sw_tn/1co/03/16.md

417 B

Hamjuwi kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?

Paulo anawakalipia Wakorintho: "Mnafanya kana kwamba hamjui kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na Roho wa Mungu anakaa ndani yenu!"

Haribu

"haribu" au "hasara"

Mungu atamharibu mtu yule,Kwan hekalu la Mungu ni takatifu, na ni ninyi.

"Mungu atamharibu mtu yule kwasababu hekalu la Mungu ni takatifu na ninyi ni watakatifu piaa."