sw_tn/1co/09/03.md

739 B

Huu ndio utetezi wangu

Hapa inaweza kumaanisha 1) maneno yanayofuata ni maneno ya kujitetea kwa Paaulo au 2) maneno katika 9: 1 ni utetezi wa Paulo, " huu ndio utetezi... wangu ninafanya"

Je hatuna haki ya kula na kunywa?

"Tuna haki kabisa kupokea chakula na kinywaji kutoka makanisani."

Hatuna haki ya kuchukua mke aliye amini, kama wafanyavyo mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?

"Kama tuna wake walioamini, tuna haki ya kuwachukua pamoja nasi kama vile mitume wengine wanavyo wachukua wake zao, na ndugu katika Bwana, na kefa."

Au ni mimi peke yangu na Barnaba ambao tunapaswa kufanya kazi?

Paulo anawatia aibu Wakorintho " Mnafikiri ya kwamba Barnaba na mimi ndiyo watu pekee tunaofanya kazi ili tupate pesa."