Kristo msalabani.
# Sisi... yetu
Paulo anajumlisha wale waliotumika naye, pamoja na wakorintho
# Kristo Yesu, ambaye amefanyika hekima kwa ajili yetu kutoka kwa Mungu
Hapa inaweza kumaanisha: 1) " Kristo Yesu aliyedhihirisha wazi kwetu jinsi Mungu alivyo wa Hekima" au 2) Kristo Yesu aliyetupatia Hekima ya Mungu"
# Anayejisifu, ajisifu katika Bwana
"Kama mtu anajisifu, anapaswa kujisifu kuhusu jinsi Bwana alivyo mkuu."

12
1co/02/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anatofautisha kati ya hekima ya kibinadamu na hekima ya Mungu. anaeka mkazo kuwa hekima ya kiroho hutoka kwa Mungu.
# kaka na dada zangu
Hii inamaanisha washirika wote(wakristo), wanaume na wanawake.
# Niliamua kutojua chochote...isipokuwa Yesu Kristo
Paulo alilenga katika kusulubiwa kwa Kristo badala ya mawazo ya kibinandamu: " niliamua kuzungumza zaidi... kuhusu Kristo Yesu

12
1co/02/03.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Nilikuwa pamoja nanyi
"Nili kuwa nina watembelea
# Katika udhaifu
Inawezekana maana ni 1) "udhaifu wa kimwili" au 2) "Kujisikia kupungukiwa."
# maneno ya ushawishi
Ni maneno yanayoonekana kuwa ya busara, na msemaji anategemea watu wafanye anachosema au waamini.

20
1co/02/06.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Maelezo ya Jumla
Paulo anaanza kufafanuao hoja yake, kwamba anaposema hekima anamaana gani kwa wasomaji wake.
# Sasa tunaizungumza
Neno "sasa" limetumiwa hapa kama alama ya kuonesha fundisho kuu. Paulo anaelezea kuwa hekima ya kweli ni ile hekima ya Mungu.
# watu wazima
"Waumini walikomaa kiimani"
# kabla ya nyakati
" Kabla Mungu hajaumba chochote"
# za utukufu wetu
" ili kudhibitisha ujio wa kutukuzwa kwetu"

16
1co/02/08.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Bwana wa utukufu
"Yesu, Bwana wa utukufu."
# Mambo ambayo hakuna macho...hayakufikiri, mambo ambayo ...wampendao Mungu
Inataja sehemu tatu za mwili wa mtu kumaanisha kwamba hakuna mtu aliyekwisha kuwa na ufahamu wa kina kwa vitu ambavyo Mungu ameandaa.
# Mambo mbayo hakuna jicho limeyaona, hakuna sikio lililoyasikia, mawazo hayakufikiri
Inataja sehemu tatu za mwili wa mtu kumaanisha kwamba hakuna mtu aliyekwisha kuwa na ufahamu wa kina kwa vitu ambavyo Mungu ameandaa.
# Vitu vile Mungu amekwisha andaa kwa wale wanampenda yeye.
Bwana amekwisha umba mbinguni vitu vya ajabu kwa wote wanaompenda yeye.

16
1co/02/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Hivi ni vitu
Paulo anazunguza kuhusu uhalisia wa Yesu na msalaba. mambo ambayo hakuyaeleza kwa kina 2:8 anayafafanua sasa.
# Nani ajuaye mawazo ya mtu isipokuwa ni roho ya mtu katika yeye?
Paulo alitumia swali kufafanua kwamba hakuna yeyote ajuaye ni nini mtu anawaza isipokuwa mtu mwenyewe. "Hakuna yeyoteajuaye ni nini mtu anawaza isipokuwa roho ya mtu."
# Roho ya mtu
Hii inaonyesha ndani ya mtu,asili ya kiroho yeye
# Hakuna yeyote ajuaye vitu vya ndani ya Mungu isipokuwaRoho wa Mungu
"Roho wa Mungutu ajuaye vitu vya ndani ya Mungu"

16
1co/02/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Maelezo ya Jumla
Hapa "sisi" inajumlisha Paulo na wasikilizaji wake.
# tuliyopewa na Mungu
"Kwamba Mungu alitupatia bure " au "kwamba Mungu ametupa kabisa bila malipo"
# Roho hutafasiri maneno ya kiroho kwa hekima ya kiroho
Roho Mtakatifu huwasiliana kweli wa Mungu kwa waumini katika maneno ya rohoyenyewew na hutupa yenyewe hekima yake yenyewe.
# hutafasiri
"fafanua"

20
1co/02/14.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Maelezo ya jumla
hapa neno "sisi" linajumuisha Paulo pamoja hadhira (watu anaowaandikia)
# Mtu si wa kiroho
Mtu asiye mkristo,ambaye bado hajapokea Roho Mtakatifu.
# yanatambuliwa kiroho.
"Kwa sababu kufahamu mambo haya kuanatokana na msaada wa Roho"
# Kwa yule wa kiroho
"Muumini, aliyepokea Roho"
# Ni nani anaweza kuyajua mawazo ya Bwana, ambaye anaweza kumfundisha yeye?
Paulo alitumia hili swali kufafanua kwamba hakuna yeyote ajuaye mawazo ya Bwana. "Hakuna yeyote anaweza kujua mawazo ya Bwana.Hivyo hakuna yeyote anaweza kumfundisha Bwana kitu chochote ambacho hakukifahamu kabla."

28
1co/03/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo sasa anawakumbusha waumini wa Korintho juu maisha yao halisi badala ya kuishi kwa kujiheshimu kuzingatia nafasi yao mbele za Mungu. pia anawakumbusha kuwa mtu anayewapa mafundishi hawezi kuwa na unuhimu kama Mungu ambaye anawawezesha kukua.
# kaka na dada zangu
hii inamaanisha washirika wote(wakristo) wanaume na wanawake
# Watu wa kiroho
Watu wanaoishi kwa kumtii Roho
# Watu wa mwilini
Watu ambao hufuata matakwa yao wenyewe
# Kama watoto wachanga katika Kristo
Wakorintho wanalinganishwa na watoto wachanga katika umri na katika ufahamu. "Kama waumini wachanga katika Kristo"
# Niliwanywesha maziwa na siyo nyama
Wakorintho wanaweza kuelewa mafundisho rahisi kama watoto wachanga ambao wanaweza kunywa maziwa tu. Hawajawa watu wazima kuelewa mafundisho ya kina kama watoto wakubwa ambao sasa wanaweza kula chakula kigumu.
# Hamko tayari
"Hamko tayari kuelewa mafundisho magumu kuhusu kumfuata Kristo."

28
1co/03/03.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# Bado wa mwilini
bado wanatabia ya dhambi au wanamatamanio ya kidunia
# hamuishi kulingana na mwili, na je, hamtembei kama kawaida ya kibinadamu?
Paulo alikuwa anawaonya wakorintho kwa tabia zao za dhambi. "Mnapaswa kuona aibu kwa sababu munaishi kwa kufuata tamaa zenu mbaya na munaishi kwa kufuata desturi za kibinadamu.
# Hamuishi kwa kawaida ya kibinadamu?
Paulo alikuwa anawaonya wakorintho kwa tabia zao za dhambi. "Mnapaswa kuona aibu kwa sababu munaishi kwa namna ileile wanayoishi watu wasio na Roho.
# Apolo ni nani? Na Paulo ni nani?
Paulo alikuwa anafafanua kwamba yeye na Apolo hawakuwa chanzo cha injili na ndipo hawastahiri kufuatwa. "Ni mbaya kuunda makundi kufuata Apolo au Paulo!"
# Paulo ni nani?
Paulo anaongelea habari zake mwenyewe kana kwamba anazungumzia habari za mtu mwingine. ni kama vile anauliza: "mimi ni nani?" au anasema "mimi siyo wa muhimu!"
# Watumishi wa yule mliyemwamini
Paulo ajibu swali lake kwa kusema kwamba yeye na Apolo ni watumishi wa Mungu. "Paulo na Apolo ni watumishi wa Kristo, na mmeamini katika Kristo kwa sababu tunamtumikia yeye".
# mliyemwamini, kwa kila ambaye Bwana alimpa jukumu.
" Sisi ni watu tu wa Bwanamuliyemwamini ambaye ametupatia majukumu."

