Ikawa
Kifungu hiki kinatambulisha tukio jingine katika habari
Na watu hamsini kwenda mbele yake
Watu hawa wangekwenda mbele ya kibandawazi kwa kumweshimu Absalomu.
Mtumishi wako
Mtu alipomjibu Absalomu alimrejerea kwa kusema "mtumishi wako" kuonesha heshima yake kwa Absalomu.