sw_tn/2sa/15/01.md

12 lines
288 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Ikawa
Kifungu hiki kinatambulisha tukio jingine katika habari
# Na watu hamsini kwenda mbele yake
Watu hawa wangekwenda mbele ya kibandawazi kwa kumweshimu Absalomu.
# Mtumishi wako
Mtu alipomjibu Absalomu alimrejerea kwa kusema "mtumishi wako" kuonesha heshima yake kwa Absalomu.