20
1co/03/06.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Nilipanda
Ufahamu wa neno la Mungu unalinganishwa na mbegu ambayo lazima iwe imepandwa ili istawi
# akatia maji
Kama vile mbegu huhitaji maji,imani inahitaji mafundisho zaidi ili iweze kukua.
# Kukua
Kama mmea hukua na kuendelea,pia imani na ufahamu katika Mungu hukua nakuwa na kuwa na kina na uimara.
# Kwa hiyo, si aliye panda ... anachochote. Lakini ni Mungu anayekuza.
Paulo anaeleza kwamba si yeye wala Apolo aliye nawajibu kwa ajili yakukua kiroho kwa wakristo, lakini ni utendajiwa Mungu.
# anayekuza.
Paulo anaelezea kwa kielelezo cha ukuaji wa miti kuhusu ukuaji wa imani ya Wakoritho. : Anawezasha miti kukua" au " Mungu huwawezesha wakristo kumfahamu na kumjua Yeye kwa undani"

24
1co/03/08.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Anayepandana anayemwagilia ni sawa
Upandaji na umwagiliaji maji inahesabika ni kazi moja,ambayo Paulo analinganisha yeye mwenyewe na Apolo katika kuwahudumia kanisa la Wakorintho.
# Ujira
Kiasi cha fedha ambacho mfanyakazi analipwa, kinalinganishwa kwa kiasi gani alichofanya kazi.
# Sisi
Hii inaonyesha kwa Paulo na Apololakini si kanisa la Korintho
# Wafanyakazi ya Mungu
Paulo anajitambulisha yeye na Apolo kuwa ni watendakazi pamoja.
# bustani ya Mungu
Mungu anawajali waumini wa Korintho, Kama vile mtu ahudumiaye bustani yake ili kuzalisha matunda.
# Jengo la Mungu
Mungu amewafanyia usanifuna kuwaumba waumini wa Korintho,kama vile mtu anayejenga jengo.

20
1co/03/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Kulingana na neemaya Mungu ambayo nimepewa
"Kulingana na uwezo ambao Mungu kweli amenipa kufanya."
# Niliweka msingi
Paulo alianzisha mafundisho yake ya imani na wokovu katika Yesu Kristo, hii ilikuwa kama kuweka msingi wa jengo.
# Mwingine anajenga juu yake
Paulo anamzungumzia mtu au watu wanaowafundisha Wakorintho kuwa kama maseremala wanaofanya ujenzi juu ya msingi aliokwisha kuujenga.
# Kila mtu
Hii inaonyesha kwa wafanyakazi wa Mungu kwa ujumla. "Kila mtu anayemtumikia Mungu."
# Hakuna mwingineanaweza kuanzisha msingi mwingine zaidi ya ule ambao umekwisha anzishwa.
hii inaweza kumaanisha " Tayari nimekwisha anzisha msingi ambao yeyote anaweza kujenga" au " hakuna awezaye kujenga Msingi zaidi ya ule niliojenga mimi, Paulo"

24
1co/03/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Maelezo ya Jumla
Paulo anazungumzia shughuli ambazo wajenzi hufanya wanapojenga jengo akifananisha na kile wanachofanya walimu wa Korintho. Wjenzi mara nyingi hutumia dhahabu, fedha, au mawe ya thamani kama mapambo ya majengo.
# Sasa kamayeyote anajengajuu ya msingi kwa dhahabu,fedha, mawe ya thamani, miti,manyasi, au majani
Vitu vya ujenzi yamelinganishwa na thamani ya kiroho yatumikayo kwa kujenga tabia ya mtu na shughuli wakati wa maisha yake. "Hata mtu anajenga kwa thamani, vitu vya kudumu au vya chini,vitu vya kung'aa."
# Mawe ya thamani
"Mawe ya gharama kubwa"
# Kaziyake itafunuliwa
" Mungu ataweka wazi kila kazi aliyoifanya mjenzi."
# kwa mwanga wa mchana utaidhihirisha
Neno "mwanga" ni sitiari kumaanisha wakati Mungu atakapomuhukumu kila mtu. Mungu atakapo weka wazi mafundisho ya walimu hawa, itakuwa kama nuru ya jua juu ya giza la usiku.
# Kwa kuwa itadhihirishwa na moto. Moto utajaribu ubora wa kazi wa kila mmoja alichofanya.
Kama moto utadhihirisha uimara au kuharibu udhaifu wa jengo,Moto wa Mungu utahukumu juhudi ya mtu na shughuli. "moto utaonyesha thamani ya kazi yake."

20
1co/03/14.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Maelezo ya Jumla
Maneno "mtu" , "chochote mtu" "yeye" na " yeye mwenyewe" yanahusiana na washirika( waumini)
# kitabaki
"Salia" au "kubakia"
# Kama kazi ya mtu itateketea
"Kama moto utaharibu kazi ya mtu yeyote" au "Kama moto utahapoteza kazi ya mtu yeyote."
# Yeyote...yeye...mwenyewe
Haya maneno yanaonyesha "mtu""mtu" au "yeye"
# Atapata hasara.Lakini yeye mwenyewe ataokolewa
"Atapoteza kazi ile na tuzo yoyote anaweza kupata kama kazi ile itastahimili katika moto, lakini Mungu atamwokoa."

12
1co/03/16.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Hamjuwi kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
Paulo anawakalipia Wakorintho: "Mnafanya kana kwamba hamjui kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na Roho wa Mungu anakaa ndani yenu!"
# Haribu
"haribu" au "hasara"
# Mungu atamharibu mtu yule,Kwan hekalu la Mungu ni takatifu, na ni ninyi.
"Mungu atamharibu mtu yule kwasababu hekalu la Mungu ni takatifu na ninyi ni watakatifu piaa."

24
1co/03/18.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Mtu asijisifu mwenyewe
Mtu yeyote hanapaswa kuamini kwa kujidanyanya mwenyewe kwamba ni mwenye hekima katika ulimwengu huu.
# Nyakati hizi
hii inahusu namna ambavyo watu wasioamini hufanya maamuzi
# awe kama "mjinga"
"Yule mtu anapaswa kukubali kile ulimwengu hufikiri ni ujinga kwa ajili ya kupata hekima ya kweli ya Mungu"
# Huwanasa wenye hekima kwa hila zao
Mungu huwatega watu ambao wanafikiri kuwa wana akili na anatumia mipango yao kuwatega wao
# Bwana anajua mawazo ya wenye busara ni ubatili
"Bwana anajua kwamba mipango ya watu ambao hufikiri wana busara ni" au "Bwana anaelewa mipango yote ya wenyebusara na anajua yote ilivyo."
# ubatili
"hayatumiki" "hakuna thamani"au "Hakuna pointi"

4
1co/03/21.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# ninyi ni wa Kristo na Kristo ni wa Mungu
" Ninyi ni mali ya Kristo na Kristo ni mali ya Mungu"

12
1co/04/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# sentensi unganishi
baada ya kuwakumbusha watu kuwa wasiwe na majivuno juu ya nani aliwafundisha habari za Bwana na kuwabatiza, pia anawakumbusha washirika(waumini) wa Korintho kuwa wanapaswa kuwa wanyenyekevu.
# Katika hili
"Kwa sababu sisi ni mawakili"
# kinachotakiwa kwa uwakili ni kwamba wawe
" tunatakiwa kuwa"

12
1co/04/03.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Ni kitu dogo sana kuwa ninahukumiwa na ninyi
Paulo analinganisha kati ya hukumu ya kibinadamu na hukumu ya Mungu. Hukumu ya binadamu ni ya kubahatisha kulinganisha na hukumu ya kweli ya Mungu juu ya binadamu
# Sijihukumu mimi mwenyewe
"Sijasikia lawama yoyote juu yangu kwamba nilifanya maovu"
# hii haina maana kuwa mimi ni mwenye haki. Ni Bwana anihukumuye
"kule kutosikia lawama siyo uthibitisho kuwa mimi sina hatia. Bwana anajua kama mimi sina hatia au nina hatia.

