diff --git a/1co/01/01.md b/1co/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..08706924 --- /dev/null +++ b/1co/01/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# sentesi unganishi + +Paulo na Sosthenes wanato salamu za kwa waumini wa kanisa la Korintho + +# Maelezo ya Jumla + +Maneno kama vile "ninyi" and "yanu" yanahusiana na wale ambao paulo aliwaandikia na alitumia kiwakilisha cha wingi. + +# Paulo...kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho + +Hii ilikuwa ni namna ya mwandishi wa barua kujitambulisha kwa wasomaji wake : " mimi, Paulo niliwaandikia barua hii ninyi munaomwamini Mungu mlioko Korintho" + +# Sosthene ndugu yetu + +Hii inaonesha kuwa Paulo na Wakorintho wanamfahamu vema Sosthene:" Sosthene ndugu yetu ambaye mimi na ninyi tunamfahamu" + +# wale ambao wamewekwa wakfu katika Yesu Kristo + +Neno "kuwekwa wakfu" linamaana ya watu ambao Mungu amewapa kibali cha kumtukuza yeye. " hii ni kwa wale ambao Yesu Kristo amaewatenga kwa ajili ya Mungu" au " watu ambao Mungu amaewachukua na kuwatenga kwa ajili yake mwenyewe kwa wanamwamini Yesu Kristo" + +# ambao wameitwa kuwa watu watakatifu + +Hii inaweza kuelezewa kwa kitenzi tendaji: " ambao Mungu amewaita kuwa watu watakatifu" kuna maana mbili zinazokubalika. 1) " wale ambao Mungu amewatenga kwa ajili yake mwenyewe" 2) wale ambao Mungu amewaita kujitenga na dhambi" au ambao Mungu amewaita wajitenge na matendo ya dhambi" + +# Bwana wao na wetu + +Yesu ni Bwana kwa Paul na kwa Wakorintho na ni Bwana kwa makanisa yote na watu wote + diff --git a/1co/01/04.md b/1co/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..2be74dad --- /dev/null +++ b/1co/01/04.md @@ -0,0 +1,29 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaelezea mwenendo na ushirika wa waumini katika Krito wanaposubiri kurudi kwake mara ya pili + +# kwa sababu ya neema ya Mungu ambayo Kristo Yesu aliwapa + +Paulo anazungumzia neema kana kwamba ni kitu chenye umbo ambacho Yesu amewapa wakristo kama zawadi. " hii ni kwa sababu Yesu amefanya iwezekane kwa Mungu kuwa mwema kwako" + +# Amewafanya kuwa matajiri + +Yawezekana maana ni 1)"Kristo amekufanya +wewe tajiri" au 2) "Mungu amekufanya wewe tajiri." + +# Amewafanya kuwa matajiri katika kila njia + +inatumia lugha ya makazo kumaanisha" aliwafanya matajiri wenye baraka nyingi za rohoni" + +# katika usemi + +Mungu amekupa uwezo wa kuwaambia na kuwashirikiwe wengine kuhusu ujumbe kwa namna mbalimbali. + +# pamoja maarifa yote. + +Mungu amekuwezesha kuelewa ujumbe wake kwa namna mbalimbali. + +# ushuhuda kuhusu Kristo ya kwamba amethibitishwa kuwa kweli miongoni mwenu. + +maneno haya yanaweza kumaanisha: 1) ninyi wenyewe mliona tulichokise kwenu kuhusu Kristo ilikuwa ni kweli 2) watu wengine walijifunza kwa kuona ninyi na sisi tunavyoishi katika Kristo. + diff --git a/1co/01/07.md b/1co/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..f4dd94dc --- /dev/null +++ b/1co/01/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa hiyo + +"Kama matokeo" + +# hampungukiwi karama za kiroho + +"kuwa na kila uwezo wa rohoni" + +# Ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo + +Yawezekana maana ni 1)Wakati Mungu atakapo mfunua Bwana Yesu Kristo" au 2)"Wakati Bwana wetu Yesu Kristo atakapojidhihirisha yeye mwenyewe." + +# msilaumiwe + +Kusiwepo sababu yoyote ya kulaumiwa na Mungu + +# Mungu ni mwaminifu + +Mungu atatimiza jambo lolote ambalo ameahidi kufanya. + +# mwana wake + +Ni cheo cha Yesu Kristo, yaani "Mwana wa Mungu" + diff --git a/1co/01/10.md b/1co/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..3adab2e6 --- /dev/null +++ b/1co/01/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kwamba wanapaswa kuishi katika umoja na katika ujumbe wa msalaba wa Kristo, siyo ubatizo wa watu unaoleta wokovu. + +# kaka na dada zangu + +Hii inamaana washirika wote wakristo, ikijumuisha wote wanawake na wanaume. + +# kwamba wote mkubali + +" kuishi katika hali ya upatanifu na ushirikiano" + +# kwamba kusiwe na migawanyiko miongoni mwenu + +" kusiwe na migawanyiko ya makundi makundi miongoni mwenu" + +# kwamba muungane pamoja katika nia moja na katika kusudi + +" muishi katika hali ya umoja" + +# watu wa nyumba ya Kloe + +Hii inahusu wanafamilia, wafanyakazi, na watu wengine ambao ni sehemu ya kaya ambayo Chloe ni mwanamke kiongozi. + +# kuna mgawanyiko unaoendelea miongoni mwenu + +" kuna makundi yenye migogoro na kugombana kati yenu" + diff --git a/1co/01/12.md b/1co/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..614c8614 --- /dev/null +++ b/1co/01/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kila mmoja wenu husema + +Paulo anaelezea kwa ujumla tabia ya mgawanyiko + +# Je! Kristo amegawanyika? + +Paulo ataka kuweka makazo kuhusu ukweli kwamba Kristo hajagawanyika lakini ni mmoja. "Haiwezekani kumgawanya Kristo katika namna mnayofanya." + +# Je! Paulo alisulubiwa kwa ajili yenu? + +Paulo anapenda kuweka mkazo kwamba alikuwa Kristo aliyesulubiwa wala si Paulo au Apolo. " ni ni ukweli uliowazi kuwa hawakumuua Paulo pale msalabani kwa ajili ya wokovu wenu." + +# Mlibatizwa kwa jina la Paulo? + +Paulo anaweka mkazo kwamba wote tunabatizwa katika jina la Kristo. " Na Watu hawakuwabatiza ninyi katika jina la Paulo." + diff --git a/1co/01/14.md b/1co/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..aeadc06d --- /dev/null +++ b/1co/01/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Namshukuru Mungu + +Paulo anafurahia kuwa hakuwabatiza watu wengi wa pale Korintho + +# sikumbatiza yeyote isipokuwa + +"pekee" + +# Krispo + +Alikuwa kiongozi wa sinagogi ambaye alibadilika kuwa Mkristo. + +# Gayo + +Alisafiri pamoja na Mtume Paulo + +# Hii ilikuwa hivyo kwamba hakuna hata mmoja angesema kwamba mlibatizwa katika jina langu. + +"Nilijizua katika kubatiza watu zaidi kwasababu niliogopa kwamba wange jivuna baadaye kwamba nimekwisha kuwabatiza wao." + +# Nyumba nzima ya Stephania + +Hii inahusu wanafamilia na watumwa katika nyumba(kaya) mahali Stephania, mwanaume, na kiongozi wa kaya. + diff --git a/1co/01/17.md b/1co/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..2d2497ef --- /dev/null +++ b/1co/01/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo hakunituma mimi kubatiza + +Hii inamaanisha kwamba ubatizo halikuwa lengo la msingi la Paulo katika huduma yake. + +# maneno ya hekima ya kibinadamu...msalaba wa Kristo usionekane kuwa kitu kisichokuwa na nguvu + +Paulo anazungumza kwa " maneno ya hekima ya kibinadamu" ni kama vile walikuwa watu, na msalaba ulikuwa kama chombo, ambacho Yesu aliweka nguvu yake ndani ya chombo hicho. Hii ilimaanisha kuwa " maneno yanayotokana na hekima ya kibinadamu ... yasije kuondoa nguvu ya msalaba wa Kristo" au " maneno ya hekima ya kibinadamu... yasiwafanye watu washindwe kuamini ujumbe kuhusu Yesu na kuanza kujidhania kuwa wao ni wamuhimu zaidi kuliko Yesu. + diff --git a/1co/01/18.md b/1co/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..d31a3b04 --- /dev/null +++ b/1co/01/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paul anasisitiza Hekima ya Mungu dhidi ya hekima ya kibidamu + +# ujumbe wa msalaba + +"Mahubiri kuhusu kusulubiwa"au "ujumbe kuhusu kufa kwa Kristo msalabani." + +# ni upuuzi + +"haina maana" au "ni upumbavu" + +# Kwa wale wanaokufa + +Hapa "kufa" inamaanisha hatua ya kifo cha kiroho. + +# ni nguvu ya Mungu + +" Mungu anafanya kazi katika utu wetu wa ndani" + +# Nitaiharibu hekima ya wenye busara + +" nitaharibu busara za watu" au " nitaifanya mipango ya watu wenye busara isifanikiwe kabisa" + diff --git a/1co/01/20.md b/1co/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..846ebb28 --- /dev/null +++ b/1co/01/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yuko wapi mtu mwenye busara?Yukowapi msomi? Yuko wapi mpingaji wa dunia hii? + +Paulo anafafanua kwamba watu wenye busara ya kweli hawatapatikana popote. " ukiwalinganisha na busara inayopatikana kupitia Injili , hakuna watu wenye busara, hakuna wasomi, hakuna waleta hoja!" + +# Msomi + +Ni mtu aliyefahamika kuwa na mafunzo ya hali ya juu. + +# Mpingaji + +Ni mtu anayeleta hoja ya kupinga kulingana na anachojua au ni mtu mweye ujuzi wa kufanya mabishano mbalimbali + +# Mungu hakuigeuza hekima ya dunia hii kuwa ujinga? + +Paulo anatumia swali hili kufafanua kile Mungu amefanya kinyume na hekima ya dunia hii. "Mungu ameonesha kuwa kila kitu kilichokuwa ni hekima kwa watu kilikuwa ni upumbavu kabisa" + +# wale wanaoamini + +Inaweza kumaanisha: 1)Wote wanaoamini ujumbe wa Injili" au 2)wote wanaoamini katika Kristo." + diff --git a/1co/01/22.md b/1co/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..a94d32f5 --- /dev/null +++ b/1co/01/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa Ujumla + +Hapa neno "sisi" linawakilisha Paulo na walimu wengine wa Biblia. + +# Kristo aliyesulubiwa + +"Kuhusu Kristo, ambaye alikufa msalabani." + +# Kikwazo + +Ni kama mtu anaweza kujikwaa juu yakizuizi barabarani, vile vile ujumbe wa wokovu kupitia kusulubiwa kwa Kristo ulikuwa kikwazo kwa Wayahudi wasiweze kuamini katika Yesu. "Kutopokelewa" au "Kikwazo sana" + diff --git a/1co/01/24.md b/1co/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..b09aaec0 --- /dev/null +++ b/1co/01/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwa wale ambao waliitwa na Mungu + +"Kwa watu walioitwa na Mungu" + +# Tunamhubiri Kristo + +"Tuna fundisha kuhusu Kristo" au "Tunawaambia watu wote kuhusu habari za Kristo." + +# Kristo kama nguvu na hekima ya Mungu + +Inaweza kumaanisha: 1) "Mungu alitenda kwa uweza na hekima kwa kumtuma Kristo kufa kwa ajili yetu" au 2) kupitia Kristo Mungu amethihilisha jinsi alivyo na nguvu na hekima. + +# nguvu...ya Mungu + +Maana nyingine ni kwamba Kristo ni mwenye nguvu na kupitia Kristo, Mungu anatuokoa. + +# hekima ya Mungu + +Maana nyingine ni kuwa Mungu aweka wazi hekima yake kupitia kwa Kristo + +# ujinga wa Mungu una hekima wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu. + +"kile ambacho watu huita upumbavu wa Mungu ni hekima ya kweli kuliko busara ya wanadamu, na kile watu huita udhaifu wa Mungu ni nguvu iliyo imara zaidi ya nguvu ya wanadamu" + diff --git a/1co/01/26.md b/1co/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..526a6334 --- /dev/null +++ b/1co/01/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +paulo anasisitiza nafasi ya waumini Mbele za Mungu + +# Si wengi wenu + +"Wachache tu kati yenu." + +# hekima katika viwango vya kibinadamu + +"jambo linalokubalika kwa watu wengi kuwa ni busara" + +# mlizaliwa katika ukuu + +"maalum kwa sababu familia yako ni muhimu" au '"kifalme" + +# Mungu alichagua vitu vijinga vya dunia ili kuviaibisha vyenye hekima + +Mungu alichagua kutumia watu wanyenyekevu ambao viongozi wa Kiyahudi waliamini kuwa si muhimu kuthibitisha kwamba hawa viongozihawakuwa wa muhimu zaidikuliko wengine kwa Mungu. + +# Mungu alichagua kilicho dhaifu katika dunia kukiaibisha chenye nguvu + +"Mungu aliwachagua wale ambao ulimwengu hufikiri ni dhaifu ili awaaibishe wale ambao ulimwengu hufikiri wapo imara" + diff --git a/1co/01/28.md b/1co/01/28.md new file mode 100644 index 00000000..b64df189 --- /dev/null +++ b/1co/01/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hali ya chini na kilichodharauliwa + +watu ambao dunia imewakataa."Watu ambao ni wanyenyekevu na kukataliwa." + +# Vitu ambavyo vimehesabiwa kuwa hakuna kitu + +"Vile ambavyo watu kawaida huhesabiwa havithaminiwi" + +# vitu vilivyo na thamani + +"Vitu ambavyo watu kwa kawaida huvithamini"au "Vitu ambavyo watu hudhani vina thamani au vinathaminiwa." + +# Alifanya hivi + +"Mungu alifanya hivi" + diff --git a/1co/01/30.md b/1co/01/30.md new file mode 100644 index 00000000..de1a3e19 --- /dev/null +++ b/1co/01/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa sababu kile Mungu alichofanya + +Hii inaonyesha kazi ya Kristo msalabani. + +# Sisi... yetu + +Paulo anajumlisha wale waliotumika naye, pamoja na wakorintho + +# Kristo Yesu, ambaye amefanyika hekima kwa ajili yetu kutoka kwa Mungu + +Hapa inaweza kumaanisha: 1) " Kristo Yesu aliyedhihirisha wazi kwetu jinsi Mungu alivyo wa Hekima" au 2) Kristo Yesu aliyetupatia Hekima ya Mungu" + +# Anayejisifu, ajisifu katika Bwana + +"Kama mtu anajisifu, anapaswa kujisifu kuhusu jinsi Bwana alivyo mkuu." + diff --git a/1co/02/01.md b/1co/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..b3485c68 --- /dev/null +++ b/1co/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anatofautisha kati ya hekima ya kibinadamu na hekima ya Mungu. anaeka mkazo kuwa hekima ya kiroho hutoka kwa Mungu. + +# kaka na dada zangu + +Hii inamaanisha washirika wote(wakristo), wanaume na wanawake. + +# Niliamua kutojua chochote...isipokuwa Yesu Kristo + +Paulo alilenga katika kusulubiwa kwa Kristo badala ya mawazo ya kibinandamu: " niliamua kuzungumza zaidi... kuhusu Kristo Yesu + diff --git a/1co/02/03.md b/1co/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..77a56f15 --- /dev/null +++ b/1co/02/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nilikuwa pamoja nanyi + +"Nili kuwa nina watembelea + +# Katika udhaifu + +Inawezekana maana ni 1) "udhaifu wa kimwili" au 2) "Kujisikia kupungukiwa." + +# maneno ya ushawishi + +Ni maneno yanayoonekana kuwa ya busara, na msemaji anategemea watu wafanye anachosema au waamini. + diff --git a/1co/02/06.md b/1co/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..4dc07933 --- /dev/null +++ b/1co/02/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Paulo anaanza kufafanuao hoja yake, kwamba anaposema hekima anamaana gani kwa wasomaji wake. + +# Sasa tunaizungumza + +Neno "sasa" limetumiwa hapa kama alama ya kuonesha fundisho kuu. Paulo anaelezea kuwa hekima ya kweli ni ile hekima ya Mungu. + +# watu wazima + +"Waumini walikomaa kiimani" + +# kabla ya nyakati + +" Kabla Mungu hajaumba chochote" + +# za utukufu wetu + +" ili kudhibitisha ujio wa kutukuzwa kwetu" + diff --git a/1co/02/08.md b/1co/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..ec24fcf2 --- /dev/null +++ b/1co/02/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bwana wa utukufu + +"Yesu, Bwana wa utukufu." + +# Mambo ambayo hakuna macho...hayakufikiri, mambo ambayo ...wampendao Mungu + +Inataja sehemu tatu za mwili wa mtu kumaanisha kwamba hakuna mtu aliyekwisha kuwa na ufahamu wa kina kwa vitu ambavyo Mungu ameandaa. + +# Mambo mbayo hakuna jicho limeyaona, hakuna sikio lililoyasikia, mawazo hayakufikiri + +Inataja sehemu tatu za mwili wa mtu kumaanisha kwamba hakuna mtu aliyekwisha kuwa na ufahamu wa kina kwa vitu ambavyo Mungu ameandaa. + +# Vitu vile Mungu amekwisha andaa kwa wale wanampenda yeye. + +Bwana amekwisha umba mbinguni vitu vya ajabu kwa wote wanaompenda yeye. + diff --git a/1co/02/10.md b/1co/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..306ccbe4 --- /dev/null +++ b/1co/02/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hivi ni vitu + +Paulo anazunguza kuhusu uhalisia wa Yesu na msalaba. mambo ambayo hakuyaeleza kwa kina 2:8 anayafafanua sasa. + +# Nani ajuaye mawazo ya mtu isipokuwa ni roho ya mtu katika yeye? + +Paulo alitumia swali kufafanua kwamba hakuna yeyote ajuaye ni nini mtu anawaza isipokuwa mtu mwenyewe. "Hakuna yeyoteajuaye ni nini mtu anawaza isipokuwa roho ya mtu." + +# Roho ya mtu + +Hii inaonyesha ndani ya mtu,asili ya kiroho yeye + +# Hakuna yeyote ajuaye vitu vya ndani ya Mungu isipokuwaRoho wa Mungu + +"Roho wa Mungutu ajuaye vitu vya ndani ya Mungu" + diff --git a/1co/02/12.md b/1co/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..81e738f1 --- /dev/null +++ b/1co/02/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa "sisi" inajumlisha Paulo na wasikilizaji wake. + +# tuliyopewa na Mungu + +"Kwamba Mungu alitupatia bure " au "kwamba Mungu ametupa kabisa bila malipo" + +# Roho hutafasiri maneno ya kiroho kwa hekima ya kiroho + +Roho Mtakatifu huwasiliana kweli wa Mungu kwa waumini katika maneno ya rohoyenyewew na hutupa yenyewe hekima yake yenyewe. + +# hutafasiri + +"fafanua" + diff --git a/1co/02/14.md b/1co/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..ef912225 --- /dev/null +++ b/1co/02/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +hapa neno "sisi" linajumuisha Paulo pamoja hadhira (watu anaowaandikia) + +# Mtu si wa kiroho + +Mtu asiye mkristo,ambaye bado hajapokea Roho Mtakatifu. + +# yanatambuliwa kiroho. + +"Kwa sababu kufahamu mambo haya kuanatokana na msaada wa Roho" + +# Kwa yule wa kiroho + +"Muumini, aliyepokea Roho" + +# Ni nani anaweza kuyajua mawazo ya Bwana, ambaye anaweza kumfundisha yeye? + +Paulo alitumia hili swali kufafanua kwamba hakuna yeyote ajuaye mawazo ya Bwana. "Hakuna yeyote anaweza kujua mawazo ya Bwana.Hivyo hakuna yeyote anaweza kumfundisha Bwana kitu chochote ambacho hakukifahamu kabla." + diff --git a/1co/03/01.md b/1co/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..0d7d6bf5 --- /dev/null +++ b/1co/03/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo sasa anawakumbusha waumini wa Korintho juu maisha yao halisi badala ya kuishi kwa kujiheshimu kuzingatia nafasi yao mbele za Mungu. pia anawakumbusha kuwa mtu anayewapa mafundishi hawezi kuwa na unuhimu kama Mungu ambaye anawawezesha kukua. + +# kaka na dada zangu + +hii inamaanisha washirika wote(wakristo) wanaume na wanawake + +# Watu wa kiroho + +Watu wanaoishi kwa kumtii Roho + +# Watu wa mwilini + +Watu ambao hufuata matakwa yao wenyewe + +# Kama watoto wachanga katika Kristo + +Wakorintho wanalinganishwa na watoto wachanga katika umri na katika ufahamu. "Kama waumini wachanga katika Kristo" + +# Niliwanywesha maziwa na siyo nyama + +Wakorintho wanaweza kuelewa mafundisho rahisi kama watoto wachanga ambao wanaweza kunywa maziwa tu. Hawajawa watu wazima kuelewa mafundisho ya kina kama watoto wakubwa ambao sasa wanaweza kula chakula kigumu. + +# Hamko tayari + +"Hamko tayari kuelewa mafundisho magumu kuhusu kumfuata Kristo." + diff --git a/1co/03/03.md b/1co/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..6c791c0d --- /dev/null +++ b/1co/03/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bado wa mwilini + +bado wanatabia ya dhambi au wanamatamanio ya kidunia + +# hamuishi kulingana na mwili, na je, hamtembei kama kawaida ya kibinadamu? + +Paulo alikuwa anawaonya wakorintho kwa tabia zao za dhambi. "Mnapaswa kuona aibu kwa sababu munaishi kwa kufuata tamaa zenu mbaya na munaishi kwa kufuata desturi za kibinadamu. + +# Hamuishi kwa kawaida ya kibinadamu? + +Paulo alikuwa anawaonya wakorintho kwa tabia zao za dhambi. "Mnapaswa kuona aibu kwa sababu munaishi kwa namna ileile wanayoishi watu wasio na Roho. + +# Apolo ni nani? Na Paulo ni nani? + +Paulo alikuwa anafafanua kwamba yeye na Apolo hawakuwa chanzo cha injili na ndipo hawastahiri kufuatwa. "Ni mbaya kuunda makundi kufuata Apolo au Paulo!" + +# Paulo ni nani? + +Paulo anaongelea habari zake mwenyewe kana kwamba anazungumzia habari za mtu mwingine. ni kama vile anauliza: "mimi ni nani?" au anasema "mimi siyo wa muhimu!" + +# Watumishi wa yule mliyemwamini + +Paulo ajibu swali lake kwa kusema kwamba yeye na Apolo ni watumishi wa Mungu. "Paulo na Apolo ni watumishi wa Kristo, na mmeamini katika Kristo kwa sababu tunamtumikia yeye". + +# mliyemwamini, kwa kila ambaye Bwana alimpa jukumu. + +" Sisi ni watu tu wa Bwanamuliyemwamini ambaye ametupatia majukumu." + diff --git a/1co/03/06.md b/1co/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..e87cc5a5 --- /dev/null +++ b/1co/03/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nilipanda + +Ufahamu wa neno la Mungu unalinganishwa na mbegu ambayo lazima iwe imepandwa ili istawi + +# akatia maji + +Kama vile mbegu huhitaji maji,imani inahitaji mafundisho zaidi ili iweze kukua. + +# Kukua + +Kama mmea hukua na kuendelea,pia imani na ufahamu katika Mungu hukua nakuwa na kuwa na kina na uimara. + +# Kwa hiyo, si aliye panda ... anachochote. Lakini ni Mungu anayekuza. + +Paulo anaeleza kwamba si yeye wala Apolo aliye nawajibu kwa ajili yakukua kiroho kwa wakristo, lakini ni utendajiwa Mungu. + +# anayekuza. + +Paulo anaelezea kwa kielelezo cha ukuaji wa miti kuhusu ukuaji wa imani ya Wakoritho. : Anawezasha miti kukua" au " Mungu huwawezesha wakristo kumfahamu na kumjua Yeye kwa undani" + diff --git a/1co/03/08.md b/1co/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..c772f8d8 --- /dev/null +++ b/1co/03/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Anayepandana anayemwagilia ni sawa + +Upandaji na umwagiliaji maji inahesabika ni kazi moja,ambayo Paulo analinganisha yeye mwenyewe na Apolo katika kuwahudumia kanisa la Wakorintho. + +# Ujira + +Kiasi cha fedha ambacho mfanyakazi analipwa, kinalinganishwa kwa kiasi gani alichofanya kazi. + +# Sisi + +Hii inaonyesha kwa Paulo na Apololakini si kanisa la Korintho + +# Wafanyakazi ya Mungu + +Paulo anajitambulisha yeye na Apolo kuwa ni watendakazi pamoja. + +# bustani ya Mungu + +Mungu anawajali waumini wa Korintho, Kama vile mtu ahudumiaye bustani yake ili kuzalisha matunda. + +# Jengo la Mungu + +Mungu amewafanyia usanifuna kuwaumba waumini wa Korintho,kama vile mtu anayejenga jengo. + diff --git a/1co/03/10.md b/1co/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..480757b3 --- /dev/null +++ b/1co/03/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kulingana na neemaya Mungu ambayo nimepewa + +"Kulingana na uwezo ambao Mungu kweli amenipa kufanya." + +# Niliweka msingi + +Paulo alianzisha mafundisho yake ya imani na wokovu katika Yesu Kristo, hii ilikuwa kama kuweka msingi wa jengo. + +# Mwingine anajenga juu yake + +Paulo anamzungumzia mtu au watu wanaowafundisha Wakorintho kuwa kama maseremala wanaofanya ujenzi juu ya msingi aliokwisha kuujenga. + +# Kila mtu + +Hii inaonyesha kwa wafanyakazi wa Mungu kwa ujumla. "Kila mtu anayemtumikia Mungu." + +# Hakuna mwingineanaweza kuanzisha msingi mwingine zaidi ya ule ambao umekwisha anzishwa. + +hii inaweza kumaanisha " Tayari nimekwisha anzisha msingi ambao yeyote anaweza kujenga" au " hakuna awezaye kujenga Msingi zaidi ya ule niliojenga mimi, Paulo" + diff --git a/1co/03/12.md b/1co/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..ae285127 --- /dev/null +++ b/1co/03/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Paulo anazungumzia shughuli ambazo wajenzi hufanya wanapojenga jengo akifananisha na kile wanachofanya walimu wa Korintho. Wjenzi mara nyingi hutumia dhahabu, fedha, au mawe ya thamani kama mapambo ya majengo. + +# Sasa kamayeyote anajengajuu ya msingi kwa dhahabu,fedha, mawe ya thamani, miti,manyasi, au majani + +Vitu vya ujenzi yamelinganishwa na thamani ya kiroho yatumikayo kwa kujenga tabia ya mtu na shughuli wakati wa maisha yake. "Hata mtu anajenga kwa thamani, vitu vya kudumu au vya chini,vitu vya kung'aa." + +# Mawe ya thamani + +"Mawe ya gharama kubwa" + +# Kaziyake itafunuliwa + +" Mungu ataweka wazi kila kazi aliyoifanya mjenzi." + +# kwa mwanga wa mchana utaidhihirisha + +Neno "mwanga" ni sitiari kumaanisha wakati Mungu atakapomuhukumu kila mtu. Mungu atakapo weka wazi mafundisho ya walimu hawa, itakuwa kama nuru ya jua juu ya giza la usiku. + +# Kwa kuwa itadhihirishwa na moto. Moto utajaribu ubora wa kazi wa kila mmoja alichofanya. + +Kama moto utadhihirisha uimara au kuharibu udhaifu wa jengo,Moto wa Mungu utahukumu juhudi ya mtu na shughuli. "moto utaonyesha thamani ya kazi yake." + diff --git a/1co/03/14.md b/1co/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..88b0854b --- /dev/null +++ b/1co/03/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Maneno "mtu" , "chochote mtu" "yeye" na " yeye mwenyewe" yanahusiana na washirika( waumini) + +# kitabaki + +"Salia" au "kubakia" + +# Kama kazi ya mtu itateketea + +"Kama moto utaharibu kazi ya mtu yeyote" au "Kama moto utahapoteza kazi ya mtu yeyote." + +# Yeyote...yeye...mwenyewe + +Haya maneno yanaonyesha "mtu""mtu" au "yeye" + +# Atapata hasara.Lakini yeye mwenyewe ataokolewa + +"Atapoteza kazi ile na tuzo yoyote anaweza kupata kama kazi ile itastahimili katika moto, lakini Mungu atamwokoa." + diff --git a/1co/03/16.md b/1co/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..a5b1803c --- /dev/null +++ b/1co/03/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hamjuwi kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? + +Paulo anawakalipia Wakorintho: "Mnafanya kana kwamba hamjui kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na Roho wa Mungu anakaa ndani yenu!" + +# Haribu + +"haribu" au "hasara" + +# Mungu atamharibu mtu yule,Kwan hekalu la Mungu ni takatifu, na ni ninyi. + +"Mungu atamharibu mtu yule kwasababu hekalu la Mungu ni takatifu na ninyi ni watakatifu piaa." + diff --git a/1co/03/18.md b/1co/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..042a1876 --- /dev/null +++ b/1co/03/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mtu asijisifu mwenyewe + +Mtu yeyote hanapaswa kuamini kwa kujidanyanya mwenyewe kwamba ni mwenye hekima katika ulimwengu huu. + +# Nyakati hizi + +hii inahusu namna ambavyo watu wasioamini hufanya maamuzi + +# awe kama "mjinga" + +"Yule mtu anapaswa kukubali kile ulimwengu hufikiri ni ujinga kwa ajili ya kupata hekima ya kweli ya Mungu" + +# Huwanasa wenye hekima kwa hila zao + +Mungu huwatega watu ambao wanafikiri kuwa wana akili na anatumia mipango yao kuwatega wao + +# Bwana anajua mawazo ya wenye busara ni ubatili + +"Bwana anajua kwamba mipango ya watu ambao hufikiri wana busara ni" au "Bwana anaelewa mipango yote ya wenyebusara na anajua yote ilivyo." + +# ubatili + +"hayatumiki" "hakuna thamani"au "Hakuna pointi" + diff --git a/1co/03/21.md b/1co/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..ba06ae01 --- /dev/null +++ b/1co/03/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ninyi ni wa Kristo na Kristo ni wa Mungu + +" Ninyi ni mali ya Kristo na Kristo ni mali ya Mungu" + diff --git a/1co/04/01.md b/1co/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..24851ceb --- /dev/null +++ b/1co/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sentensi unganishi + +baada ya kuwakumbusha watu kuwa wasiwe na majivuno juu ya nani aliwafundisha habari za Bwana na kuwabatiza, pia anawakumbusha washirika(waumini) wa Korintho kuwa wanapaswa kuwa wanyenyekevu. + +# Katika hili + +"Kwa sababu sisi ni mawakili" + +# kinachotakiwa kwa uwakili ni kwamba wawe + +" tunatakiwa kuwa" + diff --git a/1co/04/03.md b/1co/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..25d4f6da --- /dev/null +++ b/1co/04/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kitu dogo sana kuwa ninahukumiwa na ninyi + +Paulo analinganisha kati ya hukumu ya kibinadamu na hukumu ya Mungu. Hukumu ya binadamu ni ya kubahatisha kulinganisha na hukumu ya kweli ya Mungu juu ya binadamu + +# Sijihukumu mimi mwenyewe + +"Sijasikia lawama yoyote juu yangu kwamba nilifanya maovu" + +# hii haina maana kuwa mimi ni mwenye haki. Ni Bwana anihukumuye + +"kule kutosikia lawama siyo uthibitisho kuwa mimi sina hatia. Bwana anajua kama mimi sina hatia au nina hatia. + diff --git a/1co/04/05.md b/1co/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..6a54a158 --- /dev/null +++ b/1co/04/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa hiyo,msitamke hukumu + +Kwa kuwa Mungu atahukumu atakaporudi, tusihukumu. + +# atayaleta nuruni mambo yaliyofichika gizani na kufunua makusudi ya mioyo + +Mungu ataweka wazi mawazo na dhamira za watu. Hakuna kitakachofichika mbele za Bwana. + +# ya mioyo + +"ya mioyo ya watu" + diff --git a/1co/04/06.md b/1co/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..0a80b630 --- /dev/null +++ b/1co/04/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kaka na dada zangu + +Hii inamaanisha washirika/ wakristo (waumini)wote wanaume na wanawake + +# kwa ajili yenu + +"kwa ajili ya ustawi wenu, au mafaa yenu" + +# tofauti kati yenu...Ni nini ulicho nacho hukukipokea... kupokea bure, kwa nini mnajivuna kama hamkufanya hivyo + +Paulo anawaongelea Wakorintho kana kwamba anazumgumza na mtu mmoja, ndiyo maana katika matukio yote anatumia kiwakilishi cha "wewe". + +# ni nani aonaye tofauti kati yenu na mwingine? + +Paulo aliwaonya Wakorintho ambao wanafikiri wao ni bora kwa kuwa wameamini injili kwa Paulo au kwa Apolo. "Hamko bora zaidi ya watu wengine." + +# Ni nini ulicho nacho hukukipokea bure? + +Paulo alieleza kwamba Mungu aliwapa kile walicho nacho kwa bure. "Kila kitu mlichonacho, Mungu amewapa bure, bila malipo yoyote!" + +# Kwa nini mnajivuna kama hamkufanya hivyo? + +Paulo alikuwa anawaonya kwa kujivuna kwa kile walichopokea. "Hamna haki ya kujivuna" au "Msijivune kabisa." + diff --git a/1co/04/08.md b/1co/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..f734ad5c --- /dev/null +++ b/1co/04/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Paulo anatumia msemo wa kejeli ili kuwafanya Wakorintho waone aibu na kutambua kuwa walikuwa wakitenda dhambi walipojisifu wenyewe pamoja na kuwasifia walimu wao. + +# Mungu ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha + +Paulo anaeleza njia mbili jinsi Mungu amekwisha weka mitume kwa kuonyesha wazi kwa ulimwengu uone + +# ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha + +Mungu ameonyesha wazi mitume kama tu wafungwa wakti wa mwisho wa gwaride la jeshi la Kirumi,ambao tunaabishwa mbele ya kutekeleza kwao. + +# kama watu waliohukumiwa kuuawa + +Mungu ameweka mitume kuonyesha wazi kama watu waliotayari kutekelezwa. + +# kwa ulimwengu, kwa malaika na kwa wanadamu + +Neno "ulimwengu" ni jumla ya viumbe vya kiroho (malaika) na viumbe vya asili (wanadamu). kwa hiyo anataja vitu vitatu: kwa ulimwengu, kwa malaika, na kwa wanadamu + diff --git a/1co/04/10.md b/1co/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..ffc4601c --- /dev/null +++ b/1co/04/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sisi tu wajinga kwaajili ya Kristo, lakini mna busara katika Kristo. + +Paulo anatumia kinyume kutofautisha mtazamo wa dunia na mtazamo wa Kikristo wa kuamini katika Kristo. + +# Sisi ni wadhaifu, lakini ninyi mna nguvu + +Paulo anatumia kinyume kutofautisha mtazamo wa kidunia na mtazamo wa kikristo wa kuamini katika Kristo. + +# Mmeheshimiwa + +"Watu wanawahesabu Wakorintho katika nafasi ya heshima." + +# Tunasika katika hali ya kutoheshiwa + +"Watu wanatuhesabu sisi mitume katika nafasi ya kutoheshiwa." + +# Hata kwa saa hii iliyopo + +"Mpaka sasa" au "Kufikia sasa" + +# Tumepigwa vibaya + +"Adhibiwa kwa mapigo makaliya mwili" + diff --git a/1co/04/12.md b/1co/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..7d8f2398 --- /dev/null +++ b/1co/04/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tunapodharauliwa, tunabariki + +"Wakati watu wanapotudharau, sisi tunawabariki." + +# Dharau + +"Beza"inawezekana "onea" au "laani" + +# Tunapoteswa + +"Wakati watu wanapotutesa" + +# Tunapokashifiwa + +"Wakati watu wanatukashifu" + +# Tumekwisha kuwa,na tunasubiriwa kuwa, kukataliwa na dunia + +"Tumekuwa, na watu bado wanatusubiri kuwa, takataka za dunia." + diff --git a/1co/04/14.md b/1co/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..a0fa0ac1 --- /dev/null +++ b/1co/04/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Siandiki vitu hivi kuwaaibisha ninyi, lakini kuwarudi ninyi + +Sifanyi kuwaaibisha, lakini kuwathibitisha" au Sijaribu kuwaaibisha, lakini nataka kuwarudi." + +# Sahihisha + +"thibitisha"au "fanya bora" + +# Waalimu makumi elfu + +Huu ni ukuzaji wa idadi ya watu wanao waongoza,Kuelezea umuhimu wa wa baba mmoja wa kiroho. + +# watoto...baba + +Kwa sababu Paulo amewaongoza kwa Kristo,yeye ni kama baba kwa Wakorintho + +# sihi + +"Kuwatia moyo kwa nguvu" au "Kuthibitisha kwa nguvu" + diff --git a/1co/04/17.md b/1co/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..e66eb99c --- /dev/null +++ b/1co/04/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sasa + +Hili neno linaonyesha kwamba Paulo anabadilisha mada yake kwa kuwarudi wenye tabia ya majivuno walio waumini wa Korintho. + diff --git a/1co/04/19.md b/1co/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..a9388bc4 --- /dev/null +++ b/1co/04/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitakuja kwenu + +"Nitawatembelea" + +# haitegemeikatika kusema + +"haitendwi kwa maneno" au "Si nini usemacho" + +# Nini unachotaka? + +Paulo alikuwa anawasihi kwa mwisho Wakorintho, kamaamekwisha warudi kwa makosa waliyokwishafanya. "Niambieni nini mnataka kitokee sasa." + +# Nije kwenu na fimbo au na upendo na roho ya upole. + +Paulo anatoa tabia mbili tofauti kwa Wakorintho, atakazotumia atakapofika kwao. "Mnataka nije kuwafundisha ninyi kwa lazima, au mnataka nionyeshe upendo na kwa upole?" + +# upole + +"wema au "uzuri" + diff --git a/1co/05/01.md b/1co/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..a88f5266 --- /dev/null +++ b/1co/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaelezea kwa ufasaha kwamba amesikia kuna dhambi miongoni mwa waumini wa Wakorintho, na namna Wakorintho walivyojisifu na kukaa pamoja na mtu aliyetenda ile dhambi. + +# Ile hairuhusiwi hata miongoni mwa mataifa + +Katika muundo tendaji " hata watu wa wasioamini hawawezi kuruhusu" + +# Mke wa baba + +mke wa baba yake, lakini yawezekana si mama yake wa kumza + +# Hampaswi kuhuzunika badala? + +Hili ni swali lenye jibu limetumika kuwakemea Wakorintho. "Mnapaswa kuhuzunika kwa hili jambo!" + +# Yeye aliyefanya hivi lazima awe ameondolewa miongoni mwenu + +Katika hali ya muundo tendaji:- "Ni lazima aondolewe miongoni mwenu aliyefanya jambo hili ." + diff --git a/1co/05/03.md b/1co/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..92aaf611 --- /dev/null +++ b/1co/05/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ...nipo nanyi kiroho + +"... kila wakati nafikiri juu yenu." + +# nimekwisha mhukumu yeye aliyefanya hivi + +"Nimekwisha ona huyu mtu ana hatia" + +# Mnapokutanika pamoja + +"kutana" + +# katika jina la Bwana Yesu + +lugha ya kuelezea tendo la kukusanyika pamoja kumwabudu Yesu Kristo + +# Nimekwisha + +" tayari nimemhukumu mtu huyo" + +# kumkabidhi mtu huyu kwa Shetani + +Hii inaonyesha kumfukuza mtu kutoka kwa watu wa Mungu,ili aishi katika utawala wa Shetani, ulimwengu nje ya Kanisa. + +# ili kwamba mwili wake uharibiwe + +ili kwamba mwili wa mtu huyo upate maradhi kwa kurudiwa na Mungu kwa dhambi yake + diff --git a/1co/05/06.md b/1co/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..7eb7d8ff --- /dev/null +++ b/1co/05/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Majivuno yenu si kitu kizuri + +"Majivuno yenu ni mabaya" + +# Hamjui chachu kidogo huharibu donge zima? + +Kama hamira kidogo husambaa kwa mkate mzima, hivyo dhambi ndogo inaweza kuathiri ushirika wote wa waumini. + +# Kristo, Mwana Kondoo wetu wa pasaka amekwisha kuchinjwa + +"Bwana Mungu amemtoa KristoYesu, mwanakondoo wetu wa Pasaka" + diff --git a/1co/05/09.md b/1co/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..dd277ac8 --- /dev/null +++ b/1co/05/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wazinzi + +Hii inahusu watu wanaokiri kuamini katika Kristo lakini wana tabia mbaya. + +# Wazinzi wa dunia hii + +Watu waliochagua kuishi katika maisha uzinzi,ambao si waumini + +# wenye tamaa + +"Wale walio na tamaa" au "Wale waliotayari kupoteza heshima ili kupata kitu wanchotamani" + +# Wanyang'anyi + +Hii ina maana watu ambao"wanadanganya au tapeli mali za watu wengine" + +# basi ingewapasa mtoke duniani. + +" ingeliwabidi kukaa mbali na watu wote" + diff --git a/1co/05/11.md b/1co/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..cd541bf8 --- /dev/null +++ b/1co/05/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawaambia namna ya kukaa na waumini waliopo kanisani ambao hawataki kukosolewa juu ya matendo yao ya zinaa na dhambi zilizo wazi kwa wengine. + +# yeyote aliyeitwa + +" yeyote anayejiita mwenyewe" + +# Kaka au Dada + +Hii inamaanisha mshirika katika ukristo ama wanamke au mwanaume + +# Kwa hiyo nitajihusishaje kuwahukumu walio nje ya Kanisa? + +Paulo anasisitiza kwamba yeye siyo hakimu wa watu walio nje ya kanisa. kwa maneno mengine "Sipaswi kutoa hukumu kwa watu ambao si wa kanisani" + +# ninyi hamkuwahukumu walio ndani ya kanisa? + +"Mnapaswa kuwahukumu wale wako ndani ya kanisa." + diff --git a/1co/06/01.md b/1co/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..89718b1c --- /dev/null +++ b/1co/06/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaelezea jinsi waumini wanavyoweza kusuruhisha migogoro miongoni mwao + +# Tatizo + +"Kutokubaliana" au "Mabishano" + +# je anathubutu kwenda kwa mahakama ya dunia mbele ya hakimu asiyeamini, kuliko mbele ya waumini? + +Paulo asema kwamba Wakristo lazima wamalize matatizo miongoni mwao wenyewe. " Asithubutu kwenda.... waumini" au " anapaswa kuwa na hofu ya Mungu na asiende...waumini!" + +# mahakama ya wasio haki + +Ni sehemu ambapo hakimu wa serikali huamua kesi na kuamua nani aliye na haki. + +# Hamjuwi kwamba waumini watauhukumu ulimwengu? + +Paulo anawafanya Wakoritho wapate aibu kwa kutenda kana kwamba hawajui + +# Kama mtauhukumu ulimwengu, hamuwezikuweka sawa mambo yasiyo ya muhimu? + +Paulo anasema baadaye watapewa wajibu mkubwa, hivyo kwa sasa lazima kushughulikia haya maswala madogo. "Mtauhukumu ulimwengu wakati ujao, hivyo mnaweza kusuruhisha tatizo hili kwa sasa." + +# Je mnajui kwamba tutawahukumu malaika? + +Paulo anashangaa maana wanaonekana hawajui "Mnajua kwamba tutawahukumu malaika." + +# Kwa kiasi gani zaidi, tunaweza kuamua mambo ya maisha haya? + +"Kwa sababu tunajua kuwa tutawahukumu malaika, na katika maisha haya tunauhakika kuwa Mungu anauwezo wa kuhukuma mambo mbali mbali." + diff --git a/1co/06/04.md b/1co/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..80e47cf8 --- /dev/null +++ b/1co/06/04.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Kama tunaweza kuhukumu mambo ya maisha haya, kwa nini mnathubutu kupeleka mashitaka mbele ya wasiosimama kanisani? + +Inaweza kumaanisha 1) hili ni swali lisilohitaji jibu au 2) hii ni sentensi " Mliwahi kusuruhisha migogoro inayohusu maswala ya muhimu maishani, hamkuruhusu matatizo ya Wakristo yasuruhishwe na wasioamini" au 3) Hii ni amri "mnaposuruhisha juu ya maswala muhimu ya maisha, pia suruhisheni migogoro ambayo ipo kanisani " "Kama umeitwa kufanya maamuzi kuhusu maisha ya kila siku." au "Kama una ulazima wa kuweka sawa mambo ambayo ni muhimu katika maisha haya." + +# Kama tunaweza kuhukumu mambo ya maisha haya + +" kama mmeitwa kufanya maamuzi kwa maisha ya kila siku" au " kama mtasuruhisha maswala ya muhimu katika maisha haya" + +# kwa nini mnathubutu kupeleka mashitaka + +" msipeleke mashitaka hayo" + +# mbele ya wasiosimama kanisani? + +Maana zinazokubalika 1) " acheni kupeleka mashitaka hayo kwa watu walio nje ya kanisa" au 2) " mngeweza kupeleka mashitaka hayo hata kwa waumini wasioamika kwa waumini wenzao" + +# kwa aibu yenu + +" kwa kukosa heshima" au "kwa kuonyesha kuwa mmeshindwa katika swala hili" + +# Hakuna mwenye busara miongoni mwenu wa kutosha kuweka mambo sawa kati ya ndugu na ndugu? + +" mnapaswa kuona aibu kwamba hamuwezi kupata muumini wenye hekima kumaliza mibishano miongoni mwa waumini" + +# ndugu + +hapa inamaanisha waumini wote + +# mashitaka + +" mabishano" au " kushindwa kukubaliana" + +# Lakini kama ilivyo + +" namna ilivyo sasa" au " lakini badala " + +# mwamini mmoja huenda mahakamani dhidi ya muumini mwingine, na mashitaka hayo huwekwa mbele ya hakimu asiyeamini! + +" waumini wenye mgogoro wanaomba usuruhishi kwa mahakimu wasioamini kufanya maamuzi juu yao" + +# mashitaka hayo huwekwa + +" muumini anapeleka mashitaka" + diff --git a/1co/06/07.md b/1co/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..29359293 --- /dev/null +++ b/1co/06/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# usumbufu + +"shindwa" au "poteza" + +# Kwanini msumbuke kwa mabaya? Kwaninimruhusu ninyi wenyewe kudanganywa? + +"Ni bora kuacha wengine kuwafanyia mabaya na kuwadanganya kuliko kuwapeleka mahakamani," + +# kaka na dada zenu wenyewe + +Waumini wote katika Kristo ni kaka na dada kwa kila mmoja. "Waumini wenzako" + diff --git a/1co/06/09.md b/1co/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..072938cd --- /dev/null +++ b/1co/06/09.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Hamjui kwamba + +Paulo anaelezea kwamba wanapaswa tayari kuwa wanaujua ukweli huu. "Tayari umejua vile" + +# Wasio haki hawatarithi + +"wenye haki tu watarithi" + +# kurithi ufalmewa Mungu + +Mungu hatawahukumu kama wenye haki katika hukumu, na hawataingia katika uzima wa milele. + +# Wafiraji + +Hawa ni malaya ambao ni wanaume hulala na wanaume wengine. + +# Wale wanaofanya uzinzi + +Wanaume ambao hulala na wanumewengine(Walawiti) + +# wenye tamaa + +watu walio tayari kutumia njia mbaya kujipatia mali + +# wadhalimu + +"matapeli" + +# mlisafishwa + +Mungu amewasafisha + +# mliwekwa wakfu kwa Mungu + +Mungu amewatenga kwa ajili yake. + +# Mmefanywa haki pamoja na Mungu + +Mungu amewafanya haki pamoja na yeye + diff --git a/1co/06/12.md b/1co/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..7177df01 --- /dev/null +++ b/1co/06/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kuwa Mungu anataka wawe watakatifu kwa sababu Kristo aliwanunu kwa kifo chake. + +# Kila kitu ni halali kwangu + +Mungu ameniruhusu kufanya kila kitu. + +# lakini si kila kitu kina faida + +Lakini si kila kitu ni kizuri kwangu + +# Sitatawaliwa na chochote kati hivyo + +Sitaruhusu vitu hivi vinitawale + +# "Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa chakula," lakini Mungu atavitowesha vyote + +""Wengine husema 'chakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa chakula; ' lakini Mungu atavitowesha vyotetumbo na chakula" + +# kutowesha + +"kuharibu" + diff --git a/1co/06/14.md b/1co/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..e872d7ed --- /dev/null +++ b/1co/06/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alimfufua Bwana + +sababisha Yesu kuishi tena + +# Hamjuwi kwamba miili yenu ni muunganiko wa Kristo? + +Kama tu mikono na miguu ni muunganiko wa miili yetu. Hivyo miili yetu ni muunganiko na mwili wa Kristo- Kanisa. "Miili yenu ni kiungo cha Kristo" + +# Nitatoa muunganiko wa Kristo na kuungana kwa kahaba? + +"Ninyi ni viungo vya Kristo.Sitawaunganisha kwa kahaba." + +# Haiwezekani! + +"Haiwezi kamwe kutokea vile!" + diff --git a/1co/06/16.md b/1co/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..7086a959 --- /dev/null +++ b/1co/06/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hamjui kwamba + +" nataka niwakumbushe kuwa..." + +# anayeungana na kahaba amekuwa mwili mmoja naye + +" mwanaume anayeunganisha mwili wake kwenye mwili wa kahaba , miili yao inakuwa mwili mmoja" + +# Lakini anayeungana na Kristo amekuwa roho moja na yeye + +" Bwana anapounganisha roho yake kwenye roho ya mtu, roho zao zinakuwa roho moja." + diff --git a/1co/06/18.md b/1co/06/18.md new file mode 100644 index 00000000..fc1979ce --- /dev/null +++ b/1co/06/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kimbieni + +kukimbia kimwili kwa mtu kutoka kwa hatari kunafanishwa na kiroho kwa mtu kukataa dhambi. "Toka" + +# "Kila dhambi ambayo mtu hufanya ni nje ya mwili," lakini uzinzi mtu hutenda dhambi kinyume na mwili wake mwenyewe + +Dhambi ya uzinzi ni mbaya kwa sababu ni dhambi dhidi ya mwili wa mtenda dhambi + +# hutenda + +"kufanya tendo" + diff --git a/1co/06/19.md b/1co/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..dbde8874 --- /dev/null +++ b/1co/06/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hamjui... + +Nataka niwakumbushe... + +# Mwili wako + +Mwili wa kila Mkristo binafsi ni hekalu la Roho Mtakatifu + +# Hekalula roho Mtakatifu + +Hekalu limewekwa wakfu kwa kusudi maalum, na pia ni mahali anapoishi. Katika njia moja, kila mwili wa muumini wa wakorintho ni kama hekalu, kwa sababu Roho Mtakatifu yupo pamoja nao. + +# Ninyi mlinunuliwa kwa thamani + +Mungu amelipa kwa uhuru wa Wakorintho kutoka katika utumwa wa dhambi. "Mungu alilipa kwa uhuru wenu." + +# Kwa hiyo + +"Hivyo" au "Kwa kuwa hii ni kweli" au "kwa sababu ya ukweli huu." + diff --git a/1co/07/01.md b/1co/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..7c59827a --- /dev/null +++ b/1co/07/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anatoa maelekezo mahususi juu ya ndoa + +# Sasa + +paulo anatambulisha mada mpya katika mafundisho yake + +# Vitu mlivyoandika kwangu + +Wakorintho walikwisha andika barua kwa Paulo kuomba kupatiwa majibu kuhusu baadhi ya maswali. + +# kwa mwanaume + +Hapa ina maanisha mwanume mwenzi au mme + +# Lakini kwa sababu ya majaribu kwa matendo mengi maovu + +'Lakini kwa sababu Shetani anawajaribu watu kutenda dhambi ya uzinzi' + diff --git a/1co/07/03.md b/1co/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..1c869bc4 --- /dev/null +++ b/1co/07/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# haki ya ndoa + +Waume na wake wanawajibika kwa kawaida kulala na wenzi wao. + diff --git a/1co/07/05.md b/1co/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..03638aab --- /dev/null +++ b/1co/07/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Msinyimane + +"Msikatae kulala pamoja wenzi wenu" + +# Fanyeni hivyo ili kupata muda wa maombi + +Ili mpate muda maalumu wa maombi. + +# Fanyeni hivyo + +""Jikabidhi ninyi wenyewe" + +# kurudiana tena pamoja + +"Lala pamoja tena" + +# Kwa sababu ya kukosa kujitawala wenyewe + +tawala- "Kwa sababu baada ya siku, tamaa yako ya zinaa itakuwa ngumu zaidi kuitawala" + +# Ninasema vitu hivi kwenu zaidi kama hiari nasio kama amri + +Hapa inamaanisha 1) kuoana na kulala pamoja 2) kuacha kulala pamoja kwa muda + +# kama mimi + +Labda Paulo hakuwahi kuoa au mke wake alifariki. + +# Lakini kila mmoja na karama yake kutoka kwa Mungu.Mmoja ana aina hii ya karama, na mwingine karama ile. + +Mungu anawawezesha watu kufanya mambo yanayotofautiana. + diff --git a/1co/07/08.md b/1co/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..2fb20e66 --- /dev/null +++ b/1co/07/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wasioolewa + +Hawa ni wale ambao hawajaolewa. + +# wajane + +" wanawake walifiwa na waume wao" + +# ni vizuri + +Neno "Vizuri"hapa linaonyesha haki na kukubalika. "Ni haki na kukubalika" + +# kuwaka tamaa + +"Kuishi kwa tamaa ya kutaka kulala na mtu fulani" + diff --git a/1co/07/10.md b/1co/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..196abc8d --- /dev/null +++ b/1co/07/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# asitengane + +Hakuna tofauti kati ya taraka na kutengana. kutengana ni kuacha kuishi pamoja + +# apatane na + +"Anapaswa kutatua mambo yake pamoja na mme wake na kurudi kwake" + +# asimpe talaka + +"haipaswi kuachana." + diff --git a/1co/07/12.md b/1co/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..b9d52cbc --- /dev/null +++ b/1co/07/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# anaridhika + +"utayari" au "utoshelevu" + +# Kwa mwanaume asiyeamini atakubaliwa + +" Mungu amewakuli wanaume wasioamini" + +# Mwanamke asiyeamini atakubaliwa + +"Mungu ameshamkubali mwanamke asiyeamini" + +# wamekubaliwa + +"Mungu amekwisha wakubali" + diff --git a/1co/07/15.md b/1co/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..245ccd12 --- /dev/null +++ b/1co/07/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kesi kama hiyo,kaka au dadahafungwi katika viapo vyao. + +Kwa kesi hiyo,ndoa ya aaminiye makubaliano hayaendelei" + +# Unajuaje, mwanamke anaweza kumwokoa mme wake? + +"hujuwi kama utamwokoa mwanaume asiyeamini." + +# Unajuaje, mwanaume anaweza kumwoka mke wake + +"Haujuwi kamautamwokoa mkewako asiyeamini." + diff --git a/1co/07/17.md b/1co/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..c4663cfe --- /dev/null +++ b/1co/07/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kila mmoja + +"Kila muumini" + +# Hii ni kawaida kwa kila kanisa + +Paulo alikuwa anafundisha waumini katika makanisa yote kufuata katika njia hii. + +# yeyote alikuwa ametahiriwa alipoitwa kuamini. + +Paulo alikuwa anafikisha ujumbe utahiriaji(Wayahudi) "Kwa waliotahiriwa, Mungu alipowaita kuamini, Mlikuwa tayari mmetahiriwa." + +# Yeyote alipoitwa kwa imani alikuwa hajatahiriwa. + +Paulo alikuwa sasa anafikisha ujumbe kwa wale walikuwa hawajatahiriwa. "Kwa waliokuwa hawajatahiriwa ,Mungu alipowaita kuamini, mlikuwa bado kutahiriwa." + diff --git a/1co/07/20.md b/1co/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..157e7ad1 --- /dev/null +++ b/1co/07/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +mli..msi.. ni maneneo kuonyesha wingi, yanahusu wakristo wote. + +# katika wito + +Hapa "wito"inaonyesha kwa kazi au nafasi ya jamii katika sehemu uliyokuwa unajihusisha. "ishi na fanya kazi kama ulivyofanya." + +# Ulikuwa mtumwa ulipoitwa na Mungu? + +"Kwa wale amabao walikuwa watumwa walipoitwa na Mungu kuamini." + +# Mtu huru wa Bwana + +Hii mtu huru ni mmesamehewa na Mungu and kwa hiyouhuru kutoka kwa Shetani na dhambi. + +# Mmeshanunuliwa kwa thamani + +"Kristo amewanunuakwa kufa kwa ajili yenu" + +# Tulipoitwa kuamini + +"Wakati Mungu alipotuita kuamini katika yeye" + diff --git a/1co/07/25.md b/1co/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..7737026b --- /dev/null +++ b/1co/07/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa kuhusu wote ambao hawajaoa kamwe, sina amri kutoka kwa Bwana + +Paulo anajua si mafundisho ya Yesu yale anazungumza kuhusu hali hii."Sina amri kutoka kwa Bwanakuhusu watu ambao hawajoa kamwe." + +# nawapa maoni + +Ninawaambia ninachofikiri. + +# Kwa hiyo + +" Basi hayo ni mawazo yangu" + +# usumbufu + +"Mahangaiko yanayokuja" + diff --git a/1co/07/27.md b/1co/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..1530b85b --- /dev/null +++ b/1co/07/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Umefungwa na mwanamke katika viapo vya ndoa + +Paulo anawaambia wanaume ambao wameoa + +# Umefungwa kwa mwanamke na kiapo cha ndoa? Usitake + +" kama umeoa usitafute" + +# Una uhuru kutoka kwa mke au hujaolewa? + +" Kama hujaoa usitafute kuoa" + +# Usitafute mke + +"Usijaribu kutafuta kuoa" + diff --git a/1co/07/29.md b/1co/07/29.md new file mode 100644 index 00000000..a700864a --- /dev/null +++ b/1co/07/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Muda ni mfupi + +"Kuna wakati mfupi" au "Wakati umekwisha" + +# Huzuni + +"Kulia" au "Kutoa machozi" + +# wote wanaoshughulika na ulimwengu + +"Wale ambao wanashughulika kila siku na wasioamini" + +# wawe kama hawakushughulika nao + +Hii ni kwa sababu utawala wa Shetani wa dunia hii utakoma kitambo. + diff --git a/1co/07/32.md b/1co/07/32.md new file mode 100644 index 00000000..dc6a20b3 --- /dev/null +++ b/1co/07/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huru kwa masumbufu yote + +"tulia" au "kutokuwa na wasi wasi" + +# anajihusisha + +"shughulika" + +# Amegawanyika + +"Anajaribu kumpendeza Mungu na kumpendeza mke wake" + diff --git a/1co/07/35.md b/1co/07/35.md new file mode 100644 index 00000000..ea45aa26 --- /dev/null +++ b/1co/07/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtego + +"mzigo" au "Kizuizi" + +# wanaweza kudumu kwa + +"weza kushughulikia" + diff --git a/1co/07/39.md b/1co/07/39.md new file mode 100644 index 00000000..5a7a6f18 --- /dev/null +++ b/1co/07/39.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wakati anapoishi + +"mpaka afe." + +# ambavyo apenda + +"Yeyote ampendaye" + +# Katika Bwana + +"Kama mme mpya ni mwamini" + +# Maamuziyangu + +"ufahamu wangu wa Neno la Mungu" + +# Furaha zaidi + +"Kuridhika zaidi, Furaha zaidi" + +# aishi kama alivyo + +"baki bila kuolewa." + diff --git a/1co/08/01.md b/1co/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..5365093a --- /dev/null +++ b/1co/08/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawakumbusha waumini kuwa ingawa sanamu hazina nguvu, waumini lazima wawe makini wasiwaathiri waumini dhaifu wanaoweza kufikiri wanatumikia sanamu. Paulo anawaambia waumini wawe makini katika uhuru walinao kwa Kristo. + +# Maelezo ya Jumla + +"Sisi" inamaanisha Paulo pamoja na waumini wengine. + +# Sasa kuhusu + +Paulo anatumia maneno haya kwenda kwenye sawali lijalo alilokuwa ameulizwa na Wakoritho. + +# vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu + +Watu wa imani ya kipagani walitoa nafaka, samaki, ndege, au nyama, kwa miungu yao. Kuhani alitoa sehemu ya dhabihu ili kuichoma kwenye madhabahu.Paulo anazungumzia sehemu iliyo baki, ambayo ilipaswa kurudishwa kwa waabudu au kuuzwa katika soko. + +# Tunajua kuwa "wote tuna maarifa" + +Paulo ananukuu maneno ambayo baadhi ya Wakoritho waliyatumia. "Wote tunajua, kama vile ninyi wenyewe mnapenda kusema, kwamba 'wote tuna maarifa.' " + +# Maarifa huleta majivuno + +" Watu wenye ujuzi mwingi hufikiri wao ni bora zaidi kuliko hali yao halisi." + +# upendo hujenga + +"Upendo ndiyo msaada wa kweli kwa watu" + +# mtu huyo anajulikana na yeye + +"Mungu anamjua mtu huyo" + +# anadhani kwamba anajua jambo fulani + +" anaamini anajua kila kitu kuhusu jambo fulani" + +# mtu huyo anajulikana naye + +katika muundo tendaji "Mungu anamjua mtu huyo" + diff --git a/1co/08/04.md b/1co/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..daed069d --- /dev/null +++ b/1co/08/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +"Sisi" inamaanisha waumini wote + +# wajua kuwa "sanamu si kitu katika dunia hii," na ya kuwa hakuna Mungu ila mmoja tu + +Paulo ananukuu maneno haya ambayo baadhi ya Wakorintho waliyatumia. "Sote tunajua, kama ninyi wenyewe mnavyopenda kusema, kuwa sanamu haina nguvu au maana kwetu' na kwamba hakuna Mungu ila mmoja tu"' + +# sanamu katika dunia hii si kitu + +"sanamu haina nguvu katika dunia hii" + +# waitwao miungu + +waitwao miungu..." vitu ambavyo watu huviita miungu" + +# miungu na mabwana wengi. + +Paulo hana imani kuwa miungu na mabwana wengi wapo na wanaishi, lakini anatambua kuwa wapagani wao wanaamini hivyo. + +# ijapokuwa kwetu kuna + +" Vyovyote watakavyosema na kufikiri watu wengine , sisi tunaamini kwamba kuna... tunaishi" + diff --git a/1co/08/07.md b/1co/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..f535846e --- /dev/null +++ b/1co/08/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Paulo anazungumza kuhusu ndugu walio "dhaifu" watu ambao hawawezi kutofautisha kati ya vyakula vilivyotolewa kwa miungu na ibada ya sanamu. Kama mkristo anakula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa miungu, ndugu walio dhaifu wanaweza kufikiri kwamba Mungu amewaruhusu kuabudu miungu kwa kula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa miungu hao. Hata kama mlaji hakuabudu miungu bali amekula chakula tu, ataharibu dhamiri ya ndugu yake. + +# kila mmoja... baadhi + +"watu wote...baadhi ya watu miongoni mwa wakristo" + +# kupotoshwa + +"kuharibiwa" au "dhuriwa" + diff --git a/1co/08/08.md b/1co/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..d7481b56 --- /dev/null +++ b/1co/08/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# chakula hakitatuthibitisha sisi kwa Mungu + +"chakula hakitupi sisi kibali kwa Mungu" au "chakula tunacho kula hakimfanyi Mungu kupendezwa nasi" + +# Sisi sio wabaya sana kama tusipokula, au wema sana kama tukila + +"Baadhi ya watu wanaweza kufikiria kuwa kama hatuli baadhi ya vitu, Mungu atatupenda kidogo. Lakini hawako sahihi. Wale wanao fikiri kuwa Mungu atatupenda zaidi ikiwa tunakula vitu hivyo pia hawako sahihi." + +# mtu ambaye ni dhaifu + +waumini wasio imara katika imani zao + +# mtu amekuona, wewe uliye + +Paulo anaongea kwa Wakorintho kama anaongea na mtu mmoja + +# Dhamiri yake + +mawazo yanayomfanya mtu ajue kati ya jambo zuri na baya. + +# haitathibitika + +" tiwa moyo kula " + diff --git a/1co/08/11.md b/1co/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..a822f9f6 --- /dev/null +++ b/1co/08/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ufahamu wako + +Paulo anatumia neno "wako" kuongea na Wakorintho wote + +# aliye dhaifu... anaangamizwa + +Kaka au dada asiyekuwa imara katika imani yake atatenda dhambi au kupoteza imani yake. + +# Kwa hiyo + +"kwa sababu nilichoeleza ni kweli" + +# ikiwa chakula kinasababisha + +" chakula" ni picha ya mtu anayekula hicho chakula " kwa kula kwangu kama nitasababisha" au " Ikiwa ninakula na kusababisha" + diff --git a/1co/09/01.md b/1co/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..b375c029 --- /dev/null +++ b/1co/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganisha + +Paulo anaelezea anavyotumia uhuru wake katika Kristo + +# mimi si huru? + +Paulo anatumia swali kuwakumbusha Wakorintho juu ya haki alizo nazo. " mimi ni mtu niliye huru." + +# Mimi si mtume? + +Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya vile alivyo na haki aliyo nayo. "Mimi ni mtume." + +# Mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? + +Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya vile alivyo. "Nimemuona Yesu Bwana wetu." + +# Ninyi si matunda ya Kazi yangu katika Bwana? + +Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya uhusiano wao kwakwe. "Imani yenu katika Kristo ni matokeo ya kazi yangu katika Bwana." + +# ninyi ni uthibitisho wa utume wangu katika Bwana. + +" ninyi ni kielelzo ambao naweza kutumia kuthibitisha kuwa Bwana amenichagua kuwa mtume " + diff --git a/1co/09/03.md b/1co/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..6cebb7de --- /dev/null +++ b/1co/09/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Huu ndio utetezi wangu + +Hapa inaweza kumaanisha 1) maneno yanayofuata ni maneno ya kujitetea kwa Paaulo au 2) maneno katika 9: 1 ni utetezi wa Paulo, " huu ndio utetezi... wangu ninafanya" + +# Je hatuna haki ya kula na kunywa? + +"Tuna haki kabisa kupokea chakula na kinywaji kutoka makanisani." + +# Hatuna haki ya kuchukua mke aliye amini, kama wafanyavyo mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa? + +"Kama tuna wake walioamini, tuna haki ya kuwachukua pamoja nasi kama vile mitume wengine wanavyo wachukua wake zao, na ndugu katika Bwana, na kefa." + +# Au ni mimi peke yangu na Barnaba ambao tunapaswa kufanya kazi? + +Paulo anawatia aibu Wakorintho " Mnafikiri ya kwamba Barnaba na mimi ndiyo watu pekee tunaofanya kazi ili tupate pesa." + diff --git a/1co/09/07.md b/1co/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..f315bb37 --- /dev/null +++ b/1co/09/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ni nani afanyaye kazi kama askari kwa gharama zake mwenyewe? + +" Wote tunajua kuwa askari hatumii vifaa vyake mwenyewe." au " Wote tunajua kuwa kila askari hupokea vifaa kutoka serikalini" + +# Ni nani apandaye mzabibu asile matunda yake? + +" Wote tunajua kuwa yule anayepanda shamba la zabibu atakula matunda yake." au " Wote tunajua kuwa hakuna anayetarajia mtu aliyepanda shamba la zabibu asile matunda yake." + +# Au na nani achungaye kundi asiyekunywa maziwa yake? + +" Wote tunafahamu kuwa wale wachungao kundi hupata kinywaji chao kutoka kundini." + +# Je ninasema haya kwa mamlaka ya kibinadamu? + +"Mnafikiri kuwa ninasema mambo haya kwa matakwa ya mamlaka ya kibinadamu." + +# Sheria nayo pia haisemi haya? + +"Mnatenda haya kana kwamba hamjui hivi ndivyo imeandikwa katika sheria." + diff --git a/1co/09/09.md b/1co/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..8a28e353 --- /dev/null +++ b/1co/09/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# usimfunge + +Musa alizungumza na wana wa Israeli kama anazungumza na mtu mmoja, hivyo amri hii ipo katika umoja. + +# Ni kweli kwamba hapa Mungu anajali ng'ombe? + +"Mnapaswa kujua bila kuambiwa kuwa siyo ng'ombe ambaye Mungu anamjali zaidi." + +# Je hasemi hayo kwa ajili yetu? + +" Badala yake, Mungu alikuwa anasema kuhusu sisi." + +# kwa ajili yetu + +Hapa "yetu" inarejea kwa Paulo na Barnabas. + +# ni neno kubwa tukivuna vitu vya mwilini kutoka kwenu? + +"Mlipaswa kufahamu kabla hata ya kuwaambia kuwa si jambo kubwa kwetu tukipokea msaada wa vitu kutoka kwenu." + diff --git a/1co/09/12.md b/1co/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..3ab0e6b9 --- /dev/null +++ b/1co/09/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ikiwa wengine walipata... kwenu, Je! Sisi si zaidi? + +Neno "sisi" hapa linamwakilisha Paulo na Barnaba " Wengine walifanya...nanyi mlipaswa kufahamu hata bila kuambiwa kwamba tuna haki zaidi" + +# Ikiwa wengine walipata haki hii + +Wote Paulo na Wakorintho wanajua kuwa wengine walipata haki "Kwamba wengine walipata haki hii" + +# Wengine + +wahubiri wengine wa injili + +# haki hii + +haki waliyonayo waumini wa Korintho ya kuwapatia mahitaji yao wale waliohubiri habari njema kwao + +# kuwa kikwazo kwa + +"kuwa mzigo kwa" au "kuzuia kuenea kwa" + +# Hamjui ya kuwa wote wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni? + +"Nataka niwakumbushe kuwa wale wanaohudumu hekaluni wanapata chakula chao kutoka hekaluni" + +# wapate kuishi kutokana na hiyo injili + +Neno Injili hapa ni lugha ya picha kwa 1) watu waliwahubiria injili, " wanapokea chakula chao na vitu vingine wavyohitaji kutoka kwa watu wanaowafundisha habari njema" au 2) matokeo ya kufanya kazi ya kueneza injili, "wanapokea chakula chao na mahitaji yao mengine kwa sababu wanafanya kazi ya kueneza habari njema" + diff --git a/1co/09/15.md b/1co/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..e68452f7 --- /dev/null +++ b/1co/09/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# haki hizi + +"vitu hivi ambavyo wanastahili" + +# ili jambo lolote lifanyike kwa ajili yangu + +Katika muundo wa kitenzi tendaji:- "kwa hiyo mtafanya jambo kwa ajili yangu" + +# kubatilisha huku kujisifu + +"kuondo hii fursa ambayo najisifia" + +# lazima nifanye hivi + +"Lazima nihubiri injli" + +# ole wangu + +"itakuwa bahati mbaya" + diff --git a/1co/09/17.md b/1co/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..c5e5a1da --- /dev/null +++ b/1co/09/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kama ninafanya hivi kwa hiari + +"kama nitahubiri kwa hiari" + +# kwa hiari + +"kwa furaha" au "kwa sababu ninataka" + +# Bado nina jukumu nililopewa kuwa wakili + +katika muundo wa kitenzi tendaji:- "Lazima nifanye kazi hii ambayo Mungu alinip ili kuikamilisha" + +# thawabu yangu ni nini? + +" Hii ndiyo thawabu yangu." + +# kwamba nihubiripo, niweze kutoa injili bila malipo + +"Thawabu yangu kwa ajili ya kuhubiri ni kuwa nihubiri bila kupokea malipo" + +# kutoa injili + +"kuhubiri injili" + +# na hivyo situmii haki yangu yote ya injili + +"kwa hiyo siwaombi watu kunisaidia ninaposafiri na kuhubiri" + diff --git a/1co/09/19.md b/1co/09/19.md new file mode 100644 index 00000000..34b4751a --- /dev/null +++ b/1co/09/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kupata zaidi + +"kuwashawishi wengine waamini" au "kuwasaidia wengine kuamini katika Kristo" + +# nilikuwa kama Myahudi + +"nilitenda kama Muyahudi" au "niliishi kulingana kwa tamaduni za Kiyahudi" + +# nilikuwa kama mmoja wao aliye chini ya sheria + +"Nilikuwa kama mmoja niliye jidhatiti kufuata matakwa ya uongozi wa Wayahudi, nikikubali uelewa wao wa maandiko ya Kiyahudi" + diff --git a/1co/09/21.md b/1co/09/21.md new file mode 100644 index 00000000..3e8b8244 --- /dev/null +++ b/1co/09/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nje ya sheria + +" watu wasiotii sheria ya Musa" + diff --git a/1co/09/24.md b/1co/09/24.md new file mode 100644 index 00000000..e08843e4 --- /dev/null +++ b/1co/09/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaeleza kuwa anatumia uhuru wake kujirudi mwenye. + +# Mnajui ya kuwa katika mbio wote washindanao hupiga mbio, lakini apokeaye tuzo ni mmoja? + +Paulo anawakumbusha Wakorintho kwa kitu ambacho wanakijua ili awapashe habari nyingine mpya. " niwakumbushe kuwa ingawa wakimbiaji wote hushiriki katika mbio ni mkimbiaji mmoja tu anayepokea zaidi" + +# kimbia mbio + +Paulo anafananisha kuishi maisha ya Kikristo na kufanya kazi kwa ajili ya Mungu kukimbia mbio na kuwa mwanamichezo. Kama ilivyo katika mbio, maisha ya Kikristo na kazi zinahitaji nidhamu kwenye sehemu ya mkimbiaji, na kama kwenye mashindano Mkristo analo lengo mahususi. + +# kimbia kupata tuzo + +Paulo anaongea habari za tuzo ambazo Mungu huwapa watu wake waaminifu kana kwamba ni ni wakimbiaji wanaoshindana. + +# taji iharibikayo...taji isiyoharibika. + +Taji ni kitita cha maua yaliyosukwa pamoja. Mataji yalitolewa kama zawadi kwa wakimbiaji walioshinda michezo na mashindano. Paulo anaongelea maisha ya milele kama taji isiyonyauka. + +# mimi sikimbii bila sababu au napigana ngumi kama kupiga hewa + +"najua vizuri kwa nini ninakimbia, na ninajua ninachofanya ninapopigana ngumi" + +# mimi mwenyewe nisiwe wa kukataliwa + +" hakimu atasema kwamba nilitii taratibu." + diff --git a/1co/10/01.md b/1co/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..b119c761 --- /dev/null +++ b/1co/10/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sentensi Unganishi + +Paulo anawakumbusha Wakorintho mfano wa tabia ambaya( uovu) na ibada ya sanamu wa baba zao wakongwe wa Kiyahudi + +# baba zetu + +Paulo anarejea kwenye wakati wa Musa katika kitabu cha Kutoka wakati Waisraeli walikimbia kupitia bahari ya chumvi wakati majeshi ya Wamisri yakiwafuatilia. Neno "yetu" linamhusu Paulo mwenyewe pamoja na Wakorintho. + +# walipita katika bahari + +Hii bahari inajulikana kwa majina mawili, Bahari ya chumvi na Bahari ya matete. + +# walipita + +"walipita kwa kutembea" au "walisafiri kupitia" + +# Wote walibatizwa wawe wa Musa katika wingu + +"Wote walimfuata na walijidhatiti kwa Musa" + +# ndani ya wingu + +kwa wingu lililowakilisha uwepo wa Mungu na liliwaongoza Waisraeli wakati wa mchana."mwamba" unawakilisha uimara haswa wa Kristo, ambaye alikuwa pamoja nao wakati wote. Wangetegemea ulinzi na faraja yake. + +# walikunywa kinywaji kile kile cha roho... mwamba wa roho + +" walikunywa maji yale yale ambayo Mungu aliyatoa kwenye mwamba kwa muujiza .... mwamba wa rohoni( mwujiza) + +# mwamba ule ulikuwa ni Kristo + +"mwamba" ulikuwa mwamba wa kawaida ulioonekana kwa macho, hata hivi mwamba huo ulikuwa ukiwakilisha nguvu za Kristo zilizofanya kazi ndani yake " alikuwa Kristo aliyefanya kazi kupitia ule mwamba" + diff --git a/1co/10/05.md b/1co/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..b35c2527 --- /dev/null +++ b/1co/10/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hakupendezwa sana + +"kutofurahishwa" au "hasirishwa" + +# wengi wao + +" Mababa wa waisraeli" + +# maiti zao zilisambazwa + +"Mungu alitawanya maiti katika eneo lile" au "Mungu aliwaua na kutawanya maiti za miili yao" + +# jangwani + +eneo la jangwa kati ya Misri na Israeli wakopitia Wisraeli katika safari yao ya miaka 40 + diff --git a/1co/10/07.md b/1co/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..0f1332b4 --- /dev/null +++ b/1co/10/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# waabudu sanamu + +"watu wanaoabudu sanamu" + +# walikaa chini kula na kunywa + +" walikaa chini kula chakula" + +# kucheza + +Paulo nukuu maandiko ya kiyahudi. Hapa anataka wasomaji wake wafamu kuwa watu walikuwa wakiabudu miungu (sanamu) kwa kuimba, kucheza na kufanya zinaa. Hii haikuwa sherehe ya kawaida + +# Wakafa siku moja watu ishirini na tatu elfu + +"Mungu aliwaua watu 23,000 kwa siku moja" + +# kwa sababu hiyo + +" kwa sababu walitenda matendo mabaya ya zinaa" + diff --git a/1co/10/09.md b/1co/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..86122207 --- /dev/null +++ b/1co/10/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# walivyofanya na wakaharibiwa kwa nyoka + +Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji: "matokeo yake, waliangazwa na nyoka" + +# msinung'unike + +kulalamika + +# kuharibiwa na malaika wa mauti + +Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji: " matokeo yake, malaika wa mauti aliwaharibu" + diff --git a/1co/10/11.md b/1co/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..af318f31 --- /dev/null +++ b/1co/10/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mambo haya yalitokea kwao + +"Mungu aliwaadhibu babu zetu" + +# mifano kwetu. + +Hapa "sisi" ina rejea kwa waumini wote. + +# Yaliandikwa ili yawe mafundisho kwetu + +katika muundo tendaji:- " Mungu alitaka Musa ayaandike ili tujifunze kutenda kwa usahihi" + +# nyakati za mwisho + +" siku za mwisho" + +# asije akaanguka + +hafanyi dhambi au kumkana Mungu + +# Hakuna jaribu lililowapata ninyi lisilo kawaida ya wanadamu + +katika mtazamo chanya "majaribu ambayo yanawaathiri ninyi ni majaribu ambayo yanawapata watu wote." + +# Hatawaacha mjaribiwe kupita uwezo wenu + +" Mungu ataruhusu mjaribiwe katika namna ambayo mtakuwa imara kiasi cha kutosha kupata ushindi" + +# Hatawaacha mjaribiwe + +maelezo katika muundo tendaji "hataruhusu mtu yeyote awajaribu" + diff --git a/1co/10/14.md b/1co/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..8922ccef --- /dev/null +++ b/1co/10/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaendelea kuwakumbusha Wakorintho kuwa wasafi na kujitenga ibada ya sanamu na uchafu, wanapokuwa katika ushirika ambao unawakilisha damu na mwili wa Kristo. + +# ikimbieni ibada ya sanamu + +Paulo anazungumzia tendo la kuabudu sanamu ni kama mnyama hatari " fanyeni kila namna ili kukaa mbali na ibada ya kuabudu sanamu" + +# kikombe cha baraka + +Paulo anatumia maelezo haya kufafanua kikombe kilichowekewa divai ambayo ilitumiwa katika meza ya Bwana. + +# Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo? + +" tunamshukuru Mungu kwa ajili ya kikombe" + +# si ushirika wa damu ya Kristo? + +Kikombe cha divai ambacho tunashiriki kinatuunganisha kushiriki katika damu ya Kristo. kwa maneno mengine "tunashiriki katika damu ya Kristo." + +# Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo? + +" tunashiriki katika mwili wa Kristo tunaposhiriki mkate" + +# ushirika wa + +"kushiriki katika" au " kushiriki katika hali ya usawa pamoja na wengine" + +# mkate mmoja + +kipande kimoja cha mkate uliookwa na kugawanywa au kukatwa katika vipande vidogo vidogo kabla ya kuliwa. + diff --git a/1co/10/18.md b/1co/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..7b4e5888 --- /dev/null +++ b/1co/10/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wale wote walao dhabihu si washiriki katika madhabahu? + +Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya. kwa maneno mengine anasema " wale wanaokula sadaka wanashiriki katika shughuli na baraka za madhabahu" + +# Nasema nini basi? + +Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya:- " kwa kufanya marudio ya kile nilichosema" au " Hiki ndicho ninacho maanisha" + +# kuwa sanamu ni kitu? + +"Tambueni ninachosema kuwa sanamu siyo kitu halisi" + +# Au ya kuwa chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu? + +" Mnafahamu sisemi chakula kilichotelewa sadaka kwa sanamu si kitu muhimu" + diff --git a/1co/10/20.md b/1co/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..42bde632 --- /dev/null +++ b/1co/10/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mapepo + +Paulo anazungumzia habari ya mtu anayenywea kikombe kile kile ambacho mapepo hunywea kuonyesha kuwa mtu huyo ni rafiki wa mapepo. kwa maneno mengine " haiwezekani kuwa rafiki wa kweli kwa wote, Bwana na mapepo" + +# Hamuwezi kuwa na ushirika katika meza ya Bwana na katika meza ya mapepo + +" Haiwezekani kuwa na urafiki wa kweli kwa watu wa Mungu na mapepo pia" + +# Au twamtia Bwana wivu? + +Paulo anataka Wakorintho kujibu swali hili katika mioyo yao " Mnapaswa kujua hata kabla ya kuwaambi ya kuwa haifai kumtia wivu Bwana" + +# twamtia + +kukasirika au kukera + +# Tuna nguvu zaidi yake? + +Paulo anataka Wakorintho kujibu swali hili katika mioyo yao " Mnapaswa kujua hata kabla ya kuwaambi ya kuwa hatuna nguvu kuliko Mungu" + diff --git a/1co/10/23.md b/1co/10/23.md new file mode 100644 index 00000000..ccf5fa5f --- /dev/null +++ b/1co/10/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawakumbusha tena kuhusu sheria ya uhuru na kufanya kila kitu kwa faida ya wengine + +# Vitu vyote ni halali, + +Hapa inaweza kumaanisha 1) Paulo pengine anatoa majibu kutokan na mawazo wanayofikiria Wakorintho " wengine wanasema, 'Naweza kufanya jambo lolote'" au 2) Paulo anasema kile anachodhani ni kweli, " Mungu ameniruhusu nifanye kila kitu." + +# viwajengavyo watu. + +"wasaidie watu" + diff --git a/1co/10/25.md b/1co/10/25.md new file mode 100644 index 00000000..d4abb8b9 --- /dev/null +++ b/1co/10/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# pasipo kuuliza maswali ya dhamiri. + +" Mungu anataka ule chakula kwa dhamiri njema" + diff --git a/1co/10/28.md b/1co/10/28.md new file mode 100644 index 00000000..b3224351 --- /dev/null +++ b/1co/10/28.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini mtu... dhamiri ya yule mwingine + +hapa inaweza kumaanisha " kuleni chochote kinawekwa mbele yenu bila kuuliza maswali yanayotokana na dhamira" + +# Lakini mtu akiwaambia,....msile. Hii ni kwa ajili yake aliyewaambia...ajili ya dhamiri. + +Paulo anawaambia Wakorintho "usilile",kana kwamba anaongea na mtu mmoja.Lakini Paulo anatumia umoja kuwapa maelekezo waumini wote wa Korintho. + +# Maana kwanini...dhamiri? Ikiwa mimi natumia... nimeshukuru kwacho? + +Maana zinazowezekana ni 1)" siulizi maswali juu ya dhamiri , je kwanini.. dhamiri? kama nashiriki ... kutoa shukrani?" au 2) Paulo ananukuu kila ambacho Wakorintho walikuwa wakifikiria " baadhi watakuwa wanafikiri , kwa nini ... dhamiri? ikiwa.. nashukuru?" + +# Maana kwanini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine? + +msemaji anataka msikilizaji wake ajibu swali katika akili yake " kabla ya kukuambia ulipaswa kufahamu kuwa hakuna mtu anayeweza kusema nafanya jambo baya kwa kuwa anatumia mawazo yake wala si mawazo yangu, kuhukumu baya na zuri, japo mazo yake ni tofauti na ya kwangu" + +# Ikiwa mimi natumia chakula kwa shukrani, kwanini nitukanwe kwa kitu ambacho nimeshukuru kwacho? + +msemaji anataka msikilizaji wake ajibu swali katika akili yake " nashiriki mlo kwa shukurani, hivyo hakuna mtu anayeweza kunishutumu kwa kile ambacho nakitolea shukurani" + +# natumia + +Neno "mimi" linawakilisha wale ambao wanakula nyama kwa shukurani. " ikiwa mtu atashiriki" au "wakati mtu anapokula" + +# shukrani + +" na shukuru Mungu kwa hicho"au " na mshukuru mtu anayenipatia hicho" + diff --git a/1co/10/31.md b/1co/10/31.md new file mode 100644 index 00000000..6782f463 --- /dev/null +++ b/1co/10/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Msiwakoseshe Wayahudi au Wayunani + +"Msiwachukize Wayahudi au Wayunani" au "Msiwafanye Wayahudi na Wayunani kukasirika" + +# kuwapendeza watu wote + +"wafanye watu wote wafurahi" + +# Sitafuti faida yangu mwenyewe + +"Sifanyi mambo ninayotamani mimi binafsi" + +# wengi + +watu wengi kadri iwezekanavyo. + diff --git a/1co/11/01.md b/1co/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..1a8ad25f --- /dev/null +++ b/1co/11/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganisha + +Baada ya Paulo kuwakumbusha Wakorintho kumfuata yeye kama navyomfuata Kristo, Paulo anatoa maagizo mahususi jinsi wanawake na wanaume wanavyopaswa kuishi kama waumini + +# mnavyonikumbuka + +"fikiri juu ya" au " kumbuka" + +# nataka + +inaweza kumaanisha 1) "Kwa sababu ya hili, ninataka" au 2) "Hata hivyo, ninataka." + +# ni kichwa cha + +anamamlaka juu ya + +# naye mwanaume ni kichwa cha mwanamke + +inaweza kumaanisha 1) " wanaume wanamamlaka kwa wanawake" au 2) mume anapaswa kuwa na mamlaka kwa mke" + +# akiwa amefunika kichwa + +" anapofunika au kuweke kitambaa kwenye kichwa chake" + +# anakiabisha kichwa chake + +inaweza kumaanisha 1) " hujitia aibu mwenyewe" au 2) huleta aibu kwa Krito, ambaye ni kichwa cha mwanaume." + diff --git a/1co/11/05.md b/1co/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..aa450760 --- /dev/null +++ b/1co/11/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mwanamke aombae...anakiaibisha kichwa chake + +Hii inaweza kumaanisha 1) "wanamke anayeomba ...hujiaibisha mwenyewe" au 2) mke anayeomba...huleta aibu kwa mume wake" + +# kichwa chake kikiwa wazi + +bila vazi lililovaliwa juu ya kichwa ambalo lilifunika mabega na nywele + +# kukata nywele zake + +ni kana kwamba ameondoa nywele zake zote kwenye kichwa chake kwa wembe + +# ni aibu mwanamke + +Ilikuwa ni ishara ya aibu au uzalilishaji kwa mwanamke kunyoa nywele zake au kuzipunguza + +# kufunika kichwa chake + +Mwanamke kuvaa nguo ambayo ilivaliwa juu ya kichwa iliyofunika mabega pamoja na nywele. + diff --git a/1co/11/07.md b/1co/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..8dd39316 --- /dev/null +++ b/1co/11/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# haimpasi mwanamume kufunika kichwa chake + +ikielezwa katika muundo tendaji, inaweza kumaanisha 1) "ni lazima mwanaume asifunike kichwa chake" au 2) " mwanaume hahitaji kufunika kichwa chake" + +# utukufu wa mwanaume + +Kama vile mwanaume anavyobeba taswira ya ukuu wa Mungu, mwanamke huonyesha tabia ya mwanaume. + +# Maana mwanamume hakutokana na mwanamke. Badala yake, mwanamke alitokana na mwanamume + +Mungu alimuumba mwanamke kwa mfupa kutoka kwa mwanaume. kwa maneno mengine " Mungu hakumuumba mwanaume kutoka kwa mwanamke . Badala yake Mungu alimuumba mwanamke kutoka kwa mwanaume" + diff --git a/1co/11/09.md b/1co/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..afba5b8f --- /dev/null +++ b/1co/11/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wala...kwa mwanaume + +Maneno haya yanarejea katika 11:7 kumaanisha kuwa " mwanamke ni utukufu wa mwanaume"Maana zinazo wezekana ni 1) "kuonyesha mfano kuwa anaye mwanamume kama kichwa chake" au 2) "kuonyesha mfano kuwa anamamlaka ya kuomba na kutoa unabii." + +# kuwa na ishara ya mamlaka juu ya kichwa chake, + +Hapa inaweza kumaanisha 1) "kuonyesha mfano kuwa anaye mwanamume kama kichwa chake" au 2) "kuonyesha mfano kuwa anamamlaka ya kuomba na kutoa unabii" + diff --git a/1co/11/11.md b/1co/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..24f9eaec --- /dev/null +++ b/1co/11/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hata hivyo + +" Pamoja na kwamba nilichosema ni kweli, swala la muhimu ni hili:" + +# katika Bwana + +Hapa inaweza kumaanisha 1) "kati ya Wakristo, ambao ni wa Bwana" au "katika dunia kama ilivyoumbwa na Mungu." + +# mwanamke hayupo peke yake pasipo mwanamume, au mwanamume pasipo mwanamke. + +Hii inaweza kuelezwa katika mtazamo chanya:- " mwanamke anamtegemea mwanaume, na mwanaume anamtegemea mwanamke" + +# vitu vyote hutoka kwa Mungu. + +" Mungu aliumba kila kitu" + diff --git a/1co/11/13.md b/1co/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..f069d42f --- /dev/null +++ b/1co/11/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hukumuni wenyewe + +"Hukumuni suala hili kulingana na desturi za ndani na taratibu za kanisa mnazozijua" + +# Ni sahihi mwanamke amwombe Mungu hali kichwa chake kikiwa wazi? + +Ikielezewa katika muundo tendaji:-"Kwa kumheshimu Mungu, mwanamke lazima amwombe Mungu akiwa amefunika kichwa chake." + +# Je hata asili peke yake haiwafundishi...kwake? + +Paulo anatarajia Wakorintho wakubaliane naye kuwa " Hali ya asili huwafundisha" kwa maneno mengine " Mnajua hili kwa kutazama watu wanavyofanya kila mara" + +# amepewa zile nywele + +" Mungu alimuumba mwanamke na nywele" + diff --git a/1co/11/17.md b/1co/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..01d15ccc --- /dev/null +++ b/1co/11/17.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anapozungumzia ushirika mtakatifu, nawakumbusha kuwa na umoja na tabia njema. Anawakumbusha kuwa wakikosa umoja na tabia njema wakati wa ushirika wataugua na kufa, kama ambayo imekwisha tokea kwa baadhi yao. + +# atika maagizo yafuatayo, mimi siwasifu + +Hapa inaweza kumaanisha "ninapotoa maelekezo haya, kunajambo ambalo siwezi kuwasifia" + +# maagizo + +" maelekezo" au "taratibu (sera)" + +# mnapokusanyika + +" kusanyika pamoja" + +# sio kwa faida bali kwa hasara + +" hamsaidiani badala yake mnaumizana" + +# kanisani + +Paulo hazungumzii kuingia ndani ya jengo bali anazungumzia "waumini" + +# kuna migawanyiko kati yenu + +" mnagawanyika wenyewe katika makundi" + +# ili kwamba wale waliokubaliwa wajulikane kwenu. + +Maana zinazokubalika 1) "ili kwamba watu wajue waumini wanao heshimiwa zaidi kati yenu" au 2) "ili kwamba watu waonyeshe kuwakubali waumini fulani kati yenu." + +# wale waliokubaliwa + +Hapa inaweza kumaanisha1) "walinakubaliwa na Mungu" au 2) " ambao kanisa linawakubali" + diff --git a/1co/11/20.md b/1co/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..5de03b2d --- /dev/null +++ b/1co/11/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mkutanikapo + +"kusanyika pamoja" + +# mnachokula sio chakula cha Bwana. + +" mnaaminia kuwa mnakula chakula cha Bwana lakini hamukiheshimu kama inavyostahili" + +# za kulia na kunywea + +"ambapo mnaweza kukutana kula chakula" + +# mnalidharau + +chukia au tendea bila adabu na heshima + +# kuwafedhehesha + +aibisha au sababisha kujisikia aibu + +# Niseme nini kwenu? Niwasifu? + +Paulo anawakemea Wakorintho. Kwa maneno mengine anasema " siwezi kusema neno lolote zuri juu ya hili. Siwezi kuwasifu" + diff --git a/1co/11/23.md b/1co/11/23.md new file mode 100644 index 00000000..4c0d33bf --- /dev/null +++ b/1co/11/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile ambacho nimewapa ninyi ya kuwa Bwana + +" kwa kuwa nilichosikia kutoka kwa Bwana ndicho niliwaambia ninyi, na ilikuwa hivi: Bwana" + +# usiku ule aliposalitiwa + +kielezwa kwa muundo tenda: "usiku ule Yesu aliposalitiwa na Yuda Iskariote " + +# aliuvunja + +" aliupasua mkate katika vipande vidogo vidogo" + +# Huu ndio mwili wangu + +"Mkate ninaoshikilia ni mwili wangu" + diff --git a/1co/11/25.md b/1co/11/25.md new file mode 100644 index 00000000..0222a283 --- /dev/null +++ b/1co/11/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kikombe + +Hapa inaweza kumaanisha 1) kikombe cha divai ambacho ambacho kilitegemewa akitumie 2) kikombe cha tatu au cha nne miongoni mwa vikombe vinne ambavyo Wayahudi walitumia kunywa divai wakati wa mlo wa Pasaka. + +# Fanyeni hivi mara nyingi kila mywapo + +"Kunyweni kutoka katika kikombe hiki, na kila mara mnapokunywa kitumieni" + +# mwaitangaza mauti ya Bwana + +fundisheni kuhusu kusulubishwa na ufufuo + +# mpaka atakapokuja + +Yesu atakaporudi itasemwa wazi. Kwa maneno mengine " mpaka Yesu atakaporudi tena duniani" + diff --git a/1co/11/27.md b/1co/11/27.md new file mode 100644 index 00000000..4c8d00d3 --- /dev/null +++ b/1co/11/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kula mkate na kuywa kikombe cha Bwana + +" kula mkate wa Bwana au kunywa kikombe cha Bwana" + +# chunguza + +Paulo aneleza uhusiano wa mtu na Mungu, jinsi mtu anavyoishi katika maisha yake kwamba anatakiwa ayaangalie maisha yake na kuyatathmini kama mtu ayetaza kitu anapotaka kukinunua. + +# bila kuupambanua mwili + +Inaweza kumaanisha1) "na hatambui kuwa kanisa ni mwili wa Bwana" au 2) "na hafikiri kuwa anashiriki mwili wa Bwana." + +# wagonjwa na dhaifu + +Maneno haya yanamaana zizokaribiana: kuwa nyonge, kuwa na madhara + diff --git a/1co/11/31.md b/1co/11/31.md new file mode 100644 index 00000000..d0ab4ffb --- /dev/null +++ b/1co/11/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tunajichunguza + +Paulo aneleza uhusiano wa mtu na Mungu, jinsi mtu anavyoishi katika maisha yake kwamba anatakiwa ayaangalie maisha yake na kuyatathmini kama mtu ayetaza kitu anapotaka kukinunua. + +# hatutahukumiwa + +ikielezwa kwa muundo tendaji:" Mungu hatatuhukumu" + +# tunapohukumiwa na Bwana, twarudiwa, ili tusije tukahukumiwa + +ikielezwa kwa muundo tendaji:" Mungu anatuhukumu, anatusahihisha, ili asije akatushutumu" + diff --git a/1co/11/33.md b/1co/11/33.md new file mode 100644 index 00000000..b2991dc2 --- /dev/null +++ b/1co/11/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mkutanikapo mpate kula + +kusanyikeni kula chakula pamoja kabla ya kusherekea chakula cha Bwana + +# ngojeaneni + +" Kabla ya kuanza kula wasubirie na wengine hadi wafike" + +# ale nyumbani kwake + +"ale kabla ya kuhudhuria mkutano huu" + +# isiwe kwa hukumu + +" lisiwe tukio la Mungu kuwaadhibu" + diff --git a/1co/12/01.md b/1co/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..9223e966 --- /dev/null +++ b/1co/12/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Uganishi + +Paulo anawafahamisha kuwa Mungu ametoa karama maalumu kwa waumini. Karama hizi ni kwa ajili ya kuusaidia mwili wa waumini. + +# Sitaki mkose kufahamu + +"Ninataka mfahamu" + +# mlipotoshwa kufuata sanamu zisizoongea + +ikielezwa kwa muundo tendaji: "mliamini uongo na mlibudu sanamu zisizoongea" + +# kwa njia zozote mliongozwa nazo + +ikielezwa kwa muundo tendaji:" na ziliwaongoza kwa namna nyingi" + +# hakuna yeyote anenaye kwa Roho wa Mungu awezaye kusema + +maana zinazowezekana ni 1) "hakuna Mkristo ambaye ana Roho wa Mungu ndani yake, awezaye kusema," au 2) "hakuna atoaye unabii kwa nguvu ya Roho wa Mungu awezaye kusema." + +# Yesu amelaaniwa. + +" Mungu atamwadhibu Yesu" au Mungu atamtesa Yesu" + diff --git a/1co/12/04.md b/1co/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..7c21072d --- /dev/null +++ b/1co/12/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# azitendaye kazi zote katika wote + +"humwezesha kila mtu kupokea" + diff --git a/1co/12/07.md b/1co/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..0955d3e5 --- /dev/null +++ b/1co/12/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kila mmoja hupewa + +Hapa ikielezwa kwa muundo tendaji:- Mungu ndiye anayefanya tendo la upaji au utoaji. kwa maneno mengine "Mungu humpa kila mmoja " + +# mtu mmoja amepewa na Roho neno + +ikielezwa kwa muundo tendaji:- "Kwa njia ya Roho Mungu humpatia kila mmoja neno" + +# kwa Roho + +Mungu hutoa karama kupitia kazi ya Roho + +# hekima...maarifa + +Tofauti kati ya haya maneno mawili siyo muhimu, cha muhimu ni kwamba maarifa na hekima hutoka kwaMungu kwa njia ya Roho yule yule. + +# neno la hekima + +" maneno ya busara" + +# neno la maarifa + +" Maneno yanayoonesha ujuzi" + diff --git a/1co/12/09.md b/1co/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..ac0c9a77 --- /dev/null +++ b/1co/12/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# humpa + +Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji " Mungu hutoa" + +# kwa Roho mmoja + +Mungu hutoa karama kupitia kazi ya Roho Mtakati pekee. + +# aina mbalimbali za lugha + +"uwezo wa kuongea lugha mbalimbali" + +# tafsiri za lugha + +uwezo wa kutoa mafafanuzi ya lugha nyingine inayozungumzwa ambayo si lugha yako. + +# kufasiri + +Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja kwenda lugha nyingine + +# Roho ni yule + +Paulo anawakumbusha wasomaji wake kuwa " Roho ni yule yule... Roho moja" + diff --git a/1co/12/12.md b/1co/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..68e07a2f --- /dev/null +++ b/1co/12/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaendelea kusema juu ya karama ambazo Mungu amewapa waumini , Mungu ametoa karama mbalimbali kwa waumini tofauti tofauti, lakini pamoja na hilo waumini wamefanywa kuwa mwili mmoja , ambao unaitwa mwili wa Kristo. Kwa sababu hii waumini wanapaswa kuwa na umoja. + +# katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi au Wa + +Hapa inaweza kumaanisha 1) Roho mtakatifu ndiye anayetubatiza, " kwa Roho moja tunabatizwa" or 2) Roho ni kama maji ya ubatizo ni njia iliyotumika kutubatiza kuwa mwili mmoja, " katika Roho moja tulibatizwa" + +# wote walifanywa kunywa kwa Roho mmoja + +"Mungu alitupa sisi sote Roho mmoja, na tunashiriki Roho kama watu wawezavyo kushiriki kinywaji" + +# wote tulinyweshwa Roho mmoja + +Hii inaweza kuelezewa katika muundo wa kitenzi "Mungu ametupatia Roho mmoja, na tunashiriki katika Roho huyo kama watu wanavyo weza kushiriki kinywaji cha aina moja" + diff --git a/1co/12/14.md b/1co/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..5399b86c --- /dev/null +++ b/1co/12/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kungekuwa wapi kusikia?...kungekuwa wapi kunusa? + +Maneno haya ukiyabadili kuwa sentensi: "usingeweza kusikia chochote...usingeweza kunusa chochote" + diff --git a/1co/12/18.md b/1co/12/18.md new file mode 100644 index 00000000..8788f54c --- /dev/null +++ b/1co/12/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kiungo kimoja + +Kwa ujumla neno "Kiungo" linarejea sehemu zote za mwili kama vile kichwa, mkono au goti. kwa maneno mengine "sehemu ile ile ya mwili" + +# mwili ungelikuwa wapi? + +"kusingelikuwa na mwili" + +# Kwa hiyo sasa kuna viungo vingi, lakini + +kwa maneno mengine ni kusema "kusingekuwa na mwili" + diff --git a/1co/12/21.md b/1co/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..d37b7210 --- /dev/null +++ b/1co/12/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# haliwezi kuuambia mkono, "sina haja na wewe." + +Neno "wewe" lipo katika hali ya ummoja + +# onekana kuwa na heshima kidogo + +"siyo muhimu sana" + +# visivyotajwa + +Hii pengine inarejea kwenye sehemu za siri za mwili, ambazo huwa vimefunika. + diff --git a/1co/12/25.md b/1co/12/25.md new file mode 100644 index 00000000..2d44e3b1 --- /dev/null +++ b/1co/12/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# pasiwepo na migawanyiko katika mwili, bali + +"mwili uwe na umoja, na" + +# kiungo kimoja kinaheshimiwa + +katika muundo tendaji ni kwmba " mmoja hutoa heshima kwa mwajuiya mwingine" + +# Sasa ninyi + +Neno "Sasa" linatumika kuvuta usikivu kwenye dokezo muhimu linalofuatia + diff --git a/1co/12/28.md b/1co/12/28.md new file mode 100644 index 00000000..f556d926 --- /dev/null +++ b/1co/12/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwanza mitume + +Hii inaweza kumaanisha 1) " ninataja karama ya kwanza kuwa ni ya mitume" au 2) "karama ya muhimu zaidi ni ya mitume" + +# wale wasaidiao + +" wale wanaotoa msaada kwa waumini wenzao" + +# wale wafanyao kazi ya kuongoza + +" wale wanaosimamia kanisa" + +# wote walio na aina mbalimbali za lugha + +Watu wanaozungumza lugha za kigeni moja au zaidi bila kujifunza. + +# Je sisi wote ni mitume? wote ni manabii? wote ni waalimu? wote wanafanya matendo ya miujiza? + +Paulo anawakumbusha wasomaji wake jambo wanalolijua. kwa maneno mengine anasema " baadhi yao tu ni mitume. Baadhi yao tu ni manabii. Baadhi yao tu hufanya matendo ya miujiza" + diff --git a/1co/12/30.md b/1co/12/30.md new file mode 100644 index 00000000..0883d6ce --- /dev/null +++ b/1co/12/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Je wote mnakarama ya uponyaji? + +Kwa maneno mengine " si watu wate wanakarama ya uponyaji" + +# wote mnaongea kwa lugha? + +Kwa maneno mengine " si watu wote hunenea kwa lugha" + +# wote mnatafasiri lugha? + +kwa maneno mengine "si wote hufasiri lugha" + +# Kufasiri + +Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja kwenda lugha nyingine + +# Tafuteni sana karama zilizo kuu + +Hapa inaweza kumaanisha 1) "tafuteni kwa bidii Mungu awape karama zinazoweza kulisaidia kanisa vizuri zaidi" + diff --git a/1co/13/01.md b/1co/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..41f18a74 --- /dev/null +++ b/1co/13/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Baada ya kuzungumzia karama ambazo Mungu amewapa waumini, Paulo anasisitiza jambo la muhimu zaidi. + +# lugha...malaika + +Hapa inaweza kumaanisha 1) Paulo atumia lugha ya kukuza jambo ili ujumbe wake ueleweke, lakini hamaanishi kwamba wanadamu wanaweza kuongea lugha ambayo malaika hutumia. au 2) Paulo anafikiri kuwa baadhi ya watu ambao hunena kwa lugha huwa wananena lugha inayotumiwa na malaika. + +# nimekuwa shaba iliayo au upatu uvumao + +nimekuwa kama chombo kinachotoa sauti kubwa, sauti inayokera na kusumbua + +# upatu uvumao + +chombo chenye umbo la sinia, kinachofunikwa kwenye kitu kingine na kupigwa ili kutoa sauti. + +# ninautoa mwili wangu ili nichomwe moto + +kwa kutumia kitenzi tendaji ni sawa na kusema "ninawaruhusu watesi wangu wanichome moto hadi kufa" + diff --git a/1co/13/04.md b/1co/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..0783e83f --- /dev/null +++ b/1co/13/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Upendo huvumilia na hufadhili....huvumilia mambo yote + +Paulo anazungumzia upendo kama kitu chenye nafsi hai. + +# hauoni uchungu haraka, + +Hii inaweze kuelezewa katika muundo tendaji kama " hakuna mtu atakayeufanya upendo upate hasira kwa haraka" + +# Haufurahii udhalimu. Badala yake, hufurahi katika kweli + +"hufurahia katika uadilifu na kweli" + diff --git a/1co/13/08.md b/1co/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..1d1695b8 --- /dev/null +++ b/1co/13/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Upendo + +Kumpenda mtu mwingine ni kumjali na kufanya mambo ambayo yatamletea faida au kumnufaisha. Upendo upo aina mbalimbali 1. Upendo unaotoka kwa Mungu huwa unakusudia kuleta mema kwa wengine, huwa haulengi kujinufaisha kwa mtu mmoja. Mungu mwenyewe ni upendo na chanzo cha upendo. + +# Nabii, unabii + +Nabii ni mtu anayeleta ujumbe kutoka kwa Mungu kwenda kwa watu. Mara nyingi manabii huwaonya watu kutoka katika dhambi ili kumtii Mungu. Unabii ni ujumbe unaotolewa na Nabii + +# Lugha + +Katika Biblia neno Lugha humaanisha, lugha za wanadamu zinazotumiwa na makundi mbalimbali ya watu. Wakati mwingine neno Lugha humaanisha lugha ya kiroho ambayo Roho Mtakatifu huwapa waumini kama moja ya "zawadi au karama za Roho" + +# kujua, maarifa + +kujua ni kuelewa kitu au kufahamu jambo, kutambua. maarifa ni neno linalohusiana na habari ambayo watu wanaifahamu. + +# Kamili + +Katka Biblia neno hili humaanisha kukomaa ua kukua katika maisha ya kiroho. Kufanya kitu kikamilike ni kukifanyia kazi hadi kiwe kizuri bila dosari. + diff --git a/1co/13/11.md b/1co/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..b5eec5f7 --- /dev/null +++ b/1co/13/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa kuwa sasa tunaona kama kwa kioo + +Vioo nyakati alizoishi Paulo vilitengenezwa kwa chuma kilichopakwa rangi hivyo vilionesha taswira yenye giza tofauti na vioo vya glass vya siku hizi + +# sasa tunaona + +Hapa inaweza kumaanisha 1) "sasa tunamwona Kristo" au 2) "sasa tunamwona Mungu" + +# uso kwa uso + +Tutamwona Kristo uso kwa uso. Hapa inamaana kwamba tutakuwa pamoja na Kristo katika hali ya mwili. + +# nitajua sana + +" nitamjua Kristo kwa ukamilifu" + +# kama na mimi ninavyojulikana sana + +katika muundo tendaji inaweza kuelezewa "kama Kristo avyonifahamu kikamilifu" + +# Lakini sasa mambo haya matatu yanadumu + +" Nimuhimu kwamba...sasa" + +# imani, tumaini lijalo, na upendo + +" tunamwamini Kristo, tukijua kwamba atafanya vitu vyote alivyoahidi, tunampenda na tunapendana sisi kwa sisi" + diff --git a/1co/14/01.md b/1co/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..67b59391 --- /dev/null +++ b/1co/14/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anataka ifahamike kuwa kufundisha ni muhimu kwa sababu watu wanapata maelekezo kwa njia ya kufundishwa, hivyo kazi ya kufundisha lazima ifanywe kwa upendo. + +# Utafuteni upendo + +" ufuateni upendo" jitahidini kuwapenda watu" + +# zaidi sana mpate kutoa unabii + +" na fanyeni kazi kwa bidii ili muweze kutoa unabii" + +# kuwajenga + +" kuwasaidia watu" + diff --git a/1co/14/05.md b/1co/14/05.md new file mode 100644 index 00000000..6dae2298 --- /dev/null +++ b/1co/14/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yeye atoaye unabii ni mkuu + +Paulo anasisitiza kuwa karama ya kutoa unabii ni kuu zaidi kuliko karama ya kunena kwa lugha. kwa maneno mengine "Anayetoa unabii karama yake ni kuu zaidi" + +# tafasiri + +Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja kwenda lugha nyingine + +# nitawafaidia nini ninyi + +kwa maneno mengine "Sitawasaidia" au " nitakuwa sijafanya jambo lolote la kuwasaidia" + diff --git a/1co/14/07.md b/1co/14/07.md new file mode 100644 index 00000000..47000261 --- /dev/null +++ b/1co/14/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# visipotoa sauti zilizo na tofauti + +Hii inareje sauti tofauti tofauti zinazotokana na midundo inayotoa tuni, haimaani tofauti kati ya sauti ya filimbi na kinubi tu. + +# itatambulikanaje ni chombo gani kinachezwa + +Kwa maneno mengine " hakuna mtu atakaye tambua tuni ya filimbi au kinubi kinapogigwa" + diff --git a/1co/14/10.md b/1co/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..5b44c70d --- /dev/null +++ b/1co/14/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hakuna hata moja isiyo na maana + +" Zote zina maana" + diff --git a/1co/14/12.md b/1co/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..130187be --- /dev/null +++ b/1co/14/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# uthihirisho wa Roho + +" muweze kufanya matendo yanadhihilisha kuwa Roho anawaongoza na kuwatawala" + +# takeni kwamba mzidi sana kulijenga kanisa + +" muwe na mafanikio makubwa katika kuwawezesha watu wa Mungu kumtumikia Yeye zaidi" + +# kutafasiri + +Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja mpaka lugha nyingine. Anagalia 2:12 kwa maelezo zaidi kuhusu "tafasiri" + +# akili zangu hazina matunda + +"Siyafamu maneno ninayoyasema" + diff --git a/1co/14/15.md b/1co/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..3e376b59 --- /dev/null +++ b/1co/14/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nifanye nini? + +Paulo anatoa utangulizi wa maamuzi yake. kwa maneno mengine anasema "hivi ndivyo nitakavyofanya" + +# Nitaomba kwa roho yangu...nitaomba kwa akili zangu. Nitaimba kwa roho yangu...nitaimba kwa akili zangu + +Maombi na nyimbo lazima ziwe katika lugha inayoeleweka kwa watu waliopo + +# kwa akili zangu + +" kwa maneno yanayoeleweka kwangu" + +# ukimsifu Mungu... utoapo shukurani.. usemayo + +Paulo anatumia neno "wewe" kutoa ujumbe kwa kila mtu anayeomba katika roho lakini si katika akili yake. + +# mgeni ataitikaje "Amina" + +kwa maneno mengine " Mgeni hataweza kusema Amina" + +# ataitikaje "Amina" + +" kukubali" + diff --git a/1co/14/17.md b/1co/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..9d51edec --- /dev/null +++ b/1co/14/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wewe washukuru + +Paulo anatumia neno "wewe" kuzungumza na Wakorintho wote. + +# hajengwi + +Paulo anasema swala la kuwasaidia watu ni kama kujenga nyumba. lakini bado " mwingine hasaidiki" + +# maneno kumi elfu + +Inamaanisha "maneno elfu kumi au maneno mengi zaidi ya hayo". + diff --git a/1co/14/20.md b/1co/14/20.md new file mode 100644 index 00000000..a9e9655c --- /dev/null +++ b/1co/14/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Paulo anawaambia kuwa kunena katika lugha mbalimbali kulitabiliwa tangu zamani na nabii Isaya, hii ilikuwa miaka mingi kabla ya tukio la kunena kwa lugha lilotukia siku ya kuanza kwa kanisa la Kristo. + +# watoto + +" watu wanaoweza kudanganywa kwa urahisi" + +# Imeandikwa katika sheria + +Kwa maneno mengine ni kusema "Nabii aliandika maneno haya katika sheria (Agano la Kale)" + +# Kwa watu wa lugha nyingine na kwa midomo ya wageni + +Vifungu hivi viwili vinamaana moja tu, ili kuweka mkazo. + diff --git a/1co/14/22.md b/1co/14/22.md new file mode 100644 index 00000000..5bec7de1 --- /dev/null +++ b/1co/14/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anatoa maelekezo mahususi kuhusu utaratibu wa kutumia karama katika kanisani. + +# sio kwa walioamini, bali kwa wasioamini. + +Kwa maelezo chanya ni sawa na kusema "kwa waaminio tu" + diff --git a/1co/14/24.md b/1co/14/24.md new file mode 100644 index 00000000..80854eb5 --- /dev/null +++ b/1co/14/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atashawishiwa na yote asikiayo. Atahukumiwa na yote yasemwayo + +Paulo anasema jambo moja mara mbili ili kuweka mkazo. kwa maneno mengine anasema atatambua kuwa anahatia ya dhambi kwa kuwa amesikia mnachosema" + +# Siri za moyo wake zingefunuliwa + +kwa muundo tendaji ni kusema "Mungu angemfunulia siri za moyo wake" + diff --git a/1co/14/26.md b/1co/14/26.md new file mode 100644 index 00000000..5886175d --- /dev/null +++ b/1co/14/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini kifuatacho basi, + +"kwa sababu kila kitu nilichowaambia ni cha kweli, na hicho ndicho mnapaswa kukifanya" + +# atafasiri kilichosemwa + +katika muundo tendaji ni kusema "tafasirini walichokisema" + +# kutafasiri...tafasiri + +Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. Anagalia 2:12 kwa maelezo zaidi kuhusu "tafasiri" + diff --git a/1co/14/29.md b/1co/14/29.md new file mode 100644 index 00000000..74bdc8e5 --- /dev/null +++ b/1co/14/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# manabii wawili au watatu wanene, + +inaweza kumaanisha: 1) Manabii wawili au watatu tu wahutubie katika kusanyiko moja au 2)Manabii wawili au watatu tu wapokezane katika kunena kwa wakati mmoja. + +# kilichosemwa + +katika muundo tendaji ni " kile wanachonena" + +# akifunuliwa jambo + +katika muundo tendaji unaweza kusema " Kama Mungu akimpa ufunuo mtu mmoja" + diff --git a/1co/14/31.md b/1co/14/31.md new file mode 100644 index 00000000..2fc330f2 --- /dev/null +++ b/1co/14/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# anaweza kutoa unabii mmoja baada ya mwingine + +Mtu mmoja tu anaweza kutoa unabii kwa wasaa (watu wawili wasitoe unabii kwa wakati ule ule) + +# wote waweze kutiwa moyo + +kwa muundo tendaji ni kusema "Farijianeni wote kwa pamoja" + +# Mungu si Mungu wa machafuko, + +Mungu huwa haleti machafuko kwa kuwafanya watu wanene(waongee) wote kwa wakati ulele. + diff --git a/1co/14/34.md b/1co/14/34.md new file mode 100644 index 00000000..5c3c8af9 --- /dev/null +++ b/1co/14/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakae kimya + +hapa inaweza kumaanisha 1) achani kunena 2) acheni kunena wakati mtu anapotoa unabii au 3) kaeni kimya kabisa wakati wa ibada kanisani + +# Je neno la Mungu lilitoka kwenu? Je limewafikia ninyi tu? + +Paulo anasisitiza kwamba mapenzi ya Mungu kwa Wakristo hakifahamiki kwa waumini wa Korintho peke yake. Kwa maneno mengine ni kusema " Neno la Mungu halikutoka kwenu hapo Korintho; ninyi siyo watu pekee munaofahamu mapenzi ya Mungu. + diff --git a/1co/14/37.md b/1co/14/37.md new file mode 100644 index 00000000..ef73cd62 --- /dev/null +++ b/1co/14/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# inampasa ayatambue + +Nabii wa kweli au mtu wa kiroho atayakubali maandiko ya Paulo kuwa yanatoka kwa Bwana + +# mwacheni asitambuliwe + +Hapa inaweza kueleza kwa muundo tendaji kuwa "msimtambue mtu huyo" + diff --git a/1co/14/39.md b/1co/14/39.md new file mode 100644 index 00000000..24525e28 --- /dev/null +++ b/1co/14/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# msimkateze mtu yeyote kunena kwa lugha + +Paulo anaweka wazi kuwa kuongea kwa lugha kanisani inawezekana na inakubalika + +# Lakini mambo yote yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu + +Paulo anasisistiza kwamba makusanyiko ya kanisa( waumini) lazima yafanyike katika utaratibu mzuri. kwa maneno mengine " lakini fanyeni mambo yote kwa uzuri na katika utaratibu" au " lakini fanyeni kila kitu kwa utaratibu mzuri, kwa njia inayofaa" + diff --git a/1co/15/01.md b/1co/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..d8eba419 --- /dev/null +++ b/1co/15/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawakumbusha kuwa ni Injili inayowaokoa na tena anawaeleza Injili ni kitu gani. Kisha anatoa somo fupi la historia kuelezea yatakayotokea hapo baadaye. + +# Ninawakumbusha + +"kuwasaidia ninyi kukumbuka" + +# kusimama kwayo + +Paulo anazungumzia habari ya Wakorintho akiwafananisha na nyumba, na Injili anaifananisha na msingi unaobeba hiyo nyumba + +# mmeokolewa + +Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji "Mungu atawaokoa" + diff --git a/1co/15/03.md b/1co/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..a5f2c1fa --- /dev/null +++ b/1co/15/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa umuhimu + +inaweza kumaanisha 1) muhimu zaidi katika mambo mengi au 2) jambo la kwanza kutokea + +# kwa ajili ya dhambi zetu + +" kulipa kwa ajili ya dhmbi zetu" au " ili Mungu atusamehe dhambi zetu" + +# kutokana na maandiko + +Paulo ana rejea maandiko ya Agano la Kale. + +# alizikwa + +Katika hali tendaji unaweza kusema "Walimzika" + +# alifufuka + +Katika hali tendaji unaweza kusema " Mungu alimfufua" au "alifufuka" + diff --git a/1co/15/05.md b/1co/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..3d8a4d11 --- /dev/null +++ b/1co/15/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +ukitaka mstari wa (5) uwe sentensi kamili, weka koma kwenye mstari 3 sura ya (15) 15:3, mstari huu wa 5 uweke mbele yake ili kuleta sentensi kamili. + +# aliwatokea + +"alijionyesha mwenyewe kwao" + +# Mia tano + +inamaanisha 500 + diff --git a/1co/15/08.md b/1co/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..2c0a36a1 --- /dev/null +++ b/1co/15/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwisho wa yote + +"Hatimaye, baada ya kuwa ameonekana kwa wengine" + +# mtoto aliye zaliwa katika wakati usio sahihi + +Paulo anatumia lugha ya nahau na pengine anamaanisha kuwa alimwamini Yesu baadaye sana ukilinganisha na mitume wengine. au anamaanisha kuwa, tofauti na mitume wengine hakushuhudia huduma ya Yesu ya miaka mitatu. kwa maneno mengine "mtu alisiyekuwa na uzoefu walioupata wengine." + diff --git a/1co/15/10.md b/1co/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..fd567a0b --- /dev/null +++ b/1co/15/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa neema ya Mungu niko vile nilivyo + +neema ya Mungu au wema wa Mungu umemfanya Paulo kuwa kama alivyo. + +# neema yake kwangu haikuwa bure + +Paulo anasisistiza kwa maneno mazuri kwamba Mungu alifanya kazi kupitia kwa Paulo. Kwa maneno mengine ni kwamba " kwa sababu alikuwa mwema kwangu, niliweza kufanya kazi nzuri zaidi" + +# neema ya Mungu iliyo ndani yangu + +Paulo anazungumza juu ya kazi aliyoweza kufanya kwa kuwa Mungu alikuwa mwema kwake, Paulo anasema ilikuwa ni neema iliyokuwa ikifanya kazi ndani yake. Hii inaweza kumaanisha: 1) huu ni ukweli halisi,kuwa Mungu alifanya kazi na kwa wema wake alimtumia Paulo kama chombo au 2) Paulo anatumia sitiari na anasema kuwa Mungu alikuwa mwema kumwezesha Paulo kufanya kazi na kuwezesha kazi za Paulo zifanikiwe vizuri. + diff --git a/1co/15/12.md b/1co/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..00b40582 --- /dev/null +++ b/1co/15/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# iweje baadhi yenu mseme hakuna ufufuo wa wafu? + +Paulo anatumia swali hili kuanza mada mpya. Kwa maneno mengine anasema "Hampaswi kuwa mnasema hakuna ufufuo wa wafu" + +# kama hakuna ufufuo wa wafu, hivyo hata Kristo hajafufuliwa. + +Kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu, ni kusema kwamba Kristo hakufufuka kutoka kwa wafu. + diff --git a/1co/15/15.md b/1co/15/15.md new file mode 100644 index 00000000..88a2c152 --- /dev/null +++ b/1co/15/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anataka kuwathibitishia kuwa Kristo alifufuka kutoka kwa wafu. + +# Na tumepatikana kuwa mashahidi wa uongo kumuhusu Mungu + +Paulo anahoji kwamba kama Kristo hakufufuka kutoka kwa wafu, hivyo wanatoa ushahidi wa uongo kuhusu Kristo kwamba amefufuliwa kutoka kwa wafu. + +# tumepatikana + +"kila mtu anaweza kuona jinsi tulivyo" + +# imani yenu ni bure na bado mko kwenye dhambi dhambi. + +imani yao ni kuwa Kristo alifufuka kutoka kwa wafu, na kama hicho hakikutokea, imani yao haina maana, haiwasaidii chochote. + diff --git a/1co/15/18.md b/1co/15/18.md new file mode 100644 index 00000000..7c550706 --- /dev/null +++ b/1co/15/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu wote + +"kila mtu , wote kwa pamoja wanaoamini na wasioamini" + +# sisi ni wa kuhurumiwa zaidi + +"watu lazima watuhurumie zaidi ya ilivyo kwa mwingine yeyote" + diff --git a/1co/15/20.md b/1co/15/20.md new file mode 100644 index 00000000..e7f8a814 --- /dev/null +++ b/1co/15/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sasa Kristo + +" hivi ndivyo ilivyo, "Kristo" au " huu ndio ukweli: Kristo" + +# Kristo amefufuka + +katika hali tendaji ni kusema: "Mungu amemfufua Kristo" + diff --git a/1co/15/22.md b/1co/15/22.md new file mode 100644 index 00000000..5a1e3bb3 --- /dev/null +++ b/1co/15/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Adamu + +Adamu alikuwa mtu wa kwanza ambaye aliumbwa na Mungu. Adamu na mke wake Eva waliumbwa katika sura ya Mungu. Mungu alimuumba Adamu kutoka katika mavumbi na kumpulizia pumzi ya uhai. + +# Kifo, kufa + +Maneno haya yametumika kumaanisha kifo cha kimwili na kifo cha kiroho. Kifo cha kimwili inamaanisha mwili wa mtu unapokoma kuwa na uhai. Kifo cha Kiroho, inamaanisha watenda dhambi wanapokuwa wametengwa na Mungu kwa sababu ya dhambi zao. + +# Kristo + +Neno Kristo au Masihi linamaanisha " aliyetiwa mafuta" na neno hili linamhusu Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Hai + +Neno hili linamaanisha kuwa na uzima, iliyohai. Wakati mwingine linatumiwa kwa lugha ya picha kuelezea uzima wa kiroho. + +# matunda ya kwanza + +Neno"matunda ya kwanza" linamaana ya sehemu ya mazao,matunda au mboga zilizokuwa za kwanza kuvumwa wakati wa majira ya mavuno. Waisraeli walitoa matunda haya kama sadaka kwa Mungu. + diff --git a/1co/15/24.md b/1co/15/24.md new file mode 100644 index 00000000..8c6a592f --- /dev/null +++ b/1co/15/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa neno " ata-kapo" ni rejea kwa Kristo. + +# atakapo komesha utawala wote na mamlaka yote na nguvu + +" atawakomesha watu ambao wanatawala, wenye mamlaka, na wenye nguvu ya kufanya yote wanayofanya" + +# mpaka atakapoweka maadui zake wote chini ya miguu yake + +Wafalme walioshinda vita waliweza kuweka miguu yao juu ya shingo za adui zao waliowashinda. Kwa maneno mengine hapa inasema "mpaka Mungu atakapo waharibu kabisa maadui wa Kristo." + +# Adui wa mwisho kuharibiwa ni kifo + +Paulo anaeleza juu ya kifo kana kwamba anaeleza habari za mtu ambaye Mungu atamuua. Kwa maneno mengine ni kusema "Adui wa mwisho ambaye ataharibiwa na Mungu ni kifo chenyewe" + diff --git a/1co/15/27.md b/1co/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..6678b4ea --- /dev/null +++ b/1co/15/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ameweka kila kitu chini ya miguu yake + +Wafalme walioshinda vita waliweza kuweka miguu yao juu ya shingo za adui zao waliowashinda. Kwa maneno mengine hapa inasema " Mungu amewaharibu kabisa maadui wote wa Kristo" + +# vitu vyote vimewekwa chini yake + +Maneno haya yakisemwa kwa kauli tendaji ni kwamba " Mungu amavitiisha vitu vyote chini ya Kristo" + +# mwana mwenyewe atawekwa chini + +Maneno haya yakisemwa kwa kauli tendaji ni kwamba " mwana mwenyewe atatiishwa" + +# mwana mwenyewe + +Katika mistari ya awali neno " mwana" linamaanisha " Kristo" : kwa maneno mengine ni kusema " Kristo ambaye ni Mwana wa Mungu" + +# Mwana...Baba + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyofafanua uhusiano kati ya Yesu na Mungu. + diff --git a/1co/15/29.md b/1co/15/29.md new file mode 100644 index 00000000..913f5f2a --- /dev/null +++ b/1co/15/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Au sivyo watafanya nini wale waliobatizwa kwa ajili wafu? + +Kwa ufafanuzi Paulo anasema "vinginevyo ingekuwa haina maana kwa Wakristo kubatizwa kwa niaba ya wafu." + +# kwa nini tena wanabatizwa kwa ajili yao? + +Paulo anataka jambo hili lifahamike kwa Wokorintho hata kabla hajalisema kwao ya kwamba " hakuna sababu yoyote kupokea au kubatizwa kwa niaba ya watu walikwisha fariki" + +# Na kwa nini tuko katika hatari kila saa? + +Kwa maneno mengine ni kusema " hatupati faida yoyote kwa kujiweka katika hatari muda wote" + diff --git a/1co/15/31.md b/1co/15/31.md new file mode 100644 index 00000000..f5fbacfe --- /dev/null +++ b/1co/15/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nakufa kila siku. Hili nalisema kwa kujisifu kwa ajili yenu + +" ninajisifu kwa ajili yenu, hivyo kila mmoja anajua kwamba nasema ninaposema ninakufa kila siku" + +# Ninakufa kila siku. + +Paulo anacho maanisha hapa ni (1)kila siku najipambanua kwa kifo cha Kristo kwa kufisha tamaa mbaya ndani yake 2) kila siku aliishi akijua kuwa kuna watu walikuwa wakitafuta kumuua. + +# Inanifaidia nini..nilipigana na wanyama wakali huko Efeso... hawafufuliwi? + +Paulo anataka Wakorintho wafahamu jambo hilo hata bila kuwaambia. kwa maneno mengine anasema " sikupata chochote...kwa kupigana na wanyama huko Efeso... hawafufuliwi" + +# kama nilipigana na wanyama katika Efeso + +Kuna uwezekano maana ni 1) Paulo alikuwa anaongea kwa mfano kuhusu hoja yake na wapagani waliosoma au mafarakano mbalimbali na watu waliotaka kumuua au 2) Anathibitisha kwamba aliwahi kuwekwa kwenye uwanja kupambana dhidi ya wanyama hatari. + +# Na tule na kunywa, kwa kuwa kesho tunakufa. + +Paulo anahitimisha kwamba kama hakuna maisha mengine baada ya kifo, ni bora kwetu kuyafurahia maisha haya kwa kadri tuwezavyo, kwa kuwa kesho maisha yetu yataisha bila matumaini yoyote + diff --git a/1co/15/33.md b/1co/15/33.md new file mode 100644 index 00000000..c5a47e3a --- /dev/null +++ b/1co/15/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makundi mabaya huharibu tabia njema + +Kama ukiishi na watu wabaya, utatenda kama wao. Hapa Paulo ananukuu msemo unaojulikana + +# Muwe na kiasi + +"Mnapaswa kutafakari kwa undani kuhusu hili" + diff --git a/1co/15/35.md b/1co/15/35.md new file mode 100644 index 00000000..d7316b0f --- /dev/null +++ b/1co/15/35.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anatoa maelezo mahususi juu ya ufufuo wa miili ya waumini utakavyotokea. Anaeleza juu ya miili ya asili na miili ya kiroho kwa kulinganisha Adamu wa kwanza na Aadamu wa mwisho ambaye ni Kristo. + +# Lakini mtu mwingine atasema, "Jinsi gani wafu wanafufuliwa? Nao watakuja na aina gani ya mwili?" + +Hapa inaweza kumaanisha 1)mtu alikuwa akijiho kwa nia njema au) 2) mtu anauliza swali ili kukejeli swala la ufufuo. kwa maneno mengine ni kusema "Baadhi ya watu watasema kwamba hawapati picha jinsi Mungu atakavyo wafufua wafu, na aina gani ya mwili Mungu atawapa katika ufufuo." + +# mtu mwingine atasema + +"mtu atauliza" + +# Nao watakuja na aina gani ya mwili + +hii ni sawa na kuuliza kwamba, je utakuwa mwili halisi au mwili wa kiroho? je mwili huo utakuwa na umbo gani? je mwili huo utatengenezwa kwa vitu gani? + +# Wewe ni mjinga sana! Kile ulichopanda + +Paulo anaonekana kama vile anazungumza na mtu mmoja "Wewe" ni neno kuonyesha umoja. + +# Wewe ni mjinga + +" hujui kabisa kuhusu mambo haya yote" + +# Kile ulichopanda hakiwezi kuanza kukua isipokuwa kimekufa. + +Kama vile mbegu isivyo weza kuota mpaka ifukiwe ardhini. Vile vile mtu lazima afe kwanza kabla ya kufufuliwa na Mungu + diff --git a/1co/15/37.md b/1co/15/37.md new file mode 100644 index 00000000..4d670b33 --- /dev/null +++ b/1co/15/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kile ulichopanda sio mwili utakaokuwa + +Fumbo la mbegu limetumika tena, kumaanisha kwamba mwili wa mkristo uliokufa utafufuliwa na hautaonekana kama ulivyokuwa. + +# unachopanda + +Paulo anaongea na Wakorintho kana kwamba ni mtu mmoja " unachopanda" + +# Mungu ataipa mwili kama apendavyo + +"Mungu ataamua ni mwili wa aina gani" + +# mwili + +Katika mazingira ya wanyama, "mwili" unaweza kutafasiliwa kama "mwili," "ngozi," au "nyama." + diff --git a/1co/15/40.md b/1co/15/40.md new file mode 100644 index 00000000..26bd3732 --- /dev/null +++ b/1co/15/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# miili ya mbinguni + +Kunauwezekano maana ni 1) jua, mwezi, nyota, na mianga mingine ionekanayo katika wingu au 2) viumbe vya mbinguni, kama vile malaika na visivyo vya kawaida. + +# miili ya duniani + +Hii ina rejea kwa wanadamu. + +# utukufu wa miili ya mbinguni ni wa aina moja na na utukufu wa ulimwenguni ni mwingine. + +"utukufu uliopo katika miili ya mbinguni ni tofauti na utukufu uliopo katika miili ya asili ya wanadamu " + +# utukufu + +Hapa "utukufu" unafananishwa na mfano wa mwangaza wa vitu vya angani katika jicho la mwanadamu. + diff --git a/1co/15/42.md b/1co/15/42.md new file mode 100644 index 00000000..f598bbaf --- /dev/null +++ b/1co/15/42.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kinacho pandwa..., na kinacho ota... + +Mwandishi anafananisha watu wanaozika maiti kwenye kaburi na watu wanaopanda mbengu itakayo zaa matunda. kwa kitenzi tendaji ni sawa na kusema " Ni kipi kinazikwa kaburini... nikipi kinachotoka kaburini " au watu huzika kitu gani...na Mungu hufufua kitu gani" + +# kinaharibika... hakiharibiki. + +Kina oza... kisichoweza kuoza + diff --git a/1co/15/45.md b/1co/15/45.md new file mode 100644 index 00000000..8bac4fb9 --- /dev/null +++ b/1co/15/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lakini wa kiroho hakuja kwanza bali wa asili, na kisha wa kiroho. + +" mtu wa asili alikuja kwanza. mtu wa kiroho alikuja baadaye na anatoka kwa Mungu" + +# asili + +aliumbwa kwa namna ya kidunia, na bado hajawa katika mahusiano na Mungu. + diff --git a/1co/15/47.md b/1co/15/47.md new file mode 100644 index 00000000..126d3bd8 --- /dev/null +++ b/1co/15/47.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwanadamu wa kwanza ni wa dunia, alitengenezwa kwa mavumbi + +hapa inaelezea kuwa Mungu alimuumba mtu wa kwanza (Adamu) kutoka katika mavumbi ya ardhi + +# vumbi + +" uchafu" + +# mtu wa mbinguni + +Yesu Kristo + +# wale ambao ni wa mbinguni + +"wale wanaomwamini Kristo" + +# tumebeba + +"kubali kuchukua na kuakisi" + diff --git a/1co/15/50.md b/1co/15/50.md new file mode 100644 index 00000000..be06c75c --- /dev/null +++ b/1co/15/50.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anataka wajue kuwa baadhi ya waumini hawatakufa kimwili bali watapata mwili wa ufufuo kupitia ushindi wa Kristo + +# kwamba mwili na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu + +maana zinazokubalika ni: 1) sentensi zote mbili zinamaanisha jambo moja. " Mwanadamu ambao watakufa kabisa hawawezi kuurithi ufalme wa Mungu unaodumu daima" au 2) sentensi ya pili inakamilisha lile wazo linalotangulia hapo mwanzo, kuwa " wanadamu waliodhaifu hawawezi kuurithi ufalme wa Mungu. Wala ambao watakufa hawataweza kuurithi ufalme wa Mungu ambao utadumu milele" + +# mwili na damu + +Ni wale wanafuata tabia za mwili uliohukumiwa kufa. + +# kurithi tutabadilishwa wote + +Ni hali ya kupokea mambo ambayo Mungu ameahidi kwa waumini na Paulo anazungumzia jambo hili kama vile mtu anavyopata urithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwanafamilia : "Mungu atatubasilisha sisi sote" + +# wakuharibika...wakutoharibika + +"unaoweza kuoza....usioweza kuoza wala kuharibika" + +# wote tutabadilishwa + +Hii inaonyesha hali tendaji kuwa " Mungu atatubadilisha sisi sote" + diff --git a/1co/15/52.md b/1co/15/52.md new file mode 100644 index 00000000..8a7ccaeb --- /dev/null +++ b/1co/15/52.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tutabadilishwa + +"Mungu atatubadilisha" + +# katika kufumba na kufumbua kwa jicho + +Itatokea kwa haraka kama vile mtu anavyo kufunga na kufungua jicho lake. + +# katika tarumbeta ya mwisho + +"tarumbeta ya mwisho itakapolia" + +# hali ya kutoharibika + +"umbo ambalo halitaharibika ... mwili huu unaweza kuharibika(kuoza).Kupingwa kwa mbiu kunatanguliza matukio makubwa. Katika swala hili, Paulo ana rejea kwenye tukio kubwa la mwisho katika historia ya dunia hii. + +# huyu binadamu lazima awekwe kwenye milele + +Paulo anazungumzia juu ya Mungu kuibadilisha miili yetu ili isife tena ni kana kwamba Mungu anaweka mavazi mapya kwetu. + diff --git a/1co/15/54.md b/1co/15/54.md new file mode 100644 index 00000000..b295a7ca --- /dev/null +++ b/1co/15/54.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# huu mwili wa kuhalibika...na usioharibika + +"mwili huu unaweza kuoza... usioweza kuoza" angalia tafasiri inayofanana na hii katika 15:42 + +# Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?" + +Paulo anasema haya kufanya dhihaka dhidi ya nguvu ya kifo ambayo tayari Kristo amekwisha kuishinda. kwa maneno mengine ni kwamba: " Kifo hakina ushindi. Kifo hakina makali." + diff --git a/1co/15/56.md b/1co/15/56.md new file mode 100644 index 00000000..5f363154 --- /dev/null +++ b/1co/15/56.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Uchungu wa kifo ni dhambi + +Ni kwasababu ya dhambi tutakabiliwa na kifo, hivyo tunakufa. + +# nguvu ya dhambi ni sheria + +Sheria ya Mungu iliyopitishwa na Musa inafafanua juu ya dhambi na inatuonyesha jinsi tunavyotenda dhambi dhidi ya Mungu. + +# atupaye sisi ushindi + +" amekwisha kushinda kifo kwa niaba yetu" + diff --git a/1co/15/58.md b/1co/15/58.md new file mode 100644 index 00000000..a00a7697 --- /dev/null +++ b/1co/15/58.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anataka waumini wakati wanamtumikia Bwana wakumbuke juu ya kugeuzwa na kupata miili ya ufufuo ambayo Mungu atawapatia. + +# iweni imara na msitikisike. + +Paulo anaelezea juu mtu mwenye nguvu za kimwili asiyekubali kushindwa katika kutimiza uamuzi wake. kwa maneno mengine inamaanisha " kufanya uamuzi thabiti" + +# Daima itendeni kazi ya Bwana + +Paulo anaongelea jitihada alizifanya katika kumtumikia Bwana kama vile vitu vya thamani ambavyo kila mtu anapaswa kuvipata. kwa maneno mengine anasema " siku zote mtumikieni Bwana kwa uaminifu" + diff --git a/1co/16/01.md b/1co/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..33252d8c --- /dev/null +++ b/1co/16/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kukusanya pesa kwa ajili ya waumini wenye mahitaji walioko Yerusalemu. Pia anawajulisha kuwa Timotheo atapitia kwao kabla ya kwenda kwa Paulo. + +# ya waumini + +Paulo alikuwa anakusanya pesa kutoka kwenye makanisa yake kwa ajili ya wakristo masikini wa kiyahudi huko Yerusalemu na Yuda. + +# kama nilivyo elekeza + +"kama nilivyowapa maelekezo mahususi" + +# aweke kitu fulani kando na kukihifadhi, + +Maana zinazowezekana ni: 1) " kitu hicho tunza nyumbani" au 2) "kilete kitunzwe kanisa" + +# ili kwamba kusiwe na makusanyo wakati nitakapokuja + +" kwa hiyo nitakapokuja hakutakuwa na haja ya kukusanya pesa zingine zaidi" + diff --git a/1co/16/03.md b/1co/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..3e582205 --- /dev/null +++ b/1co/16/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yeyote mtakayemchagua + +Paulo anawajulisha kanisa kwamba wanaweza kuteua baadhi ya watu miongoni mwao ili kupeleka sadaka zao Yerusalemu. "yeyote mtakaye mchagua" au " watu mtakaowateua" + +# nitamtuma pamoja na barua + +Maana inayowezekana ni: 1) "Nitatuma na barua ambayo nitaiandika" au 2) "Nitatuma na barua ambayo mtaiandika." + diff --git a/1co/16/05.md b/1co/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..df97b005 --- /dev/null +++ b/1co/16/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mnaweza kunisaidia katika safari yangu + +Hii inamaanisha kwamba wangeweza kutoa fedha au vitu mbalimbali anavyohitaji alivyohitaji Paulo na watumishi wenzake ili waweze kuendelea na safari yao. + diff --git a/1co/16/07.md b/1co/16/07.md new file mode 100644 index 00000000..59145d20 --- /dev/null +++ b/1co/16/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuwa sitarajii kuwaona sasa + +Paulo anaeleza kwamba hataki kuwa na ziara ya ya muda mfupi, lakini anapenda kufanya ziara yamuda mrefu hapo baadaye. + +# Pentekoste + +Paulo alitarajia kubakia Efeso hadi sikukuu, iliyoanza mwezi Mei au Juni, siku hamsini baada ya pasaka. Baada ya hapo angesafiri kupitia Makedonia, na kufika Korintho kabla ya majira ya baridi yalioanza mwezi wa Novemba + +# mlango mpana umefunguliwa + +Hii inamaanisha kwamba Mungu amempa nafasi nzuri ya kuwafikia watu kwa injli. + diff --git a/1co/16/10.md b/1co/16/10.md new file mode 100644 index 00000000..e531e467 --- /dev/null +++ b/1co/16/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# muoneni kwamba yuko na ninyi pasipo kuogopa + +" kusiwe na sababu ya kumfanya aogope anapokuwa miongoni mwenu" + +# Mtu yeyote asimdharau + +Timotheo alikuwa kijana sana kuliko Paulo hivyo wakati mwingine hakupewa heshima aliyostahili kama mtumishi wa Injili + +# ndugu yetu Apolo + +Neno "yetu" nilinamhusu Paulo na watu aliowaandikia + diff --git a/1co/16/13.md b/1co/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..f1235906 --- /dev/null +++ b/1co/16/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Muwe macho, simameni imara, mtende kama wanaume, muwe na nguvu + +Paulo anawasisitiza Wakorintho kwa kuwapa maelekezo kana kwamba anatoa amri nne kwa askari wa vita. Hizi amri nne zinamaanisha jambo lilelile. + +# Muwe macho + +Paulo anawaambia watu watambue mambo yanayotokea kama vile walinzi wavyokaa macho wanapolinda mji au Shamba. kwa maneno mengine anasema "muwe makini sana kuhusu kwa yeyote mnayemwamini" au " jilindeni na hatari yoyote" + +# simameni imara + +Paulo anawahimiza waendelee kuamini katika Kristo kulingana na mafundisho yake, wawe kama askari wasiokubali kurudi nyuma wanaposhambuliwa na adui. hii inamaana: 1) " endeleeni kuamini kile tulichowafundisha" au 2) " endeleeni kumwamini Kristo kwa udhabiti wote" + +# mtende kama wanaume + +katika nyakati alizoishi Paulo na watu aliowaandikia barua yake, ilikuwa kawaida kwa wanaume kufanya kazi ngumu kwa ajili ya mahitaji ya familia na kupigana dhidi ya maadui. kwa uwazi zaidi inamaanisha " timizeni wajibu wenu" + +# yote myafanyayo yafanyike katika upendo + +"lazima kila jambo mnalolifanya lioneshe kuwa mnaupendo kwa watu" + diff --git a/1co/16/15.md b/1co/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..a17643ea --- /dev/null +++ b/1co/16/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaanza kutuma salamu zake anapoelekea kuhitimisha barua yake, anatoa salamu za makanisa mengine, Prisca, Akila na yeye mwenyewe. + +# kaya ya Sefana + +Stefana alikuwa muumini wa kwanza katika kanisa la Koritho. + +# Akaya + +Akaya ni jina la jimbo la Ugiriki + diff --git a/1co/16/17.md b/1co/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..29e249a5 --- /dev/null +++ b/1co/16/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Stefana, Fotunato, na Akiko + +Hawa watu pengine walikuwa baadhi ya waumini wa kwanza wa Korintho au wazee wa kanisa ambao waliokuwa watendakazi pamoja na Paulo. + +# Stefana, Fotunato, na Akiko + +Haya ni majina ya watu + +# Wamesimama mahali ambapo ninyi mgepaswa kuwa + +" walisababisha mafanikio yawepo japo ninyi hamkuwepo"Paulo alitiwa moyo kwa ujio wao. + +# Kwa kuwa wameifurahisha roho yangu + +"Paulo alitiwa moyo walipokuja kumtembelea" + diff --git a/1co/16/19.md b/1co/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..75130c33 --- /dev/null +++ b/1co/16/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kanisa + +katika agano jipya neno " kanisa" lina maana ya kundi la watu wanaomwamini Yesu ambao walikutana pamoja kuomba na kusikia mahubiri ya neno la Mungu. Mara nyingi Neno "kanisa" linamaanisha wakristo wote. + +# Asia + +Nyakati za Biblia, "Asia" ilikuwa ni jina mkoa au jimbo katika dola la Warumi. Hii sehemu ilikuwa upande wa magharibi na kwa sasa inajulikana kama nchi ya Utiruki. Miji kama Efeso, na Kolose ilikuwa katika eneo hili la Asia ambapo Paulo alisafiri na kuhubiri injili. + +# Akila + +Akila alikuwa mkristo wa Kiyahudi kutoka katika jimbo la Ponto, mkoa wa kusini mwa pwani ya bahari nyeusi(). + +# Priska + +Priska alikuwa mke wa Akila yeye na mume wake walikuwa wakristo waliofanya kazi ya umisheni pamoja na mtume Paulo. + +# Bwana + +Neno" Bwana" linamaana y mtu mwenye kumikili au mamlaka juu ya watu. Neno hili linapoandikwa kwa herufi kubwa humaanisha Mungu. + +# takatifu + +Neno "takatifu" huzungumzia tabia ya Mungu ambayo ni kamilifu na imejitenga mbali na dhambi. ni Mungu pekee ambaye ni mtakatifu, huwa anawafanya watu na vitu kuwa watakatifu + +# busu + +Busu ni tendo la mtu kuweka mdomo wake kwenye mdomo wa mtu mwingine. Katika Biblia neno hili busu wakati mwingine limetumika kumaanisha kuagana au kuwambia mtu kwahari. + diff --git a/1co/16/21.md b/1co/16/21.md new file mode 100644 index 00000000..fc9e23fa --- /dev/null +++ b/1co/16/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mimi, Paulo, naandika hivi kwa mkono wangu + +Paulo alikuwa anaweka wazi kuwa maelekezo katika ile ya barua alitoka kwake, ingawa Paulo alikuwa akisema na matendakazi mwenza aliandika yale maneno yake. Sehemu ya mwisho wa barua Paulo akaiandika kwa mko wake mwenyewe. + +# laana iwe juu yake. + +"Mungu anaweza kumlaani" angalia tafasiri ya neno laana katika 12:1 + diff --git a/1jn/01/01.md b/1jn/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..d5f3995a --- /dev/null +++ b/1jn/01/01.md @@ -0,0 +1,45 @@ +# Sentensi Unganishi + +Kitabu hiki kinaanza makusudi yake mawili - Ushirika na Furaha. + +# Maelezo ya Jumla + +Mtume Yohana aliandika waraka huu kwa Waamini. Mifano yote ya "nyinyi" na "yenu," hujumuisha waaminio wote na yako katika wingi. Maneno "sisi" na "tu" hapa humaanisha Yohana na walie waliokuwa wameishi na Yesu. +Mstari wa 1 ni nusu sentensi, unatakiwa usomwe pamoja na msitari 2. na Sentensi kamili huishia 1:3 + +# Lile lililokuwako tangu mwanzo + +Kifungu cha maneno "lile lililokuko tangu mwanzo" humaanisha Yesu, aliyekuwako kabla ya kila kitu kilichofanyika.:Tunawaandikia juu ya yule alikuwako kabla ya uumbaji wa vitu vyote + +# Neno la uzima + +"Neno la uzima" ni Yesu Kristo. Yesu, yule anayesababisha watu waishi milele. + +# Uzima + +Neno "uzima" mwote katika barua hii humaanisha zaidi ya uzima wa kimwili. Hapa linasimama badala ya Yesu, aliye uzima wa milele. + +# Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi + +Hili linaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. :"Mungu aulifanya uzima wa milele ujulikane kwetu" au Mungu alitufanya sisi tuweze kumjua yeye, aliye uzima wa milele" + +# na tumeuona + +"na tumemwona yeye" + +# na kuushuhudia, + +"na tunawatangazia na wangine kwa dhati kuhusu yeye" + +# uzima wa milele + +"Uzima wa milele," hapa humaanisha yule ambaye hutoa uzima, Yesu. : "Yule anayetuwezesha sisi kuishi milele" + +# ambalo lilikuwa pamoja na Baba + +"aliyekuwa na Mungu Baba" + +# na lilifanywa kujulikana kwetu + +Huu ulikuwa ni wakati alioishi duniani. :"na alikuja kuishi miongoni mwetu" + diff --git a/1jn/01/03.md b/1jn/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..0842a9cd --- /dev/null +++ b/1jn/01/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa maneno "tu...," "nasi" na "yetu" humaanisha Yohana na wale ambao wamekuwa pamoja na Yesu. + +# Lile ambalo tumeliona na kulisikia twalitangaza pia kwenu + +Tunawaambieni pia nanyi tuliloliona na kulisikia" + +# muwe na ushirika pamoja nasi. Ushirika wetu ni pamoja na Baba + +"muwe rafiki zetu wakaribu. Tu marafiki wa Mungu Baba" + +# Ushirika wetu + +Hako wazi kama Yohana anawaingiza ama anawaacha wasomaji wake. + +# Baba...Mwana + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano ulioko baina ya Mungu na Yesu. + +# ili kwamba furaha yetu iwe kamili. + +"kuifanya furaha yetu ikamilike" au kutufanya sisi tufurahi kikamilifu kabisa" + diff --git a/1jn/01/05.md b/1jn/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..de0d1586 --- /dev/null +++ b/1jn/01/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Tangu hapa hata sura inayoofuata, Yohana naaandika kuhusu ushirika - uhusiano wa karibu pamoja na Mungu na aamini wengine. + +# Maelezo ya Jumla + +Hapa maneno "sisi" na "yatu.." humaanisha waaminio wote, kumlisha watu ambao Yohana alikuwa akiwaandikia. Ispokuwa imetamkwa vinginevyo, hiyo ndiyo maana kwa ukumbusho wa kitabu hiki. + +# Mungu ni nuru + +Hii humaanisha kwamba Mungu ni safi na mtakatifu kikamilif. Zile tamaduni zinahusianisha weme na nuru zinaweza kulishika wazo hili bila ya kulifafanua fumbo lenyewe. "Mungu ni kwa uhalisia Mungu ni mwenye haki na kama nuru halisi" + +# ndani yake hakuna giza hata kidogo + +Hii humaanisha kwamba MUngu hawezi kutenda dhambi na siyo mwovu kwa namna yo yote.Zile tamaduni zinahusianisha uovu na giza zinaweza kulielewa wazo hili bila kulielezea fumbo lenyewewe. : "Ndani yake hakuna giza la dhambi" + +# twatembea gizani, + +Hii humaanisha "kujizoweza uovu na kutenda uovu" + +# damu ya Yesu Kristo, + +Hii hurejelea kifo cha Yesu. + +# Mwanawe + +Cheo hiki ni muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + diff --git a/1jn/01/08.md b/1jn/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..bae137cd --- /dev/null +++ b/1jn/01/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Malezo ya Jumla + +Hapa neno "yeye" "lake" humaanisha Mungu.(Tazama 1:5) + +# hatuna dhambi + +"hatutendi dhambi" + +# twajidanganya + +"Twajilaghai wenyewe" au "tunajiambia uongo wenyewe" + +# kweli haimo ndani yetu + +Ile kweli imezungumziwa kana kwamba lilikuwa ni jambo au kitu kambacho kingeweza kuwa ndani ya waamini. + +# kutusamehe dhambi zetu na kututakasa na uovu wote + +Virai hivi viwili kimsingi vinamaanisha jambo lile lile. Yohana anavitumia kusisitiza kwa hakika Mungu atasamehe dhambi dhambi. : "na atazisamehe kabisa kabisa ubaya ambao tumeufanya" + +# twamfanya yeye kuwa muongo, + +tunadai kwamba yeye ni mwongo: "ni sawasawa na kumwita yeye mwongo, kwa sababu amesema sisi sote tumetenda dhambi" + +# neno lake halimo ndani yetu + +Kutii kuheshimu neno la Mungu kumezunguziwa kana kwamba neno lake lilikuwa ndani ya waamini. : "hatulielewi neno la Mungu wala hatutii linachokisema" + diff --git a/1jn/02/01.md b/1jn/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..cb765f02 --- /dev/null +++ b/1jn/02/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yohana anaendelea kuandika juu ya ushirika na anaonyesha kwamba inawezekana kwa sababu Yesu yuko kati ya waaminio na Baba. + +# Maelezo ya Jumla + +Hapa maneno "tunaye' na "zetu" humaanisha Yohana na waaminio wote. Neno "Yeye" na "zake" yaweza kumaanisha Mungu Baba au Yesu. + +# Watoto + +Yohana alikuwa mzee na kiongozi wao. Alitumia maelezo haya kuonyesha pendo lake kwao. : "Watoto wangu wapendwa katika Kristo" au "Ninyi mliowapendwa kwangu kama watoto wangu mwanyewe" + +# ninawaandikia mambo haya + +"Ninaandika barua hii" + +# Lakini kama mmoja wenu akitenda dhambi + +"Lakini mmoja wenu anapotenda dhambi." Hili ni jambo ambalo inawezekana likatokea" + +# tunaye wakili aliye pamoja na Baba, + +Neno "wakili" hapa humaanisha Yesu. : "mtu anayezungumza kwa Mungu Baba na kumsihi yeye apate kutusamehe sisi" + +# eye ni upatanisho kwa dhambi zetu, na siyo kwa dhambi zetu + +"Aliyatoa dhabifu maisha yake mwenyewe kwa ajili yetu, na kwa sababu ya hilo Mungu husamehe dhambi zetu" + +# Kwa hili twajua kwamba , kama tukizishika amri zake. + +"Kama tunafanya anayotuambia kufanya, kisha tutakua na uhakika kwamba tunao uhusiano na yeye" + +# tunamjua yeye + +"tunao uhusiano na yeye" + diff --git a/1jn/02/04.md b/1jn/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..ad3d873f --- /dev/null +++ b/1jn/02/04.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Yeye asemaye + +"Yeyote anayesema" au "mtu anayesema" + +# Namjua Mungu, + +"Nina uhusiano mwaema na Mungu + +# lakini hazishiki + +"hatendi" au "hatii" + +# amri zake + +"kile mabacho Mungu anamwambia kutenda" + +# kweli haimo ndani yake + +Kweli imezungumziwa kana kwamba ni jambo lingeweza kuwa ndani ya waaminio. : " Haamini ambacho Mungu anasema kuwa ndiyo kweli" + +# ashikaye + +"hutenda" au "hutii" + +# neno lake + +"kile Mungu anachombia yeye kutenda" + +# upendo wa Mungu + +Maana zinzowezekana kuwa ni 1) "upendo wetu kwa Mungu au 2) "upendo wa Mungu kwetu." + +# kweli katika mtu yule upendo wa Mungu umeshakamilishwa + +Hili linaweza kutamkwa kwatika muundo tendaji. : "Mungu amekamilisha pendo wa Mungu ndani ya mtu huyo," "Kwa hakika, wale wanaotii amri za Mungu ni watu wanaommpenda Mungu katika njia zote," au "upendo wa Mungu kwa watu hutimiza lengo lake wanapotenda analowaambia kutenda" + +# Katika hili twajua kwamba tuko ndani yake + +Kirai "tuko ndani yake" humaanisha mwamini ana muuu ngano na Mungu daima au ana ushirika na Mungu unaoendelea. Katika 1Yohana, kiari/kifungu "kaa ndani yake" mara kwa mara limetumika kumaanisha kitu kile kile. : "Tunapotii analotuambia Mungu, tunaweza kuwa na uhakika kwamba tuna ushirika na yeye" + +# tuko ndani yake + +"tuna uhusiano na Mungu" + +# imempasa yeye mwenyewe pia kuenenda kama vile Yesu Kristo alivyoenenda. + +Unayafanya maisha ya mtu kana kwamba yalikuwa yakitembea. : "ni lazima aishi kama Yesu Kristo alivyoishi' au "inampasa pia kumtii Mungu kama tu vile Yesu Kristo alivyotii" + diff --git a/1jn/02/07.md b/1jn/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..d2d46786 --- /dev/null +++ b/1jn/02/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yohana anawapa waaminio kanuni za msingi za ushirika - utii na upendo + +# Wapendwa + +"Ninyi watu niwapendao" au "Rafiki wapendwa" + +# siwaandikii ninyi amri mpya, bali amri ya zamani + +"Ninaaandikia kupendana nyinyi kwa nyinyi, ambalo siyo jambo jipya kutenda bali ni amri ya zamani amabayo mmishaisikia." Yohana anamaanisha amri ya Yesu ya kupendana kila mtu na mwenzake + +# tangu mwanzo + +Hapa, neno 'mwanzo" humaanisha wakati walipoamua kumfuata Kristo. "tangu mlipoanza kuamini katika Kristo" + +# Hata hivyo ninawaandikia ninyi amri mpya, + +Lakini kwa namna nyingine amri ninayowaandikia ni mpya" + +# ambayo ni kweli katika Kristo na kwenu, + +Hapa neno "Katika" humaanisha "kwa sababu ya." : "ambayo ni kweli kwa sababu ya alichotenda Kristo, na kwa sababu ya mnchotenda nyinyi" + +# giza linapita, na nuru ya kweli iko tayari inaangaza + +"giza," hapa humaanisha uovu na "nuru" humaanisha wema. ; "kwa sababu mnaacha kutenda ovu na mna zidi kutenda jema zaidi na zaidi. + diff --git a/1jn/02/09.md b/1jn/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..70b031fb --- /dev/null +++ b/1jn/02/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa, neno "ndugu" humaanisaha Mkristo mwenza + +# Yeye asemeye + +"Yeyote asemaye" au "Wale wanaodai." Hiaimanishi mtu yeyote. + +# yuko kwenye nuru + +Hii ni picha ya kuishi kwa haki. Watu wanapofanya lililo haki, wanaweza kulifanya nuruni siyo kwa kificho gizani.: "hufanya lililo sahihi" + +# yuko katika giza hata sasa + +Hii ni picha ya kuishi maisha ya dhambi. Watu wanapofanya yaliyo maovu, hupenda kujificha gizani. : "yuko gizani, akitenda lililo ovu" + +# hakuna jambo lolote liwezalo kumkwaza. + +hakuna litakalomsababisha kujikwaa." Neno "kujikwaa" ni fumbo linalomaanisha kuanguka kiroho au kimaadili. : " hakuna litakalomsababisha kutenda dhambi" au "hatashindwa lipendezalo kwa Mungu" + +# yuko gizani na anatembea gizani + +wazo hili linalofanana limesemwa mara mbiili kusisitiza kulivyo uovu kumchukia mwamini mwenzako. "anaishi gizani au anaishi katika giza la dhamb + +# hajui wapi aendako + +Hii ni picha ya Mwamini anayeishi isivyompasa Mkristo kuishi. : "hata hajui kwamba analofanya ni ovu" + +# giza limeyapofusha macho yake + +"giza limemfanya asiweze kuonona." giza ni fumbo au mfano kwa ajili ya dhambi au uovu. : "dhambi imefanya isiwezekane kwake kuielewa kweli" + diff --git a/1jn/02/12.md b/1jn/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..f1e5f061 --- /dev/null +++ b/1jn/02/12.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yohana anaelezea sababu inayomfanya kuandika barua yake ama kwa vikundi vyenye umri mbalimbali au kwa waamini wanaotofautiana katika ukomavu. Barua yenyewe imeandikwa kwa mtindo wa kishairi. + +# watoto wapendwa + +Yohana ni mzee na kiongozi wao. Alitumia maelezo haya kuonyesha upendo kwa aji yao. : "Watoto wangu wapendwa katika Kristo" au "ninyi mlio wapendwa kama watoto wangu mwenyewe." Tazama maelezo katika sura ya 2:1 uone linavyofafanuliwa. + +# dhambi zenu zimesamehewa + +"Mungu husamehe dhambi zenu" + +# kwa ajili ya jina lake. + +"jina lake" humaanisha Kristo na alivyo yeye. :"kwa sababu ya kile Kristo amefanya kwa ajili yenu" + +# Nawaandikia ninyi, akina baba, + +Neno "akina baba" hapa linaweza kuwa fumbo au mfano ukimaanisha waamini waliokomaa. : "Ninawaandikia ninyi, waamini mlikoamaa + +# mnamjua + +"mna uhusiano na" + +# yeye aliye wa tangu mwanzo. + +"yeye ambaye amekuwa akiishi siku zote" au "yeye ambaye amekuwako siku zote." humaanisha Yesu au Mungu Baba." + +# vijana, + +Hili inawezekana kumaanisha wale wasio waamini wapya tena, bali ni wale wanokua katika ukomavu wa kiroho + +# mko imara, + +Hapa neno "imara" halimaanishi nguvu za kimwili za waamini, bali ni ule uaminifu wao kwa Kristo. + +# neno la Mungu linakaa ndani yenu + +Mwandishi anamaanisha lile ongozeko la uaminifu wa waaminio kwa Kristo na ufahamu wao juu Yake kana kwamba alikuwa akiongelea neno la Mungu likiishi ndani yao. : "Ninyi mnaolijua neno la Mungu" + +# mmemshinda + +Mwandishi anazungumzia juu ya maaminio kukataa kumfuata Shetani na kuipinga kwao mipango yake kana kwamba mambo hayo yamekuwa ni jambo la kumshinda yeye. + diff --git a/1jn/02/15.md b/1jn/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..10025756 --- /dev/null +++ b/1jn/02/15.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Msiipende dunia + +Neno "dunia" katika 2:15-17 humaaniha mabo yote watu hutaka kufanya , mambo ambayo hayamtukuzi Mungu. : "Msienende kama watu wa duniani wasiomheshimu Mungu" + +# wala mambo yaliyo katika dunia + +"msitake mambo yale yale wanayoyataka wale wasiomheshimu Mungu" + +# Kama kuna yeyote ambaye huipenda dunia, upendo wa Baba haumo ndani yake. + +Mtu hawezi kuipenda dunia hii pamoja na wale wote wasiomheshimu Mungu na kumpenda Baba wakati huo huo. + +# upendo wa Baba haumo ndani yake + +"hawa hamendi Baba" + +# tamaa ya mwili, tamaa ya macho, na kiburi cha uzima- + +Hii ni orodha ya baadhi ya mambo yaliyomo duniani. Nayo huelezea inamaana nini kusema "kila kilichomo dunianai" + +# tamaa ya mwili + +"tamaa kali ya kuwa starehe ovu za kimwili" + +# tamaa ya macho, + +"tamaa kali ya kuwa na vitu tuvionavyo" + +# kiburi cha uzima + +"Kiburi cha uzima." hili laweza kuashiria pande zote mali na nia. "kujivunia alicho nacho mtu au anachotenda" au "kiburi ambacho watu husikia kwa sababu ya vitu vyao na kile mtu amefanya." + +# uzima + +Hili lingeweza kumaanisha vitu walivyo navyo watu ili kuishi, vitu kama vile mali, utajiri pamoja na nia. + +# hayatokani na Baba + +"hayatoki kwa Baba" au "sivyo hivyo Baba alivyotufundisha kuishi" + +# yapita + +"yanapita" au "siku moja hayatakuwepo" + diff --git a/1jn/02/18.md b/1jn/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..8711fee6 --- /dev/null +++ b/1jn/02/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yohana anaonya juu ya wale waliokinyume na Kristo + +# Watoto wadogo + +"Wakristo wasiokomaa." Tazama sura 2:1 uone lilivyofafanuliwa + +# ni wakati wa mwisho + +Kile kirai "Wakati wa mwisho" humaanisha muda kabla ya kurudi kwa Yesu. "Karibu Yesu atarudi" + +# wapingakristo wengi wamekuja, + +"kuna watu wengi waliokunyume cha Kristo" + +# kwa hali hii tunajua + +"na kwa sababu ya hili tunajua" au "na kwa sababu wapngakristo wametokea, tunajua" + +# Walikwenda zao wakatoka kwetu + +"walituacha" + +# kwa kuwa hawakuwa wa kwetu. + +"lakini kwa kweli hawakuwa wa kwetu kwa namna yoyote" au "kwa uhalisia hawakuwa sehemu ya kundi letu katika nafasi ya kwanza ." Sababu iliyofanya waondoke ni kwamba, kwa kweli sehemu ya kundi; yaani hawakuwa waaminio katika Yesu Kristo. + +# Kama wangekuwa wa kwetu wangeendelea kuwa pamoja nasi + +"Tunajua hivi kwa sababu wasingekuwa wametuacha kama kwa kweli wangelikuwa waamini. + diff --git a/1jn/02/20.md b/1jn/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..4f1233ff --- /dev/null +++ b/1jn/02/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Julama + +Katika Agano La Kale neno kutia "mafuta" lilimaanisha kumimina mafuta juu ya mtu ili kumtenga kwa ajili ya kumtumikia Mungu. + +# Lakini mumetiwa mafuta na yule Mtakatifu + +"Bali Yule Mtakatifu amewatia mafuta ninyi. Hapa "kutia mafuta" humaanisha kazi ya Yesu kuwapa waaminio Roho Mtakatifu ili kuwatenga kwa ajili ya kumtumikia Mungu. : "Lakini Kristo, aliye Mtakatifu, amwapa ninyi Roho wake Mtakaifu" + +# hakuna uongo kwa ile kweli + +Hapa tendo la kuema uongo limzungumzwa kana kwamba ni kitu. : "hakuna uongo ujao kutoka kwa Mungu ambaye ni kweli. + diff --git a/1jn/02/22.md b/1jn/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..c0dcd1eb --- /dev/null +++ b/1jn/02/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nani ni mwongo bali ni yeye anayepinga kwamba Yesu ni Kristo? Huyu mtu ni mpinga kristo + +Nani ni mwongo? ni yeyote akanaye ukweli kwamba Yesu ni Kristo." Yohana alitumia swali kusisitiza waongo ni nani. + +# anayemkana Baba na Mwana. + +"hukataa kusema kweli kuhusu Baba na Mwana" au "humkataa Baba na Mwana." + +# Baba... Mwana + +Hivi ni vyeo muhimu ambavyo huelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# ana Baba + +"ni wa Baba" + +# amkiriye Mwana + +Husema kweli kuhusu Mwana" + +# ana Baba + +"ni wa Baba" + diff --git a/1jn/02/24.md b/1jn/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..689ceddc --- /dev/null +++ b/1jn/02/24.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yohana anawakumbusha waamini kuendelea katika lile walilokisikia hapo kwanza + +# Maelezo ya Jumla + +Hapa neno "ninyi" ni katika wingi nna humaanisha watu ambao Yohana anawaandikia pia na waamin wote. + +# kile mlilosikia toka mwanzo acha liendelee kuwa ndani yenu. + +"Kumbukeni na kuamini lile mlilolisikia tangu mwanzo>" Walilisikiaje, walilolisikia, na mwamwazo humaanisha nini, linaweza kuwekwa wazi. "endeleeni kutumaini tulilowafundisha kuhusu Yesu kama tu vile ambavyo mmetumaini tangu mwe waamini. + +# Lile mlilolisikia tangu mwanzo + +"tulilowafundisha kuhusu Yesu mlipoanza kuwa kuwa waamini" + +# ikiwa mlilolisikia hukaa ndani yenu + +Neno "hukaa" linazungumzia kuhusu uhusiano, siyo wakovu. "ikiwa mtaendelea kutumaini tullowafundisha hapo kwanza" + +# pia mtakaa ndani ya Mwana na Baba + +"pia mwe na uhusiano pamoja na Mwana pamoja na Baba." Tazama maelezo katika 2:4 Uone lilivyofafanuliwa + +# Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele. + +"na hivi ndivyo alivyotuahidi sisi kutupa - uzima wa milele" au " Na ametusababisha kuishi milele. + +# uzima + +Neno "uzima" katika barua nzima humaanisha zaidi ya uzima wa kimwili. Tazama maelezo katika 1:1 uone lilivyofafanuliwa + +# wangeliwakosesha + +"wanaotaka kuwaondoa njiani." Kuna wale ambao wangejaribu kuwaondoeni kwa Mungu na kweli Yake" "wangewasababisha kuamini uongo" + +# kosesha + +Shawishi mtu kutomtii Mungu limezugumziwa kana kwamba linlikuwa likimtoa mtu kwanya njia sahihi ya kufuata + diff --git a/1jn/02/27.md b/1jn/02/27.md new file mode 100644 index 00000000..e473b889 --- /dev/null +++ b/1jn/02/27.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi Unganishi + +Kuazia mstari 29, Yohana anatambulisha wazo la kuzaliwa kwenye familia ya Mungu. Mistari inayotangulia inaonyesha kwamba waaminio huendelea kutenda dhambi, sehamu hii inaonyesha waamini pia wana asili mpya ambayo haitendi dhambi. Inaendelea kuelezea kwamba wanaweza kutambuana kila moja. + +# Na kwa ajili yenu + +Kifungu hiki kinamwonyesha Yohana akiwaambia pia ilivyowapasa kuishi kama wafuasi wa Yesu badala ya kuwafuata wale waliokinyume na Kristo. + +# yale mafuta + +Humaanisha "Roho wa Mungu." Tazama maelezo katika 2:20 uone linavyofafanuliwa + +# mambo yote + +Kirai hiki ni baalagha ambayo hutia chumvi mambo au matukio. : "kila kitu mnachohitaji kukijua" + +# kaeni ndani yake. + +"ishini kwa ajili ajili yake." Tazama uone jinsi kurai hiki kilivyotafsiriwa katika 2:4. Jinsi mtu anavyokaa humaanisha ushirika au uhusiano wake. + +# Na sasa + +Kirai hiki kimetumika kuunda sehemu mpya ya barua. + +# watoto wapendwa + +Yohana alikuwa mtu mzeena kiongozi wao. Alitumia maelezo haya kuonyesha pendo lake kwao. : "watoto wangu wapendwa katika Kristo" au "ninyi mlio kama wapendwa kwangu kama wato wangu mwenyewe. Tazama ufafanuzi wake katika 2:1 + +# atakapotokea, + +"tutamwona yeye" + +# ujasiri + +"kujiamini" + +# wakati atakapotokea + +"atakapokuja tena" + +# amezaliwa na yeye. + +amekuwa mzaliwa wa Mungu" au ni mtoto wa Mungu" + diff --git a/1jn/03/01.md b/1jn/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..da41108e --- /dev/null +++ b/1jn/03/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Angalia ni pendo la namna gani ametupatia Baba. + +"Fikiria kuhusu kiasi gani Baba yetu anavyotupenda sisi." + +# Sisi...Tu. + +Katika 3:1-3 viwakilishi nomino hivi, humtaja Yohana, wasikilizaji wake, na waumini wote. + +# Lazima tuitwe watoto wa Mungu. + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa kitenzi tendaji: "Baba lazima atuite sisi watoto wake." + +# Watoto. + +Hapa hii inamaanisha watu wa Mungu kwa imani katika Yesu. + +# Ulimwengu haututambui, kwa sababu hakumtambua Yeye. + +Hapa "ulimwengu" humaanisha watu ambao hawamheshimu Mungu. Kile ambacho ulimwengu haukijui, hakiwezi kufanywa dhahili: Wale ambao hawamheshimu Mungu, hawajui kwamba sisi ni wa Mungu, kwa sababu hawakumjua Mungu. + +# Haijadhihirika bado. + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa kitenzi tendaji: "Mungu hajadhihirisha." + +# Na kila mtu ambaye ana ujasiri huu kuhusu wakati ujao ulioelekezwa kwake, hujitakasa mwenyewe kama yeye alivyo mtakatifu. + +"Kila mtu ambaye anatarajia kwa ujasiri kumuona Kristo kama alivyo, ataendelea kujitakasa mwenyewe kwa sababu Kristo ni mtakatifu." + diff --git a/1jn/03/04.md b/1jn/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..ffc6f998 --- /dev/null +++ b/1jn/03/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Anafanya uasi. + +"Ana kataa kutii sheria ya Mungu" + +# Ninyi. + +Hapa neno "Ninyi" ni wingi na inawalenga watu ambao Yohana anawaandikia. + +# Kristo alidhihirishwa. + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa kitenzi tendaji: "Kristo alitokea" au "Baba alimfunua Kristo." + +# Kudumu katika yeye. + +"Ni kuendelea kufanya anayotaka Yesu." + +# Hakuna ambaye...amemuona au amemfahamu. + +Yohana hutumia neno "amemuona" na "amemfahamu" kusisitiza kwamba mtu ambaye hudumu katika kutenda dhambi hajawahi kukutana na Yesu katika maana ya kiroho. "Hakuna ambaye...hajawahi kabisa kumwamini Yeye." + diff --git a/1jn/03/07.md b/1jn/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..ae13c084 --- /dev/null +++ b/1jn/03/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Watoto wapendwa. + +Watoto wanaopendwa/waumini wanaopatana naye. + +# Msiruhusu mtu yeyote kuwapotosha. + +"Msikubali mtu yeyote awafanye wajinga" au "msikubali mtu yeyote awadanganye." + +# Atendaye haki ni mwenye haki, kama Kristo alivyo mwenye haki. + +"Anayetenda kilicho sahihi anampendeza Mungu kama Kristo anavyompendeza Mungu." + +# Hutenda dhambi. + +"Huendelea kutenda dhambi" + +# Ni ya Ibilisi. + +"Humilikiwa na shetani au ni kama shetani" + +# Kutoka mwanzo. + +Hii inalenga hasa nyakati za uumbaji kabla ya binadamu hawajaanguka dhambini. "Tangu nyakati za mwanzo za uumbaji." + +# Mwana wa Mungu alidhihirishwa. + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fungu la maneno yanayoonesha kitendo: "Mungu alimudhihirisha Mwanawe." + +# Mwana wa Mungu. + +Hili ni jina mhimu kwa Yesu ambalo hufafanua uhusiano kwa Mungu. + diff --git a/1jn/03/09.md b/1jn/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..5fe8abbc --- /dev/null +++ b/1jn/03/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yeyote aliyezaliwa na Mungu. + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fungu la maneno lenye kitendo: "Yeyote ambaye Mungu amemfanya kuwa mwana wake." + +# Hafanyi dhambi. + +"Hawezi kuendelea kutenda dhambi." + +# Mbegu ya Mungu. + +Hii inalinganisha mbegu ya kawaida inayo pandwa katika udongo na hustawi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu ambaye Mungu humweka ndani ya waumini, Roho huwapa nguvu za kupinga dhambi na kufanya kile kinachomfurahisha Mungu. Hii ingeweza kutafsiriwa kama hivi: "Roho Mtakatifu" + +# Amezaliwa na Mungu. + +Hii inaweza kutafsiriwa kama fungu la maneno yenye kitendo: "Mungu amempa maisha mapya ya kiroho" au "Ni mtoto wa Mungu." + +# Kwa jinsi hii watoto wa Mungu na watoto wa shetani wanajulikana. + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi yenye kuonesha tendo: "Hivi ndivyo tunavyowajua watoto wa Mungu na watoto wa shetani." + +# Yeyote asiye fanya mambo ya haki huyo si wa Mungu, wala ambaye hampendi ndugu yake. + +Hapa "ndugu" humaanisha Wakristo wapendwa. Wale tu wanaofanya haki ndio wa Mungu, na wale tu ambao huwapenda ndugu zao." + diff --git a/1jn/03/11.md b/1jn/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..b54707bd --- /dev/null +++ b/1jn/03/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tuna pasa kupenda. + +Hapa, neno "tuna" linalenga waumimini wote. + +# Ndugu. + +Katika tukio hili, neno ndugu linamaanisha mdogo wake na Kaini, Abeli. + +# Na kwa nini alimuua?Kaw sababu + +Yohana anatumia swali kuwafundisha wasikilizaji wake. Hii ingeweza kutafsiriwa kama usemi: "Alimuua kwa sababu." + +# Kazi zake zilikuwa na uovu, na kazi za ndugu yake zilikuwa za haki. + +"Kwa sababu daima alifanya mambo maovu na ndugu yake alikuwa akifanya mambo mazuri." + diff --git a/1jn/03/13.md b/1jn/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..2ec3cb91 --- /dev/null +++ b/1jn/03/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ndugu + +"Waamini wenzangu." + +# Kama ulimwengu utawachukia + +Hapa neno "ulimwengu" lina maana ya watu ambao hawamheshimu Mungu. "Kama hao wasiomheshimu Mungu watawachukia. + +# Tumetoka katika mauti kuingia uzimani. + +"Hatuko tena wafu kiroho bali tu wazima kiroho." + +# Kudumu katika mauti. + +"Ni kuendelea kufa kiroho." + +# Yeyote anaye mchukia ndugu yake ni muuaji. + +Hii ni kumlinganisha mtu anaye mchukia muumini mwingine na muuaji. Kwa kuwa chuki ni chanzo cha mauaji, Mungu humuwazia mtu yeyote mwenye chuki kuwa mwenye hatia kama aliye muua mtu. "Yeyote anayemchukia muumini mwenzake ana hatia kama muuaji." + +# Uzima wa milele haukai ndani ya muuaji. + +"Uzima wa milele" ni uhai ambao Mungu hutupatia waumini baada ya kufa, lakini pia ni nguvu ambayo Mungu huwapatia waumini katika uzima huu, kuwasaidia waache kufanya dhambi na wafanye yale yanayo mpendeza yeye. "Muuaji hana nguvu za uzima wa kiroho zinazofanya kazi ndani yake." + diff --git a/1jn/03/16.md b/1jn/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..79592b06 --- /dev/null +++ b/1jn/03/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kristo aliutoa uhai wake kwa ajili yetu. + +Maelezo haya humaanisha: "Kristo kwa kupenda kwake mwenyewe aliutoa uhai wake kwa ajili yetu" au "Kristo kwa kupenda kwake alitufia sisi." + +# Mali za ulimwengu. + +"Mali zinazomilikiwa kama vile pesa, chakula, au nguo." + +# Humuona ndugu yake mwenye uhitaji. + +"Na humtambua muumini mwenzake anayehitaji msaada." + +# Na huufunga moyo wake wa huruma kwa ajili yake. + +Maelezo haya humaanisha kwamba, "lakini hamwonei huruma." au lakini hapendi kumsaidia." + +# Upendo wa Mungu unakaaje ndani ya mtu huyo? + +Yohana anatumia swali kuwafundisha wasikilizaji wake. Hii ingeweza kutafsiriwa kama usemi: "Upendo wa Mungu haumo ndani yake." + +# Watoto wangu wapendwa. + +"Watoto au wapendwa waumini wenzi wangu." + +# Haya tusipende kwa maneno wala kwa mdomo. + +Kifungu hiki, "kwa maneno" na "kwa mdomo" yote mawili yanalenga kile ambacho mtu anasema. " Usiseme tu ili mradi kwamba unawapenda watu." + +# Bali katika matendo na kweli + +"Bali onesha kwamba kweli unawapenda watu kwa kuwasaidia." + diff --git a/1jn/03/19.md b/1jn/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..c51c506a --- /dev/null +++ b/1jn/03/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Hapa huenda Yohana anamaanisha kwamba uwezo wa waminiowa kumpenda Mungu na kupenda wao kwa wao kwa thati (tazama mstari wa 18) ni in ishara kwamba maisha yao mapya hasa asili yake ni ukweli kuhusu Kristo. + +# Sisi tunatokana na kweli. + +"sisi ni wa hiyo kweli" au :"tunaishi kufuatana na jinsi Yesu alivyotufundisha." + +# mioyo yetu inathibitika + +neno "moyo" humaanisha hisia. "hatutahisi hatia." + +# Ikiwa mioyo yetu yatuhukumu + +Hii ni methali au fumbo. : "kama tuajua kwamba tumefanya dhambi na matokeo yake tunasikia hatia" + +# Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu. + +"Mungu hujua zaidi ya mtu na huhukumu vyema" Athari za ukweli huu labda huenda ni kwamba Mungu ni mwenye rehema zaidi ya dhamiri zetu ambavyo zingesema. Ubora huu wa Mungu umeelezewa kwa neno "mkuu." Mungu hujua zaidi ya tunavyojua. + +# Wapendwa + +"Ninyi watu ninaowapenda" au "rafiki wapendwa." Tazama lilivyotafriwa katika 2:7 + +# na tunafanya mambo yanayopendeza mbele zake. + +Maoni ya Mungu yameongelewa kana kwamba yanategemea anayoona yakitokea mbele zake. "na hufanya linalompendeza yeye" + diff --git a/1jn/03/23.md b/1jn/03/23.md new file mode 100644 index 00000000..c9cd46c4 --- /dev/null +++ b/1jn/03/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hii ndio amri yake. + +"Hiki ndicho ambacho Mungu anataka tufanye." + +# Mwana + +Hili ndilo Jina Mashuhuri la Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Dumuni ndani yake, na Mungu hudumu ndani yake. + +Daima kuwa na ushirika endelevu na Mungu. + diff --git a/1jn/04/01.md b/1jn/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..fc52c661 --- /dev/null +++ b/1jn/04/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yohana anatoa onyo dhidi ya walimu wa uongo ambao hufundisha kinyume cha Kristo kuwa na mwili wa kibinadamu na waalimu huongelea kama wale wanaopenda mazungumzo ya ulimwengu + +# Wapendwa + +"Nyinyi watu ninaowapenda" au "Rafiki wapendwa." Tazama linavyofafanuliwa 2:7 + +# msiiamini kila roho + +Hapa, neno "roho" humaanisha uwezo au nguvu zakiroho au nafsi inayompa mtu ujumbe au unabii. "msimtumaini kila nabii anayedai kuwa anao ujumbe kutoka kwa roho" + +# zijaribuni roho + +Hapa, neno "roho" humaanisha uwezo au nguvu zakiroho au nafsi inayompa mtu ujumbe au unabii. : "hakikisheni kwamba mnasikiliza kwa makini kwa anayoyasema nabii" + +# jaribu + +"thibitisha" + +# kila roho itakayokiri kuwa Yesu Kristo amekuja katika mwili + +"amechukua umbo la mwili" au amekuja katika mwili unoonekana" + +# Hii ni roho ya mpinga kristo + +"wao ni walimu wanaliokinyume na Kristo" au "wao ni walimu wanaompinga Kristo" + +# mpinga kristo, ambayo mliyoisikia kuwa inakuja + +"mpingakristo. Mmekwisha kusikia kwamba watu kama hao wanakuja miongoni mwetu" + +# inakuja, na sasa tayari iko duniani. + +"wanakuja. Na hata sasa tayari wako hapa" + diff --git a/1jn/04/04.md b/1jn/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..b28b71dd --- /dev/null +++ b/1jn/04/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# watoto wapendwa + +Yohana alikuwa mzee tena kiongozi wao. Alitumia maelezo haya kuonyesha pendo lake kwao. "watoto wangu wapendwa katika Kristo" au "ninyi mlio kama watoto wangu mwenyewe ninaowapenda." Tazama 2:1lilivyofafanuliwa + +# mmekwisha washinda + +"hamjawaamini waalimu wa uongo" + +# yeye aliye ndani yenu + +"Mungu aliyemo ndani yenu" + +# yeye aliye katika ulimwengu + +Uwezekano wa maana mbili ni 1) "wale waalimu wa kidunia" au 2) "Shetani aliyeko ulimwenguni + +# ulimwengu + +Jina "ulimwengu" humaanisha watu wot wasiomtii Mungu pia humaanisha mfumo uovu ukaao katika ulimwengu wa dhambi + +# Wao ni wa ulimwengu, + +"Wale waalimu wa uongo ni watu wasiomtii Mungu" + +# kwa hiyo wanachokisema ni cha ulimwengu, + +"kwa hiyo hufundisha mawazo yaliyokinye na Mungu" + +# na ulimwengu huwasikiliza wao. + +kwa hiyo watu wasiomtii Mungu huwasikiliza wao" + diff --git a/1jn/04/07.md b/1jn/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..a06f0e61 --- /dev/null +++ b/1jn/04/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yohana anaendelea kufundisha kuhusu asili mpya. Anawafundisha wasomaji wake juu ya pendo lamungu na kupendana wao kwa wao + +# Wapendwa + +"Nyinyi watu ambao ninawapenda" au "Rafiki wapendwa" Tazama lilifasiriwa katika 2:7 + +# tupendane sisi kwa si + +"waaminio ni lazima wapendane wao kwa wao" + +# na kila mmoja apendaye amezaliwa na Mungu na kumjua Mungu. + +"kwa sababu wale wanaowapenda waamini wenzao wamefanyika watoto wa Mungu na humjua yeye" + +# kwa sababu pendo latoka kwa Mungu. + +"kwa sababu Mungu hutusababisha kupendana sisi kwa sisi" + +# amezaliwa na Mungu + +Hii ni methali au fumbo ambalo humaanisha mtu mtu fulani kuwa na uhusiano na Mungu kama mtoto kwa babaye. + +# Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni upendo. + +"Asili ya Mungu ni kupena watu. Wale wasiowapenda waamini wenzao hawamjui Mungu kwa sababu tabia ya Mungu ni kupenda watu. + +# Mungu ni upendo + +Hii ni mithali au fumbo linalomaanisha "tabia ya Mungu ni upendo" + diff --git a/1jn/04/09.md b/1jn/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..d612608e --- /dev/null +++ b/1jn/04/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Katika hili pendo la Mungu lilifunuliwa miongoni mwetu, + +"Kwa hili Mungu alionyesha kwamba alitupenda" + +# pendo la Mungu lilifunuliwa + +Ule uhalisa kwamba Mungu anampenda kila mtu yamengumzwa kana kwamba yalikuwa kitu ambacho kwacho Mungu angeweza kwao. + +# ili tungeishi kwa sababu ya yeye + +"kutuwezesha kuishi miliele kwa sababu ya kile Yesu alifanya + +# Katika hili pendo + +Mungu alituonyesha sisi hasa pendo ni nini + +# pendo, si kwamba tulimpenda Mungu, lakini yeye alitupenda, na + +"pendo: pendo la kweli siyo namna tuvyompenda Mungu, bali ni jinsi alivyotupenda sisi, na" + +# akamtuma Mwanawe awe fidia ya dhambi zetu. + +Hapa "fidia" hurejelea tukio la ambalo kwalo Mwana alifanyika dhabihu kwa ajili ya dhambi kwa ajili ya dhambi za watu wote. : "An alimtuma Mwanawe kutoa mwenyewe kuwa dhabihu ili kwamba Mungu angeweza kutusamehe dhambi zetu + diff --git a/1jn/04/11.md b/1jn/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..38310141 --- /dev/null +++ b/1jn/04/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wapendwa + +"Enyi watu niwapendao," au "rafiki wapendwa." Tazama 2:7 + +# ikiwa Mungu alitupenda sisi + +"kwa kuwa Mungu alitupenda sisi katika njia hii" + +# kupendana sisi kwa sisi + +Waaminio wanapaswa kuwapenda waamini wengine. + +# Mungu anakaa ndani yetu... tunakaa ndani yake + +"Mungu anao uhusiano nasi... tunao uhusianao na Mungu naye ana uhusiano nasi." Tazama lilivyotafsiriwa 2:4 + +# kwa sababu ametupa + +"kwa sababu alitupatia Roho wake" au "amekwisha mweheka roho wake nadani yetu," hata hivyo, kirai hiki hakiashirii Mungu ana kiasi kidogo cha Roho Wake alichobaki nacho baada ya kuwa ametupatia sisi sehemu yake. + +# Na tumeona na kushuhudia kuwa Baba amemtuma Mwana kuwa mwokozi wa ulimwengu.Roho wake. + +"Nasi mitume tumewona MWana wa Mungu na tunamwambia kila mtu kwamba Mungu, Baba, amemtuma MWana ili kuokoa watu hapa duniani" + +# Baba...Mwana + +Hivi ni vyeo muhimi ambavyo huelezea uhusiano kaika ya Mungu na Yesu. + diff --git a/1jn/04/15.md b/1jn/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..178d910e --- /dev/null +++ b/1jn/04/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kila anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu + +"Wale wanaousema ukweli kuhusu, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu" + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Yesu kinachoelezea uhusiano wake kwa Mungu. + +# hukaa ndani yake + +"Mungu anauhusiano naye na yeye pia anauhusianao na Mungu. Tazama 2:4 + +# Mungu ni Pendo + +Hii ni mithali ambaoy humaanisha kuwa "tabia ya Mungu ni upendo." Tanzama 4:7 + +# na yeye anayekaa ndani ya upendo anakaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake. + +"wale wanaoendelea kupenda wengine wanao uhusianao wa karibu na Mungu, naye Mungu anao uhusiano wa karibu nao" + diff --git a/1jn/04/17.md b/1jn/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..e5f54bfc --- /dev/null +++ b/1jn/04/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa sababu hii, pendo hili limekwisha kamilishwa miongoni mwetu, ili tuwe na ujasiri + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. (Maana zinazowezekana ni 1) " Kwa sababu kwa sababu hii" hurejea 4:14 : "Kwababu yeyote akaaye katika pendo hukaa ndani ya Mungu na Mungu ndani yake, Mungu amelifanya pendo lake kamili kwa ajili yetu, na kwa hiyo tunaweza kuwa na ujasiri kamili" au 2) "Kwa sababu hii" hurejea kwa "tuwe na ujasiri." : "Tuna ujasiri kwamba Mungu atatupokea katika siku anayohukumu kila mmoja, kwa hiyo tunajua amelifanya pendo lake kuwa kamili" + +# pendo hili limefanywa timilifu miongoni mwetu + +"hivi ndivyo ambavyo Mungu amelifanya pendo lake kuwa kamili kwa ajili yetu" + +# kwa sababu kama yeye alivyo, na sisi ndivyo tulivyo katika ulimwenngu huu + +"kwa sababu uhusiano alionao Yesu pamoja na Mungu ni uhusiano ule ule tulionao sisi pamoja na Mungu ulimwenguni humu" + +# pendo kamili huitupa hofu nje + +Hapa "pendo" limeelezwa kama nafsi yenye uwezo wa kuondoa hofu. Pendo la Mungu ni kamilifu, haitupasi kuogopa" + +# kwa sababu hofu huhusiana na hukumu + +"kwa sababu tunaogopa kama tunafikiri kwamba Mungu atakapokuja atatuadhibu kila mmoja" + +# Lakini yeye aogopaye hajakamilishwa katika pendo. + +"Mtu anapoogopa kwamba Mungu atamwdhibu yeye, inamaanisha kwamba pendo lake si kamili" + diff --git a/1jn/04/19.md b/1jn/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..afee2fcc --- /dev/null +++ b/1jn/04/19.md @@ -0,0 +1,7 @@ +# 1Yohana 4:19-21 + +Sisi +amchukiaye ndugu yake +yeyote asiyempenda ndugu yake anayemuona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hajamuona +amri tuliyo nayo kutoka kwake + diff --git a/1jn/05/01.md b/1jn/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..f63e82eb --- /dev/null +++ b/1jn/05/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yohana anaendelea kuwafundisha wasomaji wake kuhusu upendo wa Mungu na upedo ambao waaminio wanapaswa kuwa nao kwa sababu mekuwa na hali hii mpya kutoka kwa Mungu + +# amezaliwa na Mungu + +"ni mwana wa Mungu" + +# Kwa hili twajua kwamba twawapenda watoto wa Mungu: tunapompenda Mungu na kutekeleza amri zake. + +"Tunapompenda Mungu na kutenda atuamruyo, ndipo tunatambua kwamba tunawapenda watoto wake" + +# Hivi ndivyo tunavyompenda Mungu kwamba twazishika amri zake. + +"Kwa sababu tunapofanya atuamruyo, hilo ndilo pendo la Mungu" + +# Na amri zake ni nyepesi. + +"Na anayotuamru siyo gumu" + +# nzito + +"lenye kuponda," "lenye kukandamiza" au "gumu" + diff --git a/1jn/05/04.md b/1jn/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..067cb156 --- /dev/null +++ b/1jn/05/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kila aliyezaliwa na Mungu + +"watoto wote wa Mungu" + +# huushinda ulimwengu + +"wanaushindi juu ya ulimwengu," "hufaulu dhidi ya ulimwengu," au "hukataa kufanya mambo maovu wayafanyayo wasioamini" + +# Na huu ndio ushindi wa kuushinda ulimwengu: imani yetu + +"Imani yetu hupatia nguvu ya kuzuia lolote ambalo lingetutia katika ktenda dhambi dhidi ya Mungu" + +# Ni nani anayeushinda ulimwengu? + +Yohana alitumia swali hili kutambulisha jambo fulani alilotaka kufundisha. "Nitaambia anayeshinda ulimwengu" + +# ulimwengu + +ujumbe huu "ulimwengu? kwa kumaanisha watu wote wenye dhambi na mfumo mwovu wa ulimwengu" + +# Ni yule aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu. + +Hili halimaanishi mtu maalum bali kwa yeyote anayeamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu. + +# Mwana wa Mungu + +hiki ni cheo muhimu kwa Yesu kinachoelezea uhusiano wake kwa Mungu + diff --git a/1jn/05/06.md b/1jn/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..f43b160e --- /dev/null +++ b/1jn/05/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yohana anafundisha kuhusu Yesu Kristo na aliyosema Mungu kuhusu yeye. + +# Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu- Yesu Kristo + +"Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji na damu. hapa "maji" ni taashira au mfano labda huenda kwa ajili ya ubatizo wa Yesu, na "damu" husimama kwa niaba ya kifo cha Yesu msalabani. : "Mungu alionyesha kwamba Yesu Kristo ni Mwanawe kwenye ubatizo wa Yesu na kifo chake masalabani" + +# Hakuja tu kwa maji bali kwa maji na damu + +Maji humaanisha ubatizo wa Yesu na damu humaanisha kifo cha Yesu msalabani. : "Mungu hakutuonyesha sisi kuwa Yesu alikuwa Mwanawe kupitia ubatizo wake tu, bali pia kwa njia ya kifo chake msalabani" + diff --git a/1jn/05/09.md b/1jn/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..98144b82 --- /dev/null +++ b/1jn/05/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kama tunaupokea ushuhuda wa wanadamu ushuhuda wa Mungu ni mkuu + +"Kama tunaamini wasemayo watu, basi ni lazima tuamini asemacho Mungu kwa sababu Yeye daima huisema kweli" + +# tunaupokea ushuhuda wa wanadamu + +uhalisia kwamba watu huutoa ushahidi au kushuhudia juu ya mambo mbalimbalia limezungumziwa hapa kana kwamba ni kitu amabacho wengine hukipokea. + +# ushuhuda wa Mungu ni mkuu + +usuhuda wa Mungu ni mkuu na muhimu na wa kutegemewa zaidi + +# amwaminiye Mwana wa Mungu ana ushuhuda ndani yake m + +mtu yeyote anayemwamini Yesu hujua kuwa hakika Yesu ni Mwana wa Mungu" + +# amemfanya yeye kuwa mwongo, + +"anamwita Mungu mwongo" + +# kwa kuwa hakuuamini ushuhuda ambao Mungu ameuleta kuhusu Mwanawe. + +"kwa sababu haamini kwamba Mungu aliseama kweli kuhusu Mwanawe" + diff --git a/1jn/05/11.md b/1jn/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..9367b468 --- /dev/null +++ b/1jn/05/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Na ushuhuda ndio huu + +"Hivi ndivyo Mungu anavyosema" + +# uzima + +Hapa "uzima" husimama badala ya haki ya kuishi milele kwa neema na upendo wa Mungu. Tazama 1:1 + +# uzima huu umo ndani ya Mwanawe. + +uzima huu ni kwa njia ya Mwanawe, "Tutaishi milele kama tutaungana na Mwanawe" au "tutaishi milele kama tutakuwa na muungano na Mwanawe" + +# Mwana + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Aliye naye Mwana ana uzima + +Kuwa katika uhusiano wa karibu na Yesu kunazungumzia ni kama kuwa na Mwana. "Yeye aaminiye katka Mwana wa Mungu anao uzima wa milele" + diff --git a/1jn/05/13.md b/1jn/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..e9ed55bd --- /dev/null +++ b/1jn/05/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maaelezo ya Jumla + +Hii inaanzisha mwisho wa barua ya Yohana. Anawaambia wasomaji wakke kusudi lake la mwisho kwa barua yake na anawapa mafundisho kadha ya mwaisho. + +# mambo haya + +"barua hii" + +# ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu + +Hapa "jina" ni Taashira au Ishara inayomwakilisha Mwana wa Mungu. : "Ninyi mnaotumaini katika Mwana wa Mungu" + +# Mwana wa Mungu + +Hiki nicheo muhimi sana kwa Ysu ambacho uelezea uhusiano wake kwa Mungu. + +# uzima + +Hapa "uzima" husimama badala ya haki ya kuishi milele kwa neema na upendo wa Mungu. Tazama 1:1 + +# Na huu ndio ujasiri tulionao mbele zake, kwamba + +"tuna ujasiri mbele za Mungu kwa sababu tunajua, kwamba" + +# kama tukiomba kitu chochote sawa sawa na mapenzi yake + +"Kama tunaomba mambo ambayo Mungu hutamani" + +# tunajua kwamba tunacho hicho tulichomwomba. + +"tunajua kwamba tutapokea ambacho tumemwomba Mungu" + diff --git a/1jn/05/16.md b/1jn/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..da8b8ac3 --- /dev/null +++ b/1jn/05/16.md @@ -0,0 +1,13 @@ +# ndugu + +Mwamini mwenza + +# uzima + +"uzima" hapa husimama bada ya haki ya kuishi milele kwa neema na pendo la Mungu. +Tazama 1:1 + +# Mauti + +hii humanisha hauti ya milele, yaani, kutumia muda wote mbali na uwepo wa Mungu. + diff --git a/1jn/05/18.md b/1jn/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..66d88836 --- /dev/null +++ b/1jn/05/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yohana anahitimisha barua yake, akifunua alichokisema kwa kuhusu hali mpya ya waaminio ambayo haiwezi kutenda dhambi na anawakumbusha kulinda na sanamu. + +# ulimwengu wote + +"ulimwengu" ni njia ambayo kwayo baadhi ya waandishi wa Kibiblia huwazungumzia watu waishio watu wote wanaoishi ulimwenguni walio katika uasi dhidi ya Mungu na pia hulitumia kuelezea mfumo wa ulimwengu uliodhiliwa na nguvu ya dhambi yenye kuharibu. + +# chini ya utawala wa yule mwovu. + +yaani, katika nguvu za yule mwovu. + diff --git a/1jn/05/20.md b/1jn/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..aa6cba70 --- /dev/null +++ b/1jn/05/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Maneno "yeye" na "Aliye" humrejea Yesu Kristo + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu ambacho huelezea uhusiano wake kwa Mungu. + +# ametupatia ujuzi + +"ametuwezesha kumwelewa huyo kweli" + +# uzima + +Hapa, neno "uzima" husimama kwa niaba ya haki ya kuishi milele kwa neema na pendo la Mungu. Tazama maelezo katika1:1. + +# Yeye ni... uzima wa milele + +hili linasimama kwa niaba ya wazo kwamba Kristo hutupatia uzima wa milele. + +# Watoto + +Yohana alitumia maelezo haya kuonyesha kuonyesha upendo wake kwa ajili yao. : "Watoto wangu katika Kristo" au "ninyi mlio wapendwa kwangu kama watoto wangu mwenyewe." Tazama lilivyotafsiriwa katika 2:1. + diff --git a/1pe/01/01.md b/1pe/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..6bc7a20e --- /dev/null +++ b/1pe/01/01.md @@ -0,0 +1,37 @@ +# Petro, mtume wa Yesu Kristo + +Petro anajitambulisha mwenyewe. "Mimi, Petro, mjumbe wa Yesu Kristo ninawaandikia (wingi + +# Ponto + +Hii ni siku ya sasa kaskazini mwa Uturuki. + +# Galatia + +Hii ni siku ya sasa ya kati Uturuki. + +# Kapadokia + +Hii ni siku ya sasa mashariki ya kati Uturuki. + +# Asia + +Hii ni siku ya sasa magharibi ya kati Uturuki. + +# Bithinia + +Hii ni siku ya sasa kaskazini magharibi Uturuki. + +# foreknowledge + +Maana iwezekuwa ni kwamba 1) Mungu anajua tukio kabla ya kutokea au 2) Mungu 'aliamua awali' (UDB). + +# kuinyunyiza damu yake + +Hii ina maana ya damu ya Yesu kama dhabihu na wakati Musa aliponyunyiza damu kwenye taifa la Israeli. + +# Neema iwe kwenu + +Maneno "Neema iwe kwenu" ni salamu za kawaida za watu anaowaandikia. Katika lugha zingine ni kawaida kuweka salamu zako za kawaida hapa. Neno "wewe" na lako" + linamaanisha waumini wanaoishi katika maeneo yaliyotajwa hapa juu. + diff --git a/1pe/01/03.md b/1pe/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..ea591fa4 --- /dev/null +++ b/1pe/01/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bwana wetu Yesu Kristo + +Maneno "yetu" na "sisi" yanataja msemaji (Petro) na waumini waliotajwa + +# Alitupa kuzaliwa upya + +Mwandishi anazungumzia kuhusu kuzaliwa kwa kiroho tuliyopewa tu na Yesu. AT "ametufanya tuishi tena." + +# kwa ujasiri wa urithi + +"tunajua kwamba atatufanyia yale aliyoahidi" (UDB) + +# zimehifadhiwa + +"kuokolewa kwa ajili yetu" au "kuhifadhiwa kwa ajili kwetu" (UDB) + +# haitakuwa na madhara + +"hawezi kuumiza na dhambi au 'dhambi haiwezi kuumiza" + +# katika nyakati za mwisho + +"wakati Kristo anarudi duniani" + diff --git a/1pe/01/06.md b/1pe/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..35e72361 --- /dev/null +++ b/1pe/01/06.md @@ -0,0 +1,21 @@ +# Unafuraha katika hili + +Neno hili linamaanisha baraka zote za + "hufurahi kwa kile Mungu amefanya" + +# sasa ni muhimu kwako kujisikia huzuni + +"sasa ni sawa na sahihi kwamba unajisikia huzuni" + +# hiyo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu + +"Mungu hufurahia imani yako zaidi kuliko yeye anayegundua dhahabu" + +# ipi huangamia katika moto ambayo inachunguza imani yako + +"ingawa dhahabu hujaribiwa na moto, haiwezi kudumu milele" + +# katika ufunuo wa Yesu Kristo + +"wakati Yesu Kristo anarudi" + diff --git a/1pe/01/08.md b/1pe/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..72c8487e --- /dev/null +++ b/1pe/01/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hukumwona + +"Hukumwona kwa macho yako mwenyewe" au "hujamwona kimwili." Matukio yote ya "wewe" rejelea kwa waumini katika [1 pe:01:01] + diff --git a/1pe/01/11.md b/1pe/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..7aad1009 --- /dev/null +++ b/1pe/01/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Walitaka kujua + +"Walijaribu kujua" au "Waliuliza kuhusu" + +# Wao + +Neno "wao" linamaanisha manabii. + +# Ilifunuliwa kwa manabii + +"Mungu alifunua unabii wa Kristo kwa manabii" + +# walikuwa wakitumikia mambo haya, si kwao wenyewe, bali kwa ajili yenu + +Kwa lugha zingine ni kawaida zaidi kuweka chanya kabla ya hasi. AT "walikuwa wakutumikia mambo haya kwa ajili yenu, sio wenyewe." + +# kutumikia mambo haya + +Walikuwa wanatafuta kuelewa unabii kuhusu Kristo. + diff --git a/1pe/01/13.md b/1pe/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..8de7769a --- /dev/null +++ b/1pe/01/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Panda viuno vya akili yako + +Wakati wa kuvaa vazi, mtu angeweza kufunga vazi hilo kwa mkanda wake kujiandaa kwa ajili ya kazi. AT "huandaa mawazo yako kwa shughuli." + +# Kuwa na busara katika kufikiri kwako + +AT "Kudhibiti mawazo yako" au "Jihadharini na nini unafikiri." + diff --git a/1pe/01/15.md b/1pe/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..b49cb22c --- /dev/null +++ b/1pe/01/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mmoja + +Mungu + +# Kwa maana imeandikwa + +"Kwa maana kama Musa alivyoandika zamani." + +# bila upendeleo + +"haki" + +# kutumia muda wa safari yako kwa heshima + +"Ishi kwa kumheshimu Mungu wakati unapokaa Duniani" + diff --git a/1pe/01/18.md b/1pe/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..bebdee32 --- /dev/null +++ b/1pe/01/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# umekombolewa kutoka + +"Mungu amekukomboa kutoka" au "Mungu amekuokoa kutoka.? + +# kama wa kondoo + +Yesu alikufa kama dhabihu ili Mungu atasamehe dhambi za watu. + +# bila ya ukamilifu na bila doa + +Petro anaonyesha wazo sawa katika njia mbili tofauti za kusisitiza usafi wa Kristo. AT "bila kutokamilika." + diff --git a/1pe/01/20.md b/1pe/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..04a53b69 --- /dev/null +++ b/1pe/01/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kristo alichaguliwa + +"Mungu amemchagua Kristo." + +# kabla ya msingi wa ulimwengu + +"Kabla ya kuumbwa ulimwengu" + +# amefunuliwa kwako + +"Mungu amemfanya ajulikane kwako." + diff --git a/1pe/01/22.md b/1pe/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..23caeb0d --- /dev/null +++ b/1pe/01/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# upendo wa ndugu + +Huu ni upendo wa kibinadamu kati ya marafiki au jamaa. + +# Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa dhati kutoka moyoni + +Pendaneni nyinyi kwa nyinyi kwa undani na kwa dhati + +# Umezaliwa tena ... kutoka mbegu isiyoharibika + +Petro ni sawa na uzao wao wa kiroho kwa mbegu ambayo haitakufa kamwe. Wao wataishi kwa milele. + +# kuharibika + +"sio kuharibika" au "kudumu" + +# kupitia maisha ...neno la Mungu + +Neno lililo hai la Mungu linamaanisha neno la Mungu uwezo wa kubadili maisha ya watu wakati wote kama kama mtu halisi anayehubiri na kufundisha watu kuhusu Mungu. + diff --git a/1pe/01/24.md b/1pe/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..08300da5 --- /dev/null +++ b/1pe/01/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyama zote ni kama nyasi + +"watu wote wataangamia kama majani huharibika." (UDB) + +# Utukufu wake wote ni kama maua ya nyasi + +"na ukuu wote ambao watu wanao hautaendelea milele." (UDB) + +# ujumbe ambao uliotangazwa + +"ujumbe ambao tuliutangaza." + diff --git a/1pe/02/01.md b/1pe/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..ed4b0d22 --- /dev/null +++ b/1pe/02/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kw ahiyo, weka pembeni + +"Basi kuacha kufanya" + +# Kama watoto wachanga, tamaa kwa maziwa safi ya kiroho + +Kama watoto wazaliwa wapya wanatamani maziwa ya mama zao, hivyo waumini wapya waliozaliwa kiroho wanapaswa kutamani neno la Mungu. Neno la Mungu pia linajulikana kama maziwa safi ya kiroho. + +# Kama watoto wachanga + +Wakati mmoja akizaliwa kiroho, wanahitaji kusoma neno la Mungu kuishi na kukua kama mtoto mpya aliyezaliwa anahitaji kunywa maziwa ili kuishi na kukua + +# kwa muda mrefu + +"hamu sana" au "tamani" + +# unaweza kukua katika wokovu + +"unaweza kukua kiroho." Neno "wewe" linamaanisha waumini waliotajwa katika sura ya 1. + +# ikiwa umeonja kuwa Bwana ni mwema + +"kwa sababu umeona kwamba Bwana hutendea kwa huruma kwako" (UDB) + diff --git a/1pe/02/04.md b/1pe/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..35306b3a --- /dev/null +++ b/1pe/02/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Njoo kwa yeye aliye jiwe la uzima + +Petro anafananisha Yesu na jiwe muhimu zaidi katika msingi wa jengo. + +# ambayo imekataliwa na watu + +"kwamba watu wengi walikataliwa." + +# lakini hiyo imechaguliwa na Mungu + +"lakini Mungu amechagua." + +# Wewe pia ni kama ... nyumba ya kiroho + +Kama vile mawe hutumiwa kujenga nyumba, Mungu anatuletea pamoja ili kujenga nyumba yake ya kiroho au familia. + +# ambazo zinajengwa kuwa nyumba ya kiroho + +kwamba Mungu anajenga ndani ya nyumba ya kiroho. + diff --git a/1pe/02/06.md b/1pe/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..e4c330ed --- /dev/null +++ b/1pe/02/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Andiko linasema hii + +"Hivi ndivyo nabii alivyoandika katika Maandiko zamani" + +# Tazama + +"Ninawaambieni kitu muhimu" au "Sikiliza!' Neno 'tazama' hapa linatuchochea kuzingatia maelezo ya ajabu ambayo ifuatavyo. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kufanya hivyo. + +# jiwe la kona, mkuu na aliyechaguliwa na thamani + +Maneno "mkuu" na "thamani" yanaelezea thamani ya "jiwe la msingi." AT "jiwe muhimu zaidi la kona, ambalo nimechagua." + +# jiwe la kona + +Nabii alikuwa akiandika juu ya Masihi, ambaye ni Yesu. + diff --git a/1pe/02/07.md b/1pe/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..a4f5275e --- /dev/null +++ b/1pe/02/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# jiwe lililokataliwa na wajenzi + +Petro anasema nini nabii aliandika katika Maandiko zamani. "Jiwe" ni jiwe la msingi ambalo ni jiwe muhimu zaidi katika jengo hilo. Hii inahusu Yesu ambaye watu wengi walimkataa. AT "jiwe ambalo wajenzi walikataa." + +# jiwe la kikwazo na jiwe la kuwakumbusha + +Petro anaeleza tena kile nabii aliandika zamani sana. Maneno haya mawili yanashiriki maana sawa. Pamoja wao wanasisitiza kwamba watu watachukuliwa na "jiwe" ambalo linamaanisha Yesu. + +# kutokutii neno + +"kutokutii amri za Mungu + +# ambayo pia walichaguliwa + +"ambao Mungu aliwachagua" + diff --git a/1pe/02/09.md b/1pe/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..a1fcd9ba --- /dev/null +++ b/1pe/02/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ninyi ni mbio iliyochaguliwa + +Neno "ninyi" linamaanisha waamini katika Kristo. + +# alikuita nje + +"alikuita utoke nje" au "alikuita ili ugeuke" + +# kutoka giza kwenda kwenye nuru yake ya ajabu + +Hapa "giza" ina maana watu waliokuwa wenye dhambi na hawakujua Mungu. Na, "nuru" ina maana Mungu aliwafanya wamjue na kuanza kufanya kile kinachompendeza. + diff --git a/1pe/02/11.md b/1pe/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..52b0e727 --- /dev/null +++ b/1pe/02/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wageni na watazamaji + +Maneno haya mawili yanamaanisha kimsingi kitu kimoja. Petro anawatumia pamoja ili kusisitiza kuwa nyumbani kwao halisi ni mbinguni si duniani. + +# vita dhidi ya nafsi yako + +"kutafuta kuharibu imani yako katika Mungu" + diff --git a/1pe/02/13.md b/1pe/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..b0cc9283 --- /dev/null +++ b/1pe/02/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# usiwe na uhuru wako + +"usitumie uhuru wako" + +# kama kifuniko cha uovu + +kwa udhuru wa kufanya mambo mabaya. + +# Wapende ndugu + +"Wapendeni wakristo wenzenu" + diff --git a/1pe/02/18.md b/1pe/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..844bd39d --- /dev/null +++ b/1pe/02/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watumishi + +Petro anazungumza na waumini ambao ni watumishi katika nyumba ya mtu. + +# wale wabaya + +"watu wenye ukatili" au "watu wanaomaanisha" + +# ni sifa nzuri + +"inafaa sifa" au "inampendeza Mungu" + diff --git a/1pe/02/21.md b/1pe/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..9a715697 --- /dev/null +++ b/1pe/02/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa hiyo uliitwa + +Mungu amekuchagua wewe kuteseka kwa ajili yake. + +# Hakuna udanganyifu wowote uliopatikana kinywa chake + +"Wala hakusema uongo." + +# Alipokuwa akitukanwa, hakuweza kumtukana. + +Watu walipomtukana Yesu, hakuwaadhibu. + diff --git a/1pe/02/24.md b/1pe/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..bc5db39e --- /dev/null +++ b/1pe/02/24.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Yeye mwenyewe + +Hii inamaanisha Yesu kwa msisitizo. + +# Alichukua dhambi zetu + +Njia ambazo Yesu alikubali lawama na adhabu kwa dhambi za watu wengine. + +# Dhambi zetu + +Tukio lolote la "yetu" na "sisi" linamaanisha Petro na waumini anaowandika. + +# Katika mwili wake kwenye mti + +Hii inamaaniasha wakati watu walipo muweka Yesu msalabani. + +# Kwa mateso yake umeponywa + +"Mungu amekuponya kwa sababu watu walimwumiza Yesu." + +# Ninyi nyote + +Neno "Nyinyi" linamaanisha waumini Petro anawaandika. + +# mulikuwa mukitembea mbali kama kondoo muliopote. + +Petro anawafananisha waumini na kupoteza kondoo kwa kutokuwa na upendo bila Kristo. + +# lakini sasa mumerejea kwa mchungaji na mlezi wa nafsi zenu + +Kama vile kondoo watarejea kwa mchungaji wao, waumini pia wamerejea kwa Yesu ambaye hutoa na kuwahifadhi. + diff --git a/1pe/03/01.md b/1pe/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..01683630 --- /dev/null +++ b/1pe/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa njia hii, ninyi ambao ni wake lazima munapaswa kuwasilisha kwa waume zenu + +"Basi, wake, muwatii waume zenu." + +# kama wengine hawalitii neno + +"ikiwa baadhi ya waume hawatii amri za Mungu" au "kama baadhi ya waumini hawaamini ujumbe kuhusu Kristo." + +# wataona + +Maneno "wao" na "wao" yanataja waume. + diff --git a/1pe/03/03.md b/1pe/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..12c57838 --- /dev/null +++ b/1pe/03/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Basi isifanyike + +Neno "hilo" linamaanisha wake' kuwaheshimu waume zao. + diff --git a/1pe/03/05.md b/1pe/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..262fc526 --- /dev/null +++ b/1pe/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sasa wewe ni mtoto wake + +Hii inamaanisha wake wa Kikristo ni kama watoto wa kiroho wa Sara kama wanafanya kama yeye. + diff --git a/1pe/03/07.md b/1pe/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..7ee6f437 --- /dev/null +++ b/1pe/03/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwanjia ile ile + +Kama vile wakezenu wanapaswa kukuheshimu. + +# kulingana na elimu kama mpenzi dhaifu wa kike + +"tambua kwamba mwanamke ni mpenzi dhaifu" + +# Fanya hivi + +Hapa "hivi" inahusu njia ambazo waume wanapaswa kuwatendea wake zao. "Heshimu amri hizi." + +# ili kwamba sala zako zisizuiliwe + +Ili "kuzuia" ni kuzuia, au kuzuia sala za mtu kutotimizwa. AT "ili kwamba hakuna kitu kinachozuia sala zako." + diff --git a/1pe/03/08.md b/1pe/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..a721b2a6 --- /dev/null +++ b/1pe/03/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nyinyi wote + +Sehemu tatu zilizopita zilishughulikia watumwa, wake, na waume. Sehemu hii inazungumzia makundi haya yote pamoja na waumini wengine wote. + +# Chuki + +Hii ina maana ya kusema au kufanya kitu kibaya kwa mtu mwingine. + +# kinyume chake + +"kwa njia tofauti" + +# wewe uliitwa + +Mungu alikuita. + +# ili urithi baraka + +"ili kwamba Mungu atakubariki" + diff --git a/1pe/03/10.md b/1pe/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..a290447f --- /dev/null +++ b/1pe/03/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yule anayetaka kupenda maisha + +Petro anasema nini mtunzi aliandika katika Maandiko zamani. + +# Anapaswa kuacha ulimi wake kwa uovu na midomo yake isiseme uongo + +"acha uongo na kusema mambo maovu" + +# Nae aondoke mbali na yaliyo mabaya + +"Nae aache kufanya mabaya" + +# Macho ya Bwana huwaona wenye haki + +"Bwana anaona wenye haki" au "Bwana huwalinzi na huwajali wenye haki" + +# na masikio yake yanasikia maombi yao + +"na anasikia sala zao" + +# uso wa Bwana ni kinyume + +"Bwana hupinga" + diff --git a/1pe/03/13.md b/1pe/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..d72a6053 --- /dev/null +++ b/1pe/03/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani atakayekudhuru, ikiwa unataka mema? + +Neno "wewe" linamaanisha waamini. AT "Hakuna mtu atakayekudhuru ikiwa unafanya mambo mema." + +# Usiogope kile wanachokiogopa. Msifadhaike. + +Maneno haya mawili yanategemeana maana sawa na kusisitiza kwamba waumini hawapaswi kuwaogopa wale wanaowadhulumu. AT "Usiogope kile ambacho watu wanaweza kukufanyia." + diff --git a/1pe/03/15.md b/1pe/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..1621810d --- /dev/null +++ b/1pe/03/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Badala yake, mtekeleze Bwana Kristo katika mioyo yenu kama takatifu + +Hapa "moyo" ina maana ya kuwa ndani ya mtu. AT "Badala yake, lazima uheshimu na kumpenda Bwana Kristo." + diff --git a/1pe/03/18.md b/1pe/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..76762c59 --- /dev/null +++ b/1pe/03/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliteseka kwa ajili yetu + +Neno "sisi" linajumuisha msemaji, Petro na watazamaji. + +# Aliuawa katika mwili + +Kristo alikuwa ameuawa kimwili na kufa kwenye msalaba wa Kirumi wa kuni. AT "Watu walimwua kimwili." + +# lakini alifanywa hai katika roho + +Kristo alikuwa amefufuliwa kimwili kutoka kwa wafu au akafufuliwa tena kwa nguvu ya Roho Mtakatifu. + +# Katika roho, alienda na kuhubiri kwa roho ambao sasa gerezani + +Baada ya kufa Kristo alikwenda mahali pa wafu na kuhubiri kwa roho za wale waliokufa kabla yake na walikuwa wakiwa mateka. + diff --git a/1pe/03/21.md b/1pe/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..dd6a49c0 --- /dev/null +++ b/1pe/03/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ambayo itawaokoa + +"Nyinyi" inahusu waumini wote Petro alikuwa akizungumzia. + +# kuwasilisha kwake + +"kuwasilisha kwa Yesu Kristo" + diff --git a/1pe/04/01.md b/1pe/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..c73ffe95 --- /dev/null +++ b/1pe/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa hiyo, + +Neno hili linahitimisha mawazo ya Mtume Petro kwa kundi alilokuwa akiongea nalo. + +# Katika mwili + +Katika mwili wake + +# Jivikeni wenyewe silaha za nia ileile + +Neno "jivikeni wenyewe" linaelezea maaskari wanaotwaa silaha zao na kujiandaa kwa vita. Hapa inamaanisha kwamba waumini kuwa na dhamira katika mawazo yao ya kuteswa kama Yesu alivyoteswa. "Jiandae mwenyewe kutenda sawa na ilivyokuwa kwa Yesu" + +# wenyewe + +Neno linafafanua kuhusu waumini katika sura ya kwanza. + diff --git a/1pe/04/03.md b/1pe/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..911a1504 --- /dev/null +++ b/1pe/04/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ufisadi, nia mbaya, ulevi, ulafi, sherehe za kishenzi, na ibada za sanamu zenye machukizo + +"dhambi za zinaa, tamaa mbaya, ulevi, sherehe za kinyama na ulevi, na ibada za sanamu ambazo ni chukizo kwa Mungu" + +# walio hai na waliokufa + +Inamaanisha watu wote kama bado wako hai au kama wamekufa. + +# injili ilikuwa imehubiriwa + +"Kristo aliihubiri habari njema" + +# ingawa wamekwisha kuhukumiwa katika miili yao kama wanadamu + +"Ingawa Mungu aliwahukumu wakati walikuwa bado hai" + diff --git a/1pe/04/07.md b/1pe/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..6001c2b7 --- /dev/null +++ b/1pe/04/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwisho wa mambo yote unakuja + +"Karibuni Yesu atarudu na kukomesha mambo yote katika dunia hii + +# mwe na ufahamu ulio sahihi, na mwe na nia njema katika kufikiri kwenu + +Maneno yote haya mawili yana maana ya jambo moja. Petro anayatumia kufafanua hitaji la kutafakari juu ya maisha wakati ukikaribia kuisha. + +# kufikiri kwenu + +Neno linaelezea waumini wote + +# kwa kuwa upendo hautafuti kufunua dhambi za wengine + +Petro anaelezea "upendo" kama vile mtu. Mtu anapopenda wengine hawatafanya juhudi kutafuta kama mwingine ametenda dhambi. + +# ukarimu + +kuonyesha ukarimu kwa wageni na wasafiri + diff --git a/1pe/04/10.md b/1pe/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..e169e5b3 --- /dev/null +++ b/1pe/04/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama kila mmoja wenu amepokea zawadi + +"Mungu amempa kila mmoja wenu uwezo maalumu, na zaidi" + +# Na iwe kama mausia ya Mungu + +"Na iwe kama maneno ya Mungu anayomwambia kunena" + +# Mungu apate kutukuzwa + +"watu wote waweze kumtukuza Mungu" + diff --git a/1pe/04/12.md b/1pe/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..5448bfa2 --- /dev/null +++ b/1pe/04/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini kwa kadri mnavyozidi kupata uzoefu wa mateso ya Kristo, furahini + +"Badasla yake, furahini kwamba mnatesekwa kwa mateso ambayo Kristo aliyasitahimili" + +# katika ufunuo wa utukufu wake + +"wakati Yesu alivyoufunua utukufu wake" + +# Iwapo mmetukanwa kwa ajili ya jina la Kristo + +"Kama watu wakiwatukana kwasababu mnamwamini Kristo" + +# Roho wa utukufu na Roho wa Mungu + +Wote wanaelezea Roho Mtakatifu. "Utukufu wa Roho wa Mungu" au "Roho anayeufunua utukufu wa Mungu" + diff --git a/1pe/04/15.md b/1pe/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..25f98d30 --- /dev/null +++ b/1pe/04/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# katika jina lile + +"kwasababu watu wanamwita mkristo" au "kwasababu yeye ni mkristo" + diff --git a/1pe/04/17.md b/1pe/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..d041415f --- /dev/null +++ b/1pe/04/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nyumba ya Mungu + +Neno hili linaelezea waumini, wale ambao wanamfuata Mungu kupitia Kristo. + +# Nini kitatokea kwa hao wasioitii injili ya Mungu?... nini kitakuwa kwa mtu asiye haki na mwenye dhambi? + +Petro anatumia maswali kuwakumbusha watu jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wenye dhambi wakati Mungu akiwahukumu. "...itakuwa ni matokeo ya kutisha kwao ambao hawaitii injili ya Mungu... kisha mtu asiye haki na mwenye dhambi atakutana na mateso ya kutisha wakati ujao" + diff --git a/1pe/05/01.md b/1pe/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..4e64e6bb --- /dev/null +++ b/1pe/05/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# wazee kati yenu + +Neno "wewe" linamaanisha waumini katika Kristo. + +# ambayo itafunuliwa + +"Kwamba Mungu atafunua." + +# Kwa hiyo + +"Kwa sababu hii" + +# kundi la Mungu + +Hii inalinganisha kanisa na kundi la kondoo. + +# Angalia + +"tahadhari" au "huwa" + +# Usitende kama bwana + +"Usitende kama bosi mwenye ukatili" + +# Wakati Mchungaji Mkuu akifunuliwa + +"Wakati Yesu, ambaye ni kama mchungaji wetu mkuu, anaonekana." (UDB) + +# taji yenye utukufu usio na nguvu + +Hapa taji inawakilisha thawabu iliyopatikana baada ya ushindi. AT "tuzo ya utukufu ambayo itaendelea milele." + diff --git a/1pe/05/05.md b/1pe/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..40209346 --- /dev/null +++ b/1pe/05/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ninyi nyote + +Hii inahusu waumini wote, sio tu wanaume wadogo. + +# jifunge kwa unyenyekevu + +"wanapaswa kutenda kwa unyenyekevu kwa kila mmoja." (UDB) + +# chini ya mkono wa nguvu wa Mungu + +"chini ya nguvu za Mungu" + +# Kutoa wasiwasi wako wote juu yake + +"Mwamini kwa kila kitu kinachokupa wasiwasi wewe" au "Muache yeye ashughulikie mambo yote yanayo kusumbua" + +# anakujali + +"anahusika na wewe" + diff --git a/1pe/05/08.md b/1pe/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..c24d8787 --- /dev/null +++ b/1pe/05/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kama simba angurumaye + +Petro anafananisha shetani na simba ili kusisitiza kwamba shetani ni mkatili na mkali. + +# akizunguka karibu + +"kutembea karibu" au "kutembea karibu na kuwinda" + +# Simama dhidi yake + +"Mshinde" + +# Katika ulimwengu + +"katika maeneo mbalimbali ulimwenguni" + diff --git a/1pe/05/10.md b/1pe/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..f106de60 --- /dev/null +++ b/1pe/05/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa muda mfupi + +kwa muda mfupi + +# Mungu wa neema zote + +"Mungu ambaye ni mwema kabisa" + +# aliyekuita kwenye utukufu wake wa milele katika Kristo + +"ambaye alituchagua kushiriki utukufu wake wa milele mbinguni kwa sababu tunajiunga na Kristo" (UDB) + +# kamili wewe + +"kukurejesha" + +# kuanzisha wewe + +"kukuweka salama" + diff --git a/1th/01/01.md b/1th/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..4a86e20e --- /dev/null +++ b/1th/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Paulo anajitambulisha kama mwandishi wa barua na analisalimu kanisa la Watheselonike. + +# Paulo, Silivanus na Timotheo kwa kanisa. + +Paulo ndiye mwandishi wa barua hii + +# Neema na amani iwe kwenu + +Neno "neema" na "amani" ni maumbo kwa mtu anayeishi na watu kwa ukarimu na amani. "Mungu awe mkarimu kwenu na awape amani" + +# Amani iwe nanyi. + +Neno "Nanyi" linaelezea waumini wa Thesalonike. + diff --git a/1th/01/02.md b/1th/01/02.md new file mode 100644 index 00000000..b959e034 --- /dev/null +++ b/1th/01/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika hii barua "tu" ya husu Paulo Silvana, na Timotheo, isipo kuwa tu imeelezwa vinginevyo. + +# Huwa tunamshukuru Mungu. + +Tunamshukuru Mungu kila wakati. + +# Tumekuwa tukiwa taja katika maombi yetu. + +" Tunawaombea" + +# Kazi ya Imani + +"Matendo ya Imani" au "Kazi yenu kwa Mungu kwa sababu mnamwamini yeye" + diff --git a/1th/01/04.md b/1th/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..5dfd7a95 --- /dev/null +++ b/1th/01/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anaendelea kutoa shukurani kwa waamini walio Theselonike na ana washukuru kwa imani yao kwa Mungu + +# Ndugu. + +"Waumini" + +# Tunajuaa. + +Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio Waumini wa Thesalonike. + +# si kwa neno tu + +si kwa kupitia kuhubiri tu + +# Ila kwa nguvu za Roho Mtakatifu. + +Maana halisi zinaweza kuwa, 1. " Paulo na rafiki zake walihubiri kwa nguvu kwa kuwezesha na Roho Mtakatifu" au " 2. Injili inamatokeo makubwa kwa waaminio kupitia kazi ya Roho Mtakatifu". + +# Wanaume wa namna gani. + +"Kwa namna ambavyo tulijitoa kwenu". + diff --git a/1th/01/06.md b/1th/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..c8ee3ff8 --- /dev/null +++ b/1th/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mmekuwa mfano wa kuigwa. + +Kuiga maana yaake ni kutenda kama au kufataa. " mlituiga sisi". + +# "kulipokea neno" + +"kuyapokea mafundisho" au "kuyakubali mafundisho". + +# Kwa taabu nyingi. + +"katika wakati wa mateso makali" au " katika maudhi mengi". + +# Akaiya + +Hii ilikuwa ni wilaya katika kipindi cha nyuma, na kwa sasa inaitwa Ugiriki. + diff --git a/1th/01/08.md b/1th/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..115f56c5 --- /dev/null +++ b/1th/01/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Limeenea kote + +"Limesambaa pote" + +# Akaiya + +Hii ilikuwa ni walaya katika kipindi cha nyuma, na kwa sasa inaitwa Ugiriki. + +# Kila mahali. + +"Sehemu nyingi na kila Mikoa" + +# Kwa wao wenyewe. + +Paulo anaelezea makanisa ambayo yaliwahi kuwapo katika Mikoa iliyokuwa karibu, waliokuwa wamesikia juu ya Waumini wa Thesalonike. + +# Wao wenyewe. + +Kwa hapa "wenyewe" limetumika kusisitiza wale watu waliokuwa wamesikia juu ya waumini wa Thesalonike. + +# Namna gani ya mapokezi tuliyokuwa nayo pamoja nanyi. + +"Kwa namna ya ukalimu mliyotukaribisha". + +# Mwanae + +Hii ni anwani mhimu ya Yesu inayoeleza mahusiano yake na Mungu. + +# Aliemuinua. + +"Ambaye Mungu alimuinua" + +# Alietuokoa + +Paulo anawahusisha waumini aliokuwa akiwaandikia kwenye neno "sisi" + diff --git a/1th/02/01.md b/1th/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..f3b878cb --- /dev/null +++ b/1th/02/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo aeleza waamini huduma yao na thawabu. + +# ninyi wenyewe + +neno 'wewe' inahusu wa Wathesalonike wauminio. + +# ndugu + +Hapa hii ina maana Wakristo wenzake, ikiwa pamoja na wanaume na wanawake, kwa sababu waumini wote katika Kristo ni wanachama wa familia moja ya kiroho, na Mungu kama Baba yao wa mbinguni. + +# ujio wetu + +neno 'wetu' inahusu Paul, Silvanusi na Timotheo lakini si waumini wa Wathesalonike. + +# haikuwa haina maana + +ilikuwa na thamani sana + +# mateso na walikuwa jeuri + +Paulo alipigwa na kuweka katika jela la Filipi. 'walikuwa wakinyanyaswa na kutukanwa. + +# miongoni mwa mgogoro uliyokithiri + +"pindi mkutano ukiwa na upinzani mkubwa" + diff --git a/1th/02/03.md b/1th/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..7ddcd35a --- /dev/null +++ b/1th/02/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wala hayatoki kwa Ubaya, wala kwa uchafu, wala kwa udanganyifu + +Alikuwa mkweli, safi na mwaminifu + +# tulivyokubalika na Mungu na kuaminiwa + +Paulo alijaribiwa na kithibitishwa mwaminifu na Mungu + +# tunanena + +Paulo azungumza kuhubiri injili + +# "Mungu, ambaye huipima mioyo yetu + +"Mungu, ambaye huchunguza mawazo na matendo yetu" + diff --git a/1th/02/05.md b/1th/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..a0c021bd --- /dev/null +++ b/1th/02/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maelezo ya jumla + +Paulo anawambia Watheselonike waamini kuwa mwenendo wake haukuwa katika maneno ya kujipendekeza, ulafi, au kujitukuza + +# tumia maneno ya kujipendekeza + +"Kuongea na wewe kwa sifa za uongo + +# wala kama kisingizio cha tamaa + +"wala sisi hakutumia maneno kama kisingio cha uchoyo ili wewe utupatie vitu + +# inaweza kudai upendeleo + +inaweza kuwa alifanya wewe kutupatia vitu + diff --git a/1th/02/07.md b/1th/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..c27c2ed2 --- /dev/null +++ b/1th/02/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kama mama awezavyo kuwafariji watoto wake mwenyewe. + +Kama vile mama mpole anavyowafariji watoto wake, hivyo Paulo, Silvanusi na Timotheo alizungumza kwa upole kwa Wathesalonike + +# tulikuwa na shauku na wewe + +"sisi tulikupenda wewe" + +# Wewe umekuja kuwa mpenzi mwema kwetu + +sisi tunamjali kwa ajili yenu kiundani + +# Ndugu + +Hapa hii ina maana Wakristo wenzake, ikiwa ni pamoja na wanaume na wanawake, kwa sababu wote waaminio katika Kristo ni wanachama wa familia moja ya kiroho na Mungu kama Baba yao wa mbinguni. + +# Kazi yetu na taabu + +Maneno "kazi" na "tabu" kimsingi inamaana moja. Paulo ametumia hayo kusisitiza jinsi gani walifanya kazi ngumu "jinsi walifanya kazi ngumu" + +# Sisi tulifanya usiku na mchana ili tusiweze kuwa mzigo kwa yeyote kati yenu + +"Sisi tulifanya kazi ngumu kufnya maisha yetu wenyewe hivyo haukuwa na haja ya kutusaidia sisi + diff --git a/1th/02/10.md b/1th/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..71fd106b --- /dev/null +++ b/1th/02/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Takatifu, haki, na bila lawama + +Paulo ametumia maneno matatu ambayo kimsingi ni kitu kimoja na kusisitiza kwamba wao tulipokuwa njia nzuri sana. + +# Baba na watoto wake mwenyewe + +Paulo analinganisha jinsi baba kuwafundisha watoto wake kuishi na jinsi wao kuwahimiza na kuwahamasisha waumini kutembea kwa namna ambayo inamstahili Mungu + +# sisi kukuhimiza na kukuhamasisha wewe + +Maneno "kuwahimiza" na "kukuhamasisha" kimsingia ni kitu kimoja. Paulo anayatumia kusisitiza (passionately) wamewahamasisha Wathesalonike "sisi ni nguvu kukuhamasisha wewe + +# kwenye ufalme na utukufu wake. + +Neno "utukufu" inaelezea neno "Ufalme." "kwa ufalme wake mtukufu". + diff --git a/1th/02/13.md b/1th/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..454a7b05 --- /dev/null +++ b/1th/02/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maelezo ya jumla + +Paulo anaendela kutumia "twa" kumaanisha yeye na anao safiri nao. + +# Kwa sababu hiyo twamshukuru Mungu kila wakati, kwa + +"Sisi tunaendelea kumshukuru Mungu kila wakati kwa sababu" + +# Mlipokea kama kweli ilivyo neno la Mungu + +Wathessalonike waliamini ujumbe wa Paulo aliohubiri kuwa ulikuja kutoka kwa Mungu na sio kutoka kwenye mamlaka ya Paulo mwenyewe + +# ni hili neno linalo fanya kazi kwenu mnao amini + +Paulo anazungumzia injili kana kwamba ni mtu anaye fanya kazi + diff --git a/1th/02/14.md b/1th/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..7177dc2c --- /dev/null +++ b/1th/02/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ndugu + +Hapa hii inamaanisha Wakristo wenzetu + +# mlikuwa wafuasi wa makanisa + +Wao wanauzoefu sawa wa uadui kutoka baadhi yaWathessalonike kama vile waamini wa kwanza wazoefu wa mateso kutoka kwa viongozi wa Wayahudi "Ikawa kama makanisa" + +# kutoka kwa watu wa Taifa lenu wenyewe + +"kutoka kwa Wathessalonike + +# Nao walituzuia sisi tusiseme + +"Wao walijaribu kutufanya kuacha kusema" + +# daima walitimiza dhambi zao + +"kuendelea kutenda dhambi" + +# Ghadhabu imewawajia kwao + +"Adhabu ya Mungu imewajia ndani yao" au"'hasira ya Mungu imewajia ndani yao' + diff --git a/1th/02/17.md b/1th/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..b669d157 --- /dev/null +++ b/1th/02/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ndugu + +Hapa hii inamaanisha Wakristo wenzetu + +# katika uso, si kwa moyo + +"Kimwili lakini sisi tunaendelea kuomba kwa ajiri yenu" + +# kuona uso wako + +"Kukuona wewe" au "kuwa na wewe" + +# Mimi Paulo mara moja na tena + +"Mimi Paulo, alijalibu mara mbili" + +# Kwa nini ni matumaini yetu ... wakati wa kuja kwake? + +"Kujiamin kwetu kwa baadae, furaha, na taji ya utukufu ni wewe na wengine wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu.' + diff --git a/1th/03/01.md b/1th/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..bc6cf99f --- /dev/null +++ b/1th/03/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anawambia waamini amemtuma Timotheo kuimarisha imani zao. + +# Hatukuweza kuvumilia. + +Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike. au " hatukuweza kuwa na uvumilivu tukihofu juu yenu" + +# Ilikuwa vyema kubaki kule Atheni peke yake. + +"Ilikuwa vyema kwangu na Silivanus kubaki Atheni. + +# Vyema + +"Vizuri" au "yenye mantiki" + +# Atheni + +Huu ni Mji katika jimbo la Akaiya, ambapo kwa sasa huitwa Ugiriki. + +# Ndugu yetu. + +"Mkristo mwenzetu" + +# Hakuna ambaye atasumbuliwa + +"Hakuna atakayekuwa na matatizo" au hakuna atakaye ondolewa" + +# Tumeteuliwa. + +"Tumekusudiwa" + diff --git a/1th/03/04.md b/1th/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..8e1b0ab2 --- /dev/null +++ b/1th/03/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ukweli dhabiti. + +"bila shaka" au " uhakika" + +# Tulikuwa na wewe + +Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus naTimotheo lakini sio waumini wa thesalonike. + +# Kupata mateso. + +"kutendewa mabaya na wengine" + +# Sikuweza kuvumilia. + +Kwa hapa " mimi" inamuelezea Paulo: nilitaka kujua. + +# Nilimtuma. + +"Nilimtuma Timotheo" + +# Bure. + +" Isiyofaa" + diff --git a/1th/03/06.md b/1th/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..aaafda82 --- /dev/null +++ b/1th/03/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anawambia wasomaji kuhusu taarifa ya Timotheo baada ya kutoka kuwasalimu + +# Alikuja kwetu + +Neno " kwetu" linawaelezea Paulo na Silivanus lakini sio waumini wa thesalonike. + +# Habari njema ya Imani yako + +" Taarifa nzuri juu ya Imani yako" + +# Mmekuwa na kumbukumbu nzuri + +"Mmekuwa na kumbukumbu nzuri mara kwa mara" + +# Mnatamani kutuona sisi + +"Mnashauku ya kutuona sisi" + +# Ndugu + +" kwa hapa " ndugu inamaanisha wakristo wenzao. + +# Kupitia Imani yenu. + +"kupitia imani yenu katika kristo" au "kupitia maendeleo yenu katika kristo" + diff --git a/1th/03/08.md b/1th/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..622deeab --- /dev/null +++ b/1th/03/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kwa sasa tunaishi. + +Neno " sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa thesalonike. + +# Msimame imara. + +"Mnaamini kwa sana" + +# Ni shukurani zipi tumrudishie Mungu kwa ajili yenu, kwa furaha yote tulinayo juu yenu kwa Mungu wetu? + +Swali hili rhetorical huonyesha shukrani. AT 'Hatuwezi kumshukuru Mungu ya kutosha kwa ajili matendo yake kwa ajili yako! Sisi sana kufurahi juu yako wakati sisi kuomba kwa Mungu wetu! + +# Kwa shukrani tunaweza kutoa kwa Mungu kwa ajili yenu, kwa furaha ile yote kwamba tuna mbele ya Mungu juu yako? + +Swali hili rhetorical huonyesha shukrani. AT 'Hatuwezi kumshukuru Mungu ya kutosha kwa ajili matendo yake kwa ajili yako! Sisi sana kufurahi juu yako wakati sisi kuomba kwa Mungu wetu! + +# Usiku na Mchana. + +"Mara kwa mara" + +# Ni ngumu + +Bidii + +# Kuuona uso wako. + +"Kukutembelea" + diff --git a/1th/03/11.md b/1th/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..a5b901cb --- /dev/null +++ b/1th/03/11.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# maelezo ya jumla + +katika hii mistari, neno "wetu" halielezei watu wa aina moja kila wakati. + +# Na Mungu wetu + +"Tunaomba ya kuwa Mungu wetu" + +# Na Mungu wetu...Bwana wetu Yesu. + +Neno "wetu' linaelezea waumini wote. + +# Baba mwenyewe. + +"mwenyewe" inamuelezea "Baba" kwa msisitizo. + +# Zielekeze njia zetu kwako + +Neno "zetu" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike. + +# Pia sisi tunafanya + +Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanusi na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike. + +# Na afanye hivyo + +"Tunaomba ya kuwa Mungu atatenda" + +# Katika ujio wa Bwana wetu Yesu + +" wakati Yesu atakapokuja tena duniani" + +# Na utakatifu wake wote + +"Na wale wote waliowakwake" + diff --git a/1th/04/01.md b/1th/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..6a19d4f1 --- /dev/null +++ b/1th/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndugu + +hapa "ndugu" inamaanisha mkristo mwenzako + +# Tunawatia moyo na kuwasihi + +Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silvanus na Timothy lakini sio waamini wa Thesalonike. Neno "kutia moyo" na "kusihi" inamaana moja. Paulo aliyatumia ili kusisitiza ni kwa jinsi gani wanawatia moyo waamini. + +# Mlipokea maelekezo toka + +"mlifundishwa na" + +# Lazima mtembee + +Hapa neno "kutembea" inaelezea namna ambavyo mtu anatakiwa kuishi. + diff --git a/1th/04/03.md b/1th/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..77af34be --- /dev/null +++ b/1th/04/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Epuka tamaa za mwili + +"kaa mbali na tamaa za mwili" + +# Namna ya kumiliki + +"kujua namna ya kuishi na" + +# Tamaa za mwili + +"tamaa mbaya za mwili" + +# Asiwepo mtu + +"asowepo yeyote" au "asiwepo mtu" + +# Atakayevuka mpaka na kumkosea + +Hii ni maelezo zaidi inayoelezea wazo lile lile kwa namna mbili. + +# Bwana ndiye mwenye kulipa kisasi + +"Bwana atamuadhibu yule atakayevuka mipaka na atamtetea yule atakayekosewa" + +# Tulivyowaonya na kuwashuhudia + +"Tulivyowaambia kabla ba kuwaonya kwa nguvu" + diff --git a/1th/04/07.md b/1th/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..d45d6186 --- /dev/null +++ b/1th/04/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mungu hakutuita kwa uchafu bali kwa utakatifu + +Mungu alituita kuwa wasafi na watakatifu. + +# Mungu hakutuita sisi + +Neno "sisi" linamaanisha waamini wote. + +# Yeye anayelikataa hili + +"Yeyote asiyezingatia mafundisho haya" au "yeyote anayeyapuuzia mafundisho haya" + diff --git a/1th/04/09.md b/1th/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..10a404a0 --- /dev/null +++ b/1th/04/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Upendo wa ndugu + +"upendo kwa waamini wenzako" + +# Mlifanya yote kwa ndugu walioko Makedonia yote. + +"mlionesha upendo kwa waamini wa Makedonia" + +# Ndugu + +Hapa "ndugu" inamaanisha Mkristo mwenzako + +# Mtamani + +"Kujiingiza" au "kujitahidi kwa bidii" + +# Fanya shughuli zako + +Hii inamaanisha usiingilie mambo ya watu wengine. + +# Fanya kazi kwa mikono yako + +"mfanye kazi zenu wenyewe ili mpate kile mnachookiitaji" + +# Tembea kwa usahihi + +"Ishi kwa heshima na tabia njema" + +# Wale walioko nje ya imani + +"wale ambao sio waamini wa Kristo" + +# Usihitaji kitu chochote + +"Usipungukiwe na hitaji lolote" + diff --git a/1th/04/13.md b/1th/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..6153c83e --- /dev/null +++ b/1th/04/13.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Maelezo ya jumla + +Paulo anaongelea waamini walio kufa, walio hai, na ao watakao ishi Kristo akirudi. + +# Hatutaki msielewe. + +"Tunataka muelewe" + +# Hatutaki + +"Sisi" inawaelezea Paulo, Silvanus na Timotheo lakini sio waamini wa Thesalonike. + +# Ndugu + +Hapa "ndugu" inamaanisha Mkristo mwenzako. + +# Kulala + +Hapa inamaanisha "kufa." + +# Msiomboleze + +"Msisikitike" + +# Kama hao wasiojua mambo yajayo + +"Kama watu wasioamini" + +# Kama tukiamini + +Hapa "sisi" linawaelezea Paulo na hadhira yake. + +# Kufufuka tena + +"kufufuka na kuishi tena" + +# Atawaleta pamoja na Yesu hao waliolala mauti. + +"akirudi atawafufua waamini waliokufa wakimwamini Yesu" + +# Kwa ajili ya hayo twasema + +"Sisi" linawaelezea Paulo, Silvanus na Timotheo lakini sio waamini wa Thesalonike. + +# Hakika hatutawatangulia + +"hakika hatutakwenda mbele yao" + diff --git a/1th/04/16.md b/1th/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..ab15cfe6 --- /dev/null +++ b/1th/04/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bwana mwenyewe atashuka. + +"Bwana mwenyewe atakuja chini" + +# Malaika mkuu + +Malaika mkuu + +# Waliokufa katika Kristo watafufuka kwanza + +Hapa anamaanisha kifo cha kimwili. "wale waliomwamini Yesu Kristo lakini walikufa watafufuka kwanza" + +# Sisi tulio hai + +Hapa "sisi" linamaanisha waamini wote. + +# Pamoja nao + +Neno "wao" linawaelezea waamini waliokufa. + +# Tutaungana hewani ili kumlaki Bwana mawinguni. + +Kumlaki Bwana Yesu + diff --git a/1th/05/01.md b/1th/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..7f706b65 --- /dev/null +++ b/1th/05/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anazidi kuongelea siku Yesu ata rudi + +# muda na nyakati + +"muda ambayo Bwana Yesu atarudu tena " + +# Ndugu + +Her "ndugu" inamaanisha Wakiristo wengine + +# mwajua ya kuwa + +"kufahamu kabisa" au "kuwa na ufahamu" + +# kama mwizi ajapo usiku + +kama vile ambavyo mtu hajui ni usiku gani mwivi atakuja kuvunja na kuiba, sisi hatujui siku ya Bwana itakuja lini. "bilakutazamia" + +# Pale wasemapo + +"Watu watakaposema" + +# ndipo uharibifu + +"ndipo uharibifu usiotegemewa" + +# kama utungu umjiavyo mama mwenye mimba. + +Kama vile mwanamke mjamzito maumivu ya kujifungua mtoto huja ghafla na wala haichi mpaka kuzaliwa itakapokamilika, ndivyo uharibifu huja na watu hawataweza kuepuka. + diff --git a/1th/05/04.md b/1th/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..e4549eab --- /dev/null +++ b/1th/05/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ninyi, ndugu hampo kwenye giza + +Hapa "ndugu" inamaanisha Wakristo wenzake. "Ninyi si wa dunia hii ya uovu, ambayo ni kama kuwa katika giza" + +# hata ile siku iwajie kama mwizi + +Siku ambayo Bwana atakuja haitakuwa ya kushitukisha kama vile mwizi anavyo mshitukisha mtu. "Isiwapate pasipo kujiandaa" + +# ninyi nyote ni wana wa mchana...siyo wana wa usiku + +Hapa "wana wa mchana" inamaanisha wafuasi wa Kiristo. "wana wa usiku" inamaanisha wale wote wengine wanaofuata dunia. + +# tusilale kama wengine wafanyavyo + +Paulo anafananisha kulala na ile hali ya kutokujua kuwa Yesu atarudi kuhukumu ulimwengu. " tusiwe kama wengine ambao hawajui kuwa Yesu anarudi tena" + +# tusilale + +neno "tu"inarejea kwa waumii wote . + +# bali tuendelee kukesha na kuwa na kiasi + +Walioamini katika Kristo wanatakiwa wawe katika hali ya tahadhari kwa kurudi kwake na kuwa na kuweza kujizuia, + +# Kwa kuwa wale walalao hufanya hivyo usiku + +Kama ilivyo usiku wakati watu wamelala na hawajui nini kinachotokea, ndivyo itakavyokuwa kwa dunia, ambao hawajui kuwa Kiristo atarudi. + +# wale wanao lewa hulewausiku + +Paulo anataja kuwa ni usiku ambapo watu huwa wanalewa, hivyo kama watu hawana ufahamu kuwa Kiristo anarudi hawataishi maisha ya kujizuia + diff --git a/1th/05/08.md b/1th/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..9b58e773 --- /dev/null +++ b/1th/05/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# maelezo ya jumla + +katika mistari ya 8-10 "sisi" ya husu waamini wote + +# wana wa mchana + +Hii inawakilisha waumini katika Kristo. "waumini katika Kristo" au "watu wa mwanga." + +# tuwe na kiasi + +"tujizoeze katika kujizuia" + +# kuvaa dirii ya + +kama askari anavyo vaa dree kuulinda mwili wake, Mkiristo aliyeamini anayeishi kwa imani na upendo atapata ulinzi. "tujilinde wenyewe kwa" + +# kofia ya chuma + +kama kofia ya chuma inavyo mlinda askari kichwani, hivyo ndivyo uhakika wa waokovu inavyomlinda muumini. "na ujue" + +# kwamba tumacho au tumelala + +"kwamba tuko hai au tumekufa" + +# kujengana ninyi kwa ninyi + +"kufarijiana" + diff --git a/1th/05/12.md b/1th/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..65a1a92c --- /dev/null +++ b/1th/05/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndugu, + +Hapa "Ndugu" humaanisha walioamini wenzake + +# tuwatambue wale wanaotumika + +"Kuheshimu na kuthamini wale ambao wanashiriki katika kuongoza" + +# na wale wanaowaongoza katika Bwana + +Hii inamaanisha wale watu ambao Mungu amewaweka kutumika kama viongozi katika vikundi vya waumini sehemu mbalimbali. + +# muwatambue na kuwapa heshima kwa upendo kwa sababu ya kazi yao + +"Waheshimuni na kuwatii kwa kazi yao kwasababu mnawapenda wao" + diff --git a/1th/05/15.md b/1th/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..7e460ef1 --- /dev/null +++ b/1th/05/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Furahini siku sote, Ombeni bila ukomo, Mshukuruni Mungu kwa kila jambo + +Paulo anawatia moyo waumini kuendeleza tabia ya kiroho ya kufurahi kwa kila jambo, kuwa na juhudi katika maombi, na kutoa shukurani kwa mambo yote. + +# kila jambo + +katika hali zote + +# Kwa kuwa haya ni mapenzi ya Mungu + +Paulo anaeleza zile tabia alizo zitaja kuwa ni mapenzi ya Mungu kwa waamini wote. + diff --git a/1th/05/19.md b/1th/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..0c152ddb --- /dev/null +++ b/1th/05/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Msimzimishe Roho + +"Msimzuie Roho Mtakatifu kufanya kazi ndani yenu" + +# Msiudharau unabii + +"Msiwe na dharau kwa unabii" au "Msichukie chochote ambacho Roho Mtakatifu atamueleza mtu" + +# Jaribuni kila Jambo + +"Kakikisha kuwa kila unabii ni kweli na unatoka kwa Mungu" + +# shikilia lililo jema + +Paulo anazungumza ujumbe za Roho Mtakatifu kama ni vitu ambavyo mtu anaweza shika mikononi mwake. + diff --git a/1th/05/23.md b/1th/05/23.md new file mode 100644 index 00000000..c9f857a3 --- /dev/null +++ b/1th/05/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kuatenga kwa ajili yake kabisa + +"awatenge" au "kufanya ninyi msiwe na kosa, hivyo kwamba msitende dhambi" + +# roho, nafsi na miili wote + +Hii ni mfanano ambao neno "roho", "nafsi" na "mwili" kuwa na maana sawa lakini hutumiwa hapa kwa msisitizo. + +# itunzwe pasipo mawaa katika + +"itunzwe isifanye dhambi mpaka" + +# Yeye aliyewaita ni mwaminifu + +"Yeye ni Mwaminifu aliyewaita " + +# ndiye ambaye pia kutenda. + +""atawasaidia ninyi" + diff --git a/1th/05/25.md b/1th/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..05b20a64 --- /dev/null +++ b/1th/05/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maelezo ya jumla + +Paulo anatoa kauli zake za kufunga + +# ndugu + +Hapa "ndugu" ya maanisha wa Kristo + +# nawasihi katika Bwana + +"nawauliza, kama ni Bwana anazungumza nanyi" + +# barua hii isomwe + +hii yawezwa tajwa katika kauli tendaji, "ninyi nyote msome hii barua" + diff --git a/1ti/01/01.md b/1ti/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..44ab24f4 --- /dev/null +++ b/1ti/01/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika kitabu hiki, neno "Yetu" linamaanisha Paulo na Timotheo. + +# Paulo + +"Mimi, Paulo, nimeandika barua hii." Lugha yako inaweza kuwa na njia tofauti ya kumtambulisha mwandishi wa barua. Tumia njia iliyo sahihi kwenu. + +# kulingana na amri ya + +"kwa amri ya" au "kwa mamlaka ya" + +# Mungu Mwokozi wetu + +"Mungu ambaye alituokoa sisi" + +# Kristo Yesu tumaini letu + +Hapa neno "tumaini letu" humaanisha mtu ambaye tunaweka tumaini letu kwake. "Kristo Yesu, ambaye ni tumaini letu" au "Kristo Yesu katika yeye tunaweka ujasiri wetu" + +# mtoto wa kweli katika imani + +Paulo anaongea juu ya uhusiano wa karibu kati ya Timotheo na Paulo kama ule wa baba na mtoto. Paulo anamchukulia Timotheo kuwa ni mtoto wake kwa kuwa alimfundisha kuwa na imani katika Kristo. Mfano wa tafasiri: "ambaye ni sawa na mtoto kabisa kwangu" + +# Neema, rehema, na amani + +"Basi neema, rehema, na amani iwe kwenu," au "Basi ninyi mpate wema, rehema, na amani" + +# Mungu Baba + +"Mungu, ambaye ni Baba yetu" ni jina la muhimu la Mungu. + +# Kristo Yesu Bwana wetu + +"Kristo Yesu, ambaye ni Bwana wetu" + diff --git a/1ti/01/03.md b/1ti/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..2869904c --- /dev/null +++ b/1ti/01/03.md @@ -0,0 +1,37 @@ +# Kauli Unganishi + +Paulo anamtia moyo Timotheo kukataa matumizi mabaya ya sheria na atumie vizuri mafundisho kutoka kwa Mungu. + +# Kama nilivyokusihi wewe + +"Kama nilivyokuhimiza wewe," au "Kama nilivyokuomba kwa bidii" + +# kaeni Efeso + +"nisubirini mimi hapo katika mji wa Efeso" + +# mapokeo mengine + +mafundisho mengine tofauti na yale tuliyofundisha sisi. + +# wala hawatasikiliza kwa makini + +"Pia nataka ninyi muwaamuru wasisikilize kwa makini" + +# hadithi + +zinaweza kuwa ni hadithi kuhusu mababu zao. + +# vizazi visivyo na mwisho + +Paulo anatumia "isiyo na mwisho" kusisitiza kwamba vizazi ni vingi. + +# Hizi husababisha malumbano + +"Hizi huwafanya watu kutokubaliana." Watu walijadili kuhusu hadithi na nasaba ambamo hakuna angeweza kujua ukweli wake. + +# badala ya kusaidia mpango wa Mungu, ambao ni kwa imani + +Maana: 1) badala ya kutusaidia sisi kujua mpango wa Mungu wa kutuokoa, ambao tunajifunza kwa imani +2) badala ya kutusaidia sisi kufanya kazi ya Mungu, ambayo tunaifanya kwa imani + diff --git a/1ti/01/05.md b/1ti/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..314ac7b8 --- /dev/null +++ b/1ti/01/05.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# sasa + +Neno limetumika hapa kuonesha kituo kwenye mafundisho ya msingi. Hapa Paulo anaeleza lengo la kile anachomwamuru Tithotheo. + +# amri + +Hii haimaanishi Agano la Kale au Amri Kumi lakini zaidi ni wajibu uliotolewa na Paulo kwenye 1:3. + +# ni pendo + +Inawezekana kumaanisha 1) upendo kwa Mungu au 2) kuwapenda watu. + +# kutoka moyo safi + +Hapa "safi" inamaanisha kuwa mtu hana nia ovu ya kufanya mabaya. Na "moyo" hapa inamaanisha akili na mawazo ya mtu. + +# dhamiri nzuri + +"dhamiri ambayo imechagua haki juu ya mabaya" + +# imani thabiti + +"uaminifu" au "ukweli" au "isiyo na unafiki" + +# baadhi ya watu wamekosea + +Paulo anaongelea imani ndani ya Kristo kuwa shabaha yetu. + +# na wameasi vitu hivi + +"kuasi" kama ilivyotumika hapa ni msemo unaomaanisha kuwa watu wameacha kufanya maagizo ya Mungu. + +# walimu wa sheria + +Hii inamaanisha "sheria za Musa" + +# Lakini hawaelewi + +"ingawa hawaelewi" au "lakini hawaelewi" + diff --git a/1ti/01/09.md b/1ti/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..5bf85f3b --- /dev/null +++ b/1ti/01/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Na tunajua hiki + +"Hiyo ni, sisi tunaelewa hiki" au "Kwasababu tunatambua hili" au "Sisi pia tunajua hili" + +# haikutengenezwa kwaajili ya mtu mwenye haki + +"haikutolewa kwa mtu mwenye haki" au "haikuwekwa kwa mtu anaye tii" au "hakupewa mtu ambaye ni mwenye haki mbele za Mungu" + +# kwaajili ya wale wauao baba na mama zao + +"wauaji wa baba zao na mama zao" au "wale ambao huwaumiza kimwili baba na mama zao" + +# watu wasio na maadili kingono + +Huu ni mfumo wa neno la kiume kwaajili ya malaya wa kike. Kwenye maeneo mengine ilitumika kama sitiari kwa watu wasiowaaminifu kwa Mungu, lakini katika suala hili maana inaonekana kuhusisha mtu yeyote ambaye analala na mtu mwingine nje ya ndoa. + +# mashoga + +"wanaume ambao wanalala na wanaume wengine." + +# wale ambao wanateka watu kwaajili ya utumwa + +"wale ambao wanateka watu kuwauza kama watumwa" au "wale ambao wanachukua watu kuwauza kama watumwa" + +# injili ya utukufu wa Mungu wa baraka + +"injili ya kuhusu utukufu ambao ni mali ya Mungu wa baraka" au "injili ya utukufu na Mungu mbarikiwa" + +# ambayo nimeaminiwa + +"ambayo Mungu amenipa mimi na akanifanya kuwajibika kwayo" + diff --git a/1ti/01/12.md b/1ti/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..640bbce4 --- /dev/null +++ b/1ti/01/12.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kauli Unganishi: + +Paulo anazungumza jinsi alivyotenda zamani na anamtia moyo Timotheo kumtumaini Mungu. + +# Nashukuru + +"Ninashukuru" au "mimi nashukuru kwa" + +# yeye aliniona mimi mwaminifu + +"yeye alinitazama mimi mwaminifu" au "alifikiria kuwa ninafaa" + +# na akaniweka katika huduma + +"na kuniweka katika nafasi ya kutumika" au "hivyo aliniteua katika huduma" + +# mimi, mtukana Mungu wa zamani + +"mimi, ambaye alisema maovu kinyume na Kristo" au "mimi, ambaye nilikuwa mtukana Mungu hapo zamani" + +# mtu wa vurugu + +"mtu ambaye anaumiza wengine." Huyu ni mtu anayeamini anayo haki kuumiza wengine. + +# Lakini nilipokea neema kwa sababu nilitenda kwa ujinga katika kutoamini + +NI: "Lakini kwa sababu sikuamini katika Yesu, na nilikuwa sijui nilichokuwa nikifanya, nilipokea neema kutoka kwa Yesu" + +# Nilipokea neema + +NI: "Yesu alinionesha neema" au "Yesu kashatoa neema kwangu" + +# Lakini neema + +"Na neema" + +# ilibubujika kwa imani na upendo + +"ilikuwa kwa wingi sana" au "ilikuwa zaidi kuliko ile ya kawaida" + diff --git a/1ti/01/15.md b/1ti/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..2fbafd5a --- /dev/null +++ b/1ti/01/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ujumbe huu ni wa kweli + +"Kauli hii ni ya kweli" + +# unaofaa kukubalika + +"unaweza kupokelewa bila mashaka yoyote" au "unatakiwa kukubalika kwa ujasiri wote" + +# kwanza nilikuwa nimepata rehema + +"kwanza Mungu alinionesha neema" au "Nilipewa neema kutoka kwa Mungu kwanza" + +# mfalme mkongwe + +"mfalme wa milele" au "mtawala mkuu wa milele" + +# iwe heshima na utukufu + +"aweze kuheshimiwa na kupewa utukufu" au "watu waweze kumweshimu na kukupa utukufu" + diff --git a/1ti/01/18.md b/1ti/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..14288ff7 --- /dev/null +++ b/1ti/01/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nimeweka amri hii mbele yenu + +"Amri hii naitoa kwenu" au "Amri hii naiweka kwenu" + +# mtoto wangu + +Hili ni neno la ujumla sana kuliko "mwana" au "binti", lakini bado bado linaonesha uhusiano na baba. Paulo antumia hii kama sitiari kwaajili ya upendo wake kwa Timotheo. + +# shiriki katika mashindano mazuri + +"shiriki katika mashindano ambayo yanafaidisha juhudi" au "jitahidi kuwashinda maadui" Hii ni sitiari ambayo inamaanisha "fanya juhudi kwaajili ya Bwana" (UDB) + +# amepiga miamba/mawimbi kwa heshima ya imani + +Paulo anatumia sitiari nyingine kulinganisha hali ya imani yao na meli ambayo imezama kwenye mwamba. Sitiari hii inamaanisha "kilichotokea kwenye imani zao ambacho ni maafa" (UDB). Utumie hii au sitiari inayofanana kama itaeleweka kwa lugha yako. + +# wanaweza kufundishwa + +"kwamba Mungu anaweza kuwafundisha" + diff --git a/1ti/02/01.md b/1ti/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..14c9e81c --- /dev/null +++ b/1ti/02/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli unganishi + +Paulo anamtia moyo Timotheo kuombwa kwa ajili ya watu wote. + +# Awali ya yote + +"Kitu cha muhimu zaidi" au "Kabla ya kitu chochote" + +# Nakuomba + +"Nakusihi" au "Nakuomba" + +# Heshima + +njia ambayo watu wanaweza kutuheshimu. Iliyoainishwa na "Utauwa", Hii ni njia ambayo watu wengine watamheshimu Mungu na kututii sisi. + diff --git a/1ti/02/05.md b/1ti/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..4582e617 --- /dev/null +++ b/1ti/02/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mjumbe mmoja kati ya Mungu na mtu + +Mjumbe ni mtu anayesaidia kujadili ujumbe wa amani kati ya watu wawili ambao hawaelewani. hapa Yesu anawasaidia wenye dhambikuingia kwenye mahusiano ya Amani na Mungu. + +# akajitoa mwenyewe + +"kufa kwa hiari + +# Kama fidia + +"Kama bei ya uhuru" au "kama malipo ya kupata uhuru" + +# ushuhuda wa wakati mtimilifu + +"Ushuhuda wake ni kwawakati mtimilifu" au "Ushuhuda wa wakati huu" + +# kwa kusudi hili + +"Kwa hii" au "kwa sababu hii" au kwa ushuhuda huu" + +# nimefanywa kuwa mhubiri + +"Nimechaguliwa kuwa mhubiri" au "nimechaguliwa na Kristo kuwa mhubiri" + +# Natamka ukweli + +"Nazungumza ukweli" au "nakuambia ukweli" + +# Sisemi uongo + +"Sidanganyi" + +# Katika Imani na kweli + +"Kuhusu imani na kweli" au "Pamoja na imani na kweli" + diff --git a/1ti/02/08.md b/1ti/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..325cdf88 --- /dev/null +++ b/1ti/02/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kauli unganishi + +Paulo anatoa maagizo maalumu kwa wanawake. + +# wanaume kila mahali + +"Wanaume katika kila mahali" au "Wanaume kila sehemu" + +# Inua juu + +"kuongeza" + +# inueni mikono safi + +"Mikono iliyotengwa kwa ajili ya Mungu." hii ni kwa ajili ya mtu anayekwepa dhambi + +# bila kuwa na hasira wala wasiwasi + +"Bila kueleza hasira na mgogoro na wengine" au bila kueleza hasira kuhusu wengine na mashaka juu ya Mungu" + +# kwa heshima + +kwa njia ambayo haitaonyesha kutokuwa na umakini kwao" au "kwa njia ambayo inaonyesha heshima ya wazi kwa watu na kwa Mungu" + +# si kwa kusuka nywele + +"Kufany akazi kwa bidii ili kufanya nywelezionekane kuwasafi". Kusuka nywele ni njia moja ya mwanamke inayompa kutokuwa makini kwenye nywele zake. + +# wanaokiri uungu kwa kufanya kazi njema + +anataka kuonyesha kuwa wao ni mai ya Mungu kwa mambo mazuri wanayoyafanya. + diff --git a/1ti/02/11.md b/1ti/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..67f423b4 --- /dev/null +++ b/1ti/02/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika ukimya + +"katika utulivu" + +# kwakutii + +"na wasiulize maswali kuhusu kile wanachokisikia" + +# simruhusu mwanamke + +"simkubalii mwanamke" + diff --git a/1ti/02/13.md b/1ti/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..6dd42aa0 --- /dev/null +++ b/1ti/02/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Adamu aliumbwa kwanza + +"Adamu ni mtu wa kwanza ambaye Mungu alimuumba kwanza" au "Adamu aliumbwa kwanza na Mungu" + +# Baadaye Eva + +"Baadaye Eva aliumbwa" + +# Adamu hakudanganywa + +"Na adamu hakuwa wa kwanza kudanganywa na Nyoka" + +# lakini mwanamke alidanganywa na kukosa kabisa + +"Kutotii amri za Mungu kwa sababu alikuwa alikuwa amedanganywa kabisa" lengo kuu katika kifungu hiki ni kuwa alikuwa Eva na siyo Adamu ambaye (Kwanza) hakutii sheria za Mungu. + +# Ataokolewa kwa kuzaa watoto + +"Mungu atamweka salama bila shaka kupitia maisha ya kawaida" + +# Kama wataendelea + +"Kama watabaki" au "Kama wataendelea kuishi" + +# katika Imani na upendo na utakaso + +"Katika kumwamini Yesu na kuwapenda wengine na kuishi maisha matakatifu" + +# pamoja na uzima na akili njema + +"na kuwa na kiasi" au "Na ufahamu wa kujua ni kipi kizuri zaidi" + diff --git a/1ti/03/01.md b/1ti/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..d3c9f12e --- /dev/null +++ b/1ti/03/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kazi njema + +Kazi ya kuheshimika + +# Mume wa mke mmoja + +Mwangalizi lazima awe na mke mmoja.Siyo sawa ikiwa hii ninawajumuisha wanaume ambao hapo nyuma walikuwa wajane au wametalikiwa, au hawakuwahi kuoa. + +# awe na Kiasi + +"Asifanye jambo lolote bila kiasi" + +# Busara + +Mtu ambaye anafikiri katika njia ya busara", au"ambaye hutumia sauti ya hukumu"au "busara"mantiki, au "akili" + +# Mtaratibu + +Tabia nzuri + +# Mkarimu + +Mwenye kukaribisha wageni + +# Asitumie kileo + +"Asiwe mlevi" au" asiwe anakunywa sana kileo" + +# Asiwe mgomvi + +"Asiwe mtu ambaye anapenda kupigana na kusemasema" + +# Asiwe mpenda fedha + +Wala mtu ambaye anaiba moja kwa moja au kupitia mitandao siyo mtu ambaye hufanya kazi kwa uwazi kuongeza fedha lakini hajali watu wengine kwa umakini. + diff --git a/1ti/03/04.md b/1ti/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..3e59d248 --- /dev/null +++ b/1ti/03/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa heshima yote + +Maana zinazowezekana ni 1) watoto wa kiongozi waheshimu baba na watu wengine au 2) watoto wa mwangalizi wanapaswa kuwaheshimu watu wote. + +# Kuongoza nyumba yake + +Kuitunza familia yake"au "kulinda watu wanaoishi nyumbani mwake" + +# Kwa heshima zote + +Yote inaweza husika watu wote au katika muda wote au katika shida zozote + +# Ikiwa mtu hafahamu namna + +Kwa sababu ikiwa mtu hafahamu namna ya "au" kwa wakati mtu hawezi "au" lakini kukisia mtu hawezi" + +# Atawezaje kulitunza kanisa la Mungu + +"Hawezi kulitunza kanisa laMungu" au"hatakuwa tayari kuliongoza kanisa la Mungu." + diff --git a/1ti/03/06.md b/1ti/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..d586c6c0 --- /dev/null +++ b/1ti/03/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Asije akawa mwamini mpya + +"Asije akawa mwamini mpya" au " asije akawa mtua mbaye amekuwa mwamini kwa muda mfupi uliopita "au " lazima awe mwamini mchanga" + +# Asije akaanguka katika hukumu kama mwovu + +Kuwa na majivuno kama mwovu anavyofanya na kwa sababu ya kwamba amehukumiwa kama mwovu alivyo. + +# Lazima pia awe na sifa njema kwa wote wa nje. + +"Ni muhimu pia kwa wote ambao hawajamwamini Yesu kufikiri vizuri juu yake"au"Wote wa nje ya kanisa lazima wafikiri vizuri juu yake" + +# Kuanguka katika aibu + +Kuleta aibu juu yake"au"kumpa mtu sababu za kutodhibitishwa kwake" + +# Kuanguka katika......mtego wa mwovu + +Kuruhusu mwovu kumtega." Shetani kutengeneza mtego au kunaswa ni mfano wa shetani kumhadaa kujiingiza katika dhambi bila kujua. + diff --git a/1ti/03/08.md b/1ti/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..2229b01c --- /dev/null +++ b/1ti/03/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mashemasi vilevile + +"Mashemasi, kama kwa waangalizi" + +# Wawe wakamilifu + +Awe anastahili heshima + +# Asiwe na kauli mbili + +Kauli**-"siyo kusema kitu kimoja lakini maana ni nyingine"au "siyo kusema kitu kimoja kwa mtu mmoja na kusema vitu vingine tofauti kwa wengine" + +# Asitumie mvinyo kupita kiasi + +"Asitumie mvinyo kupita kiasi"au"asijitoe kutumia mvinyo kupita kiasi" + +# Wasiwe na tamaa + +"Wasiangalie pato lisilo la haki" + +# Waweze kutunza kweli iliyofunuliwa kwa imani + +Lazima waendelee kuamini ujumbe wa kweli uliofunuliwa na Mungu kwetu kwamba tunaamini."Hii inamanisha kwamba kwa kweli iliyoingia kwa muda mrefu lakini Mungu aliionyesha kwao kwa muda huu . + +# Kwa dhamira njema + +"Kwa dhamira njema kujua kwamba hatukufanya chochote kinyume" + +# Wawe wamedhibitishwa kwanza + +Wawe wamedhibitishwa kutadhiminiwa na kuamua ikiwa wanafaa kutumika"au" waweze dhibitisha peke yao kwanza" + +# Kwa sababu hawana lawama + +Ikiwa hakuna mmoja aweza kutafuta chochote kisicho sawa yeye peke yake "au "kwa sababu hawana lawama "au" kwa sababu hawakufanya chochote kisicho sawa" + diff --git a/1ti/03/11.md b/1ti/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..3f665797 --- /dev/null +++ b/1ti/03/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Wanawake vivyo hivyo + +Hapa "wanawake"inaweza kutumiwa kama wanawake kwa ujumla, lakini inaonekana inabainisha mashemasi,wake au mashemasi wanawake.Kwenye :"wake vilevile wana mahitaji"au"mashemasi wa kike,pana mahitaji kama mashemasi" + +# Wawe wakamilifu + +"kufanya vizuri" + +# Wasiwe wasingiziaji + +"Ni lazima wasiongee uovu kuhusu watu wengine" + +# Kiasi + +"Wasifanye chochote kwa ziada" + +# Mume wa mke mmoja + +Mtu lazima awe na mke mmoja tu. Siyo sahihi ikiwa hii inajumuisha watu ambao hapo nyuma walikuwa wagane, wamepeana talaka, au hawakuwahi kuoa. + +# Kutawala vizuri watoto wake na wa nyumbani mwake. + +Kutunza na kuongoza vizuri watoto wake na wengine wanaoishi kwenye nyumba yake. + +# Kwa wote + +"Kwa mashemasi wote "au "kwa maaskofu wote. Mashemasi, na mashemasi wa kike"au "kwa viongozi wa makanisa haya" + +# Wamepata peke yao + +"kupokea peke yao "au" kuongezeka peke yao" + diff --git a/1ti/03/14.md b/1ti/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..d7e8a481 --- /dev/null +++ b/1ti/03/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Paulo anamwambia Timotheo sababu iliyomfanya amwndikie barua na kisha anamweleza juu ya uungu wa Kristo. + +# Na nina tumaini kuja kwako upesi + +"ijapokuwa ninatumaini kuja upesi sana" + +# lakini ikiwa nitachelewa + +Lakini ikitokea siwezi kufanya hivyo upesi au "lakini ikiwa kitu chochote kitanizuia kuwa hapo upesi" + +# katika nyumba ya Mungu + +Paulo anaongelea juu ya kikundi cha walioamini kama ni familia moja. + +# Mungu anayeishi + +Msemo huu unamwelezea Mungu kama ndiye atoaye uzima. + +# Nguzo na mtetezi wa kweli + +Paulo anaongea juu ya walioamini na kuibeba kweli kuhusu Kristo kama vile wao ni nguzo na msingi unaoshikilia jengo lote. + diff --git a/1ti/03/16.md b/1ti/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..53c5e77e --- /dev/null +++ b/1ti/03/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika mwili + +Paulo anatumia neno "mwili" hapa kumaanisha Binadamu. + +# akaonekana na malaika + +Hii unaweza pia kusema, "Malaika walimwona" + +# Alidhibitishwa na Roho + +"Roho Mtakatifu alituhakikishia Yesu alikuwa ambaye alisema alikuwa" + +# alitangazwa kati ya mataifa + +"watu wa mataifa mengi waliwaambia wengine kuhusu Yesu" + +# akaaminiwa kweye ulimwengu + +"pande nyingi za ulimwengu zilimwamini Yesu" + diff --git a/1ti/04/01.md b/1ti/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..e97586cf --- /dev/null +++ b/1ti/04/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli unganishi + +Paulo anamwambia Timotheo kile ambacho Roho anasema kitatokea na anamtia moyo kwa kile ambacho anapaswa kufundisha. + +# nyakati zijazo + +Inaweza kumaanisha 1) nyakati za baadaye kuliko nyakati za Paulo, "katika nyakati zinazokuja" au "wakati ujao" au 2) Katika wakati wa Paulo mwenyewe, "katika wakati wa kipindi hiki kabla ya wakati wa mwisho" + +# kuacha imani + +"kuacha kuamini katika Yesu" au "kuondoka katika kile ambacho walikuwa wanakiamini" + +# kuwa makini kusikiliza + +"kutoa kipaumbele" au "kwa sababu wanasikiliza kwa makini" au "wakati wakisikiliza" + +# roho zidanganyazo na mafundisho ya kipepo + +"roho zinazowalaghai watu na mambo ambayo mapepo yanafundisha" + +# kwa uongo na unafiki + +"yanayofundishwa na wanafiki ambao wanawaambia uongo" + +# dhamiri zao zitakuwa zimechomwa moto + +Huu mfano ni wa mabwana ambao walikuwa wakiweka chuma cha moto katika ngozi za watumwa au wanyama kutengeneza kovu ambalo linaonesha umiliki. Yaweza kumaanisha 1) alama ya kuchomwa kama kitu cha kuleta utambulisho, "Wanafanya hivi hata kama wanajiona kwamba ni wanafiki," au 2) dhamiri zao zimetiwa ganzi, "kana kwamba wameweka chuma cha moto katika dhamiri zao kuzifanya kuwa na ganzi" + diff --git a/1ti/04/03.md b/1ti/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..5d5af390 --- /dev/null +++ b/1ti/04/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wata + +"Watu hawa wata" + +# kataza kuoa + +"kuwakataza waumini kuoa" au "kuwazuia waumini kuoa" + +# kataza...kupokea vyakula + +"waliwataka watu...wajiepushe na vyakula" au "kuwakataza watu...kula vyakula" au "kutowaruhusu watu...kula aina ya vyakula." "watu" hapa yaweza kumaanisha waamini. + +# waaminio na waijuao kweli + +"waamini waijuao kweli" au "waamini waliojifunza kweli" + +# hakuna kinachokataliwa kama kitapokelewa kwa shukurani + +"hatukitupi kitu chochote ambacho tunamshukuru Mungu kwacho" au "hatukikatai kitu chochote ambacho tunamshukuru Mungu kwacho" au "kila kitu ambacho tunakila kwa shukurani kinakubalika" + +# kinatakaswa kupitia neno la Mungu na kwa njia ya maombi + +tafsiri mbadala: "tumekitenga kwa ajili ya matumizi ya Mungu kwa kulitii neno la Mungu na kumuomba yeye" au "tumekitenga kwa ajili ya matumizi ya Mungu kwa maombi ambayo yanakubaliana na ukweli ambao Mungu ameufunua" + diff --git a/1ti/04/06.md b/1ti/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..817560c9 --- /dev/null +++ b/1ti/04/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kama utayaweka mambo haya mbele ya ndugu + +"uweke fikra hizi ndani ya akili za waumini" au "uwasaidie waumini kuyakumbuka maneno haya." "Fikra" au "maneno" yanamaanisha mafundisho. + +# unaendelea kulishwa + +"kufundishwa". Mungu alikuwa akimfanya Timotheo mwenye nguvu na kumfundisha kuyafanya yampendezayo Mungu. + +# maneno ya imani + +"maneno ambayo yanawasababisha au yanayowafanya watu kuamini" + +# hadithi za kidunia zinazopendwa na wanawake wazee + +"hadithi za kidunia na za wanawake wazee." Maneno "zilizopendwa na wanawake wazee" inaweza kuwa mfano kwa maana ya "za kijinga" au "kipuuzi." Paulo hakusudii kuwatukana wanawake katika kuwaongelea kwake :wanawake wazee." Badala yake, yeye na wasikilizaji wake walijua kwamba wanaume wanakufa wakiwa vijana ukulinganisha na wanawake, kwa hiyo kuna wanawake wengi zaidi kuliko wanaume ambao akili zao zimekuwa dhaifu kwa sababu ya umri mkubwa. + +# jifunze kutenda kwa namna ambayo inampendeza Mungu + +"jifunze kuwa wa kiMungu zaidi" au "jifunze kutenda kwa namna ua njia ambayo inampendeza Mungu" au "jitahidi kuwa wa kiMungu zaidi" + +# mazoezi ya mwili + +"mazoezi ya kimwili" + +# kutakusaidia maisha ya sasa hapa duniani + +"ni ya manufaa kwa maisha haya" au "inasaidia kuyafanya maisha haya kuwa bora" + diff --git a/1ti/04/09.md b/1ti/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..ab5a8009 --- /dev/null +++ b/1ti/04/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wakuaminiwa kabisa + +"unastahili imani yako kamilifu" au "unastahili kuamini kwa hali ya juu kabisa" + +# Ni kwa sababu hii + +"Hii ndiyo sababu" + +# tunafanya kazi kwa bidii na juhudi sana + +Maneno "juhudi" na "kufanya kazi kwa bidii" kimsingi yanamaanisha kitu kilekile. Paulo anayatumia yote pamoja kusisitiza ni kwa namna gani wamefanya kazi hiyo kwa bidii. + +# tumaini letu liko kwa Mungu aishie + +"tumeweka tumaini letu kwa Mungu aliyehai" + +# lakini hasa kwa waaminio + +"lakini yeye hasa ni mwokozi kwa wale watu waaminio" + diff --git a/1ti/04/11.md b/1ti/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..16a69f76 --- /dev/null +++ b/1ti/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Uyaseme na kuyafundisha mambo haya + +"Agiza na fundisha mambo haya" au "Agiza na ufundishe mambo haya ambayo nimeyataja hivi punde" + +# Mtu yeyote asiudharau ujana wako + +"mtu asikuchukulie kwamba wewe si wa muhimu kwa sababu u kijana" + +# endelea kuyasoma + +"soma Maandiko" au "endelea kulisoma Neno la Mungu kwa sauti na kwa uwazi mbele za watu" + +# endelea...kuyahimiza + +"wahimize wengine" au "watie moyo wengine kulifanyia kazi Neno la Mungu katika maisha yao" + diff --git a/1ti/04/14.md b/1ti/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..ae50c7cb --- /dev/null +++ b/1ti/04/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# usiache kutumia karama iliyoko ndani yako + +Paulo anamzungumzia Timotheo kuwa ni kama chombo ambacho kimebeba karama za Mungu. + +# usiache + +Hii inaweza kutafasiriwa kama, "hakikisha unatumia" + +# kuwekewa mikono na wazee + +Hii ilikuwa ni sherehe ambayo viongozi wa kanisa waliweka mikono juu ya Timotheo na kumuombea kwamba Mungu atamuwezesha kufanya kazi aliyomwamuru au aliyomwagiza kuifanya. + +# Yafanye mambo hayo yote na uyaishi + +"Fanya mambo haya yote na uishi kwa kuyafuata" + +# ili kukuwa kwako kuwe dhahiri kwa watu wote + +"hivyo watu wengine waone ukuwaji wako" au "hivyo watu wengine watauona ubora wa maisha yako kwa kuyafanya hayo" + +# Dhibiti mwenendo wako + +"Enenda kwa uangalifu" au "Dhibiti tabia yako" + +# Endelea kuyafanya mambo haya + +"Endelea kufanya mambo haya" + +# utajiokoa mwenyewe na watu wanaokusikiliza + +"utajiokoa wewe na wale wanaokusikiliza kutoka katika kuamini jumbe za uongo na kufanya matendo mabaya. Watu wanaoamini jumbe za uongo na kufanya matendo mabaya wategemee kutesekea kama matokeo yake. Paulo hataki Timotheo na marafiki zake kuteseka kwa kuamini na kutenda vitu au mambo yasiyo sahihi. + diff --git a/1ti/05/01.md b/1ti/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..c694e64d --- /dev/null +++ b/1ti/05/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kumuasa Timotheo awajali wanaume, wanamke, wajane na wanawake wazee ndani ya kanisa. + +# Taarifa ya jumla: + +Paulo alikua anatoa maagizo haya kwa mtu mmoja, Timotheo. + +# Usimkemee mwanaume mzee. + +"Usiongee kwa ukali kwa mzee wa kiume" + +# Ila msihi kama baba + +"Ila mtie moyo kama uongeavyo na baba yako," kwa adabu. + +# Msihi kijana wa kiume kama ndugu + +"Mtie moyo vijana wa kiume kama ndugu zako" au "wafundishe vijana wakiume kama ambavyo ungefundisha ndugu zako," kwa amani. + +# Wanawake vijana kama dada + +"wasihi wanawake vijana kama ambavyo unge wasihi dada zako" au "wafundishe wanawake vijana kama ambavyo ungewafundisha dada zako," + +# Kwa usafi wote + +"kwa mawazo safi na matendo" au "katika hali ya utakatifu" + diff --git a/1ti/05/03.md b/1ti/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..4bcfef0a --- /dev/null +++ b/1ti/05/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Waheshimu wajane + +"Waheshimu na kuwahudumia wajane" + +# wajane kwelikweli + +"wajane wasio na mtu wa kuwahudumia" + +# waache kwanza wajifunze + +"awali ya yote wanahitaji kujifunza" + +# katika nyumba zao wenyewe + +kwenye familia zao wenyewe au kwa wale wanaoishi kwenye nyumba zao + +# waache wawalipe wazazi wao + +"Waache wawatendee mema wazazi wao kwa sababu ya mambo mazuri ambayo wazazi wao wamewapa." + diff --git a/1ti/05/05.md b/1ti/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..64ad96a6 --- /dev/null +++ b/1ti/05/05.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Lakini mjane halisi ameachwa peke yake + +"Lakini yule ambaye ni kweli mjane hana familia" + +# yeye daima husubiri mbele yake kwa maombi na sala + +"husubiri kwa uvumilivu kwa maombi yake na sala" + +# maombi na sala + +maneno haya mawili maana kimsingi yana maana moja. Paulo anayatumia kwa pamoja ili kusisitiza kiasi gani wajane hawa huomba. + +# usiku na mchana + +maneno "usiku" na "siku" hutumiwa pamoja kumaanisha "wakati wote." + +# Hata hivyo + +"Lakini" + +# wafu + +mfano Huu unamaana kwamba yeye hana uwezo wa kumjibibu Mungu. "ni kama mtu aliekufa, hana la kujibu kwa Mungu" + +# hai + +Hii ina maana ya maisha ya kimwili. + +# yeye daima husubiri kwa maombi na sala + +"Anaendelea kufanya maombi na sala" + +# amekufa + +Paulo anaongea kuhusu watu ambao hawamtafuti Mungu na kumpendeza kama walikua wafu. "ni kama mtu aliekufa, hana la kujibu kwa Mungu" + +# bado yu hai + +Hii ina maana ya maisha ya kimwili. + diff --git a/1ti/05/07.md b/1ti/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..f336cbac --- /dev/null +++ b/1ti/05/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Na kuhubiri mambo haya + +"Waamuru mambo kama haya vizuri" + +# ili waweze kuwa na zaidi ya aibu + +"hivyo kwamba hakuna mtu anayeweza kupata kosa pamoja nao." Maana ya "wao" ni 1) 'wajane hao na familia zao " au 2)" kanisa. " Ni inaweza kuwa bora kuondoka somo kama "wao." + +# hatoi kwaajili ya ndugu yake + +"haitoi kwa mahitaji ya ndugu zake" au " hatoi msaada kwa mahitaji ya jamaa zake '" + +# kwa ndugu yake + +"kwa ajili ya wanafamilia yake yote" au "kwa wale wanaoishi katika nyumba yake" + +# kwa wale wa nyumbani kwake + +"kwa wanafamilia wanaoishi katika nyumba yake" + +# ameikana Imani + +"yeye ametenda kinyume cha ukweli tunaoukubali" + +# ni mbaya kuliko mtu asiyeamini + +"ni mbaya zaidi kuliko wale ambao hawaamini katika Yesu." Paul anamaanisha mtu huyu ni mbaya kuliko mtu asiyeamini kwa sababu hata wasioamini utunzaji wa ndugu zao. Kwa hivyo, muumini anapaswa atunze ndugu zake. + +# ili waweze kuwa bila aibu + +"hivyo kwamba hakuna mtu anayeweza kupata kosa pamoja nao." Maana ya "wao" ni 1) 'hawa wajane na familia zao "(UDB) au 2)" Waumini. " Ni inaweza kuwa bora kuondoka somo kama "wao." + diff --git a/1ti/05/09.md b/1ti/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..5f5ffb94 --- /dev/null +++ b/1ti/05/09.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# aandikishwe kama mjane + +inaonekana kulikuwapo na orodha, iliyoandikwa au la, ya wajane. washiriki wa kanisa waliyatimiza mahitaji hayo ya wanawake ya makazi, mavazi, na chakula; na wanawake hawa walitarajiwa kujitolea maisha yao kwa kuwahudumia jumuiya ya kikristo. + +# aliye juu ya umri wa miaka sitini + +Wajane ambao walikuwa wadogo chini ya miaka sitini wanaweza kuolewa tena, na hivyo Kanisa linapaswa kuwatunza tu wajane ambao walikuwa na umri zaidi ya sitini. + +# mke wa mume mmoja + +Maana inawezekana ni 1) yeye alikuwa daima mwaminifu kwa mumewe au 2) na hajapewa talaka na mume wake na kuolewa na mtu mwingine. + +# Awe najulikana kwa matendo mema + +Hii inaweza andikwa kama "Watu lazima waweze kushuhudia kwa matendo yake mema" + +# ameniosha miguu + +"kufanya kazi kusaidia." Kuosha miguu michafu ya watu ambao wamekuwa wakitembea katika uchafu na matope ni picha ya kukutana na mahitaji ya watu wengine na kufanya maisha yawe yafuraha kwao. + +# Waaminio + +Baadhi ya matoleo hutafsiri "waamini" hapa kama, "Watakatifu" au "watu wa Mungu." Wazo muhimu ni kwa kutaja waumini wa Kikristo. + +# amefuata kazi zote njema + +"ni maalumu kwa ajili ya kufanya matendo mema" + +# ambaye si mdogo kuliko sitini + +Kama Paulo atakapo elezea kwa 5: 11-16, wajane waliokuwa na umri wa miaka midogo kuliko 60 wanaweza kuolewa tena. Kwa sababu hiyo jumuiya ya kikristo walikuwa wakuwatunza wajane ambao walikua na umri zaidi ya miaka sitini. + +# amekua mkarimu kwa wageni + +"amekaribisha wageni katika mji wake" + +# aliwasaidia watu wenye taabu + +Hapa "taabu" linaweza kutumika kama "yeye aliewasaidia wale ambao wanateseka" + +# amekua akijitoa kwa kila kazi njema + +"amejitoa kwa kufanya kila aina ya matendo mema" + diff --git a/1ti/05/11.md b/1ti/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..5293bd4d --- /dev/null +++ b/1ti/05/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini kwa habari ya wajane vijana, kataa kuwaandikisha katika orodha + +"Lakini msiwaweke wajane vijana kwenye orodha." Orodha ni ya wajane wenye umri wa miaka 60 na zaidi ambao jumuiya ya kikristo ingesaidia. + +# Kwa kuwa watakaposhindwa na tamaa ya mwili dhidi ya Kristo, watataka kuoa + +"ni aliwasihi kutoka kwa Kristo kwa sababu ya tamaa zao za ngono" au "kuwa na tamaa ya mwili inayowafanya watake kutoa dhamira yao ya kiroho" + +# kutengua ahadi yao ya awali + +"wala hawaweki ahadi zao za awali" au "kutokufanya walicho ahidi kukifanya kabla" + +# dhamira + +dhamira ya wajane ilikuwa ni makubaliano yao ya kutumikia jumuiya ya kikristo kwa ajili ya mapumziko ya maisha yao kama jamii angewapa mahitaji yao. + +# kusengenya + +Hawa ni watu ambao hujadili juu ya maisha binafsi ya watu wengine. + +# mambo wasio paswa kusema + +"mambo ambayo si sahihi hata kutaja" + +# kuwa wamezoea kuwa wavivu + +"kuingia katika tabia ya kutokufanya kitu + diff --git a/1ti/05/14.md b/1ti/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..4405fbf6 --- /dev/null +++ b/1ti/05/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kusimamia nyumba + +"kumhudumia kila mtu katika nyumba yake" + +# wameshamgeukia Shetani + +Paulo anazungumzia wanaoishi katika uaminifu kwa Kristo kana kwamba ni njia ya kufuatwa. Hii ina maana mwanamke aliacha kumtii Yesu na kuanza kumtii Shetani. "kuacha njia ya Kristo na kumfuata Shetani" au "aliamua kumtii Shetani badala ya Kristo" + +# mwanamke yeyote aaminie + +"mwanamke yeyote Mkristo" au "mwanamke yeyote ambaye anaamini katika Kristo" + +# anao wajane + +"anao wajane katika jamaa yake" + +# wajane kweli + +"wale wanawake ambao hawana mtu wa kutoa kwa ajili yao" + +# adui + +Inawezekana Maana ni 1) hii inamaanisha Shetani au 2) hii inamaanisha wasio amini. + +# ili kanisa lisilemewe + +Paulo anazungumzia jamii kuwa inasaidia zaidi watu kuliko uwezo wao kama walikuwa wamebeba uzito juu ya migongo yao. Hii inaweza kusemwa "ili kwamba jumuiya ya kikristo haitawasaidia wajane ambao familia inaweza kutoa kwa ajili yao" + diff --git a/1ti/05/17.md b/1ti/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..278db1b0 --- /dev/null +++ b/1ti/05/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi uanganishi: + +Paulo tena anazungumzia jinsi wazee (maaskofu) wanapaswa kutunzwa na kisha kumpa Timotheo maelezo binafsi. + +# watambue wazee wanaoongoza vyema + +"Ninyi waumini wote mnapaswa kufikiri kama mnastahili" + +# Heshima mara mbili + +Maana inawezekana ni 1) "ya heshima na malipo" au 2) "heshima zaidi kuliko wengine wapokeavyo" + +# wale wanaofanya kazi na neno na katika kufundisha + +"wale wanaohubiri na kufundisha neno la Mungu" + +# kufunga + +kifaa kianachowekwa kwenye pua na mdomo wa mnyama ili kumzuia kula wakati anafanya kazi. + +# kupura nafaka + +Hii ni njia ya kutenganisha nafaka na makapi kwa kutumia mkokoteni unaovutwa na ng'ombe + +# anastahili + +"inastahili" + diff --git a/1ti/05/19.md b/1ti/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..71618dd9 --- /dev/null +++ b/1ti/05/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# usipokee mashitaka + +Paulo anaongea juu ya mashitaka kama vitu ambavyo vinaweza kushikika au kupokelewa na watu + +# mbili au tatu + +"angalau mbili" au "mbili au zaidi" + +# wenye dhambi + +hii inahusu mtu yeyote kufanya jambo lolote ambalo halimtii au yasiyompendeza Mungu, hata mambo ambayo watu wengine hawayajui. + +# mbele ya watu wote + +"ambapo kila mtu anaweza kuona" + +# ili wengine wawe na hofu + +"ili wengine waweze kuogopa kufanya dhambi" + diff --git a/1ti/05/21.md b/1ti/05/21.md new file mode 100644 index 00000000..17decedb --- /dev/null +++ b/1ti/05/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# malaika wao wateule + +Hii inamaanisha malaika ambao Mungu na Yesu wamewachagua kuwatumikia wao kwa njia maalumu. + +# weka mikono + +Hii ilikuwa sherehe ambapo viongozi wa kanisa moja au zaidi wangeweka mikono juu ya watu na kuomba kwamba Mungu aweze kuwawezesha watu hao kutumikia kanisa kwa njia ambayo Mungu angekuwa radhi. Timotheo alikuwa anasubiri hadi mtu aoneshe tabia nzuri kwa muda mrefu kabla ya kumweka rasmi mtu huyo kuitumikia jamii ya Kikristo. + +# usishiriki katika dhambi ya mtu mwingine + +"kujiunga katika dhambi ya mtu mwingine." Maana inawezekana ni 1) kama Timotheo akichagua mtu ambaye ana dhambi na kuwa mfanyakazi wa kanisa, Mungu angemshikilia Timotheo kuwajibika kwa dhambi ya mtu huyo, au 2) Timotheo hapaswi kutenda dhambi akiona wengine wakitenda. + +# tunza amri hizi bila ya kuathiri na kwamba wewe usifanye kitu nje ya upendeleo + +kwa maneno "upendeleo," Paulo anasisitiza kwamba Timotheo lazima ahukumu kwa uaminifu na kuwa wa haki kwa kila mtu. "kwamba ushike sheria hizi bila ya kuwa sehemu au kuonesha upendeleo kwa mtu yeyote" + +# tunza amri hizi + +Maana inawezekana ni 1) hii inamaanisha sheria ambazo Paulo amemwambia Timotheo au 2) hii inamaanisha sheria ambazo Paulo anataka kumwambia Timotheo. + diff --git a/1ti/05/23.md b/1ti/05/23.md new file mode 100644 index 00000000..0592692e --- /dev/null +++ b/1ti/05/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Usinywe maji tena + +Au "Unapaswa kuacha kuwa mnywaji wa maji," anaekunywa maji tu. Paulo hakatazi maji. Anapendekeza ya kwamba Timotheo atumie mvinyo kama dawa. Maji ya eneo lile husababisha madhara mara kwa mara. + +# Na huwatangulia hukumuni + +"dhambi zao hutangulia mbele ya watu hao hukumuni." + +# lakini baadhi ya dhambi hufuata baadaye + +"Lakini baadhi ya dhambi hufuata watu hao baadaye." Maana inawezekana ni 1) Timotheo hatajua kuhusu baadhi ya dhambi mpaka baadaye, au 2) Kanisa hawataweza kujua kuhusu baadhi ya dhambi mpaka baadaye, au 3) Mungu hata hukumu baadhi ya dhambi mpaka hukumu ya mwisho. + +# nzuri + +Hapa "nzuri" ina maana wao wanaolingawa na tabia ya Mungu, makusudi yake, na mapenzi. + +# hata wengine hawawezi kujificha + +"matendo mema mengine yatajulikana katika siku zijazo" + +# dhambi za baadhi ya watu zinajulikana wazi + +Hii inaweza semwa kama "Dhambi za watu wengine ni dhahiri sana" + +# baadhi ya matendo mema yanajulikana wazi + +"baadhi ya matendo mema ni dhahiri" + diff --git a/1ti/06/01.md b/1ti/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..d0a78ed8 --- /dev/null +++ b/1ti/06/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anatoa maagizo maalumu juu ya watumwa na bwana zao kisha maelekezo ya namna ya kuishi maisha ya kimungu. + +# wale wote walio chini ya nira kawa watumwa + +Paulo anaongea juu ya watu wanaofanya kazi kama watumwa kwamba ni kama ng'ombe wanaobeba nira + +# wale wote + +kwa kauli hii Paulo anamaanisha walioamini + +# jina la Mungu + +hii inamaanisha asili ya Mungu, au tabia yake + diff --git a/1ti/06/03.md b/1ti/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..8ee4e782 --- /dev/null +++ b/1ti/06/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# afundishaye kwa upotovu + +anayefundisha mapokeo tofauti + +# liongozalo kwenye utaua + +inayowasaidia watu kufanya yaliyo ya Mungu + +# akili zilizoharibika + +akili zilizojaa uovu + +# wanaiacha kweli + +kuacha maana yake ni kuacha kufanya kitu + diff --git a/1ti/06/06.md b/1ti/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..6fe761fc --- /dev/null +++ b/1ti/06/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# utaua na kuridhika ni faida kubwa + +ni faida kubwa kwa mtu kufanya mapenzi ya Mungu na kuridhika na alicho nacho + +# ni faida kubwa + +inatupatia faida kubwa au inatufanyia mambo mengi mazuri. + diff --git a/1ti/06/09.md b/1ti/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..c6d1c621 --- /dev/null +++ b/1ti/06/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuwa na mali huanguka katika majaribu, katika mtego + +Paulo anaongea juu ya wale ambao vishawishi vya pesa vinawafanya waangukie katika shimo ambalo mwindaji amelitumia kama mtego + +# Huanguka katika upumbavu mwingi na tamaa mbaya + +huu ni mwendelezo wa fumbo la mtego. Hii inamaanisha kuwa tamaa zao za kijinga na mbaya zitawashinda. + +# watu ambao hutamani hiyo + +wanaotamani fedha + diff --git a/1ti/06/11.md b/1ti/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..abecc92b --- /dev/null +++ b/1ti/06/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Bali wewe + +Hapa "wewe" ipo katika umoja na inamaanisha Timotheo + +# mtu wa Mungu + +mtumishi wa Mungu + +# huru mabali na hivi vitu + +Paulo anaongea juu ya majaribu na dhambi kama vitu ambavyo mtu angeweza kuvikimbia + +# ulitoa ushuhuda + +ulishuhudia + +# mbele ya mashahidi wengi + +Paulo anaelezea wazo la eneo fulani ili kuonesha watu ambao Timotheo aliongea nao. + diff --git a/1ti/06/13.md b/1ti/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..143e475d --- /dev/null +++ b/1ti/06/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaongea juu ya ujio wa Kristo, anatoa maelekezo stahiki kwa matajiri, na mwisho anamaliza na ujumbe muhimu kwa Timotheo. + +# Nakupa amri hii + +Hivi ndivyo ninavyokuamuru + +# mbele ya Mungu + +katika uwepo wa Mungu. Inaonekana ni kama Paulo anamwomba Mungu kuwa shahidi wake + +# mbele ya Kristo + +katika uwepo wa Kristo. Inaonekama ni kama Paulo anamwomba Yesu kuwa shahidi wake + +# pasipo mashaka + +Maana tarajiwa 1) Yesu hataona kosa kwa Timotheo au 2) watu wengine hawataona kosa kwa Timotheo + +# ujio wa Bwana wetu Yesu Kristo + +mpaka Bwana wetu Yesu Kristo atakapokuja tena + diff --git a/1ti/06/15.md b/1ti/06/15.md new file mode 100644 index 00000000..3f3595c4 --- /dev/null +++ b/1ti/06/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mungu atadhihirisha ujio wake + +Hii inaweza kumaanisha kuwa Mungu atamdhihirisha Yesu + +# kwa wakati sahihi + +kwa wakati unaofaa/muafaka + +# mbarikiwa + +Anayestahili sifa. Hii inamaanisha Mungu Baba + +# Peke yake anaishi milele + +Yeye pekee ana nguvu ya kuishi milele + +# akaaye katika mwanga usiokaribiwa + +anakaa katika mwaka unaong'aa sana ambao hakuna awezaye kuukaribia + diff --git a/1ti/06/17.md b/1ti/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..2a690f17 --- /dev/null +++ b/1ti/06/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waambie matajiri + +Hapa "matajiri" kisifa. Inaweza kutafasiriwa kama, waambie wote walio matajiri. + +# katika utajiri, ambao siyo wa uhakika + +katika vitu vingi wanavyovitumaini ambavyo wanaweza kuvipoteza + +# utajiri wote wa kweli + +vitu vyote ambavyo vitatufanya kuwa na furaha ya kweli. Kama vile, upendo, furaha, na amani + +# watajirike katika kazi njema + +Paulo anaongea juu ya baraka za rohoni kama vile ni utajiri wa duniani. + diff --git a/1ti/06/20.md b/1ti/06/20.md new file mode 100644 index 00000000..a93a7b45 --- /dev/null +++ b/1ti/06/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# linda kile ulichopewa + +kwa uaminifu hubiri ujumbe wa kweli ambao Yesu amekupa + +# epuka majadiliano ya kipumbavu + +usitilie maanani majadiliano yasiyofaa + +# ambayo kwa uongo huitwa maarifa + +ambayo kwa ujinga watu wengine huyaita maarifa + +# wameikosa imani + +Paulo anazungumzia imani katika Kristo kama vile shabaha yetu + +# Neema na iwe pamoja nawe + +Mungu awape neema ninyi nyote. Neno "ninyi" limetumiwa katika wingi na linarejelea jamii yote ya Wakristo. + diff --git a/2co/01/01.md b/2co/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..df1c0e0b --- /dev/null +++ b/2co/01/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya salamu za Paulo kwa Kanisa la Korintho, anaandika kuhusu mateso yake na faraja yake kupitia Yesu Kristo. Timotheo yuko pamoja naye pia. + +# Maelezo ya jumla + +Neno "ninyi" katika barua hii ina maanisha watu wa kanisa la Korintho na kwa wakristo wengine katika eneo hilo. Inawezekana Timotheo anaandika kwenye karatasi iliyotengenezwa kwa ngozi mameno anayoyasema Paulo. + +# Huyu Paulo + +Lugha yako inaweza kuwa hasa njia ya kumtambulisha mwandishi wa barua. AT: "Mimi, Paulo, niliandika barua hii." + +# kaka + +Katika Agano Jipya, mtume Paulo mara nyingi alitumia neno "kaka" kumaanisha kwa wakristo wenzangu, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni watu wa familia moja ya kiroho, na Mungu kama Baba yao wa mbinguni. + +# Akaya + +Hili ni jina la jimbo la Kirumi kusini mwa sehemu iitwayo Ugiriki kwa sasa. + +# Neema iwe kwenu na amani + +Neno "kwenu" ina maanisha watu wa kanisa la Koritho na kwa wakristo wengine katika eneo hilo. Hii nisalamu ya kawaida ya Paulo katika barua hizi. + diff --git a/2co/01/03.md b/2co/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..1f45adab --- /dev/null +++ b/2co/01/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mungu na baba wa Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe + +Hii inaweza kusemwa katika hali tendaji. Tumtukuze Mungu na baba wa Bwana wetu Yesu Kristo daima" + +# Mungu na Baba + +"Mungu, ambaye ni Baba" + +# Baba wa rehema na Mungu wa faraja yote + +Tungo hizi mbili zinaelezea wazo linalofanana katika njia mbili tofauti. Kwa pamoja tungo zinamwelezea Mungu. + +# Baba wa rehema na Mungu wa rehema na Mungu wa faraja yote + +Maana zake zaweza kuwa 1) maneno "rehema" "faraja yote" yanaelezea tabia ya "Baba" na "Mungu" au 2) kwamba maneno "Baba" na "Mungu" yanamwelezea mmoja aliye asili ya "rehema" na "faraja yote." + +# hutufariji katika mateso yote + +Hapa "sisi" na "yetu" hujumlisha Wakorintho. + diff --git a/2co/01/05.md b/2co/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..4c9739e6 --- /dev/null +++ b/2co/01/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kama vile mateso ya Kristo yalivyoongezeka kwa faida yetu + +Paulo anazungumzia mateso ya Kristo kama vile yalivyokuwa kielelezo ambacho kingeongezeka katika idadi "Kama vile Kristo alivyoteswa sana kwa faida yetu" + +# Mateso ya Kristo + +Maana zake zaweza kuwa 1) kwamba hii ina maanisha mateso ya Paulo na Timotheo waliyoyapitia kwa sababu wanahubiri ujumbe unaomhusu Kristo au 2) inamaanisha mateso ya Kristo aliyoyapitia kwa niaba yao. + +# Faraja yetu inadumu + +Paulo anazungumza kuhusu faraja kwa vile kama mfano ambao ungeweza kuongezeka ukubwa wake. + +# lakini kama tukiteswa + +hapa neno "sisi" lina maanisha Paulo na Timotheo, lakini siyo Wakorintho. Hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji "Lakini hata kama watu wakitutesa" + +# Kama tukitiwa faraja + +Hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji badala yake " Kama Mungu akitufariji" + +# Faraja yenu inafanya kazi vizuri + +"Mnapitia faraja timilifu" + diff --git a/2co/01/08.md b/2co/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..9c09c258 --- /dev/null +++ b/2co/01/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# hatutaki mwe wajinga + +Hii inaweza kuelezwa kwa msamiati chanya "tunataka mfahamu" + +# Tuliteswa sana zaidi ya vile ambavyo tungeweza kuvumilia + +Paulo na Timotheo wanaelezea hisia zao za kukata tamaa kama mzigo mzito waliopaswa kuubeba. + +# Tulikuwa tumekatishwa tamaa kabisa + +neno "katishwa tamaa" linaeleza hisia za kuvujwa moyo. Hii inaweza kuelezwa katika muundo wa utendaji. " taabu tulizozipitia zimetukatisha tamaa kabisa" au "Tulikuwa katika kukatishwa tamaa kabisa" + +# Tulikuwa na hukumu ya kifo juu yetu + +Paulo na Timotheo wanalinganisha hisia zao za kuvujwa moyo kama mtu ambaye ametiwa hatiani kufa." " Tulikuwa katika kukata tamaa kama mtu aliyehukumiwa kufa" + +# lakini badala yake katika Mungu + +Maneno "weka tumaini letu" yameachwa katika sentensi hii. "lakini badala yake, weka tumaini letu katika Mungu" + +# anaye wafufua wafu + +"anaye waleta wafu kurudi katika uhai tena" + +# maafa ya mauti + +Paulo na Timotheo wanafananisha hisia yao ya kukata tamaa na maafa ya mauti au hatari ya kutisha. (UDB) AT: "kukata tamaa." + diff --git a/2co/01/11.md b/2co/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..ffb6a55f --- /dev/null +++ b/2co/01/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Atafanya hivi kama ninyi pia mlivyotusaidia + +"Mungu atatuokoa kutoka hatarini kama ninyi, watu wa kanisa la Korintho, mtusaidia na sisi pia" + +# Upendeleo wa utukufu umetolewa kweyu + +Hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji. "Upendeleo wa utukufu ambao uliotolewa kwetu" + diff --git a/2co/01/12.md b/2co/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..dd33af9c --- /dev/null +++ b/2co/01/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tunaona fahari juu ya hili..sababu yenu ya kujisifu + +"Maneno "kujisifu" na kuona fahari " yametumika hapa katika mtazamo chanya wa utoshelevu wa hisia kubwa na furaha katka kitu fulani. + +# ushuhuda wa dhamiri zetu + +Fikra za Paulo na Timotheo kuhusu matendo yao yashuhudia kwamba wameishi katika njia impendezayo Mungu. + +# siyo katika hekima ya kidunia + +Neno "ya kidunia" linaeleza kile kinachotambulisha jamii ya wanadamu ambayo haimchi Mungu. "siyo kwa kufuata hekima ya kibinadamu" + +# hatuwaandikii chochote msichoweza kukisoma au kukielewa + +Hii inaweza kuelezwa kuwa "Mnaweza kukisoma na kukielewa kila kitu tunachowaandikieni" + +# kama vile mtakavyokuwa wetu + +"Unaweza kuyagawa maneno "Sababu yetu kuona fahari" kujaza duaradufu. "kama mtakavyokuwa sababu yetu ya kuona fahari" + diff --git a/2co/01/15.md b/2co/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..aa963707 --- /dev/null +++ b/2co/01/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaeleza matumaini yake ya hakika kwa hamasa safi kuja kuwaona waumini katika Korintho baada ya barua yake ya kwanza. + +# Maelezo ya jumla + +Paulo aliandika takribani barua 3 kwa Wakorintho.barua 2 tu kwa Korintho zimeandikwa katika Biblia. + +# Kwa sababu nilikuwa mwenye ujasiri kuhusu hili + +Neno "hili" linaelezea maneno ya mwanzo ya Paulo kuhusu Wakorintho. + +# mtaweza kupokea faida ya ziara zangu mbili + +mtaweza kunufaika kutoka kwangu nitakapowatembelea mara ya pili. + +# mnitume kwa safari yangu ya Uyahudi + +Mniwezeshe kwa safari yangu ya Uyahudi + diff --git a/2co/01/17.md b/2co/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..01475865 --- /dev/null +++ b/2co/01/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nilikuwa mashaka? + +Paulo anatumia swali hili kusisitiza alikuwa na uhakika uamuzi wake kuwatembelea Wakorintho. Jibu lililotarajiwa kwa swali hili lilikuwa "Nilikuwa sina mashaka" au " Nilikuwa na ujasiri katika uamuzi wangu" + +# Je, ninapanga vitu kwa mujibu wa vigezo vya kibinadamu kwa wakati mmoja? + +Hii ina maanisha kuwa Paulo hakusema kwa pamoja kwamba angetembelea na kwamba asingetembelea. Maneno "ndiyo" na " hapana" yamerudiwa kwa msisitizo. "Kwa hiyo nitasema "Ndiyo" wakati nitakapojuwa kwa hakika kuwa nitatembelea na "Hapana" pale tu ninapojua kuwa sina uhakika wa kutembelea kwa wakati mmoja" + diff --git a/2co/01/19.md b/2co/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..7d1184c1 --- /dev/null +++ b/2co/01/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa maana Mwana wa Mungu... siyo "Ndiyo" na "Hapana." Badala yake yeye ni "Ndiyo" daima." + +Yesu husema "Ndiyo" daima kuhusiana na ahadi za Mungu, ambazo zinamaanisha kwamba anathibitisha kwamba wako sahihi . Kwa kuwa Mwana wa Mungu ...hasemi " Ndiyo" na " Hapana "kuhusina na ahadi za Mungu. Badala yake husema "Ndiyo" daima + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu cha Yesu ambacho kinaelezea uhusano kwa Mungu + +# ahadi zote za Mungu ni "ndiyo" katika yeye + +Hii ni kumaanisha kwamba Yesu anahakikisha anatimiza yote yale ambayo Mungu ameahidi katika Kristo Yesu. "Ahadi zote za Mungu zinathibitishwa katika Yesu Kristo" + +# "Ndiyo" katika yeye...kupitia yeye + +Neno "yeye" linarejea kwa Yesu Kristo. + diff --git a/2co/01/21.md b/2co/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..37bb50f6 --- /dev/null +++ b/2co/01/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mungu hututhibitisha sisi na ninyi + +Maana zake zaweza kuwa 1)" Mungu ambaye huthibitisha uhusiano wetu na kila mmoja wetu kwa sababu tiko ndani ya Kristo" au 2)"Mungjambaye huthibitisha pamoja uhusiano wetu na wenu pamoja na Kristo." + +# Ameweka muhuri wake juu yetu + +Hii Ina maanisha kwamba Mungu ametutia amewawekea alama wakristo kama miliki yake ."Ametuwekea alama kuwa mali yake" + +# Ametupa Roho ndani ya mioyo yetu + +Hapa neno "Roho" linaeleza utu wa ndani wa mwanadamu. " Ametupa :Roho" kuishi ndani mwa kila mmoja wetu" + +# Roho ...kama uthibitisho + +Roho amezungumzwa kama malipo kuelekea uzima wa milele. + diff --git a/2co/01/23.md b/2co/01/23.md new file mode 100644 index 00000000..1d982496 --- /dev/null +++ b/2co/01/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ninamwita Mungu kubeba ushahidi kwa ajili yangu + +Maneno haya "kubeba ushahidi" yana rejea kwa mtu anayesema ambacho wameona au kusikia ili kwamba kutuliza hoja. "Namuuliza Mungu kuonyesha kile ninachosema ni kweli" + +# Ili kwamba niwahifadhi ninyi + +"Ili kwamba nisije kuwafanya kuteseka zaidi" + +# Tunatenda kazi paoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu" + +"Tunatenda kazi [aoja nanyi ilikwamba muwe na furaha" + +# Simameni katika imani + +Neno "Simameni" linaweza kumaanisha kitu ambacho hakiwei kubadilika. "iweni thabiti katika imani yenu" + diff --git a/2co/02/01.md b/2co/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..48e70dc4 --- /dev/null +++ b/2co/02/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Kwa sababu ya pendo kuu kwa ajili yao, Paulo anaweka wazi kwamba hilo onyo lake katika barua yake ya kwanza kwao(onyo la kukiri dhambi ya uzinzi) ilimsababishia yeye maumivu kama yalivyo maumivu kwa watu wa kanisa katika Korintho na watu wasio na maadili. + +# Niliamua kwa upande wangu + +"Nilifanya uamuzi" + +# kama niliwasababisha maumivu, ni nani atakayenifurahisha isipokuwa yule niliye muumiza? + +Paulo anatumia swali hili la kujihoji kusisitiza kuwa siyo yeye au wao wangenufaika kama kuja kwake kwao kungewasababishia maumivu. " Kama niliwasababishia maumivu , mmoja pekee ambaye angenifurahisha angekuwa ni yule ambaye ambaye aliumizwa nami" + +# Mmoja pekee aliyeumizwa nami + +Hii inaweza kufafanuliwa katika kauli tendaji "yule ambaye aliumizwa nami" + diff --git a/2co/02/03.md b/2co/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..9f8e114f --- /dev/null +++ b/2co/02/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Niliandika kama nilivyofanya + +Hiki kinarejea barua nyingine ya Paulo aliyokuwa ameiandika kwa wakristo wa Korintho ambaye haipo." Niliandika kama nilivyofanya katika barua zangu za awali" + +# Nisingeumizwa na wale waliopaswa kunifanya mimi nifurahi + +Paulo anazungumzia kuhusu mwenendo wa baaadhi ya wakristo wa Korintho waliomsababishia yeye maumivu ya kisaikolojia .Hiki kinaweza kuelezwa kwajinsi ya kauli tendaji " wale wliopaswa kunifanya mimi nifurahi wasingeniumiza" + +# fuaha yangu ni ni furaha ile ile mliyo nayo nyote + +"Kile kinachonipa mimi kufurahi ni kile kile kinachowapa ninyi furaha pia" + +# kutoka katika "mateso" makubwa + +Hapa neno "mateso" linaelezea maumivu ya hisia + +# kwa dhiki ya moyo + +Sehemu hii neno "moyo" linamaanisha mahali pa hisia." na huzuni kubwa" + +# na kwa machozi mengi + +"na kwa kulia kwingi" + diff --git a/2co/02/05.md b/2co/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..c8513488 --- /dev/null +++ b/2co/02/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katika vipimo vingine + +"katika baadhi ya sehemu" + +# bila kuweka uchungu zaidi + +" maana zinazopendekezwa ni 1) "Sipendi niseme kwa ukali sana" au 2) Sipendi kulikuza." + +# Kuhukumiwa kawa mtu yule na watu wengi inatosha + +Hii inawea kuelezwa kwa kwa kauli tendaji. Neno " hukumu" linaweza kutafsiriwa kutumia kitenzi. " Kwa jinsi watu wengi walivyomwadhibu mtu huyu inatosha" + +# inatosha + +ni ya kuridhisha + +# hajatetereshwa na wingi wa huzuni + +Ina maanisha kuwa na mwitikio dhabiti wa hisia kwa huzuni nyingi. "huzuni nyingi haziwezi kumwogopesha" + diff --git a/2co/02/08.md b/2co/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..4a9912f0 --- /dev/null +++ b/2co/02/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo analitia moyo kanisa katika Korintho kuonyesha pendo na kuwasamehe watu wale ambao wamewahukumu. Anaandika kwamba, yeye pia amemsamehe yeye. + +# thibitisheni pendo lenu hadharani kwa kwa ajili yake + +Ina maanisha kwamba wanapaswa kuthibitisha pendo lao kwa ajili ya mtu huyu mbele ya wakristo wote. + +# ninyi ni watii katika kila jambo + +maana pendekezwa ni hizi 1)" ninyi ni watii kwa Mungu katika kila kila kitu" au 2) "ninyi mna utii katika kila jambo nililo wafundisha" + diff --git a/2co/02/10.md b/2co/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..4f4ebb43 --- /dev/null +++ b/2co/02/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mmesamehewa kwa ajili yenu + +"nisamehewa kwa faida yenu." au "mmesamehewa kwa faida yenu" + +# mmesamehewa kwa faida yenu + +"nimesamehewa mbali na upendo wangu kwa ajili yenu" au "mmesamehewa kwa kwa faida yenu" + diff --git a/2co/02/12.md b/2co/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..445f8ed2 --- /dev/null +++ b/2co/02/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawatia moyo wakristo katika Korintho kwa kuwaambia kuhusu fursa aliyokuwa nayo kuihubiri injili katika Troa na Makedonia. + +# Bwana alikuwa amenifungulia mlango ...kuihubiri Injili + +Paulo anazungumza juu ya fursa yake ya kuhubiri injili kama ilivyokuwa mlango kupitia ambao alikuwa amekubaliwa kuupitia. " Bwana alimfungulia mlango ...kuhubri injili" au " Bwana alimpatia fursa ....kuhubiri injili" + +# Sikuwa na amani moyoni + +"Moyo wangu ulifadhaishwa " au "Nilitiwa hofu" + +# ndugu yangu Timotheo + +Paulo anazungumza kuhusu Timotheo kama kiongozi wake wa kiroho. + +# "Hivyo niliondoka" + +"Hivyo niligana na watu wa Troa" + diff --git a/2co/02/14.md b/2co/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..62f2dbdd --- /dev/null +++ b/2co/02/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mungu , ambaye ni Kristo daima hutuongoza katika ushindi + +Paulo anazungumza kuhusu Mungu kama vile angekuwa askari mshindi anayeongoza jeshi na kwa yeye mwenyewe na watenda kazi pamoja naye kama wale wanaoshiriki katika jeshi lile. " Mungu, ambaye ni Kristo daima hutufanya sisi tushiriki katika ushindi au " Mungu, ambaye ni Kristo daima hutuongoza sisi katika ushindi kama vile wale walio juu yeye kama vile alivyopata ushindi" + +# Kupitia sisi husambaza harufu nzuri ya manukato ya maarifa yake kila mahali + +"" Paulo anazungumza juu ya maarifa ya Kristo kama vile manukato yaliyo na harufu nzuri " "Huyafanya maarifa ya Kristo kuenea kwa kila mtu anayetusikia sisi, kama vile manukato mazuri ya ubani uliounguzwa humfikia kila mmoja aliye karibu" + +# kila mahali + +kila mahali tuendako + +# kwa Mungu tu manukato mazuri ya kristo + +Paulo anazungumza juu ya huduma yake ilikuwa kama sadaka ya kuteketezwa ambayo mtu fulani hutoa kwa Mungu. + +# manukato mazuri ya Kristo + +"manukato mazuri ni maarifa ya Kristo" au "manukato mazuri ya ambayo Kristo hutoa" + +# wale waliookolewa + +"wale ambao Mungu amewaokoa" + diff --git a/2co/02/16.md b/2co/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..58bf01d4 --- /dev/null +++ b/2co/02/16.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# ni harufu + +"maarifa ya Kristo ni manukato ." + +# harufu kutoka kifo hadi kifo + +hili neno "kifo" limerudiwa kuweka msisitizo na tungo ina maanisha " harufu ya manukato inasababisha kifo" au "harufu ya manukato ya kifo ambayo husababisha wau kufa" + +# mmoja anayeokolewa + +"mmoja ambaye kwake Mungu anamwokoa" + +# harufu ya manukato kutoka uhai hadi uhai + +neno "uhai" limerudiwa kutoa msisitizo na tungo ina maanisha" harufu nzuri ya manukato inayotoa uhai" au " harufu nzuri ya maisha inayowafanya watu waishi" + +# nani anayestahili vitu hivi + +"hakuna anayestahili vitu hivi" + +# usafi wa nia + +"nia iliyo safi" + +# Tunazungumza katika Kristo + +Tunazungumza kama watu waliounganishwa kwa Kristo" au " tunazungumza kwa mamlaka ya Kristo" + +# kama tulivyotumwa kutoka kwa Mungu + +"kama watu ambao Mungu amewatuma" + +# mbele za uso wa Mungu + +"tunazungumza mbele za uwepo wa Mungu" + diff --git a/2co/03/01.md b/2co/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..34b2b8da --- /dev/null +++ b/2co/03/01.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawakumbusha kuwa hajisifu kwa vile anavyowaambia kuhusu kile alichokifanya kuhusu Kristo. + +# Tunaanza kujisifu wenyewe tena ? + +" Hatujaanza kujisifu wenyewe tena" + +# hatuhitaji barua za utambulisho kwenu au kutoka kwenu, kama watu wengine, tunafanya hivyo? + +"Kwa hakika hatuhitaji barua za uthibitisho kwenu au kutoka kwenu, kama watu wengine wanavyofanya" + +# Barua za uthibitisho + +Hii ni barua mtu huandika kujitambulisha na kutoa uthibitisho wa mtu mwingine. + +# Ninyi wenyewe ni barua yetu ya utambulisho wetu + +Ninyi wenyewe ni sawa na barua ya utambulisho wetu" + +# Imeandikwa ndani ya mioyoni mwetu + +"ambayo Kristo ameiandika mioyoni mwetu" + +# imejulikana na kusomwa na watu wote + +"ambayo watu wote wanaweza kuifahamu na kuisoma" + +# ninyi ni barua kutoka kwa Kristo + +" ninyi ni barua ambayo Kristo ameiandika" + +# imetolewa na sisi + +"ambayo tuliitoa" + +# Imeandikwa siyo kwa wino...katika vibao vya mioyo ya watu + +Paulo anafafanua kwamba Wakorintho ni sawa na barua ya kiroho, siyo sawa na barua ambayo wanandamu huandika kwa vifaa vinavoonekana. + +# Imeandikwa si kwa wino...bali kwa roho wa Mungu anyeishi + +"siyo barua ambayo watu huandika kwa wino, bali ni barua ambayo imeandikwa na Mungu anayeishi" + +# Haikuandikwa juu ya mbao za mawe, bali imeandikwa juu ya mbao za mioyo ya wanadamu + +"siyo barua ambayo watu huchonga juu ya mbao za mawe bali ni barua ambayo Roho wa Mungu anayeishi ameiandika juu ya mbao za mioyo ya watu" + +# mbao za mioyo ya watu + +Paulo anazungumza kuhusu mioyo yao ambayo imekuwa kama vipande bapa vya mawe au udongo wa mfinyanzi juu yake watu wamechora barua. + diff --git a/2co/03/04.md b/2co/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..7721802f --- /dev/null +++ b/2co/03/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# huu ndiyo ujasiri + +Inaelezea kwa kile ambacho Paulo amekisema. .Ujasiri wake unatoka katika kufahamu kwamba Wakorintho ni uthibitisho wa huduma yake mbele za Mungu. + +# Uhodari ndani yetu wenyewe + +"Kustahili kwetu ndani yetu sisi wenyewe" au "Utoshelevu ndani yetu sisi wenyewe" + +# kudai kitu chochote kuwa kinatoka kwetu + +kudai kuwa kitu chochote ambacho tumefanya katika huduma huduma huja kwa juhudi zetu sisi wenyewe" + +# Uhodari wetu unatoka kwa Mungu + +"Mungu hutupa utoshelevu" + +# Agano lisilo la barua + +"agano ambalo halijajikita juu ya sheria ambazo zimeandikwa na wanandamu. + +# lakini la Roho + +"lakini ni agano ambalo limejikita juu ya kile ambacho Roho anafanya" + +# barua inaua + +"sheria iliyoandikwa hupelekea kifo" + diff --git a/2co/03/07.md b/2co/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..ffc932b7 --- /dev/null +++ b/2co/03/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anatofautisha utukufu unaofifia wa patano la kale na ubora na uhuru wa patano jipya. Anatofautisha utando wa Musa na ubayana wa ufunuo wa sasa. Wakati wa Musa haukuwa picha ya wazi ya kile ambacho asa kimewekwa wazi. + +# Sasa huduma ambayo imeleta kifo ...ilikuja katika utukufu kama huo + +Paulo anasisitiza kwamba ingawa sheria hupelekea huongoza katika kifo, Bado ilikujwa na ya utukufu mwingi. + +# huduma ambayo ilileta kifo + +"huduma ambayo imesababisha kifo ka sababu imejikita juu ya sheria" + +# imechora katika barua juu ya mawe + +"kwamba Mungu ameichonga kwenye mawe pamoja na barua" + +# Katika utukufu huo + +"katika utukufu mwingi" + +# Hii ni kwa sababu + +"wasingeweza kutazama kwa sababu" + +# ni kwa kiwango gani utukufu mwingi utakuwa huduma ambayo Roho huifanya? + +Paulo anatumia swali hili kusisitiza kuwa "huduma ambayo Roho huitenda" ni lazima iwe ya utukufu kuliko "huduma ambayo ilitolewa" kwa sababu huongoza katika uzima " + +# huduma ambayo Roho huitenda + +"huduma ya Roho." Hii inaelezea patano jipya, ambalo Paulo ni mtumishi wake. + diff --git a/2co/03/09.md b/2co/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..89218eb3 --- /dev/null +++ b/2co/03/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kazi ya hukumu + +"Kaziya hukumu ."Hii inarejea kwenye sheria ya Agano la Kale. + +# ni mara ngapi zaidi huduma ya haki huzidi sana katika utukufu! + +Hapa neno "jinsi gani" linaonyesha tungo hii kama mshangao, siyo kama vile swali. + +# huduma ya uadilifu huzidi sana katika utukufu + +Paulo anazungumza juu ya "huduma ya haki" kama ilivyokuwa taswira ammbayo ingeweza kutoa au kuongeza taswira nyingine. Anamaanisha kuwa " huduma ya uadilifu" ni ya utukufu zaidi kuliko sheria , ambayopia ilikuwa na utukufu. + +# huduma ya uadilifu + +"huduma ya uadilifu" Inarejea kwenye agano jipya , ambalo paulo ni mtumishi wake. + +# kile kilichofanywa utukufu kwanza hakina utukufu tena katika heshima hii, kwa sababu ya utukufu unaozidi. + +Sheria ya Agano la Kale haionekani tena kutukuzwa inapolinganishwa na Agano jipya, ambalo lina utukufu zaidi. + +# kile kilichofanywa utukufu kwanza + +"kile kinachoweza kutafsiriwa katika kauli tendaji" "sheria ambayo Mungu aliifanya utukufu" + +# katika heshima hii + +"kwa njia hii" + +# kile ambacho kilikuwa kinapita + +IHii inamaanisha "huduma ya hukumu" ambayo Paulo anazungumza juu yake iliyokuwa kama taswira yenye uwezo wa kutoonekana. + diff --git a/2co/03/12.md b/2co/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..730849f3 --- /dev/null +++ b/2co/03/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa kuwa tunaujasiri sana. + +Hii ina maanisha kwamba Paulo tayari amesema. Ujasiri wake unatoka katika kufahamu kuwa agano jipya lina utukufu wa milele. + +# mwisho wa utukufu ambao ulikuwa unatoweka + +Ni marejeo ya utukufu ambao ulinga'ra juu ya uso wa Musa kama ulivyofifia mbali kabisa. + diff --git a/2co/03/14.md b/2co/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..a12a6161 --- /dev/null +++ b/2co/03/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Lakini fahamu zao zilikuwa zimefungwa + +"Lakini mioyo yao ilikuwa migumu." Paulo anazungumza juu ya mioyo ya watu wa Israeli kama kifaa ambacho chaweza kufungwa au kufanywa kigumu. Ufafanuzi huu humaanisha kwamba walikuwa hawawezi kuelewa kile wanacho kiona. + +# Hata mpaka siku hii + +Tungo hizi zinarejea akati ambao Paulo alikuwa akiandika kwa Wakorintho. + +# utaji uleule bado unabaki juu ya usomaji wa agano la kale + +kama ilivyo kwa Waisraeli wasingeweza kuona utukufu juu ya uso wa Musa kwa sababu alifunika uso wake na utaji , kuna utaji wa kiroho unaowazuia watu kutoelewa wanaposema agano la kale. + +# juu ya usomaji wa agano la kale + +"Wakati mtu anaposema agano la kale" au " Wakati wanaposikia mtu fulani anaposoma agano la kale" + +# Haijawekwa wazi, kwa sababu ni katika Kristo pekee inaondolewa mbali. + +Hapa inajumuisha usahihi wa neno "hilo" inarejea "utaji uleule" + +# wakati wowote Musa asomwapo + +Hapa neno " Musa" linarejea kwenye sheria ya agano la kale. + +# utaji hukaa juu ya mioyo yao + +hapa neno "mioyo"linarejea kwenye moyo na mawazo. Utaji wa kiroho hufunika mioyo yao, kuwazuia wasiweze kuelewa agano la kale. + +# utaji unaondolewa. + +Hii ina maanisha kwamba sasa wamepewa uwezo wa kufahamu. + diff --git a/2co/03/17.md b/2co/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..2b1c9609 --- /dev/null +++ b/2co/03/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa sisi sote + +Hapa neno "sisi" lina maanisha kwa wakristo wote, akiwemo na Paulona Wakorintho. + +# pamoja na nyuso zisizo wekewa utaji, huona utukufu wa Bwana + +Sivyo kama Waisraeli amabao wasingeweza kuuona utukufu wa Mungu kwenye uso wa Musa kwa sababu alikuwa ameufunika kwa utaji, hakuna kitu chochote cha uwazuia waamini kuuona na kuufahamu utukufu wa Mungu. + +# Tunabadilishwa ndani ya muonekano uleule + +Roho anawabadilisha waamini kuwa wenye utukufu kama yeye + +# kutoka shahada moja ya utukufu kwenda nyingine + +"kutoka katika kipimo kimoja cha utukufu kwenda kwenye kipimo kingine cha utukufu. + +# kama ilivyo kutoka kwa Bwana + +"kama vile ilivyo kutoka kwa Bwana" + diff --git a/2co/04/01.md b/2co/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..e03b7cd9 --- /dev/null +++ b/2co/04/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaandika kuwa yeye ni mwaminifu katika huduma yake kwa kumhubiri Kristo, siyo kujisifia yeye mwenyewe. Anaonyesha kifo na maisha ya Yesu kwa jinsi alivyoishi ili kwamba maisha yafanye kazi katika maisha ya wakorintho. + +# Tuna huduma hii + +Hapa neno"sisi" linamwakilisha Paulo na watenda kazi wenzake, lakini sasa kwa Wakorintho kwa vile ambavyo Mungu anatuhudumia na anatuonyesha rehema kwa kutubadilisha sisi tuwe zaidi kama yeye. + +# na kama ambavyo tumeipokea rehema + +Tungo hii inaeleza jinsi Paulo na watumishi wenzake wanayo huduma hii" "Ni zawadi ambayo Mungu ameitoa kwao kwa njia ya rehema yake." + +# tumekataa njia zote za aibu na zilizofichika. + +Hii inamaainisha kwamba Paulo na watumishi wenzake walikatataa kufanya "vitu vinavyo aibisha na vilivyofichwa." Haina maana kwamba walikuwa wamevifanya vitu hivi huko nyuma. + +# njia zote za aibu na zilizofichika + +neno "zilizofichika" hufafanua vitu ambavyo ni vya "kuaibisha" + +# Hatuishi kwa hila + +"ishi kwa udanganyifu" + +# hatulitumii vibaya neno la Mungu + +Tungo hii inatumia mawazo mawili yenye ukanusho kuelezea wazo chanya + +# tunajionyesha wenyewe kwa dhamiri ya kila mtu + +Maana yake kwamba wanatoa ushahidi wakutosha kwa kila mtu anayewasikiliza kuamua ikiwa wako sahihi au hapana. + +# mbele ya Mungu. + +Ina maanisha kwenye uwepo wa Mungu. Ufahamu wa Mungu na uthibitisho wa ukweli wa Paulo umetafsiriwa kama Mungu kuweza kuwaona. + diff --git a/2co/04/03.md b/2co/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..abd6cbdf --- /dev/null +++ b/2co/04/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Lakini kama injili yetu imefichika, imefichika kwa wale tu wanaoangamia + +Hiki marejeo ya nyuma 3:14 mahali ambapo Paulo anaeleza kuwa kuna utaji wa kiroho amabao unawazuia watu wasielewe wakati wanaposoma agano la kale. Kwa njia hiyo, watu hawawezi kuifahamu injili. + +# Ikiwa injili yetu imetiwa utaji, imetiwa utaji + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo wa utendaji" ikiwa utaji unaifunika injili yetu, utaji huo huifunika" + +# Injili yetu + +"Injili ambayo tunaihubiri" + +# mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. + +Paulo anazungumza juu ya mioyo yao ikiwa kama mioyo yao haiwezi kuona "mungu wa ulimwengu amewazuia wasioamini kuelewa" + +# mungu wa ulimwengu huu + +"mungu anayetwala dunia," Tungo hii ina maanisha shetani. + +# hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo + +Kama vile waisraeli walivyoshindwa kuuona utukufu wa Mungu uliong'ara juu ya uso wa Musa kwa sababu aliufunika kwa utaji.Wasio amini hawawezi kuuona utukufu wa Kristo unao ng'ara katika injili. + +# nuru ya injili + +"nuru ambayo inakuja kutoka katika injili" + +# injili ya utukufu wa Kristo + +"injili inayohusu utukufu wa Kristo" + diff --git a/2co/04/05.md b/2co/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..affa47b1 --- /dev/null +++ b/2co/04/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bali Kristo Yesu kama Bwana, na sisi wenyewe kama watumishi wenu + +Unaweza ukaligawa tendo katika tungo hizi"Bali twamtangaza Kristo Yesu kuwa Bwana na tunatangaza sisi wenyewe kama watumishi wenu. + +# Kwa faida ya Kristo + +"kwa sababu ya Yesu" + +# Nuru itang'aa toka gizani + +Kwa sentensi hii, Paulo anarejea kwa Mungu kuumba nuru, kama ilivyoelezwa katika kitabu cha Mwanzo. + +# Ameangaza katika mioyo yetu, kutoa mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu + +Hapa neno "nuru" lina maanisha uwezo wa kuelewa.Kama vile Mungu alivyoumba nuru, yeye pia huumba ufahamu kwa waamini. + +# katika mioyo yetu + +Hapa neno " mioyo" lina maanisha akili na mawazo + +# mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu + +"nuru , ambayo ni maarifa ya utukufu wa Mungu" + +# utukufu wa Mungu katika uwepo wa Yesu Kristo. + +"utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo." + diff --git a/2co/04/07.md b/2co/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..8f2836e0 --- /dev/null +++ b/2co/04/07.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Lakini tuna + +Hapa neno "tuna" lina maanisha Paulo na watenda kazi pamoja naye, lakini siyo kwa Wakorintho. + +# tuna hazina hii katika vyombo vya udongo + +Paulo anazungumzia injili ilivyokua kama hazina na miili yao ilivyokuwa kama chupa za udongo zinazoweza kuvunjika. Hii inasisitiza kuwa wana thamani ndogo ukilinganisha na thamani ya injili ambayo wanaihubiri. + +# ili kwamba ieleweke + +" ya kwamba iko dhahiri kwa watu" au "ya kwamba watu wanatambua wazi wazi" + +# Tunataabika katika kila hali + +Hiki kinaweza kuelezwa katika kauli tendaji. "Watu hututaabisha kwa njia mbali mbali" + +# Tunateswa lakini hatujatelekezwa + +. " Watu hututesa lakini Mungu hajatutelelkeza" + +# Twatupwa chini lakini hatuangamizwi + +hututupa chini lakini hawatuangamizi" + +# Twatupwa chini + +"twaumizwa vibaya" + +# iku zote tunabeba katika mwili wetu kifo cha Yesu + +Paulo anazungumza juu ya mateso yake kuwa kama vile ni uzoefu wa kifo cha Yesu Kristo. + +# uzima wa Yesu uonekane pia katika miili yetu. + +Maana zaweza kuwa "miili yetu itaishi tena, kwa sababu Yesu yu hai au " maisha ya kiroho ambaye Yesu hutoa pia yaonekane katika miili yetu." + +# uzima wa Yesu uonekane pia katika miili yetu. + +Yaweza kueleza katika kauli tendaji " watu wengine wanaweza kuyaona maisha ya Yesu katika miili yetu" + diff --git a/2co/04/11.md b/2co/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..44f19ed4 --- /dev/null +++ b/2co/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sisi tulio hai siku zote tumetolewa kufa kwa ajili ya Yesu + +Kubeba kifo cha Yesu huwakilisha kuwa katika hatari ya kufa kwa sababu ya kuwa mwaminifu kwa Yesu. + +# ili kwamba uhai wa Yesu uonekane katika miili yetu ya kibinadamu + +Mungu anahitaji maisha ya Yesu yaonekane kwetu. Maana pendekezwa zaweza kuwa "miili yetu itaishi tena, kwa sababu Yesu yu hai. au "maisha ya kiroho ambayo Yesu hutoa pia yaweza kuonyeshwa katika miili yetu" + +# ili kwamba uhai wa Yesu uonekane katika miili yetu ya kibinadamu + +Sentensi hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji. "ya kwamba watu wengine wanan weza kuyaona maisha ya Yesu katika miili yetu" + +# kifo kinafanya kazi ndani yetu, bali uzima unafanya kazi ndani yenu. + +Paulo anazungumzia kifo na uzima kama watu ambao wanaweza kufanyakazi. Hii ina maana kwamba daima wako katika hatari ya kifo cha mwili kwa hiyo Wakorintho wapate uzima wa kiroho. + diff --git a/2co/04/13.md b/2co/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..2a6227c3 --- /dev/null +++ b/2co/04/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# roho ileile ya imani + +'nia ileile ya imani"Hapa neno" roho" linamaanisha nia ya mtu na silika. + +# kulingana na kile kilicho andikwa + +Sentensi hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji." kama mmoja yule anayeandika maneno haya" + +# Niliamini, na hivyo nilinena + +Hii ni rejea ktoka katika kitabu cha Zaburi. + +# yule aliye mfufua Bwana Yesu pia atatufufua sisi pamoja naye + +Neno "yuleyule"linamaanisha Mungu" + +# atatufufua sisi pamoja naye + +Neno "sisi" linawatenga Wakorintho. + +# Kila kitu ni kwa ajili yenu + +Neno "kila kitu" linamaanisha mateso yote ambayo Paulo aliyoyaelelza katika mistari iliyotangulia. + +# neema inavyo enea kwa watu wengi + +Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii "kama Mungu anavyoeneza neema yake kwa watu wengi" + +# shukurani zizidi kuongezeka + +Paulo anazungumzia shukrani kuwa kama kitu ambacho kingekuja kuwa kikubwa kwa chenyewe. + diff --git a/2co/04/16.md b/2co/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..d4a035fe --- /dev/null +++ b/2co/04/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaandika kwamba changamoto za Wakorintho ni ndogo na hazitadumu wakati zikilinganishwa na vitu vya milele visivyoonekana. + +# Hivyo hatukati tamaa + +"Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii" hivyo tunabakia wajasiri" + +# kwa nje tunachakaa, + +Hii ina maanisha miili yao inaharibika na kufa. + +# kwa ndani tunafanywa upya siku hadi siku. + +Ina maanisha utu wao wa ndani, kiroho maisha yanazidi kuimarika. + +# Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu + +Paulo anazungumzia mateso yake na utukufu ambaoMungu atampa kuwa vilikuwa vitu vinavyoweza kupimika. + +# uzidio vipimo vyote + +Utukufu wa uzoefu ambao Paulo ataupata ni mzito sana ambao hakuna awezaje kuupima. + +# Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani + +Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii. " vitu ambavyo twaweza kuviona...vitu ambavyo hatuwezi kuviona" + +# bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana + +Unaweza kuligawa tendo kwa tungo hizi. "lakini twangojea vitu ambavyo havionekani" + diff --git a/2co/05/01.md b/2co/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..f6edefe0 --- /dev/null +++ b/2co/05/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anazidi kuitofautisha miili ya duniani ya waamini na ile ya mbinguni ambayo Mungu atawapa. + +# kam maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. + +Paulo anazungumzia mwili wake unaoonekana ni kama ulikuwa wa muda "makao ya duniani" na ya ufufuo wa mwili Mungu atatoa kama vile miili ya kudumu " jengo" + +# Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu + +Hii ina maanisha " jengo kutoka kwa Mungu" Hii inaweza kuelezwa ka jinsi hii. " ni nyumba ambayo haikutengenezwa na wanandamu" + +# katika hema hii tunaugua + +Neno "hema" linaelezea " makao ya duniani ambayo tunaishi." Neno tunaugua ni sauti ya mtu anayoitoa pindi wanapokuwa wanatamani kuwa na kitu fulani ambacho ni kizuri. + +# tukitamani kuvikwa kwa maskani yetu mbinguni + +Maneno " makao yetu ya mbinguni" yana maanisha "jengo kutoka kwa Mungu." Paulo anazungumzia ufufuo wa mwili kama vile ulikuwa pamoja jengo na kipande cha nguo ambacho mtu anaweza kuvaa. + +# kwa kuivaa + +"kwa kuivaa makao yetu ya mbinguni" + +# hatutaonekana kuwa tu uchi. + +Hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "hatutakuwa uchi" au "Mungu hatatukuta tukiwa uchi" + diff --git a/2co/05/04.md b/2co/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..03a57cc8 --- /dev/null +++ b/2co/05/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# tuko ndani ya hema hii + +Paulo anazungumzia mwili unaoonekana kama vile ulikuwa "hema." + +# ndani ya hema hii, twaugua tukilemewa + +Neno " hema" linamaanisha makao ya duniani ambayo tunaishi ndani yake." Neno " ugua" ni sauti anayoitoa mtu wakati wanapohitaji kutamani kuwa na kitu ambacho ni kizuri. + +# tukilemewa + +Paulo anarejea kwenye changamoto ambazo mwili hupitia kama vile zilikuwa vitu ambavyo ni vizito kuvibeba. + +# Hatutaki kuvuliwa badala yake, tunataka kuvalishwa + +Paulo anazungumzia mwili kama vile ulikuwa umevikwa.Hapa "kuvuliwa" lina maanisha kifo ccha mwili; " kuvalishwa" lina maanisha kuwa na ufufuo wa mwili ambao Mungu atautoa. + +# kuvuliwa + +"kutokuwa na nguo" au "kuwa uchi" + +# ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima + +Paulo anazungumzia maisha kama vile yalikuwa mnyama ambaye hula " ambaye hufa." Mwiliunaoonekana ambaomutakufa utahuishwa kwa njia ya ufufuo wa mwili ambao utaishi milele. + +# ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima + +Hii inaweza kusemwa kwa jinsi hii: "ili kwamba uhai utaki meza kile ambacho ni cha kufa" + +# ambaye alitupa sisi Roho kama ahadi ya kile kitakacho kuja. + +Roho anayezungumzwa alikuwa kama malipo ya chini ya muda kuhusu uzima wa milele. + diff --git a/2co/05/06.md b/2co/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..21e5e471 --- /dev/null +++ b/2co/05/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Kwa sababu waamini watakuwa na miili mipya na kuwa na Roho Mtakatifu kama ahadi, Paulo anawakumbusha kuishi kwa imani ili waweze kumfurahisha Bwana. Anaendelea kuwakumbusha kuwavuta na wengine kwa sababu waamini wataonekana katika kiti cha hukumu cha Kristo na kwa sababu ya pendo la Kristo aliyekufa kwa ajili ya waamini. + +# wakati tuko nyumbani katika mwili + +Paulo anazungumza juu ya miili inayoonekana kama vile ilikuwa mahali ambapo mtu hukaa. + +# tuko mbali na Bwana. + +"hatuko nyumbani pamoja na Bwana " au " hatuko mbinguni pamoja na Bwana" + +# tunatembea kwa imani, sio kwa kuona + +"tunaishi kwa imani, na siyo kwa mujibu wa kile tunachokiona" + +# Ni bora tuwe mbali kutoka kwenye mwili + +Hapa neno "mwili" lina maanisha "mwili unaoonekana" + +# nyumbani pamoja na Bwana. + +"nyumbani pamoja na Bwana mbinguni" + diff --git a/2co/05/09.md b/2co/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..c1192676 --- /dev/null +++ b/2co/05/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tukiwa nyumbani au mbali + +Neno " Bwana" huenda limetokana na mistari iliyotangulia. " ikiwa tukiwa numbani pamoja na Bwana au mbali na Bwana" + +# tumpendeze yeye + +"kumpendeza Bwana" + +# mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo + +"mbele za Kristo kuhukumiwa" + +# kila mmoja aweze kupokea kile kinachostahili + +"kilamtu aweze kupokea kile anacholstahili" + +# mambo yaliyotendwa katika mwili + +Sentensi yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "vitu ambavyo amevifanya katika mwili unaoonekana" + +# ikiwa ni kwa uzuri au kwa ubaya. + +"ikiwa vitu hivyo vilikuwa vizuri au vibaya" + diff --git a/2co/05/11.md b/2co/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..8ab470f4 --- /dev/null +++ b/2co/05/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kuijua hofu ya Bwana + +"kuijua nini maana ya kumhofu Mungu" + +# Jinsi tulivyo, inaonekana wazi na Mungu + +Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "Mungu hutuona dhahiri wanadamu jinsi tulivyo" + +# hivyo mnaweza kuwa na majibu + +"hivyo mnaweza kuwa na kitu cha kusema juu yake" + +# inaeleweka pia kwenye dhamiri zenu + +"kwamba pia mmedhihirishwa kwayo" + +# ili kwamba muweze kuwa na jibu + +"ili kwamba muweze kuwa na kitu cha kusema" + +# wale wanaojivunia kuhusu mwonekano lakini sio kile kilicho ndani ya moyo + +Katika sentesi hii Neno "kuonekana" linaelezea mwonekano wa nje wa vitu kama vile uwezo, na hali.Neno "moyo" lina maanisha utu wa tabia ya ndani ya mtu. + diff --git a/2co/05/13.md b/2co/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..6fc7826c --- /dev/null +++ b/2co/05/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ikiwa kama tumerukwa na akili + +Paulo anazungumza kuhusu namna wengine wanavyomfikiria yeyey na watenda kazi pamoja naye. + +# Pendo la Kristo + +Maana zinazowezekana ni: "Upendo wetu kwa Krist" au Pendeo la Kristo kwetu." + +# alikufa kwa ajili ya wote + +"alikufa kwa ajili ya watu wote" + +# yeye mwenyewe alikufa na alifufuka + +Katika sentensi hii neno " yeye" linamaanisha "Kristo" + diff --git a/2co/05/16.md b/2co/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..4e4e3d2f --- /dev/null +++ b/2co/05/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Kutokana na pendo la Kristo, na kifo chake, hatupaswi kuhukumu kwa vigezo vya kibinadamu.Tumechaguliwa kuwafundisha wengine jinsi ya kuungamanishwa pamoja na kuwa na amani pamoja na Mungu kwa njia ya kifo cha Kristo na kupokea uadilifu kwa njia ya Kristo. + +# Kwa sababu hii + +Ina maanisha kile ambacho Paujlo amekisema kuhusu kuishi kwa ajili ya Kristo badala ya kuishi kwa ajili ya nafsi. + +# yeye ni kiumbe kipya. + +Paulo anazungumza juu ya mtu anyeamini katika Kristo kama vile ameumba mtu mpya + +# Mambo ya kale yamepit + +"mambo ya kale" ina maanisha vitu vinavyoelezea tabia ya mtu kabla ya kumwamini Yesu Kristo. + diff --git a/2co/05/18.md b/2co/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..1173625a --- /dev/null +++ b/2co/05/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# vitu vyote + +"Mungu amefanya vitu hivi vyote." Ina maanishna kile ambacho Paulo alikisema katika mistari iliyotangulia kuhusu vitu vipya kushika nafasi ya vitu vya kale. + +# huduma ya upatanisho + +Yaweza kutasiriwa na tungo tendo " huduma ya kuwapatanisha watu kwake" + +# Hiyo ni kusema + +"hii ina maansha" + +# katika Kristo, Mungu anaupatanisha ulimwengu kwake mwenyewe + +Katika sentensi hii neno" ulimwengu" lina maana ya watu walionmo duniani. + +# Anawekeza kwetu ujumbe wa upatanisho + +Mungu amempa Paulo wajibu wa kueneza ujumbe kwamba Mungu anawapatanisha watu kwa yeye. + +# Ujumbe wa upatanisho + +"ujumbe kuhusu uapatanisho" + diff --git a/2co/05/20.md b/2co/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..13292da1 --- /dev/null +++ b/2co/05/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# tunateuliwa kama wawakilishi wa Kristo, + +Sentensi hiiyaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " Mungu ametuchagua kama wawakilishi wa Kristo. + +# wawakilishi wa Kristo + +"wale waanao mhubiri Kristo + +# Mpatanishwe kwa Mungu + +Ina maanisha "Mungu na awapatanishe kwake" + +# Alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu + +"Mungu alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu" + +# dhambi zetu...ili tuweze kufanyika + +Neno "yetu" na "sisi" tumejumuishwa na inamaanisha waamini wote. + +# Yeye ndiye ambaye hakutenda dhambi + +"Kristo ni yeye pekee ambaye hakuwahi kutenda dhambi" + +# Alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye + +"Mungu alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu kaika Kristo" + +# li tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye. + +Tungo "haki ya Mungu" inamaanisha haki ambayo Munguanaihitaji na ambayo inatoka kwa Mungu. + diff --git a/2co/06/01.md b/2co/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..6f7929d3 --- /dev/null +++ b/2co/06/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anajumuisha jinsi gani kufanya kazi kwa pamoja inavyopaswa kuwa. + +# Habari za Jumla + +Katika mstari wa pili Paulo an nukuu kifungu kutoka kwa nabii Isaya. + +# Kufanya kazi Pamoja + +Paulo anamaanisha kuwa yeye na Timotheo wanatumika pamoja na Mungu + +# tunawasihi ninyi msiipokee neema ya Mungu pasipo matokeo + +Paulo anawasihi paoja nao kuiruhusu neema ya Mungu kufanya kazi katika maisha yao. + +# Kwa kuwa anasema + +"Kwa kuwa Mugu anasema" Hii inatambulisha nukuu kutoka kwa nabii Isaya. "Kwa kuwa Mungu anasema katika maandiko" + +# Tazama + +Neno "Tazama" mahali hapa linatukumbusha kuwa wasikivu kwa habari zijazo zinazostajabisha. + +# Hatuweki jiwe la kizuizi mbele ya mtu yeyote, + +Paulo anazungumzia juu ya kitu chochote ambacho kinaweza kumzuia mtu kutotumaini katika Kristo kama vile ilivyokuwa kifaa cha mwili juu ya kile ambacho mtu yule huteleza na kuanguka. + +# kwa kuwa hatuitakii huduma yetu iletwe katika sifa mbaya. + +Neno "sifa mbaya " lina maanisha watu kusema vibaya kuhusu huduma ya Paulo . + diff --git a/2co/06/04.md b/2co/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..029e5b4e --- /dev/null +++ b/2co/06/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Habari za Jumla + +Wakati Paulo anapotumia neno " sisi", ana maanisha yeye mwenyewe na Timotheo. + +# Tunajihakiki wenyewe kwa matendo yetu yote, kwamba tu watumishi wa Mungu. + +"Tunathibitisha kjwa sisi ni watumishi wa Mungu kwa kila kile tulifanyalo" + +# Tu watumishi wake katika wingi wa ustahimilivu.... katika kukosa usingizi usiku, katika njaa + +Paulo anataja maeneo mbali mbali ya mazingira magumu katika hayo wanathibitisha kuwa ni watumishi wa Mungu. + +# katika usafi...katika upendo halisi. + +Paulo anaorodhesha mambo mbalimbali ya uadilifu ambayo waliyatunza wakati wa mazingira magumu na inathibisha kuwa ni watumishi wa Mungu. + +# Tu watumishi wake katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu + +Kuwekwwakfu kwao kuihubiri injili katika nguvu za Mungu inathibitisha kuwa ni watumishi wa Mungu. + +# katika neno la kweli + +"katika kuhubiri neno la kweli la Mungu" + +# Tuna silaha ya haki kwa ajili ya mkono wa kuume na wa kushoto + +Paulo anazungumza juu ya uadilifu wao kama vile silama wanazozitumia kupigana vita vya kiroho. + +# Tuna silaha ya haki kwa ajili ya mkono wa kuuume na wa kushoto. + +"uadilifu kama silaha yetu " au "uadilifu kama silaha zetu" + +# kwa mkono wa kuume na wa kushoto + +Maana zaweza kuwa hizi: "kuwa kuna silaha katika mkono mmoja na ngao mkono mwingine" au "wamewezeshwa kikamilifu kwa vita , tayari kujilinda na mashambulizi kutoka sehemu yoyote." + diff --git a/2co/06/08.md b/2co/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..486719e9 --- /dev/null +++ b/2co/06/08.md @@ -0,0 +1,21 @@ +# Habari za Jumla + +Paulo anaorodhesha mitazamo mingi jinsi watu wanavyofikiri juu yake na huduma yake. + +# Tunatuhumiwa kuwa wadanganyifu + +Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "watu hutushtaki kwa kuwa wadanganyifu" + +# kana kwamba hatujulikani na bado tunajulikana vizuri. + +Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: +"ikiwa kama watu hawakututambua sisi na bado watu wanatutambua vizuri" + +# Tazama! + +Neno "Tazama" linatukumbusha kusikiliza kwa makini habari za kushangaza zinazofuata. + +# Tunafanya kazi kama tunaoadhibiwa kwa ajili ya matendo yetu lakini sio kama vile waliohukumiwa hata kufa. + +Sentensi hii inaweza kuelezwa hivi": "tunatemda kazi kama vile watu wanatuadhibu kwa matendo yetulakini siyo kama vile wametuhukumu kufa" + diff --git a/2co/06/11.md b/2co/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..6448889b --- /dev/null +++ b/2co/06/11.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawatia moyo waamini wa Korintho kujitenga na miungu naa kuishi maisha kwa ajili ya Mungu. + +# Tumezungumza ukweli wote kwenu, + +"tumezungumza ukweli kwenu" + +# mioyo yetu imefunguka kwa upana. + +paulo anazungumza alivyowaathiri Wakorintho kwa kuwa na moyo uliofunguka. + +# mioyo yenu haizuiliwi na sisi, bali mnazuiliwa na hisia + +Paulo anazungumzia Wakorintho kwa kukosa upendo kwake kama vile mioyo yao ilikuwa imesongwa katika nafasi finyi. + +# mioyo yenu haizuiliwi na sisi, + +Sentensi hi yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " Hatujaizuia mioyo yenu" au " hatujawapa mioyo yenu sababu yoyote kuacha kutupenda sisi" + +# mnazuiliwa na hisia zenu wenyewe + +Sentensi hii yaweza kuelezwa katika hali tendaji: " hisia zenu zinawazuia " au : mmeacha kutupenda sisi kwa sababu zenu" + +# katika kubadilishana kwa haki + +"kama mwitikio halisi + +# ninaongea kama kwa watoto + +Paulo anawaeleza Wakorintho kama watoto wake w kiroho. + +# fungueni mioyo yenu kwa upana. + +Paulo anawasihi Wakorintho kumpenda yeye kama yee alivyowapenda wao. + diff --git a/2co/06/14.md b/2co/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..8c920202 --- /dev/null +++ b/2co/06/14.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Habari za Jumla + +Katika mstari wa 16, Paulo anachukua wazo la vifungu vingi kutoka manabii wa Agano la Kale "Musa, Zekaria, Amosi, na huenda na wengine. + +# Msifungamanishwe pamoja na wasioamini + +Sentensi hii aweza kuelezwa kwa jinsi ya kukubali: "mfungamanishwe pamoja na waaamini peke yake" + +# lakini mfungamanishwe pamoja na + +Paulo anazungumzia juu ya kufanya kazi pamoja kuelekea kusudi la pamoja kama vile ilivyo kwa wanyama wawili waliofungwa pamoja kuvuta jembe au mkokoteni. + +# kuna uhusiano gani kati ya haki na uasi? + +Hili ni swali la kujihoji ambalo hutegemea jibu hasi. + +# Na kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? + +Paulo anauliza swali hili kusisitiza kuwa nuru na giza haviwezi kuchangamana maana nuru huondoa giza. Maneno "nuru" na "giza"? yanaelezea uboro wa maadili ya mwili na kiroho kwa waamini na wasioamini. + +# Ni makubaliano gani Kristo anaweza kuwa nayo na Beliari? + +Hili ni swali la kujihoji ambalo linategemea jibu hasi. + +# Beliari + +Hili ni jina jingine la mwovu. + +# Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na asiyeamini? + +Sentensi hii aweza kuelezwa kwa jinsi ya kukubali: "mfungamanishwe pamoja na wasamini peke yake" + +# Na kuna makubaliano gani yapo kati ya hekalu la Mungu na sanamu? + +Hili ni swali la kujihoji ambalo linategemea jibu hasi. + +# sisi ni hekalu la Mungu aliye hai + +Paulo ana anamaanisha wakristo wote kuwa wanatengeneza hekalu ili Mungu kuishi ndani yake. + diff --git a/2co/06/17.md b/2co/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..ec059c65 --- /dev/null +++ b/2co/06/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari za Jumla + +paulo ananukuu sehemu kutoka manabii wa Agano la Kale, Isaya na Ezekeieli. + +# mkatengwe + +Sentensi hii yaweza kuelezwa katika kauli tendaji: " mkajitenge" au " mniruhusu mimi niwatenge" + +# Msiguse kitu kichafu, + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa namna ya kukubali: "Gusa vitu ambavyo ni visafi pekee" + diff --git a/2co/07/01.md b/2co/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..e3e47b7a --- /dev/null +++ b/2co/07/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaendelea kuwakumbusha wao kujitenga na dhambi na kutafuta utakatifu kwa makusudi. + +# Wapendwa wangu + +"ninyi niwapendao" au rafiki wapenzi" + +# na tujitakase wenyewe + +Katika sentensi hii Paulo anasema kujitenga mbali na dhambi ambayo yaweza kuathiri uhusiano wa kila mtu na Mungu. + +# Na tuutafute utakatifu + +"na tujitahidi kuwa watakatifu" + +# katika hofu ya Mungu + +"katika hofu ya ndani kwa Mungu" + diff --git a/2co/07/02.md b/2co/07/02.md new file mode 100644 index 00000000..aee670b9 --- /dev/null +++ b/2co/07/02.