sw_tn/2sa/15/01.md

288 B

Ikawa

Kifungu hiki kinatambulisha tukio jingine katika habari

Na watu hamsini kwenda mbele yake

Watu hawa wangekwenda mbele ya kibandawazi kwa kumweshimu Absalomu.

Mtumishi wako

Mtu alipomjibu Absalomu alimrejerea kwa kusema "mtumishi wako" kuonesha heshima yake kwa Absalomu.