sw_tn/isa/36/01.md

804 B

mwaka wa kumi na nne

"mwaka wa 14"

Mfalme Hezekia

Hezekia alikuwa mfalme wa Yuda

Senakeribu

Hili ni jina la mfalme wa Ashuru.

Senakeribu ... alishambulia miji yote iliyoimarishwa

Jeshi la Senakeribu lilivamia miji. "Senekeribu na jeshi lake ... walivamia miji yote iliyoimarishwa"

kamanda mkuu

Baadhi ya tafsiri za Biblia zinatafsiri kuwa hii ni ""Rabshake". Hili ni neno la Ashuru kwa yule mwenye nafasi ya juu kabisa ya viongozi wa kijeshi Ashuru.

Lakishi

Huu ni mji kusini magharibi mwa Yerusalemu.

mfereji wa dimbwi la juu katika barabara ya kuelekea shamba la dobi

"ambapo maji huingia katika dimbwi la juu"

Hilkia ... Eliakimu

Haya ni majina ya wanamume.

Shebna

Hili ni jina la msimaizi wa kasri ya mfalme Yerusalemu

Asafu ... Yoa

Haya ni majina ya wanamume.