sw_tn/luk/22/intro.md

1.2 KiB

Luka 22 Maelezo ya Jumla

uundo na upangiliaji

Matukio ya sura hii hujulikana kama "jioni ya mwisho." Sikukuu ya Pasaka kwa njia nyingi inafanana na dhabihu ya Yesu kama kondoo wa Mungu.

Dhana maalum katika sura hii

Kula mwili na damu

Hadi leo, hatua hii inafanyika karibu na makanisa yote kukumbuka dhabihu ya Kristo kwa ajili ya dhambi za mwanadamu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/sin)

Agano Jipya

Yesu anataja Agano Jipya wakati wa jioni la mwisho. Agano Jipya ni chanzo cha utata kati ya wasomi. Kuna maoni mengi tofauti kuhusu wakati agano hili linapoanza na uhusiano wa kanisa na agano jipya. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/newcovenant)

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Mwana wa Binadamu"

Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujitaja mwenyewe kama 'mtu wa tatu.'

"hii ndiyo saa yako"

Katika tamaduni nyingi, kuna imani kwamba mambo mabaya hutokea tu katikati ya usiku, wakati watu wema wamelala. Maneno haya ni kejeli yanayoonyesha kwamba watu wanaomkamata Yesu wanatenda mabaya. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/evil)

<< | >>