sw_tn/1co/10/28.md

1.5 KiB

Lakini mtu... dhamiri ya yule mwingine

hapa inaweza kumaanisha " kuleni chochote kinawekwa mbele yenu bila kuuliza maswali yanayotokana na dhamira"

Lakini mtu akiwaambia,....msile. Hii ni kwa ajili yake aliyewaambia...ajili ya dhamiri.

Paulo anawaambia Wakorintho "usilile",kana kwamba anaongea na mtu mmoja.Lakini Paulo anatumia umoja kuwapa maelekezo waumini wote wa Korintho.

Maana kwanini...dhamiri? Ikiwa mimi natumia... nimeshukuru kwacho?

Maana zinazowezekana ni 1)" siulizi maswali juu ya dhamiri , je kwanini.. dhamiri? kama nashiriki ... kutoa shukrani?" au 2) Paulo ananukuu kila ambacho Wakorintho walikuwa wakifikiria " baadhi watakuwa wanafikiri , kwa nini ... dhamiri? ikiwa.. nashukuru?"

Maana kwanini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?

msemaji anataka msikilizaji wake ajibu swali katika akili yake " kabla ya kukuambia ulipaswa kufahamu kuwa hakuna mtu anayeweza kusema nafanya jambo baya kwa kuwa anatumia mawazo yake wala si mawazo yangu, kuhukumu baya na zuri, japo mazo yake ni tofauti na ya kwangu"

Ikiwa mimi natumia chakula kwa shukrani, kwanini nitukanwe kwa kitu ambacho nimeshukuru kwacho?

msemaji anataka msikilizaji wake ajibu swali katika akili yake " nashiriki mlo kwa shukurani, hivyo hakuna mtu anayeweza kunishutumu kwa kile ambacho nakitolea shukurani"

natumia

Neno "mimi" linawakilisha wale ambao wanakula nyama kwa shukurani. " ikiwa mtu atashiriki" au "wakati mtu anapokula"

shukrani

" na shukuru Mungu kwa hicho"au " na mshukuru mtu anayenipatia hicho"