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi + +Akiwa tayri amewaonya watu wa Korintho kuhusu viongozi wengine ambao walikuwa wakijitahidi kuwavuta Wakorintho wawafuate wao, lakini Paulo anawakumbusha watu jinsi anavyowafikiria. + +# Fanyeni nafasi kwa ajili yetu + +Inarejea kile ambacho Paulo alikisema awalikatika 6:11 kuhusu wao kufungua mioyo yao kwa yeye. + +# Siyo kuwahukumu ninyi kuwa nasema hili + +"sisema hili kuwashitaki ninyi kwa kufanya vibaya." Neno "hili" linarejea kwa kila ambacho Paulo alikuwa amesema kuhusu ambavyo hakumkosea mtu yeyote. + +# mmo mioyoni mwetu + +Paulo anazungumza kwa ajili yake na pendo kuu la washirika wake kwa ajili ya wakorintho kama vile wamefanyika ndani ya kioyo yao. + +# kwetu sisi kufa pamoja na kuishi pamoja + +Hii ina maanisha kwamba Paulo na washirika wake wataendelea kuwapenda Wakorintho bila kujali kinachotokea. + +# kwetu sisi kufa + +"sisi" inajumuisha waamini wa Korintho" + +# Nimejawa na faraja + +Yaweza kuelezwa katika jinsi ya utendaji: : "Mnanijaza faraja" + +# Ninajawa na furaha + +Pulo anazumzia furaha kama vile kimiminika ambacho humjaza yeye mpaka anajawa. + +# hata katikati ya mateso yetu yote. + +"licha ya taabu zetu" + diff --git a/2co/07/05.md b/2co/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..3bf2a202 --- /dev/null +++ b/2co/07/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tulikuja Makedonia + +Neno "sisi"lina maanisha Paulo na Timotheo na siyo Wakorintho au Tito. + +# miili yetu haikuwa na pumzikO + +neno "miili"linaelezea utu wote wa mwanadamu + +# Tulipata taabu kwa namna zote + +Hii yaweza kuelezwa kwa jinsi ya utendaji: " tulipitia mateso katika kila njia" + +# tulipata taabu kwa namna zote kwa kupigwa vita upande wa nje na hofu upande wa ndani + +Maana zinazopendekezwa kwa neno" nje" "ni nje ya miili yetu" au "nje ya kanisa." Neno "ndani" linaelezea hisia zao za ndani. + +# kwa faraja zile Tito alizopokea kutoka kwenu + +Paulo alipokea faraja kwa katika kutambua kuwa Wakorintho walikuwa wamemfariji Tito + diff --git a/2co/07/08.md b/2co/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..f7772ac3 --- /dev/null +++ b/2co/07/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawasifu kwa huzuni yao ya ucha mungu, ari yao ya kutenda haki, na furaha ambayo ilimleta yeye na Tito. + +# Habari za Jumla: + +Hii inarejea kwenye barua ya kwanza ya Paulo kwa hawa waamini wa Wakorintho ambapo aliwakemea wakristo kukubali mtu kufanya zinaa na mke wa baba yake. + +# wakati nilipoona waraka wangu + +"wakati nilipojifunza waraka wangu" + +# si kwa sababu mlikuwa na shida + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi ya utendaji"siyokwa sababu kile nilichokisema katika barua yangu kiliwahizunisha ninyi" + +# mliteseka si kwa hasara kwa sababu yetu + +"mliteseka si kwa hasara kwa sababu tuliwakemea" Hii ina maa kuwa barua hiyo iliwasababishia huzuni, haukupita muda mrefu walifaidika kutokana na barua ile kwa sababu iliwaongoza kwenye toba + +# Kwa kuwa huzuni ya kiungu huleta toba ambayo hukamilisha wokovu + +Neno "toba" laweza kurudiwa kufafafnua uhusiano wake kwa kile kilichotangulia na kile kinachofuata. + +# bila kujuta + +Maana zaweza kuwa " Paulo hajuti kwamba amewasababishia huzuni kwa sababu huzuni hiyo iliwaongoza kwenye toba na wokovu) au Wakorintho hawatajuta kupitia huzuni kwa sababu inawaongoza kwenye toba yao na wokovu. + +# Huzuni ya kidunia, hata hivyo, huleta mauti + +Aina hii ya huzuni hupelekea kifo badala ya wokovu kwa sababu haileti toba + diff --git a/2co/07/11.md b/2co/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..9f719dae --- /dev/null +++ b/2co/07/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Angalieni + +Neno hililinaweka msisitizo kwa kile kitakachozungumzwa baadaye. + +# Jinsi gani azma ilikuwa kubwa ndani yenu kuthibitisha kuwa hamkuwa na hatia + +Neno " jinsi gani" linaifanya sentensi hii kuwa mshangao. + +# uchungu wenu + +"hasira yenu" + +# kwamba haki inapaswa kutendeka + +Yaweza kuelezwa kuwa: "mtu yule anapaswa kubeba uadilifu. + +# mkosaji + +"yule aliyetenda mabaya" + +# ili kwamba udhati wa mioyo yenu kwa ajili yetu ifanywe kujulikana kwenu + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji kuwa: kwamba mmekuwa na udhati wa mioyo yenu kwa ajili yetu katika unyoofu. + +# mbele ya macho ya Mung + +Hii inarejea kwenye uwepo wa Mungu na uthibitisho wa uaminifu wa Paulo umemaanishwa kama Mungu amekua aliwaona wao. + diff --git a/2co/07/13.md b/2co/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..c6e44549 --- /dev/null +++ b/2co/07/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ni kwa ajili ya hii kwamba tunafarijika + +Hapa neno "hii" lina maanisha jinsi ambsvyo Wakorintho waliitikia kwa barua ya kwanza ya Paulo, kama alivyoeleza katika mistari ya mwanzo. + +# roho yake iliburudishwa na ninyi nyote + +Hapa neno "roho" linaelezea silika ya mtu na mioyo yao . + +# Kwa kuwa kama nilijivuna kwake kuhusiana na ninyi + +"kama ikiwa nilijivuna kwake kuhusu ninyi" + +# sikuwa na aibu + +"hamkunikatisha tamaa" + +# Majivuno yetu kuhusu ninyi kwa Tito yalithibitisha kuwa kweli. + +"ninyi mlithibitisha kuwa kujivuna kwetu kuhusu ninyi na Tito kulikuwa kweli." + diff --git a/2co/07/15.md b/2co/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..e02b8ec5 --- /dev/null +++ b/2co/07/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# utii wenu ninyi nyote + +Hili jina "utii" linaweza kuelezwa pamoja na tendo "tii". + +# mlivyomkaribisha kwa hofu na kutetemeka + +Neno "hofu" na "kutetemeka"hueleza maana ileile na kusisitiza ongezeko la hofu. + +# kwa hofu na kutetemeka. + +Maana zaweza kuwa )" kwa hofu kubwa kwa Mungu ) au kwa hofu kubwa kwa Tito. + diff --git a/2co/08/01.md b/2co/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..eceb00d9 --- /dev/null +++ b/2co/08/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Baada ya kuwa ameeleza mipango yake iliyobadilika na mwelekeo wa huduma yake, Paulo anazungumza kuhusu utoaji. + +# neema ya Mungu ambayo imetolewa kwa makanisa ya Makedonia + +Mstari huu waweza kuelezwa kwa jinsi ya utendaji: "neema ambayo imetolewa kwa makanisa ya Makedonia. + +# wingi wa furaha yao na ongezeko la umaskini wao umezaa utajiri mkubwa wa utoaji. + +Paulo anazungumzia "furaha" na " umaskini: kama vile vilikuwa viumbe hai ambavyo vinaweza kutoa ukarimu. + +# ongezeko la umaskini wao umezaa utjiri mkubwa wa ukarimu. + +Ingawa makanisa ya Makedonia yameteseka kwa majaribu ya mateso na umaskini, kwa neema ya Mungu yameweza kukusanya fedha kwa ajili waamini walioko Yerusalamu. + +# utajiri mkubwa wa ukarimu + +" ukarimu mkubwa sana." Maneno " utajiri mkubwa" yanasisitiza ukuu wa ukarimu wao. + diff --git a/2co/08/03.md b/2co/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..bf1ce07c --- /dev/null +++ b/2co/08/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walitoa + +Hapa ina maanisha makanisa ya Makedonia. + +# kwa hiari yao wenyewe + +'kujitolea" + +# kwa kutusihi kwingi + +Maneno "kutusihi" na "walituomba" hueleza maana ileile na kusisitiza uhodari amnbayo kwao watu waliwasihi. + +# huduma hii kwa waumini + +Paulo anarejea kutoa fedha kwa waamini wa Yerusalemu. + diff --git a/2co/08/06.md b/2co/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..4d8a256a --- /dev/null +++ b/2co/08/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliyekuwa tayari ameanzisha + +Paulo anaongelea fedha iliyokusanywa huko Korintho kwa ajili ya wakristo wa Yerusalemu. + +# kuleta katika utimilifu tendo hili la ukarimu + +Tito aliwakumbusha Wakorintho kukamilisha ukusanyaji wa fedha. + +# Lakini ninyi mna wingi katika kila kitu + +Paulo anazungumza juu ya waamini wa Korintho kama vile walikuwa wanatoa matunda ya mwuli. + +# hakikisheni kwamba ninyi mnakuwa na wingi pia katika tendo hili la ukarimu. + +Paulo anazungumzia waamini wa Korintho kama vile wanavyopaswa kutoa matunda ya mwili "hakikisheni mnafanya vyema katika kuwahudumia waamini katika Yerusalemu." + diff --git a/2co/08/08.md b/2co/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..8e355743 --- /dev/null +++ b/2co/08/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa kuupima uhalisi wa upendo wenu kwa kuulinganisha na shauku ya watu wengine + +Paulo anawatia moyo Wakorintho kutoa kwa ukarimu wao kwa kuulinganisha na ukarimu wa makanisa ya Makedonia. + +# neema ya Bwana wetu + +Katika mukutadha huu neno "neema" linasisitiza ukarimu wa Yesu Kristo amewabariki Wakorintho. + +# Hata kama alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikuwa maskini + +Paulo anamzungumzia Yesu kabkla hajafanyika mwanadamu alivyokuwa tajiri, na kwa kufanyika mwanadamu kama kuwa maskini. + +# kupitia umaskini wake mweze kuwa tajiri. + +Paulo anazungumzia Wakorintho kuwa matajiri kiroho kama matokeo ya Yesu kuwa mwanadamu. + diff --git a/2co/08/10.md b/2co/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..2ae3b6d1 --- /dev/null +++ b/2co/08/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# jambo hili + +hii inamaanisha kukusanya mfuko kwa ajili ya wakristo wa Yerusalemu. + diff --git a/2co/08/13.md b/2co/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..8fb55ece --- /dev/null +++ b/2co/08/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwa kazi hii + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "alikuwa na kila kitu alichohitaji" + +# kwamba wengine waweze kupata nafuu na ninyi mweze kulemew + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: : kuwa mtawaondolea wengine mzigo na kujitwisha wenyewe" + +# ni lazima kuwe na usawa + +"lazima pawe na haki" + +# Hii ni hivyo pia ili kwamba wingi wao uweze kusaidia mahitaji yenu + +Kwa maana Wakorintho wanatenda katika wakati uliopo, imehusishwa kuwa wakristo wa Yerusalemu kwa wakati mwingine ujao watawasaidia wao pia. + +# kama ilivyoandikwa + +Mahali hapa Paulo ananukuu kwenye kitabu cha Kutoka. + +# hakupungukiwa na chochote + +Sentensi hii yaweza kuelezwa hivi: "alikuwa na mahitaji yake yote" + diff --git a/2co/08/16.md b/2co/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..3e2934f9 --- /dev/null +++ b/2co/08/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# aliyeweka ndani ya moyo wa Tito moyo uleule wa bidii ya kujali ambyo ninayo kwa ajili yenu + +Neno " moyo" linamaanisha hisia. Hii ina maana kwamba Mungu alimtumia Tito kuwapenda. + +# moyo uleule wa bidii ya kujali + +"shauku ileile au " kujihusiha kwa ndani" + +# Kwa kuwa si tu alipokea maombi yetu + +Paulo ana maanisha ombi lake Tito kurejea Korintho na kukamilisha mchango wa fedha. + diff --git a/2co/08/18.md b/2co/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..68cfccb4 --- /dev/null +++ b/2co/08/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# pamoja naye + +"pamoja na Tito" + +# Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "ndugu ambaye anasifiwa miongoni mwa makanisa yote. + + + +# ndugu ambaye anasifiwa miongoni mwa makanisa + +Yaweza kusemwa hivi: "ndugu ambaye miongoni mwa waamini wa makanisa humsifu" + +# Si hivi tu + +"Siyo waamini wote wa makanisa humsifu yeye" + +# lakini pia alichaguliwa na makanisa + +Sentensi hii yaweza kusemwa: "yeye pia alichaguiwa na makanisa' + +# katika kulibeba sehemu mbalimbali tendo hili la ukarimu. + +"kupeleka kwa wengine tendo hili la ukarimu " Hii ina maanisha kuchukua matoleo kupeleka Yerusalemu. + +# kwa shauku yetu ya kusaidia. + +"kuonyesha kwa vitendo utayari kusaidia" + diff --git a/2co/08/20.md b/2co/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..8ffaa536 --- /dev/null +++ b/2co/08/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuhusiana na huo ukarimu tunaoubeba + +"kuhusiana na namna tunavyothibiti karama hii ya ukarimu" Hii ina maanisha kuchukua matoleo kuyapeleka Yerusalemu. + +# Tunachukua uangalifu kufanya kilicho cha heshima + +'tunachukua uangalifu kutunza zawadi hii katika njia inayoheshimika" + +# mbele za Bwana, lakini pia mbele za watu. + +"katika utashi wa Mungu ....katika utashi wa watu" + diff --git a/2co/08/22.md b/2co/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..9bc2e668 --- /dev/null +++ b/2co/08/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# pamoja nao + +Neno "wao"linamaanisha Tito na ndugu wengine walioorodheshwa hapa kabla. + +# yeye ni mshirika mwenza wangu na mtendakazi mwenzangu kwa ajili yenu + +"yeye ni mshirika mwenzangu anayetenda kazi pamoja nami kwa ajili yenu" + +# Kama kwa ndugu zetu + +Ina maanisha kwa wanume wawili wengine ambao wataungana na Tito. + +# wanatumwa na makanisa. + +Sentensi hii yaweza kusemwa katika kauli tendaji hivi: "makanisa yamewatuma wao" + +# Ni waheshima kwa Kristo + +Sentensi hii yaweza kusemwa katika kauli tendaji hivi: "watawasababisha watu kumheshimu Kristo" + diff --git a/2co/09/01.md b/2co/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..e3d5ea69 --- /dev/null +++ b/2co/09/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anazidi kuzungumzia juu ya somo la utoaji. Anataka kuhakikisha kuwa hayo matoleo katika sadaka zao kwa waamini wahitaji katika Yerusalemu ifanyike kabla hajaja hivyo isije ikaonekana kana kwamba anachukua fursa yao. Anazungumzia kuhusu jinsi gani utoaji unavyombariki atoaye na kumtukuza Mungu. + +# Habari za Jumla: + +Wakati Paulo anapozungumzia Akaya, anazungumzia jimbo la Rumi lililopo kusini mwa Ugiriki mahali Korintho ilipo. + +# huduma kwa ajili ya waamini + +Sentesnsi hii ina maanisha ukusanyaji wa fedha kuwapatia wakristo wa Yerusalamu. + +# Akaya imekuwa tayari + +Hapa neno "Akaya" lina maanisha watu wanaoishi katika jimbo hili, Na kwa uwazi kabisa ni kwa watu wa kanisa la korintho. + diff --git a/2co/09/03.md b/2co/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..665adfca --- /dev/null +++ b/2co/09/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hao ndugu + +Paulo anazungumzia Tito na wanaume wawili wanaungana naye. + +# ili kwamba majivuno yetu kuhusu ninyi yasiwe ya bure + +Paulo hapendi wengine wafikiri kuwa vitu ambavyo amejivunia kuhusu Wakorintho hawakuwa sahihi. + +# kuwakuta hamjawa tayari + +"kuwakuta hamjawa tayari kuto" + +# sisemi chochote kuhusu ninyi + +Paulo antumia sentensi kanushi kusisitiza kwamba kitu kile kile kuwa kweli kuhusu Wakorintho. + +# ndugu kuja kwenu + +Kutoka katika mtazama wa Paulo, ndugu wanakwenda . + +# si kama kitu kilichoamriwa + +Yaweza kuelezwa hivi: " sivyo kama kitu ambacho tuliwalazimisha kutoa" + diff --git a/2co/09/06.md b/2co/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..ccf8cf8e --- /dev/null +++ b/2co/09/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mtu apandaye haba pia atavuna haba, na yeyote apandaye kwa lengo la baraka pia atavuna baraka + +Paulo anatumia mfano wa mkulima anayepanda mbegu kufafanua matokeo ya utoaji. Kama mavuno ya mkulima inavyotegemea kiasi anachopanda, hivyo Mungu atatoa baraka kidogo au nyingi kutegemea kiasi ambacho Wakorintho wanatoa. + +# atoe kama alivyopanga moyoni mwake + +Hapa neno "moyo" linamaanisha fikra na hisia' + +# si kwa huzuni au kwa kulazimishwa + +Yaweza kusemwa kuwa: "kwa sababu anajisikia hatia au mtu kulmazimisha" + +# Kwa kuwa Mungu humpenda yule atoaye kwa furaha. + +Mungu anawataka watu kutoa kwa furaha kusaidia kuwahudumia ndugu waamini. + diff --git a/2co/09/08.md b/2co/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..4f1bb736 --- /dev/null +++ b/2co/09/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mungu anaweza kuwapa baraka na kuwazidishia + +"Mungu ataongeza baraka kwa ajili yenu" Mtu aanayewapatia mahitaji ya kifedha waamini wengine, Mungu pia hutoa baraka zaidi kwa anayetoa. hivyo anayetoa atapokuwa na kila kitu anachohitaji. + +# ili kwamba muweze kuzidisha kila tendo jema. + +"ili kwamba muweze kufanya matendo mema zaidi na zaidi" + +# kama ilivyoandikwa + +"Kama iivyoandikwa" Yaweza kusemwa hivi: " "Kama vile mwandishi alivyoandika" + diff --git a/2co/09/10.md b/2co/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..16f845fa --- /dev/null +++ b/2co/09/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Naye atoaye + +"Mungu atoaye" + +# mkate kwa ajili ya chakula + +Hapa nenp "mkate" lina maanisha chakula kwa ujumla" + +# pia atatoa na kuzidisha mbegu yenu kwa ajili ya kupanda + +paulo anazungumza mali za Wakorintho kama vile zilikuwa mbegu za kuwapa wengine kama vile wanapanda mbegu. + +# Yeye ataongeza mavuno ya haki yenu. + +paulo analinganisha faida ambazo Wakorintho watapokea kutokana na ukarimu wao kwa mavuno hayo. + +# mavuno ya haki yenu + +"mavuno ambayo yanatokana na matendo ya haki." Hapa neno "haki" linamaanisha matendo ya haki ya Wakorintho kwa kutoa raslimali zao kwa waamini katika Yerusalemu. + +# Mtatajirishwa + +"Mungu atawatajirisha" + +# Hii italeta shukrani kwa Mungu kupitia sisi. + +Neno :hii" linamaanisha ukarimu wa Wakorintho" + diff --git a/2co/09/12.md b/2co/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..906c7dfd --- /dev/null +++ b/2co/09/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwa kupeleka huduma hii + +"Kwa huduma mliyofanya ya kutoa sadaka" + +# mahitaji ya wakristo + +"mahitaji ya wakristo huko Yerusalemu" + +# hii pia itaongeza shukrani nyingi + +"Hii itakuwa pia sababu za kila mtu kumshukuru Mungu" + +# kwa sababu imeonekana kwa kufanya huduma hii imekuwa kipimo kwenu + +"ukarimu wenu umekuwa kipimo cha utii na upendo mlionao" + +# pia mtamtukuza Mungu kwa utii wenu na ukiri wa injili ya Kristo. Pi mtamtukuza Mungu kwa ukarimu wa sadaka mliotoa kwao na kwa kila mmoja. + +"mtamtukuza Mungu, sio tu kwa utii wenu kwa kile mlichosema, na mnachoamini kuhusiana naye, lakini pia kwa uamuzi wa ukarimu wa kutoa sadaka kwa wakristo wote" + +# kwa sadaka yake isiyoelezeka + +"kwa sadaka isiyoelezeka, Yesu Kristo" + diff --git a/2co/10/01.md b/2co/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..90afc07b --- /dev/null +++ b/2co/10/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anahamisha somo kutoa katika utoaji kwenda kwenye mamlaka yake ya kufundisha kama anavyofanya. + +# kwa unyenyekevu na upole wa Kristo + +Neno " uvimilivu" na : upole" ni majina yaliyofupishwa, na yanawea kusemwa hivi: " Mimi ni mnyenyekevu na mpole kama nifanyavyo hivyo, kwa sababu Kristo amenifanya kuwa hivyo" + +# Anayesadikimkuwa + +"anayefikiri kuwa" + +# tunaishi kwa jinsi ya mwili. + +Neno "mwili" ni neno linalosimama kuelezea asili ya dhambi ya mwanadamu. + diff --git a/2co/10/03.md b/2co/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..fb627b16 --- /dev/null +++ b/2co/10/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# tunaenenda katika mwili + +Neno mwili: " ni neno mbadala lililotumika kuelezea maisha ya kimwili" + +# hatupigani vita ...tunapigana + +Paulo anazungumzakujaribu kuwashawishi Wakorintho kumwamini na siyo waalimu wa uongo ka vile alivyokuwa akipambana vita vya mwili. + +# pigana vita kwa jinsi ya mwili + +Maana zawezakuwa hizi: neno " mwili" ni neno linalosimama kuwakilisha maisha ya mwili" au neno "/mwili" ni neno linalosimama badala ya asili ya mwandamu ya dhambi " + +# silaha tunazotumia kupigana...zinaondosha kabisa mijadala inayopotosha + +Paulo anazungumzia hekima ya kimungu akionyesha hekima ya kibinadamu kuwa ya uongo na kama silaha ambayo kwayo alikuwa akiharibu nguvu za adui. + +# si za kimwili + +Maana zawezakuwa hizi: neno " mwili" ni neno linalosimama kuwakilisha maisha ya mwili" au neno "/mwili" ni neno linalosimama badala ya asili ya mwandamu ya dhambi " + diff --git a/2co/10/05.md b/2co/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..121cc391 --- /dev/null +++ b/2co/10/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kila kinachojiinua + +Paulo bado anazungumza kwa fumbo juu ya neno "vita" kama vile "maarifa ya Mungu" vilikuwa jeshi na " kila kijiinuacho" ulikuwa ukuta ambao waliutengeneza kuzuia vita. + +# kila kitu kinachojiinua + +"kila kitu ambacho huwafanya watu wajivunie" + +# kijiinuacho dhidi ya maarifa ya Mungu + +paulo anazungumzia hoja kama vile ukuta unaosimama juu dhidi ua vita. Maneno " inuka juu" ina maanisha "simaa kwa urefu" " siyo kwamba kitu cha juu kinakuja kutoka angani. + +# Tunalifanya mateka kila wazo katika utii kwa Kristo + +Paulo anazungumza juu ya mawazo ya watu kama vile yalikuwa askari ambaye alimteka katika vita. + +# kuadhibu kila matendo lisilo na uti + +Maneno haya "tendo lisilo na utii" yanasimama kuwakilisha watu ambao waliyatenda maatendo hayo. + diff --git a/2co/10/07.md b/2co/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..43a44e63 --- /dev/null +++ b/2co/10/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tazameni yale yaliyo wazi mbele yenu + +maana zawezakuwa: Hii ni amri au hii ni maelezo. + +# hebu ajikumbushe yeye mwenyewe + +"yeye anahitaji kukumbuka" + +# "kama vile alivyo ni wa Kristo; ; hivyo ndiyo na sisi pia tuko hivyo + +"kwamba sisi ni wa Krsto kama vile kwa mengi afanyayo" + +# kuwajenga ninyi na siyo kuwaharibu, sitaona haya + +Paulo anazungumza juu ya kuwasaidia Wakorintho kujua Kristo vizuri kama vile alikuwa akijenga jengo. + diff --git a/2co/10/09.md b/2co/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..0d142305 --- /dev/null +++ b/2co/10/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mimi nawatisha + +"najaribu kuwatisha ninyi" + +# yenye uzito na nguvu, + +"iyenye uhitaji na nguvu" + diff --git a/2co/10/11.md b/2co/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..6b3c5efb --- /dev/null +++ b/2co/10/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Hebu watu wa jinsi hiyo wafahamu + +"nawataka watu kama hao kufahamu" + +# kile tusemacho kwa waraka wetu wakati tukiwa mbali ni sawasawa na vile tutakavyotenda wakati tukiwa pale + +"kilie tulichokikandika katika barua yetu tulipokuwa mbali nanyi"ni sawasawa na vile tutakavyotenda wakati tukiwa pamoja nanyi" + +# tukiwa mbali, ni sawasawa na vile tutakavyotenda wakati tukiwa pale + +"tutatenda hivyo wakati tukakapokuwapo pale pamoja nanyi tulichokiandika katika barua yetu tulipokuwa mbali nanyi" + +# sisi..yetu + +Sentensi zote za maneno haya yanarejea kwenye timu ya huduma ya Paulo na siyo Wakorintho. + +# kujikusanya wenyewe au kujilinganisha + +"kusema tuko vizuri kama" + +# wanapojipima wenyewe na kujilinganisha na kila mmoja wao + +Paulo anasema vitu vingi mara mbili. + +# wanapojipima wenyewe na kila mmoja wao + +Paulo anazungumzia wema kuwa kama kilikuwa kitu ambacho urefu wake watu wangeupima. + +# hawana akili + +"huonyesha kila mtu wasichokifahamu" + diff --git a/2co/10/13.md b/2co/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..4bcd3110 --- /dev/null +++ b/2co/10/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari za Jumla + +Paulo anazungumia mamlaka aliyo nayo kama vile yalikuwa ardhi juu yake aliyoimiki, vitu vile juu yake ambachomalikuwa na mamlaka, kama kuwa kwenye mpaka au ukomo wa nchi yake , na vitu hivyo haviko chini ya mamlaka yake kama vimekuwa mbali na mipaka. + +# hatutajivuna kupita mipaka + +Hii ni nahau au lahaja " sitajivuna juu ya vitu ambavyo sina mamlaka navyo" + +# ndani ya mipaka ambayo Mungu + +"kuhusu vitu chini ya mamlaka ambayo Mungu" + +# mipaka ambayo inayofika umbali kama wenu ulivyo. + +Paulo anazungumzia mamlaka aliyo nayo ka vile ardhi ambayo juu yake anaitawala. + +# hatukujizidishia wenyewe + +"hatukuwe nda nje ya mipaka yetu" + diff --git a/2co/10/15.md b/2co/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..db46be59 --- /dev/null +++ b/2co/10/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hatujajivuna kupita mipaka + +Hii ni nahau: "hatukujivuna juu vitu ambavyo hatukuwa na mamlaka navyo" + +# eneo letu la kazi litapanuliwa + +Sentensi hii yaweza kueleza kwa namna ya utendaji: "Mungu atazidi kupanua eneo letu la kazi" + +# katika maeneo mengine. + +"eneo ambalo Mungu amemtuma mtu fulani" + diff --git a/2co/10/17.md b/2co/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..b5a10796 --- /dev/null +++ b/2co/10/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ajivunaye ndani ya Bwana + +"kijivuna juu ya kile ambacho Bwana amefanya" + +# ajithibitishaye mwenyewe + +Hii ina maana kuwamba yule atoaye humwuliza kilamtu anayemsikia kuamua ikiwa yuko sahihi au si sahihi. + +# yule ambaye Bwana humthibitisha + +"ambaye Bwana humthibitisha" + +# ni yule ambaye Bwana humthibitisha. + +Unaweza kuweka wazi ufahamu wa habari: "yule ambaye Bwana himthibitisha" + diff --git a/2co/11/01.md b/2co/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..6edc9c12 --- /dev/null +++ b/2co/11/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaendelea kuthibitisha utume wake. + +# mngevumiliana na mimi katika baadhi ya upumbavu. + +"mniruhusu kutenda kama mpumbavu" + +# wivu...wivu + +Maneno haya yanazungumzia uzuri , shauku kubwa ambayo Wakorintho wawe waaminifu kwa Kristo na kwamba hakuna mmoja anayepaswa kuwashawishi kumwacha yeye. + +# nilipowaahidi ninyi kwenye ndoa ya mume mmoja. Niliahidi kuwaleta ninyi kwa Kristo kama bikra safi. + +Paulo anazungumzia juu ya kujali kwake kwa Waamini wa Korintho kama vile ameahidi mtu mwingine yeye angemwandaa binti yake kuolewa na yeye na zaidi ameguswa sana kwamba aweze kuitunza ahadi yake kwa mtu yule. + diff --git a/2co/11/03.md b/2co/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..b443c8cb --- /dev/null +++ b/2co/11/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini nina hofu kwamba kwa namna fulani....ibada safi kwa Kristo + +"Lakini nina hofu kwamba kwa namna fulani wasiwasi wenu ineweza kuwatoa katika kweli na ibada safi kwa Kristo kama nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila" + +# mawazo yenu yanaweza kupotoshwa mbali + +Paulo anazungumza kama vile walikuwa wanyama ambao watu wanaweza kuwaongoza katika njia isiyo sahihi. + +# kwa mfano kwamba mtu fulani akaja na + +"Wakati mtu yeyote akija na" + +# kwa mfano kwamba mkapokea roho mwingine tofauti na yule mliyempokea. Au kwa mfano kwamba mkapokea . Au kwa mfano kwamba mkapokea injili nyingine tofauti na ile mliyoipokea + +"roho tofauti na Roho Mtakatifu, au injili tofauti na ile mliyopokeamktuoka kwetu" + +# Mkavumilia mambo haya + +"shughulikia vitu hivi" + diff --git a/2co/11/05.md b/2co/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..99242af7 --- /dev/null +++ b/2co/11/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hao wanaoitwa mitume-bora + +walioitwa mitume.....Paulo anatumia maneno ya kejeli hapa kuonyesha kwamba wana umuhimu mdogo kuliko na wanavyodai kuwa" + diff --git a/2co/11/07.md b/2co/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..31f5145f --- /dev/null +++ b/2co/11/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Je, nilifanya dhambi kwa kujinyenyekeza mwenyewe ili ninyi muweze kuinuliwa + +Paulo anaanza kwa kudai kwamba aliwatendea Wakorintho kwa uzuri.Swali hili la kujihoji linaweza kutafsiriwa hivi: " Nadhani tunakubaliana kwamba sikufanya dhambi kwa akujinyenyekeza mwenyewe ili ya kwamba mpate kuinuliwa" + +# kwa uhuru + +"bila kutegemea kurudishiwa chochote kutoka kwenu" + +# Nilinyang'anya makanisa mengine + +Sentensi hii imeelezwa kwa kuikuza au kutia chumvi kusisitiza kwamba Paulo alichukua fedha kutoka makanisa mengine. + +# ningeweza kuwahudumia ninyi + +Maaana kamili ya sentensi hii yaweza kuwa: "Naweza kuwatumikia ninyi bila gharama" + +# Katika kila kitu nimejizuia mwenyewe kutokuwa mzigo kwenu + +"sijawahi kwa njia yoyote kuwa mzigo kwenu kifedha. + +# ndugu waliokuja + +"Ndugu hawa" huenda walikuwa wanaume wote. + diff --git a/2co/11/10.md b/2co/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..d796d763 --- /dev/null +++ b/2co/11/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama kweli ya Kristo ilivyo ndani yangu, huki + +Paulo anasisitiza hiki kwa sababu wasomaji wake wanajua kuwa anawaambia kweli ya Kristo, wanaweza kujua kuwa mahali hapa anawaambia ukweli. + +# huku kujisifu kwangu hakutanyamazishwa + +Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "hakuna hata mmoja atakayeweza kunizuia kujisifu na kukaa kimya. "Paulo "anajivuna" kuwa yuko "huru kuhubiri injili" + +# sehemu za Akaya + +"mikoa ya Akaya" Neno "sehemu" linazungumzia maeneo ya nchi , na siyo mgawanyo wa kisiasa. + +# Kwa nini? Kwa sababu siwapendi? + +Paulo anatumia swalimla kujihoji kusisitiza upendo kwa Wakorintho. + +# Mungu anafahamu + +Kwa kuweka wazi sentensi hii: "Mungu anajua Ninawapenda" + diff --git a/2co/11/12.md b/2co/11/12.md new file mode 100644 index 00000000..06ef522f --- /dev/null +++ b/2co/11/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Kwa kuwa Paulo anaendelea kuthibitisha kwamba utume wake, anazungumzia kuhusu mitume wa uongo. + +# ili kwamba niweze kuondoa madai + +Paulo anazungumzia madai ya manabii wa uongo kuwa hali ya maadui wake kama ilikuwa kitu anachoweza kukiondoa" + +# wanataka kujivuna kwa lipi? + +Wakati kujisifu kwa Paulo kulikuwa "uhuru kuhubiri injili" + +# wameonekana wakifanya kazi ile ile ambayo tunaitenda + +Hii ina maana kwamba "wale watu watafikiri kuwa wako kama sisi" + +# kwa watu wa jinsi ile + +"Ninafanya yale ninayoyafanya kwa sababu watu wanayapenda" + +# watendakazi wadanganyifu + +"wafanya kazi wasio heshimiwa" + +# Wanajifanya wenyewe kama mitume + +""siyo mitume, lakini wanajaribu wao wenyewe kuwa kama mitume" + diff --git a/2co/11/14.md b/2co/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..eb78b35a --- /dev/null +++ b/2co/11/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na hii haishangazi...Hii haina mshangao mkubwa kama + +kwa kusema hivi, huu ni mtazamo hasi Paulo anasisitiza kuwa Wakorintho wanpaswa kutarajia kukutana na "mitume wengi wa uongo" + +# Shetani hujigeuza mwenyewe kama malaika wa nuru + +"Shetani siyo malaika wa nuru, akini hujaribu kujifanya mwenyewe kuwa kama malaika wa nuru" + +# watumishi wake pia kujigeuza wenyewe kama watumishi wa haki. + +"watumishi wake siyo watumishi wa haki, lakini hujaribu kujifanya wenyewe kuwa kama watumishi wa haki" + diff --git a/2co/11/16.md b/2co/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..1eb54e16 --- /dev/null +++ b/2co/11/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nipokeeni mimi kama mpumbavu ili niweze kujisifu kidog + +"nipokee mii kama vile ungempokea mpumbavu:niache mimi nizungumze, na kufikiri kujivuna kwangu maneno ya mpumbavu" + +# Kile ninachosema kuhusu huku kujiamini kwa kujivuna hakuhukumiwi na Bwana + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " "Bwana hajifanyi kutoona ninacho kiongelea kuhusu ujasiri wa kujivuna" Bwana hajaniambia kuwa ana thibitisha kwa kile ninachokizungumza huu ujasiri wa kujisifu. + +# kwa jinsi ya mwili + +Katika sentensi hii mbadala wa neno "mwili" una maanisha mtu katika asili yake yha dhambi na maendeleo yake. + diff --git a/2co/11/19.md b/2co/11/19.md new file mode 100644 index 00000000..e0607ea0 --- /dev/null +++ b/2co/11/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mlichukuliana na wapumbavu + +"nikubali mimi ninapotenda kama mpembavu" + +# ninyi wenyewe mna busara + +Paulo ana waaibisha Wakorintho kwa ktumia kinyume au kejeli. + +# akikutia utumwani + +Paulo anazungumzia juu ya sheria ambazo Mungu hakuzifanya lakini baadhi ya watuwaliwalazimisha wengine kutii kana kwamba ilikuwa utumwa. + +# yeye huwaharibu ninyi + +Paulo anazungumzia juu ya utume ulio bora kuchukua raslimali ya vitu vya watu kana kwamba ilikuwa kuwala watu wenyewe. + +# akiwatumia ninyi kwa faida yake + +Mtu anayechukua fursa ya mtu mwingine kwa kujua vitu ambavyo mtu mwingine havifahamu, na kuyatumia hayo maarifa kumsaidia yeye mwenyewe na kumwumiza mtu mwingine. + +# Nitasema kwa aibu yetu kwamba sisi tukuwa dhaifu sana kufanya hivyo + +Kwa aibu ninakiri kwamba hatukuwa wenye nguvu vya kutosha kuwatendae ninyi hivyo. Paulo anatumia neno la kinyume kuonyesha kuwa siyo kwa sababu alikuwa dhaifu hivyo aliwatendea wao vizuri. + +# Na bado kama yeyote akijivuna.... mimi pia nitajivuna. + +"vyovyote mtu akijisifu, juu ya....mimi pia sitaogopa kufanya hivyo" + diff --git a/2co/11/22.md b/2co/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..18bbb485 --- /dev/null +++ b/2co/11/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Vile Paulo anaendelea kuthibitisha utume wake, anazungumza vitu vya wazi ambavyo vimetokea kwake tangu alipo kuwa mwamini. + +# Je, wao ni Waisraeli?..Je, wao ni Waisraeli?..Je, wao ni uzao wa Abrahamu?...Je, wao ni watumishi wa Kristo?...(Nanena kama nilikuwa nimechanganyikiwa.) Mimi ni zaidi + +Paulo anauliza maswal Wakorintho wanaweza kuwa walikuwa wanauliza na tena kuwajibu kusisitiza kuwa yeye ni myahudi zaidi -kama walivyo mitume bora. + +# kana kwamba kama nilikuwa nimechanganyikiwa + +"kana kwamba nilikuwa siwezi kufikiri vizuri" + +# Mimi zaidi + +Inaweza kuwekwa wazimkwa kusema "Mimi ni mtumishi wa Kristo zaidi kuliko walivyo" + +# hata katika kazi ngumu + +"nimefanya kazi ngumu" + +# mbali zaidi ya kuwa vifungoni, + +"nimekuwa vifungoni mara nyingi" + +# katika kupigwa kwingi + +Hiki ni nahau na imetumika kuelezea kwa undani msisitizo mara ngapi yeye amepigwa, + +# katika kukabili hatari nyingi za kifo. + +"na karibia nife mara nyingi" + diff --git a/2co/11/24.md b/2co/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..1090339e --- /dev/null +++ b/2co/11/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mapigo arobaini kasoro moja + +hii ilikuwa kawaida kueleza kuwa nimechapwa viboko 39. Viboko arobaini[40] inadhaniwa ni kuua mtu. + +# Nilipigwa kwa fimbo + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji hivi: "watu walinipiga kwa viboko vya miti" + +# "nilipigwa kwa mawe" + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii:"watu walinitupia mawe mpaka wakadhania kuwa nimekufa" + +# Nimetumia usiku na mchana katika bahari wazi + +Paulo anazungumzia muda aliokuwa majini wakati meli ilipokuwa katika kuzama. + +# hatarini kwa ndugu za uongo + +"na hatari toka kwa wanaojifanya kuwa ndugu katika Kristo, lakini ni wametusaliti" + diff --git a/2co/11/27.md b/2co/11/27.md new file mode 100644 index 00000000..19b11a3c --- /dev/null +++ b/2co/11/27.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# na uchi + +Katika sentensi ina maanisha "na kukosa nguo ya kunitia joto" + +# nani ni dhaifu, na mimi siyo dhaifu? + +Hili ni swali la kujihoji linaloweza kutafiriwa kam ifuatavyo: Wakati mtu yeyote akiwa dhaifu, na mimi najisikia nina udhaifu pia." + +# kuna msukumo wa kila siku juu yangu wa wasiwasi wangu + +Paulo anafahamu kwamba Mungu atamshikilia kuwajibika kwa jinsi makanisa yanavyomtii Mungu na anazungumza juu ya yale maarifa kama vile yalikuwa mzigo mzito wa kitu kinacho msukuma chini. + +# Nani ni dhaifu, na mimi siyo dhaifu? + +Neno "dhaifu"huenda ni mfano kelezea hali ya kiroho. Lakini hakuna hata mmoja anajua kwa hakika paulo anazungumzia nini! + +# Nani amesababisha mwingine kuanguka + +Paulo anatumia swali hili kuonyesha hasira yake wakati mmwamini amesababishwa kutenda dhaambi. + +# amesababisha kuanguka + +Paulo anazungumzia juu ya dhambi ilikuwa kitu kitu fulani kinatchotembea na hatimaye kuanguka. + +# mimi siungui + +Paulo anazungumzia kwa hasira juu ya dhambi kama vile alikuwa na moto ndani ya mwili wake. + diff --git a/2co/11/30.md b/2co/11/30.md new file mode 100644 index 00000000..c3fa8d3f --- /dev/null +++ b/2co/11/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwamba inachoonyesha udhaifu wangu + +"jinsi nilivyo na udhaifu" + +# "kinachoonyesha jinsi nilivyo dhaifu" + + + +# mimi sidanganyi + +Paulo anatumia sentensi yenye nguvu na ya ukanusho kusisitiza maana katika mtazamo wa kukubali. + diff --git a/2co/11/32.md b/2co/11/32.md new file mode 100644 index 00000000..faa58f97 --- /dev/null +++ b/2co/11/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kule Dameski, mkuu wa mkoa chini ya mfalme Areta alikuwa akiulinda mji + +"mkuu wa mkoa ambaye aliteuliwa na mfalme Areta aliwaambia wanaume kuulinda mji" + +# kwa kunikamata mimi + +"hivyo wanaweza kunivizia na kunikamata" + +# niliwekwa kwenye kikapu + +Sentensi hii yaweza kuelezwa hivi: "watu baadhi waliniweka ndani ya kikapu na kunishusha chini" + +# kutoka mikononi mwake + +Paulo anatumia mikono ya mkuu wa mkoa kama mfano kwa mkuu wa mkoa . + diff --git a/2co/12/01.md b/2co/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..ac6dd938 --- /dev/null +++ b/2co/12/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anatetea utume wake kutoka kwa Mungu, paulo anaendelea kusema wazi mambo yale yaliyompata tangu awe mwamini. + +# Nitaendelea + +"nitaendelea kuzungumza, hata sasa juu yake" + +# maono na mafunuo kutoka kwa Bwana + +Maana zaweza kuwa hizi" Paulo anatumia maneno "maono" na "mafunuo" kumaanisha kitu kile kile kimeunganishwa kwa maneno tofauti ili kutoa msisitizo. + +# Namjua mtu mmoja katika Kristo + +Paulo kwa hakika anajisema yeye mwenyewe kama vile alikuwa mtu mwingine, lakini hii ikiwezekana ni lazima itafsiriwe kama ilivyoandikwa. + +# ikiwa katika mwili, au nje ya mwili, mimi sijui + +Paulo anazidi kujieleza yeye mwenyewe kama ikiwa hii itatokea kwa mtummwingine. + +# Mungu anajua + +"ni Mungu pekee ajuaye" + +# mbingu ya tatu + +Hii inalelezea mahali anapokaa Mungu na siyo mbingu au nafasi wazi angani (sayari, nyota, na dunia) + diff --git a/2co/12/03.md b/2co/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..84d17558 --- /dev/null +++ b/2co/12/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari za Jumla: + +Paulo anazidi kujizungumzia yeye mwenyewe ingawa kama vile alikuwa anazungumzia mtu mwingine + +# mtu huyu alichukuliwa juu hadi paradiso + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jini hii: Maana zinazowezekana: "Mungu tazama mtu huyu...katka paradiso" au "malaika alimchukua mtu huyu . + +# alichukuliwa juu + +ghafla na kwa kulazimishwa alifanyika na kuchukuliwa + +# Paradiso + +Maana zinazoezekana ni hizi" mbibuni au mbingu ya tatu au sehemu maalumu mbinguni. + +# kwa niaba ya mtu kama huyo + +"kwa niaba ya mtu huyo" + +# sitajisifu, isipokuwa kuhusu udhaifu wangu + +Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "Nitajivuna tu kwa udhaifu wangu" + diff --git a/2co/12/06.md b/2co/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..f6fbbbd5 --- /dev/null +++ b/2co/12/06.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi + +Kama vile Paulo anavyotetea utume wake kutoka kwa Mungu, anawaambia juu ya udhaifu ambao Mungu alimpa yeye kumfanya awe mnyenyekevu. + +# Habari za Jumla: + +Wakati paulo anazungumza juu ya "mwiba katika mwili wake"; anaonyesha kuwa yeye ni "mwanadamu" + +# kusikika kutoka kwangu. Sitajivuna pia kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, mwiba + +Maana nyingine ni hii;' " kusikia kutoka kwangu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi kwa sababu ya aina ya mafunuo hayo, mwiba." + +# kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, mwiba + +Maana nyingine ni hii;' " kusikia kutoka kwangu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi kwa sababu ya aina ya mafunuo hayo, mwiba." + +# Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, + +"kunifanya mimimnisijawe na kiburi" + +# kijawa na + +kujazwa na hewa na kuwa kubwa mno kuliko ilivyo kawaida + +# mwiba katika mwili + +Haapa matatizo ya Paulo ya mwili yamelinganishwa na "mwiba" unaochoma "mwili wake" + +# mjumbe wa shetani + +"mtumishi wa shetani" + +# kunishambulia mimi + +"kunitesa mimi" + diff --git a/2co/12/08.md b/2co/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..9d0870dc --- /dev/null +++ b/2co/12/08.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# mara tatu + +Paulo anayaweka maneo haya mwanzo wa sentensi kusisitiza kuwa ameomba mara nyingi kuhusu "mwiba wake" + +# Bwana kuhusu kuhusu hili + +"Bwana kuhusu mwiba huu ndani ya mwili" au "Bwana kuhusu teso hili" + +# Neema Yangu yakutosha + +"nitakuwa mnyenyevu kwako, na hivyo ndivyo unavyohitaji" + +# kwa kuwa nguvu hufanywa kamili katika udhaifu. + +"kwa kuwa nguvu zangu zinafanya kazi vizuri wakati ukiwa dhaifu" + +# uweza wa Kristo uweze kukaa juu yangu + +Paulo anazungumza juu ya "nguvu za Kristo" kuwa ilikuwa kama hnema lililojengwa juu yake."Watu wanaweza kuona kuwa ninazo nguvu za Kristo" au "Nitaweza kwa hakika kuwa na uweza wa Kristo." + +# ninatosheka kwa ajili ya Kristo, katika udhaifu, katika matukano, katika shida, katika mateso, katika hali ya masikitiko + +Maana zawezakuwa"Nina utoshelevu katika udhaifu, katika matukano, katika shida, katika mateso, katika hali ya masikitiko kama vitu hivi vinakuja kwa sababu mimi ni wa Kristo" au "Nina utoshelevu katika udhaifu....kama vitu hivi vinawafanya watu kumjua Kristo" + +# katika udhaifu + +"wakati ninapokuwa katika udhaifu" + +# katika matukano + +"wakati watu wanapojaribu kunifanya nikasirike kwa kusema kwamba mimini mtu mbaya" + +# katika shida + +"wakati ninapoteseka" + +# katika hali ya masikitiko + +"wakati kuna mateso" + +# wakati nikiwa dhaifu, kisha nina nguvu + +Paulo anasema hivyo wakati anapokuwa hana nguvu za kutosha kufanya yale ambayo anahitajika kuyafanya, Kristo aliye na nguvu zaidi kuliko Paulo angeweza kuwa, atafanya kazi kwa njia ya Paulokufaya yale anayohitaji kufanya.Hata hivyo, itakuwa vyema zaidi kuyatafsiri maneno haya kama yalivyoandikwa, kama lugha yako inaruhusu. + diff --git a/2co/12/11.md b/2co/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..c25d65bf --- /dev/null +++ b/2co/12/11.md @@ -0,0 +1,56 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawakumbusha waamini wa Korintho juu ya ishara za kweli za mtume na uvumilivu wake mbele zao kuwatia nguvu. + +# Mimi nimekuwa mpumbavu + +"ninatenda kama mpumbavu" + +# mlinilazimisha kwa hili + +"mlinilazimisha kuongea kwa njia hii" + +# nilipaswa kusimesifiwa na ninyi. + +"ni sifa ambayo mlipaswa kunipa" + +# sifa + +" Ina maanisha "sifa" na "kushuhudiwa" + +# Kwa kuwa sikuwa duni + +"kwa kutumia kauli ya kukanusha, anasema kwa nguvu kwamba hao wakorintho wanaodhani kuwa yuko duni hawako sahihi. + +# mitume--bora + +Mitume-Paulo anatumia neno hili kwa kejeli kuonyesha kuwa hawana umuhimu kama wanavyodai. + +# Ishara za kweli za mtume zilifanyika + +Sentensi hii ionaweza kutafsiriwa katika kauli tendaji pamoja na msisitizo juu ya "ishara" + +# ishara....ishara + +Tumia maneno yote kwa wakati mmoja + +# ishara na maajabu + +Kuna ishara za "kweli za mitume" ambazo Paulo alizitenda kwa uvumilivu mwingi. + +# Kwa namna gani mlikuwa wa muhimu wa chini kuliko makanisa... isipokuwa ...ninyi + +Paulo anasisitiza kuwa Wakorintho wanafanya makosa kumshitaki Paulo kwa kutaka kuwaumiza. + +# sikuwa mzigo kwenu + +"sikuwaomba pesa au vitu vingine nilivyohitaji" + +# Mnisamehe kwa kosa hili + +Paulo amekuwa mwenye kukejeli kuwaaibisha Wakorintho. Pia yeye na wao wanajua kuwa hajafanya baya lolote, lakini wanamfikiria kuwa kama amewakosea + +# kwa kosa hili + +kuto waomba pesa na mahitaji mengine aliyohitaji + diff --git a/2co/12/14.md b/2co/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..5cf8bfe1 --- /dev/null +++ b/2co/12/14.md @@ -0,0 +1,25 @@ +# Nawataka ninyi + +"Ninachihitaji ni kwamba mnipende na kunikubali" + +# watoto hawapaswi kuweka akiba kwa ajili ya wazazi. + +Watoto wadogo hawawajibiki kutunza fedha kwa afya za wazazi wao. + +# Nitafurahi zaidi kutumia + +Pailo anazungumzia kazi yake na maisha yake ya mwili kama vile ilikuwa fedha ambazo yeye au Mungu angetumia. + +# kwa ajili ya nafsi zenu + +Neno +'roho" ni linawakilisha watu wenyeywe. + +# Kama ninawapenda zaidi, natakiwa kupendwa kidogo? + +Swali hili lakujihoji linaweza kutafsiriwa hivi: "Kama niawapenda ninyi sana, ninyi hampaswi kunipenda mimi kidogo. + +# zaidi + +Haiko bayana nini Paulo kusema " pendo la Paulo ni zaidi" + diff --git a/2co/12/16.md b/2co/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..d23c4113 --- /dev/null +++ b/2co/12/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini, kwa kuwa mimi ni mwerevu, nimekuwa ambaye niliwapata kwa udanganyifu + +Paulo anatumia neno la kejeli kuwaaibisha Wakorintho wanaofikiri naliwadanganya hata kama hakuwaomba pesa. + +# Nilichukua kitu kwenu kupitia kwa mtu yeyote niliyemtuma? + +"Hakuna mtu niliyemtuma akachukua kitu kwenu!" + +# Je Tito alichukua kitu kwenu? + +"Tito hakuchukua kitu kwenu." + +# Hatukuenenda kwa mwenendo ule ule? + +"Sote tulikuwa na tabia na maisha yanayofanana." + +# Hatukuenenda kwa namna ileile? + +"Sote tulifanya kwa namna inayofanana." + diff --git a/2co/12/19.md b/2co/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..1055c610 --- /dev/null +++ b/2co/12/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sasa mnafikiri kwa hayo yote tunajitetea kwenu? + +Paulo alifafanua kwamba hajitetei kwao kwa tabia yake. "Msifikiri kwamba kwa hayo wakati huu najitetea mwenyewe kwenu." + +# Mbele za Mungu, + +Paulo anazungumzia juu ya ufahamu wa Mungu kufahamu mambo yote Paulo anafahamu pia kama vile Mungu alikuwa pa kimwili na amechunguza kila kitu alichosema na kufanya Paulo. + +# kwa ajili ya kuwaimarisha ninyi + +"ya kwamba muweza kumjua Mungu na kumtii yeye vizuri" + diff --git a/2co/12/20.md b/2co/12/20.md new file mode 100644 index 00000000..913228df --- /dev/null +++ b/2co/12/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Naweza nisiwakute kama ninavyotaka + +"Sitapenda vile nitakavyowakuta" + +# ninyi mnaweza msinikute kama mnavyotaka + +"mnaweza msipende majibu yangu" + +# Nina hofu kwamba mnaweza msinipate mimi kama mnavyotamani. Nahofia kwamba kunaweza kuwa na majadiliano, wivu, milipuko ya hasira, tamaa ya ubinafsi, umbeya, kiburi, na ugomvi + +"baadhi yenu mnaweza kuwa mnagombana na sisi, wenye wivu na sisi, ghafla wenye chuki na sisi, mnazungumza kuhusu mambo yetu ya binafsi, wenye kiburi, na kutupinga sisi tunapojaribu kuwaongoza". "baadi yenuwatakuwa wenye kugombana na kila mmoja, wenye wivu na kila mmoja, ghafla mnakuwa wenye hasira na kila mmoja wenye kiburi, na kuwapinga ambao Mungu amewachagua kuongoza" + +# Nitahuzunika kwa hao waliotenda dhambi tangu sasa + +Nitakuwa na huzuni kwa sababu wengi wao hawakutubu dhambi zao za zamani" + +# hawakutubu kwa uchafu na uasherati na ufisadi na anasa waliokwisha zoea + +"na hawakutubu kwa dhambi ile ya uasherati waliyoizoea" au "Paulo anazungumzia juu ya aina tatu za dhambi." + +# mambo ya uchafu + +"ya mambo ya kufikiri kwa siri juu yake na kutamani vitu ambavyo havimpenfezi Mungu" + +# mambo ya uasherati + +"kufanya mambo ya uzinzi" + +# mambo ya tamaa + +"ya kufikiri mkwa siri juu yake na na kutamani vitu ambavyo havimpendzi Mungu" + diff --git a/2co/13/01.md b/2co/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..900ca1f6 --- /dev/null +++ b/2co/13/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anathibitisha kuwa Kristo anazungumza kupitia yeye na kwamba Paulo anangojea kuwahuisha, kuwatiamoyo, na kuwaunganisha wao. + +# Kila shitaka + +Amini kwamba mtu fulani amefanya vibaya ni watu wawili au watatu tu wameshuhudia jambo lile lile. + +# wote waliosalia + +'ninyi watu wote wengine " + diff --git a/2co/13/03.md b/2co/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..bcb0567b --- /dev/null +++ b/2co/13/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alisulibiwa + +walimsulibisha + +# lakini tutaishi naye kwa nguvu za Mungu + +Mungu hupa nguvu na uwezo wa kuishi maisha ndani yake pamoja naye. + diff --git a/2co/13/05.md b/2co/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..564d0ddd --- /dev/null +++ b/2co/13/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Jipimeni wenyewe...hamjagundua...haijagundulika + +Maneno "gundulika" na "haijagundulika" yanaweza kuwa na maana ya kupitisha au kutopitisha jaribu. + +# ninyi hamkubali kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? + +"ninyi mnapaswa kujua kuwa Yesu Kristo yumo ndani yenu" + +# ndani yenu + +Inawezekana inamaanisha 1]anaishi ndani ya mtu binafsi[ au 2] "katikati yenu, "na sehemu muhimu zaidi ni wafuasi wa kundi. + +# sisi hatukukataliwa + +"Hakika sisi tumekubaliwa." + diff --git a/2co/13/07.md b/2co/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..2fc91f7a --- /dev/null +++ b/2co/13/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwamba msifanye neno lolote baya + +"msitende dhambi kwa jambo lolote" "kwamba muweze kutenda mambo yote kwa haki." + +# muweze kushinda majaribu + +"tuwe walimu na tuishi katika kweli" + +# hatuwezi kufanya jambo lolote kinyume na kweli + +"hatuwezi kuwazuia watu katika kujifunza ukweli' + +# ukweli...lakini ni kwa ajili ya kweli tu. + +"kila kitu tukifanyacho kitawasaidia watu kujifunza ukweli" + diff --git a/2co/13/09.md b/2co/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..b92133e0 --- /dev/null +++ b/2co/13/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# muweze kuwa timilifu + +"muweze kukomaa kiroho" + +# katika kutumia mamlaka yangu + +"wakati ninapotumia mamlaka yangu" + +# ya kwamba nipate kuwawajenge na siyo kuwaharibu chini + +Paulo anazungu,zia juu ya kuwasaidia Wakorintho kumjua Kristo vizuri kama vile alikuwa akijenga jengo. + diff --git a/2co/13/11.md b/2co/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..edebad0a --- /dev/null +++ b/2co/13/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anafunga barua hii kwa waamini Wakorintho. + +# fanyeni kazi kwa ajili ya urejesho + +"tenda kazi kufikia ukomavu" + +# kubalianeni ninyi kwa ninyi + +"muishi kwa mahusiano mazuri na kila mtu" + +# kwa busu takatifu + +"kwa upendo wa Kikristo" + diff --git a/2jn/01/01.md b/2jn/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..3da46b21 --- /dev/null +++ b/2jn/01/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi Unganishi + +Baada ya salamu, Yohana anawaonyesha waumini kuwa upendo na kweli vinakwenda sambamba + +# Maelezo ya Jumla + +Kihistoria mtume Yohana amekubalika kuwa ndiye mwandishi wa barua hii. Anasema "pendaneni" hii pengine barua hii liliandikiwa kanisa. + +# Maelezo ya Jumla + +"ninyi" na "yenu" katika barua hii yanaonyesha wingi + +# Maelezo ya Jumla + +katika barua hii Yohana anatumia maneno "sisi" na 'yetu" ikimaanisha Yohana mwenyewe pamoja na wasomaji wake + +# Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake + +Barua za wakati huo zilianza na jina la mwandishi, kwa kushupisha inaweza kusomeka:- " mimi, Yohana mzee, ninaandika barua hii kwa mwanamke mteule na watoto wake" + +# Mzee + +Ni rejea kwa Yohana, mtume na mwanafunzi wa Yesu. Anajiita mzee labda kwa sababu ya umri wake mkubwa au kwa sababu ni kiongozi kanisani. + +# kwa mwanamke mteule na watoto wake + +Pengine hii ina maana ya kundi au kusanyiko na waumini . + +# ambaye nampenda katika kweli. + +" Ninyi watu ninaowapenda katika kweli" + +# wanao ifahamu kweli + +"ambao wanao fahamu ukweli kuhusu Mungu na Yesu" + +# Baba...Mwana + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu + +# katika kweli na upendo. + +Neno "kweli" linaelezea "upendo." Pengine inamaanisha "katika upendo wa kweli" + diff --git a/2jn/01/04.md b/2jn/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..2d9b7208 --- /dev/null +++ b/2jn/01/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ...wewe, mwanamke, nakuandikia + +Ni maneno ambayo yametumiwa katika hali ya umoja. + +# kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba + +"Kama vile Mungu Baba alivyo tuagiaza" + +# siyo kwamba nakuandikia amri mpya + +" siyo kwamba nakuagiza kufanya jambo jipya" + +# bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo + +Hapa neno "mwanzo" inamaanisha " tulipoamini kwa mara ya kwanza" kwa maneno mengine:- " lakini nawaandikia kama tulivyoagizwa na Kristo kufanya tulipoamini mara ya kwanza." + +# tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. + +Hii inaweza kutafisiriwa kama sentensi mpya: "Na alitupa amri kwamba tunapaswa kupendana." + +# Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo. + +" Mungu amewaagiza tangu mwanzo mlipoamini mpendane" + diff --git a/2jn/01/07.md b/2jn/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..2240d09c --- /dev/null +++ b/2jn/01/07.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yohana anawaonya kuhusu wazushi, na kuwakumbusha kubaki katika mafundisho ya Kristo na kujiepusha na waasi + +# Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu. + +"Walimu wengi wa uongo wamekwisha liacha kusanyiko" au " wadanganyifu wengi wapo ulimwenguni" + +# wadanganyifu wengi. + +"walimu wengi wa uongo" au "wazushi" + +# katika ulimwengu + +Hapa inaelezea kila mtu aliyeko hai katika ulimwengu huu. + +# Yesu Kristo alikuja katika mwili. + +"Yesu alikuja katika hali ya mwili wa kibinadamu." + +# Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo + +" Ni wale wanaowadanganya wengine na kumpinga Kristo mwenyewe" + +# mpinga Kristo. + +" kinyume na Kristo" + +# Jiangalieni wenyewe. + +"Iweni macho" au " iweni waangalifu." + +# hampotezi mambo + +"kutopoteza tuzo zenu za wakati ujao kule mbinguni." + +# tuzo kamili + +"tuzokamili kule mbinguni" + diff --git a/2jn/01/09.md b/2jn/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..55faa567 --- /dev/null +++ b/2jn/01/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yeyote aendeleae mbele + +Hii inaonyesha mtu anaye dai kufahamu zaidi juu ya Mungu na ukweli kuliko mtu yeyote "Yeyote anayesema kuwa anafahamu zaidi kuhusu Mungu." au " Yeyote anayeikana kweli" + +# hana Mungu + +" si mali ya Mungu" + +# Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana + +"Wale wanaofuata mafundish ya Kristo ni mali ya Baba na Mwana" + +# Baba na Mwana + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu + +# msimkaribishe katika nyumba zenu + +Hapa ina maanisha kumkaribisha na kumtendea heshima ili kujenga uhusiano na naye. + +# hushiriki katika matendo yake maovu + +" Hushiriki naye katika matendo yake ya uovu" au" humsaidia katika matendo yake maovu." + diff --git a/2jn/01/12.md b/2jn/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..2e34e7c3 --- /dev/null +++ b/2jn/01/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yohana anamalizia barua yake kwa kuonyesha shauku ya kuwatembelea na anatoa salamu kutoka kanisa jingine + +# Maelezo ya Jumla + +Maneno "kwako" yanaonyesha umoja katika mstari wa 12. Neno "yenu" linaonyesha wingi mstari wa 13 + +# sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino + +Yohana hakutaka kuyaandika mambo mengi lakini alitaka kuja kuongea nao ana kwa ana. + +# Watoto wa dada yenu mteule + +Yohana anazungumza habari ya kanisa jingine kana kwamba ni dada kwa kanisa analowaandikia na waumini wa kanisa hilo anawafananisha na watoto. Hapa inasisistiza kwamba waumini wote ni familia ya kiroho. + diff --git a/2pe/01/01.md b/2pe/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..814f1ec0 --- /dev/null +++ b/2pe/01/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Simon Petro + +"Kutoka Kwa Simoni Petro." Lugha Yako inaweza kuwa na namna fulani ya kumtambulisha mwandishi wa barua. Mimi Simon Petro niliandika barua hii. + +# Mtumwa na Mtume waYesu Kristo + +Petro anaongelea mtazamo wake wa kuwa mtumwa wa Yesu Kristo. Pia alipewa nafasi na mamlaka ya kuwa mtume wa Kristo + +# Kwa wale + +Petro anaonekana kuwaandikia waumini wote watakaosoma waraka huu. Kwenu waumini. + +# Tumepokea + +Sisi mitume tumepokea + +# Neema iwe kwenu + +Neno "ninyi" linamaanisha waumini wote kwa ujumla + +# Yesu Bwana wetu + +Yesu Bwana wa waumin na Mitume + +# Neema na iwe kwenu;amani iongezeke kupitia maarifa ya Mungu na Yesu Bwana wetu. + +Upole wenu na amani uongezeka kwa sababu mnamjua Mungu na Yesu Bwana wetu. + diff --git a/2pe/01/03.md b/2pe/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..f49bce7f --- /dev/null +++ b/2pe/01/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Aliyetuita + +Kwanza Mungu alitufikia. "Sisi" Neno hili linamanisha Petrop pamoja na wasikilizaji wake. + +# Kwa ajili ya uzuri wa utukufu wake + +"kwa njia ya heshima yake na uzuri wa maarifa" + +# Kwa njia hii alitutumainishi ahadi kuu za thamani + +"Ahadi za thamani za Mungu zilikuja njia ya heshima na uzuri wa maarifa" + +# asili ya Mungu + +"tabia ya ukamilifu wa Mungu" + +# kwa kadiri tunavyoendelea kuachc uovu wa dunia + +kadiri unavyoendelea kuziacha tamaa mbaya za dunia." + diff --git a/2pe/01/05.md b/2pe/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..e48e7ba5 --- /dev/null +++ b/2pe/01/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa sababu hii + +Kwa sababu ya kile ambacho Mungu amefanya + +# maarifa + +"uzuri wa maarifa" + +# Kwa sababu ya uzuri maarifa + +kwa kutumia uzuri wa maarifa uongeze ufahamu + +# kupata upendo wa ndugu + +kuwa wapole kwa sisi kwa sisi + diff --git a/2pe/01/08.md b/2pe/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..0d0e53c6 --- /dev/null +++ b/2pe/01/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mambo haya + +haya mambo ni:- imani, uzuri, maarifa, kiasi, uvumilivu, utauw, upendo wa ndugu, na upendo. + +# "Ninyi hamtakuwa tasa au msiozaa matunda" + +mtazaa matunda + +# yeyote asiyekuwa na mambo haya + +mtu yeyote asiyekuwa na mambo haya + +# huyaona mabo ya karibu tu, yeye ni kipofu + +usemi huu unamfananisha mtu anayefikiria mambo ya duniani tu kuwa yako vizuri mbele yake, kama mtu asiye na macho. + diff --git a/2pe/01/10.md b/2pe/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..0c6400c8 --- /dev/null +++ b/2pe/01/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa hiyo + +Neno "kwa hiyo" linaanzisha mwitikio wa waumini kwa kile kilichosemwa mapema. + +# kujihakikishia uteule na wito kwa ajili yenu + +Neno " wito" linamaanisha mwaliko wa ujula waMungu kwa watu wote. Neno "uteule" linamaanisha watu maalumu ambao Mungu amewchagua. Maneno haya mawili yana maana sawa. + +# hamtajikwaa + +hamtashindwa kiroho na katika tabia njema + diff --git a/2pe/01/12.md b/2pe/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..7b15ad18 --- /dev/null +++ b/2pe/01/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa hiyo + +Mwandishi anataka kutengeneza maelezo ambayo yanatokana na kile alichoandiaka mwanzoni. + +# Nitakuwa tayari kuwakumbusha mambo haya + +Petro anaonyesha kuwa ataendelea kuwakumbusha waumini jinsi ya kumfuata Kristo + +# juu ya mabo haya + +jinsi waumini inavyowapasa kukua katika imani + +# kuwaamsha + +huu ni ufafanuzi unaomaanisha "kuwaandaa ili wawe tayari" + +# nimo katika hema hii + +Haya maelezo yanaytumika badala ya "kwa sababu bado ninaishi" + +# Nitajitahidi kwa bidii kwa ajili yenu ili mkumbuke mambo haya + +"Ntatumia juhudi zangu kuwafundish mambo haya ili muyakumbuke" + +# Nitaiondoa hema yangu + +huu nu ufafanuzi wa "Nitakufa" + +# Baada yakuondoka Kwangu + +Maelezo haya yanaonyesha "baada ya kufa kwangu" + diff --git a/2pe/01/16.md b/2pe/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..09bef316 --- /dev/null +++ b/2pe/01/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Pale sauti iliposikika toka katika utukufu mkuu + +Petro anamaanisha yeye mwenyewe na yule mwanafunzi mwingine, Yakobo, na Yohana waliposikia ile sauti ya Mungu. + +# Kwa kuwa sisi hatukufuata hadithi zilizoingizwa kwa ustadi + +Kwa kuwa sisis mitume hatukufuata hadtibzilizotengenezwa kwa ustadi + +# Yetu + +waumini wote ikijumuisha sisi mitume + +# Pale tulipokuwa naye kwenye ule mlima matakatifu + +Petro anamaanisha wakati ule Yesu alipobadilika sura yake ikang'aa mbele ya Petro, Yakobo na John (Tazama Mathayo) + diff --git a/2pe/01/19.md b/2pe/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..9ceaf135 --- /dev/null +++ b/2pe/01/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tunalo hili neno la unabii lililothibitika + +Perto anamaanisha wale Mitume. Mitume wnaujumbe kutoka kwa malaika ambao wanajua kuwa ndiyo ukweli kutoka kwa Mungu + +# Ambalo kwalo mwafanya vyema kulitekeleza + +Petro anawaelekeza waumini kuwa na utayari kwa jumbe za kinabii + +# Ni kama taa ing'aayo gizani mpaka kunapokucha + +Ujumbe wa kinabii umelinganishwa na taa inayotoa Mwanga gizani mpaka mwanga unapowadia asubuhi. + +# Na nyota za mawio zionekanapo katika mioyo yenu + +Nyota ya asubuhi ni Kristo anayekuja kuishi kwenye mioyo yetu. + +# isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu + +Roho mtakatifu aliwaongoza watu hawa, kwa hiyo waliongea ambacho Mungu alitaka waongee. + diff --git a/2pe/02/01.md b/2pe/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..a7a8bf61 --- /dev/null +++ b/2pe/02/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Manabi wa uongo walikuja kwa Israeil, na walimu a uongo watakuja kwenu + +Kama ile manabii wa uongo walivyokuja wakiidanganya Isreli, vivyo hivyo walimu wa uongo watakuja wakidanganya uongo juu ya Kristo + +# Ukengeufu + +Haya ni maoni yaliyo kinyume na mafunisho ya Kristo na ya Mitume + +# Bwana aliyewanunua + +Yesu ndiye Bwana aliyelipa kwa ajili ya dhambi za watu wote kwa njia ya kifo chake, na kuzikwa kwake na ufufuo. + +# nja za aibu + +Neno "zao" linawakilisha manabii na walimu wa uongo" jinsi matendo yao yalivyo ya zinaa iliyokidhiri. + diff --git a/2pe/02/04.md b/2pe/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..7add6061 --- /dev/null +++ b/2pe/02/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka + +Hii inaanzisha Mpangilio wa sentensi zinazoanza na "kama" + +# bali aliwatupa kuzimu ("Tartarus) + +"Tartarus + +# ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia + +Mungu atawaweka katika gereza wakisubiri hukumu ya mwisho + +# Wala Mungu hakuuvumilia ulimwengu wa zamani...wakati alipoachilia gharika juu yaulimwengu ulioasi + +Mungu aliuhribu ulimwengu wa zamani na watu waasi kwa gharika + +# Mungu aliihukumu miji ya Sodoma na Gomorra kiasi cha kuwa majivu + +Mungu alitumia moto kuwaharibu watu wasi mcha Yeye katika miji ya Sodoma na Gomora + +# bali alimhifadhi Nuhu + +Mungu alimwokoa mtu wa haki Nuhu katika gharika + +# ili iwe mfano kwa ajili ya watu waovu katika siku za usoni + +kama vile Sodoma na Gomora ilivyoharibiwa kwa moto katika siku za usoni Mungu atawaharibu katika ziwa la moto. + diff --git a/2pe/02/07.md b/2pe/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..8ffbcb10 --- /dev/null +++ b/2pe/02/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# alimwokoa Ltu mtu wa haki + +Mungu alimwokoa Lutu aliyeishi maisha ya tabia njema + +# akitesa nafsi yake kwa ajili ya yale alyosikia na kuyaona + +Lutu aliendelea kuteseka na kuhrasiwa na tabia za anasa za wenyeji wa Sodoma na Gomora + +# tabia chafu za wsiofuata sheria + +"anasa na tabia inayoharibika ya watu waliovunja sheria ya Mungu" + +# mtu wa haki + +Hii inamaanisha Lutu mtu wa haki + +# watu wa Mungu + +"watu wanaomtii Mungu" + +# alikuwa akitesa roho yake + +Aliusumbua utu wake wa ndani + +# jinsi ya kuwavumilia waovu kwa ajil ya hukumu skatika siku ya mwisho + +Watu wasio haki hawataiepuka hukumu ya Mungu. Watakapokufa watakataliwa mpaka siku ya hukumu + diff --git a/2pe/02/10.md b/2pe/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..6b40cecc --- /dev/null +++ b/2pe/02/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kwa hakika huu ndio ukweli + +Neno "huu" linamaanisha Mungu kuwalinda watu wasio haki gerezani mpaka siku ya hukumu. + +# wale wanaoendelea kuishi katika tamaa za mwili huu na kuyadharau mamlaka + +Watu wasio haki wanaoendela kuishi katika tamaa ya mwilii na kuwachukia viongozi wao au watawala wao. + +# mwili + +Neno "mwili" linamaanisha ubinadamu katika dhambi ya asili ya mwanadamu + +# wana ujasiri katika dhamiri zao + +Neno "dhamiri" linamaanisha wale wanaoendelea katika uharibifu wa tamaa katika dhambi zao za asili na hawaheshimu malaika na mamlaka ya kiroho + +# Hwaogopi kuwakufuru watukufu + +Wasio haki hawaogopi kuwachokoza na kuwanenea maovu malaika + +# malaika wana uwezo na nguvu kuliko wanadamu + +Malaika wana nguvu za mwili na wa mamalka kuliko wanadamu + +# Lakini hawawezi kuleta hukumu dhidi yao kwa Bwana + +"lakini malaika hawaleti humu iumizayo dhidi ya hawa watu kwa Bwana" + diff --git a/2pe/02/12.md b/2pe/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..492262cc --- /dev/null +++ b/2pe/02/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# hawa wanyama wasio na akili + +Kama vile wanyama wasivyoweza kueleza kwa mantiki, vivyo hivyo hawa watu hawaezi kuwa na mantiki, "Hawa walimu wa uongo wako kama wanyama wasio na akili" + +# Hawajui wanachotukana + +Huongea uovu ambao hawaujui + +# wataangamizwa + +Mungu atwaangamiza watu hawa + +# Wataumizwa kwa ujira wa maovu yao + +"Wanachofikiri kuwa ni kizuri kwao, kiuhalisia ni kibaya kwao" + +# Wamejaa uovu na uchafu + +Neno "uchafu" na "uovu" vinamaanisha maana moja. Waalimu wa uongo hufedhehesha na kutahayarisha amabavyo ni sawa na uchafu na uovu ambavyo mtu hawezi kviondoa + +# hufurahia udanganyifu wanaposherehekea na wewe + +huendele katika furaha ya kuwadanganya watu wasio hatia na katika macho yao hawaonyeshi hatia + +# macho yao yamefunikwa na uzinzi, hwatosheki kutenda dhambi + +"wanatamani kila mwanmke wanayemuona na kamwe hawatosheki" + +# wana mioyo iliyofunzwa kujaa tamaa + +" inawakirisha mtu kama kamili, alifunzwa katika mawazo na na mattendo ya uchoyo. wanatamani utajiri na miliki isiyo haki. + diff --git a/2pe/02/15.md b/2pe/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..e041ba7e --- /dev/null +++ b/2pe/02/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wameiacha njia ya kweli, wamepotoka na wamefuata... + +"walimu wa uongo .wameiacha...wamepotoka..wamefuata". Walimu wa uongo wamekataa kumtii Mungu kwa kukataa kilicho sahihi + +# aliyependa kupata malipo yasiyo haki + +alipokokea malipo ya anasa na yenye matendo ya dhambi + +# Lakini alikemwa kwa ajili ya ukosaji wake + +alionywa vikali kwa kutokutii kwake + +# alizuia wazimuwa nabii + +Mungu alitumia punda kuzuia upumbavu wa nabii + diff --git a/2pe/02/17.md b/2pe/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..ef0c4d1a --- /dev/null +++ b/2pe/02/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Watu hawa ni kama chemichemi zisizo na maji + +Kama vile chemichemi zilizokauka na hazitoi maji kwa ajili ya maisha ya kawaida, vivyo hivyo mafundisho yao hayawaongozi watu katka maisha ya kiroho. Ni eneo la uongo kuwafariji waatu, kisima kikavu + +# Ni kama mawingu yanayotoweshwa na upepo + +Mawingi mengine hubeba mvua. Mvua hii huleta maji yanayokuza au maji yagharikishayo. Hawa watu ni kama hayo mawingu yanayobeba uharibifu. + +# Huongea kwa majivuno matupu + +Hotuba zao ni za kujivuna zisizo na maana. + +# Huangusha watu kwa tamaa ya mwili + +Wanawavuta watu ili waingie katika dhambi ya mwili na matendo ya anasa. + +# Huwaahidi watu uhuru wakati waowenyewe ni watumwa wa dhambi ya ufisadi. + +Huahidi uhuru wa uongo, uhuru unaowapeleka watu kutendda dhambi. huu ni utumwa wa dhambi. + +# Maana mwanadamu hufanywa kuwa mtumwa kile kinachmtawala + +Mwanadamu hufanya kwa tamaa mabo yale anayopungukiwa kiasi + +# Huwalaghai watu wanaojaribu kuwakimbia wale waishio katika ukosji + +Hujaribu kuwaangamiza watu ambao ni wapya katika imani. + diff --git a/2pe/02/20.md b/2pe/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..5aa62285 --- /dev/null +++ b/2pe/02/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeyote ajiepushaye na uchafu wa ulmwengu kwa kutumia maarifa ya Bwana na mwokozi Yesu Kristo + +Mtu yeyote ambaye amempokea Bwana na Mwokozi Yesu Kristo na kugeuka kutoka kwenye uchafu na maisha yasyo matakatifu. + +# Hali yake huwa mbaya kuliko ile ya mwanzo + +Ni wabaya zaidi kwa sababu wana maarif ya maisha matakatifu na wamechagua kurudi kwenye maisha ya dhambi + +# kama wasingeifahamu njia ya haki + +Maisha ya yanayompendza Mungu. + +# amri takatifu walizopewa + +Sheria za Mungu na amri za Mungu ambazo wamepewa wangejua namna ya kuishi kwa ajili ya Mungu + +# Mithali hii...mbwa huyarudia matapishi yake, Na nguruwe aliyeoshwa hurudi tena kwenye matope." + +Ni usemi wa busara unaowalinganisha wale wanaoijua kweli lakini wanrudia maisha ya uasi. "Mbwa huyarudia matapishi yake" imenukuliwa toka Mithali 26:11. Katika namna yeyote maana yake inabaki kuwa "mnyama hawezi kufundishika ili asijnajisi mwenyewe" + diff --git a/2pe/03/01.md b/2pe/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..43a96aac --- /dev/null +++ b/2pe/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya ujumla + +Petro anaanza kuzungumza kuhusu siku za mwisho + +# kukuamsha katika akili + +Petro anasema kwa kusababisha wasomaji wake kufikiri kuhusu mambo haya kama alikuwa anawaamsha kutoka kwenye usingizi. "kuwasababisha kufikiri kwa mawazo safi" + +# maneno yaliyosemwa kabla na manabii watakatifu + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "maneno ambayo manabii watakatifu walisema wakati uliopita" + +# amri ya Bwana wetu na mwokozi kwa kutumia mitume + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "amri ya Bwana wetu na Mwokozi, ambayo mitume wenu waliwapa" + diff --git a/2pe/03/03.md b/2pe/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..2d6d14f7 --- /dev/null +++ b/2pe/03/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ujue ili kwanza + +"Ujue hili kama jambo la muhimu sana." + +# wakienenda saswasa na matakwa yao + +Hapa neno "matakwa" urejea kwa tamaa mbaya ambazo ziko kinyume na mapenzi ya Mungu. "kuishi sawasawa na tamaa zao mbaya" + +# kuendelea + +kitendo, tenda + +# Iko wapi ahadi ya kurudi kwake? + +Wabishi wanauuliza swali la utupu kusisitiza kuwa hawaamini kuwa Yesu atarudi. Neno "ahadi" urejea kwa kutimizwa kwa ahadi kuwa Yesu atarudi. "Ahadi ya kuwa Yesu atarudi sio kweli! Hatarudi! + +# Baba zetu walikufa + +Hapa "Baba" urejea kwa mababu walioishi zamani. "Walikufa" ni lugha ikimaanisha walikufa. + +# vitu vyote vilikuwa hivyo tangu mwanzo wa uumbaji. + +Wabishi wanajadili kwamba hakuna chochote katika ulimwengu kimeweza kubadilika, haiwezi kuwa kweli kwa Yesu kurudi. + +# tangu mwanzo wa uumbaji. + +Hii inaweza kutofasiriwa kama kikundi cha maneno ya kitenzi. "Kwani Mungu aliumba ulimwengu" + diff --git a/2pe/03/05.md b/2pe/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..1fb8c228 --- /dev/null +++ b/2pe/03/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mbingu na nchi vilianza... zamani, kwa amri ya Mungu + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alianzisha mbingu na nchi... zamani kwa neno lake" + +# vilianza kutokana na maji na kupitia maji + +Hii inamaanisha kuwa Mungu alisababisha ardhi kutoka kwenye maji, kukusanya maji kwa pamoja kufanya ardhi ionekane. + +# kupitia neno lake + +Hapa "neno lake" urejea kwa neno la Mungu na maji + +# ulimwengu kwa kipindi hicho, ikiwa imejaa maji, iliharibiwa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu aliujaza ulimwengu na maji kwa kipindi hicho na kuuharibu" + +# mbingu na dunia zimetunzwa kwa neno hilo hilo kwa ajili ya moto. + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu kwa neno lile lile, ametunza mbingu na nchi kwa ajili ya moto." + +# kwa neno hilo hilo + +Hapa "neno" usimama kwa Mungu, atakaye toa neno. + +# Vimehifadhiwa kwa ajili ya siku ya hukumu + +Hii kusemwa katika kauli tendaji na kuanza sentensi mpya. "Anawatunza kwa ajili ya siku ya hukumu" + +# kwa ajili ya siku ya hukumu na maangamizi ya watu wasio wa Mungu + +Hii inaweza kusemwa pamoja na maneno ya kitenzi. "kwa siku wakati anapohukumu na kuharibu watu wasio wa Mungu" + diff --git a/2pe/03/08.md b/2pe/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..b86355ec --- /dev/null +++ b/2pe/03/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hii haiwezi kuchenga ujumbe wako + +"Hauwezi kushindwa kuelewa hili" au "Usipuuze hii" + +# kwamba siku moja kwa Bwana ni kama miaka elfu moja + +"kwamba kutoka kwa mtazamo wa Bwana, siku moja nia kama miaka elfu moja" + +# Si kwamba Bwana anafanya pole pole kutimiza ahadi + +"Bwana si kwamba anafanya pole pole kutimiza ahadi zake" + +# kama inavyofikiriwa kuwa + +Baadhi ya watu wanafikiri kuwa Bwana si kwamba anafanya pole pole kutimiza ahadi zake kwa sababu mtazamo kuhusu wakati ni tofauti na Mungu. + diff --git a/2pe/03/10.md b/2pe/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..6f1a7764 --- /dev/null +++ b/2pe/03/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hata hivyo + +Ijapokuwa Bwana ni mvumilivu na anataka watu watubu, hakika atarudi na kuleta hukumu. + +# siku ya Bwana itakuja kama mwizi + +Petro anazungumza juu ya siku ambayo Mungu atamhukumu kila mmoja kama mwizi anayekuja pasipo kutegemewa na kuwashtusha watu. + +# Mbingu itapita kwa kupaza kelele + +"Mbingu zitapita" + +# Vitu vitateketezwa kwa moto + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu atateketeza kwa moto" + +# Vitu + +Maana zinazowekana ni 1) vitu vya mbinguni kama vile jua, mwezi, na nyota au 2) vinavyofanya mbingu na nch, kama vile mchanga, hewa, moto na maji. + +# nchi na matendo yatafunuliwa + +Mungu ataiona dunia yote na matendo yote ya kila mmoja, na atahukumu kila kitu. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu ataiweka wazi nchi na kila kitu watu walichofanya." + diff --git a/2pe/03/11.md b/2pe/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..fbae2eca --- /dev/null +++ b/2pe/03/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anaanza kwa kuwaambia wakristo namna watakavyo ishi wakati wanasubiri siku ya Bwana. + +# Kwa kuwa vitu vyote vitateketezwa kwa njii hii. + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Tangu Mungu atahukumu mambo haya yote katika njia hii" + +# je utakuwa mtu wa aina gani? + +Petro anatumia swali la kejeli kusisitiza kile atakachosema badae, kwamba "wanapaswa kuishi maisha ya utakatifu na utaua" "unajua ni aina gani ya watu wanapaswa kuwa" + +# mbingu itateketezwa kwa moto, na vitu vitayeyushwa katika joto kali + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu ataangamiza mbingu kwa moto, na ataviyeyusha + +# sehemu ambayo watakatifu wataishi + +Petro anazungumza juu ya "utakatifu" kama ilivyokuwa kwa mtu. HIki ni kirai cha watu anaishi au sehemu ya watu watakao ishi kwa utakatifu. + diff --git a/2pe/03/14.md b/2pe/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..36add93a --- /dev/null +++ b/2pe/03/14.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# jitahidi kuwa makini na kutolaumika na kuwa na amani pamoja naye + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "jitahidi kuishi katika njia ili kwamba Mungu asikute doa na kulaumiwa na kuwa na amani na yeye na kila mmoja" + +# doa na kutolaumiwa + +Maneno "doa" na "kutolaumiwa" kimsingi umaanisha kitu kile kile na kusisitiza maadili ya usafi."usafi kamili" + +# doa + +Hii usimama kwa ajili ya "kosa" + +# zingatia uvumilivu wa Bwana wetu katika wokovu + +Kwa sababu Bwana ni mvumilivu, siku ya hukumu bado haijatokea. Hii uwapa watu fursa ya kutubu na kuokolewa, kama alivyo elezea katika 3:8. "Pia, nafikiri kuhusu uvumilivu wa Bwana wetu kama kukupa fursa ya kutubu na kuokolewa" + +# kutokana na hekima ambayo alipewa. + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "kutokana na hekina ambayo Mungu alimpa" + +# Paulo anaongelea hayo yote katika barua zake, + +"Paulo anaongelea katika barua zake uvumilivu wa Mungu kuwaongoza katika wokovu" + +# kuna vitu ambavyo ni vigumu kuvielewa. + +Kuna vitu katika barua za Paulo ambavyo ni vigumu kuvielewa. + +# Watu wasio na adabu na uimara wameviharibu vitu hivyo + +watu wajinga na wasio na uimara hutofasiri vibaya vitu katika barua za Paulo kwamba ni ngumu kuelewa. + +# Wajinga na uimara + +"Wasio wa kawaida na legarega" Hawa watu hawajafundishwa namba ya kutofasiri maandiko na hawajafanywa imara katika ukweli wa injili. + +# Kuelekea maangamizi yao. + +"matokea yake ni maangamizi yao" + diff --git a/2pe/03/17.md b/2pe/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..f9427a33 --- /dev/null +++ b/2pe/03/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anamalizia kuwaelekeza wakristo na kumalizia barua yake. + +# Hivyo, wapendwa kwa kuwa mnayafahamu hayo. + +"Hayo" urejea kwa ukweli kuhusu uvumilivu wa Mungu na mafundisho ya walimu wa uongo. + +# jilindeni wenyewe + +"jilindeni wenyewe" + +# ili kwamba msipotoshwe na udanganyifu wa walaghai + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "ili kwamba walaghai wasiwapotoshe kwa maneno yao ya udaganyifu + +# msipotoshwe...udanganyifu + +Kushawishiwa kuto mtii Mungu kunaongelewa kama kuondolewa katika njia sahihi ya kufuata. Udanganyifu na mafundisho ya uongo yanaongelewa kama watu wanaoweza kumoongoza mtu nje ya njia sahihi. + +# kupoteza uaminifu wako + +Uaminifu unaongelewa kama kitu cha kumiliki ambacho wakristo wanaweza kukipoteza. "wewe acha kuwa mwaminifu" + +# mkue katika neema na ufahamu + +"kuongozeka katika neema na ufahamu" + +# neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo + +Unaweza kutofasiri "neema" na 'ufahamu" kutumia maneno kitenzi. Ona utakavyo tofasiri maneno hayo hayo katika 1:1 na 1:8 na 2:20. "kuwa na uzoefu zaid na zaid na Bwana na Mwokozi Yesu Kristo kukutenda wema wewe, na kwamba unapata kumjua yeye vizuri na vizuri" + diff --git a/2th/01/01.md b/2th/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..f2950771 --- /dev/null +++ b/2th/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Paulo ndiye mwandishi wa barua hii, lakini anawajumuisha Silwano na Timotheo kama wapelekwaji wa barua. Anaanza kwa kusalimia kanisa la Thesalonike. + +# Maelezo ya Jumla: + +Maneno "sisi" linamaanisha Paulo, Silwano naTimotheo, au kama limetumika vinginevyo. Pia neno " ninyi" ni wingi na lina maanisha waumini wa kanisa la Wathesalonike. + +# Silwano + +Huu ni muundo wa Kilatini "Silas." Ni mtu yule yule aliyeorodheshwa katika kitabu cha Matendo kama msafiri mwenzi wa Paulo. + +# Neema iwe juu yenu + +Paulo kawaida anatumia salamu hii katika barua zake. + diff --git a/2th/01/03.md b/2th/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..1100727d --- /dev/null +++ b/2th/01/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Paulo anatoa shukrani kwa ajili ya waumini katika kanisa la Thesalonike. + +# kupaswa kutoa shukrani kwa Mungu + +Paulo anasema anapaswa kumshukuru Mungu mara kwa mara. + +# ndugu + +Hapa "ndugu" inamaanisha Wakristo wenzetu, ikijumuisha wanaume kwa wanawake. + +# Hivi ndivyo ipasavyo + +"kwa kuwa hiki ni kitu sahihi cha kufanya" au " ni vyema" + +# Upendo ambao kwa kila mmoja amefungamanishwa na mwenzake + +"mnapendana nyinyi kwa nyinyi" + +# kila mtu na mwenzake + +Kila mtu na mwenzake lina maanisha Wakristo wenzetu." + +# sisi wenyewe + +Hapa "wenyewe" limetumika kusisitiza kujisifu kwa Paulo. + +# kwamba mpate kuhesabiwa kuwa mnastahili kwa ajili ya ufalme wa Mungu. + +Hii inakwemwa katika muundo tendaji. AT: "kwamba Mungu atawahesu kuwa wa sehemu ya ufalme wa Mungu." + diff --git a/2th/01/06.md b/2th/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..f98ce997 --- /dev/null +++ b/2th/01/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anapoendelea, anaoongea kuhusu Mungu kuwa mwenye haki. + +# ni haki kwa Mungu + +"Mungu yuko sahihi" au "Mungu ni wa haki" + +# na raha kwenu + +Unaweza kuifafanua kwamba Mungu ndiye arudishae raha. AT:" na kwamba Mungu arudishe raha kwenu." + +# malaika wa nguvu zake + +"Malaika wa Mungu wenye nguvu" + +# Katika mwali wa moto atalipiza kisasi kwa wale wasiomjua Mungu na wale + +"Bwana Yesu atawaadhibu kwa mwali wa moto wale wasiomjua Mungu na wale" au "Kisha kwa mwali wa moto atawaadhibu wale wote wasiomjua Mungu na wote ambao hawamtii Bwana Yesu" (UDB) + diff --git a/2th/01/09.md b/2th/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..284c1f47 --- /dev/null +++ b/2th/01/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watateseka + +Neno "wataseka" wanamaanishwa watu wasioitii injili. + +# atakapokuja sike ile + +Hapa "siku ile" ni siku Yesu atakaporudi duniani. + +# ili atukuzwe na watakatifu wake + +Hii inaweza kusemwa katika hali halisi. AT: "watu wake waliomwamini watamtukuza " + +# watastaajabishwa na wale wote walioamini + +Hii inaweza kuwa katika hali tendaji. "wale wote walioamini watashangaa" au "wale wote walioamini watamshangaa yeye" + diff --git a/2th/01/11.md b/2th/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..de741f2c --- /dev/null +++ b/2th/01/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Pia tunaendelea kuomba kwa ajili yenu + +Paulo anasisitiza jinsi anavyoomba mara nyingi kwa ajili yao. AT: Pia mara kwa mara tunaomba kwa ajili yenu. + +# kuita + +Neno "kuita" lina maanisha Mungu anateua au anachagua watu kuwa watoto wake, kuwa watumishi wake na wahubiri wa ujumbe wa wokovu kwa njia ya Yesu. + +# kutimiza kila haja ya wema + +"awawezeshe kufanya mema kwa kila namna mnavyo tamani" (UDB) + +# ili kwamba mpate kulitukuza jina la Bwana wetu Yesu + +Hili linaweza kuelelezewa katika muundo tendaji. AT: "ili kwamba mweze kulitukuza jina la Bwana wetu Yesu" + +# Ili mtukuzwa na yeye + +Hili linaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "Yesu atawatukuza ninyi" + +# kwa sababu ya neema ya Mungu wetu + +kwa sababu ya neema ya Mungu" + diff --git a/2th/02/01.md b/2th/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..e52e16e5 --- /dev/null +++ b/2th/02/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Paulo anawaasa waumini wasidanganywe kuhusu siku ambayo Yesu atarudi. + +# Sasa + +Neno "Sasa" linaonyesha kubadilika kwa mada katika maelekezo ya Paulo. + +# Ndugu + +Neno "ndugu" linamaanisha Wakristo wenzetu, linajumuisha wote wanaume na wanawake. AT: " kaka na dada" + +# Kwamba msisumbuliwe au kuhangaishwa kwa urahisi + +kwamba msiruhusu mambo yawasumbue kwa urahisi. + +# kwa ujumbe au barua ambayo inadhaniwa kutoka kwetu + +"kwa maneno au barua iliyoandikwa ambayo inadhaniwa kutoka kwetu. + +# kwa tokeo kwmba + +"kusema kwamba' + +# siku ya Bwana + +Hii inamaanisha wakati atakaporudi duniani kwa ajili ya waumini. + diff --git a/2th/02/03.md b/2th/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..ae00144b --- /dev/null +++ b/2th/02/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Paulo anafundisha kuhusu mtu wa uasi. + +# haitakuja + +"siku ya Bwana haitakuja" + +# anguko + +hii inamaanisha wakati ujao ambao watu wengi watampa Mungu kisogo. + +# na mwana wa uasi amefuniuliwa + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: na Mungu anamfunua mtu wa uasi + +# mwana wa uaharibifu + +Paulo anaongea uharibifu kama mtu alizaa mwana ambaye lengo lake ni kuharibu kila kitu. AT: "yeye aharibuye kila kitu anachoweza" + +# vyote vinavyoitwa Mungu au vivavyoabudiwa + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "kila kitu ambacho watu hukifanya kuwa Mungu au kila kitu ambacho watu huabudu" + +# anajiinua mwenyewe kama Mungu + +"anajionyesha mwenyewe kama Mungu" + diff --git a/2th/02/05.md b/2th/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..04a9243c --- /dev/null +++ b/2th/02/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hamuyakumbuki...mambo haya? + +Paulo anatumiwa swali lisilohitaji kujibiwa kuwakumbusha mafundisho ambayo aliwafundisha awali alipokuwa nao. Hii inaweza kuelezewa kama. AT: " Ninauahakika kuwa mnakumbuka... haya mambo." + +# mambo haya + +Hii ina maanisha kurudi kwa Yesu, siku ya Bwana , na mtu wa kuasi. + +# atafunuliwa tu kwa wakati muafaka + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "Mungu atamfunua mtu wa uasi kwa muafaka" + +# siri ya kuasi + +Hii ina maanisha kwa siri ambayo Mungu mwenyewe anaifahamu. + +# anayemzuia + +kumzuia mtu ni kuwashikilia nyuma au hali kutowafanya kuendelea na kile wanachotaka kufanya. + diff --git a/2th/02/08.md b/2th/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..396b81a0 --- /dev/null +++ b/2th/02/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ndipo mwenye kuasi atakapofunuliwa + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: Halafu Mungu atamruhusu mwenye kuasi ili kujionyesha mwenyewe. + +# kwa pumzi ya kinywa chake + +Hapa neno "pumzi" linamaanisha nguvu ya Mungu. AT: "kwa nguvu ya neno lake lilotamkwa" + +# Ufunuo wa kuja kwake utamfanya kuwa sio chochote + +Wakati Yesu atakaporudi duniani na kujionyesha, atamshinda yule mwenye kuasi. + +# kwa nguvu zote, ishara, na maajabu ya uongo + +"kwa nguvu zote, ishara, na maajabu ya uongo" + +# na uongo wote wenye udharimu + +Mtu huyu ataumia kila aina ya ubaya kuwadanganyawatu ili wamwamini yeye badala ya Mungu. + +# Mambo haya yatakuwepo kwa wale wanaopotea + +Huyu mtu atapewa nguvu na shetani na atadanganya kila mtu ambaye hakuamini katika Yesu. + +# wanaopotea + +Hapa "potea" lina wazo la milele au uangamivu wa milele + diff --git a/2th/02/11.md b/2th/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..ba69196b --- /dev/null +++ b/2th/02/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa sababu hii + +" Kwa sababu watu hawapendi kweli" + +# Mungu anawatumia kazi yenye uongo ili waamini uongo + +Paulo anaongea kuwa Mungu anaruhusu kitu kutokea kwa watu kana kwamba anawatumia. AT: "Mungu anaruhusu mtu wa kuasi awadanganye" + +# wote watahukumiwa + +Hii inaaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT:" Mungu atawahukumu wote" + +# wale ambao hawakuamini kweli badala yake wakajifurahisha katika udhalimu + +"wale ambao walifurahia udhalimu kwa sababu hawakuiamini kweli" + diff --git a/2th/02/13.md b/2th/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..f2839bfd --- /dev/null +++ b/2th/02/13.md @@ -0,0 +1,56 @@ +# Sentence Unganishi + +Paulo sasa anabadilisha mada. + +# Maelezo ya Ujumla: + +Paulo anatoa shukrani kwa Mungu kwa ajili ya wakristo na anawatia moyo. + +# Lakini + +Paulo anatumia neno hili hapa kuanzisha kubadili mada. + +# inatupasa kumshukuru Mungu wakati wote + +Hii ni hali ya kukuza tukio au jambo la kawaida na kulifanya kuwa kubwa zaidi kuliko uhalisia wake. AT: "tunapaswa kuendelea kutoa shukrani" + +# tunapaswa + +Neno tunapaswa linamaanisha Paulo, Silwano, na Timotheo. + +# ndugu mpendwao na Bwana + +Hili linaweza kulezwa katika muundo tendaji. AT: "kwa kuwa ndugu Bwana anawapenda" + +# ndugu + +Hapa "ndugu" linamaanisha wakristo wenzangu, inajuisha wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike. + +# malimbuko kwa ajili ya wokovu + +"kuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuamini katika Yesu na kuokolewa. + +# katika utakaso wa Roho + +"na kuwatenga ninyi kwa ajili ajili yake kwa njia ya Roho" + +# imani katika kweli + +"kuamini katika kweli" au "kuwa na ujasiri katika kweli" + +# kwa hiyo, ndugu, simameni imara + +Paulo anawaasa waumini waendelee kushikilia imani yao katika Yesu. + +# elewa tamaduni + +hapa "tamaduni" linamanisha kwa ukweli wa Kristo ambao Paulo na mitume walifundisha. Paulo anaongea nao kana kwamba wasomaji wake wangeweza kushika neno kwa mikono yao. + +# uliyofundishwa + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: tuliyowafundisha" + +# iwe kwa neno au kwa barua yetu + +unaeza kuelezea kwa timilifu zaidi habari. AT: "iwe kwa kile tulichowafundisha gerezani au kile tulichowandikieni kwa barua" + diff --git a/2th/02/16.md b/2th/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..55dfe878 --- /dev/null +++ b/2th/02/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anamaliza na baraka kutoka kwa Mungu. + +# Sasa + +Paulo anatumia neno hili kuonyesha badiliko la mada. + +# Bwana wetu ...aliyetupenda na kutupatia + +Neno hili "aliyetupenda" na "sisi" linajumisha waumini wote. + +# Bwana Yesu Kristo mwenyewe + +Neno "yeye mwenyewe" liongeza msisitizo kwa neno "Bwana Yesu Kristo." + +# awafariji na kuifanya imaramioyo yenu + +"mioyo" linamaanisha kwenye sehemu ya hisia. AT: "awafariji na kuwaimarisheni kwa" + diff --git a/2th/03/01.md b/2th/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..fef34e05 --- /dev/null +++ b/2th/03/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Paulo anawaomba waumini waombe kwa ajili yake na wenzake + +# Na sasa + +Paulo anatumia neno "sasa" kubadilisha mada. + +# ndugu + +hapa neno "ndugu" linamaanisha wakristo wenzetu, linajumisha wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike" + +# neno la Bwana liweze kuenea na kutukuzwa + +Paulo anaongea kutawanya kana kwamba Neno la Mungu linakimbia toka sehemu moja kwenda sehemu nyingine. AT: "kwamba watu wengi zaidi na zaidi hivi karibuni watasikia ujumbe wetu kuhusu Bwana wetu Yesu na kuuheshimu" + +# kwamba tuweze kuokolea + +Hili linaweza kusemwa katika muundo tendaji: AT: "kwamba Mungu atuokoe" au " kwamba Mungu aweze kutuokoa sisi" + +# Kwa sababu sio wote wanayo imani + +"kwa kuwa watu wengi hawaamini katika Yesu" + +# ambaye atawaimarisha ninhyi + +"ambaye atawaimarisha ninyi" + +# yule mwovu + +"Shetani" + diff --git a/2th/03/04.md b/2th/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..3f88d8e8 --- /dev/null +++ b/2th/03/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tunao ujasiri + +' Tunayo imani" au "tunaamini" + +# kuongoza mioyo yenu + +Paulo anamwelezea Bwana kuwahamasishaWakristo wampende Mungu kana kwamba Bwana alikuwa akiwaongoza katika njia + +# mioyo + +Hii ni sitiari kwa ajili ya hisia au takwa, ambayo inaongoza upendo na uaminifu. + +# kwa upendo wa Mungu na kwa uvumilivu wa Kristo + +paulo anaongea upendo wa Mungu na uvumilivu wa Mungu na Kristo kana kwamba kulikuwa na mwisho katika njia. AT:Ni namna gani gani Mungu anawapenda na jinsi gani ambayo Kristo alivyovumilia kwa ajili yetu. + diff --git a/2th/03/06.md b/2th/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..10bb3f62 --- /dev/null +++ b/2th/03/06.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Paulo anawapa waumini maelekezo ya mwisho kuhusu kufanya kazi na sio kukaa bila kufanya kazi. + +# Sasa + +Paulo anatumia neno hili kuonyesha kubadili mada. + +# katika jina la Bwana Yesu Kristo + +"kwa mamlaka ya Yesu" + +# ndugu + +hapa "ndugu" linamaanisha wakristo wenzetu, inajumuisha wote wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike" + +# Bwana wetu + +Neno "wetu" linamaanisha waumini wote. + +# kuishi bila kufanya kazi + +"ni mzembe na anazuia kufanya kazi" + +# kutuiga sisi + +" kufanya kama Paulona wenzake" au " kutenda kama Paulo na watenda kazi wenzake' + +# Hatukuishi kati yenu kama wale wasio na nidhamu + +Paulo anatumia maneno hasi ili kusisitiza maneno chanya. AT: "Tuiishi miongoni mwenu kama waliokuwa na nidhamu sana" + +# tulifanya kazi usiku na mchana + +"tulifanya kazi wakati wa usiku na wakati wa mchana" au "tulifanya kazi muda wote" + +# katika kazi ngumu na shida + +Paulo anasisitizajinsi hali yake ilivyokuwa ngumu. kazi ngumu inamaanisha kazi ambayo inahitaji juhudi kubwa. Ugumu inamaanisha walivumia maumivuna mateso.AT: "katika hali ngumu. + +# Tulifanya hivi sio kwa sababu hatukuwa ma mamlaka + +Paulo anatumia neno hasi kusisitiza upande chanya. Hii inaweza kusemwa kama chanya. AT: "pasina shaka tulikuwa na mamlaka." + diff --git a/2th/03/10.md b/2th/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..170db432 --- /dev/null +++ b/2th/03/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# baadhi wanaenenda paipo utaratibu + +Hapa "enenda" linasimama kwa kumaanishatabia katika maisha. AT: "baadhi wanaishi maisha ya "kubweteka" au "wengine ni wavivu" + +# lakini badala yake ni watu wanaoenenda pasipo utaratibu. + +Hawa nia watu wanaoingilia mambo ya wengine pasipo kuombwa kufanya hivyo. + +# kwa utulivu + +"katika utulivu, amani utulivu." Paulo anawaasa watu wazembe waiotaka kufanya kazi waache kuchunguza mambo ya wenzao." + diff --git a/2th/03/13.md b/2th/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..542ac116 --- /dev/null +++ b/2th/03/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini + +Paulo anatumia neno hili kutofautisha kati ya wakristo wavivu na wachapakazi. + +# ninyi, ndugu + +Neno "niny" linamaanisha wakristo wote wa Thesalonike. + +# ndugu + +Neno "ndugu" hapa linamaanisha wakristo wenzangu, inajumuisha wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike" + +# msizimie roho + +"Kuzimia moyo" ni neno linalomaanisha kuchoka, au kukata tama." "msikate tamaa au "msichoke" + +# muwe makini naye + +Mmtambue kuwa ni nani.AT: "mmtambue mbele za watu" + +# ili kwamba aweze kuaibika + +Paulo anawaelekeza waumini kujihadhari nawaumini wavivu kama kitendo cha kuwaadibisha. + diff --git a/2th/03/16.md b/2th/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..43389409 --- /dev/null +++ b/2th/03/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Paulo anahitimisha maoni/ ufafanuzi wake wakristo wa Thesalonike. + +# Bwana wa amani mwenyewe awape ninyi + +Unaweza kuweka wazi kuwa haya ni maombi ya Paulo kwa Wathesalonike. AT: "Ninaomba kwamba Bwana wa amani mwenyewe awapeni..." + +# Bwana wa amani mwenyewe + +"Mwenyewe" inaelezea kwamba Bwana mwenyewe atawapa amani wakristo. + +# Hii ni salamu yangu mwenyewe, Paulo, kwa mikono yangu mwenyewe + +"Mimi, Paulo, naandika salamu kwa mkono wangu mwenyewe" + +# Hivi ndivyo niandikavyo + +Paul anaweka wazi kwamba hii barua inatoka kwake na sio ya kubumba + diff --git a/2ti/01/01.md b/2ti/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..7e193f3e --- /dev/null +++ b/2ti/01/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Paulo + +"Toka kwa Paulo" au "Mimi, Paulo, naandika barua hii" + +# Kwa mapenzi ya Mungu + +"kwa sababu ya mapenzi ya Mungu" au "kwa sababu Mungu anataka." Pauli alikuwa mtume kwa sababu Mungu alitakaPaulo awe mtume sio kwa sababu wanadamu walimchagua. + +# Sawasawa na + +Inaweza kuwa na maana 1)"kuweka pamoja na," ikimaanisha kama Mungu alivyoahidi kuwa Yesu uhai, alimfanya Paulo kuwa mtume au 2) "kwa kusudi la,"ikimaanisha kuwaMungu alimteua Paulo kuwaambia wengine kuhusu ahadi ya Mungu ya uhai katika Yesu. + +# Ahadi ya uhai iliyo ndani ya Yesu Kristo + +"Mungu aliahidi kuwafanya wale waliondani ya Kristo Yesu kuwa hai" + +# Mwana mpendwa + +"mwana mpenzi" au "mwana apendwaye" au "mwana ninayempenda." Timotheo aliokolewa na Kristo kwa kupitia Paulo, na hivyo Paulo anamchukulia kama mtoto wake. + +# Neema, rehema, na amani toka + +"Na neema, rehema na amani iwe kwako toka" au " Na upate neema, rehema, na amani toka" + +# Mungu Baba + +"Mungu ambaye ni Baba yetu" + +# Na Kristo Yesu Bwana wetu + +"na Kristo Yesu ambaye ni Bwana wetu" + +# Maelezo ya jumla. + +Kwenye kitabu hiki neno "sisi" inawazungumzia Paulo na Timotheo pamoja na waamini wote. + diff --git a/2ti/01/03.md b/2ti/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..7f18e319 --- /dev/null +++ b/2ti/01/03.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Ninayemtumikia, kama mababa zangu walivyofanya + +Paulo alimwabudu Mungu yuleyule ambaye mababu zake walimwabudu. "...ambaye ninafanya majukumu yangu kama Mkristo kama mababu zangu waliokuja kabla yangu walivyofanya" + +# Kwa nia njema + +"kwa nia safi." Hasumbuliwi na fikra za matendo maovu kwa sababu kila mara alijaribu kufanya yaliyo mema. + +# Ninapowakumbuka ninyi + +"Ninapowakumbuka ninyi kila mara" au "ninapowakumbuka kila wakati" + +# Usiku na + +inaweza kuwa na maana 1) "maombi yangu usiku na mchana" au 2) "Ninawakumbuka kila mara usiku na mchana" au 3) "natamani kuwaona usiku na mchana." + +# Natamani kukuona + +"nasubiri sana kukuona" + +# Nakumbuka machozi yako + +"naweka mambo yote yanayokutesa kwenye akili yangu" + +# Nijawe na furaha + +"niwe na furaha sana" au "nifurahie" + +# Naikumbuka + +"kwa sababu nimekuwa nikiikumbuka" au "nilipokuwa nikiikumbuka" au "kwa kuwa naikumbuka" + +# Imani yako iliyo thabiti + +"imani yako ya kweli" au "imani isiyo ya unafiki." inamaanisha kutokuficha kitu au kuwa mkweli. + +# imani... iliyokuwa kwanza kwa bibi yako... ipo kwako pia + +Bibi yake na Timotheo alikuwa mwanamke mcha Mungu, na Paulo anaifananisha imabi ya Timotheo na ya bibi yake. + +# Loisi ... Yunisi + +Haya ni majina ya wanawake. + diff --git a/2ti/01/06.md b/2ti/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..9e32eafd --- /dev/null +++ b/2ti/01/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Paulo anamtia moyo Timotheo kuishi kwa nguvu, upendo, nidhamu na kutokuona aibu kwa sababu ya mateso ya Paulo gerezani kwa sababu ya imani ya Paulo kwa Kristo. + +# Hii ndiyo sababu + +"Kwa sababu hii" au "Kwa sababu ya imani yako ya kweli kwa Yesu" au "Kea sababu una imani ya kweli kwa Yesu" + +# Nakukumbusha + +"Nakukumbusha wewe" au "Nakwambia tena wewe" + +# fufua karama ya Mungu iliyo ndani yako kwa kuwekewa mikono yangu + +Paulo alimuwekea Timotheo mikono, kumkabidhi roho mtakatifu na uwezo wa kiroho au zawadi juu yake. Paulo anamwambia "afufue" ule uwezo wa kiroho kwenye kazi zake kwa ajili ya Kristo. + +# Kwa kuwa Mungu + +"Sababu Mungu" + +# Mungu hakutupa roho ya woga lakini ya nguvu na upendo na nidhamu. + +Paulo alipokea roho toka kwa Mungu. Alipoweka mikono yake juu ya Timotheo, roho yule yule alikuja juu ya Timotheo. Roho huyu hakusababisha wamuogope Mungu au watu wengine. + +# Roho wa ... nidhamu + +Inaweza kumaanisha "Roho wa mungu anaweza kuwasaidia kujizuia wenyewe" au 2) "Roho wa Mungu anatusaidia sisi kuwarekebisha wengine wanaofanya makosa." + diff --git a/2ti/01/08.md b/2ti/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..4f7e8468 --- /dev/null +++ b/2ti/01/08.md @@ -0,0 +1,60 @@ +# Ushuhuda + +"kushuhudia" au "kuwaambia wengine" + +# Ushiriki mateso kwa ajili ya injili + +Paulo aliteseka kimakosa kwa ajili ya injili. Anamwambia Timotheo asiogope kuteseka kwa ajili ya ijnili. + +# Sawasawa na nguvu za Mungu + +"Kumruhusu Mungu kukupa nguvu" + +# Sio kwa ajili ya kazi zetu + +"Sio kwa sababu ya mambo mengi mazuri tuliyoyafanya tummeokolewa" au " Mungu hakutuokoa kwa sababu ya mambo mazuri tuliyoyafanya" au "Mungu alituokoa japokuwa tulifanya mambo mabaya" + +# Aliyetuokoa kwa mipango yake mwenyewe + +"Mungu alipanga kutuokoa na sasa ametuokoa" au "Mungu aliamua kutuokoa ni vipi atatuokoa na sasa ametuokoa" au "aliyetuokoa... kama alivyopanga" + +# Tangu mwanzo + +"Kabla ulimwengu haujaanza" au "kabla ya mwanzo" + +# wokovu wa Mungu umefunuliwa kwa kuja kwa mwokozi wetu Yesu Kristo + +"Mungu ameonyesha namna ambavyo anaweza kutuokoa kwa kutupa mkombozi wetu Masihi Yesu kufunuliwa" + +# Aliyeondoa mauti + +"Aliyeondoa nguvu ya kifo juu yetu" + +# kuleta uzima usiokwisha kwenye mwanga katika injili + +"Kufundisha ni maisha gani yasiyokuwa na mwisho kwa kuhubiri injili" + +# Niliteuliwa kuwa muhubiri + +"Mungu alinichagua kuhubiri ujumbe" + +# Mtumwa wake + +"mtumwa kwa ajili yake" au "mtumwa kwa sababu nashuhudia habari za Bwana" + +# kwa Kristo Yesu + +"kupitia mahusiano Yetu na Kristo Yesu" + +# kwa wito mtakatifu + +"Tumetengwa kuwa watu wake kwa wito mtakatifu" au "kuwa watu wake watakatifu" + +# Alifanya haya + +"alituokoa na kutuita sisi" + +# Kwa kuja mkombozi wety Kristo Yesu + +"kwa kumtuma mkombozi wetu Yesu Kristo." + diff --git a/2ti/01/12.md b/2ti/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..2f090224 --- /dev/null +++ b/2ti/01/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa sababu hii + +"Kwa sababu mimi ni nabii" + +# Nateseka pia + +Paulo anaelezea namna alivyo mfungwa. + +# Nina hakika + +"Nina shawishika" + +# Siku ile + +Inaweza kuwa na maana ya 1) Siku ambayo Bwana atakuja tena au 2) siku ambayo Mungu atawahukumu watu. + +# Utunze mfano wa ujumbe wa uaminifu uliousikia toka kwangu + +"Endelea kufundisha mawazo ya kweli niliyokufundisha" au "tumia maneno yangu ma mafundisho yangu kama mfano kwa utakachofundisha" + +# Hilo jambo zuri + +Hii inaelezea kazi ya kutangaza injili kwa usahihi. + +# Yatunze + +Timotheo anatakiwa kuwa makini na watu wanaopinga kazi yake, wanajaribu kumkataza na kupinga nachokisema. + +# Kupitia roho mtakatifu + +"Fanya yote na yale ambayo roho mtakatifu amekwambia uyafanye" + diff --git a/2ti/01/15.md b/2ti/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..ac651a18 --- /dev/null +++ b/2ti/01/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wameniacha + +Walimuacha kwa kuwa alikuwa amekamatwa na kutupwa gerezani. + +# Hawakuionea aibu minyororo yangu + +Onesiphorus hakumuonea aibu Paulo kwa sababu alikuwa gerezani ila alienda kumtembela mara kwa mara. "minyororo" inaelezea mtu aliyeko gerezani. + +# Mungu amjalie kupata neema... siku ile + +Paulo anatamani Onesiphorus apokee neema na sio adhabu au 1)Siku Bwana akija tena au 2) Siku ambayo Mungu atawahukumu watu. + +# Figelo na Hemogene... Onesiforo + +Haya ni majina ya watu. + +# kwenye nyumba + +"kwa familia" + +# kupata rehema kutoka kwake + +Paulo anazungumza kuhusu rehema kuwa ni jambo la muhimu la kutafta. + +# Siku ile + +Hii inaelezea siku ambayo Mungu atawahukumu watu. + diff --git a/2ti/02/01.md b/2ti/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..cfb0aa5b --- /dev/null +++ b/2ti/02/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kuunganisha Maelezo + +Paulo alipigapicha maisha ya Kikristo ya Timotheo kama maisha ya askari, kama maisha ya wakulima, kama maisha ya mwanamichezo + +# kuimarishwa katika neema iliyo katika Kristo Yesu + +Maana inawezekana ni 1) 'basi Mungu kutumia neema akawapa kwenu katika Kristo Yesu kuwafanya kuwa imara (UDB) au 2) 'kuhamasisha mwenyewe, wakijua kwamba Mungu amewapa ninyi neema ambayo huja tu kwa njia ya Kristo Yesu + +# kati ya mashahidi wengi + +"na mashahidi wengi kuna kukubaliana kwamba maneno yangu ni kweli" + +# mwaminifu + +"kuaminika" + +# mwanangu + +Paulo anamuona Timotheo kama mtoto wake kwa kuwa alimfundisha Timotheo kumwamini Kristo. "aliye kama mtoto wangu" + +# uyakabidhi kwa watu waaminifu + +Paulo anatoa maelekezo kwa Timotheo kuwa ayakabidhi kwa watu waaminifu ili wayatumie kwa usahihi. "wafundishe" + diff --git a/2ti/02/03.md b/2ti/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..206509f2 --- /dev/null +++ b/2ti/02/03.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Shiriki mateso nami + +Maana inawezekana ni 1) 'kuvumilia mateso kama mimi' (UDB) au 2) 'kushiriki katika mateso yangu' + +# Hakuna askari atumikae wakati akijihusisha na shughuli za maisha haya + +"Hakuna askari atumikae wakati yeye hushiriki katika shuughuli ya kila siku ya maisha haya" au 'Wakati askari wanatumikia, hawana kupata mambo ya kawaida ambayo watu kufanya" watumishi wa Kristo lazima wasiruhusu maisha ya kila siku kuwaweka kutoka kufanya kazi kwa Kristo + +# Kama askari mzuri wa Kristo Yesu + +Paulo anayafananisha mateso kwa ajili ya Kristo Yesu na mateso anayoyavumilia askari mzuri" + +# Afisa mkuu + +"mmoja wapo aliyempendekeza yeye kama askari + +# mwanamichezo.... si taji isipokuwa awe ameshindana kwa sheria + +watumishi wa Kristo inahitajika kufanya kile ambacho Kristo anasema kifanyike. + +# yeye sio taji isipokuwa awe ameshindana kwa sheria + +"Wao watamvika taji yeye kama mshindi pekee ikiwa ameshindana kwa sheria + +# yeye hatapewa taji + +"yeye hakusinda tuzo" + +# Kushinda kwa sheria + +"Inashindana kwa mujibu wa sheria" au "madhubuti kumt'ii sheria" + +# wakati huo huo akijihusisha + +Paulo anazungumzia uharibifu huu kama vile mtego unaowatega watu wakiwa wanatembea. + diff --git a/2ti/02/06.md b/2ti/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..c013b5d4 --- /dev/null +++ b/2ti/02/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mkulima mwenye bidii apokee ujira wa mazao yake kwanza + +Huu ni mfano wa tatu kwamba Paulo anampa Timotheo, msomaji anapaswa kuelewa kuwa watumishi wa Kristo wanahitaji kufanya kazi kwa bidii. + +# Fikiria juu ya ninachosema + +Paulo alimpa Timotheo neno la picha, lakini hakuweza kabisa kuelezea maana zake, Yeye anatarajia Timotheo kufikiri nini alikuwa akisema kuhusu watumishi wa Kristo. + +# kwa maana Bwana + +kwa sababu Bwana + +# Kwa kila kitu + +"kuhusu vitu vyote" + diff --git a/2ti/02/08.md b/2ti/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..fd8567a2 --- /dev/null +++ b/2ti/02/08.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kuunganisha maelezo + +Paulo anatoa maelekezo Timothy juu ya jinsi ya kuishi kwa ajili ya Kristo, jinsi ya kuteseka kwa ajili ya Kristo, na jinsi ya kuwafundisha wengine kuishi kwa ajili ya Kristo. + +# kulingana na ujumbe wangu wa injili + +kama ujumbe wangu wa injili usemavyo + +# ambavyo mimi nateseka + +"kwa ambavyo mimi nateseka + +# hata kufungwa minyororo + +"Kufungwa" inamaanisha kuwa gerezani. + +# Neno la Mungu haliwezi kulifungwi minyororo + +"si vikwazo" au "si kufungwa" "ana uhuru kamili" + +# kwa wale ambao wamechaguliwa + +"kwa watua ambao Mungu amewachagua" + +# wapate wokovu + +"watapokea wokovu" + +# Utukufu wa milele + +"Wanamtukuza Mungu milele" au "akizungumzia watu kwa Mungu milele" + +# Toka kwa uzao wa Daudi + +"uzao" linamaanisha kizazi. "Ambao ni kizazi cha Daudi" + +# ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu + +"Ambaye Mungu alimfufua" + diff --git a/2ti/02/11.md b/2ti/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..e6588efc --- /dev/null +++ b/2ti/02/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Msemo huu + +"maneno haya" + +# Kufa + +Hapa hii ina maana mtu kufa kwa nafsi yake. Kwa maneno mengine, kukataa kutoka katika tamaa yake mwenyewe. + +# tusipokuwa waaminifu + +"hatakama tunamkosea Mungu" au "hatakama hatuwezi kufanya nini tunaamini Mungu anataka tufanye" + +# Yeye hawezi kujikana mwenyewe + +"Yeye lazima daima hutenda kulingana na tabia yake" au "hawezi kutenda katika njia ambazo ni kinyume cha tabia yake halisi" + +# Ikiwa tumekufa pamoja naye ... hawezi kujikana mwenyewe + +Hii ni kama wimbo au shairi ambalo Paulo ananukuu. Kama kwenye lugha yako kuna namna ya kuielezea kama shairi unaweza kutumia hapa. Kama hamna unaweza kutafsiri kama sentensi na sio shairi. + diff --git a/2ti/02/14.md b/2ti/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..abcd9810 --- /dev/null +++ b/2ti/02/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# maelezo ya jumla + +Neno "ninyi" linaweza kuwa na maana ya 1) "Waalimu" (UDB) au 2) "watu wa Kanisa" + +# mbele za Mungu + +'Katika uwepo wa Mungu' au 'wakijua kwamba Mungu hukuangalia wewe na hao' + +# si kwa ugomvi kuhusu maneno + +"Si kujadiliana juu ya nini maana ya maneno" au "si kusema maneno ambayo kusababisha mapigano" au "si kusema maneno yenye maana ya kuumiza wengine" + +# haufai kitu + +"hakuna yoyote mzuri" au "asiye na maana" + +# yanaangamiza + +picha ni ya uharibifu wa jengo hilo. Wale ambao husikia ugomvi kuacha kuheshimu ujumbe wa Kikristo + +# kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu + +"kujionyesha kwa Mungu kama mtu umeonyesha kuwa unastahili" + +# kama mfanyakazi + +"Kama mfanyakazi" au "kama mfanyakazi" + +# utunzaji kwa usahihi + +usahihi kuelezea + diff --git a/2ti/02/16.md b/2ti/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..07594fbf --- /dev/null +++ b/2ti/02/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Neno lao kuenea kama donda ndugu + +"Nini wanasema yataendelea kusambaa kama ugonjwa wa kuambukiza" Kama vile donda ndugu kuenea katika mwili wa mtu na kuuteketeza, nini watu hao walikuwa wakisema ingeweza kuenea kutoka mtu hadi mtu na kudhuru imani ya wale ambao walisikia maneno hayo, "neno lao kuenea haraka na kusababisha uharibifu kama donda ndugu" au "Watu haraka kusikia wanayoyasema na kuwa wanaathirika nayo + +# Donda ndugu + +wafu, huozo mwili. njia pekee ya kuweka donda ndugu kueneza na kumuua mtu mgonjwa ni kwa kukatwa eneo lililoathirika. + +# ufufuo ulishafanyika + +Mungu tayari amewafufa waumini waliokufa kwenye uzima wa milele ' + +# kubadirisha imani ya watu wengine + +Kufanya baadhi ya waumini kuwa na shaka' au "kushawishi baadhi ya waumini kwa kuacha kuamini" + +# ambayo huongoza kwa zaidi na zaidi ya uasi + +"inayoweza kusababisha watu wakawa kinyume na Mungu" + +# Himenayo na Fileto + +Haya ni majina ya wanaume. + +# walioukosa ukweli + +Paulo anazungumzia ukweli kama lengo kuu. Paulo anamaanisha watu hawa hawajaelewa ukweli na wanafundisha uongo. + diff --git a/2ti/02/19.md b/2ti/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..b5e5dec6 --- /dev/null +++ b/2ti/02/19.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Msingi wa Mungu + +Maana inawezekana ni 1) "Kanisa la Mungu limejenga tangu mwanzo" au 2) "ukweli juu ya Mungu" (UDB) au 3) "uaminifu wa Mungu." + +# anaetaja jina la Bwana + +ambaye anasema yeye ni muumini katika Kristo + +# Aachane na uovu + +Maana inawezekana ni 1)"kuacha kuwa mbaya" au 2) "kuacha kufanya mambo yasiyofaa.'" + +# Vyombo + +Hii ni neno la ujumla kwa bakuli, sahani, sufuria, ambayo watu kuweka chakula au kinywaji humo. Kama lugha yako haina neno la ujumla, kutumia neno kwa 'bakuli' au 'sufuria.' Ni mfano kwa ajili ya watu + +# Heshima.... kutokuheshimu + +Maana inawezekana ni 1) 'hafla maalum ... kawaida mara' (UDB) au 2) 'aina ya shughuli watu wema kufanya hadharani ... aina ya shughuli watu wema kufanya binafsi.' + +# ajitakase mwenyewe kutoka matumizi yasiyo ya heshima + +Maana inawezekana ni 1) 'kujitenganisha mwenyewe kutoka kwa watu wasioheshimika" au 2) 'anayejifanya safi.' + +# chombo cha hesima + +Muhimu kwa ajili ya hafla maarumu" au " muhimu kwa ajili ya shughuli watu wema kufanya kwa wazi" + +# Maelezo ya jumla + +Kama vile chombo chenye thamani kinavyoweza kutumika kwa njia za heshima katika nyumba yenye utajiri, mtu yeyote atakayemrudia Mungu atatumika kwa heshima katika kufanya kazi njema. + +# Ametengwa maalumu, mwenye manufaa kwa Bwana, na ameandaliwa kwa kila kazi njema. + +"Bwana amemtenga na yupo tayari kutumiwa na Bwana kufanya kazi njema. + +# Ametengwa + +Hajatengwa kimwili lakini katika kutimiza kusudi. + diff --git a/2ti/02/22.md b/2ti/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..52fcc5a5 --- /dev/null +++ b/2ti/02/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kimbieni tamaa za ujana + +Mafumbo haya yanamaanisha mbio haraka uwezavyo. Kukimbia ni kukimbia kitu kitakachoweza kuwadhuru ninyi, kufuata ni kukimbia kuelekea kitu ambacho kitakufanyia mema. + +# ukafuate haki + +"kuitafuta haki" + +# Na + +Maana inawezekana ni 1) Paulo alimtaka Timotheo kujiunga na wakristo wengine katika kutafuta haki' au 2) Paulo alimtaka Timotheo awe na amani na sio kugombana na waamini wengine. + +# nao wamwitao Bwana + +"Wakristo" au "wote ambao wanaojiita watu wa Mungu" + +# kwa moyo safi + +"Kwa nia ya dhati" au "kwa sababu nzuri" + +# ukatae upumbavu na maswali ya kipuuzi + +"Kukataa kujibu maswali ya upumbavu" na "maswali ya kipuuzi" + +# Moyo safi + +Paulo anazungumza juu ya sababu nzuri za kufanya jambo toka moyoni. + +# Huzaa ugonvi + +Paulo anazungumza juu ya maswali ya kipuuzi akiyafananisha na mwanamke anayezaa mtoto. "inasababisha ugonvi" + diff --git a/2ti/02/24.md b/2ti/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..16eb40f8 --- /dev/null +++ b/2ti/02/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# katika upole + +"Kondoo" au "upole" + +# elimisha + +"Elekeza" au "mafundisho" au "kurekebisha" + +# kuwapatia toba + +"Kuwasaidia kuiacha dhambi yao" + +# kwa ujuzi wa ile kweli + +"Ili waweze kuujua ukweli" + +# wanaweza kurejesha fahamu zao" + +"wanaweza tena kufikiri mawazo mabaya" au "wanaweza kuanza kusikiliza Mungu tena" + +# mtego wa Shetani + +Hii ni mfano kwa ajili ya watu ambao wanadhani wao ni kufuatia Mungu wakati wao ni kweli zifuatazo shetani. + +# wametekwa na yeye kwa ajili ya mapenzi yake + +"Ambaye aliwateka wao na sasa amewafanya kufanya chochote anachotaka wafanye' + diff --git a/2ti/03/01.md b/2ti/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..b28b5170 --- /dev/null +++ b/2ti/03/01.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi Unganishi. + +Paulo anataka Timotheo ajue ya kuwa katika siku za mwisho watu wataikataa kweri na mateso yatakuja, lakini katika hayo anaweza akalitumaini na kulitegemea andiko takatifu la Mungu. + +# Nyakati za Hatari. + +Hizi zitakuwa ni siku, miezi na hata miaka ambayo Wakristo watakuwa katika hatari. + +# Wenye kujipenda wenyewe. + +Matumizi ya neno "wenyekujipenda" inamaanisha upendo wa kiundugu au upendo wakiurafiki au watu wa familia moja, upendo wa asili kati ya marafiki na Jamaa(ndugu zao). Huu sio ya upendo utokao kwa Mungu. + +# Wenye majivuno. + +Mtu yeyote mwenye kujisemea yeye katika hali ya kujisifu. + +# Wasiokuwa na Moyo wa kupenda. + +"Wasiowapenda wa kwao( familia zao) + +# Wasio suluhishika + +"Wasiokubaliana na mtu yeyote" au " wasio penda kusihi kwa amani na mtu yeyote". + +# Wasingiziaji. + +"Washitaki wa uongo" + +# Wakali(wenye hasira) + +"Katili" au " Mkali" au "watakuwa wakifanya mambo ili kuwaumiza wengine". + +# Wasiopenda Mema. + +" Wenye kuchukia Mema" + +# Wakaidi. + +"asiejali"( mtu wa kijiendea) + +# Majivuno( wenye viburi) + +"Wakifikiri kuwa wao ni bora zaidi kuliko" + +# Siku za mwisho + +Hii inamaanisha kuwa "anazungumzia siku za mbeleni baada ya Nyakati za Paulo. "Baadae kabla ya kurudi kwa Yesu" + diff --git a/2ti/03/05.md b/2ti/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..4db53f3a --- /dev/null +++ b/2ti/03/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kuwa kama wacha Mungu + +"Onekana kama wapenda dini au onekana kama wenye haki" au "Onekana kama watu wema" + +# Wataikana nguvu yake. + +" Inamaana ya kuwa 1) "Wataikataa na wala hawataikubali nguvu ambayo Mungu alitaka kuwapatia" au 2) " Maisha yao hayataonesha udhibitisho wa ki Mungu kama wanavyodai". + +# Kutoka kwenye welekeo sahihi + +" Kuepuka" + +# Watakao ingia kwenye familia + +"Wakiingi katika nyumba na kushawishi sana" + +# Wanawake wapumbavu + +"Wanawake ambao ni wachanga kiroho". Hii inaweza kuwa kwa sababu wanashidwa kutulia au kwa sababu hawana kazi au kwa sababu wamejawa na dhambi". + +# Waliojawa na dhaambi. + +Maana zake ni 1) " Waliojawa na mizgo ya dhambi" au 2) " wanaotenda dhambi kila mara". Dhana kuu au wazo ni kwamba, hawawezi kuepukana na kutenda dhambi. + +# Wanaoongozwa na tamaa za kila aina. + +Wanawake hawa hutamani vitu vingi kana kwamba wanaacha kumwabudu Kristo" au " Wanawake hawa wanaacha kumwabudu Kristo na badala yake wanaviendea vitu vingine wavitamanivyo." + diff --git a/2ti/03/08.md b/2ti/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..0f3f9b62 --- /dev/null +++ b/2ti/03/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Yanne na Yambre + +Majina haya mawili yanapatikana kwenye Biblia tu. Moja ya Mila inawaita kama waganga wa Misri waliokuwa wakimpinga Musa katika kitabu cha Kutoka 7-8. + +# Walisimama Kinyume + +" Kupinga" + +# Sentensi unganishi + +Paulo anawapa mfano wa walimu wawili wa uongo toka nyakati za Musa na kuonyesha namna watu watakavyokuwa. Anamsisitiza Timotheo kufuata mfano wa Paulo na kukaa katika neno la Mungu. + +# wako kinyume na kweli + +"wanapinga injili ya Yesu" + +# Wamepotoka akili zao + +"Hawawezi kufikiri kwa usahihi tena" + +# Kuendelea + +" Kusonga mbele/ kupiga hatua" + +# Upumbavu + +"Kutokuwa na uelewa" au " Upuuzi" + +# Dhahiri + +"kuonekana wazi" au "kueleweka wazi" + +# Wasiokubalika kutokana na imani + +Wanajaribiwa ni kwa namna gani wanamwamini Kristo na kumtii yeye na wakashindwa jaribu hilo. "bila imani ya kweli" au "wamethibitisha kuwa imani yao sio thabiti" + diff --git a/2ti/03/10.md b/2ti/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..f79a7d52 --- /dev/null +++ b/2ti/03/10.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# wewe umeyafuata mafundisho yangu + +" Lakini kwa wewe umekuwa makini katika kuyaangalia/kuyaenenda." + +# Mafundisho + +"Maelekezo" + +# Mwenendo mzuri. + +" Namna ya maisha" + +# Mateso ya mda + +"kuwa na uvumilivu na watu" + +# Uvumulivu + +Maana zake ni 1) "Nitaendelea kumtumikia Mungu hata katika hali ngumu ya kutoweza" au 2) " Nitaendelea kuenenda katika njia ya haki hata katika nyakati ngumu." + +# Walaghai/Watapeli + +"Watu ambao huwadanganya watu kuhusu wao wenyewe" au " Watu ambao hujiweka tofauti na uhalisia wa maisha yao ya kweli." + +# Na katika hayo yote Bwana akaniokoa + +Paulo anazungumzia namna ambavyo Bwana alimuokoa alipokuwa anateseka na hali ngumu na hatari. + +# kuishi katika maisha ya kumcha Mungu katika Kristo Yesu + +"kuishi maisha ya kumcha Mungu kama mfuasi wa Yesu" + +# watateswa + +"yawapaswa kuvumilia mateso" + +# watazidi kuwa waovu zaidi + +"watakuwa waovu zaidi" + +# Watawapotosha wengine + +"Watawasababisha watu wasimtii Kristo" + +# Wao wenyewe wamepotoshwa. + +"Na watu wengine wawasababisha wasimtii Kristo" + diff --git a/2ti/03/14.md b/2ti/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..13dcab6b --- /dev/null +++ b/2ti/03/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Endelea katika mambo ambayo umejifunza + +" Usisahau yale uliyojifunza" + +# Maandiko matakatifu yatakayoweza kukufanya mtu mwenye hekima. + +"Neno la Mungu linakupa Hekima utayoitaka" + diff --git a/2ti/03/16.md b/2ti/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..11cf3284 --- /dev/null +++ b/2ti/03/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kila andiko limeandikwa kwa uwezo wa Mungu + +"Mungu aliyanena Maandiko yote kwa roho yake" au " Kila andiko ni pumzi ya Mungu", na kutolewa na roho wa Mungu. Mungu aliwambia watu nini waandike. + +# Lafaa. + +"yenye kutumika" au " yenye faida" + +# Kuonya. + +"kuonesha makosa" + +# Kurekebisha + +"Kusahihisha makosa" + +# Kufundisha. + +"kuwa mwenye maadili" au "kuleta katika uwezo wa kufanya kitu. + +# Mwenye uwezo dhabiti. + +"Kuwa kamili" + +# mtu wa Mungu + +Hii inamaana ya mtu yeyote anayemwamini Mungu awe mwanaume au mwanamke. + diff --git a/2ti/04/01.md b/2ti/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..50e09247 --- /dev/null +++ b/2ti/04/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi. + +Paulo aliendelea kumkumbusha Timotheo awe mwaminifu na kwamba Paulo yuko tayari kufa + +# Agizo lenye uzito + +"Agizo la muhimu" + +# Mbele za Mungu na ya Kristo Yesu + +"katika uwepo wa Mungu na Kristo Yesu" + +# walio hai na wafu + +"walio hai na wafu" imetumika hapa kuwaelezea watu wote. "Watu wote waliowai kuishi" + +# kwa sababu ya kufunuliwa kwake na Ufalme wake + +"Ufalme" inasimama kuonesha utawala wa Kristo kama Mfalme. "Atakaporejea kutawala kama mfalme" + +# Neno + +"Neno" linamaanisha ujumbe. "Ujumbe kuhusu Kristo" + +# Usiofaa + +"muda usiofaa" + +# Waambie watu dhambi zao + +Kuwaambia watu makosa yao" au "kuwaambia watu kuwa walichofanya ni makosa" + +# himiza, kwa uvumilivu wote na mafundisho + +"himiza na kufundisha watu na kuwa mvumilivu juu yao" + diff --git a/2ti/04/03.md b/2ti/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..59b6a830 --- /dev/null +++ b/2ti/04/03.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# kwa maana wakati unakuja + +"kwasababu kwa muda fulani baadaya" + +# watu + +Hali inaonyesha kuwa wale walikuwa watu wa kanisani + +# hawatachukuliana na mafundisho ya kweli + +Hii ina maana kwamba mafundisho ambayo kanisa zima kuchukulia kuwa kweli na sahihi. + +# watajitafutia waalimu wa kufundisha kile wanacho kitamani, masikio yao yatakuwa tayari kusikia kile wakipendacho. + +Maana inawezekana ikawa ni 1) kwa sababu ya tamaa zao binafsi, wao watajikusanyia karibu walimu ambao watasema nini wanataka kusikia au 2) kukusanya karibu walimu ambao wanakubaliana na tamaa zao binafsi na watasema nini wanataka kusikia. + +# masikio yao yatakuwa yametekenywa + +Hii inamaanisha kuwa watu watafurahia kusikiliza mafundisho mapya na ya tofauti. "Kwa namna hii watatafta mambo mapya na ya tofauti ya kujifunza" + +# Wataacha kusikiliza mafundisho ya kweli + +Paulo anazungumzia watu ambao hawajali tena na wala hawasikii. "hawasikilizi tena ukweli" + +# kazi ya uinjilisti + +Hii ina maana kuwaambia watu kuhusu Yesu ni nani?alifanya nini kwaajili yao? na ni kwa jinsi gani waishi kwa ajili yake? + +# Watageukia hadithi + +Paulo anazungumza na watu ambao wameanza kusikiliza hadithi. "wataanza kusikiliza hadithi ambazo si za kweli" + +# uwe mwaminifu + +Paulo anataka wasikilizaji wake kuwa na fikra sahihi kwa kila jambo na aliwaambia wakitaka kuwa waaminifu wasitumie kileo. + diff --git a/2ti/04/06.md b/2ti/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..7447d0f5 --- /dev/null +++ b/2ti/04/06.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# muda wa kuondoka kwangu umewadia + +"Karibuni nitakufa na kuiacha dunia hii", Paulo alitambua kuwa hataishi kwa muda mrefu. + +# Nimeshindana katika mashindano mema + +Hii ni michezo mfano wa mapigano, kumenyana, au ndondi. Paul amefanya kwa nguvu zake zote. Hii pia inaweza kutafsiriwa kama "Nimefanya kwa uwezo wote" au "Nilijitoa kwa nguvu zangu zote." + +# mwendo nimeumaliza + +Picha hii inaashiria kumaliza maisha kama kufikia mstari wa kumalizia mbio. "Mimi nimemalize kile ninachohitajika kufanya." + +# imani nimeilinda + +Maana inawezekana ikawa ni 1) "niimezishika mafundisho kuhusu nini tunaamini mbali na kila aina ya upotofu" au 2) "Nimekuwa mwaminifu katika kufanya huduma yangu" + +# Taji ya haki imewekwa kwa ajili yangu + +"nitapewa taji ya haki' + +# Taji ya haki + +Maana inaweze kuwa i 1) taji ni tuzo ambayo Mungu huwapa watu ambao wamekuwa wakiishi kwa njia sahihi au 2) taji ni mfano kwa ajili ya haki. Kama ambavyo hakimu wa mbio inatoa taji kwa mshindi, Paulo atakapomaliza maisha yake, Mungu atamtangaza kwamba Paulo ni mwenye haki. + +# taji + +ni shada iliyotengenezwa kwa majani ya mti (laurel) ambayo ilitolewa kwa washindi wa mashindano ya riadha + +# siku ile + +"siku ambayo Bwana atarudi tena" au "kwa siku ile Mungu atakapo wahukumu watu" + +# tayari nimekwisha kumiminwa + +Paulo anazungumzia utayari wake wa kufa akijifananisha na kikombe cha mvinyo kilivyo tayari kumiminwa kama sadaka kwa Mungu. + +# bali pia kwa wote wanaongojea kwa shauku kuonekana kwake. + +Hii inaweza kuelezewa kama tukio la wakati ujao. "lakini pia atawapa wale wangojao kwa shauku kurudi kwake" + diff --git a/2ti/04/09.md b/2ti/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..6b98af9f --- /dev/null +++ b/2ti/04/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika kufunga kwake, Paul alimtia moyo Timotheo aje kwake, anamuambia amlete Luka, anataja baadhi ya watu ambao wamejitenga na Bwana, na anatoa salamu kwa wenyeji wa pale pamoja na Timotheo. + +# kwa haraka + +"mapema iwezekanavyo" + +# kwani + +kwasababu + +# dunia ya sasa + +Maana inaweze ikana ni 1) mambo ya muda ya dunia hii, "raha na faraja ya dunia hii," au 2) hii maisha ya sasa na salama kutokana na kufa. Huenda Dema alikuwa na hofu kwamba watu wangeweza kumuua kama atakaa pamoja na Paulo. + +# Kreske alikwenda ......na Tito alikwenda + +Watu hawa wawili waliondoka na kumuacha Paul, lakini Paulo hasemi kwamba wao pia "waliupenda ulimwengu huu wa sasa" kama Dema. + +# Dema ... Kreseni ... Tito + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Dalmatia. + +Hili ni jina la mkoa + diff --git a/2ti/04/11.md b/2ti/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..92fe3fc2 --- /dev/null +++ b/2ti/04/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# yeye ni muhimu kwangu katika kazi hii + +Maana inaweza ikawa ni 1) "anaweza kunisaidia katika huduma" au 2) "anaweza kunisaidia kwa kunihudumia mimi". + +# joho + +Vazi zito linalovaliwa juu ya nguo + +# Karpo + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Vitabu + +Hii inamaanisha "gombo" Hii ni aina ya kitabu kinachoandikwa kwenye ngozi. Baada ya kuandika au kusoma gombo hukunjwa kwa kutumia fimbo mwishoni. + +# Gombo dogo + +Hii ni aina ya gombo. Hizi huwa zinatengenezwa kwa kutumia ngozi za wanyama" + diff --git a/2ti/04/14.md b/2ti/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..94903a8a --- /dev/null +++ b/2ti/04/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# alinitendea maovu mengi + +"alitenda maovu dhizi yangu" au "alinitendea mambo mabaya " + +# Bwana atamlipa kulingana na matendo yake + +"Bwana atamuadhibu kutokana na aliyoyafanya" + +# yeye, yake + +Yote haya yanamaanisha Alexanda + +# yeye alilipinga sana line neno letu + +"Alipinga kwa jitihada kubwa ujumbe wetu" au "yeye alipinga sana maneno yetu" + +# hakuna mtu yeyote aliyesimama nami, badala yake wote waliniacha + +"hakuna aliyekaa na mimi na kunisaidia, badala yake , kila mmoja aliondoka" + +# Tendo hilo lisihesabiwe dhidi yao + +"mimi sitaki Mungu awaadhibu wale waumini kwa kuniacha mimi" + +# Alekizanda + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Mfua vyuma + +"anayefanya kazi ya kutengeneza vyuma" + diff --git a/2ti/04/17.md b/2ti/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..24f2264c --- /dev/null +++ b/2ti/04/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alisimama pamoja nami + +"alisimama pamoja nami kunisaidia mimi" + +# neno linenwe kwa ukamilifu na mataifa wapate kusikia + +Maana inaweze kuwa ni 1) hii ilikuwa tayari kimeshatokea au 2) hii ilikuwa bado katika siku zijazo kwa ajili ya Paulo, "ili niweze kusema neno lake kikamilifu na hivyo watu wa mataifa yote wapate kusikia." + +# Niliokolewa katika kinywa cha simba + +Hatari hii inaweza kuwa ni ya kimwili, kiroho, au vyote viwili. Mimi niliokolewa kutoka hatari kubwa." + diff --git a/2ti/04/19.md b/2ti/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..ba3eebe9 --- /dev/null +++ b/2ti/04/19.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# nyumba ya Onesiforo + +"nyumba" inasimama kuelezea watu wanaoishi pale. "familia ya Onesiforo" + +# Onesiforo + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Erasto, Trifimo, Eubulo, Pude, Lino + +Haya ni majina ya wamaume. + +# Mileto + +Hili ni jina la mji uliopo kusini kwa Efeso. + +# Fanya hima uje + +"tengeneza njia uje" + +# kabla ya kipindi cha baridi + +"kabla ya kipindi cha baridi" + +# Pude, Lino, Claudia na ndugu wote + +"Pude, Lino, Claudia na ndugu wote wanawasalimia" + +# Claudia + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Ndugu wote + +"ndugu" inmaanisha waamini wote wanaume na wanawake. + +# Mungu awe pamoja na roho yako + +"Naomba kwamba Mungu aifanye roho yako kuwa imara" + +# Neema iwe nanyi + +"Naomba kwamba Bwana aoneshe rehema zake kwenu" + +# Neema + +"huruma yake" au "upendeleo wake" + diff --git a/3jn/01/01.md b/3jn/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..a769d8b5 --- /dev/null +++ b/3jn/01/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yohana anatuma salaam kwa Gayo + +# Maelezo ya jumla + +Hii ni barua mtu binafsi Yohana anaituma kwa Gayo. Maneno yote ya kiwakilishi cha majina yanamtaja Gayo katika umoja. + +# Mzee + +Ni kiwakilishi cha Yohana, mtume na mwanafunzi wa Yesu. Yeye mwenyewe anajiwakilisha kama "mzee" pengine kwa sababu ya umri wake au kwasababu ya uongozi wake wa kanisa. Jina la mwandishi linaweza kufupishwa: Mimi, Yohana mzee, ninaye andika. + +# Gayo + +Huyu ni mshirika mwamini ambaye Yohana anamwandikia barua hii. + +# Ambaye ninayempenda katika kweli + +"Ambaye ninampenda kweli" + +# Unaweza kufanikiwa katika mambo yote na kuwa na afya + +"Unaweza kufanya mambo yote vizuri na kuwa na afya" + +# Kama na roho yako ifanikiwavyo + +"Kama vile unavyoendelea vizuri kiroho" + +# Ndugu + +"washirika waumini" + +# dhihirisha ushuhuda wa kweli yako, kuwa unatembea katika kweli + +"aniambia kuwa unaishi kulingana na ukweli wa Mungu" + +# Wanangu + +Yohana anazungumzia wale aliowafundisha kumwamini Yesu kama vile watoto wake. Hii inauelezea upendo wake na nia yake kwa ajili yao. Inaweza pia kuwa yeye mwenyewe aliwaongoza kumjua Bwana. "Watoto wangu wa kiroho" + diff --git a/3jn/01/05.md b/3jn/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..7adbaeb0 --- /dev/null +++ b/3jn/01/05.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Kusudi la Yohana la kuandika barua hii ilikuwa kumhimiza Gayo kuwa makini katika njia aliyoianza ya kufundisha Biblia; kisha anazungumzia habari za watu wawili, mmoja mwovu na mwingine mwema. + +# Maelezo ya Jumla + +Hapa neno "sisi" linamtambulisha Yohana na wale waliokuwa pamoja naye na yawezekana linawaunganisha waumini wote. + +# Mpendwa + +Hapa inatumika kama neno la utambulisho kwa wafuasi waumini. + +# Unaenenda kwa uaminifu + +"Unatenda kwa uaminifu kwa Mungu" au "Umekuwa mtii kwa Mungu" + +# unapowahudumia ndugu na wageni + +"Kuhudumia ndugu waumini na wale usiowajua" + +# ambao wametoa ushuhuda wa upendo wako mbele ya kanisa. + +"Wageni, ambao wamewaambia waumini katika kanisa jinsi mnavyowapenda" + +# Unafanya vizuri kuwasafirisha + +"Kwa unyenyekevu ninawaomba mpate kuwasafirisha + +# Kwa sababu kwa ajili ya Jina, walienda + +Hapa Jina linamaanisha Yesu. Walienda kuwaambia watu wengine kuhusu Yesu. + +# bila kuchukua kitu chochote + +Bila kupokea zawadi au misaada + +# wa Mataifa + +Hapa watu "wa mataifa" Haimaanishi kuwa ni watu wasio Wayahudi. Inamaanisha watu wasio na tumaini kwa Yesu. + +# ili tuwe watenda kazi wenza kwa ajili ya kweli + +"Ili kwamba tutashirikiana nao kuutangaza ukweli wa Mungu kwa watu" + diff --git a/3jn/01/09.md b/3jn/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..ec9552c4 --- /dev/null +++ b/3jn/01/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Neno "sisi" linamwelezea Yohana na wele waliokuwa pamoja naye bila kumjumuisha Gayo. + +# kusanyiko + +Hapa anamtaja Gayo na kundi la waumini wanaokutana pamoja kumwabudu Mungu. + +# Diotrofe + +Alikuwa hapo awali mmoja wa kundi la waumini waliokuwa wakikusanyika + +# anayependa kuwa wa kwanza miongoni mwao + +"Aliyependa kuonekana kuwa wa muhimu sana miongoni mwao" au "ambaye alipenda kujifanya kama vile ni kiongozi wao" + +# jinsi anavyosema maneno mabaya dhidi yetu + +"Jinsi anavyonena mambo mabaya kutuhusu sisi na hakika siyo ya kweli" + +# yeye mwenyewe + +Neno "yeye mwenyewe" linamwelezea Diotrofe aliyekuwa akifanya mambo hayo. + +# hawapokei ndugu + +hataki kuwapokea ndugu waumini" + +# Hata huwakataza wengine ambao wanatamani kuwakaribisha hao + +"Anawazuia wale wanaotaka kuwakaribisha waumini" + +# na kuwafukuza watoke kwenye kusanyiko. + +"Anawalazimisha kutoka kwenye kusanyiko" + diff --git a/3jn/01/11.md b/3jn/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..09cd24af --- /dev/null +++ b/3jn/01/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hapa neno "sisi" linaelezea kuhusu Yohana na wale waliokuwa pamoja naye bila kumjumuisha Gayo. + +# Mpendwa + +Hapa inatumika kama neno la utambulisho kwa wafuasi waumini. + +# usiige kilicho kibaya + +"Usifuatishe mambo maovu ambayo watu wanayatenda" + +# bali iga kilicho chema + +"Fuatisha mambo mema ambayo watu wanayatenda" + +# ni wa Mungu + +"Yanatokana na Mungu" + +# hajamwona Mungu + +eye si mali ya Mungu" au "Hajamwamini Mungu" + +# Demetrio ameshuhudiwa na wote + +Wote ambao wanamfahamu Demetrio wanamshuhudia" au "Kila mwumini anayemjua Demetrio ananema mema kumhusu yeye" + +# Demetrio + +Huyu yawezekana kuwa ni mtu ambaye Yohana anamtaka Gayo na kusanyiko lote kumkaribisha wakati wa ziara yake. + +# na kweli yenyewe + +"Kweli yenyewe pekee inanena ukweli juu yake, kwamba ni mtu mwema" + +# sisi pia ni mashahidi + +"Sisi pia tunanena mema yahusuyo Demetrio" + diff --git a/3jn/01/13.md b/3jn/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..9e92de9b --- /dev/null +++ b/3jn/01/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Huu ni mwisho wa barua ya Yohana kwa Gayo. Anampatia mambo ya hitimisho na kuifunga kwa salaamu. + +# lakini sipendi kukuandikia kwa kalamu na wino + +Yohana hana utashi wa kuwaandikia mambo mengine yote. Hasemi kwamba kwamba angewaandikia mambo fulani zaidi ya kalamu na wino. + +# ana kwa ana + +"Kwa pamoja" au "kwa mmoja mmoja" + +# Amani iwe pamoja nawe + +"Mungu aweza kukupa amani" + +# Marafiki wanakusalimu + +"Marafiki hapa wanakusalimu + +# marafiki + +"Rafiki zako" au "Waumini wenzako" + diff --git a/act/01/01.md b/act/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..6b40a0d2 --- /dev/null +++ b/act/01/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi. + +Luka anaelezea ni kwasababu gani anamwandikia Theofilo + +# Kitabu cha zamani nilikiandika + +Kitabu cha zamani ni Injili ya Luka. + +# Theofilo + +Luka aliandika kitabu hiki kwa mtu anayeitwa Theofilo. Baadhi ya watafsiri hufuata mfumo wa tamaduni zao za kuelezea barua na huandika "Mpendwa Theofilo" mwanzoni mwa sentensi. Theofilo humaanisha "rafiki wa Mungu. + +# Mpaka siku alipopokelewa juu + +Hii inarejesha kwenye kupaa kwa Yesu mbinguni + +# Amri kupitia kwa Roho Mtakatifu + +Roho Mtakatifu alimwongoza Yesu kuwaelekeza mitume wake juu ya vitu fulani. + +# Baada ya kuteswa kwake + +Hii inahusu mateso ya Yesu na kifo chake msalabani. + +# Alijidhihirisha Yeye mwenyewe akiwa hai + +Yesu alionekana kwa mitume wake na kwa wanafunzi wengi wengine. + diff --git a/act/01/04.md b/act/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..9958526a --- /dev/null +++ b/act/01/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Tukio hili lilitukia wakati wa siku arobaini ambazo Yesu alionekana kwao baada ya Yeye kufufuka toka katika wafu. + +# Alipokuwa akikutana pamoja nao + +Wakati Yesu alipokutana pamoja na mitume wake. + +# Ahadi ya Baba + +Roho Mtakatifu ambaye Baba aliahidi kumtuma. + +# ambayo, alisema + +Roho Mtakatifu ambaye Yesu alisema habari zake. + +# Yohana alibatiza kabisa kwa maji, + +Yesu anatofautisha ubatizo wa Yohana wa maji, na ule ubatizo wa Mungu ambao utakuwa ni wa Roho Mtakatifu. + +# Yohana alibatiza kwa maji kabisa + +"Yohana hasa alibatiza watu kwa maji" + +# ninyi mtabatizwa + +"Mungu atawabatiza ninyi" + diff --git a/act/01/06.md b/act/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..f2033c3a --- /dev/null +++ b/act/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# huu ni wakati wa utakaorudisha ufalme kwa Israeli + +"Sasa Utafanya Israeli taifa lenye nguvu tena?" + +# nyakati au majira + +"nyakati au tarehe" + +# mtapokea nguvu... na mtakuwa mashahidi wangu + +Mitume watapokea nguvuitakayowasaidia kumshuhudia Yesu. "Mungu atawatia nguvi... kuwa mashahidi wake. + +# hadi miisho ya nchi + +"kote duniani" au" mpaka sehemu za mbali sana za dunia" + diff --git a/act/01/09.md b/act/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..57fd0a22 --- /dev/null +++ b/act/01/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakiwa wanatazama juu + +"mitume wakiwa wanaangalia juu mawinguni" wakati Yesu akiinuliwa na mawingu kwenda juu. + +# Yeye aliinuliwa juu + +Mungu alimwinua juu ya anga + +# wingu likamficha toka katika macho yao + +" na wingu liliwazuia kumwona hivyo wasingelimwona tena" + +# kuangalia kwa makini mbinguni + +"Kutazama mawinguni" au "kukaza macho kwenye mawingu" + +# Ninyi wanaume wa Galilaya + +Malaika anazungumza na mitume kama watu waliotoka Galilaya. + +# atarudi kwa namna ile ile + +Yesu atarudi katika mawingu , kama ilivyokuwa wakati wa kupaa kwake kwenda mbinguni. + diff --git a/act/01/12.md b/act/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..7dad25dc --- /dev/null +++ b/act/01/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ndipo wao wakarudi + +"Mitume wakarudi" + +# mwendo wa siku ya sabato + +Hii inaelezea umbali ambao kutokana na desturi za walimu wa sheria wa kiyahudi, mtu aliruhusiwa kutembea mwendo wa sabato ambao yapata kilomita moja hivi. + +# Walipowasiri + +"Walipofika mwisho wa safari yao. Mstari wa 12 unasema, "Ndipo wakarudi Yerusalemu kutoka kwenye mlima wa mizeituni" + +# chumba cha juu + +"chumba ambacho kipo juu kwenye nyumba" + +# Walikuwa wameungana kama mtu mmoja + +Kikundi kiliungana na hakikuwa na mgawanyiko au migongano. + +# wakiwa na juhudi wakiendelea katika kuomba + +Wanafunzi waliomba kwa pamoja kwa kawaida na mara kwa mara. + diff --git a/act/01/15.md b/act/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..8dccb88d --- /dev/null +++ b/act/01/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Tukio hili lilitukia wakati Petro na waumini wengine walikuwa pamoja katika chumba cha juu. + +# Katika siku zile + +Maneno haya yanaashiria mwanzo mpya wa historia. Yanaelezea kipindi baada ya Yesu kupaa na wakati wanafunzi wakiwa katika chumba cha juu wamekutanika kuomba. + +# katikati ya ndugu + +Neno "ndugu" Linaelezea ndugu waumini likiunganisha wanawake kwa wanaume. + +# ilikuwa lazima kwamba maandiko yatimizwe + +Yale mambo tunayoyasoma katika maandiko lazima yatimizwe + +# kwa kinywa cha Daudi + +Neno "kinywa" Linaelezea yale maneno aliyoyasema Daudi. + diff --git a/act/01/17.md b/act/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..3ce1c4e5 --- /dev/null +++ b/act/01/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika mstari 17 Petro anaendelea na hotuba yake kwa waumini. + +# Maelezo ya Jumla: + +Ingawa Petro anaongea na kundi lote la waumini waliokuwa chumba cha juu, lakini neno "sisi" analitumia kwa kuwataja mitume pekee waliotembea, kuketi, kuongea na Yesu tangu mwanzo wa huduma yake hadi kupaa kwake mbinguni. + +# Sasa mtu huyu + +Neno "mtu huyu" linaelezea juu ya Yuda Iskariote. + +# alichokipokea kwa uovu wake + +"pesa alizopokea ni malipo ya ya uovu alioufanya" + +# hapo alianguka akitanguliza kichwa, mwili ukapasuka na matumbo yake yote yakawa wazi yakamwagika. + +Kuanguka kwa Yuda kulisababisha mwili wake kupasuka na matumbo kumwagika. + +# shamba la damu. + +Watu waliokuwa wakiishi Yerusalemu waliposikia habari za Yuda na kifo chake, wakaliita jina lile shamba lililonunuliwa kwa fedha hizo kuwa ni shamba la damu. + diff --git a/act/01/20.md b/act/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..f55af71b --- /dev/null +++ b/act/01/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi: + +Petro anaendeleza hotuba yake kwa waumini ambayo alikuwa ameianza. + +# Maelezo ya Jumla: + +Ujumbe wake unasimulia vile Yuda alivyotenda akiunganisha na unabii wa maandiko, Petro anarejea ujumbe katika kitabu cha Zaburi kwamba anaamini inahusiana na tukio hilo. + +# Kwa sababu imeandikwa katika Kitabu cha Zaburi + +Petro anathibitisha kuwa, "Daudi aliandika katika kitabu cha Zaburi". + +# 'Ngoja eneo lake liwe hame na isiruhusiwe hata mmoja kuishi pale + +Ni hali ya eneo kuachwa ukiwa kutokana na chanzo cha historia yake. + +# na isiruhusiwe hata mtu mmoja kuishi pale + +Kiwanja ni najisi (mwiko/haramu) au haifai kuishi juu yake. + +# Ngoja mtu mwingine achukue nafasi yake ya uongozi + +"Anaweza akarithiwa katika nafasi ya uongozi" + diff --git a/act/01/21.md b/act/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..8976e2ac --- /dev/null +++ b/act/01/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Petro anamaliza hotuba yake kwa waumini aliyoianza + +# Maelezo ya jumla + +Neno "sisi" Petro analitumia akimaanisha mitume na siyo waumini wote. + +# lazima awe shahidi wa ufufuo pamoja nasi + +Petro anawaambia mtu atakayechukua nafasi awe na sifa hizo. + +# watu walioabatana nasi ... mmoja wao hao lazima awe shahidi pamoja nasi wa kufufuka kwake + +Petro anafafanua sifa kwaajili ya mtu ambaye atamrithi Yuda kama mtume. + +# Wakaweka mbele watu wawili + +Walipendekeza majina ya watu wawili waliokuwa na sifa sawa na hotuba ya Petro. + +# Yusufu aliyeitwa Barsaba, ambaye pia aliitwa Yusto + +Yusufu pia alijulikana kwa majina Barsaba na Yusto alitwaa nafasi iliyokuwa imeachwa wazi na Yuda Iskariote. + diff --git a/act/01/24.md b/act/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..5c51be07 --- /dev/null +++ b/act/01/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Waliomba wakisema + +"Ndipo waumini waliomba" Inamaanisha wote waliokuwemo chumba cha juu waliomba, pengine kwa kuongozwa na mtume mmoja. + +# Wewe, Bwana, wajua mioyo ya watu wote + +"Bwana, Wewe wajua msukumo wa ndani na mawazo ya kila mmoja" + +# hivyo funua yupi kati ya hawa wawili ndiye uliye mteua kuchukua nafasi katika huduma hii ya kitume + +"Kwa sababu hiyo, Mungu, tuoneshe sisi yupi kwenye watu hawa wawili umemteua kujaza nafasi hii wazi katika matume" + +# Kutokana na Yuda kukosea na kwenda njia yake mwenyewe + +Nafasi iliachwa wazi sababu Yuda alimsaliti Yesu, aliondoka, na akafa. + +# Wakawapigia kura + +Walitumia kura kuamua kati ya Yusufu na Mathiasi + +# Kura ikamwangukia Mathiasi + +Kura iliashiria kwamba Mathiasi alikuwa amechaguliwa kuchukua nafasi ya Yuda + +# Alihesabiwa pamoja na mtume kumi na mmoja + +"wanafunzi walimchukulia kuwa ni mmoja wa mitume" + diff --git a/act/02/01.md b/act/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..a8225add --- /dev/null +++ b/act/02/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hili ni tukio jipya; hii sasa ni siku ya Pentekoste, siku 50 baada ya pasaka. + +# Maelezo ya jumla + +Neno "wao" huenda linarejea kwenye kundi la mitume na waumini wengine 120 ambao walikuwa pamoja katika. Luka 1:15 ametaja vile. + +# Ghafla + +Neno hili linatumika hapa kuonesha tukio lililotokea pasipo kutegemea. + +# hapo ikaja sauti kutokea mbinguni + +"kelele ilitokea mawinguni mahali pa makao ya Mungu" + +# Sauti kama uvumi wa nguvu wa upepo + +"kama uvumi wa upepo wa nguvu sana" au kama mvumo wa nguvu" + +# Nyumba yote + +Hii inaweza ikawa nyumba au jengo kubwa. + +# Kulionekana kwao ndimi kamaza moto + +Hizi si ndimi hasa au moto 1) ndimi zilizoonekana kama za moto au 2) mwale mdogo wa moto ulioonekana kama ndimi wakati unawaka katika sehemu ndogo, kama vile chemli , mwale unaweza ukajitengeneza kama ulimi. + +# Wote walijazwa na Roho Mtakatifu + +Hii inaweza kutafsiriwa kama kitenzi tendaji. Roho Mtakatifu aliwajaze wote waliokuwa kwenye hicho chumba. + diff --git a/act/02/05.md b/act/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..74dd3a70 --- /dev/null +++ b/act/02/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mstari wa 5 unatoa taarifa ya nyuma kuhusu idadi kubwa ya wayahudi ambao walikuwa wanaishi Yerusalemu, wengi wao walikuwapo wakati wa tukio hili. + +# Maelezo ya jumla + +Hapa neno "wao" linajumuisha waumini na neno "yake" linataja kila mtu katika kundi. + +# watu wa Mungu + +watu waliotaka kuheshimu na au kumwabudu Mungu + +# kila taifa chini ya mbingu + +"kila taifa duniani" Watu kutoka mataifa mbalimbali walikuwa wamekuja Yerusalemu. + +# Wakati sauti hii iliposikika + +Hii inarejea sauti ambayo ilikuwa kama upepo wa nguvu kuwa: "Waliposikia sauti hii" + +# Mkusanyiko + +"kundi kubwa la watu" + +# Walishangaa kwa mshangao mkuu + +Maneno haya yana maana moha. Mshangao wao ulikuwa mkuu sana. + +# Kweli, hawa wote wanaoongea siyo Wagalilaya? + +Watu waliuliza swali wakionyesha mshangao wao kuwa hawa ni wa eneo moja na lugha yao ni moja iweje waongee na lugha za mataifa yetu? + diff --git a/act/02/08.md b/act/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..5f07f8a1 --- /dev/null +++ b/act/02/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini sisi tunawasikia, kila mmoja katika lugha tulizozaliwa nazo? + +Inawezekana ikamaanisha 1) ni swali halisi ambalo watu walihitaji jibu lake kutokana na mshangao wao au 2) swali lisilohitaji jibu lililodhihirisha jinsi walivyoshangaa. + +# Waparthi ... Waelamu + +Hii inaorodhesha baadhi ya mataifa, mikoa na miji ambayo watu walitoka. + +# Wabadili dini kufuata desturi za kiyahudi + +"watu wasio Wayahudi ambao wamekuwa Wayahudi" au "waliogeukia dini ya Kiyahudi" + diff --git a/act/02/12.md b/act/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..8d5030cf --- /dev/null +++ b/act/02/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wameduwaa na kutatanishwa; + +Watu hawakujua nini cha kufikiri kuhusu kilichokuwa kinatokea. "shangazwa na kuchanganyikiwa." + +# Hawa wamejazwa kwa mvinyo mpya." + +Baadhi ya watu waliwatuhumu waumini kwa kile kilichotokea wakidai wamelewa na mvinyo. + +# mvinyo mpya + +Linaelezea mvinyo unaoandaliwa kuwa na nguvu kuliko mvinyo ya kawaida + diff --git a/act/02/14.md b/act/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..07b32e60 --- /dev/null +++ b/act/02/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Petro anaanza kuwasilisha hotuba yake kwa Wayahudi siku ya Pentekoste. + +# alisimama pamoja na wale kumi na mmoja + +Mitume wote walisimama kuunga mkono hoja ya Petro + +# hili lijulikane kwenu, sikilizeni kwa makini + +Petro anaelezea tukio ambalo watu wamelishuhudia likiendelea. Wamsikilize kwa makini + +# saa hizi ni asubuhi saa tatu. + +"saa tatu za asubuhi. Petro anawafikirisha wasikilizaji wajue kuwa watu hawanyi wala hawalewi muda huo wa mapema katika siku. + diff --git a/act/02/16.md b/act/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..f94d948e --- /dev/null +++ b/act/02/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Petro anaendelea na hotuba yake kwa Wayahudi akiwakumbusha unabii wa nabii Yoeli katika Agano la Kale kwamba tukio hilo linalingana na utabiri huo. + +# Hiki ndicho kilichosemwa kupitia nabii Joeli + +"hiki ni kile ambacho Mungu alisema na alimwabia Nabii Yoeli aandike mambo ambayo Mungu alikwishasema" + +# kumimina Roho wangu juu ya miili yote + +Hii ni tamathali ya usemi ikizungumzia jinsi Mungu siku za mwisho atamtoa Roho Mtakatifu kwa wingi kwa watu wote. + diff --git a/act/02/18.md b/act/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..dcaa6bbf --- /dev/null +++ b/act/02/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anaendelea kumnukuu nabii Joeli. + +# watumishi wangu na watumishi wangu wa kike + +Wote waume kwa wake ni watumishi. Mungu atamwaga Roho wake kwa watumishi wake wote kwa wanaume na kwa wake. + +# Nitammimina Roho wangu + +Mungu anamtoa Roho wake kwa ukarimu kwa watu wote. + +# toa unabii + +Mungu anawatia msukumo kuizungumza kweli ya Mungu. + +# mafusho ya moshi. + +"umande" au "ukungu" + diff --git a/act/02/20.md b/act/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..fe3e6c93 --- /dev/null +++ b/act/02/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anahitimisha kumnukuu nabii Joeli. + +# Jua litageuzwa kuwa giza + +Inamaanisha kwamba, jua litaonekana kuwa jeusi badala ya kutoa nuru. + +# na mwezi kuwa damu + +Inamaanisha kwamba, mwezi utaonekana mwekundu kama damu. + +# Ya ajabu + +"Si ya kawaida" au "muhimu" + +# kila mmoja ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka + +"Bwana atamwokoa kila mmoja ambaye anamwita" + diff --git a/act/02/22.md b/act/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..1f8302a9 --- /dev/null +++ b/act/02/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganisha + +Petro anaendelea na hoja yake kwa Wayahudi aliyoianza + +# sikieni maneno haya + +"Sikilizeni kwa yale ninayotaka kuwaambia" + +# aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara + +Inamaanisha Mungu anathibitisha kuwa alimchagua Yesu kwa huduma yake ya kudhihirisha matendo makuu ya miujiza. + +# mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu + +"Mtu ambaye Mungu alimdhibitisha kwenu" + +# Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu + +Inamaanisha kuwa, Mungu alipanga na kujua tangu zamani kwamba yangetokea nyakati za Yesu + +# ambaye Mungu alimwinua + +Maana yaweza kuwa: 1) "Mlimtia Yesu katika mikono ya maadui" au 2) Yuda alimsaliti Yesu kwenu" + +# kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua + +Ingawa watu wahalifu kweli walimsulibisha Yesu, hapa Petro anawashitaki kundi lote kwa kumwua kwasababu walikuwa wamekusudia Yesu auawe. + +# akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo. + +etro anazungumzia kifo kama mfano wa binadamu anayeshikilia wafungwa hara kusababisha mateso makali. + diff --git a/act/02/25.md b/act/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..e6ccc803 --- /dev/null +++ b/act/02/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Petro ananukuu kifungu ambacho Daudi alikiandika katika Zaburi kinachotaja kuteswa kwa Yesu na kufufuka kwake. + +# Maelezo ya jumla + +Tangu Petro ataje kwamba Daudi alitangulia kusema maneno kuhusu Yesu, maneno "Mimi na Yangu" yanamtambulisha Yesu. Na maneno Bwana na Yeye" yanamtambulisha Mungu. + +# mbele ya uso wangu + +Linamaanisha, "Mbele yangu au mbele ya uwepo wangu" + +# pembeni mkono wangu wa kulia + +Mkono wa kulia ulifikiriwa kuwa ni wa nguvu sana. Mtu aliye mkono wa kuume alikuwa ama mtumishi mwenye nguvu sana au msaidizi mwenye uwezo sana. + +# moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulishangilia. + +NI: "Nilikwa na furaha na kushangilia" + +# mwili wangu utaishi katika ujasiri + +"Ingawa hata mimi ni wa kufa tu, nitakuwa na ujasiri kwa Mungu" + diff --git a/act/02/27.md b/act/02/27.md new file mode 100644 index 00000000..752d99f8 --- /dev/null +++ b/act/02/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anamaliza nukuu ya Daudi. + +# Maelezo ya jumla + +Petro anasema, Daudi alisema maneno kuwa Mtakatifu wangu akimaanisha Yesu na maneno "wako" akimaanisha Mungu. + +# wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo + +Mwili wake Masihi hautabaki maiti muda mrefu mpaka uoze. au "kuchakaa" + +# njia za maisha + +"kweli yenye-kuhuisha" + +# nijae furaha mbele ya uso wako.' + +Neno "Uso" anamaanisha uwepo wa Mungu. + +# furaha + +"Shangwe au Kicheko" + diff --git a/act/02/29.md b/act/02/29.md new file mode 100644 index 00000000..120f7dbe --- /dev/null +++ b/act/02/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anaendelea na hotuba yake aliyoianzisha kwa Wayahudi wanaomzunguka na kwa waumini wengine wa Yerusalemu. + +# yeye alikufa na akazikwa + +"He died and people buried him" + +# kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi + +"Mungu angemtuma mmoja wa uzao wa Daudi juu ya kiti cha enzi cha Daudi" + +# Aliliona hili mapema + +Mungu alijua hata kabla lilikuwa halijatokea. + +# wala alikuwa hakuachwa kuzimu + +Mungu hakumwacha Yesu kuzimu. + +# wala mwili wake haukuoza.' + +Mwili kuoza kunamaanisha kuteketea baada ya kifo. hivyo Mungu hakumwacha Yesu muda ambao hatA mwili wake uteketee. + diff --git a/act/02/32.md b/act/02/32.md new file mode 100644 index 00000000..a77a454d --- /dev/null +++ b/act/02/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Neni "sisi" linaelezea wanafunzi na wale wotewaliokuwa mashahidi wa kufufuka kwa Yesu baada ya kifo chake. + +# Mungu alimfufua + +Neno "alimfufua" Linaelezea kuwa Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu. + +# akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu + +Mungu alimwinia Yesu juu katika mkono wake wa kuume. + +# yeye amemimina hii ahadi, + +Neno "mimina" lina maana Yesu ambaye ni Mungu amefanya tukio hili litokee la kumtoa Roho Mtakatifu kwa waumini. + diff --git a/act/02/34.md b/act/02/34.md new file mode 100644 index 00000000..07205184 --- /dev/null +++ b/act/02/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anamaliza hotuba yake kwa Wayahudi aliyoianza + +# Maelezo ya jumla + +Petro tena ananukuu moja ya Zaburi za Daudi. Daudi hazungumzi kwa nafsi yake mwenyewe katika zaburi hii bali anazungumzia juu ya Yasu Masihi. + +# mpaka nitakapowafanya adui zako kigoda kwa ajili ya miguu yako + +Inamaanisha Mungu atafanya ushindi mkamilifu wa maadui wa Masihi na kuwaweka chini yake. + +# nyumba yote ya Israeli + +Inamaanisha taifa zima la Israeli. + diff --git a/act/02/37.md b/act/02/37.md new file mode 100644 index 00000000..fc1f5698 --- /dev/null +++ b/act/02/37.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Wayahudi wanaitikia hotuba ya Petro na Petro anawajibu. + +# waliposikia hivyo + +"wakati watu waliposikia Petro akisema" + +# wakachomwa katika mioyo yao + +"Maneno ya Petro yaliwachoma mioyo yao" au "kusikia hatia moyoni na kujawa na huzuni" + +# kubatizwa + +"Turuhusu tupate kubatizwa" + +# Ni ahadi kwaajili yako + +"Ahadi ni kwaajili yako" + +# wale wote walioko mbali + +"WAtu wote waliombali na Mungu mioyoni mwao. + diff --git a/act/02/40.md b/act/02/40.md new file mode 100644 index 00000000..521cddca --- /dev/null +++ b/act/02/40.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwisho wa sehemu ya habari kwa tukio la siku ya Pentekoste. Inaanza sehemu nyingine inayoelezea jinsi gani waumini waliendelea kuishi baada ya siku ya Pentekoste. + +# alishuhudia na kuwasihi + +"Aliwaambia waziwazi na kuwasihi waitikie kwa ujumbe alioutoa kwao. + +# Jiokoeni mtoke katika kizazi hiki kiovu + +Wajiokoe kutoka katika adhabu ya Mungu itakayowapata watu waovu. + +# wakayapokea maneno yake + +Inamaanisha wakayapokea maneno aliyoyasema Petro kuwa yalikuwa ya kweli. + +# Walibatizwa + +Wote walioamini walibatizwa. + +# hapo wakaongezeka katika siku hiyo kama watu elfu tatu + +"watu wapatao elfu tatu waliongezeka" + +# katika kuumega mkate + +Walishiriki na kula chakula kwa pamoja + diff --git a/act/02/43.md b/act/02/43.md new file mode 100644 index 00000000..fed4969d --- /dev/null +++ b/act/02/43.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hofu ikaja juu ya kila nafsi + +watu walijawa na hofu na kicho cha Mungu ndani yao + +# maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume + +Mungu alifanya miujiza na ishara nyingi kupitia wanafunzi wake. + +# wote walikuwa pamoja + +Inaweza kuwa, "wote waliamini jambo hilo moja" au " waumini wote walioamini walikuwa pamona katika sehemu moja" + +# walikuwa na vitu vyote kwa ushirikiano + +"walitumia mali zao kwa kumgawia kila mmoja na mwenzake" + +# mali walizo miliki + +Mashamba na vitu vingine vilivyokuwa wanavimiliki. + +# kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja. + +Kila mmoja aligawiwa kulingana na uhitaji wake. + diff --git a/act/02/46.md b/act/02/46.md new file mode 100644 index 00000000..dc19b10c --- /dev/null +++ b/act/02/46.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# waliendelea wakiwa na lengo moja + +Waumini waliendelea kukutana pamoja, kwa kusudi moja. + +# walimega mkate kwenye nyumba zao + +walishirikiana kula chakula chao katika nyumba zao na pia kula chakula cha Bwana kwa pamoja. + +# kwa furaha na unyenyekevu wa moyo + +Hii inamaana bila kiburi, kwa furaha, bila choyo na bila kuangalia cheo au upendeleo. + +# wakiwa na kibali na watu wote + +"Watu wote waliwakubali" + +# ambao walikuwa wakiokolewa + +Ambao Bwana alikuwa akiwaokoa + diff --git a/act/03/01.md b/act/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..7fafeeb9 --- /dev/null +++ b/act/03/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Siku moja; Petro na Yohana wanakwenda hekaluni + +# Maelezo ya jumla + +Mstari wa 2 unatoa mazingira juu ya mtu aliyekuwa kiwete. + +# ndani ya hekalu + +"katika eneo la hekalu" au "katika hekalu." walikuwa hawakuenda ndani ya jengo la hekalu ambamo makuhani waliotumika tu ndio walikuwa wanaruhusiwa. + +# Mtu fulani, kiwete tangu kuzaliwa, alikuwa akibebwa kila siku na alikuwa akilazwa katika mlango wa hekalu. + +Kila siku watu walikuwa wakimbeba mtu huyo na kumlaza karibu na mlango wa hekalu. + +# Kiwete + +Asiyeweza kutembea + +# mlango wa hekalu ulioitwa mzuri + +Mlango wa hekalu uliokuwa ukiitwa mzuri. + diff --git a/act/03/04.md b/act/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..21a39303 --- /dev/null +++ b/act/03/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Petro, akimkazia macho + +"Petro na Yohana walimwangalia mtu huyo kwa makini na Petro akaongea" + +# Kiwete akawaangalia + +"kiwete aliwatazama Petro na Yohana kwa makini" + +# Fedha au dhahabu + +Fedha au dhahabu ilitimika kuwakilisha pesa. + +# kile nilichonacho + +Inafahamika kuwa Petro alikuwa na uwezo wa kumponya yule mtu. + +# katika jina la Yesu Kristo + +"Kupitia mamlaka na nguvu ya Jina la Yesu Kristo" lilimponya mtu yule. + diff --git a/act/03/07.md b/act/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..ec5dadbb --- /dev/null +++ b/act/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# aliingia ... katika hekalu + +Hakuingia ndani ya hekalu mahali makuhani pekee wanaruhusiwa kuingia. Yeye aliingia kwenye uwanda wa hekalu + diff --git a/act/03/09.md b/act/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..630aa6f3 --- /dev/null +++ b/act/03/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakatambua kwamba alikuwa ni yule mtu + +Kila mmoja alishuhudia kuwa aliyeponywa ndiye alikuwa mtu yule. + +# Lango la uzuri + +Hili lilikuwa moja ya jina la milango ya kuingia kwenye eneo la hekalu. + +# walijawa na mshangao na kustaajabu + +Watu walishikwa na mshangao mkubwa. + diff --git a/act/03/11.md b/act/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..a6bc9cf6 --- /dev/null +++ b/act/03/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya kuponywa kwa mtu aliyekuwa hawezi kutembea, Petro anaongea na umati. + +# Maelezo ya jumla + +Katika ukumbi uluokuwa ukiitwa Solomoni. Hapa iko wazi kuwa Petro alitumia eneo hili kutoa hotuba yake, haikuwa ndani ya hekalu ambamo ni makuhani tu walioruhusiwa kuingia. + +# maajabu makuu + +"kujawa na mshangao" au "Kaduwaa" + +# Wakati Petro alipoona hiki + +"Petro alipoona mkutano unaongezeka na kuzidi kushangaa. + +# Ninyi watu wa Israeli + +"Waisraeli wenzangu". Petro akizungumza na mkutano. Neno "watu" katika mkutadha huu inahusisha kila mmoja aliyepo. + +# kwa nini mnashangaa? + +Petro anauliza swali hili ili kuwaambia watu wasishanganzwe na kile kimetokea. + +# Kwa nini mnayaelekeza macho yenu kwetu, kama kwamba tumemfanya huyu atembee kwa nguvu zetu wenyewe au uchaji wetu? + +Petro anawauliza swali hili ili kuwathibitishia kuwa tukio hilo halikutendwa na wao yaani Petro na Yohana, hivyov wasiwatazame wao kama ndiyo waliomponya yule kiwete. + diff --git a/act/03/13.md b/act/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..45d92001 --- /dev/null +++ b/act/03/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anaendelea na hotuba yake kwa Wayahudi aliyoianza + +# ambaye mlimkabidhi + +"ambaye mlimkamata na kumkabidhi kwa Pilato" + +# na kumkataa mbele ya uso wa Pilato + +"yeye mlimkataa mbele ya Pilato " + +# yeye alipoamua kumweka huru + +"Pilato alipoamua kumweka Yesu huru" + +# badala yake mkataka muuaji aachwe huru. + +"Mlimtaka Pilato amfungulie muuaji" + diff --git a/act/03/15.md b/act/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..ae01b61c --- /dev/null +++ b/act/03/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Neno "sisi" linawajumuisha Petro na Yohana. + +# Mfalme wa uzima + +Neno hili linamtaja Yesu "Ni mmoja awapaye watu uzima wa milele au "Mtawala wa maisha" + +# Sasa + +Neno hili lilitumika kuhamisha usikivu wa mkutano kwa yule kiwete + +# kwa imani katika jina lake + +Kiwakilishi "Jina" ni jina la Yesu. + +# amempatia mtu huyu nguvu + +"amemfanya mtu huyu nguvu ya kupona" + diff --git a/act/03/17.md b/act/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..82d98f13 --- /dev/null +++ b/act/03/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa + +Hapa Petro anageuza usikivu wa mkutano kutoka kwa kiwete na anaendelea kuwaambia moja kwa moja. + +# kwamba mlitenda katika ujinga + +Maana inayowezekana 1) Hao watu hawakujua kuwa Yesu alikuwa Masihi au 2) Watu hawakujua maana ya kile walichokuwa wakifanya. + +# Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote + +Manabii waliponena, ilikuwa kama Mungu mwenyewe aliyenena kwasababu aliwaambia nini cha kusema. + +# kwa mdomo wa manabii wote + +Inamaanisha yale yote yaliyonenwa "kupitia manabii" na kuyaandika. + diff --git a/act/03/19.md b/act/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..97a439a6 --- /dev/null +++ b/act/03/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tubuni ... na kugeuka + +"Kutubu na kugeuka kunamaanisha kubadirisha njia ya mtazamo na fikra zao kutoka katika dhambi na wamgeukie Mungu" + +# ili kwamba dhambi zenu ziweze kuondolewa kabisa + +"kufuta" au "iliyoondolewa" ili Mungu aweze kuzifuta dhambi zao. + +# kusudi zije nyakati za kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana + +"Muda wa kuburudishwa katika uwepo wa Bwana inaweza kuwa; 1) Muda ambao Mungu anaziimarisha roho za watu wake; 2) Muda ambao Mungu analeta uamsho kwenu. + +# kwamba aweze kumtuma Kristo + +"Kwamba anaweza tena kumtuma Kristo". Huu ni ujio mwingine wa Yesu Kristo. + +# ambaye ameshateuliwa kwa ajili yenu + +Mungu alishamteua Yesu kwa ajili yao. + diff --git a/act/03/21.md b/act/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..ca83d50f --- /dev/null +++ b/act/03/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi ungaishi: + +Petro anaendelea na hotuba yake kwa Wayahudi waliokuwa wamesimama kwenye eneo la hekalu. + +# Maelezo ya Jumla + +Katika mistari ya 22-23 Petro ananukuu mambo fulani Musa alisema mapema kuhusu Masihi. + +# mbingu lazima zipokee + +Ni mmoja ambaye mbingu lazima zimpokee. Petro anazungumza na mbingu kama anaongea na mtu aliyempokea Yesu nyumbani mwake. + +# mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote + +"hadi wakati ambao Mungu atarejesha vitu vyote" + +# ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu + +"Mungu aliwaambia watakatifu wake manabii kuzungumzia habari zao" + +# manabii watakatifu ambao wamekuwapo tangu zamani za kale + +"manabii wake watakatifu ambao waliishi zamani sana" + +# atainua nabii + +"atateua mmoja kuwa nabii" + +# Itatokea kwamba kila mtu ambaye hasikilizi kwa nabii huyo ataangamizwa kabisa + +mtu asiyemsikiliza Nabii ambaye Mungu amemtuma atamwangamiza kabisa. + diff --git a/act/03/24.md b/act/03/24.md new file mode 100644 index 00000000..87abc141 --- /dev/null +++ b/act/03/24.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anahitimisha hotuba yake kwa Wayahudi aliyoianza + +# Ndiyo, na manabii wote + +"Ni dhahili manabii wote" Neno hapa "ndiyo" linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata. + +# tokea Samweli na wale waliofuata baada yake + +"wale manabii ambao walifuata baada ya uhai wa samweli" + +# siku hizi + +"siku hizi" au "mambo ambayo yanatokea sasa" + +# Ninyi ni wana wa manabii na wa agano + +"ninyi ni warithi wa manabii" na "ninyi ni warithi wa agano." + +# katika mbegu yako + +"kwasababu ya uzao wako" + +# familia zote za dunia zitabarikiwa.' + +Anamaanisha mataifa mbalimbali yatabarikiwa kwa ajili yake. + +# Baada ya Mungu kumwinua mtumishi wake, + +"Baada ya Mungu kumchagua mtumishi wake" au "Baada ya Mungu kutoa mamlaka kwa mtumishi wake" + +# mtumishi wake + +Hii inarejea kwa Masihi wa Mungu, Yesu. + diff --git a/act/04/01.md b/act/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..dda32d4b --- /dev/null +++ b/act/04/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Viongozi wa dini walimkamata Petro na Yohana baada ya Petro kumponya yule mtu aliyezaliwa kiwete. + +# wakaja kwao + +"waliwasogelea" au "walikuja kwao" + +# Walikuwa wameudhika sana + +Walikuwa na hasira. Masadukayo kwa upekee wao wangekuwa na hasira kwa Petro na Yohana kwasababu hawakuamini ufufuo. + +# walikuwa wanawafundisha watu kuhusu Yesu na kutangaza juu ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu + +Petro na Yohana walikuwa wakisema Mungu angewainua watu kutoka mautini sawa na vile Yesu alivyoinuliwa kutoka miongoni mwa wafu. Petro anazungumzia ufufuo wa Yesu na ufufuo wa watu wote kwa ujumla. + +# Waliwakamata + +Makuhani na mlinzi wa hekalu pamoja na Masadukayo waliwakamata Petro na Yohana. + +# Kwavile ilikuwa jioni sasa + +Ilikuwa tendo la kawaida kutowahoji watu wakati wa usiku. + +# na idadi ya wanaume waliokuwa wameamini + +Hii inamanisha kwa idadi ya wanaume tu, wanawake na watoto walioamini hawakuhesabiwa. + +# Walikuwa yapata elfu tano + +"walikuwa kama elfu tano" au "iliongezeka hadi elfu tano" + diff --git a/act/04/05.md b/act/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..97e310a5 --- /dev/null +++ b/act/04/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro na Yohana wanajibu swali wa viongozi bila ya kuwa na woga. + +# Maelezo ya jumla + +Neno "wao" linafafanua juu ya Wayahydi kwa ujumla wao. + +# Hata ilipofika asubuhi siku iliyofuata, kwamba + +Kipengere hiki kilitumika hapa kuonyesha tukio lilipoanzia. + +# wakuu wao, wazee na waandishi + +Hii ni rejea kwa Sanhendrini, mahakama ya wazee wa kiyahudi kilichounganisha makundi haya matatu ya wayahudi. + +# Yohana, na Alexander + +Wanaume hawa wawili walikuwa wajumbe wa familia ya Kuhani mkuu. Huyu siye yule Yohana Mtume. + +# Kwa nguvu gani + +"nani aliyewapa nguvu" au "kitu gani kiliwapa nguvu." Walijua Petro na Yohana wasingemponya mtu kwa nguvu zao wenyewe. + +# Kwa jina gani + +"ni nani aliyewapa mamlaka" + diff --git a/act/04/08.md b/act/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..b1df7208 --- /dev/null +++ b/act/04/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha, Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu + +Roho Mtakatifu akiwa amemjaza Petro. + +# kama sisi siku ya leo tunahojiwa kuhusu tendo jema lililofanywa kwa mtu huyu mgonjwa - kwa namna gani mtu huyu alifanywa mzima? + +Petro aliuliza swali hili kufafanua kwamba ilikuwa sababu halisi ya kuteswa kwao. Mnatuuliza leo kwa namna gani mtu huyu amepata kupona. + +# Hebu lijulikane hilo kwenu na kwa watu wote katika Israel + +Na ijulikane kwenu na watu wote wa Israel kujua hili. + +# kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, + +Neno "Jina" linafafanua nguvu na mamlaka ya jina hilo. Kwa mamlaka ya Jina la Yesu Kristo wa Nazarethi. + diff --git a/act/04/11.md b/act/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..9c5cded3 --- /dev/null +++ b/act/04/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anahitimisha hotuba yake kwa viongozi wa dini ya kiyahudi aliyoianza + +# Yesu Kristo ni jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilidharau, lakini ambalo limefanywa kuwa jiwe kuu la pembeni. + +Petro ananukuu kutoka Zaburi, akimaanisha viongozi wa Kiyahudi, kama wajenzi, waliomkataa na Yesu, lakini Mungu alimfanya kuwa wa muhimu zaidi katika ufalme wake, kama jiwe la pembeni katika ujenzi lilivyo la muhimu. + +# ninyi wajenzi mlilidharau + +"Ninyi wajenzi mlimkataa" + +# Hakuna wokovu katika mtu mwingine awaye yote + +Yesu ni mtu pekee aliye na uwezo wa kuokoa + +# Kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa watu + +Hii inamaanisha, hakuna Jina jingine chini ya mbingu Mungu amswapa wanadamu. + +# ambalo kwa hilo tunaweza kuokolewa. + +J"ina ambalo laweza kuokoa au ambaye aweza kuokoa" + diff --git a/act/04/13.md b/act/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..499812e3 --- /dev/null +++ b/act/04/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Paulo anaendelea kuzungumzia Wayahudi Viongozi. + +# Wakati walipoona ujasiri wa Petro na Yohana + +Neno "Ujasiri" linaelezea njia ambayo Petro na Yohana wameitumia kujibu za viongozi Wayahudi. + +# wakagundua kwamba walikuwa ni watu wakawaida wasio na elimu + +Wayahudi viuongozi walitambua hivi kwasababu ya njia ambayo Petro na Yohana waliinena. + +# Walikuwa ni watu wa kawaida, wasio na elimu + +Neno "kawaida" na "wasio na Elimu" ni maneno yanayogawana maana moja. Petro na Yohana hawakupata mafunzo ya elimu katika sheria ya kiyahudi + +# mtu aliyeponywa + +Mtu ambaye alikuwa ameponya na Yesu kupitia Petro na Yohana + +# hawakuwa na kitu cha kusema dhidi ya hili. + +Hawakuwa na cha kusema dhidi ya Petro na Yohana juu ya kuponywa kwa huyo. + diff --git a/act/04/15.md b/act/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..2f04af77 --- /dev/null +++ b/act/04/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mitume + +Linaelezea juu ya Petro na Yohana. + +# tutawafanyaje watu hawa? + +Wayahudi viongozi wanauliza swali kama wamechanganyikiwa kwasababu kwa kuwa hawakufikiri nini cha kuwatendea Petro na Yohana. "Hakuna cha kuwatendea hawa wanaume" + +# Ni kweli kwamba muujiza wa ajabu umefanyika kupitia wao unajulikana na kila mmoja anayeishi Yerusalemu + +Inamaanisha; kila mtu anayekaa Yerusalamu anajua juu ya muujiza uliotendwa na hawa wanaume. + +# ili kwamba jambo hili lisienee miongoni mwa watu + +Neno "jambo" linamaanisha muujiza wowote au mafundisho ya Petro na Yohana yanaweza kuendelea kusambaa. + +# kamwe wasinene wala kufundisha kwa jina la hili. + +Neno "Jina" linamaanisha ubinadamu wa Yesu. Wasinene tena kwa yeyote kuhusu huyu mtu, Yesu. + diff --git a/act/04/19.md b/act/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..8a1dd0f8 --- /dev/null +++ b/act/04/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Neno "sisi" linaelezea Petro na Yohana, lakini si kwa wale ambao waliokuwa wakiwaelezea. + +# Kama ni sahihi machoni pa Mungu + +Neno "machoni pa Mungu" linamaanisha maoni ya Mungu. Kama Mungu anafikiri ni sawa kuwatii watu kuliko Mungu. + +# hatuwezi kuacha kuyanena + +"Lazima tutaendelea kunena" au "Hatutaacha kunena" + diff --git a/act/04/21.md b/act/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..4e763455 --- /dev/null +++ b/act/04/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Msitari wa 22 unatoa habari ya nyumba kuhusu umri wa mtu kiwete aliyeponywa. + +# Baada ya maonyo zaidi + +Wayahudi Viongozi waliwatishia Petro na Yohana kuwapa adhabu tena. + +# Hawakuweza kupata sababu yoyote ya kuwaadhibu + +Viongozi hawakuweza kupata kujua kwa namna gani wawaadhibu Petro na Yohana bila ya kusababisha vurugu miongoni mwa watu waliomwona mtu aliyeponywa. + +# kwa kile kilichokuwa kimetendeka + +Kwa kile Petro na Yohana walichokuwa wametenda + +# Mtu aliyekuwa amepokea muujiza wa uponyaji + +Mtu yule ambaye Petro na Yohana walikuwa wamemtendea muujiza wa uponyaji. + diff --git a/act/04/23.md b/act/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..468f394c --- /dev/null +++ b/act/04/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Wakinena pamoja, watu walinukuu Zaburi ya Daudi kutoka Agano la Kale. + +# Maelezo ya jumla + +Neno "wao" linamaanisha baadhi ya waumini, lakini si Petro na Yohana. + +# Walikuja kwa watu wao + +Walikwenda kwa waumini wenzao. + +# kwa Roho Mtakatifu, kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ulisema + +Hii inamaanisha Roho Mtakatifu alisababisha Daudi kunena au kuandika kile Mungu alichosema. + +# Kwa kinywa cha baba yetu Daudi + +Neno "kinywa" linaelezea yale maneno ambayo Daudi aliyasema ama aliyaandika "Kwa maneno ya baba yetu Daudi" + +# Kwanini watu wa mataifa wamefanya ghasia, na watu wametafakari mambo yasiyofaa? + +Hili ni swali lenye jibu linaloelezea maneno yenye ubatili ya kumpinga Mungu. + +# watu wametafakari mambo yasiyofaa + +Watu wanatafakari maneno ya ubatili yaliyo kinyume na Mungu. + diff --git a/act/04/26.md b/act/04/26.md new file mode 100644 index 00000000..0abb6cd4 --- /dev/null +++ b/act/04/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganiishi: + +Waumini wanakamilisha nukuu yao kutoka kwa mfalme Daudi katika zaburi walizozianza + +# Wafalme wa dunia wamejipanga pamoja, na watawala wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana + +Mistari hii miwili, Wafalme na Watawala kimsingi ni jambo moja kuonyesha unganiko la kufanya biidi katika kupinga kazi ya Mungu + +# wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya masihi wake + +Waliunganisha majeshi yao pamoja kupigana vitani. Au kuwa kinyume na Masihi wa Mungu. + diff --git a/act/04/27.md b/act/04/27.md new file mode 100644 index 00000000..204de591 --- /dev/null +++ b/act/04/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Waumini wanaendelea na maombi. + +# Katika mji huu + +"Katika Yerusalemu" + +# mtumishi wako mtakatifu Yesu + +"Yesu anayekutumikia kwa uaminifu" + +# kufanya yote ambayo mkono wako na mapenzi yako yaliyaamuru + +Neno "Mkono" limetumika kwa maana ya nguvu za Mungu. + diff --git a/act/04/29.md b/act/04/29.md new file mode 100644 index 00000000..e3795261 --- /dev/null +++ b/act/04/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo unganishi + +Waumini wanakamilisha maombi yao waliyoyaanza + +# yaangalie matisho yao, + +Neno, "Yaangalie" Ni ombi kwa Mungu kuchukua hatua dhidi ya vitisho vya Wayahydi viongozi kwa vitisho vyao kwa waumini. + +# kwamba unaponyosha mkono wako kuponya + +Neno "Mkono" unaelezea nguvu za Mungu katika kuponya watu. + +# kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu + +Neno "Jina" Linamaanisha nguvu na mamlaka ya Mtakatifu Yesu + +# eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa + +Eneo walipokuwa wakifanyia maombi pakatikisika. + +# na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu + +Roho Mtakatifu aliwajaza wote, na kuanz kulinena neno la Mungu kwa ujasiri + diff --git a/act/04/32.md b/act/04/32.md new file mode 100644 index 00000000..9202729c --- /dev/null +++ b/act/04/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja + +Neno "Moyo" linaelezea mawazo kuwa wote waliwaza kitu kimoja na moyo mmoja. + +# walikuwa na vitu vyote shirika + +Waligawana vitu vyao kila mmoja na mwenzake. + +# na neema kubwa ilikuwa juu yao wote. + +Pengine maana yake 1) Mungu aliwabariki waumini zaidi; au 2) Watu katka Yerusalemu waliwasaidia waumini katika hali ya juu. + diff --git a/act/04/34.md b/act/04/34.md new file mode 100644 index 00000000..83d64618 --- /dev/null +++ b/act/04/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliokuwa na hati za viwanja au nyumba + +Umiliki wa hati za viwanja na nyumba kwa waliokuwa wanamiliki Yerusalemu + +# waliviuza na kuleta pesa ya vitu waliyokuwa wameuza + +Fedha ambayo walilipwa kutoka vitu walivyoviuza. + +# Waliweka chini ya miguu ya mitume + +Hii ilikuwa ni njia ya waumini: 1) kuonyesha waziwazi mabadiliko ya mioyo na 2) kuwapa mitume mamlaka juu ya namna zawadi inavyopaswa kutumika. + +# mgawanyo ulifanywa kwa kila muumini, kulingana na kila mmoja alivyokuwa na hitaji. + +Waligawanya pesa kwa waumini kwa aliyekuwa na uhitaji + diff --git a/act/04/36.md b/act/04/36.md new file mode 100644 index 00000000..0f179a6e --- /dev/null +++ b/act/04/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Luka anamwelezea historia ya Barnaba + +# Yusufu, mlawi, mtu kutoka Kipro, alipewa jina la Barnabasi na mitume + +Mitume walimpa Yusufu jina jingine Barnaba + +# hiyo ikitafasiriwa + +ambalo linaweza kupewa tafasiri + +# mwana wa faraja + +Mitume walitumia hivyo kuonyesha kwamba Yusufu alikuwa mtu wa kutia moyo wengine + +# akaziweka chini ya miguu ya mitume + +Aliwasilisha pesa kwa mitume. + diff --git a/act/05/01.md b/act/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..ad17a561 --- /dev/null +++ b/act/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Maelezo ya namna wakristo walivyokuwa wakishirikiana mahitaji kwa baadhi ya wakristo kuuza mali zao. Luka anatuambia habari za waumini wawili Anania na Safira walivyohusika katika ushirika huo. + +# Sasa + +"Lakini sasa." Hii inaonyesha sehemu kumalizika na kuanza kwa maelezo ama habari mpya. + +# Mke wake pia alilijua + +"Mke wake pia alijua kuwa Mmewe alikuwa ametunza nyumbani sehemu ya fedha kwa mauzo ya shamba lao". + +# kuiweka kwenye miguu ya mitume. + +Inamaanisha kwamba waliwasilisha hiyo fedha kwa mitume. + diff --git a/act/05/03.md b/act/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..1352fb4b --- /dev/null +++ b/act/05/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Kama lugha yako unayotumia haina haitumii maswali yenye majibu ndani ya swali, unaweza kutumia kame sentensi tu. + +# Kwanini Shetani ameujaza moyo wako...ardhi? + +Petro alitumia swali hili kumkemea Anania. "Kwa namna gani umemruhusu Shetani kukushawishi ili kudanganya juu ya kiasi cha mauzo ya ardhi yenu." + +# kusema uongo kwa Roho Mtakatifu na kuficha sehemu ya mali ya shamba + +Inaonyesha Anania alikuwa amewaambia mitume kuwa alichotoa kilikuwa kiasi chote cha mauzo ya shamba lake + +# Wakati lilipokuwa halijauzwa, halikuwa ni mali yako? + +Petro alitumia maswali haya kumkumbusha Anania kwamba alikuwa na uwezo juu ya pesa yake. "Alikuwa na wajibu wa kusimamia pesa yake kwa uadilifu." + +# Ilikuwaje uwaze jambo hili moyoni mwako? + +Petro alitumia swali hili kumkemea Anania. "Hukupaswa kuamua kuwa mwongo juu ya jambo hili." + +# Anania alidondoka chini na akakata roho + +Anania alianguka chini kwasababu alikufa. Hakufa kwasababu alianguka chini bali alikufa na kisha akaanguka chini. + diff --git a/act/05/07.md b/act/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..7424467b --- /dev/null +++ b/act/05/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mke wake aliingia ndani + +Mke wa Anania naye aliingia ndani ya nyumba walimokuwa mitume. + +# Kilichokuwa kimetokea + +"Kwamba mme wake alikuwa amekufa" + +# kwa thamani hiyo + +"Kwa thamani hiyo" linalenga kuthibitisha kama Anania alileta fedha kwa mitume yenye thamani sawa na thamani ya shamba lililouzwa. + diff --git a/act/05/09.md b/act/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..6cb96aaa --- /dev/null +++ b/act/05/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi: + +Huu ni mwisho wa sehemu ya habari kuhusu Anania na Safira. + +# Inakuwaje kwamba mmepatana kwa pamoja kumjaribu Roho wa Bwana? + +Petro aliuliza hili kuonyesha hawa wawili kwamba walikubaliana kutenda dhambi kwa pamoja. "Mmekubaliana kwa pamoja kumjaribu Roho!" + +# miguu ya wale waliomzika mme wako + +Hapa "Miguu" inamaanisha wanaume waliomzika Anania. + +# akadondoka miguuni pa Petro + +Inamaanisha Safira alipokufa alidondoka mbele yamiguu ya Petro + +# Akapumua pumzi ya mwisho + +Hii ni namna ya kusema kwamba "alikufa." + diff --git a/act/05/12.md b/act/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..fbc25aab --- /dev/null +++ b/act/05/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Luka anaendelea kuwaambia wasomaji kile kilichotokea siku za mwanzoni mwa kanisa Yerusalemu. + +# Ishara nyingi na maajabu vilikuwa vinatokea miongoni mwa watu kupitia mikono ya mitume + +Miujiza na ajabu nyingi ilitendwa miongoni mwa watu kupitia mikono ya mitume. + +# ukumbi wa Sulemani. + +Hili lilikuwa ni eneo Njia ya kutembea lililokuwa limezungukwa na nguzo zilizojengwa kushikilia paa ambalo watu waliliita Mfalme Sulemani. + +# walipewa heshima ya juu na watu. + +Watu waliwaonyesha waumini heshima ya juu. + diff --git a/act/05/14.md b/act/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..3802cbc4 --- /dev/null +++ b/act/05/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Luka anatoa maelezo juu ya watu waliokuwa wakiishi Yerusalemu + +# waamini wengi walikuwa wakiongezeka kwa Bwana + +Watu wengi walikuwa wakimwamini Bwana. + +# ili kwamba Petro akiwa anapita, kivuli chake kiweze kushuka juu yao + +Inamaanisha kuwa Mungu angeweza kuwaponya wagonjwa kama kivuli cha Petro kingewagusa. + +# wote waliopagawa na roho wachafu, + +"Wale ambao roho wachafu walikuwa wamewapagaa. Waliokuwa wakiteswa na roho wachafu" + +# wote waliponywa. + +Mungu aliwaponya wote kwa njia ya mitume + diff --git a/act/05/17.md b/act/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..8a7d7b52 --- /dev/null +++ b/act/05/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Viongozi wa dini walianza kuwatesa waumini + +# Lakini + +Neno "lakini" linaanzisha habari kinzani. Unaweza kutafasiri hii kwa namna ambavyo lugha yako hutambulisha habari kinzani. + +# kuhani mkuu aliinuka, + +Neno "kuinuka" linamaanisha Kuhani mkuu aliamua kuchukua hatua, si kwamba aliinuka tu kutoka kwenye kiti chake alichokikalia. + +# na walijawa na wivu + +Inamaanisha walijawa na wivu sana + +# wakanyosha mikono yao kuwakamata mitume + +Waliwakamata mitume kwa nguvu, kwa kuwa walikuwa wameagiza walinzi wao wapate kuwakamata mitume. + diff --git a/act/05/19.md b/act/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..32fce190 --- /dev/null +++ b/act/05/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nendeni, mkasimame hekaluni + +Mitume walikwenda kusimama hekaluni katika ile sehemu ya wazi, hawakuingia ndani ambamo hawaruhusiwi kuingia ispokuwa kwa makuhani tu. + +# maneno yote ya Uzima huu. + +Hii inamaanisha ujumbe wa Injili ambao mitume walikuwa wakiutangaza. + +# wakati wa kupambazuka + +Ilipoanza kuwa nuru, "Ingawa malaika alikuwa amewatoa mitume jela wakati wa usiku, hivyo kulipoanza kupambazuka mitume walikuwa tayari wamefika hekaluni. + +# kuwatuma gerezani ili kuwaleta mitume. + +Inamaanisha kuhani alituma mmoja wao kwenda gerezani kuwachukua mitume na kuwaleta mbele ya baraza. + diff --git a/act/05/22.md b/act/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..9ef4d1b8 --- /dev/null +++ b/act/05/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# lakini tulipokuwa tukifungua, hatukuona mtu ndani + +eno "hatukuona mtu" linawakilisha Mitume kwamba hawakuwakuta wakiwa ndani ya gereza. + diff --git a/act/05/24.md b/act/05/24.md new file mode 100644 index 00000000..73bd0f1d --- /dev/null +++ b/act/05/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walishikwa na butwaa + +"walishtushwa" au "walichanganyikiwa" + +# Kuhusu wao + +"kuhusu maneno waliyokuwa wamesikia" (taarifa kwamba mitume hawakuwa katika gereza) + +# litakuwaje jambo hili + +Nini kimefanyika hata watu hawa kutoka nje alihali milango imefungwa na walinzi wakiwepo. + +# wamesimama hekaluni + +Mitume hawakuwa ndani ya hekalu wanamoruhusiwa kiungia makuhani tu, bali walikuwa wamesimama kwenye ukumbi wa nje wa hekalu. + diff --git a/act/05/26.md b/act/05/26.md new file mode 100644 index 00000000..89a6bbcc --- /dev/null +++ b/act/05/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Mlinzi na maafisa waliwaleta mitume mbele ya baraza la viongozi wa dini. + +# waliwaogopa watu + +Mitume walipelekwa bila vurugu mbele ya baraza, viongozi walikuwa wamewahofia watu juu ya kitendo chochote wangekifanya kwa mitume. + +# Katika jina hili + +Neno "Jina" linamaanisha Yesu Kristo. Mitume walizuiliwa wasinene neno lolote kupitia Jina la Yesu. + +# mmeijaza Yerusalemu kwa fundisho lenu + +Inamaanisha wamewafundisha watu wote wa Yerusalemu habari za Yesu. + +# na kutamani kuleta damu ya mtu huyu juu yetu. + +Neno "Damu" linamaanisa kifo cha Yesu na damu yake. Kwamba Viongozi hao walipaswa kuwajibika kwa kuhusika kwao kumwua Yesu Kristo. + diff --git a/act/05/29.md b/act/05/29.md new file mode 100644 index 00000000..0e1923a1 --- /dev/null +++ b/act/05/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Petro na mitume wakajibu + +Petro alizungumza kwa niaba ya mitume wote kwa maneno yafuatayo. + +# kwa kumtundika juu ya mti + +Petro anatumia neno "mti" kuonyesha kuwa msalaba ulitengenezwa kutokana na mti. "Kwa kumtundika juu ya msalaba" + +# kutoa toba kwa Israeli, na msamaha wa dhambi + +Neno "toba" na "msamaha" yanamaanisha kuleta msamaha kwa watu wa Israeli kwa njia ya toba na kisha Mungu kuwasamehe dhambi zao. + +# Israeli + +Linamaanisha Wayahudi wote. + +# kwa wale wanaomtii + +"Wote wanaojikabidhi chini ya mamlaka ya Mungu" + diff --git a/act/05/33.md b/act/05/33.md new file mode 100644 index 00000000..bfc5e97c --- /dev/null +++ b/act/05/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Gamalieli anatoa maelezo mbele ya wajumbe wa baraza + +# Gamalieli, mwalimu wa sheria, aliyeheshimiwa na watu wote + +Luka anamwelezea Gamarieli juu ya historia yake. + +# aliyeheshimiwa na watu wote + +Alikuwa anaheshimiwa na watu wote + +# alisimama na kuwaamuru mitume wachukuliwe nje + +Gamalieli aliwaagiza walinzi wawatoe nje mitume kwa muda. + diff --git a/act/05/35.md b/act/05/35.md new file mode 100644 index 00000000..1a5b17cf --- /dev/null +++ b/act/05/35.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wanaume wa Israeli, iweni makini sana na kile mnachopendekeza kuwafanyia watu hawa + +Gamarieli anawaeleza majumbe wa baraza wasifanye jambo lolote juu ya hao mitume litakalowaletea majuto baadaye + +# Theuda aliinuka na kujidai kuwa mtu mkuu + +Theuda alikuwa ameasi na kujitwalia idadi kubwa ya wafuasi + +# Aliuawa, na wote waliokuwa wanamtii walitawanyika + +Watu walimwua na jamii ikatawanyika. + +# Baada ya mtu huyu, Yuda mgalilaya, aliinuka siku zile za kuandikwa sensa, akavuta watu wengi nyuma yake. + +Yuda Mgalilaya naye vilevile alitokea wakati wa sensa ya Kaisari, aliwavuta wengi kuasi dhidi ya utawala wa dola ya Kirumi kisha naye kapotea. + diff --git a/act/05/38.md b/act/05/38.md new file mode 100644 index 00000000..a2b71a25 --- /dev/null +++ b/act/05/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi: + +Gamarieli anamaliza kuwaeleza wajumbe wa baraza. Pamoja na kuwapiga wale mitume na kuwaamuru wasizidi kunena habari za Yesu na kuwaachia huru, lakini wanafunzi walizidi kufundisha na kuhubiri habari za Yesu. + +# jiepusheni na watu hawa na muwaache wenyewe, + +Gamalieli anawaambia Wayahudi viongozi wasiwaadhibu hao mitume na wasiwatie tena gerezani. + +# kama mpango huu au kazi hii ni ya watu itatupwa + +Kama jambo hili wanalolitenda chimbuko lake ni mwanadamu litakoma tu. + +# Lakini kama ni ya Mungu, hamtaweza kuwazuia + +Kama kazi hii wanayoifanya chimbuko lake ni Mungu, kazi hii itaendelea. + +# Hivyo, walishawishika na maneno yake. + +Gamalieli alifanikiwa kuwashawishi Viongozi Wayahudi na kukubaliana na ushawishi wake. + diff --git a/act/05/40.md b/act/05/40.md new file mode 100644 index 00000000..f8e79012 --- /dev/null +++ b/act/05/40.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha, waliwaita mitume ndani na kuwachapa + +Wajumbe wa baraza waliwaamru walinzi wa hekalu kuwachapa viboko mitume. + +# kuwaamuru wasinene kwa jina la Yesu + +Wasinene tena juu ya jina la Yesu lenye mamlaka. + +# wamehesabiwa kuwa wamestahili kuteseka na kutoheshimiwa kwa ajili ya Jina hilo + +Ilikuwa ni faida kuteswa na kudharauliwa kwa ajili ya Yesu. + +# Baada ya hapo kila siku + +"Baada ya siku hiyo, kila siku." Kifungu hiki kinaonyesha kile walichokifanya mitume kila siku kwa siku zilizofuata. Walitiwa moyo kufanya hili kwasababu ya kile kilichotokea katika tukio hilo la kuadhibiwa kwao. + +# Waliendelea kufundisha + +"Hawakuacha kufundisha" Hekaluni na katika nyumba za waumini. + diff --git a/act/06/01.md b/act/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..07c5d8d1 --- /dev/null +++ b/act/06/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya habari. Luka anatoa habari muhimu ya kuweza kujifunza. + +# Sasa katika siku hizi + +Hii inaonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya habari. Zingatia namna ambavyo sehemu mpya ya habari zinavyotambulishwa katika lugha yako. + +# Kuongezeka + +"Kuongezeka kukubwa" + +# Wayahudi wa Kiyunani + +Hawa walikuwa ni wayahudi ambao walikuwa wakiishi maisha yao zaidi sehemu fulani katika utawala wa kirumi nje ya Israel, na walikuwa wakiongea Kigiriki. Lugha na utamaduni wao vilikuwa kidogo tofauti na wale waliokulia Israeli. + +# Wahebrania + +Hawa walikuwa ni wayahudi waliokuwa wamekulia Israel wakiongea Kiaramaiki. Kanisa liliwaangalia tu wayahudi na wafuasi wa kiyahudi mpaka hapo. + +# Wajane + +Mjane wa kweli alikuwa ni mwanamke ambaye mme wake alikuwa amekufa, na hakuna jamaa wowote wa kumtunza. + +# wajane wao walikuwa wanasahaulika + +"kupuuzwa" au "kusahaulika." Kulikuwa na wengi sana waliohitaji msaada kiasi kwamba baadhi walikoswa hasa Wayahudi wa Kiyunani. + +# Mgawanyo wa kila siku wa chakula + +Pesa ambayo ilitolewa kwa mitume ilitumika kwa sehemu kununua chakula kwa ajili ya wajane wa kanisa la kwanza. + diff --git a/act/06/02.md b/act/06/02.md new file mode 100644 index 00000000..748c9848 --- /dev/null +++ b/act/06/02.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mitume kumi na wawili + +Hapa wanazungumziwa mitume kumi na moja pamoja na Mathias aliyekuwa amechaguliwa. + +# kusanyiko lote la wanafunzi + +"Wanafunzi wote" au "Waumini wote" + +# Siyo sahihi kwetu kuliacha neno la Mungu + +Ni neno lenye msisitizo wa muhimu wa kutokuacha huduma ya kufundisha neno la Mungu + +# Kuhudumia meza + +Hili ni neno kwa ajili ya kuhudumia chakula kwa watu. + +# Wanaume wema, waliojawa na Roho na hekima + +Uwezekano wa maana waweza kuwa 1) Wanaume wana sifa tatu- wema, kujazwa na Roho, na kujazwa na hekima au 2) wanaume wana tabia njema kwa sifa mbili- kujazwa na Roho, na kujawa na hekima. + +# kuwakabidhi huduma hii. + +Kuwa na wajibu kwa huduma hiyo muhimu. + +# huduma ya neno + +Ni huduma ya kufundisha na kuhubiri habari njema. + diff --git a/act/06/05.md b/act/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..d4e7452f --- /dev/null +++ b/act/06/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hotuba yao ikaupendeza mkutano wote + +Hotuba yao ilikubaliwa, pendekezo lilikubaliwa na jamii yote ya waumini. + +# Stefano...na Nikolao + +Haya ni majina ya kigiriki, na mapendekezo yalikuwa kwamba wanaume walioteuliwa walikuwa zaidi au wote kutoka kundi la waumini wa wayahudi wa kigiriki. + +# Mwongofu + +"Mtu wa mataifa aliyeamini dini ya kiyahudi" + +# Waliweka mikono yao juu yao + +Kuwapa baraka na kuwakabidhi wajibu na mamlaka kwa kazi ya watu saba + diff --git a/act/06/07.md b/act/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..d0a53bd6 --- /dev/null +++ b/act/06/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Msitari huu ni neno linalotoa taarifa mpya juu ya ukuaji wa kanisa. + +# Neno la Mungu liliongezeka + +Idadi ya watu walioliamini neno la Mungu iliendelea kuongezeka. hivyo kwa lugha nyingine neo la Mungu liliongezeka. + +# Wakawa watii kwa imani + +"Walikubali kuifuata njia mpya ya imani" + +# Imani + +Hii inaweza kuwa; 1) Ujumbe wa Injili wa matumaini katika Yesu; au 2) Mafundisho ya kanisa; au 3) Mafundisho ya kikristo. + diff --git a/act/06/08.md b/act/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..081d1d1a --- /dev/null +++ b/act/06/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. + +# Maelezo ya jumla + +Mistari hii inatupa maelezo ambayo Stefano na watu wengine hali ilivyoendelea kuwa. + +# Na Stefano + +Luka anamwelezea Stefano kama kinara wa sehemu ya simulizi hii. + +# Stefano, aliyejaa neema na nguvu, alikuwa akifanya + +Neno "Neema" na "Nguvu" yanaelezea nguvu kutoka kwa Mungu. Yaani Mungu alikuwa akimpa nguvu Stefano za kutenda. + +# Sinagogi la Mahuru + +"Mahuru" walikuwa yumkini watumwa huru kutoka sehemu hizi tofautitofauti. Haijulikani kama watu wengine walioorodheshwa walikuwa sehemu ya Sinagogi au walishiriki tu katika mdahalo na Stefano. + +# Kufanya mdahalo na Stefano + +"kubishana na Stefano" au "kujadiliana na Stefano" + diff --git a/act/06/10.md b/act/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..47c6e356 --- /dev/null +++ b/act/06/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Taarifa za nyuma zilizoanza zinaendelea katika mstari wa 10. + +# Hawakuweza kushindana + +"Wasingeweza kuthibitisha uongo kwa kile Stefano alichosema" + +# Waliwashawishi kwa siri + +Kwa kuwa jambo lilifanywa kwa siri, inathibitisha kwamba ushuhuda wao ulikuwa wa uongo. + +# Maneno ya kukufuru + +"maneno kinyume na sheria ya Mungu na Musa" + diff --git a/act/06/12.md b/act/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..8444b2f8 --- /dev/null +++ b/act/06/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kuwashurutisha watu + +"kuwahamasisha watu kwa kiwango cha kuwa na hasira" + +# na kumwendea Stefano + +Kisha wote wakamwendea kwa nguvu + +# Kumkamata + +"kumshika kwa nguvu" + +# mtu huyu haachi kunena + +anaendelea kunena mara zote. + +# Kila mmoja aliyekuwa katika baraza, akaelekeza macho yake kumwangalia Stefano + +"kuangalia kwa shauku kwake." Hii ni msemo ukimaanisha kuelekeza macho kwake." + +# Alikuwa kama uso wa malaika + +Hii ni tabasamu kama kulinganisha na kiwango cha mfanano unaofanana na kuwa "mng'ao" ambao haujasemwa. "alikuwa anang'aa kama uso wa malaika" + diff --git a/act/07/01.md b/act/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..80769825 --- /dev/null +++ b/act/07/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Sehemu ya habari kuhusu Stefano iliyoanzia sura 6:8 inaendelea. Stefano anaanza kumjibu Kuhani Mkuu na baraza kwa kuanza kuzungumzia mambo yaliyotukia katika historia ya Israeli. Maelezo mengi ya Stefano yanatoka kwenye vitabu vya sheria vya Musa. + +# Maelezo ya ujumla + +Kwenye mstari wa 2,Stefano anaanza hotuba yake kumjibu kuhani mkuu na baraza.Anaanza hotuba yake kwa kuongelea mambo yaliyotokea katika historia ya Israeli. + +# Ndugu na baba zangu,nisikilizeni mimi. + +Stefano alikuwa akiheshimika sana kwenye baraza kwa salamu yake ya kifamilia. + diff --git a/act/07/04.md b/act/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..88321053 --- /dev/null +++ b/act/07/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hakumpa chochote kama urithi wake + +Hakuweza kutoa chochote katika hiyo. + +# hapakuwa na sehemu hata ya kuweka mguu + +Inaweza kuwa na maana ya; 1) Eneo pana la kuweza kusimama; au 2) Aridhi ya kutosha kuweza kutembea kwa hatua kadhaa. + +# kama miliki yake na uzao wake + +Kwamba nchi itakuwa mali yake milele yeye na uzao wake. + diff --git a/act/07/06.md b/act/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..f56d46ec --- /dev/null +++ b/act/07/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mungu alinena naye hivi + +Badaaye Mungu alimwambia Ibrahimu. + +# miaka mia nne. + +Miaka mia nne (400). + +# nitalihukumu taifa + +Neno "taifa" linamaanisha watu walio ndani yake. Mungu atawahukumu watu wa taifa. + +# ambalo litawafanya mateka + +Nchi ambayo uzao wako watakuwa mateka. + +# akampa Abrahamu agano la tohara + +Mungu alifanya Agano na Abrahamu la tohara kwa watoto wake wote wa kiume. + +# Abrahamu akawa baba wa Isaka + +Ni habari inayoelezea Uzao wa Abrahamu. + +# na Yakobo akawa baba + +Na Yakobo akawa baba, Stefana anaelezea kwa ufupi. + diff --git a/act/07/09.md b/act/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..67e3d140 --- /dev/null +++ b/act/07/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mababu + +Wana wakubwa wa Yakobo " "au" ndugu wakubwa wa Yusufu" + +# wakamwonea wivu Yusufu + +Ndugu zake wakubwa na Yusufu walijawa na wivu dhidi yake. + +# wakamuuza katika nchi ya Misri + +Wayahudi walijua kuwa mababu zao walimwuza Yusufu na kuwa mtumwa katika nchi ya Misri. + +# Na Mungu + +Inafaa kutumika kiuhalisia kuwa; "lakini Mungu" alikuwa pamoja naye huko. + +# Juu ya Misri + +Yusufu akawatawala watu wote wa Misri + +# na juu ya nyumba yake yote + +linaelezea; na kila kitu Farao alichokuwa anakimiliki nyumbani kwake. + diff --git a/act/07/11.md b/act/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..4cefa095 --- /dev/null +++ b/act/07/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kukawa na njaa + +"Kukawa na njaa."ardhi ikaacha kutoa chakula + +# Mababa zetu + +"Ndugu zake wakubwa Yusufu" + +# Nafaka + +"Chakula" + +# aliwatuma baba zetu...Kaka zake + +Yakobo aliwatuma baba zetu, ndugu zake na Yusufu. + +# Katika safari ya pili + +Katika safari yao ya pili ya kufuata chakula huko Misri. + +# Akajionyesha + +Yusufu akajifunua kwa ndugu zake na kujitambulisha kama ndugu yao. + +# familia ya Yusufu ikajulikana kwa Farao. + +Kwa maana nyingine; Farao akafahamu kuwa hao walikuwa ndugu zake na Yusufu. + diff --git a/act/07/14.md b/act/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..49c953ba --- /dev/null +++ b/act/07/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yusufu akawatuma ndugu zake kwenda + +liwatuma ndugu zake kwenda Kanaani, nyumbani kwa kaka zake. + +# Yakobo akafa yeye na baba zetu, + +"Yakobo na ndugu zake, baba zetu" wote walikufa. + +# Wakachukuliwa hata Shekemu wakazikwa + +"Uzao wa Yakobo walimchukua na kwenda kumzika katika makaburi walikozikwa ndugu zake. + +# kwa vipande vya fedha + +"kwa fedha" + diff --git a/act/07/17.md b/act/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..d8096d2a --- /dev/null +++ b/act/07/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wakati wa ile ahadi ambayo Mungu alimwahidi Abrahamu ulipokaribia, watu wakiwa wameongezeka huko Misri, + +Katika baadhi ya lugha zingine inaweza kuwa msaada ikisomeka; Idadi kubwa ya watu ilipoongezeka, badala ya kusema; muda wa ahadi ulipowadia. + +# Muda wa ahadi ulipokaribia + +Ulikuwa umekaribia muda ambao Mungu angetimiza ahadi yake kwa Ibrahimu. + +# aliinuka mfalme mwingine + +falme mwingine alianza kutawala + +# Juu ya Misri + +"Misri" inasimama badala ya watu wa Misri. "Watu wa Misri" + +# Nani asiyejua kuhusu Yusufu + +"Yusufu"inarejea sifa njema ya Yusufu. "Nani hakujua kuhusu mamlaka ya Yusufu huko Msri." + +# Waliwatenda mabaya baba zetu. + +"Waliwatenda mababu zetu kimaskini"au" "walichukua faida kwa mababu zetu" + +# Waliwatupa watoto wao wachanga + +kuwatupa watoto wao wachanga ili wasiishi + diff --git a/act/07/20.md b/act/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..4e96a023 --- /dev/null +++ b/act/07/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika kipindi kile Musa alikuwa amezaliwa + +Haya ni maelezo ya kumtambulisha mtu mpya, Musa. + +# Alikuwa mzuri mbele za Mungu + +Musa alikuwa kijana mzuri + +# Akalelewa miezi mitatu + +Wazazi wake walimlea Musa miezi mitatu. + +# Wakati alipotupwa nje + +Musa "alitupwa" kwa sababu Farao alikuwa ameamuru kila mtoto wa kiume azaliwapo lazima atupwe. Wazazi wake walilazimika kumweka nje ya nyumba yao. + +# Binti Farao alimchukua na kumfanya kama mwana wake + +kama vile alikuwa mwanaye wa kiume wa kuzaa + diff --git a/act/07/22.md b/act/07/22.md new file mode 100644 index 00000000..474084ff --- /dev/null +++ b/act/07/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Musa alifundishwa + +"Wamisri walimfundisha Musa" + +# Mafundisho yote ya kimisri + +hii inaongezea ,"vitu vyote walivyovijua Wamisri." + +# alikuwa na nguvu katika maneno na matendo + +"alikuwa na uwezo katika maneno na matendo yake" + +# ikamjia katika moyo wake + +Musa alitafakari na kisha akaamua + +# kutembelea ndugu zake, Wana wa Israeli + +Kuona jinsi gani ndugu zake, wana wa Israeli wanaendeleaje. + +# Alipomwona Mwisraeli akitendewa mabaya + +Alipomwona Mmisri anamtesa mwisraeli, Musa alimtetea na akalipiza kisasi kwa kumpiga hadi kufa yule Mmisri. + +# Musa alifikiri + +" Musa alidhani kuwa, alichokifanya ndugu zake watajua kuwa ni Mungu anawapigania" + +# kwa mkono wake + +kupitia yeye Mungu alikuwa akiwaokoa ndugu zake. + diff --git a/act/07/26.md b/act/07/26.md new file mode 100644 index 00000000..6de9e5b6 --- /dev/null +++ b/act/07/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# baadhi ya Waisraeli + +Waisraeli wawili aliwaona wanaogombana wao kwa wao. + +# akajaribu kuwapatanisha + +Alijaribu kuwazuia wasipate kuendelea na ugomvi. + +# Mabwana, Ninyi ni ndugu; + +Musa alikuwa akizungumza na hao waisraeli waliokuwa wakigombana + +# mbona mnakoseana ninyi kwa ninyi,? + +Musa aliuliza swali kuwatia moyo waache kugombana. Msizidi kugombana tena + +# Nani kakufanya mtawala na mwamuzi wetu? + +Hili swali lilitumika kumkemea Musa."Huna mamlaka juu yetu"! + +# Wewe unataka kuniua , kama ulivyomuua Mmisri jana?" + +Mtu yule alitumia swali hilo kumwonya Musa aanze kuzani yawezekana wengi wao walimwona akimwua yule Mmisri. + diff --git a/act/07/29.md b/act/07/29.md new file mode 100644 index 00000000..67c5448b --- /dev/null +++ b/act/07/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Jamii iliyokuwa inamsikiliza Stefani ilikuwa inajua kuwa Musa alikuwa amemwoa mwanamke wa kimidiani alipokimbia kutoka Misri. + +# Baada ya kusikia haya + +Musa alipotambua kuwa Waisraeli wanajua kuwa alikuwa amemwua Mmisri siku moja kabla. + +# Baada ya miaka arobaini kupita + +Wakati miaka arobaini imepita baada ya Musa kutoka Misri. + +# malaika akamtokea + +Stefano alikuwa akiongea na kungi ambalo lilijua pia kuwa Mungu aliongea na Musa kwa njia ya Malaika. + diff --git a/act/07/31.md b/act/07/31.md new file mode 100644 index 00000000..08fba3b6 --- /dev/null +++ b/act/07/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alishangaa na kustaajabia kile alichokiona + +Musa alishangaa kwamba kichaka hakiungui moto. Hii ilijulikana na watazamaji wa Stefano. + +# Aliposogelea kwenda kutazama ....Musa alitetemeka na hakuthubutu kuangalia + +Hii inamaanisha Musa alikisogelea kichaka kwa karibu ili kuchunguza kilichokuwa kinatokea, lakini ghafla akarudi nyuma kwa hofu aliposikia sauti ikitoka ndani ya kichaka. + +# Mimi ni Mungu wa baba zako + +"Mimi ni Mungu ambaye baba zako waliniabudu" + +# Musa alitetemeka + +Musa alitetemeka kwa hofu. + diff --git a/act/07/33.md b/act/07/33.md new file mode 100644 index 00000000..c03e35ca --- /dev/null +++ b/act/07/33.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Vua viatu vyako + +Mungu alimwambia Musa hivyo ili kumweshimu Mungu. + +# Sehemu unayosimama ni mahali patakatifu + +Musa, eneo unalosimama sasa ni Mungu amelifanya kuwa takatifu, Uwepo wa Mungu ukpo katika eneo hili. + +# Nimeona + +Nimeona kwa hakika pasipo shaka. + +# Watu wangu + +Watu wa Mungu "Uzao wa Abraham,Isaka na Yakobo" + +# Nimeshuka ili niwaokoe + +"nami nimeshuka ili kuwaondolea vifungo" + +# sasa njoo + +"Jiandae" au "KUwa tayari" kwenda. Mungu anatumia amri, anamwamrisha. + diff --git a/act/07/35.md b/act/07/35.md new file mode 100644 index 00000000..24b6fdee --- /dev/null +++ b/act/07/35.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Baada ya Waisraeli kutoka Misri, walikaa miaka 40 wakizunguka zunguka jangwani kabla Mungu hajawaongoza kuingia katika nchi aliyokuwa amewaahidi kuwapa. + +# Huyu ni Musa ambaye walimkataa + +Hii inarejesha nyuma matukio yaliyotunzwa + +# Nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi ? + +Hili swali lilitumika kumkemea Musa."Huna mamlaka juu yetu"! + +# Mtawala na mkombozi + +"Kutawala juu yao na kuwaweka huru kutoka kuwa watumwa" + +# Kwa mkono wa malaika + +"Kwa nguvu ya malaika" + +# Kipindi cha miaka arobaini + +"kipindi cha miaka arobaini ambacho watu wa Israeli waliishi jangwani" + +# Kutoka miongoni mwa ndugu zenu + +"kutoka miongoni mwa watu wenu kuwa Nabii" + diff --git a/act/07/38.md b/act/07/38.md new file mode 100644 index 00000000..c8716530 --- /dev/null +++ b/act/07/38.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mstari wa 40 ni nukuu kutoka katika vitabu vya sheria vya Musa. + +# Huyu ni miongoni mwa mtu ambaye alikuwa katika mkutano + +"Huyu ni Musa mtu ambaye ni miongoni mwa Waisraeli. + +# Huyu ni mtu ambaye Mungu aliongea naye maneno yaliyo hai na kutupa sisi + +"Huyu ni mtu ambaye Mungu aliongea naye neno lililo hai kutupa sisi" + +# Neno lililo hai + +Maana sahihi ni 1) "ujumbe ambao uliopo" au 2) "maneno yaletayo uzima." + +# Walimsukuma mbali nao + +Mfano huu unaonyesha kukataliwa kwa Musa, "walimkataa yeye kama kiongozi wao" + +# katika mioyo yao waligeukia Misri + +"WAlikusudia kurejea tena Misri" + +# Wakati huo + +"Walipoamua kurudi Misri" + diff --git a/act/07/41.md b/act/07/41.md new file mode 100644 index 00000000..2351586b --- /dev/null +++ b/act/07/41.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa nukuu ya Stefano inatoka kwa Nabii Amosi + +# Walitengeneza ndama + +walitengeneza sanamu mfano wa ndama ili waiabudu. + +# ndama... hiyo sanamu kazi ya mikono yao + +Fungu lote hili linafafanua ndama yule aliyetengenezwa. + +# Mungu aligeuka + +Mungu aligeukia mbali kwa kuwa hakupendezwa na watu hao na kutokuwasaidia tena. Mungu aliacha kuwarekebisha. + +# Akawaacha + +"Akajiondoa kwao + +# waabudu nyota za angani, + +Inaweza kuwa; 1) Nyota pekee au 2) Jua, Mwezi na Nyota. + +# kwenye kitabu cha manabii + +Ni muunganiko wa maandiko kutoka Manabii wa Agano la Kale. + +# Je mnanitolea mimi sadaka za wanyama mliowachinja .....Israeli + +Mungu aliwauliza Waesraeli swali kuonyesha kuwa walikuwa hawamwabudu yeye wala kumtolea dhabihu zao. "Hamkuniheshimu mimi wakati mlipochinja wanyama wasiofaa na kutoa dhabihi .... Israeli". + +# Nyumba ya Israeli + +Hii ni ujumla wa Taifa la Israeli + diff --git a/act/07/43.md b/act/07/43.md new file mode 100644 index 00000000..7ae5d2fb --- /dev/null +++ b/act/07/43.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Stefano anaendeleza majibu yake kwa Kuhani Mkuu na wajumbe wa baraza + +# Maelezo ya Jumla. + +Hii ni nukuu Stefano anaiweka kutoka kwa Nabii Amosi + +# Mliipokea + +Inamaanisha waliitwaa hiyo miungu pamoja nao wakasafiri pamoja nayo huko Jangwani + +# Hema ya kukutania ya Moleki + +Hema ya kukutania au hema ambalo lilijengwa kumwabudu mungu Moleki + +# Nyota ya mungu Refani + +nyota ambayo ilimtambulisha mungu wa uongo Refani + +# picha ambayo mliitengeneza + +Walitengeneza picha ya mungu Moleki na Refani kwa kusudi la kumwabudu. + +# nitawapeleka mbali zaidi ya Babeli.' + +Nitawaondoa kwenye maeneo hata mbali zaidi ya Babeli. Huu ni mwitikio wa hukumu ya Mungu. + diff --git a/act/07/44.md b/act/07/44.md new file mode 100644 index 00000000..9cc59e42 --- /dev/null +++ b/act/07/44.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hema la kukutania la ushuhuda. + +hema ambalo lilijengwa kulifunika sanduku lililokuwa na amri kumi zilizochorwa kwenye mawe na kuwekwa ndani ya sanduku. + +# Kumiliki Taifa + +Hii itajumuisha nchi ,majengo,wanyama na vyote na miliki zote za taifa ambalo Israeli walikuwa wakiwashinda maadui na kuchukua nyara. + +# Hii Ilikuwa hivi mpaka siku za Daudi + +Sanduku la agano lilibaki kwenye hema na ilijumuisha muda wa Daudi, mfalme wa Israeli + +# Mahali pa makao ya Mungu wa Yakobo + +Daudi alitaka sanduku la agano likae Yerusalemu, siyo litangatange kwenye hema kuwazunguka Israeli + diff --git a/act/07/47.md b/act/07/47.md new file mode 100644 index 00000000..de1a8730 --- /dev/null +++ b/act/07/47.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 49-50, Stefano ananukuu maneno kutoka kwa Nabii Isaya. Katika nukuu, Mungu anaongea kuhusu yeye mwenyewe. + +# zilizojengwa kwa mikono + +zilizotengenezwa na watu + +# Mbinguni ni kiti changu cha enzi ....na duniani ni sehemu ya kuwekea miguu yangu. + +Nabii analinganisha ukuu wa Mungu na jinsi isivyowezekana kwa mtu sehemu kwa Bwana kupumzika katika nchi tangu dunia ilipokuwa utupu lakini ni sehemu ya Mungu kuwekea miguu tu. + +# Ni nyumba ya aina gani mnaweza kunijengea? + +Mungu anauliza swali ili kuonesha namna gani mwanadamu ana mapungufu kufikia uumbaji wake. Huwezi kujenga nyumba ambayo itanitosha mimi! + +# Wapi sehemu yangu ya kupumzikia + +Mungu anauliza hili swali kumwonyesha mwanadamu kwamba hawezi kumpatia Mungu mapumziko. "Hakuna sehemu nzuri ya kumtosha Mungu kupumzikia!" + +# Siyo mikono imefanya haya yote? + +Mungu anauliza hili swali kuonyesha kwamba mwanadamu hatengenezi chochote. "Mkono wangu umefanya hivi vitu vyote! + diff --git a/act/07/51.md b/act/07/51.md new file mode 100644 index 00000000..97661037 --- /dev/null +++ b/act/07/51.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Kwa karipio kali, Stefano anamalizia kumjibu Kuhani Mkuu na baraza kwa staili ile aliyoanza nayo sur 7:1. + +# Enyi watu wenye shingo ngumu + +Shingo ngumu** -Stefano alibadilisha kutoka utambulisho wa viongozi wa Kiyahudi na kuwakemea + +# shingo ngumu + +Shingo ngumu** -Hii haina maana walikuwa na shingo ngumu, lakini anawaambia kuwa walikuwa wasumbufu. + +# moyo usiotahiriwa + +Moyo usiomtii Mungu. Wayahudi walilitumia neno kwa watu wasio na tohara ni sawa na watu wasiomtii Mungu. Stefano alitumia "moyo' na "masikio" kuwakilisha Wayahudi viongozi waliotenda kwa namna ya watu wa mataifa walivyokuwa wakitenda. Viongozi hawa hawakumtii na wala kumsikiliza Mungu. + +# Ni manabii wapi baba zenu hawakuwatesa? + +Stefano aliuliza swali kuwaonyesha kwamba hakujifunza chochote katika makosa ya baba zao. "Baba zao waliwatesa kila nabii"! + +# Mmoja mwenye Haki + +Anamaanisha juu ya Kristo, Masihi. + +# mmekuwa wasaliti na wauaji wake pia, + +"Mlimsaliti na kumwua" + +# sheria ile iliyoagizwa na malaika lakini hamkuishika. + +"Sheria ambazo Mungu alizituma kwa Malaika kuwaba baba zetu. + diff --git a/act/07/54.md b/act/07/54.md new file mode 100644 index 00000000..8b942e98 --- /dev/null +++ b/act/07/54.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Baraza lilimjia juu Stefano kutokana na ujumbe wake. + +# wajumbe wa baraza waliposikia mambo haya, + +Hii ni hatua ya kugeuka; mahubiri yalifikia mwisho na baraza likachukua hatua. + +# wakachomwa mioyo + +Hii ni fumbo kwa, "kujawa na hasira" + +# wakamsagia meno + +Hili ni fumbo linaloelezea hasira nzito au chuki. "walikuwa na hasira ambayo walisaga meno yao kwa pamoja." + +# Aliangalia mbinguni kwa makini + +"Aliangalia juu kwenye mawingu."Inatokea kwamba Stefano peke yake aliona maono siyo mwingine yeyote katika mkutano. + +# akaon utukufu wa Mungu + +Kwa kawaida watu walizoea kuuona utukufu wa Mungu kwa ishara ya nuru." :mwanga mkali kutoka kwa Mungu". Stefano katika maono yake alimwona Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wangu. + +# Mwana wa Adam + +Stefano alimtambulisha Yesu kwa cheo cha "Mwana wa Adam." + diff --git a/act/07/57.md b/act/07/57.md new file mode 100644 index 00000000..91bf8d85 --- /dev/null +++ b/act/07/57.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wakaziba masikio yao + +Waliziba masikio yao wasiweze kusikia zaidi alichokuwa akisema Stefano. + +# Nguo za nje + +mavazi ya nje au nguo mojawapo walizokuwa wakivaa juu ya nguo zingine. + +# Wakamtupa nje ya mji + +baraza la wazee wakampiga Stefano wakamkamata kwa nguvu na kumtupa nje ya mji + +# miguuni mwa + +"mbele ya "kwa kusudi la kuzilinda + +# kijana + +Sauli alikuwa na umri wa kati ya miaka 30 wakati ule. + diff --git a/act/07/59.md b/act/07/59.md new file mode 100644 index 00000000..0188268e --- /dev/null +++ b/act/07/59.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Maelezo ya Stefano yanakomea katika sura hii ya 7. + +# "Pokea roho yangu" + +"Chukua Roho yangu" Hili lilikuwa ni ombi toka kwa Stefano. + +# Akapiga magoti + +Hii ni namna ya kuonyesha unyenyekevu kwa Mungu. + +# usiwahesabie dhambi hii + +Inamaanisha; Uwasamehe dhambi hii. + +# akakata roho + +Ni lugha nyingine kuonyesha umauti wa mtu. + diff --git a/act/08/01.md b/act/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..9b4560e8 --- /dev/null +++ b/act/08/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Simlizi inamalizika kumhusu Stefano, kuanzia sura hii ya 8 simlizi inaanza kumtaja Sauli. + +# siku hiyo ndipo alipoanza... isipokuwa mitume. + +Sehemu ya mstari huu wa 1 ni habari inayoeleza kuanza kwa mateso kwa watu wa njia ile baada ya kifo cha Stefano. Unaelezea sababu za Paulo kuanzisha mateso hayo kwa waumini. + +# Siku hizo + +Hii inahusu siku ambayo Stefano aliuawa, + +# Waaminio wote walitawanyika + +Hii ni inavumisha wengi au zaidi ya waamini wa Yerusalem waliyakimbia mateso. + +# Isipokuwa mitume + +Inadhihirisha kwamba mitume walibaki Yerusalem ingawa hawakuyazoea hayo mateso makubwa + +# Watu wacha Mungu + +"Watu wenye hofu ya Mungu" au "Watu waliomuogopa Mungu + +# Wakafanya maombolezo makubwa + +"Wakalia sana ...juu yake" + +# Aliwaburuza wanaume na wanawake + +Sauli aliwachukua kwa nguvu Wayahudi waamini na kuwatoa nje ya nyumba zao na kuwatupa gerezani. + +# Wanaume na wanawake + +inaelezea juu wanaume na wanawake ambao waliokuwa wamemwamini Yesu. + diff --git a/act/08/04.md b/act/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..6f23be2b --- /dev/null +++ b/act/08/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa panaanzia simlizi inayomhusu Filipi, ambaye watu walikuwa wamemchagua kuwa shemasi, + +# Ambao walikuwa wametawanyika + +" waumini ambao walikuwa wametanyika kwa mateso makubwa". + +# Alienda mpaka Mji wa Samaria + +"Kwenda chini" Neno limetumika hapa kwasababu Samaria iko kwenye ukanda wa chini zaidi ya Yerusalemu. + +# Mji wa Samaria + +Haiko wazi kama ni mji wa Samaria katika mji wa Samaria. + +# akamtangaza Kristo huko + +Cheyo "Kristo" kinamwelezea Yesu, Masihi. + diff --git a/act/08/06.md b/act/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..b22851a9 --- /dev/null +++ b/act/08/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati makutano ya watu + +"Wakati makutano ya watu kutoka mji wa Samaria." Lilikuwa eneo lililobainishwa huko nyuma + +# Wakaweka umakini + +Sababu ya watu kuweka umakini ilikuwa ni uponyaji wote alioufanya Filipo. + +# Kutoka hapo watu wengi waliosikia, pepo wachafu waliwatoka watu huku wakilia kwa sauti kubwa + +"roho wachafu walikuwa wakipaza sauti na kutoka kwa watu waliokuwa nayo. + +# Na kulikuwa na furaha kubwa katika mji. + +Watu wa mji walikuwa na furaha kubwa + diff --git a/act/08/09.md b/act/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..0281e968 --- /dev/null +++ b/act/08/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Simoni ametajwa kwenye simlizi hii ya Filipo. Mistari ya 9-11ni maelezo yanayomhusu Simoni ya kuwa alikuwa nani miongoni mwa wasamaria. + +# Lakini palikuwana mtu mmoja ...jina lake Simoni + +Hii ni njia ya kumtambulisha mtu mgeni katika simulizi. Lugha yako pengine inaweza kutumia maneno tofauti kumtambulisha mtu mgeni katika simulizi. + +# Mji + +"Mji wa Samaria" + +# Wasamaria wote tangu mdogo hata mkubwa + +Hii inaongeza chumvi. "Wasamaria wengi katika mji wa Samaria.: + +# Huyu mtu ni ile nguvu ya Mungu ambayo ni Kuu. + +Watu walikuwa wanasema kwamba Simoni ni nguvu ya Mungu inayojulikana Nguvu Kuu. + diff --git a/act/08/12.md b/act/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..86c1f606 --- /dev/null +++ b/act/08/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Mistari hii anatoa maelezo zaidi kuhusu Simoni na baadhi ya Wasamaria waliokuwa wakimwamini Yesu. + +# Wakabatizwa. + +Filipo aliwabatiza waamini wapya + +# Na Simoni mwenyewe aliamini + +Neno "mwenyewe" linatumika kumwelezea Simoni naye aliamini. + +# Naye alibatizwa + +Filipo alimbatiza Simoni pia. + +# Wakati alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa + +Simoni alishangaa pale alipoona Filipo anafanya ishara na miujiza mikubwa + diff --git a/act/08/14.md b/act/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..236cc49e --- /dev/null +++ b/act/08/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Luka anaendeleza habari ya kile kilichokuwa kinatokea huko Samaria. + +# Wakati mitume wa Yerusalemu waliposikia + +Alama hii ni ya mwanzo wa sehemu mpya ya simlizi ya waumini walivyokuwa wakiendelea huko Samaria. + +# Samaria + +"Samaria" Neno linaloelezea juu ya watu wengi waliokuwa waumini katika wilaya yote ya Samaria. + +# Pale waliposhuka chini + +"Pale Petro na Yohana waliposhuka chini" kwenda Samaria. + +# Waliomba kwa ajili yao + +"Petro na Yohana waliwaombea waamini wa Samaria" + +# Kwamba wangepokea Roho Mtakatifu. + +"Kwamba Wasamaria wanaoamini wangeweza kupokea Roho Mtakatifu" + +# Walikuwa tu wamebatizwa + +"Filipo alikuwa tu amewabatiza katika Jina la Bwana Yesu Wasamria walioamini" + +# Ndipo Petro na Yohana wakaweka mikono yao kwao + +"Kwao" linahusu watu wa Wasamaria ambao waliamini ujumbe wa injili kutoka kwa Filipo". + diff --git a/act/08/18.md b/act/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..e1acd0e1 --- /dev/null +++ b/act/08/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Roho Mtakatifu ametolewa kupitia kuwekewa mikono ya mitume. + +"Mitume waliwapa Roho Mtakatifu kwa kuweka mikono yao juu ya watu" + +# Kila nitakae mwekea mikono apokee Roho Mtakatifu. + +"Kwamba wakati ninaweka mikono yangu juu ya watu, wapokee Roho Mtakatifu" + diff --git a/act/08/20.md b/act/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..b0366cb9 --- /dev/null +++ b/act/08/20.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya jumla + +Viwalilishi vya majina katika habari hii vinamwakilisha Simoni + +# pesa yako pamoja na wewe ipotelee mbali + +Wewe na pesa yako muangamizwe + +# Karama ya Mungu + +"Karama" ni neno linaelezea uwezo wa kutoa Roho Mtakatifu kwa njia ya kuweka mikono juu ya mtu mwingine. + +# Hauna sehemu katika jambo hili + +Neno "huna sehemu" linaonyesha kuwa Simoni huna sehemu ya kushiriki katika kazi hii. + +# Moyo wako si mnyoofu + +"Kufikiri kwako si sahihi" + +# Kwa namna ulivyotamani + +"Kutaka kununua uwezo wa kutoa nguvu ya roho kwa wengine" + +# Uovu huu + +"Mawazo haya maovu" + +# labda utasamehewe + +"Anaweza kuwa tayari kukusamehe" + +# Sumu ya uchungu + +Haya ni maelezo ya fumbo yanayomaanisha wivu uliokidhiri. + +# Vifungo vya dhambi + +"mtumwa wa dhambi" au "atafanya dhambi tu" + diff --git a/act/08/24.md b/act/08/24.md new file mode 100644 index 00000000..75c4e33e --- /dev/null +++ b/act/08/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mambo yote mliozungumza yaweza kunitokea + +Ujumbe unaweza kuzungumzwa kwa namna nyingine; "Mambo mliyoyazungumza yasiweze kutokea kwangu" + +# Mambo yote mliozungumza yaweza kunitokea + +Ni kemeo la Petro juu ya Simeoni kuadhibiwa kwake na pesa yake pia. + diff --git a/act/08/25.md b/act/08/25.md new file mode 100644 index 00000000..74aed553 --- /dev/null +++ b/act/08/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa ni hitimisho la simulizi kuhusu Simoni na wasamaria. + +# Ushuhuda wa kuzaliwa + +Petro na Yohana waliwaeleza wasamaria juu ya wao walivyomfahamu Yesu. + +# Kunena maneno ya Bwana + +Petro na Yohana walielezea juu ya maandiko ambayo Yesu alizungumza kwa wasamaria. + +# Katika vijiji vingi vya wasamaria + +Kwa watu wengi katika vijiji vya Samaria. + diff --git a/act/08/26.md b/act/08/26.md new file mode 100644 index 00000000..cf60dd86 --- /dev/null +++ b/act/08/26.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwanzo wa simulizi kuhusu Filipo na mwanaume kutoka Ethiopia. + +# Maelezo ya jumla + +Mstari wa 27 unaonyesha taarifa za mwanaume kutoka Ethiopia. + +# njia iendayo chini ya Yerusalemu kuelekea Gaza + +"Iendayo chini" hapa linatumika kwasababu Yerusalemu iko juu zaidi ya Gaza + +# Sasa + +Neno "sasa" ni neno la kiunganishi cha simulizi. + +# Njia hii iko katika jangwa + +Wasomi wengi wanaamini Luka aliongeza mkazo wa kuelezea eneo ambalo Filipo angeweza kupitia. + +# Tazama + +Neno "tazama" linatutahadharisha kwa mtu mpya katika simulizi. Lugha yako inaweza ikawa njia ya kufanya hivi. Kingereza linatumia "Palikuwa na mtu ambaye alikuwa." + +# Towashi + +Mkazo"towashi" hii ni kwamba, Mwethiopia aliyekuwa katika ofisi za serikali kuu. + +# Kandake + +Hiki ni cheo kwa malkia wa Ethiopia . Ni sawa na jinsi "farao" alitumika kuwa mfalme wa Misri. + +# Kumsoma nabii Isaya + +Hili ni agano la kale la Isaya. + diff --git a/act/08/29.md b/act/08/29.md new file mode 100644 index 00000000..513d6352 --- /dev/null +++ b/act/08/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sogea karibu na gari hili + +Filipo alifahamu kuwa ni muhimu kuwa karibu na mtu yule aliyepanda kwenye mkokoteni. + +# akamsikia akisoma katika chuo cha nabii Isaya + +Hiki ni kitabu cha Agano la Kale cha Nabii Isaya. + +# Je unafahamu unachosoma?" + +Mwethiopia alikuwa mtu mwenye akili na aliweza kusoma, lakini alikuwa na upungufu wa ufahamu wa kiroho. Filipo alimwulija, "Je! Unafahamu maana ya habari unayoisoma? + +# Nitawezaje, isipokuwa mtu aniongoze kuielewa?" + +Swali hili liliulizwa kusisitiza kuwa hakuweza kuelewa bila msaada. ''siwezi mpaka mtu aniongoze" + +# Alimuomba filipo akae nae + +Filipo alikubali kutembea naye akiwa chini ya barabara pamoja naye akiyafafanua maandiko. + diff --git a/act/08/32.md b/act/08/32.md new file mode 100644 index 00000000..5ec7b379 --- /dev/null +++ b/act/08/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hiki ni kifungu kutoka katika kitabu cha Isaya + +# Kama kondoo mbele ya mchungaji akiwa kimya + +Mkata manyoya ni mtu ambaye anakata manyoya ya sufu za kondoo ili zitumike. + +# Kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake iliondolewa + +Alidharauliwa na kuhukumiwa bila haki. + +# Nani ataeleza kizazi chake? + +Swali hili lilitumika kuelezea kuwa hatakuwa na uzao. Kwamba; "Hakuna hata mmoja atakayeweza kuzungumzia habari za uzao wake" + +# maisha yake yameondolewa katika nchi." + +Hii inaelezea kifo chake. "Watu walimwua" au "Watu waliyaondoa maisha yake hapa duniani" + diff --git a/act/08/34.md b/act/08/34.md new file mode 100644 index 00000000..4d00e67f --- /dev/null +++ b/act/08/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nakuomba + +"Tafadhari niambie" + +# ni kuhusu yeye, au za mtu mwingine" + +"Je, Ni nabii anazungumzia habari zake mwenyewe, au anamzungumzia mtu mwingine" + +# katika Isaya + +Inamaanisha maandiko ya Nabii Isaya. + +# Kumhubiria kuhusu Yesu + +"kufundisha habari njema kuhusu Yesu kwa matoashi' + diff --git a/act/08/36.md b/act/08/36.md new file mode 100644 index 00000000..0f9bc2e4 --- /dev/null +++ b/act/08/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati wakiwa njiani + +Waliendelea na safari njiani + +# wakafika penye maji + +Haiko wazi kama haya "Maji" yalikuwa ya kijito au bwawa la maji au maji mengi. tunachofahamu yalikuwa na kina cha kutosha kuwaza kwenda chini yake. + +# "Tazama, pana maji hapa nini kinazuia nisibatizwe?, + +Towashi alitumia swali hili kumwomba Filipo amruhusu kubatizwa. "Tafadhali niruhusu nibatizwe" + +# akaamuru gari lisimame. + +Akamwambia dereva wa mkokoteni asimame. + diff --git a/act/08/39.md b/act/08/39.md new file mode 100644 index 00000000..194d80a1 --- /dev/null +++ b/act/08/39.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwisho wa simulizi kuhusu Filipo na mtu kutoka Ethiopia. + +# Toashi hakumwona tena + +Filipo alitoweka machoni pa Towashi hivyo hakumwona tena. + +# Filipo akatokea Azoto. + +Kulikuwa hamna dalili za Filipo kusafiri kati ya alipokutana na Ethiopia na Azoto. Ghafla alipotelea katika barabara ya Gaza na kuzuka tena Azoto. + +# Mpaka alipokuja Kaisaria. + +Simulizi ya Filipo inaishia Kaisaria. + diff --git a/act/09/01.md b/act/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..031e25f5 --- /dev/null +++ b/act/09/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Simulizi inarudi nyuma kwa Sauli na wokovu wake. + +# Maelezo ya jumla + +Mistari hii inatupatia picha kwa kutujulisha kuwa Sauli alikuwa akiendelea na kazi zake tangu Stefano alipouawa kwa kupondwa kwa mawe. + +# kuendelea kuongea maneno ya mauaji dhidi ya wanafunzi + +Kiwakilishi cha jina "mauaji" linaweza tafsiriwa kama kitendo: aliendelea kuongelea vitisho, hata kwa kuwaua wanafunzi. + +# kwa ajili ya masinagogi + +Inazungumzia juu ya watu katika Sinagogi. "Kwa watu wa Sinagogi" au "Kwa viongozi wa Sinagogi" + +# ili kwamba akimpata + +Kama akimpate mtu yeyote + +# aliye katika Njia ile + +"anayeyafuata mafundisho ya Yesu" + +# Anaweza akawapeleka Yerusalemu + +Anaweza akawapeleka kama wafungwa.' "ili viongozi wa wayahudi wapate kuwahukumu na kuwasulubisha". + diff --git a/act/09/03.md b/act/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..ad867959 --- /dev/null +++ b/act/09/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya Kuhani Mkuu kumpatia Sauli barua, Sauli alisafiri kuelekea Dameski. + +# Hata alipokuwa akisafiri + +Sauli aliondoka Yerusalemu na kuelekea Dameski. + +# Ilitokea kwamba + +Haya ni maelezo yanayobadisha simulizi kuonyesha kwamba jambo la tofauti litatokea. + +# ikaangaza kotekote nuru kutoka mbinguni + +"nuru kutoka mbinguni ikawangaza kotekote" + +# Kutoka mbinguni + +Inaweza kuwa na maana kuwa; 1) Mbinguni, mahali Mungu anaishi au 2) Anga. + +# Akaanguka chini + +Inawezekana kwamba 1)"Sauli alianguka pekee yake chini"au 2)"Mwanga ulisababisha yeye kuanguka chini"au 3)Sauli alianguka chini kama yeyote ambaye huanguka,"Sauli hakuanguka kwa bahati mbaya. + +# Kwa nini unaniudhi ? + +Bwana alimkemea Sauli katika hali ya swali. "Unaniudhi mimi!" + diff --git a/act/09/05.md b/act/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..93992c25 --- /dev/null +++ b/act/09/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Kila kuwakilishi cha neno "wewe" linamaanisha umoja. + +# Wewe u nani, Bwana + +Sauli hakupata kumjua Yesu kama Bwana. Hii ilikuwa ni tatizo kwamba alikuwa kwenye nguvu za ajabu + +# Lakini inuka ,ingia mjini + +"inuka na uende katika mji wa Dameski" + +# utaambiwa yakupasayo + +Mtu mmoja atakuambia + +# wakisikiliza sauti, wasione mtu + +Waliisikia sauti, lakini hawakumwona mtu yeyote. + +# Bila kumuona yeyote + +"Lakini hakumwona yeyote" Bali Sauli aliona mwanga tu. + diff --git a/act/09/08.md b/act/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..61401382 --- /dev/null +++ b/act/09/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alipofungua macho + +Hii inamaanisha Sauli aliyafunga macho kwasababu ya mwanga ulikuwa mkali. + +# Hata asionne chochote + +Sauli alikuwa kipofu. + +# hakuweza kuona kitu + +"Alikuwa kipofu" au "hakuweza kuona chochote" + +# Hakuweza kula wala kunywa + +"hakuweza kula wala kunywa hakuwa na njaa" + diff --git a/act/09/10.md b/act/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..2e475194 --- /dev/null +++ b/act/09/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Simulizi inabadilika na kuanza kumtaja mtu aliyeitwa Anania ambae anatambulishwa kwenye simulizi. Huyu sio Anania yule aliyetajwa katika matendo ya mitume 5:1, 3. + +# Basi palikuwa + +Hii inatambulisha wahusika wapya, Anania + +# Naye alisema + +Anania alisema + +# Inuka uenda zako katika mtaa uitwao Nyofu + +Nenda kwenye barabara inayoitwa nyoofu. + +# Katika nyumba ya Yuda + +Yuda si yule mwanafunzi aliyemsaliti Yesu. Yuda alikuwa ndio mmiliki wa nyumba uko Dameski ambapo Anania alikuwa akiishi. + +# Mtu wa Tarso aitwaye Sauli + +"Mtu kutoka katika mji wa Tarso" + +# kumwekea mikono juu yake + +Hii ilikuwa alama ya kumpatia Sauli baraka za kiroho. + +# Kwamba apate kuona + +"Aweze kuona kwa mara nyingine tena" + diff --git a/act/09/13.md b/act/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..8b2422b8 --- /dev/null +++ b/act/09/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Watu wako watakatifu + +Neno "Watu watakatifu" linamaana ya Wakristo. "Watu wa Yerusalemu waliokwisha kumwamini Yesu" + +# ana mamlaka kutoka kwa kuhani mkuu kumkamata kila mmoja + +Inamaana Sauli amepewa nguvu na mamlaka na Kuhani Mkuu, lakini yalikuwa na mipaka kwani ilikuwa ni kwa Wayahudi tu. + +# Yeye ni chombo teule kwangu + +"chombo teule" ni hali ya kutengwa maalumu kwa ajuli ya huduma. "Nimemchagua yeye ili anitumikie. + +# Kubeba jina langu + +Hii ni hali ya kumuelezea na kuongelea kuhusu Yesu. ili anipeleke mimi kwa watu. + +# Kwa ajili ya jina langu + +Hii ni hali ya kuwaelezea watu kuhusu mimi (Yesu). + diff --git a/act/09/17.md b/act/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..3a2b5178 --- /dev/null +++ b/act/09/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Anania anaenda katika nyumba ambapo Sauli anaishi. Baada ya kuponywa , simulizi inabadilika kutoka kwa Anania kwenda kwa Sauli. + +# Anania akaenda, akaingia mle nyumbani; + +Anania likwenda kwenye na baada ya kuipata ile nyumba mahali alipokuwepo Sauli akaingia ndani. + +# Kumwekea mikono + +Anania aliweka mikono yake juu ya Sauli + +# amenituma ili upate kuona na kujazwa roho mtakatifu + +"Amenituma ili upate kuona tena na Roho Mtakatifu akujaze" + +# Kitu kama magamba + +"Kitu kilitokea kama magamba ya samaki na kuanguka toka machoni" + +# akapata kuona + +Alikuwa na uwezo wa kuona tena + +# Aliinuka na akabatizwa + +"Sauli aliiuka na Anania akambatiza" + diff --git a/act/09/20.md b/act/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..b31ec338 --- /dev/null +++ b/act/09/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati huo huo akamtangaza Yesu + +ukumu la kumtangaza Yesu, punde alianza kulifanya. + +# Akisema kuwa Yeye ni mwana wa Mungu + +"Yeye" inaashiria kuwa ni Yesu. Sauli, Baada ya kumwamini Yesu na kumjua Yesu kama 'mwana wa Mungu" + +# Wote waliomsikiliza + +Wengi walipata kusikia habari zake. + +# Sio mtu yule aliyewaharibu wote wa Yerusalemu walioliitia jina hili? + +Hii ni kejeli na swali hasi linalomwelezea Paulo kuwa hakika alikuwa mtu ambaye aliwatesa waamini. "Huyo ni mtu ambaye aliwaharibu wote wa Yerusalemu walioliitia jina hili la Yesu!" + diff --git a/act/09/23.md b/act/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..52276a16 --- /dev/null +++ b/act/09/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wayahudi + +Inamaanisha Wayahudi viongozi. + +# lakini mpango wao ukajulikana na Sauli + +"Lakini mtu mmoja akawaambia mpango wao kwa Sauli" au "Lakini Sauli akafahamu mipango yao juu yake" + +# Wakamvizia mlangoni + +Mji huu ulikuwa na ukuta uliouzunguka.Watu waliingia na kutoka katika mji huo kupitia mlango. + +# Wanafunzi wake + +Watu walioamini ujumbe wa Sauli kuhusu Yesu na walifuatilia mafundisho yake + +# wakamshusha kupitia ukutani, wakamtelemsha chini katika kapu + +Kwa kutumia kamba walimshusha Sauli katika kikapu kikubwa kupitia tundu katika ukuta. + diff --git a/act/09/26.md b/act/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..255e3fcf --- /dev/null +++ b/act/09/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lakini wote walikuwa wakimuogopa + +"Walikuwa wote" ni kuimba kwa wingi "karibia wote" + +# Sauli alihubiri kwa ujasiri katika jina la Yesu + +Huu ni mfano wa Sauli anahubiri au anafundisha ujumbe wa injili ya Yesu Kristo. + diff --git a/act/09/28.md b/act/09/28.md new file mode 100644 index 00000000..dde70749 --- /dev/null +++ b/act/09/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika jina la Bwana Yesu + +Hii ni injili ya mfano wenye ujumbe wa Yesu Kristo. + +# Mahojiano na wayahudi wa kiyunani + +Sauli alijaribu kutafuta sababu za wayahudi wa kiyunani. + +# Kumleta chini mpaka Kaisaria + +Kaisaria iko chini zaidi ya Yerusalemu. Hata hivyo,ilikuwa kawaida kusema kwamba mmoja alipanda juu Yerusalemu. + +# na wampeleke aende Tarso. + +Kaisari ilikuwa bandari, yawezekana walimpeleka Sauli Tarso kwa njia ya meri. + diff --git a/act/09/31.md b/act/09/31.md new file mode 100644 index 00000000..8860854a --- /dev/null +++ b/act/09/31.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika mstari wa 32, habari inabadirika kutoka simlizi ya Sauli na kuanza simlizi mpya juu ya Petro. + +# Maelezo ya jumla + +Mstari wa 32 ni habari inayotupatia taarifa za kukua kwa kanisa. + +# kanisa lote katika Uyahudi, Galilaya na Samaria + +Hapa ni kiwakilishi cha "kanisa" kama umoja likiwakilisha zaidi ya kusanyiko la waumini. Linaelezea waumini wote katika jumuia zote za Israeli. + +# lilikuwa na amani + +ilikaa kwa amani". Linamaanisha kuwa yale mateso yaliyoanza kwa mauaji ya Stefani yalikuwa yamekoma. + +# Likajengwa + +Hapa mwezeshaji wake ni "Mungu" au "Roho Mtakatifu". "Mungu aliwasaidia wakue" au "Roho Mtakatifu aliwajenga na kuwa imara". + +# Kutembea katika hofu ya Mungu + +"waliendelea kumheshimu Bwana' + +# Katika faraja ya Roho Mtakatifu + +"Roho Mtakatifu aliwaimarisha na kuwapa ujasiri" + +# Pande zote za mkoa + +Hii ni fahari kwa Petro kutembelea waumini wengi pande za Yuda, Galilaya, na Samaria. + +# Alitelemkia + +Neno "Alitelemkia" ilieleza kuelekea Lida iliyo upande wa chini kulinganisha na maeneo mengine alikotembelea Petro. + +# Lida + +Lida ni mji ulioko kati ya kilomita 18 kaskazini mashariki mwa Jafa. Huu mji ulikuwa ukiitwa Lod kwenye Agano la Kale,na katika Israeli ya sasa. + diff --git a/act/09/33.md b/act/09/33.md new file mode 100644 index 00000000..24703e7b --- /dev/null +++ b/act/09/33.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Akamuona huko mtu mmoja + +Petro hakuwa makini kumtafuta mtu aliyepooza lakini ilimtokea. "Hapo Petro akakutana na mtu." + +# mtu mmoja jina lake Ainea + +Hapa anatambulisha Ainea kama mtu mpya katika simlizi. + +# Ambaye amekuwa kitandani ...amepooza + +Hii ni historia ya nyuma kuhusu Ainea + +# Aliyepooza + +hana uwezo wa kutembea, pengine hakuwa na uwezo wa kujisogeza chini ya kiuno + +# jitandikie kitanda chako + +"jitwike godoro lako" + +# kila mtu aliyekaa Lida Sharon + +Hii inaimarisha maana " watu wengi walioishi maeneo ya Lida na Sharoni. + +# Wakamwona yule mtu. + +Inaweza kuwa msaada kuelezea kuwa walimwona mtu akiwa mtu ameponywa. "Walimwona mtu ambaye Petro alikuwa amemponya". + diff --git a/act/09/36.md b/act/09/36.md new file mode 100644 index 00000000..7957a38b --- /dev/null +++ b/act/09/36.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Luka anaendelea na simlizi ya tukio jipya kuhusu Petro. + +# Maelezo ya jumla + +Mistari hii inatupa historia ya mwanamke aliyeitwa Tabitha. + +# Palikuwa + +Hili linamtambulisha sehemu mpya katika simulizi. + +# Tabitha, ambalo lilitafsiriwa kama "Dorcas." + +Tabitha ni jina lake katika lugha ya kiaramaiki,na jina la Dorcas katika lugha ya Kigiriki. Majina yote yalikuwa na maana ya "paa." + +# alijaa matendo mema + +"anafanya mengi mazuri ya kweli" + +# Ilitokea katika siku hizo + +"Ilitokea wakati Petro alipokuwa Lida". + +# walipomsafisha + +Waliusafisha mwili ikiwa ni maandalio ya maziko yake. + +# walimpandisha chumba cha juu na kumlaza. + +Huu ilikuwa ni utaratibu wa muda wa kuuonyesha mwili wakati wa maandalizi ya mazishi. + diff --git a/act/09/38.md b/act/09/38.md new file mode 100644 index 00000000..7fa29db7 --- /dev/null +++ b/act/09/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Waliwatuma watu wawili kwake + +"Wanafunzi waliwatuma watu wawili kwake" + +# Katika chumba cha juu + +Chumba cha juu mahali mwili wa Dorkas ulikuwa umelazwa. + +# Wajane wote + +Inawezekana kuwa wajane wote wa mji ule walikusanyika pamoja kwani haukuwa mji mkubwa. + +# Wajane + +wanawake ambao waume zao walifariki na walikuwa wanahitaji kusaidiwa. + +# Wakati akiwa pamoja nao + +"wakati akiwa hai pamoja na wanafunzi" + diff --git a/act/09/40.md b/act/09/40.md new file mode 100644 index 00000000..af33de5b --- /dev/null +++ b/act/09/40.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Simlizi ya Tabitha inaishia katika mstari 42, na mstari 43 unatuambia kilichokuwa kinaendelea kwa Petro baada ya simlizi ya Tabitha kumalizika. + +# Akawatoa wote nje + +Kwa shauri hili, Petro aliwafanya kila mmoja kuondoka ili aweze kuwa pekee yake na kuomba kwa ajili ya Thabitha. + +# akampa mkono wake akamwinua + +Petro alimshika mkono wake na kumsaidia kuinuka. + +# waumini na wajane, + +Hata wajane yawezekana walikuwa waumini, lakini hapa wametambulishwa kwa jina la wajane kwasababu Tabitha alikuwa mtu muhimu kwao. + +# Jambo hili kujulikana Yafa yote + +Muujiza wa Petro kumfufua Tabitha kutoka kwenye kifo ukajulikana na watu wote wa Yafa. + +# Walimwamini Bwana + +"waliiamini injili ya Bwana Yesu." + +# Ikatokea kwamba Petro alikaa + +"Ikatokea kuhusu kwamba Petro akakaa huko kwa muda" + diff --git a/act/10/01.md b/act/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..08c57f5a --- /dev/null +++ b/act/10/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwanzo wa sehemu juu ya habari inayohusu Kornelio. + +# Maelezo ya jumla + +Mistari hii inatupa mrejesho wa taarifa kuhusu yeye. + +# Kulikuwa na mtu fulani + +Hii ilikuwa ni njia ya kutambulisha mtu mwingine katika habari. + +# jina lake aliitwa Cornelio, alikuwa mkuu wa kikosi cha Kiitalia + +"jina lake aliitwa Kornelio. alikuwa ni mtu mwenye cheo wa maaskari 100 kutoka Italia katika sehemu ya jeshi la Rumi" + +# Alikuwa mcha Mungu na alimwabudu Mungu + +"Aliamini katika Mungu na alitaka kumtii Mungu na kumwabudu Mungu katika maisha yake" + +# na nyumba yake yote + +"na watu wote wengine wa nyumbani kwake ambao pengine walikuwa wa mataifa walimcha Mungu" + +# aliomba kwa Mungu siku zote. + +Alikuwa akimwomba Mungu wakati wote. + diff --git a/act/10/03.md b/act/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..f218c5e1 --- /dev/null +++ b/act/10/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# saa tisa + +Hii ni muda wa Alasiri wa kawaida uliokuwa ukitumiwa na wayahudi kwa maombi. + +# akaona kwa wazi + +Kornelio aliona kwa wazi" + +# Maombi yako na zawadi zako kwa masikini zimepanda juu kama kumbukumbu kwenye uwepo wa Mungu + +Inamaanisha kuwa Misaada ya Kornerio kwa wahitaji pamoja na maombi yalimpendeza Mungu na kuwa ukumbusho kwake. + +# mtengenezaji wa Ngozi + +Mtu mtaalamu wa kutengeneza ngozi za wanyama. + diff --git a/act/10/07.md b/act/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..70e92f16 --- /dev/null +++ b/act/10/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Baada ya Malaika aliyekuwa akisema naye kuondoka + +"Baada ya maono ya Kornelio kufika mwisho" + +# Askari aliyekuwa akimwabudu Mungu kutoka miongoni mwa maaskari waliokuwa wakimtumikia. + +Moja ya maaskari waliokuwa wakimtumikia Kornelio ambao pia walikuwa wakimwabudu Mungu. Ilikuwa mara chache sana jeshi la kirumi, ambapo Kornerio na maaskari wengine kumcha Mungu, alihali wenginge hawamchi Mungu. + +# aliwaambia yote yaliyotokea + +Kornerio alielezea maono yake kwa watumishi wake wawili na kwa mmoja wa maaskari wake. + +# akawatuma Yafa + +"aliwatuma wawili wa watumishi wake na askari mmoja huko Yafa" + diff --git a/act/10/09.md b/act/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..e03943dd --- /dev/null +++ b/act/10/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi: + +Habari inabadilika kutoka kwa Kornelio kutuambia kile Mungu alikuwa anakifanya kwa Petro. + +# Wakati wa saa sita + +"Ilikuwa saa sita mchana" + +# juu darini + +Mapaa ya nyumba yalikuwa tambarare, na watu mara nyingi walifanya kazi mbalimbali juu yake. + +# wakati watu wanapika chakula, + +"Kabla watu hawajamaliza kutayarisha chakula cha mchana" + +# Aliona maono + +"Mungu alimpa Petro maono" au "Aliona maono" + +# akaona anga limefuguka + +Huu ulikuwa ni mwanzo wa Maono ya Petro. + +# kitu fulani kama nguo kubwa ikishuka chini kwenye ardhi katika kona zake zote nne + +Ndani ya chombo kilikuwa na wanyama na mwonekano wake ni kama nguo kubwa ya pembe nne. + +# kikishuka chini katika pembe zake nne. + +"Kitambaa kikiwa na pembe zake nne juu zaidi ya kingine. + +# aina zote za wanyama wenye miguu minne na watambaao juu ya ardhi, na ndege wa angani + +Wanyama wenye miguu... ndege wa angani. Mwitikio wa Petro kwa maono yale mstari unaofuata unaonyesha Wayahudi walikuwa wamepewa amri ya kutokula baadhi ya hao wanyama. "Wanyana na ndege ambao sheria ya Musa ilizuia wasipate kuliwa" + diff --git a/act/10/13.md b/act/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..e69242ee --- /dev/null +++ b/act/10/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sauti ikasema kwake + +Mtu anayeongea hajulikani. Pengine "sauti" alikuwa Mungu mwenyewe, ingawa inawezekana alikuwa Malaika kutoka kwa Mungu. + +# Siyo hivyo + +Petro anaapa "Sitafanya hivyo" + +# sijawahi kula kitu chochote najisi na kichafu + +Imetafsiriwa kuwa wanyama wanawakilisha wasio safi kama ilivyoelezwa na sheria ya Musa na walikuwa hawaliwi na waumini walioishi kabla ya kifo cha Kristo. + +# Alichokitakasa Mungu + +Kama Mungu ndiye msemaji, anajipambanua mwenyewe kwa nafsi ya tatu; "Kile ambacho Mungu alikitakasa" + +# Hii ilitokea mara tatu + +Si kwamba kila kitu alichokiona Petro kilitokea mara tatu. Hii inaweza kuwa na maana; "Kile ambacho Mungu alikitakasa" neno hili ndilo lilijirudia mara tatu mfurulizo. + diff --git a/act/10/17.md b/act/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..ca683674 --- /dev/null +++ b/act/10/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Petro akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa + +Inamaana kuwa Petro alikuwa na wakati mgumu kuelewa maana ya maono hayo. + +# Tazama + +Neno "Tazama" hapa linatutazamisha sisi kuwa makini katika taarifa za ajabu ambazo zinafuata, kwa jambo hili, wanaume wawili walisimama mbele ya geti. + +# wakasimama mbele ya geti + +"kusimama mbele ya geti la kuingilia ndani." hii inamaanisha kuwa hii nyumba ilikuwa na ukuta na geti la kuingilia kwenye nyumba hiyo. + +# wakiuliza njia ya kwenda kwenye nyumba + +Hili nitukio lilitendeka kabla ya kufika kwenye nyumba alipokuwa Petro. Hili tukio lingeripotiwa mapema kabla. + +# Na wakaita + +Watu wa Karnelio walibaki nje ya Geti wakati wakiulizia kuhusu Petro. + diff --git a/act/10/19.md b/act/10/19.md new file mode 100644 index 00000000..bc54b1fe --- /dev/null +++ b/act/10/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# akiwaza juu ya hayo maono + +"Wakati Petro alipokuwa akifikri juu ya haya maono" + +# Roho + +"Roho Mtakatifu" + +# Tazama + +Uwe macho" au "Amka" + +# watu watatu wanakutafuta + +Baadhi ya nyaraka za kale zinasema idadi tofauti ya wale watu. + +# Shuka chini + +"Shuka chini kutoka dari ya nyumba" + +# Usiogope kwenda nao + +Ingekuwa kawaida kwa Petro kutokwena na hao watu; 1) Kwa vile walikuwa wageni kwake na 2) Walikuwa wa mataifa ambapo Wayahudi walikuwa hawachangamani na wao. + +# Mimi ni yule mnayemtafuta + +"Mimi ndiye mtu yule mnayemtafuta" + diff --git a/act/10/22.md b/act/10/22.md new file mode 100644 index 00000000..41a6bc4b --- /dev/null +++ b/act/10/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wakasema + +"Wale wajumbe watatu kutoka kwa Kornelio wakasema kwa Petro" + +# hupenda kumwabudu Mungu + +Neno "Kumwabudu" Lina maana ya nia ya ndani kuheshimu na kicho cha kweli. + +# taifa lote la kiyahudi + +Hii ni mfano kwa ajili ya tabia nzuri ya Kornelio ilikuwa inajulikana vizuri kwa watu wengi wa Kiyahudi. + +# Petro akawakaribisha kuingia ndani na kukaa pamoja naye + +Safari ya kuelekea Kaisaria ilikuwa ndefu sana kwa wao kuanza muda wa mchana. + +# kukaa pamoja naye + +"Wajumbe wa Kornerio wakawa wageni wake" + +# ndugu wachache kutoka Yafa + +Hii inaelezea juu ya waumini waliokuwa wakiishi Yafa. + diff --git a/act/10/24.md b/act/10/24.md new file mode 100644 index 00000000..848b7000 --- /dev/null +++ b/act/10/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Siku iliyofuata + +Hii ilikuwa ni siku moja baada ya wao kuondoka Yafa. Safari ya kwenda Kaisaria ilikuwa ndefu zaidi ya siku moja. + +# Kornelio alikuwa akiwasubiri + +Kornerio alikuwa akiwatarajia. Akiwa amewaita pamoja ndugu zake na marafiki zake wa karibu + diff --git a/act/10/25.md b/act/10/25.md new file mode 100644 index 00000000..2d08ec74 --- /dev/null +++ b/act/10/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakati Petro akiingia ndani + +"Mara Petro alipoingia ndani ya nyumba" + +# Kornerio akainama hadi chini kwenye miguu yake + +Ingawa kuinama lilikuwa ni tendo la kawaida katika utamaduni wao, Kornerio yeye aliinama kwa Petro kama ishara ya kumsujudia. + +# Simama; mimi mwenyewe pia ni mwanadamu + +Hili ni kukemea vikali au marekebisho kwa Kornelio kuwa asimwabudu Petro. + diff --git a/act/10/27.md b/act/10/27.md new file mode 100644 index 00000000..b2c995ce --- /dev/null +++ b/act/10/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi: + +Petro anawaelekea watu waliokuwa wamekusanyika kwenye nyumba ya Kornelio. + +# watu wengi wamekusanyika pamoja + +"akakuta wamataifa wengi wamekusanyika pamoja." hii inamaanisha kuwa watu ambao Kornelio alikuwa amewaalika walikuwa wamataifa. + +# Ninyi wenyewe mnajua + +Petro anamlenga Korneria na wageni aliokuwa amewaalika. + +# siyo sheria ya kiyahudi + +"imefichika kwa wayahudi" + +# mtu ambaye si wa taifa hili. + +Anaelezea watu ambao hawakuwa wayahudi, bila kutaja maeneo maalumu walikokuwa wanaishi. + diff --git a/act/10/30.md b/act/10/30.md new file mode 100644 index 00000000..c58249c5 --- /dev/null +++ b/act/10/30.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi: + +Kornelio akajibu swali la Petro. + +# Maelezo ya jumla: + +Mstari wa 31na 32 Kornelio ananukuu kile malaika alisema alipojitokeza kwake wakati wa saa tisa. + +# Siku nne zilizopita + +Kornerio anafafanua juu ya siku kabla ya usiku wa siku kabla ile kabla hajaongea na Petro. Utamaduni wa Kibiblia unahesabu siku hiyo. Hivyo kabla ya siku tatu zilizopitz za usiku ilihesabiwa kuwa "siku ya nne iliyopita." Mila za Magharibi ya sasa, hii inawezakuwa, "Siku tatu zilizopita." + +# Wakati nikiomba + +maandiko ya kale yanasema "kufunga na kuomba" badala ya kuomba tu" + +# muda wa saa tisa + +Mchana wa kawaida ni wakati wa Wayahudi kuomba kwa Mungu. + +# maombi yako yamesikiwa na Mungu + +Inamaanisha Mungu amesikia maombi yako + +# ukumbusho mbele za Mungu + +"Mungu amekuletea ukumbusho" Hii haimanishi kuwa Mungu alikuwa amesahau. + +# akamwite mtu mmoja anayeitwa Simoni aje kwako + +"Mwambie Simoni anayeitwa Petro kuja kwako" + +# Umetenda wema kuja + +Hii ni namna ya heshima ya kumshukuru Petro kwa kuja kwake. + +# katika macho ya Mungu + +Hii inadhihirisha uwepo wa Mungu. + diff --git a/act/10/34.md b/act/10/34.md new file mode 100644 index 00000000..58b59e38 --- /dev/null +++ b/act/10/34.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anaanza hotuba kuongea na kila mtu ndani ya nyumba ya Kornelio. + +# Ndipo Petro akafungua mdomo wake na kusema + +"Petro alianza kuzungumza kwao" + +# Hakika + +Hii inamaanisha kile anachokwenda kukisema kina umuhimu wa kukijua + +# Mungu hawezi kuwa na upendeleo + +"Mungu hapendelei watu maalumu" + +# kila mtu yeyote anayemwabudu na kufanya matendo ya haki anakubalika kwake + +"anamkubali kila mtu anayemwabudu na kufanya matendo ya haki" + +# Ibada + +Neno "Ibada" linamaanisha nia ya ndani ya heshima na kicho cha kweli. + diff --git a/act/10/36.md b/act/10/36.md new file mode 100644 index 00000000..c014d4c7 --- /dev/null +++ b/act/10/36.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anaendelea na Kornerio pamoja na wageni wake. + +# ambaye ni Bwana wa wote + +"Wote" maana yake watu wote" + +# Yudea yote + +"Katika maeneo mbalimbali ya Yudea" + +# baada ya ubatizo ambao Yohana alitangaza + +"Baada ya Yohana kuhubiri kwa watu kurubu na kubatizwa" + +# Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu + +Roho Mtakatifu na nguvu za Mungu zimenenwa kana kwamba ni vitu vinaweza kumiminwa juu ya mtu. + +# wote walioteswa na ibilsi + +"Watu wengi waliokuwa wanapitia mateso ya shetani" + +# Mungu alikuwa pamoja naye. + +Inamaanisha; "Mungu alikuwa akimtia nguvu kuzitenda kazi zote" + diff --git a/act/10/39.md b/act/10/39.md new file mode 100644 index 00000000..cac97e69 --- /dev/null +++ b/act/10/39.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Petro na Mitume na waumini ambao walikuwa pamoja na Yesu wakati akiwa hapa duniani. + +# Katika nchi za Wayahudi + +Inaelezea zaidi Yudea ya wakati huo. + +# ambaye waliyemuua + +"ambaye viongozi wa kiyahudi walimwua'' + +# Wakamtundika juu ya mti + +Inamaanisha, "kumuwamba Yesu katika mti wa msalaba" + +# Huyu mtu + +"Huyu mtu Yesu" + +# Mungu alimfufua + +"Mungu alimfanya kuishi tena" + +# siku ya tatu + +"Siku ya tatu baada ya kufa kwake" + +# kumpa kujulikana + +"alimpa kujulikana na wengi" + +# kutoka kwa wafu + +"Kutoka miongoni mwa waliokwisha kufa" Linafafanua juu ya roho za watu waliokwisha kufa. Kurejea kutoka miongoni mwa hizo roho ni kuwa mzima tena. + diff --git a/act/10/42.md b/act/10/42.md new file mode 100644 index 00000000..7292b28d --- /dev/null +++ b/act/10/42.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anamalizia hotuba yake katika nyumba ya Kornerio aliyokuwa ameianza. + +# kuwa huyu ndiye ambaye Mungu alimchagua + +Mungu alikuwa amemchagua Yesu Kristo. + +# walio hai na waliokufa + +Anamaanisha, " Watu walio hai na watu waliokwisha kufa + +# Katika yeye manabii wote washuhudie + +"Manabii wote walishuhudia habari za Yesu". + +# kila anayeamini katika yeye atapokea msamaha wa dhambi + +Mungu atasamehe dhambi za kila mmoja anayemwamini Yesu kwasababu ya kile Yesu ametenda. + +# kupitia jina lake + +Neno "jina" Linaelezea matendo ya Yesu. Jina lake linamaanisha Mungu huokoa. + diff --git a/act/10/44.md b/act/10/44.md new file mode 100644 index 00000000..e2483c17 --- /dev/null +++ b/act/10/44.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Roho Mtakatifu akawajaza wote + +Neno "Kuwajaza" maana yake ni kutokea ghafla. "Roho Mtakatifu ghafla alishuka". + +# wote waliokuwa wakisikiliza + +Neno "wote" linaelezea kuwa; "Wamataifa ndani ya nyumba waliokuwa wakimsikiliza Petro". + +# Watu wale wanaohusika na kikundi cha waamini waliotahiriwa + +Hii ni namna nyingine ya kuzungumzia juu ya Waumini Wayahudi + +# Karama ya Roho Mtakatifu + +Inaelezea juu ya Roho Mtakatifu mwenyewe aliyetolewa kwao. + +# Roho Mtakatifu aliyemwagwa + +Mungu alimtoa Roho Mtakatifu. "Zawadi ya bure" + +# Pia na kwa mataifa + +Neno "pia" linaonyesha ukweli kuwa Roho Mtakatifu alikuwa tayari ametolewa kwa Wayahudi waumini + diff --git a/act/10/46.md b/act/10/46.md new file mode 100644 index 00000000..c8c8ded5 --- /dev/null +++ b/act/10/46.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwisho wa sehemu ya simlizi kuhusu Kornerio. + +# wamataifa wanaongea kwa lugha zingine na kumwabudu Mungu + +Zilijulikana kuwa ni lugha zilizokuwa zinatamkwa na waliojazwa na Roho Mtakatifu, kilichofanya Wayahudi kukubali kwamba wamataifa nao walikuwa wakimtukuza Mungu. + +# Kuna mtu yeyote anaweza kuzuia maji ili watu wasibatizwe, Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi? + +Petro alilitumia swali hili kuwashawishi Wayahudi wakristo kwamba Wamataifa walioamini wanaweza kubatizwa. + +# Ndipo akawaamuru wabatizwe + +Inamaanisha kwamba Wayahudi wakristo ndio waliowabatiza Wamataifa siku hiyo. + +# wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo + +"Kwa Jina la Yesu Kristo" Linaelezea kuwa sababu ya kubatizwa kwao ni kwa kumwamini Yesu Kristo. + diff --git a/act/11/01.md b/act/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..42ed3d9e --- /dev/null +++ b/act/11/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anaingia Yerusalemu na anaanza kuongea na Wayahudi wa huko. + +# Maelezo ya jumla + +Huu ni mwanzo wa tukio jipya katika simlizi + +# Sasa + +Linaashiria sehemu mpya ya simlizi + +# Ndugu + +"Ndugu" Linamaanisha waumini katika Yudea. + +# waliokuwa Yudea + +"Waliokuwa wakiishi mkoa wa Yudea" + +# Walikuwa wamelipokea neno la Mungu + +Linamaanisha kuwa Wamataifa walikuwa wameupokea ujumbe wa Injili kuhusu Yesu. "Waliamini ujumbe wa Mungu kuhusu Yesu Kristo". + +# Walikuwa wamepanda kwenda Yerusalemu + +Yerusalemu ilikuwa juu zaidi ya kila eneo la Israeli. hivyo ilikuwa kawaida kwa Waisraeli kusema wanapanda juu kwenda Yerusalemu. + +# lile kundi la watu waliotahiriwa + +Wayahudi walioamini kwamba kila anayeamini lazina atahiriwe. + +# watu wasiotahiriwa + +Linamaanisha, "watu wa Mataifa" + +# Alikula pamoja nao + +Ilikuwa kinyume kwa utamaduni wa Wayahudi, Wauahudi kula na Wamataifa. + diff --git a/act/11/04.md b/act/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..2472a225 --- /dev/null +++ b/act/11/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anawajibu Wayahudi kwa kuwaambia juu ya maono na kile kilichotokea katika nyumba ya Kornerio. + +# Petro alianza kueleza + +Petro hakujaribu kusema maneno ya kuwapinga Wayahudi waumini, bali alijibu kwa maelezo ya kirafiki na hekima. + +# Kwa undani + +"Hakika ya kile kilichotokea" + +# Kama kitambaa kikubwa + +Chombo kilichoshikilia wanyama kilionekana kitambaa kikubwa. + +# Chenye pembe nne + +"Kikubwa chenye pembe nne" + +# wanyama wenye miguu minne waishio katika nchi, + +"Wanyama wa miguu" Mwitikio wa Petro ulilenga sheria ya Musa iliyokuwa inazuia kula baadhi ya wanyama. + +# Wanyama wa mwitu + +Pengine ni wanyama wasioweza kufugwa. + +# wanyama watambaao + +Hawa ni wale waendao kwa kutambaa. + diff --git a/act/11/07.md b/act/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..419c09d3 --- /dev/null +++ b/act/11/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# nikasikia sauti + +Sauti ilinena lakini bila yeyote kujidhihirisha. "Sauti" yawezekana ni Mungu, ingawa inawezekana kuwa ilikuwa sauti ya Malaika. + +# Siyo hivyo + +"Siwezi kufanya hivyo" linganisha na sura 10:13. + +# mdomoni mwangu hakujawahi kuingia kitu chochote kisicho kitakatifu + +Wanyama waliokuwa kwenye kitambaa walikuwa ni wanyama ambao sheria ya Wayahudi katika Agano la Kale iliwazuia wasiweze kuwala. + +# Kichafu + +Katika Agano la Kale Sheria ya Wayahudi, mtu alionekana mchafu katika njia mbalimbali, kama vile kula wanyama waliokuwa hawaruhusiwi kuliwa. + +# kile Mungu alichokitangaza kuwa ni safi, usikiite najisi + +Sentensi hii inaelezea juu ya wanyama waliokuwa kwenye kitambaa kikubwa cha pembe nne. + +# Hii ilitokea mara tatu + +Si kila tukio lilirudiwa kuonekana mara tatu, Hata hivyo neno; "Kile Mungu alichokitakasa usikiite najisi" Ni neno lilijirudia mara tatu kwa Petro. Linganisha na sura 10:13. + diff --git a/act/11/11.md b/act/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..bca0c3a6 --- /dev/null +++ b/act/11/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Tazama + +Hili neno linaashiria kuanza kutajwa watu wengine kwenye simlizi hii. + +# Mara moja + +"Mara hiyo bila kuchelewa" + +# Walikuwa wametumwa + +"Mtu fulani alikuwa amewatuma" + +# na nisitofautiane nao. + +"Kwamba nisipate cha kunitofautisha nao kwamba walikuwa wamataifa" + +# Hawa wanaume sita wakaenda pamoja na mimi + +anaume sita wakaenda nami mpaka Kaisaria. + +# Hawa ndugu sita + +"Hawa sita Wayahudi waumini" + +# Ndani ya nyumba ya mtu mmoja + +Linaelezea nyumba ya Kornerio + +# Simoni aliyeitwa Petro + +"Simoni ambaye pia aliitwa Petro" + +# utaokoka + +Inaweza kuwa "Mungu atakuokoa" + +# Na wote wa nyumba yako + +Linamaanisha; Wote wataokolewa walioko nyumbani mwako" + diff --git a/act/11/15.md b/act/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..37ecf275 --- /dev/null +++ b/act/11/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hapa Petro anajumuisha yeye, Mitume na Wayahudi waumini wote waliopokea Roho Mtakatifu katika siku ya Pentekoste. + +# Nilipoanza kusema nao, Roho mtakatifu akaja juu yao + +namaanisha kwamba, "Petro kabla hajamaliza kunena, kwa vile alikuwa amenuia kusema nao zaidi, Roho Mtakatifu akaingilia kati kwa kuwashukia. + +# Roho mtakatifu akaja juu yao kama alivyokuja kwetu mwanzoni. + +Roho Mtakatifu alishuka kwa wamataifa walioamini kama vile alivyofanya kwetu siku ya Pentekoste. + +# mtabatizwa katika Roho mtakatifu + +Mungu atawabatizeni ninyi katika Roho Mtakatifu. + diff --git a/act/11/17.md b/act/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..e6d4a143 --- /dev/null +++ b/act/11/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Petro anamalizia hotuba yake aliyokuwa ameianza katika sura 11:4 kwa Wayahudi juu ya maono yaliyotokea katika nyumba ya Korinerio. + +# Pia kama Mungu ametoa zawadi... mimi ni nani, kwamba naweza kumpinga Mungu? + +Petro anatumia swali hilikueleza kuwa yeye alikuwa anafanya vile kwa kumtii Mungu. + +# Zawadi sawa + +Petro anaelezea zawadi ya Roho Mtakatifu. + +# Waliposikia mambo haya, hawakurudisha, + +"Walinyamaza, hawakuweza tena kumshambulia Petro. + +# Mungu ametoa toba kwa ajili ya uzima. + +"Ametoa toba kwa wote kuwaongoza katika uzima wa milele" + diff --git a/act/11/19.md b/act/11/19.md new file mode 100644 index 00000000..b24fddde --- /dev/null +++ b/act/11/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Luka anaelezea kuhusu kile kilichotokea kwa waumini waliokimbia baada ya kuuawa kwa Stefano kwa mawe. + +# Sasa + +Luka anatambulisha simlizi mpya + +# waamini ambao mateso yalianzia kwenye kifo cha Stephano walitawanyika kutoka Yerusalemu-waamini hawa walienda mbali, + +Mateso yaliyoanza na kifo cha Stefano yalisababisha waumini kukimbia na kusambaa maeneo mbalimbali. + +# Wayahudi peke yake + +Waumini walidhani ujumbe wa Mungu ulikuwa kwa ajili ya Wayahudi pekee na siyo kwa wamataifa pia. + +# na kusema na wayunani + +Watu aliokuwa wakiongea kiyunana nao walikuwa ni watu wa mataifa hawakuwa Wayahudi. + +# Na mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nao + +Mkono wa Mungu unamaanisha nguvu zake. "Mungu alikuwa na nguvu kuwawezesha wale waumini kuhubiri kwa ujasiri". + +# na kumgeukia Bwana + +Wengi waliacha kuiamini miungu yao ya zamani, na walimwamini Yesu. + diff --git a/act/11/22.md b/act/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..dc683391 --- /dev/null +++ b/act/11/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari hii Luka anaanza kumtaja Barnaba na wakati huo huo akiwataja waumini wa kanisa la Yerusalemu. + +# masikioni mwa kanisa + +apa neno "masikio" linamaanisha Waumini walisikia habari za matukio. + +# kuona karama ya Mungu + +"Kuona neema ya Mungu" au "Namna gani Mungu ametenda kwa ukarimu juu ya waumini". + +# aliwatia moyo wote + +"Aliendelea kuwatia moyo" + +# kubaki na Bwana + +"kubaki waaminifu katika Bwana" au"Kuendelea kumtumaini Bwana" + +# Kwa miyo wao wote + +"Kwa utimilifu; au Bila kupungukiwa" + +# amejazwa na Roho Mtakatifu + +Barnaba aliongonzwa na Roho Mtakatifu kwa vile alikuwa amemtii. + +# watu wengi wakaongezeka katika Bwana + +"Kuongezeka" Walioamini walizidi kuongezeka. + diff --git a/act/11/25.md b/act/11/25.md new file mode 100644 index 00000000..1d5c7562 --- /dev/null +++ b/act/11/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Luka anazungumzia kuhusu Barnaba na Sauli. + +# Kwenda Tarso + +"Alitoka kuelekea Tarso" + +# kumwona Sauli...Alipompata, akamleta Antiokia + +Inaonyesha Barnaba alichukua muda na bidii kumtwaa Sauli kutoka Tarso. + +# Ikawa + +neno linaonyesha mwanzo wa tukio jingime katika simlizi hiyo. + +# wakakusanyika pamoja na kanisa + +"Barnaba na Sauli wakakusanyika pamoja na kanisa." + +# Na wanafunzi wakaitwa wakristo kwa mara ya kwanza + +Inamaanisha kuwa watu wengine walikuwa wakiwaita waumini kwa jina hili. "Watu wa Antiokia waliwaita wanafunzi wakristo" + +# Kwa mara ya kwanza + +"Kwa mara ya kwanza huko Antiokia" + diff --git a/act/11/27.md b/act/11/27.md new file mode 100644 index 00000000..8cfcb321 --- /dev/null +++ b/act/11/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Luka anaelezea historia kuhusu unabii huko Antiokia. + +# Sasa + +Neno hili linatumika kuweka kituo katika simlizi hiyo kuu. + +# manabii wakashuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia + +Yerusalemu ilikuwa juu zaidi ya Antiokia, hivyo ilikues kawaida ya Waisraeli kusema wanapanda kwenda Yerusalemu + +# Agabo ndilo jina lake + +"Jina lake alikuwa akiitwa Agabo + +# akiashiriwa na Roho + +"Roho Mtakatifu alimwezesha kutoa unabii" + +# njaa kali itatokea + +"Upungufu mkubwa wa chakula utatokea" + +# Juu ya dunia yote + +Akimaanisha, "Katika dola yote ya Kirumi" + +# wakati wa siku za Klaudio. + +Wasikilizaji wa Luka wangejua kwamba Klaudio alikuwa Mtawala wa Rumi wakati huo. + diff --git a/act/11/29.md b/act/11/29.md new file mode 100644 index 00000000..05f8d23a --- /dev/null +++ b/act/11/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Sura hii wanaotajwa ni waumini wa kanisa huko Antiokia + +# Kwa hiyo + +Neno linaloelezea kuwa jambo lililotokea kwasababu ya kitu kingine pia + +# kila mmoja alivyo fanikiwa, + +atu matajiri walituma misaada zaidi, na wale masikini walituma kwa kiasi chao. + +# kwa ndugu walioko Uyahudi + +"Kwa wakristo waliokuwa huko Yudea" + +# kwa mkono wa Barnaba na Sauli. + +"Chini ya usimamizi wa Barnaba na Sauli" + diff --git a/act/12/01.md b/act/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..fae42e13 --- /dev/null +++ b/act/12/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa tena panaanza mateso upya. tukio la kwanza ni la kuuawa kwa Yakobo na kisha kukamatwa kwa Petro na kutiwa gerezani na baadaye kuwa huru. + +# Maelezo ya jumla + +Hii ni historia kuhusu Herode kumwua Yakobo. + +# Sasa + +Hii inaanzisha mwanzo wa simulizi. + +# Wakati huo + +Neno linalotambulisha wakati au kipindi cha njaa. + +# akanyosha mkono wake + +Inamaanisha Herode alikuwa ameanza kuwakamata waumini. + +# wale wanaotoka kwenye kusanyiko + +Ni Yakobo na Petro pekee wanatajwa kuashiria huwa hawa walikuwa viongozi wa kanisa la Yerusalemu. + +# ili kuwatesa + +"Kusababisha mateso kwa waumini" + +# Akamwuua Yakobo nduguye Yohana kwa upanga. + +Hii inaonyesha namna Yakobo alivyouawa. + +# Akamwua + +Inamaanisha ama "Herode Mfalme alimwua" au "Herode Mfalme aliagiza kuua." + diff --git a/act/12/03.md b/act/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..c1601e72 --- /dev/null +++ b/act/12/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Neno la kiwakilishi hapa linamaanisha Mfalme Herode. + +# Baada ya kuona kuwa inawapendeza Wayahudi + +erode alitambua kuwa mauaji ya Yakobo yalikuwa yamewafurahisha Wayahudi" + +# Kuwapendeza Wayahudi + +"Wayahudi viongozi walipendezwa na tukio hilo" + +# Hiyo ilikuwa + +"Herode alifanya hivi" au "Hii ilitokea" + +# Siku za mikate isiyochachwa + +Inadokeza sikuku ya dini ya Kiyahudi ya Pasaka. "Ni muda huu Wayahudi walikuwa wakila mkate usiotiwa chachu." + +# vikosi vinne vya askari + +"Vikosi vinne vya askari". Kila kikosi kilikuwa na askari wanne vilivyo mlinda Petro. Kila kikosi kimoja baada ya muda uliogawanywa katika saa ishrini na nne. kila mara askari wawili wangekuwa karibu na Petro alihali askari wawili wakiwa kwenye lango. + +# alikuwa akitarajia kumpeleka kwa watu + +Herode alikuwa amepanga kumhukumu Petro mbele ya macho ya Wayahudi. + diff --git a/act/12/05.md b/act/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..f5d726e7 --- /dev/null +++ b/act/12/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Petro akawekwa gerezani, + +Inamaanisha Maaskari waliendelea kumlinda Petro ndani ya gereza. + +# lakini maombi yakafanywa kwa bidii na kusanyiko kwa ajili yake + +Kundi la waumini wa Yerusalemu kwa nia moja walimwomba Mungu kwa ajili yake. + +# Kwa nia moja + +"Walizidi kujikabidhi" au "Kwa nia moja bila kukatisha maombi" + +# Herode alikuwa anatarajia kumtoa nje + +Herode alikuwa amepanga kumtoa Petro nje ya gereza ili kumhukumu. + +# amefungwa na minyororo miwili, + +"alifungwa kwa minyororo miwili". Kila mnyororo ulikuwa umeunganishwa kwa walinzi wawili walioketi karibu na Petro. + +# Wakilinda gereza. + +"Wakifanya kazi yao ya ulinzi" + diff --git a/act/12/07.md b/act/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..774352b8 --- /dev/null +++ b/act/12/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tazama + +Neno linaloashiria kuzingatia kwa taarifa za kushangaza zilizokuwa zinakwenda kutokea. + +# Upande wake + +"Anayefuata" au "Upande wake" + +# Ndani chumbani + +"ndani ya chumba cha gereza" + +# Akampiga Petro ubavuni + +"Malaika alimpiga ili kumwamsha Petro" Petro alikuwa na usingizi mzito kiasi kwamba ilikuwa inahitajika kuamshwa. + +# minyororo aliyokuwa amefungwa ikafunguka + +Malaika alisababisha minyororo kuanguka kutoka kwa Petro bila ya kuigusa. + +# Petro akafanya hivyo + +Petro alifanya kile aliagizwa kufanya na Malaika. Petro alitii. + diff --git a/act/12/09.md b/act/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..9b7cc1ca --- /dev/null +++ b/act/12/09.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Hakujua + +"Hakuwa anajua kilichokuwa kinaendelea" + +# kilichofanywa na malaika kama ni cha kweli + +Tukio la Malaika kwa Petro lilikuwa la kweli. + +# Baada ya kupita lindo la kwanza na la pili + +Askari hawakuwa na uwezo wa kumwona Petro na malaika wakitembea mpaka kutoka lango la nje. + +# walipita + +"Waliweza kupita" + +# Lindo la pili + +"Katika lindo la pili nako wakapita" + +# Wakafika + +"Walilifikia lango kuu" + +# Lililoelekea mjini + +"Lilifunguka kutoka gerezani kuelekea mjini" + +# likafunguka lenyewe + +Si Petro wala Malaika aliyelifungua lango hilo. + +# wakashuka kwenye mtaa, + +"Wakatembea wakiwa barabarani" + +# Malaika akamwacha. + +"Mara Malaika akamwacha" au "Ghafla akatoweka" + diff --git a/act/12/11.md b/act/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..3987d5b8 --- /dev/null +++ b/act/12/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Petro alipojitambua + +"Petro alipopata ufahamu alitambua kuwa tukio lilikuwa halisi" + +# ili kunitoa katika mikono ya Herode, + +ungu ameniokoa na mkono mbaya wa Herode uliopangwa kwa ajili yangu" + +# na kwa matarajio ya watu wote wa uyahudi + +"Kwamba Wayahudi viongozi walidhani ingefanikiwa kwa Petro kuuawa" + +# Baada ya kujua haya + +Herode alitambua kuwa Mungu alikuwa amemwpusha Petro na hukumu ya yake. + +# Yohana ambaye ni Marko + +"Yohana ambaye pia aliitwa Marko" + diff --git a/act/12/13.md b/act/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..6a0b3982 --- /dev/null +++ b/act/12/13.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Maelezo ya jumla + +Maelezo haya yanawataja binti Rhoda pamoja na wote waliokuwa wakiomba mle chumbani. + +# Alibisha mlangoni + +"Petro alibisha mlangoni" Alizidi kugongagonga kama ilivyokuwa desturi ya Wayahudi ili kuruhusu waliopo kujua kuwa wametembelewa. + +# kwenye mlango wa kizuizi + +"Katika mlango wa nje" au "Katika mlango wa kuingilia kutoka barabarani hadi kwenye yadi ya nyumba" + +# Akaja kufungua + +"Alikuja getini kuuliza ni nani aliyekuwa anabisha hodi" + +# Kwa furaha + +"Kwa vile alijawa na furaha" au "Furaha kupita kiasi" + +# Alishindwa kuufungua mlango + +"Hakuweza kuufungua mlango" au "Alisahau kufungua mlango" + +# akakimbia ndani ya chumba + +"Alikwenda mbio kwenye chumba cha nyumba ile" + +# na kuwajulisha + +liwajulisha au "Alisema" + +# Petro amesimama mbele ya Mlango + +"Amesimama nje mbele ya mlango" + +# Wewe ni mwendawazimu + +Watu siyo tu hawakumwamini, bali walimkemea pia kwa kusema maneno ya kipuuzi. + +# lakini alikazia kuwa ni kweli + +"Alisisitiza kusema alichowaambia kilikuwa cha kweli" + +# Wakamwambia + +"Walimwambia" + +# Ni malaika wake + +"KIle ulichokiona ni malaika wa Petro" Wayahudi waliamini kuwa na malaika mlinzi na inawezekana walifikiri kwa Petro hivyo, kuwa malaika wa Petro alikuwa amekuja kwao. + diff --git a/act/12/16.md b/act/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..dd7d37c6 --- /dev/null +++ b/act/12/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ingawa Herode alikuwa amemwua Yakobo sura 12:1, hata hivyo kulikuwa na Yakobo zaidi ya mmoja. + +# Lakini Petro aliendelea kubisha + +Neno "Kuendelea" linamaanisha Petro alifuluriza kubisha kwa mudo wote wale wa ndani wakiwa wanazungumza habari zake. + +# Wajulishe haya mambo + +"Waambieni habari hizi" + +# Ndugu zake + +"Waumini wengine" + diff --git a/act/12/18.md b/act/12/18.md new file mode 100644 index 00000000..7b3bfa50 --- /dev/null +++ b/act/12/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sasa + +Hili limetumika kutenganisha simulizi. Muda umekwishapita, sasa ni siku nyingine. + +# Kulipokuwa mchana, + +"Saa ya asubuhi" + +# kukawa na huzuni kubwa + +Kinyume cha huzuni kubwa ni "Furaha kubwa" Askari hao hawakuwa na furaha hiyo tena. + +# Furaha kubwa + +Hili linaelezea kinyume cha furaha kama; Msongo wa mawazo, mashaka, hofu na kuchanganyikiwa. + +# kuhusu + +"Kuhusiana na" + +# Baada ya Herode kumtafuta na hakumwona + +"Herode alimtafuta Petro na kushindwa kumpata" + +# akawauliza walinzi na akaamuru wauawe + +Ilikuwa ni adhabu ya kawaida kwa serikali ya Rumi kuua walinzi kama mfungwa wao aliwatoroka. + +# Akaenda kutoka uyahudi mpaka Kaisaria + +Kaisaria ilikuwa chini zaidi ya Yudea. + diff --git a/act/12/20.md b/act/12/20.md new file mode 100644 index 00000000..a3a85100 --- /dev/null +++ b/act/12/20.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Luka anaendelea na simlizi nyingine juu ya maisha ya Herode. + +# Sasa + +Neno linaloweka daraja la kuelekea kwenye tukio jingine. + +# Wakaenda kwa pamoja kwake. + +Ni tukio lisilofurahisha kwamba wote walikwenda kwa Herode. "Wanaume waliowawakilisha watu wa Tiro na Sidoni walienda kwa pamoja kufanya mazungumzo pamoja na Herode. + +# Wakawa na urafiki na Blasto + +"Hawa watu walimfanya kuwa rafiki yao" + +# Blasto + +Blasto alikuwa msaidizi au ofisa wa Mfalme Herode. + +# wakaomba amani, + +"Wanaume wale waliomba kuwe na amani" + +# nchi yao ilipokea chakula kutoka katika nchi ya mfalme. + +Yawezekana walinunua chakula hiki. "Watu wa Tiro na Sidoni walikuwa wakinunua chakula chao chote kutoka kwa watu waliotawaliwa na Herode." + +# nchi yao ilipokea chakula + +Inaonekana Herode alikuwa amezuia nchi yake kutoa chakula kwa Tiro na Sidoni kwasababu alikuwa amewakasirikia watu wa nchi hizo. + +# Siku iliyokusudiwa + +Hii inawezekana ilikuwa ni siku ambayo Herode alikubali kukutana na wawakilishi wa miji ya Tiro na Sidoni. + +# mavazi ya kifalme + +Mavazi ya gharama ambayo yangemdhihirisha kuwa alikuwa mfalme. + +# kukaa kwenye kiti chake cha kifalme, + +Hii ilikuwa ni kawaida ya Herode kufanya wakati watu walikuja kumwona. + diff --git a/act/12/22.md b/act/12/22.md new file mode 100644 index 00000000..e63faa1b --- /dev/null +++ b/act/12/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii ni sehemu ya mwisho ya simlizi ya Mfalme Herode. + +# Ghafla + +"Wakati huo huo" au "Wakati watu walipokuwa wakimsifia Herode" + +# akampiga, + +"Herode aliharibiwa" au " kikasababisha Herode kuwa mgonjwa sana" + +# hakumpa Mungu utukufu + +Herode akawaruhusu watu wamwabudu yeye badala ya kuwaambia wamwabudu Mungu. + +# akaliwa na chango na akafa + +"Chango" inaonyesha na wadudu ndani ya mwili, labda minyoo katika utumbo. + diff --git a/act/12/24.md b/act/12/24.md new file mode 100644 index 00000000..15d3a63c --- /dev/null +++ b/act/12/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hii ni taarifa inayotoa mrejesho juu ya kuenea kwa neno la Mungu na kwa vile Barnaba na Sauli walikuwa wakifanya. + +# neno la Mungu likakua na kusambaa + +Neno la Mungu likahubiriwa kama vile mti mbichi uliokuwa na uwezo wa kustawi na kuzaa matunda. "Neno la Mungu likasambaa katika maeneo mbalimbali na watu wakamwamini." + +# Neno la Mungu + +Watu wengi walisikia habari za neno la Mungu na kuupokea wokovu kwa njia ya Yesu. + +# kukamilisha huduma yao wakatoka pale wakarejea Yerusalemu, + +Inaelezea wakati walipopeleka fedha kutoka kwa waumini wa Antiokia sura 11:29. + +# walirudi kutoka kule + +Walirudi kwenda Antiokia. "Baraba na Sauli walirudi Antiokia" + +# wakamchukua na Yohana + +"Baraba na Sauli walimchukua Yohana pamoja nao" + +# ambaye jina la kuzaliwa ni Marko + +"Alikuwa akiitwa jina jingine Marko" + diff --git a/act/13/01.md b/act/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..eeede8fc --- /dev/null +++ b/act/13/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Luka anaanza kuzungumzia habari za safari za huduma ambazo kanisa la Antiokia liliwatuma Barnaba na Sauli. + +# Maelezo ya jumla + +Mstari wa 1 unatupatia maelezo kuhusu watu wa kanisa la Antiokia. + +# Sasa katika kanisa la Antiokia, + +"Kwa wakati, kanisa la Antiokoa" + +# Simeoni (aliyeitwa Nigeri). Lukio wa Kirene, Manaen + +"Majina ya baadhi ya waliokuwepo katika kanisa la Antiokia + +# ndugu asiye wa damu wa Herode kiongozi + +"Manaeni alikuwa pengine rafiki yake na Herode waliocheza michezo ya ujana pamoja naye" + +# kiongozi wa mkoa + +"Mtawala wa sehemu au robo ya nchi" + +# Wakati + +Neno hili linatambulisha matukio mawili yaliyokuwa yanatendeka kwa wakati mmoja. + +# Niteengeeni pembeni + +"Nitengeeni hao kwa kunitumikia mimi" + +# kazi niliyo waitia. + +Linamaanisha, Mungu amewachagua kufanya hazi hii. + +# na kuweka mikono yao juu ya watu hawa + +"Wakaweka mikono juu ya manaume hao ambao Mungu alikuwa amejitengea kwa kazi yake. Tendo hili lilionyesha kwamba viongozi walikubali kuwa Roho Mtakatifu alikuwa amewaita Barnaba na Sauli kwa kuifanya kazi hii." + +# wakawaacha waende. + +"Wakawaacha waende zao" au "Wakawatuma wanaume hao kutenda kazi ambayo Roho Mtakatifu alikuwa amewatuma kuitenda" + diff --git a/act/13/04.md b/act/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..4e1a9066 --- /dev/null +++ b/act/13/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Luka anandika kuwaelezea Barnaba na Sauli + +# Sasa + +Neno hili linatambulisha tukio lililotendeka kwasababu ya lile lililokuwa limetangulia kutukia. Tukio la mwanzo lilikuwa la kutengwa na Roho Mtakatifu kwa Barnaba na Sauli + +# walitelemka + +Neno "Kutelemka" linatumika hapa kwasababu Seleukia ni mji ulio chini zaidi ya Antiokia. + +# Seleukia + +Mji ulio kandokando ya ziwa. + +# Mji wa Salami + +Mji wa Salami ulikuwa katika kisiwa cha Kipro. + +# Sinagogi la Wayahudi + +Maana inayowezekana; 1) "Kulikuwa na masinagogi mengi ya Wayahudi katika mji wa Salami mahali Barnaba na Sauli walihubiri" au 2) Barnaba na Sauli waliaza kuhubiri ndani ya Sinagogi katika mji wa Salami na kuendelea kuhubiri katika Masinagogi waliyoyaona wakati wakisafiri kuzunguka kisiwa hicho cha Kipro + +# walikuwa pamoja na Yohana Marko kama msaidizi wao. + +"Yohana Marko alisafiri pamoja nao na alikuwa akiwasaidia" + +# Msaidizi + +"Aliyewahudumia" + diff --git a/act/13/06.md b/act/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..afbe1ac4 --- /dev/null +++ b/act/13/06.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari hii imetaja viwakilishi vingi vya majina kuelezea watu mbalimbali walio tajwa na mwandishi Luka. + +# katika kisiwa chote + +Walitembelea kisiwa chote kutoka upande mmoja hadi upande mwingine wakiunena ujumbe wa Injili katika kila mji walimopita. + +# Pafo + +Ni mji Mkuu wa kisiwa cha Kapro mahali Liwali alikuwa akiishi. + +# Walimkuta + +Neno "Kumkuta" linamaanisha kuwa walimfikia bila ya kumtafuta. + +# Mtu fulani mchawi + +"Mtu aliyekuwa akifanya kazu ya uchawi" au "Mtu aliyekuwa akifanya mambo yasiyo ya kawaida katika fani ya kimazingaombwe" + +# ambaye jina lake lilikuwa Bar Yesu + +"Bar - Yesu" maana yake "Mwana wa Yesu". Hakukuwa na mahusiano yoyote ya karibu na Yesu Kristo". Jina Yesu lilikuwa ni jina la kawaida katkia wakati ule. + +# Mchawi huyu alishirikiana + +"Alikuwa mara kwa mara pamoja na" au "Alikuwa mara kwa mara akiambatana na" + +# Liwali + +Huyu alikuwa Kiongozi mtendaji Katika utawala mkoa wa dola ya Rumi. + +# aliyekuwa mtu mwenye akili + +Hii ni historia ya maisha ya Liwali Sergio Paulus. + +# Lakini Elima "yule mchawi" + +Huyu alikuwa Bar- Yesu, ambaly aliyekuwa akiitwa mchawi. + +# hivyo ndivyo jina lake lilivyo tafsiriwa + +"Hivyo ndivyo jina lake katika lugha ya kigriki" + +# aliwapinga; alijaribu kumgeuza + +"Aliwazuia akijaribu kumgeuza" + +# alijaribu kumgeuza yule liwali atoke kwenye imani + +"Alijaribu kumshawishi Liwali kuiacha imani ya ujumbe wa Injli" + diff --git a/act/13/09.md b/act/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..9bdcba30 --- /dev/null +++ b/act/13/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati wakiwa katika kisiwa cha Pafo, Pauli alianza kuzungumza na Elima. + +# Lakini Sauli aliyeitwa Paulo + +"Sauli" ambalo ni jina la Kiyahudi, na "Paulo" ambalo ni jina la Kirumi. Wakati alipokuwa akizungumza na mtawala wa Rumi, alikuwa akitumia jina la Kirumi. + +# akamkazia macho + +"Akamkazia macho kwa makini" + +# Ewe mwana wa Ibilisi + +Paulo anasema yule mtu alikuwa akitenda kama Ibilisi. "Wewe sawa na shetani" au "Unatenda kama Shetani" + +# umejazwa na aina zote za udanganyifu na uovu + +"Wakati wote unatenda kwa kusababisha wengine waamini ambacho si kweli kwa kutumia udanganyifu na mara zote unatenda mabaya" + +# Uovu + +Inamaanisha kuwa mzembe na kutokufuata sheria ya Mungu kwa dhati. + +# Wewe ni adui wa kila aina ya haki + +Paulo anamwunganisha Elima pamoja na Ibilisi. Kama vile Ibilisi ni adui wa Mungu kwa kuwa kinyume na haki, ndivyo ilivyo kwa Elima pia. + +# Hautakoma kuzigeuza njia za Bwana, zilizonyooka, je utaweza? + +Paulo anatumia swali kumkemea Elima kwa upinzani wake kwa Mungu. + +# njia za Bwana, zilizonyooka + +Hapa "njia zilizonyoka" linamaanisha njia zilizo za kweli katika Bwana. + diff --git a/act/13/11.md b/act/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..ec990a63 --- /dev/null +++ b/act/13/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anamalizia majadiliano na Elima. + +# mkono wa Bwana upo juu yako + +Neno "mkono" unawakilisha nguvu za Mungu na neno "juu yako" linamaanisha adhabu . "Mungu atakuadhibu" + +# utakuwa kipofu. + +Hii inaweza kutafsiriwa kuwa; "Mungu atakufanya kipofu" + +# Hautaliona Jua + +Elima atakuwa kipofu kabisa kwamba hataweza kuliona jua. + +# kwa muda + +"Kwa kipindi fulani" au "Mpaka muda wa Mungu aliouamru" + +# mara moja ukungu na giza vilianguka juu ya Elimas + +"Macho ya Elima yakapata ukungu na giza" au "Elima uoni ulikuwa hafifu na kisha hakuweza kuona kabisa" + +# alianza kuzunguka pale + +"Elima alianza kutangatanga" + +# Liwali + +Huyu alikuwa ni mtumishi wa serikali katika jimbo la Rumi. + +# Aliamini + +"Alimwamini Yesu" + +# alishangazwa kwa mafundisho kuhusu Bwana. + +"Mafundisho kuhusu Bwana Yesu yalimshangaza mno" + diff --git a/act/13/13.md b/act/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..72c17635 --- /dev/null +++ b/act/13/13.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii ni sehemu mpya ya simlizi kuhusu Paulo akiwa Antiokia ya Pisidia + +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 13 na 14 inatupa inatupa ufafanuzi wa simlizi hiyo. + +# Maelezo ya jumla + +"Paulo na rafiki zake" Walikuwa Barnaba na Yohana Marko (aliyeitwa Yohana). Kutokea hapa na kuendelea, Sauli akaitwa Paulo katika Matendo ya Mitume. Jina la Paulo limeorodheshwa kwanza kuonyesha kuwa alikuwa kiongozi wa kundi. Ni muhimu kutunza mtiririko huu katika tafasiri. + +# Sasa + +Linaonyesha mwanzo wa kipengere na simlizi mpya. + +# walisafiri majini kutoka Pafo + +"Walisafiri kwa kutumia jahazi kutoka Pafo" + +# wakafika Perge katika Pamfilia. + +"Walifika Perge iliyo Pamfilia" + +# Lakini Yohana aliwaacha + +"Lakini Yohana Marko akawaacha Paulo na Barnaba" + +# Antiokia ya Pisidia. + +"Mji wa Antiokia ni wilaya ya Pisidia" + +# Baada ya kusoma sheria + +"Sheria na Manabii" Inamaanisha sehemu ya maandiko ya Wayahudi ambayo yalisomwa. 'Baada ya mtu mmoja kusoma kutoka vitabu vya sheria na maandiko ya Manabii" + +# waliwatumia ujumbe wakisema + +"Wakiwaomba mmoja wao aseme neno" + +# Ndugu + +Neno "ndugu" lilitumika wa watu katika Sinagogi kuwazungumzia Paulo na Barnaba kama Wayahudi wenzao. + +# kama mnao ujumbe wa kutia moyo + +"Kama mnataka kutuambia jambo lolote la kututi moyo" + +# semeni + +"Tafadhali mnaweza kunena" + diff --git a/act/13/16.md b/act/13/16.md new file mode 100644 index 00000000..331acc2a --- /dev/null +++ b/act/13/16.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaanza hotuba yake kwa watu waliokuwamo kwenye Sinagogi huko Antiokia ya Pisidia. Anaanza kwa kuzungumzia mambo ambayo yalitokea katika historia ya Israeli. + +# alisimama na kuwapungia mkono + +Inamaanisha kutoa ishara kwa mikono kwamba yuko tayari kuanza kusema. + +# enyi mnao mtii Mungu + +Anamaanisha, Wamataifa ambao wanafuata desturi na dini ya Kuyahudi. "Ninyi msio Waisrael, lakini mnamwabudu Mungu" + +# sikilizeni + +"Nisikieni mimi" au "Sikieni ambacha nataka kuwaambia" + +# Mungu wa hawa watu wa Israeli + +"Mungu ambye anaabudiwa na Waisraeli + +# baba zetu + +"Mababa wa Wayahudi" + +# na kuwafanya watu wengi + +"Aliwawezesha wao kuwa watu wengi sana" + +# kwa mkono wake kuinuliwa + +anamaanisha Mkono wa Mungu wenye uweza. + +# aliwaongoza nje yake + +"Kutoka katika nchi ya Misri" + +# aliwavumilia + +linamaanisha "Aliwajali" na "Aliwavumilia katika kutokutii kwao" + diff --git a/act/13/19.md b/act/13/19.md new file mode 100644 index 00000000..91f8a2ba --- /dev/null +++ b/act/13/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mwinjilisti Luka katika kuandika kwake anatumia viwakilishi vingi vya majina kuelezea wale ndugu wanaotajwa katika vifungu hivi. + +# Mataifa + +Neno "Mataifa" linafafanua tofauti ya makundi ya watu na siyo mipaka ya mataifa kijiografia. + +# yalitokea zaidi ya miaka mia nne na hamsini + +lichukua muda wa miaka mia nne na hamsini kuikamilisha kazi ya kuyaondoa mataifa Kanaani. + +# mpaka Samweli Nabii + +"Muda huo ulifikia hata kipindi cha Nabii Samweli" + diff --git a/act/13/21.md b/act/13/21.md new file mode 100644 index 00000000..f3209f23 --- /dev/null +++ b/act/13/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nukuu katika simlizi hii inatoka katika kitabu cha Samweli na katika Zaburi za Ethani katika Agano la kale. + +# kwa miaka arobaini + +"Kuwa mfalme wao kwa miaka arobaini" + +# kumuondoa katika ufalme + +Inamaanisha kuwa Mungu alisababisha Sauli asiendelee kuwa Mfalme. "Alimkataa asiwe Mfalme" + +# alimwinua Daudi kuwa mfalme wao + +"Mungu alimchagua Daudi kuwa Mfalme wao." + +# Mfalme wao + +"Mfalme wa Israeli" au "Mfalme juu ya Waisreli" + +# Ilikuwa ni kuhusu Daudi kwamba Mungu alisema + +"Mungu alisema hivyo kuhusu Daudi" + +# Nimempata + +"Nimeshaona kwamba" + +# kuwa mtu apendezwaye na moyo wangu + +namaanisha kuwa "Yeye ni mtu anayetaka kutenda ambayo mimi nataka" + diff --git a/act/13/23.md b/act/13/23.md new file mode 100644 index 00000000..8625efff --- /dev/null +++ b/act/13/23.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nukuu hii inatoka katika vitabu vya Injili. + +# Kutoka kwenye ukoo wa mtu huyu + +"KUtoka katika ukoo wa Daudi." Hii imewekwa mwanzoni mwa sentensi kuelezea kuwa Mwokozi angekuwa nduye aliyetoka katika ukoo wa Daudi. + +# ameiletea Israeli + +Inamaanisha watu wa Israeli. + +# kama alivyoahidi kufanya + +"Kama vile Mungu alivyoahidi angefanya" + +# Ubatizo wa toba + +Unaweza kulitafasiri neno "toba" kama kitenzi kama vile; "Ubatizo kwa watu waliotakiwa kutubu kwa ajili ya dhambi zao." + +# "Mwanifikiri mimi ni nani?" + +Yohana aliuliza swali kuwafanya watu wafikirie Yohana alikuwa nani. + +# mimi si yule + +Yohana alikuwa anamwelezea Masihi, ambaye watu walikuwa wanamtegemea kuja. + +# Lakini sikilizeni + +Neno linalo elezea umuhimu wa kile ambacho atakwenda kusema. + +# ajaye nyuma yangu + +Hii pia inazungumzia kuja kwa Masihi. "Masihi atakuja Mapema" + +# sisitahili kulegeza viatu vya miguu yake.' + +"Mimi sistahili hata kungua kamba za kiatu chake." + diff --git a/act/13/26.md b/act/13/26.md new file mode 100644 index 00000000..d567c6e9 --- /dev/null +++ b/act/13/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Viwakilishi vya majina hapa vinamuwakilisha Paulo na kundi lote la watu waliokuwemo kwenye Sinagogi. + +# Ndugu, watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wale ambao kati yenu mnamwabudu Mungu + +Paulo analielezea kundi la Wayahudi na wale wa mataifa walioungia katika dini ya kiyahudi ili kubaki na hali yao waliyoichagua ya kumwabudu Mungu wa kweli. + +# ujumbe huu wa ukombozi umetumwa + +Kwa maneno mwngine; "Mungu ameshatuma ujumbe wake wa wokovu" + +# Ukombozi huu + +Neno hili linamaanisha kwamba; "Mungu atawaokoa watu" + +# hawakumtambua + +"Hawakuweza kabisa kumtambua huyu mtu Yesu alikuwa ni mmoja ambaye Mungu alimtuma kuwakomboa." + +# Ujumbe wa manabii. + +Unawakilisha; "Maandiko ya manabii" au "Ujumbe wa manabii." + +# ambao unasomwa + +"Ambao mtu anausoma" + +# walitimiliza ujumbe wa manabii + +"Hakika walitenda kama vile Manabii walivyosema." + diff --git a/act/13/28.md b/act/13/28.md new file mode 100644 index 00000000..743ee882 --- /dev/null +++ b/act/13/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Viwakilishi vya majina, vinawakilisha Wayahudi na Viongozi wa dini zao katika Yerusalemu. + +# hawakupata sababu nzuri kwa kifo ndani yake + +"Hawakupata sababu zenye maana kwanini Yesu alipaswa auawe" + +# Walimwomba Pilato amwue + +Neno "Kumwomba" ni neno lenye nguvu likimaanisha "Kutaka, kulazimisha, kudai" + +# Walipomaliza mambo yote yaliyoandikwa kuhusu yeye + +"Wakati walipomtendea Yesu, kila kitu walichokuwa wamekisema manabii kilitimia. + +# walimshusha kutoka mtini + +"Walimwua Yesu na kuuondoa mwili wake kutoka kwenye msalaba baada ya kufa." + +# kutoka mtini + +"Kutoka msalabani" + diff --git a/act/13/30.md b/act/13/30.md new file mode 100644 index 00000000..58f7d47c --- /dev/null +++ b/act/13/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini Mungu alimfufua + +"Lakini" ni neno linaloonyesha nguvu ya kutofautisha usemi uliotangulia na ule unaofuata kama vile; "Watu walimwua Yesu lakini Mungu alimfufua Yesu" + +# alimfufua kutoka wafu. + +"Alimfufu kutoka miongoni mwa wale waliokuwa wamekufa" + +# kufufuliwa + +"Kufanywa mzima tena" + +# Alionekana... Galilaya kuelekea Yerusalemu. + +"Wanafunzi waliotembea pamoja na Yesu kutoka Galilaya mpaka Yerusalemu wakimwona kwa siku nyingi." + +# Siku nyingi + +"Tunajua kutoka maandiko mengine kwamba, muda wa siku arobaini" + +# hawa sasa ni mashahidi wa watu. + +"Sasa wanashuhudia kwa watu habari za Yesu" + diff --git a/act/13/32.md b/act/13/32.md new file mode 100644 index 00000000..f9b1a629 --- /dev/null +++ b/act/13/32.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nukuu ya pili hapa inatoka katika kitabu cha nabii Isaya. + +# Hivyo + +Kiunganishi cha neno kinachoonyesha tukio kwamba tukio lililokwisha kupita ni kwasababu ya tukio lililokuwa limetangulia kutukia. Tukio la nyuma kabla ya lile lililofuata ni la kumfufua Yesu kutoka kwa wafu. + +# mababu zetu. + +"mababu zetu" Paulo bado anaongea na Wayahudi na watu wa mataifa waliofuata desturi za Kiyahudi huko Antiokia Pisidia. Hawa walikuwa mababu wa kimwili wa Wayahudi na Mababu wa kiroho wa wakristo wa mataifa waliofuata desturi za Kiyahudi. + +# Mungu aliweka ahadi hizi + +"Mungu amekwisha timiza hizo ahadi" + +# kwetu, watoto wao, + +"Kwetu" inamaanisha wale watoto wa hao mababu" + +# katika hilo alimfufua Yesu na kumrudisha tena katika uhai + +"Kwa kumfanya Yesu kuwa mzima tena" + +# Hili pia liliandikwa katika Zaburi + +kweli huu umeandikwa pia na Zaburi ya pili." + +# Mwanangu, leo nimekuwa Baba yako + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyoeleza ule uhusiano kati ya Yesu na Mungu. + +# kwamba alimfufua kutoka wafu ili kwamba mwili wake usiharibike, ameongea hivi + +"Mungu alinena haya maneno juu ya kumfanya Yesu kuwa mzima tena ili asionekane na mauti tena" + +# Kutoka kwa wafu + +"Wafu" ni neno linalowakilisha watu waliokwisha kufa. Atamfufua kutoka miongoni mwao na kumfanya kuwa mzima tena" + +# baraka halisi + +"Baraka za kipekee" + diff --git a/act/13/35.md b/act/13/35.md new file mode 100644 index 00000000..24ee8bd2 --- /dev/null +++ b/act/13/35.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine + +Wasikilizaji wa Paulo wangeweza kufahamu kuwa Zaburi hii ilikuwa inamtaja Masihi. + +# Anasema pia + +"Daudi pia alisema." Daudi ni mwandishi wa Zaburi ya 16 ambapo nukuu hii imechukuliwa. + +# 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.' + +Neno "kuona uozo" ni neno linalofanana na "kuharibika." Hutaruhusu mwili wa mtakatifu wako kuharibika." + +# Hutaruhusu + +Hapa Daudi anamwambia Mungu. + +# Katika kizazi chake + +"Katika kipindi cha uhai wake" + +# kutumika katika nia ya Mungu + +"alifanya kile alichomtaka Mungu kufanya" + +# alilala, + +Hii ilikuwa lugha laini iliyokwa inazungumzia kifo. + +# alilazwa pamoja na baba zake + +"Alizikwa pamoja na baba zake waliokuwa wamekufa" + +# aliuona uaharibifu + +"Kuona uharibifu" ni kusema kuwa "Mwili wake uliharibiwa" + +# Lakini aliyefufuliwa + +"Lakini Yesu ambaye" + +# hakuuona uharibifu + +"Yesu hakuona uharibifu" + diff --git a/act/13/38.md b/act/13/38.md new file mode 100644 index 00000000..422a2e06 --- /dev/null +++ b/act/13/38.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Kiwakilishi cha jina "yeye" linaelezea juu ya Yesu. + +# na ifahamike kwenu + +"Fahamu hivi" au "Hii ni muhimu kwako kujua" + +# Ndugu + +Paulo anatumia lugha ua ndugu kuona Wayahudi na wafuasi wa dini ya kiyahudi wote ni ndugu. + +# ifahamike kwenu, ndugu, kupitia mtu huyu, msamaha wa dhambi + +"tunawatangazia kuwa dhambi zenu zinaweza kusamehewa kupitia Yesu." + +# Msamaha wa dhambi + +"Msamaha" inaweza kutafasiriwa kuwa; Mungu anaweza kusamehe dhambi zako" + +# Kwa yeye kila aaminiye + +"Kila mmoja anayemwamini yeye" + +# Kwa yeye kila aaminiye anahesabiwa haki + +"Yesu anamhesabia haki kila mmoja anayemwamini" + +# Kila kitu + +"dhambi zote" + diff --git a/act/13/40.md b/act/13/40.md new file mode 100644 index 00000000..4aff90e0 --- /dev/null +++ b/act/13/40.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Paulo anamalizia hotuba yake katika Sinagogi la Antiokia ya Pisidia aliyoianza katika sura 31:16. + +# Maelezo ya jumla + +Katika ujumbe wake kwa watu wa Sinagogi, Paulo ananukuu nukuu ya Nabii Habakuki. + +# Kuweni waangalifu + +"Iweni waangalifu kwa mambo ambayo nimekwisha waelezeni." + +# kwamba kitu walichokiongelea manabii + +"Kwa kile manabii walishawahi kuzungumzia" + +# Tazama, enyi mnaodharau + +"Mnaofanya mizaha, dharau" + +# mkashangae + +"Mkashitushwe" + +# mkaangamie + +"Kisha kufa" + +# Ninafanya kazi + +"Ninatenda kitu" + +# Katika siku zenu + +"Kipindi cha uhai wenu" + +# Kazi ambayo + +"Ninafanya kitu ambacho" + +# hata kama mtu atawaeleza." + +"Hata ikiwa mtu mmoja kuwaanbia habari yake" + diff --git a/act/13/42.md b/act/13/42.md new file mode 100644 index 00000000..299ad2ab --- /dev/null +++ b/act/13/42.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Paulo na Barnaba walipoondoka + +"Wakati Paulo na Barnaba walipokuwa wakiondoka" + +# wakawaomba waongee + +"Wakawaomba" + +# Maneno yale yale + +"Maneno ambayo Paulo alikuwa ameyatamka kwenye hotuba yake" + +# Wakati mkutano wa sinagogi ulipokwisha + +Inaweza kuwa; 1) Wakati Paulo na Barnaba walipoondoka mstari 42: au 2) Paulo na Barinaba waliopouacha mkutano kabla ya kuhitimisha. + +# Wongofu + +"Hawa walikuwa si Wayahudi ambao hawakufuata utamaduni wa Kiyahudi" + +# waliongea nao na waliwahimiza + +"Na Paulo na Barnaba walinena nao hao na kuwasihi" + +# waendelee katika neema ya Mungu. + +"Waendelee kumtumaini Mungu ambaye husamehe dhambi kwasababu ya kile Yesu alifanya kwao" + diff --git a/act/13/44.md b/act/13/44.md new file mode 100644 index 00000000..b72c823c --- /dev/null +++ b/act/13/44.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Karibu mji mzima + +"Mji" Ni neno linaliwakilisha watu wa mji huo. + +# kusikia neno la Mungu. + +"Kuwasikia Paulo na Barnaba wakinena neno la Bwana Yesu. + +# Wayahudi + +:Hawa ni Wayahudi Viongozi" + +# walijawa na wivu + +"Hali ya wivu ikawajia" + +# Wakaongea masneno ya kupinga + +"Maneno yaliyopinga ujumbe wao" + +# maneno yaliyopinga vitu vilivyosemwa na Paulo + +"Mambo yale yaliyosemwa na Paulo" + diff --git a/act/13/46.md b/act/13/46.md new file mode 100644 index 00000000..01e8d4ee --- /dev/null +++ b/act/13/46.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Paulo ananukuu nukuu ya Nabii Isaya katika Agano la Kale. + +# Ilikuwa ni muhimu + +"Mungu alikuwa ameagiza kile cha kufanya" + +# kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu + +"Kwamba tulinene neno la Mungu kwenu kwanza" + +# kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu + +"Kulipinga neno la Mungu lililonenwa" + +# nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele + +Mmeonyesha kuwa hamkuuthamini uzima wa milele" + +# tutawageukia Mataifa. + +"Tutawaambia watu wa Mataifa habari za Yesu" + +# kama nuru + +Hapa ni ukweli kuhusu Yesu kwamba Paulo alikuwa akihubiri kana kwamba kulikuwa na nuru iliyokuwa ikiruhusu watu kuona. + +# kwamba mlete wokovu kwa pande zote za dunia + +"Kuwaambia watu mahali pote katika dunia kwamba ninataka kuwaokoa" + diff --git a/act/13/48.md b/act/13/48.md new file mode 100644 index 00000000..a5ee43ca --- /dev/null +++ b/act/13/48.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kulisifu neno la Bwana. + +"Kumsifu Mungu kwa ujumbe kuhusu Bwana Yesu" + +# Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele + +"Watu wote ambao Mungu alikuwa amewachagua kupokea uzima wa milele" + +# Neno la Bwana lilienea nchi yote + +"Wale alioliamini jina la Yesu walienda kila mahali katika jimbo hilo na kuwaambia wengine habari za Yesu" + diff --git a/act/13/50.md b/act/13/50.md new file mode 100644 index 00000000..2c7aea89 --- /dev/null +++ b/act/13/50.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni muda wa mwisho wa Paulo na Barnaba kukaa Antiokia ya Pisidia na wakaenda ikonia. + +# Wayahudi + +Hii yawezekana kuzungumzia viongozi wa Kiyahudi. + +# Waliwasihi + +"Kushawisha" au "kuhamasisha" + +# Wanaume viongozi + +"Wanaume mashuhuri" + +# Haya yalichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba + +"Walishawishi wanaume mashuhuri na wanawake kuwatesa Paulo na Barnaba" + +# waliwatupa nje ya mipaka ya mji. + +"Waliwatoa Paulo na Barnaba kutoka nje ya mji" + +# walikung'uta mavumbi ya miguu yao. + +"Huu ulikuwa tukio la mfano kuonyesha kwa watu wasioamini kwamba Mungu alikuwa amewakataa na angeweza kuwahukumia" + +# Wanafunzi + +"Yawezekana ni wale waumini wapya walioamini huko Antiokia Pisidia ambao Paulo na Barnaba waliwaacha" + diff --git a/act/14/01.md b/act/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..1f691b2b --- /dev/null +++ b/act/14/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Habari ya Paulo na Barnaba Ikonia inaendelea. + +# Ikatokea katika Ikonia ya kwamba + +Maana hapa yawezekana kuwa 1) "ilitokea Ikonia ya kwamba" au 2) "Kama kawaida ndani ya Ikonia" + +# alizungumza kwa namna ambayo + +"alizungumza kwa namna ambayo." Inaweza kusaidia kutamka kwamba walizungumza ujumbe kuhusu Yesu. "walizungumza ujumbe kuhusu Yesu kwa nguvu" + +# Wayahudi waliokuwa hawatii + +Hii inalenga kikundi cha Wayahudi ambao hawakumuamini ujumbe wa Yesu. + +# kutikisa akili za Wayunani + +kusababisha Wayunani kuwa na hasira inazungumzwa kana kwamba maji yaliyotulia kuchafuliwa. + +# akili + +hapa neno "akili" linamaanisha watu + +# ndugu + +hapa "ndugu" linamaanisha Paulo na Barnaba na waumini wapya. + diff --git a/act/14/03.md b/act/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..adfadb80 --- /dev/null +++ b/act/14/03.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hapa neno "Yeye" linamaanisha Bwana. + +# Kwa hiyo wakabaki kule + +"Hata hivyo walibaki kule." Paul na Barnaba walibaki ikonia kuwasaidia watu wengi walioamini katika 14:1. "Kwa hiyo" inaweza kuondolewa kama itaongeza mchanganyiko kwenye maandishi. + +# kutoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake + +"kuonesha kwamba ujumbe kuhusu neema yake ni kweli" + +# kuhusu ujumbe wa neema yake + +"kuhusu ujumbe wa neema ya Bwana" + +# kwa kuruhusu ishara na maajabu kufanywa na mikono ya Paulo na Barnaba. + +HIi inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa kuwawezesha Paulo na Barnaba kufanya ishara na maajabu" + +# kwa mikono ya Paulo na Barnaba + +Hapa "mikono" inamaanisha nia na juhudi za wanaume hawa wawili kulingana na walivyoongozwa na Roho Mtakatifu. "kwa huduma ya Paulo na Barnaba" + +# sehemu kubwa ya mji uligawanyika + +Hapa "mji" inamaanisha watu waliomo kwenye mji. "watu wengi wa mji waligawanyika" au "watu wengi wa mji hawakukubaliana" + +# walikuwa upande wa wayahudi + +"waliaunga mkono Wayahudi" au "walikubaliana na Wayahudi." Kundi la kwanza lililotajwa halikukubaliana na ujumbe kuhusu neema. + +# na mitume + +Kundi la pili lililotajwa lilikubaliana na ujumbe kuhusu neema. Inaweza kusaidia kutaja tena kitezi. "walijiunga na mitume" + +# mitume + +Luka anamaanisha Paulo na Barnaba. Hapa "mitume" inaweza kutumika katika hali ya ujumla ya "wale waliotumwa nje." + diff --git a/act/14/05.md b/act/14/05.md new file mode 100644 index 00000000..7a95228b --- /dev/null +++ b/act/14/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hapa waliopata habari ni Paulo na Barnaba. + +# walijaribu kuwashawishi viongozi wao + +"walijaribu kuwashawishi viongozi wa Ikonio." Hapa "walijaribu" inaashiria hawakuweza kuwashawishi kikamilifu kabla ya mitume kuondoka katika mji. + +# kuwatesa na kuwapiga mawe Paulo na Barnaba + +"kuwapiga Paulo na Barnaba na kuwaua kwa kuwaponda mawe" + +# Likaonia + +Wilaya ndani ya Asia Ndogo + +# Listra + +Mji ndani ya Asia Ndogo kusini mwa Ikonio na Kaskazini mwa Derbe + +# Derbe + +Mji ndani ya Asia Ndogo kusini mwa Ikonio na Listra + +# huko walikuwa wakihubiri injili + +"Paulo na Barnaba walihubiri injili pia huko" + diff --git a/act/14/08.md b/act/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..f9e51e69 --- /dev/null +++ b/act/14/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kauli Unganishi: + +Paulo na Barnaba sasa wako Listra. + +# Taarifa ya Jumla: + +Taarifa ya Jumla: Anayezungumziwa kuwa na imani ni yule kiwete; na aliyemsemesha ni Paulo. Yule aliyesemeshwa ni kiwete. + +# mtu fulani aliketi + +Hii inatambulisha mtu mpya katika simulizi. + +# dhaifu miguuni mwake + +"kutokuweza kusogeza miguu yake" au "kutokuweza kutembea kwa miguu yake" + +# kiwete + +"kilema" + +# kiwete tangu tumboni mwa mama yake + +"kiwete tangu kuzaliwa" + +# Paulo alimkazia macho + +"Paulo alimtazama moja kwa moja" + +# alikuwa na imani ya kufanywa mzima + +Nomino "imani" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "amini." "aliamini kwamba Yesu anaweza kumponya" au "aliamini kuwa Yesu anaweza kumfanya mzima" + +# akaruka juu + +"akaruka hewani." Hii inaashiria kwamba miguu yake ilikuwa imeponywa kikamilifu. + diff --git a/act/14/11.md b/act/14/11.md new file mode 100644 index 00000000..e31dc8e8 --- /dev/null +++ b/act/14/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# alichokifanya Paulo + +Hii inamaanisha uponyaji wa Paulo kwa kiwete. + +# miungu imeshuka kwetu + +Idadi kubwa ya watu iliamini kuwa Paulo na Barnaba walikuwa miungu ya kipagani walioshuka toka mbinguni. "miungu wameshuka toka mbinguni kuja kwetu" + +# katika lahaja ya Likaonia + +"katika lugha yao ya Kilikaonia" (UDB). Watu wa Listra walizumngumza Kilikaonia na Kigriki pia. + +# katika mfano wa mwanadamu + +Watu hawa waliamini kuwa miungu walihitaji kubadili mionekano yao ili wawe kama binadamu. + +# walimuita Barnaba "Zeu" + +Zeu alikuwa mfalme juu ya miungu wengine wote wa kipagani. + +# Paulo, Herme, kwa sababu alikuwa msemaji mkuu + +Herme alikuwa mungu wa kipagani aliyeleta ujumbe kutoka kwa Zeu na miungu wengine. + +# Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje tu ya mji, alileta + +Inaweza kusaidia kuweka taarifa ya ziada kuhusu kuhani. "Kulikuwa na hekalu nje tu ya mji ambapo watu walimwabudu Zeu. Kuhani aliyehudumu katika hekalu aliposikia kile ambacho Paulo na Barnaba walichokifanya, alileta + +# ng'ombe na mashada ya maua + +Ng'ombe walikuwa ni wakutolewa sadaka. Mashada yalikuwa mojawapo kati ya kuwawekea mataji Paulo na barnaba, au kuwawekea ng'ombe kwa ajili ya sadaka. + +# milangoni + +Milango ya miji mara nyingi ilitumika kama sehemu ya kukutana kwa watu wa mji husika. + +# walitaka kutoa sadaka + +"walitaka kutoa sadaka kwa Paulo na Barnaba kama miungu Zeu na Herme. + diff --git a/act/14/14.md b/act/14/14.md new file mode 100644 index 00000000..2a83a4b7 --- /dev/null +++ b/act/14/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# mitume, Barnaba na Paulo + +Inawezekana Luka anatumia "mtume" katika hali ya ujumla ya "yule ambaye ametumwa." + +# walichana nguo zao + +Hili ni tendo la ishara kuonesha kuwa walihuzunishwa na kukasirishwa kwamba kundi lilitaka kuwatolea wao sadaka. + +# Watu, kwa nini mnafanya hivi vitu? + +Barnaba na Paulo wanawakaripia watu kwa kujaribu kuwatolea sadaka. "watu, hampaswi kutuabudu!" + +# Sisi pia ni binadamu wenye hisia kama nyie + +Kwa kauli hii, Baranaba na Paulo wanasema kuwa wao sio miungu. "Sisi ni binadamu tu kama nyie.. Sisi sio miungu!" + +# wenye hisia sawa na nyie + +"kama nyie kwa kila hali" + +# mgeukieni Mungu aliye hai kutoka kwa vitu hivi visivyo na maana + +"acheni kuabudu miungu ambayo haiwezi kuwasaidia, na badala yake anzeni kumuabudu Mungu aliye hai" + +# Mungu aliye hai + +"Mungu ambaye kweli yupo" au "Mungu anayeishi" + +# Siku za nyuma + +"katika nyakati za zamani" au "Hadi sasa" + +# kutembea katika + +"kuishi kulingana na" + diff --git a/act/14/17.md b/act/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..850f4ea7 --- /dev/null +++ b/act/14/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Paulo na Barnaba wanaendelea kuzungumza na kundi nje ya mji wa Listra. + +# hakujiacha mwenyewe bila ya shahidi + +Hii inaweza pia kuwekwa katika hali chanya. "hakika Mungu ameacha shuhuda" au "hakika Mungu ameshuhudia" + +# kwa kuwa + +"kama inavyooneshwa na ukweli kuwa" + +# akiwajaza mioyo yenu kwa chakula na furaha + +Hapa "mioyo yenu" inamaanisha watu. "akiwapa cha kutosha kula na vitu ambavyo vitawapa furaha" + +# Paulo na Barnaba wakawazuia makutano kuwatolea sadaka kwa nadra + +Paulo na Barnaba waliwazuia makutano kuwatolea sadaka, lakini ilikuwa ni taabu kufanya hivyo. + +# wakawazuia ... kwa nadra + +"walikuwa na wakati mgumu kuwazuia" + diff --git a/act/14/19.md b/act/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..c6b03a7d --- /dev/null +++ b/act/14/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Aliyedhaniwa kuwa amekufa ni Paulo. + +# kuwashawishi makutano + +Inaweza kusaidia kueleza wazi alichowashawishi umati kufanya. "kuwashawishi watu kutowaamini Paulo na Barnaba, na kuwegeukia" + +# makundi + +Hii inaweza kutokuwa kundi moja na "makutano" katika mstari uliopita. Muda umepita, na hili linaweza kuwa kundi tofauti lililokusanyika pamoja. + +# wakidhani kuwa amekufa + +"kwa sababu walifikiri kuwa ameshakufa" + +# wanafunzi + +Hawa walikuwa waumini wapya katika mji wa Listra. + +# kuingia katika mji + +"Paulo aliingia tena Listra na waumini" + +# alienda Derbe na Barnaba + +"Paulo na Barnaba walienda katika mji wa Derbe" + diff --git a/act/14/21.md b/act/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..578e9c92 --- /dev/null +++ b/act/14/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taaarifa ya Jumla: + +Hapa waliotangaza ijili na kuwatia mioyo wanafunzi wao inamaanisha Paulo. + +# Taaarifa ya Jumla: + +Wanaposema "Tunapaswa" inajumuisha Paulo, Barnaba na waumini. + +# mji huo + +"Derbe" + +# Waliendelea kutia nguvu nafsi za wanafunzi + +Hapa "nafsi" inamaanisha wanafunzi. Hii inatia mkazo katika mawazo ya ndani na imani. "Paulo na Barnaba waliwasihi waumini kuendelea kuamini ujumbe kuhusu Yesu" au "Paulo na Barnaba waliwasihi waumini kuendelea kukua imara katika mahusiano yao na Yesu. + +# kuwatia mioyo kuendelea katika imani + +"kuwatia mioyo waumini kuendelea kumwamini Yesu" + diff --git a/act/14/23.md b/act/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..a87a7ed3 --- /dev/null +++ b/act/14/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Waliowachagua na kuwakabidhi kwa Bwana ni Paulo na Barnaba na walioamini ni wale walioongozwa kwa Bwana na Paulo na Barnaba. + +# Walipowachagua wazee katika kila kanisa + +"Paulo na Barnaba walipochagua viongozi katika kila kundi jipya la waumini" + +# wakawakabidhi + +Maana zinazowezekana ni 1) "Paulo na Barnaba wakawakabidhi wazee waliowachagua" au 2) "Paulo na Barnaba wakawakabidhi wazee na waumini wengine" (UDB) + +# ambaye walimwamini + +Wale walioamini inategemea na chaguo lako la ni kina nani waliokuwa wanazungumziwa katika maelezo yaliyopita (mojawapo kati ya wazee au viongozi na waumini wengine). + +# wakaenda chini Atalia + +Usemi "wakaenda chini" unatumika hapa kwa sababu Atalia iko chini kwa kimo kuliko Perge. + +# ambapo walikabidhiwa katika neema ya Mungu + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambapo waumini na viongozi Antiokia waliwakabidhi Paulo na Barnaba kwa neema ya Mungu" au "ambapo watu wa Antiokia waliomba kwamba Mungu awatunze na kuwalinda Paulo na Barnaba" + diff --git a/act/14/27.md b/act/14/27.md new file mode 100644 index 00000000..add80291 --- /dev/null +++ b/act/14/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Waliofika Antiokia na kutoa taarifa ni Paulo na Barnaba. Aliyefungua mlango ni Mungu. + +# kusanya kanisa pamoja + +"wakawaita waumini wa palepale kukusanyika pamoja" + +# alifungua mlango wa imani kwa Mataifa + +Mungu kuwawezesha Mataifa kuamini inazungumziwa kana kwambaaliwafungulia mlango uliokuwa unawazuia kuingia katika imani. "Mungu alifanye iwezekane kwa Mataifa kuamini" + diff --git a/act/15/01.md b/act/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..7ce9c9da --- /dev/null +++ b/act/15/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sentensi unganishi: + +Paulo na Barnaba bado wapo Antiokia wakati kulikuwa na malumbano kuhusiana na kutahiriwa kwa watu wa Mataifa + +# waliwafundisha ndugu + +ndugu ina maana ya watu walioamini + diff --git a/act/15/03.md b/act/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..73887b29 --- /dev/null +++ b/act/15/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ujumbe wa jumla + +maneno yeye au wao yanamtaja Paulo + +# kwa kutumwa kwao na kanisa + +kanisa hapa linamaanisha watu waliokuwa sehemu ya kanisa + diff --git a/act/15/05.md b/act/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..8810e012 --- /dev/null +++ b/act/15/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# lakini watu fulani + +hapa Luka anatofautisha watu wanaoamini kuwa wokovu ni kwa Yesu pekee na wale wanaoamini kuwa wokovu ni kwa Yesu lakini pia wanaamini juu ya kutahiriwa kuwa ni muhimu kwa ajili ya wokovu + +# kutunza sheria ya Musa + +kutii sheria ya Musa + diff --git a/act/15/07.md b/act/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..6fa681af --- /dev/null +++ b/act/15/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa mdomo + +mdomo hapa unamaanisha Petro + +# aliwapa wao Roho Mtakatifu + +alimwacha Roho Mtakatifu aje juu yao + diff --git a/act/15/10.md b/act/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..1ef5d57c --- /dev/null +++ b/act/15/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sentensi unganishi: + +Petro anamaliza mazungumzo yake na mitume pamoja na wazee + +# baba zetu + +hii inamaanisha wazee wa Kiyahudi + diff --git a/act/15/12.md b/act/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..0925d1a0 --- /dev/null +++ b/act/15/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ujumbe wa jumla: + +neno wao hapa linamaanisha Paulo na Barnaba + +# kusanyiko lote + +kila mtu, au kundi lote + +# Mungu alifanya + +Mungu alitenda, au Mungu alisababisha + diff --git a/act/15/13.md b/act/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..9ea78e46 --- /dev/null +++ b/act/15/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yakobo anaanza kuongea na mitume na wazee + +# kwa ajili ya jina lake + +kwa ajili ya jina la Mungu + diff --git a/act/15/15.md b/act/15/15.md new file mode 100644 index 00000000..a3338fe4 --- /dev/null +++ b/act/15/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yakobo anamnukuu nabii Amosi kutoka Agano la Kale + +# kubaliana na hili + +thibitisha ukweli + +# jina langu + +hii inamaanisha Mungu + diff --git a/act/15/19.md b/act/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..5a7092cb --- /dev/null +++ b/act/15/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wanaomgeukia Mungu + +Mtu anayeanza kumtii Mungu + +# kumsoma Musa + +hii ina maana ya kusoma sheria za Musa + diff --git a/act/15/22.md b/act/15/22.md new file mode 100644 index 00000000..cd732f9f --- /dev/null +++ b/act/15/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kanisa lote + +hii ina maana ya watu wote waliopo kanisani + +# Sisilia + +Hili ni jina la kisiwa katika jimbo la Asia ndogo + diff --git a/act/15/24.md b/act/15/24.md new file mode 100644 index 00000000..a6413688 --- /dev/null +++ b/act/15/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuchagua wanaume + +watu waliotumwa walikuwa Yuda aitwaye Barsaba na Sila + diff --git a/act/15/27.md b/act/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..b99fdb27 --- /dev/null +++ b/act/15/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Damu + +hii inamaanisha kunywa damu au kula nyama yenye damu + +# kwa heri + +hii inamaanisha mwisho wa barua + diff --git a/act/15/30.md b/act/15/30.md new file mode 100644 index 00000000..5ddd49c2 --- /dev/null +++ b/act/15/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# manabii pia + +manabii walikuwa ni walimu walioidhinishwa na Mungu kuongea kwa niaba yake + +# ndugu + +walioamini wenzake + diff --git a/act/15/33.md b/act/15/33.md new file mode 100644 index 00000000..a5c87b3b --- /dev/null +++ b/act/15/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# neno la Bwana + +hii ina maana ya ujumbe wa Mungu + diff --git a/act/15/36.md b/act/15/36.md new file mode 100644 index 00000000..b3518845 --- /dev/null +++ b/act/15/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# turudi sasa + +nashauri turudi sasa + +# Pamfilia + +hili ni jimbo katika Asia ndogo + diff --git a/act/15/39.md b/act/15/39.md new file mode 100644 index 00000000..b4ce27ee --- /dev/null +++ b/act/15/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na kisha akaenda + +hii inamaanisha kuwa Sila alikuwa na Paulo na kisha akaondoka + +# alipita Siria na Sisilia + +Haya ni maeneo katika Asia ndogo + diff --git a/act/16/01.md b/act/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..a2a94cde --- /dev/null +++ b/act/16/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Hii sehemu ya hadithi ni kuhusu safari ya Paulo na Sila. Hapa Timotheo alitambuisha kwenye hadithi na kujiunga na Paulo na Sila. Mstari wa 1 na 2 hutoa taarifa za msingi kuhusu Timotheo + +# Tazama + +Neno "Tazama" inatutaadharisha juu ya mtu mpya katika simulizi. Lugha yako huenda ikawa na njia ya kufanya hivyo. + +# Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye ni muumini + +"Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye anamwamini Kristo. + +# Aliongelewa vizuri + +"Timotheo alikuwa na tabia nzuri" au "Walioamini walisema mambo mazuri juu ya Timotheo" + +# Paulo alimtaka ili asafiri naye, hivyo akamchukua + +"Paulo alimtaka Timotheo asafiri naye hivyo Paulo akamchukua" maneno mengine kama (yeye, yake) yanamrejea Timotheo. + +# baba yake ni Mgiriki + +Kama Mgiriki, baba yake Timotheo hangeweza binafsi kumtahiri Timotheo hivyo Paul alimtahiri. Tohara mara nyingi ilifanywa na Mwalimu wa Kiyahudi, kama vile Paulo. + diff --git a/act/16/04.md b/act/16/04.md new file mode 100644 index 00000000..278c4e43 --- /dev/null +++ b/act/16/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walipo kuwa wakienda + +"Walipo kuwa" hii inamaanisha Paulo, Sila na Timotheo. + +# ili kuyatii + +'Kwa washiriki wa kanisa kutii' au 'kwa waumini kutii' + +# yaliandikwa na mitume na wazee huko Yerusalemu + +"ambayo imeandikwa na mitume na wazee huko Yerusalemu" + +# Makanisa yakaimarishwa + +"Paulo , Sila na Timotheo waliimarisha makanisa" + diff --git a/act/16/06.md b/act/16/06.md new file mode 100644 index 00000000..6732f4a8 --- /dev/null +++ b/act/16/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Firigia na Galatia + +Haya ni majimbo huko Asia + +# walikatazwa na Roho Mtakatifu + +"Roho Mtakatifu aliwakataza wao" au " Roho Mtakaifu hakuwaruhusu" + +# Misia....Bithinia + +Haya ni majimbo mengine mawili zaidi huko Asia + +# Roho wa Yesu + +"Roho Mtakatifu" + diff --git a/act/16/09.md b/act/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..b964c9b1 --- /dev/null +++ b/act/16/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maono yalimtokea Paulo + +Maono ni tofauti na ndoto. + +# akimwita yeye + +"akimuomba Paulo" au "akimsihi Paulo" + +# mtusaidie + +"Unisaidie na watu wengine wa Mekedonia" + +# kujiandaa kwenda + +Neno "tukajiandaa" inajumuisha Paulo pamoja na wale waliokuwa naye, hii ni pamoja na Luka ambaye ndiye muandishi wa kitabu cha Matendo ya Mitume. + +# Mungu alituita + +Alituita, hii inajumuisha Paulo pamoja na wale waliokuwa naye, hii ni pamoja na Luka ambaye ndiye muandishi wa kitabu cha Matendo ya Mitume. + +# Kuwahubiria injili + +"kuhubiri injili kwa watu wa Makedonia" + diff --git a/act/16/11.md b/act/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..3ff5fae5 --- /dev/null +++ b/act/16/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Msatri wa 13, ni mwanzo wa hadithi ya Lidia. Hii ni hadithi fupi iliyotokea wakati wa kusafiri kwa Paulo + +# tukaenda + +"tukaenda" hii inajumuisha Paulo pamoja na wale waliokuwa naye, hii ni pamoja na Luka ambaye ndiye muandishi wa kitabu cha Matendo ya Mitume. + +# Somathrake ...Neapoli + +Hizi ni miji ya mwambao karibu na Philipi. + +# Utawala wa Kirumi + +ni sehemu ambayo Warumi waliteka na kuishi kwa muda huo, hasa maaskari + diff --git a/act/16/14.md b/act/16/14.md new file mode 100644 index 00000000..e17d8490 --- /dev/null +++ b/act/16/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii ndyo mwishowa hadithi ya Lidia + +# Mwanamke mmoja aitwaye Lidia + +"Kulikuwa na Mwanamke aitwaye Lidia" + +# muuzaji wa zambarau + +"Mfanya biashara aliyeuza nguo za zambarau" + +# kumuabudu Mungu + +Mwenye kumuabudu Mungu ni Mataifa ambaye hutoa sifa kwa Mungu na kumfuata Yeye, lakini hafuati sheria zote za Kiyahudi. + +# alitusikiliza + +"Yeye alitusikiliza" + +# mambo yaliyozungumzwa na Paulo + +"Mambo ambayo paulo aliyasema " + +# Baada ya kubatizwa yeye na nyumba yake + +"walipo mbatiza Lidia na watu wa nyumbani mwake" + diff --git a/act/16/16.md b/act/16/16.md new file mode 100644 index 00000000..f5e0975f --- /dev/null +++ b/act/16/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii ni hadithi nyingi inayotokea wakati wa kusafiri kwa Paulo. Hii ni tukio la kwanza katika hadithi, ni habari ya mbashiri mdogo. + +# msichana mmoja + +"kulikuwa na mwanamke mdogo" + +# pepo la utambuzi + +roho mbaya huongea naye kuhusu habari ya maisha ya watu ya baadaye. + +# Alimletea bwana wake faida vyingi kwa kubashiri + +hii ni habari ya nyuma kuhusu mchana huyo + +# akiwa amekasirishwa na yeye + +"alisumbuliwa na yeye" au " alijisikia vibaya kwa kile kitu anachokifanya" + +# aligeuka + +"Paulo aligeuka nyuma" au " alikwenda kumkabili yule msichana nyuma yake" + +# akatoka na kumuacha mara moja + +"na pepo akatoka mara moja" + diff --git a/act/16/19.md b/act/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..ce707c6d --- /dev/null +++ b/act/16/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mabwana zake + +wale wanao mmiliki yule msichana mtumwa + +# tumaini la faida + +Hii inamaanisha ule uwezo wa kubashiri aliokuwa nao yule msichana na watu kumlipa kwa kuwabashiria. + +# kuwaburuza wao + +Mabwana waliwaburuza "Paulo na Sila" lakini siyo kundi lote akiwemo Luka na Timotheo. + +# mbele ya wenye mamlaka + +'Katika uwepo wa mamlaka' au 'kuhukumiwa na mamlaka + +# Walipowafikisha kwa mahakimu, walisema, + +"Baada ya mabwana kuwaleta Paulo na Sila mbele ya mahakimu, mabwana wale wakasema" + +# Wanafundisha + +"Paulo na Sila wanafundisha" + +# siyo ya kisheria + +mabwana wanajumuisha mambo ya kitawala katika madai yao kwani wao pia walikuwa raia wa Kirumi + diff --git a/act/16/22.md b/act/16/22.md new file mode 100644 index 00000000..8017f8fc --- /dev/null +++ b/act/16/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mahakimu wakararua nguo zao na kuwavulia + +Mahakimu walirarua nguo za Paulo na Sila na kuwavulia" + +# na kuwaamuru wachapwe na viboka + +"Kumuamuru maaskari kumchapa Paulo na Sila kwa viboko" + +# waliwatupa + +"mahakimu waliwaweka Paulo na Sila" au " mahakimu waliwaamuru maasakari kumuweka Paulo na Sila" + +# na kumuamuru askari wa gereza kuwalinda vema + +Askari wa gereza ni mtu anayehusika na wafu wote waliowekwa jela au gerezani. "kumuambi mlinzi wa gereza ahakikishe kuwa hawatoki nje" + +# kuwafunga + +"kuwafungia imara katika sehemu" + +# nguzo + +ni kipande cha mti iliyo na matobo kwa ajili ya kuwekea miguu ya mtu ili imzuiye mtu huyo asiweze kwenda. + diff --git a/act/16/25.md b/act/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..b8b87550 --- /dev/null +++ b/act/16/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii ni tukio lingine katika hadithi; inahusu Paulo na Sila gerezani na mlinzi wa gereza + +# wakiwasikiliza wao + +"Neno wao" linamaanisha Paulo na Sila, ambao walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu. + +# na misingi ya gereza ikatikiswa + +"ambayo ilitikisa misingi ya gereza" + +# minyororo yao ikalegezwa + +"minyororo yao waote ilifunguka" + diff --git a/act/16/27.md b/act/16/27.md new file mode 100644 index 00000000..6af44874 --- /dev/null +++ b/act/16/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ili kujiuwa + +Mlinzi wa gereza alichagua kujiuwa kuliko kukabiliana na aina ya mateso yatakayo mpata kwa kuwaruhusu wafungwa kutoroka. + +# wote tuko mahali hapa + +Neno "wote" linajumuisha Paulo, Sila na wafungwa wengine wote. + diff --git a/act/16/29.md b/act/16/29.md new file mode 100644 index 00000000..c56696b0 --- /dev/null +++ b/act/16/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa haraka + +"aliingi kwa haraka ndani ya gereza" + +# akawaangukia Paulo na Sila + +"Mlinzi wa gereza alijinyenyekesha kwa kuinama mbele ya Paulo na Sila. + +# na kuwatoa nje + +"kuwaongoza nje ya gereza" + diff --git a/act/16/32.md b/act/16/32.md new file mode 100644 index 00000000..3fe38fe1 --- /dev/null +++ b/act/16/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +wakanena, hapa inamaanisha Paulo na Sila.. + +# nyumbani mwake + +Mlinzi wa gereza aliwaleta Paulo na Sila nyumbani kwake" + +# yeye pamoja na watu wa nyumbani mwake wakabatizwa + +"Paulo na Sila walimbatiza Mlinzi wa gereza pamoja na watu wote wa nyumbani kwake" + +# yeye...naye + +Maneno haya yanamaanisha Mlinzi wa gereza + +# kwasababu wote waliamini + +"kwasababu watu wote wa nyumbani kwake waliamini" + diff --git a/act/16/35.md b/act/16/35.md new file mode 100644 index 00000000..69e12653 --- /dev/null +++ b/act/16/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii ni tukio la mwisho kwenye hadithi. Inahusu Paulo na Sila kuwachiwa kutoka gerezani + +# ilipokuwa mchana + +Hii ni mwanzo wa habari nyingine + +# walituma ujumbe + +"kutuma ujumbe" au Kutuma amri" + +# waruhu hao wanaume + +"waruhusu hao wanaume" au "waruhusu hao wanaume waende" + +# tokeni nje + +"tokeni nje ya gereza" + diff --git a/act/16/37.md b/act/16/37.md new file mode 100644 index 00000000..a4f481a7 --- /dev/null +++ b/act/16/37.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# akawaambia + +"kusema na walinzi" + +# Hadharani + +"mahakimu walifanya hatharani" + +# walitupiga , wanaume ambao + +Neno "walitupiga", lina maanisha Paulo na Sila + +# hapana, + +Paulo hapa anawajibu mahakimu au wakuu wa mji, japo anaongea na mlinzi wa gereza. " Haitawezekana" + +# Warumi + +Hii ina maana ya wananchi wa kisheria ya Dola. Uraia zunatoa uhuru wa kutoteswa na haki katika kesii. Viongozi wa mji walikuwa na hofu kuwa inaweza kufahamu jinsi viongozi wa jiji walivyo wanyanyasa Paulo na Sila. + +# wao wenyewe waje + +"watawala wa mji waje" + +# Mahakimu wakaja na kuwasihi + +"mahakimu walikuja na kumsihi Paulo na Sila" + +# baada ya kuwatoa + +"baada ya mahakimu kuwaondoa Paulo na Sila" + diff --git a/act/16/40.md b/act/16/40.md new file mode 100644 index 00000000..a438cd66 --- /dev/null +++ b/act/16/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +"Hii ni mwisho wa hadithi ya Paulo na Sila kuwa gerezani" + +# Taarifa za ujumla + +Fungu hili linazungumzia habari a Paulo na Sila pamoja na Waumini wa mji wa Philipi. + +# Nyumba ya Lidia + +"nyumbani kwa Lidia" + +# walipowaona ndugu + +Neno "ndugu" linamaanisha waumini wa jinsi zote. Waliwaona waumini. + diff --git a/act/17/01.md b/act/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..62c5ab25 --- /dev/null +++ b/act/17/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Habari kuhusu Paulo na Sila inaendelea pamoja na Timotheo katika safari yao ya kimisionari. Walifika Thesalonike na Luka hakuwa pamoja nao. + +# Taarifa za jumla + +Ni habari kuhusu Paulo na Sila pamoja na Wayahudi katika Sinagogi huko Thesolanike + +# Sasa + +Ni neno linalogawanya habari iliyokuwa ikiendelea kwa kutaja jambo jingine. Luka anaanza kuelezea sehemu mpya ya tukio. + +# walipopita + +"Kusafiri kupitia" + +# miji ya Amfipoli na Apolonia + +Hii ni miji ya mwambao huko Makedonia + +# walifika mjini + +Neno linaloonyesha kuwa walisafiri hadi kufika mjini. + +# kama ilivyokuwa kawaida + +" kama ilivyokuwa kawaida yake" au "Kama alivyofanya siku zote". Mara kwa mara Paulo alikuwa na ya kuingia kwenye Sinagogi siku ya sabato mahali wayahudi walikusanyuka. + +# kwa sabato tatu + +"katika kila siku ya sabato kwa majuma matatu". + +# alihojiana nao kutoka kwenye maandiko + +"alijadiliana na Wayahudi wa Sinagogi" au walijadili na Wayahudi wa Sinagogi" + +# alihojiana nao + +"aliwapa sababu" au "kuhojiana pamoja nao" au "kuzungumza pamoja nao". + diff --git a/act/17/03.md b/act/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..bf95cdd0 --- /dev/null +++ b/act/17/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Alikuwa akifungulia maandiko + +Maana inawezekana ni 1) "Paulo alikuwa akieleza maandiko kwa usahihi ili watu waweze kuwa na uwezo wa kuelewa ni nini alikuwa akifundisha" au 2) "Paulo alikuwa akifungua kitabu au kitabu cha maandiko." + +# ilimpasa + +"ilikuwa ni sehemu ya mipango ya Mungu" + +# kufufuka tena + +"kurudi tena katika uhai" + +# kutoka wa wafu + +"kutoka miongoni mwa wafu" anaelezea juu ya roho za watu ambao wamekwisha kufa. Kurudi kutoka miongoni mwao kunamaanisha kurudi katika uzima tena. + +# Wayahudi walishawishika + +"Wayahudi walishawishika " au "Wayahudi walikubali" + +# na kuungana na Paulo + +"na kuwa na ushirika na Paulo" + +# Wagiriki wacha Mungu + +wale wenye kumcha Mungu lakini hawajabadilishwa kuingia dini ya kiyahudi kwa njia ya kutahiriwa. + +# umati mkubwa + +"ni umati mkubwa wa watu" + diff --git a/act/17/05.md b/act/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..e7fd74e9 --- /dev/null +++ b/act/17/05.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Maelezo ya jumla + +Fungu hili linajadili juu ya Wayahudi wasioamini na wanaume wengine waovu kutoka sokoni. + +# waliojawa na wivu + +"Ni hali ya wivu inayoleta msukumo ndani ya mtu" "Kuwa na wivu sana" au "Kuwa na hasira sana" + +# kwa wivu + +Inaelezwa kuwa hawa Wayahudi walikuwa na wivu kwasababu baadhi ya Wayahudi wa Kiyunani wakiuamini ujumbe wa Paulo. + +# kundi maalumu la wanaume waovu + +"baadhi ya wanaume waovu" + +# kutoka eneo la sokoni + +"Kutoka eneo la wazi la mkusanyiko" Ni eneo la wazi la kufanyia biashara ya kuuza na kununua bidhaa, Ng'ombe au eneo la kutolea huduma. + +# kuusimamisha mji kwa ghasia + +Mji kusimamisha kazi zake kutokana na ghasia. + +# wakaivamia nyumba + +"Kuingia kwa vurugu na kuivamia nyumba kwa nguvu" . Hii inawezekana walikuwa wakiirushia mawe nyumba na kutaka kuvunya mlango wa nyumba. + +# Jason + +Hili ni jina la mtu. + +# kuwaleta mbele za watu + +"Kundi la watu Serikalini au kundi la watu raia wa nchi walikusanyika ili kufanya maamuzi" + +# mbele ya maofisa + +"mbele ya Viongozi" + +# Hawa wanaume walio + +Viongozi wa Kiyahudi waliongea wakimaanisha Paulo na Sila kwa kusema "Hawa wanaume" + +# walioupindua ulimwengu + +Hiki Kifungu inawakilisha namna nyingin ya Kusema Paulo na Sila wanasabisha ghasia. Viongozi wa Kiyahudi wanatia chumvi juu ya ushawishi walionao Paulo na Sila katika mafundisho yao. + +# waliokaribishwa na Yasoni + +Hii kifungu inaashiria kuwa Yasoni alikubaliana na mitume waliokuwa wakieneza ujumbe wa machafuko + diff --git a/act/17/08.md b/act/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..b9117395 --- /dev/null +++ b/act/17/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla + +Fungu hili linazungumzia wale waheshimiwa wa mji huo. + +# waliingiwa na wasiwasi + +"kufadhaika" au "kuwa na mashaka kiakili" + +# walikuwa wamaukua fedha ya ulinzi kutoka kwa Jason na baadhi ya watu wengine. + +Fedha hii ilikuwa ahadi ya mwenendo mzuri, ambayo inaweza kurudishwa kama mambo yote yataenda vizuri, au kutumika kukarabati uharibifu uliosababishwa na mwenendo mbaya. "walipokea dhamana" au "amana" au "faini" + +# na wengine + +"waumii wengine mbali na Yasoni" + diff --git a/act/17/10.md b/act/17/10.md new file mode 100644 index 00000000..84534e85 --- /dev/null +++ b/act/17/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Hii ni sehemu nyingine ya habari kuhusu Paulo na Sila safarini. Kwa sasa wako Beroya" + +# ndugu + +Neno "ndugu" linamaanisha wanaume na wanawake walioamini" + +# Hawa watu walikuwa waungwana mno + +Ni watu waliokuwa na utayari wa kufikiri kwa hali ya kupokea mawazo mapya zaidi ya watu wengine'. + +# walipokea neno + +"kusikiliza mafundisho" + +# kwa utayari wa akili zao + +"Hao Waberoya walikuwa wamejiandaa kuchunguza mafundisho ya Paulo kulingana na maandiko" + +# kuchunguza maandiko kila siku + +"kusoma kwa umakini na kupima uhalisia wa kifungu cha maandiko kila siku" + +# mambo haya yaliendelea hivyo. + +"Maneno aliyoyasema Paulo yalikuwa ya kweli. + diff --git a/act/17/13.md b/act/17/13.md new file mode 100644 index 00000000..b6c7ebb4 --- /dev/null +++ b/act/17/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla + +Athene ni mji uliokuwa chini ya pwani kutoka Beroya ambayo ni Makedonia. Atheni ulikuwa moja ya miji muhimu zaidi katika Uyunani. + +# walipogundua + +"walipoambiwa" au "walipojulishwa" au "waliposikia" + +# walikwenda huko na kuchochea + +Hii inazungumzia kuhusu watu walioshawishwa kama mtu anayechanganya kemikali ili kutoa mlipuko. Waliwaendea na kuwashawishi kutenda isivyo. + +# kuanzisha ghasia katika umati + +"kusababisha hofu na wasiwasi miongoni mwa watu" + +# Ndugu + +Neno "ndugu" linamaanisha wanaume na wanawake walioamini" + +# waliompeleka Paulo + +"Walioambatana na Paulo" au "waliokwenda pamoja na Paulo" + +# Walipokea kwake maelekezo kuhusu Silas na Timotheo. + +"Aliwaambia wawaelekeze Silas na Timotheo" + diff --git a/act/17/16.md b/act/17/16.md new file mode 100644 index 00000000..8857fe2f --- /dev/null +++ b/act/17/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla + +Hii ni sehemu nyingine ya hadithi ya Paulo na Sila wakiwa safarini. Paulo kwa sasa yuko Athene akiwangojea Silas na Timotheo kuungana naye. + +# roho yake iikasirishwa kuona mji umejaa na miungu ya sanamu. + +"alisumbuliwa" au "alifadhaika" au "akawa na huzuni" + +# akajadiliana + +Hili neno linaashiria kuwa kulikuwa na majibizano zaidi kutoka kwa wasikilizaji kuliko katika kuhubiri. "alijadiliana" + +# sokoni + +Hii ni sehemu ambayo watu huuza na kununua vitu, ngombe, au huduma hutolewa. " sehemu ya umma" + +# Wale waliokuwa wakimwabudu Mungu + +Inamaanisha Watu wa mataifa waliokuwa wakimsifu Mungu na kumfuata ingawa hawakuwa wakifuata taratibu za ibada ya Kiyahudi. + diff --git a/act/17/18.md b/act/17/18.md new file mode 100644 index 00000000..c9ceb02d --- /dev/null +++ b/act/17/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Waepikureo na Wastoiko. + +Watu hawa waliamini mambo yote yalifanywa kwa bahati na kwamba miungu walikuwa na shughli zao na walifurahi kutobuguziwa katika kuiongoza ulimwengu. Walikataa ufufuo na walitaka maisha rahisi ya raha pekee. + +# Wanafalsafa wa Wastoiko + +Watu hawa waliamini uhuru unatokana na kujiwekea mwenyewe hatima yako. Walikataa Mungu anayependa binafsi na ufufuo. + +# wakamkabili yeye + +"walimkabii Paulo" + +# na baadhi wakasema + +"na baadhi ya wanafilosofia wakasema" + +# Ni nini huyu msengeaji + +'Babbler' ilitumika kwa kutaja ndege kuokota mbegu kama chakula. Ilihusu ubaya wa wasengenyaji. Wanafalsafa walisema Paulo alikuwa na baadhi ya habari ambazo hazikuwa na thamani ya kusikiliza + +# wengine wakasema + +"Wanafilosopha wengine wakasema" + +# Inaonekana ni muhubiri + +"Inaonekana ni mtu ayetangaza " au "anaonekana yuko katika umisheni wa kusambaza habari' + diff --git a/act/17/19.md b/act/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..bf52e57a --- /dev/null +++ b/act/17/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wakamchukua + +Wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoike walimchukua Paulo" + +# na kumleta Areopago + +kilima katika Athene juu ambayo mahakama kuu ya Waethene ambapo huenda walikutana. + +# Twaweza kujua haya mafundisho mapya unayoyaongea + +"Twaweza" hapa inamaanisha mafilosopha peke yao. "'Tunataka kufanya uamuzi juu ya mambo haya unayodai " + +# wote wa Athene + +"Wananchi wa Athene" ni watu kutoka Athene, mji karibu na pwani katika Makedonia (sasa ni Ugiriki) + +# na wageni + +"Mtu mgeni" au "mtu mpya katika jamii ya Athene" + +# hutumia muda wao kwaq hasara + +"walitumia muda wao "au "hutumia muda wao" + +# kuongea na kusikiliza juu ya jambo jipya + +"Kujadili mawazo mapya ya falsafa" au "kuzungumza juu jambo jipya kwao' + diff --git a/act/17/22.md b/act/17/22.md new file mode 100644 index 00000000..d0a7c710 --- /dev/null +++ b/act/17/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Paulo alianza mahubiri yake kwa wanafilosofia wa Areopago. + +# weny dini hasa katika kila namna + +Paulo alikuwa akirejea jinsi Waathene wanavyoonyesha hadharani kuheshimu miungu kwa sala, kujenga madhabahu na kutoa dhabihu + +# kwani nilipokuwa nikipita + +"kwasababu nilipotembea na kupita" + +# KWA MUNGU ASIYEJULIKANA + +Inaweza ikawa na maana zifuatazo 1) "mungu fulani asiyejulikana" au 2)"kwa mungu yeyote tusiyemjua + diff --git a/act/17/24.md b/act/17/24.md new file mode 100644 index 00000000..03ba75ac --- /dev/null +++ b/act/17/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Dunia + +Kwa hali ya ujumla "dunia" inamaanisha mbingu na ardhi na kila kitu kilichoko ndani yake. + +# kuwa Yeye ni Bwana + +"Yeye" inarejea yule Mungu asiyefahamika ambaye Paulo anawaelezea kuwa ni Bwana Mungu. "kwasababu ni Mungu" + +# yaliyojengwa na mikono + +"kupitia matendo ya watu" + +# hatumikiwi na mikono ya wanadamu + +"Kutumikiwa" ni ile hali ambayo Daktari anapomhudumia mgonjwa ili apone. "kujali kwa" + +# Kwa mikono ya watu + +"kwa mikono ya wanadamu" + +# Kwani Yeye + +"kwasababu Yeye mwenyewe" + diff --git a/act/17/26.md b/act/17/26.md new file mode 100644 index 00000000..99ae2010 --- /dev/null +++ b/act/17/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mtu mmoja + +Inaweza kuwa na maana zifuatazo .1) "ni Adamu ambaye Mungu alimuumba" au 2) "Inaweza ikajumuisha Adamu na Hawa ambao Mungu aliwaumba" + +# alifanya Mataifa + +"Mungu,muumbaji, alifanya mataifa yote" + +# yote ...wao + +Hapa inamanisha watu wote waishio juu ya uso wa dunia. + +# kwahiyo + +neno hili ni alama ya kauli kwamba alisema kwasababu ya kile ambacho alisema hapo awali. + +# kumtafuta Mungu japo hayuko mbali nao + +"Kumtafuta Mungu" + +# wamfikie + +"kuona haja ya Yeye" + +# hayuko mbali + +Paulo anasema kinyume ya kile anachozungumza ili kusisitiza jambo. " Yeye yuko karibu sana" + +# na kila mmoja wetu + +Paulo anajiweka mwenyewe, wasikilizaji wake na kila taifa alipotumia neno "kila mmoja wetu" + diff --git a/act/17/28.md b/act/17/28.md new file mode 100644 index 00000000..84808e62 --- /dev/null +++ b/act/17/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwake + +"Kwa Mungu" + +# Tunaishi na Kutembea + +Paulo anajumuisha wasikilizaji wake na yeye mwenyewe. + +# tu wazaliwa wake + +Hapa 'tu wazaliwa wake' ni wazaliwa ambao wanaweza kuwa si watoto wa sasa. Wao kushiriki baadhi ya sifa pamoja na babu zao. 'Wake' ni kiwakilishi kisichojulikana katika nukuu hii. + +# kuwa uungu + +Hapa "uungu" inarejea hali ya Mungu au sifa zake. + diff --git a/act/17/30.md b/act/17/30.md new file mode 100644 index 00000000..2714a520 --- /dev/null +++ b/act/17/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa unganishi + +Paulo alimaliza mazungumzo yake na wanafilosofia wa Areopago, aliyokuwa ameianza. + +# Kwahiyo + +neno hili ni alama ya kauli kwamba alisema kwasababu ya kile ambacho alisema hapo awali + +# Mungu hakuzijari nyakati za ujinga + +Inaweza kuwa na maana zifuatazo 1) "kwamba hawajui kuhusu kitu chochote" au 2) " kumkataa kwa makusudi" + +# Wakati atakapo wahukumu walimwengu kwa haki kwa njia ya mtu aliyemchagua + +hapa, neno "walimwengu" inarejea watu waishio duniani. + +# kwa mtu ambaye alimchagua + +"kwa mtu ambaye Mungu alimchagua" + +# Mungu alitoa uhakika wa mtu huyu + +"Mungu alionyesha uchaguzi Wake kwa mtu huyu" + diff --git a/act/17/32.md b/act/17/32.md new file mode 100644 index 00000000..7f5efe30 --- /dev/null +++ b/act/17/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa unganishi + +Hii ni sehemu ya mwisho wa hadithi kuhusu Paulo akiwa huko Athene + +# na watu wa Athene + +Wale watu waliokuwepo pale Areopago wakimsikiliza Paulo + +# baadhi yao wakamdhihaki Paulo + +Wale hawakuamini kuwa inawezekana kwa mtu yeyote kufa na kurudi tena kwenye maisha. "Baadhi walimdharau" au "baadhi walimcheka Paulo" + +# Sisi tutakusikiliza + +"sisi" inarejea watu wa Athene ambao walitaka kumsikiliza Paulo. Waliongea moja kwa moja kwa Paulo lakini si pamoja Paul katika kundi lao." + +# Dionisio Mwareopago, na Mwanamke anaitwa Damari + +Dionysius ni jina la mtu. Areopago ina maana kwamba Dionysius alikuwa mmoja wa majaji katika Areopago. + diff --git a/act/18/01.md b/act/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..402378c9 --- /dev/null +++ b/act/18/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya jumla + +Hii ni sehemu nyingine ya hadithi ya safari ya Paulo. Kwa sasa yuko Corintho. Akwila na Priskila wanatambulishwa kwenye hadithi katika mstari 2 na 3 inatoa habari ya nyuma kuhusu wao. + +# baada ya mambo hayo, + +"baada ya matukio hayo kufanyika huko Athene" + +# Huko akampata + +Inaweza kuwa na maana kwamba: 1) "Paulo alitokea kumpata kwa bahati" au 2) "Paulo alimpata baada ya kuwatafuta kwa nia.' + +# Mtu mmoja aliyeitwa Akwira + +Hapa anamtaja mtu yule aliyemwona huko naye ni Akwira. + +# mzaliwa wa Ponto + +Ponto ilikuwa mkoa katika pwani ya kusini ya Bahari ya Nyeusi. + +# alikuwa amehamia karibuni + +"Hii huenda ni muda fulani kwa miaka ya nyuma" + +# Italia + +Jina hili ni la nchi. Roma ni mji mkuu wa Italia. + +# Klaudia alikuwa ameagiza + +Klaudia alikuwa ndiye Kaisari wa Kiroma kwa sasa. + +# Alikuwa akifanya biashara waliyoifanya + +Alikuwa akifanya aina ya kazi waliyoifaya na wao. + diff --git a/act/18/04.md b/act/18/04.md new file mode 100644 index 00000000..375c26cc --- /dev/null +++ b/act/18/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Sila na Timotheo walioungana na Paulo + +# Kwahiyo Paulo akajadiliana + +Hapa "kujadiliana" inamaanisha Paulo alikuwa na maongezi ya pande mbili". "kwa hiyo walijadiliana" + +# Aliwashawishi + +"aliendelea kujaribu kuwashawishi" + +# Paulo alisukumwa na Roho + +Paulo alizidi kusukumwa na Roho. + +# akakung'uta vazi lake + +Hii ni hatua ya mfano zinaonyesha kwamba Paulo alikata mahusiano na Wayahudi wasioamini na kuwaacha kwa hukumu ya Mungu. + +# Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe + +Hapa "damu" inalinganishwa na adhabu ya dhambi. Paulo anawaambia Wayahudi hao kuwa watawajibika kwa ajili ya hukumu watakayokabiliana nao kwa sababu ya ukaidi wa kukataa kutubu. "Ninyi peke yenu mtabeba jukumu la adhabu yenu kwa ajili ya dhambi zenu". + diff --git a/act/18/07.md b/act/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..43dec1a2 --- /dev/null +++ b/act/18/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli ya jumla + +maelezo ya fungu hili yanazungumzia habari za Tito Yusta na Krispas + +# Tito Yusto...Krispo + +Ni majina ya wanaume + +# alimwabudu Mungu + +Ni mwabudu Mungu wa kimataifa ambaye alimtukuza Mungu na kumfuata, lakini si kwa njia ya kushika sheria za Kiyahudi. + +# Kiongozi wa sinagogi + +ni mtu wa kawaida ambaye hufadhili na kuhudumia sinagogi, na si lazima awe mwalimu. + +# na watu wa nyumbani mwake + +"watu walioishi na yeye ikiwa ni pamoja na ndugu na jamaa zake" + +# Watu wengi wa Korintho walibatizwa + +"Watu wengi wa Korintho ambao siyo Wayahudi" walibatizwa + diff --git a/act/18/09.md b/act/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..32163c83 --- /dev/null +++ b/act/18/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# usiogope, lakini ongea na usinyamaze + +Bwana anatoa amri moja katika njia mbili tofauti -"usiwe na hofu" na "Sema na wala usinyamaze"'-kufanya maneno yake kuwa na nguvu. "N lazima kuacha kuwa na hofu, na badala yake endelea kusema na usikae kimya.' + +# Ongea na usinyamaze + +Mungu anamuamuru Paulo kwa nguvu aongee. " Hakika ni lazima uongee" + +# usinyamaze + +"usinyamaze kuongelea kuhusu injili" + +# kwani Mimi niko pamoja nawe + +"Mimi" inamaanisha Bwana, ambaye anaongea na Paulo. + +# Niko nawe + +"nawe" inamaanisha Paulo , ambaye Bwana anaongea naye kwa njia ya maono. + +# nina watu wengi katika mji huu + +"Kuna watu wengi katika mji huu walioweka imani yao kwangu" + +# Paulo akakaa huko...,akifundisha neno la Mungu miongoni mwao. + +Hii ni kauli ya kumalizia kwa sehemu hii ya hadithi. + diff --git a/act/18/12.md b/act/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..fb6dde34 --- /dev/null +++ b/act/18/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla + +Hili ni tukio jipya katika hadithi. Paulo aliletwa kwenye kiti cha hukumu mbele ya Galio. + +# Galio alipofanywa mtawala wa Akaya + +Akaya ilikuwa jimbo la Roma ambao Korintho ilikuwa sehemu yake ambayo sasa inafahamika kama kusini mwa Ugiriki. + +# kumleta yeye mbele ya kiti cha hukumu + +Wayahudi walimshika Paulo kwa nguvu na kumleta Paulo mbele ya mahakama. "walimpeleka ili akahukumiwe na mtawala" + diff --git a/act/18/14.md b/act/18/14.md new file mode 100644 index 00000000..a63da7e9 --- /dev/null +++ b/act/18/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Galio akasema + +Galio alikuwa gavana wa Kirumi wa Mkoa. + +# sheria zenu + +Hayo yalikuwa ni sheria ya Musa na desturi nyingine za kiyahudi wakati wa Paulo + +# Mimi sitamani kuwa hakimu kwa habari ya mambo hayo + +Mimi nakataa kufanya hukumu kuhusiana na mambo hayo" + diff --git a/act/18/16.md b/act/18/16.md new file mode 100644 index 00000000..8d9ef903 --- /dev/null +++ b/act/18/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla + +Fungu linaelezea watu wamataifa mbele ya baraza. Waliitikia kinyume cha wayahudi waliokuwa wamemleta Paulo mbele ya kiti cha hukumu. + +# Galio aliwafanya wote waondoke mbele ya kiti cha hukumu + +Galio aliwaaga waondoke mbele yake na kiti chake cha hukumu. + +# wote wakamkamata + +Hali hii ya kutia chumvi ni kusisitiza hisia kali watu waliyokuwa nayo . "watu wengi walimkamata" au "wengi wao walimshika" + +# Hivyo walimkamata Sosthene, kiongozi wa sinagogi, na kumpiga mbele ya kiti cha hukumu. + +Inamaanisha 1)"Watu wa Mataifa walimpiga Sosthene mbele ya kiti cha hukumu kwasababu alikuwa kiongozi wa Kiyahudi. Au 2) Sosthene alikuwa Myahudi Mkristo hivyo wayahudi walipandwa na hasira juu ya imani yake na kumwadhibu mbele ya kiti cha hukumu. + +# wakampiga + +Sosthene ilipigwa mwili wake ."kupigwa" au "kuumizwa". + diff --git a/act/18/18.md b/act/18/18.md new file mode 100644 index 00000000..7448d1fe --- /dev/null +++ b/act/18/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Huu ni mwendelezo wa safari ya kimisionari ya Paulo, pamoja na Priskila na Akwila waliondoka Korintho. + +# Taarifa ya jumla + +Kenkrea ulikuwa ni bandari katika sehemu ya mji mkuu wa Korintho. + +# Ndugu + +Neno "ndugu" linamaanisha wanaume na wanawake walioamini + +# kwenda Syria kwa meli pamoja na Priskila na Akila + +Paulo alipanda kwenye meli iliyokuwa inaenda Syria . Priskila na Akwila walienda pamoja naye. + +# Alikuwa amenyoa kichwa chake + +Hii ni alama ya mfano wa tendo lililodhihirisha nadhiri kamilifu. + +# kujadiliana na + +" kujadiliana pamoja" au "kujadiliana" + diff --git a/act/18/20.md b/act/18/20.md new file mode 100644 index 00000000..74c2b86e --- /dev/null +++ b/act/18/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya jumla + +Hapa wanatambulishwa Wayahudi waliokuwa wakiishi mji wa Efeso + +# Kuwaaga na kuondoka + +"kuwaambia kwaherini" + diff --git a/act/18/22.md b/act/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..c646b685 --- /dev/null +++ b/act/18/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaendelea na safari yake ya kimisionari. + +# Taarifa ya jumla. + +Frigia ulikuwa ni jimbo katika Adsia ambao kwa sasa ni Uturuki. + +# alipotua Kaisaria + +"alifika Kaisaria kwa njia ya Meli" + +# alipanda kwenda + +"Paulo alisafiri kwenda mji wa Yerusalemu" Kupanda kwenda juu kwa vile Yerusalimu ulikuwa nyanda za juu zaidi ya Kaisaria. + +# Kusalimia Kanisa la Yerusalemu + +"kuwasalimia washirika wa kanisa laYerusalemu" + +# Akashuka kwenda + +Alishuka kwenda Antiokia kwa vile Antiokia ulikuwa mji uliochini ya bonde zaidi ya Yerusalemu. + +# Paulo aliondoka + +"Paulo alikwenda zake" au "Paulo aliondoka" + +# Baada ya kukaa pamoja nao kwa muda fulani. + +Unazungumziwa muda alioutumia kukaa nao kabla mtu hajaanza safari nyingine. + diff --git a/act/18/24.md b/act/18/24.md new file mode 100644 index 00000000..3481311f --- /dev/null +++ b/act/18/24.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Luka anaelezea kile kilichotokea katika Mji wa Efeso wakiwa na Prisila na Akwira + +# Taarifa ya Jumla + +Apolo anatambulishwa kwenye hadithi. Mistari ya 24 na 25 inatoa habari kumuhusu yeye. + +# Mmoja wa Wayahudi aitwaye Apolo + +Hapa Luka anaanza kuelezea habari ya mtu mpya. + +# Mzaliwa wa Alexandra + +"Mtu ambaye alizaliwa katika mji wa Alexandria". Hii inaweza kuwa ni miji ya 1) "Alexandria huko Misiri katika mwambao wa kaskasini. " au 2) Alexandra huko Asia katika mwambao wa magharibi." + +# ufasaha katika kuongea + +"mwongeaji mzuri" + +# mwenye uwezo katika maandiko + +"Alikuwa anayafahamu vema maandiko. Alikuwa anauelewa mzuri wa maandiko ya Agano la Kale. + +# Apolo alikuwa ameelimishwa vema katika mafundisho ya Bwana. + +"Baadhi ya waumini walikuwa wamemfundisha Apolo namna Bwana Yesu alivyokuwa anataka watu wapate kuishi. + +# Alikuwa na bidii katika roho + +Neno "roho" linamtambulisha Apolo kama mtu aliyekuwa mwenye nia thabiti ya roho. + +# ubatizo wa Yohana + +"Ubatizo ambao Yohana alifanya" Huu ni ulinganisho wa ubatizo wa Yohana ambao ulikuwa wa maji na ubatizo wa Yesu ambao ulikuwa wa Roho Mtakatifu. + +# njia za Mungu + +Namna vile anawataka watu waishi. + +# kwa usahihi + +"kwa undani zaidi " + diff --git a/act/18/27.md b/act/18/27.md new file mode 100644 index 00000000..54a1591e --- /dev/null +++ b/act/18/27.