12
1co/04/05.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Kwa hiyo,msitamke hukumu
Kwa kuwa Mungu atahukumu atakaporudi, tusihukumu.
# atayaleta nuruni mambo yaliyofichika gizani na kufunua makusudi ya mioyo
Mungu ataweka wazi mawazo na dhamira za watu. Hakuna kitakachofichika mbele za Bwana.
# ya mioyo
"ya mioyo ya watu"

24
1co/04/06.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# kaka na dada zangu
Hii inamaanisha washirika/ wakristo (waumini)wote wanaume na wanawake
# kwa ajili yenu
"kwa ajili ya ustawi wenu, au mafaa yenu"
# tofauti kati yenu...Ni nini ulicho nacho hukukipokea... kupokea bure, kwa nini mnajivuna kama hamkufanya hivyo
Paulo anawaongelea Wakorintho kana kwamba anazumgumza na mtu mmoja, ndiyo maana katika matukio yote anatumia kiwakilishi cha "wewe".
# ni nani aonaye tofauti kati yenu na mwingine?
Paulo aliwaonya Wakorintho ambao wanafikiri wao ni bora kwa kuwa wameamini injili kwa Paulo au kwa Apolo. "Hamko bora zaidi ya watu wengine."
# Ni nini ulicho nacho hukukipokea bure?
Paulo alieleza kwamba Mungu aliwapa kile walicho nacho kwa bure. "Kila kitu mlichonacho, Mungu amewapa bure, bila malipo yoyote!"
# Kwa nini mnajivuna kama hamkufanya hivyo?
Paulo alikuwa anawaonya kwa kujivuna kwa kile walichopokea. "Hamna haki ya kujivuna" au "Msijivune kabisa."

20
1co/04/08.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Maelezo ya Jumla
Paulo anatumia msemo wa kejeli ili kuwafanya Wakorintho waone aibu na kutambua kuwa walikuwa wakitenda dhambi walipojisifu wenyewe pamoja na kuwasifia walimu wao.
# Mungu ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha
Paulo anaeleza njia mbili jinsi Mungu amekwisha weka mitume kwa kuonyesha wazi kwa ulimwengu uone
# ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha
Mungu ameonyesha wazi mitume kama tu wafungwa wakti wa mwisho wa gwaride la jeshi la Kirumi,ambao tunaabishwa mbele ya kutekeleza kwao.
# kama watu waliohukumiwa kuuawa
Mungu ameweka mitume kuonyesha wazi kama watu waliotayari kutekelezwa.
# kwa ulimwengu, kwa malaika na kwa wanadamu
Neno "ulimwengu" ni jumla ya viumbe vya kiroho (malaika) na viumbe vya asili (wanadamu). kwa hiyo anataja vitu vitatu: kwa ulimwengu, kwa malaika, na kwa wanadamu

24
1co/04/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Sisi tu wajinga kwaajili ya Kristo, lakini mna busara katika Kristo.
Paulo anatumia kinyume kutofautisha mtazamo wa dunia na mtazamo wa Kikristo wa kuamini katika Kristo.
# Sisi ni wadhaifu, lakini ninyi mna nguvu
Paulo anatumia kinyume kutofautisha mtazamo wa kidunia na mtazamo wa kikristo wa kuamini katika Kristo.
# Mmeheshimiwa
"Watu wanawahesabu Wakorintho katika nafasi ya heshima."
# Tunasika katika hali ya kutoheshiwa
"Watu wanatuhesabu sisi mitume katika nafasi ya kutoheshiwa."
# Hata kwa saa hii iliyopo
"Mpaka sasa" au "Kufikia sasa"
# Tumepigwa vibaya
"Adhibiwa kwa mapigo makaliya mwili"

20
1co/04/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Tunapodharauliwa, tunabariki
"Wakati watu wanapotudharau, sisi tunawabariki."
# Dharau
"Beza"inawezekana "onea" au "laani"
# Tunapoteswa
"Wakati watu wanapotutesa"
# Tunapokashifiwa
"Wakati watu wanatukashifu"
# Tumekwisha kuwa,na tunasubiriwa kuwa, kukataliwa na dunia
"Tumekuwa, na watu bado wanatusubiri kuwa, takataka za dunia."

20
1co/04/14.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Siandiki vitu hivi kuwaaibisha ninyi, lakini kuwarudi ninyi
Sifanyi kuwaaibisha, lakini kuwathibitisha" au Sijaribu kuwaaibisha, lakini nataka kuwarudi."
# Sahihisha
"thibitisha"au "fanya bora"
# Waalimu makumi elfu
Huu ni ukuzaji wa idadi ya watu wanao waongoza,Kuelezea umuhimu wa wa baba mmoja wa kiroho.
# watoto...baba
Kwa sababu Paulo amewaongoza kwa Kristo,yeye ni kama baba kwa Wakorintho
# sihi
"Kuwatia moyo kwa nguvu" au "Kuthibitisha kwa nguvu"

4
1co/04/17.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Sasa
Hili neno linaonyesha kwamba Paulo anabadilisha mada yake kwa kuwarudi wenye tabia ya majivuno walio waumini wa Korintho.

20
1co/04/19.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Nitakuja kwenu
"Nitawatembelea"
# haitegemeikatika kusema
"haitendwi kwa maneno" au "Si nini usemacho"
# Nini unachotaka?
Paulo alikuwa anawasihi kwa mwisho Wakorintho, kamaamekwisha warudi kwa makosa waliyokwishafanya. "Niambieni nini mnataka kitokee sasa."
# Nije kwenu na fimbo au na upendo na roho ya upole.
Paulo anatoa tabia mbili tofauti kwa Wakorintho, atakazotumia atakapofika kwao. "Mnataka nije kuwafundisha ninyi kwa lazima, au mnataka nionyeshe upendo na kwa upole?"
# upole
"wema au "uzuri"

20
1co/05/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anaelezea kwa ufasaha kwamba amesikia kuna dhambi miongoni mwa waumini wa Wakorintho, na namna Wakorintho walivyojisifu na kukaa pamoja na mtu aliyetenda ile dhambi.
# Ile hairuhusiwi hata miongoni mwa mataifa
Katika muundo tendaji " hata watu wa wasioamini hawawezi kuruhusu"
# Mke wa baba
mke wa baba yake, lakini yawezekana si mama yake wa kumza
# Hampaswi kuhuzunika badala?
Hili ni swali lenye jibu limetumika kuwakemea Wakorintho. "Mnapaswa kuhuzunika kwa hili jambo!"
# Yeye aliyefanya hivi lazima awe ameondolewa miongoni mwenu
Katika hali ya muundo tendaji:- "Ni lazima aondolewe miongoni mwenu aliyefanya jambo hili ."

28
1co/05/03.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# ...nipo nanyi kiroho
"... kila wakati nafikiri juu yenu."
# nimekwisha mhukumu yeye aliyefanya hivi
"Nimekwisha ona huyu mtu ana hatia"
# Mnapokutanika pamoja
"kutana"
# katika jina la Bwana Yesu
lugha ya kuelezea tendo la kukusanyika pamoja kumwabudu Yesu Kristo
# Nimekwisha
" tayari nimemhukumu mtu huyo"
# kumkabidhi mtu huyu kwa Shetani
Hii inaonyesha kumfukuza mtu kutoka kwa watu wa Mungu,ili aishi katika utawala wa Shetani, ulimwengu nje ya Kanisa.
# ili kwamba mwili wake uharibiwe
ili kwamba mwili wa mtu huyo upate maradhi kwa kurudiwa na Mungu kwa dhambi yake

12
1co/05/06.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Majivuno yenu si kitu kizuri
"Majivuno yenu ni mabaya"
# Hamjui chachu kidogo huharibu donge zima?
Kama hamira kidogo husambaa kwa mkate mzima, hivyo dhambi ndogo inaweza kuathiri ushirika wote wa waumini.
# Kristo, Mwana Kondoo wetu wa pasaka amekwisha kuchinjwa
"Bwana Mungu amemtoa KristoYesu, mwanakondoo wetu wa Pasaka"

20
1co/05/09.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# wazinzi
Hii inahusu watu wanaokiri kuamini katika Kristo lakini wana tabia mbaya.
# Wazinzi wa dunia hii
Watu waliochagua kuishi katika maisha uzinzi,ambao si waumini
# wenye tamaa
"Wale walio na tamaa" au "Wale waliotayari kupoteza heshima ili kupata kitu wanchotamani"
# Wanyang'anyi
Hii ina maana watu ambao"wanadanganya au tapeli mali za watu wengine"
# basi ingewapasa mtoke duniani.
" ingeliwabidi kukaa mbali na watu wote"

20
1co/05/11.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anawaambia namna ya kukaa na waumini waliopo kanisani ambao hawataki kukosolewa juu ya matendo yao ya zinaa na dhambi zilizo wazi kwa wengine.
# yeyote aliyeitwa
" yeyote anayejiita mwenyewe"
# Kaka au Dada
Hii inamaanisha mshirika katika ukristo ama wanamke au mwanaume
# Kwa hiyo nitajihusishaje kuwahukumu walio nje ya Kanisa?
Paulo anasisitiza kwamba yeye siyo hakimu wa watu walio nje ya kanisa. kwa maneno mengine "Sipaswi kutoa hukumu kwa watu ambao si wa kanisani"
# ninyi hamkuwahukumu walio ndani ya kanisa?
"Mnapaswa kuwahukumu wale wako ndani ya kanisa."

