forked from WA-Catalog/sw_tn
514 B
514 B
Taarifa ya Jumla
Isaya anazungumza na watu wa Yuda katika mtindo wa shairi.
Kama Yahwe
Hii inaelezea jambo amabalo lingeweza kutokea zamani lakini halikutokea.
mabaki wachache
"waliokoka wachache"
ametuachia ... tungekuwa
Hapa maneno haya yana maana ya Isaya na yanajumuisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu.
tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora
Jinsi ambavyo Yuda angekuwa kama Sodoma na Gomora inaweza kufanywa wazi. "Mungu angetuangamiza, kama alivyoangamiza miji ya Sodoma na Gomora"