forked from WA-Catalog/sw_tn
477 B
477 B
Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kama mnyang'anyi?
"Mnajua kwamba mimi siyo mnyang'anyi, hivyo ni makosa yenu kuniijia mkiwa na mapanga na marungu.
Marungu.
Vipande vikubwa vya miti migumu kwa ajili ya kupigia watu.hekaluni
hekaluni
Inaoneshakuwa Yesu hakuwa hekaluni. alikuwa kwenye korido la hekalu
ili maandiko ya manabii yatimie
"napenda kutimiza kile ambacho manabii waliandika kwenye maandiko"
Kumuacha.
Kujitenga naye au walijitenga naye.