sw_tn/mat/19/intro.md

467 B

Mathayo19 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Mafundisho ya Yesu kuhusu talaka

Katika sura hii, Yesu anafundisha kuhusu talaka. Ilikuwa jibu la changamoto lililotolewa na Mafarisayo. Mafundisho yake Yesu yanategemea nia ya awali ya Mungu katika kuunda ndoa. Yesu anaonyesha makosa ambayo viongozi wa dini walifanya katika desturi zao kuhusu ndoa.

<< | >>