forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
514 B
Markdown
20 lines
514 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anazungumza na watu wa Yuda katika mtindo wa shairi.
|
||
|
|
||
|
# Kama Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea jambo amabalo lingeweza kutokea zamani lakini halikutokea.
|
||
|
|
||
|
# mabaki wachache
|
||
|
|
||
|
"waliokoka wachache"
|
||
|
|
||
|
# ametuachia ... tungekuwa
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno haya yana maana ya Isaya na yanajumuisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora
|
||
|
|
||
|
Jinsi ambavyo Yuda angekuwa kama Sodoma na Gomora inaweza kufanywa wazi. "Mungu angetuangamiza, kama alivyoangamiza miji ya Sodoma na Gomora"
|