forked from WA-Catalog/sw_tn
690 B
690 B
Waefeso 06 Maelezo ya Jumla
Dhana maalum katika sura hii
Utumwa
Paulo hajaandika katika sura hii ikiwa utumwa ni nzuri au mbaya. Paulo anafundisha kuhusu kufanya kazi ili kumpendeza Mungu ukiwa mtumwa au bwana. Anachofundisha Paulo hapa juu ya utumwa kingekuwa cha kushangaza. Katika wakati wake, mabwana hawakutarajiwa kuwaheshimu watumwa wao na kutowatisha.
Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
Silaha za Mungu
Mfano hii inaelezea jinsi Wakristo wanaweza kujikinga wakati wanavamiwa kiroho. (See: [[rc:///tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc:///ta/man/translate/figs-metaphor]])
Links:
__<< | __