forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
804 B
Markdown
40 lines
804 B
Markdown
# mwaka wa kumi na nne
|
|
|
|
"mwaka wa 14"
|
|
|
|
# Mfalme Hezekia
|
|
|
|
Hezekia alikuwa mfalme wa Yuda
|
|
|
|
# Senakeribu
|
|
|
|
Hili ni jina la mfalme wa Ashuru.
|
|
|
|
# Senakeribu ... alishambulia miji yote iliyoimarishwa
|
|
|
|
Jeshi la Senakeribu lilivamia miji. "Senekeribu na jeshi lake ... walivamia miji yote iliyoimarishwa"
|
|
|
|
# kamanda mkuu
|
|
|
|
Baadhi ya tafsiri za Biblia zinatafsiri kuwa hii ni ""Rabshake". Hili ni neno la Ashuru kwa yule mwenye nafasi ya juu kabisa ya viongozi wa kijeshi Ashuru.
|
|
|
|
# Lakishi
|
|
|
|
Huu ni mji kusini magharibi mwa Yerusalemu.
|
|
|
|
# mfereji wa dimbwi la juu katika barabara ya kuelekea shamba la dobi
|
|
|
|
"ambapo maji huingia katika dimbwi la juu"
|
|
|
|
# Hilkia ... Eliakimu
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanamume.
|
|
|
|
# Shebna
|
|
|
|
Hili ni jina la msimaizi wa kasri ya mfalme Yerusalemu
|
|
|
|
# Asafu ... Yoa
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanamume.
|