sw_tn/mat/20/01.md

434 B

Sentensi unganishi

Yesu anaelzea mfano wa mtu mmoja aliyekuwa anamiliki shamba anayeajiri wafanya kazi, ili kufafanua jinsi atakavyowalipa watu wa ualme wake.

Kwa maana ufalme wa mbinguni unafanana

Tazama 13:24

Baada ya kukubaliana

"baada ya mmiliki wa shamba kukubaliana"

Dinari moja

"malipo ya kibarau ya siku moja"

aliwatuma kwenda katika shamba lake la mizabibu

aliwatuma kwenda kufanya kazi katika shamba lake