forked from WA-Catalog/sw_tn
804 B
804 B
mwaka wa kumi na nne
"mwaka wa 14"
Mfalme Hezekia
Hezekia alikuwa mfalme wa Yuda
Senakeribu
Hili ni jina la mfalme wa Ashuru.
Senakeribu ... alishambulia miji yote iliyoimarishwa
Jeshi la Senakeribu lilivamia miji. "Senekeribu na jeshi lake ... walivamia miji yote iliyoimarishwa"
kamanda mkuu
Baadhi ya tafsiri za Biblia zinatafsiri kuwa hii ni ""Rabshake". Hili ni neno la Ashuru kwa yule mwenye nafasi ya juu kabisa ya viongozi wa kijeshi Ashuru.
Lakishi
Huu ni mji kusini magharibi mwa Yerusalemu.
mfereji wa dimbwi la juu katika barabara ya kuelekea shamba la dobi
"ambapo maji huingia katika dimbwi la juu"
Hilkia ... Eliakimu
Haya ni majina ya wanamume.
Shebna
Hili ni jina la msimaizi wa kasri ya mfalme Yerusalemu
Asafu ... Yoa
Haya ni majina ya wanamume.