32
1co/06/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,32 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anaelezea jinsi waumini wanavyoweza kusuruhisha migogoro miongoni mwao
# Tatizo
"Kutokubaliana" au "Mabishano"
# je anathubutu kwenda kwa mahakama ya dunia mbele ya hakimu asiyeamini, kuliko mbele ya waumini?
Paulo asema kwamba Wakristo lazima wamalize matatizo miongoni mwao wenyewe. " Asithubutu kwenda.... waumini" au " anapaswa kuwa na hofu ya Mungu na asiende...waumini!"
# mahakama ya wasio haki
Ni sehemu ambapo hakimu wa serikali huamua kesi na kuamua nani aliye na haki.
# Hamjuwi kwamba waumini watauhukumu ulimwengu?
Paulo anawafanya Wakoritho wapate aibu kwa kutenda kana kwamba hawajui
# Kama mtauhukumu ulimwengu, hamuwezikuweka sawa mambo yasiyo ya muhimu?
Paulo anasema baadaye watapewa wajibu mkubwa, hivyo kwa sasa lazima kushughulikia haya maswala madogo. "Mtauhukumu ulimwengu wakati ujao, hivyo mnaweza kusuruhisha tatizo hili kwa sasa."
# Je mnajui kwamba tutawahukumu malaika?
Paulo anashangaa maana wanaonekana hawajui "Mnajua kwamba tutawahukumu malaika."
# Kwa kiasi gani zaidi, tunaweza kuamua mambo ya maisha haya?
"Kwa sababu tunajua kuwa tutawahukumu malaika, na katika maisha haya tunauhakika kuwa Mungu anauwezo wa kuhukuma mambo mbali mbali."

44
1co/06/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,44 @@
# Kama tunaweza kuhukumu mambo ya maisha haya, kwa nini mnathubutu kupeleka mashitaka mbele ya wasiosimama kanisani?
Inaweza kumaanisha 1) hili ni swali lisilohitaji jibu au 2) hii ni sentensi " Mliwahi kusuruhisha migogoro inayohusu maswala ya muhimu maishani, hamkuruhusu matatizo ya Wakristo yasuruhishwe na wasioamini" au 3) Hii ni amri "mnaposuruhisha juu ya maswala muhimu ya maisha, pia suruhisheni migogoro ambayo ipo kanisani " "Kama umeitwa kufanya maamuzi kuhusu maisha ya kila siku." au "Kama una ulazima wa kuweka sawa mambo ambayo ni muhimu katika maisha haya."
# Kama tunaweza kuhukumu mambo ya maisha haya
" kama mmeitwa kufanya maamuzi kwa maisha ya kila siku" au " kama mtasuruhisha maswala ya muhimu katika maisha haya"
# kwa nini mnathubutu kupeleka mashitaka
" msipeleke mashitaka hayo"
# mbele ya wasiosimama kanisani?
Maana zinazokubalika 1) " acheni kupeleka mashitaka hayo kwa watu walio nje ya kanisa" au 2) " mngeweza kupeleka mashitaka hayo hata kwa waumini wasioamika kwa waumini wenzao"
# kwa aibu yenu
" kwa kukosa heshima" au "kwa kuonyesha kuwa mmeshindwa katika swala hili"
# Hakuna mwenye busara miongoni mwenu wa kutosha kuweka mambo sawa kati ya ndugu na ndugu?
" mnapaswa kuona aibu kwamba hamuwezi kupata muumini wenye hekima kumaliza mibishano miongoni mwa waumini"
# ndugu
hapa inamaanisha waumini wote
# mashitaka
" mabishano" au " kushindwa kukubaliana"
# Lakini kama ilivyo
" namna ilivyo sasa" au " lakini badala "
# mwamini mmoja huenda mahakamani dhidi ya muumini mwingine, na mashitaka hayo huwekwa mbele ya hakimu asiyeamini!
" waumini wenye mgogoro wanaomba usuruhishi kwa mahakimu wasioamini kufanya maamuzi juu yao"
# mashitaka hayo huwekwa
" muumini anapeleka mashitaka"

12
1co/06/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# usumbufu
"shindwa" au "poteza"
# Kwanini msumbuke kwa mabaya? Kwaninimruhusu ninyi wenyewe kudanganywa?
"Ni bora kuacha wengine kuwafanyia mabaya na kuwadanganya kuliko kuwapeleka mahakamani,"
# kaka na dada zenu wenyewe
Waumini wote katika Kristo ni kaka na dada kwa kila mmoja. "Waumini wenzako"

40
1co/06/09.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,40 @@
# Hamjui kwamba
Paulo anaelezea kwamba wanapaswa tayari kuwa wanaujua ukweli huu. "Tayari umejua vile"
# Wasio haki hawatarithi
"wenye haki tu watarithi"
# kurithi ufalmewa Mungu
Mungu hatawahukumu kama wenye haki katika hukumu, na hawataingia katika uzima wa milele.
# Wafiraji
Hawa ni malaya ambao ni wanaume hulala na wanaume wengine.
# Wale wanaofanya uzinzi
Wanaume ambao hulala na wanumewengine(Walawiti)
# wenye tamaa
watu walio tayari kutumia njia mbaya kujipatia mali
# wadhalimu
"matapeli"
# mlisafishwa
Mungu amewasafisha
# mliwekwa wakfu kwa Mungu
Mungu amewatenga kwa ajili yake.
# Mmefanywa haki pamoja na Mungu
Mungu amewafanya haki pamoja na yeye

24
1co/06/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kuwa Mungu anataka wawe watakatifu kwa sababu Kristo aliwanunu kwa kifo chake.
# Kila kitu ni halali kwangu
Mungu ameniruhusu kufanya kila kitu.
# lakini si kila kitu kina faida
Lakini si kila kitu ni kizuri kwangu
# Sitatawaliwa na chochote kati hivyo
Sitaruhusu vitu hivi vinitawale
# "Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa chakula," lakini Mungu atavitowesha vyote
""Wengine husema 'chakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa chakula; ' lakini Mungu atavitowesha vyotetumbo na chakula"
# kutowesha
"kuharibu"

16
1co/06/14.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# alimfufua Bwana
sababisha Yesu kuishi tena
# Hamjuwi kwamba miili yenu ni muunganiko wa Kristo?
Kama tu mikono na miguu ni muunganiko wa miili yetu. Hivyo miili yetu ni muunganiko na mwili wa Kristo- Kanisa. "Miili yenu ni kiungo cha Kristo"
# Nitatoa muunganiko wa Kristo na kuungana kwa kahaba?
"Ninyi ni viungo vya Kristo.Sitawaunganisha kwa kahaba."
# Haiwezekani!
"Haiwezi kamwe kutokea vile!"

12
1co/06/16.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Hamjui kwamba
" nataka niwakumbushe kuwa..."
# anayeungana na kahaba amekuwa mwili mmoja naye
" mwanaume anayeunganisha mwili wake kwenye mwili wa kahaba , miili yao inakuwa mwili mmoja"
# Lakini anayeungana na Kristo amekuwa roho moja na yeye
" Bwana anapounganisha roho yake kwenye roho ya mtu, roho zao zinakuwa roho moja."

12
1co/06/18.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Kimbieni
kukimbia kimwili kwa mtu kutoka kwa hatari kunafanishwa na kiroho kwa mtu kukataa dhambi. "Toka"
# "Kila dhambi ambayo mtu hufanya ni nje ya mwili," lakini uzinzi mtu hutenda dhambi kinyume na mwili wake mwenyewe
Dhambi ya uzinzi ni mbaya kwa sababu ni dhambi dhidi ya mwili wa mtenda dhambi
# hutenda
"kufanya tendo"

20
1co/06/19.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Hamjui...
Nataka niwakumbushe...
# Mwili wako
Mwili wa kila Mkristo binafsi ni hekalu la Roho Mtakatifu
# Hekalula roho Mtakatifu
Hekalu limewekwa wakfu kwa kusudi maalum, na pia ni mahali anapoishi. Katika njia moja, kila mwili wa muumini wa wakorintho ni kama hekalu, kwa sababu Roho Mtakatifu yupo pamoja nao.
# Ninyi mlinunuliwa kwa thamani
Mungu amelipa kwa uhuru wa Wakorintho kutoka katika utumwa wa dhambi. "Mungu alilipa kwa uhuru wenu."
# Kwa hiyo
"Hivyo" au "Kwa kuwa hii ni kweli" au "kwa sababu ya ukweli huu."

