sw_tn/isa/01/09.md

514 B

Taarifa ya Jumla

Isaya anazungumza na watu wa Yuda katika mtindo wa shairi.

Kama Yahwe

Hii inaelezea jambo amabalo lingeweza kutokea zamani lakini halikutokea.

mabaki wachache

"waliokoka wachache"

ametuachia ... tungekuwa

Hapa maneno haya yana maana ya Isaya na yanajumuisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu.

tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora

Jinsi ambavyo Yuda angekuwa kama Sodoma na Gomora inaweza kufanywa wazi. "Mungu angetuangamiza, kama alivyoangamiza miji ya Sodoma na Gomora"