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla + +Akaya lilikuwa jimbo katika sehemu ya Kusini mwa Ugiriki kwa sasa + +# Kupitia katika Akaya + +"Kwenda kupitia katika Mkoa wa Akaya" + +# Ndugu + +Neno "ndugu" hapa linamaanisha wanaume na wanawake walioamini. + +# kawaandikia wanafunzi + +"kuandka barua kwa Wakiristo walioko Akaya" + +# Wale walioamini kwa neema + +"Wale waliokuwa wameamini wokovu wa Yesu wa neema" + +# Appolo aliwashinda Wayahudi hadharani + +Appolo aliwashinda Wayahudi mbele ya watu wengine kwa hoja zake. + +# Kwa uwezo na ujuzi wake + +"Kwa nguvu ya ushindani wa hoja zake na ujuzi wake wa kuongea" + diff --git a/act/19/01.md b/act/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..473d395a --- /dev/null +++ b/act/19/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anasafiri kwenda Efeso + +# Taarifa ya jumla + +"Nyanda za juu za nchi" lilikuwa ni eneo la Asia ambalo kwa sasa ni Uturuki kaskazini ya Efeso. Paulo alilazimika kusafiri kwa nchi kavu kuzunguka pembezoni mwa bahari ili kuweza kufika Efeso ambao pia ni Uturuki ya sasa. + +# Ikawa kwamba + +Huu ni mwanzo wa habari mpya. + +# Kupita katikati + +"Kusafiri kupitia" + +# kumpokea Roho Mtakatifu + +Hii inamaanisha kuwa na Roho Mtakatifu aliyekuja juu yao. + +# Hatukuwahi hata kusikia kuhusu Roho Mtakatifu + +Sisi hatukusikia kuhusu Roho Mtakatifu + diff --git a/act/19/03.md b/act/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..d10ea034 --- /dev/null +++ b/act/19/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Paulo anaendeleza mjadala wake pamoja na waumini wapya huko Efeso. + +# mlibatizwa katika nini? + +"Ubatizo wa aina gani mliobatizwa?" + +# Katika Ubatizo wa Yohana + +"Tuliupokea ubatizo kupitia mafundisho aliyokuwa akifundisha Yohana" + +# Ubatizo wa toba + +"Ubatizo ambao watu waliuomba wakati walipotaka kugeuka kutaka kutubu dhambi zao + +# yule ambaye angekuja + +Hapa neno "Yule" linamaanisha Yesu. + +# kuja baada yake + +Hii inamaanisha angekuja baada ya Yohana Mbatizaji. + diff --git a/act/19/05.md b/act/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..ae330681 --- /dev/null +++ b/act/19/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaendelea kuishi huko Efeso + +# Wakati watu + +"Watu" hapa inahusu waumini wa Efeso wakizungumza na Paulo. + +# Wakabatizwa + +Wakapokea ubatizo + +# Kwa jina la Bwana Yesu + +Hapa "Jina" linamaanisha nguvu na mamlaka ya Yesu. + +# akaweka mikono yake + +Akaweka mikono yake juu ya vichwa vyao wakati akiomba' + +# walinena kwa lugha nyingine, na kutabiri + +hakuna maelezo ya ambao wanaweza kuelewa ujumbe wao + +# Katika yote walikuwa watu wapatao kumi na wawili + +Hii ni taarifa za msingi kuhusu wanaume ambao walikuwa wamebatizwa + diff --git a/act/19/08.md b/act/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..b4585b70 --- /dev/null +++ b/act/19/08.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Paulo alikwenda katika sinagogi akasema kwa ushujaa kwa muda wa miezi mitatu + +Paul mara kwa mara alihudhuria mikutano katika sinagogi kwa miezi mitatu na kusema nao kwa ujasiri + +# kuwavuta watu + +kujaribu kuwashawishi watu kwa ujumbe wa kweli. + +# kuhusiana na ufalme wa Mungu + +Hapa neno "Ufalme" linasimamia uongozi wa Mungu kama Mfalme. + +# Baadhi ya Wayahudi wengine walikuwa wagumu + +Baadhi ya Wayahudi wakaidi walikataa kukubali ujumbe + +# Kuongea mabaya + +Kuongea mambo mabaya + +# njia ya kristo + +wokovu kupitia Yesu Kristo + +# katika ukumbi wa Tirano + +Katika ukumbi mkubwa mahali Tirano alipokuwa akifundishia watu. + +# Tirano + +Hili ni jina la mtu mwanaume + +# wote waliokuwa wanaishi Asia walisikia + +Inaweza kuwa na maana ya 1) 'Paul alishirikisha injili kwa watu wengi katika Asia' au 2) 'Ujumbe wa Paulo uliwafikia wote wa Asia kutoka Efeso kutoka hadi Asia yote. + +# Neno la Bwana + +Hapa "neno" linasimama kwa ujumbe. Ujumbe kuhusu Bwana Yesu. + diff --git a/act/19/11.md b/act/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..0023dfe5 --- /dev/null +++ b/act/19/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linazungumzia juu ya wale waliokuwa wagonjwa. + +# Mungu alikuwa akitenda makuu kupitia mikono ya Paulo hata waliokuwa wagonjwa waliponywa + +Hapa "mikono" linasimamia maisha yote ya Paulo. Mungu alikuwa akimtumia Paulo kutenda miujiza. + +# walichukua leso na eproni kutoka mwili wa Paulo + +Hivi vilikuwa vitambaa ambavyo Paulo alivivaa ama kuvitumia. Walipovigusa vitambaa amabvyo Paulo alivivaa wakati wa huduma. + diff --git a/act/19/13.md b/act/19/13.md new file mode 100644 index 00000000..733ee6ae --- /dev/null +++ b/act/19/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya jumla + +Huu ni mwanzo wa tukio jingine lililotokea wakati Paulo akiwa Efeso. Ni kuhusu wapunga mapepo Wayahudi. + +# Wapunga mapepo + +watu ambao hufukuza roho wabaya kutoka kwa watu au maeneo + +# akilitumia jina la Yesu kwa matumizi yao wenyewe + +Ingawa hawakuwa wakimwamini Yesu, walijaribu kutumia jina lake kama moja ya maneno yao ya muujiza + +# Walinena juu yao walikuwa wapegawa na roho chafu + +Walilitaja jina la Yesu kwa roho wachafu zilizokuwa zimewapaa watu + +# wale waliokuwa na pepo wabaya + +wale waliokuwa wakiongozwa na roho wabaya + +# Kwa Yesu anayehubiriwa na Paulo + +"Yesu" lilikuwa ni jina la kawaida wakati ule, hivyo hao wapunga mapepo waliwataka wato kujua waliyekuwa wakimnena. + +# kwa Yesu + +Hii inasimamia nguvu na mamlaka ya Yesu. + +# Waliofanya vile walikuwa wana saba wa kuhani wa kiyahudi, Skewa. + +Hii ni habari inayojadili habari ya wapunga mapepo. + +# Skewa + +Hili ni jina la mtu mwanaume. + diff --git a/act/19/15.md b/act/19/15.md new file mode 100644 index 00000000..7da74128 --- /dev/null +++ b/act/19/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Yesu namjua na Paulo namjua + +"Namjua Yesu na Paulo" au "Nimesikia kuhusu Yesu na Paulo" + +# lakini ninyi ni nani? + +roho aliuliza swali hili kuwathibitishia wapunga mapepo kuwa wao hawakuwa na mamlaka juu ya roho wachafu. + +# roho mchafu aliyekuwa ndani ya yule mtu akawarukia. + +Hii inamaanisha roho mchafu alimsababisha yule mtu aliyekuwa akiongozwa naye kuwarukia hao wapunga mapepo. + +# Wapunga pepo + +Linaelezea juu ya watu waliokuwa wakitoa roho chafu kutoka kwa watu au eneo fulani. + +# nao walikimbia .............. uchi + +Wapunga mapepo walikimbia na kuacha nguo zao. walikimbia uchi. + +# Jina la Bwana Yesu liliheshimiwa + +Waliliheshimu jina la Yesu ama walilifikiria jina la Bwana Yesu kuwa kuu. + +# Jina + +Hili linasimama kwa nguvu na mamlaka ya Yesu. + diff --git a/act/19/18.md b/act/19/18.md new file mode 100644 index 00000000..30c81a3e --- /dev/null +++ b/act/19/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwisho wa sehemu ya habari inayowahusu Wayahudi wapunga mapepo. + +# Wakakusanya vitabu vyao + +'Walikusanya vitabu vyao'. Neno "vitabu" linaelezea aina ya magombo yaliyokuwa yakitumika kuendeshea manuizio ya uchawi kutokana na mwelekezo wa maneno yaliyoandikwa humo. + +# mbele ya macho ya kila mtu + +mbele ya kila mtu + +# thamani yake + +"thamani ya vitabu" au "thamani ya yale magombo" + +# Elfu hamsini + +50,000.00 + +# vipande vya fedha + +"Kipande cha fedha" ilikuwa takriban mshahara wa siku kwa mfanyakazi wa kawaida + +# Hivyo Neno la Bwana likaenea kwa upana sana katika njia yenye nguvu + +"Kwasababu ya matendo makuu haya, watu wengi zaidi waliusikia ujumbe kuhusu Bwana Yesu." + diff --git a/act/19/21.md b/act/19/21.md new file mode 100644 index 00000000..b04c432d --- /dev/null +++ b/act/19/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anazungumzia kuhusu uamuzi wake wa kwenda Yerusalemu, lakini hajaondoka Efeso bado + +# Paul anakamilisha huduma katika Efeso. + +Paul anakamilisha kazi ambayo Mungu alikuwa amemwagiza kuifanya katika Efeso. + +# Aliamua katika roho + +Inawezekana kuwa na maana ya 1) Paulo aliamua kwa msaada wa Roho Mtakatifu au 2) Paulo alikusudia kutokana na uamzi wa roho yake, ambayo inamaana alifanya uamzi wake. + +# Akaya + +Akaya ilikuwa Jimbo la Rumi mahali ambapo Korintho ilipokuwa. Ulikuwa ni mji kubwa kusini mwa Ugiriki na mji mkuu wa jimbo. + +# Mimi lazima pia nikaone Rumi + +Mimi lazima pia kusafiri kwenda Rumi + +# Lakini naye akabaki kwa muda huko Asia + +Ni kufanywa wazi kwa mistari michache inayofuatia kwamba Paulo alikuwa alibakia Efeso + diff --git a/act/19/23.md b/act/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..f9278c56 --- /dev/null +++ b/act/19/23.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Luka anaelezea juu ya ghasia ambayo ilizuka wakati Paulo akiwa Efeso. + +# Taarifa ya jumla + +Demetrio ametambulishwa kweny habari hii. Mstari wa 24 umeelezea kumhusu Demetrio + +# Taarifa ya jumla + +Efeso kulikuwa na hekalu kubwa lililojengwa kwa ajili ya mungu mke Diana, Wakati mwingine imetafasiriwa kwa jina la kigiriki "Artemi". Diana alikuwa miungu ya uongo ya kurutubisha uzazi. + +# kuliinuka mvurugano mkubwa + +"Watu walikuwa wamechanganyikiwa kabisa" + +# njia + +Hili lilikuwa ni neno lililotumika kutaja Ukristo. + +# Sonara fulani aliyekuwa akiitwa Demetrio + +Matumizi ya neno "fulani" linamwelezea mtu mpya katika habari. + +# Mfua fedha + +Mtu mjuzi anayefanya kazi ya kufua fedha kufanya visanamu na vito vya thamani. + +# aitwaye Demetrio + +Hili ni jina la mtu mwanaume. Demetrio alikuwa mfua dhahabu katika Efeso aliyekuwa kinyume na Paulo na kanisa la mtaa hapo Efeso. + +# alizalisha fedha nyingi kwa biashara hiyo + +"aAlitengeneza pesa nyingi kutoka kwa watu waliotengeneza visanamu. + diff --git a/act/19/26.md b/act/19/26.md new file mode 100644 index 00000000..ee82de7e --- /dev/null +++ b/act/19/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Demetrio anaendelea kuzungumza na mafundi + +# munaona na kusikia kwamba + +"Mumekuja kwa kujua na kuelewa kwamba" + +# kuwageuza watu wengi + +Paulo anawazuia watu kuacha kuabudu miungu. Paulo anawashawishi watu kufuata mwelekeo mwingine. + +# Anawaeleza kuwa hakuna miungu ambayo iliyotengenezwa kwa mikono + +Neno hapa "Mikono" linaelelzea hali yote ya mtu. Anamaanisha kuwa Hakuna miungu iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu iliyo ya kweli. + +# kwamba biashara yetu haitaweza kuhitajika tena. + +"Kwamba watu hawataweza tena kuhitaji na kununua miungu kutoka kwetu." + +# hekalu la mungu mkuu mke diana hataonekana na thamani tena. + +Hii inaweza kutafsiriwa kuwa; "watu watafikiri kuwa hakuna faida inayoendelea kuabudu katika hekalu ya mungu mke Diana." + +# Hata atapoteza umaarufu wake + +Umarufu wa Diana utapotea kwa kufikiri habari yake. + +# ambao wote walio Asia na ulimwengu wa waabuduo + +hili linakuzwa ili kuonyesha vile Diana alivyokuwa anapendwa na wengi. + diff --git a/act/19/28.md b/act/19/28.md new file mode 100644 index 00000000..4124bf74 --- /dev/null +++ b/act/19/28.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya jumla + +Habari hii inazungumzia mafundi waliokuwa wakifua visanamu. Kundi jingine ni la wale waliokusanyika kuwasikiliza mafunzi wafua visanamu. + +# Taarifa ya jumla + +Gayo na Aristariko walitoka Makedonia lakini walikuwa wakitenda kazi na Paulo katika Efeso katika wakati wake. + +# walijawa na hasira + +"wakawa na hasira sana" + +# na wakapiga kelele, wakisema + +kelele kwa sauti kubwa, akizungumza + +# Mji wote ulijawa na taharuki + +Watu waliokuwemo katika mji wote wakaingiwa na taharuki na kuanza kupiga kelele. + +# watu wakakimbia kwa pamoja + +Kulikuwa na hamasisho la ghasia kubwa + +# kwenye ukumbi + +Ukumbi wa Efeso ilitumika kwa ajili ya mikutano ya hadhara na kwa ajili ya burudani kama vile michezo na muziki + +# Washirika walioambatana na Paulo + +watu waliokuwa wakisafiri pamoja na Paulo + +# Gayo na Aristarko + +Haya ndiyo majina ya watu wanaume + diff --git a/act/19/30.md b/act/19/30.md new file mode 100644 index 00000000..b921dcc6 --- /dev/null +++ b/act/19/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya jumla + +Efeso ilikuwa sehemu ya utawala wa Rumi katika jimbo la Asia. + +# kuingia kwenye ukumbi + +Ukumbi wa Efeso ulitumika katika mikutano ya wazi na kwa matamasha ya michezo na muziki. Ulikuwa ni ukimbi inje ya mji wenye nusu mduara ukiwa na viti vyenye kubeba watu maelfu. + diff --git a/act/19/33.md b/act/19/33.md new file mode 100644 index 00000000..870aad9e --- /dev/null +++ b/act/19/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alexazanda + +Hili ni jina la mtu mwanamme + +# akawapungia mkono ili kuelezea + +kutigisha mkono akitoa ishara kwa watazamaji ili wanyamaze na aweze kutoa maelezo. + +# kufanya maelezo + +Alitaka kutoa hotuba, lakini sio wazi nini alichokuwa anakwenda kusema. + +# bila ya sauti + +Kupaza sauti ya watu wote kwa wakati mmoja ilionekana kama sauti moja ikinena. + diff --git a/act/19/35.md b/act/19/35.md new file mode 100644 index 00000000..f8a889f6 --- /dev/null +++ b/act/19/35.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi jumuishi + +Karani wa mji anaongea ili kuunyamazisha umati wa watu + +# Karani wa Mji + +Hii inafafanua juu ya "Karani" au "Mwandishi" + +# Je, kuna yeyote ambaye hajui kuwa mji wa Efeso ni hekalu mlinzi wa Diana mkuu na ya sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni + +karani aliuliza swali hili kuwahakikishia umati kuwa walikuwa sahihi na kuwatia moyo. + +# Nani asiyejua + +Karani wa mji anatumia neno "asiye" ili kusisitiza kuwa watu wote wa mji wanajua hili. + +# Mlinzi wa hekalu + +Watu wa Efeso wanatunza na kulinda hekalu la Atemi + +# sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni + +Ndani ya hekalu la Diana kulikuwa mfano wa mungu fasheni iliyoanguka kutoka angani, kulikuwa mwamba uliofikiriwa kutoka Zeus + diff --git a/act/19/38.md b/act/19/38.md new file mode 100644 index 00000000..75916f39 --- /dev/null +++ b/act/19/38.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +karani wa mji alimaliza kizungumza na umati + +# Kwa sababu hiyo + +Hili neno linaashiria kuwa Karani alisema kwa sababu ya kile ambacho alisema hapo awali. Karani wa mji alikuwa amesema, Gayo na Aristariko alikuwa walikuwa si wezi wala wenye kufuru. + +# wanamashitaka dhidi ya mtu yetote + +Nono "shitaka" na "tuhumu" ni vitendo dhidi ya wengine. + +# Liwali + +Huyu alikuwa ni gavana, mwakilishi wa mambo ya kisheria katika mahakama. + +# Acha washitakiane wao kwa wao + +Hili halimaanishi Demetrio na wale waliokuwa naye watashitakiana wao kwa wao. Hili lilikuwa eneo ambalo kila mtu alikuwa huru kutoa shitaka kwa mtu yeyote. + +# Lakini kama wewe ukitafuta chochote kuhusu mambo mengine + +"Lakini kama kuna matatizo vema kuongea" + +# yatashughurikiwa katika kikao halali. + +"Vema kujadili na kutatua tatizo kwa utaratibu wa kawaida" + +# katika hatari ya kutuhumiwa kuhusu ghasia siku hii. + +"Hii inaweza kusababisha hatari kwa mamlaka ya Rumi tukituhumiwa kuanzisha ghasia kama hii ya leo" + diff --git a/act/20/01.md b/act/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..07979f58 --- /dev/null +++ b/act/20/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa unganishi + +Paulo anaondoka Efeso anaendelea safari zake + +# baada ya ghasia + +"Baada ya ghasia" au "kufuatia ghasia" + +# Aliwaaga + +"alisema kwaheri." + +# aliwatia moyo waumini sana + +"Kwa hali ya dhati aliwatia moyo waumini" au "Alisema mambo mengi ya kuwatia moyo waumini" + +# Baada ya kuishi miezi mitatu huko + +yeye alikaa miezi mitatu huko + +# njama iliandaliwa dhidi yake na Wayahudi + +"Wayahudi waliandaa njama dhidi yake" + +# wakati alipokuwa karibu kusafiri kwa meli kuelekea Syria + +alikua tayari kusafiri kwa meli kwenda Syria + diff --git a/act/20/04.md b/act/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..b4baff6c --- /dev/null +++ b/act/20/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla + +Luka mwandishi wa Matendo ya Mitume, alikuwa ameungana na timu ya Paulo. Hapa anatumia maneno ya wingi akimtaja Paulo akiwamo na yeye. + +# kuandamana naye + +Kusafiri pamoja na Paul + +# Sopatro ... Trofimo + +Haya ndiyo majina ya watu wanaume + +# Berea ... Derbe ... Troa + +Haya ndiyo majina ya maeneo waliyopitia + +# Aristarko ... Gayo + +Haya ni majina ya watu wanaume + +# Watu hawa walikuwa wamekwenda mbele yetu + +"hawa watu walikuwa wamesafiri mbele yetu" + +# siku za mikate isiyotiwa chachu + +Hii inaelezea juu ya wakati wa sikukuu ya Wayahudi. Kipindi cha Pasaka. + diff --git a/act/20/07.md b/act/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..d6091d37 --- /dev/null +++ b/act/20/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa unganishi + +Luka anaelezea huduma ya Paulo ya mahubiri huko Troa na kile kilichotokea juu ya Eutiko + +# Taarifa ya jumla + +Luka bado anaelezea kuwa walikuwa pamoja katika safari hiyo. + +# kumega mkate + +Mkate kilikuwa ni chakula cha kawaida wakati wa saa ya chakula. Kumega mkata hapa, inaweza kuwa walishiriki chakula saa ya chakula. + +# aliendelea kunena + +aliendelea kutoa ujumbe + +# Chumba cha juu + +Hii inaweza kuwa chumba cha juu ghorofa ya tatu. + diff --git a/act/20/09.md b/act/20/09.md new file mode 100644 index 00000000..c7055df3 --- /dev/null +++ b/act/20/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Habari hii inazungumzia juu ya Paulo na Eutiko. + +# katika dirisha + +Hii ilikuwa sehemu ya uwazi katika kona ya ukuta wa chumba cha juu. Upana wake ulitosha mtu kuweza kuketi pale. + +# Eutiko + +Hili ni jina la mtu mwanaume + +# aliyepatwa na usingizi mzito + +Hapa inasemea; "Alichoka sana na kupelekea usingizi mzito uliompata" + +# ghorofa ya tatu na aliokotwa akiwa amekufa + +Wakati walipotelemka kwenda kuona hali yake, walimwona akiwa amekwisha kufa. + +# Ghorofa ya tatu + +Hii inamaanisha ghorofa mbili kabla ya tatu inayofuata. + diff --git a/act/20/11.md b/act/20/11.md new file mode 100644 index 00000000..32d47c73 --- /dev/null +++ b/act/20/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa unganishi + +Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi kuhusu mahubiri ya Paulo kule Troa na kuhusu Eutiko + +# waliumega mkate + +Mkate kilikuwa chakula cha kawaida kipindi cha saa ya chakula. Inamaanisha pengine walishiriki chakula kilichokuwa na aina nyingi zaidi ya mkate. + +# aliondoka + +"aliendelea na safari" + +# Mvulana + +Inawezekana kuwa na maana ya; 1) kijana zaidi ya 14, au 2) mtumishi au mtumwa au 3) mvulana kati ya umri wa 9 na 14 miaka. + diff --git a/act/20/13.md b/act/20/13.md new file mode 100644 index 00000000..67e7a463 --- /dev/null +++ b/act/20/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa unganishi + +Paulo na wenzake wakaendelea na safari yao + +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linazungumzia juu ya Luka na wale waliokuwa wakisafiri naye bila Paulo kuwemo kwenye kundi. + +# Sisi wenyewe tulikwenda + +Neno 'wenyewe' linaongeza mkazo na hutenganisha Luka na wasafiri wenzake Paulo, ambaye hakusafiri kwa mashua + +# tulisafiri kwenda Aso + +Aso ni mji uliokuwa chini ya mji wa Behram ya sasa katika Uturuki pwani ya bahari ya Aegean. + +# yeye mwenyewe alitamani + +"yeye mwenyewe" ni kiwakilishi cha jina la Paulo aliyekuwa anatamani + +# kwenda kwa njia ya bara + +Kusafiri kwa nchi kavu + +# kwenda Mitylene + +Mitylene ni mji katika siku ya leo Mitilini, Uturuki katika pwani ya bahari ya Aegeana. + diff --git a/act/20/15.md b/act/20/15.md new file mode 100644 index 00000000..4246848f --- /dev/null +++ b/act/20/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya jumla + +Habari hii inaelezea Paulo, Mwandishi Luka na wale waliosafiri pamoja nao. + +# upande wa pili wa kisiwa + +"karibu na kisiwa" au " kuvuka kutoka kwenye kisiwa" + +# Kisiwa cha Chiosi + +Chiosi ni kisiwa katika pwani ya Uturuki kwa sasa katika bahari ya Aegean + +# tulitia nanga kisiwani cha Samos + +"Tuliwasili katika kisiwa cha Samos" + +# kisiwa cha Samos + +Samos ni kisiwa cha kusini ya Chios katika pwani ya bahari ya Aegean kwa sasa ni Uturuki. + +# mji wa mileto + +Mileto ulikuwa ni mji wa bandari magharibi mwa Asia Ndogo karibu ni kwenye chanzo cha mto Meander. + +# Paulo alikuwa ameamua kusafiri kupitia Efeso + +Paulo alisafiri majini kusini zamani mji wa bandari wa Efeso, kusini zaidi ili kufika nchi kavu huko Mileto. + +# ili kwamba asitumie muda wowote + +Hii inamaanisha "muda" kama vile ulikuwa bidhaa ambao mtu angeweza kuutumia. + diff --git a/act/20/17.md b/act/20/17.md new file mode 100644 index 00000000..f17b860c --- /dev/null +++ b/act/20/17.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Taarifa unganishi + +Paulo anawaita wazee wa kanisa la Efeso na kuanza kuzungumza nao. + +# kutoka Mileto + +Mileto ilikuwa ni mji wenye bandari Magharibi ya Asia ndogo karibu na chanzo cha mto Meander. + +# Ninyi wenyewe + +Paulo hapa anatumia msisitizo kwa kile anachowaambia. + +# kuweka mguu katika Asia + +aliingia mkoa huu wa Asia + +# jinsi nilivyokuwa kwenu muda wote + +Anazungumzia muda alioutumia akiwa kwao. + +# kwa unyenyekevu wote + +'Unyenyekevu' au 'kujishusha hadi chini' + +# kwa machozi + +"machozi" wakati mwingine alijisikia hali ya huzuni na kulia machozi. + +# kwa Wayahudi + +Hii haimaanishi kwa kila Myahudi. Anaelezea juu ya baadhi ya wale waliomtendea mabaya. + +# Mwajua jinsi ambavyo sikujizuia kutangaza kwenu + +" Mnajua jinsi ambavyo sikunyamaza, lakini kila mara niliwahutubia." + +# kwenda nyumba kwa nyumba + +Paulo alifundisha watu kwenye makazi yao binafsi yaani nyumba kwa nyumba. + +# juu ya toba kwa Mungu na imani katika Bwana wetu Yesu + +"toba" na "imani" ni maneno yanayoweza kutafsiriwa kwa vitenzi. Kwamba walipaswa kutubu mbele za Mungu na kuamini katika Bwana Yesu Kristo. + diff --git a/act/20/22.md b/act/20/22.md new file mode 100644 index 00000000..2caf92de --- /dev/null +++ b/act/20/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nikiwa ninamtii Roho Mtakatifu kuelekea Yerusalemu, nisiyajue mambo ambayo yatanitokea mimi huko, + +Hapa anaongelea juu ya Roho Mtakatifu akimshawishi Paulo kwenda Yerusalemu kama vile Roho Mtakatifu alikuwa amemfunga mfano wa mtumwa. + +# Roho Mtakatifu hunishuhudia mimi + +Roho Mtakatifu amewasilisha maonyo haya kwangu + +# minyororo na mateso ndivyo vinavyoningojea + +Mimi nahusika kufungwa jela kwa minyororo na kuteswa katika kifungo. + +# ili niweze kumaliza mwendo wangu na huduma niliyopokea kutoka kwa Bwana Yesu + +Paulo anatumia mfano waq mashindano. Ili kukamilisha kazi ambayo Mungu aliiweka kwa ajili ya yake kuifanya + +# kuishuhudia injili ya neema ya Mungu + +"kuwaambia watu habari njema kuhusu neema ya Mungu. Hii ndiyo huduma ambayo Paulo alikuwa ameipokea kutoka kwa Yesu. + diff --git a/act/20/25.md b/act/20/25.md new file mode 100644 index 00000000..c9940be7 --- /dev/null +++ b/act/20/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa unganishi + +Paulo anazidi kuongea na wazee wa Efeso + +# Na sasa, tazama, najua + +"Na sasa, nisikilizeni kwa makini, kwasababu ninajua" + +# Mimi najua kuwa ninyi nyote + +Mimi najua kuwa ninyi kwa ujumla wenu wote. + +# miongoni mwao nilikwenda kuwahubiri kuhusu Ufalme + +kwenu ambao mimi niliwahubiria ujumbe kuhusu ufalme wa Mungu + +# hamtaniona uso wangu tena + +Neno 'uso' hapa inawakilisha mwili wa Paulo. + +# Mimi sina hatia katika damu ya mtu yoyote + +Siwezi kulaumiwa na mtu yeyote kuwa na hatia mbele za Mungu + +# mtu yeyote + +Hapa inamaanisha nafsi ya kila mmoja wao awe mwanaume au mwanamke. + +# Kwa maana sikujizuia kuwatangazia + +"kwamba sikukaa kimya bila kuwatangazia ujumbe wa kweli. + diff --git a/act/20/28.md b/act/20/28.md new file mode 100644 index 00000000..179dfa96 --- /dev/null +++ b/act/20/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa sababu hiyo + +Neno hili ni alama ya kauli inayosema kwa sababu ya kile ambacho nilisema hapo awali. Katika kesi hiyo, inaturudisha nyuma kwa yale yote ambayo Paulo amesema hadi sasa katika hotuba yake kuhusu yeye kuondoka kwao. + +# juu ya kundi lolote ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi. Iweni waangalifu kulichunga kusanyiko la Bwana + +Waumini wanafananishwa na kundi la kondoo. Viongozi wamepewa wajibu na Mungu kulilinda kundi la waumini kwa uangalifu mkuu dhidi ya mbwa mwitu. + +# kusanyiko la Bwana, ambalo alilinunua kwa damu yake mwenyewe + +kumwaga "damu" ya Kristo hapa inafananishwa na malipo kwa Mungu kwa ajili ya dhambi zetu. + +# mbwa mwitu wakali wataingia kwenu, na wasilihurumie kundi. + +Ni picha ya waumini ambao ni kondoo kuanza kufundishwa mafundisho ya uongo yatakayoanza kuwavutana kuwatoa katika kweli ya Mungu + +# ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao + +Mwalimu wa uongo anayeweza kuwavuta waumini kwa mafundisho ya uongo, kwa lengo la kuwaondoa waumini kuwa wanafunzi wa Yesu na kuwafanya kuwa wanafunzi wake. + diff --git a/act/20/31.md b/act/20/31.md new file mode 100644 index 00000000..f8bfa98c --- /dev/null +++ b/act/20/31.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# kuwa macho. kumbuka + +'kuwa macho na kukumbuka' au 'kuwa macho kama unakumbuka' au 'kuwa macho kwa kukumbuka.' + +# Kuwa macho + +kuwa macho na tahadhari 'au' kuangalia nje" au "kukaa macho" + +# Kumbuka + +"Endelea kukumbuka" au "Tahadhari" + +# kwa miaka mitatu sikuweza kuacha kuwafundisha... usiku na mchana + +Paulo hakufuruliza kuwafundisha kwa miaka mitatu, lakini mara kwa mara katika muda wa miaka mitatu. + +# Sikuweza kuacha kuwafundisha + +Maana inawezekana ni 1) 'sikuweza kuacha kuwaonya au 2) "sikuweza kuacha kuhamasisha kwa marekebisho." + +# kwa machozi + +Hapa "machozi" inaelezea kilio cha Paulo kwasababu ya hisia zake kali juu ya vile alivyojihisi wakati akiwaonya hao watu. + +# Na sasa mimi nawakabidhi kwa Mungu, na kwa neno la neema yake + +Hapa "neno" linasimama juu ya ujumbe. Kwamba namwomba Mungu awalinde na kuwasaidia kuendelea kuuamini ujumbe niliosema nanyi juu ya neema yake. + +# ambalo laweza kuwajenga + +Imani ya mtu kuwa imara ni mfano wa ukuta uliojengwa na kuzidi kuimarishwa zaidi na zaidi. + +# na kuwapa urithi + +Hapa pia anazungumzia neno la neema yake Mungu kana kwamba Mungu mwenyewe alikuwa akiwapa urithi watu wake. + diff --git a/act/20/33.md b/act/20/33.md new file mode 100644 index 00000000..1e91070f --- /dev/null +++ b/act/20/33.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa unganishi + +Paulo alimaliza hotuba yake kwa wazee wa Kanisa la Efeso, Ambayo alikuwa akiihutubia + +# Sikutamani fedha ya mtu. + +"Sikuwa na tamaa ya fedha za mtu yeyote" au "Mimi mwenyewe sikuhitaji fedha ya mtu yeyote" + +# fedha ya mtu, dhahabu, au nguo + +Mavazi yalidhaniwa kuwa kama hazina; kwa kadri mtu alivyozidi kuwa navyo, ndivyo alivyodhaniwa kuwa na utajiri. + +# Ninyi wenyewe + +Neno "wenyewe" inatumika hapa kwa kuongeza msisitizo. + +# nimefanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe kutimiza mahitaji yangu. + +Neno "mikono" hapa inawakilisha roho yote ya Paulo. 'Mimi nilifanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe ya kupata fedha na kulipa kwa ajili ya gharama zangu." + +# Kufanya kazi kuwasaidia wanyonge + +"Fanyeni kazi ilikupata fedha kusaidia watu ambao hawawezi kuzipata kwaajili yao wenyewe" + +# maneno ya Bwana Yesu, + +Hapa "maneno" yanafafanua juu ya Yesu alivyosema. + +# Ni heri kutoa kuliko kupokea + +Mtu hupokea neema ya Mungu na uzoefu wa furaha yake zaidi anapotoa + diff --git a/act/20/36.md b/act/20/36.md new file mode 100644 index 00000000..8c9d62e2 --- /dev/null +++ b/act/20/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa unganishi + +Paul anamalizia muda na hotuba yake kwa wazee wa kanisa la Efeso na kisha kuomba pamoja nao. + +# alipiga magoti akaomba pamoja nao + +Ilikuwa desturi ya kawaida kupiga magoti wakati wa kuomba. Ilikuwa alama ya unyenyekevu mbele za Mungu. + +# kumwangukia Paulo shingoni + +"Aliwakumbatia kwa karibu" au "kuweka mikono yao karibu naye" + +# walimbusu + +Kumbusu mtu kwenye shavu ni usemi wa kindugu au upendo wa kirafiki katika Mashariki ya Kati. + +# Kamwe hawatauona uso wake tena + +Neno "uso" hapa inawakilisha mwili wa Paulo kimwili. 'hamtaniona katika mwili katika dunia hii.' + diff --git a/act/21/01.md b/act/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..d1b726c8 --- /dev/null +++ b/act/21/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi Luka, Paulo na washirika wake wanaendelea na safari yao. + +# Taarifa ya jumla + +Paulo anatumia kiwakilishi cha jina kwa wingi akijitambulisha yeye, Paulo na wenzao wanaosafiri kwa pamoja. + +# tukafika moja kwa moja kwenye mji wa Kosi, + +"tulikwenda moja kwa moja kwenye mji wa kosi" au "tulikwenda moja kwa moja kwenye mji wa kosi bila kupitia sehemu nyingine" + +# Mji wa Kosi + +Kosi ni kisiwa cha pwani ya Ugiriki pwani kwa sasa ni Uturuki mkoa wa kusini mwa Aegean ya bahari. + +# Mji wa Rhodes + +Rhodes ni kisiwa cha pwani ya Ugiriki kwa sasa ni Uturuki kusini mwa bahari ya Aegeani na kosi pia kaskazini ya Krete + +# Mji wa Patara + +Patara ni mji upande wa kusini magharibi mwa pwani ya Bahari ya Aegean kwa sasa ni Uturuki kuelekea bahari ya Mediterraneani. + +# Tulipopata meli inayovuka kwenda Foinike + +Hapa "Meri kuvuka kupitia" linamaanisha kuwa ni wale watumishi wa meri ambao wangesafiri pamoja na meri. + +# Meri kuvuka kupitia + +Hapa hakumaanishi meri ilikuwa inavuka wakati huo, bali ingevuka baadaye. + diff --git a/act/21/03.md b/act/21/03.md new file mode 100644 index 00000000..4a446fde --- /dev/null +++ b/act/21/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla + +Neno 'sisi' linamhusu Luka, Paulo na wale waliokuwa wakisafiri pamoja nao. + +# tukaiacha upande wa kushoto + +"Tulikipita kisiwa upande wa kushoto" + +# huko ndiko meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake + +Hapa "Meri" inasimama kwa nafasi ya watumishi waliokuwa wakisafiri na meri. Wafanyakazi hao wangeshusha mizigo kutoka merini. + +# Wanafunzi hawa walimwambia Paulo kupitia Roho + +"Waumini hawa walimwambia Paulo kile Roho Mtakatifu alikuwa amekidhihirisha kwao" + +# kwamba yeye asikanyage Yerusalemu + +Hapa "Miguu" linamaanisha Paulo mwenyewe asikanyage huko Yerusalemu. + diff --git a/act/21/05.md b/act/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..1b890726 --- /dev/null +++ b/act/21/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linazungumzia waumini huko Tiro + +# Wakati tulipokuwa tumekaa siku kadhaa + +Inaonyesha kuwa kuna muda waliokaa katika mji huo. + +# tukapiga magoti pwani, tukaomba + +likuwa desturi ya kawaida kupiga magoti wakati wa kuomba. Hii ilikuwa ni alama ya kuonyesha unyenyekevu mbele za Mungu. + +# tukaagana kila mmoja + +"Alisema 'kwaheri' kwa kila mmoja + diff --git a/act/21/07.md b/act/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..d023693a --- /dev/null +++ b/act/21/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaanza rariba yake akiwa Kaisaria + +# tuliwasili Tolemai + +Tolemai ulikuwa ni mji wa kusini mwa Tiro, Lebanoni. Tolemai ya sasa ni Acre, Israeli. + +# ndugu hawa + +"waumini wenzake" + +# mmoja kati ya saba + +"Saba" inahusu wanaume waliochaguliwa kusambaza chakula na misaada kwa wajane. + +# mtu huyu + +"Philipo" + +# Sasa + +Neno hili limetumika kama alama ya kumalizika kwa tukio moja na kuanza kwa tukio jingine. Luka anasimulia habari za Philipo na binti zake. + +# mabinti wanne mabikira ambao walitabiri + +"Mabinti bikra wanne ambao kwa kawaida walikuwa wakipokea na kupeleka ujumbe kwa watu kutoka kwa Mungu. + diff --git a/act/21/10.md b/act/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..96caf6fe --- /dev/null +++ b/act/21/10.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Fungu hili linazungumzia habari ya unabii ulionenwa kumhusu Paulo katika Kaisaria kutoka kwa nabii Agabo. + +# nabii mmoja aitwaye Agabo + +Hii inamtambulisha mtu mpya katika habari hii. + +# Agabo + +Agabo alikua mtu kutoka Yudea + +# Kuchukua mkanda wa Paulo + +"Aliutwaa mkanda wa Paulo kutoka kiunoni mwake" + +# na kusema, "Roho Mtakatifu asema hivi," "Wayahudi wa Yerusalemu watamfunga mtu anayemiliki mkanda huu + +Alimaanisha kuwa Roho Mtakatifu alimjulisha Nabii Agabo kuwa Wayahudi huko Yerusalemu watamfunga Paulo kama alivyojifunga mkanda wa Paulo na kumkabidhi kwa watu wa mataifa. + +# Wayahudi + +Hii haimanishi Wayahudi wote, lakini baadhi ya watu walifanya hivyo. + +# kumkabidhi mikononi mwa + +"Kumkabidhi kwa" + +# katika mikono ya wamataifa + +Neno "Mikono" Linawakirisha udhibiti. + +# Wamataifa + +Neno hili linasimamia mamlaka miongoni mwa wamataifa. + diff --git a/act/21/12.md b/act/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..ac8048b7 --- /dev/null +++ b/act/21/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linaelezea kumhusu Mwandishi Luka na baadhi ya waumini isipokuwa Paulo. + +# Mnafanya nini, mnataka kuvunja moyo wangu? + +Paulo anauliza swali hili kuonyesha waumini wanapaswa kuacha kujaribu kumshawishi. 'Acheni, mnachofanya mnataka kunivunja moyo wangu.' + +# Kwa jina la Bwana Yesu + +Hapa "jina" linamaanisha utu wa Yesu Kristo. + +# hakutaka kushawishiwa + +Hakuweza kujaribu kumshawishi ili asiende Yerusalemu. + +# mapenzi ya Bwana yafanyike + +Inamaanisha kuwa; lolote lile likitokea litakuwa kwa mpango wa Bwana. + diff --git a/act/21/15.md b/act/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..b2ce20a2 --- /dev/null +++ b/act/21/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwisho wa kipindi cha Paulo kuwa huko Kaisaria. + +# Taarifa ya jumla + +Neno 'sisi' linamhusu Luka, Paulo na wale waliosafiri pamoja nao. + +# Pamoja walimleta mtu + +"Miongoni mwao alikuwemo mtu mwingine" + +# Mnasoni, mtu kutoka Kupro + +Mnasoni alikuwa mtu kutoka kisiwa cha Kupro. + +# mwanafunzi wa kwanza + +Hii inamaanisha Mnason alikuwa muumini wa Yesu aliyeamini mwanzoni mwa huduma. + diff --git a/act/21/17.md b/act/21/17.md new file mode 100644 index 00000000..56987b3c --- /dev/null +++ b/act/21/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo na wenzake sasa wanafika Yerusalemu. + +# ndugu walitukaribisha + +Hawa walikuwa waumini wanaume na wanawake, waliowakaribisha. + +# alitoa taarifa hatua kwa hatua + +"Paulo alitoa maelezo ya kina ya mambo yote ambayo Mungu aliyatenda" + diff --git a/act/21/20.md b/act/21/20.md new file mode 100644 index 00000000..fc8665db --- /dev/null +++ b/act/21/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +wazee katika Yerusalemu wakaanza kumjibu Paulo. + +# ndugu + +Neno "ndugu" linamaanisha waumini wenzao. + +# Wameambiwa kuhusu wewe... wasifuate desturi za zamani. + +Hapa baadhi ya Wayahudi walikuwa wakifuatilia kuharibu mafundisho ya Paulo aliyokuwa amawafundisha waumini wapya, ili wafuate desturi za Musa badala ya kumfuata Yesu. + +# Wameambiwa + +"Watu waliwaambia waumini wa Kiyahudi" + diff --git a/act/21/22.md b/act/21/22.md new file mode 100644 index 00000000..7ac98780 --- /dev/null +++ b/act/21/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili limawahusu Yakobo na wazee wengine. + +# watu wanne ambao waliweka kiapo + +Hii ilikuwa ni aina ya kiapo ambapo mtu hakutaka kunywa kileo au kukata nywele zao mpaka mwisho wa kipindi cha kuweka muda. "watu wanne ambao walitoa ahadi kwa Mungu." + +# Wachukue watu hawa na ujitakase mwenyewe pamoja nao + +Walikuwa wanapaswa wao wenyewe kujitakasa ili waweze kuabudu ndani ya hekalu. + +# na uwalipie gharama zao + +Lipa kile ambacho watahitaji kulipiwa. + +# ili waweze kunyoa vichwa vyao + +Hii ni ishara ya mtu anayetimiza nadhili yake kwa Mungu. + +# mambo waliyoambiwa kuhusu wewe + +Mambo ambayo yanasemwa na watu kukuhusu wewe. + +# Kufuata sheria + +Inamaanisha utii wa kuzishika sheria za Mungu. + diff --git a/act/21/25.md b/act/21/25.md new file mode 100644 index 00000000..2a6e50bb --- /dev/null +++ b/act/21/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yakobo na Wazee katika Yerusalemu wanamaliza maswali yao kwa Paulo. + +# wanapaswa kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu, na damu, kutokana na kile kilichonyongwa + +ote hayo yalikuwa sheria za kile wanachotakiwa kula. + +# kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu + +Wajiepushe kula nyama iliyotolewa kwa ibada za sanamu. + +# kutokana na kile kilichonyongwa + +Mnyama ambaye ameuawa bila damu kutoka. + +# ibada ya kujitakasa pamoja nao + +Kabla ya kuingia Hekaluni Wayahudi walitakiwa kuwa sherehe au tohara. Kusafishwa alikuwa na kufanya na Wayahudi kuwa na mawasiliano na watu wa mataifa mengine. + +# siku ya kujitakasa + +Hii ni hatua tofauti ya kujitakasa ambayo ilitakiwa kuitimiza ili waweze kuingia hekaluni. + +# mpaka sadaka ilipotolewa + +"Mpaka walipowasilisha wanyama kwa sadaka" + diff --git a/act/21/27.md b/act/21/27.md new file mode 100644 index 00000000..5fdb1f95 --- /dev/null +++ b/act/21/27.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwanzo wa sehemu ya hadithi kuhusu kukamatwa kwa Paulo. + +# Taarifa ya jumla + +Mstari wa 29 unaelezea habari kuhusu Wayahudi kutoka Asia. + +# Siku saba + +Hizi zilikuwa siku saba kwa ajili ya kujitakasa. + +# katika Hekalu + +Paulo hakuwa ndani ya hekalu lenyewe. Alikuwa kwenye uwa wa nje wa hekalu. + +# Makutano wote wakashawishika + +"Ilisababisha kundi kubwa la watu kuanzisha upinzani. + +# na wakamnyoshea mikono + +Neno Kumnyoshea mikono" lina maana ya watu kuanza kumvamia. + +# watu, sheria na mahali + +"Watu wa Israel, sheria ya Musa, na hekalu + +# mwanzoni walikuwa wamemwona...walidhani kwamba Paulo alikuwa ameingia na Myunani hekaluni + +Mwandishi Luka anaelezea kwanini wayahudi kutoka Asia walimshitaki Paulo kuwa alimleta Myunani + +# Trofimu + +Huyu alikuwa mwanaume Myunani ambaye Paulo alishitakiwa kuwa aliingia naye hekalu + diff --git a/act/21/30.md b/act/21/30.md new file mode 100644 index 00000000..d5f9cf1b --- /dev/null +++ b/act/21/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mji wote ulikuwa na taharuki + +Neno "wote" hapa ni lugha ya kuumba picha kubwa kwa msisitizo. neno "mji" inawakilisha watu katika mji huo. "Watu wengi katika mji wakawa na hasira juu ya Paulo." + +# "Walimvamia Paulo" + +Paulo alivamiwa + +# milango mara ikafungwa + +Walifunga milango ili kwamba kusije kufanyika maandamano ndani ya hekalu. + +# habari zilimfikia mkuu wa kikosi cha ulinzi + +afisa wa kikosi cha ulinzi au kiongozi wa askari wapatao 600 + +# Yerusalemu yote ilikuwa katika ghasia + +Neno "Yerusalemu" hapa inawakilisha watu wa Yerusalemu. neno "wote" ni msisitizo kuonyesha umati mkubwa waliokuwa wamekasirika. "wengi wa watu huko Yerusalemu walikuwa katika ghasia." + diff --git a/act/21/32.md b/act/21/32.md new file mode 100644 index 00000000..1eb3e7b5 --- /dev/null +++ b/act/21/32.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# aliukimbilia umati chini + +Kutoka ngome, kuna ngazi kwenda chini katika mahakama. + +# mkuu wa kikosi + +afisa wa kikosi cha kijeshi cha Rumi au kiongozi wa askari wapatao 600 + +# alimkamata Paulo + +"Akamshika Paulo" au "Paulo alishikiriwa" + +# akaamuru afungwe minyororo + +Aliwaagiza askari wake kumkamata na kumfunga. + +# kwa minyororo miwili + +Hii inamaanisha kuwa Paulo alifungwa na maaskari wawili kila mmoja upande wake mmoja. + +# Akamuuliza yeye ni nani na amefanya nini. + +Alimwuliza kuwa yeye ni nani?, Amefanya nini? + +# Akamuuliza yeye ni nani + +Mkuu wa ulinzi anazungumza na umati, hazungumzi na Paulo. + diff --git a/act/21/34.md b/act/21/34.md new file mode 100644 index 00000000..592e9764 --- /dev/null +++ b/act/21/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Jemadari + +Huyu alikuwa ni afisa wa kijeshi au kiongozi wa askari wapatao 600. + +# aliagiza Paulo aletwe ndani + +Aliagiza askari wake wamlete Paulo. + +# ndani ya ngome + +Ngome hii ilikuwa imeunganishwa kwenye uwanda wa nje wa hekalu. + +# Wakati alipofika kwenye ngazi, walimchukua + +'Wakati Paulo alipofika kwenye ngazi za ngome, askari wakamchukua' + +# Muondoeni huyu + +Umati wa watu kwa kutumia lugha kiasi fulani kali na lugha halisi ya kuomba Paulo auwawe. + diff --git a/act/21/37.md b/act/21/37.md new file mode 100644 index 00000000..a8d87be6 --- /dev/null +++ b/act/21/37.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Paulo alipokuwa analetwa + +"askari walipokuwa tayari kuleta Paulo" + +# Ngome + +ngome ilikuwa imeunganishwa na uwanda wa nje wa hekalu + +# mkuu wa kikosi cha ulinzi + +afisa wa jeshi la Kirumi wa askari wapatao 600. + +# Je, unajua Kiyunani? Wewe si yule Mmisri ambaye awali aliongoza uasi na alichukua magaidi elfu nne nyikani? + +Mkuu wa jeshi anatumia maswali haya kueleza mshangao kwamba Paulo si yule aliyemdhani kuwa. Nilifikiri kuwa ni yule Mmisri ambaye aliongoza uasi katika jangwa na magaidi elfu nne." + +# wewe si yule Mmisri + +Muda mfupi kabla ya ziara ya Paulo, mtu asiyejulikana jina kutoka Misri, alikuwa akizindua uasi dhidi ya Rumi katika Yerusalemu. Baadaye alitorokea "jangwani," 'na kamanda anashangaa kama Paulo atakuwa ndiye na mtu huyo. + +# aliongoza uasi + +Neno "uasi" linamaanisha watu waliasi na kwenda kinyume na serikali ya Rumi" + +# magaidi elfu nne + +"4000 watu wanaoua na kuwadhuru wengine wale wasiokubaliana nao" + +# magaidi + +Ni wale Wayahudi walioiasi serikali ya Rumi na kuanza kuwauaWarumi na kila mmoja ambaye aliyeunga mkono serikali ya Kirumi. + diff --git a/act/21/39.md b/act/21/39.md new file mode 100644 index 00000000..ed9e4f58 --- /dev/null +++ b/act/21/39.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaanza kujitetea kwa kile alichukuwa amefanya + +# Nakuuliza + +"nakuomba" au "nakusihi" + +# nikubalie + +"Tafadhali nikubalie" au tafadhali niruhusu" + +# Jemadari alikuwa amempa kibali + +Neno "kibali" linamaanisha kuwa mkuu wa kikosi alikmpa Paulo kibali cha kuzungumza. + +# Paulo akasimama penye ngazi + +Neno "ngazi" linamaanisha hatua ya juu ya kupanda kuelekea kwenye ngome. + +# akatoa ishara ya mkono kwa watu + +Paulo alitoa ishara ya mkono kwa watu kuashiria wanyamaze + +# kulipokuwa na ukimywa sana + +wakati watu waliponyamaza kabisa + diff --git a/act/22/01.md b/act/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..0d0e962b --- /dev/null +++ b/act/22/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anazungumza na Wayahudi huko Yerusalemu. + +# Ndugu na baba zangu + +Hii ilikuwa ni njia ya kistaarabu ya kuzungumza na watu ambao walikuwa na umri sawa na wa Paulo, na wanaume wazee waliokuwa katika kusanyiko hilo. + +# Nitakao ufanya kwenu sasa + +"Nitakaoueleza kwenu" au "nitakao uwakilisha kwenu" + +# Lugha ya kihebrania + +"lugha ya Kihebrania ilikuwa lugha ya Wayahudi" + diff --git a/act/22/03.md b/act/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..3d9599ff --- /dev/null +++ b/act/22/03.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# nilipata elimu katika mji huu, miguuni pa Gamalieli + +alikuwa mwanafunzi wa rabi Gamalieli hapa Yerusalemu " + +# Gamarieli + +Gamarieli alikuwa mwalimu mashuhuri wa sheria ya Kiyahudi. + +# Nilifundishwa kulingana na njia sahihi ya sheria za baba zetu. + +"Aliniagiza jinsi ya kutii kwa makini kila sheria ya baba zetu" au "mafundisho niliyopata yalifuatiwa na maelezo halisi ya sheria ya baba zetu" + +# Nina bidii kwa Mungu + +"Nimejitoa kikamilifu kumtii Mungu" au "Mimi nina hamu kuhusu huduma yangu kwa Mungu" + +# kama ninyi nyote mlivyo leo + +"Kama ilivyo kwenu nyote hivi leo". Paulo anajilinganisha na umati wa watu. + +# njia hii + +Hii ilikuwa ni neno lililotumika kutaja Ukristo + +# hadi mauti + +"mauti" inaweza kutafsiriwa na kitenzi "kuua" au "kufa + +# na kuwatupa gerezani + +"Walitupwa gerezani" au "Kuwaweka gerezani" + +# kutoa ushahidi + +"Kushuhudia" au "kutoa ushahidi" + +# nilipokea barua kutoka kwao + +"Makuhani wakuu na wazee nilipokea barua kutoka kwao" + +# kwa ajili ya ndugu zetu walioko Dameski + +Hapa "ndugu" inahusu "Wayahudi wenzake + +# Ilikuwa niwalete Yerusalemu watu wa njia ile + +"Waliniagiza kuwafunga minyororo wale wote wa njia ile na kuwaleta Yerusalemu + +# ili waadhibiwe + +"ili wapate adhabu" au "ili viongozi wa Wayahudi wangeweza kuwaadhibu" + diff --git a/act/22/06.md b/act/22/06.md new file mode 100644 index 00000000..67b79dd2 --- /dev/null +++ b/act/22/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anazungumzia namna alivyoweza kukutana na Yesu. + +# Ikatokea ya kwamba + +Msemo huu umetumika hapa kama tukio la kwanza. Hapa Paulo anaelezea jinsi alivyokutana na Yesu. + +# nikasikia sauti ikiniambia + +Hapa "sauti" inasimama kwa mtu akizungumza. "Mimi nilisikia mtu akiniambia" + diff --git a/act/22/09.md b/act/22/09.md new file mode 100644 index 00000000..f6fd9908 --- /dev/null +++ b/act/22/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ila hawakuielewa sauti ya yule aliye ongea na mimi + +Neno "sauti" linasimama badala ya mtu anayeongea. Hawakuelewa kile yule mtu alichokuwa akiongea nami. + +# huko utaambiwa + +"kuna mtu atakuambia" au "huko utafahamu" + +# Sikuweza kuona kwa sababu ya mwangaza wa ile nuru + +"Niliachwa nikiwa sioni kwasababu ya uli mwanga angavu. + +# nikaenda Dameski kwa kuongozwa kwa mikono ya wale waliokuwa na mimi + +Hapa "mikono" anasimama kwa wale waliomuongoza Paul. Hii inaweza ikaanza: "Watu waliokuwa na mimi waliniongoza kwenda Dameski" + diff --git a/act/22/12.md b/act/22/12.md new file mode 100644 index 00000000..7d8688d8 --- /dev/null +++ b/act/22/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linazungumzia habari za Anania + +# Anania + +Huyu si Anania aliyekufa mapema mwanzoni mwa sura ya 5:3 + +# mtu mwema kwa mujibu wa sheria + +Anania ilikuwa makini sana kuhusu kufuata sheria za Mungu. + +# aliyenenwa vyema na Wayahudi walioishi kule + +"Wayahudi walioishi kule walinema mema juu yake" + +# ndugu Sauli + +Hapa "Ndugu" ni njia ya kistaarabu kumuelezea mtu. "Rafiki yangu Sauli" + +# pokea kuona + +neno "kuona" inaweza kutafsiriwa na kitenzi "kuona." "kuona tena" + +# muda uleule + +Hii ni kawaida kama tukio lilitendeka muda mfupi baada ya kuanza kwa tukio. + diff --git a/act/22/14.md b/act/22/14.md new file mode 100644 index 00000000..de845a12 --- /dev/null +++ b/act/22/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anamalizia kuwaambia kile kilichotokea kwake huko Dameski. Ananukuu kile Anania alisema kwake. Hii ni sehemu ya hotuba ya Paulo aliyoitoa huko Yerusalemu. + +# mapenzi yake + +"kile Mungu anapanga na kinaweza kutokea" + +# kusikia sauti kutoka mdomoni kwake mwenyewe + +Vyote "sauti" na "kinywa" rejea kwa nayezungumza. "kumsikiliza akiongea moja kwa moja kwako" + +# kwa watu wote + +Hapa "watu" maana yake watu wote akiwa mwanamume au mwanamke. "kwa watu wote" + +# Na sasa + +Hapa "sasa" haina maana "wakati huu," lakini linatumika kuleta umakini na hatua muhimu ifuatayo. + +# ubatizwe + +Hii inaweza kuanza: "naomba nikupatize" au "kupokea ubatizo" + +# Kuoshwa na kuondolewa dhambi zako + +kama kuoshwa kwa mwili wa mtu ili kuondoa uchafu, akiliitia jina la Yesu kwa msamaha wa dhambi. Omba msamaha wa dhambi zako. + +# ukiliitia jina lake + +Hapa "jina" ni Bwana Yesu. "wito kwa Bwana" au "kuamini katika Bwana" + diff --git a/act/22/17.md b/act/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..f17bad36 --- /dev/null +++ b/act/22/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaanza kwa kuwaambia umati wa watu kuhusu maono yake kwa Yesu. + +# ikatokea kwamba + +Kipengere hiki kinaweka alama ya kuonyesha kuanza kwa tukio. + +# Nilipewa maono + +Hii inaweza ikaanza: "nilikuwa na maono" au "Mungu alinipa maono" + +# Nilimwona akiniambia + +"Nilimwona Yesu akiniambia" + +# hawataukubali ushuhuda wako kunihusu mimi + +"Wale ambao wanaishi Yerusalemu hawataamini kile unachowaambia kunihusu mimi" + diff --git a/act/22/19.md b/act/22/19.md new file mode 100644 index 00000000..0804bfb1 --- /dev/null +++ b/act/22/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwisho wa hotuba ya Paulo kwa umati wa Wayahudi waliokuwa kwenye ngome. + +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linazungumzia Wayahudi wasioamini waliokuwa Yerusalemu + +# wao wenyewe wanajua + +"wao wenyewe" ni msisitizo wa neno katika kiwakilishi cha jina + +# katika kila sinagogi + +Paulo alikwenda kwenye masinagogi akiwatafuta Wayahudi waliokuwa wamemwamini Yesu. + +# damu ya Stefano ... ilikuwa imemwagika + +Msemo huu ulikuwa ni desturi ya kusema mtu aliyeuawa. "walimwua Stephen." + diff --git a/act/22/22.md b/act/22/22.md new file mode 100644 index 00000000..2f7ba353 --- /dev/null +++ b/act/22/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mwondoeni mtu huyu katika nchi + +Neno "nchi" yanaongeza mkazo "Mwondoeni." : "Mwueni" + +# Na walivyokuwa + +Neno "Walipokuwa" limetimika kwa alama matukio mawili ambayo yanatokea wakati huo huo. + +# na kutupa mavazi yao na kutupa mavumbi juu + +Tukio hili linaonyesha Wayahudi walikuwa wamekasirika kwasababu walijisikia kuwa Paulo alikuwa amenena kinyume cha Mungu. + +# akaamuru Paulo aletwe + +Hii inamaanisha "aliwaamuru askari wake ili kumleta Paulo" + +# ngome + +ilikuwa imeungana na uwanda wa nje wa hekalu + +# Akaamuru aulizwe huku anapigwa mijeledi + +Kamanda alitaka Paul kuteswa kwa kuchapwa viboko ili kuhakikisha anasema ukweli. + diff --git a/act/22/25.md b/act/22/25.md new file mode 100644 index 00000000..121c3bec --- /dev/null +++ b/act/22/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linazungumzia juu ya askari. + +# Kamba + +Hizi zilikuwa na nyuzi nyuzi za ngozi au mnyama. + +# Je, ni halali kwenu kumpiga viboko mtu ambaye ni raia wa Rumi na hajakuhumiwa bado? + +Paulo alitumia swali hili kuuliza juu ya uhalali wa kuchapwa kwake viboko. "Si halali kwenu kumpiga mijeledi mtu ambaye ni raia wa Rumi na hajakuhumiwa!" + +# Je, unataka kufanya nini? + +Swali hili limetumika kuwaomba kamanda kufikiria upya mpango wake wa kumjeledi Paulo. "Hupaswi kufanya hivi!" + diff --git a/act/22/27.md b/act/22/27.md new file mode 100644 index 00000000..d7c1ed7c --- /dev/null +++ b/act/22/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linazungumzia habari za Paulo + +# Jemedari mkuu akaja + +Neno "kuja" linaweza kuwa na maana ya "kwenda" + +# ilikuwa kiasi kikubwa cha pesa + +"Ilikuwa baada ya kulipa kiasi kikubwa cha pesa katika mamlaka ya Kirumi" + +# ndipo nilipata uraia. + +"Nilijipatia uraia" au " Nilipewa uraia" + +# Mimi ni Mrumi wa kuzaliwa + +Baba akiwa raia wa Kirumi, hivyo watoto wake wanakuwa raia wa Kirumi mara wanapozaliwa + +# wale waliokuwa tayari kwenda kumuuliza + +Wanaume waliokuwa wamepanga kumwuliza maswali. + diff --git a/act/22/30.md b/act/22/30.md new file mode 100644 index 00000000..834ab8aa --- /dev/null +++ b/act/22/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla + +Mstari huu unazungumzia jemedari mkuu + +# Jemedari mkuu + +afisa wa jeshi mwenye kikosi cha askari wapatao 600 + +# Hivyo akamfungua vifungo vyake + +"yawezekana jemedaari mkuu alimfungua Paulo minyororo." au Mkuu wa jeshi aliamuru askari wake kumfungua vifungo Paulo" + +# Akamleta Paulo chini + +Kutoka kwenye ngome, kuna njia ya kutelemka chini mpaka kwenye uwanda wa nje wa hekalu" + diff --git a/act/23/01.md b/act/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..3025c8d6 --- /dev/null +++ b/act/23/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anasimama mbele ya wakuu wa makuhani na wajumbe wa baraza. + +# Ndugu zangu + +Hii ina maana " Wayahudi." + +# Nimeishi mbele za Mungu na dhamiri njema mpaka leo + +"Mimi najua kuwa hata leo nimefanya kila kitu Mungu alichotaka mimi kufanya" + +# Anania + +Ni mtu tofauti na Anania anayetajwa sura ya 5:3 + +# ukuta uliopakwa chokaa + +Inamaanisha ukuta uliopakwa chokaa ili uonekane kuwa safi. Paulo anamwambia Anania kuwa anaonekana safi kama ukuta uliopakwa chokaa lakini ndani kumejaa uovu. + +# Umeketi kuhukumu ... kinyume cha sheria? + +Paulo anatumia swali ili kumdhihirisha Anania kuwa ni mnafiki. + diff --git a/act/23/04.md b/act/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..ca3f89df --- /dev/null +++ b/act/23/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, hii ni jinsi unavyo mtukana kuhani mkuu wa Mungu? + +wanaume walitumia swali hili kumkemea Paul kwa nini alisema. "Usimtusi Kuhani Mkuu wa Mungu! + +# Kwa maana imeandikwa + +Paul ananukuu mambo ambayo Musa aliandika katika sheria. Hii inaweza kuwa: "Kwa maana Musa aliandika katika sheria" + diff --git a/act/23/06.md b/act/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..ad744036 --- /dev/null +++ b/act/23/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ndugu zangu + +Hapa "Ndugu zangu" maana yake "Wayahudi wenzake" + +# mwana wa Mfarisayo + +Hapa "mwana" maana yake yeye ni mwana halisi wa Farisayo na pia mtoto wa farisayo. "baba na mababa zake walikuwa mafarisayo" + +# Kwa ujasiri nakubali ufufuo wa wafu + +neno "ufufuo" linaweza kumaanisha "kurudi kwenye maisha." kivumishi cha jina "wafu" inaweza kuwa "wale waliokufa." "Mimi kwa ujasiri nakubali wale waliokufa watarejea katika maisha" + +# Nimekwisha kuhukumiwa + +"Mnanihukumu juu ya jambo hili" + +# mkutano ukagawanyika + +"watu katika umati kwa nguvu hawakukubaliana wao kwa wao" + +# Kwa maana Masadukayo ... lakini Mafarisayo + +Hii ni taarifa za msingi kuhusu Masadukayo na Mafarisayo. + diff --git a/act/23/09.md b/act/23/09.md new file mode 100644 index 00000000..03180f10 --- /dev/null +++ b/act/23/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hivyo ghasia kubwa ikatokea + +"Walianza kupiga kelele kwa sauti kubwa miongoni mwao." neno "hivyo" inaelezea tukio lililotokea kwa sababu ya kitu kingine kilichotokea hapo awali. Katika kesi hiyo, tukio liliopita ni la Paulo kuzungumzia imani yake juu ya ufufuo. + +# Vipi kama roho au malaika ameongea na yeye? + +Mafarisayo wanawakemea Masadukayo na kudhibitisha kwamba roho na malaika wapo na wanaweza kuzungumza na watu. "Labda roho au malaika amesema naye!" + +# Wakati mabishano makali yalipotokea + +Neno "mabishano makali" linaweza kuwa "Mwanzo wa vurugu" + +# Jemedari wa kikosi + +Afisa wa jeshi la Kirumi au kiongozi wa askari wapatao 600. + +# Paulo angegawanywa vipande viwili na wao + +Inamaanisha Paulo angeweza kuraruliwa vipande na kusababusha maumivu ya mwili. + +# kumchukua kwa nguvu + +"kutumia nguvu za kimwili kumwondoa mahali pale" + +# ndani ya ngome + +Ngome ilikuwa imeunganika na uwanda wa nje wa hekalu. + diff --git a/act/23/11.md b/act/23/11.md new file mode 100644 index 00000000..c0975bf8 --- /dev/null +++ b/act/23/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Usiku uliofuata + +Hii ina maana usiku baada ya siku Paulo alipokwenda mbele ya Baraza. "Usiku huo" + +# utashuhudia katika Roma + +maneno "kuhusu mimi" yameeleweka. "kutoa ushuhuda juu yangu katika Roma" au "kutoa ushuhuda juu yangu katika Roma" + diff --git a/act/23/12.md b/act/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..50e4f69e --- /dev/null +++ b/act/23/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati Paulo akiwa kifungoni kwenye ngome, Wayahudi wasioamini waliapa kumwua. + +# Azimio + +"kufanya nadhiri" au "kuapa mbele za Mungu" + +# Azimio + +Ni makubaliano ya kawaida ya kufanya jambo fulani. + +# kuita laana juu yao wenyewe + +Neno "laana" Walimwomba Mungu awalaani hama wasingetimiza nadhili yao + +# wanaume arobaini + +wanaume 40 + +# ambao walifanya njama hii + +"ambao alipanga kumuua Paulo" + diff --git a/act/23/14.md b/act/23/14.md new file mode 100644 index 00000000..db6cb824 --- /dev/null +++ b/act/23/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tumejiweka wenyewe chini ya laana kubwa, kutokula kitu chochote hata tumwue Paulo + +kuapa na kumwomba Mungu ili awalaani kama hawatatimiza nadhiri zao ni kusema kana kwamba laana ilikuwa kitu walichokibeba juu ya mabega yao. Sisi tumeapa tusile chochote hata tumwue Paulo na tumemwomba Mungu pia atulaani kama hatuwezi kufanya kile tulicho ahidi kufanya" + +# Sasa + +Hii haina maana "wakati huu," lakini imetumika kuweka umakini kwa hatua muhimu ifuatayo. + +# Kwahiyo + +Neno 'kwahiyo" linaonyesha kuna ujumbe uliotangulia kusemwa awali. + +# mlete chini mbele yako + +"Mlete Paulo kutoka ngomeni ili akutane nawe hapa" + +# kana kwamba mnaamua kesi yake kwa usahihi + +"kana kwamba mnataka kujifunza zaidi juu ya kile Paulo amekifanya" + diff --git a/act/23/16.md b/act/23/16.md new file mode 100644 index 00000000..3a0ca9f2 --- /dev/null +++ b/act/23/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kulikuwa na njama + +"walikuwa tayari kwa kumshambulia Paulo" au "walikuwa wakisubiri kumwua Paulo" + +# ngome + +Ngome ilikuwa imeunganishwa na uwanda wa nje wa hekalu. + diff --git a/act/23/18.md b/act/23/18.md new file mode 100644 index 00000000..f54647f2 --- /dev/null +++ b/act/23/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo yule mfungwa aliniita akataka nikuletee + +Mfungwa Paulo ameniomba kuja kuzungumza nawe. + +# Yule jemadari mkuu akamshika kwa mkono akajitenga naye kando + +Jemedari mkuu alimshika kijana mkono na kwenda naye kando, hii inaonyesha kijana yule alikuwa mpwa wa Paulo mwenye umri wa kati ya miaka 12 hadi 15. + diff --git a/act/23/20.md b/act/23/20.md new file mode 100644 index 00000000..813af4a8 --- /dev/null +++ b/act/23/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wayahudi wamekubaliana + +Hii haina maana Wayahudi wote. "Baadhi ya Wayahudi wamepatana" + +# kumleta Paulo chini + +"kumleta Paul chini kutoka kwenye ngome" + +# walikuwa wanakwenda kumwuliza kwa usahihi kuhusu kesi yake + +"wanataka kujifunza zaidi juu ya nini Paulo amefanya" + +# wanaume arobaini + +"wanaume 40" + +# Wamejificha wanamsubiri + +"tayari kumwotea Paulo" au tayari kumwua Paulo" + +# Wameita laana ishuke chini yao wenyewe, kwa kutokula wala kunywa mpaka watakapokuwa wamemwua + +"Wao walikuwa wameapa kutokula wala kunywa chochote mpaka wamemwua Paulo. Na kumwambia Mungu awalaani kama hawatafanya walichoahidi kufanya" + diff --git a/act/23/22.md b/act/23/22.md new file mode 100644 index 00000000..8aefb7f3 --- /dev/null +++ b/act/23/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Felix aliyekuwa mkazi wa Kaisaria alikuwa ni Gavana wa sehemu ya Rumi + +# aliwaita kwake + +"aliwaita yeye mwenyewe" + +# maakida wawili + +Maakida wake wawili + +# wapanda farasi sabini + +"Wapanda farasi 70" + +# askari mia mbili wa mikuki + +"Askari 200 ambao wanajilinda kwa mikuki" + +# saa tatu usiku + +Hii ilikuwa yapata 9:00 usiku. + diff --git a/act/23/25.md b/act/23/25.md new file mode 100644 index 00000000..fb5c1cfa --- /dev/null +++ b/act/23/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Jemedari mkuu anaandika barua kwa Gavana Feliki kuhusu kukamatwa kwa Paulo. + +# Klaudio Lisia kwa Gavana mheshimiwa Felix, salamu + +Hii ni njia rasmi ya mwanzo wa barua. Mkuu wa jeshi akimaanisha mwenyewe katika nafsi ya tatu. Nina andika kwa Klaudio Lisia, wewe mheshimiwa Liwali Feliki salamu kwako" + +# Mheshimiwa Gavana Felix + +Feliki alikuwa mtawala wa Kirumi aliyejitakia heshima kuu + +# Mtu huyu alikamatwa na Wayahudi + +Hapa "Wayahudi" maana yake "baadhi ya Wayahudi." Hii inaweza ikasemwa: "Baadhi ya Wayahudi walimtia mbaroni mtu huyo" + +# alikuwa karibu kuuawa + +"walikuwa tayari kumwua Paulo + +# nikaenda pamoja na kikosi cha askari + +Nilikuwa pamoja na maaskari wangu pale Paulo alipokuwa pamoja na Wayahudi + diff --git a/act/23/28.md b/act/23/28.md new file mode 100644 index 00000000..fa07ff2d --- /dev/null +++ b/act/23/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nilitaka kujua neno + +"mimi" inahusu Klaudio Lisia. + +# alikuwa ameshitakiwa kwa ajili ya maswali ya sheria yao + +Walikuwa wakumtuhumu kwa kumwuliza maswali. + +# lakini kwamba kulikuwa hakuna tuhuma ambayo ingehitaji mauti ama kifungo. + +Maneno "mauti" au "kifungo" yanaweza kuwa; hakukuwa na kitu kinyume cha mamlaka ya Kirumi cha kumwua ama kumtupa gerezani. + +# Kisha ikajulikana kwangu + +"Baadaye nilikuja kubaini" + diff --git a/act/23/31.md b/act/23/31.md new file mode 100644 index 00000000..3273e9ac --- /dev/null +++ b/act/23/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Basi, askari walitii maagizo yao + +neno "hivyo" linaweka alama kuwa tukio hilo lilitokea kwasababu ya kitu kingine kilichotokea hapo awali. Katika kesi hiyo, tukio lililopita ni mkuu wa jeshi kuamuru maaskari kumsindikiza Paulo. + +# walichukua Paul na wakampeleka usiku + +Hapa "kuleta" inaweza kutafsiriwa kama "chukua". "walimpata Paulo na kumpeleka wakati wa usiku" + diff --git a/act/23/34.md b/act/23/34.md new file mode 100644 index 00000000..a1fd06e7 --- /dev/null +++ b/act/23/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliuliza mkoa gani Paulo alikotokea + +"Alimwuliza Paulo mkoa gani aliotokea?" + +# Alipojua kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia, alisema + +"wakati liwali alipotambua kuwa Paulo alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia, liwali alisema." Hii yaweza tajwa kama nukuu ya moja kwa moja. "Paulo alisema, 'Mimi nimetokea Kilikia.' Kisha liwali akasema" + +# Nitasikia kutoka kwako kikamilifu + +"Nitakusikiliza kwa yale yote utakayo yasema" + +# akaamuru awekwe + +Hii inaweza ikasemwa: "akaamuru askari amweke Paulo" au "akamwamuru askari amtunze Paulo" + diff --git a/act/24/01.md b/act/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..abbeca09 --- /dev/null +++ b/act/24/01.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo sasa yuko kwenye misukosuko. Tertulo anawasilisha mashitaka kwa Liwali Feliki dhidi ya Paul. + +# Baada ya siku tano + +"Siku tano baada ya askari wa Kirumi kumchukua Paul kwenda Kaisaria" + +# Anania + +Angalia jinsi gani unaweza kulitafasiri katika 23:1 + +# msemaji + +"mwanasheria." Tertulo alikuwa mtaalam wa sheria ya Kirumi. Alikuwa huko kumshtaki Paul mahakamani. + +# Tertulo + +Hili ni jina la mtu mwanamume. + +# walikwenda huko + +"alienda Kaisaria ambako Paulo alikuwa" + +# alisimama mbele ya Gavana + +"mbele ya Gavana ambaye alikuwa jaji wa mahakama" + +# akaanza kumshtaki + +"alianza kuleta ukiukwaji wa sheria ya Kirumi dhidi yake" + +# tuna amani kubwa + +"sisi, raia tulio chini ya utawala wa Felix tuna amani kubwa" + +# na kwa maono yako yanaleta mageuzi mazuri katika taifa letu + +"na kupitia mipango yako mizuri imeleta mabadiliko makubwa katika taifa letu" + +# Feliki + +Angalia jinsi gani unaweza kuitafasili katika + +# na mtizamo wako huleta mageuzi nzuri kwa taifa letu + +"na mipango yako imeboresha sana taifa letu" + +# Mweshimiwa Felix + +Angalia jinsi gani unaweza kuitafasili katika 23:25 + diff --git a/act/24/04.md b/act/24/04.md new file mode 100644 index 00000000..2fd0d4c0 --- /dev/null +++ b/act/24/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla + +Fungu hili linazungumzia juu ya Anania, baadhi ya wazee na Tetulo + +# Lakini nisikuchoshe zaidi + +Maana inawezekana ni 1) "ili mimi nisichukue sana muda wako" au 2) "Hivyo kwamba nisikufunge." + +# kwa wema waka nisikilize kwa ufupi + +"kusikiliza hotuba yangu fupi" + +# Tumegundua kwamba mtu huyu mkorofi + +neno "sisi" inamaanisha Anania, wazee kadhaa na Tertulo. "sisi tulimshuhudia Paulo" au "tuligundua kwamba Paulo chazo cha matatizo" + +# Wayahudi wote kila mahali duniani + +neno "wote" hapa ni kuongezewa chumvi kama kisingizio cha kumshtaki Paulo. "Wayahudi wote duniani kote" + +# Tena ni kiongozi wa madhehebu ya Wanazorayo + +Neno "dhehebu la Wanazarayo" ni jina jingine kwa wakristo "Mtu huyu anaongoza makundi ya watu wafuasi wa madhehebu ya Wanazarayo"" + +# dhehebu + +hili ni kundi dogo ya watu ndani ya kundi kubwa. Tertulo anaona Wakristo kuwa kundi dogo ndani ya Uyahudi. + diff --git a/act/24/07.md b/act/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..664249b4 --- /dev/null +++ b/act/24/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Tertulo anamaliza kuwasilisha mashtaka ya Paulo kwa Gavana Feliki. + +# anamshitaki + +"kumshtaki Paulo kwa kufanya" au "kumshtaki Paulo kwa kuwa na hatia ya kufanya" + +# Wayahudi + +Hii inamaana ya viongozi wa Wayahudi waliokuwa pale katika kesi ya Paulo. + diff --git a/act/24/10.md b/act/24/10.md new file mode 100644 index 00000000..373e5fe2 --- /dev/null +++ b/act/24/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Paul anaitikia kwa Gavana Feliki kuhusu mashtaka yaliyowasilishwa dhidi yake. + +# Gavana alimwashiria + +"gavana akitoa ishara" + +# mwamuzi wa taifa hili + +Neno "taifa" linamaanisha watu wa taifa la Kiyahudi. "Mwamuzi wa wa watu wa taifa la Wayahudi" + +# Kujieleza mwenyewe + +"Kuielezea hali yangu" + +# waweza kuhakikisha + +"unauwezo wa kufuatilia na kuthibitisha" + +# siku kumi na mbili tangu + +"Siku 12 tangu" + +# sikuweza kuhamasisha kusanyiko" + +Neno "kuhamasisha" ni kuwafanya watu wasiwe na utulivu" + +# mashitaka + +"Lawama juu ya matendo maovu" au "mashitaka ya uharifu" + diff --git a/act/24/14.md b/act/24/14.md new file mode 100644 index 00000000..de729c87 --- /dev/null +++ b/act/24/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Nakiri hili kwenu + +"Mimi nakiri hili kwako" au "ninatubu hili kwako" + +# wanaita dini + +"wanaita kundi la wazushi" + +# kwa namna ile namtumikia Mungu wa babu zetu + +Hii inamaana kwamba Paulo anadai kufuata dini ya kale, ambayo kwa ufafanuzi si dini mpya, "madhehebu." + +# kama watu hawa + +Hapa "watu hawa" inahusu Wayahudi ambao ndio wanamtuhumu Paulo mahakamani. + +# ufufuo ujao wa wafu....kwa wote wenye haki na wasio na haki. + +neno "ufufuo" linaweza kutumika kama "Kurudishwa katika maisha na Mungu." Na, neno "wafu" linaweza kuwa "wale waliokufa." "wakati Mungu akiwarudisha katika uhai wale wote waliokuwa wamekufa" + +# wasio wa haki + +"wale waliofanya mambo mabaya" + +# Nafanya kazi + +"Nafanyakazi vizuri" + +# kuwa na dhamiri bila lawama + +Hapa "dhamiri" inahusu maadili ndani ya mtu kuwa akiamua kati ya mema na mabaya. "kuwa bila lawama" au "daima kutenda haki" + +# mbele za Mungu + +"Katika uwepo wa Mungu" + diff --git a/act/24/17.md b/act/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..f6a1af98 --- /dev/null +++ b/act/24/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sasa + +neno hili linaweka alama ya kuhama kutoka katika hoja ya Paulo. Hapa anaanza kuelezea hali katika Yerusalemu wakati baadhi ya Wayahudi walipomweka Paulo nguvuni. + +# baada ya miaka mingi + +"baada ya miaka mingi kutoka Yerusalemu" + +# Nilikuja kuleta misaada kwa taifa langu na zawadi ya fedha + +Hapa "nilikuja" inaweza kutafsiriwa kama "Nilikwenda." "Nilikwenda kusaidia watu wangu kwa kuwapelekea fedha kama zawadi" + +# katika sherehe ya utakaso katika hekalu + +"katika hekalu baada ya kumaliza sherehe ya kujitakasa mwenyewe" + +# Bila umati wa watu au ghasia + +Hii yaweza tajwa kama kauli mpya. "Mimi nilikuwa sijakusanya umati wala sikujaribu kuanzisha ghasia" + +# wamaume hawa + +"Wayahudi kutoka Asia" + +# kama wanajambo lolote + +"Kama wana jambo lolote la kusema" + diff --git a/act/24/20.md b/act/24/20.md new file mode 100644 index 00000000..ad64aadc --- /dev/null +++ b/act/24/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Paul alimaliza kumjibu Gavana Feliki kuhusu mashtaka yaliyowasilishwa dhidi yake. + +# wanaume hawahawa + +Hii ina maana ya wajumbe wa baraza ambao walikuwepo Kaisaria katika kesi ya Paulo. + +# lazima waseme kosa waliloliona kwangu + +"waseme iwapo kuna kitu kibaya nilikifanya na kukithibitisha" + +# Ni kuhusu ufufuo wa wafu + +neno "ufufuo" linaweza kutumika kama "Kurudishwa katika maisha na Mungu." Na, neno "wafu" linaweza kuwa "wale waliokufa." "wakati Mungu akiwarudisha katika uhai wale wote waliokuwa wamekufa" + +# Ninahukumiwa leo na wewe + +hii inaweza semwa kama "mnanihukumu mimi leo hii" + diff --git a/act/24/22.md b/act/24/22.md new file mode 100644 index 00000000..e63db607 --- /dev/null +++ b/act/24/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla + +Felix alikuwa Gavana wa Kirumi katika eneo la mji wa Kaisaria. + +# Njia + +Hili lilijuwa jina jingine la ukristo. + +# Wakati wowote Lisia mkuu wa kikosi anakuja hapa chini + +"wakati Lisia mkuu wa kikosi anakuja chini" au "muda Lisia mkuu wa kikosi anakuja chini" + +# Mimi nitaamua kesi yenu + +"Nitafanya uamuzi kuhusu shutuma hizo dhidi yako" au "nitatoa hukumu kama wewe una hatia" + +# awe na uhuru + +"Paulo anapewa uhuru si vinginevyo ni miongoni mwa wafungwa" + diff --git a/act/24/24.md b/act/24/24.md new file mode 100644 index 00000000..1f10a265 --- /dev/null +++ b/act/24/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Baada ya siku kadhaa + +"Baada ya siku kadhaa" + +# Drusila mkewe + +Drusila ni jina la mwanamke. + +# Myahudi + +Hii ina maana Myahudi wa kike. "ambaye alikuwa Myahudi" + +# Felix akajawa na woga + +Felix inaweza kuwa aliona uthibitisho wa dhambi zake. + +# kwa sasa + +"kwa wakati huu wa sasa" + diff --git a/act/24/26.md b/act/24/26.md new file mode 100644 index 00000000..fa9320ce --- /dev/null +++ b/act/24/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Paulo angempa fedha + +Feliki alikuwa na matumaini Paul atatoa rushwa ili amwachie huru. + +# hivyo mara nyingi alimwagizia na kuongea naye + +"hivyo Feliki mara nyingi alimwagizia Paulo aletwe azungumza naye" + +# Porkio Festo + +Huyu alikua Gavana mpya wa Rumi aliyechukua nafasi ya Feliki. + +# alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi + +Hapa "Wayahudi" inamaanisha viongozi wa Wayahudi. "alitaka viongozi wa Wayahudi wampende" + +# alimwacha Paulo aendelee kuwa chini ya ulinzi + +"alimwacha Paulo gerezani" + diff --git a/act/25/01.md b/act/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..b21b219f --- /dev/null +++ b/act/25/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Festo ndiye gavana wa Kaisaria + +# Sasa + +Neno hili linaonyesha mwanzo wa tukio linalofuata kwenye simulizi. + +# Festo akaingia katika jimbo + +Inamaanisha 1) Festo aliingia katika eneo au 2) Festo aliingia kwenye eneo ili kuanza kutawala + +# Alienda toka Kaisaria mpaka Yerusalemu + +Hii inamaanisha 1) kwenda juuinaonesha umuhimu wa Yerusalemu au 2) alikwenda mpaka juu kwa kuwa Yerusalemu ipo kilimani. + +# Walileta mashitaka dhidi ya Paulo + +"kumshtaki Paulo kwa kuvunja sheria" + +# Waliongea kwa nguvu kwa Festo + +"walimbembeleza Festo" + +# Kwamba atamuita..... ili wamuue + +"kwamba Festo atamuita Paulo..... ili Wayahudi wamuue" + +# Anaweza kumuita + +Anaweza kumtuma + +# Wanaweza kumuua njiani + +Watamvamia Paulo na kumuua akiwa njiani + diff --git a/act/25/04.md b/act/25/04.md new file mode 100644 index 00000000..33436e15 --- /dev/null +++ b/act/25/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo alikuwa mfungwa Kaisaria + +Paulo ni mfungwa Kaisaria na mimi mwenyewe ntarejea huko baada ya muda mfupi. + +# Kama kuna jambo lolote baya kwa mtu huyu. + +Kama Paulo amefanya jambo lolte baya. + +# Unaweza kumshtaki + +"Unaweza kuleta mashtaka" au "unaweza kumshataki kwa kuvunja sheria" + diff --git a/act/25/06.md b/act/25/06.md new file mode 100644 index 00000000..fa9f969e --- /dev/null +++ b/act/25/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Baada ya kukaa + +Baada ya Festo kukaa + +# Kukaa kwenye kiti cha hukumu + +" kukaa juu ya kiti ili afanye kazi ya hakimu" + +# Paulo aletwe kwake + +"kwamba wamlete Paulo kwake" + +# Alipofika + +"Paulo alipofika na kusimama mbele ya Festo" + +# Jina la Wayahudi + +"sheria ya wayahudi" + +# siyo dhidi ya hekalu + +Paulo alisema hajavunja sheria yoyote kuhusu nani aingie kwenye hekalu la Yerusalemu. "siyo dhidi ya sheria za kuingia hekalini" + diff --git a/act/25/09.md b/act/25/09.md new file mode 100644 index 00000000..492a81e6 --- /dev/null +++ b/act/25/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi + +Alitaka kuwaridhisha wayahudi + +# Na kuhukumiwa na mimi juu ya mambo haya huko + +"Ntakapokuhukumu kutokana na mashitaka haya" + +# Sehemu ninayopaswa kuhukumiwa + +"Ni sehemu gani ambapo wewe itanihukumu" + diff --git a/act/25/11.md b/act/25/11.md new file mode 100644 index 00000000..9888ad54 --- /dev/null +++ b/act/25/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Paulo akaendelea kuongea na Festo + +# Ikiwa nimefanya kinachostahili kifo + +"ikiwa nimefanya jambo baya la kustahili adhabu ya kifo" + +# Ikiwa mashitaka si kitu + +"ikiwa mashitaka yao juu yangu si ya kweli" + +# Hakuna anayeweza kunikabidhi kwao + +Hii inamaanisha 1) Festo hana mamlaka ya kisheria ya kumkabidhi Pailo kwa waliomshaki mashitaka ya uongo au 2) Paulo alisema kwamba kama hajafanya kosa lolote basi gavana asisikilize maombi ya Wayahudi. + +# Namuomba Kaisari + +"Naomba kwamba niende mbele ya Kaisari ili nisikilizwe" + +# Festo aliongea na baraza + +Hili ni baraza la kisiasa la serikali ya Roma. "Festo aliongea na washauri wa serikali yake" + diff --git a/act/25/13.md b/act/25/13.md new file mode 100644 index 00000000..ad9fcbe9 --- /dev/null +++ b/act/25/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Festo akaanza kuelezea kesi ya Paulo kwa mfalme Agripa. + +# Sasa + +Neno hili linaonyesha mwanzo wa tukio jipya kwenye simulizi. + +# Mfalme Agripa na Bernike + +Agripa alikua mfalme aliyetawala wakati huo na Bernike alikuwa dada yake. + +# Kumtembelea kiofisi + +"kumtembelea Festo kuhusu masuala ya kiofisi. + +# Mtu mmoja aliachwa na Felix kama mfungwa. + +Wakati Felix akiacha ofisi alimuacha mtu gerezani. + diff --git a/act/25/17.md b/act/25/17.md new file mode 100644 index 00000000..dc82bbfc --- /dev/null +++ b/act/25/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa hiyo + +Neno hili linanyesha maelezo ya kilichosemwa kabla. Hivyo Festo alisema mtu aliyeshitakiwa anatakiwa awakabili washitaki wake na kujitetea. + +# Walipokuja pamoja hapa + +"wakati viongozi wa Kiyahudi walipokuja kuonana na mimi hapa" + +# Nilikaa kwenye kiti cha hukumu + +"Nilikaa juu ya kiti ambacho nilifanya kazi ya hakimu" + +# Niliamuru mtu huyo aletwe ndani + +"Niliamuru askari wamlete Paulo mbele yangu" + +# Dini yao wenyewe + +Neno "dini" linamaanisha mfumo wa imani ya watu juu ya maisha na nguvu. + +# Kuhukumiwa kule juu ya mambo haya + +"ambapo baraza la Wayahudi wataamua kama anamakosa kuhusu masitaka haya" + diff --git a/act/25/21.md b/act/25/21.md new file mode 100644 index 00000000..47820807 --- /dev/null +++ b/act/25/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Festo akamaliza kuelezea kesi ya Paulo kwa mfalme Agripa + +# Niliamuru awekwe + +"Niliwaambia maaskari wamuweke garezani" + +# "Keso" Festo akasema "utamsikia" + +"Festo akasema, 'ntapanga ili usikilize Paulo kesho" + diff --git a/act/25/23.md b/act/25/23.md new file mode 100644 index 00000000..4033f3a5 --- /dev/null +++ b/act/25/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo aliletwa kwao + +"Walimpeleka Paulo mbele zao" + +# walinipigia kelele + +"Wayahudi waliongea na mimi kwa nguvu" + +# Asiendelee kuishi + +Maelezo haya yanaweka mkazo wa kinyume cha kusema "afe maramoja" + diff --git a/act/25/25.md b/act/25/25.md new file mode 100644 index 00000000..9e3aae24 --- /dev/null +++ b/act/25/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Festo akaendelea kuongea na Mfalme Agripa + +# Nimemleta kwenu, hasa kwako, Mfamle Agripa + +" Nimemleta Paulo kwenu nyote lakini hasa kwako Mfalme Agripa" + +# Ili nipate cha kuandika zaidi + +"ili nipate cha ziada cha kuandika" au "ili nijue niandike nini" + +# haina maana kumpeleka mfungwa na bila kuonyesha mashitaka yanayomkabili + +"itakuwa na maana nikimpeleka mfungwa na kuonyesha mashtaka yanayomkabili" + +# Mashitaka dhidi yake + +inamaanisha kuwa 1) mashitaka yaliyoletwa juu yake na viongozi wa Kiyahudi au 2) mashitaka chini ya sheria za Roma yanayoelezea kesi ya Paulo. + diff --git a/act/26/01.md b/act/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..764ff38d --- /dev/null +++ b/act/26/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo anayounganisha + +Festo alimpeleka Paulo mbele ya Mfalme Agripa. Kwenye mstari wa pili Paulo anaanza kutoa utetezi wake kwa Mfalme Agripa. + +# Alinyoosha mkono wake + +"ilinyoosha mkono wake mbele ya makutano ili apate umakini wao" + +# Akaweka utetezi wake + +Akaakza kujitetea mwenyewe dhidi ya mashitaka" + +# ninajina mwenye furaha + +Paulo alikuwa na furaha akatumia kuwepo kwake mbele ya Agripa kama nafasi ya kuongea juu ya injili. + diff --git a/act/26/04.md b/act/26/04.md new file mode 100644 index 00000000..414ebae8 --- /dev/null +++ b/act/26/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wayahudi wote + +Inamaniisha 1)Mafarisayo walikua na Paulo na walimfahamu kama Mfarisayo au 2)"Paulo alijulikana sana kwa Wayahudi + +# Kwenye nchi yangu mwenyewe + +Ina maanisha 1) kwa watu wake mwenyewe sio lazima wawe kwenye eneo la Israeli au 2) kwenye ardhi ya Israeli. + diff --git a/act/26/06.md b/act/26/06.md new file mode 100644 index 00000000..e33b647a --- /dev/null +++ b/act/26/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Paulo alitumia maneno haya kuonesha utetezi mwingine. + +# Nimesimama hapa ili nihukumiwe + +"Nipo hapa waliponiweka ili nihukumiwe" + +# Naziangalia ahadi ambazo Mungu aliwapa baba zetu + +Paulo ana matumaini na kuja kwa Mesia. + +# Nategemea kuifikia + +"Tunaamini kuwa tutapokea ahadi ambayo Mungu ametuahidi" + +# Kwa nini mnafikiri ni ajabu kwa Mungu kufufua wafu? + +Paulo alisema haya ili kumfanya Agripa aunganishe aliyoyasema Paulo na ambacho Agripa alikiamini juu ya Mungu anavyoweza kufufua wafu. "Wewe mwenyewe unaamini kuwa Mungu anaweza kufufua wafu" + diff --git a/act/26/09.md b/act/26/09.md new file mode 100644 index 00000000..30577284 --- /dev/null +++ b/act/26/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati fulani + +Paulo alitumia maneno haya kuonesha utetezzi wake mwingine. Sasa anaelezea alivyokuwa anawatesa watakatifu. + +# Kinyume na jina la Yesu + +neno "jina" linasimama kwa ujumbe wa Yesu. "kinyume na ujumbe wa Yesu" + +# Nipe kura yangu dhidi yao + +"Kupiga kura ili kuwaadhibu" + +# Niliwaadhibu mara kwa mara + +Inamaanisha 1)Paulo aliwaadhibu baadhi ya waamini mara nyingi au 2) Paulo aliwaadhibu waamini mbalimbali. + diff --git a/act/26/12.md b/act/26/12.md new file mode 100644 index 00000000..498f5730 --- /dev/null +++ b/act/26/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nilipokuwa nafanya hivi + +Paulo alitumia maneno haya kuonesha ushahidi mwingine. sasa anaelezea namna Yesu alipomuita toka kwenye kuwatesa watakatifu na kumfuata yeye. + +# Nilipokuwa + +neno hili limetumika kuonesha matukio mawili yanayotokea kwa wakati mmoja. Hapa Paulo alikuwa anawatesa watakatifu alipokuwa akienda Dameski. + +# Kwa mamlaka na maagizo + +Paulo alikuwa na barua toka kwa viongozi wa kiyahudi wakimpa mamlaka ya kuwatesa waamini wa Kiyahudi. + +# Ni vigumu kwako kuupiga teke mchokoo + +Mungu anafananisha kukataa kwa Paulo kuhusu mipango ya Mungu na ng'ombe anayepiga teke fimbo ya mkulima. "ngumu kwako kupambana na maelekezo ya Mungu kwako." + diff --git a/act/26/15.md b/act/26/15.md new file mode 100644 index 00000000..3e9cb630 --- /dev/null +++ b/act/26/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Paulo aliendelea kutoa utetezi wake kwa Mfalme Agripa. Kwenye mistari hii aliendelea kunukuu mazungumzo yake na Bwana. + +# Nilijitenga mwenyewe + +"Nilitengezeza mwenyewe" au "Kuweka wakfu mwenyewe" + +# kwa imani iliyo kwangu + +Hii inaelezea Imani juu ya Mungu kwa waliotengwa na Mungu kwa ajili yake. + +# Niliowatenga kwa ajili yangu kwa imani iliyo kwangu + +Paulo alimaliza kumnukuu Bwana + diff --git a/act/26/19.md b/act/26/19.md new file mode 100644 index 00000000..49e8ea94 --- /dev/null +++ b/act/26/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa hiyo + +Neno hili linanyesha maelezo ya kilichosemwa kabla. Paulo alielezea ambacho Bwana alimuamuru katika maono. + +# Sikuyapuuza maono ya mbinguni + +"Nilitii ujumbe niliopewa kwenye maono yaliyotoka mbinguni" + diff --git a/act/26/22.md b/act/26/22.md new file mode 100644 index 00000000..225780be --- /dev/null +++ b/act/26/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Paulo akamaliza kujitetea kwa Mfalme Agripa + +# Ambayo manabii + +Paulo anamanisha maandishi yaliyokusanywa ya Manabii wa Agano la kale. + +# Kwamba Kristo atateseka + +"Kwamba kristo atateseka na kufa" + +# kutangaza mwanga + +Kutangaza ujumbe wa ukombozi" + diff --git a/act/26/24.md b/act/26/24.md new file mode 100644 index 00000000..f44b0dfc --- /dev/null +++ b/act/26/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Una wendawazimu + +"Unaongea upuuz"i au "umechanganyikiwa" + +# Mimi sio mwendawazimu + +"Mimi ni mzima" au "nina uwezo wa kufikiri vizuri" + +# Mtupu + +"uzito" au "kuhusu jambo lenye uzito" + +# Naongea kwa uhuru kwake + +Naongea kwa uhuru kwa Mfalme Agripa + +# Haikufanywa kwenye kona + +"Haikufanywa kwa siri" + diff --git a/act/26/27.md b/act/26/27.md new file mode 100644 index 00000000..858b6291 --- /dev/null +++ b/act/26/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Unawaamini managii, Mfalme Agripa? + +Paulo alimuuliza swali hili Agripa na Agripa alishaamini waliyosema manabii kuhusu Yesu. "umeshaamini waliyosema manabii wa Kiyahudi Mfalme Agripa!" + +# Kwa mda mfupi unaweza kunishawishi na kunifanya niwe Mkristo? + +Agripa aliuliza hili swali ili kumuonyesha Paulo kwamba haawezi kumshawishi Agripa kirahisi bila kithibitisho. "Unafikiri unaweza kunishawishi kirahisi!" + diff --git a/act/26/30.md b/act/26/30.md new file mode 100644 index 00000000..f7d3d3e8 --- /dev/null +++ b/act/26/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ndipo Mfalme akasimama na Gavana + +Kisha Mfalme Agripa akasemama pamoja na Gavana Festo" + diff --git a/act/27/01.md b/act/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..3748686e --- /dev/null +++ b/act/27/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo, kama mfungwa , anaanza safari kwenda Rumi + +# Taarifa + +Neno sisi linamaanisha Luka mwandishi pamoja na Paulo na wasafiri wengine waliosafiri na Paulo + +# Taarifa + +Adramitamu ni mji uliokuwa pwani ya uturuki ya sasa + +# Wakawaeka Paulo na wafungwa wengine chini ya mashitaka ya Julio wa kikosi cha Agustani + +Maaskari wa kirumi wakamweka kwa afisa Julias wa Agustani kwa mkuu wa Paulo na wafungwa wengine. + diff --git a/act/27/03.md b/act/27/03.md new file mode 100644 index 00000000..48e10ce4 --- /dev/null +++ b/act/27/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Neno sisi linamaanisha Luka, Paulo na wote waliosafiri pamoja naye. + +# Juliasi alimtendea Paulo kwa ukarimu + +Julias alimtendea vizuri Paulo + +# Akasafiri kuzunguka kisiwa cha Kipro ambacho kilikuwa kimeukinga upepo. + +Neno Kukinga linaweza kusemwa katika hali tendaji. + diff --git a/act/27/07.md b/act/27/07.md new file mode 100644 index 00000000..29fde041 --- /dev/null +++ b/act/27/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tuliposafiri pole pole mwishowe tulifika kwa taabu. + +Unaweza kuonesha kuwa kilichofanya wakasafiri kwa taabu ilikuwa ni kwa sababu ya upepo ulivuma dhidi yao. + +# Karibu na mji wa Lasi + +Huu ni mji katika Pwani ya Krete + diff --git a/act/27/09.md b/act/27/09.md new file mode 100644 index 00000000..62f1de33 --- /dev/null +++ b/act/27/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Maneno kama "sisi" "Tuli" inamaanisha Paulo na wengine waliokuwa katika meli. + +# Muda wa mfungo wa wayahudi ulikuwa umepita na haikuwa sasa hatari kusafiri. + +Mfungo huu ulifanyika katika siku ya utakaso ambayo mara nyingi ilifanyika mwishoni mwa mwezi wa septemba au mwanzoni mwa mwezi wa octoba katika kalenda ya watu wa magharigi. Baada ya muda huo ilikuwa hatari kutokana na vimbunga vya mara kwa mara. + diff --git a/act/27/12.md b/act/27/12.md new file mode 100644 index 00000000..00894fbc --- /dev/null +++ b/act/27/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bandari haikuwa sehemu rahisi kukaa wakati wa baridi. + +Unaweza kuonesha kwa nini haikuwa rahisi kukaa bandarini. "Bandari haikuweza kutosheleza kuleta usalama kwenye gati za meli wakati wa baridi na vimbunga" + +# Kaskazini mashariki na Kusini mashariki + +Pande hizi hutegemea mahali jua linako chomozea na mahali jua linapozamia. Kaskazini Mashariki inaweza kuwa kushoto kiasi mwa upande unao chomoza jua. Kusini mashariki inakuwa ni kulia kiasi mwa upande wa jua linako zamia. + diff --git a/act/27/14.md b/act/27/14.md new file mode 100644 index 00000000..02a8730f --- /dev/null +++ b/act/27/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati meli ilipolemewa na kushindwa kuukabili upepo + +Upepo ulivuma kwa ukali dhidi ya upande wa kichwa cha meli kiasi kwamba hatukuweza kusafiri. + diff --git a/act/27/17.md b/act/27/17.md new file mode 100644 index 00000000..1d7c7bbc --- /dev/null +++ b/act/27/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tulipigwa kwa nguvu sana na dhoruba, + +Hii inaweza kusemwa katika hali ya kutenda, Upepo ulivuma kwa nguvu" + +# mabaharia wakaanza kutupa mizigo kutoka Melini. + +Hili lilifanyika ili kupunguza uzitoili meli isizame. + diff --git a/act/27/19.md b/act/27/19.md new file mode 100644 index 00000000..25a4aaec --- /dev/null +++ b/act/27/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mabaharia wakaanza kutupa vifaa kwa mikono yao wenyewe + +Vifaa ina maanisha vyombo maalumu kwa ajili ya mabaharia. Hii inaonesha jinsi hali ilivyokuwa tete. + +# Bado dhoruba kubwa ilitupiga + +Upepo wa kutisha ulitupiga sana. + diff --git a/act/27/21.md b/act/27/21.md new file mode 100644 index 00000000..ed674579 --- /dev/null +++ b/act/27/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ili kupata haya madhara na hasara. + +Na matokeo yake tumepata madhara na hasara. + diff --git a/act/27/23.md b/act/27/23.md new file mode 100644 index 00000000..67a665c5 --- /dev/null +++ b/act/27/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lazima usimame mbele ya Kaisari + +Neno "Lazima usimame mbele ya Kaisari" Inamaanisha paulo kufika mbele ya mahakama na kuhukumiwa na Kaisari. "Lazima usimame mbele ya Kaisari akuhukumu" + +# Lakini lazima tuumie kwa kupigwa katika baadhi ya visiwa. + +"Upepo lazima utatupeleka ufukweni mwa visiwa fulani." + diff --git a/act/27/27.md b/act/27/27.md new file mode 100644 index 00000000..e35f04d3 --- /dev/null +++ b/act/27/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama usiku wa manane hivi, + +Usiku wa manane unaweza kutafsiriwa kama usiku wa saa nane. + +# wakapata mita thelathini na sita + +Mita ni kipimo kama cha urefu wa mikono. + diff --git a/act/27/30.md b/act/27/30.md new file mode 100644 index 00000000..765424d8 --- /dev/null +++ b/act/27/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Boti ndogo ndogo za kuokolea maisha, + +Hizi ni botti au melindogo ambazo hutolewa nyuma ya meli kubwa . boti hizi huwekwa kwa ajili ya kujiokolea wakati meli inataka kuzama + +# Hamuwezi kuokoka isipokuwa hawa watu wanabaki kwenye meli. + +Maneno ya nayayo semwa kinyume yakimaanisha hakuna uwezekano wa kuokoka mpaka watu wabaki melini. + diff --git a/act/27/33.md b/act/27/33.md new file mode 100644 index 00000000..b36347ce --- /dev/null +++ b/act/27/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# 33Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza + +Kulipokuwa kukipambazuka + +# Siku hii ni ya kumi na nne + +Siku ya kumi na nne + +# Hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea + +Hii ilikuwa ni njia ya usemi ulio maanisha kwamba hakuna harari yoyote ingewapata. "Kila mmoja atakuwa salama katika dhoruba hii." + diff --git a/act/27/36.md b/act/27/36.md new file mode 100644 index 00000000..ba8d7e6a --- /dev/null +++ b/act/27/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wote wakatiwa moyo + +Hii inaweza kusemwa katika hali tendaji, "Wote walitiwa moyo" + +# Tulikuwa watu 276 ndani ya meli. + +Hii ni taarifa ya nyuma. + diff --git a/act/27/39.md b/act/27/39.md new file mode 100644 index 00000000..5e47714a --- /dev/null +++ b/act/27/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nchi kavu majini au Ghuba + +Sehemu ya nchi kavu iliyoingia majini iliyokuwa na mchanga mwing + +# Lakini wakaja mahali ambapo mikondo miwili ya maji inakutana, + +Mkondo wa maji unaotiririka kwenda upande mmoja wakati wote. Mara nyingine zaidi ya mkondo mmoja unaweza kutiririka ukiukatisha ule mwingine. Hali hii inaweza kusababisha mchanga kulundikana mahali pamoja na kufanya kina cha maji kuwa kifupi. + diff --git a/act/27/42.md b/act/27/42.md new file mode 100644 index 00000000..b89e68c3 --- /dev/null +++ b/act/27/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mpango wa wale askari ulikuwa + +Maaskari walikuwa wanapanga + +# Angeogelea na kutoroka. + +"Kuruka kutoka katika meli na kuingia majini" + +# wengine juu ya vipande vya mbao + +Wengine kwenye vipande vya mbao + diff --git a/act/28/01.md b/act/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..3919a823 --- /dev/null +++ b/act/28/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Baada ya meli kuharibika, watu wa kisiwa cha Malta walimsaidia Paulo na wenzake waliokuwa kwenye meli. Walikaa pale miezi mitatu. + +# kisiwa kilichoitwa Malta + +Malta ni kisiwa kilichopo katika kisiwa kingine ambacho kwa sasa kinaitwa Sisili. + +# watu asilia + +wenyeji wa pale + diff --git a/act/28/03.md b/act/28/03.md new file mode 100644 index 00000000..45190b45 --- /dev/null +++ b/act/28/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# shoka mkali alitokea + +nyoka mwenye sumu kali alitokea kwenye mzigo wa kuni + +# haki pia + +neno "Haki" lilimaanisha jina la Mungu waliyemwabudu. + diff --git a/act/28/05.md b/act/28/05.md new file mode 100644 index 00000000..f8a343a4 --- /dev/null +++ b/act/28/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akamkung'utia yule mnyama motoni + +alitikisa mkono wake ili yule nyoka aangukie kwenye moto + +# walisema kuwa alikuwa mungu + +labda kulikuwa na imani kwamba mtu yeyote aliyeishi baada ya kugongwa na nyoka alikuwa sio wa kawaida + diff --git a/act/28/07.md b/act/28/07.md new file mode 100644 index 00000000..0f331973 --- /dev/null +++ b/act/28/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ujumbe wa jumla: + +Hapa maneno "sisi" ana "sisi" yanamtaja Paulo + +# alifanywa kuwa mgonjwa + +alikuwa mgonjwa + +# na liponywa + +na aliwaponya wote + diff --git a/act/28/11.md b/act/28/11.md new file mode 100644 index 00000000..00e0caf8 --- /dev/null +++ b/act/28/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Safari ya Paulo kwenda Rumi inaendelea + +# meli ya Alexandria + +meli ambayo ilitoka Alexandria + +# ambayo ilinyauka kwenye kisiwa + +wafanyakazi waliachwa kisiwani majira ya baridi + diff --git a/act/28/13.md b/act/28/13.md new file mode 100644 index 00000000..87943f4a --- /dev/null +++ b/act/28/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# jiji la Regimu + +huu ni mji wa bandari uliopo kusini magharibi mwa Italia + +# jiji la Puteli + +Puteli kwa sasa ipo katika mji wa Napoli + +# Alimshukuru Mungu na kujipa moyo + +hii ilimtia moyo sana + diff --git a/act/28/16.md b/act/28/16.md new file mode 100644 index 00000000..bea78786 --- /dev/null +++ b/act/28/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# viongozi kati ya Wayahudi + +hawa ni wale viongozi wa Kiyahudi au wa kidini waliopo Rumi + +# kinyume na watu + +kinyume na Wayahudi + diff --git a/act/28/19.md b/act/28/19.md new file mode 100644 index 00000000..9664c555 --- /dev/null +++ b/act/28/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wayahudi + +hii haimanishi Wayahudi wote bali viongozi tu + +# aliongea kinyume na matakwa yao + +alilalamika juu ya mambo ambayo viongozi wa Kirumi walitaka kufanya + diff --git a/act/28/21.md b/act/28/21.md new file mode 100644 index 00000000..657d9c9a --- /dev/null +++ b/act/28/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mnafikiri kuhusu dhehebu hili + +dhehebu ni kundi dogo ndani ya kubwa + +# kwa kuwa tunaijua sisi + +kwa sababu sisi tunaijua + diff --git a/act/28/23.md b/act/28/23.md new file mode 100644 index 00000000..e23b9435 --- /dev/null +++ b/act/28/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alitenga siku kwa ajili yake + +alichagua siku kwa ajili yake kuongea naye + +# alishuhudia kuhusu ufalme wa Mungu + +ufalme wa Mungu hapa unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme + diff --git a/act/28/25.md b/act/28/25.md new file mode 100644 index 00000000..d8b26f64 --- /dev/null +++ b/act/28/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Zviongozi wa Kiyahudi walipokuwa tayari kuondoka, Paulo alinukuu maandiko kutoka Agano la Kale kwa ajili yao + +# lakini hawataelewa...lakini hawatajua + +Sentensi hizi mbili zinamaanisha kitu kimoja + diff --git a/act/28/27.md b/act/28/27.md new file mode 100644 index 00000000..cf1b666f --- /dev/null +++ b/act/28/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anamalizia kumnukuu nabii Isaya + +# na kugeuka tena + +kumtii Mungu ni sawa na kumgeukia Mungu + diff --git a/act/28/28.md b/act/28/28.md new file mode 100644 index 00000000..9392dad8 --- /dev/null +++ b/act/28/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentesni unganishi: + +Paulo anamaliza kuongea na viongozi wa Kiyahudi + +# nao watasikiliza + +baadhi yao watasikiliza + diff --git a/act/28/30.md b/act/28/30.md new file mode 100644 index 00000000..e934e07f --- /dev/null +++ b/act/28/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Luka anakamilisha simulizi ya Paulo katika kitabu cha Matendo ya Mitume + +# alikuwa anahubiri kuhusu ufamle wa Mungu + +ufalme wa Mungu una maana ya utawala wa Mungu + diff --git a/col/01/01.md b/col/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..abba878a --- /dev/null +++ b/col/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Kupitia barua hii ni kutoka kwa Paulo na Timotheo kwa waumini wa Kolosai, baadaye kwenye barua Paulo anaweka bayana kwamba yeye ndiye mwandishi. Huenda alikuwa na Timotheo na kuandika maneno chini Paulo kama mzungumzaji. + +# Maelezo ya Jumla: + +Kupitia hii barua maneno "sisi," "yetu," na "yakwetu" pamoja na Wakolosai vingenevyo yameandikwa tofauti. Neno "ninyi," "yenu," "yakwenu" yanawahusisha waumini Wakolosai na hivyo ni katika wingi vinginevyo yameandikwa tofauti. + +# Mtume wa Yesu Krist kwa mapenzi ya Mugu + +"Aliyechaguliwa na Mungu kuwa mtume wa Yesu Kristo" + +# Tunatoa...Bwana wetu...sisi mara kwa mara + +Haya maneno hayawajumuishi Wakolosai. + diff --git a/col/01/04.md b/col/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..59a3283b --- /dev/null +++ b/col/01/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tumeshasikia + +Paulo anajiondoa katika wasikilizaji anasemapo "sisi" + +# Imani yenu katika Kristo Yesu + +"Kuamini kwenu katika Kristo Yesu" + +# kwa sababu ya tarajio la uhakika lililohifadhiwa kwa ajili yenu mbinguni + +Ambalo ni matokeo ya uhakika wenu wa tumaini kwa kile Mungu ametunza mbinguni + +# kuzaa tunda na kuenea + +Hapa Paulo anazungumzia kana kwamba kulikuwa mti au mche/mmea ambao ukuapo na kuzalisha chakula. + +# ulimwenguni kote + +Injili inaene na kukua kupitia dunia iliyojulikana. + +# neema ya Mungu katika kweli + +"neema ya Mungu ya kweli" + diff --git a/col/01/07.md b/col/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..9fc6c52f --- /dev/null +++ b/col/01/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mpendwa wetu...mwenzetu...kwa niaba yetu + +Neno "yetu" na "sisi" sio pamoja na Wakolosai. + +# injili mliyojifunza kutoka kwa Epafradito, mpendwa wetu mtumishi mwenzetu, ambaye + +"injili. Ambayo hasa umejifunza kutoka kwa Epafradito, ambaye in mpendwa mtumishi mwenzetu na ambaye" au "injili. ni sahihi kile Epafra, mtumishi mwenzetu mwenzetu, aliwafundisha. Yeye" + +# Epafra, tumishi mpendwa wetu, ambaye ni mtumishi mwaminifu wa Kristo kwetu + +Hii ina maana kwamba Epafraalikuwa anafanyakazi kwaajili ya Kristo ambayo Paulo mwanyewe angeliifanyakama asingekuwa gerezani. + +# Epafra + +Epafra alikuwa mwanaume aliyehubiri Injili kwa watu wa Kolosi + +# mpendwa wenu katika Roho + +Roho Mtakatifu amewazesha kupenda waumini + diff --git a/col/01/09.md b/col/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..b74445c2 --- /dev/null +++ b/col/01/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Kwa sababu Rohi amewawezesha kuwapenda wengine, Paulo anawaombea na kuwaambia hapa vile aombavyo kwa ajili yao. + +# Kwa sababu ya upendo huu + +"Kwa sababu Roho Mtakatifu amewawezesha kupenda waumini wengine." + +# Tulisikia...hatujaacha...tumekuwa tukiuliza...tumekuwa tukiomba + +Hii inaonyesha Paulo na Timotheo lakini si waumini wakolosai + +# tangu siku tuliposikia hivi + +"tangu siku Epafra alipotuambia haya mambo" + +# kwamba mtajazwa na maarifa ya mapenzi yake + +Paulo anazungumzia waumini wa Kolosai kana kwamba walikuwa chombo cha kubebea. "kwamba Mungu atawajaza kwa kile mnachohitaji kukijua hivyo basi mtafanya mapenzi yake" + +# Katika hekima yote na ufahamu wa kiroho + +"Hekima na ujuzi mmpewa kwa Roho Mtakatifu" + +# kwamba mtembee katika ustahimilivu wa Bwana katika yeye + +"Kwamba muishi katika njia ambayo Ingempendeza Mungu" + +# katika njia zinazompendeza + +"katika njia ambazo zitampendeza Bwana" + +# Mzae matunda + +Hii inalingashwa na mti uzaao matunda kwa kazi nzuri ya waumini.Kama mmea ukuao nakuzaa matunda, hivyo pia waaumini ni kukua katika kumjua Mungu na katika kutenda matendo mema. + diff --git a/col/01/11.md b/col/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..b7ad5590 --- /dev/null +++ b/col/01/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tunawaombea + +Neno 'sisi' linaonyesha Paulo naTimotheo lakini si Wakolosai + +# katika uvumilivu na ustahivu + +Paulo anawazungumzia waamini Wakolosai kana kwamba Mungu atawahamishia eneo la uvumilivu. Katika uhalisia, anaomba kwamba hataacha kumwamini Mungu na kwamba watakuwa wavumilivu kikamilifu kadiri waendeleavyo kumhesimu. + +# aliyewafanya muweze kuwa na sehemu + +"amewaruhusu kuwa na sehemu" + +# mmestahilishwa + +Hapa Paulo analenga kwa wasomaji wake kama wapokeaji wa baraka za Mungu.Hamanishi kuwa yeye mwenyewe hana ushirika katikabaraka zile. + +# Kwa ushirikakatika urithi + +Kupokea ambacho Mungu amewaahidi waamini kinazungumziwa kana kwamba kulikuwa na kitu cha kurithi na wanafamilia kurithishwa. + +# Katika Mwanga + +"Kaika utukufu wa uwepo wake" + diff --git a/col/01/13.md b/col/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..40c09458 --- /dev/null +++ b/col/01/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anazungumzia kuhusu njia katika Kristo ni nzuri. + +# Ameokoa + +"Mungu Baba amekwisha kuokoa" + +# katika utawala wa giza + +Giza ni picha ya kawaida kwenye maandiko kwa uovu. "nguvu ya uovu" + +# Mwanae mpendwa + +"Mungu ni Baba wa mwana mpendwa, Yesu Kristo" + +# Katika mwanae tuna ukombozi + +mara nyingi Paulo anawaongelea waamini wapi "katika" Yesu Krsto au "katika" Mungu. "Mwanae ametukomboa sisi" + +# Msamaha wa dhambi + +"Mwanae ametusamehe dhambi" au "Baba + diff --git a/col/01/15.md b/col/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..9c1fec72 --- /dev/null +++ b/col/01/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mwana ni mfano wa Mungu asiyeonekana + +Kwa kujua kwamba Yesu mwana ni kama, tunaweza kujua Mungu Baba alivyo. + +# Mwana + +hili ni jina muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Ni mzaliwa wa kwanza + +"Mwana n i mzaliwa wa kwanza."Yesu ni muhimu sana na ni wa pekee, "mwana" wa Mungu. Ni Mungu.Neno "Mwana"inaonyesha uhusiano wa ndani na Baba.Uhusiana huu haufahamiki mpaka na vinginevyo uelezwe katika maneno ya lugha kwa 'mwana' na 'baba.' + +# Kwa sababu ya yeye vitu vyote viliumbwa + +"Kwa sababu mwana aliumba vitu vyote" + +# Hata enzi au mamlaka au utawala vitu vyote viliumbwa na yeye kwa ajili yake + +Mwana aliumba vitu vyote kwa ajili yake, kujumlisha kiti cha enzi, utawala, ya kifalme na mamlaka. + +# Yeye ni mtangulizizwa vitu vyote + +"Amekuwepo kabla yavitu vyote" + +# Katika yeye vitu vyote hushikamanishwa pamoja + +"Anashikamanisha kila kitu pamoja" + diff --git a/col/01/18.md b/col/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..d9b83946 --- /dev/null +++ b/col/01/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Yeye ni kichwa + +"Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, ni kichwa." + +# Yeye ni kichwa cha kanisa, yaani mwili wake + +Hii inalinganisha nafasi ya Yesu kwa kanisa kama kichwa katika mwili wa kibinadamu. + +# Mwanzilishi + +yeye ni mtawala wa kwanza au mwanzilishi. Yesu alianzisha wa kanisa + +# Mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu + +Yesu ni mtu wa kwanza kufa na kurudi katika uhai, hatakufa tena. + +# Mwana + +Hii ni jina muhimu sana kwa Yesu, mwana wa Mungu. + +# Kupitia damu ya mwana ya msalaba wake + +asili yaneno "Kupitia" ni wazo la mtiririko au njia, inaonyesha kwamba Mungu huleta amani na upatanisho kwa watu kwa damu ya Yesu alipokufa msalabani. + +# damu ya msalaba wake + +Hapa "damu" inasimama badala kifo cha Kristo msalabani. + diff --git a/col/01/21.md b/col/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..97224b45 --- /dev/null +++ b/col/01/21.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Kristo hubadilisha dhambi za waumini wa mataifa kwa utakatifu wake. + +# Na wewe pia + +"Na ninyi Waamini wa Kolosai pia" + +# Mlikuwa wageni kwa Mungu + +"Mlikuwa mmtengwa kutoka kwa Mungu" au "mlikuwa mmesukumwa mbali naMungu." + +# kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama mbele yake + +Paulo anawaeleza Wakolosai ingawa Yesu aliwasafisha, kuwaweka katika nguo safi, na kuwaleta kusimama mbele ya Mungu Baba. + +# bila lawama, na bila dosari + +Paulo anatumia maneno mawili yenye maana zinazokaribiana kusisitiza wazo la ukamilifu. "kamili" + +# mbele yake + +"katika mtazamo wa Mungu" au "fikra ya Mungu" + +# iliyotangazwa + +ambayo waumini walitangaza + +# kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu + +"kwa kila mtu katika dunia" + +# injili ambayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi + +Paulo alikuwa mtumishi wa Mungu halizi. "injili ambayo mimi, Paulo, akimtumikia Mungu kwa kutaingaza" + diff --git a/col/01/24.md b/col/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..94a0b44e --- /dev/null +++ b/col/01/24.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Natimiliza katika katika mwili wangu kile kinachopungua kwa mateso ya Kristo + +Paulo anazungumzia mateso anayoendelea kuyapata. Yawezekana alikuwa anateseka mno ambapo yeye na Wakristo wote lazima wapitie kabla Kristo hajaja tena, na kwamba Krsito hupata pamoja nao kiroho haya magumu. + +# Natimiliza katika mwili wangu + +Paulo anazungumzia mwili wake kana kwamba kilikuwa chombo cha kubebea ambacho kingeweza kubebea mateso. + +# kwa ajili ya ajili mwili wake , ambao ni kanisa + +mara nyingi Paulo anazungumzia kanisa, kundi la waamini wote, kana kwamba ulikuwa mwili wa Kristo. + +# kulijaza neno la Mungu + +Hii inamaana kuleta lengo la ujumba wa injili ya Mungu, ambayo inatakiwa kuhubiriwa na kuaminiwa. + +# Huu ni ukweli wa siri uliokuwa umejificha + +Hii inaweza katika muundo kamili. "huu ni ukweli ambao Mungu alikuwa ameuficha" + +# kwa miaka mingi na vizazi na kwa miaka + +Neno "miaka" na "vizazi" inarejelea kwenye kipindi tangu uumbaji wa dunia mpaka kipindi wakati inijili ilipohibiriwa. + +# sasa imefunuliwa + +"sasa Mungu ameifunua" + +# utajiri wa utukufu wa siri ya kweli + +Paulo anazungumzia thamani hii siri ya ukweli Mungu kana kwamba kulikuwa na hazina ya kupata malighafi. "utajiri" + +# Kristo yumo ndani yenu + +Paulo anawazungumzia waamni kana kwamba walikuwa vyombo vya kubebea ambapo Kristo yupo. Hii ni moja ya njia yake kuelezea umoja wa waamini pamoja Kristo. + +# Ujasiri wa utukufu ujao + +"ambao mnaweza utarajiwao kusemwa kwa utukufu wa Mungu" + diff --git a/col/01/28.md b/col/01/28.md new file mode 100644 index 00000000..cc34debd --- /dev/null +++ b/col/01/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# tunayemtangaza...tunamwonya...tunamfundisha...tunaweza kumleta + +Haya maneno hayawajumuishi Wakolosai. + +# tunamwonya kila mtu + +"Tunamwonya kila mmoja" + +# Kwamba tumfikishe kwa Mungu kila mmoja + +"kwamba tumfikishe kwa Mungu kila mmja" + +# Kikamilifu + +"Wazima Kiroho" + diff --git a/col/02/01.md b/col/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..848363d9 --- /dev/null +++ b/col/02/01.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kuwatia moyo walioamini katika Kolosai na Laodekia wapate kuelewa kuwa Kristo ni Mungu na anaishi ndani ya walioamini ili wapate kuishi sawasawa na walivyompokea. + +# Ni mapambano ya jinsi gani niliyopitia kwa ajili yenu + +Paulo amefanya bidii nyingi katika kuendeleza usafi wao na uelewa wa injili. + +# Wale waliopo Laodekia + +Huu ulikuwa mji karibu sana na Kolosai ambamo pia kulikuwa na kanisa ambalo Paulo alikuwa akiliombea. + +# kama ambavyo wengi hawajaniona uso wangu katika mwili + +"wengi ambao mimi binafsi sijawaona" au "wengi ambao sijaonana nao uso kwa uso" + +# kwamba mioyo yao + +"kwamba mioyo ya wote walioamini ambao hawakuwa wamemuona Paulo" + +# walioletwa pamoja + +waliowekwa pamoja katika ushirika halisi wa karibu + +# utajiri wote wa uhakika kamili wa maarifa + +Paulo nazungumza na mtu anauhakika kamili kwamba habari njema ni kweli ingawa huyo mtu alikuwa tajiri katika mwili huu. + +# siri ya Mungu ya kweli ya Mungu + +Huu ufahamu ambao unaweza kufunuliwa na Mungu peke yake. + +# ambaye ni, Kristi + +Yesu Kristo ndiye siri ya kweli iliyofunuliwa na Mungu. + +# Katika yeye hazina za hekima na maarifa zilizofichika + +Kristo pekee ndiye awezaye kufunua hekima ya kweli ya Mungu na maarifa. "Mungu ameficha hazina zote za hekima na maarifa katika Kristo" + +# hazina ya hekima na ufahamu + +Kimsingi Paulo anazungumzia hekima na maarifa ya Mungu kana kwamba vilikuwa malighafi ya utajiri. + +# hekima na ujuzi + +Kimsingi haya maneno hapa haya maneno yanamaanisha vitu viwili. Paulo ametumia yote pomaja kusisitiza kwamba ufahamu wote wa kiroho unatokana na Kristo. + diff --git a/col/02/04.md b/col/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..683cfac3 --- /dev/null +++ b/col/02/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hila + +Hii inamaana kwamba kusababisha mwingine aamini kitu ambacho sio kweli, hivyo, anatenda hiyo imani, na madhara ya mateso kama matokeo. + +# hotuba yenye ushawishi + +hotuba ambayo itafanya mtu afikirie tofauti + +# sio pamoja nanyi katika nyama + +"siko pamoja nanyi kimwili" + +# Niko nanyi katika roho + +"Naendelea kufikiri kuwhusu ninyi" + +# mpangilio mzuri + +kufanya vitu kwa mpangilio + +# nguvu ya imani yako + +"kukosaje na hakuna anayeweza kuwasababishia kuacha kuamini" + diff --git a/col/02/06.md b/col/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..c8f4f8f1 --- /dev/null +++ b/col/02/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mwimarishwe...mjengwe...mjengwe...nyingi + +Haya maneno yanaeleza inamaana gani "kutembea katika yeye." + +# kwamba mlimpokea + +"kwamba ninyi waamini wa Kolosai mlimpokea Kristo" + +# mwimarishewe katika yeye + +Paulo anamzungumzia mtu mwenye imani ya kweli katika Kristo kana kwamba huyo mtu alikuwa unaokuwa kwenye aridhi mgumu ngumu yenye mizizi mirefu. + +# muimarike katika imani + +"muishi maisha yenu kulingana na imani yenu katika Yesu Kristo" + +# kama mlivyofundishwa + +Huu ni mwanzo mzuri bila kutaja au vinginevyo kuvuta usikivu kwa mwalimu, ambaye alikuwa Epafradito. "kama mlivyojifunza" au "kama walivyokufundisha" au "kama alivyowafundisha" + +# muwe na shukurani nyingi + +"muwe na shukurani kwa Mungu" + diff --git a/col/02/08.md b/col/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..2464ab7f --- /dev/null +++ b/col/02/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawasihi walioamini wawe makini wasigeukie maneno na taratibu za wengine kwa sababu hakuna kinachoweza kuongezeka katika ukamilifu wa Mungu walio nao walioamini katika Kristo. + +# Ona kwamba + +"Iweni makini kwamba" au "Angalieni kwamba" + +# kuwanasa + +Paulo anazungumzia vile ambavyo mtu anavyoweza kuamini mafundisho ya uongo (kwa sababu wanaamini mafundisho ya uongo au wanapenda vitu vitu vya uongo) + +# falsafa + +mafundisho ya kidini na imani yasiyotoka katika neno la Mungu lakini yanatokana na mawazo ya ya watu kuhusu Mungu na maisha + +# maneno matupu ya udanganyifu + +haya ni mawazo ya upotoshaji ambayo hayatuongozi katika maisha ndani ya Kristo. Hayazalishi chochote; ni matupu au hayana thamani. + +# tamaduni za kibinadamu na juu ya mifumo ya dhambi ya dunia + +tamaduni zote za Waisraeli na wapagani (watu wa Mataifa) mifumo ya imani haina maana. + +# kwa kuwa katika yeye ukamilifu wote wa Mungu unaishi kwa jinsi ya mwili + +"kwa sababu asili yote ya Mungu inaishi katika mwili wa Kristo" + diff --git a/col/02/10.md b/col/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..98ca9721 --- /dev/null +++ b/col/02/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# katika yeye pia mlitahiriwa + +Paulo anawazungumzia wale ambao ni wa Kristo kana kwamba walikuwa walikuwa ndani ya mwili Kristo. "wakati ulipojiunga kanisani kwa kubatizwa, God alikubatiza" + +# mmejazwa katika yeye + +Paulo anazungumzia watu ingawa walikuwa chombo cha kubebea kwenye sehemu ambayo Mungu alimuhifadhi Kristo. mmekamilishwa katika Kristo" + +# Yeye ni kichwa + +Kristo ni mtawla + +# tohara isiyofanywa na wanadamu + +katika mfano huu, Paulo anasema kwamba Mungu amewafanya Waamini wa kikristo kukubalika kwa yeye mwenyewe + +# Mlizikwa pamoja na yeye katika ubatizo + +Paulo anazungumzia kuwa na ubatizo na kujiunga na kusanyiko la waamini kana kwamba ilikuwa imezikwa pamoja na Kristo. "Mungu amewazika pamoja na Kristo wakati mlipojiunga na kanisa katika ubatizo" + +# Katika yeye mlifufuliwa + +Kwenye mfano, Paulo anazungumzia maisha mapya ya kiroho ya waamini, walifanywa mitume kwa sababu Mungu alimfanya Kristo kufufuka tena. Hii inaweza kuwa hai. "kwa sababu mmejiunga na wenyewe kwa Kristo, Mungu amewafufua" + diff --git a/col/02/13.md b/col/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..93c32b55 --- /dev/null +++ b/col/02/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wakati mlipokuwa mmekufa + +"wakati ninyi waumini wa Kolosai mlikuwa mmekufa kiroho" + +# mlikuwa mmekufa .... aliwafanya kuwa hai + +Fumbo hili linaonesha jinsi gani baada ya kutoka katika maisha ya dhambi kwenda maisha mapya ya kiroho ilivyo kama mtu anayefufuka kutoka kifo. + +# mmekufa katika hatia zenu na kutokutahiriwa kwa miili yenu + +mlikuwa mmekufa katika mambo mawili: 1) mlikuwa mmekufa kiroho, mkiishi maisha ya dhambi dhidi ya Kristo na 2) mlikuwa hamkutahiriwa kulingana na sheria ya Musa. + +# alitusamehe sisi hatia zetu zote + +"Yesu Kristo alitusamehe sisi Wayahudi na ninyi watu wa Mataifa makosa yetu yote" + +# alifuta kumbukumbu za madeni zilizoandikwa na taratibu zilizokuwa kinyume nasi + +Fumbo hili hufananisha jinsi ambavyo Mungu anaweza kuondoa dhambi (deni zetu) na kutusamehe sisi kwa kuvunja sheria za Mungu (taratibu) kama ambavyo mtu anaweza kufuta kitu kilichoandikwa kwenye karatasi. + +# aliwaongoza katika ushindi na milki + +Katika kipindi cha Warumi, ilikuwa kawaida kwa jeshi la Kirumi kuwa na "gwaride la ushindi" waliporudi nyumbani, kuonesha wafungwa wote na mali walizoteka. + +# kwa msalaba + +Hapa "msalaba" unasimama bdala ya kifo cha Kristo msalabani. + diff --git a/col/02/16.md b/col/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..e0950f9e --- /dev/null +++ b/col/02/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika kula au katika kunywa + +Sheria ya Musa ilijumuisha nani anaweza kula au kunywa. "kwa nini mnakula au mnakunywa" + +# kuhusu siku ya sikukuu au mwezi mpya, au siku za Sabato + +Sheria ya Musa ilielekeza siku za kusherehekea, kuabudu, na kutoa sadaka. + +# kivuli cha vitu vijavyo + +"Kivuli" hutoa wazo la mfano wa asili ya kitu halisi. Kwa njia hiyo hiyo, tamaduni za kidini kama vile Sheria za Musa zinaweza kwa kiasi kuonesha uhalisia wa Yesu Kristo. + +# kiini + +Hapa inamaanisha "uhalisia" kitu ambacho kitoacho "kivuli" + diff --git a/col/02/18.md b/col/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..000963d7 --- /dev/null +++ b/col/02/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mtu yeyote...asidhulumiwe tuzo yake + +"mtu yeyote asidanganywe juu ya tuzo yake." + +# anayetamani unyenyekevu + +Neno "unyenyekevu" linasimama badala kwa ajili ya matendo mwingine anawafanya wengine kufikiria kwamba mwingine ni mnyenyekevu. "anayetaka kufanya mambo kuonyesha kwamba wewe ni mnyenyekevu + +# kuingia kwenye vitu alivyoviona + +Hapa Paulo anazungumzia kuhusu watu wanaojiita kuwa na ndoto na maono kutoka kwa Mungu na wanaongea kwa majivuno kuhusu weneyewe. + +# kushawishiwa na mawazo yake ya kimwili + +Hapa Paulo anasema kwamba hali ya kufikiria kaatika hali ya dhambi hufanya mtu awe na kiburi. "anayejiunua kwa maana ya ya mawazo yake ya mwili" + +# kushawishiwa + +Hapa ni mtu anayejivuna anazungumziwa kana kwamba ndani ya chombo ambacho kilichokuwa na hewa kufanya kirefu kuliko kilivyotakiwa kuwa. + +# mawazo yake ya mwilini + +Hii inamaanisha kufikiri kama mtu wa kawaida au mwenye dhambi badala ya kama mtu wa rohoni. + +# yeye hana shirika na + +"Yeye hashikilii kwa nguvu" au "Yeye hatulii katika," kama vile mtoto awategemeavyo wazazi wake + +# Kristo, aliye kichwa, ambaye katika yeye mwili wote umeunganishwa kwa mishipa na mifupa + +Mfano huu hulinganisha mamlaka ya Kristo juu ya kanisa na kichwa cha mwanadamu ambacho kinaongoza na kusimamia mwili wote. + diff --git a/col/02/20.md b/col/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..c8d75188 --- /dev/null +++ b/col/02/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ikiwa mmekufa pamoja na Kristo katika mtiririko wa imani ya dhambi za ulimwengu. + +Fumbo hili linaonesha kwamba, kama vile mtu anavyokufa kimwili hayatii tena mahitaji ya kimwili ya ulimwengu ( pumzi, kula, sleep), mtu anayekufa kiroho pamoja na Kristo haitaji tena kuyatii mambo ya duniani . + +# Kwa nini mnaishi kama manawajibika kwa dunia: "msiguse"? + +Paulo ametumia swali hili, kukemea Wakolosai kwa ajili ya imani isiyo ya kweli ya ulimwengu. Acheni kujinyenyenyekesha kwa imani za ulimwengu. + +# ishi kama mnawajibika kwa dunia + +"fikiri lazima mzitii tamaa za dunia" + +# dunia + +mawazo, tamaa, na dhana za wingi wa dhambi katika dunia ya watu + +# yameamriwa kwa ajili ya uharibifu + +"kuangamia." Paulo hapa anatumia mfano kuchimbua mwili ("uharibifu") kwenye kaburi. + +# Sheria hizi zinahekima ya dini zilizotengenezwa kwa ubinafsi na unyenyekevu na mateso ya mwili + +kutengeneza dini na unyenyekevu na nguvu ya mwili**- "Hizi sheria zinaonekana pana kuamini watu kwa sababu zinawaruhusu wale ambao wanaowafwata kuonekana wanyenyekevu kwa sababu wanaumiza miili yao wenyewe" + +# hazina thamani dhidi ya tamaa za mwili + +"msiache kusaidia kufuata mwili wa tamaa" + diff --git a/col/03/01.md b/col/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..6acc0d15 --- /dev/null +++ b/col/03/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawaonya walioamini kwamba kwa kuwa ni wamoja pamoja na Kristo, kuna mambo ambayo waumini hawapaswi kuyafanya + +# Mungu amewafufua pamoja na Kristo + +Kama vile Mungu alivyo mfufua Kristo kutoka kwa wafu, hivyo anawahesabu waumini wa Kolosai kama waliofufuliwa kwenda mbinguni. + +# mambo yaliyo juu + +"mambo ya mbinguni" au "mambo ya kimungu" + +# kwa kuwa mmekufa + +Kama Kristo alivyokufa, hivyo Mungu anawahesabu waumini wa Kolosai kama wamekufa na Kristo. + +# maisha yenu yamefichwa pamoja na Kristo + +Paulo anazungumzia wale watu waishio kana kwamba walikuwa alama ambayo inayoweza kujificha kwenye chombo cha kubebea. + +# ambaye ni maisha yenu + +Kristo ni yule atoaye uzima wa kiroho kwa waamini. + diff --git a/col/03/05.md b/col/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..98d9862d --- /dev/null +++ b/col/03/05.md @@ -0,0 +1,56 @@ +# fisheni, mambo yaliyo katika nchi + +Paulo anazungumzia tamaa ya dhambi kana kwamba walikuwa sehemu ya kutumia watu kuwashuhudia. + +# Uchafu + +"tabia zisizo safi" + +# shauku + +"kutamani kwa nguvu" + +# na tamaa, ambayo ni Ibada ya sanamu + +"na tamaa, ambayo ni sawa na ibada ya sanamu" au " na msiwe na tamaa kwa sababu ni sawa na kuabudu miungu" + +# ghadhabu ya Mungu + +hasira ya Mungu kinyume na wale ambao hufanya uovu kama kuonyesha kwa kile anafanyacho kuwaadhibu. + +# wana wasiotii kutotii. + +"mwanadamu kutotii" au "watu ambao hawamtii" + +# "Ni katika mambo haya kwamba ninyi pia hapo kwanza mlitembea kwayo mlipoishi nao." + +"Paulo anazungumzia vile ambavyo tabia ya mtu kana kwamba ilikuwa barabara au njia anayotembelea. "Haya ni yale mliyokuwa mkiyafanya" + +# mlipoishi kati yao + +Inaweza kuwa na maana hizi? 1) "unapokuwa umefanyia mazoezi haya mambo" au 2) "unapokuwa umeishi miongoni mwa watu ambao hawamtii Mungu" + +# ghadhabu, hasira + +Neno "hasira" hapa linamaanisha wakati mtu anapokuwa na hasira kwa wale ambao hawamuheshimu kama kuonyesha kwa matendo yake, ambapo italeta madhara kwa watu. + +# nia mbaya + +"tamaa ya kufanya matendo maovu" + +# hasira + +hasira kali sana + +# matusi + +"kururu" au "lugha chafu." Hii inarejea kwa hotuba ambayo inatumika kwa dhamira ya kuumiza wengine + +# hotuba ichukizayo + +maneno ambayo yasioyofaa katika mazungumzo ya upole + +# kutoka kinywani kwenu + +Hapa "kinywa" inasimama badala ya kuzungumza. "katika mazungumzo yenu" + diff --git a/col/03/09.md b/col/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..767ad229 --- /dev/null +++ b/col/03/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kuwaambia waumini jinsi ya kuishi na anawakumbusha kwamba Kristo alifuta kuta ambazo zingekuwepo kati ya Wamataifa na Wayahudi, watumwa na walio huru. + +# mmeuvua mballi utu wenu wa kale wenyewe pamoja na matendo yake, na mmevaa utu wenu mpya. + +Fumbo hili linajenga wakristo ambao wanapaswa kuondoa matendo yasiyo ya kimungu na kuanza kutenda kimungu kwa mtu ambaye anaondoa mavazi machafu na kuvaa mavazi mapya yaliyo safi. + +# picha yake + +Hili linamzungumzia Yesu Kristo + +# hakuna mgriki au myahudi, kutahiriwa au kutokutahiliwa, msomi, asiye msomi, mtumwa, asiye mtumwa + +Hii ni kusema kwamba Mungu anamuona kwa sura ileil, sio kwa jamii, dini, utaifa, au tabaka (hai ya kijamii). " jamii, dini, tamaduni, na hali ya ekijamii + +# mtu wa Scythia + +huyu ni mgeni ambaye hajui mila za mahala pale + +# asiyesoma + +Huyu ni mtu kutoka nchi ya Scythia, ambayo ilikuwa nje ya himaya ya Rumi. Wagiriki na Warumi walitumia hili neno kwa mtu aliyekulia katika sehemu ambayo kila mmoja alifanya mambo maovu mda wote. + +# Kristo ni vitu vyote, na katika vyote + +hakuna kilicho tenganishwa au kuachwa kwenye uwepo wa Kristo. "Kristo ni wa muhimu kwa watu wake wote." + diff --git a/col/03/12.md b/col/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..73998808 --- /dev/null +++ b/col/03/12.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Vaeni...moyo wa huruma + +Kama vile mtu awezavyo kuvaa nguo anapokuwa amevaa, waumini wanapaswa kuvaa huruma, unyenyekevu, nk. katika tabia zao kwa kila mmoja. + +# Kwa hiyo + +"Kwa sababu kile nilichokisema ni kweli" + +# kama wateule wa Mungu - watakatifu na wapendwao + +"kama watakatifu wa Mungu na wanaopendwa kwa pendo kuu waliochaguliwa." + +# ukarimu + +"mpole" au "mpole" + +# unyenyekevu + +"unyenekevu wa akili" au "upole wa akili" + +# upole + +"upole" + +# chukulianeni ninyi kwa ninyi + +"fanyeni kazi kwa pamoja katika maelewano na upendo. "chukulianeni na kila mmoja" au " vumilianeni na kila mmoja" + +# Hurumianeni kwa kila mtu + +"Heshimu kila mmoja bora kuliko wanavyostahili kuheshimiwa" + +# ana lalamiko dhidi + +"malalamiko dhidi" + +# ambao ni dhamana ya ukamilifu + +"ambao unatufungamanisha kikamilifu pamoja" au "ambao unatufungamanisha pamoja katika maelewano kamili" + diff --git a/col/03/15.md b/col/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..28d3593d --- /dev/null +++ b/col/03/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Amani ya Kristo iwaongoze katika mioyo yenu + +Paulo anazungumzia amani ambayo Kristo atoayo kana kwamba ilikuwa sheria. inaweza kuwa 1) "fanyeni mabo yote ili kwamba muweza kuwa na mahusiano ya amani kwa hiyo mnaweza kuwa na mahusiano ya amani na kila mmoja" au 2) "Mruhusu Mungu akupe amani kwenye mioyo yenu" + +# katika mioyo yenu + +Neno "Yenu" lina rejea kwa waumini wa Kolosai. + +# Neno la Kristo likae ndani yenu + +Paulo anzungumzia neno la Kristo kama lilikuwa mtu anayeweza kuishi ndani ya mtu mwingine. "siku zote tumaini ahadi za Kristo" + +# peaneni mawaidha ninyi kwa ninyi + +"peaneni tahadhari ninyi kwa ninyi" + +# ni kwa Zaburi na nyimbo na tenzi za roho + +"pamoja na aina zote za nyimbo kumsifu Mungu" + +# shukurani katika mioyo yenu + +"mioyo ya shukurani" + +# katika maneno na katika matendo + +kuongea au kufanya + +# "katika jina la Bwana Yesu" + +"kumwabudu Bwana Yesu" au "pamoja na mamlaka ya Bwana Yesu" + +# kupitia yeye + +"kupitia Bwana Yesu" + diff --git a/col/03/18.md b/col/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..28fea329 --- /dev/null +++ b/col/03/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anatoa baadhi ya maelekezo muhimu kwa wake, waume, watoto, kina baba, watumwa, na mabwana. + +# Wake, nyenyekeeni kwa + +"Wake, tiini" + +# ni sahihi + +"ni sahihi" au "ni sawa" + +# msiwe wakali dhidi ya + +"msiwe wakali na" "msiwe na hasira juu ya" + +# msiwachokoze watoto wenu + +"msiwachochee watoto wenu" + diff --git a/col/03/22.md b/col/03/22.md new file mode 100644 index 00000000..5d14d261 --- /dev/null +++ b/col/03/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# tiini mabwana zenu kulingana na mwili + +"tiini mabwana zenu wa kidunia" + +# sio kwa huduma ya machoni kama watu wa kufurahisha + +"Vitu. msitii pale tu wakati Bwana wenu anawatazama, kama ambavyo mnatakiwa kuwafurahisha watu" + +# kama kwa Bwana + +"kama muwezavyo kufanya kwa Bwana" + +# "tuzo ya umilikaji" + +"zawadi ya urthi" + +# urithi + +Kupokea kile Mungu alichowaahidi waamini kinazungumziwa kana kwamba kulikuwa na mali na utajiri kutoka wanafamilia. + +# yeyote atendaye yasiyo haki atapokea huku + +"Mungu ataadhibu yeyote afanyaye yasiyohaki" + +# afanyaye uovu + +ambaye atendaye makosa yoyote + +# hakuna upendeleo + +"Mungu humuhukumu kila mmoja kwa kiwango kile kile" + diff --git a/col/04/01.md b/col/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..1ac7ba54 --- /dev/null +++ b/col/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Baada ya kuongea na mabwana, Paulo anamalizia maelekezo yake maalumu kwa waamini tofauti tofauti katika kanisa la Kolosai. + +# haki na adili + +Haya maneno ni kama kitu kile kile na yametumika kusisitiza vitu ambavyo ni maadili sahihi. + +# mnaye bwana wa mbinguni + +Mungu anataka mahusiano kati ya bwana wa dunia na mtumwa wake wampende Mungu, bwana wa mbinguni, anawapenda watumwa wake wa duniani pamoja na watumwa wa mabwana wa dunia. + diff --git a/col/04/02.md b/col/04/02.md new file mode 100644 index 00000000..348888f2 --- /dev/null +++ b/col/04/02.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anendelea kuwapa maelezo waamini juu ya kuishi na kuongea. + +# Maelezo kwa jumla: + +Hapa neno "sisi" linarejea kwa Paulo na Timotheo ila sio Wakolosai. + +# Endelea kuwa thabiti katika maombi + +"endelea kuomba kwa uaminifu" au "endelea kuomba mara kwa mara" + +# Mungu afungue njia + +"Mungu ataandaa fursa" + +# siri ya kweli ya Kristo + +Hii inarejea injili ya Yesu Kristo, ambayo haikueleweka kabla ya kuja Kristo kuja. + +# Kwa sababu ya lile neno , mimi nilifungwa. + +Kwa kutangaza ujumbe ule wa Yesu Kristo sasa nimefungwa. + +# omba ili niweze kusema kwa uwazi + +"omba niwe na nguvu na uwezo wa kutoa ujumbe wa Yesu Kristo kwa uwazi" + diff --git a/col/04/05.md b/col/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..d33d07e1 --- /dev/null +++ b/col/04/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Enenda kwa hekima kwa wale walioko nje + +Wazo la kuenenda mara nyingi limetumika kwa ajili kungoza maisha ya mtu. "ishi kama kwamba wale ambao sio waamini wataona kwamba mnahekima" + +# kuokoa mda + +"fanya mambo mazuri mnayoweza kwa mda wako" au "weka mda wako kwa busara" + +# maneno yenu yawe na neema wakati wote. wakati wote ikolee chumvi + +"Mazungumzo yenu wakati wote yawe na neema na ya kuvutia." + +# lazima mjue jinsi ya kuwajibu + +" lazima ujue namna ya kujibu maswali ya kila mmoja kuhusu Yesu Kristo" + diff --git a/col/04/07.md b/col/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..72978f83 --- /dev/null +++ b/col/04/07.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anafunga na maelekezo maalumu kuhusu watu flani na kwa salamu pia na kwa kila mwamini. + +# Maelezo kwa jumla: + +Onesmo alikuwa mtumwa wa Filimoni katika Kolosai. Alipoteza pesa kutoka kwa Filimoni na kukimbilia Rumi ambako akawa Mkristo kupitia huduma ya Paulo. Sasa Tikiko na Onesmo ndio wanaleta barua za Paulo Kolosai. + +# Maelezo kuhusu mimi + +"kila kitu kilochokuwa kinatokea kuhusu mimi" + +# watumwa wenzangu + +"watumishi wenzangu." Kupitia Paulo mtu aliyehuru, anajiona kama mtumishi wa Kristo na kumwona Tikiko kama mtumishi mwenzake. + +# kuhusu sisi + +Haya maneno hayawajumuishi Wakolosai. + +# kuweza kutiwa moyo + +Moyo ulikuwa katikati ya hisia nyingi. "kuweza kuwatia moyo" + +# ndugu yetu mpendwa na mwaminifu + +Paulo anamwita Onesmo Mkrito mwenzake na mtumishi wa Kristo. + +# Watamwita + +"Tikiko na Onesmo watasema" + +# kila kitu kilichotokea hapa + +Watawaambia waamini wa Kolosai yote yanayochukua nafasi ambapo Paulo napoishi kwa sasa. + diff --git a/col/04/10.md b/col/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..475c940b --- /dev/null +++ b/col/04/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Aristarko + +Alikuwa amefungwa pamoja na Paulo huko Efeso wakati Paulo alipoandika barua hii kwa Wakolosai. + +# kama akifika + +"kama Marko akija" + +# Yesu aliyeitwa Yusto + +Huyu mtu alikuwa pia mtenda kazi pamoja na Paulo. + +# "Hao peke yao ni watu wa tohara ni watenda kazi wenzangu katika ufalme wa Mungu. + +"Hawa wanaume watatu ni Wayahudi wakristo tunaofanya kazi pamoja nami ya kumtangaza Mungu kama mfalme kupitia Kristo Yesu" + +# Hawa peke yao wa tohara + +"Hawa wanaume Aristarko, Marko na Yusto pekee ni watu waliotahiriwa. + diff --git a/col/04/12.md b/col/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..2f2ba9af --- /dev/null +++ b/col/04/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kwa Jumla: + +Leodekia na Hierapoli walikwa mjini karibu na Kolosai. + +# Epafra + +Epafra alikuwa mtu aliyehubiri injili kwa watu wa Kolosai. + +# mmoja wenu + +"kutoka mji wenu" au "mwanamji mwenzenu" + +# mtumwa wa Kristo Yesu + +"ni kamati ya wanafunzi wa Kristo Yesu" + +# wakati wote najitahidi kukuweka katika maombi + +"Naomba kwa bidii kwa aljili yako" + +# uweze kusimama kikamilifu na uhakika + +"uweze kukomaa na kuwa jasiri" + +# Mimi ni shahidi yake, kwamba alifanya kazi ngumu kwa ajili yenu + +"Nimefanya uchunguzi kwamba alifanya kazi ngumu sana kwa ajili yenu" + +# Dema + +Ni mtendakazi mwingine pamoja na Paulo. + diff --git a/col/04/15.md b/col/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..629e2aad --- /dev/null +++ b/col/04/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ndugu + +Hapa inamaanisha Wakrsto wenzang, kujumuisha wote wanaume na wanawake. + +# walioko Leokadia + +ni mji ulio karibu sana na Kolosai mahali ambapo kulikuwa na kanisa pia + +# Nimfa, na kanisa lile lililoko ndani ya nyumba yake + +mwanamke aliyeitwa Nimfa alitoa nyumba yake iwe kanisa huko Leokadia. "Nimfa na kundi la waumini walikutana nyumbani kwake" + +# mwambie Arkipo, iangalie huduma ile uliyopewa katika Bwana, kwamba lazima uitimize" + +Paulo anatoa mawaidha kwa Arkipo kwa kazi aliyopewa na Mungu na kwamba Arkipo anawajibishwa na Bwana kwa kuitimiza. + diff --git a/col/04/18.md b/col/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..9223de93 --- /dev/null +++ b/col/04/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anafunga barua yake kwa salamu zilizoandikwa kwa mkono yake mwenyewe. + +# Kumbuka minyororo yangu + +Paulo anapozungumzia minyororo anamaanisha alipokuwa gerezani. "Nikumbukeni na kuomba kwa ajili yangu wakati nipo gerezani" + +# Neema na iwe nanyi + +Hapa neno "neema" linasimama badala ya Mungu, ambaye huonyesha neema kwa waamini. "Naomba kwamba Bwana wetu Yesu Kristo aendelee kutoa neema kwenu nyote. + diff --git a/eph/01/01.md b/eph/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..64526832 --- /dev/null +++ b/eph/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Majina ya Paulo peke yake kama mwandishi wa hii barua kwa waamini wa kanisa la Efeso + +# Maelezo ya Jumla + +Bila kutajwa vinginevyo, pote palipo na " kwenu" na "Yako" ya husu waamini wa Efeso pamoja na waamini wote na kwa hiyo ni wingi. + +# Paulo, Mtume ... Kwa watakatifu wa Mungu Efeso + +Lugha yako yaweza kuwa na namna ya kumtambulisha mwandishi wa barua na waliokusudiwa. " Mimi, Paulo, Mtume na waandikia hii barua kwenu, watu watakatifu wa Mungu Efeso. + +# Walio waaminifu katika Kristo + +"Katika Kristo Yesu" na misemo kama hiyo ni mifano inayo jitokeza kwenye barua za agano jipya. Zinaeleza mahusiano madhubuti sana kati ya Kristo na ao wanao mwamini. + +# Neema kwenu na amani. + +Hii ni salamu zoefu na baraka ambayo Paulo utumia kwenye barua zake. + diff --git a/eph/01/03.md b/eph/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..f3e947aa --- /dev/null +++ b/eph/01/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anafungua barua kwa kuongea kuhusu nafasi ya waamini na usalama wao mbele za Mungu. + +# Maelezo ya Jumla + +Katika hiki kitabu, vinginevyo kuelezwa, maneno "sisi" na "wote" ya husu Paulo, waamini wa Efeso, na waamini wote. + +# Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa. + +'Hii pia yaweza ekwa hali tendaji. " Acha tumsifu Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. + +# Aliyetubariki + +"kwa kuwa Mungu ameyubariki sisi" + +# Kila baraka za rohoni + +"Kila baraka zinakuja kutoka katika Roho wa Mungu" + +# Katika maeneo ya bingu + +"katika ulimwengu wa roho". Neno "bingu" la husu mahali Mungu alipo. + +# Ndani ya Yesu + +"Ndani ya Yesu " sawa na maelezo ambayo ni mafumbo kila mara hutokea kwenye barua za Agano jipya. Zinaeleza aina ya mahusiano mazito yanayowezekana kati Kristo na wote wanaomwamini. + +# Tuwe watakatifu na tusiwe na lawama + +Paulo anatumia maneno mawili yenye kufanana akisisitiza uadilifu. + diff --git a/eph/01/05.md b/eph/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..ca58dea4 --- /dev/null +++ b/eph/01/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Maneno "wake", "Yeye", na "yeye" yamuhusu Mungu. + +# Mungu ametutangazia sisi kuwa warithi wake + +Neno' sisi' linamhusu Paulo, Kanisa la Efeso, na waamini wote ndani ya Kristo."Mungu alipanga muda mrefu kuturithi." + +# Kuwa urithi + +Hapa " warithi" inahusu kuwekwa ndani ya familia ya Mungu. + +# Kupitia Yesu Kristo + +Mungu aliwaleta waamini kwenye familia yake kupitia kazi ya Yesu Kristo. + +# Mpendwa wake wa kipekee + +"Mpendwa wake pekee, Yesu Kristo" au "Mwanae, anaye mpenda" + diff --git a/eph/01/07.md b/eph/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..79773bd7 --- /dev/null +++ b/eph/01/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa mwana wake wa kipekee + +"kwa mwana wa Mungu wa kipekee, Yesu Kristo" + +# Utajiri wa neema yake + +Paulo anazungumzia neema ya Mungu kana kwamba ilikuwa ni vitu vya thamani: "ukuu wa neema ya Mungu" au "kushikamana na neema ya Mungu" + +# Ametumwagia hii neema kwa sana + +"Ametupa sisi hiki kiasi kikubwa cha neema" au " Amekuwa mkarimu sana kwetu" + +# katika hekima na ufahamu + +Yamkini tafsiri zilizopo ni 1) "sababu anayo hekima zote na ufahamu" 2) "ilituwe na hekima kubwa na ufahamu" + diff --git a/eph/01/09.md b/eph/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..8c65e8ac --- /dev/null +++ b/eph/01/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa kadiri ya alivyo pendezwa + +Yamkini tafsiri zilizopo ni 1) "sababu alitaka kutufahamisha" au 2) " ndivyo alivyo taka" + +# na aliyo ionyesha katika Kristo + +"na alionyesha kusudi hili ndani ya Kristo + +# katika Kristo + +"kwa njia ya Kristo" + +# kwa lengo la kuwa na mpango + +Sentensi mpya ya weza anza hapa. " Alifanya hivi kwa lengo la kuwa na mpango" au "Alifanya hivi, akifikiria kuhusu mpango. + +# kwa wakati timilifu + +"Kwa kuwa wakati ukiwa mwafaka" au "kwa wakati aliyo uteuwa" + diff --git a/eph/01/11.md b/eph/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..6211d587 --- /dev/null +++ b/eph/01/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tulichaguliwa kuwa warithi + +Hii yaweza nenwa kama kauli tendaji. "Mungu ametuchagua sisi kuwa warithi" + +# Tumechaguliwa... ni sisi ambao ni wa kwanza + +"Mungu alituchagua hapo awali" + +# Ili kwamba tuwe wa kwanza + +Hapa neno "sisi" la husu wa Yahudi waamini walio sikia habari njema, sio waamini wa Efeso. + +# Ili kwamba tuwe sifa za utukufu wake + +"ili kwamba tuishi kumsifu kwa utukufu wake. + diff --git a/eph/01/13.md b/eph/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..fdfcb45a --- /dev/null +++ b/eph/01/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tumetiwa mhuri na ahadi ya Roho Mtakatifu + +Nta ilikuwa ya wekwa kwenye barua na kuchapwa na alama inayowakilisha nani katuma barua. Paulo anatumia huu utamaduni kutuonyesha picha jinsi gani Mungu amemtumia Roho Mtakatifu kutu hakikishia kwa sisi ni wake. "Mungu aliweka mhuri wokovu wetu na Roho Mtakatifu akionyesha umiliki wake." + +# Dhamana ya urithi wetu + +Kupokea ahadi ya Mungu ya zungumziwa hapa kama vile mtu anavyo rithi mali au utajiri kutoka katika familia. "ahadi ya kuwa tutapokea kile ambacho Mungu ametuahidi" + diff --git a/eph/01/15.md b/eph/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..26d5c645 --- /dev/null +++ b/eph/01/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaomba kwa ajili ya waamini wa Efeso na anamsifu Mungu kwa ajili ya nguvu waliyo nayo kupitia Kristo. + +# Sijaacha kumsifu Mungu + +Paulo anatumia "sijaacha" kusisitiza kuwa anaendelea kumsifu Mungu. "Naendelea kumshukuru Mungu" + diff --git a/eph/01/17.md b/eph/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..f1cba468 --- /dev/null +++ b/eph/01/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# roho ya hekima na mafunuo ya ufahamu wake + +":hekima ya kiroho ya kufahamu mafunuo yake" + +# macho yenu ya moyoni yatiwe nuru + +"kipengele macho ya rohoni "inaelezea uwezo wa mtu kupata ufahamu.'kwamba upate ufahamu na kutiwa nuru." + +# macho yenu ya moyoni yatiwe nuru + +Hii yawezwa tajwa kama njeo tendaji. Ili Mungu awatie nuru mioyo yenu" au "kwamba Mungu awatie nuru ufahamu wenu" + +# kutiwa nuru + +"kufanywa kuona" + +# urithi + +Kupokea kile ambacho Mungu amewaahidi waamini, ya elezewa kana kwamba mtu anarithi mali na utajiri kutoka kwa nduguye wa familia. + +# watakatifu wote wa Mungu + +Hii yawezwa tajwa kama njeo tendaji. "Wote wale ambao amewatenga kwa ajili yake" au "wote wale ambao ni wake kabisa" + diff --git a/eph/01/19.md b/eph/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..9f8cd73e --- /dev/null +++ b/eph/01/19.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# ukuu uzidio wa nguvu yake + +Nguve za Mungu za pita sana nguvu zingine. + +# ndani yetu + +"kwa faida yetu" au "kwa uhusiano nasi" + +# kufanya kazi katika nguvu zake + +"nguvu yake kubwa ambayo ya fanya kazi ndani yetu" + +# alimfufua kutoka kwa wafu + +"alimfufua kutoka kwa wafu" au "alimfanya kuishi tena" + +# kumketisha katika mkono wake wa kuume + +"Kristo aliye keti mkono wa kuume wa Mungu" au "kristo aliye keti sehemu ya adhama" + +# mahali pa mbingu + +"katika ulimwengu wa roho". Neno "mbingu" la husu sehemu Mungu alipo. Ona jinsi illivyo tafsiriwa katika 1:3 + +# juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi + +Hii ni misemo tofauti ya matabaka ya viumbe wa rohoni, kwa malaika na mapepo. " mbali zaidi ya aina tofauti za viumbe wa rohoni" + +# kila jina litajwalo + +Hii ya weza tajwa katika kauli tendaji. Tafsiri zilizopo ni 1) "Kila jina mwanadamu atoalo" au 2) "Kila jina Mungu atoalo" + +# Jina + +Tafsiri zilizopo ni 1) Cheo au 2)nafasi ya mamlaka. + +# wakati huu + +"Katika wakati huu" + +# wakati ujao + +"hapo baadae" + diff --git a/eph/01/22.md b/eph/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..7f4cd98e --- /dev/null +++ b/eph/01/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mungu amevitiisha + +Mungu ameweka" au "Mungu ameweka" + +# vitu vyote chini ya miguu ya Kristo + +Hapa miguu inawakisha ubwana wa Kristo,mamlaka,na nguvu:"vitu vyote chini ya nguvu ya Kristo" + +# alifanya yeye kichwa ...ambacho ni mwili wake + +kama mwili wake ,kichwa hutawala vitu vyote vinavyohusu mwili wake hivyo ni Kristo kichwa cha mwili wa kanisa. + +# Kichwa cha vitu vyote katika kanisa + +Hapa "kichwa" kinahusu kiongozi au mmoja ambaye yupo kwenye madaraka "mtawala juu ya vitu vyote ndani ya kanisa." + +# ambacho ni mwili wake + +Kanisa kila mara hurejea mwili wa Kristo. + +# "ukamilifu wake ambao hujaza vitu vyote katika njia zote" + +"Kristo hujaza kanisa na kwa mwili wake na nguvu ambazo hutupatia na kuzuilia maisha na vitu vyote" + diff --git a/eph/02/01.md b/eph/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..26f9533a --- /dev/null +++ b/eph/02/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anawakumbusha waamini walivyokuwa hapa mwanzo na sasa namna walivyo mbele za Mungu. + +# Na ninyi mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu + +Hii inaonyesha ni kwa namna gani watu wana dhambi kiasi cha kushindwa kumtii Mungu kwa namna ile ile wafu wasivyoweza kujishughulisha kimwili tena. + +# makosa na dhambi zenu + +Maneno "makosa" na "dhambi" kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. Paulo anayatumia yote pamoja kuweka mkazo wa ukubwa wa dhambi ya watu. + +# hapo mwanzo mlienenda + +Hii inaelezea tabia ya namna watu walivyoishi + +# kwa kumfuata mtawala wa mamlaka ya anga + +Mtume Paulo anatumia neno "anga" kumaanisha tabia za ubinafsi na ufisadi wa watu waaishio humu duniani. + +# mtawala wa mamlaka ya anga + +Hii inamaanisha ibilisi au shetani + +# roho yake yule + +Sentensi "roho yake yule" inamaanisha ibilisi au shetani. + +# Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu, tulikuwa tukifanya mapenzi mwili na ya akili. + +Maneno "mwili" na "nia" yanawakilisha mwili wote. + +# wana wa ghadhabu + +Watu ambao Mungu amewakasirikia + diff --git a/eph/02/04.md b/eph/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..ba111f13 --- /dev/null +++ b/eph/02/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mungu ni mwingi wa rehema + +"Mungu amejaa rehema" au "Mungu ni mwema sana kwetu" + +# kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi + +"kwa sababu ya pendo lake kubwa kwetu" au "kwa sababu anatupenda sana" + +# wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya + +Hii inaonyesha ni jinsi gani mtu mwenye dhambi hawezi kumtii Mungu mpaka pale anapopewa maisha mapya ya kiroho kama tu vile mtu mfu asivyoweza kujishughulisha na maisha ya mwili huu isipokuwa amefufuliwa kutoka katika wafu. + +# alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo + +"Ndani ya Kristo" na maelezo kama hayo ni mifano ambayo mara nyingi hutokea katika barua au nyaraka za Agano Jipya. Inaelezea aina nzito kabisa ya mahusiano inayoweze kuwepo kati ya Kristo na wote wanaomwamini. + +# alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika ulimwengu wa roho ndani ya Kristo Yesu. + +Kama alivyokwisha kumfufua Kristo, atatufufua na sisi na tutakuwa na Kristo mbinguni. + +# ndani ya Kristo Yesu + +"Ndani ya Kristo" na maelezo kama hayo ni mifano ambayo mara nyingi hutokea katika barua au nyaraka za Agano Jipya. Inaelezea aina nzito kabisa ya mahusiano inayoweza kuwepo kati ya Kristo na wote wanaomwamini. + +# katika nyakati zijazo + +"huko baadaye" + diff --git a/eph/02/08.md b/eph/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..e2c39f3f --- /dev/null +++ b/eph/02/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa maana ni kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani + +Wema wake Mungu kwetu ni sababu iliyotuwezesha sisi kuokolewa kutoka katika hukumu kama tu tutamwamini Yesu. + +# Haitokani na + +Neno "haitokani" linahusu au linarejea kwamba "kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani" + +# ...kutoka kwetu + +Neno "kwetu" linaelezewa kumaanisha Paulo na waamini wote katika Efeso. + +# sisi tu kazi ya Mungu + +Neno "sisi" linaelezewa kumaanisha Paulo na waamini wote katika Efeso + +# katika Yesu Kristo + +"Ndani ya Kristo" na maelezo kama hayo ni mifano ambayo mara nyingi hutokea katika barua au nyaraka za Agano Jipya. Inaelezea aina nzito kabisa ya mahusiano inayoweza kuwepo kati ya Kristo na wote wanaomwamini. + diff --git a/eph/02/11.md b/eph/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..204061a8 --- /dev/null +++ b/eph/02/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo au Sentensi unganishi: + +Paulo anawakumbusha hawa waamini kwamba Mungu aliwafanya watu wamataifa na Wayahudi kuwa mwili mmoja kupitia Kristo na msalaba wake. + +# wamataifa kwa jinsi ya mwili + +Hii inaongelea juu watu ambao hawakuzaliwa Wayahudi. + +# msiyotairiwa + +Watu ambao si Wayahudi hawakutairiwa walipokuwa watoto na hivyo Wayahudi waliwaona hao kama watu wasiomfuata Mungu. + +# tohara + +Hili lilikuwa neno lingine linaloelezea juu ya Wayahudi kwa sababu watoto wote wachanga wa kiume walitairiwa walipokuwa na umri wa siku nane. + +# tohara ya mwili + +Kutahiriwa kulifanywa juu ya miili ya watoto wadogo wa kiume. + +# watu wa Israel + +"jamii ya watu wa Israel" + +# wageni kwa agano la ahadi + +Tafsiri mbadala: "hamkujua ahadi za agano la Mungu" + diff --git a/eph/02/13.md b/eph/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..edab7afc --- /dev/null +++ b/eph/02/13.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sasa katika Kristo Yesu + +Paulo anawatofautisha Waefeso kabla ya kumwamini Kirsto na baada ya kumwamini Kristo + +# ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu, mmeletwa karibu na Mungu + +Kwa sababu ya dhambi za waamini, walikuwa wametengwa na Mungu. Hata hivyo, sasa Yesu amewaleta karibu na Mungu kwa damu yake. + +# yeye ndiye amani yetu + +Tafsiri mbadala: "Yesu hutupa amani yake" + +# Kwa mwili wake + +Tafsiri mbadala: "Kwa kifo chake juu ya msalaba" + +# ukuta wa utenganisho + +Tafsiri mbadala: "ukuta wa chuki" au "nia mbaya" + +# umetutenganisha + +Herufi za kwanza "ume" zinaelezea kwamba huo ukuta uliwatenganisha wote Paulo na Waefeso, ambao uliwatenga waumini wa Kiyahudi kutoka kwa waumini wasiokuwa Wakiyahudi (wamataifa) + +# aliiondoa sheria ya amri na kanuni + +Damu ya Yesu ilileta utoshelevu wa sheria ya Musa ili kwamba wote Wayahudi na watu wa mataifa wanaweza kuishi kwa amani ndani ya Mungu. + +# mtu mmoja mpya + +Mtu mmoja mpya, mtu wa jamii ya watu waliokombolewa. + +# ndani yake + +Ni muunganiko na Yesu ambao unafanya upatanisho uwezekane kati ya Wayahudi na watu wa mataifa. + +# kuwapatanisha watu wote + +Tafsiri mbadala: "kuwaleta pamoja wote wawili yaani Wayahudi na watu wa Mataifa (wamataifa)" + +# kupitia msalaba...kwa njia ya msalaba + +Hii ni kwamba, kwa njia ya Kifo cha Kristo juu ya msalaba. + +# aliufisha (aliuua) uadui kwa msalaba + +Yesu aliondoa kabisa sababu ambayo iliwafanya Wayahudi na watu wa mataifa kuwa maadui. Hawakuhitajika tena kuishi kulingana na sheria ya Musa. + diff --git a/eph/02/17.md b/eph/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..78ccd000 --- /dev/null +++ b/eph/02/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo au Sentensi Unganishi. + +Paulo anawaambia waamini wakiefeso kwamba watu wa mataifa walioamini wamefanyika wamoja na mitume na manabii, na ni hekalu kwa Mungu katika Roho Mtakatifu. + +# amani iliyotangazwa + +Tasfiri mbadala: "injili ya amani iliyotangazwa" au "injili ya amani iliyotangazwa kwa uwazi" + +# ninyi mliokuwa mbali + +Hii inazungumzia juu ya watu wa mataifa au wale wasio Wayahudi. + +# wale waliokuwa karibu + +Hii inazungumzia juu ya Wayahudi. + +# Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi sote wawili tuna nafasi. + +Hapa "sisi sote wawili" inazungumzia juu ya Paulo, waamini wa Kiyahudi na waamini wasio Wayahudi. + +# kwa yule Roho Mtakatifu + +Waamini wote, yaani Wayahudi na watu wa mataifa, wamepewa haki ya kuingia mbele za uwepo wa Mungu Baba kwa Roho Mtakatifu yule yule. + diff --git a/eph/02/19.md b/eph/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..07cc2153 --- /dev/null +++ b/eph/02/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ninyi watu wa mataifa si wageni na wasafiri tena. bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe wa nyumbani mwa Mungu. + +Hii inaelezea hali ya kiroho ya watu wa mataifa kabla na baada ya kuwa waamini kwa namna ile ile ambayo watu wasiokuwa raia wanavyoweza kuwa raia wa taifa fulani. + +# si wageni tena + +" si watu wa nje tena" + +# na wasafiri + +"na watu wasio raia" + +# mmejengwa juu ya msingi + +Paulo analinganisha Familia ya Mungu na jengo. Yesu akiwa jiwe kuu la pembeni, na mitume wakiwa ndiyo msingi na waamini wakiwa boma (jengo lenyewe) + +# jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukuwa kama hekalu. + +Paulo anaendelea kulinganisha Familia ya Kristo na jengo. Kwa namna ile ile ambayo mjenzi anaungamanisha mawe pamoja wakati akijenga, vivyo hivyo Kristo anatuungamanisha pamoja. + +# ndani yake...ndani ya Bwana + +Haya ni maelezo ya mfano juu ya "ndani ya Kristo Yesu". Haya yanatokea mara nyingi katika nyaraka (barua) za Agano Jipya. Yanaelezea uhusiano wa nguvu sana unaoweza kuwepo baina ya Kristo na wale wanaomwamini yeye. + +# ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho + +Hii inaeleza namna waamini wanawekwa pamoja kuwa mahali ambapo Mungu ataishi siku zote kupitia nguvu ya Roho Mtakatifu + diff --git a/eph/03/01.md b/eph/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..18e2c4c9 --- /dev/null +++ b/eph/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kauli unganishi + +Kufanya wazi ukweli siri kuhusu kanisa kwa waumini, Paulo anataja nyuma umoja wa Wayahudi na Mataifa na hekalu la ambayo waumini sasa ni sehemu. + +# Kwasababu ya hii + +"Kwasababu ya neema ya Mungu kwako" + +# mfungwa wa Kristo Yesu + +"moja ambaye Kristo Yesu amemuweka katika gereza" + +# usimamizi wa zawadi ya Mungu kwamba yeye alinipa kwa ajili yenu + +"Wajibu Mungu alinipa kusimamia neema yake juu yenu" + diff --git a/eph/03/03.md b/eph/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..9d989d22 --- /dev/null +++ b/eph/03/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kutokana na jinsi ufunuo ulivyo funuliwa kwangu + +Hii inaweza alisema katika fomu ya kazi. AT: "nini Mungu alinifunulia" + +# nililivyoyokuandikia kwa kifupi kwenye barua nyingine. + +Paulo anataja barua nyingine ameandika kwa watu hawa. + +# Kwa vizazi vingine ukweli huu haukufanywa utambulike kwa watoto wao + +"Ambayo Mungu hakufanya anajulikana kwa watu katika siku za nyuma" + +# Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho + +"Sasa Roho umebaini" au "sasa Roho imefanya ni maalumu" + +# mitume wake na manabii wenye kuwekwa wakfu + +"mitume na manabii ambao Mungu amewatenga kwa utumishi" + diff --git a/eph/03/06.md b/eph/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..0ece0a80 --- /dev/null +++ b/eph/03/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Watu wa mataifa ni warithi wenzake ... kwa njia ya Injili + +Huu ni ukweli ulio fichika Paulo anaanza kuelezea katika mstari uliopita. Watu wa mataifa waliompokea Kristo pia watapokea urithi kama kama waumini wa Kiyahudi. + +# wanachama wenzake wa mwili + +Kanisa ni mara nyingi hujulikana kama mwili wa Kristo. + +# katika Kristo Yesu + +"Katika Kristo Yesu" na maneno kama ni mafumbo ambayo mara nyingi yametokea katika Agano Jipya. Yanaelezeamahusiano ya nguvu inawezekana kati ya Kristo na walio amini katika Yeye. + +# Kupitia Injili + +Maana inawezekana ni 1) kwa sababu ya Injili watu wa mataifa ni washiriki wengine wa ahadi au 2) kwa sababu ya Injili watu wa mataifa ni warithi na viungo vya mwili na washirika wenzake katika ahadi. + diff --git a/eph/03/08.md b/eph/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..047321e5 --- /dev/null +++ b/eph/03/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Mungu amenipa zawadi hii japo kuwa mimi ni mtu mdogo kati ya wale wanaopata nafasi kwa Mungu + +"Ingawa mimi ni mdogo anastahili watu wote wa Mungu, Mungu amenipa zawadi hii ya neema" + +# kuleta kila mtu katika mwanga na kuwaambia kuhusu mpango wa siri za Mungu + +"kuwafanya watu wote kufahamu mpango wa Mungu" + +# kuwaambia kuhusu mpango wa siri wa Mungu kwamba Mungu (aliyeviumba vitu vyote) alikuwa amejificha kwa miaka katika siku za nyuma + +"kitu ambacho Mungu alikificha kwa mda mrefu uliopita. Alipo umba kila kitu" + +# wale waliotengwa kwa Mungu + +Hii inaweza semwa katika: "wale ambao Mungu amewatenga kwa ajili yake mwenyewe " + +# usiopimika + +haiwezekani kujulikana kabisa + +# utajiri wa Kristo + +Paulo anazungumzia ukweli kuhusu Kristo na baraka yeye huleta kana kwamba vilikuwa utajiri wa mali. + +# kuwaelimisha watu wote kuhusu mpango wa siri wa Mungu ni nini. + +"angaza mwanga kwenye mpango wa Mungu ili watu wote wajue ni nini" au "kuwaambia watu wote ni nini mpango wa siri ya Mungu" + +# uliofichwa kwa miaka mingi kuanzia mwanzo Mungu alivyoumba kila kitu. + +Hii inaweza semwa kama: "Kwamba Mungu, aliyeviumba vitu vyote, alikuwa ameficha kwa umri mrefu katika siku za nyuma" + diff --git a/eph/03/10.md b/eph/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..01cf6f39 --- /dev/null +++ b/eph/03/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# viongozi na mamlaka yaliyopo mbinguni zitakuja kujulikana pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu + +ilikuwa upande asili ya hekima ya Mungu ** - "Mungu atafanya hekima yake kubwa ijulikane kwa viongozi na mamlaka katika ulimwengu wa roho kupitia Kanisa " + +# pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu + +ilikuwa upande asili ya hekima ya Mungu ** - hekima ya Mungu tata + +# watawala na mamlaka + +Maneno haya yanashiriki maana sawa. Paulo anatumia yote pamoja na kusisitiza kwamba kila kiumbe cha kiroho watajua hekima ya Mungu. + +# kulingana na mpango wa milele + +"katika kutunza mpango wa milele" au "sambamba na mpango wa milele" + +# katika Kristo Yesu Bwana wetu + +Kwa njia ya Kristo + +# katika ulimwengu wa roho + +Kuona jinsi ya kutafsiriwa hii angalia 1:3 + diff --git a/eph/03/12.md b/eph/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..03ae9c68 --- /dev/null +++ b/eph/03/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kauli unganishi + +Paul anamsifu Mungu katika mateso yake na anaomba kwa ajili ya waumini hawa wa Efeso. + +# upatikanaji kwa kujiamini + +"upatikanaji katika uwepo wa Mungu kwa kujiamini" au "uhuru wa kuingia katika uwepo wa Mungu kwa ujasiri" + +# kwa sababu ya imani yetu kwake + +"kwa sababu ya imani yetu katika Kristo" + +# tuna ujasiri + +"sisi bila hofu" au "tuna ujasiri" + +# kujiamini + +"hakika" au "uhakika" + +# Huu ni utukufu wako + +Hapa "utukufu wako" kujisikia katika ufalme ujao. Wakristo wa Efeso wanapaswa kujivunia mateso ya Paulo gerezani. "Hii ni kwa manufaa yako" au "unapaswa ujivunie hii" + diff --git a/eph/03/14.md b/eph/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..a910640b --- /dev/null +++ b/eph/03/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa sababu hiyo + +"Kwa sababu Mungu amefanya yote haya kwa ajili yenu" + +# Napiga magoti kwa Baba + +"Nina inama chini kwa maombi kwa Baba" au "Mimi kwa unyenyekevu kumwomba Baba" + +# kwa kupitia kwake kila familia hapa duniani na minguni imetajwa + +kitendo cha kumtaja hapa pengine pia inawakilisha kitendo cha kujenga: "aliyeumba na kutaja jina kila familia mbinguni na duniani" + +# Namwomba Mungu wewe + +"kuwa angeweza kukupa" + +# kwamba akubariki, kutokana na utajiri wa baraka zake, akufanye imara kwa nguvu + +"Mungu, kwa sababu yeye ni kubwa sana na myenye nguvu, anaweza kuruhusu wewe kuwa na nguvu kwa uwezo wake" + +# Awajalieni + +"angetoa" + diff --git a/eph/03/17.md b/eph/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..73b8df11 --- /dev/null +++ b/eph/03/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# kauli unganishi + +Paulo anaendelea maombi aliyoyaanza + +# kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yenu kupitia imani. Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake + +Hili ni ombi la pili Paulo anaomba kwamba Mungu "awapatie" Waefeso "kulingana na utajiri wa utukufu wake "; kwanza ni kwamba wangeweza "kuimarishwa" + +# mioyo kwa njia ya imani + +hapa "moyo" inawakilisha utu wa ndani, na "kupitia" inaonyesha njia ambayo Kristo anaishi ndani ya muumini. Kristo anaishi katika mioyo ya waumini kwa sababu neema ya Mungu inaruhusu wao kuwa na imani. + +# imani. Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake. Uwe katika pendo lake ili uweze kuelewa + +maana inawezekana ni 1) "Imani. Naomba kwamba utakuwa na mzizi na msingi katika upendo wake ili uweze kuelewa" au 2) "Imani hivyo utakuwa na mzizi na msingi katika upendo wake. Nina omba pia uweze kuelewa " + +# kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake + +Paulo analinganisha imani yao kwa mti wenye mizizi au nyumba iliyojengwa juu ya msingi imara. "kwamba utakuwa kama mti wenye shina zuri na nyumba yenye msingi wa jiwe." + +# Ili uweze kuelewa + +Hili ni ombi la pili ambalo Paulo anapiga magoti yake na kuomba: la kwanza ni, Mungu awape kuimarishwa na kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yao kupitia Imani. na "uelewa" ni kitu cha kwanza kabisa Paulo aliomba kwamba Wafilipi wenyewe waweze kufanya. + +# waaminio wote + +"waaminio ndani ya Kristo" au "watakatifu woote" + +# upana, urefu, kimo, na kina cha upendo wa Kristo + +Paulo anatumia maneno hayo kuelezea kwa namba gani ambayo Kristo anatupenda. + +# ili upate kujua ukuu wa upendo wa Kristo + +Hili ni jambo la pili kwamba Paulo anaomba kwamba Waefeso wataweza kufanya; kwanza ni kwamba wao "waelewa." "kwamba uweze kujua ukuu wa upendo wa Kristo" + +# ili mpate kujazwa na ukamilifu wote wa Mungu + +Hili ni ombi la tatu ambalo Paulo anapiga magoti yake na kuomba: la kwanza ni,mpate "kuimarishwa" na la pili ni kwamba "muweze kuelewa" + diff --git a/eph/03/20.md b/eph/03/20.md new file mode 100644 index 00000000..1e7ff181 --- /dev/null +++ b/eph/03/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kauli unganishi + +Paulo anamalizia sala yake kwa baraka. + +# Maelezo ya ujumla: + +maneno "sisi" na "sisi" katika kitabu hiki yanaendelea kuwahusisha Paul na waaminio wote. + +# Sasa kwake + +"Sasa kwa Mungu, ambaye" + +# kila kitu mbali, mbali juu + +Mungu anaweza kufanya zaidi kuliko tunayoweza milele kuomba au kufikiria. + diff --git a/eph/04/01.md b/eph/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..275c9ded --- /dev/null +++ b/eph/04/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kauli unganishi + +Kwasababu ya kile Paulo amekuwa akiwaandikia Waefeso, anawatia moyo namna gani kuishi maisha yao kama waamini na tena anasisitiza umoja wa waamini. + +# Kama mfungwa kwa ajili ya Bwana + +"kama mtu ambaye yuko gerezani kwa sababu ya uchaguzi wake wa kumtumikia Bwana" + +# Nawasihi ninyi kuishi maisha yanayoendana na wito + +Neno "ninyi" linamaanisha Waefeso waamini. AT: "Nawatia moyo ninyi kujitunza wenyewe kwa namna nzuri ya wito." + +# Kwa unyenyekevu mkubwa na upole na uvumilivu, mkichukuliana kila mmoja katika upendo + +"jifunzeni kuwa wanyenyekevu, wapole, waumilivu na kuchukuliana kila mmoja katika upendo" + +# Tunzeni umoja wa Roho katika kifungo cha amani + +"tafuteni kuishi pamoja kwa amani kuuhifadhi umoja wa Roho" + diff --git a/eph/04/04.md b/eph/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..7e5b1539 --- /dev/null +++ b/eph/04/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwili mmoja + +Kanisa mara nyingi linatafasiriwa kama mwili wa Kristo. + +# Roho moja + +"Roho Mtakatifu mmoja tu" (UDB) + +# Pia mliitwa katika ujasiri wa taraja moja + +"Mungu aliwachagua ninyi katika tumaini moja la uhakika" + +# Baba wa wote ... juu ya wote ... na katika yote ...na ndani ya wote + +"Baba wa kila kitu...juu ya kila kitu...kupitia kila kitu...katika kila kitu" + diff --git a/eph/04/07.md b/eph/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..a3e848a7 --- /dev/null +++ b/eph/04/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kauli unganishi + +Paulo anawakumbusha waamini juu ya karama ambazo Kristo huwapa waamini kutumia katika kanisa ambalo ni mwili wote wa waamini. + +# maelezo ya jumla + +Nukuu hii imetoka katika wimbo mfalme Daudi aliimba. + +# Kwa kila mmoja wetu amepewa karama + +Hii yaeza elezwa kwa kutumia kauli tendaji. "Mungu ametoa karama kwa kila mmoja wetu" au "Mungu alitoa karama kwa kila muumini" + +# Alipopaa juu sana + +"wakati Kristo alipokwenda juu mbinguni" + diff --git a/eph/04/09.md b/eph/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..b2e5adb3 --- /dev/null +++ b/eph/04/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Alipaa + +"Kristo alikwenda juu" + +# Pia alishuka + +"Kristo alishuka pia" + +# Pande za chini za dunia + +Yaweza kumaanisha kwamba 1) "katika maeneo ya chini, ya dunia" au 2) "katika sehemu za chini, za dunia." + +# Aweze kuvijaza vitu vyote + +"iliaweze kuwa kila mahali kwa nguvu zake" + +# jaza + +"kamilisha" au "kuridhisha" + diff --git a/eph/04/11.md b/eph/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..b6285ad7 --- /dev/null +++ b/eph/04/11.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Kristo alitoa karama kama hizi + +"Kristo alitoa karama kwa kanisa kama hizi" + +# kuwawezesha waamini + +"kuwaanda waamini" au "kuwapatia waamini" + +# Kazi ya huduma + +"kuwahudumia wengine" + +# Kwa ajili ya ujenzi wa mwili wa Kristo + +Hii inalinganishwa ukuaji wa kiroho kwa kufanya mazoezi kuongeza nguvu ya mwili wa binadamu." + +# kuujenga + +"uboreshaji" + +# mwili wa Kristo + +"mwili wa Kristo" wa husu waumini mmoja mmoja wa mwili wa Kristo. + +# Kuufikia umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu + +Maarifa ya Yesu Kristo kama mwana wa Mungu ni ya mhimu katika kuufikia umoja wa imani na ukomavu kama waamini. + +# Kufikia umoja wa imani + +"kuwa na usawa wa nguvu katika imani" + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo mhimu cha Yesu. + +# Kuwa wakomavu + +AT: "Kuwa waamini waliokomaa" + +# mkomavu + +"mtu mzima," "amekuwa," au "mkamilifu" + diff --git a/eph/04/14.md b/eph/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..4d7a6d49 --- /dev/null +++ b/eph/04/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kuwa kama watoto + +Hii ni kulinganisha waamini ambao hawajakuwa kiroho na mtoto ambaye amekuwa na udhoefu mdogo sana katika maisha." + +# Kurushwarushwa na kuchukuliwa huku na huku na kila upepo wa fundisho + +Hii inamlinganisha muumini ambaye hajakomaa na husikia fundisho potofu na boti ambayo inarushwa na upepo katika mwelekeo usio sahihi juu ya maji. + +# Kwa hila ya watu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka + +"kwa watu wajanja ambao hupotosha waamini kwa uongo wa kiujanja" + +# Katika yeye aliye kichwa...mwili wote hukua na kujengeka wenyewe juu + +Paulo anatumia mwili wa binadamu kuelezea namna gani Kristo husababisha waamini kfanya kazi pamoja katika umoja kama kichwa cha mwili husababisha sehemu za mwili kufanya kazi pamoja ili kukuwa kiafya. + +# pamoja na kila kiungo + +"kiungo" ni ukanda madhubuti unao unganisha mifupa katika mwili. + +# Ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe juu katika upendo + +"Hivyo, waamini wanaweza kusaidiana kila mmoja na mwenzake kukua katika upendo" + diff --git a/eph/04/17.md b/eph/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..6d0bf158 --- /dev/null +++ b/eph/04/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawaambia wao kile ambacho hawapaswi kufanya sasa tu kwasababu wao kama waamini wamewekewa mhuri na Roho Mtakatifu wa Mungu. + +# Hivi nasema kwahiyo, na ninawasihi ninyi katika Bwana + +"Kwahiyo, ninawatia moyo kwa nguvu katika Bwana" + +# Msitembee tena kama wamataifa wanavyotembea katika ubatili wa akili zao + +"Acheni kuishi kama wamataifa na fikra zao zisizonamaana" + +# Kutiwa giza katika fikra + +Hawawezi kufikiri au kuhoji kwa usahihi. + +# kufukuzwa kutoka katika maisha ya Mungu kwa ujinga uliomo ndani yao na kwa ugumu wa mioyo yao + +"Hawawezi kuhisi maisha ya Mungu kwa sababu akili zao zimepofushwa na ni wagumu" + +# Kufukuzwa + +"kukatiliwa mbali" au "kutengwanisha" + +# ujinga + +"ukosefu wa maarifa" au "ukosefu wa taarifa" + +# sababu ya ugumu wa mioyo yao + +Wamekataa kumsikiliza Mungu na kufuata mafundisho yake. + +# wamejikabidhi wenyewe kwa ufisadi katika matendo machafu + +Paulo anawaongelea awa watu kama wao ni vitu wanaojikabidhi wao wenyewe kwa watu, na anaongelea jinsi wanavyo taka kuridhisha tamaa zao za mwili kana kwamba ndio mtu wanao jikabidhi kwake. "Wanacho taka tu nikuridhisha tamaa zao za mwili" + +# jikabidhi + +"kujitoa kabisa" + diff --git a/eph/04/20.md b/eph/04/20.md new file mode 100644 index 00000000..a45bb8f1 --- /dev/null +++ b/eph/04/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini hivi sivyo mlivyojifunza kuhusu Kristo + +"Lakini hamkujifunza kumfuata Kristo kwa namna hii" + +# Kama mmesikia kuhusu yeye na mmefundishwa katika yeye, kama ilivyo kweli iliyo ndani ya Yesu + +"Kwavile mmesikia kuhusu Yesu na mmejifunza ukweli kuhusu yeye" + +# Ninyi lazima mvue utu wa kale- ule ambao unakubaliana na tabia zenu za kale, ambao umeharibika sawasawa na tamaa za udanganyifu + +AT: "Ninyi lazima mziondoe tabia ambazo zilikuwa za kawaida kwa njia za maisha yenu ya kale, ambazo zilikuwa mbaya kama tamaa zenu mbaya zilivyowadanganya ninyi" + +# Lazima muuvue utu wa kale + +Lazima mwachane na tabia zote za dhambi kama tu kuvua nguo na kuzitupa mbali. AT: "Lazima mbadili tabia zenu." + +# Zile zinazoendana na mwenendo wenu wa kale + +AT: "tabia ambazo zinakubaliana na asili yenu ya kale" au "tabia ambazo zinakubaliana na ukale wenu" + +# Ambayo imeharibiwa kulingana na tamaa danganyifu + +AT: "ambayo inaendelea kukua vibaya kwasababu ya tamaa za mwili zidanganyazo" + diff --git a/eph/04/23.md b/eph/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..579b89c0 --- /dev/null +++ b/eph/04/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# vueni utu wenu wa zamani + +Paulo anazungumzia tabia njema kana kwamba ni vipande vya nguo. "Lazima ubadili tabia" au Lazima uweke mbali mtu wa kale" + +# mfanywe upya katika roho ya akili zenu + +Hii ya weza badilishwa katika njeo tendaji. "Mungu anaweza kukusaidia ukuwe karibu na yeye na kufikiri kwa namna mpya" + +# Ili kwamba mweze kuvaa utu mpya + +Mtu asiye mwamini anakuwa mtu mpya anapokuwa muumini katika Kristo kama ilivyo kwa mtu anavyovaa nguo mpya na kuonekana tofauti kabisa. + +# unaoendana na Mungu + +" inayo akisi tabia ya Mungu" au "yenye kuonyesha jinsi Mungu alivyo" + diff --git a/eph/04/25.md b/eph/04/25.md new file mode 100644 index 00000000..fa7a05af --- /dev/null +++ b/eph/04/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wekeni mbali uongo + +"Lazima mwache kusema uongo" + +# Mnene ukweli, kila mmoja na jirani yake + +"Waamini lazima wanene ukweli kwa majirani zao" + +# Sisi ni wajumbe kila mmoja kwa mwingine + +"Sisi sote ni wajumbe wa familia ya Mungu" + +# Mwe na hasira, lakini msitende dhambi + +"mnaweza kukasirika, lakini msitende dhambi" + +# Msiliruhusu jua kuzama mkiwa na hasira zenu + +"Lazima mwache kuwa na hasira kabla usiku haujaingia" au "muiondoe hasira yenu kabla ya siku haijaisha" + +# msimpe ibilisi nafasi + +"Msimpe ibilisi fursa ya kukupeleka dhambini" + diff --git a/eph/04/28.md b/eph/04/28.md new file mode 100644 index 00000000..363c2f1d --- /dev/null +++ b/eph/04/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli mbaya isitoke kinywani mwenu + +"msiruhusu lugha mbaya itoke kinywani mwenu" au "msiruhusu mazungumzo maovu yatoke kinywani mwenu" + +# Badala yake maneno ambayo ni msaada kwa kuwajenga wengine + +"badala yake neneni maneno ambayo ni msaada katika kutoa afya kwa waamini wengien" + +# Kuwapa neema wao ambao wanasikiliza + +"kwa njia hii mtatoa neema kwa wale ambao wanasikiliza" + +# faida + +"saidia" au "msaada" + +# Msimhuzunishe + +"msitese" au "msiudhi" + +# Kwa yeye ambaye mmewekewa mhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi + +Paulo anasema Roho Mtakatifu amewaakikishia waamini kuwa Mungu atawapatia ahadi aliyo waahidi. Roho ni kama alama ambayo Mungu amewaekea watu wake kuonyesha kuwa anawamiliki. "Ni Roho ambaye Mungu amekupa kuonyesha kuwa anakumiliki na ata kukomboa kwa wakati muafaka" + diff --git a/eph/04/31.md b/eph/04/31.md new file mode 100644 index 00000000..47a0b21d --- /dev/null +++ b/eph/04/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anamaliza maelekezo ya kuhusu yapi waamini wasifanye na anamaliza na yapi wafanye. + +# lazima muweke mbali + +tafsiri zilizopo ni 1) lazima ufanye mwenyewe au 2) "lazima umuruhusu Mungu aondoe" + +# weka mbali uchungu wote + +"acha kuwa na hasira ya mambo mabaya watu walio kufanyia" + +# ghadhabu + +wakati wa hasira nzito + +# hasira + +neno lililo zoeleka la hasira + +# mwe na huruma + +" badala yake, lazima uwe na huruma + +# msameheane + +"upole" au "huruma sana" + diff --git a/eph/05/01.md b/eph/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..fad4c8f0 --- /dev/null +++ b/eph/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli unganishi + +Paulo anaendelea kuwaambia waumini jinsi wanavyotakiwa na wasivyotakiwa kuishi kama watoto wa Mungu. + +# Kwa hiyo mwe wa kumuiga Mungu + +"Hivyo ninyi mfanye mambo ambayo Mungu hufanya" + +# kama watoto wake wapendwa + +Mungu anatamani sisi tumuige yeye maadam sisi ni watoto wake. + +# tembea katika upendo + +"ishi maisha ya upendo" + +# sadaka na dhabihu, harufu nzuri inayompendeza Mungu + +"sadaka inayonukia vizuri na dhabihu kwa Mungu" + diff --git a/eph/05/03.md b/eph/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..c300872a --- /dev/null +++ b/eph/05/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# uovu wa kujamiiana au uchafu au tamaa ya anasa lazima usidokezwe kati yenu, kama ilivyo sahihi kwa waumini + +"siruhusu hata mawazo ya uovu wa kujamiina au uchafu au urafi kupatikana kati ya watu wa Mungu" + +# uchafu wowote + +"maadili yoyote yasiyosafi" + +# kupenda anasa kwa ulafi + +NI: "kutamaa kwaajili ya walivynavyo wengine" + +# kama ilivyosawa kwaajili ya waumini + +NI: "tabia zenu daima ziwe zinazofaa kama watu watakatifu wa Mungu" + +# lazima usidokezwe kati yenu + +"lazima usitajwe kati yenu" au "lazima usigundulike kati yenu" + diff --git a/eph/05/05.md b/eph/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..7fa8a8ba --- /dev/null +++ b/eph/05/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# urithi + +Kupokea kile Mungu alicho ahidi waamini ni mfano wa mtu kurithi mahali au utajiri kwa familia. + +# matupu + +"Msiruhusu mtu yeyote awadanganye kwa hoja za uongo" au "Msiruhusu mtu yeyote awakoseshe ninyi kwa maneno yasiyokuwa na maana" + diff --git a/eph/05/08.md b/eph/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..ebb20f79 --- /dev/null +++ b/eph/05/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hapo kale ulikuwa giza + +Kama tu mmoja hawezi kuona gizani, ndivyo watu wanaoishi katika dhambi wanapungukiwa ufahamu wa kiroho. + +# Lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana + +Kama tu mmoja anaweza kuona katika nuru, ndivyo watu ambao wanaishi katika haki wanaufahamu wa kiroho. + +# kwa sababu tunda la haki ni uzuri wote, haki, na kweli + +kazi zinazotoka kwenye maisha ya muumini (uzuri, haki, na kweli) zinafanana na tunda zuri linalozalishwa na mti wenye afya. + +# hazina ushirikiano pamoja na kazi zisizozaa za giza + +"Usijihusishe na kazi za dhambi au wasioamini" + +# kazi zisizozaa za giza + +kazi za mtu fulani anayeishi katika giza la kiroho zinafanana na matendo maovu ya watu wanaofanya kazi za uovu wamefichwa na giza usiku. + +# lakini afadhali uwafichue + +"lakini heri uwaweke wazi kuwa wanamakosa" + diff --git a/eph/05/13.md b/eph/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..a3c2f5aa --- /dev/null +++ b/eph/05/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sentensi unganishi + +Haijulikani kama nukuu hii ni zile za Nabii Isaya au ni nukuu ya nyimbo zilizoo imbwa na waamini. + +# Kila kitu kimefunuliwa na nuru + +Kama vile nuru hufunua vitu ambavyo vilikuwa vimefichwa katika ulimwengu unaoonekana, hivyo nuru ya Kristo inafunua uovu wa matendo ya kiroho ya wasioamini katika ulimwengu wa kiroho. + +# Amka, wewe uliyelala, na inuka kutoka kwa wafu + +Wasioamini wanahitaji kuamka kutoka katika kifo cha kiroho kama vile mtu ambaye amekufa lazima afufuke tena ili kusudi aitikie. + +# wewe ulalaye ... atang'aa juu yako + +"wewe" ya husu "aliyelala" + +# Kristo ataangaza juu yako + +Kristo atamwezesha asiyeaamini kufahamu kiasi cha msamaha kilichotolewa na maisha mapya kama vile nuru inavyoonesha dhahiri kilichoko pale ambacho kilikuwa kimefichwa na giza. + diff --git a/eph/05/15.md b/eph/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..b0e0de8a --- /dev/null +++ b/eph/05/15.md @@ -0,0 +1,13 @@ +# Hivyo basi uwe makini jinsi mnavyoishi, siyo kama watu wasio na hekima bali kama wenye hekima + +Wasio na hekima hawajilindi wenyewe kinyume na dhambi. Kwa hali yoyote watu wenye hekima wanaweza kutofautisha dhambi na kuikimbia. NI: "Hivyo basi ni lazima muwe makini muishi sawa na watu wenye hekima zaidi kuliko mtu mpumbavu" au "Hivyo basi lazima mwe makini kuishi sawasawa na mtu mwenye hekima." + +# Komboa wakati + +Tunalo chaguo la kuishi katika dhambi ambalo ni sawa kama kutumia wakati wetu bila hekima. Au tunaweza kuishi tukifanya ambacho Bwana anataka sisi tufanye na kuutumia muda wetu kwa hekima. +KWAMBA: "Tumia muda wako kwa hekima." + +# kwasababu siku ni mbaya + +Neno "siku" linamaanisha ni katika muda unaoishi + diff --git a/eph/05/18.md b/eph/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..724df646 --- /dev/null +++ b/eph/05/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anamaliza maelekezo yake kwa jinsi gani waamini wapswa kuishi. + +# Na usilewe kwa mvinyo + +"Na usilewe kutokana na kunywa mvinyo" + +# badala yake uwe umejaa na Roho Mtakatifu + +"badala yake uwe uliyejaa na Roho Mtakatifu" + +# katika zaburi na sifa na nyimbo za kiroho + +"pamoja na aina zote za nyimbo za kumsifu Mungu" + +# daima mkitoa shukrani + +"Mtoe shukrani daima" + +# mkijitoa wenyewe + +"Kwa unyenyekevu jitoeni wenyewe" + diff --git a/eph/05/22.md b/eph/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..81524841 --- /dev/null +++ b/eph/05/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sentensi Unganishi: + +Paulo anatoa maelekezo kwa mume na wake juu ya jinsi wanavyopaswa kutendeana. + +# yeye ni mwokozi wa mwili + +NI: "Kristo ni Mwokozi wa mwili wa waumini" au "Kristo ni Mwokozi wa waumini wote" + +# Hivyo pia wake wawe kwa waume zao katika kila kitu + +NI: "hivyo wake lazima pia wawe watiifu kwa waume zao katika kila jambo" + diff --git a/eph/05/25.md b/eph/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..524e141b --- /dev/null +++ b/eph/05/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wapendeni wake zenu + +Hapa "pendo" linarejea pasipo ubinafsi, kutumika, au kutoa upendo. + +# kujitoa mwenyewe kwaajili yake, kwamba unaweza kumfanya yeye mtakatifu kwasababu yeye alitusafisha sisi + +Maneno "mwenyewe" na "yeye" yanarejea kwa Kristo. Maneno "yeye" na "sisi" yanarejea kwa Kanisa. + +# kajitoa mwenyewe kwaajili yake + +NI: "Kristo alitoa kila kitu kwaajili yake" + +# yeye alitusafisha sisi kwa kutuosha kwa maji kupitia neno + +Maana zinazowezekana ni 1) Paulo anarejea kuwa umekuwa ukisafishwa kwa neno la Mungu na kupitia ubatizo wa maji katika Kristo au 2) Paulo anasema Mungu alitufanya sisi wasafi kiroho kutoka katika dhambi zetu kwa neno la Mungu kama tunavyoifanya miili yetu safi kwa kuiosha kwa maji. + +# kwamba yeye aweza kujiwasilishia mwenyewe kanisa + +"kwamba anaweza kuwasilisha kwake mwenyewe kanisa" + +# bila waa au kunyanzi + +Paulo anasema kuhusu Kanisa kama vazi ambalo ni safi na liko katika hali nzuri. Anatumia wazo lile lile katika namna mbili kusisitiza utakatifu wa Kanisa. + +# takatifu na bila makosa + +Kauli "bila makosa" kimsingi inamaanisha kitu kile kile "mtakatifu." Paulo anatumia viwili pamoja kusisitiza utakatifu wa kanisa. + diff --git a/eph/05/28.md b/eph/05/28.md new file mode 100644 index 00000000..d95eca1c --- /dev/null +++ b/eph/05/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama miili yao wenyewe + +NI: "kama wapendavyo miili yao wenyewe" + +# badala yake anaurutubisha + +"badala yake anautunza" au "yeye anaulinda" + +# sisi tu viungo vya mwili wake + +Inawezekana ikamaanisha 1) "sisi ni jumuiya ya mwili wake" au 2) waumini wanashikamana kuutengeneza mwili wa Kristo kama vile viungo vya mwili wa mwanadamu vinavyoshikamana kuunda mtu. + diff --git a/eph/05/31.md b/eph/05/31.md new file mode 100644 index 00000000..8cd35ad8 --- /dev/null +++ b/eph/05/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa kisababishi hiki + +"kwa sababu hii" + +# lazima kumpenda mke wake kama yeye mwenyewe + +Maneno haya "yeye" na "mwenyewe" yanarejea kwa mwanaume muumini ambaye kaoa. + +# mke lazima amheshimu mume wake + +"mke lazima amtii mume wake" + diff --git a/eph/06/01.md b/eph/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..4cac5f3e --- /dev/null +++ b/eph/06/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anatoa maelekezo kwa watoto, wababa, wafanya kazi, na mabwana. + +# Watoto watiini wazazi wenu katika Bwana + +Paulo anarejea kwa watoto kuwatii wazazi wao wa kimwili. + diff --git a/eph/06/04.md b/eph/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..38ecf481 --- /dev/null +++ b/eph/06/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na ninyi akina baba msiwakwaze watoto na kuwasababishia hasira + +"Ninyi wababa msifanye mambo ambayo yatawafanya watoto wenu wakasirike" au "Ninyi akina baba msiwasababishie wattoto wenu kuwa na hasira" + +# muwalee katika maonyo na maagizo ya Bwana + +"wasaidieni kukua katika mafunzo na mafundisho ya Bwana" + diff --git a/eph/06/05.md b/eph/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..f3a86a30 --- /dev/null +++ b/eph/06/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# watumwa, iweni watiifu kwa + +"Ninyi watumwa mnapaswa kutii" + +# kwa heshima kubwa na kutetemeka + +Hizi ni njia mbili zinazofanana kuonyesha heshima kuhusu mabwana zao. + +# kutetemeka kwa hofu itokayo mioyoni mwenu. Tiini kama vile mnavyomtii kristo + +"Nyeyekeeni kwa hofu, kama kumtii kristo" + +# usiwe tu pale mabwana zenu wanapowatazama + +"siku zote fanya kazi kama ulivyokuwa ukifanya kazi kwa ajili ya kristo mwenyewe, hata kama mabwana zenu hawawatazami" + +# kama watumwa wa Kristo + +watumikieni mabwana zenu ingawa bwana wenu duniani ni Kristo. + +# Watumikieni kwa mioyo yenu yote. Kana kwamba kumtumikia Bwana na wala si wanadamu + +"fanya kwa furaha maana unafanya kwa ajili ya Bwana na si kuwafurahisha wanadamu." + diff --git a/eph/06/09.md b/eph/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..d72d4ee1 --- /dev/null +++ b/eph/06/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# fanyeni vivyo hivyo kwa watumwa wenu, na msiwatishie + +Msiwatishie watumwa wenu, lakini muwafundishe kama Kristo angeweza kuwafundisha" + +# mkijua kwamba yeye aliye Bwana wa wote ni yule aliye mbinguni + +"kwa sababu mnajua kuwa Krisato ni Bwana wa wote watumwa na Mabwana zao" + +# Mkijua kuwa hakuna upendeleo kwake + +"Na hana upendeleo" + diff --git a/eph/06/10.md b/eph/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..a538f78d --- /dev/null +++ b/eph/06/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anatoa maelekezo kuwafanya waumini kuwa na nguvu katika hii vita tunaishi kwa ajili ya Bwana. + +# iweni na nguvu katika Bwana na katika uwezo wa nguvu zake + +"Hii inategemea kikamilifu katika Bwana kuwapa nguvu ya ya Kiroho" + +# Vaeni silaha zote za Mungu zilizo kamili, ili kwamba mpate kusimama kinyume na hila za shetani + +Wakristo wanapaswa kutumia raslimali zote ambazo Mungu amewapa ili kusimama kinyume na shetani kama vile maaskari wa wanavyoweka siraha za kujikinga mwenyewe kutoka kwa uvamizi wa maadui. + diff --git a/eph/06/12.md b/eph/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..eb4610c6 --- /dev/null +++ b/eph/06/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# damu na nyama + +Hii fafanuzi inahusiana na watu, siyo roho ambazo hazina mwili wa Binadamu. + +# kwa hiyo, vaeni silaha zote za Mungu + +wakristo wanapaswa kutumia raslimali za kukinga ambazo Mungu amewapa katika kupigana na shetani kwa njia ile askari hubeba silaha ili kujilinda dhidi ya maadui. + diff --git a/eph/06/14.md b/eph/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..95cf8bdc --- /dev/null +++ b/eph/06/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hatimaye simameni imara + +maneno "simameni imara" ni lugha yenye maana ya "kuzuia vikali" + +# mkanda wa kweli + +kweli inashika kila kitu pamoja kwa ajili ya muumini kama mkanda unavyoshika nguo zote za askari pamoja. + +# haki kifuani + +Zawadi ya haki inafunika mioyo ya waumini kama kitu cha kulinda kifuaniani kwenye kifua cha Askari. + +# mkiwa mmevaa utayari miguuni mwenu ili kutangaza injili ya ya Amani + +Ni askari pekee anavaa ili kumpa maalifa ya kutembea, muumini anapaswa kuwa na maarifa imara ya injili ya amani ili kuwa tayari kuitangaza. + +# kila hali mkichukua ngao ya Imani + +Imani ambayo Mungu amempa muumini ni lazima itumike kwa ajili ya ulinzi wakati shetani anapovamia kama vile ngao ambayo askari anaitumia kujikinga kutoka katika uvamizi wa maadui. + +# kuizima mishale ya mwovu Ibilisi + +Uvamizi wa shetani katika kumvamia muumini ni kama mishale ya moto inayorushwa kwa askari na adui. + diff --git a/eph/06/17.md b/eph/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..0a81a1a5 --- /dev/null +++ b/eph/06/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Na mvae kofia ya wokovu + +Wokovu uliopewa na Mungu unalinda mawazo ya muumini kama vile kofia inavyolinda kichwa cha askari. + +# na upanga wa Roho, ambayo ni neno la Mungu + +Neno la Mungu, limevuviwa na Roho Mtakatifu, ili litumike kwa kupigana kinyume na kuwalinda waumini kutoka kwa mwovu kama vile askari anavyotumia upanga kupigana na kujilinda dhidi ya adui anayevamia. + +# pamoja na kusali na kuomba, ombeni kwa Roho + +"Ombeni wajati wote katika Roho kama unavyoomba na ufanye maombezi maalumu" + +# kwa uvumilivu wote na maombi kwa ajili ya waumini wote + +"Mara kwa mara tuwe macho kwa kuomba kwa ajili ya waumini wote" + diff --git a/eph/06/19.md b/eph/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..257dc7e5 --- /dev/null +++ b/eph/06/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anawaomba kuomba kwa ajili ya ujasiri wake katika kusema injili wakati akiwa gerezani na akasema anamtuma Tikiko ili kuwafariji. Kisha alitoa baraka za amani na neema kwa waumini wote wanaompenda Yesu. + +# ili niweze kupewa ujumbe + +"Kwamba Mungu anipe neno" au "Mungu atanipa ujumbe" + +# ninapofungua mdomo wangu ili kuufanya ujulikane kwa ujasiri + +"Ninapoongea kufafanua kwa ujasiri" + +# kwa sababu hii mimi ni balozi niliyefungwa minyororo + +Niko gerezani sasa kwa sababu ya kuwa mwakilishi wa Injili" + +# kwamba katika kifungo changu niseme kwa ujasiri kama ninavyowiwa kusema + +"Kwamba niseme ujumbe wa Mungu kwa ujasiri wakati nikiwa humu gerezani" + diff --git a/eph/06/21.md b/eph/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..67f2b62a --- /dev/null +++ b/eph/06/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mambo yangu + +"Yaliyonipata" au "Hali yangu" + +# Tikiko + +Tikiko alikuwa ni mmoja wa watu waliokuwa wakitumika na Paulo. + +# atawajulisha kila kitu + +"Atawaambia kila kitu" + diff --git a/eph/06/23.md b/eph/06/23.md new file mode 100644 index 00000000..709059a4 --- /dev/null +++ b/eph/06/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anafunga barua yake kwa wa Efeso na baraka ya amani na neema kwa wote waamini wanao mpenda Kristo. + diff --git a/gal/01/01.md b/gal/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..7d319e18 --- /dev/null +++ b/gal/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Mtume Paulo, mwandishi wa barua hii kwa makanisa yaliyoko katika maeneo ya Galatia. + +# Maelezo ya jumla + +Maneno 'ninyi,' 'nanyi' au 'yenu' hurejelea watu wa Galatia katika wingi wao. + +# Aliyemfufua yeye + +"Aliyemfufua Yesu Kristo" + +# Kufufuliwa + +Hapa inamaanisha ni kitendo cha kumfanya mtu aliyekuwa amekufa kuwa hai tena. + +# Ndugu + +Hapa inamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni. + diff --git a/gal/01/03.md b/gal/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..f685cfdf --- /dev/null +++ b/gal/01/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa dhambi zetu + +"dhambi" huwakilisha hukumu ya dhambi. "kuchukua hukumu tuliyostahili kwa sababu ya dhambi zetu" + +# ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu + +Hapa neno, "Nyakati...hizi" huwakilisha nguvu zinazotenda kazi katika nyakati husika. "ili kwamba atuweke huru kutoka katika kazi za nguvu ya uovu ndani ya ulimwengu wa leo" + +# Mungu wetu na Baba + +Hii inarejeleaa kwa " Mungu Baba yetu." Ni Mungu wetu na Baba yetu. + diff --git a/gal/01/06.md b/gal/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..b7913021 --- /dev/null +++ b/gal/01/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anatoa sababu yake ya kuandika barua hii-anawakumbusha kuendelea kuielewa injili. + +# Ninashangaa + +"Ninashangazwa" au "Nimeshitushwa." Paulo alisikitishwa na mambo haya waliyokuwa wanayafanya. + +# kwamba mmegeuka haraka sana kutoka kwake... na kwenda kwenye injili nyingine + +Maana nyingine zaweza kuwa ni 1) " Mmeacha kwa haraka sana kumtumaini Yeye au 2) "mmeacha kwa haraka sana kuwa waaminifu kwake." + +# Yeye aliyewaita + +"Mungu, aliyewaita ninyi" + +# kuitwa + +Hapa inamanisha Mungu amewateua or kuwachagua watu kuwa watoto wake, kumtumikia na kuutangaza wa ujumbe wa wokovu kupitia kwa Yesu. + +# kwa neema ya Kristo + +" kwa sababu ya neema ya Krsto" au "kwa sababu ya dhabihu ya neema ya Kristo" + +# Mnageukia injili nyingine + +Mnaamini injili nyingine + +# watu + +watu wote au binadamu + diff --git a/gal/01/08.md b/gal/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..497bb66e --- /dev/null +++ b/gal/01/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# anapaswa kutangaza + +Hii inaelezea kitu ambacho hakijatokea na hakipaswi kutokea. "wangetangaza" au "walipaswa kutangaza" + +# tofauti na ile + +"tofauti na injili" au "tofauti na ujumbe" + +# na alaaniwe + +"Mungu anapaswa kumwadhibu mtu yule milele yote." na kama lugha yako ina neno au njia inayotumika kutoa laana kwa mtu, unaweza kutumia hiyo. + +# Kwani sasa hivi ninatafuta uthibitisho wa watu au Mungu? Ninatafuta kuwafurahisha wanadamu? + +Maswali haya hutarajia jibu ambalo ni " hapana" Hii ni sawa na kusema "sitafuti kukubaliwa na wanadamu, bali ninatafuta kukubaliwa na Mungu. sitafuti kuwafurahisha wanadamu." + +# Kama ninaendelea kujaribu kuwafurahisha wanadamu, mimi sio mtumishi wa Kristo + +Neno 'kama' linaonesha ukweli kuwa "mimi siwafurahishi wanadamu, mimi ni mtumishi wa Kristo." au " kama ningekuwa bado naendelea kuwafurahisha wanadamu, basi nisingekuwa mtumishi wa Mungu + diff --git a/gal/01/11.md b/gal/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..911b4359 --- /dev/null +++ b/gal/01/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anaeleza kuwa hakujifunza injili kutoka kwa wengine; alijifunza kutoka kwa Yesu Kristo. + +# Ndugu + +Hapa inamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni. + +# haitokani na watu (si injili ya watu) + +kwa kutumia maneno haya, Paulo hasemi kuwa Yesu Kristo mwenyewe si mwanadamu. kwa sababu Kristo ni mtu na ni Mungu, ingawa Yeye si mwanadamu mwenye dhambi. Paulo anaandika juu ya kule injili ilikotoka, kwamba haikutoka kwa watu wenye dhambi, bali ilitoka kwa Yesu Kristo. + +# kilikuwa ni kwa ufunuo wa Yesu Kristo kwangu + +Maana zinazokubalika ni 1) Yesu Kristo mwenyewe aliifunua injili kwangu 2)Mungu alinifanya mimi niijue injili wakati aliponionesha jinsi Yesu Kristo alivyo. + diff --git a/gal/01/13.md b/gal/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..2ce9be75 --- /dev/null +++ b/gal/01/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maisha ya nyuma + +"Tabia katika kipindi fulani" au " maisha ya kipindi kilichopita" au " maisha ya mwanzo" + +# NIlikuwa nimeendelea + +Hii ni sitiari ( lugha ya picha) inayoonesha jinsi Paulo alivyokuwa mbele ya wayahudi wengine wa umri wake katika kusudi lao la kuwa wayahudi kamili. + +# wale wenye umri kama wangu + +"Wayahudi wenye umri sawa na wa wangu" + +# baba + +"mababu", au "wazazi wa zamani" + diff --git a/gal/01/15.md b/gal/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..abc93ad9 --- /dev/null +++ b/gal/01/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Aliniita kupitia neema yake + +Maana zinazokubalika ni 1)"Mungu aliniita kumtumikia kwa sababu Yeye ni wa neema" au 2) " Aliniita kwa njia ya neema yake." + +# kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu + +Maana zinazokubalika 1)" kuniruhusu mimi nimjue Mwana wake" 2) "Ulimwengu umwone Yesu Mwana wa Mungu kupitia kwangu." + +# Mwana + +Hili ni jina muhimu la Yesu, Mwana wa Mungu + +# kumtangaza Yeye + +Kumtangaza kuwa Yeye ni Mwana wa Mungu" au "kuhubiri habari njema kuhusu Mwana wa Mungu" + +# Wala sikutafuta ushauri wa mwili na damu + +Haya maelezo yanamaanisha kuzungumza na watu wengine. AT: " kuwaomba watu wanisaidie kuelewa ujumbe." + +# kupanda + +AT: "Kusafiri" Mji wa Yerusalem ulikuwa katika mkoa ulikuwa na milima mingi, ambayo ilimlazimu mtu kupanda milima mingi ili kufika huko, na hivyo ilikuwa kawaida kueleza kitendo cha kusafiri kwenda Yerusalemu kama "kupanda kwenda Yerusalemu." + diff --git a/gal/01/18.md b/gal/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..43f24a0f --- /dev/null +++ b/gal/01/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini sikuona mitume wengine isipokuwa Yakobo + +Vikanushi viwili vinatilia mkazo kwamba Paulo alimwona mtume Yakobo tu. AT: Mtume pekee niliyemwona ni Yakobo." + +# Mbele za Mungu + +Paulo anawataka Wagalatia kuelewa kuwa Paulo alikuwa amedhamiria kweli na kwamba Mungu husikia kile anachokisema na kuwa atahukumiwa kama hatausema ukweli. + +# Tazama, mbele za Mungu, sidanganyi kwa kile niandikacho kwenu + +Paulo anatumia msemo huu kuweka mkazo kuwa anausema ukweli. AT: " katika ujumbe huu ninaowaandikia, Siwadanganyi" au " ninasema ukweli katika mambo niliyowaandikia ." + diff --git a/gal/01/21.md b/gal/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..ec73cef8 --- /dev/null +++ b/gal/01/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mikoa ya + +"Sehemu ya ulimwengu inayoitwa..." + +# Walikuwa wakisikia tu + +"Bali walikuwa wakijua tu kile wachokisikia kwa wengine kunihusu mimi" + +# Sikuwa najulikana kwa macho kwa makanisa ya Uyahudi yale yaliyokuwa katika Kristo, + +"Hakuna mtu yeyote ambaye alishawahi kukutana nami miongoni mwa makanisa ya Uyahudi yaliyokuwa katika Kristo." + diff --git a/gal/02/01.md b/gal/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..b90166d9 --- /dev/null +++ b/gal/02/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentense Unganishi + +Paulo anaendelea kuwapa historia ya jinsi alivyojifunza injili kutoka kwa Mungu, na siyo kwa mitume. + +# Alienda + +"Alisafiri" Yerusalemu ilikuwa katika nchi ya vilima. Wayahudi pia waliutazama Yerusalemu kama sehemu ya duniani iliyokaribu na mbinguni, hivyo Paulo inawezekana alikuwa akizungumza kwa mfano, au alikuwa akionesha ugumu, kupanda na kusafiri kufika Yerusalemu. + +# wale waliosemekana kuwa viongozi muhimu + +Hawa ni "viongozi muhimu miongoni mwa waumini" + +# Sikukimbii, au nilikuwa nimekimbia bure + +Paulo anatumia neno kukimbia kama lugha ya picha kumaanisha kazi. Na alitumia vikanushi viwili kukazia kuwa kazi aliyokwisha kuifanya ili na faida. AT: "Nilikuwa ninafanya, au nilifanya kazi inayofaa." + +# kwa bure + +"kwa bila faida" au "bila kitu " + diff --git a/gal/02/03.md b/gal/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..01cf3ae4 --- /dev/null +++ b/gal/02/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ndugu wa uongo waliotumwa kwa siri + +"Watu waliokuja kanisani wakijifanya kuwa ni Wakristo' au watu waliokuja miongoni mwetu wakijifanya kuwa ni wakristo" + +# Kutahiriwa + +Neno hili laweza kuelezwa kwa muundo tendaji. AT " kuwa na mtu wa kumtahiri." + +# Peleleza uhuru + +Hii ina maanisha kuwatazama watu kwa siri ili kuona wanavyoishi katika uhuru. + +# Uhuru + +"uhuru" hali ya kutokuwa chini ya...au utawala wa ..." + +# Walitaka + +Kama: "Wapelelezi hawa walitamani" au "Ndugu hawa wa uongo walitaka" + +# Kutufanya kuwa watumwa wa sheria + +"Kutufanya kuwa watumwa wa sheria." Paulo anazungumzia kuhusu kuwalazimisha kufuata desturi za kiyahudi kama zilivyoamriwa katika sheria. Analizungumzia jambo hili kama ni utumwa. Jambo muhimu la kidesturi hapa ni tohara. "kutulazimisha kutii sheria" + +# kujitoa katika utii + +"kutii" au "kusikia" + diff --git a/gal/02/06.md b/gal/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..e59f3f03 --- /dev/null +++ b/gal/02/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hawakuchangia chochote kwangu + +Neno 'kwangu' linawakilisha kile ambacho Paulo alikuwa akifundisha. "halikuongeza chochote kwa kile ninachofundisha" au " hawakuniambia niongeze kitu chochote kwa kile ninachofundisha." + +# Badala yake + +"kinyume" + +# Nimeaminiwa + +Neno hili laweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu ameniamini mimi." + diff --git a/gal/02/09.md b/gal/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..b7efe011 --- /dev/null +++ b/gal/02/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kujenga kanisa + +Ni watu waliwaofundisha watu kuhusu Yesu na kuwashawishi wamwamini Yesu. + +# Neema niliyopewa mimi + +"kwamba Mungu amekuwa mwema kwangu" + +# kutupokea....mkono wa kulia wa ushirika + +"Waliwakaribisha...kama watendakazi wenzao" au "waliwakaribisha...kwa heshima" + +# Mkono wa kulia + +"Mikono yao ya kuume" + +# Kuwakumbuka masikini + +"kushughulikia au kujali mahitaji ya masikini" + diff --git a/gal/02/11.md b/gal/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..270042ff --- /dev/null +++ b/gal/02/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nilipingana waziwazi ( usoni pake) + +Maneno "kwa usoni pake" ni lugha ya picha likimaanisha "mahali atakapoweza kuona na kusikia." "Nilikabiliana naye" au "Niliyakosoa matendo yake" + +# Kabla + +Katika uhusiano na wakati/muda + +# Aliacha + +"Aliacha kula pamoja nao" + +# Alikuwa anawaogopa watu wale + +"Alikuwa na hofu na watu hawa waliotaka tohara wangemhukumu kwamba alikuwa akifanya kitu kibaya" au "aliogopa kwamba watu hawa wangemlaumu kwa kufanya jambo fulani baya." kimakosa" + +# Watu waliotaka tohara + +Wayahudi waliokuwa Wakristo, lakini walilazimisha kwamba wale waliomwamini Kristo wanapaswa kuishi kwa kufuata desturi za Kiyahudi. + +# Kuweka mbali kutoka + +"kukaa mbali kutoka" au kuepukwa" + diff --git a/gal/02/13.md b/gal/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..d623b192 --- /dev/null +++ b/gal/02/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hawafuati injili ya kweli + +"Walikuwa wanaishi kama watu ambao hawajaiamini Injili" or " walikuwa wanaishi kana kwamba hawaiamini injili" + +# Kwa jinsi gani mnaweza kuwalazimisha Watu wa mataifa kuishi kama Wayahudi? + +Hili swali linaonesha hali ya kukemea na linaweza kutafsiriwa kama, "mnakosea kuwalazimisha wamataifa kuishi kama Wayahudi." Neno "wewe" linamrejelea Petro na liko katika umoja. + +# lazimisha + +Maana zinakubalika: 1) kulazimisha kwa kutumia maneno or 2) Kushawishi. + diff --git a/gal/02/15.md b/gal/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..cb57e687 --- /dev/null +++ b/gal/02/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anawaambia waumini kwamba Wayahudi wanaojua sheria na Wamataifa ambao hawaijui sheria, wameokolewa kwa imani peke yake ndani ya Kristo na siyo kwa kutunza sheria. + +# si watu wa mataifa wenye dhambi + +"siyo wale watu wa mataifa ambao wayahudi huwaita wenye dhambi" + +# Tulikuja katika imani ndani ya Kristo Yesu + +"Tuliamini katika Kristo Yesu" + +# sisi + +Huenda pengine hii inamrejelea Paulo na wengine, na si Wagalatia. + +# hakuna mwili + +Neno mwili limetumika kuwakilisha mtu yaani "hakuna mtu" + diff --git a/gal/02/17.md b/gal/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..5e87043f --- /dev/null +++ b/gal/02/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini kama tunapomtafuta kuhesabia haki ndani ya Kristo + +Hii inamaanisha kwamba tumehesabiwa haki kwasababu tumeungana na Kristo na kuhesabiwa haki kwetu kwa njia ya Kristo. + +# tunajikuta sisi wenyewe pia kuwa wenye dhambi + +Maneno "tunajikuta wenye dhambi" yanatilia mkazo kuwa kwa kweli sisi ni wenye dhambi. + +# sivyo hivyo! La hasha + +"Bila shaka hiyo siyo kweli!" Maelezo haya yanatupa jibu hasi kwa swali lililotangulia, Je Yesu alifanyika mtumwa wa dhambi? Unaweza kuwa na maelezo yenye maana sawa katika lugha yako ambayo unaweza kuyatumia hapa. + diff --git a/gal/02/20.md b/gal/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..968068cf --- /dev/null +++ b/gal/02/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwana wa Mungu + +Hili ni jina la muhimu la Yesu + +# Siikani neema + +Paulo anatumia neno hasi katika kutilia mkazo wa ukweli chanya. "ninahakikisha uthamani wa..." + +# kama haki ingeweza kupatikana kwa.... basi Kristo asingekufa + +Paulo anaelezea hali ambayo haipo, haitatokea. "lakini kama haki haipo....basi Kristo hakufa" + +# kama haki ilikuwepo kupitia sheria, basi Kristo angelikuwa amekufa bure + +"kama mtu angeweza kuwa mwenye haki kwa kushika sheria" + +# angelikuwa amekufa bure + +"Kristo angekuwa hajafanya chochote kwa kufa kwake" + diff --git a/gal/03/01.md b/gal/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..208b544d --- /dev/null +++ b/gal/03/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawakumbusha waumini wa Galatia kwamba Mungu aliwapa Roho wa Mungu wakati walipoamini injili kwa imani, siyo kwa matendo yao ya kushika sheria + +# Maelezo ya jumla + +Paulo anawakemea Wagalatia kwa kuwauliza swali la uchokozi na Kejeli + +# Nani amewawekea uchawi? + +Paulo anatumia swali la uchokozi kwa kusema kuw Wagalatia wanatenda kama kuna ameweka laana au uchawi. Haamini kwa hakika kwamba mtu mmoja ameweka uchawi kwao. "Mnaenenda kana kwamba mtu amewawekea uchawi" + +# Mimi nataka tu kufahamu hili kutoka kwenu + +Huu ni mwendelezo wa hoja kutoka mstari 1. Paulo anajua majibu ya maswali anayoyauliza. + +# Mlimpokea Roho kwa matendo ya sheria au kwa imani ambayo mliisikia? + +"Mlimpokea Roho, si kwa matendo kama sheria isemavyo, lakini kwa kuamini kile mlichosikia." + +# Je ninyi ni wajinga? + +Swali hili lenye jibu linaonesha mshangao wa Paulo na hata hasira yake kwa Wagalatia Wagalatia ni wajinga. "Ninyi (wingi) mu wajinga kweli!" . + +# katika mwili + +Neno mwili ni lugha ya picha linalomaanisha juhudi. "kwa juhudi zako" au "kwa kazi yako mwenyewe." + diff --git a/gal/03/04.md b/gal/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..49d0436d --- /dev/null +++ b/gal/03/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Je mmeteseka kwa mambo mengi bure? + +Paulo anauliza swali hili kuwakumbusha Wagalatia kwamba wakati walikuwa wakiteseka, wal wakiamini kuwa watakakalenye jibu kuwakumipoamibusha Wagalatia kwa maisha magumu waliyoteswa nayo. + +# Mmteseka sana na mambo mengi kwa bure + +inaweza kuelezwa kwa uwazi kuwa waliteseka kwa mambo haya kwasababu ya watu waliopinga imani yao ndani ya Yesu. "Je umeteseka bure kwa mambo mengi kwa ajili ya ya wale wanaowapinga nyie kwasababu ya imani yenu katika Kristo." "Mlimwamini Yesu, na mmeteseka kwa mambo mengi kutoka kwa wale wanaomping Kristo." "Je imani na mateso yenu ni bure" + +# kwa bure + +"isiyofaa" au "pasipo na matumaini ya kupokea kitu chochote" + +# kama kweli ilikuwa bure? + +Maana zinazokubalika 1) Paulo anatumia swali hill kuwaonya ili kazi yao isiwe ya bure. "Msiifanye kazi isiyo na faida au msiache kuamini katika Yesu Kristo na mkayacha mateso yenu yakawa ya bure." 2) Paulo anatumia swali hili kuwaaminisha kuwa mateso yao si bure. "kwa kweli si bure." + +# Je yeye atoaye Roho kwenu na kutenda matendo ya nguvu kati yenu hufanya kwa matendo ya sheria au kwa kusikia pamoja na imani? + +Paulo anatumia tena swali kuwakumbusha Wagalatia jinsi watu wanavyompokea Roho. "Hafanyi hivyo kwa matendo ya sheria, anafany kwa kusikia pamoja na imani." + +# kwa matendo ya sheria + +Hii inawakilisha watu wanaofanya matendo yatokanayo na matakwa ya sheria. "Kwasababu unafanya yale unayoagizwa na sheria kufanya." + +# kusikia kwa imani + +Lugha yako yaweza kuhitaji kuwa na maneno ya wazi kuelezea kile watu walichokisikia kutoka kwa mtu wanayemwamini. "kwasababu uliusikia ujumbe na kumwamini Yesu" au " kwasababu uliusikiliza ujumbe na kumtumaini Yesu." + diff --git a/gal/03/06.md b/gal/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..d0e6aae8 --- /dev/null +++ b/gal/03/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawakumbusha Waumini wa Galatia kwamba hata Ibrahimu aliipokea haki kwa imani na siyo kwa sheria. + +# ilihesabiwa kwake mwenye haki + +Mungu aliiona imani ya Ibrahimu katika Mungu, hivyo Mungu alimhesabia Ibrahimu haki. + +# ambao wanaamini ( wenye imani) + +"watu walioamini" Maana ya nomino 'imani' laweza kuelezwa kwa kitenzi 'kuamini" "wale wanaoamini" + +# watoto wa Ibrahimu + +inawakilisha watu wale ambao Mungu huwatazama kama alivyomtazama Ibrahimu. "Mwenye haki kwa namna moja kama ya Ibrahimu." + +# tangulia kuwaona + +Kwa sababu Mungu alimwahidi Ibrahimu na ikaandikwa kabla ahadi hiyo kuja kupitia Kristo, maandiko ni kama mtu ambaye huona muda ujao kabla ya kutokea. "Ilitabiriwa" au " kuona kitu kabla hakijatokea." + +# katika wewe + +"Kwa sababu ya kile umekwisha tenda" au "kwasababu nimekwisha kukubariki" Neno wewe humrejelea Ibrahimu katika umoja. + +# mataifa yote + +"makundi ya watu wote duniani". Mungu alikuwa akielezea kwa mkazo kwamba alikuwa hapendelei wayahudi tu, kundi alilolichagua. Mpango wake wa wokovu ulikuwa kwa wote wayahudu na wasio wayahudi. + diff --git a/gal/03/10.md b/gal/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..fb777c66 --- /dev/null +++ b/gal/03/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Wale ambao wanategemea matendo ya sheria wako chini ya laana + +Kuwa chini ya laana inamaanisha kuwa umelaaniwa. Hapa inaonesha kuwa ni kuhukumiwa milele. " Wale wanaotegemea matendo ya sheria wamelaaniwa" au "Mungu atawahukumu hukumu ya milele wale ambao wanategemea matendo ya sheria" + +# Sasa ni wazi kwamba Mungu huhesabia + +Kile kilicho wazi huelezwa dhahiri. "Maandiko yako wazi" au "maandiko yanafundisha wazi wazi." + +# Mungu hamhesabii haki hata mmoja kwa sheria, + +kifungu hiki cha maneno kinaweza kuelezwa kwa kitenzi kitendaji. "Mungu hahesabu haki kwa mtu hata mmoja kwa njia ya sheria" + +# Mungu hamhesabii haki hata mmoja kwa sheria, + +Paulo anasahihisha imani yao kwamba kama wangeitii sheria, Mungu angewahesabia haki. "Hakuna hata mmoja ambaye anaweza kuhesabiwa haki mbele za Mungu kwa kutii sheria" au "Mungu hamhesabii mtu haki kwa utiifu wao wa sheria." + +# wenye haki + +Hii inarejelea watu wenye haki. "Watu wenye haki" au "Watu wale ambao Mungu huwaona ni wenye haki" + +# matendo ya sheria + +"Lazima kufanya yote yanayosemwa na sheria " + +# ishi kwa sheria + +Maanza zinazokubalika 1) Ni lazima kutii "ishi kulingana na" au "Jinyenyekeze kwa" au "salia mwaminifu kwa" au "tii" au "tekeleza" + +# wataishi kwa sheria + +Maana zinazowezekana ni: 1) "lazima kuzitii sheria zote" 2) atahukumiwa kwa sababu ya uwezo wake wa kuishi kama vile sheria zinamwagiza kutenda" + diff --git a/gal/03/13.md b/gal/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..77abc0f0 --- /dev/null +++ b/gal/03/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawakumbusha waumini hawa tena kwamba kutunza sheria kusingemwokoa mtu na kwamba sheria hazikuweza kuongeza hali mpya kwenye ahadi ya imani iliyotolewa kwa Ibrahimu. + +# kutoka laana ya sheria + +Nomino "laana" inaweza kuelezwa kwa kitenzi "laani" kutoka katika laana ya sheria" au " Kutoka katika laana ya kutokutii sheria." + +# alikuwa laana kwa ajili yetu + +Nomino "laana" inaweza kuelezwa kwa kitenzi "laani" "Kwa kulaaniwa kwa ajili yetu" au "Wakati Mungu alipomlaani badala yetu." + +# kutoka katika laana ya sheria wakati alipofanyika laana kwa ajili yetu......, "Amelaaniwa kila mtu ... + +Laana katika muktadha huu inawakilisha hukumu. "kutoka katika hukumu ya sheria...alihukumia badala yetu ....amehukumia mtu yeyote" + +# kuangikwa juu ya mti + +Paulo alitarajia hadhira yake kuelewa kwamba alikuwa akielezea kuangikwa kwa Yesu juu ya msalaba. + +# yaweza + +"yawezekana" au "ita" + +# sisi + +Neno 'sisi' linamjuisha Paulo pamoja na watu watakaosoma waraka huu. + diff --git a/gal/03/15.md b/gal/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..c381f9bf --- /dev/null +++ b/gal/03/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ndugu + +Hapa inamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni. + +# lugha za kibinadamu + +"kama mtu" au "mambo ambayo watu wengi huyaelewa" + +# Sasa + +Paulo anaonesha kuwa amejadili kanuni ya jumla na sasa anatambulisha jambo la kipekee. + +# kumaanisha wengi + +"kumaanisha uzao wa mwingi" + +# kwa kizazi chako + +Neno "chako" ni umoja, na unarejelea kwa mtu mmoja mahususi, ambaye ni uzao wa Ibrahimu ( na uzao huo unaainishwa kama "Kristo") + diff --git a/gal/03/17.md b/gal/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..fd8c5c76 --- /dev/null +++ b/gal/03/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa kuwa kama urithi ungelikuja kwa njia ya sheria, usingekuwa tena umekuja kwa njia ya ahadi + +Paulo anaongelea hali ambayo haipo ili kutia makazo kwamba urithi unakuja tu kwa njia ya ahadi. " Urithi unakuja kwetu kwa njia ya ahadi kwa sababu hatukuweza kutunza matakwa ya sheria za Mungu" + +# urithi + +Ni kupokea kile ambacho Mungu kwa maneno awewaahidi waumini kama ulivyo urithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia,na baraka za milele na ukombozi. + diff --git a/gal/03/19.md b/gal/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..d991251c --- /dev/null +++ b/gal/03/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawaambia waumini wa Galatia sababu ya Mungu kuwapa sheria. + +# Kwanini tena sheria ilitolewa? + +Paulo anatua swali katika kutambulisha mada ijayo anayotaka kuijadili. inaweza pia kutafsiriwa kama maelezo. "nitawaambia nini makusudi ya sheria. au "acheni niwaambie kwa kwanini Mungu aliwapa sheria? + +# Iliongezwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu aliiongeza" au"Mungu aliongeza sheria" + +# Sheria iliwekwa katika shinikizo kupitia malaika kwa mkono wa mpatanishi + +Hii inaweza kufasiriwa katika muundo tendaji. Mungu aliweka sheria kwa msaada wa malaika , na mpatanishi akaipisha au kuirasimisha" + +# Mpatanishi + +mwakilishi + +# mpatanishi anaashiria zaidi ya mtu mmoja, lakini Mungu ni mmoja + +Mungu alimwahidi Ibrahimu pasipo mpatanishi, lakini alimpa Musa sheria kupitia kwa mpatanishi. kutokana na hicho, wasomaji wa waraka wa Paulo walifikiri kwamaba sheria imeifanya ahadi isiwe na umuhimu. Paulo anaeleza kile ambacho wasomaji wake wanaweza kuwa wanafikiria. Naye atatoa maelezo yake katika mistari inayofuata. + diff --git a/gal/03/21.md b/gal/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..9a50d2df --- /dev/null +++ b/gal/03/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Neno "sisi" linarejelea wakristo wote. + +# badala ya + +"kinyume cha" au "katika mgongano na" + +# kama sheria ilikuwa imetolewa ilikuwa na uwezo wa kuleta uzima, + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji, na nomino dhahania "maisha" inaweza kutafsiriwa na kitenzi "ishi" "Kama Mungu angekuwa ametoa sheria inayowawezesha wote walioishika kuishi, tungekuwa wenye haki kwa kushika sheria" + +# andiko limefunga mambo yote chini ya dhambi. Mungu alifanya hivi ili kwamba ahadi yake ya kutuokoa sisi kwa imani katika Yesu Kristo iweze kupatikana kwa wale wanaoamini. + +Maana nyingine zinazowezekana ni: 1) "Kwa sababu wote tumetenda dhambi, Mungu aliweka mambo yote chini ya uongozi wa sheria kama kuwaweka katika kifungo, ili kwamba kile alichoahidi kwa hao ambao wenye imani katika Kristo Yesu aweze kuwapatia ambao wameamini" 2) "kwasababu tunatenda dhambi, Mungu ameweka mambo yote katika kifungo. Alifanya hivi kwasababu ya kile alichokiahidi katika Kristo Yesu awape wale wanaoamini" + +# maandiko + +Paulo anayaona maandiko kama alikuwaa ni mtu anaongea na Mungu, ambaye aliyaandika maandiko "Mungu" + diff --git a/gal/03/23.md b/gal/03/23.md new file mode 100644 index 00000000..499cfc5d --- /dev/null +++ b/gal/03/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawakumbushaWagalatia wote kwamba waumini wako huru katika familia ya Mungu, si watumwa chini ya sheria. + +# tulikuwa tumefungwa na kuwa chini ya sheria + +kifungu hiki cha maneno kinaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tenda. "sheria ilitufunga na tukawa kifunguni." au "sheria ilitunga gerezani." + +# tulikuwa tumefungwa na kuwa chini ya sheria + +Kwa namna ambavyo sheria zilituongoza ni kana kwamba sheria alikuwa mlinzi wa gereza aliyetushikilia. "sheria zilituongoza mfano wa mlinzi wa gereza" + +# hadi ufunuo wa imani + +Kifungu hiki cha maneno kinaweza kwa muundo tendaji. "mpaka Mungu alipodhihirisha kwamba huwahesabia wale wote wanaomtumaini Kristo" au "mpaka Mungu alipofunua kwamba huhesabia wale wote wenye imani katika Kristo" + +# mwangalizi + +Neno hili ni zaidi ya "mtu yule anayemwangalia mtoto." huyu alikuwa ni Mtumwa aliyewajibika na usimamizi wa kanuni na mwenendo uliotolewa na wazazi, na ambaye alitakiwa kutoa taarifa kwa wazazi juu ya matendo ya mtoto. + +# mpaka Kristo alipokuja + +"mpaka ule muda ambao Kristo alikuja" + +# ili tuweze kuhesabiwa haki + +Mungu alikusudia kutuhesabia haki kabla ya ujio wa Yesu. Yesu alipokuja , alitekeleza kusudi lake la kutuhesabia haki. Inaweza kuelezwa kwa muundo tenda" "Kwamba Mungu angetutangaza kuwa wenye haki" + diff --git a/gal/03/27.md b/gal/03/27.md new file mode 100644 index 00000000..75b75607 --- /dev/null +++ b/gal/03/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wenyewe mmejivika Kristo + +Maana zinazowezekana ni 1) "mmekuwa sawa kama na ubinadamu wa Kristo" au 2) " mmekuwa na mahusiano sawa na Mungu kama ya Kristo + +# Hakuna Myahudi wala Myunani, mtumwa wala huru, mwanaume wala mwanamke, + +Mungu anaona kuwa hakuna utofauti kati ya wayahudi na wayunani, mtumwa na mtu huru, mwanamme na mwanamke. + +# warithi + +Watu ambao Mungu amewapa ahadi wanaongelewa kama warithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia. + diff --git a/gal/04/01.md b/gal/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..69322421 --- /dev/null +++ b/gal/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli Unganishi + +Paulo anazidi kuwakumbusha wakristo wa Galatia kwamba Kristo alikuja kukomboa wale waliokuwa chini ya sheria, na kuwafanya wasiwe watumwa tena bali wana. + +# hakuna utofauti + +"kuwa sawa na " + +# waangalizi + +Watu wenye wajibu wa kisheria kuangalia watoto + +# wadhamini + +ni watu wanaoaminiwa na wengine kutunza vitu vyenye thamani + diff --git a/gal/04/03.md b/gal/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..08590168 --- /dev/null +++ b/gal/04/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +neno 'sisi' linarejelea Wakristo wote, na wasomaji wa nyaraka wa Paulo + +# Kanuni za kwanza za ulimwengu + +Maana zinazokubalika ni 1) inarejelea sheria na kanuni za kimaadili za ulimwengu 2) inarejelea nguvu za kiroho, ambazo baadhi ya watu wanadhani zinatawala kile kinachotokea duniani. + +# kukomboa + +Paulo anatumia sitiari ya Mtu aliyenunua tena mali zake alizozipoteza au kumnunulia uhuru mtumwa. hii ni picha ya Yesu aliyelipa deni la dhambi za watu kwa kufa pale msalabani. + +# Mwana + +Hili ni jina muhimu sana la Yesu, Mwana wa Mungu. + diff --git a/gal/04/06.md b/gal/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..c819e76d --- /dev/null +++ b/gal/04/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ninyi ni wana.....si watumwa tne bali wana + +Hapa Paulo anatumia neno la watoto wa kiume kwasababu ya jambo la Urithi.katika utamaduni wa wasomaji wake, urithi mara nyingi, lakini si mara zote, ulikuwa ni wa watoto wa kiume tu. Paulo alikuwa hapendelei watoto wa kiume na kuwatenga watoto wa kike hapa. + +# Mungu alimtuma Roho wa mwanawe ndani ya mioyo yetu, Roho aitaye, "Abba, Baba." + +Mungu Baba amemtuma Roho wa Mwana wa Mungu katika mioyo ya waumini. Sasa wanajua kuwa anawapenda wakati wote kama baba mwema anavyowapenda watoto wake. + +# Kutumwa kwa Roho wa Mwanawe ndani ya mioyo yetu. + +Neno moyo limetumika kuwakilisha sehemu ya mtu inayofikiria na kuhisi. "kutuma Roho ya Mwana wake kutuonyesha jinsi ya kufikiri na kutenda" + +# Mwana + +Hiki ni jina muhimu la Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Anayeita + +Roho ndiye anayeita + +# Abba, baba + +Hii ni namna ya mtoto anavyojieleza kwa baba yake katika lugha aliyokuwa akiitumia Paulo, ingawa si katika lugha iliyokuwa ikitumiwa na wasomaji wa Galatia. Ili kutunza lugha hiyo ngeni ni vema kulitafasiri kama linavyosikika kama "Abba" ikiwa lugha yako inavyoruhusu. + +# wewe si mtumwa tena bali ni mwana + +Paulo anawazungumzia wasomaji wake kana kwamba ni mtu mmoja, 'wewe' huu ni umoja. + +# warithi + +Watu ambao Mungu amewapa ahadi wanaongelewa kama warithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia + diff --git a/gal/04/08.md b/gal/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..a211d8cd --- /dev/null +++ b/gal/04/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentense unganishi + +Paulo anawakumbusha tena wasomaji wake kuwa wanajaribu tena kuishi chini ya sheria badala ya kuishi kwa imani. + +# Maelezo ya jumla + +Hapa Paulo anaendelea kuwakemea Wagalatia kwa kuwauliza maswali ya kejeli, yasiyohitaji majibu + +# Mnajulikana na Mungu + +inaweza pia kuelezwa kwa muundo tendaji kama "Mungu anawajua" + +# kwa nini mnarejea tena... kanuni? + +Hili swali la kwanza kati ya maswali mawili yanayo na majibu ndani yake. "Kuwa msirejee tena nyuma katika kanuni za awali." + +# Kanuni za awali + +Maana zinazokubalika ni 1) inarejelea sheria na kanuni za kimaadili za ulimwengu 2) inarejelea nguvu za kiroho, ambazo baadhi ya watu wanadhani zinatawala kile kinachotokea duniani. + +# Mnataka kuwa watumwa tena? + +Swali hili laweza kutafsiriwa kama maelezo tu "Hamtakiwi kuw mtumwa tena" au "Inaonyesha kuwa mnataka kuwa watumwa tena." + diff --git a/gal/04/10.md b/gal/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..f8711ba7 --- /dev/null +++ b/gal/04/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mnashika kwa uangalifu siku amaalumu, miandamo ya miezi, majira, na miaka + +Paulo anazungumzia juu yao kuwa waangalifu katika kusherehekea vipindi/nyakati fulani, wakiamini kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wenye haki. "mko makini katika kusherehekea siku na miandamo ya miezi na majira na miaka" + +# mnajitaabisha bure + +"kuwa katika hali ya kutofaa, "bila mafanikio" au "kukosa faida" + diff --git a/gal/04/12.md b/gal/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..c85b276b --- /dev/null +++ b/gal/04/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawakumbusha waumini wa Galatia jinsi walivyokuwa wema katkia kumhudumia wakati akiwa pamoja nao, na anawatia moyo kuendelea kumtumaini hata wakati asipokuwa pamoja nao. + +# Sihi + +Neno hili linamaanisha kuomba kwa nguvu. Hili si neno lililotumika kuomba pesa, chakula au kitu kingine chochote cha mahitaji. + +# Ndugu + +Hapa linamaanisha wakristo wote wa kike na wakiume, ndugu walio katika Kristo ni washirika wa familia moja ya kiroho, pamoja na Mungu Baba yao wa mbinguni. + +# Hamjanitenda kosa + +kwa kutumia maneno haya, Paulo anatilia mkazo kwa Wagalatia walihudumia vizuri sana "Mlinitunza vizuri sana", au "mlinitunza kama mlivyopaswa" + +# Ingawa afya yangu iliwaweka katika jaribu + +"Ingawa ilikuwa vigumu kuniona mimi wakati nikiwa mgonjwa" + +# kudharau + +kuchukia sana + diff --git a/gal/04/15.md b/gal/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..fafe6b8d --- /dev/null +++ b/gal/04/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nimekuwa adui kwenu kwa kuwambia ukweli? + +Mnaonekana kufikiri kuwa nimekuwa adui yenu kwa kusema ukweli kwenu? + diff --git a/gal/04/17.md b/gal/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..31ceba12 --- /dev/null +++ b/gal/04/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa huruma wanawatafuta...muwafuate... + +"kuwashawishi ili muungane pamoja nao. Paulo anaonyesha nia ya walimu wa uongo iliyokuwepo, walionyesha huruma kwa Wagalatia ili wawafuate wao kwa lengo la kuwaondoa kwenye kweli. + +# kuwatenganisha + +"kuwatenganisha ninyi na mimi" au "kuwafanya mwache kuwa waaminifu kwangu" + +# kwa shauku + +Shauku ya Kufanya kile wanachowaambia + diff --git a/gal/04/19.md b/gal/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..aabad09a --- /dev/null +++ b/gal/04/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawaambia waumini kwamba neema na sheria haziwezi kufanya kazi kwa pamoja. + +# Watoto wangu wadogo + +Hii ni sitiari kurejelea wanafunzi au wafuasi. " Ninyi mlio wanafunzi kwasababu yangu." + +# Nateseka kwa uchungu mkali kama wa mwanamke azaapo mpaka Kristo aumbike ndani yenu. + +Paulo anatumia neno 'uchungu" kama lugha ya picha kuonesha namna alivyojihusisha na Wagalatia. "Niko katika mateso ni kana kwamba nimekuwa mwanamke aliyeshikwa na utungu wa kuwazaa, na nitaendelea kuwa katika mateso mpaka Kristo atakapowatawala maisha yenu kikweli kweli. + diff --git a/gal/04/21.md b/gal/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..437f5999 --- /dev/null +++ b/gal/04/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Niambieni + +Ni hali ya kutaka kuuliza swali au ninataka kuwaambia jambo fulani + +# Hamsikii sheria isemavyo? + +Paulo anatoa utangulizi kwa jambo analokusudia kulisema baadaye. "Mnapaswa kujifunza vile sheria isemavyo" ama "niwaeleze sheria isemavyo" + diff --git a/gal/04/24.md b/gal/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..7dd57982 --- /dev/null +++ b/gal/04/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaanza habari kwa kueleza ukweli kuwa neema na sheria haziwezi kuwa sehemu moja kwa pamoja na kwa wakati mmoja. + +# Mambo haya yanaweza kuelezwa kwa kutumia mfano, + +"Habari hii ya wana wawili ni picha hii ya kile ninachowambieni sasa." + +# mfano + +Mfano ni namna ya kiuandishi uliotumika kutoa maana fulani, mfano; watu na vitu vimetumika kuwakilisha vitu vingine au maana fulani. Katika mfano huu wa Paulo, wanawake wawili wametumika kurejelea aina mbili za maagano 4:21. + +# Mlima Sinai + +Mlima Sinai umetumika kama kiwakilishi cha sheria. Ni mahali Musa alipopokea mbao mbili za sheria kwa ajili ya wana wa Waisrael. + +# Huzaa watoto ambao ni watumwa + +Paulo anaiona sheria kama vile ni mtu. Watu waliochini ya agano la sheria ni watumwa wanaopaswa kuitii sheria. + +# Fananishwa + +Ni mifano yenye kutoa picha ya kuleta maana fulani. + +# Yuko katika utumwa pamoja na watoto wake + +Hajiri ni mtumwa na watoto wake wako utumwani pamoja naye. Yerusalemu ni kama Hajiri na watoto wake ni watumwa pamoja naye. + diff --git a/gal/04/26.md b/gal/04/26.md new file mode 100644 index 00000000..656ad2d3 --- /dev/null +++ b/gal/04/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huru + +Hapa huru inamaanisha hali ya kutofungwa, kutokuwa mtumwa. + +# Furahi + +Changamka, shangilia, kuwa na furaha. + +# uliye tasa, wewe usiye zaa...... wewe ambaye huna uzoefu wa kuzaa. + +Neno hili 'wewe' kwa hapa linamrejelea mwanamke tasa na liko katika hali ya umoja. + diff --git a/gal/04/28.md b/gal/04/28.md new file mode 100644 index 00000000..534cc6b4 --- /dev/null +++ b/gal/04/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndugu + +Neno linalomaanisha wafuasi wa Kristo wote wa kiume na wa kike. Waumini wote wa Yesu Kristo ni jamii moja na familia moja ya kiroho iko pamoja na Mungu Baba yao wa mbinguni. + +# watoto wa ahadi + +Maana zinazokuballika kwa Wagalatia kuwa watoto wa Mungu ni 1) kwa kuziamini ahadi za Mungu 2) kwasababu Mungu anatenda miujiza katika kutimiza ahadi zake kwa Ibrahimu, kwanza kwa kumpa Ibrahimu mwana na pia kwa kuwafanya Wagalatia watoto wa Ibrahimu na wa Mungu pia. + +# Kutokana na mwili + +Neno hili linafafanua kitendo cha Ibrahimu kuwa Baba wa Ishmael kwa kumtwaa Hajiri kuwa mke wake. "Kwa matendo ya kibinadamu" au 'Kwasababu ya kile watu walichokifanya." + +# Kutokana na Roho + +Kwasababu ya uongozi wa Roho katika kutimiza mapenzi yake. + diff --git a/gal/04/30.md b/gal/04/30.md new file mode 100644 index 00000000..51b80334 --- /dev/null +++ b/gal/04/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ndugu + +Neno linalomaanisha wafuasi wa Kristo wote wa kiume na wa kike. Waumini wote wa Yesu Kristo ni jamii moja na familia moja ya kiroho iko pamoja na Mungu Baba yao wa mbinguni. + +# bali ni wa mwanamke huru + +Maneno yaliyoachwa nje yanaweza yakapachikwa hapa "lakini badala yake, sisi ni watoto wa mwanamke huru." + diff --git a/gal/05/01.md b/gal/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..68a6860b --- /dev/null +++ b/gal/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anatumia mfano kwa kuwakumbusha waumini kutumia uhuru wao katika Kristo kwa sababu sheria yote imekamilika katika kumpenda jirani kama sisi wenyewe. + +# Ni kwa Uhuru + +Tafsiri inahitaji kusisitiza "uhuru" kinyume cha utumwa uliozungumzwa katika mistari iliyotangulia + +# Ni kwa uhuru ambao Kristo ametuweka sisi huru + +"ili kwamba tuweze kuwa kuwa huru maana Kristo ametuweka huru" + +# simameni imara + +kusimama imara hapa inawakilisha hali ya kutobadilika. Hali ya kutobadilika inaweza kuelezwa kwa uwazi. "msikubali hoja za watu wengine wanaowafundisha vitu tofauti" au " dhamirieni kuwa huru" + +# kama mtakuwa mmetahiriwa + +Paulo anatumia neno 'tohara' kama lugha ya mfano au picha kumaanisha dini ya kiyahudi. "Kama mtarudi kwenye Dini ya Kiyahudi" + diff --git a/gal/05/03.md b/gal/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..8da8524a --- /dev/null +++ b/gal/05/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# shuhudia + +"tangaza" au "tumika kama shahidi" + +# kwa kila mtu aliyetahiriwa + +Paulo anatumia neno 'tohara' kama kwa kumaanisha hali ya kuwa Myahudi. "kwa kila mtu ambaye amekuwa Myahudi" + +# wajibika + +"amefungwa" au "zuiliwa" au "kufanywa kuwa watumwa" + +# Ninyi mmetengwa ktoka kwa Kristo + +"Ninyi mmekomesha au kusitisha uhusiano wenu na Kristo" + +# ninyi wote "mnaohesabiwa haki" kwa sheria + +Paulo anaongea kwa kinyume hapa. Anafundisha hasa kwamba hakuna Myahudi anayeweza kuhesabiwa haki kwa kufanya matendo yanayotakiwa na sheria. "ninyi wote mnaodhani mnaweza kuhesabiwa haki kwa kufanya matendo yanayotakiwa na sheria" au " ninyi mnataka kuhesabiwa haki kwa njia ya sheria" + +# Ninyi mmeanguka mbali na neema + +Yule anayetoa neema anaweza kuelezwa kwa uwazi zaidi. "Mungu hatawaonesha neema yake kwenu" + diff --git a/gal/05/05.md b/gal/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..0ec37731 --- /dev/null +++ b/gal/05/05.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya jumla + +hapa, neno 'sisi' linarejelea kwa Paulo na wale wanaopinga tohara ya Wakristo. Yeye bila shaka wakiwemo na Wagalatia. + +# Kwa kuwa + +"Hii ni kwa sababu" + +# kwa imani, tunasubiri tumaini la haki + +Maana zinazokubalika ni 1) "Tunasubiri kwa imani tumaini la haki" au 2) "tunasubiri tumaini la haki ambalo linakuja kwa imani." + +# tunasubiri kwa hamu tumaini la haki + +"Tunasubiri kwa uvumilivu na kwa shauku kuwa Mungu atatufanya wenye haki pamoja naye milele, na tunamtarajia kuwa Mungu atafanya hivyo. + +# kutahiriwa au kutokutahiriwa + +maneno ya mfano yakimaanisha kuwa Myahudi or Mmataifa yaani asiye myahudi. "si kwa kuwa myahudi au kutokuwa myahudi" + +# Ni imani pekee inayofanya kazi kupitia upendo + +"Badala ya hiyo, Mungu anajishughulisha na imani yetu katika yeye, ambayo tunaionesha kwa kuwapenda wengine + +# humaanisha kitu + +ina thamani + +# Mlikuwa mnapiga mbio + +"Mlikuwa mnafanya kile mlichofunzwa na Yesu" + +# Ushawishi wa kufanya hivyo hautoki kwake yeye anayewaita ninyi + +"Yule anayewashawishi kufanya hivyo siyo Mungu, anayewaita" + +# yeye anayewaita + +kusudi la kuwaita laweza kuelezwa hapa wazi. "yeye aliyewaita muwe watu wake" + +# ushawishi + +Kumshawishi mtu fulani ni kumfanya mtu huyo abadili kile anachoamini na hivyo kutenda tofauti. + diff --git a/gal/05/09.md b/gal/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..46751021 --- /dev/null +++ b/gal/05/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hamtafikiri kwa njia nyingine yoyote + +"hamtaamini kitu chochote totauti na kile ninachowaambia" + +# yeyote yule atakayepotosha atabeba hukumu + +" Mungu atamwadhibu mtu huyo anayewapotosha na kuwasumbua" + +# Anayewapotosha ninyi + +"anayesababisha ninyi mkose uhakika wa kipi ni kweli" au "kuinua shida miongoni mwenu" + +# Yeyote awaye + +Maana zinazokubalika ni 1) Paulo hajui majina ya watu wanaowaambia Wagalatia kwamba wanahitaji kutii Sheria ya Musa au 2) Paulo hataki Wagalatia washughulike kujua kama wale wanaowasumbua ni matajiri au maskini au wakubwa au wadogo au wenye au wasio na dini + diff --git a/gal/05/11.md b/gal/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..29e3a645 --- /dev/null +++ b/gal/05/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ndugu, kama naendelea kutangaza tohara, kwa nini bado ninateswa? + +Paulo anaelezea hali ambayo haipo kwa kukazia kuwa watu wanamtesa kwasababu hahubiri watu wawe wayahudi. Hii yaweza pia kuelezwa kwa muundo tendaji. " ndugu mwaweza kuona kuwa siendelei kutangaza habari za tohara kwa sababu wayahudi wananitesa" + +# Ndugu + +"Ndugu." Neno la kiswahili "ndugu" linamaanisha watu wa kike na wa kiume. + +# Kwa suala hilo kile ambacho ni kizuizi cha msalaba kitaweza kuharibiwa + +Paulo anaelezea juu ya hali ambayo haipo ili kukazia kwamba watu wanamtesa kwasababu anahubiri kwamba Mungu huwasamehe watu kwasababu ya kazi ya Yesu juu ya msalaba. + +# jambo hilo + +"kama ningekuwa bado ninasema kwamba watu wanatakiwa kuwa wayahudi" + +# kizuizi cha msalaba kimeondolewa + +msemo huu waweza kuelezwa kwa muundo tenda: kwamba ujumbe kuhusu msalaba hauna kizuizi" au " hakuna kizuizi chochote katika mafundisho ya msalaba yanaweza kuwafanya watu wajikwae." + +# kizuizi cha msalaba kimeondolewa + +kujikwaa inawakilisha hali ya kutenda dhambi, na kizuizi inamaanisha kitu kile kinachowafanya watu watende dhambi. katika jambo hili, dhambi ni kuukataa ukweli wa mafundisho kwamba watu wanatakiwa kuamini kuwa Yesus Kristo alikufa msalabani ili watu wawe na haki mbele za Mungu. "Mafundisho juu ya msalaba yanayowafanya watu kuukataa ukweli yamekwisha kuondolewa" + +# watajihasi wenyewe + +Maana zinazokubalika ni 1) kukata viungo vyao vya kiume ili wawe matowashi au 2) kujikata au kujiondoa wenyewe kutoka katika ushirika wa watu wa Mungu + diff --git a/gal/05/13.md b/gal/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..0966c5cd --- /dev/null +++ b/gal/05/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa kuwa + +Paulo anatoa sababu kwa maneno yake yaliyo katika 5:11: + +# Mmeitwa katika uhuru + +kifungu hiki cha maneno chaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu amewaita katika uhuru" + +# Mungu amewaiteni ninyi kwenye uhuru. + +Maana zinazokubalika ni 1) Mungu amewachagua ninyi kuwa watu wake ili kwamba muwe huru au 2) Mungu ameamuru ninyi muwe huru. + +# Ndugu + +Ndugu hurejea kwa wakristo wa " kiume na wa kike" + +# fursa kwa ajili ya mwili + +"nafasi ya kufanya kile kinachoridhisha asili yenu ya dhambi," Hii inarejelea hasa vitu ambavyo vinaleta madhara kwa mtu mwenyewe binafsi au majirani + +# sheria yote imekamilika katika amri moja + +Maana zinazokubalika ni 1) "unaweza kueleza sheria yote katika amri moja, ambayo ni hii" au 2) kwa kutii amri moja, unatii amri zote, na hiyo amri ni hii." + +# Ni lazima umpende jirani yako kama wewe mwenyewe + +maneno "wewe," "yako," na "wewe mwenyewe" yote yako katika umoja + diff --git a/gal/05/16.md b/gal/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..c49ac087 --- /dev/null +++ b/gal/05/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaeleza jinsi Roho anavyo na mamlaka dhidi ya dhambi + +# tembea kwa kwa Roho + +Kutembea ni mfano wa kuishi. "enendeni katika maisha yenu katika nguvu za Roho Mtakatifu" au "ishi maisha yako kwa kumtegemea Roho" + +# hamtazitimiza tamaa za mwili + +"hamatazifanya dhambi ambazo mnataka kuzifanya kwa sababu mko binadamu" + +# hamko chini ya sheria + +Hamuwajibiki kutii sheria ya Musa + diff --git a/gal/05/19.md b/gal/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..bda0aa17 --- /dev/null +++ b/gal/05/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# matendo ya mwili + +Paulo anatumia neno "mwili" kama sitiari au mfano unaowakilishi asili ya mwanadamu."mambo yanayofanywa kama matokeo ya utu wa dhambi ya asili ya mtu" + +# kurithi + +Kupokea kile ambacho Mungu amekwisha kuwaahidi waumini kama kurithi mali na utajiri kutoka kwa mwana familia. + diff --git a/gal/05/22.md b/gal/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..1f1f37ed --- /dev/null +++ b/gal/05/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tunda la Roho ni upendo...kiasi + +Paulo anatumia sitiari kuonesha kile ambacho watu wanaweza kukiona kwa watu wengine. "Watu ambao wanaongozwa na Roho wataonesha upendo ...kiasi kama vile mti unavyozaa tunda." + +# tunda la roho + +Ni kile ambacho Roho huzalisha" + +# wameusulibisha mwili pamoja na shauku na tamaa zake mbaya + +Paulo anaongelea Wakristo ambao huzuia tamaa mbaya kana kwamba tamaa hizo walikuwa ni watu ambao wakristo walikuwa wakiwaua. "tumeua asili yetu ya dunia pamoja na tamaa na hamu zake mbaya kana kwamba tumezisulubisha kwenye msalaba." + diff --git a/gal/05/25.md b/gal/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..db6552c2 --- /dev/null +++ b/gal/05/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama tukiishi kwa Roho + +"Tangu Roho wa Mungu alipotufanya kuwa hai" + +# tembea kwa Roho + +Neno 'kutembea' ni sitiari kuonesha maisha ya kila siku. "mruhusu Roho Mtakatifu awaogoze ili kwamba tufanye mambo yanayompendeza na kumheshimu Mungu. + +# tu + +"tunapaswa" + diff --git a/gal/06/01.md b/gal/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..79cf937e --- /dev/null +++ b/gal/06/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# sentensi Unganishi + +Paulo alifundisha waamini jinsi wanavyopaswa kuwatendea waamini na jinsi Mungu anavyowapa thawabu. + +# Ndugu + +Lina maana ya jamaa ya Wakristo ikijumuisha kwa pamoja wanaume na wanawake, kwa kuwa waamini wote ndani ya Kristo ni wana familia moja ya kiroho na Mungu akiwa Baba yao wa mbinguni. + +# Ikiwa mtu + +"ikiwa mtu mmoja" au "mtu mmoja wapo miongoni mwenu" + +# amekamatwa katika makosa/dhambi + +Maana zinazokubalika hapa ni 1) mtu amepatikana katika tendo, " amekamatwa katika kitendo cha dhambi," au 2) mtu amefanya dhambi bila kudhamiria kufanya uovu," ''amefanya dhambi." + +# ninyi mlio wa kiroho + +"wale wanaoongozwa na Roho" au " ninyi mnaoishi chini ya uongozi wa Roho" + +# mrejeshe huyo mtu + +"msahihishe huyo mtu aliyefanya dhambi" au "mtie moyo aliyefanya dhambi aweze kurudia mahusiano sahihi na Mungu." + +# katika roho ya upole + +Maana zinazokubalika 1) Roho anamwelekeza mtu mwenye kutoa masahihisho au 2)" kwa mtazamo wa upole" au kwa njia ya upole" au "kwa hali ya uzuri". + +# Huku ukijiangalia mwenyewe + +maneno haya yanahusu Wagalatia kana kwamba ni mtu mmoja, lengo ni kutilia mkazo kwamba anaongea na mtu mmoja binafsi. "Jiangalie binafsi" au "ninamwambia kila mmoja wenu" "Jiangalie mwenyewe" + +# ili msijaribiwe + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. ''ili kwamba kisiwepo kitu cha kuwajaribu ninyi kutenda dhambi" + diff --git a/gal/06/03.md b/gal/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..1c462da1 --- /dev/null +++ b/gal/06/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ikiwa + +"Kwa sababu." Hii neno inaonyesha kwamba maneno anayosema baadaye yatoa sababu za kwa nini Wagalatia lazima 1) "kuchukuliana mizigo" 6:1 au 2)kuwa waangalifu ili na wao wenyewe wasije wakajaribiwa (6:1) au " wasije wakajivuna (5:1) + +# yeye ni kitu + +yeye ni mtu muhimu 'au' yeye ni bora kuliko ya wengine + +# Yeye si kitu + +Yeye si muhimu 'au' hana bora kuliko ya wengine + +# Kila mmoja anapaswa + +"Kila mtu lazima" + +# kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe + +Kila mtu atahukumiwa kwa kazi yake mwenyewe tu' au 'kila mtu atawajibika kwa kazi yake mwenyewe tu" + +# kila mmoja ata.. + +"Kila mtu ata..." + diff --git a/gal/06/06.md b/gal/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..898453e6 --- /dev/null +++ b/gal/06/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Mmoja wapo + +"Mtu" + +# neno + +Hapa hii ina maana kila kitu ambacho Mungu amesema au ameamuru, kama "neno la Mungu" au "ujumbe wa kweli." + +# Kila apandacho mtu, ndicho atakachovuna pia + +kupanda kunamaanisha kufanya jambo fulani ambalo matokeo yake yanafanana na kitendo chenyewe. kuvuna inawakilisha matokeo ya kile ambacho mtu amefanya. "kama vile mkulima avunavyo matunda ya kile kile alichokipanda. hivyo basi, kila mtu atapata matokeo ya kile anachokifanya. + +# Mtu ... yake + +Paulo habainishi wanaume hapa. AT "mtu ... mtu huyo" + +# kupanda katika mwili wake + +Neno 'mwili' ni lugha ya pich kuonesha asili ya dhambi ya mtu. "hupanda mbegu sawa na matakwa ya dhambi ya asili" Anafanya mambo asili yake ya dhambi anataka kufanya" + +# atavuna uharibifu kutokana na mwili wake + +'Atapokea adhabu kwa ajili ya kile kilichofanywa na mwili wake wenye dhambi ' + +# kupanda katika Roho + +"Anafanya mambo ya Roho wa Mungu apendayo" + +# Atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho + +'Kupokea uzima wa milele kama zawadi kutoka kwa Roho wa Mungu' + diff --git a/gal/06/09.md b/gal/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..5fbb93f2 --- /dev/null +++ b/gal/06/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tusichoke katika kutenda mema + +"Tunatakiwa kuendelea kutenda mema" + +# kutenda mema + +kufanya mema kwa ustawi wa watu wengine + +# wakati wake + +"kwa wakati muafaka" au " kwa wakati ambao Mungu ameuchagua" + +# Hivyo basi, + +"kama matoke ya" au "kwasababu ya " + +# hasa kwa walio + +"hasa kwa wale" au "mahususi kwa wale" + +# walio ndani ya imani + +"kwa wale walio wana familia ya Mungu kupitia imani katika Yesu" + diff --git a/gal/06/11.md b/gal/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..825485e5 --- /dev/null +++ b/gal/06/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Paulo akikaribia kufunga waraka wake, anawakumbusha jambo moja zaidi kwamba sheria haiokoi na kwamba wanatakiwa kuumbuka msalaba wa Yesu + +# barua kubwa + +Hii inaweza kumaanisha kwamba Paulo anasisitiza 1)maelezo yanayofuata au 2) kwamba barua hii ilitoka kwake. + +# kwa mkono wangu + +Maana zinazokubalika 1)Huenda Paulo alikuwa na msaidizi ambaye aliandika mambo mengi katika barua hii kama vile Paulo alimwambia kuandika, lakini Paulo mwenyewe aliandika sehemu hii ya mwisho ya barua au 2) Paulo aliandika barua hii yote yeye mwenyewe. + +# kufanya mema kwa kuwashawishi + +"kuwafanya wengine wawafikirie vizuri" au kuwafany wengine wafikiri kuwa wao ni watu wazuri" + +# katika mwili + +"kwa ushahidi wa kuonekana" au " kwa juhudi zao" + +# kulazimisha + +"kushurutisha" au kushawishi kwa nguvu" + +# Wanafanya hivyo kwa sababu wasiingie kwenye mateso ya msalaba wa Kristo + +"ili kwamba Wayahudi wasiwatese kwa kusema kuwa msalaba wa Kristo pekee huokoa watu" + +# msalaba + +Msalaba hapa unawakilisha kile ambacho Kristo alifanya kwa ajili yetu alipokufa pale msalabani. "Kazi aliyoifanya juu ya msalaba" au " kifo na ufufuo wa Yesu" + +# wanataka + +"watu wale wanaowataka nyie mtahiriwe" + +# ili waweze kujivunia miili yenu + +"ili kwamba wajivune kwa kuwa watakuwa wamewaongeza kwa watu wale wanaoshika sheria." + diff --git a/gal/06/14.md b/gal/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..7f561d4f --- /dev/null +++ b/gal/06/14.md @@ -0,0 +1,33 @@ +# Isitokee nikajivuna isipokuwa kwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo + +"sitaki kujivunia kitu chochote zaidi ya msalaba" + +# ulimwengu umesulubiwa kwangu + +Tungo hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji: "Ninadhani duniani tayari imekwisha kufa" au " naichukulia dunia kama ni mharifu ambaye Mungu amemuua msalabani" + +# kwa ulimwengu + +maneno "nimesulubiwa" yanaeleweka vizuri kutoka na maneno yaliyotangulia kabla ya haya. " na nimesulubishwa katika ulimwengu" + +# kwa ulimwengu + +Maana zinazokubalika ni) Ulimwengu unadhania kuwa mimi tayari nimeshakufa" au "dunia inanichukulia mimi kama mharifu ambaye Mungu amemuua msalabani" + +# Ulimwengu + +maana zinazokubalika ni 1) watu wa dunia, wale ambao hawamjali Mungu au 2) mambo yale ambayo watu wasiomjua Mungu hufikiri ni ya muhimu. + +# kuwa si kitu + +"ni muhimu" kwa Mungu + +# uzao mpya + +maana inawezekana ni 1) muumini mpya katika Yesu Kristo au 2) maisha mapya katika muumini. + +# amani na rehema juu yao, na Israeli wa Mungu + +maana zinazoweza kukubalika ni 1) kwamba waumini kwa ujumla ni Israeli ya Mungu au 2) "amani na rehema ziwe juu ya waamini wa Mataifa na juu ya Israeli ya Mungu +" au 3) "amani na iwe juu ya wale wanaofuata kanuni , na inaweza rehema ziwe hata juu ya Israeli ya Mungu. " + diff --git a/gal/06/17.md b/gal/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..ee0222f3 --- /dev/null +++ b/gal/06/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tangu sasa + +Hii inaweza kumaanisha "mwisho" au "kwa kuhitimisha barua hii" + +# mtu yeyote asinitaabishe + +Maana zinaweza kukubalika ni 1) Paulo anawaamuru Wagalatia wasimtaabishe "Ninawaamuru kwamba : "msinitaabishe" au 2)Paulo anawaambia Wagalatia kwamba anaagiza watu wote wasimtaabishe. "Ninamwamuru kila mmoja kwamba: usinitaabishe" au 3) Paulo anaeleza matakwa yake, "sitaki mtu yeyote anitaabishe" + +# kunitesa mimi + +Maana zinazokubalika ni 1) "kuniambia mambo haya" au 2) kunisababishia matatizo" au "kunipa kazi ngumu." + +# maana nimebeba chapa za Yesu mwilini mwangu + +"NIna makovuya vidonda katika mwili wangu kwa sababu ya huduma yangu kwa Yesu" au "Bado nina alama ya makovu katika mwili wangu kwasababu mimi ni mali ya Yesu" + +# Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho + +"Ninaomba kwamba Bwana Yesu atakuwa mwema katika roho zenu" + +# ndugu + +Hapa neno 'ndugu' linamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni. + diff --git a/heb/01/01.md b/heb/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..5aac9c74 --- /dev/null +++ b/heb/01/01.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Hii inaweka msingi wa kitabu chote: Ukuu wa Mwana- Mwana ni mkuu kuliko wote. Kitabu kinaanza na msisitizo kwamba Mwana ni mkuu kuliko manabii na malaika. + +# Maelezo ya Jumla: + +Ingawa haijaelezwa mwanzoni mwa kitabu, barua hii iliandikwa kwa Waebrania Wakati (Wayahudi) ambao kimsingi walikuwa wanaelewa maelekezo mengi ya Agano la Kale. + +# Kupitia Mwana + +''Mwana" ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Mungu kuwa mrithi wa vitu vyote + +Mwandishi anamwelezea kana kwamba Mwana atarithi utajiri na mali kutoka kwa Baba. AT: " kumilili vitu vyote" + +# Mungu aliuumba ulimwengu kupitia yeye + +"Ni kupitia yeye pia Mungu aliviumba vitu vyote. + +# Mwana + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# mng'ao wa utukufu wa Mungu + +"mwanga wa utukufu wake.'Utukufu wa Mungu una muunganiko wa mng'ao sana. Mwandishi anasema Mwana anabeba mng'ao huo na anamwakilisha Mungu kwa ukamilifu. + +# tabia sawa ya asili yake + +"sura ya Uungu wa mungu." Hii ina maana sawa na "mng'ao wa utukufu wa Mungu" Mwana anabeba tabia na asili ya Mungu na anawakilisha uungu wote wa Mungu. inaweza kusemwa katika + +# neno la nguvu zake + +"neno lake la nguv." Hapa "neno" linamaanisha ujumbe au amri. AT: "amri yake ya nguvu" + +# Baada ya kufanya utakaso kwa ajili ya dhambi + +Jina dhaniwa"takasa" linaweza kuelezea kama kitenzi: "kufanya safi." AT: "Baada ya kumaliza kutufanya kuwa safi' au baada ya kumaliza kututakasa kutoka katika dhambi zetu" + +# amefanya utakaso kwa ajili yetu + +Mwandishi anaongea juu ya msamaha wa dhambi kana kwamba ulikuwa unamfanya mtu kuwa safi. AT: amefanya uwezekano kwa ajili ya Mungu kusamehe dhambi" + +# aliketi katika mkono wake wa kuume wa mwenye enzi" + +Hapa "mkono wa kulia" linamaanisha sehemu ya utukufu.AT: "aliketi katika sehemu ya utukufu karibu na kwenye enzi" + +# Mwenye enzi aketiye juu + +"Hapa "enzi" linamaanisha Mungu. AT: "Mungu mwenye enzi + diff --git a/heb/01/04.md b/heb/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..43330de1 --- /dev/null +++ b/heb/01/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# maelezo ya Jumla: + +Hii ni nukuu ya kinabii (Wewe mwanangu) inatoka katika Zaburi. Nabii Samweli aliandika unabii wa pili (nitakuwa baba kwake). Maneno yote ambaye yanamaanisha Yesu. Neno "Wewe" linamaana ya Yesu, na neno "Mimi" linamaanisha Mungu Baba. + +# Amekuwa + +''Mwana amefanyika" + +# Kama jina alilorithi ni bora zaidi ya majina yao Kwa malaika gani aliwahi kusema ...baba"? + +Mwanaidishi anaongea katika swala la kupokea heshima na mamlaka kana kwamba alikuwa akirithi utajiri na mali kutoka kw baba yake.AT: "amepokea." + +# Ni malaika wapi Mungu alimewahi kuwambia "Wewe ni mwanangu... mwana kwangu"? + +Swali linasistiza kuwa Mungu hamwita malaika yeyote mwana wake. AT: " kwa sababu Mungu hajawahi kumwabia malaika yeyote 'Wewe ni mwana wangu... mwana kwangu." + +# Na tena...kwangu + +"Na tena, hakuwahi kusema kwa malaika yeyote, '...kwangu'?" + +# Wewe ni mwanangu...nimekuwa baba yako...nitakuwa baba kwake...atakuwa mwana kwangu + +Uhusiano maalumu Mungu Baba alionao na Mungu Mwana umeelezwa katika Agno la Kale mamia ya miaka kabla ya Yesu kuzaliwa. + +# Wewe ni mwanangu... nimekuwa baba yako + +maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kimoja. + diff --git a/heb/01/06.md b/heb/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..22a82486 --- /dev/null +++ b/heb/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu ya kwanza katika sehemu hii (Malaika wote wa Mungu...) inatoka katika moja ya kitabu alivyoandika Musa. Na nukuu ya pili (Yeye afanyaye ...) inatoka katika kitabu cha Zaburi. + +# Mzaliwa wa kwanza + +Hii inamanisha Yesu.Mwandishi anamwelezea Yesu kama "mzaliwa wa kwanza" kusisitiza umuhimu na mamlaka juu ya mtu yeyote. Haina maana ya kuwa kulikuwa na wakati fulani ambao Yesu hakuwepo au kwamba Mungu alikuwa na wana kama Yesu. AT: "Mwana wake mheshimiwa, Mwana wake wa pekee. + +# akasema + +"Mungu anasema" + +# Yeye awafanyaye malaika wake roho, na watumishi wake miali ya moto + +Maana inayowezekana: 1) "Mungu amewafanya malaika wae kuwa roho zinazomtumikia kwa nguvu kama miali ya moto." (UDB) au 2)Mungu hufanya upepo na miali ya moto kuwa "watumwa" na watumishi wake. Katika lugha za asili neno "malaika" ni sawa na neno "mtumishi," na neno "roho" ni sawa na "upepo." Kwa maana yoyote ile ujumbe kusudiwa ni kwamba malaika wanamtumika Mwana kwa kuwa ni mkuu, + diff --git a/heb/01/08.md b/heb/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..9d68599c --- /dev/null +++ b/heb/01/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii ya andiko inatoka katika kitabu cha Zaburi + +# Kuhusu Mwana anasema, + +"Lakini Mungu asema hivi kuhusu Mwana" + +# Mwana + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele + +Kiti cha enzi kinawakilisha utawala. AT: " Wewe ni Mungun na utawala wako utadumu milele" + +# fimbo yako ya ufalme ni ya haki + +Fimbo yautawala inamaanisha utawala wa Mwana. AT: "Na utatawala juu ya watu katika ufalme wako kwa haki" + +# amekupaka mafuta ya furaha zaidi ya wenzako + +Hapa "mafuta ya furaha" inamaanisha furaha aliyokuwa nayo wakati Mungu alipo muheshimu. AT:"amekuheshimu na amekufanya kuwa na furaha zaidi ya yeyote. + diff --git a/heb/01/10.md b/heb/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..4acd52a1 --- /dev/null +++ b/heb/01/10.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwanadishi anaendelea kufanua kwamba Yesu ni mkuu kwa malaika. + +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii inatoka katika Zaburi. + +# Hapo mwanzo + +"Kabla ya kitu chochote hakijakiwapo" + +# uliweka misingi ya nchi + +Mwandishi anaongea Mungu kuumba dunia kana kwamba anajenga juu ya msingi. AT: " uliumba dunia" + +# Mbingu ni kazi za mikono yako + +Hapa "mikono" inamaanisha nguvu na matendo ya Mungu.AT: "uliziumba mbingu" + +# Zitaharibika + +"Mbingu na nchi zitapotea" au " mbingu na nchi hazitakuwepo tena" + +# zitachakaa kama kipande cha nguo + +Mwandishi anaongea juu mbingu na nchi kama ilikuwa ni kipande cha vazi ambayo itazeeka na mwishowe na kutofaa. + +# atazianua kama vazi + +Mwandishi anaongea kana kwamba mbingu na na nchi ni nguo au aina nyingine ya vazi. + +# Vitabadilishwa kama kipande cha nguo + +Mwandishi anaongea juu ya mbingu na na nchi kana kwamba ni nguo ambazo zinaweza kubadlishwa + +# zitabadilishwa + +Hii inaweza kusema katika muundo tendaji. AT: "utazibadilisha" + +# Miaka yako haina mwisho + +Vipindi vya nyakati vinatumika kuwakilisha Uwepo wa Mungu wa milele.AT: "maisha yako hayatakuwa na mwisho" + diff --git a/heb/01/13.md b/heb/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..c1af8b34 --- /dev/null +++ b/heb/01/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Nukuu hii inatoka katika Zaburi nyingine. + +# Lakini ni malaika gani wakati wowote Mungu amesema...miguu? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba Mungu hajawahi kumwambia malaika. AT: '"Lakini Mungu hajamwambia malaika yeeyote wakati wowote"' + +# Keti mkono wangu wa kulia + +Hapa mkono wa kulia unamaanisha sehemu ya heshima. AT: "Kaa karibu yangu katika sehemu ya heshima" + +# Hadi nitakapo waweka maadui wako chini ya miguu yako + +Maadui wa Kristo wanaongelewa kana kwamba watakuwa chombo ambachomfalme anaweka miguu yake, Picha hii inawakilisha kushindwa na aibu kwa maadui wake. + +# Sio malaika wote ni roho... wanarithi wokovu + +Mwandishi anatumia hili swali kuwakumbusah wasomaji wake kwamba malaika hawana nguvu kama Kristo, lakini wana jukumu tofauti. AT: "malakia wote ni roho ambazo... hurithi wokovu." + +# kwa wale watakaorithi wokovu + +Kupokea kile ambacho Mungu amewaahidi waumini imeongelewa kana kwamba wanarithi utajiri na mali kutoka katika mwana familia. AT: "kwa ajili ya wale wote ambao Mungu atawaokoa" + diff --git a/heb/02/01.md b/heb/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..db7953d4 --- /dev/null +++ b/heb/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Hili ni onyo la kwanza kati ya maonyo matano mwandishi anatoa + +# Ni lazima + +Hapa "sisi"inamaanisha mwandishi anajijumuisha kwenye kundi lake. + +# ili kwamba tukatengwa/ kuchukuliwa mbali + +kuamini katika neno la Mungu kidogo huongelewa kana kwamba mtumbwi ulikuwa ukichukuliwa mbali juu ya maji kutoka mahali ulipaswa kuwa. AT: " ili kwamba polepole tusiache kuliamini." + diff --git a/heb/02/02.md b/heb/02/02.md new file mode 100644 index 00000000..c4121ad5 --- /dev/null +++ b/heb/02/02.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kama ujumbe uliozungumzwa kupitia malaika + +Wayahudi waliamini kuwa Mungu alisema sheria yake kupitia malaika. Hii inaweza kuelezewa katika mfumo tendaji. AT: "Kama ujumbe ambao Mungu aliongea kupitia malaika" + +# Kwa kuwa kama ujumbe + +Mwandishi ana hakika kuwa mambo haya ni kweli. AT: "Kwa sababu ujumbe" + +# Ni halali + +"ni sahihi au "kweli" + +# kila kosa na uasi hupokea adhabu ya haki + +Neno kosa and uasi husimama kwa ajili ya watu ambao wana hatia kwa ajili ya dhambi hizi. AT: "kila mtu atendaye dhambi atapokea adhabu ya haki" + +# kosa na uasi + +maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kimoja. + +# tutapataje kuepuka kama tusipojali wokovu mku u kama huu? + +Mwanadishi anatumia swali kusisitiza watu wata pokea adhabu kama watakataa wokovu wa Mungu kupitia Kristo. AT: "hivyo Mungu atatuadhibu kama hatuutilii manani ujumbe wake kuhusu vile Mungu atakavyo tuokoa!" + +# kutojali + +"kutojali" au "kuona sio muhimu" + +# Huu ni waovu ambao kwanza ulitangazwa na Bwana + +Hii inaweza kusemwa katika mtumo tendaji. AT: "Bwana mwenyewe kwanza alitangaza ujumbe vile atakavyo tuokoa" + +# na ametuthibitishia kupitia wale walio sikia + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. " na wale walio siki ujumbe walituthibitishia" + +# kulingana namapenzi yake + +" kama jinsi alivyopenda kufanya" + diff --git a/heb/02/05.md b/heb/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..725ee6e4 --- /dev/null +++ b/heb/02/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anawakumbusha Waebrania hawa kwamba siku moja nchi itakuwa chini ya utawala wa Bwana Yesu. + +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hapa inatoka katika kitabu cha Zaburi katika Agano la Kale. Inaendele hadi sehemu inayofuata. + +# Kwa sababu kama haikuwa kwa malaika ambao Mungu aliwaweka + +"Kwa kuwa Mungu hakuwaweka malaika kuwa watawala" + +# Ulimwengu ujao + +"Ulimwengu" hapa unamaanisha kwa watu wanaoishi huko. Na "ujao" unamaanishi huu ni ulimwengu uajao baada ya Yesu atakaporudi. AT: "watu watakaoishi katika ulimwengu wa mpya" + +# Mtuni nani, kwamba uweze kumkumbuka/ kumjali? + +Swali linatumika kusisitiza kuwa wanadamu sio muhimu kwa kumfanya Mungu kuwajal.AT: "Hakuna mwandamu ambaye ni wa Muhimu wa kumfanya Mungu kufikiri kuhusu yeye!" + +# Au mwana wa mtu , kwamba umjali? + +Kimsingi hii inamaanisha kitu kilekile kinachoelezewa katika swali la kwanza. Swali lisilo hitaji kujibiwa linasisitiza mshangao kwamba wanadamu si wa muhimu kiasi cha kwamba Mungu awajalli.AT: "Hakuna mwanadamu anayesitahili kujaliwa na wewe!" + diff --git a/heb/02/07.md b/heb/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..b32763a4 --- /dev/null +++ b/heb/02/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mdogo kuliko malaika + +Mwandishi anamuongelea mwanadamu kuwa sio wa muhimu kuliko malaika kana kwamba wanadamuwamesimama katika nafasi amabayo ni ya chini kuliko nafasi ya malaika. AT: "mdogo kuliko malaika." + +# amemfanya mtu...amevika... miguu yake... kwake + +Maneno haya sio kwa ajili ya mlengwa mmoja bali inajumuisha wanadamu wote, inajumuisha wanaume na wanawake.AT: "amewafanya wanadamu... amewavika...miguu yao... kwao" + +# umemvika utukufu na heshima + +zawadi ya utukufu na heshima zinaongelewa kana kwamba ni shada la majani lililowekwa kichwani mwa mshindi wa mchezo. AT:"umewapa utukufu mwing na heshima" + +# Umeweka kila kitu kiwe chini ya miguu yake + +Mwandishi anamuongelea mwanadamu kuwa na utawala juu ya kila kitu kana kwamba wamesimama juu ya kila kitu. AT: "Umewapa kumiliki juu ya vitu vyote" + +# Hakuacha kitu chochote kisicho kuwa chini yake + +maneno mawili hasi yanamaanisha kwamba vitu vyote vitawekwa chini ya Kristo. AT: "Mungu alifanya kila kitu kuwa chini yao" + +# Hatuoni vitu vyote vikiwa chini yake + +tunafahamu kuwa bado wanadamu hawajawa wamiliki wa kila kitu + diff --git a/heb/02/09.md b/heb/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..3ff47d53 --- /dev/null +++ b/heb/02/09.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwanadishi anawakumbusha hawa Webrania waumini kwamba Kristo alipokuaja duniania alifanyika mdogo kuliko malaika alipokuja dunia kuteseka kufa kwa ajili ya msamaha wa dhambi, na kwamba alifanyika kuhani mkuu mwenye huruma. + +# tunamwona ambaye + +"twafahamu kuwa kuna mwingine" + +# aliyefanyika + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "ambaye Mungu alimfanya' + +# chini kuliko malaika...amevikwa utukufu na heshima + +Tasifri hii kama ulitafsiri sura ya 2:7 + +# amevikwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimvika' + +# amaeonja kifo + +Uzoefu wa kifo unaongelewa kana kwamba kifo ni chakula kilichoonjwa.AT: "ameonja kifo" au "amekufa" + +# kwa kuwa kila mtu + +"Mtu" hapa linamaanisha watu wote. wakijumuishwa wanaume na wanawake. AT: "kwa kuwa kila mtu" + +# awaleta wana wengi katika utukufu + +Zawadi ya utukufu hapa inaongelewa kana kwamba ni sehemu ambayo watu wangeweza kuletwa. AT: "awaokoe wana wengi" + +# wana wengi + +Hapa wanamaanishwa waumini wote katika Kristo, ikijumuisha wanaume na wanawake.AT: "waumini wengi" + +# kiongozi wa wokovu wao + +Mwanadishi anaongea wokovu kana kwamba ni sehemu ambayo Yesu anawaongoza waumini kuelekea katika sehemu hiyo. Hii inamaanisha Yesu ni mtu ambaye alitenda kwanza ili awaokoe wengine. AT:"yeye anayewaokoa watu" + +# mkamilifu/ timiza + +kukua kiroho na kufundishwa kikamilifu kunaongelewa kana kwamba mtu alikuwa akifanywa mtimilifu, pengine mtimilifu katika viungo vya mwili wake. + diff --git a/heb/02/11.md b/heb/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..71eff1c4 --- /dev/null +++ b/heb/02/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii ya kinabii inatoka katika Zaburi ya Mfalme Daudi. + +# yeye anaye dhabihu + +yeye anayewafanya wenzake watakatifu" au " "yeye awafanyae wengine kujtenga na dhambi" + +# walio takaswa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji: AT: "wote anao wafanya watakatifu" au" wale anaowasafisha kutoka katika dhambi. + +# kuwa na chanzo kimoja + +ambaye ni chanzo hicho ni nani inaweza kusemwa kwa ufasaha. AT: "muwe na chanzo, Mungu mwenyewe" au" muwe na yule yule. + +# haoni aibu + +"Yesu haoni aibu" + +# haoni aibu kuwaita ndugu + +maneno mawili hasi yanamaanisha atawafanya kama ndugu zake. AT: "anafurahishwa kuwaita ndugu" + +# Nitalitangaza jina langu kwa ndugu zangu + +"Jina" hapa linamaanisha heshima ya mtu na kile walichokifanya. AT: "Nitatangaza kwa ndugu zangu mambo makuu uliyoyafanya" + +# kutoka katika asili/ kundi moja + +"wakati waumini wanakuja pamoja kumwabudu Mungu" + diff --git a/heb/02/13.md b/heb/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..2b8d0fdf --- /dev/null +++ b/heb/02/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo Jumla: + +Nabii Isaya aliandika nukuu hizi + +# Na tena + +"Na nabii aliandika andiko katika sura nyingine kuhusu kileKristo achokisema kuhusu Mungu:" (URD) + +# watoto... watoto wa Mungu + +Hii inaongea wale wanaoamini katika Kristo kana kwamba ni walikuwa watoto wa Mungu.AT: wale walio kama watoto wangu...wale ambaao ni sawa na watoto kwa Mungu" + +# waliishi maisha yao yote katika utumwa. + +Fungu hili la maneno limeelezwa na hurejea utumwa kwa hofu ya kifo + +# wanashiriki damu na mwili + +maneno "mwili" na "damu" inamaanisha asili ya wanadamu." AT: "wote ni wanadamu" + +# "Yesu pia alishiriki mambo hayo hayo" + +"Yesu alikuwa mwanadamu kama wao" + +# kwa kupitia kifo + +kifo hapa kinaweza kuelezewa kama tendo. AT: "kwa kufa" + +# "alikuwa na nguvu ya kifo + +kifo" hapa kinaweza kuelezewa kama tendo.AT: " alikuwa na kuvungu kuwafanya watu kufa" + +# Hii ilikuwa ili kwamba aweze kuwafanya huru wale wote ambao kupitia hofu ya kifo waliishi maisha ya utumwa + +Hofu ya kifo inaongelewa kana kwamba ilikuwa utumwa. Kumuondolea mtu hofu inaongelewa kana kwamba ni kumfungua mtu kutoka utumwani.AT: "Hii ilikuwa ili kwamba awafungue watu wote. Kwa sababu tuliishi kama watumwa kwa sababu tulikuwa tukiogopa kufa" + diff --git a/heb/02/16.md b/heb/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..759cf1d8 --- /dev/null +++ b/heb/02/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mbegu ya Ibrahimu + +Wana wa Ibrahimu wanaongelewa kana kwamba walikuwa mbegu yake. AT: "wana wa Ibrahimu" + +# ilikuwa ni muhimu kwake + +"ilikuwa ni muhimu kwa Yesu" + +# kama ndugu zake + +Neno "ndugu" hapa linamaanisha watu kwa ujumla. AT: "kama wanadamu" + +# ili alete msamaha wa dhambi kwa watu + +Kifo cha Yesu msalabani kinamaanisha kwamba Mungu anaweza kusamehe dhambi. AT: "ili kwamba afanye uwezekano wa Mungu kusamehe dhambi za watu." + +# alijaribiwa + +Hii inaweza kusema katika mfumo tendaji. AT: " Shetani akamjaribu" + +# wanaojaribiwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambao shetani anawajaribu" + diff --git a/heb/03/01.md b/heb/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..137ed55f --- /dev/null +++ b/heb/03/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Hili ni onyo la pili na ni refu na liko katika undani na linajumuisha sura ya 3 na 4. Mwandishi anaanza kwa kwa kuonyesha kwamba Kristo ni bora zaidi ya Musa mtumishi wake. + +# ndugu watakatifu + +Neno "ndugu" linamaanisha wakristo wenza, inajumuisha wanaume kwa wanawake. AT: "kaka na dada watakatifu" au "ndugu watakatifu wenzangu" + +# mnashirika katika mwito wa mbinguni + +"Mbinguni" hapa ina mwakilisha Mungu. AT: "Mungu ametuita pamoja" + +# mtume + +Neno hili linamaanisha mtu aliyetumwa. Katika kifungu hiki hakimaanishi mtume kati ya wale kumi na wawili. AT: "aliyetumwa" + +# ya ukiri wetu + +hii inaweza kusemwa ili kwamba nomino dhaniwa "kutubu" inelezea kama kitenzi "tubu." AT: "ambaye tunayemtubia" au "ambaye katika yeye tunaamini" + +# katika nyumba ya Mungu + +Waebrania ambao Mungu amejifunua kana kwamba ilikuwa ni nyumba halisi. AT: "kwa watu wote wa Mungu" + +# Yesu amefinywa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu amemfanya Yesu" + +# yeye ajengaye kila kitu + +Matendo ya Mungu ya uumbaji wa ulimwengu yanaongelewa kana kwamba amejenga nyumba. + +# kila nyumba imejengwa na mtu + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. AT: "kila nyumba ina mtu aliyeijenga" + diff --git a/heb/03/05.md b/heb/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..cda18821 --- /dev/null +++ b/heb/03/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Hakika/ na + +Hili neno linaanzishwa ulinganifu kati ya Musa na Kristo. Hili neno linaweza kuachwa katika tafsiri, kama sio muhimu. + +# Katika nyumba nzima ya Mungu + +Waebrania ambao Mungu alijifunua mwenyewe wanaongelewa kana kwamba zilikuwa ni nyumba halisi. Tazama vile ulivyo tafasiri kama ulivyofanya 3:1. + +# Alikuwa ni ushuhuda kuhusu vitu + +Pengine neno hili linamaanisha kwa kazi zote za Musa. AT: "Maisha na kazi za Musa zilielekeza kwenye vitu" + +# Viliongelewa katika wakati ujao + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: " Yesu angesema katika siku zijazo" + +# Mwana + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# mtumishi katika nyumba ya Mungu + +Hii inaongea kuhusu watu wa Mungu kana kwamba zilikuwa nyumba halisi. AT: "ambaye anatawala juu ya watu wa Mungu" + +# Sisi ni nyumba yake + +Hii inaongea kwa watu wa Mungu kana kwamba ni nyumba halisi. AT: "Sisi ni watu wa Mungu" + +# kama tukiendelea kushikilia "ujasiri" wetu na tumaini letu lenye fahari + +"ujasiri" na "tumaini lenye fahari" ni dhaaniwa na inaweza kusemwa kama vitenzi. AT: "tutaendelea katika ujasiri na furaha na kutumaini Mungu kufanya kile alichoahidi" + diff --git a/heb/03/07.md b/heb/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..4c7faecb --- /dev/null +++ b/heb/03/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Onyo hapa ni ukumbusho kwamba kutokuamini kwa Waisraeli kuliwafanya wote kutoingia katika nchi ambayo Mungu alikuwa amewahidi. Kutokuamini kwao kulionyeshwa vizuri katika Kutoka 17:1, walipo mlalamikia Musa na kuwa na mashaka juu ya Mungu kama alikuwa pamoja nao. + +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii inatoka katika Agano la Kale katika Zaburi. + +# kama mkisikia sauti yake + +Amri za Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba aliwakuwa amewapa katika sauti ya kusikika. AT: "kama mtasikia Mungu akiongea" + +# Msifanye mioyo yenu kuwa migumu + +Ugumu wa moyo unaongelewa kana kwamba ni moyo halisi umefanywa kuwa mgumu. AT: "msiwewenye mioyo migumu" + +# kama katika uasi wakati wa kujaribiwa jangwani + +Hapa "uasi" na "kujaribiwa" yanaweza kuelezewa kama vitenzi. AT: "kama vile na mababu zenu walivyo muasi Mungu na kumjaribu jangwani" + diff --git a/heb/03/09.md b/heb/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..f11e1349 --- /dev/null +++ b/heb/03/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii inatoka katika Zaburi. + +# Mababa + +"zenu" hapa linamaanisha watu wa Israeli + +# kwa kunijaribu + +Mungu ndiye anayeongea + +# miaka arobaini + +"miaka 40" + +# Sikufurahishwa + +"Nilikuwa na hasira" au "sikufurahia kabisa" + +# mara zote wanapotoshwa katika mioyo yao + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mara zote wanaenda katika njia zisizomfurahisha Mungu" + +# mioyoni mwao + +Neno "mioyo" inamaanisha akili au tamaa za + +# Wamevijua njia zangu + +Hii inaongelewa katika hali ya kuyafanya maisha ya mtu kana kwamba ni zilikuwa ni njia. AT: "Hawaelewi jinsi nilivyowataka waishi katika maisha yao" + +# Hawataingia katika pumziko langu + +Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu unaongelewa kana kwamba zilikuwa pumziko ambalo angeweza kuwapa, na kama zilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "Hawataingia kamwe katika sehemu ya pumziko" au "sitawaruhusu kupata baraka zangu za pumziko" + diff --git a/heb/03/12.md b/heb/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..d9432ad7 --- /dev/null +++ b/heb/03/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ndugu + +Hili linatulejesha kwa ndugu Wakristo, ikijumuisha jinsia zote mbili za kiume na kike. AT: "kaka na dada" au "waumini wenza" + +# Hakutakuwa na mtu yeyote aliye na moyo mwovu usioamini + +moyo unaongelewa hapa kana kwamba ni akili ya mtu, sehemu ya utashi ya mtu. AT: "mtu yeyote kati yenu asiache kuamini katika Mungu" + +# Moyo ambao unageuka kinyume na Mungu + +Moyo mtu unaongelewa kana kwamba nimtu mzima, ambaye angeweza kuacha kufuata njia sahihi. AT: "na unaacha kumtii Mungu aishie" + +# Mungu aishie + +"Mungu wa kweli ambaye kweli anaishi" + +# kama iitavyo "leo" + +"wakati nafasi inapatikana" + +# Hakuna mmoja miongoni mwenu moyo wake utfanywa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi. + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "udanganyifu wa dhambi haufanyi moyo mgumu wa mtu yeyote kati yenu" + +# hakunammoja kati yenu moyo wake utafanywa kuwa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi + +kutokuwa msikivu kunatazamwa kana kwamba kuwa mgumu au kuwa na moyo mgumu. Ugumu wa moyo ni matokeo ya udanganyifu wa dhambi. Hii inaweza kutiwa neno ili kwamba nomino dhaniwa "udanganyifu" inaelezewa kama kitenzi "danganya." AT: "hakuna mtu miongoni mwenu atanganywa na dhambi na kutokuwa msikivu" au "usitende dhambi, ukijidanganya mwenyewe na kutokuwa msikivu" + diff --git a/heb/03/14.md b/heb/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..57897c8b --- /dev/null +++ b/heb/03/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaendelea kutoka Zaburi ile ile ambayo pia ilinukuliwa katika 3:7. + +# Kwa sababu tumekuwa + +"Tumekuwa" hapa inamaanisha wote, mwandishi na wasomaji, + +# kama tutaendelea kushikilia ujasiri wetu katika yeye + +"kama tukiendelea kutumaini katika yeye kwa ujasiri" + +# kutoka mwanzo + +"tangu mwanzo tulipoanza kuamini katika yeye" + +# hadi mwisho + +Hii ni namna ya kusema kwa upole ikimaanisha mtu anapo kufa.AT: "hadi tunakufa" + +# imesemwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mwandishi aliandika" + +# Leo, ukisikia + +Amri ya Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba aliwapa katika hali ya kusikia. AT: "kama utasikia Mungu anaongea." Tazama kama ulivyo tafsiri 3:7. + +# kama katika kuasi + +"Uasi" hapa unaweza kusemwa kama kitenzi. AT: "kama vile mababa zako walivyo muasi Mungu." Tanzama ulivyo tafsiri 3:7. + diff --git a/heb/03/16.md b/heb/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..af2c6b9f --- /dev/null +++ b/heb/03/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Neno "wao" linamaanisha kwa kutotii kwa Waisraeli, na "sisi" inamaanisha mwandishi na wasomaji. + +# Ni wakina nani walio msikia Mungu na kuasi? Si wale waliokuja kutoka Misri kupitia Musa? + +Mwandishi anatumia maswali kudundisha wasomaji wake. Maswali haya mawili yanaweza kuunganishwa kama sentensi moja, kama itahitajika. AT: "wale wote waliokuja na Musa kutoka Misri walimsikia Mungu, lakini bado waliasi." + +# Ni akina nani ambao Mungu aliawakasirikia kwa miaka arobaini? Sio wale waliotenda dhambi, ni miili ya kina nani iliyanguka jangwani/ nyikani? + +Mwandishi anatumia maswali kuwafundisha wasomaji wake. Maswali haya mawli yanaweza kuunganishwa na kuwa swali moja, kama litahitajika. AT: "Mungu alikuwa na hasira kwa miaka 40 na wale waliotenda dhambi na kuwaacha wafe nyikani." + +# hawakuweza kuingia katika raha yake + +Amani na ulinzi ambao Mungu vinaomgelewa kana kwamba ni pumziko alilowapa, na kama kwama vilikuwa ni sehemu za kwenda. AT: "hawataingia sehemu ya pumziko" au "hawatapata baraka zake za pumziko" + +# kwa sababu ya kutokuamini kwao + +"kutokuamini" inaweza kusemwa kama kitenzi "tumaini." AT: "kwa sababu hawakuweza kumtumaini" + diff --git a/heb/04/01.md b/heb/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..1a0e9c04 --- /dev/null +++ b/heb/04/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Sura ya 4inaendeleza onyo lililoanza katika sura ya 3:7.Mungu kwa kupitia mwandishi anawapa waumini pumziko ambalo pumziko la Mungu katika uumbaji dunia ni picha. + +# kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeweza kuonekana kushindwa kuifikia ahadi ya kuingia katika pumziko la Mungu iliyobaki kwa ajili yenu + +Ahadi ya Mungu inaongelewa kana kwamba ilikuwa ni zawadi iliyoachwa baada ya Mungu kuwatembelea watu. AT: "mmoja wenu asishindwe kuingia katika pumziko la Mungu , ambalo alituahidi". + +# kuingia katika pumziko la Mungu + +Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu huongelewa kana kwamba vilikuwa ni pumziko ambalo anaweza kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "kuingia katika sehemu ya pumziko" au "kupata baraka za pumziko la Mungu. + +# Kwani tumekuwa na habari njema kama walivyokuwa nazo + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Kwa kuwa tulisikia habari njema kama walivyosikia" + +# kama walivyo + +walivyo hapa linamaanisha mababu/mababa wa Kiebrania ambao walikuwa hai wakati wa Musa. + +# Lakini ujumbe ule haukuwafaa wale ambao hawakuungana katika imani pamoja na wale walio tii + +"Lakini ujumbe ule haukuwafaa wale ambao hawakuungana na watu walio amini na kutii." Mwandishi anaongea kuhusu makundi mawili ya watu, wale waliopokea agano la Mungu kwa imani, na wale walio sikia lakini hawakuamini. + diff --git a/heb/04/03.md b/heb/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..0d8e0977 --- /dev/null +++ b/heb/04/03.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu ya kwanza hapa (Kama nilivyoapa...) inatoka katika Zaburi, na nukuu ya pili (Mungu akapumzika...) inatoka katika Maandiko ya Musa, na ya tatu (Hawataingia...) inatoka katika Zaburi. + +# Sisi tulioamini + +"sisi tulioamini" + +# watakao ingia katika pumziko hilo + +Amani na ulinzi alioutoa Mungu vinaongelewa kana kwamba vilikuwa ni pumziko ambazo anaweza kuwapa, na kana kwamba ilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeenda. + +# Kama alivyo sema + +"Kama vile Mungu alivyosema" + +# Kama nilivyo apa katika hasira yangu + +"Kama nilivyo apa wakati nilipokuwa nimekasirika sana" + +# Hawataingia kwenye pumziko langu + +Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. + +# kazi yake ya uumbaji ilimalizika + +Hii inaweza kuwekwa katika mfumo tendaji. AT: "alimaliza uumbaji" au "alimaliza kazi zake za uumbaji" + +# tangu mwanzo wa dunia/ ulimwengu + +Mwandishi anaongelea dunia kana kwamba ni jengo lililowekwa kwenye kwenye msingi. + +# siku ya saba + +Hii inasimama kama badala ya "saba" + diff --git a/heb/04/06.md b/heb/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..16cf3f7c --- /dev/null +++ b/heb/04/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# bado imewekwa kwa baadhi kuingia katika pumziko + +Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "Mungu bado anaruhusu baadhi ya watu kuingia katika sehemu yake ya pumziko. + +# kama mtasikia sauti yake + +Amri za Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba alikuwa amewapa kwa sauti. AT: "kama mtasikia Mungu akiongea" + +# msifanye mioyo yenu kuwa migumu + +kutosikia kunaongelewa kana kwamba ni moyo ulikuwa umwefanya kuwa mgumu. AT: "Msiwe wenye mioyo migumu." Tafsiri kama ulivyofanya 3:7. + diff --git a/heb/04/08.md b/heb/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..a31e5605 --- /dev/null +++ b/heb/04/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwanadishi anawaonya waumini wasiache kumtii Mungu, bali waiingie katika pumziko ambalo Mungu anawapa. Anawakumbusha kwamba neno la Mungu litawashuhudia na kwamba wanaweza katika maombi kwa ujasiri na kwamba Mungu atawasaidia + +# kama Yoshua angekuwa amewapa pumziko + +Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "kama Yoshua angewaleta Wasraeli kwenye sehemu ambayo Mungu angewapa pumziko" + +# tuwe na shauku + +Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ya kuingia. AT: "tunapaswa kufanya kila kitu ili tuingie katika mpumziko mahali alipo" + +# wataanguka katika aina ya kutotii ambao walifanya + +kutokutii kunaongelewa kana kwamba ni mtu mzima ambaye angeweza kuanguka katika ajali. + diff --git a/heb/04/12.md b/heb/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..56c30f8f --- /dev/null +++ b/heb/04/12.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# neno la Mungu li hai + +"Neno la Mungu" hapa linamaanisha kila kitu ambacho Mungu ameongea kwa wanadamu iwe kwa kuongea au kwa kupitia ujumbe ulioandikwa. + +# lina hai na lina nguvu + +Hii inaongelea neno la Mungu kana kwamba linaishi. Inamaanisha wakati Mungu anapoongea ni kuna nguvu na utendaji kazi. + +# lina ukali kuliko upanga wowote wenye makali mawili + +upanga wenye makali. upanga wenye makali kuwili ni rahisi kukata kupitia mwili wa mtu. Neno la Mungu lina nguvu katika kuonyesha kilichomo katika moyo na mawazo ya watu. + +# Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho. + +Hii inaendelea kuongea kuhusu neno la Mungu kana kwamba ulikuwa ni upanga. Upanga hapa ni mkali sana kiasi kwamba unaweza kukata na kugawa viungo vya mwanadamu ambavyo ni vigumu pengine visivyo wezekana kugawanyika. + +# nafsi na roho + +Haya ni maneno mawili tofauti lakini sehemu za mwanadamu ambazo hazina mwili. "Nafsi" ndiyo inamfanya mtu kuwa hai na "roho" ni sehemu ya mtu ambayo inamsababisha kuweza kumjua na kumwamini Mungu. + +# viungo kutoka maboho + +"kiungo" ndicho kinacho shikilia mifupa miwili pamoja. "uboho" ni sehemu ya kati ya mfupa. + +# kuweza kufahamu + +Hii inaongea neno la Mungu kana kwamba ni mtu ambaye angewezakujua kitu. + +# mawazo na makusudi ya moyo + +Hii inaongea kuhusu moyo kana kwamba ni sehemu ya kati ya mawaazo na hisia za mwanadamu. + +# Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu + +Hili linaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. AT: "hakuna kitu kilichoumbwa na Mungu kinaweza kujificha mbele zake" + +# kila kitu kiko wazi + +Hii inaongelea kila kitu kana kwamba ni mtu amesimama wazi au boksi lililo wazi. + +# wazi na iliyo wazi + +Kimsingi maneno haya mawilii yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba hakuna kitu chochote kilichojificha mbele za Mungu. + +# kwa macho ya yule tutakaye toa hesabu + +Mungu anaongelwa kana mwamba ana macho ya nyama. AT" Mungu atatuhukumu kulingana na vile tulivyoishi" + diff --git a/heb/04/14.md b/heb/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..9e62a492 --- /dev/null +++ b/heb/04/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# aliyeziingia mbingu + +"aliyeingia mahali alipo Mungu" + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu. + +# tushikilie sana imani zetu + +imani na tumaini vinaongelewa kana kwamba ni vitu ambavyo mtu angeweza kuvikumbatia. + +# hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kutuhurumia... Badala, tunaye + +Maneno haya yakukanusha yanalenga kuonyesha kwamba Yesu ni mwenye huruma kwa watu . AT: " tunaye kuhani mkuu anayeweza kutuhurumia...Kweli tunaye" + +# kiti cha enzi cha neema + +"kiti cha enzi cha Mungu, pale palipo na neema" au "pale Mungu, ambaye ni neema, ameketi katika kiti chake cha enzi" + +# yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi + +Hii inaweza kusemwa katikamfumo tendaji. AT: "yeye ambaye amevumilia majaribu katika kila hali tunayoipitia" au "ambaye movu amekuwa akimjaribu katika kila njia anavyotujaribu" + +# hana dhambi + +"hakutenda dhambi" + +# kiti cha enzi cha neema + +"kwemye kiti cha enzi cha Mungu palipo na neema." "kiti cha enzi" hapa kina maanisha utawala wa Mungu kama mfalme. + +# ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji. + +"rehema" na "neema" hapa vinaongelewa kana kwamba ni vitu ambavyo vinaweza kupewa au kupatikana. + diff --git a/heb/05/01.md b/heb/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..97d72229 --- /dev/null +++ b/heb/05/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anafafanua dhambi za makuhani wa Agano la Kale, na kisha anaonyesha kuwa Kristo anao ukuhani bora, na hautokani na ukuhani wa haruni, bali unaotokana na ule waMelkizedeki. + +# chaguliwa kutoka miongoni mwa watu + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "ambaye Mungu anachagua kutoka miongoni mwa watu" + +# amechaguliwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu huachangua/ huteuwa" + +# kusimama badala ya/ kutenda kwa niaba ya watu + +"kuwawakilisha watu" + +# wajinga na waovu + +"wale walio wajinga waovu" + +# waovu + +watu ambao wanaishi katika njia za dhambi" + +# amezungukwa na udhaifu. + +udhaifu wa kuhani mkuu unaongelewa kana kwamba ni nguvu zilizo mzunguka + +# udhaifu + +hapa inamaanisha hamu ya kutenda dhambi. + +# pia anahitajika + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. "Mungu pia anamhitaji" + diff --git a/heb/05/04.md b/heb/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..6cf1e905 --- /dev/null +++ b/heb/05/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Nukuu hii inatoka katika Zaburi katika Agano la Kale + +# achukuaye heshima hii + +Heshima inaongelewa kana kwamba ni kitu ambacho Mungu kukichukua katika mkono wake. + +# achukue heshima hii + +heshima au sifa na heshima ambazo watu walimpa kuhani mkuu husimama kwa ajili ya majukumu yake + +# aitwe/ ameitwa na Mungu, kama alivyokuwa Haruni + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimwita kama alivyomwita Haruni" + +# Mungu alisema kwake + +"Mungu alisema kwake" + +# " Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako." + +kimsingi neno hili linamaanisha kitu kimoja. Tazama ulivyotafsiri 1:4. + diff --git a/heb/05/06.md b/heb/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..f8ac24a6 --- /dev/null +++ b/heb/05/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Unabi huu unatoka katika Zabur ya Daudi. + +# kama asemavyo/ pia anasema + +kwa yule ambaye Mungu anaongea naye inaweza kusemwa wazi. AT: "pia anamwambia Kristo" + +# katika sehemu nyingine + +"katika sehemu nyingine katika maandiko" + +# mfano wa Melkizedeki + +Hii inamaana kuwa Kristo kama kuhani ana vitu vinavyofananana Melkizedeki kama kuhani. + diff --git a/heb/05/07.md b/heb/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..2912bf1d --- /dev/null +++ b/heb/05/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kipindi chake katika mwili + +Neno siku/ kipindi zinasimama badala ya kipindi cha muda. Na "mwili" unasimama badala ya maisha ya Yesu duniani, AT: "wakati aliposhi duniani" + +# maombi na kuombea/ + +Kimsingi maneno haya yanamaanisha kitu kimoja + +# kumwokoa kutoka kwenye kifo + +Kifo kinaongelewa kana kwamba ilikuwa ni sehemu kKristo angezuiliwa kutoingia, au kana kwamba ni sehemu ambayo angeokolewa. + +# alisikiwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimsikia" + +# mwana + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# mambo yaliyomtesa + +mateso kana kwamba ni vitu. + diff --git a/heb/05/09.md b/heb/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..bd43aa74 --- /dev/null +++ b/heb/05/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Katika mst wa11 mwandishi anaanza onyo lake la tatu. Anawaonya hawa wauminikuwa bado ni wachanga wa kiroho na kuwatia moyo kujjifunza neno la Mungu ili kwamba waweze kutambua jema na baya. + +# alifanywa mkamilifu + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alifanya mkamilifu" + +# alifanya mkamilifu + +hapa inamaanisha kuweza kufanywa mtu mzima kiroho, kuwa tayari kumtii Mungu katika nyanja zote za maisha. + +# Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele + +Nomino dhaaniwa "wokovu" inaweza kusemwa kama kitenzi. AT: "hivyo anawaokoa wale wote wanaomtii na kuwafanya waishi milele" + +# kwa kutengwa na Mungu + +Hii inaweza kusems katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimtenga" au "Mungu alimteua" + +# baada ya zamu ya Melkizedeki + +hii inamaanisha kwamba Kristo kama kuhani ana vitu vinavyofanana na Melkizedeki kama kuhani. + +# Tuna mengi ya kusema + +Ingawa mwandishi anatumia neno la wingi lakini inaweza kuwa anamaanisha yeye mwenyewe. + +# ninyi ni wavivu wa kusikia + +uwezo wa kuelewa na kutii kunaongelewa kana kwamba ulikuwa ni uwezo wa kusikia. Na uwezo wa kusikia kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni chuma cha kilichohabika katika matumizi. + diff --git a/heb/05/12.md b/heb/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..ff50b101 --- /dev/null +++ b/heb/05/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kanuni za msingi + +kanuni hapa zinamaanisha maelekezo au viwango vya kufanya maamuzi. AT:"msingi wa ukweli" + +# Mnahitaji maziwa + +mafundisho kuhusu Mungu ambayo ni rahisi kuelewa yanaongelewa ni maziwa, chakula pekee ambacho watoto wachanga wanaweza kula. AT: "mmekuwa watoto na mnaweza kunywa maziwa pekee" + +# si chakula kigumu + +mafundisho ambayo ni magumu kuelwa yanaongelewa kana kwamba kilikuwa ni chakula kigumu, kifaacho kwa watu wazima. + +# anywaye maziwa + +anywaye linasimama ka kunywa. + +# kwa sababu bado ni mtoto + +hii inaongelea waumni ambao wanaweza kuelewa mafundisho rahisi ya injili kana kwamba walikuwa watoto halisi. + +# ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu. + +watu walifundishwa kuelwa jambo wanaelezewa kana kwamba ni uwezo wa kuelewa umefundishwa. + diff --git a/heb/06/01.md b/heb/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..f3b23e8b --- /dev/null +++ b/heb/06/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +mwandishi anendele na kile Waebrania waumini walipaswa kufanya ili wawe wakristo wakomavu. Anawakumbusha mafundisho ya msingi. + +# tukiacha tulichojifunza kwanza kuhusu ujumbe wa Kristo, twapaswa kuwa na juhudi kuelekea kwenye ukomavu + +Hii inaongelea kuhusu mafundisho ya msingi kana kwamba yalikuwa ni mwanzo wa safari na mafundisho makomavu kana kwamba ni mwisho wa safari. + +# tusiweke tena misingi ya toba kutoka katika kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu, + +Mafundisho ya msingi yanaongelewa kana kwamba yalikuwa ni jengo ambalo mjenzi alianza kwa kuweka msingi. AT: "tusirudie mafundisho ya awali... ya imani katika Mungu" + +# kazi zisizo na uhai + +matendo ya dhambi yanaongelwa kana kwamba yalitoka katika ulimwengu wa wafu. + +# ala misingi ya mafundisho ya...hukumu ya milele + +Mafundisho ya msingi yanaongelea kana kwamba yalikuwa ni jengo ambalo mjenzi wake alianza kwa kuweka msingi. AT: "wala mafundisho ya msingi... uzima wa milele" + +# kuwekea mikono + +Huduma hii iliwekwa kwa kumtenga mtu kwa huduma au nafasi maalum. + diff --git a/heb/06/04.md b/heb/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..65cc1827 --- /dev/null +++ b/heb/06/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# wale ambao waliipata nuru + +uelewa unaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kupatiwa nuru. AT: "wale ambao awali walielewa ujumbe kuhusu Kristo" + +# ambao walionja kipawa cha mbinguni + +kuonja wokovu kunaongelewa kana kwamba ni kuoonja chakula. AT: walionja nguvu ya Mungu ya kuokoa" + +# kufanywa kuwa washirika wa Roho Mtakatifu, + +Roho Mtakatifu ambaye anakuja kwa waumini, anaongelewa kana kwamba ni chombo ambacho watu wangeweza kushiriki. AT: "waliopoke Roho Mtakatifu" + +# ambao walionja uzuri wa neno la Mungu + +Kujifunza neno la Mungu kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kuonja chakula. AT: "waliojifunza neno zuri la Mungu" + +# nguvu za wakati ujao + +Hii inamaanisha nguvuza Mungu wakati ufalme wake utakapo kuwa umetimilka duniani kote. kwa mantiki hii "nguvu" ina maanishaMungu mwenyewe, ambaye anamiliki nguvu zote. + +# kisha wakaanguka + +kupoteza uaminifu kwa Mungu kunaongelewa kana kwamba anguko la kimwili.AT: "walioacha kuamini katika Mungu" + +# haiwezekani kuwarejesha tena katika toba + +"Haiwezekani kuwarejesha tena kwenye toba" + +# wamemsulubisha Mwana wa Mungu kwa nafsi zao + +watu wanapoondoka kwa Mungu ni kana kwamba wanamsulubisha tena Yesu. + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu ambacho kinaelezea uhusiano kwa Mungu. + diff --git a/heb/06/07.md b/heb/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..8fcf167e --- /dev/null +++ b/heb/06/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ardhi iliyopokea mvua inyeshayo mara kwa mara juu yake + +ardhi inufaikayo na mvua nyingi inaongelewa kana kwamba ni mtu aliyekunywa maji mengi ya mvua. + +# ikatoa mazao muhimu + +Ardhi izaayo mazao inaongelewa kana kwamba iliwazalia. + +# kwa hao waliofanya kazi katika ardhi + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kwa wale kwa ajili yao mtu aliandaa ardhi" + +# ardhi hupokea baraka kutoka kwa Mungu + +Mvua naa mazao vinaonekana kama ushahidi kama Mungu amemsaidia mkulima. Ardhi inaongelewa kana kwamba ni mtu ambaye angeweza kupokea baraka za Mungu. + +# ipo katika hatari ya kulaaniwa + +Hii inaongelea "laana" kana kwamba ni ilikuwa ni sehemu ambayo mtu angeweza kukaribia. AT: "iko katika hatari ya Mungu kuilaani. + +# Mwisho wake ni kuteketezwa + +Mungu atasababisha kila kitu katika shamba hilo kuteketea. + diff --git a/heb/06/09.md b/heb/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..57d19efb --- /dev/null +++ b/heb/06/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# tunashawishiwa + +ingawa mwandishi anatumia nomino ya wingi "Tuna" mara nyingi anamaanisha yeye mwenyewe. + +# ambo mazuri yawahusuyo + +Hii inamaana kuwa wanafanya vizuri kuliko wale walio mkataa Mungu, wasiomtii yeye, na hawawezi tena kutubu ili kwamba awasamene. + +# mambo yahusuyo wokovu + +Nomino dhaaniwa "wokovu" inaweza kuwekwa kama kitenzi. + +# Kwa kuwa Mungu si dhalimu hata asahau + +Maneno haya yanamaanisha kuwa Mungu katika haki yake atakumbuka mambo mazuri ambayo watu wake wameyafanya. + +# jina lake + +"Jina" lake lina maanisha Mungu + diff --git a/heb/06/11.md b/heb/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..b3cdea99 --- /dev/null +++ b/heb/06/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tunatamani sana + +Ingawa mwandishi anatumia wingi lakini anamaanisha yeye mwenyewe. + +# bidii + +uangalifu, kazi ngumu + +# mpaka mwisho + +AT: "mpaka mwisho wa maisha yako" + +# kwa ajili ya uhakika wa ujasiri + +"ili kuwa na uhakika timilifu kuwa mtapokea kile ambacho Mungu amewaahidi ninyi" + +# waigaji + +"muigaji" ni mtu ambaye ana nakili tabia ya mtu mwingine. + +# kuzirithi ahadi + +kupokea kile ambacho Mungu alichowaahidi waumini kinaongelewa kana kwamba ilikuwa wanarithi kitu na utajiri kutoka kwa mwanafamilia. AT: " pokea kileambacho Mungu amewaahidi" + diff --git a/heb/06/13.md b/heb/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..66cf4cb7 --- /dev/null +++ b/heb/06/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alisema + +Mungu akasema + +# Nitakuongeza zaidi + +Neno "ongeza" hapa linasimama kwa uzao. AT: "Nitakupa uzao mwingi' + +# Kile kilichoahidiwa + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: " Kile ambacho Mungu alimuahidi" + diff --git a/heb/06/16.md b/heb/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..677b13f9 --- /dev/null +++ b/heb/06/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwa warithi wa ahadi + +kwa watu ambao Mungu amewawekea ahadi wanaongelewa kana kwamba walikuwa warithi kitu na utajiri kutoka kwa mwanafamilia. AT: "kwa wote ambao wangepokea kile alichoahidi" + +# kwa kusudi zuri lisilobadilika + +"kwamba kusudi lake halitabadilika kamwe" au "kwamba mara zote atafanya kile alichosema atafanya" + +# kwa vitu viwili visivyobadilika + +Hii ina maana ahadi ya Mungu na kiapo cha Mungu. Wala hivi haviwezi kubadilika. + +# ambavyo katika hivyo haiwezekani kabisa Mungu kudanganya + +Vikanushi hivi viwili vinaweza kumaanisha kwamba Mungu atasema kweli kuhusu hali hii. AT:"ambayo mara zote Mungu husema kweli" + +# sisi, tuliokimbilia + +Waumini, ambao wanatumaini katika Mungu kwa yeye kuwalinda, wanaongelewa kana kwamba walikuwa wanakimbilia kwenye sehemu salama. AT: ""sisi, ambao tuliomtumaini yeye" + +# lile lililowekwa mbele zetu + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kile ambacho Mungu ameweka mbele zetu" + diff --git a/heb/06/19.md b/heb/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..9140ee1c --- /dev/null +++ b/heb/06/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Baada ya kumaliza onyo lake la tatu na maneno ya kuwatia moyo waumini, mwandishi wa Waebrania anaendeleza ulinganifu wake wa Yesu kama kuhani dhidi ya kuhani Melikizedeki. + +# kama nanga salama na tegemewa ya roho zetu + +Kama vile nanga inanyoshikilia mtumwi kutoenda sehemu nyingine ndani ya maji, Yesu anatuweka sisi sehemu salama katika uwepo wa Mungu. + +# ujasiri uingiao sehemu ya ndani nyuma ya pazia + +Ujasiri unaongelewa kana kwamba ni mtu ambaye angeweza kwenda katika mahali patakatifu pa patakatifu pa hekalu. + +# sehemu ya ndani + +Hii ilikuwa ni sehemu ya ndani ya hekalu.Ilidhaniwa kuwa ndiyo sehemu Mungu alikuwa akikaa miongoni mwa watu wake. Katika sura hii sehemu hii inasimama kama mbingu na chumba cha kiti cha enzi cha Mungu. + +# kama mtangulizi wetu + +Ukweli kwamba Yesu alikufa na kufufuka, na kwamba sasa yuko na Mungu Baba, inaonyesha kwamba sisi tunaoamini katika yeye tutapata mambo yaleyale.Yesu anaoglewa hapa kana kwamba ni mtu ambaye anakimbia mbele yetu na kwamba tunamfuata. + +# kwa mfano wa Melikezedeki + +Hii ina maana kuwa Kristo kama kuhani ana vigezi sawa na vya kuhani Melikizedeki, + diff --git a/heb/07/01.md b/heb/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..4394d938 --- /dev/null +++ b/heb/07/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Mwandishi wa kitabu cha Waebrania anaendeleza ulinganifu wake juu ya Yesu kama kuhani na kuhani Melikizedeki. + +# Salem + +Hili ni jina la mji. + +# Abrahamu anarudi kutoka kuwauwa wafalme + +Hii ina maanisha wakati Abrahamu na watu wake walipoenda na kuyashinda majeshi ya wafalme wanneili kumwokoa benamu yake, Lutu, na familia yake. + +# ilikuwa kwake + +"Ilikuwa kwa Melikizedeki" + +# mfalme wa haki... mfalme wa amani + +"mfalme wa haki... mfalme wa amani" + +# Hana baba, hana mama, hana wazazi, wala mwanzo wa siku wala mwisho wa maisha yake + +Inawezekana kufikiri kutoka katika ukurasa huu kwamba Melikizedeki hakuzaliwa wala hakufa. Ingawa, ni kama inamaanisha mwandishi anamaanisha kwamba Maandiko hayaarifu chochote kuhusu wazazi wa Melkizedeki, kuzaliwa, au kifo. + diff --git a/heb/07/04.md b/heb/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..0b88b59d --- /dev/null +++ b/heb/07/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anasema kwamba ukuhani wa Melikizedeki ni bora kuliko wa ukuhani wa haruni na anakumbusha kuwa ukuhani wa Haruni haukukamilisha chochote. + +# huyu mtu alikuwa + +'Melikizedeki alikuwa" + +# kwa upande mmoja...lakini kwa upande mwingine + +maneno haya yametumika kulinganishwa vitu viwili. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya msisitizo kwamba mwandishi anaweka ulinganifu. Au unaweza kutumia "kwa upande mwingine" + +# Wana wa Lawi ambao hupokea ukuhani + +Mwandishi anasema hili kwa sababu sio wana wote wa Lawi walikuwa makuhani. + +# kutoka kwa watu + +"kutoka kwa watu wa Israeli" + +# kutoka kwa ndugu zao + +Neno ndugu hapa linamaanisha kuwa wote wanahusiana kupitia kwa Abrahamu. + +# wao, pia wanatoka katika mwili wa Abrahamu + +Hii ni namna nyigine ya kusema walikuwa wana wa Abrahamu. + +# ambao uzao wake haukutoka kwao + +"ambao hawakuwa wana wa Lawi" + +# yeye aliyekuwa na ahadi + +Mambo ambayo Mungu aliahidi kufanya kwa ajili ya Abrahamu yanaongelewa kana kwamba vilikuwa ni vitu ambavyo angeweza kumiliki. + diff --git a/heb/07/07.md b/heb/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..f0e8bee7 --- /dev/null +++ b/heb/07/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mtu mdogo hubarikiwa na mkubwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji: AT: "Mtu wa muhimu humbariki mtu asiye wa muhimu kama yeye" + +# katika jambo hili... katika jambo lile + +Maneno haya hutumika katika kulinganisha ukuhani wa Lawi na ukuhani wa Melikizedeki. Lugha yako unaweza kuwa kunaweza kuwa na namna ya kusisitiza kwamba mwandishi anafanya ulinganifu. + +# imeshuhudiwa kwamba anaendelea kuishi + +haijaandikwa katika maandiko kwamba kwamba Melikizedeki anakufa. Mwandishi wa kitabu cha Waebrania anaandika kukosekana kwa taarifa ya kifo cha Melikizedeki kana kwamba bado anaendelea kuishi. Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji. AT: "andiko linaonyesha kuwa anaendele kuishi: + +# Lawi... alikuwa katika mwili wa baba yake + +kwa kuwa Lawi alikuwa hajazaliwa bado, mwandishi kana kwamba bado alikuwa katika mwili wa Abrahamu. Kwa jinsi hii mwandishi anatia hoja kuwa Lawi alilipa zaka kwa Melikizedeki kupitia Abrahamu. + diff --git a/heb/07/11.md b/heb/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..1fe7d96c --- /dev/null +++ b/heb/07/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sasa + +Hii haimanishi "kwa wakati huu," imetumika kuvuta usikivu kwa kipengele muhimu kinachofuata. + +# kungekuwa na hitaji gani jingine zaidi la kuhani mwingine kuja kwa mfano wa Melikizedeki, na wala sio kwa mfano wa Haruni? + +Swali hili linasisitiza kwamba haikutegemewa kwamba kuhani angeweza kuja kwa mfano wa Melikizedeki. + +# kuinuka + +"kuja" au "kutokeza" + +# kwa mfano wa Melikizedeki + +Hii ina maana kuwa Kristo kama kuhani ana sifa zifananazo na kuhani Melikizedeki. + +# na sio kutoka kwa namna ya Haruni + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "na sio kuwa kwa jinsi ya Haruni" au "ambaye ni kuhani sio kwa mfano wa Haruni" + +# Kwa kuwa pindi ukuhani unapobdilishwa, sheria nayo ni lazima ibadilishwe. + +Hii inaweza kutamkwa katika mfumo tendaji. AT: " kwa kuwa Mungu alipobdilishwa ukuhani, pia alipaswa kubadlisha sheria" + diff --git a/heb/07/13.md b/heb/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..e001e8ed --- /dev/null +++ b/heb/07/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa ambaye + +Hii ina maanisha Yesu. + +# ambaye mambo mambo haya yanasemwa kuhusu yeye + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambaye ninaongea kuhusu yeye + +# Sasa + +Hii haimanishi "wakati huu," lakini linatumika kuvuta usikivu kwa ajili ya kipengele muhimu kinachofuata. + +# Bwana wetu alizaliwa katika Yuda + +Haya maneno "Bwana wetu" linamaanisha Yesu. + +# kutoka Yuda + +"kutoka katika kabila la Yuda" + diff --git a/heb/07/15.md b/heb/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..84dcf31d --- /dev/null +++ b/heb/07/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii inatoka katika Zaburi ya mfalme Daudi + +# haya tuyasemayo ni wazi hasa + +" tunaweza kuelewa hata zaidi." "tuna" inamaanisha mwandishi na watu anaowaandikia. + +# ikiwa kuhani mwingine atatokea + +"kama kuhani mwingine atakuja" + +# kwa mfano wa Melikizedeki + +Hii ina maana kwamba kristo ana sifa sawa na kuhani Melikizedeki. + +# kwa msingi wa sheria zinazohusiana na uzao wa mwili + +wazo la huzao wa mtu linaongelewa kana kwamba ilikuwa inashughulika na mwili wa mtu. + +# lakini katika msingi wa nguvu ya maisha yasiyo haribika + +Neno " alifanyika kuhani" linaeleweka. AT: "lakini alikuwa kuhani kwa msingi wa nguvu ya maisha ambayo hayatakoma" + +# Kwa sababu maandiko yanashuhudia kuhu yeye + +Hii inaongelewa kana kwamba andiko ni mtu ambaye angeweza kushuhudia kuhusu kitu. + +# kwa mfano wa Melikizedeki + +Hii ina maanisha kwamba Kristo kama kuhani ana sifa sawa na za kuhani Melikizedeki. + diff --git a/heb/07/18.md b/heb/07/18.md new file mode 100644 index 00000000..99afcc89 --- /dev/null +++ b/heb/07/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kulikuwa na amri ya kwanza kutanguliwa + +Mungu aliifanya amri yake ya kwanza kutofaa" + +# sheria haikukamilisha chochote + +sheria inaongelewa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye angeweza mutenda. + +# kuna utangulizi wa ujasiri mzuri + +"Mungu ametupa hoja bora ya kuwa na ujasiri" + +# kuna utangulizi wa ujasiri bora iliyombele yetu ambayo kwa hiyo tunamkaribia Mungu + +Ujasiri kwa wakati ujao unaongelewa kana kwamba ni kitu ambacho kutia hicho mtu lazima amkaribie Mungu. + +# tunamkaribia Mungu + +Kumwabudu Mungu na kuwa na upendeleo wake vinaongelewa kana kwamba ni tendo la kumkaribia yeye. + diff --git a/heb/07/20.md b/heb/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..53ab363a --- /dev/null +++ b/heb/07/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii inatoka katika Zaburiya Daudi kama mstari wa 17 + +# hii haikutokea pasipo kula kiapo + +Tendo la kula kiapo linaongelewa bila kusema ni nani aliyekula hicho kiapo. Japo kuwa alikuwa Mungu. + +# kwa kiapo kilichotolewa kwa ambaye alimwambia + +hii inawea kusemwa katika mfumo tendaji. AT:"kwa sababu Mungu aliapa kwake kwa kusema" + diff --git a/heb/07/22.md b/heb/07/22.md new file mode 100644 index 00000000..2e07a096 --- /dev/null +++ b/heb/07/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anawahakikishia aumini hawa wa Kiyahudi kwamba Kristo na ukuhani ulio bora kwa sababu anaishi milele na makuhani wote waliotoka kwa Haruni walikufa. + +# dhamana + +"uhakika" au "ukweli" + +# kwa hakika au kwa upande mwingine + +maneno haya yametumika kulinganisha mambo mawili. Lungha yako inaweza kuwa na msisitizo kwamba mwandishi anafanya ulinganifu. + +# kifo huuhuzuia kutodumu + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: '"mwishowe wanakufa na hawawezi kuendelea" + +# ana ukuhani udumuo/ haubadiliki + +kazi ya kikuhani inaongelewa kana kwamba ni chombo ambach Yesu alikimiliki. AT: "yeye ni kuhani asiye badilika" + diff --git a/heb/07/25.md b/heb/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..66df612d --- /dev/null +++ b/heb/07/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa hiyo + +unaweza kufafanunua "neno "Kwa hiyo" linachomaanisha. AT: " Kwa sababu Kristo ni kuhani wetu mkuu anayeishi milele" + +# wale wanaomkaribia Mungu + +"wale wanaokuja kwa Mungu kwa sababu ya kile Yesu alichofanya" + +# ametukuka zaidi kuliko mbingu + +"na Mungu amemuinua juu kupita mbingu." Mwandishi anaongelea kumiliki heshima zaidi na nguvu zaidi ya mtu yeyote kana kwamba ni nafasi ambayo ni zidi ya vitu vyote. AT: "na Mungu amempaheshima na nguvu kuliko mtu yeyote" + diff --git a/heb/07/27.md b/heb/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..797e4929 --- /dev/null +++ b/heb/07/27.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Maneno "Yeye" na "mwenyewe" yanaamaniisha Kristo. Neno "yake" linamaanisha makuhani wakuu wa duniani. + +# sheria uteua + +Neno sheria hapa ni neno linalosimama kwa niaba ya Mungu, ambaye alianzisha sheria. Waisraeli waliteuwa makuhani wao kwa mjibu wa sheria. + +# wamaume waliokuwa dhaifu + +wanaume waliokuwa dhaifu kiroho" au "wanaume ambao ni wadhaifu kw dhambi" + +# neno la kiapo, ambalo lilikuja baada ya sheria, lilimweka Mwana + +"baada ya kuwapa sheria, Mungu aliapa kwa kiapo na kumteua Mwanawe" + +# kwa neno la kiapo + +neno "kiapo" limepewa nafsi na linaelezewa kana kwamba ni mtu ambaye aliongea. + +# Mwana + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# aliyefanywa kuwa mkamilifu + +"aliyekamilishwa kumtii Mungu na kuwa mkomavu" + diff --git a/heb/08/01.md b/heb/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..4a48c918 --- /dev/null +++ b/heb/08/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Baadaa ya mwandishi kuonyesha ukuhani wa Kristo ulivyo bora kuliko ukuhani wa duniani, anaonyesha kuwa ukuhani wa duniani ulikuwa ni mfano wa mambo ya mbinguni. Kristo ana huduma iliyo bora, au agano lililobora. + +# Sasa + +Hii haimaanishi ni "wakati huu," lakini neno hili limetumika kuvuta usikivu kwa kipengele muhimu kinachofuata. + +# tunasema + +Ingawa mwandishi anatumia wingi "tuna" kimsingi anaongea yeye mwenyewe.AT: "Ninasema" au "ninaandika" + +# aliketi kwa mkono wa kuume + +Neno "mkono wa kuume" linamaanisha sehemu ya heshima. AT: "aliketi katika sehemu ya heshima" + +# katika kiti cha enzi mbinguni + +Neno "Ukuu" linamaanisha Mungu, na kiti chan enzi linamaanisha utawala wa Mungu kama mtawala, + +# hema ya kweli ambayo Bwana, sio mwanadamu, aliliweka + +watu walijenga hema za dunianikwa kutumia ngozi za wanyama zilizofungwa katika nguzo za mbao, na zikawekwa kwa namna ya hema. Hema ya kweli hapa inamaanisha hema ya mbinguni ambayo Mungu ameitengeneza. + diff --git a/heb/08/03.md b/heb/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..b0cbbb21 --- /dev/null +++ b/heb/08/03.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Kwa kuwa kila kuhani mkuu huteuliwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "kwa kuwa Mungu huteua kila kuhani' + +# Sasa + +hII haimaanishi "wakati huu," lakini imetumika ili kuvuta usikivu kwenye kipengele muhimu kinachofuata. + +# kwa mjibu wa sheria + +"kama Mungu anavyotaka katika sheria" + +# nakala na kivuli + +Haya maneno yana kimsingi yana maana moja ili kusisitiza kwamba hema ilikuwa ni sura halisi ya hema ya mbinguni. + +# kivuli cha mambo ya mbinguni + +Mwandishi anaongea hekalu la duniani, ambalo ni nakala ya hekalu la mbinguni, kana kwamba ilikuwa ni kivuli. + +# Kama vile Musa alivyo onywana Mungu wakati alipokuwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. "kama vile Mungu alivyomwonya Musa wakati Musa alipokuwa" + +# alipotaka kuanza kujenga hema + +Musa hakujenga hema yeye mwenyewe. Aliwaamuru watu kuijenga. AT: "alitaka kuwaawamuru watu kuijenga hema" + +# "Tazama," Mungu akasema, "kwamba wewe...mlima + +unaweza kutoa nukuu. AT: "Mungu akasema, 'tazama kwamba wewe... mlima"" + +# tazama + +"Hakikisha" + +# muundo + +"kwa muundo" + +# ilioonyeshwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Ile niliyokuonyesha" + +# juu ya mlima + +Mlima inanaanisha mlima Sinai. + diff --git a/heb/08/06.md b/heb/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..b83bcfe8 --- /dev/null +++ b/heb/08/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Sehemu hii inaanza kwa kuonyesha kwamba agano jipya ni bora kuliko agano la kale la Israeli na Yuda. + +# Kristo amepokea + +"Mungu amempa Kristo" + +# huduma iliyo bora zaidi. kama alivyo mpatanishi wa agano bora + +"huduma iliyo bora zaidi, kama Kristo alivyo mpatanishi wa agano bora" + +# mpatanishi wa agano bora + +Hii ina maanisha kuwa Kristo alisababisha agano bora kuendelea kati ya Mungu na wanadamu. + +# ambalo liko katika ahadi bora + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: ''ni agano hili ambalo Mungu alilifanya kulingana na ahadi zilizo bora" au "Mungu aliahidi vitu bora wakati alipofanya agano hili" + +# Aagano la kwanza... agano la pili + +Haya maneno "kwanza" na "pili" ni namba za kawaida. AT:" agano la zamani ... agano jipya" + +# halingekuwa na makosa + +"ingekuwa kamilifu" + diff --git a/heb/08/08.md b/heb/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..a7798d91 --- /dev/null +++ b/heb/08/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ktika nukuu hii nabii Yeremia alikuwa amesema agano jipya ambalo Mungu angefanya + +# na watu + +"na watu wa Israeli" + +# Angalia + +"Tazama" au "Sikiliza" au "Kuwa na tahadhari kwa lile ninalotaka kuwaambia." + +# Siku zinakuja + +Ziku zijazo zinaongelewa kana kwamba zinatembea kumkabiri mzungumzaji. AT:"ktakuwa na wakati" + +# nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda + +Watu wa Israeli na watu wa Yuda wanaongelewa kana kwamba wao ni nyumba. AT:"watu wa Isareli na watu wa Yuda" + +# Niliwachukua kwa mkono na kuwaongoza kutoka katika ardhi ya Misri. + +Picha inawakilisha upendo mkuu wa Mungu na kujali kwake. + +# hawakuendelea katika katika agano langu + +Kutii agano la Mungu kunaongelewa kana kwamba mtu alipaswa kuendelea katika hilo. AT: "hawakutii agano langu" + diff --git a/heb/08/10.md b/heb/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..a3bd6fac --- /dev/null +++ b/heb/08/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii inatoka kwa nabii Yeremia. + +# nyumba ya Israeli + +Watu wa Israeli wanaongelewa kana kwamba walikuwa ni nyumba. + +# baada ya siku hizo + +"baada ya wakati huo" + +# nitaweka sheria zangu mioyoni mwao + +Sheria za Mungu zinaongelewa kana kwamba ni vyombo ambavyo vingeweza kuwekwa mahali fulani. Uwezo wa watu kufikiri kunaongelewa kana kwamba ni sehemu.AT: "Nitawawezesha kuelewa sheria zangu" + +# Pia nitaziandika mioyoni mwao + +Mioyo ya watu ilifikiriwa kuwa kituo cha uaminifu kwa Mungu, na imeongelewa kana kwamba ni ukurasa ambao ungeweza kuandikwa. + +# nitakuwa Mungu wao + +"Nitakuwa Mungu wanae mwabudu" + +# watakuwa watu wangu + +"watakuwa watu ambao ninawajali" + diff --git a/heb/08/11.md b/heb/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..26dbc58a --- /dev/null +++ b/heb/08/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaendeleza nukuu kutoka kwa nabii Yeremia. + +# Hawatafundishana kila mmoja na jirani yake, na kila mtu na ndugu yake, akisema, 'Mjue Bwana.' + +Nukuu hii ya moja kwa moja inaweza kuengelewa kana kwamba ni nukuu isiyo ya moja kwa moja. AT: "Hawatahitaji kuwafundisha jirani zao au ndugu za kunijua" + +# jirani... ndugu + +Haya maneno mawili yanalenga Waisraeli wenzao. + +# Kumjua Bwana...wote watanijua mimi + +Neno "kujua" hapa linasimama kwa maana ya kutambua. + +# kwa matendo yao yasiyo ya haki + +Hili linasimama kwa ajili ya watu waliofanya matendo haya yasiyo ya haki. + +# Sitazikumbuka dhambi zao tena + +Neno "kumbuka" linamaanisha "sitafikiri kuhusu dhambi hizo" + diff --git a/heb/08/13.md b/heb/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..12bb36ab --- /dev/null +++ b/heb/08/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# liko karibu na kutowekaka + +"limekaribia kabisa kutoweka" au "litatoweka hivi karibuni" + diff --git a/heb/09/01.md b/heb/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..a0018683 --- /dev/null +++ b/heb/09/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anawaweka wazi hawa waumini wa Kiyahudi kwamba sheria na hema ya agano la kale vilikuwa ni picha ya agano bora na jipya. + +# Sasa + +Hii inaonyesha sehemu mpya ya fundisho. + +# agano la kwanza + +Tafsiri hii kama ulivyotafsiri sura ya 8:6 + +# ilikuwa na taratibu + +"ilikuwa na maelekezo ya ndani" au "ilikuwa na miongozo" + +# kwani + +mwandishi anaendeleza mazungumzo kutoka sura ya 8:6 + +# hema ilitengenezwa + +Hema ilijengwa na kuwa tayari kwa matumizi + +# kinara cha taa, meza na mkate wa wonyesho + +Vyombo hivi vyote vinafuatwa neno la linaloonyesha upekee wa vyombo. Kwa sababu mwandishi anadhani kwamba wasomaji wake tayari wanafahamu kuhusu vitu vyombo hivi. + +# mkate wa wonyesho + +mkate wa wonyesho mbele za Mungu au mkate ambao makuhani waliuwakilisha kwa Mungu. + diff --git a/heb/09/03.md b/heb/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..1935c2ab --- /dev/null +++ b/heb/09/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# nyuma ya pazia la pili + +pazia la kwanza kulikuwa na ukuta wa nje wa hema, hivyo pazia la pili lilikuwa ni pazia la pili kati ya mahali patakatifu na mahali patakatifu pa patakatifu. + +# pili + +Hii ni nambaya kawaida ya namba mbili + +# ndani yake + +"Ndani ya sanduku la agano" + +# Fimbo ya Haruni iliyoota maua + +Hii ina maanisha wakati Mungu alipoonyesha kwa watu wa Israeli kwamba alikuwa amemchagua Haruni kama kuhani kwa kuichipusha maua fimbo ya Haruni. + +# kuchipua + +"kuwa na maua" au "kuchipua" au "ilikuwa na kuendelea" + +# mbao za agano + +"Mbao" ni vipande bapa vya mawe vilivyokuwa na maandishi juu yake. Hizi zinamaanisha mbao za mawe ambazo ziliandkwa amri kumi. + +# makerubi walifunika juu + +wakati Waisraeli walipokuwa wakitengeneza sanduku la agano, Mungu aliwaamuru Waisraeli kuchonga makerubi wawili wanatazamana pamoja na mbao zao zigusa juu ya kifuniko upatanisho cha sanduku la agano. Hapa vinaongelewa kana kwamba kama vinaweka kivuri kwenye sanduku la agano. + +# ambao hatuwezi + +Ingawa mwandishi anatumia kiwakilishi cha wingi "tuna" kimsingi anasema kwa nafsi yake mwenyewe. + diff --git a/heb/09/06.md b/heb/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..7f8a5b1c --- /dev/null +++ b/heb/09/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baada ya vitu hivi kuandaliwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "Baada ya makuhani kuandaa vitu hivi" + +# na sio pasipo damu + +Hii inaweza kusemwa katika muundo tendewa. AT: "na mara zote alileta damu" + +# damu + +Hii ni damu ya dume na mbuzi ambazo kuhani mkuu alipaswa kudhabihu siku ya upatanisho. + diff --git a/heb/09/08.md b/heb/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..bcfc91ab --- /dev/null +++ b/heb/09/08.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# njia ya kuingia mahali patakatifu zaidi ilikuwa haijafunuliwa bado + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alikuwa bado hajaifunua njia ya sehemu takatifu zaidi" + +# mahali patakatifu zaidi + +Maana zinazowezekana: 1) chumba cha ndani cha hema duniani au 2) Uwepo wa Mungu mbinguni. + +# hema la kwanza bado lilikuwa limesimama + +Maana zinazowezekana: 1) "chumba cha nje cha hema bado kinasimama" au 2) "hema ya duniani na taratibu za dhabihu zilikuwa zikiendelea." + +# kielelezo + +"Hii ilikuwa ni "picha" au "Hii ilikuwa ni alama" + +# kwa muda uliopo + +"kwa sasa" + +# ambayo kwa sasa yanatolewa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. "ambayo sasa makuhani wanatoa" + +# haviwezi kukamilisha dhamiri ya anayeabudu/ mwabudu + +Mwandishi anaongelea dhamiri ya mtu kana kwamba ni kilikuwa ni chombo ambacho kilikuwa kikifanywa bora zaidi. Dhamiri ya mtu ni ni ujuzi wa kujua baya na jema. Pia ni uelewa wake kama amekosa au amefanya jema. Na kama akifahamu kwamba ametenda baya tunasema anajisikia hatia. + +# taratibu kwa ajili ya mwili + +Mwili hapa unamaanisha mwili wa binadamu." AT: "taratibu za mwili" + +# taratibu za kimwili + +"desturi za maisha ya kimwili" + +# Hizi zilikuwa desturi za kimwili ambazo zilizotolewa + +"Mungu aliandaa taratibu zote hizi kwa ajili ya mwili" + +# ambazo zilizotolewa hadi mpangilio mpya ungeweza kuumbwa + +Hii inawezakusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Kwamba Mungu alitoa hadi alipoumba mpangilio mpya" + +# Mpangilio mpya + +"agano jipya" + diff --git a/heb/09/11.md b/heb/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..2f2c5f5d --- /dev/null +++ b/heb/09/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Baada ya kufafanua huduma ya hema la agano chini ya sheria ya Mungu, mwandishi anaweka bayana kwamba huduma ya Kristo chini ya agano jipya ni bora pia kwa sababu imefunikwa kwa damu yake. Ni bora pia kwa sababu Kristo ameingia hekalu la kweli, ambalo ni uwepo wa Mungu mbinguni, badala ya ya kuingia, kama makuhani wakuu, ndani ya hema ya duniani, ambayo kimsingi ilikuwa ni nakala isiyo timilifu. + +# Vitu vizuri + +Hii haimaanishi vitu vinavyoshikika. Inamaanishavitu vizuri ambavyo Mungu ameahidi katika agano lake jipya. + +# hema kuu na ukamilifu zaidi + +Hii inamaanisha hema la mbingunini muhimu zaidi na timilifu zaidi ya hema ya duniani. + +# ambayo haikufanywa kwa mikono ya binadamu + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambayo haikufanywa kwa mikono ya binadamu" + +# mikono ya binadamu + +"Mikono" inamanisha mtu. + +# mahali patakatifu zaidi + +Uwepo wa Mungumbinguni unaongelewa kana kwamba kana kwamba ilikuwa sehemu takatifu zaidi, chumbacha ndani cha hekalu. + diff --git a/heb/09/13.md b/heb/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..037329ee --- /dev/null +++ b/heb/09/13.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# kunyunyiziwa kwa majivu kwa hao ambao hawajatakaswa + +Kuhani angemimina kiasi kidogo cha majivu kwa watu wasiosafi. + +# je si sana zaidi damu ya Yesu...kuosha nafsi zetu kutoka katika matendo mafu ili kumtumikia Mungu aliye hai? + +Mwandishi anatumia nukuu kusisitiza kwamba dhabihu ya Kristo ilikuwa na nguvu. AT: Hivyo hakika damu ya Kristo itatusafisha nafsi zetu hata zaidi kutoka katika kazi/ matendo mafu na kumtumikia Mungu aliye hai! Kwa sababu, kupitia kwa kupitia Roho wa milele, alijitoa mwenyewe pasipo hatia kwa Mungu. + +# damu ya Kristo + +"damu" ya Yesu inasimama kwa kifo chake. + +# kusafisha dhamiri zetu + +"Dhamiri" hapa inamaanisha mtu kujisikia hatia. Kwa sababu Yesu alijidhabihu yeye mwenyewe, waumini hawapaswi tena kujisikia hatia kwa ajili ya dhambi zao walizozifanya kwa sababu amewasamehe. + +# waa + +Hii ni dhambi ndogo au kosa la kimaadili hapa linaongelewa kana kwamba lilikuwa dogo,doa lisilo la kawaida kuharibu juu ya mwili wa Kristo. + +# safisha + +"kusafisha" linasimama kwa tendo la nafsi zetu kupokea msamaha wa kutokuwa na hatia kwa ajili ya dhambi tulizozitenda + +# hao walioitwa na Mungu + +wale ambao Mungu amewateua au kuchaguliwa na kuwa watoto wake + +# Kazi/ matendo mafu + +matendo mafu yanaongelewa kana kwamba yalikuwa yakitoka katika ulimwengu wa wafu. + +# Kwa sababu hii + +"kama matokeo" au "kwa sababu hii" + +# Ni mjumbe/ mpatanishi wa agano jipya + +Hii inamaanisha Kristo alisababisha agano jipya kati ya Mungu na wanadamu kuwepo. + +# agano la kwanza + +tafsiri hii kama ulivyotafsiri 8:6 + +# wale walioitwa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. AT: "wale ambao Mungu aliowachagua kuwa wana wake" + +# urithi + +upokeaji wa kile ambacho Mungu alikuwa amewaahidi waumini kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kurithi kitu na mali kutoka katika mwanafamilia. + diff --git a/heb/09/16.md b/heb/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..e12966bb --- /dev/null +++ b/heb/09/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wosia + +hati ya kisheria ambayo inamtaja mtu ambaye angepokea zile mali wakati mwenye mali akifa. + +# kifo cha mtu aliyetenda ni lazima kihakikishwe + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mtu ni lazima ahakikishe kwamba mtu aliweka wosia amekufa" + diff --git a/heb/09/18.md b/heb/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..a07429f5 --- /dev/null +++ b/heb/09/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hivyo hata agano la kwanza halikuanzishwa pasipo damu + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Hivyo Mungu alianzisha hata lile agano la kwanza kwa damu" + +# agano la kwanza + +Tafsiri hii kama ulivyotafsiri 8:6 + +# damu + +kifo cha wanyama waliotolewa dhabihu kunaongelewa kana kwamba hakukuwa na kitu kingine isipokuwa damu. + +# alichukua damu... pamojas na maji...na kunyunyiza...gombo... na watu wote + +Kuhani alichovyawa hissopo katika damu na maji na kisha alikitikisa kijiti cha hissopo na kudondosha damu na maji juu ya magombo na watu.Kunyunyiza damu lilikuwa ni tendo la ishara lililofanywa na makuhani ambalo kwa hilo walipata faida ya agano kwa watu na vyombo. Na hapa upokelewaji wa gombo na watu vinafanywa upya. + +# hisoppo + +mmea uliotumika katika ibada ya kunyunyiza + +# damu ya agano + +"Damu" hapa linamaanisha kifo cha wanyama waliotolewa dhabihu ili kuftimiza matakwa ya agano. + diff --git a/heb/09/21.md b/heb/09/21.md new file mode 100644 index 00000000..8e12e319 --- /dev/null +++ b/heb/09/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# alinyunyuzia + +"Musa alinyunyuzia" + +# nyunyuzia + +Kunyunyuzia kulikuwa ni tendo la ishara ambalo lilifanywa na makuhani ambalo kwa hilo walipata faida ya agano kwa watu na kwa viyombo. + +# Vyombo vyote vilivyotumiwa katika huduma + +huu ni mkebe au chombo ambacho unaweza kubeba vyombo. Hii inamaanisha vyombo au kitu. AT: " vyombo vyote vilivyotumika katika huduma" + +# vilitumika katika huduma + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Makuhani walivitumia katika kazi zao" + +# karibia kila kitu kinatakaswa kwa damu + +kufanya kitu kipokelewe na Mungu kunafanywa kana kwamba kitu hicho kilikuwa kinatakaswa. Wazo hili linaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Makuhani hutumia damu kusafisha karibia ila kitu" + +# damu + +Hapa damu ya mnyama inaongelewa kuhusu kifo cha mnyama. + +# Hakuna msamaha wa dhambi pasipo kuwagika damu + +Hapa "kumwaga damu" kunamaanisha kwa kitu kufa kama dhabihu kwa Mungu. mambo haya hasi yanaweza kumaanisha msamaha wote unapatikana kwa njia ya kumwaga damu. + +# msamaha + +"msamaha wa dahmbi ya watu" + diff --git a/heb/09/23.md b/heb/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..da49c590 --- /dev/null +++ b/heb/09/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anasisitiza kwamba Kristo (sasa yuko mbinguni anatuombea) alipaswa kufa mara moja tu kwa ajili ya dhambi na kwamba atarudi duniani mara ya pili. + +# nakala ya vitu vya mbinguni vinapaswa kusafishwa kwa dhabihu ya hawa wanyama + +"Makuhani wanapaswa kutumia dhabihu hii ya wanyama kusafisha nakala za vitu vya mbinguni" + +# vitu vya mbinguni vyenyewe vilipaswa visafishwe kwa dhabihu zilizo bora zaidi + +Ile ni bora zaidi ya dahabihu zilizotumika kusafisha nakala za duniani. Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kama kwa vitu vya mbinguni vyenyewe, Mungu alipaswa kuvisafisha kwa dhabihu iliyo bora" + +# ilitengenezwa kwa mikono + +"Mikono" hapa inamaanisha mwanadamu. AT: "ambayo wanadamu walitengeneza na" + +# ya kitu halisi + +"sehemu ya kweli na takatifu ya patakatifu pa patakatifu" + diff --git a/heb/09/25.md b/heb/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..5b9d39e0 --- /dev/null +++ b/heb/09/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hakuingia kule + +" Hakuingia mbinguni" + +# mwaka baada ya mwaka + +"kila mwaka" au "mwaka baada ya mwa + +# na damu ya mwingine + +Hii inamaanisha na damu ya mnyama wa kafara, na sio kwa damu yake mwenyewe. + +# na kama hiyo ilikuwa kweli/ sababu + +"Kama alipaswa kutoa mara nyingi" + +# tangu mwanzo wa ulimwengu + +Uumbaji wa dunia unaongelewa kana kwamba ni jengo na msingi wake ulikuwa sehemu ya kwanza kujengwa. AT: "tangu Mungu alipoanza kuiumba dunia" + +# amefunuliwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mung amemfunua" + +# kuindoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe + +Hii inaongea kuhusu dhambi kana kwamba kilikuwa ni chombo ambach mtu angeweza kukiondoa. AT: "kumsababisha Mungu kusamehe dhambi kwa kujidhabihu mwenyewe" + diff --git a/heb/09/27.md b/heb/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..82bee327 --- /dev/null +++ b/heb/09/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Pia Kristo, ambaye alitolewa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Pia Kristo, ambaye "aliyejitoa mwenyewe" + +# kuziondoa dhambi + +Tendo la kutufanya wasio na hatia badala ya kuwa na hatia kwa ajili ya dhambi zetu kunaongelewa kana kwamba dhambi zetu zilikuwa vyombo ambavyo vinashikika ambavyo Kristo aliweza kuzibeba. + +# dhambi + +dhambi inamaanishahatia ambayo watu waliyonayo mbele za Mungukwa sababu ya dhambi walizotenda. + diff --git a/heb/10/01.md b/heb/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..43b95b71 --- /dev/null +++ b/heb/10/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anaonyesha udhaifu wa sheria na dhabihu zake, kwa nini Mungu aliwapa sheria, na utimilifu wa ukuhani mpya na dhabihu ya Kristo. + +# sheria ni kivuli cha mambo mema yajayo + +Hii inaongewa kuhusu sheria kana kwamba kilikuwa ni kivuli. Mwandishi anaongea kwamba sheria haikuwa vitu vizuri ambavyo Mungu alikuwa ameviahidi. Ni sehemu ndogo tu ya mambo mazuri ambayo Mungu alipaswa kuyafanya. + +# si yale yaliyo halisi ya yale mambo yenyewe + +" sio vitu halisi vyenyewe" + +# mwaka hadi mwaka + +"kila mwaka" + +# dhabihu hizo zisingeweza kukoma kutolewa + +Mwandishi antaumia swali kuelezea kwamba dhabihu zilikuwa na nguvu ya ukomo. "wangekuwa wameacha kudhabihu dhabihu" + +# ilikoma + +"sitisha" + +# Kwa sababu hiyo + +"kwa hali hiyo" + +# wakiwa wamesafishwa + +Dhambi za watu zinaongelewa kana kwamba ziklikuwa zikioshwa ana kwa ana. AT: " Kama Mungu alikuwa tayari amekwisha samehewa dhambi zao" + +# wasingekuwa na utambuzi + +"wangeweza kufahamu kuwa hawana hatia ya dhambi tena." + +# haiwezekani kwa damu mafahari na mbuzi kuziondoa dhambi + +Dhambi zinaongelewa kana kwamba zikuwa vyombo ambavyo damu ya wanyama ingeweza kuziondoa. AT: "Kwa sababu haiwezekani kabisa Mungu kusamehe dhambi kwa kwa sababu ya damu ya mafahar na mbuzi. + +# damu ya mafahari na mbuzi + +"Damu" hapa inamaanisha kwa wanyama hawa waliokuwa wanakufa kwa kama dhabihu kwa Mungu. + diff --git a/heb/10/05.md b/heb/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..cf0b85fa --- /dev/null +++ b/heb/10/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Maneno ya Kristo alipokuwa duniani yalikuwa yamesemwa katika nukuu hii kutoka Zaburi ya Daudi. + +# ambayo ulitamani + +"Wewe" hapa ni nafsi ya umoja na inamaanisha Mungu. + +# mliandaa + +"kufanya tayari" + +# kisha nilisema + +"Nilisema" inamaanisha Kristo + +# kama ilivyoandikwa katika gombo kuhusu mimi + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: " kama manabii walivyoandika katika gombo kuhusu mimi" + +# gombo + +Hii inamaanisha maandiko au maandiko matakatifu. + diff --git a/heb/10/08.md b/heb/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..4428ff1a --- /dev/null +++ b/heb/10/08.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +pamoja na kwamba anabadilisha maneno polepole, mwandishi anarudia nukuu hii kufoka Zaburi ya Daudi kusisitiza. + +# dhabihu...sadaka...au sadaka za kuteketezwa... dhabihu kwa ajili ya dhambi + +Tafsiri maneno haya kama ulivyotafsiri 10:5 + +# amabyo hutolewa + +"ambayo makuhani hutoa" + +# Ona/tazama + +"Tazama" au "sikiliza" + +# ameweka pembeni taratibu za awali + +Jina la tendo dhaaniwa "taratibu"/ tendo hapa inamaanisha njia ya kudhabihu kwa ajili ya dhambi.Kusitisha kufanya kunaongelewa kana kwamba kilikuwa ni chombo ambacho kingeweza kuondolewa. + +# taratibu za awali... taratibu za pili + +Maneno "kwanza" na "pili" ni namba za kawaida.AT: "taratibu za zamani ...taratibu mpya" + +# ili kuanzishe utaratibu wa pili + +Kuanzisha njia ya pili ya kudhabihu inaongelewa kana kwamba kuanzisha utaratibu AT: "ill kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi kwa mara nyingine" + +# Tumetakaswa/ tumetengwa + +"Mungu ametutakasa" au "Mungu ametuweka kwake kwa ajili yake" + +# tumekwisha kutengwa kwa Mungu kwa mapenzi yake + +"Mungu alitaka Kristo kujitoa mwenyewe dhabihu na kwamba dhabihu ilishatutenga sisi kwa Mungu" + +# kupitia dhabihu ya mwili wa Yesu Kristo + +"wakati Yesu Kristo alipotoa mwili wake kama dhambihu" au "kwa sababu Yesu Kristo aliudhabihu mwili wake" + diff --git a/heb/10/11.md b/heb/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..0ef68a0b --- /dev/null +++ b/heb/10/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa upande mwingine ... na kwa upande mwingine + +Haya maneno yanatumika kulinganisha vitu viwili . Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kusisitiza kwamba mwandishi anaweka ulinganifu. Au unaweza kutumia "Lakini." + +# siku kwa siku + +"siku hadi siku" au "kila siku" + +# haiwezi kuziondoa dhambi + +Hii inaongelea. dhambi kana kwamba ni chombo ambacho mtu anaweza kukiondoa. AT: "haiwezi kumfanya Mungu asamehe dhambi" + +# hadi maandui zake wamewkwa chini ya miguu yake + +kuteswa kwa maadui wa Kristo kunaongelewa kana kwamba ni sehemu iliyotengenezwa kwa ajili yake kupumzishia migu yake. AT: "hadi Mungu atakapowaseta maadui wa Kristo na kuwa kana kiti cha miguu yake" + +# wale ambao wametengwa kwa Mungu + +"wale ambao Mungu amewatenga kwa ajili yake mwenyewe" + diff --git a/heb/10/15.md b/heb/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..8ab20986 --- /dev/null +++ b/heb/10/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii ni nukuu kutoka kwa nabii Yeremia katika Agano la Kale. + +# pamoja nao + +"amoja na watu wangu" + +# baada ya siku hizo + +"wakati wa agano la kwanza na watu wangu ulipokwisha" + +# Nitaziweka sheria zangu ndani ya mioyo yao, na nitaziandika katika akili zao + +Mioyo ya watu na akili vinaongelewa kana kwamba sheria ya Mungu ingeweza kuwekwa au kuandikwa juu yake. AT: "Nitawasababisha kuzielewa shria zangu na nitawasababisha kuzitii sheria zangu" + diff --git a/heb/10/17.md b/heb/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..da10ac40 --- /dev/null +++ b/heb/10/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaendeleza nukuu ya nabii Yeremia katika Agano la Kale + +# Sitazikumbuka dhambi zao na makosa yao + +Hii ni sehemu ya pili ya ushuhuda wa Roho Mtakatifu (tazama 10:15). Kisha asema, "Sitazikumbuka dhambi zao na makosa yao." + +# Sitazikumbuka dhambi zao + +"Sitazikumbuka dhambi zao"au "sitafikiri tena kuhusu dhambi zao" + +# Sasa + +Hii haimaanishi "wakati huu," lakini imetumika kuvuta usikivu kwa kipengele kinachofuata. + +# mahali palipo na msamaha kwa mambo haya + +"wakati Mungu aliposamehe mambo haya" + +# hakuna tena dhabihu yeyote kwa ajili ya dhambi + +"watu wao hawahitajiki kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi" + diff --git a/heb/10/19.md b/heb/10/19.md new file mode 100644 index 00000000..91bd33c0 --- /dev/null +++ b/heb/10/19.md @@ -0,0 +1,60 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Baada ya kuweka wazi kwamba kuna dhabihu moja kwa ajili ya dhambi, mwandishi anaendelea na picha ya patakatifu pa patakatifu katika hekalu, mahali ambapo kuhani mkuu aliweza kuingia kila mwaka na damu ya dhabihu + +# Ndugu + +Hii inamaanisha kwa waumini wote katika Kristo awe mwanaume au mwanamke. "dada" au "waumini" + +# mahali patakatifu zaidi + +Hii inamaanisha uwepo wa Mungu, sio mahali patakatifu zaidi katika hema ya zamani. + +# kwa damu ya Yesu + +"Damu ya Yesu" inamanisha kwa kifo cha Yesu. + +# njia iliyo hai + +pengine inamaana 1) Njia hii mpya kwa Mungu kwamba Yesu ametoa matokeo ndani ya waumini kuishi milele au 2) Yesu yu hai, na na ni njia ambayo waumini wanaingia kuingia katika uwepo wa Mungu. + +# kwa jinsi ya mwili wake + +neno mwili hapa inasimama kama kwa mwili wa Yesu, na mwili wake unasimama kwa kifo chake the kujidhabihu. AT: "kwa jinsi ya mwili wake" + +# Tunaye kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mungu + +Hii ni lazima itafsiriwe katika namna kuweka wazi kwamba Yesu ni "kuhani Mkuu." + +# juu ya nyumba + +"Msimamizi wa nyumba" + +# nyumba ya Mungu + +"watu wote wa Mungu" + +# Tumkaribie + +Kumkaribia hapa inasimama kwa kumwabudu Mungu, kama kuhani alipaswa kwenda juu ya mimbali ili kudhabihu wanyama kwa Mungu. + +# mioyo imenyunyiziwa safi + +"mioyo ambayo Mungu ameinyunyizia kwa damu ya Yesu na kuifanya safi" + +# mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kutakaswa + +"kana kwamba alifanya mioyo yetu safi kwa damu yake" + +# kunyunyiziwa + +"kazi ya kuweka vitu kuwa safi" + +# baada ya mikono yetu kuwa imeoshwa kwa maji maji halisi + +"kana kwamba alikuwa ameosha miili yetu kwa maji halisi" + +# miili yetu imeoshwa kwa maji halisi + +Kama mtafasirianaelewa kwamba sentensi hii yanamaanishaubatizo wa Kikristo, hivyo maji ni maji halisi na sio mfano. Lakini kama maji yanachukuliwa kama maji, hivyo "halisi" inasimama kwa niaba ya usafi wa kiroho ambao ubatizo unaosemwa hapa umetimiliza. "Kuoshwa" kunasimama kama waumini kuwa kupokelewa na Mungu. + diff --git a/heb/10/23.md b/heb/10/23.md new file mode 100644 index 00000000..14d67c15 --- /dev/null +++ b/heb/10/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# shikilia kwa udhabiti ungamo la tarajio la ujasiri wetu + +"endelea kuwaambia watu kwamba tuna ujasiri kwa sababu tunaamini kuwa Mungu atatenda kile alichoahidi kutenda" + +# pasipo kugeukageuka/ kuyumba yumba. + +pasipokuwa na kuwa na hakika" au "pasipokuwa na shaka" + +# Tusiache kukusanyika pamoja + +"tusiache kujumuika pamoja kwa ajili ya ibada" + +# kadri mwonavyo siku inakaribia + +"Kama mnavyofahamu kuwa Kristo atakuja hivi karibuni" + diff --git a/heb/10/26.md b/heb/10/26.md new file mode 100644 index 00000000..3cb7218e --- /dev/null +++ b/heb/10/26.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anatoa onyo la nne. + +# kwa makusudi + +"kwa kukusudia" + +# baada ya kuwa tumepokea ujuzi wa kweli + +Ujuzi wa kweli kunaongelewa kana kwamba ni chombo ambacho kinaweza kumpa mtu mmoja hadi mwingine. AT: "baaba ya kuwa tumejifunza kweli" + +# dhabihu ya dhambi haipo tena + +"hakuna awezaye kutoa dhabihu ambayo Mungu atatusamehe dhambi zetu" + +# kweli + +Ukweli kuhusu Mungu. + +# hakuna tena dhabihu kwa ajili ya dhambi + +Hakuna mtu yeyote awezaye kutoa dhabihu mpya kwa sababu dhabihu ya Kristo ndiyo pekee inayofanya kazi. + +# dhabihu kwa ajili ya dhambi + +"dhabihu kwa ajili ya dhambi" inasimama kama njia tendaji ya kudhabihu wanyama ili kuondoa dhambi" + +# ya hukumu + +ya hukumu ya Mungu. ambayo, Mungu atahukumu. + +# ukali wa moto ambao utawateketeza adui wa Mungu + +Ukali wa Mungu unaongelwa kana ni moto ambao ungechoma maadui wake. + diff --git a/heb/10/28.md b/heb/10/28.md new file mode 100644 index 00000000..cc7104ae --- /dev/null +++ b/heb/10/28.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# wawili au watatu + +Imepewa maana ya kwambahii inamaanisha "angalau wawili au watatu" + +# kiwango gani zaidi cha adhabu unafikiri kinamstahili...neema? + +Mwandishi anasisitiza ukuu wa adhabu kwa wale wote wanaomkataa Kristo. + +# amemdharau mwana wa Mungu + +Kutokumjali Kristo na kumtukana kunaongelewa kana kwamba mtu anakanyaga. + +# ambaye ameihesabu damu ya agano kama sio takatifu + +Hii inaonyesha jinsi mtu alivyokanyaga Mwana wa Mungu. Kwa kuihesbu damu ya agano kama sio takatifu" + +# Mwana wa Mungu + +Hili ni jina muhimu la cheo cha Yesu + +# damu ya agano + +"damu" hapa inasimama kama kifo cha Kristo, ambacho kwa hicho Mungu alianzisha agano jipya. + +# damu ambayo kwa hiyo alitakaswa + +"damu ambayo Mungu alimtakasa kwa hiyo" + +# Roho wa neema + +"Roho wa Mungu anayetoa neema" + diff --git a/heb/10/30.md b/heb/10/30.md new file mode 100644 index 00000000..9307e6f1 --- /dev/null +++ b/heb/10/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Neno "tuna" linamaanisha kwa mwandishi na waumini wote. Nukuu hizi mbili zinatoka kwenye sheria ambayo Musa alitoa katika Agano la Kale. + +# kisasi ni juu yangu + +kisasi kinaongelewa kana kwambani chombo ambacho kinatoka kwa Mungu, ambaye alikuwa na haki ya kufanya na kama alivyotaka na kile alichomiliki. Mungu anayo haki kulipa kisasi juuya maadui zake. + +# nitalipa + +Ulipaji wa Mungu wa kisasi kunaongelewa kana kwamba ni kumlipa mtu ujira umfaao + +# kuanguka katika mikono + +kupokea adhabu ya Mungu kunaongelewa kana kwamba mtu anaangukia katika mikono ya Mungu. Mikono" hapa inamaanisha uwezo wa Mungu wa kuhukumu. + diff --git a/heb/10/32.md b/heb/10/32.md new file mode 100644 index 00000000..d562b8c2 --- /dev/null +++ b/heb/10/32.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# siku zilizopita + +"wakati uliopita" + +# baada ya kutiwa nuru + +kujifunza kweli kunaongelewa kana kwamba Mungu aliwasha taa juu ya mtu. AT: "baada ya kujifunza ukweli kuhusu Kristo" + +# jinsi mlivyo vumilia mapingamizi makubwa + +"ni jinsi gani umevumilia mateso mengi" + +# mlikuwa mmewekwa wazi katika dhihaka ya matukano na mateso + +"Watu waliwadhihaki kwa matukano na mateso ya wazi wazi" + +# mlikuwa mmewekwa wazi katika dhihaka na matukano + +watu waliwaasi ninyi na kukutukana wazi + +# mlikuwa mkishirkiana + +"mlijiuna na wale" + +# urithi urio bora na wa milele + +Baraka za Munguza milele zinaongelewa kana kwamba ni mali + diff --git a/heb/10/35.md b/heb/10/35.md new file mode 100644 index 00000000..fa1f1488 --- /dev/null +++ b/heb/10/35.