20
1co/07/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anatoa maelekezo mahususi juu ya ndoa
# Sasa
paulo anatambulisha mada mpya katika mafundisho yake
# Vitu mlivyoandika kwangu
Wakorintho walikwisha andika barua kwa Paulo kuomba kupatiwa majibu kuhusu baadhi ya maswali.
# kwa mwanaume
Hapa ina maanisha mwanume mwenzi au mme
# Lakini kwa sababu ya majaribu kwa matendo mengi maovu
'Lakini kwa sababu Shetani anawajaribu watu kutenda dhambi ya uzinzi'

4
1co/07/03.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# haki ya ndoa
Waume na wake wanawajibika kwa kawaida kulala na wenzi wao.

32
1co/07/05.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,32 @@
# Msinyimane
"Msikatae kulala pamoja wenzi wenu"
# Fanyeni hivyo ili kupata muda wa maombi
Ili mpate muda maalumu wa maombi.
# Fanyeni hivyo
""Jikabidhi ninyi wenyewe"
# kurudiana tena pamoja
"Lala pamoja tena"
# Kwa sababu ya kukosa kujitawala wenyewe
tawala- "Kwa sababu baada ya siku, tamaa yako ya zinaa itakuwa ngumu zaidi kuitawala"
# Ninasema vitu hivi kwenu zaidi kama hiari nasio kama amri
Hapa inamaanisha 1) kuoana na kulala pamoja 2) kuacha kulala pamoja kwa muda
# kama mimi
Labda Paulo hakuwahi kuoa au mke wake alifariki.
# Lakini kila mmoja na karama yake kutoka kwa Mungu.Mmoja ana aina hii ya karama, na mwingine karama ile.
Mungu anawawezesha watu kufanya mambo yanayotofautiana.

16
1co/07/08.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# wasioolewa
Hawa ni wale ambao hawajaolewa.
# wajane
" wanawake walifiwa na waume wao"
# ni vizuri
Neno "Vizuri"hapa linaonyesha haki na kukubalika. "Ni haki na kukubalika"
# kuwaka tamaa
"Kuishi kwa tamaa ya kutaka kulala na mtu fulani"

12
1co/07/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# asitengane
Hakuna tofauti kati ya taraka na kutengana. kutengana ni kuacha kuishi pamoja
# apatane na
"Anapaswa kutatua mambo yake pamoja na mme wake na kurudi kwake"
# asimpe talaka
"haipaswi kuachana."

16
1co/07/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# anaridhika
"utayari" au "utoshelevu"
# Kwa mwanaume asiyeamini atakubaliwa
" Mungu amewakuli wanaume wasioamini"
# Mwanamke asiyeamini atakubaliwa
"Mungu ameshamkubali mwanamke asiyeamini"
# wamekubaliwa
"Mungu amekwisha wakubali"

12
1co/07/15.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Kesi kama hiyo,kaka au dadahafungwi katika viapo vyao.
Kwa kesi hiyo,ndoa ya aaminiye makubaliano hayaendelei"
# Unajuaje, mwanamke anaweza kumwokoa mme wake?
"hujuwi kama utamwokoa mwanaume asiyeamini."
# Unajuaje, mwanaume anaweza kumwoka mke wake
"Haujuwi kamautamwokoa mkewako asiyeamini."

16
1co/07/17.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Kila mmoja
"Kila muumini"
# Hii ni kawaida kwa kila kanisa
Paulo alikuwa anafundisha waumini katika makanisa yote kufuata katika njia hii.
# yeyote alikuwa ametahiriwa alipoitwa kuamini.
Paulo alikuwa anafikisha ujumbe utahiriaji(Wayahudi) "Kwa waliotahiriwa, Mungu alipowaita kuamini, Mlikuwa tayari mmetahiriwa."
# Yeyote alipoitwa kwa imani alikuwa hajatahiriwa.
Paulo alikuwa sasa anafikisha ujumbe kwa wale walikuwa hawajatahiriwa. "Kwa waliokuwa hawajatahiriwa ,Mungu alipowaita kuamini, mlikuwa bado kutahiriwa."

24
1co/07/20.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Maelezo ya Jumla
mli..msi.. ni maneneo kuonyesha wingi, yanahusu wakristo wote.
# katika wito
Hapa "wito"inaonyesha kwa kazi au nafasi ya jamii katika sehemu uliyokuwa unajihusisha. "ishi na fanya kazi kama ulivyofanya."
# Ulikuwa mtumwa ulipoitwa na Mungu?
"Kwa wale amabao walikuwa watumwa walipoitwa na Mungu kuamini."
# Mtu huru wa Bwana
Hii mtu huru ni mmesamehewa na Mungu and kwa hiyouhuru kutoka kwa Shetani na dhambi.
# Mmeshanunuliwa kwa thamani
"Kristo amewanunuakwa kufa kwa ajili yenu"
# Tulipoitwa kuamini
"Wakati Mungu alipotuita kuamini katika yeye"

16
1co/07/25.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Sasa kuhusu wote ambao hawajaoa kamwe, sina amri kutoka kwa Bwana
Paulo anajua si mafundisho ya Yesu yale anazungumza kuhusu hali hii."Sina amri kutoka kwa Bwanakuhusu watu ambao hawajoa kamwe."
# nawapa maoni
Ninawaambia ninachofikiri.
# Kwa hiyo
" Basi hayo ni mawazo yangu"
# usumbufu
"Mahangaiko yanayokuja"

16
1co/07/27.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Umefungwa na mwanamke katika viapo vya ndoa
Paulo anawaambia wanaume ambao wameoa
# Umefungwa kwa mwanamke na kiapo cha ndoa? Usitake
" kama umeoa usitafute"
# Una uhuru kutoka kwa mke au hujaolewa?
" Kama hujaoa usitafute kuoa"
# Usitafute mke
"Usijaribu kutafuta kuoa"

16
1co/07/29.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Muda ni mfupi
"Kuna wakati mfupi" au "Wakati umekwisha"
# Huzuni
"Kulia" au "Kutoa machozi"
# wote wanaoshughulika na ulimwengu
"Wale ambao wanashughulika kila siku na wasioamini"
# wawe kama hawakushughulika nao
Hii ni kwa sababu utawala wa Shetani wa dunia hii utakoma kitambo.

12
1co/07/32.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# huru kwa masumbufu yote
"tulia" au "kutokuwa na wasi wasi"
# anajihusisha
"shughulika"
# Amegawanyika
"Anajaribu kumpendeza Mungu na kumpendeza mke wake"

8
1co/07/35.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Mtego
"mzigo" au "Kizuizi"
# wanaweza kudumu kwa
"weza kushughulikia"

24
1co/07/39.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Wakati anapoishi
"mpaka afe."
# ambavyo apenda
"Yeyote ampendaye"
# Katika Bwana
"Kama mme mpya ni mwamini"
# Maamuziyangu
"ufahamu wangu wa Neno la Mungu"
# Furaha zaidi
"Kuridhika zaidi, Furaha zaidi"
# aishi kama alivyo
"baki bila kuolewa."

