sw_tn/1co/10/20.md

775 B

Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mapepo

Paulo anazungumzia habari ya mtu anayenywea kikombe kile kile ambacho mapepo hunywea kuonyesha kuwa mtu huyo ni rafiki wa mapepo. kwa maneno mengine " haiwezekani kuwa rafiki wa kweli kwa wote, Bwana na mapepo"

Hamuwezi kuwa na ushirika katika meza ya Bwana na katika meza ya mapepo

" Haiwezekani kuwa na urafiki wa kweli kwa watu wa Mungu na mapepo pia"

Au twamtia Bwana wivu?

Paulo anataka Wakorintho kujibu swali hili katika mioyo yao " Mnapaswa kujua hata kabla ya kuwaambi ya kuwa haifai kumtia wivu Bwana"

twamtia

kukasirika au kukera

Tuna nguvu zaidi yake?

Paulo anataka Wakorintho kujibu swali hili katika mioyo yao " Mnapaswa kujua hata kabla ya kuwaambi ya kuwa hatuna nguvu kuliko Mungu"