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +katika 10:37 ni nukuu kutoka kwa nabii Isaya katika Agano la Kale. + +# Msiutupe ujasiri wenu, ulio na zawadi kuu. + +"Kukataa ahadi kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kutupa kitu kisicho na thamani au kisicho na maana. + +# kwa kitambo kidogo + +" kama Mungu alivyosema katika maandiko, kwa kila kitambo kidogo" + +# kwa muda kitambo sana + +"mapema mno" + diff --git a/heb/10/38.md b/heb/10/38.md new file mode 100644 index 00000000..4301b842 --- /dev/null +++ b/heb/10/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +katika 10:38 mwandishi ananukuu kutoka kwa nabii Habakuki, ambayo moja kwa moja inafuata nukuu kutoka kwa nabii Isaya 10:37. + +# mwenye haki wangu...kama akigeuka... pamoja naye + +Haya maneno yanamaanisha kwa watu wa Mungu wowote.AT: "watu wangu waaminifu ...kama mmoja wao akigeuka...kwa mtu huyo" au " watu wangu waaminifu... kama wakigeuka ... nao" + +# kama akigeuka + +kukosa ujasiri na imani kunaongelewa kana kwamba ilikuwa nikugeuka kutoka kufuata njia. + +# wanaogeuka kuelekea uangamivu + +kukosa ujasiri na imani kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kugeuka kutoka katika kufuata njia. + +# kwa kuzilinda imani roho zetu + +kuishi milele na Mungu kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kutunza roho ya mtu, Na roho hapa inamaanisha mtu mzima mzima. + diff --git a/heb/11/01.md b/heb/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..0590de2e --- /dev/null +++ b/heb/11/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anaongea vitu vtatu kuhusu imani katika maelekezo haya mafupi. + +# Sasa + +Neno hili limetumika hapa kufanya kupumzika katika fundisho lake kuu. Hapa mwandishi anaanza kufafanua maana ya "imani." + +# Kwa hakika aliyo nayo mtu wakati atarajiapo + +"imani ni msingi alionao mtu katika tegemeo" + +# hakika anatarajia + +Hapa jambo hili hurejea katika ahadi za Mungu, hususani uhakika walionao waamini wote wa Yesu kuwa kunawakati watakuwa na Mungu mbinguni milele. + +# ambayo bado hayajaonekana + +"yale ambayohatujayaona" au "ambayo hayajaonekana" + +# kwa sababu hii + +"Kwa sababu kulikuwa na matukio ya hakika ambayo yalikuwa hayajatokea" + +# mababu walithibitishwa kwa imani yao + +"Mungu aliwathibisha mababu zetu kwa sababu ya imani yao" + +# ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu + +"Mungu aliimba dunia kwa kuiamuru iwepo" + +# kinachoonekana hakikuumbwa kwa vitu vinavyoonekana + +"Mungu hakuumba tunavyoviona kutokana na vitu vinavyoonekana" + diff --git a/heb/11/04.md b/heb/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..58b53a3f --- /dev/null +++ b/heb/11/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi: + +kisha mwandishi anatoa mifano mara nyingi kutoka Agano la Kale ya watu walioishi ka imani ingawa hawakupokea kile ambacho alikuwa amekiahidi wakati walipoishi duniani. + +# alishuhudiwa kuwa mwenye haki + +'Mungu alishuhudia kwamba Habili alikuwa mwenye haki" + +# Abel bado anazungumza. + +Yale aliyofanya Abel yanaendelea kutufundisha + +# alishuhudiwa kuwa mwenye haki + +Mungu alimshuhudia kuwa mwenye haki" + diff --git a/heb/11/05.md b/heb/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..4a23745c --- /dev/null +++ b/heb/11/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kwa imani Enoko alichukuliwa juu na hakuonja mauti + +Kwa imani Enoko hakufa kwa sababu Mungu alimchukua. + +# Tazama Kifo + +Kufa. + +# Kabla hajachukuliwa juu + +"Kabla Mungu hajamchukua juu" + +# alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. Maana dhaaniwa: 1) "Mungu alisema Enoki alikuwa amempendeza," 2) "Watu walisema Henoko alikuwa amempendeza Mungu." + +sasa pasipo imani + +# Sasa hapa haimaanishi kwamba wakati huu lakini imetumika kuvuta usikivu kwa ajili ya kipengele kinachofuata. + +Pasipo imani haiwezekani kumpendeza yeye + +# "mtu anaweza kumpendeza Mungu kama tu ana imani katika Mungu" + +yeyote ajaye kwa Mungu + +# yeyote ajaye kwa Mungu + +anayetaka kumwabudu Mungu na kuwa sehemu ya watu wake kunaongelewa kana kwamba ni kuja kwa Mungu. "mtu yeyote anayehitaji kuwa sehemu ya Mungu" + +# huwapatia zawadi + +"huwapatia wale" + +# wale wote wamtafutao + +Kujifunza kuhusu Mungu na kufanya juhudi kumtii kunaongelewa kana kwamba mtu anamtafuta mtu mwingine. + diff --git a/heb/11/07.md b/heb/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..02852e96 --- /dev/null +++ b/heb/11/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# baad ya kupewa ujumbe wa kiungu + +"Kwa sababu Mungu alimwambia yeye" + +# kuhusu vitu ambavyo havijaonekana + +"kuhusu vitu ambavyo hapana hakuna hata mmoja amewahi kuviona kabla" au " kuhusu matukio ambayo hayajatokea bado" + +# Ulimwengu + +Watu wanaoishi duniani wakati huo + +# akawa mrithi wa haki + +Nuhu anaongelewa kana kwamba alikuwa akirithi mali ana utajiri kutoka kwa mwana familia. "alipokea kutoka kwa Mungu mwenye haki" + +# hivyo kulinganga na imani + +"kwamba Mungu huwapa wale walio na imani katika yeye" + diff --git a/heb/11/08.md b/heb/11/08.md new file mode 100644 index 00000000..a1d926b0 --- /dev/null +++ b/heb/11/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Alipoitwa + +"pindi Mungu alipomwita" + +# alienda kwenye sehemu nje + +"Aliacha nyummba yake kwenda kwenye sehemu" + +# Nchi ya ahadi + +"Nchi ambayo Mungu alimuahidia. + +# aliishi katika nchi ya ahadi kama mgeni + +"aliishi kama mgeni katika nchi ambayo Mungu alikuwa amemuahidi." + +# Warithi wenza + +"warith pamoja." Hii inaongea kuhusu Abrahamu, Isaka, na Yakobo kana kwamba walikuwa warithi ambao wangepokea urithi kutoka kwa baba yao. + +# Mji ulio na misingi + +Mungu anaongelewa kana kwamba ni mbunifu na mjenzi. + +# Mtaalam wa ujenzi + +Mtu ambaye anaunda majengo. + +# mbunifu wa ujenzi + +mtu anayebuni majengo + diff --git a/heb/11/11.md b/heb/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..151bcfed --- /dev/null +++ b/heb/11/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Uwezo wa kushika mimba + +"Uwezo wa kuwa baba" + +# walimwona Mungu kuwa mwaminifu, ambaye aliwapa ahadi + +"walimwamini Mungu, ambaye alikuwa amewaahidi vitu kuwa mwaninifu" + +# alikuwa karibia na kufa + +"mzee sana kupata" au "mzee sana" + +# Wazao wasioweza kuhesabika... wengi kama nyota angani na mbegu za mchanga zisizohesabika kwenye ufukwe ambao hauhesabiki + +Hii ilimuhusu Abrahamu kuwa na wana uzao mwingi sana. + +# ambayo haihesabiki + +"ambayo mengi sana kuhesabu" + diff --git a/heb/11/13.md b/heb/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..f8a254b9 --- /dev/null +++ b/heb/11/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# pasipo kupokea ahadi + +"pasipo kupokea ahadiambazo Mungu alikuwa ameawaahidi + +# baada ya kuona na kuwasalimu kutoka mbali + +"baada ya kujifunza kile Mungu atakachofanya wakati ujao" + +# walikiri + +walitambua" au walipokea" + +# Walikuwa wageni na wapitaji katika nchi + +"wageni" na "wapitaji" kimsingi yanamaanisha kitu kimoja. Hii inasisitiza kwamba nchi haikuwa nyumbani kwao kweli. Walikuwa wakisubiri kwa ajili ya nyumbani kwao kweli ambapo Mungu ametengeneza kwa ajili yao. + +# Nchi ya nyumbani. + +"Nchi ambayo wanatokea" + diff --git a/heb/11/15.md b/heb/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..0aeae510 --- /dev/null +++ b/heb/11/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wa mbinguni + +"nchi ya kimbingu" au "nchi mbinguni" + +# Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao. + +"Mungu anafurahi kuitwa Mungu wao" au "Mungu anajivuna kuwa Mungu wao" + diff --git a/heb/11/17.md b/heb/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..8e26fea7 --- /dev/null +++ b/heb/11/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# alipojaribiwa + +"pindi Mungu alipomjaribu" + +# kwake ambaye ilikuwa imesemwa + +"kwake ambaye Mungu alisema" + +# Kutoka kwa Isaka uzao wako utaitwa + +"Ni katika uzao wa Isaka amabao Mungu atafikiri uzao wako. + +# kuongea kwa mafumbo + +namna ya kuongea." Hii ina maana kwamba mwandishi anachosema kisichukuliwe kama tukio ambalo linatokea kimwili. Mungu hakumleta Isaka kutoka kwa wafu.Lakini Abrahamu alikuwa anataka kumdhabihu Isaka wakati Mungu alipomzuia, ilikuwa kana kwamba Mungu alikmrudisha kutoka kwa wafu. + +# Alimpokea tena + +"Abraham alimpokea Isaka tena + +# ilikuwa kutoka kwao + +"ilikuwa kutoka kwa wafu + +# alimpokea + +"Abrahamu alimpokea Isaka" + diff --git a/heb/11/20.md b/heb/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..b9fcbf18 --- /dev/null +++ b/heb/11/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yakobo aliabudu + +"Yakobo alimwabudu Mungu" + +# Mwisho ulipokuwa umekaribia + +"alipokuwa amekaribia kufa" + +# aliongeakuondoka kwa wana wa Israeli wangetoka Misri" + +"aliongea wakati wana wa Israeli wangeondoka Misri" + +# wana wa Israeli + +"wana wa Israeli" au " uzao wa Israeli" + +# aliwaelekeza kuhusu mifupa yake + +Yusufu alikufa akiwa Misri. Aliwataka waru wake kuchukua mifupa yake wakati wataondoka Misri ili kwamba waizike mifuka katika nchi ambayo Mungu alikuwa amewaahidi. + diff --git a/heb/11/23.md b/heb/11/23.md new file mode 100644 index 00000000..c6dd2135 --- /dev/null +++ b/heb/11/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Musa, alipozaliwa, alifichwa na wazazi wake kwa miezi mitatu + +"Wazazi wa Musa walimfika kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa." + +# alikua + +"Akawa mtu mzima + +# alikataa kuitwa + +"aliwazuia watu kumuita" + +# Dharau zitokanazo na kumfuata Kristo + +"udhoefu wa watu kutokumuheshimu kwa sababu alifanya kile ambacho Kristo angetaka" + +# Elekeza macho yake katika zawadi ya mbele + +"Kufanya kile alichojua kuwa kitampatia zawadi huko mbinguni." + +# kumfuata Kristo + +kumtii Kristo kunaongelewa kana kwamba walikuwa wakimfuata katika njia. + +# kuweka mach yake katika zawadi yake + +Kufanya kile alichokifahamu kungemwezesha kupata taji mbinguni" + diff --git a/heb/11/27.md b/heb/11/27.md new file mode 100644 index 00000000..1f5b2a9d --- /dev/null +++ b/heb/11/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alivumilia kana kwamba alikuwa alimwona yeye asiye onekana + +Musa anaongelewa kana kwamba alimwona Mungu, ambaye haonekani. + +# yule ambaye haonekani + +"yeye ambaye hakuna mtu anaweza kumwona" + +# Kunyunyiza kwa damu + +Hii inamaanisha amri ya Mungu kwa Waisraeli kuchinja mwana kondoo na kusambaza juu ya kila muimo wa kila nyumba mahali ambapo waliishi Hii ingezuia muharibifu kutowaaribu wazaliwa wao wa kwanza. + +# usiguse + +"usidhuru" au " usiue" + diff --git a/heb/11/29.md b/heb/11/29.md new file mode 100644 index 00000000..bca400dc --- /dev/null +++ b/heb/11/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +"wao" ya kwanza ina maanisha Waisraeli, na "wao" ya pili inamaanisha Wamisri na "wao" ya tatu inamaanisha kuta za Yeriko. + +# Walipita + +Waisraeli walipita kupitia Bahari ya Shamu' + +# Walimezwa + +"Maji yaliwameza Wamisri" + +# walimezwa + +"Wamisri walizama ndani ya maji" + +# Walikuwa wamezunguka kwa siku saba + +"Waisrael walitembea kwa kuzunguka kuta kwa siku saba" + +# Aliwapokea wapelelezi na kuwahifadhi salama + +"Aliwaficha wapelelezi ili wawe salama + diff --git a/heb/11/32.md b/heb/11/32.md new file mode 100644 index 00000000..ed5a7080 --- /dev/null +++ b/heb/11/32.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi Unganishi: + +mwandishi anaendelea kuongelea kwa kile ambacho Mungu angefanya kwa mababu wa Israeli. + +# Niseme nini tena + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba kuna mifani mingi ambayo aliyoinukuu. + +# Muda hauta niruhusu + +"Sita kuwa na muda wa kutosha" + +# Baraka + +Jina la mtu. + +# ilikuwa ni kwa kupitia imani kwamba wali + +"ilikuwa ni kwa ajili ya imani wale wanaume kama hivi" + +# walishinda + +"waliwashinda watu wa falme ngeni" + +# Shinda + +Iliyoshinda + +# Simamisha vinywa vya simba alizima nguvu ya moto... alikwepa makali ya ncha ya upanga + +Njia ambazo watu wa Israeli waliokoka kutoka kifo. "Simba hawakuwala... moto haukuwaunguza." Upanga haukuwaua." + +# Waliponywa + +"walipokea uponyaji kutoka kwa Mungu" + +# wakawa hodari katika vita, na wakashinda + +"wakawa hodari katika vita na wakashinda" + diff --git a/heb/11/35.md b/heb/11/35.md new file mode 100644 index 00000000..a993bda5 --- /dev/null +++ b/heb/11/35.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Wanawake walipokea wafu wao tena kwa ufufuo + +"Wanawake walipokea wafu waliokuwa wamekufa wakati Mungu alipowafufua" + +# Wengine waliteswa... wengine waliumizwa na dhihaka na vipigo... walipondwa mawe ... walikatwa kwa msumeno... walichinjwa + +Wengine waliteseka wakati wengine wanadhihakiwa... na wakachapwa wengine walikufa kwa sababu ya kutupiwa mawe... wengine walikufa walipokatwa na misumeno... watu waliwaua + +# ufufuo ulio bora + +Maana zinazo dhaaniwa 1) hawa watu watapata maisha bora mbinguni au 2)Watu hawa watapata ufufuo ulio bora zaidi ya wale wasio na imani. + +# wenginne walijaribiwa katika kutukana na kuchapwa... wapondwa mawe. walikatwa kwa wawili. waliuawa kwa upanga + +watu waliwatukana na kuwapiga wengine... watu waliwaponda mawe. + +# wengine walijaribiwa katika kutukanwa, na hata minyororo na vifungo + +Mungu aliwajaribu wengine kwa kuwaruhusu adui zao kuwa tukana na kuwachapa na hata kuwaweka vifungo" + +# katika mavazi ya kondoo na mbuzi + +"wakiva tu ngozi za kondoo na mbuzi" + +# hawakuwa na makao + +"hawakuwa na kitu" au " walikuwa masikini sana" + +# Ulimwengu haikuwastahili + +"watu wa dunia hii haikuwastahili" + +# mapango, na ndani ya mashimo ya ardhi + +"na wengine waliishi katika mapango na mashimo ya ardhi" + diff --git a/heb/11/39.md b/heb/11/39.md new file mode 100644 index 00000000..b605453b --- /dev/null +++ b/heb/11/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ingawa watu hawa wote walikuwa wamehakikishwa na Mungukwa sababu ya imani yao, hawakupokea ahadi + +"Mungu aliheshimu hawa kwa sababuya imani yao, lakini wenyewe hawakupokea kile ambacho Mungu alikuwa amekiahidi" + +# ahadi + +"kile ambacho Mungu alikuwa amewaahidi." + +# ili kwamba pasipo yeye wasingeweza kukamilishwa + +" ili kwamba Mungu angetukamikamilisha sisi na wao pamoja" + diff --git a/heb/12/01.md b/heb/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..de1427b7 --- /dev/null +++ b/heb/12/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Kwa sababu ya idadi kubwa ya waumini wa Agano la Kale, mwandishi anaongelea maisha ya imani ambayo waamini wanapswa kuishi na Yesu kama kielezo chao. + +# Maelezo ya Jumla: + +inamaanisha mwandishi na wasomaji wake. Neno nyie linamaanisha wasomaji. + +# Tumezungukwa na kundi kubwa la mashahidi + +" kundi kubwa la mashahidi linatuzunguka sisi" au "Kundi kubwa la mashahidi linasimama kama mfano kwetu." + +# Mashahidi + +"Mashahidi" hapa inamaanisha waumini wa Agano la Kale katika sura ya 11 walioishi kabla ya shindano la imani ambayo waumini wanashindana sasa hivi. + +# tuweke kando kila mzigo na unatuzonga kwa urahisi + +"mzito" hapana "dhambi inayozonga kwa urahisi" vinaongelewa kana kwamba mtu angeweza kuziondoa na kuzitua chini. + +# Mwanzilishi na mkamilishaji + +"muumbaji na mkamilishaji." Hii inamaanisha kwamba Yesu ni chanzo imani ya waumini.Ndiye ambaye waumini wanamtumaini, na atahakikisha waumini wanafikia lengo lao. + +# furaha iliyowekwa mbele yake + +Furaha ungetoka kwa Yesu kunaongelewa kana kwamba Mungu Baba aliyoiwekambele yake kufikia lengo. + +# aliidharau aibu yake + +Hii inamaanisha hakujali kuhusu aibu ya ya kufa msalabani. + +# alikaa mkono wa kuume + +"Mkono wa kuume" hapa unamaanisha sehemu ya heshima. + +# kiti cha enzi + +"enzi" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. + +# kuchoka katika mioyo + +"mioyo" inamaanisha mawazo ya mtu na hisia. + diff --git a/heb/12/04.md b/heb/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..aa4bfdd9 --- /dev/null +++ b/heb/12/04.md @@ -0,0 +1,42 @@ +# Hauateseka na dhambi vya kutosha kiasi cha kupoteza damu + +"Umeshindana na dhambi, lakini wengine wamefanya hivyo kiasi cha kupoteza damu + +# dhambi, mdhambi, kutenda dhambi + +Neno "dhambi" linamaanisha matendo, mawazo, na maneno ambayo yako kinyume na mapenzi na sheria za Mungu. Dhambi pia inaweza kumaanisha kutokufanya kitu ambacho Mungu anahitaji sisi tufanye. + +# damu + +Neno "damu" linamaanisha kimiminikka chekundu ambacho kinatoka kwa mtu katika ngozi ya mtu wakati anapoumia au kidonda. Damu huleta virubtubisho vya uzima katika mwili wa mtu. + Damu pia inamaanisha uzima na inapomwagika inaonyesha kifo. +watu walipotengeneza dhabihu, waliua mnyama na kumwaga damu yake juu ya madhabahu. Na hii iliwakilisha dhabihu ya uhai wa wanyama kulipa kwa ajili ya dhambi za watu. + +# kutia moyo, utiaji moyo + +Maneno kutia moyo na utiaji moyo inamaanisha kusema na kufanya vitu vinavyosababisha mtu kupata faraja, tumaini, ujasiri na moyo. + +# kulekeza, elekezo + +Neno "kuelekeza" na "elekezo" yanamaanisha kutoa maalekezo ya moja kwa moja kuhusu nini kifanyike. + +# mwana, mwana wa + +Neno "mwana" linamaanisha mvulama au mwanaume katika uhusiano na wazazi wake.Inaweza pia kumaanisha uzao wa mtu mme au kwa mtu mwana aliye asiliwa. + +# Bwana + +Neno "Bwana" linamaanisha kwa mtu ambaye anaumiliki au uwezo juu ya watu. Inapotumika kwa herufi kubwa ni cheo kinachomaanisha Mungu. + +# huadhibu + +Neno "adhibu" linamaanisha kufundiisha watu kutii maelekezo au kanuni kwa tabia njema. + +# upendo + +kumpenda mtu mwingine in kumjali mtu huyo na na kufanya vitu vitakavyo mnufaisha. Kuna maana tofauti za upendo katika baadhi ya lugha inaweza konyeshwa kwa kutumia maneno tofauti: 1 Upendo utokao kwa Mungu kuna lengamazuri juu ya wengine hata kama kama haimnufaishi. Aina hii ya upendo unajali wengine bila kujali wanafanya nini. Mungu mwenyewe ni upendo na chanzo cha upendo wa kweli. + +# adhibu, adhabu + +Neno adhibu maana ni kusababisha mtu kuteseka kwa sababu ya kukosea kwake. + diff --git a/heb/12/07.md b/heb/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..e9ad6aff --- /dev/null +++ b/heb/12/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Vumilia majaribu kama maonyo + +"Elewa nyakati wa mateso Mungu hutufundisha nidhamu" + +# Mungu anashughulik na ninyi kama ashughulikavyo na wana + +Hii inalinganisha unidhamishaji kwa Mungu kwa watu wake kama baba anavyo wanidhamisha watoto. + +# wana... mwana + +Hiii ina jumuisha wamaume na wanawake, AT: "watoto... mtoto" + +# ni mtoto yupi ambaye baba yake hawezi kumrudi? + +Mwandishi anatumia swali kuelewesha kwamba ni kawaida kwa kila baba mzuri kuwarudi watoto wake. + +# Lakini kama hakuna kurudiwa ambako sisi sote tunashiriki + +"Hivyo kama haujapata kurudiwa na Mungu kama anavyowarudi wana wake wote" + +# basi ninyi ni haramu na sio wana wake + +wale ambao Mungu hawarudi kunaongelewa kana kwamba ni wana ambao wamezaliwa na mwanamke na mwanaume ambao hawajaoana. + diff --git a/heb/12/09.md b/heb/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..e6306651 --- /dev/null +++ b/heb/12/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# baba katika mwili + +Neno "mwili" hapa linamaanisha mwanadamu. + +# kama warudiaji/ wanaotunidhamisha + +wanao turudi + +# Je hatupaswi hata zaidi kumtii Baba wa kiroho na kuishi? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba wangeweza kumtii Mungu Baba, + +# na ishi + +"ili kwamba tuishi" + +# Baba wa roho + +"Baba yetu wa kiroho" au Baba yetu wa mbinguni" + +# ili tushiriki utakatifu wake + +"ili kwamba tuwe watakatifu kama Mungu alivyo mtakatifu" + +# tunda la amani + +"Tunda" hapa ni alama na inaongelewa kana kwamba ni mtu aliye katika amani na ambaye alileta amani kwa wengine. + +# tunda la utauwa + +Utauwa, ni hali ya mtu anaye mtii Mungu, inaongelewa kana kwamba ni tunda linakuwa juu ya mti. Mwandishi hapa anasema kwamba utauwa unaongezeka kama matokeo ya kurudiwa. + +# wale waliofundishwa nayo + +"wale walio fundishwa kwa kurudiwa." Ambao Mungu amewafundisha kwa kuwarudi." + diff --git a/heb/12/12.md b/heb/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..367c79e5 --- /dev/null +++ b/heb/12/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# inueni mikono yenu iliyolegea na kufanya magoti yenu yaliyo dhaifu kuwa yenye nguvu. Nyosheni mapito ya nyayo zenu + +Katika namna hii mwandishi anaongea kuhusu kuishi kama wakristo na kuwasaidia wengine. + +# njia iliyonyooka + +Kuishi kama kumuheshimu na kumtukuza Mungu kunaongelewa kana kwamba ni kufuata njia iliyonyooka. + +# iliyo dhaifu haitapotoshwa + +katika mfano huu wa kukimbia mashindanoni, "dahaifu" inawakilisha mtu mwingine katika shindano aliyeumia na anataka kuandoka katika shindano.Hili "geuka" linawakilisha wakristo wenyewe. + +# isipokuwa aponywe + +"badala yake aimalike" au "badala yake Mungu atamponya" + diff --git a/heb/12/14.md b/heb/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..dd804d44 --- /dev/null +++ b/heb/12/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Esau, ambaye amesema katika maandishi ya Musa, inamaanisha kwa mwana wa kwanza wa Isaka na ndugu yake Yakobo. + +# tafuteni kuwa na amani na kila mmoja + +" jaribu kuishi na kila mtu" + +# na pia ambao bila huo utakatifu hakuna atakayemwona Bwana + +"na pia fanya bidii kuwa mtakatifu, kwa sababu ni watakatifu pekee ndio watakaomwona Mungu" + +# pia utakatifu + +"pia tafuta utakatifu" + +# atakaye tengwa/ pungukiwa na neema ya Mungu + +"hakuna mtu anapokea neema ya Mungu na kisha akaiachia" au " hakuna anaikataa neema baada ya kwanza kuamini katika yeye" + +# kwamba hakuna shina la uchungu litakalo kua na kusababisha shida ili kwamba wengi wasichafuliwe kwalo + +kwamba hakuna yeyote anayekuwa kama mzizi mchungu, ambao unaweza kukua na kusababisha matatizo uharibifu kwa watu wengi" + +# alikataliwa + +"baba yake, Isaka, alikataa kumbariki" + +# kwa sababu hakupata fursa ya kutubu + +"kwa sababu haikuwa inawezekana kwa baba yake, Isaka, kubadilisha uamuzi wake" + +# ingawa alitafuta sana kwa machozi + +Hapa aliyetafuta ni Esau + diff --git a/heb/12/18.md b/heb/12/18.md new file mode 100644 index 00000000..70cb9970 --- /dev/null +++ b/heb/12/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anakinzanisha katika waumini wakati wa Musa walipaswa kufanya chini ya sheria na kile ambacho waumini wa sasa wanapaswa kusihi baada ya kuja kwa Yesu chini ya agano jipya. + +# Maelezo ya Jumla: + +Maneno haya "ninyi" "Nyie" inamaanisha waumini wa Kiebrania ambao mwandishi anawaandikia. Neno "wale" linamaanisha watu wa Israeli baada ya Musa kuwaongoza kutoka Misri. Nukuu ya kwanza inatoka katika maandishi ya Musa. Mungu anafunua katika ukurasa huu katika Waebrania kwamba Musa alisema alitetemeka alipoona mlima. + +# kwa kuwa hamkuja katika mlima ambao unaweaz kuguswa + +kwa kuwa hamjafikia, kama watu wa Israeli walivyokuja, mlimani ambao unaweza kuguswa" + +# ambao unaweza kuguswa + +Hii inamaanisha waumini katika Kristo hawajafikia mlima kama Mlima Sinai ambao mtu anaweza kugusa au kuona. + +# hamjafikia sauti ya tarumbeta + +"Hamjafikia mahali ambapo palipo na mlio mkubwa wa tarumbeta" + +# au kwa maneno yatokanayo na sauti ambayo ilisababisha kila waisikiayo wasiombe neno lolote kusemwa kwao + +"sauti" inamaanisha mtu anaye ongea. pale ambapo Mungu anaongea kwa namna ya kwamba wale waliosikia walimtaka asiongee neno jingine kwao" + +# kilichoamliwa + +'kile ambacho Mungu aliamuru" + +# lazima apigwe kwa mawe + +"ni lazima uiponde" + diff --git a/heb/12/22.md b/heb/12/22.md new file mode 100644 index 00000000..7741114a --- /dev/null +++ b/heb/12/22.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Abeli alikuwa mwana wa mwanamme na mwanamke wa kwanza, Adamu na Eva. Pia Kaini mwana wao alimuua Habili. + +# Mlima Sayuni + +Mwandishi anaongea Mlima Sayuni, hekalu la mlima Yerusalem kana kwamba lenyewe ilikuwa mbingu, nyumbani kwa Mungu. + +# Wamekuja + +Wamewasili + +# Malaika elfu kumi + +"Idadi isiyohesabika ya malaika" + +# mzaliwa wa kwanza + +Hii inaongea waumini katika Kristo kana kwamba ni wana ambao ni wazaliwa wa kwanza. Hii inasisitiza sehemu yao maalumu na faida kama watu wa Mungu. + +# mmesajiliwa mbinguni + +"ambao majina yao yameandikwa mbinguni + +# mpatanishi wa agano jipya + +Hii inamaana Yesu alisababisha agano jipya kuwepo kati ya Mungu na wanadamu + +# Mmekamilishwa + +"ambao Mungu amewafanya wakamilifu" + +# Damu ya kunyunyiza ambayo hunena zaidi kuliko damu ya Habili. + +"Damu ya Yesu iliyonyunyizwa ambayo inamaana kubwa zaidi kuliko damu ya Habili, ambaye aliuawa na Kaini" + +# damu + +damu hapa inasimama kwa kifo cha Yesu, kama damu ya Habili inavyoisimama kwa kifo chake. + diff --git a/heb/12/25.md b/heb/12/25.md new file mode 100644 index 00000000..0b1f2aaa --- /dev/null +++ b/heb/12/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganish: + +Baada ya kulinganisha uzoefu wa Waisraeli katika Mlima Sinai na uzoefu wa waumini baada ya Kristo kufa, mwandishi anawakumbusha waumini kwamba wana Mungu yuleyule anayewaonya leo. Hili ni onyo la tanzo kwa waumini. + +# Maelezo ya Jumla: + +Hii nukuu inatoka kwa nabii Hagai katika Agano la Kale. + +# usije ukamkataa anayeongea + +"msikilizeni anaye ongea. + +# kama hawakuepuka + +"kama watu wa Israeli hakuepuka hukumu" + +# aliyewaonya duniani + +Pengine 1) Musa aliye waonya duniani." au) Mungu aliyewaonya katika Mlima Sinai" + +# kama tukigeuka kutoka kwa yule anayetuonya + +Kutmtii Mungu kunaongelewa kana kwamba mtu alikuwa akigeuka na kutoka kwake. "kama tusipomtii yeye anayeonya" + +# sauti yake iliitikisa ardhi + +"Mungu alipoongea mlio wa sauti yake ilisababisha ardhi kutikisika" + +# ilitikiswa... tikisa + +tumia neno ambalo tetemeko la ardhi inafanya katika kuitetemesha adrhi. + diff --git a/heb/12/27.md b/heb/12/27.md new file mode 100644 index 00000000..3a24e550 --- /dev/null +++ b/heb/12/27.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nukuu hii hapa kutoka kwa nabii Hagai inarudiwa kutoka mstari wa mwanzo. + +# kutoweshwa kwa vitu vile viteteshwavyo + +'Mungu ataondoa vitu vyote vinavyotetemeshwa" + +# tetemeshwa + +Tumia neno kwa tetemeko la ardhi linachofanya katika kutembea kwenye ardhi. + +# vilivyokwisha kuumbwa + +"kwamba amekwisha umba." + +# hivi vitu ambavyo haviwezi + +'vitu ambavyo havitetemeki" + +# kupokea ufalme + +"kwa sababu tunapokea ufalme au " kwa "sababu Mungu anatufanya sisi kuwa wanafamilia wa ufalme wake" + +# tufurahi + +"tumshukuru Mungu" + +# kunyenyekea katika kicho + +"kunyenyekea" na "kicho" yana maanshabiliana maana na inasisitiza ukuu wa unyenyekevu kwa sababu ya Mungu" + +# Mungu wetu ni moto ulao + +Mungu anaongelewa kana kwamba ni moto ambao unaweza kuchoma kitu chochote. + diff --git a/heb/13/01.md b/heb/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..fe4f4bd3 --- /dev/null +++ b/heb/13/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi: + +katika kufunga sehemu hii, mwandishi anatoa maelekezo ya moja kwa moja kwa waumini namna wanapaswa kuishi. + +# Basi na upendo wa kindugu uendelee + +"Endeleeni kuonyesha upendo wenu kwa waumini wengine kama mfanyavyo kwa mwana familia" + +# Usisahau + +"hakikisha unakumbuka" + +# wakaribisheni wageni + +"kuwaribisha wageni na kuwaonyesha wema" + diff --git a/heb/13/03.md b/heb/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..9b949b74 --- /dev/null +++ b/heb/13/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kana kwamba mlikuwa mmefungwa pamoja + +"kana kwamba mlikuwa gerezani pamoja nao" + +# Ndoa na iheshimiwe na watu wote na kila mmoja + +"wanaume na wanawake walio na kuolewa waliolewa ni lazima waheshimiane. + +# kama miili yao ilitendewa kama wao + +Hii inawatia moyo waumini kufikiri kuhusu mateso ya watu wengine kama ambaavyo wangeweza kufikiri juu ya mateso yao. + +# kitanda cha ndoa kiwe safi + +Hii inamaanisha tendo la ndoa kana kwamba n kitanda cha watu walioana. AT: "wanaume na wanawakewaheshimu mahusiano ya ndoa yao na sio kwenda na watu wengine" + diff --git a/heb/13/05.md b/heb/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..eb62d896 --- /dev/null +++ b/heb/13/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# tabia zenu ziwe huru lakini sio katika kupenda fedha + +"Msipende pesa" + +# Mtosheke + +"Toshekeni" + +# Bwana ni msaidizi wangu...kunifanya mimi + +Hii nukuu inatoka katika Zaburi ndani ya Agano la Kale. + +# Sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba haogopi watu kwa sababu Mungu anamsaidia. + diff --git a/heb/13/07.md b/heb/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..a973e926 --- /dev/null +++ b/heb/13/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tokeo la mwenendo wao + +"matoke ya + +# kuiga imani yao + +Tumaini katika Mungu na njia ya uzima iliyoongozwa na viongozi hawa inaongelewa kama "imani ya kweli' + +# ni yeye yule yule, leo, na milele + +"Jana" hapa ina maana muda wote uliopita. + diff --git a/heb/13/09.md b/heb/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..8e7e2842 --- /dev/null +++ b/heb/13/09.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Sehemu hii inamaanisha dhabihu ya wanyama walio wafanya waumini katika Mungu katika kipindi cha Agano Kale, ambayo inafunika dhambi zao kwa muda hadi kifo cha Yesu kilipokuja. + +# msije mkabebwa na mafundisho mageni mbalimbali + +usisawichiwe kwa mafundisho mbalimbali kunaongelewa kana kwamba mtu alikuwa amechukuliwa kwa lazima. + +# moyo unapaswa kuimarishwa + +"moyo" unasimama kwa ujasiri wa mtu, upendo, na ushupavu. + +# ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa vyakula ambavyo haviwasaidii wale wanao tembea kwa hivyo + +"tunapata nguvu pale tunapofikilia jinsi Mungu ambavyo amekuwa mwema kwetu, lakini hatuwi na nguvu kwa kutii sheria za kuhusiana na chakula" + +# vyakula + +Vyakula hapa vinasimama kuhusu sheria za chakula. + +# wale wanaotembea kwa hizo + +Kuishi kunaongelewa kana kwamba ni kutembea. + +# madhabahu + +madhabahu inasimama kwa sehemu ya ibada. Pia inasimama kwa ajili ya wanyama ambao makuhani katika dhabihu za agano la kale, ambavyo walichukua nyama kwa ajili yao na familia. + +# damu za wanyama zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi inaletwa na kuhani mkuu sehemu takatifu + +kuhani mkuu analeta ndani ya sehemu takatifu damu ya wanyama ambao makuhani waliwachinja kwa ajili ya dhambi. + +# wakati miili yao inachomwa moto + +"wakati makuhani wanapochoma miili ya wanyama" + +# nje ya kambi + +"mbali na mahali ambapo watu waliishi" + diff --git a/heb/13/12.md b/heb/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..efbb41e8 --- /dev/null +++ b/heb/13/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Kuna ulinganifu kati ya dhabihu ya Yesu na dhabihu za hekalu ya Agano la Kale. + +# Kwa hiyo + +" Kwa njia hiyohiyo" au "Kwa sababu miili ya kujitoa iliunguzwa nje ya kambi" + +# nje yalango la mji + +"Nje ya mji." + +# Kwa hiyo ngoja sasa twende + +Kumtii Yesu kunaongelewa kana kwamba ni mtu alipaswa kuacha kambi kwenda nje Yesu alipo. + +# kubeba aibu yake + +kutokuwa na huruma kunaongelewa kana kwamba in chombo ambacho kinapaswa kubebwa katika mikono ya mtu au juu ya mgongo wa mtu. + diff --git a/heb/13/15.md b/heb/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..3d5dcf65 --- /dev/null +++ b/heb/13/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# dhabihu ya sifa + +Sifa inaongelewa kana kwamba ni dhabihu ya wanyama au uvumba. + +# sifa ambayo ni tunda la midomo ambayo inakiri jina lake + +sifa inaongelewa kana kwamba ni tunda, na "midomo" inaongelewa kana kwamba ni miti inayozaa matunda. Kwa nyongeza "midomo" inawakilisha watu wakimsifu Mungu. + +# Jina lake + +Jina la mtu linamwakilisha mtu. + +# tusisahau kufanya mazuri na kusaidiana + +"mara zote tukumbuke kufanya mema na kusaidia wengine" + +# na dhabihu hiyo + +Kufanya wema na kuwasaidia kunaongelewa kana kwamba ni dhabihu juu ya mimbari. + +# zitunzeni nafsi/roho zenu + +roho za waumini,ambayo ni mwenendo wa maisha ya kiroho, yanaongelewa kana kwamba ni vyombo au wanyamaambao waangaliz wangeweza kutazama. + +# sio kwa huzuni + +"huzunu" inasimama kama msiba au huzuni. + diff --git a/heb/13/18.md b/heb/13/18.md new file mode 100644 index 00000000..86c48967 --- /dev/null +++ b/heb/13/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mwandishi anafunga kwa baraka na salaamu + +# Tuombeeni + +"Tuombeeni"hapa anamanisha mwandishi na wenzake. + +# tuna uhakika kwamba tuna dhamira njema/ safi + +njema/ safi hapa inamaanisha hatuna hatia. + +# kwamba nitarudi tena kwenu hivi karibuni + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kwamba Mungu akipenda nitaondoa mambo yanayonizuia kuja kwenu" + diff --git a/heb/13/20.md b/heb/13/20.md new file mode 100644 index 00000000..610276e9 --- /dev/null +++ b/heb/13/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sasa + +Hii ni sehemu ya mpya ya barua. Mwandishi hapa anamsifu Mungu na anatoa maombi ya mwisho kwa wasomaji wake. + +# mchungaji mkuu wa kondoo + +Kristo katika jukumu lake la kiongozi na mlinzi wa wale wanaoaminikatika yeye kunaongelewa kana kwamba ni mchungaji wa kondoo. + +# kwa damu ya agano la milele + +"Damu" hapa linasimama kwa kifo cha Yesu, ambacho ni msing kwa agano ambalo litakalodumu milele kati ya Mungu na waumini katika Kristo. + +# kuwakamilisha katika kufanya kila jambo jema ili kufanya mapenzi yake + +"kuwakamilisha" hapa inamaanisha kuwafanya "kuweza" au "kuwafundisha" + +# afanye kazi ndani yetu + +Neno hili "yetu" inamaanisha kwa mwandishi na wasomaji wake. + +# kwake uwe utukufu milele na milele + +ambaye watu wote watamsifu milele + diff --git a/heb/13/22.md b/heb/13/22.md new file mode 100644 index 00000000..cdf900f4 --- /dev/null +++ b/heb/13/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Hii inaonyesha sehemu mpya ya barua. Hapa mwandishi anatoa maoni yake ya mwisho kwa wale anaowaandikia. + +# ndugu + +Hii inamaanisha waumini wote anaowandikia wanume au wanawake. + +# huchukuliana na neno la kutia moyo + +"kwa uvumilivu fikirini juu ya nilichokiandika kuwatieni moyo. + +# neno la faraja + +"Neno" hapa linasimama kwa niaba ya ujumbe. + +# amewekwa huru + +"hayuko tena gerezani" + diff --git a/heb/13/24.md b/heb/13/24.md new file mode 100644 index 00000000..dfd3f07c --- /dev/null +++ b/heb/13/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wale wanaotoka Italia wawasalimu + +Maana zinazodhaaniwa ni 1) mwandishi hayuko Italia, lakini kuna kundi la waumini waliotoka Italia walio pamoja naye au 2) mwandishi yuo Italia anapoandika barua hii. + +# Italia + +Hili ni jina la sehemu wakati huo. Rumi ilikuwa mji mkuu wa Italia. + diff --git a/jas/01/01.md b/jas/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..b0d3d239 --- /dev/null +++ b/jas/01/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya salam zake za ufunguzi, Yakobo anawaambia waamini kwamba kusudi la majaribu ni kupima imani. + +# Yakobo, mtumishi wa Mungu na Bwana Yesu Kristo. + +Neno "Niko" linamaanisha " Mimi, Yakobo ni mtumishi wa Mungu na Bwna Yesu Kristo" + +# Yakobo + +Yakobo alikuwa ndugu yake na Yesu. + +# Kwa kabila kumi na mbili waliotawanyika. + +Hii inaelezea eidha wayahudi wote wa Kikiristo waishio nje ya Israeli au Wakristo wote waishio popote duniani. + +# Makabila kumi na mbili. + +Neno "makabila "kumi na mbili" yanamaanisha watu wote wa Israeli kwa kuwa waligawanywa katika makabila "kumi na mbili". Kwenye mistari hii makabila kumi na mbili yanamaanisha Wayahudi wote wa Kikristo au Wakristo wote duniani. Hapa neno "kumi na mbili" hutumika kama jina na namba "kumi na mbili" inapaswa kuandikwa kama neno sio kama namba. + +# Kutawanyika + +Neno "kutawanyika" kunamaanisha Wayahudi wote waliotawanyika kwenye nchi nyingine mbali na nyumbani kwao Israeli. Kenye mistari hii "kutawanyika" linamaanisha Wakristo wa kiyahudi waishio nje ya Israeli au Wakristo wote waliopo popote duniani. + +# Salam + +Salam ya kawaida kama "habari" au "siku njema". + +# Furahini ndugu zangu, mpatapo matatizo. + +"Waamini wenzangu, yaone matatizo yote uliyonayo kama mambo ya kukufanya ushangilie" + +# Jaribu la imani yenu inatengeneza uvumilivu. + +Maneno "jaribu", "imani yenu", na "kuvumilia" ni maneno yanayosimama kuonyesha matendo. Mungu hutujaribu ili kujua ni kwa namna gani tunamwamini yeye na kumtii. Waamini ("ninyi") mwamini yeye na mvumilie mateso. "Mnapokutana na magumu Mungu anagundua ni kwa kiasi gani unamwamini. Na matokeo yake unakuwa na uwezo wa kushinda majaribu magumu zaidi. + diff --git a/jas/01/04.md b/jas/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..d866419b --- /dev/null +++ b/jas/01/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tuache uvumilivu ukamilishe kazi yake. + +Hapa uvumilivu imezungumzwa kama vile mtu yupo kazini. "Jifunze kuvumilia magumu yote" + +# Kukua kabisa + +Kuwa na uwezo wa kumwamini Kristo na kumtii yeye katika hali zote. + +# Usipungukiwe chochote + +Hii inaweza kuwa sentensi chanya "kuwa na uwezo kumtii Mungu kwa kila jambo" + +# Muombe Mungu, yeye atoaye + +"Muombe Mungu. Ni yeye atoaye" + +# Ukarimu na "bila kukemea + +Hii inaweza kuzungumziwa kwa mtazamo chanya "ukarimu au furaha" + +# Atawapa + +"Mungu atawapa" au "Mungu atajibu maombi yenu" + diff --git a/jas/01/06.md b/jas/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..14bef51b --- /dev/null +++ b/jas/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa imani, bila mashaka yoyote + +Hii inaweza kuzungumziwa kwa mtazamo chanya. "Kwa uhakika zaidi kuwa Mungu atajibu" + +# Kwa yeyote mwenye mashaka ni kama mawimbi ya bahari yanavyoendeshwa na upepo na kuchafuka kwa bahari + +Yeyote mwenye mashaka kuwa Mungu atamsaidia ni kama maji ndani ya bahari au maziwa makubwa yanayopita katika uelekeo tofauti. + +# Ana nia mbili + +Nia. Neno "nia mbili" linamaanisha mawazo ya mtu pale anaposhindwa kufanya maamuzi. "Anashindwa kuamua amfuate Yesu as la" + +# Hana msimamo kwenye njia zake zote + +Hapa anazungumziwa mtu amabye hawezi kukaa kwenye njia moja badala yake anaenda njia moja baada ya nyingine. + diff --git a/jas/01/09.md b/jas/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..27308cae --- /dev/null +++ b/jas/01/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ndugu masikini + +"mwamini asiye na pesa nyingi" + +# Kujivuna kwa cheo chake cha juu + +Mtu ambaye Mungu anembariki anazungumza kama vile amesimama mahali pa juu sana. + +# Lakini tajiri + +"lakini mtu aliye na pesa nyingi." Maana nyingine ni 1) huyu mtu tajiri ni mwamini, au 2) huyu mtu tajiri si mwamini. + +# Wa cheo cha chini + +Mwamini tajiri anapaswa kufurahi kwamba Mungu ameyaruhusu mateso. "anapaswa kuwa na furaha kwamba Mungu amempa nafsi hiyo" + +# Atapita kama ua la porini kwenye majani + +Matajiri wanafananishwa na maua ya porini ambayo yanakuwa hai kwa mda mfupi. + +# Mtu tajiri atachakaa katikati ya safari zao + +Kama ambavyo maua hayafi ghafla lakini yanachakaa kwa mda mfupi , pia matajiri hawatakufa ghafla lakini watachukua mda mfupi kupotea. + +# Katikati ya kazi yake. + +Shughuli za kila siku za tajiri zinazungumzwa kama safari aliyokuwa anaifanya. Hii inaelezea namna ambavyo hakufikiri chochote juu ya kifo chake hapo baadae na hivyo kitakuja ghafla. + diff --git a/jas/01/12.md b/jas/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..db219a4e --- /dev/null +++ b/jas/01/12.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi. + +Yakobo anawakumbusha waamini wanaosema Mungu hasababishi majaribu; anawaambia namna ya kukabiliana na majaribu. + +# Baraka + +Bahati, vizuri. + +# Kuvumilia majaribu + +Kuendelea kuwa mwaminifu kwa Mungu uwapo katika magumu. + +# Kushinda majaribu + +Amethibitishwa na Mungu. + +# Kupokea taji ya uzima + +Uzima wa milele unazungumziwa kama taji ya maua inayowekwa kwenye kichwa cha washindi. "pokea uzima wa milele kama tuzo" + +# Imeahidiwa kwa wale wanaompenda Mungu. + +Hii imeelezewa katika hali ya utendaji "Mungu aliahidi taji ya uzima kwa wale wampendao" + +# Anapojaribiwa + +"Anapotamani kufanya uovu" + +# Nimejaribiwa na Mungu + +Hii imeelezewa katika hali ya utendaji. "Mungu amesababisha nifanye maovu" + +# Mungu hajaribiwi na uovu + +Hii imeelezewa katika hali ya utendaji. "Mungu hatamani kufanya lolote ovu" + +# Wala mwenyewe hamjaribu yeyote + +"Na Mungu mwnyewe hamsababishi mtu kufanya uovu" + diff --git a/jas/01/14.md b/jas/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..1c93cded --- /dev/null +++ b/jas/01/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kila mtu anajaribiwa na tamaa zake mwenyewe + +Tamaa za mtu zinazungumzwa kama vile mtu mwingine ameshawishi afanye dhambi. + +# Zinamshawishi na kumvuta mbali + +Tamaa mbaya zinaendelea kuzungumzwa kama mtu anavyoweza kumshawishi mwingine. + +# Kushawishi + +kuvutia, kumshawishi mtu kufanya uovu. + +# Ndipo baada ya tamaa ya dhambi kubeba mimba, dhambi huzaliwa, na baada ya dhambi kukomaa sawasawa, huishia katika mauti. + +Tamaa inaendelea kuzungumzwa kama mtu, na hapa inaelezewa wazi kama mwanamke mwenye mimba ya mtoto. mtoto anaelezewa kama dhambi. Thambi ni mtoto mwingine wa kike ambaye anakuwa na kupata mimba naanazaa kifo. Mtiririko huu ni picha inayoonyesha namna ambavyo mtu atakufa kiroho na kimwili kwa sababu ya tamaa zake mbaya na dhambi. + +# Msidanganyike + +"Msiache mtu yeyote awadanganye" au "msijidanganye wenyewe" + diff --git a/jas/01/17.md b/jas/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..9d491e75 --- /dev/null +++ b/jas/01/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kila zawadi iliyo nzuri na kila zawadi iliyokamilika + +Sentensi hizi mbili zina maana moja. Yakobo alizitumia kusisitiza kuwa kila kizuri alichonacho mtu kinatoka kwa Mungu. + +# Baba wa nuru. + +Mungu, muumbaji wa nuru zote zilizopo juu angani (jua, mwezi na nyota) inajulikana kuwa ni Baba yao. + +# Kamwe habadiliki kama kivuli kibadilikavyo + +Hii inamuelezea Mungu kama mwanga usiobadilika tofauti na jua, mwezi, sayari na nyota ambazo zinapita katikati ya anga na zinabadilisha nuru yake. "Mungu habadiliki kama jua, mwezi na nyota ambazo zinatokea na kupotea" + +# Kutupa sisi + +Neno "sisi" linamaanisha Yakobo na hadhira yake. + +# Katupa uzima + +Mungu aliyetupa uzima wa milele anazungumziwa kana kwamba ametupa uzima. + +# Neno la kweli + +Ujumbe wa kweli wa Mungu. + +# Kama uzao wa kwanza + +Yakobo anatumia utamaduni wa Kiebrania wa zao la kwanza kama njia ya kuelezea thamani ya Mwamini wa Kikristo kwa Mungu. anaelezea kuwa kutakuwa na waamini wengi sana baadae. + diff --git a/jas/01/19.md b/jas/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..94c5b3cf --- /dev/null +++ b/jas/01/19.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Mnajua hili + +Yaweza kumaanisha 1) "mnajua hili" kama amri, kuwa makini juu ya lile ninalotaka kuwaandikia au 2) "mnajua hili" kama sentensi kwamba ninataka kuwakumbusha juu ya jambo ambalo mnalijua. + +# Kila mmoja anapaswa kuwa mwepesi wa kusikia, siyo mwepesi wa kuongea + +Watu wanapaswa kusikiliza kwa makini na kuzingatia maneno haya " usiwe mwepesi kuongea" haimaanishi uongee taratibu. + +# si mwepesi wa hasira + +"usishikwe na hasira mapema" + +# hasira ya mwanadamu haiwezi kutenda haki ya Mungu + +Mtu anapokuwa na hasira hawezi kufanya kazi ya Mungu, ambayo ni haki. + +# wekeni mbali uchafu wa dhambi na ubaya wote + +Dhambi na ubaya vimezungumzwa hapa kama vitu ambavyo vinapaswa kuwekwa mbali au kutupwa. + +# wekeni mbali uchafu wa dhambi na ubaya wote + +Hapa uchafu wa dhambi na ubaya vinamaanisha kitu kimoja. Yakobo ameyatumia kusisitiza ni kwa jinsi gani dhambi ilivyo mbaya. "Acheni kufanya aina zote za dhambi" + +# uchafu wa dhambi + +Hapa uchafu inamaanisha dhambi na ubaya. + +# Kwa unyenyekevu + +"Bila kujivuna" au "bila kiburi" + +# lipokeeni neno lililopandwa + +Neno "kupanda" linamaandishwa kuweka kitu flani ndani ya kitu kingine. Hapa neno la Mungu limetumika kama mmea ambao unapaswa kukua ndani ya waamini. "Utii ujumbe wa Mungu aliousema kwako" + +# lipokeeni neno lililopandwa + +"Neno" linamaanisha neno la Mungu linalosimama kama ujumbe wa ukombozi ndani ya Yesu Kristo ambapo Mungu anawaambia waamini. Wakiliamini, Mungu atawaokoa. + +# kuokoa roho zenu + +"Awaokoe ninyi toka kwenye hukumu ya Mungu" + +# roho + +Hapa neno "roho" inamaanisha mtu. + diff --git a/jas/01/22.md b/jas/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..faab0ed6 --- /dev/null +++ b/jas/01/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Litiini neno + +Wanapaswa kutii amri zilizoamriwa na Mungu. + +# Mkijidanganya wenyewe + +"mnajidanganya wenyewe + +# Kwa kuwa kama yeyote alisikiaye neno bila kulitendea kazi ni sawa na mtu ajiangaliaye uso wake halisi katika kioo. + +Mtu anayesikiliza maneno ya Mungu lakini hayatii anafananishwa na mtu anayejiangalia kwenye kioo na baadae anasahau muonekano wake. + +# uso wake halisi + +Uso wake kama ulivyo. + +# Hujitathmini uso wake na baada ya mda mfupi husahau + +Mtu anayejiangalia uso wake na baadae akasahau muonekano wake ni sawa na mtu aliyesikia neno la Mungu na kusahau alichosikia. + +# mtu yule anayeiangalia kwa uangalifu sheria kamili. + +Hii inaendelea kuelezea picha ya sheria kama kioo. + +# Sheria kamili ya uhuru + +"sheria kamili inayoruhusu watu kuwa huru" + +# Mtu huyu atabarikiwa katika utendaji wake. + +Hii inaweza kuelezewa katika hali ya kutenda "Mungu atambariki huyu mtu kama akiitii sheria" + diff --git a/jas/01/26.md b/jas/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..b82d09aa --- /dev/null +++ b/jas/01/26.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# kujiona mwenyewe kuwa mtu wa dini + +"Anadhani anamuabudu Mungu kwa usahihi + +# Ulimi wake + +Kuudhibiti ulimi wa mtu inamaanisha kudhibiti kauli zake. + +# udanganyifu + +"mjinga" au "kupotosha" + +# Moyo wake + +Hapa moyo inamaanisha imani yake au mtazamo wake. + +# Dini yake ni bure + +"Anamuabudu Mungu bure" + +# Safi na isiyoharibiwa + +Yakobo anaizungumzia dini , namna watu wanavyomuabudu Mungu kama kitu amabacho ni safi na kisichoharibiwa. Hii ni utamaduni wa Kiyahudi kuelezea namna ambavyo kitu kimekubalika na Mungu. "kukubalika kabisa" + +# mbele za Mungu wetu na Baba + +Anaelezewa Mungu. + +# Yatima + +Yatima + +# Wajane katika mateso yao + +Wanawake wanaoteseka kwa sababu waume zao wamefariki. + +# Kujilinda na ufisadi wa dunia + +Kutokubali uovu wa dunia hii ukakusababisha ukatenda dhambi + diff --git a/jas/02/01.md b/jas/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..bbe3bb55 --- /dev/null +++ b/jas/02/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yakobo anaendelea kuwaambia waamini wa Kiyahudi waliotawanyika namna ya kuishi kwa kupendana na kuwakumbusha kutowapendelea matajiri juu ya masikini. + +# Ndugu zangu + +Yakobo anawaandikia ndugu zake ambao ni waamini wa Kiyahudi . "waamini wenzangu" au "ndugu zangu katika Kristo" + +# Ishikeni imani ya Bwana Yesu Kristo + +Mwamini Yesu Kristo. + +# Bwana wetu Yesu Kristo + +Neno "wetu" linamaanisha Yakobo na waamini wenzake. + +# upendeleo kwa watu wengine + +shauku ya kumsaidia mtu fulani zaidi ya mwingine + +# Kama mtu fulani + +Yakobo anaanza kuelezea hali ambayo waamini wanamthamini sana tajiri kuliko masikini. + +# amevaa pete za dhahabu na mavazi mazuri + +"amevaa kama mtu tajiri" + +# keti hapa mahali pazuri + +"keti hapa sehemu ya heshima" + +# simama pale + +"hamia sehemu isiyo na heshima" + +# Kaa chini ya miguu yangu + +Hamia sehemu ya kunyenyekea + +# Je, hamuhukumiani ninyi wenyewe, na kuwa waamuzi wenye mawazo mabaya? + +Yakobo alitumia swali kuwakemea wasomaji wake. "Mnahukumiana wenyewe kwa wenyewe na kufanya maamuzi mkiwa na mawazo mabaya" + diff --git a/jas/02/05.md b/jas/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..b56b5fd5 --- /dev/null +++ b/jas/02/05.md @@ -0,0 +1,60 @@ +# Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa + +Yakobo anawachukulia wasomaji wake kama ndugu. "kuweni makini, ndugu zangu wapendwa" + +# Mungu hakuwachagua ... wampendao? + +Yakobo anatumia swali kuwafundisha wasomaji wake wasiwe na upendeleo. "Mungu aliwachagua ... mpende yeye" + +# masikini + +"watu masikini." + +# Kuwa tajiri katika imani + +Kuwa na imani kubwa ni utajiri. "kuwa na imani thabiti kwa Kristo" + +# Warithi + +Watu ambao Mungu aliwaahidi watairithi mali na utajiri kama vile watu warithipo toka kwa ndugu wa familia. + +# Lakini ninyi + +Yakobo anaongea na hadhira yote. + +# mmewadharau masikini + +"Mmewadhalilisha masikini" + +# Je, sio matajiri wanaowatesa ninyi + +Hapa Yakobo anatumia maswali kuwasahihisha wasomaji wake. "Ni matajiri wanaowatesa ninyi." + +# tajiri + +"watu matajiri" + +# wanaowatesa + +"wanaowatendea mabaya" + +# Sio wao ... mahakamani? + +Hapa Yakobo anatumia maswali kuwasahihisha wasomaji wake. " matajiri ndio wao ... mahakamani." + +# wanaowaburuza mahakamani + +"wanaowapeleka kwa nguvu mahakamani na kuwashitaki kwa hakimu" + +# Hawalitukani ... mnaitiwa? + +Hapa Yakobo anatumia swali kurekebisha na kufundisha wasomaji wake. "Matajiri ... mnaitiwa? + +# Jina zuri + +"jina la Kristo" hii ni njia moja wapo ya kuelezea jina la Yesu. "Kristo ambalo kwalo mnaitiwa" + +# mnaitiwa + +"mnajulikana kwalo" + diff --git a/jas/02/08.md b/jas/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..89c74d92 --- /dev/null +++ b/jas/02/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ninyi mkiitimiza + +Neno "ninyi" inamaanisha waamini wa Kiyahudi. + +# kutimiza sheria ya kifalme + +"kutii sheria za Mungu." Mungu alitupa sheria za Musa zilizorekodiwa katika agano la kale. + +# Utampenda jirani yako kama wewe mwenyewe + +Yakobo ananukuu maneno toka kitabu cha mambo ya walawi. + +# Jirani yako + +"watu wote"au "kila mtu" + +# mwafanya vyema + +"mnafanya vyema" au "mnafanya yaliyo sahihi" + +# Kama mkipendelae + +"kutoa huduma ya kipekee" au "kutoa heshima kwa" + +# kutenda dhambi + +"kutenda dhambi" ni kuvunja sheria. + +# mtahukumiwa kwa shiria kama wavunja sheria. + +"mna makosa ya kuvunja sheria" + diff --git a/jas/02/10.md b/jas/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..899f5486 --- /dev/null +++ b/jas/02/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa kuwa yeyote atiiye + +"Yeyoye anayetii" + +# bado akajikwaa ... sheria yote + +Kujikwaa ni kuanguka chini wakati mtu anatembea. kutotii sheria ni sawa na kujikwaa wakati wa kutembea. + +# katika nukta moja + +kwa sababu ya kutotii kwa sheria moja tuu + +# Kwa kuwa Mungu aliyesema + +Hii inamuelezea Mungu aliyempa sheria Musa. + +# usifanye + +"kufanya" ni kuchukua hatua + +# Kama ninyi .... lakini una ... ume + +"ninyi" inamaanisha "kati yenu" Japokuwa Yakobo aliwaandikia waamini wengi wa Kiyahudi kwenye sehemu hii ametumia umoja kama vile alikuwa amzungumzia mtu mmoja. + diff --git a/jas/02/12.md b/jas/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..11b91d10 --- /dev/null +++ b/jas/02/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa hiyo zungumzeni na kutii + +"hivyo mnatakiwa muongee na kufanya" Yakobo aliwaamuru watu kufanya hivi. + +# mko karibu kuhukumiwa na sheria ya uhuru. + +"Mungu atawahukumu lwa sheria ya uhuru" + +# Kwa sheria + +Mungu atawahukumu kulingana na sheria + +# Sheria ya uhuru + +"Sheia inayotoa uhuru wa kweli" + +# Huruma hujitukuza juu + +"Huruma ni bora kuliko" au "huruma inashinda" Hapa huruma na haki vimezungumwa kama vile ni mtu. + diff --git a/jas/02/14.md b/jas/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..ec7e1c29 --- /dev/null +++ b/jas/02/14.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi unganishi + +Yakobo anawatia moyo waamini waliotawanyika kuonyesha imani yao mbele za watu. Kama vile Abrahamu alivyoionesha imani yake kwa vitendo. + +# Kuna uzuri gani, ndugu zangu, kama mtu anasema ninayo imani, lakini hana matendo? + +Yakobo anatumia swali kuifundisha hadhira yake. "Waamini wenzanhu, sio vizuri kabisa mtu akisema ana imani lakini hana matendo." + +# anayo imani + +Yakobo anazungumzia imani, kumuamini Mungu. + +# haina matendo + +Yakobo anazungumzia matendo kuwa ni kufanya matendo mema. + +# Je, imani hiyo yaweza kumwokoa? + +Yakobo anazungumzia imani kuwa kumuamini Mungu kuna nguvu ya pekee katika kumuokoa mwanadamu lakini Imani haitoshi. "Imani hiyo haiwezi kumuokoa." + +# kumuokoa + +"Kumuokoa toka kwenye hukumu ya Mungu." + +# mkaote moto + +"kuwa na nguo za kutosha kuvaa" au "kuwa na sehemu ya kulala." + +# mle vizuri + +"kuwa na chakula cha kutosha." + +# ya mwili + +kula, kuvaa na kuishi vizuri. + +# yafaa nini? + +Yakobo anatumia swali hili kuifundisha hadhira. "hivi sio vizuri." + +# wa kiume na wa kike + +Waamini wenzangu katika Yesu, wanaume kwa wanawake + +# imani ... imekufa + +Yakobo anaizungumzia imani kuwa ni hai mtu afanyapo matendo mema na imekufa kama mtu hatafanya matendo mema. + +# imani ... ina matendo + +Imani inaambatana na mtu afanyaye matendo mema. + diff --git a/jas/02/18.md b/jas/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..f09ee460 --- /dev/null +++ b/jas/02/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bado mtu fulani anaweza kusema + +Yakobo alikuwa anasahihisha uelewa wa hadhira yake juu ya imani na matendo. + +# Una imani, na mimi ninayo matendo + +"Inakubalika iwapo mtu mmoja ana imani na mwingine ana matendo." Yakobo anaelezea ni kwa namna gani watu wnaweza kulumbana dhidi ya mafundisho yake. + +# Una imani, na mimi ninayo matendo ... nionyeshe imani yako + +Yakobo anazungumzia imani na matendo kama vitu ambavyo watu wanaweza kuwa navyo na kuwaonesha wengine. + +# nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu + +Yakobo anazungumza kuwa imani inaweza kuonekana endapo mtu atafanya matendo mema. "Nitaionesha imani yangu kwa kufanya matendo mema" + +# mapepo nayo yanaamini hivyo na kutetemeka. + +"mapepo nayo yanaamini, lakini yanaogopa kwa hofu. Yakobo anafananisha mapepo na watu wanaosema wana imani lakini hawafanyi matendo mema. Yakobo anasema pepo wana busara maana wanamuogopa Mungu wakati watu hawamuogopi. + +# Je, unataka kujua, ewe mtu mpumbavu, namna ambavyo imani hiyo pasipo matendo isivyofaa? + +Yakobo alitumia swali kuwakemea watu ambao hawakumsikiliza. "Ewe mpumbavu, hautaki kunisikiliza thibitisha namna isivyofaa imani bila matendo. + +# Je, unataka kujua ... isivyofaa? + +"Nitawaonyesha ni jinsi gani ... isivyofaa." + diff --git a/jas/02/21.md b/jas/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..2ac49543 --- /dev/null +++ b/jas/02/21.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Maelezo ya jumla + +Kwa kuwa kulikuwa na waamini wa Kiyahudi walijua habari za Abrahamu ambaye waliambiwa na Mungu zamani. + +# Je, si baba yetu Abrahamu alihesabiwa haki + +Hili ni swali linalotumika kuwakemea wapumbavu walioelezewa toka 2:18 waliokataa kuamini kuwa imani na matendo vinaenda sambamba." Abrahamu baba yenu alihesabiwa haki." + +# haki kwa matendo + +"haki kwa kufanya matendo mema" + +# Baba + +"baba" imetumika kama "mababu" + +# Mnaona + +Neno "wewe" linamaanisha umoja. Yakobo anaongea na hadhira yake kama anaongea na mtu mmoja. + +# mnaona + +kuona inaweza kumaanisha "kuelewa" + +# imani yake ilifanya kazi na matendo yake + +Yakobo anazungumzia imani inafanya matendo mema. Imani ya Abrahamu kwa Mungu kuhusu Isaka inamfanya Abrahamu kumheshimu Mungu kwenye wakati mgumu. Kwa kumheshimu Mungu imani yake ikakuwa. + +# kwa matendo imani yake ilifikia kusudio lake + +Kwa kumwamini Mungu Abrahamu alitimiza kusudi la Mungu. "kwa kuwa Abrahamu alimtii Mungu alimwamini Mungu kabisa" + +# Maandiko yalitimia + +"Hii ilitimiza maandiko" + +# Akahesabiwa kuwa ni mwenye haki + +"Mungu aliiona imani yake kuwa imemfanya kuwa mwenye haki." Imani ya Abrahamu na haki vilimpa thamani. + +# mnaona + +Yakobo tena anazungumza na hadhira yake kwa kutumia wingi toka kwenye umoja "wewe" + +# kwa matendo mtu huhesabiwa haki, na si kwa imani tu . + +"Matendo na imani ndio yanayomfanya mtu kuwa na haki na sio imani tuu." + diff --git a/jas/02/25.md b/jas/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..690409b4 --- /dev/null +++ b/jas/02/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hali kadhalika, ... haki kwa matendo + +Yakobo alikuwa anasema kama ilivyokuwa kweli kwa Abrahamu ndivyo ilivyokuwa kweli kwa Rahabu. wote walihesabiwa haki kwa matendo. + +# hakuwa Rahabu yule kahaba alihesabiwa haki kwa matendo ... barabara nyingine + +Yakobo alitumia swali kuwaelekeza watu. "hakuwa Rahabu yule kahaba alihesabiwa ... barabara nyingine." + +# Rahabu yule kahaba + +Rahabu alikuwa mwanamke aliyezungumzwa katika agano la kale na Yakobo alitegema hadhira yake inafahamu. + +# haki kwa matendo + +Yakobo anazungumzia matendo kama kitu cha kumiliki. + +# wajumbe + +Watu wanaoleta habari njema toka sehemu nyingine. + +# kuwapeleka kwa barabara nyingine + +"aliwasaidia kutoroka mjini" + +# Kwa kuwa kama vile mwili usipokuwa na roho umekufa, vivyo hivyo imani pasipo matendo imekufa. + +Yakobo anazungumzia imani imani isiyo na matendo kama mwili uliokufa usio na roho. + diff --git a/jas/03/01.md b/jas/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..e6e16d8d --- /dev/null +++ b/jas/03/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# sio watu wengi + +"siyo wengi wenu" Yakobo anatengeneza senyensi ya jumla. + +# Ndugu zangu + +"wapendwa waumini wenzangu." + +# tutapokea hukumu kubwa sana + +"Mungu atatuhukumu sisi kwa nguvu kwa sababu hatuna udhuru, wakati tufanyapo dhambi kwa sababu twajua na kufahamu Neno lake vizuri kuliko watu wengine." + +# Tutapokea + +Yakobo anapanga makundi ya wale ambao hufundisha Maandiko kama yeye. Ingawa baadhi ya waumini ambao wangepokea barua hii, wangekuwa walimu wa Maandiko, wengi wasingeweza. + +# Kwa kuwa wote tunajikwaa. + +Neno "wote" Yakobo amelitumia kumaanisha hadhira yake. + +# Kujikwaa + +Dhambi imezungumzwa kama tendo la kujikwaa wakati wa kutembea. "kuanguka au kutenda dhambi" + +# Hawezi kujikwaa katika maneno yake. + +"Hawezi kufanya dhambi kupitia maneno anayo zungumza." + +# Ni mtu mkamilifu. + +"Amekomaa kiroho" + +# Kuongoza mwili wake wote. + +Yakobo anazungumza juu ya moyo wake, hisia zake, na matendo yake. "kuongoza tabia yake" au "kuongoza matendo yake" + diff --git a/jas/03/03.md b/jas/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..41028291 --- /dev/null +++ b/jas/03/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ikiwa tunaweka rijamu kwenye midomo ya farasi. + +Yakobo anazungumza kuhusu rijamu za farasi. Rijamu ni kipande kidogo cha chuma kinaachowekwa katika mdomo wa farasi ili kumuongoza kule anakoelekea. + +# Sasa ikiwa + +"Kama" au "Endapo" + +# Farasi + +"Farasi" ni mnyama mkubwa anayetumika kubeba vitu au watu. "endapo tunaweka rijamu katika vinywa vya farasi" + +# Tazama pia kwamba meli...huendeshwa kwa usukani mdogo sana. + +"Meli" ni kama gari kubwa linaloelea juu ya maji. "Usukani"ni kipande kidogo cha mti au cha chuma kilicho nyuma ya meli kinachotumika kuiongoza meli kule inakoelekea. Neno "usukani" lingeweza kutafsiriwa kama "kifaa". + +# Maelezo ya jumla + +Yakobo anajaribu kukuza mjadala juu ya vitu vidogo kutawala vitu vikubwa. + +# Zinasukumwa na kwa upepo mkali. + +"Upepo mkali unazisukuma" + +# Zinaendeshwa kwa usukani mdogo sana popote nahodha atakapotaka kugeuka. + +"Uwe na kifaa kidogo ambacho mtu anaweza kukitumia kuongozea meli mahali iendakako." + diff --git a/jas/03/05.md b/jas/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..7ba421db --- /dev/null +++ b/jas/03/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Vivyo hivyo. + +Neno hili huashiria mlingano wa ulimi kwa rijamu za farasi na usukani wa meli katika mistari iliyotangulia. + +# Hujisifia mambo makuu sana + +"mambo" ni ujumla wa vitu vyote ambavyo watu hawa wanajisifia. + +# Angalia + +"fikiri kuhusu" + +# Jinsi msitu ulivyo mkubwa unawashwa na cheche moja! + +"Ulimi mdogo wa moto unaweza kuwasha moto utakao unguza miti mingi!" + +# Ulimi pia ni moto. + +Kama moto unavyo uunguza na kuteketeza vyote vinavyochomwa, ulimi, husimama badala ya mambo ambayo mtu huyatamka, yanaweza kuwaumiza watu vibaya. "Ulimi ni kama moto." + +# Ulimwengu wa uovu umewekwa katikati mwa viungo vya mwili wetu. + +"Ni sehemu ndogo ya mwili wetu, lakini una uwezo wa kufanya dhambi katika aina zote za mambo." + +# Ambao hunajisi mwili wote. + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Inaweza kutufanya sisi tusimpendeze Mungu kabisa" au "Inaweza ikatufanya sisi tusikubalike kwa Mungu." + +# Na huweka katika moto njia ya uzima. + +Msemo huu "njia ya uzima" una maana ya maisha yote ya mtu. "na unaweza kuharibu maisha yote ya mtu." + +# Na wenyewe unachomwa katika moto katika jehanamu. + +Neno "wenyewe" limesimama badala ya ulimi. Pia, hapa neno "jehanamu" limesimama badala ya nguvu za uovu au nguvu za shetani. Hii ingeweza kutafsiriwa kama kishazi kazi: "kwa sababu shetani huutumia kwaajili ya uovu." + diff --git a/jas/03/07.md b/jas/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..adae5345 --- /dev/null +++ b/jas/03/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kila aina ya .... na mwanadamu. + +Usemi huu "kila aina" humaanisha "aina nyingi." hii inaweza kutafsriwa kama fungu la maneno yanayoonesha kutenda; "Watu wamejifunza kudhibiti aina nyingi za wanyama wa mwitu, ndege, vitambaavyo, na viumbe wa baharini." + +# Kitambaacho. + +Huyu ni mnyama ambaye hutembea juu ya ardhi kwa kujikokota. + +# Kiumbe wa baharini + +Huyu ni mnyama ambaye anaishi majini. + +# Lakini kuhusu ulimi hakuna hata mmoja miongoni mwa watu awezaye kuchunga ulimi. + +Hapa "ulimi" humaanisha kile ambacho mtu hutamka. Maana kamili inaweza kutajwa kwa uwazi kama hivi: "hakuna mtu hata mmoja awezaye kudhibiti ulimi wake pasipo msaada wa Mungu." + +# Muovu asiyedhibitiwa + +Ulimi umezungumziwa kama vile ni uovu usioweza kudhibitiwa. Yakobo anafananisha na tamaa za mtu kuongea mambo maovu. + +# Umejaa sumu ya kufisha + +Yakobo anafananisha uwezo wa mtu kuongea mabaya kama vile nyoka au mmea wenye sumu. Sumu ni maneno yaumizayo ambayo yanaweza kusemwa kwa mtu. + diff --git a/jas/03/09.md b/jas/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..8e56a766 --- /dev/null +++ b/jas/03/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa ulimi tuna. + +"Tunatumia ndimi zetu kusema maneno ambayo." + +# Tunawalaani watu. + +Kumuomba Mungu awaumize wengine + +# Ambao wameumbwa katika sura ya Mungu. + +"Ambaye Mungu amemfanya katika sura yake." + +# Kutoka kinywa kilekile inatoka baraka na laana + +Maneno yaliyobeba baraka na laana yanatoka katika kinywa cha mtu. + +# Ndugu zangu. + +"Wakristo wenzangu" + +# Mambo haya hayapaswi kuwa hivyo. + +"Hili ni kosa." + diff --git a/jas/03/11.md b/jas/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..fa72da29 --- /dev/null +++ b/jas/03/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Usemi unaounganisha. + +Baada ya kuweka mkazo kwamba maneno ya waumini hayatakiwi kuwa ya baraka na laana, Yakobo anatoa mifano ya kufundisha wasomaji wake kuwa watu wanamheshimu Mungu kwa kuishi katika njia sahihi. + +# Je, chemchemi moja hutoa maji matamu na machungu? + +Yakobo anatumia swali lisilodai jibu kuwafundisha wasomaji kuhusu sanjari ya mpangilio wa maumbile. "Chemchemi moja haitoi maji matamu na machungu." + +# Ndugu. + +"Waumini wezangu" + +# Je,mti wa mtini huzaa mizeituni, au mzabibu huzaa matunda ya mtini? + +Yakobo anatumia neno la picha ya umbo kuwafundisha wasomaji kuhusu sanjari ya mpangilio wamaumbile. "Mtini hauwezi kuzaa mzeituni, wala mzabibu hauzai matunda ya mtini" + diff --git a/jas/03/13.md b/jas/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..22d62595 --- /dev/null +++ b/jas/03/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nani miongoni mwenu ana hekima na ufahamu? Haya mtu huyo. + +Yakobo anatumia swali hili kufundisha wasikilizaji wake kuhusu tabia ya unyofu. Maneno " hekima" na "ufahamu" ki-msingi yana maana ileile. "Mtu ambaye ana fikiri kuwa ana hekima sharti" + +# Onesha maisha mema. + +"Onesha tabia njema" au "Ioneshe" + +# Kwa matendo yake katika unyenyekevu ambao unatoka katika hekima. + +"Pamoja na matendo yake mema na unyenyekevu ambao hutokana na kuwa na hekima ya kweli." + +# Kuwa na wivu mkali na nia ya ubinafsi katika mioyo yenu. + +Neno "moyo" hapa lina maana ya jaziba au fikra. "Hutapenda kushiriki jambo na wengine na daima unajiweka mwenyewe katika nafasi ya kwanza." + +# Usijiinue na kuwa kinyume na ukweli. + +"Usiseme uongo na kujifanya kama una hekima." + diff --git a/jas/03/15.md b/jas/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..5293d2b4 --- /dev/null +++ b/jas/03/15.md @@ -0,0 +1,60 @@ +# Hii siyo + +"Hii" inarejea katika wivu wa kijinga na nia za ubinafsi kama zilivyoelezwa katika mistari iliyipita. + +# Hekima ishukayo chini kutoka juu + +Ubora wa hekima inayozungumziwa ni kana kwamba ni ile ambayo Mungu aliituma chini toka mbingune + +# Niya kidunia. + +Neno "niya kidunia" humaanisha thamani na tabia za watu ambao hawamheshimu Mungu. "Kutomheshimu Mungu." + +# Ni ya kishetani. + +"Bali ni kutoka kwa mapepo." + +# Kwa sababu mahali palipo na wivu na nia ya ubinafsi. + +"Kwa sababu popote palipo na watu ambao hujihudumia wao binafsi bila kujali wengine." + +# Kuna ghasia. + +"Kuna vurugu" au "kuna mtafaruku." + +# Kila tabia ya uovu. + +"Kila aina ya tabia ya dhambi" au "kila aina ya tendo la uovu." + +# Kwanza ni safi. + +"Kwanza ni takatifu." + +# Kisha yenye amani na upendo. + +Inayopenda**- "kisha ni yenye amani." + +# Yenye wema + +Yenye moyo**- "wema" au "yenye kujali." + +# Na tunda jema. + +Tunda hili jema linalinganishwa na matendo mema. "matendo mema" + +# Kamilifu + +"Yenye kuaminika" au "yenye ukweli." + +# Na tunda la haki limepandwa katika amani kwa wote watendao mambo ya amani. + +Hii inalinganisha amani na haki katika maisha yetu kama kupanda na kuvuna mazao. "wale ambao huishi katika amani wanafafanya ambacho Mungu husema ni haki." + +# Si ya kiroho. + +"Si ya kutoka kwa Roho Mtakatifu" au "si ya kiroho." + +# Juu + +Hapa "juu" inamaanisha Mungu + diff --git a/jas/04/01.md b/jas/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..3bfd259f --- /dev/null +++ b/jas/04/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yakobo anawakemea waamini waliokosa unyenyekevu. Anawaonya kuwa makini na namna wanavyozungumza na watu wengine. + +# Maelezo ya jumla + +Maneno "ninyi, wewe" imetumika kama wingi kuwaelezea waamini walioandikiwa na Yakobo. + +# ugovi unatoka wapi ... migogoro + +Maneno "ugonvi, migogor" yanamaanisha kitu kimoja. Yakobo anayatumia kusisitiza kuwa nazungumzia juu ya mvutano kati ya watu. + +# ugonvi na migogoro + +Ni tabia zinazotokea katika jamii + +# Haviinuki kutoka katika tamaa zenu mbaya zinazoleta vita + +Yakobo anatumia swali kukemea hadhira yake. "ni kwa sababu mna tamaa mbaya" "kwa sababu mnatamani vitu vibaya" + +# Haviinuki kutoka katika tamaa zenu mbaya zinazoleta vita ndani ya washirika wenu? + +Yakobo anazungumzia tamaa kama adui anayeleta vita kati ya waamini. kwa hali halisi ni watu ndio wenye tamaa hizi na kugombana wenyewe kwa wenyewe. "mnatamani maovu na mwishoni nmaumizana wenyewe kwa wenyewe" + +# Ndani ya washirika wenu + +Yaweza kuwa na maana kuwa 1) kuna ugonvi kati ya waamini au 2) vita ambayo ni ugonvi upo ndani ya kila mwamini. + +# Mnauwa na mnafukuzia kile msichoweza kuwa nacho. + +"mnauwa" inaelezea ni kwa kiasi gani watu wanaweza kufanya lolote baya ili wawezea kupata wanachokitaka. "Mnafanya uovu wa kila namna ili mpate msichoweza kukipata" + +# Mnapigana na kugombana + +"kupigana na kugombana" zinamaanisha kitu kimoja. Yakobo anatumia kusisitiza namna ambavyo watu wanagombana wenyewe kwa wenyewe. + +# Mnaomba vibaya + +Yaweza kuwa na maana kuwa 1) mnaomba mkiwa na nia mbaya au 2) mnaomba vitu ambavyo hampaswi kuomba au mnaomba vitu vibaya. + diff --git a/jas/04/04.md b/jas/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..13d21f8d --- /dev/null +++ b/jas/04/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Enyi wazinzi + +Yakobo anazungumza na waamini akiwafananisha na mke aliyelala na mwanaume mwingine ambaye sio mume wake. "ninyi sio waaminifu kwa Mungu" + +# Hamjui kwamba ... Mungu? + +Yakobo alitumia hili swali kuifundisha hadhira yake. "Mnajua ... Mungu" + +# urafiki na ulimwengu + +Maneno haya yanaelezea uhusiano uliopo kwenye mifumo ya duniani na tabia zake. + +# urafiki na ulimwengu + +Hapa mfumo wa ulimwenguni unaelezewa kama vile ni mtu ambaye watu wengine wanaweza kuwa na urafiki naye. + +# urafiki na ulimwengu ni uadui dhidi ya Mungu + +Kuwa rafiki na ulimwengu inamaanisha kuwa adui wa Mungu. "urafiki na dunia" inamaanisha watu ambao ni marafiki wa dunia na "uadui dhidi ya Mungu" inamaanisha watu ambao wanampinga Mungu. "Marafiki wa ulimwengu ni maadui wa Mungu" + +# Au mnadhani maandiko hayana maana + +Yakobo anatumia swali kueleza kuwa "Kuna maana katika maandiko" + +# Roho aliyoweka ndani yetu + +Tafisi nyingine zinaelezea "roho" kama Roho Mtakatifu. Na tafsiri zingine zinamaanisha roho ya binadamu ambayo kila mtu ameumbwa nayo. Tunapendekeza kuwa utumie maana nyingine ambayo ipo katika tafsiri zinazotumika na wasomaji wako. + diff --git a/jas/04/06.md b/jas/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..7ee7ffe8 --- /dev/null +++ b/jas/04/06.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Lakini Mungu hutoa neema zaidi + +"Japokuwa nafsi zetu hutamani tusivyoweza kuvipata, Mungu atatupa zaidi neema, tukijinyenyekeza wenyewe" + +# Hutoa neema zaidi + +Neema imezungumzwa kama kitu kinachoweza kutolewa. + +# Kiburi + +"mtu mwenye kiburi" + +# nyenyekea + +"mtu mnyenyekevu" + +# Hivyo + +"Kwa sababu hii" + +# Jitoeni kwa Mungu + +"mtii Mungu" + +# Mpingeni ibilisi + +"mpingine ibilisi" au "Msifanye mambo ambayo ibilisi anawaambia mfanye" + +# atakimbia + +"atakimbia mbali" + +# ninyi + +Hii inamaanisha hadhira ya Yakobo. + diff --git a/jas/04/08.md b/jas/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..a8264590 --- /dev/null +++ b/jas/04/08.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya jumla. + +Neno "ninyi" linamaanisha waamini waliotawanyika ambao Yakobo anawaandikia. + +# Sogeeni karibu na Mungu, na yeye atakaribia karibu nanyi + +Hapa anamaanisha kuwa wakweli na wazi kwa Mungu. + +# Safisheni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na takaseni mioyo yenu, enyi wenye nia mbili. + +Hizi ni sentensi mbili zinazoendana. + +# Safisheni mikono yenu + +Hii ni amri kwa watu kufanya mambo ya haki na sio maovu. "Ishini namna ambavyo inampendeza Mungu" + +# Takaseni mioyo yenu + +"mioyo" inamaanisha mawazo ya mtu na hisia zake" Mheshimu Mungu kwa mawazo yako" + +# nia mbili + +"Nia mbili" linamaanisha mtu ambaye hawezi kufanya maamuzi juu ya jambo fulani. "Mtu ambaye hawezi kuamua amtii Mungu au la" + +# Huzunika, omboleza, na Lia + +Maneno haya matatu yana maana moja. Yakobo anayatumia kwa pamoja kuonesha kuwa watu watahuzunika sana kwa kutokumtii Mungu" Yakobo anasema haya kama amri. + +# Geuzeni kicheko chenu kuwa huzuni na furaha yenu kuwa maombolezo + +Hapa kicheko kimezungumzwa kuwa kitageizwa kuwa huzuni na furaha kuwa maombolezo. "Acheni kucheka na mtubu kwa Mungu" + +# Nyeyekeeni wenyewe mbele za Bwana + +"Jinyenyekezeni mbele za Mungu" + +# Atawainua juu + +Yakobo anazungumza namna ambavyo Mungu anamuheshimu mtu mnyenyekevu na kumnyanyua toka chini. "atakuheshimu wewe" + diff --git a/jas/04/11.md b/jas/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..cc7406cf --- /dev/null +++ b/jas/04/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Maneno "wewe" au "ninyi" yametumika kuwaelezea waamini walioandikiwa na Yakobo. + +# Kunena kinyume + +"kusema vibaya kuhusu" au "kupinga" + +# Ndugu + +Yakobo anawazungumzia waamini kama ndugu waliozaliwa pamoja. "waamini wenzangu" + +# bali mnaihukumu + +"bali mnafanya kama mtu anayetoa sheria" + +# Ni mmoja tu ambaye ni mtoa sheria na hakimu + +Hapa anamaanisha Mungu. "Mungu ndiye atoaye sheria na ahukumuye" + +# Wewe ni nani ambaye unamhukumu jirani yako? + +Yakobo anatumia swali hili kuikemea hadhira yake. "Ninyi ni binadamu na hamuwezi kuwahukumu binadamu wengine" + diff --git a/jas/04/13.md b/jas/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..b1f7c6fb --- /dev/null +++ b/jas/04/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kukaa huko mwaka + +Yakobo anazungumzia kutumia mda kama pesa. "kaeni huko mwaka mzima" + +# Ni nani ajuaye nini kitatokea kesho + +Yakobo anatumia swali hili kuisahihisha hadhira yake. "Hakuna ajuaye kitakachotokea kesho" + +# maisha yenu ni nini hasa? + +Yakobo alitumia swali hili kufundisha waamini kuwa maisha ya kimwili sio ya muhimu sana. "fikirini juu ya maisha yenu ya kimwili" + +# Kwa kuwa mnafanana kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi na kisha hupotea. + +Yakobo anawafananisha watu na ukungu ambao hutokea na kupotea kwa haraka. "mnaishi kwa muda mfupi na kufa" + diff --git a/jas/04/15.md b/jas/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..5d6a63c1 --- /dev/null +++ b/jas/04/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Badala yake mngesema + +Badala yake, mtazamo wenu uwe?" + +# sisi tutaishi + +Neno "sisi" halimaanishi Yakobo au hadhira yake lakini ni mfano wa namna ambavyo hadhira ya Yakobo inatakiwa iishi. + +# tutafanya hiki au kile. + +"kufanya kile ambacho tumepanga kufanya" + +# kwake yeye ajuaye kutenda mema lakini hayatendi, kwake huyo ni dhambi. + +Yeyote anayeshindwa kufanya jambo ambalo anapaswa kufanya anatenda dhambi. + diff --git a/jas/05/01.md b/jas/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..3e67cd85 --- /dev/null +++ b/jas/05/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yakobo anawaonya matajiri juu ya starehe na utajiri. + +# enyi mlio matajiri + +Yaweza kuwa na maana ya 1) Yakobo anawapa onyo kali wale wanaoamini kwenye utajiri au 2) Yakobo anazungumza kuhusu watu wasioamini ambao ni matajiri. "enyi mlio matajiri na mnaosema mnamcha Mungu" + +# kwa sababu ya taabu inayokuja juu yenu + +Yakobo anaelezea kuwa watu hao watateseka sana baadae na taabu yao inakuja. "kwa kuwa mtateseka sana baadae" + +# Utajiri wenu umeharibiwa na mavazi yenu yametafunwa na wadudu waharibifu. Dhahabu zenu na fedha zenu zimekosa thamani + +imetafunwa. Dhahabu zenu na fedha zimekosa thamani. Yakobo anazungumza juu ya matukio haya kama vile yameshatokea. Yakobo anazungumzia utajiri wa duniani haudumu na hauna uzima wa milele. "Utajiri wenu umeharibiwa, nguo zenu zimetafuwa na dhahabu zenu na fedha zimekosa thamani" + +# utajiri ... nguo ... dhahabu + +Hivi vitu vimetajwa kama mifano ya vitu vya thamani kwa mwanadamu. + +# uharibifu wake utashuhudia dhidi yenu + +"uharibifu" ni neno linaloelezea namna ambavyo chuma yaweza haribika. Yakobo anazungumzia kuhusu uharibifu kwa kuwa umesababishwa na watu waovu na matendo yao. "Na Mungu akiwahukumu kuharibiwa kwa mali zenu kutakuwa kama mtu anayewahukumu mahakamani" + +# Itaangamiza ... kama moto + +Uharibifu unazungumzwa kama vile moto ambao utakuja kuwaangamiza watu. + +# Miili yenu + +"mwili" inamaanisha mwili mzima. + +# Moto + +Moto inatumika kuwakumbusha watu kwamba mara nyingi inamaanisha hukumu ya Mungu itakayokuja juu ya waovu. + +# Katika siku ya mwisho. + +Hii inaelezea wakati muafaka wa Mungu kuja kuhukumu ulimwengu. Waovu wanadhani wanahifadhi utajiri kwa ajili ya baadae lakini wanachokifanya wanahifadhi hukumu. "wakati ambao Mungu anataka kuwahukumu" + diff --git a/jas/05/04.md b/jas/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..624a1e06 --- /dev/null +++ b/jas/05/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yakobo anaendelea kuwaonya matajiri juu ya starehe na utajiri. + +# malipo ya watendakazi-wale ambao hamjawalipa kwa kuvuna katika mashamba yenu- wanalia + +Pesa ambayo ilitakiwa ilipwe imeelezewa hapa kama mtu anayelalamika juu ya dhuluma aliyofanyiwa. "kwa kuwa hamwalipi mliowaajiri kufanya kazi kwenye mashamba yenu mnafanya makosa" + +# kilio cha wale waliovuna mazao yenu kimeyafikia masikio ya Bwana wa Majeshi. + +Kilio cha wanaovuna kimesikika mbinguni. "Bwana wa majeshi amesikia kilio cha wavunaji" + +# kwenye masikio ya Bwana wa Majeshi + +Mungu anazungumziwa kuwa ana masikio kama mwanadamu. "Bwana wa majeshi amesikia" + +# Mmejinenepesha mioyo yenu kwa siku ya machinjo + +Hapa watu wanaelezewa kama wanyama, wanaolishwa vizuri ili wanenepe na kuchinjwa kwa ajili ya karamu. Japokuwa hamna atakayesherehekea siku ya hukumu. "Tamaa zeni zinawaandaa kwa hukumu ya milele" + +# mioyo yenu + +"Mioyo" imezungumziwa kama kituo cha tamaa za mwanadamu. Neno hili linasimama kumuelezea mtu kwa ujumla. + +# Mmemhukumu ... mwenye haki + +"Mmehukumu" inaweza isiwe na maana ya kisheria ya kupitisha hukumu ya kifo. Bali inawazungumzia watu waovu na wenye nguvu wanaoamua kuwanyanyasa masikini mpaka wanakufa. + +# mwenye haki + +"Mtu anayefanya mambo yanayofaa" Hii sentensi inaelezea watu wenye haki kwa ujumla na sio mtu mmoja. + +# asiyeweza kuwapinga + +"Asiye kinyume na ninyi" + diff --git a/jas/05/07.md b/jas/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..c07dd0ca --- /dev/null +++ b/jas/05/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yakobo anabadilisha mada toka kwenye kuwakemea matajiri na kuwapa mawaidha waamini. + +# Maelezo ya jumla + +Kwa kufunga Yakobo anawakumbusha waamini kuhusu ujio wa Bwana na kuwapa mafundisho mafupi namna ya kuishi kwa ajili ya Mungu. + +# Kwa hiyo vumilieni + +"Kwa ajili ya hili kuweni na subira na uvumilivu" + +# mpaka ujio wa Bwana + +Sentensi hii inaelezea ujio wa Yesu, atakapoanzisha ufalme wake duniani na kuhukumu watu wote. "Mpaka Kristo atakapokuja" + +# Mkulima + +Katika mazungumzo haya Yakobo anatumia mkulima na mwamini kuelezea namna ya kuwa mvumilivu. + +# Kazeni mioyo yenu + +Yakobo anawataka waamini wawe na mioyo thabiti na kuwa na msimamo. "Kuweni na msimamo" au "Ifanyeni imara mioyo yenu" + +# kuja kwake Bwana ni karibu. + +"Bwana atarudi mapema" + diff --git a/jas/05/09.md b/jas/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..f181a898 --- /dev/null +++ b/jas/05/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nsinung'unikiane, ndugu ... ninyi + +Yakobo anawaandikia waamini wa Kiyahudi waliotawanyika. + +# ninyi kwa ninyi, + +"kila mmoja na mwenzake" + +# Hamtahukumiwa + +Hii yaweza kuwa "Kristo hatawahukumu ninyi" + +# hakimu anasimama mlangoni + +Yakobo anamfananisha Yesu, kama hakimu kwa mwanadamu na kuelezea ni kuwa bado mda mfupi sana Yesu atarudi kuhukumu ulimwengu" + +# mateso na uvumilivu wa manabii + +"ni kwa namna gani manabii walivumilia mateso na hukumu" + +# walionena katika jina la Bwana + +"Waliongea kwa jina la Bwana kwa watu" + +# Tazama + +"Tazama" inasisitiza "sikiliza kwa makini" au "kumbuka" + +# wale wanaovumilia + +"Wale watakaoendelea kumtii Mungu hata katika hali ngumu" + diff --git a/jas/05/12.md b/jas/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..5e5cf2de --- /dev/null +++ b/jas/05/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Zaidi ya yote + +"Hii ni muhimu" au "Hasa" + +# ndugu zangu + +"waamini wenzangu" + +# msiape + +"kuapa" ni kusema kuwa utafanya jambo au jambo fulani ni kweli na kuwa na wajibu kwa mamlaka za juu. "Msiape" + +# aidha kwa mbingu ama kwa nchi + +Maneno "mbingu" na "nchi" linamaanisha mamlaka ya kiroho na kibinadamu zilizopo mbinguni na duniani. + +# "ndiyo" yenu na imaanishe "ndiyo" na "hapana" yenu na imaanishe "hapana + +Fanya ulichosema utafanya bila kuapa" + +# msije kuangukia chini ya hukumu + +Kuhukumiwa inazungumzwa kwa mtu aliyeanguka na kulemewa na kitu kizito. "Hivyo Mungu hatawahukumu" + diff --git a/jas/05/13.md b/jas/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..d433ef0a --- /dev/null +++ b/jas/05/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kuna yeyote miongoni mwenu ana mateso? Lazima aombe + +"Kama kuna mtu yeyote anapata mateso yampasa kuomba" + +# Je, mtu yeyote ni mwenye kuchangamka? Na aimbe sifa + +"Mtu yeyote akiwa na furaha, yampasa aimbe nyimbo za kusifu" + +# Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Na aite + +"Mtu yeyote akiwa mgonjwa na aite watu" + +# maombi ya imani yatamponya mgonjwa, na Bwana atamwinua + +Mwamini akimuombea mgonjwa, Mungu atasikia maombi yake na kumponya mtu huyo. "Mungu atasikia maombi ya mwamini aombapo kwa imbani na kumponya mgonjwa. + diff --git a/jas/05/16.md b/jas/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..7d32783e --- /dev/null +++ b/jas/05/16.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Kwa kuwa haw walikuwa waamini wa kiyahudi, Yakobo anawakumbusha watu kuomba kwa kukumbuka moja wa manabii na namna walivyoomba. + +# Kwa hiyo ungameni dhambi zenu + +Hii ni kukubali makosa yako kwa waamini wengine ili uweze kusamehewa. + +# ninyi kwa ninyi, + +"kila mmoja na mwenzake" + +# ili muweze kuponywa + +"Ili Mungu awaponye" + +# Maombi ya mwenye haki huzaa matokeo makubwa + +Maombi ni kitu chenye nguvu sana. "Mtu anayemcha Mungu akiomba, Mungu anafanya mambo makuu" + +# Juhudi + +"shauku" + +# Tatu ... sita + +"3 ... 6" + +# mbingu zilimwaga mvua + +Mbingu inamaanisha mawingu ambayo inaelezwa kama chanzo cha mvua. "Mvua ilishuka toka mawinguni" + +# nchi ikatoa mavuno. + +Hapa nchi inaelezwa kama chanzo cha mavuno + +# Matunda + +"Matunda" inamaanisha mazao ya mkulima + diff --git a/jas/05/19.md b/jas/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..90959ce7 --- /dev/null +++ b/jas/05/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ndugu zangu + +"Waamini wenzangu" + +# kama yeyote miongoni mwenu anapotoka kutoka kwenye ukweli, lakini mtu mwingine akamrejesha + +Mwamini ambaye anaacha kumwamini Mungu na kumtii yeye anafananishwa na kondoo aliyeondoka kwenye kundi. Mtu anayemrejesha ili amwamini Mungu tena anafananishwa na mchungaji anayetafuta kondoo aliyepotea. "Mtu yeyote akiacha kumtii Mungu na mwingine akamsaidia kuanza kumtii Mungu tena" + +# yeyote amwongozaye mwenye dhambi kuondoka katika njia yake ya ukosaji... atafunika wingi wa dhambi. + +Yakobo anamaanisha kuwa Mungu atatumia matendo ya huyu mtu ya kumrejesha aliyekosa ili atubu na kuokolewa. Lakini Yakobo anaongea kama vile huyu mtu mwingine ndo ameokoa nafsi ya mwenye dhambi toka kwenye kifo. + +# ataponya nafsi yake kutoka katika mauti na atafunika wingi wa dhambi. + +Hapa "kifo" inamaanisha kufa kiroho, kutengana na Mungu. "Atamuokoa na kifo cha kiroho na Mungu atamsamehe mkosaji dhambi zake zote" + +# atafunika wingi wa dhambi. + +Yawza kumaanisha kuwa 1) Mtu atakayemrejesha ndugu aliyetenda uovu, dhambi zake zitasamehewa. au 2) Ndugu aliyetenda uovu akirudi kwa Bwana , dhambi zake zitasamehewa. Dhambi inazungumzwa kama jambo ambalo Mungu atawasamehe watu wake. + diff --git a/jhn/01/01.md b/jhn/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..ce3eebd4 --- /dev/null +++ b/jhn/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hapo mwanzo + +Ina maanisha mwanzoni kabisa ya wakati kabla Mungu hajaumba mbingu na nchi. + +# Neno + +Iina maanisha Yesu. Kama inawezekana litafsiri kama "Neno" Kama katika lugha yako "Neno" ni ngeli ya kike, inawe kufasiriwa kama "yule anayeitwa "Neno." + +# Vitu vyote viliumbwa kwa yeye + +Hii inaweza kufasiriwa katika hali tendaji. "Mungu alivifanya vitu vyote kwa yeye." + +# pasipo yeye hakuna hata kitu kimoja kilichofanyika ambacho kilichofanyika. + +Hii inaweza kufasiriwa katika hali tendaji. "Mungu hakufanya kila kitu chochote pasipo yeye" au " Mungu alifanya vitu vyote akiwa naye." + diff --git a/jhn/01/04.md b/jhn/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..37ad656d --- /dev/null +++ b/jhn/01/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndani yake kulikuwa uzima + +Hapa "uzima"ni mfano kwa kusababisha kila kitu kuishi. A: "Yeye anayeitwa Neno ndiye aliyesababisha kila kitu kuishi. + +# Uzima + +hapa tumia neno la jumla kwa "uzima." Kama utatafasiri moja kwa moja unaweza kufasiri kama "uzima wa kiroho". + +# Uzima huo ulikuwa nuru ya wanadamu wote + +"Nuru" ni mfano ambao ambao unamaanisha ufunuo wa Mungu.AT: aliifunua kweli kwetu kama vile nuru ifunuavyo kile kilichomo gizani. + +# NUru yang'ara gizani wala giza halikuliweza + +Kama vile ambavyo giza lisivyoweza kuizima nuru, watu wabaya hawajaweza kumzuia yeye ambaye ni kama nuru katika kuifunua kweli ya Mung. + diff --git a/jhn/01/06.md b/jhn/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..d38ef788 --- /dev/null +++ b/jhn/01/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuishuhudia nuru + +Hapa "Nuru" ni mfano kwa ajili ufunuo wa Mungu katika Yesu. AT: "onyesha jinsi ambavyo Yesu alivyo kama nuru halisi kutoka kwa Mungu." + diff --git a/jhn/01/09.md b/jhn/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..d7e116d5 --- /dev/null +++ b/jhn/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Niru ya kweli + +Hapa "nuru" ni mfano ambao unamwakilisha Yeus kama ufunuo wa kweli kutoka kwa Mungu. + +# hutia nuru + +"hutoa nuru kwa" + diff --git a/jhn/01/10.md b/jhn/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..12f2f39c --- /dev/null +++ b/jhn/01/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alikuwapo duniani, na kwa yeye ulimwengu ulipata kuwepo, lakini ulimwengu haukumjua + +AT: "Lakini pamoja kwamba alikuwa ulimwenguni, na kwamba Mungu aliumba vitu vyote kwa yeye, bado watu hakumtambua." + +# alikuja kwa vitu vyake, na watu wake hawakumpokea + +AT: "Alikuja kwa wenzake , na wenzake hwakumpokea." + diff --git a/jhn/01/12.md b/jhn/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..307b9526 --- /dev/null +++ b/jhn/01/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amini juu ya + +Hii ina maanisha Yesu kuwa Mwokozi na kuishi kwa jinsi ambayo inamtukuza. + +# Jina + +Neno 'jina" ni neno ambalo linaelezea utamblisho wa "Yesu" na kila kitu kitu kuhusu yeye. + +# aliwapa uwezo + +aliwapa mamlaka" au "aliwezesha kwa ajili yao" + +# Wana wa Mungu + +Neno "watoto"ni mfano ambao unawakilisha uhusiano wetu na Mungu, ambao ni kama vile watoto na baba. + diff --git a/jhn/01/14.md b/jhn/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..38ba82d2 --- /dev/null +++ b/jhn/01/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Neno + +Huu ni mfano ambao unamaanisha kwa Yesu. Yeye ndiye aliye mfunua Mungu alivyo. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa cha Mungu. + +# amejaa neema + +AT: "ambaye mara zote hufanya kwa wema kwa ajili yetu katika njia mbazo hatustahili." + +# yeye ajaye baada yangu + +Yohana anaongea kuhusu Yesu. Neno "anakuja baada yagu" linamaanisha kwamba huduma ya Yohana ilikuwa tayari imeanza na huduma ya Yesu itaanza baadaya, baada ya Yohana. + +# ni mkuu kuliko mimi + +"ni mkuu zaidi yangu" au" ni muhimu zaidi" + +# kwa sababu amekuwapo kabla yangu + +Kuwa mwangalifu usitafsiri kwamba Yesu ni wa muhimu zaidi kwa sababu ni mzee kuliko Yohana. Yesu ni mkuu zaidi ya Yohana kwa sababu yeye ni Mungu Mwana, ambaye amekuwepo na kutawala juu ya vitu vyote pamoja na Mungu. + diff --git a/jhn/01/16.md b/jhn/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..b07603d4 --- /dev/null +++ b/jhn/01/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# utimilifu + +Huli neno linamaanisha kwa neema ya Mungu ambayo haina mwisho. + +# kipawa cha bure baada ya kingine + +"baraka baada ya baraka" + +# aliye mwanadamu pekee, ambaye ni Mungu + +Hii inaweza kumaanisha1)aliye Mungu wa wa pekee" au" 2) yeye aliye Mwana wa pekee," + +# aliye katika kifua cha Baba + +Neno "kifua" ni mfano . Hii inamaanisha kuwa Yesu ndiye aliye karibu na Baba" ikimaanisha ushusino wa karibu. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu. + diff --git a/jhn/01/19.md b/jhn/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..3e7addd6 --- /dev/null +++ b/jhn/01/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wayahudi walitumwa kwake kutoka Yerusalemu + +Hapa mwandishi anatumia mfano. Neno "Wayahudi" limetumika kwa kuwakilisha "Viongozi wa Kiyahudi." AT:" Viongozi wa Kiyahudi waliwatuma kwake kutoka Yerusalemu. + +# Yeye alisema wazi, wala hakukana + +Neno la pili linaeleza maneno hasi ambayo neno la kwanza linachokisema katika mtazamo chanya. Hii inasisitiza kuwa Yohana alikuwa akisema kweil.AT: "Aliwambia ukweli bila woga". + +# U nani? + +AT: "U nani ni kama sio Masihi"? au " Nini kinachoendelea?" au " Unafanya nini." + diff --git a/jhn/01/22.md b/jhn/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..e8b006a4 --- /dev/null +++ b/jhn/01/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kiunganishi cha sentesi: + +Johana anaendela kuongea na makuhani na walawi. + +# wakamwambia + +"makuhani na Walawi wakamwambia Yohana>" + +# sisi...sisi + +Makuhani na Walawi, sio Yohana. + +# Akasema + +"Yohana akasema" + +# Mimi ni sauti aliaye nyikani + +Neno "sauti" ni mfano ambao unamwakilisha Yohana na ujumnbe wake. AT: Mimi ni kama mtu ongea kwa sauti mbapo hakuna mtu yeyote anaweza kunisikia. + +# Inyosheni njiai ya Bwana + +Hapa neno "njia" limetumika kama mfanoAT: Jiandae mwenyewe kwa ajili ya ujio wa Bwana kama vile ambavyo watu waandaavyo barabara kwa ajili ya ujio wa mtu muhimu. + diff --git a/jhn/01/24.md b/jhn/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..6014755b --- /dev/null +++ b/jhn/01/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Basi kulikuwa na mtu ametumwa kutoka kwa Mafarisayo + +Haya ni habari ya nyuma kuhusu watu waliomuuliza Yesu kutoka kwa Mafarisayo. + diff --git a/jhn/01/26.md b/jhn/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..e1a42caa --- /dev/null +++ b/jhn/01/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa jumla: + +mstari wa 28 unatwambia habari za nyuma kuhusu mwanzo wa hadithi. + +# Huyu ndiye ajaye baada yangu + +AT: " Atawahubiri baada ya mimi kuondoka" + +# Mimi sisitahili "kufungua gidamu ya viatu vyake + +kazi ya kufungua viatu vyake " ambayo ni kazi ya mtumwa au mja kazi ni fumbo. Johana nasema kuwa hasitahili kumfanyia Yesu kazi hata ile ya chini kabisa liyofanywa na watumwa. + diff --git a/jhn/01/29.md b/jhn/01/29.md new file mode 100644 index 00000000..ae173d9e --- /dev/null +++ b/jhn/01/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mwanakondoo wa Mungu + +Huuu ni mfano ambao unawakilisha Utimilifu wa dhabihu kamilifu ya Mungu. Yesu anaitwa "Mwanakondoo wa Mungu" kwa sababu alikuwa dhabihu kwa ajili ya dhambi za watu. + +# dunia + +neno "dunia" ni neno ambalo linalojumuisha watu wote duniani. + +# ajaye nyuma yangu, ni mkuu, kwa maana amekuwapo kabala yangu + +Tafsili hili kama ulitafsiri 1:14:1:15 + diff --git a/jhn/01/32.md b/jhn/01/32.md new file mode 100644 index 00000000..ba4f25fc --- /dev/null +++ b/jhn/01/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# shuka + +"shuka chini" + +# kama njiwa + +hili ni neno lenye lugha ya picha . "Roho " anashuka chini kama vile ambavyo njiwa ashukavyo kwa mtu. + +# mbinguni + +Neno "mbingu" linamaanisha "anga." + +# Mwana wa Mungu + +Baadhi ya nakala za kifungu hiki husema "Mwana wa Mungu": wengine husema " mchaguliwa wa Mungu." + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + diff --git a/jhn/01/35.md b/jhn/01/35.md new file mode 100644 index 00000000..880ad4a6 --- /dev/null +++ b/jhn/01/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tena, siku iliyofuata + +Hii ni siku nyingine. Ilikuwa ni siku ya pili Yohana alipomwona Yesu. + +# Mwanakondoo wa Mungu + +Huu ni mfano ni mfano ambao unawakilisha dhabihu timilifu. Yesu ni Mwanakondoo wa Mungu kwa sababu alidhabihiwa kulipa dhambia za watu. + diff --git a/jhn/01/37.md b/jhn/01/37.md new file mode 100644 index 00000000..0323521b --- /dev/null +++ b/jhn/01/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# muda wa saa kumi + +Neno linaonyesha wakati wa mchana, kabla ya giza, ambao usinge ruhusu kusafiri kwenda katika mji mwingine, yawezekana 10 za jioni. + diff --git a/jhn/01/40.md b/jhn/01/40.md new file mode 100644 index 00000000..52d4b6ff --- /dev/null +++ b/jhn/01/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo kwa Ujumla: + +Mistari hii utupa maelezo kuhusu Andrea na jinsi alivyomleta ndugu yake Petro kwa Yesu. Hii ilitokea kabla hajaenda mahali ambapo Yesu alikuwa akikaa. + +# mwana wa Yohana + +Huyu ni Yohana Mbatizaji. " Yohana lilikuwa jina la kawaida. + diff --git a/jhn/01/43.md b/jhn/01/43.md new file mode 100644 index 00000000..25fede56 --- /dev/null +++ b/jhn/01/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Basi Filipo alikuwa mtu wa Bethsaida, mji wa Andrea na Petro + +Hii ni habari ya nyuma kuhusu Filipo. + diff --git a/jhn/01/46.md b/jhn/01/46.md new file mode 100644 index 00000000..944952f5 --- /dev/null +++ b/jhn/01/46.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nathanaeli akamwambia + +"Nathaneli akamwambia Filipo." + +# Je jambo jema laweza kutoka Israeli? + +Neno hili lijitokeza kama swali kuonyesha msisitizo.AT: "Hakuna kitu kizuri kinaweza kutoka Nazarti." + +# ambaye ndani yake hakuna udanganyifu + +Hili linaweza kusema katika mtazamo chanya. AT: "mtumkweli aliyekamilika." + diff --git a/jhn/01/49.md b/jhn/01/49.md new file mode 100644 index 00000000..0d40aa1f --- /dev/null +++ b/jhn/01/49.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Rabbi, wewe ni Mwana wa Mungu! Wewe ni mfalme wa Israeli! + +Nathanaeli anasema Yesu ni "Mwana wa Mungu" kwa sababu Yesu amjua Nathanaeli pasipo kukutana naye awali. + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu. + +# Kwa sababu nilikuambia.. je unaamini? + +Hili jibu linaonekana katika jinsi ya swali kuonesha msisitizo. unaweza kuifasili kama sentesi. AT: "Unaamini kwa sababu nilisema, nilikuona chini ya mtini'! + +# Amini, amini + +Tafsiri hili jinsi ambavyo lugha yako inavyosisitiza kuwa kile kinachofuata ni kweli. + diff --git a/jhn/02/01.md b/jhn/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..5563d0af --- /dev/null +++ b/jhn/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa Jumla: + +Yesu na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa arusini. Mstari huu unaonyesha habari ya nyuma juu ya habari inavyoanza. + +# Siku tatu baadaye + +Wafaasili wengi husoma hili kama siku ya tatu baada ya Yesu kumwiita Filipo and Nathanaeli kuja kwake. Siku ya kwanza inaonekana katika Yohana 1:35 na siku ya pili ni 1:43 + +# Yesu na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa harusini + +Hii inaweza kutamkwa kama tendaji. AT: " Mtu alimwalika Yesu na wanafunzi wake katika arusi." + diff --git a/jhn/02/03.md b/jhn/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..c31d5dac --- /dev/null +++ b/jhn/02/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mwanamke + +Hii inaa mweelezea Mariamu. Kama ni neno lenye ukakasi katika lugha yako kwa mwana kumwiita mama mwanamke, tumia neno jingine. + +# hiyo inanihusu nini? + +Hili linaonekana katika muundo wa swali ili kuonesha msisitizo . unaweza kukuifasili kama sentensi. AT: " hii haimaanishi kufanya nami" au " usiniambie nini cha kufanya." + +# Muda wangu bado haujatimia + +Neno "muda" ni neno ambalo inawakilisha kuwa tukio maalumu kwa Yesu kuonesha kwamba yeye ni Masihi kwa miujiza.AT: "Sio muda mwafaka kwangu kufanya matengo makuu." + diff --git a/jhn/02/06.md b/jhn/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..cd7153df --- /dev/null +++ b/jhn/02/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nzio mbili hadi tatu + +"lita 80 hadi 120." nzio moja lilikuwa was + +# hadi juu + +hii inamaanisha "juu sana' au "iliyojaa kabisa." + +# mhudumiaji mkuu + +Hii ina maanisha mtu aliye na mamlaka juu ya chakula na kinywaji. + diff --git a/jhn/02/09.md b/jhn/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..7d17987b --- /dev/null +++ b/jhn/02/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# (lakini watumishi waliochota maji walifahamu) + +hii ni habari ya nyuma. + +# kulewa + +kutokuweza kuelewa pombe ghali na isiyo ghali kwa sababu ya kunywa kiasi kingi cha kileo. + diff --git a/jhn/02/11.md b/jhn/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..1c921c9f --- /dev/null +++ b/jhn/02/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Viunganishi vy maneno: + +Hii si mwenendelezo wa hadithi kuu, badala yake inashamilisha hadithi. + +# Kana + +Jina la sehemu + +# akifunua utukufu wake + +Hapa "utukufu" ni neno linaonesha nguvu za Yesu. + diff --git a/jhn/02/12.md b/jhn/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..b90577be --- /dev/null +++ b/jhn/02/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akateremka + +Hii inamaanisha kwamba walisafiri kutoka sehemu ya mwinuko kuelekea bondeni. Kana in kusini magaharibi ya Kaperanaumu na iko juu. + +# ndugu zake + +Neno "ndugu"linajumisha kaka na dada. Kaka na dada wa Yesu walikuwa wadogo kuliko alivyokuwa. + diff --git a/jhn/02/13.md b/jhn/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..6d036b0a --- /dev/null +++ b/jhn/02/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maneno ya jumla: + +Yesu na wanafunzi wake wanapanda kwenda Yerusalemu kwenye hekalu. + +# juu hadi Yerusalemu + +Hii inamaasha kuwa walisafiri kutoka kwenye mwinuko kwenda chini. Yerusalemu imejengwa juu ya kilima. + +# ndani ya hekalu + +inamaanisha sehemu ya nje ya hekalu mahali ambapo wasio wayahudi waliruhusiwa kuabudu. + +# wale waliouza + +watu waliweza kununua hekaluni na kuwadhabihu kwa ajili ya kumuheshimu Mungu. + +# wabadili fedha + +Mamlaka ya Kiyahudi iliitaji watu ambao walihitaji kununua wanyama kwa ajili ya dhabihu kubadilisha pesa zao kutoka kwa wabadilishaji wa fedha. + diff --git a/jhn/02/15.md b/jhn/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..fed8e569 --- /dev/null +++ b/jhn/02/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi + +Neno hili linaonyesha tukio lililotokea kwa sababu ya kile kilichotokea mwanzoni. Katika hali hii, Yesu aliwaona wabadili fedha wamekaa katika hekalu. + +# Acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu soko + +Yesu, Mwana wa Mungu, anawafukuza wafanyabiashara kutoka mahali palipoandaliwa kwa ajili ya ibada ya Baba yake, Mungu Baba, kumuheshimu. + +# nyumba ya Baba yangu + +Haya ni maneno ambayo Yesu aliyasema yakimaanisha hekalu. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu. + diff --git a/jhn/02/17.md b/jhn/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..70b5f5bd --- /dev/null +++ b/jhn/02/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# iliandikwa + +Hii inaweza kusema katika muundo wa kutenda. Kuna mtu alikuwa ameandika." + +# nyumba yako + +Neno hili linamaanisha, nyumba ya Mungu. + +# maliza + +Neno hili "maliza" linaelekeza kwenye "moto." Upendo wa Yesu kwa ajili ya hekalu ni kama moto unaowaka ndani yake. + +# ishara + +Hili ni tendo ambalo linalothibitisha kuwa ni jambo la kweli. + +# mambo haya + +Haya yanamaanisha matendo ya Yesu aliyokuwa kinyume na wabadili fedha ndani ya hekalu. + +# Livunjenihili hekalu, na nitaliinua baada ya siku tatu + +Yesu anamaanisha mwili wake kama hekalu kwamba atakufana kwamba atakuwa mzima tena baada ya siku tatu. Lakini, ni muhimu kutafasili haya maneno kuwa yameelezwa kuelezea kuvunja na kujenga jengo. Yesu hawaamuru wanafunzi wake kuvunja jengo la hekalu. + +# nitaliinua + +Hii inamaanisha "kujenga" au 'kurudisha" + diff --git a/jhn/02/20.md b/jhn/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..97a3fb75 --- /dev/null +++ b/jhn/02/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana 2: 20- 22 + +Maelezo ya jumla: +ilichukuwa miaka arobaini na sita...utaijenga kwa siku tatu? +Miaka arobaini na sita... siku tatu +aliamini/ waliamini +hii sentesi + diff --git a/jhn/02/23.md b/jhn/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..c98a7aee --- /dev/null +++ b/jhn/02/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Basi alikuwa Yerusalemu + +Neno basi linatutambulisha katika tukio jingine katika hadithi + +# wakaalimini jina lake + +Hapa "jina" ni neno linalowakilisha utu wa Yesu. "aminini" au "kuamini katika yeye." + +# ishara za maajabu + +Miujiza inaweza kuitwa "ishara" kwa sababu yanatumiwa kama ushahidi kwamba Mungu ni mwenye nguvu ambaye aliye na mamlaka kamili juu ya dunia. + diff --git a/jhn/03/01.md b/jhn/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..18b8e6fd --- /dev/null +++ b/jhn/03/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maneno kwa Ujumla: + +Nikodemo anakuja kumwona Yesu. + +# sasa + +Neno hili lintumika hapa kutambulisha sehemu nyingine ya hadithi na kumtambulisha Nikodemo. + +# mjumbe + +sehemu ya kundi + +# Halimashauli ya Wayahudi + +hHalimashauli ya Kiyahudi inaitwa "Sanihedrini." Hili lilikuwa ndilo baraza muhimu kwa mabaraza yote ya Kiyahudi. + +# twafahamu + +hapa "sisi" linajumuisha, likimaanisha tu kwa Nikodemo na wanachama wengine wa halimashauli ya Kiyahudi. + diff --git a/jhn/03/03.md b/jhn/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..e1c96740 --- /dev/null +++ b/jhn/03/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kiunganishi cha sentesi: + +Yesu na Nikodemo wanaendelea kuongea. + +# Amini, amini + +Tafsiri haya kama ulivyotafsiri 1:49; 1:51. + +# zaliwa mara ya pili + +"kuzaliwa kutoka juu" au kuzaliwa na Mungu." + +# ufalme wa Mungu + +Neno "ufalme" ni mfano kwa utawala wa Mungu." 'Sehemu ambayo Mungu anatawala." + +# Je mtu anaweza kuzaliwa awapo mzee? + +Nikodemo alitumia swali hili kusisitiza kwamba hili lisingelitokea. "Ni kweli mtu hawezi kuzaliwa tena wakati akiwa mzee!" + +# Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake mara ya pili ili azaliwe, je anaweza kufanya hivyo? + +Pia Nikodemo anatumia swali hili kusisitiza imani yake kuwa imani yake kuwa kuzaliwa mara ya pili ni jambo lisilowezekana." Ni kweli, hawezi kuingia tumboni mwa mama yake mara ya pili!" + +# mara ya pili + +"tena"au "mara mbili" + +# tumbo + +sehemu ya tumbo la mwanamke ambapo mtoto hukulia. + diff --git a/jhn/03/05.md b/jhn/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..ae2431f7 --- /dev/null +++ b/jhn/03/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amezaliwa kwa maji na kwa roho + +kuna maana mbili: 1)"kubatizwa ndani ya maji na katika Roho" au 2)"kuzaliwa kimwili na kiroho" + +# Amini, amini + +unaweza kufasiri mane haya kama yalivyotumika katika tafsiri za hapo mwanzo. + +# ufalme wa Mungu + +Neno "ufalme" ni fumbo kwa ajili ya utawala wa Mungu katika maisha ya mtu. + diff --git a/jhn/03/07.md b/jhn/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..a976fe0c --- /dev/null +++ b/jhn/03/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kiunganishi cha Sentesi: + +Yesu anaendelea kuongea na Yesu. + +# Ni lazima uzaliwe mara ya pili + +"unapaswa kuzaliwa kutoka juu" + +# upepo huvuma popote upendako + +Katika lugha ya mwanzo, maneno. upepo na Roho ni maneno sawa. Mwongeaji anamaanisha upepo kama ni mtu. "Roho Mtakatfu ni kama upepo ambao unavuma popote upendapo." + diff --git a/jhn/03/09.md b/jhn/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..5b0e3d44 --- /dev/null +++ b/jhn/03/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mambo haya yanawezekanaje? + +hili ni swali mbalaga ambalo linalosisitiza sentesi. "Hii hawezekani!" au" Hili haliwezi kutokea!" + +# Wewe ni mwalimu wa Israeli na hauyajui mambo haya? + +Hili ni swali mbagala ambalo linaonyesha msisitizo. "weweni mwalimu wa Israeli , na ninashangaa kwamba haufahamu maneno haya!" + +# Amini, amini + +Tafsiri kama ulivyotafsiri. + +# twazungumza + +Yesu aliposema "sisi' hakuwa anamjumuisha Nikodemo. + diff --git a/jhn/03/12.md b/jhn/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..e2dd42d4 --- /dev/null +++ b/jhn/03/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kiunganishi cha Maneno: + +Yesu anamjibu Nikodemo + +# mtawezaje kuamini kama nitawaeleza mambo ya mbinguni? + +katika sehemu "wewe" ni umoja. + +# mtawezaje kuamini kama nikiwambiamambo ya mbinguni + +"Hautaamini kama nikiwambia mambo ya mbinguni." + +# mbinguni + +hii inamaanisha mahali ambapo Mungu anaishi. + diff --git a/jhn/03/14.md b/jhn/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..25822572 --- /dev/null +++ b/jhn/03/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama vile Musa alivyomwinua juu yule nyoka jangwani + +hili ni fumbo baadhi ya watu "watainua" Yesu kama Musa alivyoinuliwa nyoka wa shaba katika jangwa. + +# Vivyo hivyo Mwana wa Adamu ni lazima ainuliwe juu + +Jangwani ni sehemu kavu lakini hapa anamaanisha mahali walipotembea Musa na Waisraeli. + +# katika jangwa + +Jangwani ni sehemu kavu, sehemu ya jangwa, lakini hapa wanamaanisha mahali ambapo Musa na Waisraeli walizunguka." + diff --git a/jhn/03/16.md b/jhn/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..da88348b --- /dev/null +++ b/jhn/03/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mungu aliupenda ulimwengu + +Neno "dunia" hapa ni neno linalojumuisha kila kitu duniani. + +# alipenda + +hii ni aina ya upendo ambao unatoka kwa Mungu na unatakia mema wengine, hata kama mtu hanufaiki. Mungu mwenyewe ni upendo na ndiye chanzo cha upendo wa kweli. + +# mwana wa pekee + +"mmoja na Mwana wa pekee" + +# kwa sababu Mungu hakumtuma mwana ulimwenguni ili auhukumu, bali ulimwengu uokolewe kwa yeye + +maneno mawili yanaweza kuwa yanamaanisha na yametajwa mara mbili ili kwamba kusisitiza kwanza katika mtazamo hasi na chanya. Baadhi ya lugha inaweza kuonyesha msisitizo kwa namna nyingine. Kusudu la Mungu kumtuma Mwanae ni kwamba ulimwengu uokolewe katika yeye. + +# ahukumiwi + +anachiwa huru + +# hukumu + +adhibu + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu. + diff --git a/jhn/03/19.md b/jhn/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..8c8a3b17 --- /dev/null +++ b/jhn/03/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kiunganishi cha Sentesi: + +Yesu anamaliza kumjibu Nikodemo. + +# nuru imekuja ulimwenguni + +Neno "nuru" ni fumbo kwa kweli ya Mungu iliyofunuliwa katika Yesu. Dunia ni neno linalojumisha vitu vyote vilivyomo duniani. Yeye ambaye ni kama nuru ameifunua kweli ya Mungu kwa watu." + +# watu wakalipenda giza + +"giza" ni fumbo linalomaanisha mahali ambapo hawajapokea nuru" ya ufunuo wa Mungu katika Kristo. + +# ili kwamba matendo yake yasiwe dhahili + +inaweza kutamkwa katika muundo wa kutenda. "ili kwamba nuru isioneshe mambo ayafanyayo" au " kwamba ili nuru isifunue matendo yao. + +# matendo yake yaonekane wazi + +Hili linaweza kutamkwa katika muundo tenda. " Watu wanaweza matendo yake" au "kila mtu aweze kuona mambo ahafanyayo. + diff --git a/jhn/03/22.md b/jhn/03/22.md new file mode 100644 index 00000000..8a3f10e6 --- /dev/null +++ b/jhn/03/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Baada ya haya + +Hii inamaanisha baada ya Yesu kuongea na Nikodemo. + +# Aenoni + +Neno hili linamaanisha "chemuchemi." + +# Salimu + +kijiji au mji ulio karibu na Mto Yorodani. + +# kwa sababu mahali pale kulikuwa na maji mengi + +"kwa sababu kilikuwa na chemuchemi nyingi katika sehemu ile." + +# walikuwa wakibatizwa + +hili linaweza kusemwa kwa muundo wa kutenda. '" Yohana alikuwa akiwabatiza " au " alikuwa akiwabatiza." + diff --git a/jhn/03/25.md b/jhn/03/25.md new file mode 100644 index 00000000..6f5443b0 --- /dev/null +++ b/jhn/03/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kukatokea malalamiko baina ya baadhi ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi + +"Tena wanafunzi wa Yohana na Myahudi wakaanza kubishana. + +# kutoelewana + +kugombana kwa maneno + +# tazama, anabatiza + +Katika sentesi hii "tazama" ni amri ikimaanisha tilia manani!" " Tazama! Anabatiza" au " Tazama! anabatiza." + diff --git a/jhn/03/27.md b/jhn/03/27.md new file mode 100644 index 00000000..75cd2c99 --- /dev/null +++ b/jhn/03/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mtu hawezi kupokea kitu chochote isipokuwa + +"Hakuna mtu aliye na nguvu isipokuwa" + +# amepewa kutoka mbinguni + +Neno "mbinguni" likimaanisha Mungu. Hili linaweza kuchukuliwa katika muundo tenda. " Mungu amempa." + +# ninyi wenyewe + +ninyi ni kwa wingi na inamaanisha watu wote ambao Yohana anazungumza nao. + +# nimetuma mbele zake + +"Mungu amenituma kufika kabla yake." + diff --git a/jhn/03/29.md b/jhn/03/29.md new file mode 100644 index 00000000..4205590e --- /dev/null +++ b/jhn/03/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Viunganishi vya maneno: + +Yohana Mbatizaji anaendelea kuongea. + +# Yeye aliye naye bibi harusi ndiye bwana harusi + +Hapa bwana na "bibi" "arusi" ni mfano. Yesu ni kama "bwana arusi" na Yohana ni kama rafiki wa bwana arus." "bwana huoa bibi + +# Hii, tena, furaha yangu imetimilizwa + +'' Hivyo tena ninafurahia sana" au nina furahia zaidi." + +# furaha yangu + +hili neno "yangu" lina maanisha Yohana Mbatizaji , ndiye anayeongea. + +# Ni lazima aongezeke + +anamaanisha bwana arusi, Yesu, ambaye ataendelea kuwa wa muhimu. + diff --git a/jhn/03/31.md b/jhn/03/31.md new file mode 100644 index 00000000..687ce407 --- /dev/null +++ b/jhn/03/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeye ajaye kutoka juu yu juu ya yote + +Yohana anaongea kuhusu Yesu. "Yeye ajaye kutoka mbinguni ni wa muhimu zaidi yeyote. + +# Yeye aliye wa chini ni wa chini na huongea mambo ya chini + +Yohana anajipinga mwenyewe dhidi ya Yesu. hamaanishi kuwa kwa kuwa alizaliwa duniani ni mwovu. Ana maanisha kuwa Yesu ni mkuu kuliko yeye kwa sababu Yesu alitoka mbinguni na Yohana alizaliwa hapa duniani. "Yeye aliyezaliwa hapa duniani ni kama mtu yeyote na na anaishi na anaongea kuhusu kilichotokea duniani." + +# hakuna mtu apokeaye ushuhuda wake + +Yohana anaongea kwa kuonyesha neno katika hali ya kulikuza neno kwamba ni watu wachache walimwamini Yesu. "Watu wachache walimwamini." + +# Yeye apokeaye ushuhuda wake + +Aliye ina maanisha mtu. " Mtu yeyote anayeamini kile ambacho Yesu alikisema." + +# amethibitisha + +"kuthibitisha" au "inakubaliana" + diff --git a/jhn/03/34.md b/jhn/03/34.md new file mode 100644 index 00000000..e01cff9d --- /dev/null +++ b/jhn/03/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kiiunganishi cha Sentesi: + +Yohana Mbatizaji anamaliza kuongea." + +# Kwa maana yeye ambaye Mungu amemtuma " + +Huyu Yesu, ambaye Mungu amemtuma kumwakilisha." + +# kwa kuwa hatoi Roho kwa kipimo + +" Kwa sababu yeye ndiye ambaye Mungu amempa nguvu zote za Roho wake." + +# Baba...Mwana + +Hiki ni cheo kinachoelezea uhusiano wake kati ya Mungu na Yesu. + +# amepewa...katika mikono yake + +Hii ina maanisha kuwekwa katika nguvu zake au kuotawala. + +# Yeye aaminiye + +"Mtu aaminiye" au "mtu yeyote aaminiye." + +# ghadhabu ya Mungu inamkalia + +Nomino dhaniwa "ghadhabu" linaweza kufasiriwa kama kitenzi "adhibu." "Mungu ataendelea kumwadhibu." + diff --git a/jhn/04/01.md b/jhn/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..9e875942 --- /dev/null +++ b/jhn/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa Ujumla: + +Huu ni sehemu nyingine ya simulizi ambayo inamuhusu Yesu na mwanake Msamalia. Mstari huu unatoa habari ya mwanzoni kwa ajili ya sehemu ya simulizi + +# Basi Yesu alipofahamu + +Neno "sasa" limetumika hapa kuonyesha kusimama kidogo katika simulizi kuu. Hapa Yohana anaanza kuelezea sehemu mpya ya simulizi. + +# Yesu mwenyewe hakuwa anabatiza + +Nomino hii mwenyewe inongeza msisitizo kwmba sio kwamba Yesu mwenyewe alikuwa akibatiza, bali wanafunzi wake. + diff --git a/jhn/04/04.md b/jhn/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..b579f409 --- /dev/null +++ b/jhn/04/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# eneo la + +"sehemu ya ardhi" au "kipande cha ardhi" + diff --git a/jhn/04/06.md b/jhn/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..2bb8c7d8 --- /dev/null +++ b/jhn/04/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nipe maji + +Hili ni ombi la upole, na sio amri. + diff --git a/jhn/04/09.md b/jhn/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..915d0400 --- /dev/null +++ b/jhn/04/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha mwanamke Msamalia akamwambia + +Neno "akamwambia" linamaanisha Yesu. + +# Inawekanaje wewe uliye Muyahudi unaomba maji ya kunywa? + +Hili neno linaonekana katika muundo wa swali kuonesha mshangao wa mwanamke kwa Yesu kuomba maji. "Siamini kama wewe uliye Muyahudi unamwomba mwanamke Msamalia maji!" + +# hamchangamani na + +"hamchangamani na." + +# maji ya uzima + +Yesu anatumia mfano "maji ya uzima" kumaanisha Roho Mtakatifu ambaye anafanya kazi ya kumbadilisha mtu na kuleta maisha mapya. + diff --git a/jhn/04/11.md b/jhn/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..7a6e07b0 --- /dev/null +++ b/jhn/04/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wewe si mkuu, je wewe ni mkuu kuliko baba yetu Yakobo... mifugo? + +hili neno linaonekana katika muundo wa swali na kuonesha msisitizo, "wewe sio mkuu kama zaidi ya baba yetu... naYakobo... mifugo? + +# baba yetu yakobo + +"babu yetu Yakobo" + +# alikunya maji ya kisima hiki + +alikunywa maji yaliyoka katika kisima + diff --git a/jhn/04/13.md b/jhn/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..eec5bf5b --- /dev/null +++ b/jhn/04/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# atapata kiu tena + +"atahitaji kunywa maji tena."" + +# maji nimpayo yatakuwa chemchemi ndani yake + +Neno "chemchemi" ni fumbo kwa maji yatiayo uzima. "maji nitakayompa yatakua kama chemchemi ya maji ndani yake." + +# uzima wa milele + +hapa "uzima" lina maanisha "uzima wa kiroho" ambao ni Mungu pekee anayeweza kutoa. + diff --git a/jhn/04/15.md b/jhn/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..0e21b6a4 --- /dev/null +++ b/jhn/04/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwana + +katika mkitadha huu, mwanamke Msamalia anamwita Yesu "Bwana" ambayo ni neno la upole au unyenyekevu. + +# teka maji + +"pata maji" au "vuta maji kutoka ndani ya kisima" kwa kutumia chombo na kamba + diff --git a/jhn/04/17.md b/jhn/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..7f9db2c6 --- /dev/null +++ b/jhn/04/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Umenena vyema... Katika hili umenena vyema + +Yesu anarudia kauli hii kusisitiza kuwa anafahamu kuwa mwanamke anaongea ukweli. + diff --git a/jhn/04/19.md b/jhn/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..5a8eb983 --- /dev/null +++ b/jhn/04/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bwana + +Katika mkitadha huu mwanamke Msamalia anamwelezea Yesu kama "Bwana," ambalo ni neno la heshima na upole. + +# Naona ya kuwa unabii + +"Naelewa kuwa unabii." + +# mababa + +Mababu wa zamani + diff --git a/jhn/04/21.md b/jhn/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..66c12ce6 --- /dev/null +++ b/jhn/04/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# niamini + +Kumwamini mtu ni kukubali kuwa alichokisema ni kweli. + +# Ninyi mwaabudu msichokijua. Twaabudu kile tukijuacho + +Yesu alimaanisha kuwa Mungu amajifunua na amri zake kwa Wayahudi, sio kwa Wasamalia. Kupitia maadiko Wayahudi wanajua Mungu ni nani kuliko Wasamalia. + +# Mtamwabudu Baba...kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi + +Wokovu wa milele kutoka dhambini unatoka kwa Mungu Baba, ambaye ni Yaweh, Mungu wa Wayahudi. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu. + +# Kwa sababu wokovu watoka kwa Wayahudi + +Hii haimaanishi kuwa Wayahudi watawaokoa wengine kutoka dhambini. Ina maanisha kuwa Mungu amewachagua Wayahudi kama watu maalumu ambao watakaowambia watu wengine kuhusu wokovu wake. "kwa sababu watu wote watafahamu wakovu wa Mungu kwa sababu ya Wayahudi. + diff --git a/jhn/04/23.md b/jhn/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..dbe2d882 --- /dev/null +++ b/jhn/04/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kiunganishi cha Sentesi: + +kuabudu ka + +# Ingawa, saa inakuja, na sasa ipo, ambapo waabudu wa kweli wata + +"Ingawa, huu ni wakati sahihi kwa waabudu w kweli." + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu. + +# kuabudu katika roho na kweli + +"kumwabudu katika njia sahihi." + diff --git a/jhn/04/25.md b/jhn/04/25.md new file mode 100644 index 00000000..e0269fde --- /dev/null +++ b/jhn/04/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ninafahamu kwamba Masihi...Kristo + +Haya maneno mawili yana maanisha "mfalme aaliyeahidia na Mungu." + +# atatwambia kila kitu + +Haya maneno "atawambia kila kitu" yanamaanisha mambo yote ambayo watu wanahitaji kujua. "atatwambia kila kitu tunachohitaji kufahamu." + diff --git a/jhn/04/27.md b/jhn/04/27.md new file mode 100644 index 00000000..2a5a40db --- /dev/null +++ b/jhn/04/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakati huo wanafunzi wake wakarudi + +"wakati Yesu alipokuwa akiyasema haya wanafunzi wake walirudi kutoka mjini." + +# nao walikuwa wakishangaa kwa nini alikuwa akiongea na mwanamke + +lilikuwa ni jambo la nadra kwa Muyahudi kuongea na mwanamke asiye mfahamu. + diff --git a/jhn/04/28.md b/jhn/04/28.md new file mode 100644 index 00000000..aa856441 --- /dev/null +++ b/jhn/04/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Njoni mumwone mtu aliyeniambia kila kitu nilichotenda + +Hii ni hali ya kusema jambo dogo kwa kulikuza. Mwanamke Msamalia anavutiwa na Yesu na kwamba anaamini kuwa Yesu anawelewa mambo yote. "Njooni mumwone mtu anaye fahamu mengi zaidi kunihusu, pamoja kwamba sijawahi kukutana naye!" + +# Yamkini akawa ndiye Kristo, inawezakana? + +Mwanamke hana uhakika kuwa Yesu ni Kristo, kwa hiyo anauliza swali ambalo linahitaji jibu la '"hapana" lakini anauliza swali badala ya kuweka sentesi kwa sababu anataka watu wenyewe waamue wenyewe. + diff --git a/jhn/04/31.md b/jhn/04/31.md new file mode 100644 index 00000000..a72e0199 --- /dev/null +++ b/jhn/04/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati wa mchana + +"Wakati mwananamke alipokuwa akienda mjini" + +# Wanafunzi walikuwa wakimuuliza + +"wanafunzi walikuwa wakimwambia Yesu" au wanafunzi walikuwa wakimtia moyo" + +# Ninacho chakula ambacho hamkijui + +Hapa Yesu haongelei "chakula" bali anawaandaa wanafunzi wake kwa ajili ya fundisho la kiroho. + +# Hakuna mtu ambaye amemlea kitu chochote + +Wanafunzi wanafikiri kuwa anaongelea chakula cha kawaida.Wakaanza kuulizana wakitegemea mwitikio wa hapana. Hakika hakuna mtu aliye mletea chakula tulipokuwa mjini!" + diff --git a/jhn/04/34.md b/jhn/04/34.md new file mode 100644 index 00000000..4e9b317b --- /dev/null +++ b/jhn/04/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# chakula changu ni kufanya mapenzi yake aliyenituma na kutimiza kazi yake + +"Chakula" hapa ni lugha ya picha inayowakilisha "kutii mapenzi ya Mugu." Kama vile ambavyo chakula kinavyo mtoshelea mwenye njaa, kutii mapenzi ya Mungu ndich kinachonitosheleza." + +# Je hamsemi + +'Je hii sio miongoni mwa misemo yenu maarufu" + +# tazameni mashamba, kwa sababu yako tayari kwa mavuno + +maneno haya mashamba na mazao yaliyo tayari yana lugha ya picha. Mashamba yanawakilisha watu wa mataifa. Na neno wako tayari linamaanisha utayari wa watu wa mataifu wa kupokea ujumbe wa Yesu kama vile mashamba yalivyo tayari kwa kuvunwa. "tazameni hawa watu wa mataifa!wako tayari kupokea ujumbe wangu, kama vile mazao katika mashamba yalivyo tayari kwa ajili ya kuvunwa." + +# Yeye avunaye anapokea posho na hukusanya matunda kwa uzima wa milele + +Yesu anaonyesha kuwa kuna tuzo kwa wale "wanaofanya kazi katika mashamba" na kuwashirikisha ujumbe wake wengine. Na yule atakaye pokea ujumbe atapokea pia uzima wa milele ambao Mungu anawapa watu. + diff --git a/jhn/04/37.md b/jhn/04/37.md new file mode 100644 index 00000000..ab27343b --- /dev/null +++ b/jhn/04/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kiunganishi cha Sentesi: + +Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake. + +# Mmoja hupanda na mwingine huvuna + +Maneno "kupanda" na kuvuna ni maneno ya lugha ya picha. Yeye anayepanda anashirikisha ujumbe wa Yesu. Yeye anayevuna anawasaidia watu kupokea ujumbe wa Yesu." Mtu mmoja hupanda mbegu, na mwingine huvuna mazao." + +# ninyi wenyewe mmeingia katika kazi zao + +ninyi wenyewe hutia msisitizo kwa neno "wewe" tafsiri hili katika lugha yako katika namna ya kumsisitiza mtu. + diff --git a/jhn/04/39.md b/jhn/04/39.md new file mode 100644 index 00000000..1a9ce399 --- /dev/null +++ b/jhn/04/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# muamini katika yeye + +"Kuamini katika" maana yake ni "kuamini katika" huyo mtu. Hapa pia ina maanisha kuwa waliamini kuwa alikuwa Mwana wa Mungu. + +# ameniambia mambo yangu yote niliyofanya + +hili ni hali ya kuelezea jambo dogo katika hali kulifanya jambo kuwa kubwa zaidi ya lilivyo. Mwanamke alivutiwa sana na Yesu na akahisi kuwa lazima akuwa anajua kila kitu kumuhusu yeye. "Ameniambia mambo mengi kuhusu maisha yangu." + diff --git a/jhn/04/41.md b/jhn/04/41.md new file mode 100644 index 00000000..2b2eeb33 --- /dev/null +++ b/jhn/04/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# neno lake + +"Neno" hapa lina sisimama kwa kumaanisha ujumbe ambao Yesu alihubiri. "ujumbe wake" + +# ulimwengu + +ulimwengu hapa unasimama kwa kumaanisha watu wote wanaoishi duniani. "Watu wote wanaoishi duniani." + diff --git a/jhn/04/43.md b/jhn/04/43.md new file mode 100644 index 00000000..385ce6b2 --- /dev/null +++ b/jhn/04/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo kwa Ujumla: + +hii ni sehemu ya simulizi ambayo Yesu anatelemka kwenda Galilaya na anamponya kijana.Mstari 44 inatupa habari kuhusu kitu ambacho Yesu alikuwa amekisema mwanzoni. + +# Kwa kuwa Yesu mwenyewe alitangaza + +yeye mwenyewe limeongezwa kwa kutia msisitizo kwamba Yesu alikuwa ametangaza" au alisema haya.. Unaweza kuliweka katika lugha kwa jinsi ya kutia msisitizo kwa mtu. + +# nabii hana heshima katika nchi yake + +Watu haonyeshi heshima au kumuhesimu nabii wa nchi ya kwao" au "nabii haheshimiwi na watu wa jamii yake." + +# kwenye sikukuu + +sikukuu hapa ni Pasaka. + diff --git a/jhn/04/46.md b/jhn/04/46.md new file mode 100644 index 00000000..7bbc814e --- /dev/null +++ b/jhn/04/46.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sasa + +Neno hili linaonyesha ukomo wa masimulizi na kuhamia sehemu nyingine ya simulizi. kama katika lugha yako kuna jinsi ya kuweka hili unaweza kuweka. + +# afisa + +mtu ambaye yuko katika huduma ya mfalme + +# yuko katika hali ya kufa + +"kuwa katika hali kufa." + diff --git a/jhn/04/48.md b/jhn/04/48.md new file mode 100644 index 00000000..b76db8a8 --- /dev/null +++ b/jhn/04/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ninyi hamwezi kuamini hadi mwone ishara na maajabu + +Msipo...hamwe kuamini" ni mashaka hasi. Katika lugha nyingine hili linatafsiriwa katika mtazamo chanya. "Mtaamini tu pale mtakapoona miujiza." + +# kuliamini neno + +Hapa "neno" lina maanisha ujumbe ambao Yesu alioutoa. "amini ujumbe." + diff --git a/jhn/04/51.md b/jhn/04/51.md new file mode 100644 index 00000000..56e12760 --- /dev/null +++ b/jhn/04/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati + +hili neno limetumika kuonesha matukio mawili ambayo yanatokea kwa wakati mmoja. Afisa alipokuwa akienda nyumani, wafanya kazi wake wakimpokea njiani. + diff --git a/jhn/04/53.md b/jhn/04/53.md new file mode 100644 index 00000000..9bad5585 --- /dev/null +++ b/jhn/04/53.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa hiyo akaamini yeye na nyumba yake yote + +yeye mwenyewe imetumika kusistiza neno "yeye" kama katika lugha yako una namna ya kusema unaweza kufikiri namna ya kutumia. + +# Ishara + +Miujiza inaweza kuitwa "ishara" kwa sababu yametumika kama kiilelezo cha ushahidi kuwa Mungu ni mwenye nguvu zaidi na aliye na mamlaka juu ya dunia. + diff --git a/jhn/05/01.md b/jhn/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..2bad922d --- /dev/null +++ b/jhn/05/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maneno kwa Ujumla: + +hili ni tukio linalofuata katika simulizi,ambalo Yesu anapanda kwenda Yerusalemu na anamponya mtu.Mistari hii inatoa mambo ya nyuma kuhusu mwanzoni mwa simulizi. + +# Baada ya hili + +ina maanisha baada Yesu kumponya mwana wa afisa. ona namna ambavo unaweza kufasiri hili. + +# kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi + +"Wayahudi walikuwa wakisherehekea sikukuu" + +# alipanda kwenda Yerusalemu + +Yerusalemu iko juu ya kilima. Mabarabara ya Yerusalemu yalipanda juu na kutelemka katika vilima vidogo . Kama lugha yako ina neno tofauti kwa kupanda juu ya kilima kuliko kuliko kutembea katika tambarare unaweza kuitumia hapa. + +# dimbwi + +hili lilikuwa ni shimo chini ambalo watu walijaza maji. Wakati mwingine walilizungushia kwa vigae na mawe. + +# Bethzatha + +"Bethzatha" maana yake ni nyumba ya huruma. + +# matao + +muundo ulioezekwa angalau pasipo kuwa ukuta mwingine katika jengo. + +# Idadi kubwa ya watu + +"watu wengi" + diff --git a/jhn/05/05.md b/jhn/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..9e45e512 --- /dev/null +++ b/jhn/05/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa Ujumla: + +Mstari wa 5 unatambulisha mtu amelala pembeni mwa dimbwi la simulizi. + +# kulikuwa + +"Kulikuwa kwenye dimbwi la Bethzatha" + +# amekuwa hawezi + +"amepoza" + +# miaka thelathini na minane + +miaka minane - miaka 38 + +# akatambua + +"alifahamu" au "alipata kuelewa" + +# akamwambia + +"Y esu akamwambia yule mtu aliye poza" + diff --git a/jhn/05/07.md b/jhn/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..2b397e16 --- /dev/null +++ b/jhn/05/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bwana, sina + +hapa neno "Bwana" ni namna ya kumkabili mtu wa upole. "Bwana, hakuna mtu" + +# wakati maji yanapotibuliwa + +Hii linaweza kufasiriwa katika muundo tendaji. "wakati malaika hutibua maji" + +# ndani ya dimbwi + +hili lilikuwa ni shimo katika chini ambalo watu walijaza maji. wakati mwingine walilizungushia kwa vigae na mawe. + +# mwingine huenda mbele yangu + +watu walishuka kwa hatua kadhaa kuingia ndani ya maji. "mtu mwingine mara zote huingia ndani ya maji kabla yangu. + +# Inuka + +"simama!" + +# chukua kitanda chako na uende + +"Chukua godor lako la kulalia, na utembee!" + diff --git a/jhn/05/09.md b/jhn/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..72bda367 --- /dev/null +++ b/jhn/05/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtu aliponywa + +"mtu alikuwa na afya tena" + +# Sasa + +Neno "sasa" limetumika hapa kwa ajili ya Yohana kutoa historia ya nyuma kwamba tukio hili linatukia siku ya Sabato. + diff --git a/jhn/05/10.md b/jhn/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..e23e46c7 --- /dev/null +++ b/jhn/05/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Basi + +hili neno linaonyesha tukio ambalo lilitokea kwa sababu ya kitu fulani kutokea. Katika hili Yesu alikuwa + +# Yeye aliye nifanya kuwa mzima + +"Mtu aliye nifanya mzima." + diff --git a/jhn/05/12.md b/jhn/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..fa92b249 --- /dev/null +++ b/jhn/05/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakamuuliza + +"Viongozi wa Kiyahudi wakamuuliza mtu aliyeponywa" + diff --git a/jhn/05/14.md b/jhn/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..d4e1c217 --- /dev/null +++ b/jhn/05/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu akampata + +"Yesu alimpata mtu aliye mponya + +# Tazama + +"Tazama" au "Sikiliza" au "Tilia manani kile ninachokueleza" + diff --git a/jhn/05/16.md b/jhn/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..b6e21839 --- /dev/null +++ b/jhn/05/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi + +'Basi" linamwonesha Yohana anatoa kwa ufupi kuhusu tabia za viongozi wa Kiyahudi kwa Yesu. + +# kazi + +Hii ina maanisha shughli au kitu chochote kinachofanywa kuwatumikia watu. + +# akijifanya yeye kuwa sawa na Mungu + +"sema kwamba alikuwa sawa na Mungu"au kusema kwamba alikuwa na mamlaka makuu kama Mungu" + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu + diff --git a/jhn/05/19.md b/jhn/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..b8509932 --- /dev/null +++ b/jhn/05/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kiunganishi cha sentesi: + +Yesu anaendelea kuongea na viongozi wa Wayahudi. + +# Amini, amini + +Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri 1:49; 1:51 + +# mtashangazwa + +"mtashangazwa" au mtasitushwa" + +# chochote anachofanya Baba, Mwana anayafanya haya mambo pia. Kwa Baba anampenda Mwana + +Yesu, kama Mwana wa Mungu, alifuata na kutii uongozi wa Baba yake chini ya nchi kwa sababu Yesu alijua Baba anampenda. + +# Mwana...Baba + +Hivi ni vyeo muhimu ambavyo zinaelezea uhusiano kati ya Yesu na Mungu. + +# penda + +aina hii ya upendo unatoka utokao kwa Mungu unajali mazuri ya wengine, hata kama haina faida yake. Mungu mwenyew ni upendo na chanzo cha upendo wa kweli. + diff --git a/jhn/05/21.md b/jhn/05/21.md new file mode 100644 index 00000000..a8573b6f --- /dev/null +++ b/jhn/05/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama vile Baba afufuavyo wafu na kuwapa uzima...Mwana pia humpa uzima kwa yeyote apendaye + +Neno "kwa" ni linganifu Mwan wa Mungu (Mungu Mwana) anatoa maisha kama Mungu Baba anavyotoa uzima. + +# Baba...Mwana + +Hivi ni vyeo ambavyo vinaelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# uzima + +ina maanisha "uzima wa kiroho." + +# Kwa kuwa Mwana Baba hamhukumu mtu yeyote, bali amempa Mwana uwezo wote wa kuhukumu. + +Neno "kwa" linaonesha ulinganifu. Mwana wa Mungu ndiye anayehukumu kwa niaba ya Mungu Baba. + +# mheshimu Mwana kama ...Baba. Yeye amuheshimu Mwana hamheshimu Baba + +Mungu Mwana ni lazima aheshimiwe na kuabudiwa kama vile ambavyo Mungu Baba. Kama tukishindwa kumuheshimu, pia tunashindwa kumuheshimu Mungu Baba. + diff --git a/jhn/05/24.md b/jhn/05/24.md new file mode 100644 index 00000000..274aa346 --- /dev/null +++ b/jhn/05/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Amini, amini + +Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri + +# hatahukumiwa bali + +"atahukumiwa kuwa hana hatia na" + diff --git a/jhn/05/25.md b/jhn/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..23ae9914 --- /dev/null +++ b/jhn/05/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Amini, amini + +Tafsiri hii kama ulivyotafsiri mahali pengine pa "amini, amini." + +# wafu wataisikia sauti yangu,Mwana wa Mungu, na wao waisikiao watakuwa hai + +Sauti ya Yesu , Mwana wa Mungu, itawafufua wafu kutoka makaburini. + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu. + diff --git a/jhn/05/26.md b/jhn/05/26.md new file mode 100644 index 00000000..e7c37695 --- /dev/null +++ b/jhn/05/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake, vivyo hivyo amempa Mwana ili awe na uzima ndani yake + +Neno "kwa" linaonyesha ulinganifu. Mwana wa Mungu ana uzima sawa kama aliona nao Baba. + +# Baba...Mwana wa Adamu + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea ushirika kati ya Mungu na Yesu. + +# uzima + +hii ina maanisha uzima wa kiroho + +# Baba amempa Mwana Mwana uwezo kufanya hukumu + +Mwana wa Mungu ana mamlaka ya Mungu Baba kuhukumu. + diff --git a/jhn/05/28.md b/jhn/05/28.md new file mode 100644 index 00000000..fc9619fa --- /dev/null +++ b/jhn/05/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sikia sauti yake + +"sikia sauti ya Mwana wa Adamu" + diff --git a/jhn/05/30.md b/jhn/05/30.md new file mode 100644 index 00000000..e373b895 --- /dev/null +++ b/jhn/05/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kutofanya chochote kutoka + +Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri 5:19 + +# mapenzi ya aliyenituma mimi + +Neno "aliye" lina maanisha Mungu Baba + diff --git a/jhn/05/33.md b/jhn/05/33.md new file mode 100644 index 00000000..5a9b4c2a --- /dev/null +++ b/jhn/05/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ushuhuda ninao pokea sio wa mwanadamu + +"Sihitaji ushuhuda wa watu" + +# okolewa + +Hii ina maanisha "kuokolewa" ni katika maana ya kiroho. Kama mtu amekwisha "akolewa" ina maanishakwambaMungu amekwisha msamehe na kumuokoa kutoka katika adhabu ya Jehanamu kwa ajili ya dhambi zake. + +# Yohana alikuwa ni taa iliyokuwa ikiwaka na kung'ara + +Yohana anonesha utakatifu wa Mungu kama vile ambavyo taa itoavyo mwanga. + diff --git a/jhn/05/36.md b/jhn/05/36.md new file mode 100644 index 00000000..c1ee31a8 --- /dev/null +++ b/jhn/05/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kazi alizonipa Baba kuzitimiliza ...zinashuhudia...kuwa Baba amenituma + +Mungu Baba amemtuma Mungu Mwana, Yesu, Mwana wa Mungu, duniani. Yesu anatimiza kile ambacho Baba amempa kufanya. + +# Baba + +Cheo muhimu kwa Mungu + +# hamana neno lake...ndani yenu, kwa sababu hamumwamini yeye aliyemtuma + +"Hamuamini katika yeye aliyetumwa. Hivi ndivyo ninavyofahamu kuwa hamna neno lake ndani yenu." Kumjua Mungu wa kwelikatika Yesu, Mwana wa Mungu, ambaye Baba amemtuma. Maneno "Baba" na "Mwana" lazima yatafsiriwe katika utambulisho ambaye ni lazima tuamini. + +# likikaa ndani yenu + +"kukaa pamoja nanyi + diff --git a/jhn/05/39.md b/jhn/05/39.md new file mode 100644 index 00000000..1b44f77b --- /dev/null +++ b/jhn/05/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ndani yao mna uzima wa milele + +"mtapata uzima wa milele kama mtasoma maandiko" au "maandiko yatakwambia namna mtakavyo pata uzima wa milele." + +# Ili mpate uzima + +"uzima" hapa ina maanisha "uzima wa milele." + diff --git a/jhn/05/41.md b/jhn/05/41.md new file mode 100644 index 00000000..df845d3e --- /dev/null +++ b/jhn/05/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# pokea + +"pokea" + +# hamna upendo wa Mungu ndani yenu + +Hii ina maanisha 1)"kweli kabisa hamumpendi Mungu" au 2)"kweli hamjapokea upendo wa Mungu." + diff --git a/jhn/05/43.md b/jhn/05/43.md new file mode 100644 index 00000000..9cbed71d --- /dev/null +++ b/jhn/05/43.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# katika jina la Baba yangu + +Hapa neno "jina" lina maanisha mamlaka na nguvu za Baba. + +# Baba + +Cheo muhimu kwa Mungu. + +# pokea + +"pokea" + +# mtawezaje kuamini, ninyi ambao hupokea ...Mungu? + +"Hakuna namna mnaweza kuamini kwa sababu mnapokea sifa... Mungu!" + +# amini + +hii ina maanisha kuamini katika Yesu. + +# Nimekuja kwa jina la Baba yangu...kutoka kwa Mungu pekee + +Yesu amekuja duniani kwa jina la Mungu Baba, Mungu pekee. + diff --git a/jhn/05/45.md b/jhn/05/45.md new file mode 100644 index 00000000..f8a49839 --- /dev/null +++ b/jhn/05/45.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yupo mwingine ambaye anawashitaki + +Mungu alitoa sheria, ili kwamba mahitaji ya agano, kwa Israeli kupitia Musa. Hiki ndicho Wayahudi walimaanisha walipokuwa wakisema, "Musa alitupa sheria."Lakini kwa Waisraeliambao hawakutii sheria, Yesu alimaanisha kuwa Musa angewa shitakikwa kutokutii. Lakini "Musa" anasimama hapa kwa niaba ya sheria yenyewe. + +# matumaini yenu + +"ujasiri wenu' + +# kama hamyaamini maandiko yake, mtawezaje kuamini maneno yangu? + +"Hamuamini maandiko , hivyo hamtaamini maneno yangu!" + +# maneno yangu? + +"Ninachosema?" + diff --git a/jhn/06/01.md b/jhn/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..4c69c9fd --- /dev/null +++ b/jhn/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii ni sehemu ya pili ya simulizi. Mkutano ulikuwa umemfuata Yesu juu ya mlima. Mistari hii inazungumzia mahali ambapo simulizi inaanzia. + +# Baada ya mambo haya + +Neno " haya mambo" ina maanisha matukio katika. "wakati mwingine baadaye." + +# Yesu akaenda zake + +"Yesu akaenda mahali" au "Yesu kasafiri" + diff --git a/jhn/06/04.md b/jhn/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..8d0ca1a6 --- /dev/null +++ b/jhn/06/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo kwa UJumla: + +kitendo katika simulizi kinaanza msitari wa 5. + +# (Pasaka, sikukuu ya Wayahudi ilikuwa karibu.) + +Yohana kwa ufupi anaacha kuongea kuhusu matukio katika simulizi ili kwamba alete hisotia ya nyuma kuhusu lini tukio lilitokea. + +# (Basi Yesu alisema maneno haya ili kumjaribu Filipo, kwa sababu yeye mwenyewe alifahamu atakachokifanya.) + +kwa ufupi Yohana anaacha kuongea kuhusu matukio katika simulizi ili kwamba afafanue kwa niniYesu alimuuliza Filipo mahali pa kunua mkate. + +# Kwa sababu yeye mwenyewe alifahamu + +Neno "mwenyewe" hapa linaweka wazi kwamba neno "yeye" lina maanisha Yesu.Yesu alifahamu nini angefanya. + diff --git a/jhn/06/07.md b/jhn/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..b5ac7ed5 --- /dev/null +++ b/jhn/06/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ya thamani ya dinari + +" Mikate ambayo inagharimu mshahara wa siku mia mbili." Dinari ni wingi wa "dinari nyingi." + +# mikate ya shayili + +mkate mdogo wa mvilingo uliotengenezwa kwa nafaka ya kawaida. + +# Hii itafaa nini kwa watu wengi? + +hii"silesi chacheya mikate na samaki haitoshikulisha watu wengi." + diff --git a/jhn/06/10.md b/jhn/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..13f51b71 --- /dev/null +++ b/jhn/06/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kaa chini + +au "kaa chini" tegemea na desturi yako + +# (Basi kulikuwa na nyasi nyingi katika sehemu ile.) + +Hii ilikuwa ni sehemu nzuri kabisa kwa ajili ya watu kukaa. + +# watu... wanaume... watu + +Mkutano + +# elfu tano kwa idadi + +wakati mkutano pengine ulijumuisha wanawake na watoto. + +# akashukuru + +Yesu aliomba kwa Mungu Baba na kumshukuru kwa ajili ya mkate na samaki. + +# aliwagawia + +Yesu aliivunja mikate na samaki akawapitishia wanafunzi wake. Kisha wanafunzi wakawapitishia watu mikate na samaki. + diff --git a/jhn/06/13.md b/jhn/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..8ec7ef68 --- /dev/null +++ b/jhn/06/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yesu anajitoa katika mkutano. Hii ni sehemu ya mwisho ya simulizi kuhusuYesu kuwalisha mkutano juu ya mlima. + +# wakakusanyika + +"Wanfunzi wakakusanya" + +# wakaacha + +chakula ambacho hakuna mtu aliye amekila + +# ishara hii + +Yesu anawalisha watu 5000kwa mikate mitani ya shairi na samaki wawili. + diff --git a/jhn/06/16.md b/jhn/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..f8d1778d --- /dev/null +++ b/jhn/06/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kiunganishi cha Maneno: + +ili ni tukio linalofuata katika simulizi;wanafunzi wa Yesu wanaenda ziwani. + +# (wakati giza lilikuwa limeingia, na Yesu alikuwa bado hajaenda kwa wanafunzi.) + +Tumia lugha yako jinsi ya kuonesha hii ni habari ya nyuma ya habari. + diff --git a/jhn/06/19.md b/jhn/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..cfa05d25 --- /dev/null +++ b/jhn/06/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wanafunzi wake wakuwa wamepiga makasia + +kwa kawaida mitumbwi ilikuwa na watuwawili, au sita watu waliopiga makasia kwa pamoja. Mila yako inaweza ikawa na namna nyingine ya kusababisha mtumbwikukatisha katika maji mengi . + +# kama makasia ishirini na matanoau thelathini + +tano au makasia sita "kama kilometa tano au sita." kasia ni kama makasia, mita 185. + diff --git a/jhn/06/22.md b/jhn/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..1739fdc1 --- /dev/null +++ b/jhn/06/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# bahari + +Bahari ya Galilaya + +# (Ingawa, palikuwa... Bwana aliposhukuru) + +tumia lugha yako kuonesha kuwa hii ni habari ya nyuma. + +# mitumbwi iliyokuja kutoka Tiberia + +siku iliyofuata baada ya Yesu kuwalisha watu, baadhi ya mitumbwi kutoka Tiberia ilikuja na watu ili wamwone Yesu.Ingawa, Yesu na wanafunzi wake walikuwa wametoka usiku mmoja kabla. + diff --git a/jhn/06/24.md b/jhn/06/24.md new file mode 100644 index 00000000..64a9d39a --- /dev/null +++ b/jhn/06/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +mkutano unaanza kumuuliza Yesu maswali + diff --git a/jhn/06/26.md b/jhn/06/26.md new file mode 100644 index 00000000..f000b19d --- /dev/null +++ b/jhn/06/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amini, amini + +tafsiri hili kama ulivyo tafsiri mengine kama haya maneno. + +# uzima wa milele ambao Mwana wa Adamu atawapa ninyi, Mungu Baba ametia muhuri juu yake + +Baba amfanya uthibitisho wake kwa Yesu, Mwana wa Adamu na Mwanawa Mungu, kutoa uzima wa milele kwa wale wanao amini katika yeye. Baba na Mwana wamekwisha timiza msamaha wa milele na uzima. + +# Mwana wa Adamu, Mungu Baba + +Hivi ni vyeo muhimu ambavyo zinaelezea uhusiano kati Mungu na Yesu. + +# ametia muhuri juu yake + +"ametia muhuri" juu ya kitu maana yake kuweka alama juu yake kuonesha ina milikiwa na.Hii ina maana kuwa Mwana anatokana na Baba. + diff --git a/jhn/06/30.md b/jhn/06/30.md new file mode 100644 index 00000000..8337d995 --- /dev/null +++ b/jhn/06/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mababa + +"mababa wa zamani" + +# mbingu + +Ina maanisha sehemu ambayo Mungu huishi + diff --git a/jhn/06/32.md b/jhn/06/32.md new file mode 100644 index 00000000..5c641a7b --- /dev/null +++ b/jhn/06/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Amini, amini + +Tafsiri hili kama ulivyo tafsiri maneno kama haya. + +# Baba yangu ndiye awapaye mkate wa kweli kutoka mbinguni + +Baba anatupa "mkate wa kweli" kutoka mbinguni, Mwanae Yesu. Pamoja Baba na Mwana pamoja na Roho Mtakatifu wanawapa watu maisha ya kimwili, kiroho na maisha ya milele. + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu. + +# mkate wa kweli + +Yesu anajilinganisha na mkate. Kama vile mkate uliyo muhimu kwa ajili ya maisha yetu ya mwili, Yesu ni wa muhimu kwa ajili ya maisha yetu ya kiroho. + +# uzima + +hili lina maanisha uzima wa kiroho. + diff --git a/jhn/06/35.md b/jhn/06/35.md new file mode 100644 index 00000000..08f67373 --- /dev/null +++ b/jhn/06/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mimi ni mkate wa uzima + +Yesu anajifananisha na mkate. Kama vile mkate ulivyo muhimu kwa maisha yetu ya mwili, Yesu ni wa muhimu kwa maisha yetu ya kiroho. + +# aaminiye katika + +Hii ina maanisha kuaminia kuwa Yesu ni Mwan wa Mungu, kumtegemea kama mwokozi, na kuishi katika namna ambayo ina mpendeza. + +# Wale wote anipaye Baba watakuja kwangu + +Mungu Baba na Mungu Mwana ni washirika katwa milele kwa wale wanao mwamini Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Baba + +Cheo muhimu kwa Mungu. + +# Yeye ajaye kwangu sitamtupa kamwe nje + +"Nitamtunza kila mmoja ambaye ajaye kwangu. + diff --git a/jhn/06/38.md b/jhn/06/38.md new file mode 100644 index 00000000..41fd1021 --- /dev/null +++ b/jhn/06/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kiunganishi cha Maneno: + +Yesu anaendelea kuongea na mkutano + +# yeye aliyenituma + +"Baba yangu, aliyenituma mimi" + +# nisimpoteze hata mmoja + +"Niwatunze wote" + +# mapenzi ya Baba yangu...kila amtazamaye + +Yesu anafafanua kwamba Mpango wa Baba unatoauzima wa milele kwa walew wanaoamini " Mwana,"Mwana wa Mungu, Yesu Kristo atakaye fufua na kutukuza miili ya wote wanao amini. + +# Mwana na kuamini katika yeye awe na uzima wa milele + +Yesu anafafanua kwamba mpango wa Mung unaleta uzima wa milele kwa wale wote wanao mwanini "Mwana," Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye atakaye wafufua na kutukuza miili ya wale wanaoamini. + diff --git a/jhn/06/41.md b/jhn/06/41.md new file mode 100644 index 00000000..2486bcd5 --- /dev/null +++ b/jhn/06/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kiunganishi cha Maneno: + +Viongozi wa Wayahudi wanaingilia kati wakata Yesu anaongea na mkutano. + +# nung'unika + +Kuongea katika hali ya kutokuwa na furaha + +# Mimi mkate wa uzima + +Tafsiri hii kama ulivyotafsiri 6:35 + diff --git a/jhn/06/43.md b/jhn/06/43.md new file mode 100644 index 00000000..22dedb0a --- /dev/null +++ b/jhn/06/43.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kiunganishi cha maneno: + +Yesu anaendela kuongea na mkutano na sasa anaongea na viongozi wa Wayahudi. + +# kuvuta + +hii inaweza kufasiriwa 1) "kuvuta" 2)"kuvutia" + +# imeandikwa katika manabii + +"Manabii waliandika" + +# Kila aliyekwisha sikia na kujifunza kwa Baba huja kwangu + +Wayahudi walifikiri Yesu alikuwa mwana wa Yusufu" lakini ni Mwana wa Mungu kwa sababu Baba yake ni Mungu Baba , sio Yusufu. Wale wote ambao kweli wanajifunza kwa Mungu Baba wanaamini katika Yesu, Mungu Mwana. + +# Baba + +Cheo muhimu kwa Mungu. + diff --git a/jhn/06/46.md b/jhn/06/46.md new file mode 100644 index 00000000..773d6340 --- /dev/null +++ b/jhn/06/46.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kinganishi cha maneno + +Yesu anaendelea kuongea na mkutano na viongozi wa Wayahudi. + +# Amini, amini + +Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri maneno mengine ya namna hii. + +# hakuna mtua yeyote aliyemwona, isipokuwa yeye aliyetoka kwa Mungu + +Ingawa hakuna mwadamu aishie katika dunia amemwona Mungu Baba, Yesu, Mwana wa Mungu, amemwona Baba. + +# Baba + +Cheo muhimu kwa mungu. + +# yeye aaminiye ana uzima wa milele + +"uzima wa milele" umeunganishwa katika Yesu, Mwana wa Mungu. + diff --git a/jhn/06/48.md b/jhn/06/48.md new file mode 100644 index 00000000..0fcf7575 --- /dev/null +++ b/jhn/06/48.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mimi ni mkate wa uzima + +Tafsiri hii kama ulivyotafsiri maneno yanayofanana na haya. + +# mababa + +"mababa wa zamani" + +# kufa + +hii ina maanisha kifo cha kimwili. + diff --git a/jhn/06/50.md b/jhn/06/50.md new file mode 100644 index 00000000..e5f2ca29 --- /dev/null +++ b/jhn/06/50.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huu ni mkate + +tazama notisi 6:35 + +# hakuna kufa + +"ishi milele." hapa neno "kufa" lina maanisha kifo cha kiroho. + +# mkate wa uzima + +Hii ina maanisha" mkate ambao una sababisha watu kuishi" + diff --git a/jhn/06/52.md b/jhn/06/52.md new file mode 100644 index 00000000..efa486c8 --- /dev/null +++ b/jhn/06/52.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kiunganishi cha maneno + +Baadhi ya Wayahudi waliopo wanaanza kubishana wenyewe na Yesu anajibu kwa swali lao. + +# Amini, amini + +tafsiri hili kama ulivyo tafsiri maneno mengine ya namma hii. + +# kula mwili wa Mwana Adamu na kunywa damu yake + +Kumpokea Mwana wa Adamukwa imani ni sawa kupokea chakula na kinywaji. + diff --git a/jhn/06/54.md b/jhn/06/54.md new file mode 100644 index 00000000..f5c57c1b --- /dev/null +++ b/jhn/06/54.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kiunganishi cha Sentesi: + +Yesu anaendelea kuongea kwa wote wanao msikiliza. + +# chakula cha kweli... kinywaji cha kweli + +Kumpokea Yesu kwa imani kunaleta uzima wa milele kama vile ambavyo chakula na kinywaji vinavyoawilisha mwili. + diff --git a/jhn/06/57.md b/jhn/06/57.md new file mode 100644 index 00000000..4950e73a --- /dev/null +++ b/jhn/06/57.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Baba mwenye uzima + +Hii inaweza 1) "Baba atoaye uzima" au "Baba aishie," kama watu au wanyama wanavyoishi, kinyume cha "kifo" + +# Baba + +hiki ni cheo muhimu kwa Mungu. + +# Baba mwenye uzima alinituma...kwa sababu ya Baba...yeye anilaye...ata...ishi kwa sababu ya + +Yesu alitumwa na Baba, na anaishi kama mwanadamu kwa sababu ya Mungu Baba. Kama Mungu Mwana alivyotumwa na Mungu Baba, Yesu ni chanzo cha uzima wa milele. + +# mababa + +"mababa wa zamani" + +# Yesu aliyasema mambo haya ndani ya Sinagogi... huku Kaperanaumu + +hii ni babari ya nyuma kuhusu wakati tukio hili lilipotukia. + diff --git a/jhn/06/60.md b/jhn/06/60.md new file mode 100644 index 00000000..5cfe91f8 --- /dev/null +++ b/jhn/06/60.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ni nani awezaye kulipokea? + +"hakuna mtu anaweza kulipokea." au "halipokeleki." + +# Je hili lina kukwaza? + +"Nin shangazwa kwamba hili lina wakwaza!" + +# linakukwaza wewe + +"linakusababisha kukata tamaa kwa imani yako" + diff --git a/jhn/06/62.md b/jhn/06/62.md new file mode 100644 index 00000000..6241aaf9 --- /dev/null +++ b/jhn/06/62.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Basi ni vipi kama mkimwona Mwana wa Adamu akishuka kutokakule aliokuwa kabla? + +"Labda mtaamini ujumbe wangu kama mkiniona, yeye aliye kuja kutoka mbinguni, akishuka kule nilikokuwa kabla!" + +# faida + +Hii ina maanisha kusababisha vitu vizuri kutokea. + +# maneno + +"Ujumbe" Pengine maana: 1) maneno yake ndani au 2) kila kitu anachofundisha. + +# maneno niliyokuambia wewe + +"Nilichowambia" + +# roho + +Maana zinazo wezekana ni 1)Roho Mtakatifu au2) vitu vya kiroho. + +# ni roho, na ni uzimaa + +maana dhaniwa 1)"karibia Roho na uzima wa milele" au "kutoka kwa Roho na inatoa uzima wa milele" au 3)" ni kuhusuvitu vya kiroho na uzima." + diff --git a/jhn/06/64.md b/jhn/06/64.md new file mode 100644 index 00000000..2f035982 --- /dev/null +++ b/jhn/06/64.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amepewa na Baba + +Mwana wa Mungu, amepewa na Baba. Mungu Baba na Mungu Mwana kwa pamoja ni njia katika wokovu msamaha wa milele. Yeyote atakaye kuamini ni lazima aje kwa Mungu kwa kupitia Baba na Mwana. + +# njoo kwangu + +"nifuate mimi" + +# Baba + +hiki ni cheo muhimu kwa Mungu + diff --git a/jhn/06/66.md b/jhn/06/66.md new file mode 100644 index 00000000..becc5645 --- /dev/null +++ b/jhn/06/66.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wanafunzi wake + +"wanafunzi wake" hapa ina maanisha jumuisho ambao walimfuata Yesu. + +# kumi na wawili + +Hili kundi maalumu ya wanaume 12 walio mfuata Yesu kwa huduma yake yote. Hii inaweza kufasiriwa "wafuasi kumi na wawili." + diff --git a/jhn/06/70.md b/jhn/06/70.md new file mode 100644 index 00000000..f766da24 --- /dev/null +++ b/jhn/06/70.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je mimi sikuwachagua, ninyi kumi na wawili, na mmja wenu ni shetani? + +"mwenyewe niliwachagua wote, lakini mmoja wenu ni mtumishi wa shetani." + diff --git a/jhn/07/01.md b/jhn/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..e6004940 --- /dev/null +++ b/jhn/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na baada ya mambo haya + +"Na baada ya kumaliza kuongea pamoja na wanafunzi" + +# Safiri + +"tembea" + diff --git a/jhn/07/03.md b/jhn/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..18b30b44 --- /dev/null +++ b/jhn/07/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ndugu + +Hili linaelekeza kwa ndugu zake halisi, wana wa Mariamu na Yusufu. + +# Ulimwengu + +"Watu wote" au "kila mmoja" + diff --git a/jhn/07/05.md b/jhn/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..12c7448b --- /dev/null +++ b/jhn/07/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kaka zake + +kaka zake wadogo + +# Wakati wangu bado haujafika + +Yesu anamaanisha kuwa wakati muafaka bado haujafika kwa ajili ya huduma yake + diff --git a/jhn/07/08.md b/jhn/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..37ef0df0 --- /dev/null +++ b/jhn/07/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hawa + +wingi + diff --git a/jhn/07/10.md b/jhn/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..c3dd5503 --- /dev/null +++ b/jhn/07/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Naye vile vile alienda + +Yerusalemu ilikuwa upande wa juu kutoka pale walipokuwa + +# Siyo kwa wazi bali kwa siri + +Mafungu haya mawili yana maanisha jambo moja, iliyorudiwa kwa kuweka mkazo. Lugha zingine huweka mkazo kwa njia tofauti. + diff --git a/jhn/07/12.md b/jhn/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..cd3b022f --- /dev/null +++ b/jhn/07/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hofu + +Hili huchukuliwa katika hisia zisizokuwa za furaha wakati ambapo kuna utisho wa kuumizwa kwake au wengine. + diff --git a/jhn/07/14.md b/jhn/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..b080d9b6 --- /dev/null +++ b/jhn/07/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa jinsi gsni mtu huyu anajua mengi hivi? + +"Haiwezekani akajua mengi juu ya maandiko." + +# Ni yeye aliyenituma + +Neno "yeye" linamhusu Mungu Baba. + diff --git a/jhn/07/17.md b/jhn/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..e37f422b --- /dev/null +++ b/jhn/07/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Lakini yeyete atafutaye utukufu wake aliyenituma, mtu huyo ni wa kweli na ndani yake hakuna kutokutenda haki. + +"lakini ninafanya mambo ili kwamba wengine wapate kumheshimu yeye aliyenituma, nami ni yule asemaye kweli. Sidanganyi kamwe." + diff --git a/jhn/07/19.md b/jhn/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..8824702d --- /dev/null +++ b/jhn/07/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Musa hakuwapa ninyi sheria? + +"Ni Musa aliyewapa ninyi sheria." + +# Kwa nini mnataka kuniua? + +"Mnatafuta kuniua." + +# Una pepo + +"Wewe ni kichaa." + +# Nani anataka kukuua? + +"Hakuna yeyote anayetaka kukuua." + diff --git a/jhn/07/21.md b/jhn/07/21.md new file mode 100644 index 00000000..13e23dc3 --- /dev/null +++ b/jhn/07/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kazi moja + +"Muujiza mmoja" au "ishara moja" + +# (Siyo kwamba inatoka kwa Musa, lakini inatoka kwa mababa) + +Hapa mwandishi anatoa maelezo ya nyongeza. + diff --git a/jhn/07/23.md b/jhn/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..57dbe3d9 --- /dev/null +++ b/jhn/07/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mnanikasirikia mimi kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima katika siku ya Sabato" + +"Hamkupaswa kunikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima siku ya Sabato." + diff --git a/jhn/07/25.md b/jhn/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..5e61be03 --- /dev/null +++ b/jhn/07/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Siye huyu wanayemtafuta kumwua? + +"Huyu ni Yesu wanayemtafuta kumwua." + diff --git a/jhn/07/28.md b/jhn/07/28.md new file mode 100644 index 00000000..87c9b12d --- /dev/null +++ b/jhn/07/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ninyi nyote mnanijua na mnajua ninakotoka + +"Ninyi" iko katika wingi. + +# Ni kweli + +"Ni shahidi wa kweli." + diff --git a/jhn/07/30.md b/jhn/07/30.md new file mode 100644 index 00000000..ab639aec --- /dev/null +++ b/jhn/07/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo atakapokuja, atafanya ishara zaidi ya hizi anazofanya mtu huyu? + +"Kristo atakapokuja hataweza kufanya ishara zaidi ya hizi ambazo mtu huyu amefanya." + +# Ishara + +"Hii inamaanisha miujiza inayothibitisha kuwa yeye ni Kristo." + diff --git a/jhn/07/33.md b/jhn/07/33.md new file mode 100644 index 00000000..6e010e5c --- /dev/null +++ b/jhn/07/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yeye aliyenituma + +Mungu Baba + diff --git a/jhn/07/35.md b/jhn/07/35.md new file mode 100644 index 00000000..42d6b1e7 --- /dev/null +++ b/jhn/07/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtawanyiko + +Wayahudi sehemu mbali mbali katika ulimwengu wa Wagiriki, nje ya Palestina. + diff --git a/jhn/07/37.md b/jhn/07/37.md new file mode 100644 index 00000000..8fa70504 --- /dev/null +++ b/jhn/07/37.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sasa + +Neno "sasa" linatumika hapa kuonyesha mkato ndani ya mstari mkuu wa hadithi. + +# Siku kubwa + +Ni "kubwa" kwa sababu ni ya mwisho, au muhimu zaidi siku ya sikukuu. + +# Ikiwa yeyote ana kiu + +Hii inamaanisha hamu ya mambo ya Mungu, kama vile mwingine anavyoweza kuwa na hamu au "kiu" kwa maji. + +# Na aje kwangu anywe. + +Neno "yeye" maana yake "yeyote." Neno "kunywa" hapa linawakilisha utimilifu wa kiroho katika Kristo. + +# Maandiko + +Hapa "maandiko" linasimama kwa unabii wa Masihi kuhusiana na Kristo. Hii siyo nukuu ya moja kwa moja kutoka fungu lolote maalum la Agano la Kale. + +# kutiririka ito ya maji ya uzima + +Kristo atatoa pumziko la "kiu" ya kiroho kwa watu katika kiwango kikubwa kwamba itatiririkia nje kumsaidia kila aliyepo kama + +# Maji ya uzima + +Hii inamaanisha 1) "maji yatoayo uzima" au "maji yanayowafanya watu kuishi au 2) maji ya asili yatiririkayo kutoka kwenye chemchemi, iliyotofautishwa na maji yatokayo kisimani. + diff --git a/jhn/07/39.md b/jhn/07/39.md new file mode 100644 index 00000000..46a4128d --- /dev/null +++ b/jhn/07/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Lakini yeye + +"Yeye" inamaanisha Yesu + diff --git a/jhn/07/40.md b/jhn/07/40.md new file mode 100644 index 00000000..b2f5d050 --- /dev/null +++ b/jhn/07/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini, Kristo anaweza kutokea Galilaya? + +"Kristo hawezi kutoka Galilaya." + +# Maandiko hayasemi kwamba Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi na kutoka Bethlehemu, kijiji alichokuwa Daudi? + +"Maandiko yanafundisha kwamba Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi na kutoka Bethlehemu, kijiji ambacho Daudi alikuwa." + +# Maandiko hayajasema? + +"Manabii waliandika katika maandiko." + diff --git a/jhn/07/43.md b/jhn/07/43.md new file mode 100644 index 00000000..3bcc3f74 --- /dev/null +++ b/jhn/07/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kukainuka mgawanyiko + +Makutano hawakuweza kukubaliana juu ya nani au Yesu alikuwa nani. + +# Lakini hakuna hata mmoja aliyeinua mkono juu yake + +"Lakini hakuna aliyemkamata." + diff --git a/jhn/07/45.md b/jhn/07/45.md new file mode 100644 index 00000000..bd5fdf6b --- /dev/null +++ b/jhn/07/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maafisa + +"Walinzi wa Hekalu" + +# Kwa nini nyinyi hamkumleta? + +Hapa "nyinyi" inamaanisha walinzi wa hekalu. + diff --git a/jhn/07/47.md b/jhn/07/47.md new file mode 100644 index 00000000..3be1c966 --- /dev/null +++ b/jhn/07/47.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndipo Mafarisayo walipowajibu + +Hapa "wao" inamaanisha walinzi wa hekalu. + +# Kupotoshwa + +Kudanganywa + +# Kuna yeyote kati ya watawala aliyemwamini, au yeyote kati ya Mafarisayo? + +"Si watawala wala Mafarisayo waliomwamini." + +# Sheria + +Hii ilirejea sheria ya Mafarisayo na si sheria ya Musa. + diff --git a/jhn/07/50.md b/jhn/07/50.md new file mode 100644 index 00000000..77786437 --- /dev/null +++ b/jhn/07/50.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sheria yetu humhukumu mtu + +Nikodemo alimaanisha kuwa wale wanaoifuata sheria hawamhukumu mtu kabla ya kumhoji. + +# sheria yetu humhukumu mtu... sivyo? + +"Sheria yetu ya Kiyahudi haituruhusu kumhukumu mtu + +# Na wewe pia unatokea Galilaya? + +Inawezekana pia na wewe ni mmoja wa watu wa chini kutoka Galilaya + +# Hakuna Nabii anayetoka Galilaya + +Hii pengine ilirejea katika imani kwamba Masihi hawezi kuzaliwa Galilaya + diff --git a/jhn/07/53.md b/jhn/07/53.md new file mode 100644 index 00000000..8a0771d0 --- /dev/null +++ b/jhn/07/53.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# 7:53- 8:11 + +8:11 Maelezo yaliyotangulia hayana mistari hii. + diff --git a/jhn/08/01.md b/jhn/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..ea3a7a83 --- /dev/null +++ b/jhn/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wote + +Watu wengi + +# Mwanamke aliyekamatwa katika kitendo cha uzinzi + +Mwanamke ambaye walimkuta akizini + diff --git a/jhn/08/04.md b/jhn/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..3bffbd0f --- /dev/null +++ b/jhn/08/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa katika sheria + +"Sasa" ni utangulizi wa kilichotangulia kuwa Yesu na Wayahudi wenye mamlaka walielewa + +# Watu kama hao + +"Watu kama hao" au "watu wafanyao hayo" + +# Unasemaje kuhusu yeye? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama amri. "Kwa hiyo tuambie. Tufanyeje kuhusu yeye?" + +# Kumtega + +"Kumtega." Hii inamaanisha kutumia swali la mtego. + +# Ili kwamba wapate jambo la kumshitaki kwalo + +Nini watakachomshitaki nacho inaweza kufanywa wazi. "Ili kwamba wapate kumshitaki kwa kusema jambo baya" au ili kwamba wapate kumshitaki kwa kutoitii sheria ya Musa na sheria ya Warumi. + diff --git a/jhn/08/07.md b/jhn/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..031f434e --- /dev/null +++ b/jhn/08/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wakati walipoendelea + +Neno "walipo" linarejea kwa waandishi na Mafarisayo. + +# Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu + +"Kama yeyote kati yenu hana dhambi" au Ikiwa mmoja kati yenu hajatenda dhambi kamwe" + +# Miongoni mwenu + +Yesu alikuwa anaongea na waandishi na Mafarisayo, na pengine makutano ya watu pia. + +# Mwacheni + +Mwacheni mtu huyo + +# Aliinama chini + +Aliinama kufikia chini + diff --git a/jhn/08/09.md b/jhn/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..287d9f52 --- /dev/null +++ b/jhn/08/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mmoja baada ya mwingine + +Mmoja baada ya mwingine + +# Mwanamke, wako wapi washitaki wako? + +Wakati Yesu alipomwita "mwanamke," hakumaanisaha kumdharau au kumfanya ajione mdogo. Ikiwa watu katika makundi yao ya lugha watafikiri kwamba alikuwa akifanya hivyo, hii itafsiriwe bila kutumia neno "mwanamke." + diff --git a/jhn/08/12.md b/jhn/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..15f813e7 --- /dev/null +++ b/jhn/08/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mimi ni nuru ya ulimwengu + +mimi ndiye nitoaye nuru kwa ulimwengu. Maana yake ni kwamba Yesu ameleta ujumbe wa kweli wa Mungu katika ulimwengu uwaokoao wanadamu kutoka giza la dhambi zao. + +# Ulimwengu + +"Watu wa Ulimwengu" + +# Yeye anifuataye + +"Kila mmoja anifuataye." Hii ni njia ya mafumbo isemayo "Kila mmoja atendaye yale ninayofundisha" au " kila mmoja anayenitii." + +# Uzima + +Hii inamaanisha uzima wa kiroho + +# Unajishuhudia mwenyewe + +"Unayasema mambo haya kwa ajili yako mwenyewe." + +# Ushuhuda wako siyo kweli + +"ushuhuda wako siyo kweli" huwezo kuwa shahidi wa kujishuhudia mwenyewe au kile unachokisema juu yako hakiwezi kuwa kweli. + diff --git a/jhn/08/14.md b/jhn/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..27a78f91 --- /dev/null +++ b/jhn/08/14.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Ingawa najishuhudia mwenyewe + +Hata ingawa nasema mambo haya juu yangu binafsi + +# Mwili + +Kanuni za kibinadamu na sheria za watu + +# Simhukumu yeyote + +Maana zuinazowezekana zaweza kuwa 1) Sijamhukumu yeyote bado au 2) Simhukumu yeyote sasa + +# ikiwa nitahukumu + +Ikiwa nitahukumu watu. Maana inawezekana 1) Ninapowahukumu watu ( kwa wakati ujao) au 2) wakati wowote ninapowahukumu watu (sasa) au 3) ikiwa nitahukumu watu. + +# Hukumu yangu ni kweli + +Maana inayowezekana 1) "Hukumu yangu itakuwa sahihi" au 2) Hukumu yangu ni sahihi + +# Siko peke yangu, lakini niko pamoja na Baba aliyenituma + +Yesu, Mwana wa Mungu, anayo mamlaka kwa sababu ya uhusianomwake maalumu na Baba yake, aliyemtuma. Neno "Baba" na "Mwana" linaonyesha uhusiano wa watu wa Mungu kati yao. + +# Siko peke yangu + +Siko peke yangu katika hukumu. "Siko peke yangu jinsi ninavyohukumu" au "sihukumu peke yangu." + +# Niko pamoja na Baba + +"Baba pia anahukumu pamoja na mimi" au "Baba anahukumu kama nihukumuvyo mimi." + +# Baba + +Hiki ni cheo maalumu kwa Mungu + +# Baba aliyenituma + +Neno "aliyenituma" inazungumza jambo zaidi kuhusu Baba. "Baba, yeye pekee aliyenituma." + diff --git a/jhn/08/17.md b/jhn/08/17.md new file mode 100644 index 00000000..ad43e6b7 --- /dev/null +++ b/jhn/08/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ndiyo, na katika sheria yenu + +Neno "Ndiyo" inaonyesha kwamba Yesu anaongeza kile alichosema kabla. + +# Imeandikwa + +Musa aliandika + +# Ushuhuda wa watu wawilini kweli + +"Ikiwa watu wawili watasema jambo lile lile, ndipo watu watakapojua ni kweli" + diff --git a/jhn/08/19.md b/jhn/08/19.md new file mode 100644 index 00000000..58a32ac0 --- /dev/null +++ b/jhn/08/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hamnijui mimi wala Baba yangu, kama mngelinijua mimi, mngelimjua na Baba yangu vile vile." + +Yesu anaonyesha kwamba kumjua yeye ni kumjua Baba pia. Wote Baba na Mwana ni Mungu mmoja, kwa hiyo kumjua mmoja ni kuwajua wote. + +# Baba yangu + +Hiki nicheo muhimu kwa Mungu. + diff --git a/jhn/08/21.md b/jhn/08/21.md new file mode 100644 index 00000000..7afaa425 --- /dev/null +++ b/jhn/08/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kufa katika dhambi zenu + +"Kufa wakati ukiwa mwenye dhambi." au "utakufa wakati ukiendelea kutenda dhambi." Hapa neno "Kufa" linaelezea kifo cha kiroho. + +# Hauwezi kuja + +"Hauna uwezo wa kuja" + +# Je atajiua mwenyewe, yeye aliyesema + +Hii yaweza kutafsiriwa kama maswali mawili yaliyotenganishwa. Atajiua mwenyewe? Hivyo ndiyo sababu anasema" + diff --git a/jhn/08/23.md b/jhn/08/23.md new file mode 100644 index 00000000..3640ce2b --- /dev/null +++ b/jhn/08/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# isipokuwa uamini kwamba MIMI NDIYE, utakufa + +Ikiwa hautaamini + +# kwamba MIMI NDIYE + +Kwamba mimi ni Mungu + diff --git a/jhn/08/25.md b/jhn/08/25.md new file mode 100644 index 00000000..48abf0d5 --- /dev/null +++ b/jhn/08/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walisema + +Neno hili linamaanisha viongozi wa Kiyahudi + +# Baba + +Baba yake + diff --git a/jhn/08/28.md b/jhn/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..16762b02 --- /dev/null +++ b/jhn/08/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Utakapoinuliwa juu + +Utakapoinuliwa. Hili halijatokea bado. + +# Mwana wa Mtu.... Baba + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano wa Yesu na Mungu. + +# MIMI NDIYE...BABA alinifundisha + +kama Mungu Mwana, anavyomjua Mungu Baba tofauti na mwingine yeyote, na divyo ilivyo wakati wote + +# Kama Baba alivyonifundisha + +katika njia ile ile kwamba Baba alinifundisha + +# Yeye aliyenituma + +Neno linamaanisa Baba + +# Kama Yesu alivyosema + +wakati Yesu alipokuwa akisema + diff --git a/jhn/08/31.md b/jhn/08/31.md new file mode 100644 index 00000000..3bdffab6 --- /dev/null +++ b/jhn/08/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# baki katika neno langu + +Tii kile nilichosema + +# kweli itakuweka huru + +Ikiwa mtautii ukweli, Mungu atawaweka huru" + diff --git a/jhn/08/34.md b/jhn/08/34.md new file mode 100644 index 00000000..5b3bd13a --- /dev/null +++ b/jhn/08/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Amini, amini + +Tafsiri hii kama ilivyofanyika Yoh. 1:49 + +# Ni mtumwa wa dhambi + +"Ni kama mtumwa wa dhambi." Hii inamaanisha kwamba dhambi ni kama bwana wa mwenye dhambi. + +# Katika nyumba + +Nyumbani mwa + +# Ikiwa Mwana atawaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli + +Kulingana na tamaduni zao, mwana mkubwa anaweza kumweka huru mtumwa katika nyumba yake. + +# Mwana + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + diff --git a/jhn/08/37.md b/jhn/08/37.md new file mode 100644 index 00000000..8532debe --- /dev/null +++ b/jhn/08/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Neno langu + +Mafundisho yangu + diff --git a/jhn/08/39.md b/jhn/08/39.md new file mode 100644 index 00000000..65cdd49a --- /dev/null +++ b/jhn/08/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baba + +Mababa + +# Ibrahimu hakufanya hili + +Ibrahimu kamwe hakujaribu kumwua yeyote aliyemwambia ukweli kutoka kwa Mungu + +# Hatukuzaliwa katika dhambi ya zinaa + +Wote tulizaliwa kutoka ndoa sahihi + diff --git a/jhn/08/42.md b/jhn/08/42.md new file mode 100644 index 00000000..10906800 --- /dev/null +++ b/jhn/08/42.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Pendo + +Huu ni aina ya upendo unaotoka kwa Mungu na unaelekea katika mema ya wengine, hata kama haufaidiki chochote. + +# Kwa nini hamyaelewi maneno yangu? + +Yesu anatumia swali hili hasa hasa kuwakemea viongozi wa Kiyahudi kwa kutomsikiliza yeye. + diff --git a/jhn/08/45.md b/jhn/08/45.md new file mode 100644 index 00000000..39783e1d --- /dev/null +++ b/jhn/08/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani kati yenu ananishuhudia kuwa ni mwenye dhambi? + +Hakuna yeyote kati yenu anayeweza kunishuhudia kuwa mimi nina dhambi." Yesu aliuliza swali hili kuweka mkazo kuwa yeye hana dhambi. + +# Kwa nini haniamini + +Hamna sababu ya kushindwa kuniamini" Yesu alitumia swali hili kuwakemea viongozi wa Kiyahudi kwa kutoamini kwao. + diff --git a/jhn/08/48.md b/jhn/08/48.md new file mode 100644 index 00000000..c033fffc --- /dev/null +++ b/jhn/08/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wayahudi + +Neno Wayahudi linatumika kuwakilisha viongozi wa Kiyahudi. + diff --git a/jhn/08/50.md b/jhn/08/50.md new file mode 100644 index 00000000..a28da2b8 --- /dev/null +++ b/jhn/08/50.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kuyashika maneno yangu + +Tii kile ninachosema + +# Kifo + +Hii inamaanisha kifo cha kiroho + diff --git a/jhn/08/52.md b/jhn/08/52.md new file mode 100644 index 00000000..6331d582 --- /dev/null +++ b/jhn/08/52.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baba + +Mababa + diff --git a/jhn/08/54.md b/jhn/08/54.md new file mode 100644 index 00000000..6e5d5a47 --- /dev/null +++ b/jhn/08/54.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni Baba yangu anayenitukuza + +Hakuna mwanadamu amjuaye Mungu Baba kama Mungu Mwana, Yesu Mwana wa Mungu. Mungu Baba humtukuza Mwana kwa sababu wote Baba na Mwana ni Mungu wa milele. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu + diff --git a/jhn/08/57.md b/jhn/08/57.md new file mode 100644 index 00000000..83708734 --- /dev/null +++ b/jhn/08/57.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Haujafikisha bado umri wa miaka hamsini, na umeshamuona Ibrahimu? + +Miaka yako ya umri ni chini ya hamsini. Usingelikuwa umemuona Ibrahimu." + +# Amini, amini + +Tafsiri hii kama ulivyofanya katika Yoh. 1:49 + diff --git a/jhn/09/01.md b/jhn/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..46731fe8 --- /dev/null +++ b/jhn/09/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alipopita karibu + +hapa inamaanisha Yesu na wanafunzi wake + diff --git a/jhn/09/03.md b/jhn/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..4cb1a6cd --- /dev/null +++ b/jhn/09/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sisi + +Neno sisi linawahusisha wote Yesu na wanafunzi wake aliokuwa akiongea nao. + +# Mchana...Usiku + +Yesu analinganisha wakati watu wanaweza kufanya kazi wakait wa mchana, wakati ambao kwa kawaida watu hutenda kazi, na wakati wa usiku watu hawawezi kufanya kazi ya Mungu. + +# Nuru ya Ulimwengu + +Yule ambaye aonyeshaye kile kilicho cha kweli kama vile nuru ionyeshacho kilicho halisi. + diff --git a/jhn/09/06.md b/jhn/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..3d9c259c --- /dev/null +++ b/jhn/09/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alifanya udongo kwa kutumia mate + +Yesu alitumia vidole kuchanganya udongo na mate. + +# aliosha + +aliosha macho yake kwenye kisima + diff --git a/jhn/09/08.md b/jhn/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..4a4318da --- /dev/null +++ b/jhn/09/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Huyu siye mtu....mwombaji? + +Huyu mtu ni yule ... omba, siyo yeye? au "Huyu ni mtu... omba. Ndiyo ni yeye. + diff --git a/jhn/09/10.md b/jhn/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..21c6b261 --- /dev/null +++ b/jhn/09/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# alipakwa... macho + +Angalia jinsi ulivyotafsiriwa Yoh. 09:06 + diff --git a/jhn/09/13.md b/jhn/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..2579b8ea --- /dev/null +++ b/jhn/09/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# siku ya Sabato + +Siku ya mapumziko kwa Wayahudi + diff --git a/jhn/09/16.md b/jhn/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..7bab59b4 --- /dev/null +++ b/jhn/09/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hawezi kutunza sabato + +Hii inamaanisha kuwa hakutii sheria kuhusu Sabato. + +# Ishara + +Miujiza pia yaweza kuitwa ishara kwa sababu imetumika kama viashirio au ushahidi kwamba Mungu ana uwezo wote aliye na mamlaka kamili juu ya ulimwengu. + diff --git a/jhn/09/19.md b/jhn/09/19.md new file mode 100644 index 00000000..97f55e2e --- /dev/null +++ b/jhn/09/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waliwauliza wazazi + +hapa inamaanisha viongozi wa Wayahudi + +# yeye ni mtu mzima + +yeye ni mwanaume au yeye si mtoto tena + diff --git a/jhn/09/22.md b/jhn/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..ad9be346 --- /dev/null +++ b/jhn/09/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hofu + +Hii inamaanisha hisia zisizokuwa mzuri anazokuwa nazo mtu kama kuna utisho au madhara kwake au kwa wengine + diff --git a/jhn/09/24.md b/jhn/09/24.md new file mode 100644 index 00000000..977871b8 --- /dev/null +++ b/jhn/09/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walimwita mtu + +Hapa, "Walimwita" walimaanisha Wayahudi. + +# Mtu huyu + +Hili linarejea kwa Yesu + +# Mtu yule + +Hili linarejea kwa mtu aliyekuwa kipofu + +# Awe ni mwenye dhambi, mimi sijui + +Sijui kama ni mwenye dhambi au la + diff --git a/jhn/09/26.md b/jhn/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..5145e4a8 --- /dev/null +++ b/jhn/09/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Wayahudi wanaendelea kuongea na mtu aliyekuwa kipofu + +# Kwa nini mnataka kusikia tena? + +Kauli hii ipo katika mfumo wa swali kuelezea kushangazwa kwa yule mtu aliyeponywa awaelezee tena kuhusu kilichotokea. + diff --git a/jhn/09/30.md b/jhn/09/30.md new file mode 100644 index 00000000..b8f821d2 --- /dev/null +++ b/jhn/09/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hawasikilizi wenye dhambi...humsikiliza + +"Hajibu maombi ya mwenye dhambi...Mungu hujibu maombi yake." + diff --git a/jhn/09/32.md b/jhn/09/32.md new file mode 100644 index 00000000..b2e6b4d0 --- /dev/null +++ b/jhn/09/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Haijasikiwa kamwe kwamba mtu amefungua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu + +"Hakuna aliewahi kusikia mtu amefumbua macho" + +# Ikia mtu huyu hakutoka kwa Mungu, asingefanya chochote + +"Ikiwa mtu huyu hakutoka kwa Mungu, asingefanya chochote, lakini ameniponya, kwa hiyo yamkini ametoka kwa Mungu." + +# ulizaliwa katika dhambi, na wewe sasa unataka kutufundisha sisi? + +"Ulizaliwa kamili katika dhambi. Hauna sifa za kutufundisha. + diff --git a/jhn/09/35.md b/jhn/09/35.md new file mode 100644 index 00000000..dd75ff80 --- /dev/null +++ b/jhn/09/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuamini + +Hii in maana ya kumwamini Yesu, kuamini kwamba, ni Mwana wa Mungu, kumtumaini yeye kama Mwokozi, na kuishi katika njia iletayo heshima kwake. + diff --git a/jhn/09/39.md b/jhn/09/39.md new file mode 100644 index 00000000..2cc0fe28 --- /dev/null +++ b/jhn/09/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ili kwamba wale wasioweza kuona wapate kuona na kwamba wale wanaoona wawe vipofu. + +Ili kwamba wale wasioona kwa macho yao wapate kumtambua Mungu na ili kwamba wale ambao wanaona kwa macho yao wasimtambue Mungu. + diff --git a/jhn/10/01.md b/jhn/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..67bad371 --- /dev/null +++ b/jhn/10/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Amini, amini + +Itafsiriwe kama ilivyofanyika katika Yoh. 1:49 + +# zizi la kondoo + +Hili ni eneo lenye uzio sehemu ambayo mchungaji huwatunza kondoo wake. + +# Mwizi na mnyang'anyi + +Hili ni tumizi la maneno mawili yanayofanana ili kuongeza mkazo + diff --git a/jhn/10/03.md b/jhn/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..d06d5e8d --- /dev/null +++ b/jhn/10/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mlinzi wa geti + +huyu ni mtu aliyeajiriwa kulinda getini wakati wa usiku + +# kondoo husikia sauti yake + +kondoo husikia na kuelewa sauti yake + diff --git a/jhn/10/05.md b/jhn/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..bfa9958d --- /dev/null +++ b/jhn/10/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hawakuelewa + +Maana inayowezekana: 1) "Wanafunzi hawakuelewa" au 2) Makutano hawakuelewa." Unaweza pia kuiacha kama "hawakuelewa>" + diff --git a/jhn/10/07.md b/jhn/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..bb6b70f1 --- /dev/null +++ b/jhn/10/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amini, amini + +Tafsiri kama ulivyofanya katika Yoh. 1:49 + +# Mimi ni mlango wa kondoo + +"Mimi ni njia wanayoipitia kondoo kwenda zizini." Yesu anasema yeye ndiye anayeruhusu kuingia. Neno "kondoo" limetumika kumaanisha watu wa Mungu. + +# Wote waliokuja kabla yangu + +Hili linarejea kwa walimu wengine waliofundisha kabla ya Yesu. + +# wezi na wanyang'anyi + +Yesu anawaita "wezi na wanyang'anyi" kwa sababu mafiundisho yao yalikuwa ya uongo, na walikuwa wakkijaribu kuwaongoza watu wa Mungu wakati hawaujui ukweli. + diff --git a/jhn/10/09.md b/jhn/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..38080d7e --- /dev/null +++ b/jhn/10/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mimi ni mlango + +Alimaanisha yeye mwenyewe kama "mlango," Yesu anaonyesha kwamba anatoa njia ya kweli kupata kile zizi la kondoo linawakilisha. + +# Malisho + +Neno "malisho" linamaanisha eneo lenye nyasi mahali kondoo huenda kula. + +# Hawezi kuja isipokuwa + +Hiki ni kinyume mara mbili. Katika lugha zingine ina uasilia zaidi kwa kutumia sentensi chanya. + +# Ili kwamba wawe na uzima + +Neno "wawe" linamaanisha kondoo. "uzima" linamaanisha uzima wa milele. + diff --git a/jhn/10/11.md b/jhn/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..f527709a --- /dev/null +++ b/jhn/10/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mimi ni mchungaji mwema + +Mimi nafanana na mchungaji mwema + +# Huyatoa maisha yake + +Kuweka kitu chini maana yake kuondoa uwezo wake. Ni lugha laini yenye kumaanisha kufa. + diff --git a/jhn/10/14.md b/jhn/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..09095486 --- /dev/null +++ b/jhn/10/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mimi ni mchungaji mwema + +Mini nafanana na mchungaji mwema + +# Baba ananijua mimi, nami namjua Baba + +Mungu Mwana na Mungu Baba (na Mungu Roho Mtakatifu) wanafahamiana na wote ni nafsi ya Mungu. + +# Baba + +Hiki ni cheo maalumu cha Mungu + +# Zizi + +Kundi la kondoo linalomilikiwa na mchungaji. Neno hili linatokana na neno "Zizi" mahali ambapo kondoo hukaa. + +# Nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo + +Hii ni njia ya upole ya Yesu kusema kwamba atakufa ilikuwalinda kondoo. "Ninakufa kwa ajili ya kondoo." + diff --git a/jhn/10/17.md b/jhn/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..ead430d6 --- /dev/null +++ b/jhn/10/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Anapenda + +Aina hii ya upendo hutoka kwa Mungu, na unaelekezwa kwa ajiliya mema ya wengine, hata kama haimfaidii mtu binafsi. Aina hii ya upendo huwajali wengine, haijalishi wamefanya nini. + +# Hii ndiyo sababu Baba ananipenda: Nami nautoa uhai wangu + +Mpango wa Mungu wa milele ulikuwa kwa Mungu Mwanakuutoa uhai wake ili kulipa kwa ajili ya dhambi za wanadamu. Kifo cha Yesu Msalabani unafunua wenye nguvu wa Mwana kwa Baba na wa Baba kwa Mwana. + +# Baba + +Hiki ni cheo maalumu cha Mungu. + +# Ninayatoa maisha yangu ili kwamba nipate kuyatwaa tena + +Hii ni njia ya upole ya Yesu kusema atakufa na baadaye kuwa mzima tena. "Najiruhusu mwenyewe kufa ili kwamba ninaweza kujirudisha kuwa mzima tena. + diff --git a/jhn/10/19.md b/jhn/10/19.md new file mode 100644 index 00000000..8e5ba58a --- /dev/null +++ b/jhn/10/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini mnamsikiliza? + +"Msimsikilize" + +# Je pepo laweza kufumbua macho ya aliyekuwa kipofu? + +"Pepo hawezi kumfanya kipofu apate kuona." + diff --git a/jhn/10/22.md b/jhn/10/22.md new file mode 100644 index 00000000..7294bae3 --- /dev/null +++ b/jhn/10/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sikukuu ya kuwekwa wakfu + +Hii ni siku ya nane, mapumziko ya wakati wa baridi Wayahudi huitumia kukumbuka muujiza wa Mungu alipofanya mafuta kidogo kubaki katika taa mpaka walipopata mafuta mengine baada ya siku nane baadaye. Taa ilitumika kuweka wakfu hekalu la Kiyahudi kwa Mungu. kuweka wakfu kitu ni ahadi ya kukitumia tu kwa kusudi maalumu. + +# kibaraza + +Huu ni muundo uliounganishwa na jengo, ina paa na inaweza kuwa na ukuta ama isiwe nao. + diff --git a/jhn/10/25.md b/jhn/10/25.md new file mode 100644 index 00000000..5df42070 --- /dev/null +++ b/jhn/10/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika jina la Baba yangu + +Hii inamaanisha kuwa Yesu alifanya mambo haya kwa uwezo na mamlaka ya Baba yake. Yesu ni mkamilifu , mtakatifu Mwana w Mungumwenye uwezo wa milele kutoka kwa Baba ili kulipa kwa ajili ya dhambi zote milele na kuokoa na kuwasamehe wote waliomwamini. + +# Haya yanashuhudia kuhusu mimi + +Miujiza yake ilithibitisha kuhusu yeye kama vile shahidi anavyoshuhudia mahakamani. + +# Siyo kondoo wangu + +"Siyo wafuasi wangu" au "siyo wanafunzi wangu" au "siyo watu wangu" + diff --git a/jhn/10/29.md b/jhn/10/29.md new file mode 100644 index 00000000..427d2e33 --- /dev/null +++ b/jhn/10/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Baba yangu...amewatoa kwangu...hakuna aliye na uwezo wa kuwanyakua kutoka mkononi mwa Baba. + +Mungu Baba na Mungu Mwana kwa uwezo wao huwalinda waliookoka. + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo uhimu kwa Mungu + +# Mkono wa Baba + +Neno "mkono" linatumika kumaanisha umiliki wa Mungu au madaraka na ulinzi wake. + +# Mimi na Baba yangu tu umoja + +Yesu, Mungu Mwana,na Mungu Baba ni umoja. Wao ni nafsi za Mungu mmoja na wa kweli (pamoja na Roho). Wana umoja katika makusudi, uwezo, mamlaka, huruma na utakatifu. Wao ni Mungu. + diff --git a/jhn/10/32.md b/jhn/10/32.md new file mode 100644 index 00000000..b4d8a2ee --- /dev/null +++ b/jhn/10/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yesu aliwajibu, "Nimeshawaonyesha kazi nyingi nzuri kutoka kwa Baba + +Kazi za Yesu zilifanyika katika uwezo wake kama Mwana wa Mungu, katika umoja na Mungu Baba. Kazi za Yesu ni kazi za Baba vile vile (na Roho Mtakatifu). + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu + +# Unajifanya kuwa Mungu + +"Alidai kuwa yeye ni Mungu" + +# Tuna...kuponda mawe kwa...kukufuru, kwa sababu wewe, uliye mtu, unajifanya kuwa Mungu + +Yesu alidai kuwa yeye ni Mwana wa Mungu ilikuwa ni kufuru kwa Wayahudi kwa sababu walidhani kuwa Yesu alikuwa akidai kuwa yeye ni Mungu - na ndivyo alivyokuwa. + diff --git a/jhn/10/34.md b/jhn/10/34.md new file mode 100644 index 00000000..f8f85632 --- /dev/null +++ b/jhn/10/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ninyi ni miungu + +Kwa kawaida neno "mungu" huonyesha "mungu wa uongo" vinginevyo iwe imeandikwa kwa herufi kubwa "M," imaanishayo kwa mmoja Mungu wa kweli. Lakini hapa, Yesu ananukuu maandiko mahali Mungu anawaita wafuasi wake "miungu" kwa sababu amewachagua kumwakilisha duniani. + +# Je haikuandikwa...miungu? + +"Mnapaswa kujua tayari kuwa imeandikwa...miungu" + +# Maandiko hayawezi kuvunjwa + +Maana inayowezekana ni 1) "hakuna atakayebadilisha maandiko." 2) "Maandiko yataendelea kuwa kweli." + +# 'Unakufuru; kwa sababu nilisema, mimi ni Mwana wa Mungu + +Wapinzani wa Yesu waliamini kuwa Yesu alikuwa anakufuru alipojiita "Mwana wa Mungu" kwa sababu kusema hivyo ilikuwa ni kudai kuwa sawa na Mungu. + +# Baba... Mwana wa Mungu + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu + diff --git a/jhn/10/37.md b/jhn/10/37.md new file mode 100644 index 00000000..c4051c9d --- /dev/null +++ b/jhn/10/37.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu + +# Niaminini + +Hapa neno "amini" maana yake ni kukubali au kutumaini kile ambacho mtu huyo amesema ni cha kweli. + +# Ziaminini kazi + +Hapa "Zizminini" maana yake kutumaini kuwa kitu ni cha kweli na kutenda kwa njia hiyo inayoonyesha imani hiyo. + +# Baba yu ndani yangu na kwamba mimi ni ndani ya Baba + +Mungu Baba yuko ndani ya Yesu, Mwana wa Mungu, kwa sababu Mungu Mwana yu ndani ya Baba. Kama nafsi za Mungu, Baba na Mwana wote ni Mungu mmoja wa milele, pamoja na Mungu Roho. + +# mkono wao + +"ufahamu wao." Hii maana ya ke ni kuwa katika nafasi isiyo salama anapoweza kukamatwa. + diff --git a/jhn/10/40.md b/jhn/10/40.md new file mode 100644 index 00000000..4ef1ba77 --- /dev/null +++ b/jhn/10/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana kweli hakufanya ishara, lakini mambo yote ambayo Yohana alisema juu ya mtu huyu ni ya kweli. + +Ni kweli kwamba Yohana hakufanya ishara, lakini aliongea ukweli juu ya huyu mtu, anayefanya ishara. + +# Ishara + +Miujiza inayothibitisha kwamba kitu fulani ni cha kweli au kinachompa mwingine kuwa na kibali + diff --git a/jhn/11/01.md b/jhn/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..3486197d --- /dev/null +++ b/jhn/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Hii ni habari inayomhusu Lazaro. Mistari hii inamtambulisha yeye na kutoa historia fupi juu yake na dada yake Mariamu. + +# Ni Mariamu ndiye aliyempaka Bwana mafuta...nywele zake + +Yohana pia anamtambulisha Mariamu, dada yake na Matha. + diff --git a/jhn/11/03.md b/jhn/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..ddbfad36 --- /dev/null +++ b/jhn/11/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# aliomba Yesu aje + +"alitaka Yesu aje kwake" + +# upendo + +Hapa "upendo" inamaanisha upendo wa ndugu, wa asili, upendo wa kibinadamu kati ya marafiki na ndugu. + +# Kifo + +Hii inamaanisa kifo cha kimwili + +# badala yake kwa utukufu wa Mungu ili kwamba Mwana wa Mungu apate kutukuzwa katika hilo + +Yesu kama Mwana wa Mungu, amepokea utukufu ule ule kama wa Mungu + +# Mwana wa Mungu + +Hili ni jina muhimu kwa Yesu + diff --git a/jhn/11/05.md b/jhn/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..960192b3 --- /dev/null +++ b/jhn/11/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sasa Yesu alimpenda Martha na dada yake pamoja na Lazaro + +Haya ni maneno ya utangulizi + diff --git a/jhn/11/08.md b/jhn/11/08.md new file mode 100644 index 00000000..b0332d59 --- /dev/null +++ b/jhn/11/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Rabi, Wayahudi walikuwa sasa wanatafuta kukuponda mawe, na unarudi tena huko? + +"Mwalimu, kwa hakika huhitaji kurudi huko! Wayahudi wanajaribu kukuponda mawe.!" + +# Je hakuna masaa kumi na mbili ya mchana? + +"Unajua kwamba siku ina masaa kumi na mbili za mchana + diff --git a/jhn/11/10.md b/jhn/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..a5ef90a5 --- /dev/null +++ b/jhn/11/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nuru haimo ndani yake + +Maana halisi 1) "hawezi kuona" au 2) hawezi kuona" + +# Rafiki yetu Lazaro amelala + +Lazaro amekufa lakini kwa ajili ya muda mfupi tu. + +# Lakini ninaenda ili kwamba nipate kumwamsha kutoka usingizini + +Yesu anaufunua mpango wake wa kumfufua Lazaro. + diff --git a/jhn/11/12.md b/jhn/11/12.md new file mode 100644 index 00000000..9781780e --- /dev/null +++ b/jhn/11/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mustari wa 13 kuna kituo katika mtiririko wa habari kama ambavyo Yohana unaongelea kuhusu wanafunzi wa Yesu kutokuelewa kile ambacho Yesu alimaanisha aliposema kuwa Lazaro amelala. + +# kama amelala + +Wanafunzi walidhani kuwa Lazaro amepumzika tu na baadaye ataamka. + diff --git a/jhn/11/15.md b/jhn/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..ee099b7b --- /dev/null +++ b/jhn/11/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake + +# kwa ajili yenu + +kwa faida yenu + diff --git a/jhn/11/17.md b/jhn/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..6bfa9bf3 --- /dev/null +++ b/jhn/11/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Kwa sasa Yesu yupo Bethania. + +# alimkuta Lazaro tayari alikuwa kaburini kwa muda wa siku nne + +Unaweza kutafasiri hivi pia, "alijua kwamba watu walikuwa wamekwisha kumweka Lazaro kaburini kwa muda wa siku nne kabla ya yeye kufika" + +# kuhusiana na kaka yao + +Lazaro alikuwa kaka yao mdogo + diff --git a/jhn/11/21.md b/jhn/11/21.md new file mode 100644 index 00000000..f70cf33a --- /dev/null +++ b/jhn/11/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kaka yangu asingalikufa + +"Kaka yangu angeendelea kuwa mzima" + +# Fufuka tena + +Maana yake kumfanya mtu aliyekufa kuishi tena + diff --git a/jhn/11/24.md b/jhn/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..1bf76ced --- /dev/null +++ b/jhn/11/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ajapokufa + +Hapa "kufa" inamaanisha kifo cha kimwili + +# Bado ataishi + +Hapa "Ishi" linamaanisha uzima wa kiroho + +# Naye aishiye na kuniamini hatakufa kamwe + +Na wote waniaminio mimi hawatatengwa kamwe milele kutoka kwa Mungu. + +# Hatakufa kamwe + +Hapa "kufa" inamaanisha kifo cha kiroho + diff --git a/jhn/11/27.md b/jhn/11/27.md new file mode 100644 index 00000000..abd89559 --- /dev/null +++ b/jhn/11/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ndiyo, Bwana, ninaamini kwamba wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu, yeye... ajaye katika ulimwengu. + +Martha aliamini kwamba Yesu ni Bwana, Kristo (Masihi), Mwana wa Mungu. + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo maalumu cha Yesu. + +# Mwalimu + +Cheo hiki kinamhusu Yesu + diff --git a/jhn/11/30.md b/jhn/11/30.md new file mode 100644 index 00000000..eb605482 --- /dev/null +++ b/jhn/11/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Anguka chini ya miguu yake + +Mariamu alilala chini au alipiga magoti katika miguu ya Yesu kuonyesha heshima + +# Kama ungelikuwa hapa, kaka yangu asingelikufa + +Angalia hili ulivyotafsiri katika Yoh. 11:21 + diff --git a/jhn/11/33.md b/jhn/11/33.md new file mode 100644 index 00000000..ee082391 --- /dev/null +++ b/jhn/11/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alisikitika sana moyoni mwake na roho yake iliumia + +Yohana anatumia sentensi hizi mbili kuelezea uzito wa maumivu ya moyo ambayo Yesu aliyapata. + +# Mme mweka wapi + +Hii ni njia nyingine ya kuuliza, "mmemzika wapi?" + +# Yesu akalia + +Yesu alianza kulia + diff --git a/jhn/11/36.md b/jhn/11/36.md new file mode 100644 index 00000000..0d0e9747 --- /dev/null +++ b/jhn/11/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mpendwa + +Hili linamaanisha juu ya upendo wa ndugu au upendo wa kibinadamu kwa rafiki au mtu wa familia. + +# isingefaa huyu mtu, aliyefungua macho ya yule aliyekuwa kipofu, hakuweza kumfanya mtu huyu asife? + +Aliweza kumponya mtu aliyekuwa kipofu, kwa hiyo angeweza pia kumponya mtu huyu ili kwamba asife." au "Hakuweza kumfanya mtu huyu asife, kwa hiyo tunajua kuwa hakumponya kweli mtu aliyezaliwa kipofu kama wanavyosema alifanya." + +# Kufungua macho + +Kuponya macho + diff --git a/jhn/11/38.md b/jhn/11/38.md new file mode 100644 index 00000000..b6cf6b5d --- /dev/null +++ b/jhn/11/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je sikusema kwamba, ikiwa utaamini, utauona utukufu wa Mungu? + +"Kumbuka kwamba nilikuambia, ikiwa utaniamini, utaona ni kwa jinsi gani Mungu ni Mkuu + +# mpaka muda huu mwili wake utakuwa umeoza + +mpaka muda huu kutakuwa na harufu mbaya + diff --git a/jhn/11/41.md b/jhn/11/41.md new file mode 100644 index 00000000..011fd348 --- /dev/null +++ b/jhn/11/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baba, ninakushukuru kwamba umenisikiliza + +Yesu alikuwa akiomba moja kwa moja kwa Baba kama ushuhuda kwa waliokuwa pamoja naye + +# Baba + +Hiki ni cheo maalumu kwa Mungu + diff --git a/jhn/11/43.md b/jhn/11/43.md new file mode 100644 index 00000000..8d71c443 --- /dev/null +++ b/jhn/11/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Amefungwa mikono na miguu kwa nguo za kuzikia, na uso wake ulikuwa umefungwa kwa nguo. + +Utamaduni wa kuzika kwa wakati huu ulikuwa wa kuufunga mwili wa marehemu kwa nguo ndefu za kitani + +# Yesu aliwaambia + +Neno "wao" linamaanisha juu ya watu waliokuwa pale na kuona muujiza. + diff --git a/jhn/11/45.md b/jhn/11/45.md new file mode 100644 index 00000000..12e0b902 --- /dev/null +++ b/jhn/11/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari hii inatuambia mambo yaliyotokea baada ya Lazaro kufufuliwa kutoka wafu. + diff --git a/jhn/11/47.md b/jhn/11/47.md new file mode 100644 index 00000000..d887f2e7 --- /dev/null +++ b/jhn/11/47.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hii ni sehemu ya pili ya simulizi. Kuhani mkuu pamoja na Mafarisayo wanakutana kwa ajili ya kikao cha baraza la Kiyahudi + +# Kisha makuhani wakuu + +kisha viongozi kati ya makuhani + +# wote wataishi ndani yake + +Viongozi wa Kiyahudi waliogopa kwamba watu wangemfanya Yesu kuwa mfalme wao. + diff --git a/jhn/11/49.md b/jhn/11/49.md new file mode 100644 index 00000000..e84bf6bf --- /dev/null +++ b/jhn/11/49.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Haujui chochote kabisa + +"Hauelewi ni itu gani kinatendeka" au Haujui nini cha kufanya lakini mimi najua." + +# mtu mmoja kati yao + +Hii ni njia ya kumtambulisha mhusika mpya katika simulizi. + diff --git a/jhn/11/51.md b/jhn/11/51.md new file mode 100644 index 00000000..ccad0ceb --- /dev/null +++ b/jhn/11/51.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kufa kwa ajili ya taifa + +Neno "taifa" linatumika kuonyesha watu wa taifa la Israel. + +# Watoto wa Mungu + +Hili linamaanisha watu wa Mungu kwa njia ya imani katika Yesu na ni watoto wake wa kiroho. + diff --git a/jhn/11/54.md b/jhn/11/54.md new file mode 100644 index 00000000..ca362541 --- /dev/null +++ b/jhn/11/54.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yesu anaondoka Bethania na kwenda Efraimu. + +# tembea kwa uhuru mbele ya Wayahudi + +Hapa anaongelea viongozi wa Kiyahudi. + +# nchi + +hili ni eneo nje ya mji ambapo watu wachache wanaishi. + diff --git a/jhn/11/56.md b/jhn/11/56.md new file mode 100644 index 00000000..6f934579 --- /dev/null +++ b/jhn/11/56.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walikuwa wakimtafuta Yesu + +Neno "Walikuwa" linawazungumza Wayahudi waliosafiri kuja Yerusalemu. + +# Unafikiri nini? Kwamba hawezi kuja katika sikukuu? + +Mzungumzaji hapa alikuwa akishangaa ikiwa Yesu atakuja katika sikukuu ingawa kulikuwa na hatari ya kukamatwa. Aliwauliza wengine waliomzunguka kuhusiana na mawazo yao. "Mnafikiri Yesu anaweza kuwa woga sana kuja katika sikukuu?" + +# Sasa wakuu wa makauhani + +Haya ni maelezo ya nyuma ambayo yanaelezea kwa nini waabudu wa Kiyahudi walikuwa wakishangaa ikiwa Yesu atakuja katika sikukuu au la. Ikiwa lugha yako inayo njia ya kuweka alama ya maelekezo ya nyuma fanya hivyo. + diff --git a/jhn/12/01.md b/jhn/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..4ae89d61 --- /dev/null +++ b/jhn/12/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Litra + +Litra ni kipimo cha uzito - paundi ya Kirumi ni sawa na gramu 327.5 + +# Manukato + +Hiki ni kimiminika chenye harufu nzuri kilichotengezwa kwa mafuta ya miti na maua yanayonukia vizuri. + +# nardo + +Haya ni manukato yaliyotengenezwa kutokana na maua yanayopatikana katika milima ya Nepali, China, na India. + +# nyumba yote ilijaa harufu ya manukato + +"harufu nzuri ya manukato yake iliijaza nyumba" + diff --git a/jhn/12/04.md b/jhn/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..62163c90 --- /dev/null +++ b/jhn/12/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yeye ambaye angemsaliti Yesu + +"Yeye ambaye baadaye aliwasaidia maadui wa Yesu kumkamata" + +# Basi alisema hivi...chukua baadhi ya vilivyomo ndani kwa ajili yako + +Yohana anaeleza kwanini Yuda aliuliza swali kuhusu maskini. + +# aliyasema haya, sio kwasababu aliwahurumia maskini, bali kwasababu alikuwa mwizi + +"alisema hivi kwasababu alikuwa mwizi. Hakuwajali maskini" + diff --git a/jhn/12/07.md b/jhn/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..7e91a0a6 --- /dev/null +++ b/jhn/12/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwache atunze alicho nacho kwa ajili ya siku ya maziko yangu + +Yesu anaeleza kuwa matendo ya yule mwanamke yanaweza kueleweka kama tazamio la kifo na maziko yake + +# maskini mtakuwa nao siku zote + +Yesu anamaanisha kuwa mtakuwa na nafasi ya kuwasaidia maskini siku zote + +# lakini hamtakuwa na mimi siku zote + +Kwa njia hii Yesu anasema kwamba atakufa + diff --git a/jhn/12/09.md b/jhn/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..1c96fcb1 --- /dev/null +++ b/jhn/12/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Basi + +Neno hili limetumika hapa kuonesha kituo katika simulizi. Hapa Yohana anaelezea kundi jipya la watu katika simulizi. + +# kwasababu yake + +Ukweli kwamba Lazaro alikuwa hai kulisababisha Wayahudi wengi wamwamini Yesu. + +# Walimwamini Yesu + +Hii inamaanisha "walimwamini Yesu"; hivi, waliamini kuwa yeye ni Mwana wa Mungu, kumwamini yeye kama Mwokozi, na kuishi kwa kumheshimu yeye. + diff --git a/jhn/12/12.md b/jhn/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..b874afc4 --- /dev/null +++ b/jhn/12/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hosana + +Hii inamaanisha "Mungu aokoe." + +# Mbarikiwa + +Hii huelezea hamu ya kutaka Mungu afanye mambo mazuri kwa mtu huyo. + +# ajae kwa jina la Bwana + +Kuja kwa jina la mtu fulani humaanisha kutumwa kwa mamlaka na nguvu zake, au kuja kama mwakilishi wake. + diff --git a/jhn/12/14.md b/jhn/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..ba80f58a --- /dev/null +++ b/jhn/12/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# binti Sayuni + +"Binti Sayuni" ni neno linalomaanisha Israeli, kama vile "wana wa Israeli" au "watu kutoka Yerusalemu." + +# kama ilivyoandikwa + +Unaweza kutafasiri hivi, "kama ambavyo manabii waliandika katika maandiko." + diff --git a/jhn/12/16.md b/jhn/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..a6ba7c56 --- /dev/null +++ b/jhn/12/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakati Yesu alitukuzwa + +"wakati Mungu alimtukuza Yesu" + +# walikumbuka ya kuwa mambo haya aliandikiwa yeye + +Yohana, mwandishi, anafafanua hapa ili kumpa msomaji taarifa za jinsi mitume walivyoelewa baadaye. + diff --git a/jhn/12/17.md b/jhn/12/17.md new file mode 100644 index 00000000..e887cff6 --- /dev/null +++ b/jhn/12/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ishara hii + +Hili ni tukio au tokeo linalodhihirisha kuwa jambo fulani ni la kweli; kwa hali hii, inathibitika kuwa Yesu ni Masihi. + +# tazama, ulimwengu umekwenda kwake + +"inaonekana kuwa kila mtu anakuwa mwanafunzi wake" + +# ulimwengu + +neno hili limaanisha watu wote duniani + diff --git a/jhn/12/20.md b/jhn/12/20.md new file mode 100644 index 00000000..2a713d98 --- /dev/null +++ b/jhn/12/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kisha baadhi ya Wayunani + +hii inatoa utambulisho wa wahusika wapya katika simulizi + +# kuabudu katika sherehe + +Yohana anamaanisha kuwa Wayunani walikuwa wanaenda kumwabudu Mungu wakati wa Pasaka. + +# Bethsaida + +huu ulikuwa mji katika jimbo la Galilaya + +# na kisha wakamwambia Yesu + +Filipo na Andrea wakamwambia Yesu kuhusiana na Wayunani walioomba kukutana naye. + diff --git a/jhn/12/23.md b/jhn/12/23.md new file mode 100644 index 00000000..2a28f1ca --- /dev/null +++ b/jhn/12/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yesu anaanza kuwajibu Filipo na Andrea. + +# Amini, amini, nawaambia, chembe ya ngano isipoanguka katika nchi ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, itazaa matunda mengi. + +"Kuwa makini zaidi na mfano huu ninaowaambia. Uhai wangu ni kama mbegu iliyopandwa katika nchi na kufa. Kama isipopandwa, hubakia mbegu moja tu. Lakini ikipandwa, hubadilika na kukua kwa kuzaa mbegu nyingi zaidi." + diff --git a/jhn/12/25.md b/jhn/12/25.md new file mode 100644 index 00000000..0d6c6671 --- /dev/null +++ b/jhn/12/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimwengu huu atausalimisha hata uzima wa milele. + +"Kwa jinsi iyo hiyo, yeyote apendaye mapenzi yake, huyaharibu maisha yake. Bali yeye asiyefuata mapenzi yake, kwasababu ya utii kwangu, ataishi na Mungu milele." + +# anapenda maisha yake...huchukia maisha yake + +Hii inamaanisha uzima wa mwili. + diff --git a/jhn/12/27.md b/jhn/12/27.md new file mode 100644 index 00000000..6284fe06 --- /dev/null +++ b/jhn/12/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Niseme nini? Baba, niokoe mimi na saa hii? + +Hii ni lugha ya balagha. Japokuwa Yesu anatamani kuepuka mateso, bado anachagua kumtii Mungu na kuuawa. + +# Baba + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu + +# saa hii + +Hii inamaanisha wakati Yesu atateswa na kufa msalabani. + +# ulitukuze jina lako + +ufunue utukufu wako (Mungu) ili ujulikane + +# sauti ikaja kutoka mbinguni + +Mungu aliongea kutoka mbinguni + diff --git a/jhn/12/30.md b/jhn/12/30.md new file mode 100644 index 00000000..22d39c89 --- /dev/null +++ b/jhn/12/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yesu anaelezea sababu za sauti kutoka mbinguni + +# Sasa ni wakati wa hukumu ya ulimwengu + +ulimwengu humaanisha watu wote walio duniani + +# sasa mtawala wa dunia hii atatupwa nje + +mtawala wa dunia hii ni Shetani + diff --git a/jhn/12/32.md b/jhn/12/32.md new file mode 100644 index 00000000..e25862d9 --- /dev/null +++ b/jhn/12/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Katika mstari wa 33 Yohana anaeleza historia ya maneno ya Yesu aliposema habari za kuinuliwa juu. + +# nitakapoinuliwa juu kutoka katika nchi + +Hapa Yesu anamaanisha kusulubiwa kwake. + +# nitawavuta wote kwangu + +Kwa kusulubiwa kwake, Yesu atafanya njia kwa ajili ya kila mmoja kumwamini yeye. + diff --git a/jhn/12/34.md b/jhn/12/34.md new file mode 100644 index 00000000..be1130b3 --- /dev/null +++ b/jhn/12/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwana wa Mtu ni lazima atainuliwa juu + +Neno "kuinuiwa juu" maana yake ni kusulubiwa. + +# Huyu mwana wa Mtu ni nani? + +Maana yake ni, sifa za mwana wa mtu ni zipi? + diff --git a/jhn/12/37.md b/jhn/12/37.md new file mode 100644 index 00000000..83f0086e --- /dev/null +++ b/jhn/12/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yohana anaanza kuongelea juu ya kutimizwa kwa unabii ambao nabii Isaya alitabiri. + +# ili kwamba neno la nabii Isaya litimizwe + +kwa ajili ya kutimiza ujumbe wa nabii Isaya + +# mkono wa Bwana + +Hii inamaanisha, uwezo wa Bwana wa kuokoa kwa nguvu. + diff --git a/jhn/12/39.md b/jhn/12/39.md new file mode 100644 index 00000000..3373f3f3 --- /dev/null +++ b/jhn/12/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ameifanya mioyo yao kuwa migumu + +Huu ni msemo wenye maana kwamba Mungu amewafanya kuwa wasumbufu + +# mioyo yao kuelewa + +Wayahudi waliamini kuwa moyo ndicho kiungo kinacholeta uelewa + diff --git a/jhn/12/41.md b/jhn/12/41.md new file mode 100644 index 00000000..ff33a044 --- /dev/null +++ b/jhn/12/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ili kwamba wasifukuzwe katika Sinagogi + +ili kwamba watu wasiwazuie kwenda kwenye Sinagogi + +# Walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu + +Walitaka watu wawasifie zaidi kuliko Mungu + diff --git a/jhn/12/44.md b/jhn/12/44.md new file mode 100644 index 00000000..45bfad3f --- /dev/null +++ b/jhn/12/44.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Huu ni wakati mwingine ambapo Yesu anaanza kuongea na makutano + +# Yesu alilia na kusema + +Hii inamaanisha kuwa Yesu alipiga kelele na kusema + +# yeye anionaye mimi amemwona yule aliyenituma + +"yeye" hapa inamaanisha "Mungu" + diff --git a/jhn/12/46.md b/jhn/12/46.md new file mode 100644 index 00000000..98c138fe --- /dev/null +++ b/jhn/12/46.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kuongea na makutano + +# Nimekuja kama nuru + +Hii inamaana ya "Nikuja kuwaonesha iliyo kweli" + +# wasibaki gizani + +"giza" hapa humaanisha kuishi katika ujinga wa kutokujua kweli ya Mungu. + diff --git a/jhn/12/48.md b/jhn/12/48.md new file mode 100644 index 00000000..9b131333 --- /dev/null +++ b/jhn/12/48.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika siku ya mwisho + +wakati ambapo Mungu atahukumu dhambi za watu + +# Nami najua ya kuwa amri yake ni uzima wa milele + +Nami najua ya kuwa maneno aliyoniagiza mimi kusema ni maneno yaletayo uzima milele. + +# Baba + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu + diff --git a/jhn/13/01.md b/jhn/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..d3ed780c --- /dev/null +++ b/jhn/13/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Kipindi hiki siyo cha Pasaka lakini tayari Yesu ameketi na wanafunzi wake mezani. + +# mpendwa + +Hii ni aina ya upendo utokao kwa Mungu + +# Baba + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu + diff --git a/jhn/13/03.md b/jhn/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..4316e821 --- /dev/null +++ b/jhn/13/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Mstari wa 3 unaendelea kutufahamisha mambo ambayo Yesu aliyajua. + +# alivitoa vitu vyote kwa mkono wake + +Hapa 'Mkono" unamaanisha mamlaka + +# alitoka kwa Mungu na alikuwa anarejea kwa Mungu + +Yesu alikuwa na Baba siku zote, na angerudi kwake baada ya kumaliza kazi yake hapa duniani. + diff --git a/jhn/13/06.md b/jhn/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..3c26e5b6 --- /dev/null +++ b/jhn/13/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwana, unataka kuniosha miguu yangu? + +Swali la Petro linaonesha kwamba hayupo tayari kuosha miguu yake na Yesu. + +# Kama sitakuosha miguu, basi hauna shirika nami + +Yesu anatumia maneno magumu kumshawishi Petro akubali kuoshwa miguu. + diff --git a/jhn/13/10.md b/jhn/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..1330f7d0 --- /dev/null +++ b/jhn/13/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuongea na Simoni Petro + +# Maelezo ya jumla: + +Yesu anatumia neno "ninyi" kumaanisha wanafunzi wake wote. + diff --git a/jhn/13/12.md b/jhn/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..115f265d --- /dev/null +++ b/jhn/13/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je mwajua nimefanya nini kwenu? + +Yesu anajaribu kusisitiza mafundisho yake kwa wanafunzi wake + +# Ninyi mnaniita mimi 'mwallimu' na 'Bwana' + +Yesu anamaanisha kuwa wanafunzi wake wanamheshimu sana. + diff --git a/jhn/13/16.md b/jhn/13/16.md new file mode 100644 index 00000000..b0219171 --- /dev/null +++ b/jhn/13/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake + +# mkubwa + +wa muhimu zaidi + +# umebarikiwa + +kubariki hapa kuna maana ya kusababisha vitu vizuri, vyenye faida kumpata mtu. + diff --git a/jhn/13/19.md b/jhn/13/19.md new file mode 100644 index 00000000..2fe817d9 --- /dev/null +++ b/jhn/13/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nawaambieni sasa kabla haijatokea + +Ninawaambieni sasa yale yatakayotokea kabla hayajatokea + +# mpate kuamini kuwa MIMI NDIYE + +mpate kuamini ya kuwa Mimi ndiye niliyesema kuwa Nipo + diff --git a/jhn/13/21.md b/jhn/13/21.md new file mode 100644 index 00000000..884ac689 --- /dev/null +++ b/jhn/13/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mwenye shida + +nisiye na furaha + +# amini, amini + +Tazama tafasiri katika 1:49 + diff --git a/jhn/13/23.md b/jhn/13/23.md new file mode 100644 index 00000000..7793b12d --- /dev/null +++ b/jhn/13/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mmoja wa wanafunzi ambao Yesu alimpenda + +Hii inamaanisha Yohana + +# kifua cha Yesu + +kuweka kichwa kwenye kifua cha mwingine ilikuwa utamaduni mwingine wa Kiyunani uliomaanisha urafiki wa karibu + diff --git a/jhn/13/26.md b/jhn/13/26.md new file mode 100644 index 00000000..1ae39b0c --- /dev/null +++ b/jhn/13/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Iskarioti + +Hii inamaanisha kuwa Yuda alitoka katika kijiji cha Keriothi + +# Shetani akamwingia + +Hii inamaana kwamba Shetani alimteka na kumwongoza + diff --git a/jhn/13/28.md b/jhn/13/28.md new file mode 100644 index 00000000..e54ada31 --- /dev/null +++ b/jhn/13/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwamba awape maskini kitu + +Unaweza kutafasiri hii kama, "Nenda na uwape maskini fedha" + +# aliondoka na kwenda haraka. Ilikuwa usiku + +Yohana anamaanisha hapa kwamba Yuda angefanya uovu wake gizani wakati wa usiku + diff --git a/jhn/13/31.md b/jhn/13/31.md new file mode 100644 index 00000000..39d10070 --- /dev/null +++ b/jhn/13/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sasa mwana wa Mtu ametukuzwa na Mungu ametukuzwa ndani yake + +Unaweza kutafasiri hii hivi, "Sasa watu wataona jinsi ambavyo mwana wa Mtu atapokea heshima na jinsi ambavyo Mungu atapokea heshimu kupitia yale anayoyafanya mwana wa Mtu." + +# watoto wadogo + +Yesu anatumia neno watoto wadogo kumaanisha kwamba aliwapenda wanafunzi wake kama watoto wake. + +# kama nilivyosema kwa Wayahudi + +Hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi + diff --git a/jhn/13/34.md b/jhn/13/34.md new file mode 100644 index 00000000..660069a0 --- /dev/null +++ b/jhn/13/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake + +# upendo + +Hii ni aina ya upendo utokao kwa Mungu wenye kuleta mema kwa wengine + +# kila mtu + +Hii ni hali ya kutia chumvi katika usemi kwamba kwa kila mtu aonaye upendo wa wanafunzi wake. + diff --git a/jhn/13/36.md b/jhn/13/36.md new file mode 100644 index 00000000..df087752 --- /dev/null +++ b/jhn/13/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuweka chini uhai wangu + +kuutoa uhai wangu au kufa + +# Je utautoa uhai wako kwa ajili yangu? + +Hii ni hali ya kuweka mkazo katika sentensi kwamba "wewe unasema utautoa uhai wako kwa ajili yangu..." + diff --git a/jhn/14/01.md b/jhn/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..8aed0f15 --- /dev/null +++ b/jhn/14/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Usiruhusu moyo wako kuwa katika mahangaiko. + +Huu ni msemo wenye maana kwamba , "acha kuogopa na kuwa na mashaka" + +# Katika nyumba ya Baba yangu kuna makazi mengi... + +Mungu Baba ametayarisha eneo mbinguni kwa kila mtu ambaye ni muumini, kuishi pamoja naye na Mwanawe milele. + +# Baba + +Hiki ni cheo cha muhimu kwa ajili ya Mungu. + diff --git a/jhn/14/04.md b/jhn/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..8ef2e15f --- /dev/null +++ b/jhn/14/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Je! Twawezaje kuijua njia? + +"Je! Tunawezaje kujua namna ya kufika pale?" + +# njia + +Hii inaweza kuwa 1)"njia kwa Mungu" au 2) "mtu yule awapelekaye watu kwa Mungu." + +# kweli + +Hii inaweza kuwa 2) "mtu wa kweli" au 2) "mtu anayenena maneno ya kweli." + +# uzima + +"mtu ambaye anaweza kuwafanya watu wawe hai." + +# Yesu alimwambia, "Mimi ni njia, kweli, na uzima; hakuna mmoja wenu huja kwa Baba isipokuwa kupitia kwangu + +Yesu, Mwana wa Mungu, ni njia pekee kwenda kwa Mungu Baba. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu. + diff --git a/jhn/14/08.md b/jhn/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..3e831dd0 --- /dev/null +++ b/jhn/14/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je! Sijakuwa pamoja nanyi kwa muda mrefu, na bado hunijui mimi, Philipo? + +"Nimekuwa tayari pamoja nanyi wanafunzi kwa muda mrefu sana. Wewe, Philipo ungenijua mimi kwa wakati huu." + +# Jinsi gani unasema, 'Tuonyeshe Baba? + +"hivyo wewe, Philipo, hakika usingekuwa unasema, 'Tuonyeshe Baba." + +# Bwana, tuonyeshe Baba... + +Kumwona Mungu Mwana, Yesu, ni kumwona Mungu Baba. + diff --git a/jhn/14/10.md b/jhn/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..f84a945c --- /dev/null +++ b/jhn/14/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hamniamini mimi? + +"Hakika mngeamini kuwa Baba yu ndani yangu." + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu. + +# Maneno ninayoyasema kwenu sisemi kwa mamlaka yangu mwenyewe + +"Ujumbe ninaowaambia hautokani na mawazo yangu mwenyewe." + +# Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yangu yu ndani yangu + +Kumwamini Yesu, Mwana wa Mungu, ni kuwamini Mungu Baba. Nafsi za Mungu ziko kwa kila yeyote kwasababu kila nafsi ya Mungu na zote katika Mungu, kupitia nafsi hizo zi tofauti kutoka kila moja. + diff --git a/jhn/14/12.md b/jhn/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..83decdfe --- /dev/null +++ b/jhn/14/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amini, amini + +Hii ina maana ya kumwamini Yesu, ndiyo kwamba, Kuamini kwamba ni Mwana wa Mungu, kumtumaini yeye kama Mwokozi, na kuishi katika njia ambayo inamweshimu yeye. + +# Chochote mkiombacho katika jina langu, nitafanya + +Hii ni hali ya kuonesha ukuu na uwezo wa Yesu + +# Baba...Mwana + +Hivi na vyeo muhimu vikielezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + diff --git a/jhn/14/15.md b/jhn/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..79d98f5f --- /dev/null +++ b/jhn/14/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mfariji + +Neno linaelezea Roho Mtakatifu, "ambaye atakuja karibu kuwasaidia." Kuwafundisha wanafunzi + +# Roho wa Kweli + +Roho Mtakatifu + +# ambaye ulimwengu hautampokea + +Hapa neno "ulimwengu" linamaanisha watu wasioamini. Watu walio kinyume na Mungu. + diff --git a/jhn/14/18.md b/jhn/14/18.md new file mode 100644 index 00000000..1c190a71 --- /dev/null +++ b/jhn/14/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ulimwengu + +Watu ambao hawajamwamini Mungu + +# mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba + +Kuamini kwa kweli katika Kristo, Baba na Mwana huishi ndani ya muumini kupitia Roho. + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu + diff --git a/jhn/14/21.md b/jhn/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..01755c03 --- /dev/null +++ b/jhn/14/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kupenda + +Aina ya upendo huu huja kutoka kwa Mungu na unalenga kufanya mema kwa wengine, hata kama hautafaa kwa mhusika. Aina ya upendo huu hujari wengine, haijalishi wanafanya nini. + +# Yeyote anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu + +Wakati mmoja anampenda Yesu, naye Baba ampenda mtu yule. + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu. + +# Yuda (Siyo Iskarioti) + +Huyu ni Yuda mwingine si yule aliyemsulubisha Yesu. + diff --git a/jhn/14/23.md b/jhn/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..7dc3a513 --- /dev/null +++ b/jhn/14/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anamjibu Yuda (Siyo Iskarioti) + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu + +# Neno ambalo mwasikia silo langu bali la Baba ambaye kanituma. + +Yesu anasema kwamba yale ayasemayo yatoka kwa Baba. Ujumbe wa Yesu pia ni ujumbe wa Baba kwasababu Baba na Mwana wanakubaliana kikamilifu siku zote + +# Neno + +Hii inaweza pia kuwa ujumbe + diff --git a/jhn/14/25.md b/jhn/14/25.md new file mode 100644 index 00000000..e5aacc7b --- /dev/null +++ b/jhn/14/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mfariji + +Roho Mtakatifu + +# Ulimwengu + +Neno linaelezea watu wa ulimwengu huu. + +# Katika jina langu + +Neno hapa "Jina" linaelezea juu ya nguvu na mamlaka ya Yesu + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu. + diff --git a/jhn/14/28.md b/jhn/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..0799e5ef --- /dev/null +++ b/jhn/14/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mpendwa + +Aina ya upendo huu kutoka kwa Mungu unalenga kuwatendea mema wengine, hata wakati usipomfaidia mwenyewe. Upendo wa aina hii unajali wengine, bila kujali wanafanya nini. + +# Baba ni mkuu kuliko mimi + +Mungu Baba ni mkuu kuliko Yesu, aliyekuwa akipitia kudharauliwa kama mwanadamu, lakini umilele, kama nafsi ya Mungu, wote wako sawa + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu + diff --git a/jhn/15/01.md b/jhn/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..609d77b3 --- /dev/null +++ b/jhn/15/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Simulizi inaendelea. Yesu anaketi mezani pamoja na wanafunzi wake + +# Mimi ni mzabibu wa kweli + +Yesu anajilinganisha mwenyewe na mzabibu kwa kuwa yeye ni chanzo cha uzima. + +# Baba yangu ndiye mkulima + +Hii inamaanisha "Mungu" ni kama mkulima + diff --git a/jhn/15/03.md b/jhn/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..ba1f862f --- /dev/null +++ b/jhn/15/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kaeni ndani yangu + +endeleeni kukaa/kuungana na mimi, nami nitaendelea kukaa na ninyi. + +# mpaka mtakapokaa ndani yangu + +Hii ni hali ya kundelea kumtegmea Yesu + +# Ninyi + +Neno hili limetumika katika wingi + diff --git a/jhn/15/05.md b/jhn/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..279c01e9 --- /dev/null +++ b/jhn/15/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi + +Mzabibu unamwakilisha Yesu. Matawi yanawakilisha wale wote wanaomwamini Yesu. + +# Yeye akaaye ndani yangu nami ndani yake + +Yesu anajaribu kueleza kuwa wanafunzi wake wameunganisha na yeye kama yeye alivyounganishwa nao + +# huzaa sana + +Hii inamwelezea muumini anayempendeza Mungu kwamba kama vile tawi lizaalo sana. + +# ombeni lolote mtakalo + +Yesu anawaambia waumini kwamba ni lazima wamuombe Mungu ajibu maombi yao. + diff --git a/jhn/15/08.md b/jhn/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..6a5b797f --- /dev/null +++ b/jhn/15/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Baba yangu anatukuzwa katika hili + +Unaweza kutafasiri hii kama, "Inawafanya watu wamuheshimu Baba yangu" + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu + +# ya kwamba mzae matunda mengi + +hapa matunda yametumika badala ya maisha yanayompendeza Mungu + +# ni wanafunzi wangu + +dhihirisheni ya kuwa mu wanafunzi wangu + +# dumuni katika pendo langu + +endeleeni kupokea upendo wangu + diff --git a/jhn/15/10.md b/jhn/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..f3f1bb32 --- /dev/null +++ b/jhn/15/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikiwa mtazishika amri zangu, mtadumu katika pendo langu kama nilivyozshika amri za baba yangu na kudumu katika pendo lake. + +Wanafunzi wanapomtii Yesu, wanaonesha upendo wao kwake. + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu + +# ili kwamba furaha yenu ifanyike kuwa timilifu + +Unaweza kutafsiri hii kama, "ili furaha yenu itimie." + diff --git a/jhn/15/12.md b/jhn/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..9c3e8b46 --- /dev/null +++ b/jhn/15/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuna mtu aliye na upendo mkuu kuliko huu + +Upendo wa aina hii unatoka kwa Mungu na unawafaidia wengine pasipo kujali matendo yao. + +# Uhai + +uzima wa kimwili + diff --git a/jhn/15/14.md b/jhn/15/14.md new file mode 100644 index 00000000..0f378b17 --- /dev/null +++ b/jhn/15/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mtafanya yale niwaagizayo + +Mnaonesha ya kuwa mu rafiki zangu ikiwa mtaendelea kufanya yae niliyowaagiza + +# nimewajulisha mambo yote ambayo nimesikia kutoka kwa Baba + +Nimewaambia kila kitu ambacho Baba yangu aliniambia. + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu + diff --git a/jhn/15/16.md b/jhn/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..38bebdb4 --- /dev/null +++ b/jhn/15/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hamkunichagua mimi + +Yesu anasema kuwa wanafunzi wake hawakuchagua wenyewe kuwa wanafunzi + +# nendeni mkazae matunda + +hii inamaanisha kuishi maisha yanayompendeza Mungu + +# kwamba matunda yenu yapate kukaa + +matokeo ya matendo yenu yadumu milele + +# lolote muombalo kwa Baba kwa jina langu, atawapeni + +"jina langu" ni kiwakilishi cha mamlaka ya yesu. + +# Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake + +Upendo wa aina hii unatoka kwa Mungu na unawafaidia wengine pasipo kujali matendo yao. + diff --git a/jhn/15/18.md b/jhn/15/18.md new file mode 100644 index 00000000..f3a1bf06 --- /dev/null +++ b/jhn/15/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama ulimwengu utawachukia.... + +Yesu anatumia neno Ulimwengu kumaanisha watu ambao hawamwamini Mungu + +# upendo + +Hii inarejea upendo wa kibinadamu, wa undungu, rafiki au mtu wa familia + diff --git a/jhn/15/20.md b/jhn/15/20.md new file mode 100644 index 00000000..175d1dca --- /dev/null +++ b/jhn/15/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kumbukeni neno ambalo niliwaambia + +Hii ni sawa na kusema kumbukeni ujumbe niliowaambia + +# kwa ajili ya jina langu + +kwa sababu ni watu wangu + diff --git a/jhn/15/23.md b/jhn/15/23.md new file mode 100644 index 00000000..bfa63e44 --- /dev/null +++ b/jhn/15/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yeye anichukiaye mimi humchukia Baba yangu pia ..... wameona na wamenichukia mimi na Baba yangu + +Kumchukia Mungu mwana ni kumchukia Mungu Baba pia. + +# wangelikuwa hawana dhambi + +wasingekuwa wamefanya dhambi + +# sheria + +Hii inamaanisha Agano la Kale lote ambalo lilikuwa na maagizo yote ya Mungu kwa wanadamu + diff --git a/jhn/15/26.md b/jhn/15/26.md new file mode 100644 index 00000000..405f5d57 --- /dev/null +++ b/jhn/15/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mfariji + +Hii inamaanisha Roho Mtakatifu + +# Roho wa Kweli + +Roho ambaye atawaambia kweli yote + +# Ninyi pia mnashuhudia + +Kushuhudia ni kuwaambia wengine habari za Yesu + +# Mwanzo + +Hii inamaanisha siku za mwanzo za huduma ya Yesu. + diff --git a/jhn/16/01.md b/jhn/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..d917359b --- /dev/null +++ b/jhn/16/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu ameketi chakulani na wanafunzi wake na anaendelea kuwafundisha + +# hamtaanguka + +Hii inamaanisha kuwa hamtaiacha imani ndani ya Yesu. + diff --git a/jhn/16/03.md b/jhn/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..74472396 --- /dev/null +++ b/jhn/16/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watawatendea haya kwa sababu hawamfahamu Baba wala mimi. + +Baadhi ya waamini wanaweza kuuawa kwa sababu wasiomjua Mungu Baba pia hawamjui wala kumuelewa Mungu Mwana, Yesu Kristo. + +# Baba + +Hiki ni cheo cha Muhimu cha Mungu. + +# Hapo mwanzo + +Angalia ulivyotafsiri "tangu mwanzo" kwenye Yohana 15:26 + diff --git a/jhn/16/05.md b/jhn/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..b68a83ea --- /dev/null +++ b/jhn/16/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama nisipoondoka, mfariji hatakuja + +"Mfariji atakuja ikiwa nitaondoka" + +# Mfariji + +Angalia jinsi ulivyotafsiri kwenye Yohana 14:25 + diff --git a/jhn/16/08.md b/jhn/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..73c0bbb7 --- /dev/null +++ b/jhn/16/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mfariji atauhukumu ulimwengu kutokana...haki...naenda kwa Baba + +Yesu alipoondoka duniani na akarudi kwa Mungu Baba, kisha Mungu Roho akaanza kuwaonyesha watu wana dhambi na wanahitaji msamaha unaopatokana kwa Yesu pekee. + +# Ulimwengu + +Inamaanisha watu wanaoishi duniani + +# kutokana na haki, kwa sababu naenda kwa Baba, na hamtaniona tena + +"Atawaambia watu kwamba kwa sababu narudi kwa Baba, hamtaniona tena, mtajua kuwa ni mimi mwenye haki ya kweli" + +# Baba + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu. + +# Mkuu wa ulimwengu + +Angalia jinsi ulivyotafsiri kwenye Yohana 12:30 + diff --git a/jhn/16/12.md b/jhn/16/12.md new file mode 100644 index 00000000..3457c032 --- /dev/null +++ b/jhn/16/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mambo ya kuwaambia + +"ujumbe kwa ajili yenu" + +# Roho wa kweli + +Hili ni jina la Roho Mtakatifu atakayewaambia watu kweli ya Mungu + +# atawaongoza katika kweli yote + +kweli inamaanisha ukweli wa kiroho + diff --git a/jhn/16/15.md b/jhn/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..3b54c26d --- /dev/null +++ b/jhn/16/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Vitu vyote...alivyonavyo Baba ni vyangu...Roho atachukua mambo yangu + +Mungu Baba, Mwana, na Roho wote wanamiliki ulimwengu. Kwa pamoja ni wamoja na ni Mungu pekee. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu. + +# Muda mfupi + +"karibu" au "kabla ya muda mrefu" + diff --git a/jhn/16/17.md b/jhn/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..ebcf8f12 --- /dev/null +++ b/jhn/16/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Wanafunzi wanaulizana kuhusu alichosemaYesu + +# muda mfupi na hamtaniona tena + +wanafunzi hawakuelewa kuwa yesu alikuwa anaongelea kifo chake msalabani + +# na kisha muda mfupi mtaniona + +Hii inaweza kumaanisha kufufuka kwa Yesu, au kuja kwa Yesu mara ya pili + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu + diff --git a/jhn/16/19.md b/jhn/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..33b2d683 --- /dev/null +++ b/jhn/16/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake + +# amini, amini nawaambia + +tafsiri kwa kuonesha kuwa kifuatacho ni cha muhimu zaidi + +# lakini ulimwengu utashangilia + +lakini watu wanaompinga Mungu watashangilia + diff --git a/jhn/16/22.md b/jhn/16/22.md new file mode 100644 index 00000000..a4cd1ab9 --- /dev/null +++ b/jhn/16/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama mkiomba lolote kwa Baba, atawapa kwa jina langu + +Baba na Mwana wanajibu maombi pamoja. Wanaomwamini Yesu wana msamaha wa milele wa dhambi na wanaweza kuomba kwa Baba kupitia kwa Mwana, na Baba atajibu. + +# Baba + +Hiki ni cheo cha Muhimu cha Mungu. + +# Kwa jina langu + +Baba atawapatia mahitaji yao kwa sababu ya mahusiano yao na Yesu. "kwa sababu ni wafuasi wangu" au "kwenye mamlaka yangu" + diff --git a/jhn/16/25.md b/jhn/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..f6aed664 --- /dev/null +++ b/jhn/16/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa lugha isiyoeleweka + +"kwa lugha ambayo ni ngumu kueleweka" + +# Nitawaambia waziwazi kuhusu Baba + +Kibinadamu kujifunza kuhusu Mungu Baba kupitia Mwana wa Mungu, Yesu. Kumjua Mwana ni kumjua Baba. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu. + diff --git a/jhn/16/26.md b/jhn/16/26.md new file mode 100644 index 00000000..65472cd2 --- /dev/null +++ b/jhn/16/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Baba mwenyewe anawapenda kwa sababu mmenipenda mimi + +Mtu akimpenda Yesu, Mwana, pia anampenda baba, kwa sababu Baba na Mwana ni mmoja. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu. + +# Nilitoka kwa Baba... Naondoka ulimwenguni na ninaenda kwa Baba. + +Baba alimtuma mwana msalabani awaokoe waamini toka kwenye dhambi na jehanamu, akafufuka toka kwa wafu, na akarudi Mbinguni. + +# Ulimwengu + +"dunia." Ni mahali ambapo watu wanaishi. + diff --git a/jhn/16/29.md b/jhn/16/29.md new file mode 100644 index 00000000..030510c6 --- /dev/null +++ b/jhn/16/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +wanafunzi wanamjibu Yesu + +# Sasa mmeamini? + +"Hatimaye sasa mmeiweka imani yenu kwangu!" + diff --git a/jhn/16/32.md b/jhn/16/32.md new file mode 100644 index 00000000..334bd6b0 --- /dev/null +++ b/jhn/16/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake + +# nanyi mtatawanyika + +"wengine watawatawanya" + +# Baba yu pamoja nami + +Hili jina la muhimu la Mungu + +# ili kwama ndani yangu muwe na amani + +amani ya ndani + +# nimeushinda ulimwengu + +nimezishinda taabu na mateso ya duniani + diff --git a/jhn/17/01.md b/jhn/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..0f9a8625 --- /dev/null +++ b/jhn/17/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baba ...mtukuze mwanao ili na mwana naye akutukuze wewe + +Yesu anamwomba baba yake, Mungu Baba amtukuze, mwana wa Mungu + +# Baba...Mwana + +Hivi ni vyeo vya mhimu amabavyo huelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu + +# Mbingu + +Hii inamaanisha sehemu ya juu + diff --git a/jhn/17/03.md b/jhn/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..86e2ca07 --- /dev/null +++ b/jhn/17/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Na uzima wa milelel ndio huu...wakujue wewe Mungu wa kweli, na.. Yesu Kristo + +Uzima wa milele ni kumjua Mungu wa kweli na wa pekee, Mungu Baba na Mungu Mwana na Mungu Roho. + +# Kwamba inawapasa wakujue wewe + +Hii inamaanisha kumjua mungu kwa uzoefu na wala si juu ya Mungu + +# Ile kazi uliyonipa kuifanya + +"Kazi"inamaanisha jumla ya huduma ya Yesu hapa Duniani. + +# Baba, nitukuze mimi...kwa niliokuwa nao nilipokuwa na wewe kabla dunia haijaumbwa + +Yesu alikuwa na utukufu pamoja na Mungu Baba '"Kabla ulimwengu haujaumbwa" Kwa sababu Yesu ni Mungu Mwana. Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu ndio Mungu wa Kweli ambaye amekuwepo milele yote na ataendelea kuwepo milele ne milele. + +# Baba...Mwana + +Hivi ni vyeo vinavyoonyesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + diff --git a/jhn/17/06.md b/jhn/17/06.md new file mode 100644 index 00000000..91adb928 --- /dev/null +++ b/jhn/17/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Si wa Dunia + +Hapa neno "Dunia" humanisha watu wa dunia. Hii inamaanisha Mungu amewatofautisha na wale wasioamini. + +# Wamelishika neno lako + +Wameyatii mafundisho yako + diff --git a/jhn/17/09.md b/jhn/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..fa8d84aa --- /dev/null +++ b/jhn/17/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mimi siuombei ulimwengu + +Hapa neno ulimwengu linamanisha watu waovu duniani au watu wasiomtii Mungu + +# Duniani + +Hii inamaanisha hali ya kuwa duniani na kuwa mmoja wa wale wanaoishi humo. + +# Baba Mtakatifu, uwalinde... ii wawe na umoja kama sisi tulivyo na umoja + +Yesu anamwomba Baba ili awalinde wale wanaoamini. Mungu Baba huwalinda wale wanaomwamini Mungu Mwana na kuwafanya wawe na umoja na Mungu katika utatu wake + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu + +# Uwalinde kwa jina lako ulilonipa mimi + +Hapa neno "jina"linamaanisha ulinzi na usimamaizi wa Mungu. "Uwalinde na kwa ulinzi wa jina lako kama ulivyonilinda mimi" au "uwalinde kwa nguvu za jina lako ulilonipa mimi + diff --git a/jhn/17/12.md b/jhn/17/12.md new file mode 100644 index 00000000..ceb96231 --- /dev/null +++ b/jhn/17/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hakuna hata mmoja wao aliyepotea, isipokuwa mwana wa upotevu + +"mtu pekee aliyepotea ni mwana wa upotevu" + +# mwana wa upotevu + +"yule ambaye tokea awali uliamua kumwamngamiza" + +# ili kwamba maandiko yatimie + +"Ili mambo yaliyoandikwa kwenye maandiko" + diff --git a/jhn/17/15.md b/jhn/17/15.md new file mode 100644 index 00000000..cef0e793 --- /dev/null +++ b/jhn/17/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ulimwengu + +watu wakaao duniani + +# uwalinde na yule mwovu + +uwalinde didi a Shetani + +# uwaweke wakfu kwako katika kweli + +wafanye kuwa watu wako kwa kuwafundisha kweli + +# Neno lako ndiyo kweli + +ujumbe wako ni kweli au unachosema ni kweli + diff --git a/jhn/17/18.md b/jhn/17/18.md new file mode 100644 index 00000000..eb3c1c34 --- /dev/null +++ b/jhn/17/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ulimwenguni + +kwa kila mtu duniani kote + +# ili kwamba na wao wajitoe kwako kwa ile kweli + +unaweza pia kutafsiri kuwa: "ili kwamba wajitoe kikamilifu kwako" + diff --git a/jhn/17/20.md b/jhn/17/20.md new file mode 100644 index 00000000..db3c1dd4 --- /dev/null +++ b/jhn/17/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ili kwamba wote wawe na umoja...kama, vile wewe Baba, ulivyo ndani yangu, na mimi ndani yako...ili kwwamba wao pia wawezekuwa ndani yetu + +Mungu Baba yumo ndani ya Mungu Mwana na mwanaYumo ndani ya Baba. Wla wamwaminioa Yesu, Mungu mwana huwa na umoja na Baba na mwana wamwaminipo. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu + +# Dunia + +Hii humanisha watu wa duniani + diff --git a/jhn/17/22.md b/jhn/17/22.md new file mode 100644 index 00000000..cc85a744 --- /dev/null +++ b/jhn/17/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Utukufu ule ulionipa mimi nimewapa wao + +nimewaheshimu wafuasi wangu kama ambavyo wewe umeniheshimu mimi + +# ili kwamba waweze kuwa na umoja + +Unaweza kutafsiri kama: "ili uweze kuwaunganisha kama ambavyo umetuunganisha sisi" + +# kukamilishwa katika umoja + +kuwa kitu kimoja + +# ili ulimwengu ujue + +ulimwengu ni watu + diff --git a/jhn/17/24.md b/jhn/17/24.md new file mode 100644 index 00000000..72b6ff70 --- /dev/null +++ b/jhn/17/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Baba...ulinipenda mimi kabla y kuumbwa kwa isingi ya ulimwengu + +Mungu Baba amempenda Mungu mwana. Kabla Mungu hajauumba ulimwengu, nafsi za Mungu hupendana, na zitaendelea kupendana milele yote. + +# Nilipo mimi + +hii inamaanisha mbinguni + +# ili waweze kuona utukufu wangu + +ili waweze kujua ukuu wangu + +# kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu + +Hapa Yesu anamaanisha wakati wa kabla ya uumbaji + diff --git a/jhn/17/25.md b/jhn/17/25.md new file mode 100644 index 00000000..f4c81fbd --- /dev/null +++ b/jhn/17/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ulimwengu haukukutambua, lakini mimi nakujua; na hawa wanajua kuwa ulinituma + +"ulimwengu hauna uzoefu wa kukujua wewe kama ninavyokujua; na hawa wanajua kuwa wewe umenituma" + +# jina + +Hili linamanisha Mungu. + +# lile pendo...ulilonipenda + +Upendo wa jinsi hii hutoka kwa Mungu na hulenga mema ya wengine, hata kama hauna maslahi binafsi. Upendo wa jinsi hii huwajali wengine bila kujali wanachofanya + +# Mungu mwenye haki + +Hiki ni cheo cha muhimucha Mungu + diff --git a/jhn/18/01.md b/jhn/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..92dde5c2 --- /dev/null +++ b/jhn/18/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bonde la Kidron + +Hili ni bonde liliko Yerusalem ambalo hutenganisha Mlima wa hekalu na Mlima wa mizeituni + +# palipokuwaa na bustani + +hili lilikuwa shamba la mizabibu + diff --git a/jhn/18/04.md b/jhn/18/04.md new file mode 100644 index 00000000..d70a7183 --- /dev/null +++ b/jhn/18/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yesu anaanza kuongea na askari, waheshimiwa, na Mafarisayo + +# Naye Yesu hali akijua kila kitu kilichokuwa kikifanyika dhidi yake + +Yesu alijua mambo yote yaliyopaswa kumpata + diff --git a/jhn/18/06.md b/jhn/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..f55a1e6b --- /dev/null +++ b/jhn/18/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mimi + +Hapa neno "yeye" halipo kwenye tafsiri ya asili lakini limefananishwa tu na "mimi ndiye" + +# kuanguka chini + +watu walianguka chini kwa sababu ya nguvu za Yesu + +# Yesu Mnazareth + +Yesu, mtu wa kutoka Nazareth + diff --git a/jhn/18/08.md b/jhn/18/08.md new file mode 100644 index 00000000..79fbce1a --- /dev/null +++ b/jhn/18/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mimi ndiye + +Hapa neno "yeye" halipo kwenye tasfsiri ya asili lakini limehusishwa tu. + +# Haya yalikuwa hivyo ili lile neno linalosema + +"Neno" linamaanisha maneno ambayo Yesu aliyaomba. + diff --git a/jhn/18/10.md b/jhn/18/10.md new file mode 100644 index 00000000..06695bd0 --- /dev/null +++ b/jhn/18/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Markusi + +Markusi ni mtumishi wa kiume wa Kuhani Mkuu + +# Ala + +Huu ni mkoba wakisu au sime unauzuia kisu kisimkate mwenye nacho + +# Kikombe + +Hii inamaanisha 1) Kiasi cha mateso ambayo Yesu alitakiwa kuyapokea 2) Gadhabu ya Mungu ambayo Yesu ilimlazimu kuivumilia ili kuwalkomboa watu wake. + +# Je nisikinywee kikombe ambacho Baba yangu amenipa? + +Yesu anahoji hili swali kuonesha msisitizo kwamba lazima ateseke. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu. + diff --git a/jhn/18/12.md b/jhn/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..d50c166b --- /dev/null +++ b/jhn/18/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Mstari wa 14 unatoa maelezo yanayomhusu Kayafa + +# Wayahudi + +hii inamaanisha viongozi wa Wayahudi + +# Walimkamata Yesu na kumfunga + +Askari walimfunga Yesu mikono ili asitoroke + diff --git a/jhn/18/15.md b/jhn/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..cbc7470a --- /dev/null +++ b/jhn/18/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwanafunzi mwingine, na yule mwanafunzi + +Huyu ni mtume Yohana, mwandishi wa wa hii injili + diff --git a/jhn/18/17.md b/jhn/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..eb4d21ed --- /dev/null +++ b/jhn/18/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, wewe si mmoja wa wanafunzi wa huyu mtu? + +"Wewe ni mmoja wa wanafunzi wa huyu mtu" + diff --git a/jhn/18/19.md b/jhn/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..f05b8485 --- /dev/null +++ b/jhn/18/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuhani mkuu + +Huyu alikuwa Kayafa + +# Nimeumbia waziwazi ulimwengu + +Yesu aliifanya huduma yake katika uma wa watu + +# Hawa watu + +Hawa ni wale watu waliomsikia Yesu akifundisha + diff --git a/jhn/18/22.md b/jhn/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..fad838fd --- /dev/null +++ b/jhn/18/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, hivyo ndivo inavyokupas kumjibu kuhani mkuu? + +'Hivyo sivyo inavyokupasa kumjibu Kuhani Mkuu" + +# uwe shahidi kwa ajili ya uovu + +"niambie makosa yangu niliyoyasema" + +# kama nimejibu vyema kwa nini kunipiga? + +"kama nimejibu kwa ukweli usinipige" + diff --git a/jhn/18/25.md b/jhn/18/25.md new file mode 100644 index 00000000..afe54ab2 --- /dev/null +++ b/jhn/18/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Hapa habari inarudi kumwelezea Petro. + +# Je, wewe ni mmoja wa wanafunzi wake? + +Swali hili linatoa msisitizo wa ukweli wa jambo + +# Je si wewe niliyekuona naye kule bustanini? + +hapa neno "naye" linamaanisha Yesu + +# Kisha Petro akamkana tena + +Hii inamaanisha kuwa petro alimkana kwa kujua kuwa alikuwa na Yesu. + +# na papo kwa papo jogoo akawika + +Ikumbukwe kuwa Yesu alimwambia Petro kuwa jogoo atawika kabla hajamkana + diff --git a/jhn/18/28.md b/jhn/18/28.md new file mode 100644 index 00000000..56aebd3f --- /dev/null +++ b/jhn/18/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Askari na washitaki wa yesu wanamleta kwa Kayafa. Mstari wa 28 unaeleza sababu zilizowafanya wasiingie katika Praitorio. + +# Kama huyu mtu asingekuwa mtenda maovu, tusingemleta kwako. + +Huyu mtu ni mtenda maovu, na ni lazima tumlete kwako ili aadhibiwe" + +# Kumleta + +Hili neno "kumleta" linamaanisha kumkabidhi kwa adui + diff --git a/jhn/18/31.md b/jhn/18/31.md new file mode 100644 index 00000000..77ba8729 --- /dev/null +++ b/jhn/18/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Kwenye mstari wa 32 mwandishi anaelezea jinsi ambavyo yesu alitabiri kifo chake + +# Wayahudi wakamwambia + +Hawa ni viongozi wa Wayahudi aliompinga Yesu na kumkamata. + +# sheria haituruhusu sisi kumpa tu adhabu ya kifo + +Kulingana na sheria ya Kirumi, Wayahudi wasingweza kumuua mtu. + diff --git a/jhn/18/33.md b/jhn/18/33.md new file mode 100644 index 00000000..2068d08a --- /dev/null +++ b/jhn/18/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mimi siyo Myahudi, au sivyo? + +Hapa Pilato anauliza swali kuelezea jinsi ambavyo hana haja na tamaduni za Kiyahudi + +# watu wako mwenyewe + +Wayahudi wenzako + diff --git a/jhn/18/36.md b/jhn/18/36.md new file mode 100644 index 00000000..9019ba10 --- /dev/null +++ b/jhn/18/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ufalme wangu si wa ulimwengu huu + +Sentesihii yaweza kumaanisha 1) "Ufalme wangu si sehemu ya dunia hii" au 2) "Si hitaji ruhusa ya dunia hii kuwa mtawala wao" au "Si kwa kutokana na ulimwengu huu kwamba nina mamalaka ya kuwa mfalme." + +# Ili kwamba nisitolewe kwa Wayahudi. + +"wangewazuia viongozi wa Kiyahudi kunikamata" + +# Sauti yangu + +"mambo ninayoyaongelea" au "mimi" + diff --git a/jhn/18/38.md b/jhn/18/38.md new file mode 100644 index 00000000..72b862ce --- /dev/null +++ b/jhn/18/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kweli ni nini? + +"Hakuna awezaye kujua kitu kilicho cha kweli" + +# Wayahudi + +hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi + +# siyo huyu, ufungulie Baraba + +tafsri kuonesha kuwa hawakumtaka Baraba bali Yesu + +# Baraba alikuwa mnyang'anyi + +Hapa Yohana anaeleza Baraba alikuwa mtu wa aina gani + diff --git a/jhn/19/01.md b/jhn/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..3c09e6de --- /dev/null +++ b/jhn/19/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Salaam, mfalme wa Wayahudi + +Hii "Salaam" inayoambatana na mkono ulioinuliwa ilitumika kwa msalimia Kaisari pekee yake. Wakati asakari wakitumia kofia ya miiba na vazi la dhambarau kwa kumkejeli Yesu, hawakumtambua kwa hakika kuwa ni mfalme. + diff --git a/jhn/19/04.md b/jhn/19/04.md new file mode 100644 index 00000000..307b56ae --- /dev/null +++ b/jhn/19/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mimi sioni hatia yoyote ndani yake + +Hii ni sawa na kusema kuwa sioni sababu ya kumwadhibu + +# taji ya miiba...vazi la dhambarau + +taji na vazi la dhambarau ni vitu vinavyovaliwa na wafalme tu. + diff --git a/jhn/19/07.md b/jhn/19/07.md new file mode 100644 index 00000000..ccc9d4e9 --- /dev/null +++ b/jhn/19/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu + +Yesu alihukumiwa kufa kwa kifo cha kusulibiwa kwa sababu ya kudai kuwa yeye alikuwa "mwana wa Mungu" + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Yesu + +# Wewe uatoka wapi? + +"Unatoka wapi? Pilato alimuliza Yesu kwa ajili ya kujua utambulisho wake. utamaduni wako unaweza kuwa njia maalumu ya kutambua utamaduni wa mtu. + diff --git a/jhn/19/10.md b/jhn/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..a8dccc39 --- /dev/null +++ b/jhn/19/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, wewe huongei na mimi? + +Pilato anaonyesha kushangazwa na Yesu kwa kutokuitumia nafasi hiyo ya kujiteteta. "Nijibu" + +# Usingekuwa na nguvu kama usingepewa toka juu + +"Una mamalaka kinyume changu kwa sababu tu umepewa" + +# aliyenitoa + +Neno "kutoa" linamaanisha kumkabidhi Yesu kwa adui, kama vile Yuda alivyomtoa Yesu kwa viongozi wa Kiyahudi + diff --git a/jhn/19/12.md b/jhn/19/12.md new file mode 100644 index 00000000..9cfdb947 --- /dev/null +++ b/jhn/19/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ajaifanyaye kuwa mfalme + +"madai ya kuwa yeye ni mfalme" + +# akamleta Yesu nje + +Hii inamaanisha kuwa aliwaagiza askari kumleta Yesu nje il ikumwonyesha kwa makutano. + +# akakaa + +Watu wakubwa walikaa wakati watu wengine amabao si wskubwa walisimama. + +# Kwenye kiti cha hukumu + +Hiki ni kiti maalumu ambacho watu mhimu walikaa wakati wa kufanya maamuzi ya kiofisi. Utamaduni wako unaweza kuwa na njia tofauti wautaratibu huu. + +# Fuvu la kichwa + +Hili ni eneo maalumu ambalo watu maalumu ndio wsalioruhusiwa kupaingia, Utamaduni wako unaweza kuwa na maeneo maalumu kama hili. + +# Kihebrania + +Hii ilikuwa lugha ambayo wahebrania waliongea + diff --git a/jhn/19/14.md b/jhn/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..08cc9dfb --- /dev/null +++ b/jhn/19/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Muda umepita na sasa ni saa la sita, wakati Pilato anawaagiza askari wamsulibishe Yesu. + +# saa la sita + +kama muda wa mchana + +# Pilato akwaambia Wayahudi + +Hapa inamaanisha Pilato aliwaambia viongozi wa Kiyahudi + +# Je, mimi nimsulibishe mfalme wenu? + +Pilato anawauliza Wayahudi ikiwa wanataka askari wake wamsulibishe Yesu. + diff --git a/jhn/19/17.md b/jhn/19/17.md new file mode 100644 index 00000000..41a59d02 --- /dev/null +++ b/jhn/19/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa + +Unaweza kutafsiri kama: "kwenye eneo ambalo watu wanaliita fuvu la kichwa" + +# ambalo kwa Kiebrania huitwa "Golgotha" + +Kiebrania ni lugha ya Waisraeli + +# pamoja naye wanaume wawili + +Unaweza kutafsiri kama: "pia waliwasulibisha wahalifu wengine wawili kwenye misalaba yao" + diff --git a/jhn/19/19.md b/jhn/19/19.md new file mode 100644 index 00000000..57cf0eac --- /dev/null +++ b/jhn/19/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Pilato pia aliandika alama na kuiweka juu ya msalaba + +hapa inamaanisha mtu aliyeandika kwa niaba ya Pilato na kuiweka juu ya msalaba wa Yesu + +# Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETHH, MFALME WA WAYAHUDI + +Unaweza pia kutafsiri hii kama: "hivyo yule mtu aliandika maneno haya: Yesu ya nazarethi, mfalme wa Wayahudi" + +# Kiyunani + +Hii ni lugha ya serikali ya Kirumi + diff --git a/jhn/19/21.md b/jhn/19/21.md new file mode 100644 index 00000000..38aea66d --- /dev/null +++ b/jhn/19/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato + +Wakuu wa makuhani walienda mpaka Ikulu kumshitaki Yesu juu ya maneno na miujiza yake. + +# Niliyoyaandika nimeandika + +Pilato anamaanisha kuwa hawezi kubadilisha maneno katika kibao + diff --git a/jhn/19/23.md b/jhn/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..b5419e99 --- /dev/null +++ b/jhn/19/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Mwishoni mwa mstari wa 24 kuna tofauti kutoka habari kwa kuwa Yohana anaelezea jinsi tukio hili linatimiza maandiko. + +# kanzu + +askari waliweka kando kanzu na hawakuigawa + +# wakapiga kura + +hivi ndivyo askari walivyogawana mavazi ya Yesu. + diff --git a/jhn/19/25.md b/jhn/19/25.md new file mode 100644 index 00000000..54b2ce91 --- /dev/null +++ b/jhn/19/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yule mwanafunzi aliyempenda + +Huyu ni Yohana mwandishi wa injili hii + +# Mwanamke, mtazame, mwanao huyu hapa + +"Mwanamke, tazama na ufifkiri juu huyu mtu kama angekuwa mwano" + +# Mama yako huyu hapa + +"fikiri juu ya huyu mwanamke kama angekuwa mama yako" + diff --git a/jhn/19/28.md b/jhn/19/28.md new file mode 100644 index 00000000..ad762a32 --- /dev/null +++ b/jhn/19/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Siki + +Hiki ni kinywaji cha makomamanga kilchokuwa kimechachushwa kwa muda mrefu + +# wakaweka + +"Hawa" nia walinzi wa Kirumi + +# Sifongo + +Hi ni kiufito kilichokuwa na uwezo wa kunyonya kimiminika + +# Akaisalimu roho yake + +Yesu aliito roho yake kwa Mungu na kuruhusu mwili wake kufa + diff --git a/jhn/19/31.md b/jhn/19/31.md new file mode 100644 index 00000000..94ceeb7c --- /dev/null +++ b/jhn/19/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wayahudi + +Hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi + +# siku ya maandalio + +Huu ni muda uliokuwa kabla ya pasaka ambao ulitumika kuandaa chakula + +# kuvunja miguu yao na kuiondoa + +Unaweza kutafsiri kama, "kuvunja miguu ya waliosulibiwa na kuiondoa miili yao kutoka kwenye misalaba yao" + +# aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu. + +Unaweza kutafsiri kama, "ambaye walimsulibisha karibu na Yesu" + diff --git a/jhn/19/34.md b/jhn/19/34.md new file mode 100644 index 00000000..84137809 --- /dev/null +++ b/jhn/19/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Naye aliyeona hili + +Sentesi hii inatoa mukhutadha wa habari. Mwandishi ambaye ni (Mtume Yohana) anawafahamisha wasomaji kuwa yeye alikuwepo na kwamba tukiamini alichoandika + diff --git a/jhn/19/36.md b/jhn/19/36.md new file mode 100644 index 00000000..3e42862c --- /dev/null +++ b/jhn/19/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hapana mfupa wake utakaovunjwa + +"Hakuna atayevunja hata mmoja ya mifupa yake" + diff --git a/jhn/19/38.md b/jhn/19/38.md new file mode 100644 index 00000000..17e29943 --- /dev/null +++ b/jhn/19/38.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yusuph wa Arimathaya + +Yusuph kutoka mji wa Arimathaya + +# kwa kuwaogopa wayahudi + +"Kwa kuwahofia viongozi wa Kiyahudi" + +# Nikodemo + +Huyu ndiye aliyeenda kwa Yesu wakati wa giza + +# manemane na udi + +Haya ni manukato yaliyo kabla ya mazishitumika kuandaa maiti + +# Mia moja + +Kipimo cha mia moja + +# Ratli + +"Ratli moja" ni sawa na kipimo cha gramu 31 + diff --git a/jhn/19/40.md b/jhn/19/40.md new file mode 100644 index 00000000..8d91da5b --- /dev/null +++ b/jhn/19/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sasa mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani....hakuna mtu alikuwa amezikwa humo + +Hapa mwandishi Yohana anatoa maelezo kuhusu mahali ambapo kaburi lilikuwa + +# Kwa sababu ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi + +Kulingana na sheria ya Kiyahudi, hakuna mtu aliyeruhusiwa kufanya kazi baada ya jua kuzama. Ilikuwa ni mwanzo wa Sabato na Pasaka + diff --git a/jhn/20/01.md b/jhn/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..4eaba956 --- /dev/null +++ b/jhn/20/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Siku ya kwanza ya Juma + +Jumapili + +# Mwanfunzi ambaye Yesualimpenda + +Sentesi hii inaonekana kuwa ni njia ambayo Yohana aliitumia kumwonyesha yeye katika kitibu chote. Neno "upendo" linamaanisha upendo wa ndugu au upendo wa rafiki au kwa mwanafamilia + +# Wamemchukua + +Mtu amechukua + diff --git a/jhn/20/03.md b/jhn/20/03.md new file mode 100644 index 00000000..b25e4dbb --- /dev/null +++ b/jhn/20/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mwanafunzi mwingine + +Yohana anatumia neno hili kwa kuonyesha unyenyekevu akimaanisha yeye mwenyewe badala ya kutumia jina lake. + +# Sanda za kitani + +Hizi zilikuwa nguo za mazishi zilizotumika kuuzongazonga mwili wa Yesu. + diff --git a/jhn/20/06.md b/jhn/20/06.md new file mode 100644 index 00000000..4e0d8516 --- /dev/null +++ b/jhn/20/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sanda za Kitani + +Hizi ni nguo azazovalishwa mfu kabla ya kuzikwa + +# leso ilyokuwa kichwani mwake + +Hiki ni kitambaa kidogo ambacho hutumika kwa kufutia jasho usoni amabcho pia kilitumika kufunika uso wake + diff --git a/jhn/20/08.md b/jhn/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..21b26fc1 --- /dev/null +++ b/jhn/20/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwanafunzi mwingine + +Yohana anatumia neno hili kwa kuonesha unyenyekevu akimaanisha yeye mwenyewe pasipo kutaja jina lake. + +# aliona na kuamini + +Alipoona kuwa kaburi lipo wazi, aliamini ya kuwa yesu alikuwa amefufuka kutoka wafu + +# bado hawakuyajua maandiko + +hapa mwandishi anawaongelea wanafunzi ambao hawakujua bado maandiko yanayosema kuwa Yesu angefufuka tena. + diff --git a/jhn/20/11.md b/jhn/20/11.md new file mode 100644 index 00000000..7054e9eb --- /dev/null +++ b/jhn/20/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliwaona malaika wawili na nguo nyeupe + +Malaika walikuwa wamevaa nguo nyeupe + +# wakamwambia + +walimuuliza + +# Kwa sababu wamemchukua Bwana wangu + +Kwa sababu wameuchukua mwili wa Bwana wangu + +# Nami sijui walikomweka + +Nami sijui walipouweka mwili + diff --git a/jhn/20/14.md b/jhn/20/14.md new file mode 100644 index 00000000..895b5d26 --- /dev/null +++ b/jhn/20/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yesu alimwambia + +Yesu alimuuliza + +# Bwana, kama ni wewe uliyemchukua yeye + +neno "yeye" hapa linarejjea kwa yesu + +# niambiie ulikomweka + +niambie ulipokiweka + +# nami nitamchukua + +Maria Magdalena anataka kuchukua mwili wa Yesu na kuuzika tena. + diff --git a/jhn/20/16.md b/jhn/20/16.md new file mode 100644 index 00000000..a167113e --- /dev/null +++ b/jhn/20/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Rabboni + +Neno "Rabboni" linamanisha rabi au mwalimu katika Matamushi ya Kiaramaic ya Mariamu + +# ndugu + +Yesu alitumia neno "ndugu" akimaanisha wanafunzi wake + +# nitapaa kwenda kwa baba amabye pia ni baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu. + +Yesu alifufuka toka wafu kisha akatabiri kupaa mbinguni, akirudi kwa Baba, Mungu Baba + +# Baba yangu na Baba yenu + +Hivi ni vyeo muhimu vinavyofafanua uhusiano kati ya Yesu na Mungu, na kati ya waumini na Mungu. + diff --git a/jhn/20/19.md b/jhn/20/19.md new file mode 100644 index 00000000..8d3e6b53 --- /dev/null +++ b/jhn/20/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Siku hiyo, siku ya kwanza ya juma + +hii inamaanisha Jumapili + +# Amani iwe kwenu + +hii ni salamu ya kawaida" + +# akawaonyesha mikono yake na ubavu wake + +"aliwaonyesha vle vidondo mikononi mwake na ubavuni. + diff --git a/jhn/20/21.md b/jhn/20/21.md new file mode 100644 index 00000000..e4819a7f --- /dev/null +++ b/jhn/20/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# amani iwe nanyi + +hii nisalamu ya kawaida + +# Kama vile Baba alivyonituma mimi, vivyo hivyo nami nawatuma ninyi...akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu" + +Mungu Baba alimtuma Mungu Mwana anayewatuma waumini katika nguvu ya ya Mungu Roho. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu + +# watasamehewa + +"Mungu atawasamehe" + +# Watafungiwa + +"Mungu hatawasamehe" + diff --git a/jhn/20/24.md b/jhn/20/24.md new file mode 100644 index 00000000..8b1d3dee --- /dev/null +++ b/jhn/20/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Pacha + +Tazama tafsiri tok Yohana 11:15 + +# yule mwanafunzi mwingine walimwambia baadaye + +neno "yule" linamaanisha Thomaso + +# Kma staona alama za misumari sitamini + +Nitaamini tu pale nitakapoona alama za misumari na ubavu wake + +# Mikononi mwake + +Neno "mwake" linamaanisha Yesu + diff --git a/jhn/20/26.md b/jhn/20/26.md new file mode 100644 index 00000000..44c2162a --- /dev/null +++ b/jhn/20/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wanafunzi wake walikuwa chumbani tena + +Neno "wake" linamaanisha Yesu + +# Amani na iwe nanyi + +Hii ni salamu ya kawaida + +# asiyeamini + +bila imani + diff --git a/jhn/20/28.md b/jhn/20/28.md new file mode 100644 index 00000000..d2290f31 --- /dev/null +++ b/jhn/20/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# umeamini + +"umeamini kuwa niko hai" + +# pasipokuona + +"ambao ambao hawajaniona nikiwa hai + diff --git a/jhn/20/30.md b/jhn/20/30.md new file mode 100644 index 00000000..ebcc9290 --- /dev/null +++ b/jhn/20/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ishara + +Hii inamanisha miujiza inayotumika kuonyesha ushahidi kuwa Mungu ana nguvu zote na ambaye ana mamalaka kamili juu ya ulimwen + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu + +# Uzima katika jina lake + +"Munaweza kuwa na uzima katika jina lake" + +# uzima + +hii inamaanisha maisha ya kiroho + diff --git a/jhn/21/01.md b/jhn/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..00c0a355 --- /dev/null +++ b/jhn/21/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baada ya mambo haya + +"Baadaye kitambo" + +# na Tomaso aitwaye Didimasi + +unaweza kutafsiri pia kwa kusema, "na Tomaso tuliyemwita Didimasi" + +# Didimasi + +Maana ya jina hili ni "mapacha" + diff --git a/jhn/21/04.md b/jhn/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..23bffb3a --- /dev/null +++ b/jhn/21/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# vijana + +hii ni hali ya kusema rafiki zangu + +# mtapata wachache + +maana yake, "mtakamata samaki wachache kwenye nyavu zenu" + +# tupeni ndani + +vuteni nyavu ndani + diff --git a/jhn/21/07.md b/jhn/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..790a0334 --- /dev/null +++ b/jhn/21/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliyempenda + +Huu ni upendo unaotoka kwa Mungu ambao hutazama zaidi mema ya wengine, hata kama hauna maslahi binafsi. Upendo wa aina hii huwajali zaidi wengine bila kujali wanachokifanya + +# (maana hakuwa amelivaa vizuri) + +Hii ni kwa mujibu wa mukhutadha + +# Kwani hawakuwa mbali na pwani, yapata mita mia moja kutoka ufukweni) + +Hii ni kwa mujibu wa mukhutadha + +# yapata dhiraa miambili + +"mita tisini"dhiraa ni ndogo kuliko nusu mita + diff --git a/jhn/21/10.md b/jhn/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..71de242d --- /dev/null +++ b/jhn/21/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Simoni Petro kisha akaenda juu + +Hii inamaanisha kuwa Petro alirudi kwenye mtumbwi + +# na akatoa nyavu nchi kavu + +na akatoa nyavu na kuziweka ufukweni + +# nyavu ilikuwa haijararuka + +Unaweza kutafsiri hii kama, "nyavu hazikuharibika + diff --git a/jhn/21/12.md b/jhn/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..aacab8ad --- /dev/null +++ b/jhn/21/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kifungua kinywa + +mlo wa asubuhi + +# mara ya tatu + +unaweza kutafsiri hii kama muda nambari tatu. + diff --git a/jhn/21/15.md b/jhn/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..89dcffec --- /dev/null +++ b/jhn/21/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# je, unanaipenda...wanipenda mimi + +Hapa "upendo" linamanisha aina ya upendo unaotoka kwa Mungu, amabao unaangalia mema ya wengine, hata pale ambapo hakuna maslahi binafsi + +# wewe wajua kuwa mimi na kupenda wewe + +Petro anajibu, anatumia neno kwa "upendo" ambalo linonyesha upendo kwa ndugu au upendo wa urafiki au upendo wa kifamila. + +# Lisha wanakondoo wangu + +"Lisha watu wangu ninaowajali" + +# Chunga kondoo wangu + +"Wajali watu wangu ninaowajali" + diff --git a/jhn/21/17.md b/jhn/21/17.md new file mode 100644 index 00000000..2c2321b7 --- /dev/null +++ b/jhn/21/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, wanipenda mimi? + +Mara hii Yesu anapouliza swali hili anatumia neno kwa "upendo" ambalo linamanisha upendo wa ndugu au upendo wa urafiki au upendo wa kifamila + +# Lisha kondoo wangu + +"Uwajali watu wangu ninaowajali" + +# Kweli, kweli + +itafsiriwe kama ilivyo kwenye Yohana 1:49, 1:51 + diff --git a/jhn/21/19.md b/jhn/21/19.md new file mode 100644 index 00000000..8dc19ced --- /dev/null +++ b/jhn/21/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sasa + +Yohana analitumia neno hili kuonyesha kuwa anatoa maelezo ya mukhutadha kabla hajaendelea na simulizi + diff --git a/jhn/21/20.md b/jhn/21/20.md new file mode 100644 index 00000000..6915b6c2 --- /dev/null +++ b/jhn/21/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alimpenda + +Huu ni aina ya upendo amabao hutoka kwa Mungu ambao huangalia mema ya wengine hata kama hauna maslahi binafsi. Aina ya upendo huu huwajali wengine, bila kujali wanachokifanya + +# kwenye chakula cha jioni + +Hii inakumbushia chakula cha mwisho ambacho Yesu alikula na wanfunzi wake + +# Petro alimwona + +Hapa neno "yeye" linalemlenga "mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda" + diff --git a/jhn/21/22.md b/jhn/21/22.md new file mode 100644 index 00000000..845a7942 --- /dev/null +++ b/jhn/21/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nataka abaki + +Hapa "yeye", "a...ki", linamanisha "mwanafuzi ambaye Yesu alimpenda" Tazama 21:20 + +# Nitakapokuja + +Inamaaninisha kur duniani kwa Yesu mara ya pili, atakapokuja kutoka mbinguni. + +# hilo linakuhusu nini? + +"usijihusishe na jambo hilo" + +# ndugu + +Yesu ana anatumia neno hili kwa wanafuzi wake kama nduguze. + diff --git a/jhn/21/24.md b/jhn/21/24.md new file mode 100644 index 00000000..b0e3e876 --- /dev/null +++ b/jhn/21/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa za jumla: + +Huu ndio mwisho wa Injili ya Yohana. Hivyo mwandishi ambaye ni Yohona anatoa salamu za mwisho na kusema kidogo kuhusiana na yeye mwenyewe. + +# mwanafunzi + +mwanafunzi wa Yohana + +# ambaye hushuhudia kuhusu mambo yaleyale + +neno kushuhudia kama lilivyotumika hapa linamaanisha kuona kitu + +# sisi tunajua + +"sisi" hapa inamaanisha wale wanaomwamini Yesu + +# kama kila kitu kingeandikwa + +unaweza kutafsiri pia kwa kusema, "kama mtu angeandika kila kitu" + +# hata dunia pia isingeweza kutosha vitabu vyote + +Yesu alifanya miujiza mingi kuliko ambavyo watu wangeweza kuandika kwenye vitabu + diff --git a/jud/01/01.md b/jud/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..96f6a416 --- /dev/null +++ b/jud/01/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# maelezo ya jumla + +Yuda anajitambulisha kama mwandishi wa hii barua na anawasalimu wasomaji wake. Yawezekana alikuwa kaka yake Yesu wakambo. Kuna Yuda wengine wawili katika Agano Jipya. + +# maelezo ya jumla + +Neno "wewe" katika hii barua ya husu waKristo ambao Yuda alikuwa akiwandikia na ni katika wingi. + +# Yuda, mtumishi wa + +Yuda ni kaka wa Yakobo. Tafsiri mbadala: "Mimi ni Yuda, mtumishi wa." + +# Na kaka yake na Yakobo + +Yakobo na Yuda ni nusu kaka wa Yesu + +# wapendwao katika Mungu Baba + +"Mungu baba anawapenda ninyi" + +# huruma na iwe kwenu na amani izidishwe + +"kwenu" ina rejea kwa Wakristo wote waliopaswa kupokea barua hii.Tafsiri mbadala: "huruma, neema na upendo na uongezwe mara nyingi kwa ajili yenu." + diff --git a/jud/01/03.md b/jud/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..8c32645e --- /dev/null +++ b/jud/01/03.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# kauli unganishi + +Yuda anawapa waamini sababu yake ya kuandika hi barua + +# maelezo ya jumla + +Neno "sisi" la muhusu yuda na waamini katika hii barua + +# Nilikuwa nafanya kila juhudi kuwaandikia ninyi + +"Nilikuwa na shauku ya kuwaandikia ninyi" + +# wokovu wa kawaida + +"tunashiriki wokovu uleule" + +# Ilinilazimu kuandika + +"Nilijisikia uhitaji mkubwa kuandika" au "Nilijisikia hitaji muhimu kuandika" + +# kuwahimiza mshindanie kwa uaminifu kwa ajili ya imani + +"kuwatia moyo kutetea mafundisho ya kweli" + +# kabidhiwa + +Mungu alitoa mafundisho haya ya kweli" + +# kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri + +"kwa kuwa baadhi ya watu wamekuja miongoni mwa walioamini pasipo kujijulisha wenyewe" + +# ambao hukumu yao ya dhambi ilikwisha andikwa tangu zamani + +"zamani sana iliandikwa kwamba watu hawa watahukumiwa dhambi" + +# ambao hubadilisha neema ya Mungu kuwa zinaa + +"ambao hufundisha kwamba neema ya Mungu inaruhusu mtu kudumu katika maisha ya dhambi ya zinaa" + +# ambao humkataa Mkuu wetu wa pekee na Bwana, Yesu Kristo + +watu hawa hufundisha kwamba Yesu Kristo sio njia ya kweli au pekee ya kwenda kwa Mungu. + +# Kataa + +kusema kwamba jambo fulani si kweli. + diff --git a/jud/01/05.md b/jud/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..af631d86 --- /dev/null +++ b/jud/01/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# kauali unganishi + +Yuda antoa mifano ya kale ya wale ambao hawakumfuata Bwana. + +# Ngpenda kuwakumbusha + +"Ninataka ninyi mkumbuke" + +# mnajua kila kitu + +Yuda hasa anarejea kwenye maandiko ya Musa ambayo wamekwisha kufundishwa. Tafsiri mbadala: "mnayajua maandiko ya Musa." + +# Bwana aliwaokoa mara moja watu kutoka nchi ya Misri + +"Bwana aliwaokoa Waisraeli hapo zamani kutoka Misri" + +# lakini baadaye + +"muda ulivyo endelea " au " baada ya jambo fulani kutokea" + +# enzi yao wenyewe + +"nafasi zao" au "majukumu yaliowekwa kwao" + +# wakaacha wakazi yao maalum + +"waliacha nafasi zao wenyewe" + +# Mungu amewaweka katika vifungo vya milele katika giza + +"Mungu amewafunga malaika hawa ndani ya giza" + +# siku ile kuu + +siku ya mwisho ambayo Mungu huukumu watu wote + diff --git a/jud/01/07.md b/jud/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..78cd04a2 --- /dev/null +++ b/jud/01/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika namna ileile walijiingiza wenyewe kwenye + +Sodoma na Gomora waliishi katika dhambi ya zinaa katika namna hihyo hiyo kama malaika walivyo fuata njia za uovu. + +# kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele + +Uharibifu wa watu wa Sodoma na Gomora ulifanyika mfano wa hatima ya wote wanao mkataa Mungu. + +# hawa pia walichafua + +"Hawa" ina rejea kwa watu wanaomkataa Mungu ambao huchafua miili yao kwa uasherati kwa namna hiyo wakitupa takataka kwenye mkondo inaweza kusababisha maji kuwa mabaya kunywa. + +# kuhusu wenye utukufu + +"kuhusu malaika wazuri wa Mungu" + diff --git a/jud/01/09.md b/jud/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..d2864e8f --- /dev/null +++ b/jud/01/09.md @@ -0,0 +1,41 @@ +# maelezo ya jumla + +Balaamu ni Nabii aliye kataa kulahani Israel kwa ajiili ya adui lakini akamfundisha huyo adui kuwafanya watu waoe wasio amini na wawe waabudu sanamu. + +# maelezo ya jumla + +Kora alikuwa ni muIsraeli aliye asi uongozi wa Musa na ukuhani wa Aruni. + +# bishana kuhusu mwili + +walibishana juu ya nani atachukua milki ya mwili. +"bishana kuhusu nani angechukua milki ya mwili." + +# Mikaeli...hakuthubutu kuleta kinyume naye + +"Mikaeli...alijizuia mwenyewe kumkemea ibilisi + +# hukumu au kuleta maneno ya matusi + +"upinzani wa nguvu au maneno yasiyo na heshima" + +# Lakini watu hawa + +"watu hawa" ni watu waovu waliotajwa mapema. + +# tusi mambo yote ambayo hawayaelewi + +"kuongea pasipo heshima kinyume na chochote ambacho hawakijui maana yake" + +# njia ya Kaini + +Kaini alimuua kaka yake Abeli. + +# kosa la Balaam kwa ajili ya mshahara + +Balaamu alijaribu kulaani Israeli kwa ajili ya pesa. + +# uasi wa Kora + +Kora aliasi dhidi ya uongozi wa Musa na ukuhani wa Aron. + diff --git a/jud/01/12.md b/jud/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..e4eb32cf --- /dev/null +++ b/jud/01/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sentensi unganishi + +Yuda anatumia mifano mingi kumfafanua mtu asiye na utaua. Anawambia waamini jinsi wanvyo paswa kumtambua mtu huyu miongoni mwao. + +# Hawa ni wale + +"Hawa" ina rejea kwa watu waovu. + +# miti iliyopukutika isiyo na matunda + +Kama baadhi ya miti isiyozalisha matunda katika mwisho wa majira ya joto, hivyo watu hawa waovu hawana imani na kazi za haki. + +# bila matunda, kufa mara mbili + +Kama miti ambayo imeuawa mara mbili kama vile kwa baridi usingeweza kutoa matunda, kwa hiyo watu waovu hawana thamani na hawana maisha ndani yao. + +# iliyong'olewa na mizizi + +Kama miti ambayo imeng'olewa kwenye udongo na mizizi yake, watu waovu wametenganishwa kutoka kwa Mungu ambaye ni chanzo cha maisha. + +# pori la mawimbi ya bahari + +Kama mawimbi ya bahari yanayosukumwa na upepo mkali, hivyo watu waovu hawakuwa na msingi wa imani na walihamishwa kwa urahisi katika mwelekeo mwingi. + +# yakitoa aibu yao wenyewe + +Kama upepo usababishao pori la wimbi kukoroga povu chafu, hivyo watu hawa kwa kupitia mafundisho ya uongo na matendo huwa aibisha wenyewe. AT: "kama vile wimbi huleta povu na uchafu, watu hawa wanachafua wengine kwa aibu yao." + +# Nyota zinazo randaranda, ambao weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele + +Kama vile nyota zitembeavyo angani na kufanya ugumu kuzifuata, hivyo na wewe usiwafuate watu hao. + diff --git a/jud/01/14.md b/jud/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..7fea6732 --- /dev/null +++ b/jud/01/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# watu hawa...kazi yao...wana + +Hawa inarejea kwa watu waovu. + +# wa saba katika orodha ya Adamu + +Kizazi cha saba kutoka kwa Adamu. Baadhi ya tafsiri husema sita katika orodha ya Adamu inategemeana kama Adamu anahesabika kama kizazi. + +# Tazama, Bwana + +"taarifa, Bwana", au "tazama, bwana" + +# mambo yote magumu + +"maneno yote makali" + +# manung'uniko, walalamikao + +Watu walio na moyo usio na utii. Wanung'unikao huwa wanafanya hivi kimya kimya, Walalamikao hufanya hivi kwa uazi zaidi. + +# wajivunao mno + +Watu wanao jisifu wenyewe ili kwamba wengine wawasikie. + diff --git a/jud/01/17.md b/jud/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..51146f1e --- /dev/null +++ b/jud/01/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Watu hawa + +"Hawa wadhihaki" + +# wanatawaliwa na tamaa za asili + +Watu hawa wanazungumziwa kama tamaa zao ni wafalme wanao watawala. "Awaachi kumkosea Mungu kwa kuendelea kufanya maovu wanayo tamani kufanya. + +# hufuata ... tamaa + +Tamaa zisizo za kitauwa za ongelewa kama ni njia ambayo huyo mtu kaifuata. + +# ni wa kidunia + +"wenye dharau wanajiingiza kwenye dhambi ya zinaa" + +# hawana Roho + +Roho Mtakatifu anazungumziwa kama ni kitu ambacho watu wanaweza kumiliki. + diff --git a/jud/01/20.md b/jud/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..377b44a2 --- /dev/null +++ b/jud/01/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sentensi unganishi + +Yuda anawambia waamini jinsi ya kuishi na namna ya kuwa tendea wengine. + +# kama mjijengavyo wenyewe + +Kama muwezavyo kukua imara na afya njema, ili kwamba muweze kuimarika na kukua fahamu zenu na roho katika maarifa ya Mungu + +# msubiri + +"tunatazamia kwa shauku" + +# jitunzeni katika upendo wa Mungu + +Kuweza ;kupokea upendo wa Mungu ya zungumziwa kama vile mtu amejihifadhi sehemu. + +# rehema za Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele + +Hapa "rehema" ya wakilisha Yesu Kristo mwenyewe, ambaye atawaonyesha rehema zake kwa waaamini kwa kuwafanya wa ishi milele + diff --git a/jud/01/22.md b/jud/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..4c4aebdb --- /dev/null +++ b/jud/01/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# baadhi ya watu, ambao wako katika mashaka + +"baadhi ya watu, ambao bado hawajaamini kuwa Mungu ni Mungu" + +# wanyakueni kutoka katika moto + +"ili kwamba wasije wakaenda kwenye ziwa la moto" + +# na kwa baadhi yao onesheni huruma kwa hofu + +"na muwe wakarimu kwa wengine bali ogopeni kutenda dhambi kama wao." + +# mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili + +"chukieni hata mavazi yao, kwa sababu yamefayika kuwa machafu kwa dhambi." Wamejaa dhambi hivyo hata mavazi yanafikiriwa machafu. + diff --git a/jud/01/24.md b/jud/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..2ff5b4bf --- /dev/null +++ b/jud/01/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sentensi unganishi + +Yuda anafunga na baraka + +# kuwasababisha msimame mbele ya utukufu wake + +Utukufu wake ni taa nzuri yenye kuwakilisha ukuu wake. "Na kukuruhusu kufurahia na kuabudu utukufu wake" + +# bila mawaa + +Hapa dhambi ya tajwa kama uchafu kwenye mwili wa mtu au doa kwenye mwili wa mtu. "Utakapo kuwa bila dhambi" + +# kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu + +"kwa Mungu pekee, aliye tuokoa kwa lili Yesu Kristo alilifanya." Hii ya sisitiza kuwa Mungu baba pamoja na Mwana ndie Mwokozi. + +# utukufuu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. + +Mungu alikuwa nao, na anao, na siku zote atakuwa na utukufu, uongozi kamilifu, na utawala wa mambo yote. + diff --git a/luk/01/01.md b/luk/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..7c2da77d --- /dev/null +++ b/luk/01/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Luka anaeleza kwanini anamwandikia Theofilo. + +# mada + +"taarifa" au "simulizi za kweli" + +# kati yetu + +Neno "yetu" katika kauli hii linaweza au haliwezi kutomhusisha Theofilo. + +# Alikabidhi kwetu sisi + +"Sisi" katika kauli hii Theofilo hahusiki. + +# Kabidhiwa kwao + +"kupewa wao" au "iliyotolewa kwao" + +# Watumishi wa ujumbe + +Unaweza kuhitaji kupambanua kwamba ujumbe ni nini. NI: "kumtumikia Mungu kwa kuwaambia watu habari zake" au "kufundisha watu habari njema kuhusu Yesu" + +# Ilichunguzwa kwa uangalifu + +"kutafiti kwa makini." Luka alikuwa makini kutafuta uhakika wa kile kilichotokea. Huenda alizungumza na watu mbalimbali ambao waliona kilichotokea kuhakikisha anachokindika kuhusu tukio hili ni sahihi. + +# Mheshimiwa sana Theofilo + +Luka alisema hivi kuonesha heshima na taadhima kwa Theofilo. Hii inaweza kumaanisha kwamba Theofilo alikuwa afisa mhimu serikalini. Sehemu hii tumia mfumo unaotumika kwenye utamaduni wako kumwongelea mtu mwenye mamlaka ya juu. Baadhi ya watu wanaweza kupendelea pia kuweka salamu mwanzoni na kusema "kwa ... Theofilo" au "Mpendwa ... Theofilo." + +# Mheshimiwa sana + +"mheshimiwa" au "muungwana" + +# Theofilo + +Jina hili linamaana "rafiki wa Mungu." Linaweza likaweka wazi tabia ya mtu huyu au inaweza kuwa ndilo jina lake halisi. Tafsiri nyingi limetumika kama jina lake. + diff --git a/luk/01/05.md b/luk/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..a4c068d8 --- /dev/null +++ b/luk/01/05.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Kauli unganishi: + +Malaika anatoa unabii kuzaliwa kwa Yohana + +# Taarifa ya Jumla + +Zakaria na Elizabethi watabulishwa. Mistari hii inatoa taarifa ya historia kuwahusu wao. + +# Katika siku za Herode, mfalme wa Uyahudi + +"Wakati ambao Mfalme Herode alitawala katika Uyahudi" + +# palikuwa na uhakika + +"Palikuwa pa uhakika" au "palikuwa na." Hii ilikuwa njia ya kutambulisha mhusika mpya katika katika historia. Fikiria namna lugha yako inavyofanya. + +# mgawo + +Inafahamika kwamba hii inarejea kwa makuhani. NI: "mgawo wa makuhani au "kundi la makuhani." + +# wa Abiya + +"ambaye alitokea ukoo wa Abiya." Abiya alikuwa mhenga wa kundi la makuhani na wote waliokuwa wanatokea kwa Haruni, ambaye alikuwa kuhani wa kwanza katika Israeli. + +# "Mke wake alikuwa akitokea katika mabinti wa Haruni." + +"Mke wake alitokea ukoo wa Haruni" Hii inamaanisha anatokea katika mfumo ule ule wa kikuhani kama Zakaria. "mke wake pia alitokea pia ukoo wa Haruni" au "Zakaria na mke wake wote wawili walitokea kwa Haruni." + +# "Kutokea kwa mabinti wa Haruni" + +"tokea ukoo wa Haruni" + +# mbele za Mungu + +"mbele za macho ya Mungu" au "kwenye mtazamo wa Mungu" + +# amri zote na maagizo ya Bwana + +"yote ambayo Bwana alishaamuru na aliyotaka" + +# Lakini + +Hili neno la kutofautisha kwamba yafuatayo hapa ni kinyume cha yaliyotarajiwa. watu walitarajia kwamba kama walifanya yaliyosahihi, Mungu angeliwaruhusu kuwa na watoto. Ingawa wanandoa hawa walifanya yaliyo sahihi, hawakuwa na mtoto yeyote. + diff --git a/luk/01/08.md b/luk/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..a8fb813e --- /dev/null +++ b/luk/01/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sasa ikaja kuwa + +Hii kauli ilitumika kubadili simulizi kutoka taarifa za mwanzo kwenda kwa wahusika. + +# katika utaratibu wa mgawo wake + +"ilipokuwa zamu ya kundi lake" au "wakati ulipowadia wa kundi lake kuhudumu" + +# kutokana na desturi ya kuchagua kuhani yupi ambaye ... achome ubani + +Sentensi hii inatupa sisi taarifa kuhusu wajibu wa kikuhani. + +# taratibu za kidesturi + +"mfumo wa kiutamaduni" au "njia yao ya kawaida" + +# kuchagua kwa kura + +kura ilikuwa ni jiwe lenye alama ambalo lilitupwa au viringishwa chini ili kwamba liwasaidie kuamua jambo fulani. Makuhani waliamini kwamba Mungu aliielekeza kura kuwaonesha kile walichokitaka makuhani kuchagua. + +# hivyo anaweza kuchoma ubani + +Makuhani walikuwa wanachoma harufu nzuri kama sadaka kwa Mungu kila asubuhi na jioni katika madhabahu maalumu ndani ya hekalu. + +# mkutano wote wa watu + +"Idadi kubwa ya watu" au "Watu wengi" + +# nje + +Kiwanja ilikuwa ni eneo linalolizunguka hekalu. NI: "nje ya jengo la hekalu" au "kwenye kiwanja nje ya hekalu." + +# katika wakati + +"kwenye muda uliopangwa." Haikowazi kama ilikuwa muda wa asubuhi au jioni kwaajili ya sadaka ya ubani. + diff --git a/luk/01/11.md b/luk/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..ff0ad3ea --- /dev/null +++ b/luk/01/11.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Wakati Zakaria anafanya wajibu wake hekaluni, malaika anakuja kutoka kwa Mungu kumpa ujumbe. + +# Sasa + +Neno hili linazingatia mwanzo wa kitendo katika historia, + +# alimtokea + +"ghafla alikuja kwake" au "ghafla alikuwa pale pamoja na Zakaria." Hii inaweka wazi kwamba malaika alikuwa pamoja na Zakaria, na siyo tu maono. + +# Zakaria ... alikuwa katekewa ... woga ukamwangukia + +Hizi kauli mbili zinamaana ileile, na zinasisitiza jinsi Zakaria alivyokuwa na hofu. + +# Zakaria alipomuona + +"Zakaria alipomwona malaika" Chanzo cha hofu kilikuwa kushituliwa na ile asili ya malaika. Zakaria hakufanya kitu chochote kibaya. + +# Hofu ikaja juu yake + +Hofu ni kitu kinachofafanuliwa kama kwamba shambulio au Zakaria alizidiwa nguvu. + +# Usiogope + +"usiendelee kuniogopa mimi" au "Wewe hutakiwi kuniogopa mimi" + +# maombi yako yamesikiwa + +"Mungu amesikia ambacho uliomba." Kinachofuata kinadokeza na kingeliongezwa: "ataruhusu hiyo." Mungu hakukomea kusikia tu alichoomba Zakaria; pia alikuwa anaelekea kutenda. + +# utazaa mwana + +"mwana wa kiume kwaajili yako" au "kuzaa mtoto wako wa kiume" + diff --git a/luk/01/14.md b/luk/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..c3f0d953 --- /dev/null +++ b/luk/01/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwaajili + +"Kwasababu" au "Katika nyongeza kwa hili" + +# shangwe na kufurahia + +Haya maneno mawili yanamaanisha jambo lilelile na yangeliweza kuunganishwa kama lugha haina maneno yanayofanana. NI: "furaha sana." + +# kwa kuzaliwa kwake + +"kwasababu ya kuzaliwa kwake" + +# atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana + +"atakuwa mtu mhimu sana kwaajili ya Bwana" au "Mungu atamstahilisha kuwa mtu mhimu sana" (UDB) + +# atajazwa na Roho Mtakatifu + +Hii itatajwa kama kauli tendwa: NI: "Roho Mtakatifu atamwezesha" au "Roho Mtakatifu atamwongoza." Hakikisha haieleweki sawa na ambavyo roho mchafu anaweza kumfanya mtu. + +# toka tumboni mwa mamaye + +watu tayari walishawahi kujazwa na Roho Mtakatifu, lakini hakuna hata mmoja aliyesikia mtoto ambaye hajazaliwa kajazwa na Roho Mtakatifu. + diff --git a/luk/01/16.md b/luk/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..fb906e94 --- /dev/null +++ b/luk/01/16.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Watu wengi wa Israeli + +Inaeleweka kama japo Zakaria haikuwekwa, kauli hii ingelitafsiriwa kama "wengi wa koo za Israeli" au "wengi wenu ambao ni watu wa Mungu, Israeli." Kama mabadiliko haya yakifanyika, hakikisha kwamba "Mungu wao" imebadilishwa kuwa "Mungu - wao (wingi)." + +# kurudi + +"kirudi nyuma" au "rejea" + +# atakwenda mbele ya uso wa Bwana + +Yeye angelitangulia kutangaza kwa watu kwamba Bwana angelikuja kwao. + +# mbele ya uso wa + +"uso wa" iko hapa ni nahau ambayo inarejea kwenye ule uwepo wa Bwana. Wakati mwingine iliondolewa kwenye tafsiri. NI: "kabla." + +# katika roho na nguvu ya Eliya + +"pamoja na ile roho na nguvu alizokuwa nazo Eliya." Neno "roho" liwe linarejea kwa Roho Mtakatifu wa Mungu au mwenendo wa Eliya au namna ya kufikiri. Hakikisha kwamba neno "roho" halimaanishi mzimu au roho mchafu. + +# badilisha mioyo baba kuwaelekea watoto + +"Kushawishi baba kutunza watoto wao tena" au "kuwasababisha baba kurejesha uhusiano na watoto" + +# rejesha mioyo + +"kurejesha moyo" ni sitiari kwaajili ya kubadili nia ya mtu fulani kuelekea hali fulani. + +# asiyetii atatembea + +"tembea" ni sitiari kwa namna mtu anaishi na kutenda. NI: "asiyetii atatenda" au "asiyetii ataishi" + +# asiyemtii + +"watu ambao hawatii" + +# fanya tayari kwaajili ya Bwana + +haijasemwa jinsi watakavyo kuwa tayari. Hii ilidokeza taarifa zingeliongezwa. NI: "jitayarishe kuamini ujumbe wa Bwana" au "uwe tayari kumtii Bwana." + diff --git a/luk/01/18.md b/luk/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..2e1f5902 --- /dev/null +++ b/luk/01/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Namna gani naweza kujua hili? + +"Jinsi gani naweza kujua kwa hakika kwamba ulichosema kitatokea"? "kujua" kunamaanisha kujifunza kupitia uzoefu, akipendekeza Zakaria alikuwa akiuliza kutokana ishara kama uthibitisho. Hii inaweza kusemwa wazi kama: NI: "unaweza kufanya nini kuthibitisha kwangu kwamba hiki kitatokea?" + +# Mimi ni Gabrieli, ambaye nasimama katika uwepo wa Mungu + +Hii inasemwa kama kukemewa kwa Zakaria. Uwepo wa Gabrieli, unakuja moja kwa moja kutoka kwa Mungu, itakuwa inatosha kumthibitishia Zakaria. + +# ambaye husimama + +"ambaye hutumika" + +# nilitumwa kuzungumza na wewe + +Hii inaweza. kusemwa kwenye mtindo wa kutenda. NI: "Mungu alinituma kusema kwako." + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linatutaarifu kuwa makini kwa taarifa zinazofuata za ku.shangaza + +# ukimya, kutoweza kuzungumza + +Hii inamaanisha kitu kilekile, na vilirudiwa kusisitiza ukamilifu wa ukimya wake. NI: "kutoweza kuzungumza kabisa" au "hawezi kuzungumza kwa vyovyote." + +# kutoamini maneno yangu + +"usiamini yale niliyosema" + +# kwa wakati sahihi + +"kwa wakati ulioandaliwa" + diff --git a/luk/01/21.md b/luk/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..d9e06311 --- /dev/null +++ b/luk/01/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Hii inadokeza kuhama katika simulizi kutokana nakilichotokea ndani ya hekalu kwenda kilichotokea nje. NI: "Wakati huo" au "Wakati malaika na Zakaria wanazungumza." + +# Walitambua kwamba alishapata maono wakati akiwa hekaluni. Aliendelea kuwafanyia ishara na alibaki kimya. + +Mambo haya huenda yalitokea muda uleule, na ishara za Zakaria ziliwasaidia watu kuelewa kwamba amepata maono. Inaweza ikawa msaada kwa wasikilizaji wako wabadili utaratibu kuonesha hivyo. NI: "Yeye aliendelea kuwafanyia ishara na alibaki kimya. Hivyo walitambua kwamba alipata maono wakati akiwa ndani ya hekalu." + +# maono + +maelezo yaliyotangulia yanaashiria kwamba Gabrieli alikuja kweli kwa zakaria hekaluni. Watu, hawajui hilo, walidhani Zakaria aliona maono. + +# ilitokea + +Kauli hii inahamisha simulizi kwenda mbele ambapo huduma ya Zakaria ilikuwa inaishia. + +# alikwenda nyumbani kwake + +Zakaria alikuwa haishi Yerusalemu, ambapo palikuwa na hekalu. Alisafiri kwenda kwenye mji alioishi. + diff --git a/luk/01/24.md b/luk/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..6e18909d --- /dev/null +++ b/luk/01/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Baada ya siku hizi + +Kauli "siku hizi" inarejea wakati Zakaria alikuwa anatumika hekaluni. Hii inawezekana kulisema hili kwa uwazi. NI: "Baada ya Zakaria kurudi nyumbani tokea kwenye huduma hekaluni." + +# mke wake + +"mke wa Zakaria" + +# alijitenga mwenyewe + +"hakuondoka nyumbani kwake" au "alibaki peke yake ndani" + +# Hiki ndicho alichokifanya Bwana kwaajili yangu + +Kauli hii inarejea ukweli kwamba Bwana alimruhusu apate ujauzito. + +# hiki ndicho + +Hili ni tamko zuri la mshangao. Yeye alikuwa na furaha sana kwa kile alichokitenda Bwana kwaajili yake. + +# aliniangalia mimi kwa upendeleo + +"Kuangalia" ni nahau ambayo inamaanisha "kutendea" au "kushughulikia." NI: "tazama kwa wema" au "alinihurumia" + +# aibu yangu + +Hii inarejea kwenye aibu aliyoihisi kwa sababu alikuwa hawezi kuwa na watoto. + diff --git a/luk/01/26.md b/luk/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..aea9a4fc --- /dev/null +++ b/luk/01/26.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Taarifa kwa Jumla + +Malaika Gabrieli anamtangazia Mariamu kwamba anakwenda kuwa mama wa mtu ambaye ni Mwana wa Mungu. + +# kwenye mwezi wake wa sita + +"katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeth." Hii ilikuwa lazima kulisema wazi kama ingelichanganya na mwezi wa sita katika mwaka. + +# malaika Gabrieli alikuwa katumwa kutokea kwa Mungu + +Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa kutenda: NI: "Mungu alimwambia malaika Gabrieli nenda" + +# Yeye ni wa nyumba ya Daudi + +"Yeye niwa kabila lilelile kama Daudi" au "Yeye alikuwa ukoo Mfalme Daudi" (UDB) + +# kaposwa + +"rehani" au "kuahidiwa kuolewa." wazazi wa Mariamu waliweka msimamo kwaajili yake atamwoa Yusufu. + +# jina la bikra alikuwa Mariamu + +Hii inamtambulisha Mariamu kama mhusika mpya katika simulizi. + +# Alikuja kwake + +"Malaika alikuja kwa Mariamu" + +# Salaamu + +Hii ilikuwa ni salamu ya kawaida. Inamaana: NI: "furahia" au "uwe na furaha." + +# ninyi ambao mnaupedeleo mkubwa + +"ninyi ambao mmepokea neema kubwa!" au "ninyi mmepokea wema maalumu!" + +# Bwana yuko pamoja na wewe + +"pamoja nawe" ni nahau ambayo inadokeza kutiwa moyo na kukubalika. NI: "Bwana kafurahishwa na wewe." + +# alikuwa na wasiwasi sana ... salamu hii ingekuwa ya aina gani. + +Mariamu alifahamu maana ya maneno hayo, lakini hakuelewa kwanini malaika alimwambia salaamu hii ya kushangaza. + diff --git a/luk/01/30.md b/luk/01/30.md new file mode 100644 index 00000000..beef4867 --- /dev/null +++ b/luk/01/30.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Usiwe na hofu, Mariamu + +Malaika hakutaka Mariamu kuwa na woga kwa ujio wake, kwasababu Mungu alimtuma ujumbe mzuri. + +# umepata wema wa Mungu + +Nahau "kupata fadhila" inamaana kupokelewa vizuri na mtu fulani. Sentensi inaweza kugeuzwa kuonesha Mungu kama mtenda. NI: "Mungu ameamua kutoa neema yake" au "Mungu anaonesha wema wake." + +# utakuwa na ujauzito tumboni mwako na kuzaa mwana ... Yesu ... Mwana wa aliye Juu Sana + +Mariamu atazaa "mwana" atakayeitwa "Mtoto wa aliye Juu Sana" (UDB). Yesu ni mtoto aliyezaliwa na mama mwanadamu, na Yeye vilevile ni Mwana wa Mungu. Maneno haya yatafsiriwe kwa uanglifu sana. + +# ataitwa + +Maana zinazowezekana ni 1) "watu watamwita" au 2) "Mungu atamwita." + +# Mwana wa aliye Juu Sana + +Hii ni sifa mhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Kupewa kiti cha mhenga wake Daudi + +Kiti kinawakilisha mamlaka ya mfalme kutawala. NI: "kumpa mamlaka kutawala kama mfalme kama baba yake Daudi alivyofanya" + +# hapatakuwa na mwisho kwa ufalme wake + +Kauli hasi ""hakuna mwisho" sisitiza kwamba utaendelea milele. Pia inaweza kusemwa kwa kauli chanya. NI: "ufalme wake hautaisha." + diff --git a/luk/01/34.md b/luk/01/34.md new file mode 100644 index 00000000..5acb7224 --- /dev/null +++ b/luk/01/34.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Namna gani hili litatokea + +NI: "Hili linawezekana kwa namna gani?" Ingawa Mariamu hakuelewa jinsi itakavyotokea, yeye hakuwa na shaka kwamba ingelitokea. + +# Mimi sijalala pamoja na mwanaume yeyote + +Mariamu alitumia hali halisi kusema kwamba hajawahi kuhusika kwenye tendo la ngono. NI: "Mimi ni bikra" (UDB) + +# Roho Mtakatifu atakuja juu yako + +utungaji mimba wa Mariamu ungelianza na ujio wa Roho Mtakatifu kwake. + +# atakuja juu + +"kuja ghafla" au "atakutokea" + +# nguvu ya aliye Juu Sana + +Ilikuwa ni nguvu ya Mungu ingelikuja zaidi ya kawaida kumsababisha Mariamu kuwa mjamzito hata wakati akiwa bado akabaki bikra. Hakikisha hii haidokezi hali au muungano wa ngono - huu ulikuwa muujiza. + +# itakuja juu yako + +"utafunikwa kma kivuli" + +# mtakatifu + +"mtoto mtakafu" au "mtoto mchanga mtakatifu" + +# atakuwa akiitwa + +Maana zinazowezekana 1)"watu watamwita" au 2) Mungu atamwita + +# Hivyo mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu + +Ingawaje mama yake Yesu alikuwa mwanadamu, Mungu zaidi ya kawaida alimweka Yesu tumboni mwake. Hivyo basi, Mungu alikuwa Baba yake, na Yesu alikuwa anaitwa "Mwana wa Mungu." + +# Mwana wa Mungu + +Hii ni sifa mhimu kwaajili ya Yesu. + diff --git a/luk/01/36.md b/luk/01/36.md new file mode 100644 index 00000000..2b27c591 --- /dev/null +++ b/luk/01/36.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Na anglia + +Huu udhihirisho hapa unasisitiza umhimu wa kauli inayomhusu Elizabeth ambayo inafuata. + +# ndugu yako Elizabeth + +Kama unataka kusema uhusiano maalumu, Elizabeth huenda alikuwa shangazi wa Mariamu au shangazi - mkubwa. + +# pia anaujauzito wa uzeeni mwake + +"pia anaujauzito, ingawa tayari kazeeka, pia mjamzito na atazaa mtoto." Hakikisha haieleweki kama ingawa wawili Mariamu na Elizabethi walikuwa wazee walipopata ujauzito. + +# mwezi wa sita kwake + +"mwezi wa sita wa ujauzito wake" + +# Kwaajili + +Kwa sababu" au "Hii inaonesha hivyo" + +# hakuna lisilowezekana kwa Mungu + +Kauli yake inamashaka maradufu inaweza kutamkwa kwa kauli chanya. NI: "Hii inaonesha Mungu anaweza kufanya kitu chochote." Ujauzito wa Elizabethi ulithibitisha kwamba Mungu anaweza kufanya lolote - hata kumwezesha Mariamu kuwa mjamzito bila kushiriki na mwanaume. + +# Tazama + +Mariamu anatumia udhihirisho huo huo kama malaika kusisitiza jinsi alivyokuwa anajali kuhusu uamzi wake kujikabidhi kwa Bwana. + +# Mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana + +Chagua udhihirisho ambao unaonesha unyenyekevu na utii kwa Bwana. Yeye alikuwa hajiinui juu ya kuwa mtumishi wa Bwana. + +# Acha hii itokee kwangu + +"Acha hii itokee kwangu." Mariamu alikuwa anadhihirisha utayari wake kwa mambo yatakayo tokea kwamba malaika alishamwambia yalikuwa karibu yatokee. + diff --git a/luk/01/39.md b/luk/01/39.md new file mode 100644 index 00000000..c06e2959 --- /dev/null +++ b/luk/01/39.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Mariamu anakwenda kumtembelea ndugu yake Elizabethi ambaye alikuwa anakaribia kumzaa Yohana. + +# aliinuka + +Nahau hii inamaanisha hakusimama tu, lakini pia "alikuwa tayari." NI: "alianza kutoka" au "alikuwa tayari" + +# nchi ya vilima + +"eneo la vilima" au "sehemu ya milima ya Israeli" + +# Alikwenda + +Hii inadokeza kwamba Mariamu alimaliza safari yake kabla ya kwenda nyumbani kwa Zakaria. Hii ingelisesemwa wazi. NI: "Yeye alipofika, alikwenda." + +# Sasa ilitokea + +Kauli ilitumika kuonesha tukio jipya katika sehemu ya simulizi hii. + +# Katika tumbo lake + +"katika tumbo la Elizabethi" + +# karuka + +"sogea ghafla" + diff --git a/luk/01/42.md b/luk/01/42.md new file mode 100644 index 00000000..deeb15a5 --- /dev/null +++ b/luk/01/42.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# alipaza sauti ... lisema kwa nguvu + +Kauli hizi mbili zinamaanisha kitu kilekile, na zinatumika kusisitiza namna Elizabethi alivyokuwa kasisimka. Zingeliweza kuwekwa katika kauli moja. NI: "liotamka ghafla kwa sauti." (UDB) + +# alipaza sauti yake + +Nahau hii inamaanisha "aliongeza kiwango cha sauti yake" + +# umebarikiwa kati ya wanawake + +Nahau "kati ta wanawake" inamaana "zaidi kuliko wanawake wengine." + +# matunda ya tumbo lako + +Mtoto wa Mariamu analinganishwa na matunda ya mti unaozaa. NI: "mtoto katika tumbo lako" au "mtoto utakayemzaa" (UDB) + +# Na kwa nini hii imetokea kwangu kwamba mama wa Bwana wangu aje kwangu? + +Elizabethi alikuwa haulizi apate taarifa. Alikuwa anaonesha jinsi alivyoshangaa na alivyokuwa na furaha kwamba mama wa Bwana amekuja kwake. NI: "Jinsi ilivyokuwa ajabu kwamba mama wa Bwana amekuja kwangu!" + +# mama wa Bwana + +Hii inarejea kwa Mariamu. "wewe, mama wa Bwana wangu." (UDB) + +# Tazama + +Kauli hii inatuamsha tusikilize kushangaa kwa kauli ya Elizabethi inayofuata. + +# aliruka kwa furaha + +"lisogea ghafla kwa furaha" au "ligeuka kwa haraka kwa sababu alikuwa na furaha!" + +# ilikuja masikioni mwangu + +Hii nahau inamaana "nilisikia." + +# "amebarikiwa yeye ambaye kaamini + +"ninyi mlio amini mmebarikiwa" au "kwa sababu mliamini, mtakuwa na furaha" + +# pale pangekuwa na utimilifu wa mambo + +"mambo haya yangelitokea kweli" au "mambo haya yangelikuwa kweli" + +# mambo ambayo yalisemwa kutoka kwa Bwana kwake + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. " ujumbe ambao Bwana amempa" au "mambo yale uliyo ambiwa na Bwana" + diff --git a/luk/01/46.md b/luk/01/46.md new file mode 100644 index 00000000..350b68fe --- /dev/null +++ b/luk/01/46.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla: + +Mariamu anaanza wimbo wa kumsifu Bwana Mwokozi wake. + +# Nafsi yangu inasifu ... roho yangu inashangilia + +Mariamu anatumia mtindo wa ushairi pale anaposema mambo yale yale katika njia mbili mhimu. ikiwezekana tafsri haya katika tofauti ndogo ya maneno au kauli ambayo inamaana inayofanana. + +# Nafsi yangu ... roho yangu + +Yote "nafsi" na "roho" ... hurejea kwenye viungo vya kiroho vya mtu. Mariamu anasema kwamba ibada yake inatokea kwenye mtima wake wa ndani. NI: "utu wangu wa ndani ... moyo wangu" au "Mimi ... Mimi." + +# imefurahi ndani + +"amehisi kufurahi sana" au "alikuwa na furaha sana" + +# Mungu Mwokozi wangu + +"Mungu, ambaye ndiye aniokoaye mimi" au "Mungu ananiokoaye mimi" + diff --git a/luk/01/48.md b/luk/01/48.md new file mode 100644 index 00000000..4a842aa5 --- /dev/null +++ b/luk/01/48.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa yeye + +"Kwa sababu yeye" + +# alitazama pale + +"alitazama pale kwa makini" au "alijali" + +# hali ya chini + +"umaskini." Familia ya Mariamu ilikuwa siyo tajiri. + +# Angalia + +Kauli hii inatoa wito kwa kauli inayofuata. + +# tokea sasa na kuendelea + +"sasa na badaye" + +# vizazi vyote + +"watu wote katika vizazi vyote" + +# yeye ambaye anauweza + +"Mungu, mwenye nguvu" (UDB) + +# jina lake + +Hapa "jina" hurejea kwenye hali yote ya Mungu. NI: "Yeye." + diff --git a/luk/01/50.md b/luk/01/50.md new file mode 100644 index 00000000..d4fd9594 --- /dev/null +++ b/luk/01/50.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Rehema Yake + +"rehema ya Mungu" + +# tokea kizazi kwenda kizazi + +"kutoka kizazi kimoja kwenda kizazi kinachofuata" au "kupitia kila kizazi" au "kwa watu wa kila majira" + +# alionesha nguvu kwa mkono wake + +"mkono wake" ni lugha picha inayorejea mkono wa nguvu wa Mungu. NI: inaonesha kwamba Yeye ananguvu sana." + +# tawanyika + +"fukuza katika uelekeo mbalimbali" + +# mawazo ya mioyo yao + +"moyo" ni nahau ambayo inarejea kwenye mawazo ya mtu ya ndani. NI: "mawazo katika utu wao wa ndani." + diff --git a/luk/01/52.md b/luk/01/52.md new file mode 100644 index 00000000..ac2a0e2f --- /dev/null +++ b/luk/01/52.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# amewashusha chini wafalme kutoka kwenye enzi zao + +Enzi ni kiti ambacho mtawala anakalia, na ni mfano wa mamlaka. Kama mfalme akiondolewa kwenye enzi yake, inamaanisha hana mamlaka tena ya kutawala. NI: "Yeye amechukua mamlaka ya wafalme au "watawala kuacha kutawala." + +# amewashusha chini wafalme ... amewainua juu wenye hali ya chini + +Kupingana kati ya hali hizi mbili iwekwe wazi katika tafsiri kama inawezekana. + +# hali ya chini + +"umaskini." Familia ya Mariamu walikuwa siyo tajiri. Angalia livyotafsriwa 1:48. + +# amewainua ambao wana hali ya chini + +Katika neno picha hili, watu ambao ni wa mhimu wako juu zaidi ya wale ambao si mhimu. NI: "amefanya watu wanyenyekevu kuwa wa mhimu" au "amewapa heshima ambao watu wengine hawakuwaheshimu." + +# amewalisha wenye njaa ... matajiri wameondoka bila kitu + +Kutofautisha kati ya matendo wawili yaliyo kinyume itengenezwe tafsiri iliyowazi kama inawezekana. + +# kashibisha wenye njaa na chakula kizuri + +Maana zinazowezekana ni 1) "amewapa wenye njaa chukula kizuri wale" au 2) "kawapa wahitaji vitu vizuri," + diff --git a/luk/01/54.md b/luk/01/54.md new file mode 100644 index 00000000..8b9acf4f --- /dev/null +++ b/luk/01/54.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +UDB inarekebisha mistari hii kuwa daraja ili kutunza kwa pamoja taarifa zinazohusu Israeli. + +# ametoa msaada kwa + +"Bwana amesaidia" + +# Israeli mtumishi wangu + +Kama wasomaji watachanganya hiki na mtu anayeitwa Israeli, itatafsiriwa kama "mtumishi wake, taifa la Israeli" au "Israeli, mtumishi wake." + +# Hivyo kama vile + +"ili kwamba" + +# kukumbuka + +Mungu hawezi kusahau. Ambapo Mungu "hukumbuka," hii nahau inayomaanisha Mungu anatenda kutokana na ahadi yake aliyotoa mapema. + +# kama alivyosema kwa baba zetu + +"hakika kama alivyoahidi kwa wahenga wetu angelifanya." "Kauli hii inaleta taarifa ya nyuma ahadi ya Mungu kwa Abrahamu." NI: "kwa sababu aliahidi kwa wahenga wetu angelikuwa na rehema." + +# uzao wake + +"wazawa wa Abrahamu" + diff --git a/luk/01/56.md b/luk/01/56.md new file mode 100644 index 00000000..5646b33b --- /dev/null +++ b/luk/01/56.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Unganisha + +Elizabethi anajifungua mtoto wake na Zakaria anamwita jina mtoto wao. + +# alirudi nyumbani kwake + +"Mariamu alirudi nyumbani kwake" au "Mariamu alirudi kwenye nyumba yake" + +# Sasa + +Neno hili linaonesha mwanzo wa tukio linalofuata katika historia. + +# Jirani zake na ndugu zake + +"majirani na ndugu wa Elizabethi" + +# alizidisha rehema yake kwaajili yake + +""amekuwa mwema sana kwake" UDB + diff --git a/luk/01/59.md b/luk/01/59.md new file mode 100644 index 00000000..5ded9ae3 --- /dev/null +++ b/luk/01/59.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sasa ilitokea katika hiyo siku ya nane + +"Sasa wakati mtoto akiwa na siku nane" au NI: "Ndipo, siku ya nane baada ya mtoto kuzaliwa" + +# wao + +Hii huenda wanarejea kwa Zakaria na rafiki na ndugu wa Elizabethi. + +# kumtahiri mtoto + +Hii ilikuwa sherehe ya kawaida wakati mtu alipokuwa anamtahiri mtoto rafiki zake wapaswa kuwa hapo kusherehekea pamoja na hiyo Familiya. NI: "sherehe kwaajili ya kutahiriwa kwa mtoto." + +# Wangeliweza kumwita yeye + +"Walikuwa wanaenda kumwita yeye" au "Walitaka kumwita yeye jina." Hii ilikuwa desturi ya kawaida. + +# kama jina la baba yake + +"jina la baba yake" + +# kwa jina hili + +"kwa jina hilo" au "kwa jina lilelile" + diff --git a/luk/01/62.md b/luk/01/62.md new file mode 100644 index 00000000..18f54cb8 --- /dev/null +++ b/luk/01/62.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wao + +Hii inarejea kwa watu ambao walikuwa pale kwaajili ya sherehe ya kutahiriwa. + +# alifanya ishara + +"alitaja." Pengine Zakaria alikuwa hawezi kusikia, vilevile kuzungumza, au watu walikisia kwamba hangeliweza kusikia. + +# kwa baba yake + +"kwa baba wa mtoto" + +# jinsi alivyotaka awe anaitwa + +"jina ambalo Zakaria alitaka kumpa mtoto" + +# Baba yake aliomba ubao wa kuandikia + +Inaweza ikasaidia kusema jinsi Zakaria "alivyoomba," Sababu hakuweza kuzungumza. NI: "Baba yake alitumia mikono kuwaonesha watu kwamba alihitaji wampe ubao wa kuandikia" + +# ubao wa kuandikia + +"kitu fulani unachoweza kuandika" + +# alistaajabishwa + +"shangaa sana" au "stajaabishwa" + diff --git a/luk/01/64.md b/luk/01/64.md new file mode 100644 index 00000000..40f17191 --- /dev/null +++ b/luk/01/64.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# kinywa chake kilifunguliwa ... ulimi wake uliwekwa huru + +Hizi kauli mbili ni maneno picha ambayo pamoja yanasisitiza kwamba Zakaria aliweza kuzungumza ghafla. + +# kinywa chake kilifunguliwa na ulimi wake uliwekwa huru + +Kauli hizi zinaweza pia kusemwa katika mtindo wa kutenda. NI: Mungu akafungua kinywa chake na kuuweka huru ulimi." + +# Hofu ikawajia wote ambao waliishi karibu nao + +"Wote walioishi karibu na Zakaria na Elizabethi walikuwa na hofu." Walikuwa wamepigwa butwaa kwa njia ya Mungu ya miujiza kumrejeshea Zakaria uwezo wa kuzungumza. NI: "Kila mmoja aliyeishi karibu nao walikuwa katika hofu ya Mungu." + +# wote ambao waliishi + +Hii hairejei tu kwa wale majirani wa karibu lakini kwa kila mmoja ambaye aliishi eneo hilo. + +# wote waliowasikia wao + +Neno "wao" hapa linarejea kwenye mambo yaliokwisha tokea. + +# wote waliosikia + +Hii inarejea kwenye kundi kubwa la watu walioishi Uyahudi yote. + +# kusema + +"kuuliza" + +# Mtoto huyu atakuja kuwa kuwa nani? + +"Aina gani ya ukuu ambao atakuwa nao mtoto huyu akikua?" Hii pia inawezeakana kwamba swali hili lilikuwa linamaanisha kuwa ni kauli ya kuwashangaza kwa kile walichisikia kuhusu mtoto. NI: "Mtoto huyu atakuwa mkuu wa namna gani!" + +# mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye + +Kauli hii "mkono wa Bwana" inarejea nguvu za Mungu. "Nguvu za Mungu zilikuwa pamoja naye" au "Mungu alikuwa anafanya kazi ndani yake kwa nguvu." + diff --git a/luk/01/67.md b/luk/01/67.md new file mode 100644 index 00000000..76d29b70 --- /dev/null +++ b/luk/01/67.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganisha: + +Zakaria anasema kilichotokea kwa Yohana mtoto wake. + +# Zakaria Baba yake alikuwa kajazwa na Roho Mtakatifu + +Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa kutendea. NI: "Roho Mtakatifu alimjaza Zakaria baba yake." + +# Baba yake + +baba wa Yohana + +# alitoa unabii, akisema + +fikiria njia za asili za kuanza kunukuu moja kwa moja katika lugha yako. NI: "alitoa unabii na alisema" au "alitoa unabii na hiki ndicho alichokisema" + +# Mungu wa Israeli + +"Israeli" hapa anarejea kwa taifa la Israeli. Uhusiano kati ya Mingu na Israeliungelisemwa moja kwa moja. NI: "Mungu ambaye anatawala juu ya Israeli" au "Mungu ambaye Israeli anamwabudu." + +# watu wake + +"watu wa Mungu" + diff --git a/luk/01/69.md b/luk/01/69.md new file mode 100644 index 00000000..863f8737 --- /dev/null +++ b/luk/01/69.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# pembe ya wokovu kwaajili yetu + +pembe ya mnyama ni mfano kwaajili ya nguvu zake kujitetea yenyewe. Maana hii isemwe wazi. NI: "mtu fulani mwenye nguvu kutuokoa sisi." + +# ndani ya nyumba ya mtumishi wake Daudi + +"Nyumba" ya Daudi inawasilisha familia yake, hasa, ukoo wake, NI: "katika familia ya mtumishi wake Daudi" au "ambaye ni ukoo wa mtumishi wake Daudi" + +# kama alivyosema + +"kama tu Mungu alivyosema" + +# alisema kwa kinywa cha manabii wake watakatifu + +Mungu aliwawezesha manabii kuzungumza neno alilotaka wao wazungumze. udhibiti wa Mungu unaweza kusemwa NI: "alisababisha manabii wake watakatifu kusema." + +# kwa mdomo wa + +Hii inazungumzia ujumbe wa manabii kama ilikuwa midomo inasema maneno NI: "kwenye maneno ya" + +# walikuwapo katika ulimwengu wa kale + +"waliishi zamani" + +# kuleta wokovu + +Hii inarejea kwenye wokovu wa mwili, zaidi kuliko wokovu wa kiroho. + +# adui zetu ... wote wanaotuchukia + +Hizi kauli mbili kimsingi zinamaanisha jambo lilelile na zimerudiwa kusisitiza jinsi adui zao walivyokuwa na nguvu kinyume chao. + +# kutoka katika mkononi mwa + +Itakuwa ni msaada kusema tena "wokovu" hapa. NI: "wokovu kutokana na mkono wa." + +# mkono + +"nguvu" au "udhibiti." Neno "mkono" linakwenda pamoja na nguvu ambazo zinatumika kuwaumiza watu wa Mungu + diff --git a/luk/01/72.md b/luk/01/72.md new file mode 100644 index 00000000..e5d4e8fd --- /dev/null +++ b/luk/01/72.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# kuonesha rehema + +"kuwa na huruma kwa" au "kutenda kutokana na rehema yake kwao" + +# kumbuka + +Hapa neno "kumbuka" linamaana kuendelea kujitoa au kukamilisha kitu fulani. + +# agano lake takatifu ... kiapo ambacho alikisema + +Kauli hizi mbili zinarejea kwenye kitu kile kile. Zimerudiwa kuonesha kujali kwa Mungu juu ya ahadi kwa Abrahamu. + +# kutoa idhini kwetu + +"kufanya iwezekane kwaajili yetu" + +# kwamba sisi, tumekombolewa ... tumtumikie yeye bila hofu + +Inaweza ikasaidia kubadili mtindo wa kauli hizi. NI: "kwmba tungelimtumikia yeye bila bila hofu baada sisi kuokolewa kutoka katika nguvu za adui wetu." + +# kutoka katika mkono wa adui zetu + +"mkono" inarejea kudhibiti au nguvu ya mtu. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "kutoka katika udhibiti wa adui zetu." + +# bila hofu + +Hii inarejerea nyuma kwenye hofu ya adui zao. NI: "bila kuwaogopa adui zetu" + +# katika utakatifu na haki + +Hizi zinaweza kudhihirishwa kama matendo. NI: "kuishi katika njia safi na kutenda haki" + +# mbele yake + +Nahau hii ambayo inamaanisha "katika uwepo wake" + diff --git a/luk/01/76.md b/luk/01/76.md new file mode 100644 index 00000000..08a68834 --- /dev/null +++ b/luk/01/76.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ndiyo, na wewe + +Zakaria anatumia kauli hii kuanza hotuba yake moja kwa moja kwa mtoto wake. Unaweza kuwa na njia ile ile ya kuhutubia moja kwa moja katika lugha yako. + +# huyu, mtoto, ataitwa nabii + +Watu watatambua kwamba huyu ni nabii. Hii inaweza ikasemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "watu watajua kwamba wewe ni nabii." + +# wa aliye Juu Sana + +"ambaye anamtumikia aliye Juu Sana." Hii inarejea kwa Mungu. NI: "ambaye anazungumza kwaajili ya Mungu aliye Juu Sana." + +# kwenda mbele za uso wa Bwana + +Nahau hii inamaana "kwenda mbele za Bwana" au "kuja mbele za Bwana." + +# kuwapa maarifa ya wokovu watu wake + +"kuelezea wokovu kwa watu wake" au "hivyo watu wake waweze kufahamu wokovu" + +# kwa msamaha wa dhambi zao + +"kupitia msamaha wa dhambi zao." Pia inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwa sababu Mungu amewasamehe" + diff --git a/luk/01/78.md b/luk/01/78.md new file mode 100644 index 00000000..c99ca211 --- /dev/null +++ b/luk/01/78.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Kupitia katika mistari hii : "sisi" inahusisha watu wote. + +# kwa sababu kawaida ya huruma iliyotolewa na Mungu wetu + +Hii inaweza kusaidia kusema kwamba rehema ya Mungu inatusaidia sisi. NI: "kwa sababu Mungu anahuruma na na rehema kwetu." + +# jua linachomoza kutoka juu ... kuchomoza juu + +Mwanga kwa kawaida ni sitiari kwa ukweli. Hapa, jinsi jua linavyochomoza mwanga wake juu ya nchi ilitumika kama mfano wa jinsi mwokozi anavyotoa ukweli wa kiroho kwa watu. + +# angaza juu + +"toa maarifa kwa" au "toa mwanga wa kiroho kwa" + +# wao wanaokaa gizani + +Giza hapa ni sitiari kwa watu wasio na kweli. Hapa, watu ambao wanapungukiwa ukweli wa kiroho wanasemwa kama kwamba wanakaa gizani. NI: "watu wasiojua kufanya kweli" + +# giza... kivuli cha kifo + +kauli hizi mbili zinafanya kazi pamoja kusisitiza giza nene la kiroho kwa watu Mungu huwaonesha rehema kwao. + +# katika kivuli cha mauti + +kivuli ni sitiari kwa kitu fulani ambacho kinakabili. Hapa, inarejea kwenye giza la kiroho ambalo litawasababisha kufa. NI: "ambao wanakaribia kufa." + +# ongoza miguu yetu + +Kuongoza mtu kutembe ni sitiari ya kuongoza ufahamu wa kiroho. NI: "tuongoze" au "Tufundushe." + +# miguu yetu + +"miguu" inatumika kuwakilisha mtu kwa ujumla. NI: "sisi" + +# katika njia ya amani + +"njia ya amani" ni sitiari kwaajili ya njia inayomsababisha mtu kuwa na amani na Mungu. NI: "kuishi maisha ya amani" au "kutembea katika njia ambayo inatuongoza kwenye amani." + diff --git a/luk/01/80.md b/luk/01/80.md new file mode 100644 index 00000000..9e51056c --- /dev/null +++ b/luk/01/80.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa ujumla: + +Hii inatuambia kwa kifupi kuhusu miaka ya Yohana kuongezeka. + +# Sasa + +Neno hili linatumika hapa kuonesha kituo kwenye mfululizo wa habari kuu. Luka anahama kwa haraka kutoka kuzaliwa kwa Yohana kwenda kwenye huduma yake. + +# kuwa na nguvu katika roho + +"kukomaa kiroho" au "kuimarisha uhusiano na Mungu" + +# alikuwa katika mwitu + +"aliishi katika mwitu." Luka hasemi katika umri gani Yohana alianza kuishi mwituni. + +# mpaka + +Hii siyo lazima kuonesha hoja ya kumalizia. Yohana anaendelea kuishi katika pori hata baada ya kuanza kuhubiri hadharani. + +# siku ya kujitokeza kwake + +"alipoanza kuhubiri hadharani" + +# siku + +Hii ilitumika hapa katika dhana ya jumla ya "wakati" au "fursa" + diff --git a/luk/02/01.md b/luk/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..c347476b --- /dev/null +++ b/luk/02/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Hii inatoa maelezo ya nyuma kuonesha kwanini Mariamu na Yusufu wanatakiwa kuondoka kwaajili ya kuzaliwa kwa Yesu. + +# Sasa + +Neno hili ni alama ya kuanza kwa sehemu mpya ya simulizi. + +# ikaja ikawa kwamba + +Kauli hii ilitumika kuonesha kwamba huu ni mwanzo wa wajibu. Kama lugha yako inayo njia ya kuonesha kuanza kwa kuwajibika, unaweza ukatumia hiyo. Baadhi ya tafsiri haziweki kauli hii. + +# Kaisari Agusto + +"Mfalme Agusto" au "Mtawala Agusto." Agusto alikuwa mtawala wa kwanza wa dola ya Rumi. + +# alitoa agizo likielekeza + +Amri hii huenda ilinabebwa na wajumbe kupitia katika dola. NI: "wajumbe waliotumwa maelekezo ya amri" + +# kwamba ichukuliwe sensa ya watu wote wanaoishi katika ulimwengu + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwamba waorodheshe watu wote wanaoishi katika ulimwengu wa kirumi" au "wahesabu watu wote katika ulimwengu wa kirumi na waandike majina yao." + +# ulimwengu + +eneo la dunia lililotawaliwa na serikali ya Rumi au "nchi zilizoongozwa na dola ya Kirumi" + +# Krenio + +Krenio aliteuliwa kuwa mtawala wa Siria/Shamu + +# kila mmoja alikwenda + +"kila mmoja aliondoka" au "kila mmoja alikuwa anakwenda" + +# mji wa kwao + +Inaweza ikasaidia kusema kwamba "ya kwake" hairejei kwenye mji ambao alikuwa akiishi. NI: "ni mji ambao wahenga wake waliishi." + +# kuandikishwa kwaajili ya sensa + +"kuwa na majina yameandikwa kwenye orodha" au "kuwekwa kwenye idadi kiofisi" + diff --git a/luk/02/04.md b/luk/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..cf90e600 --- /dev/null +++ b/luk/02/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +UDB inaweka sawa hii mistari miwili kuwa daraja ambalo litatengeneza urahisi wa kufupisha sentensi. + +# pia Yusufu + +Hii inamtambulisha Yusufu kama mhusika mpya katika simulizi. + +# kwenye mji wa Daudi + +Taarifa hizi zilizotangulia kuhusu umhimu wa wa Bethlehemu. Ingawa ulikuwa mji mdogo, Mfalme Daudi alizaliwa pale, na ulikuwapo unabii kwamba masihi atazaliwa pale. NI: ambao ulikuwa unaitwa mji wa Daudi" + +# kwa sababu alikuwa wa nyumba na familia ya Daudi + +"kwa sababu Yusufu alikuwa wa uzao wa Daudi" + +# Kuandikisha + +Hii inamaanisha kutaarifu kwa afisa kule hivyo wamhusishe naye kwenye wajibu. Tumia kauli kwaajili ya afisa mwandikishaji wa serikali ikiwezekana. + +# pamoja na Mariamu + +Mariamu alisafiri pamoja na Yusufu kutoka Nazarethi. Ni wazi kwamba wanawake pia walihitajika, hivyo Mariamu angelihitaji kusafiri na kuandikishwa vile vile. + +# ambaye alikuwa kaposwa naye + +"mchumba wake" au "aliyekuwa ameahidi kwake." Wachumba walihesabiwa kisheria wameoana, lakini pale isingelikuwa kukaribiana kimwili kati yao. + diff --git a/luk/02/06.md b/luk/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..5f35c88a --- /dev/null +++ b/luk/02/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kauli Unganishi: + +Hii inatuambia kuzaliwa kwa Yesu kwa tangazo la malaika kwa wachungaji. + +# Maelekezo kwa ujumla: + +UDB inapanga upya mistari hii katika mstari daraja ili kutunza pamoja undani kuhusu mahali walipokaa. + +# Sasa ikaja kwamba + +Kauli hii inaweka alama ya kuanza kwa tukio linalofuata katika simulizi. + +# wakati wakiwa pale + +"wakati Mariamu na Yusufu walikuwa Bethlehemu" + +# wakati ukawadia wa kuzaa mtoto + +"ilikuwa ni muda wa kujifungua mtoto wake" + +# alimsetiri kwa nguo nadhifu + +Hii ilikuwa ni njia ya kawaida kwa akinamama kukinga na kutunza watoto wao kiutamaduni. ungesema hii wazi: NI: "akasetiri joto kwa kumfunga blanketi vizuri" au "akamfunga kumsetiri kwa blanketi." + +# alimlaza katika kihori + +Hiki kilikuwa aina ya kiboksi au chombo ambacho watu waliweka nyasi kavu au chakula kingine ndani yake kwaajili ya chakula cha wanyama. kilikuwa safi sana na kilikuwa laini na kavu kama nyasi kavu ndani kama sponji kwa mtoto. Wanyama kawaida walitunzwa karibu na nymbani kuwalinda kiusalama na kuwalisha kwa urahisi. Ni dhahiri Mariamu na Yusufu walibaki kwenye eneo ambalo lilitumika kwaajili ya wanyama. + +# hapakuwa na nafasi kwaajili yao katika nyumba za wageni + +"hapakuwa na mahali kwaajili yao kwenye vyumba vya wageni." Hii huenda ilikuwa kwa sababu ya watu wengi walikwenda Bethlehemu kujiandikisha. Luka anaongeza kama taarifa ya iliyokwishakutolewa. + diff --git a/luk/02/08.md b/luk/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..4d1cc221 --- /dev/null +++ b/luk/02/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Malaika wa Bwana + +""malaika kutoka kwa Bwana" au "malaika anayemtumikia Bwana" + +# aliwatokea + +"akaja kwa wachungaji" + +# utukufu wa Bwana + +chanzo cha mwanga mweupe ulikuwa ni utukufu wa Bwana, ambao uliwatokea kwa wakati ule ule kama malaika. + diff --git a/luk/02/10.md b/luk/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..a4afe9f7 --- /dev/null +++ b/luk/02/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# usiwe na hofu + +"koma kuwa na hofu" + +# kwamba zitaleta furaha kwa watu wote + +"kwama zitawafanya wote kufurahi sana" + +# watu wote + +Baadhi wanafahamu hii kurejea kwa Wayahudi. Wengine wanaelewa inarejea kwa watu wote. + +# mji wa Daudi + +Hii inamaanisha Bethlehemu + +# Hii ni ishara itakayotolewa kwenu + +Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo tendea. NI: "Mungu atawapa ishara hii" au "mtaona ishara hii inayotoka kwa Mungu." + +# ishara + +""uthibitisho." Hii pengine inaweza kuwa ishara kuthibitisha kwamba kile ambacho malaika alikuwa anasema ni kweli, au inaweza kuwa ishara ambayo ingelisaidia wachungaji kumtambua mtoto. + +# atasetiriwa katika nguo nadhifu + +Hii ilikuwa njia ya kawaida kwamba mama alimlinda na kutunza watoto wao katika utamaduni huo. NI: "alisetiriwa vema katika blanketi itunzayo joto" au "alifungwa kwaufanisi kwenye blanketi." Angalia jinsi ilivyotafsiriwa 2:2. + +# Kalala katika kihori cha kulishia + +Hiki kilikuwa kiboksi au kitu ambabacho watu waliweka humo majani au chakula kwaajili ya kula ng'ombe. Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika 2:6. + diff --git a/luk/02/13.md b/luk/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..375c1594 --- /dev/null +++ b/luk/02/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# idadi kubwa, ya jeshi la mbinguni + +Neno "jeshi la mbinguni" hapa itarerejea kwenye jeshi halisi la malaika, au inawezakuwa sitiari kwaajili kikundi cha malaika kilicho andaliwa. NI: "kundi kubwa la malaika kutoka mbinguni." (UDB) + +# kumsifu Mungu + +"kumpa sifa Mungu" + +# Utukufu kwa Mungu juu sana + +Maana zinazowezekana ni 1) "Toa heshima kwa Mungu aliye mahali pa juu sana" au 2) "Toa heshima ya juu sana kwa Mungu." + +# hapa duniani iweze kuwa amani kati ya watu ambao ameridhishwa nao + +"wale watu ambao wako duniani ambao Mungu ameridhishwa nao basi wawe na amani" + diff --git a/luk/02/15.md b/luk/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..db196423 --- /dev/null +++ b/luk/02/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ikawa + +kauli hii ilitumika kuonesha kubadili kwa masimulizi kwenda kwenye ambacho wachungaji walifanya baada ya malaika kuondoka. + +# kutoka kwao + +"kutoka kwa wachungaji" + +# Baina ya mtu na mtu + +"kwa mmoja na mwingine" + +# ngoja nasi ... kwetu + +Tangu wachungaji walikuwa wanazungumza mmoja na mwingine, lugha ambayo inamtindo wa kuhusisha kwa "sisi" na "nasi" tumia mtindo wa kuhusisha hapa. + +# ngoja nasi + +"nasi tuta" + +# jambo hili ambalo limetokea + +Hii inarejea kuzaliwa kwa mtoto, na siyo kuonekana kwa malaika. + +# kalala katika kihori cha kulishia + +Hii ilikuwa aina fulani ya boksi au kitu ambacho watu waliweka nyasi kavu au chakula kwaajili ya wanyama kula. Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika 2:6. + diff --git a/luk/02/17.md b/luk/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..71784250 --- /dev/null +++ b/luk/02/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ambacho kilikuwa kimesemwa kwao na wachungaji + +Hii inaweza ikasemwa kwenye mtindo wa kutendea. NI: ""kile ambacho malaika waliwaambia wao wachungaji." + +# mtoto huyu + +"mtoto" + +# kile ambacho kilizungumza kwao na wachungaji + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "ambacho wachungaji waliwaambia." + +# kuyatunza moyoni mwake + +hazina ni kitu fulani ambacho ni cha thamani sana na kizuri. Mariamu alifikiri mambo aliyoambiwa kuhusu mtoto wake kuwa ni mazuri sana. NI: "kuyakumbuka kwa makini" au "kuyakumbuka kwa furaha." + +# walirudi + +"wakarudi mashambani kwenye kondoo" + +# kumtukuza na kumsifu Mungu + +haya yanafanana na yanasisitiza jinsi walivyochangamka kuhusu kile ambacho Mungu kafanya. NI: "sema juu ya kusifu ukuu wa Mungu." + diff --git a/luk/02/21.md b/luk/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..48abf62d --- /dev/null +++ b/luk/02/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla: + +Sheria Mungu aliyowapa Wayahudi waamini aliwaambia lini mtoto mvulana atahiriwe na sadaka ipi wazazi walete. + +# ilipokuwa mwishoni mwa siku ya nane + +kauli hii inaonesha muda ukapita kabla ya tukio jipya. + +# mwishoni mwa siku ya nane + +"ilikuwa siku nane baadaya kuzaliwa kwake" au "alikuwa na umri wa siku nane" + +# aliitwa + +Yusufu na Mariamu walimwita jina lake. + +# jina alilokwishakuwa amepewa na malaika + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "jina ambalo malaika alimwita." + diff --git a/luk/02/22.md b/luk/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..e402e277 --- /dev/null +++ b/luk/02/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wakati hesabu iliyotakiwa ... ilishapita + +Hii inaonesha kupita kwa muda kabla ya tukio jipya. + +# hesabu iliyotakiwa ya siku + +Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa tendea. NI: "hesabu ya siku ambazo Mungu alitaka." + +# kwaajili ya kujitakasa kwao + +"kwaajili ya wao kuwa safi kiutaratibu." Pia unaweza kuisema nafasi ya Mungu. "Mungu kutaka wao wawe safi tena." + +# kumkabidhi kwa Bwana + +"kumleta kwa Bwana" au "kumleta yeye kwenye uwepo wa Bwana." Hii ilikuwa ni sherehe kutambua nia ya Mungu kwa mtoto mzaliwa wa kwanza ambaye ni wa kiume. + +# kama ilivyo andikwa + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa tendea. NI: "kama alivyo andika Musa" au "walifanya hivyo kwa sababu Musa aliandika." + +# kila mwanaume ambaye anafungua tumbo + +"fungua tumbo" ni nahau ambayo inarejea kwa mtoto wa kwanza kutoka tumboni. Hii ilirejea kwa wote wanyama na wanadamu. NI: "kila mzaliwa wa kwanza mtoto ambaye ni mwanaume." + +# hicho ambacho kilisemwa katika sheria ya Bwana + +"ambacho sheria ya Bwana inasema." Hii ni sehemu tofauti katika sheria. Inarejea kwa wanaume, iwe mzaliwa wa kwanza au sivyo. + diff --git a/luk/02/25.md b/luk/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..e84f07e1 --- /dev/null +++ b/luk/02/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Wakati Mariamu na Yusufu wako hekaluni, waliwaona watu wawili: Simeoni, ambaye alimsifu Mungu na kutoa unabii kuhusu mtoto, na nabii mke Ana. + +# Tazama + +Neno "tazama" linatuashiria mtu mpya katika simulizi. Lugha yako inaweza ikawa na njia ya kutenda hivi. + +# alikuwa mwenye haki na mcha Mungu + +Kauli za nadharia hizi zinaweza kudhihirishwa kama matendo. NI: "alifanya kilichokuwa kinamridhisha Mungu na alitii sheria za Mungu." + +# mfariji wa Israeli + +Hili ni jina jingine la "Masihi" au "Kristo." NI: "ndiye ambaye atafariji Israeli." + +# Roho Mtakatifu alikuwa juu yake + +"Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye." Mungu alikuwa pamoja naye katika njia maalumu na alimpa hekima na maelekezo katika maisha yake. + +# ikafunuliwa kwake na Roho Mtakatifu + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo tendea. NI: "Roho Mtakatifu akamwonesha" au "Roho Mtakatifu akamwambia." + +# asingalikufa kabla hajamwona Kristo Bwana + +"angelimwona Masihi Bwana kabla hajafa" + diff --git a/luk/02/27.md b/luk/02/27.md new file mode 100644 index 00000000..677a1d20 --- /dev/null +++ b/luk/02/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ikatokea + +Baadhi ya lugha zinaweza kusema "kwenda" + +# aliongozwa na Roho Mtakatifu + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo tendea. NI: "kama Roho Mtakatifu alivyo mwelekeza." + +# kwenye hekalu + +"katika kiwanja cha hekalu." Makuhani tu wangeliigia kwenye jengo la hekalu. + +# wazazi + +"wazazi' wa Yesu" + +# desturi ya sheria + +"desturi ya sheria ya Mungu" + +# Sasa mpe ruhusa mtumishi wako aende kwa amani + +"Mimi mtumishi wako; niruhusu niende katika amani." Simeoni alikuwa anarejea kwake mwenyewe. + +# ondoka + +Hii ni tasifida imaanishayo "kufa" + +# kutokana na neno lako + +"kama ulivyosema" au "kwasababu ulisema ningeli" + diff --git a/luk/02/30.md b/luk/02/30.md new file mode 100644 index 00000000..e0c346bb --- /dev/null +++ b/luk/02/30.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# macho yangu yameona + +Udhihirisho huu unamaanisha, "Nimeona mwenyewe" au "Mimi, Mwenyewe, nimeona" + +# wokovu wako + +Udhihirisho huu unarejea kwa mtu ambaye angeleta wokovu - mchanga Yesu--ambaye Simeoni alikuwa amembeba. NI: "mwokozi ambaye umemtuma" au "yeye ambaye ulimtuma kuokoa" (UDB) + +# ambacho wewe + +inategema na jinsi unavyo tafsiri kauli iliyopita, hii inahitaji kubadilishwa kuwa "ambaye wewe." + +# umeandaa + +"umepanga" au "ulisababisha itokee" + +# Nuru + +Sitiari hii inamaanisha kwamba mtoto atasaidia watu kuona na kufahamu njia inasema mwanga husaidia watu kuona barabara. NI: "huyu mtoto anawezesha watu kuelewa nuru inavyoruhusu kuona barabara." + +# kwaajili ya ufunuo + +iwe lazima kusema ambacho kimefunuliwa. NI: "ambacho kitaufunua ukweli wa Mungu." + +# Udhihirisho + +itakuwa lazima kusema udhihirisho ni nini, NI: "kwamba itadhihirisha ukweli wa Mungu" + +# utukufu kwa watu wako Israeli + +"atakuwa sababu kwamba utukufu utakuja kwa watu wako Israeli" + diff --git a/luk/02/33.md b/luk/02/33.md new file mode 100644 index 00000000..20b4cd8c --- /dev/null +++ b/luk/02/33.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mambo ambayo yalisemwa kumhusu yeye + +Hii inaweza ikasemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "mambo ambayo Simeoni aliyasema kumhusu yeye." + +# alimwambia Mariamu mama yake + +"alisema kwa mama wa mtoto, Mariamu." Hakikisha haieleweki kama Mariamu ni mama wa Simeoni. + +# Tazama + +Simeoni alitumia udhihirisho huu kumwambia Mariamu kwamba ambacho anachokwenda kukisema ni cha mhimu sana kwake. + +# mtoto huyu ni mstaakabali wa kuanguka na kuinuka kwa wengi katika Israeli. + +Neno "kuinuka" na "kuanguka" yanadhihirisha kugeuka kutoka kwa Mungu na kumkaribia Mungu karibu. "mtoto huyu atasababisha watu wengi katika Israeli kuanguka kutoka kwa Mungu au kuinuka karibu na Mungu." + +# kwaajili ya ishara ambayo ilikataliwa + +"kwaajili ya ujumbe kutoka kwa Mungu kwamba watu wengi watapinga" + +# upanga utapenya nafsini mwako + +Sitiari hii inafafanua huzuni ya ndani ambayo Mariamu angeliisikia. NI: "Huzuni yako itakuwa maumivu ingawa kama upanga utapenya moyoni mwako." + +# mawazo kutoka kwenye "mioyo" mingi yatadhihirishwa" + +NI: "mawazo ya watu wengi yatawekwa wazi." + diff --git a/luk/02/36.md b/luk/02/36.md new file mode 100644 index 00000000..0509dcd8 --- /dev/null +++ b/luk/02/36.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Nabii mke jina lake Ana pia alikuwa pale + +Hii inatambulisha mhusika mpya katika simulizi. + +# Fanueli + +"Fanueli" ni jina la mwanaume. + +# miaka saba + +"miaka 7 " + +# baada ubikra wake + +"baada ya kuolewa naye" + +# mjane kwa miaka themanini na minne + +miaka minne** - Maana zinazowezekana 1) kawa mjane kwa miaka 84 au 2) alikuwa mjane na alikuwa na umri wa miaka 84. + +# hakuondoka hekaluni + +Hii huenda ni maana iliyokuzwa kwamba alitumia muda mwingi katika hekalu hii ilionekana kama kwamba hakuondoka pale. NI: "kila mara alikuwa hekaluni" au "daima alikuwa hekaluni." + +# akifunga na kuomba + +"kujinyima chakula na maombi" + +# akawajia karibu yao + +"kuwafuata" au "alikwenda kwa Mariamu na Yusufu" + +# wokovu wa Yerusalemu + +Hapa neno "wokovu" lilitumika kurejea kwa mtu ambaye angetenda. NI: yule ambaye angeokoa Yerusalemu" au "mtu ambaye angeleta baraka za Mungu na fadhila tena kwa Yerusalemu." + diff --git a/luk/02/39.md b/luk/02/39.md new file mode 100644 index 00000000..b5bb0537 --- /dev/null +++ b/luk/02/39.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mariamu, Yusufu na Yesu waliondoka Bethlehemu na kurudi kwenye mji wa Nazarethi kwaajili ya utoto wake. + +# wao walitakiwa kufanya kutokana na sheria ya Bwana + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwamba sheria ya Bwana iliwataka kufanya." + +# mji wa kwao, Nazarethi + +Kauli hii inamaana waliishi Nazarethi. Hakikisha haieleweki kama mji ulio milikiwa. + +# kuongezeka katika hekima + +"kuwa na hekima zaidi" au "alijifunza ambayo yalikuwa ya hekima" + +# neema ya Mungu ilikuwa juu yake + +"Mungu alimbariki" au "Mungu alikuwa pamoja naye kwa namna pekee" + diff --git a/luk/02/41.md b/luk/02/41.md new file mode 100644 index 00000000..d7df86f0 --- /dev/null +++ b/luk/02/41.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kauli Unganisha + +Wakati Yesu akiwa na umri wa mika 12, huenda Yerusalemu pamoja na familia yake. Wakati akiwa pale, anauliza na kujibu maswali kwa waalimu hekaluni. + +# Wazazi wake walikwenda ... sherehe ya Pasaka + +Haya ni maelezo ya nyuma. (angalia: + +# Wazazi wake + +"Wazazi wa Yesu" + +# wakapanda tena + +Yerusalemu ulikuwa juu ya mlima zaidi kuliko ya maeneo mengine, hivyo wilikuwa kawaida kwa Waisreli kusema wanapanda kwenda huko Yerusalemu. + +# kwa muda wa kidesturi + +"muda wa kawaida" au "kama walivyofanya kila mwaka" + +# baada ya kubaki kwa siku nyingi kwaajili ya sherehe + +"Wakati wote wa kusherehekea sikuu ulipokwisha" au "Baada ya kusherehekea sikukuu kwa siku zote zilizotakiwa" + +# sikukuu + +Hili ni jina lingine la kwaajili ya sherehe ya Pasaka, sababu ilihusisha kula chakula cha sherehe. + +# Walidania + +"walifikiri" + +# walisafiri safari ya siku nzima + +"walisafiri siku moja" au "walikwenda umbali wa kama watu wanatembea siku moja" + diff --git a/luk/02/45.md b/luk/02/45.md new file mode 100644 index 00000000..f91a199c --- /dev/null +++ b/luk/02/45.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ikatokea kwamba + +Kauli hii ilitumika hapa kuashiria umhimu wa tukio katika simulizi. Kama lugha yako ina namna ya kufanya hivi, ufikiri kuitumia hapa. + +# katika hekalu + +Hii inarejea kwenye kiwanja cha hekalu. Makuhani tu walioruhusiwa ndani ya hekalu. NI: "katika kiwanja cha hekalu" au "kwenye hekalu." + +# katikati ya + +Hii haina maana ya katikati kabisa. Zaidi, inamaanisha, "kati" au "pamoja na" au "kuzunguka." + +# waalimu + +"waalimu wa dini" au "wale ambao waliwafundisha watu kuhusu Mungu" + +# wote waliosikia walishangaa + +Walikuwa hawawezi kuelewa namna gani mvulana wa miaka kumi na miwili asiye na elimu ya dini ajibu vizuri hivyo. + +# kwenye ufahamu wake + +"kwa kiwango kipi alielewa" au "kwamba yeye anaelewa mengi sana kuhusu Mungu" + +# majibu yake + +"kwa namna alivyo wajibu vizuri" au "kwamba yeye aliwajibu maswali yao vizuri sana" + diff --git a/luk/02/48.md b/luk/02/48.md new file mode 100644 index 00000000..e4773ba4 --- /dev/null +++ b/luk/02/48.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Walipomwona yeye + +"Wakati Mariamu na Yusufu wanamwona Yesu" + +# kwanini umetutendea namna? + +Hii ilikuwa kumkemea kwa kupindisha kwa sababu hakwenda pamoja nao wakati wa kurudi nyumbani. NI: usingefanya hivi!" + +# Sikiliza + +Hili neno daima linatumika kuonesha mwanzo wa tukio jipya au mhimu. Hii pia inaweza kuonesha kutumika mahali tukio linapoanzia. Kama lugha yako inakauli ambayo inatumika kwa njia hii, fikiri ikiwa itaonesha uasili ikitumika hapa. + +# Kwa nini mlikuwa mnanitafuta mimi? + +Yesu alitumia maswali mawili kuwakemea wazazi wake kwa upole, na kuanza kuwaambia kwamba analo kusudi kutoka kwa Baba yake wa mbinguni ambalo wao hawakulielewa. NI: "mlikuwa hamhitajiki kunijali mimi." + +# ninyi hamkujua ... nyumbani? + +Yesu anatumia swali hili la pili kujitahidi kusema kwamba wazazi wake wangejua kuhusu kusudi ambalo Baba alimtuma. NI: "Ninyi mngejua ... nyumbani." + +# Baba yangu + +Kwenye miaka 12, Yesu, Mwana wa Mungu, alielewa kwamba Mungu alikuwa Baba yake halisi (siyo Yusufu, mume wa Mariamu). + +# ndani ya nyumba ya Baba yangu + +Maana zinazowezekana ni 1) "katika nyumba ya Baba yangu" au 2) "kuhusu biashara ya Baba yangu." Ikiwa kwa lolote, ambalo Yesu alisema "Baba yangu" alikuwa anarejea kwa Mungu. Kama alimaanisha "nyumba," basi alikuwa anarejea hekalu. Kama alimaanisha "biashara," alikuwa anarejea kwenye kazi ya Mungu aliyopewa kuifanya. Lakini sababu ya mstari unaofuata anasema kwamba wazazi wake hawakuelewa ambacho alichokuwa anawaambia hao, ingelikuwa vema usifafanue zaidi. + diff --git a/luk/02/51.md b/luk/02/51.md new file mode 100644 index 00000000..18e1a3eb --- /dev/null +++ b/luk/02/51.