40
1co/08/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,40 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anawakumbusha waumini kuwa ingawa sanamu hazina nguvu, waumini lazima wawe makini wasiwaathiri waumini dhaifu wanaoweza kufikiri wanatumikia sanamu. Paulo anawaambia waumini wawe makini katika uhuru walinao kwa Kristo.
# Maelezo ya Jumla
"Sisi" inamaanisha Paulo pamoja na waumini wengine.
# Sasa kuhusu
Paulo anatumia maneno haya kwenda kwenye sawali lijalo alilokuwa ameulizwa na Wakoritho.
# vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu
Watu wa imani ya kipagani walitoa nafaka, samaki, ndege, au nyama, kwa miungu yao. Kuhani alitoa sehemu ya dhabihu ili kuichoma kwenye madhabahu.Paulo anazungumzia sehemu iliyo baki, ambayo ilipaswa kurudishwa kwa waabudu au kuuzwa katika soko.
# Tunajua kuwa "wote tuna maarifa"
Paulo ananukuu maneno ambayo baadhi ya Wakoritho waliyatumia. "Wote tunajua, kama vile ninyi wenyewe mnapenda kusema, kwamba 'wote tuna maarifa.' "
# Maarifa huleta majivuno
" Watu wenye ujuzi mwingi hufikiri wao ni bora zaidi kuliko hali yao halisi."
# upendo hujenga
"Upendo ndiyo msaada wa kweli kwa watu"
# mtu huyo anajulikana na yeye
"Mungu anamjua mtu huyo"
# anadhani kwamba anajua jambo fulani
" anaamini anajua kila kitu kuhusu jambo fulani"
# mtu huyo anajulikana naye
katika muundo tendaji "Mungu anamjua mtu huyo"

24
1co/08/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Maelezo ya Jumla
"Sisi" inamaanisha waumini wote
# wajua kuwa "sanamu si kitu katika dunia hii," na ya kuwa hakuna Mungu ila mmoja tu
Paulo ananukuu maneno haya ambayo baadhi ya Wakorintho waliyatumia. "Sote tunajua, kama ninyi wenyewe mnavyopenda kusema, kuwa sanamu haina nguvu au maana kwetu' na kwamba hakuna Mungu ila mmoja tu"'
# sanamu katika dunia hii si kitu
"sanamu haina nguvu katika dunia hii"
# waitwao miungu
waitwao miungu..." vitu ambavyo watu huviita miungu"
# miungu na mabwana wengi.
Paulo hana imani kuwa miungu na mabwana wengi wapo na wanaishi, lakini anatambua kuwa wapagani wao wanaamini hivyo.
# ijapokuwa kwetu kuna
" Vyovyote watakavyosema na kufikiri watu wengine , sisi tunaamini kwamba kuna... tunaishi"

12
1co/08/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Maelezo ya Jumla
Paulo anazungumza kuhusu ndugu walio "dhaifu" watu ambao hawawezi kutofautisha kati ya vyakula vilivyotolewa kwa miungu na ibada ya sanamu. Kama mkristo anakula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa miungu, ndugu walio dhaifu wanaweza kufikiri kwamba Mungu amewaruhusu kuabudu miungu kwa kula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa miungu hao. Hata kama mlaji hakuabudu miungu bali amekula chakula tu, ataharibu dhamiri ya ndugu yake.
# kila mmoja... baadhi
"watu wote...baadhi ya watu miongoni mwa wakristo"
# kupotoshwa
"kuharibiwa" au "dhuriwa"

24
1co/08/08.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# chakula hakitatuthibitisha sisi kwa Mungu
"chakula hakitupi sisi kibali kwa Mungu" au "chakula tunacho kula hakimfanyi Mungu kupendezwa nasi"
# Sisi sio wabaya sana kama tusipokula, au wema sana kama tukila
"Baadhi ya watu wanaweza kufikiria kuwa kama hatuli baadhi ya vitu, Mungu atatupenda kidogo. Lakini hawako sahihi. Wale wanao fikiri kuwa Mungu atatupenda zaidi ikiwa tunakula vitu hivyo pia hawako sahihi."
# mtu ambaye ni dhaifu
waumini wasio imara katika imani zao
# mtu amekuona, wewe uliye
Paulo anaongea kwa Wakorintho kama anaongea na mtu mmoja
# Dhamiri yake
mawazo yanayomfanya mtu ajue kati ya jambo zuri na baya.
# haitathibitika
" tiwa moyo kula "

16
1co/08/11.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# ufahamu wako
Paulo anatumia neno "wako" kuongea na Wakorintho wote
# aliye dhaifu... anaangamizwa
Kaka au dada asiyekuwa imara katika imani yake atatenda dhambi au kupoteza imani yake.
# Kwa hiyo
"kwa sababu nilichoeleza ni kweli"
# ikiwa chakula kinasababisha
" chakula" ni picha ya mtu anayekula hicho chakula " kwa kula kwangu kama nitasababisha" au " Ikiwa ninakula na kusababisha"

24
1co/09/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,24 @@
# Sentensi Unganisha
Paulo anaelezea anavyotumia uhuru wake katika Kristo
# mimi si huru?
Paulo anatumia swali kuwakumbusha Wakorintho juu ya haki alizo nazo. " mimi ni mtu niliye huru."
# Mimi si mtume?
Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya vile alivyo na haki aliyo nayo. "Mimi ni mtume."
# Mimi sikumwona Yesu Bwana wetu?
Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya vile alivyo. "Nimemuona Yesu Bwana wetu."
# Ninyi si matunda ya Kazi yangu katika Bwana?
Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya uhusiano wao kwakwe. "Imani yenu katika Kristo ni matokeo ya kazi yangu katika Bwana."
# ninyi ni uthibitisho wa utume wangu katika Bwana.
" ninyi ni kielelzo ambao naweza kutumia kuthibitisha kuwa Bwana amenichagua kuwa mtume "

16
1co/09/03.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Huu ndio utetezi wangu
Hapa inaweza kumaanisha 1) maneno yanayofuata ni maneno ya kujitetea kwa Paaulo au 2) maneno katika 9: 1 ni utetezi wa Paulo, " huu ndio utetezi... wangu ninafanya"
# Je hatuna haki ya kula na kunywa?
"Tuna haki kabisa kupokea chakula na kinywaji kutoka makanisani."
# Hatuna haki ya kuchukua mke aliye amini, kama wafanyavyo mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?
"Kama tuna wake walioamini, tuna haki ya kuwachukua pamoja nasi kama vile mitume wengine wanavyo wachukua wake zao, na ndugu katika Bwana, na kefa."
# Au ni mimi peke yangu na Barnaba ambao tunapaswa kufanya kazi?
Paulo anawatia aibu Wakorintho " Mnafikiri ya kwamba Barnaba na mimi ndiyo watu pekee tunaofanya kazi ili tupate pesa."

20
1co/09/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Ni nani afanyaye kazi kama askari kwa gharama zake mwenyewe?
" Wote tunajua kuwa askari hatumii vifaa vyake mwenyewe." au " Wote tunajua kuwa kila askari hupokea vifaa kutoka serikalini"
# Ni nani apandaye mzabibu asile matunda yake?
" Wote tunajua kuwa yule anayepanda shamba la zabibu atakula matunda yake." au " Wote tunajua kuwa hakuna anayetarajia mtu aliyepanda shamba la zabibu asile matunda yake."
# Au na nani achungaye kundi asiyekunywa maziwa yake?
" Wote tunafahamu kuwa wale wachungao kundi hupata kinywaji chao kutoka kundini."
# Je ninasema haya kwa mamlaka ya kibinadamu?
"Mnafikiri kuwa ninasema mambo haya kwa matakwa ya mamlaka ya kibinadamu."
# Sheria nayo pia haisemi haya?
"Mnatenda haya kana kwamba hamjui hivi ndivyo imeandikwa katika sheria."

20
1co/09/09.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# usimfunge
Musa alizungumza na wana wa Israeli kama anazungumza na mtu mmoja, hivyo amri hii ipo katika umoja.
# Ni kweli kwamba hapa Mungu anajali ng'ombe?
"Mnapaswa kujua bila kuambiwa kuwa siyo ng'ombe ambaye Mungu anamjali zaidi."
# Je hasemi hayo kwa ajili yetu?
" Badala yake, Mungu alikuwa anasema kuhusu sisi."
# kwa ajili yetu
Hapa "yetu" inarejea kwa Paulo na Barnabas.
# ni neno kubwa tukivuna vitu vya mwilini kutoka kwenu?
"Mlipaswa kufahamu kabla hata ya kuwaambia kuwa si jambo kubwa kwetu tukipokea msaada wa vitu kutoka kwenu."

