sw_tn/mat/20/intro.md

372 B

athayo 20 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Mfano wa mwenye shamba na shamba lake la mizabibu

Yesu anatumia mfano huu (Mathayo 20:1-16) ili kuwafundisha wanafunzi wake kwamba kanuni za Mungu kuhusu kile kilicho sawa ni tofauti na kanuni za binadamu.

<< | >>