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# alirudi nao nyumbani + +"Yesu alirudi nyumbani pamoja na Mariamu na Yusufu" + +# ulikuwa utii kwao + +"aliwatii" au "kwa njia zote aliwatii" + +# alihifadhi mambo yote moyoni mwake + +"alikumbuka mambo yote kwa makini" au "kwa furaha alifikiri kuhusu mambo haya." Maneno "kuhifadhi" au "moyo" yanaashiria kwamba Mariamu alijali mambo haya kuwa ni yanamhusu kwa kina na ni mhimu. + +# kukua katika hekima na kimo + +"kuwa na hekima sana na nguvu." Hivi vinarejea kwenye akili na kukua kimwili. + +# kuongezaka kupata fadhila kwa Mungu na watu + +Hii inarejea kukua kiroho na kijamii. Hii ingetofautishwa. NI: "Mungu alimbariki zaidi na zaidi, na watu walimpenda zaidi na zaidi." + diff --git a/luk/03/01.md b/luk/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..05eb5832 --- /dev/null +++ b/luk/03/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganisha + +Maelezo kwa Ujumla + +# Katika mwaka wa kumi na tano wa wa utawala wa Kaisari Tiberio + +"Wakati akitawala Kaisari Tiberio ikiwa miaka kumi na tano" + +# Filipo ... Lisania + +Haya ni majina ya watu. + +# Iturea na Trakoniti...Abilene + +Haya ni majina ya maeneo ya utawala + +# Kipindi cha ukuhani mkuu wa Annasi na Kayafa + +"Wakati ambapo Anasi na Kayafa walikuwa wakihudumu pamoja kama kuhani mkuu." Anasi alikuwa kuhani mkuu, na wayahudi waliendelea kumtambua hivyo hata baada ya Warumi walipomteuwa mtoto wake mkwe, Kayafa, kuchukua nafasi yake kama kuhani mkuu. + +# neno la Mungu likaja + +"Mungu alisema neno lake" + diff --git a/luk/03/03.md b/luk/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..c24fa6f5 --- /dev/null +++ b/luk/03/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akihubiri ubatizo wa toba + +Neno "Ubatizo" na "Toba" yanaweza kuelezewa kama vitendo. AT: "na alihubiri kwamba watu wale inapaswa kubatizwa kuonyesha kwamba walikuwa wakitubu." + +# Kwa ajili ya msamaha wa dhambi + +"Ili kwamba dhambi zao zingeweza kusamehewa" au "ili kwamba Mungu angeweza kusamehe dhambi zao." Toba ilikuwa kwamba Mungu aweze kusamehe dhambi zao. + diff --git a/luk/03/04.md b/luk/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..0a0e803e --- /dev/null +++ b/luk/03/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa Ujumla + +Mwandishi, Luka, kanukuu mstari kutoka nabii Isaya tokana na Yohana Mbatizaji. + +# Kama ilivyoandikwa...nabii + +Misitari 4-6 ni nukuu kutoka Isaya. Ingeweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Hii ilitokea kama Isaya alivyokuwa ameandika katika kitabu chake" au "Yohana aliyatimiza maneno ambayo Isaya alikuwa ameyaandika katika kitabu chake." + +# Sauti ya mtu inapazwa nyikani + +Hii inaweza kudhihirishwa kama sentensi. NI: "Sauti ya mmoja inapazwa ikisikika katika nyika" au "Wanasikia sauti ya mtu fulani inapazwa katika nyika" + +# Itengenezeni njia ya Bwana ... tengeneza mapito kwa unyoofu + +Kauli hizi mbili kimsingi ni kitu kile kile. + +# Tayarisha njia ya Bwana + +"Andaa njia kwaajili ya Bwana." Kufanya hivi kunawakilisha kujiandaa kusikia ujumbe wa Bwana anapokuja. Watu hufanya hivi kwa kutubu dhambi zao. NI: "Andaa kusikia ujumbe wa Bwana anapokuja" au "Tubu na uwe tayari kwaajili ya ujio wa Bwana" + +# njia + +"pa kupita" au "barabara" + diff --git a/luk/03/05.md b/luk/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..6fa80649 --- /dev/null +++ b/luk/03/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kila bonde litajazwa...kila mlima na kilima vitasawazishwa + +Watu wanapoandaa barabara kwa ajili ya mtu mhimu anayekuja, wanasawazisha maeneo yaliyoinuka na kujaza maeneo ya mabonde ili kusawazisha barabara. Hii ni sehemu ya msemo wa neno lililozungumzwa katika msitari ulioelezwa juu. + +# Kila bonde litajazwa + +Hii inaweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Watalijaza kila eneo la bonde katika barabara. + +# Kila mlima na kijilima vitasawazishwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "watasawazisha kila mlima na kilima"" au "Wataondoa kila eneo la mwinuko katika barabara" + +# Angalia wokovu wa Mungu + +Hii inaweza kuelezewa kama tendo. AT: "Jifunze jinsi Mungu anavyookoa watu kutoka katika dhambi." + diff --git a/luk/03/07.md b/luk/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..d2cdd5e2 --- /dev/null +++ b/luk/03/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kubatizwa na Yeye + +Hii inaweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Kwa Yohana kuwabatiza" + +# Enyi kizazi cha Nyoka wenye sumu + +Katika sitiari hii, nyoka wenye sumu ni hatari na wanawakilisha uovu. AT: "Ninyi nyoka waovu wenye sumu!" au "Ninyi ni waovu kama nyoka wenye sumu." + +# Nani aliyewaonya ... kuja? + +Hakuwatarajia haswa kujibu. Yohana alikuwa anawakemea watu kwasababu walikuwa wanamwomba awabatize, lakini hawakutaka kuacha kutenda dhambi. AT: "Hamwezi kuikimbia gadhabu ya Mungu namna hii" au "Hamwezi kuepuka gadhabu ya Mungu kwa kubatizwa." + +# Kutoka kwenye ghadhabu inayokuja + +Neno "gadhabu" linatumika hapa kumaanisha adhabu ya Mungu kwa sababu gadhabu yake inaizidi hiyo. AT: "kutoka kwenye adhabu ambayo Mungu anaituma" au "kutoka kwenye gadhabu ya Mungu ambayo yuko karibu kuiachilia" + diff --git a/luk/03/08.md b/luk/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..2004793a --- /dev/null +++ b/luk/03/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Zaeni matunda yanayoendana na toba + +Katika mfano huu, tabia ya mtu inalinganishwa na mti. Kama tu kwa mmea linavyotarajiwa kuzaa tunda linaloendana na aina ya mmea, mtu ambaye anasema kwamba ametubu, anatarajiwa kuishi kwa haki. AT: "Zaeni aina ya tunda linaloonyesha kwamba umetubu" au "fanya mambo mema yanayoonyesha kwamba umegeuka kutoka katika dhambi zako." + +# Mkisema wenyewe ndani yenu + +"Kusema mwenyewe" au "kufikiri mwenyewe" + +# Tuna Ibrahimu aliye baba yetu + +"Abrahamu ni Baba yetu" au Sisi ni uzao wa Ibrahimu. "kama inaeleweka kwanini wangesema hili, unaweza pia kuongeza habari imaanishayo: "Hivyo Mungu hatatuadhibu sisi." + +# Kumwinulia Ibrahimu watoto + +Nahau hii inamaanisha "Umba watoto kwa ajili ya Ibrahimu" au "sababisha watu kuwa wafuasi wa Ibrahimu." + +# Kutokana na mawe haya + +Labda Yohana alikuwa anamaanisha mawe halisi kando ya Mto Yordani. + diff --git a/luk/03/09.md b/luk/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..fa355e3b --- /dev/null +++ b/luk/03/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Shoka limeshawekwa dhidi ya mzizi wa miti + +Shoka ambalo liko tayari kukata mizizi ya mti ni mfano wa adhabu iliyo karibu kuanza. Inaweza pia kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Mungu ni kama mtu aliyeweka shoka lake dhidi ya mzizi wa miti." + +# Kila mti usiozaa tunda jema hukatwa chini + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Hukata chini kila mti usiozaa tunda jema." + +# Kutupwa motoni + +"Moto" pia ni mfano wa adhabu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Hulitupa ndani ya moto" + diff --git a/luk/03/10.md b/luk/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..121ec46e --- /dev/null +++ b/luk/03/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo unganishi: + +Yohana anaanza kujibu maswali ambayo watu kwenye mkutano wanamuuliza. + +# Walimuuliza, wakisema + +"Walimuuliza na kusema" au Walimuuliza Yohana" + +# Alijibu na kusema kwao + +"Aliwajibu, akisema" au "aliwajibu" au "alisema" + +# Fanya hivyohivyo + +"Fanya jambo hilohilo." Inaweza kwa msaada kuelezea hasa inavyomaanisha. AT: "Mpe chakula mtu ambaye hana kabisa." + diff --git a/luk/03/12.md b/luk/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..c645e1ac --- /dev/null +++ b/luk/03/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kubatiza + +Hii ingeweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Kwa Yohana kuwabatiza." + +# Msikusanye fedha zaidi + +"Msiombe fedha zaidi" au "Msitake fedha zaidi." Watoza ushuru walikuwa wakikusanya fedha zaidi kuliko walivyokuwa wanatakiwa. Wanapaswa kuacha kufanya hivyo. + +# Zaidi kuliko mnavyotakiwa + +Kifungu hiki kinaonyesha kwamba mamlaka ya watoza ushuru hutoka Rumi. AT: "zaidi kuliko kile Warumi wamewaamuru kuchukua." + diff --git a/luk/03/14.md b/luk/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..0eb2b14d --- /dev/null +++ b/luk/03/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maaskari + +"Watu wanaotumika jeshini" + +# Na sisi je? Tunapaswa kufanya nini? + +Vipi na sisi maaskari, tunapaswa kufanya nini?" Yohana haunganishwi katika maneno "sisi" na "sisi." Maskari walimaanisha kwamba alikuwa amewaambia makutano na watoza ushuru wanachotakiwa kufanya na walitaka kujua kama maaskari wanachotakiwa kufanya. + +# Msimshutumu yeyote kwa uongo + +Inaonekana kwamba maaskari walikuwa wanatengeneza tuhuma za uongo dhidi ya watu ili kujipatia fedha. AT: "kwa namna ileile, msimshutumu yeyote kwa uongo ili mjipatie fedha kutoka kwao" au "Msiseme kwamba mtu asiye na hatia amefanya kitu kinyume cha sheria." + +# Rizikeni na mishahara yenu + +"Toshekeni na malipo yenu" + diff --git a/luk/03/15.md b/luk/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..9c1aa07d --- /dev/null +++ b/luk/03/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kama watu + +"Kwa sababu watu." Hii inamaanisha watu walewale waliokuja kwa Yohana. + +# wasiwasi katika mioyo yao + +Udhihirisho huu hapa unamaanisha "fikiria juu yao kwa utulivu" + +# Yohana alijibu kwa kusema + +Jibu la Yohana kuhusiana na mtu mkuu ajaye ni wazi inamaanisha Yohana siyo Kristo. Inaweza kusaidia kusema hili wazi kwaajili watu wako, kama UDB, inavyofanya. "Hapana, Mimi siye" + +# Nawabatiza kwa maji + +"Nawabatiza kwa kutumia maji" au "Nawabatiza kwa nyenzo ya maji" + +# Haistahili hata kufungua kamba za viatu vyake + +Kufungua kamba za viatu ilikuwa ni wajibu wa mtumwa. Yohana alikuwa anasema kwamba yule atakayekuja ni mkubwa kiasi kwamba Yohana hakustahili hata kuwa mtumwa wake. AT: "Hafikii umuhimu hata kulegeza kamba za viatu vyake." + +# Viatu + +"Viatu vilivyotengenezwa kwa ngozi" au "Aina ya viatu vya wazi vyenye kamba za ngozi" + +# Atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto + +Huu mfano unalinganisha ubatizo wa kawaida unamleta mtu katika muunganiko na maji kwenye ubatizo wa kiroho unaowaleta katika muunganiko na Roho Mtakatifu na moto. + +# Moto + +Hapa neno "moto" linamaanisha 1) hukumu au 2) utakaso. Inafaa kuionda kama moto + diff --git a/luk/03/17.md b/luk/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..18001052 --- /dev/null +++ b/luk/03/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Pepeteo lake liko mkononi mwake + +Kama mkulima alivyo tayari kutenganisha mbegu za ngano kutoka kwenye pumba hivyo, ndivyo ilivyo kwa Kristo alivyo tayari kumhukumu mwanadamu. AT: "Anashikilia pepeteo kwasababu yuko tayari." + +# Pepeteo + +Hiki ni chombo cha kurushia ngano juu hewani kutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba. Mbegu nzito huanguka kurudi chini na pumba azisizotakiwa hupulizwa mbali na upepo. Inafanana na kirushio. + +# Uwanda wake wa kupepetea + +Mahali pa kupepetea ni eneo ambapo ngano iliwekwa katika kuiandaa kuipepeta. "Kusafisha" AT: "Eneo lake" au "Eneo ambako hutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba" + +# Kukusanya ngano + +Ngano ni nafaka inayokubalika kuitunza na kuhifadhi. + +# Kuzichoma pumba + +Pumba hazitumiwi kwa chochote, hivyo, watu huyachoma zote. + diff --git a/luk/03/18.md b/luk/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..89765743 --- /dev/null +++ b/luk/03/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Simulizi inaelezea nini kinaenda kutokea kwa Yohana lakini halijatokea kwa wakati huu. + +# Kwa maonyo mengine mengi + +"Pamoja na hoja zingine za nguvu nyingi" + +# Herode Tetraki + +Herode alikuwa Tetraki, siyo mfalme. Alikuwa na utawala unaokomea eneo maalumu katika mkoa wa Galilaya. + +# Kwaajili ya kumuoa mke wa ndugu yake Herodia + +"kwa sababu Herode alimuoa Herodia, mke wa ndugu yake." Huu ulikuwa uovu kwa sababu kaka wa Herode alikuwa hai. Hii inaweza kusemwa wazi. AT: "kwasababu alimuoa mke wa kaka yake, Herodia, wakati kaka yake akiwa hai" + +# Alimfunga Yohana gerezani + +"Aliwaambia askari wake kumuweka Yohana jela + diff --git a/luk/03/21.md b/luk/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..6db73a90 --- /dev/null +++ b/luk/03/21.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza huduma yake kwa ubatizo wake. + +# Sasa ikawa kwamba + +Msemo huu ni mwanzo wa tukio jipya katika hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa. + +# wakati watu wote walikuwa wakibatizwa na Yohana + +"Wakati Yohana alikuwa akibatiza watu wote." Neno "watu wote" inahusu watu akiwemo na Yohana. + +# batizwa + +"Yesu alibatizwa na Yohana." Baadhi ya makundi wanaweza kuchanganywa kwamba Yohana alikuwa anabatiza wakati Herode alimweka gerezani kwenye mstari uliotangulia. Ikiwa hivyo, inaweza ikasaidia kuwaambia kwamba tukio hili lilitokea kabla Yohana hajakamatwa. UDB inaliweka hivi "Lakini kabla ya Yohana hafungwa gerezani" mwanzoni mwa mstari huu. + +# Yesu pia alibatizwa + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo wa kutendea. NI: "Yohana alimbatiza Yesu, vilevile" + +# mbingu zimefunguka + +"Anga likafunguliwa" au "anga likawa wazi." Hii ni zaidi ya kusafisha mawingu, lakini siyo wazi nini maana yake. Ni uwezekano ina maana kwamba shimo alionekana katika anga. + +# Roho Mtakatifu kwenye umbo la mwili alishuka juu yake + +"Roho Mtakatifu akashuka juu Yesu" + +# kama la njiwa + +"Katika hali ya kimwili Roho Mtakatifu alionekana kama njiwa" + +# Wewe ni Mwanangu, ambaye nakupenda + +Mungu Baba anaongea na Mwanaye ("ambaye nampenda"), Yesu ni Mungu Mwana, wakati Mungu Roho shuka juu ya Yesu. watu wa Mungu kupendana na kufanya kazi pamoja kama Baba, Mwana, na Roho. + +# Mwanangu, ambaye nampenda + +Hili ni jina muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu + diff --git a/luk/03/23.md b/luk/03/23.md new file mode 100644 index 00000000..e9ba2b31 --- /dev/null +++ b/luk/03/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Luka anaorodhesha mababu wa Yesu kwa njia ya uzao wa baba yake mlezi, Yusufu. + +# Wakati + +Neno hili limetumika hapa kuthibitisha mabadiliko kutokana na hadithi ya taarifa za msingi kuhusu kuhusu umri Yesu na mababu. + +# umri wa miaka thelathini + +"umri wa miaka 30" + +# Alikuwa mwana (kama ilivyodhaniwa) wa Yusufu + +"Ilidhaniwa kwamba alikuwa ni mwana wa Yusufu" au "Watu walidhani kuwa yeye ni mwana wa Yusufu" + +# mwana wa Eli, mwana wa Mathati, mwana wa Lawi + +fikiria jinsi watu wanavyoorodhesha wahenga katika lugha yako. Utumie mfumo huohuo kwa orodha yote. Mifumo inyoowezekana ni 1) "ambaye alikuwa mwana wa Heli, ambaye alikuwa mwana wa Mathat, ambaye alikuwa mwana wa Lawi" 2) Yusufu alikuwa mwana wa Heli, Heli alikuwa mwana wa Mathat, baba wa Mathat alikuwa Lawi" + +# mwana wa Eli. + +"Yusufu alikuwa mwana wa Eli" au "baba Yusufu alikuwa Eli" + diff --git a/luk/03/25.md b/luk/03/25.md new file mode 100644 index 00000000..9267b60a --- /dev/null +++ b/luk/03/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwana wa Matathia, mwana wa Amosi ... Joda + +Huu ni mwendelezo wa orodha ya mababu wa Yesu. Tumia namna ile ile kama ulivyotumia kwenye mistari ile iliyotangulia. + diff --git a/luk/03/27.md b/luk/03/27.md new file mode 100644 index 00000000..ffd2945d --- /dev/null +++ b/luk/03/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwana wa Yohanani, mwana wa Resa ... Levi + +Matumizi maneno sawa kama wewe kutumika katika mistari uliopita. AT "ambaye alikuwa mwana wa Yohanani, ambaye alikuwa mwana wa Resa ... Levi" au "Joda alikuwa mwana wa Yohanani, Yohanani mwana wa Resa ... Levi" au "baba Joda ilikuwa Yohanani, baba Yohanani aliitwa Rhesa ... Levi. " Hii ni muendelezo wa orodha ya mababu Yesu. + diff --git a/luk/03/30.md b/luk/03/30.md new file mode 100644 index 00000000..02d2c321 --- /dev/null +++ b/luk/03/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwana wa Simoni, mwana wa Yuda + +Matumizi maneno sawa kama wewe kutumika katika mistari uliopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Simeoni ambaye alikuwa mwana wa Yuda" au "Levi mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda" au" baba Levi aliitwa Simeoni, baba Simeon alikuwa Yuda" + diff --git a/luk/03/33.md b/luk/03/33.md new file mode 100644 index 00000000..907d985e --- /dev/null +++ b/luk/03/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini + +Matumizi maneno sawa kama wewe ulivyotumika katika mistari iliyopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Aminadabu, ambaye alikuwa mwana wa Admini" au "Levi alikuwa mwana wa Aminadabu, Simeoni ni mwana wa Admini" au "baba Nashon ilikuwa Aminadabu, Aminadabu baba aliitwa Admin" + diff --git a/luk/03/36.md b/luk/03/36.md new file mode 100644 index 00000000..b284ba79 --- /dev/null +++ b/luk/03/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwana wa Kainani, mwana wa Arfaksadi + +Tumia maneno sawa kama uliyotumia katika mistari iliopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Kenani, ambaye alikuwa mwana wa Arfaksadi" au "Levi alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi" au "baba Shela alikuwa Kenani, Kenani baba aliitwa Arfaksadi" + diff --git a/luk/04/01.md b/luk/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..87e7ce48 --- /dev/null +++ b/luk/04/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Ibilisi amkuta Yesu aweze kumjaribu akose baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini 40. + +# Ndipo Yesu + +Hii inarejea baada ya Yohana kumbatiza Yesu. NI: "Baada ya Yesu kuwa kabatizwa" + +# akaongozwa na Roho + +Hii inaweza katika mfumo wa kutenda. NI: "Roho alimwongoza" + +# Kwa siku arobaini yeye alijaribiwa + +Tafsiri nyingi zinasema kwamba majaribu yalikuwa kwa siku zote arobaini. UDB inasema "Wakati akiwa pale, Ibilisi aliendelea kumjaribu" kuweka hili wazi. + +# siku arobaini + +"siku 40" + +# alikuwa akijaribiwa na shetani + +Hii inaweza kusemwa katika mfumo wa kutenda. NI: "ibilisi alimjaribu asimtii Mungu" + +# Hakuna alichokula + +Neno "yeye" linarejea kwa Yesu. + diff --git a/luk/04/03.md b/luk/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..ccb6ee5e --- /dev/null +++ b/luk/04/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama ni mwana wa Mungu + +Ibilisi anamtega Yesu afanye muujiza huu ili kwamba athibitishe yeye ni "mwana wa Mungu" + +# hili jiwe + +Ibilisi ama anashikilia jiwe au ananyooshea kidole kwenye jiwe lililokaribu. + +# Yesu alimjibu + +Kukataa kwa Yesu kukosolewa na Ibilisi iko wazi kwenye jibu lake. Itaweza kusaidia kusemwa hili kwa wazi kwa kundi lako, kama inavyofanya UDB "Yesu alijibu, Hapana, sitafanya hivyo" + +# Hii imeandikwa + +Nukuu inatoka kwa Maandiko ya Musa katika Agano la Kale. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "Musa ameandika katika maandiko" + +# Mtu haishi kwa mkate pekee + +Neno "mkate" linarejea kwenye chakula kwa ujumla. Chakula kama ukilinganisha kwa Mungu, chenyewe tu, hakitoshi, kumtosheleza mtu. Yesu ananukuu maandiko kwanini asibadili jiwe mkate. NI: "watu hawahawezi kuishi kwa mkate tu" au "siyo chakula tu ambacho kinamfanya mtu aishi" au "Mungu anasema vitu mhimu zaidi ya chakula" + diff --git a/luk/04/05.md b/luk/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..ca16a7ad --- /dev/null +++ b/luk/04/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mahali pa juu + +mlima mrefu + +# katika muda mfupi + +hapo hapo au "kwa ghafla" + +# nimepewa mimi haya + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. Huenda kwamba maana "wao" inarejea 1) mamlaka na fahari ya falme au 2) falme NI: "Mungu ameyatoa kwangu" + +# kama utainama chini ... kuniabudu + +Kauli hizi mbili zinafanana sana. Zinaweza kuwekwa pamoja. NI: "kama utainama chini katika kuniabudu" + +# Itakuwa ya kwako + +"Nitakupa wewe ufalme hizi zote, pamoja na fahari zake" + diff --git a/luk/04/08.md b/luk/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..dc180eb0 --- /dev/null +++ b/luk/04/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini Yesu alijibu ... imeandikwa + +Utofauti huu unamaanisha kwamba Yesu alikataa kufanya kile alichoambiwa na Ibilisi. Itakuwa msaada kusema hiki wazi kwa hadhara yako. NI: "Lakini alijibu, 'Hapana, sitakuabudu wewe, kwa sababu imeandikwa" (UDB) + +# alijibu na akamwabia + +"akamjibu" au "alimjibu" + +# Imeandikwa + +Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji. NI: "Musa ameandika katika maandiko" + +# Utamwabudu Bwana Mungu wako + +Yesu alikuwa ananukuu amri kutoka kwenye maandiko kusema kwanini hataweza kumwabudu Ibilisi. + +# Wewe + +Hii inarejea kwa watu katika Agano la Kale waliopokea amri ya Mungu. Unawea kutumia kauli ya umoja 'wewe' sababu kila mtu ilikuwa atiii, au ungetumia kauli ya wingi "ninyi" sababu watu walipaswa kuitii. + +# yeye + +Neno "yeye" anarejea kwa Mungu. + diff --git a/luk/04/09.md b/luk/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..9ec2628b --- /dev/null +++ b/luk/04/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ncha ya juu sana + +Hii ilikuwa ni ncha kwenye paa la hekalu. Kama mtu akianguka kutokea kule, angejeruhiwa sana au kufa. + +# Kama wewe ni mwana wa Mungu + +shetani alikuwa anamkosoa Yesu athibitishe kwamba alikuwa Mwana wa Mungu + +# Mwna wa Mungu + +Hiki ni cheo mhimu kwaajili ya Yesu. + +# jitupe mwenyewe chini + +"ruka chini ardhini" + +# Kwa kuwa imeandikwa + +Ibilisi anamaanisha kwamba nukuu yake kutoka Zaburi inamaanisha Yesu hataumia kama ni Mwana wa Mungu. Hii inwaeza kusemwa wazi, kama inavyofanya UDB. NI: "Hutaumia" sababu imeandikwa" + +# imeandikwa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mwandishi ameandika" + +# Yeye atatoa maagizo + +"Yeye" inarejea kwa Mungu. Ibilisi kwa sehemu alinukuu kutoka Zaburi kwa juhudi kumshawishi Yesu kuruka kutoka juu ya jengo. + diff --git a/luk/04/12.md b/luk/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..9c9f4116 --- /dev/null +++ b/luk/04/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hii ilisemwa + +Yesu anamwambia Ibilisi kwanini hatafanya kile ambacho Ibilisi amemwabia kufanya. Kukataa kwake kufanya inaweza kusemwa wazi. NI: "Hapana, sitafanya hivyo, kwasababu ilisemwa" + +# Hii ilisemwa + +Yesu ananukuu kutoka maandiko ya Musa katika Kumbukumbu la Torati. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Musa amesema" au "katika maandiko Musa alisema" + +# Usimweke Mungu wako katika majaribu + +Maana zinazowezekana ni 1) Yesu hataweza kumjaribu Mungu kwa kuruka kutoka katika hekalu, au 2) Ibilisi hawezi kumjaribu Yesu kuona kama yeye ni Mwana wa Mungu. inafaa zaidi kutafsiri mstari kama ilivyoelezwa zaidi kuliko kujaribu fafanua maana. + +# Mpaka wakati mwingine + +"mpaka tukio lingine" + +# lishamaliza kumjaribu Yesu + +Hii haimaanishi kwamba Ibilisi alikuwa kafanikiwa katika majaribu yake - Yesu alipinga kila jaribio. Hii inaweza ikasemwa wazi. Ni: "lishamaliza kujaribu kumjaribu Yesu" (UDB) au "pumzika kujaribu kumjaribu Yesu" + diff --git a/luk/04/14.md b/luk/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..134d0fa2 --- /dev/null +++ b/luk/04/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Yesu alirudi Galilaya, akifundisha katika Sinagogi, na anawaambia watu pale kwamba yeye anatimiza maandiko ya Isaya nabii. + +# Ndipo Yesu alirudi + +Hii inaanza simulizi jipya katika habari. + +# katika nguvu ya Roho + +"na Roho alikuwa anampa yeye nguvu." Mungu alikuwa pamoja na Yesu kwa namna maalumu, anamwezesha yeye kufanya vitu ambayo kawaida watu wasingeviweza. + +# habari kumhusu yeye zikaenea + +Wale waliomsikia Yesu waliwaambia watu wengine kuhusu yeye, na ndipo wale watu wengine waliwaambia hata zaidi kuhusu yeye. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "watu wakaeneza habari kuhusu Yesu" au "watu waliwaambia watu wengine kuhusu Yesu" au "maarifa kumhusu yeye yalikuwa yakipita kutoka kwa mtu kwenda mtu mwingine" + +# kupitia katika eneo lote linalozunguka ukanda + +Hii inarejea kwenye maeneo au mahali karibu na Galilaya. + +# likuwa anasifiwa na wote + +"kila mmoja alisema mambo makuu kuhusu yeye" au "watu wote walimsema vizuri " + diff --git a/luk/04/16.md b/luk/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..85a41605 --- /dev/null +++ b/luk/04/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mahali yeye alipokuziwa + +mahali wazazi wake walipomlelea " au "pale alipoishi alipokuwa mdogo" "mahali alipokulia" + +# kama ilivyokuwa desturi yake + +"kama alivyofanya kila sabato." ilikuwa siyo mazoea ya kawaida kwenda kwenye sinagogikwenye siku ya sabato. + +# Yeye alipewa Gombo la nabii Isaya + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mtu fulani alimpa gombo la nabii Isaya" + +# Gombo la nabii Isaya + +Hii inarejea kwenye kitabu cha Isaya imeandikwa kwenye gombo. Isaya aliandika maneno miaka mingi kabla, na mtu fulani mwingine aliyanukuru kwenye gombo. + +# mahali ambapo palikuwa pameandikwa + +"mahali katika gombo palipo na maneno haya." Sentensi hii inaendelea katika mstari unaofuata. + diff --git a/luk/04/18.md b/luk/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..79ee743c --- /dev/null +++ b/luk/04/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Roho wa Bwana iko juu yangu + +"Roho Mtakatifu yuko pamoja nami kwa namna maalumu." Wakati mtu fulani anasema hivi, anathibitisha kunena maneno ya Mungu. + +# aliniweka wakfu mimi + +Katika Agano la Kale, mafuta ya upako yalimiminwa juu ya mtu aliyepewa nguvu na mamlaka kufanya kazi maalumu. Yesu anatumia sitiari hii kurejea kwa Roho Mtakatifu kuwa juu yake kumwandaa kwaajili ya kazi. NI: "Roho Mtakatifu yuko juu yangu kuniwezesha" au "Roho Mtakatifu alinipa mimi nguvu na mamlaka" + +# maskini + +"watu maskini" + +# kutangaza uhuru kwa mateka + +"kuwaambia ambao walikuwa wametekwa kwamba wako huru" au "kuwaweka huru wafungwa wa vita" + +# kupona macho kwa wale vipofu + +"kumpa kipofu kuona" au "kumfanya kipofu aweze kuona tena" + +# wekwa huru wale ambao wanagangamizwa + +"weka huru wale ambao tumikishwa vibaya" + +# kutangaza mwaka wafadhila ya Bwana + +"mwambia kila mmoja kwamba Bwana tayari amebariki watu wake" au "tangaza kwamba huu ni mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake" + diff --git a/luk/04/20.md b/luk/04/20.md new file mode 100644 index 00000000..cc2e3a85 --- /dev/null +++ b/luk/04/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# bingilisha gombo + +gombo lilikuwa limefungwa kwa kubingilishwa kama bomba kutunza kile kilichoandikwa ndani yake. + +# mhudumu + +Hii inarejea kwa mtumishi wa sinagogi ambaye alileta na kutunza kwa uangalifu and unyenyekevu gombo linalobeba maandiko. + +# yalikuwa yamekazwa kwake + +Lahaja hii inamaanisha "yalikuwa yameelekezwa kwake" au "walitazama kwa makini kwake" + +# maandiko haya yametimizwa mkiwa mnasikiliza + +Yesu alikuwa anasema hivyo kutimiza unabii kwa vitendo na hotuba kwa wakati wake kabisa. Hii inaweza ikaelezwa katika kauli tendaji. NI: "Sasa hivi ninatimiza inatimiza ambacho maandiko yalisema mnaponisikiliza sasa" + +# shangazwa na maneno ya neema ambayo yalikuwa yanatoka katika kinywa chake + +"lipigwa butwaa na vitu vya neema alivyokuwa akivisema." Hapa "aneema" inaweza kuerejea 1) ubora au jinsi ya ushawishi aliozungumza Yesu, au 2) kwamba Yesu alizungumza maneno kuhusu neema ya Mungu. + +# Huyu si ni mwana wa Yusufu? + +Watu walifikiri kwamba Yusufu alikuwa baba wa Yesu. Yusufu hakuwa kiongozi wa dini, hivyo walishangaa kwamba mtoto wake atahubiri kiasi hicho. NI: "Huyu ni mwana wa Yusufu tu!" au "Baba yake ni Yusufu tu!" + diff --git a/luk/04/23.md b/luk/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..bbf4cc40 --- /dev/null +++ b/luk/04/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa Ujumla + +Nazarethi ni mji ambao ndimo Yesu alikulia + +# Kwa hakika + +"Kwa hakika" au "bila shaka." Huu ni uthibitisho wa nguvu. + +# Daktari, jiponye mwenyewe! + +Kama daktari haonekani kuwa ana afya, hakuna sababu kumwamini kuwa kweli ni daktari. Wakati watu wanasema mithali hii kwa Yesu, watamaanisha hawakuamini kwamba yeye ni nabii sababu hafanani. + +# lolote tulilosikia ... fanya hivyo hivyo kwenye miji ya kwenu. + +Watu wa Nazarethi hawakuamini Yesu kuwa nabii sababu ya sifa yake ya chini kama mtoto wa yusufu. Hawataamini isipokuwa waone wao wenyewe akifanya miujiza. + +# Ukweli nasema kwenu + +"Hii kweli ni hakika." Hii ni kauli ya msisitizo kuhusu kile kinachofuata. + +# hakuna nabii anayepokelewa kwenye mji wa kwao + +Yesu anaitengeneza kauli hii kwa ujulma ili kwmba awakemee watu. Yeye anamaanisha kwamba wanakataa kuamini taarifa za miujiza yake Kapernaumu. Wao walifikiri tayari walijua yote yanayomhusu yeye. + +# mji wa kwao + +"ardhi yao" au "wenyeji wa mji" au "nchi ambayo alikulia" + diff --git a/luk/04/25.md b/luk/04/25.md new file mode 100644 index 00000000..bcf2cea7 --- /dev/null +++ b/luk/04/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi kwa Ujumla + +Yesu anawakumbusha watu, wanaomsikiliza kwenye sinagogi, kuhusu Eliya na Elisha waliokuwa manabii ambao waliwafahamu. + +# Lakini nawaambia ukweli + +"Nawaambia ukweli kabisa." Kauli hii ilitumika kusisitiza umhimu, ukweli na usahihi wa kauli zinazofuata. + +# wajane + +mjane ni mwanamke aliyefiwa na mume wake. + +# wakati wa Eliya + +Watu wale aliokuwa anawahutubia walijua kwamba Eliya alikuwa mmoja wa manabii wa Mungu. Kama wasomaji wako hawatajua hilo, unaweza ukafanya taarifa zisizowazi kuwa wazi kma UDB. AT: "Eliya alipokuwa anatoa unabii Israel" + +# wakati wingu lilipofungwa + +Hii ni sitiari. Anga limefananishwa na dari iliyofungwa, na hivyo hakuna mvua itakayonyysha toka huko. NI: "ambapo hakuna mvua inashuka chini kutoka angani" au "wakati ilikuwa hakuna mvua kabisa" + +# njaa kubwa + +"tatizo kubwa la kupungua chakula." Njaa ni kipindi kirefu ambapo hakuna uzalishaji wa mazo ya kutosha chakula kwa watu. + +# mpaka Sarepta ... kwa mjane anayeishi huko + +Watu walioishi Sarepta walikuwa Wamataifa, siyo Wayahudi. Watu wanaomsikiliza Yesu wangeelewa kwamaba watu wa Sarepta walikuwa Wamataifa. Mjane mmataifa anaishi Sarepta. + +# Naamani Msiria + +Msiria ni mtu kutoka nchi ya Siria. Watu wa Siria ni siyo Wayahudi. NI: "Mmataifa Naamani kutoka Siria" + diff --git a/luk/04/28.md b/luk/04/28.md new file mode 100644 index 00000000..647c6f89 --- /dev/null +++ b/luk/04/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Watu wote kwenye sinagogi walijaa hasira waliposikia mambo haya + +Watu wa Nazarethi walikosewa sana kwamba Yesu alidondoa maandiko ambayo Mungu aliwasaidia wamataifa badala ya Wayahudi. + +# walimlazimisha yeye atoke nje ya mji + +"walimlazimisha yeye kuuacha mji" au "alisukumwa nje ya mji" (UDB) + +# jabali la kilimani + +"ncha ya jabali" + +# yeye alipitia katikati yao + +"kupita katikati ya mkutano" au "kati ya watu ambao wanajaribu kumuua yeye." Neno "haki" hapa ni sawa na neno "rahisi." Linaashiria kwamba hakuna kilichomzuia yeye kuweza kutembea kupitia mkutano wenye hasira. + +# alikwenda sehemu nyingine + +"alikwenda mbali" au "alikwenda kwa njia yake" Yesu alikwenda ambako alikuwa kapanga kwenda badala ya ambako watu walijaribu kumlazimisha aende. + diff --git a/luk/04/31.md b/luk/04/31.md new file mode 100644 index 00000000..113ee514 --- /dev/null +++ b/luk/04/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yesu anakwenda Kapernaumu, anafundisha watu katika Sinagogi huko, na anaamuru mapepo kuondoka kwa mtu. + +# Ndipo yeye + +"ndipo Yesu." Hii inaashiria tukio jipya. + +# alishuka Kapernaumu + +Kirai hiki "shuka chini" ilitumika hapa sababu Kapernaumu ni chini kuliko Nazarethi. + +# Kapernaumu, ni mji katiaka Galilaya + +"Kapernaumu, mji mwingine katika Galilaya" + +# liostaajabisha + +"lishangaa sana" au "liovutia sana" au "lioshangaza " + +# alizungumza kwa mamlaka + +"alizungumza kama mtu mwenye mamlaka" au "maneno yake yalikuwa na nguvu kubwa" + diff --git a/luk/04/33.md b/luk/04/33.md new file mode 100644 index 00000000..29bb4db6 --- /dev/null +++ b/luk/04/33.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa ... alikuwepo mtu + +Kirai hiki kinatumika kudokeza utangulizi wa mhusika mpya ndani ya simulizi; katika suala hili, mtu aliyepagawa pepo. + +# ambaye alikuwa na pepo mchafu + +"ambaye alipagawa na pepo mchafu" au "ambaye alitawaliwa na na roho mchafu" (UDB) + +# alilia kwasauti ya juu + +"yeye alipiga kelele" + +# Tunanini cha kufanya na wewe + +Hili jibu la kichokozi ni nahau ambayo inamaana: "Nini tulichonacho cha kufanana?" au "unahaki gani ya kutusumbua sisi?" + +# Nini cha kufanya na wewe, Yesu wa Nazarethi? + +Swali hili lingeandikwa kama sentensi. NI: "Nini wewe, Yesu wa Nazarethi, unataka kutufanyia" au Hakuna chochote cha kufanya na wewe, Yesu wa nazarethi!" au "Huna haki kutusumbua sisi, Yesu wa Nazarethi!" + diff --git a/luk/04/35.md b/luk/04/35.md new file mode 100644 index 00000000..552621c4 --- /dev/null +++ b/luk/04/35.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yesu alikemea pepo, akisema + +"Yesu alikemea pepo akisema," au "Yesu bila huruma alisema kwa pepo" + +# toka nje yake + +Yeye alimwamuru pepo kutokumtawala mtu. NI: "mwache peke yake" au "usiishi ndani ya mtu huyu tena" + +# Haya ni maneno ya aina gani? + +Watu wanadhihirisha jinsi walivyoshangazwa kwamba Yesu anamamlaka kuamuru pepo kumwacha mtu. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Haya maneno yanashangaza!" au "maneno yake ya ajabu" + +# Anaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu + +"Yeye anamamlaka na nguvu kuamuru roho wachafu" + +# Habari kumhusu zilianza kuenea ... kanda inayozunguka + +Hii ni amri kuhusu kile kilichotokea baada ya simulizi ambacho kilisababishwa na matukio ndani ya hadithi yenyewe. + +# habari kumhusu yeye zilianza kuenea + +"taarifa kuhusu Yesu zilianza kuenea" au "watu walianza kueneza habari kuhusu Yesu" + diff --git a/luk/04/38.md b/luk/04/38.md new file mode 100644 index 00000000..f97d6819 --- /dev/null +++ b/luk/04/38.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yesu bado yuko Kapernaumu, lakini sasa yuko katika nyumba ya Simoni, alipomponya mama mkwe wa Simoni na watu wengi. + +# Ndipo Yesu akaondoka + +Hii inaanzisha tukio jipya + +# Mama mkwe wa Simoni + +Mkwe** - "mama yake mke wa Simoni" + +# Alikuwa anaumwa + +Hii ni nahau inayomaanisha "alikuwa anaugua" + +# homa kali + +"mwili wake ulikuwa na joto kali" + +# kusihi badala yake + +Maana yake walimwomba Yesu amponye homa yake. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "kumwomba Yesu amponye homa" + +# Hivyo alisimama + +Neno "Hivyo" linaweka wazi kwamba alifanya hivi kwa sababu watu walimsihi badala ya mama mkwe wa Simoni. + +# alisimama kwake + +"alikwenda kwake na aliegama kwake" + +# liikemea homa + +"alisema kwa kuikaripia homa" au "aliamuru homa kumwacha" UDB. Itakuwa ni msaada kusema wazi alichoiambia homa kufanya. NI: "aliiamuru ngozi kupoa" "aliuamuru ugonjwa kumwacha" + +# alianza kuwahudumia + +Hapa hii inamaana alianza kuandaa chakula kwaajili ya Yesu na watu wengine ndani ya nyumba. + diff --git a/luk/04/40.md b/luk/04/40.md new file mode 100644 index 00000000..195716bd --- /dev/null +++ b/luk/04/40.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# alilaza mkono wake juu + +"aliweka mkono wake juu" au "aligusa" + +# Pepo pia yakatoka nje + +Hii ilimaanisha kwamba Yesu aliyafanya mapepo yaondoke kwa watu yaliokuwa yamewatawala. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "Yesu pia aliyalazimisha mapepo yatoke" + +# analia kwa sauti na akisema + +inamaanisha kitu kilekile, na huenda inarejea kulia kwa hofu au hasira. Baadhi ya tafsiri inatumia neno moja. NI: "paza sauti" + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo mhimu kwa Yesu. + +# alikemea pepo + +"aliwaambia pepo kwa ukali" + +# usingeliwaruhusu + +"Wao hapana kuwaruhusu" + diff --git a/luk/04/42.md b/luk/04/42.md new file mode 100644 index 00000000..18601feb --- /dev/null +++ b/luk/04/42.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Ingawa watu walitaka Yesu abaki Kapernaumu, anakwenda kuhubiri kwenye masinagogi mengine Uyahudi. + +# ilipofika mapambazuko + +"wakati wa jua kuchomoza" + +# mahali palipo jitenga + +"mahali pa pekee" au "mahali pasipokuwa na watu" + +# kwa miji mingi mingine + +"kwa watu katika miji mingine mingi" + +# hii ni sababu nilikuwa nimetumwa hapa + +Hii inaweza ikawekwa kwenye kauli tendaji, NI: "hii ni sababu Mungu alinituma hapa mimi" + +# Uyahudi + +Tangu Yesu awe Galilaya, neno "Uyahudi" hapa huenda linarejea kwenye ukanda wote ambako Wayahudi waliishi wakati huo, NI: "ambapo waliishi Wayahudi" + diff --git a/luk/05/01.md b/luk/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..7280b7e8 --- /dev/null +++ b/luk/05/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yesu anahubiri kutoka katika mtumbwi wa Simoni Petro katika ziwa Genesareti + +# Sasa ilitokea + +Kauli hii inatumika hapa kuweka alama kwenye mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. Kama lugha yako inanamna ya kufanya hivi, ungefikiri kutumia hapa. + +# ziwa Genesareti + +Hili ni jina lingine la ziwa Galilaya. Galilaya ulikuwa upande magharibi wa ziwa, na na nchi ya Genesareti ulikuwa upande wa mashariki, hivyo ulikuwa unaitwa kwa majina yote. + +# kuosha nyavu zao + +Walikuwa wanasafisha nyavu za kuvuvia ili wazitumia tena kupata samaki. + +# mitumbwi mmoja ambao ulikuwa wa Simoni + +"mtumbwi unaomilikiwa na simoni" + +# akamwambia kuweka kwenye maji mbali kidogo kutoka kwenye ardhi + +"alimwambia Petro kuusukuma mtumbwi zaidi kutoka ufuoni" + +# aliketi na akawafundisha watu + +kuketi ilikuwa ni mfumo wa kawaida kwa mwalimu. + +# aliwafundisha watu tokea kwenye mtumbwi + +"aliwafundisha watu akiwa amekaa kwenye mtumbwi." Yesu alikuwa katika mtumbwi mbali kidogo kutoka ufuoni na alikuwa anaongea na watu ambao walikuwa kwenye ufuo. + diff --git a/luk/05/04.md b/luk/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..17146b7f --- /dev/null +++ b/luk/05/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alipokwisha kumaliza kuzungumza + +"Yesu alipomaliza kuwafundisha watu" + +# ya maneno yako + +"kwa sababu ya maneno yako" au "kwa sababu umeniambia kufanya hivi" + +# walipunga + +walikuwa mbali sana kutoka ufuoni hivyo walifanya ishara, huenda kupunga mikono. + +# walianza kuzama + +"mtumbwi ulianza kuzama." "mtumbwi ulianza kuzama kwa sababu samaki walikuwa wazito sana." + diff --git a/luk/05/08.md b/luk/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..a34b7746 --- /dev/null +++ b/luk/05/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# alianguka chini magotini pa Yesu + +Maana zinazowezekana ni 1) "kuinama chini magotini pa Yesu" au 2) kulala chini miguuni ya ardhi miguuni pa Yesu" 3) "kupiga magoti mbele ya Yesu." Yesu hakuanguka kwa bahati mbaya. Yeye alifanya hivi kama ishara ya unyenyekevu na heshima kwa Yesu. + +# mtu mwenye dhambi + +Neno hapa kwa "mtu" linamaanisha "mtu mzima mwanaume" na kwa ujumla zaidi "binadamu." + +# kamata samaki + +"idadi kubwa ya samaki" + +# washirika pamoja na Simoni + +"Wadau wa Simoni katika biashara ya uvuvi" + +# utakamata watu + +Sura ya kukamata samaki imekuwa ikitumika kama sitiari kwa kukusanya watu kumfuata Kristo. NI: "utavua watu" au "mtakusanya watu kwaajili yangu" au "mtaleta watu kuwa wanafunzi" + diff --git a/luk/05/12.md b/luk/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..ad8d896f --- /dev/null +++ b/luk/05/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yesu anamponya mkoma katika mji tofauti ambao hautajwi jina. + +# Ikawa + +Kauli hii inaonesha tukio jipya katika simulizi. + +# mtu aliyejaa ukoma + +"mtu alikuwa anaukoma." Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi. + +# akaangukia kichwa + +"alipiga magoti na kichwa kikagusa chini" au "aliinama mpaka chini" (UDB) + +# kama uko tayari + +"kama unataka" + +# unaweza ukanifanya msafi + +ilifahamika kwamba yeye alikuwa anamuuliza Yesu aponywe. Hii inaweza ikasemwa wazi. NI: tafadhali nisafishe, sababu unaweza + +# nifanye msafi ... uwe safi + +Hii inarejea kwenye usafi wa ibada, lakini ilifahamika kwamba yeye si msafi kwasababu ya ukoma. Yeye hasa anamuuliza Yesu amponye maradhi yake. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "niponye ukoma hivyo nitakuwa msafi ... upone" + +# ukoma ukamwacha + +"hakuwa naukoma tena" (UDB) + diff --git a/luk/05/14.md b/luk/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..b1eb5ad0 --- /dev/null +++ b/luk/05/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutomwambia mtu + +Hii tafsiri inaweza ikanukuiwa moja kwa moja. "kutomwambia mtu kwamba wewe umeponywa." Ni "Kutokusema kwa yeyote." + +# dhabihu kwa utakaso wako + +Sheria inamtaka mtu kufanya dhabihu maalumu baada ya utakaso wao. Hii ilimruhusu mtu kuwa safi kitaratibu, na kuweza tena kushiriki katika desturi kidini. + +# kwa ushuhuda + +"Hii inathibitisha uponyaji wako"" + +# Kwao + +Maana zinazowezekana 1) "kwa makuhani" 2) "kwa watu wote" + diff --git a/luk/05/15.md b/luk/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..0e5a800f --- /dev/null +++ b/luk/05/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kumhusu yeye + +"habari kuhusu Yesu." Hii pengine ingemaanisha "taarifa kuhusu uponyaji mtu kwa Yesu" au "taarifa kuhusu Yesu kuponya watu." + +# taarifa kuhusu yeye zilisambaa zaidi na zaidi + +"taarifa kuhusu yeye zilizagaa sana" au "watu waliendelea kuzisema habari kuhusu yeye katika maeneo mengine" + +# maeneo yaliyotengwa + +"maeneo ya pekee" au "maeneo ambapo hapakuwa na watu wengine" + diff --git a/luk/05/17.md b/luk/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..ab136407 --- /dev/null +++ b/luk/05/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kauli Unganishi: + +Siku moja Yesu alipokuwa akifundisha katika jengo, baadhi ya watu walimleta mtu aliyepooza kwaajili Yesu kumponywa. + +# Ilitokea + +Kauli hii inaonesha mwanzo wa sehemu mpya katika simulizi. + diff --git a/luk/05/18.md b/luk/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..9ac6c7fb --- /dev/null +++ b/luk/05/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sasa baadhi ya watu wakaja + +Hawa ni watu wapya katika simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kuonesha kwamba hawa ni watu wapya. "kulikuwa na watu ambao walikuja." + +# godoro + +"kitu cha kulalia" au "kitu cha kuunyosha mwili" + +# alikuwa amepooza + +"hangeweza kuondoka mwenyewe" + +# Wasingeweza kupata njia ya kumleta ndani kwa sababu ya kusanyiko, hivyo + +Katika baadhi ya lugha inaweza inaweza ikawa kiasili ukirekebishwa. "Lakini kwa sababu ya mkutano wa watu, wasingepata njia kumleta mtu ndani" + +# kwasababu ya mkutano + +Ni wazi kwamba sababu iliyowafanya wasiweze kuingia ilikuwa hadhara kubwa sana pale hapakuwa na nafasi kwaajili yao. + +# walikwenda juu hadi juu kabisa ya nyumba + +Nyumba zilikuwa na dari, na baadhi ya nyumba zilikuwa na ngazi au kipandio (daraja) cha kurahisisha kupanda kule juu. + +# mbele ya Yesu kabisa + +"mbele ya Yesu moja kwa moja" au "kwa haraka mbele ya Yesu" + diff --git a/luk/05/20.md b/luk/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..26b4b575 --- /dev/null +++ b/luk/05/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# angalia imani yao, Yesu alisema + +ilieleweka kwamba walimwamini Yesu anaponya mtu aliyepooza. NI: "Yesu alipotazama kwamba wanaamini kwamba anaweza kumponya mtu, alimwambia " + +# Mwanadamu + +Hili ni neno lililotumika kwa ujumla ambalo watu walitumia walipokuwa wakizungumza mtu na ambaye jina lake hawakulijua. ilikuwa siadabu, lakini pia haikuonesha heshima maalumu. Baadhi ya lugha ziliweza kutumia neno kama "rafiki" au "mkuu." + +# dhambi zako zimesamehewa + +"umesamehewa" au "nasamehe dhambi zako" + +# hoji hiki + +"jadili hili" au "toa hoja kuhusiana na hili." NI: "pengine jadili hata siyo Yesu alikuwa na mamlaka ya kusamehe dhambi." + +# Nani huyu ambaye anasema kufuru? + +Swali hili linaonesha jinsi walivyoshituka na kukasirika kwa kile ambacho Yesu alisema. "Mtu huyu anamkufuru Mungu" au "Yeye anamkufuru Mungu kwa kusema hivyo" + +# Nani anayeweza kusamehe dhambi, lakini Mungu pekee? + +Inachodokeza taarifa ni kwamba kama mtu anadai kusamehe dhambi anasema ni Mungu. "Hakuna anayeweza kusamehe dhambi lakini Mungu pekee" au "ni Mungu pekee ambaye anaweza kusamehe dhambi." + diff --git a/luk/05/22.md b/luk/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..5b98a3c0 --- /dev/null +++ b/luk/05/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kutambua walichokuwa wanafikiri + +Kirai hiki kinaashiria kwamba walikuwa wanahojiana kimya kimya, hivyo kwamba Yesu alitambua zaidi na alisikia walichokuwa wanfikiri. + +# Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu + +Msingepaswa kusema hivi mioyoni mwenu " au"Msingepaswa kutia shaka kwamba nina mamlaka ya kusamehe dhambi" + +# Mioyoni mwenu + +Hii inarejea sehemu ya mtu ambayo hufikiri au huamini. + +# rahisi kusema + +Kitu ambacho hakipo wazi ni kimoja. "Ni rahisi kusema, sababu hakuna mmoja atakayejua, lakini kitu kingine ni "kigtumu kusema sababu kila mmoja atajua". watu wasione kama mtu dhambi zako zimesamehewa, 'lakini Mungu pekee anaweza sababisha huyu mlemavu kusimama na kutembea." + +# mnaweza kujua + +Yesu alikuwa akiongea kwa Waandishi na Mafarisayo. Neno "enyi" ni wingi. + +# Mwana wa Adam + +Yesu alikuwa akirejea yeye peke yake + +# Nasema kwenu + +Yesu alikuwa akisema haya kwa mtu aliyepooza .Neno "wewe" ni umoja + diff --git a/luk/05/25.md b/luk/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..134984f1 --- /dev/null +++ b/luk/05/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa haraka + +"mara moja"njia sahihi" + +# akainuka + +Inaweza kusaidia kusema kwa wazi kwamba aliponywa. NI: "mtu aliponywa! akainuka." + +# kujawa na hofu + +"hofu sana"au" kujawa na utisho" + +# vitu vinavyozidi vya kawaida + +"vitu vya kushangaza "au" vitu vigeni" + diff --git a/luk/05/27.md b/luk/05/27.md new file mode 100644 index 00000000..06c8c0e3 --- /dev/null +++ b/luk/05/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Yesu alipoondoka nyumbani, anamwita Lawi, Myahudi mtoza ushuru amfuate. Lawi anaandaa mlo kwaajili ya Yesu uliowakera mafarisayo na waandishi. + +# Baada ya mambo hayo kutokea + +Kirai "vitu hivi" kinamaanisha kilichotokea kwenye mistari iliyopita. Ishara hii ni tukio jipya. + +# akamwona mtoza ushuru + +"akamwangalia mtoza ushuru kwa umakini "au" alimwangalia mtoza ushuru kwa uangalifu" + +# Nifuate + +Kufuata mtu ilikuwa ni kauli imaanishayo kuwa mwanafunzi. NI: "Kuwa mwanafunzi wangu "au" njoo, nifuate kama mwalimu wako" + +# Acha vyote nyuma + +"akaacha kazi yake kama mtoza ushuru" + diff --git a/luk/05/29.md b/luk/05/29.md new file mode 100644 index 00000000..8ea381ca --- /dev/null +++ b/luk/05/29.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi Unganishi + +Chakulani, Yesu anazungumza na Mafarisayo na waandishi. + +# Nyumbani mwake + +"kwenye nyumba ya Lawi" + +# walioketi mezani + +Aina ya Kigiriki ya kula kwenye karamu ilikuwa kuegemea kochi na kujihimili peke yako kwa mkono wa kushoto kwenye baadhi ya mito ." au " "kwenye meza"kukaa mezani" + +# kwa wanafunzi wake + +"kwa wanafunzi wa Yesu" + +# Kwa nini unakula ... kwa mtu mwenye dhambi? + +Mafarisayo na Waandishi waliuliza haya kudhihirisha kutoridhishwa kwao kwamba Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanakula na wenye dhambi. NI: "Huwezi kula na wenye dhambi!" + +# mnakula na kunywa pamoja ... watu wenye dhambi + +Mafarisayo na waandishi waliamini kwamba watu wa dini wanapaswa kujitenga na watu waliowaona kuwa ni wenye dhambi. Neno "wewe" ni wingi. + +# Watu ambao ni wazima ... wagonjwa + +Yesu anadhihirisha hii kama mithali. + +# Tabibu + +daktari atibuye " au" daktari" + +# ni ambao wanaumwa tu + +Maneno "inahitaji" yanaeleweka kutoka kirai kilichotangulia. NI: "ni wale wagojwa tu wanamwitaji" + +# watu wenye haki + +Baadhi ya watu walifikiri wanahaki. Yesu anarejea kwa hao kwa namna walivyofikiri kuhusu wao wenyewe ingawaje alijua kwamba hawakuwa wenye haki. NI: "watu wafikirio wanahaki" + diff --git a/luk/05/33.md b/luk/05/33.md new file mode 100644 index 00000000..a0836637 --- /dev/null +++ b/luk/05/33.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Akawaambia + +"Viongozi wa dini wakasema kwa Yesu" + +# inawezekana yeyote akafanya ... pamoja nao? + +Yesu alitumia swali kusababisha watu kufikiri kuhusu hali ambayo tayari wanaijua."Hakuna mmoja wenu anawaambia waliohudhuria harusini kufunga wakati bado Bwana arusi yupo nao." + +# waliohudhuria harusini + +"wageni" au "marafiki. "Hawa ni marafiki ambao husherehekea na mtu ambaye anafunga ndoa. + +# waalikwa wa bwana arusi wanafunga + +kufunga ni ishara ya huzuni. Viongozi wa dini walielewa kwamba waalikwa arusini hawawezi kufunga wakati bwana arusi akiwa pamoja nao. + +# siku zitakuja + +"upesi" au siku hizo" (UDB) + +# Bwana Arusi atakapoondolewa kwao. + +Yesu anajifananisha yeye mwenyewe na bwana arusi, wanafunzi wake ni waalikwa arusini. Hakufafanua sitiari, hivyo tafsiri ieleze kama ni lazima tu. + diff --git a/luk/05/36.md b/luk/05/36.md new file mode 100644 index 00000000..d978f0f5 --- /dev/null +++ b/luk/05/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yesu anasema habari kwa waandishi na mafarisayo waliokuwa nyumbani kwa Lawi. + +# Hakuna mtu huchana + +"Hakuna mmoja hupasua " au" mtu hachani kamwe" + +# kama alifanya hivyo + +Kauli hii tete inaelezea sababu kwa nini mtu hatarekebisha vazi kwa njia hiyo. + +# kurekebisha + +"karabati" + +# kisingefaa + +"kisingeweza kukubaliana " au" kisingekuwa sawa" + diff --git a/luk/05/37.md b/luk/05/37.md new file mode 100644 index 00000000..327edfb3 --- /dev/null +++ b/luk/05/37.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Hakuna mtu awekae + +"Mtu hawezi kuweka "au" hakuna hata mmoja huweka" + +# Divai mpya + +"juisi ya dhabibu."Hii inamaanisha divai ambayo bado hajachachishwa." + +# Kiriba + +Hii ni mifuko iliyotengenezwa kwa ngozi ya mnyama. Ingeweza kuitwa mifuko ya divai "au "mifuko iliyotengenezwa kwa ngozi." + +# kiriba kipya kingepasua ngozi + +Kipindi divai mpya inachana na kuvutika, inapasua ngozi ya zamani kwa sababu hata hivyo hunyooka. Wasikilizaji wa Yesu walielewa taarifa zihusuzo divai iliyochachishwa na kuvutika. + +# Divai ingevuja + +"Divai ingevuja nje ya mifuko" + +# viriba vipya + +"viriba vipya " au "mifuko mipya ya divai."Hii inamaanisha viriba vipya vya divai, visivyotumika. + +# kunywa divai ya zamani ... anataka mpya + +Sitiari hii inakanusha mafundisho ya zamani ya viongozi wa dini ni kinyume na mafundisho mapya ya Yesu. Dokezo ni kwamba watu ambao walizoea mafundisho ya zamani hawako tayari kusikiliza vitu vipya ambavyo Yesu anafundisha. + +# Divai ya zamani + +"divai ambayo imechachishwa" + +# Anasema cha zamani ni bora + +Itasaidia kwa kuongeza: na "hata hivyo tayari kujaribu divai mpya. + diff --git a/luk/06/01.md b/luk/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..80a65bdb --- /dev/null +++ b/luk/06/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Sasa Yesu na wanafunzi wake wanatembea kupitia kwenye shamba la ngano wakati baadhi ya mafarisayo wanaanza kuwauliza wanafunzi kuhusu walichokuwa wanafanya siku ya sabato ambayo katika sheria ya Mungu imetengwa kwaajili ya Mungu. + +# Taarifa kwa Ujumla + +Neno "wewe" hapa ni wingi, na linarejea kwa wanafunzi. + +# sasa ikatokea + +Kirai hiki kilitumika hapakuzingatia mwanzo wa sehemu mpya ya masimulizi. Ikiwa lugha yako ni njia ya kufanya hivi, ingeweza kutumika hapa. + +# masuke + +Kwa suala hili, hizi ni sehemu kubwa za nchi ambapo watu walikuwa wametawanya mbegu pawe na ngano nyingi. + +# juu ya ngano + +Hii ni sehemu ya juu ya mmea wa ngano, ambao ni aina jani kubwa. inashikilia mbegu inayoota ya mmea. + +# kufikicha katikati ya mikono yao + +Walifanya hivi kutenganisha ngano. NI: "Walifikicha ngano katika mikono yao kutenganisha ngano na ganda" (UDB) + +# Kwa nini mnafanya vitu ambavyo ni kinyume kufanya siku ya sabato? + +Hili ni swali linalowatuhumu wanafunzi kwa kuvunja sheria. NI: "Kuchuma nafaka siku ya sabato ni kinyume na sheria ya Mungu!" + +# kufanya kitu fulani + +Mafarisayo waliona hata kitendo kidogo cha kufikicha ngano kuwa ni kazi ivunjayo sheria. NI: "kufanya kazi" + diff --git a/luk/06/03.md b/luk/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..415c4815 --- /dev/null +++ b/luk/06/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hamkuwahi hata kusoma ... yeye? + +Yesu anawakemea mafarisayo kwaajili ya kutojifunza maandiko. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi NI: "Mtajifunze kutokana na yale mliyo soma .... yeye" + +# Mkate wa wonyesho + +"Mkate mtakatifu " au "mkate ambao uliokuwa ukitolewa sadaka kwa Mungu" + +# Mwana wa Adam + +Yesu alikuwa anarejea yeye peke yake. 'Mimi' Mwana wa Adam. NI: "Mimi, Mwana wa Adamu" + +# ni Bwana wa Sabato + +Cheo "Bwana" hapa inasisitiza mamlaka juu ya Sabato. NI: "ana mamlaka kutambua kipi ni sahihi kwa mtu kufanya siku ya sabato!" + diff --git a/luk/06/06.md b/luk/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..623bb5bc --- /dev/null +++ b/luk/06/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Waandishi na Mafarisayo wanatazama Yesu anaponya mtu siku ya Sabato + +# Taarifa kwa Ujumla + +Hapa sasa ni siku ya Sabato nyingine na Yesu yuko kwenye Sinagogi. + +# Ilitokea + +Kirai hiki kimetumika hapa kuzibgatia mwanzo wa tukio jipya katika masimulizi. + +# Mtu alikuwa pale + +Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi. + +# mkono wake umepooza + +mkono wa mtu ambaye umepata umeadhirika kiasi ambachomhawezi kuunyoosha. Ulikuwa umejikunja kwenye eneo la ngumi, ikaufanya uonekane mdogo na wenye kupinda. + +# walikuwa wanamuangalia kwa karibu + +"walikuwa wanamuangalia Yesu kwa makini" + +# ili waweze kupata + +"kwa sababu walitaka kutafuta" + +# katikati ya kila mmoja + +"mbele ya kila mtu" (UDB). Yesu alimtaka yule mtu kusimama ambapo kila mmoja angemuona. + diff --git a/luk/06/09.md b/luk/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..ba950058 --- /dev/null +++ b/luk/06/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwao + +"kwa Mafarisayo" + +# ni halali ... okoa maisha ... iharibu? + +Yesu alitaka kuwasahihisha Mafarisayo wajuao kwamba ni kosa kuponya siku ya Sabato. Aliuliza swali kama kupinga kati ya kufanya wema au uovu ili kwamba iwe wazi kipi ni sahihi na kipi ni kibaya. NI: "tendo lipi ambalo sheria inaruhusu - kufanya wema na kuponya, au kuumiza na kuharibu maisha?" + +# kufanya mema au kufanya madhara + +"kusaidia mtu au kumdhuru mtu" + +# Nyoosha mkono wako + +"Shikilia mkono wako" au" panua mkono wako" + +# alirejeshwa + +"aliponywa" + diff --git a/luk/06/12.md b/luk/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..6c6d2274 --- /dev/null +++ b/luk/06/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# taarifa kwa Ujumla + +Yesu anachagua mitume kumi na wawili baada ya kuomba usiku mzima. + +# Ikatokea katika siku hizo + +kirai hiki kimetumika hapa kuashiria mwanzo wa kipande kipya cha masimulizi. + +# katika siku hizo + +"katika wakati huo" au"sio mbali baada ya hapo " au" siku moja katikati ya hapo" + +# alikwenda nje + +"Yesu alikwenda nje" + +# ilipokuwa siku + +"ilipokuwa asubuhi" au "siku iliyofuata" + +# Aliwachagua kumi na wawili miongoni mwao + +"aliwachagua kumi na wawili kati ya wanafunzi" + +# "ambao pia aliwaita mitume" + +"ambao aliwafanya mitume" au "na alipowateua wao kuwa mitume." + diff --git a/luk/06/14.md b/luk/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..abd7078f --- /dev/null +++ b/luk/06/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# majina ya mitume yalikuwa + +Hizi ni taarifa zimeongezwa kwenye mstari wa ULB + +# ndugu yake Andrea + +"kaka yake Simoni, Andrea" + +# Zelote + +inawezekana maana 1) "Zelote" ni cheo kinacho onesha alikuwa sehemu ya kundi la watu waliotaka kuwaacha huru Wayahudi kutoka utawala wa Rumi NI: "mzalendo" au "mtaifa" au 2) "mwenye bidii" ni maelezo yanayoashiria alikuwa na bidii kwaajili ya Mungu kuheshimiwa. NI: "shauku" + +# kuwa msaliti + +Inaweza kuwa lazima kueleza nini maana ya "msaliti" katika mkutadha huu. NI: "aliwasaliti rafiki zake" au "aliwageuka rafiki zake mbele ya maadui" (kawaida kwa kurudisha fedha alizolipwa" au "kumweka rafiki katika hatari kwa kuwaambia maadui kuhusu yeye" + diff --git a/luk/06/17.md b/luk/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..38c030b1 --- /dev/null +++ b/luk/06/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Ingawa Yesu akiwaelekea hasa wanafunzi wake, walikuwapo watu wengi karibu ambao wanasikiliza. + +# pamoja nao + +"pamoja na kumi na wawili aliowachagua" au "pamoja na mitume wake kumi na wawili" + +# waliponywa + +Hii inaweza kusema katika kauli tendaji "kwa Yesu kuwaponya wao" + +# waliokuwa wakisumbuliwa na roho wachafu pia walipona + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Yesu pia aliwaponya watu walisumbuliwa na roho wachafu." + +# waliosumbuliwa na roho wachafu + +"sumbuliwa na roho chafu" au waliotawaliwa na roho chafu" + +# nguvu za kuponya zilikuwa zikimtoka + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji NI: "alikuwa na nguvu kuponya watu" au "alitumia nguvu zake kuponya watu" + diff --git a/luk/06/20.md b/luk/06/20.md new file mode 100644 index 00000000..05d28fa0 --- /dev/null +++ b/luk/06/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ninyi mmebarikiwa + +Kirai hiki kimerudia mara tatu. Kila mara ,kinaashiria kwamba Mungu huwapa neema watu fulani au kwamba hali zao ni chanya au nzuri. + +# Mmebarikiwa ninyi mlio maskini + +"Wale ambao ni maskini hupokea neema ya Mungu" au " ambao ni maskini hunufaika" + +# Kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu + +Lugha ambazo hazina neno ufalme laweza sema, "Mungu ni mfalme wako" au "kwa sababu Mungu ni mtwala wako." + +# Ufalme wako ni wa Mungu + +"ufalme wa Mungu ni wako." Hii ingeweza kumaanisha 1) "umetokana na ufalme wa Mungu" au 2) Utakuwa na mamlaka katika ufalme wa Mungu." + +# Mtacheka + +"Mtacheka na kufurahia" au "Mtakuwa na furaha" + diff --git a/luk/06/22.md b/luk/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..f2e38beb --- /dev/null +++ b/luk/06/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mmebarikiwa ninyi + +"Mmepokea neema ya Mungu" au "Mnanufaika" au "Ni kwa namna gani ni nzuri kwenu" + +# Kuwatenga ninyi + +"kuwakataa ninyi" + +# Kwa ajili wa Mwana wa Adam + +"kwa sababu mnajumuika na Mwana wa Adam" au" kwa sababu walimkataa Mwana wa Adam " + +# Siku hiyo + +"Kipindi wanafanya mambo hayo" au "kipindi yanatokea" + +# vuna kwa furaha + +Nahau hii inamaanisha "kuwa na furaha zaidi" + +# dhawabu kubwa + +"malipo makubwa" au "zawadi nzuri" + diff --git a/luk/06/24.md b/luk/06/24.md new file mode 100644 index 00000000..f747837d --- /dev/null +++ b/luk/06/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ole wenu + +"jinsi gani kwenu ni hatari." Kirai hiki kimerudia mara tatu. Ni kinyume cha "mmebarikiwa ninyi" Kila mara, kinaashiria kwamba hasira ya Mungu ni moja kwa moja kwa watu, au kwamba kitu hasi au kibaya kinawasubiri. + +# ole wenu ninyi mlio matajiri + +namna gani balaa ni wale ambao ni matajiri" au "shida zitakuja kwa wale ambao ni matajiri" + +# Mfariji wenu + +"mfariji wenu" au "kinacho waridhisha ninyi" au "kinacho wafanya mwe na furaha" + +# Mlio shiba sasa + +"ambao matumbo yao yameshiba sasa" au "ambaye hula kingi sasa" + +# wanao cheka sasa + +"ambaoana furaha sasa." + diff --git a/luk/06/26.md b/luk/06/26.md new file mode 100644 index 00000000..0a74b76f --- /dev/null +++ b/luk/06/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ole wenu + +"ni gani balaa gani litakuwa kwenu" au "jinsi mtakavyo kuwa na huzuni" + +# Kipindi wanadamu wote + +kipindi watu wote" au "kipindi kila mmoja" + +# hivyo ndivyo wahenga waliwafanya manabii wa uongo + +"walinena vizuri juu ya manabii wa uongo" + diff --git a/luk/06/27.md b/luk/06/27.md new file mode 100644 index 00000000..8f3f48de --- /dev/null +++ b/luk/06/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Yesu anaendelea kuzungumza kwa wanafunzi wake na vile vile na mkutano wanao msikiliza yeye. + +# kwenu mnaosikiliza + +Yesu sasa anaaza kuzungumza kwa hadhara yote, zaidi kuliko kwa wanafunzi wake tu. + +# penda ... fanya mema ... Bariki ... omba + +Katika kila amri hizi hufanyika kwa mwendelezo, siyo tu kwa mara moja. + +# penda adui zako + +Hii hainamaana unawapenda tu adui na siyo marafiki. Hii inaweza kusemwa. NI: "Wapende adui, siyo tu rafiki!" (UDB) + +# penda ... fanya mema kwa + +Virai viwili hivi vinamaana sawa, na kwa pamoja vinasisitiza hoja. + +# Bariki ambao + +Mungu ndiye abarikie. Hii inaweza ikadhihirisha. NI: "Omba Mungu kubariki hao" (UDB) + +# ambao wanakulaani + +"ambao wanatabia ya kukulaani" + +# wale ambao wanakutendea mabaya + +"wale ambao wanatabia ya kukutenda mabaya" + diff --git a/luk/06/29.md b/luk/06/29.md new file mode 100644 index 00000000..ca9e153d --- /dev/null +++ b/luk/06/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa yeye akupigaye + +"kama yeyote akupigaye" + +# katika shavu moja + +"kwenye upande mmoja wa uso" + +# Mpe pia upande mwingine + +Inasaidia kusema ambacho mshambuliaji atafanya kwa mtu. NI: "geuza uso wako kwamba aweza kupiga na shavu jingine pia" + +# Usizuie + +"hapana kumzuia kuchukua" + +# Mpe kila mmoja akuombaye + +"Ikiwa yeyote anakuomba kitu, mptie" + +# usimuulize + +"usimwombe" au "usihitaji" + diff --git a/luk/06/31.md b/luk/06/31.md new file mode 100644 index 00000000..50a60356 --- /dev/null +++ b/luk/06/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama unavyotaka watu wakufanyie, ufanye hivyo kwao + +Kwa baadhi ya lugha zingine inaweza kuwa uasilia zaidi kubadili amri: NI: "Uwafanyie watu sawasawa na unavyotaka watu wakufanyie." + +# Ni ujira gani kwenu? + +"Ni dhawabu gani mtapokea?" au "Mtapokea sifa gani kwa kufanya hivyo?" Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hamtapokea thawabu yeyote kwa hilo" au "Mungu hatawazawadia kwa hilo" + +# kurudisha kiasi kile kile + +Sheria ya Musa iliamuru Wayahudi wasipokee riba kwa pesa waliyokopeshana. + diff --git a/luk/06/35.md b/luk/06/35.md new file mode 100644 index 00000000..08dbb20d --- /dev/null +++ b/luk/06/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Dhawabu yenu itakuwa kubwa + +"mtapokea dhawabu kubwa" au "mtapokea malipo mazuri" au "mtapata zawadi nzuri kwa sababu ya hilo" + +# Mtakuwa wana wa aliye juu + +Ni vizuri sana kutafsiri "wana" kwa maneno ambayo lugha yako itayatumia kwa asili kurejea kwa mwana wa kibinadamu. + +# wana wa aliye juu + +Hakikisha kwamba neno "wana" ni wingi lisichanganywe na cheo cha Yesu "Mwana wa aliye Juu Sana" + +# Wasio na shukrani na ni watu waovu + +"Watu ambao hawamshukuru yeye na ambao ni waovu" + +# Baba yako + +Hii inamrejea Mungu. Ni bora kutafsiri "Baba" kwa neno ambalo lugha ambayo kwa asili hutumika kurejea kwa baba binadamu. + diff --git a/luk/06/37.md b/luk/06/37.md new file mode 100644 index 00000000..3fa7a7c9 --- /dev/null +++ b/luk/06/37.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Msihukumu + +"Msihukumu watu" au "usimkosoe mtu" + +# na wewe + +"na kama matokeo yako" + +# hamtahukumiwa + +Yesu hakusema ambao wasingehukumu. Inawezekana maana ni 1) "Mungu hatakuhukumu wewe" au 2) "hakuna wa kukuhukumu wewe." + +# Msishutumu + +"Msishutumu watu" + +# Hamtashutumiwa + +Yesu hakusema ambaye angehukumu. inawezekana inamaanisha 1) "Mungu hatakushutumu wewe" au 2) "hakuna hata mmoja atakaye washutumu." + +# Nanyi mtasamehewa + +Yesu hakusema ambaye angesamehe. Inawezekana inamaanisha 1) "Mungu atakusamehe" au 2 ) "watu watakusamehe." + diff --git a/luk/06/38.md b/luk/06/38.md new file mode 100644 index 00000000..bce90ebb --- /dev/null +++ b/luk/06/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nanyi mtapewa + +Yesu hakusema kwa hakika ambaye angetoa. Inawezekana inaanisha 1) "yeyote atakupa wewe 2) "Mungu atakupa wewe? + +# kiasi cha ukarimu ....magotini penu + +Amri ya sentensi hii inaweza kurudiwa. NI: "kitamwagwa magotini penu kiasi cha ukarimu kilichosindiliwa na kumwagika. "Yesu alitumia mfano wa mfanya biashara wa nafaka kupata kiasi cha ukarimu. NI: "Ni kama mfayabiashara wa nafaka ambaye hushindilia nafaka na kuzitikisa pamoja na hutoka nafaka nyingi ambazo humwagika, watakupatia wewe kwa ukarimu. + +# Kiasi cha ukarimu + +"kiasi kingi" + +# Itapimwa hivyo hivyo kwako + +Yesu hakusema kwa hakika nani atapima. Maana zinazowezekana 1)"watatumia kipimo hicho hicho kupima vitu vyako" au 2) Mungu atakupimia pia vitu wewe + diff --git a/luk/06/39.md b/luk/06/39.md new file mode 100644 index 00000000..bec55610 --- /dev/null +++ b/luk/06/39.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yesu anahusisha baadhi ya mifano kujenga hoja yake. + +# mtu kipofu anaweza kumuongoza kipofu mwingine? + +Yesu alitumia swali ili kupata watu wa kufikiri kitu ambacho tayari wanajua. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Mtu kipofu hawezi kumuongoza mtu mwingine kipofu. + +# mtu kipofu + +mtu ambaye ni "kipofu" ni sitiari kwa mtu ambaye hajafundishwa kama mwanafunzi. + +# Ikiwa alifanya + +Baadhi ya lugha zinaweza kupendelea, "kama mmoja alifanya" Hii ni hali upuuzi kwamba haiwezi kabisa kutokea. + +# wote wataangukia shimoni, je hawawezi? + +Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: wawili wote wataangukia shimoni" + +# Mwanafunzi siyo mkubwa kuliko mwalimu mwalimu wake + +"Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake." Maana zinazowezekana ni 1) "Mwanafunzi hana maarifa kuliko mwalimu wake" au 2) Mwanafunzi hana mamlaka kuliko mwalimu" + +# Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake + +Hii inaweza kumaanisha kuwa 1)"mwanafunzi hawezi kuwa na ufahamu mkubwa kuliko mwalimu "au 2) " Mwanafunzi hana mamlaka zaidi ya mwalimu ."Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu." + +# kila mmoja akishamaliza kufundishwa + +"Kila mwanafunzi aliyefundishwa vizuri" au "kila mwanafunzi ambaye amejazwa mafundisho na mwalimu." + diff --git a/luk/06/41.md b/luk/06/41.md new file mode 100644 index 00000000..d53ebccc --- /dev/null +++ b/luk/06/41.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kwanini unaangalia ... lakini huzingatii kijiti ambacho kimo kwenye jicho lako? + +Yesu anatumia swali hili kuwapa watu changamoto kuzingatia dhambi zao wenyewe kabla hawajafuatilia dhambi za watu wengine. NI: "usiangalie ... lakini puuza kitiji ambacho kimo kwenye jicho lako" + +# kibanzi kilichomo kwenye jicho la ndugu yako + +Hii ni sitiari ambayo inarejea kwenye kosa dogo alilofanya muumini mwenzako. + +# kipande cha kijiti + +"doa" (UDB) au "kibanzi." Tumia neno kwa kitu kidogo ambacho kwa kawaida kinaingia kwenye jicho la mtu. + +# ndugu + +Hapa "ndugu" inanarejea kwa myahudi au muumini mfuasi wa Yesu. + +# kijiti ambacho kimo kwenye jicho lako + +Hii ni sitiari kwa kosa la mtu maarufu. kijiti hakiwezi kuingia kwenye kwenye jicho la mtu kilivyo. Yesu anasisitiza kwamba mtu awe makini kwa makosa yake mwenyewe kabla hajashughulikia makosa madogo ya mwingine. + +# kijiti + +"boriti " au "kigogo" + +# Unawezaje kusema ... jicho? + +Yesu anauliza swali hili kukosoa watu wazingatie dhambi zao kabla ya kufuatilia dhambi za wengine. NI: "Usiseme ... jicho" + diff --git a/luk/06/43.md b/luk/06/43.md new file mode 100644 index 00000000..9e170611 --- /dev/null +++ b/luk/06/43.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa Ujumla: + +watu wanaweza wakasema kama mti ni mzuri au mbaya, na ni aina gani ya mti, kwa matunda yake unayozaa. Yesu anatumia hii kama sitiari isiyo elezewa - tunajua mtu wa aina gani kwa ya kuona mtendo yao. + +# kwa kuwa ipo + +"sababu ipo" Hii inaashiria kwamba kinachofuata ni sababu ni sababu ya kwanini hatupaswi kuwahukumu ndugu zetu + +# mti mzuri + +mti wenye afya + +# haribika + +"liooza" au "baya" au "siofaa" + +# Kila mti hujulikana + +watu hutambua aina ya mti kwa matunda yake unayozaa. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "watu wanajua aina ya mti" au "watu wanatambua mti" + +# Mchongoma + +Mmea au kichaka chenye miiba + +# waridi mwitu + +mzabibu au kichaka kilicho na miiba + diff --git a/luk/06/45.md b/luk/06/45.md new file mode 100644 index 00000000..d7e87977 --- /dev/null +++ b/luk/06/45.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa Ujumla: + +Yesu analinganisha mawazo ya mtu kwa hazina nzura au mbaya. Mawazo mazuri ya mtu mzuri yanasababisha matendo mazuri. Mawazo maovu ya mtu mwovu husababisha matendo mabaya. + +# Mtu mwema + +Neno "mwema" hapa linahusu mwenye haki au maadili mema. + +# mtu mwema + +Neno "mtu" linarejea kwa mtu, mwanaume au mwanamke. NI: "mtu mwema" + +# Hazina njema ya moyo wake + +"vitu vizuri hutunza moyoni mwake" au "vitu vizuri huvithamini" + +# huzaa kilicho kizuri + +Kutoa kilicho kizuri ni sitiari kwa kufanya mema. NI: "kufanya kilicho kizuri" + +# hazina mbaya ya moyo wake + +"mambo mabaya anayotunza moyoni mwake" au "mambo mabaya anayothamini" + +# katika utajiri wa moyo wake mdomo huzungumza + +Kirai "kinywa chake" kinawakilisha yeye kutumian mkinywa chake. NI: "anachofikiri moyoni mwake kinaathiri anachosema kwa mdomo wake" au anachokithamini moyoni mwake huamua kinachosemwa na kinywa. + diff --git a/luk/06/46.md b/luk/06/46.md new file mode 100644 index 00000000..8ba00228 --- /dev/null +++ b/luk/06/46.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa kwa Ujumla: + +Yesu anamlinganisha mtu ambaye anatii na mtu anayejenga nyumba juu ya mwamba ambapo itakuwa na uimara na gharika. + +# Bwana, Bwana + +Urudiaji wa maneno haya huashiria kwamba walimwita Yesu kwa kawaida "Bwana." + +# Kila mtu ajaye kwangu ... nitakwambia anacho kifanana + +Itakuwa wazi zaidi kubadili mfumo wa sentensi hii. NI: "Nitakuambia jinsi kila mtu anayekuja kwangu akasikia na kuyatii maneno yangu anavyofanana " + +# jenga msingi wa nyumba kwenye mwamba imara + +"Kuchimba msingi wa nyumba kwa kina kufikia mwamba imara" Baadhi ya tamaduni hawajengi juu ya mwamba, wanaweza kuhitaji kutumia kitu kingine kwa msingi imara. + +# Msingi + +"msingi" au "saidia" + +# mwamba imara + +Huu ni mwamba mgumu ambao upo chini ya udongo. + +# Maporomoko ya maji + +"maji yaendayo kasi" au "mto " + +# Yakatokea dhidi + +"Yakagonga dhidi yake" + +# tikisa + +Maana zinazowezekana ni 1) "sababisha kutikisika" au 2) "iharibu." + +# Kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri + +"kwa sababu mtu alikuwa ameijenga vizuri" + diff --git a/luk/06/49.md b/luk/06/49.md new file mode 100644 index 00000000..da204b7c --- /dev/null +++ b/luk/06/49.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa kwa Ujumla: + +Yesu anamlinganisha mtu asikiaye hatii mafundisho na mtu ambaye kajenga nyumba bila msingi hivyo itaanguka wakati wa mafuriko. + +# lakini mtu + +"Lakini" inaonesha utofauti mkubwa kwa mtu aliyetangulia ambaye alijenga kwenye msingi. + +# juu ya ardhi pasipo msingi + +Baadhi ya tamaduni nymba yenye msingi ni imara. Taarifa za kuongeza zinaweza zikawa msaada NI: "lakini hakuchimba chini na kujenga kwanza msingi" + +# Msingi + +"msingi" au "msaada imara" + +# mafuriko ya maji + +"maji -yanayotembea kwa kasi" + +# Maporomoka + +"maji yanakwenda kwa kasi" au "mto" + +# tiririka kinyume + +"iliyogonga" + +# poromoka + +"anguka chini" au "ikagawanyika" + +# kifusi cha nyumba hiyo kilikuwa kamili + +"nyumba hiyo ilikuwa imeharibika kabisa" + diff --git a/luk/07/01.md b/luk/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..a677c071 --- /dev/null +++ b/luk/07/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yesu anaingia Kapernaumu pale alipomponya mtumishi wa akida. + +# watu wakiwa wanasikiliza + +Nahau "wakati watu wanasikiliza" anasisitiza anataka watu wasikie anchosema. NI: "ni kwa watu ambao walikuwa wanamsikiliza" au "kwa watu waliohudhuria" au "kwaajili ya watu kusikia" + +# Aliingia Kapernaumu + +Hii inaanzisha tukio jipya katika simulizi + diff --git a/luk/07/02.md b/luk/07/02.md new file mode 100644 index 00000000..8540149a --- /dev/null +++ b/luk/07/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nani alikuwa wa thamani kwake + +"ambaye akida alimthamini" au "ambaye alimweshimu" + +# alimuuliza kwa uaminifu + +"sihi pamoja" au "alimwomba" + +# anayestahili + +"akida anastahili" + +# Taifa letu + +"Watu wetu" hii inarejea kwa wayahudi. + diff --git a/luk/07/06.md b/luk/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..f2861ed9 --- /dev/null +++ b/luk/07/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# aliendelea kwenye njia yake + +"alienda" + +# siyo mbali kutoka kwenye nyumba + +kauli hasi hizi zinaweza kubadilishwa. NI: "karibu na nyumba" + +# Usijisumbue mwenyewe + +Akida alikuwa anaongea kwa upole kwa Yesu. NI: "Usijisumbue mwenyewe kwa kuja nyumbani kwangu" au "Sitaki kukuudhi" + +# Ingia chini ya dari yangu + +Kirai hiki ni nahau inayo maanisha "Njoo ndani ya nyumba yangu." Kama lugha yako ina nahau inayomaanisha "Njoo kwenye nyumba yangu" fikiri kama ina weza kuwa nzuri kuweka hapa." + +# sema neno tu + +Mtumishi alijua kuwa Yesu atamponya yule mtumishi kwa kusema tu. Hapa "neno" linarejea kuamuru. NI: "toa tu agizo" + +# Mtumishi wangu atapona + +Neno lililotumiwa kutafsiri hapa kama "Mtumishi" mara nyingi limetafsiriwa kama "Mvulana" inaweza kuonyesha ishara kuwa mtumishi alikuwa kijana mdogo au inaonyesha ufanisi wa akida kwake. + +# kwa mtumishi wangu + +Neno lililotafsiriwa hapa kama "mtumishi" ni neno la kawaida kwa mtumishi. + diff --git a/luk/07/09.md b/luk/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..ed8c1e50 --- /dev/null +++ b/luk/07/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alimshangaa + +"alimshanga akida" + +# nawaambia + +Yesu alisema haya kusisitiza maajabu ambayo anataka kuwaambia. + +# hata katika Israel sijawahi kuona imani kubwa hivi + +maana yake ni kuwa Yesu alitarajia wayahudi kuwa na imani kama hii, lakini hawakuwa hivyo. Hakuwatajia wamataifa kuwa na imani ya namna hii, lakini huyu mtu amekuwa na imani hiyo. Unaweza kuongeza taarifa iliyofichika. NI: "sijaona mwisraeli yeyote anaye niamini kwa kiasi kama mmataifa huyu!" (UDB) + +# wale waliokuwa wametumwa + +Ilifahamika kwamba hawa walikuwa watu waliotumwa na akida. Hii inaweza kusemwa NI: "watu ambao watawala wa Rumi waliowatuma kwa Yesu" + diff --git a/luk/07/11.md b/luk/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..89c02330 --- /dev/null +++ b/luk/07/11.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yesu anaenda katika mji wa Naini, pale alipomponya mtu aliyekuwa amekufa. + +# Naini + +ni jina la Mji + +# tazama, mtu aliyekufa alikuwa kafa + +Neno "Tazama" linatuashiria utangulizi wa simulizi ya mtu aliyekufa kwenye habari. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kufanya hivi. NI: "Kulikuwa na mtu aliyekufa" + +# mtu ambaye alikuwa amekufa alikuwa kabebwa + +Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji. NI: watu walikuwa wanapeleka nje ya mji mtu aliyekufa" + +# mwana pekee wa mama yake (ambaye alikuwa mjane) + +"alikuwa mwana pekee wa mamaye, na alikuwa mjane" Hii ni taarifa iliyotangulia kuhusu aliyekufa na mama yake. + +# ilitokea kuwa + +hii sentensi inatumika hapa kuonyesha mwanzo wa habari mpya. kama Lugha yako ina njia nyingine ya kufanya hivi unaweza kutumia hapa. + +# mjane + +mwanamke ambaye mumewe amesha kufa + +# alisukumwa na huruma kwa ajili yake + +"aliona huruma kwa ajili yake" + +# akaja mbele + +"akaenda mbele" au "akamsogelea aliyekufa" + +# jeneza lililokuwa limebeba mwili + +Hiyo ilikuwa ni machela au kitanda kilitumika kubeba mwili kwenda maeneo ya kuzika. kisingeweza kuwa kitu cha kuzikia. Tafsiri nyingine inapunguza uthamani "Jeneza" au "Kiti cha msiba" + +# nasema kwako + +Yesu alisema hili kuonyesha mamlaka yake "Nisikilize!" + +# maiti + +mtu alikuwa bado amekufa; sasa alikuwa hai. Itakuwa lazima kusema hili wazi. NI: "ni mtu aliyekuwa amekufa." + diff --git a/luk/07/16.md b/luk/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..a2024f78 --- /dev/null +++ b/luk/07/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Hii inatumabia jinsi ilivyotokea kama matokeo ya uponyaji wa Yesu kwa mtu aliyekuwa amekufa. + +# hofu ikawajaa wote + +"Hofu huwajaa wote." Hii inaweza katika kauli tendaji. NI: "wate wakawa na hofu sana." + +# Nabii mkuu + +Walikuwa wanarejea kwa Yesu, siyo kwa yule nabii asiyejulikana. + +# Ameinuliwa kati yetu + +"Amekuja kuwa nasi" au "Ameonekana kwetu." Mungu ameinua nabii mkuu katikati yetu." Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu ameinua nabii mkuu kati yetu" + +# amengalia juu ya + +Nahau hii inamaana "ajali" + +# Habari hizi njema kuhusu Yesu zikaenea + +"Habari hizi njema" inarejea kwa vitu ambavyo watu walikuwa wanasema katika mstari wa 16. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji "Watu wakaeneza hizi taarifa kuhusu Yesu" au "Watu waliwaambia wengine hii taarifa ya kuhusu Yesu." + +# Habari hizi + +"Hili neno" au "Huu ujumbe" + diff --git a/luk/07/18.md b/luk/07/18.md new file mode 100644 index 00000000..fe9ad096 --- /dev/null +++ b/luk/07/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa Unganishi : + +Yohana anatuma wawili wa wanafunzi wake kumuuliza Yesu. + +# Wanafunzi wa Yohana walimwambia kuhusu mambo yote + +Hii inatambulisha tukio jingine kwenye habari + +# akamwambia + +"akamwambia Yohana" + +# mambo yote haya + +"mambo yote alikuwa anafanya" + +# watu walisema, "Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema 'ni wewe ... au tumtazamie mwingine?" + +Sentensi hii inaweza kuandikwa hivyo kwamba ikawa na nukuu ya moja kwa moja tu. NI: "watu walisema kwamba Yohana mbatizaji aliwatuma wao kwake kuuliza 'wewe ni yule ajaye, au tumtazamie mwingine?" au "watu walisema, '"Yohana katutuma sisi kwako kuuliza kama ni yule ambaye anakuja, au kama tutazamie mwingine." + +# tumtazamie mwingine + +"tusubiri mwingine" au "tumtazamie mtu fulani" + diff --git a/luk/07/21.md b/luk/07/21.md new file mode 100644 index 00000000..edc0ef23 --- /dev/null +++ b/luk/07/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa saa hiyo + +"kwa wakati huo" + +# kutoka kwa roho wachafu + +Itakuwa msaada kusema tena uponyaji. NI: "aliwaponya na roho chafu"au "na aliwaweka huru watu kutoka katika roho chafu" + +# aliwaambia + +"aliwaambia wajumbe wa Yohana" au "alisema kwa wajumbe aliowatuma Yohana" + +# Toa taarifa kwa Yohana + +"Mwambie Yohana" + +# watu wahitaji + +"watu masikini" + +# Mtu asiyeacha kuniamini kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu atambariki mtu ambaye haachi kuamini kwake sababu ya matendo yake" + +# Mtu + +"Watu" au "yeyote" Huyu si mtu maalumu. + +# usisitishe + +maana mbili hasi "Hendelea" + diff --git a/luk/07/24.md b/luk/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..58eb727c --- /dev/null +++ b/luk/07/24.md @@ -0,0 +1,37 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yesu anaanza kuzungumza katika makutano kuhusu Yohana mbatizaji. anauliza maswli balagha kuwasaidia kufikiri kuhusu ambacho Yohana mbatizaji hasa anavyofanana. + +# Nini ... mwanzi ukutikiswa na upepo? + +Hii inategemea jibu hasi. "milikwenda nje kuona mwanzi ukitikiswa na upepo? siyo hivyo" Inaweza pia ikaandikwa kama sentensi. NI: "Kwa hakika hamkwenda kuona mwanzi ukitikiswa na upepo!" + +# Mwanzi umetikiswa na upepo + +Maana zinazowekeana kwa sitiari hii ni +1) mtu anaye badili mawazo yake, kama mwanzi ni rahisi kugeuzwa na upepo, au 2) mtu anayeongea sana lakini hasemi chochote cha mhimu, kama mwanzi ugeuzwavyo wakati upepo unapovuma. + +# Lakini nini ... mtu aliyevaa mavazi laini? + +Hii pia inatazamia jibu hasi, sababu Yohana alivaa vazi gumu. "mlikenda huangalia mtu amevaa nguo laini? siyo hivy!" Hii pia inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: Hakika hamkwenda kuona mtu amevaa nguo laini!" + +# liyevaa nguo laini + +Hii inarejea nguo za gharama. Nguo za kawaida zilikuwa chakavu. NI "vaa nguo za gharama" + +# Ikulu ya mfalme + +Ikulu ni kubwa, nyumba ya gharama anayoishi mfale. + +# Lakini ... Nabii? + +Hii inaelekea kwenye jibu chanya. "Mlikwenda nje kuona nabii?" Ndivyo mlivyofanya!" Hii pia inaweza ikaandikwa kama sentensi. NI: "Lakini mlienda kweli kuona nabii!" + +# Ndiyo, asema kwenu + +Yesu alisema kusisitiza umhimu wa vile ambavyo angesema badaye + +# zaidi ya nabii + +Kirai hiki kinamaanisha kwamba Yohana alikuwa kabisa nabii, lakini kwamba alikuwa hata zaidi ya nabii halisi. NI: ""siyo nabii wa kawaida" au "ni muhimu zaidi ya nabii wa kawida" + diff --git a/luk/07/27.md b/luk/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..6a9b82dd --- /dev/null +++ b/luk/07/27.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Huyu ndiye aliyeandikiwa + +"Nabii huyo ni yule manabii waliyeandika kumhusu" au "Yohana ni yule manabii walimwandika wakati mrefu uliopita" + +# Tazama, mimi namtuma + +katika mstari huu, Yesu anamnukuu nabii Malaki na kusema kuwa Yohana ni mjumbe wa kile Malaki alisema. + +# Mbele ya uso wako + +Nahau inamaana "Mbele yako" or "kwenda mbele yako" + +# yako + +Neno "Yako" ni umoja kwa sababu Mungu aliongea kwa masihi katika nukuu. + +# Nasema kwako + +Yesu alikuwa anaongea na makutano hivyo "Ninyi" ni wingi. Yesu alitumia kirai hiki kusisitiza ukweli wa vitu vya kushangaza aliokuwa anaenda kuusema. + +# kati ya waliozaliwa na mwanamke + +"baadhi ya wale mwanamke amewazaa" hii ni sitiari lakini inalenga kwa watu wote. NI: "watu wote waliowahi kuishi." + +# Hakuna aliye mkuu kuliko John + +"Yohana ni mkuu zaidi" + +# angalau mtu mhimu katika ufalme wa Mungu + +Hii inahusiana na kila mtu ambaye ni sehemu ya ufalme ambao Mungu atauanzisha. + +# Ni mkuu kuliko alivyo + +kiwango cha kiroho cha watu katika ufalme wa Mungu kitakuwa cha juu kuliko cha watu kabla ya ufalme uliokuwa umeanzishwa. NI: "kiwango cha kiroho cha juu kuliko Yohana" + diff --git a/luk/07/29.md b/luk/07/29.md new file mode 100644 index 00000000..cecbdd77 --- /dev/null +++ b/luk/07/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Luka, mwandishi wa kitabu, alichangia juu ya mwitikio wa watu kwa Yohana na Yesu. + +# Wakati watu wote ... ubatizo wa Yohana + +Mstari huu unaweza kurekebishwa wazi zaidi. NI: "wakati watu wote waliokuwa wamebatizwa na Yohana, wakiwemo watoza ushuru, walisikia hiki, wakatangaza kwamba Mungu ni mwenye haki. + +# walitangaza kuwa Mungu ni mwenye haki + +"Walisema kwamba Mungu amejionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye haki" au "walitangaza kuwa Mungu alitenda kwa haki + +# sababu walibatizwa na ubatizo wa Yohana + +Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji NI: "sababu walikubali Yohana awabatize" au "sababu Yohana aliwabatiza wao." + +# walikataa kusudi la Mungu kwa ajili yao wenyewe + +"walikataa ambacho Mungu alitaka wao wafanye" au "chagua kutotii ambacho Mungu aliwaambia" + +# wao hawakubatizwa na Yohana + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji NI: "ambao Yohana hakuwabatiza" au "ambao walikataa kubatizwa na Yohana" au " wale waliokataa ubatizo wa Yohana." + diff --git a/luk/07/31.md b/luk/07/31.md new file mode 100644 index 00000000..2ca5ad84 --- /dev/null +++ b/luk/07/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa Unganishi: + +Yesu aliendelea kusema kwa watu Kuhusu Yohana mbatizaji. + +# Tena, naweza kuwalinganisha na nini ... wanafanana? + +Yesu alitumia maswali kutambulisha mlinganisho.Yawaeza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hivi ndivyo nitawafananisha kizazi hiki., na ndivyo wanavyofanana. + +# Watu wa kizazi hiki + +Watu wanalioishi wakati wa Yesu anasema + +# Wanafanana + +Haya maneno ni mwanzo wa kulinganisha kwa Yesu. Yesu anasema kwamba watu wa kizazi hiki wanafanana na watoto ambao hawaridhiki na njia mbazo watoto wengine wanafanya + +# Eneo la soko + +Kubwa, eneo la wazi ambapo watu huja kuuza bidhaa zao. + +# na hamkucheza + +"Lakini hamkucheza kwenye mziki" + +# Na hamkuomboleza + +"Lakini hamkuomboleza na sisi" + diff --git a/luk/07/33.md b/luk/07/33.md new file mode 100644 index 00000000..62484a5b --- /dev/null +++ b/luk/07/33.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hakula mkate + +Maana zinazowezekana ni 1) "Kufunga mfululizo" au 2) kutokula chakula cha kawaida + +# mnasema, 'Ana pepo' + +Yesu alikuwa ananukuu kile watu walikuwa wanasema kuhusu Yohana. Hii inaweza ikasemwa bila nukuu ya moja kwa moja. NI: "Mlisema kuwa ana pepo" au "Mlimtuhumu kuwa ana Pepo" + +# Mwana wa Mtu + +Yesu alitarajia watu pale kujua kuwa alikuwa anajisemea mwenyewe. NI: "Mimi" mwana wa mtu. + +# Mkasema, "Angali ... mdhambi" + +Yesu alikuwa ananukuu kile watu walikuwa wanasema kuhusu mwana wa Mtu. Hii inaweza kusemwa moja kwa moja. NI: "mmesema kwamba mimi ni mtu Mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi" + +# Mtu mlafi + +Ni yule kitabia ya hula chakula kingi zaidi ya uhitaji wake. + +# hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote + +Hii inaonekana kabisa kuwa ni mithali ambayo Yesu aliihusisha na hali hii. Hii huenda inamaana kwamba watu wenye hekima wangeelewa watu hawangemkataa Yesu na Yohana. + diff --git a/luk/07/36.md b/luk/07/36.md new file mode 100644 index 00000000..7c15cac1 --- /dev/null +++ b/luk/07/36.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Mfarisayo alimwalika Yesu kula nyumbani kwake. + +# Taarifa kwa Ujumla + +Ilikuwa ni desturi ya wakati huo mtazamaji kuhudhuria chakula cha jioni bila kula. + +# Sasa mmoja wa mafarisayo + +Alama ya mwanzo mpya wa habari na inatambulisha mfarisayo kwenye habari. + +# aliegemea kwenye meza ili ale + +"Alikaa kuzunguka kwenye meza kwa ajili ya chakula." Ilikuwa ni desturi kwa chakula cha starehe kama hiki chakula cha jioni kwa wanaume kula huku wakiwa wamejilaza kwa raha wakizunguka meza. + +# Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja + +Neno "Tazama" linatutazamisha sisi kwa mtu mwigine katika hadithi. Lugha yako inaweza ikawa na namna ya kufanya hivi. + +# aliyekuwa na dhambi + +Yawezekana alikuwa kahaba. "Aliyeishi maisha ya dhambi" au "Ambaye alikuwa na sifa za kuishi maisha ya dhambi." + +# chupa ya manukato + +"chupa hii ilitengenezwa kwa jiwe laini." Chupa ni laini, mwamba mweupe. watu walihifadhi vitu vya thamani katika hiyo chupa. + +# mafuta ya manukato + +"na manukato ndani yake." manukato yalikuwa ni mafuta yaliyokuwa yanatoa harufu nzuri ndani yake. watu walijipaka wao wenyewe au kunyunyizia nguo zao ili wanukie vizuri. + +# kwa nywele za kichwa chake + +"Kwa nywele zake" + +# kuwalowanisha kwa manukato + +"mwaga manukato juu yao" + diff --git a/luk/07/39.md b/luk/07/39.md new file mode 100644 index 00000000..7e565799 --- /dev/null +++ b/luk/07/39.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akawaza mwenyewe akisema + +"alisema yeye mwenyewe" + +# Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua ... mdhambi + +Farisayo aliwaza kuwa Yesu hakuwa nabii kwa sababu amemruhusu mwanamke mwenye dhambi kumgusa. NI: "Inaonekana Yesu siyo nabii, sababu nabii angejua kwamba mwanamke anayemgusa ni mwenye dhambi." + +# ni mdhambi + +Simoni kimakosa alihisi kwamba nabii asingeruhusu kuguswa. Ukweli huu ungeongezwa. NI: "ni mdhambi na asingeruhusiwa kugusa" + +# Simoni + +Hili lilikuwa ni jina la Farisayo aliyemwalika Yesu katika nyumba yake. Huyu hakuwa Simoni Petro. + diff --git a/luk/07/41.md b/luk/07/41.md new file mode 100644 index 00000000..7a008a9b --- /dev/null +++ b/luk/07/41.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa Ujumla: + +Kusisitiza nini anaenda kumwambia Simoni Farisayo, Yesu alimwambia hadithi. + +# Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja + +"mkopeshaji fulani alikuwa na wadeni wawili" + +# dinari mia tano + +"posho ya siku 500. " Dinari" ni wingi wa dinarius." Dinari ilikuwa ni sarafu ya fedha. + +# hamsini + +"posho ya siku 50" + +# aliwasamehe wote + +"aliwasamehe madeni yao" au "aliyafuta madeni yao" + +# Nadhani + +Simoni alikuwa na tahadhari ya jibu hili. NI: "Huenda" + +# Umehukumu kwa usahihi + +"Uko sahihi" + diff --git a/luk/07/44.md b/luk/07/44.md new file mode 100644 index 00000000..1dc91df2 --- /dev/null +++ b/luk/07/44.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Yesu akamgeukia mwanamke + +"Yesu akamwangalia mwanamke. "Yesu akaelekeza uamkini wa Simoni kwa mwanamke kwa kumgeukia" + +# hukunipa maji kwaajili ya miguu yangu + +Huu ni wajibu wa msingi kwa mwenyeji kuleta maji na taulo kwaajili ya wageni kuoshwa na kukausha miguu yao baada ya kutembea kwenye njia ya vumbi. + +# wewe ... lakini yeye + +Yesu mara mbili anatumia virai hivi kupinga upungufu wa heshima ya Simoni kwa kile kitendo cha ziada cha mwanamke. + +# kailowanisha miguu yangu kwa machozi yake + +Mwanamke alitumia machozi yake kwa maji yaliyokosekana. + +# aliifuta kwa nywele zake + +Mwanamke alitumia nywele zake badala ya taulo iliyokosekana. + +# hukunipa busu + +"Mwenyeji mzuri kwenye huo utamaduni aliwasalimia wageni wake kwa busu kwenye shavu. Simono hakufanya." + +# hakuacha kunibusu miguu yangu + +"ameendelea kunibusu miguu yangu" + diff --git a/luk/07/46.md b/luk/07/46.md new file mode 100644 index 00000000..8d08ca51 --- /dev/null +++ b/luk/07/46.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hukufanya ... lakini yeye + +Yesu anaendelea kupinga wema hafifu wa Simoni na kitendo cha mwanamke + +# tia kichwani pangu mafuta + +"paka kichwa changu kwa mafuta" Hii ilikuwa ni desturi ya kumkaribisha mgeni aliyeheshimika. NI: "nikaribisha kwa kunitia mafuta kichwani" + +# tia mafuta miguu yangu + +Mwanamke alimweshimu sana Yesu kwa kufanya hivi. Alitoa kielelezo cha unyenyekevu kwa kutia mafuta miguuni badala ya kichwani. + +# Nawaambia + +Hii inasisitiza umhimu wa sentensi inayofuata. + +# dhambi zake, ambazo zilizo nyingi, zimesamehewa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu kasamehe dhambi zake nyingi" + +# yeye alipenda zaidi + +upendo wake ulikuwa ulikuwa ushahidi kwamba dhambi zake zimesamehewa. Baadhi ya lugha zinahitaji kitu cha "Upendo" Kusema. "alipenda zaidi ambaye amemsamehe" au " alimpenda sana Mungu." + +# Lakini aliyesamehewa kidogo + +"Mtu yeyote anasamehewa vitu vichache." Katika sentensi hii Yesu anaonyesha kanuni za jumla. Hata hivyo, Simon alikuwa anatarajia kuelewa kuwa Yesu anazungumzia kuwa Simoni ameonesha upendo kidogo. + diff --git a/luk/07/48.md b/luk/07/48.md new file mode 100644 index 00000000..e104a34f --- /dev/null +++ b/luk/07/48.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ndipo akamwambia + +"ndipo akamwabia mwanamke" (UDB) + +# Dhambi zako zimesamehewa + +"umesamehewa." Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji NI: "Nasamehe dhambi zako" + +# kaa pamoja + +"kaa pamoja kuzunguka meza" au "kula pamoja" + +# Nani huyo hata anasamehe dhambi + +Viongizi wa dini walijua kwamba Mungu tu anayesamehe dhambi, na hawakuamini kwamba Yesu alikuwa Mungu, Swali hili huenda lilikusudiwa kuwa tuhuma. NI: "Huyu mtu anafikiri kuwa yeye ni nani?" Ni Mungu pekee anaye samehe dhambi!" au "Kwanini huyu mtu anajifanya kuwa Mungu awezaye kusamehe dhambi?" + +# Imani yako imekuponya wewe + +"Kwa sababu ya imani, umeokoka" "imani" inaweza ikatazamwa kama kitendo. NI: "kwa sababu umeamini, umeokoka" + +# Nenda katika amani + +Hii ni namna ya kusema kwaheri wakati huohuo unatoa baraka. NI: "Unapokwenda, usiwe na wasi wasi kabisa" au "Mungu akupe amani unapoenda" + diff --git a/luk/08/01.md b/luk/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..3ce55e61 --- /dev/null +++ b/luk/08/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +mistari hii inatoa mrejesho wa habari za Yesu kuhusu kuhubiri wakati anasafiri. + +# Ilitokea + +Hiki kipande cha maneno kimetumika hapa kuweka alama ya sehemu ya habari mpya. + +# waliokuwa wameponywa na roho wachafu na magonjwa mbalimbali + +"Ambao Yesu amewaweka huru kutokana na roho chafu na kuwaponya na magonjwa" + +# Mary... na wanawake wengi. + +"Wanawake watatu waliokuwa wanaitwa: Mariam, Yoana, na Susana. + +# Yoana, mke Kuza, Meneja wa Herode. + +Yoana alikuwa mke wa Kuza, na Kuza alikuja meneja wa Herode. "Yoana, Mke wa meneja wa Herode." + diff --git a/luk/08/04.md b/luk/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..0bb7a7f2 --- /dev/null +++ b/luk/08/04.md @@ -0,0 +1,29 @@ +# Taarifa ya yumla: + +Yesu aliwaambia mfano wa mpandaji kwa makutano. Alieleza maana ya +ke kwa wanafunzi wake. + +# Sasa + +Hili neno linaonyesha mwanzo wa kitendo katika habari. + +# mpandaji alienda kupanda mbegu + +"mkiulima alienda kupanda baadhi ya mbegu shambani" + +# zikakanyagwa chini ya miguu + +"Zilikanyagwa pia mara zilipoota" + +# wakazila + +"Walizila zote" + +# Zilipooza + +"Miche ikakauka na kupooza" + +# hazikuwa na unyevunyevu + +"ardhi ilikuwa kavu" + diff --git a/luk/08/07.md b/luk/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..28d83fb5 --- /dev/null +++ b/luk/08/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# taarifa unganishi + +Yesu anamaliza kuwaambia mfano makutano + +# zikasongwa + +Miti ya miiba ikachukua madini, maji, na mwanga, kwa hiyo miche ya mkulima haikukua vizuri. + +# zikazaa mazao + +"Kuzaa mavuno" au "Kuzaa mbegu zaidi" + +# Yeyote mwenye masikio ya kusikia na asikie. + +inaweza kuwa ni kiasili sana kwa baadhi ya lugha kutumia nafsi ya pili: "Wewe mwenye sikio la kusikia, sikia." + +# Yeyotemwenye sikio la kusikia + +" Anayeweza kusikia" au "Yeyote anayenisikia mimi" + +# na asikie + +"Na asikilize vizuri" au "na awe makini kwa kile ninachokisema" + diff --git a/luk/08/09.md b/luk/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..788b445a --- /dev/null +++ b/luk/08/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ujumbe wa kuunganisha + +Yesu anaanza kusema kwa wanafunzi wake. + +# Mmepewa upendeleo wa kujua + +"MUngu amewapa ninyi zawadi ya kuelewa" au "Mungu amewafanya watu kuelewa" + +# siri ya ufalme wa Mungu + +Hizi ni kweli kwamba zimejificha lakini Yesu aliwafunulia. + +# wakiona wasione + +"kupitia wanachoona, hawatajua." "kupitia wanavyoona vitu, hawatavielewa" au "kupitia wanavyoona vitu vikitokea, hawataelewa vina maanisha nini." + +# wakisikia wasielewe + +"Kupitia wanavyosikia hawatelewa." "kupitia wanavyosikia maelekezo, hawataelewa ukweli." + diff --git a/luk/08/11.md b/luk/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..26be018f --- /dev/null +++ b/luk/08/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ujumbe wa kuunganisha: + +Yesu anaaza kuelezea maana ya mfano wa udongo kwa wanafunzi wake. + +# mwovu shetani hulichukua neno mbali kutoka moyoni + +Hii inamaanisha kuwa anawafanya kusahau neno la Mungu ambalo wamelisikia. + +# hulichukua mbali + +Kwenye mfano hii ilikuwa kama fumbo la ndege anayedaka mbegu. jaribu kutumia maneno kwa lugha yako ambayo hutunza picha hii. + +# kutoka moyoni mwao + +Hii ina maana kuwa shetani hukichukua neno mbali mbali na hamu zao za kuliamini neno la Mungu. + +# ili kwamba wasiamini na kuokolewa + +Tangu mwanzo hili lilikuwa kusudi la mwovu, inaweza kutafsiriwa kama. "Kwa sababu mwovu amezama, 'Hawataamini na hawataokolewa"' au "'Hawataweza kuamini kwa matokeo ambayo Mungu atawaokoa." + +# wakati wa majaribu huanguka + +"Wakikutana na magumu wanaanguka mbali na Imani" au "Wanapokutana na magumu wanaacha kuamini" + diff --git a/luk/08/14.md b/luk/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..cb79288d --- /dev/null +++ b/luk/08/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# husongwa na huduma na utajiri + +"huduma na utajiri na ubora wa maisha huwasonga." "kama palizi huzuia miche mizuri kukua, huduma, utajiri, na ubora wa maisha haya zinawabana hawa watu kukua." + +# huduma + +"vitu ambavyo watu huogopa" + +# ubora wa maisha haya + +"vitu ambavyo kwenye maisha watu hufurahia" + +# hawazai matunda + +"hawazai kuzaa matunda." "kama mche ambao haukui na kuzaa matunda, hawawezi kukua na na kufanya kazi njema." + +# kuazaa matunda ya uvumilivu + +"Kuzaa matunda ya Uvumilivu." Ni kama miche yenye afya inavyozaa matunda mazuri, wanatoa kazi njema kwa uvumilivu" + diff --git a/luk/08/16.md b/luk/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..379b6a1d --- /dev/null +++ b/luk/08/16.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Ujumbe wa kuunganisha: + +Yesu aliendelea na mfano mwingine kisha akahitimisha kwa wanafunzi wake kwa kusisitiza jukumu la familia yake katika kazi yake. + +# Sasa + +Hili neno limetumika hapa kuweka alama ya kuanza kwa mfano mwingine. + +# kinara cha taa + +"meza" au "rafu" + +# hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana + +"kita kitu kilichojificha kitajulikana" + +# au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga + +"na kila kitu ambacho ni siri kitajulikana na kuja kwenye mwanga" + +# unapokuwa unasikiliza + +"jinsi gani unasikiliza katika kile ninawaambia" au "Jinsi unavyosikiliza neno la Mungu" + +# aliye nacho + +"yeyote anayesikiliza" au "yeyote anayepokea ninachokifundisha" + +# kwake ataongezewa zaidi + +"vingi atapewa." "Mungu atampa vingi" + +# asiye nacho + +"yeyote ambaye hataaelewa" au "yeyote ambaye hatapokea kile ninachofundisha" + diff --git a/luk/08/19.md b/luk/08/19.md new file mode 100644 index 00000000..ed52da1d --- /dev/null +++ b/luk/08/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndugu + +Hawa walikuwa wadogo zake Yesu nusu ndugu. + +# ikaelezwa kwake + +"watu wakamwambia" au "mtu fulani akamwambia" + +# wanahitaji kukuona + +"wanasubiri kukuona" au " na wanataka kukuona" + +# Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii + +"Wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii wanafanana na mam yangu na ndugu zangu kwangu" au "Wale wanaosikia neno la Mungu na kulitii ni mhimu sana kwangu kama mama yangu na ndugu zangu" + diff --git a/luk/08/22.md b/luk/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..72a03a9a --- /dev/null +++ b/luk/08/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ujumbe wa kuunganisha + +Yesu na wanafunzi wake kisha wakatumia mashua kuvuka ziwa Genasareti. wanafunzi wakajifunza megi kuhusu nguvu ya Yesu kupitia dhoruba iliyotokea. + +# Sasa ilitokea + +Neno hili limetumika hapa kuonyesha alama wa mwanzo wa kipande kipya cha kile kilichotekea. + +# ziwa + +Hili ni ziwa Genesareti ambalo liliitwa ziwa la Galilaya. + +# walipoanza kuondoka + +"walipotoka" + +# akalala usingizi + +"Alilala" + +# dhoruba kali yenye upepo ikaja + +"upepo wenye nguvu ghafla ukaanza kupiga" + diff --git a/luk/08/24.md b/luk/08/24.md new file mode 100644 index 00000000..4f59a5b0 --- /dev/null +++ b/luk/08/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bwana mkubwa + +Neno la kigriki ambalo limetafsiriwa hapa kama "Bwana mkubwa" siyo neno la kawaida kwa "Bwana mkubwa" hili linahisiana na mtu mwenye mamlaka, na si kwa mtu ambaye anamiliki mtu mwingine. "Bosi" au "Msimamizi" au na neno ambalo linamlenga mtu mwenye mamlaka, kama "Mheshimiwa" + +# akaukemea + +"alizungumza kwa kasi" + +# vikatulia + +"upepo na mawimbi wakakoma" + +# Imani yenu iko wapi? + +Yesu alikuwa anawakemea kwa upole kwa sababu walikuwa hawamwamini kuwa atawajali. "Mlipaswa kuwa na imani" au "Mlipaswa kuniamini" + +# Huyu ni nani + +"Ni mtu wa namna gani huyu." + +# kwamba anaamuru + +Hii inaweza ikawa mwanzo wa sentensi chache: "Anaamuru" + diff --git a/luk/08/26.md b/luk/08/26.md new file mode 100644 index 00000000..f2337374 --- /dev/null +++ b/luk/08/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ujumbe wa kuunganisha + +Yesu na wanafunzi wake wakaja pwani kwa Wagerasi ambapo Yesu aliondoa mapepo mengi kutoka kwa mwanaume. + +# Mkoa wa Gerasini + +Wagerasini walikuwa ni watu kutoka mji ulioitwa Gerasa. + +# usawa wa Galilaya + +"Upande mwingine wa Galilalya" + +# mtu fulani kutoka mjini + +"mtu kutoka mji wa Gerasa" + +# na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza + +"mtu ambaye nguvu za giza zilimwendesha" au "huyu mtu alikuwa anaendeshwa na nguvu za giza" + +# Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo.... lakini aliishi kwenye makaburi + +Hii ni taarifa ya nyuma kuhusu huyu mtu aliyekuwa na mapepo. + +# alikuwa havai nguo + +"hakuwa anavaa nguo" + +# Makaburini + +Hizi ni sehemu ambazo watu huwa wanaweka miili ya watu waliokufa, yawezekana ni mapango. ukweli kwamba mtu huyu alikuwa anaishi humo inaashiria kuwa haya hayakuwa mashimo yaliyochimbwa chini ya ardhi. + diff --git a/luk/08/28.md b/luk/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..a47e5ad3 --- /dev/null +++ b/luk/08/28.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Alipomwona Yesu + +"yule mwenye pepo alipomwona Yesu" + +# akalia kwa sauti + +"alipiga kelele" au "alipiga yowe" + +# akaanguka chini mbele yake + +"alilala chini ya ardhi mbele ya Yesu." Hakuanguka kwa ajali kama ajali. + +# kwa sauti kubwa akisema + +"Alisema kwa sauti ya juu" au "Alipiga kelele" + +# Nimefanya nini kwako + +"Kwa nini unanitesa mimi" + +# mwana wa Mungu aliye juu + +Hiki ni cheo kikubwa sana kwa ajili ya Yesu. + +# mara nyingi amepagawa + +"mara nyingi walikuwa wanamshika mtu huyu" au "mara nyingi huenda ndani mwake." Hii inatuambia jinsi Pepo alivyofanya mara ya nyingi kabla ya Yesu kukutana naye. + +# hata kama alikuwa amefungwa.... na kuwekwa chini ya ulinzi + +"Hata kama watu walimfunga... na kumbana na kumlinda" + diff --git a/luk/08/30.md b/luk/08/30.md new file mode 100644 index 00000000..1a8fa154 --- /dev/null +++ b/luk/08/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jeshi + +imetafsiriwa hii na neno ambalo linahusu kikundi kikubwa cha maaskari au watu. Katika tafsiri zingine zinasema "Legioni." "Kikosi cha" au Brigedia" + +# twende kwenye shimo + +"Kumtoka mtu na kwenda kwenye shimo" + diff --git a/luk/08/32.md b/luk/08/32.md new file mode 100644 index 00000000..88e25b8f --- /dev/null +++ b/luk/08/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima + +ona + +# lilikuwa likichunga juu ya kilima + +"lilikuwa karibu linakula majani juu ya kilima" + +# iyo wale mapepo + +Neno "Hivyo" limetumika hapa kuweka alama ya tukio lililotokea kwa sababu ya kitu fulai kingine kilichotokea huko nyuma. kwa jambo hili. Yesu akayaambia mapepo kwamba yaweza kwenda kwa nguruwe. + +# likakimbia + +"Kimbia kwa haraka sana" + diff --git a/luk/08/34.md b/luk/08/34.md new file mode 100644 index 00000000..92f830af --- /dev/null +++ b/luk/08/34.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakakimbia + +"kwa haraka wakakimbia mbali" + +# wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka + +"walimwona mtu ambaye mapepo yamemtoka" + +# alikuwa amevaa vizuri + +"Alikuwa amevaa nguo" + +# mwenye akili timamu + +"alikuwa na akili timamu" au "alikuwa anaishi kawaida" + +# amekaa kwenye miguu ya Yesu + +"amekaa chini, akimsikiliza Yesu" + +# na waliogopa + +"walimwogopa Yesu" + diff --git a/luk/08/36.md b/luk/08/36.md new file mode 100644 index 00000000..370f56a9 --- /dev/null +++ b/luk/08/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mmoja wao aliyeona kilichotokea + +Hawa walikuwa watu waliokuwa na mtu yule wakati Yesu alifanya mapepo yaondoke. + +# mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa + +Yesu amemwokoa mtu aliyekuwa na mapepo yakimwongoza" au "Yesu alimponya mtu alikuwa na mapepo yakimwongoza" + +# mkoa wa Gelasini + +"Eneo hilo la Gerasini" au "eneo ambapo watu wa wagerasini waliishi" + +# walikuwa na hofu kuu + +"wakajawa na hofu." au "hofu kubwa iliwajaa." + diff --git a/luk/08/38.md b/luk/08/38.md new file mode 100644 index 00000000..6deeb2ca --- /dev/null +++ b/luk/08/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtu yule + +wakati mwingine unapaswa kuaza na hii. "Kabla ya Yesu ana wanafunzi wake kuondoka, yule mtu" au "Kabla ya Yesu na wanafunzi wake hawajawasha mashua yao, mtu" + +# Nyumba yako + +"kaya yako" au "familia yako" + diff --git a/luk/08/40.md b/luk/08/40.md new file mode 100644 index 00000000..d624ebac --- /dev/null +++ b/luk/08/40.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Ujumbe wa kuunganisha: + +wakati Yesu na wanafunzi wake waliporudi Galilaya upande mwingine wa ziwa, alimponya binti wa mtawala wa sinagogi mwenye miaka 12 na pia mwnamke aliyekuwa akitokwa na damu miaka 12. + +# taarifa za jumla + +Mistari hii inatupa taarifa za nyuma kuhusu Yairo. + +# makutano wakamkaribisha + +"Kwa furaha ya makutano wakamsalimia" + +# Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo + +Neno "Tazama" linatutazamisha sis kwa Yairo kama mtu mpya katika habari hii. lugha yako inaweza kukawa na njia nyingine ya kufanya hivi. "Kulikuwa na mtu aliyeitwa Yairo." + +# mmoja kati ya viongozi katika sinagogi + +"mmoja wa viongozi katika sinagogi la mtaa" au "'kiongozi wa watu walikutana kwenye sinagogi katika eneo hilo" + +# akaanguka miguuni pa Yesu + +1) "Alianguka kwenye miguu ya Yesu" au 2) "alilala chini kwenye ardhi katika miguu ya Yesu." Yairo akuanguka kwa ajali. alifanya vile kama ishara ya ubinadamu na heshima kwa Yesu. + +# alikuwa katika hali ya kufa + +"alikuwa katika hali ya kufa" au "alikuwa karibu na kifo" + +# Na alipokuwa akienda + +Watafsiri wengine wanaweza kusema kwanza, "Hivyo Yesu alikubali kwenda na yule mtu." + +# makutano walikuwa wakimsukuma dhidi yake + +"makutano walikuwa wakijaa kwa kubanana kumzunguka Yesu" + diff --git a/luk/08/43.md b/luk/08/43.md new file mode 100644 index 00000000..e0971d65 --- /dev/null +++ b/luk/08/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwenye kutokwa damu + +"alikuwa anatokwa na damu nyingi" alikuwa akitokwa damu kutoka na tumbo lake hata kama haikuwa kawaida ya wakati wake. kwa kabila baadhi wanaweza wakawa na njia ya upole kuhusiana na hali hii. + +# hakuna aliyemponya hata mmoja + +"lakini hakuna hata mmoja wao wa kumtibu" au "hakuna hata mmoja wao aliweza kumponya" + +# kugusa pindo la vazi lake + +"aligusa pindo la vazi lake" Wanaume wa kiyahudi walivaa Taso juu ya makunjo ya nguo zao kama sehemu ya mavazi ya sherehe zao kama amri katika amri za Mungu. Hii inaonyesha ndiyo alichogusa. + diff --git a/luk/08/45.md b/luk/08/45.md new file mode 100644 index 00000000..e834794b --- /dev/null +++ b/luk/08/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bwana Mkubwa + +Neno liliotafsiriwa hapa kama "Bwana mkubwa" siyo neno la kawaida kwa "Bwana mkubwa." Hii inaenda kwa mtu mwenye mamlaka, lakini si kwa mtu mwingine yeyote. "Bosi" au "Msimamizi" au na neno ambalo ni la kawaida limetumika kuelezea mtu aliye kwenye mamlaka, kama vile "Mheshimiwa" + +# umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga + +Kwa kusema hiv, Petro alikuwa akihusisha kila mmoja anaweza kumgusa Yesu. hii ni taarifa thabiti inaweza kufanywa kwa wazi kama ni mhimu katika UDB + +# nilijua nguvu zimetoka kwangu + +"Nimesikia uponyaji nguvu zimetoka kwangu." Yesu hakupotwza nguvu au kuwa mdhaifu, lakini nguvu yake inamponya mwanamke. + diff --git a/luk/08/47.md b/luk/08/47.md new file mode 100644 index 00000000..a40fa0bd --- /dev/null +++ b/luk/08/47.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# hawezi kuficha alichokifanya + +"hawezi kutunza siri ya kile alichokifanya." "kwamba asingeweza kuendelea kutunza kama siri maana yeye ni yule aliyemgusa Yesu." + +# akaanza kutetemeka + +"akatetemeka kwa hofu" + +# akaanguka chini mbele za Yesu + +yawezekana maana ni 1). "aliinama chini mbele za Yesu" au 2) alilala chini kweye ardhi katika miguu ya Yesu. "hakuanguka kiajali. alifanya hivi kama ishara ya ubinadamu na heshima kwa ajili ya Yesu. + +# mbele ya + +"Kwenye sehemu ya" au "Mbele" + +# Binti + +Hii ilikuwa ni aina ya kusema kwa mwanamke. Kabila lako linaweza kuwa na njia nyingine ya kuonyesha huu wema. + +# imani yako imekufanya uwe vizuri + +"Kwa sababu ya Imani yako, umekuwa vizuri." "Kwa sababu umeamini, umeponywa" + +# Enenda kwa Amani + +Hii ni njia ya kusema, ""Kwa heri" na kutoa baraka kwa wakati mmoja. "Unapokwenda, Usiogope hata kidogo" au "Mungu akupe amani unapoenda" + diff --git a/luk/08/49.md b/luk/08/49.md new file mode 100644 index 00000000..ee0bbc94 --- /dev/null +++ b/luk/08/49.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alipokuwa akiendelea kusema + +"wakati Yesu alipokuwa akiongea kwa mwanamke" + +# kiongozi wa sinagogi + +Hii inarudi kwa Yairo. + +# alimjibu + +"Yesu alimjibu Yairo" + +# ataokolewa + +"Nitamponya" + diff --git a/luk/08/51.md b/luk/08/51.md new file mode 100644 index 00000000..e602a9ae --- /dev/null +++ b/luk/08/51.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha alipokuja kwenye nyumba + +"Kisha walipokuja katika nyumba, Yesu" + +# isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake + +"aliwaruhusu Petro, Yohana, Yakobo, baba yake binti, na mama yake kuingia ndani" + +# watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake + +"watu wote walikuwa wanaonyesha huzuni zao na kulia kwa sauti kwa sababu binti amekufa" + diff --git a/luk/08/54.md b/luk/08/54.md new file mode 100644 index 00000000..a3747f7d --- /dev/null +++ b/luk/08/54.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtoto, inuka + +"Binti mdogo, amka" + +# roho yake ikarudi + +"akawa mzima" au "akawa hai tena" + +# roho + +"pumzi" au "Uhai" + diff --git a/luk/09/01.md b/luk/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..433bcb39 --- /dev/null +++ b/luk/09/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yesu anawakumbusha wanafunzi wake waasitegemee pesa na vitu nyao, anawapa nguvu, na pia awatuma waende sehemu mbalimbali. + +# nguvu na mamlaka + +Maneno haya mawili yametumika pamoja kuonesha kwamba wale kumi na wawili walikuwa na uwezo na haki ya kuponya watu. + +# magonjwa + +"ugonjwa" + +# aliwatuma nje + +"aliwatuma sehemu mbalimnbali" au "aliwambia waende" + diff --git a/luk/09/03.md b/luk/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..099cae54 --- /dev/null +++ b/luk/09/03.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Akawaambia + +"Yesu akawaambia wale thenashara" + +# Usichukue chochote + +AT." usichukue chochote" au "usije na chochote" + +# Kwaajili ya safari yako + +"kwa ajili ya safari yako" au "wakati unasafiri." Wasichukue chochote kwaajili ya safiri yao yote, watapita kijiji kwa kijiji mpaka warudi kwa yesu. + +# fimbo + +"fimbo" au "fimbo ya kutembelea." ilikuwa ni fimbo kubwa iliyotumika kumsaidia mtu wakati wa kupanda au kwenye barabara mbovu. ilikuwa ikitumika pia kujilinda dhidi ya watekaji. + +# Mkoba + +ni mfano wa kibebeo(begi) ambalo wasafiri hutumia kwa kubebea kile anachokitaka safarini. + +# Mkate + +AT: "Chakula" + +# Nyumba yeyote mtakayoingia + +"Nyumba yoyote mtakayoingia" + +# Kaeni humo + +"Bakieni humo" au "muishi kwa mda ndani ya ile nyumba kama wageni" + +# Kutoka mahali hapo + +"kutoka mjini" au "kutoka katika sehemu ile" + diff --git a/luk/09/05.md b/luk/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..226b0ca3 --- /dev/null +++ b/luk/09/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na kwa wale watakao kataa kuwapokea + +AT: " hiki ndo mtakachofanya kwa watu watakao kataa kuwapokea" + +# mtakapo ondoka + +"waliondoka sehemu ambayo yesu alikuwepo" + +# kila mahali + +"walienda kila mahali" + diff --git a/luk/09/07.md b/luk/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..a2ffe915 --- /dev/null +++ b/luk/09/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kamili + +Mistarin hii inapingan kutoa taarifa kuhusu Herode + +# sasa + +hili neno limetumika kuonesha pumziko katika story kamili. Hapa Luka anasimulia taarifa za msingi za Herode. + +# Herode, mkuu wa mkoa + +Inamwakilisha Herod ambae alikuwamtawala wa moja ya nne ya Israel. + +# alitaabika sana + +"alikasirika sana" au "alikuwa anashangaa" + +# Nilimkata kichwa Yohana + +AT: "niliwaamlisha wanajeshi wangu wamkate kichwa Yohana" + diff --git a/luk/09/10.md b/luk/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..17002f35 --- /dev/null +++ b/luk/09/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Ingawa wafuasi walirudi kwea yesu na wakaenda Bethadia kupumzika, makutano walimfata yesu awaponye na kusikiliza mafundisho yake. Aliwasaidia kugawanyisha mkate na samaki wakati wanarudi nyumbani. + +# wale waliotiumwa + +AT: " wale mitume kumi na mbili aliowatuma yesu" + +# walirudi + +"walirudi pale alipokuwa yesu" + +# wakamuambia + +"mitume wakamuambia yesu" + +# kila kitu walichofanya + +Hii ina wakilisha mafundisho na uponyaji waliofanya walipoenda kwenye miji. + +# aliwachukua , aliondoka mwenyewe + +Yesu na mitume wake waliondoka wenyewe. AT: "aliwachukua wakaondoka pamoja" + +# Bethadia + +Hili ni jina la mji. + diff --git a/luk/09/12.md b/luk/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..370cdf59 --- /dev/null +++ b/luk/09/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Siku ikaanza kuisha + +"jua lilivyoanza kuzama" au " siku ilivyoanza kuisha" + +# Watawanye makutano + +"kuwaambia makutano waondoke" + +# labda twende tukanunua chakula + +AT: " labda tutaenda kununa chakula" au " labda kama twende kununua chakula" au unaweza kuanza sentyensi mpya "kama wewe unataka tuwalishe, tutatakiwa kwenda kununua chakula." + +# kama wanaume elfu tano + +"kama wanaume elfu tano." hii number haijumuishi wanwake na watoto ambao yaweza kuwa walikuwepo. + +# wakalisheni + +"waambieni wakae" + +# "hamsini kila " + +"50 kila " + diff --git a/luk/09/15.md b/luk/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..3b4b7174 --- /dev/null +++ b/luk/09/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wakafanya hivyo + +wanfunzi wakawakalisha makutano kwenye makundi ya watu hamsini hamsini. + +# akachukua + +"yesu akachukua" + +# mkate + +kiwango maarumu cha mkate wa kuokwa. AT: "mkate mzima" + +# na akiangalia + +"wakati anaangalia" au " baada ya kuangalia" + +# juu mbinguni + +Hii inawakilisha kuangalia juu, kuelekea mawinguni. Wayahudi waliamini kuwa mbingu iko juu mawinguni. + +# watenge mbele ya + +"kuwagawia" au " kuwapa" + +# wakashiba + +AT: "walikula kama walivyotaka" + diff --git a/luk/09/18.md b/luk/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..1b73098b --- /dev/null +++ b/luk/09/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentesi kiunganishi: + +Yesu akisali, pekee yake na wanfunzi wake, na kuanza kuongelea kuhusu yesu ni nani. Yesu anawaambia kuhus kifo chake na ufufuo utakao fata na kuwataka wamfate yeye hata iweje. + +# Nayo ikawa kwamba + +Hii sentensi inaashiria mwanzo wa tukio jipya. + +# alipokuwa akiomba + +"yesu alipokuwa akiomba" + +# kusali pekee + +Wanfunzi walikuwa na yesu, lakini alikuwa anasali pekee yake na yeye mwenyewe kwa siri. + +# kujibu, wakasema + +"walimjibu wakisema" + +# Yohana mbatizaji + +AT: "wengine wanasema wewe ni Yohana mbatizaji" + +# kutoka nyakati za zamani + +"ambae aliishi muda mrefu uliopita" + +# amefufuka tena + +"alifufuka" + diff --git a/luk/09/20.md b/luk/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..4b0d8d14 --- /dev/null +++ b/luk/09/20.md @@ -0,0 +1,37 @@ +# Akawaambia + +"yesu akawaambia wanafunzi wake" + +# kujibu, Petro akasema + +"Petro alijibu na kusema" au "Petro alijibu kwa kusema" + +# Lakini kwa kuwaonya, Yesu akawaelekeza + +AT: "Lakini yesu waliwaonya na kuwaelekeza" au '"Ndipo yesu waliwapa onyo kali" + +# kutomwambia yoyote + +"kutokumwambia mtu yoyote" au " wasimwambie mtu yoyote." Hii inaashiria msemo. AT: "lakini kuwaaonya, yesu aliwaambia, +"msimwambie mtu yoyote" + +# kwamba mwana wa Adamu atateseka kwa vingi + +AT: "kwamba watu wanweza msababishia mwana wa Adamu kuteseka sana." Hii pia inaweza kutafasiriwa kama msemo wa moja kwa moja kwa sababu ipo kwenye UBS. + +# na kukataliwa na wazee na wakuu wa Makuhani na waandishi + +AT: "na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi watamkataa" + +# na atauliwa + +AT: " na watu watamuua" + +# kwenye siku ya tatu + +"siku tatu baada ya kufa" au "kwenye siku ya taut baada ya kifo chake" + +# atafufuka + +"atawekwa hai." AT: "Mungu atamfanya hai tena" au "atafufuka" + diff --git a/luk/09/23.md b/luk/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..e44cd8f6 --- /dev/null +++ b/luk/09/23.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# akawambia + +yesu akawaambia + +# wote + +Hii inamaanisha wanafunzi wake wote waliokuwa na yesu. + +# kunifata mimi + +"kunifata mimi" au "kuongozana na mimi kama mwanafunzi" + +# ajikane + +AT: "kujijitoa kwa nfasi yake mwenywe," au "na aache tamaa yake mwenyewe" + +# achukue msalaba wake kila siku + +"auchukue na aubebe msalaba wake kila siku." Hii haimaanishi aubebe msalaba kila siku. Inamaanisha wafuasi wake wakatae vitu wanavyovitakana wawe tayari kuteseka na kufa ili kumtii yesu. + +# anifuate + +"kenda pamoja na mimi" au "kuanza kunifuata na kuendelea kunifuata" + +# kitamfaidia nini mwanadamu...binafsi? + +Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi wake. AT: "mwanadamu hapati kitu chochote kizuri...binafsi." + +# kama akiupata ulimwengu wote + +"kama atapata kila kitu ulimwenguni" + +# akapoteza au akapata hasara yake binafsi + +AT: "yeye mwenyewe atapotea" + diff --git a/luk/09/26.md b/luk/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..a3075fe8 --- /dev/null +++ b/luk/09/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# na maneno yangu + +AT: "na nilichosema" au "na nilichofundisha" + +# yeye mwana wa Adam atamuonea aibu + +"mwana wa Adam atamuonea aibu" + +# mwana wa Adam + +Yesu alikuwa anajiongelea yeye mwenyewe. AT: "mimi, mwana wa Adam" + +# atakapo kuwa katika utukufu wake + +Yesu anajiongelea yeye mwenyewe kupitia nafsi ya tatu. AT: "nitakapokuja kwenye utukufu wangu" + +# baadhi yenu wasimamao hapa + +"baadhi yenu mliosimama na mimi hapa" + +# hawata ionja mauti mpaka wauone ufalme wa Mungu + +AT: "watauona ufalme wa Mungu kabla hawajafa" au "utauona ufalme wa Mungu kabla huja" + diff --git a/luk/09/28.md b/luk/09/28.md new file mode 100644 index 00000000..3909e5a7 --- /dev/null +++ b/luk/09/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Siku nane baada ya Yesu kuwaambia kuwa baadhi hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa Mungu, Yese anaenda mlimani kuomba pamoja na Petro na Yohana ambao walilala wakati Yesu anabadilika muonekano . + +# Ikatokea + +Hii sentenso imetumika hapa kuashiria tukio muhimu katika hadithi. Kama lugha yako ina namna nzuri ya kufanya hivi, unaweza kufikria kuitumia hapo. + +# siku nane + +"siku 8" + +# maneno haya + +Hii inaashiria Yesu alisema kwa wanafunzi wake kwenye mistari inayoendelea. + +# juu ya mlima + +Haiko wazi ni juu kiasi gani walienda. AT: "pembeni mwa mlima" + +# meupe na ya kung'aa + +"nyeupe ya kung`aa na kali" au "nyeupe kali na ya kung`aa" + diff --git a/luk/09/30.md b/luk/09/30.md new file mode 100644 index 00000000..a1f9d6b5 --- /dev/null +++ b/luk/09/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama, walikuwepo wanaume wawili wanaongea + +Neno "tazama" hapa liaashiria tuwe makini kwa taarifa ya kushangaza inayofata. AT: "ghafla kulikuwa na wanaume wawili wanaongea" au "ghafla wanaume wawili walikuwa wanaongea." + +# walionekana katika utukufu + +Hii sentensi ya kuoanaisha inatoa taarifa kuhusu Musa na Elisha. AT: "na walionekana wenye utukufu" + +# kuondoka kwake + +"kuondoka kwake" au "atakavyooondoka." AT: "kifo chake." + diff --git a/luk/09/32.md b/luk/09/32.md new file mode 100644 index 00000000..26e252db --- /dev/null +++ b/luk/09/32.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sasa + +Hii sentensi ya imetumika kuashiria pumziko kwenye hadithi wenyewe inayotolewa, Hapa Luka anasimuili taarifa kuhusu Musa na Yakobo, na Yohana. + +# waliuona utukufu wake + +Hii inamaanisha mwanga uliowaka kuwazunguka. AT: "Aliona mwanga mkali unawaka kwa yesu" au "waliona mwanga mkali unatokea ndani ya Yesu" + +# wanaume waili walikuwa wamesimama nae + +Inamaanisha Musa na Elisha. + +# Ikatokea kwamba + +Hii sentensi imetumika hapa kuonesha matukio yananza. Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa. + +# Bwana + +Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hili linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "kiongozi" au neno huwa linatumika kueleza mtu mwenye mamlaka, mfano kama "Sir" + +# malazi + +"hema" au "kibanda" + diff --git a/luk/09/34.md b/luk/09/34.md new file mode 100644 index 00000000..1bd8f81e --- /dev/null +++ b/luk/09/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Alipokuwa akisema vitu hivi + +"Wakati Petro alikuwa akisema viotu hivi" + +# waliogopa + +Hawa wanafunzi wazima hawakuogopa mawingu. Msitari unaashiria woga usio wa kawaida ulitokea juu yao kupitia mawing. AT: "walishitushwa" + +# walivyokuwa wamezungukwa na wingu + +AT: "kama mawingu yalivyo wazunguka" + +# Sauti ikatoka winguni, ikisema + +AT: "Mungu akaongea nao kupitia mawinguni akisema" + +# mwanangu uliyechaguliwa + +Neno "kuchaguliwa" linatoa taarifa kuhusu mtoto wa Mungu. Haisemi kuwa Mungu alikuwa na mtoto zaidi ya mmoja. AT: "mwanangu niliuyekuchagua" (UDB) au "mwanangu,uliyechaguliwa" + +# walikaa kimya, na katika siku hizo... vitu walivyoona + +Hii ni taarifa inayosema kilichotokea baada ya hadithi kama matokeo ya hadithi yenyewe. + +# siku hizo + +Hizi zinaweza kuwakirisha siku ambazo mpaka Yesu anachukuliwa mawinguni baada ya ufufuo au yaweza kuwa baada ya siku ambazo Yesu alitoa kauli. + diff --git a/luk/09/37.md b/luk/09/37.md new file mode 100644 index 00000000..55dc9cac --- /dev/null +++ b/luk/09/37.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Siku ya pili baada ya Yesu kubali muonekano, Yesu alitoa pepo lililokuwa limemuingia kijana ambae wanafunzi walishindwa kumponya. + +# Ikatokea + +Hii tungo inaashiria mwanzo wa sehemu nyingine ya hadithi, Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa. + +# Tazama, mwanaume kutoka kwenye kusanyiko + +Neno "tazama" linatujulisha juu ya mtu mpya anaetokea kwenye hadithi. lugha yako ina maana nzuri zaidi. Kiingereza kinatumia "kulikuwa na mwanaume kwenye kusanyikao" + +# unaona, roho + +Tungo "unaona" inatutambulisha kwa pepo kwenye hadithi ya mwanadamu. lugha yako ina maana nzuri zaidi. Kiingereza kinatumia "kulikuwa na pepo" + +# Lilitoka kwa tabu + +inaweza kuwa na maana hizi 1) "vigumu kumuacha kamwe mwanangu" (UDB) au 2) "ni ngumu kwa mwanangu wakati linatoka" + +# povu mdomoni + +Wakati mtu anamshituko, wanaweza kupata shida kupimua au kumeza. Hii inasababisha povu jeupe kutokea kwenye midomo yao. Kama lugha yako inaweza elezea vizuri, itumie. + diff --git a/luk/09/41.md b/luk/09/41.md new file mode 100644 index 00000000..5370fbcf --- /dev/null +++ b/luk/09/41.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yesu akajibu akasema + +"kwenye jibu Yesu akasema" + +# Enyi kizazi kisicho amini na wachafu + +Hii ilielezwa kwenye umati uliokuwa limekusanyika, na sio kwa wanafunzi. + +# mpaka lini nitazidi kuwabeba + +Hapa "nita" ni wingi. Yesu anatumia swali kukemea umati. AT: "nimefanya merngi na bado hamuamini!" + +# Mlete mwanao hapa + +Hapa "wako" ni umoja. Yesu snaongea moja kwa moja na baba wa anaemshughulikia. + +# aliokuwa anakuja + +"anakuja" au "yuko anakuja" + +# aliikemea + +"alizungumza kwa ukali kwa" + diff --git a/luk/09/43.md b/luk/09/43.md new file mode 100644 index 00000000..e63ec55b --- /dev/null +++ b/luk/09/43.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wote walishangazwa kwa ukuu wa Mungu + +Yesu alifanya miujiza , lakini umati haukutambua nguvu za Mungu zilitumika kuponya. + +# aliyo yafanya + +"kwamba Yesu alifanya" + +# Maneno haya yazame kwa undani masikioni mwenu + +AT: "sikizia kwa makini na ukumbuke" au "usisahau hili" + +# kwa kuwa mwana wa Adamu atatolewa kwenye mikoni ya wanadamu + +Hapa " mikono" inamaanisha nguvu au utawala. AT : "wanadamu watamkabidhisha mwan wa Adamu kwenye mamlaka." + +# mwana wa Adamu + +Yesu anajiongelea mwenyewe kwenye nafsi ya tatu. AT: "mimi, mwana wa Adamu" + +# Lakni hawakuelewa maana ya neno hili + +AT: "wahakujua anaongelea kifo chake" + +# na lilifichwa juu yao + +AT: "Mungu aliwafichia maana yake" + diff --git a/luk/09/46.md b/luk/09/46.md new file mode 100644 index 00000000..8048c824 --- /dev/null +++ b/luk/09/46.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kamili + +Mzozo kuhusu madarsks ukanza kati ya wanafunzi. + +# kati yao + +"kati ya wanafunzi" + +# wakihojiana mioyoni mwao + +AT: "kufikiria juu ya mtu mmoja mmoja" au "kufikilia kimoyoni" + +# jina langu + +Hii inawakilisha mtu anaefanya jambo au an kama muwakirishi wa Yesu. AT: "kwa sababu yangu + +# anampokea pia + +AT: "ni kama amenipokea mimi" + +# aliyenituma mimi + +"Mungu, aliyenituma" + diff --git a/luk/09/49.md b/luk/09/49.md new file mode 100644 index 00000000..5cde4528 --- /dev/null +++ b/luk/09/49.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Petro akajibu akasema + +Yohana alikuwa anajibu juu ya kile Yesu alichosema kuhusu ukuu. Hakuwa anajibu swali. alitaka kujua mtu aliye yalhimiza mapepo kutoka atakuwa na nafasi gani kati ya wanafunzi. AT : "kwenye kujibu, Yohana akasema" au "Yohana alijibu kwa Yesu" + +# Bwana + +Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hapa linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "mweshimiwa" + +# jina lako + +Hii inamaanisha mtualiyekuwa anaongea alikuwa na nguvu na mamlaka ya Yesu. + +# Msimzuie + +AT: "mruhusu aendelee" + +# kwa kuwa asiye kinyume na ninyi ni wa kwenu + +Baadhi ya lugha ina misemo inayomaanisha kitu kile kile. AT: "kama mtu asipokuzuia , ni kama anakusaidia" au "kama mtu hatendi kinyume na wewe, anafanya sawa sawa na matakwa yako." + diff --git a/luk/09/51.md b/luk/09/51.md new file mode 100644 index 00000000..17c773c9 --- /dev/null +++ b/luk/09/51.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Na sas ni dhahili kuwa Yesu ameamua kwenda Yerusalem. + +# Ikatokea kwamba + +Hii tungo imetumika hapa kuashiri mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi + +# siku zake za kwenda juu zilikaribia + +"muda ulikuwa unafika wa yeye kwenda juu" au " muda ulikaribia wa yeye kwenda juu" + +# aliazimia + +"kudhamilia" au "kukusudia" + +# weka uso wake + +AT: "alifikiria akilini mwake" au "aliamua" + +# kumuandalia + +Hii inamaanisha kufanya mipango ya kufika katika eneo, inawezekana kuunganisha eneo la kuongealea, anaeo la kukaa, na chakula. + +# Hawakumpokea + +"hawakumkaribisha" au au hawakutaka abaki" + diff --git a/luk/09/54.md b/luk/09/54.md new file mode 100644 index 00000000..c2d3c7de --- /dev/null +++ b/luk/09/54.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# liona hili + +"aliona kwamba wasamaria hawakumpokea Yesu" + +# tuamuru moto ushuke chini kutoka mbinguni uwateketeze + +Yakobo na Yohana walipendekeza njia hii ya hukumu kwa sababu walijua kwamba hivi ndivyo manabii kama Elia walivyo hukumu watu waliomkataa Mungu. + +# aliwageukia akawakemea + +"Yesu aligeuka na kuwakemea Yakobo na Yohana." Yesu hakuwahukumu Wasamaria , kama wanafunzi walivyo tegemea. + diff --git a/luk/09/57.md b/luk/09/57.md new file mode 100644 index 00000000..43294a08 --- /dev/null +++ b/luk/09/57.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mtu mmoja + +Huyu hakuwa moja ya wanafunzi + +# Mbweha wanamashimo + +Yesu anajibu kwa mithali ili kufundisha watu kuhusu kuwa mwanafunzi wa Yesu. Yesu anajibu kwamba kama mtu atahitaji kumfuata, kwamba mtu huyo anaweza asiwe na nyumba. AT: "Mbeha wana mashimo...wala sehemu ya kulaza kichwa. Hivyo usitegemee kama utakuwa na nyumba" + +# Mbweha + +Hawa ni wanyama wa nchi sawa na mbwa. Wanalala katika mapango au shimo katika arthi. + +# ndege wa angani + +"ndege wanaoruka angani" + +# mwana wa Adamu + +"Yesu anaongea kuhusu yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu" + +# hana pakulaza kichwa chake + +"sina sehemu ya kulaza kichwa changu" or "wala sehemu ya kulala." Yesu anakuza ili kujenga hoja kwambaalikuwa hakalibishwi popote kuishi. + diff --git a/luk/09/59.md b/luk/09/59.md new file mode 100644 index 00000000..6cd0e90c --- /dev/null +++ b/luk/09/59.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake akiwa pembezoni mwa barabara. + +# Mnifuate mimi. + +Hii ina maanisha kuwa mfuasi wa Yesu na kwenda pamoja naye. + +# Mniruhusu kwanza niondoke + +"Kabla sijafanya hivyo, mniache niende." + +# Waache wafu wawazike wafu wa kwao + +Kwa sababu watu waliokwisha kufa hawawezi kumzika mtu yeyote, Maana inayokusudiwa hapa ni ya kwamba watu walio wafu katika roho wawazike watu walio wafu katika mwili. + diff --git a/luk/09/61.md b/luk/09/61.md new file mode 100644 index 00000000..4777689e --- /dev/null +++ b/luk/09/61.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nitakufata + +"nitaungana nawe kama mwanafynzi" au " niko tayari kukufata" + +# kwanza ni ruhusu nikuagae + +"kabla sijafanya hivyo, niruhusu niseme kwaheri" au "niruhusu kwanza niwaambie naondoka" + +# walio katika nyumba yangu + +"nyumba yangu" au "watu wa nyumabani kwangu" + +# Hakuna anaefaa kwa ajili ya ufalme wa Mungu + +Yesu anajibu mithari kumfundisha mwandamu kwa mwanafunzi wake, Yesu anamaanisha mtu hafai kwa ajili ya ufalme wa Mungu kama anafata watu wa nyuma badala ya kumfata Yesu + +# "Atiae mkono wake kwenye jembe + +AT: " baada ya kuanza kulima shamba lake" au "baada ya kuanza kuandaa shamba lake" + +# akaangalia nyuma + +Mtu anaangalia nyuma wakati analima hawezi kuliongoza vizuri jembe pale linapotakiwa kwenda. Wanatakiwa kuwa makini kuangalia mbele ili walime vizuri. + +# kufaa kwa + +"kufaa kwa" au " kizuri kwaajili ya" + diff --git a/luk/10/01.md b/luk/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..99195b4a --- /dev/null +++ b/luk/10/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yesu anawatuma zaidi ya watu sabini mbele yake. Hao sabini wanarudi na furaha , na Yesu anawajibu kwa kumuabudu baba wa mbinguni. + +# sasa + +Neno hili limetumika kuashiria tukio jipya katika hadithi. + +# sabini + +"70." matoleo mengine yanasema "sabini na mbili" au "72." utatakiwa kuweka maezezo yanayosema ivyo. + +# Aliwatuma huko, wawili wawili + +"Aliwatuma huko katika makundi ya wawili wawili" au "Aliwatuma huko wawili wawili katika kila kundi" + +# Akawaambia + +Hii iikuwa kabla hawajaondoka. AT: "Hiki ndo alichowaambia" au "kabla hajaondok aliwaambia." + +# Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache + +"kulikuwa kuna mazao mengi, lakini + diff --git a/luk/10/03.md b/luk/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..9b542ef2 --- /dev/null +++ b/luk/10/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# enendeni katika njia zenu + +"enendeni kwenye majiji" au "enendeni kwa watu" + +# ninawatuma nje kama kondoo katikati ya mbwa mwitu + +Hii inamaana ya kuwa kuna watu wangewadhuru wale ambao Yesu aliwatuma. Majina ya wanyama wengine yangeweza kuwakilishwa. AT;"Nitakapowatuma huko nje watu watawadhuru kama ambavyo mbwa mwitu huwaingilia kondoo" + +# Mbwa mwitu + +Hii imetafasiriwa na maana halisi ya "mbwa wa mwituni" au "mbwa wakali" au jina la mnyama wa pekee kama mbwa ambaye watu huwa wanamfaham. + +# Musibebe mfuko/mikoba yenye pesa. + +"Musichukue Mikoba yenye pesa ndani yake" + +# Msimusalimie yeyote muwapo njiani. + +Yesu alikuwa anasisitiza ya kuwa waende kwa haraka huko mjini na wafanye hii kazi. Hakuwambia wawe wakorofi au watu wabaya. + diff --git a/luk/10/05.md b/luk/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..e5ea27bc --- /dev/null +++ b/luk/10/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Amani iwe katika nyumba hii + +Hii ilikuwa ni salamu na baraka. Hapa "nyumba" inawakilisha watu wanaoishi ndani ya nyumba. AT: "watu wa nyumba hii na wapokee amani." + +# mtu wa amani + +"mtu mwenye amani." Huyu ni mtu anaetaka kuwa na amani na Mungu na watu. + +# amani yenu itabaki juu yake + +AT: "atakuwa na amani aliyombarikia" + +# kama sivyo + +AT: "kama hakuna mtu mwenye amani huko" au "mwenye nyumba sio mtu wa amani" + +# itarudi kwenu + +"hatokuwa na hiyo amani" au "hatoipokea hiyo amani uliyombarikia" + +# Mbakie katika nyumba ile ile. + +Yesu hakumaanisha waendelee kubakia ndani ya nyumba kwa siku nzima, ila wapate kulala katika nyumba mojakila usiku. AT:" Kuendelea kulala katika nyumba" + +# Mfanya kazi anasitahili mshahara wake + +Yesu alikuwa alikuwa akizungumzia wale watu aliowatuma huko nje. Kwa sababu wangekuwa wakiwafundisha na kuwaponya watu, hivyo watu wangewapatia mahali pa kukaa pamoja na chakula. + +# Msiende nyumba kwa nyumba + +AT:" Msilale sehemu/nyumba tofauti tofauti katika kila usiku" + diff --git a/luk/10/08.md b/luk/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..a5799857 --- /dev/null +++ b/luk/10/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na wakawapokea ninyi. + +" Kama wakiwakaribisha" + +# Kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu + +AT " kuleni chakula chochote watakacho wapeni" + +# Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu, + +Hii inarejea ya kuwa kazi ya ufalme wa Mungu ilikuwa ikifanyika mahali pale kupitia uponyaji kwa wanafunzi wake na mafundisho ya Yesu. AT:" Munaweza kuuona ufalme wa Mungu ukiwazunguka ninyi". + diff --git a/luk/10/10.md b/luk/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..f56b8e1b --- /dev/null +++ b/luk/10/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Na wasiwapokee + +"kama wakiwakataa" + +# Hata vumbi lililonatia miguu yetu kutoka katika mji wenu tunalikung'uta thidi yenu + +Kwa sababu Yesu alikuwa akiwatuma watu hawa huko nje katika makundi ya watu wawili wawili, hivyo watu wawili wawili walikuwa wasemaji kwa kila kundi. kwa hiyo lugha zenye tafasiri ya neno "sisi" ndo ilikuwa hivyo. AT: "Kama ambavyo mlitukana sisi, na ndivyo tutakavyo wakana ninyi. Na hata tumekataa vumbi linalo toka katika mji wenu linalonata katika miguu yetu". + +# Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia. + +Neno "Lakini tambueni hiii" linatambulisha onyo. Linamaanisha "hata kama mkitukana sisi, haibadilishi maana ya ufalme wa Mungu kuwepo hapa". + +# Ufalme wa Mungu umekaribia. + +"Ufalme wa Mungu upo kati yenu" + +# Ninasema kwenu + +Yesu alikuwa akiyasema haya kwa watu sabini(70) ambao alikuwa akiwatuma huko nje, Alisema haya ili kuonesha ya kuwa alikuwa aseme kitu cha muhimu zaidi" + +# Siku ya hukumu + +kwa kawaida neno linasema "siku ile"Lakini wanafunzi wake walielewa ya kuwa, alimanisha siku ya mwisho ya hukumu kwa wenye dhambi. + +# Itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo. + +"Mungu hataihukumu Sodoma kwa nguvu kama atakavyouhukumu ule mji" AT "Mungu atawahukumu watu wa ule mji kwa nguvu zaidi ya atakavyo wahukumu watu wa Sodoma". + diff --git a/luk/10/13.md b/luk/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..96e10e90 --- /dev/null +++ b/luk/10/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethadia! + +Yesu aliongea kana kwamba watu wa Korazini na Bethadai walikuwepo, lakini hawakuwepo. + +# Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingali fanyika Tire na Sidoni. + +Yesu anaelezea hali ambayo ingetokea hapo nyuma lakini haikutokea. AT: " Kama mtu angelitenda miujiza kwa watu wa Tire na Sidoni ambayo ningetenda kwenu" + +# Wangeli tubu zamani sana, + +"Watu wanyonge walioishi huko wangelionesha huzuni ya dhambi zao". + +# wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu. + +"Wakivaa nguo za magunia na kukaa kwenye majivu" + +# Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tire na Sidoni zaidi yenu. + +AT: "Lakini kwa sababu hamkutubu na kuniamini mimi hata kama mliniona nikitenda miujiza, Mungu atawaadhibu zaidi ya jinsi ambavyo atawadhibu Tire na Sidoni" + +# Katika hukumu + +"Siku ya mwisho ambapo amaungu atamuhukumu kila mmoja. + +# Wewe Kaperanaum, + +Yesu anaongea na watu wa mji wa Kaperanaum, kama vile walikuwa wakisikiliza kumbe ndivyo sivyo. + +# Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? + +Yesu anatumia swali kuwakalipia watu wa Kaperanaum kwa kujisifu kwao. AT : "Hautakaamufikie juu mpka mbinguni" au "Mungu hatakuheshimu" + +# Utashushwa chini mpaka kuzimu + +AT: "Utaenda chini kuzimu" au " Mungu atakupeleka kuzimu". + diff --git a/luk/10/16.md b/luk/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..a38b14b5 --- /dev/null +++ b/luk/10/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi + +AT: "Mtu akiwasikiliza, ni kama ananisikiliza mimi" + +# Yeyote awakataapo anikataa mim + +"Atakaye wakataa ninyi, amenikataa mimi". + +# Yeyote anikataaye mimi amtakaa aliyenituma" + +Atakaye nikataa mimi, itakuwa kama anamkataa yeye aliyenituma". + +# Aliyenituma mimi. + +Hii inarejea Mungu Baba aliemuteuwa Yesu kwa ajili ya kazi Maalumu. AT: " Mungu, alienituma". + diff --git a/luk/10/17.md b/luk/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..1cc25fb4 --- /dev/null +++ b/luk/10/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Wale sabini walirudi + +Lugha zingine zinaweza sema ya kuwa wale sabini walienda kwanza huko nje kama ambavyo UDB inasema. Hii ni taarifa ya mwanzo inayoweza fanya ya mwisho. + +# Sabini + +Unawezataka kuongeza idadi, kwa maana ya kwamba, "Andishi mbalimbali wana 72 badala ya 70. + +# Katika jina lako + +kwa hapa, "Jina" lina rejea Nguvu na mamulaka ya Yesu". + +# Nilimtazanma Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi. + +Yesu alitumia mfano hai, kuonesha jinsi ambavyo Mungu alikuwa akimshinda shetani pale ambapo wanafunzi wake 70 walikuwa wakihubiri mjini". + +# Mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge + +"Mamlaka ya kukanyaga nyoka na kusaga n'ge" Maana zinazotambulika ni kama, 1)Hii inarejea uhalisia wa nyoka na n'ge. au 2) Nyoka na nge ni vielelezi wa roho chafu. UDB inatoa tafasiri ya kuwa hizi ni roho chafu. "Nimewapa haki na mamlaka ya kuteka roho chafu" + +# Mamlaka juu ya pepo wabaya na n'ge + +Hii inamaana ya kuwa watafanya haya na hawatadhurika. AT:Watatembea juu ya nyoka na n'ge na hawatawadhuru". + +# N'ge + +Mnyama mdogo mwenye sehemu mbili za kushikia mfano wa pembe, na kitolea sumu mfano wa sindano kali kwenye mkia wake. + +# Na nguvu zote dhidi ya adui + +Nimewapa mamlaka kuzishinda nguvu za adui" au " Nimewapa mamlaka ya kumshinda adui" na adui ni Shetani. + +# Msifurahi tu katika hili,kwamba roho wanawatii + +" Msifurahi tu kwa sababu wanawatii"' + +# majina yenu yameandikwa mbinguni. + +AT: "Mungu ameyaandika majina yenu mbinguni" au "Majina yenu yapo katika orodha ya watu ambao ni ufalme wa mbinguni". + diff --git a/luk/10/21.md b/luk/10/21.md new file mode 100644 index 00000000..cad0e334 --- /dev/null +++ b/luk/10/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bwana wa mbingu na dunia + +AT: "Mtawala juu ya kilammoja na kilakitu mbinguni na duniani" + +# Vitu hivi + +Hii inarejea mafundisho ya nyuma ya Yesu juu ya mamlaka ya wanafunzi wake. Inaweza kuwa rahisi kusema " vitu hivi" na msomi aweze kuielewa maana. + +# Wenye hekima na ufahamu + +" kutoka kwa watu wenye hekima na ufahamu". AT: "kutoka kwa watu wanaofikiri kuwa waoni wenye hekima na ufahamu". + +# kwa wasio fundishwa + +Hii inamaanisha wale watu wasio waza kuwa wao ni wenye hekima na wanawiwa kuyapokea mafundisho ya Yesu. + +# Kama watoto wadogo + +"kama watoto wadogo". hii inawakilisha watu wanaojua ya kuwa si wenye hekima na maarifa. + +# kwa kuwa ilikuwa nzuri na kupendeza katika macho yako. + +SAT: "kwa nyie mkiyafanya haya, yanawapendeza ninyi". + diff --git a/luk/10/22.md b/luk/10/22.md new file mode 100644 index 00000000..7df08f0c --- /dev/null +++ b/luk/10/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kila kitu kimekabithiwa kwangu kutoka kwa Baba yangu + +AT: " Baba yangu amekabidhi kila kitu kwangu". + +# Baba... Mwana. + +Hivi ni vichwa vikuu vya muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# Mwana + +Yesu alikuwa akijizungumzia yeye katika nafasi ya tatu. + +# afahamuye Mwana ni nani + +Neno ambalo limetafasiriwa kama "Afahamuye" linamaanisha kujua kutokana na kumwelewa mtu. Mungu Baba anamjua Yesu kwa namna hiyo. + +# Ila Baba + +Hii inamaanisha ni Baba peke yake anajua Mwana ni nani. + +# na yeyote ambaye mwana anatamani kujifunua kwake + +AT: "na watu watajua Baba ni nani endapo Mwana atataka kuwadhihirishia Baba kwao". + diff --git a/luk/10/23.md b/luk/10/23.md new file mode 100644 index 00000000..8a7c3d50 --- /dev/null +++ b/luk/10/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akawageukia wanafunzi, akasema kwa siri, + +Yawezekana hii ilikuwa katika wakati fulani. AT: "badaye, ambapo wanafunzi wakewalikuwa peke yao pamoja naye, akasema" + +# Wamebarikiwa wavionavyo vitu mvionavyo + +Pengine hii ilikuwa na maana kwa watu wote waliokuwa wamekuja kumsikiliza Yesu AT: "Ni jinsi gani ilivyo vyema kwa wale wanaoona vitu mnavyoviona". + +# Vitu hivi mvionavyo + +"Vitu ambavyo mmeniona mimi nikivifanya" + +# Vitu hivi mvisikiavyo + +"Vitu ambavyo mmenisikia mimi nikiviongea". + diff --git a/luk/10/25.md b/luk/10/25.md new file mode 100644 index 00000000..a2592416 --- /dev/null +++ b/luk/10/25.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anajibu kwa kutumia simuilizi kwa mwalimu wa kiyahudi ambaye alitaka kumujaribu Yesu. + +# Tazama, mwalimu fulani + +Hii pia ilitokea kwa wakati fulani, AT: "Siku moja Yesu alipokuwa akiwafundisha watu, Mwalimu fulani"(UDB) + +# Tazama + +Hii inatupeleka moja kwa moja kwa mtu mpya katika simulizi. Pengine lugha yako ikawa ina namna ya kufanya hivi. + +# Alimujaribu + +"Kumchanganya" + +# Kimeandikwa nini katika sheria? + +Yesu anatumia mfano kumfundisha huyu Mwalimu wa kiyahudi. AT: "niambie ni nini Musa aliandika kwenye sheria" + +# Unaisoma je? + +"Umesoma nini ndani yake?" au "Unaelewa nini ambacho unaweza sema?" + +# Lazima umpende.... jirani kama wewe mwenyewe + +Mtu yule(myahudi) ananukuu kile Musa alichoandika kwenye sheria. + +# Moyo wako.....roho yako....nguvu zako...akili yako + +Yote hii inamaanisha ya kuwa mtu lazima ampende Mungu kikamilifu na kila kitu chake + +# Jirani yako + +Hii inamaanisha mtu aliepo katika jamii yako. AT: "raia mwenzako" au "watu wa jamii yako". + diff --git a/luk/10/29.md b/luk/10/29.md new file mode 100644 index 00000000..bb203247 --- /dev/null +++ b/luk/10/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini mwalimu, akitamani kujibibitisha kuwa + +Lakini alijaribu kutafuta njia ya kujisafisha yeye mwenyewe, hivyo akasema" au " lakini akataka kuonekana kuwa ni mwenye haki, akasema" + +# Akajibu, Yesu akasema + +Yesu akamjibu yule mtu kwa kumwambia fumbo AT: " kwa kumjibu Yesu akamwambia simulizi hii" + +# Akaangukia kati ya wanyang'anyi, + +" Alizungukwa na wanyang'anyi" au "wanyang'anyi wakamteka". + +# Wakamvuaa na kumnyang'anya vya kwake + +"Walimchukulia vyote alivyokuwa navyo" au "Wakamuibia vitu vyake vyote" + diff --git a/luk/10/31.md b/luk/10/31.md new file mode 100644 index 00000000..72db34ee --- /dev/null +++ b/luk/10/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa bahati + +Hiki ni kitu ambacho hakuna alikuwa amepanga. + +# kuhani fulani + +Maelezo haya yanatambulisha mtu mpya katika simuilizi, lakini haimutaji kwa jina lake. + +# Na alipomuona + +"Na baada ya kuhani kumuona yule mtu aliekuwa amejeruhiwa".Kuhani ni mtu wa dini, hivyo watu walihisi ya kuwa angemsaidia yule mtu.Kwa sababu hakumsaidia aya hii ingeweza kutafasiriwa kama "lakini baaada ya kumuona" kuleta umakini kwa hii hali ambayo haikutokea kama ilivyokuwa ikitarajiwa. + +# Akapita uapende mwingine wa barabara + +Inaonesha dhahiri ya kuwa hakumsaidia yule mtu mwenye majeraha. AT:"hakumsaidia yule mwenye majeraha badala yake alimpita". + diff --git a/luk/10/33.md b/luk/10/33.md new file mode 100644 index 00000000..85ce73a3 --- /dev/null +++ b/luk/10/33.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Lakini msamaria mmoja + +Hii inatambulisha mtu mpya kwenye simulizi bila ya kutaja jina lake. Tunajua tu ya kuwa alikuwa msamaria . Wayahudi walikuwa wakiwadharau wasamaria na walikuwa wakimudhania ya kuwa hatamsaidia yule myahudi aliekuwa ameumizwa. + +# Alipomuona + +"Baada ya msamaria kumuona yule mtu aliekuwa ameumizwa" + +# Alisukumwa kwa huruma + +"Akamuonea huruma" + +# Akamfunga vidonda vyake, akavimwagia mafuta na divai. + +Angekuwa ameweka yale mafuta na divai kwenye vidonda vyake, AT:" akaweka divai na mafuta kwenye vidonda na akavisokota kwenye nguo" + +# Akavimwagia mafuta na divai + +Divai ilitumika kusafisha vidonda na mafuta yalitumika kuzuia kudhuriwa kwa vidonda + +# Mnyaama wake + +"Mnyama wake mwenyewe". Huyu alikuwa mnyamaambaye alitumika kubeba mizigo mizito. inasemekana alikuwa punda. + +# Dinari mbili + +"Mshahara wa siku mbili". Denari ni umoja wa denari. + +# Mwenyeji wake. + +" Mwangalizi wake" au "mtu ambaye alimtunza na kuwa akribu naye" + diff --git a/luk/10/36.md b/luk/10/36.md new file mode 100644 index 00000000..b9c3dbe6 --- /dev/null +++ b/luk/10/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni yupi kati ya hawa watatu unafikiri. + +AT:" Unafikiri nini? ni nani kati ya hawa watatu" + +# Alikuwa jirani + +"Alijionesha mwenyewe kuwa jirani mwema" + +# Yeye alieangukia kati ya wanyang'anyi. + +" Kakwe yeye ambaye wanyang'anyi walimteka" + diff --git a/luk/10/38.md b/luk/10/38.md new file mode 100644 index 00000000..7a845deb --- /dev/null +++ b/luk/10/38.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kamili + +Yesu anakuja kwenye nyumba ya Matha ambapo dada yake Mariam akawa akimsikiliza Yesu kwa umakini mkubwa. + +# sasa + +Neno hili limetumika mahali hapa kuonesha tukio jipya + +# walipokuwa wakisafiri, + +"Kama ambavyo Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakisafiri" + +# kijiji fulani + +Hii inatambulisha kijiji kama sehemu mpya,lakini hapakupewa jina. + +# mwanamke mmoja jina lake Matha + +Hii inamtambulisha Matha kama mhusika mpya. Pengine lugha yako ikawa na namna nyingine ya kumtambulisha mtu mpya. + +# alikaa miguuni mwa Bwana + +Hii ilikuwa kawaida na yenye heshima kwa mtu anayetaka kujifunza kwa mda ule. AT:" alikaa kwenye sakafu" + +# na kusikiliza neno lake + +AT: "Na akasikiliza Mafundisho ya Bwana" + diff --git a/luk/10/40.md b/luk/10/40.md new file mode 100644 index 00000000..3955183a --- /dev/null +++ b/luk/10/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# haujali...peke yangu? + +Martha alaikuwa analalamika kuwa Bwana alimruhusu Mariamu aketi amsikilize wakati kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Alimuheshimu Bwana, ndo maana alitumia swali la kejeli kufanya malaliko yake kuwa ya upole.AT: "inaonekana hujali..pekeyangu." + +# Martha, Martha + +Yesu arudia rudia jian la martha kuonesha msisitizo. AT: "Mpendwa Martha" au "wewe Martha." + +# ambacho hakitachukuliwa kutoka kwake + +Inaweza maanisha 1) " Sitachukua fursa yake" au "2) "Hatapoteza alichopatakwa sababu ananisikiliza." + diff --git a/luk/11/01.md b/luk/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..3f5f9aac --- /dev/null +++ b/luk/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Habari za jumla + +Hii ni mwanzo wa sehemu inayofuata ya hadidhi. Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kuomba + +# Ilitokea + +Neno hili lilitumika kuonyesha mwanzo wa... + diff --git a/luk/11/02.md b/luk/11/02.md new file mode 100644 index 00000000..0351ec35 --- /dev/null +++ b/luk/11/02.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yesu akawaambia, "msalipo mseme, "Baba Jina lako litakaswe + +Yesu, mwana wa Mungu, Aliwaamuru wanfunzi kuheshimu Jina la Mungu "Baba", kwa kulitamka jina la Mungu kama "Baba" wakati wa kuomba + +# Yesu akawaambia + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake + +# Baba + +Hii ni cheo muhimu kwa Mungu + +# Jina lako litakaswe + +"Watu wote wakuheshimu wewe" au "mfanye kila mmoja aliheshimu Jina lako" + +# Ufalme wako uje + +"Uizimamishe ufalme wako" Tunataka utawale watu wako. + diff --git a/luk/11/03.md b/luk/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..63651629 --- /dev/null +++ b/luk/11/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maneno yenye kuunganisha + +Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake namna ya kuomba. + +# mkate wetu wa kila siku + +Mkate ni chakula cha gharama ambacho huliwa na watu kila siku + +# Utusamehe makosa yetu + +"Utusamehe kwa kufanya dhambi kinyume na wewe" au "Tusamehe dhambi zetu" + +# Kama nasi tunavyo wasamehe + +Kwasbabu nasi tunawasamehe + +# Waliotukosea + +wale waliofanya makosa juu yetu au waliotutendea mambo mabaya + +# Usituongoze katika Majaribu + +Tuongoze mbali na majaribu + diff --git a/luk/11/05.md b/luk/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..89a238d8 --- /dev/null +++ b/luk/11/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maneno yenye kuunganisha + +Yesu aliendelea kufundisha wanafunzi wake juu ya maombi + +# Ni nani kati yenu mwenye + +Yesu alitumia maswali kuwafundisha wanafunzi wake . "Fikiria mmoja wenu anayo" au "Fikiria unayo" + +# Niazime mikate mitatu + +Nikopeshe mkate mitatu au nipe mikate mitatu na nitakupilia baadaye . Mwenyeji hana chakula chochote kilicho tayari cha kumpa mgeni wake. + +# amenijia sasa hivi kutoka njiani + +alikuwa akisafiri na sasa hivi akaja nyumbani mwangu + +# sina cha kumuandalia yeye + +"chakula chochote kilicho tayari cha kumpa" + +# Siwezi kuamuka + +"Siyo rahisi kwangu mimi kuamka" + +# Nawaambia + +Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi, Neno ninyi ni wingi + +# akupe mkate kwasababu wewe ni rafiki yake + +Yesu aliongea na wanafunzi wake kana kwamba wao ndiyo waliokwenda kuomba mkate. + +# kuendelea bila aibu + +Hii inamaanisha ile hali ambayo yule mtu aliendelea kuomba mkate bila kujali kama ni wakati mwafaka wa rafiki wake kuamka katikati ya usiku na kumpa mkate + diff --git a/luk/11/09.md b/luk/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..400ec746 --- /dev/null +++ b/luk/11/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Omba..tafuta....bisha + +Yesu alitoa hizi amri kuwatia moyo wanafunzi wake kuomba bila kukoma. Lugha nyingine huitaji maelezo zaidi. "waweza kuelezea kama ifuatavyo: endelea kuomba kwa kile unachokihitaji....endelea kutafuta kile unachohitaji kwa Mungu...endelea kubisha hodi kwenye mlango" + +# Nanyi mtapewa + +"Mungu atakupatia " au "Utapokea" + +# Bisha/kugonga + +Kugonga katika mlango ni kupiga mara kadhaa kumfanya yule aliyeko ndani ajue kuwa unasimama je. Inaweza pia kutafsiriwa kwa kutumia njia ambayo watu wa kabila lenu huonyesha kuwa wamefika. Mfano "Kuita" au "kukohoa" au "Kupiga makofi" . Hapa inamaana mtu anendelee kuomba kwa Mungu hadi amjibu + +# itafunguliwa kwenu + +"Mungu atafungua Mlango kwa ajili yako" au "Mungu atakukaribisha Ndani" + diff --git a/luk/11/11.md b/luk/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..366ddd79 --- /dev/null +++ b/luk/11/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kauli inayounganisha + +Yesu alimaliza kufundisha wanafunzi wake kuhusu maombi. + +# Nani kati yenu...nyoka? + +Yesu alitumia maswali kufundisha wanafunzi wake. " Hamna kati yenu...nyoka" + +# Mkate + +"Mkate" au "Kiasi cha cakula" + +# au badalaya samaki, nyoka? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Au, kama akiomba samaki, hutampa nyoka" + +# Nnge + +Nge ni kama buibui , lakini ana mkia wenye sumu unao choma. Kama Nnge hafahamiki sehemu unayoishi, waweza kutafsiri kama "buibui mwenye sumu" au "Buibu anayechoma" + +# kama ninyi mlio waovu mnajua + +"kwa kuwa ninyi mlio waovu mnajua " au "hata japokuwa ninyi ni watenda dhambi , mnajua" + +# Je si zaidi Baba yenu wa mbinguni atawapa na kuzidi Roho Mtakatifu ... wamuombao? + +Je si zaidi na kwa uhakika Baba yenu wa mbinguni atawapa Roho Mtakatifu ...Yeye? Yesu alitumia maswali tena kuwafundisha wanafunzi wake. "Uwe na uhakika kuwa Baba yenu wa Mbinguni atawapatia Roho Mtakatifu...yeye" + diff --git a/luk/11/14.md b/luk/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..95755213 --- /dev/null +++ b/luk/11/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari ya Jumla + +Hii ni sehemu nyingine ya hadithi iliyofuata. Yesu alihojiwa baada ya kukemea pepo limtoke kwa mtu aliyekuwa bubu. + +# Yesu alikuwa akimuondoa pepo + +"Yesu alikuwa akimuondoa pepo nje ya mtu" Au " Yesu alimuamuru pepo kumuacha mtu" + +# alikuwa bubu + +hunda yule pepo haongei. Huenda msomaji alifahamu kuwa huyo pepo alikuwa na nguvu ya kuwafanya watu wasiongee. " pepo alimsababishia yule mtu asiweze kuongea" + +# ikawa + +kifungu hiki inatumika kuonyesha tendo lilipoanza. Kama lugha yenu ina namna ya kufanya hili, unaweza kutumia hapa. Pepo alipomtoka mtu yule, na hivyo ikampelekea Yesu kufundisha habari za roho mbaya. + +# ikawa pepo lilipomtoka + +"wakati pepo lilipo mtoka mtu" au "wakati pepo lilipo muacha mtu" + +# yule mtu aliyekuwa bubu akazungumza + +"mtu ambaye alikuwa hawezi kuzungumza sasa akazungumza" + +# Kwa Beelzebul, mkuu wa mapepo, anatoa mapepo + +"anatoa mapepo kwa nguvu ya Beelzebul, mkuu wa mapepo" + diff --git a/luk/11/16.md b/luk/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..035b6336 --- /dev/null +++ b/luk/11/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Yesu alianza kujibu umati waliojikusanya + +# Wengine wakamjaribu + +"Watu wngine walimjaribu Yesu". Walimtaka awathibitishie kuwa mamlaka yake yanatoka kwa Mungu. + +# na kumtaka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni + +"na kumuambia awape ishara kutoka mbinguni" au "kwa kutaka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni". Ni kwa njia hii walimtaka yeye athibitishe kuwa mamlaka yake yanatoka kwa Mungu. + +# Kila ufalme utakaogawanyika itakuwa ukiwa + +"Kama watu katika ufalime watapigana wenyewe kwa wenyewe, wataingamiza ufalme wao. " + +# Nyumba iliyogawanyika itaanguka + +Hapa "Nyumba" inamaanisha ni familia, "Kama watu wa familia moja wakipigana wenyewe kwa wenyewe wataiharibu familia yao" + +# kuanguka + +"Kuangushwa chini na kuharibiwa" Taswira hii ya nyumba kuanguka chini inafananishwa na uharibifu utakaotokea pale watu wa familia moja wakipigana wenyewe kwa wenyewe. + diff --git a/luk/11/18.md b/luk/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..4734b473 --- /dev/null +++ b/luk/11/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kama shetani takuwa amegawanyika + +"Shetani" hapa inawakilisha wale mapepo waliojiunga na Shetani kumuasi Mungu. "Kama shetani na washirika wa ufalme wake wanapigan a wao kwa wao" + +# ufalme wake utasimamaje? + +Yesu alitumia maswali kufundisha watu. "Ufalme wa Shetani hautadumu" au "Ufalme wa shetani utaanguka na kusambaratika" + +# Kwasababu mwasema natoa mapepo kwa Belzebuli + +Kwa sababu mwasema ni kwa nguvu ya Belzebuli nawafanya mapepo kuwaacha watu . sehemu iliyofuata ya majibu yake inaweza kutamkwa kirahisi: "hii inamaana Shetani amegawachika juu yake" + +# Je wenzenu wanatoa mapepo kwa njia gani? + +"ni kwa nguvu ya nani wenzenu wanawaamurisha mapepo kuwaacha watu. " Yesu alitumia swali kufundisha watu.Swali la Yesu inaweza kurahisishwa, "basi ni lazima tukubaliane kuwa wenzenu pia hutumia nguvu ya Beelzebuli kuondoa mapepo". "Lakini tunajua kuwa hiyo si kweli". + +# wao watawahukumu ninyi + +wenzenu wanao watoa mapepo kwa nguvu ya Mungu watawahukumu ninyi kwa kusema kuwa mimi natoa mapepo kwa nguvu ya Beelzebuli. + +# kwa kidole cha Mungu + +"Kidole cha Mungu" inamaanisha ni Nguvu ya Mungu + +# Basi ufalme wa Mungu umewajia + +"Hii inaonyesha kuwa ufalme wa Mungu umekuja kwenu" + diff --git a/luk/11/21.md b/luk/11/21.md new file mode 100644 index 00000000..94ea7f74 --- /dev/null +++ b/luk/11/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mtu mwenye nguvu ...akilinda nyumba yake + +Hii inaongelea Yesu ambaye anamshinda Shetani na mapepo wake kama mtu mwenye nguvu zaidi ananyo chukua vitu vya mtu mwenye nguvu + +# vitu vyake vitakaa salama + +"hakuna awezaye kuiba vitu vyake" + +# na kuzichukua mali zake zote + +"Kuiba mali zake" au kuchukua kila kitu alichokitaka" + +# yeye asiye pamoja nami + +"yeye asiyenisaidia " au "yeye asitenda kazi pamoja nami" + +# yuko kinyume nami + +"anafanya kazi kinyume nami". Hii inamaanisha wale watu waliosema kuwa Yesu anafanya kazi pamoja na Shetani. + diff --git a/luk/11/24.md b/luk/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..19c7bf67 --- /dev/null +++ b/luk/11/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mahali pasipo maji + +"Hii inamaanisha "sehemu ya ukiwa", mahali ambapo roho mbaya hurandaranda . + +# akikosa + +"kama roho hakupata sehemu ya kupumzika" + +# nyumba yangu nilikotokea + +Hii inamaanisha mtu yule ambaye alikuwa anakaa kwake. "mtu ambaye nilikuwa nikikaa kwake" + +# na kukuta nyumba imefagiliwa na imekaa vizuri + +"akaikuta mtu alifagia nyumba na kuwa safi na kuweka kila kitu mahali pake " au " kumkuta mtu kama nyumba iliyosafishwa na kupangiliwa vizuri" + +# imefagiliwa + +"tupu" Mfano huu inamaanisha hali ambayo mtu hakujazwa Roho wa Mungu baada ya mapepo kuondoka. + diff --git a/luk/11/27.md b/luk/11/27.md new file mode 100644 index 00000000..1543393c --- /dev/null +++ b/luk/11/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya Jumla + +Huu ni mkatizo wa mafindisho wa Yesu. Mwanamke aliongea baraka na Yesu akajibu. + +# Ilitokea + +Kifungu hiki kinatumika kuonyesha tukio muhimu katika historia. Kama lugha yako ina njia ya kufanya hii, unaweza ukatumia hapa. + +# aliyepasa sauti yake kwenye mkutano + +"aliongea kwa sauti iliyozidi kelele za umati" + +# Limebarikiwa tumbo lililo kuzaa na matiti ulioyanyonya + +Sehemu ya mwili wa mwanamke ilitumika kuwakilisha mwanamke. " Ana heri kiasi gani yule mama aliyekuzaa na kukunyonyesha kwenye matiti yake" au " Ana furaha iliyoje yule mwanamke aliyekuzaa na kukunyonyesha kwenye matiti yake" + +# lakini, wamebarikiwa wale + +" Ni vizuri zaidi kwa wale " + diff --git a/luk/11/29.md b/luk/11/29.md new file mode 100644 index 00000000..2784293f --- /dev/null +++ b/luk/11/29.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli inayounganisha + +Yesu aliendelea kufundisha umati + +# Kizazi hiki ni kizazi cha uovu + +Watu wanaoishi katika nyaka hii ni watu waovu + +# Hutafuta ishara + +"Wanataka mimi niwape ishara " au "Wengi wenu mnataka mimi niwape ishara" . Habari ya aina ya ishara wanayotaka inaweza kufaywa rahisi kama ilivyo katika UDB + +# na hakuna ishara watakao pewa + +"Mungu hatawapa ishara " + +# Ishara wa Yona + +"kile kilichotokea kwa Yona" au "muujiza ambao Mungu alifanya kwa Yona" + +# Maana kama Yona alivyokuwa ishara...ndivyo + +Hii inamaana kuwa Yesu atatumika kama ishara kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Wayahudi wa wakati huo kama ilivyokuwa kwa Yona alivyotumika kama ishara kutoka kwa Mungu kwa watu wa Ninawi. + +# Mwana wa Adamu + +Yesu alikuwa akijisemea mwenyewe + diff --git a/luk/11/31.md b/luk/11/31.md new file mode 100644 index 00000000..1610a667 --- /dev/null +++ b/luk/11/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Malkia wa Kusini + +Hii ilimaanisha malkia wa wa Sheba. Sheba ilikuwa ni ufalme wa kusini mwa Israeli + +# atasimama siku ya hukumu na watu wa kizazi hiki + +"Atasima pia na kuwahukumu watu wa kizazi hiki" + +# kalitoka katika mwisho wa nchi + +"alikuja tokae umbali mrefu" au " Alikuja kutoka sehemu ya mbali" + +# Yuko mkuu kuliko Sulemani + +Yesu alikuwa akiongelea juu yake. "Mimi ni mkuu kuliko Sulemani lakini hamnisikilizi" + diff --git a/luk/11/32.md b/luk/11/32.md new file mode 100644 index 00000000..495dc2fd --- /dev/null +++ b/luk/11/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki na kuwahukumu + +"Watu wa Ninawi watasimama na kuwahukumu watu wa nyakati na kuwalaani." + +# kwani walitubu + +"watu wa Ninawi walitubu" + +# Yuko aliye mkuu kuliko Yona + +Yesu alijiongelea mwenyewe. "Mimi ni mkuu kuliko Yona lakini hamkutubu" + diff --git a/luk/11/33.md b/luk/11/33.md new file mode 100644 index 00000000..e49cc74e --- /dev/null +++ b/luk/11/33.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kauli unayounganisha + +Yesu alimaliza kuwafundisha makutano + +# Kuweka sehemu ya chini yenye giza + +"kuficha kwenye sehemu iliyofichika" + +# Ila Juu ya kitu + +"ila wanaweka juu ya meza" au " Ila wanaweka juu ya kabati" + +# Jicho lako ni taa ya mwili + +Hii imewasilishwa na mafumbo tofauti. Jicho hufananishwa na Maono, ambayo ni mfano wa kuelewa. Mwili ni kiwakilishi cha maisha ya Mwanadamu. " Jicho lako ni taa ya maisha yako" au "Maono yako ni taa ya maisha yako" Kwasababu Yesu alikuwa anaongea kitu ambacho ni kweli kwa kila mtu, inaweza ikatafsiriwa kama " Jicho ni taa ya mwili wa mwanadamu" + +# Jicho lako likiwa zuri + +" Maono yako yakiwa mazuri" au "ukiona vema" + +# mwili wako wote utakuwa kwenye mwanga + +Yesu aliongelea kweli kama mwanga . "mwanga wa kweli utakuwa maishani mwako" Au "Maisha yako yote utakuwa na mwanga" + +# jicho lako likiwa baya , mwili wako wote utakuwa kwenye giza. + +Yesu aliongelea habari ya kuwa katika uongo kama vile ni kuwa katika giza. " Maono yako yakiwa mabaya, basi maisha yako yote yanajawa na giza" + +# mwili wako wote utakuwa sawa na mwanga utouo mwango kwenu. + +Yesu aliongea watu ambao wamejawa na kweli kama vile taa iwakavyo na kutoa mwanga wote. + diff --git a/luk/11/37.md b/luk/11/37.md new file mode 100644 index 00000000..b0b042a2 --- /dev/null +++ b/luk/11/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya Jumla + +Huu ni mwanzo wa sehemu iliyofuata ya hadithi. Yesu alikaribishwa kula nyumbani mwa Mfarisayo + +# akawa pamoja nao + +"kukaa katika meza". " ilikuwa ni desturi kwa chakula kama hii wanaume kula wakiwa wamekaa vizuri kwa kustarehe kwenye meza" + +# kunawa + +Mafarisayo wana sheria ya kuwa watu ni lazima wanawe mikono yao ili waonekane kuwa wasafi mbele za Mungu. "kunawa mikono" au "kunawa mikono ili kuwa msafi kiibada" + diff --git a/luk/11/39.md b/luk/11/39.md new file mode 100644 index 00000000..c90c8b88 --- /dev/null +++ b/luk/11/39.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Yesu alianza kuongea na mafarisayo + +# nje ya vikombe na bakuli + +Kuoasha nje ya vyombo ilikuwa ni sehemu ya mazoea ya ibada kwa Wafarisayo + +# lakini ndani yenu mmejaa tamaa na uovu. + +Hii inafananishwa na njinzi wanavyosahau ndani ya vyombo na wanavyosahau maisha yao ya ndani. + +# Je yeye aliyeumba nje hakuumba na ndani pia? + +Yesu alitumia swali kuwakemea Mafarisayo kwa kutojua ya kuwa kile kilichoko ndani ya miyoyo yao inajalisha kwa Mungu. + +# Wapeni maskini yaliyo ndani + +"Wapeni Maskini kile kilichoko ndani ya vikombe na bakuli" au " Muwe wakarimu kwa watu maskini" + diff --git a/luk/11/42.md b/luk/11/42.md new file mode 100644 index 00000000..77d9f2d1 --- /dev/null +++ b/luk/11/42.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mnatoza zaka ya mnanaa na kila aina ya mboga ya bustani + +" mnatoa moja ya kumi ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboga ya bustani", Yesu alikuwa anatoa mfano wa njinzi mafarisaya walivyo makini katika kutoa moja ya kumi ya mapato yao. + +# mnanaa na mchicha + +hizi ni kama dawa. Watu huweka kidogo kwenye chakula ili kuipa utamu fulani. Kama watu hawafahamu mnanaa na mchicha, unaweza kutumia majina ya viungo wanayoijua au ufahamu wa jumla wa "viungo." + +# na kila aina ya viungo vya bustani + +Tafsiri yake inaweza kuwa 1) Kila aina nyingine ya mbogamboga" 2) "Kila aina ya viungo vya bustani" 3) Kila aina ya mimea ya bustani + +# bila kuyaacha kuyafanya na hayo mengine pia + +"na kila wakati myafanye na hayo mengine pia" + diff --git a/luk/11/43.md b/luk/11/43.md new file mode 100644 index 00000000..a7682b1e --- /dev/null +++ b/luk/11/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kauli inayounganisha + +Yesu alimaliza kuongea na mafarisayo + +# viti vya mbele + +"viti vizuri sana" + +# ole wenu, kwani mnafanana na makaburi yasiyo na alama ambayo watu hutembea juu yake pasipokujua" + +Mafarisayo ni kama makaburi yasiyo na alama kwasababu wanaonekana kama waasafi, lakini huwafanya watu waliokaribu nao kuwa siyo wasafi. + +# makaburi yaliyofichika + +Makaburi hayo yalikuwa mashimo kuchimbwa katika ardhi ambapo maiti kuzikwa. Wao hawakuwa na mawe nyeupe kwamba watu kawaida kuweka juu ya makaburi ili kwamba watu wengine kuona kwao. Wakati watu kutembea juu ya kaburi, wangeweza kuwa najisi. + diff --git a/luk/11/45.md b/luk/11/45.md new file mode 100644 index 00000000..2928546b --- /dev/null +++ b/luk/11/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya Jumla + +Yesu alianza kumjibu mwalimu wa Kiyahudi + +# kwani mnawapa watu mizigomikubwa wasiyoweza kuibeba + +"munaweka mizigo juu ya watu ambayo ni mizito kubebeka" . Yesu aliongea kuhusu mtu fulani kuwapa watu sheria nyingi kama mtu kuwapa mizigo mizito kubeba. "Mnawapa watu mizigo mizito kwa kuwapa sheria nyingi za kufuata" + +# walakini ninyi hamgusi mizigo hiyo hata kwa moja ya vidole vyenu. + +"lakini hamtumii hata moja ya kidole chenu kuwasaidia kubeba mizigo hiyo. "Lakini hamfanyi kitu chochote kabisa kuwasaidia waitii sheria zenu" + diff --git a/luk/11/47.md b/luk/11/47.md new file mode 100644 index 00000000..a04134db --- /dev/null +++ b/luk/11/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ambao + +Hii huwafanya kuona utofauti kati yao kwa namna wanavyo waheshimu manabii wakati wakipuuza ukweli kuwa wababu zao ndio waliowauwa. + +# hivyo ninyi mwashuhudia na kukubaliana + +Yesu aliwakemea Mafarisayo na waalimu wa sheria . Walijua mauwaji ya manabii, lakini hawakushutumu wala kuwalaani wababu zao kwa kuwauwa. " kwahiyo, badala ya kuwakana wao, ninyi mwashuhudia na kukubaliana " + diff --git a/luk/11/49.md b/luk/11/49.md new file mode 100644 index 00000000..f83e428c --- /dev/null +++ b/luk/11/49.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwasababu hiyo + +Hii inarejea sentensi iliyofuata, Mungu atawatuma manabii wengi ili kuonesha kuwa kizazi hiki kitawauwa, kama walivyofanya baba zao. + +# Hekima ya Mungu inasema + +"Mungu kwa hekima yake alisema" au "Mungu alisema kwa hekima" + +# Nitawatumia manabii na mitume + +"Nitawatumia manabii na mitume watu wangu" + +# watawatesa na kuwauwa baadhi yao + +"watu wangu watawatesa na kuwauwa baadhi ya manabii na mitume" + +# Kizazi hiki, kitawajibika na damu iliyomwagwa ya manabi wote. + +Damu iliyomwagwa inamaanisha mauwaji ya manabii. "Kwa hiyo Mungu atawajibisha kizazi hiki kwa kifo cha manabii wote ambao watu wamewauwa" + +# Zakaria + +Huyu ni kuhani wakati wa Agano la kale aliyewakemea watu wa israeli kwa habari ya usinzi. Huyu siye Baba wa Yohana Mbatizaji. + +# ambaye ameuwawa + +"ambaye watu walimuuwa" + diff --git a/luk/11/52.md b/luk/11/52.md new file mode 100644 index 00000000..78c67035 --- /dev/null +++ b/luk/11/52.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli ya kuunganisha + +Yesu alimaliza kumjibu mwalimu wa Kiyahudi + +# mmechukuwa funguo za ufahamu ...na mnawazuia wale wanaotaka kuingia + +Yesu aliongea kuhusu ukweli wa Mungu kama vile ilikuwa ndani ya nyumba ambayo waalimu walikataa kuingia na hawaruhusu wengine kuingia. Hii ina maanisha waalimu hawamjui Mungu , na pia wanawazuia wengine kumjua Yeye pia. + +# Ufunguo + +Hii inawakilisha maana ya ruhusa, kama kwenye nyumba au kwenye chumba cha stoo. + +# nyie wenyewe hamuingii + +" ninyi wenyewe hamuingii ndani kupata ufahamu" + diff --git a/luk/11/53.md b/luk/11/53.md new file mode 100644 index 00000000..d16d6a91 --- /dev/null +++ b/luk/11/53.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari za jumla + +Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambapo Yesu alikula katika nyumba ya mfarisayo. Hii mistari inamweleza msomaji nini kilifanyika baada ya sehemu ya habari kuu ya hadithi kuisha " + +# Baada ya Yesu kuondoka pale + +" Baada ya Yesu kuondoka katika nyumba ya mfarisayo" + +# wakijaribu kumtega kwa maneno yake + +Hii inamaanisha walihitaji Yesu kusema kitu kibaya ili waweze kumshitaki + diff --git a/luk/12/01.md b/luk/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..a8af6de9 --- /dev/null +++ b/luk/12/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari za Jumla + +Hii ni sehemu iliyofuata ya hadithi. Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake mbele ya maelfu ya watu. + +# kwa wakati huo + +"wakati wakifanya hayo " + +# wakati maelfu ya watu ..walikanyagana + +Hii ni habari ya nyuma inayoelezea mpangilio wa hadithi + +# watu wengi maelfu + +"ni kusanyiko kubwa" + +# walikanyagana + +Hii ni kivumishi kinachoelezea wingi wa watu waliokuwepo + +# Alianza kusema na wanafunzi wake kwanza + +"Yesu alianza kwanza kuongea na wannafunzi wake, na kuwaambia" + +# Mjihadhari na chachu ya Mafarisayo ambayo ni unafiki. + +Kama vile chachu inavyoenea kwa donge la unga wa mkate, unafiki wao huenea kwa jamii nzima. "Mjitunze na unafiki ya Mafarisayo ambayo ni sawa na chachu" au " Mjihadhari msije mkawa wanafiki kama Mapharisayo. Hii tabia ya uovu hushawishi kila mmoja kama ambavyo chachu huharibu donge la unga" + diff --git a/luk/12/02.md b/luk/12/02.md new file mode 100644 index 00000000..cc6f2345 --- /dev/null +++ b/luk/12/02.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini hapatakuwepo na siri iliyofichika ambayo haitafunuliwa + +"Lakini kila kitu kilichofichwa kitaonyeshwa" Neno "lakini" ni neno la kiunganishi" Lakini watu watajua mambo yote wafanyayo watu kwa siri" + +# wala jambo lililo fichwa ambalo halitajulikana + +Hii ina maana sawa na sehemu ya kwanza ya sentensi ili kuzizitiza ukweli. " na watu watajifunza kuhusu kile ambacho watu wengine wanajaribu kuficha" + +# itasikiwa katika mwanga + +" watu watasikia katika mwanga" + +# mliyoyasema kwenye sikio + +"Kumnong'onezea mtu mwingine" + +# ndani ya vyumba vyenu vya ndani + +"kwenye chumba iliyofungwa". "Kwa sehemu ya faragha" au "Kwa siri" + +# vitatangazwa + +"itasemwa kwa sauti ya juu". "Watu watatangaza" + +# juu ya nyumba + +Nyumba katika Israeli zlikuwa na paa gorofa, hivyo watu wanaweza kwenda na kusimama juu yao. Kama viongozi wanavyokuwa na wasiwasi kujaribu kufikiria jinsi watu wanavyoweza kupanda juu ya zile nyumba, hii inaweza pia kutafsiriwa na usemi zaidi kwaa jumla, kama vile "kutoka mahali pa juu ambapo kila mmoja atakuwa na uwezo wa kusikia." + diff --git a/luk/12/04.md b/luk/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..61630b90 --- /dev/null +++ b/luk/12/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nawaambia rafiki zangu + +Yesu anawaanda wasikilizaji wake kutambua kuhamia kwenye mada nyingine, kwa hili, kuongelea kuhusu kutokuogopa. + +# hawana kitu kingine cha kufanya + +"hawawezi kusababisha maumivu mengine zaidi" au "hawawezi kukuzuru zaidi" + +# Muogopeni yule + +"Mwogopeni Mungu ambaye" au "Muogopeni Mungu kwa sababu" + +# akisha kuua + +"baada ya kukua" au "baada ya kumuua mtu" + +# ana mamlaka ya kutupa kwenye jehanamu + +"ana mamlaka ya kuwatupa watu kwenye jehanamu" + diff --git a/luk/12/06.md b/luk/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..05b72569 --- /dev/null +++ b/luk/12/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Je shomoro watano hawauzwi kwa senti mbili? + +Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi + +# Shomoro + +Ni ndege wadogo sana wenye kula mbegu + +# hakuna mmoja wao atakayesahaulika mbele za Mungu + +"Mungu hajawahi kusahau mmoja wao". "Mungu kwa uhakika anakumbuka kila shomoro" + +# hata nywele za vichwa vyenu vimehesabiwa + +"Mungu anajua hata idadi ya nywele zilizoko kichwani mwako" + +# Msiogope + +"Msiwaogope watu" au "Msiwaogope watu watakao waujeruhi ninyi" + +# Ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi. + +"Mungu anawathamini ninyi kuliko mashomoro wengi" + diff --git a/luk/12/08.md b/luk/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..658a7f61 --- /dev/null +++ b/luk/12/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Nawaambia Ninyi + +Yesu alikuwa anawaanda wasikilizaji wake kutambua kuhamia kwa mada nyingine, kwa hili, anaongelea kuhusu kukiri. + +# yeyote atakayenikiri mbele za watu + +"yeye atakaye waambia wengine kuwa yeye nimwanafunzi wangu" au " yeyote atakaye nitambulisha mbele ya wengine kwamba ni mwaminifu kwangu" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu alikuwa akirejea Yeye mwenyewe. Mimi Mwana wa Adamu + +# yeyote atakaye nikana mbele za watu + +"Yeyote atakaye nikataa mbele za watu" " Yeyote atakaye kataa kunitambulisha kwa wengine kuwa yeye ni mwanafunzi wangu" au " yeyote atakaye kataa kusema yeye ni mwaminifu kwangu" + +# naye atakanwa + +"Atakanwa" Mwana wa Adamu atamkana yeye " au " Nitamkana kuwa si mwanafunzi wangu" + +# Yeyote atakayesema neno baya juu ya Mwana wa Adamu, + +"Yeyote atakayesema jambo baya juu ya Mwana wa Adamu " + +# atasamehewa + +"atasamehewa". "Mungu atamsamehe yeye kwa hilo" + +# atakayemkufuru Roho Mtakatifu + +"atakayeongea maovu juu ya Roho Mtakatifu " au "Kusema kuwa Roho Mtakatifu ni mwovu" + +# Hatasamehewa + +"Mungu atamuhesabu kuwa na hatia milele" + diff --git a/luk/12/11.md b/luk/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..f740ba95 --- /dev/null +++ b/luk/12/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mbele ya wakuu wa masinagogi + +" Ndani ya masinagogi ili wawaulize maswali kwa viongozi wa kidini" + +# wenye mamlaka + +"watu wengine wenye nguvu ndani ya nchi" + +# kwa wakati huo + +"kwa muda huo" au "Kisha" + diff --git a/luk/12/13.md b/luk/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..950a5114 --- /dev/null +++ b/luk/12/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari za Jumla + +Hii ni katizo kwa mafundisho ya Yesu. Mtu mmoja alimuomba Yesu amfanyie kitu na Yesu akamjibu. + +# Mtu + +Maana inayowezekani ni 1) Hii ni namna ya kuongea na mtu mgeni au 2) Yesu anamkemea yule mtu. Labda lugha yenu ina njia mbadala ya kuongea na watu kwa namna ya njia hizi mbili. Watu wengine hawatafsiri neno hili kabisa. + +# Ni nani aliyeniweka kuwa mwamuzi au mpatanishi kati yenu? + +Yesu alitumia swali kumfundisha huyo mtu. " Mimi siyo mwamuzi wenu au mpatanishi" . Lugha zingine hutumia wingi wa maneno ya "Yenu" au "Wenu" + +# Ndipo akawaambia + +Neno "akawaambia" hapa huenda inarejea umati wote wa watu. + +# jihadharini na kila namna ya tamaa + +"Jichungei na kila aina ya uchoyo". "Msijiruhusu kupenda kuwa vitu"au " Msiruhusu tamaa ya kuwa na vitu vingi iwatawale" + +# uzima wa mtu + +Hii ni kauli ya jumla za ukweli. Haimrejei mtu yeyote maalum. Lugha nyingine zina jinsi ya kuelezea . + +# wingi wa vitu alivyo navyo + +"Ni kiasi gani vya vitu anavyomiliki" au "kiasi gani ya mali anayomiliki" + diff --git a/luk/12/16.md b/luk/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..81a83ccf --- /dev/null +++ b/luk/12/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli inayounganisha + +Yesu aliendeleza mafundisho yake kwa kuwaeleza mfano + +# Kisha Yesu akawaambia + +Huenda Yesu alikuwa bado anaongea na mkutano wote. + +# ilizaa sana + +"imezaa mavuno mengi" + +# ghala + +jengo ambalo wakulima huhifadhi mazao na chakula wanachopanda baada ya kuvunwa + +# vitu + +"Mali" + +# Nitaiambia nafsi yangu + +"Nitajiambia mwenyewe" + diff --git a/luk/12/20.md b/luk/12/20.md new file mode 100644 index 00000000..d88517f5 --- /dev/null +++ b/luk/12/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kauli inayounganisha + +Yesu alinukuu jinsi Mungu alivyomjibu mtu tajiri, alipokuwa anamalizia hadithi yake. + +# usiku wa leo wanahitaji roho kutoka kwako + +"utakufa usiku wa leo" au " Nitaichukuwa uhai wako kutoka kwako leo" + +# na vitu vyote ulivyoviandaa vitakuwa vya nani? + +"nani atamiliki vitu ulivyo hifadhi?" au " ni nani atakayekuwa nayo vitu ulivyoviandaa?" Mungu alitumia swali kumfanya mtu atambue kuwa hatamiliki tena vitu hivyo. + +# anayejiwekea mali + +"kuhifadhi vitu vya dhamani" + +# na si tajiri + +"maskini" + +# kwa ajili ya Mungu + +Maana yake ni kwamba mtu huyu hakuwa anajali vitu vilivyo muhimu kwa Mungu, au kuwa Mungu atamlipa. "kwa mtazamo wa Mungu" au "kulingana na Mungu" + diff --git a/luk/12/22.md b/luk/12/22.md new file mode 100644 index 00000000..b635d198 --- /dev/null +++ b/luk/12/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli inayounganisha + +Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake mbele ya umati. + +# Kwahiyo + +"kwasababu hiyo" au " kwasababu ya mafundisho ya hadihi hii" + +# Nawaambia + +"Nataka niwaambie kitu muhimu"au "Inabidi msikilize kwa umakini juu ya hili" + +# juu ya maisha yenu-ya kuwa mtakula nini + +"kuhusu maisha yenu na nini mtakula" au " kuhusu kuwa na chakula cha kutosha ili muweze kuishi" + +# juu ya miili yenu -ya kuwa mtavaa nini + +"kuhusu miili yenu na nini mtavaa" au " kuhusu kuwa na nguo za kutosha za kuvisha miili yenu" + diff --git a/luk/12/24.md b/luk/12/24.md new file mode 100644 index 00000000..d9537313 --- /dev/null +++ b/luk/12/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ndege wa angani (Rivens) + +(Rivens) hii inamaanisha 1) Ni aina ya ndege wanaokula mbegu zaidi, au 2) aina ya ndenge wanaokula nyama ya wanyama waliokufa. Wasikilizaji wa Yesu watakuwa wameidharau hao ndege kuwa si kutu (rivens) kwani Wayahudi hawali aina hiyo ya ndege. + +# Ninyi si bora zadi kuliko hao ndege + +Hii ni tahamaki na siyo swali. Yesu alisisitiza ukweli kwamba watu ni wa muhimu sana kwa Mungu kuliko ndege. + +# Ni yupi kati yenu ...maisha yake? + +Yesu alitumia swali kufundisha wanafunzi wake + +# kuongeza dhiraa moja katika maisha yake + +Huu ni mfano kwasababu dhiraa hutumika kupima urefu, na siyo muda. Taswira ya maisha ya mtu kufutwa kama vile ubao, au kamba , au kitu chochote kigumu. + +# ikiwa basi hamuwezi kufanya....hayo mengine ? + +Yesu alitumia swali lingine kuwafundisha wanafunzi wake. + diff --git a/luk/12/27.md b/luk/12/27.md new file mode 100644 index 00000000..5ac0fd66 --- /dev/null +++ b/luk/12/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# maua + +(Lilies), haya ni mauwa mazuri yanayojiotea yenyewe shambani. Kama lugha yako haina jina la mauwa ya aina ya (lily) unaweza kutumia jina lingie la maua yanayofanana na hilo au tafsiri kama "maua" + +# wala hayajisokoti + +"haitengenezi uzi ili yajivike" au "hawatengenezi uzi" + +# Sulemani katika utukufu wake + +"Sulemani aliyekuwa na mali nyingi" au "Sulemani aliyevikwa vizuri" + +# Kama Mungu huyavika vizuri majani ya kondeni + +"Kama Mungu huyavika majani ya kondeni namna hiyo " au "Kama Mungu huwapa mauwa ya kondeni mavazi mazuri hivyo" Kama Mungu hufanya majani ya kondoni kuwa mazuri kama hivi" + +# hutupwa kwenye moto + +"mtu huzitupa kwenye moto" + +# Je si zaidi atawavika ninyi + +"Hii ni mshangao na siyo swali. Yesu alitilia mkazo kuwa atawatunza na kuwajali watu zaidi kuliko anavyojali majani. + diff --git a/luk/12/29.md b/luk/12/29.md new file mode 100644 index 00000000..13eca3c3 --- /dev/null +++ b/luk/12/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Msisumbukie juu ya kuwa mtakula nini au mtakunywa nini + +"usitazame zaidi juu ya kula na kunywa" au "Msiwe na tamaa zaidi ya kula na kunywa" + +# mataifa yote ya dunia + +Hapa "mataifa" inamaanisha "wasio amnini" "Watu wote wa mataifa mengine" au "watu wote wasio amini duniani" + +# Baba yenu anajua ya kuwa mnahitaji vitu hivyo + +Baba wa Yesu, Mungu Baba, pia hufanyika Baba wa wote watakao muamini Yesu. + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu sana kwa Mungu. + diff --git a/luk/12/31.md b/luk/12/31.md new file mode 100644 index 00000000..7b91e8cf --- /dev/null +++ b/luk/12/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tafuteni ufalme + +"kushughulika na ufalme wa Mungu" au "Kutamani sana ufalme wa Mungu" + +# na hayo mengine mtazidishiwa + +"hayo mambo mengine pia mtapewa". "Hayo mengine" ina maanisha chakula na mavazi. "Mungu atawapa ninyi hizo vitu" + +# kundi dogo + +Yesu aliwaita wanafunzi wake kundi. Kundi ni mkusanyiko wa kondoo au mbuzi ambayo mchungaji anawatunza. Kama vile mchungaji anvyowajali kondoo, Mungu atawajali wanafunzi wa Yesu. "kundi dogo"au "kundi linalopendwa" + diff --git a/luk/12/33.md b/luk/12/33.md new file mode 100644 index 00000000..99fb5d47 --- /dev/null +++ b/luk/12/33.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# na mkawape maskini + +"na wapeni watu maskini fedha mlizopata kwa mauzo" + +# mjifanyie mifuko ...hazina ya mbinguni + +mifuko na hazina mbinguni zinamaanisha kitu kimoja. Vyote vinawakilisha baraka za Mungu mbinguni. + +# mjifanyie + +"kwa namna hii mtajifanyia wenyewe" + +# mifuko isiyoishiwa + +"mifuko ya fedha ambazo hazitoboki" + +# isiyokoma + +'"ambazo haiishiwi" au "haipungui" + +# Moyo wako + +Hapa "moyo" una maanisha mawazo ya mtu. + diff --git a/luk/12/35.md b/luk/12/35.md new file mode 100644 index 00000000..cf8dcc52 --- /dev/null +++ b/luk/12/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli ya jumla + +Yesu alianza kuelezea mfano + +# nguo zenu refu zifungwe na mkanda + +Watu walivaa mavazi marefu. Walikuwa wakifunga na mkanda ili kuwafanya waweze kutembea njiani . " Funga nguo zako na mkanda ili uweze kuhudumia" au Uvae na uwe tayari kuhudumia" + +# taa zenu zihakikishwe kuwa zinaendelea kuwaka + +"Fanyeni taa zenu ziendelee kuwaka" + +# muwe kama watu wanaomtazamia Bwana wao + +Hii unafananishwa na jinsi wanafunzi wanavyotakiwa kuwa tayari kwa Yesu kurudi kama watumishi walio tayari kwa bwana wao kurudi. + +# kutoka kwenye karamu ya harusi + +"kurudi nyumbani kutoka kwenye karamu ya harusi" + diff --git a/luk/12/37.md b/luk/12/37.md new file mode 100644 index 00000000..9a859740 --- /dev/null +++ b/luk/12/37.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wamebarikiwa + +"Ni vizuri kama nini" + +# ambao bwana atawakuta wako macho akirudi + +"wale ambao bwana wao atawakuta wakimngoja atakapo rudi" au "Walio tayari bwana akirudi" + +# atafunga ..atawaketisha chini + +Kwasabu watumishi wamekuwa waaminifu na wako tayari kumuhudumia bwana wao, bwana atawalipa kwa kuwahudumia wao. + +# atafunga nguo yake refu na mkanda + +'atajiandaa kuwahudumia wao kwa kufunga nguo yake na mkanda" au " atavaa tayari kuwahudumia" + +# kwa zamu ya pili ya ulinzi ya usiku + +zamu ya pili ya ulinzi ni kati ya saa 3:00 usiku na saa 6:00 usiku. "karibu na usiku wa manane" au "kabla ya usiku wa manane" + +# au kwa zamu ta tatu ya ulinzi + +zamu ya tatu ya ulinzi ni kuanzia saa 6:00 usiku na na saa 9:00 usiku. Au "akija akiwa amechelewa sana usiku" + diff --git a/luk/12/39.md b/luk/12/39.md new file mode 100644 index 00000000..cb406739 --- /dev/null +++ b/luk/12/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# asingeruhusu nyumba yake ifunjwe + +"asingeruhusu mwizi aivunje nyumba yake" + +# kwani hamjui ni saa ngapi mwana wa Adamu atarudi + +Kitu pekee kinacho wafananishwa kati ya mwizi na Mwana wa Adamu ni kwamba watu hawajui ni wakati gani wanakuja, hivyo wanatakiwa kuwa tayari. + +# wakati gani Mwana wa Adamu atarudi + +Yesu alikuwa akiongelea habari zake mwenyewe. "wakati Mimi, Mwana wa Adamu, nitakapo kuja" + diff --git a/luk/12/41.md b/luk/12/41.md new file mode 100644 index 00000000..b132062d --- /dev/null +++ b/luk/12/41.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli inayounganisha + +Katika mstari wa 42, Yesu aliendelea kuelezea mfano + +# Kauli ya jumla + +Katika mstari wa 41, kuna katizo katika kuelezea mfano kwani Petro alimuuliza Yesu swali kuhusu mfano. + +# Ni nani...kwa wakati mwafaka + +Yesu alitumia swali kufundisha watu. Yesu hakujibu swali la Petro moja kwa moja, lakini alitegemea wale wanaotaka kuwa watumwa waaminifu kuwa mfano huo inawahusu wao. " Nimesema kwa kila mmoja ambaye ..kwa wakati mwafaka. + +# Mtumwa mwaminifu na mwenye hekima + +Yesu alielezea mfano mwingine wa jinsi watumishi wanavyotakiwa kuwa waaminifu wakati wanamngoja bwana wao arudi. + +# ambaye bwana wake atamuweka juu ya watumishi wengine + +"ambaye bwana wake atamuweka kuwa mtawala wa wengine" + +# Amebarikiwa mtumishi yule + +"Itakuwa heri kwa mtumishi yule" + +# ambaye bwana wake akija atamkuta akifanya + +"kama bwana wake akirudi atamkuta akifanya kazi hiyo" + diff --git a/luk/12/45.md b/luk/12/45.md new file mode 100644 index 00000000..8317553c --- /dev/null +++ b/luk/12/45.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mtumishi yule + +Hii ina maanisha yule mtumishi ambaye bwana alimuweka juu ya wengine + +# akisema moyoni mwake + +"akafikiri ndani yake" + +# bwana wangu anakawia kurudi + +"bwana wangu hatarudi mapema" + +# watumishi wa kiume na wa kike + +Neno lililotafsiriwa hapa kama "watumishi wa kiume na Kike" mara nyingi hutafsiriwa kama "wavulana" na "wasichana". Inaweza kuashiri kuwa watumishi walikuwa vijana au wanao pendwa sana na bwana wao. + +# katika siku asiyotegemea + +"wakati mtumishi hamtegemei" + +# kumuweka katika sehemu pamoja na wasio waaminifu + +Inaweza kuwa na maana zifuatazo: 1) Ile hali ya bwana kutoa adhabu kali kwa mtumishi wake. 2) Hii inaelezea jinsi ambavyo mtumishi atakavyo vyongwa kama adhabu. + diff --git a/luk/12/47.md b/luk/12/47.md new file mode 100644 index 00000000..e1492d37 --- /dev/null +++ b/luk/12/47.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli inayounganisha + +Yesu alimaliza kuelezea mfano + +# atapigwa viboko vingi + +"atapigwa mara nyingi" au "atachapwa mara nyingi" ."bwana wake atampiga mara nyingi"au "bwana wake atamuadhibu sana" + +# kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake + +"watahitaji vingi kwa yeyote aliyepokea vingi" au " bwana atahitaji vingi kwa kila mmoja aliyempa vingi" + +# na yeye aliyeaminiwa kwa vingi + +"Kwa yule waliyempatia vitu vingi avitunze" au "kwa yule aliyepewa wajibu mkubwa" + +# aliyeaminiwa ...vitadaiwa + +"bwana alimkabidhi ..bwana atataka" + diff --git a/luk/12/49.md b/luk/12/49.md new file mode 100644 index 00000000..e9187542 --- /dev/null +++ b/luk/12/49.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli inayounganisha + +Yesu aliendelea kufundisha wanafunzi wake + +# Nimekuja kuwasha moto duniani + +"Nimekuja kutupa moto duniani" au "Nimekuja kuwasha moto duniani" . Inawsza kuwa na maama zifuatazo: 1) Yesu alikuja kuwahukumu watu 2) Yesu alikuja kuwatakasa wanaomuamini 3) Yesu alikuja kusababisha kugawanyika kwa watu. + +# natamani iwe imekwisha kuwaka + +Kuna msisitizo wa njisi alivyotaka hayo yatokee. " Natamani sana kuwa imeshawaka" au "Ni jinsi gani ninavyotamani iwe imeshaanza" + +# Lakini nina ubatizo ambao nitabatizwa kwayo + +"Ubatizo" ina maanisha aina ya mateso ambayo Yesu atapata. Kama maji yamfinikavyo mtu wakati wa ubatizo, mateso yatamkabili na kumpata Yesu. " Ni lazima nipitie mateso mabaya" au "Nitapitia katika mateso makubwa kama vile mtu anavyofunikwa na maji wakati wa ubatizo" + +# Lakini + +Neno "Lakini" linatumika kuonyesha kuwa hatawasha moto duniani mpaka kwanza apitie hayo mateso" + +# nina huzuni hadi ikamilike + +Mshangao inasisitiza jinsi alivyo na huzuni. "Nina huzuni sana na itaendelea kuwepo hadi nimalize ubatizo huu wa mateso" + diff --git a/luk/12/51.md b/luk/12/51.md new file mode 100644 index 00000000..ec354a0d --- /dev/null +++ b/luk/12/51.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Je mnafikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani? + +Yesu alitumia swali kufundisha wanafunzi wake. Watu walimtegemea Masiha awaletee amani kwa maadui wao. "Msifikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani" + +# lakini badala yake mgawanyiko + +" lakini nimekuja kuleta mgawanyiko" au "watu watakuwa wakigawanyika miongoni mwao kwa sababu nimekuja" + +# mgawaniko + +"uadui" au "kutoelewana" + +# kutakuwa na watu watano katika nyumba moja wamegawanyika + +Hii ni mfano wa aina ya mgawanyiko utakao kuwepo kwenye familia. + +# kutakuwa na watano katika nyumba moja + +kutakuwepo na watu watano katika nyumba moja + diff --git a/luk/12/54.md b/luk/12/54.md new file mode 100644 index 00000000..3c7495a3 --- /dev/null +++ b/luk/12/54.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli ya Jumla + +Yesu alianza kuonge na umati + +# Nyakati za mvua zimewadia + +"Mvua inakuja" au "Inaenda kunyesha" + +# nchi na anga + +"nchi na anga" au " hali ya hewa" + +# inakuwaje hamuwezi kutafsiri nyakati za leo? + +Yesu alitumia swali kukemea umati. "Mnatakiwa kujua namna ya kutafsiri nyakati za leo" + diff --git a/luk/12/57.md b/luk/12/57.md new file mode 100644 index 00000000..a7dfce71 --- /dev/null +++ b/luk/12/57.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwanini msihukumu yaliyo sahihi wenyewe? + +Yesu anatumia swali kukemea umati. Anafundisha namna ya kufanya jambo jema kabila ya kuchelewa. Ninyi wenyewe mwatakiwa kutambua yaliyo mema" + +# wenyewe + +"kwa utashi wenu" au "wakati bado mna muda wa kufanya hivyo" + +# Maana mkienda + +Japo Yesu alikuwa akiongea na umati, hali aliyokuwa anaiwasilisha ni ya mtu kupitia mwenyewe.. + +# kukubaliana na mshitaki wako + +"mkubaliane juu ya jambo na mshitaki wako" + +# hakimu + +Hili lina maanisha hakimu mkazi, lakini neno hili hap ni maalum zaidi na linatisha. + +# hatakutoa huko + +"hatakuruhusu wewe utoke huko" + diff --git a/luk/13/01.md b/luk/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..d7578c02 --- /dev/null +++ b/luk/13/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Unganisha maelezo: + +Yesu bado akizungumza mbele ya umati wa watu. Hii ni sehemu moja ya hadithi aliyoanza + +# Habari kwa ujumla: + +Katika aya hizi, baadhi ya watu katika umati walimuuliza Yesu swali na anaanza kujibu. + +# Wakati huo + +Msemo huu unajumuisha tukio hili hadi mwisho wa sura ya 12 wakati Yesu alikuwa akifundisha umati wa watu. + +# ambao damu Pilato kuchanganywa na sadaka yao wenyewe + +Hapa 'damu' inahusu kifo cha Wagalilaya. pengine Pilato akaamuru askari wake kuua watu badala ya kufanya hivyo mwenyewe. AT "ambaye askari wa Pilato waliuawa wakati Wagalilaya walipokuwa wakitoa dhabihu." + +# Unafikiri kwamba hawa Wagalilaya ni wenye dhambi + +....... + +# Hapana nawaaambia + +Hapa 'Nawaambia' nasisitiza 'hapana.' AT "Kwa hakika walikuwa si wenye dhambi" au "wewe unakosea kufikiri kwamba mateso yao yanathibitisha kwamba walikuwa wenye dhambi." + +# Nyinyi nyote mtaangamia kwa njia sawa + +"nyinyi nyote pia mtakufa. "Msemo" katika njia hiyo hiyo' ina maana wao watakuwa na uzoefu wa matokeo sawa, si kwamba watakufa kwa njia sawa. + +# kuangamia + +"kupoteza maisha yako " au "kufa" + diff --git a/luk/13/04.md b/luk/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..eef70546 --- /dev/null +++ b/luk/13/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Au wale + +Huu ni mfano wa pili wa Yesu kuhusu watu ambao walioteseka. AT "Au kuhusisha wale" au "Fikiria kuhusu wale." + +# watu kumi na nane + +"18 watu" + +# Siloamu + +Hili ni jina la eneo la Yerusalemu + +# unathani walikuwa wamepotelea dhambini + +'Walikuwa wenye dhambi zaidi' au "gani hii kuthibitisha kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi?' Yesu anatumia swali kufundisha watu. AT 'sidhani kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi + +# watu wengine + +"watu wengine" + +# Hapana nasema + +Hapa "Nasema" inasisitiza "Hapana" AT "Kwa hakika walikuwa si zaidi wenye dhambi" au 'Wewe ni unakosea kufikiri kwamba mateso yao yanathibitisha kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi." + +# angamia + +"Kupoteza maisha yako" au "kufa" + diff --git a/luk/13/06.md b/luk/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..7c55602c --- /dev/null +++ b/luk/13/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari za jumla + +Yesu anaanza kwa kuwaambia mfano kueleza kauli yake ya mwisho, "Lakini kama hamta tubu, nyote pia mtangamia." + +# Mtu mmoja alikuwa amepanda mti + +Mtu alikuwa amepanda mti + +# Miaka mitatu + +3 miaka + +# Kwani unaleta unaharibifu wa ardhi? + +mtu anatumia swali kusisitiza kwamba mti haina maana na mtunza bustan lazima aukata. AT "Je, si basi unaharibu ardhi". + diff --git a/luk/13/08.md b/luk/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..968aa7e4 --- /dev/null +++ b/luk/13/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuunganisha maelezo + +Yesu alimaliza kusimulia mfano wake. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambayo ilianza + +# Uache + +AT '"usiufanyie kitu chochote huu mti" au " usiukate" + +# na weka mbolea juu yake + +"na weka mbolea kwenye udongo." Mbolea ni kinyesi cha wanyama. Watu huiweka kwenye ardhi kufanya udongo kuwa mzuri kwa mimea na miti. + +# Ukate + +Mtumishi alitoa pendekezo; yeye hakuwa anatoa amri kwa mmiliki. AT "Ngoja niukate" au "Niambie niukata." + diff --git a/luk/13/10.md b/luk/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..49701965 --- /dev/null +++ b/luk/13/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari za jumla + +Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. aya hizi hutoa taarifa ziliyopita kuhusu mazingira ya sehemu hii ya hadithi na kuhusu mwanamke mlemavu aliyetambulishwa kwenye hadithi + +# Sasa + +neno hili ni alama ya sehemu mpya ya hadithi. + +# wakati wa Sabato + +"Siku ya Sabato." Baadhi ya lugha husema "Sabato" kwa sababu hatujui ambavyo hasa siku ya Sabato ilikuwa. + +# Tazama, mwanamke alikuwa huko + +Neno "tazama" hapa alerts sisi mtu mpya katika hadithi. + +# Miaka kumi na nane + +18 miaka + +# roho mbaya ya udhaifu + +"Roho mbaya kwamba ilimfanya yeye awe dhaifu" + diff --git a/luk/13/12.md b/luk/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..7d4bfe34 --- /dev/null +++ b/luk/13/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Umeponywa udhaifu wako + +"Wewe umeponywa kutokana na ugonjwa wako." Kwa kusema hivyo, Yesu alikuwa akifanya na kutokea. + +# Aliweka mikono yake juu yake + +Yeye alimgusa + +# yeye aliweza kujiinua + +AT "yeye alisimama moja kwa moja" + +# alichukizwa kwa sababu Yesu alikuwa amemponya + +AT "alikuwa na hasira kwa sababu Yesu amemponya" + +# akajibu na kusema + +"Alisema" au "alijibu" + +# Mje na muponywe kisha + +AT "njooni basi huponya wakati wa siku hizo sita" + diff --git a/luk/13/15.md b/luk/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..4ac02f2c --- /dev/null +++ b/luk/13/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bwana akamjibu + +"Bwana alijibu kwa mtawala wa sinagogi" + +# sio kila mmoja wenu kufungua punda wako ... Sabato? + +Yesu anatumia swali kuwafanya wao kufikiri juu ya kitu tayari walijua. AT 'Wewe kufungua punda wako ... Sabato." + +# Punda au Ng'ombe + +Hawa ni wanyama ambao watu kuwatunza kwa kuwapa maji. + +# Mtoto wa Ibrahimu + +AT "uzao wa Ibrahimu" + +# ambaye Shetani alimfunga + +AT "ambaye Shetani alimfanya kilema" au "ambaye Shetani alimfunga kwa ugonjwa huu" + +# miaka kumi na nane miaka mingi + +18 kwa miaka mingi. "neno "mrefu" hapa inasisitiza kuwa miaka kumi na minane ilikuwa muda mrefu sana kwa mwanamke kuteseka. Lugha nyingine wanaweza kuwa na njia nyingine ya kusisitiza hili. + +# lazima vifungo vyake asifunguliwe ... siku? + +Yesu anazungumza kuhusu ugonjwa wa wanawake kana kwamba ni kana kwamba amefungwa. AT "ni haki ya kumfungua yeye kutoka kwa Shetani ... siku" au "ni haki ya kutolewa yeye kutoka vifungo vya ugonjwa huu ... siku." + diff --git a/luk/13/17.md b/luk/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..544a5acf --- /dev/null +++ b/luk/13/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama alivyosema mambo hayo + +"'Wakati Yesu aliposema mambo hayo" + +# mambo ya ukufu aliyofanya + +"Mambo ya ukufu Yesu alikuwa akifanya" + diff --git a/luk/13/18.md b/luk/13/18.md new file mode 100644 index 00000000..e004e580 --- /dev/null +++ b/luk/13/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuunganisha maelezo + +Yesu alianza kwa kuwaambia mfano kwa watu katika sinagogi. + +# Ufalme wa Mungu unafanana na nini + +Yesu anatumia swali kutambulisha kile yeye kitamhusu kufundisha. AT "Mimi nitawaambia ufalme wa Mungu ni kama nini" + +# nini naweza kuulinganisha nacho + +Hii kimsingi ni sawa na swali lililopita. Yesu alitumia hilo kutambulisha nini ataweza kukizungumzia . Baadhi ya lugha wanaweza kutumia yote kwa ujumla, na baadhi kutumia moja tu. + +# Ni kama mbegu ya Haradali + +Mbegu ya haradali ni mbegu ndogo sana ambayo hukua katika mimea kubwa. Kama hii haijulikani, inaweza kutafsiriwa kwa jina la mbegu nyingine kama hiyo au rahisi kama "mbegu ndogo." + +# na huipanda Bustanini mwake + +na hupandwa katika bustani zao. ' Watu hupanda aina ya baadhi ya mbegu kwa kuzitupa ili waweze kuzitawanya katika bustani. + +# mti mkubwa + +Hii ni exaggeration ya kufanya hatua. AT 'kichaka kubwa sana.' + +# "Ndege wa angani" + +"Ndege wa angani." AT "ndege warukao angani" au "ndege". + diff --git a/luk/13/20.md b/luk/13/20.md new file mode 100644 index 00000000..695bf6f5 --- /dev/null +++ b/luk/13/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Unganisha maelezo + +Yesu alimaliza kuzungumza na watu katika sinagogi. Huu ni mwisho wa sehemu hii ya hadithi. + +# Kwa nini naweza kulinganisha Ufalme wa Mungu? + +Yesu anatumia swali jingine kutambulisha kile yeye ataweza kufundisha. + +# Ni kama chachu + +Kiasi kidogo tu cha chachu kilikua kinahitajika ili kufanya kiasi cha unga kuumuka . Hii inaweza kufanya wazi kama ilivyo katika UDB. + +# vipimo vitatu vya unga + +"kiasi kikubwa cha unga" au kwa muda kwamba utamaduni wako unatumia kwa kupima kiasi kikubwa cha unga. + diff --git a/luk/13/22.md b/luk/13/22.md new file mode 100644 index 00000000..e0b75793 --- /dev/null +++ b/luk/13/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari za jumla: + +Hii ni sehemu ya nyingine ya hadithi. Yesu anajibu swali kwa kuwaeleza mfano kuhusu kuingia ufalme wa Mungu + +# Yesu alitembelea kila mji na kijiji ... na kuwafundisha + +Hii ni taarifa zilizopita kwamba kutuambia nini Yesu alikuwa akifanya wakati tukio hili lilipotokea. + +# ni watu wachache tu watakao okolewa + +Mungu ataokoa watu wachache tu + +# pPmbana kuingia kwa kupitia mlango mwembamba + +"Fanya Kazi kwa bidii ili kupita njia ya mlango mwembamba." Yesu anazungumza kuhusu ufalme wa Mungu kana kwamba ni nyumba. Yesu anazungumza na kundi, "wewe" alisema katika amri hii ni wingi + diff --git a/luk/13/25.md b/luk/13/25.md new file mode 100644 index 00000000..9c82bb46 --- /dev/null +++ b/luk/13/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mmiliki wa nyumba + +Hii ina maana ya Mungu. AT "Mungu." + +# utakuwa umesimama nje + +Yesu alikuwa akizungumza na mkuta. mfumo wa "ninyi" ni wingi. Yeye aliwashughulikia wao kama vile hawataingia kwa kupitia mlango katika ufalme + +# Pound mlango + +"Kugonga kwenye mlango" + +# Ondokeni kwangu + +"Nenda mbali na mimi" + +# watenda maovu + +"watu wanaofanya uovu " + diff --git a/luk/13/28.md b/luk/13/28.md new file mode 100644 index 00000000..1c811533 --- /dev/null +++ b/luk/13/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Unganisha maelezo + +Yesu anaendelea kuzungumzia kuingia katika ufalme wa Mungu. Huu ni mwisho wa mazungumzo haya. + +# lakini nyinyi-nyinyi mulikuwa mutupwe nje + +"lakini ninyi wenyewe mulikuwa mutupwe nje." AT "Lakini Mungu atawafukuza nyinyi nje" + +# Wao watafika + +"Watu watakuja" + +# wa mwisho ni wakwanza + +Hii ni kuhusu heshima au umuhimu. AT "baadhi ambao ni muhimu angalau watakuwa muhimu zaidi'"au "baadhi ambaye watu hawata mheshima, Mungu atamheshimu." + diff --git a/luk/13/31.md b/luk/13/31.md new file mode 100644 index 00000000..65529f39 --- /dev/null +++ b/luk/13/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuunganisha Maelezo + +Kuunganisha Maelezo Hili ni tukio la lingine katika sehemu hii ya hadithi. Yesu bado yupo njia kuelekea Yerusalemu, wakati baadhi ya Mafarisayo wakizungumza naye kuhusu Herode. + +# Muda mfupi baadae + +'"Muda mfupi baada ya Yesu alipomaliza kusema" + +# Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua + +Tafsiri hii kama onyo kwa Yesu. Walikuwa wakitoa ushauri aende mahali pengine na kuwa salama. + +# Herode anataka kukuua + +Herode ataagiza watu kumuua Yesu. AT "Herode anataka kupeleka watu wake kuua wewe." + +# yule mbweha + +Yesu alimuita Herode mbweha. Mbweha ni mbwa porini mdogo. Maana inawezekana ni 1) Herode hakuwa tishio kubwa wakati wote 2) Herode alikuwa mdanganyifu + +# siku ya tatu + +Angalia: + +# haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu + +Viongozi wa Wayahudi waliua manabii wengi wa Mungu katika Yerusalemu na Yesu alijua kwamba wangeweza kumuua huko pia. AT "ni katika Jerusalem kwamba viongozi wa Wayahudi huwaua wajumbe wa Mungu." + diff --git a/luk/13/34.md b/luk/13/34.md new file mode 100644 index 00000000..1d203538 --- /dev/null +++ b/luk/13/34.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kuunganisha maelezo: + +Yesu alimaliza kukabiliana na Mafarisayo. Hii ni mwisho wa sehemu hii ya hadithi. + +# Yerusalemu, Yerusalemu + +esu anazungumza kana kwamba watu wa Yerusalemu walikuwa huko kumsikiliza. Yesu alisema hii mara mbili ili kuonyesha jinsi alikuwa akisikitisha kwa ajili yao + +# mnawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu + +Kama itakuwa ni ajabu kushughulikia mji, unaweza kufanya wazi kwamba Yesu kwa kweli akihutubia watu katika mji "wewe watu wanaowaua manabii na kuwapiga mawe wale Mungu aliwatumwa kwenu" + +# kuwakusanya watoto wako + +"Kukusanya watu wako" au 'kukusanya wewe" + +# kwa jinsi kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake + +Hii inaelezea jinsi kuku inalinda vifaranga wake kutokana na madhara kwa kufunika wao kwa mbawa zake + +# nyumba yenu imetelekezwa + +Hii inaelezea jinsi kuku inalinda vifaranga wake kutokana na madhara kwa kuwafunika wao kwa mbawa zake.Maana inawezekana ni 1) "Mungu amekuacha" au 2) "mji yako ni tupu." Inamaana kwamba Mungu ameacha kulinda watu wa Yerusalemu, hata maadui wanaweza kuwashambulia na kuwafukuza. Huu ni unabii kuhusu jambo ambalo lingetokea hivi karibuni. AT "nyumba yako itakuwa imetelekezwa' au 'Mungu atawaacha ninyi." + +# huwezi kuniona mimi hadi mtakaposema + +"Huwezi kuniona mpaka wakati unakuja wakati utasema" au "wakati mwingine utakaponiona, utasema" + +# JIna la bwana + +Hapa "jina" inahusu nguvu na mamlaka ya Bwana + diff --git a/luk/14/01.md b/luk/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..ba5d603d --- /dev/null +++ b/luk/14/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Leo ni Sabato na Yesu yuko nyumbani kwa Mfarisayo. Mstari wa 1 huwapa kutumia taarifa za msingi kuhusu mazingira ya hadithi. + +# kula mkate + +"Kula" au "kwa ajili ya chakula." Mkate ilikuwa ni sehemu ya mlo na hutumiwa katika adhabu hii kwa kutaja mlo. + +# kumuangali yeye kwa karibu + +Walitaka kuona kama wangeweza kumshtaki kufanya kitu chochote kibaya. + +# Tazama, kuna mbele yake alikuwa ni mtu + +Neno "tazama" hutahadharisha sisi kwa mtu mpya katika hadithi. lugha yako inaweza kuwa njia ya kufanya hili. kiingeleza anatumia "Kuna mbele yake alikuwa mtu." + +# alikuwa akisumbuliwa na uvimbe + +Uvimbe ni uvimbe unaotokana na ujenzi wa maji hadi katika sehemu za mwili. Baadhi ya lugha inaweza kuwa na jina kwa hali hii. AT "alikuwa akisumbuliwa kwa sababu sehemu ya mwili wake ilikuwa na uvimbe wa maji" + +# Je, ni halali kumponya... siyo? + +"Je, sheria kibali chetu sio kuponya...? + diff --git a/luk/14/04.md b/luk/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..7b67b901 --- /dev/null +++ b/luk/14/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini wao wakanyamaza + +viongozi wa dini walikataa kujibu swali la Yesu. + +# Ni nani kati yenu ambaye ana mwana au ng'ombe ... haitakua mara moja kumvuta yeye nje? + +Yesu anatumia swali kwa sababu yeye aliwataka kukubali kwamba wao wangemsaidia mtoto wao au ng'ombe, hata siku ya Sabato. Kwa hiyo, ilikuwa haki kwa yaye kuponya watu hata siku ya Sabato. AT "Kama mmoja wenu ana mwana au ng'ombe ... wewe bila ya shaka utamvuta yeye nje mara moja." + +# Wao hawakuwa na uwezo wa kutoa jibu + +Walijua jibu na kwamba Yesu alikuwa sahihi, lakini hawakutaka kusema chochote kuhusu hilo. AT "Walikuwa hawana kitu cha kusema." + diff --git a/luk/14/07.md b/luk/14/07.md new file mode 100644 index 00000000..da2d105c --- /dev/null +++ b/luk/14/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wale walioalikwa + +AT "wale ambao ni viongozi wa Mafarisayo walikuwa wamelikwa kwenye mlo" + +# viti vya heshima + +"Viti kwa ajili ya watu wakuheshimiwa" au"'viti kwa ajili ya watu muhimu" + +# Wakati wewe umealikwa na mtu + +AT "Wakati mtu anapokualika" + +# kwa sababu mtu anaweza kuwa amemualika ambaye ni wakuheshimiwa zaidi kuliko wewe + +AT "kwa sababu mtu anaweza kuwa amamualika mtu ambaye ni muhimu zaidi kuliko wewe" + +# na kisha kwa aibu + +"Basi utajisikia aibu na" + diff --git a/luk/14/10.md b/luk/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..8d204146 --- /dev/null +++ b/luk/14/10.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kuunganisha maelezo + +Jesus continues speaking to the people at the Pharisee's house. + +# Unapoalikwa + +AT "wakati mtu anakualika kwenye mlo" + +# mahali pa chini zaidi + +"Kiti maana ya mtu angalau muhimu" + +# kwenda juu zaidi + +"sogea kwenye kiti kwaajiri ya watu muhimu zaidi" + +# Basi utakuwa wakuheshimiwa + +AT "Kisha mmoja ambaye aliyekualika wewe atakuheshimu" + +# ambae anajiinu nafsi yake + +"Anajaribu kuangalia muhimu" au "ambaye anachukua nafasi muhimu" + +# anayejinyenyekeza + +"atakuwa ameonyesha kuwa duni" au "atapewa nafasi isiyomuhimu." au "Mungu atakayejinyenyekeza.' + +# anayejinyenyekeza + +"Ambaye amechagua kuangalia isiyo muhimu" au "ambaye amechukua nafasi isiyo muhimu" + +# atainuliwa + +"Itakuwa inaonyesha kuwa muhimu" au "atapewa nafasi muhimu." AT 'Mungu atawainua." + diff --git a/luk/14/12.md b/luk/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..0201a8a3 --- /dev/null +++ b/luk/14/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama wao wanaweza + +"Kwa sababu wao wanaweza" + +# na wewe atalipwa + +AT "na kwa njia hii kukulipa" + diff --git a/luk/14/13.md b/luk/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..7d799c42 --- /dev/null +++ b/luk/14/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Unganisha maelezo + +Yesu anaendelea kuzungumza na Mfarisayo aliyemwalika nyumbani kwake. + +# nawe utakuwa heri + +AT"'Mungu atakubariki" + +# hawawezi kukulipa + +AT "hawawezi kuwakaribisha karamu katika kurudi" + +# maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki + +AT "Mungu atakulipa wakati yeye huleta watu wema nyuma ya maisha" + diff --git a/luk/14/15.md b/luk/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..6a85039a --- /dev/null +++ b/luk/14/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari za jumla + +Mmoja wa watu katika meza anaongea na Yesu na Yesu anajibu kwa kuwaeleza mfano + +# Heri yeye + +mtu alikuwa si akizungumza juu ya mtu fulani. AT "Amebarikiwa mtu yeyote ambaye" au" Jinsi nzuri ni kwa kila mtu. " + +# yeyeto atakae kula mkate + +neno "mkate" hutumika kwa kutaja mlo mzima" AT "ambao kula katika mlo." + +# Lakini Yesu akamuambia + +Yesu akaanza kuelezea mfano + +# Wakati chakula cha jioni kikiwa kimeandaliwa + +AT "Wakati huo kwa chakula cha jioni" au "Wakati chakula cha jioni kikiwa tayari kuanza" + +# wale walioalikwa + +AT "wale waliokuwa wamealikwa" + diff --git a/luk/14/18.md b/luk/14/18.md new file mode 100644 index 00000000..c3fa0bb0 --- /dev/null +++ b/luk/14/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kuunganisha maelezo + +Yesu anaendelea kusema mfano wake. + +# Habari za jumla + +Watu wote ambao walialikwa na mtumishi wakampa udhuru kuhusu ni kwanini hawakuweza kuja kwenye karamu + +# kufanya udhuru + +"Kusema kwa nini hawakuweza kuja chakula cha jioni" + +# Tafadhali udhuru kwangu + +"Tafadhali nisamehe' au 'Tafadhali kubali msamaha wangu" + +# jozi tano za ng'ombe + +AT "10 ng'ombe kufanya kazi katika mashamba yangu" + +# Kuoa mke + +tumizi kujieleza ambako ni asili katika lugha yako. Baadhi ya lugha wanaweza kusema "wamezipata ndoa'"au "kuchukuliwa mke." + diff --git a/luk/14/21.md b/luk/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..5ab2a346 --- /dev/null +++ b/luk/14/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alikasirika + +"Akawa na hasira na watu waliokuwa wamealikwa" + +# mtumishi akasema + +Inaweza kuwa muhimu na hali wazi kulisema taarifa ambazo mtumishi alifanya nini bwana amemwagiza. AT "Baada mtumishi akatoka na alifanya hivyo, yeye akarudi na kusema." + +# nini uliamuli kimekuwa + +AT "Nimefanya nini aliamuru" + diff --git a/luk/14/23.md b/luk/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..3569c2fd --- /dev/null +++ b/luk/14/23.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kuunganisha maelezo + +Yesu alimaliza mfano wake. + +# barabarani na mipakani + +Hii ina maana ya barabara na njia nje ya mji. AT "barabara kuu na njia nje ya mji." + +# kuwatawalia + +Aliwadai + +# ile nyumba yangu inaweza kujaa + +"Ili watu wanaweza kuijaza nyumba yangu" + +# kwa nilicho waambia + +Neno "wewe" linamhusu mtumishi. + +# wale watu + +neno hapa kwa "watu" linamaanisha "wanaume watu wazima" na si tu watu kwa ujumla + +# ambao walikuwa wa kwanza kualikwa + +"Ambaye mimi nilimulika wakwanza" + +# utaonja chakula changu cha jioni + +"Kufurahia chakula cha jioni Nimetengeneza" + diff --git a/luk/14/25.md b/luk/14/25.md new file mode 100644 index 00000000..c60b9124 --- /dev/null +++ b/luk/14/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari za ujumla + +Yesu anaanza kufundisha umati wa watu ambao walikuwa safarini pamoja naye. + +# Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake mwenyewe ... hawezi kuwa mwanafunzi wangu + +Hapa, "chuki' ni exaggeration kuonyesha jinsi muhimu ni kumpenda Yesu zaidi kuliko mtu mwingine. AT "Kama mtu akija kwangu na hanipenda mimi zaidi kuliko yeye anavyompenda baba yake ... hawezi kuwa mwanafunzi wangu" au "Tu kama mtu ananipenda mimi zaidi kuliko yeye anayempenda baba yake mwenyewe ... hawezi kuwa mwanafunzi wangu" + +# ndiyo, na nafsi yake mwenyewe + +"Na hata nafsi yake mwenyewe" + +# Mtu asipochukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu + +AT "Kama mtu anataka kuwa mwanafunzi wangu, ni lazima kubeba msalaba wake na kunifuata" + +# kubeba msalaba wake mwenyewe + +Warumi mara nyingi walimfanya mtu kubeba msalaba wake kabla walipomsulubisha. Yesu hamaanishi kila Mkristo ni lazima asulubiwe. Yeye anamaana wao lazima kuwa tayari kuteseka kwa njia yoyote kuwa wanafunzi wake. + diff --git a/luk/14/28.md b/luk/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..7e5675b0 --- /dev/null +++ b/luk/14/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maana ni nani katika ninyi, ambaye anatamani kujenga mnara, hatakaa chini kwanza akadirie gharama kwa mahesabu kama ana kile anachohitaji ili kukamilisha hilo? + +Yesu anatumia swali kupata watu kufikiri juu ya nini wangeweza kufanya katika hali fulani. AT "Kama mtu alitaka kujenga mnara, bila ya shaka kwanza kukaa chini na kuamua kama alikuwa na fedha za kutosha kukamilisha hilo." + +# Mnara + +Hii inaweza kuwa mnara katika shamba lake. AT "jengo refu" au "sehemu ya juu ya jukwaa." + +# baada ya kuweka msingi + +"Wakati yeye imejenga msingi." AT "wakati yeye anaanza kujenga" + diff --git a/luk/14/31.md b/luk/14/31.md new file mode 100644 index 00000000..2ca1f4eb --- /dev/null +++ b/luk/14/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Au + +Yesu alitumia neno hili kuanzisha hali nyingine ambapo watu kuhesabu gharama kabla ya kufanya uamuzi. + +# nini mfalme ... si kukaa chini kwanza na kuchukua ushauri ... wanaume? + +Yesu anatumia swali jingine kufundisha umati wa watu. AT "unajua kwamba mfalme ... bila kukaa chini kwanza na kuchukua shauri ... wanaume." + +# kuchukua ushauri + +Maana inawezekana ni 1) "kufikiri kwa makini kuhusu" au 2) "kumsikiliza washauri wake." + +# Kumi elfu ... Ishirini elfu + +"10,000...20,000" + +# Na kama si + +"Na kama yeye anatambua kwamba yeye hakuwa na uwezo wa kumshinda mfalme wengine" + +# yeyote kati yenu ambaye hataacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu + +wale tu kati yenu ambao wataacha vyote walivyo navyo wanaweza kuwa wanafunzi wangu + +# Kuacha vyote alivyo navyo + +Kuacha nyuma vyote alivyo navyo + diff --git a/luk/14/34.md b/luk/14/34.md new file mode 100644 index 00000000..0e5d2a5e --- /dev/null +++ b/luk/14/34.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kuunganisha maelezo + +Yesu anamalizia kufundisha umati wa watu. + +# Chumvi ni nzuri + +"Chumvi ni muhimu." Yesu anafundisha somo juu ya wale ambao wanataka kuwa wanafunzi wake. + +# vipi inaweza kufanyika kuwa chumvi tena? + +Yesu anatumia swali kufundisha umati wa watu. AT "hawezi kuwa chumvi tena" au " hakuna anaeweza kuifanya kuwa chumvi tena" + +# mbolea + +Watu kutumia mbolea ku rutubisha bustani na mashamba. Chumvi bila ladha ni haina maana ni haina hata thamani ya kuchanganywa na mbolea. AT "lundo la mbolea' au 'mbolea." + +# Ni kutupwa mbali + +AT "Mtu kuitupilia mbali" + +# Yeye aliye na masikio ya kusikia, na asikie + +AT "Kama una masikio ya kusikia, kusikiliza vizuri" au "Kama unasikia ninachosema, kuwa makini" + +# Yeye aliye na masikio ya kusikia + +"Yeyote anaweza kusikia" au "Mtu anikisikia mimi" + +# basi naye asikie + +"basi naye asikilize vizuri" au "basi naye awe makini kwa kile nisemacho" + diff --git a/luk/15/01.md b/luk/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..4d22df6e --- /dev/null +++ b/luk/15/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari kwa ujumla + +Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Hatujui sehemu ambapo haya yalijir; ni tu siku moja wakati Yesu alikuwa akifundisha. + +# Sasa + +hii ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. + +# Mtu huyu anakaribisha wenye dhambi + +"Mtu huyu amaleta wenye dhambi mbele yake" au "Mtu huyu ameshiriki na wenye dhambi" + +# Mtu huyu + +Walikuwa wakizungumza kuhusu Yesu. + +# hata anakula nao + +neno "hata" inaonyesha kwamba wao walidhani ilikuwa mbaya kwamba Yesu kuruhusu wenye dhambi kuja kwake, lakini ilikuwa mbaya zaidi kwamba angeweza kula pamoja nao. + +# Watoza ushuru wote. + +Hii ni kusisitiza kuwa kulikuwa na watu wengi sana. "watoza ushuru wengi" + diff --git a/luk/15/03.md b/luk/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..e26e45a6 --- /dev/null +++ b/luk/15/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yesu anaanza kwa kuwaambia mifano kadhaa. mfano wa kwanza ni kuhusu mtu na kondoo wake. + +# kwao + +Hapa "wao" inamaanisha viongozi wa dini. + +# Nani kati yenu ... mpaka ampate? + +Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba kama yeyote kati yao akipoteza mmoja wa kondoo wake, wataenda kumtafuta. Baadhi ya lugha na njia za kuonyesha kwamba hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mtu fulani ambaye amepoteza kondoo. + +# Nani kati yenu, kama ana kondoo mia + +Kwakua mfano umeanza na "Nani kati yenu," baadhi ya lugha zingeendeleza mfano katika mtu wa pili. "Tuseme mmoja wenu, kama ana kondoo mia" + +# mia ... tisini na tisa + +tisa "100 ... 99" + +# Nani kati yenu ... hata waacha... mpaka ampate? + +Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba kama mmoja kati yao wamepoteza mmoja wa kondoo zao, wao bila ya shaka huenda kumtafuta. "Kila mtu ... bila ya shaka huondoka ... mpaka ampate." Baadhi ya lugha na njia za kuonyesha kwamba hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mtu fulani ambaye amepoteza kondoo. + +# mia ... tisini na tisa + +tisa "100 ... 99" + +# kumlaza mabegani mwake + +Hii ilikuwa njia ambayo wachungaji walibeba kondoo. Hii inaweza kusemwa "kumlaza mabegani mwake na kumbeba nyumbani" + diff --git a/luk/15/06.md b/luk/15/06.md new file mode 100644 index 00000000..a7c8ecff --- /dev/null +++ b/luk/15/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wakati anakuja nyumbani + +"Wakati mmiliki wa kondoo anakuja nyumbani" au "Wakati umefika nyumbani". Rejea mmiliki wa kondoo kama alivyofanya katika mstari uliopita. + +# hata hivyo + +"katika njia sawa" au "kama mchungaji na marafiki na majirani wangefurahia" + +# kutakuwa na furaha mbinguni + +"kila mtu mbinguni atafurahi" + +# wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu + +wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu. Yesu hakuwa akisema kwamba kweli kuna watu wenye haki. Anamaanisha watu ambao wanadhani ni wenye haki, ila sio. "Watu 99 ambao wanadhani kwamba wao ni wenye haki na hawana haja ya kutubu." + +# watu tisini na tisa wenye haki + +watu tisini na tisa wenye haki "watu 99 wema" + +# zaidi ya watu wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu. + +watu wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu Hii haina maana kwamba Mungu hana radhi kwa wale wanaomtii anachukua furaha kubwa ndani yao. Lakini furaha mbinguni kwa wakati mtu anaokolewa kutoka dhambini ni hata furaha zaidi! + +# hawana haja ya kutubu + +Hii haina maana kwamba waumini hawana haja ya kutubu wote wanahitaji kufanya. + diff --git a/luk/15/08.md b/luk/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..7b7a92a6 --- /dev/null +++ b/luk/15/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu mwanamke na shilingi kumi. + +# Au mwanamke gani ... hatawasha taa ... na kutafuta kwa bidii hata aipate? + +Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba yeyote kati yao akipoteza safara ya fedha, bila shaka ataanza kuitafuta kwa bidii. + +# Mwanamke gan. + +Hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mwanamke halisi. Baadhi ya lugha ina njia ya kuonesha hili. + +# Hata hivyo + +"Kwa njia hiyo hiyo" au "Kama vile watu hushangilia pamoja na mwanamke" + +# mwenye dhambi mmoja anayetubu + +"wakati mwenye dhambi mmoja akitubu" + +# Au mwanamke gani ... hatawasha taa ... na kutafuta kwa bidii hata aipate? + +Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba yeyote kati yao akipoteza safara ya fedha, bila shaka ataanza kuitafuta kwa bidii. "Mwanamke yeyote ... bila ya shaka atawasha taa ... na kutafuta kwa bidii hata aipate" + +# Kama alikua apoteze + +Hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mwanamke halisi. Baadhi ya lugha na njia ya kuonesha hili. + diff --git a/luk/15/11.md b/luk/15/11.md new file mode 100644 index 00000000..54304991 --- /dev/null +++ b/luk/15/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu kijana ambaye anamuomba baba yake sehemu ya urithi wake. + +# Mtu mmoja + +hii ni utangulizi wa mtu mwingine katika mfano. Baadhi ya lugha zinaweza kusema "Kulikuwa na mtu ambaye" + +# nipe saiv + +mwana alitaka baba yake ampe haraka. Lugha ambazo zina njia ya amri hiyo ina maana kwamba wanataka iyo ifanyike mara moja unapaswa kutumia njia hiyo. + +# mali ninayo takiwa kurithi + +"sehemu ya mali yako kwamba ulipanga kunipa mimi wakati wewe ukifa" + +# nipe + +mwana alitaka baba yake ampe haraka. Lugha ambazo zina njia ya amri hiyo ina maana kwamba wanataka iyo ifanyike mara moja unapaswa kutumia njia hiyo. + +# sehemu ya mali ambayo inaniangukia mimi + +"sehemu ya mali yako kwamba ulipanga kunipa mimi wakati wewe ukifa" + +# kati yao + +"kati ya wanawe wawili" + diff --git a/luk/15/13.md b/luk/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..f871aac9 --- /dev/null +++ b/luk/15/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakakusanya wote aliokua anawadai + +"akakusanya vitu vyake" au "kuweka mambo yake katika mfuko wake" + +# kununua vitu asivyo vihitaji, na kupoteza pesa yake juu ya maisha ya anasa + +"kwa kutumia fedha yake yote juu ya vitu asivyo vihitaji" + +# njaa kali ikaenea nchini kote + +"ukame ukatokea huko na nchi nzima haikuwa na chakula cha kutosha" + +# Sasa + +Neno hili limetumika hapa kuadhimisha mapumziko katika hadithi kuu. Hapa Yesu anaeleza jinsi yule mdogo akaenda kutoka kuwa na mengi hadi kuwa katika uhitaji. + +# kuwa katika mahitaji + +"kukosa kile anachokihitaji" au "kutokua na yakutosha" + +# maisha ya anasa + +"kuishi bila kufikiria" + diff --git a/luk/15/15.md b/luk/15/15.md new file mode 100644 index 00000000..d78944af --- /dev/null +++ b/luk/15/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Alikwenda + +inahusu yule mdogo. + +# Kujitoa kiajira + +"alichukua kazi kwa" au "alianza kufanya kazi kwa ajili ya" + +# moja wa mwananchi wa nchi ile + +"mtu wa nchi hiyo" + +# kulisha nguruwe + +"kuwapa chakula nguruwe wa mtu yule" + +# angefuraia kula + +"alitaka sana kwamba angeweza kula." Ina eleweka kwamba hii ni kwa sababu alikuwa na njaa sana. Hii inaweza kuwa alisema. "alikuwa na njaa ambayo angefurahia kula" + +# maganda ya maharage + +Haya ni maganda ya maharagwe kwamba kukua juu ya mti ....... "maganda ......" au "maganda" au "maganda ya maharage " + diff --git a/luk/15/17.md b/luk/15/17.md new file mode 100644 index 00000000..041dc9ee --- /dev/null +++ b/luk/15/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# alipopata ufahamu + +msemo huu una maana "akili yake kurejea." "kueleweka vizuri hali yake" + +# Ni watumishi wangapi wa baba yangu wanaokula chakula cha kutosha + +Hii ni sehemu ya mshangao, na si swali. "watumwa wa baba yangu wote wanachakula cha kutosha kula" + +# kufa kutokana na njaa + +Hii pengine si kukisia. Kijana anaweza kweli kuwa amekuwa na njaa. + +# Nimefanya dhambi dhidi ya mbingun + +Wayahudi wakati mwingine walikua wanaepuka kusema neno "Mungu" na walitumia neno "mbinguni" badala yake. "Mimi nimemkosea Mungu," + +# Sistahili hata kuitwa mwanao + +"Mimi sistahili hata kuitwa mwanao." Hii inaweza kusemwa "Mimi sistahili wewe uniite mwanao" + +# sistahili tena + +"tena sistahili" Ina maana kwamba katika siku za nyuma alikuwa anastahili, lakini sasa hastahili. + +# nifanye kama mmoja wa watumishi wako + +"niajiri kama mfanyakazi wako" au "niajiri nami nitakua mmoja wa wafanya kazi wako" Hili ni ombi, si amri. Na inaweza kuwa na manufaa kwa kuongeza "tafadhali" kama UDB ilivyo fanya. + diff --git a/luk/15/20.md b/luk/15/20.md new file mode 100644 index 00000000..430f3902 --- /dev/null +++ b/luk/15/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hivyo mwana mdogo akaondoka na akaja kwa baba yake + +"Hivyo aliondoka nchini na kuanza kurudi kwa baba yake." neno "hivyo" linaweka alama tukio hilo kuwa lilichotokea kwa sababu ya kitu kingine kwamba kilichotokea kwanza. Katika kesi hiyo, kijana alikuwa katika haja na aliamua kwenda nyumbani. + +# aliwaonea huruma + +"alikuwa na huruma juu yake" au "alimpenda saana kutoka moyoni mwake" + +# kumkumbatia na kumbusu + +baba alifanya hivyo ili kumuonyesha mwanawe kuwa yeye alimpenda na alikuwa na furaha kwamba mwana alikuwa anakuja nyumbani. Kama watu wanadhani kwamba ni vigumu au ni vibaya kwa mtu kumkumbatia na kumbusu mtoto wake, unaweza kubadilisha na kuweka njia ambayo wanaume katika utamaduni wako huonyesha upendo kwa watoto wao. + +# mbele yako + +Hii ina maana "katika uwepo wako" au "dhidi yeko" + +# Alipokuwa bado mbali + +"Alipokuwa bado mbali sana na nyumbani kwake" au "Alipokuwa bado mbali sana na nyumbani kwa baba yake" + +# Sistahili kuitwa mwanao + +Tazama 15:17 + diff --git a/luk/15/22.md b/luk/15/22.md new file mode 100644 index 00000000..b110e656 --- /dev/null +++ b/luk/15/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# joho bora + +"vazi bora katika nyumba." "koti bora" au "vazi bora" + +# weka pete kidoleni + +pete ilikuwa ni ishara ya mamlaka ambayo wanaume walivaa kwenye moja ya vidole vyao. + +# viatu + +Watu matajiri wa wakati huo walivaa viatu. Hata hivyo, katika tamaduni nyingi za kisasa itakuwa "viatu." + +# ndama aliyenona + +ndama ni ng'ombe mdogo. Watu huwapa ndama moja ya chakula maalum ili aweze kukua vizuri, na kisha wakati wao humla huyo ndama siku wakitaka kuwa na sikukuu maalum "ndama bora" au "wanyama wadogo tumekuwa tukiwafanya wanenepe" + +# na kumchinja + +maelezo yanaonyesha kuwa walikuwa wanapaswa kupika nyama zinaweza kufanywa safi. "na kumchinja na kuipika." + +# mwanangu alikuwa amekufa, na sasa yeye yu hai + +Mfano huu unamuongelea mwana kuenda kana kwamba alikua amekufa.: "ni kama mwanangu alikuwa amekufa na akawa hai tena" au "nilihisi kama mwanangu alikuwa amekufa, lakini yeye sasa yu hai" + +# Alikuwa amepotea, na sasa kapatikana + +Mfano huu unasema mwana kuwa wamekwenda kana kwamba alikuwa amepotea. "Ni kana kwamba mwanangu alikuwa amepotea na sasa nimemuona au "Mwanangu alikuwa amepotea na amerejea nyumbani" + +# kumchinja + +maelezo yanaonyesha kuwa walikuwa wapike nyama na kuwekwa wazi.: "kumchinja na kumpika" + diff --git a/luk/15/25.md b/luk/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..fe948180 --- /dev/null +++ b/luk/15/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Neno hili limetumika hapa kuadhimisha mapumziko katika habari kuu. Hapa Yesu anaanza kwa kuwaambia sehemu mpya ya hadithi kuhusu mwana mkubwa. + +# mtumishi + +neno lililotafsiriwa hapa kama "mtumishi" ni kawaida kutafsiriwa kama "kijana." inaweza kuonyesha kwamba mtumishi alikua mdogo sana. + +# mambo haya yanaweka yakawa nini + +"nini kinatokea" + +# nje katika shamba + +Inasemekana akilua shabani kwasababu alikua anafanya kazi uko. + +# mwana kondoo alie nona + +Tazama 15:22 + diff --git a/luk/15/28.md b/luk/15/28.md new file mode 100644 index 00000000..4db88f42 --- /dev/null +++ b/luk/15/28.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kamwe usivunje sheria yako + +"kamwe usiasi sheria yako yoyote" au "daima tii kila kitu ulichoniambia nifanya" + +# na sikukuu + +"kusherehekea" + +# mwanao + +"yule mwana wako" mwana mkubwa alikua anamaanisha ndugu yake kwa njia hii ili kuonyesha jinsi gani anahasira. + +# aliyekula mali yako pamoja na makahaba + +"kupoteza utajiri wako wote juu ya makahaba" au "kutupa mbali fedha yako yote kwa kuwalipa makahaba." Maana inawezekana ni 1) alifikiria hivi ndivyo ndugu yake alitumia fedha au 2) anatumia mafumbo kwa makusudi kukuza dhambi za ndugu yake. + +# hii miaka mingi + +"kwa miaka mingi" + +# Mimi nimetumika kwa ajili yenu + +"Nimefanya kazi kwanguvu kwaajili yako" au "nimefanya kazi kwa bidii kama mtumwa kwa ajili yako" + +# mwana mbuzi + +mwana mbuzi ilikuwa mdogo na sio ghali kuliko ndama aliye nona. "hata mwana mbuzi" + +# mwana kondoo alie nona + +Tazama 15:22 + diff --git a/luk/15/31.md b/luk/15/31.md new file mode 100644 index 00000000..9c91953e --- /dev/null +++ b/luk/15/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# baba akamwambia + +neno "yake" inahusu mwana mkubwa. + +# huyu ndugu yako + +baba alikuwa anamkumbusha mwana mkubwa kwamba mtu ambaye alikuja nyumbani alikuwa ndugu yake. + +# Alikua amekufa, na sasa yu hai + +Tazama 15:22 + +# Alikua amepotea na sasa amepatikana + +Tazama 15:24 + diff --git a/luk/16/01.md b/luk/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..052da045 --- /dev/null +++ b/luk/16/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu bwana na wakili wa wadaiwa wake. Hii bado ni sehemu moja ya hadithi na siku hiyo hiyo ambayo ilianza katika + +# Yesu aliwaambia wanafunzi + +sehemu ya mwisho ilikuwa ilivyoagizwa kwa Mafarisayo na waandishi, ingawa wanafunzi wa Yesu walikua sehemu ya umati wakisikiliza. + +# Kulikuwa na mtu mmoja tajiri + +huu ni utangulizi wa mhusika mpya katika mfano. + +# iliripotiwa kwake + +Hii inaweza alisema kama "Watu waliripoti kwa tajiri" + +# kufuja mali yake + +"kutumia mali ya tajiri kipumbavu" + +# Ni nini hii ninayosikia juu yako? + +Tajiri anatumia swali kumkemea wakili. "Nimesikia nini unafanya" + +# Kutoa hesabu ya usimamizi wako + +"panga rekodo zako ili kumkabidhi mtu mwingine" au "Andaa rekodi uliyo andika kuhusu fedha yangu" + diff --git a/luk/16/03.md b/luk/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..b62ea2ea --- /dev/null +++ b/luk/16/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nifanye nini ... kazi? + +wakili anauliza kwa hiari yake mwenyewe, kama njia ya kupitia upya chaguzi zake. + +# bwana wangu + +Hii ina maana ya mtu tajiri. Wakili hakuwa mtumwa. "mwajiri wangu" + +# Sina nguvu kuchimba + +"Mimi sina nguvu za kulima ardhi" au "Sina uwezo wa kuchimba" + +# wakati nikiondolewa kutoka kwenye kazi yangu ya usimamizi + +hii inaweza kusemwa "wakati nikipoteza kazi yangu ya usimamizi" au "wakati bwana wangu inachukua mbali usimamizi wangu kazi" + +# Nifanye nini ... kazi? + +meneja anauliza kwa hiari yake mwenyewe, kama njia ya kupitia upya chaguzi zake. "Inabidi nifikirie kuhusu nini nitafanya...kazi" + +# Watu wata nikaribisha katika nyumba zao + +Hii ina maana kwamba watu hao watatoa kazi, au mambo mengine ambayo anayahitaji ili aishi. + diff --git a/luk/16/05.md b/luk/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..a8e51e66 --- /dev/null +++ b/luk/16/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# wadeni wa bwana wake + +"watu ambao walikuwa katika madeni kwa bwana wake" au "watu ambao wanadaiwa kitu na bwana wake." Katika hadithi hii wadaiwa wanadaiwa mafuta na ngano. + +# Alisema ... Naye akamwambia + +"mdaiwa alisema ... Na wakili akamwambia mdaiwa" + +# Mapipa mia ya mafuta + +Haya yalikuwa yapata lita 3,000 ya mafuta. + +# mia ... hamsini ... themanini + +"100 ... 50 ... 80" + +# vipimo mia vya ngano + +Hii ilikuwa yapata vikapu elfu vya ngano. + +# Wakili akamwambia mtu mwingine ... Alisema ... Naye akamwambia + +"wakili akamwambia mdaiwa mwingine ... mdaiwa alisema ... wakili akamwambia mdaiwa" + +# Alisema ... Naye akamwambia + +"mdaiwa alisema ... Na meneja akamwambia mdaiwa" + +# mia ... hamsini ... themanini + +"100 ... 50 ... 80" + +# Wakili akamwambia mtu mwingine ... Alisema ... Naye akamwambia + +"wakili akamwambia mdaiwa mwingine ... mdaiwa alisema ... wakili akamwambia mdaiwa" + diff --git a/luk/16/08.md b/luk/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..be3452ad --- /dev/null +++ b/luk/16/08.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Yesu alimaliza mfano huo kuhusu bwana na wakili wa wadaiwa wake. Katika mstari wa 9, Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake. + +# bwana kisha alimpongeza + +maandiko hayaonyeshi jinsi bwana alitambua juu ya matendo ya wakili wake. + +# alipongeza + +"kusifiwa" au "akamsifu" au "kumpitisha " + +# yeye alikuwa ametenda ...... + +"alikuwa alitenda vyema" au "Yesu alikuwa amefanya jambo la busara" + +# Wana wa ulimwengu huu + +Hii ina maana ya wale kama meneja wa udhalimu ambao hawajui au kutokujali juu Mungu. "Watu wa dunia hii" au "watu wa kidunia" + +# Wana wa nuru + +Hii inamaanisha watu wenye haki wasio na chakuficha. "wana wa nuru" au "watu waishio kwenye mwanga" + +# Nina kwambia wewe + +"Nina" inasemea Yesu. maneno "nawaambia" yanaweka alama ya mwisho ya hadithi na sasa Yesu anasimulia watu jinsi ya kutumia hadithi kwa maisha yao. + +# makao ya milele + +Hii ina maana ya mbinguni ambako Mungu anaishi. + +# kujifanyieni marafiki kutokana kwa njia ya fedha isiyo halali + +lengo hapa ni juu ya kutumia fedha kusaidia watu wengine, sio kwa njiacambayo utajiri unapatikana kwa uongo. + +# fedha isiyo ya halali + +Inawezekana Maana ni 1) "fedha iliyopatikana kidhuluma" au 2) fedha iliyo patikana kwa mambo ya kidunia. + +# wanaweza kuwakaribisha + +Hii inaweza kutaja 1) Mungu wa mbinguni, ambaye ameridhika kwamba umetumia hela kuwasaidia watu, au 2) marafiki ulio wasaidia na fedha yako. + diff --git a/luk/16/10.md b/luk/16/10.md new file mode 100644 index 00000000..2e45071b --- /dev/null +++ b/luk/16/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# nani atakayewakabidhi na mali za kweli? + +Yesu anatumia swali kufundisha watu. "hakuna mtu atakayewakabidhi nyinyi mali ya kweli" au "hakuna mtu nitakupa utajiri wa kweli wa kusimamia" + +# ambao nitakupa fedha yako mwenyewe? + +Yesu anatumia swali hili kufundisha watu. "hakuna mtu atakupa utajiri kwa nafsi yako" + +# Yeyote aliye mwaminifu + +"Watu ambao ni waaminifu." Hii itakuwa ni pamoja na wanawake. + +# mwaminifu katika jambo dogo + +'waaminifu hata kwa mambo madogo. " hakikisha hii haina sauti kama hao sio waaminifu sana. + +# mwaminifu katika mambo madogo sana + +"wasio waadilifu hata katika mambo madogo." Kuhakikisha hii haina sauti kama sio waovu mara nyingi. + +# fedha isiyo ya halali + +Tazama 16:08 + +# mali wa kweli + +hii inahusu mali ambayo ni zaidi ya kweli, halisi, au kudumu kuliko fedha ya udhalimu. + diff --git a/luk/16/13.md b/luk/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..e9a9d3e5 --- /dev/null +++ b/luk/16/13.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa kuu: + +Hii ni mapumziko katika mafundisho ya Yesu, kama mstari wa 14 inatuambia taarifa za msingi kuhusu jinsi Mafarisayo wakamdharau Yesu. Katika mstari wa 15, Yesu anaendelea kufundisha na anaitikia kwa Mafarisayo. + +# Hakuna mtumishi anaweza + +"mtumishi hawezi" + +# atamchukia + +"mtumishi chuki" + +# kujitoa + +"kujitolea." Hii ina maana kimsingi ni sawa na "upendo" katika kifungu uliopita. + +# kumdharau huyu + +"kushikilia mmoja katika dharau" au "chukia mwingine" + +# Huwezi kumtumikia + +Yesu alikuwa akizungumza na kundi la watu, hivyo lugha ambazo zina wingi wa "wewe" bila kutumia hiyo. + +# kutumika + +"kuwa mtumwa" + +# kutumikia mabwana wawili + +"kutumikia mabwana wawili tofauti kwa wakati mmoja" + +# kwa maana ata ... au pengine ata + +Vifungu hivi viwili ni vinafanana tofauti kubwa ni kwamba bwana kwanza amechukiwa katika kifungu cha kwanza, lakini bwana wa pili amechukiwa katika kifungu cha pili. + +# kumdharau + +Hii ina maana kimsingi ni sawa na "chuki" katika kifungu kilichopita. + diff --git a/luk/16/14.md b/luk/16/14.md new file mode 100644 index 00000000..cf4e589e --- /dev/null +++ b/luk/16/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sasa + +neno hili lina weka alama ya kuhama kutoka katika taarifa ya awali. + +# ambao walikuwa wanapenda sana fedha + +"aliyependa kuwa na fedha" au "ambaye alikua na tamaa ya fedha" + +# wao wakamdharau + +"Mafarisayo wakamdharau Yesu" + +# Naye akawaambia + +"Na Yesu aliwaambia Mafarisayo" + +# Nyie mnajihalalisha wenyewe mbele ya watu + +"wewe unajaribu kujifanya kuonekana vizuri kwa watu" + +# Mungu anaijua mioyo yenu + +Hapa "mioyo" inahusu tamaa za watu."Mungu anaelewa tamaa yako kweli" au "Mungu anajua nia yako" + +# Iyo iliyotukuka miongoni mwa watu + +hii inaweza semwa kama "Yale mambo ambayo watu wanadhani ni muhimu sana" + +# ni machukizo mbele za Mungu + +"Mungu anachukia" au "ni mambo ambayo Mungu anayachukia" + +# Taarifa kuu: + +Hii ni mapumziko katika mafundisho ya Yesu, kama mstari wa 14 unatuambia taarifa za msingi kuhusu jinsi Mafarisayo wakamdharau Yesu. Katika mstari wa 15, Yesu anaendelea kufundisha na anawajibu Mafarisayo. + diff --git a/luk/16/16.md b/luk/16/16.md new file mode 100644 index 00000000..a31527dc --- /dev/null +++ b/luk/16/16.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# sheria na manabii + +Hii inahusu maneno yote ya Mungu kwamba yalikuwa yameandikwa hadi wakati huo. + +# Yohana alikuja + +Hii ina maana ya Yohana Mbatizaji. "Yohana mbatizaji alikuja" + +# injili ya ufalme wa Mungu hutangazwa + +Hii inaweza semwa kama: "Mimi nafundisha watu kuhusu habari njema ya ufalme wa Mungu" + +# kila mmoja anajaribu kulazimisha njia yao ndani yake + +Hii ina maana ya watu ambao walikuwa wakisikiliza na kukubali mafundisho ya Yesu. "Watu wengi wanafanya kila liwezekanalo kuingia" + +# ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupita, kuliko + +"kama unavyo jua kuwa mbingu na ardhi hawezi kupita, unaweza kuwa na uhakika kwamba" + +# kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane + +maneno "herufi moja ya sheria" maana yake ni sehemu ndogo ya barua. Ni inahusu kitu katika sheria ambayo inaweza kuonekana kuwa haina umuhimu saana. "kuliko kwa mtu kuondoa hata undani ndogo ya sheria." + +# ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupita kuliko hata herufi moja ya barua ya sheria kukosekana + +Hii inaweza kusemwa kama, "hata herufi ndogo ya barua ya sheria itadumu saana kuliko mbingu na nchi kuwepo" + +# kuliko hata herufi moja ya barua + +"Herufi" ni sehemu ndogo ya barua. Ni inahusu kitu katika sheria ambacho kinaweza kuonekana kuwa hakina umuhimu saana. "kuliko kwa hata undani mdogo wa sheria" + +# kuwa batili + +"mwisho" au "kusitisha kuwepo" + diff --git a/luk/16/18.md b/luk/16/18.md new file mode 100644 index 00000000..d57c6673 --- /dev/null +++ b/luk/16/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kila mtu amwachaye mkewe + +"Anayemwacha mkewe" au "Mtu yeyote anayemtalaka mke wake" + +# anazini + +"ni hatia ya kufanya uzinzi" + +# naye amwoaye moja + +"mtu yeyote anayemwoa mwanamke" + diff --git a/luk/16/19.md b/luk/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..1d4695ed --- /dev/null +++ b/luk/16/19.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Wakati Yesu akiendelea kufundisha watu akaanza kuwaambia mfano. Ni kuhusu tajiri na Lazaro. + +# Taarifa kuu: + +Hii nistari inatoa taarifa kuhusu hadithi. Yesu anaanza kueleza kuhusu tajiri na Lazaro. + +# ambaye alikuwa amevaa nguo ya zambarau na kitani safi + +"ambao walivaa mavazi yaliyo tengenezwa na kitani safi" au "ambao walivaa nguo ghali sana." rangi ya zambarau na kitani safi zilikua nguo ghali sana. + +# alikua akifurahia kila siku utajiri wake + +"kufurahia kula chakula cha gharama kila siku" au "alitumia fedha nyingi na kununua chochote akitakacho" + +# maskini mmoja jina lake Lazaro, aliwekwa mlangoni pake + +Hii inaweza semwakama "Watu walikuwa wamemlaza maskini mmoja jina lake Lazaro kwenye lango lake" + +# kwenye lango lake + +"katika lango la nyumba ya tajiri" au "katika mlango wa kuingia kwenye mali ya tajiri" + +# kufunikwa na vidonda + +"na vidonda yote juu ya mwili wake" + +# yeye alitamani sana kulishwa na kile kilichoanguka kutoka meza ya tajiri + +Hii inaweza semwa kama: "alitamana tajiri ampe makombo ya chakula ambayo atayatuma" + +# kando na hayo + +hii inaonyesha kwamba kile kifuatavyo ni kibaya zaidi kuliko yale ambayo tayari yameelezwa kuhusu Lazaro. "katika nyiongez ya hayo" au "hata" + +# Mbwa + +Wayahudi huchukuliwa mbwa kuwa wanyama wasio safi. Lazaro ni mgonjwa sana na dhaifu hata kufukuza mbwa wasimlambe vidonda vyake. + diff --git a/luk/16/22.md b/luk/16/22.md new file mode 100644 index 00000000..7091eadf --- /dev/null +++ b/luk/16/22.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Ikawa kwamba + +maneno haya yametumika hapa kuadhimisha tukio katika hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa. + +# akachukuliwa na malaika + +Hii inaweza alisema katika fomu ya kazi. AT: "Malaika wakamchukua mbali" + +# Upande wa Ibrahamu + +Inavyoonekana Ibrahim na Lazaro walikuwa wameketi karibu wakati wa sikukuu mbinguni. Hii ilikuwa ni desturi ya Kigiriki kualika wageni katika karamu. "kukaa karibu na Ibrahimu" au "uketi karibu na Ibrahimu." + +# na alizikwa + +"na watu walimzika" + +# na katika kuzimu, alipokuwa katika mateso + +"naye akaenda kuzimu ambapo alikuwa akiteseka katika maumivu ya kutisha" + +# Akainua macho yake + +"akaangalia juu" + +# na Lazaro dhidi ya kifua chake + +"Lazaro na ameketi karibu na Ibrahimu" au "na Lazaro pamoja naye" + +# Upande wa Ibrahimu.... dhidi ya kifua chake + +Hii inaonyesha kwamba Ibrahimu na Lazaro walikua wameketi karibu, katika utamadunu wa kigiriki. + +# alizikwa + +"Watu walimzika" + +# katika kuzimu, alipokuwa katika mateso + +"alikwenda kuzimu, ambapo aliteseka katika maumivu ya kutisha" + +# Lazaro dhidi ya kifua chake + +"Lazaro ameketi karibu na Ibrahimu" au "Lazaro karibu naye" + diff --git a/luk/16/24.md b/luk/16/24.md new file mode 100644 index 00000000..169f39e0 --- /dev/null +++ b/luk/16/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Naye akasema kwa sauti + +"na tajiri aliita na kusema" au "alipiga kelele kwa Ibrahimu" + +# Baba Ibrahimu + +Ibrahimu alikuwa babu wa Wayahudi wote, ikiwa ni pamoja na mtu mmoja tajiri. + +# nihurumie + +"tafadhali nihurumie" au "tafadhali uniwie radhi mimi" + +# umtume Lazaro + +"kwa kumtuma Lazaro" au "na kuwaambia Lazaro kuja kwangu" + +# achovye ncha ya kidole chake + +Hii inaonyesha udogo wa kiasi alichoomba. "aweze kuloanisha ncha ya kidole chake" + +# Niko kwenye mateso katika moto huu + +"Niko kwenye mateso katika moto huu " au "Mimi naumia sana katika moto huu" + +# alipiga kelele na kusema + +"tajiri alilia kwa kusema" au "alipiga kelele kwa Ibrahimu" + diff --git a/luk/16/25.md b/luk/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..4a35d89d --- /dev/null +++ b/luk/16/25.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Mtoto + +tajiri alikuwa mmoja wa kizazi cha Ibrahimu. + +# mambo mema + +"mambo mazuri" + +# katika njia hiyohiyo mambo mabaya + +"katika njia hiyohiyo alipokea mambo mabaya" au "vivyo alipata mambo ambayo yalimfanya ateseke" + +# yeye anatulizwa + +"yeye anatulizwa hapa" au "yeye anafuraha hapa" + +# kwa uchungu + +"mateso" + +# Zaidi ya hayo yote + +"kwa kuongeza sababu hii" + +# shimo kubwa imara limewekwa + +Hii inaweza kusemwa kama. "Mungu ameweka bonde kubwa kati ya wewe na sisi" + +# shimo kubwa + +"mwinuko, kina na bonde kubwa" au "kujitenga kubwa" au "bonde kubwa" + +# wale ambao wanataka kuvuka + +"watu wale ambao wanataka kuvuka shimo" au "kama kuna mtu anataka kuvuka" + +# wenyeji wake walifanya kama + +hii inahusu ukweli kwamba wao wote hupokea kitu wakati wao waliishi duniani. Si kusema kwamba kile walikipata mara moja. "wakati alipokuwa hai kupokea" + +# Zaidi ya hayo yote + +"kwa kuongeza sababu hii" + diff --git a/luk/16/27.md b/luk/16/27.md new file mode 100644 index 00000000..e96713f7 --- /dev/null +++ b/luk/16/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kuwa wewe umtume aende nyumbani kwa baba yangu + +"kwamba utamwambia Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu" au "tafadhali, umtume aende nyumbani kwa baba yangu" + +# nyumba ya baba yangu + +hii inahusu watu katika nyumba. "familia yangu" + +# ili apate kuwaonya + +"ili Lazaro inaweza kuwaonya" + +# mahali hapa pa mateso + +"mahali hapa ambapo sisi kuteseka kwa adhabu" au "mahali hapa ambapo sisi tunateswa maumivu ya kutisha" + +# kwa hofu kwamba + +Hii ina maana yeye hataki hili litokee "ili kwamba wao wasi" + diff --git a/luk/16/29.md b/luk/16/29.md new file mode 100644 index 00000000..076d4dbd --- /dev/null +++ b/luk/16/29.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Yesu alimaliza kusimulia hadithi kuhusu tajiri na Lazaro. + +# Wanao Musa na manabii + +Ina onyesha kuwa Abraham alikataa kumtuma Lazaro kwa ndugu wa tajiri. Hii inaweza kuwa alisema. "Hapana, sitaweza kufanya ivyo, kwa sababu ya ndugu zenu na yale ambayo Musa na manabii waliandika mda mrefu uliopita" + +# waache wawasikilize + +"ndugu zako lazima wawe makini na Musa na Manabii" + +# kama mtu aliamua kwenda kwao kutoka katika wafu + +"kama mtu ambaye amefariki aliamua kwenda kwao" au "kama mtu ambaye amefariki aliamua kwenda na kuwaonya" + +# Kama hawata wasikiliza Musa na Manabii + +"Kama hawatakuwa makini kwa kilicho andikwa na Musa na manabii" + +# wala hawataweza kushawishiwa kama mtu angefufuka kutoka wafu + +"Wala mtu ambaye atakuja kutoka kwa wafua atakua na uwezo wa kuwashawishi" au "hawatamini hata kama mtu angefufuka kutoka wafu" + +# Musa na manabii + +Hii ina maana ya maandiko yao. "nini Musa na manabii aliandika" + diff --git a/luk/17/01.md b/luk/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..2363ded7 --- /dev/null +++ b/luk/17/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Yesu anaendelea kufundisha, lakini yeye ataelekeza nia yake kwa wanafunzi wake. Hii bado ni sehemu moja ya hadithi na siku hiyo hiyo ambayo ilianza + +# Ni hakika kutakuwa na mambo ambayo yanaweza kutufanya kutenda dhambi + +"Mambo ambayo huwajaribu watu kutenda dhambi bila ya shaka vitatokea" + +# kwa mtu huyo atakayevisababisha + +"kwa mtu yeyote ambaye husababisha majaribu kuja" au "kwa mtu yeyote ambaye anasababisha watu kujaribiwa" + +# kama jiwe la kusagia likiwekwa shingoni kwake na angetupwa + +Hii inaweza kusemwa: "kama walikuwa waweka jiwe la kusagia shingoni mwake na kumtupa" au "kama mtu alikua awekewe jiwe zito shingoni mwake na kumsukuma" + +# jiwe la kusagia + +Hili ni kubwa sana, jiwe zito la mviringo linalotumika kusaga nafaka za ngano kuwa unga" "jiwe nzito" + +# hawa wadogo + +Hii hapa inahusu watu ambao imani bado ni dhaifu. "Watu hawa ambao imani yao ni ndogo" + +# na mashaka + +Hii ilikua njia ya kumaanisha dhambi za kutokudhamiria. "dhambi" + +# Itakuwa bora kwa ajili yake kama + +Ina maana kwamba adhabu ya mtu huyu kwa kusababisha watu kutenda dhambi itakua mbaya zaidi ya wazima baharini. + +# kwa ajili yake ... shingo yake ... yeye walikuwa ... anapaswa + +Maneno haya rejea wanawake ikiwa ni pamoja na wanaume. + diff --git a/luk/17/03.md b/luk/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..521e645c --- /dev/null +++ b/luk/17/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama ndugu yako akikosa + +Hii kauli inaonyesha kwamba tukio hilo pengine litatokea katika siku zijazo. + +# ndugu yako + +"ndugu" hapa limetumika kwa maana ya mtu aliye na imani sawa. "mwamini mwenzetu" + +# Mkemee + +"kumwambia kwanguvu kwamba aliyoyafanya ilikuwa ni makosa" au "msahishe" + +# Na kama akikukosea mara saba + +Hii inaonyesha inaweza isitokee ila kama ikitokea Yesu anawaambia watu wasamehe. + +# mara saba kwa siku + +namba saba katika Biblia ni ishara ya ukamilifu. "mara nyingi katika siku" + diff --git a/luk/17/05.md b/luk/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..8b9fb768 --- /dev/null +++ b/luk/17/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari kwa ujumla: + +Kuna mapumziko mafupi katika mafundisho ya Yesu wakati wanafunzi wakizungumza nae. Kisha Yesu anaendelea kufundisha. + +# Kuongeza imani yetu + +"Tafadhali tuongezee imani" + +# Kama imani yenu ingekuwa kama mbegu ya haradali + +"haradali" ni mbegu ndogo sana. Yesu ana maana kwamba hawakuwa na hata kiasi kidogo cha imani. + +# mti huu wa mkuyu + +"mtini" au "mti" + +# Kungooka na kupandwa baharini + +hii inaweza semwa kama: "kujing'oa mwenyewe na kujipanda mwenyewe baharini" au "Chukua mizizi yako nje ya ardhi, na kuweka mizizi yako ndani ya bahari" + +# ungewatii + +"mti ungewatii." Matokeo haya ni masharti. ingeweza kutokea tu kama walikuwa na imani. + +# mti huu wa mkuyu + +Kama aina hii ya mti haufahamiki, inaweza kuwa na manufaa mbadala aina nyingine ya mti. "mtini" au "mti" + diff --git a/luk/17/07.md b/luk/17/07.md new file mode 100644 index 00000000..a766c578 --- /dev/null +++ b/luk/17/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini ni nani katika yenu, ambaye ana mtumishi + +Yesu anauliza kundi kuhukumu hali fulani na mtumishi. + +# mtumishi anaelima au kutunza kondoo + +"mtumishi anaelima shamba lako au analinda kondoo wako" + +# Je hatambiambia + +Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi. + +# jifunge mkanda na unitumikie + +"funga nguo yako katika kiuno chako na unitumikie mimi" au "vaa vizuri kisha unitumikie." Watu hufunga nguo zao karibu na viuno vyao ili nguo zao wakati wa kazi zisiwasumbue. + +# Kisha baada ya hayo + +"Kisha baada ya kunitumikia" + +# Lakini ni nani kati yenu ... atamwambiya ... kaa chini kula '? + +Yesu anauliza wanafunzi wake swali kuwasaidia kufikiri juu ya jukumu la mtumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Lakini mtu yeyote kati yenu ... siwezi kusema kwake ... kaa chini kula '" + +# Je, yeye hatamwambia ... kula na kunywa? + +Yesu anatumia swali la pili kueleza jinsi wafuasi wangewa fanyia watumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Naye hakika humwambia ... kula na kunywa '" + diff --git a/luk/17/09.md b/luk/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..e5df9957 --- /dev/null +++ b/luk/17/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Yesu alimaliza kufundisha. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi hii. + +# Yeye hashukuru + +"Yeye hakutaka kuwashukuru" au "Wewe hutashukuru" + +# mambo yaliyo amuriwa + +Hii inaweza kusemwa "Mambo uliyo muagiza afanye" + +# gani? + +"haki?" au "ni hii si kweli?" + +# wewe pia + +Yesu alikuwa akizungumza na wanafunzi wake, hivyo lugha ambazo zina wingi wa "wewe" itakuwa matumizi yake. + +# yale uliyo amuriwa + +Hii inaweza kusemwa kama "kwamba Mungu alikuamuru" + +# usema + +"ukusema kwa Mungu" + +# Sisi ni watumishi tusiostahili + +Hii ni kueleza kuwa wao hawakufanya kitu cha kustaili kusifiwa. "Sisi watumishi wa kawaida" au "Sisi watumishi hatustahili sifa yako" + +# Hamshukuru mtumishi ... alivyoamuru, je anafanya? + +Yesu anatumia swali hili ili kuonyesha jinsi watu wanavyo wafanyia watumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Yeye hakutaka kumshukuru mtumishi ... aliamuru" + diff --git a/luk/17/11.md b/luk/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..162ce828 --- /dev/null +++ b/luk/17/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Habari kwa ujumla: + +Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Yesu anaponya watu 10 wa ukoma. Mstari wa 11 na 12 unatoa taarifa za msingi na mazingira ya hadithi. + +# Ikawa kwamba + +maneno haya yametumika hapa kuonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa. + +# na walipokua njiani kuelekea Yerusalemu + +"kama Yesu na wanafunzi walipokuwa wakisafiri kwenda Yerusalemu" + +# huko alikutana na watu kumi wenye ukoma + +Hii inaweza semwa kama. "watu kumi wenye ukoma walikutana naye" au "watu kumi waliokuwa na ukoma walikutana naye" + +# wakapaza sauti zao + +kauli hii ina maana kusema kwa sauti kubwa. "wakamwita kwa sauti kubwa" au "wao kuita kwa sauti" + +# Bwana + +neno lililotafsiriwa hapa kama "Bwana" siyo neno la kawaida kwa "Bwana." Hii moja inahusu mtu ambaye ana mamlaka, na si kwa mtu ambaye anamiliki mtu mwingine. + +# utuhurumie + +Walikuwa hasa wanaomba kuponywa. "tafadhali tuonyeshe huruma na utuponye" + +# alipokuwa akisafiri kwenda Yerusalemu + +"kama Yesu na wanafunzi walikuwa wakisafiri kwenda Yerusalemu" + +# kijiji kimoja + +maneno haya haya elezei hicho kijiji. + +# Nao wakasimama mbali mbali na yeye + +Hii ilikuwa ishara ya heshima , kwa sababu wenye ukoma hawakuruhusiwa kukaribia watu wengine. + diff --git a/luk/17/14.md b/luk/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..3e49c6d4 --- /dev/null +++ b/luk/17/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mkajionyeshe kwa makuhani + +wenye ukoma walikuwa wanatakiwa kuthibitishwa na makuhani kwamba ukoma wao umepona. "jionyesheni wenyewe kwa makuhani ili waweze kuwachunguza" + +# Na ikawa kwamba + +maneno haya yametumika hapa kuonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa. + +# wakatakasika + +Wakati watu waliponywa, wao hawakuwa tena najisi. Hii inaweza kufanywa wazi. "wakawa safi wakati walipo ponywa ukoma wao" au "walikuwa wametibiwa ukoma wao" + +# alipoona kwamba ameponywa + +"kuona kwamba ameponywa" au "alitambua kwamba Yesu aliyemponya" + +# akarudi + +"alirudi Yesu" + +# kwa sauti kubwa akimtukuza Mungu + +"nakumtukuza Mungu kwa sauti kubwa" + +# Akainama miguuni pa Yesu + +"akapiga magoti na kuweka uso wake karibu na miguu ya Yesu." Alifanya hivi kwa kumheshimu Yesu. + diff --git a/luk/17/17.md b/luk/17/17.md new file mode 100644 index 00000000..524e89b8 --- /dev/null +++ b/luk/17/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi kuhusu Yesu alivyo ponya wenye ukoma. + +# Yesu akajibu, akisema + +Yesu alijibu kulingana na kile mtu alichokifanya, lakini alikuwa akizungumza na kundi la watu karibu naye. "Basi Yesu akawaambia ule umati" + +# Je hawakutakasika wote kumi? + +Hii ni moja ya maswali matatu. Yesu aliyatumia kwa kuonyesha watu walio karibu naye jinsi alivyo shangazwa na kukatishwa tamaa kwamba moja tu ya watu kumi alirudi kumtukuza Mungu. "Watu kumi waliponywa" au "Mungu akamponya watu kumi" + +# Wale tisa wako wapi? + +"Kwa nini wengine tisa hawakurudi?" Hii inaweza kuwa kauli kwenye. "Watu wengine tisa wanapaswa kurudi, pia" + +# Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumtukuza Mungu, isipokuwa huyu mgeni? + +Hii inaweza kuwa kauli kwenye. "Hakuna mtu isipokuwa huyu mgeni akarudi kumtukuza Mungu" au "Mungu akaponya watu kumi, lakini tu huyu mgeni akarudi kumtukuza Mungu" + +# huyu mgeni + +Wasamaria walikuwa hawana mababu Wayahudi na hawakuwa wakimwabudu Mungu kwa njia ile ile ambayo Wayahudi walivyofanya. + +# imani yako imekuponya + +"Kwa sababu ya imani yeko umekuwa vizuri." "Imani" yaweza tajwa kama tendo "Kwa sababu unaamini, umeponywa" + diff --git a/luk/17/20.md b/luk/17/20.md new file mode 100644 index 00000000..21b3cb35 --- /dev/null +++ b/luk/17/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari kwa ujumla: + +Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Hatujui ambapo hili limetokea; ni siku moja wakati Yesu akizungumza na Mafarisayo. + +# Alipoulizwa na mafarisayo ufalme wa Mungu utakuja lini, Yesu akawajibu akisema, + +Hii ​​inaweza semwa kama: "wakamuuliza 'Lini Utawala wa Mungu utakuja?" + +# Alipoulizwa na Mafarisayo + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Baadhi ya tafsiri huanza kwa "Siku moja" au "Mara." + +# Ufalme wa Mungu sio kitu ambacho kinaweza kuonekana + +Hii inaweza kusemwa: "Ufalme wa Mungu si kitu ambacho unaweza kuona kwa macho yako" au "Ingawa unanngalia Ufalme wa Mungu, huwezi kuuona" + +# Utawala wa Mungu uko kati yenu + +"Utawala wa Mungu uko hapa" au "Mungu tayari ameanza kutawala kati yenu" + diff --git a/luk/17/22.md b/luk/17/22.md new file mode 100644 index 00000000..bb2f6d58 --- /dev/null +++ b/luk/17/22.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Kuunganisha kauli: + +Yesu anaanza kuwafundisha wanafunzi wake. + +# wakati utafika ambapo + +"wakati utafika ambapo" au "Labda siku moja" + +# mtatamani kuona + +"wewe utataka sana kuona" au "utakuwa wataka uzoefu" + +# mojawapo ya siku za Mwana wa Adamu + +Hii ina maana ya Utawala wa Mungu. "moja ya siku wakati Mwana wa Adamu atatawala akiwa mfalme" + +# wala msiwafuate + +"na wala kwenda pamoja nao ili kuona" + +# maana kama vile radi uonekanavyo + +"kwa maana kama vile radi ni wazi kwa kila mtu wakati unaonekana na" au "maana kama vile umeme unaonekana ghafla" + +# ndivyo naye Mwana wa Adamu atakavyokuwa siku yake + +hii inahusu ufalme ujao wa Mungu. "itakuwa kana kwamba siku ile Mwana wa Adamu atafika kutawala" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anazungumza juu yake mwenyewe. + +# lakini huwezi kuiona + +"hutaweza kuihisi" + +# Angalia, pale! Angalia, hapa! + +Hii ina maana ya kumtafuta Masihi. "Angalia, Masihi yuko pale! yuko huku!" + +# maana kama vile radi huangaza + +Mwana wa Adamu ajae itakuwa wazi na ghafla, kama muonekano wa radi. "kwa maana kama vile radi ni wazi kwa kila mtu wakati unaonekana na" au "maana kama vile umeme unaonekana ghafla" + diff --git a/luk/17/25.md b/luk/17/25.md new file mode 100644 index 00000000..c6016fc7 --- /dev/null +++ b/luk/17/25.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Lakini kwanza lazimu ateswe + +"Lakini kwanza Mwana wa Adamu lazima ateswe." Yesu anazungumza juu yake mwenyewe katika nafsi ya tatu. + +# na kukataliwa na kizazi hiki + +"na kizazi hiki lazima kitamkataa" + +# Kama ilivyotokea katika siku za Nuhu + +"siku za Nuhu" inahusu wakati wa maisha ya Nuhu kabla ya Mungu kuwaadhibu watu wa dunia. "Kama watu walivyokua wakifanya katika siku za Nuhu" au "Kama watu walivyokua wakifanya wakati Nuhu alivyokua akiishi" + +# hata hivyo itakuwa pia kutokea katika siku za Mwana wa Adamu + +"siku za Mwana wa Adamu" inahusu kipindi kabla Mwana wa Adamu atakuja. "Watu watakuwa wakifanya mambo sawa katika siku za Mwana wa Adamu" au "watu watakuwa wakifanya mambo sawa wakati Mwana wa Adamu akikaribia kuja" + +# Walikula, walikunywa, kuoa, na walipewa katika ndoa + +Watu walikuwa wanafanya mambo ya kawaida. Hawakujua au kujali ya kwamba Mungu alikuwa karibu kuwahukumu. + +# walipewa katika ndoa + +hii inaweza semwa kama "Wazazi walikuwa wakiruhusu binti zao kuolewa na wanaume" + +# Safina + +"meli" au "majahazi" + +# kukataliwa na kizazi hiki + +Hii inaweza semwa kama "watu wa kizazi hiki lazima watamkataa" + +# kuwaangamiza wote + +Hii sio pamoja na Nuhu na familia yake waliokuwepo katika safina. "kuharibiwa wale wote ambao hawakuwa katika meli" + diff --git a/luk/17/28.md b/luk/17/28.md new file mode 100644 index 00000000..b236e92e --- /dev/null +++ b/luk/17/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndivyo ilivyokua katika siku za Lutu + +"siku za Lutu" inahusu wakati tu kabla ya Mungu haja adhibu miji wa Sodoma na Gomora. "Mfano mwingine ni jinsi ilivyotokea wakati wa Lutu" au "Kama watu walikuwa wakifanya wakati Lutu akiishi" + +# nao wakala + +"watu wa Sodoma walikula" + +# kulinyesha moto na kiberiti kutoka mbinguni + +"moto na kiberiti ukaanguka kutoka mbinguni kama mvua" + +# kuwaangamiza wote + +hii haina ni pamoja Lutu na familia yake. "kuharibiwa wale wote ambao walikaa katika mji" + diff --git a/luk/17/30.md b/luk/17/30.md new file mode 100644 index 00000000..35638c61 --- /dev/null +++ b/luk/17/30.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Baada ya namna hiyo itakuwa + +"Itakuwa kama hiyo." "Kwa njia hiyo hiyo watu hawtakuwa tayari" + +# siku ile Mwana wa Adamu atakapofunuliwa + +Hii inaweza semwa kama "wakati Mwana wa Adamu ataonekana" au "wakati Mwana wa Adamu anakuja" + +# usimlete aliye kwenye dari ya nyumba ashuke chini + +"yeyote alie juu ya nyumba asishuke" au "mtu akiwa darini kwake, ni lazima asiende chini" + +# juu ya dari + +dari zao zilikuwa bapa na watu kuweza kutembea au kukaa juu zao. + +# vitu vyake + +"mali zake" au "mambo yake" + +# kurudi + +Walikua wasirudi nyumbani kuchukua kitu chochote + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anazungumza juu yake mwenyewe. "Mimi, Mwana wa Adamu" + diff --git a/luk/17/32.md b/luk/17/32.md new file mode 100644 index 00000000..3d9c4064 --- /dev/null +++ b/luk/17/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mkumbuke mke wa Lutu + +"Kumbuka kile kilichotokea kwa mke wa Lutu!" Hili ni onyo. Yeye aligeuka na kuangalia Sodoma na Mungu akamuadhibu pamoja na watu wa Sodoma. "Msifanye kile mke wa Lutu alichokifanya" + +# Ye yote anaejaribu kuyaokoa maisha yake atayapoteza + +"Watu ambao hujaribu kuokoa maisha yao watayapoteza" au "Yeyote anajaribu kuokoa njia yake za zamani za maisha atapoteza maisha yake" + +# lakini ye yote atakayeyapoteza maisha yake atayaokoa. + +"lakini watu ambao kupoteza maisha yao atawalinda" au "lakini mwenye kukataa njia yake ya zamani ya maisha kuokoa maisha yake" + diff --git a/luk/17/34.md b/luk/17/34.md new file mode 100644 index 00000000..dcb5a89d --- /dev/null +++ b/luk/17/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nawaambia + +Kama Yesu anaendelea kuhutubia wanafunzi wake, anasisitiza umuhimu wa nini alichokua akiwaambia. + +# katika usiku huo + +Hii inahusu nini kitatokea kama yeye, Mwana wa Adamu, atakuja wakati wa usiku. + +# kutakuwa na watu wawili katika kitanda kimoja + +mkazo si juu ya watu hawa wawili, lakini juu ya ukweli kwamba baadhi ya watu watachukuliwa na wengine wataachwa. + +# kitanda + +"kochi" + +# Mmoja atachukuliwa, na mwingine ataachwa + +"Mtu mmoja atachukuliwa na mtu mwingine ataachwa." Hii inaweza semwa kama "Mungu atachukua mtu mmoja na kumuacha mwingine" au "Malaika atachukua mmoja na kumuacha mwingine" + +# Kutakuwa na wanawake wawili wakisaga nafaka pamoja + +mkazo si juu ya hawa wanawake wawili au shughuli zao, lakini juu ya ukweli kwamba baadhi ya watu watachukuliwa na wengine wataachwa. + +# kusaga pamoja + +"wakisaga nafaka pamoja" + diff --git a/luk/17/37.md b/luk/17/37.md new file mode 100644 index 00000000..b49faa7c --- /dev/null +++ b/luk/17/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari kwa ujumla: + +wanafunzi walilomwuliza swali kuhusu mafundisho yake na akawajibu + +# Ni wapi Bwana? + +"Bwana, wapi hii itatokea?" + +# Ambapo kuna mzoga, ndipo tai hukusanyika pamoja + +Inavyoonekana huu ni msemo ukimaanisha "Itakuwa dhahiri" au "Mtaijua ni pale yanapotokea." "Kama tai mkutano inaonyesha kwamba kuna maiti, hivyo mambo hayo kuonyesha kwamba Mwana wa Adamu atakuja" + +# Tai + +Tai ni ndege wakubwa ambao wanaruka pamoja na kula nyama za wanyama waliokufa wakiwapata. Unaweza kuelezea ndege kwa njia hii au kutumia neno kwa ndege wa kawaida wanaofanya hivi. + diff --git a/luk/18/01.md b/luk/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..7693ce17 --- /dev/null +++ b/luk/18/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo yanayounganisha" + +Yesu anaanza kuwaambia mfano akiendelea kuwafundisha wanafunzi wake. Hii ni sehemu ile ile ya simulizi. Mstari wa 1 unatupa maelezo ya mfano ambao Yesu anataka kuusema. + +# Kisha + +"Kisha Yesu" + +# Wanapaswa kusali daima wala wasikate tamaa + +Sentensi hizi mbili zina maana sawa ambayo Yesu aliitumia ili kusisitiza. Lugha zingine zina namna tofauti za kusisitiza. "Daima muendelee kuomba." + +# akasema + +Hii pia inaweza kuanza kwenye sentensi mpya "Akasema" + +# Kulikuwa na hakimu katika mji fulani + +Neno "fulani" imetumika kuonyesha kuwa hii ilitokea, lakini bila kumuonyesha hakimu au mji. + +# Kuogopa + +Ogopa + +# Haeshimu watu + +"Hajali watu" + diff --git a/luk/18/03.md b/luk/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..57e24a36 --- /dev/null +++ b/luk/18/03.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sasa kulikuwa na mjane + +Yesu alitumia neno hili kumtambulisha mtu mwingine kwenye simulizi. + +# Mjane + +Ni mwanamke ambaye mume wake amekufa. Watu waliomsikiliza Yesu watafikiri kuwa ni mtu ambaye hamna mtu wa kumlinda kutoka kwa wale wanaotaka kumuumiza. + +# Alimwendea mara nyingi + +Neno "yeye" linamaanisha hakimu. + +# Nisaidie kupata haki dhidi + +"waadhibu" au "nisaidie" + +# Mpinzani wangu + +"adui yangu" au "mtu anayejaribu kuniumiza." Huyu ni mpinzani katika mabo ya sheria. Hipo wazi kuwa mwanamke anamshitaki yule mtu au yule mtu anamshitaki mwanamke. + +# Kumwogopa Mungu + +"ogopa Mungu" + +# Mtu + +Hii inamaanisha "watu" kwa ujumla. + +# Ananisababishia matatizo + +"Ananisumbua" + +# Asinichoshe + +"asije akanisumbua" + +# Kwa kunijia mara kwa mara + +"kwa kuja kwangu mara kwa mara" + diff --git a/luk/18/06.md b/luk/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..e40f57a0 --- /dev/null +++ b/luk/18/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Yesu anamaliza kuwaambia mfano wake na anatoa maelezo kwa wanafunzi wake. + +# Sikiliza alivyosema huyu hakimu mmbaya + +"Fikiri jinsi alivyosema huyu hakimu mmbaya.: Tafsiri kwa namna ambayo watu wataelewa kwamba Yesu tayari aliwaambia alichokisema jaji. + +# Sasa + +Hili neno linaonyesha kuwa Yesu alimaliza kutoa mfano na akaanza kutoa maana yake. + +# Mungu pia hataleta... usiku? + +Yesu alitumia swali kuwafundisha wanafunzi wale. + +# Wateule wake + +"Watu aliowachagua" + +# Hatakuwa mvumilivu kwao? + +Yesu alitumia swali kuwafundisha wanafunzi wake. + +# Mwana wa Adamu + +Yesu alikuwa anajizungumzia mwenyewe. + +# Atakuta imani duniani? + +Dhumuni la mfano huu ni kuwatia moyo wanafunzi wake waendelee kuamini na kuomba. Yesu hapa anatumia swali lingine anayotegemea jibu hasi. "Lakini najua mimi, Mwana wa Adamu, nikirejea, nitawakuta watu wasioniamini." + diff --git a/luk/18/09.md b/luk/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..fc961fe7 --- /dev/null +++ b/luk/18/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine kwa watu wengine waliojiona kuwa wenye haki. + +# Ndipo yeye + +"Ndipo Yesu" + +# Baadhi + +"Baadhi ya watu" + +# Ambao walijiona wenyewe kuwa wenye haki + +"waliokuwa na haki wenyewe" au "waliodhani kuwa wana haki" + +# kuwadharau + +"Kutothamini" au "kudhani kuwa ni bora zaidi ya" + +# Hekaluni + +"kwenye eneo la hekalu" + diff --git a/luk/18/11.md b/luk/18/11.md new file mode 100644 index 00000000..c4d985ee --- /dev/null +++ b/luk/18/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mfarisayo akasimama, akasali mambo haya juu yake mwenyewe + +Maana kwenye maneno ya Kigiriki haipo wazi. inaweza kuwa na maana 1) "Mfarisayo alisimama akaomba juu yake mwenyewe kwa njia hii" au 2) Mfarisayo alisimama pekeyake na akasali." + +# Majambazi + +Jambazi ni mtu anayeiba vitu kwa kumlazimisha mtu ampe au kwa kumtishia kwa nguvu. + +# Ninayopata + +"Ninayopokea" + diff --git a/luk/18/13.md b/luk/18/13.md new file mode 100644 index 00000000..a1ffe377 --- /dev/null +++ b/luk/18/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Yesu alimaliza kuwaambia mfano. kwenye mstari wa 14, alitoa maelezo kuhusu maana ya mfano huo. + +# Akainua macho yake juu + +"Akaangalia mbinguni" au "akaanalia mbele" + +# Akapiga kifua chake + +Hii ni ishara ya nje ya masikitiko makuu, na kuonyesha namna huyu mtu anavyotubu na unyenyekevu. + +# Mungu nirehemu mimi, mwenye dhambi + +Mungu nakuomba nirehemu mimi, japokuwa ni mtenda dhambi" Mungu, nakuomba unirehemu mimi. Ni mtenda dhambi" + +# Huyu mtu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki. + +"Mungu alimsamehe yule mtoza ushuru" + +# Kuliko yule mwingine + +"Kuliko yule mtu mwingine" au "na sio yule mtu mwingine." ' Lakini Mungu hakumsamehe Mfarisayo" + +# Kwa sabau kila mtu atakayejikweza + +Kwenye sentensi hii, Yesu anahama kwenye simulizi na kutoa maelezo ya simulizi. + +# Atashushwa + +"Mungu atamshusha" + +# Atakwezwa + +"Mungu atampa heshima" + diff --git a/luk/18/15.md b/luk/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..735ad12e --- /dev/null +++ b/luk/18/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya kuunganisha: + +Hili ni tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi inayoanza Yesu anawakaribisha watoto na anazungumza nao. + +# Akawagusa, lakini + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi tofauti. "akawagusa. Lakini" + +# Wakawazuia + +"Wanafunzi walijaribu kuwakataza wazazi wasiwalete watoto kwa Yesu" + +# waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie + +Hizi sentensi mbili zina maana inayofanana na zimewekwa pamoja ili kutia msisistizo. Lugha nyingine zinasisitiza kwa namna tofauti. "Mnatakiwa muwaache watoto wadogo waje kwangu." + +# Ni wa kwao + +"Ni wa watu waliokama hawa watoto" + +# Amini nawaambia + +"Hakika nawaambia." Yesu alitumia maelezo haya kusisitiza umuhimu wa alichokuwa anataka kukisema. + +# mtu yeyote asiyeupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto ni dhahiri hataingia + +Mungu anataka watu wapokee ufalme wake kwa kuamini na unyenyekevu. "Yeyote anayetaka kuingia kwenye ufalme wa Munguataupokea kwa kuamini na unyenyekevu kama mtoto mdogo." + diff --git a/luk/18/18.md b/luk/18/18.md new file mode 100644 index 00000000..1d0c8a1d --- /dev/null +++ b/luk/18/18.md @@ -0,0 +1,25 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Hii ni tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi inayoanza. +Yesu akaanza kuongea na kiongozi kuhusu kuingia katika ufalme wa Mungu. + +# Nifanye nini + +"Ni kitu gani natakiwa kufanya" au "Ni kipi kinahitajika kwangu" + +# Kurithi + +"kuwa mmiliki halali wa." Hii ina maanisha mali ya mtu aliyekufa. Luka anatumia neno hili kuonyesha kuwa mtawala anafahamu kuwa uzima wa milele hauwezi kuuchuma, na sio kila mtu ataishi milele. + +# Hakuna mtu aliye mwema, ila Mungu peke yake + +"Hakuna mtu aliye mwema kabisa. Mungu pekee ndo mwema" + +# Usiue + +"Usifanye mauaji" + +# Mambo haya yote + +"Amri zote hizi" + diff --git a/luk/18/22.md b/luk/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..d4fb9ffa --- /dev/null +++ b/luk/18/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yesu aliposikia hayo + +"Yesu aliposikia yule mtu akisema hayo" + +# Akamwambia + +"akamjibu" + +# Umepungukiwa jambo moja + +"Bado unatakiwa kufanya jambo moja" au "Kuna jambo moja bado hujalifanya" + +# Uza vyote ulivyonavyo + +"Uza mali zako zote" au "uza vyote unavyomiliki" + +# Wagawie masikini + +"Wape hizo pesa masikini" + +# Utakuwa na hazina mbinguni + +"Utakuwa na baraka za Mungu mbinguni" + diff --git a/luk/18/24.md b/luk/18/24.md new file mode 100644 index 00000000..13040bd5 --- /dev/null +++ b/luk/18/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha Yesu akamwona alivyohuzunika sana + +Kifungu hiki hakipo kwenye maneno mengi ya Kigiriki na mara kadhaa huondolewa kwenye tafsiri za kiingereza. + +# Ngamia kupita katika tundu la sindano + +Haiwezekani ngamia kuenea katika tundu la sindano. Kwa hiyo Yesu alitumia mafumbo kuonyesha ni jinsi gani ilivyo ngumu kabisa kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu. + +# Tundu la sindano + +Tundu la sindano ni shimo katika sindano ya kushonea ambapo uzi hupita. + diff --git a/luk/18/26.md b/luk/18/26.md new file mode 100644 index 00000000..4ad25c78 --- /dev/null +++ b/luk/18/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Waliosikia wakasema + +"Watu waliomsikiliza Yesu wakasema" + +# Je nani atakayeokoka? + +Inawezekana kuwa walikuwa wanataka jibu. Lakini ni dhahiri kwamba walitumia swali kuonyesha mshangao wao kwa alichokisema Yesu. "Hivyo hakuna atakayeokoka na dhambi" au "Hivyo Mungu hatamuokoa hata mmoja" + +# Yanawezekana kwa Mungu + +"inawezekana kwa Mungu kufanya" + diff --git a/luk/18/28.md b/luk/18/28.md new file mode 100644 index 00000000..a8ce7a99 --- /dev/null +++ b/luk/18/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Huu ni mwisho wa mazungumzo kuhusu kuingia kwenye ufalme wa Mungu. + +# Kila kitu kilicho chetu + +"utajiri wetu wote" au "Mali zetu zote" + +# Amini, nawaambia + +Yesu anatumia maelezo haya kuonyesha umuhimu wa kile anachotaka kukisema. + +# Hakuna mtu aliyeacha....... ambaye hatapokea + +"kila aliyeacha... atapokea" + +# Na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele + +"na pia uzima wa milele katika ulimwengu ujao" + diff --git a/luk/18/31.md b/luk/18/31.md new file mode 100644 index 00000000..17e9ca4d --- /dev/null +++ b/luk/18/31.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Hii ni sehemu inayofuata ya sehemu ya simulizi inayoanza Yesu haongei tuu na wanafunzi wake tuu. + +# Tazama + +Inaonyesha umuhimu wa mabadiliko katika huduma ya Yesu alivyokuwa akienda Yerusalemu kwa mara ya mwisho. + +# Yaliyoandikwa na manabii + +"ambayo manabii waliandika" + +# Manabii + +Hii inamaanisha Manabii wa Agano la kale. + +# Mwana wa Adamu + +Yesu alikuwa anajielezea mwenyewe kama "mwana wa Adamu" na akatumia "yeye" kujielezea mwenyewe. + +# Yatatimizwa + +"yatatokea" au "yatatimia" + +# Atatiwa mikononi mwa Mataifa + +"Viongozi wa Kiyahudi watamkabidhi kwa Mataifa" + +# watamtendea dhihaka na jeuri, na kutemewa mate + +"watamdhihaki, watamtendea vibaya na kumtemea mate" + +# Siku ya tatu + +Hii inaelezea siku ya tatu baada ya kufufuka. Japokuwa wanafunzi wake hawakumuelewa, hivyo ni vizuri kutokuongeza maelezo haya unapotafsiri mstari huu. + diff --git a/luk/18/34.md b/luk/18/34.md new file mode 100644 index 00000000..bb98882b --- /dev/null +++ b/luk/18/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Mstari huu sio sehemu ya simulizi lakini ni mawazo kuhusu sehemu ya simulizi hii. + +# Hawakuelewa mambo haya + +"Hawakuelewa kabisa mambo haya" + +# Mambo haya + +Hii inaelezea namna ambavyo Yesu atateseka na kufa Yerusalemu, na atafufuka toka kwa wafu. + +# Neno hili lilikuwa limefichwa kwao + +"Mungu aliwafanya wasielewe maana ya kile alichokuwa akiwaambia" + +# Mambo ambayo aliyasema + +"Mambo ambayo Yesu aliyasema" + diff --git a/luk/18/35.md b/luk/18/35.md new file mode 100644 index 00000000..d412fe46 --- /dev/null +++ b/luk/18/35.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya jumla + +Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anamponya kipofu alipokuwa anakaribia Yeriko. Mistari hii inatupa historia kuhusu simulizi hii. + +# Ikawa + +Neno hili linatumika kuonyesha mwanzo wa simulizi mpya. + +# Alipokaribia + +"Alipokuwa karibu" + +# Mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi + +"kulikuwa na mtu kipofu ameketi" Hapa "mmoja" inaonyesha kuwa mtu huyu alikuwa wa muhimu katika simulizi hii lakini Luka hakutaja jina lale. + +# Akiomba, na akasikia + +"Aliomba. aliposikia" + +# Wakamwambia + +"Makutano wakamwambia kipofu" + +# Yesu wa Nazareti + +Yeso toka mji wa Nazareti uliopo Galilaya. + +# Anapiata + +"Alikuwa akimpita" + diff --git a/luk/18/38.md b/luk/18/38.md new file mode 100644 index 00000000..e1d551b4 --- /dev/null +++ b/luk/18/38.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hivyo + +Neno hili linaweka alama ya tukio limetokea kwa sababu kitu fulani kilitokea kwanza. Kwa hivyo makutano walimwambia kipofu kuwa Yesu anapita. + +# Akalia kwa sauti + +"akaita kwa sauti" au "akapiga kelele" + +# Mwana wa Daudi + +Yesu alikuwa uzao wa Daudi, Mfalme muhimu kwa Israeli. + +# Nihurumie + +"nionee huruma" au "nihurumie" + +# Wale + +"watu" + +# Anyamaze + +"awe kimya" au "asipige kelele" + +# Akazidi kulia kwa sauti + +Hii inaweza kumaanisha alilia kwa sauti zaidi au alilia zaidi kwa kusisitiza. + diff --git a/luk/18/40.md b/luk/18/40.md new file mode 100644 index 00000000..e4ab42c9 --- /dev/null +++ b/luk/18/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwamba mtu yule aletwe kwake + +"watu wamlete kipofu kwake" + +# nataka kuona + +aweze kuona tena + diff --git a/luk/18/42.md b/luk/18/42.md new file mode 100644 index 00000000..144d643f --- /dev/null +++ b/luk/18/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Imani yako imekuponya + +"Nimekuponya kwa sababu umeniamini" + +# Akamfuata + +"Akaanza kumfuata" + +# Akamtukuza Mungu + +"Akampa Mungu utukufu" au "Akamsifu Mungu" + diff --git a/luk/19/01.md b/luk/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..ff77eb94 --- /dev/null +++ b/luk/19/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla + +Hii ni sehemu iliyofuata ya simulizi. Zakayo anatambulishwa kwenye simulizi. mstari wa kwanza unaonyesha historia ya safari ya Yesu. + +# Tazama kulikuwa na mtu pale + +Neno "tazama" linatuonyesha mtu mpya kwenye simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na na njia ya kufanya hivi. "Kulikuwa na mtu ambaye alikuwa" + +# Alikuwa mkuu wa watoza ushuru na alikuwa tajiri. + +Hii ni historia ya Zakayo. + diff --git a/luk/19/03.md b/luk/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..3e5d6587 --- /dev/null +++ b/luk/19/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alijaribu + +"Zakayo alijaribu" + +# Kwa sababu alikuwa mfupi wa kimo + +"kwa kuwa alikuwa mfupi" + +# Mti wa mkuyu + +"Mti wa mkuyu." unazalisha matunda madogo ya duara yenye sentimita zipatazo 2.5. + diff --git a/luk/19/05.md b/luk/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..989c0b84 --- /dev/null +++ b/luk/19/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mahali + +"kwenye mtui" au "alipokuwa Zakaria" + +# Alikwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi + +"Yesu alikwenda kwenye nyumba ya mwenye dhambi kumtembelea" + +# Mwenye dhambi + +"mwenye dhambi hasa" + diff --git a/luk/19/08.md b/luk/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..26b556a4 --- /dev/null +++ b/luk/19/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bwana + +Hii inamzungumzia Yesu + +# Wokovu umekuja katika nyumba hii + +"Mungu ameokoa nyumba hii" + +# Nyumba hii + +neno "nyumba" inamaanisha watu waishio kwenye nyumba hiyo au familia. + +# Yeye pia + +"huyu mtu pia" au "Zakayo pia" + +# Mwana wa Ibrahimu + +Inamaanisha 1)"kizazi cha Ibrahimu" na 2)"mtu aliyekuwa na imani kama ya Ibrahimu." + +# Watu waliopotea + +"watu waliokua mbali na Mungu" au "wale ambao kutokana na dhambi wako mbali na Mungu" + diff --git a/luk/19/11.md b/luk/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..06eb0967 --- /dev/null +++ b/luk/19/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla + +Yesu alianza kuwaambia makutano mfano. mstari wa kumi na moja unaonyesha historia kwa nini Yesu aliwaambia mfano huo. + +# kwamba ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja. + +"kwamba Yesu ataanza kumiliki maramoja kwenye ufalme wa Mungu" + +# Ofisa mmoja + +"Mtu mmoja ambaye alikuwa mmoja wa viongozi" au "mtu mmoja toka kwenye familia ya muhimu." "Mtu wa muhimu" + +# Kupokea ufalme + +Hii ni picha ya mfalme mdogo kumwendea mfalme mkubwa. Mfalme mkubwa atampa mfalme mdogo mamlaka ya kuongoza nchi yake mwenyewe. + diff --git a/luk/19/13.md b/luk/19/13.md new file mode 100644 index 00000000..79c87b7d --- /dev/null +++ b/luk/19/13.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Aliwaita + +Ofisa aliwaita + +# Akawapa mafungu kumi + +"akawapa kila mtu fungu moja" + +# Mafungu kumi + +Fungu ni gramu 600. kila fungu linathamani ya malipo ya miezi minne ya mtu, "Sarafu kumi" au "kiasi kikubwa cha pesa" + +# Fanya biashara + +"fanya biashara na pesa hizi" au "tumia hizi pesa ili upate zaidi" + +# Wananchi wake + +Watu wa nchi yake" + +# Mabalozi + +"wawakilishi" au "wajumbe" + +# Ikawa + +Neno hili limetumika kuonyesha umuhimu wa tukio kwenye simulizi. Kama lugha yako ina namna nyingine ya kufanya hivi unaweza ukaitumia hapa. + +# Baada ya kuupokea ufalme + +"Baada ya kuwa Mfalme" + +# Waitwe kwake + +"kwenda kwake" + +# Mmetengeneza faida kiasi gani + +"ni pesa kiasi gani waliipata" + diff --git a/luk/19/16.md b/luk/19/16.md new file mode 100644 index 00000000..b92e213e --- /dev/null +++ b/luk/19/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wa kwanza + +"Mtumishi wa kwanza" + +# Akaja mbele yake + +"Akaja mbele ya Afisa" + +# Umefanya vyema + +"wewe umefanya vyema" Lugha yako inaweza kutafsiri kifungu hiki kwamba mwajiri anatumia kuonyesha kiridhika, kama vile "kazi nzuri." + diff --git a/luk/19/18.md b/luk/19/18.md new file mode 100644 index 00000000..38ed54ad --- /dev/null +++ b/luk/19/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Fungu lako, Bwana, limefanya mafungu matano. + +"Bwana kwa pesa ulizonipa, nimezalisha mara tano" + +# Chukua mamlaka juu ya miji mitano + +"Utakuwa na mamlaka juu ya miji mitano" + diff --git a/luk/19/20.md b/luk/19/20.md new file mode 100644 index 00000000..5cdf3215 --- /dev/null +++ b/luk/19/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mtu mkali + +'Mtu wakali' au 'mtu ambaye anatarajia mengi toka kwa watumishi wake' + +# Unachukua kile usichokiweka + +Ni fumbo linaloelezea mtu mkorofi. "unaondoa kitu asichokiweka" au "unachukua kitu ambacho sio chako." + +# Kuvuna kile usichopanda + +"Kuvuna usichokipanda." Mtumishi alikuwa anamfananisha bwana wake na mkulima anayechukua chakula ambacho mtu mwingine alikipanda. + +# Kuvuna + +"kukusanya" au "kuweka" + diff --git a/luk/19/22.md b/luk/19/22.md new file mode 100644 index 00000000..ff5d39d5 --- /dev/null +++ b/luk/19/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa maneno yako mwenyewe + +"Kutokana na ulichokisema" + +# Kwamba mimi ni mtu mbaya, nachukua + +Afisa alirudia maneno aliyoyasema mtumishi juu yake. Hakusema kuwa ilikuwa kweli. + +# Mtu mkali + +"mtu mkorofi" + +# Kwa nini hukuweka pesa yangu...... faida? + +Afisa alitumia swali ili kumkemea Mtumishi dhalimu. "Ungeweka pesa yangu..... faida." + +# Weka pesa yangu benki + +"Kopesha pesa zangu benki" Tamaduni ambazo hazina benki zaweka kutafsiri kuwa "Acha mtu aazime pesa zangu." + +# Benki + +Benki ni biashara salama ya kuweka pesa za watu. Benki huwakopesha watu pesa kwa faida. Hivyo inalipa pesa ya ziada au faida kwa watu wanaoweka pesa zao benki. + +# Nitakusanya na faida + +"Ningekusanya kiasi hicho cha fedha pamoja na faida iliyopatikana" au "ningepata faida" + +# Faida + +Faida ni pesa ambayo benki humlipa mtu anayeweka pesa zake katika benki. + diff --git a/luk/19/24.md b/luk/19/24.md new file mode 100644 index 00000000..31cdc0eb --- /dev/null +++ b/luk/19/24.md @@ -0,0 +1,9 @@ +# Afisa + +Afisa aliyekujakuwa mfalme. +Tafsiri hivi kwa maneno ambayo yataeleweka kwa wasomaji. + +# Waliokuwa wamesimama hapo + +"Watu waliokua wamesimama karibu nao" + diff --git a/luk/19/26.md b/luk/19/26.md new file mode 100644 index 00000000..cbe420a9 --- /dev/null +++ b/luk/19/26.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla + +Yesu amemaliza kuwaambia mfano wake na sasa anatoa mawazo juu ya makutano nyumbani kwa Zakayo. + +# Nawaambia + +Hii ilikuwa kauli ya mfalme. Watafsiri wengine wanaweza kutaka kuanza mstari huu kwa kusema "Na mfalme akajibu, 'Nawaambia ninyi" au Lakini mfalme akasema, Namwaambia hivi" + +# Kila aliyenacho + +"kila mtu atakayetumia vizuri alichopewa" au "kila mtu atakayetumia vizuri vitu nilivyompa" + +# Atapewa zaidi + +"Ntampa zaidi" + +# Toka kwake ambaye hana + +"Toka kwa mtu ambaye hatumii vizuri kile nilichompa" + +# Kitaondolewa + +"Nitakichukua kutoka kwake" + +# Hawa adui zangu + +Kwa kuwa adui zake hawakuwepo pale, lugha nyingine zawezasema "wale adui zangu." + diff --git a/luk/19/28.md b/luk/19/28.md new file mode 100644 index 00000000..986a7c8c --- /dev/null +++ b/luk/19/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Huu ni mwisho wa simulizi kuhusu Zakaria. Mstari huu unaelezea aliyoyafanya Yesu baada ya simulizi hii. + +# Alipomaliza kusema maneno haya + +"Yesu alipomaliza kusema maneno haya" + +# Kwenda Yerusalemu + +Yerusalemu ilikuwa kama mita 975 juu ya Yeriko. + diff --git a/luk/19/29.md b/luk/19/29.md new file mode 100644 index 00000000..70b4e299 --- /dev/null +++ b/luk/19/29.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anakaribia Yerusalemu. + +# Ikawa + +Aya hii imetumika kuonyesha mwanzo wa simulizi mpya. Kama lungha yako ina njia nyingine ya kusema hivi unaweza ukatumia hivyo. + +# Alipofika karibu + +Neno "yeye" linamaanisha Yesu. Wanafunzi wake walisafiri pamoja naye. + +# Bethfage + +Bethfage kilikuwa kijiji kwenye mlima wa Mizeituni, ambayo imepita katikati ya bonde la Kidron toka Yerusalemu. + +# Mlima ulioitwa Mizeituni + +"Mlima ulioitwa Mlima wa Mizeituni" au Mlima ulioitwa "mlima wa mti wa Mizeituni" + +# Mwanapunda + +"Punda mdogo" au "myama mdogo wa kumuendesha" + +# Ambaye hajapandwa bado + +"ambae hamna mtu aliyemtumia" + diff --git a/luk/19/32.md b/luk/19/32.md new file mode 100644 index 00000000..a9e1d180 --- /dev/null +++ b/luk/19/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wale waliotumwa + +"Wale waliotumwa na Yesu" au "Wanafunzi wawili waliotumwa na Yesu" + +# Walitandika mavazi yao juu ya mwanapunda + +"waliweka nguo zao juu ya mwanapunda." Mavazi ni nguo. Hapa inamaanisha mavazi ya nje au nguo. + +# Walitandaza mavazi yapo + +"watu walitandaza mavazi yao" au "wengine walitandaza mavazi yao." Hii ni ishara ya kuonyesha heshima kwa mtu fulani. + diff --git a/luk/19/37.md b/luk/19/37.md new file mode 100644 index 00000000..c4a840cd --- /dev/null +++ b/luk/19/37.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Alipokuwa nateremka katibu + +"Yesu alipokaribia" au "Yesu alipokuwa anakaribia." Wanafunzi wa Yesu walikuwa wakisafiri pamoja naye. + +# Mambo makubwa waliyoyaona + +"Mambo makubwa waliyoyaona yakifanywa na Yesu" + +# Amebarikiwa Mfalme + +Walisema haya kuhusu Yesu + +# Kwa jina la Bwana + +Hapa "jina" linaelezea nguvu na mamlaka. Pia "Bwana" linamaanisha Mungu + +# Utukufu juu + +"Acha kila mtu amtukuze yeye aliye juu sana" au "acha kila mtu amsifu aliye juu" + diff --git a/luk/19/39.md b/luk/19/39.md new file mode 100644 index 00000000..590e39b2 --- /dev/null +++ b/luk/19/39.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wanyamazishe wanafunzi wako + +"waambie wanafunzi wako waache kufanya mambo haya" + +# Nawaambieni + +Yesu alisema hivi kuonyesha msisitizo wa alichotaka kukisema baadae. + +# Hawa wakinyamaza + +Tafsiri zingine zinahitaji kuweka wazi kile ambacho Yesu alikuwa ikimaanisha pale aliposema 'Hapana, mimi sitawakemea, kwa maana hwa watu wakikaa kimya.' + +# Mawe yatapaza sauti + +"Mawe yatasifu" + diff --git a/luk/19/41.md b/luk/19/41.md new file mode 100644 index 00000000..7eeea031 --- /dev/null +++ b/luk/19/41.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kukaribia + +"Kusogelea" au "kuwa karibu" + +# Mji + +Hii inamaanisha Yerusalemu. + +# Aliulilia + +Neno "ule" linamaanisha mji wa Yerusalemu, lakini linawakilisha watu wanaoishi ndani ya mji huo. + +# Laiti ungelijua + +Huu ni mshangao. Yesu alionyesha huzuni yake kwamba watu wa Yerusalemu hawakujua mambo haya. Maelezo haya yanaweza kuongezwa mwishoni mwa sentensi "hivyo mngeweza kuwa na amani." "Natamani mtambue au "nina huzuni kwa kuwa hamjui." + +# Wewe + +Neno 'wewe' ni umoja kwa sababu Yesu alikuwa akizungumza na mji. Lakini kama hii haitakuwa na uhalisia katika lugha yako, unaweza kutumia wingi wa "wewe" kwa kutaja watu wa mji. + +# Yanmefichwa machoni pako + +"Hamuawezi kuona tena" au "hamkuweza kufahamu" + diff --git a/luk/19/43.md b/luk/19/43.md new file mode 100644 index 00000000..d71b57a2 --- /dev/null +++ b/luk/19/43.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Yesu akaendelea kuongea. + +# Kwa + +Kilichofuata ni sababu ya Yesu kuhuzunika. + +# Siku zinakuja juu yako + +Hii inaonyesha kwamba wangepitia nyakati ngumu. Baadhi ya lugha hawaongelei juu ya wakati ujao. 'Katika siku zijazo mambo haya yatatokea kwako' au 'hivi karibuni utavumilia wakati mgumu.' + +# Wewe + +neno 'wewe' ni umoja kwa sababu Yesu alikuwa akizungumza na mji. Lakini kama hii haitakuwa na uhalisia katika lugha yako, unaweza kutumia wingi wa "wewe" kwa kutaja watu wa mji. + +# Boma + +Boma ni ukuta unaolinda watu wasitoke nje ya mji. + +# Watakuangusha chini kwenye ardhi + +Kwa kuwa Yesu alikuwa akiongea na mji, hii inaelezea ukuta na wajenzi wa ukuta wa mji. "Wataharibu kuta zako" au "Wataharibu kuta zako." + +# Na watoto wako pamoja nawe + +Hii inaelezea watu wanaoishi kwenye mji. "na watawaua watu wa kwenye mji." + +# Hawataacha jiwe moja juu ya lingine + +Huu ni mfano unaoelezea namna ambavyo maadui wataharibu kabisa mji uliojengwa kwa mawe. "Hawataacha jiwe lolote kwenye eneo hilo." + +# Haukulitambua hilo + +"haukulijua" + diff --git a/luk/19/45.md b/luk/19/45.md new file mode 100644 index 00000000..e36c11ab --- /dev/null +++ b/luk/19/45.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Hili ni tukio lingine kwenye sehemu hii ya simulizi. Yesu aliingia hekaluni. + +# Kufukuza + +"Kutoa nje" au "kutoa kwa nguvu nje" + +# Imeandikwa + +Hii imenukuliwa toka Isaya. "Maandiko yanasema" au "Nabii aliandika maneno haya kwenye maandiko" + +# Nyumba yangu + +Neno "yangu" inamuelezea Mungu na "nyumba" linaelezea hekalu. + +# Nyumba ya sala + +"sehemu ambayo watu wananiomba" + +# Pango la wanyang'anyi + +"sehemu ambayo wanyang'anyi wanajificha." "Kama pango la wanyang'anyi." + diff --git a/luk/19/47.md b/luk/19/47.md new file mode 100644 index 00000000..eb09d2c7 --- /dev/null +++ b/luk/19/47.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo yanayounganisha. + +Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi hii. Aya hizi zinaelezea kuhusu hatua inayoendelea baada ya sehemu kuu ya simulizi kuisha. + +# Hekaluni + +'Hekaluni' au 'kwenye hekalu' + +# Makuhani wakuu + +'Mwenye cheo cha juu cha makuhani' 'makuhani muhimu zaidi ' + +# Walikuwa wakisikiliza kwa makini + +"Walisikiliza kwa makini kile alichokuwa akikisema Yesu" + diff --git a/luk/20/01.md b/luk/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..fad2e41d --- /dev/null +++ b/luk/20/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Makuhani wakuu, mafarisayo na wazee walimuuliza Yesu hekaluni. + +# Ikawa + +neno hili linaonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. + diff --git a/luk/20/03.md b/luk/20/03.md new file mode 100644 index 00000000..560bd0ca --- /dev/null +++ b/luk/20/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla + +Yesu anawajibu wakuu wa makuhani, mafarisayo na wazee. + +# aliwajibu na kuwaambia + +"Yesu akawajibu" + +# Ilitoka mbinguni au kwa watu? + +Yesu alijua mamlaka ya Yohana ilitoka mbinguni, Aliuliza swali ili vingozi wa kiyahudi waseme wanavyofikiri kwa wote waliowasikiliza. "mnafikiri mamlaka ya Yohana yalitoka mbinguni au kwa wanadamu?" au "mnadhani Mungu alimwambia Yohana abatize watu au watu walimwambia afanye hivyo?" + +# Toka mbingini + +"toka kwa Mungu" Wayahudi waliepuka kumtaja Mungu kama "Yawe". Mara nyingi wanatumia neno "Mbingu" kumuelezea + diff --git a/luk/20/05.md b/luk/20/05.md new file mode 100644 index 00000000..9abf2dc2 --- /dev/null +++ b/luk/20/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Walijadiliana + +"Walijadili" au "walitafakari jibu lao" + +# "tukisema imetoka mbinguni' + +Lugha nyingine zinatumia nukuu ya moja kwa moja. "Kama tukisema mamlaka ya Yohana yalitoka Mbinguni" + +# Toka mbinguni + +"Toka kwa Mungu" inategemea na namna ambavyo swali lilitafsiriwa kwenye mistari iliyopita, hii inaweza kutafsiriwa kama "Mungu alifanya" au "Mungu alimpa mamlaka" + +# Atasema + +Yesu atasema + +# kutupia mawe + +"Kutuua kwa kutupiga mawe" Sheria ya Mungu imeamuru watu wake kuwapiga mawe watu wanaomdhihaki yeye au manabii zake. + diff --git a/luk/20/07.md b/luk/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..69433e04 --- /dev/null +++ b/luk/20/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndipo wakamjibu + +"ndipo wakuu wa makuhani na mafarisayo na wazee wakamjibu" Neno "ndipo" linaonyesha tukio limetokea kutokana na tukio limgine lililotokea kabla. + +# Walijibu kuwa hawakujua ilikotoka + +Wakasema, "hatujui ilipotoka" + +# Imetoka wapi + +"Yohana mbatizaji alitoka wapi." Mamlaka aliyokuwa nayo Yohana ya kubatiza yalitoka wapi" au "nani alimpa mamlaka Yohana ya kubatiza watu." + +# Nami sitawaambia + +"Na sitawaambia" au "kama ambavyo hamniambii basi na mimi siwaambii" + diff --git a/luk/20/09.md b/luk/20/09.md new file mode 100644 index 00000000..701ce4b8 --- /dev/null +++ b/luk/20/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla + +Yesu alaanza kuwaambia mfano watu waliokuwa hekaluni + +# Aliwakodisha wakulima wa mzabibu + +"aliwaruhusu baadhi ya wakulima wa mizabibu watumie kwa mabadilishano ya pesa" au "aliwaruhusu wakulima wa mizabibu walitumie ba baadae wamlipe pesa" + +# Wakulima wa mizabibu + +Watu ambao hupanda na kukuza mizabibu. "wakulima wa mizabibu" + +# matunda ya shambani + +"Baadhi ya mizabibu" au "baadhi ya walichozalisha kwenye shamba." Pia inaweza kuelezea vitu amabavyo vinatokana na zabibu au pesa zinazotokana na mauzo ya zabibu + +# Wakamrudisha mikono mitupu + +"wakamrudisha bila kumlipa" au "wakamrudisha bila mizabibu" + diff --git a/luk/20/11.md b/luk/20/11.md new file mode 100644 index 00000000..1c70088e --- /dev/null +++ b/luk/20/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakamtendea vibaya + +"Wakamdhalilisha" + +# Wakamjeruhi + +"wakamsababishia majeraha" + +# Na wa tatu + +Hata mtumishi wa tatu au na mtumishi mwingine. Neno + diff --git a/luk/20/13.md b/luk/20/13.md new file mode 100644 index 00000000..c7a44624 --- /dev/null +++ b/luk/20/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakati Wakulima wa mizabibu walipomuona + +"wakati wakulima walipomuona mtoto wa mwenye shamba" + +# Tumuue + +Walisema hivyo ili kutiana moyo kuua + diff --git a/luk/20/15.md b/luk/20/15.md new file mode 100644 index 00000000..cc95c589 --- /dev/null +++ b/luk/20/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Yesu alimaliza kuwaambia mfano wake kwa makutano. + +# Walimtupa nje ya shamba + +"Wakulima wa mzabibu walimtoa kwa nguvu mwana wa mwenye shamba nje ya shamba + +# Je bwana shamba atawafanya nini? + +Yesu alitumia maswali ili wasikilizaji wake wawe makinijuu ya atakayoyafanya mwenye shamba. "sasa sikilizeni je Bwana shamba atawafanya nini." + +# Yasitokee haya + +"Mungu ayaepushe yasitokee haya" au "Isitokee kamwe" Watu wanaelewa mfano huu kuwa unamaanisha kuwa Mungu atawaondoa Yerusalemu kwa kuwa wamemkataa Mesia. Wanaelezea kwa nguvu shauku yao kuwa jambo hili baya lisitokee. + diff --git a/luk/20/17.md b/luk/20/17.md new file mode 100644 index 00000000..883181da --- /dev/null +++ b/luk/20/17.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Yesu anaendelea kuwafundisha makutano + +# Yesu akawaangalia + +"Lakini yesu akawatazama" au "Lakini Yesu akawaangalia moja kwa moja." Alifanya hivi ili wamuelewe alichokuwa anakisema. + +# Andiko hili lina maana gani? + +"Andiko hili linaelezea nini?" Yesu alitumia maswali kuwauliza makutano. "Mnatakiwa kuwa na uwezo kuelewa aandiko hili" + +# Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe la msingi + +Fumbo hili ni unabii toka kitabu cha Zaburi kuhusu namna watu watakavyomkataa Masiha. + +# Jiwe walilolikataa + +"Jiwe walilolikataa waashi wakisema halikuwa zuri kwa ajili ya ujenzi." Kipindi hicho watu walijenga kuta za nyumba na majengo mengine kwa kutumia mawe. + +# Limekuwa jiwe la msingi + +Hili lilikuwa jiawe la muhimu kwa kufanya jengo liwe imara. "Limekuwa jiwe la Msingi" au "limekuwa jiwe la Muhimu" + +# Kila atakayeanguka kwenye jiwe hilo. + +"Yeyote atakayeanguka kwenye jiwe hilo". Fumbo hili ni unabii kuhusu kitakachotokea kwa wote watakaomkataa Mesia. + +# Atavunjika vipande vipande + +"Atavunjika vipande vipande." Haya ni matokeo ya kuanguka kwenye jiwe. + +# Lakini kwa yeyote ambaye litamwangukia + +"Lakini kwa yeyote ambaye jiwe litamwangukia." Fumbo hili linaonyesha unabii kuhusu Mesia atakapowahukumu waliomkataa. + diff --git a/luk/20/19.md b/luk/20/19.md new file mode 100644 index 00000000..5d6f1a02 --- /dev/null +++ b/luk/20/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Walitaka kumkamata + +"walitafta njia ya kumkamata Yesu" + +# Wakati huo huo + +Mda huo huo + +# Walikuwa wanawaogopa watu + +Hii ndiyo sanbabu hawakumkamata Yesu moja kwa moja. Watu walimuheshimu Yesu na viongozi wa dini waliogopa kile ambacho watu wangekifanya ikiwa wangemkamata Yesu. "Lakini hawakumkamata kwa kuwa waliwaogopa watu." + +# Walituma wapelelezi + +"Mafarisayo na Makuhani wakuu walituma wapelelezi kumuangalia Yesu" + +# Kama watapata kosa kwenye hotuba zake + +"kwa kuwa walitaka kumtuhumu Yesu kwa kusema jambo baya" + +# ili kumpeleka + +"ili kumpeleka kwa" au "ili kumkabidhi kwa" + +# Kwa uongozi na mamlaka ya Gavana + +Kuongoza na mamlaka ni njia mbili za kuelezea kitu kimoja. + diff --git a/luk/20/21.md b/luk/20/21.md new file mode 100644 index 00000000..b4f85af8 --- /dev/null +++ b/luk/20/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo yanayounganisha. + +Hapa ni mwanzo wa tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi hii. Muda sasa umepita tangu Yesu alipoulizwa maswali hekaluni na Makuhani wakuu. Wapelelezi sasa wanamuuliza Yesu. + +# Hawakushawishiwa na mtu yeyote. + +Inamaanisha 1)wewe sema ukweli hata kama watu wa muhimu hwatapenda" au 2)"usimpendelee mtu mmoja juu ya mwingine." + +# Lakini fundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu + +Hii ni sehemu waliyosema wapelelezi kwamba wanafahamu kuhusu Yesu. + +# Je ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari. + +Walitegemea kuwa Yesu atasema "ndio" au "hapana." Angesema "ndio" Wayahudi wangemkasirikia kwa kusema walipe kodi kwa serikali ya kigeni. Angesema "hapana" viongozi wa dini wangewaambia warumi kuwa Yesu aliawafundisha watu kuvunja sheria za warumi. + +# Ni halali + +Walimuuliza Yesu kuhusu sheria za Mungu na sio sheria za Kaisari. "shheria zetu zinaruhusu." + +# Kaisari + +kwa sababu kaisari alikuwa kiongozi wa serikali ya Roma hivyo wanaielezea serikali ya Roma kwa jina la Kaisari. + diff --git a/luk/20/23.md b/luk/20/23.md new file mode 100644 index 00000000..750e6d2d --- /dev/null +++ b/luk/20/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yesu alielewa mtego wao + +"lakini Yesu alitambua mtego wao ulivyokuwa" au " lakini Yesu alione kuwa walikuwa wanajaribu wanamtega" neno "wao" linamaanisha wapelelezi" + +# Dinari + +Hii ni sarafu ya Kirumi yenye thamani ya mshahara wa siku. + +# Ni sura na chapa ya nani ipo juu yake + +Yesu alitumia swali kuwajibu waliokuwa wanamtega. + +# Sura na chapa + +"picha na jina" + diff --git a/luk/20/25.md b/luk/20/25.md new file mode 100644 index 00000000..90da2e3e --- /dev/null +++ b/luk/20/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Hapa ni mwisho wa tukio hili kuhusu wapelelezi na sehemu ya simulizi inayoanza + +# Aliwaambia + +"Kisha Yesu akawaambia" + +# Kaisari + +Hapa "Kaisari" anamaanisha serikali ya Rumi + +# Hatukuweza kukosoa alichokisema + +"hatukuweza kupata chochote kibaya kwa aliyoyasema" + +# Wakastaajabu + +"Walishangaa" au wali + diff --git a/luk/20/27.md b/luk/20/27.md new file mode 100644 index 00000000..6ffd1084 --- /dev/null +++ b/luk/20/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla + +Hii ni sehemu inayofuata ya simulizi. hatufahamu ilitokea wapi, japo inaweza kuwa wapo hekaluni. Yesu anaongea na Masadukayo. + +# Waliokuwa wanasema kuwa hamna ufufo + +Maneno haya yanatambulisha Mawadukayo ambao ni kundi la Wayahudi wanaosema hakuna atakayefufuliwa toka kwa wafu. Haimaanishi kuwa baadhi ya masadukayo wanaamini kuwa kuna ufufuo na wengine hawaamini. + +# Ikiwa mtu akifiwa na kaka yake aliyekuwa na mke na hana mtoto. + +"Ikiwa mtu akifiwa na kaka yake wakati ana mke lakini hawana watoto" + +# mtu atamchukua mke wa kaka yake + +"mtu atamuoa mjane aliyefiwa na mume wake" + diff --git a/luk/20/29.md b/luk/20/29.md new file mode 100644 index 00000000..393a3647 --- /dev/null +++ b/luk/20/29.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Masadukayo wakamaliza kumuuliza Yesu maswali. + +# Taarifa ya jumla + +Masadukayo walimwambia Yesu simulizi fupi kwenye mstari wa 29-32. Hii ni simulizi waliyoiweka kama mfano. kwenye mstari wa 33, walimuuliza Yesua swali kuhusu simulizi hiyo. + +# Walikuwepo ndugu saba + +Hii inaweza kuwa imetokea au ni simulizi iliyotengenezwa ili kumjaribu Yesu. + +# Walikufa bila kuwa na watoto + +"kufa bila kuwa na mtoto" au "na kufa lakini hawakuwa na mtoto yeyote" + +# Na wa pili pia + +"wa pili alimuoa na kitu kilekile kikatokea" au "ndugu wa pili akamuoa na akafa bila kupata watoto" + +# Wa tatu akamchukua + +"wa tatu akamuoa" + +# vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa + +"kwa njia ileile kama ndugu wote saba walimuoa na hawakupata watoto wa wakafa. + +# Kwenye ufufuo + +"wakati watu watafufuliwa toka kwa wafu" au "wakati waliokufa wanakuwa hai tena." Baadhi ya lugha wananjia ya kuonyesha kuwa masadukayo hawaamini kuwa kuna ufufuo. + diff --git a/luk/20/34.md b/luk/20/34.md new file mode 100644 index 00000000..703b920c --- /dev/null +++ b/luk/20/34.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Yesu anaanza kuwajibu Masadukayo + +# Wana wa ulimwengu huu + +"Watu wa ulimwengu huu" au "watu wa nyakati hizi." Hii inapingana na wale walioko mbingini na watu watakaoishi baada ya ufufuo. + +# Kuoa na kuolewa + +Kwa tamaduni hiyo wanaongelea juu ya mwanaume kumuoa mwanamke na mwanamke kupelekwa kwenye ndoa kwa mume wake "kuolewa." + +# Wao wanaostahili + +"watu ambao Mungu anawaona kuwa wanastahili" + +# Kupokea ufufuo toka kwa waliokufa + +"kufufuliwa toka kwa wafu" au "kufufuka toka kwa wafu" + +# Hawataoa wala hawataolewa + +"Hawataoa." Hii ni baada ya ufufuo. + +# Hawatakufa tena + +Hii ni baada ya ufufuo. "Hawatakuwa na uwezo wa kufa tena." + +# na wana wa Mungu watakuw wana wa ufufuo + +"ni watoto wa Mungu maana amewatoa toka kwenye kifo" + diff --git a/luk/20/37.md b/luk/20/37.md new file mode 100644 index 00000000..279c7d8d --- /dev/null +++ b/luk/20/37.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo yanayounganisha. + +Yesu alimaliza kuwajibu Masadukayo. + +# Lakini wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyeshwa. + +Neno "hata" lipo hapo kwa sababu Masadukayo hawakushangazwa na baadhi ya maandiko kuwa wafu wanafufuliwa, ila hawakutegemea kama Musa angeandika kitu kama hicho. "Lakini hata Musa alionyeshwa kuwa wafu wanafufuliwa" + +# Mahali panapohusu kichaka + +"kwenye sehemu ya maandiko ameandika kuhusu kichaka kinachowaka moto" au "kwenye maandiko kuhusu kichaka kinachowaka moto" + +# Alipomuita Bwana + +Ambapo Musa alimuita Bwana + +# Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo + +"Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo" walimuabudu Mungu huyuhuyu. + +# Sasa + +Neno hili limetumika kuonesha ukomo wa mafundisho makuu. hapa Yesu anaelezzea namna ambavyo simulizi hii inathibitisha kuwa watu wanafufuliwa. + +# Sio Mungu wa waliokufa bali wa waliohai + +Sentensi hizi zina maana moja lakini ni mbili kwa ajili ya kusisitiza. Lugha nyingine zina namna tofauti ya kuonyesha msisitizo. " Bwana ni Mungu wa walio hai katika uzima wa milele" + +# Kwa sababu wote wanaishi kwake + +"kwa sababu kwenye macho ya Mungu wote wapo hai." "kwa sababu Mungu anajua ruho zao zipo hai" + diff --git a/luk/20/39.md b/luk/20/39.md new file mode 100644 index 00000000..0defc5d3 --- /dev/null +++ b/luk/20/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baadhi ya mafarisayo wakajibu + +"Baadhi ya mafarisayo wakamwambia Yesu." walikuwepo mafarisayo wakati Masadikayo walipokuwa wakimuuliza Yesu maswali. + +# Hawakuthubutu kumuuliza + +"waliogopa kumuuliza" au hawakujitoa kumuuliza." hawakuendelea kumuuliza maswali ya mitego maana waliogopa majibu yake yenye hekima yatawafanya waonekane wajinga tena." + diff --git a/luk/20/41.md b/luk/20/41.md new file mode 100644 index 00000000..3284839f --- /dev/null +++ b/luk/20/41.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya jumla + +Yesu aliwauliza Mafarisayo swali. + +# "Kwa nini wanasema.... mwanangu"? + +Yesu alitumia swali kuwafanya mafarisayo wafikiri alichokuwa anakisema. "Tuwafikirie walivyosema... mwanangu" au "Nitaongea kuhusu wao wakisema... mwanangu" + +# Mwana wa Daudi. + +"Kizazi cha Mfalme Daudi" Neno "mwana" limetumika kuelezea kizazi. Kwa sababu hii inamuelezea atakayetawala juu ya ufalme wa Mungu. + +# Bwana akasema kwa Bwana wangu + +Hii imenukuliwa kutoka katika kitabu cha zaburi inasema "Yaweh" na mara nyingine inasema "Bwana" "Bwana Mungu akasema kwa Bwana wangu" au "Mungu akasema kwa Bwana wangu" + +# Bwana wangu + +Daudi alikuwa akimuelezea Kristo kama "Bwana wake" + +# Mkono wangu wa kulia + +upande wa kulia ni sehemu ya heshima. Mungu alimuheshimu Mesiya kwa kusema "keti upende wangu wa kulia" + +# Mpaka nitakapowaweka adui zako chini yako + +Mpaka nitakapowashinda adui zako + +# Amekuwaje mwana wa Daudi? + +"Imekuwaje Kristo akaawa mwana wa Daudi" "hii inaonyesha kuwa Kristo sio + diff --git a/luk/20/45.md b/luk/20/45.md new file mode 100644 index 00000000..5672794d --- /dev/null +++ b/luk/20/45.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Sasa Yesu alikuwa anaelekeza umakini wake kwa wanafunzi wake na kuzungumza nao. + +# Jihadharini na + +Kujihadhari navyo + +# Ambao hupenda kupita wamevaa mavazi marefu + +Mavazi marefu yanaonyesha kuwa walikuwa wa muhimu. walipenda kupitapita wakiwa wamevaa nguo zao za muhimu" + +# Ambao Pia hula nyumba za wajane + +"Pia wanakula kwenye nyumba za wajane" "Pia wanachukua kile kinachomilikiwa na wajane" + +# Wanajifanya wanasali sala ndefu + +"wanajifanya kuwa ni wenye haki na huomba maombi marefu" au "huomba maombi maraefu ili watu wawaone" + +# Kujifanya + +hii inamaanisha Mafarisayo walifanya mambo yaliyowafanya waonekane wana umuhimu na wenye haki kuliko walivyo kiuhalisia. + +# Hawa watapokea adhabu kubwa. + +"Watapokea adhabu kubwa kuliko wengine" au "Mungu atawaadhibu zaidi ya wengine" + diff --git a/luk/21/01.md b/luk/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..8d559a2e --- /dev/null +++ b/luk/21/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mjane mmoja maskini + +Hii ni namna ya kutambulisha mtu mpya katika hadithi + +# zawadi + +"zawadi za fedha" + +# hazina + +"sanduku la makusanyo" au "sanduku la fedha". Hili lilikuwa moja ya masanduku pale hekaluni ambapo watu huweka fedha kama zawadi kwa Mungu. + +# senti mbili + +"sarafu mbili ndogo" au "sarafu za shaba ndogo sana". Hizi zilikuwa ni sarafu zenye thamani ndogo sana ambazo watu walizitumia siku hizo. + +# Nawaambieni + +Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake. + +# wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo + +Tafsiri mbadala:"kuwa na fedha nyingi na kutoa baadhi ya hizo" + +# katika umaskini wake, ametoa zote + +Tafsiri mbadala:"alikuwa na vichache sana, na bado aliweka vyote" + diff --git a/luk/21/05.md b/luk/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..b60674cd --- /dev/null +++ b/luk/21/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# matoleo + +"vitu ambavyo watu walimpa Mungu" + +# siku zitakuja ambazo + +"kutakuwa na nyakati ambapo" au "siku fulani" + +# hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine + +"kila jiwe litatolewa mahali pake." Tafsiri mbadala: "adui hawataliacha jiwe juu ya jiwe juu ya jiwe jingine." + +# ambalo halitabomolewa + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Yote yatabomolewa chini" au " Adui watabomoa chini kila jiwe." + diff --git a/luk/21/07.md b/luk/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..17871ba1 --- /dev/null +++ b/luk/21/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wakamuuliza + +"wanafunzi wakamuuliza Yesu" au "Wanafunzi wa Yesu wakamuuliza" + +# mambo haya + +Hii inarejea kile ambacho Yesu amesema kuhusu adui kuliharibu hekalu. + +# kwamba msidanganywe + +Yesu alikuwa akiwaambia wanafunzi wake.Tafsiri mbadala: "kwamba msiamini uongo" au "kwamba hakuna mmoja wa kuwadanganya." + +# kwa jina langu + +Tafsiri mbadala: "wanadai kuwa mimi" au "wanadai kuwa na mamlaka yangu" + +# msiogope + +"Msiruhusu haya mambo yawaogofye" au "msiogope" + +# mwisho hautatokea upesi + +Tafsiri Mbadala: "mwisho wa dunia hautatokea upesi baada ya vita na vurugu" au "dunia haitafikia mwisho upesi baada ya mambo hayo kutokea" + +# mwisho + +" mwisho wa kila kitu" au "mwisho wa miaka" + diff --git a/luk/21/10.md b/luk/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..66b27a0b --- /dev/null +++ b/luk/21/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha akawaambia + +"Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake." Kwa sababu huu ni mwendelezo wa kuongea kwa Yesu kutokea kwenye mstari wa nyumba, baadhi ya lugha zisingependelea kusema "Kisha akawaambia." + +# Taifa litainuka kupigana na taifa jingine + +Tafsiri mbadala: "taifa moja litashambulia taifa jingine" + +# Taifa + +Hii inamaanisha makundi ya watu ya kikabila kuliko nchi. + +# Ufalme juu ya ufalme mwingine + +Tafsiri mbadala: "Ufalme utainuka juu ya ufalme mwingine" au "majeshi kutoka ufalme mmoja utashambulia majeshi kutoka ufalme mwingine" + +# njaa na tauni + +"kutakuwa na njaa na tauni" au "nyakati za njaa na magonjwa yanayouwa watu wengi" + +# matukio ya kutisha + +"matukio yanayotisha watu" au "matukio yanayosababisha watu kuogopa sana" + diff --git a/luk/21/12.md b/luk/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..b6323177 --- /dev/null +++ b/luk/21/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mambo haya + +Hii inamaanisha mambo mabaya ya kutisha ambayo Yesu alisema yatatukia. + +# wataweka mikono yao juu yenu + +Tafsiri mbadala: "watawakamata" au "watawashika" + +# wata... + +"watu wata.." au "adui wata..." + +# yenu + +Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake. + +# kuwapeleka kwenye masinagogi + +"kuwatoa ninyi kwa viongozi wa masinagogi." Viongozi wa masinagogi wangewakataza Wayahudi wengine wote kuingiliana na wanafunzi kwa sababu wanamfuata Yesu. + +# na magereza + +"na kuwapeleka ninyi magerezani" au "na kuwaweka ninyi magerezani" + +# kwa sababu ya jina langu + +Tafsiri mbadala: "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi" + +# kwa ushuhuda wenu + +"kwa ninyi kuwaambia wao ushuhuda wenu kunihusu mimi" + diff --git a/luk/21/14.md b/luk/21/14.md new file mode 100644 index 00000000..5f9854da --- /dev/null +++ b/luk/21/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwahiyo + +"Kwa sababu ya hili." Yesu anatumia neno hili hapa kurejea kwenye kila kitu alichokisema. + +# amueni mioyoni mwenu + +Tafsiri mbadala: "zingatieni akilini mwenu" au "amua kiuthabiti" + +# kutoandaa utetezi wenu + +"kutokufikiri nini ambacho mtasema ili kujitetea kinyume cha mashitaka yao" + +# nitawapa maneno na hekima + +"Nitawaambia maneno gani ya hekima ya kusema" + +# maneno na hekima + +Tafsiri mbadala: "maneno ya hekima" + +# ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikataa kwamba ni uongo. + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Adui zenu hawataweza kubishana na ninyi au kusema kwamba hamko sahihi" au "Adui zenu lazima wakubali kwamba mko sahihi." + diff --git a/luk/21/16.md b/luk/21/16.md new file mode 100644 index 00000000..5a17184e --- /dev/null +++ b/luk/21/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mtatolewa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu. + +Tafsiri mbadala: "wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu watawapeleka kwa wenye mamlaka" + +# watawaua baadhi yenu + +"watawaua baadhi yenu." Pia inaweza kutafsiriwa kama 1) "wenye mamlaka watawaua baadhi yenu" au 2) "wale ambao watawaleta watawaua baadhi yenu." tafsiri ya kwanza ni kama iko sahihi zaidi. + +# kwa sababu ya jina langu + +Tafsiri mbadala: "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi" + +# lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea. + +Hii inaonyesha sehemu ndogo sana ya kiungo cha mwanadamu kusisitiza kwamba mtu katika ukamilifu wake hatapotea. Yesu aliishasema kwamba baadhi yao wanaweza kuuwawa. Kwahiyo baadhi walielewa kwamba hawatadhurika kiroho. Tafsiri mbadala: "Lakini mambo haya hayawezi kweli kuwadhuru ninyi" au "Hata kila unywele juu ya vichwa vyenu utakuwa salama. + +# katika kuvumilia kwenu + +"kwa kusimama thabiti." Tafsiri mbadala: "Kama hamtaacha." + +# mtaziponya nafsi zenu + +"mtapokea uzima" au "mtaishi milele" + diff --git a/luk/21/20.md b/luk/21/20.md new file mode 100644 index 00000000..d83a4e65 --- /dev/null +++ b/luk/21/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yerusalemu imezungukwa na majeshi + +Tafsiri mbadala: "Majeshi yanauzunguka Yerusalemu" + +# kwamba uharibifu wake umekaribia + +"kwamba itaharibiwa hivi karibuni" au "kwamba watauharibu muda si mrefu" + +# kimbia + +"kimbia mbali kutoka kwenye hatari" + +# hizi ni siku za kisasi + +"hizi ni siku za adhabu" au "huu ni wakati ambapo Mungu atauadhibu mji" + +# mambo yote yaliyoandikwa + +Tafsiri mbadala: "mambo yote ambayo manabii wameandika katika maandiko matakatifu zamani za kale" + +# yatatimilika + +Tafsiri mbadala: "yatatokea" + diff --git a/luk/21/23.md b/luk/21/23.md new file mode 100644 index 00000000..6451d756 --- /dev/null +++ b/luk/21/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kutakuwa na adha kuu juu ya nchi + +Yaweza kutafsiriwa kama 1) watu wakaao katika nchi watadhikika au 2) kutatokea maafa kabisa katika nchi. + +# ghadhabu kwa watu hawa + +"kutakuwa na ghadhabu kwa watu hawa." Tafsiri mbadala: "hawa watu watapata uzoefu wa hasira ya Mungu" au "God atakasirika sana na atawaadhibu watu hawa." + +# wataanguka kwa ncha ya upanga + +"watauwawa kwa ncha ya upanga." Tafsiri mbadala: "maaskari maadui watawauwa. + +# watachukuliwa mateka kwa mataifa yote + +Tafsiri mbadala: "Maadui zao watawakama na kuwapeleka nchi nyingine" + +# Yerusalemu itakanyagwa na watu wa mataifa + +Inaweza kutafsiriwa kama 1) watu wa Mataifa wataushinda Yerusalemu na kuukalia au 2) watu wa Mataifa watauharibu mji wa Yerusalemu au 3) watu wa Mataifa watawaharibu watu wa Yerusalemu. + +# wakati wa watu wa Mataifa umekamilika + +Tafsiri mbadala: "wakati wa watu wa Mataifa umefika mwisho" + diff --git a/luk/21/25.md b/luk/21/25.md new file mode 100644 index 00000000..3ff217d9 --- /dev/null +++ b/luk/21/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutakuwa na dhiki ya mataifa + +Tafsiri mbadala: "watu wa mataifa mbalimbali watadhikika" au "watu wa mataifa mbalimbali watakuwa na fadhaa nyingi" + +# katika hofu kutokana na mlio wa bahari na mawimbi + +"kwa sababu watachanganywa na mlio wa bahari na mawimbi" au "sauti kubwa ya bahari na machafuko yake yatawatisha watu." Hii inaoneka kumaanisha dhoruba isiyokuwa ya kawaida au machafuko yanayotokea baharini. + +# mambo yatakayotokea juu ya dunia + +"mambo ambayo yatatokea duniani" au "mambo yatakayotokea kwa dunia" + +# nguvu za mbingu zitatikiswa + +Inaweza kutafsiriwa kama 1) vitu vya huko angani kama jua, mwezi, na nyota hazitaenda kwa utaratibu wake wa kawaida au 2) roho zenye nguvu sana huko mbinguni zitafadhaishwa. Tafsiri ya kwanza inapendekezwa. Tafsiri mbadala: "Mungu atatikisa vitu vyenye nguvu huko mbinguni. + diff --git a/luk/21/27.md b/luk/21/27.md new file mode 100644 index 00000000..9a109352 --- /dev/null +++ b/luk/21/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mwana wa Adamu + +Yesu anarejea kwake mwenyewe + +# akija mawinguni + +Tafsiri mbadala: "akija chini katika mawingu" + +# katika nguvu na utukufu mkuu + +Hapa "nguvu" inawezekana inarejea katika mamlaka yake kuuhukumu ulimwengu. Hapa "utukufu" unaweza kurejea mwanga angavu. Mungu wakati mwingine anaonyesha ukuu wake na mwanga angavu sana. Tafsiri mbadala: "a nguvu na utukufu" au "atakuwa na wa nguvu na wa utukufu sana." + +# simameni + +Wakati mwingine watu wanapoogopa, hujiinamisha chini ili kuepuka kuonekana au kuumizwa. Wakati wanapokuwa hawaogopi tena, wananyanyuka. Tafsiri mbadala: "simameni na ujasiri." + +# inueni vichwa vyenu + +Tafsiri mbadala: "tazameni juu." Kwa kutazama juu, wataweza kumuona mwokozi akija kwao. + +# kwa sababu ukombozi wenu unasogea karibu + +Tafsiri mbadala: "kwa sababu mkombozi wenu anakuja kwenu" au "kwa sababu Mungu mara atawaokoa" + diff --git a/luk/21/29.md b/luk/21/29.md new file mode 100644 index 00000000..556d99a2 --- /dev/null +++ b/luk/21/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Inapopukutisha majani yake + +"Wakati majani yake yaanzapo kukuwa" + +# mnajionea wenyewe na kutambua + +Tafsiri mbadala: "watu wanajionea wenyewe na kutambua" + +# kiangazi tayari kiko karibu + +"kiangazi kiko karibu kuanza." Kiangazi katika Israel ni wakati wa ukavu sana, hivyo mazao huvunwa mwanzo wa kiangazi. Tafsiri mbadala: "wakati wa mavuno u tayari kuanza." + +# ufalme wa Mungu u karibu + +Mungu atausimamisha ufalme wake hivi karibuni" Tafsiri mbadala: Mungu atatawala kama Mfalme hivi karibuni." + diff --git a/luk/21/32.md b/luk/21/32.md new file mode 100644 index 00000000..6404a982 --- /dev/null +++ b/luk/21/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kizazi hiki + +Inaweza kutafsiriwa kama 1) kizazi ambazho kitaona moja ya ishara ambazo Yesu aliziongelea au 2) kizazi amacho Yesu alikuwa anakizungumzia. Tafsiri ya kwanza ni kama iko sahihi zaidi. + +# hakitapita, mpaka + +Tafsiri mbadala: "kitakuwa bado hai wakati..." + +# Mbingu na nchi zitapita + +"Mbingu na nchi zitakoma kuwepo." Neno "mbingu" hapa linamaanisha anga na ulimwengu mwingine juu yake. + +# maneno yangu hayatapita + +"maneno yangu hayatakoma kuishi" au "maneno yangu hayatashindwa kamwe." Tafsiri mbadala: "Nikisemacho hakika kitatokea." + diff --git a/luk/21/34.md b/luk/21/34.md new file mode 100644 index 00000000..0246aeed --- /dev/null +++ b/luk/21/34.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa + +Tafsiri mbadala: "ili msije mkawa mmetingwa na" + +# ufisadi + +"tamaa isiyoweza kuzuiwa" au " kujiweka kwenye kutamani na kutumia vitu ambavyo vinakufanya ujisikie vizuri." Tafsiri mbadala: "Anasa nyingi." + +# mahangaiko ya maisha haya + +"kujitaabisha au kujihangaisha sana kuhusu maisha haya" + +# kwa sababu siku ile itawajia ghafula + +Wengine wangependa kuongeza habari elekezi: "Kwamba kama hamtakuwa waangalifu ile siku itawajia ghafula." Ujio wa siku hiyo utaonekana kuwa wa ghafula na wakutotarajiwa kwa wale ambao hawako na hawaisubiri. + +# ile siku + +Tafsiri mbadala: "siku ambayo Mwana wa Adamu atakuja" + +# ghafula kama mtego + +Tafsiri mbadala: "wakati ambapo hamuitarajii, kama mtego unapofunga ghafula kwa mnyama" + +# itakuwa juu ya kila mmoja + +"itamuathiri kila mmoja" au "tukio la siku hiyo litamuathiri kila mmoja" + +# katika uso wa dunia nzima + +Tafsiri mbadala: "katika eneo la dunia nzima" au "juu ya dunia nzima" + diff --git a/luk/21/36.md b/luk/21/36.md new file mode 100644 index 00000000..5f4e28bd --- /dev/null +++ b/luk/21/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# imara vya kutosha kuyaepuka haya yote + +Inaweza kutafsiriwa kama 1) "imara vya kutosha kuyavumilia haya mambo" au 2) "kuweza kuyaepuka haya mambo." + +# haya yote yatakayotokea + +"mambo haya yatakayotokea." Yesu alikuwa amewaambia si muda mrefu juu ya mambo mabaya ambayo yangetokea kama vile kuteswa, vita, na kuchukuliwa mateka. + +# kusimama mbele za Mwana wa Adamu + +"Kusimama kwa ujasiri mbele ya Mwana wa Adamu." Hii inaweza kumaanisha wakati ambapo Mwana wa Adamu anamhukumu kila mmoja. Mtu ambaye hayuko tayari atamuogopa Mwana wa Adamu na hataweza kusimama kwa ujasiri. + diff --git a/luk/21/37.md b/luk/21/37.md new file mode 100644 index 00000000..e09b9182 --- /dev/null +++ b/luk/21/37.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakati wa mchana alikuwa akifundisha + +"wakati wa mchana angeweza kufundisha." Mistari inayofuata kuhusu vitu ambavyo Yesu na watu walifanya kila siku katika wiki kabla hajafa. + +# hekaluni + +Tafsiri mbadala: "katika hekalu" au "kwenye uwanja wa ndani wa hekalu" + +# usiku alitoka nje + +"usiku angeliweza kwenda nje ya mji" au "alikwenda nje kila usiku" + +# Watu wote + +Tafsiri mbadala: "idadi ya watu wengi sana" au "karibu kila mmoja" + +# walimuijia asubuhi na mapema + +"wangekuja asubuhi na mapema" au "walikuja mapema sana kila asubuhi" + +# kumsikiliza + +"kumsikiliza akifundisha" + diff --git a/luk/22/01.md b/luk/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..10c6845e --- /dev/null +++ b/luk/22/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya ujumla: + +Hii ni sehemu inayofuata ya simulizi. Yuda anakubali kumsaliti Yesu. Mistari hii inatupa taarifa za msingi kuhusu sehemu hii ya simulizi. + +# Basi + +Neno hili linatumika hapa sehemu mpya ya simulizi + +# sikukuu ya mkate usiyotiwa chachu + +sikukuu hii ilikuwa inaitwa kwa jina hili kwa sababu wakati wa sikukuu, Wayahudi hawakula mkate ambao ulikuwa umetengenezwa na chachu. Tafsiri mbadala: "Sikukuu ambapo wangekula mkate usiyotiwa chachu" + +# Mkate usiyotiwa chachu + +Huu ni mkate ambao hauna chachu au hamila ili kuufanya uumuke. Tafsiri mbadala: "Mkate bila Hamila." + +# ilikuwa imekaribia + +"ilikuwa tayari sana kuanza" + +# namna ya kumuua Yesu + +Makuhani na waandishi hawakuwa na mamlaka ya kumuua Yesu wao wenyewe, lakini walitegemea kupata watu wengine wa kumuua. Tafsiri mbadala: "Namna gani ambavyo wangesababisha Yesu kuuwawa" au "namna ambavyo wangesababisha mtu amuuwe Yesu." + +# waliwaogopa watu + +Inaweza kutafsiriwa kama 1) "walikuwa na wasiwasi wa kile ambacho watu wangefanya" au 2) "walikuwa na wasiwasi kwamba watu wangemfanya Yesu mfalme." + diff --git a/luk/22/03.md b/luk/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..4bf63bd6 --- /dev/null +++ b/luk/22/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya ujumla: + +Huu ndio mwanzo wa matukio katika sehemu hii ya simuli. + +# Yesu akaingia ndani ya Yuda Iskariote + +Hii inawezekana ilikuwa sawa na kupagawa na pepo. + +# wakuu wa makuhani + +"viongozi wa makuhani" + +# wakuu + +'viongozi wa walinzi wa hekalu'" + +# namna ambavyo atamkabidhi Yesu kwao + +Tafsiri mbadala: "namna ambavyo angewasaidia kumkamata Yesu" + diff --git a/luk/22/05.md b/luk/22/05.md new file mode 100644 index 00000000..011251e5 --- /dev/null +++ b/luk/22/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wali.. + +"Wakuu wa makuhani na wakuu" + +# kumpa fedha + +"kumpa Yuda fedha" + +# alilidhia + +"alikubali" + +# alitafuta fursa ya kumkabidhi Yesu kwao mbali na kundi la watu + +hiki ni kitendo kinachoendelea baada ya sehemu hii ya simulizi kuisha. + +# kumkabidhi + +"kuwasaidia kumkamata Yesu" + +# mbali na kundi la watu + +"kwa usiri" au "wakati ambapo hakuna kundi la watu wakimzunguka" + diff --git a/luk/22/07.md b/luk/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..625e47bf --- /dev/null +++ b/luk/22/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya ujumla: + +Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anawatuma Petro na Yohana kuandaa kwa ajili ya chakula cha Pasaka. Mstari wa saba utatupa habari au taarifa za msingi kuhusu simulizi inavyoanza. + +# Siku ya mkate usiyotiwa chachu + +"Siku ya mkate bila hamila" au "Siku ya chapati." Hii ilikuwa ni siku ambayo Wayahudi wangetoa nje ya nyumba zao mikate yote ambayo ilikuwa imetengenezwa na hamila. Kisha wangesherehekea sikukuu ya mkate usiyotiwa chachu au hamila kwa siku saba. + +# kondoo wa Pasaka lazima atolewe + +Kila familia au kikundi cha watu wangemchinja kondoo na kumla pamoja, hivyo kondoo wengi sana walichinjwa. Tafsiri mbadala: "watu ilikuwa lazima wachinje kondoo kwa ajili ya chakula cha Pasaka." + +# ili tuje tukile + +Yesu alikuwa anawajumuisha Petro na Yohana aliposema "tu.." Petro na Yohana wangekuwa sehemu ya kundi ambalo lingekula chakula kile. + +# mkatuandalie + +Hili ni neno la kiujumla linalomaanisha "fanya tayari." Yesu si kwamba alikuwa akiwaambia Petro na Yohana kufanya mapishi yote. + +# unataka tufanyie hayo maandalizi + +Neno "tu.." halimuhusishi Yesu. Yesu asingekuwa sehemu ya kundi ambalo lingeandaa chakula kile. + +# tufanye maandalizi + +"kufanya maandalizi ya chakula" au "kuandaa chakula" + diff --git a/luk/22/10.md b/luk/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..d5f8bc72 --- /dev/null +++ b/luk/22/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Akawajibu + +"Yesu akawajibu Petro na Yohana" + +# mwanaume ambaye amebeba mtungi wa maji atakutana na ninyi. + +"mtamuona mtu amebeba mtungi wa maji" + +# amebeba mtungi wa maji + +"amebeba mtungi wenye maji ndani yake." Inawezekana angekuwa amebeba mtungi begani mwake. + +# Mfuateni kwenye nyumba ambayo ataingia + +Tafsiri mbadala: "Mfuateni, na ingieni kwenye hiyo nyumba" + +# Mwalimu anakwambia + +Hii inaanzisha nukuu elekezi ambapo Yesu aliwaambia wanafunzi wake nini cha kusema. + +# Mwalimu + +Hii inaongela juu ya Yesu. + +# Kula Pasaka + +"kula mlo wa Pasaka" + diff --git a/luk/22/12.md b/luk/22/12.md new file mode 100644 index 00000000..c3759721 --- /dev/null +++ b/luk/22/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Atawaonyesha + +"Mwenye nyumba atawaonyesha" + +# ghorofani + +"vyumba vya juu ya nyumba" + +# Hivyo wakaenda + +"Hivyo Petro na Yohana wakaenda" + diff --git a/luk/22/14.md b/luk/22/14.md new file mode 100644 index 00000000..b1eb0bbc --- /dev/null +++ b/luk/22/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nina shauku kubwa + +"Nimetaka sana" + +# Kwa maana nawaambieni + +Hii sentensi inatumika kusisitiza umuhimu wa kile Yesu atakisema baada ya hicho. + +# mpaka itakapotimizwa + +Inaweza kutafsiriwa kama 1) "mpaka kusudi la Sikukuu ya Pasaka litakapokuwa limetimizwa" au 2) "mpaka tutakapokula na kushangilia Sikukuu ya mwisho ya Pasaka." Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoitimiliza" au "mpaka Mungu atakapolitimiliza kusudi la Sikukuu ya Pasaka." + diff --git a/luk/22/17.md b/luk/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..3b0e4dc6 --- /dev/null +++ b/luk/22/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# alipokwisha kushukuru + +"alipokwisha toa shukurani kwa Mungu" + +# akasema + +"akasema kwa mitume wake" + +# mgawane ninyi kwa ninyi + +Tafsiri mbadala: "mgawane divai miongoni mwenu" au "ninyi wote mnywe divai kidogo kutoka katika hiki" + +# kwa maana nawaambia + +Hii sentensi inatumika kusisitiza wa kile ambacho Yesu atakisema baada ya hiki. + +# mzao wa mzabibu + +Hii inarejea "jwisi" ambayo inakamuliwa kutoka katika zabibu inayoota kwenye shamba la mizabibu. Divai inatokana na "jwisi" ya zabibu iliyochacha. + +# mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja + +Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoimarisha ufalme wake" au "mpaka Mungu atakapotawala katika ufalme wake. + diff --git a/luk/22/19.md b/luk/22/19.md new file mode 100644 index 00000000..19a572ab --- /dev/null +++ b/luk/22/19.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# mkate + +Huu mkate ni ule ambao haukuwa na hamila ndani yake, hivyo ilikuwa na chapati. + +# akaumega + +"akaukata" au "akauchana." Aliugawanya kwenye vipande vingi vingi au aliugawanya kwenye vipande viwili na akawapa mitume kugawana miongoni mwao. + +# Huu ni mwili wangu + +Inaweza kutafsiriwa kama 1) "Huu mkate ni mwili wangu" au 2) "Huu mkate unawakilisha mwili wangu." + +# mwili wangu ambao umetolewa kwa ajili yenu + +"mwili wangu ambao nitautoa kwa ajili yenu" au "mwili wangu ambao nitautoa sadaka kwa ajili yenu" Tafsiri mbadala: "mwili wangu, ambao nautoa kwa wenye mamlaka kuuuwa kwa ajili yenu." + +# Fanyeni hivi + +"kula huu mkate" + +# kwa kunikumbuka mimi + +"ili kunikumbuka mimi" + +# kikombe hiki + +Neno "kikombe" linamaanisha au linarejea divai ndani ya kikombe. Tafsiri mbadala: "Divai kwenye kikombe hiki" au "Divai hii." + +# ni agano jipya katika damu yangu + +"ni agano jipya, ambalo litatoa matunda kwa damu yangu" au "ni agano jipya ambalo litahalarishwa kwa damu yangu" au "linawakirisha agano jipya, ambalo Mungu ataliimarisha wakati damu yangu itakapomwagwa" + +# ambayo imemwagika kwa ajili yenu + +"damu yangu, ambayo imemwagwa katika kifo kwa ajili yenu" au "damu yangu, ambayo itatoka katika vidonda vyangu kwa ajili yenu nitakapokufa." Yesu aliongea kuhusu kifo chake kwa kurejea mwili wake kuvunjwa na damu yake kumwagwa. + diff --git a/luk/22/21.md b/luk/22/21.md new file mode 100644 index 00000000..16dab109 --- /dev/null +++ b/luk/22/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yeye anisalitie + +"Yeye atakaye nisaliti" + +# Kwa maana Mwana wa Adamu kwa kweli aenda zake + +"Kwa kweli Mwana wa Adamu atakwenda" au "Kwa maana Mwana wa Adamu atakufa" + +# kama ilivyokwisha amuliwa + +Tafsiri mbadala: "kama Mungu alivyokwisha amua" au "kama Mungu alivyokwisha kupanga" + +# Lakini ole kwa mtu yule ambaye kupitia yeye Mwana wa Adamu asalitiwa + +Tafsiri mbadala: "Lakini ole kwa mtu yule amsalitie Mwana wa Adamu!" au "Lakini ni hatari kiasi gani kwa mtu yule amsalitie Mwana wa Adamu!" + diff --git a/luk/22/24.md b/luk/22/24.md new file mode 100644 index 00000000..39402a2b --- /dev/null +++ b/luk/22/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha yakatokea mabishano katikati yao + +"Kisha mitume wakaanza kubishana wao kwa wao" + +# ni nani aliye mkubwa + +Tafsiri mbadala: "watu wangefikiri ni wa muhimu sana" + +# Akawaambia + +"Yesu akawaambia mitume" + +# wana ubwana juu yao + +"wanatawala kwa ukatili juu yao" au "wanapenda kutumia nguvu juu yao" + +# wanaitwa + +Watu inawezekana hawakuwafikiria wale watawala kama watawala wakuheshimiwa. Tafsiri mbadala: "walipenda kuitwa" au "walijiita wenyewe." + +# waheshimiwa watawala + +Tafsiri mbadala: "wafadhili" au "viongozi wanaowasaidia watu" + diff --git a/luk/22/26.md b/luk/22/26.md new file mode 100644 index 00000000..b7afa416 --- /dev/null +++ b/luk/22/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# haitakiwi kuwa hivi kwenu ninyi + +"msifanye kama hivyo" + +# mdogo kabisa + +Viongozi walikuwa mara nyingi watu wazima na waliitwa "wazee," "vijana wadogo" walikuwa na uwezekano mdogo wa kuongoza. Tafsiri mbadala: "enye umuhimu wa mwisho" + +# Kwa + +Hii inaunganisha amri ya Yesu mstari wa 26 na mstari mzima wa 27. Inamaanisha kwamba mtu wa muhimu zaidi anatakiwa kutumika kwa sababu Yesu ni mtumishi. + +# yule anayetumika + +"yule anayehudumia chakula" au "yule anayewahudumia waliokaa." Hii inamaanisha mtumishi. + +# yupi mkubwa....tumika? + +"nani aliye wa muhimu....atumike?" Yesu anatumia swali kutambulisha jibu lake kwa swali la mitume kuhusu ukubwa. Tafsiri mbadala: "Nataka ninyi mfikiri kuhusu nani aliye mkubwa...atumike." + +# yule aketie mezani + +"yule anayekula chakula" + +# si yule aketiye mezani? + +Yesu anatumia swali jingine kuwafundisha wanafunzi. Tafsiri mbadala: "Bila shaka yule aketie mezani ni wa muhimu zaidi kuliko mtumishi!" + +# Na mimi bado ni kati yenu kama atumikaye + +"Bado nawatumikia." Neno "bado" liko hapa kwasababu kunautofautishaji kati ya kile ambacho watu wangetegemea Yesu kuwa na kile ambacho kweli yuko. + diff --git a/luk/22/28.md b/luk/22/28.md new file mode 100644 index 00000000..a12e7658 --- /dev/null +++ b/luk/22/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mmeendelea kuwa nami katika majaribu yangu + +"mmekaa nami katika mapito yangu" + +# Nawapa ninyi ufalme, kama vile Baba alivyonipa mimi ufalme + +Lugha nyingine zinaweza hitaji kubadilisha mpangilio. "Kama baba alivyonipa mimi ufalme, nami nawapeni." + +# Nawapa ninyi ufalme + +"Nawafanya ninyi watawala katika Ufalme wa Mungu" au "Nawapa ninyi mamlaka kutawala katika ufalme" au "Nitawafanya ninyi wafalme" + +# kama Baba alivyonipa mimi ufalme + +"kama Baba alivyonipa mimi mamlaka kutawala kama mfalme katika ufalme wake" + +# Mtakaa kwenye viti vya enzi + +Tafsiri mbadala: "mtafanya kazi kama wafalme" au "mtafanya kazi za wafalme" + +# Viti vya enzi + +Tafsiri mbadala: "Viti vya wafalme" au "viti vilivyotengenezwa kwa wafalme" + diff --git a/luk/22/31.md b/luk/22/31.md new file mode 100644 index 00000000..165b3540 --- /dev/null +++ b/luk/22/31.