28
1co/09/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# Ikiwa wengine walipata... kwenu, Je! Sisi si zaidi?
Neno "sisi" hapa linamwakilisha Paulo na Barnaba " Wengine walifanya...nanyi mlipaswa kufahamu hata bila kuambiwa kwamba tuna haki zaidi"
# Ikiwa wengine walipata haki hii
Wote Paulo na Wakorintho wanajua kuwa wengine walipata haki "Kwamba wengine walipata haki hii"
# Wengine
wahubiri wengine wa injili
# haki hii
haki waliyonayo waumini wa Korintho ya kuwapatia mahitaji yao wale waliohubiri habari njema kwao
# kuwa kikwazo kwa
"kuwa mzigo kwa" au "kuzuia kuenea kwa"
# Hamjui ya kuwa wote wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni?
"Nataka niwakumbushe kuwa wale wanaohudumu hekaluni wanapata chakula chao kutoka hekaluni"
# wapate kuishi kutokana na hiyo injili
Neno Injili hapa ni lugha ya picha kwa 1) watu waliwahubiria injili, " wanapokea chakula chao na vitu vingine wavyohitaji kutoka kwa watu wanaowafundisha habari njema" au 2) matokeo ya kufanya kazi ya kueneza injili, "wanapokea chakula chao na mahitaji yao mengine kwa sababu wanafanya kazi ya kueneza habari njema"

20
1co/09/15.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# haki hizi
"vitu hivi ambavyo wanastahili"
# ili jambo lolote lifanyike kwa ajili yangu
Katika muundo wa kitenzi tendaji:- "kwa hiyo mtafanya jambo kwa ajili yangu"
# kubatilisha huku kujisifu
"kuondo hii fursa ambayo najisifia"
# lazima nifanye hivi
"Lazima nihubiri injli"
# ole wangu
"itakuwa bahati mbaya"

28
1co/09/17.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# kama ninafanya hivi kwa hiari
"kama nitahubiri kwa hiari"
# kwa hiari
"kwa furaha" au "kwa sababu ninataka"
# Bado nina jukumu nililopewa kuwa wakili
katika muundo wa kitenzi tendaji:- "Lazima nifanye kazi hii ambayo Mungu alinip ili kuikamilisha"
# thawabu yangu ni nini?
" Hii ndiyo thawabu yangu."
# kwamba nihubiripo, niweze kutoa injili bila malipo
"Thawabu yangu kwa ajili ya kuhubiri ni kuwa nihubiri bila kupokea malipo"
# kutoa injili
"kuhubiri injili"
# na hivyo situmii haki yangu yote ya injili
"kwa hiyo siwaombi watu kunisaidia ninaposafiri na kuhubiri"

12
1co/09/19.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# kupata zaidi
"kuwashawishi wengine waamini" au "kuwasaidia wengine kuamini katika Kristo"
# nilikuwa kama Myahudi
"nilitenda kama Muyahudi" au "niliishi kulingana kwa tamaduni za Kiyahudi"
# nilikuwa kama mmoja wao aliye chini ya sheria
"Nilikuwa kama mmoja niliye jidhatiti kufuata matakwa ya uongozi wa Wayahudi, nikikubali uelewa wao wa maandiko ya Kiyahudi"

4
1co/09/21.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# nje ya sheria
" watu wasiotii sheria ya Musa"

28
1co/09/24.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anaeleza kuwa anatumia uhuru wake kujirudi mwenye.
# Mnajui ya kuwa katika mbio wote washindanao hupiga mbio, lakini apokeaye tuzo ni mmoja?
Paulo anawakumbusha Wakorintho kwa kitu ambacho wanakijua ili awapashe habari nyingine mpya. " niwakumbushe kuwa ingawa wakimbiaji wote hushiriki katika mbio ni mkimbiaji mmoja tu anayepokea zaidi"
# kimbia mbio
Paulo anafananisha kuishi maisha ya Kikristo na kufanya kazi kwa ajili ya Mungu kukimbia mbio na kuwa mwanamichezo. Kama ilivyo katika mbio, maisha ya Kikristo na kazi zinahitaji nidhamu kwenye sehemu ya mkimbiaji, na kama kwenye mashindano Mkristo analo lengo mahususi.
# kimbia kupata tuzo
Paulo anaongea habari za tuzo ambazo Mungu huwapa watu wake waaminifu kana kwamba ni ni wakimbiaji wanaoshindana.
# taji iharibikayo...taji isiyoharibika.
Taji ni kitita cha maua yaliyosukwa pamoja. Mataji yalitolewa kama zawadi kwa wakimbiaji walioshinda michezo na mashindano. Paulo anaongelea maisha ya milele kama taji isiyonyauka.
# mimi sikimbii bila sababu au napigana ngumi kama kupiga hewa
"najua vizuri kwa nini ninakimbia, na ninajua ninachofanya ninapopigana ngumi"
# mimi mwenyewe nisiwe wa kukataliwa
" hakimu atasema kwamba nilitii taratibu."

32
1co/10/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,32 @@
# sentensi Unganishi
Paulo anawakumbusha Wakorintho mfano wa tabia ambaya( uovu) na ibada ya sanamu wa baba zao wakongwe wa Kiyahudi
# baba zetu
Paulo anarejea kwenye wakati wa Musa katika kitabu cha Kutoka wakati Waisraeli walikimbia kupitia bahari ya chumvi wakati majeshi ya Wamisri yakiwafuatilia. Neno "yetu" linamhusu Paulo mwenyewe pamoja na Wakorintho.
# walipita katika bahari
Hii bahari inajulikana kwa majina mawili, Bahari ya chumvi na Bahari ya matete.
# walipita
"walipita kwa kutembea" au "walisafiri kupitia"
# Wote walibatizwa wawe wa Musa katika wingu
"Wote walimfuata na walijidhatiti kwa Musa"
# ndani ya wingu
kwa wingu lililowakilisha uwepo wa Mungu na liliwaongoza Waisraeli wakati wa mchana."mwamba" unawakilisha uimara haswa wa Kristo, ambaye alikuwa pamoja nao wakati wote. Wangetegemea ulinzi na faraja yake.
# walikunywa kinywaji kile kile cha roho... mwamba wa roho
" walikunywa maji yale yale ambayo Mungu aliyatoa kwenye mwamba kwa muujiza .... mwamba wa rohoni( mwujiza)
# mwamba ule ulikuwa ni Kristo
"mwamba" ulikuwa mwamba wa kawaida ulioonekana kwa macho, hata hivi mwamba huo ulikuwa ukiwakilisha nguvu za Kristo zilizofanya kazi ndani yake " alikuwa Kristo aliyefanya kazi kupitia ule mwamba"

16
1co/10/05.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# hakupendezwa sana
"kutofurahishwa" au "hasirishwa"
# wengi wao
" Mababa wa waisraeli"
# maiti zao zilisambazwa
"Mungu alitawanya maiti katika eneo lile" au "Mungu aliwaua na kutawanya maiti za miili yao"
# jangwani
eneo la jangwa kati ya Misri na Israeli wakopitia Wisraeli katika safari yao ya miaka 40

20
1co/10/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# waabudu sanamu
"watu wanaoabudu sanamu"
# walikaa chini kula na kunywa
" walikaa chini kula chakula"
# kucheza
Paulo nukuu maandiko ya kiyahudi. Hapa anataka wasomaji wake wafamu kuwa watu walikuwa wakiabudu miungu (sanamu) kwa kuimba, kucheza na kufanya zinaa. Hii haikuwa sherehe ya kawaida
# Wakafa siku moja watu ishirini na tatu elfu
"Mungu aliwaua watu 23,000 kwa siku moja"
# kwa sababu hiyo
" kwa sababu walitenda matendo mabaya ya zinaa"

12
1co/10/09.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# walivyofanya na wakaharibiwa kwa nyoka
Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji: "matokeo yake, waliangazwa na nyoka"
# msinung'unike
kulalamika
# kuharibiwa na malaika wa mauti
Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji: " matokeo yake, malaika wa mauti aliwaharibu"

32
1co/10/11.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,32 @@
# mambo haya yalitokea kwao
"Mungu aliwaadhibu babu zetu"
# mifano kwetu.
Hapa "sisi" ina rejea kwa waumini wote.
# Yaliandikwa ili yawe mafundisho kwetu
katika muundo tendaji:- " Mungu alitaka Musa ayaandike ili tujifunze kutenda kwa usahihi"
# nyakati za mwisho
" siku za mwisho"
# asije akaanguka
hafanyi dhambi au kumkana Mungu
# Hakuna jaribu lililowapata ninyi lisilo kawaida ya wanadamu
katika mtazamo chanya "majaribu ambayo yanawaathiri ninyi ni majaribu ambayo yanawapata watu wote."
# Hatawaacha mjaribiwe kupita uwezo wenu
" Mungu ataruhusu mjaribiwe katika namna ambayo mtakuwa imara kiasi cha kutosha kupata ushindi"
# Hatawaacha mjaribiwe
maelezo katika muundo tendaji "hataruhusu mtu yeyote awajaribu"

32
1co/10/14.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,32 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anaendelea kuwakumbusha Wakorintho kuwa wasafi na kujitenga ibada ya sanamu na uchafu, wanapokuwa katika ushirika ambao unawakilisha damu na mwili wa Kristo.
# ikimbieni ibada ya sanamu
Paulo anazungumzia tendo la kuabudu sanamu ni kama mnyama hatari " fanyeni kila namna ili kukaa mbali na ibada ya kuabudu sanamu"
# kikombe cha baraka
Paulo anatumia maelezo haya kufafanua kikombe kilichowekewa divai ambayo ilitumiwa katika meza ya Bwana.
# Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
" tunamshukuru Mungu kwa ajili ya kikombe"
# si ushirika wa damu ya Kristo?
Kikombe cha divai ambacho tunashiriki kinatuunganisha kushiriki katika damu ya Kristo. kwa maneno mengine "tunashiriki katika damu ya Kristo."
# Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
" tunashiriki katika mwili wa Kristo tunaposhiriki mkate"
# ushirika wa
"kushiriki katika" au " kushiriki katika hali ya usawa pamoja na wengine"
# mkate mmoja
kipande kimoja cha mkate uliookwa na kugawanywa au kukatwa katika vipande vidogo vidogo kabla ya kuliwa.

