forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
288 B
Markdown
12 lines
288 B
Markdown
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki kinatambulisha tukio jingine katika habari
|
||
|
|
||
|
# Na watu hamsini kwenda mbele yake
|
||
|
|
||
|
Watu hawa wangekwenda mbele ya kibandawazi kwa kumweshimu Absalomu.
|
||
|
|
||
|
# Mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Mtu alipomjibu Absalomu alimrejerea kwa kusema "mtumishi wako" kuonesha heshima yake kwa Absalomu.
|