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya kijumla: + +Yesu anaongea moja kwa moja na Simoni. + +# Simon, Simon + +Yesu alilisema jina lake mara mbili kuonyesha kwamba kile ambacho alikuwa akiseme kwake kilikuwa cha muhimu sana. + +# awapate, ili awapepete + +Neno "awa" linaonyesha mitume wote. + +# awapepete kama ngano + +Hii inamaanisha kwamba Shetani alitaka kuwajaribu mitume ili kupata makosa. + +# Lakini nimekuombea + +Hapa inamaanisha amemuombea kipekee kabisa SImoni. + +# kwamba imani yako isishindwe + +"kwamba utaendelea kuwa na imani" au "utaendelea kunitegemea mimi" + +# Baada ya kuwa umerudi tena + +"Baada ya kuanza kunifuata tena" au "Baada ya kuanza kunitumikia mimi tena" + +# ndugu zako + +Hii inamaanisha wanafunzi wengine wa Yesu. Tafsiri mbadala: "Waamini wenzako" au "mitume wengine." + diff --git a/luk/22/33.md b/luk/22/33.md new file mode 100644 index 00000000..498c7dbe --- /dev/null +++ b/luk/22/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Jogoo hatawika leo, kabla hujanikana mara tatu kwamba unanijua + +Mpangilio wa maneno unaweza kubadilishwa na kusomeka: "Utanikana mara tatu kwamba unanijua kabla jogoo hajawika siku hii ya leo" + +# Jogoo hatawika leo, kabla hujanikana + +Hii inaweza kuongelewa kwa namna chanya: "Jogoo atawika siku hii ya leo mara tu baada ya kunikana." + +# Jogoo hatawika + +Hapa, kuwika kwa Jogoo kunaonyesha muda fulani katika siku. Jogoo mara nyingi huwika kabla ya jua kuchomoza asubuhi. + +# siku hii + +Siku ya Kiyahudi huanza wakati wa kuzama kwa jua. Yesu alikuwa anaongea baada ya jua kuwa limezama. Jogoo angeliwika muda mchache kabla ya asubuhi. Asubuhi ilikuwa sehemu ya "siku hii." Tafsiri mbadala: "Usiku wa leo" au "asubuhi." + diff --git a/luk/22/35.md b/luk/22/35.md new file mode 100644 index 00000000..cb0306f7 --- /dev/null +++ b/luk/22/35.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nilipowapeleka ninyi + +Yesu alikuwa akiongelea kuhusu mitume wake. + +# mfuko + +Mfuko ni begi la kuwekea fedha. Hapa inatumika kumaanisha "fedha." + +# kikapu cha vyakula + +Tafsiri mbadala: "Begi la msafiri" au "chakula" + +# Je mlipungukiwa na kitu? Wakajibu, "Hapana." + +Yesu anatumia swali kuwasaidia mitume kukumbuka namna ambavyo watu waliwahudumia vizuri walipokuwa wakisafiri. Tafsiri mbadala: Wakati ule...bado mlikuwa na kila kitu mlichokihitaji.' Na wanafunzi walikubali wakasema 'Ndiyo, tulikuwa na kila kitu tulichokihitaji." + +# Hakuna + +"Hatukupungukiwa na kitu" au "Tulikuwa na kila kitu tulichokihitaji" + +# Yule ambaye hana upanga, imempasa auze joho lake. + +Yesu alikuwa hamaanishi mtu falani kipekee ambaye hakuwa na upanga. Tafsiri mbadala:"Kama mtu hana upanga, anapaswa kuuza joho lake." + +# joho + +"koti" au "nguo ya nje" + diff --git a/luk/22/37.md b/luk/22/37.md new file mode 100644 index 00000000..9420fa98 --- /dev/null +++ b/luk/22/37.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ambayo yameandikwa kwa ajili yangu + +Tafsiri mbadala:"ambayo nabii ameandika kuhusu mimi katika maandiko" + +# lazima yatimilike + +Mitume wangelimuelewa Mungu kwamba angesababisha yote yaliyoandikwa kwenye maandiko kutokea. Tafsiri mbadala: "Mungu atatimiliza" au "Mungu atayafanya yatokee." + +# alichukuliwa kama mtu ambaye anavunja torati + +Hapa Yesu ananukuu maandiko. Tafsiri mbadala: " watu walimchukulia kama mtu ambaye hafuati au hana sheria." + +# Mvunja sheria + +"Wale wanaovunja sheria" au "waharifu" + +# Kwa sababu kile kilichotabiriwa kwa ajili yangu + +Inaweza kumaanisha 1) "Yale ambayo mtume ametabiri kuhusu mimi yako tayari kutokea" au 2) "Kwa kuwa maisha yangu yanafikia ukingoni." + +# wakasema + +Hii inamaanisha angalau wawili wa mitume wa Yesu. + +# yatosha + +Inaweza kumaanisha 1) "Hizo panga zinatosha" au 2) "Hiyo inatosha kuiongelea." Yesu aliposema wanatakiwa kununua panga, alikuwa hasa akiwaambia kuhusu hatari ambazo wote watazikabili. Inawezekana si kwamba aliwataka wanunue panga na wapigane. + diff --git a/luk/22/39.md b/luk/22/39.md new file mode 100644 index 00000000..192e498d --- /dev/null +++ b/luk/22/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baada ya chakula cha usiku + +Hii inamaanisha kukamilika kwa chakula cha Pasaka. + +# kwamba msiingie majaribuni + +"kwamba hamjaribiwi" au "hakuna kitu cha kuwajaribu na kuwafanya kutenda dhambi" + diff --git a/luk/22/41.md b/luk/22/41.md new file mode 100644 index 00000000..8de60b24 --- /dev/null +++ b/luk/22/41.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mrusho wa jiwe + +"kama umbali wa mtu kurusha jiwe." Tafsiri mbadala: "umbali mfupi" au kwa kipimo cha kukadilia kama "umbali wa mita 30" + +# Baba, kama unataka + +Yesu atabeba adhabu ya dhambi zote katika historia ya mwanadamu kwa adhabu ya msalabani. Anaomba kwa Baba yake akimuuliza kama kuna njia nyingine. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu + +# niondolee kikombe hiki + +Yesu anamaanisha juu ya mateso ambayo yuko karibu kuyapitia kana kwamba yalikuwa ndani ya kikombe na kwamba alikuwa anakwenda kukinywa. Tafsiri mbadala: "niondolee hiki kikombe cha mateso" au "niondolee haya mateso" au "niokoe kutoka katika kuteseka kwa namna hii." + +# Lakini si kama nitakavyo mimi, lakini mapenzi yako yafanyike." + +Tafsiri mbadala: "Hata hivyo, nataka kufanya yale ambayo ni sawasawa na mapenzi yako kuliko yale ambayo ni sawasawa na mapenzi yangu. + diff --git a/luk/22/43.md b/luk/22/43.md new file mode 100644 index 00000000..0546b59e --- /dev/null +++ b/luk/22/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akamtokea + +"akamtokea Yesu" + +# akamtia nguvu + +"akamtia moyo" + +# Akiwa katika kuugua, akaomba + +"Alikuwa katika kuugua, na akaomba" + diff --git a/luk/22/45.md b/luk/22/45.md new file mode 100644 index 00000000..f53b89b0 --- /dev/null +++ b/luk/22/45.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alipoamka kutoka katika maombi yake + +Tafrisi mbadala: "Wakati Yesu alipoamka baada ya kuomba" au "Baada ya kuomba, Yesu aliamka na" + +# akawakuta wamelala kwa sababu ya huzuni nyingi + +"aliwaona kwamba walikuwa wamelala kwa sababu walikuwa na huzuni sana" + +# Kwanini mnalala? + +Inaweza kumaanisha 1) "Nashangazwa kwamba mnalala sasa" au 2) "Hampaswi kuwa mmelala sasa hivi!" + +# kwamba msiingie majaribuni + +"msijaribiwe" au "hakuna kitu cha kuwajaribu na kuwafanya mtende dhambi" + diff --git a/luk/22/47.md b/luk/22/47.md new file mode 100644 index 00000000..9c77157f --- /dev/null +++ b/luk/22/47.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# tazama, kundi kubwa la watu likatokea + +Neno "tazama" linatutazamisha kuhusu kundi jipya katika simulizi. + +# akiwaongoza + +Yuda alikuwa akiwaonyesha watu Yesu alipo. Alikuwa hawaambii kundi la watu nini cha kufanya. Tafsiri mbadala: "akiwaongoza kwa Yesu." + +# ili ambusu + +"kumsalimia kwa busu" au "kumsalimia kwa kumbusu." Wakati wanaume walipowasalimia wanaume wengine ambao walikuwa wa familia au marafiki, waliwakumbatia. + +# je unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu + +Yesu anatumia swali kumkemea Yuda kwa kumsaliti kwa busu. Kwa kawaida busu ni ishara ya upendo. Tafsiri mbadala: "Ni busu unayotumia kumsaliti Mwana wa Adamu!" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anatumia neno hili kujiongelea yeye. + diff --git a/luk/22/49.md b/luk/22/49.md new file mode 100644 index 00000000..6077f129 --- /dev/null +++ b/luk/22/49.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wale waliokuwa karibu na Yesu + +Hii inaonyesha wanafunzi wa Yesu. + +# hayo yanayotokea + +Tafsiri mbadala: "kwamba makuhani na maaskari walikuwa na watu wa kumkamata Yesu" + +# akampiga mtumishi wa kuhani mkuu + +"akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa panga" + +# akagusa sikio lake + +Tafsiri mbadala: "akamgusa mahali ambapo sikio lake lilikuwa limekatwa" + diff --git a/luk/22/52.md b/luk/22/52.md new file mode 100644 index 00000000..514eebc4 --- /dev/null +++ b/luk/22/52.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Je mnakuja kana kwamba mnakuja kupambana na mnyang'anyi, na marungu na mapanga? + +"Je mnakuja na marungu na mapanga kwa sababu mnafikiri mimi ni mnyang'anyi?" Yesu anatumia hili swali kuwa tahayarisha viongozi wa Kiyahudi. Tafsiri mbadala: "Mnajua kwamba mimi si mnyang'anyi, na bado mnanijia mkileta mapanga na marungu." + +# Nilipokuwa pamoja nanyi siku zote + +"Nilikuwa kati yenu kila siku" + +# hekalu + +Tafsiri mbadala: "Uwanda wa ndani ya hekalu" au "katika hekalu" + +# kuweka mikono yenu juu yangu + +Tafsiri mbadala: "kunikamata" + +# saa yako + +"muda wako" + +# mamlaka ya giza + +Hii inamaanisha mtawala muovu, Shetani. Tafsiri mbadala: "muda kwa mtawala wa giza" au "muda ambao Shetani anafanya mambo maovu kama anavyopenda kufanya" + diff --git a/luk/22/54.md b/luk/22/54.md new file mode 100644 index 00000000..3d765979 --- /dev/null +++ b/luk/22/54.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakamuongoza + +"wakamuongoza Yesu kutoka kwenye bustani mahali ambapo walikuwa wamemkamata" + +# walikuwa wamewasha moto + +Moto ulikuwa ni wakuwapa watu joto. Tafsiri mbadala: "baadhi ya watu walikuwa wamewasha moto." + +# katikati ya uwanda wa ndani + +Huu ulikuwa uwanda katika nyumba ya kuhani mkuu. Ulikuwa na kuta pande zote, lakini bila paa. + diff --git a/luk/22/56.md b/luk/22/56.md new file mode 100644 index 00000000..8663a2f4 --- /dev/null +++ b/luk/22/56.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akamtazama akamwambia + +"akamtazama moja kwa moja Petro na kusema na watu wengine pale uwandani" + +# Huyu mtu pia alikuwa pamoja naye + +Mwanamke alikuwa anawaambia watu kuhusu Petro kuwa na Yesu. Inawezekana kwamba hakulijua jina la Petro. + +# Lakini Petro akakana + +"Lakini Petro akasema haikuwa kweli" + +# Mwanamke, mimi simjui + +Petro hakulijua jina la yule mwanamke. Hivyo alikuwa hamtukani kwa kumuita "mwanamke". + +# Mwanaume, mimi siyo + +Petro hakulijua jina la yule mwanaume. Hivyo alikuwa hamtukani kwa kumuita "mwanaume". + diff --git a/luk/22/59.md b/luk/22/59.md new file mode 100644 index 00000000..9072e1f7 --- /dev/null +++ b/luk/22/59.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akasisitiza akasema + +"alisema kwa msisitizo" au "alisema kwa sauti" + +# Kweli kabisa huyu mtu + +Hapa "huyu mtu" inamaanisha Petro. Muongeaji inawezeka hakulijua jina Petro. + +# ni Mgalilaya + +Mwanaume aliweza kuonyesha Petro alitokea Galilaya kutokana na jinsi alivyoongea. + +# sijui usemalo + +Tafsiri mbadala: "kile ulichosema si kweli kabisa" au "kile ulichosema na uongo kabisa" + +# wakati akiongea + +"wakati Petro alipokuwa akiongea" + diff --git a/luk/22/61.md b/luk/22/61.md new file mode 100644 index 00000000..8c29bea7 --- /dev/null +++ b/luk/22/61.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# neno la Bwana + +Tafsiri mbadala: "Neno la Yesu" au "Kile ambacho Yesu alikuwa amekisema" + +# leo + +Yesu alikuwa ameishaongea jioni iliyopita kile kitakacho tokea muda si mrefu kabla ya jua kuchomoza au katika kuchomoza kwa jua. Tafsiri mbadala: "Usiku wa leo." + diff --git a/luk/22/63.md b/luk/22/63.md new file mode 100644 index 00000000..1c1b7245 --- /dev/null +++ b/luk/22/63.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baada ya kumfunika macho + +"Baada ya kuwa wamemfunika macho yake ili kwamba asiweze kuona" + +# Tabiri! Ni nani aliyekupiga? + +Wale walinzi hawakuamini kwamba Yesu ni nabii. Badala yake waliamini kwamba nabii wa ukweli angemjua aliyempiga hata kama alikuwa hawezi kuona. Walimuita Yesu nabii, lakini walitaka kuonyesha kwamba hakuwa nabii. Tafsiri mbadala: "Jionyeshe kwamba wewe ni nabii. Tuambie nani amekupiga? au "Haloo nabii, nani amekupiga?" + +# Tabiri + +"Kuongea neno kutoka kwa Mungu!" Taarifa kutokana na ukweli huu ni kwamba Mungu angelimwambia Yesu nani alimpiga kwa sababu Yesu alikuwa amefunikwa macho na hakuweza kuona. + diff --git a/luk/22/66.md b/luk/22/66.md new file mode 100644 index 00000000..863238b0 --- /dev/null +++ b/luk/22/66.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wakampeleka kwenye Baraza + +Inaweza kumaanisha 1) "Wazee walimleta Yesu kwenye baraza" au 2) "Walinzi walimpeleka Yesu mbele ya baraza la wazee." + +# wakisema + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Wazee wakamwambia Yesu" + +# tuambie + +"tuambie kwamba wewe ni Kristo" + +# Kama nikiwaambia...Kama nikiwauliza + +Yesu alisema kwamba haikuwa na maana kama angesema au angewauliza kusema, wasingejibu kwa ufasaha. Hizo sentensi mbili kwa pamoja zinaelezea mtazamo wa Yesu kwamba baraza lilikuwa kwa kweli halitafuti ukweli. + +# Kama nikiwaambia hamtaniamini + +Hii ni moja ya maelezo ya kinadharia aliyoyatoa Yesu. Ilikuwa ni njia ya Yesu kujibu bila kuwapa sababu ya kusema kwamba alikuwa anahatia ya kukufuru. + +# kama nikiwauliza hamtanijibu + +Haya yalikuwa maelezo ya pili ya kinadharia + diff --git a/luk/22/69.md b/luk/22/69.md new file mode 100644 index 00000000..53eea9d1 --- /dev/null +++ b/luk/22/69.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# kuanzia sasa + +"kuanzia siku hii" au "kuanzia kutoka leo" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu alitumia sentensi hii kumaanisha Kristo. Alimaanisha kwamba alikuwa akijiongelea mwenyewe, lakini wazee iliwalazimu kuuliza kuona kama hivyo ndivyo kweli alikuwa akisema. + +# amekaa mkono wa kuume wa nguvu ya Mungu + +Wayahudi walielewa kwamba hakuna hata mmoja ambaye angeweza kukaa pale.Waliiona hii ni sawa na kusema "atakuwa na Mungu kama Mungu." + +# nguvu ya Mungu + +"Mungu mwenye nguvu zote." Hapa "nguvu" inamaanisha mamlaka yake kuu. + +# Kwa hiyo wewe ni Mwana wa Mungu? + +Baraza lilimhukumu Yesu kusulubiwa kwa sababu alijithibitishia kwamba yeye alikuwa "Mwana wa Mungu," akijua Baraza litamhukumu kifo. + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu. + +# Ninyi mmesema mimi ndiye + +"Ndiyo, ni kama mlivyosema" + +# Kwanini bado tunahitaji tena ushahidi? + +Walitumia swali kwa kuweka msisitizo. Tafsiri mbadala: "Hatuna haja tena ya kuwa na ushahidi!" + +# tumesikia kutoka katika kinywa chake mwenyewe + +Tafsiri mbadala: "tumesikia moja kwa moja kutoka kwake kwamba anaamini yeye ni Mwana wa Mungu" + diff --git a/luk/23/01.md b/luk/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..8788544f --- /dev/null +++ b/luk/23/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mkutano wote + +"Viongozi wote wa Kiyahudi" + +# wakasimama + +"kusimama" au "kusimama kwa miguu yao" + +# mbele ya Pilato + +"kuwa mbele ya Pilato". Kusimama kwa kumuangalia Pilato" + +# akipotosha taifa letu + +"kusababisha ghasia kwa kuelezea uongo kwa watu" + +# kwa kukataza tusitoe kodi + +"kwa kuwaambia wasitoe kodi" + diff --git a/luk/23/03.md b/luk/23/03.md new file mode 100644 index 00000000..31c5b716 --- /dev/null +++ b/luk/23/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Pilato akamuuliza + +"Pilato akamuuliza Yesu" + +# Wewe wasema + +"Ulichokisema ni sawa" au " Ni kama ulivyo niuliza mimi" + +# makutano + +"Mkusanyiko wa watu" + +# Sioni kosa kwa mtu huyu + +"Sijaona kuwa mtu huyo ana hatia ya kitu chochote) + +# akiwachochea + +"kusababisha ghasia miongoni" + +# kuanzia Galilaya na sasa yuko hapa + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Alianza kusababisha ghasia huko Galilaya na sasa anasababisha ghasia hapa" + diff --git a/luk/23/06.md b/luk/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..f518ad4c --- /dev/null +++ b/luk/23/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# aliposikia haya + +"kusikia kuwa Yesu alianza kufundisha huko Galilaya" + +# kama + +kama + +# mtu huyu + +Hii inamaanisha Yesu + +# alipotambua + +"Pilato akatambua" + +# alikuwa chini ya utawala wa Herode + +Kifungu hiki hakitaji ukweli unaoelekea kuwa Herode alikuwa Mtawala wa Galilaya. "Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode kwasababu Herode alitawala Galilaya" + +# akatuma + +"Pilato alituma" + +# ambaye mwenyewe + +Hii inamaanisha Herode + +# kwa siku hizo + +"Wakati wa sherehe za Pasaka" + diff --git a/luk/23/08.md b/luk/23/08.md new file mode 100644 index 00000000..4528e4bc --- /dev/null +++ b/luk/23/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# alifurahi sana + +"Herode alifurahi sana" + +# alitaka kumuona + +"Herode alihitaji kumuona Yesu" + +# Alisikia habari zake + +"Herode alisikia habari ya Yesu" + +# na alitamani + +"Herode alitamani" + +# kuona baadhi ya miujiza anayoifanya + +"kumuona yeye akifanya baadhi ya miujiza" + +# Herode alimhoji Yesu kwa maneno mengi + +"Herode alimuuliza Yesu maswali mengi" + +# hakumjibu chochote + +"Hakumjibu" au "hajampa Herode majibu" + +# walisimama + +"walisimama pale" + +# kwa ukali kumshutumu + +"walimshutumu Yesu kwa ukali" au "walimshutumu yeye kwa hasira" + diff --git a/luk/23/11.md b/luk/23/11.md new file mode 100644 index 00000000..b841c6b0 --- /dev/null +++ b/luk/23/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# na kumvika mavazi mazuri + +Tafsiri hii haimaanishi walifanya hivyo ii kumuheshimu au kumjali Yesu. Walifanya hivyo kumdhalilisha na kumdhihak Yesui" + +# Herode na Pilato wakawa marafiki kuanzia siku hiyo + +Maelezo yaha yana maanisha walianza urafiki kwasababu Herode alifurahia kitendo cha Pilato kumruhusu kumuhukumu Yesu. "Herode na Pilato wakawa marafiki kuanzia siku hiyo kwasababu Pilato alituma Yesu apelekwe kwa Herode ili akahukumiwe" + +# kabla + +"kabla ya siku ile" + diff --git a/luk/23/13.md b/luk/23/13.md new file mode 100644 index 00000000..47b2ca7d --- /dev/null +++ b/luk/23/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akawaita pomoja makuhani wakuu, watawala na umati wa watu + +"Aliwaita Makuhani na watawala na umati wa watu kuja kukutana pamoja" + +# tazama nimemuhoji mbele yenu + +"Nimemuuliza Yesu Mbele yenu". Nimemuhoji Yesu wakati ninyi mnashuhudia hapa" + +# na sikuona kosa + +"Na sifikiri kwamba ana hatia" + diff --git a/luk/23/15.md b/luk/23/15.md new file mode 100644 index 00000000..1c8248d7 --- /dev/null +++ b/luk/23/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hapana, hata Herode hajaona + +"Hata Herode hafikiri kwamba ana hatia" au "Hata Herode anafikiri kuwa hana hatia" + +# kwa + +"kwasababu" au "tunjua hili ni kwasababu" + +# amemrudisha kwetu + +"Herode alituma Yesu arudishwe kwetu" Neno "kwetu" linamaanisha Pilato na askari wake,na siyo makuhani na waandishi waliokwenda kwa Herode pamoja na Yesu, wala sio makutano. + +# hakuna chochote alichokifanya kinachostahili adhabu ya kifo + +"hakufanya kitu chochote kinachostahili adhabu ya kifo" + +# Kwahiyo basi nitamuadhibu + +Kwa sababu Pilato alikuwa hakuona kosa kwa Yesu anapaswa kumtoa bila adhabu. Siyo lazima kujaribu kufanya kauli hii iendane na tafsiri kifikra. Pilato alimuadhibu Yesu, ambaye alijua kuwa hana hatia, kwa sababu tu alikuwa na hofu ya umati wa watu. + diff --git a/luk/23/18.md b/luk/23/18.md new file mode 100644 index 00000000..ad09449e --- /dev/null +++ b/luk/23/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wote wakapiga kelele pamoja + +"Watu wote kwenye mkusanyiko walipiga kelele" + +# Mwondoe mtu huyu + +"Mchukue mtu huyu mbali ". Mchukuwe mtu huyu mbali na kumnyonga" + +# ambaye amewekwa gerezani + +"ambaye Warumi walimuweka gerezani" + +# kwa + +"kwasababu ya kujihusisha" au " kwasababu ya uhalifu wake" + +# ya uasi fulani + +"alijarubu kuwahamasisha watu wa mji kuasi dhidi ya serikali ya Kirumi" + diff --git a/luk/23/20.md b/luk/23/20.md new file mode 100644 index 00000000..9e795533 --- /dev/null +++ b/luk/23/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akawaambia tena + +"akaongea nao tena" au "aliongea tena na watu kwenye mkusanyiko" + +# akitamani kumuachilia Yesu + +"kwasababu alitaka kumuachilia Yesu" + +# Akawaambia kwa maraya tatu + +"Pilato akasema na mkutano tena, kwa mara ya tatu" + diff --git a/luk/23/23.md b/luk/23/23.md new file mode 100644 index 00000000..013b9e5b --- /dev/null +++ b/luk/23/23.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# wakasisitiza + +"Mkusanyo walisisitiza" + +# kwa sauti ya juu + +"kwa kupiga kelele" + +# wakitaka asulubiwe + +"Kwa Pilato kuwaamuru askari wake wamsulubishe Yesu" + +# Na sauti zao zikamshawishi Pilato + +"Na umati wakandelea kupiga kelele hadi wakamshawishi Pilato" + +# kuwapa matakwa yao + +"kufanya kile ambacho umati walitaka" + +# Akamuachilia yule waliyemtaka + +"Pilato akamuachilia Barnaba ambaye umati walimuomba aachiliwe" + +# Aliyefungwa Jela + +"ambaye Warumi walimuweka Jela" + +# Akamtoa Yesu kwa matakwa yao + +"Pilato aliwaruhusu umati wafanye kwa Yesu chochote walivyotaka" au "Pilato alimtoa Yesu kwa umati wa watu na kuwaruhu umati kufanya kwa Yesu kile walicho kitaka." + diff --git a/luk/23/26.md b/luk/23/26.md new file mode 100644 index 00000000..df1a8200 --- /dev/null +++ b/luk/23/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Walipokuwa wakimpeleka + +"wakati maaskari wakimpeleka Yesu mbali na alipokuwapo Pilato" + +# walimkamata Simon wa Ukirene + +Maaskari wa Kirumi wana mamlaka ya kuwashurutisha watu kuwabebea mizigo yao". Usitafsiri kana kwamba Simoni amekamatwa au alifanya kosa fulani. + +# mmoja + +"mtu aitwaye " + +# akitokea katika nchi + +"aliyekuwa anakuja Yerusalemu akitokea nje ya mji" + +# wakamtwika msalaba + +"kuweka msalaba juu ya mabega yake" + diff --git a/luk/23/27.md b/luk/23/27.md new file mode 100644 index 00000000..0fdc762d --- /dev/null +++ b/luk/23/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# waliomboleza kwa ajili yake + +"kuomboleza kwa ajili ya Yesu" + +# wakimfuata + +"waliokuwa wakimfuata Yesu" + +# Mabinti wa Yerusalemu + +"Mabinti" wa mji maana yake watu wa mji . "ninyi wanawake mliotoka Yerusalemu" + +# msinililie mimi + +"kulia kwaajili ya hali yangu" + +# bali jililieni ninyi wenyewe na kwa ajili ya watoto weno + +"badala yake mlie kwa ajili ya mambo yanayokwenda kutokea kwa ajili yenu na watoto wenu" + diff --git a/luk/23/29.md b/luk/23/29.md new file mode 100644 index 00000000..39dd3b48 --- /dev/null +++ b/luk/23/29.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ambao watasema + +"watu watakaposema" + +# waliotasa + +"wanawake ambao hawakuzaa watoto" + +# ndipo + +"Kwa wakati huo" + +# kuambia milima + +"wataiambia milima" + +# Maana kama wakifanya mambo haya ikiwa mti mbichi, itakuwaje kwa mti uliokauka? + +Yesu anatumia swali kusaidia umati kuelewa kwamba watu wanafanya mambo mabaya sasa katika nyakati nzuri, hivyo kwa hakika watafanya mambo mabaya zaidi katika nyakati mbaya siku zijazo. "Unaweza kuona kwamba wanafanya mambo hayo mabaya wakati mti ni mbichi, hivyo unaweza kuwa na uhakika kwamba watafanya mambo kuwa mabaya wakati mti ni kavu." + +# mti mbichi (kijani) + +mti mbichi(kijani) ni mfano wa kitu kilichokizuri kwa sasa . Kama lugha yako ina mfano mzuri unaweza kutumia hapa. + +# uliokauka + +"Mti uliokauka ni mfano wa kitu kibaya baadaye" + +# wakifanya + +hapa alikuwa akimaanisha aidha Warumi au viongozi wa kiyahudi au hakuna aliyelengwa moja kwa moja " + diff --git a/luk/23/32.md b/luk/23/32.md new file mode 100644 index 00000000..656d4fab --- /dev/null +++ b/luk/23/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wanaume wengine, wahalifu wawili, walipelekwa pamoja naye ili wauwawe + +"Maaskari waliwapeleka wahalifu wengine wawili pamoja na Yesu ili wakauwawe pia. + diff --git a/luk/23/33.md b/luk/23/33.md new file mode 100644 index 00000000..6c6bed9b --- /dev/null +++ b/luk/23/33.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# walipofika + +Neno "walipofika" inajumuisha maaskari, wahalifu na Yesu. + +# wakamsulunisha + +"maaskari wakamsulubisha Yesu" + +# mmoja upande wa kulia + +"mmoja wa wahalifu aliwekwa upande wa kulia wa Yesu" + +# na mwingine upande wa kushoto + +" na muhalifu mwingine aliwekwa upande wa kushoto mwa Yesu" + +# Baba, uwasamehe wao + +Neno "wao" inamaanisha wale wanao msulubisha Yesu. Yesu aliongea kwa huruma na Baba yake juu ya wanaume waliokuwa wanamsulubisha" + +# Baba + +Hii ni cheo muhimu kwa Mungu + +# kwa kuwa hawajui watendalo + +"kwasababu hawajui kile wanachokifanya". Maaskari hawakujua kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu. Kwasababu hakika hawamjui ni nani wanayemsulubisha" + +# wakapiga kura + +Maaskari walifanya aina ya kamari "walifanya kamari" + +# kugawa mavazi yake + +"kuamua nani kati ya maaskari atapeleka nyumbani sehemu ya mavazi ya Yesu" + diff --git a/luk/23/35.md b/luk/23/35.md new file mode 100644 index 00000000..0b9b87b5 --- /dev/null +++ b/luk/23/35.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walisimama + +"walisimama pale" + +# Yeyey + +Hii inamaanisa Yesu. + +# ajiokoe mwenyewe + +"Yesu atakuwa na uwezo wa kujiokoa" au "Tunataka kuona akijionyesha yeye ni nani kwa kujiokoa mwenyewe kutoka msalabani" + +# aliyechaguliwa + +"mmoja ambaye Mungu alimchagua" + diff --git a/luk/23/36.md b/luk/23/36.md new file mode 100644 index 00000000..9db46008 --- /dev/null +++ b/luk/23/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# yeye + +"Yesu" + +# walimkaribia yeye + +"kuja karibu na Yesu" + +# wakampa siki + +" walimpa Yesu siki ili anywe" Siki ni aina ya kinyaji kirahisi ambayo watu wa kawaida hunywa. Maaskari walimdhihaki Yesu kwa kumpa siki mtu aliyesema yeye ni mfalme. + +# alama juu yake + +" kitu kama ubao juu ya msalaba wa Yesu iliyoandikwa" + +# HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI + +Watu walioweka alama juu ya Yesu walikuwa wakimdhihaki yeye. Hawakuamini kweli kuwa yeye ni mfalme. + diff --git a/luk/23/39.md b/luk/23/39.md new file mode 100644 index 00000000..11e7eb1d --- /dev/null +++ b/luk/23/39.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Aliyesulubiwa + +"aliyeangikwa pia msalabani" + +# alimtukana + +"alimtukana Yesu" + +# Wewe si Kristo? + +Muhalifu alitumia swali kumdhihaki Yesu."umedsi kuwa wewe ni Kristo" + +# Jiokoe mwenyewe na sisi pia + +Muhalifu hakufikiri kweli kuwa Yesu angeweza kuwaokoa kutoka kwenye msalaba" + +# yule mwingine akajibu + +"muhalifu mwingine alijibu" + +# akimkemea na kusema + +"na kumkemea yule muhalifu akisema" + +# Je wewe humuogopi Mungu, kwani uko katika hukumu hiyo hiyo + +Muhalifu alitumia swali kumkemea yule muhalifu mwingine. " Hauna hofu ya Mungu , kwani unamdhihaki Yesu wakati umetundikwa msalabani kama yeye. + +# sisi tupo hapa kwa haki + +"Kiukweli sisi tunastahili adhabu hii" + +# mtu huyu + +Hii inamaanisha Yesu. + diff --git a/luk/23/42.md b/luk/23/42.md new file mode 100644 index 00000000..6a75db8e --- /dev/null +++ b/luk/23/42.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Na akaongeza + +"Muhalifu pia akasema " + +# utakapokuja katika ufalme wako + +"Utakapo anza kutawa kama Mfalme" + +# Ukweli nakuambia + +"Ukweli" inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu anaongea. "Nataka wewe uelewe kuwa" + +# Paradiso + +Hii ni sehemu ambayo watu wema huenda wanapokufa. Yesu alikuwa akimthibitishia mtu yule kuwa atakuwa na Mungu na Mungu atamkubali yeye. "Ni mahali pa furaha" au 'Ni mahali pa watu wenye haki" au "Ni mahali ambapo watu wanaishi vizuri." + diff --git a/luk/23/44.md b/luk/23/44.md new file mode 100644 index 00000000..be653174 --- /dev/null +++ b/luk/23/44.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ilikuwa karibu saa sita + +"Ilipokaribi mchana" . Hii huonyesha desturi ambayo watu huanza kuhesabu saa kuanzia saa 12 asubuhi. + +# giza likaja juu ya ardhi yote + +"ardhi yote ikawa giza" + +# hadi saa tisa + +"Hadi 9 Mchana" Hii huonyesha desturi ambayo watu huanza kuhesabu saa kuanzia saa 12 asubuhi. + +# pazia la hekalu + +"Pazia ndani ya Hekalu" + +# likagawanyika katikati + +"ilichanika vipande viwili" . "Mungu alichana pazia la hekalu katika vipande viwili" + diff --git a/luk/23/46.md b/luk/23/46.md new file mode 100644 index 00000000..62f32db8 --- /dev/null +++ b/luk/23/46.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Akilia kwa sauti kuu, Yesu alisema, "Baba mikononi mwako naiweka roho yangu," + +Mungu Baba alikuwa amemtuma Mungu Mwana kufa msalaba ili afanyike sadaka ya mwisho kwa ajili ya dhambi za binadamu. Lakini, Mwana bado alimpenda Baba na kumkabidhi maisha yake kwa Baba yake + +# Akilia + +"kupasa sauti" + +# Baba + +Hii ni cheo muhimu kwa Mungu + +# mikononi mwako naiweka roho yangu + +"Naiweka roho yangu kwako" au " Nakupa roho yangu, nikijua utaitunza" + +# baada ya kusema hivyo + +"Baada ya Yesu kusema hivyo" + +# akafa + +"Yesu akafa" + +# yaliyotendeka + +"mambo yaliyotokea" + diff --git a/luk/23/48.md b/luk/23/48.md new file mode 100644 index 00000000..d5e37438 --- /dev/null +++ b/luk/23/48.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# umati + +"Mkusanyiko wa watu" + +# tukio + +"tukio"au "kile kinachotokea" + +# waliokuja pamoja + +"waliokusanyika pamoja" + +# mambo yaliyofanyika + +"kitu kilichofanyika" + +# walirudi + +"kurudi majumbani mwao" + +# wakipiga matiti yao + +"wakipiga vifuani mwao wakionyesha jinsi walivyosikitika" + +# marafiki zake + +"wale waliomjua Yesu" au "wale waliokutana na Yesu huko nyuma" + +# waliomfuata yeye + +"walimfuata Yesu" + +# kwa mbali + +"umbali fulani kutoka alipo Yesu" + +# hayo mambo + +"yaliyotokea" + diff --git a/luk/23/50.md b/luk/23/50.md new file mode 100644 index 00000000..a79c4094 --- /dev/null +++ b/luk/23/50.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tazama, palikuwa na mtu + +Neno 'tazama' inatufanya tuweze kumuona mtu mpya katika hadithi. Lugha yako inaweza kuwa njia ya kufanya hili. "Kulikuwa na mtu ambaye alikuwa". + +# ambaye ni mmoja wa baraza + +"na Yeye alikuwa mmoja wapo wa wajumbe wa baraza la Wayahudi" + +# mzuri na mwenye haki + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Yeye alikuwa mtu mzuri na mweye haki" + +# alikuwa hajakubaliana na maamuzi au matendo yao + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya." Joseph hakukubaliana na uamuzi wa baraza hilo kumuua Yesu na hatua ya baraza hilo" + +# kutoka Armathaya, Mji wa Kiyahudi + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya." Josefu alitokea kwenye mji wa kiyahudi ulioitwa Arimathaya" + +# ambaye alikua akisubiri + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya."Josefu alikuwa akisubiri" + diff --git a/luk/23/52.md b/luk/23/52.md new file mode 100644 index 00000000..32efed7d --- /dev/null +++ b/luk/23/52.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mtu huyu + +"Josefu " + +# alimkaribia Pilato, akaomba + +"alikwenda kwa Pilato na kuomba" + +# Alimshusha chini + +"Josefu alichukua mwili wa Yesu kutoka msalabani" + +# akauzungushia sanda + +"Akafunga mwili katika nguo nzuri ya kitani' + +# akamweka katika kaburi + +"kuweka mwili wa Yesu kwenye kaburi" au "Kuweka mwili wa Yesu kwenye chumba cha kuzikia" + +# lililokuwa limechongwa katika jiwe + +"Kaburi ambalo mtu alilichonga kwenye mwamba" + +# ambalo hakuna aliyewahi kulazwa + +Hii inaweza ikatafsiriwa kama sentensi mpya. "Hakuna aliyewahi kuweka mwili katika kaburi hilo" + diff --git a/luk/23/54.md b/luk/23/54.md new file mode 100644 index 00000000..ad751e6e --- /dev/null +++ b/luk/23/54.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Ni siku ya maandalizi + +"Ni siku ambayo watu wanajiandaa kwa siku ya Wayahudi kupumzika iitwayo Sabato" + +# Sabato inakaribia + +"Inakaribia kuwa jioni, kuanza kwa Sabato" Alfajiri hapa ni mfano kwa ajili ya mwanzo wa siku. Kwa Wayahudi, siku ilianza jioni. + +# waliokuja nao kutoka Galilaya + +"waliosafiri na Yesu kutoka jimbo la Galilaya" + +# walimfuata baada + +"walimfuata Josefu na wanaume waliokuwa pamoja naye" + +# wakaona kaburi + +"wanawake wakaona kaburi" + +# na jinsi mwili wake ulivyolazwa + +"Wanawake waliona jinsi hao wanaume walivyomlaza mwili wa Yesu ndani ya kaburi" + +# walirudi + +"wanawake walienda kwenye nyumba ambayo wanawake hao wanakaa" + +# kuandaa manukato na marashi + +"kuandaa manukato na marashi ili kuandaa Mwili wa Yesu kwa ajili ya mazishi". + +# walipumzika + +"wanawake wale hawakufanya kazi" + +# kulingana na amri + +"Kulingana na sheria za Wayahudi" au "kama sheria ya Wayahudi inavyotaka" + diff --git a/luk/24/01.md b/luk/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..2c5acb2e --- /dev/null +++ b/luk/24/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mapema sana siku ya kwanza ya wiki + +"Kabla jua halijachomoza siku ya Jumapili" + +# walikuja + +"wanawake walifika kwenye." + +# kaburini + +Kaburi lilikuwa limechongwa katika mwamba wa karibu na bahari. + +# jiwe limeviringishwa + +Tafsiri mbadala: "kwamba mtu fulani alikuwa ameriviringisha lile jiwe" + +# jiwe + +Hili lilikuwa kubwa, limechongwa, jiwe la duara kubwa la kutosha kuweza kuziba kabisa mlango wa kuingilia kaburini. Lilihitaji watu wengi kulivingirisha. + diff --git a/luk/24/04.md b/luk/24/04.md new file mode 100644 index 00000000..a82d11dd --- /dev/null +++ b/luk/24/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ilitokea + +Hii sentensi ilitumika hapa kuweka alama ya tukio muhimu katika simulizi. + +# mavazi ya kung'aa + +"wamevaa angavu, mavazi yanayong'aa" + +# wamejaa hofu + +"wakaogopa" + +# Kwanini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu? + +Wale wanaume wanatumia swali kuwapinga wale wanawake kumtafuta kwenye kaburi mtu aliyehai. Tafsiri mbadala: " Mnamtafuta mtu aliye hai kati ya au miongoni mwao wafu" au "Hamtakiwi kumtafuta mtu ambaye yu hai katika sehemu wanapozika watu waliokufa!" + +# Kwanini mnamtafuta + +Hapa inamaanisha wengi, inaongelea juu ya wanawake waliokuja. + diff --git a/luk/24/06.md b/luk/24/06.md new file mode 100644 index 00000000..ef658e7e --- /dev/null +++ b/luk/24/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kumbukeni alivyo.. + +"Kumbukeni yale" + +# alivyosema nanyi + +Yesu alikuwa amekwisha kusema haya wiki moja mapema. + +# nanyi + +Neno "nanyi" linaonesha wingi. Inaongelea juu ya wale wanawake na wanafunzi wengine. + +# kwamba Mwana wa Adamu + +Huu ni mwanzo wa kunukuu jambo si kwa njia ambayo imenyooka. + +# Mwana wa Adamu lazima atolewe kwenye mikono ya watu wenye dhambi na asulubishwe. + +Hii ni jamboa bila shaka lingetokea kwa sababu alikuwa ameamua kwamba litatokea. Tafsiri mbadala: "ilikuwa ni lazima wamtoe Mwana wa Adamu kwa watu wenye dhambi ili waweze kumsulubisha . + +# kwenye mikono + +Hapa "mkono" unaonyesha nguvu au uthibiti. + diff --git a/luk/24/08.md b/luk/24/08.md new file mode 100644 index 00000000..03883ace --- /dev/null +++ b/luk/24/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakakumbuka maneno yake + +Tafsiri mbadala: "walikumbuka yale aliyoyasema Yesu" + +# wengine wote + +"wanafunzi wengine wote waliokuwa na mitume kumi na mmoja" + +# Basi + +Neno hili limetumika hapa kuonyesha pumziko katika simulizi kuu. Hapa Luka anatoa majina ya baadhi ya wanawake na kuelezea namna ambavyo mitume waliitikia kwa kile ambacho walisema. + diff --git a/luk/24/11.md b/luk/24/11.md new file mode 100644 index 00000000..0371fc2f --- /dev/null +++ b/luk/24/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini ujumbe huu ukaonekana kama mzaa tu kwa mitume + +"Lakini mitume walifikiri kwamba kile ambacho wanawake walisema yalikuwa ni maongezi yasiyo na maana" + +# akichungulia na kuangalia ndani + +"akainama." Petro ilimlazimu ainame ili aweze kuangalia au kutazama kaburini. + +# sanda ziko peke yake + +"sanda tu" + diff --git a/luk/24/13.md b/luk/24/13.md new file mode 100644 index 00000000..1a79be0c --- /dev/null +++ b/luk/24/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tazama + +Hii inaashiria mwanzo wa tukio jingine tofauti na lile linalowahusisha wale wanawake na Petro. + +# siku hiyo hiyo + +"siku ile ile " + +# Emmau + +Hili ni jina la mji + +# maili sitini + +"kilometa kumi na moja." + diff --git a/luk/24/15.md b/luk/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..6bbac14b --- /dev/null +++ b/luk/24/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ikatokea kwamba + +Hii sentensi inatumika hapa kuashiria pale ambapo kitendo kinaanza. Kinaanza na Yesu kuwasogelea karibu. + +# macho yao yalizuiliwa katika kumtambua yeye + +Tafsiri mbadala: "Kuna kitu kiliwazuia hivyo hawakuweza kumtambua." + diff --git a/luk/24/17.md b/luk/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..152bcc4a --- /dev/null +++ b/luk/24/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Cleopa + +Hii ni jina la mwanamume + +# Je wewe ni mtu pekee ...siku hizi? + +Cleopa anatumia swali kuonyesha mshangao wake kwamba huyu mtu anaonekana kutokujua juu ya mambo ambayo yametokea Yerusalemu. + diff --git a/luk/24/19.md b/luk/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..498905f5 --- /dev/null +++ b/luk/24/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mambo gani? + +"Mambo gani yametokea?" au "Mambo gani yaliyofanyika?" + +# muweza katika matendo na maneno mbele za Mungu na watu wote + +Hii inamaanisha kwamba Mungu alimfanya Yesu kuwa mwenye nguvu na kwamba watu walimuona kwamba alikuwa muwez. Tafsiri mbadala: "na Mungu alimpa nguvu kufanya na kufundisha mambo makubwa ambayo yaliwashangaza watu wote." + +# walivyomtoa kuhukumiwa kifo na kumsulubisha + +Tafsiri mbadala: "walimtoa Yesu kwa kiongozi wa Kirumi ili kiongozi huyo aweze kumuua kwa kumsulubisha" + diff --git a/luk/24/21.md b/luk/24/21.md new file mode 100644 index 00000000..e8867bfe --- /dev/null +++ b/luk/24/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atakaye waweka huru Israel + +Warumi walitawala juu ya Wayahudi. Tafsiri mbadala: "atakaye tuweka huru Waisraeli kutoka kwa adui zetu wa Kirumi." + +# tangu mambo haya yatokee + +"tangu walipomuua" + diff --git a/luk/24/22.md b/luk/24/22.md new file mode 100644 index 00000000..bb230c0a --- /dev/null +++ b/luk/24/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini pia + +Wale wanaume waliichukulia taarifa ya wale wanawake kuwa ni kitu kizuri, siyo kitu kingine kibaya cha kuongezea juu ya kifo cha Yesu. + +# baada ya kuwapo kaburini + +Wale wanawake ndiyo waliokuwa pale kaburini. + +# maono ya malaika + +"malaika katika maono" + diff --git a/luk/24/25.md b/luk/24/25.md new file mode 100644 index 00000000..1358e1f7 --- /dev/null +++ b/luk/24/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mioyo mizito ya kuamini + +Tafsiri mbadala: "akili zenu ni nzito sana kuamini" au "ninyi ni wazito kuamini" + +# Je haikuwa lazima ...utukufu? + +Yesu anatumia swali kuwakumbusha wanafunzi juu ya kile ambacho manabii walisema. Tafsiri mbadala: "Ilikuwa ni lazima...utukufu." + +# kuingia katika utukufu wake + +Hii inamaanisha juu ya nyakati ambazo Yesu atamuonyesha kila mmoja uzuri wake na ukuu wake na kupokea heshima na ibada. + diff --git a/luk/24/28.md b/luk/24/28.md new file mode 100644 index 00000000..6e31e760 --- /dev/null +++ b/luk/24/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walipokaribia + +"Walipokuja karibu" + +# Yesu alifanya kana kwamba anaendelea mbele + +Wale watu wawili walieelewa kutokana na kitendo chake kwamba alikuwa anaendelea kuelekea sehemu nyingine. Inawezekana labda aliendelea kutembea barabarani walipochipuka kuingia kwenye geti la kijiji. Hakuna kiashiria kwamba Yesu aliwadanganya kwa maneno. + +# Wakamsihi + +"Walimuomba kwa nguvu sana." Neno la kiyunani linamaanisha kutumia nguvu za mwili juu ya muda wa ziada. Iliwachukua muda fulani na jitihada fulani kumshawishi. + +# Yesu akaingia + +"Yesu akaingia ndani ya nyumba" + diff --git a/luk/24/30.md b/luk/24/30.md new file mode 100644 index 00000000..845495ff --- /dev/null +++ b/luk/24/30.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Ilitokea + +Neno hili limetumika hapa kuashiria tukio muhimu katika simulizi. + +# mkate + +Hii inazungumzia juu ya mkate unaotengenezwa bila hamila. Haimaanishi chakula kwa ujumla. + +# akaubariki + +"akashukuru kwa ajili ya huo mkate" au "Akamshukuru Mungu kwa ajili ya mkate" + +# Kisha macho yao yakafunguliwa + +Tafsiri mbadala: "kisha wakaelewa" au "kisha wakatambua" + +# akatoweka ghafla mbele ya macho yao + +Hii inamaanisha kwamba ghafula hakuwa tena pale. Haimaanishi kwamba akawa haonekani kwa macho. + +# Hivi mioyo yetu haikuwaka... maandiko? + +Wanatumia swali kuweka msisitizo namna walivyo shangazwa juu ya kukutana kwao na Yesu. Tafsiri mbadala: "Mioyo yetu ilikuwa ikiwaka ndani yetu...maandiko." + +# ikiwaka ndani yetu + +Hii ni lugha ya picha inayoelezea hisia kali walizokuwa nazo walipokuwa wakiongea na Yesu. Tafsiri mbadala: "Tulikuwa na hisia kali alipokuwa akiongea na sisi." + +# wakati alipotufungulia maandiko + +Yesu hakufungua kitabu au gombo la chuo. Tafsiri mbadala: "wakati alipokuwa akituelezea maandiko. + diff --git a/luk/24/33.md b/luk/24/33.md new file mode 100644 index 00000000..5a23215a --- /dev/null +++ b/luk/24/33.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Wakanyanyuka + +Inahusiana na wale watu wawili + +# nyanyuka + +"kuamka" au "kusimama" + +# wale kumi na moja + +Hii inaongelea wale mitume wa Yesu. Yuda hakuwa pamoja nao. + +# wakisema, "Bwana amefufuka kwelikweli + +Wale mitume kumi na moja na wale waliokuwa pamoja nao walisema hivyo. + +# Hivyo wakawaambia + +"Hivyo wale watu wawili wakawaambia" + +# mambo yaliyotokea njiani + +Hii inamaanisha Yesu alivyowatokea wakiwa njiani kuelekea kijiji cha Emmau. + +# namna Yesu alivyodhihirishwa kwao + +Tafsiri mbadala: "namna walivyomtambua Yesu" + +# katika kuumega mkate + +"wakati Yesu alipouvunja mkate" au "wakati Yesu alipouchana mkate" + diff --git a/luk/24/36.md b/luk/24/36.md new file mode 100644 index 00000000..c8b796c7 --- /dev/null +++ b/luk/24/36.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yesu mwenyewe + +Neno "mwenyewe" linakazia juu ya Yesu na mshangao wa Yesu kiuhakika kuwatokea. Wengi wao walikuwa hawajamuona baada ya ufufuko wake. + +# katikati yao + +Tafsiri mbadala: "mahali ambapo wote wanaweza kumuona" + +# Amani iwe kwenu + +"Basi iweni na amani" au "Basi Mungu awape amani!" + +# waliogopa na kujawa na hofu + +"walishikwa na mshangao na kuogopa" + +# wakafikiri kwamba waliona roho + +Walikuwa hawajaelewa kiuhalisia kwamba Yesu kwelikweli yu hai. + +# roho + +Hapa inamaanisha roho ya mtu aliyekufa. + diff --git a/luk/24/38.md b/luk/24/38.md new file mode 100644 index 00000000..4dd39f1a --- /dev/null +++ b/luk/24/38.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini mnafadhaika? + +Yesu anatumia swali kuwatia moyo. Tafsiri mbadala: "Msiogopeshwe." + +# Kwanini maswali yanainuka mioyoni mwenu? + +Yesu anatumia swali kuwakemea kidogo. Yesu alikuwa anawaambia wasitie mashaka kwamba yu hai. Tafsiri mbadala: "Msitie mashaka katika akili zenu!" au "Acheni kutia mashaka!" + +# nyama na mifupa + +Hii ni namna ya kumaanisha mwili + diff --git a/luk/24/41.md b/luk/24/41.md new file mode 100644 index 00000000..915a4693 --- /dev/null +++ b/luk/24/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# bado na furaha iliyochanganyikana na kutokuamini + +"bado hawakuweza kuamini kwamba ni ukweli kabisa." Walikuwa na furaha sana, lakini wakati huohuo, ilikuwa ngumu kwao kuamini kwamba ni kweli kabisa imetukia. + +# na kustaajabu + +"na walishangazwa" au "na kustaajabu hili laweza kutokeaje" + +# mbele yao + +"mbele yao" au "wakiwa wanatazama" + diff --git a/luk/24/44.md b/luk/24/44.md new file mode 100644 index 00000000..52148154 --- /dev/null +++ b/luk/24/44.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nilipokuwa nanyi + +"Wakati bado nilipokuwa nanyi" + +# yote yaliyoandikwa kwenye sheria ya Musa na manabii na zaburi + +Tafsiri mbadala: "yote ambayo Musa, manabii, na waandishi wa Zaburi waliandika kuhusu mimi" + +# lazima yatimilike + +Tafsiri mbadala: "Mungu atayatimiliza" au "Mungu atayafanya yatokee" + diff --git a/luk/24/45.md b/luk/24/45.md new file mode 100644 index 00000000..a76d93e1 --- /dev/null +++ b/luk/24/45.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha akafungua akili zao, kwamba waweze kuyaelewa maandiko. + +Tafsiri mbadala: "Kisha akawawezesha kuyaelewa maandiko" + +# Kwamba imeandikwa + +Tafsiri mbadala: "Hivi ndivyo watu hapo zamani waliandika" + +# siku ya tatu + +"baada ya usiku mbili" + +# toba na msamaha wa dhambi lazima ihubiriwe + +Tafsiri mbadala: "wafuasi wa Kristo inawapasa kuhubiri kwamba watu wanahitaji kutubu ili Mungu awasamehe dhambi zao" + +# kwa jina lake + +Tafsiri mbadala: "kama wawakilishi wake" au "na mamlaka yake" + +# mataifa yote + +"makabila yote kwenye jamii" au "makundi yote ya watu" + diff --git a/luk/24/48.md b/luk/24/48.md new file mode 100644 index 00000000..f61a0c06 --- /dev/null +++ b/luk/24/48.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ninyi ni mashahidi + +"Mnatakiwa kuwaambia wengine kwamba mliyoyaona kuhusu mimi ni kweli." Wanafunzi walikuwa wameyaona maisha ya Yesu, kufa kwake, kufufuka kwake, na waliweza kueleza kwa wengine kitu gani alifanya. + +# Nawapelekea ahadi ya Baba yangu juu yenu + +"Nitawapa kile ambacho Baba yangu aliahidi kuwapa." Yesu, Mungu Mwana, atatoa kile Mungu Baba alikiahidi kwa wafuasi wake wote, ambacho ni Mungu Roho Mtakatifu. + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu + +# mtakapovishwa nguvu + +Nguvu ya Mungu itawafunika kwa namna ileile nguo inavyomfunika mtu. Tafsiri mbadala: "mnapokea nguvu." + +# kutoka juu + +"kutoka juu" au "kutoka kwa Mungu" + diff --git a/luk/24/50.md b/luk/24/50.md new file mode 100644 index 00000000..cda1ba56 --- /dev/null +++ b/luk/24/50.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikatokea + +"Ilitokea" + +# alipokuwa akiwabariki + +"wakati Yesu alipokuwa anamuomba Mungu kuwatendea mema" + +# akabebwa + +Kwa sababu Luka haelezei kiuwazi nani alimbeba Yesu kwenda juu, hatujui kama alikuwa Mungu mwenyewe au malaika mmoja au malaika wengi. + diff --git a/luk/24/52.md b/luk/24/52.md new file mode 100644 index 00000000..232d99a8 --- /dev/null +++ b/luk/24/52.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa za jumla: + +Mistari hii inaelezea matendo ya Mitume + +# walimwabudu yeye + +"Mitume walimwabudu Yesu" + +# na kurudi + +kisha walirudi + +# waliendelea kubaki hekaluni + +hii inamaanisha kuwa walienda hekaluni kila siku + +# hekaluni + +makuhani peke yao ndio waliruhusiwa kuingia hekaluni + +# wakimbariki Mungu + +wakimsifu Mungu + diff --git a/manifest.yaml b/manifest.yaml new file mode 100644 index 00000000..198b5f61 --- /dev/null +++ b/manifest.yaml @@ -0,0 +1,281 @@ +dublin_core: + conformsto: 'rc0.2' + contributor: + - "Rev. Alex Nyuri" + - "GS. Andrew Gewe" + - "Bariki Malisa" + - "Rev. Catherin D. Matia" + - "Rev. Charles Mabisa" + - "Christina Abraham Kileo" + - "Ev. Cloud Roman" + - "Daniel Marura Chacha" + - "Rev. Dr. David Magoke" + - "Daudi Nungwana" + - "Dina Roman" + - "Rev. Donald Shadarck Dutuyi" + - "Rev. Elias Ndema" + - "Rev. Elisande Mhanga" + - "Emmanuel Masanja Mbaaga" + - "Emmanuel Nyamalya" + - "Rev. Erasmus Peter Malelo" + - "Ev. Ezekiel Daudi" + - "Ezekiel Manala" + - "Gabriel Gidale Merus" + - "Gabriel Lwitakubi Mazige" + - "Rev. Gungutu Elias" + - "Pst. Isack A. Gomugo" + - "Ev. James A. Makula" + - "James Semnkai" + - "Jeremiah Masasi" + - "Jesse Katabi Masolwa" + - "Pst. John Kerim" + - "Rev. John Ndaluka" + - "Pst. Jordan" + - "Joyce Gilbert Masasi" + - "Karen Riecks" + - "Kazwanomo" + - "Rev. Lameck Yakobo Tobotobo" + - "Laurent Petro Malelo" + - "Ev. Lazarus David Chalomhola" + - "Majama, Musa Isaya" + - "Makene Mafwele" + - "Marco Luma Mahushi" + - "Ev. Mathew Kazimoto" + - "Pst. Mathias William" + - "Ev. Moses Malugu" + - "Rev. Moses Eliakim Ndege" + - "Musa Luzali" + - "Rev. Philipo Mussa Kanwelle" + - "Raphael Musa" + - "Robert Ndalahwa" + - "Romantts" + - "Sadiki Kulwa" + - "Samson Nungwana" + - "Thobias Kazwanomo" + - "Rev. Yekonia M. Koko" + - "Rev. Yohana Batano" + - "Rev. Yohana S. Dutuyi" + - "Zelote Loilang'akaki Lukumay" + creator: 'Door43 World Missions Community' + description: 'Notes to help translators of the Bible' + format: 'text/markdown' + identifier: 'tn' + issued: '2018-04-11' + language: + identifier: sw + title: 'Kiswahili' + direction: ltr + modified: '2018-04-11' + publisher: 'unfoldingWord' + relation: + - 'sw/obs' + - 'sw/obs-tn' + - 'sw/obs-tq' + - 'sw/tq' + - 'sw/tw' + - 'sw/ulb' + rights: 'CC BY-SA 4.0' + source: + - identifier: 'tn' + language: 'en' + version: '7' + subject: 'Translator Notes' + title: 'translationNotes' + type: 'help' + version: '7.1' + +checking: + checking_entity: + - "Rev. Erasmus Peter Malelo" + checking_level: '3' + +projects: + - + title: '1 Corinthians translationNotes' + versification: '' + identifier: '1co' + sort: 46 + path: './1co' + categories: [] + - + title: '1 John translationNotes' + versification: '' + identifier: '1jn' + sort: 62 + path: './1jn' + categories: [] + - + title: '1 Peter translationNotes' + versification: '' + identifier: '1pe' + sort: 60 + path: './1pe' + categories: [] + - + title: '1 Thessalonians translationNotes' + versification: '' + identifier: '1th' + sort: 52 + path: './1th' + categories: [] + - + title: '1 Timothy translationNotes' + versification: '' + identifier: '1ti' + sort: 54 + path: './1ti' + categories: [] + - + title: '2 Corinthians translationNotes' + versification: '' + identifier: '2co' + sort: 47 + path: './2co' + categories: [] + - + title: '2 John translationNotes' + versification: '' + identifier: '2jn' + sort: 63 + path: './2jn' + categories: [] + - + title: '2 Peter translationNotes' + versification: '' + identifier: '2pe' + sort: 61 + path: './2pe' + categories: [] + - + title: '2 Thessalonians translationNotes' + versification: '' + identifier: '2th' + sort: 53 + path: './2th' + categories: [] + - + title: '2 Timothy translationNotes' + versification: '' + identifier: '2ti' + sort: 55 + path: './2ti' + categories: [] + - + title: '3 John translationNotes' + versification: '' + identifier: '3jn' + sort: 64 + path: './3jn' + categories: [] + - + title: 'Acts translationNotes' + versification: '' + identifier: 'act' + sort: 44 + path: './act' + categories: [] + - + title: 'Colossians translationNotes' + versification: '' + identifier: 'col' + sort: 51 + path: './col' + categories: [] + - + title: 'Ephesians translationNotes' + versification: '' + identifier: 'eph' + sort: 49 + path: './eph' + categories: [] + - + title: 'Galatians translationNotes' + versification: '' + identifier: 'gal' + sort: 48 + path: './gal' + categories: [] + - + title: 'Hebrews translationNotes' + versification: '' + identifier: 'heb' + sort: 58 + path: './heb' + categories: [] + - + title: 'James translationNotes' + versification: '' + identifier: 'jas' + sort: 59 + path: './jas' + categories: [] + - + title: 'John translationNotes' + versification: '' + identifier: 'jhn' + sort: 43 + path: './jhn' + categories: [] + - + title: 'Jude translationNotes' + versification: '' + identifier: 'jud' + sort: 65 + path: './jud' + categories: [] + - + title: 'Luke translationNotes' + versification: '' + identifier: 'luk' + sort: 42 + path: './luk' + categories: [] + - + title: 'Matthew translationNotes' + versification: '' + identifier: 'mat' + sort: 40 + path: './mat' + categories: [] + - + title: 'Mark translationNotes' + versification: '' + identifier: 'mrk' + sort: 41 + path: './mrk' + categories: [] + - + title: 'Philemon translationNotes' + versification: '' + identifier: 'phm' + sort: 57 + path: './phm' + categories: [] + - + title: 'Philippians translationNotes' + versification: '' + identifier: 'php' + sort: 50 + path: './php' + categories: [] + - + title: 'Revelation translationNotes' + versification: '' + identifier: 'rev' + sort: 66 + path: './rev' + categories: [] + - + title: 'Romans translationNotes' + versification: '' + identifier: 'rom' + sort: 45 + path: './rom' + categories: [] + - + title: 'Titus translationNotes' + versification: '' + identifier: 'tit' + sort: 56 + path: './tit' + categories: [] diff --git a/mat/01/01.md b/mat/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..fd114bc6 --- /dev/null +++ b/mat/01/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Mwandishi anaanza na ukoo wa Yesu ili kuonesha kwamba yeye ni mzaliwa wa mfalme Daudi na wa Ibrahimu. + +# Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo + +Ungeweza kutafsiri hii kama sentenso kamili. + +# mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu + +Kulikuwa na vizazi vingi kati ya Yesu, Daudi, na Ibrahimu. Hapa "mwana" humaanisha "mzaliwa" "mzaliwa wa Daudi, ambaye alikuwa mzaliwa wa Ibrahimu. + +# mwana wa Daudi + +wakati mwingine kirai "mwana wa Daudi" hutumika kama cheo, lakini hapa inaonekana kutumika kutambulisha tu ukoo wa Yesu. + +# Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka + +Kuna njia mbalimbali ungeweza kutafsiri maelezo haya. Kwa namna yoyote unavyo natafsiri hapa, ingekuwa bora zaidi kuyatafsiri kwa namna ilele kwa orodha yote ya mababu wa Yesu. "Ibrahimu akawa baba wa Isaka" au "I brahimu alikuwa na mwana Isaka" au "Ibrahimu alikuwa na mwana aliitwa Isaka." + +# Peresi na Sera...Hesroni...Ramu + +Haya ni majina ya wanaume + +# Peresi baba... Hesroni baba + +"Peresi alikuwa baba... Hesroni alikuwa baba. + diff --git a/mat/01/04.md b/mat/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..d9c024dd --- /dev/null +++ b/mat/01/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Salmoni alikuwa baba wa Boazi kwa Rahabu + +"Salamoni alikuwa baba wa Boazi, na mama wa Boazi alikuwa Rahabu" au "Salmoni na Rahabu walikuwa wazazi wa Boazi. + +# BOazi baba wa Obedi kwa Ruth + +"Boazi alikuwa baba wa Obedi, na mama wa Obedi alikuwa Ruth" au "Boazi na Ruth walikuwa wazazi wa Obedi" + +# Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria. + +"Daudi alikuwa baba wa Sulemani, na mama wa Sulemani alikuwa mke wa Uria" au "Daudi na mke wa Uria walikuwa wazazi wa Sulemani" + +# mke wa Uria + +Sulemani alizaliwa baada ya Uria kufa. "mjane wa Uria." + diff --git a/mat/01/07.md b/mat/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..46b0a00c --- /dev/null +++ b/mat/01/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yoramu baba wa Uzia + +Yoramu alikuwa kwa kweli babu ya babu yake na Uzia, hivyo 'baba" linaweza kutafsiriwa kama " babu" + diff --git a/mat/01/09.md b/mat/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..841a0b97 --- /dev/null +++ b/mat/01/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amoni + +Wakati mwingine jina hili limetafsiriwa "Amosi" + +# Yosia alikuwa baba wa Yekonia + +Yosia alikuwa kwa kweli babu yake na Yekonia. + +# wakati wa kuchukuliwa kwenda Babeli + +"wakati walipoamriwa kwa nguvu kuondoka kwenda Babeli" au "wakati Wababeli walipo washinda na kuwahamisha kwenda kuishi Babeli." Kama lugha yako inahitaji kuwataja wazi ambao walienda Babeli, unaweza kusema "Waisraeli" au Waisraeli ambao waliishi Yuda. + +# Babeli + +Hapa humaanisha nchi ya Babeli, sio tu mji wa Babeli. + diff --git a/mat/01/12.md b/mat/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..a5edbcfd --- /dev/null +++ b/mat/01/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# baada ya kuchukuliwa kwenda Babeli + +Tumia maneno yale yale uliyoyatumia katika Mat.1:9 + +# Shealitieli baba ya Zerubabeli + +Shealitieli kwa kweli alikuwa babu yake na Zerubabeli. + diff --git a/mat/01/15.md b/mat/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..53130a52 --- /dev/null +++ b/mat/01/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Mwandhishi anahitimisha ukoo wa Yesu, ambayo yalianza katika Mat.1: 1 + +# Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa + +Mariamu, ambaye alimzaa Yesu + +# Aitwaye Kristo + +Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo hai. "watu ambao humwita Kristo." + +# Kumi na nne + +"14" + +# kuchukuliwa kwenda Babeli + +Tumia maneno yale yale uliyotumia katika Mat.1:9. + diff --git a/mat/01/18.md b/mat/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..ae3f2705 --- /dev/null +++ b/mat/01/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla:Mama yake alikuwa amechumbiwa kuolewa na Yusufu + +"Mama yake Mariamu alikuwa mbioni kuolewa na Yusufu" kwa kawaida wazazi walifanya mipango ya ndoa za watoto wao." Wazazi wa Mariamu, mama wa Yesu, walikuwa wamemwahidi kuolewa na Yusufu. + +# Mama yake Mariamu alikuwa amechumbiwa + +Tafsiri kwa namna ambayo huweka wazi kwamba Yesu alikuwa bado hajazaliwa wakati Mariamu alikuwa amechumbiwa na Yusufu. "Mariamu, ambaye angekuwa mama wa Yesu, alikuwa amechumbiwa," + +# Kabla hawajapata kuwa pamoja + +"kabla hawajaoana." Hii pengine inamaanisha Mariamu na Yusufu kulala pamoja. kabla hawajalala pamoja." + +# alionekana kuwa mjamzito + +Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo tendaji. "wakatambua kwamba alikuwa mbioni kupata mtoto" au 'ilitokea kuwa alikuwa mjamzito. + +# kwa Roho Mtakatifu + +Uwezo wa Roho Mtakatifu ulikuwa umemwezesha kupata mtoto kabla ya kuwa amelala na mwanamume. + +# Mumewe Yusufu + +Yusufu alikuwa bado hajamwoa Mariamu, lakini wakati mwanamume na mwanamke waliahidi kuoana, Wayahudi waliwahesabu mume na mke ingawa hawakuishi pamoja. "Yusufu, ambaye aliyepaswa kumwpoa Mariamu" au "Yusufu." + +# alisitisha uchumba kati yake na yeye + +kuvunja mipango ya kuoana + diff --git a/mat/01/20.md b/mat/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..00952f14 --- /dev/null +++ b/mat/01/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kama alivyofikiri + +"Kama Daudi alivyofikiri" + +# alimtokea katika ndoto + +"alikuja kwake wakati Yusufu alikuwa akiota ndoto" + +# mwana wa Daudi + +Hapa "mwana" humaanisha "mzaliwa" + +# aliyechukuliwa mimba katika tumbo lake amechukliwa mimba kwa Roho Mtakatifu + +Hii inaweza kuelezewa kwa namna iliyo tendaji. "Roho Mtakatifu alisababisha Mariamu kuwa mjamzito na kuwa na mtoto huyu." + +# Naye atamzaa mwana + +Kwa sababu Mungu alimtuma malaika, malaika alijua mtoto atakuwa mvulana. + +# utamwita jina lake + +Hii ni amri. "utamwita" au "yakupasa kumpa jina" + +# kwa kuwa ataokoa + +Mtafsiri anaweza kuongeza rejeo inayo sema "Jina 'Yesu' maana yake Bwana huokoa." + +# watu wake + +Hii humaanisha Wayahudi + diff --git a/mat/01/22.md b/mat/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..3560ff9d --- /dev/null +++ b/mat/01/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwandishi amnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba kuzaliwakwa Yesu kulikuwa kwa mujibu wa andiko + +# Hii yote ilitokea + +Malaika hazungumzi tena. Mathayo sasa anaeleza umuhimu wa kile malaika alikisema. + +# kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii + +Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo tendaji. "kile ambacho Bwana alimwambia nabii Isaya kuandika zamani." + +# Tazama...Emanueli + +Hapa Mathayo anamnukuu nabii Isaya. + +# Tazama + +Neno hili huongeza msisitizo kwa kile kilicho fuata kusemwa. "Tazama" au "Sikia" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukuambia" + +# Emanueli + +Hili ni jina la kiume. + +# maana yake 'Mungu pamoja nasi' + +Hii haimo katika kitabu cha Isaya. Mathayo anaeleza maana ya jina "Emanueli." Unaweza kulitafsiri kama sentenso iliyo peke yake. "Jina hili maana yake 'Mungu pamoja nasi.'" + diff --git a/mat/01/24.md b/mat/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..f291a976 --- /dev/null +++ b/mat/01/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo yanayo unganisha: + +Mwandishi anahitimisha maelezo ya matukio kuelekea kuzaliwa kwa Yesu. + +# kama malaika wa Bwana alivyoamuru + +Malaika alikuwa amemwambia Yusufu kumchukua Mariamu kama mke wake na kumpa mtoto jina Yesu. + +# akamchukua kama mke wake + +"alimwoa Mariamu" + +# kwa mwana + +Hakika ni wazi kuwa Yusufu si baba halisi "kwa mtoto wa kiume" au "kwa mwana wake." + +# Na alimwita jina lake Yesu + +"Yusufu alimwita mtoto Yesu" + diff --git a/mat/02/01.md b/mat/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..17bb2139 --- /dev/null +++ b/mat/02/01.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Sehsmu mpya ya habari huanza hapa na kuendelea hadi mwisho wa sura. Mwandishi anasimulia kuhusu jaribio la Herode kumwua mfalme mpya wa Wayahudi. + +# Bthlehemu ya Yuda + +"mji wa Bethlehemu katika jimbo la Uyahudi" + +# katika siku za mfalme Herode + +"wakati Herode alipokuwa mfalme huko" + +# Herode + +Hii humaanisha Herode Mkuu. + +# mamajusi + +"watu wenye elimu ya nyota" + +# kutoka mashariki + +"kutoka nchi ya mbali mashariki ya Uyahudi. + +# Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? + +Watu wale walijua kutokana na elimu ya nyota kwamba yule ambaye atakuja kuwa mfalme alikuwa amekwisha zaliwa. Walikuwa wanajaribu kuchunguza mahali alipokuwa. Mtoto mdogo ambaye atakuja kuwa mfalme wa Wayahudi amezaliwa. Yuko wapi?" + +# nyota yake + +Walikuwa hawasemi kwamba mtoto mdogo alikuwa mmiliki halali wa nyota. "nyota ambayo hutuambia kuhusu yeye" au "nyota ambayo imehusishwa na kuzaliwa kwake.' + +# mashariki + +"ilikuja tokea mashariki" au wakati tulopkuwa katika nchi yetu" + +# abudu + +uwezekano wa maana ni 1) walikusudia kumwabudu mtoto mdogo kama Mungu, au 2) walitka kumpa heshima kama mfalme wa kibinadamu. Kama lugha yako ina neno ambalo huhusisha maana zote mbili, unapaswa kuzingatia kulitumia hapa. + +# alifadhaika + +"alitaabishwa." Herode alitaabishwa kwamba mtoto mdogo huyu atachukua nafasi yake kama mfalme. + +# Yerusalemu yote + +Hapa "Yerusalemu" ina maanisha watu. Pia "yote" humaanisha "wengi." Mathayo anaongeza chumvi kusisitiza watu wangapi walitaabishwa. "watu wengi wa Yerusalemu." + diff --git a/mat/02/04.md b/mat/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..175f45d4 --- /dev/null +++ b/mat/02/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Ktoka mstari wa 6, makuhani wakuu na waandishi wa watu wanamnukuu nabii Mika kuonesha kwamba Kristo angezaliwa Bethlehemu. + +# Katika Bethlehemu ya Yuda + +"Katika mji wa Behlehemu katika jimbo la Yuda" + +# hili ndilo lililoandikwa na nabii + +Hili linaweza kuelezwa kwa namna iliyo tendaji. hiki ndicho likchoandikwa na nabii zamani. + +# Na wewe, Bethlehemu...Israeli + +Wanamnukuu nabii Mika. + +# wewe, Bethlehemu...hu mdogo miongoni mwa viongozi wa Yuda + +MIka alikuwa akizungumza na watu wa Bethlehemu kana kwamba walikuwa pamoja naye, lakini hawakuwa naye. Pia "hu mdogo" linaweza kutafsiriwa na kirai chanya. "ninyi watu wa Bethlehemu,...mji wenu ni miongoni mwa miji iliyo muhimu zaidi kuliko yote katika Yuda. + +# ambaye atawachunga watu wangu Israeli + +Mika anamzungumza mtawala huyu mchungaji. Hii inamaanisha ata waongoza na kuwahudumia watu. "ambaye atawaongoza watu wangu Israeli kama mchungaji aongozavyo kondoo wake." + diff --git a/mat/02/07.md b/mat/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..2ea77a43 --- /dev/null +++ b/mat/02/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Herode aliwaita mamajusi kwa siri + +Hii inamaanisha kwamba Herode alizungumza na mamajusi bila ya watu wengine kujua. + +# kuwauliza lini hasa nyota ilikuwa imekwisha onekana. + +Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya moja kwa moja. "na akawauliza, lini hasa nyota hii ilionekana?" + +# nyota ilikuwa imeonekana lini + +Hii inadokeza kwamba mamajusi walimwambia nyota ilionekana lini. "wakati gani nyota ilikuwa umeonekana. Mamajusi walimwambia Herode lini wakati nyota ilipoonekana mara ya kwanza." + +# mtoto mchanga + +Inamaanisha Yesu. + +# nipe neno + +"nijulishe" au "niambie" + +# mwabudu + +Tafsiri hii kama ulivyofanya katika Mat 2:1 + diff --git a/mat/02/09.md b/mat/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..6716f664 --- /dev/null +++ b/mat/02/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# baada ya + +"baada ya mamajusi" + +# walikuwa wamekwisha iona mashariki + +"walikuwa wamekwisha iona ikija kutoka mashariki" au "walikuwa wamekwisha iona katika nchi yao." + +# ikawatangulia + +"iliwaonesha njia" au "iliwaongoza" + +# ilitulia juu ya + +"ilisimama juu" + +# mahali alipokuwa mtoto + +"mahali ambapo mtoto mchanga alikuwapo" + diff --git a/mat/02/11.md b/mat/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..a892e673 --- /dev/null +++ b/mat/02/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Hapa mandhari yanahamia kwenye nyumba mahari Mariamu, Yusufu, na mtoto mchanga Yesu walikuwa wakiishi. + +# walienda + +"Mamajusi walienda" + +# abudu + +Trafsiri neno hili kama ulivyofanya katika Mat.1:1 + +# Hazina zao + +"hazina" humaanisha kasha au mifuko waliotumia kubebea hazina. "vyombo ambavyo vilishikilia hazina zao." + +# Mungu aliwaonya + +"Baadaye, Mungu aliwaonya mamajusi." Mungu alijua kwamba Herode alitaka kumdhuru mtoto. + +# wasirudi kwa Herode + +Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya moja kwa moja. "kusema, 'Msirudi kwa mfalme Herode." + diff --git a/mat/02/13.md b/mat/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..6ae002a3 --- /dev/null +++ b/mat/02/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa za jumla: + +Katika mstari wa 15, mwandishi amnukuu nabii Hosea kuonesha kwamba Kristo angekaa Misri. + +# walikuwa wameondoka + +:mamajusi walikuwa wameondoka" + +# alimtokea yusufu katika ndoto. + +"alikuja kwa Yusufu wakati alipokuwa anaota. + +# Amka, chukua...kimbilia...Baki...wewe + +Mungu anazungumza na Yusufu, haya yanapaswa kuwa katika umoja. + +# hadi nitakapo kuambia + +Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa kuwa wazi. "mpaka nitakapo kuambia ni salama kurudi." + +# Nita kuambia + +Hapa "nitakapo kuambia" inamaanisha Mungu. Malaika anazungumza kwa ajili ya Mungu. + +# Alibaki + +Inamaanisha kwamba Yusufu, Mariamu, na Yesu walibaki Misri. "Walibaki" + +# mpaka kifo cha Herode + +Herode hafi mpaka Maelezo haya yanaelezea urefu wa muda wa kukaa Mirsi, na hayasemi kwamba Herode alikufa kwa wakati huu. + +# Kutoka Misri nitamwita mwanangu + +"Nimemwita mwanangu kutoka Misri" + diff --git a/mat/02/16.md b/mat/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..1376f992 --- /dev/null +++ b/mat/02/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Hapa mandhari yahamia kurudi kwa Herode na hueleza alifanya nini baada ya kugundua kuwa mamajusi walikuwa wamemdanganya. + +# Taarifa kwa ujumla + +Matukio haya yalitokea kabla kifo cha Herode, ambayo mwandishi ameyataja katika2:13 + +# amekwisha dhihakiwa na mamajusi + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "mamajusi walikuwa wamemwaibisha kwa kumdanganya." + +# Alituma na kuwaua watoto wote wa kiume + +Herode hakuua watoto yeye mwenyewe. "Alitoa amri ili maaskali wake watoto wote wa kiume" au "Aliwatuma maaskari pale kuwa watoto wote wa kiume. + +# wenye umri wa miaka miwili na chini yake + +"Umri wa miaka 2 na wadogo chini ya umri huo. + +# kwa mujibu wa wakati + +"kutegemeana na wakati" + diff --git a/mat/02/17.md b/mat/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..773c29ac --- /dev/null +++ b/mat/02/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Mwandishi amnukuu nabii Yeremia kuonesha kwamba kifo cha watoto wote wa kiume katika mkoa wa Bethlehemu kilikuwa kwa mujibu wa Maandiko. + +# Kisha ilitimizwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Hii ilitimizwa" au "matendo ya Herode yalitimiza." + +# kile kilicho kuwa kimenenwa kwa njia ya nabii Yeremia + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "kile Bwana alikinena hapo zamani kwa njia ya nabii Yeremia" + +# Sauti ilisikika...hawakuwapo + +Mathayo anamnukuu nabii Yeremia. + +# Sauti ilisikika + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Watu walisikia sauti" au "kulikuwa na sauti kubwa." + +# Raheli awalilia watoto wake + +Raheli aliishi miaka mingi kabla ya wakati huu. Unabii huu huonesha Raheli, ambaye amekufa, akiwalilia wazaliwa wake. + +# alikataa kufarijiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "hakuna yeyote angeweza kumfariji" + +# kwa sababu hawapo tena + +kwa sababu watoto walikuwa wametoweka na kamwe hawatarudi." Hapa "hawapo tena" ni njia laini ya kusema wamekufa. "kwa sababu walikuwa wamekufa" + diff --git a/mat/02/19.md b/mat/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..e2c4714c --- /dev/null +++ b/mat/02/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Hapa mandhari ya hamia kwenda Misri, mahali Ysufu, Mariamu, na mtoto Yesu wanaishi. + +# tazama + +Hii inaweka alama ya mwanzo wa tukio jingine katika habari ndefu. inaweza kuhusisha watu wengi kuliko matukio yaliyotangulia. Lugha yako inaweza kuwa namna ya kufanya hivi. + +# wale ambao walitafuta uhai wa mtoto + +"wale ambao walikuwa wanamtafuta mtoto ili wamwue" + +# wale ambao walitafuta + +Hii ina maanisha mfalme Herode na washauri wake. + diff --git a/mat/02/22.md b/mat/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..b7ea3dbd --- /dev/null +++ b/mat/02/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi ambayo ilianza katika Mat. 2:1. kuhusu jaribio la Herode kumwua mfalme mpya wa Wayahudi. + +# Lakini aliposikia + +"Lakini Yusufu aliposikia" + +# Arikeleu + +Hili ni jina la mwana wa Herode. + +# aliogopa + +"Yusufu aliogopa" + +# lile lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "lile Bwana alilolinena hapo zamani kwa njia ya manabii" + +# ataitwa mnazarayo + +Hapa "ataitwa" anamaanisha Yesu. Manabii kabla ya wakati wa Yesu wangelimtaja kama Masihi au Kristo. "watu wangesema kuwa Kristo ni Mnazarayo." + diff --git a/mat/03/01.md b/mat/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..f8bc396b --- /dev/null +++ b/mat/03/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi mahali ambapo mwandishi anaisimulia huduma ya Yohana Mbatizaji. Katika mst. 3. mwandishi anamnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa mjumbe aliyechaguliwa na Mungu kuandaa huduma ya Yesu. + +# Katika siku hizo + +Hii ni miaka mingi baada ya Yusufuna familia kuondoka Misri na kwenda Nazareti.Hii pengine karibu na wakati ambao Yesu alianza huduma yake. "Baadaye" au "Miaka kadhaa baadaye." + +# Tubuni + +Hii iko katika wingi. Yohana anazungumza na umati. + +# ufalme wa mbinguni umekaribia + +Kirai "ufalme wa mbinguni" humaanisha Mungu kutawala kama mfalme. Kirai hiki kiko katika kitabu cha Mathayo tu. Kama inawezekana, tumia neno "mbinguni" katika tafsiri yako. "Mungu wetu uliye mbinguni baada ya muda mfupi atajionesha mwenyewe kuwa mfalme." + +# Kwa kuwa huyu ndiye aliyenenwa na nabii Isaya akisema + +Hii inaweza kuelezwa katika nmna iliyo tendaji. "Kwa kuwa Isaya nabii alikuwa anamnena Yohana Mbatizaji wakati aliposema." + +# Sauti ya mtu + +Hapa "sauti" humaanisha nafsi yote. "Kuna mtu." + +# Tengenezeni njia ya Bwana, nyosheni njia yake + +"Andaeni njia ya Bwana, nyosheni njia yake." Hii ni sitiari ya ujumbe wa Yohana ambao unawita watu kujiandaa na ujio wa Yesu kwa kufanya toba ya dhambi zao. "Badilika katika maisha yako hivyo utakuwa tayari wakati Bwana ajapo." + diff --git a/mat/03/04.md b/mat/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..d2b68761 --- /dev/null +++ b/mat/03/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa...asali ya nyikani + +Neno "sasa" limetumika hapa kuweka alama kutenganisha mtiririko mkuu wa simulizi. Hapa Mathayo ana simulia habari za historia ya nyuma kuhusu Yohana Mbatizaji. + +# alivaa nguoa za manyoa ya ngamia na mkanda wa ngozi katika kiuno chake. + +Vazi hili huashiria kwamba Yohana ni nabii kama manabii wa tangu zamani, hususan nabii Eliya. + +# Kisha Yerusalemu, Uyahudi yote, na mkoa wote + +Hii humaanisha watu kutoka maeneo yale. "Hapa neno "yote" humaanisha "wengi." Mathayo anasisitiza jinsi watu wengi walivyoenda kwa Yohana Mbatizaji. + +# Walibatizwa naye + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Yohana aliwabatiza." + +# Wao + +Hii inamaanisha watu waliokuja kutoka Yerusalemu, Uyahudi, na mkoa kuzunguka Mto Yordani. + diff --git a/mat/03/07.md b/mat/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..2936e5c0 --- /dev/null +++ b/mat/03/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Yohana Mbatizaji aanza kuwakemea Mafarisayo na Masadukayo. + +# Enyi uzao wa nyoka wa sumu + +Hii ni sitiari. Nyoka wa sumu ni hatari na wanwaklisha uovu. "Enyi nyoka wa sumu waovu!" au "Mu waovu kama nyoka wa sumu." + +# nani kawaonya kuikimbia ghadhabu ambayo inakuja + +Yohana anatumia swali kuwaonya Mafarisayo na Masadukayo kwa sababu walikuwa wakimwomba kuwabatiza ili kwamba Mungu asiwahukumu, lakini hawakutaka kuacha kufanys dhambi. "hamwezi kuikimbia ghadhabu ya Mungu namna hii" au "msifikiri kwamba mnaweza kuikimbia ghadhabu ya Mungu kwa sababu ya kuwabatiza tu. + +# Ikimbieni gadhabu inayokuja + +Neno "ghadhabu" linatumika kumaanisha adhabu ya Mungu kwa sababu ghadhabu yake hutangulia. "kimbieni kutoka kwenye hukumu ambayo inakuja" au "iepukeni kwa sababu Mungu anaenda kuwaadhibu ninyi." + +# Zaeni matunda yastahiliyo toba + +Kirai "zaeni matunda" ni sitiari inayomaanisha matendo ya mtu. "Acha matendo yenu yaoneshe kwamba mmetubu kweli." + +# Tunaye Ibrahimu baba yetu + +"Ibrahimu ni babu yetu" au "ni wazaliwa wa Ibrahimu." Viongozi wa Kiyahudi walifikiri kwamba Mungu hangewahukumu kwa kuwa ni wazaliwa wa Ibrahimu. + +# Kwa maana nawambieni + +Hii inaongeza msisitizo kwa kile Yohana anchokwenda kukisema + +# Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya. + +"Mungu angeweza kufanya wazaliwa wa mwili kutokana hata na mawe haya na kumpa Ibrahimu" + diff --git a/mat/03/10.md b/mat/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..898c5a7a --- /dev/null +++ b/mat/03/10.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Maelezo yanyounganisha + +Yohana Mbatizaji anaendelea kuwakemea Mafarisyo na Masadukayo. + +# Tayari shoka limekwisha wekwa kwenye shina la miti. Hivyo kila mti usioweza kuzaa matunda mazuri unakatwa na kutupiwa motoni. + +Sitiari hii inamaanisha Mungu yuko tayari kuawaadhibu wenye dhambi. Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Mungu ana shoka lake na yuko tayari kukata na kuchoma mti wowote unaozaa matunda mabaya" au "Kama vile mtu atayarishavyo shoka kukata na kuchoma mti ambao huzaa matunda mabaya, Mungu yuko tayari kuwaadhibu ninyi kwa ajili ya dhambi zenu." + +# kwa ajili ya toba + +"kuonesha kwmba umekwisha tubu" + +# Lakini ajaye nyuma yangu + +Yesu ni mtu yule ambaye anakuja nyuma ya Yohana + +# ni mwenye uwezo kuliko mimi + +'ni wa muhimu zaidi kuliko mimi" + +# Atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto + +Sitiari hii hulinganisha ubatizo wa Yohana wa maji kwa ubatizo ujao wa moto. Hii humaanisha ubatizo wa Yohana kiishara huwatakasa watu dhambi zao. Ubatizo kwa Roho Mtakatifu na moto utatakasa dhambi za watu kwa kweli. Kama inawezekana, tumia neno "batiza" katika tafsiri yenu kutunza ulinganishaji wa ubatizo wa Yohana. + +# Pepeto lake li mkononi mwake kupepeta ngano + +Sitiari hii hulinganisha namna Kristo atakavyo watenganisha watu wenye haki na watu wasio haki kwa namna mtu atenganishavyo nafaka ya ngano na makapi. "Kristo ni kama mtu ambaye pepeto lake liko mkononi mwake." + +# Pepeto lake li mkononi mwake + +Hapa "mkononi mwake" humaanisha mtu yuko tayari kutenda. "Kristo ameshikilia pepeto kwa sababu yuko tayari." + +# pepeto + +Hiki ni kifaa kwa ajili ya kurusha juu hewani kutenganisha nafaka za ngano na makapi. Nafaka zenye uzito hurudi na kuanguka chini na makapi yasiyotakiwa hupeperushwa na upepo. Kina fanana na umbo la uma ya nyasi lakini kina meno mapana kimetengenzwa kutokana na mbao. + +# sakafu yake ya kupuria + +"kiwanja chake" au " kiwanja mahali ambapo hutenganisha nafaka na makapi" + +# kukusanya ngano yake katika ghala...kuchoma makapi kwa moto usioweza kuzimika + +Hii ni sitiari inayoonesha jinsi Mungu atakavyowatenganisha watu wenye haki na watu waovu. Wenye haki wataenda mbinguni kama ngano katika ghala ya mkulima, na Mungu atawachoma watu ambao ni kama makapi kwa moto ambao hautazimika. + +# hautaweza kamwe kuzimika + +Hii inweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "kamwe hautazimika." + diff --git a/mat/03/13.md b/mat/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..27ebe894 --- /dev/null +++ b/mat/03/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Hapa mandhari yahamia kwenda wakati wa baadaye wakati Yohana Mbatizaji ambatiza Yesu. + +# kubatizwa na Yohana + +Hii inaweza kueleza katika namna iliyo tendaji. "hivyo Yohana aliweza kumbatiza." + +# Nina hitaji kubatizwa wewe, nawe waja kwangu? + +Yohana anatumia swali kuonesha kushangazwa kwake na ombi la Yesu. "Wewe ni wa maana zaidi kuliko mimi. Sipaswi kukubatiza wewe. Wewe unapaswa kunibatiza mimi." + +# kwa ajili yetu + +Hapa "sisi" humaanisha Yesu na Yohana. + diff --git a/mat/03/16.md b/mat/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..58de1d58 --- /dev/null +++ b/mat/03/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu Yohana Mbatizaji na hueleza kilichotokea baada ya kumbatiza Yesu. + +# Baada ya kubatizwa + +Hii inaweza kueleza katika namna iliyo tendaji. "Baadaya Yohana kumbatiza Yesu" + +# tazama + +Neneo "tazama" hapa hututahadharisha sisi kuwa makini kwa habari ya kushtukiza ambayo inafuata. + +# mbingu zilifunguka kwake + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Yesu aliona mbingu zimefunguka" au "Mungu alizifungua mbingu kwa Yesu." + +# kushuka chini kama njiwa + +Maana zinaweza kuwa 1) haya ni maelezo dhahiri kwamba Roho alikuwa katika umbo la njiwa au 2) huu ni mfanano ambao hulinganisha Roho kushuka chini kuja juu ya Yesu kwa upole, ndivyo njiwa angefanya. + +# sauti toka ilitoka mbinguni ikisema + +"Yesu alisikia sauti kutoka mbinguni." Hapa "sauti" humaanisha Mungu anazungumza. "Mungu alizungumza kutoka mbinguni." + +# Mwana + +Hiki ni cheo cha maana cha Yesu, Mwana wa Mungu + diff --git a/mat/04/01.md b/mat/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..aaeb5573 --- /dev/null +++ b/mat/04/01.md @@ -0,0 +1,56 @@ +# Taarifa kwa ujula: + +Hapa mwandishi anaanza sehemu mpya ya simulizi ambayo Yesu anatumia siku 40 nyikani, mahali ambapo Shetani anamjaribu. Katika mst. 4, Yesu anamkemea Shetani kwa nukuu kutoka Kumbukumbu la Torati. + +# Yesu aliongozwa na Roho + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Roho alimwongoza Yesu." + +# kujaribiwa na Ibilisi + +Hiiinaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "hivyo Ibilisi aliweza kumjaribu Yesu." + +# Ibilisi...Mjaribu + +Haya yana maanisha kiumbe yuleyule. unaweza kutumia neno lilelile kutafsiri yote mawili. + +# alikuwa amefunga ...alikuwa na njaa + +Haya yanamaanisha Yesu. + +# siku arobaini mchana na usiku + +"Siku 40 mchana na usiku" Hii ina maanisha vipndi vya saa 24. "siku 40." + +# Kama wewe ni mwana wa Mungu, amuru + +Ina wezekana kuwa na maana 1) hili ni jaribu la kufanya miujiza kwa ajili ya manufaa ya Yesu mwenyewe. "Wewe ni mwana wa Mungu, hivyo amuru." Au 2) "Thibitisha kwamba wewe ni Mwana wa Mungu kwa kuamuru." Ni vizuri kuamini kuwa Shetani alijua kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu. + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo muhimu kinacho eleza uhusiano kati ya Yesu na Mungu. + +# Mwana wa Mungu + +Hikini cheo cha maana cha Yesu. + +# amuru mawe haya kuwa mkate + +Ungeweza kutafsiri hii na nukuu ya moja kwa moja. "sema kwa mawe haya, Kuwa mkate."' + +# mkate + +"chakula" + +# imeandikwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Musa aliandika hivi katika maandiko hapo zamani." + +# Mtu hataishi kwa mkate tu + +Hii inamaanisha kuwa kuna kitu ambacho ni cha muhimu zaidi katika maisha kuliko chakula + +# bali kwa kila neno ambalo hutoka katika kinywa cha Mungu. + +Hapa "neno" na "kinywa" humaanisha kwa kile Mungu anasema. + diff --git a/mat/04/05.md b/mat/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..fa8d4060 --- /dev/null +++ b/mat/04/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa za Jumla: + +Katika mstari 6, Shetani ananukuu kutoka Zaburi ili kumjaribu Yesu. + +# Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini + +Inaweza kuwa na maana 1) hili ni jaribu kufanya muujiza kwa ajili ya manufaa ya Yesu mwenyewe. "Kwa kuwa Mwana wa Mungu kwa kweli, unaweza kujitupa chini." Au, 2) hii ni changamoto au shtaka. "Thibitisha kuwa wewe kwakweli ni Mwana wa Mungu kwa kujitupa chini" Ni vizuri kuamini kuwa Shetani alijua kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu. + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo cha maana ambacho kinaeleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# jitupe chini + +"jiachie mwenyewe hadi chini" au ruka kwenda chini" + +# kwa maana imeandikwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "kwa maana mwimba zaburi aliandika katika maandiko" au " kwa maana inasema katika maandiko." + +# Ataagiza malaika wake wakutunze + +"Mungu atawaagiza malaika wake wakutunze." Hii inaweza kutafsiriwa na nukuuu ya moja kwa moja. "Mungu atasema kwa malaika wake, Mlindeni."' + +# Watakuinua juu + +"Malaika watakushika + diff --git a/mat/04/07.md b/mat/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..6d263ce9 --- /dev/null +++ b/mat/04/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Katika mstari wa 7, Yesu amemkemea Shetani na nukuu nyingine kutoka Kumbu kumbu + +# Tena imeandikwa + +Imefahamika kuwa Yesu anamaanisha ana nukuu maandiko tena. Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Tena, nitawaambia Musa alichoandika katika maandiko." + +# Usimjaribu + +Hapa "usi" inamaanisha yeyote. "Mtu hapaswi kumjaribu" au "Hapana mtu anapaswa kumjaribu." + +# Tena, Ibilisi + +"Baada ya hapo, Ibilisi" + +# Alimwambia + +"Ibilisi alimwambia Yesu" + +# Vitu vyote hivi nitakupa + +"Nitakupa vitu vyote hivi." Mjaribu anasisitiza kuwa atampa "vitu vyote," si tu baadhi yake. + diff --git a/mat/04/10.md b/mat/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..290bce89 --- /dev/null +++ b/mat/04/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu jinsi Shetani alivyo mjaribu Yesu + +# Taarifa kwa ujumla + +Katika mstari su10, Yesu anamkemea ShetanTi na nukuu nyingine kutoka Kumbukumbu la Torati. + +# Kwa maana imeandikwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna yamuundo tendaji. "Musa pia aliandika katika maandiko." + +# Yakupasa + +Hapa "yakupasa" inamaanisha yeyote. + +# Tazama + +Neno "tazama" hapa lina tutahadharisha kuwa makini kwenye habari mpya muhimu ambazo zinafuata. + diff --git a/mat/04/12.md b/mat/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..89c154dd --- /dev/null +++ b/mat/04/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi ambayo katika hiyo mwandishi anaeleza mwanzo wa huduma ya Yesu Galilya. Mistari hii inaeleza jinsi Yesu alivyokuja Galilaya + +# Sasa + +Neno hili lintumika hapa kuweka alama ya kuanzisha mtiririko wa habari kuu wa simulizi. Hapa Mathayo anaanza kutuambia sehemu mpya ya simulizi. + +# Yohana alikuwa amekamatwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna ya muundo tendaji. "mfalme alikuwa amemkamata Yohana." + +# Katika majimbo ya Zabuloni na Naftali + +Haya ni majina ya makabila ambayo yaliishi katika maeneo haya kabla ya wageni kudhibiti nchi ya Israeli miaka mingi kabla. + diff --git a/mat/04/14.md b/mat/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..52b9d5e1 --- /dev/null +++ b/mat/04/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla: + +Katika mstari wa 15 na 16, mwandishi anamnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba huduma ya Yesu Galilaya ilikuwa ni kutimizwa kwa unabii. + +# Hii ilitokea + +Hii inamaanisha Yesu kwenda kuishi Kaperenaumu. + +# kilichonenwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna ya muundo tendaji. "kile Mungu alichonena" + +# Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali...Galilaya ya Wamataifa. + +Majimbo haya yote yanaeleza eneo lilelile. Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi timilifu. "Katika jimbo la Zabuloni na Naftali...katika jimbo hilo huishi Wamataifa wengi." + +# kuelekea bahari + +Hii ni bahari ya Galilaya. + +# Watu waliokaa katika giza wameona mwanga mkuu + +Hapa "giza" humaanisha maisha ya gizani au dhambi ambayo huwatenga watu na Mungu. Na "mwanga" humaanisha ujumbe wa kweli wa Mungu ambao huwaokoa watu kutoka katika dhambi yao. Hii ni taswira ya watu ambao hawa kuwa na tumaini sasa wana tumaini kutoka kwa Mungu. + +# kwa hao ambao walikaa katika eneo na kivuli cha kifo, juu yao mwanga umewazukia + +Kimsingi hii ina maana ileile kama sehemu ya kwanza ya sentensi. Hapa "eneo" na kivuli cha kifo" humaanisha kifo cha kiroho au kutengana na Mungu. + diff --git a/mat/04/17.md b/mat/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..c7640e18 --- /dev/null +++ b/mat/04/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tubuni, kwa kuwa ufalme wa mbinguni umekaribia + +Sentensi "ufalme wa mbinguni" humaanisha utawala ambao Mungu ndiye mfalme. Sentensi hii imetumika katika injili ya Mathayo tu. Kama inawezekana tumia neno "Mbinguni" katika tafsiri yako. "Si muda mrefu Baba yetu aliye mbinguni atajidhirisha kuwa ni mfalme" Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika Mat. 3:1 + diff --git a/mat/04/18.md b/mat/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..54bd2159 --- /dev/null +++ b/mat/04/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla: + +Hii huanza mandhari mpya katika sehemu ya simulizi kuhusu huduma ya Yesu kule Galilaya. Hapa huanza kwa kuwakusanya watu kuwa wanafunzi wake. + +# Kutupa nyavu baharini + +"Kutupa nyavu majini ili kuvua samaki" + +# Nifuateni + +"Yesu anawakaribisha Simoni na Andrea kumfuata, kuishi naye, na kuwa wanafunzi wake. ""Iweni wanafunzi wangu." + +# Nitawafanya wavuvi wa watu + +Hii sitiari humaanisha Simoni na Andrea watawafundisha watu ujumbe wa kweli wa Mungu hivyo wengine pia waanze kumfuata Yesu. "Nitawafundisha kuwaleta watu kwangu kama mlivyo kuwa mnavua samaki" + diff --git a/mat/04/21.md b/mat/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..08373c0f --- /dev/null +++ b/mat/04/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anawaita watu zaidi kuwa wanafunzi wake. + +# Aliwaita + +"Yesu aliwaita Yohana na Yakobo." Kirai hiki pia humaanisha kwamba aliwakaribisha kumfuata, kuishi naye, na kuwa wanafunzi wake. + +# maramoja + +"wakati huo huo" + +# waliuacha mtumbwi...na walimfuata + +Inapaswa kuwa wazi kwamba haya ni mabadiliko ya maisha. Watu hawa hawaendi tena kuwa wavuvi na wanaacha shughuli za familia zao kumfuata Yesu kwa maisha yao waliyo nayo. + diff --git a/mat/04/23.md b/mat/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..49aedf2a --- /dev/null +++ b/mat/04/23.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu mwanzo wa huduma ya Yesu Galilaya. Mistari hii ni muhtasari wa kile alichofanya na jinsi watu walivyoitikia. + +# kufundisha katika masinagogi yao + +"kufundisha katika masinagogi ya Wagalilaya" au kufundisha katika masinagogi ya watu wale" + +# kuhubiri injili ya ufalme + +Hapa "ufalme" humaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "kuhubiri habari njema kuhusu jinsi Mungu atakavyojifunua mwenyewe kama mfalme." + +# "aina zote za maradhi na aina zote za magonjwa" + +"kila maradhi na kila ugonjwa." Maneno "maradhi" na :magonjwa" yanakaribia sana lakini yanapaswa kutafsiriwa kama maneno mawili tofauti kama inawezekana. "Maradhi ni kile kinacho sababisha mtu kuwa mgonjwa. "Ugonjwa ni udhifu wa mwili au maumivu ambayo ni matokeo ya kuwa na maradhi. + +# wale waliopagawa na pepo + +Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "walio na pepo" au "wale ambao wanatawaliwa na pepo." + +# wenye kifafa + +"wale waliokuwa na kifafa" au wale walio na maradhi ambayo yalisababisha kuzirai." + +# waliopooza + +"wale ambao hawakuweza kutembea" + +# Dekapoli + +Jina hili humaanisha "Miji Kumi." + diff --git a/mat/05/01.md b/mat/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..f07ace0d --- /dev/null +++ b/mat/05/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi ambayo Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake. Sehemu hii huendelea hadi mwisho wa sura ya 7 na mara kwa mara huitwa mahubiri ya Mlimani. + +# Maelezo ya jumla + +Katika msyari wa 3, Yesu anaanza kueleza tabia za watu ambao wamebarikiwa. + +# Akafunua kinywa chake + +"Yesu alianza kunena." + +# aliwafundisha + +Neno "aliwa" humaanisha wanafunzi wake. + +# maskini katika roho + +Hii inamaanisha mtu ambaye ni mnyenyekevu. "wale ambao wanajua wanamhitaji Mungu." + +# Kwa kuwa uflmeme wa mbinguni ni wao + +Hapa "ufalme wa mbinguni" humaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Kirai hiki kiko katika kitabu cha Mathayo tu. Kama inawezekana weka "mbinguni" katika tafsiri yako. "kwa kuwa Mungu wa mbinguni atakuwa mfalme wao." + +# wale ambao wana huzunika + +Sababu zinazopelekea kuwa wenye huzuni ni 1) hali ya dhambi ya ulimwengu au 2) dhambi zao au 3) kifo cha mtu. Usieleze bayana sababu ya kuhuzunika isipkuwa lugha yako inataka hivyo. + +# watafarijiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "Mungu atawafariji." + diff --git a/mat/05/05.md b/mat/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..f7c51bd1 --- /dev/null +++ b/mat/05/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wanyenyekevu + +"wapole" au "wale ambao hawategemei uwezo wao wenyewe" + +# watarithi nchi + +"Mungu atawapa nchi yote." + +# wenye njaa na kiu ya haki + +Sitiari hii humaanisha mtu anapaswa kwa uhodari kufanya kilicho sahihi. "kutamani kuishi kwa unyofu kama ilivyo kutamani chakula na kinywaji. + +# watashibishwa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "Mungu atawashibisha" au "Mungu atawatosheleza." + +# walio safi wa moyo + +"watu ambao mioyo yao ni safi." Hapa "safi" hurejelea kwa kutamani kwa mtu. wale ambao tu wanataka kumtumikia Mungu." + +# watamwona Mungu + +Hapa "kuona" inamaanistha wataweza kuishi katika uwepo wa Mungu." "Mungu atawaruhusu kuishi naye." + diff --git a/mat/05/09.md b/mat/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..978f8787 --- /dev/null +++ b/mat/05/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wapatanishi + +Hawa ni watu ambao husaidia wengine kuwa na amani na wengine miongoni mwao. + +# kwa kuwa wataitwa wana wa Mungu + +Hii inaweza kuelezwa katika namna ya muundo tendaji. "kwa kuwa Mungu atawaita watoto wake" au "watakuwa watoto wa Mungu. + +# wana wa Mungu + +Ni vizuri kutafsiri "wana" kwa neno lile lile lugha yako kwa kawaida ungelitumia kurujelea kwa mwana au mtoto wa binadamu + +# wale ambao wameteswa + +Hii inaweza kuelezwa katika namna muundo tendaji. "watu wale ambao wengine huwatendea kwa isivyo haki" + +# kwa ajili ya haki + +"kwa sababu wanafanya kile ambacho Mungu hutaka wafanye" + +# ufalme wa mbinguni ni wao + +angalia jinsi ulivyotafsiri katika Mat. 5:1 + diff --git a/mat/05/11.md b/mat/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..4c079679 --- /dev/null +++ b/mat/05/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamaliza kueleza tabia za watu ambao wamebarikiwa. + +# Mliobarikiwa + +Neno "ninyi" ni wingi. + +# kusema kila aina ya mambo maovu dhidi yenu kwa uongo. + +"watasema kila aina ubaya dhidi yenu" au "watasema mambo mabaya juu yenu ambayo si ya kweli" + +# kwa ajili yangu + +"kwa sababu mwanifuata mimi" au "kwa sababu mwaniamini" + +# Furahini na kushangilia + +"Furahini" na "kushangilia" humaanisha karibu kitu kile kile. Yesu alitaka wasikilizaji wake sio tu kufurahi bali hata kufanya zaidi kuliko kufurahi kama inawezekana. + diff --git a/mat/05/13.md b/mat/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..1d07d8f6 --- /dev/null +++ b/mat/05/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kufundisha juu ya jinsi wanafunzi wake walivyo kama chumvi na nuru. + +# Ninyi ni chumvi ya dunia + +Inawezekana kumaanisha 1) kama vile chumvi inavyokifanya chakula kuwa kizuri, mwanafunzi wa Yesu yampasa kuwaathiri watu wa ulimwengu ili kwamba wawe wazuri au 2) kama vile chumvi iwezavyo kutumika kwa kutunza chakula, kadhalika wanafunzi wa Yesu wawalinde watu wasiharibike + diff --git a/mat/05/15.md b/mat/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..b0dcc8fa --- /dev/null +++ b/mat/05/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Pia watu hawawashi taa + +"Watu hawawashi taa" + +# nakuiweka chini ya kikapu + +"kuiweka taa chini ya kikapu." Hii ni kusema kuwa ni ujinga kutengeneza nwanga kwa lengo la kuufunika ili watu wasiuone mwanga wa taa. + +# Nuru yenu na ionekane mbele ya watu + +Hii inamaanisha kuwa wanafunzi wa Yesu wanapaswa kuishi maisha ambayo yatawafnya wengine wajifunze kuhusu ukweli wa Mungu. "Maisha yenu yawe kama nuru iangazayo mbele ya watu. + +# Baba yenu aliye mbinguni + +Ni vizuri zaidi ikitafsiriwa "Baba" kwa maana ya maneno sawa na yale yanayotumika kumaanisha baba wa katika mwili huu. + diff --git a/mat/05/17.md b/mat/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..4ce76fc1 --- /dev/null +++ b/mat/05/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kwa kufundisha jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya agano la kale + +# manabii + +Hii inamaanisha kile walichoandika manabii katika maandiko. + +# kweli nawaambieni + +"Nawaambia ukweli" Kirai hiki kinaongeza nguvu juu ya kile Yesu atakachosema baadaye. + +# mpaka mbingu na dunia zote zipite + +Hapa "mbingu" na "dunia" humaanisha ulimwengu wote. "Kama vile mbingu zidumuvyo" + +# hapana yodi moja wala nukta moja + +"hapana hata ile herufi ndogo iliyoandikwa au sehemu ndogo ya herufi. Hii ni sitiari inayomaanisha kitu fulani katika maandiko kinachoweza kuonekana kuwa si cha muhimu. "wala sheria zinazoonekana kuwa si za muhimu + +# kila kitu kitakapokuwa kimetimizwa + +Hiki kinaweza kuelezwa kwa kutumia mfumo tendaji. "Mambo yote yametokea" au "Mungu huyafanya mambo yote yatimie". + +# kila kitu + +Kirai cha "kila kitu" kinamaanisha kila kitu kilicho kwenye sheria. "kila kitu kilicho kwenye sheria" au " kila kilichoandikwa kwenye sheria". + diff --git a/mat/05/19.md b/mat/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..8fefbe60 --- /dev/null +++ b/mat/05/19.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# yeyote avunjaye + +"yeyote asiyetii" au "yeyote apuuziaye" + +# amri ndogo mojawapo ya amri hizi + +"yeyote kati ya amri hizi, hata zile ndogo kabisa" + +# ataitwa + +Hii inaweza kuelezeka kwa muunda tendaji. "Mungu atamwita mtu huyo" au "Mungu atawaita watu hao". + +# mdogo katika ufalme wa mbinguni + +Kirai hiki kimetumika katika injili ya Mathayo tu. Kama inawezekana tumia "mbingu" katika tafsiri yako. "asiye na umuhimu kabisa kwenye ufalme wa Mungu" au "asiye na umuhimu katika utawala wa Mungu wetu wa mbingunij". + +# azishikaye na kuzifundisha + +"anayetii amri zote hizi na kuwafundisha wengine kufanya hivyo hivyo" + +# mkubwa + +"wa muhimu zaidi" + +# Kwa maana nawaambia + +Hiki kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu atasema baadaye. + +# nawa ... yenu ... hamta.. + +hivi ni viwakilishi vya wingi + +# haki yenu isipozidi haki ya waandishi n a mafarisayo, kwa vyovyote vile hamtaingia kataika ufalme wa mbinguni + +Hii inaweza kuelezeka kwa muundo hai. "kwamba haki yenu lazima izidi... ili kuingia" + diff --git a/mat/05/21.md b/mat/05/21.md new file mode 100644 index 00000000..fcaa3e4e --- /dev/null +++ b/mat/05/21.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kufundisha jinsi alivyokuja kutimiliza sheria za agano la kale. Hapa anaanza kufundisha juu ya kuua na hasira + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia kikundi cha watu juu ya kile ambacho kinaweza kutokea kwao kama watu binafsi. Neno "mme" katika sentensi "mmesikia" na "nawaambia" ni maneno ya wingi. Ile amri ya "usiue"ni ya umoja, lakini unahitaji kuitafsiri katika wingi. + +# ilinenwa zamani + +Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "Mungu alisema na mababu zetu zamani za kale". + +# auaye yuko katika hatari ya hukumu + +Hapa "hukumu" inamaanisha kuwa hakimu ndiye atakayemhukumu mtu kufa. "Hakimu atamhukumu yeyote amuuaye mtu mwingine" + +# kuua ... auaye + +Neno hili linamaanisha kitendo cha mauji ya kudhamiria, na wala siyo kila aina ya mauji + +# Lakini nawambia + +Kiwakilishi "na" kinatia msisitizo. Hii inamaanisha kuwa kile anachosema Yesu kina umuhimu sawa na amri itokayo kwa Mungu. Jaribu kutafsiri hili kataka mazingira yanayonesha msisitizo. + +# ndugu + +Neno hili linamaanisha muumini mwenzetu + +# atakuwa katika hatari ya hukumu + +Inaovyoonekana hapa Yesu hamaanishi hakimu wa kibinadamu bali Mungu anamhukumu mtu mwenye hasira kwa ndugu yake. + +# mtu usiyefaa ... mjinga + +Hii ni mizaha kwa watu wasioweza kufifkiri kwa usahihi. "Mtu asiyefaa" ni sawa na "mtu asiye na akili," ambapo "mjinga" inaongezea wazo la kutokuwa mwaminifu kwa Mungu. + +# baraza + +Yawezekana hili ni baraza dogo, siyo lile kuu. + diff --git a/mat/05/23.md b/mat/05/23.md new file mode 100644 index 00000000..3813f47e --- /dev/null +++ b/mat/05/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# una + +Yesu anawaambia kundi la watu juu ya kile kinachoweza kutokea kwao kibinafsi. matukio yote yanayohusiana na viwakilishi "una" na "yako" yametumika katika hali ya umoja, lakini lugha yako inaweza kukutaka utafsiri katika wingi + +# unatoa sadaka yako + +"kutoa sadaka yako" au "kuleta sadaka yako" + +# katika madhabahu + +Hii inamaanisha kuwa ni madhabahu ya Mungu iliyo hekaluni kule Yerusalemu, " madhabahuni pa Mungu hekaluni". + +# na unakumbuka kuwa + +"na ukumbuke ukiwa umesimama madhabahuni" + +# ndugu yako ana jambo lolote dhidi yako + +"mtu mwingine ana hasira na wewe kwa sababu ya kile ulichomfanyia" + +# kapatane kwanza na ndugu yako + +Hili linaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "jambo la kwanza ni kutafuta suluhu" + diff --git a/mat/05/25.md b/mat/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..db9d722c --- /dev/null +++ b/mat/05/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Patana na... wako + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea katika hali ya mtu mmoja. Matukioyote ya viwakilishi vya "uki" na "wako" viko katika umoja, lakini lugha yako inaweza kukutaka uvitafsiri katika wingi. + +# mshitaki wako + +Huyu ni mtu anayemtuhumu mtu kwa kufanya jambo fulani ambalo ni ovu. Anampeleka mtuhumiwa mahakamani ili kumshitaki kwa hakimu. + +# kukuacha mikononi mwa hakimu + +Hapa neno "kukuacha mikononi mwa" inamaanisha kukukabidhi katika udhibiti wa mtu mwingine. "kumwachia hakimu ashughulike na wewe". + +# hakimu akuache mikononi mwa askari + +Hapa neno "kukuacha mikononi mwa" inamaanisha kukukabidhi katika udhibiti wa mtu mwingine. "hakimu atamkabidhi kwa askari" + +# askari + +ni mtu mwenye mamlaka ya kufanya maamuzi ya hakimu. + +# nawe utatupwa gerezani + +Hili linaelezeka katika hali ya muundo tendaji. "na askari anaweza kukutupa gerezani" + +# amini nawambieni + +"Nawaambieni ukweli." Hiki kirai kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu alisema baadaye. + +# hutawekwa huru + +"kutoka gerezani" + diff --git a/mat/05/27.md b/mat/05/27.md new file mode 100644 index 00000000..7dd510fa --- /dev/null +++ b/mat/05/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la Kale. Na hapa anaongelea uzinzi na kutamani mwanamke. + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea katika maisha ya mtu binafsi. Neno "mme..." kutokana na "mmesikia" na "nawaambieni" yametumika katika wingi. Amri ya "Usizini" imetumika katika umoja "usi," lakini unaweza kuitafsiri katika wingi "msi". + +# imenenwa kuwa + +Hii inaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "kuwa Mungu alisema". + +# fanya (uzinzi) + +Hili neno ni kitenzi kikuu cha kufanya jambo fulani + +# Lakini nawaambieni + +Neno "nawa" ni msisitizo. Hii inamaanisha kuwa kile ambacho Yesu anasema kina umhimu sawa na kile kilicho kwenye amri kuu kotoka kwa Mungu. Tafsiri kirai hiki katika namna ambayo inaonesha msisitizo huo. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:21 + +# yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake. + +Sitiari hii inamaanisha kuwa mwanamume amtamaniye mwanamke anahatia sawa na mwanamume aliyefanya uzinzi halisi. + +# amtazamaye mwanamke kwa kumtamani + +"na kumtamani mwanamke" au "na kutamani kulala naye" + +# moyoni mwake + +Hapa "moyo" inamaanisha fikra za mtu. "akilini mwake" au "Katika fikra zake" + diff --git a/mat/05/29.md b/mat/05/29.md new file mode 100644 index 00000000..2d96bbff --- /dev/null +++ b/mat/05/29.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Na kama ... lako + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye kwa mtu binafsi Matukio yote ya viwakilishi vya "ku" na "lako" viko katika umoja, lakini unaweza kuvitafsiri katika wingi. + +# kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa + +Hapa "jicho" linamaanisha kile ambacho mtu hukiona. Na "kujikwaa". Ni sitiari ya "dhambi." "Kama kile ukionacho hukusababisha kujikwaa" au "kama unataka kufanya dhambi kwa sababu ya kile ukionacho" + +# jicho lako la kulia ... mkono wako wa kuume + +Hii inamaanisha jicho au mkono ule wa muhimu zaidi, dhidi ya mkono au jicho la kushoto. Hapa unaweza kutafsri "kulia" kuwa "ndiyo nzuri zaidi" au "kulia pekee." + +# ling'oe + +"litoe kwa nguvu" au "liharibu" kama jicho lako la kulia halijatajwa rasmi, unaweza kuitafsiri hii kama " kuharibu macho yako." kama macho yametajwa, unaweza kuyatafsiri kama "yaharibu" + +# ling'oe ... likate + +Yesu analikuza zaidi jambo hili juu ya jinsi ambavyo mtu anapaswa kuiona jinsi dhambi ilivyo mbaya kulichukulia kwa umakini swala hili. + +# uutuplie mbali na wewe + +"achana nao" + +# kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike + +"upoteze sehemu ya mwili wako" + +# kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu + +Hili linaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "kuliko Mungu kuutupa mwili wako wote jehanamu" + +# kama mkono wako wa kuume unakusababisha + +katika hii lugha ya umbo, mkono unasimama badala ya matendo la mwili wote + diff --git a/mat/05/31.md b/mat/05/31.md new file mode 100644 index 00000000..b1d58388 --- /dev/null +++ b/mat/05/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kutimiliza sheria za Agano la kale. Hapa anaanza kwa kufundisha juu ya talaka + +# Imenenwa pia + +Mungu ndiye "alisema." anatumia mfumo tendewa ili kuifanya kuwa laini kuwa si Mungu au neno la Mungu ambalo hakubaliani nalo. Badala yake anasema kuwa talaka inawezekana pale tu sababu ni ya kweli. talaka inaweza isikubalike hata kama mwanamume atatii kuandika hati ya talaka, + +# amfukuzaye mkewe + +hii ni tafisida ya talaka + +# na ampe + +"lazima ampatie" + +# lakini mimi nawaambia + +Kiwakilishi "mimi" ni cha msisitizo. Hiki kinamaanisha kuwa anachosema Yesu kina umuhimu sawa na amri kuu kutoka kwa Mungu. Jaribu kutafsiri kirai hiki katika namna inayoonesha msisitizo. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:21. + +# Amfanya kuwa mzinzi + +Ni mwanamume anayemtaliki mwanamke bila utaratibu humsababisha kufanya uzinzi" Katika tamadunii nyingi ni kawaida kwake kuolewa tena, lakini kama talaka hiyo haiko sahihi, basi hiyo ndoa ya pili ni batili. + +# baada ya kupewa talaka + +Hii inaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "yeye mwanamke baada ya kutalikiwa na mumewe" au "mwanamke aliyetalikiwa" + diff --git a/mat/05/33.md b/mat/05/33.md new file mode 100644 index 00000000..1d4c90e6 --- /dev/null +++ b/mat/05/33.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la kale. Na hapa anaanza kuongelea juu ya kuapa viapo + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha ya mtu binafsi. Kiwakilishi "mme" kutokana na "mmesikia" na "nawaambia" viko kataka wingi. na kiwakilishi cha "msi" katika " msiape" na " ni" katika " pelekeni" navyo pia viko katika wingi + +# Tena, mme + +"Pia, mme" au "huu ni mfano mwingine. wa kiwakilishi "mme." + +# mmesikis ilinenwa kwamba ... kwa uongo + +Yesu anaweka bayana kuwa anakubaliana na Mungu na neno lake. Lakini, anawaambia wasikilizaji wake wasitimie vile amabvyo si vyao il ikuwashawishi watu kuamini maneno yao. "viongozi wenu wa dini wamewaambieni kuwa Mungu alisema ... viapo vya uongo. + +# Msiape kwa uongo, bali pelekeni viapo vyenu + +Hi inaweza kumaanisha mambo yafuatayo 1)usiape kwa Mungu kuwa utafanya jambo fulani na usilifanye au 2) Usiape kwa jina la Bwana kuwa unajua kitu fulani kuwa ni kwe ili hali unajua kuwa si kweli. + +# Lakini nawaambia + +Kiwaakilishi "na" ni cha msisitizo. Hii inamaanisha kuwa anachosema Yesu kina umuhimu sawa na kile kilicho kwenye amri kuu kutoka kwa Mungu. Kirai hiki kitafsriwe katika namna inayoonesha msisitizo. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:21 + +# msiape hata kidogo ... ni mji wa mfalme mkuu + +Hapa Yesu anamaanisha kuwa mtu asiape katika jambo lolote. inaonekana kuwa kuna mtu aliyekuwa akifundisha kwamba kuapa haina madhara kama mtu ataapa kwa kitu kingine na asikijali kiapo chake kama hakuapa kwa Mungu. ,kama vile kuapa kwa mbingu, dunia, au Yerusalemu. Yesu anasema hata kiapo cha hivyo ni kibaya kwa sababu vyote ni mali ya Mungu. + +# msiape hata kidogo + +Kama lugha yako ina muundo wa wingi katika agizo inaweza kutumika hapa. "hamtaapa kwa kwa kiapo cha uongo" waruhusu watu watoe viapo lakini wazuieni viapo vya uongo. "msiape hata kidogo" hii inazuia viapo vya uongo. + +# kwa sababu ni enzi ya Mungu + +Hapa neno "enzi" linamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "linatokana chanzo hiki kwamba Mungu ni mtawala. + +# maana ni mahali pa kuweka kiti cha kukanyagia miguu yake + +Kirai hiki kinamaanisha kuwa dunia ni mali ya Mungu. "ni kama mahali pa kuweka kiti cha kukanyagia miguu yake" + +# maana ni mji wa mfalme mkuu + +"kwa maana ni mji unaomilikiwa na Mungu + diff --git a/mat/05/36.md b/mat/05/36.md new file mode 100644 index 00000000..f5b57df0 --- /dev/null +++ b/mat/05/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# chako ... hu + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. Matukio yote ya viwakilishi hivi viko katika umoja, lakini inakupass kuvitafsiri kama wingi. + +# kuapa + +Hii inamaanisha kuapa. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:23 + +# Bali maneno yenu yawe 'ndiyo, ndiyo,' au 'hapana. hapana' + +kama unamaanisha 'ndiyo.' sema 'ndiyo,' na kama unamaanisha ;hapana,' sema 'hapana,' + diff --git a/mat/05/38.md b/mat/05/38.md new file mode 100644 index 00000000..eebdf031 --- /dev/null +++ b/mat/05/38.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# sentnsi unganishi + +Yesu anaendelea kufundisha jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la kale. Anaanza kwa kuongelea juu ya kisasi kwa maadui + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha ya mtu kibinafsi. Kiwakilishi cha "mme" katika "mmesikia" na "mimi nawaambia" viko katika wingi. Kirai hiki "mtu akikupiga" kimesemwa katika umoja "akiku...," lakini unaweza kukitafsiri katika wingi "akiwa..." + +# mmesikia imenenwa kuwa + +Yesu anakubaliana na Mungu na neno lake. Lakini hakubaliani na jinsi viongozi wa dini walivyolitumia neno la Mungu. "Viongozi wenu wa dini wamewambieni kuwa Mungu alisema." Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:33 + +# jicho kwa jicho na jino kwa jino + +Sheria ya Musa ilimruhusu mtu kumwumiza kwa njia ileile kama alivyomwumiza, lakini hakumwumiza zaidiya kiasi kile + +# Lakini mimi nawaambia + +Kiwakilishi cha "mimi" kinaongeza msisitizo. Hii inamaanisha kuwa alichosema Yesu kina umuhimu sawa na ule ulio kwenye amri kuu kuto kwa Mungu. Jaribu kutafsiri kirai hiki katika namna ambayo italeta msisitizo. Tazama ilivyotafsiriwa 5:21. + +# mtu mwovu + +"ni mtu mwovu" au "mtu yeyote aliyewahi kukuumiza" + +# akikupiga shavu la kulia + +Kumpiga mtu upande mmoja wa uso kilikuwa kitendo cha fedheha katika utamaduni wa Yesu. Kama ilivyo katika jicho na mkono, shavu la kulia ni la muhimu, kwa hiyo kukupiga shavu la kulia ilikuwa fedhaha kubwa mno. + +# akikupiga + +"kuzabua," hii inammanisha kupiga kumpiga mtu kofi kwa ubapa wa mkono, + +# mgeuzie na jingine tena + +"mwache akupige na shavu jingine pia" + diff --git a/mat/05/40.md b/mat/05/40.md new file mode 100644 index 00000000..a7f27d9c --- /dev/null +++ b/mat/05/40.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha ya watu binafsi. Viwakilishi vyote vya "wewe" na "yako" viko katika umoja kama vile amari za "mwachie," "nenda," "mpatie," na "usimwepuke," lakini waweza kuzitafsiri katika wingi. + +# kanzu ...joho + +Hii "kanzu" ilivaliwa karibu na mwili, kama shati zito au sweta. "kanzu," hili lilikuwa la thamani zaidi kati ya haya mavazi mawili, ilivaliwa juu ya kanzu kwa ajili ya koongeza joto na pia lilitumika usiku kama blanketi. + +# mwachie na + +"mpatie pia huyo mtu" + +# na yeyote + +"na kama mtu," hii inamaanisha kuwa huyu ni askari wa Kirumi. + +# maili moja + +Hizi na sawa na hatua elfu moja ambao ndiyo umbali ambao askari wa kirumi angeweza kumlazimisha kisheria mtu kubeba kitu kwa ajili yake. Kama maili moja haieleweki, basi inaweza kutafsiriwa kama "kilometa moja" au "umbali mrefu." + +# nenda naye + +Hii inamhusu yule akulazimishaye kwenda. + +# nenda naye maili mbili + +"uende ile maili anayokulazimisha kwenda, halafu nenda maili nyingine. kama "maili" haieleweki tumia kilometa mbili" au "mara mbili ya mwendo." + +# na usimwepuke yeyote + +"usikatae kumpatia."hii inaweza kuelezeka kwa kutumia muundo halisi. "na umpatie" + diff --git a/mat/05/43.md b/mat/05/43.md new file mode 100644 index 00000000..98543fd2 --- /dev/null +++ b/mat/05/43.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kufundisha jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la Kale. Hapa anaanza kufundisha juu ya kuwapenda maadui. + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kianachoweza kutokea kwao katika maisha yao kibinafsi. "Utampenda ... na kumchukia adui yako" maneno haya yametumika katika hali ya umoja, lakini unaweza kuyatafsiri katika wingi. Matukio mengine ya viwakilishi vya "u" na vile vya amri ya "umpende" na "omba viko katika wingi. + +# Mmesikia imenenwa + +Yesu anakubaliana na Mungu na neno lake. Lakini hakubaliani na jinsi viongozi wa dini wanvyolitumia neno la Mungu. Hili linaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "viongozi wenu wa dini wamewaambia kwamba Mungu alisema" Tazama ilivyotafsiriwa 5:33 + +# jirani + +Neno "jirani" hapa linamaanisha mtu ndani ya jamii ile ile au watu wa kundi moja ambao mtu hutamani na anapaswa kumtendea kwa upole. Haimaanishi mtu anayeishi karibu. Unaweza kutafsiri katika wingi. + +# Lakini nawaambia + +Kiwakilishi "na.." kinatia msisitizo. Hii inaonesha kuwa kile anachokisema Yesu kina Uzito sawa na kile kilicho kwenye amri kuu ya Mungu.Jaribu kutafsiri kirai hiki kwa kutia msisitizo. Tazama ilivyotafsirwa katika 5:21 + +# muwe watoto wa baba yenu + +Ni vizuri kutafsiri "wana" katika lugha ambayo kwa asili hutumika kumaanisha baba wa watoto wa kimwili. + +# Baba + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu + diff --git a/mat/05/46.md b/mat/05/46.md new file mode 100644 index 00000000..b8cb3f76 --- /dev/null +++ b/mat/05/46.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamaliza kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la kale. Kipengere hiki kinaanzia 5:17 + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao kibinafsi. Matukio yote ya viwakilishi vya "mki.." na "zenu" viko katika wingi. Maswali katika mistari hii ni yale usemaji ambao pengine si lazima kujibiwa + +# mkiwasalimia + +Hili ni neno la jumla kwa ajili ya kuwatamanisha wasikilizaji. + +# Baba + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu + diff --git a/mat/06/01.md b/mat/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..28d1bb41 --- /dev/null +++ b/mat/06/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesua anaendelea kufundisha wanafunzi wake katika mafundisho ya mlimani yanayoanzia 5:1.Katika sehemu hii, Yesu anahutubia juu ya "matendo ya haki" ya utoaji sadaka, maombi, na kufunga. + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu kile kinachoweza kutokea kwao baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vyote vya "ni" na " yao" viko katika wingi. + +# mbele ya watu ili kujionyesha + +Hii ilimaanisha kuwa wale wanaomuona mtu huyo watamheshimu. Hili linaweza kuelezeka katika mfumo tendaji. "mbele ya watu kwa kusudi la kutazamwa na watu ili wakupe heshima kwa kile ulichofanya." + +# Kweli nakwambia wewe + +"Ninakuambia ukweli." Huu msemo unaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakisema baadaye. + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + +# Usipige panda na kujisifu + +Kirai hiki kina maanisha kitendo cha kukusudia kupata usikivu wa watu. "Usijipatie usikivu wa watu kwa lengo binafsi kama mtu anayepiga panda katikati ya watu. + +# kweli nawaambia + +"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile Yesu atakachokisema baadaye. + diff --git a/mat/06/03.md b/mat/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..b9ad884b --- /dev/null +++ b/mat/06/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake juu ya sadaka + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao baadaye katika maisha binafsi. Viwakilishi vya "wewe" na " ""wako" viko katika wingi. + +# mkono wako wa kushoto usijue kinachofanywa na mkono wa kulia + +Huu ni msemo unaonyesha usiri. Kama vile mikono inavyofanya kazi pamoja na inasemekana "kujua" kila kitu kinachofanywa kwa wakati wote, hivyo hata watu wako wa karibu wasijue unapotoa msaada kwa maskini + +# sadaka yako itoe kwa siri + +Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji "utawapa maskini pasipo watu wengine kujua." + diff --git a/mat/06/05.md b/mat/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..98736e84 --- /dev/null +++ b/mat/06/05.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kufundisha juu ya maombi + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha binafsi.. Viwakilisha vya "una" na "yao" katika mstari wa 5 na 6 viko katika wingi: katika mstari wa 6 viko katika umoja lakini waweza kuvitafsiri katika wingi. + +# ili kwamba watu wawatazame + +Inamaanisha kwamba wale wanaowatazama watawapa heshima. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji"ili kwamba watu wawatazame wao na kuwapa heshima." + +# kweli ninawaambia + +ukweli ninakuambia." Huu msemo jnaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakisema baadaye' + +# ingia chumbani. Funga mlango + +"nenda sehemu ya usiri" au "nenda sehemu ambayo utakuwa peke yako" + +# Baba aliye sirini + +Tafsiri inayowezekana ni 1) hakuna anayeweza kumwona Mungu au 2) Mungu yuko sehemu ya siri pamoja na mtu anayeomba. + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + +# Baba yako aonaye sirini + +Baba yako ataona kile ufanyacho sirini" + +# kurudia yasiyo na maana + +"kurudia maneno yasiyo na maana" + +# watasikiwa + +Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "miungu yao ya uongo itawasikiliza" + +# maneno mengi + +sara ndefu" au "maneno mengi" + diff --git a/mat/06/08.md b/mat/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..d4d530f2 --- /dev/null +++ b/mat/06/08.md @@ -0,0 +1,21 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha binfsi. anawaambia kama kundi kwa kutumia wingi kama vile "ombeni hivi." viwakilishi vyote vya "lako" baada ya "baba yetu uliye mbinguni" viko katika umoja. + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + +# ulitakase jina lako + +Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. + "linamfanya kila mmoja kujua yeye ni mtakatifu." + +# ufalme wako uje + +Hapa "ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. AT: "Waweza kutawala juu ya yote na kila kitu kikamilifu" + +# mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni + +Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo hai. AT: "Kila mmoja duniani atii mapenzi yako kama wanavyofanya kila mmoja huko mbinguni." + diff --git a/mat/06/11.md b/mat/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..dad0e8a4 --- /dev/null +++ b/mat/06/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Mionekano ya viwakilishi vya "nasi," "utu," "wetu" unaonesha makutano ambao Yesu alikuwa akiwahutubia. + +# mkate wa kila siku + +Hapa "mkate" inamaanisha chakula kwa ujumla, + +# deni + +Deni ni kile ambacho mtu anamdai mwingine. Huu ni msemo wa dhambi. + +# wadeni + +Mdai ni mtu ambaye anadai deni kwa mwingine. Huu ni msemo kwa wenye dhambi. + +# usitulete katika majaribu + +Neno "majaribu" jina la kitenzi, inaweza kuelezwa kama kitenzi. "usituletee kitu chochote cha kutujaribu" au "usituletee kitu cha kutufanya tushawishike na dhambi" + diff --git a/mat/06/14.md b/mat/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..cb4d7f0e --- /dev/null +++ b/mat/06/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +viwakilishi vyote vya "mta" na "yako" ni vya wingi. hata hivyo, Yesu anawaambia kile kitakachotokea baadaye katika maisha binafsi kama kila mmoja hatasamehe wengine + +# maovu + +"makosa" au "dhambi" + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + diff --git a/mat/06/16.md b/mat/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..d61334c1 --- /dev/null +++ b/mat/06/16.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kufundisha juu ya kufunga + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea katika maisha yao binafsi. Viwakilishi vyote vya "una" na "zao" katika mstari wa 17 na 18 viko katika umoja, lakini vinaweza kutafsiriwa katika wingi ili vioane na kile cha "wa" katika mstari wa 16. + +# Aidha + +"Zaidi ya" + +# wanakunja sura zao + +Wanafiki hawakuosha nyuso zao au kuchana nywele zao. Walifanya hivyo makusudi kuvuta hisia zao ili kwamba watu wawatazame wao na kuwapa heshima kwa sababu ya kufunga. + +# kweli ninakuambia + +"Ukweli ninakuambia." Huu msemo unaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakiongea baadaye. + +# tengeneza kichwa chako + +"paka mafuta kwenye nywele zako" au "tengeneza nywele zako" Kutunza kichwa hapa ni hali ya kawaida ya kutunza nywele. Halina uhusiano na "Kristo" ikimaanisha "mpakwa mafuta" Yesu alikuwa anamaanisha kwamba watu wanapaswa kuonekana kawaida haijalishi wamefunga au hawakufunga. + +# Baba aliye sirini ... yeye anayeona sirini + +Tazama unavyotafsiri hii kwenye 6:5 + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + +# aonaye sirini + +"Aonaye kile unachokifanya unapokuwa pekee yako" Tazama ilivyotafsriwa katka 6:5 + diff --git a/mat/06/19.md b/mat/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..ea73cbae --- /dev/null +++ b/mat/06/19.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kufundisha juu ya fedha na mali + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "usi" na "yako" viko katika wingi isipokuwa vile vya mstari wa 21, amabvyo viko katika umoja. + +# akiba + +"utajiri" + +# ambapo nondo na kutu wanakula + +"ambapo nondo na kutu wanashambulia akiba" + +# nondo + +mdudu mdogo, anayeruka na kuharibu nguo + +# kutu + +ni vitu vya rangi ya kahawia vinavyopatikana kwenye chuma + +# weka akiba yako mbinguni + +Huu ni msemo ambao unamaanisha kwamba fanya mambo mazuri hapa duniani ili Mungu akubariki mbinguni. + +# na moyo wako utakapokuwepo pia. + +Hapa "moyo" maana yake ni mawazo ya mtu na mapenzi yake. + diff --git a/mat/06/22.md b/mat/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..082295c6 --- /dev/null +++ b/mat/06/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafasi. viwakilishi vya "yako" vimo katika umoja lakini waweza kuvitafsiri katika wingi. + +# Jicho ni taa ya mwili... hilo giza ni kubwa kiasi gani + +Hii inalinganisha macho mazima ambayo yanamwezesha mtu kuona macho mabovu ambayo yanasababisha mtu kuwa kipofu. Huu ni msemo unaomaanisha uzima wa kiroho. Mara nyingi, wayahudi walitumia msemo "macho mabaya" wakimaanisha uovu. Maana yake ni hii ikiwa mtu amejitoa kwa Mungu na kuona vitu vinafanyika kwa njia hiyo wanafanya vizuri. Endapo mtu ana tamaa ya utajiri wa vitu vingine hivyo anafanya uovu. + +# jicho + +Unaweza kutafsiri kwa wingi, "macho" + +# ikiwa jicho lako ni baya + +Hii aimanishi maajabu. Wayahudi mara zote walitumia msemo huu kwa mtu ambaye ni mwovu. + +# kwa kuwa atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au la sivyo atajitoa kwa mmoja na kumwachaniza mwingine + +Yote kwa pamoja kimsingi yana maana moja. Yanasisitiza kwamba mtu hawezi kupenda na kujitoa kwa Mungu na fedha kwa wakati mmoja. + +# Huwezi kumtumikia Mungu na mali + +"Huwezi kumpenda Mungu na fedha kwa wakati mmoja" + diff --git a/mat/06/25.md b/mat/06/25.md new file mode 100644 index 00000000..99b63e22 --- /dev/null +++ b/mat/06/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwauumla + +Hapa viwakilishi vya "ku" na "yako" vyote viko katika wingi + +# Ninakuambia wewe + +Hii inaongeza msisitizo kwa kile atakachosema Yesu baadaye + +# kwako + +Yesu anaongea kwa kikundi cha watu kuhusu kitakachotokea kwao kwa mtu binafsi. Anapotumia "kwako" na "wako" yote ni wingi. + +# maisha si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi? + +Yesu anatumia swali kufundisha watu. "uhakika maisha ni zaidi ya kile unachokula, na mwili wako ni zaidi ya kile unachovaa." + +# ghala + +sehemu ya kutunza mazao + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + +# Je ninyi hamna thamani kuliko wao? + +Yesu anatumia swali kufundisha watu. "uhakika ninyi mna thamani zaidi ya ndege." + diff --git a/mat/06/27.md b/mat/06/27.md new file mode 100644 index 00000000..f21306fd --- /dev/null +++ b/mat/06/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu ansema na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao katika maisha binafsi.viwakilishi vya "mwenu" na "yake" vimo katika wingi. + +# Na nani mmoja miongoni mwenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza siku za kuishi? + +Yesu anatumia swali kufundisha watu. Anamaanisha hakuna atakayeishi maisha marefu kwa kuwa na hofu. + +# inchi moja + +"inchi" ni pungufu ya mita. Hapa ni msemo wa kuongeza kiasi cha miaka mingapi ya kuishi mtu. + +# Na kwa nini mna kuwa na hofu kuhusu mavazi? + +Yesu anatumia swali kufundisha watu. AT:"Usiwe na hofu kuhusu nini utavaa." + +# Fikiria kuhusu + +'Zingatia" + +# maua + +aina ya maua ya porini + +# Ninakuambia wewe + +Hii inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu ataongea baadae + +# hakuwahi kuvikwa kwa namna hii + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"hakuvaa nguo nzuri kama haya maua." + diff --git a/mat/06/30.md b/mat/06/30.md new file mode 100644 index 00000000..f26fbbd3 --- /dev/null +++ b/mat/06/30.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao kibinafsi. viwakilishi vya "ninyi" na "wenye" vimo katika wingi. + +# anayavalisha majani + +Huu ni msemo ukiwa na maana Mungu anayapendezesha maua + +# majani + +Ikiwa lugha yako ina neno linalohisi "majani" na neno ulilotumia kwa "maua" kwa mstari uliopita, unaweza kutumia hapa. + +# yanatupwa na kuteketea + +Wayahudi tena walitumia majani kwa moto na kupikia vyakula vyao. Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "mtu mmoja alitupa katika moto" au "mtu mmoja alichoma" + +# ni kwa kiwango gani atawavalisha ninyi ....imani? + +Yesu anatumia swali kufundisha watu.AT: yeye hakika atawavisha ninyi...imani." + +# ninyi wenye imani ndogo + +"ninyi ambao mna imani ndogo." Yesu anawatuhumu watu kwa sababu walikuwa na imani ndogo na Mungu. + +# Hivyo basi + +"Kwa sababu ya hayo yote" + diff --git a/mat/06/32.md b/mat/06/32.md new file mode 100644 index 00000000..b1919df3 --- /dev/null +++ b/mat/06/32.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa kuwa mataifa wanafuta mambo haya + +"kwa mataifa wanajali san juu ya kile watachokula, kunywa na kuvaa" + +# Baba yenu wa mbinguni anajua mnahitaji hayo + +Yesu anamaanisha kwamba Mungu atahakikisha mahitaji ya muhimu mnapata + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + +# tafuta kwanza ufalme na haki + +Hapa "ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "umaanishe mwenyewe katika kumtumikia Mungu, ambaye ni mfalme wako, na ufanye yaliyo haki." + +# hayo mengine yote atakupatia wewe + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "Mungu atakupatia hayo yote wewe." + +# Hivyo basi + +"Kwa sababu ya hayo yote" + +# kesho itajua yenyewe + +Yesu anafafanua "kesho" kama mtu ambaye anaweza kuhofu. Yesu anamaanisha kwamba mtu anaweza kuhofu endapo siku inayofuata imefika. + +# kila siku ina tatizo la kujitosheleza yenyewe + +"kila siku huwa ina mabaya yake yakujitosheleza" au "Kila siku ina matatizo yake ya kutosha" + diff --git a/mat/07/01.md b/mat/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..2c5737b3 --- /dev/null +++ b/mat/07/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake katika mahubiri ya mlimani, yanayoanzia 5:1 + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao baadaye katika maisha binafsi. viwakilishi vya "nawe" na amri viko katika wingi. + +# Usihukumu + +Inamaanisha hapa kwamba "hukumu" ina maana ya msingi kuwa "kushutumu vibaya" au "kutangaza kosa"AT:"Usishutumu watu vibaya." + +# nawe usije ukahukumiwa + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai.AT:"Mungu hawezi kukushutumu wewe vibaya." + +# Kwa + +Uwe na uhakika msomaji anaelewa maelezo ya mstari wa 7:2 uwe na msingi alichokisema Yesu katika wa 7:1 + +# kwa hukumu utakayohukumu, nawe utahukumiwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "Mungu atakushutumu wewe hivyo hivyo kama + +# kipimo + +Tafsiri inayowezekana ni 1) hii ni kipimo cha hukumu unayopewa au 2) hiki ni kiwango kinachotumika kwa kuhukumu. + +# utapimiwa hicho hicho + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "Mungu atatumia kipimo hicho kwako." + diff --git a/mat/07/03.md b/mat/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..2512fbc5 --- /dev/null +++ b/mat/07/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafasi. viwakilishi vya "u" na "yako" vimo katika umoja lakini vinaweza kutafsirika katika wingi. + +# kwa nini unatazama....Unawezaje kusema + +Yesu anatumia maswali yote kufundisha na kutoa changamoto kwa watu. Yeye anataka wao wajiangalie dhambi zao kabla ya kuangalia dhambi za mtu mwingine. + +# kipande cha mti + +ni msemo + +# kaka + +Hii inamaanisha mkristo mwenzako, siyo kaka halisi au jirani + +# kipande cha mti + +Sehemu ya kipande kikubwa cha mti ambacho mtu amekikata chini. Ni kipande cha ubao kwa mbali kikubwa kiualisia kimeingia kwenye jicho la mtu. Huu ni msemo muhimu kwa mtu mwenye makosa + diff --git a/mat/07/06.md b/mat/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..d96ccc25 --- /dev/null +++ b/mat/07/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "u" na "yao" viko katika wingi. + +# mbwa....nguruwe + +Wayahudi waliwachukulia wanyama hawa kuwa wachafu, na Mungu aliwaambia wayahudi wasiwale. Huu ni msemo kwa watu waovu ambao hawathamini vitu vitakatifu. Itakuwa vizuri kutafsiri maneno haya kiualisia. + +# lulu + +Hiki ni sawa na mviringo,jiwe la thamani au glasi. Ni misemo ya elimu ya Mungu au vitu vyenye ubora kiujumla. + +# wanaweza kuviharibu + +"nguruwe wataviharibu" + +# na tena watageuka na kurarua + +"na mbwa watageuka na kurarua" + diff --git a/mat/07/07.md b/mat/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..04cf090f --- /dev/null +++ b/mat/07/07.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "wewe" na "wake" wake katika wingi. + +# Omba...Tafuta...Bisha + +Hii ni misemo ya maombi kwa Mungu. Mfumo wa kitenzi inaonyesha kwamba tuendelee kuomba mpaka yeye ajibu. Ikiwa lugha yako ina mfumo wa kufanya kitu na kurudia rudia tena, unaweza kutumia hapa. + +# Omba + +Hii ina maana ya kuhitaji kitu kutoka kwa Mungu + +# Nawe utapewa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"Mungu atakupa kile unachotaka." + +# Tafuta + +"Tafuta kutoka kwa Mungu kile unachotaka" + +# Gonga + +Kugonga mlango ilikuwa njjia ya upole ya kumwomba mtu aliye ndani ya nyumba au chumba afungue mlango.Ikiwa kugonga mlango si kwa upole kwenye utamaduni wenu, tumia neno ambalo linaelezea kwa upole mtu anapotaka kufunguliwa mlango. + +# nawe utafunguliwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. Mungu atakufungulia kwa ajili yako" + +# au kuna mtu miongoni mwenu ambaye....jiwe? + +Yesu anatumia swali kufundisha watu. "Hakuna mtu miongoni mwenu ... jiwe," + +# kipande cha mkate + +Hii inamaanisha chakula kwa ujumla. "chakula" + +# jiwe...samaki...nyoka + +Haya majina yatafsiriwe kiualisia. + +# au ikiwa atamwomba samaki, na yeye atampa nyoka? + +Yesu anauliza swali jingine kufundisha watu. Inaeleweka kwamba yesu alikuwa anarejea mtu na kijana wake. "Na hakuna mtu miongoni mwenu, ikiwa kijana amemwomba samaki, atampatia nyoka." + diff --git a/mat/07/11.md b/mat/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..6dbea2e7 --- /dev/null +++ b/mat/07/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. Viwakilishi vya "ninyi" na :wenu" ni vya wingi. + +# ni kwa kiasi gani zaidi Baba aliye mbinguni atawapa...... yeye? + +Yesu anatumia swali kujibu watu. "ndipo Baba yenu aliye mbinguni hakika atampa....yeye." + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu. + +# unataka kufanyiwa kitu chochote na watu + +kwa njia yeyote lolote unalotaka ufanyiwe na wengine" + +# kwa kuwa hiyo ni sheria na unabii + +Hapa "sheria" na "unabii" kinarejea kile ambacho Musa na manabii walikiandika. kwa kuwa hiki ndicho kile Musa na manabii walifundisha kwenye maandiko." + diff --git a/mat/07/13.md b/mat/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..d7ff5819 --- /dev/null +++ b/mat/07/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +unapotafsri, tumia neno sahihi la "pana" na la "pana sana" kama yanavyotofautiana na "embamba" kama inavyowezekana ili kukazia tofauti ya hizo jozi za malango na njia. + +# Ingia kwa kupitia njia nyembamba...wachache wanaoweza kuiona + +Hiki ni kivuli cha mtu anayetembea njiani na kuingia kwenye ufalme kwa kupita lango. Ufalme mmoja ni rahisi kuingia na mwingine si rahisi kuingia. Huu ni msemo unaomaanisha kwamba mtu anapaswa kukubali njia ngumu ya maisha ya kumtii Mungu na kupata uzima wa milele. Ikiwa watachagua njia nyepesi ya maisha ya kutomtii Mungu, wataingia kuzimu. + +# Ingia kwaa kupitia njia nyembamba + +Unatakiwa kuendelea hadi mwisho wa mstari wa 14: "Hivyo basi, ingia kwa kupitia njia nyembamba." + +# lango.....njia + +Tafsiri inayowezekana ni 1) hii inarejea langoi la kuingia katika ufalme na njia inayoongoza kwenye lango. Ikiwa hivyo, unaweza kubadilisha mpangalio kinyume kama walivyofanya UDB au 2) "lango" na "njia" vyote vinarejea lango la ufalme. ikiwa hivyo, una haja ya kubadili mpangilio. + +# katika uharibifu.... katika uzima + +Haya majina ya sifa yanaweza kutafsiriwa kwa vitendo. "katika eneo ambalo utakufa.... katika eneo ambalo utaishi." + diff --git a/mat/07/15.md b/mat/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..d7ece969 --- /dev/null +++ b/mat/07/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Jihadharini na + +"jilindeni na" + +# wanakuja wamevaa ngozi ya kondoo,lakini kweli ni mbwa wakali + +Huu msemo una maana manabii wa uongo watajifanya wazuri na kutaka kuwasaidia, lakini kwa ualisia ni waovu na watawadhuru. + +# Kwa matunda yao utawatambua + +Huu msemo unarejea matendo ya mtu. "Kama vile unavyofahamu mti kwa tunda linalotokea, utamtabua nabii wa uongo kwa matendo yao." + +# Je watu wanaweza kuvuna ....miiba? + +Yesu anatumia swali kujibu watu. Watu wangetambua kwamba jibu siyo. "watu hawezi kuvuna...miba." + +# kila mti mzuri huzaa matunda mazuri + +Yesu anaendelea kutumia msemo wa tunda akimaanisha nabii mzuri ambaye anafanya kazi nzuri au maneno mazuri. + +# mti mbaya huzaa matunda mabaya + +Yesu anaendelea kutumia mfano wa matunda kwa kurejea kwa nabii mbaya ambaye anafanya kazi ya uovu. + diff --git a/mat/07/18.md b/mat/07/18.md new file mode 100644 index 00000000..96f3d33f --- /dev/null +++ b/mat/07/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kila mti ambao hauzai matunda mazuri utakatwa na kutupwa katika moto. + +Yesu anaendelea kutumia mti wa matunda kama msemo akimaanisha manbii wa uongo. Hapa, yeye anaongelea kile kitakachotokea kwa mti mbaya. Ikimaanisha kwamba kitu hicho kitafanyika kwa manabii wa uongo. + +# itakatwa chini na kutupwa katika moto + +Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo hai. "mtu ataukata chini na kuuchoma." + +# kwa matunda yao mtawatambua + +Neno "yao" inaweza kurejea labda manabii au miti. Huu msemo unamaanisha kwamba matunda ya mti na matendo ya manabii yote yanafunua kuwa yaweza kuwa mabaya au mazuri. Kama ikiwezekana, unaweza kutafsiri ikimaanisha maana moja kati ya hayo' + diff --git a/mat/07/21.md b/mat/07/21.md new file mode 100644 index 00000000..cccd1f43 --- /dev/null +++ b/mat/07/21.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# wataingia katika ufalme wa mbinguni + +Hapa "ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Msemo "ufalme wa mbinguni" umetumika pekee katika kitabu cha mathayo. Ikiwa inawezekana, andika "mbingu" katika tafsiri yako. "wataishi pamoja na Mungu mbinguni pindi atakapojifunua kuwa mfalme." + +# wale wanaotenda mapenzi ya Baba + +"wale wanaotenda kile ambcho Baba yangu anataka" + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + +# siku hiyo + +Yesu alisema "siku hiyo" akijua wasikilizaji walielewa alichomaanisha siku ya hukumu. Unaweza kuhusisha "siku ya hukumu" endapo tu wasikulizaji wako hawatakuelewa vinginevyo. + +# hatukutoa unabii....kutoa mapepo...tulifanya miujiza mingi? + +Watu walitumia maswali kusisitiza kwamba walifanya mambo hayo. "tulitabiri..tulitoa pepo...tulifanya miujiza mingi." + +# sisi + +Hii "sisi" haimuhusishi Yesu. + +# kwa jina lako + +Hapa "jina" maana yake katika nguvu na mamlaka ya Yesu + +# matendo ya ajabu + +"miujiza" + +# sikuwatambua ninyi + +Hii ina maana mtu huyu si wa Yesu."Wewe si mfuasi wangu" au "Sina kitu cha kufanya pamoja nawe" + diff --git a/mat/07/24.md b/mat/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..53627437 --- /dev/null +++ b/mat/07/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hivyo basi + +"Kwa sababu hiyo" + +# maneno yangu + +Hapa "maneno" yanarejea kile ambacho Yesu alisema + +# kama mtu mwenye hekima aliyejenga nyumba juu ya mwamba + +Yesu analinganisha wale wanaotii neno lake na mtu aliyejenga nyumba ambayo haitazulika na kitu. + +# mwamba + +Huu ni mwamba mbaya chini ya mchanga ulio juu na udongo, sio jiwe kubwa au mpaka juu ya ardhi. + +# ilikuwa imejengwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "yeye alijenga" + diff --git a/mat/07/26.md b/mat/07/26.md new file mode 100644 index 00000000..3d968f3f --- /dev/null +++ b/mat/07/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ndio mwisho wa mahubiri ya Yesu ya mlimani yanayoanzaia 5:1 + +# atafananishwa na mtu mpumbavu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga + +Yesu aliendelea kutumia mlinganyo kutoka mstari uliopita. Yeye analinganisha wale ambao hawatii neno lake na mpumbavu aliyejenga nyumba. Mpumbavu pekee aweza kujenga nyumba juu ya mchanga ambapo mvua,mafuriko na upepo vinaweza kuhamisha mchanga. + +# kuanguka + +Tumia neno la ujumla kwa lugha yako ambalo linaelezea kilichotokea wakati nyumba inaanguka chini. + +# na anguko lake likakamilika + +Mvua,mafuriko na upepo hakika yaliangamiza nyumba. + diff --git a/mat/07/28.md b/mat/07/28.md new file mode 100644 index 00000000..adce1c95 --- /dev/null +++ b/mat/07/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Mistari hii inafafanua jinsi watu katika makutano walivyoyapokea mafundisho ya Yesu ya mlimani. + +# ilifika kipindi ambacho + +Huu usemi unaonyesha hitimisho la hotuba ya mlimani. + +# walishangazwa kwa mafundisho yake + +iko wazi katika 7:29 kwamba walishangazwa si kwa sababu ya alichofundisha Yesu bali pia jinsi alivyofundisha . "walishangazwa kwa jinsi alivyoweza kufundisha." + diff --git a/mat/08/01.md b/mat/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..9dbd76ee --- /dev/null +++ b/mat/08/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpaya ya simulizi ambalo limebeba simulizi nyingi za uponya wa watu. Wazo hili linaendelea hadi hadi 9:35. + +# Wakati Yesu alipokuja kushuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata. + +"Baada ya Yesu kuja kushuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata," Umati yawezekana ulijumuisha watu waliokuwa nae juu mlimani na watu ambao hawakuwahi kuwa nae. + +# Tazama + +Neno "tazama" inatupa dokezo sisi la mtu mwingine katika hadithi. Lugha inaweza kuwa namna ya kufanya hivyo. + +# mkoma + +"mtu ambaye ana ukoma" au "mtu ambaye ana ugonjwa wa ngozi" + +# kusujudu mbele yake + +Hii ni ishara ya unyenyekevu heshima mbele ya Yesu. + +# Ikiwa unataka + +"ikiwa unataka kufanya" au "ikiwa unahitaji" mwenye ukoma alijua yesu ana nguvu za kumponya, lakini hakujua endapo Yesu alitaka kumgusa yeye. + +# wewe unaweza kunisafisha + +Hapa "kusafisha" maana yake kuponywa na ili kuweza kuishi kwenye jamii tena." + +# mara moja + +"sasa hivi" + +# naye akasafishwa ukoma wake + +Matokeo ya Yesu kusema"Uwe mzima" ilikuwa kwamba mtu huyo akaponywa.Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"yeye alikuwa mzima" au "ukoma ulimwacha" au "ukoma ulikoma" + diff --git a/mat/08/04.md b/mat/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..c3632b8a --- /dev/null +++ b/mat/08/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# yeye + +Hii alikuwa anarejea mtu ambaye alimponya + +# usimwambie mtu yeyote + +"usiseme kitu chochote kwa mtu yeyote" au "usimwambie mtu yeyote nimekuponya wewe" + +# ukajionyeshe kwa makuhani + +Sheria ya wayahudi ililazimu kwamba mtu akaonyeshe ngozi aliyoponywa kwa kuhani, ambaye tena angemruhusu yeye au yule kuwa pamoja na watu wengine. + +# utoe zawadi ambayo Musa aliwaagiza,kwa ajili ya ushuhuda kwao. + +Sheria ya Musa ililazimu kwamba yeyote aliyeponywa ukoma atoe sadaka ya shukrani kwa kuhani. Endapo kuhani atakubali zawadi, watu watajua kwamba mtu huyo ameponywa. + +# kwao + +Hii kwa uhakika inaweza kurejea kwa 1) makuhani au 2) wapingaji wa Yesu. Ikiwezekana, tumia kiwakilishi ambacho kitaonyesha kati ya makundi hayo. + diff --git a/mat/08/05.md b/mat/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..21388e71 --- /dev/null +++ b/mat/08/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa simulizi hili linabadili mandhari ya muda na eneo na simulizi inakuwa ni ya habari za Yesu akimponya mtu mwingine + +# akaja kwake na kumwambia yeye + +Hapa "yeye" anarejea kwa Yesu. + +# amepooza + +"Asiyeweza kutembea kwa sababu ya ugonjwa" + +# Yesu akamwambia yeye + +"Yesu akamwambia jemedari" + +# nitakuja na kumponya yeye + +"nitakuja nyumbani kwako na kumfanya mtumishi wako apone" + diff --git a/mat/08/08.md b/mat/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..fd858f96 --- /dev/null +++ b/mat/08/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kuingia ndani ya dari langu + +Msemo "kuingia ndani ya dari" maana yake "nyumba yangu" + +# sema neno + +Hapa "neno" maana yake sema amri.AT: "toa amri" + +# ataponywa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "atakuja kuwa mzima" + +# walio chini ya mamlaka + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"ambaye yuko chini ya mamlaka ya mwingine" + +# chini ya mamlaka...... chini yangu + +Kuwa "chini" mtu inamaanisha kutokuwa na umuhimu sana na kutii agizo la mtu mwenye umuhimu zaidi. + +# mwanajeshi + +"mtalaamu wa kupigana" + +# kweli ninawaambia + +"Ninawaambia ukweli." Huu usemi unaongeza na kusisitiza kile ambacho yesu atazungumza baadae. + +# sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu Israel + +Wasikilizaji wa Yesu wangefikiri kwamba wayahudi katika Israeli, ambao wanadai kuwa ni watoto wa Mungu, watakuwa na imani kuliko yeyote. Yesu anasema hawako sahihi na kwamba imani ya jemedari ilikuwa kubwa. + diff --git a/mat/08/11.md b/mat/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..fc8d1dc2 --- /dev/null +++ b/mat/08/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# wewe + +Hapa "wewe" ni wingi na ina maanisha "wale ambao walikuwa wakimfuata yeye" + +# kutoka mashariki na magharibi + +Unapotumia kinyume "mashariki" na "magharibi" ni njia ya kusema "kila mahali," "kutoka kila mahali" au "kutoka mbali kila upande" + +# wataketi katika meza + +watu katika utamaduni walikaa chini pembeni ya meza wakiwa wanakula. Huu msemo unaonyesha kwamba wale walio mezani ni familia na marafiki wa karibu. "ishi kama familia na rafiki." + +# katika ufalme wa mbinguni + +Hapa "ufalme" ina maanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Msemo "ufalme wa mbinguni" umetumika katika kitabu cha Mathayo. Ikiwezekana, andika "mbinguni" katika tafsiri yako. "wakati Mungu wetu mbinguni anaonyesha kwamba yeye ni mfalme." + +# watoto katika ufalme watatupwa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. "Mungu atawatupa watoto katika ufalme." + +# watoto katika ufalme + +Usemi "watoto wa"ina maanisha wale ambao wanamikiwa na kitu fulani, kwa namna hiyo ufame wa Mungu. Kuna kejeli pia hapa kwa sababu "watoto" watatupwa nje wakati wageni watakaribishwa. "wale ambao waliruhusu Mungu awatawale wao." + +# nje gizani + +Haya maelezo yanamaanisha hatua ya mwisho ya milele kwa wale waliomkataa Mungu. "sehemu ya giza mbali kwa Mungu" au "kuzimu" + +# itendeke hivyo kwako + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "hivyo nitafanya kwa ajili yako wewe" + +# mtumishi aliponywa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "Yesu alimponya mtumishi" + +# kwa wakati huo + +kwa muda ule Yesu alisema yeye atamponya mtumishi." + diff --git a/mat/08/14.md b/mat/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..4be73b4e --- /dev/null +++ b/mat/08/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Hapa simulizi inabadili mandhari ya muda na eneo. simulizi inakuwa ni ya Yesu akimponya mtu mwingine + +# Yesu alipofika + +Hawa wanafunzi yawezekana walikuwa na Yesu, lakini mtazamo wa hadithi Yesu alisema nini na kufanya nini, hivyo watambulishe wanafunzi pekee ikiwa inalazimika kuepusha maana ya uongo. + +# Mama mkwe wa Petro + +Mkwe - "mama wa mke wa Petro" + +# homa ikamwacha + +Ikiwa lugha yako itaelewa msemo kuwa homa inaweza kufikiri na kutenda yenyewe, hii inaweza kutafsiriwa kama "yeye akawa mzima" au "Yesu akamponya yeye: + +# akaamka + +"akaamka toka kitandani" + diff --git a/mat/08/16.md b/mat/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..409f0ff3 --- /dev/null +++ b/mat/08/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Mandhari yanahamia katika muda wa jioni ambapo Simulizi inakuwa ya Yesu kuponya watu zaidi na kufukuza mapepo.. + +# Maelezo ya jumla + +Katika mstari wa 17, mwadishi anamnukuu nabii Isaya il ikuonesha kuwa huduma ya Yesu ilikuwa kutimiza unabii. + +# Na ilipofika jioni + +Hii inajulisha kwamba hii ni baada ya Sabato, kwa sababu wayahudi walikuwa hawafanyi kazi au kusafiri siku ya Sabato. Walisubiri muda wa jioni kuleta watu kwa Yesu. Hauhitaji kutaja Sabato isipokuwa unataka kuepuka tafsiri ya uongo + +# wengi waliotawaliwa na mapepo + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai.AT:"wengi ambao mapepo yaliwatawala" (UDB} au "wengi ambao walipagawa na mapepo" + +# Naye akawafukuza roho kwa neno + +Hapa "neno" inamaanisha amri. Yeye aliwaamuru pepo kuondoka." + +# yalitimizwa unabii wa Isaya uliyosema + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "Yesu alitimiza unabii kwamba nabii Isaya aliongea na watu wa Israeli." + +# alichukua magonjwa yetu na kubeba malazi yetu + +Mathayo anamnukuru nabii Isaya. Hii misemo miwili kiualisi inamaana moja na kusisitiza kwamba yeye aliponya magonjwa yetu yote. "aliponya wale walio wagonjwa na kuwafanya wazima." + diff --git a/mat/08/18.md b/mat/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..e9c71d48 --- /dev/null +++ b/mat/08/18.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganisha + +Hapa simulizi linabadilika na kusimulia jinsi Yesu alivyosema juu ya watu waliotaka kumfuata + +# Kisha + +Hili neno limetumika hapa kuonyesha alama ya kikomo cha hadithi. Hapa Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi. + +# yeye alitoa maelekezo + +"aliwaambia wanafunzi wake" + +# Ndipo + +Hapa inamaanisha baada ya Yesu "kutoa maelekezo" lakini kabla yake kuingia ndani ya boti. + +# popote + +"sehemu yeyote" + +# Mbwea wana mashimo, na ndege wa angani wana vichari + +Hii ina maana hata wanyama wakali wana sehemu ya kupumzika. + +# mbwea + +Mbwea ni wanyama kama mbwa. Wanakula ndege wadogo na wanyama wengine wadogo. Ikiwa mbwea hawajulikani kwenye eneo lako, tumia kwa ujumla mbwa - kama viumbe au mnyama mwingine mkali. + +# shimo + +Mbwea wanatengeneza mashimo ardhini kwa kuishi humo. Tumia neno sahihi kwa eneo ambalo mnyama "mbwea" anaishi. + +# mwanadamu + +Yesu anaongelea kuhusu yeye mwenyewe + +# hana sehemu ya kulaza kichwa chake + +Hii ina maanisha sehemu ya kulala. "hana sehemu yake ya kulala." + diff --git a/mat/08/21.md b/mat/08/21.md new file mode 100644 index 00000000..0cbe9537 --- /dev/null +++ b/mat/08/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# niruhusu kwanza niende na kumzika baba yangu + +Aieleweki kwamba baba wa mtu alikufa na angemzika mapema, au ikiwa mtu anaataka akae muda mrefu baba yake afe na amzike. Pointi ya muhimu mtu anataka kufanya kitu kingine kwanza kabla ya kumfuata Yesu. + +# uwaache wafu wazike wafu wenzao + +Yesu hana maana halisi kwamba watu wafu watazika wafu wengine. Tafsiri inayowezekanaya "wafu" ni 1) ni msemo kwa wale ambao watakufa punde, au 2) ni msemo kwa wale ambao hawamfuati Yesu na kiroho wamekufa. Pinti ya muhimu ni kwamba wanafunzi wasiruhusu kitu chochote kumchelewesha kumfuata yesu. + diff --git a/mat/08/23.md b/mat/08/23.md new file mode 100644 index 00000000..4e0969d7 --- /dev/null +++ b/mat/08/23.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa mandhari yanahamia kwenye simulizi la Yesu akituliza dhoruba wakati yeye na wanafunzi walipokuwa wakivuka bahari ya Galilaya. + +# alipoingia kwenye boti + +"kuingia ndani ya boti" + +# wanafunzi wake wakamfuata + +Jaribu kutumia neno lilelile kwa "wanafunzi" na "kufuata" ambalo umelitumia + +# Tazama + +Hii inaonyesha kuanza kwa kutukio jingine kubwa la hadithi. Lugha yako inaweza ikawa na njia nyingine ya kuonyesha hili. + +# likatokea wimbi kubwa baharini + +"wimbi la nguvu likatokea baharini" + +# ndipo sasa boti ikazungukwa na mawimbi + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji. "ndipo sasa mawimbi yakafunika boti" + +# wakamwamsha, wakamwambia,"tuokoe + +Maana inayowezekana ni 1) kwanza walimwamsha Yesu na ndipo wakasema, "tuokoe" au 2) walipokuwa wakimwamsha walimwambia "tuokoe" + +# sisi + +ikiwa unataka kutafsiri neno hili kama pamoja au kipekee, ndipo kipekee ni bora. Wanafunzi yawezekana walimaanisha walitaka Yesu awaokoe wanafunzi na yeye mwenyewe kwenye kuzama. + +# sisi tunaelekea kufa + +"sisi tunakwenda kufa" + diff --git a/mat/08/26.md b/mat/08/26.md new file mode 100644 index 00000000..d0ba907e --- /dev/null +++ b/mat/08/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wao + +"kwa wanafunzi" + +# kwa nini mnaogopa ... imani? + +Yesu alikuwa anakemea wanafunzi kwa swali la kejeli. "hampaswi kuogopa...imani" au "hamna sababu ya ninyi kuogopa ....imani." + +# ninyi wenye imani ndogo + +Angalia jinsi unavyotafsiri hii + +# Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata upepo na bahari vinamtii yeye? + +"Hata upepo na bahari vinamtii yeye! Huyu mtu ni wa namna gani?" Hili swali la kejeli linaonyesha kwamba wanafunzi walishangazwa. "huyu mtu niwa tofauti na hatujawahi kumwona! hata upepo na mawimbi vinamtii yeye!" + +# hata upepo na bahari vinamtii yeye + +Kwa watu au wanyama kutii au kutotii haishangazi, lakini kwa upepo na maji inashangaza.Hii kibinadamu inaeleza vitu asili kama viumbe vinaweza kusikia na kuitikia kama watu. + diff --git a/mat/08/28.md b/mat/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..082d5070 --- /dev/null +++ b/mat/08/28.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa mwandishi anaturudisha kwenye wazo kuu la Yesu akiwaponyawatu. Hii inanzisha simulizi la Yesu akiwaponya wanaume wawili waliokuwa na pepo. + +# upande mwingine + +"upande mwingine wa bahari ya galilaya" + +# nchi ya Gadalene + +Gadalene ulitajwa kwa jina la Gadara. + +# walikuwa wasumbufu, hakuna mpita njia aliyeweza kupita njia ile + +Mapepo yaliyowatawala watu hawa wawili yalikuwa hatari kwamba hakuna hata mmoja angeenda kupitia eneo hilo. + +# Tazama + +Hii inaonyesha kuanza kwa kutukio jingine kubwa la hadithi. Inaweza kuhusisha watu tofauti na tukio lililopita, Lugha inaweza kuwa na njia ya kuonyesha hili. + +# Tuna nini cha kufanya nawe,mwana wa Mungu + +Hili swali la kwanza la kejeli ni hostile + +# Umekuja hapa kututesa sisi kabla ya wakati kufika? + +hili swali la pili la kejeli nalo pia ni uhasama na linamaanisha "Haupaswi kutomtii Mungu kwa kutuadhibu sisi kabla ya muda wenyewe ambao Mungu ameupanga ambao atuhukumu sisi" + diff --git a/mat/08/30.md b/mat/08/30.md new file mode 100644 index 00000000..5b61f405 --- /dev/null +++ b/mat/08/30.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sasa + +hili neno linaonyesha kwamba mwandishi atawaambia wasomaji habari anazotaka kufahamu kabla ya hadithi kuendelea. Nguruwe walikuwa kule kabla ya Yesu kufika. + +# Ikiwa utatuamuru tutoke + +"kwa sababuunakwenda kututoa sisi nje" + +# sisi + +Hii ni pamoja ,ina maanisha nguruwe pekee" + +# wao + +mapepo ndani ya mtu + +# Mapepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe + +"Mapepo wakamwacha mtu na kuwaingia nguruwe" + +# ndipo + +Neno "ndipo" hapa linatoa angalizo kwetu kuwa tayari kwa taarifa za kushangaza zinazokuja. + +# likashuka chini kutokea mlimani + +"kimbia haraka chini kwenye mteremko" + +# likafia majini + +"waliingia kwenye maji na kuzama" + diff --git a/mat/08/33.md b/mat/08/33.md new file mode 100644 index 00000000..f68fbd3d --- /dev/null +++ b/mat/08/33.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kuwaponya wanaume wawili waliokuwa na pepo + +# kuchunga nguruwe + +"kulinda nguruwe" + +# kilitokea nini kwa mwanaume ambaye ametawaliwa na mapepo + +"Yesu alifanya nini kwa mwanaume ambaye alitawaliwa na mapepo" + +# Ndipo + +Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Inaweza kuhusisha watu tofauti na tukio la zamani.Lugha yako inaweza kuwa na njia kwa kuonyesha hili + +# mji mzima + +Hii ina maanisha wengi au idadi ya watu wengi, sio lazima kila mtu. + +# mji + +"jiji na ardhi inayoizunguka" + diff --git a/mat/09/01.md b/mat/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..137961a2 --- /dev/null +++ b/mat/09/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anarejea kwenye wazo kuu, ambalo linaanzia 8:1, la Yesu akiwaponya watu. Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya mwanamume aliyekuwa amepooza + +# Yesu akaingia kwenye boti + +Wanafunzi yamkini walienda na Yesu' + +# boti + +Yamkini ni boti ile ile + +# akafika kwenye mji wake + +"mji ambao yeye aliishi" + +# Ndipo + +Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Linaweza kuhusisha watu wengine tofauti na tukio lililopita. Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kuonyesha hili. + +# yao....zao + +Hii inaonyesha wale ambao walimleta mgonjwa wa kupooza kwa Yesu. Hii inahusisha mgonjwa aliyepooza mwenyewe. + +# Mtoto + +Huyu mtu hakuwa mtoto halisi wa Yesu. Yesu alikuwa akiongea naye kwa upole. Ikiwa hii inachanganya, inaweza pia kutafsiriwa"Rafiki yangu" au "Kijana" au hata kuondolewa. + +# Dhambi zako zimesamehewa + +"Mungu amesamehe dhambi zako" au "Nimekusamehe dhambi zako" + diff --git a/mat/09/03.md b/mat/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..651ab226 --- /dev/null +++ b/mat/09/03.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Tazama + +Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Inaweza kutumia watu wengine tofauti na tukio lililopita. Lugha yako inaweza kuwa njia nyingine kufanya hili. + +# miongoni mwao + +Hii inaweza kumaanisha "wao kwa wao,"kwenye mawazo yao, au "kwa kila mmoja," kutumia midomo yao. + +# anakufuru + +Yesu alidai kuweza kufanya vitu ambavyo waandishi wa sheria walifikiri Mungu peke yake angevifanya. + +# akatambua mawazo yao + +Yesu alitambua walichokuwa wakifikiria kwa uwezo wake au kwa sababu aliwaona wakisemezana wao kwa wao. + +# Kwa nini mnawaza maovu moyoni mwenu? + +Yesu alitumia swali kuwakemea wanasheria. + +# wewe...yako + +Hizi ni wingi + +# uovu + +Huu ni uovu wa kimaadili au ukosefu, sio tu ni kosa kwa uhakika. + +# kipi ni rahisi......kutembea + +Yesu aliuliza swali kukumbusha wanasheria kwamba waliamini mtu amepooza kwa sababu ya dhambi zake na kwamba dhambi zake zimesamehewa, naye angeweza kutembea, ili kwamba alipomponya aliyepooza, wanasheria wajue kwamba yeye anaweza kusamehe dhambi. + +# kipi kilicho rahisi kusema,dhambi zako zimesamehewa au kusema, simama na utembee? + +"kipi ni rahisi kusema,"Dhambi zako zimesamehewa"? au ni rahisi kusema "Simamama na utembee"? + +# Dhambi zako zimesahewa + +Hii inaweza kumaanisha 1)"ninakusamehe dhambi" au 2)"Mungu amesamehe dhambi zako."yako" ni umoja. + +# mtambue ya kwamba + +"Nitawahakikishia ninyi." "ninyi" ni wingi. + +# yako.....yako + +Hizi ni umoja + +# nenda nyumbani kwako + +Yesu hamkatazi mtu kwenda sehemu nyingine. Yeye anampa fursa ya kwenda nyumbani. + diff --git a/mat/09/07.md b/mat/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..0b984da6 --- /dev/null +++ b/mat/09/07.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kumponya mtu aliyepooza. Kisha Yesu akamwita mtoza ushuru kuawa mmoja wa wanafunzi wake. + +# ambaye amewapa + +"kwa sababu amewapa" + +# mamlaka hayo + +mamlaka ya kuthibitisha kusamehe dhambi + +# Na Yesu alipokuwa akipita kutoka hapo + +Kirai hiki kinaonyesha mwanzo wa simulizi mpya. Kamalugha yako ina namna ya kufanya hili, unaweza kulitumia mahali hapa. + +# akaipita kutoka hapo + +"alikuwa akiondoka" au "alikuwa akienda" + +# Mathayo...naye...Yeye + +Utamaduni wa kanisa unasema Mathayo ni mwandishi wa hii Injili, lakini andiko halitoi sababu ya kubadilisha kiwakilishi kutoka "naye" na "yeye" kwa "kwangu" na "mimi" + +# Yeye alisema naye + +"Yesu alisema na Mathayo" + +# naye akamwambia + +"Yesu alimwambia Mathayo" + +# Naye akasimama na kumfuata yeye + +"Mathayo alisimama na kumfuata yeye" kama mwanafunzi, siyo tu kujumuika na Yesu kwa kinachofuata kukamilisha. + diff --git a/mat/09/10.md b/mat/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..90335003 --- /dev/null +++ b/mat/09/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Matukio haya yalitokea kwenye nyumba ya Mathayo mtoza ushuru + +# nyumba + +Hii yawezekana ni nyumba ya Mathayo, lakini yawezekana kuwa nyumba ya Yesu(walitumia kula Yesu na wanafunzi wake")Kilitengwa maalum ikiwa kitahitajika kuepusha kuchanganywa. + +# Ndipo + +Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine katika habari kuu. Inaweza kuhusisha watu tofauti kuliko matukio yale ya kwanza. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulielezea hili. + +# Mafarisayo walipoona hayo + +"Na mafarisayo walipoona kwamba Yesu alikuwa anakula na watoza ushuru na watu wenye dhambi" + +# kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na waovu? + +Mafarisayo walitumia swali hili kumkosoa Yesu kile alichokuwa akifanya. + diff --git a/mat/09/12.md b/mat/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..89b1e5a3 --- /dev/null +++ b/mat/09/12.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo y a jumla + +Matukio haya yanatokea kwenye nyumba ya Mathayo mtoza ushuru. + +# Na Yesu aliposikia hayo + +Hapa "hayo" inarejea swali ambalo mafarisayo waliuliza kuhusu Yesu kula na watoza ushuru na wenye dhambi. + +# Watu walio na afya nzuri hawahitaji mganga, isipokuwa wale walio wagonjwa + +Yesu anajibu kwa kutumia mithali. Anamaanisha kuwa anakula na watu wa aina hii kwa sababu amekuja kuwaokoa wenye dhambi. + +# watu walio na afy nzuri + +"watu wenye afya" + +# wale walio wagonjwa + +Kirai "wanahitaji mganga" kinaeleweka. "Wagonjwa ndio wanaohitaji mganga" + +# Inawapasa muende mukajifunze maana yake + +Yesu anaelekea kunukuu maandiko. "Inakupasa ujifunze maana ya kile ambacho Mungu alisema katika maandiko" + +# Inawapasa muende + +Kiwakilishi "wa" ni cha wingi kinachomaanisha mafarisayo + +# Ninapenda rehema na wala siyo dhabihu + +Yesu ananukuu kile ambacho nabii Hosea aliandika katika maandiko.. Hapa "Ni" inamaanisha Mungu. + +# Kwa kuwa nilikuja + +Hapa "Ni" inamaanisha Yesu. + +# haki + +Yesu anatumia kejeli. Hadhani kuwa kuna watu wenye haki ambao hawahitaji kutubu. "wale wanaodhani kuwa ni wenye haki" + diff --git a/mat/09/14.md b/mat/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..3190281c --- /dev/null +++ b/mat/09/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sentensi unganishi + +Wanafunzi wa Yohana mbatizaji walihoji swala la wanafunzi wa Yesu kutokufunga. + +# msifunge + +"endeleeni kula kama kawaida" + +# Je wasindikizaji wa arusi wanaweza kuwa na huzuni pindi bwana harusi anapokuwa pamoja nao? + +Yesu anatumia swali kuwajibu wanafunzi wa Yohana. Walijua kuwa watu hawaombolezi na kufunga kwenye sherehe ya harusi. Yesu anatumia mithali hii kuonyesha kuwa wanafunzi wake hawaombolezi kwa sababu yeye bado yuko nao. + +# Lakini siku zinakuja + +"lakini muda utafika" + +# bwana arusi atachukuliwa kutoka kwao + +Hii inaweza kuelezeka katka mfumo tendaji. "Bwana harusi hatakuwa pamoja nao si muda mrefu ujao" au "kuna mmoja atakayemchukua bwana harusi kutoka kwao." + +# atachukuliwa kutoka kwao + +Yamkini Yesu anamaanisha kifo chake, lakini hii isiwekwe wazi kuwa ndichio alichomaanisha. Ili kulinda picha ya harusi, ni vizuri kueleza kuwa bwana harusi ataondoka kitambo. + diff --git a/mat/09/16.md b/mat/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..8936e118 --- /dev/null +++ b/mat/09/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kujibu swali ambalo wanafunzi wa Yohana walikuwa wameuliza + +# Hakuna anayeweka kipande cha nguo mpya kwenye nguo ya zamani + +Huu msemo una maana kwamba watu wanaojua utamaduni wa zamani pekee hawako tayari kukubali mpya. + +# vazi + +nguo + +# kipande + +"kipande cha nguo mpya" kinatumika kuziba nguo iliyochanika + +# na mpasuko mkubwa utatokea + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji + diff --git a/mat/09/17.md b/mat/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..25ad6f89 --- /dev/null +++ b/mat/09/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kujibu swali ambalo wanafaunzi wa Yohana walikuwa wameuliza + +# Hakuna watu wanaoweka mvinyo mpya katika ngozi ya zamani + +Yesu anatumia mithali Nyingine kuwajibu wanafunzi wa Yohana. Hii inamaanisha ni kitu kilekile sawa na mithali ya 9:16 + +# Hakuna watu wanaoweka + +"Hakuna hata mmoja anayemwaga" au "Watu hawaweki kamwe" + +# mvinyo mpya + +Huu ni mvinyo ambao haujachacha. Kama mizabibu haijulikani kwenye sehemu yenu, tumia neno la ujumla la tunda."mvinyo wa matunda" + +# mfuko wa mvinyo mkuukuu + +Hii inamaanisha mifuko ya mvinyo ambayo imekuwa ikitumika mara nyingi. + +# Mfuko wa mvinyo + +"mkoba wa mvinyo" au "mkoba wa ngozi". Hii ni mifuko iliyokuwa imetengenezwa kwa ngozi za wanyama. + +# mvinyo utatoweka na gozi itaharibika + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Na hii itaharibu mfuko wa mvinyo na mvinyo kumwagika. + +# ngozi itaharibika + +mvinyo mpya unapochacha na kuumuka, ile ngozi huchanika kwa sababu haiwezi tena kutanuka. + +# ngozi mpya + +"mifuko mipya ya mvinyo" au "begi jipya la mvinyo" Hii inamaanisha ngozi ya mvinyo ambayo haijawahi kutumika. + +# vyote vitakuwa salama + +Hili linaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji + diff --git a/mat/09/18.md b/mat/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..942f69ee --- /dev/null +++ b/mat/09/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha simulizi ya Yesu kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi baada ya kufa. + +# mambo hayo + +Hii inarejea jibu la Yesu alilowapa wanafunzi wa yohana kuhusu kufunga. + +# Tazama + +Neno "tazama" linatupa dokezo la mtu mwingine mpya katika hadithi. Lugha yako inawezekana ikawa na njia nyingine ya kufanya hivi. + +# akasujudu kwake + +Hii ni njia mtu yeyote kuonyesha heshima katika utamaduni wa kiyahudi. + +# njoo na uweke mkono wako juu yake, na yeye ataishi tena + +Hii inaonyesha kwamba ofisa wa kiyahudi aliamini Yesu ana nguvu ya kurudisha uhai wa binti yake. + +# wanafunzi wake + +wanafunzi wa Yesu + diff --git a/mat/09/20.md b/mat/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..ce3802b6 --- /dev/null +++ b/mat/09/20.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inafafanua jinsi Yesu alivyomponya mwanamke mwingine wakati akiwa njiani kwenda kwa afisa wa Kiyahudi + +# Tazama + +Neno "tazama" linadokeza juu ya mtu mwingine katika hadithi. Lugha yenu inaweza kuwa na njia nyingine ya kufanya hivi + +# alikuwa anatokwa damu + +"kutokwa damu mfululizo"Yawezekana alikuwa akitokwa damu kwenye tumbo lake ingawa haikuwa kipindi cha kawaida yake. Baadhi ya tamaduni yawezekana wana namna nzuri ya kueleza tatizo hili. + +# miaka kumi na mbili + +"miaka 12" + +# vazi + +"kanzu" + +# Endapo nitagusa vazi lake, nami nitapata uponyaji + +Alifikiria hivi kabla hajamgusa Yesu. Unaweza kuiweka sentensi hii mwanzoni. + +# Endapo nitagusa vazi lake + +Kwa mjibu wa sheria za Kiyahudi, kwa sababu ya kutokwa na damu hakutakiwa kumgusa yeyote mtu yeyote. Anagusa vazi la Yesu ili nguvu za Yesu zimponye alidhani kuwa Yesu hatagundua kuwa ameguswa + +# Lakini + +"Badala" Kile mwanamke alichotumaini kutokea hakikutokea. + +# Binti + +Mwanamke hakuwa mtoto halisi wa Yesu. Yesu alikuwa akiongea naye kwa upole. Ikiwa hii inachanganya, inaweza kutafsiriwa "kijana wa kike" au hata kutolewa. + +# imani yako imekufanya upone + +"Kwa sababu uliniamini, Nitakuponya" + +# Muda huo huo mwanamke alipokea uponyaji + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Yesu alimponya hapohapo" + diff --git a/mat/09/23.md b/mat/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..c5f75bee --- /dev/null +++ b/mat/09/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inarudisha habari ya Yesu kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi + +# nyumba ya ofisa + +Hii ilikuwa nyumba ya kiongozi wa kiyahudi + +# wapiga tarumbeta na umati wa watu walikuwa wakipiga kelele + +Huu ni utamaduni wa kawaida wa kumboleza pale mtu anapokuwa amekufa. + +# wapiga zumari + +"watu ambao wanapiga zumari/filimbi" + +# Ondoka hapa + +Yesu alikuwa akiongea kwa watu wengi, hivyo tumia mfumo wa wingi wa kutoa amri kama lugha yenu inao huo. + +# binti hajafa, lakini amelala + +Yesu anatumia igizo la maneno. Ilikuwa ni kawaida kipindi cha Yesu kusema mtu aliyekufa kuwa "amelala" Lakini hapa binti aliyekufa ataamka, ingawa yeye alikuwa amelala. + diff --git a/mat/09/25.md b/mat/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..5f17bd94 --- /dev/null +++ b/mat/09/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inahitimisha simulizi la Yesu la kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi + +# Maelezo kwa ujumla + +Mstari wa 26 unatoa muhtasari unaofafanua matokeo ya Yesu kumfufua huyu msichana. + +# Na wale watu walipotolewa nje + +"Baada ya yesu kuwatoa watu nje" au "Baada ya familia kuwatoa watu nje" + +# akaamka + +"akaamka kutoka kitandani" Hii ni maana ile ile kama iliyo kwenye 8:14 + +# Habari hii ikaenea mji mzima + +Watu wote wa mji ule walisikia kuhusu hilo" au "Watu walioona binti akiwa hai walianza kuwaambia watu wa eneo hilo habari hizi." + diff --git a/mat/09/27.md b/mat/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..4c4c22cf --- /dev/null +++ b/mat/09/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya Yesu akiwaponya wanaume wawili waliokuwa vipofu + +# Alipokuwa akipita Yesu njiani + +Yesu alikuwa akiondoka kwenye mji + +# akipita + +"Alikuwa akiondoka" au "alikuwa akienda" + +# wakamfuata + +Hii inamaainisha kuwa walikuwa wakitembea nyuma ya Yesu, siyo lazima kuwa walikuwa wameshakuwa wanafunzi wake. + +# uturehemu + +Inamaanisha kuwa walitaka Yesu awaponye + +# Mwana wa Daudi + +Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, hivyo inaweza kutafsiriwa kama "Ukoo wa Daudi". Ingawa, "Mwana wa Daudi" pia ni cheo alichopewa Masihi, na wale wanaume yawezekana walikuwa wakimwita Yesu kwa Sifa hii. + +# Pindi Yesu alipokuwa amefika kwenye nyumba + +Hii inaweza kuwa nyumba ya Yesu au nyumba iliyosemwa kwenye 9:10 + +# Ndiyo,Bwana + +Jibulote halijatolewa lakini linaeleweka "Ndiyo, Bwana, tunaamini kuwa unaweza kutuponya." + diff --git a/mat/09/29.md b/mat/09/29.md new file mode 100644 index 00000000..88825a97 --- /dev/null +++ b/mat/09/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akagusa macho yao na kusema + +Haiko wazi kuwa aligusa macho yao wote wakati mmoja au alitumia mkono wake wa kulia kumgusa mmoja na mwingine tena. Mkono wa kushoto kawaida ulitumika kwa makusudi yakutokuwa safi, ni hakika alitumia mkono wa kulia pekee. Pia haiko wazi kwamba aliongea wakati anawagusa au kwanza aliwagusa na ndipo akaongea kwao. + +# Na ifanyike hivyo kwenu kama imani yenu ilivyo + +Hii inaweza kutafsriwa katika mfumo tendaji. "Naitafanya kama ulivyomini" au "kwa sababu unaamini, nitakupaonya" + +# macho yao yakafumbuka + +Hii inamaanisha waliweza kuona. Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu aliponya macho yao" au "wale wanaume wawili vipofu waliweza kuona" + +# Angalieni mtu yeyote asifahamu jambo hili. + +Hapa neno "angalieni" linamaanisha "hakikisha." au "Uwe na Muwe na uhakika hakuna mtu atakaye tafuta juu ya jambo hili" au "Msimwambie mtu yeyeote kuwa nimewaponya" + +# Lakini + +"Badala yake"Wanaume hawakufanya kile ambacho Yesu aliwaambia kufanya. + +# kutangaza habari + +"waliwaambia watu wengi kilichotokea kwao" + diff --git a/mat/09/32.md b/mat/09/32.md new file mode 100644 index 00000000..5ea925cb --- /dev/null +++ b/mat/09/32.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi usganishi + +Hii ni habari ya Yesu akiwaponya watu waliokuwa wamepagawa na pepo + +# tazama + +Neno "tazama" linadokeza sisi juu ya mtu mwingine katika simulizi. Lugha yako inaweza ikawa njia nyingine ya kufanya hizi. + +# mtu mmoja bubu ... akaletwa kwa Yesu. + +Hii inaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "mtu mmoja alimleta bubu kwa Yesu... kwa Yesu" + +# bubu + +asiyeweza kuongea + +# aliyepagawa na pepo + +Hii inaweza kueleza katika mfumo tendaji. "ambaye pepo lilikuwa limemumliki" au "amabye pepo lilikuwa linamtawala" + +# Na pepo walipomtoka + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Baada ya Yesu kuwa amelitoa pepo" au " Baada ya Yesu kuwa ameliamuru pepo kutoka" + +# yule bubu aliongea + +"Yule bubu akanza kuongea" au "yule aliyekuwa bubu aliongea" au "mtu ambaye alikuwa bubu akaongea" au yule mtu hakuwa bubu tena" + +# umati ukashangazwa + +"Watu walishangazwa" + +# Hii haijawahi kutokea + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "Hii haikuwahi kutokea kabla" au "Hakuna hata mmoja aliyewahi kufanya jambo kama hili hapo awali." + +# anawafukuza pepo + +"huwalazimisha pepo kutoka" + +# huwaondoa + +Kiwakilishi "ana" kinamaanisha Yesu + diff --git a/mat/09/35.md b/mat/09/35.md new file mode 100644 index 00000000..f9bf7818 --- /dev/null +++ b/mat/09/35.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Mstariwa 35 ni mwisho wa sehemu ya simulizi ambayo imeamnzia katika 8:1 kuhusu huduma ya Yesu ya uponyaji kule Galilaya. + +# Maelezo kwa ujumla + +Mstari wa3 6 unaanzisha sehemu nyingine ya simulizi ambapo Yesu anawafundisha wanafunzi wake na kuwatuma kwenda kuhubiri na kuponya kama alivyokuwa akifanya. + +# miji yote + +Yesu alienda kwa wengi au kwa miji mingi lakini si kwa kila mji. "Katika miji mingi" + +# miji....vijiji + +"vijiji vikubwa...vijiji vidogo" au "miji mikubwa...miji midogo" + +# injili ya ufalme + +Hapa neno "Ufalme" linamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. tazama ilivyotafsiriwa karika 4:23 + +# magonjwa ya kila aina na udhaifu wa aina zote + +"kila magonjwa na kila udhaifu" Neno "magonjwa" na "udhaifu" yanakaribiana kufanana lakini yanapaswa kutafsiliwa tofauti kama inawezekana. "Ugonjwa" unamfanya mtu kuwa dhaifu. "Udhaifu" kukosa nguvu mwili au tokeo linalosababishwa na kuwa na ugonjwa. + +# Walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji + +Mfanano huu unamaanisha kuwa hawakuwa na kiongozi wa kuwaangalia. "Watu hawakuwa na kiongozi" + diff --git a/mat/09/37.md b/mat/09/37.md new file mode 100644 index 00000000..9e486080 --- /dev/null +++ b/mat/09/37.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anatumia mithali kuwaambia wanafunzi wake juu ya mavuno ili kuona jinsi watavyopokea mahitaji ya makutano yaliyotajwa katika sehemu ambazo tayari zimepita. + +# Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache + +Yesu anatumia mithali kuonyesha jinsi anavyopokea kile anachokiona. Yesu anamaanisha kuwa kuna watu wengi walio tayari kumwani Mungu lakini kuna watu wachache tu wa kuwafundisha ukweli wa Mungu. + +# mavuno ni mengi + +"Kuna mazao mengi yaliyoiva na yako tayari kuvunwa." + +# wafanya kazi + +"watendaji" + +# mwombeni Bwana wa mavuno + +"Mwombeni Bwana, kwa sababu yeye mkuu wa mavuno" + diff --git a/mat/10/01.md b/mat/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..de71dc8b --- /dev/null +++ b/mat/10/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inafungua habari ya Yesu akiwatuma wanafunzi wake wakafanye kazi yake. + +# akawaita wanafunzi wake kumi na wawili pamoja + +"Akawaelezea wanafunzi wake 12" + +# akawapa mamlaka + +Uwe na uhakika kwamba ujumbe unakuwa wazi kuwasilisha kwamba haya mamlaka yalikuwa 1) ni kufukuza roho chafu na 2) kuponya magonjwa na udhaifu + +# kuwafukuza + +"kuwafanya roho wachafu waondoke" + +# kila aina ya magonjwa na kila aina za udhaifu + +"kila ugonjwa na kila udhaifu." Maneno "ugojwa" na "udhaifu" ni kama yanakaribia kufanana lakini yanapaswa kutafsiliwa tofauti kama inawezekana. "Ugonjwa" ni kisababishi cha mtu kuwa dhaifu. "Udhaifu" ni ukosefu wa nguvu mwilini au kisababishi ambacho matokeo yake ni kuwa na ugonjwa. + diff --git a/mat/10/02.md b/mat/10/02.md new file mode 100644 index 00000000..8e2904b3 --- /dev/null +++ b/mat/10/02.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Hapa mwanadishi anatoa majina kumi na mbili ya mitume kama taarifa ya itoayo picha ya nyuma. + +# sasa + +Neno hili limetumika hapa kuonesha mwanzo wa simulizi jipya. Hapa Mathayo anaonesha historia ya maisha ya mitume kumi na wawili. + +# Mitume kumi na wawili + +Hili kundi ni sawa na kusema "wanafunzi kumi na wawili" katka 10:1 + +# Kwanza + +Hi ya kwanza kwa mpangilio si kwa safu + +# Mkananayo + +Hii inaweza kumaanisha yafuatayo 1) "Mkananayo" hii ni sifa iliyoonesha kuwa alikuwa ni mshirika wa kundi lililotaka kuwaweke huru wayahudi kutoka kwenye utawala wa Warumi. "Mzalendo" au "mmajumui" au 2) Mkereketwa ni neno linalonesha mtu mwenye kutamani kumjengea heshima Muungu. "mwenye uchu" + +# Mathayo mtoza ushuru + +"Mathayo ambaye alikuwa mtoza ushuru" + +# ambaye atamsaliti yeye + +"ambaye atamsaliti Yesu" + diff --git a/mat/10/05.md b/mat/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..6b23ce22 --- /dev/null +++ b/mat/10/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa Yesu anaanza kutoa maelekezo kwa wanafunzi wake juu ya jinsi wanavyopaswa kufanya na wategemee nini wakienda kuhubiri. + +# Maelezo kwa ujumla + +Ijapokuwa mstari wa tano unaanza kwa kusema kuwa alaiwatuma thenashara, Yesualiwapa maelekezo haya kabla ya kuwatuma. + +# Hawa kumi na wawili Yesu aliwatuma + +"Yesu aliwatuma hawa wanaume kumi na wawili" au "Walikuwa ni hawa wanaume kumi na wawili ambao Yesu aliwatuma" + +# aliwatuma + +Yesu aliwatuma kwa kusudi maalumu. + +# Naye akawaelekeza wao + +"Naye aliwaambia kitu gani walipaswa kutenda" au "aliwaamuru wao" + +# Kondoo aliyepotea wa nyumba ya Israel + +Hiki ni kirai kinacholinganisha taifa zima la israel na kondoo ambao wamejitenga kutoka kwa mchungaji + +# nyumba ya Israel + +Haya maelezo yana maanisha taifa la Israel. "watu wa Israel" au "kizazi cha Israel" + +# Mnapokwenda + +Kiwakilishi "mna" ni cha wingi na kinamaanisha mitume kumi na wawili. + +# Ufalme wa mbinguni umekaribia + +Hiki kirai cha "ufalme wa mbinguni", kinapatikana katika injili ya Mathayo tu. Kinamaanisha Mungu ni mfalalme. kama inawezekana tumia neno "mbinguni" katikatafsiri zako. "Mungu wetu wa mbinguni atajidhihirisha mapema kuw a yeyeni mfalme. Tazama ilivyotafsiriwa katika 3:1 + diff --git a/mat/10/08.md b/mat/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..7c99b9f0 --- /dev/null +++ b/mat/10/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendele kuwaelekeza wanafunzi wake mambo ya kufanya watakapoenda kuhubiri. + +# mme....zenu + +Hivi ni viwakilishi vya wingi vinavyomaanisha mitume kumi na wawili + +# Mmepokea bure toeni bure + +kuna taarifa hapa ambazo hazikuelezwa, lakini inaeleweka . " Nilwasaidia na kuwafundisheni neno la Mungu bure. Kwa hiyo msiwafanye watu wengine wawalipe kwa lengo la kuwasaidia au kuwafundisha ukweli wa Munugu. + +# dhahabu,fedha au shaba + +Hizi ni metali ambazo zilitumika kutengeneza sarafu. Hii orodha ni ya hela, ikiwa metali hazijulikani katika eneo lako, tafasiri orodha kama"hela." + +# pochi + +Hii ina maana "mkanda" au "mkanda wa fedha," lakini kinamaanisha chochote kinachotumika kubebea hela. Mkanda ni kitu kirefu cha kujifunga cha nguo au ngozi kinachopita begani. Kilikuwa ni kipana ambacho kiliweza kukunjwa na kutumiwa kubeba hela + +# begi la kusafiria + +Hii inaweza kuwa begi lolote linalotumika kubeba kitu safarini au begi linalotumiwa na mtu mmoja kukusanya chakula au hela. + +# nguo ya ziada + +Tumia neno hilo hilo ulilotumia kwa "nguo" + +# mfanyakazi + +"mfanyakazi" + +# chakula chake + +Hapa "chakula" Kitu chochote ambacho ni hitaji kwa mtu. + diff --git a/mat/10/11.md b/mat/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..524949d5 --- /dev/null +++ b/mat/10/11.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu nini wanachopaswa kufanya watakapoenda kuhubiri. + +# mta...yenu + +Hivi viwakilishi vinaonyesha mitume kumi na wawili + +# Kwa kila mji au kijiji mtakachoingia + +"Kwa "Kila mji au kijiji" mtakachokwenda" au + +# Mji..kijiji + +"kijiji kikubwa...kijiji kidogo" au "mji mkubwa...mji mdogo." Tazama ilivyotafsriwa katika 9:35. + +# anayestahili ... asiyestahili + +Katika 10:11-13 "anayestahili" inamaanisha mtu aliyetayari kuwakaribisha wanafunzi wa Yesu. Yesu anamlinganisha mtu asiyekuwa tayari kuwakaribisha wanafunzi wake saw namtu asiyestahili + +# mkae pale mpaka mtakapoondoka + +Maana halisi ya sentensi hii inaweza kuwa sahihi kama itasemwa "mkae katika nyumba ya huyo mtu mpaka mtakapoondoka kwenye huo mji au kijiji" + +# Mtakapoingia katika nyumba,salimuni + +Kirai cha "salimieni" inamaanisha isalimuni hiyo nyumba. Salamu ya kawaida kwa nyakati zile ilikuwa "amani iwe katika nyumba hii. "Kaya" inamaanisha watu wanao ishi kwenye hiyo nyumba. mkiwa mnaingia kwenye nyumba, muwasalimu watu wanaoishi ndani yake. + +# nyumba inastahili + +"Nyumba" inamaanisha wale wanaoishi kwenye hiyo nyumba. "watu wanaoishi kwenye nyumba hiyo wakiwakaribisha vizuri" au kaya ile iwakiwakarimu vizuri" + +# amani yenu ibaki pale + +Neno "pale" linamaanisha kaya. Nyumba hapa inamaanisha watu wanaoishi kwenye hiyo nyunba. Amani yenu ibaki pale" au "watu wanaoishi katika nyumba ile wataishi katika amani" + +# amani yenu + +Hii ni amani ambayo mitume wanapaswa kumwomba Mungu awape wanaoishi katika nyumba. + +# Kama haistahili + +Neno "pale" linamaanisha nyumba . "Nyumba" inamaanisha kaya. "ikiwa hawatawakaribisha vizuri" au ikiwa hawatawakarimu" + +# amani yenu iondoke pamoja nanyi + +Yamkini ina maana zifuatazo: 1) Ikiwa nyumba haistahili, ndipo Mungu atazuia amani au baraka katika nyumba hiyo au 2) Ikiwa kaya haistahili, ndipo mitume walipaswa kufanya kitu, kama vile kumwomba Mungu asikubali heshima ya salaam za amani. Ikiwa lugha yako ina maana kama hii ya kurudisha salaam au matokeo, hivyo itumike hapa. + diff --git a/mat/10/14.md b/mat/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..2884ab9f --- /dev/null +++ b/mat/10/14.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake cha kufanya watakapoenda kuhubiri + +# Na kwa wale wasiowapokea au kusikiliza + +"Ikiwa hakuna watu watakaowakaribisha au kuwasikia katika mji huo" + +# ninyi ... yenu + +Hivi ni viwakilishi vya wingi ambavyo vinamaanisha mitume kumi na mbili + +# kusikiliza maneno yenu + +Hapa "maneno" inamaanisjha kile ambacho wanafunzi wa Yesu watasema. "kusikiliza ujumbe wenu" au "kusikiliza kile mnachotaka kusema" + +# mji + +Unaweza kutafsiri kama ulivyofanya kwa njia hiyo hiyo + +# jipanguseni mavumbi ya mguuni + +"jipanguseni mavumbi y a miguu yenu mnapoondoka." Hii ni ishara inayoonesha kuwa Mungu amaewakataa watu wa mji au nyumba hiyo. + +# kweli nawaambia + +"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu atasema baadaye. + +# itakuwa zaidi ya kuvumilia + +"mateso yatakuwa machache" + +# mji wa Sodoma na Gomora + +Hii inamaanisha watu walioishi Sodoma na Gomora."watu ambao waliishi katika miji ya Sodoma na Gomora" + +# mji huo + +Hii inamaanisha watu katika mji ambao hawakutaka kuwapokea mitume au kusikiliza ujumbe wao. "Watu wa mji huo ambao hawakuwapokea" + diff --git a/mat/10/16.md b/mat/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..354e96d7 --- /dev/null +++ b/mat/10/16.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake. Hapa anaanza kuwaambia wao kuhusu dhiki ambayo wanatakiwa kuvumilia pindi watapoenda kuhubiri. + +# Angalia + +Neno "Angalia" hapa linaongeza na kusisitiza ambacho kitafuatia. "Tazama"au "Sikiliza" au "Zingatia kile ninachotaka kukuambia" + +# Ninawatuma + +Yesu anawatuma kwa kusudi maalum. + +# kama kondoo katikati ya mbwa mwitu + +Kondoo ni wanyama wasioweza kuijhami ambao mara kwa mara hushambuliwa na mbwa mwitu. Yesu anasema kuwa watu wanaweza kuwaumiza wanafunzi wake. "Kama kondoo katikati ya mbwa mwitu hatari" au "kama kondoo katikati ya watu wenye tabia kama hizo. + +# muwe na hekima kama nyoka na wapole kama njiwa + +Yesu awaambia wanafunzi wake ili wawe na tahadhari na wasiowamiza watu. Kama kuwafananisha wanafunzi na nyoka au na njiwa kunachanganya, basi ni vizuri kutokuutumia huu mlinganyo. "fanya kwa kuelewa na tahadhari, vile vile kwa makini na wema." + +# Muwe waangalifu na watu watawapeleka + +Unaweza kutafsiri kwa kutumia "kwa sababu" ili kuonnesha jinsi hizi sentensi zinavyohusiana. "Muwe waangalifu na watu kwa sababu watawapeleka + +# Watawapeleka kwenye + +"watawasaliti kwa" au "watawakabidhi Kwa" au watawakamata na kuawajaribu" + +# mabaraza + +"mahakama" Hawa ni viongozi wa kidini au wazee ambao kwa pamoja wanalinda amani katika jamii. + +# watawapiga mijeledi + +"kupiga kwa mijeledi" + +# katikati ya mbwa mwitu + +AT:"katikati ya watu ambao ni kama mbwa mwitu wa hatari" au "katikati ya watu ambao watenda kama wanyama wa kutisha" au "katikati ya watu ambao watakuvamia wew" + +# na mtaletwa + +Hii inaweza kuelezeka katika muundo tendaji "watawaleta" au "watawaburuza" + +# kwa ajili yangu + +"kwasababu ninyi ni wangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi" + +# kwao na kwa mataifa + +Kiwakilishi "kwao" inamaanisha huenda wakawa "magavana au wafalme" au kwa washitaki wa kiyahudi + diff --git a/mat/10/19.md b/mat/10/19.md new file mode 100644 index 00000000..ff8cc8da --- /dev/null +++ b/mat/10/19.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotakiwa kuvumilia pindi watapoenda kuhubiri + +# msi...yenu + +kiwakilishi "msi" na "yenu" vinamaanisha mitume kumi na wawili + +# msiwe na wasiwasi + +"msiwe na hofu" + +# jinsi gani au nini cha kuongea + +"jinsi gani ya kuongea au nini cha kusema." Haya mawazo mawili yanaweza kujumuishwa:"Ni nini cha kusema" + +# kwa kuwa kitu cha kusema mtapewa + +Hii inaweza kutafsirika katika mfumo tendaji. "Kwa kuwa Roho mtakatifu atawapa cha kusema" + +# kwa wakati huo + +Hapa wakati" unamaanisha "muda huohuo" au "kwa muda huo" + +# Pindi watakapowashutumu + +Kipindi watu watakapowashitaki kwenye mabaraza.""watu" hapa ni wale wale "watu" + +# Roho ya Mungu wako + +Ikiwa muhimu, inaweza kutafsiliwa kama "Roho ya Mungu baba yako aliye mbinguni" au nyongeza inaweza kuongezwa ili kufafanua kwamba inamaanisha Roho ya Mungu baba na sio roho ya baba wa ulimwengu. + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu. + +# Ndani yako + +"kupitia ninyi" + diff --git a/mat/10/21.md b/mat/10/21.md new file mode 100644 index 00000000..4f924f76 --- /dev/null +++ b/mat/10/21.md @@ -0,0 +1,64 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotikiwa kuvumilia pindi watakapoenda kuhubiri + +# Ndugu atamwinukia ndugu yake kumwua, na baba kwa mtoto wake + +Kirai hiki cha "baba na mtoto wake" kinawza kutafsiriwa kama sentensi timilifumilifu. Ndugu atamwinukia ndugu na kumwua, na baba atamwinukia mtoto wake na kumwua" + +# kumwinukia + +"saliti" au "kumtoa" Tazama ilivyotafsiriwa kwenye 10:6 + +# kifo + +Nomino dhania "kifo" inaweza kutafsiriwa uthabiti, kwa uwazi zaidi. "mahakamani il mamlaka iweze kuwahumu + +# kumwinukia dhidi ya + +"kupigana dhidi" au "kwenda kinyume dhidi ya" + +# na kusababisha kuingia katika kifo + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "na kuwaweka katika kifo" au "na wenye mamlaka kuwaweka katika kifo" + +# Nanyi mtachukiwa na kila mtu + +Hii inaweza kutafsirika katika muundo tendaji. "Kila mtu atawachukia" au "Watu wote watawachukia ninyi" + +# nanyi + +Hiki ni kiwakilishi cha wingi kichonamaanisha mitume kumi na mbili. + +# kwa sababu ya jina langu + +Hapa "jina" inamaanisha ukamilfu wa nafsi "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mlinitumaini mimi" + +# yeyote atakayevumilia + +" atakayebaki kuwa mwaminif."u + +# mtu huyo ataokolewa + +"yeyote atakayekuwa mwaminifu" + +# mji huu + +Neno "hapa" halina maana ya mji maalumu. "mji mmoja" + +# kimbilieni mji unaofuata + +"mwende mji unaofuata" + +# Kwa kweli nawaambia + +"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atasema baadaye. + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anaongea juu yake mwenyewe + +# amekuja + +"amewasili" + diff --git a/mat/10/24.md b/mat/10/24.md new file mode 100644 index 00000000..d04f7792 --- /dev/null +++ b/mat/10/24.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotakiwa kuvumilia wakati watakapoenda kuhubiri. + +# Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumwa aliye juu ya bwana wake + +Yesu anatumia mithali kuwafundisha wanafunzi wake ukweli wa jumla. Yesu anasisitiza kwamba wanafunzi wake wasitegeme watu kuwatendea vizuri kuliko walivyomtendea Yesu. + +# Mwanafunzi si mkuu kuliko mwanafunzi wake + +"Mwanafunzi daima si wa mhimu kuliko mwalimu wake". Mwalimu daima ni wa mhimu kuliko mwanafunzi wake. + +# wala mtumwa aliye juu ya bwana wake + +"na mtumwa daima si wa mhimu kuliko bwana wake" au "na bwana daima ni wa muhimu kuliko mtumwa wake" + +# Inatosha kwa mwanfunzi kwamba awe kama mwalimu wake + +"Mwanafunzi atalizika pale atakapokuwa kama mwalimu wake" + +# awe kama mwalimu wake + +Kama inawezekana, unaweza kueleza dhahIri jinsi mwanafunzi anavyofanyika kuwa kama mwalimu, "Ajue kma mwalimu anavyojua" + +# na mtumwa kama bwana wake + +Kama inawezekana uieleze dhahiri jinsi mtumwa anvyoweza kuwa kama bwana ." "na mtumishi atarizika pale tu atakapokuwa na umuhimu kama Bwana wake" + +# Ikiwa wamwita bwana ... wa nyumba Belzabuli, ni kwa kiasi gani zaidi kwa wale wa nyumba yake + +Kwa mara nyingine Yesu anasisitiza kuwa kama watu walimtenda vibaya, hivyo wanafunzi wategemee kufanyiwa hivyo au zaidi.' + +# ni kwa kiasi gani watawakashifu watu wa nyumba yake + +" majina yale wanayotumia kuwaita watu wa nyumba yake hakika yatakuwa mabaya zaidi" au "kwa hakika wataita watu wa nyumba yake majina mabaya zaidi" + +# Ikiwa wamemwita + +"kwa watu wamemwita" + +# Bwana wa nyumba + +Yesu anatumia hiii kama msemo kwa ajili yake + +# Belzabuli + +Hili jina linaweza 1) likaelezwa moja kwa moja kama "Belzabuli" au "2) Kutafsiri kama asili yake, kumaanisha "shetani" + +# wa nyumba yake + +Hii ni sitiari kwa maana ya wanafunzi wa Yesu + diff --git a/mat/10/26.md b/mat/10/26.md new file mode 100644 index 00000000..cb4b4055 --- /dev/null +++ b/mat/10/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayopaswa kuivumilia wakati watakapoenda kuhubiri. + +# msiwahofu wao + +Hapa "wao" inamaanisha watu wanaowatenda vibaya wafuasi wa Yesu + +# hakuna jambo ambalo halitafunuliwa, na hakuna lililojifichwa ambalo halitajulikana + +Hizi sentensi zote mbili zinamaanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa Mungu atayafichua mabo yote. Hii inaweza kutafasiriwa katika mafumo tendaji. "Mungu atafunua mambo ambayo watu wanayaficha." + +# Kile ninachowaambia gizani, mkiseme nuruni, na mnachokisikia kwa ulaini masikioni, mkitangaze mkiwa juu ya nyumba + +Sentensi zote hizi mbili zinamanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa wanafunzi wanapaswa kumwambia kila mmoja kile anachowaambia wanafunzi sirini. "Waambie watu mchana kile ninachokuambia gizani, na tangazeni mkiwa juu ya nyumba kile mnchosikia kwenye masikio yenu" + +# Kile ninachokuambia gizani + +Hapa "giza" linamaanisha "sirini" Ninachowaambia kisirisiri" au "mambo ninayowaambia peke yenu" + +# kile ninachokisema nuruni + +Hapa neno :nuruni" linamaanisha "kwa uwazi. "Semeni kwa uwazi" au "semeni katika umma" + +# Kile mnachokisikia kwa ulaini masikioni mwenu + +Hii ni namna ya kusema kunakomaanisha kunong'ona. "Kile ninachowanong'onezea" + +# mkitangaze mkiwa juu ya nyumba + +mapaa ya nyumba wakati wa Yesu yalikuwa ya bapa, hata watu wali mbali wangeweza kumsikia mtu anapokuwa anaongea kwa sauti ya juu. Hapa mapaa ya nyumba yanamaanisha mahali popote ambapo watu wanaweza kusikia. "Ongea kwa sauti katika eneo la umma ili watu wote wasikie" + diff --git a/mat/10/28.md b/mat/10/28.md new file mode 100644 index 00000000..90cf1c38 --- /dev/null +++ b/mat/10/28.md @@ -0,0 +1,64 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake juu ya dhiki amabyo wanapaswa kuivumilia wakati watakapoenda kuhubiri + +# Melezo kwa ujumla + +Hapa Yesu pia anaanza kutoa sababa kwa nini wanafunzi wake hawapaswi kuiogopa dhiki ambayo itawapata. + +# Msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho + +Hii haina maana ya kutenganisha kati ya watu wanaoweza kuua mwili na wale wanaoweza kuua roho. Hakuna mtu anayeweza kuua roho. "Msiwaogope watu. Wanaweza kuua mwili, lakini hawawezi kuua roho" + +# Kuua mwili + +Hii inamaanisha kusababisha mauti ya mwili. Ikiwa maneno haya ni magumu, yanaweza kutafsiriwa kama "kukua wewe" au "Kuua watu wengine." + +# mwili + +Sehemu ya mtu inayoweza kuguswa, tofauti na roho au nafsi isiyoweza kuguswa. + +# kuua roho + +kudhuru watu baada ya kufa + +# roho + +sehemu ya mwanadamu ambayo haiwezi kuguswa na ambayo inaishi baada ya kifo cha mwili + +# mwogopeni yule anayeweza + +unaweza kuongeza "kwa sababu" ili kufafanua kwa nini watu wamwogope Mungu. "Mwogopeni Mungu kwa sababu yeye anaweza" + +# Je, mashomoro wawili hawauzwi kwa senti ndogo + +Yesu anaieleza mithali hii kwa njia ya swali kuwafundisha wanafunzi wake. "Fikiria kuhusu mashomoro . Wana thamani ndogo sana kiasi kwamba unaweza kuwanunua wawili kwa salafu kidogo. + +# Mashomoro + +Hawa ni ndege wadogo, wanaokula mbegu. "ndege wadogowadogo" + +# sarafu ndogo + +Hii mara nyingi inatafsiriwa kama sarafu yenye thamani ndogo kabisa katika nchi. inamaanisha sarafu ya shaba thamani yake ni sawa na sehemu ya kumi na sita ya malaipo ya kibarua. "kiasi kidogo cha fedha" + +# hakuna anayeweza kuanguka chini bila baba yenu kufahamu + +Haya maelezo yanaweza kutafsiriwa kataika mfumo tendaji. "Baba yenu anafahamu hata shomoro mmoja akifa na kuanguka chini" + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu + +# Hata idadi ya nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa + +Hii inaweza kuelezeka katika mfumo tendaji. "Mungu anajua hata kiasi cha nywele kichwani pako" + +# zimehesabiwa + +"zimehesabiwa" + +# Mnathamani zaidi kuliko kasuku wengi + +"Mungu anawathamini kuliko mashomoro wengi" + diff --git a/mat/10/32.md b/mat/10/32.md new file mode 100644 index 00000000..a07f88ec --- /dev/null +++ b/mat/10/32.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kuhofia dhiki ambayo itawapata + +# yeyote atakayenikiri mbele za mtu + +"yeyote atakayewaambia wengine huyo ni mwanafunzi wangu" au "Yeyote anayekubali mbele za wengine kwamba yeye ni mwamanifu wangu" + +# nami pia nitamkiri mbele ya baba yangu aliye mbinguni + +Unaweza kuifafanua hiyo ili ieleweke wazi. "nami nitamkiri mbele za Mungu wangu aliye mbinguni kwamba hawa watu ni wangu" + +# Babab yangu aliye mbinguni + +"Baba wa mbinguni" + +# Baba + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu" + +# yeyote atakayenikana mbele za mtu + +"yeyote atakayenikana mbele za watu" au "yeye atakayenikataa mbele za watu" au "yeyote atakayekataa kunitambua mimi kwa wengine kuwa yeye ni mwanafunzi wangu" + +# Nami nitamkana mbele ya Babayangu wa mbinguni + +Unaweza kulifafanua kwa uwazi unaoweza kueleweka. "Nitamkana mbele ya Baba aliye mbinguni kuwa huyu ni wangu" + diff --git a/mat/10/34.md b/mat/10/34.md new file mode 100644 index 00000000..6a40b67e --- /dev/null +++ b/mat/10/34.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kutohofia dhiki ambayo itawapata. + +# Msifikiri + +"Msidhani" au "msilazimike kufikiri" + +# duniani + +Hii inamaanisha watu wanaoishi duniani. "kwa watu wa duniani" au "kwa watu" + +# upanga + +Hii inamaanisha mgawanyiko, mapigano, na mauji kati ya watu + +# weka + +"kugeuka" au "kugawanya" au "kutenganisha" + +# mtu dhidi ya baba yake + +"mwana dhidi ya baba yake" + +# Adui wa mtu + +"Adui wa mtu" au "Adui mbaya wa mtu" + +# wale wa nyumbani mwake + +"watu wa familia yake" + diff --git a/mat/10/37.md b/mat/10/37.md new file mode 100644 index 00000000..815849bb --- /dev/null +++ b/mat/10/37.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kutohofia dhiki itakayowapata. + +# Yeye ambaye ....hanistahili + +Hapa "ana" anamaanisha mtu yeyote kwa ujumla. "Wale ambao ... hawastahili" au "Kama uta... haustahili" + +# anampenda + +Neno la "upendo" hapa linamaanisha upendo wa ndugu" au "upendo kutoka kwa rafiki." "KuMjali" au "aliyejitoa kwa" mwenye kupenda" + +# anayestahili + +"anafaa kuwa wangu" au "anastahili kuwa mwanafunzi wangu" + +# beba msalaba na kunifuata + +"bebea msalaba wake na kunifuata" Huu ni mfano wa kuwa tayari kufa. Kubeba msalalba inamaanisha utayari wa kuteseka na kufa. "lazima anitii kiasi cha kukubali kuteseka na kufa" + +# beba + +"chukua" au "beba na kunyanyua" + +# Yeye atakayetafuta...atayapoteza...yeye atakayeyapoteza...atayapata + +Yesu anatumia mithali kuwafundisha wanafunzi wake. Haya yatafsiriwa kwa maneno machache kwa kadri iwezekanavyo. "Wale wanaotafuta... watayapoteza ... wale wanaoyapoteza ... watayapata" au "wakaoyapata ... uta watakaopoteza ... watapata" au "ikiwa utayapata ... utakosa ... ikiwa utayakosa...utayapata." + +# atayapata + +Hii ni sitiari ya "kutunza" au "kuhifadhi"" jaribu kuhifadhi" au "jaribu kutunza" + +# atayapoteza + +Hii haina maana kwamba mtu atakufa. Ni sitiari " inayomaanisha kuwa mtu hatakuwa na maisha mazuri ya kiroho na Mungu. "Hatakuwa na maisha ya kweli" + +# anayepoteza maisha yake + +Hii haimanishi kufa. Ni sitiari Inayomaanisha mtu kumtii Yesu ni muhimu zaidi kuliko maisha yake. "ambaye anayejikana" + +# kwa ajili yangu + +"kwa sababu ananitumaini mimi" au "kwa ajili yangu" au "kwa sababu yangu" Hili ni wazo lile lile kama "kwa ajili yangu" katika 10:6 + +# yeye ambaye hatabeba ...hana + +Tafsiri nyingine:"Wale ambao hawatabeba....sio" au "ikiwa hautabeba...wewe sio" au "endapo utakapobeba ... wewe sio + +# atayapata + +Huu msemo maana yake "atapata maisha ya kweli" + diff --git a/mat/10/40.md b/mat/10/40.md new file mode 100644 index 00000000..34511e01 --- /dev/null +++ b/mat/10/40.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi. + +Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu kutohofia dhiki itakayowakabili. + +# Yeye atakaye + +Neno "yeye" linamaanisha mtu yeyote. "yeyote" au "yeyote ambaye" au " ambaye" + +# atakayewakaribisha + +Inamaanisha kumkaribisha mtu kama mgeni + +# Wa + +Kiwakilishi "wa" kinamaanisha mitume kumi na wawili ambao Yesu anawaaambia. + +# ananikaribisha mimi + +Yesu anamaanisha ni sawa na kumkaribisha yeye. "ni kama ananikaribisha mimi" au "ni kama vile alikuwa ananikaribisha mimi" + +# kumkaribisha yeye aliyenituma + +Hii inamaanisha wakati mtu anamkaribisha Yesu ni sawa na kumkaribisha Mungu. "ni kama vile kumkaribisha Mungu aliyenituma" + +# Kwa sababu ni nabii + +Hapa kiwakilishi cha "ni" kinamaanisha mtu anayekaribishwa. + +# thawabu ya nabii + +Hii inamaanisha zawadi ambayo Mungu anampa nabii. wala siyo zawadi ambayo nabii anampatia mtu mwingine. + +# mtu wa haki + +Hapa "wa" haimaanishi mtu anayekaribisha. Inamaaanisha mtu anayekaribishwa. + +# thawabu ya mtu wa haki + +Hii inamaanisha zawadi ambayo Mungu humpa mtu wa haki, siyo zawadi ambayo mtu wa haki humpatia mtu mwingine. + diff --git a/mat/10/42.md b/mat/10/42.md new file mode 100644 index 00000000..b5595e59 --- /dev/null +++ b/mat/10/42.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamalizia kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu kitu cha kufanya na nini watarajie watakapoenda kuhubiri. + +# yeyote atakayempatia + +"yeyote ambaye atampatia." + +# mmoja wa wadogo hawa + +"mmoja wa hawa wanyenyekevu" au "hawa wasio wa muhimu," Kirai "mmoja wa" mmoja kati ya wanafunzi waYesu. + +# kweli ninwaambia + +"Ninawambia ukweli." Kirai hiki kinongeza msisitizo wa kile Yesu atakachokisema baadaye. + +# hawezi... kukosa thawabu yake + +Kiwakiloishi "ha" na "yake" kinamaanisha mtu yule anayetoa. + +# yeye hawezi kukosa kwa njia yeyote thawabu yake + +"kwamba mtu hakika atapokea thawabu yake" + +# hawezi kukosa kwa njia yeyote + +"Mungu hatamkana." "kukanwa" Hii haimanishi kutoweka kwa mali. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "Kwa hakika Mungu atampatia" + diff --git a/mat/11/01.md b/mat/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..18571846 --- /dev/null +++ b/mat/11/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpya wa simulizi amabapo mwandishi anaonesha jinsi ambavyo Yesu aliwaijibu wanafunzi wa Yohana Mbatizaji. + +# Ikawa baada ya + +Hiki kirai kinaibadilisha kutoka habari ya mafundisho ya Yesu kwenda kile kilichotokea baadaye. "Kisha" au "baadaye" + +# Kuwaelekeza + +"kufundisha" au "kuamurisha". + +# wanafunzi wake kumi na mbili. + +Hii inawahusu wale mitume kumi na wawili waliochaguliwa na Yesu. + +# katika miji yao + +Kimilikishi "yao" kinamaanisha Wayahudi wote kwa ujumla + +# Sasa + +Neno hili limetumika hapa kuonesha mwanzo katika habari kuu. Mathayo anaanza kusimulia habari mpaya + +# Na Yohana akiwa gerezani aliposikia juu ya + +"Wakati Yohana, akiwa gerezani aliposikia juu ya" au "Yohana alipoambiwa na mtu, wakati akiwa gerezani kuhusu, "Ingawa Mathayo hajawaambia wasomaji kwamba mfalme Herode alikuwa amemfunga gerezani Yohana mbatizaji, wasomaji wa kwanza wangekuwa wanaielewa habari na maana yake. Mathayo atatoa habari za Yohana mbatizaji baadaye, kwa hiyo yawezekana si vizuri kufafanua zaidi hapa. + +# alituma ujumbe kupitia wanafunzi wake. + +Yohana Mbatizaji aliwatuma wanafunzi wake ujumbe kumpelekea Yesu. + +# na wakamuuliza + +kiwakilishi "mu'' kinamrejea Yesu. + +# Wewe ni yule ajaye + +"Wewe ndiye yule amabye tunamtarajia kuja." Hii ni namna nyingine ya kumaanisha Masihi au Kristo. + +# au kuna mwiingine tunayepaswa kumtazamia + +''Tunapaswa kumtazamia mwingine." kiwakilishi "tu" kinarejerea ,wayahudi wote, siyo wanafunzi wa Yohana pekee. + diff --git a/mat/11/04.md b/mat/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..7c2acd2a --- /dev/null +++ b/mat/11/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mkamtaarifu Yohana + +"mwambieni Yohana'' + +# wakoma wanatakaswa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Ninawaponya wenye ukoma" + +# Watu waliokufa wanafufuliwa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. " Ninawafanya wale waliokufa kuwa hai tena + +# Watu wahitaji wanahubiriwa habari njema + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "Ninawaambia wahitaji" + +# yule asiyeona shaka juu yangu + +Hapa neno "shaka" ni nahau inayomaanisha kupoteza imani. "mtu asiyeachca kuamini kwa sababu ya kile ninachofanya" au "mtu asiyeona mashaka kwa sababu yangu" + diff --git a/mat/11/07.md b/mat/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..7531e22e --- /dev/null +++ b/mat/11/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kusema na makutano kuhusu Yohana mbatizaji. + +# Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa tete likitikiswa na upepo? + +Yesu alitumia swali ili kuwafanya watu wafikiri kuhusu Yohana kuwa ni mtu wa aina gani." Kwa hakika hamkuenda jangwani kuona tete ... upepo. + +# tete likitikiswa na upepo + +Hii inaweza kumaanisha 1) majani halisi ya mto Yorodani au 2) Yesu anatumia sitiari kumaanisha aina ya mtu. "mtu anayebadili fikra zake ni kama tete linalopeperushwa na upepo. + +# likitikiswa na upepo + +Hii inaweza kutafsirwa katika mfumo tendaji. "yumbishwa na upepo" au "peperushwa na upepo" + +# Lakini ni nini mlikwenda kuona _ mtu aliyevaa mavazi? + +Yesu anatumia swali ili kuwafanya watu wafikiri juu ya Yohana kuwa ni mtu wa aina gani. Kwa kweli hamkwenda jangwani ili kuona mtu ... aliyevaa? + +# aliyevaa mavazi mororo + +"kuvaa mavazi yenye gharama kubwa." Watu majiri walivaa mavazi ya aina hii. + +# Hakika + +Hili neno, linaongezea msisitizo kwa kile kinachofuata. "kwa kweli" + +# nyumba za wafalme + +"ikulu za wafalme" + diff --git a/mat/11/09.md b/mat/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..0c7870ee --- /dev/null +++ b/mat/11/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentesi unganishi: + +Yesu aliendelea kuongea na umati kuhusu Yohana Mbatizaji. + +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mstari wa 10, Yesu anamnukuru nabii Malaki kuonyesha kuwa maisha na huduma ya Yohana imetimiza unabii. + +# Lakini mliondoka kuona nini__nabii? + +Yesu anatumia swali ili kuwafikirisha watu juu ya Yohana mbatizaji kuwa ni mtu wa aina gani. "Lakinini kweli kwamba mlienda jajngwani kumuona nabii" + +# Lakini mlienda nje kuona nini__nabii? Ndiyo, nawaambia nyinyi. + +Kiwakilishi cha wingi ''nyinyi'' inarejelea kwa katika hali zote. + +# ni zaidi ya nabii + +Hii inaweza kutafsirika kama sentensi timilifu. "Siyo nabii wa kawaida" au ''siyo mtu wa kawaida'' au ''ni wa muhimu kuliko nabii wa kawaida'' + +# huyu ndiye aliye andikiwa + +Hii inaweza kutafsirika katik mfumo tendaji. "Hiki ndicho nabii Malaki aliandika zamamni za kale kuhusu Yohana mbatizaji" + +# namtuma mjumbe wangu + +Kiwakilishi ''na'' na ''wangu'' kinamrejea Mungu. Malaki ananukuu ambacho Mungu alisema. + +# mbele ya uso wako + +Kiwakilishi "wako" ni cha umoja kwa sababu Mungu alikuwa anasema juu ya Masihi katika nukuu.vPia "uso" inamaanisha nafsi timilifu, "mbele yako" au "kutangulia" + +# ataandaa njia yako + +Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa mjumbe atawaandaa watu kupokea ujumbe wa Masihi. + diff --git a/mat/11/11.md b/mat/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..469659ef --- /dev/null +++ b/mat/11/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Yesu aliendelea kuwaambia makutano juu ya Yohana Mbatizaji + +# Mimi nawaambia ukweli + +"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye. + +# kati ya waliozaliwa na wanwake + +Hii ni namna ya inayomaanisha watu wote. "kati ya watu wote waliopata kuishi" + +# Hakuna aliye mkuu kuliko Yohana mbatizaji + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. ''Yohana Mbatizaji ni mkuu zaidi" au " Yohana mbatizaji ni wa muhimu zaidi". + +# aliyemdogo katika ufalme wa mbinguni + +Ha " ufalme wa mbinguni" unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Kirai "ufalme wa mbinguni" kimetumika katika injili ya Mathayo tu. Kama inawezekana jaribu kutumia "mbinguni" unapotafsiri. "aliye mdogo kabisa katika utawala wa Mungu wetu mbinguni" + +# ni mkuu kuliko yeye + +'' wa muhimu kuliko Yohana'' + +# Tokea siku za Yohana Mbatizajihadi leo + +''Tokea muda ambao Yohana alianza kuhubiri ujumbe'' + +# ufalme wa mbinguni ni wa nguvu, na wenye nguvu huuchukua kwa nguvu + +Kuna maana nyingi zinzazoweza kumaanisha katika mstari huu. 1) Watu wengine huutumia ufalme wa Mungu kwa malengo yao binafsi. na kwamba wako tayari kutumia nguvu dhidi ya watu wengine ili kutimiza hitaji hili. 2)Tafsiri zingine zingine zinatumia maana sahihi kwamba wito wa kuingia katika ufalme wa mbinguni kimekuwa ni kitu cha muhimu, kwamba watu lazima wapokee kwa kuzingatia kabisa. ili kuupokea wito na kuzuia majaribu ya kufanya uovu. 3 )Watu wenye nguvu wanawadhuru watu wa Mungu na kujaribu kumzuia Mungu asitawale. + diff --git a/mat/11/13.md b/mat/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..0ba2175f --- /dev/null +++ b/mat/11/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu aliendelea kuongea na umati juu ya Yohana Mbatizaji. + +# kwa kuwa manabii na sheria, imekuwa ikitabiri mpka kwa Yohana + +Hapa neno " manabii na sheria"linamaanisha kile ambacho manabii na Musa waliandika katika maandiko. "Kwa kuwa haya ndiyo mambo ambayo manabii na Musa walitabiri katika maandiko mpaka wakati wa Yohana mbatizaji + +# na kama mko + +Kiwakilishi ''mko''kinarejelea watu katika umati. + +# huyu ni Eliya, yule ajaye + +''Hii inarejelea kwa Yohana Mbatizaji. Hii haimaanishi Yohana Mbatizaji ni sawa na Eliya. Yesu anamaanisha Yohana mbatizaji anatimiza unabii juu ya "Eliya ajaye" au "Eliya anayefuata". "Wakati nabii Malaki aliposema kuwa Eliya atarudi, alikuwa akiongea juu ya Yohana mbatizaji" + +# Aliye na masiko ya kusikia + +Hii ni namna ya kumwambia kila anayesikilza. ''Kila anayenisikiliza'' + +# na asike + +Hapa ''asikie" inamaanisha kuwa msikivu. " lazima awe mwangalifu kwa kile nisemacho'' + diff --git a/mat/11/16.md b/mat/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..3de8b623 --- /dev/null +++ b/mat/11/16.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuongea na makutano juu ya Yohana Mbatizaji. + +# Nikilinganishe na nini + +Yesu anaitumia swali kutoa mlinganisho kati ya watu wa nyakati zile na kile amabacho watoto wanaweza kusema katika eneo la soko. "Hivi ndivyo kizazi hiki kilivyo" + +# kizazi hiki + +''watu wanaoishi sasa'' au ''watu hawa'' au ''ninyi watu wa kizazi hiki'' + +# Ni mfano wa watoto wanaocheza maeneo ya sokoni ... na hamkulia + +Yesu anatumia mfano kuwaelezea watu waliokuwa hai kipindi hicho. Anawalinganisha na kikundi cha watoto wanaojaribu kuwavuta watoto wengine ili wacheze nao. Lakini haijarishi aina ya mbinu yeyote wanayotumia, wale watoto wengine hawataungana nao. Yesu anamaanisha kuwa haijalishi kama Mungu alimtuma mtu kama Yohana mbatizaji, anaishi nyikani na kufunga, au mtu kama Yesu, ambaye anasherehekea na wenye dhambi bila kufunga. Watu, hususani Mafarisayo na viongozi wa dini, bado wanabaki wasumbufu na wanakataa kuupokea ukweli wa Mungu + +# maeneo ya soko + +eneo kubwa, la wazi ambapo watu walikuja kuuza na kununu bidhaa zao. + +# tuliwapigia zomari + +''tu'' inarejelea watoto waliokuwa wamekaa katika maeneo ya soko. ''wa'' ni wingi na inarejelea lile kundi lingine la watoto + +# na hamukucheza + +''lakini hamukucheza ule muziki mzuri'' + +# tuliomboleza + +Hii inamaanisha waliimba nyimbo za huzuni kama vile wanawake wafanyavyo kwenye mazishi. + +# na hamukulia + +''lakini hamukulia pamoja nasi'' + diff --git a/mat/11/18.md b/mat/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..eaaa546e --- /dev/null +++ b/mat/11/18.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anahitimisha kuongea na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. + +# bila kula mkate au kunywa mvinyo + +Hapa "mkate" unamaanisha chakula. Haimanishi kuwa Yohana alikuwa hali chakula. Inamaanisha kuwa alikuwa anafunga mara kwa mara na alipofungua hakula vizuri, chakula cha gharama. "Mfungo endelevu na kutokunywa pombe" au "kutokula chakula kizuri na kutokunywa divai" + +# walisema, 'ana pepo.' + +Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya mojakwa moja. ''wanasema kwamba ana pepo'' au ''walimtuhumu kuwa na pepo.'' + +# wanasema + +Matukio yote ya "wali" yanamaanisha watu wa kizazi kile, na zaidi sana mafarisayo na viongozi wa dini. + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anamaanisha yeye mwenyewe. " Mimi mwana wa Adamu" + +# alikuja akila nakunywa + +Hiki ni kinyume cha tabia ya Yohana. Hii ni zaidi ya kula kiasi cha kawaida cha chakula na kinywaji. Inamaanisha Yesu alisherehekea na kufurahia chakula na kinywaji kizuri kama vile watu wengine walivyofanya. + +# wakasema, anagalia, ni mtu mlaji + +Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya moja kwa moja. "wanasema kuwa ni mlaji" "wanamtuhumu kuwa anakula sana" Kama ulitafasiri "Mwana wa mtu" kama "Mimi, Mwana wa mtu," Ile nukuu ya moja kwa moja inaweza kutafsiriwa kama "wanasema kwamba mimi ni mlaji" + +# mlevi + +"mlevi" au "hunywa pombe nyingi daima." + +# Lakini hekima huthibitishwa kwa mataendo yake + +Hii ni mithali ambayo Yesu anaitumia katika mazingira haya, kwa sababu watu waliomkataa yeye na Yohana walikuwa hawapati hekima. Yesu na Yohana mbatizaji ni watu wa hekima, na ,matokeo ya matendo yao yanathibitisha. + +# Hekima huthibitiswa kwa matendo yake + +Hapa "hekima" imefafanuliwa kama mwanamke aliyethibitishwa kuwa ni mwema kwa matendo yake. Yesu anamaanisha kuwa matokeo ya matendo ya mtu huthibitisha kuwa ni mwenye hekima. "Hii inawza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Matokeo ya matendo ya mtu humthibitisha kuwa ni mwenye hekima" + +# hekima inaonekana + +Haya maelezo, Yesu anafafanua hekima kama vile ilikuwa ni mwanamke, haitumiki hapa kwa namna kwamba hekima inatoa haki mbele ya Mungu ila kwamba hekima inaonekana haki. + diff --git a/mat/11/20.md b/mat/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..ab88c7fb --- /dev/null +++ b/mat/11/20.md @@ -0,0 +1,56 @@ +# Maelezo kwa ujumla: + +Yesu alianza kuwakemea watu wa miji ambayo alianza kufanya miujiza. + +# kukemea miji + +Hapa "miji" inamaanisha watu walioishi kwenye hiyo miji. "alikemea watu wa miji hiyo" + +# miji + +''miji'' + +# ambamo baadhi ya matendo yake makuu yalitendekea + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji ''ambamo baadhi ya matendo yake makuu yalitendekea'' + +# Matendo makuu + +" matendo makubwa" au " kazi za nguvu ya Mungu" au "miujiza" + +# Ole kwako, Kolazini! Ole kwako, Bethsaiida! + +Yesu anaongea kiasi kwamba watu wa miji ya Kolazini na Bethsaida walikuwa pale wakimsikiliza, lakini hawakuwa wao. + +# kwa sababu hawakutubu + +Kiwakilishi ''hawa'' inarejelea kwa watu wa miji ile ambayo haikutubu. + +# Kama matendo makuu yangetendeka ... kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu + +Yesu anafafanua kwa kubuni kuwa kama yangekuwa yametokea huko nyuma, lakini haikotokea + +# Kama matendo makuu yangetokea Tiro na Sidoni yale yaliyotendeka kwako + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji. "Kama ningefanya matendo makubwa katika watu wa Tiro na Sidoni ambayo nimeyafanya kwenu" + +# Yale yaliyotendeka kwako ... kwako + +Kiwakilishi cha "kwako" ni cha wingi na kinamaanisha Korazini na Bethisaida. Kama tafsiri hii si kawaida ya lugha yako, utumie neno lenye maana mbili likimaanisha miji miwili au kiwakilishi cha wingi cha "ninyi" kwa kumaanisha watu wa miji ile. + +# Wangekuwa wametubu zamani + +Kiwakilishi "wa"kinarejelea watu wa Tiro na Sidoni. + +# wangetubu + +"inaonesha walihuzunishwa na dhambi zao" + +# Itakuwa uvumilivu kwa Tiro na Sidonisiku ya hukumu kuliko kwako + +Hapa " Tiro na Sidoni'' zinamaanisha watu wanoishi kwenye hiyo miji. "Mungu ataonyesha huruma zaidi kwa watu wa Tiro na Sidoni katika siku ya hukumu kuliko ninyi" au "Mungu atawapa adhabu kalizadi katika siku ya hukumu kuliko watu wa Tiro na Sidoni" + +# kuliko kwako + +maelezo kusudiwa yangewekwa wazi. "kuliko kwako, kwas sabasbu haukutubu na kuniamini, ingawa ulioniona nikifanya miujiza" + diff --git a/mat/11/23.md b/mat/11/23.md new file mode 100644 index 00000000..69ee4a8e --- /dev/null +++ b/mat/11/23.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kukemea miji ambayo miujiza yake ilitendeka karibuni. + +# Wewe, Kapernaum + +Yesu sasa anaongea na watu wa mji wa Kapernaum kama vile walikuwa wanamsikiliza, lakini walikuwa hawasikilizi. Kiwakilishi ''wewe'' ni cha umoja kinarejelea Kapernaum kwa mistari yote miwili. + +# wewe + +Matukio yote ya kiwakilishi cha "wewe" yakao katika umoja. Kama kinatumika kila mahali kuonyesha watu wa mji, basi kiwakilishi cha wewe kitafsiriwe katika wingi wake + +# Kapernaum...Sodoma + +Majina ya miji hii yametumika kumaanisha watu waliokuwa wanaishi Kapernaum na Sodoma. + +# unadhani utainuliwa hadi mbinguni? + +"unadhani utainuliwa hadi mbinguni ?" Yesu anatumia balagha kuwakemea watu wa Kapernaum kwa majivuno yao. "inaweza pia kutumika kwa mfumo tendaji. "huwezi kujiinua mwenyewe hadi mbinguni" au "sifa za watu wengine haziwezi kukuinua hadi mbinguni kama unavyodhani atafanya" + +# utashuswa hadi chini kuzimu + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji ''Mungu atakupeleka hadi kuzimu.'' + +# Kama katika Sodoma ... ingekuwepe hadi leo + +Yesu anatumia mazingira ya kubuni ambayo yangetokea katika siku zilizopita, lakini haikutokea. + +# matendo makuu + +''''matendo makuu'' au ''kazi ya nguvu za Mungu'' au "miujiza" + +# ingekuwepo hadi leo + +Kiwakilishi ''inge'' kinarejelea kwa mji wa Sodoma + +# nasema kwako + +Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye + +# itakuwa rahisi kwa nchi ya Sodoa kusimama katika siku ya hukumu kuliko wewe + +Hapa "nchi ya Sodoma" inamaansha watu walioishi kule. ''Mungu ataonyesha rehema kwa watu wa Sodoma katika siku ya hukumu kuliko kwako'' au Mungu atawapa adhabu kali zaidi katika siku ya hukumu kuliko watu wa Sodoma.'' + +# kuliko wewe + +Taarifa zilizofumbwa ziwekwe wazi. "kwa sababu haukutubu na kuniamini, ingawa uliniona nikifanya miujiza" + diff --git a/mat/11/25.md b/mat/11/25.md new file mode 100644 index 00000000..e254c847 --- /dev/null +++ b/mat/11/25.md @@ -0,0 +1,80 @@ +# Maelezo kwa ujumla: + +katika mstari wa 25 na 26, Yesu anomba kwa baba yake aliye mbinguni wakati akiwa bado katika uwepo wa makutano. Katika mstari wa 27, anaanza kusema na watu tena. + +# Baba + +Hi ni sifa muhimu ya Mungu + +# Bwana wa mbingu na nchi + +"Bwana anayetawala mbingu na nchi" Kirai cha mbingu na nchi ni cha mlinganyo wa jumla amabcho kinaonesha watu wote na vitu vyote duniani. ''Bwana atawalaye ulimwenguni kote" + +# uliwaficha mambo haya ... na kuyafunua + +Haiko wazi ina maanisha nini kwa ''mambo haya.'' Kama lugha yako inahitaji kuweka maana halisi, tafsiri nzuri ni hii ''umeuficha ukweli huu na kuwafunulia" + +# umewaficha mambo haya + +''umewaficha mambo haya '' au ''haujafanya mambo haya kueleweka kwao.'' Hili tendo ni kinyume cha ''kufunuliwa.'' + +# wenye hekima na ufahamu + +Hizi nomino sifa zinzweza kutafasiriwa kama visifa ''kutokawatu wenye hekima na ufahamu.'' + +# na kuyafunua + +"kuyafanya yafahamike." kiwakilisha "ya" kinamaanisha "mambo haya" viko mwanzoni katika mstari huu. + +# kwa wasio na elimu, + +"kwa wajinga" + +# kama watoto wadogo + +Yesu anamlinganisha mtu asiye na elimu na mtoto mdogo. Yesu anasisitiza kwamba wengi wa wale wanaomwamini ni watu wasio na elimu au wanaojidhania kuwa si wenye elimu + +# kwa kuwa ilikupendeza hivyo machoni pako + +kupendeza machoni pako - Hi kirai "machoni pako" ni sentensi mbadala ionyeshayo jinsi mtu apendavyo kitu kuwa ni cha muhimu. "kwa vile ilikupendeza kuwa ni vizuri kufanya hivi" + +# Mambo yote yamekabidhiwa kwangu kutoka kwa baba yangu + +Hii inaweza kutafasiriwa kwa muundo tendaji: ''Baba yangu amekabidhi mambo yote kwangu'' au ''Baba yangu ameweka kila kitu kwangu." + +# Mambo yote + +Maana kusudiwa ni 1)Mungu Baba amefunua kila kitu kuhusu yeye na ufalme wake kwa Yesu. aua 2) Mungu ametoa mamlaka yote kwa Yesu + +# Baba yangu + +Hii ni sifa muhimu ya Mungu amabyo inaonyesha uhusiano kati ya Yesu na Mongu + +# hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba + +''Ni Baba pekee amjuaye Mwana.'' + +# hakuna ajuaye + +Nyakati zote Yesu hutumia kirai hiki, neno "ajuaye" linamaanisha zaidi ya kumjua mtu. Linamaanisha kumjua mtu kwa undani kwa sababu wanauhusiano maalumu + +# Mwana pekee + +Yesu alikuwa anajirejelea yeye mwenyewe binafsi katika nafsi ya tatu. + +# mwana + +Hii ni sifa ya muhimu ya Yesu mwana wa Mungu + +# hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba + +''Ni Mwana pekee amjuye Baba'' + +# hakuna amjuaye Baba isipokuwa mwana pekee + +"ni mwana pekeeamjuaye Baba + +# na yeyote ambaye Mwana ana hamu kumfunulia + +"na watu wale ambao mwana anapenda kuwafunulia jinsi Mungu alivyo" + diff --git a/mat/11/28.md b/mat/11/28.md new file mode 100644 index 00000000..0bb31b4d --- /dev/null +++ b/mat/11/28.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamalizia kuongea na makutano. + +# ninyi nyote + +Viwakilishi vyote vya "niniyi" ni vya wingi + +# mnaolemewa na mzigo mizito + +Yesu anaongea kwa watu kama na wanyama, amabao bwana zao wamewabebesha mizigo migongoni mwao. Hii ni sitiari kwa ajili ya Sheria na kanuni ambaazo viongozi wa Kiyahudi waliwabebesha watu ili kuzitii. "msumbukao na sheria ambazo mmebeshwa na viongozi wa dini" + +# Nitawapumzisha + +''Nitawaruhusu nyinyi kupumzika kazi na mizigo'' + +# Mimi ni mnyenyekevu na mpole wa moyo + +Hapa neno"mpole" na "mnyenyekevu wa moyo" ki msingi yanamaanisha kitu kilekile. Yesu anayaunganisha kuongeza msisitizo kuwa atawajali kwa upole zaidi kuliko vioingozi wa . dini. "mimi ni mpole na mnyenyekevu" au "mimi ni mpole sana" + +# Jitieni nira yangu + +Yesu anaendelea kutumia sitiari. Yesu anawakaribisha watu kuwa wanafunziwake na kumfuata" + +# mtapata pumziko la nafsi zenu + +Hapa "nafsi" inamaanisha mtu kamili. "mtapumzikia ninyi wenyewe" au "mtaweza kupumzika" + +# kwa kuwa nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi + +Virai vyote hivi vinamaanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa ni rahisi kumtii yeye kuliko sheria za Wayahudi. "kile nitakacho wabebesha kitakuwa ni chepesi" + +# Mzigo wangu ni mwepesi + +Neno "mwepesi" hapa ni kinyume cha kizito, siyo kinyume cha giza. + diff --git a/mat/12/01.md b/mat/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..679a1504 --- /dev/null +++ b/mat/12/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kwa ujumla: + +Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi ambapo mwandishi anazungumza juu ya kukua kwa upinzani kwa huduma ya Yesu. Hapa, Mafarisaya wanawakosoa wanafunzi wa Yesu kwa kuvuna nafaka ya ngano siku ya sabato. + +# Wakati huo + +Hii inaonyesha mwanzo mpya wa simulizi. "Baadaye kidogo" + +# shamba la nafaka + +sehemu ya kupanda nafaka. Kama ngano haifahamiki na "nafaka" ni neno la jumla sana, basi waweza kutumia "shamba" la mazao ambayo wanatengeneza mikate." + +# kuvunja masuke ya nafaka na kuyala...wanajunja sheria ya sabato + +Kuvuna nafaka kwenye mashamba ya wengine na kula haikuchukuliwa kuwa ni kuiba. Swali lilikuwa kama mwingine angeweza kufanya shughuli hii kisheria katika siku ya sabato. + +# kuyavunja masuke na kuyala + +"kuchukua baadhi ya ngano na kula" au "kuchukua baadhiya mbegu za ngano na kula" + +# masuke ya nafaka + +Hii ni shsemu ya juu ya mmea wa ngano ambayo ni aina ya jani kubwa. Hushikilia nafaka iliyokomaa au mbegu za mmea. + +# Mafarisayo + +Hiihaimanisha mafarisayo wote. "baadhi tu ya mafarisayo" + +# Tazama + +"angalia." Mafarisayo hutumia neno hili kupata usikifu wa kile wanafunzi wa Yesu walichokuwa wakifanya. + diff --git a/mat/12/03.md b/mat/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..0c74c0fa --- /dev/null +++ b/mat/12/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anajibu ukosoaji wa mafarisayo + +# akawaambia + +Mafarisayo + +# Hamjasoma ... nao + +Yesu anatumia swali kujibu ukosoaji wa mafarisayo. Yesu anawapa changamoto ili kufikiri juu ya maana ya andiko ambalo walisoma. "Najua mmesoma juu yaa...nao" + +# nyumba ya Mungu + +Wakati wa Daudi bado hapakuwa na hekalu. "hema" au " mahali pa kumwabudia Mungu" + +# mkate wa wonyesho + +Huu ni mkate uliotakaswa ambao makuhani walipeleka mbele za Mungu hemani. "Mikate ambayo makuhani walipeleka mbele za Mungu + +# wale aliokuwa pamoja nao + +"watu waliokuwa pamoja na Daudi" + +# ila halali kwa makuhani + +"ni makuhani tu walioruhusiwa kuula." + diff --git a/mat/12/05.md b/mat/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..f1c2ae7e --- /dev/null +++ b/mat/12/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kuwaitikia Mafarisayo. + +# bado hamjasoma katika sheria ... lakini hawana hatia + +Yesu antumia swali kijbu hoja za mafarisayo. Yesu anawataka wafikirie maana yakile walichosoma katika maandiko. "And, na mmesoma katika sheria za Musa... lakini hawana hatia. + +# huinajisi Sabato + +"kufanya katika sabato ambayo wangefanya katika siku nyingine." + +# hawana hatia + +" Mungu hatawaadhibu" au "Mungu hatawaonea hatia" + +# nasema kwenu + +Hiki kinaongeza msisitizo kwa kile alichosema baadaye. + +# aliye mkuu kuliko hekalu + +" aliye wa muhimu zaidi kuliko hekalu." Yesu alikuwa anarejelea kwake yeye mwenyewe kama mmoja aliye mkuu. + diff --git a/mat/12/07.md b/mat/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..a5e8f9f1 --- /dev/null +++ b/mat/12/07.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi: + +Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo + +# Maelezo kwa ujumla: + +Katika mstari 7, Yesu anamnukuu nabii Hosea kuwakemea Mafarisayo. + +# Kama mngalijua hii inamaanisha nini, nataka rehema na siyo dhabihu; msingaliwahukumu wasio na hatia + +Hapa Yesu ananukuu andiko. "Nabii Hosea aliandika juu ya haya tangu zamani. "Natakarehema na siyo dhabihu. 'Kama mngalielewa hii ilimaanisha nini, msingaliwalaumu wasio na hatia' + +# Nataka rehema na sio dhabihu + +Katika sheria za Musa, Mungu aliwaagiza Waisraeli kutoa sadaka. Hii inamaanisha kuwa Mungu huichukulia rehema kuwa muhimu kuliko sadaka. + +# hii inamaanisha nini + +"nini Mungu amesema katika maandiko" + +# Nataka + +Kiwakilishi "Na" kinamrejelea Mungu. + +# wasio na hatia + +Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Wale wasiokuwa na hatia" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anamaanisha yeye mwenyewe + +# ndiye Bwana wa Sabato + +"anaitawala Sabato" au "anatengeneza sheria juu ya nini watu wanaweza kufanya siku ya Sabato" + diff --git a/mat/12/09.md b/mat/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..86074db3 --- /dev/null +++ b/mat/12/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Hapa mandhari yanahamia kwenye kitu kingine mahali ambapo mafarisayo wanamkosoa Yesu kwa kumponya mtu siku ya Sabato. + +# Kisha Yesu akaondoka pale + +"Yesu akaondoka kwenye lile shamba la ngano" au "Kisha Yesu akaondoka" + +# Sinagogi lao + +"singogi" Hapa "lao" inamaanisha Wayahudi kwa ujumla na wala si Mafarisayo tu, kutokana na kipengere kilichopita. + +# Tazama + +Neno " tazama" linatuelekeza kwa mtu mwingine katka simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kulifanya hili. + +# mtu aliyepooza mkon + +"mtu alikuwa namkono uliopooza" au "mtu mwenye ulemavu wa mkono" + +# Mafarisayo wakamuuliza Yesu wakisema . J"e, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato? Ili kwamba waweze kumshitaki kwa kutenda dhambi + +"Mafarisayo walitaka kumshitaki Yesu kwa kutenda dhambi, kwa hiyo walimuuliza, 'Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?" + +# Je, ni halali kuponya siku yaSabato? + +Kwa mjibu wa sharia za Musa, Yawezekana mtu kumponya mtu mwingine siku ya Sabato?" + +# ili waweze kumshitaki kwa kutenda dhambi + +Si tu walitaka kumshitaki Yesu mbele za watu, Mafarisayo walitaka Yesu atoa jibu linalopingana na sheria ili waweze kumpeleka kwa hakimu iwamshitaki kwa kuvunja sheria. + diff --git a/mat/12/11.md b/mat/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..a413125a --- /dev/null +++ b/mat/12/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Yesu anjibu hoja za Mafarisayo + +# Nani kati yenu, ambaye ikiwa ana kondoo mmoja ... hatamshika na kumtoa kwa nguvu ndani ya shimo? + +Yesu antumia swali kuwajibu Mafarisayo. Anawapa changamoto ya kufikiri juu ya aina gani ya kazi wanayoweza kuifanya siku ya sabato. "Kila mmoja wenu, kama una kondoo mmoja ... angemshika na kumtoa kwa nguvu + +# Je, ni kipi chenye thamani, zaidi kwani, si zaidi ya kondoo? + +Kirai "kipi chenye thamani zaidi" kinaongeza msisitizo kwenye sentensi. " ni wazi mtu ni wa thamani zaidi ya kondoo!" au "Jaribu kufiri vile mtu alivyo wa muhimu kuliko kondoo" + +# ni halali kutenda mema siku ya Sabato + +"Wale wanofanya mema siku ya Sabato wantii sheria" + diff --git a/mat/12/13.md b/mat/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..897a7f05 --- /dev/null +++ b/mat/12/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha Yesu akamwambia yule mtu nyosha mkono wako + +Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja, "Kisha Yesu akamwamuru yule mtu kunyosha mkono wake" + +# yule mtu + +"yule mtu mwenye mkono uliopoza au " yule mtu mwenye ulemavu wa mkono" + +# Nyosha mkono wako + +"Utoe mkono wako" au "utanue mkon wako" + +# Akaunyosha + +"Yule mtu akaunyosha" + +# ukapata afyfa + +Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "ule mkono ukawa na afya tena" au "ukawa salama tena" + +# kupanga kinyume chake + +"wakapanga kinyume chake" + diff --git a/mat/12/15.md b/mat/12/15.md new file mode 100644 index 00000000..55a85e83 --- /dev/null +++ b/mat/12/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Simulizi hii inaeleza jinsi matendo ya Yesu yalivyotimiza moja kati ya unabii wa Isaya + +# Yesu alivyoelewa hili + +"Yesu alikuwa anatambua kile Mafarisayo walichokuwa wakipanga + +# aliondoka hapo + +"alitoka" au "aliondoka" + +# wasije wakamfanya afahamike kwa wengine + +wasimwambie mtu yeyote kuhusu yeye" + +# kwamba itimie ile kweli + +Hii inaweza kutafsriwa kama sentensi mpya. "Hii ilitimiza kile" + +# iliyokuwa imesemwa na nabii Isaya + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Kile Mungu alichokuwa amesema zamani kupitia Isaya akaisema.. + diff --git a/mat/12/18.md b/mat/12/18.md new file mode 100644 index 00000000..f6512a45 --- /dev/null +++ b/mat/12/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa Mthayo anamnukuu nabii Isaya kuonesha kuwa huduma ya Yesu ilitimiza unabii + +# Tazama + +"Angalia." Mungu alitumia neno hili kumleta mtu mwingine + +# mpe ...Nita + +Viwakilishi vyote vinamrejelea Mungu. Isaya ananukuu kile ambacho Mungu alimwambia + +# katika yeye nafsi yangu imependezwa + +Hapa "nafsi" inamanisha nafasi kamil. "na nimependezwa naye" + +# na atatangaza + +"na mtumishi wangu atatangaza" + +# atatangaza hukumu + +Hapa "hukumu" haimaanishi "adhabu" inamaanisha mtumishi atawambia mtaifa Mungu ni mwenye haki, na atawaokoa + diff --git a/mat/12/19.md b/mat/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..b7fe1f76 --- /dev/null +++ b/mat/12/19.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Mathayo anaendelea kumnukuu Isaya + +# wala awaye yote kusikia sauti yake mitaani + +hapa "sauti" inamaanisha nafsi kamili "na hataongea kwa sauti" + +# yake ... hata + +Viwakilishivyote hivi vinamaanisha mtumishi wa Mungualiyechaguliwa + +# mitaani + +Hii ni nahau inayomaanisha "umma."katika miji" + +# hatalivunja tet liliochubuliwa .. hatazima utambi wowote unatoa moshi + +Senttensi hizi zote zinamaanisha kitu kilekile. Ni sitiari zinazosisitiza kuwa mtumishi wa Mungu atakuwa mnyenyekevu na mpole. Vyote "tete lililochubuliwa na utambi utoa moshi" vinawakilisha watu dhaifu na wenye kudhuru. + +# hatalivunja + +"hataliweka nje" + +# utambi utoa moto + +Hii inamaanisha utambi ambao moto umezima lakini bado unatoa moshi + +# moshi, mpaka + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa sentensi mpya; "moshi Hiki ndicho atachofanya" + +# Mpaka atakapoleta hukumu ikashinda + +"mpaka atakapofaulu kuleta haki na wokovu kwa watu. Maana ya nomino dhania "hukumu" inaweza kutafsiriwa kama "haki" au "okoa". "watuwajue kuwa mimi ni wa haki na nitawaokoa" + +# katika jina lake + +Hapa "jina" linamaanisha nafsi kamili + diff --git a/mat/12/22.md b/mat/12/22.md new file mode 100644 index 00000000..57637438 --- /dev/null +++ b/mat/12/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Hapa mandhari yanabadilika na kuongelea wakati mwingine wakati Mafarisyao walipomshitaki Yesu kwa kumponyamtu kwa nguvu za shetani. + +# Mtu fulani kipofu na bubu, aliyepagawa na pepo aliletwa mbele za Yesu + +Hiiinaweza kutafsiriwa katikamfumo tendaji. "Mtu mmoja alimleta kwa Yesu mtu aliyekuwa kipofu na bubu kwa sababu pepo lilikuwa likimtawala" + +# Mtu kipofu na bubu + +"mtu asiyeweza kuona na hawezi kuongea" + +# Makutano wote walishsangaa + +"Watu wote waliomwona Yesu akimponya yule mtu walishangaa" + +# Mwana wa Daudi + +Hi ni sifa ya Masihi au Kristo + +# Mwana wa + +Hapa hii inamaanisha "kizazi cha" + diff --git a/mat/12/24.md b/mat/12/24.md new file mode 100644 index 00000000..7c66c651 --- /dev/null +++ b/mat/12/24.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mastari wa 25, Yesu anaanza kuwajibu mashataka ya Mafarisayo kwamba amemponya mtu kwa nguvu za shatani + +# muujiza huu + +Hii inamaanisha muujiza wa kumponya yule kipofu, bubu na alaiyepagawa na pepo. + +# Huyu mtu hatoi pepo kwa nguvu zake isipokuwa isipokuwa nguvu za Belzebuli, + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Huyu mtu anaweza kufukuza pepo kwa sababu ni mtumishi wa Belzabul" + +# Huyu mtu + +Mafarisayo waliepuka kumwita Yesu kwa jina ili kuonesha kuwa hawamkubali. + +# mkuu wa pepo + +"mfalme wa pepo" + +# kila ufalme uliogawanyika wenyewe huharibika, na kila mji au nyumba iliyogawanyika haitasimama + +Yesu anatumia mithali kuwajibu Mafarisayo. Sentenzi hizi mbili zinmaanishakitu kilekile. Zinasisitiza kuwa haimanishi chochote kwa Belzabul kutumia nguvu zake kuwapinga pepo wengine. + +# Kila ufalme uliogawanyika huharibika + +Hpa "ufalme" unamaanisha wale wanaoishi kwenye huo ufalme. Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Ufalme hautadumu wakati wake wanapigana wao kwa wao" + +# kila mji au nyumba iliyogawanyika haitasimama + +Hapa"mji" unamaanisha watu wanaoishi humo na. "nyumba" inamaanisha familia. "inaharibu mji au familia watu wanapopigana wao kwa wao + diff --git a/mat/12/26.md b/mat/12/26.md new file mode 100644 index 00000000..ef52c8d2 --- /dev/null +++ b/mat/12/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kujibu hoja za mafarisayo za kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani + +# ikiwa shetani atamwondoa shetani mwenzake + +Matumizi ya pili ya shetani yanamaanisha pepo wanaomtumikia shetani. "Kama shetani atafanya kazi kinyume na pepo zake" + +# Shetani ... Beelzabul + +Majina yote yanamaanisha nafsi moja + +# ufalme wake utasimama? + +Yesu anatumia swali kwapa changamoto Mafarisayo. "Ufalme wa shetani hauwezi kusimama" au "ufalme wa shatani hautadumu" + +# wafuasi wenu huwatoa kwa njia ya nani + +Yesu anatumia swali lingine kuwapa changamoto Mfarisayo. "kisha lazima useme wafuasi wenu pia huwatoa pepo kwa nguvu za beelzabul. Lakini mnajua kuwa hii siyo kweli" + +# kwa ajili hii watakuwa mahakimu wenu + +"Kwa sababu wafuasi wenu huwatoa pepo kwa nguvu za Mungu, wanahakikisha kuwa mmekosea." + diff --git a/mat/12/28.md b/mat/12/28.md new file mode 100644 index 00000000..758b8917 --- /dev/null +++ b/mat/12/28.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo + +# Na kama natoa + +Hapa "kama" haimaanishi kuwa Yesuanahoji jinsi anavyowatoa pepo. Hapa Yesu anatumia neno kuleta sentensi ya kweli. "Lakimi kwa sababu nina" + +# basu ufalme wa Mungu umekuja kwenu + +"Basi ufalme wa mbinguni umefika kwenu." Hapa "ufalme" utawala wa Mungu kama mfalme. "Hii inamaanisha Mungu anaanzisha ufame kwenu" + +# umekuja kwenu + +Hapa "kwenu" ni wingi na inamaanisha watu wa Israel, + +# na mtu awezaje kuingia ndani ya nyumba ... atakapoiba mali yake + +Yesu anatumia mfanokuendelea na majibu yake kwa Mafarisayo. Yesu anamaanisha anaweza kuwatoa pepo kwa sababu ana nguvu kuliko shetani. + +# Awezaje mtu kuingi ... asipomfunga mwenye nguvu kwanza? + +Yesu anatuumia swali kuwafundisha Mafarisauo na makutano. "Hakuna awezaye kuingia ..bila kumfunga mwenye nguvu kwanza" + +# Ndipo atakapoiba + +"Ndipo atakapoiba" au "Ndipo atakapoweza kuiba" + +# yeyote asiyekuwa pamoja nami + +"ambaye hashirikiani nami" au "amabye hafanyi kazi p amoja nami" + +# yuko kinyume changu + +"ananipinga mimi" au "hufanya kazi kinyume na mimi" + +# Huyo asiyekusanya nami hutapanya + +Yesu anatumia kirai amabcho kinamunesha mtu amabye aidha anakusanya kundi la wanyama kwa mchungaji au anayewatapanya totka kwa mchungaji. + diff --git a/mat/12/31.md b/mat/12/31.md new file mode 100644 index 00000000..98c481e4 --- /dev/null +++ b/mat/12/31.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo + +# nasema kwenu + +Hii inaongeza msisitizo wakile Yesu alichosema baadaye + +# sema kwenu + +Hapa "kwenj" ni wingi. Yesu anaongea moja kwa moja na Mafarisayo, lakini pia anwafundisha makutano + +# kila dhambi na kufuruwatu watasamehewa + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu atasamahe kila dhambi ambayo watu wanafanya na kila jambo ovu wanlosema + +# ila kumkufuru Roho Mtakatifu watu hawatasamehewa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu yule amabye anasema mabo maovu dhidi ya Roho Mtakatifu. + +# Na yeyotte asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu + +Hapa "neno" linamaanisha kile amabcho mtu husema, "N kama mtu atasema chchote kibaya kuhusu Mwana wa Adamu" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anaongea juu yake mwenyewe + +# hilo atasamahewa + +Hili linaweza kuelezwa katikamfumo tendaji. "Mungu atamsamehe mtu kwa ajiloi yahilo" + +# huyo hatasamehewa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu huyo" + +# katika ulimwengu huu, na wala ule ujao + +Hapa " ulimwengu huu" na " ule ujao" inamaanisha maisha haya ya leo na maisha yajayo. " katika maisha haya au yajayo" au "sasa au baadaye" + diff --git a/mat/12/33.md b/mat/12/33.md new file mode 100644 index 00000000..9822ab3b --- /dev/null +++ b/mat/12/33.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo + +# Ama ufanye mti kuwa mzuri na tunda lake kuwa zuri, au uharibu mti na tunda lake + +maana yake ni 1) kama utafanya mti kuwa mziri na mtunda yake yatakuwa mazuri na kama ukiuharibu mti na matunda yake yatakuwa mabaya" au 2) "Kama ukiufanya mti kuwa mzuri na mataunda yake yatakuwa mazuri kwa sababu matunda yake ni mazuri na kama ukiyafanya matunda kuwa mabaya yatakuwa kwa sababu matunda yake ni mabaya." Hii ni mithali watu walipaswa kuutumia ukweli kwa jinsi wawezavyo kujua kama mtu ni mbaya au mzuri. + +# mazuri ... mabaya + +"eneye afya ... iliyougua" + +# mti hutambulika kwa tunda lake + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Watu hujua kama mti n mbaya aua mzuri kwa kutazama matunda yake" + +# ninyi kizazi cha nyoka + +Hapa "kizazi" inamaanisha "kuwa na tabia za." Kipiribao ni aina ya nyoka wenye sumu ambao ni hatarina wanawakilisha uovu" + +# niny ...nyie + +Hivi ni viwakilishi vya wingi na vinamaanisha Mafarisayo + +# mwawezaje kusema mambo mazuri + +Yesu anatumia swali kuwakemea Mafarisayo. "huwezi kusema mambo mazuri "Unaweza kusema mambo maovu tu" + +# kwa kuwa kinywa hunena kutoka katika akiba ya yaliyo moyoni + +Hapa "akiba ya moyoni" inamaanisha mawazo ya mtu katika akil iyake. "Kinywa" kinawakilishsa mtu. "Kile ambacho mtu husema katikakinywa chake kinafunua jinsi alivyo katika akili yake" + +# Mtu mwema katika akiba njema ya moyo wake hutoa wema, na mtu mwovu katika akiba ya uovuwake hutoa kilicho kovu. + +Yesu anaongea juu ya "moyo" kama vile kontena lilivyo amablo mtu anaweza kulijaza kwa mambo mazuri au maovu. Hii ni sitiari inayoonesha kile mtu anachosema kinafunua jinsi mtu alivyo. + diff --git a/mat/12/36.md b/mat/12/36.md new file mode 100644 index 00000000..22dd79cf --- /dev/null +++ b/mat/12/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anahitimisha majibu yake hoja za Mafarisayo za kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani. + +# Nawaambia + +Msisitizo wa kileYesu alichosema baadaye + +# Watu atatoa hesabu ya kila neno + +"Mungu atawauliza watu kuhusu" au "atu watajieleza mbele za Mungu" + +# Kila neno lililo la maana walilosema + +Hapa "neno" inamaanisha kitu ambacho mtu husema. "kila jambo lenye kudhuru watakolokuwa wamesema" + +# utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu atakuhesabia haki ... Mungu atakuhukumu" + diff --git a/mat/12/38.md b/mat/12/38.md new file mode 100644 index 00000000..53f60e9e --- /dev/null +++ b/mat/12/38.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi unganishi + +Maongezi katika mistari hii yananza mara baada tu ya Yesu kujibu hoja za Mafarisayo kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani + +# Maelezo kwa ujumla + +Katikamstari wa 39, Yesu anaanza kuwakemea waandishi na Mafarisayo + +# tungependa + +"taka" + +# kuona ishara totka kwako + +Unaweza kuiweka wazi kwa nini wanataka kuona ishara "kuona ishara toka kwako ili kuhakikisha kuwa kile unachosema ni kweli. + +# kizazi kiovu na cha zinaa kinatafua ishara ... itakayotolewa kwao + +Yesu anasema na kizazi kilichokuwepo. "ninyi ni waovu na kizazi cha zinaa wanaotafuta ishara toka kwangu ... itakayotolewa kwao + +# kizazi cha zinaa + +Hapa "zinaa" ni sitiari ya watu wasio waaminifu kwa Mungu. + +# kinatafuta ishara + +Ombi hili linamkasirisha Yesu kwa sababu ya mashaka na tabia ya viongozi wa dini juu ya Yesu. Alikuwa amefanya miujiza mingi, lakini bado walikuwa hawamwamini + +# hakuna ishara itakayotolewa + +Hii inaweza kuelezwa katika mmundo tendaji. "Mungu hatawapa ishara" + +# isipokuwa ile ishara ya nabii Yona + +"isipokuwa ishara ileile amabyo Mungu alimpa nabii Yona" + +# siku tatu mchan nausiku + +Hapa "usiku" na "mchana" inamaanisha kipindi cha saa 24 kamili. "siku tatu kamili" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anaongea juu ya yeye mwenyewe + +# ndani y a moyo wa nchi + +Hii inammanisha ndani ya kaburi halisi + diff --git a/mat/12/41.md b/mat/12/41.md new file mode 100644 index 00000000..b2640c0f --- /dev/null +++ b/mat/12/41.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo + +# Watu wa ninawi + +"Raia wa Ninawi" + +# watasimama mbele ya watu pamoja na kizazi cha watu hawa + +"watasimama siku ya hukumu na kuwahukumu kizazi hiki" + +# Kizazi cha watu hawa + +Yesu anamaanisha watu walioishikipindi hiki + +# watakihukumu + +Atakuwa Mungu atayekihukumu kizazi cha watu wa Yesu + +# na tazama + +"na angalia" Hii inatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye + +# mtu fulani mkuu + +"mtu wa muhimu sana" + +# kulikoYona yuko hapa + +Unaweza kifanya maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "kuliko Yona yuko hapa, Lakini bado hamjatubu, hii ndiyo sababu Mungu atawahukumu. + diff --git a/mat/12/42.md b/mat/12/42.md new file mode 100644 index 00000000..f078311c --- /dev/null +++ b/mat/12/42.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo + +# Malkia wa kusini + +Hii inamaanisha Malkia wa sheba. Sheba ni nchi iliyo kusini mwa Israeli + +# atainuka kwenye hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki + +"atasimama siku ya hukumu na kuwahukumu watu wa kizazi hiki, Tazama ilivyotafsiriwa katika 12:41 + +# kizazi hiki + +Hii inamaanisha watu walioishi wakati Yesu alipokuwa akihubiri + +# na kukihukumu + +Ni Mungu atakayekihukumu kizazi chxa Yesu. "Na Mungu atawasiliza raiawa Ninawi na kukihukumu kizazi hiki " + +# alikuja toka miishio ya dunia + +Hapa "miishio ya dunia" ni nahau inayomaanisha "mbali." Alikuja tokea mbali" + +# Alikuja + +Sentensi hii inaeleza kwa nini Malkia wa kusini atakihukumu kizazi cha Yesu, "allikuja kwa hilo" + +# na Tazama + +"na anagalia" Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye + +# mtu fulani mkuu + +"mtu wa muhimu sana" + +# fulani + +Yesu anaongea juu yake + +# Kuliko Selemani Yuko hapa + +Unaweza kuiweka maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "Kuliko Selemani yuko hapa, lakini hausikilizi. Hiyo ndiyo sababu ya Mungu kuwahukumu" + diff --git a/mat/12/43.md b/mat/12/43.md new file mode 100644 index 00000000..ce72150b --- /dev/null +++ b/mat/12/43.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisyao. + +# Wakati pepo machafu ... kwa kizazi hiki kibovu + +Yesu anatumia mfano kuwaonya watu hatari ya kutokuamini + +# "mahali pasipo na maji + +"eneo kavu"au "mahali ambapo watu hawaishi" + +# lakini hapaoni + +Hapa "ni" inamaanisha kupumzika + +# Kisha husema, 'nitarudi kwenye nyumba yangu niloyotoka + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi na wala si nukuu "kwa hiyo yule roho mchafu huamua kurudi kwenye nyumba yake ambayo alitoka" + +# kwenye nyumba yangu niliyotoka + +Hii ni sitiari ya ya mtu ambaye pepo lilitoka. "pale nilikotoka + +# arudipo akikuta ile nyumba imesafishwa na iko tayari + +Hii inaweza kutafsiriwa katika muunda tendaji. "yule roho mchafu akikuta ile nyumba iko safi na imewekwa kila kitu katika mahali pake", + +# Hivi ndivyo itavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu + +Hii inamaanisha kama watu wa kizazi cha Yesu hawatamwamini na kuwa wanfunzi wake, watakuwa katika hali mbaya kuliko walivyokuwa mwanzoni + diff --git a/mat/12/46.md b/mat/12/46.md new file mode 100644 index 00000000..cbecd3f1 --- /dev/null +++ b/mat/12/46.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Kufika kwa Mama wa Yesu na ndugu zake inakuwa fursa Kwa Yesu kueleza juu ya familia yake ya kiroho + +# tazama + +neno "tazama" lintatuandaakwa ajili ya watu wapya katika simulizi. Lugha yako yaweza kuwa na namna mpya ya kueleza hili + +# mama yake + +Huyu ni Mariamu, Mam wa Yesu wa mwili. + +# wakitafuta kuongea + +"wakitaka kuongea" + +# mtu mmoja akamwambia, "tazama mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanatafuta kuongea nawe", + +Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "mtu mmoja alaimwambia Yesu kuwa mama yake na ndugu zake walikuwa nje na walitaka kuongea naye" + diff --git a/mat/12/48.md b/mat/12/48.md new file mode 100644 index 00000000..55309389 --- /dev/null +++ b/mat/12/48.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi lililoanzia 12:1 amabapomwadishi ameeleza juu ya kukua kwa upinzani katika huduma ya Yesu + +# aliyemjulisha + +ukweli wa ujumbe ambao yule mtu aliomwambia Yesu unaeleweka na haukurudiwa. "aliyemwambia Yesu kuwa mama yake na ndugu zake walitka kuongea naye" + +# mamayangu ni nani? na ndugu zangu nu akina nani? + +Yesu antumia swali hili kuwafundisha watu. "nitwaambia kweli mamayangu na ndugu zangu ni nani" + +# Tazama + +"anagalia" Hii inatia msisitizo wa kile ambacho Yesu alisema baadaye" + +# hawa ni mama na ndugu zangu + +Hii ni sitiari inayoonesha kuwa wanafunzi wa Yesu ni wake katika familia ya kiroho. Hii ni ya muhimu kuliko kuwa kwenye familia ya kimwili. + +# yeyote + +"mtu yeyote" + +# baba + +Hii ni sifa muhimu ya Yesu + +# huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu + +Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa wale amabo wanamtii Mungu wanakuwa kwenye familia ya Yesu kiroho. Hii ni muhmu zaidi ya kuwa kwenye familia ya kimwili + diff --git a/mat/13/01.md b/mat/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..c74a78af --- /dev/null +++ b/mat/13/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# maelezo ya jumla + +Huu nimwanzo wa simulizi jipaya amabapo Yesu anaanza kufundisha makutano, kwa kutumia mifano juu ya ufalme wa mbinguni + +# katika siku hiyo + +Tukio hili liltokea siku hiyohiyo sawa na yale yaliyo kwenye sura iliyopita. + +# alikaa kando ya bahari + +ilimaanisha kuwa alikaa chini kuwafundishsa watu. + +# aliondoka nyumbani + +Haijatajwa kuwa ilikuwa nyumba ya nani ambayo Yesu alikuwa akiishi + +# aliingia nadni ya mtumbwi + +Inamaanisha kuwa Yesu aliingia kwenye mtumbwi kwa sababu ingemfanya iwe rahisi kuwafundisha watu. + +# mtumbwi + +Huu yawezekana mtumbwi wa wazi, uliotengenezwa kwa miti wa kuvulia samaki wenye tanga. + diff --git a/mat/13/03.md b/mat/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..c795efa5 --- /dev/null +++ b/mat/13/03.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anafafanua juu ya ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mpanzi + +# Yesu alisema maneno mengi kwa mfano + +"Yesu aliwaambia maneno mengi kwa mifano" + +# nao + +"kwa wale watu kwenye mkutano" + +# Tazama + +"angalia" au "sikiliza." neno hili linavuta usukivu wa kile Yesu anachotaka kusema baadaye. "uwe tayari kusikiliza jambo amablo nataka kuwaambia" + +# mpanzi alienda kupanda + +"mpanzi alienda kumwaga mbegu shambani" + +# alipokuwa akipanda + +"mpanzi alipokuwa akiendelea kumwaga mbegu" + +# kandoya njia + +Hii inamanisha "njiani wanapopita" peembeni mwa shamba. araidhi ya pale ni ngumu kwa sababu ya watu kuikanyaga. + +# wakazidonoa + +"wakazila mbegu zote" + +# juu ya mwamba + +Hii ni eneo lililojaa miamba na sehemu nyembamba ya udongo ulio juu ya miamba + +# Ghafla zilichipuka + +"zile mbegu zilimea na kukua" + +# zilichomwa + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "jua lilichoma ile mimea na ikaungua" + diff --git a/mat/13/07.md b/mat/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..a2780a9f --- /dev/null +++ b/mat/13/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamaliza mfano wa mpanzi + +# zilianguka katai ya miti ya miiba + +"zilianguka mahali ambapo miiba na mimea hukua" + +# ikaisonga + +"ikaisinga ile mimea mipya" tumia neno lako magugu kuzuia mimea mingine kukua vizuri. + +# kuzaa mbegu + +"kuzaa mazao" au "kuzalisha mbegu zaidi" au kutoa matunda" + +# zingine maramiamoja zadi, zingine sitini, na zingine thelathini + +unaweza kuiweka vizuri zaidi katika maana inayoeleweka + +# mia moja ... sitini ... thelathini + +"100 ... 60 ... 30" + +# aliye na masikio + +Hii ni njia inayomaaisha kwa kila anayesikiliza. "Kila anayenisikilza." Tazamaulivyotafsiri katika 11:13 + +# asikie + +Hapa "kusikia" inamaanisha kuwa msikivu. "lazima awe makini na kile ninachokisema" + diff --git a/mat/13/10.md b/mat/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..0344f2fe --- /dev/null +++ b/mat/13/10.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anawaeleza wanafunzi wake kwa nini anafundisha kwa kutumia mifano + +# kwao + +Hapa"kwao" inamaanisha wanafunzi wa Yesu + +# mmepewa upendeleo wa kufahamu siri za ufalme wa mbinguni bali kwao hawajapewa + +Hii inaweza kutafasiriwa kwa kutumia muundo tendaji na kutumia taarifa zinazotolewa. " Mungu amewapa fursa ya kuelewa siri za ufalme wa mbinguni" lakini Mungu hajawapa siri hizi watu hawa" au " Mungu amewafnya ninyi kuzielwa siri za ufalme wa mbinguni lakini hajawafanya hawa tayri kuzielewa" + +# mme + +ni kiwakilishi cha wingi kinacho maanisha wanafunzi wa Yesu + +# siri za ufalme wa mbinguni + +Hapa"ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu. Kirai"udalme wa mbinguni" kinaonekena kwenye kitabucha mathayo tu. Kama inawezekana jaribu kuiweka katika tafsiri y ako. "siri kuhusu Mungu wetu na utawala wake" + +# yeyote aliye nacho + +"yeyote aliye na ufahamu" au "yeyote anayepokea kile nanachofundisha" + +# ataongezewa zadi + +Hiiinaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Mungu atampatia ufahamu zaidi" + +# ila asiye nacho + +"asiye na ufahamu" au " asiyepokea hiki ninachofudisha" + +# hata kile alicho nacho atanyang'anywa + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu atakichukua hata kile alicho nacho" + diff --git a/mat/13/13.md b/mat/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..067c0de8 --- /dev/null +++ b/mat/13/13.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake kwa nini anafundisha kwa kutumia mifano + +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mstari wa 14 Yesu anamnukuu nabii Isaya ku onyesha kuwa kushindwa kwa watu kuelewa mafundisho ya Yesu ni kutimilika kwa unabii + +# kwao ... hamta + +Viwakilishi vyote vya "kwao" na "hamta" vinamaanisha watu katika kumati. + +# na ingawawanasikia wasisikie wala kufahamu.... + +Huu ni mwanzo wa nukuu kutoka kwa nabii Isaya kuhusu watu wasioamini wakatiwa Isaya. Yesu anatumia nukuu hii kuwa kuwaeleza watu waliokuwa wanamsikiliza. Hii ni semi misambamba inayosisitiza kwamba watu walikataakumwani Yesu. + +# ingawa wanaona, wasione kweli + +Matumizi ya pili ya "kuona" hapa yanamaanisha kuelewa. + +# Ingawa wanasikia wasisike wala kufahamu + +Inaweza kuwekwa wazi kwa kile watu wanachosikia. "Ingawa wanasikia kile ninachosema, hawaelewi kile ninachomaanisha. + +# kwao unabii wa Isaya umetimia ule usemao + +Hii inaweza kuelzwa katika mfumo tendaji. "wanatimiza kile Mungu alisema zamani kuptia nabii Isaya" + +# Msikiapo msikie, lakini kwa namna yeyote hamtaelewa, wakati mwonapo muweze kuona, lakini kwa namna yeyote ile msijue + +Huu ni mwanzo wa nukuu kutoka kwa nabii Isaya kwa watu wasioamini wakati wa Isaya. Yesu anatumia nukuu hii kuwaeleza watu waliokuwa wanamsikiliza. Hii ni misemo sambamba inayosisitiza kuwa watu walikataa kuuelewa ukweli wa Mungu. + +# msikiapo msikie lakini kwa namna yeyeote msiweze kuelewa. + +"mtaskia vitu lakini hamtavielewa" unaweza kuviweka wazi kile amabcho watu watasikia. "Mtasikia kile Mungu asemacho kupitia nabii lakini hamtaelewa maana halisi" + +# wakati mwonapo muweze kuona lakini kwa namna yeyote msiweze kuelewa + +Unaweza kuweka wazi kile ambacho watu wataona. "mtaona kile amabcho Mungu anafanya kupitia nabii, lakini hamtaelewa" + diff --git a/mat/13/15.md b/mat/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..5386e524 --- /dev/null +++ b/mat/13/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentens iunganishi + +Yesu anamaliza kumnukuu Isaya + +# Na mioyo ya watu hawa ... ningewaponya + +Ktika 13:15 Mungu anawaeleza watu wa Israwli kana kwamba ni wenya ugonjwa wa mwili ambao unawafanya wasiweze kuelewa, kuona na kusikia Mungu anawataka waje kwake ili awaponye. + +# Mioyo ya watu hawa imekuwa giza + +Mioyo inamaanisha akili. "mioyo yao imekuwa migumu kujifunza" + +# ni vigumu kusika + +wao si viziwa wa masikioya mwili 'vigumu kusikia"wanakataa kusika na kujifunza ukweli wa Mungu + +# wamefumba macho yao + +hawajafumba macho yao ya mwaili. hii inamaanisha hawataki kuelewa. + +# ili wasiweze kuona kwa macho yao au kusikia kwa masikkio yao auakuelewa kwa mioyo yao, hivyo wangenigeukia tena. + +"ili kwamba wasiweze kuona kwa macho yao, kusikia kwa masiko yao, au kuelewa kwa mioyo yao amabyo matokeo yake ni kumrudia Mungu. + +# wangenigeukia + +"kugeukia kwangu tena" au "kutubu" + +# ningewaponya + +"mimi ningewaponya" Hii inamaanisha Mungu angewaponya kiroho kwa kuwasamehe makosa yao na kuwapokea tena kama awatu wake. + diff --git a/mat/13/16.md b/mat/13/16.md new file mode 100644 index 00000000..b9db5e00 --- /dev/null +++ b/mat/13/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamaliza kuongea na wanafyunzi wake kwa nini anaongea nao kwa mifano + +# Bali macho yenu yameberikiwa kwa kuwa yanaona, na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia + +Sentensi zote zina maanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa wamempendeza kwa sababu wameamini kile ambacho Yesu amesema na wamefanya. + +# Bali macho yenuyamebarikiwa kwa kuwa yanaona + +macho yanamaanisha nafsi kamili. mmebarikiwa kwa sababu machoyenu yanaweza kuona + +# Yenu .. wewe + +viwakilishi hivi ni vya wingi + +# na masikio yenu, kwa vile yanaona + +masikio yanmaanisha nafsi kamili + +# hakika nawambia + +"nawambia ukweli" hii inaongeza msisitizo kwa kile anlichosema Yesu baadaye. + +# mamabo mnayoyaona + +Unaweza kuyaweka wazi yale waliyoyaona "Yle mambo uliyoyaona mimi nikfanya + +# mambo uliyoyasikia + +mambo uliyosikia mimi nikisema + diff --git a/mat/13/18.md b/mat/13/18.md new file mode 100644 index 00000000..55024326 --- /dev/null +++ b/mat/13/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sentensi unganishi + +Yesu anaanza kufafanua kwa wanafunzi wake ule mfano wa mpanzi unaoanzi 13:3 + +# neno la ufalme + +neno linamaanisha ujumbe "ufalme" unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme + +# mwovu huja nakukinyakua kilichokwisha kupandwa mioyoni mwenu + +Yesu anaongea juu ya shaetani anayewafanya kusahau kile walichosikia kama ndege anavyozidonoa mbegu zilizoanguka chini. + +# mwovu + +shetani + +# kukinyakua + +kukichukua kitu kwa mtu aliyesahihi + +# kilichokwishapandwa ndani ya moyo wake + +ujume ule Mungu aliopanda nadani ya moyo wake. + +# ndani ya moyo ake + +moyo unamanisha akili ya msikilizaji + +# hii ni mbegu iliyopandwa kando ya njia + +tafsiri kama ilivyo 13:3 + diff --git a/mat/13/20.md b/mat/13/20.md new file mode 100644 index 00000000..f78c7dd7 --- /dev/null +++ b/mat/13/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kwaeleza wanafunzi wake mfano wa mpanzi + +# yeye aliyepandwa katika miamba + +"kilichopandwa" kinamaanisha mbegu iliyoanguka kwenye miamba. + +# Kilichopandwa kwenye miamba ni + +miamba ambapo mbegu zilianguka inmaanisha udongo uliokuwa juu ya miamba ambapo mbegu zilianguka + +# yule asikiaye neno + +katika mfano, mbegu zinamaanisha neno + +# neno + +ujumbe wa Muungu + +# hulipokea kwa furaha + +kulipokea neno kwa furaha + +# ila hana mizizi ndani yake hiyo huvumilia kwa kitambo kifupi. + +mizizi inamaanisha kile kinachomfanya mtu aendelee kuamini ujumbe wa Mungu + +# hujikwaa ghafla + +kujikwaa humaanisha kuacha kuamini ujumbe wa Mungu + diff --git a/mat/13/22.md b/mat/13/22.md new file mode 100644 index 00000000..557bbf50 --- /dev/null +++ b/mat/13/22.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwawleza wanafunziwake kuhusu mfano wa mpanzi + +# aliyepandwa + +hii ni mbegu iliyopandwa au iliyoanguka + +# iliyopandwa kati ya miiba + +ardhi ilyo na miiba amabapo mbegu ilipandwa + +# huyu ni yule + +inamaanisha mtu + +# neno + +inaanisha ujumbe wa Mungu + +# masumbuko ya ulimwengu na udanganyifu wa utajiri hulisonga lile nenoi + +Yesu anaongelea masumbufu ya ulimwengu na udanganyifu wa utajiri hugeuza nia ya mtu na kushindwa kutii neno la Mungu kama vile magugu yanavyoweza kuuelemea mmea na kushindwa kukua. + +# masumbko ya ulimwengu + +"mamabo ya dunia ambayo huwafanyawatu wawe na mashaka + +# udanganyifu wa utajiri + +Yesu anautumia utajiri kama mtu adanganyaye watu. Hii inamaanisha kuwa watu hudhani kuwa na pesa nyingi huwafanya kuwa na furaha, lakini si kweli. + +# lisije likazaa matunda + +kutokuzaa matunda + +# aliyepandwa kwenye udongo mzuri + +kwenye udongo mzuri ambapo mbegu zilipandwa + +# azaaye matunda na kuendela kuzaa + +Hapa mtu amefananishwa na mti uzaao. "Kama mti wenye afya uzaoa matunda, ambaye ni mzalishaji. + +# kuzaa moja zaidi ya mara mia, nyingine sitini, nyingine thelatiini + +watu wengine huzalisha 100 mara, wengine 60 na wengine 30. + diff --git a/mat/13/24.md b/mat/13/24.md new file mode 100644 index 00000000..c0120efa --- /dev/null +++ b/mat/13/24.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa Yesu anaelezea juu ya uafalme wa mbinguni kwa kutumia mfanao wa shamba lilikuwa na ngano na magugu vikikuwa pamoja + +# Ufalme wa mbinguni umefananishwa + +tafasiri islinganishe ufame wa mbinguni na mtu, bali ufalme wa mbinguni kama ulivyoelezwa kwenye mfano. + +# ufalme wa mbinguni umefananishwana mtu + +"Wakti Mungu wa mbinguni atakapojionesha kama mfalme" + +# ufalme wa mbinguni umefananishwa n + +wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhirisha kama mfalme, itkuwa kama + +# mbegu nzuri + +"mbegu nzuru ya chakula" au "nafaka nzuri" + +# adaui ake akaja + +"adaui wake akaja shambani" + +# magugu + +magugu huonekena kama mimea ya chakula yanapokuwa hayajakomaa. laini mbegu zake huwa nasumu" au "mbegu mbaya" au mbegu za magugu" + +# baadaye ngano ilipoota + +"badaye mbegu za ngano zilipoota" au "wakati mimea ilipochipua" + +# ilipotoa mazao + +"ilipotoa nafaka" au "ilipotoa mbegu za ngano" + +# ndipo magugu yalitokea pia + +"watu waliweza kuyaona magugu shambani pia" + diff --git a/mat/13/27.md b/mat/13/27.md new file mode 100644 index 00000000..ddeb07c5 --- /dev/null +++ b/mat/13/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Yesu anaendelea kueleza mfano wa magaugu na ngano kukua kwa pamoja katika shamba + +# mwenye shamba + +huyu ndiye aliyepanda mbegu nzuri shambani + +# Haukupanda mbegunzuri katika shamba lako? + +ulipanda mbegu nzuri katika shamba + +# je, haukupanda + +tulipanda + +# akawaambia + +"mwenye shamba akawaambia watumishi" + +# kwa hiyo unatutaka + +kiwakilishi "tu" kinamaanisha watumishi + diff --git a/mat/13/29.md b/mat/13/29.md new file mode 100644 index 00000000..8d0fd8ca --- /dev/null +++ b/mat/13/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anahitimishas mfano wa magugu yalyokua pamaoja na ngano shambani + +# Mwenye shamba akasema + +"Mwenye shamba akasema kwa watumishi" + +# nitasema kwa wavunaji, 'kwanza yang'oeni magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu," + +"Nitawaambia wavunaji kwanza kuyakusanya magugu na kuyafunga matita matita na kuyachoma, kisha kusanyeni ngano katika ghala langu" + +# ghala + +Jengo la shambani ambalo lilitumika kwa kukusanyia nafaka. + diff --git a/mat/13/31.md b/mat/13/31.md new file mode 100644 index 00000000..f422f28e --- /dev/null +++ b/mat/13/31.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Esntensi ungsnishi + +Yesu anaufafanua ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mbegu ambayo hukua na kuwa mti mkubwa + +# Ufalme wa mbinguni unafanana n a + +"Wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme kuwa mfalme, itakuwa kama", Tazama 13:24. + +# mbegu ya haradari + +ni mbegu ndogo sana ambayo huweza kukua na kuwa mti mkubwa + +# Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote + +Mbegu za haradari zilikuwa mbegu ndogo zadi ambazo zilifahamika kwa wasikilizaji wa kwanza + +# Lakini imeapo + +"Lakini mmea unapokuwa" + +# huwa kubwa kuliko + +ni mkubwa kuliko + +# huwa mti + +Mmea wa haradli hukua kiasi cha mita 2 had 4 za urefu + +# ndege awa angani + +"ndege" + diff --git a/mat/13/33.md b/mat/13/33.md new file mode 100644 index 00000000..4eb6955a --- /dev/null +++ b/mat/13/33.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa chahu na jinsi inavyoweza kuufanya udongo + +# Ufalme wa mbinguni ni kama chachu + +Ufalme si kama chachu, lakini kusambaa kwa ufalme ni kama kusambaa kwa chachu + +# ufalme wa mbinguni ni kama + +ufalme wa mbinguni una, maanisha utawala wa Mungu kama mfalme..Kirai "ufalme wa mbinguni" kimetumika katika Mthayo tu. Mungu wetuwa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme itakuwa kama" + +# vipimo vitatu kwa unga + +"kipimo kikubwa cha unga" au tumia kipimo kinachotumika katika utamaduni wako cha kuonesha kipimo kikubwa cha unga. + +# mpaka viumuke + +Maana kusudiwa hpa ni kwamba, chachu na vile vipimo vitatu vya unga vilitengenezwa kwa ajiliya kuumulia. + diff --git a/mat/13/34.md b/mat/13/34.md new file mode 100644 index 00000000..75f72cbb --- /dev/null +++ b/mat/13/34.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo kwa umumla + +Mwandishi anannukuu toka Zaburi kuonesha kuwa mafundisho ya Yesu kwa mfano ni kwa ajili kutimiza unabii + +# Hayo yote Yesu aliyasema kwa mifano, Na pasipo mifano hakusema chochote kwao + +Sentensi zote zina maana moja. Zimeunganishwa kusisitiza kwamba Yesu alifundisha makutano kwa kutumia mifano. + +# hayo yote + +Hii inamaanisha kuwa kile alichofundisha Yesu kinaanzia 13"1 + +# Pasipo mifano hakusema chochote kwao + +""hakufundisha chochote isipokuwa kwa mifano" + +# kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema + +alaikifanya kiwe kweli kile alichokuwa amemwambia mmoja wa manabii kukiandika hapo zamani + +# aliposema + +nabii aliposema + +# nitafumbua kinywa chcangu + +Hii ni nahau inayomaanisha kuwa nitasema "nitasema" + +# yaliyokuwa yamefichwa + +mambo ambayo Mungu ameyaficha + +# tangu misingi ya ulimwengu + +"tangu kuanza kwa ulimwengu" au tangu Mungu aumbe ulimwengu" + diff --git a/mat/13/36.md b/mat/13/36.md new file mode 100644 index 00000000..7aba6f0a --- /dev/null +++ b/mat/13/36.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi ungnishi + +Mandhari yanahamia kwenye nyumba amabyo Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanaishi. Yesu anaanza kuwafundiasha mfano wa shamba ambalo lilikuwa na magugu na ngano alilokuwa amewaambia mwanzoni katika 13:24. + +# kwenda nyumbani + +"aliingia ndani" au "aliingia kwenye nyumba ile aliyokuwa anaishi" + +# apandae + +"mpamzi" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anamaanisha yeye mwenyewe + +# wana wa ufalme + +Hapa "wana wa" inamaanisha kuwa mali ya au kuwa na tabia zilezile alizo nazo. + +# wa ufalme + +Mungu ni mfalme + +# wana wa yule mwovu + +watu ambao ni mali ya yule mwovu + +# adui aliyezipanda + +"adui aliyepanda magugu" + +# mwisho wa ulimwengu + +"mwisho wa nyakati + diff --git a/mat/13/40.md b/mat/13/40.md new file mode 100644 index 00000000..c60c0e9c --- /dev/null +++ b/mat/13/40.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamaliza kuwaeleza wanafunzi wake mfano wa shamba lenye magugu na ngano + +# Kama vile magugu yanavyokusanywa nakuchomwa moto + +Kwa hiyo, kama watu wayakusanyavyo magugu na kuyachoma moto" + +# mwisho wa ulimwengu + +mwisho wa nyakati + +# Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake + +Yesu anamaanisha yeye mwenyewe + +# wale watendao maasi + +"wale wasio na sheria" au "watu waovu" + +# tanuru la moto + +moto wa kuzimu + +# kulia nakusaga meno + +Hii inamaanisha huzuni kubwa na mateso + +# watakapong'aa kama jua + +watakuwa rahisi kuwaona kama jua + +# Baba + +hiki ni cheo muhimu cha Mungu + +# yeye aliye na masikio + +kila anayenisikiliza + diff --git a/mat/13/44.md b/mat/13/44.md new file mode 100644 index 00000000..b671788b --- /dev/null +++ b/mat/13/44.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaelezea juu y a ufalme wa Mungu kwa kutumia mifano miwili ya watu waliouza mali zao kwa kununua kitu cha thamani zaidi + +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mifano hii Yesu anatumia milinganyo miwili kuwafundisha wanfanzi wake kuhusu mfano wa ufalme wa mbinguni + +# Ufalme wa mbinguni ni kama + +Tazama ilivyotafsiriwa katika 13:24 + +# kama hazina iliyofichwa shambani + +hazina ambayo mtu alificha shambani + +# hazina + +kkitu cha thamani sana au vitu vilivyokusanywa + +# kuficha + +alifunika kwa juu + +# aliuza kila kitu alichokuwa nacho na kulinunua shamba lile + +Maana yake nin kwamba yule mtu ananunua lile shamba ili ili achukue ile hazina iliyofichwa + +# ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu ya thamani + +maana yake ni kwamba yule mtu alikuwa anatafuta ile luu ya thamani ili aweze kuinunua + +# mfanya biashara + +mchuuzaji au mtu anayeshughulika kuuza vitu vya jumla ambaye mara kwa mara hupata wateaja tokea mbali + +# lulu ya tahmani + +"lulu" ni kitu lain, kigumu, kinachong'aa, cheupe au shanga yenye mng'ao inayopatikana kwenye viumbe wenye asili ya konokono baharini. Lulu ina bei y a juu sana na hutengenezwa vitu vya thamani kama pete. + diff --git a/mat/13/47.md b/mat/13/47.md new file mode 100644 index 00000000..4f07f08c --- /dev/null +++ b/mat/13/47.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mvuvi anayetumia nyavu kubwa kukamata samaki + +# Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu + +ufalme sikama nyavu, lakini ufalme hukokota watu wa kila aina kamavile nyavu zikokotavyo aina zote za samaki + +# ufalme wa mbinguni ni kama + +tazama katika 13:24 + +# ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari + +kama nyavu ambayo wavuvi hutupa ndani ya bahari + +# iliyotupwa ndani ya bahari + +"iliyotupwa baharini" + +# hukusanya viumbe wa kila aina + +"ilikamata viumbe wa kila aina + +# walivuta ufukweni + +"walivuta ule wavu mpaka ufukweni" + +# vitu vyema + +"vile vizuri" + +# visivyo na thamani + +"samaki wabaya" au "samaki wasiofaa" + +# vilitupwa mbali + +"havikutunzwa" + diff --git a/mat/13/49.md b/mat/13/49.md new file mode 100644 index 00000000..ee119ecd --- /dev/null +++ b/mat/13/49.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaeleza mfano wa mvuvi aliyetumia wavu mkubwa kukamata samaki + +# mwisho wa dunia + +"mwisho wa nyakati" + +# watakuja + +"kuja" au "kwenda" au "kuja toka mbinguni" + +# watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki + +watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki" + +# na kuwatupa + +"malaika watawatupa watu waovu" + +# tanuru ya moto + +tazama 13:40 + +# maombolezo na kusaga meno + +Tazama 8:11 + diff --git a/mat/13/51.md b/mat/13/51.md new file mode 100644 index 00000000..23a49afe --- /dev/null +++ b/mat/13/51.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaeleza ufalme wa mbinguni kwa kueleza mfano wa mtu anayewatawala watumishi wa nyumbani.Huu ni mwisho wa habari ya Yesu kuwafundisha watu kuhusu ufalme wa mbinguni kwa kutumia mifano + +# Mmefahamu mambo yote haya? wanafunzi walimjibu, "Ndiyo" + +Yesu aliwaulizakamawalikuwa wameelewa yote haya, na walisema kwamba walielwa + +# amakuwa mwanafunzi wa ufalme wa mbingun + +amaejifunza ukweli kuhusu Mungu wetu wa mbinguni ambaye ni mfalme. + +# unafananan na mwenye nyumba ataoaye katika hazina yake vitu vipya. + +Yesu anafundisha mfano mwingine. Anawafananisha waandishi, ambao wanalyafahamu maandiko vizuri ambayo Musa na manabii waliandika, na ambao pia sasa wanayapokea mafundisho ya Yesu na kuyalinganisha namwenye nyumba anayetumia vitu hazina ya zamani na mpaya. + +# hazina + +Hazina ni kitu cha thamani. Hapa panafananishwa na mahali ambapo vitu huhifadhiwa. "chumba cha kutunzia". + +# Ikawa Yesu alipomaliza + +Kirai hiki kinatuhamishaia simulizi yetu ya mafundisho ya Yesu kwenda kile kilichotokea baadaye. + diff --git a/mat/13/54.md b/mat/13/54.md new file mode 100644 index 00000000..91a664df --- /dev/null +++ b/mat/13/54.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Huu ni mwanzo wa habari mpya inyotupeleka hadi 17:26, ambapo mwandishi anaeleza juu ya mwendelezo wa upinzani katika huduma ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni. Hapa watu wa nyumbani kwao Yesu wanamkataa.. + +# "mji wa nyumbani kwao + +" Huu ni mji wa Nazarethi ambapo Yesu alikulia + +# katika masinagogi yao + +kiwakilishi "yao" kinamaanisha watu wa eneo hilo + +# walishangaa + +"walishangaa + +# Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza + +"Yawezekananje mtu wa kawaida kama huyu kuwa na mwenye hekima na kufanya miujiza mikubwa. + +# Mtu hyu siyo mwana wa seremala ...ameyapata wapi haya yote. + +Makutano wanatumia maswali haya, kuonyesha mshangao wao kuwa mtu wa kawaida kutoka mji wao anafanya mambo haya yote. Mtu wa kawaida hawezi kuyafanaya haya yote. + diff --git a/mat/13/57.md b/mat/13/57.md new file mode 100644 index 00000000..35afa69b --- /dev/null +++ b/mat/13/57.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Aliwachukiza + +watu walimkataa Yesu + +# Nabii hakosi kuwa na heshima isipokuwa kwao + +nabii hupokea heshima kila mahli + +# nchini yao + +"mji wa kwao" + +# kwao + +"nyumbani kwao" + +# Na hakuweza kufanya miujiza mingi + +"Yesu hakuweza kufanya miujiza nyumbani kwao" + diff --git a/mat/14/01.md b/mat/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..02d9df7a --- /dev/null +++ b/mat/14/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Mistari hii inaeleza jinsi Herode alivyopokea aliposikia habari za Yesu. Tukio hili linfuatia baada ya tukio linalofuata katika simulizi + +# Kwa wakati huo + +"Katika siku hizo" au "wakati Yesu akiendelea na huduma huko Galilaya" + +# alaisikia habari juuya Yesu + +alaisikia juu ya uvumi wa Yesu + +# Akawaambia + +"Herode alisema" + +# amaefufuka ktoka wafu + +amerudi kuishi + +# kwa hiyo nguvu hizi zipo juu yake + +Baadhi ya Wayahudi waliamini kuwa kama mtu atarudikutoka wafu anaweza kuwa nanguvu za kufanya mambo makubwa. + diff --git a/mat/14/03.md b/mat/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..e41dd3a8 --- /dev/null +++ b/mat/14/03.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa mwandishi anaanza kueleza jinsi Herode alivyomnyonga Yohana mbatizaji. Matukio haya yanaanza kuonekana kabal y a matukio yaliyo kwenye mistari iliyopita + +# Maelezo kwa ujumla + +Mwandishi anaeleza upya habari ya kifo cha Yohana mbatizaji ili kuonesha kwa nini Herode aliitikia kwa jinsi alivyofanya aliposikia habari za Yesu + +# Kwa kuwa Herode .... kuwa mke wako + +Kama inahitajika unaweza kurudia mpangilio wa tukio kama ulivyo 9:3 -4. + +# Herode alikuwa amemkamata Yohana na kumfunga, na kumtupa gerezani + +Inasemekana kuwa Herode alifanya mabo haya kwa sababu aliwaamuru wengine kufanya kwa ajili yake. + +# mke wa Filipo + +Filipo ni jina la kakawa Herode + +# Kwa kuwa Yohana alimwambia kuwa si halali kumchukua yeye kuwa mke wako + +Kwa kuwa Yohana alikuwa amemwambia kuwa siahali kwake kumchukua kama mke wake" + +# kwa kuwa Yohana alimwambia + +"Kwa kuwa Yohana aliendelea kumwambia Herode" + +# si halali + +Filipo bado alikuwa hai wakati Herode anamwoa Herodia + +# aliogopa + +Herode aliogopa + +# walimwona + +"walimwona Yohana + diff --git a/mat/14/06.md b/mat/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..514d1155 --- /dev/null +++ b/mat/14/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# katkati ya watu + +katikati ya wageni waliokuwa wamehudhuria ile sherehe ya kuzaliwa + diff --git a/mat/14/08.md b/mat/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..ed149a06 --- /dev/null +++ b/mat/14/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Baada ya kushauriwa na mama yake + +baada ya mama yake kumpa maelekezo + +# kumwelekeza + +"kumfundisha" au "kumwambia" + +# alisema + +"binti wa Herodia alaisema kwa Herode" + +# kombe + +sahani kubwa sana + +# mfalme alikuwa na sikitiko + +ombilake lilimfanya mfalme asikitike + +# mfalme + +"mfalme Herode" + +# aliamuru kwamba inapaswa ifanyike + +"aliwaamuru watu wake wafanye alichosema" + diff --git a/mat/14/10.md b/mat/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..d22f9b38 --- /dev/null +++ b/mat/14/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inakamilisha habari ya Herode alivyomuua Yohana mbatizaji + +# kichwa chake kikaletwa juu ya sinia na akapewa binti + +mtu mmoja akaleta kichwa chake kwenye sinia akpeewa yule binti + +# sinia + +sahani kubwa sana + +# binti + +binti ambaye hajaolewa + +# wanafunzi wake + +wanafunzi wa Yohana + +# mwili + +maiti + +# walienda kumwambia Yesu + +wanafunzi wa Yohana walienda kumwambia Yesu kile kilichotokea kwa Yohana mbatizaji + diff --git a/mat/14/13.md b/mat/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..3c60683f --- /dev/null +++ b/mat/14/13.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Mistari hii inaeleza jinsi Yesu alivyopokea taarifa za kuuawa kwa Yohana mbatizaji. + +# Maelezo kwa ujumla + +Mistari hii inatoa historia yaju ya muujiza ambao Yesu anataka kuufanya wa kulisha watu elfu tano. + +# Naye + +Neno hili limetumika hapa kama mwanzo wa habari mpya. Hapa Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari hii. + +# ulipofahamu + +" walposika kilichoteka kwa Yohana au waliposikia habari za Yohana + +# akajitenga + +"aliondoka" au "alaienda mbali n a kundi + +# kutoka mahali pale + +"kutoka eneo hilo" + +# wakati umati ulipofahamu + +"wakati umati waliposikia kule Yesu alikokuwa ameenda + +# umati + +"makutano ya watu" aua "kundi kubwa la watu" + +# kwa miguu + +Hii inamaanisha kuwa wale watu walikuwa wkitembea + +# kisha Yesualikuja mbele zao akauona umati + +Yesu alipokuja karibu na ufukwe akauona umati wa watu + diff --git a/mat/14/15.md b/mat/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..305d5794 --- /dev/null +++ b/mat/14/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya Yesu akiwalisha watu elfu tano kwa mikate mitano na samaki wawili + +# wanafunzi wakaja kwake + +"wanafunzi wa Yesu wakaja kwake" + diff --git a/mat/14/16.md b/mat/14/16.md new file mode 100644 index 00000000..93bd9c5a --- /dev/null +++ b/mat/14/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hawana haja + +"watu hawana haja" + +# wapeni ninyi + +neno "ninyi" ni la wingi linalomaanisha wanafunzi + +# wakamwambia + +"wanafunzi wakamwambia Yesu + +# mikate mitano + +mkate ni bonge lenye sura kama donge lililookwa + +# "ileteni kwangu" + +"leteni mkate na samaki kwangu + diff --git a/mat/14/19.md b/mat/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..e5b6b352 --- /dev/null +++ b/mat/14/19.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kuwalisha watu elfu tano + +# kukaa chini + +kaeni + +# akachukua + +akabeba mikononi mwake + +# kumega mikate + +kuivunja mikate + +# mikate + +mikate mizima + +# akatazama juu + +maana zaweza kuwa 1) alipokuwa akitazama juu 2) baada ya kutazama juu + +# wakala wote na kushiba + +walishiba hadi walipokuwa hawana njaa + +# walikusanya + +wanafunzi walikusanya aua waaaaatu walikusanya + +# vikapu kumi na mbili + +vikapu 12 vilivyojaa + +# waliokula + +waliokula mikate na samaki + +# elfu tano + +wanaume 5,000 + diff --git a/mat/14/22.md b/mat/14/22.md new file mode 100644 index 00000000..566f1074 --- /dev/null +++ b/mat/14/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Mistari ifuatayo inaelaza matukio yaliyotokea baada ya Yesu kuwalisha watu elfu tano + +# Maelezo kwa ujumla + +Mistari hii inatoa historia juu ya muujiza amabo Yesu anataka kuuonesha juu ya kutumbea juu ya maji + +# Mara moja + +"Punde tu baada ya Yesu kuwalisha watu wote" + +# ilipokuwa jioni + +"baadaye jioni" au "giza lilipoingia" + +# bahari ikiyumbayumba kwa sababu ya mawimbi + +"na wanafunzi hahawezi kuiongoza mashua kwa sababu ya mawimbi makubwa" + +# kwani upepo ulikuwa wa mbisho + +kwani upepo ulivuma kinyume nao + diff --git a/mat/14/25.md b/mat/14/25.md new file mode 100644 index 00000000..601f5cbe --- /dev/null +++ b/mat/14/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# zamu ya nne + +zamu ya inne ilikuwa kati ya saa 9 za usiku mpaka machweo + +# akaitembea juu ya bahari + +akaitembea juu ya maji + +# walihofu + +"waliogopa sana + +# Ni mzuka + +Roho ile iliyotengana na mwili wa mtu baada ya kifo + diff --git a/mat/14/28.md b/mat/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..77b2c9a6 --- /dev/null +++ b/mat/14/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Petro alimjibu + +Petro alimjibuYesu + +# Lakini Petro alipoona mawimbi + +Hapa "kuona mawimbki" maana yake ni kwamba ni kwamba alitambua kuwa kulikuwa na upepo + diff --git a/mat/14/31.md b/mat/14/31.md new file mode 100644 index 00000000..d271caf4 --- /dev/null +++ b/mat/14/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wewe mwenye imani ndogo + +"wewe uliye na imani ndogo kiasi hicho + +# kwa nini ulikuwa na mashaka + +Haukupaswa kuwa na mashaka + +# Mwana wa Mungu + +Hii ni sifa ya muhimu ya Yesu inayoonesha mahusiano kati yake na Mungu + diff --git a/mat/14/34.md b/mat/14/34.md new file mode 100644 index 00000000..3fda2f3a --- /dev/null +++ b/mat/14/34.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Mistari hii inaeelza kile kilichotokea baada ya Yesu kutembea juu ya maji. Mistari hii inatoa muhtasari wa jinsi watu walivyokuwa wakiitikia kwenye huduma ya Yesu + +# Na walipokwisha kuvuka + +Wakati Yesu na wanafunzi walipokuwa wamevuka bahari + +# Genesareti + +Huu ni mji mdogo ulioko Kaskazini Magharibi mwa mji wa bahari ya Galilaya + +# walituma ujumbe + +"wanaume wa eneohilo waltuma ujumbe + +# walmsihi + +waagonjwa walimsihi + +# Pindo la vazi lake + +"chini yavazi" au "ncha ya vazi" + +# vazi + +"joho" au "kile alichokuwa amevaa" + +# waliponywa + +wakawa salama + diff --git a/mat/15/01.md b/mat/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..08287d66 --- /dev/null +++ b/mat/15/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kw ujumla + +Hapa Yesu anajibu hoja za Wayahudi + +# kwa nini wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee? + +wanafunzi wako hawaziheshimu taratibu amabzo mababu zetu walitupa + +# Mapokeo ya wazee + +Hizi si sawa na sheria za Musa. haya ni mafundisho na tafsiri za sheria zilizotolewa na viongozi wa dini baada ya Musa + +# hawanawi mikono y ao + +kunawa huku siyo tu kwa kusafisha mikono. Hii inamaanisha kunawa kwa desturi kutokana na taratibu za wazee. Hawaoshi mikono yao vizuri + +# Nanyi kwa nini mnaihalfu sheri ya Bwana kwa ajili ya mapokeo yenu + +Nami n aona kwamba mnakataa kuzitii sheria za Mungu ili tu mweze kufuata kile ambacho mababu zenu waliwafundisha + diff --git a/mat/15/04.md b/mat/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..79cb49af --- /dev/null +++ b/mat/15/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kwajibu Mafarisayo + +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mstariwa 4, Yesu ananukuu m ara mbili kutoka kitabu cha kutoka ili kuonyesha jinsi Mungu anavyotegemea watu kuwatendea wazazi wao + +# hakika atakufa + +watu watamuua + +# Lakini ninyio husema, 'kila amwambiaye baba yake na mama yake ... mtu huyo hana haja ya kumheshimu baba yake + +Lakini mnafundisha kuwa mtu hahitajio kuwaheshimu wazazi wake kwa kuwapa kitu ambacho kingeweza kuwasaidia kama mtu atawaambia wazazi wake hivyo tayari ameto zawadi kwa Mungu + +# hana haja ya kumheshimu baba yake + +inamaanisha kuwa baba yake ni mzazi wake. Hii inamaanisha kuwa viongozi wa dini waliwafundisha kuwa mtu hana haja ya kumheshimu mzazi wake kwa kumsaidia. + +# mmelitangua neno la Mungu kwa ajiliya mapkeo yanu + +Mmezifanya desturi zenu kuwa za muhimu kulikko neno la Mungu + diff --git a/mat/15/07.md b/mat/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..9c8a0776 --- /dev/null +++ b/mat/15/07.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anahitimisha majibu yake kwa Mafarisayo + +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mstari wa 8 na 9Yesu anamnukuu nabii Isaya kwa kuwakemea Mafarisayo na waandishi + +# ni vyema kama Isaya alivyotabiri juu yenu + +Isaya alisema ukweli katika unabii wake juu ayenu + +# alaposema + +aliposema kile ambacho Mungu alisema + +# watu hawa wananiheshimu mimi kwa midomo yao + +Watu hawa wanasema kweli kwangu + +# kwangu + +viwakilishi vya "kwang"u vinaanisha Mungu + +# lakini mioyo yaoiko mbali na mimi + +watu hawjajitoa kwa ukweli kwa Mungu + +# wananiabudu bure + +"Ibaada zao hazina maana kwangu" au "wanaigiza kuniabudu mimi" + +# maagizo ya wanadanu + +"shseria ambazo watu hutengeneza + diff --git a/mat/15/10.md b/mat/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..04b73bae --- /dev/null +++ b/mat/15/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kuwafundisha makutano na wanafunzi wake juu ya kile kinachomtia mtu unajisi na kwa nini mMafarisayo na waandishi walikuwa wamekosea kumkosoa Yesu + +# Sikilizeni na mfahamu + +Sikilizeni kwa makini kile ninachosema ili muelewe maana yake. + +# Kiingiacho mdomono ... kitokacho kinywani + +Yesu anatofautisha kile ambacho mtu hula na kile asemacho. Yesu anamaanisha kuwa Mungu hujali zaidikile ambacho mtu husema kuliko kile ambacho hula + diff --git a/mat/15/12.md b/mat/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..97ecf503 --- /dev/null +++ b/mat/15/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mafaaarisayo walipolisikia lile neno walikwazika + +Usemi huu uliwafanya Mafarisayo wachukie + +# Kila mmea ambao baba yangu wa mbinguni hajaupanda utang'olewa + +Hiki ni kirai kinachomaanisha kuwa Mafarisayo si watu wa Mungu, kwa hiyo Mungu atawatoa + +# Baba yangu wa mbinguni + +Hiki ni cheo cha Yesu kinachoonesha uhusiano kati yake na Mungu + +# watang'olewa + +Baba yangu atawang'oa + +# waacheni pekee + +neno pekee linamaanisha Mafrarisayo + +# mtu kipofu ... wataanguka shimoni + +Inamaanisha kuwa Mafarisayo hawajui amari za Mungu au jinsi ya kumpendeza Mungu Kwa hiyo, hawawezi kuwafundisha wengine jinsi ya kumpendeza Mungu + diff --git a/mat/15/15.md b/mat/15/15.md new file mode 100644 index 00000000..1c7b418f --- /dev/null +++ b/mat/15/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaeleza mfano amabao amefundisha katika 15:12 + +# kwetu + +kwetu wanafunzi + +# bado hamuelewi + +Yesu mfano kuwakemea wanafunzi kwa kutokuelewa mfano. Pia kwakilisha cha "hamu" kimesisitizwa. Yesu hawezi kuwaamini wanafunzi wake kwa kutokuelewa. Nimekatishwa tamaa na ninyi wanafunzi wangu kwa kuwa hamjaelewa kile ninachofundisha. + +# Nanyi hamuoni kuwa kile kiendacho ... na kwenda chooni + +Yesu anatumia swli kuwakemea wanafunzi kwa kutokuelewa mfano. "hakika mnaelewa ... kwenda chooni" + +# kiendacho mdomoni + +hupitia mdomoni + +# chooni + +Hii ni tafsida kwa eneo ambalo watu huzika uchafu wa mwili + diff --git a/mat/15/18.md b/mat/15/18.md new file mode 100644 index 00000000..fa5333e5 --- /dev/null +++ b/mat/15/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kufundisha mfano aliofundisha katika 15:12 + +# vyote vitokavyo mdomoni + +Hii inamaanisha kile ambacho mtu husema + +# katika moyo + +Hapa "moyo" inamaanisha akili za mtu au ndani ya mtu. + +# uuaji + +kuua mtu asiye na kosa + +# ushuhuda wa uongo + +Kusema kitu juu ya mtu mwingine ambacho ni cha kuumiza na si cha kweli + +# bila kunawa mikono + +Hii inamaansha mtu ambaye hajaosha mikono kwa desturi za wazee + diff --git a/mat/15/21.md b/mat/15/21.md new file mode 100644 index 00000000..9c7256be --- /dev/null +++ b/mat/15/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Hii inaazisha habari y aYesu kumponya binti wa mwanamke Mkananayo + +# Yesu akatoka + +Inamaanisha kuwa wanafunzi waliondoka na Yesu + +# Tazama, akaja mwanmke Mkanani + +Kulikuwa na mwanamke Mkanaani aliyekuja kwa Yesu + +# Akaja mwanamke Mkanaani kutoka pande hizo + +"mwanamke kutoka kundi la watu aliyeitw Mkaanani anayeishi katika eneo hilo. + +# Nihurumie + +Kirai hiki kinamaanisha kuwa alikuwa akimuomba Yesu amponye binti yake. + +# Mwana wa Daudi + +Yesu hakuwa Mwana wa Daudi kimwili, hii inaweza kutafsiriwa kama "wa kizazi cha Daudi" + +# binti yangu anateswa sana na pepo + +Pepo linamtesa sana binti yangu + +# lakini Yesu hakumjibu neno + +Hapa "neno" linamaanisha kile mtu asemacho + diff --git a/mat/15/24.md b/mat/15/24.md new file mode 100644 index 00000000..79f32607 --- /dev/null +++ b/mat/15/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sikutumwa kwa mtu yeyote + +Mungu hakunituma kwa yeyote + +# isipokuwa kwa kondoo waliopotea + +Tazama 10:5 + +# alaikuja + +mwanamke Mkanaani alikuja + +# akainama + +Hii inaonesha kuwa yule mwanake alikuwa akinyeynyekeza mbele za Yesu + +# Siyo vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa + +Yesu anamjibu mwanamke kwa kutumia mithali. Maana yake ni kwamba siyo sawa kuchukua kitu cha Wayahudi n a kuwapa watu wasio kuwa Wayahudi. + +# mkate wa watoto + +mkate unamaanisha chakula kwa ujumla + +# mbwa wadogo + +Wayahudi waliona mbwa kuwa ni wanyama najisi. hapa wanamanisha kama sura ya watu wasio Wayahudi + diff --git a/mat/15/27.md b/mat/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..e1d461fc --- /dev/null +++ b/mat/15/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hata hivyo mbwa waadogo hula chkula ... mezani mwa bwana zao + +Yule Mwanamke akamjibu Yesu kwa kutumia mazingira yale yale aliyetumia Yesu kwenye mithali. Alimaanisha kuwa wasiokuwa Wayahudi waliweza kupata kiasi kidogo cha kile walichopata Wayahudi amabcho walikuwa wanatupa. + +# mbwa wadogo + +tazama 15"24 + +# na ifanyike kwako kama ulivyotaka + +Nitafanya + +# binti yake alikuwa ameponywa + +Yesu alimponya yule binti + +# wakati huo + +ghafla + diff --git a/mat/15/29.md b/mat/15/29.md new file mode 100644 index 00000000..8cff89e4 --- /dev/null +++ b/mat/15/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Mstari huu unatoa histora ya muujiza amba Yesu anataka kuufanya wakulisha watu elfu nne + +# viwete, vipofu, bubu vilema na wengine wengi + +wale wasioweza kutembea, wale wasioona, wasiongea, na wale ambao miguu yao na mkono haifanyi kazi + +# waliwaweka katika miguu ya Yesu + +waliwaweka katika mbele ya ya Yesu + +# vilema wakifanywa wazima + +vilema wakaw salama + +# vilema... viwete ... vipofu + +watu viwete ... watu vilema ... watu vipofu. + diff --git a/mat/15/32.md b/mat/15/32.md new file mode 100644 index 00000000..9f17d08b --- /dev/null +++ b/mat/15/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya Yesu akiwalisha watu elfu nne + +# wasije wakazimia njiani + +"kwa sababu wanaweza kuzimia njiani + +# ni wapi tunaweza kupata mikate ya kutosha hapa nyikani kushibisha umati huu mkubwa? + +hakuna mahali pa karibu tunapoweza kupata mikate ya kutosha huu umati mkubwa + +# saba na samaki wadogo + +mikate saba na samaki wachache wadogo + +# uketi chini + +kaeni mkao wa kula + diff --git a/mat/15/36.md b/mat/15/36.md new file mode 100644 index 00000000..cb4c3c11 --- /dev/null +++ b/mat/15/36.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# alitwaa + +Yesu alibeba mkononi mwake + +# akaimega i + +akaigawa mikate + +# na kuwapa + +akawapa mikate na samaki + +# wakakusanya + +wanafunzi walikusanya au watu walikusanya + +# wotewaliokula + +watu waliokula + +# wanaume elfu nne + +wanaume 4,000 + +# kwenda sehemu + +lile eneo + +# Magadani + +Hili eneo wakati mwingine huitwa Magdala + diff --git a/mat/16/01.md b/mat/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..a83357e1 --- /dev/null +++ b/mat/16/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hii inaanzisha mapambano kati y a Mafarisayo na Masadukayo + +# kumjaribu + +walimkosoa au walitaka kukamata + +# ilipokuwa jioni + +ni wakati wa siku ambapo juu huzama + +# hali nzuri ya hewa + +hali nzuri, shwali na ya kuvutia + +# anga jekundu + +Wayahudi walijua kuwa, kama anaga litabarika na kuwa jekundu ilikuwa dalili ya kuwa siku inayofuat itakuwa nzuri + diff --git a/mat/16/03.md b/mat/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..d4ef7834 --- /dev/null +++ b/mat/16/03.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo na Masadukayo + +# asubuhi + +jua linapochomoza + +# hali ya hewa mbaya + +hali ya mawingu na ya kimbunga + +# jekundu na mawingu + +jekundu na zito + +# Mnajua kutambua mwonekano wa anaga + +mwajua namna ya kutazama na kutambua aina ya hali ya hewa mtakayokuwa nanyo + +# lakini hamuwezi kutambua ishara za nyakati + +lakini hamwezi kutambua kile kinachotokea sasa na kujua maana yake + +# kizazi kiovu na cha uzinzi + +watu amabao si waaminifu kwa Mungu + +# kinatafuta ishara + +tazama 12:38 + +# lakini hakuna ishara yeyote + +Mungu hatawapeni ishara + +# isipokuwa ishara ya Yona + +tazama 12:38 + diff --git a/mat/16/05.md b/mat/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..945249e7 --- /dev/null +++ b/mat/16/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Mandhari yanabadilika nakuto[eleka wakati wa mbale. Yesu anatumia nafasi ya kuwaonya wanafunzi juu ya Mafarisayo na Masadukayo + +# upande wa pili + +upande wa pili wa ziwa au upande wa pili wa bahari ya Galilaya + +# chachu ya Mafarisayo na Masadukayo + +Hapa chachu inamaanisha mawazo macahfu na mafundisho yasiyo sahihi ya Mafarisayo Tazama 16:12. + +# Wakahojiana miongoni mwao + +wakajadiliana + +# eneyi wenye imani ndogo + +Ninyi mlio na imani ndogo Tazama 6:30 + +# kwa nini mnawaza... hamkuchukua mikate + +Ninasikitika kuwa mnadhani kuwa mlisahau kuchukua mikate kwa sabasbu nimeongea juu ya chahu ya Mafarisayo na Masadukayo. + diff --git a/mat/16/09.md b/mat/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..9a71af99 --- /dev/null +++ b/mat/16/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaonya wanafunzi juu ya Mafarisayo na Masadukayo + +# Je, bado hamtambui na kukumbuka au ... mlivyokusanya + +Kwa hakika mnakumbuka ... mlivyokusanya + +# elfu tano ... elfunne + +"5,000 ... 4,000" + +# au mikate saba ... mlichukua? + +kwa hakika mnakumbuka ... mlivyokusanya! + diff --git a/mat/16/11.md b/mat/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..25b5a006 --- /dev/null +++ b/mat/16/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaonya wanafunzi wake juu ya Mafarisayo na Masadukayo + +# Imekuwaje hata hamuelewii kuwa sizungumzi nanyi kuhusu mikate? + +"Inatakiwa muelewe kwamba siongei kumaanisha mikate kweli." + +# chachu ya Mafarisayo n a Masadukayo + +tazama 16:12 + +# wao...wao + +"wanafunzi" + diff --git a/mat/16/13.md b/mat/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..00f6cf0e --- /dev/null +++ b/mat/16/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anawauliza wanafunzi kama wanaelewa kuwa yeye ni nani + +# Lakini ninyi mwasema mimi ni nani? + +"Lakini ni ninyi ninaowauliza:mnasema kuwa mimi ni nani?" + +# wakati + +Neno hili limetumika kuonesha mwanzo wa habari kuu au kumtambulisha mtu mwingine, Mathayo anaanza kueleza habari mpya. + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anamaanisha yeye mwenyewe + +# Mungu aliye hai + +Hapa neno "hai" linalinganisha Mungu wa Israeli na Miungu wengine wa uongo na masananu ambayo watu waliabudu. Mungu aliye ndiye Mungu pekee mwenye nguvu za kutenda. + diff --git a/mat/16/17.md b/mat/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..cb2cde88 --- /dev/null +++ b/mat/16/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Simoni Bar Yona + +"Simoni, mwana wa Yona" + +# damu na nyama havikukufunulia hilo + +damu na nyama inamaanisha binadamu + +# hili kwako + +neno "hili" inamaanisha jibu la Petro kwamba Yesu ni Kristo mwana wa Mungu aliye juu + +# Baba yangu aliye mbinguni + +Hicho ni cheo cha muhimu kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu + +# Nami pia ninakwambia + +hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye + +# wewe ni Petro + +jina Petro linamaanisha "mwamba" + +# juu y a mwamba huu nitalijenga kanisa + +hii inamaanisha kuwa Petro atakuwa kiongozi wa jamii ya watu wanomwamini Yesu + +# Milango ya kuzimu haitalishinda + +Maana zinazowezekana:1)"nguvu za kifo hazitaliweza kanaisa au 2) Kanaisa langu zitaivunja nguvu ya kifo kama jeshi liingiavyo katika mji + diff --git a/mat/16/19.md b/mat/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..ba15c571 --- /dev/null +++ b/mat/16/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# nitkupa wewe + +neno wewe linamaanisha Petro + +# Funguo za ufalme wa mbinguni + +Hapa "funguo" zinamaanisha Yesu akimpatia Petro mamlaka. Hii haimaanishi kuwa Petroni mmliki wa ufalme, lakini ana mamlaka ya kuamu nani ataiingia katika ufalme wa Mungu + +# ufalme wa mbinguni + +Ufalme wa mbinguni limetumika katika Mathayo tu. tumia "mbingu" + +# fungwa duniani...funguliwa mbinguni + +kuwatangazia watu kusamehewa au kuhukumiwa kama ilivyofanyika mbinguni + +# funguo + +kitu kinachotumika kufungua na kufunga milango + +# chochote utakachokifunga mbinguni ...kifungua duniani kimefungiliwa duniani + +Mungu wa mbinguni ataruhusu maombi ya Petro kuruhusu au kufunga duniani + +# itafunga ... itafunguliwa + +Mungu atafunga .. Mungu atafungua + diff --git a/mat/16/21.md b/mat/16/21.md new file mode 100644 index 00000000..6db56465 --- /dev/null +++ b/mat/16/21.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu antabiri kifochake na anaanza kuwambia wanafunzi wake gharama za kumfuata. + +# kuanzia muda huo + +Baada ya Yesu kuwaamuru wanafunzi wake kutokumwambia yeyote kuwa yeye ni Kristo, alianza kushirikisha kile kitakachotokea Yerusakamu + +# Kuteswa kwa mambo mengi katika mikono ya wazee na wakuu wa makuhani na waandishi + +Hapa "mikono " inamaanisha mamlaka. Ambapo wazee, makuhani na waandishi watamsababishia maumivu + +# kuuawa + +watamuua + +# jambo hilina liwe mbali n a wewe + +"hapana" au "halitatokea" au "Mungu alizuie" + +# kufufuka siku ya tatu + +"siku ya tatu, Mungu atamfanya aishi tena" + +# rudi nyuma yangu shetani wewe ni kizuizi + +Yesu anamaanisha kuwa Petro anafanya kazi kama shatani kwa sababu Petro anajaribu kumzuia Yesu kukamilisha kile ambacho Mungu amemtuma Yesu. "Rudi nyuma yangu kwa sababu unafanya kama shetani! wewe ni kikwazo kwangu. + diff --git a/mat/16/24.md b/mat/16/24.md new file mode 100644 index 00000000..50b0be12 --- /dev/null +++ b/mat/16/24.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# nifuate + +"uwe mwanafunzi wangu" au "uwe mmoja wa wanafunzi wangu" + +# auchukue msalaba wake na anifuate + +msalaba unawakilisha mateso na kifo. lazima anitii hata kiasi cha kufa" + +# , na kunifuata + +"na kunitii" + +# Kwa yeyote atakaye + +"Kwa yeyote anayetaka" + +# atayapoteza + +Hii haimanishi kuwa yule mtu lazima afe. inamaanisha kumwamini Yesu kuwa jambo la muhimu kuliko maisha yake. + +# kwa ajili yangu + +"kwa sababu ananiamini mimi" au " kwa sababu yangu" + +# atayaokoa + +atapata maisha ya kweli + +# Ni faida gani atakayopata mtu ... akapoteza maisha yake + +Haimpi mtu faida ...maisha yake + +# akaipata dunia yote + +hakuna kitu cha thamani duniani kuliko kuishi na Mungu. " kama akipata kila kitu ulimwenguni" + +# lakini akapoteza maisha yake + +"lakini akapoteza maisha yake" + +# ni kitu gani atakachotoa mtu katika kubadilishana na maisha yake + +"Hakuna kitu ambacho mtu atatoa ili kurudisha uhai wake" + diff --git a/mat/16/27.md b/mat/16/27.md new file mode 100644 index 00000000..12ebaef2 --- /dev/null +++ b/mat/16/27.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mwana wa Adamu...baba yake + +Yesu alikuwa anajirejelea yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu kama "Mwana wa mtu" + +# katika utukufu wa baba yake + +"kupata utukufu sawa na Baba yake" + +# na malaika wake + +"na malaika watakuwa pamoja naye" au "na malaika wa Baba watakuwa pamoja na mimi" + +# baba yake + +Hicho ni cheo kikubwa kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano wa Mungu na Mwana wa mtu, Yesu + +# kweli nawambia + +"Nawaambieni ukweli" + +# wewe + +kiwakilishi cha wingi kinachomaanisha wanafunzi wa Yesu. + +# hawataonja kifo + +"kuonja" inamaanisha kupitia kifo" au "hawatapitia kifo" aua "hawatakufa" + +# Mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake + +"Ufalme" inamaanisha Mwana Adamu akitawala kama mfalme" aua "mpaka watakapomwona wa Adamu akija kutawala kama mfalme" + +# mpaka watakapomwaona + +Yesu bado anaongelea wanafunzi. "mpaka mtakapomwona" + diff --git a/mat/17/01.md b/mat/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..4aa84fc9 --- /dev/null +++ b/mat/17/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Hii inazisha habariya Yesu kubadilika sura + +# Petro, na Yakobo, na Yohana kaka yake + +"Petro, Yakobo, na kaka yake Yakobo Yohana" + +# Alibadilishwa + +"Mungu amembadilisha kabisa Yesu + +# mavazi + +"nguo" + +# Uso wake ukang'aa kama jua ...kung'aa kama nuru + +Hii ni milinganyo inayosisitiza jinsi Yesu alivyong'aa. + diff --git a/mat/17/03.md b/mat/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..433ff039 --- /dev/null +++ b/mat/17/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tazama + +Neno hili linatutayarisha kuwa tayari kwa taarifa za kushangaza zinazofuata. + +# kwao + +kwa wanafunzi waliokuwa na Yesu amabao ni Petro, Yakobo na Yohana + +# akajibu na kusema + +"sema." Petro hajibu swali. + +# pamoja naye + +"pamoja na Yesu" + +# ni vizuri kwetu kuwa hapa + +Maana zinazowezekana: 1)"ni vizuri kwamba sisi wanafunzi tuko hapa pamoja nawe, Musa, na Eliya au 2)"ni vizuri kuwa wewe, Musa, Eliya, na sisi wanafunzi wote tuko hapa pamoja" + +# mahala pa kujihifadhi + +Maana zinazowezekana: 1)mahali pa watu kuja kuabudia au 2)mahali pa muda pa watu kulala. + diff --git a/mat/17/05.md b/mat/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..ba1cf9c0 --- /dev/null +++ b/mat/17/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tazama + +Hii hutahadharisha msomaji kuwa makini na maelezo ya kushangaza yanayofuata + +# likawatia kivuli + +"lilikuaj juu yao" + +# ikatokea sauti toka kwenye wingu + +"Sauti inamaanisha Mungu aliogea" aua "Mungu aliongea noa kutoka kwenye wingu" + +# waanafunzi waliposikia + +"wanafunzi walimsikia Mungu akiongea" + +# Walianguka kifulifuli + +Wanafunzi waliinama kwa nyuso zao kugusa chini ardhini. + diff --git a/mat/17/09.md b/mat/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..4a334e04 --- /dev/null +++ b/mat/17/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Tukio lifuatalo lilitokea mara tu baada ya wale wanafunzi watatu kushuhudia Yesu akibadilishwa + +# Na walipokuwa + +Na Yesu na wanafunzi wake + +# mwana wa Adamu + +yeye anajinenea mwenyewe + +# kwa nini wandishai husema kuwa Eliya atakuja kwanza? + +Wanafunzi wanazingatia mafundisho ya kwamba Eliya atarudi kwanza kwa wana wa Israel kabla ya Masihi kurudi + diff --git a/mat/17/11.md b/mat/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..0053c553 --- /dev/null +++ b/mat/17/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kurudisha vitu vyote + +"kuweka vitu katika mpangilio au utaratibu" au " waandae watu tayari kwa ajili kumpokea Masihi" + +# Lakini nawaambieni + +huu ni msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye + +# hawa .... yake + +Maana zinazowezekana: 1) viongozi wa wayahudi au 2) wayahudi wote + +# Mwan wa Adamu atakavyoteswa + +Hapa "mikono" inamaanisha nguvu. "watamfanya mwana wa Adamu kuteseka" + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anajineneea mwenyewe. + diff --git a/mat/17/14.md b/mat/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..82274bc3 --- /dev/null +++ b/mat/17/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya kijana aliyekuwa na roho mchafu.Tukio hili limetokea baada ya Yesu na wanafunzi wake kushuka kutoka mlimani. + +# umhrumie mwanangu + +inamanisha kuwa yule mtu alimtaka Yesu amponye mwanae. "umhurumie mwangu na umponye" + +# amaekuwa na kifafa + +Hii inamaanisha kuwa wakati mwingine hupoteza fahamu + diff --git a/mat/17/17.md b/mat/17/17.md new file mode 100644 index 00000000..c1d7cb2d --- /dev/null +++ b/mat/17/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kisichoamini na kilichoharibika + +"Kizazi hiki hakimwani Mungu na hakijiui kitu kibaya na kizuri. + +# nitakaa pamoja nanyi mpaka lini, nitavumiliana nanyi mpaka lini? + +nimechoka kukaa pamojana nyi, nichoshwa na kutokuamni kwenu + +# kijana aliponywa + +kijana akawa mzima + +# tangu saa ile + +mara moja + diff --git a/mat/17/19.md b/mat/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..fc57fa3d --- /dev/null +++ b/mat/17/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sisi + +waongeaji na si wasikilizaji + +# Kwa nini tusingeweza kuifukuza? + +"Kwa nini tusimfanye pepo amtoke kijana?" + +# Hakuna kitakachowezekana kwenu kukifanya + +"Mtaweza kufanya kitu chochote + +# kweli nawaambieni + +"nawambia ukweli" + +# kama mtakuwa na imani hata ndogo kama punje ya mbegu haradali + +Yesu analinganisha ukubwa wa mbegu ya haradari na kiasi cha imani kinachotakiwa ili kufanya miujiza. inahitajika imani ndogo tu ili kufanya miujiza. + +# hakutakuwa na kitu chochotte cha kushindikan kwenu + +mtaweza kufanya kila kitu + diff --git a/mat/17/22.md b/mat/17/22.md new file mode 100644 index 00000000..c6c2a3e3 --- /dev/null +++ b/mat/17/22.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anatabiri kifo chake na ufufuo + +# wamekaa + +"wanafunzi na Yesu wamekaa" + +# Mwan wa Adamu Watamuua + +"mmoja atamuua Mwana wa Adamu" + +# Mwana wa Adamu ...mwa ...watu + +inamaanisha yeye yenyewe + +# Atafufuka + +"Mungu atamfufua" au" ataishi tena" + +# atatiwa + +atatolewa + +# mikononi mwa watu + +mikononi inamaanisha mamlaka ya kutwala. "katika utawala wa watu + +# siku ya tatu + +siku ya tau + +# atafufuka + +Mungu atamfufua + diff --git a/mat/17/24.md b/mat/17/24.md new file mode 100644 index 00000000..4c9d72cb --- /dev/null +++ b/mat/17/24.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamfundisha Petro juu ya kulipa ada ya hekalu + +# wakati wao + +wakati yesu na wanafunzi wake + +# kodi ya nusu shekeli + +kodi juu ya wanaume wote wa kiyahudi ambayo ilitolewa ili kuwezesha kazi za hekaluni + +# nyumba + +mahali Yesu alipokaa + +# Unafifkiri nini Simoni? wafalme wa dunia ...kutoka kwa wageni? + +Yesu anauliza swali hili kumfundisha Simoni asitafute taarifa kutoka kwake. "Sikiliza Simoni, tunafahamu kuwawafalme wa dunia hukusanya kodi kutoka kwa wageni na wala si kwa raia wake. + +# wafalme wa dunia + +viongozi kwa ujumla + +# Raia + +watu chini ya kiongozi au mfalme + +# wanaotawaliwa + +watu walio chini ya mfalme + diff --git a/mat/17/26.md b/mat/17/26.md new file mode 100644 index 00000000..30e49211 --- /dev/null +++ b/mat/17/26.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendela kumfundisha Petro juu ya kulipa kodi + +# Maelezo kwa ujumla + +Huu ni mwisho wa habariinayoanzi 13:54 amabpo mwandishi amaeelza juu ya upinzani wa wa huduma ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni + +# Petro aliposema kutoka kwa wageni + +wakati Petro aliposema "ndiyo. hiyo ni sawa ,wafalme hukusanya kodi kutoka kwa wageni" + +# kutoka kwa wageni + +Nyakati hizi za leo. wafalme wanatoza kodi toka kwa raia wake, lakini katika nyakati za zamani wafalme walitoza kodi toka kwa watu waliokuwa wamewashinda na si raia wao. + +# watawaliwa + +Watu chini ya kiongozi au mfalme. + +# lakini tusije tukawafanya watoza ushuru kutenda dhambi + +lakini tusiwafanye watoza ushuru kutenda kuwa na hasira + +# tupa ndoano + +wavuvi hufunga ndoano mwisho wa uzi, na kisha huitupa majini ili kukamata samaki + +# mdomo wake + +"mdomo wa samaki" + +# shsekeli + +sarafu iliyotosha malipo ya kibarau kwa siku moja + +# chukua + +chukua shekeli + +# kwangu na wewe + +wewe inamaanisha Petro. Kila mwanamume alipaswa kulipa shekeli moja. kwa hiyo Shekel moja iliweza kutosha kwa kodi ya Peteo na Yesu + diff --git a/mat/18/01.md b/mat/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..10a7cf91 --- /dev/null +++ b/mat/18/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Hii ni mwanzo wa habari mpya inayoanzia 18:34, mahali Yesu anapofundisha juu ya maisha katika uflme wa mbinguni. Hapa Yesu anatumia mtoto mdogo kufundisha wanafunzi wake. + +# nanai mkuu + +Nani ambaye ni wa muhimu zaidi"au "nani kati yetu atakuwa wa muhimu zaid + +# katika ufalme wa mbinguni + +wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapoanzisha utawala wake duniani + +# Kweli nawaambia + +"nawambia ukweli" au hii inaongeza msisitizo kwa kile Yesu alichosema baadaye + +# msipotubu na kuwa ... hamtaweza kuingia + +lazima mbadilike .. ili kuingia" + +# kuwa kama watoto + +lazima wawe wanyeyenyekevu kama watoto. + +# kuingia katika ufalme wa mbinguni + +Mungu kutawala kama mfalme + diff --git a/mat/18/04.md b/mat/18/04.md new file mode 100644 index 00000000..741ae66e --- /dev/null +++ b/mat/18/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anawafundisha wanafunzi wake kwamba wanahitaji kuwa wanyeyekevu kama watoto ili kuwa watu wa muhimu kwenye ufakme wa mbingini + +# ni mkuu + +ni wa muhimu zaidi aua atakuwa ni wa muhimu + +# katika ufame wa mbinguni + +katika ufalme wa mbinguni + +# kwa jina langu + +kwa sababu yangu + +# anipokea mimi + +ni kama ananipokea mimi + +# Jiwe kuu la kusagia likafungwa shingoni mwake,na kuzamishwa kilindini mwa bahari. + +"kama wangemwekea jiwe la kusagia shingoni mwake na kumtupa kilindini mwa bahari" + +# Jiwe la kusagia + +Jiwe kubwa, zito iliyotengenezwa kama duara inayotumika kusagia nafaka kuwa unga . + diff --git a/mat/18/07.md b/mat/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..facc8ed7 --- /dev/null +++ b/mat/18/07.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendela kutumia watoto wadogo kuwafundisha wanafunzi wake na kuwaonya dhidi ya madhara makubwa ya kuwaangusha watoto + +# kwa dunia + +dunia inamaanisha watu + +# kwa sababu ya wakati wa kukwazwa + +kwa sababu ya mambo yanyowafanya watu kukwazwa + +# Mkono wako + +Yesu anaongea na wanafunzi wake kama ni mtu mmoja. + +# kwa nyakati hizo huja + +kwamba mambo hayo huja yanayowafanya watu kufanya dhambi + +# kwake kwa mtu yule nyakati hizo + +mtu yeyote anayewafnya wengine kufanya dhambi + +# kama mkon wako ... utupe mbali + +Yesu anamaanisha kuwa mtu lazima afanye kila linalolazimika ili kukitoa katika maisha kile kinachomfanya mtu kufanya dhambi + +# wako ... uki + +Yesu anaongea kwa watu wote kwa ujumla + +# kwenye uzima + +uzima wa milele + +# kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote aua miguu yote + +kuliko kuwa na mikono miwil na miguu miwili wakati Mungu anakutupa kwenye moto wa milele. + diff --git a/mat/18/09.md b/mat/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..63282065 --- /dev/null +++ b/mat/18/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ng'oa na tupa + +Fungu hili linaonesha ukweli wa kutokuamini na ulazima wa kuizuia kwa gharama yoyote + +# Ingia uzimani + +"Ingia katika uzima wa milele" + diff --git a/mat/18/10.md b/mat/18/10.md new file mode 100644 index 00000000..0f5f4145 --- /dev/null +++ b/mat/18/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Tazameni + +Muwe waangalifu + +# musiwadharau hawa wadogo + +"Msidhani kuwa hawa wadogo hawana umuhimu". onyesheni heshima kwa hawa wadogo + +# kwa maana nawaambia + +hii inatia msisitizo kwa kile Yesu alichosema baadaye + +# mbinguni kuna malaika wao siku zote wakiutazama uso wa baba yangu aliye mbinguni + +Yesu anammanisha kuwa malaika wa mbinguni humwambia Mungu juu ya wadogo hawa + +# Muda wote tazama uso wa + +"wapo karibu muda wote" + +# siku zote wakiutazama uso wa baba yangu + +kila mara wako karibu na baba yangu" + +# baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu kinachonesha uhsiano kati ya Yesu na Mungu + diff --git a/mat/18/12.md b/mat/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..2eafeee6 --- /dev/null +++ b/mat/18/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendele kuwatumia watoto wadogo kuwafundisha wanafunzi kueleza ulinzi wa Mungu kwa watu + +# Unawaza nini? + +"Fikiri watu wanavyofanya," + +# wewe ... yako + +viwakilishi vya wingi + +# ikiwa mtu ...wasiopotea + +Yesu anatumia mfano kuwafundisha wanafunzi + +# kondoo mia moja ...tisini n a tisa + +100 ...99 + +# hatawaacha ...aliyepotea + +Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi + +# kweli nawaambia + +nawaambia ukweli + +# Siyo matakwa ya baba yenu wa mbinguni kuwa moja wa wadogo hao apotee + +"Baba yenu mbinguni anataka wadogo wote hao waishi" + diff --git a/mat/18/15.md b/mat/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..bd8ad549 --- /dev/null +++ b/mat/18/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kuwafundisha wanafunzi wake juuy msamaha + +# ndugu yao + +waumini wenzake + +# utampata ndugu yako + +"mtafanya mahusiano yenu mazuri tena na ndugu yako" + +# kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili ...kila neno linaweza kuthibitishwa + +"mdomo" na "maneno" inamaanisha kile amabcho mtu anasema " ili kwamba wawili au watatu wanaweza kuthibitisha kile unachosema juu ya mwamini mwenzako" + +# Kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno linaweza kuthibitika + +Yesu anatumia moja katai ya sheria ambazo Musa alaiwapati watu + diff --git a/mat/18/17.md b/mat/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..47de86e7 --- /dev/null +++ b/mat/18/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akipuuza kuwasikiliza + +kama huyo nndugu akipuuza kuwasiliza mashahidiuliokuja nao + +# kanisani + +kwa waumini wote + +# Mwacheni awe kwenu kama mtu wa mataifa na mkusanya ushuru + +"Mchukulie kama utakavyomchukulia mtu wa mataifa au "mtoza ushuru. Maana yake ni kwamba wamwondoe kati ya jamii ya waumini. + diff --git a/mat/18/18.md b/mat/18/18.md new file mode 100644 index 00000000..86a03164 --- /dev/null +++ b/mat/18/18.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# mta + +viwakilishi vyote hivi viko katka wingi + +# Funga...fungwa...fungua...funguliwa + +tazama 16:19 + +# Itafungwa...itafunguliwa + +"Mungu atafunga...Mungu atafungua." + +# nawaambieni + +Msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye + +# Baba yangu + +Hicho ni cheo cha muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano wa Mungu na Yesu. + +# kama wawili wenu + +anagalau wawili + +# wawili au watatu + +"wawili au zaidi" au "angalau wawili" + +# Wamekusanyika + +"kutana" + +# waki ... wao + +inamaanisha "wawili wenu" + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu + diff --git a/mat/18/21.md b/mat/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..fe9ad9b4 --- /dev/null +++ b/mat/18/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mara saba + +"mara 7" + +# Sabini mara saba + +Maana zenye kufaa: 1) "70 mara 7". au 2) "mara 77." kama kutumia namba kutachanganya,unaweza kusema, "mara nyingi kuliko utakavyohesabu" + diff --git a/mat/18/23.md b/mat/18/23.md new file mode 100644 index 00000000..1e78ef33 --- /dev/null +++ b/mat/18/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anatumia mfano kufundisha juuya msamaha na mapatano + +# Ufalme wa mbinguni unafanana + +Hii inatoa utangulizi wa mfano. Tazama 13:24 + +# Kusahihisha hesabu na mtumwa wake + +"ili awalipe watumwa wake kile walichostahili" + +# Mtumishi mmoja akaletwa + +"mtu fulani akamleta mmoja wa watumishi wa wafalme" + +# Talanta elfu kumi + +"Talanta 10,000" au " fedha nyingi zaidi kuliko mtumishi alizoweza kulipa + +# Mkuu wake aliamuru auzwe,...na malipo kufanyika + +"mfalme aliwaamuru watumishi wake kumuuza huyo mtu...na kulipa deni kwa fedha ya mauzo" + diff --git a/mat/18/26.md b/mat/18/26.md new file mode 100644 index 00000000..55ce8744 --- /dev/null +++ b/mat/18/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alianguka, akapiga magoti chini + +Hii inammanisha kuwa yule mtumwa aliongea na yule mfalme katika hali ua unnyenyekevu mkubwa. + +# mbele yake + +"mbele ya mfalme" + +# alaisukumwa sana na huruma + +"alimhurumia yulemtumwa" + +# alimwachilia + +alimwacha aende" + diff --git a/mat/18/28.md b/mat/18/28.md new file mode 100644 index 00000000..19f73101 --- /dev/null +++ b/mat/18/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaambia mfano wanafunzi wake + +# Dinari mia moja + +"dinari 100" au "malipo ya kibarua ya siku miamoja" + +# alimvuta, akamkaba kooni + +"yulemtumwa wa kwanza alimkaba mtumwa mwenzake + +# alimkaba + +kumung'ang'nia " au "kamata kwa nguvu" + +# alianguka + +Tazama 18:26 + diff --git a/mat/18/30.md b/mat/18/30.md new file mode 100644 index 00000000..a8001e3d --- /dev/null +++ b/mat/18/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaambia mfano wanafunzi wake + +# alienda na kumtupa gerezani + +"yule mtumwa wa kwanza alienda na kumtupa gerezani mtumwa mwenzake" + +# "watumwa menzake" + +"watumwa wengine" + +# walimwambia bwana wao + +"walimwambia mfalme" + diff --git a/mat/18/32.md b/mat/18/32.md new file mode 100644 index 00000000..72194e3c --- /dev/null +++ b/mat/18/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwambia mfano wanafunzi wake + +# Kisha bwana wa mtumishi yule akamwita + +"Kisha mfalme akamwita mtumwa wa kwanza" + +# ulinisihi + +"uliniomba + +# Je, haukutakiwa kuwa na huruma kwa mtumwa mwenzio? + +Mfalme anatuma swalikumkalipia mtumwa wa kwanza. "ulitakiwa ... wewe" + diff --git a/mat/18/34.md b/mat/18/34.md new file mode 100644 index 00000000..d8aab0c8 --- /dev/null +++ b/mat/18/34.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamalizia mfano wake juu ya msamaha na upatanishi + +# Maelezo kwa ujumla + +Huuni mwaisho wa shsemu y a simulizi iliyoanzia 18:1 mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya maisha katika ufalme wa mbinguni. + +# Bwana wake + +"Mfalme" + +# kumkabidhi kwa + +"alimtoa kwa" inawezekena kuwa mfalme mwenyewe hakumkabidhi yule mtumwa wa kwanza kwa watesaji," "Aliwaagiza watumwa wake wamkabidhi" + +# kwa watesaji + +"kwa wale ambao wangemtesa" + +# alichokuwa anadaiwa + +Hii inaweza kutafasiriwa kwa mafumo tendaji. Kile ambacho mfalme alimdai yule mtumwa wa kwanza" + +# baba yangu wa mbinguni + +Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu ya Yesu. + +# mmoja wenu ... kwenu + +Viwakilishi vyote hivi viko katika wingi. Yesu anaongea na wanafunzi wake, lakini mfanohuu unafundisha ukweli ambao unaweza kutumiwa na waamini wote + +# ndugu yake + +"ndugu yake" + +# moyoni mwenu + +Hii ni nahau. "kwa ukweli" au "kwa ukamilifu" + diff --git a/mat/19/01.md b/mat/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..bebb0e4c --- /dev/null +++ b/mat/19/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Huu ni mwanzo wa simulizi jipyaamabalo linanaishia 22:45, ambayo inaonesha Yesu akihudumia huko Yudea + +# Maelezo kwa ujumla + +Mistari hii inatoa historia ya jinsi Yesu alivyokuja Yudea + +# Ilitokea wakati + +Habari inaeleza jinsi Yesu alivyositisha mafundisho yake kwenda tukio lililofuata + +# Alipomaliza maneno hayo + +kile Yesu alichofundisha kuanzi 18:1 + +# akaondoka + +"alitembea kutoka" au "akatoka" + diff --git a/mat/19/03.md b/mat/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..a999db61 --- /dev/null +++ b/mat/19/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kufundisha juu ya ndoa na talaka + +# wakamjia + +"walikuja kwa Yesu + +# wakaimjaribi wakisema + +kujaribu limetumika kwa maana hasi. "wakamkosoa kwa kumuuliza" au "walitaka kumkamata kwa kumuuliza" + +# Hamkusoma kwamba yeye aliyewaumba mwanzo aliwauumba mume na mke? + +Yesu anatumia swali kuwajibu Mafarisayo. "Kwa hakika mmesoma kwamba mwanzo Mungu aliwaumba watu,aliwaumba"mume na mke + diff --git a/mat/19/05.md b/mat/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..2c544be4 --- /dev/null +++ b/mat/19/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mstari wa 5, Yesu ananukuu kutoka Mwanzo kuonesha kuwa Mume na mke hawatakiwi kuachana + +# Na yeyealiyewaumba pia alisema, 'kwa sababu hii ...mwili mmoja? + +Huu ni mwandelezo wa swali ambal oYesu alilitumia kuwaliza Mafarisayo katika 19:3. Hii nukuu ya moja kwa moja inaweza kuelezwa kama nukuu isyo ya moja kwa moja. Kwa hakika mnajua kuwa Mungu alisema kuwa kwa sababu hii...mwili mmoja. + +# kwa sababu hii + +sababu ya mwanamume kumwacha baba na mama ni kwamba Mungu alimuumba mwanamke kuwa msaidizi wa mwanamume + +# Ungana na mke wake + +"Kaa na mke wake" + +# Na wale wawili watakuwa mwili mmoja + +"watakuwa kama mwili mmoja" + +# Hivyo si wawili tena, bali mwili mmoja + +Kwahiyo mwanamume na mwanake siwawil tena bali mwili mmoja" + diff --git a/mat/19/07.md b/mat/19/07.md new file mode 100644 index 00000000..7b696b82 --- /dev/null +++ b/mat/19/07.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Wakamwambia + +"Mafarisayo walimwambia Yesu" + +# Tuamuru + +"Amuru sisi Wayahudi" + +# Hati ya talaka + +Waraka unaohalalisha kisheria mwisho wa ndoa + +# kwa sabau ya ugumu wa mioyo yenu + +kwa sababu ninyi ni wasumbufu + +# kwa ugumu ... aliwaruhusu ....wake zenu + +wewe na yenu ziko katika wingi. Yesu anaongea na Mafarisayo, lakini Musa aliwapa shaeria hii miaka mingi iliyopita kwa mababu zao. amri ya Musa ilitumika kwa Wayahudi wote. + +# tangu mwanzo + +"Wakati Mungu alipomuumba mume mke hakupanga waachane" + +# nawaambieni + +anaongeza msisitizo + +# na kumwoa mwingine + +na kumwoa mwanamke mwingine + +# Na mwanaume anayemwoa mwanamke ambaye ameachwa amefanya uzinzi + +Maandishi mengi ya mwanzo hayajumuishi maneno haya. + diff --git a/mat/19/10.md b/mat/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..fb4bc790 --- /dev/null +++ b/mat/19/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walioruhusiwa + +wale ambao Mungu amewaruhusu au ambao Mungu huwaruhusu + +# kwa kuwa wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama + +kwa kuwa kuna wanaume waliozaliwa kuwa matowashi + +# Matowashi waliojifanya matowashi + +kuna matowashi waliofanywa kuwa matowashi + +# kuna matowashi waliojifanya kuwa matowashi + +inawweza kumaanisha 1)wanaume waliojifanya wenyewe kwa kutoa sehehmu zao za siri 2) wanaume waliochagua kutokuoana ni wasafi katika swala la zinaa. + +# kwa ajili ya ufalme wa mbinguni + +ualame wa mbinguni inamaanisha Mungu kutawala kama mfalme + +# Pokea mafundisho haya...pokea + +Anayeweza kupokea mafundisho haya na ayapokee." + diff --git a/mat/19/13.md b/mat/19/13.md new file mode 100644 index 00000000..85d21450 --- /dev/null +++ b/mat/19/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anawapokea na kuwabariki wat.oto wadogo + +# Kisha akaletewa baadhi ya watoto wadogo + +watu baadhi wakaleta watoto wadogo kwa Yesu + +# Kibali + +"Ruhusu" + +# Msiwazuie kuja kwangu + +Msiwazuie kwa kuja kwangu + +# Kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu kama hao + +Mungu kuwa mfalme kwa watu anaowatawla + +# ni wa watu kama hao + +ni wa watu kama watoto + diff --git a/mat/19/16.md b/mat/19/16.md new file mode 100644 index 00000000..88d681c9 --- /dev/null +++ b/mat/19/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaongelea habariya mtu tajiri na jinsi iwezavyo kumgharimuamafuatapo Yesu + +# Tazama + +Mwandishi anamweka mtu mpya kwenye habari.Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kufanya hivyo. + +# Kitu kizuri + +kitu kinachompendeza Mungu + +# kwa nini unaniuliza ni kitu gani kizuri + +usiniulize juu ya kitu kilicho kizuri + +# kuna mmoja tu aliye mwema + +"Mungu pekee ndiye mwema aliyekamilka" + +# kuingia uzimani + +"ikupokea uzima wa milele" + diff --git a/mat/19/18.md b/mat/19/18.md new file mode 100644 index 00000000..5928ed0e --- /dev/null +++ b/mat/19/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mpende jirani yako + +Wayahudi waliamni kuwa majirani zao ni wayahudi tu. Yesu alipanua maana ya jirani il kujuisha watu wote. + diff --git a/mat/19/20.md b/mat/19/20.md new file mode 100644 index 00000000..9f02ea4d --- /dev/null +++ b/mat/19/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama ukitaka + +"kama unataka" + +# uwape masikini + +kwa wale amabao ni masikini + +# utakuwa na hazina mbinguni + +Mungu atakuzawadia mbinguni + diff --git a/mat/19/23.md b/mat/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..a55d58a1 --- /dev/null +++ b/mat/19/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesuanawaeleza wanafunziwake zawadi ya kutokutafuta mali ya hapa duniani na uhusianao wa kumfuata yeye. + +# kweli nawaambia + +nawaambia ukeli. huunimsisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye + +# kuingia katika ufalme wa mbinguni + +kumpokea Mungu wa mbinguni kama mfalme wetu. + +# ni rahisi ... ufalme wa mbinguni + +Yesu anatumia mbalagha kusisitiza kuwa ni vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu. + +# Tundu la sindano + +Tobo katika mwisho wa sindano kwa kupitishia uzi + diff --git a/mat/19/25.md b/mat/19/25.md new file mode 100644 index 00000000..5cd9dbb8 --- /dev/null +++ b/mat/19/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakashangaa sana + +"wanafunzi wameshtushwa au kushangazwa." walishangazwa kwa sababu waliamini kuwa na utajiri ilikuwa ishara ya kukubarika kwa Mungu + +# Ni nani basi atakayeokoka? + +Kwa hiyo hakuna ambayae Mungu atamwokoa" au "hakuna ambaye atapokea uzima wa milele + +# Tumeacha kila kitu + +"tumeacha utajiri wetu wote" au "tumeacha miliki yetu yote" + +# Hivyo tutapata nini? + +"Kitu gani kizuri Mungu atakachotupa?" + diff --git a/mat/19/28.md b/mat/19/28.md new file mode 100644 index 00000000..df4e7f21 --- /dev/null +++ b/mat/19/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kweli nawaambia + +msisistizo wa kile kinachofuatia + +# kaika uzao mpya + +"wakatimpya" inamaanisha wakatiMungu akirudisha kila ktu" au "wakati ule ambao Mungu atafanya kila kitu kuwa kipya. + +# Mwana wa Adamu + +Yesuanaonge juuyake mwenyewe + +# atakapoketikatika kiti cha enzi + +Kukaa katika enzi kunamaanisha kutawala kama mfalme. enzi yake kuwa tukufu minawakilisha "utawala wake kuwa wa utukufu" au "kutawala kwa utukufu kama mfalme" + +# mtaketi juu ya viti kumi na viwili vya enzi + +Hapa "enzi" inamaanisha kutawala kama mfalme. Wanafunzi hawatakuwa sawa na Yesu ambaye pia yuko kwenye enzi.. Watapokeamamlaka kutoka kwake."kukaa kama kwenye enzi 12" + +# makabila kumi na mawili ya Israel + +Hapa "makabila" inamaanisha wtu kutoka kabila hizo + diff --git a/mat/19/29.md b/mat/19/29.md new file mode 100644 index 00000000..cf1e9464 --- /dev/null +++ b/mat/19/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa ajili ya jina langu + +hapa "jina" linamaanisha nafasi nzima. "kwa sababu yangu" au " kwa sababu ananiamini mimi" + +# atapata mara mia + +Kupokea kutoka kwa Mungu mara 100 na vitu vingine vizuri kama walivyoacha + +# kuurithi uzima wa milelel + +Hii ni nahau inayomaanisha "Mungu atawabariki na uzima wa milele" au "Mungu atawafanya kuishi milele + +# Lakini wengi walio wa kwanza sasa, watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwawa kwanza. + +Yesu analinganisha kizazi hiki na kile kijacho. Wale ambao ni wa muhimu sasa Mungu atawafanya kuwa si wa muhimu atakapoanzisha utawala wake hapa duniani. Wale wanaoonekana si wa muhimu leo Mungu atawafanya kuwa wa muhimu atakapoanzisha utawala wake. + diff --git a/mat/20/01.md b/mat/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..1ce1382b --- /dev/null +++ b/mat/20/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaelzea mfano wa mtu mmoja aliyekuwa anamiliki shamba anayeajiri wafanya kazi, ili kufafanua jinsi atakavyowalipa watu wa ualme wake. + +# Kwa maana ufalme wa mbinguni unafanana + +Tazama 13:24 + +# Baada ya kukubaliana + +"baada ya mmiliki wa shamba kukubaliana" + +# Dinari moja + +"malipo ya kibarau ya siku moja" + +# aliwatuma kwenda katika shamba lake la mizabibu + +aliwatuma kwenda kufanya kazi katika shamba lake + diff --git a/mat/20/03.md b/mat/20/03.md new file mode 100644 index 00000000..285c3236 --- /dev/null +++ b/mat/20/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendela kuelza mfano + +# Alienda tena + +"Mmiliki wa shamba alienda tena" + +# baada ya masaa matatu + +saa ya tatu ni sawa na saa tatu asubuhi + +# wamesimama bila kazi katika eneo la soko + +"Wamesisma eneo la soko pasipo kufanya kazi yeyote" + +# eneo la soko + +Hili ni eneokubwa la wazi ambapowatu huuza na kununua chakula na bidhaa zingine. + diff --git a/mat/20/05.md b/mat/20/05.md new file mode 100644 index 00000000..b6530a8b --- /dev/null +++ b/mat/20/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kusimulia mfano + +# akaenda tena + +"Mmiliki wa shamba akaenda tena" + +# saa ya sita + +saa ya sita ni sawa na sasa sita mchana. saa ya tisa ni sawa na saa tisa mchana + +# alifanya hivyo hivyo + +Hii inamaanisha yule mmilikiwashamba alienda sokono kuaajiri atu wengine + +# saa ya kumi n a moja + +Hii ni sawa na saa kumi na moja mchana + +# bila kazi + +"bila kufanya chochote" au "bila kuwa na kazi yote" + diff --git a/mat/20/08.md b/mat/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..0f2adced --- /dev/null +++ b/mat/20/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kueleza mfano + +# kwa kuanza na wa mwisho hadi wa kwanza + +Waweza kuzi kuyafanya maelezo h aya yaeleweke kwa uwazi. "Kwa kuanza na wafanyakazi niliowaajiri mwishoni, kisha lipa wafanyakazi niliowaajiri kwanza" + +# walioajiriwa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "wale aliowaajiri mwenye shamba" + +# Dinari moja + +"malipo kibarua ya siku moja" + diff --git a/mat/20/11.md b/mat/20/11.md new file mode 100644 index 00000000..810e5538 --- /dev/null +++ b/mat/20/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Yesu anaendelea kueleza mfano + +# Baada ya kupokea + +"pindi wafanyakazi waliofanya kazi kwa muda mrefu walipopokea" + +# Mmiliki wa shamba + +"mmiliki shamba" au "mwenye mizabibu" + +# umewalinganisha na sisi + +"umewalipa kiasi kilekile cha fedha sawa na ulivyotulipa" + +# Sisi tumebeba mzigo kwa siku nzima na kuungua na joto + +Kirai "tumebeba mzigo kwa siku nzima" ni nahau inayomaanisha kuwa "sisi ambao tumefanya kazi kwa siku nzima tukiungua na joto la jua" + diff --git a/mat/20/13.md b/mat/20/13.md new file mode 100644 index 00000000..f71ede2d --- /dev/null +++ b/mat/20/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kueleza mfano + +# Mmoja wao + +"mmoja wa wafanyakazi waliofanyakazi kwa muda mrefu + +# Rafiki + +Tumia neno ambalo mtu moja angelitumia kumtambulisha mtu mwingine ambaye anamkemea kwa upole + +# Je, hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja + +Mmilki wa shamba anatumia swali kumkemea mfanykazi aliyekuwa akilalamika. "tumeshakubaliana kuwa nitakulipa dinari moja" + +# Dinari moja + +"malipo ya kibarua ya siku moja" + diff --git a/mat/20/15.md b/mat/20/15.md new file mode 100644 index 00000000..4c62731d --- /dev/null +++ b/mat/20/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anahitimisha mfano wake juu ya mmiliki wa shamba aliyeajili wafanya kazi + +# Je! si haki kwangu kufanya kile ninachotaka juu ya mali zangu? + +Yule mmiliki wa shamba anatumia swali kuwanyamazi wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Ninaweza kufanya chochote ninachotakajuuya mali yangu" + +# Au jicho lako ni ovu kwa sababu mimi ni mwema? + +Yule mmiliki wa shanba anaatumia swali kuwanyamazisha wale wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Msiwe na wivu kwa sababu ya ukarimu wangu kwa watu wengine + +# Au mnaona wivu kwa sababu ya ukarimu wangu? + +Yule mmiliki w a shamba anatumia swali kuwanyamazisha wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Msione wivu kwa sababu ya ukarimu kwa watu wengine" + +# wa mwisho atakuwa wa kwanza na kwanza atakuwa wa mwisho. + +Tazama 19:29 + +# Hivyo wa mwisho atakuwa wa kwanza + +Yesu anasema kwa kuhitimisha kwa mfano huu. "Ndipo Yesu aliposema. 'wa mwisho atakuwa wa kwanza'" + diff --git a/mat/20/17.md b/mat/20/17.md new file mode 100644 index 00000000..22ed1ed0 --- /dev/null +++ b/mat/20/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anatabiri juu ya kifo na ufufuo wake kwa mara ya tatu wakati akisafiri na wanafunzi wake + +# alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu + +Yesu alikuwa juu ya mlima kwa hiyo watu walipanda kwenda pale. + +# Tazama tunaelekea + +Yesu anatumia neno "tazama" ili kuwajengea usikivu wanafunzi wake juu kile anachotaka kuwaambia. + +# tunaelekea + +Kiwakilishi "tu" kinamaanisha Yesu na wanafunzi wake. + +# Mwana wa Adamu atatiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "mtu fulani atamtoa Mwana wa Adamu" + +# mwana wa Adamu ... watamhumkumu ... ata + +Yesu anaongea juu yake akitumia nafsi ya tatu. Kama inawezekana unaweza kutafsiri hii kwa kutumia nafsi ya kwanza + +# Watamtoa.. ili kumdhihaki + +Makuhani wakuu na waandishi watamhukumu na kumtoa kwa watu wa mataifa, na watu wa mataifa watamdhihaki. + +# kumchapa + +"kumchapa" au "kumpiga kwa mijeredi" + +# siku ya tatu + +siku ya 3 + +# atafufuka + +Hi inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu atamfufua" + diff --git a/mat/20/20.md b/mat/20/20.md new file mode 100644 index 00000000..2f02b762 --- /dev/null +++ b/mat/20/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Akijibu swali ambalo Yesu aliulizwa na mama wa wale wanafunzi wawili, Yesu anafundisha wanafunzi wake juu ya mamlaka na kuwatumikia wengine katika ufalme wa mbinguni + +# Wana wa Zebedayo + +Hii inamaanisha Yakobo na Yohana + +# mkono wako wa kulia ... mkono wako wa kushoto + +Maana yake ni uwezo wa kuwa na nguvu, mamlaka, na heshima. + +# katika ufalme wako + +Hapa "ufalme inamaanisha utawala wa Yesu kama mfalme. "utakapokuwa mfalme" + diff --git a/mat/20/22.md b/mat/20/22.md new file mode 100644 index 00000000..f2c8e62d --- /dev/null +++ b/mat/20/22.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Haujui + +Hapa "ham" iko katika wingi na inamaanisha mama na watoto + +# Je! unaweza + +Hapa "mna" ni wingi, lakini Yesu anasema na wale wana wawili. + +# kukinywea kikombe ambacho nitakinywea + +Hii ni nahau inayomaanisha kupita katika mateso. "kupitia mateso ambayo punde nitayapitia" + +# wakamwambia + +"wale wana wa Zebebdayo walimwambia" au "Yakobo na Yohana walisema" + +# kikombe changu hakika mtakinywea + +Hii ni nahau kupitia dhiki. "kwa hakika mtateseka kama nitakavyoteseka + +# mkono wa kulia ... mkono wa kushoto + +tazama 20:20 + +# ni kwale ambao imekwisha kuandaliwa na baba yangu + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Baba yangu amekwisha kuyaandaa hayo maeneo, na atawapatia wale anaowachagua. + +# Baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu kinachoonesha mahusiano kati ya Yesu na Mungu. + +# waliposikia hivyo + +"Waliposikia ambacho Yakobo na Yohana walimwuliza Yesu" + +# walihuzunishwa sana na wale ndugu wawili + +Kama inawezekana unaweza kukiweka wazi kilichowahuzunisha wale wanafunzi kumi. "Walikasirishwa sana na wale ndugu wawili kwa sababu kilammoja wao alitaka kuketi kwenye upande wa heshima karibu na Yesu. + diff --git a/mat/20/25.md b/mat/20/25.md new file mode 100644 index 00000000..78b6124f --- /dev/null +++ b/mat/20/25.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamalizia kufundisha juu ya mamlaka na kuwatumikia wengine + +# aliwaita + +"aliwaita wale thenashara" + +# watawala wa wa mataifa huwatiisha, + +watawala wa mataifa hulazimisha watu wa mataifa kufanya kile watawala wanataka. + +# watawala wa mataifa + +"watawala wa watu wa mataifa" + +# huwatiisha + +"huwatawalawatu" + +# yeyote atakayetaka + +"yeyote atakaye" au "yeyote atamaniye" + +# kuwa wa kwanza + +"kuwa wa muhimu" + +# Mwana wa Adamu ... maisha yake + +Yesu anaonge juu yake mwenyewe kwa kutumia nafsi ya tatu. kama inawezekana unaweza kuitafsiri hii katika nafsi ya kwanza. + +# hakuja kutumikiwa + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Hakuja ili kwamba watu wengine wamtumikie" au "sikuja ili kwamba watu wengine wanitumikie" + +# bali kutumika + +"bali kuwatumikia watu wengiine" + +# na kutoa uhai wake + +Hii ni nahau. "kufa" + +# kuwa ukombozi kwa wengi + +Neno "ukombozi" htumika kwa maana ya kuwafanya wengine kuwa huru kutoka gerezani au utumwani. Hii ni sitiari ya Yesu kuwaokoa watu kutoka kwenye hukumu ya adhbu ya Mungu kwa ajili y a dhanbi zao + +# kwa wengi + +"kwa ajili ya watu wengi" + diff --git a/mat/20/29.md b/mat/20/29.md new file mode 100644 index 00000000..c0162922 --- /dev/null +++ b/mat/20/29.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanza na habari ya Yesu akiwaponya vipofu wawili + +# Wakati wakitoka + +Hii inaongelea wanafunzi na Yesu + +# ulimfuata + +"ulimfuata Yesu" + +# vipofu wawili wameketi + +Wakati mwingine jambo hili limetafsiriwa kama "Tazama kulikuwa na wanaume wawili weameketi." Mwandishi anatambulisha watu wawili kwenye hii habari. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulifanya jambo hili. + +# waliposikia + +"wale vipofu wawili waliposikia" + +# na waliona + +wakati mwingine hutafsiriwa , "Tazama" Mwandishi anamwambia msomaji kuwa makini kwa maelezo ya kushangaza yanayofuata. Lugha yako inaweza ikawa na njia fulani ya kufanya hivi. + +# Alikuwa akipita + +Alikuwa akitembea kati yao + +# Mwana wa Daudi + +Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, Kwa hiyoinaweza kutafsiriwa kama "kizazi cha mfalme wa Daudi." Hata hivyo "mwana wa Daudi " ni cheo cha Masihi, na huenda wale wanaume walikuwa wakimwita Yesu kwa cheo hiki. + diff --git a/mat/20/32.md b/mat/20/32.md new file mode 100644 index 00000000..50569b8c --- /dev/null +++ b/mat/20/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Aliwaita + +Aliwaita vipofu + +# je! mnatamani? + +"je! mnataka" + +# kwamba macho yetu yafumbuliwe + +Kirai cha "macho yetu yafumbuliwe" ni nahau inayomaanisha kuweza kuona tena. "tunataka utufanye kuona" au "tunataka uwezo wa kuona" + +# akiwa amevutwa na huruma + +"kuwa na hurma" au "kusukumwa na huruma kwa ajili yao" + diff --git a/mat/21/01.md b/mat/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..f16ca40d --- /dev/null +++ b/mat/21/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya Yesu akiingia Yerusalemu. Yesu anawapa maalekezo ya kile wanachopaswa kufanya. + +# Bethfage + +Hikini kijiji kilichoko karibu na Yerusalemu + +# mwanapunda amefungwa + +"mwanapunda ambaye amefungwa na mtu" + +# amefungwa pale + +"amefungwa kwenye nguzo" au "amefungwa kwenye mti. + diff --git a/mat/21/04.md b/mat/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..4bfbccb1 --- /dev/null +++ b/mat/21/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hapa mwandishi anamnukuu nabii Zecharia kuonesha kuwa Yesu anataimiza unabii kwa kumpanda mwanapunda kuelekea Yerusalemu. + +# Sasa + +Hili neno limetumika hapa kuonesha mwanzo wa habari mpya. Hapa Mathayo anafafanua jinsi matendo ya Yesu yanatimiza maandiko + +# Jambo hili lilitokea lile lililonenwa ili kupitia kwa nabii litimizwe + +Jambo hili linaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Hili lilitokea ili Yesu atimize kile alichosema Mungu kupitia manabii tangu zamani za kale" + +# kupitia kwa nabii + +"kupitia kwa nabii Zekaria" + +# Binti wa sayuni + +Binti wa mji inamaanisha watu wa ule mji. "watu wa mji ule" au"watu waishio Sayuni" + +# Sayuni + +Hili ni jina jingiine la Yerusalemu + +# Mwanapunda mme, mwanapunda mchanga + +Neno mwanapunda na mwanapunda mchanga inamaanisha mnyama yuleyule, haimaanishi wanyama wawili tofauti + +# mwanapunda + +dume changa la punda + diff --git a/mat/21/06.md b/mat/21/06.md new file mode 100644 index 00000000..d3cea4ed --- /dev/null +++ b/mat/21/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mavazi + +Makutano wakatandaka mavazi yao chini, na wengine wakakata matawi ya miti wakayatandika barabarani + diff --git a/mat/21/09.md b/mat/21/09.md new file mode 100644 index 00000000..678ba573 --- /dev/null +++ b/mat/21/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hosana + +Neno la Kiebrania linalomaanisha "Tuokoe" lakini pia linaweza kumaanisha "Kumsifu Mungu!" + +# Mwana wa Daudi + +Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, kwa hiyo hii inaweza kutafsiriwa kama "kizazi cha mfalme Daudi. Lakini pia, "Mwana wa Daudi" ni cheo cha Masihi, Huenda makutano walikuwa wakimwita Yesu kwa cheo hiki. + +# kwa jina la Bwana + +Hapa "kwa jina la Bwana" inamaanisha "kwa nguvu ya Bwana" au "kama mwakilish wa Bwana" + +# Hosana juu zaidi + +Neno "juu zaidi" linamaanisha Mungu atawalaye kutoka juu mbinguni. "Mungu asifiwe, ambaye yuko juu mbinguni" au "Sifa kwake Mungu" + +# Mji mzima ulitaharuki + +Neno "mji" linamaanisha wakazi wa mji huo. "Watu wengi mjini kote walitaharuki" + diff --git a/mat/21/12.md b/mat/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..1da12693 --- /dev/null +++ b/mat/21/12.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya Yesu alipoingia Hekaluni + +# Maelezo kwa ujumla + +Katika msari wa 13, Yesu anamnukuu nabii Isaya kuwakememea wachuuzina wabadilishaji wa fedha. + +# Yesu akaingia hekaluni + +Yesu hakuliingia lile hekalu halisi. Aliingia kwenye lile korido la hekalu + +# waliokuwa wakinunua na kuuza + +Wachhuzi waliokuwa wakiuza wanyama na bidhaa ziingine ambavyo wasafiri walinunua ili wapate sadaka halisi ya kutoa hekeluni. + +# Akawaambia + +"Yesu aliwaambia wale waliokuwa wanabadilisha fedha na kununua na kuuza vitu" + +# Imeandkikwa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Nabii aliandika zamani za kale" au "Mungu alishasema tangu zamani + +# Nyunba yangu itaitwa + +"Nyumba yangu itaitwa" + +# Nyumba yangu + +Kiwakilishi "yangu" kinamaanisha Mungu "Nyumba" inamaanisha hekalu + +# nyumba ya maombi + +"mahali ambapo watu wataomba + +# Pango la wanyang'anyi + +Yesu anatumia sitiari kuwakemea watu wanouza na kununua bidhaa hekaluni. "Kama mahali ambapo wanyang'nyi hujificha" + +# vipofu na vilema + +wale waliokuwa vipofu na vilema" + +# mlemavu + +kuwa na mguu ulioumia ambao unaosababisha kutembea kwa tabu" + diff --git a/mat/21/15.md b/mat/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..d445ccc9 --- /dev/null +++ b/mat/21/15.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mstari wa 16,Yesu anatumia nukuu toka Zaburi kuthibitisha jinsi watu walivyokuwa wamemwitikia + +# maajabu aliyoyataenda + +"vitu vya kushangaza" au "miujiza." Hii inamaanisha Yesu alivyowaponya vipofu na vilema kati ka 21:12 + +# Hosana + +Tazama 21:9 + +# Mwana wa Daudi + +Tazama 21:9 + +# walishikwa na hasira + +Inamaanisha kuwa walishikwa na hasira kwa sababu hawakuamini kuwa Yesu ndiyo Kristo na hawakutaka watu wamsifu. "Walikasirika sana kwa sababu watu walikuwa wanamsifu" + +# umesikia kile kinachosemwa na hawa watu? + +Wakuu wa Makuhani na waandishi wanauliza swali hili kumkemea Yesu kwa sababu wanamchukia, "Usiwaruhusu watu kusema mambo haya juu yako" + +# Lakini hamjawahi kusoma ... sifakamili? + +Yesu anauliza swali hili kuwakumbusha wakuu wa makuhani na waandishi kile walichosoma kwenye maandiko. "Naam, nawasikia, lakini inawapasa mkumbuke mlichokisoma katika maandiko ... sifa" + +# Lakini hamkusoma...sifu'? + +"Ndiyo nimewasikia lakini mnatakiwa kukumbuka mlichokisoma katika maandiko matakatifu...sifu'." + +# kutoka kwa midomo ya watoto na watoto wachanga mnayo sifa kamili + +Kirai hiki "kutoka kwenye midomo" kinamaanisha kuongea. "uliwafanya watoto na watoto wachanga kusema sifa kamili" + +# Yesu akawaacha + +"Yesu aliwaacha makuhani wakuu na waandishi" + diff --git a/mat/21/18.md b/mat/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..7bbf489d --- /dev/null +++ b/mat/21/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anatumia mtini kuwafundisha wanafunzi juu ya imani na maombi + +# Sasa + +Hili neno limetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaeleza kuwa Yesu alikuwa na njaa na ndiyo sababu anasimama kwenye ule mtini. + +# ukanyauka + +"ukafa" + diff --git a/mat/21/20.md b/mat/21/20.md new file mode 100644 index 00000000..45a952c6 --- /dev/null +++ b/mat/21/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Imekuwaje mtini umenyauka mara moja? + +Wanafunzi wanatumia swali kuonesha mshangao wao. "Tumeduwaa kuona kuwa ule mtiini umenyauka haraka!" + +# kweli nawaambieni. + +"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaonggeza msisitizo wa kile Yesu anachosema baadaye. + +# kama mkiwa na imani na bila wasiwasi + +kama mtaamini kwa ukweli + +# kunyauka + +"kukauka na kufa" + +# mtauambia hata huo mlima, 'uchukuliwe na kutupwa baharini; + +mtaweza kuumbia mlima huu kuondoka na kutupwa baharini" + +# itafanyika + +itatokea + diff --git a/mat/21/23.md b/mat/21/23.md new file mode 100644 index 00000000..709df876 --- /dev/null +++ b/mat/21/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya viongozi wa dini wakimhoji Yesu + +# alipofika hekaluni + +Inamaanisha kuwa Yesu hakuingia hekaluni ndani. Aliingia kwenye korido la hekalu + +# mambo haya + +Hii inamaanisha mafundisho na uponyaji wa Yesu mle hekaluni. Pia inaweza kumaanisha tukio lililofanyika siku moja kabla la Yesu kuwafukuza wanunuzi na wachuuzi. + diff --git a/mat/21/25.md b/mat/21/25.md new file mode 100644 index 00000000..7a21d793 --- /dev/null +++ b/mat/21/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwajibu viongozi wa dini + +# ulitoka wapi + +"alipata mamlaka toka wapi?" + +# tukisema, ulitoka mbinguni; atatuambia, kwa nini hamkumwamini? + +"kama tukisema kuwa tunaamini kuwa Yohana alipokea mamlaka toka mbinguni, Yesu atatuuliza kuwa kwa nini hatukumwamini Yohana" + +# Toka mbinguni + +"mbinguni" inamaanisha Mungu."Kutoka kwa Mungu mbinguni" + +# Kwa nini hamkumwamini? + +Basi mngekuwa mmemwamini Yohana Mbatizaji" + +# lakini tukisema, 'ulitoka kwa watu' + +"lakini kama tukisema kuwa tunaamini kuwa Yohana alipokea mamlaka kutoka kwa watu" + +# tunawaogopa watu + +tunaogopa kile makutano watakachotufikiria au kile watakachotufanyia" + +# Wote wanamwona Yohana kama nabii + +"Wanaamini kuwaYohana ni nabii" + diff --git a/mat/21/28.md b/mat/21/28.md new file mode 100644 index 00000000..649ccaff --- /dev/null +++ b/mat/21/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anatumia mfano wa wana wawili kuwakemea viongozi wa dini na kufafanua kutokuamini kwao + +# Lakini mnafikiri nini? + +Yesu anatumia swali ili kuwafanya viongozi wa dini wafikirie zaidi juu ya mfano aliotaka kuwaambia. "Niambieni mnafikiri nini juu ya kile ninachotaka kuwaambia" + +# akabadilisha mawazo yake + +Hii inamlenga yule mwana akifikiri kana kwamba alikuwa na fikra zaidi ili achague + diff --git a/mat/21/31.md b/mat/21/31.md new file mode 100644 index 00000000..45fe2cb1 --- /dev/null +++ b/mat/21/31.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Wakasema + +"Makuhani wakuu na wazee walisema" + +# Yesu akawaambia + +Yesu aliwaambia wakuu wa makuhani na wazee" + +# Kweli nawaambieni + +"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atasema baadaye + +# Wakusanya ushuru na makahaba wataingia kwenye ufalme wa Mungu kabla Yenu kuingia + +Neno "ufalme wa Mungu" linamaanisha utawala wa Mungu kama Mfalme. "Mungu atakaposimamisha utawalawake duniani, atawabariki watoza ushuru na makahaba kwa kuwatawala kabla ya kufanya hivyo kwenu" + +# kabla yenu kuingia + +Yaweza 1)Yesu atawapokea watoza ushuru na makahaba kabla ya kuwapokea viongozi wa dini 2) Mungu atawapokea watoza ushuru na makahaba badala ya kuwapokea viongozi wa dini wa Kiyahudi + +# Yohana alikuja kwenu + +Kiwakilishi cha "ninyi" ni cha wingi na kinamaanisha watu wote wa Israel na wala si viongozi wadini tu. "Yohana alikuja kwa watu wa Israel" + +# kwa njia iliyo nyoofu + +Hii ni nahau inayomaanisha kuwa Yohana aliwaonesha watu njia sahihi ya maisha. "na aliwaambia njia sahihi ambayo Mungu anataka ninyi muishi" + +# hamkumwamini + +kiwakilishi cha"hamku.." ni cha wingi. nacho kinamaanisha viongoziwa dini. + diff --git a/mat/21/33.md b/mat/21/33.md new file mode 100644 index 00000000..9758199b --- /dev/null +++ b/mat/21/33.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Kuwakemea viongoziwa dini na kufafanua kutokuamini kwao, Yesu anaeleza mfano wa watumishi wapinzani. + +# Mtu mwenye eneo kubwa la aridhi + +"mtu anayemiliki sehemu ya mali" + +# uzio + +"ukuta" au "kizuizi" + +# akachimba shinikizo + +"alichimba shimo la kukamulia zabibu" + +# akalikodisha kwa watunza zabibu + +"kuwaweka wakulima wa mizabibu kuwa wasimamizi wa shamba la mizabibu" Mwenye shamba bado ni mmliki wa shamba. + +# Wakulima wa mizabibu + +watu waliojua jinsi ya kutunza mizabibu na divai + diff --git a/mat/21/35.md b/mat/21/35.md new file mode 100644 index 00000000..cf790888 --- /dev/null +++ b/mat/21/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuelezea mfano + +# Watumishi wake + +Watumwa wa "Mtu mwenye shamba kubwa" + diff --git a/mat/21/38.md b/mat/21/38.md new file mode 100644 index 00000000..3e3a50a0 --- /dev/null +++ b/mat/21/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuelezea mfano. + diff --git a/mat/21/40.md b/mat/21/40.md new file mode 100644 index 00000000..b878d811 --- /dev/null +++ b/mat/21/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sasa + +Neno "sasa" halimaanisha "wakati huu," bali limetumika kuvuta usikivu kwa ajili ya fundisho linalofuata. + +# Wakamwambia + +"Watu wakamwambia Yesu" + diff --git a/mat/21/42.md b/mat/21/42.md new file mode 100644 index 00000000..5a152798 --- /dev/null +++ b/mat/21/42.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kuelezea mafano wa watumishi wapinazani + +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu anamnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba Mungu atamheshimu yule ambaye viongozi wa dini wanamkataa. + +# Yesu akawaambia + +Tazama 21:40 + +# Hamkusomakatika maandiko ... machoni'? + +"Fikiria juu ya kile ambacho mmesoma ... macho" + +# Jiwe waliliolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni + +Yesu ananukuu kutoka Zaburi. Hii ni sitiari inamaanisha viongozi wa dini, kama wajenzi, watamkataa Yesu, lakini Mungu atamfanya kuwa wa muhinmu katika ufalme wake, kama jiwe kuu la pembeni katika ujenzi. + +# limekuwa jiwe kuu la pembeni + +"limekuwa jiwe kuu la pembeni" + +# Hili lilitoka kwa Bwana + +"Bwana ndiye aliyefanya haya mabadiliko + +# inashangaza machoni petu + +Kirai cha "machoni petu" kinamaanisha kuona. "ni maajabu kuona" + diff --git a/mat/21/43.md b/mat/21/43.md new file mode 100644 index 00000000..68e626dc --- /dev/null +++ b/mat/21/43.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nawaambieni + +Hii inaongeza msisitizo juu ya kile ambacho Yesu anasema baadaye + +# wa.. + +Kiwakilishi cha wa... ni cha wingi. Yesu alikuwa anaongea na viongozi wa dini na Wayahudi pia katika ujumla wao. + +# Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwenu na kupewa taifa linalojali matunda yake + +Neno "ufalme wa Mungu" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "Mungu atawakataa, Wayahudi, na atakuwa mfalme wa watu toka mataifa mengine watakaozaa matunda" + +# linalojali matunda yake + +Hii ni nahau inayomaanisha utii. "wale wanaotii amri za Mungu" + +# Yeyote atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa vipandevipande. + +Neno "jiwe hili" nijiwe sawa na lile la 21:42. Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa Kristo atamharibu mtu yeyote anayempinga. "Jiwe litamvunjavunja yeyote anayeanguka juu yake" + +# Kwa yeyeote litayemwangukia litamsaga + +Hiki ni krai kinachoonesha kuwa Kristo ndiye atakuwa hakimu wa mwisho na atamharibu kila mtu atakayempinga. + diff --git a/mat/21/45.md b/mat/21/45.md new file mode 100644 index 00000000..583f8027 --- /dev/null +++ b/mat/21/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Viongozi wa dini wanamwinukia Yesu juu ya mfano ambao Yesu alifundisha + +# Mifano yake + +Mifano ya Yesu + diff --git a/mat/22/01.md b/mat/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..412c0843 --- /dev/null +++ b/mat/22/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Kuwakemea viongozi wa dini na kuonesha kutokuamini kwao, Yesuanafundisha mfano wa sherehe ya harusi + +# nao + +"watu" + +# Ufalme wa mbinguni unafanana na. + +Tazama 13:24 + +# Wale wote waliokuwa wamealikwa. + +"Watu ambao mfalme alikuwa amewaalika." + diff --git a/mat/22/04.md b/mat/22/04.md new file mode 100644 index 00000000..c533c226 --- /dev/null +++ b/mat/22/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesuanaendelea kuelezea mfano + +# watumishi wengine, akisema waambieni wote walioalikwa + +akawaamuru, watumishi wawaambie wale aliowaalika. + +# Angalieni + +"Angalia" au "Sikiliza" au "Kuwa msikivu kwa kile ninachotaka kukuambia." + +# Fahali na ndama wangu wameuawa + +Inamaanisha kuwa wale wanyama wameshapikwa na wako tayari kwa kuliwa. "Watumishi wangu wamechinja na wamewapika mafahali na ndama wangu wanono" + +# Mafahali na ndama wangu wanono + +"Mafahali wangu na ndama wangu walio wazuri kwa kula" + diff --git a/mat/22/05.md b/mat/22/05.md new file mode 100644 index 00000000..cb43433b --- /dev/null +++ b/mat/22/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuelezea mfano + +# Hawakuzingatia kwa dhati. + +"Lakini wale wageni walioalikwa na mfalme walipuuzia" + +# akawaua wale wauaji + +Inamaanisha kuwa, askari wa mafalme waliawaua wale wauaji. + diff --git a/mat/22/08.md b/mat/22/08.md new file mode 100644 index 00000000..05f65a61 --- /dev/null +++ b/mat/22/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuelezea mfano + +# walioalikwa + +"Wale ambao nimewaalika" + +# Makutano ya njia kuu. + +"Mahali ambapo barabara hukutana." mfalme anawatuma watumishi kwenye maeneo ambayo wana uhakika mkubwa wa kupata watu. + +# wema na wabaya + +"watu wabaya na watu wema" + +# Hivyo ukumbi wa harusi ulijaa watu + +"kwa hivyo wageni waliujaza ukumbi wa harusi" + +# ukumbi + +chumba kikubwa + diff --git a/mat/22/11.md b/mat/22/11.md new file mode 100644 index 00000000..1df61793 --- /dev/null +++ b/mat/22/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuelezea mfano + +# ulipataje kufika hapa ndani bila vazi la harusi? + +"haujavaa vazi rasmi kwa ajili ya harusi. haupaswi kuwa hapa" + +# mtu huyo hakujibu kitu chochote + +"yule mtu alikuwa kimya" + diff --git a/mat/22/13.md b/mat/22/13.md new file mode 100644 index 00000000..0167b0d3 --- /dev/null +++ b/mat/22/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anahitimisha mfano wa harusi + +# mfungeni mtu huyu mikono na miguu + +"mfungeni kiasi kwamba hawezi kusogeza mikono na miguu" + +# nje katika giza kuu + +Tazama 8:11 + +# kilio na kusaga meno + +Tazama 8:11 + +# Kwa kuwa watu wengi wanaitwa lakini wateule ni wachahe + +"Kwa kuwa Mungu huwakaribisha watu wengi, lakini huchagua wachache" + +# kwa + +Neno hili linamaaisha mpito. Yesu anamaliza mfano na sasa ataeleza maana ya mfano + diff --git a/mat/22/15.md b/mat/22/15.md new file mode 100644 index 00000000..31c82d50 --- /dev/null +++ b/mat/22/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya viongozi wa dini wakipanga jinsi ya kumkamata Yesu kwa kutumia maswali mengi magumu. Hapa Mafarisayo wanamuuliza Yesu juu ya kulipa kodi kwa Kaisari. + +# Jinsi ya kumkamta Yesu katika maneno yake mwenyewe. + +"Jinsi ambavyo wangeweza kumsababisha Yesu kukosea katika kauli ili wamkamate" + +# wanafaunzi wao ... Maherode + +Wanafunzi wa Mafarisayo walikubaliana na swala kulipa kodi kwa mamlaka za Kiyahudi. Maherode walikubaliana na swala la kulipa kodi kwa mamlaka za Kirumi. kwa maana hiyo, Mafarisayo waliamini kuwa kwa vyote ambavyo Yesu angejibu; angelikosea moja ya makundi hayo. + +# Maherode + +Hawa walikuwa wafuasi na maofisa wa Herode mfalme wa Wayahudi. Alikuwa rafiki wa mamlaka za Kirumi. + +# Hauoneshi upendeleo kwa watu. + +"Huoneshi heshima ya kipekee kwa baadhi ya watu" au " haujali tu watu maarufu zaidi." + +# Kulipa kodi kwa kaisari + +Watu hawakulipa kodi moja kwa moja kwa Kaisari lakini kwa mmoja wa maofisa wake. "Kulipa kodi ambayo Kaisari alilitaka" + diff --git a/mat/22/18.md b/mat/22/18.md new file mode 100644 index 00000000..f7bb9b7c --- /dev/null +++ b/mat/22/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini mnanijaribu, enyi wanafiki? + +"msinijaribu mimi enyi wanafiki" au "Najua kuwa ninyi wanafiki mnajaribu kunijaribu!" + +# Dinari. + +Sarafu ya kirumi yenye thamani ya ujira wa siku. + diff --git a/mat/22/20.md b/mat/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..c05d2ddc --- /dev/null +++ b/mat/22/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wa + +kiwakilishi "wa" kinamaanisha Maherode na wanafunzi wa Mafarisayo. + +# Sura na jina hili ni vya nani + +Niambieni sura na jina mnavyoviona kwenye hii sarafu ni vya nani? + +# vya Kaisari. + +"Sarafu hii ina sura na jina la Kaisari" + +# vitu ambavyo ni vya Kaisari + +"Vitu ambavyo ni mali ya Kaisari" + +# Vitu ambavyo ni vya Mungu. + +"Vitu ambavyo ni mali ya Mungu." + diff --git a/mat/22/23.md b/mat/22/23.md new file mode 100644 index 00000000..16637dfd --- /dev/null +++ b/mat/22/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Masadukayo wanajaribu kumkamata Yesu kwa kumtega kwa swali gumu kuhusu ndoa na ufufuo wa wafu. + +# Mwalimu, Musa alisema, 'ikiwa mtu amekufa. + +Walikuwa wakimuuliza kuhusu alichoandika Musa katika Maandiko. "Musa alisema kwamba ikiwa mtu amekufa." + +# Ndugu yake...mke wake...ndugu yake. + +Kimilikishi "yake" inamaanisha yule mfu + diff --git a/mat/22/25.md b/mat/22/25.md new file mode 100644 index 00000000..7c368518 --- /dev/null +++ b/mat/22/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Mafarisayo wanaendelea kumwuliza Yesu swali + +# wa kwanza ... wa pili ... wa saba + +namba za mpangiliio + +# Baada ya wote. + +"Baada ya kila ndugu kuwa amemuoa" au " Baada ya kila ndugu kuwa amefariki." + +# baada ya kufanya hivyo wote + +"baada ya kila ndugu kufa" + +# sasa + +Hapa Masadukayo wanabadilisha habari ya ndugu yule wa saba na kuuliza swali halisi + diff --git a/mat/22/29.md b/mat/22/29.md new file mode 100644 index 00000000..37b6c3b3 --- /dev/null +++ b/mat/22/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mnakosea + +"Mnakosea juu ya ufufuo" + +# Nguvu za Mungu. + +"Kile ambacho Mungu anaweza kufanya." + +# katika ufufuo + +"wakati wafu watapofufuka" + +# hawaoi + +"watu hawataoa" + +# wala kuolewa + +"wala watu hawataruhusu watoto wao kuolewa" + diff --git a/mat/22/31.md b/mat/22/31.md new file mode 100644 index 00000000..6996ca0a --- /dev/null +++ b/mat/22/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika 22:32, Yesu ananukuu kutoka kitabu cha Kutoka ili kuhakikisha kuwa watu wataishi tena baada ya kifo + +# Hamjasoma kile ambacho ...Yakobo?' + +"Najua mmekwisha soma, Lakini inaonekana hamkuelewa ambacho...Yakobo.' + +# Kile kilichosemwa kwenu na. + +"Kile alichowaambia Mungu" + +# Mungu, anasema, Mimi ni...Yakobo?' + +"Mungu alimwambia Musa kwamba Yeye, Mungu, ni Mungu wa Abramu,Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo." + +# "Si Mungu wa wafu balini Mungu wawalio hai + +wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai" + diff --git a/mat/22/34.md b/mat/22/34.md new file mode 100644 index 00000000..f089277a --- /dev/null +++ b/mat/22/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Farisayo mwanasheria alimtega Yesu kwa swali kwa kumwuliza swali gumu juu ya amri kuu + +# Mwanasheria. + +Farisayo ambaye alikuwa na ujuzi maalum katika kuelewa sheria ya Musa. + diff --git a/mat/22/37.md b/mat/22/37.md new file mode 100644 index 00000000..88a18f68 --- /dev/null +++ b/mat/22/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu ananukuu ile amri kuu kutoka Kumbukumbu la torati + +# kwa moyo wako wote, na kwa akili zako zote. na kwa roho yako yote. + +Virai vyote vitatu vinamaanisha kitu kilekile. Vinamaanisha kuwa mtu lazima ampende Mungu kwa pendo la ndani na kwa kujito kwa ukweli. + +# .kuu na ya kwanza + +Neno "kuu" na ya "kwanza" yanamaanisha kitu kilekile. vinasisitiza kuwa hii ni amri ya muhimu + diff --git a/mat/22/39.md b/mat/22/39.md new file mode 100644 index 00000000..7b7ea3de --- /dev/null +++ b/mat/22/39.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu ananukuu mstari toka Walawi kama amri kuu ya pili + +# Na ya pili inafana na hiyo + +Yaweza kumaanisha 1) "kuna amri ya pili ambayo inafuatia kwa umuhimu" au 2) "kuna amri ya pili ambayo nayo ni ya muhimu." Kwa namna yeyote ile, Yesu anamaanisha kuwa amri hizi zote ni za muhimu kuliko amri zingine zote. + +# Na amri ya pili + +Ya pili ni katika kupangilia + +# inafanana + +Tazama 2:37 + +# jiraniyako + +Neno "jirani" inamaana zaidi ya mtu aliye karibu na wewe. inamaanisha kuwa mtu lazima awapende watu wote + +# Sheria zote na Manabii hutegemea hutegemea amri hizi mbili + +Neno "sheria zote na manabii" limzznisha maandiko yote. "Kila kitu ambacho Musa na Manabii waliandika katika maandiko zinategemea amri hizi zote mbili" + diff --git a/mat/22/41.md b/mat/22/41.md new file mode 100644 index 00000000..27b26008 --- /dev/null +++ b/mat/22/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anawauliza Mafarisayo swali gumu ili kuzuia mpango wao wa kumkamata. + +# Sasa + +Neno hili limetumika ili kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya simulizi wakati Yesu alipowauliza viongozi wa dini swali. + +# Mwana ... mwana wa Daudi + +vyote hivi "mwana" vinamaanisha "kizazi" + diff --git a/mat/22/43.md b/mat/22/43.md new file mode 100644 index 00000000..a45773a1 --- /dev/null +++ b/mat/22/43.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yesu ananukuu toka Zaburi kuonesha kuwa Kristo ni zaidi ya "mwana wa Daudi" + +# Ni kwa namna gani Daudi katika Roho anamwita Bwana + +"Yesu anatumia swali kuwafanya viongozi wa dini kufikiri kwa undani zaidi juu ya Zaburi anyotaka kuinukuu "Niambieni kwa nini Daudi katika Roho anamwita Bwana" + +# Daudi katika Roho + +"Daudi ambaye anavuviwa na Roho. "Hii inamaanisha kuwa Roho Mtakatifu anamwezesha Daudi kusema. + +# anamwita + +Hapa "mwi" inasimama badala ya Kristo, ambaye pia ni kizazi cha Daudi. + +# Bwana alimwambia + +Neno "Bwana" inamaanisha Mungu Baba + +# Katika mkono wangu wa kuume, + +Kiwakilishi "wangu" kinamaanisha Mungu Baba. "Mkono wa kuume" huwa inatumika kuonesha sehemu ya heshima + +# Hadi nitakapowaweka maadui zako wawekwe chini ya miguu yako + +Hii ni nahau. "hadi nitakapowashinda adui zako" au hadi nitakapowafanya maadui zako kukuinamia" + diff --git a/mat/22/45.md b/mat/22/45.md new file mode 100644 index 00000000..242b9daf --- /dev/null +++ b/mat/22/45.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentewnsi unganishi + +Huu nu mwisho wa jitihada za viongozi wa dini kutaka kumkamata Yesu kwa maswali mengi + +# Maelezo kwa ujumla + +Huu ni mwisho wa sehemu ya habari hii inayoanzia 19:1, ambayo inaelezea habari za Yesu akihudumia Yuda + +# Kama Daudi anamwita Kristo "Bwana," kwa namna gani awe mtoto wa Daudi? + +"Daudi anamwita Yeye Bwana, kwa hiyo Kristo lazima awe zaidi kuliko mzao wa Daudi." + +# Kama Daudi tena anamwita Kristo. + +Daudi amemrejea Yesu kama "Bwana" kwa sababu Yesu hakuwa tu mzao wa Daudi, lakini pia alikuwa bora kuliko Daudi. + +# kumjibu neno + +"Neno" inamaanisha kile amabacho watu husema. "kumjibu yeye chochote" au " kumjibu" + +# maswali zaidi + +Inamaanisha kuwa hakuna aliyemuuliza maswali ya jinsi hiyo ambayo yalikusudiwa kuwaYesu angeyajibu kimakosa ili viongozi wa dini wamkamate + diff --git a/mat/23/01.md b/mat/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..e4bafb3f --- /dev/null +++ b/mat/23/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Huu ni mwamnzowa habari mpya inyoenedelea hadi 25:44, amabpo Yesu anafundisha juu ya wokovu na hukumu ya mwisho. Anaanza kuwaonya watu juu ya Mafarisayo na waandishi + +# Wanakalia kiti cha Musa. + +Kiti kinamaanisha mamlaka ya kutawala na kuhukumu. "Wanayo mamlaka kama aliyokuwanayo Musa." au "wanayo mamlaka ya kusema maana ya sheria Musa." + +# Chochote. + +"Yoyote" au "kila kitu." + diff --git a/mat/23/04.md b/mat/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..be686360 --- /dev/null +++ b/mat/23/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wanafunga mizigo mizito ambayo ni migumu kubeba, na kisha kuwabebesha watumabegani + +"Wanawawekea ninyi kanuni nyingi ambazo ni ngumu kufuata." + +# Wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba + +"Wao hawatatoa msaada hata msasada kidogo" + +# Matendo yao yote huyafanya ili watazamwe na watu + +wanafanya mataendo yao kwa kusuadi la kutazamwa na watu + +# Kwa sababu wao hupanua masanduku yao, na huongeza ukubwa wa mapindo wa mavazi yao + +Hivi vyote ni vitu ambavyo Mafarisayo huvifanya ili waonekane kuwa wanamtii Mungu kuliko watu wengine + +# Masanduku + +Haya ni makasha madogo ya ngozi yenye karatasi za maandiko + +# hongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao + +Mafarisayo huweka mapindo marefu chini ya kanzu zao kuonesha uchaji wao kwa Mungu. + diff --git a/mat/23/06.md b/mat/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..d9194ed3 --- /dev/null +++ b/mat/23/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuongea na makutano kuhusu Mafarisayo + +# maeaneo ya kifahari ... viti vya heshima + +Maeneo yaote haya na yale amabayo watu muhimu hukaa + +# maeneo ya sokoni + +Maeneo makubwa ya wazi amabyo watu huuza na kununua bidhaa + +# na kuitwa 'Rabi' na watu + +"ili watu wawaite rabi" + diff --git a/mat/23/08.md b/mat/23/08.md new file mode 100644 index 00000000..1d0f7257 --- /dev/null +++ b/mat/23/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini ninyi hampaswi kuitwa + +"Msimruhusu mtu yeyote awaite" + +# ninyi + +viwakilishi vyote vya "ninyi" viko katka wingi na vinamaanisha wafauasi wote wa Yesu + +# wote ni ndugu + +Neno "ndugu" linamaanisha "waumini wenzenu" + +# msimwite mtu yeyeote hapa duniani kuwa baba + +"msiseme kwamba mtu yeyote hapa duniani ni baba yenu" + +# kwa kuwa mnaye baba mmoja tu + +"baba" ni cheo muhimu cha Mungu + +# walla msije mkaitwa + +"pia msimruhusu mtu kuwaita" + +# Kwa kuwa mnaye mwalimu mmoja tu, yaani Kristo + +Wakati Yesu aliposema "Kristo" alikuwa anasema juu yake mwenyewe katika nafsi ya tatu. AT: "Mimi, Kristo ndiye mwalimu wenu pekee." + diff --git a/mat/23/11.md b/mat/23/11.md new file mode 100644 index 00000000..be412718 --- /dev/null +++ b/mat/23/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Bali aliye mkubwa miongoni mwenu + +"mtu maarufu miongono mwenu" + +# miongoni mwenu + +kiwakilishi "mwenu" ni cha wingi na kinamaanisha wafuasi wa Yesu + +# Yeyote ajiinuaye + +"ajifanyaye mwenyewe kuwa maarufu." + +# atashushwa + +"Mungu atamshusha + +# atainuliwa + +Mungu atamuheshimu + diff --git a/mat/23/13.md b/mat/23/13.md new file mode 100644 index 00000000..25c762a5 --- /dev/null +++ b/mat/23/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kuwakemea viongozi wa dini kwa sababu ya unafiki wao + +# Lakini ole wenu + +tazama 11:20 + +# Mnawaffungia watuufalme wa mbinguni + +"Mnawazuia watu kumpokea Mungu wetu wa mbinguni kuwa mfalme wao" + +# Hamwezi kuingia + +"Hamumruhusu Mungu kuwa mfalme wenu" + +# na hamuwaruhusu wanaoingiakufanya hivyo + +"wala hamuwarusu wale wanaotaka kumpokea Mungu kuwa mfalme wao kufanya hivyo" + +# mnavuka ng'ambo ya bahari + +"mnasafiri umbali mrefu" + +# kumfanya mtu mmoja aamini + +"kumfanya mtu mmoja aamini dini yenu" + +# mwana wa jehanamu + +"Mtu ambaye mahali pake ni kuzimu." au mtu ambaye hanabudi kwenda kuzimu." + +# mnawameza wajane wajane. + +"Kuiba kila kitu kutoka kwa wanawake wasio na wanaume wa kuwalinda." + diff --git a/mat/23/16.md b/mat/23/16.md new file mode 100644 index 00000000..74ae49d2 --- /dev/null +++ b/mat/23/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Viongozi vipofu...wapumbavu. + +Tazama 15:12 + +# kwa hekalu, si kitu + +"kwa hekalu hawezi kulinda kiapo chake + +# Amefungwa na kiapo chake. + +"Lazima atende kile alichoahidi kufanya." + +# Kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhabu, au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu ya Mungu? + +Hekalu amablo limetumika kuweka wakfu dhahabu kwa Mungu ni la muhimu kuliko dhahabu ile" + +# Hekalu amabalo limeweka wakfu dhahabu + +"Hekalu ambalo hutengeneza dhahabu ni mali ya Mungu pekee" + diff --git a/mat/23/18.md b/mat/23/18.md new file mode 100644 index 00000000..ea33c2c8 --- /dev/null +++ b/mat/23/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Na + +"na ninyi pia husema" + +# si kitu + +"hakuna haja ya kulinda kiapo chake" + +# sadaka + +ni mnyama au nafaka ambayo mtu anaweza kuileta kwa Bwana na kuiweka madhabahuni + +# amefungwa na kiapo chake + +"lazima afanye kile alichoahidi kufanya" + +# Watu vipofu. + +Viongozi wa Kiyahudi walikuwa vipofu kiroho. Ingawa walijidhania kuwa walimu, hawakuwaeza kuuelewa ukweli wa Mungu + +# Kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka, au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu? + +"Madhabahu ambayo huzifanya sadaka kuwa takatifu ni kuu kuliko sadaka + +# "madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka" + +madhabahu ambayo huziweka sadaka kuwa rasmi kwa Mungu" + diff --git a/mat/23/20.md b/mat/23/20.md new file mode 100644 index 00000000..98915302 --- /dev/null +++ b/mat/23/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na kwa vitu vyote vilivyo juu yake + +"kwa vitu vyote ambvyo sadaka zote huwekwa juu yake" + +# na kwa yeye akaaye ndani yake ... na kwa yeye aketiye juu yake + +virai vyote hivi vinamaanisha Mungu Baba. + diff --git a/mat/23/23.md b/mat/23/23.md new file mode 100644 index 00000000..72c64842 --- /dev/null +++ b/mat/23/23.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Ole wenu. + +Tazama 11:20. + +# Bizali, Mnanaa, na Mchicha. + +Majani na mbegu zinazotumika kuungia chakula. + +# kuacha mengine bila kutekeleza + +"hamkutii + +# mambo mazito + +"mambo y a muhimu zaidi" + +# lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya + +"mnapaswa kuwa mmeziheshimu hizi sheria za muhimu" + +# na siyo kuyaacha mengine bila kuyatekeleza + +"wakati pia mnatii zile sheria ndogondogo" + +# Ninyi viongozi vipofu. + +Tazama 15:12 + +# Ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia. + +Kuwa mwaangalifu kufuatilia sheria zenye uzito kidogo na kupuuzia sheria zenye uzito mkubwa, hiyo ni upumbavu sawa na kuwa mwangalifu kwa kutokumeza mnyama mdogo aliye najisi, bali unakula nyama ya mnyama mkubwa sana aliye najisi pengine kwa makusudi au kwa kutokujuwa. AT: "Wewe ni mpumbavu kama mtu ambaye anachuja mdudu aliyeangukia ndani ya kinywaji chake lakini akimeza ngamia." + +# Kuchuja mdudu. + +Kujucha kwa kutumia ktambaa ili kuondoa mdudu katika kinywaji + +# Mdudu. + +Mdudu mdogo arukae. + diff --git a/mat/23/25.md b/mat/23/25.md new file mode 100644 index 00000000..3037e6dc --- /dev/null +++ b/mat/23/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ole wenu. + +Tazama 11:20 + +# Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe a nje ya sahani... kutokuwa na kiasi + +"Waandishi" na "Mafarisayo" kwa wengine wanaonekana "safi kwa nje, lakini ndani ni wachafu + +# Kwa ndani wamejaa dhuluma and kutokuwa na kiasi. + +"Wanachukua vitu vya watu kwa ubinafsi + +# Ewe Mfarisayo kipofu. + +Mafarisayo walikuwa vipofu kiroho. Ingawa wao wenyewe walijidhania kuwa walimu. hawakuwa na uwezo wa kuelewa ukweli wa Mungu + +# Safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili nje pia pawe safi. + +Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa kama wangekuwa safi mioyoni mwao, basi matokeo yake wangekuwa safi kwa nje pia + diff --git a/mat/23/27.md b/mat/23/27.md new file mode 100644 index 00000000..68faca68 --- /dev/null +++ b/mat/23/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa... kichafu + +hii ni kejeli inayoonesha kuwa Mafarisayo na waandishi wanaonekana kuwa safi nje, lakini ndani ni wachafu + +# makaburi yaliyopakwaa chokaa + +"makaburi ambayo mtu ameyapaka chokaa" Wayahudi walipakaa makaburi kwa chokaa ili kuepusha kuyagusa. Kugusa kaburi ilihesabiwa kuwa ni unajisi. + diff --git a/mat/23/29.md b/mat/23/29.md new file mode 100644 index 00000000..6af962a7 --- /dev/null +++ b/mat/23/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ya wenye haki + +"ya watu wenye haki" + +# siku za baba zetu + +"wakati wa mababu zetu" + +# tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao + +"tusingekuwa tumeshirikiana nao" + +# kumwaga damu + +Damu inamaanisha uhai. kumwaga damu inamaanisha kuua. "kuua" au "mauaji" + +# watoto wa hao + +"watoto inamaanisha uzao" + diff --git a/mat/23/32.md b/mat/23/32.md new file mode 100644 index 00000000..2e503690 --- /dev/null +++ b/mat/23/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu. + +"Ninyi mna kamilisha dhambi ambazo babu zenu walizianzisha," + +# Enyi nyoka, enyi wana wa vipiribao. + +"Ninyi ni waovu na hatari kama nyoka wenye sumu." + +# wana wa vipiribao + +tazama 3:7 + +# Jinsi gani mtaepuka hukumu ya jehanamu? + +"Hakuna njia mnayoweza kutumia kuepuka hukumu ya jehanamu!" + diff --git a/mat/23/34.md b/mat/23/34.md new file mode 100644 index 00000000..0853b9f6 --- /dev/null +++ b/mat/23/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# nawatuma + +"nitawatuma." Hapa "ni" inamaanisha Yesu. + +# juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani + +"Mungu atawahukumu kwa mauaji ya watu wenye haki" + +# kuanzia damu ... kwa damu + +"kutoka mauji hadi ... mauaji" + +# Kutoka...Abeli...to...Zekaria. + +Abeli alikuwa mhanga wa kwanza katika mauaji, na Zakaria huenda akafikiriwa kuwa wa mwisho kuuwawa na Wayahudi hekaluni.Watu hawawaili wanawakilisha mauaji ya watu wote wenye haki + +# Zakaria. + +Siyo baba yake na Yohana Mbatizaji. + +# mliyemuua + +Yesu hamaanisha watu wale aliokuwa akisema nao kuwa ndio waliomua Zekaria. Anamaanisha kuwa mababu zao ndio waliomuua. + +# Kweli nawaambieni + +"Nawaambia ukweli." Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu atakachosema baadye. + diff --git a/mat/23/37.md b/mat/23/37.md new file mode 100644 index 00000000..6ca5a10a --- /dev/null +++ b/mat/23/37.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaomboleza juuya watu wa Yerusalemu kwa sababu wanamkataa kila aliyetumwa na Mungu kwao + +# Yerusalemu, Yerusalemu. + +Yesu anazungumza na watu wa Yerusalemu kana kwamba wao wenyewe ndio walikuwa mji. + +# ambao wanatumwa kwako + +wale ambao Mungu huwatuma kwako + +# Watoto wenu. + +"watu wako" au 'kizazi chako" + +# kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake + +Huu ni usemi unaosisitiza upendowa Yesu kwa watu n a jinsi alivyotaka kuwajali. + +# Nyumba yako imeachwa ukiwa. + +"Mungu ataiacha nyumba yako, na itabaki tupu." + +# Nyumba yako. + +Maana yake ni : (1). Mji wa Yerusalemu au (2). Hekalu. + +# Nami nakuambia + +Huu ni msisitizo wa kile Yesualichosema baadaye + +# Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana + +Tazama 21:9 + diff --git a/mat/24/01.md b/mat/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..1c714061 --- /dev/null +++ b/mat/24/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kueleza matukio amabayo yatakuja tokea kabla hajarudi mara ya pili + +# alitoka hekaluni + +Inaonesha kuwa Yesu hakuwa ndani ya hekalu. alikuwa kwenye korido la hekalu. + +# Je, hamyaoni mambo haya yote? + +"Ngoja niwaambie kitu fulani kuhusu majengo haya yote." + +# kweli nawambia + +"Nawaambia ukweli." huu ni msisitizo wa kile alichosema Yesu badaye + +# Hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe lingine ambalo halitabomolewa + +"wakati maaskari walio adui watakapokuja, watabomoa kila jiwe juu ya majengo haya" + diff --git a/mat/24/03.md b/mat/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..66fb1b91 --- /dev/null +++ b/mat/24/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu + +Neno "kuja kwako" linamaanisha wakati Yesu atakapokuja katika nguvu, kuanzisha utawala wa Mungu duniani na kukifikisha kizazi hiki mwisho wake. + +# Mwe waangalifu asije mtu akawapotosha. + +"Mwe waangalifu kwamba msiamini yeyote ambaye atawaongopea kuhusu mambo haya." + +# wengi watakuja kwa jina langu + +Neno "jina" linamaanisha "katika mamlaka" au " kama mwakilishi" wa mwingine. "Wengi watadai kuwa wamekuja kama wawakilishi wangu" au "wengi watasema kuwa wanaongea kwa niaba yangu" + diff --git a/mat/24/06.md b/mat/24/06.md new file mode 100644 index 00000000..49e6fdee --- /dev/null +++ b/mat/24/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Angalieni msiwe na wasiwasi. + +"Msije mkaruhusu mambo haya kuwapa wasiwasi." + +# kwa kuwa taifa litainuka juu ya taifa jingine, na ufalme dhidi ya ufalme + +Hii inamaanisha kitu kilekile. na msisitizo wake ni kwamba kutakuwa na mapigano kila mahali + +# ni mwanzo tu wa uchungu + +Hii inamaanisha maumivu mwanamke huyapata wakati anapotaka kujifungua mtoto. Sitiari hii inamaanisha kuwa haya matetemeko, njaa na vita ni mwanzo tu wa matukio yatakayotuongoza kuelekea mwisho wa dunia + diff --git a/mat/24/09.md b/mat/24/09.md new file mode 100644 index 00000000..0d620202 --- /dev/null +++ b/mat/24/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Watawatoa kwa ajili ya mataeso na kuwaua + +"watuwatawatoa kwa mamlaka amaboa watawatesa na kisha kuwaua" + +# mtatchukiwa na mataifa yote + +"watu kutoka kilataifa watawachukia" + +# kwa sababu ya ina langu + +"kwa sababu mnaniamini " + +# watatokea + +"watakuja" + diff --git a/mat/24/12.md b/mat/24/12.md new file mode 100644 index 00000000..a3a63b65 --- /dev/null +++ b/mat/24/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# uovu utaongezeka + +"watu watafanya dhambi zaidi na zaidi" + +# Upendo wa wengi utapoa. + +Maana ya karibu: 1."watu wengi hawatawapenda wenzao." au 2."watu wengi hawatampenda Mungu." + +# atakayevumilia + +"yeyote atayebaki na uvumilivu" + +# mpaka mwisho + +haieleweki kama "mwisho" inamaanisha mtu anapokufa, au wakati dhiki itakapokoma, au mwisho wa nyakati wakati Mungu atakapojionesha kuwa mfalme. jambo l a kuzingatia hapa ni uvumilivu usiokoma + +# ataokolewa + +"Mungu atamwokoa mtu huyo" + +# Hii injili ya ufalme itahubiriwa + +"Watu watahubiri ujumbe juu ya utawala wa Mungu" + +# Mataifa yote. + +"Watu wote katika sehemu zote." + +# na ndipo ule mwisho + +"mwisho wa ulimwengu" aua "mwisho wa nyakati" + diff --git a/mat/24/15.md b/mat/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..c2e68b7d --- /dev/null +++ b/mat/24/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# chukizo la uharibifu + +"mtu wa aibu atakayevinajisi vitu vya Mungu" + +# Lililosemwa na nabii Danieli. + +"Kuhusu ambacho nabii Danieli aliandika." + +# asomaye na afahamu + +Haya maneno hayakusemwa na Yesu. Matahayo aliongezea haya ili kupata usikivu + +# Na yule aliyeko juu ya paa + +mapaa wakati wa Yesu yalikuwa tambarare, kiasi kwamba watu wangeweza kusimama + diff --git a/mat/24/19.md b/mat/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..3df3f77d --- /dev/null +++ b/mat/24/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wao ambao wana mtoto. + +"wanawake wenye mimba" + +# katika siku hizo + +"wakati huo" + +# kukimbia kwenu kusiwe + +"kwamba msikimbie" + +# Wakati wa baridi. + +"Majira ya baridi." + +# kama siku hizo zisingefupishwa, hakuna ambaye angeokoka + +"kama Mungu hatazifupisha siku zadhiki watu wote wangekufa" + +# Wenye mwili + +Watu. + +# siku hizo zitafupishwa + +"Mungu atazifupisha siku za dhiki" + diff --git a/mat/24/23.md b/mat/24/23.md new file mode 100644 index 00000000..ff7d80f3 --- /dev/null +++ b/mat/24/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwaambia wanafunzi wake + +# Msiamini maneno hayo + +"Msiamini mambo ya uongo wanayowaambia." + +# kwa kusudi la kuwapotosha + +"ili kuwafanya watu wasitii" + +# kupotosha, kama ingeliwezekana hata na wateule + +"kupotosha, kama ingeliwezekana, watawafanya hata na wateule kutotii" + diff --git a/mat/24/26.md b/mat/24/26.md new file mode 100644 index 00000000..63f3c2bd --- /dev/null +++ b/mat/24/26.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ikiwa watawambia, 'Kristo yuko jangwani,' msiende huko jangwani. Au 'Tazameni, 'yuko ndani ya nyumba,' + +"au, kama mtu atawambia kuwa Kristo yumo ndani ya nyumba" + +# ndani ya nyumba + +"ndani ya chumba cha siri" + +# kama vile radi inavyomulika ... ndivyo itavyokuwa kuja + +Hiiinamaanisha mwana wa mtu atakuja kwa kasi sana na itakuwa rahisi kumwona + +# Kama vile radi inavyomulika...ndivyo itakavyokuwa kuja. + +Atakuja kwa kasi na itakuwa rahisi kuonekana. + +# mwana wa Adamu + +Yesu anaongea juu yake katika nafsi ya tatu + +# Popote ulipo mzoga, huko ndiko tai wakusanyikapo. + +Maana ya karibu ni: (1). Mwana wa Adamu atakapokuja, kila mtu atamuona na kujua kwamba amekuja; (2). Popote walipo watu aliokufa kiroho, manabii wa uongo watakuwepo huko kuwaambia uongo. + +# tai + +Ndege ambao wanakula mizoga au wanyama wanaokaribia kukata roho. + diff --git a/mat/24/29.md b/mat/24/29.md new file mode 100644 index 00000000..37c3b50d --- /dev/null +++ b/mat/24/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini mara + +"wakati huo" + +# dhiki y a siku hizo + +"wakati huo wa dhiki" + +# Jua litatiwa giza. + +"Mungu atalifanya jua liwe giza." + +# Nguvu za mbinguni zitatikisika. + +" Mungu atatikisa vitu katika mbingu na juu ya anga." + diff --git a/mat/24/30.md b/mat/24/30.md new file mode 100644 index 00000000..99ae1e0c --- /dev/null +++ b/mat/24/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mwana wa Adamu ... mwo ... wake + +Yesu anaongea juu yake katika nafsi ya tatu. + +# makabila yote + +watu wa makabila yote + +# atawatuma malaika wake kwa sauti kuu ya tarumbeta + +"wakati tarumbeta itakapolia atawatuma malaika wake" + +# Watakusanya. + +"Malaika wake watakusanya." + +# Wateule wake. + +Watu ambao Mwana wa Adamu amewachagua. + +# kutoka pande nne za dunia, kutoka mwisho wa mmoja wa mbingu hadi mwingine + +kutoka kila upande + diff --git a/mat/24/32.md b/mat/24/32.md new file mode 100644 index 00000000..0639f30b --- /dev/null +++ b/mat/24/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# amekaribia + +"wakati wangu wa kuja umekaribia" + +# Karibu na malango. + +karibu na malango + diff --git a/mat/24/34.md b/mat/24/34.md new file mode 100644 index 00000000..53fbc092 --- /dev/null +++ b/mat/24/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kweli nawaambia + +"Nawaambia ukweli" huu ni msisitizo wa kile kinachosemwa baadaye + +# Kizazi hiki hakitapita. + +"Watu wanaoishi kipindi hiki hawatafariki wote." + +# Hadi mambo yote haya yatakuwa yametokea. + +"Mpaka Mungu asababishe mambo haya yote yatimie." + +# Mbingu na nchi zitapita. + +"Mbingu na nchi hazitaendelea kuwapo." + +# maneno yangu hayatapita kamwe + +"kile ninachosema daima kitabaki kuwa ukweli" + diff --git a/mat/24/36.md b/mat/24/36.md new file mode 100644 index 00000000..95e6053a --- /dev/null +++ b/mat/24/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku ile na saa + +hapa "siku" na "saa" vinamaanisha muda halisi ambao mwana wa Adamu atarudi + +# Wala Mwana. + +"Hakuna hata mwana" + +# mwana + +Hiki ni cheo muhimu cha Yesu, Mwana wa Mungu + +# Baba + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu + diff --git a/mat/24/37.md b/mat/24/37.md new file mode 100644 index 00000000..4af28ec3 --- /dev/null +++ b/mat/24/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kama ilivyokuwa katika siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu. + +"Siku ambayo Mwana wa Adamu atakuja tena itakuwa kama ilivyokuwa siku za Nuhu," + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anaongea juu yake akaitumia nafsi ya tatu + +# katika safina na hawakujua kitu + +"katika safina. Na watu hawakuju kuwa kuna kitu kilikuwa kinaenda kutokea" + +# ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu + +"Hivyo ndivyo itakavyokuwa wakati wa kuja kwa Mwana wa Adamu" + diff --git a/mat/24/40.md b/mat/24/40.md new file mode 100644 index 00000000..8ad543b3 --- /dev/null +++ b/mat/24/40.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kuwaambia wanfunzi wake kuwa tayari kwa ajili ya kurudi kwake + +# Ndipo. + +Wakati Mwana wa Adamu ajapo. + +# Mmoja atachukulia, na mmoja ataachwa nyuma. + +Maana za karibu: 1. Mungu atamchukuwa mmoja kwenda mbinguni na ataacha mmoja duniani kwa ajili ya adhabu, au 2. Malaika watamchukua mmoja kwa ajili ya adhabu na kumuacha mwingine kwa ajili ya baraka. + +# Kinu. + +Chombo cha kusagia. + +# Kwa hiyo. + +"Kwa sababu ya kile nilicho waambia." + +# Kuweni macho. + +Kaa tayari. + diff --git a/mat/24/43.md b/mat/24/43.md new file mode 100644 index 00000000..5e4e333d --- /dev/null +++ b/mat/24/43.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ikiwa bwana mwenye nyumba ... nyumba yake kuvamiwa + +Yesu anaatumia mfano wa bwana na mtumwa kufafanua kuwa wansfunzi wake wanatakiwa kujiandaa kwa ajili ya kurudi kwa Yesu + +# Mwizi. + +Yesu anasema atakuja wakati ambao watu hawamtarajii, siyo kwamba atakuja kuiba. + +# Angekuwa amelinda. + +"Angelinda nyumba yake" kuisalimisha. + +# Na asingeruhusu nyumba yake ivamiwe. + +"Asingeruhusu mtu yeyote kuingia ndani ya nyumba yake aibe vitu." + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anatumia nafasi ya tatu kujisemea yeye + diff --git a/mat/24/45.md b/mat/24/45.md new file mode 100644 index 00000000..1068c77c --- /dev/null +++ b/mat/24/45.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea na mithali yake ya bwana na mtumwa kufafanua kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu. + +# Hivyo ni nani mwaminifu, mtumwa mwenye akili, ambaye bwana wake...wakati? + +"Hivyo ni nani mwaminifu, mtumwa mwenye akili? Ndiye yule ambaye bwana wake...wakati." + +# Awape chakula chao + +"Awape watu chakula chao katika mji wa bwana wake" + +# Kweli nawambia + +"Nawaambieni ukweli" Hii inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atakuja kusema baadaye. + diff --git a/mat/24/48.md b/mat/24/48.md new file mode 100644 index 00000000..789788ba --- /dev/null +++ b/mat/24/48.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anahitimisha mithali yake ya bwana na mtumwa ... + +# Anasema moyoni mwake. + +"Anafikiri akilini mwake." + +# Bwana wangu amekawia + +Bwana wangu hafanyi haraka kuja + +# katika siku ambayo hatarjii, na katika saa ambayo haijui + +Virai hivi vyote vinamaanisha kitu kilekile. vinasisitiza kuwa bwana atakuja wakati ambao mtumwa wake hamtarajii kuja. + +# Kumweka katika nafasi au kumhesabu kama. + +"Kumtendea" + +# kumweka katika nafasi + +"kumtendea" + +# atamkata vipande + +kumfanya mtu aumie sana + +# kilio na kusaga meno + +Tazama 8:11 + diff --git a/mat/25/01.md b/mat/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..d70e6d43 --- /dev/null +++ b/mat/25/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaongea mfano wa wanawali wenyebusara na wale wanawali wajinga kufundisha kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu + +# ufslme wa mbinguni utafananishwa na + +Tazama 13:24 + +# Lamps. + +Hizi ziliweza kuwa, 1.taa zenyewe au mienge iliyotengenezwa kwa kuwekewa kitambaa kuzunguka mwisho wa mti na hulowanishwa na mafuta. + +# Watano kati yao. + +Watano kati ya wanawali. + +# Hawakuchukua mafuta yoyote. + +"Waliyokuwa nayo ni yale tu yaliyokuwa katika taa zao." + diff --git a/mat/25/05.md b/mat/25/05.md new file mode 100644 index 00000000..d164f83f --- /dev/null +++ b/mat/25/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa + +Neno linaloonesha kuanzisha habari mpya. Yesu anaanza kueleza sehemu ya habari hii. + +# bwana harusi amechelewa + +"wakati bwana harusi alipochukua muda mrefu kuwasili" + +# Wote walianza kusinzia. + +Wanawali wote kumi walianza kusinzia. + +# kulikuwa na yowe + +"mtu mmoja alianza kupiga kelele" + diff --git a/mat/25/07.md b/mat/25/07.md new file mode 100644 index 00000000..afc29775 --- /dev/null +++ b/mat/25/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kueleza mfano + +# Kutayarisha taa zao. + +"Wakarekebisha taa zao ili ziwake kwa mng'ao." + +# Wapumbavu walisema na welevu. + +"Wanawali wapumbavu walisema na wanawali welevu." + +# Taa zetu zinazimika + +"Moto katika taa zetu unaelekea kuzima." + diff --git a/mat/25/10.md b/mat/25/10.md new file mode 100644 index 00000000..418aec12 --- /dev/null +++ b/mat/25/10.md @@ -0,0 +1,37 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Yesu anahitimisha mfano wa wanawali kumi + +# wakati wameenda huko + +"Wanawali wapumbavu waliondoka." + +# kununua + +"kununua mafuta zaidi" + +# Wale ambao walikuwa tayari. + +Wanawali waliokuwa na mafuta ya ziada. + +# Mlango ulifungwa. + +"watumishi walifunga mlango." + +# Tufungulie. + +"Fungua mlango kwa ajili yetu ili tuingie ndani" + +# kweli nawaambia + +"Nawaambia ukweli" Hiiinatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye + +# "Siwatambui ninyi." + +"Si watambui ninyi ni akina nani" au +'si wajui ninyi ni akina nani." + +# kwa kuwa hamjui siku wala saa + +"Hamjui muda halisi ambao Mwana wa Adamu atakuja" + diff --git a/mat/25/14.md b/mat/25/14.md new file mode 100644 index 00000000..624d4d6e --- /dev/null +++ b/mat/25/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaeleza mfano wa mtumishi mwaminifu na asiye mwaminifu ili kuwafundisha wanafunzi wake kubaki waaminifu wakati yeye hatakuwepo na wawe tayari kwa ajili ya kurudi kwa Yesu. + +# Ni sawa na. + +"Ufalme wa mbinguni ni unafanana na." + +# Alipotaka kuondoka + +"Alipokuwa tayari kuondoka" au mara alipotaka kuondoka." + +# Aliwakabidhi utajiri wake. + +"Akawapa usimamizi wa mali yake." au "akawapa usimamizi wa utajiri wake." + +# Utajiri wake. + +"Mali yake." + +# Talanta tano. + +"Talanta moja" ilikuwa na thamani ya mishahara wa miaka ishirini. Epuka kutafsiri jambo hili katika pesa za siku hizi. Mfano huo unalinganisha uwiano wa kiasi cha tano, cha mbili na kiasi cha moja sawia na kiasi kikubwa cha utajiri uliotumika. "mifuko mitano ya dhahabu." + +# kulingana nauwezo wake + +"kulingana na uwezo wa kila mtumishi wa kusimsmia mali" + +# Na kuzalisha talanta zingine tano. + +"Kutokana na uwekezaji wake, alipata faida ya talanta zingine tano." + +# na kuzalisha talanta zingine tano + +"kutokana na uwekezaji wake, akazalisha talanta zingine tano" + diff --git a/mat/25/17.md b/mat/25/17.md new file mode 100644 index 00000000..982ecbc6 --- /dev/null +++ b/mat/25/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea mafano wa watumishi na talanta + +# Alizalisha zingine mbili. + +"Alipata faida ya talanta zingine mbili.' + diff --git a/mat/25/19.md b/mat/25/19.md new file mode 100644 index 00000000..8de27865 --- /dev/null +++ b/mat/25/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta + +# na baada ya muda + +Kirai hiki kimetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Yesu anaanza kueleza sehemu mpya ya simulizi. + +# Nimepata talanta tano zaidi + +"Nimepata faida ya talanta tano zaidi." + +# Talanta + +Mali yenye thamani kubwa. talanta moja ilikuwa sawa na mishahara ya miaka ishirini.Tazama tafsiri katika. 25:14--15. + +# Hongera. + +"Umefanya kazi vizuri." au "Umefanya vema." Katika utamaduni wako pengine mnao usemi ambao mkuu (mtu mwenye mamlaka) angetumia kuthibitisha kile ambacho mtumishi wake (au yeyote chini yake) amekitekeleza. + +# Ingia katika furaha ya Bwana wako + +"Njoo ufurahie na mimi" + diff --git a/mat/25/22.md b/mat/25/22.md new file mode 100644 index 00000000..7ddca238 --- /dev/null +++ b/mat/25/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelelea kueleza mfano wa watumishi na talanta + +# Nimepata faida ya talanta zingine mbili + +"Nimepata fada ya talanta mbili zaidi" + +# Umefanya vema + +umefanya vema. + +# Ingia katika furaha ya bwana wako + +Tazama 25:19 + diff --git a/mat/25/24.md b/mat/25/24.md new file mode 100644 index 00000000..47471af8 --- /dev/null +++ b/mat/25/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta + +# Unachuma mahali ambapo hukupanda, na unavuna mahli ambapo hukupanda. + +Maelezo haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. Mtumwa anamlaumu bwana kwa kukusanya mazao ambayo siyo yake. "Unakusanya mazao ya bustani kutoka katika bustani ambazo huna haki ya kukusanya mazao hayo." + +# Kupanda + +Siku hizo walizoea kutupa kiasi kidogo cha mbegu pande zote badala ya kupanda katika mistari. + +# Tazama, unapata ile ile ya kwako. + +"Angalia, hii n"diyo yako" + diff --git a/mat/25/26.md b/mat/25/26.md new file mode 100644 index 00000000..2883d8ba --- /dev/null +++ b/mat/25/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaenedelea kueleza mfano wa watumishi na talanta. + +# Wewe mtumwa mwovu na mzembe. + +"wewe ni mtumwa mwovu ambaye hutaki kufanya kazi." + +# Ninachuma mahali ambapo sikupanda na kuvuna mahali ambapo sikusiha. + +Tazama 25:24 + +# Kupokea tena ile yangu. + +"Kupokea tena fedha yangu mwenyewe" + +# Faida. + +Malipo yanayotolewa na benki kutokana na matumizi yasiyo ya kudumu ya pesa ya bwana. + diff --git a/mat/25/28.md b/mat/25/28.md new file mode 100644 index 00000000..82bde269 --- /dev/null +++ b/mat/25/28.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta + +# mnyang'anyeni hiyo talanta + +Bwana anawaambia wale watumishi wengine + +# talanta + +Tazama 25:14 + +# aliye na + +"anayetumia vizuri alicho nacho" + +# ataongezewa zaidi + +"Mungu atampa zaidi" + +# hata kwa kuzidishiwa + +"hata zaidi" + +# kwa yeyote asiye na kitu + +"Kwa yeyeote asiyetumia vizuri hicho alicho nacho. + +# Ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno + +"Mahali ambapo watu watalia na kusaga meno yao." + +# "nacho atanyang'anywa" + +nitakiondoa + +# mtupeni nje gizani huyo mtumishi asiyefaa, ambako kutakuwa na kilion a kusaga meno + +"nje gizani ambako kuna kilio na kusaga meno" + diff --git a/mat/25/31.md b/mat/25/31.md new file mode 100644 index 00000000..6c4cd087 --- /dev/null +++ b/mat/25/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaanza kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakaporudi wakatiwa mwisho + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake mwenyewe + +# Mataifa yote yatakusanyika mbele zake. + +"Atayakusanya mataifa yote mbele zake." + +# Mbele zake. + +"Mbele za uso wake." + +# Mataifa yote. + +"Watu wote kutoka kila nchi." + +# kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi + +Yesuanatumia msemo kuonesha jinsi atakavyowatenganisha watu + +# atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, bali mbuzi atawaweka mkono wake wa kushoto + +atawaweka watu wenye haki upande wake wa kuume na atawaweka wenye dhambi upande wake wa kushoto + diff --git a/mat/25/34.md b/mat/25/34.md new file mode 100644 index 00000000..56268581 --- /dev/null +++ b/mat/25/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mfalme... mkono wake wa kulia + +"Mimi mfalme, ... mkono wangu wa kulia" + +# Mfalme...mkono wake wa kulia + +Yesu alijisema yeye mwenyewe katka nafsi ya tatu. AT: "Mimi, Mfalme...mkono wangu wa kulia." + +# Njoni, ninyi mliobarikiwa na Baba yangu. + +"Njoni, ninyi ambao baba yangu amewabariki." + +# Baba yangu + +Hili ni jina mashuhuri la Mungu linaloonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu + +# Urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajili yenu. + +"Urithini ufalme ambao Mungu ameufanya tayari kwa ajili yenu." + +# urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajiloi yenu + +"pokeeni baraka za utawala wa Mungu ambazo Mungu alipanga kuwapeni" + +# tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu + +"Tangu hapo alipouumba ulimwengu" + diff --git a/mat/25/37.md b/mat/25/37.md new file mode 100644 index 00000000..006788d8 --- /dev/null +++ b/mat/25/37.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# wenye haki + +watu wenye haki + +# au kiu ... au uchi + +"au ni lini tulipokuwa ukiwa na kiuau nilini tulipokuona u uchi" + +# Mfalme. + +Hiki ni cheo kingine cha Mwana wa Mungu + +# na kuwaambia + +"Akasema na wale walio mkono wa kulia." + +# Kweli nawaambia + +"Nawaambia ukweli, "Huu ni msisitizo wa kile ambacho Yesu alikuja kusema baadaye" + +# kwa mmoja wa ndugu zangu wadogo + +"mmoja wa wasio wa muhimu" + +# Ndugu zangu + +"kaka zangu na dada" au "hawa ambao ni kama kaka zangu na dada zangu + +# mlinitendea mimi + +"Ninajali kwamba mlifanya hivyo kwa ajili yangu." + diff --git a/mat/25/41.md b/mat/25/41.md new file mode 100644 index 00000000..470bc77c --- /dev/null +++ b/mat/25/41.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ndipo atawaambia + +"Ndipo mfalme atawaambia" + +# Mlio laaniwa. + +"enyi watu ambao Mungu amewalaani." + +# Moto wa milele ambao umeandaliwa. + +"Moto wa milele ambao Mungu ameandaa." + +# Malaika wake. + +Wasaidizi wake. + +# Uchi lakini hamkunivika. + +"Nilikuwa uchi lakini hamkunipa nguo." + +# Mgonjwa na niko kifungoni. + +"Nilikuwa mgonjwa na nilikuwa kifungoni." + +# nikiwa mgonjwa na nikiwa kifungoni + +"nilikuwa mgonjwa na nilikuwa gerezani" + diff --git a/mat/25/44.md b/mat/25/44.md new file mode 100644 index 00000000..5be815ad --- /dev/null +++ b/mat/25/44.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anahitimisha kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakapokuja mara ya pili + +# Maelezokwa ujumla + +Huu ni mwisho wa sehemu ya habari inayoanzaia 23:1, mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya wokovu na hukumu ya mwisho. + +# Wao pia watamjibu. + +"Hao walioko kushoto pia watamjibu" + +# Mmoja wa wadogo hawa. + +"Kwa yeyote kati ya watu wangu walio wadogo." + +# Hamkunitendea mimi. + +"Nina jali kuwa hamkufanya kwa aajili yangu" au "Mimi ndiye hasa yule ambaye hamkumsaidia" + +# Hawa watakwenda katika adhabu ya milele + +"Mfalme atawapeleka hawa kwenye eneo amablo watapata adhabu ambayo haitakoma" + +# Wenye haki kwenda katika uzima wa milele. + +"Watu wenye haki wataenda katika uzima wa milele." + +# bali wenye haki katika uzima wa milele + +"lakini mfalme atawapeleka hawa mahali ambapo wataishi milele pamoja na Mungu" + +# wenye haki + +"watu wenye haki" + diff --git a/mat/26/01.md b/mat/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..0352bf37 --- /dev/null +++ b/mat/26/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Huu ni mwanzo wa sehehmu mpya wa simulizi amablao linaelezea kusulibiwa kwa Yesu, kufa na kufufuka. Hapa anawaeleza wanafunzi wake jinsi atakavyoteseka + +# Wakati Yesu alipomaliza + +"kisha " au"baadaye" + +# Maneno haya yote. + +Tazama 24:3 + +# Mwana wa Adamu atatolewa ili asulibiwe. + +"Baadhi ya watu watamtoa Mwana wa Adamu kwa watu wengine ambao watamsulibisha." + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake + diff --git a/mat/26/03.md b/mat/26/03.md new file mode 100644 index 00000000..37ac8360 --- /dev/null +++ b/mat/26/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Mstari huu unatoa historia ya mpango wa viongozi wa Wayahudi wa kumkamata na kumwua Yesu + +# walikutana pamoja + +"walikutana" + +# Kwa siri. + +"Bila kujulikana kwa wengi" + +# Siyo wakati wa sikukuu. + +"Tusimuue Yesu wakati wa sikukuu" + +# Sikukuu. + +Sikukuu ya kila mwaka ya Pasaka. + diff --git a/mat/26/06.md b/mat/26/06.md new file mode 100644 index 00000000..f18b1744 --- /dev/null +++ b/mat/26/06.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanza na habari ya mwanamke akimwaga manukato ya gharama kabla ya kifo cha Yesu + +# Wakati + +Hil ni neno linalotumika kuazisha habari mpya. Mathayo anaanza kuelezea habari mpya + +# Simoni mkoma + +Inamaanisha kuwa huyu ndiye mtu ambaye Yesu alimponya kwa ukoma + +# Alipokuw amejinyoosha. + +"Yesu alikuwa amekaa upande wake". Unaweza kutumia neno la lugha yako kwa mkao wa watu ambavyo huwa wakati wa kula. + +# Mwanamke alimwendea. + +Mwanamke alikuja kwa Yesu. + +# Mkebe wa alabasta. + +chombo ambacho hugharimu sana kwa kukinunua kilicho tengenezwa na jiwe laini. + +# Mafuta + +Mafuta ambayo yana harufu nzuri. + +# aliyamimina juu ya kichwa chake + +Yule mwanamke alifanya hivi kuonesha heshima kwa Yesu + +# Ni nini sababu ya hasara hii. + +"Mwanamke huyu amefanya jambo baya kwa kuharibu mafuta haya" + +# Haya yangeweza kuuzwa kwa thamani kubwa na kupew masikini + +"angweza kuyauza kwa thamani kubwa ya pesa na kuitoa ile pesa + +# kupewa masikini + +"kwa watu masikini" + diff --git a/mat/26/10.md b/mat/26/10.md new file mode 100644 index 00000000..0fa40e0f --- /dev/null +++ b/mat/26/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini mnamsumbua mwanamke huyu? + +"Hamkupaswa kumsumbua mwnamke huyu" + +# kwa nini mna + +viwakilishi vyote vya "mna" viko katika wingi + +# masikini + +"watu masikini" + diff --git a/mat/26/12.md b/mat/26/12.md new file mode 100644 index 00000000..5dcfc532 --- /dev/null +++ b/mat/26/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mafuta + +Tazama 26:6 + +# kweli nawaambia + +"nawambia ukweli" huu ni msisitizo wa kile kilichofuata + +# popote injili hii itakapohubiriwa + +"popote pale watu watakapohubiri injili hii" + +# kitendo alichofanya huyu mwanamke, pia kitakuwa kinasemwa kwa ajili ya kumkumbuka + +"watakumbuka kile ambacho mwanamke huyu amefanya na wataambiwa wengine juu yake" + diff --git a/mat/26/14.md b/mat/26/14.md new file mode 100644 index 00000000..dcfa4e53 --- /dev/null +++ b/mat/26/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yuda Iskaariote anakubali kuwasaidia viongozi wa Wayahudi kumkamata na kumwua Yesu + +# Nikimsaliti + +"kuwasaidia kumkamata Yesu." + +# Vipande therathini vya fedha. + +Kwa kuwa maneno haya ni sawa na yale ya unabii katika Agano la Kale, endeleza muundo huu badala ya kuugeuza katika pesa ya leo. + +# Kumsaliti kwao. + +"Kuwasaidia wakuu wa makuhani kumkamata Yesu." + +# vipande thelathini + +"vipande 30" + diff --git a/mat/26/17.md b/mat/26/17.md new file mode 100644 index 00000000..6ded6150 --- /dev/null +++ b/mat/26/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaazisha hanari y a Yesu akisherehekea Pasaka pamoja na wanafunzi wake + +# Sasa + +Hili ni neno amablo limetumika kuonesha mwazo wa habari mpya. Matahyo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari + +# Alisema , "nendeni mjini kwa mtu fulani na mwambieni , 'Mwalimu anasema," Muda wangu umekaribia. Nitaitimiza Pasaka pamoja na wanafunzi wangu katika nyumba yako."'' + +"Aliwaambia wanafunzi wake kuingia mjini kwa mtu fulani na kumwambia kwamba Mwalimu anamwambia, 'Muda wangu umekaribia. Nitaitimiza Pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani mwako.'" au "Aliwaambia wanafunzi wake kwenda mjini kwa mtu fulani na kumweleza mtu huyo kwamba Mwalimu anasema muda wake umekaribia na atatimiza Pasaka pamoja na wanafunzi wake katika nyumba ya mtu huyo." + +# Muda wangu. + +Maana yake yaweza kuwa: 1) " Muda ambao niliwahi kuwajulisha" au 2 "Muda ambao Mungu amepanga kwa ajili yangu." + +# Umekaribia. + +Maana yake yaweza kuwa: 1) "uko karibu" au 2) "Umefika." + +# Timiza Pasaka. + +"Kula chakula cha Pasaka" au "sherekea sikukuu ya Pasaka kwa kula chakula maalum." + diff --git a/mat/26/20.md b/mat/26/20.md new file mode 100644 index 00000000..e19c5a16 --- /dev/null +++ b/mat/26/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Aliketi chini apate kula. + +Tumia neno kwa mkao ambao watu katika utamaduni wako daima hukaa wakati wa kula. + +# kweli nawaambia + +"Nawaambia ukweli." Huu ni msisitizo wa kile kilichofuata + +# Hakika siyo mimi, Bwana? + +"Nina hakika mimi siye, Je, ni mimi?" + diff --git a/mat/26/23.md b/mat/26/23.md new file mode 100644 index 00000000..03e4cbc7 --- /dev/null +++ b/mat/26/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mwana wa Adamu + +Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu y ake mwenyewe + +# ataondoka + +"akufa" + +# kama ilivyoandikwa + +"kama vile manabii walivyoandika juu yake katika maandiko" + +# Mtu yule ambaye kwake Mwana wa Adamu asalitiwa. + +"Mtu ambaye amsaliti Mwana wa Adamu." + +# Je, ni mimi Tabi? + +"Rabi, kwa hakika si mimi nitakayekusaliti" + +# Umesema jambo hilo wewe mwenyewe + +"wewe ndiye unayesema" + diff --git a/mat/26/26.md b/mat/26/26.md new file mode 100644 index 00000000..0fe7f3ce --- /dev/null +++ b/mat/26/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anakula chakula na wanafunzi kwa kusherehekea Pasaka na wanafunzi wake + +# Alichukua... alibariki. + +Tazama 14:19 + diff --git a/mat/26/27.md b/mat/26/27.md new file mode 100644 index 00000000..b54f362f --- /dev/null +++ b/mat/26/27.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# kutwaa au chukua. + +Tazama14:19 + +# kikombe + +Kikombe kinamaanisha kikombe kikiwa na divai ndani yake + +# kunyweni + +"kunywa divai kutoka kikombe hiki" + +# kwa kuwa hii ni damu yangu + +"kwa kuwa hii divai ni damu yangu" + +# Damu ya agano. + +"Damu ambayo huonesha kwamba agano linafanya kazi" au "damu ambayo hufanya agano liwezekane. + +# Inamwagwa. + +"Inamwagwa kwa ajili ya kifo" au "hivi punde itachuruzika kutoka mwilini mwangu." au "itachuruzika kutoka katika majeraha yangu nitakapo kufa." + +# matunda ya mzabibu. + +"mvinyo" + +# Lakini nawaambia + +Hii inaongeza msisitzo + +# katika Ufalme wa Baba yangu. + +Baba atakapoanzisha ufalme wake duniani "hapa" + +# wa baba yangu + +Hiki ni cheo muhimu cha Mungu kinachoonesha uhusiano muhimu kati ya Mungu na Yesu. + diff --git a/mat/26/30.md b/mat/26/30.md new file mode 100644 index 00000000..973dda4f --- /dev/null +++ b/mat/26/30.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake wakati wakielekea mlima wa Mizeituni + +# Maelezo kwa ujumla + +Katika mstari wa 31, Yesu anamnukuu Nabii Zekaria kuonesha kuwa ili kutimiza unabii, wanaaafunzi wake wataondoka. + +# Wimbo. + +Wimbo wa sifa kwa Mungu. + +# kujikwaa + +"mtaniacha" + +# Kukataa. + +"Kuniacha." + +# kwa kuwa imeandikwa + +Kwa kuwa nabii zekaria aliandika tangu awali katika maandiko" + +# Nitampiga + +kiwakilishi "ni" kinamaanisha Mungu. Inamaanisha kuwa Mungu atasababisha au kuruhusu watu kumwumiza na kumwua Yesu + +# mchungaji ... na kondoo wa kundi + +Yesu na wanafunziwake + +# Kondoo wa kundi watatawanyika + +"Watawatawanya kondoo wote wa kundi" + +# Baada ya kufufuka kwangu + +"Baada ya Mungu kunifufua" + diff --git a/mat/26/33.md b/mat/26/33.md new file mode 100644 index 00000000..33b988bc --- /dev/null +++ b/mat/26/33.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kukataa. + +Tazama 26:30 + +# kweli nakuambia + +"Ninakuambia ukweli" Hiiinaongeza msisitizo wa kile kilichofuata baadaye + +# Kabla jogoo hajawika. + +"Kabla jua halijachomoza." + +# Jogoo. + +Ndege ambaye huwika kwa sauti kubwa karibu na majira ya jua kuchomoza. + +# Kuwika. + +Sauti ambayo jogoo hufanya anapowika. + +# utanikana mara tatu + +"utasema mara tatu kuwa wewe si mfuasi wangu" + diff --git a/mat/26/36.md b/mat/26/36.md new file mode 100644 index 00000000..450ebc0f --- /dev/null +++ b/mat/26/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaazisha habariy a Yesu akiomba Gethsemane + +# na akaanza kuhuzuniaka + +"na akawa na huzuni sana" + +# Roho yangu inahuzuni kubwa sana + +Hapa roho inamaanisha nafsi nzima ya mtu. "Nina huzuni sana" + +# kiasi cha kufa + +"Najihisi kama nataka kufa" + diff --git a/mat/26/39.md b/mat/26/39.md new file mode 100644 index 00000000..bc56b8c5 --- /dev/null +++ b/mat/26/39.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Alianguka kifudifudi. + +Kwa makusudi kuweka uso chini ili upate kuomba. + +# Baba yangu. + +Hili ni jina maarufu la Mungu ambalo huonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# KIkombe hiki kiniepuke. + +Usemi huu, "kikombe hiki" huashiria mateso ambayo Yesu atapitia. + +# Hata hivyo, siyo kama nipendavyo, bali kama utakavyo. + +Hii inaweza kuelezwa kama sentensi iliyo kamilika. "Lakini usifanye kile nitakacho bali kile utakacho." + +# akamwambia Petro, kwa nini hamkukesha + +Yesu anamwambia Petro, kiwakilishai cha "hamku" ni cha wingi kinamaanisha Petro, Yakobo na Yohana. + +# kwa nini hamkuweza kukesha nami hata kwa saa moja? + +"Ninasikitaka kuwa hamkuweza kukesha nami hata kwa saa moja" + +# msiingie katika majaribuni + +"mtu yeyote asiwajaribu mtende dhambi" + +# Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu + +Roho inamaanishahamu ya nafsi. Na "mwili" inamaanisha mwanadamu kamili. Yesu anamaanisha wanaweza kuwa na hamu ya kufanya mapenzi ya Mungu, Lakini kama wanadamu ni wadhaifu na wanaweza kushindwa + diff --git a/mat/26/42.md b/mat/26/42.md new file mode 100644 index 00000000..86b6163a --- /dev/null +++ b/mat/26/42.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Akaenda zake. + +"Yesu alienda zake." + +# mara ya pili ... mara ya tatu + +mpangilio kwa nafasi za namba + +# Nisipokinywea. + +"Isipokuwa kukinywea kikombe hiki cha mateso." + +# Baba yangu. + +Hili ni jina mashuhuri la Mungu ambalo hueleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# Macho yao yalikuwa mazito. + +"Walikuwa wakisinzia- sinzia sana." + +# hili haliwezi kuepukika + +"lazima nikinywee" + +# kama jambo hili + +J"ambo hili" inamaanisha kikombe na kile kilichomo. + +# na ni lazima nikinywee + +"lazima nikinywee" lazima nikinywee kikombe cha mateso" + +# mapenzi yako yatimizwe + +"kile utakacho kifanyike" + +# macho yako yalikuwa mazito + +"walikuwa na usingizi mzito" + diff --git a/mat/26/45.md b/mat/26/45.md new file mode 100644 index 00000000..9f550bfc --- /dev/null +++ b/mat/26/45.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Bado mmelala tu na kijipumzisha + +Ninasikitika kwamba bado mmelala na kupumzika" + +# Saa imekaribia. + +"Muda umefika." + +# na Mwana wa Adamu anasalitiwa + +"kuna mmoja wenu anamsaliti mwana wa Aadamu" + +# Mikono ya wenye dhambi. + +Neno "mikono" linamaanisha mamlaka ya kutawala. "Watu wenye dhambi." + +# Tazameni + +"Zingatia kile ambacho nataka kuwaambia." + diff --git a/mat/26/47.md b/mat/26/47.md new file mode 100644 index 00000000..5db6f408 --- /dev/null +++ b/mat/26/47.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaazisha habari ya Yuda wakati alipomsaliti Yesu na viongozi wa dini wakamkamata + +# Wakati alipokuwa bado akiongea. + +"Wakati Yesu alipokuwa bado akiongea." + +# marungu + +vipande vikubwa vya miti vya kupigia watu + +# Sasa ... mkamateni + +Neno "sasa" linaonesha kuanza kwa habari mpya. Mathayo anaeleza jinsi Yuda atakavyotoa ishara atakayotoa kwa nia ya kumsaliti. + +# Akisema, "Yule nitakaye mbusu, ndiye yeye. Mkamateni." + +"Akasema kwamba yule aliye mbusu ndiye waliyepaswa kumkamata." + +# Huyo nitakaye mbusu. + +"Yule nitakaye mbusu" au "Mtu ambaye nita mbusu." + +# Busu. + +Namna ya heshima ya kumsalimia mwalimu wa mtu mwingine. + diff --git a/mat/26/49.md b/mat/26/49.md new file mode 100644 index 00000000..681037b4 --- /dev/null +++ b/mat/26/49.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alikuja kwaYesu. + +"Yuda alimtokea Yesu." + +# Alimbusu. + +"Akakutana naye kwa kumbusu." + +# ndipo wakaja + +"Kiwakilishi "waka.." kinamaanisha wale watu waliokuja na Yuda wakiwaa na marungu na mapanga pamoja na viongozi wa dini + +# Wakamnyooshea Yesu mikono. + +Wakamkamata Yesu" + diff --git a/mat/26/51.md b/mat/26/51.md new file mode 100644 index 00000000..d18a25de --- /dev/null +++ b/mat/26/51.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Tazama. + +Neno "tazama" linatuvuta usikivu kwa ajili ya taarifa ya kugusa inayofuatia. + +# alichomoa upanga + +"aliyechukua upanga ili aue wengine" + +# wataangamizwa kwa upanga + +"watakufa kwa njia ya upanga" au "mtu atawaua kwa upanga" + +# Mnadhani kuwa siwezi kumwita Baba, na angenitumia zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika? + +"Mlipaswa kujua kwamba ningeweza kumwita Baba yangu, na angenitumia majeshi zaidi ya kumi na mawili ya malaika." + +# mnadhani + +hapa "mna" neno la umoja linlomaanisha yule mtu aliye na upanaga. + +# Baba yangu. + +Hili ni jina mashuhuri la Mungu ambalo hueleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# Majeshi ya malaika zaidi ya kumi na mawili. + +Neno "jeshi" ni neno la kijeshi linalojumuisha wanajeshi 6,000. Yesu anamaanisha kuwa Mungu angeweza kutuma malaika wa kutosha kuwazuia wale waliokuwa wanamkamata. Zaidi ya makundi 12 ya malaika. + +# lakini bai jinsi gani maandiko yangeweza kutimizwa, hivi ndivyo ilipswa kutoka + +"Lakini kama nkifanya hivyo, nisingeweza kutimiza,kile Mungu alichosema kwenye maandiko kitokee" + diff --git a/mat/26/55.md b/mat/26/55.md new file mode 100644 index 00000000..a05c7035 --- /dev/null +++ b/mat/26/55.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kama mnyang'anyi? + +"Mnajua kwamba mimi siyo mnyang'anyi, hivyo ni makosa yenu kuniijia mkiwa na mapanga na marungu. + +# Marungu. + +Vipande vikubwa vya miti migumu kwa ajili ya kupigia watu.hekaluni + +# hekaluni + +Inaoneshakuwa Yesu hakuwa hekaluni. alikuwa kwenye korido la hekalu + +# ili maandiko ya manabii yatimie + +"napenda kutimiza kile ambacho manabii waliandika kwenye maandiko" + +# Kumuacha. + +Kujitenga naye au walijitenga naye. + diff --git a/mat/26/57.md b/mat/26/57.md new file mode 100644 index 00000000..f9ca8fe0 --- /dev/null +++ b/mat/26/57.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya majaribu ya Yesu kwenye baraza la viongozi wa dini ya Wayahudi + +# Petro alimfuata + +"Petro alimfuata Yesu + +# Ukumbi wa Kuhani Mkuu. + +Sehemu ya uwazi karibu na nyumba ya Kuhani Mkuu. + +# Aliingia ndani + +"Petro aliingia ndani" + diff --git a/mat/26/59.md b/mat/26/59.md new file mode 100644 index 00000000..04d19993 --- /dev/null +++ b/mat/26/59.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Hili neno linaonesha kuazisha habari mpya kwenye simulizi. Matahyo anaanza kueleza habari mpya ya simulizi + +# kusudi wapate + +kiwakilisi "wa" kinamaanisha wale wakuu wa Makuhani na wale wajumbe wa baraza. + +# Wawili walitokeza mbele. + +"Wanaume wawili walikuja mbele" au "mashahidi wawili walitokeza mbele." + +# Walisema, "Mtu huyu alisema, 'Ninaweza kuliharibu hekalu la Mungu na kulijenga upya kwa siku tatu.'" + +"Walishuhudia kwamba walimsikia Yesu akisema angeweza kuvunja hekalu la Mungu na kulijenga upya kwa muda wa siku tatu." + +# Mtu huyu alisema. + +"Mtu huyu Yesu alisema." + diff --git a/mat/26/62.md b/mat/26/62.md new file mode 100644 index 00000000..917405ab --- /dev/null +++ b/mat/26/62.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# hawa wanakushuhudia nini dhidi yako? + +"unajibu nini juu ya ushuhuda huu dhidi yako?" + +# Mwana wa Mungu. + +Hili ni jina mashuhuri ambalo hueleza uhusiano kati ya Kristo na Mungu. + +# Mungu aishivyo + +Tazama 16:13 + +# Umesema jambo hilo wewe mwenyewe. + +Yesu anathibitisha kwamba yeye "ndiye Kristo, Mwana wa Mungu. "Kama ulivyosema, Mimi ndiye" au "Umekubaliana na ukweli huo" + +# Lakini nakuambia, tangu sasa na kuendelea + +Neno "wewe" ni la wingi. Yesu anamwambia kuhani mkuu na kwa wengine waliokuwapo hapo. + +# Tangu sasa na kuendelea mtamwona Mwana wa Adamu. + +Maana zinaweza kuwa: 1) Watamuona Mwana wa Adamu baadaye kwa wakati ujao au 2) kwa "sasa" Yesu anamaanisha wakati wa kifo chake, kule kurudi kwake kutoka kwa wafu, na kupaa kwake kwenda mbinguni. + +# Mwana wa Adamu + +Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake + +# Upande wa mkono wa kulia wenye nguvu. + +"Upande wa mkono wa kulia wa Mungu mwenyezi" + +# Akija katika mawingu ya mbinguni. + +"Akisafiri kuja duniani katika mawingu ya mbinguni." + diff --git a/mat/26/65.md b/mat/26/65.md new file mode 100644 index 00000000..a621e966 --- /dev/null +++ b/mat/26/65.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kuhani Mkuu alirarua mavazi yake. + +Kuchana mavazi ilikuwa ni ishara ya huzuni na hasira. + +# amekufuru + +kwa kufuru hii, inamaanisha kuwa Yesu alikuwa akidai kuwa yeye ni sawa na Mungu + +# Je, twahitaji tena ushahidi? + +"hatuhitaji kusikia ushahidi mwingine" + +# Tayari mmesikia + +kiwakilishi cha "mme" kikokatika wingi kinamaanisha wajumbe wa baraza. + diff --git a/mat/26/67.md b/mat/26/67.md new file mode 100644 index 00000000..674e849f --- /dev/null +++ b/mat/26/67.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha wali + +Maana yaweza kuwa: "Kisha baadhi ya watu" au "Kisha askari" + +# Walimtemea usoni. + +Hili ni tendo la kufedhehesha. + +# Tutabirie. + +Hapa "tutabirie" humaanisha, "tuambie kwa kutumia uwezo wa Mungu." Haimaanishi, "tuambie kitu gani kitatokea kwa wakati ujao." + +# Wewe Kristo + +Wale waliokuwa wakimpiga Yesu. Walimwita kwa kumdhihaki + diff --git a/mat/26/69.md b/mat/26/69.md new file mode 100644 index 00000000..fc573fc1 --- /dev/null +++ b/mat/26/69.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii ni habri ya Petro akimkana mara tatu kuwa anamjua Yesu, kama vile Yesu alivypkuwa amaesema kuwa atafanya. + +# Maelezo kwa ujumla + +Matukio haya yanatokea sambamba na majaribu ya Yesu kwa viongozi wa dini + +# Wakati huo + +Hili neno linaonesha kuanza kwa habari nyingine. Mathayo anaanza kuwaambia sehemu ya habari. + +# Sijui kile unachosema. + +Petro aliweza kufahamu alichosema mjakazi. Alitumia maneno haya kukana kwamba alikuwa pamoja na Yesu. + diff --git a/mat/26/71.md b/mat/26/71.md new file mode 100644 index 00000000..0fb34f60 --- /dev/null +++ b/mat/26/71.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alipo... + +"Petro alipo..." + +# Lango. + +Uwazi katika ukuta kwenye ukumbi. + +# Akakana tena kwa kiapo, "mimi sim"jui mtu huyu + +"akakana tena na kusema, 'Naapa simjui mtu huyu'" + diff --git a/mat/26/73.md b/mat/26/73.md new file mode 100644 index 00000000..8497c68a --- /dev/null +++ b/mat/26/73.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mmoja wao. + +"Mmoja wa hao waliokuwa pamoja na Yesu." + +# Kwa kuwa rafudhi yako huonesha. + +"Tunaweza kukuambia kwamba unatoka Galilaya kwa sababu unaongea kama Mgalilaya." + +# kulaani. + +"Kujitakia laana iwe juu yake mwenyewe." + +# jogoo akawika + +Tazama 26:33 + +# Petro alikumbuka maneno aliyoambiwa na Yesu, "kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu." + +Ptro alikumbuka kuwa Yesu alikuwa amemwambia kuwa kabla jogoo hajawika atakuwa amemkana mara tatu" + diff --git a/mat/27/01.md b/mat/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..414637ce --- /dev/null +++ b/mat/27/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha kujariwa kwa Yesu mbele ya Pilato + +# Muda wa asubuhi + +neno linamaanisha kuazisha habari mpyakataika simulizi. Matahyo anaanza kueleza habari mpya katika sehemu hii + +# walikula njama dhidi ya Yesu wapate kumuua + +Viongozi wa Wayahudi walikuwa wakipanga jinsi ya kuwashawishi viongozi wa Rumi jinsi ya kumuua Yesu + +# walimwongoza + +"walimkabidhi" au "walimpeleka" + diff --git a/mat/27/03.md b/mat/27/03.md new file mode 100644 index 00000000..6624fd0e --- /dev/null +++ b/mat/27/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwanadishi amekoma kueleza habari ya kuhojiwa kwa Yesu na anaeleza jinsi Yuda alivyojiua + +# Maelezo kwa ujumla + +Tukio hili limeanza baada ya Yesu kuhojiwa mbele ya baraza la viongozi wa Wayahudi, lakinni hatujui kama hii ilitokea baada au kabla ya mahojiano ya Yesu kwa Pilato + +# Kisha wakati Yuda + +Kama lugha yako ina namna ya kuonesha habari mpya inapoanza, unaweza kuitumia hapa. + +# Yesu amaekwisha kuhukumiwa + +"Viongozi wa Wayahudi wameshamhukumu Yesu" + +# vipande thelathini vya fedha + +Tazam 26:14 + +# damu isiyo na hatia + +"mtu ambaye hakustahili kufa" + +# inatuhusu nini? + +"hilo siyo tatizo letu" au "hilo ni tatizo lako" + +# alivirusha chini vile vipande vya fedha katika hekalu" + +Hii inamaanisha 1) alivitupa vile vipande vya fedha akiwa kwenye korido la hekalu, au 2) alikuwa amesimama kwenye korido la hekalu na akavitupa vile vipande vya fedha hekaluni. + diff --git a/mat/27/06.md b/mat/27/06.md new file mode 100644 index 00000000..e54a2d37 --- /dev/null +++ b/mat/27/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# si halali kuiweka fedha hii + +"Sheria zetu hazituruhusu kuiweka hii" + +# Kuiweka hii + +"kuiweka fedha hii" + +# hazina + +ahaili ni eneo ambalo waliweka ile fedha waliyotumia kwa mahitaji ya hekaluni nakwa makuhani. + +# gharama ya damu + +Hii ni nahau inayomaanisha pesa i;iyotumika kumlipa mtu aliyeua mtu. "Pesa iliyolipwa kwa ajili ya kuuawa kwa mtu" + +# shamba la mfinyanzi + +Hili n ishamba ambalo lilikuwa limenunuliwa kwa ajili ya kuwazikia wageni waliofia Yerusalemu + +# hilo shamba limekuwa likiitwa + +"watu huliita shamba hilo" + +# hadi leo hii + +Hadi wakati ambao Mathayo alikuwa anaandika kitabu hiki. + diff --git a/mat/27/09.md b/mat/27/09.md new file mode 100644 index 00000000..36c7cebc --- /dev/null +++ b/mat/27/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Mwandishi ananukuu toka maandiko ya Agano Jipya kuonesha kuwa kujinyonga kwa Yuda kulikuwa kutimiza unabii + +# Kisha lile neno lililokuwa limenwa na nabii Yeremia litimie + +"Hili liltimiza unabii ambao nabii Yeremia alisema" + +# gharama iliyopngwa na watu wa Israel + +"Gharama ambayo watu wa Isrel walimpngia" + +# watu wa Israel + +Hii inamaanisha baadhi ya watu wa Isrel waliolipa ili Yesu auawe. "baadhi ya watu wa Israel" au "viongozi wa Israel" + +# alivyokuwa amenielekeza + +kiwakilishi "ni" kinamaanisha Yeremia + diff --git a/mat/27/11.md b/mat/27/11.md new file mode 100644 index 00000000..ae2e44cb --- /dev/null +++ b/mat/27/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Senteni unganishi + +Ni habari inayoanzi 27:1 + +# Sasa + +Kama lugha yako ina maneno yanyotumika kuendeleza mazungumzo baada ya pumziko la hadithi kubwa, waweza kuyatumia hapa + +# liwali + +"Pilato" + +# wewe wasema hivyo + +Hii ni nahau ambayo Yesu anatumia kumaanisha "ndiyo" lenye lengo lakumaanisha kutoweka wazi alichokuwa anasema "wewe ndiye unayesema" au "unaonesha kukiri" + +# wakati aliposhitakiwa na wakuu wa Makuhani na wazee + +"Lakini wakati wakuu wa makuhani na wazee walipomshitaki" + +# Hyasikii mashaitaka yote dhidi yako? + +Pilatoanauliza swali kwa sababu anashangazwa na ukimya wa Yewsu. "Ninashangazwa kwamba huwajibu hawa watu wanokushitaki kwa kutenda mabaya" + +# neno moja, hivyo liwali alijawa na mshangao + +"neno moja; hii ilimshangaza sana liwali" + diff --git a/mat/27/15.md b/mat/27/15.md new file mode 100644 index 00000000..93053ec1 --- /dev/null +++ b/mat/27/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Hili ni neno linalotumika kuosha mwanzo wa habari kuu ili kwamba mwandishi aweze kutoa taarifa za kumsaidia msomaji kinachotokea kuanzia 27:17 + +# Sikukuu + +Hii ni sikuu ya kusherehekea Pasaka + +# mfungw mmoja anayechaguliwa na umati + +"mfungwa ambaye umati utamchagua" + +# walikuwa na mfungwa sugu + +"kulikuwa na funwa sugu" + +# sugu + +anayejulikan vizuri kwa kutenda makosa makubwa + diff --git a/mat/27/17.md b/mat/27/17.md new file mode 100644 index 00000000..a0044aba --- /dev/null +++ b/mat/27/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# walipokiuwa wamekusanyika + +"umati ulikuwa umekusanyika" + +# Yesu anayeitwa Kristo + +ambaye watu baadhi humwita Kristo + +# wamekwisha kumkamata Yesu + +viongozi wa Wayahudi walikuwa wamemleta Yesu kwake. "walifanya haya ili kwamba Pilato amhukumu Yesu. + +# alipokuwa akiketi + +"Pilato alopokuwa ameketi" + +# alipokuwa akiketi kwenye kti chake cha hukumu" + +"Kuketi kwenye kiti cha hakimu." Hapa ndipo hakimu huketi anapokuwa akifanya maamuzi. + +# alimtumia neno + +"neno" inamaanisha ujumbe. "alituma ujumbe" + +# leo nimeteswa mno + +"Nimeteseka san leo" + diff --git a/mat/27/20.md b/mat/27/20.md new file mode 100644 index 00000000..b87330ff --- /dev/null +++ b/mat/27/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndipo ... Yesu auawe + +Neno "ndipo" limetumika kumaanisha mwanzo wa habari. Yesu anaeleza kwa nini umati ulimchagua Baraba. + +# Yesu auawe + +Askari wa Rumi wamuue Yesu" + +# aliwauliza + +"aliuliza umati" + +# anayeitwa Kristo + +"ambaye watu baadhi humwita Kristo" + diff --git a/mat/27/23.md b/mat/27/23.md new file mode 100644 index 00000000..16a760a7 --- /dev/null +++ b/mat/27/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ametenda + +"ambalo Yesu ametenda" + +# walipaza sauti + +"walipiga kelele" + +# akanawa mikono yake mbele ya umati + +Pilato alifanya hivi kama ishara ya kuwa yeye hawajibiki kwa kifo cha Yesu + +# damu + +"damu" inamaanisha damu ya mtu "kifo" + +# yaangalieni haya wenyewe + +"huu ni wajibu wenu" + diff --git a/mat/27/25.md b/mat/27/25.md new file mode 100644 index 00000000..d5626331 --- /dev/null +++ b/mat/27/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Damu yake iwe juu yetu na watoto wetu + +damu inamaanisha kifo cha mtu. Kirqai cha "iwe juu yetu na watoto wetu" ni nahau inayomaanisha kuwa wanakubali kuajibika kwa kile kinachotokea. "Ndiyo! Sisi na wa watoto wetu tutaajibika kwa kifo cha Yesu" + +# alimpiga mijeredi + +Maaskari wa Pilato walimpiga mijeredi Yesu. + +# kupiga mijeredi + +kumpiga mtu kwa kutumia mjeredi + +# Kumkabidhi kwao kwenda kusulibiwa + +"na Pilato akaamuru Yesu asulibiwe" + diff --git a/mat/27/27.md b/mat/27/27.md new file mode 100644 index 00000000..857f7d93 --- /dev/null +++ b/mat/27/27.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya kusulibiwa kwa Yesu + +# kundi kubwa la maaskari + +"kikosi cha maaskari + +# wakamvua + +"kumvulisha nguo" + +# nyekundu + +"nyekundu yenye mng'ao + +# taji ya miiba + +"taji iliyotengenezwa kwa matawi ya miiba" au "taji ilitengenezwa ka matawi yalyo na miiba" + +# mwanzi katika mkono wake wa kuume + +Walimpa Yesu ashikilie fimbo kuonesha kuwa wafalme hushilia fimboya enzi. walifanya hivi kumkejeli. + +# salalmu mfalme wa Wayahudi + +walisema hivi kumkejeliYesu. walikuwa wakimwita Yesu "mfalme, wa Wayahudi," lakini kwa hakika hawakuamini kuwa Yesu alikuwa mfalme. Lakini walichokuwa wakisema kilikuwa kweli. + diff --git a/mat/27/30.md b/mat/27/30.md new file mode 100644 index 00000000..e8ea45f0 --- /dev/null +++ b/mat/27/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# walimtemea mate + +"maaskari walimtemea Yesu" + diff --git a/mat/27/32.md b/mat/27/32.md new file mode 100644 index 00000000..f00c03b9 --- /dev/null +++ b/mat/27/32.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Walipotoka nje + +Hii inamaanisha Yesu na maaskari walitoka nje ya mji, "walipokuwa wakitoka nje ya Yerusalaem" + +# walimwonamtu + +"maaskari walimwona mtu" + +# ambaye walimulazimisha kwenda nao ili apate kubeba msalaba wake + +"amabye maaskari walimlazimisha kwenda naye ili kwamba abebe msalaba wa Yesu" + +# mahali paitwapo fuvu la kichwa + +"eneo ambalo watu waliliita Golgotha" + +# Walimpa siki iliyochanganywa na nyongo. + +"walimpa siki, ambayo walikuwa wameichanganya na nyongo" + +# siki + +kinwaji kichungu cha njano ambacho miili hukitumia kwa mmeng'enyo wa chakula + diff --git a/mat/27/35.md b/mat/27/35.md new file mode 100644 index 00000000..b9d013be --- /dev/null +++ b/mat/27/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mavazi + +Hili ni vazi ambalo Yesu alikuwa akilivaa + +# Juu ya kichwa chake waliweka mashitaka dhidi yake + +"mashitaka" inamaanisha waliandika ili kuonesha sababu za kumsulibisha Yesu + diff --git a/mat/27/38.md b/mat/27/38.md new file mode 100644 index 00000000..4c35e9c2 --- /dev/null +++ b/mat/27/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wanyang'anyi wawili walisulibishwa pamoja naye + +Maskari walimsulibishaYesu pamoja na wanyanga'nyi wawili + +# wakitikisa vichwa vyao + +walifanya hivi kumcheka Yesu + +# Kama nia mwana wa Mungu shuka chini + +Kama wewe ni mwana wa Mungu thibitisha kwa "kushuka msalabani" + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo cha muhimu amabcho kinaonesha uhusiano kati ya Kristo na Mwanawa Mungu + diff --git a/mat/27/41.md b/mat/27/41.md new file mode 100644 index 00000000..824881c2 --- /dev/null +++ b/mat/27/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Aliokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe + +Maana yake yaweza kuwa 1) viongozi wa Wayahudi hawakuamini kuwa Yesu aliwaokoa wengine au kwamba anaweza kujiokoa wenyewe au 2) waliamini kuwa Yesu aliwaokoa wengine na sasa wanamcheka kwa sababu sasa hawezi kujiokoa mwenyewe + +# yeye ni mfalme + +Viongozi wanamkejeli Yesu. Wanamwita "Mfalme wa Israel," Lakini kwa uhalisia hawaamini kuwa yeye ni Mfalme. "Anasema kuwa yeye ni mfalme wa Israel" + diff --git a/mat/27/43.md b/mat/27/43.md new file mode 100644 index 00000000..32828760 --- /dev/null +++ b/mat/27/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Viongozi wa Wayahudi wanaendelea kumkejeli Yesu + +# Kwa sababu alisema, 'Mimi ni Mwana wa Mungu.' + +"Kwa sababu Yesu alisema kuwa yeye ni Mwana wa Mungu" + +# Mwana wa Mungu + +Hiki ni cheo cha maalumu cha Yesu ambacho kinaelezea uhusiano na Mungu + +# Na wale wanyang.nyi waliokuwa wamesulibiwa pamoja naye + +"Na wale wanyanga'nyi ambao maaskari waliwasulibisha pamoja na Yesu" + diff --git a/mat/27/45.md b/mat/27/45.md new file mode 100644 index 00000000..9f0a5be7 --- /dev/null +++ b/mat/27/45.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Neno hili limetumika kuonesha kuanza kwa habari nyingine. Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari + +# kutoka saa ya sita ... hadi saa tisa + +Kuanzia mnamo adhuhuri ... kwa muda wa saa tatu" au "kuazia mnamo muda wa saa sita mchana ... hadi mnamo muda wa saa tisa mchana" + +# kulikuwa na giza katika nchi yote + +Neno "giza" ni nomino. "ilikuwa giza nchi yote" + +# Yesu akalia + +"Yesu akaita" au "Yesu alipiga kelele" + +# Eloi. Eloi. lamathabakithani + +Haya ndiyo maneno amabyo Yesu aliita kwa sauti kuu katika lugha ya.ke + diff --git a/mat/27/48.md b/mat/27/48.md new file mode 100644 index 00000000..2c098cd7 --- /dev/null +++ b/mat/27/48.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mmoja wao + +inaweza kumaanisha 1)mmoja wa maaskari au 2) mmoja wale waliokuwa wamesimama karibu wakitazama + +# sifingo + +Huyu ni mnyama wa majini ambaye anapokuwa amevuliwa lile ganda lake liliweza kutumika kwa kuwekea vitu kama maji na kinywaji ambacho kinaweza kusukumwa nje. + +# na kumpa + +"akampa Yeu + +# akaitoa nafsi yake + +"akafa akiitoa roho yake kwa Mungu" au "akapumua pumzi ya mwisho" + diff --git a/mat/27/51.md b/mat/27/51.md new file mode 100644 index 00000000..441656f0 --- /dev/null +++ b/mat/27/51.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanza na matukio ambayo yalitokea baada ya Yesu kufa + +# Tazama + +Neno "tazama" linatutaka kuwa makini kwa taarifa za kushangaza zinazofuata. + +# pazia la hekalu lilipasuka + +"lile pazia la hekaluni lilipasuka katika sehamu mbili" au "Mungu alilifanya pazia la hekalu ligawanyike mara mbili" + +# Makaburi yalifunguka, na miili ya watakatifu wengi waliokuwa wamelala usingizi walifufuliwa. + +"Mungu alifunua makaburi na kuifufua miili ya watu wengi wa Mungu waliokuwa wamekufa" + +# wamelala usingizi + +Hii ni tafsida yenye maana ya kufa "waliokuwa wamekufa" + +# Makaburiyalifunuka ... na walionekana kwa wengi + +Mpangilio wa matukio haya hauko wazi sana. Baada ya tetemeko la ardhi wakati Yesu alipokufa na makaburi kufunuka 1)Watu watakatifu walikuwa hai tena, kisha baada ya Yesu kufufuka, watakatifu wakauingi mji wa Yerusalemu na watu wengi waliwaona, au 2)Yesu alifufuka, kisha watakatifu nao wakafufuka na kuuingia mji ambapo watu wengi waliwaona. + diff --git a/mat/27/54.md b/mat/27/54.md new file mode 100644 index 00000000..778f73a9 --- /dev/null +++ b/mat/27/54.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi + +Hili neno limetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaaza kueleza sehemu nyingine ya habari + +# na wale ambao walikuwa wakimtazama + +"na wale maaskari waliokuwa wakimtazama Yesu" + +# Mwana waMungu + +Hiki ni cheo maalumucha Yesu kinachoonesh uhusiano na Mungu + +# mama wa watoto wa Zebedayo + +"Mama wa Yohana na Yakobo" au "mke wa Zebedayo" + diff --git a/mat/27/57.md b/mat/27/57.md new file mode 100644 index 00000000..7a334303 --- /dev/null +++ b/mat/27/57.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanza na habari ya kuzikwa Kwa Yessu + +# Arimathayo + +Hili jina la mji ulioko Israel + +# Pilato aliagiza apate kupewa + +"Pilato aliwaagiza maaskari kumpa Yusufu mwili wa Yesu" + diff --git a/mat/27/59.md b/mat/27/59.md new file mode 100644 index 00000000..55b9fbf5 --- /dev/null +++ b/mat/27/59.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# sufi safi + +Nguo laini ya thamani + +# aliliokuwa amelichonga mwambani + +Inamaanisha kuwa Yusufu aliajiri watu ambao waliochonga hilo akaburi + +# akavingirisha jiwe kubwa + +Yawekana Yusufu alikuwa na watu wengine pale waliomsaidia kulivingirisha lile jiwe + +# kuelekea kaburi + +"karibu na kaburi" + diff --git a/mat/27/62.md b/mat/27/62.md new file mode 100644 index 00000000..89643474 --- /dev/null +++ b/mat/27/62.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# maandalio + +Hii ni siku ambayyo watu waliandaa mabo yao kwa sababu ya sabato + +# walikusanyika pamoja kwaPilato + +"walikutana na Pilato" + +# yule mdanganyifu alipokuwa hai + +"wakati mdanganyifuYesu alipokuwa hai" + +# alisema, 'baada ya siku tatu atafufuka tena.' + +"alisema kwamba baada ya siku tatu atafufuka tena" + +# agiza kwamba kaburi lilindwe salama + +"waagize maaskari wako kulilinda kaburi" + +# siku ya tatu + +siku ya 3 + +# kumuiba + +"kuiba mwili wake" + +# na kusema kwa watu, 'Amefufuka kutoka wafu.' + +"na kuwaambia watu kwamba amefufuka kutoka wafu" + +# Na udanganyifu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko wa kwanza + +"kama watawadanganya watu kwa kusema hivyo, itakuwa vibaya kuliko alivyowadanganya watu kwa kusema kuwa yeye ni Kristo" + diff --git a/mat/27/65.md b/mat/27/65.md new file mode 100644 index 00000000..96f91f5b --- /dev/null +++ b/mat/27/65.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# walinzi + +kwa Warumi Ilimaanisha maaskari wanne hadi kumi na sita + +# jiwe liligongwa muhuri + +Inaweza kumaanisha 1) waliweka kamba karibu na jiwe na kuliunganishana kuta za lile jiwe katika pande zote za lango la kaburi au 2) waliweka mihuri katkati ya jiwe na kuta + +# na kuweka walinzi + +"kuwaambia walinzi wasimame mahali ambapo wataweza kuwazuia watu ambao watadirika kufanya chochote kaburini. + diff --git a/mat/28/01.md b/mat/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..58c9ba22 --- /dev/null +++ b/mat/28/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi ungsnishi + +Hii ni habari ya ufufuo wa Yesu kutoka wafu + +# Baadye jioni siku ya Sabato, jua lilipokuwa likichwa kuelekea siku ya kwanza ya juma + +Baada ya Sabato kuisha, jua lilipokuwa likichomoza Jumapili asubuhi" + +# Baadaye + +Hili ni nenolinaloonesha kuanza kwa habari mpya. Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari hii + +# Mariamu mwingine + +Huyu ni Mariamu mama wa Yakobo na Yusufu Tazma (27:54) + +# Tazama + +Neno "tazama" linatutahadharisha kuwa tayari kwa ajili ya taarifa kushanagaza ambazo zinafuata. Lugha yako inaweza kuwa namna ya kulisema hili. + +# kulikuwa na tetemeko kubwa, kwa sabau malaika wa Bwana alishuka ... na kulivingirisha jiwe + +Yaweza kumaanisha yafatayo 1) tetemeko lilitokea kwa sababu alishuka na kulivingirisha lile jiwe au 2) matukio yote haya yalitokea kwa wakati mmoja. + +# tetemeko + +kutetemeka ghafla kwa ardhi + diff --git a/mat/28/03.md b/mat/28/03.md new file mode 100644 index 00000000..353d5996 --- /dev/null +++ b/mat/28/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sura yake + +"Sura ya malaika" + +# ilikuwa kama ya umeme + +"ilikuwa inang'aa kama ya umeme" + +# mavazi yake yalikuwameupe kama theluji + +"mavazi yake yalikuwa meupe sana kama theluji" + +# na kuwa kama wafu + +Huu ni msemo unaomaanisha kuwa wale maaskari walianguka chini na hawakuweza hata kutikisika. "na walianguka chini na kulala pale kama watu waliokufa" + diff --git a/mat/28/05.md b/mat/28/05.md new file mode 100644 index 00000000..385b1ff9 --- /dev/null +++ b/mat/28/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wale wanawake + +"Mariamu Magadalena na yule Mariamu mwingine" + +# aliyesulibiwa + +"yule ambaye watu na maaskari walimsulibisha" au "yula ambaye walimsulibisha" + +# amefufuka toka wafu + +kirai cha "toka wafu" kinamaanisha eneo ambalo roho za wale waliokufa huenda. 'Lakini amefufuka" + +# mkawaambie wanfunzi wake, 'amefufuka toka wafu. Tazama amewatangulia Galilaya ambako mtamkuta" + +waambieni wanafunzi wake kuwa amefufuka wafu na kwamba Yesu amewatangulia kwenda Galilaya ambako mtamwona" + +# amewatangulia ... mtamwona + +kiwakilishi cha "mta" ni cha wingi. kinamaanisha wale wanawake na wanafunzi + +# nimewaambia + +kiwakilishi "wa" ni cha wingi. kinamaanisha wale wanawake + diff --git a/mat/28/08.md b/mat/28/08.md new file mode 100644 index 00000000..cdde6214 --- /dev/null +++ b/mat/28/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wale wanawake + +"Mariamu Magedalena na Mariamu yule mwingine" + +# Tazama + +neno "Tazama" linatuandaa kusikiliza taarifa zinazofuata. Lugha yako yaweza kuwa namfumo wa kulisema hili. + +# Salamu + +Hii ni salamu ya kawaida + +# na kushika miguu yake + +"walipiga magoti na kugusa miguu yake" + +# ndugu zangu + +Hii inamaanisha wanafunzi wa Yesu. + diff --git a/mat/28/11.md b/mat/28/11.md new file mode 100644 index 00000000..d2141bcb --- /dev/null +++ b/mat/28/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanza kwa habari ya mwitikio wa viongozi wa dini waliposikia habari ya kufufuka kwa Yesu + +# Sasa + +Hili neno linaonesha mwanzo wa habari kuu. Mathayo anaanza kusimuliasehemu ya habari + +# wale wanawake + +Inamaanisha Mariamu Magadelena na yula Mariamu mwingine + +# Tazama + +Hii inaonesha mwanzo wa tukio lingine katika habari kuu. Inaweza kujumuisha watu tofauti katika matukio yalitangulia. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulifanya hilo. + +# kujadili jambo hilo pamoja nao + +"walipanga mpango wao wenyewe." Makuhani na wazee waliamua kuwapa zile fedha wale maaskari + +# Waambieni wengine kuwa, 'wanafunzi wa Yesu walikuja ... wakati tulipokuwa tumelala,' + +Wambieni wengine kuwa wanafunzi wa Yesu waikuja ... wakati mlipokuwa mmelala" + diff --git a/mat/28/14.md b/mat/28/14.md new file mode 100644 index 00000000..201feea1 --- /dev/null +++ b/mat/28/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kamataarifa hii itmfikia liwali + +"Kama liwali atasikia haya kuwa mlikuwa mmesinzia wakati wanafunzi wa Yesu walipouchukua mwili" + +# Liwali + +"Pilato" + +# Tutamshawishi na kuwaaondoleeni ninyi mashaka + +"msihuzunike. tutongea naye ili asiwaadhibu" + +# na kufanya kama walivyokuwa wameelekezwa + +"walifanya kile ambacho makuhani waliwaambia kufanya" + +# Habari hii ikaenea sana kwa Wayahudi na imekuwa hivyo hadi leo + +"Wayahudi wengi waliisikia habari hii na wanaeendelea kuwaambia wengine hadi leo" + +# hadi leo + +Hii inamaanisha wakati Mathayo alipokuwa akiandika kitabu. + diff --git a/mat/28/16.md b/mat/28/16.md new file mode 100644 index 00000000..55a9a676 --- /dev/null +++ b/mat/28/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii inaanzisha habari ya Yesu kukutana na wanafunzi wake + +# walimwabudu, lakini wengine waliona shaka + +Maana zake zaweza kuwa 1) wote walimwabudu Yesu ingawa baadhi yao waliona shaka au) Baadhi yao walimwabudu Yesu, lakini wengine hawakumwabudu kwa sababu waliona shaka + +# lakini baadhi yao waliona shaka + +"Wengine wlions shaka kuwa ni kweli yeye ndiye aliyekuwa Yesu na kwamba amefufuka + diff --git a/mat/28/18.md b/mat/28/18.md new file mode 100644 index 00000000..331bf2a7 --- /dev/null +++ b/mat/28/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nimepewa mamlaka yote + +"Baba yangu amaenipa mamlaka yote" + +# dunuani na mbinguni + +"Mbingini" na "duniani"zimetumika pamoja kumaanisha kila kitu na kila mmoja duniani na mbinguni. + +# mataifa yote + +Hapa "mataifa" inamaanisha watu. "kwa watu wote kwa kila taifa" + +# kwa jina + +Hapa "jina" linamaanisha mamlaka. 'kwa mamlaka" + +# Baba ... Mwana + +hIvi ni vyeo maalumu vinavyoonesha uhusiano wa Yesu na Mungu. + diff --git a/mat/28/20.md b/mat/28/20.md new file mode 100644 index 00000000..b511121b --- /dev/null +++ b/mat/28/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# "Na azama + +"Sikilizeni" au "iweni tayari" + +# mpaka mwisho wa dunia + +"mpaka mwisho wa nyakati" au "mpaka mwisho wa ulimwengu" + diff --git a/mrk/01/01.md b/mrk/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..688bf437 --- /dev/null +++ b/mrk/01/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi ya unganishi + +Kitabu cha Marko huanza na nabii Isaya kusema ujio wa Yohana mbatizaji aliye mbatiza Yesu. + +# Maelezo ya jumla + +Mwandishi wa Marko, pia aliyeitwa Yohana Marko, ambaye ni mwana wa mmoja wa wanawake aliyeitwa Mariam aliyetajwa katika injili nne. Pia ni mpwa wa Barinaba. + +# Mwana wa Mungu + +Hii ni jina la muhimu sana kwa Yesu. + +# Mbele ya uso wako + +Hii ni lugha inayomaanisha "mbele yako" + +# Uso wako... njia yako + +Hapa neno "yako" urejea kwa Yesu na liko katika umoja. Pindi unapotafasiri, tumia nomino "yako" kwa sababu ni maneno ya mtu mwingine nabii, na hakutumia jina la Yesu. + +# Yule + +Hii urejee kwa mtumwa. + +# ataandaa njia yako + +Kufanya hivi humaanisha kuandaa watu kwa ajili ya ujio wa Bwana. AT:"nitaandaa watu kwa ajili ya ujio wako" + +# Sauti ya yule aitae toka jangwani. + +Hii inaweza kuelezwa kama sentesi. AT: "Sauti ya yule aitae toka jangwani imesikiwa" au " Wanasikia sauti ya mtu anaita toka jangwani" + +# Andaa njia ya Bwana... yanyoshe mapito yake + +Haya maneno humaanisha kitu kile kile. + +# Ifanye tayari njia ya Bwana + +"Iweke njia tayari ya Bwana." Kufanya hivi humaanisha kuwa tayari kusikia ujumbe wa Bwana unapokuja. Watu hufanya hivi kwa kutubu dhambi zao. AT: "Jiandae kusikia ujumbe wa Bwana unapokuja" au " Tubu na uwe tayari kwa ajili ya Bwana anapokuja" + diff --git a/mrk/01/04.md b/mrk/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..b5f48f10 --- /dev/null +++ b/mrk/01/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari hii maneno "yeye" mwanaume, "yule" mwanaume, na "ake" mwanaume urejee kwa Yohana. + +# Yohana alikuja + +Hakikisha wasomaji wako wanaelewa kwamba Yohana alikuwa mtumwa aliyekuwa amenenwa na nabii Isaya katika mistari ya awali. + +# Nchi yote ya Yuda na watu wote Yerusalemu + +Maneno "yote" na "wote" hapa ni maneno ya zaidi hutumiwa kusisitiza kwamba kulikuwa na idadi kubwa ya watu. AT: "Watu wengi kutoka Yuda na Yerusalemu" + +# Walibatizwa na yeye...kukiri dhambi zao + +Haya matendo mawili yalitokewa wakati ule ule. Watu walibatizwa kwa sababu walitubu dhambi zao. AT: "Pindi walipotubu dhambi zao, Yohana aliwabatiza katika mto wa Yordani" + diff --git a/mrk/01/07.md b/mrk/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..adc6d1fa --- /dev/null +++ b/mrk/01/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Alihubiri + +Yohana alihubiri + +# Sina hadhi hata ya kuinama chini na kufungua kamba za viatu vyake + +Yohana anajilinganisha mwenyewe kama mtumishi kuonyesha jinsi gani Yesu ni mkuu. AT:"Sina hadhi na hata kufanya jukumu la chini la kumvulisha viatu vyake. + +# Ukanda wa ndara zake + +Wakati Yesu alipokuwa hai, watu walivaa ndara zilizotengenezwa kwa ngozi na kufungwa kwa ukanda wa ngozi. + +# Kuinama chini + +ni kupinda kwa kuelekea chini + +# lakini atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu + +Ubatizo wa kiroho umelinganishwa kwa ubatizo wa maji. Ubatizo wa kiroho huwaleta watu katika mahusiano na Roho Mtakatifu kama ilivyo katika ubatizo wa maji unamleta mtu kuwa uhusiano na maji + diff --git a/mrk/01/09.md b/mrk/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..69d1706f --- /dev/null +++ b/mrk/01/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wewe ni mwanangu mpendwa + +Baba, Mwana, na Roho wote wanajidhihirisha pamoja, kwa wakati mmoja. + +# alibatizwa na Yohana + +Hii inaweza kutajwa katika hali tendaji. AT: " Yohana alimbatiza yeye" + +# Roho anamshukia kama njiwa + +Maana zinazoweza kuwa sahihi ni: 1)huu ni mfanano, na Roho alimshukia Yesu kama ndege anavyoshuka toka mbinguni kuelekea ardhi au 2) Roho kiuhalisia alionekana kama njiwa alivyoshuka juu ya Yesu. + +# sauti ilisikika toka mbinguni + +Hii inawakilisha Mungu anazungumza. Wakati mwingine watu hukwepa kurejea moja kwa moja kwa Mungu kwa sababu wana mheshimu yeye. AT: "Mungu alizungumza toka mbinguni." + +# mwana mpendwa + +Ni neno la cheo kwa Yesu. Baba anamwita Yesu "mwana" kwa sababu ya upendo wa milele kwake. + diff --git a/mrk/01/12.md b/mrk/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..7470fa67 --- /dev/null +++ b/mrk/01/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya ubatizo wa Yesu, anakuwa nyikani kwa siku arobaini na badae kwenda Galilaya kufundisha na kuita wanafunzi wake. + +# alimlazimisha kwenda nyikani + +"alimwongoza Yesu nje kwa shinikizo" + +# Alikuwako nyikani + +"Alikaa nyikani" + +# siku arobaini + +"muda wa siku arobaini" + +# Alikuwa pamoja na + +"alikuwa miongoni mwa" + diff --git a/mrk/01/14.md b/mrk/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..d135cea7 --- /dev/null +++ b/mrk/01/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# baada ya Yohana kukamatwa + +"Baada ya Yohana kuwa ametiwa gerezani" Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. AT: " baada ya kumshika Yohana." + +# alitangaza + +"Alihubiri" + +# Wakati umetimia + +"Huu sasa ni wakati" + diff --git a/mrk/01/16.md b/mrk/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..7ee0e67c --- /dev/null +++ b/mrk/01/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alimwona Simoni na Andrea + +"Yesu alimuona Simoni na Andrea" + +# kutupa nyavu baharini + +Maana pana ya sentensi hii inaweza kuwekwa wazi. AT: "kutandaza wavu katika maji kushika samaki" + +# Njoo, nifuate mimi + +"Nifuate mimi" au "njoo nami" + +# Nitawafanya kuwa wavuvi wa watu + +Huu mfano humaanisha Simoni na Andrea watawafundisha watu ujumbe wa kweli wa Mungu, ili wengine wamfuate Yesu. AT: "Nitakufundisha namna ya kuwapata watu" + diff --git a/mrk/01/19.md b/mrk/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..9da5512e --- /dev/null +++ b/mrk/01/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ndani ya mtumbwi + +"ndani ya mtumbwi wao" + +# kutayarisha nyavu + +"kushona nyavu" + +# aliwaita wao + +Inaweza kuwa msaada kusema wazi kwanini Yesu alimwita Yakobo na Yohana. AT: "aliwaita wao waje naye" + +# watumishi waliokodiwa + +"watumishi ambao walifanya kazi kwa ajili yao" + +# walimfuata + +"Yakobo na Yohana walikwenda pamoja na Yesu" + diff --git a/mrk/01/21.md b/mrk/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..e1ff95b6 --- /dev/null +++ b/mrk/01/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika mji wa Kaperinaumu siku ya Sabato Yesu anafundisha katika sinagogi. Anaondoa pepo kwa mtu, ambayo inashanganza watu walio maeneo ya karibu ya Galilaya. + +# alikuja Kaperinaumu + +"alifika Kaperinaumu" + +# kama mtu aliye na mamlaka na wala siyo mwandishi + +Kuna maneno yaliyo achwa katika sentensi hii ambayo yanaweza kuongozwa. AT: "kama mtu aliye na mamlaka alifundisha na siyo kama waandishi wafundishavyo" + diff --git a/mrk/01/23.md b/mrk/01/23.md new file mode 100644 index 00000000..57ffba2a --- /dev/null +++ b/mrk/01/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tuna nini cha kufanya na wewe, Yesu wa Nazareti? + +Mapepo wanauliza swali wakimaanisha kuwa hakuna sababu ya Yesu kuwaingilia na wanatamani yeye aondoke. " Yesu wa Nazareti, tuache sisi peke yetu! Hakuna sababu ya wewe kutuingilia sisi." + +# Je! Umekuja kutuangamiza sisi? + +Mapepo wanauliza swali kumsihi Yesu asiwadhuru. "Usi tuharibu sisi!" + +# alimtupa yeye chini + +Hapa neno "yeye" lina rejea kwa mtu aliye pagawa na mapepo. + +# wakati analia kwa sauti kubwa + +Pepo ndiye anayelia, wala siyo mtu. + diff --git a/mrk/01/27.md b/mrk/01/27.md new file mode 100644 index 00000000..ba5271ca --- /dev/null +++ b/mrk/01/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# waliulizana wao kwa wao, "Hiki ni nini? Mafundisho yaliyo na mamlaka? + +Mwitikio wa watu unaweza kuandikwa na sentensi hizi badala ya maswali. "walisema wao kwa wao, "Hii ina shanganza! Anatoa mafundisho mapya, na huzungumza na mamlaka!" + +# Pia ana amru + +Neno "yeye" ulerejea kwa Yesu. + diff --git a/mrk/01/29.md b/mrk/01/29.md new file mode 100644 index 00000000..dffd17ef --- /dev/null +++ b/mrk/01/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya kumponya mtu aliye pagawa na pepo, Yesu alimponya mama mkwe wa Simoni pamoja na watu wengi wengine. + +# Sasa mama mkwe wa Simoni alikuwa amelala akiumwa na homa + +mkwe alikuwa mgonjwa na homa. Neno "sasa" hutambulisha mama mkwe wa Simoni katika hadidhi na kutupa maelezo ya nyuma kuhusiana yeye. + +# wachache waliondoka + +Inaweza kuonyeshwa waziwazi nani aliye mponya. "Yesu alimponya homa yake" + +# alianza kuwahudumia + +Inamaamisha chakula kilitengwa. "Aliwahudumia chakua la vinywaji" + diff --git a/mrk/01/32.md b/mrk/01/32.md new file mode 100644 index 00000000..2e99e36c --- /dev/null +++ b/mrk/01/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Hapa maneno "yeye" na "yeye" urejea kwa Yesu. + +# wote waliokuwa wagonjwa au kupagawa na mapepo + +Hapa neno "wote" ni maelezo zaidi na linatumiwa kusisitiza idadi kubwa ya watu waliokuja. "wengi waliokuwa wagonjwa au kupagawa na mapepo." + +# Mji wote walikusanyika pamoja katika mlango + +Neno "wote" linaelezea namba ya watu waliokuwa wakimtafuta Yesu. "Watu wengi kutoka mjini walikusanyika nje ya mlango" + diff --git a/mrk/01/35.md b/mrk/01/35.md new file mode 100644 index 00000000..d901a909 --- /dev/null +++ b/mrk/01/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anachukua muda kuomba katikati ya wakati wake wa kuponya watu. Badae anaenda mjini kupitia Galilaya kuhubiri, kuponya na kutoa mapepo. + +# Maelezo ya jumla + +Hapa maneno "yeye" na "yeye" urejea kwa Yesu + +# Mahali pa faragha + +"mahali ambapo anaweza kuwa peke yake" + +# Simoni na wale walikuwa naye + +Hapa "yeye" urejee kwa Simoni. Pia, wale waliokuwa pamoja naye akiwemo Andrea, Yakobo, Yohana, na inawezekana watu wengine. + +# Kila mmoja anakutafuta wewe + +Neno "kila mmoja" linafafanua namna watu wengi waliomtafuta Yesu. "Watu wengi wanakutafuta wewe" + diff --git a/mrk/01/38.md b/mrk/01/38.md new file mode 100644 index 00000000..bd2ae181 --- /dev/null +++ b/mrk/01/38.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hapa maneno "yeye" na "mimi" urejea kwa Yesu. + +# Twendeni mahali pengine + +"Tunapaswa kwenda mahali pengine." Hapa Yesu anatumia neno "sisi" kurejea kwake, akiwemo Simoni, Andrea, Yakobo, na Yohana. + +# Alienda akipitia Galilaya yote + +Neno "kupitia" linaelezea Yesu alikwenda maeneo mengi wakati wa huduma yake. "Alikwenda maeneo mengi ya Galilaya." + diff --git a/mrk/01/40.md b/mrk/01/40.md new file mode 100644 index 00000000..a376311f --- /dev/null +++ b/mrk/01/40.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mwenye ukoma alikuja kwake; alikuwa akimsihi wakati amepiga magoti na kumwambia + +"Mwenye ukoma alikuja kwa Yesu; mwenye ukoma alikuwa akimsihi Yesu akiwa amepiga magoti chini. Mwenye ukoma alisema kwa Yesu" + +# Kama unataka, unaweza kunifanya safi + +Kikundi cha maneno "kunifanya safi" kinaeleweka kutoka kwenye kikundi kingine cha maneno. "Kama unataka kunifanya safi, basi unaweza kunifanya safi." + +# uko tayari + +"nataka" au "hamu" + +# unaweza kunifanya niwe safi + +Nyakati za Biblia, mtu aliye kuwa na ugonjwa wa ngozi alihesabika siyo msafi mpaka pale ngozi ilipo ponywa na kubaki bila kuwa na maambukizi. "unaweza kuniponya" + +# Alisukumwa na huruma, Yesu + +Hapa neno " kusukumwa" ni lugha inayo maanisha kuwa na hisia juu ya hitaji la mtu mwingine. "Kuwa na huruma kwa ajili yake, Yesu "au" Yesu alipatwa na huruma kwa ajili ya mtu. + +# Nina utayari + +Inaweza kuwa msada kutaja kitu gani Yesu ana utayari kufanya"Ninatamani kukufanya uwe safi" + diff --git a/mrk/01/43.md b/mrk/01/43.md new file mode 100644 index 00000000..246c6f87 --- /dev/null +++ b/mrk/01/43.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Neno "yeye" ni limetumiwa kurejea kwa yule mkoma aliyeponywa na Yesu. + +# Uwe na uhakika kutosema chochote kwa yoyote. + +"Uwe na uhakika kutosema chochote kwa yoyote" + +# jionyeshe mwenyewe kwa kuhani + +Yesu alimwambia mtu kujionyesha mwenyewe kwa kuhani ili kuhani aweze kumuona ngozi yake kama kwamba ukoma wake umekwisha. Ilihitajika katika sheria ya Musa mtu kujionyesha kwa kuhani kama amekuwa safi. + +# jionyeshe mwenyewe + +Neno "mwenyewe" linawakilisha ngozi ya mwenye ukoma. "jionyeshe ngozi yako" + +# ushuhuda kwao + +Ni vizuri kutumia nomino "wao", kama inawezekana, katika lugha yako. Maana zinazowezekana ni 1) "ushuhuda kwa makuhani" 2) "ushuhuda kwa watu" + diff --git a/mrk/01/45.md b/mrk/01/45.md new file mode 100644 index 00000000..85ccb13b --- /dev/null +++ b/mrk/01/45.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini alienda + +Neno "yeye" urejea kwa mtu aliyeponywa na Yesu. + +# mwambie kila mmoja...sambaza neno + +vivumishi vya maneno haya mawili yana maana inayofanana na yanamwelezea yule mtu aliyewaambia watu wengi. + +# kila mmoja + +Neno "kila mmoja" linafafanua, "Watu wengi aliokutana nao." + +# Yesu hakuweza tena kuingia mjini kwa uhuru + +Hii ina maanisha kwamba makundi makubwa yalimzuia Yesu kuingia mjini kwa sababu makundi yalifanya ugumu kwake kutembea katika mji. "makundi yalimzuia Yesu kutembea kwa uhuru mjini." + +# mahali pa faraga + +"mahali pa utulivu" au "mahali ambapo hakuna mtu aliye ishi" + +# kutoka kila mahali + +Neno "kila mahali" linafafanua kuwa, "kutoka maeneo yote ya mkoa" + diff --git a/mrk/02/01.md b/mrk/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..f26ab75d --- /dev/null +++ b/mrk/02/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya kuhubiri na kuponya watu kote Galilaya, Yesu anarudi Kaperinaumu anako mponywa na kumsamehe dhambi mtu aliye pooza + +# Ilisikika kwamba alikuwa nyumbani + +Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. watu wa pale walisikia kwamba alikuwa katika nyumba ile ile. + +# wengi walikusanyika hapo + +Hii inaweza kutajwa kama kauli tendaji. "kwa hiyo watu wengi walikusanyika" au "watu wengi walikuja nyumbani" + +# haikuwepo nafasi ya ziada + +Hii inarejea hapakuwa na nafasi ndani ya nyumba. "haikuwepo nafasi tena kwa ajili yao mule ndani" + diff --git a/mrk/02/03.md b/mrk/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..fd10d68d --- /dev/null +++ b/mrk/02/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watu wanne walimbeba yeye + +"wanne wao walimbeba yeye." Inawezekana kulikuwa na watu zaidi ya wanne ndani ya kundi waliomleta mtu kwa Yesu. + +# walimletea mtu aliyepooza + +walimletea mtu asiyeweza kutembea wala kutumia mikono yake. + +# Walishindwa kumkaribia yeye + +"walishindwa kukaribia pale Yesu alipokuwa Yesu" + +# waliondoa paa juu alipokuwa...kutoboa tundu ndani yake + +Nyumba alizoishi Yesu zilikuwa na paa za wima zilizo tengenezwa kwa udongo na kufunikwa kwa vigaye. Hatua ya kutengeneza tundu juu ya paa inaweza kuelezwa zaidi kwa uwazi au kufanywa zaidi kwa ujumla ili kwamba iweze kueleweka katika lugha yako. "waliondoa vigaye sehemu ya paa juu alikokuwa Yesu. Na walipotoboa katika paa ya udongo "au" walipotengeneza tundu juu ya paa alipokuwa Yesu, na kisha walimshusha" + diff --git a/mrk/02/05.md b/mrk/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..907203ad --- /dev/null +++ b/mrk/02/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# alipoiona imani yao. + +"Akijua kwamba watu hao wana imani." Hii inaweza kumaanisha 1) kwamba ni wale watu waliokuwa wamembeba aliyepooza ndio waliokuwa na imani au 2) kwamba aliyepooza na watu wamembeba wote walikuwa na imani. + +# Mwana + +Neno "mtoto" hapa linaonesha kwamba Yesu alimjali huyo mtu kama baba anavyomjali mwana. + +# dhambi zako zimesamehewa + +Maana zinayowezekana 1) "Mungu amekwisha kukusamehe dhambi zako" (Taz 2:7) au 2) "Nimekusamehe dhambi zako." + +# walijihoji mioyoni mwao + +Hapa "mioyo yao" ni mbadala wa mawazo ya watu. "walikuwa wanafikiri wao wenyewe" + +# Anawezaje mtu huyu kusema hivi? + +Hili swali liliulizwa kuonyesha kwamba waandishi walitilia shaka uwezo wa Yesu kusamehe dhambi. "Mtu huyu hapaswi hivi!" + +# Nani anayeweza kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake? + +Swali hili liliulizwa kuonyesha kwamba waandishi walitia shaka kwamba Yesu ni Mungu. "Mungu peke yake ndiye anaweza kusamehe dhambi!" + diff --git a/mrk/02/08.md b/mrk/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..979d0288 --- /dev/null +++ b/mrk/02/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katika roho yake + +"ndani ya utu wa ndani" au"ndani yake" + +# walikuwa wakifiri miongoni mwao wenyewe + +Waandishi walikuwa wakifiri kila mmoja nafsini mwake; walikuwa hawaongeleshani kila mmoja na mwenzake. + +# Kwa nini mnafikiri hivi mioyoni mwenu? + +Yesu aliuliza swali hili kuwakemea waandishi kwa kutilia mashaka mamlaka yake. NI kama alitaka kusema kuwa, "Hampaswi kuonea shaka mamlaka yangu!" + +# hii iko ndani ya mioyo yenu + +Neno "mioyo" linatumika mara kwa mara kurejea kwenye mawazo, hisia, matamanio, au mapenzi ya mtu + +# Lipi ni jepesi kusema kwa mtu aliyepooza... chukua kitanda, na utembee? + +Yesu aliuliza swali hili kwa sababu waandishi waliamini kwamba mtu huo alikuwa amepooza kwa sababu ya dhambi zake na ikiwa dhambi za mtu huyo zingesahewa, angeweza kutembea. Kama Yesu alimponya mtu aliyepooza, waandishi walipaswa kukiri kwamba Yesu anaweza kusamehe dhambi. Sawa na kusema "Ni rahisi kumwambia mtu aliyepooza dhambi zako zimesamehewa!" [Hili ni swali lisihitaji jibu] + diff --git a/mrk/02/10.md b/mrk/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..f80a2e7a --- /dev/null +++ b/mrk/02/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini ili kwamba umjue + +"Lakini ili kwamba umjue." Neno "wewe" urejea kwa waandishi na kundi. + +# kwamba Mwana wa Adamu ana mamlaka + +Yesu ujirejea yeye mwenyewe kama "Mwana wa Adamu." "Kwamba mimi ni Mwana wa Adamu na nina mamlaka." + +# mbele ya kila mmoja + +"wakati watu walipokuwa wakitazama" + diff --git a/mrk/02/13.md b/mrk/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..72da373c --- /dev/null +++ b/mrk/02/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anafundisha kundi kando ya bahari ya Galilaya, na anamwita Lawi kumfuata yeye. + +# ziwa + +Hili ni bahari la Galilaya, ambayo linajulikana kama ziwa la Gennesareti. + +# mkutano ulikuja kwake + +watu walikwenda pale alipokuwa + +# Lawi mwana wa Alfayo + +Alfayo ni baba wa Lawi + diff --git a/mrk/02/15.md b/mrk/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..a6fed394 --- /dev/null +++ b/mrk/02/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Ni badae sasa kwa siku hiyo, na Yesu anakuwa katika nyumba ya Lawi kwa ajili ya chakula. + +# Nyumba ya Lawi + +"nyumba ya Lawi" + +# watu wenye dhambi + +Mafarisayo walitumia kikundi cha maneno "watu wenye dhambi" kurejea kwa watu walioshindwa kutunza sheria kama walivyo fikiri Mafarisayo wangefanya. + +# kwa kuwa kulikuwa na wengi na walimfuata + +Maana zinazowezekana ni 1) "kulikuwa na watoza kodi wengi na watu waovu waliomfuata Yesu + +# kwa nini anakula na wakusanya kodi na watu wenye dhambi? + +Waandishi na Mafarisayo waliuliza swali hili konesha kwamba walikataa ukarimu wa Yesu. "Hakupaswa kula na kunywa na wenye dhambi na watu wanaokusanya kodi." + diff --git a/mrk/02/17.md b/mrk/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..23b66540 --- /dev/null +++ b/mrk/02/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu aliitikia kwa kile walichokuwa wamesema waandishi kwa wanafunzi wake kuhusu kula na watoza kodi na watu wenye dhambi. + +# aliwaambia + +aliwaambia waandishi + +# Watu walio na nguvu katika mwili hawamhitaji tabibu; ni wagonjwa pekee ndio wanamhitaji + +Yesu aliwalinganisha wale wanajijua kuwa ni wenye dhambi na wale wale wanaojijua kuwa ni wagonjwa. "Watu wanaofikiri kuwa wao ni wenye haki hawahitaji msaada; ni wale tu wanaojijua kuwa ni wagonjwa ndio wanaohitaji msaada! + +# nguvu katika mwili + +"afya" + +# Sikuja kuwaita watu wenye haki, lakini watu wenye dhambi + +Yesu alitegemea kuwa wasikilizaji wake wangeelewa kwamba alikuja kwa wale wanaohitaji msaada. "Nilikuja kwa watu wanaojielewa kuwa ni wenye dhambi, siyo kwa watu wanaoamini kuwa wao ni wenye haki." + +# lakini watu wenye dhambi + +Inaweza kuwa msaada kutaja kwamba hii inarejea kwa watu ambao Yesu aliwaita. "lakini nilikuja kuwaita watu wenye dhambi" + diff --git a/mrk/02/18.md b/mrk/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..8fa372db --- /dev/null +++ b/mrk/02/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anasema mifano kuonyesha kwa nini wanafunzi wake hawakuweza kufunga pindi alipokuwa nao. + +# Mafarisayo walifunga...wanafunzi wa Mafarisayo + +Haya maneno yanarejea kwa kundi lile lile la watu, lakini la pili liko bayana zaidi. Yote urejea kwa wanafunzi wa Mafarisayo, lakini hayalengi kwa viongozi wa Mafarisayo. "wanafunzi wa Mafarisayo walikuwa wakifunga... wanafunzi wa Mafarisayo" + +# baadhi ya watu + +"baadhi ya watu." Ni vizuri kutofasiri kikundi cha maneno bila bayana hawa walikuwa watu akina nani. Kama katika lugha yako unapaswa kuwa bayana, maana zinazowezekana ni 1)hawa watu hawakuwa miongoni mwa wanafunzi wa Yohana au wanafunzi wa Mafarisayo au 2) hawa watu walikuwa miongoni mwa wanafunzi wa Yohana + +# Je waliohudhuria harusini wanaweza kufunga wawkati bwana harusi akiwa yuko bado pamoja nao? + +Yesu aliuliza swali hili kulinganisha kati yake mwenyewe na wanafunzi wake na bwana harusi na marafiki wake.'' wanafunzi wangu husherekea kwa kuwa niko pamoja nao!'' + diff --git a/mrk/02/20.md b/mrk/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..5dd75df8 --- /dev/null +++ b/mrk/02/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# bwana harusi atakapoondolewa + +Yesu anajilinganisha mwenyewe na bwana harusi anapoongelea kuhusu kifo chake, ufufuo na kupaa kwake. Kama lugha yako inakulazimu kuchanganua mtendaji, fanya kwa ujumla kama iwezekanavyo. Kauli ya kutenda inachukua nafasi kama lugha yako haiwezi kutumia kauli ya kutendewa. "Watamwondoa bwana harusi" au bwana harusi ataondoka." + +# mbali nayo... wao watafunga + +Neno "kwao" na "wao" urejea kwa washiriki wa harusi. + +# Hakuna mtu ashonaye kipande kipya cha nguo kwenye vazi kuukuu + +Kushona kipande kipya cha nguo kwenye vazi kuukuu kitasababisha tundu kwenye vazi kuukuu kuwa baya zaidi kama kipande cha nguo mpya hakitabadilika. Vyote viwili, nguo mpya na vazi kuukuu vitapotea. + +# Hakuna mtu + +"Hakuna yoyote." Kikundi cha maneno urejea kwa watu wote, wala siyo watu. + diff --git a/mrk/02/22.md b/mrk/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..7d23d0f4 --- /dev/null +++ b/mrk/02/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu + +Yesu analinganisha mafundisho yake na wanafunzi wake na divai mpya na viriba vipya. Mfano huu hujibu swali "Kwa nini wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi? Hapa "Hakuna mtu akabidhiye mafundisho mapya kwa wale waliozoea mafundisho ya zamani." + +# Divai mpya + +"juice ya zabibu." Hii ina maana ya mvinyo ambayo haijaumuka bado. Kama zabibu hazijulikani katika eneo lako, tumia neno la jumla kwa matunda. + +# virriba vikuukuu + +Hii inamaanisha viriba ambavyo vimetumika mara nyingi + +# viriba + +Hii ilikuwa mifuko iliyotengenezwa kwa kutumia ngozi za wanyama. Pia inaweza kuitwa "mifuko ya divai" au "mifuko ya ngozi" (UDB) + +# divai itaweza kuvipasua viriba + +Wakati divai mpya inapoumuka na kupanuka, inaweza kupasua na kutoka nje kwa sababu havitaweza tena kunyooka kwa nje. + +# kupotea + +kuharibika + +# viriba vipya + +"viriba vipya" au "mifuko mipya ya divai." Hii inarejea kwa viriba vipya ambavyo havijawahi kutumika. + diff --git a/mrk/02/23.md b/mrk/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..7e4be1af --- /dev/null +++ b/mrk/02/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anawapa Mafarisayo mfano kutoka katika maandiko kuonyesha kwanini wanafunzi hawakuwa sahihi kuchukua masuke ya ngano siku ya Sabato. + +# kuchukua masuke ya ngano...kufanya kitu ambacho siyo sawa kisheria katika siku ya Sabato + +Kuchukua ngano katika mashamba ya wengine na kula haikuhesabiwa kuwa wizi. Swali lilikuwa kama ilikuwa sawa kufanya jambo kama hilo siku ya Sabato + +# kuchukua masuke ya ngano + +Wanafunzi walichukua masuke ya ngano kuyala. Hii inaweza kuelezwa kwa maneno kuonyesha maana kamili. "chukua na kula masuke ya ngano" + +# masuke ya ngano + +Hii ni sehemu nyeti ya zao la ngano, ambayo ni aina ya nyasi pana. Hushikiria ngano iliyokomaa au mbegu za mmea + +# Tazama, kwanini wanafanya kitu ambacho ni kinyume na sheria katika siku ya Sabato? + +Mafarisayo wanamuuliza Yesu swali kumlaani. Hii inaweza kutofasiriwa kama sentensi. "Tazama! Wanavunja sheria ya kiyahudi kuhusu Sabato" + +# Tazama + +"Uwe makini kusikiliza kile ninachotaka kukuambia" + diff --git a/mrk/02/25.md b/mrk/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..5ee90563 --- /dev/null +++ b/mrk/02/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Aliwambia + +"Yesu aliwambia Mafarisayo" + +# Hamjasoma kile alichofanya Daudi pamoja naye? Jinsi alivyokwenda + +Yesu alijua kwamba Waandishi na Mafarisayo walikuwa wamesoma simulizi. Aliwashutumu kwa kukuielewa kwa makusudi. Tafsiri mbadala: "Kumbukeni kile Daudi alichofanya...pamoja naye na jinsi alivyokwenda" au "Kama mnakumbuka kile Daudi...naye, mngejua kwamba alikwenda" + +# Hamkusoma kile alichofanya Daudi alipokuwa katika uhitaji na njaa-- yeye pamoja na watu waliokuwa pamoja naye + +Hii inaweza kusema kama amri. "Kumbuka ulichosoma kuhusu alichofanya Daudi wakati ambapo alikuwa na watu wakiwa na uhitaji na njaa" + +# soma nini Daudi + +Yesu anarejea kwa kusoma kuhusu Daudi katika Agano kale. Hii inaweza kutofasiriwa kuonyesha taarifa thabiti. + +# Jinsi alivyokwenda katika nyumba ya Mungu...kwa wale walikuwa naye? + +Hii inaweza kuelezwa kama sentensi iliyotengenishwa na mstari wa 25. "Alienda aliingia katika ya Mungu...kwa wale walikuwa naye" (UDB) + +# namna gani alienda + +Neno "a" urejea kwa Daudi + +# mkate uliowekwa mbele + +Hii urejea kwa mikate kumi na miwili ambayo ilikuwa imewekwa kwenye meza ya dhahabu ndani ya hema au jengo la hekalu kama dhabihu kwa Mungu nyakati za kipindi cha Agano la Kale. + diff --git a/mrk/02/27.md b/mrk/02/27.md new file mode 100644 index 00000000..8fffbc11 --- /dev/null +++ b/mrk/02/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sabato ilifanywa kwa ajili ya mwanadamu + +"Mungu aliweka Sabato kwa ajili ya mwanadamu" + +# mwanadamu + +"mtu" au "watu" au "mahitaji ya watu" Hii urejea kwa wanaume na wanawake. + +# siyo mwanadamu kwa ajili ya Sabato + +'Mungu hakumuumba mtu kwa ajili ya uzuri wa Sabato" + diff --git a/mrk/03/01.md b/mrk/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..8ae9e6e1 --- /dev/null +++ b/mrk/03/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu amponya mtu siku ya Sabato katika Sinagogi na kuonyesha jinsi anavyojisikia walivyofanya Mafarisayo kuhusiana na sheria za Sabato. Mafarisayo na Maherode wanapanga kumua Yesu. + +# Baadhi ya watu + +"Baadhi ya Mafarisayo." Badae, katika 3:5, hawa watu wanaonyeshwa kama Mafarisayo. + +# mtu aliye na mkono uliopooza + +"mtu aliye na mkono uliopooza" + +# Baadhi ya watu walimtazama kuona kama atamponya + +"Mafarisayo walimtazama Yesu kwa karibu sana kuona kama atamponya na mkono uliopooza" + +# mshtaki + +Mafarisayo walitaka kumshtaki Yesu kwa kuvunja sheria kwa kufanya kazi siku ya Sabato, je amponye mtu. "kumshtaki yeye kwa kufanya kosa" au " kumshtaki yeye kwa kuvunja sheria" + diff --git a/mrk/03/03.md b/mrk/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..b57e441b --- /dev/null +++ b/mrk/03/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# katika ya umati + +"katika ya umati huu" + +# Je ni halali kutenda tendo jema siku ya Sabato... au kutenda yasiyo haki? + +Yesu alisema changamoto hii. Alitaka wao wakiri kuwa ni halali kumponya mtu siku ya Sabato. + +# kutenda tenda jema siku ya Sabato au kutenda isivyo haki... kuokoa maisha au kuua. + +Haya makundi ya maneno yanafanana katika maana, tofauti ya pili imeenda ndani zaidi. + +# kuokoa maisha, au kuua + +Inaweza kuwa ni msaada kutubu "ni halali," kama lilivyo swali analouliza Yesu tena kwa njia nyingine. "ni halali kuokoa maisha au kuua" + +# maisha + +Hii urejea kwa maisha ya kimwili kama neno mbadala kwa mtu. "mmoja wapo anakufa" au maisha ya mmoja wapo" + +# Lakini walikuwa kimya + +"Lakini walikataa kumjibu" + diff --git a/mrk/03/05.md b/mrk/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..990c93d8 --- /dev/null +++ b/mrk/03/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Aliangalia + +"Yesu aliangalia" + +# alihuzunika + +"alikuwa na huzuni kubwa" + +# ugumu wa mioyo yao + +Huu mfano unaelezea jinsi Mafarisayo hawakuwa tayari kuwa na huruma kwa huyo mtu aliye kuwa na mkono uliopooza. "hawakuwa tayari kuwa na huruma kwa mtu huyo" + +# Nyosho mkono wako + +"Nyosha mkono wako" + +# mkono wake uliponywa + +Hii inaweza kutajwa na kauli tendaji. "Yesu alimponya mkono wake" au Yesu aliufanywa mkono wake kama ulivyo kuwa awali" + +# wakafanya njama + +walianza kufanya mpango + +# Maherode + +Hili ni jina la kisiasa lilompa nguvu Herode wa Antipasi + +# kwa namna gani watamuua + +"kwa namna gani watamuua Yesu" + diff --git a/mrk/03/07.md b/mrk/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..68ba85a3 --- /dev/null +++ b/mrk/03/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu aliendelea kuponya watu kama alivyofuatwa na umati mkubwa pindi alipotaka kuwa mbali nao. + +# bahari + +Hii urejea bahari ya Galilaya + +# Idumaya + +Huu ni mkoa, hapo awali ulijulikana kama Edomu, ambao ulikuwa mpaka nusu ya kusini mwa mkoa wa Uyahudi. + +# mambo aliyokuwa anafanya + +Hii inarejea kwa miujiza ya Yesu aliyokuwa akifanya. "miujiza mikubwa aliyokuwa akifanya" + +# alikuja kwake + +"alikuja alipokuwa Yesu" + diff --git a/mrk/03/09.md b/mrk/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..fddeabc0 --- /dev/null +++ b/mrk/03/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Na aliwaambia wanafunzi wake kuwa na mtubwi mdogo... ili kwamba wasije wakamsonga. + +Kama ilivyokuwa umati mkubwa ulikuwa unamsonga Yesu, alikuwa katika hatari ya kusongwa. Katika mstari wa 9-10 yameunganishwa na kusemwa taarifa dhabiti kwa usahihi. + +# aliwauliza wanafunzi wake + +"Yesu aliwambia wanafunzi wake" + +# Kwa kuwa aliponya wengi, ili kwamba + +Neno "wengi" umaanisha idadi kubwa ya watu waliokwisha ponywa na Yesu. "Kwa sababu Yesu alikuwa ameponya tayari watu wengi, kila mmoja" + +# yeyote aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumsogelea ili kwamba amguse. + +"wagonjwa wote walimsonga wakiwa na shauku ya kumgusa" + diff --git a/mrk/03/11.md b/mrk/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..4c9f9981 --- /dev/null +++ b/mrk/03/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# muone yeye + +"muone Yesu" + +# walianguka...wakalia na kusema + +Hapa "wao" urejea kwa roho chafu. Ni zile zinazosababisha watu wanao wamiliki kufanya mambo. Hii inaweza kufanywa dhabiti. "ziliwasababisha watu wanao wamiliki kuanguka chini mbele yake na kulia. + +# walianguka mbele yake + +Roho chafu hazikuanguka mbele yake Yesu kwa sababu zilimpenda au zilitaka kumwabudu yeye. Zilianguka chini mbele yake kwa sababu zilimuogopa. + +# Wewe ni Mwana wa Mungu + +Yesu ana nguvu juu ya roho chafu kwa sababu ni yeye ni "Mwana wa Mungu" + +# Mwana wa Mungu + +Hili ni jina la muhimu sana kwa Yesu + +# Aliwaamuru kwa msisitizo + +"Yesu aliwaamuru kwa msisitizo roho hizo chafu" + +# si kumfanya yeye ajulikane + +"si kumfunua yeye ni nani" + diff --git a/mrk/03/13.md b/mrk/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..441a18ed --- /dev/null +++ b/mrk/03/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu awaita rasmi wanafunzi wake kabla hajaenda nyumbani, pale aliposhitakiwa kuwa wazimu na aliyetawaliwa na Beelzebuli. + +# ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri + +"ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri" + +# Simoni, aliyempa jina la Petro + +Mwandishi anaanza kuwataja orodha ya majina ya mitume kumi na mbili. Simoni ni mtu wa kwanza aliye kutajwa. + diff --git a/mrk/03/17.md b/mrk/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..f02020fa --- /dev/null +++ b/mrk/03/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa wale aliowapa + +Kikundi cha maneno "kwa wale" urejea kwa wote Yakobo mwana wa Zebedayo na ndugu yake Yohana. + +# jina la Bonagesi, hao ni, wana wa ngurumo + +"Jina Bonagesi, ambalo lina maanisha wana wa ngurumo" Maana ya jina "Bonagesi" inaweza kuwa dhabiti zaidi. "jina jipya 'wanaume wanaofananishwa kama ngurumo" + +# Thadayo + +Hili ni jina la mwanaume + +# ambaye atamsaliti + +"ambaye atamsaliti Yesu" Neno "ambaye" urejea kwa Yuda Iskariote. + diff --git a/mrk/03/20.md b/mrk/03/20.md new file mode 100644 index 00000000..1abc63e8 --- /dev/null +++ b/mrk/03/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha alienda nyumbani + +"Kisha Yesu alienda nyumbani kule alikokuwa anaishi" + +# kula mkate + +Neno "mkate" usimama badala ya chakula. "kule wote" au " kula chochote" + +# walienda kumkamata + +Familia yake walienda nyumbani, ili kwamba wamkamate na kumlazimisha aende nao. + +# kwani walisema + +Maana za neno "wao" ni 1) ndugu zake au 2) baadhi ya watu katika umati + +# amerukwa na akili zake + +"Familia ya Yesu inatumia lugha hii kueleza kwa namna gani wanafikiri anavyofanya. "uazimu" au kichaa" + +# Kwa mtawala wa mapepo anatoa mapepo + +"Kwa nguvu za Beelzebuli ambaye ni mtawala wa mapepo, Yesu anatoa mapepo + diff --git a/mrk/03/23.md b/mrk/03/23.md new file mode 100644 index 00000000..498ea729 --- /dev/null +++ b/mrk/03/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu aeleza kwa mifano kwanini hatawaliwi na Shetani na wale wanaofanya mapenzi ya Mungu wako vile vile kama kuwa kaka yake, na dada, na mama. + +# Yesu aliwaita kwake + +"Yesu aliwaita watu waje kwake" + +# Inawezekanaje Shetani kumtoa Shetani? + +Yesu aliuliza swali hili katika kuwajibu waandishi kusema kwamba anatoa mapepo kwa Beelzebuli. " "Shetani hawezi kujitoa yeye mwenyewe!" au " Shetani hawezi kwenda kinyumbe na roho zake chafu!" + +# Kama ufalme umegawanyika yenyewe + +Neno "ufalme" ni neno mbadala kwa watu wanaoishi katika ufalme. "kama watu wanaoishi katika ufalme wamegawanyika wao wenyewe" + +# haiwezi kusimama + +Kikundi hiki cha maneno ni mfano wa maana kwamba watu hawataunganishwa na wataanguka. "hawatavumilia" au "wataanguka" + +# nyumba + +Haya ya maneno mbadala kwa watu wanaoishi ndani ya nyumba. "familia" au "kaya" + diff --git a/mrk/03/26.md b/mrk/03/26.md new file mode 100644 index 00000000..3d40c000 --- /dev/null +++ b/mrk/03/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika + +Neno "mwenyewe" ni nomino tendaji ambayo inarejea tena kwa Shetani, na mfano mbadala wa roho chafu zake. "Kama Shetani na roho zake chafu waligombana" au "kama Shetani na roho zake chafu wameinukiana dhidi ya mwenzake na wamegawanyika" + +# hawezi kusimama + +Huu ni mfano unamaanisha ataanguka na hawezi kuvumilia. "atakoma kuwa pamoja" au "hawezi kuvumilia na amefika mwisho" au "ataanguka na amefika mwisho. + +# mnyang'anyi + +kuiba vitu vya dhamani vya mtu + diff --git a/mrk/03/28.md b/mrk/03/28.md new file mode 100644 index 00000000..6dd09843 --- /dev/null +++ b/mrk/03/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kweli nawambieni + +Hii huonyesha kwamba sentensi inayofuata ni ya kweli na muhimu + +# wana wa watu + +"wale waiokwisha zaliwa." Sura hii imetumiwa kusisitiza ubinadamu wa watu. "watu" + +# tamka + +"zungumza" + +# walikuwa wakisema + +"watu walikuwa wakisema" + +# ana roho chafu + +Hii ni lugha inayo maanisha kumilikiwa na roho chafu. "anamilikiwa na roho chafu" + diff --git a/mrk/03/31.md b/mrk/03/31.md new file mode 100644 index 00000000..53113162 --- /dev/null +++ b/mrk/03/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ndugu + +Hii inarejea kwa ndugu zake Yesu + +# Wakamtuma mtu, kumwita + +"Wakamtuma mtu ndani kumwambia kwamba walikuwa nje na kwamba yeye anapaswa kuja kwao" + +# wanakutafuta wewe + +"wanakuulizia wewe" + diff --git a/mrk/03/33.md b/mrk/03/33.md new file mode 100644 index 00000000..e03264cf --- /dev/null +++ b/mrk/03/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# huyu ndugu yangu, dada, na mama + +"hawa ni ndugu, dada yangu, na mama yangu" + diff --git a/mrk/04/01.md b/mrk/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..9473d0a5 --- /dev/null +++ b/mrk/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu alipokuwa anafundisha akiwa kwenye mtumbwi kandokanod ya bahari, aliwambia mfano wa udongo + +# bahari + +Hii ni bahari la Galilaya + +# na kukaa chini + +"na akaketi ndani mwa mtumbwi" + diff --git a/mrk/04/03.md b/mrk/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..3a1e46f0 --- /dev/null +++ b/mrk/04/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sikilizeni + +"Zingatia" + +# Alipokuwa akipanda + +"Alipokuwa akipanda mbengu juu ya udongo." Kwa tamaduni zingine watu walipanda mbingu kwa utofauti. Katika mfano huu mbengu zilipandwa kwa kutupwa juu ya ardhi iliyokuwa imeandaliwa kwa kukuza. + +# ziliota + +"zilianza kuota kwa haraka" + +# udongo + +Hii inarejea kupoteza uchafu juu ya ardhi ambapo utapanda mbengu. + diff --git a/mrk/04/06.md b/mrk/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..74bbdb5e --- /dev/null +++ b/mrk/04/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# zilinyauka + +Hii urejea kwa mimea midogo. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "inanyausha mimea midogo" + +# sababu hazikuwa na mzizi + +"sababu mimea midogo haikuwa na mizizi, zilinyauka" + +# na ikazisonga + +Neno ika -"zi"-songa urejea kwa mimea midogo + diff --git a/mrk/04/08.md b/mrk/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..f8d9b05e --- /dev/null +++ b/mrk/04/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# zingine zilizaa mara thelathini zaidi + +Kiasi cha nafaka kilichotokana na kila mmea inalinganishwa na mbengu moja iliyoota. "Mimea baadhi ilizaa mara thelathini zaidi kama mbegu ilivyopandwa na mtu" + +# thelathini...sitini...na mia + +"30...60...100." Hizi zinaweza kuandikwa kama hesabu + +# na baadhi sitini, na baadhi mia + +Yesu anaendelea kueleza kiasi cha nafaka iliyopatikana. Udondoshaji wa maneno umetumika hapa kufupisha kikundi cha maneno lakini yanaweza kuandikwa. "na baadhi zilizaa sitini zaidi ya nafaka na baadhi zilizaa mia zaid ya nafaka" + +# Yeyote aliye na masikio kusikia + +Hii ni njia ya kurejea kwa yeyote asikilizae. "Yeyote anayenisikiliza mimi" + +# acha asikilize + +Hapa neno "kusikiliza" humaaanisha kuwa makini. "unapaswa kuwa makini kwa kila ninachosema" + diff --git a/mrk/04/10.md b/mrk/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..72b3b4ea --- /dev/null +++ b/mrk/04/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Yesu alipokuwa peke yake + +Hii haimaanishi kwamba Yesu alikuwa kabisa peke yake, hapa, umati wa watu ulikuwa umeenda na Yesu alikuwa na wanafunzi kuma na wawili na wafuasi wengine baadhi. + +# Kwenu mmepewa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu amekupa wewe" au "Nimekwisha kukupa wewe" + +# kwa walio nje + +"lakini kwa wale hawako miongoni mwenu" Hii urejea kwa wote wale hawakuwa miongoni mwa wanafunzi kumi na wawili au wafuasi wengine wa Yesu. + +# kila kitu kiko katika mifano + +Inaweza kusemwa kwamba Yesu anatoa mifano kwa watu. " Nimezungumza vyote katika mifano" + +# wanapotazama... wanaposikia + +Inakisiwa kwamba Yesu anazungumza kuhusu watu akitazama kwa kile anacho waonyesha na kusikia kile anacho wambia. "wanapotaza kile nafanya... wanaposikia kile nachosema " + +# wanatazama, lakini hawaoni + +Yesu anazungumzia watu wanaoelewa wanachokiona kwa uhalisia. "wanatazama na hawaelewi" + +# geuka + +Hii inamaanisha kugeuka mbali na dhambi + diff --git a/mrk/04/13.md b/mrk/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..03752a7c --- /dev/null +++ b/mrk/04/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaelezea mfano wa udongo kwa wafuasi wake na kisha anawambia kuhusiana na taa kuonyesha vitu vilivyo jificha vitajulikana. + +# Na akasema kwao + +"Na Yesu akasema na wanafunzi wake" + +# Je hamuelewi mfano huu? Mtawezaje kuelewa mifano mingine ? + +Yesu alitumia maswali haya kuonyesha jinsi alivyokuwa na huzuni kwamba wanafunzi wake hawakuweza kuelewa mfano wake. "kama hautaweza kuelewa mfano huu, fikiri jinsi ilivyo ngumu kwa wewe kuelewa mifano mingine" + +# Mkulima anayepanda mbegu zake + +"Mkulima anayepanda mbegu zake huwakilisha" + +# kwa yule anayepanda neno + +"Neno" huwakilisha ujumbe wa Mungu. Kupanda ujumbe huwakilisha kufundisha. "yule anayefundisha watu ujumbe wa Mungu" + +# Baadhi huanguka kandokando mwa njia + +"Baadhi ya watu ni kama mbegu huanguka kandokando mwa njia" au "Baadhi ya watu ni kama njia ya miguu ambapo mbegu huangukia" + +# njia + +"njia ya miguu" + +# wanapoisikia + +Hapa wanapo-"i" sikia urejea "neno" au "ujumbe wa Mungu" + diff --git a/mrk/04/16.md b/mrk/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..4d5f6ce5 --- /dev/null +++ b/mrk/04/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Na baadhi ni wale + +"Na baadhi ya watu ni kama mbegu." Yesu anaanza kuelezea ni kwa namna gani wanafanana kama mbegu zinazoangukia udongo wa mawe. + +# Na hawana mizizi yoyote ndani yao + +Hii ni ulinganishi wa mimea midogo kuwa inakuwa na mizizi mifupi. Mfano huu humaanisha kwamba watu kwa mara kwanza husimumika pindi wapokeapo neno, lakini hawakujitoa kwa nguvu kwalo. "Nao wanakuwa kama miche midogo isiyokuwa na mizizi" + +# hakuna mzizi + +Hii siyo ya kutia chumvi sana katika kuelezea, tiachumvi, kusisitiza jinsi mizizi ilivyokuwa na kina kidogo. + +# vumilia + +Katika mfano huu, "vumilia" humaanisha "kuamini" "kuendelea katika imani" + +# sababu ya neno + +Inaweza kuwa msaada kueleza kwanini taabu huja. Ilikuja kwa sababu watu waliliamini neno. "sababu waliliamini neno" + +# walijikwaa + +Katika mfano huu, "kujikwaa" humaanisha "kuacha kuamini ujumbe wa Mungu" + diff --git a/mrk/04/18.md b/mrk/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..212be737 --- /dev/null +++ b/mrk/04/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Na wengine ni wale waliopandwa katika miiba + +Yesu anaanza kueleza kwa namna gani watu wanakuwa kama mbegu zinazoanguka kwenye miiba. "Na watu wengine wanakuwa kama mbegu zilizopandwa katika miiba" + +# wanaujali ulimwengu + +"masumbufu ya maisha" au "mambo yanayo husiana na maisha ya sasa" + +# udanganyifu wa mali + +"tamaa ya mali" + +# huwaingia na kulisonga neno + +Kama Yesu anavyoendelea kusema kuhusu watu walio kama mbegu zinazoanguka katika ya miiba, anaeleza tamaa na masumbufu yanavyofanya kwa neno katika maisha kama miiba inavyoisonga mimea midogo. + +# halizai + +"neno hakuna kuzaa tunda lolote katika wao" + +# yule aliyepanda katika udongo mzuri + +Yesu anaanza kueleza namna gani baadhi ya watu wako kama mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. "kama mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri" + +# baadhi thelathini, na baadhi sitini, na baadhi mia + +Hii inarejea kwa nafaka ilitokana na mimea. "baadhi huzaa nafaka thelathini, baadhi nafaka sitini, na baadhi nafaka mia" au baadhi 30 nafaka, baadhi nafaka 60, na baadhi nafaka 100" + diff --git a/mrk/04/21.md b/mrk/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..9f46608f --- /dev/null +++ b/mrk/04/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yesu akawambia + +"Yesu alisema na umati" + +# Je huwa unaleta taa ndani ya nyumba na kuiweka chini ya kikapu, au chini ya kitanda? + +Swali hili linaweza kuandikwa kama sentensi. "Unaleta taa ndani ya nyumba na kuiweka chini ya kikapu, au chini ya kitanda!" + +# Kwa kuwa hakuna chochote kilichojificha ambacho hakitajulikana...njoo nje kweupe + +Hii inaweza kusemwa kwa namna chanya. "Kwa kila kitu kilichojificha kitafanywa kujulikana, na chochote kilicho sirini kitakuwa peupe" + +# hakuna kilichojificha... hakuna siri + +"hakuna kilichojificha... hakuna siri" Vifungu vyote vina maana ile ile. Yesu anasisitiza kwamba kila kilichojificha kitawekwa wazi. + +# Akiwapo mwenye masikio ya kusikia, na asikie!" + +Hapa neno "kusikiliza" humaaanisha kuwa makini. "unapaswa kuwa makini kwa kila ninachosema" + diff --git a/mrk/04/24.md b/mrk/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..1ba6a9d4 --- /dev/null +++ b/mrk/04/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akawambia + +"Yesu akawambia umati" + +# kwa kuwa kipimo mpimacho + +maana zinazowezekana ni 1) Yesu anazungumza kipimo halisi na ukarimu kwa wengine au 2) huu mfano ambao Yesu anazungumzia wa "kuelewa" kama ilikuwa ni "kupima" + +# ndicho mtakachopimiwa, na itaongezwa kwenu + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu atakupima, na atakuongezea" + +# yeye atapokea zaid...na yule vitachukuliwa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "kwa yeye Mungu atampa zaidi...kutoka kwake Mungu atavichukua" + diff --git a/mrk/04/26.md b/mrk/04/26.md new file mode 100644 index 00000000..425235c1 --- /dev/null +++ b/mrk/04/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu basi anawambia watu mfano kueleza ufalme wa Mungu, ambapo kwa badae anawaeleza wanafunzi wake. + +# kama mtu aliyepanda mbegu + +Yesu hufanananisha ufalme wa Mungu kwa mkulima anayepanda mbegu. "kama mkulima anayepanda mbegu" + +# Alipolala usiku na kuamka asubuhi + +"Anamka asubuhi na kulala usiku" + +# jani + +shina au kuchipuka + +# sikio + +kichwa katika shina au sehemu ya mmea inashika tunda + +# mara hupeleka mundu + +Hapa "mundu" ni maneno mbadala yanayosimama kwa mkulima au watu wanaotumwa na mkulima kwenda kuvuna nafaka. "mara huenda na mundu kuvuna nafaka" au "mara hutuma watu na mundu kuvuna nafaka" + +# mundu + +ni upanga uliojikunja au ndoano iliyo na makali inatumiwa kuvunia nafaka + +# sababu mavuno ni tayari + +Hapa maneno "ni tayari" ni lugha kwa ajili ya nafaka iliyo tayari kuvunwa. "sababu nafaka iko tayari kuvunwa" + diff --git a/mrk/04/30.md b/mrk/04/30.md new file mode 100644 index 00000000..0a0b4f79 --- /dev/null +++ b/mrk/04/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tuufananishe ufalme wa Mungu na kitu gani, au tutumie mfano gani kuuelezea? + +Yesu aliuliza swali hili kusababisha wasikilizaji wake kufikiri kuhusu ufalme wa Mungu. "Pamoja na mfano huu naweza kueleza ufalme wa Mungu ukoje" + +# pindi inapopandwa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "wakati yoyote anapanda mbegu" au "wakati yoyote anapanda mmea" + +# inafanya matawi makubwa + +Mti wa haradali unaelezwa kama unasababisha matawi kukua makubwa. "pamoja na matawi makubwa" + diff --git a/mrk/04/33.md b/mrk/04/33.md new file mode 100644 index 00000000..7edcc118 --- /dev/null +++ b/mrk/04/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alisema neno kwao + +Neno "kwao" urejea kwa umati + +# kwa kadiri walivyoweza kuelewa + +"na kama waliweza kuelewa baadhi, aliendelea kuwaambia zaidi" + +# wakati alipokuwa peke yake, + +Hii inamaanisha kuwa alikuwa mbali na umati, lakini wanafunzi bado walikuwa naye. + +# akawaelezea kila kitu + +Hapa "kila kitu" ni kutia chumvi sana katika kueleza kitu au tia chumvi. Aliezea mifano yake yote. "alielezea mifano yake yote" + diff --git a/mrk/04/35.md b/mrk/04/35.md new file mode 100644 index 00000000..9a03ce97 --- /dev/null +++ b/mrk/04/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Kama Yesu na wanafunzi wake wanachukua mtumbwi kukwepa umati wa watu, upepo mkali wa dhoruba ukajitokeza. Wanafunzi wake wanaogopa wanapoona hata upepo na bahari unamtii Yesu. + +# akasema kwao + +"Yesu alisema kwa wanafunzi wake" + +# upande wa pili + +"upande wa pili wa bahari ya Galilaya" au "upande wa pili wa bahari" + +# upepo mkali wa dhoruba ukajitokeza + +Hapa "ukajitokeza" ni lugha inayotumiwa kwa "kuanza" " upepo mkali wa dhoruba kuanza" + +# mtumbwi ulikuwa umejaa + +Inaweza kuwa msaada kusema kwamba mtumbwi ulikuwa umejaa maji. "mtumbwi ulikuwa umejaa maji" + diff --git a/mrk/04/38.md b/mrk/04/38.md new file mode 100644 index 00000000..917e11e0 --- /dev/null +++ b/mrk/04/38.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Yesu mwenyewe + +Hapa "mwenyewe" husisitia kwamba Yesu alikuwa peke yake kwenye shetri" + +# shetri + +Hii inakuwa mwishoni mwa mtumbwi. "shetri ya mtumbwi" + +# Wakamwamsha + +Neno "waka" urejea kwa wanafunzi + +# haujali sisi tunakufa? + +Wanafunzi waliuliza swali hili kuonyesha uoga wao. Swali hii linaweza kuandikwa kama sentensi. "unapaswa kuwa makini kwa kile kinachotokea, wote tunakufa" + +# tunaelekea kufa + +Neno "tuna" inajumuisha wanafunzi na Yesu. + +# Amani, shwari + +Haya maneno mawili yanafanana na yanatumiwa kwa kusisitiza + +# utulivu mkubwa + +"ukimya mkubwa juu ya bahari" au utulivu mkubwa juu ya bahari" + diff --git a/mrk/04/40.md b/mrk/04/40.md new file mode 100644 index 00000000..6813e7c4 --- /dev/null +++ b/mrk/04/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na akasema kwao + +"Na Yesu akasema kwa wanafunzi wake" + +# Kwa nini mnaogopa? Je hamna imani bado? + +Yesu anauliza maswali haya kuwafanya wanafunzi kufikiri kwanini wanaogopa wakati yuko pamoja nao. Haya maswali yanaweza kuandikwa kama sentensi. "Haupaswi kuogopa. Unahitaji imani zaidi" + +# Huyu ni nani tena, kwa sababu hata upepo na bahari vya mtii? + +Wanafunzi wanauliza swali katika hali ya kushangaa kwa yale Yesu alifanya. Hili swali linaweza kuandikwa kama sentensi. "Huyu mtu si kama watu wengine wa kawaida; hata upepo na bahari unamtii!" + diff --git a/mrk/05/01.md b/mrk/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..1fee1a87 --- /dev/null +++ b/mrk/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya Yesu kutuliza dhoruba kubwa, anamponywa mtu aliyekuwa na mapepo mengi, lakini wenyeji wa Gerasi hawakufurahi kwa uponyaji wake, na walimuomba Yesu aondoke. + +# Walikuja + +Neno "Wali" urejea kwa Yesu na wanafunzi wake. + +# bahari + +Hii urejea kwa Bahari ya Galilaya + +# Gerasenes + +Hili jina urejea kwa watu wanaoishi Gerasi. + +# akiwa na roho chafu + +Hii lugha inayomaanisha kwamba mtu "ametawaliwa" au "kumilikiwa" na roho chafu. "kutawalia na roho chafu" au roho chafu kumiliki" + diff --git a/mrk/05/03.md b/mrk/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..71cc0274 --- /dev/null +++ b/mrk/05/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Alikuwa amefungwa nyakati nyingi + +Hii inaweza kuandikwa katika kauli tendaji. "Watu walimfunga mara nyingi" + +# viungo vyake viliharibika + +Hii inaweza kuandikwa katika kauli tendaji. "kuharibika kwa viungo vyake" + +# Viungo + +"kamba kwenye miguu yake" au "minyororo iliyofungwa kifundoni kumzuia" + +# minyororo + +"pingu" au "minyororo ilifungwa kwenye kifundo cha mkono kumzuia" + +# kumshinda + +"mwenye kumzuia" Mtu mwenye pepo mchafu hakuna hata mmoja aliyekuwa na nguvu za kumshinda + +# kumshinda + +"kumtawala" + diff --git a/mrk/05/05.md b/mrk/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..af677e31 --- /dev/null +++ b/mrk/05/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alijikata yeye mwenyewe kwa mawe makali + +Mara nyingi wakati ambapo mtu anamilikiwa na pepo, pepo atamsababisha mtu huyo kufanya vitu vya uharibifu, kama vile kujikata mwenyewe. + +# Alipomwona Yesu kwa mbali + +Wakati ambapo mtu huyu alipomwona Yesu, Yesu alikuwa anatoka mtumbwini. + +# kuinama + +Hii inamaanisha aliinama mbele za Yesu kwa hofu na heshima, na wala si kwa kuabudu. + diff --git a/mrk/05/07.md b/mrk/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..43cc8a65 --- /dev/null +++ b/mrk/05/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akapiga kelele + +"Roho chafu ikapiga kelele" + +# Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? + +Roho chafu inauliza swali hili kwa uoga. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Niache peke yangyu, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu! Hakuna sababu ya wewe kuniingilia mimi" + +# Yesu...usinitese. + +Yesu, "Mwana wa Mungu aliye juu,"ana uwezo kuzitesa roho chafu. + +# Mwana wa Mungu aliye juu + +Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu. + +# Nakuombwa kwa Mungu mwenyewe + +Hapa roho chafu anaapa kwa Mungu kama anafanya ombi la Yesu. Angali namna gani ya ombi hili linafanywa katika lugha ya kwenu. + diff --git a/mrk/05/09.md b/mrk/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..88949853 --- /dev/null +++ b/mrk/05/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Alisema kwake, "Jina langu ni Jeshi, kwa kuwa tuko wengi." + +roho zilizokuwa ndani ya mtu zilisema kwa Yesu kwamba haimo roho chafu moja tu ndani ya mtu huyu, bali roho wengi wachafu. + diff --git a/mrk/05/11.md b/mrk/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..c77b1ca7 --- /dev/null +++ b/mrk/05/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nao walimsihi + +"roho chafu walimsihi Yesu" + +# Aliwaruhusu + +"Yesu aliziruhusu roho chafu" zikawaingie nguruwe + +# na walikimbilia + +"na nguruwe walikimbilia" + +# nao walikimbilia chini ya kilima mpaka baharini, na karibia nguruwe elfu mbili walizama baharini + +Unaweza kuifanya hii sentensi kujitegemea: "mpaka baharini. Kuliwakuwako na nguruwe elfu mbili, na walizama baharini." + +# Yapata nguruwe elfu mbili + +"Yapata nguruwe 2000 " walizama baharini + diff --git a/mrk/05/14.md b/mrk/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..0e406e80 --- /dev/null +++ b/mrk/05/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika mji na nchi + +Inaweza kusemwa kwa usahihi kuwa watu walitoa taarifa yao kwa watu walikuwa katika mji na nchi. + +# Jeshi + +Hili lilikuwa jina la mapepo mengi ambayo yalikuwa ndani mwa mtu. + +# katika akili yake timamu + +Hii ni lugha inayoamaanisha kuwa anafikiri vizuri. "kwa akili timamu" au "kufikiri kwa usahihi. + +# waliogopa + +Neno "wa" urejea kwa kundi la watu walioenda nje kuona nini kimetokea. + diff --git a/mrk/05/16.md b/mrk/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..867b9de9 --- /dev/null +++ b/mrk/05/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu aliyekuwa akitawaliwa na mapepo + +"Mtu ambaye mapepo yalimtawala" + diff --git a/mrk/05/18.md b/mrk/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..f17bbb33 --- /dev/null +++ b/mrk/05/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mapepo-aliyekuwa amepagawa na mapepo + +amepagawa na mapepo- Ijapokuwa mtu hajapagawa na mapepo tena, bado anaelezwa katika hali hiyo. "mtu aliyekuwa amepagawa na mapepo" + +# Lakini hakumruhusu + +Alichofanya Yesu hakikumruhusu mtu kufanya inaweza kusema kwa usahihi. "Lakini hakumruhusu mtu kuja nao" + +# Dekapoli + +Mkoa uliokuwa kusinimashariki mwa Bahari ya Galilaya + +# kila mmoja alistaajabu + +Inaweza kuwa msaada kusema kwanini watu walistaajabu. "watu wote waliosikia alichosema walistaajabu" + diff --git a/mrk/05/21.md b/mrk/05/21.md new file mode 100644 index 00000000..318e0254 --- /dev/null +++ b/mrk/05/21.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya kumponya mtu aliyemilikiwa na pepo katika mji wa Gerasenes, Yesu na wanafunzi wake wanarudi kupitia ziwa Kaperinaumu ambapo mmoja wa watawala wa sinagogi anamuuliza Yesu kumponya binti yake. + +# upande mwingine + +Inaweza kuwa msaada kuongoza taarifa kwa maneno haya. "upande wa pili wa bahari" + +# kando mwa bahari + +"ufukoni mwa bahari" au "katika ufuko" + +# bahari + +Hili ni bahari la Galilaya. + +# Yairo + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Kwa hiyo alienda kwake + +"Hivyo Yesu alienda pamoja na Yairo." Wanafunzi wa Yesu walienda pia naye. "Hivyo Yesu na wanafunzi walienda na Yairo" + +# weka mikono yako + +"Kuweka mikono" urejea kwa nabii au mwalimu kuweka mkono wake kwa mtu na kugawa aidha uponyaji au baraka. Katika jambo hili, Yairo anamuomba Yesu kumponya binti yake. + +# kwamba afanywe mzima na aishi + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "na mponye na kumfanya hai" + +# na walimzonga karibu wakimzunguka. + +Hii inamaanisha umati walimzunguka Yesu na kujisonga wenyewe kuwa karibu na Yesu. + diff --git a/mrk/05/25.md b/mrk/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..086d24a6 --- /dev/null +++ b/mrk/05/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati Yesu akiwa katika njia kumponya mtoto wa miaka 12 wa mtu mmoja, mwanamke aliyekuwa anaumwa miaka 12 anaingilia kati kwa kumgusa Yesu kwa ajili ya uponyaji. + +# Sasa kulikuwa na mwanamke + +"Sasa" inaonyesha kuwa huyu mwanamke ambaye ametambulishwa kwa simulizi katika lugha yako. + +# ambaye damu yake ilitoka kwa muda miaka kuma miwili + +Mwanamke hakuwa na kidonda kilichokuwa wazi; badala yake, kutokwa kwa damu yake kwa kila mwezi hakukukoma. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya heshima kurejea kwa hali hii. + +# kwa miaka kumi na miwili + +"kwa miaka 12" + +# alikuwa vibaya + +"ugonjwa wake ilikuwa mbaya" au "kutokwa damu kuliongezeka" + +# taarifa kuhusu Yesu + +Alikuwa amesikia taarifa kuhusu Yesu kwa jinsi alivyoponya watu. " Kuwa Yesu aliponya watu" + +# vazi + +vazi la nje au mkoti + diff --git a/mrk/05/28.md b/mrk/05/28.md new file mode 100644 index 00000000..634a8705 --- /dev/null +++ b/mrk/05/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nitakuwa mzima + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "itaniponywa mimi" au "nguvu yake itaniponywa mimi" + +# aliponywa kutoka kwenye mateso yake. + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "ugonjwa ulimwacha" au " hakuwa tena na ugonjwa" + diff --git a/mrk/05/30.md b/mrk/05/30.md new file mode 100644 index 00000000..ffd609ab --- /dev/null +++ b/mrk/05/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na unasema, 'Ni nani aliyenigusa?' + +"tulishangaa kusikia ukisema kwamba mtu fulani alikugusa." + +# umati huu ulimsonga + +Hii inamaanisha walimsonga Yesu na kusukuma wenyewe kwa pamoja kuwa karibu na Yesu. + diff --git a/mrk/05/33.md b/mrk/05/33.md new file mode 100644 index 00000000..d06b931c --- /dev/null +++ b/mrk/05/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alianguka chini mbele yake + +"alipiga magoti mbele zake." Alipiga magoti mbele ya Yesu kama tendo la heshima na utii. + +# kumwambia ukweli wote + +Maneno "ukweli wote" urejea kwa namna alivyomgusa na kupona. "kumwambia ukweli wote kuhusu alivyomgusa" + +# Binti + +Yesu alikuwa akiitumia istilahi hii kwa mfano kurejea kwa mwanamke kama muumini. + +# imani yako + +"imani yako kwangu" + diff --git a/mrk/05/35.md b/mrk/05/35.md new file mode 100644 index 00000000..6d378a94 --- /dev/null +++ b/mrk/05/35.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wakati alipokuwa akiongea + +"Wakati Yesu alipokuwa akizungumza" + +# baadhi ya watu walikuja kutoka kwa kiongozi wa Sinagogi + +Maana zinazowekana ni 1) watu hawa walitokea nyumbani mwa Jarius au 2) Jarius alikuwa amewapa watu hawa maagizo kwenda kumuona Yesu au 3) watu hawa walikuwa wametumwa na mtu aliyekuwa kama mwenyekiti na kiongozi wa Sinagogi kwa kukosekana kwa Jarius. + +# kiongozi wa Sinagogi + +"kiongozi wa Sinagogi" ni Jarius + +# kuzungumza + +"kuzungumza na Jairus + +# Kwa nini kuendelea kumsumbua mwalimu zaidi? + +"Hatupaswi kumsumbua mwalimu zaidi" + +# mwalimu + +Hii inarejea kwa Yesu + diff --git a/mrk/05/36.md b/mrk/05/36.md new file mode 100644 index 00000000..1165ee3f --- /dev/null +++ b/mrk/05/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Amini tu + +Kama ni muhimu, unaweza kusema kuwa Yesu anamuamru Jarius kuamini. "Amini tu naweza kumfanya binti yako kuwa hai" + +# hakuwa...aliona + +Katika mistari hii neno "a" urejea kwa Yesu. + +# kuongozana naye + +"kwenda naye" Inaweza kuwa msaada kusema wakati walipokuwa wakienda. "kuongozana naye kwa nyumba ya Jarius" + diff --git a/mrk/05/39.md b/mrk/05/39.md new file mode 100644 index 00000000..690bc082 --- /dev/null +++ b/mrk/05/39.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# aliwaambia + +"Yesu aliwaambia watu walikuwa wakilia" + +# Kwa nini mnafadhaika na kwa nini mnalia? + +Yesu aliuliza swali hili kuwasaidia kuona imani yao ndogo. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi "Hampaswi kufadhaika na kulia." + +# aliwatoa wote nje + +"watoe watu wengine wote nje ya nyumba" + +# wale waliokuwa pamoja naye + +Hii inarejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana + +# alienda alipokuwa mtoto + +Inaweza kuwa msaada kusema alipokuwa mtoto. "alienda chumbani pale alipokuwa amelala mtoto." + diff --git a/mrk/05/41.md b/mrk/05/41.md new file mode 100644 index 00000000..e284742d --- /dev/null +++ b/mrk/05/41.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Talitha koum + +Hii ni sentensi ya kiaramu, ambayo Yesu alimwambiaa binti katika lugha yake. + +# Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili + +"alikuwa na miaka 12" + +# Aliwaamuru kwa nguvu kwamba hakuna yeyote anapaswa kujua kuhusu hili + +"Aliwaamuru kwa nguvu, hakuna yeyote anapaswa kujua hili" au "Aliwaamuru kwa nguvu, Wasimwambie yeyote kuhusu aliyoyafanya!" + +# Aliwaamuru kwa nguvu + +"Aliwaamuru kwa nguvu" + +# Na aliwaambia wampatie yule binti chakula + +Na aliwaambia, 'mpeni chochote ale" + diff --git a/mrk/06/01.md b/mrk/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..63e082df --- /dev/null +++ b/mrk/06/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anarudi kwa mji wa nyumbani ambapo anakataliwa. + +# mji wake wa nyumbani + +Hii inarejea kwa mji wa Nazarethi ambao Yesu alikulia na familia yake inaishi. Hii hana maana ya kuwa anamiliki ardhi. + +# Ni hekina gani aliyopewa? + +Hili swali, ambalo lina muundo wa tulivu, inaweza kuulizwa katika kauli tendaji. "Hii ni hekima ya namna gani aliyopata?" + +# kwamba anafanya kwa mikono yake + +Haya maneno yanasisitiza kuwa Yesu mwenyewe anafanya miujiza. + +# Huyu si seremala, kijana wa Mariamu, na ndugu yake Yohana na Yose na Yuda na Simoni? Dada zake zake hawapo hapa kati yatu? + +Si huyu ni seremala, kijana wa Mariamu, na kaka yake Yohana na Yose na Yuda na Simoni? Dada zake hawapo hapa kati yetu? + diff --git a/mrk/06/04.md b/mrk/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..a6b482a4 --- /dev/null +++ b/mrk/06/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwao + +"kwa umati" + +# Nabii hakosi heshima ila + +Ni hakika kabisa kwamba wananiheshimu na manabii wengine wa sehemu nyingine,lakini si ndani ya miji tuliozaliwa! Hata kidogo na watu wanaoishi katika nyumba zetu hawatuheshimu!" + +# aliwawekea mikono wagonjwa wachache + +"kuwawekea mikono" inarejea kwa nabii au mwalimu kuweka mikono yake kwa yeyote na kutoa aidha uponyaji au baraka. Katika jambo hili, Yesu anaponya watu. + diff --git a/mrk/06/07.md b/mrk/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..616353ae --- /dev/null +++ b/mrk/06/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anatuma wanafunzi wake nje wawili wawili kuhubiri na kuponya. + +# aliwaita kumi na wawili + +Hapa neno "aliwaita" linamaanisha kuwa aliwaita kumi na wawili waje kwake. + +# Wawili wawili + +" 2 kwa 2" au "jozi" msivae kanzu mbili msichukue shuka nyingine." + +# hapana mkate + +Hapa "mkate" ni neno yenye maana sawa na chakula kwa ujumla. + +# hapana pesa katika mkoba + +Katika utamaduni, wanaume walibeba pesa zilizowekwa katika mkanda. "hapana pesa iliwekwa kwenye mfuko wa pesa" + diff --git a/mrk/06/10.md b/mrk/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..2dfd972a --- /dev/null +++ b/mrk/06/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akawaambia + +"Yesu akawaambia kumi na wawili" + +# kaeni hapo mpaka mtakapoondoka + +"kaeni katika nyumba ile mpaka mtakapoondoka katika mji ule." + +# kama ushuhuda kwao + +"kama ushuhuda kinyume nao." Inaweza kuwa msaada kueleza namna hili tendo lilikuwa ushuhuda kwao. "kama ushuhuda kwao. Kwa kufanya hivyo, utaweza kushuhudiwa kuwa hawakuwakaribisha" + diff --git a/mrk/06/12.md b/mrk/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..773afba0 --- /dev/null +++ b/mrk/06/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nao wakaenda + +Neno "waka" urejea kwa kumi na wawili na haimjumuishi Yesu. Pia, inaweza kuwa msaada kusema kwamba walienda katika miji baadhi. " + +# kuacha dhambi zao + +"tubu dhambi zao" + +# Waliwafukuza pepo wengi + +Inaweza kuwa msaada kusema kwamba walifukuza pepo nje ya watu. "Walifukuza pepo wengi nje ya watu" + diff --git a/mrk/06/14.md b/mrk/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..b6bd97b3 --- /dev/null +++ b/mrk/06/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati Herode anasikia kuhusu miujiza ya Yesu, anakuwa na wasiwasi, kufikiri kwamba mtu fulani amemfufua Yohana Mbatizaji kutoka kwa wafu. (Herode alisababisha Yohana Mbatizaji kuuwawa.) + +# Mfalme Herode aliposikia hayo + +Neno "hayo" urejea kwa kila kitu ambacho Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakifanya katika miji baadhi, ikiwemo na kukemea mapepo na kuponywa watu. + +# Baadhi walikuwa wakisema, "Yohana mbatizaji + +Baadhi ya watu walikuwa wakisema kuwa Yesu alikuwa ni Yohana Mbatizaji. Hii inaweza kusemwa kwa uwazi zaidi. "Baadhi yao walikuwa wakisema, 'Ni Yohana Mbatizaji alie rejea" + +# Yohana mbatizaji amefufuliwa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alimfufua Yohana Mbatizaji" + +# Baadhi yao wakasema, "Huyu ni Eliya." + +Inaweza kuwa msaada kusema kwanini baadhi ya watu walifikiri kuwa ni Eliya. "Baadhi wao walisema, ni Eliya, ambaye Mungu aliahidi kumtuma tena." + diff --git a/mrk/06/16.md b/mrk/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..dc9657a4 --- /dev/null +++ b/mrk/06/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya ujumla + +Katika mstari wa 17 mwandishi anaanza na kutoa maelezo ya nyuma kuhusu Herode na kwanini alimkata kichwa Yohana Mbatizaji. + +# yupi alimkata kichwa + +Hapa Herode anatumia neno "Ni" ikirejea kwake mwenyewe. Neno "Ni" mbadala linalotumika kwa maaskari wa Herode. "ambao niliamuru maaskari wangu kumkata kichwa." + +# amefufuliwa + +Hiii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "amekuwa hai tena" + +# Herode aliagiza Yohana akamatwe na alimfunga gerezani + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Herode alituma maaskari wake kumshika Yohana na kumfunga gerezani" + +# kutumwa kumshika + +"amri ya kumshika" + +# kwa ajili ya Herode + +"kwa sababu ya Herode" + +# ndugu wa mke wa Filipi + +"mke wa ndugu yake Filipo." Ndugu wa Herode ambaye ni Filipo siyo sawa na Filipi ambaye alikuwa mwinjilisti katika kitabu cha Matendo ya mitume aur Filipi aliyekuwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu. + +# kwa sababu alikuwa amemuoa + +"kwa sababu Herode alikuwa amemuoa" + diff --git a/mrk/06/18.md b/mrk/06/18.md new file mode 100644 index 00000000..d968141c --- /dev/null +++ b/mrk/06/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alitaka kumuua, lakini hakuweza + +Binti wa Herode ni mtendaji mkuu katika kifungu hiki na "binti" ni maneno mbadala kama anavyotaka mtu fulani amuuwe Yohana. "alitaka mtu fulani amuuwe, lakini asinge muuwa" + +# maana Herode alimwongopa; alimjua + +Hivi vifungu viwili vinaweza kuunganishwa tofauti kuonyesha zaidi kwanini Herode alimwogopa Yohana. "maana Herode alimwogopa Yohana kwa sababu alimjua" + +# alijua kwamba ni mwema + +"Herode alimjua kuwa Yohana alikuwa mwema" + +# Msikilize yeye + +"Msikilize Yohana" + diff --git a/mrk/06/21.md b/mrk/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..99d6b2d2 --- /dev/null +++ b/mrk/06/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anaendelea kutoa maelezo ya nyumba kuhusu Herode na kukatwa kichwa Yohana mbatizaji. + +# akawaandalia moafisa wake karamu... Galilaya + +Hapa neno "aka" urejea kwa Herode na maneno mbadala kwa mtumwa wake ambaye angeweza kumwamuru kuandaa karamu. " alikuwa na chakula kilichokuwa kimaandaliwa kwa ajili ya maofisa... wa Galilaya" au alikuwa amealika maofisa wake... wa Galilaya kuwa na kufurahi pamoja naye" + +# Chakula + +chakula cha kawaida au dhifa + +# Binti wake mwenyewe Herode + +Neno "wake mwenyewe"ni nomino inayotumiwa kusisitiza kwamba ilikuwa ni muhimu alikuwa ni binti wake Herode aliye cheza wakati wa karamu. + +# alikuja ndani + +"alikuja ndani ya chumba" + diff --git a/mrk/06/23.md b/mrk/06/23.md new file mode 100644 index 00000000..9c63fcb7 --- /dev/null +++ b/mrk/06/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# chochote utakachoniomba...ufalme wangu + +Hii inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yanayokosekana. "Nitakupa nusu ya kile ninachomiliki na kutawala, kama utaniomba" + +# akatoka nje + +"akatoka nje ya chumba" + +# mara moja + +"sasa hivi" + +# ndani ya sahani + +juu ya kisahani + diff --git a/mrk/06/26.md b/mrk/06/26.md new file mode 100644 index 00000000..70b58d0d --- /dev/null +++ b/mrk/06/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa sababu ya kiapo chake, na kwa wageni wake + +"kwa sababu ya wageni wake waliosikia akitoa ahadi," + +# juu ya sahani + +"juu ya kisahani" + +# Na wanafunzi wake + +"Na wanafunzi wa Yohana" + diff --git a/mrk/06/30.md b/mrk/06/30.md new file mode 100644 index 00000000..f992f239 --- /dev/null +++ b/mrk/06/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya wanafunzi kurudi toka kuhubiri na kuponya, wanaenda sehemu nyingine kuwa na faragha, lakini kuna watu wengi wanakuja kumsikiliza Yesu anafundisha. Wakati ambapo kunakuwa jioni, anawalisha watu na kisha anawatuma kila mmoja wakati akiomba peke yake. + +# eneo la jangwa + +eneo ambalo halikuwa na watu + +# wengi walikuwa wanakuja na kwenda + +Hii inamaanisha kwamba watu waliendelea kuja kwa mitume na kisha kwenda mbali nao. + +# hata hawakuwa + +Neno "hawa" urejea kwa mitume. + +# Hivyo walienda zao + +Hapa neno "wali" inawajumuisha mitume na Yesu. + diff --git a/mrk/06/33.md b/mrk/06/33.md new file mode 100644 index 00000000..53311909 --- /dev/null +++ b/mrk/06/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliwaona wakiondoka + +"watu walimuona Yesu na mitume wakiondoka" + +# kwa miguu + +Watu walienda kwa miguu kutoka miji yote, ambapo inajipinga na namna wanafunzi walienda kwa mtumbwi. + +# aliona umati mkubwa + +"Yesu aliona umati mkubwa" + +# walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji + +Yesu analinganisha watu kwa kondoo waliochanganyikiwa pindi wanapokosa mchungaji wao wa kuwaongoza. + diff --git a/mrk/06/35.md b/mrk/06/35.md new file mode 100644 index 00000000..e48c1206 --- /dev/null +++ b/mrk/06/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Muda ulipoendelea sana + +Hii inamaanisha ilikuwa ni jioni. "Wakati ambapo kulikuwa kumeendelea" au " kuendelea jioni" + +# eneo la jangwa + +Hii inarejea kwa eneo ambalo hakuna watu. Ona kama ilivyo tofasiri katika 6:30 + diff --git a/mrk/06/37.md b/mrk/06/37.md new file mode 100644 index 00000000..64b0da42 --- /dev/null +++ b/mrk/06/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini akawajibu na akisema + +"Lakini Yesu aliwajibu na akisema kwa wanafunzi wake" + +# Tunaweza kwenda na kununua mikate yenye thamani ya dinari mia mbili na kuwapa? + +Wanafunzi wanauliza swali hili kusema kwamba hakuna njia wanaweza kununua chakula cha kutosha kwa umati huu. "Hatuwezi kununua mikate ya kutosha kulisha umati huu, hata kama tungekuwa na dinari mia mbili!" + +# dinari mia mbili + +"200 dinari." Dinari ni sarafu za Kirumi. + +# mikate + +"mikate" Mikate ni donge la unga lilotengenezwa na kuokwa. + diff --git a/mrk/06/39.md b/mrk/06/39.md new file mode 100644 index 00000000..3bf487a8 --- /dev/null +++ b/mrk/06/39.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nyasi za kijani + +Eleza nyasi kwa rangi ya neno inavyotumika katika lugha yako kwa nyasi zenye afya, ambayo inaweza ua isiwe rangi ya kijani. + +# makundi ya mamia na hamsini + +Hii urejea kwa namba ya watu katika kila kundi. "wapatao watu hamsini katika baadhi ya makundi na wapatao watu mia kwa makundi mengine" + +# kutazama mbinguni + +Hii inamaanisha kwamba alitazama juu mbinguni, ambako kunausishwa na sehemu anayoishi Mungu. + +# alibariki + +"alizungumza baraka" au "alishukuru" + +# aligawa samaki wawili kwa watu wote + +"aliwagawa samaki wawili ili kwamba kila moja apate kitu" + diff --git a/mrk/06/42.md b/mrk/06/42.md new file mode 100644 index 00000000..2e42608a --- /dev/null +++ b/mrk/06/42.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Walichukua + +Maana zinazoweza ni 1) "Wanafunzi walichukua au 2) "Watu walichukua" + +# vipande vya mikate, vikapu kumi na viwili + +"vikapu kumi na viwili vilijaa vipande vya mkate" + +# vikapu kumi na mbili + +"12 vikapu" + +# wanaume elfu tano + +"5,000 wanaume" + +# Na walikuwa wanaume elfu tano waliokula mikate + +Hesabu ya wanawake na watoto haikuhesabiwa. Kama isingeelewaka kuwa wanawake na watoto walikuwapo, inaweza kuwekwa kwa usahihi. "Na kulikuwa na watu elfu tano walio kula mikate. Hawakuwahesbau wanawake na watoto" + diff --git a/mrk/06/45.md b/mrk/06/45.md new file mode 100644 index 00000000..dd9d9f29 --- /dev/null +++ b/mrk/06/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sehemu nyingine + +Hii inarejea kwa Bahari ya Galilaya. + +# Bethsaida + +Huu ni mji uliopo pwani ya kaskazini katika bahari ya Galilaya. + +# Walipokuwa wamekwisha kuondoka + +"Walipokuwa watu wamekwisha kuondoka" + diff --git a/mrk/06/48.md b/mrk/06/48.md new file mode 100644 index 00000000..de3a4ddf --- /dev/null +++ b/mrk/06/48.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Dhoruba inajitokeza wakati wanafunzi wanajaribu kuvuka ziwa. Kumuona Yesu anatembea juu ya maji kunawaogopesha. Hawaelewi namna gani Yesu anaweza kutuliza dhoruba. + +# kuangilia mara ya nne + +Huu ni wakati kati ya saa tatu asubuhi na jua linajomoza. + +# Mzimu + +roho ya mtu aliyekufa au aina zingine za roho + +# Muwe wajasiri!...Msiwe na hofu! + +Sentensi hizi mbili zinafanana katika maana, zinasisitiza kwa wanafunzi kwamba hawakupaswa kuogopa. + diff --git a/mrk/06/51.md b/mrk/06/51.md new file mode 100644 index 00000000..c95369d5 --- /dev/null +++ b/mrk/06/51.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakamshangaa kabisa + +Kama unataka kuwa mahususi zaidi, inaweza kusemwa nini walikuwa wakishangaa. "Walishangazwa na kila alichokuwa amekifanya" + +# mikate ilimaanisha nini + +Neno "mikate" urejea wakati Yesu alipoizidisha mikate. + +# mioyo yao ilikuwa migumu + +Kuwa na mioyo inawakilisha kuwa wagumu kuelewa. + diff --git a/mrk/06/53.md b/mrk/06/53.md new file mode 100644 index 00000000..10f431ae --- /dev/null +++ b/mrk/06/53.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati Yesu na wanafunzi wake wanafika Genesareti wakiwa katika mtumbwi wao, watu wanamuona na kumletea watu awaponye. Hii inatokea kokote waendako. + +# Genesareti + +Hili ni jina la mkoa kaskazi mwa magharibi mwa Bahari ya Galilaya. + +# mara wakamtambua + +"watu pale walimtambua Yesu" + +# walikimbia...waliposikia + +Neno "wa" urejea kwa watu waliomtambua Yesu, wala si kwa wanafunzi. + +# wagonjwa + +Neno hili urejea kwa watu. "watu wagonjwa" + diff --git a/mrk/06/56.md b/mrk/06/56.md new file mode 100644 index 00000000..3690aaa2 --- /dev/null +++ b/mrk/06/56.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Popote alipoingia + +"Popote Yesu alipoingia" + +# waliwaweka + +Hapa "wa" urejea kwa watu. Haaina maana ya kurejea kwa wanafunzi wa Yesu + +# mgonjwa + +Hii urejea kwa watu. "watu wagonjwa" + +# wakamsihi + +Maana zinazowekana ni 1)"mgonjwa alimsihi" au 2) "watu walimsihi" + +# waache waguse + +Neno "wa" urejea kwa mgonjwa. + +# pindo la vazi lake + +"pindo la vazi lake" au " pindo la vazi lake" + +# wengi + +"wote" + diff --git a/mrk/07/01.md b/mrk/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..f3e55699 --- /dev/null +++ b/mrk/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anawakemea Mafarisayo na waandishi + +# walikusanyika kumzunguka yeye + +"walikusanyika kumzunguka Yesu" + diff --git a/mrk/07/02.md b/mrk/07/02.md new file mode 100644 index 00000000..631f5bc6 --- /dev/null +++ b/mrk/07/02.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Na waliona + +"na Mafarisayo na wandishi waliona" + +# kwa mikono najisi + +Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yanayokosekana. "kwamba, walikula na mikono najisi" + +# wazee + +Wazee wa kiyahudi walikuwa viongozi katika jamii zao na pia walikuwa waamuzi wa watu. + +# vyombo vya shaba + +"mabirika ya shaba" au "vyombo vya vyuma" + +# viti vinavyotumika wakati wa chakula + +"benchi" au "vitanda". Kwa wakati huo, Wayahudi wange egemea kitu wakati wa kula. + diff --git a/mrk/07/05.md b/mrk/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..1ec7572b --- /dev/null +++ b/mrk/07/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wanafuni wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mikate yao kwa mikono isiyooshwa? + +"Wanafunzi wako hawatii tamaduni za wazee wetu! Wanapaswa kuosha mikono yao kwa kutumia ibada zetu!" + diff --git a/mrk/07/06.md b/mrk/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..c957c7c1 --- /dev/null +++ b/mrk/07/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya ujumla + +Hapa Yesu ananukuu kwa nabii Isaya, ambaye aliandika maandiko miaka mingi kabla. + +# kwa midomo yao + +Hapa "midomo" ni kirai cha kuzungumza. "kwa kile wanachosema" + +# lakini mioyo yao iko mbali nami + +Hapa "moyo" urejea kwa mawazo ya watu au hisia. Hii ni njia kusema kuwa watu hawajitoa kwa Mungu. "lakini hawanipendi kabisa" + +# Wananifanyia ibaada zisizo na maana + +"Wananifanyia ibada zisizo na maana" au wananiabudu kwa utupu" + diff --git a/mrk/07/08.md b/mrk/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..00148cf3 --- /dev/null +++ b/mrk/07/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaendelea kuwakemea wandishi na Mafarisayo + +# kuacha + +"kata kumfuata" + +# Anayesema mabaya juu ya + +"Anaye laani" + +# kushikilia kwa wepesi + +"shikiliza kwa nguvu" au "weka" + +# Mmeikataa amri...mtunze tamaduni zenu + +Yesu anatumia sentensi za kejeli kuwakemea wasikilizaji wake kwa kuziacha amri za Mungu. "Mnafikiri mmefanya vizuri kwa jinsi mmemkataa amri za Mungu ili kwamba mtunze tamaduni zenu, lakini mlichofanya si vizuri kabisa!" + +# Mmeikataa + +"mu uhodari kiasi gani kumkataa" + +# asemaye mabaya + +"anaye laani" + +# hakika atakufa + +"anapaswa kuuwawa" + +# 'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa + +Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mamlaka yanapaswa kumwadhibu kifo mtu anasema vibaya juu ya baba yake au mama" + diff --git a/mrk/07/11.md b/mrk/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..2c378e23 --- /dev/null +++ b/mrk/07/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Msaada wowote ambao mngeupokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu. + +Tamaduni za waandishi zilisema kwamba pindi pesa au vitu vingine vilipoahidiwa kanisani, visingetumika kwa lengo lingine lolote. + +# Hazina ya Hekalu + +Mwandishi anataka msomaji ajue jinsi neno linavyo sikika, kwa hiyo andika hii kwakutumia alfabeti za lugha yako lisikike kama hili kwa kadri uwezavyo. + +# Hazina ya Hekalu + +Hapa mwandishi anarejea kwa kitu fulani katika neno la Kiebrania. Hili neno linapaswa kunakiriwa kama ilivyo katika lugha yako kutumia alfabeti. + +# imetolewa kwa Mungu + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Nimeitoa kwa Mungu" + +# hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake + +Kwa kufanya hivi, Mafarisayo wanawaruhusu watu kutowapatia wazazi wao, kama wanatoa ahadi kumpa Mungu kila wangetoa kwao + +# bure + +kualishwa au kuachana nayo + +# Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya." + +"Na mnavyofanya inaweza vitu vingine kufanana na hiki" + diff --git a/mrk/07/14.md b/mrk/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..ea91a411 --- /dev/null +++ b/mrk/07/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anazungumza mfano kwa umati kuwasaidia kuelewa alichokuwa akiwaambia waandishi na Mafarisayo. + +# Aliita + +"Yesu aliita" + +# Nisikilizeni mimi, ninyi nyote, an mnielewe + +Neno hili "Sikiliza" na "elewa" yanashabiana. Yesu anayatumia yote pamoja kusisitiza kwamba wasikilizaji wake lazima wawemakini kwa kile anachokisema. + +# kuelewa + +Inaweza kuma msaada kusema nini Yesu anawaambia kuelewa. "jaribu kuelewa ninachoenda kukuambia" + +# Hakuna chochote kutoka nje ya mtu + +Yesu anazungumza kuhusu anachokula mtu. Hii ni kinyume na "kile kitokacho mwa mtu" + +# Ni kile kimtokacho mtu + +"Ni utu wa ndani" au "Ni kile mtu anachofikiri, anachosema, au dkufanya" + diff --git a/mrk/07/17.md b/mrk/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..15bba7d9 --- /dev/null +++ b/mrk/07/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Wanafunzi bado hawajaelewa nini Yesu alichosema kwa waandishi, Mafarisayo, na umati. Yesu anaeleza maana zaidi kwa utoshelevu kwao. + +# Sasa + +Neno hili limetumika hapa kuanzisha wazo jingine katika hadithi. Sasa Yesu yuko mbali na umati, yuko ndani na wanafunzi wake. + +# Bado hamjaelewa? + +Yesu anatumia swali hili kueleza kukatishwa tamaa kwake kwamba hawaelewi. Hii inaweza kuelezwa kama sentensi. "Baada ya yote nimekwisha sema na kufanya, ningetegemea muelewe" + +# Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua + +Yesu anatumia swali hili kufundisha wanafunzi wake kitu fulani ambacho walipaswa kuwa wanakijua tayari. Inaweza kusemwa kama sentensi "Chochote kiingiacho...huchafua + +# kwa sababu hakiwezi + +Hapa "haki" urejea kwa kile kimwingiacho mtu, kwamba, kila mtu anakula. + +# Yesu alifanya + +"Yesu alitangaza" + +# vyakula vyote safi + +Inaweza kuwa msaada kueleza kwa usahihi nini maana ya maneno haya. "vyakula vyote safi, inamaanisha kuwa watu wanaweza kula chakula chochote pasipo Mungu kumhesabia mlaji kuwa najisi + diff --git a/mrk/07/20.md b/mrk/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..aed87305 --- /dev/null +++ b/mrk/07/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alisema + +"Yesu alisema" + +# Ni kile ambacho kinamtoka + +Inaweza kuwa msaada kusema kwa ufasaha "kile" urejea kwa. "Ni mawazo na matendo yanayomtoka mtu." + +# kupenda anasa + +kushindwa kutawala tamaa za mwili + +# yanatoka ndani + +Hapa neno "ndani" huelezea moyo wa mtu. "hutoka ndani mwa moyo wa mtu" au "hutoka ndani mwa mawazo ya mtu" + diff --git a/mrk/07/24.md b/mrk/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..2af1c491 --- /dev/null +++ b/mrk/07/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati Yesu anaenda Tiro, anamponya binti wa mwanamke wa kimataifa akiwa na imani ya ajabu. + +# alikuwa na roho chafu + +Hii ni lugha inayomaanisha kuwa alikuwa amilikiwa na roho chafu. + +# Anguka chin + +"piga magoti" + +# Mwanamke huyo alikuwa Myunani, wa kabila la Kifoeniki + +Neno "sasa" utambulisha wazo jingine katika hadithi, kama ilivyo sentensi hii hutoa maelezo ya nyuma kuhusu mwanamke. + +# Kifoeniki + +Hili ni jina la mwanamke la kitaifa. Alizaliwa mkoa wa Kifoeniki Syria. + diff --git a/mrk/07/27.md b/mrk/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..718bbb51 --- /dev/null +++ b/mrk/07/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Waache watoto kwanza washibe + +"Watoto lazima wale kwanza" au "Lazima nilishe watoto kwanza." + +# Watoto + +Wayahudi. AT: "Lazima nitumikie Wayahudu kwanza." + +# Mkate + +Chakula + +# Mbwa + +Watu wa mataifa + +# hata mbwa hula mabaki ya watoto chini ya meza. + +"unaweza kunitumikia, mtu wa mataifa, katika njia ndogo hii. + +# Mabaki + +Vipande vidogo vidogo sana ya mkate + diff --git a/mrk/07/29.md b/mrk/07/29.md new file mode 100644 index 00000000..c837953c --- /dev/null +++ b/mrk/07/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# uko huru kwenda + +"unaweza kwenda sasa" au "nenda nyumbani" + +# Pepo ameshamtoka binti yako + +Yesu amesababisha pepo mchafu kumtoka binti wa mwanamke. Hii inaweza kueleza kwa usahihi. "Nimesababisha roho mchafu kumwacha binti yako" + diff --git a/mrk/07/31.md b/mrk/07/31.md new file mode 100644 index 00000000..a917d8d7 --- /dev/null +++ b/mrk/07/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alikuja kupitia + +"Alisafiri kupitia" + +# Dikapoli + +"miji kumi," kanda ya kusini mashariki ya Bahari ya Galilaya. + +# Nsni slikuwa kiziwi + +"ambaye alikiwa hana uwezo wa kusikia" + +# alikwa na shida ya kuongea + +"hakuweza kuongea vizuri" + diff --git a/mrk/07/33.md b/mrk/07/33.md new file mode 100644 index 00000000..af08fdb1 --- /dev/null +++ b/mrk/07/33.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Alimota nje + +"Yesu alimtoa nje" + +# akaweka vidole vyake kwenye masikio yake + +Yesu anaweka vidole kwenye masikio yake. + +# baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake + +Yesu anatema mate na kisha anagusa ulimi wa mwanaume. + +# baada ya kutema + +Inaweza kuwa msaada kusema kwamba Yesu alitemea mate vidole vyake. + +# alitazama juu mbinguni + +Hii inamaanisha kuwa alitaza juu mbinguni, ambako kunahusishwa na eneo analoishi Mungu. + +# Efata + +Mwandishi anataka msomaji ajue jinsi neno linavyo sikika, Kwa hiyo andika hii kwa kutumia alfabeti za lugha yako na neno lisike karibu na "effatha" kwa kadri uwezavyo. + +# Kuvuta pumzi + +akavuta pumzi kuonyesha kuwa hakuwa na furaha. + +# kusema naye + +"alisema na mwanaume" + +# masikio yake yalifunguliwa + +Hii inamaanisha alikuwa hawezi kusikia. "masikio yake yalifunguliwa na aliweza kusikia" + +# Kilichokuwa kimeshikilia ulimi wake kilitolewa. + +"Yesu alikitoa kilichokuwa kimeushikilia ulimi wake" au "Yesu aliponya kilichokuwa kimemfanya asiongee vizuri" + +# kilichokuwa kimezuia ulimi + +"kinachomzuia yeye kuongea " au "usemi wake kuwa na kikwazo" + diff --git a/mrk/07/36.md b/mrk/07/36.md new file mode 100644 index 00000000..f47f63af --- /dev/null +++ b/mrk/07/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kadri alivyowaamuru + +Inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa iliyokosekana. "kadri alivyowaamuru wasimwambie mtu yoyote." + +# kadri ya wingi + +"kadri ya upana" au " zaidi" + +# hakika + +"kabisa" au "mno" + +# kiziwi...kimya + +Haya urejea kwa watu. "watu viziwi...watu wakimya" au " watu wasioweza kusikia...watu wasioweza kuongea" + diff --git a/mrk/08/01.md b/mrk/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..5cb7b23f --- /dev/null +++ b/mrk/08/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Umati mkubwa ambao haukuwa na chakula ulikuwa na Yesu. Anawalisha kutumia mikate saba na samaki wachache mbele za Yesu na wanafunzi wake wakaingia ndani ya mtumbwi kwenda eneo jingine. + +# Katika siku hizo + +Kikundi hiki cha maneno kinatumiwa kutambulisha tukio jipya katika hadithi. + +# sababu wameendelea kuwa pamoja nami tayari kwa siku tatu. + +"kwa sababu hii ni siku ya tatu hawa watu wamekuwa pamoja nami" + +# wanaweza kuwa dhaifu + +Maana zinazofaa ni 1) "wanaweza kupoteza fahamu kwa muda" au 2)wanaweza kuwa dhaifu" + +# Tutapata wapi mikate ya kutosha kuwashibisha watu hawa katika eneo hili lililoachwa? + +Wanafunzi wanaonyesha mshangao kwamba Yesu angewatazamia kuweza kupata chakula cha kutosha. "Hili ni eneo la jangwa ambako hakuna eneo ambalo tunaweza kupata mikate ya kutosha kuwalizisha watu hawa!" + +# boflo ya mkate + +Boflo ya mkate ni bonge la unga wa ngano ambalo linatengenezwa na kuokwa. + diff --git a/mrk/08/05.md b/mrk/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..c6ccd8a8 --- /dev/null +++ b/mrk/08/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akawauliza + +"Yesu aliwauliza wanafunzi wake" + +# Aliuamuru umati ikae chini. + +Hii inaweza kuandikwa kama dondoa ya moja kwa moja. "Yesu aliuamuru umati, 'ukae chini" + +# kaa chini + +Tumia maneno ya lugha ya kwenu kwa namna watu wanakula kimatamaduni kama hakuna meza, aidha kwa kukaa au kujilaza. + diff --git a/mrk/08/07.md b/mrk/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..2e37b68c --- /dev/null +++ b/mrk/08/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Pia walipata + +Hapa neno "wali..." linatumika kurejea kwa Yesu na wanafunzi wake. + +# alishukuru + +"Yesu alishukuru kwa samaki" + +# Walikula + +"Hawa watu walikula" + +# walikusanya + +"wanafunzi walikusanya" + +# vipande vilivyo baki, vikapu vikubwa saba + +Hii inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zilizokosekana. "vipande vilivyo baki vya mkate na samaki, ambavyo vilijaza vikapu saba vikubwa. + +# Na aliwaacha waende + +Hii inaweza kuwa msaada kufafanua ambapo Yesu anawaacha waende. "Na baada ya kula, Yesu aliwaacha waende" + +# wakaenda katika ukanda wa Dalmanuta + +Hii inaweza kuwa msaada kufafanua namna ya kwenda Dalmanuta. "walipiga mashua kupitia bahari ya Galilaya mpaka Dalmanuta" + diff --git a/mrk/08/11.md b/mrk/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..b337a87e --- /dev/null +++ b/mrk/08/11.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Huko Dalmanuta, Yesu anakataa kuwapa Mafarisayo ishara kabla ya yeye na wanafunzi hawajaingia katika mashua na kuondoka. + +# Walitafuta toka kwake + +"Walimuuliza" + +# kutoka mbinguni + +Hapa "mbinguni" urejea kwa eneo ambapo Mungu anaishi, na ni maneno badala ya Mungu. "kutoka kwa Mungu" + +# kumjaribu yeye + +Mafarisayo walimjaribu Yesu kumfanya yeye awathibitishie kuwa anatoka kwa Mungu. Baadhi ya taarifa zinaweza kuwekwa sahihi. "kuhakikisha kuwa Mungu alimtuma yeye" + +# hema + +Hii inamaanisha kuvuta ndani na kisha kupumua. + +# katika roho wake + +"katika yeye" + +# Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara? + +Yesu anawakaripia. Swali hili linaweza kuandikwa kama sentensi. "Kizazi hiki hakipaswi kutafuta ishara" + +# kizazi hiki + +Wakati ambapo Yesu anazungumza juu ya "kizazi hiki", anarejea kwa watu walio ishi wakati huo. Mafarisayo hawa wanajumuishwa katika kundi hili. "wewe na watu wa kizazi hiki" + +# hakuna ishara itakayotolewa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendi. "Sitatoa ishara" + +# aliwaacha, akaingia ndani ya mtumbwi tena + +Wanafunzi wa Yesu walienda naye. Baadhi ya taarifa zinaweza kuwekwa sahihi. "aliwaacha, akaingia ndani ya mtumbwi pamoja na wanafunzi wake" + +# upande ule mwingine + +Hii huelezea bahari ya Galilaya, ambayo inaweza kusemwa kwa ufasaha. "kwa upande mwingine wa bahari" + diff --git a/mrk/08/14.md b/mrk/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..e9aa224e --- /dev/null +++ b/mrk/08/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati Yesu na wanafunzi wake wakiwa ndani ya mtumbwi, walikuwa na majadiliano kuhusu kuelewa kudogo kati ya Mafarisayo na Herode, ijapokuwa walikuwa wamekwisha ona ishara nyingi. + +# Sasa + +Hili neno linatumika kuweka alama ya kutenganisha hadithi. Hapa mwandishi anasema taarifa za nyuma kuhusiana na wanafunzi kusahau kuchukua mkate. + +# hakuna zaidi ya mkate mmoja + +Kikundi cha maneno yaliyo kinyume "hakuna zaidi" hutumiwa kusisitiza namna ya kiasi kidogo cha mkate waliokuwa nao. "mkate mmoja tu" + +# Kuwa macho na ujilinde + +Haya maneno mawili yana maana ya kufanana na yanarudiwa hapa kwa msisitizo. Yanaweza kuanganishwa. "Kuwa macho" + +# chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode. + +Hapa Yesu anazungumza kwa wanafunzi wake katika mfano ambao hawauelewi. Yesu analinganisha mafundisho ya Mafarisayo na Herode kwa chachu, lakini hauwezi kueleza hivi unavyo tofasiri sababu wanafunzi wenyewe hawakuuelewa. + diff --git a/mrk/08/16.md b/mrk/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..2b66b346 --- /dev/null +++ b/mrk/08/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ni kwa sababu hatuna mikate + +Katika sentensi hii, inaweza kuwa msaada kusema kwamba, "ni" urejea kwa kile Yesu alichokwisha sema. "Angepaswa kuwa amesema kwa sababu hatuna mikate" + +# hakuna mkate + +Wanafunzi walikuwa na mkate mmoja, ambao haikuwa na tofauti kutokuwa na mkate kabisa. "mikate midogo kabisa" + +# Kwa nini mnasemezana kuhusu kutokuwa na mikate? + +Hapa Yesu anawaonywa kwa ulaini wanafunzi wake kwa sababu wangeweza kuelewa alichokuwa anazungumzia. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Haupaswi kufikiri kwamba naongelea mkate halisi" + +# Hamjajua bado? Hamuelewi? + +Maswali haya yana maana ile ile na yanatumika kwa pamoja kusisitiza kwamba hawaelewi. Hii inaweza kuandikwa kama swali moja au sentensi. "Hamjajua bado?" au "Mnapaswa kujua na kuelewa kwa sasa mambo ninayo sema na kufanya." + +# Mioyo yenu imekuwa miepesi? + +Mfano huu urejea kwa hao hawako wazi au kuwa tayari kuelewa Yesu alimaanisha nini. Huu unaweza kuandikwa kama sentensi. "Namna gani mioyo yenu haiko wazi kuelewa ninachosema?" au "Mioyo yenu haiko tayari kuelewa." + diff --git a/mrk/08/18.md b/mrk/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..36ea223d --- /dev/null +++ b/mrk/08/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mna macho, hamuoni? Mna masikio, hamsikii? Hamkumbuki? + +Yesu anaendelea kukemea kwa utilivu wanafunzi . Haya maswali yanaweza kuandikwa kama sentensi. "Una macho, lakini hauelewi unachokiona. Una masikio, lakini hauelewi unachosikia. Lazima ukumbuke" + +# elfu tano + +Hii urejea kwa watu 5,000 Yesu aliye walisha + +# mlichukua vikapu vingapi vilivyo jaa vipande vya mikate? + +Hii inaweza kuwa msaada kusema wakati ambapo walichukua vipande vya vikapu. "ni vikapu vingapi vilivyo jaa vipande vya mikate mlichukua baada ya kila mmoja amemaliza kula" + diff --git a/mrk/08/20.md b/mrk/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..2feb1110 --- /dev/null +++ b/mrk/08/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# elfu nne + +Hii urejea kwa watu 4,000 waliolishwa na Yesu. + +# mlichukua vikapu vingapi + +Hii inaweza kuwa msaada kusema wakati ambapo walivichukua. "ni vikapu vingapi vilivyo jaa vipande vya mikate mlichukua baada ya kila mmoja amemaliza kula" + +# Bado hamuelewi? + +Yesu kwa utilivu anawakamea wanafunzi wake kwa kushindwa kuelewa. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Lazima uelewe kwa sasa mambo ninayo sema na kufanya." + diff --git a/mrk/08/22.md b/mrk/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..7a09abed --- /dev/null +++ b/mrk/08/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati ambapo Yesu na wanafunzi wake wanatoka katika mtumbwi wao hukpo Bethsaida, Yesu anamponya mtu kipofu. + +# Bethsaida + +Huu ulikuwa ni mji kaskazini mwa ufuko wa bahari ya Galilaya. + +# akamshika + +Hii inaweza kuwa msaada kusema kwa nini walitaka Yesu amguse mtu huyo. "kumgusa ili kumponya" + +# Alipotema mate juu ya macho yake ...alimuuliza + +"Wakati ambapo Yesu alipotema mate juu ya macho yake... Yesu alimuuliza" + diff --git a/mrk/08/24.md b/mrk/08/24.md new file mode 100644 index 00000000..59ec883c --- /dev/null +++ b/mrk/08/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alitazama juu + +"Mtu alitazama juu" + +# Naona watu wanaonekana kama miti inatembea + +Mtu anaona watu wanatembea, na bado hawakuwa vizuri kwake, hivyo aliwalinganisha na miti. "Ndiyo, naona watu! Wanatembea, lakini siwaoni vizuri . Wanaonekana kama miti" + +# Kisha tena + +"Yesu tena" + +# na mtu alifungua macho yake, macho yake yaliona + +Kikundi hiki cha maneno "macho yaliona" inaweza kuandikwa katika kauli tendi "Kurudisha uonaji, na mtu akafungua macho yake" + diff --git a/mrk/08/27.md b/mrk/08/27.md new file mode 100644 index 00000000..8f811e98 --- /dev/null +++ b/mrk/08/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu na wanafunzi wake wakiwa njiani kwenda vijiji vya Kaiseria ya Filipi wanazungumza juu ya Yesu ni nani na nini kitatokea kwake. + +# Wakamjibu na wakasema + +"Wakamjibu, wakasema," + +# Yohana mbatizaji + +Hili lilikuwa jibu la mwanafunzi, ambalo watu walisema Yesu alikuwa nani. Hii inaweza kuonyeshwa kwa usahihi. "Baadhi ya watu wanasema wewe ni Yohana mbatizaji" + +# Wengine wanasema + +Neno "wengine" urejea kwa watu wengine. Pia, inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zinazokosekana. "Watu wengine wanasema wewe ni ... watu wengine wanasema wewe ni" + diff --git a/mrk/08/29.md b/mrk/08/29.md new file mode 100644 index 00000000..e6e81676 --- /dev/null +++ b/mrk/08/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akawauliza + +"Yesu akawauliza wanafunzi wake" + +# Yesu akawaonya wasimwabie mtu yeyote kumuhusu Yeye. + +Yesu hakutaka wao wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ni Kristo. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. Pia, hii inaweza kuandikwa kama dondoo ya moja kwa moja. "Yesu aliwaonya wasimwambie mtu yeyote kuwa ye ni Kristo" au " Yesu aliwaonya, 'msimwambie mtu yeyote kwamba mimi ni Kristo" + diff --git a/mrk/08/31.md b/mrk/08/31.md new file mode 100644 index 00000000..2b9eb30b --- /dev/null +++ b/mrk/08/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwana wa Adamu + +Hili ni jina muhimu sana kwa Yesu. + +# na atakataliwa na viongozi na makuhani wakuu, na waandishi, na atauawa, na baada ya siku tatu atafufuka. + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendi. "na kwamba viongozi na makuhani wakuu na waandishi watamkataa, na watu hao watamuua na baada ya siku tatu atafufuka." + +# Alisema haya kwa uwazi + +"Alisema hivi ili iwe nyepesi kuelewa" + +# alianza kumkemea + +Petro alikemewa na Yesu kwa kusema mambo aliyosema kuwa yangetokea kwa Mwana wa Adamu. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. "alianza kumkemea kwa kusema mambo haya" + diff --git a/mrk/08/33.md b/mrk/08/33.md new file mode 100644 index 00000000..a47d14de --- /dev/null +++ b/mrk/08/33.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya kumkemea Petro kwa sababu hakutaka Yesu kufa na kufufuka, Yesu anawambia wanafunzi wake na umati namna ya kumfata. + +# Pita nyuma yangu Shetani! Hujali + +Yesu anamaanisha ya kuwa Petro anafanya kama Shetani kwa sababu anajaribu kumzuia Yesu kutimiza alichotumwa na Mungu kufanya. "Pita nyuma Shetani! Nakuita Shetani kwa sababu hujali" au "Pita nyuma yangu, kwa sababu unafanya kama Shetani! Hujali" + +# Pita nyuma yangu + +"Nipishe mimi" + +# nifuate mimi + +Kumfuata Yesu hapa kunawakilisha kuwa mmoja wa wanafunzi wake. "kuwa mwanafunzi" au "kuwa mmoja wa wanafunzi wangu" + +# ajikane mwenyewe + +"hawapaswi kuzitimiza tamaa zake" au "anapaswa kuziacha tamaa zake" + +# achukue msalaba wake, na anifuate. + +"beba msalaba wake na umfuate" Msalaba huu unawakilisha mateso na kifo. Kuchukua msalaba huwakilisha kuwa tayari kutesa na kufa. "unapaswa kunitii mpaka hatua ya kuteseka na kufa" + +# na nifuate + +Kumfuata Yesu hapa uwakilisha kumtii. "na nitii mimi" + diff --git a/mrk/08/35.md b/mrk/08/35.md new file mode 100644 index 00000000..a9e700db --- /dev/null +++ b/mrk/08/35.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa kuwa yeyote anayetaka + +"Kwa kuwa yeyote anayetaka" + +# maisha + +Hii urejea kwa vyote maisha ya mwili na maisha ya kiroho. + +# kwa ajli yangu na kwa ajli ya injili + +"kwa sababu yangu na kwa sababu ya injili." Yesu anazumguza juu ya watu wanaopteza maish yao kwa ajili ya kumfuata Yesu na injili. Hii inaweza kusema kwa usahihi. "kwa sababu ananifuata mimi na kuwambia wengine injili" + +# Inamfaidia nini mtu, kupata ulimwengu wote, na kisha kupata hasara ya maisha yake? + +Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Hata kama mtu anapata ulimwengu wote, haitamfaidi kama atapata hasara ya maisha yake" + +# kupata ulimwengu wote + +Yesu anatumia kutia chumvi sana katika kusisitiza kwamba hakuna chochote ulimwenguni unachoweza kupata kwa kupoteza maisha yako. "kama anapata kila kitu katika ulimwengu" + +# kupoteza + +"kupoteza" + +# Mtu anaweza kutoa nini badala ya maisha yake? + +Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Hakuna chochote mtu anaweza kufanya kutoa badala ya maisha yake." au " Hakuna yoyote anaweza kutoa chochote kwa badala ya maisha yake." + +# Mtu anaweza kutoa nini + +Kama katika lugha yako "kutoa" huitaji mtu kupokea alichopewa, "Mungu" inaweza kusemwa kama mpokeaji. "Nini mtu anaweza kumpa Mungu" + diff --git a/mrk/08/38.md b/mrk/08/38.md new file mode 100644 index 00000000..1c2ac5f9 --- /dev/null +++ b/mrk/08/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika kizazi hiki cha zinaa na dhambi + +Yesu anazungumza juu ya kizazi hiki kama "wazizi" akimaanisha kwamba si waaminifu katika mahusiano yao na Mungu. "katika kizazi hiki cha watu waliojiingiza katika uzizi kinyume na Mungu na niwazinifu" au "katika kizazi hiki cha watu wasio waaminifu kwa Mungu na ni wenye dhambi" + +# Mwana wa Adamu + +Hili ni jina la muhimu sana kwa Yesu + +# atakapokuja + +"atakapokuja tena" + +# katika utukufu wa Baba yake + +Wakati ambapo Yesu anakuja atakuwa na utukufu ule ule kama wa Baba yake + +# pamoja na malaika watakatifu + +"atafuatana na malaika watakatifu" + diff --git a/mrk/09/01.md b/mrk/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..8c24cbbc --- /dev/null +++ b/mrk/09/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu amekuwa akizungumza kwa watu na wanafunzi wake kuhusu kumfuata. Siku sita badae, Yesu anaenda na wanafunzi watatu juu ya mlima pale alipobadilika, kwa hiyo anaonekana kama siku moja atakavyokuwa katika ufalme wa Mungu. + +# Na aliwaambia + +"Na Yesu aliwaambia wanafunzi wake" + +# ufalme wa Mungu unakuja na nguvu + +Ufalme wa Mungu unakuja kumwakilisha Mungu akijionyesha yeye kama mfalme. "Mungu anajionyesha yeye mwenyewe na nguvu kuu kama mfalme" + +# peke yao + +Mwandishi anatumia "yao" hapa kusisitiza kuwa walikuwa wao wenyewe na kwamba Yesu tu, Petro, Yakobo na Yohana welienda mlimani. + +# alianza kubadilika + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "alionekana tofauti sana" + +# kabla yao + +"mbele yao" + +# kung'aa sana + +"kung'aa" au "inang'aa" Mavazi ya Yesu yalikuwa meupe yakitoa mwanga. + +# kubwa + +"sana, sana" + +# meupe zaidi, meupe kuliko mng'arishaji yeyote duniani. + +Kupausha kunaelezea mchakato wa kufanya pamba nyeupe ya kiasilia zaidi ya weupe kwa kutumia kemikali ya kupausha au amonia. + diff --git a/mrk/09/04.md b/mrk/09/04.md new file mode 100644 index 00000000..97b1219f --- /dev/null +++ b/mrk/09/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Eliya na Musa + +Inaweza kuwa msaada kusema hawa wanaume ni "manabii wawili walio ishi muda kitambo, Musa na Eliya." + +# walikuwa wakiongea + +Neno "wa" urejea kwa Eliya na Musa + +# Petro alimjibu na kumwambia Yesu + +"Petro alimwambia Yesu." Hapa neno "alimjibu" linatumiwa kumtambulisha Petro katika mazungumzo. Petro alikuwa hajibu swali. + +# sisi + +Hili neno urejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana + +# vibanda + +"mahema" Hii urejea kwa makao rahisi ya muda. + +# Kwa kuwa hakujua nini cha kusema, waliogopa sana + +Sentensi hii iliyo kwenye mabano usema maelezo ya nyuma kuhusu Petro, Yakobo, na Yohana. + +# ogopa + +kuogopa sana + diff --git a/mrk/09/07.md b/mrk/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..edb0b978 --- /dev/null +++ b/mrk/09/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wingu lilitokea na kuwafunika + +"kutokea na kuwafunika" + +# Ndipo sauti ikatoka mawinguni + +"Sauti" ni kirai cha Mungu. Pia, "sauti" inaelezwa kama "inatoka mawinguni", ikimaanisha kuwa walimsikia Mungu akuzungumza kutoka mawinguni. "Kisha Mungu alizungumza toka mawinguni" + +# Huyu ni mwanangu mpendwa. Msikieni + +Mungu Baba aliezea upendo wake kwa mwanae mpendwa, Mwana wa Mungu. + +# Mwana mpendwa + +Hili ni jina muhimu kwa Yesu.Mwana wa Mungu. + +# walipokuwa wakitazama + +Hapa "wa" urejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana. + diff --git a/mrk/09/09.md b/mrk/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..08c06f3f --- /dev/null +++ b/mrk/09/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# aliwaamuru kutokumwambia mtu yeyote yale yote waliyoyaona, mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka kwa wafu. + +Hii inamaanisha kuwa alikuwa akiwaruhusu wawaambie watu kuhusu kile walichokiona tu baada ya kufufuka kutoka kwa wafu. + +# Kufufuka kutoka kwa wafu + +"Kuwa unaishi tena baada ya kufa" + +# Waliyatunza mambo wao wenyewe. + +"Hivyo hawakusema kuhusu mambo haya kwa yeyote ambaye hakuyaona pia yaliyotokea. + diff --git a/mrk/09/11.md b/mrk/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..2f327e0f --- /dev/null +++ b/mrk/09/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Eliya afanya kweli...watu watamchukia yeye? + +Ijapokuwa Petro, Yakobo, na Yohana walishangaa nini Yesu angemaanisha na "kufufuka toka kwa wafu," walimuuliza badala ya ujio wa Eliya. + +# Walimuuliza + +Neno "wa" urejea kwa Petor, Yakobo, na Yojhana. + +# Kwa nini waandishi wanasema kuwa Eliya anapaswa kuwa kwanza? + +Unabii unasemswa kwamba Elijah ambaye angekuja toka mbinguni. Kisha Masihi, ambaye ni Mwana wa Adamu, atakuja kutawala na Mwana wa Adamu atakuja kuteseka na kuchukiwa na watu. Wanafunzi wamechanganyikiwa ni kwa namna gani hivi viiwili vinaweza kweli. + +# kwamba Eliya anapaswa kuja wa kwanza + +Waandishi walifundisha kuwa Eliya angerudi tena ulimwenguni kabla ya Masihi kuja. + +# Kwa nini imeandikwa...achukiwe + +Kama Yesu anafundisha wanafunzi wake, anauliza swali hili na kisha kuwaambia wanafunzi wake jibu. Hii inaweza kama sentensi. "Lakini pia nataka wewe ufikirie kile kilichoandikwa kuhusu Mwana wa Adamu. Maandiko yanasema kuwa anapaswa kuteseka kwa mambo mengi na kufanyiwa vibaya kama aliyechukiwa" + +# apate mateso mengi na achukiwe? + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "na watu walimtenda kama mtu aliyechukiwa" + +# na walimfanya kama walivyopenda + +Inaweza kuwa msaada kusema nini watu walimfanya kwake. "na viongozi wetu walimfanyia vibaya, kama jinsi walivyo taka kufanya" + diff --git a/mrk/09/14.md b/mrk/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..97b4d6fb --- /dev/null +++ b/mrk/09/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati Petro, Yakobo, Yohana na Yesu walipokuja chini kutoka mlimani, waliwakuta waandishi wakibishana na wale wanafunzi wengine. + +# walirudi kwa wanafunzi + +Yesu, Petro, Yakobo na Yohana walirudi kwa wanafunzi wengine ambao hawakuenda nao mlimani. + +# waandishi walikuwa wakibishana + +Waandishi walikuwa wakibishana na wanafunzi ambao hawakuenda pamoja na Yesu. + +# linashangaa + +Inaweza kuwa msaada kusema kwanini walishangaa. "walishangaa kwa kuwa Yesu alikuwa amekuja" + diff --git a/mrk/09/17.md b/mrk/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..96cffed0 --- /dev/null +++ b/mrk/09/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Kueleza nini waandishi na wale wanafunzi walikuwa wakibishania nini, baba wa yule kijana aliye na mapepo anamwambia Yesu kwamba amewauliza wanafunzi kutoa pepo kwa kijana, lakini hawakuweza. Yesu kisha analitoa pepo nje ya mvulana. Baadaye wanafunzi wanauliza kwa nini halishindwa kumtoa pepo. + +# Ana roho + +Hii inamaanisha yule kijana ana roho chafu. "Ana roho chafu" + +# kutoka povu mdomoni + +Wakati mtu anakuwa na mshtuko, wanaweza kuwa na shida ya kupumua au kuvuta hewa. Hii inasababisha kutoka povu mdomoni. Kama lugha yako ina njia kueleza hili, unaweza tumia. + +# anakuwa mgumu + +"kuwa mwenye shingo ngumu" Inaweza kuwa msaada kusema kwamba ni mwili wake unaokuwa mgumu. + +# hawakuweza + +Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "hawakuweza kutoa roho chafu nje yake" + +# Aliwajibu + +Ijapokuwa alikuwa ni baba wa kijana aliyefanya ombi kwa Yesu, Yesu anaitikia kwa umati wote. Hii inaweza kusemwa kwa usahihi. "Yesu aliitikia kwa umati" + +# Kizazi cha wasioamini + +"Nyie kizazi cha wasioamini" Yesu anaita umati wake hivi, kama anavyoanza kuwajibu. + +# nitakaa nanyi kwa muda gani?...nitachukuliana nanyi + +Yesu anatumia maswali haya kueleza kukatishwa tamaa kwake. Yote maswali yana maana ile ile. Yanaweza kuandikwa kama sentensi. " Nimechoshwa na kutoamini kwenu!" au "Kutoamini kwenu kumenichosha! Nashangaa kwa muda gani nitachukuliana nanyi." + +# Nitachukuliana nanyi + +"nitachukuliwana nanyi" au "kuvumialiana nanyi" + +# Mleteni kwangu + +"Mleteni mvulana kwangu" + diff --git a/mrk/09/20.md b/mrk/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..15855cde --- /dev/null +++ b/mrk/09/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# roho + +Hii urejea kwa roho chafu. + +# tetemeko + +Hii ni hali ambayo mtu hana wa uwezo wa kujiongoza juu ya mwili wake, na mwili wake hutikikisika. + +# Tangu ujana wake + +"Tangu alipokuwa mtoto mdogo." Inaweza kuwa msaada kusema kama sentensi nzima. "Amekuwa hivi tangu alipokuwa mtoto mdogo" + +# Uwe na huruma + +"hisi huruma"au " uwe na wema" + diff --git a/mrk/09/23.md b/mrk/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..3636a38e --- /dev/null +++ b/mrk/09/23.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kama uko tayari? + +Yesu anakemea wasiwasi wa mtu. Hii swali linaweza kuandikwa tofauti au kama sentensi. "Yesy akamwambia, "Kwanini unasema, "kama uko tayari"? au " Yesu alimwambia, 'Usingelikuwa umesema. + +# unaweza + +Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "unaweza kufanya lolote" + +# Kila kitu kinawezekana kwa yeyote aaminiye. + +Hii inaweza kuandikwa kama dhahania dogo na katika kauli tendaji. "Mungu anaweza kufanya chochote kwa ajili ya watu wanaomwamini yeye" + +# kwa yeyote + +"kwa yeyote mtu" + +# amini + +Hii inarejea kwa kumwamini Mungu. + +# Nisaidie kutokuamini kwangu + +Mwanaume anamuuliza Yesu kumsaidia kushinda kutoamini na kuongezea imani yake. "Nisaidie wakati ninashindwa kuamini" au "Nisaidie kuwa imani zaidi" + +# kundi linakimbilia kwao + +Hii inamaanisha kuwa watu zaidi walikuwa wanakimbilia kule aliko Yesu na kundi lilikuwa linakuwa kubwa. + +# wewe roho bubu na kiziwi + +Maneno "bubu" na "kiziwi" yanaweza kufafanuliwa. "Wewe roho chafu, wewe unaye sababisha kijana kutokuwa na uwezo wa kusikia na kuongea." + diff --git a/mrk/09/26.md b/mrk/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..a13cfce7 --- /dev/null +++ b/mrk/09/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Alilia kwa nguvu + +"Roho mchafu alilia kwa nguvu" + +# Mvulana alionekana kama aliyekuwa amekufa + +Mvulana alionekana kufa" au Mvulana kama amekufa." + +# kumhangaisha mtoto + +"kumtetemesha kijana" + +# alimtoka + +Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "alitoka nje mwa kijana" + +# Mtoto alionekana kama amekufa + +Muonekano wa kijana unalinganishwa na mtu aliyekufa. + +# ndipo wengi + +"ndipo watu wengi" + +# alimchukua kwa mkono + +Hii inamaanisha kuwa Yesu alimshika mkono mvulana kwa mkono wake. + +# mwinue juu + +"alimsaidia kumwinua juu" + diff --git a/mrk/09/28.md b/mrk/09/28.md new file mode 100644 index 00000000..4c193bf3 --- /dev/null +++ b/mrk/09/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# faragha + +Hii inamaanisha walikuwa peke yao. + +# mtupe nje + +"mtupe roho mchafu nje." Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "mtupe roho mchafu nje mwa kijana" + +# Aina hii haiwezi kuondoka isipokuwa kwa maombi + +Neno, "haiwezekani" na "isipokuwa" yote yako kinyume. Katika lugha nyingine ni asili zaidi kutumia maelezo mazuri. "Aina hii inawezatu kuondolewa kwa maombi." + +# Aina hii + +Hii inaelezea roho chafu. + diff --git a/mrk/09/30.md b/mrk/09/30.md new file mode 100644 index 00000000..b5e69f10 --- /dev/null +++ b/mrk/09/30.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu na wanafunzi wake waliiacha nyumba pale walipokuwa na Yesu baada ya kumponya kijna aliyekuwa na pepo. Anatumia muda kuwafundisha wanafunzi wake peke yao. + +# Kupitia + +Kwenda kupitia",au"Kupitia kwa" + +# Walienda nje ya hapo + +"Yesu na wanafunzi wake waliondoka mkoa huo" + +# kupitia + +"alisafiri kupitia" + +# kwa kuwa alikuwa anafundisha wanafunzi wake + +Yesu alikuwa anafundisha wanafunzi wake kwa faragha, mbali na umati. + +# Mwana wa Adamu + +Hapa Yesu anarejea kwake mwenyewe kama Mwana wa Adamu. Hili ni jina muhimu sana kwa Yesu. "Mimi, Mwana wa Adamu," + +# katika mikono ya wanaume + +Hapa "mikono" ni kirai cha kuthibiti. "katika udhibiti wa wanaume" + +# Wakati alipouwawa, baada ya siku tatu + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Baada ya kumuua na siku tatu kupita." + +# walikuwa wameogopa kumuuliza + +Walikuwa wameogopa kumuuliza Yesu hii sentensi ilikuwa ina maana gani. "walikuwa wameogopa kumuuliza ilimaanisha nini" + diff --git a/mrk/09/33.md b/mrk/09/33.md new file mode 100644 index 00000000..f0da8dec --- /dev/null +++ b/mrk/09/33.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati ambapo wanafika Karperinaumu, Yesu anafundisha wanafunzi wake kuwa watumishi wanyenyekevu. + +# walikuja + +"walifika." Neno "wali" urejea kwa Yesu na wanafunzi wake. + +# kujadili + +"wanajadili wao kwa wao" + +# walikuwa kimya + +Walikuwa kimya kwa sababu waliona aibu kumwambia Yesu walichokuwa wanajadili. "walikuwa kimya kwa sababu waliona aibu" + +# nani alikuwa mkubwa + +Hii inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa iliyokosekana. "nani alikuwa mkubwa kati yao" + +# Kama yeyote anataka kuwa wa kwanza, ni lazima awe wa mwisho na mtumishi wa wote. + +Hapa neno "kwanza" na "mwisho" ni maneno yanayo pishana. Yesu anazungumza kuwa "muhumimu zaidi" kama kuwa wa "kwanza" na kuwa "usiye wa muhimu zaidi" kama kuwa wa "mwisho" Kama yeyote anataka Mungu amjali ya kuwa yeye ni wa muhimu zaidi, anapaswa kujiona yeye kuwa asiye na umuhimu zaidi kwa wote" + +# kwa wote...kwa wote + +"kwa watu wote...kwa watu wote" + diff --git a/mrk/09/36.md b/mrk/09/36.md new file mode 100644 index 00000000..a0ae1a41 --- /dev/null +++ b/mrk/09/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katikati yao + +"miongoni mwao" Neno "mwao" urejea kwa umati + +# Akamchukua katika mikono yake + +Hii inamaanisha kuwa alimkumbatia mtoto au kumnyanyua na kumweka katika mapaja yake. + +# mtoto kama huyu + +"mtoto kama huyu" + +# kwa jina langu + +Hii inamaanisha kufanya kitu fulani kwa sababu ya upendo kwa Yesu. "kwa sababu wananipenda" au "kwa ajili yangu" + +# aliyenituma + +Hii urejea kwa Mungu aliyemtuma kwa ulimwengu. "Mungu amenituma mimi" + diff --git a/mrk/09/38.md b/mrk/09/38.md new file mode 100644 index 00000000..a3a3f468 --- /dev/null +++ b/mrk/09/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yohana alimwambia + +"Yohana alimwambia Yesu" + +# fukuza mapepo + +"Kuyaondoa mbali mapepo" + +# kaitka jina lako + +Hapa "jina" lina husishwa na mamlaka ya Yesu na nguvu + +# hanifuati mimi + +Hii ina maana kwamba hayuko miongoni mwa makundi ya wanafunzi + diff --git a/mrk/09/40.md b/mrk/09/40.md new file mode 100644 index 00000000..78fcbba0 --- /dev/null +++ b/mrk/09/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# asiyekuwa kinyume nasi + +"asiyetupinga sisi" + +# yuko upande wetu + +Hii inaweza kuelezwa kwa usahihi inavyomaanisha. "ni kujaribu kupata malengo yale yale ambao tunayo" + +# Yeyote atakayekupa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu uko na Kristo + +Yesu anazungumza kumpa yeyote kikombe cha maji kama mfano wa mtu anavyoweza kumsaidia mwingine. Huu mfano wa kumsaidia mwingine kwa njia yoyote. + +# hapotezi + +Hii ni sentensi iliyo hasi inasisitiza maana ya chanya. Katika baadhi ya lugha, ni halisia zaidi kutumia sentensi chanya. + diff --git a/mrk/09/42.md b/mrk/09/42.md new file mode 100644 index 00000000..c03f365c --- /dev/null +++ b/mrk/09/42.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Jiwela kusagia + +Jiwe kubwa juu yake husagwa nafaka kupataunga + +# kama mkono wako utakuwa kuzuizi + +Hapa "mkono" ni kirai cha kutamani kufanya kitu kiovu ambacho utakifanya kwa mkono wako. + +# kuingia katika maisha bila mkono + +"kukosa mkono na kisha kuingia katika masiha" + +# kuingia katika maisha + +Kufa na kisha kuanza kuishi umilele kama inavyosemwa kuingia katika maisha. + +# bila mkono + +kukosekana kwa kiungo cha mwili kwa matokeo ya kutolewa au kuumizwa. Hapa inarejea kwa kukosekana kwa mkono. + +# moto usiozimika + +"mahali ambapo moto usiozimika" + diff --git a/mrk/09/45.md b/mrk/09/45.md new file mode 100644 index 00000000..2acfaba2 --- /dev/null +++ b/mrk/09/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na kutupwa kuzimu + +na Mungu kuwatupa kuzimuni" + diff --git a/mrk/09/47.md b/mrk/09/47.md new file mode 100644 index 00000000..e21b6f2a --- /dev/null +++ b/mrk/09/47.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# funza wake + +"funza ambao hula miili ya waliokufa." + diff --git a/mrk/09/49.md b/mrk/09/49.md new file mode 100644 index 00000000..c9ebd944 --- /dev/null +++ b/mrk/09/49.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa kuwa kila mmoja atakolezwa na moto. + +Hapa Yesu anazungumzia kila moja atakaswe kwa kupitia mateso. Yesu anazungumzia mateso kama moto na kuwapa mteso watu kama inavyoweza kutumika kwa chumvi kwao. Hii inaweza kusemwa pia katika kauli tendi. "Kama chumvi inavyotakasa dhabihu, Mungu atamtakasa kila mmoja kwa kuwaruhu kuteseka" + +# ladha yake + +"ina ladha ya chumvi" + +# utaifanyaje iwe na ladha yake tena? + +Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "hauwezi kuifanya ladha yake tena." + +# ladha yake tena + +"ladha ya chumvi tena" + +# Muwe na chumvi miongoni mwenu wenyewe + +Yesu anazungumza kufanya mambo mazuri kwa kila mmoja kama hayo mazuri ni chumvi ambayo watu wanakuwa nayo. "Fanya vizuri kwa kila mmoja, kama chumvi iongezavyo ladha kwa chakula" + diff --git a/mrk/10/01.md b/mrk/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..1bdf8352 --- /dev/null +++ b/mrk/10/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya Yesu na wanafunzi wake kuondoka Karpenaumu, Yesu anawakumbusha Mafarisayo, pamoja na wanafunzi wake, nini Mungu anategemea katika ndoa na talaka + +# Yesu aliondoka eneo hilo + +Wanafunzi wa Yesu walikuwa wakisafiri pamoja naye. Walikuwa wakiondoka Kapernaumu. "Yesu na wanafunzi wake waliondoka Kapernaumu" + +# na eneo la mbele ya Mto Yorodani + +"hii ilikuwa mbele ya Mto Yorodani" au "ilikuwa ng'ambo ya Mto Yorodani" + +# Aliwafundisha tena + +Neno "ali" urejea kwa umati + +# ilivyokuwa kawaida yake kufanya + +"ilikuwa kawaida yake" au "alikuwa desturi yake kufanya" + +# Musa aliwaamuru nini + +Musa alitoa sheria kwa mababu zake, ambazo walipaswa kuzifuata. "Musa aliwaamuru nini mababu wetu katika hili" + +# cheti cha kuachana + +Hii ilikuwa ni karatasi kusema kuwa mwanamke hakuwa tena mke wake. + diff --git a/mrk/10/05.md b/mrk/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..ecc59257 --- /dev/null +++ b/mrk/10/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mioyo yenu migumu + +Wakaidi ninyi + diff --git a/mrk/10/07.md b/mrk/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..a13efb15 --- /dev/null +++ b/mrk/10/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sio mwili tena, bali mwili mmoja + +Hili ni fumbo kuonyesha muungano wa kimwili wa karibu kama mme na mke. + diff --git a/mrk/10/10.md b/mrk/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..e6e67c0a --- /dev/null +++ b/mrk/10/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Walipokuwa ndani + +"Wakati ambapo Yesu na wanafunzi walikuwa" + +# ndani ya nyumba + +Wanafunzi wake Yesu walikuwa wakizungumza naye kwa faragha. walikuwa peke yao ndani ya nyumba" + +# wakamwuliza tena kuhusu hili + +Neno "hili" urejea kwa mazungumzo aliyokuwa nayo Yesu pamoja na Mafarisayo kuhusu talaka. + +# Yeyote + +"kama mtu yeyote" + +# anafanya uzinzi dhidi yake + +Hapa "yake" urejea kwa mwanamke aliyemuoa kwanza + +# anafanya uzinzi + +Inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zilizosahaulika. "anafanya uzinzi dhidi yake" au "anafanya uzinzi dhidi ya mme wa kwanza" + diff --git a/mrk/10/13.md b/mrk/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..35923cf7 --- /dev/null +++ b/mrk/10/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waruhusuni waatoto wadogo waje kwangu, na msiwazuie + +Sentensi hizi mbili zina maana sawa, zimerudiwa kwa ajili ya msisitizo. Katika luga zingine ni asili zaidi kusisitiza kwa njia nyingine. AT: " Muwe na uhakika wa kuwaruhusu watoto wadogo kuja kwangu." + +# Msizuie + +Hii ni hasi mbili. Katika baadhi ya lugha ni asili zaidi kutumia taarifa chanya. AT: "ruhusu" + diff --git a/mrk/10/15.md b/mrk/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..10678e17 --- /dev/null +++ b/mrk/10/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# yeyote + +"kama yeyote" + +# kama mtoto mdogo + +Yesu analinganisha namna gani watu wanapaswa kuupokea ufalme wa Mungu na namna watoto wanavyoweza kuupokea. "katika tabia hiyo kama mtoto angefanya" + +# asiyeupokea ufalme wa Mungu + +"hawataweza kumpokea Mungu kama mfalme wao" + +# hakika hawezi kuuingia + +Neno "kuui" urejea kwa ufalme wa Mungu. + +# Kisha akawachukua watoto mikononi mwake + +"aliwakumbatia watoto" + diff --git a/mrk/10/17.md b/mrk/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..2acca71a --- /dev/null +++ b/mrk/10/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini unaniita mwema + +AT: Unapaswa kufikiria kwa umakini unacho ashiria (AU, kile ambacho unaashiria nilivyo) kwa kuniita mwema, kwa sababu Mungu pekee ndiye mwema! + diff --git a/mrk/10/20.md b/mrk/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..aab4d0ea --- /dev/null +++ b/mrk/10/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Unapungukiwa kitu kimoja + +"Kuna kitu kimoja unapngukiwa." Hapa Yesu anazungumza juu ya tendo la kutofanya kitu fulani" kama "kupungukiwa." "Kuna kimoja ambacho haujafanya" + +# unapungukiwa + +hauna kitu fulani + +# uwape masikini + +Hapa neno "u" urejea kwa vitu anavyouza na ni kifungu cha maneno kinachosimama badala ya pesa mtu anayopokea anapouza. "wape masikini pesa" + +# masikini + +Hii urejea kwa masikini. "watu masikini" + +# hazina + +"utajiri" + +# alikuwa na miliki nyingi + +"alimiliki vitu vingi" + diff --git a/mrk/10/23.md b/mrk/10/23.md new file mode 100644 index 00000000..dd9fa1de --- /dev/null +++ b/mrk/10/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni rahisi kwa Ngamia kupita kwenye jicho la sindano, kuliko tajiri kuingia kwenye ufaulme wa Mungu. + +Haiwezekani kwa Ngamia kuingia kwenye jicho la sindano. Ni ngumu zaidi kwa watu matajiri kuamua kumruhusu Mungu atawale maisha yao." + +# Jicho la sindano + +"Jicho la sindano" ni shimo lililo juu ya sindano. + diff --git a/mrk/10/26.md b/mrk/10/26.md new file mode 100644 index 00000000..a5ac8075 --- /dev/null +++ b/mrk/10/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani atakaye okolewa? + +"Hivyo hakuna atakaye okolewa." + diff --git a/mrk/10/29.md b/mrk/10/29.md new file mode 100644 index 00000000..9f477300 --- /dev/null +++ b/mrk/10/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hayupo mmoja ambaye amebaki...ambaye hatapokea + +"yeyote aliye acha...atapokea." + +# kwa ajili yangu + +"kwa faida yangu" au "kwa yangu tena" + +# Dunia hii + +"maisha haya" au "umri huu uliopo" + +# Dunia ijayo + +"maisha yajayo" au "umri ujao" + diff --git a/mrk/10/32.md b/mrk/10/32.md new file mode 100644 index 00000000..9e2f0afa --- /dev/null +++ b/mrk/10/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwana wa Mtu atatolewa + +"watu watamtoa Mwana wa Mtu" au "watu watamwachilia Mwana wa Mtu." + diff --git a/mrk/10/35.md b/mrk/10/35.md new file mode 100644 index 00000000..3b1cd267 --- /dev/null +++ b/mrk/10/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tu...tu + +Haya maneno urejea peke yake kwa Yakobo na Yohana + +# katika utukufu wako + +"wakati ambapo unatukuzwa." Maneno haya "utukufu wako" urejea wakati Yesu anatukuzwa na kutawala katika ufalme wake. "wakati ambapo unaongoza katika ufalme wako" + diff --git a/mrk/10/38.md b/mrk/10/38.md new file mode 100644 index 00000000..ef869247 --- /dev/null +++ b/mrk/10/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kikombe nitakacho kinywea + +Yesu anatumia maneno haya kurejea kwenye mateso ambayo yuko karibu kuyapitia. + +# ubatizo ambao nitabatizwa kwao + +Yesu anatumia maneno haya kurejea kwenye mateso ambayo yuko karibu kuyapitia. + diff --git a/mrk/10/41.md b/mrk/10/41.md new file mode 100644 index 00000000..3283d49b --- /dev/null +++ b/mrk/10/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wale wanaokusudiwa utawala + +"wale wanaofikiriwa kuwa watawala + +# Kutawala + +"kudhibiti" "kuwa na nguvu juu ya" + +# zoezi + +"kufanya matumizi ya" + diff --git a/mrk/10/43.md b/mrk/10/43.md new file mode 100644 index 00000000..08079da8 --- /dev/null +++ b/mrk/10/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuwa mkubwa + +"kuwa katika heshima" au "Kupongezwa" + +# yeyote + +mtu yeyote + +# kwa kuwa Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa + +"Kwa kuwa Mwana wa Mtu hakuja kwa watu ili wamtumikie" + diff --git a/mrk/10/46.md b/mrk/10/46.md new file mode 100644 index 00000000..a25c6f69 --- /dev/null +++ b/mrk/10/46.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Batimausi + +jina la mtu + +# Timausi + +Hili lilikuwa ni jina la baba yake na kipofu mwombaji. + diff --git a/mrk/10/49.md b/mrk/10/49.md new file mode 100644 index 00000000..ce56b348 --- /dev/null +++ b/mrk/10/49.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliamuru aitwe + +"aliamuru wengine wamwite" + +# kuwa jasiri + +"usiogope" + diff --git a/mrk/10/51.md b/mrk/10/51.md new file mode 100644 index 00000000..a3ae263c --- /dev/null +++ b/mrk/10/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuona + +"uwezo wa kuona" + diff --git a/mrk/11/01.md b/mrk/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..b985bac1 --- /dev/null +++ b/mrk/11/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bethfage + +ni jina la kijiji + diff --git a/mrk/11/04.md b/mrk/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..973c26d0 --- /dev/null +++ b/mrk/11/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Walikwenda + +"Wanafunzi wawili walikwenda" + +# mwanapunda + +Hii urejea kwa punda mdogo aliye na uwezo wa kubeba mtu. + +# Walizungumza + +"Waliitikia" + +# kama Yesu alivyowaambia + +"kama Yesu alivyowaambia kuitikia." Hii inarejea namna Yesu alivyokwisha waambia kuitikia kwa maswali ya watu kuhusu kumchukua mwanapunda. + +# wakawaacha waende + +Hii inamaanisha kuwa waliwaruhusu kuendelea kufanya walichokuwa wakifanya" + diff --git a/mrk/11/07.md b/mrk/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..0756f1e4 --- /dev/null +++ b/mrk/11/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hosana + +Maana ya neno hili haiko wazi, bali kwa uhakika lilitafsiriwa vizuri zaidi kama kuelezea ukaribisho na kusifu, kama ndani "Chini" au"Kumsifu Mungu" + diff --git a/mrk/11/11.md b/mrk/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..33017e08 --- /dev/null +++ b/mrk/11/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakati ulikuwa umeenda + +"kwa sababu ilikuwa jioni" + +# alikwenda Bethania pamoja nao kumi na wawili + +"yeye na wanafunzi wake walikwenda Yerusalemu na kwenda Bethania" + +# walipokuwa wakirudi kutoka Bethania + +"wakati walipokuwa wakirudi Yerusalemu kutoka Bethania" + diff --git a/mrk/11/13.md b/mrk/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..ab4b7415 --- /dev/null +++ b/mrk/11/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Hii ilitokea wakatik Yesu na wanafunzi wake wanatembea kuelekea Yerusalemu. + +# kama angeweza kupata chochote juu yake + +"kama kulikuwa na tunda lolote juu yake" + +# hakupata chochote isipokuwa majani + +Hii inamaanisha kuwa hakupata mtini wowote. "alipata majani peke yake na hakuna mtini katika mti" + +# majira + +"wakati wa mwaka" + +# Aliuambia, "Hakuna yeyote atakayekula tunda kutoka kwako tena + +Yesu anauambie kwa mtini na kuulaani. Anazungumza nao ili wanafunzi wake wasikie. + +# Anauambia mti + +"Alizungumza na mtu" + +# Na wanafunzi wake wakasikia + +Neno "wa" urejea kwa Yesu anazungumza kwa mtini. + diff --git a/mrk/11/15.md b/mrk/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..7a2be45d --- /dev/null +++ b/mrk/11/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walikuja + +"Yesu na wanafunzi wake walikuja" + +# kuanza kuwatoa nje wauzaji na wanunuzi ndani ya hekalu + +Yesu anawafukuza watu hawa nje ya hekalu. Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "kuanza kuwatoa wauzaji na wanunuzi nje ya hekalu" + +# wauzaji na wanunuzi + +"watu waliokuwa wakinunua na kuuza" + diff --git a/mrk/11/17.md b/mrk/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..ce075191 --- /dev/null +++ b/mrk/11/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je haikuandikwa, 'Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote'? + +"Imeandikwa ndani ya maandiko kwamba Mungu alisema, 'Ninataka nyumba yangu kuitwa nyumba mahali watu kutoka mataifa yote wanapaswa kusali', lakini ninyi majambazi mmeifanya kama pango mahali mnakoweza kujificha! Ninyi mnajua hivyo!" + diff --git a/mrk/11/20.md b/mrk/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..029d3705 --- /dev/null +++ b/mrk/11/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mti wa mtini ulikauka mpaka kwenye mizizi yake + +"mti wa mtini ulikauka mpaka kwenye mizizi yake na ulikufa." + diff --git a/mrk/11/22.md b/mrk/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..9f10bab0 --- /dev/null +++ b/mrk/11/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kama hatakuwa na mashaka moyoni mwake lakini huamini + +"kutokuwa na mashaka" ina maana mbili hasi "hakika amini." Vifungu hivi vyote vina maana sawa iliyorudiwa kwa mkazo. Lugha zingine zimesisitiza kwa njia tofauti. Wakati: Kama hakika huamini" + diff --git a/mrk/11/24.md b/mrk/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..865c6112 --- /dev/null +++ b/mrk/11/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati mnaposimama na kusali + +Ni kawaida kwa desturi za kiyahudi kusimama wakati tusalipo kwa Mungu. + diff --git a/mrk/11/27.md b/mrk/11/27.md new file mode 100644 index 00000000..0165a7ed --- /dev/null +++ b/mrk/11/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa mamlaka gani mnafanya mambo haya + +Maneno "mambo haya" yanalejea kwa Yesu kupindua meza za wauzaji hekaluni na kuzungumza dhidi ya vitu walivyofanya na walichofundisha. + +# Kwa mamlaka gani mnafanya mambo haya, na ni nani aliyewapa ninyi mamlaka ya kuyafanya. + +"Hamna mamlaka kufanya mamba haya kwa sababu hatujawapa ninyi mamlaka." + diff --git a/mrk/11/29.md b/mrk/11/29.md new file mode 100644 index 00000000..d1f68d5c --- /dev/null +++ b/mrk/11/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ubatizo wa Yohana, ulitoka mbinguni au ulitoka kwa watu? + +Pamoja na kwamba Yesu alilijua jibu la swali hili, aliwauliza kuwajaribu viongozi wa dini sababu ya kumuuliza yeye. + diff --git a/mrk/11/31.md b/mrk/11/31.md new file mode 100644 index 00000000..5a99148a --- /dev/null +++ b/mrk/11/31.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kama tukisema, 'Kutoka mbinguni' + +Inaweza kuwa msaada kuongoza taarifa zilizokosekana. "Kama tukisema 'ilitoka mbinguni" + +# Kutoka mbinguni + +Hapa "mbinguni" urejea kwa Mungu. "Kutoka kwa Mungu" + +# hamkumwamini + +Neno "ham" urejea kwa Yohana mbatizaji. + +# Lakini kama tukisema 'Kutoka kwa wanadamu,' + +Inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zinazokosekana katika majibu yao. "Lakini kama tukisema, 'kutoka kwa wanadamu" + +# Kutoka kwa wanadamu + +"Kutoka kwa watu" + +# Kama tukisema, 'Kutoka kwa wanadamu;... + +Viongozi wa dini hawasemi kuwa tatizo lingeweza kuwa kama wangetoa jibu hilo, lakini walifikiri juu yake. "Lakini kama tukisema, 'Kutoka kwa wanadamu, hiyo haitakuwa vizuri" au "Lakini hatutaki kusema kutoka kwa wanadamu" + +# Waliwaogopa watu + +Mwandishi, Mariko, anaeleza kwanini viongozi wa dini hawakutaka kusema kuwa ubatizo wa Yohana ulitoka kwa wanadamu. Hii inaweza kusemwa kwa usahihi. "Walisema wao kwa wao kwa sababu waliwaogopa watu" au "Hawakutaka kusema kuwa ubatizo wa Yohana ulitoka kwa wanadamu kwa sababu waliwaogopa watu. + +# wote walishika + +"watu waliamini" + +# Hatujui + +Hii inaweza kuwa msaada kuongoza taarifa zinazokosekana. "Hatujui ubatizo wa Yohana ilitoka wapi" + diff --git a/mrk/12/01.md b/mrk/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..e0bd217e --- /dev/null +++ b/mrk/12/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# pangisha shamba la mizabibu + +Mwenye shamba aliwapangisha wengine kuitunza mizabibu. + diff --git a/mrk/12/04.md b/mrk/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..6fd4102d --- /dev/null +++ b/mrk/12/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akamtuma kwao + +"mumiliki wa shamba la mzabibu alituma waoteshaji wa mzabibu" + +# wakamjeruhi kichwani + +Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "walimpiga huyo moja kwenye kichwa, na kumuumiza vibaya" + +# bado mwingine...wengine wengi + +Haya maneno urejea kwa watumishi wengine. "bado mtumishi mwingine...watumishi wengine wengi" + +# Waliwatendea wengine wengi mambo kama hayo hayo. + +Hii inarejea kwa watumishi waliotumwa na mwenye shamba. Maneno "hayo hayo" urejea kwa jinsi walivyotendewa. Hii inaweza kuandikwa kwa usahihi. "Waliwatendea watumishi wengine wengi waliotumwa na mwenye shamba" + diff --git a/mrk/12/06.md b/mrk/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..e0c60e22 --- /dev/null +++ b/mrk/12/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watumishi ya shamba + +Wakulima wa mizabibi waliokuwa wamapangishwa shamba la mizabibu kutoka kwa mwenye shamba. + diff --git a/mrk/12/08.md b/mrk/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..7d123869 --- /dev/null +++ b/mrk/12/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwahiyo, Je! Atafanya nini mmiliki wa shamba la mizabibu? + +"Hivyo nitawaambia kile mwenye shamba la mizabibu atakavyofanya." + diff --git a/mrk/12/10.md b/mrk/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..04c291e9 --- /dev/null +++ b/mrk/12/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hamjapata kusoma andiko hili? + +"Sasa fikiri kwa uangalifu kuhusu haya maneno, ambayo umeshayasoma katika maandiko." + diff --git a/mrk/12/13.md b/mrk/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..d06633bd --- /dev/null +++ b/mrk/12/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini mnanijaribu + +"Ninajua mnachojaribu cha kunifanya niseme jambo lililo kinyume ili mpate nafasi ya kunishitaki." + +# dinari + +Ni sarafu iliyokuwa na thamani ya mshahara wa siku. + diff --git a/mrk/12/16.md b/mrk/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..9f6e23d4 --- /dev/null +++ b/mrk/12/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walimletea moja + +"Mafarisayo na Maherodia walimletea sarafu ya serikali ya Kirumi" + +# Mpeni Kaisari kwa vitu vya kaisari + +"Toeni kwa serikali ya Roma vitu ambavyo vinamilikiwa na serikali ya Roma + diff --git a/mrk/12/18.md b/mrk/12/18.md new file mode 100644 index 00000000..5cc185f9 --- /dev/null +++ b/mrk/12/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Musa alituandikia kuwa, ikiwa ndugu ya mtu...kuwa na mtoto kwa ajili ya ndugu yake. + +Musa aliandika kuwa kama ndugu wa mttu akifa... ndugu yake ajipatie mtoto kwa mke aliyeachwa kwa ajili ya ndugu yake. + diff --git a/mrk/12/20.md b/mrk/12/20.md new file mode 100644 index 00000000..1a4b50c4 --- /dev/null +++ b/mrk/12/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati wa ufufuo, watakapofufuka tena, atakuwa mke wa nani? + +"Katika ufufuo, watakapofufuka tena, haitawezekana tena kuwa mke wa hao ndugu saba!" + diff --git a/mrk/12/24.md b/mrk/12/24.md new file mode 100644 index 00000000..97260456 --- /dev/null +++ b/mrk/12/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Hii siyo sababu kuwa mmopotoshwa...nguvu za Mungu? + +"Mmekoseshwa kwasababu hamjui maandiko wala nguvu za Mungu." + diff --git a/mrk/12/26.md b/mrk/12/26.md new file mode 100644 index 00000000..c4952a34 --- /dev/null +++ b/mrk/12/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wanafufuliwa + +"Mungu anawafufua" + diff --git a/mrk/12/28.md b/mrk/12/28.md new file mode 100644 index 00000000..d81dbc7d --- /dev/null +++ b/mrk/12/28.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anamuuliza Yesu swali la akili, ambalo Yesu analijibu. + +# Alimuuliza + +"Mwandishi alimuuliza Yesu" + +# iliyo ya muhimu zaidi katika zote..iliyo ya muhimu ni hii + +Taarifa inayokosekana inaweza kuongozwa. "amri iliyo ya muhimu zaidi katika zote...amri iliyo ya muhimu anasema" + +# Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu, Bwana ni mmoja. + +"Sikiliza, Israeli! Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja" + +# kwa moyo wako yote, kwa roho yako yote + +"Moyo" na "roho" ni mifano ya utu wa ndani na tamaa zake na hisia. "kwa chote unachotaka na kujisikia" + +# kwa akili yako yote, na kwa nguvu zako zote + +"akili" urejea kwa namna mtu anavyofikiri na "nguvu" urejea kwa nguvu za mtu kufanya mambo. "kwa yote unayofikiri, na kwa yote unayofanya" + +# umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe + +Yesu anatumia mfanano kulinganisha namna watu wanavyopaswa kupendana wao kwa wao kwa upendo ule ule kama wanavyojipenda wenyewe" + +# zaidi ya hizi + +Hapa neno "hizi" urejea kwa amri mbili ambazo Yesu alikuwa amewambia watu. + diff --git a/mrk/12/32.md b/mrk/12/32.md new file mode 100644 index 00000000..448e22a4 --- /dev/null +++ b/mrk/12/32.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anamsifu mwandishi juu ya mawazo yake juu ya kila alichosema Yesu. + +# Vema + +"Jibu zuri" + +# Mungu ni mmoja + +Hii inamaanisha kuwa kuna Mungu mmoja tu. + +# hakuna mwingine + +Iliyokosekana inaweza kuongezewa. "hakuna Mungu mwingine" + +# kwa moyo wote...kwa ufahamu wote... kwa nguvu zote + +"Moyo" ni mfano utu wa ndani wa mtu na tamaa zake na hisia. "Ufahamu" urejea kwa kufikri na "nguvu" urejea kwa nguvu za mtu kufanya. + +# ule moyo...ule ufahamu...zile nguvu + +Neno "ule" limewekwa katika maumbo yai ambapo neno "ako" limeachwa. Linaweza kuongezwa. + +# kumpenda jirani kama mwenyewe + +Mfanano huu unalinganishwa namna watu wanavyopaswa kupendana wao kwa wao kwa upendo ule ule wanavyojipenda wenyewe. + +# ni muhimu mno kuliko + +Lugha hii inamaanisha kuwa kitu fulani ni muhimu mno kuliko kitu kingine. Kwa hali hii, amri hizi mbili ni zaidi ya kumfurahisha Mungu kwamba matoleo ya kuteketeza na dhabihu. + +# Wewe hauko mbali na ufalme wa Mungu + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa chanya. Hapa Yesu anazungumza juu ya mtu aliye tayari kujitoa kwa Mungu kama mfalme kama aliye karibu kimwili kwa ufalme wa Mungu, kama inavyofananishwa na eneo halisi. + +# hakuna hata mmoja aliye thubutu + +Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa chanya. "kila moja aliogopa" + diff --git a/mrk/12/35.md b/mrk/12/35.md new file mode 100644 index 00000000..954e8450 --- /dev/null +++ b/mrk/12/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je! Ni kwa jinsi gani waandishi husema Kristo ni mwana wa Daudi? + +"Hawa watu hufundisha sheria ya kiyahudi lazima hawako sahihi wanaposema kwamba Kristo ni mtu tu wa kawaida wa uzao wa Mfalme Daudi!" + +# mwana wa Daudi + +Neno "mwana" limetumika hapa kuelezea ukoo. + +# Ni kwa jinsi gani mwana wa Daudi? + +"hivyo hawezi kuwa mwana wa Daudi!" + diff --git a/mrk/12/38.md b/mrk/12/38.md new file mode 100644 index 00000000..9293a971 --- /dev/null +++ b/mrk/12/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# salamu walizopokea kwenye masoko + +Nomino "salamu" inaweza kuelezwa pamoja na kitendo "salimu". Hizi salamu zilionyesha kuwa watu waliwaheshimu waandishi. "na kusalimiwa kwa heshima kwenye masoko" au "na kwa watu kuwasalimu kwa heshima kwenye masoko" + +# Wanakula nyumba za wajane + +Hapa Yesu anawaeleza wandishi wakiwadanganya wajane na kuiba nyumba zao kama kula nyumba zao. + +# Hawa watu watapokea hukumu iliyo kuu + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu hakika atawahukumu kwa hukumu kuu" au "Mungu kwa hakika atawahukumu kwa ukali" + +# watapokea hukumu kuu kuliko + +Neno "kuliko" humaanisha kulinganisha. Hapa kulinganisha ni watu wengine waliohukumiwa. "watapokea hukumu kuu kuliko watu wengine" + diff --git a/mrk/12/41.md b/mrk/12/41.md new file mode 100644 index 00000000..fa061951 --- /dev/null +++ b/mrk/12/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sarafu ndogo mbili + +"sarafu mbili ndogo", ni sarafu yenye thamani kidogo + diff --git a/mrk/12/43.md b/mrk/12/43.md new file mode 100644 index 00000000..a4484f7f --- /dev/null +++ b/mrk/12/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amini nawaambia + +Ni hakika ya kile ninachowaambia + +# sanduku la sadaka + +sanduku hili lilikuwa na kukusanyia sadaka za watu wote hekaluni + +# vingi + +vingi zaidi + +# umasikini + +"upungufu" au "Kutokuwa na chochote" + diff --git a/mrk/13/01.md b/mrk/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..c1112695 --- /dev/null +++ b/mrk/13/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya ujumla + +Walipoondoka eneo la hekaluni, Yesu anawambia wanafunzi wake nini kitatokea badae katika hekalu zuri ambalo Herode mkuu alilijenga. + +# mawe haya yakushangaza na majengo + +"Mawe" urejea kwa mawe yaliyotumiwa kujenge. ""majengo yakushangaza na mawe yalitokana nayo" + +# Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja + +Hili swali linatumiwa kuleta umakini kwa majengo. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "Tazama haya majengo makubwa sasa, lakini hakuna jiwe hata moja" + +# Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangishwa chini. + +Hii inamaanisha kuwa maadui wa kijeshi wataangusha mawe. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Hakuna jiwe hata moja litakalo salia juu ya jingine, kwa kuwa maadui wa kijeshi watakuja na kubomoa majengo haya." + diff --git a/mrk/13/03.md b/mrk/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..2ef7a293 --- /dev/null +++ b/mrk/13/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika kujibu maswali ya wanafunzi kuhusu kubomolewa kwa hekalu na nini kitatokea, Yesu anawambia nini kitatokea badae. + +# Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro + +Walipokuwa wamefika kwenye Mlima wa Mizeituni, na Yesu kuwa amekiti chini. Taarifa zinaweza kufanya kwa usahihi. "Baada ya kufika kwenye Mlima Mizeituni, ambao ulikuwa nyuma ya hekalu, Yesu chini. + +# faraga + +"wakati ambapo walikuwa peke yao" + +# haya mambo yanatokea...yako karibu kutokea + +Hii inarejea kwa kile Yesu amekwisha sema kitatokea kwa mawe ya hekalu. Hii inaweza kufanywa wazi. "haya mambo hutokea kwa majengo ya hekalu... yako karibu kutokea kwa majengo ya hekalu" + +# wakati ambapo haya yote + +"kwamba haya yote" + diff --git a/mrk/13/05.md b/mrk/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..769e81ab --- /dev/null +++ b/mrk/13/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwao + +"kwa wanafunzi wake" + +# kuwapotosha + +Yesu anawaonya wanafunzi wake wasidaganywe na yeyote nini kitatokea. Hapa"kuwapotosha" ni mfano wa kudanganya. + +# kwa jina langu + +Maana talajiwa ni 1)kudai mamlaka yangu" au 2) kudai kuwa Mungu amewatuma" + +# Mimi ndiye + +"Mimi ni Kristo" + +# watawapotosha wengi + +Hapa "kuwapotosha" ni mfano ukimaanisha kudanganya. "nitawadanganya watu wengi" + diff --git a/mrk/13/07.md b/mrk/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..03bb5df0 --- /dev/null +++ b/mrk/13/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mtakaposikia vita na tetesi za vita + +Maana talajiwa ni 1)"sikia sauti halisi ya vita ikiwa karibu na taarifa za vita kwa mbali" au 2)sikia vita ambavyo ni halisia vinatokea na watu kusema kuwa vita vinaenda kuana" + +# tetesi + +maneno ambayo siyo rahisi kugundua kama yako sahihi au hapana + +# lakini mwisho bado + +Hii inarejea kwa mwisho wa ulimwengu. Taarifa zinazokosekana zinaweza kuongezewa. "lakini siyo mwisho wa ulimwengu. " + +# litainuka kinyume + +Lugha hii inamaanisha kupigana na mtu mwingine. "nitapigana kinyume" + +# Taifa litainuka kinyume na taifa jingine + +Taarifa zinazokosekana zinaweza kuongezwa. "taifa litainuka kinyume na taifa" au "taifa litapigana kinyume na taifa" + +# Huu ni mwanzo wa utungu. + +Yesu anazungumza juu ya maafa kama mwanzo wa utungu kwa sababu mambo makali yatatokea baada ya hayo. "Haya matokeo yatakuwa kama utungu wa kwanza wa mwanamke anaposumbuka wakati anapozaa mtoto. Watasumbuka zaidi baada ya hayo" + diff --git a/mrk/13/09.md b/mrk/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..57d08f2e --- /dev/null +++ b/mrk/13/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Iweni macho + +"Iweni tayari kwa yale watu watawafanyia" + +# watawapeleka hadi + +Hii inamaanisha kuwafunga watu fulani na kuwaweka chini ya usimamizi wa mtu mwingine. + +# mtapigwa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "watu watawapiga" + +# Mtasimamishwa mbele + +Hii inamaanisha kuwekwa katika kujaribiwa na kuhukumiwa. "Mtawekwa katika kujaribiwa kabla" au "Mtaletwa katika kujaribiwa na kuhukumiwa" + +# kwa ajli yangu + +"Kwa sababu yangu" au "kusababishwa na mimi" + +# kama ushuhuda kwao + +Hii inamaanisha watashuhudia kuhusu Yesu. Hii inaweza kufanywa wazi. "na kuwashuhudia kuhusu mimi" au "na mtawambia kuhusu mimi" + +# Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote. + +Yesu bado anazungumza juu ya mambo ambayo lazima yatatokea kabla ya mwisho kuja. Hii inaweza kufanywa wazi. "Lakini injili ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote kabla mwish haujaja" + diff --git a/mrk/13/11.md b/mrk/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..5abbc78c --- /dev/null +++ b/mrk/13/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# kuwakabidhi + +Hii inamaanisha kuwaweka chini ya usimamizi wa mtu mwingine. Kwa jambo hili, chini ya uzimamizi wa mamlaka. + +# lakini Roho Mtakatifu + +Taarifa zinazokosekana zinaweza kuongezewa. "lakini Roho Mtakatifu atazungumza kupitia wewe" + +# Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa + +Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa "Ndugu atamshitaki ndugu yake kuuawa" Hii inamaanisha kuwa ndugu atamsaliti ndugu yake na kusaliti huku kutasababisha ndugu yake kuuawa + +# Ndugu...ndugu + +Hii inarejea kwa wote ndugu na dada + +# baba na mtoto + +Hii inamaanisha kuwa baba atamsaliti mtoto wake na kusaliti huku kutasababisha mtoto kuuawa. "baba atamshitaki mtoto wake "auwawe" au baba atamsaliti mtoto wake, kumwaacha auwawe" + +# Watoto watasimama kinyume cha baba zao + +Hii inamaanisha kuwa watoto watawapinga wazazi wao na kuwasaliti. + +# kuwasababisha kuuawa + +Hii inamaanisha kuwa mamlaka yatasema wauwawe. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. + +# Mtachukiwa na kila mtu + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Kila mmoja atawachukia" + +# kwa sababu ya jina langu + +Yesu anatumia kirai "jina langu" kurejea kwake mwenyewe. "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnaniamini mimi" + +# atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka. + +Hii inamaanisha kuwa mwaminifu kwa Mungu mpaka mwisho wa maisha ya mtu. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu atamuokoa yeyote aliye mwaminifu kwake, kuvumilia majaribu, mpaka mwisho wa maisha yake" + diff --git a/mrk/13/14.md b/mrk/13/14.md new file mode 100644 index 00000000..a411253e --- /dev/null +++ b/mrk/13/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# chukizo la uharibifu + +Haya maneno yanatoka kitabu cha Daniel. Wasikilizaji wake wangekuwa na uelewa wa aya na unabii uhusuo chukizo kuingia katika hekalu kulinajisi. "mambo ya aibu yanayo najisi vitu vya Mungu. + +# limesimama pale lisipotakiwa kusimama + +Wasikilizaji wa Yesu wangekuwa wamejua kuwa hii inarejea kwa hekalu. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. "kusimama katika hekalu pale lisipotakiwa" + +# asomaye na afahamu) + +Si Yesu anazungumza. Mathayo aliongeza kwa hii kupata umakini wa wasomaji, ili waweze kusikiliza onyo hili. "ikiwezekana kila mmoja asomaye awe makini kwa onyo hili" + +# aliyeko juu ya nyumba + +Juu ya nyumba ambapo Yesu aliishi ilikuwa tambarare, na watu wangeweza kusimama juu yake. + +# asirudi + +Hii urejea kwa kurudi nyumbani kwake. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. "hakuna kurudi nyumbani mwake" + +# kuchukua vazi lake + +"kuchukua vazi lake" + diff --git a/mrk/13/17.md b/mrk/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..d8f1adc7 --- /dev/null +++ b/mrk/13/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# wana mtoto + +Hii njia ya upole kusema kwa mtu kuwa ni mwenye mimba. + +# Ombeni kwamba + +Ombeni kwamba wakati huu" au " Ombeni kwamba mambo haya" + +# baridi + +"majira ya baridi" au " baridi, majija ya mvua" Hii urejea kipindi cha mwaka wakati ambapo ni baridi na isiyofurahisha + +# hayajawahi kutokea + +"kubwa zaidi kuliko haijawahi tokea." Hii inaelezea namna ilivyo kubwa na mbaya mateso makubwa. + +# hayajawahi kutokea + +hayajawahi kutokea "na kubwa zaidi haitatokea tena" + +# atakapopunguza siku + +Inaweza kuwa msaada kuweka wazi "siku" zipi zinaongelewa. "atapunguza siku za mateso" au "atapunguza wakati wa mateso" + +# atapunguza + +Hili neno halimaanishi kuwa siku zitakuwa chini ya masaa 24 kila moja, lakini zitakuwa siku chache za mateso. + +# hakuna mwili utakaookoka + +Neno "mwili" urejea kwa watu. Hapa "kuokoka" urejea kwa wakovu wa kimwili. "hakuna yeyote atakayeokoka" Pia, maneno haya yanaweza kusemwa katika mtindo chanya. "kila mmoja atakufa" + +# kwa ajili ya + +ustawi wa + +# wateule, ambao aliwachagua + +kikundi cha maneno "wale aliowachagua" humaanisha kitu kile kile kama "wateule" Kwa pamoja, wanasisitiza kuwa Mungu aliwachagua watu hawa. + diff --git a/mrk/13/21.md b/mrk/13/21.md new file mode 100644 index 00000000..8a36bdff --- /dev/null +++ b/mrk/13/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya ujumla + +Biblia ya UDB hutumia mstari kama daraja kuunganisha mistari ya 21 na 22, kusema maelezo anayowambia watu ili kwamba iwe rahisi kuelewa. + +# Wakristo wa uongo + +"watu wanaodai kuwa wao ni Kristo" + +# ili kwamba wa kuwadanganya + +Neno linalokosekana linaweza kuongezwa. "ili kwamba kuwadanganya watu" + +# kama inawezekana, hata wateule + +Maelezo yanayokosekana yanaweza kuongezwa. "Kama inawezekana, hata wanaweza kuwadanganya wateule" au "hata wataweza kujaribu kuwadanganya watu ambao Mungu amekwisha wachagua." + +# Iweni macho + +"Iweni macho" + +# Nimwekwisha wambia haya yote kabla ya wakati + +Yesu aliwambia mambo haya kuwaonya. "Nimewambia nyinyi haya yote kabla ya wakati kuwaonya" + diff --git a/mrk/13/24.md b/mrk/13/24.md new file mode 100644 index 00000000..98321b99 --- /dev/null +++ b/mrk/13/24.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# jua litatiwa giza + +Hii inaweza kuwa kati hali tendaji. "jua litatiwa giza" + +# mwezi hautatoa mwanga wake + +Hapa mwezi umeongelewa kama ulikuwa hai na waweza kutoa kitu chochote kwa mtu fulani. "mwezi hautato mwanga" au "mwezi utatiwa giza" + +# nyota zitaangika kutoka angani + +Hii haimanishi kwamba zitaanguka chini lakini ni kwamba zitaanguka kutoka pale zilipo kwa sasa. + +# nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika + +Hii inaweza kuwa kati hali tendaji. "Mungu ataitingisha nguvu zilizoko mbinguni" + +# nguvu + +Hili ni jina la maelezo juuya sayari na linaweza kuwa pamoja na nyote. + +# mawinguni + +"mawinguni" + +# Kisha watamuona + +"Kisha watu watamuona" + +# kwa nguvu kubwa na utukufu + +"nguvu na utukufu" + +# atawakusanya + +Neno "ata" urejea kwa Mungu na kirai kwa malaika wake, kama wao watakao kusanya wateule. "watawakusanya" au "malaika wake watawakusanya" + +# pande kuu nne + +Ulimwengu wote umesemwa kuwa kama "pande kuu nne" ambazo zinarejea kwa pande nne: kaskazini, kusini, mashariki, na magharibi. + +# kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu. + +Huku kulikokithiri kumetolewa msisitizo kwamba wateule watakusanywa kutoka ulimwengu wote. "kutoka kila eneo ulimwenguni" + diff --git a/mrk/13/28.md b/mrk/13/28.md new file mode 100644 index 00000000..2c91b45d --- /dev/null +++ b/mrk/13/28.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anatoa mifano mifupi hapa kuwakumbusha watu kufahamu lini mambo aliyokuwa anaongelea yanatokea + +# tawi liwezavyo kutoa + +Kifungu "tawi" urejea kwa matawi ya mtini. "matawi yake yanaweza kutoa" + +# kutoa + +"ukijani na laini" + +# kuweka majani + +Hapa majani ya mtini yanaongelewa kama yalikuwa hai na yanaweza kuwa tayari kusababisha majani yake kukua. "majani yake huanza kuchipua" + +# kiangazi + +sehemu ya mwaka ni joto au majira ya kukua + +# mambo haya + +Hii inarejea kwa siku za mateso. "mambo haya nimekwisha kueleza" + +# yuko karibu + +"Mwana wa Adamu yuko karibu" + +# karibu na malango + +Nahau hii inamaanisha kwamba yuko kairba na karibu ameshafika, urejea kwa msafiri kuwa karibu kufika katika mlango. "na yuko karibu hapo" + diff --git a/mrk/13/30.md b/mrk/13/30.md new file mode 100644 index 00000000..ee44ce4a --- /dev/null +++ b/mrk/13/30.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kweli, nawambieni + +Hii huonyesha kwamba sentensi inayofuata hasa ni kweli na muhimu. + +# hakitapita + +Ni njia ya kistaarabu kusema juu ya mtu fulani kufa. "hatakufa" au "hatakoma" + +# mambo haya hayajatokea + +Kifungu "mambo haya" urejea kwa siku za mateso. + +# Mbingu na nchi + +Huku kulikokithiri kunarejea mbingu zote, pamoja na jua, mwezi, nyote, na sayari na ulimwengu wote. + +# zitapita + +"itakoma kuishi" Kifungu hiki urejea kwa mwisho wa ulimwengu. + +# maneno yangu hayatapita kamwe + +Yesu huzungumza maneno yakutopoteza nguvu zao kama wangekuwa kitu fulani ambacho kamwe hakitakufa. "maneno yangu kwamwe hayatawapotezea nguvu zao" + +# siku hiyo au saa hiyo + +HIi urejea kwa wakati ambapo Mwana wa Adamu atarudi. "siku hiyo au saa hiyo ambapo Mwana wa Adamu atarudi" au " siku hiyo au saa hiyo ambapo nitarudi" + +# hata malaika wa mbinguni, wala Mwana + +Haya yametajwa kati ya wale wasiojua lini Mwana wa Adamu atarudi. "hata malaika mbinguni au Mwana anajua" + +# malaika mbinguni + +Hapa "mbinguni" urejea kwenye eneo ambalo Mungu huishi. + +# ila Baba + +Ni vizuri kutofasiri "Baba" na neno hilo ambalo lugha yako ya asili hutumia kurejea kwa baba wa kibinadamu. Pia, hii ni umboyai ambayo husema kwamba Baba anajua lini Mwana atarudi. "ila ni Baba anajua" + diff --git a/mrk/13/33.md b/mrk/13/33.md new file mode 100644 index 00000000..8af5e402 --- /dev/null +++ b/mrk/13/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# muda gani yatatokea + +Inaweza kuanishwa waziwazi nini "muda" urejea kwa. "wakati ambapo muda utakuja wakati ambapo matukio yote haya yatatokea" + +# kila mmoja na kazi yake + +"kuwaambia kila moja kazi gani anapaswa kufanya" + diff --git a/mrk/13/35.md b/mrk/13/35.md new file mode 100644 index 00000000..df24964b --- /dev/null +++ b/mrk/13/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama ni jioni + +Hii urejea kwa kurudi kwa bwana. "kama atarudi jioni" + +# jogoo atakapowika + +Jogoo ni ndege anayeita asubuhi na mapema. Sauti kubwa anayofanya ni "kuwika" + +# asikukute umelala + +Hapa Yesu anazungumza kutokuwa tayari kama "kulala" "asikukute hauko tayari kwa kurudi kwake" + diff --git a/mrk/14/01.md b/mrk/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..1420297e --- /dev/null +++ b/mrk/14/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Siku mbili tu kabla ya pasaka, makuhani wakuu na waandishi walikuwa wakitafuta kwa hila namba ya kumuua Yesu. + +# hila + +pasipo watu kugundua + +# Kwa kuwa walisema + +Neno "wa" urejea kwa makuhani wakuu na waandishi. + +# Sio wakati huu wa sikukuu + +Inaweza kuwa msaada kuongoze taarifa zilizokosekana. "Hatuwezi kufanya wakati wa sikukuu" + diff --git a/mrk/14/03.md b/mrk/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..dca2cbe7 --- /dev/null +++ b/mrk/14/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Simoni Mkoma + +Huyu mtu alikuwa na ukoma hapo awali lakini hakuwa mgonjwa tena. + +# alabaster + +Hili ni laini, "jiwe jeupe." + +# Nini sababu ya upotevu huu? + +Hakuna sababu nzuri kupoteza manukato ghali namna ile. + +# Manukato haya yangeweza kuuzwa + +"Tungeuza manukato haya." au Angeweza kuuza manukato haya + +# dinari mia tatu + +"dinari 300." Dinari ni sarafu za Kirumi. + diff --git a/mrk/14/06.md b/mrk/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..a314c290 --- /dev/null +++ b/mrk/14/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mnampa shida? + +Hampaswi kumpa shida + diff --git a/mrk/14/10.md b/mrk/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..86e354da --- /dev/null +++ b/mrk/14/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya mwanamke kumpaka mafuta Yesu kwa manukato, Yuda anaahidi kumkabidhi kwa mahuni wakuu. + +# ili kwamba apate kumkabidhi kwao + +Yuda hakumkabidhi Yesu kwao bado, badala yake alienda kufanya mipango nao. "ili kufanya mpango nao kumkabidhi Yesu kwao" + +# Wakati wakuu wa Makuhani waliposikia hivyo + +Inaweza kuwa msaada kusema waziwazi nini makuhani wakuu walisikia. "Wakati ambapo makuhani wakuu walisikia nini alichotaka kufanya kwa ajili yao" + diff --git a/mrk/14/12.md b/mrk/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..da0db508 --- /dev/null +++ b/mrk/14/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# chumba cha wageni + +chumba cha ziada kwa ajili ya watembeleaji + diff --git a/mrk/14/15.md b/mrk/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..6201f513 --- /dev/null +++ b/mrk/14/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Fanyeni maandalizi kwa ajili yetu pale + +Walipaswa kufanya maandalizi ya chakula cha Yesu na wanafunzi wake kula. "Andaa chakula kwa ajili yetu hapo" + +# wanafunzi waliondoka + +"Wanafunzi wawili waliondoka" + +# alivyokuwa amewaambia + +"kama Yesu alivyokuwa amesema" + diff --git a/mrk/14/17.md b/mrk/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..a5bf06c1 --- /dev/null +++ b/mrk/14/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Karibia meza + +Ilikuwa desturi kuwa na meza fupi ikiwa na mito ambapo wageni wangeweza kukaa mbele katika mkao wa nusu kulala kwenye meza wakati wa karamu ya chakula. + +# mmoja baada ya mwingine + +Hii ina maana kwamba "mmoja kwa muda wake" kila mwanafunzi alimwuliza yeye. + +# Hakika si mimi? + +"Hakika, haiwezi kuwa mimi ninayesaidia adui zako kukukamata!" + diff --git a/mrk/14/20.md b/mrk/14/20.md new file mode 100644 index 00000000..e1387258 --- /dev/null +++ b/mrk/14/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni moja wa kumi na wawili kati yetu + +"Yeye ni mmoja wa kumi na wawili, mmoja kwa sasa" + +# anachovya tonge katika bakuli pamoja nami. + +Katika utamaduni wa Yesu, wate wangeweza kula mara chache mkate, kuchovyo katika bakuli la mchuzi. + +# Kwa kuwa Mwana wa Adamu atakwenda kama vile maandiko yasemavyo juu yake + +Hapa Yesu urejea kwa maandiko kutabiri kuhusu kifo chake. Kama una njia ya kistaraabu kusema kuhusu kifo katika kabila lako, tumia hapa. "Kwa kuwa Mwana wa Adamu atakufa kama yasemavyo maandiko" + +# kupitia yeye Mwana wa Adamu atasalitiwa + +Hii inaweza kuanishwa zaidi moja kwa moja. "nani anamsaliti Mwana wa Adamu" + diff --git a/mrk/14/22.md b/mrk/14/22.md new file mode 100644 index 00000000..fb9ecbb1 --- /dev/null +++ b/mrk/14/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mkate + +Huu ulikuwa ni mkate ulio bapa ambao haujatiwa chachu, ambao uliliwa kama sehemu ya chakula cha pasaka + +# kuumega + +Hii inamaanisha kwamba aliumega katika vipande ili kwamba watu wale. + +# Alichukua kikombe + +Hapa "kikombe" ni kirai cha mvinyo. "Alichukua kikombe cha mvinyo" + +# Hii ni damu yangu ya agano, damu imwagikayo kwa ajili ya wengi + +Agano ni kwa ajili ya msamaha wa dhambi. Hii inaweza kuandikwa kwa uwazi zaidi. "Hii ni damu yangu ambayo inathibitisha agano, damu imwagikayo ili kwamba wengi wapokee msamaha wa dhambi" + +# Hii ni damu yangu + +"Mvinyo huu ni damu yangu. Ni vizuri kutofasiri kihalisia, ijapokuwa wengi huelewa hii kumaanisha kwamba mvinyo unawakilisha damu ya Yesu na huo mvinyo si damu halisi. + +# Kweli nawaambia + +Hii inaonyesha kuwa sentensi inayofuata hasa ni kweli na muhimu. + +# zao hili la mzabibu + +"mvinyo" Hii ni njia ya maelezo inayorejea kwa mvinyo. + +# mpya + +Maana zinazowekana ni 1) "tena" au 2)"kwa njia mpya" + diff --git a/mrk/14/26.md b/mrk/14/26.md new file mode 100644 index 00000000..4b3e0cfa --- /dev/null +++ b/mrk/14/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wimbo + +Wimbo ni aina ya wimbo. Ilikuwa desturi yao kuimba Zaburi toka Agano la Kale katika haua hii. + diff --git a/mrk/14/28.md b/mrk/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..2eaa3af6 --- /dev/null +++ b/mrk/14/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hata kama wote watajitenga, mimi sitaku + +"Sitaku" ni kifupi cha sitajitenga nawe. Maneno "jitenga nawe" yanarudia kinyume chake mara mbili na humaanisha "nitabaki na wewe." + diff --git a/mrk/14/30.md b/mrk/14/30.md new file mode 100644 index 00000000..e6fbebec --- /dev/null +++ b/mrk/14/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kunikana + +"sema kwamba hunijui mimi" + diff --git a/mrk/14/32.md b/mrk/14/32.md new file mode 100644 index 00000000..3991a551 --- /dev/null +++ b/mrk/14/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# roho + +Neno "roho" limetumika wakati mwingine kimfano kurejea kwa mtu kamili siyo sehemu yake tu. + diff --git a/mrk/14/35.md b/mrk/14/35.md new file mode 100644 index 00000000..5db3e444 --- /dev/null +++ b/mrk/14/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# saa hii ingempita + +"apewe nguvu ya kushinda mateso aliyokuwa anayapitia. + +# Aba + +Abba ni neno la Kiyunanai ambalo linatumika na watoto kumtaja baba yao. Inaashiria uhusiano wa karibu. Kwa kuwa tayari inamtaja Baba, ni muhimu kuhifadhi neno la Kiyunani "Abba." + +# Niondolee kikombe hiki + +Kikombe hurejea kwenye ghadhabu ya Mungu ambayo ilikuwa lazima Yesu aivumilie. + +# Alisema, Aba,... Baba, .... Niondolee kikombe hiki. Lakini siyo kwa matakwa yangu, bali matakwa yako." + +Yesu alimwomba Baba yake kuondoa mateso ambayo angeweza kuyavumilia juu ya msalaba kufa kwa ajili ya dhambi zote za mwanadamu, kwa muda wote. Lakini Baba alihitaji dhabihu ya Mwana wake, mkamilifu wa pekee kukidhi utakatifu wake wa Kimungu. Kwa hiyo, Yesu alikwenda msalabani. + +# Baba + +Hii ni kichwa muhimu kwa ajili ya Mungu. + diff --git a/mrk/14/37.md b/mrk/14/37.md new file mode 100644 index 00000000..30230fd1 --- /dev/null +++ b/mrk/14/37.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akawakuta wamelala + +"na akamkuta Petro, Yakobo, na Yohana wamelala" + +# Simoni, je umelala + +"Simoni, umelala wakati nilipokuambia kukesha." + +# Hukuweza kukesha... saa? + +"Ungeweza hata kukesha." + +# Roho inataka kabisa, lakini mwili ni dhaifu. + +"Miili yenu haiwezi kufanya kile ambacho akili zenu zinataka ninyi kufanya." + +# mwili + +"mwili unaoonekana" + diff --git a/mrk/14/40.md b/mrk/14/40.md new file mode 100644 index 00000000..82ea804c --- /dev/null +++ b/mrk/14/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliwakuta wamelala + +"aliwakuta Petro, Yohana, na Yakobo wamelala" + +# Bado mmelala na kupumzika + +bado mmelala! mmepumzika! + diff --git a/mrk/14/43.md b/mrk/14/43.md new file mode 100644 index 00000000..b28eedf8 --- /dev/null +++ b/mrk/14/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wakamkamata + +wakamkamata kwa nguvu + diff --git a/mrk/14/47.md b/mrk/14/47.md new file mode 100644 index 00000000..2c06a86b --- /dev/null +++ b/mrk/14/47.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kama mimi ni mnyang'anyi? + +mnakuja kwangu, kama dhidi ya mwizi, kwa mapanga na marungu kunikamata + diff --git a/mrk/14/51.md b/mrk/14/51.md new file mode 100644 index 00000000..c5d99c5e --- /dev/null +++ b/mrk/14/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# shuka zito la kujifunika + +nguo nzito iliyotengenezwa kutokana na mmea + diff --git a/mrk/14/53.md b/mrk/14/53.md new file mode 100644 index 00000000..30791c6b --- /dev/null +++ b/mrk/14/53.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya umati wa makuhani wakuu, waandishi, na wazee kumuongoza Yesu kwa kuhani mkuu, Petro anamtazama kwa mbali wakati wengine wanasimama kushuhudia uongo kinyume na Yesu. + +# Pale walikusanyika pamoja naye makuhani wakuu wote, wazee, waandishi. + +Hii inaweza kupangiliwa kwa upya ili kwamba inakuwa rahisi zaidi kuelewa. "Makuhani wakuu wote, wazee, na waandishi walikuwa wamekusanyika hapa kwa pamoja" + +# Sasa + +Neno hili linatumika hapa kuweka alama ya badiliko katika hadidhi kama mwandishi anavyoanza kusema kuhusiana na Petro. + +# kuelekea kwenye ua wa kuhani mkuu. + +Kama Petro alivyomfuata Yesu, alisimama katika uwanja wa kuhani mkuu. Hii inaweza kuandikwa waziwazi. "na alienda mpaka uwanja wa kuhani mkuu" + +# Aliketi pamoja na walinzi + +Petro aliketi pamoja na walinzi waliokuwa wakifanya kazi katika uwanja. "Aliketi katika uwanja pamoja na walinzi" + diff --git a/mrk/14/55.md b/mrk/14/55.md new file mode 100644 index 00000000..a3d77433 --- /dev/null +++ b/mrk/14/55.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Hili neno limetumika kuweka alama kwa badiliko katika hadithi kama mwandishi anavyoendelea kutuambia kuhusu Yesu kuwekwa kwenye majaribio. + +# wapate kumwua + +Hapakuwa wenyewe ambao wangemwadhibu kifo Yesu; badala yake, wangemuomba mwingine kufanya . "wangemwadhibu kifo Yesu" au "wangeweza kupata mwingine kumwadhibu kifo Yesu" + +# Lakini hawakuupata + +Hawakupata ushuhuda kinyume dhidi ya Yesu ambao wangemtia hatiani na kumwua. + +# walileta ushuhuda wa uongo dhidi yake + +Hapa anaongea ushuhuda wa uongo unoelezwa kama ilikuwa kama kitu halisi ambacho mtu anaweza kubeba. "Mshitaki kwa kusema ushuhuda wa uongo dhidi yake" + +# hata ushahidi wao haukufanana + +Hii inaweza kuandikwa kwa mtindo wa chanya. "lakini ushuhuda wao haukufanana" + diff --git a/mrk/14/57.md b/mrk/14/57.md new file mode 100644 index 00000000..69c98ea1 --- /dev/null +++ b/mrk/14/57.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tulimsikia + +Neno "tu" hurejea kwa watu walioeta ushahidi wa uongo dhidi ya Yesu. + diff --git a/mrk/14/60.md b/mrk/14/60.md new file mode 100644 index 00000000..38a7fc3e --- /dev/null +++ b/mrk/14/60.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alisimama katikati yao + +"alisimama kati ya wakuu wa makuhani, waandishi na wazee" + +# Mimi nipo + +Hili ndilo jina Mungu alijiita mwenyewe katika Agano la Kale. + diff --git a/mrk/14/63.md b/mrk/14/63.md new file mode 100644 index 00000000..20a64350 --- /dev/null +++ b/mrk/14/63.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alirarua vazi lake + +ishara ya hasira juu ya kile ambacho Yesu alikuwa amesema + +# Wote walimhukumu + +"Wajumbe wote wa Baraza walimhukumu Yesu" + diff --git a/mrk/14/66.md b/mrk/14/66.md new file mode 100644 index 00000000..68cfe681 --- /dev/null +++ b/mrk/14/66.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Kama Yesu alivyokuwa ametabiri, Petro anamkana Yesu mara tatu kabla ya jogoo hajawika. + +# chini ya uani + +"nje ya uani" + +# mmoja wa wasichana wa kuhani mkuu + +Mtumishi wa kike alimtumikia kuhani mkuu. "moja wa watumishi wa kike waliomtumikia kuhani mkuu" + +# alimkana + +Hii inamaanisha kudai kwamba kitu fulani si sahihi. Katika hali hii, Petor alikuwa akisema kwamba alichosema mtumishi wa kike kuhusu yeye hakikuwa sahihi. + +# Sijui wala sielewi kuhusu kile unachosema + +Ote,"kujua" na "kuelewa" zina maana ile ile hapa. Maana imerudiwa kuongeza msisitizo kwa kile alichokuwa akisema Petor. "Hakika sikuelewi unachoongelea" + diff --git a/mrk/14/69.md b/mrk/14/69.md new file mode 100644 index 00000000..a80f5720 --- /dev/null +++ b/mrk/14/69.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mmoja wao + +mmoja wa wanafunzi wa Yesu + diff --git a/mrk/14/71.md b/mrk/14/71.md new file mode 100644 index 00000000..4a743ed7 --- /dev/null +++ b/mrk/14/71.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# naye alihuzunika na kulia + +Petro alihuzunika sana na kushitushwa sana na kuanza kulia + diff --git a/mrk/15/01.md b/mrk/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..33fff6f5 --- /dev/null +++ b/mrk/15/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wewe umesema hivyo + +"Wewe mwenyewe umesema hivyo." + diff --git a/mrk/15/09.md b/mrk/15/09.md new file mode 100644 index 00000000..8cd70d49 --- /dev/null +++ b/mrk/15/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# funguliwa + +"Alimpeleka mbali" au "basi nenda" + diff --git a/mrk/15/14.md b/mrk/15/14.md new file mode 100644 index 00000000..50fb45f7 --- /dev/null +++ b/mrk/15/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walimpiga Yesu + +Walimpiga Yesu hasa kwa fimbo + +# yeye alimtoa + +Ona jinsi ulivyotafsiri mstari huu katika + diff --git a/mrk/15/16.md b/mrk/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..27578a6e --- /dev/null +++ b/mrk/15/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kambini + +Hii ni sehemu wanaokaa maaskari. + +# kikosi + +"Idadi kubwa" au "wengi" + +# Wakamvika Yesu vazi la zambarau + +Hii ilikuwa tendo la kejeli. Zambarau ilikuwa rangi inayoonesha mamlaka na kumvalisha ni namna ya kudhihaki cheo chake, "Mfalme wa Wayahudi." + +# Wakaanza kumpigia kumdhihaki na kusema, "salaam, Mfalme wa Wayahudi!" + +Maaskari walimdhihaki Yesu kwa sababu hawakuamini kwamba alikuwa Mfalme wa Wayahudi. + diff --git a/mrk/15/25.md b/mrk/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..e4ec10b1 --- /dev/null +++ b/mrk/15/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# majambazi + +"wezi kila upande" + diff --git a/mrk/15/36.md b/mrk/15/36.md new file mode 100644 index 00000000..d2bdd19f --- /dev/null +++ b/mrk/15/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# siki mvinyo + +"siki" + +# Pazia la hekalu liligawanyika mara mbili + +Mungu aligawa pazia la hekalu mara mbili + diff --git a/mrk/15/39.md b/mrk/15/39.md new file mode 100644 index 00000000..dbd622ca --- /dev/null +++ b/mrk/15/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwana wa Mungu + +Hii ni cheo muhimu kwa Yesu. + +# Salome + +Ni jina. + diff --git a/mrk/15/45.md b/mrk/15/45.md new file mode 100644 index 00000000..28412a07 --- /dev/null +++ b/mrk/15/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kaburi lile lililochimbwa katika mwamba + +"awali lile kaburi lilichimbwa na mtu katika mwamba imara" + +# sanda + +vazi lililotengenezwa kwa kitani inayopandwa {kama ilivyotafsiriwa katika 14:51-52 + +# mahali pale alipozikwa Yesu + +"mahali pale ambapo Yusufu na wengine waliuzika mwili wa Yesu" + diff --git a/mrk/16/01.md b/mrk/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..d39b4923 --- /dev/null +++ b/mrk/16/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Siku ya kwanza ya wiki, wanawake walikuja asubuhi kwa sababu walitegemea kutumia kitoweo kuupaka mafuta mwili wa Yesu. Walishangaa kumuona kijana ambaye anawambia kuwa Yesu yu hai, lakini wanaogopa na hawamwambii mtu yeyote. + +# Wakati sabato ilipokwisha + +Hii ni kwamba, wakati jua lilipochomoza siku ya saba na siku ya kwanza ya wiki kuanza. + diff --git a/mrk/16/03.md b/mrk/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..bea32846 --- /dev/null +++ b/mrk/16/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# jiwe lilikuwa limevingirishwa + +Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "mtu amekwisha kulivingirisha jiwe" + diff --git a/mrk/16/05.md b/mrk/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..6fbfb629 --- /dev/null +++ b/mrk/16/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Amefufuka! + +Malaika kwa mkazo anatangaza kuwa Yesu amekwishafufuka. Hii inaweza kutofasiriwa katika kauli tendaji. "Alinuka!" au " Mungu alimwinua kutoka mauti!" + diff --git a/mrk/16/08.md b/mrk/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..2ac9344d --- /dev/null +++ b/mrk/16/08.md @@ -0,0 +1,18 @@ +# kaburi,sehemu ya kuzikia + +Neno "kaburi" inarejea kwenye eneo ambapo watu wanaweka mwili wa mtu aliyekufa. "Sehemu ya kuzikia" ni neno la kiujumla ambalo linarejea kwa: +- Wakati mwingine Wayahudi walitumia mapango kama makaburi, na wakati mwingine walichimba mapango kwenye mawe sehemu ya milima. +- Katika Agano Jipya, ilikuwa ni kawaida kusukuma jiwe kubwa na zito mbele ya kaburi lililo wazi ili kufunga. +- Kama neno kaburi linaweza kurejea kama shimo ambapo mwili unawekwa chini ya ardhi, njia zingine za kutofasiri inaweza kuwa, "pango" au "shimo" ndani ya sehemu ya mlima" +- Neno "kaburi" nadra hutumiwa kwa ujumla na kwa usemi urejea kwa hali ya kufa au eneo ambalo roho za watu zinakuwa. + +# walishangazwa + +Haya maneno urejea kwa kushangazwa kwa sababu ya kitu cha ajabu kilichofanyika. +- Baadhi ya maneno haya yametofasiriwa kwa usemi wa Kigiriki ambayo unamaanisha "kumpiga kwa kushangaza" au "kusimama nje ya mtu" usemi huu unaeleza namna ilivyo ya kushangaza ua mshtuko wa mtu alivyojisikia. Lugha zingine zinaweza kuwa na usemi wa kueleza hili +- Kawaida tukio ambalo limesababisha maajabu na mshangao lilikuwa na miujiza, jambo ambalo Mungu mwenyewe angelifanya. +- Maana ya maneno haya inaweza pia kujumuisha hisia za kuchanganyikiwa kwa sababu kilichofanyika hakikutegemewa. +- Njia zingine za kutofasiri maneno haya inaweza, "kushangazwa kupita kiasi" au "kushitushwa sana" +- Maneno yanayohusiana hujumuisha: "ajabu" +- Kwa ujumla, maneno haya ni chanya na yanaeleza kuwa watu walikuwa na furaha kuhusu kilichokwisha tokea. + diff --git a/mrk/16/09.md b/mrk/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..9cdf400a --- /dev/null +++ b/mrk/16/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Yesu anaonekana mara ya kwanza kwa Mariamu Magidalena, ambaye anawambia wanafunzi, kisha anajitokeza kwa wengine wawili kama wanavyokuwa wakitembea, na badae anatokea kwa wanafunzi kumi na mmoja. + +# siku ya kwanza ya juma + +"jumapili" + +# Walisikia + +"Walimsikia Mariamu Magidalena akisema" + diff --git a/mrk/16/12.md b/mrk/16/12.md new file mode 100644 index 00000000..cb7a70e2 --- /dev/null +++ b/mrk/16/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akajitokeza katika namna tofauti + +Yesu alikuwa ni mtu ambaye "wale wawili" waliona, lakini walichokiona hakikuonekana kama Yesu, kwa hiyo hawakujua walikuwa wakimtazama Yesu + +# wengine wawili + +wawili "wale walikuwa naye" + +# hawakuwaamini + +Wanafunzi wengine hawakuwaamini wale wawili walikuwa wakitembea walichosema. + diff --git a/mrk/16/14.md b/mrk/16/14.md new file mode 100644 index 00000000..823f5a57 --- /dev/null +++ b/mrk/16/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Wakati ambapo Yesu anakutana na kumi na moja, anawakemea kwa kutokuwa na imani na kuwambia waende kwa ulimwengu wote kuhubiri injili. + +# kumi na moja + +Hawa ni wanafunzi kumi na moja ambao walibaki baada ya Yuda kuwaacha. + +# walikuwa wameegama katika meza + +Hiki ni kirai cha kula, ambacho kilikuwa ni njia ya kawaida siku zile wakati wa kula. "walikuwa wanakula chakula" + +# kueegama + +Walikuwa wameegama chini upande wa kushoto, wakitumia mkono wao wa kula chakula kwenye meza. + +# mioyo migumu + +Yesu anakemea wanafunzi wake kwa sababu wasingeweza kumwamini. Tofasiri usemi huu ili ieleweke kuwa wanafunzi hawakumwamini Yesu. "kukataa kuamini" + +# Nenda katika ulimwengu + +Hapa "ulimwengu" ni kirai kwa watu katika ulimwengu. "Nenda kila sehemu kuna watu" + +# ulimwengu wote + +Hii ni kutia chumvi na kirai kwa ajili ya watu "ulimwengu wote" + +# Yeye abatizae na akabatizwa ataokolewa + +Neno "a" urejea kwa yeyote. Sentensi hii inaweza kufanywa katika kauli tendaji."Mungu atawaokoa watu wote ambao wanaamini na kukuruhu wewe uwabatize" + +# yeye asiye amini atahukumiwa + +Neno "a" urejea kwa yeyote. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. " Mungu atahukumu watu wote ambao hawaamini." + diff --git a/mrk/16/17.md b/mrk/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..eebb868b --- /dev/null +++ b/mrk/16/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ishara hizi zitaambatana na wote waaminio + +Mariko anasema juu ya miujiza kama vile watu wanaenda pamoja na wakristo. "Watu wanawatazama wale wanaomini wataona mambo haya kutokea na kujua niko pamoja na wakristo" + +# Kwa jina langu + +Maana zinaweza kuwa 1) Yesu anataja orodha ya kiujumla: "Katika jina langu watafanya mambo kama haya: Wa" au 2) Yesu anatoa orodha sahihi: "Haya ni mambo watakayo fanya katika jina langu" + +# Katika jina + +Hapa "jina" linahusishwa na mamlka ya Yesu na nguvu. "Kwa nguvu ya jina langu" au " Kwa nguvu za jina langu + diff --git a/mrk/16/19.md b/mrk/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..2aa2b9ba --- /dev/null +++ b/mrk/16/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akachukuliwa juu mbinguni na ameketi + +Hii inaweza kuwa kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alimchukua juu mbinguni, na ameketi" + +# mkono wa kuume wa Mungu + +"sehemu ambapo Mungu umpe kuketi kwa heshima na nguvu" + +# kulithibitisha neno + +"kulionyesha kuwa maneno yake, ambayo yalikuwa yakizunguzwa, yalikuwa kweli" + diff --git a/phm/01/01.md b/phm/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..1dabc00f --- /dev/null +++ b/phm/01/01.md @@ -0,0 +1,49 @@ +# Paulo mfungwa wa Kristo Yesu, na Timotheo ndugu yetu kwa Filemoni + +Lugha yako inaweza kuwa na njia maalum kwa mwandishi kujieleza kwa barua. "Sisi, Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, na Timotheo, ndugu yetu, naandika hii barua kwa Filemoni." + +# mfungwa wa Kristo Yesu + +"Mtu aliyefungwa kwa kufundisha kuhusu Yesu Kristo." + +# ndugu + +Hapa hii inamaanisha mkristo mwenzake. + +# na mtendakazi mwenzetu + +"Aliye, kama sisi, anakazi ya kueneza injili" + +# Afia dada yetu + +Hii inamaanisha "Afia mkristo mwenzetu" au "Afia dada yetu kiroho" + +# Arkipo + +Hili ni jina la mtu + +# Askari mwenzetu + +Hapa ni "askari" ni fumbo inayomuelezea mtu anayepambana kwa kueneza injili. "Mwenzetu shujaa kiroho "au pia mpambanaji katika vita vya kiroho pamoja nasi." + +# neena iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo + +"Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo awape neema na amani."Hii ni baraka. Neno "kwenu" ni kwa wengi na inarejea kwa watu wote waliosalimiwa na Paulo katika mstari wa 1 na 2. + +# Sentensi unganishi + +Paulo amedhihirisha mara tatu kuwa yeye ni mwandishi wa barua hii. Timotheo alikuwa naye na aliandika maneno aliyoambiwa na Paulo. Paulo aliwasalimia waliokutana kusali katika nyumba ya Filemoni. + +# Maelezo ya jumla + +Neno "mimi" linamaanisha Paulo. Filemoni ni mtu ambaye aliandikiwa barua hii. Sehemu zote zilizoandikwa +"wewe" zinamuelezea Filemoni. + +# Maelezo ya jumla + +Neno "yetu" inawajumuisha Paulo, Filemoni na waamini wa kanisa waliokuwa wakikutana kwenye nyumba ya Filemoni. + +# Baba yetu + +Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu. + diff --git a/phm/01/04.md b/phm/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..f8b1e7c2 --- /dev/null +++ b/phm/01/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Neno "sisi" ni wingi ikimaanisha Paulo, Timotheo na Filemoni. + +# Wewe + +Hapo na zaidi katika barua hii, neno" wewe" inamtaja Filemoni. + +# Kuwa na ufanisi katika ujuzi wa kila jambo jema + +Matokeo ya kujua kilicho chema + +# Katika Kristo + +"Kwa sababu ya Kristo" + +# mioyo ya waumini imekuwa ikitulizwa nawe + +"umewatia moyo waamini" au "umewasaidia waamini" + +# Ndugu + +"marafiki" Paulo anamuita Filemoni rafiki maana wote ni waamini na anasisitiza urafiki wao. + diff --git a/phm/01/08.md b/phm/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..9c50a247 --- /dev/null +++ b/phm/01/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ujasiri wote katika Kristo + +Inawezekana inamaanisha "mamlaka kwa sababu ya Kristo" au " kutiwa moyo kwa sababu ya Kristo." + +# lakini kwa sababu ya upendo + +Inawezekana inamaanisha ni 1} "kwa sababu 1 ninajua unawapenda watu wa Mungu,"2} "kwa sababu unanipenda mimi" au 3} "kwa sababu ninakupenda." + +# Sentensi unganishi. + +Paulo anaanza kutoa sababu ya kuandika barua yake. + diff --git a/phm/01/10.md b/phm/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..ed9d115d --- /dev/null +++ b/phm/01/10.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# mwanangu Onesmo + +"kijana wangu Onesmo." Paulo analinganisha uhusiano wake wa karibu na Onesmo sawa na ule uhusiano walionao baba na mwanawe. Kiuhalisia Onesmo sio kijana wa Paulo, lakini alipata maisha ya kiroho wakati Paulo alipomfundisha kuhusu Yesu, na Paulo alimpenda. "Mwanangu mpendwa Onesmo" au "Onesmo mwanangu wa kiroho." + +# Onesmo + +Hili ni jina la mtu + +# niliyemzaa + +Jinsi Onesmo alivyokuwa kama kijana kwa Paulo alimfanya kuwa muwazi. Niliyemfanya mwanangu wa kiroho wakati nilipomfundisha kuhusu Kristo na kuzaliwa mara ya pili." "amekuwa mwanangu" + +# katika vifungo vyangu + +"katika minyororo. "Wafungwa mara nyingi kwa minyororo. Paulo alikuwa kifungoni wakati akimfundisha Timotheo, na aliendelea kuwa kifungoni hata wakati alipoandika barua hii. Wakati akiwa kifungoni." + +# Namtuma yeye ... kwenu + +Paulo pengine ameandika barua kabla ya kumtuma Onesmo. + +# mpendwa wa moyo wangu. + +Hapa neno "moyo" ilitumika kwa mtu anayependwa sana. Paulo alisema hivi kuhusu Oesmo. "Ambaye nampenda daima." + +# hivyo anaweza kunisaidia badala yako + +"kwamba, tangu wewe usipokuwepo hapa, yeye ananguvu kunisaidia. Inaweza kutafsiriwa pia kama ni sentensi tofauti: Yeye angenisaidia mimi badala yako." + +# Mimi nimefungwa minyororo + +"wakati nilipokuwa nimefungwa" au "kwa sababu nipo kifungoni." + +# kwa ajili ya injili + +kwa sababu ya kuhubiri injili + +# Maelezo ya jumla + +Onesmo alikuwa mtumwa na Filemoni aliyemuibia kila kitu na kukimbia. + diff --git a/phm/01/14.md b/phm/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..3117240f --- /dev/null +++ b/phm/01/14.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Lakini sikutaka kufanya jambo lolote bila ridhaa yako + +"Lakini sikutakutaka kumweka yeye hapa bila idhini yako" au "Lakini nilitaka awe pamoja nami kama wewe umekubali" + +# hivyo kila jambo zuri ulilofanya si kwa sababu nimekulazimisha + +hivyo kila jambo jema utakalofanya, si kwa sababu nakulazimisha." + +# lakini kwa sababu ulitaka kufanya + +"kwa sababu uliwa huru kuchagua kufanya jambo lililo jema" + +# labda kwa sababu mlitengwa naye + +Hii yaweza kutafsiriwa hivi "Labda ni sababu ya Mungu kumpeleka Onesmo awe mbali nawe." + +# kwa wakati + +"kwa muda huu" + +# bora zaidi ya mtumwa + +"ana thamani zaidi ya mtumwa" + +# ndugu mpendwa + +"ndugu mpendwa" au "ndugu wa thamani katika Kristo" + +# zaidi sana kwako + +"anamaanisha zaidi sana kwako" + +# kibinadamu + +uhusiano wa kibinadamu unaweza kuonekana wazi: "kwa sababu yeye ni mtumwa wenu" "kama mtu" au "uhusiano wa kibinadamu." + +# na katika Bwana + +"na kama ndugu katika Bwana" au na kwa sababu yeye ni mali ya Bwana." + diff --git a/phm/01/17.md b/phm/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..c9b0c56a --- /dev/null +++ b/phm/01/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kama unanichukulia kama mshiriki + +"kama wewe unanidhania mimi mtenda kazi wa Kristo" + +# unidai mimi malipo + +"malipo yatatoka kwangu" au "sema kwamba mimi ni mmoja wa unaowadai." + +# mimi Paulo ninaandika kwa mkono wangu + +Paulo niliyeandika hivyo, kwamba Filemoni ujue kwamba ni maneno ya kweli; Paulo kweli angemlipa. "Mimi, Paulo, ninaandika hivi mwenyewe." + +# Sikutaka kukwambia + +"Sikuhitaji kukukumbusha wewe" "wewe unajua" + +# unanidai maisha yako + +"wewe unanidai maisha yako" Paulo anamwambia Filemoni asiseme kuwa anawadai Onesmo au Paulo maisha yake kwa sababu Paulo anamdai zaidi Filemoni. "Ninakudai zaidi maana nimeyaokoa maisha yako" + +# furahisha moyo wangu + +Paulo alitaka Onesmo angefanya kwa uaminifu: furahisha moyo wangu kwa kumkubali Onesmo. "uufanye moyo wangu ufurahi" au "unifurahishe" au "unifariji." + diff --git a/phm/01/21.md b/phm/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..58b7ee8f --- /dev/null +++ b/phm/01/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ujasiri kuhusu utii wako + +"Kwa sababu nina hakika kwamba utafanya kile nilichosema" + +# Na wakati mwingine + +"Pia" + +# andaa chumba kwa ajili yangu + +andaa chumba hapo kwako iwe tayari kwa ajili yangu. Paulo alimwambia Filemoni afanye hivyo. + +# nitakutembelea hivi karibuni + +"Wale walioniweka gerezani wataniachia huru hivyo ntakuja kwako" + +# Sentensi unganishi + +Paulo anamalizia barua yake kwa kuwabariki Filemoni na waamini wote waliokuwa wakikusanyika kusali katika nyumba ya Filemoni. + +# Maelezo ya jumla + +Maneno "wewe, ninyi" yanawaelezea Filemoni na waamini waliokutana nyumbani. + diff --git a/phm/01/23.md b/phm/01/23.md new file mode 100644 index 00000000..68a81428 --- /dev/null +++ b/phm/01/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Epafra + +Huyu alikuwa mwaminu na mfungwa pamoja na Paulo. + +# mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu + +"ambaye yupo gerezani pamoja na mimi kwa sababu ya Yesu Kristo" + +# Marko, Aristarko, Dema, Luka, watendakazi wenzangu. + +Marko, Aristarko, Dema, Luka, watendakazi wenzangu nawasalimu. + +# Marko ... Aristarko ... Dema ... Luka + +Haya ni majina ya watu. + +# watendakazi wenzangu + +"wafanyakazi wenzangu" au "wote wanaofanya kazi na mimi" + +# Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho yako. + +Neno "yako" inawaelezea Filemoni na wote waliokutana nyumbani. "roho yako" inawakilisha watu wenyewe. "Bwana wetu Yesu Kristo awe mwema kwenu" + diff --git a/php/01/01.md b/php/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..f4be5ecd --- /dev/null +++ b/php/01/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anatoa salamu kwa watu wa kanisa la Filipi + +# Maelezo ya jumla + +Kwa sababu Paulo anaandika baadaye katika barua akisema "mimi," linaleta maana kwamba Paulo ndiye mwandishi na kwamba Timotheo ndiye alikuwa pamoja naye. Na maneno yote ya "wewe" na "ninyi" katika barua hii yanaongelea wakristo wa kanisa la Filipi katika wingi wao. Na neno "yetu" pengine linamaanisha wakristo wote akiwemo Paulo, Timotheo na wakristo wa Filipi. + +# Paulo na Timotheo + +kama lugha yako ina njia maalumu ya kutambulisha waandishi wa barua, itumie hapa. + +# Timotheo, watumishi wa Yesu + +"Timotheo. Sisi ni watumishi wa Kristo Yesu" + +# Kwa wale walitengwa katika Kristo + +"kwa waumini wote katika Kristo Yesu" + +# waangalizi na wahudumu + +" wazee wa Kanisa" + diff --git a/php/01/03.md b/php/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..66862467 --- /dev/null +++ b/php/01/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ninawashukuru kwa ushirika wenu katika injili + +Paulo anamshukuru Mungu kwamba wafilipi wnahubiri injili pia. "Ninamshukuru Mungu kwamba mnatangaza injili" + +# Ninaujasiri + +Ninauhakika + +# Yeye aliyeanza + +"Mungu aliyeanza" + diff --git a/php/01/07.md b/php/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..16c4e67e --- /dev/null +++ b/php/01/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ni haki kwangu + +"ni sahihi kwangu" au "ni vizuri kwangu" + +# nimewaweka moyoni wangu + +"ninawapenda sana" + +# mmekuwa washirika wenza wa neema + +"mmefanyika washiriki wa neema pamoja nami" au "kushiriki katka neema pamoja" + +# Mungu ni shahidi wangu + +"Mungu anajua" au "Mungu anafahamu" + +# katika undani wa huruma ya Kristo Yesu. + +Kirai "katika undani wa huruma" inaweza kutafsiriwa pamoja na kitenzi "upendo." "na ninawapenda kama Yesu Kristo alivyotupenda mno sisi sote" + diff --git a/php/01/09.md b/php/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..c13a1421 --- /dev/null +++ b/php/01/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# sentensi unganishi + +Paulo anawaombea wakristo wa Filipi na kuzungumzia juu ya furaha iliyo katika mateso kwa ajili ya Bwana. + +# Paulo anazungumzia upendo kana kwamba kulikuwa na upinzani watu wangeweza kupata zaidi. iongezeke" + +Katika maarifa na ufahamu wote + +# Hapa "ufahamu" maana yake ni Mungu kuweza kuwa wazi. "kama ujifunzvyo na kufahamu zaidi kuhusu nini ambacho kinamtukuza Mungu" + +"kwa jinsi "mnavyojifunza na kufahamu kwa uwazi mambo yanayompendeza Mungu. " + +# Thibitisha + +Hii hurejea kupima vitu na kuchukua vile ambavyo ni vizuri. "pima na chunguza" + +# mambo yenye adili + +"kile kinachompendeza Mungu zaidi" + +# muwe safi pasipokuwa na hatia + +Maneno" safi" na " kutokuwa na hatia"kimsingi yanabeba maana ile ile. Paulo anayatumia kwa pamoja ili kukazia usafi wa rohoni. "hali ya kutokuwa na lawama" + +# Ninyi pia mtajazwa + +Paulo anazungumzia waamini kana kwamba walikuwa chombo cha kuwekea kitu amabacho kinaweza kujazwa na matunda. "Ili pia kwamba Yesu Kristo awasababishe kumtii Mungu zaidi na zaidi" + +# mjazwe na tunda la haki itokayo + +Matendo mazuri ya mwamini ambaye Mungu aliyaweka wazi vizuri humfurahisha Mungu kama ambavyo tunda kukua kwenye ni mtamu kwa wale walao. "kuweza kumfurahisha Mungu na watu wengine kwa njia unayoishi sasa kwamba Mungu alikusamehe dhambi zako" + +# kwa utukufu na sifa ya Mungu + +Maana ziwezekanazo ni 1) "Ndipo watamsifu na kumpa Mungu heshima kubwa 2)n"Ndipo watu watamsifu Mungu na kumpa Mungu heshima kubwa kwa sababu ya mambo mazuri waonayo ufanayayo." Hizi tafsiri ya mmoja mmoja inaweza kufanya kuhitajike sentensi mpya. + diff --git a/php/01/12.md b/php/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..3c2b6741 --- /dev/null +++ b/php/01/12.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Paulo anasema kwamba mambo mawili yametokea kwa sababu ya "maendeleo ya injili": watu wengi ndani na nje waligundua kwa nini yuko gerezani, na Wakristo wengine hawana hofu kuhubiri habari njema. + +# sasa nataka + +hapa neno" sasa" limetumika kuonesha mwanzo mpya wa barua + +# ndugu + +hapa linamaanisha wakristo wenzake, likijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa wauimini wote katika Kristo ni viungo katika familia moja ya kiroho, pamoja na Mungu, baba yao wa mbinguni. + +# mambo yaliyotukia kwangu + +Paulo anazungumzia muda alipokuwa gerezani. mateso niliyoyapata kwasababu nilikuwa nimewekwa gerezani kwa sababu ya kumhubiri Yesu. + +# yameifanya injili iendelee sana + +"yamesababisha watu wengine kumwamini Yesu" + +# kifungo changu changu katika Kristo kimejulikana + +"Minyororo katika Kristo" ni neno linalosimama badala ya kuwa gerezani kwa ajli ya Kristo. "Kumejulikana" ni mfano kwa "kujulika." "Ilijulikana kwamba nipo katika minyororo kwa ajili ya Kristo" + +# minyororo yangu katika Kristo imejulikana...walinzi...yeyote mwingine + +Hii inaweza kuanza muundo wa utendaji. "walinzi wote wa ikulu na watu wengi katika Rumi wanajua kwamba nipo katika minyororo kwa ajili ya Kristo" + +# minyororo yangu katika Kristo + +Hapa Paulo anatumia kihusishi "katika" kumaanisha "kwa ajili ya." "minyororo yangu kwa ajili ya Kristo" au "minyonyororo yangu kwasababu nafundisha watu kuhusu Kristo" + +# minyororo yangu + +Hapa neno "minyororo" linasimama badala "kifungo. "kifungo changu" + +# ikulu + +Hili ni kundi la maaskari waliosaidia kulinda utawala wa Rumi. + diff --git a/php/01/15.md b/php/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..c7eb0a6a --- /dev/null +++ b/php/01/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kwa hakika, hata Baadhi yao humtangaza Kristo + +"Baadhi ya watu huhubiri habari njema ya Yesu" + +# kwa wivu na ugomvi + +"kwasababu hawapendi watu wanisikilize mimi na wanapenda kusababisha matatizo" + +# wengine kwa nia njema + +"lakini watu wengine hufanya hivyo kwasababu ni wapole na wanapenda kunisaidia" + +# mwishoni mwa hotuba yake + +"Wale ambao wanamtangaza Kristo kwa nia mbaya" + +# Nimewekwa hapa kwa ajili ya kuitetea injili + +Hii inaweza kuanza kwa muundo tendaji. Maana zinazowezekana ni 1) "Mungu amenichagua kuitetea injili" au 2) "nipo gerezani kwa sababu naitetea injili." + +# kwa ajili ya kutetea injili + +"kumhubiri kila mmoja kuwa uhabari za Yesu Kristo ni za kweli" + +# Bali wengine wamtangaza Kristo + +"bali wengine" au "bali mwingine anamuhubiri Kristo nje kwa hila na vita + +# wakati nipo katika minyororo yangu + +Hapa neno "minyororo" linasimama badala ya kifungo. "while nimimefungwa" au "wakati nimefungwa" + diff --git a/php/01/18.md b/php/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..c2c716d4 --- /dev/null +++ b/php/01/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ni nini hii? + +Paulo anatumia hili swali kuwaambia vile asikiavyo kuhusus hali aliyoandika katika 1:15. maana zaweza kuwa "haijalishi" neno "nitafikiria kuhusu hii" ilieleweka kama sehemu ya swali. "nitajali kuhusu nini?" au "Hivi ndivyo ninavyofikiri kuhusu hii" + +# katika njia yoyote ile, katika kusudi baya au zuri, Kristo anahubiriwa + +"kwa kuwa watu wanamhubiri Kristo, hakuna shida, kama wanafanya hivyo kwa makusudi mazuri au kwa makusudi mabaya" + +# ninafurahia jambo hilo + +"Nina furaha kwasababu watu wanamhubiri Kristo" + +# nitafurahia + +"Nitasherekea" au "nitashangilia" + +# hili litaleta kufunguliwa kwangu + +"kwa sababu watu wanamuhubiri Kristo, Mungu atanitoa kifungoni/ gerezani" + +# katika kufunguliwa kwangu + +maana halisi ya "kufunguliwa," ni nini Mungu atamfungua Paulo kutoka, haiko wazi. maana hizi zinawezekana 1) Paulo alikuwa anarejea kusaidiwa kutoka katika katika hali mbya au 2) Paulo alikuwa narejea wazi wazi kuwa huru mbali na kifungo. + +# kupitia maombi yenu na msaada wa Roho wa Kristo Yesu + +"kwa sababu mnaomba na Roho wa Yesu Kristo inanisaidia" + +# Roho wa Yesu Kristo + +"Roho Mtakatifu" + diff --git a/php/01/20.md b/php/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..26fcc66d --- /dev/null +++ b/php/01/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# matarajio yangu ya uhakika na kweli + +"hapa maneno " matarajio ya hakika" na "matarajio ya Kweli" yanamaanisha kimsingi jambo lile lile tu. Paulo anayatumia kwa pamoja ili kutilia mkazo kuonesha matarjio ya dhati aliyonayo. "Ninashawishika kwa dhati" + +# kwa ujasiri wote, kama ambavyo siku zote na sasa, Kristo atainuliwa" + +Hii ni sehemu ya matarajio na matumaini ya Paulo. "lakini natarajia na kutumaini kwamba katika ujasiri wote, sasa kama siku zote, Kristo atainuliwa" + +# "katika ujasiri wote, sasa na siku zote" + +"nitakuwa na ujasiri mkubwa sasa, kama siku zote nilivokuwa na" + +# Kristo atainuliwa kwenye mwili wangu wangu + +kifungu hiki cha neno "mwili wangu" ni neno linalosimama badala vile Paulo amefanya kwenye mwili wake. Hii inaweza kuanza muundo tendaji. Yawezekana maana zikawa 1) "Nitamtukuza Kristo kwa kile nifanyacho" 2) "watu watamsifu Kristo kwa sababu ya kile nifanyacho" + +# Ikiwa ni kwa uzima au kwa kifo + +"kama nitaendelea kuishi au nikifa" + +# Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo na kufa ni faida" + +"Kwa maana kama nikiendelea kuishi, nitaishi kumtukuza Kristo, na kama nikifa, hiyo itakuwa nzuri. + diff --git a/php/01/22.md b/php/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..c55e8af8 --- /dev/null +++ b/php/01/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kama kuishi katika mwili huleta tunda katika kazi yangu + +Neno "tunda" hapa limetumika kurejelea matokeo mazuri ya kazi ya Paulo. " kama kuishi katika mwili kuna nipa fursa ya kuwatia moyo watu ili waamini katika Kristo." + +# inamaana kwamba matunda ya kazi yangu + +Neno "tunda" hapa linarejea matokeo mazuri ya kazi ya Paulo. "inamaana kwamba nitaweza kufanya kazi na kazi yangu itazaa matokeo mazuri" au "maana nitakuwa na nafasi zaidi kuwatia moyo watu kumwamini Kristo" + +# Ninasukumwa katika vitu viwili + +Paulo anazungumzia vile ilivo vigumu kwake kuchagua kati ya kuishi na kufa kama vitu vizito vnavyopingana, kama mawe au magogo, vilikuwa vikimsukuma kwenda kinyume katika wakati mmoja. Lugha yako inaweza kupendelea kupinga kuvuta kuliko kusukuma. "nipo ndani ya mvutano. Sijui kama naweza kuchagua kuishi au kufa" + +# Ninahamu ya kuuacha mwili na kuwa na Kristo + +Paulo anatumia tafsida hapa kuonyesha kwamba haogopi kufa. "ningependa kufa kwa sababu nitaenda kuwa na Kristo" + diff --git a/php/01/25.md b/php/01/25.md new file mode 100644 index 00000000..9ca7955f --- /dev/null +++ b/php/01/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa kuwa nina uhakika juu ya hili + +"Kwa kuwa ninauhakika kwamba ni vizuri kwako kwamba ninaenedelea kuishi" + +# ninajua nitabaki + +" Ninajua kuwa nitaendelea kuishi or ninajua kwamba nitabaki katika mwili, yaani sitakufa" + +# Ili kwamba kwa mimi + +"Hivyo basi kwa sababu ya mimi" au "Kwa hiyo basi kwa sababu ya kile nifanyacho" + +# kwamba mmesimama imara katika roho mmoja...mkishindania imani ya injili kwa pamoja. + +Haya mambo mawili vinashirikiana maana moja kusisitiza umuhimu wa umoja. + +# kushindana pamoja + +"kufanya kazi kwa bidii pamoja" + +# imani ya injili + +ina maana ya "kueneza imani ambayo imejengwa juu ya injili ya Kristo" au "kuamini na kuishi kulingana na habari njema inavyotufundisha" + diff --git a/php/01/28.md b/php/01/28.md new file mode 100644 index 00000000..086f8e7f --- /dev/null +++ b/php/01/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# na msitishwe na kitu chochote + +hili ni agizo kwa Wakristo wa Filipi kuwa wasiogope kitu chochote. + +# Hii ni kwao ni ishara ya uharibifu . Bali kwenu ni ishara ya wokovu, kutoka kwa Mungu + +"Ujasiri wenu utawaonyesha kwamba Mungu atawaharibu. Pia itawaonyesha kwamba Mungu atawaokoa" + +# kwa maana mna ugomvi uleule kama mlivyoona na ule mnaosikia ninao hata sasa + +Ndiyo maana mmekuwa na ugomvi ua ushindani uleule kama mlivyoona kwangu na kwa sasa mnasikia kuwa bado ninao. + diff --git a/php/02/01.md b/php/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..b263b12d --- /dev/null +++ b/php/02/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawashauri waamini kuwa katika hali ya umoja na unyenyekevu na kuwakumbusha mfano wa Kristo. + +# Ikiwa + +"Ninaamini ni kweli" + +# ikiwa kuna kutia moyo katika Kristo + +"kwamba Kristo amewatia moyo" + +# ikiwa kuna faraja kutoka katika pendo lake + +"ikiwa pendo lake limekupa faraja" + +# ikiwa kuna ushirika wa Roho + +"ikiwa una ushirika pamoja na Roho" + +# ikiwa kuna rehema na huruma + +"ikiwa mmezoea matendo mengi ya Mungu ya huruma na rehema" + +# fanya furaha yangu + +Paulo hapa anazungumzia furaha kana kwamba kilikuwa kimiminika kinajazwa kwenye kibebeo. "Kumenisababisha kusifu mno" + diff --git a/php/02/03.md b/php/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..561586e1 --- /dev/null +++ b/php/02/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Msifanye kwa majivuno au majivuno + +"Usijihudumie mwenyewe au kujiona ni bora kuliko wengine" + +# Kila mmoja asiangalie mahitaji yake mwenyewe, bali pia ajali mahitaji ya wengine + +"usiangalia tu kile unachohitaji, bali nini wengine wanahitaji pia" + diff --git a/php/02/05.md b/php/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..372f754d --- /dev/null +++ b/php/02/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Muwe na nia moja kama aliyokuwa nayo Kristo + +"Kuwa na nia moja ambayo Kristo Yesu alikuwa nayo" au "fikirieni vile ambavyo Kristo Yesu alivyofanya" + +# hakujali kuwa sawa na Mungu kuwa kitu cha kushikamana nacho + +hapa Paulo anazungumzia usawa na Mungu Baba kana kwamba kulikuwa na kitu ambacho Kristo angeweza kushikilia kwenye mikono yake. + +# alijishusha mwenyewe + +Paulo anamzungumzia Kristo kana kwamba alikuwa kitu cha kubebea ili kusema kwamba Kristo alikataa kutenda katika nguvu ya uungu wake katika kipindi huduma yake duniani + +# Alijitokeza katika mfano wa mwanadamu. Alinyenyekea + +"Maneno "alijitokeza...kama" ni lahaja ya "kuwa." "Kuwa mwanadamu, alinyenyekea" + +# kuwa mtumwa hadi kifo + +Paulo hapa anazungumzia kifo katika njia ya umbo. Anayetafsiri naweza kuielewa aidha kama mfano wa eneo (Kristo alipitia kifo) au kama mfano wa mda (Kristo alitii hata mpaka wakati alipokufa). + +# kifo cha msalaba + +"kufa kwenye msalaba" + diff --git a/php/02/09.md b/php/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..f4ecd933 --- /dev/null +++ b/php/02/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# jina kuu lipitalo kila jina + +Hapa "jina" linasimama badala ya cheo au heshima kuu. "cheo ambacho ni juu ya cheo kingine" au "heshima ambayo ipitayo heshima yeyote" + +# lipitalo kila jina + +Jina ni muhimu zaidi, zaidi kusifiwa kuliko jina jingine lolote. + +# katika jina la Yesu + +Yawezekuwa maana hii "wakati kila mmoja anaposikia jina Yesu" + +# kila goti lipigwe + +Hapa "got" inarelea utu wote, na liiname chini ni mfano wa kuinama kwa kuabudu. "kila mtu atamwabudu Mungu" + +# juu ya ardhi + +yamkini maana zikawa 1) sehemu ambayo watu waendayo wakati wafapo au 2) sehemu ambayo mapepo washipo. + +# kila ulimi + +Hapa "ulimi" inarejea kwenye utu wote. "kila mtu" au kila "kiumbe" + +# kwa utukufu wa Mungu baba + +Hapa neno "kwa" linaonyesha matokeo: "na matokeo ambayo watamsifu Mungu Baba" + diff --git a/php/02/12.md b/php/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..47024d13 --- /dev/null +++ b/php/02/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Paulo anawatia moyo Wakristo wa Filipino na kuwaonyesha jinsi ya kuishi maisha ya Kikristo mbele ya wengine na na kuwakumbusha mfano wake. + +# mpendwa wangu + +"wapendwa wangu waamini" + +# katika uwepo wangu + +"wakati nikiwa nanyi hapo" + +# katika kutokuwepo kwangu + +"wakati pasipo uwepo wangu nanyi hapo" + +# wajibikieni wokovovu wenu + +"kuendelea kumtii Mungu" + +# kwa hofu na kutetemeka + +neno "hofu" na "kutetemeka" kimsingi inamaana moja. Paulo anayatumia kusisitiza utakatifu mbele za Mungu" "tetemeka na hofu" au "na utakatifu wa ndani" + +# wote kunia na kutenda + +"Mungu hutenda kwa hiyo basi mtatamani kumtii na kwa hiyo basi mtamtii" + diff --git a/php/02/14.md b/php/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..9b8e534d --- /dev/null +++ b/php/02/14.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# manung'uniko na uaminifu + +Paulo anaeleza wazo moja kutumia maneno ya hasi na chanya. "bila kosa kabisa" + +# watoto wa Mungu bila lawama + +"watoto wa mungu bila kubadilika" au mtoto wa Mungu mkamilifu" + +# kung'aa kama mwanga + +Hapa Paulo anawazungumzia waamini kana kwamba walikuwa mwanga waking'aa gizani, kuwasaidia wengine kutafuta njia ya kumheshimu Mungu. " ishi katika nija ya kumheshimu Mungu" + +# katika dunia + +Hapa "dunia" inarejea kila kitu na tabia ambacho hakimwabudu Mungu + +# uasi na uovu + +haya maneno mawili kimsingi ni kitu kimoja. Paulo anayatumia kusisitiza jinsi kizazi kilivyo kiovu. "kiuvo kabisa" + +# Shikeni sana neno la uzima + +Paulo hapa anazungumzia neno la Mungu kanakwamba lilikuwa kitu ambacho kingeweza kushikika. + +# kutukuza + +"kufurahia" au "kuna na furaha" + +# katika siku ya Kristo + +hii inarejea wakati Yesu atakaporudi kuchukua himaya yake na kutawala dunia nzima. "wakati Yesu atakapokuaja" + +# sikupiga mbio bure wala sikutaabika + +Msisitizo "kupiga mbio bure" na "kutaabika bure" hapa inamaanisha kitu kimoja. Paulo ameyatumia haya maneno yote kusisitiza vile alivyofanya kwa bidii kuwasaidia watu kumwamini Yesu. "sikufanya kazi kwa nguvu bila kitu" + +# mbio + +mara chache maandiko yamezungumza kama mwenendo wa kila mmoja. kupiga mbio ni kuishi maisha yanayoshadidiana. + diff --git a/php/02/17.md b/php/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..b79f1290 --- /dev/null +++ b/php/02/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lakini hata kama ninamiminwa kama sadaka juu ya dhabihu na huduma ya imani yenu, ninafurahi, na ninafurahi pamoja nanyi nyote + +Paulo anazungumzia kifo chake kana kwamba kilikuwa ni kifo cha kuteketeza mnyama ambayo mafuta yalimiminwa. Kile Paulo alimaanisha ni kwamba alikuwa tayari kufa kwa ajili ya Wafilipi kama hiyo ingewafanya wamheshimu Mungu. Pia, hii inaweza kuonyesha katika muundo kamili. "Lakini, hata kama Warumi waliamua kunibagua, nitafurahi katika kifo changu kama kifo changu kitafanya imani yenu na utii zaidi kwa kumheshimu Mungu" + +# vilevile ninyi pia mnafurahi pamoja nami + +Maelezo haya mawili kwa pamoja ni alama ya hiyo furaha. " "ninataka mfurahi pamoja nami" + diff --git a/php/02/19.md b/php/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..21efc3b5 --- /dev/null +++ b/php/02/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawaambia waumini wa Filipi kuhusu hili wazo la kumtuma Timotheo baada ya mda mfupi na watamtumia Epafradito kama mtu maalumu + +# Lakini natumaini katika Bwana Yesu + +"Lakini, kama Bwana Yesu atapenda, natumaini" + +# Kwa kuwa sina mwingine aliye na mtazamo kama mimi + +"Hakuna mwingine hapa awapendaye kama yeye awapendavyo" + +# Wengine wote ambao + +Hapa memo "wengine" linarejea kwenye kundi la watu Paulo hawezi kusikia anaweza kuwaamini kuwatuma kwa Wafilipi. Pia Paulo anaeleza kuvunjwa moyo na kundi, ambao wangeweza kuondoka, lakini Paulo hawaamini kuhitimisha makusudi yao. + diff --git a/php/02/22.md b/php/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..76477bb1 --- /dev/null +++ b/php/02/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama mtoto anayemhudumia baba yake, ndivyo alivyotumika pamoja nami + +Paulo anamzungumzia Timotheo, ambaye alimtumikia Kristo pamoja na Paulo, kana alikuwa mtoto akimhudumia baba yake. Paulo anasisitiza mahusiano ya baba na mtoto alinayo pamoja na Timotheo katika kumtumikia Mungu. + +# katika injili + +Hapa "injili" inasimama kama kazi ya kuwaambia watu kuhusu Yesu. "katika kuwaambia watu kuhusu injili" + +# Nina hakika katika Bwana kwamba mimi mwenyewe nitakuja hivi karibuni + +"Ninauhakika, kama ni mapenzi ya Bwana, kwamba nitakuja hivi karibuni" + diff --git a/php/02/25.md b/php/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..fe216401 --- /dev/null +++ b/php/02/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Epafradito + +Hili ni jina la mtu aliyetumwa na kanisa la Filipi kumhudumia Paulo gerezani. + +# mtenda kazi mwenzangu na askari mwenzangu + +Hapa Paulo anamzungumzia Epafradito kana kwamba alikuwa askari. Anamaanisha kwamba Epafradito amejifunza na kuamua kumtumikia Mungu, haijalishi ambavyo mambo makubwa yakayomsonga. "muumini mwenzangu ambaye anafanya kazi na kusumbuka pamoja nasi" + +# na mjumbe wenu kwa ajili ya mahitaji yangu + +"na ambaye aletaye ujumbe wenu kwangu na anisaidiaye wakati ninapokuwa mhitaji" + +# alikuwa na hofu, na alitamani kuwa pamoja nanyi nyote + +"alikuwa na hofu na alitaka kuwa nanyi nyote" + +# huzuni juu ya huzuni + +sababu ya huzuni ingeweza kutengenezwa wazi. "huzuni ya kumpoteza kujumlisha na huzuni aliyokuwa nayo kuwa gerezani" + diff --git a/php/02/28.md b/php/02/28.md new file mode 100644 index 00000000..86921ad0 --- /dev/null +++ b/php/02/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nitaondolewa wasi wasi + +"sintoogopa kama nilivyokuwa" + +# Mkaribisheni Epafradito + +"mpokeeni Epafradito kwa furaha" + +# katika Bwana kwa furaha + +"kama muumini mpendwa katika Bwana pamoja na furaha yote" + +# alikaribia kufa + +hapa Paulo anzungumzia kifo kana kwamba kilikuwa ni sehemu ambayo angeweza kwenda. + +# kufanya kile ambacho hamkuweza kufanya katika kunihudumia + +Paulo anzungumzia mahitaji yake kana walikuwa chombo cha kubebea kwamba Epafradito alijazwa vitu vizuri kwa ajili ya Paulo. + diff --git a/php/03/01.md b/php/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..4ddaf9c4 --- /dev/null +++ b/php/03/01.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi unganishi + +ili kuwaonya waumuni wake wapendwa kuhu Wayahudi ambao wangependa kupata kufwata sheria za zamani, Paulo anatoa ushuhuda wake kuhusu ambavyo alivyo watesa waamini. + +# Hatimaye, ndugu zangu + +"Sasa kutembea pamoja, ndugu zangu" + +# ndugu + +neno hili humaanisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumuni wote katika Kristo ni washiriki wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni. + +# furahini katika Bwana + +"kuweni na furaha kwa sababu ya yote Yesu aliyafanya" + +# usumbufu + +kuudhi + +# haya mabo yatawapa usalama + +Hapa "haya mambo" inarejea kwa mafundisho ya Paulo. + +# kujihadhari + +"kuwa makini na" au "kujihadhari kwa" + +# mbwa...watenda kazi wabaya...pruni + +Haya ni maneno matatu tofauti ya kueleza kundi moja la walimu wa uongo. Paulo anatumia maelezo imara kuonyesha hisia zake kuhusu hawa Wayahudi walimu. + +# Mbwa + +Neno "mbwa" lilitumiwa na Wayahudi likimaanisha wale waliokuwa siyo Waisrael.Walitazamwa kama wachafu. Paulo anawalinganisha walimu wa uongo kama tusi. Kama kuna mnyama wingine katika utamaduni wenu anayefikiriwa kuwa mchafu, au anatumiwa kama mchafu, unaweza kutumia mnyama huyu badala yake. + +# wajikataaokatika miili yao + +Paulo anabagua kuhusu kitendo cha tohara kuwatukana walimu wa uongo. Walimu wa uongo wanafundisha Mungu atamwokoa mtu aliyetahiriwa tu, ambaye amekatwa sehemu ya mbele ya ngozi.Hili tendo lilitakiwa lifanyike kwa sheria ya Musa kwa wanaume wote wa Israeli. + +# Kwa kuwa sisi + +Paulo anatumia "sisi" kurejea yeye mwenyewe na waamini wa kweli katika Kristo, pamoja na waamini wa Wafilipi + +# tohara + +Paulo anatumia kirai/kifungu cha maneno kurejea waamini katika Kristo ambao bado hawajatahiriwa katika mwili lakini wametahiriwa katika kiroho, maana yake ni kwamba wamempokea Roho Mtakatifu kupitia imani. "watu wa Mungu wa kweli" + +# hakuna ujasiri katika mwili + +"msiamini kwamba kukata sehemu ya mwili pekee kunaweza kumpendeza Mungu" + diff --git a/php/03/04.md b/php/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..524855f2 --- /dev/null +++ b/php/03/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hata hivyo. + +"Bado" au "Hata hivyo" + +# Mimi mwenyewe ningeweza kujivunia mwili. Kama kungekuwa na mtu wa kuutumainia mwili huu, mimi ningeweza kufanya hivyo zaidi. + +Hii hali ya kufikirika ambayo Paulo anasema kama ingekuwa inawezekana kuwa Mungu anaokoa watu kwa misingi wa yale waliyofanya, basi Mungu angekuwa kwa uhakika amemuokoa yeye: "Kama yeyote angeweza kuwa amefanya mambo ya kutosha kumpendeza, ingekuwa kuliko mtu yeyote" + +# Mimi mwenyewe + +Paulo anatumia "mimi mwenyewe" kwa kusisitiza. "hakika mimi" + +# Nilitahiriwa + +"Kuhani alinitahiri mimi" + +# Siku ya nane + +"siku saba baada ya kuzaliwa kwangu" + +# Mwebrania wa Waebrania + +"mtoto wa Mwebrania aliye na wazazi wa Kiebrania" + +# katika kutimiza sheria ni Farisayo + +Kama Mfarisayo, "hakika nilijitoa katika sheria" + diff --git a/php/03/06.md b/php/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..b6256e8e --- /dev/null +++ b/php/03/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa juhudi zangu nililitesa Kanisa + +Nilidhamiria kuwaumiza waumini wa Kikiristo + +# kwa kuitii haki ya sheria, sikuwa na lawama kisheria + +"Nilitii sheria sheria yote kikamilifu" + +# mambo yote niliyaona kuwa faida kwangu + +hapa Paulo anajea kwenye sifa alizozipata kwa kuwa Mfarisayo mwenye shauku. + +# Nayahesabu yote kama takataka + +Paulo anamalizia kwamba matendo yake ya haki katika dini yalikuwa bure mbele Kristo. + diff --git a/php/03/08.md b/php/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..cca10b0f --- /dev/null +++ b/php/03/08.md @@ -0,0 +1,56 @@ +# Kwa kweli + +"Kwa uhakika"au Kweli kweli" + +# Nayahesabu + +anaelezea na kuweka msisitizo tangu pale paulo alipo acha kuwa Falisayo na kuwa mfuasi na muumini wa Yesu Kristo + +# Nayahesabu mambo yote kuwa bure + +Paulo anaeleza kuwa ni upuuzi kuweka matumaini katika mambo mengine pasipo Kristo Yesu + +# kwa sababu ya ubora wa kumjua Kristo Yesu Bwana wangu ni wathamani zaidi" + +kwa sababu ya kumjua Kristo Yesu Bwana wangu + +# Kwa ajili yake nimeacha mambo yote + +"Kwa sababu yake ninatarajia kutupa kila kitu mbali" + +# kuweka mbali + +tumia neno lako unalifahamu kwa ajili ya usivyovihitaji milele. + +# Nayahesabu kama takataka + +Paulo anazungumzia vitu ambavyo alivyokuwa anavitumainia lakini baadae anaviona kama takataka na kuvitupa kwenye jalala. + +# ili nimpate Kristo + +"ili nimpate Kristo peke yake" + +# na niwe ndani yake + +Kirai "kupata" ni lugha ambayo inasisitiza wazo la "kuwa" "na kuwa pamoja na Kristo" + +# Sina haki yangu binafsi kutoka kwenye sheria + +"Sijaribu kumpendeza Mungu mimi mwenyewe kwa kutii sheria" + +# Nguvu ya ufufuo wake + +"Ni kufahamu nguvu ya ile itupayo uzima" + +# ushirika katika mateso yake + +ni ile hali ya kushiriki mateso yake + +# Na nimebadilishwa na Kristo katika mfano wa kifo chake + +Neno "badilisha"lina maanisha kugeuza kitu katika hali nyingine kifo cha kimeleta matokeo katika uzima wa milel. Hivyo Paulo anataka kifo chake kifanane na kile cha Yesu,kwamba aweze kuupata uzima wa milele + +# angalau niweze kuwa na matumaini katika ufufuo wa wafu + +Neno "angalau" Paulo hajui nini kinakwenda kutokea katika haya maisha, lakini chochote kitakachotokea, kitakuwa matokeo ya maisha milele. "hivyo basi, haijalishi nini kimetoke sasa, nitaendelea kuishi hata nitakapokufa" + diff --git a/php/03/12.md b/php/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..e00e3de4 --- /dev/null +++ b/php/03/12.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawaagiza waumini wa Filipi kufuata mfano wake kwa sababu ya mbingu na miili mipya iniyowasubiria waamini. Anazungumza vile alivyofanya kwa juhudi ili kuwa kama Krsto, akijua kwamba Mungu atamruhusu aishi mbinguni milele. + +# Nimeishayapata + +Hii inajumuisha katika kumfahamu Krist, kufahamu nguvu za ufufuo wake, mateso yake na kupata kile tunachostahili katika ufufuo na kifo chake Kristo Yesu + +# au kwamba nimekuwa mkamilifu + +"Kwa hiyo mimi sio mkamilifu" au "hivyo mimi sijakomaa bado" + +# Bali najitahidi + +"Bali ninajaribu" + +# Naweza kupata + +"Ninaweza kuyapokea" + +# kile ninachoweza kukipata katika Krsto Yesu Bwana wetu + +"Hii inaweza kuanza na muundo kamili. "kwa sababu ndio maana Yesu ameniita wake" + +# Ndugu + +Tafsiri kutoka 1:12 + +# Nimekwisha kupata mambo haya + +"haya mambo yote bado mmiliki wake ni mimi" + +# Nasahau ya nyuma natazamia ya mbele + +Kama mwanaraidha kwenye mstari hashulikii mambo ya kwenye mstari yeye anaangalia yaliyoko mbele yake. "Mimi sijali kile nilichofanya nyuma; mimi ninashughulikia kwa bidii niwezavyo kupata kilichoko mbele yangu" + +# Najitahidi kufikia lengo kusudi ili niweze kupata tuzo ya juu ya wito wa Mungu katika Kristo Yesu + +Kama mwanariadha anakimbia kwenda mbele kwa ajili ya kuvuka mstari. Paulo anakimbia mbele katika kutumika na kuishi katika maisha ya kumtii Kristo. + +# juu ya wito + +Paulo anazungumzia kuishi milele na Mungu kana kwamba Mungu alimwita Paulo na kumtuma. + diff --git a/php/03/15.md b/php/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..9e36856d --- /dev/null +++ b/php/03/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sisi tulioukulia wokovu, tunapaswa kuwaza namna hii. + +Paulo alitaka wakristo wenzake wawe na hamu ile ile kama yeye alivyo. Kuwa imara katika imani Kufikiri katika jambo moja. + +# Mungu pia atalifunua hilo kwenu + +"Mungu pia atalifanya wazi kwako" au "Mungu atakuhakikishia unalijua" + +# Mungu atakifunua hilo kwenu + +Mungu ataweza wazi hilo jambo au kitu hicho kwako/kwenu + +# Kwa vyovyote tulivyokwisha kuwa , na tuenende katika hali hiyo + +Na tuendelee kuutii ukweli wa neno la Mungu ule ambao tumekwisha pata tayari. + diff --git a/php/03/17.md b/php/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..495adbc5 --- /dev/null +++ b/php/03/17.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Niigeni mimi + +"Fanya yale ninayofanya"au ishi kama ninavyoishi. + +# ndugu + +neno hili humaanisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni. + +# wale wanaotembea kwa mfano wetu + +"wale wanaoishi kama ninavyoishi au wale tayari wanafanya yale niyafanyayo" + +# wengi wanaishi... kama maadui wa msalaba wa Kristo + +Haya maneno ni wazo kuu la Paulo katika mstari huu. + +# Wengi wanatembea + +"Wengi wanaishi" + +# wale ambao mara nyingi nimewaambieni , na sasa na nawaambia kwa machozi + +Paulo anaingilia/anadakia wazo lake kuu kwenye haya maneno ambayo yanaeleza "nyingi." + +# Nimewaambia mara nyingi + +"Nimewaambia mara nyingi" + +# ninawaambia kwa machozi + +"ninawaambia kwa huzuni kubwa" + +# kama maadui wa msalaba wa Kristo + +Hapa "msalaba wa Kristo" inarejea kwa mteso ya Kristo na kifo" Maadui ni wale wasemao wanamwamini Yesu lakini hawako tayari kuteseka au kufa kama Yesu alivyofanya. + +# Mwisho wao ni uharibifu + +"Siku moja Mungu atawaharibu" + +# miungu wao ni tumbo + +Hapa "tumbo" hurejea kwa matamanio ya furaha ionekanayo. Kuita miunga yao inamaana kwamba wanataka heshima ya kuonekana zaidi kulikuwa wanavyotakiwa kumtii Mungu. "wanatamani chakula na heshima nyingine zaidi kuliko kutamani kumtii Mungu" + +# kiburi chao kipo katika aibu yao + +Hapa "aibu" inasimama badala ya matendo ambayo watu wangetakiwa kuonea aibu lakini hawafanyi hivyo. "wanajivunia vitu ambavyo vitawasababishia aibu" + +# Wakifikiria mambo ya kidunia + +Hapa "kidunia" inarejea kila kitu ambacho kitoacho heshima ya kuonekana na hawamheshimu Mungu "Yate wafikiriavyo ni kile kiwapocho heshima wao kuliko kitakacho mpa heshima Mungu" + diff --git a/php/03/20.md b/php/03/20.md new file mode 100644 index 00000000..a7debd6e --- /dev/null +++ b/php/03/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Kwa matumizi ya Paulo ya "yetu" hapa, amejijumuisha yeye na waamini katika Filipi + +# Uraia wetu uko mbinguniau + +"mji wa nyumbani kwetu ni mbinguni"au nyumbani kwetu halisi ni mbinguni. + +# Atabadilisha miili yetu + +"atabadilisha miili hii minyonge,miili ya asili au tuliyonayo hapa duniani" + +# kuwa kama mwili wake wa utukufu + +"katika miili ifananayo na mwili wake wa utukufu" + +# mwili, unaowezesha kuvidhibiti vitu vyote kweke + +"atabadilisha miili yetu kwa ileile anayotumia kuvitawala vitu vyote" + diff --git a/php/04/01.md b/php/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..2c419e47 --- /dev/null +++ b/php/04/01.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anaendelea na baadhi ya maelekezo kwa waamini wa Filipi kuhusu umoja na kuwapa maelekezo kuwasaidia kuishi kwa ajili ya Bwana. + +# Maelezo ya Jumla + +Wakati Paulo anaposema, "watenda kazi wa kweli pamoja," "neno wewe ni umoja. Paulo hasemi jina la mtu. Anamuita hivyo kuonyesha amefanya kazi na Paulo kueneza injili. + +# Kwa hiyo wapendwa wangu ambao nawatamani + +"Waumini wenzangu, nawapenda na ninatamani sana kuwaona" + +# ndugu + +hapa anamaanisha Wakrsto wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni. + +# Furaha na taji yangu + +Paulo anatumia neno "Furaha"akimaanisha kuwa kanisa la Filipi nicho kisababishi cha furaha yake. Taji ilitengenezwa kwa majani na mtu aliivaa kichwani kwake kama ishara ya heshima baada ya ushindi alioupata kwenye mchezo. Neno "taji" linamanisha kuwa kanisa la Filipi lilimletea Paulo heshima kwa Mungu. AT:" Mnanipa furaha kwa sababu mmemwamini Yesu, na ninyi ni zawadi na taji + +# Kwa njia hii simameni imara katika Bwana, enyi rafiki wapendwa + +"Kwa hiyo endeleeni kuishi kwa Bwwana katika namna ambayo nimewafundisha, enyi marafiki wapendwa" + +# Ninamsihi Audia, na ninamsihi Sintike + +Hawa ni wanawake waumini waliomsaidia Paulo katika kanias la Filipi. Ninamsihi Audia, na ninamsihi Sintike + +# Muwe na nia ileile katika Bwana + +"Sentensi hii ya "muwe na nia ileile" inamaanisha kuwa na tabia au mawazo yaleyale. "kukubaliana ninyi kwa ninyi kwa kuwa nyote mnamwamini Bwana yuleyule + +# pamoja nanyi pia + +Hapa "wewe" inarejea kwa "mtenda kazi mpendwa" and kama umoja + +# mtenda kazi + +hiki kifungu cha maneno kinatokana na kilimo, ambapo wanyama wawi wangweza kuunganishwa kwenye kongwa/ yoki. "mtenda kazi" + +# Pamoja na Kelement + +Kelement alikuwa Muumin na mtenda kazi katika kanisa laFilipi + +# Ambao majina yao yamenandikwa kwenye kiabu cha uzima + +"Ambao majina yao Mungu ameyaandika kwenye kitabu cha uzima" + diff --git a/php/04/04.md b/php/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..f0773e89 --- /dev/null +++ b/php/04/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Muwe na furaha itokanayo na Bwana siku zote. Tena nasema muwe na furaha + +Paulo anawaambia wakristo wa Filipi. Airudia amri ya kufurahi ili kuonyesha msisitizo wa umhimu wa kufurahia. "Furahini kwa sababu ya kile ambacho Bwana amefanya, tena nasema iweni na furaha" + +# Bwana amekaribia + +Sentensi hii imetumika kulenga maana mbili ambazo ni: 1) Bwana Yesu Kristo yuko karibu na wakristo katika roho. 2) Siku ya Bwana Yesu kurudi duniani iko karibu + +# bali fanyeni mambo yenu yote kwa njia ya kuomba, kusali na kushukuru, mahitaji yenu yajulikane na Mungu + +"mwambieni Mungu mahitaji yenu kwa kusali kushukuru" + +# Iliyo juu ya fahamu zote + +"ile iliyozaidi ya uelewa wetu" + +# italinda mioyo na mawazo mawazo yenu + +Hii inawakilisha amani ya Mungu kama askari alindaye hisia zetu na mawazo yetu kutoka kwenye hofu. "itakuwa kama askari na akilinda hisia zako na mawazo kutoka kwenye uoga kuhusu masumbuko ya haya maisha" + diff --git a/php/04/08.md b/php/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..99695d3d --- /dev/null +++ b/php/04/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hatimaye + +Hili ni hitimisho la sehemu hii ya waraka. Paulo sasa anaelekea kutoa muhtasari wa jinsi wakristo wanavyotakiwa kuishi pale wanapohitaji amani ya Mungu. + +# ndugu + +Neno hili humaanisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni Baba wa mbinguni + +# kama kuna mambo ya upendo + +"ni mambo yanayopendeza" + +# kama kuna mambo yenye taarifa njema + +"haya ni mambo ambayo watu huyatamani" au "mambo ambayo watu huyaheshimu" + +# kama kuna mambo ya busara + +"haya ni mambo ya busara na tabia njema" + +# na kama kuna mambo yanayohitaji sifa + +"kama kuna kisababishi cha sifa" + +# yale miliyojifunza, mliyopokea, na kuniona nikifanya + +'yale niliyowafundish na kuwaonyesha" + diff --git a/php/04/10.md b/php/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..7d2a064b --- /dev/null +++ b/php/04/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Paulo anazungumzia kuhusu waamini wa Filipi wamekuwa wakimsaidia kifedha na kumalizia na salam na shukran. + +# kuridhika + +"kutosheka" au "kufurahi" + +# katika mazingira yote + +"haijalishi mazingira niliyo nayo" + +# Nafahamu kuishi katika hali ya kupungukiwa...kuwa na vingi + +Paulo anajua jinsi ya kuishi maisha ya furaha aidha akiwa hana au akiwa navyo. + +# namna ya kula wakati wa shibe na jinsi ya kula wakati wa njaa, yaani vingi na kuwa mhitaji + +Ki-msingi sentensi hizi mbili zinamaanisha kitu kile kile. Paulo huzitumia kusisitiza kuwa amejifunza kurithika katika mazingira ya namna yeyote ile. + +# Ninaweza kufanya haya kwa kuwezeshwa na yeye anitiaye nguvu. + +"Naweza kufanya mambo yote kwa sababu Kristo hunipa nguvu" + diff --git a/php/04/14.md b/php/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..74335394 --- /dev/null +++ b/php/04/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika dhiki zangu + +"wakati ambapo mambo yanakuwa magumu" + +# mwanzo wa injili + +Hii humanisha wakaati Paulo alipokuwa akisafiri kwenda maeneo mbalmbali kwa ajili ya kuwaambia watu habari za Yesu. + +# hakuna kanisa lililoniwezesha katika mambo yanayohusu utoaji na kupokea isipokuwa ninyi peke yenu. + +"ninyi ndiyo kanaisa pekee lililonitumia pese au mlionisaidia" + +# nasema ili mpate matunda yaletayo faida kwenu + +Paulo analinganisha zawadi za kanias na utajiri wa mtu ambao unaongezeka zaidi na zaidi. Paulo anawataka Wafilipi watoe matolea ili wapate baraka za kiroho. "Napenda kumuona Mungu akiwapeni baraka za rohoni zaidi na zaidi" + diff --git a/php/04/18.md b/php/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..26e785d0 --- /dev/null +++ b/php/04/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nimepokea vitu vyote, na sasa nimejazwa na vitu vingi + +Paulo alipokea kila kitu ambacho Wafilipi walimtumia + +# Nimejazwa + +Paulo anamaanisha kujazwa vitu ambavyo yeye mwenyewe. + +# Ni vitu vizuri vyenye kunukia mithili ya manukato, vyenye kukubalika abavyo vyote ni sadaka inayompendeza Mungu + +manukato yenye kunukia, yenye kukubalika inayompendeza Mungu. Paulo anafananisha sadaka za kanisa la Filipi na zile za zilizokuwa zikitolewa kipindi cha Agano la Kale. Makuhani waliteketeza zile sadaka, ambazo zilikuwa zikinukia kwa Mungu. Paulo anasisitiza kwamba sadaka zina thamani kubwa kwa Mungu. "Ninawahakikishieni kuwa sadaka hizi zinampendeza Mungu" + +# atawajazeni mahitaji yenu + +"atatoa kila hitaji mlilonalo" + +# kwa utajiri wa utukufu wake katika Yesu Kristo + +"kutoka kwwenye utajiri wa utukkufu ambao huutoa kupitia Kristo Yesu" + +# Sasa kwa Mungu + +Neno "sasa" limetumika kuonyesha mwisho wa maombi na hitimisho la waraka huu. + diff --git a/php/04/21.md b/php/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..45a5708c --- /dev/null +++ b/php/04/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ndugu + +anawazungumzia wale watu ambao penginenwalitumika pamoja au na Paulo. + +# ndugu + +neno hili humaanaisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki warithi wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni. + +# kila muumini...waumini wote + +Baadhi ya matoleo yametafsiri kutumia "mtu mtakatifu" na "watu watakatifu" + +# hususani wale wa familia Kaisari + +Hii inazungumzia watumishi waliofanya kazi kwenye eneo la Kaisari. + +# pamoja na roho zenu + +Paulo anazungumzia waumini kwa kutumia neno "roho," ambayo huwawezesha wanadamu kuhusiana na Mungu. "pamoja nanyi" + diff --git a/rev/01/01.md b/rev/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..2d44761b --- /dev/null +++ b/rev/01/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni utangulizi wa kitabu cha Ufunuo. Unaeleza kuwa ni ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo na unawabariki wote wausomao. + +# watumishi wake + +Hii humaanisha watu wamwaminio Kristo + +# Nini lazima kitokee hivi punde + +"matukio ya lazima kutokea hivi punde" + +# Kufanywa kujulikana + +"kufanywa mawasiliano" + +# Kwa mtumishi wake Yohana + +Yohana aliandika kitabu hiki na alikuwa akijitaja yeye mwenyewe: "kwangu, Yohana, mtumishi wake" + +# Neno la Mungu + +Hii humaanisha ni ujumbe Yohana aliopewa na Mungu. + +# Yule anayesoma kwa sauti + +Hii haihusishi mtu bayana. Inahusisha mtu yeyote anayesoma kwa sauti. "Yeyote anayesoma kwa sauti" + +# Tii kilichoandikwa ndani + +"amini kilichoandikwa humo na kutii amri zilizomo" + +# Muda umekaribia + +"vitu ambavyo lazima vitokee vitatokea karibuni" + diff --git a/rev/01/04.md b/rev/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..a0e2f6e9 --- /dev/null +++ b/rev/01/04.