16
1co/10/18.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Wale wote walao dhabihu si washiriki katika madhabahu?
Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya. kwa maneno mengine anasema " wale wanaokula sadaka wanashiriki katika shughuli na baraka za madhabahu"
# Nasema nini basi?
Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya:- " kwa kufanya marudio ya kile nilichosema" au " Hiki ndicho ninacho maanisha"
# kuwa sanamu ni kitu?
"Tambueni ninachosema kuwa sanamu siyo kitu halisi"
# Au ya kuwa chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu?
" Mnafahamu sisemi chakula kilichotelewa sadaka kwa sanamu si kitu muhimu"

20
1co/10/20.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mapepo
Paulo anazungumzia habari ya mtu anayenywea kikombe kile kile ambacho mapepo hunywea kuonyesha kuwa mtu huyo ni rafiki wa mapepo. kwa maneno mengine " haiwezekani kuwa rafiki wa kweli kwa wote, Bwana na mapepo"
# Hamuwezi kuwa na ushirika katika meza ya Bwana na katika meza ya mapepo
" Haiwezekani kuwa na urafiki wa kweli kwa watu wa Mungu na mapepo pia"
# Au twamtia Bwana wivu?
Paulo anataka Wakorintho kujibu swali hili katika mioyo yao " Mnapaswa kujua hata kabla ya kuwaambi ya kuwa haifai kumtia wivu Bwana"
# twamtia
kukasirika au kukera
# Tuna nguvu zaidi yake?
Paulo anataka Wakorintho kujibu swali hili katika mioyo yao " Mnapaswa kujua hata kabla ya kuwaambi ya kuwa hatuna nguvu kuliko Mungu"

12
1co/10/23.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Sentensi Unganishi
Paulo anawakumbusha tena kuhusu sheria ya uhuru na kufanya kila kitu kwa faida ya wengine
# Vitu vyote ni halali,
Hapa inaweza kumaanisha 1) Paulo pengine anatoa majibu kutokan na mawazo wanayofikiria Wakorintho " wengine wanasema, 'Naweza kufanya jambo lolote'" au 2) Paulo anasema kile anachodhani ni kweli, " Mungu ameniruhusu nifanye kila kitu."
# viwajengavyo watu.
"wasaidie watu"

4
1co/10/25.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# pasipo kuuliza maswali ya dhamiri.
" Mungu anataka ule chakula kwa dhamiri njema"

28
1co/10/28.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# Lakini mtu... dhamiri ya yule mwingine
hapa inaweza kumaanisha " kuleni chochote kinawekwa mbele yenu bila kuuliza maswali yanayotokana na dhamira"
# Lakini mtu akiwaambia,....msile. Hii ni kwa ajili yake aliyewaambia...ajili ya dhamiri.
Paulo anawaambia Wakorintho "usilile",kana kwamba anaongea na mtu mmoja.Lakini Paulo anatumia umoja kuwapa maelekezo waumini wote wa Korintho.
# Maana kwanini...dhamiri? Ikiwa mimi natumia... nimeshukuru kwacho?
Maana zinazowezekana ni 1)" siulizi maswali juu ya dhamiri , je kwanini.. dhamiri? kama nashiriki ... kutoa shukrani?" au 2) Paulo ananukuu kila ambacho Wakorintho walikuwa wakifikiria " baadhi watakuwa wanafikiri , kwa nini ... dhamiri? ikiwa.. nashukuru?"
# Maana kwanini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?
msemaji anataka msikilizaji wake ajibu swali katika akili yake " kabla ya kukuambia ulipaswa kufahamu kuwa hakuna mtu anayeweza kusema nafanya jambo baya kwa kuwa anatumia mawazo yake wala si mawazo yangu, kuhukumu baya na zuri, japo mazo yake ni tofauti na ya kwangu"
# Ikiwa mimi natumia chakula kwa shukrani, kwanini nitukanwe kwa kitu ambacho nimeshukuru kwacho?
msemaji anataka msikilizaji wake ajibu swali katika akili yake " nashiriki mlo kwa shukurani, hivyo hakuna mtu anayeweza kunishutumu kwa kile ambacho nakitolea shukurani"
# natumia
Neno "mimi" linawakilisha wale ambao wanakula nyama kwa shukurani. " ikiwa mtu atashiriki" au "wakati mtu anapokula"
# shukrani
" na shukuru Mungu kwa hicho"au " na mshukuru mtu anayenipatia hicho"

16
1co/10/31.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,16 @@
# Msiwakoseshe Wayahudi au Wayunani
"Msiwachukize Wayahudi au Wayunani" au "Msiwafanye Wayahudi na Wayunani kukasirika"
# kuwapendeza watu wote
"wafanye watu wote wafurahi"
# Sitafuti faida yangu mwenyewe
"Sifanyi mambo ninayotamani mimi binafsi"
# wengi
watu wengi kadri iwezekanavyo.

28
1co/11/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,28 @@
# Sentensi Unganisha
Baada ya Paulo kuwakumbusha Wakorintho kumfuata yeye kama navyomfuata Kristo, Paulo anatoa maagizo mahususi jinsi wanawake na wanaume wanavyopaswa kuishi kama waumini
# mnavyonikumbuka
"fikiri juu ya" au " kumbuka"
# nataka
inaweza kumaanisha 1) "Kwa sababu ya hili, ninataka" au 2) "Hata hivyo, ninataka."
# ni kichwa cha
anamamlaka juu ya
# naye mwanaume ni kichwa cha mwanamke
inaweza kumaanisha 1) " wanaume wanamamlaka kwa wanawake" au 2) mume anapaswa kuwa na mamlaka kwa mke"
# akiwa amefunika kichwa
" anapofunika au kuweke kitambaa kwenye kichwa chake"
# anakiabisha kichwa chake
inaweza kumaanisha 1) " hujitia aibu mwenyewe" au 2) huleta aibu kwa Krito, ambaye ni kichwa cha mwanaume."

20
1co/11/05.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,20 @@
# mwanamke aombae...anakiaibisha kichwa chake
Hii inaweza kumaanisha 1) "wanamke anayeomba ...hujiaibisha mwenyewe" au 2) mke anayeomba...huleta aibu kwa mume wake"
# kichwa chake kikiwa wazi
bila vazi lililovaliwa juu ya kichwa ambalo lilifunika mabega na nywele
# kukata nywele zake
ni kana kwamba ameondoa nywele zake zote kwenye kichwa chake kwa wembe
# ni aibu mwanamke
Ilikuwa ni ishara ya aibu au uzalilishaji kwa mwanamke kunyoa nywele zake au kuzipunguza
# kufunika kichwa chake
Mwanamke kuvaa nguo ambayo ilivaliwa juu ya kichwa iliyofunika mabega pamoja na nywele.

12
1co/11/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# haimpasi mwanamume kufunika kichwa chake
ikielezwa katika muundo tendaji, inaweza kumaanisha 1) "ni lazima mwanaume asifunike kichwa chake" au 2) " mwanaume hahitaji kufunika kichwa chake"
# utukufu wa mwanaume
Kama vile mwanaume anavyobeba taswira ya ukuu wa Mungu, mwanamke huonyesha tabia ya mwanaume.
# Maana mwanamume hakutokana na mwanamke. Badala yake, mwanamke alitokana na mwanamume
Mungu alimuumba mwanamke kwa mfupa kutoka kwa mwanaume. kwa maneno mengine " Mungu hakumuumba mwanaume kutoka kwa mwanamke . Badala yake Mungu alimuumba mwanamke kutoka kwa mwanaume"

Some files were not shown because too many files have changed in this diff Show More