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwanzo wa barua ya Yohana. Hapa ajitaja kama mwandishi na kuwasalimu watu anaowaandikia. + +# neema iwe kwenu na amani kutoka kwake aliyepo...na kutoka kwa roho saba...na kutoka kwa Yesu Kristo + +Haya ni matamanio au baraka. Yohana anazungumza kana kwamba hivi ni vitu ambavyo Mungu anaweza kugawa, ingawa ni njia ambazo anatumaini Mungu atawatendea watu wake. "Yule aliyepo...na roho saba...na Yesu Kristo awatendee kwa huruma na kuwawezesha kuishi kwa amani na usalama." + +# Kutoka kwake aliyepo + +"kutoka kwa Mungu, aliyepo" + +# Atakayekuja + +Atakayekuwapo baadaye ananenwa kama anayekuja. + +# roho saba + +Namba saba ni alama ya ukamilifu na utimilifu. "Roho saba" humaanisha mojawapo kati ya Roho ya Mungu au roho saba zinazomtumikia Mungu. + +# Mzaliwa wa kwanza wa waliokufa + +"mtu wa kwanza kufufuliwa kutoka mautini" + +# ametuweka huru + +"ametukomboa" + +# ametufanya kuwa ufalme, makuhani + +"ametuweka kando na kuanza kututawala na kutufanya makuhani" + +# Mungu na Baba yake + +Huyu ni mtu mmoja. "Mungu na Baba yake" + +# Baba + +Hili ni jina muhimu la Mungu linaloeleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# kwake kuwa utukufu na nguvu + +Haya ni matamanio au baraka. Maana zinazowezekana ni 1)"Watu waheshimu utukufu wake na nguvu" au 2) "awe na utukufu na nguvu". Yohana anaomba kwamba Yesu Kristo ataheshimiwa na ataweza kutawala kabisa juu ya kila mtu na kila kitu. + +# nguvu + +hii inaweza kumaanisha mamlaka yake kama mfalme. + diff --git a/rev/01/07.md b/rev/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..d399de7a --- /dev/null +++ b/rev/01/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Katika mstari wa 7, Yohana ananakiri kutoka kitabu cha Danieli na Zekaria. + +# Kila jicho + +Kwa kuwa watu huona kwa macho, neno "jicho" limetumika kuashiria watu. "kila mtu" au "watu wote" + +# pamoja na wote waliomchoma + +"na wale waliomchoma pia watamuona" + +# waliomchoma + +Mikono na miguu ya Yesu ilichomwa wakati aliposulibiwa msalabani. Hapa inamaanisha watu wakimuua. "walimuua" + +# mchoma + +kutengeneza tundu katika + +# Alfa na Omega + +Hizi ni herufi za kwanza na mwisho katika alfabeti ya Kigriki. Maana zinazowezekana ni 1) "yule aliyeanzisha vitu vyote na anayevileta mwisho vitu vyote" au 2)"yule ambaye alikuwepo na ataendelea kuwepo". "Yeye ni A na Z" au "mwanzo na mwisho" + +# ambaye anakuja + +Atakayekuwapo baadaye ananenwa kama anayekuja. + +# asema Bwana Mungu + +Baadhi ya lugha huweka "Bwana Mungu asema" mwanzoni au mwishoni mwa sentesi nzima. + diff --git a/rev/01/09.md b/rev/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..093fb3bf --- /dev/null +++ b/rev/01/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaeleza jinsi maono yake yalivyoanza na maelekezo aliyopewa na Roho. + +# yenu...nanyi + +Hii humaanisha waumini katika makanisa saba + +# anayeshiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu thabiti ulio katika Yesu + +"aliye na fungu katika ufalme wa Mungu. Ninateseka pia na kuvimilia majaribu pamoja nanyi kwa sababu sisi ni mali ya Yesu" + +# kwa sababu ya neno la Mungu + +"kwa sababu niliwaambia wengine kuhusu neno la Mungu" + +# katika Roho + +Yohana anazungumzia kuvutwa na Roho ya Mungu kana kwamba alikua katika Roho. "kushawishika na Roho" au "Roho alinishawishi" + +# siku ya Bwana + +siku ya kuabudu kwa waumini wa Kristo + +# sauti ya juu kama ya tarumbeta + +Sauti ilikua na sauti kuu sana ikafanana na tarumbeta + +# tarumbeta + +Hii humaanisha chombo cha kutengeneza muziki au kuwaita watu kwa ajili ya tangazo au mkutano. + +# kwenda Smirna, kwenda Pergamo, kwenda Thiatira, kwenda Sardi, kwenda Philadelphia, na kwenda Laodikia + +Haya ni majina ya miji uliko Asia ambayo ni Uturuki ya leo + diff --git a/rev/01/12.md b/rev/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..f1dddefa --- /dev/null +++ b/rev/01/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli unaganishi: + +Yohana anaanza kueeleza alichokiona katika maono. + +# sauti ya nani + +hii humaanisha mtu anayezungumza. "ambaye" + +# Mwana wa Adamu + +Huu msemo unaelezea umbo la binadamu, mtu anayefanana na binadamu. + +# mkanda wa dhababu + +kipande cha nguo kilichovaliwa kifuani. Inawezekana kuwa ilikua na nyuzi za dhahabu ndani yake. + diff --git a/rev/01/14.md b/rev/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..0ea5435f --- /dev/null +++ b/rev/01/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe kama theluji + +Sufu na theluji ni mifano ya vitu ambavyo ni viupe sana. Kurudiwa kwa "nyeupe kama" huonesha msisitizi kuwa zilikua nyeupe mno. + +# sufu + +Haya na manyoya ya kondoo au mbuzi. Zilikua zinajulikana kuwa nyeupe mno. + +# macho yake yalikuwa kama mwali wa moto + +Macho yake yanaelezwa kuwa na mwanga kama mwali wa moto. "macho yake yaling'ara kama mwali wa moto" + +# Nyayo zake zilikuwa kama shaba iliyosuguliwa sana + +Shaba hung'arishwa kuifanya ingae na kurudisha mwanga. "Miguu yake iling'ara sana kama shaba iliyosuguliwa" + +# kama shaba iliyosuguliwa sana, kama shaba ambayo imekwisha pitishwa katika moto + +Shaba ilisafishwa kwanza kisha kusuguliwa. "Kama shaba iliyosafishwa kwenye tanuu la moto na kusuguliwa" + +# tanuu + +chombo imara kwa ajili ya kutunzia moto mkali sana. watu huweka vyuma ndani yake na ule moto huunguza takataka zote zilizomo katika chuma. + +# sauti ya maji mengi yanayotiririka kwa kasi + +Hii ina sauti kuu sana kama sauti ya mto mkubwa unaotiririka kwa kasi, maporomoko ya maji, au ya mawimbi yenye sauti kali baharini. + +# kinywani mwake kulikuwa na upanga mkali + +Ubapa wa upanga ulikuwa unchomoza kinywani mwake. Upanga wenyewe haukua ukisogea. + +# upanga mkali wenye makali kuwili + +Hii humaanisha upanga wenye makali mawili, ambao umechongeka pande zote ili kukata pande zote. + diff --git a/rev/01/17.md b/rev/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..f542c2a7 --- /dev/null +++ b/rev/01/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nikaanguka miguuni pake + +Yohana alilala chini akitazama ardhi. Inawezekana alikuwa ameogopa sana na alikuwa akimpa Yesu heshima. + +# Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu + +"Alinigusa na mkuno wake wa kulia" + +# Mimi ni wa kwanza na wa Mwisho + +Hii inamaanisha uasili wa Yesu wa milele. + +# ninazo funguo za mauti na kuzimu + +Kuwa na nguvu juu ya jambo au kitu huzungumziwa kama kuwa na funguo zake. Maana inayooneshwa ni kwamba anaweza kuwapa uhai wale waliokufa na kuwatoa kuzimu. "Nina nguvu juu ya kifo na kuzimu" au "nina uwezo wa kuwapa uhai waliokufa na kuwatoa kuzimu". + diff --git a/rev/01/19.md b/rev/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..a3c0d49a --- /dev/null +++ b/rev/01/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli unaganishi: + +Mwana wa Adamu aendelea kuzungumza + +# nyota + +Hizi nyota ni ishara. Zinaonekana kuashiria wale malaika saba na makanisa saba. + +# vinara vya taa + +Vinara vya taa ni ishara zinazomaanisha makanisa saba. + +# malaika wa yale makanisa saba + +Maana zinazowezekana ni 1) malaika wa mbinguni wanaolinda yale makanisa saba au 2) wajumbe binadamu katika makanisa saba. + +# makanisa saba + +Hii humaanisha makanisa saba ambayo yalikuwepo Asia ndogo wakati huo. + diff --git a/rev/02/01.md b/rev/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..6f2e4409 --- /dev/null +++ b/rev/02/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Efeso. + +# malaika + +Maana zinazowezekana ni 1) malaika wa mbinguni anayelinda kanisa au 2) mjumbe binadamu kwa makanisa. + +# nyota + +Hizi nyota ni ishara. Zinaonekana kuashiria wale malaika saba na makanisa saba. + +# Vinara vya taa + +Vinara vya taa ni ishara zinazomaanisha makanisa saba. + +# Najua ... bidii yako ya kazi na uvumilivu wako thabiti + +"Bidii" na "uvumilivu" ni nomino dhahania na zinaweza kutafsiriwa na kitenzi "fanya kazi" na "vumilia". Ninajua ... kwamba mnafanya kazi sana na unavumilia" + +# na kumbe siyo + +"lakini sio mitume" + +# na wameonekana kuwa waongo + +"umetambua kuwa kuwa hao watu ni mitume wa uongo" + diff --git a/rev/02/03.md b/rev/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..eea9f882 --- /dev/null +++ b/rev/02/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kwa sababu ya jina langu + +"kwa sababu unaamini jina langu" au "kwa sababu unaniamini" + +# na haujachoka bado + +Kuvunjwa moyo inazungumziwa kama kuwa na uchovu. "haujavunjika moyo" au "haujakata tamaa" + +# nililonalo dhidi yako + +"sikukubali kwa sababu hii" au "nina hasira na wewe kwa sababu hii" + +# umeuacha upendo wako wa kwanza + +Kuacha kufanya kitu inazungumziwa kama kukiacha nyuma. Upendo unazungumziwa kama kitu ambacho kinaweza kuachwa nyuma. "umeacha kunipenda kama ulivyokuwa ukinipenda mwanzoni" + +# Kwa hiyo kumbuka ulipoanguka + +Kutokupenda kama hapo mwanzo inazungumziwa kama kuanguka. "kiasi gani mlivyobadilika" au "jinsi gani mlivyonipenda" + +# Usipotubu + +"usipoomba msamaha" + +# kukiondoa kinara chako + +Vinara vya taa ni ishara zinazomaanisha makanisa saba. + diff --git a/rev/02/06.md b/rev/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..ce0ce526 --- /dev/null +++ b/rev/02/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wanikolai + +Watu waliofuata mafundisho ya mtu aitwaye Nikolai + +# Mwenye sikio asikie + +Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza" + +# Na kwa yule ashindaye + +Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu" + +# paradiso ya Mungu + +"Bustani ya Mungu". hii ni ishara ya mbinguni. + diff --git a/rev/02/08.md b/rev/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..42acaebc --- /dev/null +++ b/rev/02/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Smirna. + +# Smirna + +Hili ni jina la mji ulioko Asia ambayo ni Uturuki ya leo. + +# mwanzo na mwisho + +Hii humaanisha asili ya milele wa Yesu. + +# Nayajua mateso yako na umasikini wako + +"Mateso" na "umasikini" zinaweza kutafsiriwa kama vitenzi. "ninajua ulivyoteseka na jinsi gani ulivyo masikini" + +# na uongo wa wale wanaojiita ni wayahudi + +"uongo" unaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "Ninajua jinsi gani wale wanaojiita wayahudi walivyowasema vibaya" au "Ninawajua wale wanaojiita wayahudi na wamesema vitu vibaya juu yenu" + +# lakini siyo + +"lakini sio wayahudi wa kweli" + +# sinagogi la Shetani + +Watu wanaokusanyika kumtii au kumtukuza Shetani awnazungumziwa kama sinagogi, mahali pa wayahudi pa kuabudu na kufundishia. + diff --git a/rev/02/10.md b/rev/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..6def9aa7 --- /dev/null +++ b/rev/02/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ibilisi anataka kuwatupa baadhi yenu gerezani + +"Ibilisi atasababisha hivi punde wengine wawaweke baadhi yenu gerezani" + +# Iweni waaminifu hadi kufa + +"Kuweni waaminifu kwangu hata kama watawaua". Matumizi ya neno "hadi" haimanishi kuwa uache kuwa mwaminifu wakati wa kifo. + +# taji + +"taji la ushindi." Hili lilikua shada ambalo asili yake ilikua ya matawi ya mizeituni au majani ya laurusi ambayo yaliweka kwenye kichwa cha mwanariadha mshindi. + +# taji la uzima + +Maana zinazowezekana ni 1)"taji linaloonesha kuwa nimekupa uzima wa milele" au 2)"uzima wa kweli kama dhawabu kama taji la mshindi" + +# Mwenye sikio asikie + +Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asiklize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza" + +# Yeye ashindaye + +hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu" + +# hatapata madhara ya mauti ya pili + +"hatapitia kifo cha pili" au "hatakufa mara ya pili" + diff --git a/rev/02/12.md b/rev/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..859560a2 --- /dev/null +++ b/rev/02/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Pergamo. + +# Pergamo + +Huu ni mji ndani ya Asia ambapo ni Uturuki ya leo. + +# upanga mkali, wenye makali kuwili + +Hii humaanisha upanga wenye makali mawili, ambao umechongeka pande zote ili kukata pande zote. + +# kiti cha enzi cha shetani + +Maana zinazowezekana ni 1) nguvu ya Shetani na ushawishi wake juu ya watu, au 2) mahali ambapo Shetani hutawala. + +# wewe walishika sana jina langu + +Kuwa na imani dhabiti inazungumziwa kama kushikilia kwa nguvu. "Unaniamini kwa dhabiti" + +# hukuikana imani yako iliyo kwangu + +"Imani" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "kuamini". "hukuacha kuniamini" + +# Antipasi + +Hili ni jina la mtu. + diff --git a/rev/02/14.md b/rev/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..a8f548a3 --- /dev/null +++ b/rev/02/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini nina mambo machache dhidi yako + +"sikukubali kwa sababu ya vitu vichache ulivyofanya" au "nina hasira na wewe kwa sababu ya vitu vichache ulivyofanya" + +# washikao mafundisho ya Balaamu + +Maana zinazowezekana ni 1)"wafundishao alichofundisha Balaamu" au 2)"wanaofanya alichofundisha Balaamu". + +# Balaki + +Hili ni jina la mfalme. + +# aliyemfundisha Balaki kuweka vikwazo mbele ya wana wa Israel + +Jambo linalowapelekea watu kutenda dhambi huzungumziwa kama jiwe barabarani ambalo watu hujikwaa nalo. "aliyemuonesha Balaki jinsi ya kuwafanya watu wa Israeli kutenda dhambi". + +# Uasherati + +"kutenda dhambi ya zinaa". + +# Wanikolai + +Hili ni jina la kundi la watu waliofuata mafundisho ya mtu aitwaye Nikolai + diff --git a/rev/02/16.md b/rev/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..9a75d648 --- /dev/null +++ b/rev/02/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Basi tubu + +kwa hiyo tubu + +# usipofanya hivyo + +"usipotubu" + +# nitafanya vita dhidi yao + +"kupigana dhidi yao" + +# kwa upanga utokao katika kinywa changu + +Hii humaanisha upanga katika 1:14. Ingawa alama za lugha za ufunuo kawaida hazitakiwi kutafsiriwa, watafsiri wanaweza kuchagua kama waifafanue hii alama kama alama ya neno la Mungu, kama UDB ilivyofanya. Hii alama inaonesha kwamba Kristo atawashinda maadui zake kwa kutoa amri tu. + +# Mwenye sikio na askie + +Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza" + +# Yeye ashindaye + +Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu" + diff --git a/rev/02/18.md b/rev/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..61480ebf --- /dev/null +++ b/rev/02/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Thiatra. + +# Thiatra + +Hili ni jina la mji ndani ya Asia ambapo ni Uturuki ya leo. + +# Mwana wa Mungu + +Hili ni jina muhimu la Yesu Kristo. + +# macho yake kama mwali wa moto + +Macho yake yanaelezwa kuwa na mwanga kama mwali wa moto. "macho yake yaling'ara kama mwali wa moto" + +# nyayo kama shaba iliyosuguliwa + +Shaba hung'arishwa kuifanya ingae na kurudisha mwanga. "Miguu yake iling'ara sana kama shaba iliyosuguliwa" + +# upendo wako na imani na huduma na uvumilivu wako thabiti + +Hizi ni nomino dhahania ambazo zinaweza kutafsiriwa na vitenzi. "jinsi unavyopenda, kuamini, kuhudumu na kuvumilia kwa thabiti. + +# upendo wako na imani na huduma na uvumilivu wako thabiti + +Maana ya mambo ya hivi vitenzi vinaweza kuweka bayana. "jinsi unavyonipenda na wengine, unavyoniamini, unavyohudumia wengine, na kustahamili tabu kwa uvumilivu". + diff --git a/rev/02/20.md b/rev/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..fc02d64d --- /dev/null +++ b/rev/02/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini ninalo hili dhidi yako + +"Lakini sikubali baadhi ya vitu ulivyofanya" au "Lakini nina hasira na wewe kwa sababu ya jambo ulilofanya". + +# mwanamke Yezebeli + +Yesu alimzungumzia mwanamke mmoja kanisani mwao kana kwamba alikua Malkia Yezebeli kwa sababu alifanye vitendo vya dhambi kama vile alivyofanya Malkia Yezebeli zamani kabla ya huo wakati. + +# Nilimpa muda wa kutubu + +"Nilimpa nafasi ya kutubu" au "nilisubiri atubu" + diff --git a/rev/02/22.md b/rev/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..8c878e4f --- /dev/null +++ b/rev/02/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nitamtupa kwenye kitanda cha maradhi + +Yeye kulazimika kulala kitandani itakua matokeo ya yesu kumfanya kuwa mgonjwa sana. "Nitamfanya alale kitandani akiumwa" au "nitamfanya aumwe sana" + +# na wale watendao uzinzi naye kwenye mateso makali + +Yesu anazungumzia watu kuteseka kama kuwatupa katika mateso. "na nitawafanya watakaozini naye kuteseka sana" + +# Kuzini + +"kufanya uzinzi" + +# hadi watakapotubu dhambi zao + +"kama hawatatubu dhambi zake anazozifanya". + +# Nitawapiga wanawe wafe + +"Nitawaua watoto wake" + +# watoto wake + +Yesu alizungumzia wafuasi wake kama vile walikuwa watoto wake. "wafuasi wake" au "watu wanaofanya anachofundisha" + +# mawazo na mioyo + +Neno "moyo" mara nyingi humaanisha hisia na tamaa. Haya mawazo mawili yaweza kutafsiriwa kama vitenzi. "nini ambacho watu wanawaza na kutaka". + +# Nitampa kila mmoja wenu + +Huu ni udhahiri kuhusu adhabu na thawabu. "Nitawaadhibisha au kuwazawadia kila mmoja wenu" + diff --git a/rev/02/24.md b/rev/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..fb7d70c1 --- /dev/null +++ b/rev/02/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa wale wote msioshika fundisho hili + +Kuamini fundisho inazungumziwa kama kulishika fundisho. "watu wote wasioamini fundisho hili" + +# fundisho hili + +jina "fundisho" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "anachofunza" + +# mafumbo ya Shetani + +"vitu vya kina afundishavyo Shetani" + +# vitu vya kina + +Vitu vya siri huzungumziwa kama vile ni vya kina. "vitu vya siri" + +# baadhi huita mafumbo ya Shetani + +Maana zinazowezekana ni 1) wale walioviita vitu vya kina walielewa kuwa vilitoka kwa Shetani au 2) watu wengine waliviita vitu vya kina lakini Yesu alichokua anasema ni kwamba ni vya kutoka kwa Shetani. "vitu vya Shetani, ambavyo baadhi ya watu huita vitu vya kina" + diff --git a/rev/02/26.md b/rev/02/26.md new file mode 100644 index 00000000..0f743e1c --- /dev/null +++ b/rev/02/26.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Yule ashindaye + +Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa yule ambaye hatakubali kufanya uovu" + +# Atawatawala ... atawavunja vipande + +Huu ni utabiri kutoka Agano la Kale kuhusu mfalme wa Israeli, lakini Yesu alimaanisha hapa kwa wale atakaowapa mamlaka juu ya mataifa. + +# Atawatawala kwa fimbo ya chuma + +Kutawala kwa ukali kunazungumziwa kama kutawala kwa fimbo ya chuma. "Atawatawala kwa ukali kama vile anawapiga na fimbo ya chuma." + +# kama mabakuli ya udongo, atawavunja vipande vipande + +Kuwavunja katika vipande ni picha inayoonesha 1) kuwateketeza watenda maouvu au 2)kuwashinda maadui. "Atawashinda kabisa maadui wake kama vile kuvunja vipande vipande mabakuli ya udongo." + +# Kama nilivyopokea kutoka kwa Baba yangu + +Lugha zingine zinaweza kuhitaji kuonesha kilichopokelewa. Maana zinazowezekana ni 1)"Kama vile nilivyopokea mamlaka kutoka kwa Baba yangu" au 2) Kama nilivyopokea nyota ya asubuhi kutoka kwa Baba yangu. + +# Baba yangu + +Hili ni jina muhimu la Mungu linaloeleza mahusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# nitampa pia + +Hapa inamaanisha yule atakaye shinda. + +# nyota ya asubuhi + +Hii ni nyota inayoonekana asubuhi kabla ya kupambazuka. Ilikua pia ni ishara ya ushindi. + +# Mwenye sikio asikie + +Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza" + diff --git a/rev/03/01.md b/rev/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..e08fd210 --- /dev/null +++ b/rev/03/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Sardi. + +# Sardi + +Hili ni jina la mji ndani ya Asia ambayo ni Uturuki ya leo. + +# roho saba + +Namba saba ni alama ya ukamilifu na utimilifu. "Roho saba" humaanisha mojawapo kati ya Roho ya Mungu au roho saba zinazomtumikia Mungu. + +# nyota saba + +Nyota hizi ni alama. Zinaonekana kuasharia wale malaika saba wa makanisa saba. + +# hai ... mfu + +Kumtii na kumheshimu Mungu inazungumziwa kama kuwa hai; kutomtii na kutomheshimu inazungumziwa kama kuwa mfu. + +# Amka + +Kuwa makini na hatari inazungumziwa kama kuamka. "Kuwa makini" au "kuwa mwangalifu" + +# kuimarisha yaliyosalia, lakini yako karibu kufa + +Matendo mema yaliyofanywa na waumini wa Sardi yanazungumziwa kama vile yako hai lakini yako hatarini kufa. "kamilisha kazi iliyosalia au kile ulichokifanya hakitakua na maana" au "kama hautakamilisha ulichoanza kufanya, kazi yako ya nyuma itakua batili" + diff --git a/rev/03/03.md b/rev/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..6a4c82df --- /dev/null +++ b/rev/03/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# yale uliyoyapokea na kusikia + +Hii humaanisha neno la Mungu ambalo waliamini. "neno la Mungu mlilosikia na ukweli mlioamini" + +# usipoamka + +Kuwa makina na hatari huzungumziwa kama kuamka. "Kuwa makini" au "Kuwa mwangalifu." + +# nitakuja kama mwivi + +Yesu atakuja wakati watu hawatarajii kama vile mwizi ajavyo asipotarajiwa. + +# majina machache ya watu + +Hii humaanisha watu wenyewe. "watu wachache" + +# hawakuchafua nguo zao + +Yesu anazungumzia dhambi katika maisha ya mtu kama vile ni nguo chafu. "hawajafanya maisha yao yawe yenye dhambi kama nguo chafu" + +# Watatembea pamoja nami + +Watu kawaida walizungumzia kuishi kama "kutembea." + +# wamevaa nguo nyeupe + +Nguo nyeupe huashiria maisha masafi bila dhambi. "na watavikwa nguo nyeupe ambayo inaonesha waso ni wasafi" + diff --git a/rev/03/05.md b/rev/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..a8182bcb --- /dev/null +++ b/rev/03/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeye ashindaye + +Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu" + +# atavikwa mavazi meupe + +Hii inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "atavaa mavazi meupe" au " Nitampa ngu nyeupe" + +# nitalitaja jina lake + +Hata taja jina lake tu bali atatangaza kuwa huyu ni mtu wake. "Nitatangaza kuwa ni mali yangu" + +# Baba yangu + +Hili ni jina muhimu la Mungu linaloeleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# Mwenye sikio asikie + +Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza" + diff --git a/rev/03/07.md b/rev/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..83a46940 --- /dev/null +++ b/rev/03/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Filadefia. + +# ufunguo wa Daudi + +Yesu anazungumzia mamlaka yake kuamua nani aingie katika ufalme wake kama vile ni ufunguo wa Mfalme Daudi. + +# hufungua na hakuna afungaye + +"anafungua mlango wa ufalme na hakuna awezaye kuufunga. + +# hufunga na hakuna awezaye kufungua + +"hufunga mlango na hakuna awezaye kuufungua" + +# nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa + +"Nimekufungulia mlango" + +# jina langu + +neno "jina" mara nyingi hutumika kuonesha mtu mwenye hilo jina. "mimi" + diff --git a/rev/03/09.md b/rev/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..0c521bd0 --- /dev/null +++ b/rev/03/09.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# sinagogi la Shetani + +Watu wanaokusanyika kumtii au kumtukuza Shetani wanazungumziwa kama sinagogi, mahali pa wayahudi pa kuabudu na kufundishia. + +# kusujudu + +Hii ni ishara ya unyenyekevu, sio kuabudu. "Sujudu kwa unyenyekevu" + +# mbele ya miguu yako + +"mbele yako" + +# watajua + +"watajifunza" au "watakiri" + +# nitakulinda pia katika saa ya kujaribiwa + +"nitakutunza pia katika saa ya kujaribiwa" + +# saa ya kujaribiwa + +"muda wa kujaribiwa." Hii inaweza kumaanisha "wakati ambapo watu watajaribu kukufanya usinitii. + +# inakuja + +Iliyo siku za usoni inazungumziwa kama ijayo. + +# Naja upesi + +Inaeleweka kuwa anakuja ili ahukumu. "Ninakuja kuhukumu hivi punde" + +# Shikilia sana + +"Endelea kuamini" + +# taji + +Taji ilikua ni shada ambalo asili yake ilikua ya matawi ya mizeituni au majani ya laurusi ambayo yaliweka kwenye kichwa cha mwanariadha mshindi. + diff --git a/rev/03/12.md b/rev/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..1750c5c5 --- /dev/null +++ b/rev/03/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yeye ashindaye + +hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu" + +# nguzo katika hekalu la Mungu wangu + +"Nguzo" inaonesha kuwa sehumu muhumi na ya kudumu katika ufalme wa Mungu. "imara kama nguzo katika ufalme wa Mungu wangu" + +# Mwenye sikio asikie + +Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza" + diff --git a/rev/03/14.md b/rev/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..764f6efb --- /dev/null +++ b/rev/03/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Laodikia. + +# Maneno yake aliye Amina + +Hape "aliye Amina" ni jina la Yesu Kristo. Athibitisha ahadi za Mungu kwa kusema amina. + +# mtawala juu ya uumbaji wa Mungu + +Maana zinazowezekana ni 1)"yule ambaye antawala vitu vyote vilivyoumbwa na Mungu" au 2)"yule ambaye Mungu aliumba vitu vyote kupitia kwake." + +# wewe si baridi wala moto + +"Baridi" na "moto" inaonesha kuvutiwa kwa mambo ya kiroho au kumpenda Mungu kwa pande mbili tofauti kabisa. Kuwa "baridi" ni kuwa kinyume kabisa na Mungu na kuwa wa "moto" ni kuwa na uchu wa kumtumikia. + +# vuguvugu + +"joto kidogo." Hii humuelezea mtu aliye na hamu ndogo ya mambo ya kiroho. + +# nitakutapika utoke kinywani mwangu + +Kuwakataa inazungumziwa kama kuwatapika kutoka kinywani. "Nitawakataa kama vile nitemavyo maji ya uvuguvugu." + diff --git a/rev/03/17.md b/rev/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..344cf70b --- /dev/null +++ b/rev/03/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wewe ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi + +Yesu anazungumzia hali yao ya kiroho kama vile anazungumzia hali yao ya kimwili. "Nyie ni kama watu duni sana, wakusikitisha, maskini, vipofu, na uchi." + +# Nunua kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto + +Dhahabu iliyo safishwa katika moto ni safi na ya dhamani sana. Hapa wokovu ambao Yesu anawapa binadamu unazungumziwa kama dhahabu. "Pokeeni kutoka kwangu kilicho cha dhamani zaidi kama vile ni dhahabu iliyotakaswa katika moto." + +# upate kuwa tajiri + +Hii humaanisha utajiri wa kiroho, kuishi maisha yenye dhamani sana mbele za Mungu. "wawe matajiri kiroho" au "aishi maisha ya dhamani zaidi" + +# nguo nyeupe za kumetameta + +Nguo nyeupe zinaonesha utakatifu. "utakatifu kama nguo nyeupe" + +# upate kuona + +Kuona inamaanisha kuelewa ukweli. + diff --git a/rev/03/19.md b/rev/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..70327003 --- /dev/null +++ b/rev/03/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kuwa mkweli na utubu + +"kuwa makini na utubu" + +# nasimama katika mlango na kubisha + +Yesu anazungumzia watu kutaka kuhusiana naye kama vile wanataka kumkaribisha nyumbani mwao. "Mimi ni kama yule asimamaye mlangoni akibisha hodi" + +# na kubisha + +Watu hubisha hodi wakitaka kukaribishwa kwenye nyumba ya mtu. "na ninataka mniruhusu niingie ndani" + +# asikiaye sauti yangu + +Msemo wa "sauti yangu" huonesha Yesu akizungumza. "anayesikia nikizungumza" au "anayesikia nikiita" + +# nitakuja na kuingia nyumbani kwake + +Lugha zingine zinaweza kupendelea kitenzi cha "nenda". "Nitaenda nyumbani kwake" + +# na kula naye + +Hii huonesha kuwa pamoja kama marafiki. + diff --git a/rev/03/21.md b/rev/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..1374b40e --- /dev/null +++ b/rev/03/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli unganishi: + +Huu ni mwisho wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa makanisa saba. + +# Yeye ashindaye + +hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu" + +# ukaa chini pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi + +Kukaa katika kiti cha enzi humaanisha kutawala. "kutawala pamoja nami" au "kuketi na mimi katika kiti changu cha enzi na kutawala na mimi" + +# Baba yangu + +Hili ni jina muhimu la Mungu linaloeleza mahusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# Mwenye sikio asikie + +Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza" + diff --git a/rev/04/01.md b/rev/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..d43cdc1b --- /dev/null +++ b/rev/04/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana aanza kueleza maono yake ya kiti cha enzi cha Mungu. + +# Baada ya mambo haya + +"baada ya vitu ambavyo Yohana ametoka kuona" + +# mlango ulikuwa umefunguliwa mbinguni + +Msemo huu humaanisha uwezo ambao Mungu alimpa Yohana kuona mbinguni, angalau kwa njia ya maono. + +# ikizungumza nami kama tarumbeta + +Jinsi sauti ilikuwa kama tarumbeta inaweza kuainishwa vizuri. "kuzungumza na mimi kwa sauti kama sauti ya tarumbeta" + +# tarumbeta + +Hii humaanisha chombo cha kutengeneza muziki au kuwaita watu kwa ajili ya tangazo au mkutano. + +# nilikuwa katika Roho + +Yohana anazungumzia kuvutwa na Roho ya Mungu kana kwamba alikua katika Roho. "kushawishika na Roho" au "Roho alinishawishi" + +# yaspi na akiki + +Mawe ya thamani. Yaspi inawezekana ilikua nyeupe kama kioo + +# zumaridi + +Jiwe la thamani la kijani + diff --git a/rev/04/04.md b/rev/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..d0a1373c --- /dev/null +++ b/rev/04/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wazee ishirini na wanne + +wazee wanne** -"wazee 24" + +# taji za dhahabu + +Hizi zilikua kama mashada ya matawi ya mizeituni na majani ya laurusi zilizopondwa katika dhahabu. Taji za naamna hii za majani walipewa wanariadha washindi vichwani mwao. + +# miale ya radi + +Mwanga unaotokea wakati radi ikipiga. + +# muungurumo ya radi + +Hii ni miungurumo ya sauti ambayo radi husababisha. + +# roho saba + +Namba saba ni alama ya ukamilifu na utimilifu. "Roho saba" humaanisha mojawapo kati ya Roho ya Mungu au roho saba zinazomtumikia Mungu. + diff --git a/rev/04/06.md b/rev/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..61681f2d --- /dev/null +++ b/rev/04/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# bahari ya kioo + +Inaainisha wazi jinsi ilivyokua kama kioo au bahari. Maana zinazowezekana ni 1) bahari linazungumziwa kama vile ni kioo. "bahari lililo laini kama kioo" au 2) kioo kinazungumziwa kama vile ni bahari. "kioo kilichosambazwa kama bahari" + +# kama kioo + +Inaainishwa wazi jinsi ilivyokua kama kioo. "nyeupe kama kioo" + +# Katikati ya kiticha enzi na kukizunguka + +"Hapo hapo karibu na kiti cha enzi" au "Karibu na kiti cha enzi na kukizunguka" + +# wenye uhai wanne + +"viumbe wanne" au "vitu vinne vyenye uhai" + diff --git a/rev/04/07.md b/rev/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..d2f30ec8 --- /dev/null +++ b/rev/04/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kiumbe hai + +"kiumbe hai" au "kitu hai". + +# wamejaa macho juu na chini + +Juu na chini ya kila bawa kulijaa macho. + +# atakayekuja + +Aliyepo wakati wa usoni azungumziwa kama ajaye + diff --git a/rev/04/09.md b/rev/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..afeff4ca --- /dev/null +++ b/rev/04/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# aliyekuwa ameketi kwenye hicho kiti cha enzi, yeye aishiye milele + +Huyu ni mtu mmoja. Yule ambaye ameketi kwenye kiti cha enzi anaishi milele na milele. + +# milele na milele + +Maneno haya yana maana moja na yanarudiwa kuonesha msisitizo. "milele yote" + +# wazee ishirini na wanne + +wazee wanne** -"wazee 24" + +# walisujudu wenyewe + +Kulala chini kwa kutazama ardhi. + +# kutupa chini taji zao mbele ya kiti cha enzi + +Hizi zilikua mfano wa taji za matawi ya mizeituni au majani ya laurusi yaliopondwa katika dhahabu. Mifano ambayo iliundwa kwa majani walipewa wanariadha washindi kuvaa kichwani. Wazee walikua wakionesha kuwa wanatii utawala wa Mungu. "walitupa chini mataji yao mbele ya kiti cha enzi kuonesha kumtii yeye" + +# Bwana wetu na Mungu wetu + +"Bwana wetu na Mungu." Huyu ni mtu mmoja yule ambaye ameketi kwenye kiti cha enzi. + +# kupokea utukufu na heshima na nguvu + +Hivi ni vitu ambavyo Mungu anavyo siku zote. Kusifiwa kuwa navyo inazungumziwa kama kuvipokea. "kusifiwa kwa utukufu wake, heshima, na nguvu" au "kwa kila mmoja kumsifu kwa sababu yeye ni mtukufu, mwenye heshima, na mwenye nguvu. + diff --git a/rev/05/01.md b/rev/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..b5a08d0b --- /dev/null +++ b/rev/05/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli unganishi: + +Yohana anaendelea kueleza alichokiona katika maono ya kiti cha enzi cha Mungu. + +# Kisha nikaona + +"Baada ya kuona hivyo vitu ,nikaona" + +# yule aliyekuwa amekaa katika kiti cha enzi + +Hii ni sawa sawa na "moja" kama 4:1 + +# gombo lililoandikwa mbele na nyuma + +"gombo linye maandishi mbele na nyuma" + +# lilikuwa limetiwa mihuri saba + +"lilikuwa limefungwa na mihuri saba" + +# Nani astahiliye kulifungua gombo na kuzivunja mihuri yake? + +Mtu huyu atahitaji kuivunja mihuri ili kuifungua gombo. "Nani anayestahili kuvunja mihuri na kufungua gombo?" + +# Nani astahiliye kulifungua gombo na kuzivunja mihuri yake? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama amri. "Acha yule ambaye anastahili kufanya hivi aje avunje mihuri na kuifungua gombo!" + diff --git a/rev/05/03.md b/rev/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..8d835f29 --- /dev/null +++ b/rev/05/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mbinguni au duniani au chini ya dunia + +Hii inamaanisha mahali pote: Mahali ambapo Mungu na malaika huishi, mahali ambapo watu na wanyama huishi, na mahali ambapo wale waliokufa walipo. + +# Tazama + +"Sikiliza" au "kuwa makini na jambo nilotaka kukuambia" + +# Simba wa kabila ya Yuda + +Hili ni jina la mtu kutoka kabila la Yuda ambaye Mungu aliahidi atakuwa mfalme mkuu. "Yule aitwaye Simba wa kabila la Yuda" au "Mfalme aitwaye Simba wa kabila la Yuda" + +# Simba + +Mfalme anazungumziwa kama vile yeye ni simba kwa sababu simba ni mnyama imara sana. + +# shina la Daudi + +Huyu ni mzawa wa kizazi cha Daudi ambaye Mungu aliahidi atakuwa mfalme mkuu. "yule aitwaye shina la Daudi" + +# shina la Daudi + +Huyu mzawa anazungumziwa kama vile familia ya Daudi ni mti na yeye ni shina lake. + diff --git a/rev/05/06.md b/rev/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..a9c548ea --- /dev/null +++ b/rev/05/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwanakondoo aonekana katika chumba cha kiti cha enzi + +# mwanakondoo + +"mwanakondoo" ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo. + +# roho saba za Mungu + +Namba saba ni alama ya ukamilifu na utimilifu. "Roho saba" humaanisha mojawapo kati ya Roho ya Mungu au roho saba zinazomtumikia Mungu. + +# zilizotumwa duniani kote + +Hii inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "kwamba Mungu alizozituma kote duniani + +# Akaenda + +Akakaribia kiti cha enzi. Lugha zingine zitatumia kitenzi "njoo". "alikuja" + diff --git a/rev/05/08.md b/rev/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..22b240eb --- /dev/null +++ b/rev/05/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwanakondoo + +"mwanakondoo" ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kushiria kuwa ni Kristo. + +# wazee ishirini na wanne + +wazee wanne** -"wazee 24" + +# wakainama hadi nchi + +Kulala chini kwa kutazama ardhi. + +# Kila mmoja + +Maana zinazowezekana ni 1)"kila mzee ni kiumbe hai" au 2)"kila mzee" + +# bakuli ya dhahabu iliyojaa uvumba ambayo ni maombi ya waamini + +Uvumba hapa ni alama ya maombi ya waumini wa Mungu. + diff --git a/rev/05/09.md b/rev/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..4db05dd2 --- /dev/null +++ b/rev/05/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa kuwa ulichinjwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kwa kuwa waliwachinja" au "kwa kuwa watu waliwaua" + +# kuchinjwa + +Hii inaweza kumaanisha kutolewa uhai kwa ajili ya sadaka + +# na kwa damu yako + +Kwa sababu damu huashiria uhai wa mtu, kupoteza damu huashiria kufa. Hii inaweza kumaanisha "kwa kifo chako" au "kwa kufa kwako." + +# ukamnunulia Mungu watu + +"Ulinunua watu ili wawe wa Mungu" au "ulilipia gharama ili watu wawe wa Mungu" + +# wa kila kabila, lugha, jamaa na taifa + +Hii humaanisha watu kutoka kila kabila. + diff --git a/rev/05/11.md b/rev/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..918364e2 --- /dev/null +++ b/rev/05/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# elfu kumi kwa elfu kumi na elfu kwa elfu + +Hii huonesha kuwa hii ni idadi kubwa sana ya watu. "mamilioni" au "maelfu mengi sana kuhesabu" + +# Astahili mwanakondoo + +"Mwanakondoo anastahili" + +# kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, heshima, utukufu, na sifa + +Hivi ni vitu ambavyo Mwanakondoo anavyo. Kusifiwa navyo inazungumziwa kama kuvipokea. "kusifiwa kwa utukufu wake, utajiri, hekima, nguvu, heshima, utukufu." + +# Astahili .. kupokea ... sifa + +Hii inamaanizha kuwa anastahili kusifiwa na kila mtu. + diff --git a/rev/05/13.md b/rev/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..434da6ce --- /dev/null +++ b/rev/05/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mbinguni na duniani na chini ya nchi + +Hii inamaanisha mahali pote: Mahali ambapo Mungu na malaika huishi, mahali ambapo watu na wanyama huishi, na mahali ambapo wale waliokufa walipo. + +# Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu + +Kitenzi "toa" kinaweza kutumika kuonesha jinsi sifa, heshima na utukufu "ni" kwake yeye aliye katika kiti cha enzi na kwa Mwanakondoo. "Tunapaswa kumpa sifa, heshima, na utukufu yule aketiye kwenye kiti cha enzi na kwa Mwanakondoo" + +# na nguvu ya kutawala milele na milele + +Kitenzi "kuwa" kinaweza kutumika kuonesha jinsi gani nguvu inaweza kuwa kwake aliye kwenye kiti cha enzi na kwa Mwanakondoo. "na wawe na nguvu kutawala milele na milele" + diff --git a/rev/06/01.md b/rev/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..8f01d916 --- /dev/null +++ b/rev/06/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli unganishi: + +Yohana aendelea kueleza matukio yaliotokea mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Mwanakondoo aanza kufungua mihuri na gombo. + +# Njoo! + +Hii ni amri kwa mtu mmoja, inavyoonekana ni mpanda farasi mweupe anayezungumziwa kwenye mstari wa 2. + +# akapewa taji + +Hii aina ya taji ni mfano wa shada la matawi ya mizeituni na majani laurusi ambazo huwezekana zilipondwa kwenye dhahabu. Mifano ambayo iliundwa kwa majani ilipewa kwa wanariadha washindi kuvaa vichwani mwao. Hii inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "alipokea taji" au "Mungu alimpa taji" + +# Taji + +Hili lilikua shada la matawi ya mzeituni na majani ya laurusi kama mashada ambayo wanariadhaa washindi walivyopokea kipindi cha Yohana. + diff --git a/rev/06/03.md b/rev/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..7191d897 --- /dev/null +++ b/rev/06/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# muhuri wa pili + +"muhuri unaofuata" au "muhuri namba mbili" + +# mwenye uhai wa pili + +"mwenye uhai afuataye" au "mwenye uhai namba mbili" + +# mwekundu kama moto + +"alikua mwekundu kama moto" au "alikua mwekundu wa kungaa" + +# Aliye mpanda alipewa ruhusa + +Hii inaweza kuelezwa kama kitenzi. "Mungu alimpa ruhusa aliyempanda" au "aliyempanda alipokea ruhusa" + +# Huyu aliye mpanda alipewa upanga mkubwa + +Hii inaweza kuelezwa kama kitenzi. "Huyu aliyempanda alipokea upanga mkubwa" au "Mungu alimpa upanga mkubwa yule aliye mpanda." + diff --git a/rev/06/05.md b/rev/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..9528dbdf --- /dev/null +++ b/rev/06/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# muhuri wa tatu + +"muhuri unaofuata" au "muhuri namba tatu" + +# mwenye uhai wa tatu + +"mwenye uhai afuataye" au "mwenye uhai namba tatu" + +# mizani + +Chombo kinachotumika kupima uzito wa vitu. + +# kibaba cha ngano kwa dinari moja + +Lugha zingine zingependa kutumia kitenzi kama "gharimu" au "nunua" katika sentesi. "Kibaba cha ngano sasa kina gharimu dinari moja" au "Nunua kibaba cha ngano kwa dinari moja." Kulikuwa na ngano chache kwa watu wote kwa hiyo bei yake ilikuwa juu sana. + +# kibaba cha ngano + +Hii huonesha kipomo bayana ambacho kilkuwa kama lita moja. "lita moja" au "bakuli moja" + +# dinari moja + +Hii sarafu ilikua na dhamani ya mshahara wa siku nzima. "sarafu moja ya shaba" au "malipo ya siku moja ya kazi" + +# Lakini usiyadhuru mafuta na divai + +Kama mafuta na divai yangedhuriwa, basi yangekua machache kwa ajili ya watu kununua na kwa hiyo bei zake zingepanda juu. + +# mafuta na divai + +Hii misemo inawezekana kumaanisha uvunaji wa mafuta ya mizeituni na uvunaji wa zabibu. + diff --git a/rev/06/07.md b/rev/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..46f31f41 --- /dev/null +++ b/rev/06/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# muhuri wa nne + +"muhuri unaofuata" au "muhuri namba nne" + +# mwenye uhai wa nne + +"mwenye uhai afuataye" au "mwenye uhai namba nne" + +# kijivu + +"kijivu". Hii ni rangi ya maiti kwa hiyo ni rangi ya kuashiria kifo. + +# robo ya nchi + +robo moja ya nchi** - Nchi hapa inaonesha watu wa duniani. "robo moja" ya watu duniani" + +# upanga + +Upanga ni silaha na hapa inaashiria vita. + +# na kwa wanyama wa mwitu katika nchi + +Hii inamaanisha kwamba mauti na kuzimu zitasababisha wanyama wa mwitu kuua watu. + diff --git a/rev/06/09.md b/rev/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..e963d959 --- /dev/null +++ b/rev/06/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# muhuri wa tano + +"muhuri unaofuata" au "muhuri namba tano" + +# chini ya madhabahu + +Hii inaweza kuwa "katika kitako cha madhabahu." + +# wale waliokuwa wameuawa + +Hii inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "wale ambao wameuwawa na wengine" + +# neno la Mungu na kutokana na ushuhuda + +Maana zinazowezekana ni 1) ushuhuda ni ushahidi wa Mungu juu ya ukweli wa neno lake (kama inavyooneshwa kwenye UDB), au 2) ushuhuda ni ushahidi wa aliye amini juu ya ukweli wa neno la Mungu. + +# walioushika + +Kuamini neno la Mungu na ushuhuda wake vinazungumziwa kama vitu ambavyo vinaweza kushikwa mikononi. "ambavyo waliamini" + +# ulipiza kisasi damu yetu + +Neno damu hapa linaonesha vifo vyao. "adhibu waliotuuwa" + +# hata itakapotimia ... ambao watauawa + +Hii inaonesha kuwa Mungu ameshaamua kwamba kuna idadi ya watu ambayo watauwawa na adui zao. + +# watumishi wenzao na ndugu zao wa kike na wa kiume + +Hili ni kundi la watu linalofafanuliwa kwa njia mbili: kama watumishi na kaka na dada. "Kaka zao na dada zao wanaomtumikia Mungu pamoja nao" au "waumini wenzao wanaomtumikia Mungu pamoja nao" + +# ndugu zao wa kiume na wa kike + +Wakristo wanazungumziwa kuwa kama ndugu wa kiume na wa kike. "Wakristo wenzao" au "waumini wenzao" + diff --git a/rev/06/12.md b/rev/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..e027b72c --- /dev/null +++ b/rev/06/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# muhuri wa sita + +"muhuri unaofuata" au "muhuri namba sita" + +# jeusi kama nguo ya magunia + +Wakati mwingine nguo za magunia zilitengenezwa na nywele nyeusi. Watu walivaa magunia walipokuwa wakiomboleza. Picha ya magunia inapaswa kuwaongoza watu kuwaza mauti na kuomboleza. "nyeusi kama nguo za kuomboleza" + +# kama damu + +Picha ya damu inapaswa kuwaongoza watu kuwaza mauti. Jinsi ilivyokuwa kama damu inaweza kuainishwa vizuri. "nyekundu kama damu" + +# kama mtini upukutishavyo matunda yake ya wakati wa baridi unapotikiswa na kimbunga + +"kama jinsi matunda mabichi yanvyoanguka kwa wingi kutoka mtini pale upepo mkali unapotikiswa." + +# Anga ilitoweka kama gombo lililoviringishwa + +Kawaida anga lilifikiriwa kuwa bati gumu la chuma lakini sasa lilikuwa dhaifu kama kipande cha kartasi ambacho kinachanwa kirahisi na kukunjwa. + diff --git a/rev/06/15.md b/rev/06/15.md new file mode 100644 index 00000000..58175355 --- /dev/null +++ b/rev/06/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# majemadari + +Hili neno humaanisha wapambanaji wanao amuru vitani. + +# mapango + +Mashimo makubwa kando kando ya mlima. + +# uso wake + +Hii humaanisha Mungu. Hawakutaka Mungu awaone na kuwaadhibu. + +# uso + +Hapa "uso" unatumilia kuonesha wazo la "uwepo." + +# siku kuu ya gadhabu yao imewadia + +Siku ya ghadhabu yao humaanisha ule wakati ambapo watu waovu wataadhibiwa. "hiki ndicho kile kipindi kibaya watakapowaadhibu watu" + +# imewadia + +Iliyopo sasa inazungumziwa kama vile imefika. + +# gadhabu yao + +"Yao" humaanisha yule aliye katika kiti cha enzi na Mwanakondoo. + +# nani awezaye kusimama? + +Kupona au kuendelea kuwa hai vinazungumziwa kama kusimama. Hili swali linatumika kuonesha huzuni yao kuu na uuoga kwamba hakuna mtu awezaye kupona pale Mungu atakopowaadhibu. "Hakuna awezaye kupona" + diff --git a/rev/07/01.md b/rev/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..252220d5 --- /dev/null +++ b/rev/07/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kueleza maono ya watumishi 144,000 wa Mungu waliotiwa muhuri. Hii inatendeka katikakati ya pale ambapo Mwanakondoo anafungua muhuri wa sita na muhuri wa saba. + +# kona nne za dunia + +Dunia inazungumziwa kama vile ni tambarare na mraba kama kartasi. Usemi "kona nne" humaanisha kaskazini, kusini, mashariki na magharibi. + +# muhuri wa Mungu aliye hai + +Neno "muhuri" hapa humaanisha kifaa kinachotumika kuweka alama katika muhuri wa nta. Na hapa, hiki kifaa kitatumika kuweka alama katika watu wa Mungu. "alama" au "stampu" + +# tumekwishaweka muhuri katika paji za vichwa + +Neno "muhuri" hapa linamaanisha alama. Hii alama inaonesha kwamba hawa ni watu wa Mungu na atawalinda. "weka alama katika paji za vichwa" + +# paji za vichwa + +Paji la kichwa ni juu ya uso, juu ya macho. + diff --git a/rev/07/04.md b/rev/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..91457350 --- /dev/null +++ b/rev/07/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# waliotiwa muhuri + +Hii inaweza kusemwa kama kitenzi. "wale ambao wamewekwa alama na malaika wa Mungu" + +# 144,000 + +"watu laki moja na elfu arobaini na nne" + +# Elfu kumi na mbili kutoka kabila + +"12,000 kutoka katika kabila" + diff --git a/rev/07/07.md b/rev/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..327bc713 --- /dev/null +++ b/rev/07/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kauli unganishi: + +Hii inaendeleza orodha ya watu wa Israeli waliowekewa muhuri. + diff --git a/rev/07/09.md b/rev/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..61ac9bb5 --- /dev/null +++ b/rev/07/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kueleza maono ya pili kuhusu umati ukimsifu Mungu. HIli ni kundi tofauti la watu na wale 144,000 waliotiwa muhuri. Hii pia inachukua nafasi kati ya Mwanakondoo alipofungua muhuri wa sita na wa saba. + +# umati mkubwa + +"kundi kubwa" au " idadi kubwa ya watu" + +# kanzu nyeupe + +Hapa rangi "nyeupe" inaashiria usafi. + +# Wokovu ni kwa + +"Wokovu unatoka kwa" + +# Wokovu ni kwa ... Mwanakondoo + +walikuwa wakimsifu Mungu na Mwanakondoo. Nomini "wokovu" inaweza kuelezwa na kitenzi "kuokoa." "Mungu wetu aketiye katika enzi, na Mwanakondoo wametuokoa!" + diff --git a/rev/07/11.md b/rev/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..4477fd8e --- /dev/null +++ b/rev/07/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Malaika wote ... wenye uhai + +"Malaika wote walisimama kuzunguka kiti cha enzi pamoja na wazee na wenye uhai wanne. + +# viumbe wenye uhai wanne + +Hawa ni viumbe wanne waliotajwa katika 4:6 + +# wakainama chini ardhini na wakaweka nyuso zao juu ya ardhi + +"walisujudu" + +# Sifa, utukufu ... kwa Mungu wetu + +"Mungu wetu anastahili sifa zote, utkufu, hekima, shukrani, heshima, uwezo na nguvu" + +# Sifa, utukufu ... shukurani, heshima ... viwe kwa Mungu wetu + +Kitenzi "toa" inaweza kutumika kuonesha jinsi gani sifa, utukufu, na heshima "niza" Mungu. "Tunapaswa kumpa sifa , utukufu, shukrani, na heshima Mungu wetu" + +# hekima ... uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu + +"Mungu wetu ana hekima yote, uwezo na nguvu" + +# milele na milele + +Haya maneno mawili yanamaana moja na yanasisitiza kuwa sifa haitaisha. + diff --git a/rev/07/13.md b/rev/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..d9188d0b --- /dev/null +++ b/rev/07/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# waliovaa kanzu nyeupe + +Hizi kanzu nyeupe zilionesha kuwa ni watakatifu. + +# waliotoka katika dhiki kuu + +"wamepona katika dhiki kuu" au "wamepita katika dhiki kuu" + +# dhiki kuu + +"kipindi cha mateso makubwa" au "kipindi ambacho watu watateseka vibaya sana" + +# Wamezifua kanzu zao na kuzifanya nyeupe kwa damu ya Mwanakondoo + +Kufanywa mtakatifu na damu ya Mwanakondoo inazungumziwa kama kufua kanzu zao na damu yake. "Wamefanywa watakatifu kwa kufua nguo zao katika damu yake" + +# Wamezifua kanzu zao na kuzifanya nyeupe kwa damu ya Mwanakondoo + +Neno "damu" inatumika kuonesha kifo cha Mwanakondoo. Kifo chake kinaweza kuzungumziwa vizuri. "Wamefanywa watakatifu kwa kufua nguo zao katika kifo chake" + diff --git a/rev/07/15.md b/rev/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..66891c85 --- /dev/null +++ b/rev/07/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mzee aendelea kuzungumza na Yohana. + +# wako ...yao ... wao + +Hizi zote zinamaanizha wale watu waliotoka katika Dhiki Kuu. + +# usiku na mchana + +Sehemu hizi mbili na siku zinatumika pamoja kumaanisha "wakati wote" au " bila kukoma" + +# atasambaza hema yake juu yao + +"ataweka hema yake juu yao." Kuwalinda inazungumziwa kama kuwapa hifadhi ya kuishi. "atawahifadhi" au "atawalinda" + +# Jua halitawachoma + +Joto la jua linalinganishwa na adhabu inayosababisha watu wateseke. "Jua halitawachoma" au "Jua halitawadhoofisha" + +# Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi + +"Mwanakondoo anayesimama katikati ya eneo ya kiti cha enzi" au "Mwanakondoo aliye katika kiti cha enzi" + +# Kwa kuwa Mwanakondoo ... atakuwa mchungaji wao + +Wazee wanamzungumzia Mwanakondoo kuwajali watu wake kama mchungaji anavyojali kondoo wake. "Kwa kuwa Mwanakondoo ... atakuwa kama mchungaji kwao" au " Kwa kuwa Mwanakondoo ... atawajali kama mchungaji anavyojali kondoo wake" + +# atawaongoza katika chemchemi ya maji ya uzima + +Wazee wanakizungumzia kinachowapa uhai kama vile ni chemchemi ya maji safi. "Atawaongoza kama mchungaji awaongozavyo kondoo wake kwenye maji masafi" au "atawaongoza kuelekea maishani kama mchungaji anavyowaongoza kondoo wake kuelekea kwe maji masafi" + +# Mungu atafuta kila chozi katika macho yao + +Machozi hapa yanawakilisha huzuni. "Mungu atafuta huzuni yao kama vile anafuta machozi yao" au "Mungu atawasababisha wasiwe na huzuni tena" + diff --git a/rev/08/01.md b/rev/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..8b728266 --- /dev/null +++ b/rev/08/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mwanakondoo afungua muhiri wa saba. + +# muhuri ya saba + +Huu ni muhuri wa mwisho katika ukurasa. "muhuri unaofuata" au " muhuri wa mwisho" au "muhuri namba saba" + +# wakapewa tarumbeta saba + +Wote walipewa tarumbeta moja. Maana zinazowezekana ni 1) "Mungu aliwapa tarumbeta saba" au 2) "Mwanakondoo aliwapa tarumbeta saba" + diff --git a/rev/08/03.md b/rev/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..24b32628 --- /dev/null +++ b/rev/08/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# autoe + +"autoe uvumba kwa Mungu kwa kuuchoma" + +# mkononi mwa malaika + +Hii inamaanizha bakuli katika mkono wa malaika. "bakuli katika mkono wa malaika" + +# akalijaza moto + +Neno "moto" hapa inaweza kumaanisha kuchoma makaa. "akalijaza na makaa yanayowaka" au " akalijaza na makaa ya moto" + diff --git a/rev/08/06.md b/rev/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..74d12f27 --- /dev/null +++ b/rev/08/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Malaika saba wapiga tarumbeta saba mmoja baada ya mwingine. + +# Vikatupwa chini katika nchi + +"Malaika alitupa mvua ya mawe na moto uliochanganyikana na damu chini duniani." + +# theluthi moja yake iungue, theluthi moja ya miti ikaungua na nyasi zote za kijani zikaungua + +"iliunguza theluthi moja ya nchi, theluthi moja ya miti na majani yote ya kijani." + diff --git a/rev/08/08.md b/rev/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..e30ff848 --- /dev/null +++ b/rev/08/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Malaika wa pili + +"Malaika afuataye" au "Malaika namba mbili" + +# na kitu kama mlima mkubwa uliokuwa unaungua kwa moto ukatupwa + +"malaika akatupa kitu kama mlima mkubwa unaoungua moto" + +# Theluthi moja ya bahari ikawa damu + +"Ilikuwa kama bahari iligawanywa katika sehemu tatu and sehemu moja ikawa damu" + +# ikawa damu + +Maana zinazowezekana ni 1)"ikawa nyekundu kama damu" au 2) ilikua damu kweli kweli. + +# theluthi moja ya viumbe hai katika bahari vikafa + +"ilikuwa kama vile viumbe vyote baharini viligawanya katika makundi matatu, na viumbe vyote katika kundi moja vikafa." + +# viumbe hai katika bahari + +"vitu vinavyoishi baharani" au "samaki na wanyama wengine walioishi baharini" + diff --git a/rev/08/10.md b/rev/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..e598d10f --- /dev/null +++ b/rev/08/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# na nyota kubwa ikaanguka kutoka mbinguni, ikimulika kama kurunzi + +"na nyota kubwa uliowaka kama tochi ilianguka toka mbinguni." Moto wa ile nyota kubwa ulifanana na moto wa tochi + +# tochi + +kijiti kilichowashwa moto upande moja ilikutoa mwanga + +# Jina la nyota ni Pakanga + +Pakanga ni kichaka kilicho na ladha chungu. watu walitumia kutengeneza dawa na pia waliamini kuwa ilikuwa na sumu. "Jina la nyota ni Uchungu" au "Jina la nyota ni Dawa Chungu" + +# ikawa Pakanga + +Ladha chungu ya maji inazungumziwa ka vile ilkuwa Pakanga. "ikawa chungu kama pakanga" au "ikawa chungu" + +# wakafa kutokana na maji yaliyokuwa machungu + +"wakafa walipokunywa maji machungu" + diff --git a/rev/08/12.md b/rev/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..b56ddd89 --- /dev/null +++ b/rev/08/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# theluthi moja ya jua ikapigwa + +Kusababisha kitu kibaya kutokea kwa jua inazungumziwa kama kulipiga au kuligonga. Hii inaweza kuelezwa na kitenzi. "theluthi moja ya jua ikabadilishwa" au "Mungu alibadili theluthi moja ya jua" + +# theluthi moja ya vyote ikageuka kuwa giza + +Maana zinazowezekana ni 1) "theluthi moja ya muda vilikuwa giza" au 2)"theluthi moja ya jua, theluthi moja ya mwezi na theluthi moja ya nyota vilikuwa giza" + +# theluthi moja ya mchana na theluthi moja ya usiku havikuwa na mwanga + +"mwanga haukuwepo theluthi moja ya siku na theluthi moja ya usiku" au "havikutoa mwanga theluthi moja ya siku na theluthi moja ya usiku" + diff --git a/rev/08/13.md b/rev/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..271edcf8 --- /dev/null +++ b/rev/08/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa sababu ya ... tarumbeta iliyosalia ... malaika + +"kwa sababu malaika ambao walikuwa bado hawajapuliza tarumbeta walitaka kuzipuliza" + diff --git a/rev/09/01.md b/rev/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..4ba1c0cc --- /dev/null +++ b/rev/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika wa tano kati ya saba aanza kupiga tarumbeta + +# Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka + +Yohana aliona nyota ikiwa imeshakwisha anguka. Hakuiona ikianguka. + +# ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho + +"funguo ambao unafungua tundu la shimo lisilo na mwisho" + +# shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho + +Maana zinazowezekana ni 1)"shimo" linaelezea jinsi shimo lilivyo refu na lembamba, au 2)"shimo" linamaanisha uwazi wa mwanzo wa tundu la shimo lenyewe. + +# shimo lisilo na mwisho + +Hili ni shimo refu sana na jembamba. Maana zinazowezekana ni 1)shimo halina mwisho chini; inaendelea kwenda chini zaidi milele au 2) shimo ni refu sana hata linakuwa kana kwamba halina mwisho. + +# kama moshi kutoka katika tanuru kubwa + +Tanuru kubwa linatoa moshi mweusi na mnene. "kama moshi mkubwa utokao kwenye tanuru kubwa" + diff --git a/rev/09/03.md b/rev/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..5e3f4ba9 --- /dev/null +++ b/rev/09/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# nzige + +Wadudu wanaopaa pamoja katika makundi makubwa. Watu huwahofia kwa sababu wanaweza kula majani yote kwenye bustani na kwenye miti. + +# nguvu kama ile ya nge + +Nge wana uwezo kuwadunga na kuwapa sumu watu na wanyama wengine. "uwezo wakudunga watu kama Nge wafanyavyo" + +# nge + +Wadudu wadogo wenye ncha kali zenye sumu mikiani. Kudungwa nao huacha maumivu makali na yanayodumu muda mrefu. + +# Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti + +Nzige wa kawaida walikuwa tishio kubwa kwa watu walipokuja, waliweza kula nyasi zote na majani ya mimea na miti. Nzige hizi zilikatazwa kufanya hivyo. + +# isipokuwa tu watu + +Neno "kudhuru" au "kuumiza" linaeleweka. "lakini kudhuru watu tu" + +# muhuri wa Mungu + +Neno "muhuri" hapa humaanisha kifaa kinachotumika kuweka alama katika muhuri wa nta. Na hapa, hiki kifaa kitatumika kuweka alama katika watu wa Mungu. "alama ya Mungu" au "stampu ya Mungu" + +# paji za nyuso + +paji la kichwa ni juu ya uso, juu ya macho. + diff --git a/rev/09/05.md b/rev/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..b526ef44 --- /dev/null +++ b/rev/09/05.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Hawakupewa ruhusa + +"Hawa" inamaanisha nzige. + +# hao watu + +watu ambao walikuwa wanang'atwa na nzige. + +# bali kuwatesa tu + +Hapa maneno "walipewa ruhusa" yanaeleweka. "lakini walipewa ruhusa kuwatesa" + +# kuwatesa + +"kuwafanya wateseke maumivu makali" + +# kuwatesa kwa miezi mitano + +Nzige wataruhusiwa kufanya hivi kwa miezi mitano. + +# kuumwa na nge + +Nge ni mdudu mdogo wenye ncha kali yenye sumu mkiani. Kudungwa naye kunaweza kusababisha maumivu makali au hata kifo. + +# watu watatafuta kifo + +Kifo kinazungumziwa kama mtu au kitu kinachoweza kufichwa. "watu watatafuta njia ya kufa" au " watu watajaribu kujiua" + +# hawatakipata + +"hawataweza kupata njia ya kufa" au "hawataweza kufa" + +# Watatamani kufa + +"watataka sana kufa" au "watatamani kwamba wafe" + +# kifo kitawakimbia + +Yohana anazungumzia kifo kama vile ni mtu au mnyama anayeweza kukimbia. "hawataweza kufa" au "hawatakufa" + diff --git a/rev/09/07.md b/rev/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..b3f47952 --- /dev/null +++ b/rev/09/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Nzige hao hawakufanana kama nzige wa kawaida. Yohana anawazungumzia kwa kueleza jinsi gani sehemu zao zinafanana na vitu vingine. + +# mataji ya dhahabu + +Hizi zilikuwa kama mashada ya matawi ya mizeituni au majani ya laurusi yaliyopondwa katika dhahabu. Mifano iliyotengenezwa kwa majani walipewa wanariadha washindi kuvaa vichwani. + diff --git a/rev/09/10.md b/rev/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..a8261a78 --- /dev/null +++ b/rev/09/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Walikuwa na mikia + +Neno "Walikuwa" inamaanisha nzige. + +# na mikia inayouma kama nge + +Nge ni mdudu mdogo wenye ncha kali yenye sumu mkiani. Kudungwa naye kunaweza kusababisha maumivu makali au hata kifo. "na mikia kama mikia ya nge" au "na mikia iwezayo kusababisha maumivu mabaya kama mikia ya nge" + +# katika mikia yao walikuwa na nguvu ya kudhuru watu kwa miezi mitano + +Maana zinazowezekana ni 1) walikuwa na nguvu kwa miezi mitano kudhuru watu au 2) wataweza kuuma watu na maumivu yao yatadumu miezi mitano. + +# shimo lisilokuwa na mwisho + +Hili ni shimo refu sana. Maana zinazowezekana ni 1)shimo halina mwisho chini; inaendelea kwenda chini zaidi milele au 2) shimo ni refu sana hata linakuwa kama vile halina mwisho. + +# Abadoni ... Apolioni + +Majina yote yanamaanisha "maangamizi" + +# kuna maafa mawili yaja + +Ziko katika wakati wa baadae zinazungumziwa kama zinakuja. + diff --git a/rev/09/13.md b/rev/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..d3df63a7 --- /dev/null +++ b/rev/09/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika wa sita kati ya saba kupuliza tarumbeta. + +# nikasikia sauti ikitoka + +Sauti inamaanisha yule aliyekuwa anazungumza. Yohana hasemi msemaji ni nani, lakini inawezekana ikawa ni Mungu. "Nilisikia mtu akizungumza" + +# pembe ya madhabahu ya dhahabu + +Hizi ni zile zehemu zinazoendeleza kona nne za juu ya madhabahu zinazofanana na pembe. + +# Sauti ilimwambia + +Sauti inamaanisha msemaji. "Msemaji akamwambia" + +# Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa kwa ... mwaka huo, waliachiwa + +"Malaika akawaachia wale malaika wanne waliokuwa wameaandaliwa kwa ... mwaka huo" + +# Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa + +"Malaika wanne ambao Mungu aliwaanda" + +# kwa saa hiyo, siku hiyo, mwezi huo, na mwaka huo + +Haya maneno yanatumika kuonesha kuwa kuna muda bayana na siyo muda wowote tu. "kwa muda huo bayana" + diff --git a/rev/09/16.md b/rev/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..c0d861ca --- /dev/null +++ b/rev/09/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Ghafla, wanajeshi 200,000,000 wajitokeza katika maono ya Yohana. Yohana sasa hazingumzi wale malaika wanne walitajwa katika mstari uliopita. + +# 200,000,000 + +Njia baadhi zakueleza hii ni : "milioni mia mbili" au " elfu laki mbili" au "elfu ishirini mara elfu" + +# vyekundu kama moto + +"alikuwa mwekundu kama moto" au "alikuwa mwekundu wa kung'aa" + +# njano isiyoiva + +"njano kama salfa" + +# midomoni mwao ulitoka moto, moshi na salfa + +"moto, moshi na salfa zilitoka midomoni mwao" + diff --git a/rev/09/18.md b/rev/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..06302712 --- /dev/null +++ b/rev/09/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana anaendelea kuelezea farasi na mapigo waliyoleta kwa binadamu. + +# Theluthi ya wanadamu + +"Theluthi moja ya watu." + +# wa kuwa nguvu ya farasi ilikuwa katika midomo yao na katika mikia yao + +Nomino "nguvu" inaweza kutafsiriwa na kivumishi. "Kwa kuwa ilikuwa midomo na mikia ya farasi aliyokuwa na nguvu sana" au "kwa kuwa ilkuwa midomo na mikia ya farasi ilyoweza kuwaumiza watu" + diff --git a/rev/09/20.md b/rev/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..c75e8637 --- /dev/null +++ b/rev/09/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya + +"wale ambao mapigo hayakuwaua" + +# vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea + +Msemo huu unatukumbusha kuwa sanamu hazina uhai na hazistahili kuabudiwa. Lakini watu hawakuacha kuviabudu. "licha ya kwamba sanamu haziwezi kuona, kusikia, au kutembea" + diff --git a/rev/10/01.md b/rev/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..332c55f3 --- /dev/null +++ b/rev/10/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kueleza maono ya malaika mkuu akishilia gombo. Katika maono ya Yohana anaona kinachoendelea kutoka duniani. Hii inachukua nafasi katikati ya kupulizwa tarumbeta ya sita na tarumbeta ya saba. + +# Alikuwa amefungwa katika wingu + +Yohana anamzungumzia malaika kama vile alikua amevaa wingu kama nguo yake. Huu usemi unaweza kueleweka kama sitiari. Ijapo, kwa sababu vitu vya ajabu vilonekana katika maono, inaweza kueleweka kama ukweli halisia jinsi ulivyo. + +# Uso wake ulikuwa kama jua + +"uso wake ulikuwa unang'ara kama jua" + +# miguu yake zilikuwa kama nguzo za moto + +"Miguu" inamaanisha nyayo zake. "Nyayo zake zilikuwa kama nguzo za moto" + +# aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari na mguu wake wa kushoto juu ya nchi kavu + +"alisimama na mguu wake wa kulia baharini na mguu wake wa kushoto nchi kavu" + diff --git a/rev/10/03.md b/rev/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..dd3494a4 --- /dev/null +++ b/rev/10/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha alipaza sauti + +"Kisha malaika akapaza sauti" + +# ngurumo za radi saba zikasema + +Ngurumo ya radi inazungumziwa kama vile ni mtu awezaye kuzungumza. "ngurumo saba za radi zakapiga sauti kali" au "radi iliunguruma kwa sauti sana mara saba" + +# ngurumo saba za radi + +ngurumo za radi kutokea mara saba inazungumziwa kama "radi" saba tofauti. + +# lakini nilisikia sauti kutoka mbinguni + +Neno "sauti" humaanisha msemaji. Sio malaika. "lakini nikasikia mtu akizungumza kutoka mbinguni" + diff --git a/rev/10/05.md b/rev/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..409df97d --- /dev/null +++ b/rev/10/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# aliinua mkono wake juu mbinguni + +Alifanya hivi kuonyesha kuwa aliapa kwa Mungu. + +# kuapa kwa yule aishiye milele na milele + +"na akamuliza yule aishiye milele na milele athibitishe" + +# yule aishiye milele na milele + +Hapa "yule" inamaanisha Mungu. + +# Hakutakuwepo kuchelewa tena + +"Hakutakuwa na kusubiri tena" au "Mungu hatachelewa" + +# ndipo siri ya Mungu itakuwa imetimizwa + +"Mungu atatimiza siri yake" au " Mungu atakamilisha mpango wake wa siri" + diff --git a/rev/10/08.md b/rev/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..d894a48d --- /dev/null +++ b/rev/10/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana anasikia sauti kutoka mbinguni ambayo alisikia 10:3 ikizungumza naye tena. + +# Sauti niliyosikia kutoka mbinguni + +Neno "sauti" inamaanisha msemaji anayenena. "Yule niliyemsikia akizungumza kutoka mbinguni" au "Yule aliyezungumza na mimi kutoka mbinguni" + +# "niambia, nilikwenda" + +Hapa inamaanisha Yohana. + +# iliniambia + +"Malaika aliniamba" + +# uchungu + +"chungu" au "chachu." Hii inamaanisha ladha mbaya kutoka tumboni baada ya kula kitu ambacho sio kizuri kula. + +# litakuwa tamu kama asali + +"Itakuwa na ladha tamu kama asali" + diff --git a/rev/10/10.md b/rev/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..12824249 --- /dev/null +++ b/rev/10/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# lugha + +Hii inamaanisha watu waliozungumza hizo lugha. "jumuia za lugha nyingi" au "makundi mengi ya watu waliozungumza lugha zao" au "wazungumzaji wa lugha nyingi" + diff --git a/rev/11/01.md b/rev/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..819b227f --- /dev/null +++ b/rev/11/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kueleza maono kuhusu fimbo ya kupimia na mashahidi wawili walioteuliwa na Mungu. Maono yalichukua nafasi kati ya kupulizwa kwa tarumbeta ya sita na tarumbeta ya saba. + +# Nilipewa mwanzi + +"Mtu alinipa mwanzi" + +# Nilipewa ... Niliambiwa + +Aliyepewa na aliyeambiwa anamaanishwa ni Yohana. + +# na wale wanaoabudu ndani yake + +"na hesabu wale wanaoabudu ndani ya hekalu" + +# Wataukanyaga + +kukifanya kitu kama vile hakina dhamani kwa kutembea juu yake. + +# iezi arobaini na miwili + +miezi miwili** - "miezi 42" + diff --git a/rev/11/03.md b/rev/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..881d0933 --- /dev/null +++ b/rev/11/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mungu anaendelea kuzungumza na Yohana. + +# wamevaa magunia + +"wamevaa nguo chafu za maombolezo" au "watavaa nguo zilizokwaruzwa kuonesha kuwa walikuwa na masikito sana" + +# Hawa mashahidi ni + +Yohana anaelezea hawa mashahidi ni kina nani. + +# Hawa mashahidi ni miti miwili ya mizeituni na vinara viwili + +"Hawa mashahidi wawili ndio waliowakilishwa na miti miwili ya mizeituni na vinara viwili" + +# miti miwili ya mizeituni na vinara viwili + +Yohana anategemea wasomaji wake wajue kuvihusu kwa sababu nabii mwingine aliandika kuvihusu miaka mingi kabla. "miti miwili ya mizeituni na vinara viwili vinavyosemwa na maandiko" + +# moto hutoka vinywani mwao na kuwadhuru adui zao + +Kwa sababu hii inahusu matukio ya mbeleni, inaweza kuwekwa katika wakati ujao.."moto utatoka vinywani mwao na kuwateketeza adui zao" + +# moto ... kuwadhuru adui zao + +Moto kuwaka na kuua watu inazungumziwa kana kwamba mnyama anayeweza kuwala. "moto .. utawateketeza adui zao" au "moyo ... utawachoma kabisa adui zao" + diff --git a/rev/11/06.md b/rev/11/06.md new file mode 100644 index 00000000..c8b741b3 --- /dev/null +++ b/rev/11/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kufunga anga ili kwamba mvua isinyeshe + +Yohana anazungumzia mbingu kama vile ina mlango unaoweza kufunguliwa na kufungwa ili mvua isipite. "kuzuia mvua isidondoke toka mbinguni" + +# kuipiga nchi kwa kila aina ya pigo + +Yohana anazungumzia mapigo kana kwamba ni kijiti ambacho mtu anaweza kuipigia dunia. "kusababisha kila aina yamatatizo kutokea duniani" + +# shimo lisilo na mwisho + +Hili ni shimo refu sana. Maana zinazowezekana ni 1)shimo halina mwisho chini; inaendelea kwenda chini zaidi milele au 2) shimo ni refu sana hata linakuwa kana kwamba halina mwisho. + diff --git a/rev/11/08.md b/rev/11/08.md new file mode 100644 index 00000000..18e0deba --- /dev/null +++ b/rev/11/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Miili yao + +Hii inamaanisha miili ya mashahidi wawili. + +# katika mtaa wa mji mkuu + +Mji ulikua na zaidi ya mtaa mmoja. Hii ilikuwa sehemu ya wazi ambapo watu waliweza kuwaona. "kwenye mtaa mojawapo wa mji mkuu" au "kwenye mtaa mkuu katika mji mkuu" + +# siku tatu na nusu + +"Siku 3 kamili na nusu moja ya siku" au "siku 3.5" au "siku 3 1/2" + +# Bwana wao + +Walimtumikia Bwana na kama yeye, watakufa katika huo mji. + +# hawatatoa kibali kuwekwa katika kaburi + +Hii ilikuwa ishara ya dharau. + diff --git a/rev/11/10.md b/rev/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..b8ce2777 --- /dev/null +++ b/rev/11/10.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# watafurahi kwa ajili yao na kusherekea + +"watafurahi kwamba mashahidi wawili wamekufa" + +# hata kutumiana zawadi + +Hili tendo linaonesha jinsi gani watu walivyofurahi. + +# kwa sababu hao manabii wawili waliwatesa wale walioishi katika nch + +Hii ndio sababu watu walifurahi sana kwamba mashahidi wamekufa. + +# siku tatu na nusu + +"Siku 3 kamili na nusu moja ya siku" au "siku 3.5" au "siku 3 1/2" + +# pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu itawaingia + +Uwezo wa pumzi unazungumziwa kama kitu kinachoweza kuingia ndani ya watu. "Mungu atasababisha mashahidi wawili kupumua tena na kuishi" + +# Hofu kuu itawaangukia wale wanaowaona + +Hofu inazungumziwa kama kitu kinachoweza kuwaangukia watu. "Wale watakao waona wataogopa sana" + +# Kisha watasikia + +Maana zinazowezekana ni 1) mashahidi wawili watasikia au 2) watu watasikia kile wanachoambiwa mashahidi wawili. + +# sauti kuu kutoka mbinguni + +Neno "sauti" inammanisha ni yule anayenena. "mtu anazungumza nao kwa sauti kuu toka mbinguni na" + +# ikiwaambia + +"ikiwaambia mashahidi wawili" + diff --git a/rev/11/13.md b/rev/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..316f8d88 --- /dev/null +++ b/rev/11/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# atu elfu saba + +"Watu 7,000" + +# watakaobaki + +"wale ambao hawatakufa" au "wale ambao bado wanaishi" + +# kumpa utukufu Mungu wa mbinguni + +"kusema kuwa Mungu wa mbinguni ni mtukufu" + +# Ole ya pili imepita + +"Tukio la pili baya limepita." + +# Ole ya tatu inakuja upesi + +Kuwepo kwa kipindi cha mbele inazungumziwa kama kijacho. "Ole ya tatu itatokea punde" + diff --git a/rev/11/15.md b/rev/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..d5c6f483 --- /dev/null +++ b/rev/11/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika wa mwisho wa wale saba anaanza kupuliza tarumbeta yake. + +# malaika wa saba + +Huyu ni malaika wa mwisho kati ya wale saba. "malaika wa mwisho" au "malaika namba saba" + +# sauti kubwa zilinena mbinguni na kusema + +Usemi "sauti kubwa" huwakilisha wananenaji wanaozungumza kwa sauti kubwa. "Wasemaji mbinguni wakanena kwa sauti kubwa na kusema" + +# Ufalme wa dunia + +Hapa inamaanisha mamlaka ya kutawala ulimwengu. "Mamlaka ya kutawala dunia" + +# dunia + +Hii inamaanisha kila mtu duniani. "kila mtu duniani" + +# ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake + +Neno "ufalme" hapa linamaanisha mamlaka ya Bwana wetu na Kristo wake waliyonayo kutawala. + +# Ufalme wa dunia umeshakuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake + +"Bwana wetu na Kristo wake sasa ni watawala wa dunia" + diff --git a/rev/11/16.md b/rev/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..033bcc64 --- /dev/null +++ b/rev/11/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wazee ishirini na wanne + +wazee wanne** -"wazee 24" + +# nyuso zao zimeinama chini + +Kulala chini kwa kutazama ardhi. + +# Mungu mwenye Nguvu, ambaye yupo na ambaye alikuwepo + +Hizi zinaweza kuwa sentesi. "Wewe, Bwana Mungu, ndiye mtawala juu ya vyote. Wewe ndiye uliyepo, na wewe ndiye uliyekuwepo" + +# ambaye yupo + +"yule aliyepo" au "yule anayeishi" + +# alikuwepo + +"aliyekuwepo" au "yule ambaye alikuwa anaisha daima" + +# umetwaa nguvu yako kuu + +Mungu alichofanya na nguvu yake kuu inaweza kuwekwa wazi. "umewaangamiza kwa nguvu yako wote waliokuasi" + diff --git a/rev/11/18.md b/rev/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..e74f174a --- /dev/null +++ b/rev/11/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Wazee ishirini na nne wanaendelea kumsifu Mungu. + +# Taarifa ya Jumla: + +Maneno "yako" na "wako" yanamaanisha Mungu. + +# Walikasirishwa + +"walikasirika sana" + +# ghadhabu yako imekuja + +Inakuwepo katika muda wa sasa ikizungumzwa kama imeshatokea. "Upo tayari kuonyesha ghadhabu yako" + +# Wakati umefika + +Inakuwepo katika muda wa sasa ikizungumzwa kama imeshatokea. "Wakati ni sahihi" au "Sasa ni wakati" + +# manabii, waamini, na wale walio na hofu ya jina lako + +Orodha hii inafafanua maana ya "watumishi wako". Haya hayakuwa makundi matatu ya watu tofauti. Manabii walikuwa waamini na walimuogopa Mungu. + diff --git a/rev/11/19.md b/rev/11/19.md new file mode 100644 index 00000000..117f5b01 --- /dev/null +++ b/rev/11/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sanduku la agano lake llilionekana ndani ya hekalu + +"Niliona sanduku la agano lake hekaluni mwake" + +# miali ya radi + +Mwanga unaotokea wakati radi ikipiga. + +# kelele, ngurumo za radi + +Hii ni miungurumo ya sauti ambayo radi husababisha. + diff --git a/rev/12/01.md b/rev/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..ea314d21 --- /dev/null +++ b/rev/12/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kumuelezea mwanamke anyemuona katika maono. + +# Ishara kuu ilionekana mbinguni + +"Ishara kuu ikatokea mbinguni" au "Mimi, Yohana, niliona ishara kuu mbinguni" + +# mwanamke aliyefunikwa na jua + +"mwanamke aliyelivaa jua" + +# taji ya nyota kumi na mbili + +Hii ilikuwa ni mfano wa shada la majani ya laurusi na matawi ya mizeituni, lakini zikiwa na nyota kumi na mbili. + +# nyota kumi na mbili + +"nyota 12" + diff --git a/rev/12/03.md b/rev/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..84a6dfc0 --- /dev/null +++ b/rev/12/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana anaelezea joka lililotokea kwenye maono yake. + +# joka + +Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. + +# Mkia wake ulikokota theluthi moja ya nyota + +"Alikokota theluthi moja ya nyota na mkia wake" + +# theluthi moja + +"moja ya tatu" + diff --git a/rev/12/05.md b/rev/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..034aff17 --- /dev/null +++ b/rev/12/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma + +Kutawala kwa ukali kunazungumziwa kama kutawala kwa fimbo ya chuma. "Atawatawala kwa ukali kama vile anawapiga na fimbo ya chuma. + +# Mtoto wake alinyakuliwa juu kwa Mungu + +"Mungu alimchukua upesi mtoto wake" + diff --git a/rev/12/07.md b/rev/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..1c089987 --- /dev/null +++ b/rev/12/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Yohana anatumia neno hili kubadili mwenendo wa maelezo yake kutambulisha kitu kingine kinachotokea katika maono yake. + +# joka + +Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka pia linatambulika katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani" + +# Kwa hiyo haikuwepo tena nafasi mbinguni kwa ajili yake na malaika zake + +"Kwa hiyo joka na malaika wake hawakuweza tena kukaa mbinguni" + +# Joka mkubwa ... akatupwa chini katika dunia ... na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye + +"Mungu alilitupa joka na malaika wake toka mbinguni na kuwatuma duniani" + +# ule nyoka wa zamani aitwaye ibilisi au Shetani ambaye hudanganya dunia nzima + +Hii taarifa inaweza kutolewa katika sentesi tofauti baada ya taarifa ya kutupwa duniani. "Hilo joka ni nyoka wa zamani anaye danganya ulimwengu. Anaitwa ibilisi au Shetani" + diff --git a/rev/12/10.md b/rev/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..01ae8219 --- /dev/null +++ b/rev/12/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# "nikasikia" + +anayezungumza ni Yohana. + +# nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni + +Neno "sauti" inaonesha mtu anayezungumza. "Nikasikia mtu akinena kwa sauti toka mbinguni" + +# sasa wokovu umekuja, nguvu + +Mungu kuwaokoa watu kwa nguvu zake inazungumziwa kana kwamba wokovu wake na nguvu zake ni vitu vinavyoweza kuja. "Sasa Mungu amewaokoa watu wake kwa nguvu zake" + +# umekuja + +"kuanza kuwepo kabisa" au "kutokea" au "kuwa kweli." Sio kwamba vitu hivi havikuwepo kabala, lakini sasa Mungu anavidhihirisha kwa sababu wakati wake kutokea "umekuja." + +# ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake + +Utawala wa Mungu na mamlaka ya Kristo yanazungumziwa kama vile vinakuja. "Mungu atawala kama mfalme, na Kristo wake anamamlaka yote" + +# mshitaki wa ndugu zetu ametupwa chini + +Huyu ni joka aliyetupwa chini katika 12:10 + +# ndugu zetu + +Waumini wenzao wanazungumziwa kana kwamba walikuwa ni ndugu. "waumini wenzetu" + +# mchana na usiku + +Hizi sehemu mbili za siku zinatumika pamoja kumaanisha "wakati wote" au "bila kukoma" + diff --git a/rev/12/11.md b/rev/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..32504e7b --- /dev/null +++ b/rev/12/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Sauti kuu kutoka mbinguni inaendelea kuzungumza. + +# Walimshinda + +"Walimshinda mshitaki" + +# kwa damu ya Mwanakondoo + +Damu inamaanisha kifo chake. "kwa sababu Mwanakondoo amemwaga damu na kuwafia" + +# kwa neno la ushuhuda wao + +Neno "ushuhuda" inaweza kuelezwa na kitenzi "shuhudia." Pia walioshuhudiwa wanaweza kuelezwa vizuri. "kwa yale waliyosema walivyomshuhudia Yesu kwa wengine" + +# hata kufa + +Waumini walisema ukweli kumuhusu Yesu, licha ya kwamba walikuwa wanajua kuwa maadui zao wangeweza kujaribu kuwaua kwa sababu hiyo. "lakini waliendelea kushuhudia licha ya kwamba walijua wangeweza kufa kwa hilo" + +# Amejawa na hasira sana + +Ibilisi anazungumziwa kana kwamba ni chombo na hasira inazungumziwa kuwa kama kimiminiko kinachoweza kuwa ndani yake. "Ana hasira sana" + diff --git a/rev/12/13.md b/rev/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..878308fe --- /dev/null +++ b/rev/12/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# joka alitambua kuwa ametupwa chini kwenye nchi + +"joka alitambua ya kwamba Mungu amemtupa nje ya mbingu na kumtuma duniani" + +# alimfuata mwanamke + +"alimfukuza mwanamke" + +# joka + +Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka linatambulika pia katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani" + +# wakati, nyakati na nusu wakati + +"miaka mitatu na nusu" + +# nyoka + +Hii ni njia nyingine yakumaanisha yule joka. + diff --git a/rev/12/15.md b/rev/12/15.md new file mode 100644 index 00000000..cb77dbb2 --- /dev/null +++ b/rev/12/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# nyoka + +Hiki ni kiumbe kimoja na joka lilotajwa mapema katika 12:7 + +# kama mto + +Maji walitiririka toka mdomoni mwake kama mto utiririkavyo. "kwa kiasi kikubwa" + +# kumgharikisha + +"kumuosha" + +# ardhi ... Ilifunua kinywa chake na kuumeza mto alioutema joka kutoka kinywani mwake + +Ardhi inazungumziwa kana kwamba ni kiumbe hai, na shimo linazungumziwa kama kinywa kiwezacho kunywa maji. "Shimo likafunguka kwenye ardhi na maji yakaingia humo" + +# joka + +Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka linatambulika pia katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani" + +# kushikilia ushuhuda kuhusu Yesu + +Neno "ushuhuda" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "waliendelea kushuhudia kuhusu Yesu" + diff --git a/rev/13/01.md b/rev/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..e2faaddc --- /dev/null +++ b/rev/13/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kueleza mnyama anayetokea katika maono yake. "nikaona" inamaanisha ni Yohana aliyeona. + +# joka + +Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka linatambulika pia katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani" + +# Yule joka akampa nguvu zake + +Joka alimfanya mnyama kuwa na nguvu kama yeye. Ingawa hakupoteza nguvu zake kwa kumpa mnyama nguvu. + +# nguvu ... kiti chake cha enzi, na mamlaka yenye nguvu sana ya kutawala + +Hizi ni njia tatu zakumaanisha mamlaka yake, na pamoja zinasisitiza kuwa mamlaka yake walikuwa makubwa. + +# kiti chake cha enzi + +"kiti cha enzi" hapa inamaanisha mamlaka ya joka kutawala kama mfalme. "mamlaka yake ya kifalme" au "mamlaka yake kutawala kama mfalme" + diff --git a/rev/13/03.md b/rev/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..f2572ae4 --- /dev/null +++ b/rev/13/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Lakini jeraha lake likapona + +"Lakini hilo jeraha lilipona" + +# jeraha la kusababisha mauti + +"jeraha baya." Hili ni jeraha kubwa linaloweza kusababisha mtu kufa. + +# dunia yote + +Neno "dunia" inamaanisha watu waliomo ndani yake. "watu wote duniani" + +# ikamfuata mnyama + +"ikamtii mnyama" + +# joka + +Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka linatambulika pia katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani" + +# alimpa mamlaka yule mnyama + +"alimfanya mnyama kuwa na mamlaka kama aliyokuwa nayo yeye" + +# Nani kama mnyama? + +Hili swali linaonesha ni jinsi gani walivyostaajabishwa na mnyama. "Hakuna aliye na nguvu kama mnyama!" + +# Nani atapigana naye? + +Hiil swali linaonesha kiasi gani watu walihofia nguvu ya mnyama. "Hakuna mtu atakayeweza kupigana na mnyama na kushinda!" + diff --git a/rev/13/05.md b/rev/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..4bd833be --- /dev/null +++ b/rev/13/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mnyama akapewa ... Aliruhusiwa + +"Mungu alimpa mnyama ... Mungu alimruhusu mnyama" + +# Mnyama akapewa mdomo ili azungumze maneno ya kujisifu na matusi + +Kupewa mdomo inamaanisha kuruhusiwa kuzungumza. "Mnyama aliruhusiwa kuzungumza maneno ya majivuno na matusi" + +# miezi arobaini na miwili + +mieezi miwili** - "miezi 42" + +# kuongea matusi dhidi ya Mungu + +"kusema maneno ya kejeli kuhusu Mungu" + +# akalitukana jina lake, eneo alililokuwa akiishi na wale wanaoishi mbinguni + +Haya maneno yanaonesha jinsi mnyama alivyozungumza maneno ya matusi dhidi ya Mungu. + diff --git a/rev/13/07.md b/rev/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..1f4f4beb --- /dev/null +++ b/rev/13/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# alipewa mamlaka + +"Mungu alimpa mamlaka mnyama" + +# kila kabila, watu, lugha na taifa + +Hii humaanisha watu kutoka kila kabila wanahusika. + +# watamwabudu + +"watamwabudu mnyama" + +# kila mmoja ambaye jina lake halijaandikwa ... katika Kitabu cha Uzima + +maneno haya yanaweka wazi ni nani duniani atakayemwabudu mnyama. "wale ambao majina yao hayakuandikwa na Mwanakondoo ... katika Kitabu cha Uzima" au "wale ambao majina yao hayakuwemo ... katika Kitabu cha Uzima" + +# toka uumbaji wa dunia + +"Mungu alipoumba ulimwengu" + +# mwanakondoo + +Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo. + +# aliyechinjwa + +"yule ambaye watu walimchinja" + diff --git a/rev/13/09.md b/rev/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..e118afdc --- /dev/null +++ b/rev/13/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii mistari ni mapumziko kutoka kwenye hesabu ya Yohana ya maono yake. Hapa anawaonya watu wanaosoma hesabu yake. + +# Ikiwa yeyote ana sikio + +Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza" + +# Ikiwa yeyote amechukuliwa + +Usemi huu unamaanisha kuwa imashaamuliwa kuwa mtu atachukuliwa. Kama inahitajika, watafsiri wanaweza kusema dhahiri ni nani aliyeamua. "Kama Mungu ameamua mtu achukuliwe" au "Kama ni mapenzi ya Mungu kwamba mtu achukuliwe" + +# Ikiwa yeyote amechukuliwa mateka + +Nomino "mateka" inaweza kutajwa na kitenzi "kamata" "Kama ni mapenzi ya Mungu kwa adui kumkamata mtu fulani" + +# kwenye mateka ataenda + +Nomino "mateka" inaweza kutajwa na kitenzi "kamata" "adui atamkamata" + +# Ikiwa yeyote atauawa kwa upanga + +"Kama ni mpango wa Mungu kwa adui kumuua mtu fulani kwa upanga" + +# kwa upanga + +Upanga unaashiria vita. "vitani" + +# atauawa + +"adui atamuua" + +# Huu ni mwito wa utulivu na uvumilivu na imani kwa hao walio watakatifu + +"Wale waliowatakatifu ni lazima wadumu katika uvumilivu na uwaminifu" + diff --git a/rev/13/11.md b/rev/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..40e6c594 --- /dev/null +++ b/rev/13/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana anaanza kuelezea mnyama mwingine anayetokeza kwenye maono yake. + +# akazungumza kama joka + +Maneno makali yanazungumziwa kana kwamba ni muungurumo wa joka. "akazungumza kwa ukali kama joka azungumzavyo" + +# joka + +Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka pia linatambulika katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani" + +# dunia na wale walioishi wakimuabudu + +"watu wote duniani" + +# yule ambaye jeraha lake baya limepona + +"yule aliyekuwa na jeraha baya lililopona" + +# jeraha baya + +"jeraha baya." Hili ni jeraha kubwa linaloweza kusababisha mtu kufa. + diff --git a/rev/13/13.md b/rev/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..206b9459 --- /dev/null +++ b/rev/13/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akafanya + +"Mnyama toka katika nchi alitenda" + diff --git a/rev/13/15.md b/rev/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..72d5c5a9 --- /dev/null +++ b/rev/13/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Aliruhusiwa + +"Mungu alimruhusu mnyama kutoka katika nchi" + +# kutoa pumzi katika ile sanamu ya mnyama + +Hapa neno "pumzi" humaanisha uhai. "kuipa uhai sanamu" + +# sanamu ya mnyama + +Hii ni sanamu ya mnyama wa kwanza aliyetajwa. + +# kusababisha wale wote waliokataa kumwabudu mnyama wauawe + +"kuwaua wote waliokataa kumwabudu mnyama wa kwanza" + +# Pia akalazimisha kila mmoja + +"Mnyama kutoka katika nchi pia akamlazimisha kila mmoja" + +# Ilikuwa haiwezekani kwa kila mtu kuuza au kununua isipokuwa mwenye alama ya mnyama + +"watu waliweza kununua na kuuza vitu ingawa tu walikuwa na alama ya mnyama." "Aliamuru kuwa watu wangeweza kununua na kuuza vitu kama tu wana alama ya mnyama" + +# alama ya mnyama + +Hii ilikuwa alama ya kuonesha kuwa aliyekuwa nayo alimwabudu mnyama. + diff --git a/rev/13/18.md b/rev/13/18.md new file mode 100644 index 00000000..294742a5 --- /dev/null +++ b/rev/13/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu mstari ni mapumziko kutoka katika hesabu ya maono ya Yohana. Hapa anawapa onyo jingine wasomaji wa hesabu yake. + +# Hii inahitaji busara + +"Hekima inahitajika" au "Unahitaji kuwa na busara kuhusu hili" + +# Ikiwa yeyote ana ufahamu + +Neno "ufahamu" inaweza kutafsiriwa na kitenzi "kuelewa." "Kama yeyote anaweza kuelewa vitu hivi" + +# mwache aweze kufanya hesabu ya namba ya mnyama + +"Anapaswa kutambua maana ya namba ya mnyama" au "anatakiwa kujua maana ya namba ya mnyama" + +# ni namba ya kibinadamu + +Maana zinazowezekana ni 1) namba inawakilisha mtu mmoja au 2) namba inawakilisha binadamu wote. + +# 666 + +"mia sita sitini na sita" + diff --git a/rev/14/01.md b/rev/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..a291e05b --- /dev/null +++ b/rev/14/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana aanza kueleza sehemu ifuatayo katika maono yake. Kuna waumini 144,000 wanaosimama mbele ya Mwanakondoo. + +# Taarifa ya Jumla: + +Neno "nikaona" inamzungumzia Yohana. + +# Mwanakondoo + +Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo. + +# 144,000 + +"laki moja na elfu arobaini na nne" + +# wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao + +"ambao kwenye vipaji vyao vya nyuso Mwanakondoo na Baba yake waliandika majina yao" + +# Baba yake + +Hili ni jina muhimu la Mungu linaloeleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu. + +# sauti kutoka mbinguni + +"mlio kutoka mbinguni" + diff --git a/rev/14/03.md b/rev/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..99ec0d2a --- /dev/null +++ b/rev/14/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wakiimba wimbo mpya + +"Wale watu 144,000 waliimba wimbo mpya." Hii inafafanua sauti aliyosikia Yohana. "Sauti hiyo ilikuwa ni wimbo mpya waliouimba" + +# wenye uhai wanne + +"kiumbe hai" au "kitu chenye uhai" + +# wazee + +Hii inamaanisha wazee ishirini na nne walikuwa wamekizunguka kiti cha enzi" + +# hawakujichafua wenyewe kwa wanawake + +Maana zinazowezekana ni 1) "hawajawahi kuwa na mahusiano mabaya ya kimwili na mwanamke" au 2) "hawajawahi kukutana kimwili na mwanamke." Kujitia najisi na wanawake inaweza kuwa alama ya kuabudu sanamu. + +# maana walijitunza wenyewe dhidi ya matendo ya zinaa + +Maana zinazowezekana ni 1) "hawakukutana na kimwili na mwanamke ambaye hakuwa mke wao" au 2) "ni mabikira." + +# walimfuata Mwanakondoo popote alipoenda + +Kufanya kile afanyacho Mwanakondoo kinazungumziwa kama kumfuata. "wanafanya kile ambacho Mwanakondoo anafanya" au "wanamtii Mwanakondoo" + +# Hakuna uongo uliopatikana katika vinywa vyao + +"kinywa" chao kinamaanisha kile walichosema. "Hawakuwahi kudanganya walipozungumza" + diff --git a/rev/14/06.md b/rev/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..ddf95329 --- /dev/null +++ b/rev/14/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana anaanza kuelezea sehemu ifuatayo ya maono yake. Huyu ni malaika wa kwanza kati ya watatu wanaotamkia dunia hukumu. + +# kila taifa, kabila, lugha, na watu + +Hii humaanisha watu kutoka kila kabila. + +# Kwa maana muda wa hukumu yake umekaribia + +Kuwepo katika wakati wa sasa unazungumziwa kama umekuja. Wazo la "hukumu" linaweza kuoneshwa na kitenzi. "sasa ni muda wa Mungu kuhukumu watu" + diff --git a/rev/14/08.md b/rev/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..3d8f4c6f --- /dev/null +++ b/rev/14/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Umeanguka, umeanguka Babeli mkuu + +Malaika anaizungumzia Babeli kuangamizwa kama vile imeanguka. "Babeli kuu imeangamizwa" + +# Babebi kuu + +"Babeli, ule mji mkuu" au "mji muhimu wa Babeli." Huu unawezekana kuwa ulikuwa ni alama ya mji wa Rumi ambao ulikuwa mkubwa, tajiri na wenye dhambi. + +# uliwanywesha + +Babeli inazungumziwa kana kwamba ni mtu badala ya mji uliojaa watu. + +# kunywa divai ya tamaa zake mbaya + +hii ni alama ya kushiriki katika tamaa zake mbaye za uasherati. "kuwa muasherati kama yeye" au "kulewa kama yeye na dhambi za uasherati" + +# tamaa mbaya + +Babeli inazungumziwa kama vile ni kahaba aliyesababisha watu wengine watende dhambi pamoja naye. Hii inaweza kuwa na maana mara mbili: uasherati halisi na pia kuabudu miungu. + diff --git a/rev/14/09.md b/rev/14/09.md new file mode 100644 index 00000000..09fb6e0f --- /dev/null +++ b/rev/14/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwa sauti kuu + +"kwa sauti" + +# pia atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu + +Kunywa divai ya ghadhabu ya Mungu ni alama ya kuadhibiwa na Mungu. "pia watakunywa sehemu ya divai inayowakilisha ghadhabu ya Mungu. + +# kumwagwa bila kuchanganywa + +"kwamba Mungu amechanganya nguvu kamili" + +# kumwagwa bila kuchanganywa + +Hii inamaanisha divai imechanganywa na divai zingine tu na wala hakuna maji yaliochanganywa humo. Ina nguvu, na mtu atakayeinywa nyingi atalewa sana. Kama alama, inaonesha kuwa Mungu atakuwa na hasira sana, sio hasira kidogo. + +# kikombe cha hasira yake + +Mfano wa kikombe hiki kinashikilia divai inayowakilisha hasira ya Mungu. + +# malaika zake watakatifu + +"malaika watakatifu wa Mungu" + diff --git a/rev/14/11.md b/rev/14/11.md new file mode 100644 index 00000000..19c25fc1 --- /dev/null +++ b/rev/14/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika wa tatu anendelea kuzungumza. + +# Na moshi wa maumivu yao + +Maneno "maumivu yao" inamaanisha moto unaowatesa. "moshi kutoka katika moto unaowatesa" + +# hawakuwa na mapumziko + +"hawana nafuu" au "mateso hayakomi" + +# mchana au usiku + +Sehemu hizi mbili za siku zinatumika kumaanisha muda wote. "wakati wote" + +# Huu ni wito wa subira na uvumilivu kwa walio watakatifu + +"Wale ambao ni watakatifu lazima wadumu kwa uvumilivu na kwa uaminifu" + diff --git a/rev/14/13.md b/rev/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..7c457b68 --- /dev/null +++ b/rev/14/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wafu wafao + +"wale waliokufa" + +# wafao katika Bwana + +"walioungana na Bwana na kufa." Hii inaweza kumaanisha watu waliouawa na adui zao. "walikufa kwa sababu wameungana na Bwana" + +# kazi + +shida na mateso + +# matendo yao yatawafuata + +Matendo haya yanazungumziwa kana kwamba yako hai na yanaweza kuwafuata waliyoyatenda. Maana zinazowezekana ni 1)"wengine watajua matendo mema waliyotenda watu hawa" au 2)"Mungu atawazawadia kwa matendo yao." + diff --git a/rev/14/14.md b/rev/14/14.md new file mode 100644 index 00000000..3d92aea0 --- /dev/null +++ b/rev/14/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana aanza kueleza sehemu inayofuata ya maono yake. Hii sehemu inahusu Mwana wa Adamu anapovuna dunia. Kuvuna nafaka ni ishara ya Mungu kuhukumu watu. + +# mfano wa Mwana wa Mtu + +Huu usemi unafafanua umbo la binadamu, mtu anayefanana na binadamu. + +# taji ya dhahabu + +Hii ilikuwa ni mfano wa shada la matawi ya mizeituni au majani ya laurusi yaliyopondwa kwenye dhahabu. Mifano yake iliyoundwa walipewa wanariadha washini kuvaa vichwani mwao. + +# mundu + +kifaa kikali kama kisu au panga kilicho na mkunjo kwa ajili ya kukatia nyasi, nafaka na mizabibu. + +# kutoka kwenye hekal + +"kutoka kwenye hekalu la kimbinguni" + +# muda wa mavuno umeshawadia + +Kuwepo kwa wakati uliopo inazungumziwa kama umekuja. + +# dunia ikavunwa + +"alivuna dunia" + diff --git a/rev/14/17.md b/rev/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..e077f9d8 --- /dev/null +++ b/rev/14/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana anaendelea kuelezea maono yake ya dunia kuvunwa. + +# aliyekuwa na mamlaka juu ya moto + +Hapa "mamlaka juu ya" inamaanisha jukumu la kuujali moto. + diff --git a/rev/14/19.md b/rev/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..daa0a82a --- /dev/null +++ b/rev/14/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# pipa kubwa la divai ... Chujio la divai + +Hii inamaanisha chombo kimoja. + +# pipa kubwa la divai ya ghadhabu ya Mungu + +"pipa kubwa la divai ambapo Mungu ataonesha ghadhabu yake" + +# hatamu + +kifaa kilochotengenezwa na ngozi che kuzungushwa kwenye kichwa cha farasi ili kumuongoza. + +# stadia 1,600 + +"kilomita 300" au "maili 200" + diff --git a/rev/15/01.md b/rev/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..a9264e3f --- /dev/null +++ b/rev/15/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu mstari ni ufupi wa kitakachotokea katika 15:6-16:21. + +# kubwa na yenye kushangaza + +Maneno haya yanamaana za kukaribiana na yanatumika kwa msisitizo. "jambo lililo nishangaaza sana" + +# malaika saba wenye mapigo saba + +"malaika saba waliokuwa na mamlaka ya kutuma mapigo saba duniani" + +# ambayo yalikuwa mapigo ya mwisho + +"na baada yake, hayatakuwapo mapigo mengine tena" + +# katika hayo hasira ya Mungu ilikuwa imetimilika + +"kwa kuwa mapigo haya yatakamilisha ghadhabu ya Mungu." maana zinazowezekana ni 1) mapigo haya yataonesha hasira yote ya Mungu au 2) baada ya mapigo haya, Mungu hatakuwa na hasira tena. + diff --git a/rev/15/02.md b/rev/15/02.md new file mode 100644 index 00000000..175850c2 --- /dev/null +++ b/rev/15/02.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hapa Yohana anaanza kueleza maono yake ya watu waliomshinda mnyama na wanamsifu Mungu. + +# bahari la bilauri + +Inaainisha wazi jinsi ilivyokuwa kama kioo au bahari. Maana zinazowezekana ni 1) bahari linazungumziwa kama vile ni kioo. "bahari lililo laini kama kioo" au 2) kioo kinazungumziwa kama vile ni bahari. "kioo kilichosambazwa kama bahari" + +# wale waliokuwa washindi dhidi ya mnyama na sanamu yake + +Jinsi walivyokuwa washindi inaweza kuelezwa vizuri. "wale waliokuwa washindi dhidi ya mnyama na sanamu yake kwa kutowaabudu." + +# juu ya namba inayowakilisha jina lake + +Jinsi walivyokuwa washindi dhidi ya namba inaweza kuelezwa vizuri. "juu ya namba inayowakilisha jina lake na kwa kutowekwa alama ya namba hio" + +# namba inayowakilisha jina lake + +Hii inamaanisha namba inayoelezwa katika 13:18. + diff --git a/rev/15/03.md b/rev/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..f3e99d04 --- /dev/null +++ b/rev/15/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walikuwa wakiimba + +"Wale waliokuwa washindi dhidi ya mnyama walikuwa wakiimba" + +# Nani atashindwa kukuhofu wewe Bwana na kulitukuza jina lako? + +Swali hili linatumika kuonesha kushangazwa kwao na jinsi gani Bwana alivyo mkuu na mtukufu. Inaweza kuelezwa kama mshangao. "Bwana, watu wote watakuogopa na kutukuza jina lako!" + +# kulitukuza jina lako + +Usemi huu "jina lako" inamaanisha Mungu. "na kukutukuza wewe" + +# matendo yako yamejulikana + +"umewafanya watu wote wajue matendo yako mema" + diff --git a/rev/15/05.md b/rev/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..ad59756c --- /dev/null +++ b/rev/15/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika saba na mapigo saba wanatoka katika mahali patukufu zaidi. Zilizungumziwa katika 15:1. + +# Baada ya mambo hayo + +"Baada ya watu kumaliza kuimba" + +# malaika saba wenye mapigo saba + +Malaika hawa walionwa wakishilia mapigo saba kwa sababu walipewa mabakuli yaliojaa ghadhabu ya Mungu katika 15:7. + +# kitani + +nguo ya gharama iliyotengenezwa kwa kitani. + +# mishipi + +Mshipi ni kipande cha nguo cha urembo kinachovaliwa sehemu ya juu ya mwili. + diff --git a/rev/15/07.md b/rev/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..236e87d5 --- /dev/null +++ b/rev/15/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wenye uhai wanne + +"viumbe wanne" au "vitu vinne vyenye uhai" + +# mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu + +Picha ya divai katika bakuli inaweza kuelezwa vizuri. Neno "ghadhabu" hapa inamaanisha adhabu. Divai ni alama ya adhabu. "mabakuli saba yaliojaa divai inayoashiria ghadhabu ya Mungu" + +# mpaka mapigo saba ya malaika saba yalipokamilika + +"mpaka malaika saba walipomaliza kutuma yale mapigo saba duniani" + diff --git a/rev/16/01.md b/rev/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..a59cb8f3 --- /dev/null +++ b/rev/16/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana aendelea kuelezea sehemu ya maono kuhusu malaika saba na mapigo saba. Mapigo saba ni mabakuli ya ghadhabu ya Mungu. + +# Nikasikia + +Aliyesikia ni Yohana. + +# mabakuli ya ghadhabu ya Mungu + +Picha ya divai katika bakuli inaweza kuelezwa vizuri. Neno "ghadhabu" hapa inamaanisha adhabu. Divai ni alama ya adhabu. "mabakuli saba yaliojaa divai inayoashiria ghadhabu ya Mungu" + diff --git a/rev/16/02.md b/rev/16/02.md new file mode 100644 index 00000000..11aed9e8 --- /dev/null +++ b/rev/16/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kumwaga bakuli lake + +Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake" + +# majeraha mabaya + +"majeraha yenye maumivu." Haya yanaweza kuwa maambukizo kutoka kwa magonjwa au majeruhi ambayo hayajapona. + +# alama ya mnyama + +Hii ilikuwa alama ya kuonesha kuwa aliyekuwa nayo alimwabudu mnyama. + diff --git a/rev/16/03.md b/rev/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..9754d120 --- /dev/null +++ b/rev/16/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alimwaga bakuli lake + +Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake" + +# bahari + +Hii inamaanisha maziwa yote ya maji ya chumvi na mabahari. + diff --git a/rev/16/04.md b/rev/16/04.md new file mode 100644 index 00000000..fea050ee --- /dev/null +++ b/rev/16/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# akamwaga bakuli lake + +Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake" + +# mito na katika chemichemi za maji + +Hii inamaanisha mikusanyiko yote ya maji safi. + +# malaika wa maji + +Maana zinazowezekana ni 1) hii inamaanisha malaika wa tatu aliye juu ya kumwaga ghadhabu ya Mungu katika mito na chemichemi za maji au 2) huyu alikuwa ni malaika mwingine aliyekuwa juu ya maji yote. + +# Wewe ni mtakatifu + +"Wewe" inamaanisha ni Mungu. + +# Wewe uliyepo na uliyekuwepo + +"Mungu aliyepo na aliyekuwepo." + +# walimwaga damu za waamini na manabii + +Hapa "walimwaga damu" inamaanisha kuuawa. "watu waovu waliwaua waamini na manabii" + +# umewapa wao kunywa damu + +Mungu atawafanya watu waovu wanywe maji atakayoyabadili kuwa damu. + +# Nikasikia madhabahu ikijibu + +Neno "madhabahu" hapa inamaanisha mtu madhabahuni. "Nikasikia mtu madhabahuni akijibu" + diff --git a/rev/16/08.md b/rev/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..2f57ea8c --- /dev/null +++ b/rev/16/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akamwaga kutoka kwenye bakuli + +Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake" + +# likapewa ruhusa kuunguza watu + +Yohana analizungumzia jua kama mtu. "na akasababisha jua kuwachoma watu kwa ukali" + +# Waliunguzwa kwa joto lenye kutisha + +"Lile joto kali sana liliwachoma vibaya" + +# wakalikufuru jina la Mungu + +Hapa jina la Mungu linamuwakilisha Mungu. "walimkufuru Mungu" + +# mwenye nguvu juu ya mapigo yote + +Usemi huu unawakumbusha wasomaji kuhusu jambo ambalo wanalijua kumhusu Mungu. Linasaidia kueleza kwa nini watu walimkufuru Mungu. "kwa sababu ana nguvu juu ya mapigo yote haya" + +# guvu juu ya mapigo yote + +Hii inamaanisha nguvu ya kusababisha haya mapigo kwa watu, na nguvu ya kuyasitisha mapigo. + diff --git a/rev/16/10.md b/rev/16/10.md new file mode 100644 index 00000000..2e2a13df --- /dev/null +++ b/rev/16/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akamwaga kutoka kwenye bakuli lake + +Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake" + +# kiti cha enzi cha mnyama + +Hapa ndipo mnyama anapotawalia. Inaweza kumaanisha mji mkuu wa ufalme wake. + +# giza likaufunika ufalme wake + +Giza linazungumziwa kama vile ni kitu kama blangeti. "ikawa giza katika ufalme wake wote" au " ufalme wake wote ukawa giza" + +# Walisaga ... Wakamtukana + +Hapa inamaanisha watu katika ufalme wa mnyama. + diff --git a/rev/16/12.md b/rev/16/12.md new file mode 100644 index 00000000..7a9b0843 --- /dev/null +++ b/rev/16/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# limwaga kutoka kwenye bakuli lake + +Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake" + +# maji yake yakakauka + +"Na maji yake yalikauka" au "Na kusababisha maji yake kukauka" + +# zilizoonekana kama chura + +Chura ni mnyama mdogo anayeishi karibu na maji. Wayahudi waliwafikiria kuwa wanyama wachafu. + +# joka + +Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka pia linatambulika katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani" + diff --git a/rev/16/15.md b/rev/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..deb455dc --- /dev/null +++ b/rev/16/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mstari wa 15 ni mapumziko kutoka katika masimulizi makuu ya maono ya Yohana. Haya ni maneno yaliyonenwa na Yesu. Masimulizi yanaendelea mstari wa 16. + +# Tazama! Ninakuja + +Inaweza kuwekwa wazi kwamba Bwana Yesu ndiye aliyesema haya katika UDB. Mabano yanatumika hapa kuonesha kuwa sio sehemu ya masimulizi ya maono. + +# Ninakuja kama mwizi! + +Yesu atakuja wakati watu hawatarajii kama vile mwizi ajavyo asipotarajiwa. + +# atunzaye mavazi yake + +Kuishi njia sahihi inazungumziwa kama mtu kutunza mavazi yake. "kufanya kilicho sahihi kama mtu atunzavyo mavazi yake mwilini" + +# atunzaye mavazi yake + +Tafsiri zingine hutafsiri, "kukaa na mavazi yake" + +# kuiona aibu yake + +Hapa "watakaoina" ni watu wengine. + +# Waliwaleta pamoja + +"roho za mapepo ziliwaleta wafalme na majeshi yao pamoja" + +# sehemu iliyoitwa + +"sehemu watu waitayo" + +# Amagedoni + +Hili ni jina la sehemu. + diff --git a/rev/16/17.md b/rev/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..810cb8dc --- /dev/null +++ b/rev/16/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika wa saba amwaga bakuli la saba la ghadhabu ya Mungu. + +# alimwaga kutoka kwenye bakuli lake + +Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake" + +# Kisha sauti kuu ikasikika kutoka hekaluni na kutoka kwenye kiti cha enzi + +Hii inamaanisha mtu aliyekuwa kwenye kiti cha enzi au karibu na kiti cha enzi alinena kwa sauti ku. Haiko wazi ni nani anayezungumza. + +# miale ya mwanga wa radi + +Mwanga unaotokea wakati radi ikipiga. + +# ngurumo, vishindo vya radi + +Hii ni miungurumo ya sauti ambayo radi husababisha. + +# Mji mkuu uligawanyika + +"Tetemeko liliugawanya mji mkuu" + +# Kisha Mungu akakumbuka + +"Kisha Mungu akawazia" au "Kisha Mungu akaanza kuwa makini na." Hii haimaanishi kuwa Mungu alikumbuka jambo alilosahau. + +# akaupa mji huo kikombe kilichokuwa kimejaa divai kutoka kwenye ghadhabu yake iliyo kali + +Divai ni isharaya ya ghadhabu yake. Kuwafanya watu kuinywa ni ishara ya kuwaadhibu. "aliwafanya watu wa mji huo kunywa divai inayoashiria ghadhabu yake" + diff --git a/rev/16/20.md b/rev/16/20.md new file mode 100644 index 00000000..f171d3dd --- /dev/null +++ b/rev/16/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Unganishi: + +Hii ni sehemu ya bakuli la saba la ghadhabu ya Mungu. + +# milima haikuonekana tena + +Kutokuweza kuiona milima ni mfano wa maneno yanayoeleza wazo ya kwamba milima haikuwepo tena. "milima haikuwepo tena" + +# talanta + +"kilo 34" + diff --git a/rev/17/01.md b/rev/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..cf527fa0 --- /dev/null +++ b/rev/17/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kueleza sehemu ya maono yake kuhusu kahaba mkuu. + +# hukumu ya kahaba mkuu akaaye juu ya maji mengi + +Nomino "hukumu" linaweza kuelezwa na kitenzi "kuhukumu". "jinsi gani Mungu atamhukumu kahaba mkuu aliyeketi juu ya maji mengi" + +# kahaba mkuu + +"kahaba ambaye kila mmoja anamfahamu." Anawakilisha mji flani wenye uovu. + +# juu ya maji mengi + +"juu ya mito mingi" + +# na juu ya mvinyo wa uasherati wake wakaao duniani wameleweshwa + +Divai inawakilisha uasherati. "Watu wa duniani walilewa kwa kunywa divai yake, ambayo ni, walikuwa washerati" + +# uasherati wake + +Hii inaweza kuwa na maana mbili: uasherati miongoni mwa watu na pia kuabudu miungu. + diff --git a/rev/17/03.md b/rev/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..c0a1a42a --- /dev/null +++ b/rev/17/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akanichukua katika Roho mpaka nyikani + +Mazingira yanabadilika kutoka kwa Yohana kuwa mbinguni na kuwa nyikani. + +# mawe ya thamani, na lulu + +"aina nyingi za mawe ya dhamani" + +# lulu + +Shanga nzuri na za dhamani. Zinaundwa ndani ya ganda la mnyama fulani mdogo aishiye baharini. + +# Juu ya paji la uso wake limeandikwa jina + +"Mtu aliaandika jina kwenye paji la uso wake" + +# Babeli mkuu + +Kama inahitajika kuwekwa wazi kwamba jina linamaanisha yule mwanamke, inaweza kuwekwa katika sentesi. "Mimi ni Babeli, yule mwenye nguvu" + diff --git a/rev/17/06.md b/rev/17/06.md new file mode 100644 index 00000000..47a27874 --- /dev/null +++ b/rev/17/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Malaika anaanza kumueleza Yohana maana ya yule kahaba na mnyama mwekundu. Malaika anaeleza mambo haya hadi mstari wa 18. + +# alikuwa amelewa damu + +"amelewa kwa sababu alikunywa damu" + +# waliokufa kwa ajili ya Yesu + +"waumini waliokufa kwa sababu waliwaambia wengine kuhusu Yesu" + +# mshangao + +"staajabu" au "shangazwa" + +# Kwa nini unashangaa? + +Malaika alitumia swali hili kumkemea Yohana kwa upole. "Hautakiwi kushangaa!" + diff --git a/rev/17/08.md b/rev/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..085f5b01 --- /dev/null +++ b/rev/17/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# shimo lisilo na mwisho + +Hili ni shimo refu sana. Maana zinazowezekana ni 1)shimo halina mwisho chini; inaendelea kwenda chini zaidi milele au 2) shimo ni refu sana hata linakuwa kana kwamba halina mwisho. + +# Kisha ataendelea na uharibifu + +Nomino "uharibifu" inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "Kisha ataangamizwa" au "Kisha Mungu atamuangamiza" + +# ataendelea na uharibifu + +Uhakika wa kile kitakachotokea baadae kinazungumziwa kana kwamba mnyama anaendako. + +# wale ambao majina yao hayakuandikwa + +"wale ambao majina yao hayajaandikwa na Mungu" + +# tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu + +"kabla Mungu hajaumba ulimwengu" + diff --git a/rev/17/09.md b/rev/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..a249fc0f --- /dev/null +++ b/rev/17/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika anaendelea kuzungumza. Hapa anafafanua maana ya vichwa saba vya mnyama ambavyo mwanamke amepanda. + +# Wito huu + +"hii inaifanya ulazima kuwa" + +# Wito huu ni kwa ajili ya akili zilizo na hekima + +Nomino "akili" na "hekima" zinaweza kuelezwa na "fikiri" na "kwa hekima." Kwa nini akili yenye hekima inahitaji inaweza kuwekwa wazi. "Akili yenye hekima inahitaji ili kuelewa hili" au "Unahitaji kufikiria kwa hekima ili kuelewa hili" + +# Vichwa saba ni milima saba + +Hapa "ni" inamaanisha "kusimamia," "wakilisha." + +# Wafalme watano wameanguka + +Malaika anazungumzia kufa kama kuanguka. "Wafalme watano wamekufa" + +# mmoja yupo + +"mmoja ni mfalme sasa" au "mfalme mmoja yu hai sasa" + +# mwingine hajaja bado; wakati atakapokuja + +Kutokuwepo inazungumziwa kama bado hajafika. "mwingine bado hajawa mfalme; akiwa mfalme" + +# atakaa kwa muda mfupi tu + +Malaika anazungumzia kuhusu mtu kuendelea kuwa mfalme kana kwamba anabaki mahali fulani. "atakuwa mfalme kwa muda mfupi tu" + diff --git a/rev/17/11.md b/rev/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..113fc768 --- /dev/null +++ b/rev/17/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ni mmoja wa wale wafalme saba + +Maana zinazowezekana ni 1) mnyama anatawala mara mbili: kwanza kama mmoja wa wafalme saba, na kisha kama mfalme wa nane au 2) mnyama yuko katika kundi la hao wafalme saba kwa sababu ni kama wao. + +# anaenda kwenye uharibifu + +Uhakika wa kile kitakachojiri mbeleni kinazungumziwa kana kwamba mnyama anaendako. "hakika itaangamizwa" au "Mungu hakika ataiangamiza" + diff --git a/rev/17/12.md b/rev/17/12.md new file mode 100644 index 00000000..58b4edc5 --- /dev/null +++ b/rev/17/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika anaendelea kuzungumza na Yohana. Hapa anaelezea maana ya mapembe kumi ya mnyama. + +# kwa saa moja + +"kwa muda mfupi sana" au "kwa sehemu ndogo sana ya siku" + +# Hawa wana shauri moja + +"Hawa wote wanawaza kitu kimoja" au "Hawa wote wanakubaliana kufanya kitu cha pamoja" + +# Mwanakondoo + +Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo. + +# walioitwa, waliochaguliwa, na waaminifu + +Hii inamaanisha kundi moja la watu. ""Walioitwa, kuchaguliwa , na waaminifu" au " wale ambao Mungu amewaita na kuwachagua na walio waaminifu kwake" + diff --git a/rev/17/15.md b/rev/17/15.md new file mode 100644 index 00000000..b263e5b9 --- /dev/null +++ b/rev/17/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yale maji uliyoyaona, hapo alipoketi yule kahaba ni watu, makutano, mataifa na lugha + +Hapa "ni" inamaanisha "yanawakilisha" + +# maji + +"mito mingi" + +# makutano + +"makundi makubwa ya watu" au "idadi kubwa ya watu" + +# lugha + +Hii inamaanisha watu wanaozungumza hizo lugha. + diff --git a/rev/17/16.md b/rev/17/16.md new file mode 100644 index 00000000..9f913bc1 --- /dev/null +++ b/rev/17/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# watamfanya kuwa mpweke na uchi + +"kuiba kila kitu alichonacho na kumuacha bila kitu" + +# watamla mwili wake + +Kumuangamiza kabisa inazungumziwa kama kula mwili wake. "watamuangamiza kikamilifu" + +# Maana Mungu ameweka mioyoni mwao kubeba kusudi lake kwa makubaliano ... yatakapotimia + +Watakubali kumpa mnyama nguvu zao, lakini haitakuwa kwamba wanataka kumtii Mungu. "Kwa kuwa Mungu ataweka mioyoni mwao kukubali kumpa mnyama uwezo wao kutawala hadi maneno ya Mungu yatimie, na kwa kufanya hivi, watakamilisha mpango wa Mungu. + +# Mungu ameweka mioyoni mwao + +Moyo unaashiria hamu. Kuwafanya kutaka kufanya kitu inazungumziwa kama kuweka mioyoni mwao. "Mungu amewafanya watake" + +# nguvu za kutawala + +"mamlaka" au "mamlaka ya kifalme" + +# mpaka maneno ya Mungu yatakapotimia + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mpaka Mungu atimize alichosema kitatokea" + diff --git a/rev/17/18.md b/rev/17/18.md new file mode 100644 index 00000000..3976b902 --- /dev/null +++ b/rev/17/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika amaliza kuzungumza na Yohana kuhusu kahaba na mnyama. + +# ni + +Hapa "ni" inamaanisha "anawakilisha" + +# mji ule mkubwa utawalao + +Inaposema mji unaotawala, inamaanisha kwamba kiongozi wa mji anatawala. "mji mkuu ambaye kiongozi wake anatawala" + diff --git a/rev/18/01.md b/rev/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..8d969347 --- /dev/null +++ b/rev/18/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika mwingine ashuka toka mbinguni na kuzungumza. Huyu ni malaika tofauti na yule wa sura iliyopita, aliyezungumza kuhusu kahaba na mnyama. + +# Taarifa ya Jumla: + +Anayezungumziwa hapa ni kama mtu ni mji wa Babeli. + +# Umeanguka, umeanguka, ule mji mkuu Babeli + +Malaika anazungumzia Babeli kuangamizwa kama vile kuanguka. + +# ndege achukizaye + +"ndege anayeudhi" au "ndege isyevutia" + +# mataifa yote + +Mataifa ni njia nyingine ya kusema kwa watu wa mataifa hayo. "watu wa mataifa hayo" + +# yamekunywa mvinyo ya tamaa ya uovu wake + +Hii ni ishara ya kushiriki katika tamaa zake za uasherati. "yamekuwa na uasherati kwama yeye" au "yamelewa na uasherati wake" + +# tamaa ya uovu wake + +Babeli inazungumziwa kana kwamba ni kahaba aliyesababisha watu wengi wafanye dhambi pamoja naye. Hii inaweza kuwa na maana mara mbili: uasherati halisi na kuabudu miungu. + +# Wafanya biashara + +Mfanya biashara ni mtu anayeuza vitu. + +# kwa nguvu ya maisha yake ya anasa + +"kwa sababu alitumia pesa nyingi sana kwa ajili ya uasherati" + diff --git a/rev/18/04.md b/rev/18/04.md new file mode 100644 index 00000000..4739935f --- /dev/null +++ b/rev/18/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kauli Unganishi: + +Sauti nyingine kutoka mbinguni inazungumza. + +# Taarifa ya Jumla: + +Anayezungumziwa kama mtu ni mji wa Babeli, ambao unazungumziwa kama vile ni kahaba. + +# sauti nyingine + +Neno "sauti" inamaanisha msemaji, ambaye huwezekana kuwa ni Yesu au Baba. "mtu mwingine" + +# Dhambi zake zimerundikana juu mpaka mbinguni + +Sauti inazungumzia dhambi za Babeli kama vile ni vitu vinavyoweza kuunda rundo. "Dhambi zake ni nyingi sana ni kama rundo linalofika mbinguni" + +# ameyakumbuka + +"akawazia" au "akaanza kuwa makini na." Hii haimaanishi kuwa Mungu alikumbuka jambo alilosahau. + +# Mlipeni kama alivyowalipa wengine + +Sauti inazungumzia adhabu kana kwamba ni malipo. "Muadhibu kama alivyowaadhibu wengine" + +# mkamlipe mara mbili + +Sauti inazungumzia adhabu kana kwamba ni malipo. "muadhibu mara mbili zaidi" + +# katika kikombe alichokichanganya, mchanganyishieni mara mbili kwa + +Sauti inazungumzia kusababisha wengine kuteseka kama kuandaa divai yenye nguvu kwa ajili yao kunywa. "muandalie divai ya mateso ambayo ina nguvu mara mbili zaidi ya ile aliyowaandalia wengine" au "mfanyeni ateseke mara mbili zaidi ya alivyowatesa wengine" + +# mchanganyishieni mara mbili + +Maana zinazowezekana ni 1)"andaa mara mbili ya kipimo" au 2)"ifanye kuwa na nguvu mara mbili zaidi" + diff --git a/rev/18/07.md b/rev/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..4cfdfdd1 --- /dev/null +++ b/rev/18/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Sauti ile ile kutoka mbinguni inaendelea kuzungumzia Babeli kana kwamba ni mwanamke. + +# alivyojitukuza + +"watu wa Babeli walijitukuza" + +# Nimekaa kama malkia + +Anadai kuwa mtawala, akiwa na mamlaka yake mwenyewe. + +# siyo mjane + +Anadokeza kuwa hatakuwa tegemezi kwa watu wengine. + +# sitaona maombolezo + +Kupitia maombolezo inatajwa kama kuona maombolezo. "sitawahi kuomboleza" + +# mapigo yake yatakuja + +Kuwepo wakati wa mbeleni inazungumziwa kama yanakuja. + +# Atateketezwa kwa moto + +Kuchomwa na moto inazungumziwa kama kuliwa na moto. "Moto utamchoma kikamilifu" + diff --git a/rev/18/09.md b/rev/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..81cd0fbe --- /dev/null +++ b/rev/18/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana anasema kile watu wanachosema kuhusu Babeli. + +# Taarifa ya Jumla: + +Hapa anayezungumziwa kama mtu ni mji wa Babeli. + +# waliofanya uasherati na kuchanganyikiwa pamoja naye + +"kutenda dhambi za ngono na kufanya chochote walichotaka kama watu wa Babeli walivyofanya" + +# hofu ya maumivu makali + +Maumivu makali yanaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "wakihofu kuwa watateswa kama Babeli" au "wakihofu kuwa Mungu atawatesa kama anavyoitesa Babeli" + +# Ole, ole + +Hii inarudiwa kwa ajili ya msisitizo. + +# adhabu yako imekuja + +Kuwepo katika wakati wa sasa inazungumziwa kama ilimefika. + diff --git a/rev/18/11.md b/rev/18/11.md new file mode 100644 index 00000000..ca9a2026 --- /dev/null +++ b/rev/18/11.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# kuomboleza kwa ajili yake + +"kuomboleza kwa ajili ya watu wa Babeli" + +# mawe ya thamani, lulu + +"aina nyingi za mawe ya dhamani" + +# kitani nzuri + +nguo ya gharama iliyotengenezwa kwa kitani. + +# zambarau + +"nguo ya zambarau" + +# hariri + +Hii ni nguo laini, imara iliyotengenezwa kutoka kwenye nyuzi bora kama nondo wa hariri wanapotengeneza vifukofuko vyao. "nguo ya gharama" au "nguo bora" au "nguo nzuri" + +# nyekundu + +"nguo nyekundu" + +# kila chombo cha pembe za ndovu + +"kila aina ya chombo kilichoundwa na pembe za ndovu" + +# pembe za ndovu + +Mali kigumu na kizuri cheupe ambacho watu wanaotoa kutoka kwenye pembe au meno ya wanyama wakubwa sana kama tembo na sili wa baharini. "mapembe" au "meno ya dhamani ya wanyama" + +# marumaru + +jiwe la dhamani linatumika kwenye ujenzi. + +# mdalasini + +kiungo cha mapishi chenye harufu nzuri na kinatoka katika gome la aina fulani ya mti. + +# kiungo + +kitu kinachotumika kuongeza ladha kwenye chakula au harufu nzuri kwenye mafuta. + diff --git a/rev/18/14.md b/rev/18/14.md new file mode 100644 index 00000000..c72b529e --- /dev/null +++ b/rev/18/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tunda + +Wanazungumzia vitu vizuri kama vile ni tunda. "Vitu vizuri" + +# uliyoyatamani kwa nguvu zako zote + +"ulitaka sana" + +# hayatapatikana tena + +Kutokupatikana inamaanisha kutokuwepo. uu ni usemi. "hautayaona tena" + diff --git a/rev/18/15.md b/rev/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..3fd8a1fb --- /dev/null +++ b/rev/18/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Katika mistari hii, anayezungumziwa kama binadamu ni mji wa Babeli. + +# kwa sababu ya hofu ya maumivu yake + +Nomino "hofu" na "mateso" zinaweza kuelezwa na misemo inayoweza kuonesha ni nani aliyehisi hofu na maumivu makali. "kwa sababu watahofia jinsi atakavyoteswa" + +# wakilia na kuomboleza kwa sauti + +Hiki ndicho watakachokifanya wafanya biashara. "na watalia na kuomboleza kwa sauti" + +# mji ule mkuu uliovikwa kitani nzuri + +Katika sura hii yote, Babeli inazungumziwa kama vile ni mwanamke. Wafanya biashara wanaizungumzia Babeli kama vile imevaa kitani nzuri kwa sababu watu wake walikuwa wamevaa kitani nzuri. "ule mji mkuu, ulio kama mwanamke aliyevaa kitani nzuri" au "ule mji mkuu, ambao wanawake wake walivaa kitani nzuri" + +# uliovikwa kitani nzuri + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "uliovaa kitani nzuri" + +# na kupambwa kwa dhahabu + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na kujipamba mwenyewe kwa dhahabu" au "na kujipamba wenyewe kwa dhahabu" au "na kuvaa dhahabu" + +# vito vya thamani + +"vito vinavyodhaminiwa" + +# lulu + +Shanga nzuri na za dhamani. Zinaundwa ndani ya ganda la mnyama fulani mdogo aishiye baharini. + +# kipato chao kinatoka baharini + +Msemo "kutoka baharini" inamaanisha kile wanachokifanya baharini. "wanaosafiri baharini kujikimu kimaisha" au "wanaosafiri baharini kwenda sehemu tofauti ili kufanya biashara ya vitu" + diff --git a/rev/18/18.md b/rev/18/18.md new file mode 100644 index 00000000..467bc318 --- /dev/null +++ b/rev/18/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Katika mistari hii, neno "wa" inamaanisha mabaharia na wanamaji, na yule mtu mmoja anayezungumziwa ni ule mji wa Babeli. + +# Ni mji gani unafanana na mji huu mkubwa? + +Swali hili linawaonesha watu umuhimu wa mji wa Babeli. "Hakuna mji mwingine kama mji ule mkuu, Babeli" + +# Mungu ameleta hukumu yenu juu yake + +Nomino "hukumu" inaweza kuelezwa na kitenzi "kuhukumu." "Mungu amemuhukumu kwa ajili yenu" au "Mungu amemuhukumu kwa sababu ya maovu aliyowatendea" + diff --git a/rev/18/21.md b/rev/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..edb65fcf --- /dev/null +++ b/rev/18/21.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika mwingine aanza kuzungumzia Babeli. Huyu ni malaika tofauti na yule aliyezungumza awali. + +# jiwe kuu la kusagia + +Jiwe kubwa la duara linatumika kusaga nafaka. + +# abeli, ule mji mkuu, utatupwa chini kwa nguvu na hautaonekana tena + +Mungu atauangamiza ule mji kikamilifu. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu ataitupa Babeli kwa nguvu, ule mji mkuu, na haitakuwepo tena" + +# hautaonekana tena + +"na hakuna mtu atakayeuona tena." Kutokuonekana hapa inamaanisha kwamba haitakuwepo tena. "haitakuwepo tena" + +# Sauti ya wapiga vinanda, wanamuziki, wacheza filimbi, na tarumbeta hawatasikika tena kwenu + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Hakuna mtu katika mji wenu ambaye atasikia tena sauti ya wapiga vinanda, wanamziki, na wacheza filimbi, na sauti ya tarumbeta" + +# kwenu + +Malaika anazungumza kana kwamba Babeli alikuwa hapo akimsikiliza. "ndani ya Babeli" + +# hawatasikika tena kwenu + +"hakuna mtu atakayewasikia tena." Kutosikiwa hapa inamaana ya kutokuepo. "hawatakuwepo katika mji wenu tena" + +# Hakuna fundi ... hataonekana kwenu + +Kutopatikana humo inamaana hawatakuwemo. "Hakuna fundi yeyote atakaye kuwa katika mji wenu" + +# Hakuna sauti ya kinu itakayosikika tena kwenu + +Sauti ya kitu kutokusikika inamaana kwamba hakuna atakaye sikia hiyo sauti. "Hakuna atakaye tumia vinu katika mji wenu" + diff --git a/rev/18/23.md b/rev/18/23.md new file mode 100644 index 00000000..43dc7ddf --- /dev/null +++ b/rev/18/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika aliyetupa jiwe la kusagia anamaliza kuongea. + +# Taarifa ya Jumla: + +Maneno "yako," "wako," na yake" inamaanisha ni Babeli. + +# Sauti ya bwana harusi na bibi harusi hazitasikiwa tena ndani yako + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Hakuna ambaye atasikia tena ndani ya Babeli sauti za furaha za bwana harusi na bibi harusi" + +# hazitasikiwa tena ndani yako + +"hakuna atakaye visikia ndani yenu tena." Kutosikiwa hapa inamaanisha havitakuwepo" "havitakuwa ndani ya mji wenu tena" + +# wafanyabiashara wako walikuwa wakuu wa nchi + +Malaika anazungumzia watu muhimu na wenye nguvu kama vile walikuwa wana wa wafalme. "wafanya biashara wenu walikuwa kama wana wa waflame duniani" au "wafanya biashara wenu walikuwa watu muhimu zaidi duniani" + +# mataifa, wamedanganywa kwa uchawi wako + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "uliwadanganya watu wa mataifa na uchawi wako" + +# Ndani yake damu ya manabii na waamini ilionekana, na damu ya wote waliouawa juu ya nchi + +Damu kukutwa ndani yake ina maana kuwa watu walikuwa na hatia ya kuua watu. "Babeli inahatia ya kuua manabii na waumini na watu wengine wote waliouawa" + diff --git a/rev/19/01.md b/rev/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..050eafd9 --- /dev/null +++ b/rev/19/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii ni sehemu ya maono ya Yohana ifuatayo. Hapa anaelezea furaha ya mbinguni juu ya kuanguka kwa kahaba mkuu, ambaye ni mji wa Babeli. + +# nilisikia + +Hapa aliyesikia ni Yohana. + +# Haleluya + +Neno hili linamaana "Msifu Mungu" au "Tumsifu Mungu." + +# kahaba mkuu + +Hapa Yohana anamaanisha mji wa Babeli ambao watu wake waouvu wanawatawala watu wote duniani na kuwaongoza kuabudu miungu ya uuongo. Anawazungumzia watu waovu wa Babeli kana kwamba ni kahaba mkuu. + +# aliyeiharibu nchi + +Hapa "nchi" ni njia nyingine ya kusema wakazi. "waliwaharibu watu wa duniani" + +# damu ya watumishi wake + +Hapa "damu" ni njia nyingine ya kuwakilisha mauaji. "kuwaua watumishi wake" + +# yeye mwenyewe + +Hii inamaanisha Babeli. Kurudiwa kwa haya maneno ni kwa ajili ya kuongeza msisitizo. + diff --git a/rev/19/03.md b/rev/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..93148328 --- /dev/null +++ b/rev/19/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# walisema + +Hapa waliosema ni umati wa watu mbinguni. + +# Haleluya + +Neno hili linamaana "Msifu Mungu" au "Tumsifu Mungu." + +# Moshi hutoka kwake + +Huu udondoshaji wa maneno. Unaweze kujumuisha maneno yaliyokosekana ambayo yameonyeshwa bila kutajwa. "Moshi wa moto unaowaka katika mji utainuka" + +# hutoka kwake milele na milele + +"kutoka kwa waabudu sanamu milele na milele" au "kwa wale walioshiriki kwenye ukahaba watateseka milele" + +# hutoka kwake + +Hapa anayezungumziwa ni Babeli. + +# wazee ishirini na wanne + +wazee wanne** -"wazee 24" + +# viumbe hai wanne + +"viumbe wanne wenye uhai" au "vitu vinne vyenye uhai" + +# akaaye kwenye kiti cha enzi + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "aliyeketi kwenye kiti cha enzi" + diff --git a/rev/19/05.md b/rev/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..a69b1b8c --- /dev/null +++ b/rev/19/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi + +Hapa Yohana anazungumzia "sauti" kana kwamba ni mtu. "mtu alizungumza kutoka kwenye kiti cha enzi" + +# Msifuni Mungu wetu + +Hapa "wetu" inamaanisha mnenaji na watumishi wote wa Mungu. + +# ninyi mnaomcha yeye + +Hapa ina maana ya kumheshimu Mungu. "wote mnaomheshimu Mungu" + +# wote wasio na umuhimu na wenye nguvu + +Mnenaji anatumia maneno haya pamoja kumaanisha watu wote wa Mungu. + diff --git a/rev/19/06.md b/rev/19/06.md new file mode 100644 index 00000000..05384843 --- /dev/null +++ b/rev/19/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ndipo nilisikia sauti kama sauti ya kundi kubwa la watu, kama sauti ya ngurumo ya maji mengi, na kama ngurumo ya radi + +Yohana anazungumzia anachokisia kama vile ilikuwa sauti iliyotengenezwa na umati mkubwa sana wa watu, maji mengi wanayotiririka kwa kasi, na ngurumo ya radi kubwa. + +# Haleluya + +Neno hili linamaana "Msifu Mungu" au "Tumsifu Mungu." + +# Bwana ni + +"Kwa sababu Bwana" + diff --git a/rev/19/07.md b/rev/19/07.md new file mode 100644 index 00000000..8ce0beb8 --- /dev/null +++ b/rev/19/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kauli Unganishi: + +sauti ya umati kutoka mstari uliopita yaendelea kuzungumza. + +# tushangilie + +Hapa wanaoshangilia ni watumishi wa Mungu. + +# kumpa utukufu + +"kumpa Mungu utukufu" au "kumheshimu Mungu" + +# harusi na sherehe ya Mwana Kondoo ... bibi harusi yuko tayari + +Hapa Yohana anazungumzia kuunganishwa pamoja kwa Yesu na watu wake kwama vile sherehe ya harusi. + +# Mwanakondoo + +Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo. + +# imekuja + +Kuwepo katika wakati wa sasa inazungumziwa kama imekuja. + +# bibi harusi yuko tayari + +Yohana anawazungumzia watu wa Mungu kana kwamba ni bibi harusi anayejianda kwa ajili ya harusi yake. + +# Aliruhusiwa kuvalishwa kitani safi na yenye kung'aa + +Hapa aliyevaa ni watu wa Mungu. Yohana anazungumzia matendo ya haki ya watu wa Mungu kana kwamba ni nguo safi za kung'aa ambazo bibi harusi huvaa siku ya harusi yake. Unaweza kueleza hii kwa hali ya kutenda. "Mungu alimruhusu kuvaa nguo kitani ya safi na ya kung'aa. + diff --git a/rev/19/09.md b/rev/19/09.md new file mode 100644 index 00000000..e366f7e7 --- /dev/null +++ b/rev/19/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Malaika anaanza kuzungumza na Yohana. Hii inawezekana kuwa malaika yule yule aliyeanza kuzungumza na Yohana katika 17:1. + +# walioalikwa + +Unaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "watu ambao Mungu amewakaribisha" + +# sherehe ya harusi ya Mwana kondoo + +Hapa malaika anazungumzia kuunganishwa kwa Yesu na watu wake kama vile ni sherehe ya harusi. + +# Nilisujudu + +Kusujudu ni kula chini kwenye ardhi, uso ukitazama chini, kuonesha heshima na utayari wa kutumika. + +# ndugu zako + +Neno "ndugu" hapa inamaanisha waumini wote wa kiume na wa kike. + +# wenye kuushika ushuhuda wa Yesu + +Hapakushika inamaansiha kuamini au kutangaza. "wanaosema ukweli kuhusu Yesu" + +# kwa kuwa ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii + +Hapa "roho ya unabii" inamaanisha Roho Mtakatifu wa Mungu. "kwa sababu ni Roho wa Mungu anayewapa watu nguvu ya kunena ukweli kuhusu Yesu" + diff --git a/rev/19/11.md b/rev/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..1866b1eb --- /dev/null +++ b/rev/19/11.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hapa ni mwanzo wa maono mengine. Yohana anaanza kuelezea mpandaji wa farasi nyeupe. + +# Kisha niliona mbingu zimefunguka + +Hii picha inatumika kuashiria mwanzo wa maono mapya. + +# yule aliyekuwa amempanda + +Aliyempanda ni Yesu. + +# Huhukumu kwa haki + +Hapa "haki" inamaanisha kile kilicho sahihi. "Anahukumu watu wote kulingana na kile kilicho sahihi" + +# Macho yake ni kama mwali wa moto + +Yohana anazungumzia macho ya mpandaji kama vile yaling'aa kama mwali wa moto. + +# jina lililoandikwa juu yake + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu ameandika jina juu yake" + +# asilolifahamu mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe + +"Yeye tu ndiye ajuae maana ya jina hilo" + +# Amevaa vazi lililochovywa katika damu + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Damu imefunika vazi lake" + +# jina lake anaitwa Neno la Mungu + +Unaweza kueleza hii kwa hali ya kutenda. "jina lake pia ni Neno la Mungu" + diff --git a/rev/19/14.md b/rev/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..1b03bc58 --- /dev/null +++ b/rev/19/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kinywani mwake hutoka upanga mkali + +Ubapa wa upanga ulikuaunchomoza kinywani mwake. Upanga wenyewe haukua ukisogea. + +# huyaangamiza mataifa + +"huyapiga mataifa" au "anayamudu mataifa" + +# atawatawala kwa fimbo ya chuma + +Yohana anazungumzia nguvu ya mpandaji kama vile anatawala na fimbo ya chuma. + +# Naye hukanyaga vyombo vya mvinyo kwa hasira kali ya Mungu + +Yohana anazungumzia mpandaji kuangamiza adui zake kana kwamba ni zabibu ambazo mtu anakanyaga kwenye chombo cha mvinyo. Hapa "hasira" inamaanisha adhabu ya Mungu kwa watu waovu. "Atawakanyaga adui zake kulingana na hukumu ya Mungu, kama tu binadamu anavyokanyaga zabibu kwenye chombo cha mvinyo" + +# Naye ameandikwa juu ya vazi lake na katika paja lake jina + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu ameandika jina kwenye vazi lake na kwenye paji:" + diff --git a/rev/19/17.md b/rev/19/17.md new file mode 100644 index 00000000..12ac9576 --- /dev/null +++ b/rev/19/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Niliona malaika amesimama katika jua + +Hapa "jua" ni njia nyingine ya kusema mwanga wa jua. "Kisha nikaona malaika akisimama kwenye mwanga wa jua" + +# walio huru na watumwa, wasio na umuhimu na wenye nguvu + +Malaika anatumia makundi mawili ya maneno yenye tofauti pamoja kumaanisha watu wote. + diff --git a/rev/19/19.md b/rev/19/19.md new file mode 100644 index 00000000..3784c701 --- /dev/null +++ b/rev/19/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mpandaji wa farasi nyeupe alimkamata mnyama na nabii wa uongo" + +# chapa ya mnyama + +Hii ilikuwa alama ya kuonesha kuwa aliyekuwa nayo alimwabudu mnyama. + +# Wote wawili walitupwa wangali hai + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu alimtupa mnyama na nabii wa uongo wangali hai" + +# katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti + +"ziwa la moto liwakalo salfa" au "sehemu ilyojaa moto unaowaka salfa" + diff --git a/rev/19/21.md b/rev/19/21.md new file mode 100644 index 00000000..1d0b1cff --- /dev/null +++ b/rev/19/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wale waliobaki waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa mmoja aliyepanda juu ya farasi + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mpandaji wa farasi aliwaua wanajeshi waliosalia wa mnyama kwa upanga uliotoka kinywani mwake" + +# uliotoka kinywani mwake + +Ubapa wa upanga ulikuaunchomoza kinywani mwake. Upanga wenyewe haukua ukisogea. + diff --git a/rev/20/01.md b/rev/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..b2af205e --- /dev/null +++ b/rev/20/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kueleza maono ya malaika akimtupa ibilisi kwenye shimo lisilo na mwisho. + +# Kisha niliona + +Hapa aliyeona ni Yohana. + +# shimo lisilo na mwisho + +Hili ni shimo refu sana na jembamba. Maana zinazowezekana ni 1)shimo halina mwisho chini; inaendelea kwenda chini zaidi milele au 2) shimo ni refu sana hata linakuwa kana kwamba halina mwisho. + +# joka + +alikuwa mtambaazi mkubwa na mkali, anayefanana na mjusi. Kwa wayahudi, hii ilikuwa ni alama ya uovu na mabaya. + +# kulitia mhuri juu yake + +Malaika alilifunga shimo na kulitia muhuri ili mtu yeyote asifungue. "aliifunga na kuitia muhuri ili mtu yeyote asifungue" + +# asiwadanganye mataifa + +Hapa "mataifa" ni njia nyingine ya kusema watu wa duniani. "asiwadanganye makundi ya watu" + +# miaka elfu + +"miaka 1,000" + +# ataachiwa huru + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu atamuamuru malaika amuweke huru" + diff --git a/rev/20/04.md b/rev/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..00dcb42b --- /dev/null +++ b/rev/20/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii ni sehemu ifuatayo ya maono ya Yohana. Anaelezea kuona ghafla viti vya enzi na roho za waumini. + +# walikuwa wamepewa mamlaka ya kuhukumu + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "wale ambao Mungu aliwapa uwezo wa kuhukumu" + +# ambao walikuwa wamekatwa vichwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "wale ambao vichwa vyao vilikatwa" + +# kwa ajili ya ushuhuda kuhusu Yesu + +"kwa sababu walizungumza ukweli kuhusu Yesu" + +# Walikuja uzimani + +"walifufuka" au "walikuwa hai tena" + diff --git a/rev/20/05.md b/rev/20/05.md new file mode 100644 index 00000000..da41a393 --- /dev/null +++ b/rev/20/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wafu waliobaki + +"watu wote wengine waliokufa" + +# miaka elfu ilipokuwa imeisha + +"mwisho wa miaka 1,000" + +# Mauti ya pili haina nguvu juu ya watu hawa + +Hapa Yohana anafafanua "mauti" kama mtu mwenye nguvu. "Watu hawa hawatapitia kifo cha pili" + +# Mauti ya pili + +"kufa mara ya pili." Hii inaelezwa kama adhabu ya milele katika ziwa la moto la 20:13 na 21:7. "kifo cha mwisho ni ziwa la moto." + diff --git a/rev/20/07.md b/rev/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..a33e207a --- /dev/null +++ b/rev/20/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu atamuachia Shetani kutoka katika gereza lake" + +# kona nne za dunia + +Hii ni lugha inayomaanisha "duniani kote" + +# Gogu na Magogu + +Haya ni majina ambayo nabii Hezekia alitumia kuwakilisha mataifa ya mbali. + +# Watakuwa wengi kama mchanga wa bahari + +Huu ni msisitizo wa namba kubwa sana la askari wa jeshi la Shetani. + diff --git a/rev/20/09.md b/rev/20/09.md new file mode 100644 index 00000000..e7a0760e --- /dev/null +++ b/rev/20/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Walikwenda + +"Jeshi la Shetani lilikwenda" + +# mji upendwao + +Hii inamaanisha Yerusalemu. + +# moto ulikuja kutoka mbinguni na kuwaangamiza + +Hapa Yohana anazungumzia moto kana kwamba ukko hai. "Mungu alituma moto toka mbinguni kuwachoma" + +# Ibilisi, ambaye aliwadanganya, alitupwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu alimtupa Ibilisi aliyewadanganya" au "Malaika wa Mungu walimtupa Ibilisi aliyewadanganya," + +# ziwa liwakalo kiberiti + +"ziwa la moto liwakalo kiberiti" au "sehemu ilyojaa moto unaowaka kiberiti" + +# ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambamo alikuwa amemtupa mnyama na nabii wa uongo" + +# Watateswa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu atawatesa" + diff --git a/rev/20/11.md b/rev/20/11.md new file mode 100644 index 00000000..cdfc74b3 --- /dev/null +++ b/rev/20/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii ni sehemu ifuatayo ya maono ya Yohana. Anaelezea kuona ghafla kiti cheupe cha enzi na wafu wakihukumiwa. + +# Dunia na mbingu zilikimbia mbali kutoka katika uwepo wake, lakini hapakuwako nafasi ya wao kwenda + +Yohana anaelezea mbingu na nchi kama vile ni watu wanaojaribu kutoroka hukumu ya Mungu. Hii inamaanisha kuwa Mungu aliaangamiza kabisa mbingu na nchi za zamani. + +# hodari na wasio wa muhimu + +Yohana anaunganisha maneno haya yenye maana tofauti kumaanisha watu wote waliokufa. + +# vitabu vilifunuliwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu alivifunua vitabu" + +# Wafu walihukumiwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu aliwahukumu watu waliokuwa wamekufa na sasa wako hai tena" + +# kwa kile kilichoandikwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kwa kile alichoandika" + diff --git a/rev/20/13.md b/rev/20/13.md new file mode 100644 index 00000000..adca9509 --- /dev/null +++ b/rev/20/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bahari iliwatoa wafu ... Kifo na kuzimu viliwatoa wafu + +Hapa Yohana anazungumzia bahari, kifo na kuzimu kana kwamba ni watu hai. + +# wafu walihukumiwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu aliwahukumu wafu" + +# Kifo na kuzimu zilitupwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu alizitupa kifo na kuzimu" au "Malaika wa Mungu walizitupa kifo na kuzimu" + +# kuzimu + +Hapa "kuzimu" ni njia nyingine ya kusema mahali ambapo wasioamini wanapokwenda pale wanapokufa ili kusubiri hukumu ya Mungu. + +# mauti ya pili + +"kufa mara ya pili." Hii inaelezwa kama adhabu ya milele katika ziwa la moto katika 20:13 na 21:7. "kifo cha mwisho ni ziwa la moto" + +# Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kama malaika wa Mungu hawakupata jina la mtu" + +# litupwa ndani ya ziwa la moto + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "malaika alimtupa katika ziwa la moto" au "malaika alimtupa mahali ambapo moto unawaka milele" + diff --git a/rev/21/01.md b/rev/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..aaf8bc95 --- /dev/null +++ b/rev/21/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anaanza kueleza maono yake ya Yerusalemu mpya. + +# nikaona + +Aliyeona ni Yohana. + +# kama bibi harusi aliyepambwa kwa ajili ya mumewe + +Hii inaifananisha Yerusalemu mpya kama bibi harusi anayejipamba kwa ajili ya bwana harusi wake. + diff --git a/rev/21/03.md b/rev/21/03.md new file mode 100644 index 00000000..85005f99 --- /dev/null +++ b/rev/21/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nilisikia sauti kubwa kutoka kwenye kiti cha enzi ikisema + +Neno "sauti" inamaanisha yule anayezungumza. "mtu akinena kwa sauti kutoka katika kiti cha enzi akisema" + +# Tazama! + +Nenno "Tazama" inatuweka macho kuwa makini na taarifa za kushangaza zifuatazo. + +# Makao ya Mungu yapo pamoja na wanadamu, naye ataishi pamoja nao + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza kuwa, hakika, Mungu ataishi miongoni mwa watu. + +# Atafuta kila chozi kutoka katika macho yao + +Machozi hapa yanawakilisha huzuni. "Mungu atafuta huzuni yao kama vile anafuta machozi yao" au "Mungu atawasababisha wasiwe na huzuni tena" + diff --git a/rev/21/05.md b/rev/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..08045316 --- /dev/null +++ b/rev/21/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# maneno haya ni ya hakika na kweli + +Hapa "maneno" yanamaanisha ujumbe uliyounda. "ujumbe huu ni wakuaminika na wa kweli" + +# Alfa na Omega, mwanzo na mwisho + +Misemo hii miwili inamaanisha jambo moja na inasisitiza asili ya milele ya Mungu . + +# Alfa na Omega + +Hizi ni herufi za kwanza na mwisho katika alfabeti ya Kigriki. Maana zinazowezekana ni 1) "yule aliyeanzisha vitu vyote na anayevileta mwisho vitu vyote" au 2)"yule ambaye alikuwepo na ataendelea kuwepo". Kama haieleweki kwa wasomaji unaweza kufikiria kutumia herufi katika alfabeti zako. "Yeye ni A na Z" au "mwanzo na mwisho" + +# mwanzo na mwisho + +Maana zinazowezekana ni 1)"yule aliyeanzisha vitu vyote na ambaye atasababisha vyote kufika mwisho" (UDB) au 2) "yule aliyekuwepo kabla ya vitu vyote na atakuwepo baada ya vitu vyote." + +# Kwa yeyote aonaye kiu ... maji ya uzima + +Mungu anazungumzia hamu ya uzima wa mile kama vile ni kiu na mtu anayepokea uzima wa milele ni kama vile anakunywa maji yaletayo uzima. + diff --git a/rev/21/07.md b/rev/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..2ea029e9 --- /dev/null +++ b/rev/21/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Unganishi: + +Aliyeketi katika kiti cha enzi aendelea kuzungumza na Yohana. + +# waoga + +"wale wanaoogopa sana kufanya kilicho sahihi" + +# wachukizao + +"wanaofanya vitu vibaya" + +# ziwa la moto wa kiberiti uunguzao + +"ziwa la moto liwakalo kiberiti" au "sehemu ilyojaa moto unaowaka kiberiti" + +# mauti ya pili + +"kufa mara ya pili." Hii inaelezwa kama adhabu wa milele katika ziwa lamoto katika 20:13 na 21:7. "kifo cha mwisho katika ziwa la moto." + diff --git a/rev/21/09.md b/rev/21/09.md new file mode 100644 index 00000000..ec9e329d --- /dev/null +++ b/rev/21/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# bibi harusi, mke wa mwana kondoo + +Malaika anazungumzia Yerusalemu mpya kama vile ni mwanamke anayetaka kuolewa na bwana harusi wake, Mwanakondoo. Yerusalemu ni jina jingine la waumini watakao ushimo. + +# Mwanakondoo + +Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo. + +# alinichukua mbali katika Roho + +Mazingira yanabadilika na Yohana anapelekwa kwa mlima mrefu ambapo anaweza kuuona mji wa Yerusalemu. + diff --git a/rev/21/11.md b/rev/21/11.md new file mode 100644 index 00000000..98e7c878 --- /dev/null +++ b/rev/21/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yerusalemu + +Hii inamaanisha "Yerusalemu kushuka kutoka mbinguni" ambayo ameieleza katika mstari uliopita na sio Yerusalemu halisia. + +# kama kito cha thamani, kama jiwe la yaspi jeupe kama kioo + +yaspi safi** - Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja. Ya pili inasisitiza ubora wa Yerusalemu kwa kutaja bayana aina ya yaspi. + +# jeupe kama kioo + +nyeupe*** "nyeupe sana" + +# yaspi + +Hili ni jiwe la dhamani. Yaspi inawezakana kuwa ilkuwa nyeupe kama kioo. + +# milango kumi na miwili + +"milango 12" + +# pameandikwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu aliapaandika" + diff --git a/rev/21/14.md b/rev/21/14.md new file mode 100644 index 00000000..ab3c85de --- /dev/null +++ b/rev/21/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwanakondoo + +Hii inamaanisha Yesu. + diff --git a/rev/21/16.md b/rev/21/16.md new file mode 100644 index 00000000..c41d7639 --- /dev/null +++ b/rev/21/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# stadia + +Kiwanja cha michezo kinaurefu wa mita 185. + +# dhiraa + +dhiraa ni sentimita 46. + diff --git a/rev/21/18.md b/rev/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..afa210a2 --- /dev/null +++ b/rev/21/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ukuta ulikuwa umejengwa kwa yaspi na mji kwa dhahabu safi + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu aliujenga ukuta kwa yaspi na mji kwa dhahabu safi" + +# dhahabu safi, kama kioo safi + +Dhahabu ilikuwa safi sana hadi inazungumziwa kama vile ilikuwa kioo. + +# Misingi ya ukuta ilikuwa imepambwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu aliipamba misingi ya ukuta" + +# yaspi ... zumaridi ... akiki + +Haya ni mawe ya dhamani. Yaspi inawezekana ilkuwa nyeupe kama kioo, na akii inawezekana ilikuwa nyekundu. Zumaridi ni kijani. + +# yakuti samawi ...kalkedon ... sardoniki ... krisopraso ... hiakintho ...amethisto + +Hivi vyote ni vito vya dhamani. + diff --git a/rev/21/21.md b/rev/21/21.md new file mode 100644 index 00000000..37ee3492 --- /dev/null +++ b/rev/21/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# lulu + +Shanga nzuri na za dhamani. Zinaundwa ndani ya ganda la mnyama fulani mdogo aishiye baharini. + +# kila mlango ulitengenezwa kutoka kwenye lulu moja + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu alitengeneza kila mlango kutoka kwenye lulu moja" + +# hahabu safi, ikionekana kama kioo safi + +Dhahabu ilikuwa safi sana hadi inazungumziwa kama vile ilikuwa kioo. + +# Bwana Mungu ... na Mwana Kondoo ni hekalu lake + +Hekalu liliwakilisha uwepo wa Mungu. Hii inamaanisha Yerusalemu mpya haitahitaji hekalu kwa sababu Mungu na Mwanakondoo watakuwepo humo. + diff --git a/rev/21/23.md b/rev/21/23.md new file mode 100644 index 00000000..3ad63884 --- /dev/null +++ b/rev/21/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# taa yake ni Mwanakondoo + +Hapa utukufu wa Yesu , Mwanakondoo, unazungumziwa kama vile ni taa inayotoa nuru kwa ajili ya mji. + +# Milango yake haitafungwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Hakuna atakayefunga milango yake" + diff --git a/rev/21/26.md b/rev/21/26.md new file mode 100644 index 00000000..eab768b3 --- /dev/null +++ b/rev/21/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wataleta + +"Wafalme wa duniani wataleta" + +# hakuna kichafu kitakachoingia ndani yake kamwe + +maneno hasi haya mawili yanaweza kusemwa kwa hali chanya kwa kusema "kile kilicho kisafi tu ndio kitaingia." + +# bali ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "lakini wale tu ambao Mwanakondoo ameandika majina yao katika kitabu cha Uzima" + +# Mwanakondoo + +Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo. + diff --git a/rev/22/01.md b/rev/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..f4e9cf49 --- /dev/null +++ b/rev/22/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yohana anaendelea kuelezea Yerusalemu mpya kadri malaika anavyomuonesha. + +# akanionesha + +Hapa anayeoneshwa ni Yohana. + +# mto wa maji ya uzima + +"mto unaotiririka maji yaletayo uzima" + +# maji ya uzima + +Uzima wa milele unazungumziwa kana kwamba ni kinywaji cha maji yaletayo uzima. + +# Mwanakondoo + +Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo. + +# mataifa + +Hapa "mataifa" yanamaanisha watu wanaoishi katika kila taifa. "watu wa mataifa yote" + diff --git a/rev/22/03.md b/rev/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..d715399d --- /dev/null +++ b/rev/22/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wala hapatakuwa na laana yoyote tena + +Maana zinazowezekana ni 1) "Hakutakuwa na yeyote humo ... amabye Mungu atamlaani" (UDB) au 2) "Hakutakuwa na yeyote humo aliye chini ya laana ya Mungu." + +# watumishi wake watamtumikia + +Maana zinazowezekana za "wake" ni 1) neno hili linamaanisha Mungu Baba, au 2) linamaanisha Mungu na Mwanakondoo ambao wote wanatawala pamoja kama mtu mmoja. + diff --git a/rev/22/06.md b/rev/22/06.md new file mode 100644 index 00000000..22ff28a3 --- /dev/null +++ b/rev/22/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwanzo wa mwisho wa maono ya Yohana. Katika mstari wa 6 malaika anazungumza na Yohana. Katika mstari wa 7, Yesu anazungumza, kama ilivyoainishwa katika UDB. + +# maneno haya ni ya hakika na kweli + +Hapa "maneno" yanamaanisha ujumbe uliyounda. "ujumbe huu ni wa kuaminika na wa kweli" + +# Mungu wa roho za manabii + +Maana zinazowezekana ni 1) neno "roho" inamaanisha tabia ya ndani ya manabii na inaashiria kuwa Mungu ndio aliwapa msukumo. "Mungu aliyewaongoza manabii" (UDB) au 2) neno "roho" inamaanisha Roho Mtakatifu amabye aliwaongoza manabii. "Mungu aliyewapa manabii Roho wake" + +# Tazama! + +Hapa Yesu anaanza kuzungumza. Neno "Tazama" inaongeza msistizo kwa kile kinachofuata. + +# Ninakuja upesi! + +Inaeleweka kuwa anakuja ili kuhukumu. "Ninakuja kuhukumu upesi! + diff --git a/rev/22/08.md b/rev/22/08.md new file mode 100644 index 00000000..dcd671f0 --- /dev/null +++ b/rev/22/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anawaambia wasomaji wake jinsi alivyomjibu malaika. + +# kulala kifudifudi + +Hii inamaanisha kulala chini na kujinyoosha kwa sababu ya heshima na unyenyekevu. Hii nafasi ilikuwa sehemu muhimu katika kuabudu, kuonesha heshima na utayari wa kutumika. + diff --git a/rev/22/10.md b/rev/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..3433892e --- /dev/null +++ b/rev/22/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Unganishi: + +Malaika anamaliza kuzungumza na Yohana. + +# Usiyatie muhuri ... kitabu hiki + +Kutia muhuri kitabu ilikuwa kukifunga na kitu ambacho kilikifanya isiwezekane kwa yeyote kusoma kilichomo ndani hadi ule muhuri uvunjwe. Malaika alikuwa akimwambia Yohana kutoufanya ujmbe kuwa siri. "Usifanye siri ... kitabu hiki" + +# aneno ya unabii wa kitabu hiki + +Hapa "maneno" yanamaanisha ujumbe uliyounda. "Huu ujumbe wa kinabii wa kitabu hiki" + diff --git a/rev/22/12.md b/rev/22/12.md new file mode 100644 index 00000000..61791a43 --- /dev/null +++ b/rev/22/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Kitabu cha Ufunuo kikiwa kinafika mwisho, Yesu anatoa salamu zake za kufunga. + +# Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho + +Misemo hii mitatu inafanana maana na inasisitiza kuwa Yesu alikuwepo na ataendelea kuwepo muda wote. + +# Alfa na Omega + +Hizi ni herufi za kwanza na mwisho katika alfabeti ya Kigriki. Maana zinazowezekana ni 1) "yule aliyeanzisha vitu vyote na anayevileta mwisho vitu vyote" au 2)"yule ambaye alikuwepo na ataendelea kuwepo". Kama haieleweki kwa wasomaji unaweza kufikiria kutumia herufi katika alfabeti zako. "Yeye ni A na Z" au "mwanzo na mwisho" + +# wa Kwanza na wa Mwisho + +Hii inamaanisha uasili wa Yesu wa milele. + +# Mwanzo na Mwisho + +Maana zinazowezekana ni 1)"yule aliyeanzisha vitu vyote na ambaye atasababisha vyote kufika mwisho" (UDB) au 2) "yule aliyekuwepo kabla ya vitu vyote na atakuwepo baada ya vitu vyote." + diff --git a/rev/22/14.md b/rev/22/14.md new file mode 100644 index 00000000..12df07a9 --- /dev/null +++ b/rev/22/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yesu anaendelea kutoa salamu zake za kufunga. + +# wale waoshao mavazi yao + +Kuwa mtakatifu inazungumziwa kama mtu kuosha nguo zake. "wale waliokuwa watakatifu, kana kwamba wameosha mavazi yao" + +# Nje + +Hii inamaanisha wako nje ya mji na hawaruhusiwi kuingia. + +# kuna mbwa + +Kwenye utamaduni huo, mbwa alikua ni mnyama mchafu anayechukiwa. Hapa neno ni lakumshusha mtu hadhi na linamaanisha watu waovu. + diff --git a/rev/22/16.md b/rev/22/16.md new file mode 100644 index 00000000..4be91974 --- /dev/null +++ b/rev/22/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuwashuhudia + +Hapa wanaoshuhudiwa ni wengi. + +# mzizi wa uzao wa Daudi + +Maneno "mzizi" na "uzao" yanamaanisha kitu kimoja tu. Yesu anazungumzia kuwa "mzawa" kana kwamba ni "mzizi" uliota toka kwa Daudi. Kwa pamoja maneno haya yanasisitiza kuwa Yesu anatoka katika familia ya Daudi. + +# Nyota ya Asubuhi ing'aayo + +Yesu anajizungumzia mwenyewe kuwa kama nyota inayoonekana asubuhi kabla ya kupambazuka na inaashiria kuwa siku mpya imekaribia kuanza. + diff --git a/rev/22/17.md b/rev/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..9811e167 --- /dev/null +++ b/rev/22/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Unganishi: + +Hili ni jibu kwa kile alichosema Yesu. + +# Bibi harusi + +Waumini wanazungumziwa kana kwamba ni bibi harusi anasubiri kuolewa na bwana harusi, Yesu. + +# Njoo! + +Maana zinazowezekana ni 1) kwamba huu ni ukaribisho wa watu kuja na kunywa maji ya uzima. "Njoni mnywe!" au 2) kwamba hili ni ombi la unyenyekevu la kumuomba Yesu arudi. "Tafadhali njoo!" + +# Yeyote aliye na kiu ... maji ya uzima + +Hamu ya mtu kwa ajili ya uzima wa milele inazungumziwa kana kwamba ni kiu na kwa mtu huyo kupokea uzima wa milele kama vile kunywa maji yaletayo uhai. + +# maji ya uzima + +Maisha ya milele yanazungumziwa kama vile ni kinywaji kiletacho uhai. + diff --git a/rev/22/18.md b/rev/22/18.md new file mode 100644 index 00000000..80a5d1e1 --- /dev/null +++ b/rev/22/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yohana anatoa maneno yake ya mwisho juu ya kitabu cha Ufunuo. + +# Namshuhudia + +Anayeshuhudia ni Yohana. + +# maneno ya unabii wa kitabu hiki + +Hapa "maneno" yanamaanisha ujumbe yaliyounda. "Ujumbe huu wa kinabii wa kitabu hiki." + +# Kama yeyote ataongeza katika hayo ... Kama mtu yeyote atayaondoa + +Hili ni onyo kali la kutobadili chochote kwenye utabiri huu. + +# yaliyoandikwa katika kitabu hiki + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeyaandika ndani ya kitabu hiki" + diff --git a/rev/22/20.md b/rev/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..62559762 --- /dev/null +++ b/rev/22/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Katika mistari hii, Yohana anatoa salamu zake za kufunga pamoja na za Yesu. + +# Yeye ashuhudiaye + +"Yesu, ashuhudiaye" + +# kila mtu + +"kila mmoja wenu" + diff --git a/rom/01/01.md b/rom/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..81f23b61 --- /dev/null +++ b/rom/01/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Paulo + +Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kumtambulisha mwandishi wa barua. "Mimi Paulo naandika barua hii." Unaweza pia kusema ni kwa nani barua iliandikwa. + +# kuitwa kuwa mtume, na kutengwa kwa ajili ya injili ya Mungu + +"Mungu alinita mimi kuwa mtume na alinichagua kuwaambia watukuhusu injili" + +# Kuitwa + +Hapa inamaana kuwa Mungu aliteua au kuchagua watu kuwa watoto wake, kuwa watumishi wake na watangazaji wa ujumbe wake wa wokovu kupitia kwa Yesu. + +# Hii ni injili ambayo aliiahidi kabla kwa mitume wake kwenye maandiko matakatifu + +Mungu aliwaahidi watu wakekwamba atawaandalia ufalme. Aliwaambia mitume waandike ahadi hizi kwenye maandiko. + +# Ni kuhusu mwana wake + +Hii inamaanisha "Injili ya Mungu," habari njema ambayo Mungu aliwaahidi kuwapa mwanawe ulimwenguni. + +# Mwana + +Hiki ni cheo cha muhimu sana kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Aliyezaliwa toka kwa uzao wa Daudi kutokana na mwili + +Hapa neno "mwili" linamaanisha mwili unaoonekana. "Ambaye ni uzao wa Daudi kutokana na asili ya mwili" au "aliyezaliwa kwenye familia ya Daudi." + diff --git a/rom/01/04.md b/rom/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..7984a452 --- /dev/null +++ b/rom/01/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Paulo anazungumza kuhusu majukumu yake katika kuhubiri. + +# Alithibitishwa kuwa mwana wa Mungu. + +Neno "yeye" linamaanisha Yesu. "Mungu alimthibitisha yeye kuwa mwana wa Mungu" + +# Mwana wa Mungu + +Ufufuo wa Yesu unathibitisha kuwa alikuwa na ndiye "mwana wa Mungu." Hiki ni cheo cha muhimu sana cha Yesu. + +# Roho ya utakatifu + +Hii inmaanisha roho mtakatifu. + +# kwa ufufuo wa wafu + +"kwa kuleta tena kwenye uhai baada ya kufa" + +# Tumepokea neema na utume + +"Alinichagua mimikuwa mtume" au "Mungu alinipa zawadi ya neema ya kuwa mtume." "Mungu kwa neema yake alinipa zawadi" + +# Sisi + +Hapa neno "sisi" linamaanisha Paulo na mitume 12 waliomfuata Yesu lakini ukiwatoa waamini katika kanisa la Roma. + +# kwa kutii imani kati ya mataifa yote, kwa ajili ya jina lake. + +Paulo anatumia neno "jina" akiwa anamzungumzia Yesu. "kwa ajili yakuwafundisha mataifa yote kutii kwa sababu ya imani yao kwake" + diff --git a/rom/01/07.md b/rom/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..9f900152 --- /dev/null +++ b/rom/01/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Barua hii ni kwa ajili ya wpote waliopo Roma, wapendwa wa Mungu, walioitwa kuwa watu watakatifu + +"Naandika barua hii kwenu nyote mliopo Roma ambao mnapendwa na Mungu na mmechaguliwa kuwa watu wake" + +# Neema iwe kwenu, na amani + +"Neema na amani iwe kwenu" + diff --git a/rom/01/08.md b/rom/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..fe8d1331 --- /dev/null +++ b/rom/01/08.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Ulimwengu wote + +Hii inamaanisha ulimwengu walioufahamu, ambao ni ngome wa Roma. + +# Kwa kuwa Mungu ni shahidi yangu + +Paulo anasisitiza kwamba ameomba kwa bidii kwa ajili yao na kwamba Mungu alimuona akiwa anaomba. + +# Kwa roho yangu + +Hapa inamaanisha roho ya mtu ni sehemu yake ambayo inamtambua Mungu na kumwamini. + +# Injili ya mwanawe + +Habari njema (injili) ya Biblia ni kwamba mwana wa Mungu alijitoa mwenyewe kama mkombozi wa dunia. + +# Mwana + +Hiki ni cheo cha muhimu sana kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# Nakutaja wewe + +"Niliongea na Mungu kuhusu wewe" + +# Kila mara kwenye maombi yangu nimekuwa nikiomba kuwa.. Hatimaye nifanikiwe... kuja kwako + +Kila mara naomba, na kumwambia Mungu kwamba... Nifanikiwe... kuja kukutembelea wewe" + +# Kwa njia yoyote + +"Kwa njia yoyote ambayo Mungu ataruhusu" + +# Hatimaye + +"mwisho" + +# Kwa mapenzi ya Mungu + +"kwa sababu Mungu ametamani hivyo" + diff --git a/rom/01/11.md b/rom/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..2d47828f --- /dev/null +++ b/rom/01/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kuweka wazi maelezo yake kwa watu wa Rumi kwa kuelezea shauku yake ya kuwaona mmoja mmoja. + +# Kwa kuwa natamani kuwaona + +"kwa kuwa nataka kuwaona" + +# Kwa kuwa + +"kwa sababu" + +# baadhi ya zawadi za roho, ili kuwatia nguvu + +"baadhi ya zawadi toka kwa Roho Mtakatifu, ambayo itawasaidia na kuwatia nguvu" + +# Ambayo ni, mfarijiane kati yenu, kupitia imani ya kila mtu, yenu na yangu + +"Namaanisha kwamba nataka tutiane moyo kwa kutumia uzoefu wa imani yetu kwa Yesu" + diff --git a/rom/01/13.md b/rom/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..db6bacf4 --- /dev/null +++ b/rom/01/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sitaki msifahamu + +Paulo anasisitiza kwamba alitaka wawe na taarifa hii. "Nilitaka ninyi mfahamu haya" + +# Ndugu + +Hapa anamaanisha Wakristo wenzake, ukijumuisha wote wanaume na wanawake. + +# Lakini nilikuwa nimezuiwa + +"kuna kitu kilikuwa kinanizuia" + +# Muwe na tunda + +"Tunda" linawakilisha watu wa Roma amabao Paulo alitaka kuwaongoza waamini injili. + +# Kama ilivyo kati ya Mataifa + +"Kama ambavyo watu walikuja kuamini injili kwemye taifa lingine la Mataifa" + +# Nina deni kwa wote + +"Lazima nipeleke injili kwa" + diff --git a/rom/01/16.md b/rom/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..33f8549e --- /dev/null +++ b/rom/01/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Siionei haya injili + +"Nina ujasiri ninapoongea kuhusu injili, japokuwa watu wengi wanakataa" + +# Kwa kuwa siionei haya + +Paulo anaelezea kwa nini anataka kuhubiri injili Roma. + +# Kwa kuwa ndani yake + +Hii inaelezea injili. Paulo anaelezea kwa nini anahubiri injili kwa ujasiri. + +# Ni nguvu ya Mungu ya wokovu kwa kila mtu anayeamini + +"Ni kupitia injili nguvu ya Mungu inawaokoa wanaomwamini Kristo" + +# Kwa Wayahudi kwanza na kwa Wagiriki + +"kwa watu wa Kiyahudi na watu wa Kigiriki" + +# Kwanza + +Hii inaweza kuwa na maana kuwa 1) "ya kwanza kwa sababu ya mda" au 2) "ya muhumu sana" + +# Haki ya Mungu inadhihirishwa toka imani mpaka imani + +"Mungu amedhihirisha kuwa ni kwa imani toka mwanzo mpaka mwisho watu wanakuwa na haki" "Mungu amedhihirisha haki yake kwa wale walio na imani, na matokeo yake wanaimani zaidi" au "kwa sababu Mungu ni mwaminifu, amedhihirisha haki yake, na matokeo yake watu wamekuwa na imani zaidi" + +# Mwenye haki ataishi kwa imani + +"Ni watu wanaomwamini Mungu ndio anaowaona wenye haki, na wataishi milele" + diff --git a/rom/01/18.md b/rom/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..fda93659 --- /dev/null +++ b/rom/01/18.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anadhihirisha hasira kuu ya Mungu dhidi ya wanaotenda dhambi. + +# Kwa kuwa ghadhabu yake + +Paulo anaelezea kwa nini watu wanatakiwa kuisikia injili. + +# Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa + +"Mungu amedhihirisha hasira yake" + +# Dhidi + +"juu ya" + +# uasi wote na udhalimu wa watu + +"uasi wote na mambo ya udhalimu ambayo watu wanayatenda" + +# kuuficha ukweli + +"walificha taarifa za kweli kuhusu Mungu" + +# ambayo inajulikana kuhusu Mungu inaonekana kwao + +"wanaweza kujua kuhusu Mungu kwa sababu ya wanayoyaona" + +# Kwa kuwa Mungu + +Paulo anawaonyesha kwa nini watu wanajua mambo kuhusu Mungu. + +# Mungu amewaangazia + +"Mungu ameyaonyesha hayo kwao" + diff --git a/rom/01/20.md b/rom/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..59921318 --- /dev/null +++ b/rom/01/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa kuwa + +Paulo anaelezea namna ambavyo Mungu alijidhihirisha mwenyewe kwa wanabamu + +# Mambo yake yasiyoonekana yameonekana wazi + +"mambo yasiyoonekana" ni mambo yasiyoonekana kwa macho. Yamekuwa "yameonekana wazi" kwa sababu watu wameelewa kuwa wako pale japokuwa hawawezi kuona kwa macho yao. + +# Ulimwengu + +Hii inamaanisha mbingu na dunia, pamoja na vyote vilivyomo. + +# Asili ya Mungu + +"Ubora na tabia za Mungu" au "mambo ya Mungu yanayomfanya awe Mungu" + +# Wanaelewe kupitia vitu vilivyoumbwa + +"watu wanaweza kuelewa kuhusu Mungu kwa kuangalia vitu alivyovifanya" + +# Watu hawa hawatakuwa na udhuru + +"Watu hawa hawatasema kuwa hawakujua" + +# Wakawa wajinga kwenye mawazo yao + +"wakaanza kuwaza mambo ya kijinga" + +# Mioyo yao isiyo na hisia ilikuwa na giza + +Maelezo haya yanaonyesha moyo uliokuwa na giza ikimaanisha wamekosa uelewa. "mioyo yao haiwezi tena kuelewa" + diff --git a/rom/01/22.md b/rom/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..d79b42b2 --- /dev/null +++ b/rom/01/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wanadai kuwa na hekima, lakini wakawa wajinga. + +"Walipokuwa wanadai kuwa wana hekima, wakawa wajinga" + +# Wao...wao + +Watu + +# Wakabadilisha utukufu usioharibika + +"wakauza ukweli kuwa Mungu ni mtukufu na hatakufa" au "wakaacha kuamini kuwa Mungu ni mtukufu na hatakufa" + +# kwa kufananisha na sura ya + +"na badala yake walichagua kuabudu sanamu waliotengenezwa kufanana na" + +# mtu anayeharibika + +"mtu ambaye atakufa" + diff --git a/rom/01/24.md b/rom/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..44030904 --- /dev/null +++ b/rom/01/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa hiyo + +"kwa sababu hii" + +# Mungu aliwapa ili + +"Mungu aliwaruhusu wajiingize" au Mungu aliruhusu" + +# Wao...yao...wenyewe...wale + +"binadamu" + +# Tamaa za mioyo yao kwa uchafu + +"Vitu vya maadili machafu walivyotamani kuwa navyo" + +# kwa miili yao kufedheheshwa kati yao wenyewe + +Walifanya matendo ya mwili yasiyofaa na udhalilishaji. + +# badala ya + +Inaweza kuwa na maana 1) "badala ya" au 2) "pamoja na" + diff --git a/rom/01/26.md b/rom/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..1cc5ba01 --- /dev/null +++ b/rom/01/26.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Hii + +"uzinzi na dhambi ya uasherati" + +# Mungu aliwapa ili + +"Mungu aliruhusu wajiingize" + +# Tamaa ya kufedhehesha + +"tamaa za aibu za kimwili" + +# Kwa kuwa wanawake wao + +"kwa sababu wanawake wao" + +# Wanawake wao + +wanawake wa "mwanadamu" + +# Wakageuza matumizi ya asili kinyume na asili + +"Wakaanza kujamiiana kwa njia ambayo Mungu hakuitengeneza" + +# Wakaungua kwa tamaa zao + +"wakapata tamaa kali za mwili" + +# Isivyofaa + +"kudhalilisha" au "chafu" au "dhambi" + +# Waliopokea adhabu kwa sababu ya upotoshaji wao + +"Waliopokea adhabu inayostahili toka kwa Mungu kwa sababu ya upotoshaji wao" + +# kupotosha + +Tabia ambayo ni mbaya na isiyofaa. + diff --git a/rom/01/28.md b/rom/01/28.md new file mode 100644 index 00000000..e8fe6aef --- /dev/null +++ b/rom/01/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa sababu hawakuthibitisha kuwa na Mungu katika ufahamu wao + +"Hawakufikiri kuwa kulikuwa na umuhimu wa kumjua Mungu" + +# Wao...yao...wale + +Maneno haya yanamaanisha "binadamu" + +# Aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa + +Mungu aliruhusu akili zao zijazwe na uasherati na uwatawale" + +# sio sahihi + +"kudhalilisha" au "isiyo na heshima" au "dhambi" + diff --git a/rom/01/29.md b/rom/01/29.md new file mode 100644 index 00000000..f8b70d8d --- /dev/null +++ b/rom/01/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walijazwa na + +"Ndani yao walikuwa wanatamani" au "walikuwa na matamanio makubwa ya kufanya matendo ya" + diff --git a/rom/01/32.md b/rom/01/32.md new file mode 100644 index 00000000..1c13c263 --- /dev/null +++ b/rom/01/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wanaelewa taratibu za Mungu + +Wanajua kuwa Mungu anataka waishi kwenye njia zake za haki. + +# kufanya mambo hayo + +"kufanya matendo maovu" + +# Kustahili kifo + +"wanastahili kufa" + diff --git a/rom/02/01.md b/rom/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..91d775ad --- /dev/null +++ b/rom/02/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo amesema kuwa wato wote ni wenye dhambi na anaendelea kuwakumbusha kuwa watu wote ni waovu. + +# Kwa hiyo umekosa sababu ya kujitetea + +Neno "kwa hiyo" linaonyesha sehemu mpya ya barua. Inaonyesha suluhisho la sentensi ikionyesha yaliyosemwa "tangu Mungualipowaadhibu watu wanaoendelea kutenda dhambi, na hataonea huruma kwa sababu ya dhambi zao" + +# Wewe ni + +Paulo haongei na mtu. Anajifanya kama Myahudi anayelumbana naye. Paulo anafanya haya kuwafundisha wasikilizaji wake kuwa Mungu atamhukumu kila mtu anayeendelea kutenda dhambi, awe Myahudi au wa Mataifa. + +# Wewe + +Hapa neno "wewe" ni umoja. + +# Wewe mtu, wewe unayehukumu + +Hapa neno "mtu" ilitumika kumdhihaki mtu aliyefikiri anaweza kufanya kama Mungu na kuwahukumu wengine. "Wewe ni binadamu tuu, lakini unawahukumu wengine na kusema kuwa wanastahili hukumu ya Mungu" + +# kwa unavyohukumu kwa wengine unahukumu kwako mwenyewe. + +"Lakini unajihukumu mwenyewe kwa sababu unafanya mambo maovu kama wanavyofanya wengine" + +# Lakini twajua + +Hii inajumuisha Wakristo walioamini na Wayahudi ambao sio Wakristo. + +# Hukumu ya Mungu ni kutokana na kweli ikiwaangukia wao + +"Mungu atawahukumu watu kwa kweli na haki" + +# Wale wanaofanya mambo hayo + +"watu wanaofanya mambo maovu" + diff --git a/rom/02/03.md b/rom/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..03331638 --- /dev/null +++ b/rom/02/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Lakini + +"kwa hiyo" + +# Fikiria hili. + +"fikiria kuhusu hili ninalokwenda kukwambia" + +# Mtu + +Tumia neno la jumla kwa binadamu. + +# Wewe unayewahukumu wanaofanya mambo hayo japokuwa na wewe unafanya vivyo hivyo. + +"Wewe unayesema mtu anastahili adhabu ya Mungu wakati unafanya mambo maovu" + +# Je utaepuka hukumu ya Mungu? + +"hautaepuka hukumu ya Mungu!" + +# Au unadharau utajiri wa wema wake, na hukumu yake iliyochelewa, na uvumilivu... tubu? + +"Unajifanya kama hujali kwamba Mungu nimwema na ni mvumilivu akisubiria muda mrefu kabla ya kuwahukumu watu, kwa hiyo wema wake utasababisha watu watubu." + +# Unadharau utajiri wake... uvumilivu + +"fikiria utajiri... uvumilivu sio muhimu" au "fikiria... sio vizuri" + +# HaUjui kuwa wema wake una maana ya kukusababisha utubu? + +"Unatakiwa ufahamu kuwa Mungu anakuonyesha kuwa ni mwema hivyo utubu." + diff --git a/rom/02/05.md b/rom/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..e86738a6 --- /dev/null +++ b/rom/02/05.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kuwakumbusha watu kwamba watu wote ni waovu. + +# Lakini ni kwa kadri ya ugumu wako na moyo wako usiotubu + +Paulo anamfananisha mtu aliyekataa kusikia na kumtii Mungu na kitu kigumu, kama jiwe. Moyo unamaanisha mtu mzima. "Ni kwa sababu umekataa kusikiliza na kutubu" + +# Ugumu na moyo usiotubu + +Mstari "moyo usiotubu" inaelezea neno "ugumu" + +# Unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu + +Neno "kujiwekea" inamaanisha mtu aliyekusanya mali zake na kuziweka sehemu salama. Paulo anasema badala ya mali mtu anakusanya adhabu ya Mungu. Kadri unavyoendelea bila kutubu, ndivyo adhabu inavyozidi kuwa kubwa. "unaifanya adhabu yako inakuwa mbaya zaidi" + +# siku ya ghadhabu... siku ambayo Mungu atadhihirisha hukumu yake ya haki + +Hii inamaanisha siku hiyo hiyo. "Ambayo Mungu atawaonyesha watu kuwa ana hasira na anahukumu watu wote kwa haki." + +# Kulipa + +"Kutoa tuzo ya haki au adhabu" + +# kwa kila mtu kipimo sawa kwa matendo yake + +"kutokana na kila mtu alivyofanya" + +# Wametafuta + +Hii inamaanisha kwamba walienenda kwa njia ambazo ziliwapa matokeo hasi toka kwa Mungu siku ya hukumu. + +# Sifa, heshima na kutokuharibika. + +Walitaka Mungu awasifu na kuwaheshimu, na walitaka wasife kabisa. + +# Kutoharibika + +Hii inamaanisha, kimwili, sio ya maadili, kuoza. + diff --git a/rom/02/08.md b/rom/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..dd98aee5 --- /dev/null +++ b/rom/02/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi: + +Japokuwa sehemu hii inazungumzia watu waovu wasio na dini, Paulo anajumuisha kuwa wote wasio Wayahudi na Wayahudi ni waovu mbele za Mungu. + +# Ubinafsi + +Kujitafutia, "choyo" au "mtu anayejali kujipa furaha yeye mwenyewe" + +# Kutokutii ukweli lakini kutii wasio na haki + +Mistari hii miwili ina maana sawa. Ya pili inaelezea ya kwanza. + +# Ghadhabu na hasira kali itakuja + +yanamaanisha kitu kimoja na yanasisitiza hasira ya Mungu. "Mungu ataonyesha hasira yake kuu" + +# Dhiki na shida juu ya + +Maneno "dhiki" na "shida" yana maana sawa na hapa yansisitiza namna mbavyo adhabu ya Mungu itakavyokuwa mbaya. "Adhabu mbaya ya Mungu itatokea" + +# Kwa kila nafsi ya mwanadamu + +Hapa Paulo ametumia neno "nafsi" kuonyesha kuwa anamaanisha mtu kwa ujumla. "kwa kila mtu" + +# Amefanya uovu + +"ameendelea kufanya mambo maovu" + +# Kwa Wayahudi kwanza , na pia kwa Wayunani + +"Mungu atawahukumu Wayahudi kwanza, na baada ya hapo atawahukumu ambao sio Wayahudi" + +# Kwanza + +Inaweza kuwa na maana 1) "ya kwanza kwa utaratimu na wakati" au 2) "hakika" au "ya muhimu sana" + diff --git a/rom/02/10.md b/rom/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..3fc3e76e --- /dev/null +++ b/rom/02/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Lakini sifa, heshima na amani vitakuja. + +"Lakini Mungu atatoa sifa, heshima na amani" + +# Tenda mema + +"endeleeni kufanya yaliyo mema" + +# Kwa Wayahudi kwanza , na pia kwa Wagiriki + +"Mungu atawapa tuzo Wayahudi kwanza, na baada ya hapo ambao sio Wayahudi" + +# Kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu + +"Kwa kuwa Mungu hapendelei baadhi ya watu juu ya wengine" au "kwa kuwa Mungu anausawa kwa watu wote" + +# Kwa wingi wao kama walivyotenda dhambi + +"Kwa wale walotenda dhambi" + +# Bila sheria pia wataangamia bila sheria + +Paulo anarudia "bila sheria" ili kusisitiza kuwa haijalishi kama hawajui sheria ya Musa. Kama wakitenda dhambi Mungu atawahukumu. "Bila kujua sheria za Musa bado watakufa kiroho" + +# na wingi wao kama walivyotenda dhambi + +"Na wote waliotenda dhambi" + +# Kwa kutii sheria watahukumiwa kwa sheria + +"Na kujua sheria za Musa, Mungu atawahukumu kutokana na sheria ya Musa. + diff --git a/rom/02/13.md b/rom/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..e2cf87bc --- /dev/null +++ b/rom/02/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kuwafanya wasomaji wajue kwamba kutii sheria za Mungu inatakiwa hata kwa wale ambao hawana sheria za Mungu. + +# Kwa + +Kama lugha yako ina njia nyingine aya kuelezea kuwa mstari wa 14 na 15 unaingilia mawazo makuu ya Paulo na kumpa msomaji taarifa za ziada. Unaweza ukaiweka 2:14-15 kabla ya 2:13 au baada ya 2:16. "kwa sababu" + +# Sio wasikilizaji wa sheria + +"Sio tuu kwa wale wasikilizaji wa sheria ya Musa" + +# Walio na haki mbele za Mungu + +"wale wanaompendeza Mungu" + +# lakini ni kwa watendaji wa sheria + +"lakini ni kwa wale wanaoitii sheria ya Musa" + +# Kina nani watakuwa waadilifu. + +"ambao Mungu atawapokea" + +# Walio na sheria kwao wenyewe + +"Walio na sheria za Mungu ndani mwao" + diff --git a/rom/02/15.md b/rom/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..cd6ed96c --- /dev/null +++ b/rom/02/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa hili walionyesha + +"Kwa kutii sheria walionyesha" + +# Matendo yaliyotakiwa na sheria yaliyoandikwa kwenye mioyo yao + +"Mungu ameandika kwenye mioyo yao mambo ambayo sheria inawataka wafanye" au "Walifahamu ni nini sheria iliwataka wao wafanye" + +# Yaliyotakiwa na sheria + +"Sheria inataka" au "Ambayo Mungu ameamuru kupitia sheria" + +# kuwashuhudia wao, na mawazo yao wenyewe ama kuwashitaki au kuwalinda kwa ajili yao wenyewe + +"waambie kama hawatii au wanatii amri za Mungu" + +# Siku ambayo Mungu atahukumu + +Hii inaelezea mwisho wa mawazo ya Paulo "hii itatokea siku ambayo Mungu atahukumu" + diff --git a/rom/02/17.md b/rom/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..d384721c --- /dev/null +++ b/rom/02/17.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Ikiwa wewe unajiita Myahudi + +Hapa neno "kama" haimaanishi Paulo ana mashaka au hana uhakika. Anasisitiza kuwa sentensi hii ni ya kweli. "Sasa mnajiona wenyewe kama watu watu wa Kiyahudi." + +# Kutegemea torati, kujisifu kwa furaha katika Mungu + +"na ninyi mnategemea sheria ya Musa na kujisifu kwa furaha kwa sababu ya Mungu" + +# Kujua mapenzi yake + +"Na nyie kujua mapenzi ya Mungu" + +# kama mlivyoelekezwa na sheria + +"kwa kuwa mmeelewa ni nini sheria ya Musa inafundisha" + +# Ikiwa una ujasiri... na ukweli + +Kama lugha yako ina namna ya kutafsiri maelezo ya Paulo kwenye sura ya 2:19-20. unaweza kuweka 2:19-20 kabla ya 2:17. + +# Kwamba ninyi wenyewe ni viongozi wa vipofu, mwanga kwa walio gizani. + +Sentensi hizi zina maana inayofanana. Paulo anafananisha Myahudi anayemfundisha mtu kuhusu sheria kumsaidia mtu ambaye haoni. "kwamba ninyi wenyewe ni kama viongozi kwa mtu aliye kipofu, na ni mwanga kwa mtu aliyepotea gizani" + +# Mkufunzi wa wajinga + +"Unawarekebisha wale wanaofanya makosa" + +# Mwalimu wa watoto + +Hapa Paulo anawafananisha wale wasiojua chochote kuhusu sheria kama watoto. "na uwafundishe wale wasiojua sheria" + +# na mlichonacho kwenye sheria maarifa na kweli + +"kwa sababu mna hakika kuwa mnaelewa ukweli ulioandikwa kwenye sheria" + diff --git a/rom/02/21.md b/rom/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..90fd202a --- /dev/null +++ b/rom/02/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wewe, pia, unayefundisha watu, haujifunzi mwenyewe? + +Paulo alitumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. "Lakini haujifunzi wenyewe wakati unawafundisha wengine!" + +# Wewe unayehubiri mtu asiibe, je unaiba? + +Paulo alitumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. "Unawaambia watu wasiibe, lakini wewe unaiba!" + +# Wewe unayehubiri mtu asizini, je unazini? + +Paulo alitumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. "Unawaambia watu wasizi, lakini wewe unazini!" + +# Nyie mnaochukia sanamu, je mnaiba mahekalu? + +Paulo anatumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. Mnasema mnachukia sanamu, lakini mnaiba mahekalu!" + +# Mnaiba mahekalu + +Inaweza kuwa na maana 1) "kuiba vitu toka kwenye mahekalu ya wapagani kuviuza na kupata faida" au 2) "msipeleke kwenye hekalu la Yerusalemu pesa zote ambazo ni za Mungu" au 3) "kufanya mzaha kuhusu miungu." + diff --git a/rom/02/23.md b/rom/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..7f544318 --- /dev/null +++ b/rom/02/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ninyi mnaojisifu kwa furaha kwenye sheria, je hamumtii Mungu kupitia uvunjaji wenu wa sheria? + +Paulo anatumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. "Ni uovu mnavyojifanya mnajivunia kwa sheria, wakati huo huo hamuitii na kuleta aibu kwa Mungu." + +# Jina la Mungu haliheshimiwi kati ya Mataifa + +"Matendo yenu maovu yanaleta aibu kwa Mungu kwenye fikra za Mataifa" + +# Jina la Mungu + +Neno "Jina" linamaanisha umilele wa Mungu, sio tuu jina lake. + diff --git a/rom/02/25.md b/rom/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..56fc5ea8 --- /dev/null +++ b/rom/02/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Paulo anaendelea kuonyesha kwamba Mungu, kwa sheria zake, anawaadhibu hata Wayahudi ambao wana sheria za Mungu. + +# Kwa kuwa tohana imekupa faida wewe + +"Nasema haya yote kwa sababu kutahiriwa kumekupa faida" + +# Kama ukiwa mkiukaji wa sheria + +"Kama usipotii amri zilizopo katika sheria" + +# Kutahiriwa kwako kutakuwa kutokutahiriwa + +Hii inamfananisha Myahudi asiyetii sheria na mtu ambaye ametahiriwa lakini anaonekana kama hajatahiriwa : anaweza kuwa Myahudi lakini akaishi kama mtu wa Mataifa. "Ni kama vile haujatahiriwa" + +# Mtu asiyetahiriwa + +"Mtu ambaye hajatahiriwa" + +# Kuyashika maagizo ya sheria + +"kutii kilichoamriwa kwenye sheria" + +# kutokutahiriwa kwake hakuwezi kuchukuliwa kama kutahiriwa? Na ambaye hajatahiriwa kwa asili hawezi kukuhukumu... sheria? + +Paulo aliuliza maswali mawili kusisitiza kuwa kutahiriwa sio jambo la kumfanya mtu kuwa na haki mbele za Mungu. "Mungu atamchukulia kama mtu aliyetahiriwa.... na mtu ambaye hajatahiriwa ... atakuhukumu... sheria." + diff --git a/rom/02/28.md b/rom/02/28.md new file mode 100644 index 00000000..9312ab02 --- /dev/null +++ b/rom/02/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa nje + +Hii inamaanisha mambo ya nje ya Kiyahudi ambayo watu wanayaona. + +# Siyo ya nje tuu katika mwili + +Hii inamaanisha mabadiliko ya nje katika mwili wa binadamu. + +# Ni Myahudi kwa ndani, na tohara ni ile ya moyoni + +Mistari hii miwili ina maana inayofanana. Mstari unaosema, "Ni Myahudi kwa ndani," inaelezea kuwa, "tohara ni ile ya moyoni." + +# Ndani + +Hii inaonyesha thamani na motisha ya mtu ambaye Mungu amembadilisha. + +# Kwa Roho, sio kwenye barua + +"Barua" ni sehemu ndogo ya maandishi katika lugha. Hapa inamaanisha maandiko. "kupitia kazi ya roho mtakatifu, sio kwa sababu unajua maandiko." + +# Kwa Roho + +Hii inaweza kuwa na maana ya ndani, sehemu yakiroho ya mtu, tofauti na nje "barua" ya sheria. Pia inamaana ya Roho Mtakatifu. + diff --git a/rom/03/01.md b/rom/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..0e256cb2 --- /dev/null +++ b/rom/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anatangaza faida walionazo Wayahudi kwa sababu Mungu aliwapa sheria zake. + +# Kisha ni faida gani aliyonayo Myahudi? Na ni manufaa gani ya tohara? + +"Kisha Wayahudi hawana kufaidika na ahadi ya Mungu, ingawa Mungu aliahidi wangeweza!" + +# Ni kubwa + +"Kuna faida nyingi" + +# Kwanza kabisa + +Hii ina maana kwamba ama 1) "Kwanza katika utaratibu wa wakati" au 2) "Amina" (UDB) au 3) "Muhimu zaidi." + diff --git a/rom/03/03.md b/rom/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..261bac5a --- /dev/null +++ b/rom/03/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini itakuwaje iwapo baadhi ya Wayahudi hawakuwa waaminifu? Je, kutoamini kwao hufanya uaminifu wa Mungu ni batili? + +Paulo anatumia maswali haya na kufanya watu kufikiri. Baadhi ya Wayahudi hawakuwa waaminifu kwa Mungu, hivyo baadhi ya kuhitimisha kwamba Mungu hakutaka kutimiza ahadi yake. + +# Haiwezekani kamwe kuwa + +Msemo huu mzito kuhusu kwamba hii inaweza kutokea. Unaweza kuwa na maelezo kama hayo katika lugha yako kwamba unaweza kutumia hapa. AT 'Hiyo haiwezekani' au 'Hakika siyo.' + +# Badala + +"Tunapaswa kusema hili badala" + +# Kama ilivyokua imeandikwa + +"Maandiko ya Kiyahudi wenyewe kukubaliana na ninachosema" + diff --git a/rom/03/05.md b/rom/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..1100c7a3 --- /dev/null +++ b/rom/03/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini ikiwa uovu wetu unaonyesha haki ya Mungu, tuseme nini? + +Paul ni kuweka maneno haya katika kinywa cha mtu imaginary Wayahudi anazungumza. 'Kwa sababu uovu wetu unaonyesha kuwa Mungu ni mwenye haki, nina swali' + +# Mungu si mwema wakati anapotoa ghadhabu yake, ni nani? + +"Je, Mungu, aletaye ghadhabu juu ya watu, wasio waadilifu?" au "Hatuwezi kusema kwamba Mungu, aletaye ghadhabu, si mwema." au "Ni lazima kusema kwamba Mungu, aletaye ghadhabu, ni mwema." + +# Naongea kwa mujibu wa mantiki ya kibinadamu + +"Ninasema hapa nini watu kwa kawaida kusema" + +# jinsi gani Mungu atauhukumu ulimwengu? + +Paulo anatumia swali hili kuonyesha kuwa hoja dhidi ya Injili ya Kikristo ni ujinga, tangu Wayahudi wote wanaamini kwamba Mungu anaweza na kuwahukumu watu wote. AT "Na sisi wote tunajua kwamba Mungu kwa kweli kuhukumu ulimwengu!" + diff --git a/rom/03/07.md b/rom/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..e221d066 --- /dev/null +++ b/rom/03/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini ikiwa kweli ya Mungu ya uongo wangu hutoa sifa tele kwa ajili yake, kwa nini ningali bado kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi! + +Hapa Paulo anafikiria mtu kuendelea kukataa Injili ya Kikristo. adui kwamba anasema, kwa sababu dhambi yake inaonyesha haki ya Mungu, basi Mungu hapaswi kutangaza kwamba yeye ni mwenye dhambi juu ya siku ya hukumu kama, kwa mfano, anamwambia uongo. + +# kwanini si kusema ... kufika? + +Hapa Paulo anazusha swali lake mwenyewe, ili kuonyesha jinsi ujinga ni hoja za adui yake imaginary adversary. "Mimi ili kama kusema ... kuja!" + +# kama sisi ni waongo huripotiwa kwa kusema + +"Baadhi uongo kuwaambia wengine kwamba hiki ni nini tunasema" + +# hukumu juu yao ni + +Itakuwa sawa tu wakati Mungu analaani maadui hawa wa Paulo, kwa kusema uongo kuhusu kile Paulo amekuwa akifundisha. + diff --git a/rom/03/09.md b/rom/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..a04d1917 --- /dev/null +++ b/rom/03/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuunganisha maelezo + +Paulo anajumuisha kwamba wote wana hatia ya dhambi, hakuna walio wema, na hakuna wa kumtafuta Mungu. + +# Nini basi? Je, sisi kuwatetea wenyewe? + +Maana inawezekana ni 1) 'Sisi Wayahudi hawapaswi kujaribu kufikiria kwenda kuepuka hukumu ya Mungu, kwa sababu tu sisi ni Wayahudi!" (UDB) au 2) "Sisi Wakristo hatujaribu kuficha mambo maovu kwamba tunafanya!' + +# Hapana kabisa + +Maneno haya ni yenye nguvu zaidi kuliko rahisi 'hapana,' lakini si lenye nguvu "hakika si!" + diff --git a/rom/03/11.md b/rom/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..f04a8b5a --- /dev/null +++ b/rom/03/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hakuna mtu ambaye anaelewa + +"Hakuna mtu kweli anatambua ukweli wa Mungu" + +# Hakuna mtu ambaye anamtafuta Mungu + +'Hakuna mtu wa dhati anaejaribu kuwa na uhusiano mwema na Mungu' + +# akageuka mbali + +Hapa hii ina maana kuacha kufanya kitu fulani. AT "kukataliwa Mungu na mapenzi ya haki yake kwa ajili yao" + +# kuwa haina maana + +"zimeharibika mbali kama mapenzi ya Mungu kwa ajili yao ni wasiwasi" + diff --git a/rom/03/13.md b/rom/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..6b64ca8e --- /dev/null +++ b/rom/03/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wao... wao + +neno 'wao' hapa linahusu "Wayahudi na Wagiriki'"ya + +# Makoo yao ni kama kaburi wazi + +Paulo anatumia neno picha maana kwamba kila kitu watu wasemacho ni watu wabaya na machukizo + +# Ndimi zao zimedanganya + +"Watu kusema uongo" + +# Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu + +"kamili" hapa ni kukua na neno "vinywa" hapa inawakilisha mawazo ya watu. AT 'Mengi ya yale watu wanasema ni hatari na maana ya kuumiza watu wengine. + diff --git a/rom/03/15.md b/rom/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..f6eab7f6 --- /dev/null +++ b/rom/03/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wao...wao... Watu hawa.... wao + +Hii inahusisha Wayahudi na Wayunani + +# Miguu yao ina mbio kumwaga damu + +"Wapo katika haraka ya kudhuru na kuua watu" + +# Uharibifu na mateso ni katika njia zao + +'Kila mtu anaishi katika njia hiyo kwamba wao kwa makusudi kujaribu kuharibu wengine na kusababisha wao kuteseka' + +# Njia ya amani + +"Njia" ni "barabara" au "njia" AT: "Jinsi ya kuishi kwa amani na wengine" + +# Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yao + +"Kila mtu anakataa kumpa Mungu heshima anayostahili" + diff --git a/rom/03/19.md b/rom/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..749e1c01 --- /dev/null +++ b/rom/03/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# chochote Sheria inasema, anaongea na + +'Kila kitu ambacho sheria inasema watu lazima kufanya ni kwa' au 'amri yote ambayo Musa aliandika katika sheria ni kwa ajili ya' + +# ili kwamba kila kinywa inaweza kuwa kimefungwa + +'Hivyo kwamba hakuna mtu anauwezo wa kusema chochote halali kujitetea mwenyewe' + +# mwili + +Hapa ina maana kwa njia ya mfano kumaanisha binadamu wote au viumbe hai wote. + +# kwa + +Maana inawezakua ni 1) Kwa sababu hiyo" au 2) "Hii ni kwa sababu" au 3) "Badala." + +# kupitia sheria inakuja kutambua dhambi + +"Wakati mtu anajua sheria ya Mungu, anatambua kwamba yeye si mwema bali mwenye dhambi mbele za Mungu" + diff --git a/rom/03/21.md b/rom/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..73d58ecd --- /dev/null +++ b/rom/03/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +neno "lakini" hapa linaonyesha Paulo amekamilisha utangulizi wake na sasa anaanza kufanya hatua yake kuu. + +# sasa + +Neno 'sasa' linahusu wakati tangu Yesu alipokuja duniani. + +# pasipo sheria haki ya Mungu ilipatikana kujulikana + +"Mungu amefanya kujulisha njia ya kuwa mwema bila kutii sheria" + +# Ilikuwa kushuhudiwa kwa sheria na manabii + +Maneno "sheria na manabii" rejea sehemu ya andiko kwamba Musa na manabii waliandika na kusimama kwa maandiko ya Wayahudi, ambayo yameelezewa hapa kama watu ambao hutoa ushahidi mahakamani. AT "na yale ambayo Musa na manabii waliandika kuthibitisha hili." + +# yaani, haki ya Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo + +"Ninamaanisha kwa haki ambayo Mungu anatupa wakati tunaamini katika Yesu Kristo" + +# Kwa maana hakuna tofauti + +"Kwa kuwa Mungu huwaona Wayahudi kwa njia hiyo hiyo huwaona Mataifa" + diff --git a/rom/03/23.md b/rom/03/23.md new file mode 100644 index 00000000..ba0a5601 --- /dev/null +++ b/rom/03/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wako huru kuthibitishwa kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu + +"Mungu anawathibitisha kwa njia ya neema yake kwa sababu Kristo Yesu amewakomboa" + diff --git a/rom/03/25.md b/rom/03/25.md new file mode 100644 index 00000000..853c1689 --- /dev/null +++ b/rom/03/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kupuuza + +Maana inawezeakua ni 1) kupuuza au 2) kusamehe. + +# Haya yote yaliyotokea kwa maandamano ya haki yake wakati huu wa sasa. Hii ilikuwa ili aweze kuthibitisha mwenyewe tu, na kuonyesha kwamba yeye anahalalisha mtu yeyote kwa sababu ya imani yake kwa Yesu + +'"Alifanya hiya ili kuonyesha haki yake wakati huu wa sasa. Alionyesha kwamba yeye ni mwenye haki na mtu ambaye inahalalisha kila mtu aliye na imani katika Yesu + diff --git a/rom/03/27.md b/rom/03/27.md new file mode 100644 index 00000000..2b6ed150 --- /dev/null +++ b/rom/03/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa misingi gani? ya matendo? Hapana, lakini kwa misingi ya imani + +Majibu ya Paulo ya maswali kejeli kusisitiza kwamba kila hatua yeye anayopanga ni maamuzi ya kweli. AT: "Kwa misingi gani tunaweza kujivunia kutengwa? Je, tunatengwa kwa misingi ya matendo? Hakuna, badala, ni tunatengwa kwa misingi ya imani. " + +# Kwa msingi gani? + +"Kwa sababu gani?" + +# Kwa matendo? + +"Tunaweza kujivunia kutengwa kwa sababu sisi tunatii sheria?" + +# Kwa msingi wa imani + +Kwa sababu tunaamini katika Yesu + +# bila + +"mbali na" + diff --git a/rom/03/29.md b/rom/03/29.md new file mode 100644 index 00000000..d040f76a --- /dev/null +++ b/rom/03/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Au ni Mungu ni Mungu wa Wayahudi tu? + +"Kama Mungu angeweza tu kuhalalisha watu ambao wanatii sheria, bila yeye kuwa ni Mungu wa Wayahudi tu?' + diff --git a/rom/03/31.md b/rom/03/31.md new file mode 100644 index 00000000..08723689 --- /dev/null +++ b/rom/03/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo amehakikisha sheria kwa imani + +# Je, Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo? + +"Je, sisi kupuuza sheria kwa sababu tuna imani?" + +# Hata kidogo + +"Bila shaka hiyo si kweli!" au "Hakika si!" (UDB). Msemo huu kutoa nguvu iwezekanavyo jibu hasi kwa uliotangulia kejeli. Unaweza kutaka kuwa na kujieleza kama hiyo katika lugha yako kwamba unaweza kutumia hapa. + +# sisi kutekeleza sheria + +"sisi kutii sheria" + +# Sisi + +Kiwakilishi Hii inahusu Paulo, waumini wengine, na wasomaji. + diff --git a/rom/04/01.md b/rom/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..c405f443 --- /dev/null +++ b/rom/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Paul anathibitisha kwamba hata katika zamani waumini walikuwa haki kwa imani na si kwa sheria. + +# Tutapata nini basi kusema kwamba Abrahamu baba yetu kwa jinsi ya mwili, kupatikana? + +Paulo anatumia swali kupata mawazo ya msomaji na kuanza kuzungumza juu ya kitu kipya. AT 'Hivi ndivyo Ibrahimu baba yetu kimwili kupatikana. + +# Kwa nini andiko husema + +"Kwa maana tunaweza kusoma katika maandiko" + +# na ikahesabiwa kwake kuwa haki + +"na Mungu alimtambua Abrahamu kuwa mtu mwenye haki" + diff --git a/rom/04/04.md b/rom/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..b415082e --- /dev/null +++ b/rom/04/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa kwa ajili yake ambaye anafanya kazi, malipo ni hayahesabiwi kuwa ni neema, bali kama vile zinadaiwa + +Hii ni kuelezea hali ambapo mtu ambaye anafanya kazi anatarajia kuwa atalipwa kwa kazi. Mtu huyo hakubali malipo kama zawadi ya bure au "neema." + +# malipo + +"Mshahara" au "kulipa" au "kile chuma kwa kufanya kazi" + +# kile zinadaiwa + +"Nini mwajiri wake anadaiwa naye" + +# yule ambaye amehalalishwa + +"Katika Mungu, ambaye amehalalisha" + +# imani yake inahesabiwa kuwa haki + +"Mungu anaona imani ya mtu huyo kuwa ni haki" au "Mungu anaona kuwa mtu mwenye haki kwa sababu ya imani yake" + diff --git a/rom/04/06.md b/rom/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..06474447 --- /dev/null +++ b/rom/04/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# David pia anatoa baraka juu ya mtu ambaye Mungu amemhesabia haki bila matendo + +"Vile vile, Daudi aliandika kuhusu jinsi Mungu huwambariki mtu ambaye Mungu humfanya kuwa haki bila matendo" + +# maovu ambao ni kusamehewa ... ambao dhambi zao zimefunikwa ... yule ambaye Bwana si kuhesabu dhambi + +Dhana hiyo imeelezwa kwa njia tatu tofauti. AT "ambao uovu Bwana alivyowasamehe ... ambao dhambi Bwana amezifunika ... ambao dhambi Bwana hatazihesabu." + diff --git a/rom/04/09.md b/rom/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..46689b81 --- /dev/null +++ b/rom/04/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha ni baraka hii alitamka tu juu ya wote waliotahiriwa, au pia juu ya wale wasiotahiriwa? + +'Je, Mungu awabariki tu wale waliotahiriwa, au pia wale wale ambao si waliotahiriwa?' + +# tunasema + +Paulo akihutubia waumini wote Wayahudi na wa Mataifa. + +# Imani ilihesabiwa kwa Abraham kwa haki + +"Mungu alichukuliwa imani ya Ibrahimu kuwa ni haki" + diff --git a/rom/04/11.md b/rom/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..64b15bb4 --- /dev/null +++ b/rom/04/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# muhuri ya ile haki ya imani aliyokuwa tayari mwendawazimu wakati yeye alikuwa katika kutotahiriwa + +'Ishara inayoonekana kwamba Mungu kuchukuliwa kwake mwenye haki kwa sababu alikuwa anamtumaini Mungu kabla ya kutahiriwa' + +# Hii ina maana kwamba haki itakuwa imehesabiwa kwao + +"Ili kwamba Mungu anaweza kufikiria kuwa haki" + diff --git a/rom/04/13.md b/rom/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..2b08ee4c --- /dev/null +++ b/rom/04/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwamba ahadi ilitolewa kwa Ibrahimu na wazawa wake, ahadi hii kwamba wangekuwa warithi wa Dunia + +Kwamba Mungu aliahidi Ibrahimu na kizazi chake kwamba wangeweza kurithi dunia + +# Badala yake, ilikuwa kupitia haki wa imani + +Maneno "Mungu hutoa ahadi" wanaachwa nje ya msemo huu lakini wao wanaelewa. AT "lakini Mungu alimpa ahadi kwa imani ambayo yeye aliiona kuwa ni haki." + +# kama wote wafuatao sheria ndio warithi + +'Ikiwa ni wale ambao wanatii sheria ambayo kwamba watarithi nchi' + +# imani ilifanywa tupu, na ahadi ilifutwa + +"Imani haina thamani na ahadi ni maana' + +# lakini ambapo hakuna sheria, haiwezekani kuivunja + +"Lakini ambapo hakuna sheria, hakuna kitu chochote cha kuasi" au "kwa sababu kuna kitu kwa watu huasi tu ambapo kuna sheria" + diff --git a/rom/04/16.md b/rom/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..79a28090 --- /dev/null +++ b/rom/04/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa sababu hii hii hutokea kwa imani, hivyo kwamba inaweza kuwa kwa neema + +Hapa ni sababu sisi kupokea ahadi tunapomwamini Mungu ni hivyo kwamba inaweza kuwa hadiya + +# Matokeo yake, ahadi ni hakika kwa wazao wote + +'Ili wazao wote wa Abrahamu waweze hakika kupokea ahadi' + +# wale wanaojua sheria + +Hii ina maana ya Wayahudi ambao hufuata sheria ya Musa. + +# wale ambao ni kutoka imani ya Abrahamu + +Hii ina maana ya wale ambao wana imani kubwa kama Abrahamu kabla ya kutahiriwa. + +# baba yetu sisi sote + +Hapa neno "sisi" linawahusu Paul na ni pamoja na waumini wote Wayahudi na wasio Wayahudi katika Kristo. Ibrahimu ni babu wa kimwili wa Wayahudi, lakini yeye ni baba wa kiroho wa wale walio na imani. + +# kama ilivyoandikwa + +Ambapo imeandikwa zinaweza kufanywa wazi. "kama ilivyoandikwa katika maandiko" + +# Nimekufanya wewe + +neno "wewe" ni umoja na inahusu Abraham + +# Abrahamu alikuwa katika uwepo wa yule anaemuamini, yaani, Mungu, ambaye huwapa wafu uzima + +'Ibrahimu alikuwa katika uwepo wa Mungu ambaye kuaminiwa, ambaye huwapa uzima wale waliokufa' + diff --git a/rom/04/18.md b/rom/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..1e26d452 --- /dev/null +++ b/rom/04/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Licha ya hali zote za nje + +maana kamili ya 'hali za nje' zinaweza kufanywa wazi. AT 'Hata ingawa ilionekana vigumu kwa yeye na watoto wake.' + +# Basi akawa baba wa mataifa mengi + +'Na matokeo ya imani ya Ibrahimu ilikuwa ni kwamba akawa baba wa mataifa mengi.' + +# kulingana na kile alikuwa amesema + +'Kama Mungu akamwambia Ibrahimu' + +# Hivyo itakuwa kizazi chako + +ahadi full Mungu alimpa Ibrahimu zinaweza kufanywa wazi AT 'Utakuwa na wazawa zaidi unaweza kuhesabu.' + +# Yeye hakuwa dhaifu katika imani + +'Aliendelea kuwa imara katika imani yake' + +# Abrahamu alikubali kuwa mwili wake mwenyewe alikwisha kufa-akiwa na umri wa karibu miaka mia moja. Pia alikiri hali ya kufa ya tumbo la Sara + +Hapa umri wa Ibrahimu zamani na kukosa uwezo wa Sara kuwa na watoto ni ikilinganishwa na kitu ambacho ni wafu. Hii inasisitiza kuwa ilionekana vigumu kwa wao kuwa na watoto. AT 'Abraham alitambua yeye alikuwa mzee sana na Sara mkewe hakuweza kuwa na watoto.' + diff --git a/rom/04/20.md b/rom/04/20.md new file mode 100644 index 00000000..f107f5c4 --- /dev/null +++ b/rom/04/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hakusita katika kutoamini + +"Hakuwa na mashaka." AT 'agizo juu ya kutenda kwa imani.' + +# alikuwa imara katika imani + +"Akawa na nguvu katika imani yake" + +# Alikuwa akijua hakika + +"'Ibrahimu alikuwa na uhakika kabisa" + +# yeye pia alikuwa na uwezo wa kukamilisha + +"Mungu alikuwa na uwezo wa kufanya" + +# Kwa hiyo hii ilikuwa pia kuhesabiwa kwake kama haki + +"Mungu kuhesabiwa imani ya Ibrahimu kuwa ni uadilifu" au "Mungu kuchukuliwa Ibrahimu haki kwa sababu Ibrahimu aliamini yeye" + diff --git a/rom/04/23.md b/rom/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..7d7eb997 --- /dev/null +++ b/rom/04/23.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sasa ilikuwa ni + +'Sasa' limetumika hapa kuungana kuwa Ibrahimu alifanya haki kwa imani kuwasilisha siku kuhesabiwa haki muumini kwa imani katika kifo cha Kristo na ufufuo. + +# tu kwa faida yake + +kwa Ibrahimu tu' + +# kwamba ikahesabiwa kwake + +'Kwamba Mungu kuhesabiwa haki kwake' au 'Mungu kuchukuliwa kwake mwenye haki' + +# kwa ajili yetu + +Neno 'sisi' inahusu Paul na ni pamoja na waumini wote katika Kristo. + +# Hiyo ilikuwa imeandikwa pia kwa ajili yetu, waliowekewa kuhesabiwa, sisi ambao wanaamini + +"Ilikuwa pia kwa faida yetu, kwa sababu Mungu alizingatia haki yetu pia kama tunaamini" + +# Yeye aliyemfufua + +'Mungu aliyemfufua' + +# Hii ni moja ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu + +'Hii ni yule ambaye Mungu kukabidhiwa kwa wale waliokuwa wanamuua' + +# na kufufuka ili tupate kuhesabiwa haki + +'Na ambaye Mungu alimrudishia uhai hivyo sisi tutafanywa sahihi na Mungu" + diff --git a/rom/05/01.md b/rom/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..9c7198f1 --- /dev/null +++ b/rom/05/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kuunganishi Sentensi + +Paulo anaanza kusema mambo mengi tofauti yanayotokea pindi Mungu anawathibitisha wakristo + +# Tangu + +"Kwa sababu" + +# sisi...vyetu + +Yote yanayotokea kwa "sisi" na "vyetu" urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusisha. + +# kupitia Bwana wetu Yesu Kristo + +"kwa sababu ya Bwana wetu Yesu Kristo" + +# Bwana + +Hapa "Bwana" ina maanisha kwamba Yesu ni Mungu + +# Kupitia yeye sisi pia tuna upenyo kwa imani kufikia neema ambayo tunasimama + +Paulo analinganisha wakristo kupokea neema kwa mtu aliyesimama mbele ya mfalme. "Kwa sababu ni ndani ya Yesu tuna amini, Mungu utupa neema kusimama mbele ya Mungu." + diff --git a/rom/05/03.md b/rom/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..3a1bc7f3 --- /dev/null +++ b/rom/05/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Si hivi tu + +Neno "hivi" urejea kwa mawazo yaliyoelezwa ndani + +# Sisi...vyetu...sisi + +Yote yanayotokea kwa "sisi" "vyetu" na "sisi" urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusishwa + +# kukubalika + +Neno hili "kukubalika" urejea kwa usemi wa Mungu kwamba hii ni nzuri + +# ujasiri kwa wakati ujao + +Hii ni hakika kwamba Mungu atatimiza ahadi zake zote kwa wale wanao mwamini Kristo. + diff --git a/rom/05/06.md b/rom/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..a99d0739 --- /dev/null +++ b/rom/05/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sisi + +Neno "sisi" hapa urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusishwa. + diff --git a/rom/05/08.md b/rom/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..04b772d0 --- /dev/null +++ b/rom/05/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# thibitisha + +"huonyesha" + +# sisi...sisi + +Yote yanayotokea kwa "sisi" na "sisi" urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusishwa. + +# Zaidi ya yote, basi, sasa tumethibitishwa kwa damu yake + +"Je si zaidi yeye atafanya kwetu kwa ajili yetu sasa kwamba tumelithibitishwa kwa damu yake" + +# kuokolewa + +Hapa inamaanisha kwamba kupitia kifo cha Yesu pale msalabani, Mungu amekwisha kumsaheme na kumuokoa kwa adhabu ya jehanamu kwa ajili ya dhambi zake. + diff --git a/rom/05/10.md b/rom/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..6745d7ca --- /dev/null +++ b/rom/05/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sisi...sisi + +Yote yatokeayo kwa "sisi" urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusishwa. + +# Mwana wake...maisha yake + +"Mwana wa Mungu...maisha ya mwana wa Mungu" + +# tulikuwa tumepatanishwa kwa Mungu kupitia kifo cha mwana wake + +Kifo cha mwana wa Mungu kimetupa msamaha wa milele na kutufanya sisi marafiki pamoja na Mungu, kwa wote wanaoamini katika Yesu. + +# Mwana + +Hili ni jina muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu + +# baada ya kuwa tumepatanishwa + +"sasa basi Mungu hutuona sisi marafiki wake tena" + diff --git a/rom/05/12.md b/rom/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..c58151c8 --- /dev/null +++ b/rom/05/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo aeleza kwa nini kifo kilitokea hata kabla ya sheria ya Mungu haijaandikwa. + +# kupitia mtu mmoja dhambi iliingia...kifo kiliingia kupitia dhambi + +Paulo aelezea "dhambi" kama jambo hatari ambalo liliweza kuja katika ulimwengu kupitia uwazi ulio sababishwa na matendo ya "mtu mmoja" Adamu. Hii "dhambi" basi ilifanyika uwazi ambako "kifo", jambo jingine la hatari, pia lilikuja ulimwenguni. + diff --git a/rom/05/14.md b/rom/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..f4eea5e1 --- /dev/null +++ b/rom/05/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bila shaka + +"Bado" au "Hapakuwa na kuandikwa kwa sheria kutokea wakati wa Adamu mpaka wakati wa Musa, lakini" + +# kifo kilitawala kutokea Adamu mpaka Musa + +Paulo analinganisha kifo na mfalme. "watu waliendelea kufa kutokea wakati wa Adamu mpaka wakati wa Musa kama matokeo ya dhambi zao." + +# hata kwa wale hawakutenda dhambi kama kutotii kwa Adamu + +"hata watu ambao dhambi zao zilikuwa tofauti na za Adamu waliendelea kufa" + +# yeye ni mfano wa yeye aliyepaswa kuja + +Adamu alikuwa mfano wa Kristo, ambaye alijitokeza badae. Alikuwa na vitu vya kufanana naye. + +# Kwa kuwa kama...wengi walikufa...zaidi sana neema ya Mungu na zawadi...kuongezeka + +Ni muhimu kwamba "wengi walikufa," lakini ni ya umuhimu zaidi kwamba "neema ya Mungu na zawadi" ziliongezeka + +# zaidi ilivyofanya neema...na zawadi...kuongezeka + +"Neema... na zawadi" zilikuwa kubwa na imara kuliko makosa + diff --git a/rom/05/16.md b/rom/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..68861961 --- /dev/null +++ b/rom/05/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa kuwa zawadi si tokeo la yule aliyefanya dhambi + +"zawadi si tokeo la dhambi ya Adamu" + +# kwa upande mmoja + +"Kwa sababu ya upande mmoja" + +# kwa upande mmoja, hukumu ya kukataliwa ilikuja kwa sababu ya kosa la mtu mmoja. Lakini kwa upande mwingine + +Kikundi cha maneno "kwa upande mmoja" na 'lakini kwa upande mwingine" utanguliza njia mbili tofauti za kufikiri kuhusu kitu fulani. "hukumu ya kukataliwa ilikuja kwa sababu ya makosa ya mtu mmoja, lakini" + +# baada ya makosa mengi + +"baada ya dhambi za wengi" + +# Kosa la mmoja + +Kosa la Adamu + +# kifo kilitawala + +"kila mmoja alikufa" + +# maisha ya yule mmoja + +maisha ya Yesu Kristo + diff --git a/rom/05/18.md b/rom/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..39879e35 --- /dev/null +++ b/rom/05/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kupitia kosa moja + +"kupitia dhambi moja iliyofanywa na Adamu" au kwa sababu ya dhambi ya Adamu" + +# tendo moja + +dhabihu ya Yesu Kristo + +# kutotii kwa mtu mmoja + +kutotii kwa Adamu + +# utiifu wa mtu mmoja + +utiifu wa Yesu + diff --git a/rom/05/20.md b/rom/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..ce5b14a3 --- /dev/null +++ b/rom/05/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sheria ilikuja na + +"Sheria ilikuja kwa siri" + +# kosa liweze kuongezeka + +Hii ina maanisha vyote kwamba "watu wapate kuelewa kwa kiasi gani wamefanya dhambi" na "watu wapate kufanya dhambi zaidi." + +# kuongezeka + +"kuongezeka" + +# kama dhambi utawala katika kifo + +"kama dhambi ilivyosababisha kifo" + +# hata neema iweze kutawala kupitia haki kwa maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu + +"neema iliwapa watu maisha ya milele kupitia haki ya Yesu Kristo Bwana wetu" + +# Bwana wetu + +Paulo anawajumuisha wasomaji wake na wakristo wote. + diff --git a/rom/06/01.md b/rom/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..152f2bd8 --- /dev/null +++ b/rom/06/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Chini ya neema, Paulo anawambia wale wanaomwaminiu Yesu kuishi maisha mapya kama wafu katika dhambi na hai kwa Mungu. + +# Tutasema nini? Tuendelee katika dhamb ili kwamba neema iwe tele? + +Paulo anategemea swali mtu mwingine atauliza kuhusiana na kile alichokiandika kuhusiana na neema + +# sisi...sisi + +Kiwakilishi nomino "sisi" urejea kwa Paulo, wasomaji wake, na watu wengine. + +# tele + +"kuongezeka sana" + diff --git a/rom/06/04.md b/rom/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..4fa40c67 --- /dev/null +++ b/rom/06/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tulikuwa tumezikwa, basi, pamoja naye kupitia ubatizo katika kifo + +Hii inalinganisha ubatizo wa mkristo katika maji pamoja na kifo cha Yesu na kuzikwa katika kaburi. Hii inasisitiza kwamba mkristo katika Kristo anagawana faida katika kifo chake, ikimaanisha dhambi haina nguvu tena juu ya mkristo. + +# kama vile Kristo alikuwa ameinuliwa toka mauti kupitia utukufu wa Baba, ili kwamba tuweze kutembea katika upya wa maisha. + +Hii umlinganisha mkristo anakuja kwa maisha ya kiroho kwa Yesu na kurudi katika maisha ya kimwili. Maisha mapya ya kiroho humwezesha mtu kumtii Mungu. Tofasiri mbandala, "kama vile Baba alivyomleta Yesu katika uhai baada ya kufa, tuwe na maisha ya kiroho mapya na kumtii Mungu" + +# kuunganika pamoja naye katika kufanana kwa kifo chake...muunganike katika ufufuo wake. + +"muungane pamoja naye katika kifo chake...muungane pamoja naye katika uhai baada ya kifo." "kufa pamoja naye...kurejee kwa uhai pamoja naye." + diff --git a/rom/06/06.md b/rom/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..b3aa152f --- /dev/null +++ b/rom/06/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# utu wa zamani ulisulubishwa pamoja naye + +Hapa, Paulo arejea kwa mkristo kama mtu mmoja kabla hawajamwamini Yesu na mtu tofauti baada ya kumwamini Yesu. "Utu wa zamani" urejea kwa mtu kabla hajamwamini Yesu. Mtu huu ni mfu kiroho na dhambi umtawala. Paulo aelezea utu wetu wa zamani wa dhambi kama kufa pale msalabani pamoja na Yesu pindi tunapo mwamini Yesu. "utu wetu wa dhambi ulikuwa pale msalabani pamoja na Yesu." + +# utu wa zamani + +Hii ina maanisha hapo awali mtu alikuwa lakina kwa sasa si hivyo. "mtu wa nyuma". + +# mwili wa dhambi + +mwanadamu kamili wa dhambi + +# ili kuharibiwa + +"ili afe" + +# hatutakuwa tena watumwa wa dhambi + +Paulo analinganisha nguvu ya dhambi kuwa juu ya mtu kumiliki uongozi wa mtumwa: mtu asiye na Roho Mtakatifu mara nyingi huchagua kile kiovu. Hayuko huru kufanya yale yanayompendeza Mungu. "tusiwe watumwa tena wa dhambi" au "tusichague kufanya kile kilicho dhambi." + +# Yeye aliyekwisha kufa ametangazwa kuwa ana haki kulingana na dhambi + +"Mungu atamtangaza haki yeyote yule aliyekufa kwa nguvu ya dhambi" + diff --git a/rom/06/08.md b/rom/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..139a5487 --- /dev/null +++ b/rom/06/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tumekwish kufa pamoja na Kristo + +Ijapokuwa Kristo alikufa kimwili, hapa "kufa" urejea kwa wakristo kufa kiroho kwa nguvu ya dhambi. "tumekufa kiroho pamoja na Kristo." + +# Tunajua ya kuwa Kristo amekwisha inuliwa toka mauti + +"Mungu alimleta Kristo katika uhai baada ya kufa" + +# Kifo hakimtawali tena + +Hapa "kifo" kimeelezwa kama mfalme au kiongozi ambaye ana nguvu juu ya watu. "Hawezi kufa tena." + diff --git a/rom/06/10.md b/rom/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..6153db89 --- /dev/null +++ b/rom/06/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa kuzingati kifo kwamba alikufa kwa dhambi, alikufa mara moja kwa yote. + +Kifungu cha maneno "mara moja kwa yote" ina maanisha kumaliza kitu kabisa. Maana nzima ya hii inaweza kufanywa wazi. "Kwa maana alipokufa aliivunja nguvu ya dhambi kabisa. + +# Kwa njia hiyo, ninyi pia mnapaswa kufikiri + +"Kwa sababu hii fikirini" + +# jihesabuni wenyewe + +"fikirini wenyewe kama" au "kujiona wenywe kama" + +# kufa kwa dhambi + +Hapa "dhambi" urejea kwa nguvu inayoishi ndani yetu na kutufanya sisi kutenda dhambi. "kufa kwa nguvu ya dhambi" + +# kufa kwa dhambi kwa upande mmoja, lakini kwa upande mwingine, kuwa hai kwa Mungu + +Kikundi cha maneno "kwa upande mmoja" na "kwa upande mwingine" utanguliza njia mbili tofauti za kufikiri kuhusiana na kitu. "kufa kwa kifo lakini pia kuwa hai kwa Mungu." + +# kuwa hai kwa Mungu katika Kristo Yesu + +"kuishi kwa kumtii Mungu kwa nguvu ya Kristo Yesu anayokupa" + diff --git a/rom/06/12.md b/rom/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..5c4b5f52 --- /dev/null +++ b/rom/06/12.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anatukumbusha sisi kwamba neema uongoza juu yetu, wala si sheria, sisi si watumwa wa dhambi, lakini watumwa wa Mungu. + +# msiache dhambi iwaongoze... Msiruhusu dhambi kuwaongoza + +"Dhambi" inaelezwa kama mfalme wa mtu au bwana. + +# mwili wako wa kufa + +Kikundi hiki cha maneno urejea kwa sehemu ya mwili wa mtu, ambayo utakufa. "wewe" + +# ili kusudi kwamba muweze kutii tamaa zake + +Bwana. "dhambi" huitaji mwenye dhambi kutii amri za bwana kwa kufanya maovu. + +# Msitoe sehemu ya mwili wenu kwa dhambi kama vyombo vya udhalimu. + +Hii picha ni ya mwenye dhambi anayetoa sehemu ya mwili wake kwa bwana wake au mfalme. "Msijitoe ninyi kwa dhambi ili kwamba msitende yasio faa." + +# lakini jitoeni kwa Mungu, kama walio hai kutoka kwenye mauti + +"lakini jitoeeni ninyi kwa Mungu, kwa sababu amekwisha kuwapa ninyi maisha mapya ya kiroho" + +# sehemu ya miili yenu kama vyombo vya haki kwa Mungu + +"acha Mungu akutumie kwa kile kimfurahisha cho yeye" + +# Msiruhusu dhambi kuwaongoza ninyi + +"Msiache tamaa za dhambi kukuongoza kwa kile unachofanya" au "Usiruhusu wewe mwenyewe kufanya maovu unayotaka kufanya" + +# Kwa kuwa hamko chini ya sheria + +Maana kamili inaweza kufanywa wazi. "kwa kuwa hamjafungamana na Sheria ya Musa, ambayo isingeweza kuwapa nguvu ya kuacha kufanya dhambi." + +# lakini chini ya neema + +Maana kamili inaweza kufanywa wazi. "lakini mmefungamana na neema ya Mungu, ambayo inawapa nguvu ya kuacha kufanya dhambi." + diff --git a/rom/06/15.md b/rom/06/15.md new file mode 100644 index 00000000..81577a0c --- /dev/null +++ b/rom/06/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi sasa? Tufanye dhambi kwa sababu hatuko chini ya sheria, lakini chini ya neema? La hasha + +Paulo anatumia swali kusisitiza kwamba kuishi chini ya neema siyo sababu ya kutenda dhambi. "Hata hivyo, kwa sababu tumefungamana na neema badala ya Sheria ya Musa hakika haimaanishi tunarusiwa kufanya dhambi." + +# La hasha + +"Hatutapenda kuona hicho kufanyika!" au "Mungu na anisaidie nisifanye hivyo!" Usemi huu uonyesha hamu mno ya nguvu kwamba hii haifanyiki. Unaweza kuhitaji kuwa na usemi kama huo katika lugha yako kwamba ungetumia hapa. + +# Hamjui kuwa kwake yeye mnaojitoa kama watumwa kwamba ni kwa yeye mnakuwa watumwa, ni yeye mnapaswa kumtii. + +Paulo anatumia swali kumkaripia yeyote atakaye fikiri neema ya Mungu ni sababu ya kuendelea kutenda dhambi. "Mnapaswa kujua kwamba nyie ni watumwa kwa bwana mliyemchagua kumtii." + +# Hii ni kweli hata kama ni watumwa kwa dhambi ambayo hupelekea mauti, au watumwa wa utiifu ambayo hupelekea haki + +Hapa "dhambi" na "utiifu' yameelezwa kama mabwana ambapo mtumwa atatumikia. Hii inaweza kutofasiriwa kama sentensi mpya. "Nyie sio watumwa wa dhambi, ambayo huleteleza kifo cha kiroho, au watumwa wa utiifu, ambayo husababisha Mungu awatangaze wanyofu. + diff --git a/rom/06/17.md b/rom/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..e52895d6 --- /dev/null +++ b/rom/06/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini ashukuriwe Mungu! + +"Lakini namshukuru Mungu!" + +# Kwa kuwa mlikuwa watumwa wa dhambi + +Hapa "dhambi" imeelezwa kama bwana ambapo mtumwa ataitumikia. Pia, "dhambi" urejea kwa nguvu inayoishi ndani yetu ambayo hutafanya sisi kuchagua kufanya kile kiovu. "Kwa kuwa mlikuwa watumwa wa nguvu ya dhambi." + +# lakini mmekwisha kutii toka moyoni + +Hapa neno "moyo" urejea kuwa na hisia za kweli kwa kufanya kitu. "lakini hakika mlitii". + +# sampuli ya mafundisho yale mlipewa + +Hapa "sampuli' urejea kwa njia ya kuishi ambayo hupelekea kwa unyoofu. Wakristo hubadilisha njia zao za kuishi za zamani kufanana na njia hii mpya ya kuishi ambayo viongozi wakristo huwafundisha. "mafundisho ambayo viongozi wa kikristo waliwapa ninyi." + +# Mme kwisha fanywa huru toka dhambi + +"Kristo amewaweka huru toka kwenye nguvu ya dhambi" + +# watumishi wa unyoofu + +"kwa sasa umtumishi wa kufanya kilicho sahihi" + diff --git a/rom/06/19.md b/rom/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..ca1ba5ae --- /dev/null +++ b/rom/06/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Naongea kama mwanadamu + +Paulo anaeleza "dhambi" na "utiifu" kama "utumwa". "Ninazungumza kuhusu utumwa kuelezea dhambi na utiifu." + +# kwa sababu ya udhaifu wa mwili wako + +Mara nyingi Paulo utumia neno "mwili" kama kinyume cha "roho". "kwa sababu hamuelewi kwa kina mambo ya kiroho." + +# ilitolewa sehemu ya mwili wenu kama watumwa kwa uchafu na uovu + +Hapa, "sehemu ya mwili" urejea kwa mtu kamili. "kujitoa kwenu kama watumwa kwa kila kiovu na kuto mpendeza Mungu" + +# toeni sehemu ya mwili wenu kama watumwa wa haki kwa ajili ya utakaso + +"jitoeni kama watumwa kwa kile kilicho sahihi mbele zake Mungu ili kwamba awatenge na awape nguvu kumtumkia yeye" + +# Kwa wakati huo, ni tunda lipi ulipata kwa mambo ambayo sasa unayaonea aibu? + +Paulo anatumia swali kusisitiza kwamba kutenda dhambi hakuleti kitu chochote kizuri. "Hakupata chochote kwa kufanya mambo hayo ambayo kwa sasa yanatia aibu." + diff --git a/rom/06/22.md b/rom/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..27600168 --- /dev/null +++ b/rom/06/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini kwa sasa umekwisha fanywa huru toka dhambi na kufanywa watumwa kwa Mungu + +"Lakini sasa Kristo amekwisha waweka huru toka kwenye dhambi na amewafungamana na Mungu" + +# Tokeo ni uzima wa milele + +"na tokeo la haya yote ni kwamba mtaishi milele pamoja na Mungu" + +# Kwa mshahara wa dhambi ni kifo + +"Neno "mshahara" urejea kwa malipo yatolewayo kwa yeyote kwa ajili ya kazi zao. "Basi kama unatumikia dhambi, utapokea kifo cha kiroho kama malipo" au "kwa kuwa kama unaendelea kutenda dhambi, Mungu atakuhukumu na kifo cha kiroho." + +# lakini zawadi huru ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. + +'lakini Mungu kwa uhuru hutoa uzima wa milele kwa wale walio wa Kristo Yesu Bwana wetu" + diff --git a/rom/07/01.md b/rom/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..754606a0 --- /dev/null +++ b/rom/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa unganishi: + +Paulo anaelezea jinsi sheria inavyowatawala wale wote wanaotaka kuishi chini ya sheria. + +# sheria humtawala mtu muda wote anaoishi + +Paulo anatoa mfano wa hili + diff --git a/rom/07/02.md b/rom/07/02.md new file mode 100644 index 00000000..a5e8575f --- /dev/null +++ b/rom/07/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# anaitwa mzinzi + +Yule ambaye "ameita" hayupo wazi, hivyo sema kwa ujumla kadiri iwezekanavyo. Mf. "Mungu atamhesabu yeye kuwa mzinzi" au "watu watamuita yeye mzinzi." + diff --git a/rom/07/04.md b/rom/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..c084b0a0 --- /dev/null +++ b/rom/07/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa hiyo + +Hii inarejea maneno haya "Kwa sababu ya jinsi sheria hufanya kazi" + +# tuweze kuzaa matunda kwa ajili ya Mungu + +"tuweze kufanya mambo yanayompendeza Mungu" + +# kuzaa matunda + +Hapa inamaanisha kubadilika hali ya ndani ya kiroho. + diff --git a/rom/07/06.md b/rom/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..50682c44 --- /dev/null +++ b/rom/07/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa unganishi: + +Paulo anatukumbusha kwamba Mungu hatufanyi sisi kuwa watakatifu kwa njia ya sheria. + +# sisi + +kiwakilishi hiki cha jina humaanisha Paulo na wale walioamini. + +# barua + +"sheria ya Musa" + diff --git a/rom/07/07.md b/rom/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..92472029 --- /dev/null +++ b/rom/07/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Tutasema nini basi? + +Paulo anatambulisha mada mpya. + +# Isiwe hivyo kamwe + +"Ndiyo hiyo si kweli!" Msemo huu unatoa kwa nguvu jibu hasi kwa swali la mtego lililotangulia. Unaweza kuwa na msemo unaofanana na huu katika lugha yako ambao unaweza kuutumia hapa. + +# Mimi nisingeijua dhambi kamwe, isingelikuwa ni kwa njia ya sheria...Lakini dhambi ilichukua nafasi...ikaleta kila aina ya tamaa + +Paulo anaifananisha dhambi sawa na mtu ambaye anaweza kutenda. + +# dhambi ilichukua nafasi kupitia amri na kuleta kila aina ya tamaa ndani yangu + +Wakati sheria ya Mungu inatuambi tusifanye jambo, ni kwa sababu tumeambiwa tusifanye ndio maana tunataka tufanye zaidi. "dhambi ilinikumbusha amri kutokutamani vitu viovu, na hivyo nilitamani vitu hivyo viovu zaidi kuliko mwanzo" au "kwa sababu nilitaka kutenda dhambi, wakati niliposikia ile amri ya kutotamani vitu viovu, nilivitamani" + +# dhambi + +"hamu yangu ya kufanya dhambi" + +# tamaa + +Neno hili linajumuisha kwa pamoja hamu ya kumiliki vitu vya wengine na tamaa mbaya ya zinaa. + +# pasipo sheria, dhambi imekufa + +"kama kusingelikuwa na sheria, kusingelikuwa na uvunjifu wa sheria, hivyo kusingelikuwa na dhambi" + diff --git a/rom/07/09.md b/rom/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..1d066fed --- /dev/null +++ b/rom/07/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# dhambi iliutawala uhai + +Hii inaweza kumaanisha 1) " Nilitambua kuwa nilikuwa natenda dhambi" (UDB) 2) "Nilitamani sana kutenda dhambi." + +# Ile amri ambayo ingelileta uzima iligeuka kuwa mauti kwangu. + +Paulo hakufa kabisa kimwili. "Mungu alinipa mimi amri ili nipate kuishi, lakini badala yake iliniua mimi." + diff --git a/rom/07/11.md b/rom/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..098140c7 --- /dev/null +++ b/rom/07/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa maana dhambi ilichukua nafasi kwa ile amri na kunidanganya mimi. Kupitia ile amri, iliniua mimi. + +Paulo anaielezea dhambi kama mtu anayeweza kufanya mambo 3: kuchukua nafasi, kudanganya, na kuua. + +# dhambi + +"hamu yangu ya kutenda dhambi" + +# kuchukua nafasi kupitia amri + +tazama ulivyotafasiri hapo awali + diff --git a/rom/07/13.md b/rom/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..d92d57d5 --- /dev/null +++ b/rom/07/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa unganishi: + +Paul anazungumzia kuhusu vita iliyopo katika utu wake wa ndani kati ya dhambi katika utu wake wa ndani na sheria ya Mungu - kati ya dhambi na wema. + +# Hivyo + +Paulo anatambulisha mada mpya. + +# kilicho kizuri + +Hii inamaanisha sheria ya Mungu. + +# fanyika kifo kwangu + +"ilisababisha mimi nife" + +# Isiwe hivyo kamwe + +"Kwa hakika hiyo si kweli!" Msemo huu unatoa jibu hasi kwa nguvu kufuatia swali la mtego la awali. Unaweza kuwa na msemo unaofanana na huu katika lugha ambao unaweza kuutumia. + +# dhambi...ilileta mauti ndani yangu + +Paulo anaiona dhambi kana kwamba ni mtu anayeweza kutenda. + +# ilileta mauti ndani yangu + +"ilinitenga mimi na Mungu" + +# kwa njia ya amri + +"kwasababu mimi sikuitii amri" + diff --git a/rom/07/15.md b/rom/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..ce399b76 --- /dev/null +++ b/rom/07/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa unganishi: + +Paulo anaongea kuhusu vita iliyopo kwenye utu wake wa ndani kati ya mwili wake na sheria ya Mungu - kati ya dhambi na wema. + +# Kwa maana nilifanyalo, kwa hakika silielewai + +"Mimi sina uhakika kwanini nafanya mambo niyafanyayo" + +# Kwa + +"Mimi sielewi kwanini nafanya niyafanyayo kwa sababu" + +# nisilolipenda, natenda + +"Mambo ambayo najua si mema ndiyo niyafanyayo" + +# Lakini + +"Hata hivyo" + +# Mimi nakubaliana na sheria + +"Mimi najua kuwa sheria ya Mungu ni njema" + diff --git a/rom/07/17.md b/rom/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..cb05e21c --- /dev/null +++ b/rom/07/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# dhambi iishiyo ndani yangu + +Paulo anaielezea dhambi kama kiumbe hai kilicho na nguvu ya kumhimiza yeye + +# mwili wangu + +"asili ya ubinadamu wangu" + diff --git a/rom/07/19.md b/rom/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..94dc2d4e --- /dev/null +++ b/rom/07/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# njema + +"matendo mema" au "utendaji mwema" + +# uovu + +"matendo maovu" + diff --git a/rom/07/22.md b/rom/07/22.md new file mode 100644 index 00000000..b7034d10 --- /dev/null +++ b/rom/07/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# utu wa ndani + +Sehemu ya mtu inayobaki baada ya mtu kufa + +# Lakini naona kanuni ya tofauti ndani ya viungo vya mwili wangu. Inapigana dhidi ya kanuni mpya kwenye akili yangu. Inanichukua mimi mateka + +"Mimi naweza tu kufanya kile ambacho utu wangu wa kale unachoniambia kufanya, sio kuishi kwa njia mpya ambayo Roho ananionesha mimi" + +# kanuni mpya + +Hii ni asili mpya ya kiroho iliyo hai. + +# kanuni ya tofauti katika viungo vya mwili wangu + +Hii ni asili ya kale, jinsi watu walivyo wanapozaliwa. + +# kanuni ya dhambi iliyo ndani ya viungo vya mwili wangu + +"asili yangu ya dhambi" + diff --git a/rom/07/24.md b/rom/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..356c23b2 --- /dev/null +++ b/rom/07/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti? + +"Nataka mtu mmoja aniweke mimi huru from utawala wa kile ambacho mwili wangu hutamani" (UDB). + +# shukrani na ziwe kwa Mungu kwa Yesu Kristo Bwana wetu + +Hili ni jibu la swali katika 7:24 + +# Hivyo basi, kwa upande mwingine mimi mwenyewe natumikia sheria ya Mungu kwa akili zangu. Hata hivyo, kwa upande mwingine, kwa mwili mimi natumikia kanuni ya dhambi + +Akili na mwili vimetumika hapa kuonesha jinsi vinavyoshabihiana aidha kwa kutumikia sheria ya Mungu au kanuni ya dhambi. Kwa akili na ufahamu mtu anaweza kuchagua kumpendeza na kumtii Mungu na kwa mwili au asili ya mwili kuitumikia dhambi. "Akili yangu inachagua kumpendeza Mungu, lakini mwili wangu huchagua kuitii dhambi." + diff --git a/rom/08/01.md b/rom/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..cd8216f2 --- /dev/null +++ b/rom/08/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anatoa majibu kwa mapambano aliyonayo dhidi ya dhambi na wema. + +# kwahiyo + +"kwa sababu hii" au "kwasababu ambacho nimekwisha kuwaambieni ninyi ni kweli" + +# kanuni...kanuni + +Neno "kanuni" hapa linaelezea jinsi mambo yanavyofanya kazi kwa asili. Hii haina uhusiano wowote na taratibu zilizowekwa na watu. + diff --git a/rom/08/03.md b/rom/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..d69475a9 --- /dev/null +++ b/rom/08/03.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kwa maana kile ambacho sheria ilishindwa kufanya kwa sababu ilikuwa dhaifu katika mwili, Mungu alifanya + +Hapa sheria inaelezwa kama mtu ambayo hakuweza kuvunja nguvu ya dhambi. "Maana sheria haikuwa na nguvu ya kutuzuia sisi kutenda dhambi, kwasababu dhambi iliyokuwa ndani yetu ilikuwa na nguvu sana. Lakini Mungu aliweza kutuzuia sisi kutenda dhambi." + +# katika mwili + +"Kwasababu ya asili ya dhambi ya watu" + +# Yeye...alimtuma Mwana wake pekee kwa mfano wa mwili wa dhambi...sadaka ya dhambi...aliihukumu dhambi + +Mwana wa Mungu aliiridhisha hasira takatifu ya Mungu dhidi ya dhambi kwa kuutoa mwili wake na uhai wa kibinadamu kama sadaka ya kudumu ya dhambi. + +# Mwana + +Hili ni jina la muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu. + +# kwa mfano wa mwili wa dhambi + +"aliyeonekana kama mwanadamu mwenye dhambi mwingine yeyote" + +# kuwa sadaka ya dhambi + +"ili kwamba afe kama sadaka kwajili ya dhambi zetu" + +# na alihukumu dhambi katika mwili + +"na Mungu alivunja nguvu ya dhambi kupitia mwili wa Mwana wake" + +# mahitaji ya sheria yaweze kutimizwa kwetu + +"tuweze kutimiza mahitaji ya sheria" + +# sisi ambao tusioenenda kwa jinsi ya mwili + +"sisi ambao hatuzitii tamaa zetu za dhambi" + +# bali kulingana na yule Roho + +"lakini wale ambao wanamtii Roho Mtakatifu" + diff --git a/rom/08/06.md b/rom/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..156633d0 --- /dev/null +++ b/rom/08/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kulinganisha miili yetu sisi kama waumini na Roho tuliye naye. + +# nia ya mwili...ile nia ya Roho + +"jinsi ambavyo wenye dhambi hufikiri...jinsi ambavyo wale wanaomsikiliza Roho Mtakatifu hufikiri" + +# kifo + +Hapa hii inamaanisha kutengwa kwa mtu na Mungu + diff --git a/rom/08/09.md b/rom/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..47134853 --- /dev/null +++ b/rom/08/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# katika mwili...katika Roho + +Angalia maneno haya yalivyotafsiriwa hapo awali. + +# Roho...Roho wa Mungu...Roho wa Kristo + +Haya yote yanamuelezea Roho Mtakatifu + +# kama ni kweli kwamba + +Maneno haya hayamaanishi kwamba Paulo ana mashaka kwamba baadhi ya watu hawana Roho wa Mungu. Paulo anataka wote watambue kwamba wanaye Roho wa Mungu. + +# Kama Kristo yumo ndani yenu + +Jinsi Kristo anavyoishi ndani ya mtu inaweza kuwekwa wazi. "Kama Kristo anaishi ndani yako kupitia Roho Mtakatifu" + +# kwa upande mwingine, mwili umekufa kwa mambo ya dhambi, lakini kwa upande mwingine + +Kipande cha sentensi "kwa upande mwingine" na "lakini kwa upande mwingine" huonesha njia mbili za namna ya kufikiri kuhusu jambo fulani. "mwili umekufa katika mambo ya dhambi, lakini" + +# mwili umekufa kwa mambo ya dhambi + +Uwezekano wa maana hizi mwili 1) mtu amekufa kiroho katika nguvu ya dhambi au 2) bado mwili wa nyama utakufa kwasababu ya dhambi. + +# roho ipo hai kwa mambo ya haki + +maana yake yaweza kuwa 1) mtu yupo hai kiroho, Mungu amempa nguvu kufanya yaliyo sahihi au 2) Mungu atamrejesha mtu uzimani baada ya kufa kwasababu Mungu ni mwenye haki na huwapa walioamini uzima wa milele. + diff --git a/rom/08/11.md b/rom/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..08de9b97 --- /dev/null +++ b/rom/08/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kama roho...anaishi ndani yenu + +Paulo anaamini kuwa Roho Mtakatifu anaishi ndani ya wasomaji wake. "Kwa kuwa Roho...anaishi ndani yenu" + +# ya yule aliyemfufua + +"ya Mungu, aliyemfufua" + +# fufuliwa + +Hapa hii imaanisha kumfanya mtu alikufa kuwa hai tena. + +# mwili wa kibinadamu + +"mwili wa nyama" au "miili, ambayo siku moja itakufa" + diff --git a/rom/08/12.md b/rom/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..2a74d1de --- /dev/null +++ b/rom/08/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hivyo basi + +"Kwasababu yale niliyokwisha kuwaambia ni kweli" + +# ndugu + +"waumini wenzangu" + +# sisi tu wadeni + +Paulo analinganisha utii kama kulipa deni. "tunahitaji kutii" + +# lakini sio kwa mwili kuishi kulingana na mwili + +"lakini sisi si wadeni wa mwili, na sisi hatupaswi kuzitii tamaa zetu za dhambi" + +# Kwa maana mkiishi kwa jinsi ya mwili + +"Kwasababu mkiishi tu kwa kupendeza tamaa zenu za dhambi" + +# mko karibu kufa + +"hakika mtatengwa na Mungu" + +# lakini ikiwa kwa Roho mnayafisha matendo ya mwili + +"Lakini ikiwa kwa nguvu ya Roho Mtakatifu mnaacha kuzitii tamaa zenu za dhambi" + diff --git a/rom/08/14.md b/rom/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..58546f1b --- /dev/null +++ b/rom/08/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maana kama ambavyo wengi wanaongozwa na Roho wa Mungu + +"Kwa watu wote ambao Roho wa Mungu anawaongoza" + +# wana wa Mungu + +Hapa hii inamaanisha walioamini wote katika Yesu na mara nyingi hutafsiriwa kama "watoto wa Mungu." + +# Kwa kuwa hamkupokea roho ya utumwa tena hata muogope + +"Kwa kuwa Mungu hakuwapa ninyi roho inayowanya ninyi kuwa watumwa tena wa nguvu ya dhambi na hofu ya hukumu ya Mungu" + +# ambayo kwayo tunalia + +"inayotufanya sisi tulie" + +# Abba, Baba + +"Abba" ni "Baba" kwa lugha ya Kiaramaiki. + diff --git a/rom/08/16.md b/rom/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..3268c2a8 --- /dev/null +++ b/rom/08/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# warithi wa Mungu kwa upande mmoja. Na warithi pamoja na Kristo kwa upande mwingine + +Vipande vya sentensi "kwa upande mmoja" na "kwa upande mwingine" hutambulisha njia mbili tofauti za kufikiri kuhusu jambo fulani. "warithi wa Mungu na pia warithi pamoja na Kristo" + +# kwamba pia tuweze kupewa utukufu pamoja naye + +"kwamba atatutukuza sisi pamoja naye" + diff --git a/rom/08/18.md b/rom/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..242bc8c4 --- /dev/null +++ b/rom/08/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anatukumbusha kuwa miili yetu itabadilishwa katika ukombozi wa miili + +# Kwa + +Hii inasisitiza "Mimi nafikiri." Haimaanishi "kwasababu" + +# Mimi nafikiri kwamba...haistahili kulinganishwa na + +"Mimi sifikiri kwamba...yanastahili kulinganishwa na" + +# itafunuliwa + +"Mungu atayafunua" au "Mungu atafanya yajulikane" + +# viumbe vinatazamia kwa shauku + +Kila kitu ambacho Mungu ameumba kimeelezwa kama mtu anayengoja kitu kwa shauku. + +# kwa kufunuliwa kwa wana wa Mungu + +"kwa wakati ambao Mungu atawafunua watoto wake" + +# wana wa Mungu + +Hapa hii imaanisha walioamini wote katika Yesu na mara nyingi imetafsiriwa kama "watoto wa Mungu" + diff --git a/rom/08/20.md b/rom/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..0b89856a --- /dev/null +++ b/rom/08/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili + +"Kwa maana Mungu alisababisha kile alichokiumba kisiweze kufikia lengo ambalo alilolikusudia" + +# sio kwa mapenzi yake, bali yake yeye aliyevitiisha + +Hapa "uumbaji" umeelezwa kama mtu ambaye anaweza kutamani. "sio kwa sababu kwamba hiki ndicho vitu vilivyoumbwa vilihitaji, bali kwasababu ndicho ambacho Mungu alihitaji" + +# ni katika tumaini kwamba uumbaji wenyewe utawekwa huru + +"Kwasababu Mungu alijua kwamba atauokoa uumbaji." + +# kutoka utumwa hadi uharibifu + +Paulo anavilinganisha vitu vyote katika uumbaji na watumwa na "uharibifu" wao. "kutoka kuoza na kufa" + +# kwenye uhuru wa utukufu wa wana wa Mungu + +"na atawaweka huru atakapowapa heshima watoto wake" + +# Kwa maana twajua ya kuwa uumbaji nao pia unaugua na kuteseka kwa uchungu pamoja hata sasa + +Uumbaji unalinganisha na mwanamke anavyougua wakati wa kuzaa mtoto. "Kwa maana twajua ya kuwa kila kitu ambacho Mungu amekiumba kinataka kuwa huru na huugua kama mwanamke anayezaa" + diff --git a/rom/08/23.md b/rom/08/23.md new file mode 100644 index 00000000..e8333011 --- /dev/null +++ b/rom/08/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# tulio na malimbuko ya Roho + +Paulo analinganisha jinsi walioamini wanavyopokea Roho Mtakatifu sawa na malimbuko na mboga za masika zinavyokua. Hii inasisitiza kwamba Roho Mtakatifu ni mwanzo tu wa mambo ambayo Mungu atawapa walioamini. + +# kusubiri kufanywa wana, ukombozi wa miili yetu + +"kusubiri wakati tutakapokuwa washiriki halisi wa familia ya Mungu na atakapookoa miili yetu kutoka katika kuharibika na mauti" + +# Kwa maana ni kwa taraja hili tuliokolewa + +"Kwa maana Mungu alituokowa kwasababu tulikuwa na imani naye" + +# Lakini tunachotarajia kitatokea bado hakijaonekana, kwa maana ni nani atarajiaye kile akionacho tayari? + +Paulo anatumia swali kuwasaidia wasikiliaji wake kuelewa maana ya "kujiamini." + diff --git a/rom/08/26.md b/rom/08/26.md new file mode 100644 index 00000000..5c23f793 --- /dev/null +++ b/rom/08/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi: + +Ingawa Paulo amekuwa akisisitiza kwamba kuna mapambano ndani ya walioamini kati ya mwili na Roho, anathibitisha kuwa Roho anatusaidia sisi. + +# kuugua kusikoweza kutamkwa + +"kuugua ambako hakuwezi kuelezewa kwa maneno" + diff --git a/rom/08/28.md b/rom/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..75b308a3 --- /dev/null +++ b/rom/08/28.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawakumbusha walioamini kwamba hakuna kinachoweza kuwatenganisha na upendo wa Mungu. + +# kwa wale wote walioitwa + +"kwa wale wote ambao Mungu aliwachagua" + +# wote aliowajua tangu asili + +"wote ambao aliwajua hata kabla ya kuwaumba" + +# Yeye pia aliwachagua tangu asili + +"yeye pia aliufanya mwisho wake" au "yeye pia aliupanga tangu awali" + +# wafananishwe na sura ya Mwana wake + +Mungu alipanga kabla ya kuanza kwa uumbaji kuwakuza wale wamwaminio Yesu, Mwana wa Mungu, kuwa watu wafananao na Yesu. "kwamba angewabadilisha wawe kama Mwana wake." + +# Mwana + +Hili ni jina la muhimu la Yesu, Mwana wa Mungu. + +# kwamba awe mzaliwa wa kwanza + +"ilikwamba Mwana wake awe mzaliwa wa kwanza" + +# kati ya ndugu wengi + +"miongoni mwa akina kaka na dada wengi ambao ni wa familia ya Mungu" + +# Wale ambao aliwachagua tangu asili + +"Wale ambao Mungu aliwapangia kabla" + +# hao pia akawatukuza + +Neno "kutukuzwa" ni nyakati zilizopita kuonesha msisitizo kwamba hili litatokea hakika. + diff --git a/rom/08/31.md b/rom/08/31.md new file mode 100644 index 00000000..b215e58d --- /dev/null +++ b/rom/08/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tuseme nini basi juu ya mambo haya? Mungu akiwa upande wetu, ni nani aliye juu yetu? + +Paulo anatumia swali kusisitiza wazo kuu kwa yale aliyoyasema hapo awali. "Hiki ndicho tunachopaswa kujua kutoka haya yote: kwa Mungu anatusaidia sisi, hakuna awezaye kutushinda sisi" + +# Yeye asiyemwachilia mwana wake mwenyewe + +Mungu Baba alimtuma Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, msalabani kama sadaka takatifu isiyo na mwisho ya muhimu kumridhisha asili ya milele ya Mungu dhidi ya dhambi ya wanadamu. + +# bali alimtoa + +"lakini alimkabidhi kwa adui" + +# atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye? + +Paulo anatumia swali kwa ajili ya msisitizo. "Yeye kwa hakika na kwa uhuru atatupatia vitu vyote" + diff --git a/rom/08/33.md b/rom/08/33.md new file mode 100644 index 00000000..3dffce13 --- /dev/null +++ b/rom/08/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani atakayewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki + +Paulo anatumia swali kusisitiza. "Hakuna mtu anayeweza kutuhukumu sisi kwa Mungu kwasababu ndiye atupatanishaye naye." + +# Ni nani atakayewahukumia adhabu? + +Paulo anatumia swali kusisitiza. Hatarajii jibu kutoka kwao. "Hakuna atakayetuhukumu" + +# na zaidi ya hayo, yeye pia alifufuliwa + +"ambaye muhimu sana Mungu alimfufua kutoka wafu" au "ambaye kwa muhimu zaidi aliurudia uzima" + diff --git a/rom/08/35.md b/rom/08/35.md new file mode 100644 index 00000000..184dc39a --- /dev/null +++ b/rom/08/35.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ni nani atakayetutenga sisi na upendo wa Kristo? + +Swali hili linaonekana kuuliza kuhusu mtu, lakini jibu lifuatalo linazuia matukio, sio watu. Hivyo Paulo labda anaongea kuhusu matukio kama vile na watu + +# Dhiki, au shida, au mateso, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga? + +"Haiwezekani hata kama mtu yeyote atatusababishia shida, atatuumiza, atachukua mavazi yetu au chakula, au hata kutuua." + +# Dhiki, au shida + +Maneno haya yote yana maana moja. + +# Kwa faida yako + +Hapa "yako" ipo katika umoja na inamaanisha Mungu. + +# tunauawa mchana kutwa + +Hapa "sisi" inarejea kwa yule aliyeandika kifungu hiki cha Maandiko na inajumuisha wale wote wanaomtii Mungu. Maneno "mchana kutwa" ni maneno yaliyoongezwa kusisitiza kiwango cha hatari waliyomo. Paulo anatumia sehemu hii ya Maandiko kuonesha kwamba wote walio wa Mungu watarajie nyakati ngumu. "adui zetu wanaendelea kututafuta watuue" + +# Sisi tulihesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa + +Hii inalinganisha kati ya watu wanaouawa kwasababu ya utii wao kwa Mungu na wanyama. "Maisha yetu hayakuwa na thamani kwao kuliko kondoo wanaowaua" + diff --git a/rom/08/37.md b/rom/08/37.md new file mode 100644 index 00000000..7ded5348 --- /dev/null +++ b/rom/08/37.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sisi ni zaidi ya washindi + +"tunao ushindi kamili" + +# katika yeye aliyetupenda + +Aina ya upendo ambao Yesu alituonesha unaweza kuwekwa wazi. "kwasababu ya Yesu, aliyetupenda sana alikuwa tayari kufa kwa ajili yetu." + +# Mimi nimekwisha shawishika + +"Nimeshawishiwa" au "Nina ujasiri" + +# mamlaka + +Maana inaweza kuwa 1) mapepo (UDB) au 2) wafalme na watawala wa kibinadamu. + +# wala nguvu + +Maana inaweza kuwa 1) viumbe vya kiroho vyenye nguvu au 2) wanadamu wenye nguvu. + diff --git a/rom/09/01.md b/rom/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..03a42b39 --- /dev/null +++ b/rom/09/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paul anaeleza kuhusiana na shauku yake kwamba watu wa taifa la Israeli wangeokolewa, kisha anasisitiza njia tofauti ambazo Mungu ameandaa kwa kuamini. + +# na dhamiri yangu hushuhudia ndani yangu katika Roho Mtakatifu. + +Njia mbadala ya utofasiri: "Roho Mtakatifu huongoza dhamiri yangu na kuhakiki nisemacho" + +# kwa kuwa kwangu mimi kuna huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma ndani ya moyo wangu. + +Kama nafsi ya Paul ambayo inahuzunika inahitajika kusemwa, tumia tofasiri nyingine: " Ninakuambia kwamba ninahuzunika kwa wingi na kwa undani." + +# huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma + +Hii misemo miwili inamaanisha haswa maana ile ile. Paulo anatumia kwa pamoja kwa kusisitiza ni kwa namna gani hisia zake zilivyo. + diff --git a/rom/09/03.md b/rom/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..8571baaf --- /dev/null +++ b/rom/09/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwamba ningetamani mimi mwenyewe kulaaniwa na kutengwa mbali na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, wale wa jamii yangu katika mwili. + +Mimi binafsi ningekuwa tayari kumwacha Mungu anilaani mimi na, kuniweka mimi mbali na Kristo milele kama hiyo ingewasaidia ndugu zangu waisraeli, watu wa kundi langu, kumwamini Kristo." + +# Wao ni waisraeli + +"Wao, kama mimi, ni waisraeli. Mungu aliwachagua wao kuwa uzao wa Yakobo" + +# Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima ya mwili. + +Kristo amekuja kwa mwili kama mzao kutoka kwa watungulizi wao. + diff --git a/rom/09/06.md b/rom/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..a5061538 --- /dev/null +++ b/rom/09/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anasisitiza kwamba wale waliozaliwa katika familia ya Israeli wanaweza kwa kweli kuwa sehemu ya Israeli kupitia imani. + +# Lakini si kwamba ahadi za Mungu zimeshindwa kutimia + +"Lakini Mungu hajashindwa kutimiza ahadi zake" + +# Kwa kuwa si kila mtu aliye Israeli ni mwiisraeli halisi. + +Mungu hakuzifanya ahadi zake kwa uzao wote kimwili wa israeli (au Yakobo), lakini kwa uzao wake wa kiroho, kwamba, wale walio na imani katika Yesu. + +# Si wote ni uzao wa Ibrahihim ni watoto wake hilisi. + +"Wala si kwamba ni wana wa Mungu kwa sababu ni wazao wa Ibrahimu" + diff --git a/rom/09/08.md b/rom/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..d4351a02 --- /dev/null +++ b/rom/09/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watoto wa mwili + +Hii inarejesha kwa watu ambao ni uzao wa Ibrahimu kwa mwili. + +# Watoto wa Mungu + +Hii inarejesha kwa watu ambao ni uzao wa kiroho walio na imani ndani ya Yesu. + +# watoto wa ahadi + +Hii inarejesha kwa watu watakaoridhi ahadi ya Mungu. + +# Sara atapewa mtoto + +"Nitampa Sara mwana" + diff --git a/rom/09/10.md b/rom/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..526508bf --- /dev/null +++ b/rom/09/10.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# baba yetu Isaka...sasa hivi + +Katika utamaduni unaweza kuhitaji kuweka 9:11 baada ya 9:12. Tofasiri mbadala: "baba yetu Isaka, ilisemwa kwake, ' Mkubwa atamtumikia mdogo.' Sasa watoto walikuwa bado hawajazaliwa...kwa sababu ya yeye aitae. Ni sasa" + +# baba yetu + +Isaka alikuwa mtangulizi wa Paulo na wakristo wayahudi katika Rumi. + +# kubeba mimba + +"alibeba ujauzito" + +# kwa kuwa walikuwa bado hawajazaliwa na hakuwa amefanya lolote zuri au baya + +"kabla watoto hawajazaliwa na hakuwa amefanya lolote zuri au baya" + +# ili kwamba kusudi la Mungu kulingana na uchaguzi lisamame + +"ili kwamba Mungu anachotaka kifanyike kulingana na uchaguzi wake kifanyike" + +# kwa kuwa watoto walikuwa bado hawajazaliwa + +"kabla watoto hawajazaliwa" + +# na hakuwa amefanya lolote zuri au baya + +"si kwa sababu ya lolote walikuwa wamefanya" + +# kwa sababu yake + +kwa sababu ya Mungu + +# ilikuwa imesemwa kwake, "Mkubwa atamtumikia mdogo". + +Mungu alisema kwa Rebeka, 'Mwana mkubwa atamtumikia mwana mdogo" + +# Nilimpenda Yakobo, lakini nilimchukia Esau + +Mungu alimchukia Esau pekee katika ulinganisho wa kiasi gani alivyompenda Yakobo. + diff --git a/rom/09/14.md b/rom/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..4d016abd --- /dev/null +++ b/rom/09/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Basi tena tutasema nini? + +Paulo anatumia swali kusahihisha hitimisho kwamba Mungu si dhalimu. + +# La hasha + +"Hilo haliwezekani!" au bila shaka!" Usemi hii kwa nguvu hukanusha kwamba hii ingewezekana kufanyika. Unaweza kuwa na usemi wa kufanana katika lugha yako kwamba ungeweza kutumia hapa. + +# Kwa kuwa anasema kwa Musa + +"Kwa kuwa Mungu anasema kwa Musa" + +# Si kwa sababu yeye anataka, wala kwa sababu ya yeye akimbiae + +"Si kwa sababu ya wale watu hupenda au kwa sababu wanajaribu kwa nguvu" + +# wala si kwa sababu ya yeye akimbiae + +Paul anamlinganisha mtu anayekimbia mbio kwa mtu ambaye anajitahidi kwa nguvu kufikia lengo. + diff --git a/rom/09/17.md b/rom/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..0ffe8c7b --- /dev/null +++ b/rom/09/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa kuwa maandiko husema + +Hapa andiko limefanyika nafsi hai kama Mungu anazungumza na Farao. "Maandiko hutunza kumbukumbu kwa Mungu kusema" + +# Mimi...changu + +Mungu anarejesha kwake mwenyewe. + +# wewe + +umoja + +# na ili kwamba jina langu litangazwe katika inchi yote. + +"na kwamba watu waweze kulitangaza jina langu katika inchi yote" + +# na yeye ambaye apendaye, humfanya kuwa mgumu wa moyo. + +Mungu humfanya mgumu wa moyo yule apandaye kumfanya. + diff --git a/rom/09/19.md b/rom/09/19.md new file mode 100644 index 00000000..55263421 --- /dev/null +++ b/rom/09/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha utasema kwangu + +Paulo anazugumza hukumu ya mafundisho yake kama vile alikuwa anaongea na mtu mmoja. Unaweza kuhitajia kutumia wingi hapa. + +# yeye...yake + +Maneno 'yeye' na 'yake' hapa yanarejesha kwa Mungu + +# hivi kilichofinyangwa cha weza sema... matumizi ya kila siku? + +Paulo anatumia haki ya mfinyazi kutengeneza aina yoyote ya chombo anachotaka kutokana na udongo kama mfano wa haki ya muumbaji kufanya chochote anachotaka na umbaji wake. + +# kwanini ulinifanya hivi mimi + +Neno "wewe" hapa urejea kwa Mungu. + diff --git a/rom/09/22.md b/rom/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..04f11ad9 --- /dev/null +++ b/rom/09/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# yeye...yake + +Maneno "yeye" na "yake" urejea kwa Mungu. + +# vyombo vya gadhabu...vyombo vya rehema + +"watu wanaostahili gadhabu...watu wanaostahil rehema" + +# wingi wa utukufu wake + +"utukufu wake, ambao ni dhamani kubwa" + +# ambao alikwisha kuandaa kwa ajili ya utukufu. + +"ambao alikwisha kuaanda mbele ya wakati kutoa utukufu" + +# pia kwa ajili yetu + +Neno "yetu" hapa urejea kwa Paulo na wakristo wenzake. + +# kuitwa + +Hapa hii ina maanisha Mungu amewateua au kuchagua watu kuwa watoto wake, kuwa watumishi wake nd watangazaji wa ujumbe wake wa wokovu kupitia Yesu. + diff --git a/rom/09/25.md b/rom/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..fe5dac5a --- /dev/null +++ b/rom/09/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi: + +Kaitka sehemu hii Paul anaeleza namna kuto amini kwa waisraeli kama taifa kulisemwa mbele ya wakati na nabii Hosea. + +# Kama asemavyo katika Hosea + +"Kama Mungu asemavyo pia katika kitabu cha Hosea aliandika" + +# Hosea + +Hosea alikuwa nabii + +# Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu + +" Nitawachagua watu ambao hawakuwa watu wangu kuwa watu wangu" + +# mpendwa wake ambaye hakuwa amependwa + +"Nitamchagua yeye ambaye siku mpenda kuwa mmoja wa yule ninaye mpenda" + +# wana wa Mungu aliye hai + +Neno "hai" linaweza kurejea kwa kigezo kwamba Mungu ni pekee wa "kweli", na siyo kama sanamu za uongo. Tofasiri mbadala: "watoto wa Mungu wa kweli" + diff --git a/rom/09/27.md b/rom/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..a255dc87 --- /dev/null +++ b/rom/09/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hulia + +"huita" + +# kama mchanga wa bahari + +"ni zaidi kuhesabu" + +# wataokolewa + +Kuokolewa imetumika katika maana ya kiroho. Kama mtu "ameokolewa", ina maanisha kwamba kupitia kuamini kifo cha Yesu pale msalabani, Mungu amekwisha msahehe na kumkomboa yeye kutoka katika kuhukumiwa kwa dhambi yake. + +# neno + +Hii inarejea kwa kila kitu Mungu alichosema au kuamuru. + +# yetu...sisi + +Hapa maneno "yetu" na "sisi" urejea kwa Isaya na kuwajumuisha waisraeli + +# tungekuwa kama Sodoma, na tumefanywa kama Gomora + +Unaweza kufanya kwa uwazi namna waisraeli wangekuwa kama Sodoma na Gomora. Tofasiri mbadala: "tungekuwa wote tumeteketezwa, kama miji ya Sodoma na Gomora ilivyoteketezwa. + diff --git a/rom/09/30.md b/rom/09/30.md new file mode 100644 index 00000000..87e299e0 --- /dev/null +++ b/rom/09/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tutasema nini basi? + +Tofasiri mbadala: "Hivi ndivyo tunapaswa kusema" + +# Kwamba mataifa + +Tofasiri mbadala: "Tutasema kwamba wa mataifa" + +# ambao hawakuitafuta haki + +"ambao hawakujaribu kumfurahisha Mungu" + +# hawakuweza kuifikia + +"hawakuweza kuipata haki kwa kuifata sheria" + diff --git a/rom/09/32.md b/rom/09/32.md new file mode 100644 index 00000000..7860c225 --- /dev/null +++ b/rom/09/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwani si hivyo? + +"Kwanini hawakuweza kuifikia haki?" + +# kwa matendo + +"kwa kujaribu kufanya mambo ambayo yangemfurahisha Mungu" au "kwa kuifata sheria" + +# jiwe la kujikwaa + +"jiwe ambalo watu wanajikwaa" + +# kama ilivyo kwisha andikwa + +"kama Isaya nabii aliandika" + +# amini ndani yake + +Kwa sababu jiwe husimama kwa ajili ya mtu, unaweza kuhitaji kutofasiri "amini katika yeye" + diff --git a/rom/10/01.md b/rom/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..95941291 --- /dev/null +++ b/rom/10/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea na wazo lake kwa waisraeli kuamini lakini akisisitiza kwamba wale walio wayahudi na yoyote yule anaweza kuokolewa kwa imani katika Yesu. + +# Ndugu + +Hapa ina maanisha wakristo wenzetu, ikijumuisha wote wanuame na wanawake. + +# shauku ya moyo wangu + +"shauku yangu kuu" + +# ni kwa ajili yao, kwa ajili ya wokovu wao + +"ni Mungu atakaye waokoa wayahudi" + diff --git a/rom/10/04.md b/rom/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..edcdc67d --- /dev/null +++ b/rom/10/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa kuwa Kristo ni hitimisho la sheria + +"Kwa kuwa Kristo kwa ukamilifu alitimiliza sheria" + +# kwa kuwa haki ipo kwa yoyote ambaye huamini. + +"ili kwamba aweze kumfanya kila moja aaminie katika yeye kuwa sawa mbele yake Mungu" + +# uamini + +Hapa ina maanisha kuamini kitu ni kukubali au kusadiki kuwa ni kweli. + +# haki inayo kuja kutokana na sheria + +"namna gani sheria humfanya kuwa sawa mbele zake Mungu" + +# Mtu ambaye hufanya haki ya sheria ataishi kwa haki hii + +"Mtu ambaye kwa ukamilifu utii sheria ataishi kwa sababu sheria itamfanya yeye kuwa sawa mbele ya Mungu" + +# ataishi + +Hii inaweza kurejea kwa 1) uzima wa milele au 2)maisha ya dunia katika ushirika pamoja na Mungu. + diff --git a/rom/10/06.md b/rom/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..eb743410 --- /dev/null +++ b/rom/10/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini haki inayotokana na imani husema hivi + +Hapa "haki" imeelezwa kama mtu ambaye anaweza kuongea. "Lakini Musa anaandika hivi kuhusiana na namba imani humfanya mtu sawa mbele za Mungu" + +# Usiseme ndani ya moyo wako + +Musa alikuwa anaongea na watu kama vile walikuwa ni mtu mmoja. "Usiseme kwako mwenyewe" + +# Nani atakayepaa kwenda mbinguni? + +Musa anatumia swali kufundisha wasikiizaji wake. Maelekezo yake ya awali, "Usiseme" huitaji jibu hasi kwa swali hili. "Hakuna mmoja asijaribu kwenda juu mbinguni" + +# hii ni kwamba, kumleta Kristo chini + +"ili kusudi kwamba wamlete Kristo chini ya inchi" + +# Nani atakaye shuka katika shimo kubwa + +Musa anatumia swali kuwafundisha wasikilizaji wake. Maelekezo yake ya awali, "Usiseme" huitaji jibu hasi kwa swali hili. "hakuna mmoja ajaribu kwenda chini na kuingia eneo ambao roho za watu waliokufa wapo" + +# hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu + +" ili kusudi kwamba waweze kumleta Kristo kutoka kwa wafu." + +# kufa + +Hapa ina maanisha pale mwili wa mtu huacha kuishi. + diff --git a/rom/10/08.md b/rom/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..8ee3e921 --- /dev/null +++ b/rom/10/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Lakini inasema nini? + +Neno "ina" urejea kwa "haki" + +# Neno liko karibu nawe + +"Ujumbe uko wapi" + +# katika mdomo wako + +Neno "mdomo" urejea kwa kile mtu husema. Tofasiri mbadala: "kiko katika kile usemacho" + +# na katika moyo wako + +Neno "moyo" urejea kwa akili ya mty au kile ufikiria. Tofasiri mbandala: "na kiko katika kile unachofikiri" + +# kama kwa mdomo wako unatambua Yesu kuwa Bwana + +'kama unakiri kwamba Yesu ni Bwana" + +# amini katika moyo wako + +"kubali kuwa ni kweli" + +# alimfufua yeye kutoka kwenye mauti + +Hapa ina maanisha kwamba Mungu alimsababisha Yesu kuwa hai tena + +# utaokolewa + +"Mungu atakuokoa" + +# Kwa kuwa kwa moyo mtu huamini kwa haki, na kwa kinywa hukiri wokovu + +"Ni kwa akili kwamba mtu husadiki na kuwa mbele za Mungu, na ni kwa kinywa mtu hukiri na Mungu umuokoa" + diff --git a/rom/10/11.md b/rom/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..60b3dae8 --- /dev/null +++ b/rom/10/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yeyote ambaye anamwamini yeye hatatahayarika + +"Yeyote asiye amini atatayarika." Hasi hapo imetumiwa kwa usisitizo. "Mungu atamheshimu ambaye anamwamini." + +# hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani + +"Kwa njia hii, Mungu huwaona Wayahudi na wasio wayahudi sawa" + +# na yeye ni tajiri kwa wale wote wamwitao + +"na uwabariki kwa wingi wote wamwaminio" + +# Kwa kila aliitae jina la Bwana ataokolewa + +Neno "jina" urejea kwa Yesu. " Bwana atamuokoa kila amtegemeae." + diff --git a/rom/10/14.md b/rom/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..5ba0cae0 --- /dev/null +++ b/rom/10/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Basi watawezaje kumwita yeye wasiye mwamini? + +Paulo anatumia swali kusisitiza umuhimu wa kupeleka habari njema za Kristo kwa wale ambao hawajasikia. Neno "wale" urejea kwa wale ambao si wa Mungu. "Wale ambao hawamwamini Mungu hawawezi kumwita yeye" + +# Na watawezaje kuamini katika yeye ambapo hawajamsikia? + +Paulo utumia swali jingine kwa sababu ile ile. "Na hawawezi kuamini katika kama hawajasikia ujumbe wake" au "Na hawawezi kuamini katika yeye kama hawajasikia ujumbe kuhusiana na yeye." + +# kuamini katika + +Hapa ina maanisha kukiri kwamba kile mtu alichosema ni kweli. + +# Na watawezaje kusikia pasipo mhubiri? + +Paulo anatumia swali jingine kwa sababu ile ile. "Na hawawezi ujumbe kama hakuna mtu wa kuwambia" + +# Na watawezaje kuhubiri, mpaka watumwe? + +Paulo anatumia swali jingine kwa sababu ile ile. Neno "wale" urejea kwa wale wa Mungu. "Na hawawezi kuwaambia watu wengine ujumbe mpaka mtu awatume" + +# Ni mzuri miguu ya wale wanaotangaza habari njema za mambo mazuri + +Paulo anatumia "miguu" kuwakilisha wale wanaosafiri na kuleta ujumbe kwa wale amba hawajasikia. "Inafurahisha pindi waleta ujumbe huja na kutuambia habari njema." + diff --git a/rom/10/16.md b/rom/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..76e12869 --- /dev/null +++ b/rom/10/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini wote hawakusikiliza + +"Lakini si Wayahudi wote walisikiliza' + +# Bwana, nani ambaye ameamini ujumbe wetu? + +Paulo anatumia swali hili kusisitia kwamba Isaya alitabiri katika Maandiko kwamba Wayahudi wengi hawataamini katika Yesu. "Bwana, wengi wao hawaamini ujumbe wetu" + +# ujumbe wetu + +hapa, "wetu" urejea kwa Mungu na Isaya. + +# amini + +kubali au amini kwamba ni kweli + diff --git a/rom/10/18.md b/rom/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..2f2152e5 --- /dev/null +++ b/rom/10/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lakini nasema, "Hawakusika?" Ndiyo, bila shaka + +Paulo anatumia swali kwa msisitizo. "Lakini, nasema bila shaka Wayahudi wamesikia ujumbe kuhusiana na Kristo + +# Sauti yao imeenda katika inchi yote, na maneno yao mwisho mwa ulimwengu + +Maelezo haya yote kwa msingi humaanisha kitu kile kile na yanatumiwa kwa msisitizo. Neno "yao" inarejea jua, mwezi, na nyota. Hapa wameelezwa kama wapeleka ujumbe kwa kuwaambia watu kuhusiana na Mungu. Hii inarejea kwa namna kuishi kwao uhushuhudia nguvu na utukufu wa Mungu. Inaweza kufanywa wazi kwamba Paulo ananukuu Maandiko hapa. "Kama ilivyoandikwa katika Maandiko, 'Jua, mwezi na nyota ni udhibitisho wa nguvu na utukufu wa Mungu, na kila aliye katika ulimwengu huyaona na ujua ukweli kuhusiana na Mungu" + diff --git a/rom/10/19.md b/rom/10/19.md new file mode 100644 index 00000000..f3a32ac4 --- /dev/null +++ b/rom/10/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Zaidi, nasema, "Waisraeli hawakujua" + +Paulo anatumia swali kwa msisitizo. Neno "Israeli" urejea kwa watu walio ishi katika taifa la Israeli. "Tena nakwambia watu wa Israeli hawakujua ujumbe. + +# Kwanza Musa anasema, "Nitakukasirisha... Nitakuchochea + +Hii ina maanisha kwamba Musa aliandika chini kile Mungu alisema. "Mimi" urejea kwa Mungu, na "wewe" urejea kwa Waisraeli. "Kwanza Musa anasema kwamba Mungu atakukasirisha...kukuchoea + +# kwa kipi siyo taifa + +"kwa wale hautazamii kuwa ni taifa halisi" au "kwa watu wasio na taifa lolote" + +# Kwa maan ya taifa lisilo na uelewa + +"kwa taifa lenye watu wale wasionijua mimi au amri zangu" + +# Nitakuchochea wewe kwa hasira + +"Nitakufanya wewe kukasirika" + +# wewe + +Hii inarejea kwa taifa la Israeli + diff --git a/rom/10/20.md b/rom/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..db1c1530 --- /dev/null +++ b/rom/10/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla: + +Hapa maneno "mimi" na "yangu" urejea kwa Mungu + +# Na Isaya ana ujasiri wa kutosha kusema + +Hii ina maanisha nabii Isaya aliandika kile Mungu alikwisha sema. + +# Nilipatikana na wale ambao hawakunitafuta mimi + +Pia, manabii mara nyingi huongelea mambo yajao kama vile yamekwisha tokea. Hii inasisitiza kwamba unabii bila shaka utatimia. "Ijapokuwa watu wa Mataifa hawatanitafuta, watanipata" + +# Nilionekana + +"Nilifanya mwenyewe kuonekana" + +# anasema + +"Yeye" ni Mungu, anaongea kupitia Isaya + +# Kwa siku yote + +Kifungu cha maneno haya kinatumika kusisitiza mwendelezo wa juhudi za Mungu. "mwendelezo" + +# Nilinyosha mikono yangu watu wasio na utiifu na wabishi + +"Nilijaribu kukukaribisha na kukusaidia, lakini ulikataa msaada wangu na kuendelea kutotii" + diff --git a/rom/11/01.md b/rom/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..25321a4f --- /dev/null +++ b/rom/11/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Japokuawa Israeli kama taifa lilikataliwa na Mungu, Mungu alitaka waelewe kuwa wokovu unakuja kwa neema bila kazi. + +# Basi naseema + +"Mimi, Paulo, nikasema" + +# Je Mungu amewakataa watu wake? + +Paulo alijiuliza hili swali ili awajibu maswali ya Wayahudi wengine waliokuwa wamekasirika kwamba Mataifa wamewekwa kuwa watu wa Mungu, wakati mioyo ya Wayahudi ikiwa imefanywa kuwa migumu. + +# Hata kidogo + +"Hiyo haiwezekani" au "la hasha!" Ufafanuzi huu unakataa kwa nguvu kwamba hii haiwezi kutokea. Unaweza kuwa na ufafanuzi mwingine kwa lugha yako ambayo unaweza kutumia hapa. + +# Kabila la Benjamini + +Hii inaelezea kabila ambalo ni kizazi cha Benjamini, moja kati ya makabila 12 ambayo Mungu aliwagawanya wana wa Israeli kwayo. + +# Aliowatambua + +"Aliowafahamu tangu mwanzo" + +# Je, hamjui andiko linasema nini kuhusu Eliya, jinsi alivyomsihi Mungu juu ya Israeli? + +"Hakika mnajua nini kimeandikwa kwenye maandiko. Mnakumbuka Eliya alivyomsihi Mungu juu ya Israeli." + +# Andiko linasema nini + +Paulo anaelezea ni nini kimeandikwa kwenye maandiko. + +# Wao wamewauwa + +"Wao" ni watu wa Israeli. + +# Nami nimesalia peke yangu + +Neno "mimi" linamaanisha Eliya + diff --git a/rom/11/04.md b/rom/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..119a991f --- /dev/null +++ b/rom/11/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini ni nini Mungu alijibu akiwaambia? + +Paulo anatumia swali hili kuwaleta wasomaji kwenye wazo linalofuata. + +# Ni nini jibu la Mungu akiwaambia + +"Mungu aliwajibu vipi" + +# Yeye + +Neno "yeye" linamaanisha Eliya + +# Watu elfu saba + +"watu 7000" + +# Mabaki + +Hapa inamaanisha sehemu ndogo ya watu waliochaguliwa na Mungu kupokea neema yake. + diff --git a/rom/11/06.md b/rom/11/06.md new file mode 100644 index 00000000..88b3f202 --- /dev/null +++ b/rom/11/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini ikiwa ni kwa neema + +Paulo anaendelea kuelezea namna neema ya Mungu inavyofanya kazi. "kwa kuwa neema ya Mungu inafanya kazi kwa rehema" + +# Ni nini basi? + +"Tuhitimishe vipi?" "hivi ndivyo ambavyo tunapaswa kukumbuka." + +# Mungu amewapa roho ya ubutu, macho ili wasione, na masikio ili wasisikie + +Huu ni ufafanuzi kuhusu ukweli kwamba niwabutu kiroho. Hawana uwezo wa kuona na kusikia ukweli wa kiroho. + +# Roho ya + +Hapa inamaanisha "kuwa na tabia za" mfano "roho ya hekima." + +# Macho ili wasione + +Kuona kwa jicho moja ilichukuliwa kuwa sawa na kupata uelewa. + +# Masikio ili wasisikie + +Kusikia kwa masikio ilichukuliwa kuwa sawa na utii. + diff --git a/rom/11/09.md b/rom/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..ecd969fc --- /dev/null +++ b/rom/11/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Acha meza zao ziwe na wavu + +"Meza" inawakilisha sherehe, na "neti" au "mtego" inawakilisha adhabu. Nakusihi Mungu wakamate na uwatege katika sherehe zao" + +# Makwazo + +"kitu kinachowafanya watende dhambi" + +# na kulipiza kisasi dhidi yao + +"kitu kinachokuruhusu kulipa kisasi kwao" + +# Ukawainamishe migongo yao daima + +Daudi alimuomba Mungu awafanye adui zake kuwa watumwa wanaobeba mizigo mizito kwenye migongo yao daima. + diff --git a/rom/11/11.md b/rom/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..3d324319 --- /dev/null +++ b/rom/11/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Pamoja na kuwa Israeli kama taifa lililokataliwa na Mungu, Paulo anawaonya Mataifa kuwa makini na wasifanye kosa lile lile. + +# Wameona mashaka hata kuanguka? + +"Je Mungu amewakataa daima kwa sababu wametenda dhambi?" + +# Hata kidogo + +"Hiyo haiwezekani" au "la hasha!" Ufafanuzi huu unakataa kwa nguvu kwamba hii haiwezi kutokea. Unaweza kuwa na ufafanuzi mwingine kwa lugha yako ambayo unaweza kutumia hapa. + +# Dunia + +Hapa inamaanisha watu wa duniani. + diff --git a/rom/11/13.md b/rom/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..f86e5f68 --- /dev/null +++ b/rom/11/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuwatia wivu + +Tafsiri kifungu hiki njia sawa kama alivyofanya katika (Rom:10:19) + +# walio mwili mmoja na mimi + +Hii inamaanisha "Wayahudi wenzangu" + diff --git a/rom/11/15.md b/rom/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..6b5c7707 --- /dev/null +++ b/rom/11/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwao + +Hii inawaelezea Wayahudi wasioamini + +# Dunia + +Hii inamaanisha watu wa duniani. + +# kupokelewa kwao kutakuwaje ila uhai toka kwa wafu? + +"Hivyo basi, Mungu atawapokea vipi wakimwamini Kristo? Itakuwa kama wamekuja tena kwenye uhai toka kwenye kifo" + +# Kama matunda ya kwanza ni takatifu, hivyo ni bonge la unga. + +Paulo anamfananisha Ibrahimu, Isaka na Yakobo, mababu wa Israeli na ngano ya kwanza kuvunwa, na Waisraeli ambao ni uzao wa wanaume hao ni unga unaotokana na ngano itakayovunwa baadae. + +# Kama mizizi ni takatifu, vivyo hivyo na matawi + +Paulo anamfananisha Ibrahimu, Isaka na Yakobo, mababu wa Israeli na mizizi ya mti, na Waisraeli ambao ni uzao wa wanaume hao kama matawi ya miti. + +# Takatifu + +Mazao ya kwanza kuvunwa daima yanakuwaga "matakatifu" hii ni, yameachwa kwa ajili ya Mungu. Hapa "mazao ya kwanza" yanasimama kwa watu wa kwanza kumuamini Kristo. + diff --git a/rom/11/17.md b/rom/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..4b309e5e --- /dev/null +++ b/rom/11/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama wewe, tawi pori la mizeituni + +Neno "wewe" na "tawi pori la mizeituni" linaelezea Watu wa Mataifa walikubali wokovu kupitia Yesu. + +# Ulipandikizwa kati yao + +"Walipachikwa kwenye mti kati ya matawi yaliyobaki" + +# Mizizi ya utajiri wa mizeituni + +Hii inamaanisha ahadi za Mungu. + +# Usijisifu juu ya matawi + +"Usisieme kuwa wewe ni bora zaidi ya Wayahudi waliokataliwa na Mungu" + +# si wewe ambaye unasaidia mizizi, bali mizizi inakusaidia wewe + +Waamini wa Mataifa waliamini kuwa walikombolewa tuu kwa sababu ya agano la ahadi la Mungu lililofanywa kwa Wayahudi + diff --git a/rom/11/19.md b/rom/11/19.md new file mode 100644 index 00000000..cd6d3e0c --- /dev/null +++ b/rom/11/19.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Matawi yalikatwa + +"Mungu aliyakata matawi" + +# Matawi + +Neno hili limetumika kuwaelezea Wayahudi walikataliwa na Mungu. + +# Naweza kupandikizwa + +maneno haya yametumika kuwaelezea waamini wa Mataifa waliokubaliwa na Mungu. "anaweza kunipachika" + +# "walikatwa" + +"aliwakata" + +# wao... wale + +Maneno "wao" au "wale" inamaanisha Wayahudi ambao hawakuamini. + +# Lakini wewe simama kwa imani yako + +"Lakini ubaki kwa sababu ya imani yako" + +# Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe + +"Kwa maana ikiwa Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe" + +# Matawi ya asili + +Hii inamaanisha Wayahudi + diff --git a/rom/11/22.md b/rom/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..10860c40 --- /dev/null +++ b/rom/11/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# matendo mema na ukali wa Mungu + +Paulo anawakumbusha waamini wa Mataifa kwamba japokuwa Mungu amekuwa mwema sana kwao, hatasita kuwahukumu na kuwaadhibu. + +# Vinginevyo wewe pia utakatiliwa mbali + +"Vinginevyo Mungu atakukatilia mbali" + diff --git a/rom/11/23.md b/rom/11/23.md new file mode 100644 index 00000000..98490bcc --- /dev/null +++ b/rom/11/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kama hawataendelea katika kutoamini kwao + +"Kama Wayahudi wanaanza kumiamini Kristo" + +# Watapandikizwa tena + +"Mungu atawapandikiza tena" + +# Kupandikiza + +Hii ni hatua ya kawaida ambapo tawi lililo hai la mti mmoja linapachikwa kwenye mti mwingine ili liweze kukua kwenye ule mti mpya. + +# Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa nje kwa asili ya mzeituni mwitu, na kinyume cha asili walipandikizwa katika mzeituni ulio mwema, si zaidi sana hawa Wayahudi, ambao ni kama matawi ya asili kuweza kupandikizwa tena ndani ya mzeituni wao wenyewe? + +"Ikiwa Mungu atakukata nje kwa asili ya mzeituni mwitu, na kinyume cha asili walipandikizwa katika mzeituni mzuri, si zaidi sana hawa Wayahudi, ambao ni matawi ya asili, kwenye mzeituni wao wenyewe?" + +# Matawi + +Paulo anawafananisha wanachama wa watu wa Mungu na matawi ya mti. + +# Wao..... Wale + +Ilipojitokeza "wao" au "wale" inamaanisha Wayahudi. + diff --git a/rom/11/25.md b/rom/11/25.md new file mode 100644 index 00000000..f2dfd533 --- /dev/null +++ b/rom/11/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sitaki ninyi msijue + +"Natamani sana mtambue" + +# Mimi + +Neno "mimi" linamaanisha paulo. + +# wewe...wewe... ninyi + +Maneno haya "wewe" na "ninyi" yanamaanisha Mataifa walioamini. + +# ili kwamba msiwe na hekima katika kufikiri kwenu wenyewe. + +Waamini wa mataifa wanaweza kuamini kwamba wana hekima zaidi kuliko Wayahudi wasioamini. "Ili msifikiri kwamba mna hekima zaidi ya mlivyo" + +# ubaguzi mgumu umetokea katika Israeli + +Baadhi ya Wayahudi walikataa kukubali wokovu kupitia kwa Yesu. + +# hadi kukamilika kwa mataifa kutakapokuja + +Neno "mpaka" linaelezea kuwa Wayahudi wengi wataamini baada ya Mungu kumaliza kuwaleta Mataifa kanisani. + diff --git a/rom/11/26.md b/rom/11/26.md new file mode 100644 index 00000000..df91044c --- /dev/null +++ b/rom/11/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo yanayounganisha + +Paulo anasema mkombozi atakuja toka Israeli kwa utukufu wa Mungu. + +# Hivyo Israeli wote wataokoka + +"Hivyo Mungu atawaokoa Waisraeli wote" + +# Waisraeli wote wataokoka + +Hii imeongezwa chunvi. Wayahudi wengi wataokolewa. + diff --git a/rom/11/28.md b/rom/11/28.md new file mode 100644 index 00000000..5cc406da --- /dev/null +++ b/rom/11/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa upande mmoja... kwa upande mwingine + +Hizi ni sentensi zinazotumika kufananisha vitu viwili tofauti kuhusu kitu. Paulo alitumia kuelezea kwamba Mungu aliwakataa Wayahudi, lakini pia bado anawapenda. + +# Wanachukiwa kwa sababu yenu + +Upendo wa Mungu kwa Mataifa ulikuwa mkubwa sana kiasi kwamba ukilinganisha upendo kwa Wayahudi ukaonekana kama chuki. + +# Kwa kuwa walichukiwa + +"Mungu aliwachukia Wayahudi" + +# Kwa ajili ya zawadi na wito wa Mungu usiobadilika + +"Kwa sababu zawadi ya Mungu na wito wake hauwezi kubadilika" + diff --git a/rom/11/30.md b/rom/11/30.md new file mode 100644 index 00000000..27443b31 --- /dev/null +++ b/rom/11/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mlikuwa mmemuasi + +"Hamkumtii hapo zamani" + +# Ninyi + +Hii inamaanisha waamini wa Mataifa, na ni wingi. + +# Mungu amewafunga watu wote katika uasi + +Hii pia inaweza kumaanisha Mungu anawafanya wasiweze kuacha kumuasi, kama wafungwa walioshindwa kutoroka gerezani. "Mungu amamfanya kila mtu kuwa mfungwa kwa kuasi" + diff --git a/rom/11/33.md b/rom/11/33.md new file mode 100644 index 00000000..3688c0f5 --- /dev/null +++ b/rom/11/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! + +"Jinsi zinavyoshangaza faida za hekima ya Mungu na maarifa" + +# Hazichunguziki hukumu zake, na njia zake ni zaidi ya kugundua + +Hatuwezi kabisa kuelewa mambo ambayo anayaamua na kujua njia anazotumia juu yetu. + diff --git a/rom/11/35.md b/rom/11/35.md new file mode 100644 index 00000000..5498feda --- /dev/null +++ b/rom/11/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo atalipwa tena + +"Hivyo Mungu atamlipa tena" + +# Kumlipa yeye + +Neno "yeye" linamaanisha mtu aliyempa Mungu + +# yeye + +Sehemu nyingine "neno" yeye linamaanisha MUngu + diff --git a/rom/12/01.md b/rom/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..8a8ba66d --- /dev/null +++ b/rom/12/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo yanayounganisha: + +Paulo anatuambia namna ambavyo maisha ya mwamini yanatakiwa yawe na namna waamini wanavyotakiwa kutumika. + +# Nawasihi Basi, ndugu, kwa huruma zake Mungu + +"Waamini wenzangu, kwa sababu ya neemakuu ambayo Mungu ametupa nawasihi sana" + +# itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai + +Hapa Paulo ametumia neno "miili" akimaanisha mtu. Paulo anamfananisha mwamini wa Kristo anayemtii Mungu na wanyama ambao Wayahudi waliwaua na kutoa sadaka kwa Mungu. "Mjitoe kabisa kwa Mungu mkiwa hai kama sadaka iliyokufa kwenye madhabahu hekaluni" + +# Takatifu, iliyokubalika na Mungu + +Maana nyingine yaweza kuwa 1) "sadaka ambayo unampa Mungu pekee na itakayomtukuza" au 2) "Inayokubalika na Mungu kwa kuwa ni safi" + +# Hii ni huduma yenu ya kiroho + +Inaweza kumaanisha 1) "Hii ni njia sahihi ya kumwabudu Mungu" au 2) "hii ndo namna ya kumwabudu Mungu kwenye roho zenu" + +# msiifuatishe namna ya dunia hii + +Inamaanisha kwamba 1) "Msiishi kama dunia inavyoishi" au 2) Msifikirie kama dunia inavyofikiri." + +# Msiifuatishe + +Hii inaweza kumaanisha 1) " Msiache dunia kuwaambia ni nini cha kufanya" au Msiache... nini cha kufikiria" au 2) "Msiruhusu kufanya kama dunia wanavyofanya" + +# Dunia hii + +Hii inamaanisha watu wasioamini, wanaoishi katika dunia hii. + +# bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. + +"lakini muacheni Mungu awabadilishe namna mnavyofikiri" au "lakini mwacheni Mungu awabadilishe namna mnavyoenenda kwa kuwabadilisha kwanza namna mnavyofikiri" + diff --git a/rom/12/03.md b/rom/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..3824d08f --- /dev/null +++ b/rom/12/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa sababu ya neema niliyopewa, + +Hapa "neema" inaelezea Mungu alivyomchagua Pulo kuwa Mtume na kiongozi wa kanisa. "Kwa kuwa Mungu alinichagua kuwa Mtume" + +# Kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yenu wenyewe kuliko mnavyopaswa kufikiri + +"Kwamba mtu asifikiri kwamba ni bora zaidi ya watu wengine" + +# Badala yake, mnapaswa kufikiri kwa njia ya hekima + +"Lakini mnapaswa kuwa na hekimakwa namna mnavyofikiri kuhusu ninyi wenyewe" + +# kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani. + +Ikiwa Mungu amewapa kila mmoja kiasi tofauti cha imani kwamba mnapaswa kufikiri kwa makini" + diff --git a/rom/12/04.md b/rom/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..97b3a4a2 --- /dev/null +++ b/rom/12/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa kuwa + +Paulo anaelezea kwa nini Wakristo hawapaswi kufikiria kuwa wao ni wa maana zaidi ya wengine. + +# Tuna viungo vingi katika mwili mmoja + +Paulo anawafananisha Waamini wote katika Krosto kama sehemu tofauti zamwili. Amefanya hivi kuonyesha japokuwa waamini wanamtumikia Kristo kwa njia tofauti, kila mtu ni mali ya Kristo na anamtumikia kwa njia ya muhimu. + +# Kiungo + +Hivi ni vitu kama macho, tumbo, na mikono. + +# Mmoja mmoja kwa kila mmoja + +"Kila mwamini ni sehemu ya mwili wa mwamini mwingine" "na kila muumini ameunganishwa pamoja na waamini wengine" + diff --git a/rom/12/06.md b/rom/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..f66be8c4 --- /dev/null +++ b/rom/12/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tuna zawadi mbalimbali kufuatana na neema tuliyopewa + +"Mungu ammempa kila mmoja wetu uwezo wa kufanya vitu tofauti kwa ajili yake" + +# Itendeke kwa kadiri ya imani yake + +Inaweza kuwa na maana kuwa 1) "atoe unabii ambao hautazidi kiwango cha imani amabyo Mungu ametupa" au 2) "Aseme unabii unaokubaliana na mafundisho ya imani yetu." + +# Kama zawadi ya mtu ni kutoa + +Maana inaweza kuwekwa wazi. "Ikiwa matu ana zawadi ya kutoa pesa au kitu chochote kwa wahitaji" + diff --git a/rom/12/09.md b/rom/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..eeef0ab0 --- /dev/null +++ b/rom/12/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Pendo lisiwe na unafiki + +"Acha upendo uwe wa wazi" au "Acha upendo uwe wa kweli" + +# Upendo + +Hili ni neno lingine linalomaanisha upendo wa ndugu au upendo kwa rafiki au kwa wanafamilia. huu ni upendo wa asili wa binadamukati ya marafiki au ndugu. + +# Kuhusu upendo wa ndugu, mpendane + +Paulo ameanza kuonyesha idadi ya vitu tisa, kila kimoja kikionyesha "Kuhusu....." "kuwaambia waamini wanapaswa kuwa watu wa aina gani. + +# Kuhusu upendo wa ndugu + +"Kwa namna ambavyo unaweza kumpenda mwamini mwenzako" + +# Mpendane + +"Muwe na uaminifu" kama wanafamilia. + +# Kuhusu heshima, mheshimiane. + +"Waheshimu na watii wengine" au, tumia sentensi mpya, "Kama unavyowaheshimu waamuni wenzako, watii" + diff --git a/rom/12/11.md b/rom/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..e21658b6 --- /dev/null +++ b/rom/12/11.md @@ -0,0 +1,25 @@ +# Kuhusu bidii, msiwe na wasiwasi. Kuhusu roho, myatamani. Yanayohusu Bwana, mtumikieni. + +"Msiwe wavivu kwenye zamu zenu, bali mtamani kumfuata roho na kumtumikia Bwana" + +# Furahini kwa ujasiri mlionao kuhusu siku zijazo. + +"Kuweni na furaha maana ujasiri wenu upo katika Mungu" + +# Mvumilie katika matatizo yenu + +"Muwe wavumilivu wakati mgumu unapokuja" + +# Endeleeni kuomba + +"Na mkumbuke kuomba kila mara" + +# Mshiriki katika mahitaji ya waumini. + +Hili ni jambo la mwisho kwenye orodha inayoanza +"Kuhusu mahitaji ya waamini, mshiriki pamoja nao" au "Ikiwa" au "Wakristo wenzako wakiwa na tatizo, musaidie kile wanachohitaji" + +# Mtafute njia nyingi za kuonesha ukarimu. + +"Muwakaribishe nyumbani kwenu ikiwa wanahitaji mahali pa kukaa" + diff --git a/rom/12/14.md b/rom/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..5e3eee24 --- /dev/null +++ b/rom/12/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Muwe na nia moja ninyi kwa ninyi + +"Mkubaliane ninyi kwa ninyi" au "muishi kwa umoja ninyi kwa ninyi" + +# Msifikiri kwa njia ya kujivuna + +"Msifikiri kuwa ninyi ni bora sana kuliko wengine" + +# Muwakubali watu wa hali ya chini + +"Wakaribisheni watu mnaoona hawana umuhimu" + +# Msiwe na hekima juu ya mawazo yenu wenyewe + +"Msifikiri kuwa ninyi mna hekima nyingi kuliko mtu yeyote yule" + diff --git a/rom/12/17.md b/rom/12/17.md new file mode 100644 index 00000000..de5e782f --- /dev/null +++ b/rom/12/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Msilipe ovu kwa ovu + +"Msifanye yaliyo maovu kwa mtu aliyewafanyia maovu" + +# Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote + +"Fanyeni mambo ambayo kila mtu ataona ni mazuri" + +# Kama ilivyowekwa kwenu, kuweni na amani na watu wote + +"Fanyeni lolote mnaloweza kuwa na amani na kila mtu" + +# Kama ilivyowekwa kwenu + +"Kama mnavyoweza kudhibit na ni wajibu kwa" + diff --git a/rom/12/19.md b/rom/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..94a7aae5 --- /dev/null +++ b/rom/12/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisasi ni changu; nitalipa + +Mistari hii miwili inamaanisha kitu kimoja kwa kusisitiza kwamba Mungu atawalipiza watu wale. "Nitawalipiza ninyi" + +# Adui yako .... mlishe..... mnyweshe... ukifanya hivi, utakusanya ... Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya + +Aina zote za "wewe" au "yako" inamuelezea mtu mmoja. + +# Lakini adui yako akiwa na njaa.... kichwa chake + +Paulo ananukuu sehemu nyingine ya maandiko. "Lakini pia imeandikwa, 'ikiwa adui yako ana njaa... kichwa chake"' + +# Mlishe + +"Mpe chakula" + +# Kusanya makaa ya moto juu ya kichwa chake + +Paulo anafananisha adhabu watakayoipata maadui na kaa la moto linalowekwa kwenye vichwa vyao. maana nyingine zaweza kuwa 1)"kumfanya mtu aliyekuumiza kujisikia vibaya kwa namna alivyokutendea" au 2) "Kumpa Mungu sababu ya kuwahukumu adui zako vibaya zaidi" + +# Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema + +Paulo anauelezea "ubaya" kama kitu kinachoishi. "Msiwaache waliowaovu wawashinde, ila muwashinde kwa kufanya yaliyo mema." + diff --git a/rom/13/01.md b/rom/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..cd407163 --- /dev/null +++ b/rom/13/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawaambia waamini jinsi ya kuishi chini ya watawala wao. + +# Na kila nafsi iwe tiifu + +"Kila mkristo anapaswa kutii" + +# Mamlaka iliyo juu + +"Watawala wa srikali." + +# Kwa ajili ya + +"Kwa sababu" + +# Hakuna mamlaka isipokuwa inatoka kwa Mungu + +"Mamlaka yote yatoka kwa Mungu" + +# Mamlaka iliyopo imewekwa na Mungu + +"Watu walio katika mamlaka wapo kwa sababu Mungu amewaweka pale" + +# Mamlaka hiyo + +"Hiyo mamlaka ya kiserikali" + +# Wale waipingao + +" Wale wanaopinga mamlaka ya kiserikali" + diff --git a/rom/13/03.md b/rom/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..b44d9ff5 --- /dev/null +++ b/rom/13/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa kuwa + +Paulo anaeleza nini kitatokea ikiwa serikali itamtia hatiani mtu. + +# Watawala si watu wa kuogofya + +Watawala hawafanyi watu waogope. + +# Kwa mema... kwa maovu + +Watu hutambulika kwa " matendo yao mema" au " matendo yao mabaya" + +# Je unatamani kuwa mwenye kuogopa mamlaka + +"Ngoja nikueleze jinsi ya kuogopa mamlaka" + +# Utasifiwa kutokana na hiyo + +Serikali itasema mambo mazuri juu ya wale watendao mema. + +# Habebi upanga bila sababu + +"Anabeba upanga kwa sababu iliyo njema" au " anauwezo wa kuwaadhibu watu, na atawaadhibu watu." + +# Mlipakisasi kwa gadhabu + +" Mtu anaye adhibu watu kama maelezo ya hasira ya serokali dhidi ya maasi" + +# Si tu kwa sababu ya gadhabu, lakini pia kwa sababu ya dhamiri. + +"Siyo tu kwamba serikali haitawaadhibu, bali pia utakuwa na dhamiri safi mbele za Mungu" + diff --git a/rom/13/06.md b/rom/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..bf4c0488 --- /dev/null +++ b/rom/13/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa sababuya hili + +"Kwa sababu serikali huwaadhibu watenda maovu" + +# Wewe ... lipa kwa kila mtu + +Paulo hapa anawambia waamini. + +# Kwa + +" Hii ni sababu kwa nini unapaswa kulipa kodi" + +# Hudumia + +"Toa huduma" au "fanya kazi" + +# Ushuru + +Hii inamaanisha fedha unayolipa kw aajili ya ushuru. + diff --git a/rom/13/08.md b/rom/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..c02d7b18 --- /dev/null +++ b/rom/13/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Senensi unganishi + +Paulo anawaambia waamini jinsi ya kufanya kwa majirani. + +# Usidaiwe na mtu kitu chochote + +"Lipa unachodaiwa na serikali na kila mtu yeyote" + +# Usidaiwe + +Tendo hili liko katika hali ya u wingi na linawahusu waamini wote wa Rumi. + +# Upendo + +Hii ina maanisha upendo ambao unatoka kwa Mungu ambao unaelekeza mazuri kwa wengine, hata kama haimfaidii mtu mwenyewe. + +# Isipokuwa + +Sentensi mpya: " Kuwapenda wakristo wengine ni deni moja ambalo unaweza kuendelea kudaiwa" + +# Uta + +Mahali popote palipo na neno "uta" katika 13:9 ni katika hali ya umoja, ingawa mwandishi alikuwa akiwaambia kundi la watu kana kwamba alikuwa mtu mmoja, kwa hiyo unaweza kutumia neno lenye kuonesha u wingi hapa. + +# Tamani + +Kutamani kuwa au kumiliki kitu fulani ambacho mtu hana na asingeweza kuwa nacho au kumiliki. + +# Upendo haudhuru + +Sentensi hii inaonesha upendo kama mtu aliye mwema kwa watu wengine. " Watu wanao penda wenzao hawawezi kuwadhuru." + +# Kwahiyo + +"Kwa sababu upendo haudhuru jirani wa mtu" + diff --git a/rom/13/11.md b/rom/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..b7446a9e --- /dev/null +++ b/rom/13/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Usiku umeendelea sana + +" Wakati uliopo wa dhambi umekaribia kumalizika" + +# Siku imekaribia + +"Kristo atarudi upesi" + +# Matendo ya giza + +Haya ni matendo maovu ambayo watu wanpendelea kuyafanya usiku, wakati hakuna mtu anaye weza kuwaona. + +# Tuvae silaha za nuru + +" Inatupasa kumruhusu Mungu kutulinda kwa kufanya tu yale ambayo tunataka watu waone tunayafanya" + diff --git a/rom/13/13.md b/rom/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..512a0106 --- /dev/null +++ b/rom/13/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nasi tu... + +Paulo anajumlisha wasomaji wake na waamini wengine pamoja na yeye mwenyewe. + +# Kama katika siku + +"Katika hali ya kuonekana" au tukijua kuwa kila mtu anaweza kutuona" + +# Ugomvi + +Hii inamaanisha njama dhidi ya na mabishano na watu wengine. + +# Wivu + +Hii inamaanisha hisia hasi ya mtu dhidi ya mafanikio ya mtu mwingine au faida juu ya mtu mwingine + +# Mvae Bwana Yesu Kristo + +Hii inamaanisha kukubali asili mema ya Kristo kana kwamba ni vazi letu la juu ambalo watu wanaweza kuona. + +# Vaa + +Kama lugha yako ina usemi wa wingi wa maagizo, unaweza kutumia hapa. + +# Usitoe mwanya kwa mwili + +"Usiupe nafasi yoyote moyo wako wa zamani kufanya mambo mabaya" + +# Mwili + +Hapa inamaanisha asili ya dhambi ya mtu. + diff --git a/rom/14/01.md b/rom/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..904140ae --- /dev/null +++ b/rom/14/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Paulo anawatia moyo waamini kukumbuka kuwa wana wajibika kwa mungu. + +# Wadhaifu katika imani + +Hii inamaanisha wale ambao waliona hatia juu ya kula na kunywa vitu kadha wa kadha. + +# Bila kutoa hukumu kwa maswali hayo + +"Na msiwalaumu kutokana na maoni yao" + +# Kwa upande mmoja, mtu mmoja anaimani kula chochote, bali kwa upande mwingine + +Sentensi "Kwa upande mmoja" na "kwa upande mwingine" inatambulisha njia mbili tofauti za kuwaza juu ya kitu fulani. " Mtu mmoja ana imani kula kitu chochote lakini" + diff --git a/rom/14/03.md b/rom/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..38347abb --- /dev/null +++ b/rom/14/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wewe ni nani, wewe unaye hukumu mtumishi ambaye ni mali ya mtu mwingine? + +Paulo anatumia swali kukemea wale wanao hukumu wengine. " wewe si Mungu, na hunaruhusa ya kuhukumu mojawapo wa watumishi wake" + +# Wewe, wewe + +U-moja + +# Ni mbele ya bwana wake kuwa anasimama au kuanguka + +"Ni bwana wake tu anaweza kuamua ikiwa atamkubali mtumishi au atamkataa" + +# Lakini atamfanya asimame, kwa kuwa Bwana ana uwezo wa kumsimamisha. + +"Lakini Bwana atamkubali kwa sababu anauwezo wa kumfanya mtumishi akubalike" + diff --git a/rom/14/05.md b/rom/14/05.md new file mode 100644 index 00000000..e6da1aef --- /dev/null +++ b/rom/14/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa upande mmoja, mtu huthamini siku moja kuliko nyingine. kwa upande mwingine, mtu huthamini sikuzote sawasawa. + +Sentensi "kwa upande mmoja na kwa upande mwingine" vinatambulisha njia mbili za kufikiri juu ya kitu. " Mtu mmoja anafikiri siku moja ni ya muhimu kuliko zingine zote, lakini mtu mwingine anafikiri kwamba siku zote ni sawa" + +# Acha kila mtu ashawishike ndani ya fikra zake + +Maana halisi inaweza kuelezwa. "ila mtu awe na uhaika wa kuwa anachofanya anamheshimu Mungu" + +# Yule ashikaye siku, anashika kwa ajili ya Bwana + +"Mtu anaye abudu katika siku fulani hufanya kwa kumtii Bwana" + +# Na yule alaye, anakula kwa ajili ya Bwana + +"Kila mtu anaye kula aina zote za chakula hufanya hivyo kwa ajili ya kumtii Bwana" + +# Yeye asiye kula, hujizuia kutokula kwa ajili ya Bwana + +" Mtu asiye kula baadhi ya vyakula anafanya hivyo kwa ajili ya Bwana" + diff --git a/rom/14/07.md b/rom/14/07.md new file mode 100644 index 00000000..b08b7300 --- /dev/null +++ b/rom/14/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sisi + +Paulo anajumlisha wasomaji wake. + +# Wafu na wanaoishi + +"Wale waliokufa na wale ambao wanaishi + diff --git a/rom/14/10.md b/rom/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..a6af7b76 --- /dev/null +++ b/rom/14/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa nini unamuhukumu ndugu yako? Na wewe kwa nini unamdharau ndugu yako? + +Paulo anaeleza jinsi ambavyo anaweza kuwakemea miongoni mwa wale wasomaji wake. "Ni vibaya kwako kumhukumu ndugu yako, na ni vibaya kwako kumdharau ndugu yako!" au " Usimuhukumu na kumdharau ndugu yako!" + +# Kwa sababu sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu + +"Kiti cha hukumu"kinaashiria mamlaka ya Mungu ya kuhukumu. kwa kuwa Mungu atatuhukumu sisi sote" + +# Kama niishivyo + +Sentensi hii inatumika kuanzisha kiapo au kiapo makini. "Unaweza kuwa na uhakika kuwa hii ni kweli" + +# Kwangu mimi kila goti litapigwa, na kila ulimi utatoa sifa kwa Mungu + +Paulo anatumia maneno "Goti" na "ulimi" kumaanisha mtu. Pia,Bwana anatumia neno "Mungu" kumaanisha yeyemwenyewe. " Kila mtu atainama na kutoa sifa kwangu" + diff --git a/rom/14/12.md b/rom/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..30949023 --- /dev/null +++ b/rom/14/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Atatoa hesabu yake kwa Mungu + +"atatoa maelezo ya matendo yetu kwa Mungu + +# Lkini badala yake amua hivi, kwamba hakuna mtu atakaye weka kitu cha kujikwaa au mtego kwa ndugu yake + +Hapa "kitu cha kujikwaa" na "mtego" inamaanisha kitu kilekile. " Lakini fanya kuwa lengo lako kutofanya au kusema neno lolote ambalo linaweza kumfanya mwamini mwenzako kufanya dhambi" + +# Ndugu + +Hapa hii inamaanisha mwamini mwenzako, ikijumuisha wanawake na wanaume. + diff --git a/rom/14/14.md b/rom/14/14.md new file mode 100644 index 00000000..c0a1b284 --- /dev/null +++ b/rom/14/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Najua na ninashawishika katika Bwana Yesu + +Hapa maneno "jua" na " Ninashawishika" yanamaanisha kitu kilekile; Paulo anayatumia kusisitiza uhakika wake. "Nina uhakika kwa sababu ya mahusiano yangu na Bwana Yesu" + +# Hakuna kilicho safi kwa ajili yake chenyewe + +"Kila kitu chenyewe ni safi" + +# Kwa ajili yake mwenyewe adhaniye kuwa ni safi, kwake yeye si safi + +Lakini kama mtu akidhani kuwa kitu fulani si safi, hivyo kwake yeye si safi na anapaswa kuwa mbali nacho" + +# Ikiwa ni kwa sababu ya chakula ndugu yako anaumia + +"Ikiwa utaumiza imani ya mwamini mwenzako kwa mabo ya chakula." hapa neno "yako" linamaanisha imani thabiti na " ndugu" linamaanisha aliye dhaifu katika imani. + +# Hautembei tena katika upendo + +"Hauoneshi tena upendo" + diff --git a/rom/14/16.md b/rom/14/16.md new file mode 100644 index 00000000..18a616e1 --- /dev/null +++ b/rom/14/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Usifanye matendo yako mema yakasababisha watu kuwadhihaki + +"Usifanye mambo, hatakama unadhani mambo hayo kuwa ni mazuri, ikiwa kama watu watasema ni mabaya" + +# Matendo yako mema + +Hii inamaanisha matendo ya watu ambao ni imara katika imani. + +# Watu + +Maana zaweza kuwa 1. waamini wengine, au 2. wasio amini. + +# Kwa kuwa ufalme wa Mungu siyo juu ya chakula na vinywaji, bali kwaajili ya haki, amani, na furaha katika Roho Mtakatifu + +"Kwa kuwa Mungu hakuandaa ufalme wake ili aweze kutawala kile tunacho weza kula na kunywa. aliandaa ufalme wake ili kwamba tuweze kuwa na mahusiano na yeye na Roho Mtakatifu aweze kutupatia amani na furaha" + diff --git a/rom/14/18.md b/rom/14/18.md new file mode 100644 index 00000000..75da4559 --- /dev/null +++ b/rom/14/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Amethibitishwa na watu + +"Watu wata mthibitisha" au " watu watamuheshimu" + +# Tutafute mambo ya amani na mambo ambayo yatawajenga kila mtu na wenzake. + +"Tutafute kuishi kwa amani na kusaidia mmoja na mwingine kukua katika imani" + diff --git a/rom/14/20.md b/rom/14/20.md new file mode 100644 index 00000000..812f4253 --- /dev/null +++ b/rom/14/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Si jambo jema kula nyama, wala kunywa divai, wala chochote ambacho ndugu yako anaona ni vibaya + +"Ni afadhali usile nyama au kunywa divai au chochote ambacho kinawaza kumsababisha mwenzako afanye dhambi" + +# Yako + +Hii inamaanisha imani thabiti na "Ndugu" inamaanisha ndugu aliye dhaifu. + diff --git a/rom/14/22.md b/rom/14/22.md new file mode 100644 index 00000000..da9a75f4 --- /dev/null +++ b/rom/14/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hizi imani ambazo mlizo nazo + +Hii inamaanisha imani juu ya vyakula na vinywaji + +# Wewe mwenyewe + +U- moja kwa sababu Paulo anawambia waamini, unaweza kutumia tafsiri ya u-wingi. + +# wamebarikiwa wale jihukumu katika jambo ambalo anathibitika + +"Wamebalikiwa watu ambao hawawezi kuhisi hatia kwa yale wanayo kusudia kufanya" + +# Ambaye anamashaka amehukumiwa ikiwa atakula + +"Mungu atasema kwamba mtu hufanya vibaya ikiwa hana uhakika kama ni sawa kula chakula fulani, lakini hatahivyo anakula" au "Mtu ambaye hana uhakika kama ni sawa kula chakula fulani na anakula atakuwa na shida katika dhamiri" + +# Kwa sababu haitokani na imani + +"Mungu atasema kuwa ni vibaya kwa sababu anakula kitu amabacho anaamini Mungu hataki ale" + +# Jambo lolote lisilotokana na imani ni dhambi + +Unafanya dhambi ikiwa unafanya jambo ambalo huamini kuwa Mungu anataka ulifanye" + diff --git a/rom/15/01.md b/rom/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..f151b6a6 --- /dev/null +++ b/rom/15/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli unganishi + +Paulo ana hitimisha hii sehemu kuhusu maisha ya muumini kwa ajili ya wengine kwa kuwakumbusha jinsi Kristo alivyoishi. + +# Sasa + +Tafasri hili kwa kutumia maneno katika lugha yako linalotumika kutambulusha wazo jipya katika mdahalo. + +# sisi tulio na nguvu + +"sisi tulio na nguvu katika imani + +# Sisi + +Kkiwakilishi hiki cha jina kinamwelezea Paulo, wasomaji wake na waumini wengine + +# dhaifu + +"wale ambao ni dhaifu katika imani" + +# kumwimarisha + +Kuimarisha imani yake + diff --git a/rom/15/03.md b/rom/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..557ba646 --- /dev/null +++ b/rom/15/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Matusi ya wale waliokutukana yamenipata mimi + +"Matusi ya wale waliomtukana Mungu yamempata Kristo pia" + +# Kwa chochote kilichotangulia kuandikwa, kiliandikwa kwa kutuelekeza + +"Kila kitu kilichoandikwa katika maandiko wakati uliopita kiliandikwa kutujulisha sisi" + +# yetu...sisi + +Paulo anawaunganisha wasomaji wake na waumini wengine. + diff --git a/rom/15/05.md b/rom/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..bdfebe0b --- /dev/null +++ b/rom/15/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli Unganishi + +Paulo anawatia moyo waumini kukumbuka kwamba wote waumini mataifa na wayahudi ambao wameamini wamefanywa mmoja katika Kristo. + +# na...Mungu...akupatie + +"Omba kwamba...Mungu atakupa. + +# "kuwa na nia sawa kwa kila mmoja + +"kuwa kwenye makubaliano na kila mmoja" au " kuwa na muunganiko" + +# Kumsifu kwa kinywa kimoja + +"kusifu kwa pamoja kama vile ni kinywa kimoja kilikuwa kinaongea" + diff --git a/rom/15/08.md b/rom/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..61de881b --- /dev/null +++ b/rom/15/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwakuwa nasema + +Neno "Mimi linafafanua juu ya Paulo. + +# "Kristo amefanywa mtumishi wa tohara + +Yesu Kristo alikuja kuwasaidia Wayahudi" + +# ili kwamba aweze kuthibitisha ahadi walizopewa mababa + +"kwamba Mungu aweze kuzithibitisha ahadi alizowapa mababa wa Wayahudi" + +# kama ilivyoandikwa + +"kama ilivyoandikwa kwenye maandiko" + +# na kwa mataifa + +"na Kristo amefanywa mtumishi wa mataifa" + diff --git a/rom/15/10.md b/rom/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..19125aef --- /dev/null +++ b/rom/15/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tena inasema + +"Tena andiko linasema" au Tena Musa anasema" + +# pamoja na watu wake + +"pamoja na watu wa Mungu" + +# Kumsifu yeye + +"Kumsifu Mungu" + diff --git a/rom/15/12.md b/rom/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..32fa1556 --- /dev/null +++ b/rom/15/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# shina la Yese + +Yese alikuwa baba wa kimwili wa Mfalme Daudi. "uzao wa Yese" + +# Watu wa Mataifa watakuwa na ujasiri ndani yake + +"Yeye/yake" hapa inamaanisha uzao wa Yese, ambaye ni Masihi. + diff --git a/rom/15/13.md b/rom/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..2f387b59 --- /dev/null +++ b/rom/15/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mungu wa tumaini + +"Mungu, ndani yake tunatumaini" + +# awajaze na furaha yote na amani + +"awajaze na furaha kuu na amani" + +# muweze kuzidi katika tumaini + +"muweze kuwa na tumaini kamilifu" + diff --git a/rom/15/14.md b/rom/15/14.md new file mode 100644 index 00000000..f6429ce5 --- /dev/null +++ b/rom/15/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawakumbusha waumini wa Rumi kwamba Mungu alimchagua ili kuwafikia mataifa kwa injili. + +# kujazwa na maarifa yote + +"kujazwa na elimu ya kutosha katika kumfuata Mungu" + +# pia kuonyana kila mmoja na mwenzake + +"pia kuweza kumfundisha kila mmoja" + diff --git a/rom/15/15.md b/rom/15/15.md new file mode 100644 index 00000000..c682e089 --- /dev/null +++ b/rom/15/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kipawa nilichopewa na Mungu + +Kipawa hiki ni kile alichochaguliwa kuwa mtume bila kujali mateso aliyowatendea waumini kipindi cha kuamini kwake. "kipawa ambacho Mungu alinipa" + +# kujitoa kwa mataifa uweze kukubaliwa + +"Mungu anaweza kupendezwa na mataifa iwapo wanamtii yeye" + diff --git a/rom/15/17.md b/rom/15/17.md new file mode 100644 index 00000000..825a9ab1 --- /dev/null +++ b/rom/15/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hivyo furaha yangu iko katika Kristo Yesu na katika mambo ya Mungu. + +"Kwahiyo nina sababu ya kufurahi katika Kristo Yesu na katika kazi ya Mungu aliyonipa kuitenda" + +# Haya mambo yametimizwa kwa neno na kwa tendo, kwa nguvu za ishara na maajabu, na kwa nguvu za Roho mtakatifu + +"Kwa ajili ya utii wa mataifa, pekee nitanena kile Kristo ametimiza kupitia kwangu katika maneno na matendo yangu kwa nguvu za ishara na ajabu kupitia nguvu za Roho Mtakatifu." + +# ishara na maajabu + +maneno haya mawili hakika yana maana moja ya miujiza ya namna tofauti tofauti. + +# ili kwamba kutoka Yerusalemu, na kuzungukia mbali kama Iliriko + +Hii ni kutoka mji wa Yerusalemu na umbali kwenda jimbo la Iliriko, mkoa ulio karibu na Italia. + diff --git a/rom/15/20.md b/rom/15/20.md new file mode 100644 index 00000000..1103854a --- /dev/null +++ b/rom/15/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa njia hii, tamaa yangu imekuwa kuitangaza injili, lakini si mahali Kristo anajulikana kwa jina + +"Kwasababu hii, Ninataka huihubiri habari njema katika sehemu ambazo kamwe hazijasikia habari za Kristo" + +# Ambao kwa yeye hawana habari zake aliyekuja + +"Wale ambao hakuna hata mmoja alishawaambia habari zake" + diff --git a/rom/15/22.md b/rom/15/22.md new file mode 100644 index 00000000..50dd17cc --- /dev/null +++ b/rom/15/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anawaambia waumini wa Rumi kuhusu mipango yake ya kwenda Yerusalemu na anawaomba waumini kuombea. + +# Nilikuwa pia nimezuiliwa + +Haina umuhimu kumtambua aliyekua amemzuia Paulo. "Walinizuia" au "watu walinizuia" + +# sina tena sehemu yoyote katika mikoa hii + +Paulo anamaanisha kuwa hakuna sehemu katika maeneo haya wanamuishi watu ambapo Injili haijahubiriwa + diff --git a/rom/15/24.md b/rom/15/24.md new file mode 100644 index 00000000..5cdb106a --- /dev/null +++ b/rom/15/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika kupita + +"kama na kwenda kupitia Rumi" au "wakati niko safarini" + +# kufurahia ushirika wenu + +"kufurahi kutumia kiasi cha muda pamoja nanyi" au "Kufurahi kuwatembelea" + +# Hispania + +Hili ni jimbo magharibi mwa mji wa Rumi ambapo Paulo alitamani kupatembelea + diff --git a/rom/15/26.md b/rom/15/26.md new file mode 100644 index 00000000..dbdb184a --- /dev/null +++ b/rom/15/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ndiyo, ilikuwa kwa upendo wao + +"Waumini wa Makedonia na Akaya walipendezwa kutenda" au "walifurahia kutenda" + +# hakika wamekuwa wadeni wao + +"hakika watu wa Makedonia na Akaya ni wadeni kwa waumini wa Yerusalemu" + +# ikiwa mataifa wameshiriki katika mambo yao ya kiroho, wanadaiwa na wao pia kuwahudumia + +"tangu mataifa wameshiriki mambo ya rohoni na waumini wa Yerusalem, Mataifa wanadai huduma kwa waumini wa Yerusalemu" + diff --git a/rom/15/28.md b/rom/15/28.md new file mode 100644 index 00000000..ab543814 --- /dev/null +++ b/rom/15/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# utoshelevu + +"Kutimizwa katika usalama" + +# tunda + +Neno hili linazungumzia fedha. + +# Nitakuja katika utimilifu wa baraka za Kristo. + +"Nitakuja na baraka kamilifu za Kristo" + diff --git a/rom/15/30.md b/rom/15/30.md new file mode 100644 index 00000000..8a3ccf4f --- /dev/null +++ b/rom/15/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Kama lugha yako ina namna ya kuonyesha Paulo ameacha kuongelea kuhusu mambo mazuri ana tumaini. Na sasa anaanza kuzungumzia juu ya hatari anayokutana nayo, itumie hapa. + +# Ninawasihi + +"Ninawatia moyo" + +# ndugu + +"Hapa ina maana ya kujumuisha waumini wote wa kiume na wa kike. + +# shiriki + +"tenda kwa bidii" au "hangaika" + +# kuokolewa + +"Kuokolewa toka hatari" au "kulindwa" + diff --git a/rom/15/33.md b/rom/15/33.md new file mode 100644 index 00000000..e03c22eb --- /dev/null +++ b/rom/15/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na Mungu wa amani + +"Mungu wa amani" inamaanisha Mungu anayewafanya walioamini wawe na amani thabiti. + diff --git a/rom/16/01.md b/rom/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..28a991ec --- /dev/null +++ b/rom/16/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kauli unganishi + +Kisha Paulo anasalimia waumini walio wengi huko Rumi kwa kutaja majina + +# Namkabidhi kwenu Fibi + +"Nawaomba mumheshimu Fibi" + +# Fibi + +Hili ni jina la mwanamke + +# dada yetu + +Neno hili linamwelezea Paulo na waumin9 wote. "Dada yetu katika Kristo" + +# Kenkrea + +Hii ilikuwa ni bandari ya mji wa Giriki. + +# Mpokee katika Bwana + +"Mkaribisheni kwasababu sisi sote tumemilikiwa na Bwana" + +# Katika kicho cha thamani cha waumini + +" katika njia ambayo waumini wangeweza kukaribisha waumini wengine" + +# simama pamoja naye + +"Mmusaidie" + +# amekuwa mhudumu wa wengi na wangu mwenywe pia + +"amewahudumia watu wengu, na amenisaidia mimi pia" + diff --git a/rom/16/03.md b/rom/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..e8130ad6 --- /dev/null +++ b/rom/16/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Prisila na Akila + +Priska anajulikana kama Prisila, alikuwa mke wa Akila + +# watenda kazi nami katika Kristo Yesu + +"Ambaye anatenda kazi na mimi kuwaambia watu habari za Yesu Kristo" + +# lisalimie kanisa lililo katika nyumba yao + +"Wasalimie waumini ambao hukutana nyumbani mwa nyumba ya Mungu. + +# Epanieto + +Hili ni jina la mwanaume + +# mzaliwa wa kwanza katika Asia kwa Kristo + +kivumishi hiki kinamaanisha kuwa Epanieto alikuwa mtu wa kwanza katika Asia kumwamini Yesu. + diff --git a/rom/16/06.md b/rom/16/06.md new file mode 100644 index 00000000..4066771a --- /dev/null +++ b/rom/16/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mariamu + +Hili ni jina la Mwanamke. + +# Yunia + +Hili linaweza kuwa 1) Yunia ni jima la mwanamke, au siyo vile, 2) Yunia ni jina la mwanaume. + +# Anroniko...Ampliato + +Haya ni majina ya wanaume. + +# mpendwa wangu katika Bwana + +"rafiki yangu mpendwa na muumini mwenzangu" + +# ni maarufu miongoni mwa mitume + +Hii inaweza kutafasiriwa kama "Mitume wanawafahamu vyema" + diff --git a/rom/16/09.md b/rom/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..81d779b5 --- /dev/null +++ b/rom/16/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Urbano...Stakisi...Apele...Aristobulo...Herodioni... waliokubaliwa katika Kristo + +Haya ni majina wa wanaume. + +# kukubaliwa katika Kristo + +neno "kukubaliwa" linamaanisha kwamba mtu amejaribiwa na kuthibitishwa kuwa mkweli. + +# walio katika Bwana + +hii inamaanisha wale wote walioweka tumaini katika Yesu. + diff --git a/rom/16/12.md b/rom/16/12.md new file mode 100644 index 00000000..d694868c --- /dev/null +++ b/rom/16/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Turufena...Trifosa...Pesisi + +Haya ni majina ya wanawake + +# Rufio...Asikrito...Flegoni...Heme...Patroba...Hema + +Haya ni majina ya wanaume. + +# aliyechaguliwa katika Bwana + +"ambaye Mungu amemchagua" kwasababu ya sifa maalumu. + +# mama yake na wangu + +"mama yake, ambaye namfikiria kama mama yangu" + diff --git a/rom/16/15.md b/rom/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..d3d0a4bd --- /dev/null +++ b/rom/16/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Filogo...Neria...Olipa + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Yulia + +Jina la mwanamke ambaye pengine alikuwa ameolewa na Filologo. + +# busu takatifu + +jinsi ya kuonesha hisia za upendo kwa wumini wenzako + diff --git a/rom/16/17.md b/rom/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..b56dc8cf --- /dev/null +++ b/rom/16/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kauli unganishi + +Paulo anatoa onyo la mwisho kwa waumini kuhusu umoja na kuishi kwa ajili ya Mungu + +# tafakari juu ya + +"kuwa waangalifu kwa" + +# ambao wanasababisha mgawanyiko na vipingamizi + +"ambao wanasababisha waumini kubishana kila mmoja kwa mwingine na kuacha kuwa na imani kwa Mungu" + +# Wanakwenda kinyume na mafundisho ambayo mmekwisha kujifunza + +'Wanafundisha mafundisho ambayo hayakubaliani na ukweli mliokwisha jifunza tayari" + +# Geukeni mtoke kwao + +"jitengeni mbali na wao" + +# bali kwa matumbo yao wenyewe + +Hapa "tumbo" linafafanua tamaa za kimwili. "Lakini wanataka kufurahisha tamaa zao mbaya" + +# Kwa maneno yao laini na pongezi za uongo + +Maneno "laini" na "pongezi za uongo" kimsingi yana maana moja. Paulo anafafanua jinzi gani hawa watu wanavyowadanganya waumini. "kwa kusema mambo ambayo yanaonyesha ni mema na ya kweli" + +# kutokuwa na hatia + +"ambao hawana hatia wanawatumainia wao" au "ambao hawawajui hawa waalimu wanaowatia upumbavu" + diff --git a/rom/16/19.md b/rom/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..e838ea19 --- /dev/null +++ b/rom/16/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa mfano wa utii wenu mwamfikia kila mmoja + +"Wakati mnapomtii Yesu kila mmoja husikia hivyo" + +# Mungu wa amani hatakawia kumwangamiza Shetani chini ya nyayo zenu + +Kivumishi "kumwangamiza chini ya nyayo" kinafafanua ushindi kamili juu ya adui. "Mungu hatakawia kukupa amani ya ushindi kamili dhidi ya Shetani" + +# bila hatia mbele ya uovu + +"Bila kuchanganywa katika uovu" + diff --git a/rom/16/21.md b/rom/16/21.md new file mode 100644 index 00000000..28815869 --- /dev/null +++ b/rom/16/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli unganishi + +Paulo anatoa salamu kutoka kwa waumini ambao wako pamoja naye. + +# Lukio...Yasoni...na Sospeter...Tertio + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Tertio + +Tertio ndiye mwanaume aliyeandika yale Paulo aliyoyafundisha. + +# Nawasalimu katika Bwana + +"Nawasalimu ndugu waumini katika Bwana" + diff --git a/rom/16/23.md b/rom/16/23.md new file mode 100644 index 00000000..de0d20b5 --- /dev/null +++ b/rom/16/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Gayo...Erasto...Kato + +Haya ni majina ya wanaume + +# mwenyeji + +Inamaanisha waumini waliokutana katika nyumba yake na kuabudu. + +# mtunza hazina + +Huyu mtu ndiye aliyekuwa akitunza fedha ya kikundi. + diff --git a/rom/16/25.md b/rom/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..c51cfd86 --- /dev/null +++ b/rom/16/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli unganishi + +Paulo anahitimisha kwa maombi ya baraka + +# sasa + +Neno hili "sasa" linaonyesha kufikia mwisho wa barua. + +# kufanya msimame + +"kufanya imani yenu kuimarika" + +# kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo" + +Habari njema ambayo nimeihubiri kuhusu Yesu Kristo + +# kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu + +"Kwa kuwa Mungu ameifunua siri kwetu waumini ambayo alikuwa ameitunza muda mrefu" + +# Lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele + +"Lakini sasa Mungu wa milele ameifanya ijulikane kupitia maandiko" + +# kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote + +"ili kwamba mataifa yote yatamtii Mungu kwasababu ya imani yao kwake" + diff --git a/rom/16/27.md b/rom/16/27.md new file mode 100644 index 00000000..42d1cf53 --- /dev/null +++ b/rom/16/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa Mungu pekee mwenye hekima...kuwe na utukufu milele. Amina + +Hapa "kupitia Yesu Kristo" kunaeleza kile ambacho Yesu alifanya. Kumpa utukufu kunamaanisha kumpa Mungu sifa. + diff --git a/tit/01/01.md b/tit/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..ded7925e --- /dev/null +++ b/tit/01/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kwa imani ya + +kuimarisha imani ya + +# inayokubaliana na utauwa + +"inayofaa katika kumheshimu Mungu" + +# tangu milele (kabla ya nyakati zote) + +"Kabla ya kuanza kwa wakati" + +# Katika wakati muafaka + +"katika wakati unafaa"' + +# alilifunua neno + +Paulo anaongea juu ya ujumbe wa Mungu kana kwamba ni kitu ambacho chaweza kudhihirishwa dhahiri kwa watu. "Alitangaza neno lake." + +# aliniamini mimi kuufikisha + +"Niliaminiwa kutangaza" au "alinipa wajibu wa kuhubiri" + +# Mungu mwokozi wetu + +"Mungu anayetuokoa" + diff --git a/tit/01/04.md b/tit/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..1a08d7de --- /dev/null +++ b/tit/01/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mwana wa kweli + +Ingawa Tito hakuwa mwana wa Paulo kimwili, wanashiriki imani moja katika Kristo. Hivyo katika Kristo, Paulo humwona Tito kama mtoto wake. "wewe ni kama mwanangu" + +# Imani yetu ya kawaida + +Paulo anaelezea imani ile ile ambayo wote wanayoshiriki katika Kristo. "Mafundisho yale yale ambayo sisi sote tunaamini" + +# Neema,huruma na amani + +Hii ilikuwa salamu ya kawaida. "Neema,huruma na amani ziwe kwenu" au "mjazwe wema, huruma na amanikwenu." + +# Yesu Kristo mwokozi wetu + +"Yesu Kristo ambaye ni mwokozi wetu" + +# Kwa kusudi hili + +"Hii ni sababu" + +# Nilikuacha Krete + +"Nilikuambia kubaki Krete" + +# Kwamba uyatengeneze mambo ambayo hayajakamilika + +"Ili kwamba ungeamalizia kupanga mambo yaliyohitajika kukamilishwa." + +# Kuweka wazee + +"chagua wazee" au "panga na kudhirisha wazee" + +# wazee + +Katika makanisa ya kwanzaya Kikristo ,Wazee wakikristo walipewa uongozi wa kiroho kwa mkutano wa waumini. + diff --git a/tit/01/06.md b/tit/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..02474117 --- /dev/null +++ b/tit/01/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +Baada ya kuwa amekwisha kumwambia Tito kuwaweka kazini wazee katika kila mji katika kisiwa cha Krete, Paulo anatoa matakwa yanayohitajika kwa wazee. + +# Mzee lazima asiwe na lawama + +Kutokulaumiwa ni ilie hali ya kujulikana kuwa mtu huyo hatendi mambo mabaya. "Mzee lazima asiwe na sifa mbaya." + +# Mme wa mke mmoja + +"kuwa mme mwaminifu" Maana zinazokubalika 1) Mme ambaye hatafuti mahusiano na wanawake wengine au 2) asiye na mke wa pila au hawala au suria. + +# Watoto waaminifu + +Imaana zinazokubalika ni 1)watoto wanaomwaminiYesu au 2)watoto ambao ni waaminifu + +# wasio na nidhamu + +"waasi" au "ambao hawafuati maagizo" + +# msimamizi wa nyumba ya Mungu + +Paulo anaongelea juu ya wazee kana kwamba walikuwa vichwa vya familia, wakuu wa nyumba ya Mungu" + +# Asiye...zoelea pombe + +"asiwe mtu mwenye kutumia kileo" au "asiwe mnywaji" au "asiwe mlevi sana wa pombe" + +# Asiwe mgomvi + +"Asiwe mtu wa fujo"au "asiwe anapenda kupigana na kugombana" + diff --git a/tit/01/08.md b/tit/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..7941937e --- /dev/null +++ b/tit/01/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Badala + +Paulo anabadili hoja kutoka mada inayohusu mambo yasimpasa mzee kwenda kwa mambo anayopaswa kufanya + +# Rafiki wa wema + +"kukumbatia mambo mazuri na tabia nzuri" + +# kusimamia (kushikilia kwa nguvu) + +Paulo anazungumzia hali ya kujitoa katika imani ya Kikristo kama kushikilia imani katika mikono. "kujitoa kwa " au " kuwa na ufahamu mzuri wa.." + +# Mafundisho mazuri + +Lazima afundishe iliyo kweli kuhusu Mungu na mambo mengine ya kiroho. + diff --git a/tit/01/10.md b/tit/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..f83859a8 --- /dev/null +++ b/tit/01/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sentensi unganishi + +Kwa sababu ya wale wanaopinga neno la Mungu, Paulo anampa Tito sababu za kufundisha Neno la Mungu na kumwonya kuhusu waalimu wa uongo. + +# watu waasi + +Hawa ni watu waasi waliokuwa wakiupinga ujumbe wa injili ya Paulo. + +# Wale wa tohara + +inarejea wakristo wa Kiyahudi walikuwa wakifundisha kwamba ili kumfuata Kristo, mtu lazima atahiriwe. + +# Maneno yao ni upuuzi + +'Maneno yao hayana faida yoyote" + +# Ni muhimu kuwakataza + +"Ni lazima kuwazuia wasieneze mafundisho yao" au "Ni lazima kuwakataza kwa ushawishi wa maneno yao" + +# yale wasiyotakiwa kufundisha + +Vitu ambavyo si sahihi kuvifundisha kuhusu Kristo na sheria. + +# Kwa faida ya aibu + +"Hii inarejela faida ambayo watu wanapata kwa kufanya mambo yasiyo na heshima. + +# Wanaharibu nyumba nzima + +"huharibu imani za familia yote" + diff --git a/tit/01/12.md b/tit/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..071da5a8 --- /dev/null +++ b/tit/01/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mmoja wao + +"Mmoja wa Wakrete" au mtu fulani kutoka kwa watu wa Krete + +# Mtu busara + +Maana zinazokubalika ni 1) nabii au 2) "mshairi au mwana falsafa au 3) mwalimu + +# Wakrete wana uongo usio na mwisho + +"Wakrete hudanganya kila wakati" Maneno haya yametiwa chumvi kuonesha tabia wa Wakrete ya kudanganya. + +# wabaya na mnyama wa hatari + +Msemo huu unawalinganish Wakrete na hayawani au wanyama hatari. + +# Wavivu na walafi + +Ni msemo unaoonesha watu wasiopenda kufanya kazi yoyote lakini wanakula sana. + +# kuwazuia kwa nguvu ( kuwarekebisha) + +kwa hiyo waambie kwa ujasiri kwamba hawako sahihi (wamekosea)" + +# Kwamba wanaweza kuwa katika imani ya kweli + +"Watakuwa na imani imara" au " kwamba imani yao itakuwa ya kweli" + diff --git a/tit/01/14.md b/tit/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..4a9d1b3b --- /dev/null +++ b/tit/01/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Paulo anaendelea na maagizo yake kwa kumwelekeza Tito kile anachotakiwa kufundisha + +# Hadithi za Kiyahudi + +Hii inaonyesha kwa mafundisho ya uongo ya Wayahudi + +# kurudisha nyuma ukweli + +Paulo anaongelea ukweli kana kwamba ni kitu kilicho katika mwendo ambacho chaweza kurudishwa nyuma. "Kukataa ukweli" + diff --git a/tit/01/15.md b/tit/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..11fe16f3 --- /dev/null +++ b/tit/01/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa wale walio safi, vyote ni safi. + +Kila kitu ni safi kwa yule aliye safi ndani yake. " kila kitu anachofanya kitakuwa safi" + +# kwa wale walio safi + +kwa wale walimpokea Mungu + +# Kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, hakunakilicho safi + +Paulo anaongelea watu wenye dhambi kana kwamba ni wachafu kimwili. "Yeyote aliiye najisi kimaadili na ambaye haamini hawezi kuwa safi." + +# wanamkana kwa matendo yao + +"matendo yao yanaonesha kuwa hawamjui" + +# waovu (wanachukiza) + +mbaya, ya kutia kinyaa au isiyofaa + +# Hawakuthibitishwa kwa tendo lolote jema + +"hakuna mtu yeyote anayewatarajia kufanya kitu chochote kizuri" + diff --git a/tit/02/01.md b/tit/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..ab8c275d --- /dev/null +++ b/tit/02/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kumweleza Tito sababu za yeye kuhubiri Neno la Mungu, na jinsi ambavyo wazee, akina mama wazee, vijana, na watumwa au watumishi wanapaswa kuishi kama waamini. + +# Lakini wewe + +Paulo anatofautisha "Lakini wewe Tito, kinyume na walimu wa uongo" + +# na maelekezo ya kuaminika + +"mafundisho ya kweli" au "na mafundisho sahihi" + +# Kiasi + +"akili tengefu" au " "inayojijithibiti binafsi" + +# yenye busara + +"inayojithibiti binafsi" au "inayotawala tamaa" + +# sahihi + +"yenye afya" + +# sahihi katika imani + +"yenye afya katika imani" au "sahihi katika imani zao" + +# Sahihi...katika pendo + +"na upendo wenye afya" + +# sahihi...katika uvumilivu + +"imara" au "ya kudumu" au "isiyochoka" + diff --git a/tit/02/03.md b/tit/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..88da150e --- /dev/null +++ b/tit/02/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# vivyo hivyo + +"kwa njia iyo hiyo." "Kama unavyowaelekeza wazee, waelekeze akina mama pia." + +# lazima daima wajioneshe wao wenyewe + +"wanapawa kudhihirisha wao wenyewe kuwa" au "Lazima uishi kama..." + +# kusengenya + +Neno hili linarejelea watu wale wanaowasema vibaya wenzao kwa mambo ya kweli au ya uongo. + +# watumwa wa pombe + +Mtu ambaye anatabia ya kuhitaji kunywa pombe mara kwa mara hupenda kunywa pombe nyingi. Paulo anaongelea juu ya watu waliokubuu au kuzoelea ulevi kiasi cha kuwaita watumwa. "watumwa wa pombe" + +# kuwa wenye busara... wasafi + +kuwa na mawazo sahihi au kufikiri vizuri + diff --git a/tit/02/06.md b/tit/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..2afe7b34 --- /dev/null +++ b/tit/02/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa namna iyo hiyo + +Tito alitakiwa kuwafundisha wasichana kama alivyokuwa akiwafundisha wazee. + +# jiwekeni wenyewe + +Jioneshe wewe mwenyewe kuwa + +# mfano katika kazi nzuri + +kielelezo cha mtu yule anayefanya mambo sahihi na yenye kufaa. + +# ujumbe wenye afya + +Paulo anaongelea juu ya mahubiri na mafundisho ya Tito kana kwamba ni mtu mwenye afya katika mwili wake. + +# ili kwamba yeyote apingaye aaibishwe + +Hii inawakilisha hali ya kufikirika ya kwamba mtu yeyote atakayempinga Tito ataaibishwa kwa kufanya hivyo. Ilikuwa haizungumzii hali halisi iliyokuwepo dhahiri. Huenda lugha yako yaweza kkuwa na njia fulani ya kuelezea jambo hili. + diff --git a/tit/02/09.md b/tit/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..021d9652 --- /dev/null +++ b/tit/02/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mabwana zao + +"mabwana zao wenyewe" + +# katika kila kitu + +"katika kila hali" au "mara zote" + +# kuwafurahisha + +"kuwafanya mabwana zao wafurahi" au "kuwaridhisha mabwana zao" + +# kuiba + +kuwaibia vitu vidogo mabwana zao + +# kuonesha imani nzuri + +"kudhihirisha kuwa wanaaminika kwa mabwana zao" + +# katika kila njia + +"katika kila jambo wanalolifanya" + +# kupamba mafundisho yetu + +Paulo anazungumzia mafundisho ya kikristo kana kwamba ni kitu ambacho chaweza kupambwa. "Yafanyeni mafundisho yetu ili yawavutie watu wengine" + +# Mungu mwokozi wetu + +"Mungu wetu anayetuokoa" + diff --git a/tit/02/11.md b/tit/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..2c4ccfaa --- /dev/null +++ b/tit/02/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Paulo anamtia moyo Tito kuutarajia ujio wa Yesu na kukumbuka mamlaka yake kupitia kwa Yesu. + +# neema ya Mungu imeonekana.....Inatufundisha + +Paulo anaiongelea neema ya Mungu kama ni Mtu anayeenda kwa watu wengine na kuwafundisha jinsi ya kuishi maisha matakatifu. + +# inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia + +Inatufundisha tusimwasi Mungu + +# tamaa za kidunia + +"Hizi ni tamaa kali kwa ajili ya vitu vya dunia hii" au "tamaa kwa ajili anasa" + +# katika wakati huu + +"wakati bado tunaishi katika dunia hii" au " "muda huu" + +# tunatarajia kupokea + +"Tunasubiri kupokea" + +# tumaini letu lenye baraka, + +Paulo anamaanisha kwamba Mungu atakuja kwetu ambaye ndani yake tumeweka tumaini letu . + +# mwonekano wa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo. + +Paulo anaongelea juu ya utukufu wa Mungu kumaanisha kwamba Mungu mwenyewe atajidhihirisha. + diff --git a/tit/02/14.md b/tit/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..52f0b912 --- /dev/null +++ b/tit/02/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alijitoa mwenyewe + +"kujitoa mwenyewe afe kwa ajili yetu." + +# kutukomboa kutoka katika uas + +Paulo anamzungumzia Yesu aliyetukomboa kana kwamba anawaweka huru watumwa kutoka katika mikono ya mabwana zao waovu. + +# watu maalumu + +Ni kundi la watu anaowawekezea hazina + +# walio na hamu + +"kuwa na tamaa au hamu kubwa ya ajabu" + diff --git a/tit/02/15.md b/tit/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..331b7770 --- /dev/null +++ b/tit/02/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# yaseme na kuyasisitiza mambo haya. + +"Fundisha mambo haya na uwatie moyo wasikilizaji ili wayafanye mambo haya." + +# Kemea kwa mamlaka yote + +Maelezo haya yanaweza kuwekwa wazi kama: " Wakemea au wasahihishe kwa mamlaka yote watu wale ambao hawayafanyi mambo haya" + +# Usikubali + +"Usimruhusu mtu yeyote ku..." + +# akupuuze + +Neno hili linnaweza kuwekwa wazi kumaanisha: " Kataa kusikiliza maneno yako" au "kukataa kukuheshimu" + diff --git a/tit/03/01.md b/tit/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..e3e69655 --- /dev/null +++ b/tit/03/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaendelea kumpa Tito maelekezo juu ya namna ya kufundisha wazee na watu chini ya uangalizi wake huko Krete. + +# Uwakumbushe + +"Kuwaambia watu wetu tena kile ambacho tayari wanakijua" au "Kuendelea kuwakumbusha" + +# nyenyekea kwa viongozi na mamlaka, kuwatii + +"fanyeni kama watawala wa kisiasa na wenye mamlaka ya kiserikali wasemavyo kwa kuwatii" + +# watawala na wenye mamlaka + +Maneno haya yana maana zinazofanana na yametumika pamoja kumuhusisha kila mmoja ambaye anashikilia mamlaka katika serikari. + +# muwe tayari kwa kila kazi njema + +"muwe rayari kufanya mema wakati wote palipo na fursa" + +# ubaya + +"ongea mabaya juu ya" + +# waache watu wengine waenende katika njia zao + +Paulo anawasihi waumini kufanya mambo kama vile watu wengine wanavyopendelea kufanya, ilimradi tu matakwa yao na matendo yao yasiwe ya dhambi. " + diff --git a/tit/03/03.md b/tit/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..8f4ec3f7 --- /dev/null +++ b/tit/03/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kwa kuwa + +"kwa sababu" + +# mwanzo + +"zamani" au "kwa wakati fulani" au "awali" + +# mawazo potofu + +"ujinga" au "kutokuwa na hekima" + +# potoshwa na kumikishwa kwa tamaa nyingi na starehe + +Paulo anaongelea juu ya tamaa za dhambi kana kwamba ni watu wanaotupotosha kutoka katika njia ya kweli "tumepotoshwa" + +# tulifanywa watumwa kwa tamaa nyingi na starehe + +Paulo anazizungumzia tamaa zetu mbaya za mwanzo na kuzifananisha na mabwana zetu waliotutumikisha. + +# shauku + +"tamaa" au "hamu" + +# tuliishi katika uovu na wivu + +"uovu na "wivu " ni maneno haya yako sawa kimaana, yaote yanamaanisha "dhambi." "Siku zote tulifanya mambo maovu na kutaka vitu vya watu wengine." + +# Tulichukiza + +"tuliwafanya au tuliwasababisha wengine watuchukie" + diff --git a/tit/03/04.md b/tit/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..51fc6c24 --- /dev/null +++ b/tit/03/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakati huruma wa Mungu mwokozi wetu na upendo wake kwa wanadamu ulipoonekana + +Paulo anaongelea juu ya wema wa Mungu na Upendo wake kana kwamba walikuwa ni watu waliojitokeza mbele yetu. + +# kwa huruma yake + +"Kwasababu alikuw na rehema juu yetu" + +# kutuosha kwa kuzaliwa upya + +Paulo anazungumzia juu ya msamaha wa Mungu kwa wenye dhambi kwa kuufananisha na kitendo cha kuosha mwili wa mtu. Lakini pia, anaongelea juu ya wenye dhambi kuwa wasikivu mbele za Mungu kama wamezaliwa upya tena. + diff --git a/tit/03/06.md b/tit/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..6969ed66 --- /dev/null +++ b/tit/03/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa utajiri + +"kwa wingi" au "ukarimu" + +# alimwaga Roho Mtakatifu juu yetu + +imekuwa kawaida kwa Waandishi wa Agano lake kumwongelea Roho Mtakatifu kama kimiminika ambacho humwagwa. "alitupa Roho Mtakatifu kwa ukarimu" + +# kupitia Mwokozi wetu Yesu Kristo + +"Yesu alipotuokoa sisi" + +# tukiwa tumehesabiwa haki + +"Mungu ametutangaza kuwa hatuna dhambi" "Tayari tumefanywa wenye haki na Mungu" + +# tulifanyika warithi katika uhakika wa maisha ya milele. + +Watu walioahidiwa na Mungu waongelewa kama warithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia. + diff --git a/tit/03/08.md b/tit/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..90b75c68 --- /dev/null +++ b/tit/03/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ujumbe huu + +Hii inarejea kwenye maelezo kuhusu Mungu kutupa Roho Mtakatifu kupitia Yesu katika 3:6. + +# dhamira juu ya kazi nzuri + +"kutafuta na kufanya matendo au kazi njema" + +# ambayo aliweka mbele yao + +Paulo anaongelea kuhusu matendo meme kana kwamba ni vitu ambavyo Mungu aliweza kuviweka mbele ya watu. "ambayo Mungu aliyaandaa kwa ajili yao kuyafanya" + diff --git a/tit/03/09.md b/tit/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..7bc6f3c2 --- /dev/null +++ b/tit/03/09.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anaelezea kile Tito anapaswa kuepuka na kuwashughulikia wale ambao wanasababisha ubishi miongoni mwa waumini. + +# Bali + +"lakini wewe, Tito," + +# mijadala ya kipumbavu + +"mabishano kuhusu mambo yasiyo ya muhimu" + +# nasaba + +mambo yanayohusu habari za uhusiano wa kifamilia au ukoo + +# ugomvi/mashindano + +"kugombana" + +# sheria + +"sheria za Musa" + +# Kataa/kumkataa + +"kujitenga" au "kutoingiliana na" au "msikae na" au "kuepuka" + +# baada ya onyo moja au mawili + +"baada ya kumuonya mtu huyo mara moja au mara mbili" + +# mtu wa aina hiyo + +"mtu kama huyo" + +# ameiacha njia iliyo sahih + +Paulo anamzungumzia mtu yule anayefanya makosa kana kwamba anaiacha njia ambayo amekuwa akiiendea. + +# anajilaani mwenyewe + +"analeta hukumu juu yake mwenyewe" + diff --git a/tit/03/12.md b/tit/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..a83d3381 --- /dev/null +++ b/tit/03/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi: + +Paulo anafunga barua akimwambia Tito cha kufanya baada ya kuchagua viongozi katika Krete na kwa kumpa salamu kutoka kwa wale aliokuwa pamoja nao. + +# Nitakapo mtuma + +"Baada ya kumtuma" + +# Artemi...Tikiko...Zena + +Haya ni majina ya wanaume + +# harakisha na uje + +"fanya haraka na uje" au "njoo haraka" + +# kukaa kipindi cha baridi + +"kukaa wakati wa majira ya baridi" + +# Harakisha na umtume + +"Harakisha" au "Usichelewe kutuma" + +# na Apolo + +"na pia umtume Apolo" + diff --git a/tit/03/14.md b/tit/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..75aa9e39 --- /dev/null +++ b/tit/03/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi kiunganishi: + +Paulo anafafanua kwanini ni muhimu wa kuwatoa akina Zena na Apolo. + +# watu wetu + +Paulo alikuwa anawarejelea waumini wa Krete. + +# kujishughulisha wenyewe katika + +"washughulike kufanya" + +# mahitaji muhimu + +Haya ni mahitaji ya ambayo yalikuwa hayakupangwa na ya haraka ambayo yalikuwa hayajulikani hapo awali. + +# ili kwamba wasiweze kuwa wasiozaa matunda + +Paulo anaongelea watu ambao hufanya matendo mazuri kama mimea inayozaa matunda ya kula. "ili waweze kuzaa matunda" au "ili maisha yao yawe na maana." + diff --git a/tit/03/15.md b/tit/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..a0928a78 --- /dev/null +++ b/tit/03/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maelezo ya jumla + +Paulo anahitimisha barua yake kwa Tito. + +# wote walio + +"Watu wote" + +# wale watupendao katika imani + +Maana zinazokubalika hapa ni 1) Waumini wanaotupenda au 2) Waumini wanaotupenda kwasababu tunashiriki imani moja. + +# Neema na iwe nanyi nyote + +Hii ilikuwa ni salamu ya kawaida ya kikristo. "Neema ya Mungu na iwe pamoja nanyi" au "Ninamwomba Mungu awe mwenye neema kwenu ninyi nyote." +